You are on page 1of 42

MWONGOZO WA MALEZI

MBADALA YA WATOTO

Utaratibu wa Umoja wa Mataifa

Vijiji vya Watoto wa SOS ISS Kuvuka mipaka katika kuhudumia na


Makazi yenye upendo kwa kila mtoto kusaidia watoto na familia
2 MWONGOZO WA MALEZI MBADALA YA WATOTO

VIJIJI VYA WATOTO VYA KIMATAIFA VYA SOS

Vijiji vya Watoto vya Kimataifa vya SOS ni Asasi inayojumuisha asasi zaidi ya 130 za kitaifa
duniani kote. Ni Asasi isiyo ya Kiserikali au ya Kidini inayotoa huduma moja kwa moja za
malezi, elimu na afya kwa watoto walio hatarini kupoteza au waliopoteza malezi ya wazazi.
Asasi hii pia inatoa mafunzo ya kujenga uwezo wa walezi wa watoto, familia zao na jamii ili
watoto wapate malezi ya kutosha.

Asasi ya Vijiji vya Watoto vya Kimataifa vya SOS inatetea haki za watoto waliopoteza na walio
hatarini kupoteza malezi ya wazazi. Ilianzishwa mwaka 1949 na shughuli zake zinaongozwa na
msingi wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa kuhusu Haki za Mtoto.
www.sos-childrensvillages.org

ASASI YA KIMATAIFA YA HUDUMA YA JAMII (ISS)

Asasi ya Kimataifa ya Huduma ya Jamii (ISS) inasaidia mtu mmoja mmoja, watoto na familia
zinazokabiliwa na matatizo ya kijamii yanayohusisha nchi mbili au zaidi na yanayotokana na
uhamiaji wa kimataifa au kuondolewa kwenye makazi. Kama asasi isiyotengeneza faida na
iliyoundwa mwaka 1924, asasi hii inafanya kazi katika nchi karibia 140 na inahudumia watu
zaidi ya 50,000 duniani kote.

Asasi ya Kimataifa ya Huduma ya Jamii ina umahiri maalumu kwenye maeneo ya kuasili na,
kwa mapana zaidi, kuzuia kutelekeza na kuweka watoto katika malezi mbadala na kusaidia
familia ambazo watoto wanatoka. Pia inapigania heshima ya watoto walioasiliwa au wanaoishi
katika vituo vya malezi. www.iss-ssi.org
3

YALIYOMO
5 DIBAJI

6 UTANGULIZI

MWONGOZO WA MALEZI MBADALA YA WATOTO


7 I. DHUMUNI
7 II KANUNI NA MITAZAMO YA JUMLA
Mtoto na familia
Malezi mbadala
Hatua za kukuza matumizi
12 III. MAWANDA YA MWONGOZO
13 IV. KUZUIA KUHITAJIKA KWA MALEZI MBADALA
Kuimarisha malezi ya wazazi
- Kuzuia wanafamilia wasitengane
Kusaidia ujenzi mpya wa familia
18 V. UTARATIBU WA KUTOA HUDUMA YA MALEZI
20 VI. KUANISHA AINA ZA MALEZI ZINAZOFAA
22 VII. UTOAJI WA MALEZI MBADALA
Sera
- Malezi yasiyo rasmi
- Viwango vya jumla kuhusu utoaji wa aina zote rasmi za malezi mbadala
Majukumu ya kisheria kwa mtoto
- Wakala na vituo vinavyotoa malezi rasmi
- Malezi ya wazazi wasiokuwa wa damu
4 MWONGOZO WA MALEZI MBADALA YA WATOTO

Vituo vya malezi


Ukaguzi na ufuatiliaji
Msaada baada ya muda wa malezi kumalizika
34 VIII. UTOAJI WA HUDUMA YA MALEZI KWA WATOTO NJE YA NCHI YAO
Kumchukua mtoto ili apate huduma ya malezi nje ya nchi
Utoaji huduma ya malezi kwa mtoto aliye nje ya nchi
37 IX. MALEZI KATIKA MAZINGIRA YA DHARURA
Matumizi ya Mwongozo
Kuzuia kutengana
Mipango ya kutoa huduma ya malezi
Kutafuta na kuunganisha familia
40 TOVUTI MUHIMU
5

DIBAJI

Mamilioni ya watoto duniani kote hawana, au wako hatarini kupoteza, malezi ya wazazi na
wanakabiliwa na changamoto kubwa katika maisha yao ya kila siku, changamoto ambazo
zinaathiri maisha yao ya utu uzima.

Kupitia kazi yake ya kufuatilia utekelezaji wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa kuhusu Haki za
Mtoto (UNCRC), Kamati ya Umoja wa Mataifa ya Haki za Binadamu iligundua kuwa
changamoto nyingi zinazowaathiri watoto na familia zilikuwa hazifahamiki vizuri na kwa hiyo
kutokuingizwa katika sera na utekelezaji wa haki za mtoto.

Kufahamu kwa pengo lililoko kati ya haki za watoto na utekelezaji wake kuliifanya Kamati
mwaka 2005 kuazimisha Siku ya Majadiliano ya Msingi kuhusu watoto waliopoteza malezi ya
wazazi. Kutokana na majadiliano ya siku hiyo, Kamati iliiomba jumuiya ya Kimataifa, wakala
wa Umoja wa Mataifa, Asasi Zisizo za Kiserikali, wataalamu, wanataaluma na vyama vya
weledi kuungana na kutengeneza kanuni za kimataifa ambazo zingetoa mwongozo wa kitaalamu
kwa Nchi na watu wengine wanaohusika na utekelezaji wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa
kuhusu Haki za Mtoto.

Kwa hiyo, Kamati inapokea kwa furaha kukubaliwa kwa Mwongozo wa Malezi Mbadala ya
Watoto na Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa wakati wa maazimisho ya miaka 20 ya
Mkataba wa Umoja wa Mataifa kuhusu Haki za Mtoto yaliyofanyika Novemba 20, 2009. Ni
matokeo ya mapendekezo yaliyotolewa na Kamati mwaka 2005 na ya miaka mitano ya kufanya
kazi, pamoja na ushirikiano na mazungumzo ya kina.

Napenda kuishukuru serikali ya Brazil kwa juhudi zake za kuwakutanisha Kundi la Marafiki na
kwa kufanya kazi bila kuchoka kuhakikisha kwamba Mwongozo wa Malezi Mbadala ya Watoto
unatambuliwa. Hakika, kazi isingekamilika bila msaada wa Asasi Zisizo za Kiserikali na
washirika wengine muhimu, hususani Asasi yenye makao makuu yake mjini Geneva ambayo
inajihusisha na watoto waliopoteza malezi ya wazazi.

Nina furaha kubwa kuelezea matumaini ya dhati ya Kamati ya Umoja wa Mataifa ya Haki za
Mtoto kwamba Mwongozo wa Malezi Mbadala ya Watoto utakuwa muhimu katika kutekeleza
Mkataba wa Umoja wa Mataifa kuhusu Haki za Mtoto, na naliona chapisho hili kama hatua
muhimu ya awali katika usambazaji wa Mwongozo.

Prof. Yanghee Lee


Mwenyekiti, Kamati ya Umoja wa Mataifa ya Haki za Mtoto
Seoul, Korea
Novemba 20, 2009
6 MWONGOZO WA MALEZI MBADALA YA WATOTO

UTANGULIZI
Novemba 20, 2009 wakati wa maazimisho ya miaka ishirini ya Mkataba wa Umoja wa Mataifa
kuhusu Haki za Mtoto, Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa uliutambua rasmi Mwongozo wa
Malezi Mbadala ya Watoto. Sisi, Vijiji vya Watoto vya Kimataifa vya SOS na Asasi ya
Kimataifa ya Huduma ya Jamii, tunaupokea Mwongozo huu mpya wa kimataifa kwa furaha
kubwa. Mwongozo unaweza kuimarisha haki za watoto na kuboresha maisha ya mamilioni ya
watoto, familia zao na jamii duniani kote. Kwa lengo la kusaidia usambazaji na utekelezaji wake,
chapisho hili linatoa matini rasmi ya Mwongozo wa Malezi Mbadala ya Watoto (Mkutano Mkuu
A/RES/64/142) na lina maswali kwa ajili ya kutafakari baadhi ya maeneo ya msingi
yaliyoainishwa kwenye Mwongozo.

USULI
Mwongozo wa Malezi Mbadala ya Watoto ulitokana na kugunduliwa kwa pengo katika
kutekeleza Mkataba wa Umoja wa Mataifa kuhusu Haki za Mtoto kwa ajili ya mamilioni ya
watoto duniani ambao hawana, au walio hatarini, kupoteza malezi ya wazazi. Kwa hiyo, jumuiya
ya kimataifa imeungana na kutengeneza Mwongozo wa Malezi Mbadala ya Watoto. Ni matokeo
ya miaka mitano ya ushirikiano na majadiliano kati ya Tume ya Umoja wa Mataifa ya Haki za
Mtoto, serikali zikiongozwa na Brazil, UNICEF, wataalamu na wanataaluma, wawakilishi wa
asasi zisizo za kiserikali, vijana wadogo wenye uzoefu na masuala ya malezi, na wengineo.

KANUNI ZA MSINGI
Mwongozo wa Malezi Mbadala ya Watoto unaonyesha umuhimu wa sera na utekelezaji kuhusu
kanuni mbili za msingi: ulazima na kufaa. Katika kiini cha ulazima tunakuta dhamira ya
kuwasaidia watoto ili wabaki, na watunzwe, na familia zao. Kumwondoa mtoto kutoka kwenye
familia yake iwe kimbilio la mwisho, na kabla uamuzi wa aina hiyo haujachukuliwa, tathmini
shirikishi ya kina inahitajika. Kuhusu kufaa, Mwongozo wa Malezi Mbadala ya Watoto unatoa
aina mbalimbali za malezi mbadala zinazofaa. Kila mtoto anayehitaji malezi mbadala ana
mahitaji maalumu kuhusiana na, kwa mfano, malezi ya muda mfupi au mrefu au kuwaweka
ndugu pamoja. Aina ya malezi inayochaguliwa lazima iendane na mahitaji maalumu ya mtoto.
Utunzaji wa mtoto unapaswa kutathminiwa mara kwa mara ili kuona kama kuna ulazima wa
kuendelea kutoa malezi mbadala kwa mtoto, na kama inafaa kumrudisha kwenye familia yake.

JINSI YA KUTUMIA CHAPISHO HILI


Katika kila kipengele cha Mwongozo wa Malezi Mbadala ya Watoto, kuna maswali kuhusu sera
ya taifa. Ingawa maswali hayo hayahusu kila kitu, na siyo sehemu ya matini rasmi,
yanakusudiwa kuchochea tafakari juu ya utekelezaji wa kanuni za msingi za Mwongozo wa
Malezi Mbadala ya Watoto katika ngazi ya taifa. Mwongozo wa Malezi Mbadala ya Watoto
utakuwa na matokeo yanayoonekana katika maisha ya watoto, familia zao na jamii kama
kilichoandikwa kitatekelezwa. Tunaahidi kuyabadilisha maneno kuwa matendo.

Richard Pichler, Katibu Mkuu, Jean Ayoub, Katibu Mkuu,


Vijiji vya Watoto vya Kimataifa vya SOS Asasi ya Kimataifa ya Huduma za Jamii
7

MWONGOZO WA MALEZI
MBADALA YA WATOTO
I. DHUMUNI kiuchumi, kijamii na kitamaduni ya kila
Nchi; na
1 Mwongozo huu unakusudiwa kuboresha (d) Kuongoza sera, maamuzi na shughuli za
utekelezaji wa Mkataba wa Umoja wa wote wanaohusika na ulinzi na ustawi wa
Mataifa kuhusu Haki za Mtoto na kanuni mtoto katika sekta za umma na binafsi,
zingine mahususi za kimataifa kuhusu ulinzi pamoja na asasi za kijamii.
na ustawi wa watoto waliopoteza au walio
hatarini kupoteza malezi ya wazazi. II. KANUNI NA MITAZAMO YA JUMLA

2 Kulinga na usuli wa kanuni hizi za A. MTOTO NA FAMILIA


kimataifa na kwa kuzingatia kuongezeka
kwa maarifa na uzoefu katika eneo hili, 3 Kwa kuwa familia ni kundi la msingi la
Mwongozo umeainisha masuala muhimu jamii na mazingira ya asili ya kukulia,
katika kutengeneza sera na utekelezaji wake. ustawi na ulinzi wa mtoto, jitihada
Mwongozo umetengenezwa ili usambazwe zielekezwe kwenye kumfanya mtoto abaki
moja kwa moja au kwa njia nyingine au aendelee kulelewa na wazazi wake, au
kwenye sekta zote zinazohusika na masuala inapofaa, na ndugu wengine wa karibu. Nchi
ya malezi mbadala, na unadhamiria: zihakikishe kwamba familia zinapata
(a) Kusaidia juhudi za kuweka watoto, au msaada ili zitekeleze jukumu la malezi.
kuwarudisha, kwenye familia zao, au kama
hili haliwezekani, kutafuta ufumbuzi 4 Kila mtoto au kijana mdogo aishi katika
mwingine wa kudumu, pamoja na kuasili na mazingira yenye msaada, ulinzi na kujali
kumtoa mtoto kafala kulingana na sheria ya yanayomwezesha kujenga uwezo wake.
Kiisilamu; Watoto wenye malezi duni au waliopoteza
(b) Kuhakikisha kwamba, wakati fumbuzi za malezi ya wazazi wako hatarini kunyimwa
kudumu zikitafutwa, au kwenye mazingira mazingira hayo ya kukulia.
ambayo fumbuzi hizo haziwezi kufanya kazi
au haziko kwa manufaa ya mtoto, aina nzuri 5 Ikiwa familia ya mtoto haiwezi, hata baada
zaidi za malezi mbadala zinaainishwa na ya kupatiwa msaada unaofaa, kumpatia
kutolewa, katika mazingira yanayochochea mtoto malezi ya kutosha, Nchi inajukumu la
ukuaji kamili na utulivu wa mtoto; kulinda haki za mtoto na kuhakikisha
(c) Kusaidia na kuhamasisha Serikali kwamba mtoto anapata malezi mbadala
zitekeleze majukumu na wajibu wao kuhusu yanayofaa, kupitia mamlaka halali
masuala haya, kwa kuzingatia mazingira ya
8 MWONGOZO WA MALEZI MBADALA YA WATOTO

za ndani na asasi za kijamii 8 Nchi zitunge na kutekeleza sera


zilizothibitishwa. Ni jukumu la Nchi, kupitia zinazojitosheleza za ustawi na ulinzi wa
mamlaka zake halali, kuhakikisha kwamba mtoto ndani ya utaratibu wao wa jumla wa
usimamizi wa usalama, ustawi na maendeleo sera za maendeleo ya jamii na binadamu,
ya mtoto yeyote alioko katika malezi kwa lengo la kuboresha aina za malezi
mbadala na tathmini ya mara kwa mara ya mbadala zilizopo ili zihakisi kanuni zilizopo
kufaa kwa aina ya malezi anayopata mtoto katika Mwongozo huu.
inafanyika.
9 Kama sehemu ya jitihada za kuzuia watoto
6 Maamuzi yote, hatua na njia zilizoko wasitengane na wazazi wao, Nchi
kwenye mawanda ya Mwongozo huu zihakikishe zinatumia hatua zinazofaa
yanapaswa kufanyika kwa jambo moja kiutamaduni ili:
moja, kwa lengo la kuhakikisha ulinzi na (a) Kusaidia mazingira ya kifamilia ya
usalama wa mtoto, na yafanywe kwa malezi yanayokumbana na changamoto
masilahi na haki za mtoto husika, kulingana kama ulemavu, matumizi ya madawa ya
na kanuni inayopinga unyanyasaji na kwa kulevya na ulevi, unyanyasaji dhidi ya
kuzingatia mtazamo wa kijinsia. Asasi familia za watu wachache na ambao sio
ziheshimu haki ya mtoto kushirikishwa na wazawa, na zinazoishi kwenye maeneo ya
kuzingatia maoni yake kulingana na uwezo vita au yanayokaliwa na wageni;
wake unaokua na kwa msingi kwamba (b) Kutoa malezi yanayofaa na ulinzi kwa
anapata taarifa zote muhimu. Jitihada watoto walio hatarini, kama wahanga wa
ifanyike ili kuhakikisha kwamba udhalilishaji na unyonyaji, waliotelekezwa,
ushirikishwaji wa mtoto na utoaji taarifa wanaoishi mitaani, waliozaliwa nje ya ndoa,
vinafanyika katika lugha ambayo mtoto waliotengwa, waliondolewa kwenye makazi
anaipenda. yao na wakimbizi, watoto wa wafanyakazi
wahamiaji, watoto wa watu wanaotafuta
7 Katika kutumia Mwongozo huu, uanishaji hifadhi, au watoto wanaoishi na virusi vya
wa masilahi ya mtoto utafanyika ili Ukimwi au wanaougua ugonjwa wa Ukimwi
kufahamu hatua za kuchukua kwa ajili ya na magonjwa mengine hatari.
watoto ambao hawana malezi ya wazazi, au
walio hatarini kupoteza, ambazo 10 Jitihada maalumu zifanyike kupambana
zinaheshimu mahitaji na haki zao, kwa na unyanyasaji wa mtoto au wazazi kwa
kuzingatia maendeleo ya jumla ya haki za sababu ya hadhi zao, pamoja na umasikini,
watoto katika mazingira ya kifamilia, kabila, dini, jinsia, ulemavu wa kimwili na
kijamii na kiutamaduni na hadhi yao kama kiakili, Ukimwi au magonjwa mengine
watu wanaostahili haki wakati wa uainishaji hatari, yakimwili au kiakili, kuzaliwa nje ya
na muda wote. Mchakato wa uanishaji ndoa, fedheha ya kijamii na kiuchumi, na
unapaswa kuzingatia, pamoja na mambo hadhi na mazingira mengine yeyote
mengine, haki ya mtoto kusikilizwa na yanayoweza kusababisha kuachwa,
maoni yake kuzingatiwa kulingana na umri kutelekezwa au kuondolewa kwa mtoto
na uwezo wake kiakili. kutoka kwenye familia.
9

B. MALEZI MBADALA malezi ya wazazi, kumpatia malezi mbadala,


au kuzuia kurudishwa kwenye familia, lakini
11 Maamuzi yote kuhusu malezi mbadala ni uonekane kuwa ni ishara kwamba familia
lazima yazingatie nia ya kumweka mtoto inahitaji kusaidiwa.
karibu na makazi yake ya kila siku kadiri
inavyowezekana ili kurahisisha mawasiliano KANUNI YA ULAZIMA
na uwezekano wa kumrudisha mtoto katika
familia yake na kupunguza kuathiri maisha Kanuni hii inatoa jukumu dhahiri la
yake ya kielimu, kiutamaduni na kijamii. kuzuia kwa sera ya taifa na kuhitajika
kwa rasilimali ili huduma saidizi za
12 Maamuzi kuhusu watoto walioko kwenye kijamii zinazozuia kutengana kwa mtoto
malezi mbadala, pamoja na wale walio na familia ziweze kutolewa.
kwenye malezi yasiyo rasmi, yazingatie
kwamba watoto wana makazi mazuri JE, SERA YA TAIFA...
yanayowawezesha kuwa na mahusiano
salama na endelevu na walezi wao, lengo ...inasema kwamba kumwondoa mtoto
likiwa ni kuwa na mahusiano ya kudumu. kutoka kwenye familia kufanyike kama
kuna ulazima na kuwe kimbilio la mwisho?
13 Watoto ni lazima watendewe vitendo vya
hadhi na heshima wakati wote na lazima ...inasema kwamba umaskini peke yake sio
walindwe dhidi ya udhalilishaji, kutengwa kigezo kikuu cha kumwondoa mtoto kutoka
na aina zote za unyonyaji, kutoka kwa kwenye familia yake na kumweka kwenye
walezi, watoto wenzao au watu wengine malezi mbadala?
kwenye mazingira yeyote ya malezi
waliomo. ...inahakikisha kwamba vigezo vya kina
vinatumika katika kutathmini uwezo wa
14 Kumwondoa mtoto kutoka kwenye familia kumlea mtoto pale ambapo athari
familia yake iwe ni kimbilio la mwisho na kwa mtoto imebainika?
kuzingatie, kila inapowezekana, kuwa ni
kwa muda na kwa muda mfupi kadiri ...inakuza na kusaidia utekelezaji wa
inavyowezekana. Maamuzi ya kumwondoa huduma zinazofaa kwa familia kama hatua
mtoto yatathminiwe mara kwa mara na nia za kuhakikisha kwamba mtoto anaweza
ya kumrudisha mtoto kwa wazazi wake, kutunzwa katika familia?
mara tu baada ya sababu za kumwondoa
kutatuliwa au kumalizika, yafanyike kwa ...inahakikisha kwamba wazazi na watoto
manufaa ya mtoto, kulingana na tathmini wanashiriki kikamilifu katika mchakato wa
iliyotajwa katika aya ya 49 hapo chini. kufanya maamuzi na wanafahamishwa haki
zao, hususani haki yao ya kupinga mtoto
15 Umaskini wa fedha au mali, au mazingira kuondolewa kwenye familia?
ambayo moja kwa moja na kipekee
yanasababisha umaskini huo, yasiwe kigezo
pekee cha kumwondoa mtoto kutoka katika
10 MWONGOZO WA MALEZI MBADALA YA WATOTO

...inasisitiza utoaji wa elimu ya malezi na 19 Mtoto yeyote hasiachwe bila msaada na


msaada mahususi kwa wazazi, kwa mfano ulinzi wa mlezi anayetambulika kisheria au
wazazi wenye umri mdogo, ili kuzuia mtoto mtu mzima yeyote anayetambulika na
hasitelekezwe? kuhusika au chombo cha umma chenye
mamlaka hata mara moja.
...inahakikisha kwamba tathmini ya mara
kwa mara inafanyika juu ya mtoto alioko 20 Malezi mbadala yasitolewe kwa faida za
kwenye malezi mbadala ili kugundua kama kisiasa, kidini au kiuchumi kwa mtoa
kuna sababu ya mtoto kuendelea kutunzwa malezi.
nje ya familia, na uwezekano wa
kuunganishwa na familia yake? 21 Malezi katika vituo vya kulelea watoto
yatolewe kama mazingira ni sahihi, ya
16 Haki zote zinazohusiana na mazingira ya lazima na yako kwa ajili ya manufaa ya
watoto wasio na malezi zikuzwe na mtoto husika.
zilindwe, pamoja, lakini sio tu, haki ya
kupata elimu, huduma ya afya na huduma 22 Kulingana na maoni ya wataalamu,
zingine za msingi, haki ya kutambuliwa, malezi mbadala kwa watoto wadogo,
uhuru wa kufuata dini au imani fulani, hususani watoto wenye umri chini ya miaka
kutumia lugha fulani na haki ya kuwa na 3, yatolewe katika familia. Kanuni hii
mali na kupata urithi. inaweza isizingatiwe ili kuzia
kuwatenganisha ndugu au kama mtoto
17 Ndugu wanaoishi pamoja anawekwa katika malezi mbadala kwa
wasitenganishwe kwa kumchukua mmoja dharura au kwa muda mfupi, lengo likiwa ni
wao na kumweka kwenye malezi mbadala, kumuunganisha mtoto na familia yake au
isipokuwa kama kuna hatari ya kutafuta ufumbuzi wa muda mrefu.
kudhalilishwa au kigezo kingine chenye
manufaa kwa mtoto. 23 Ingawa inafahamika kwamba vituo vya
malezi ya watoto vinakamilishana na malezi
18 Kwa kutambua kwamba, watoto wengi ya nyumbani katika kufanikisha mahitaji ya
waliopoteza malezi ya wazazi katika nchi mtoto, pale ambapo vituo vipo, njia mbadala
nyingi wanalelewa kwa utaratibu usio rasmi zitafutwe katika muktadha wenye mkakati
na ndugu ama watu wengine, Nchi zitafute ambao siyo wa kitaasisi, wenye malengo na
njia zinazofaa, zinazoendana na Mwongozo madhumuni yanayoeleweka, ambao
huu ili kuhakikisha kwamba watoto wana utaruhusu kuondolewa kwake. Kwa hiyo,
ustawi na ulinzi wakiwa katika mazingira Nchi zitengeneze viwango ambavyo
hayo ambayo siyo rasmi, kwa kuheshimu vitahakikisha ubora na mazingira yanayofaa
tofauti za kiutamaduni, kiuchumi, kijinsia na kwa maendeleo ya mtoto, matunzo ya mtoto
kidini na vitendo ambavyo havikinzani na mmoja mmoja au katika makundi madogo
haki na masilahi ya mtoto. madogo, na vituo vya malezi zithaminishwe
kulingana na viwango hivi. Maamuzi
kuhusu uanzishaji, au ruhusa ya kuanzisha,
11

vituo vya malezi ya watoto vipya vya umma KANUNI YA KUFAA


au binafsi, lazima yazingatie madhumuni
yakuzifanya visiwe taasisi. Pale ambapo malezi mbadala
yanaonekana kuwa ni ya lazima na yenye
Hatua za kukuza matumizi manufaa kwa mtoto, Mwongozo una
lengo la kuhakikisha kwamba eneo la
24 Nchi, kulingana na rasilimali walizonazo malezi na muda ambao mtoto anatunzwa
na, inapowezekana, katika utaratibu wa unafaa kwa kila mtoto na unakuza
ushirikiano wa kimaendeleo, zitoe rasilimali utulivu wa muda mrefu.
watu na fedha kuhakikisha kwamba
Mwongozo huu unatekelezwa kwa kiwango
cha juu na kwa uendelevu nchi nzima na
katika muda uliopangwa. Nchi zihakikishe
mamlaka zote husika zinashirikiana na
masuala ya ustawi wa mtoto na familia
yanaingizwa kwenye wizara zote moja kwa
moja au kwa njia nyingine. JE, SERA YA TAIFA...

25 Nchi zina jukumuku la kubaini kama ...inasisitiza uwepo wa aina mbalimbali


kuna umuhimu wa, na kuomba, ushirikiano zinazofaa za malezi mbadala zinazoendana
wa kimataifa katika kutekeleza Mwongozo na mahitaji ya mtoto anayehitaji malezi na
huu. Maombi hayo ni lazima yafikiriwe kwa ulinzi?
kina na yakubaliwe kama inawezekana na
inafaa. Utekelezaji mzuri wa Mwongozo ...ina Mpango wa Kitaifa unaoeleweka kwa
huu uonekane katika programu za ajili ya kuufanya mfumo usiwe wa kitaasisi
ushirikiano wa kimaendeleo. Wakati wa na kuanzisha malezi ya kifamilia na ya
kutoa msaada kwa Nchi, mashirika ya kigeni mbadala ya aina nyingine?
yasifanye kitu chochote ambacho
kinakinzana na Mwongozo huu. ...inawataka watoa huduma ya malezi
kufanya uchunguzi ili kuhakikisha
26 Kitu chochote kilichopo katika wanapatikana watoa walezi wazuri?
Mwongozo huu kisitafsiriwe kama
kinahamasisha au kuunga mkono viwango ...inajumuisha hitaji la kufikiria uwezekano
hafifu zaidi ya vile ambavyo vipo katika wa kuwaweka ndugu katika kituo kimoja
Nchi husika, pamoja na vile vya kisheria. cha malezi kama kigezo cha msingi katika
Pia mamlaka halali na vyama vya weledi na kutathmini kufaa au kutokufaa?
vingine vinahamasishwa kuandaa miongozo
maalumu ya kitaifa au ya kiweledi ...inawataka watoa huduma ya malezi na
inayoendana na mtizamo wa Mwongozo walezi kuhakikisha kwamba familia na
huu. mtoto wanashiriki kwenye kupanga,
kutathmini, na michakato mingine ya
kufanya maamuzi kuhusu wapi mtoto
12 MWONGOZO WA MALEZI MBADALA YA WATOTO

asiye na malezi apatiwe huduma hiyo?

...inatoa utaratibu mpana wa haki ili (i) “Wapweke” kama hawatunzwi na ndugu
kuhakikisha haki za mtoto, kwa kuzingatia au mtu mzima ambaye kisheria au kimila
sio tu malezi na ulinzi, bali pia elimu, afya, ana jukumu la kufanya hivyo; au
utambulisho, imani na kutoingiliwa? (ii) “Wametengwa” kama wametengwa na
mlezi muhimu wa zamani anayetambulika
III. MAWANDA YA MWONGOZO kisheria au kimila, lakini ambaye anatunzwa
na ndugu mwingine.
27 Mwongozo huu unahusu matumizi (b) Malezi mbadala yanaweza kuwa ya aina
yanayofaa na mazingira ya utoaji huduma ya yeyote kati ya hizi:
malezi mbadala rasmi kwa watoto wenye (i) Malezi yasiyo rasmi: utaratibu wowote
umri chini ya miaka 18, isipokuwa, chini ya uliowekwa katika mazingira ya kifamilia,
sheria inayomhusu mtoto, akifikia umri wa ambako mtoto anatunzwa kwa misingi
utu uzima mapema. Mwongozo unahusu pia endelevu au ya kudumu na ndugu au
malezi mbadala yasiyo rasmi kama marafiki (matunzo yasiyo rasmi kutoka kwa
umeonyeshwa kufanya hivyo tu, kwa ndugu) au na watu wengine kwa uwezo wao
kuheshimu nafasi ya familia na jamii na na jitihada za mtoto mwenyewe, wazazi
wajibu wa Nchi wa kuwatunza watoto wake au mtu mwingine bila utaratibu huo
waliopoteza malezi ya wazazi au watoa kuwa umepangwa na mamlaka yeyote ya
huduma wanaotambulika kisheria au wa kiutawala au ya kimahakama au chombo
jadi, kama ilivyoanishwa katika Mkataba wa kinachotambulika kisheria;
Umoja wa Mataifa kuhusu Haki za Mtoto. (ii) Malezi rasmi: malezi yote yanayotolewa
katika mazingira ya kifamilia kwa matakwa
28 Kanuni zilizoko katika Mwongozo huu ya chombo cha kiutawala au mamlaka ya
zinawahusu pia, kadiri inavyofaa, watoto kimahakama, na malezi yote yanayotolewa
wadogo ambao tayari wanapata malezi kwenye vituo, pamoja na vituo binafsi, yawe
mbadala na wanahitaji kuendelea kutunzwa yametokana na hatua za kiutawala au
au kupata msaada kipindi cha mpito baada kimahakama au la.
ya kufikisha umri wa utu uzima chini ya (c) Kuhusu mazingira ambamo malezi
sheria husika. yanatolewa, malezi mbadala yanaweza
kuwa:
29 Kwa madhumuni ya Mwongozo huu, na (i) Malezi kutoka kwa ndugu: malezi rasmi
yenye uelekeo huo, isipokuwa mambo au sio rasmi ya kifamilia kutoka kwa jamaa
maalumu yaliyotajwa katika aya ya 30 hapo wa mtoto au marafiki wa karibu wa familia
chini, tafsiri zifuatazo zitatumika: ambayo mtoto anaifahamu;
(a) Watoto wasiokuwa na malezi ya wazazi: (ii) Malezi kutoka kwa familia nyingine:
ni watoto wote ambao hawalelewi na mazingira ambayo watoto wanawekwa na
angalau mmoja wa wazazi wao, kwa sababu mamlaka husika ili wapate malezi mbadala
yeyote na katika mazingira yeyote yale. kutoka kwenye familia zingine za karibu
Watoto wasiokuwa na malezi ya wazazi ambazo sio familia zao zilizochaguliwa,
wanaoshi nje ya nchi yao au wahanga wa kuthibitishwa, kupitishwa na kusimamiwa ili
mazingira ya dharura wanaweza zitoe malezi hayo;
kutambuliwa kama:
13

(iii) Utaratibu mwingine wa kifamilia au na utaratibu unaosimamia kuasiliwa au


unaofanana na wakifamilia; kuzuiwa huko kama ilivyoanishwa na
(iv) Malezi katika vituo: malezi ambayo kanuni zingine za kimataifa;
yanatolewa kwa kundi na nje ya utaratibu (c) Utaratibu usio rasmi ambapo mtoto kwa
wa kifamilia, kama sehemu za kujificha kwa matakwa yake mwenyewe anaishi na ndugu
sababu za kiusalama, vituo vya kupitia au marafiki kiburudani na sio kwa sababu
wakati wa dharura, na sehemu zingine kwamba wazazi wake hawana uwezo au
ambazo zinatoa malezi ya muda mfupi au hawako tayari kumtunza.
mrefu, pamoja na makazi ya wengi;
(v) Utaratibu binafsi wa makazi 31 Mamlaka halali na wahusika wengine
unaosimamiwa. wanahimizwa kutumia Mwongozo huu,
(d) Kuhusu watoa huduma ya malezi kadiri watakavyoona inafaa, kwenye shule
mbadala: za bweni, hospitalini, vituo vya kulelea
(i) Wakala ni vyombo binafsi au vya umma watoto wenye matatizo ya akili na aina
vinavyoandaa utoaji wa malezi mbadala kwa zingine za ulemavu au wenye mahitaji
watoto; maalumu, kwenye makambi, maeneo ya
(ii) Vituo ni taasisi binafsi au za umma kazi na maeneo mengine yanayohusika na
zinazotoa huduma ya makazi kwa watoto. malezi ya watoto.

30 Mawanda ya malezi mbadala IV. KUZUIA KUHITAJIKA KWA


yalionyeshwa katika Mwongozo huu MALEZI MBADALA
hayahusu:
(a) Watoto walioko chini ya miaka 18 A. KUIMARISHA MALEZI YA WAZAZI
ambao wamenyimwa uhuru wao kwa
maamuzi ya mahakama au mamlaka ya 32 Nchi zitekeleze sera zinazohakikisha
kiutawala kutokana na madai kwamba, kwamba familia zinatekeleza wajibu wao wa
kutuhumiwa au kukutwa na kosa la uvunjifu kulea watoto na zinazosisitiza haki ya mtoto
wa sheria, na ambao mazingira yao kulelewa na wazazi wote wawili. Sera hizi
yanaendana na Sheria Ndogo za Umoja wa zitatue vyanzo vya watoto kutelekezwa,
Mataifa Zinazohusu Kuwahukumu Watoto kuachwa na kutengana na familia zao kwa
Na Sheria za Umoja wa Mataifa kuhakikisha kwamba, pamoja na mambo
Zinazowalinda Watoto Walionyimwa Haki mengine, haki ya mtoto ya kupata cheti cha
Zao; kuzaliwa, makazi ya kutosha na haki yake
(b) Malezi ya wazazi wa kuasili tangu mtoto ya kupata huduma za msingi za afya, elimu
husika anapowekwa katika mikono yao na ustawi wa jamii, na kusisitiza hatua za
kulingana na amri ya mwisho ya kuasili kupambana na umaskini, udhalilishaji,
iliyotolewa, kuwa katika muda gani, kwa kuwekwa pembezoni, kufedheheshwa,
madhumuni ya Mwongozo huu, mtoto vurugu, uonevu wa watoto, unyanyasaji wa
atahesabiwa kuwa anapata malezi ya wazazi. kijinsia na matumizi ya madawa ya kulevya.
Lakini Mwongozo unahusu kipindi ambacho
mtoto yuko katika mchakato wa kuasiliwa 33 Nchi zitengeneze na kutekeleza sera za
au kuwekwa kizuizini, kama tu unaendana kifamilia zinazoendana wakati wote ili
14 MWONGOZO WA MALEZI MBADALA YA WATOTO

kukuza na kuimarisha uwezo wa wazazi ...unatambua na kukuza majukumu ya baba


kulea watoto wao. na mama na kuhakikisha kwamba wote
wanapewa uwezo kwa kujengewa mitazamo
KUKUZA MALEZI YA WAZAZI mahususi, mbinu, uwezo na kupewa nyezo
ili wawe na mazingira mazuri ya kumlea
Katika kusisitiza jukumu la kuzuia la mtoto?
sekta ya ustawi wa jamii, Mwongozo
unaonyesha umuhimu wa kuziwezesha na ...inahakikisha utoaji huduma unaratibiwa na
kuzisaidia familia zilizo hatarini kwa huduma mahususi za kutosha zinatolewa ili
kuwajengea uwezo wa kulea watoto wao kuhakikisha hatua nzuri zinachukuliwa
wenyewe. kuzisaidia familia zenye matatizo?

JE, SERA YA TAIFA...

...inahakikisha ukusanyaji mzuri wa data


mahususi juu ya familia kuwa hatarini na
kuhakikisha kwamba data husika zinatumika
katika kutoa huduma kwa familia?

...inaweka mikakati inayofaa ya


kuziwezesha na kuziimarisha familia ili
kuzuia kutengana na kuhakikisha kwamba
mikakati hii inachukuliwa na kutekelezwa?
34 Nchi zitekeleze hatua madhubuti kuzuia
...zinahakikisha kwamba sera zinazohusu kutelekezwa kwa mtoto, kuachwa na
mambo ya kifamilia zipo na zinatekelezwa kutengana kwa mtoto na familia yake. Sera
ili kuimarisha mazingira ya familia bila na programu za kijamii, pamoja na mambo
udhalilishaji unaotokana na hali ya ndoa, mengine, ziwape familia mitazamo, mbinu,
kuzaliwa, umaskini au kabila? uwezo na nyenzo ili ziwezekuwalinda,
kuwatunza na kuwaendeleza watoto wao.
15

Asasi za Kiserikali na za kijamii, pamoja na 36 Mkazo maalumu, kulingana na sheria,


asasi zisizo za kiserikali na za kijuimuiya, uelekezwe kwenye utoaji na uimarishaji wa
viongozi wa dini na vyombo vya habari, msaada na malezi kwa ajili ya mzazi mmoja
zitumike katika kutekeleza jukumu hili. na wazazi wenye umri mdogo na watoto
Mipango ya ulinzi ya kijamii ihusishe: wao waliozaliwa ndani au nje ya ndoa. Nchi
(a) Huduma za kuimarisha familia, kama zihakikishe kwamba wazazi wenye umri
vile kozi na vipindi vya masuala ya malezi, mdogo wanapata haki zao zote kama wazazi
ukuzaji wa mahusiano chanya ya mtoto na na watoto, pamoja na kupata huduma zote
mzazi, mbinu za kutatua migogoro, fursa za zinazofaa kwa ajili ya maendeleo yao, posho
ajira na kipato na, kama ni lazima, msaada za wazazi na haki zao za kurithi mali. Hatua
wa kijamii; zichukuliwe kuhakikisha ulinzi wa
(b) Huduma za jamii saidizi, kama sehemu wajawazito wenye umri mdogo na
za kulea watoto za kutwa, huduma za kuhakikisha kwamba masomo yao
upatanishi, matibabu ya matumizi ya hayakatizwi. Pia jitihada zichukuliwe
madawa ya kulevya, msaada wa kifedha na kupunguza uonevu wa mzazi mmoja mmoja
huduma kwa ajili ya wazazi na watoto na wazazi wenye umri mdogo.
wenye ulemavu. Huduma hizo, hususani zile
zilizojumuishwa na zisizoingilia masuala ya 37 Msaada na huduma zitolewe kwa watoto
ndani, zipatikane katika ngazi ya jumuiya na ambao wamepoteza wazazi wao au walezi
zihusishe familia kama washirika, kwa na walioamua kuishi pamoja katika familia
kuweka rasilimali zao pamoja, za jamii na za zao, kama tu mtoto mkubwa yuko tayari na
mlezi; ana uwezo kuwa mkuu wa kaya. Nchi
(c) Sera zenye lengo la kuwajengea uwezo zihakikishe, pamoja na kumteau mlezi
vijana kupambana na changamoto za maisha anayetambulika kisheria, mtu mzima
za kila siku, pamoja na kipindi wanapoamua anayetambulika, ama inapofaa, chombo cha
kuondoka nyumbani na kuanza kujitegemea, umma kilichopewa jukumu la kuwa mlezi,
na kuwaandaa wazazi wa baadaye ili kama ilivyoelezwa katika aya ya 19 hapo
wafanye maamuzi sahihi kuhusu afya ya juu, kwamba kaya hiyo inapata ulinzi wote
mapenzi na uzazi na kutekeleza wajibu wao dhidi ya unyonyaji na udhalilishaji wa aina
katika hili. zote, na usimamizi na msaada kutoka katika
jumuiya husika na watoa huduma husika,
35 Njia na mbinu mbalimbali kama maafisa ustawi wa jamii, kwa
zinazokamilishana zitumike ili kuwezesha kuzingatia afya ya mtoto, makazi, elimu na
familia, zikibadilika kipindi chote cha haki za kurithi mali. Mkazo maalumu
mchakato wa kuziwezesha familia, uelekezwe kwenye kuhakikisha kwamba
kutembeleana, mikutano na familia zingine, mkuu wa kaya hiyo anapata haki zake zote
mikutano juu ya suala fulani na kuhakikisha kama mtoto, pamoja na haki ya kupata elimu
familia zinatekeleza ahadi zao. Mbinu na na mapuziko, na haki zake kama mkuu wa
njia zielekezwe katika kukuza mahusiano kaya.
ndani ya familia na mahusiano ndani ya
jamii. 38 Nchi zihakikishe zinakuwepo fursa za
malezi ya watoto za kutwa, pamoja na
masomo ya kutwa, na mapumziko ambayo
16 MWONGOZO WA MALEZI MBADALA YA WATOTO

yatawawezesha wazazi kutekeleza wajibu


wao kwa familia, pamoja na kuwatunza
watoto wenye mahitaji maalumu.

Kuzuia wanafamilia wasitengane

39 Vigezo sahihi vinavyoendana na kanuni


bora za kitaalamu viandaliwe na vitumike
wakati wote kutathmini hali ya mtoto na kuheshimu haki yake ya kupata taarifa
familia, ikijumuishwa na uwezo halisi na kuhusu asili yake pale inapobidi kulingana
usio halisi wa familia kumtunza mtoto, na sheria za Nchi.
katika mazingira ambayo mamlaka husika 43 Nchi zitengeneze sera nzuri ili
zina sababu za msingi kuamini kwamba kushughulikia mazingira ambayo mtoto
ustawi wa mtoto uko hatarini. ametelekezwa kimya kimya, ambazo
zinaonyesha jinsi gani familia ya mtoto
40 Maamuzi kuhusu kumwondoa au inaweza kutafutwa na jinsi ambavyo mtoto
kumrudisha mtoto kwenye familia yafanywe anaweza kurudishwa kwa jamaa zake. Pia
kwa kuzingatia tathmini hii na yafanywe na sera ziruhusu maamuzi kufanyika haraka
wataalamu waliothibitshwa na wenye kuhusu uwezekano wa mtoto kuwekwa
ufahamu, kwa niaba ya au yapitishwe na kwenye kituo cha malezi na mipango hiyo
mamlaka halali, kwa kushirikisha wadau ifanyike haraka.
wote na kwa kuzingatia uhitaji wa kupanga
maisha ya baadaye ya mtoto. KUZUIA KUTENGANA KWA
FAMILIA
41 Nchi zinahamasishwa kuchukua hatua
kwa ajili ya ulinzi na kuhakikisha haki Kwa kuzingatia kanuni za ulazima,
kipindi cha uja uzito, kujifungua na kuzuia kutengana kwa familia kunahusu
kunyonyesha ili kulinda hadhi na usawa kwa kuhakikisha michakato ya kufanya
maendeleo mazuri ya ujauzito na malezi ya maamuzi inakuwa sahihi na mizuri.
mtoto. Kwa hiyo, programu saidizi
ziandaliwe kwa ajili ya akina mama na akina
baba watarajiwa, hususani wazazi wenye
umri mdogo ambao hawawezi kutekeleza
wajibu wao kama wazazi. Programu hizo
zilenge kuwapa uwezo akina mama na akina
baba wa kutekeleza wajibu wao kama
wazazi kwa kuheshimu hadhi zao na kuzuia
kuwatelekeza watoto wao kwa sababu ya JE, SERA YA TAIFA...
kuwa hatarini.
...inahakikisha kwamba michakato ya
42 Mtoto akiachwa au kutelekezwa, Nchi kufanya tathminni inafanywa kulingana na
zihakikishe kwamba hii inafanyika katika mitazamo mbalimbali, kwa mfano, ya
mazingira ya siri na salama kwa mtoto, kwa
17

kielimu, kiafya na maeneo mengine ...inasaidia na kuhamasisha utoaji mafunzo


yanayohusika? kwa makundi ya wataalamu, kama walimu
na madaktari, katika kuwatambua watoto
...inahitaji michakato ya kufanya tathmini walio hatarini na kutoa taarifa kwenye
kuzingatia kiundani utoaji wa msaada kwa huduma na mamlaka husika?
familia na kuwapeleka kwenye huduma
mahususi kama njia ya kuzuia kutengana? ...inahakikisha kwamba wazazi walio
hatarini kutelekeza watoto wao wanapata
...inahakikisha kwamba michakato ya msaada wa kifedha au mali ili watunze
tathmini inaainisha na kutatua vyanzo vya watoto wao na kuzuia kuwatelekeza?
kutengana kwa watoto kusikokuwa kwa
lazima, kama kutengwa, umaskini au ...inatoa utaratibu unaowawezesha watoto
ulemavu? waliotelekezwa kupata taarifa husika na
inayofaa kuhusu asili zao?

44 Ikiwa mzazi au mlezi anayetambulika tathmini ya kitaaluma inayofaa ifanyike ili


kisheria anataka kumwacha mtoto kwa kuanisha kama kuna ndugu wengine ambao
wakala wa umma au binafsi au kituo cha wako tayari kuchukua jukumu la kumlea
malezi, Serikali ihakikishe kwamba familia mtoto kwa kudumu, au kama mpango huo
inapata ushauri na msaada ili iendelee unaweza kuwa kwa manufaa ya mtoto.
kumtunza mtoto. Kama hii inashindikana, Kama mipango hiyo haiwezekani au haiko
tathmini ya afisa ustawi wa jamii au kwa manufaa ya mtoto, jitihada zichukuliwe
18 MWONGOZO WA MALEZI MBADALA YA WATOTO

kutafuta familia ambayo mtoto anaweza B. KUSAIDIA UJENZI MPYA WA


kuwekwa bila kuchelewa. FAMILIA

45 Ikiwa mzazi au mlezi anataka kumweka 49 Katika kumwandaa na kumsaidia mtoto


mtoto kwenye wakala wa umma au binafsi na familia ili mtoto aungane na familia yake,
au kituo cha malezi kwa muda mfupi au mazingira yake yatathminiwe na mtu au
muda mrefu, Nchi ihakikishe kwamba kikundi cha watu ambacho kimethibitishwa
anapata ushauri au msaada ili aendelee na kinachoweza kupata ushauri kutoka
kumtunza mtoto. Mtoto awekwe katika sehemu mbalimbali, kwa kushirikiana na
malezi mbadala kama tu mipango mingine wahusika mbali mbali (familia, mtoto na
imeshindikana na kuna sababu za msingi za mtoa malezi mbadala), ili kuangalia kama
kufanya hivyo. inafaa kumrudisha mtoto kwenye familia na
kama kufanya hivyo ni kwa masilahi ya
46 Mafunzo yatolewe kwa walimu na watu mtoto, hatua gani zichukuliwe na chini ya
wengine wanaoshughulika na watoto ili usimamizi wa nani.
wawasaidie watoto kutambua mazingira ya
udhalilishaji, kutengwa, unyonyaji au hatari 50 Melengo ya kumrudisha mtoto kwenye
ya kutelekezwa na kutoa taarifa kwa familia yake na majukumu makuu ya familia
mamlaka halali. na mtoa malezi mbadala yawekwe katika
maandishi na yakubaliwe na watu wote
47 Maamuzi ya kumwondoa mtoto kinyume wanaohusika.
na matakwa ya familia yake yafanywe na
mamlaka halali, kulingana na sheria na 51 Mawasiliano ya mara kwa mara
utaratibu wa kimahakama husika na kwa yanayofaa kati ya mtoto na familia yake kwa
kufuata taratibu za kimahakama, mzazi awe lengo la kumrudisha mtoto kwenye familia
na haki ya kukata rufaa na uhakilishi wa yake yaanzishwe, yawezeshwe na
kisheria unaofaa. yafuatiliwe na chombo halali.

48 Kama mlezi mkuu au pekee wa mtoto 52 Maamuzi yakishafanyika, kitendo cha


yuko hatarini kuwekwa kizuizini au kumrudisha mtoto kwenye familia yake
rumande, hatua na adhabu zisizohusisha kifanyike taratibu na kwa usimamizi,
yeye kuwekwa kizuizini zitolewe kama pamoja na hatua za kifuatiliaji na za msaada
inawezekana kufanya hivyo, kwa kuzingatia zinazozingatia umri, mahitaji na uwezo
masilahi ya mtoto. Nchi zizingatie masilahi unaokua wa mtoto, na chanzo cha
ya mtoto katika kufanya maamuzi ya kutengana.
kuwaondoa watoto waliozaliwa gerezani au
wanaoishi na wazazi wao gerezani. Hatua V. UTARATIBU WA KUTOA HUDUMA
ya kumwondoa mtoto ifanyike kama YA MALEZI
inavyofanywa katika mazingira mengine.
Jitihada za kina zifanyike kuhakikisha 53 Ili kufikia mahitaji ya kukua kimwili na
kwamba watoto walioko kizuizini na wazazi kiakili na kijamii ya kila mtoto asiyekuwa
wanafaidika na hadhi yao kama watu huru na malezi ya wazazi, Nchi zihakikishe
na wanazifikia shughuli za kijumuiya. kwamba mazingira ya kisheria, kisera na
19

kifedha yanakuwepo ili kuwa na aina ...inasisitiza kufaa na uhitaji wa kuzingatia


mbalimbali za malezi mbadala, kwa kutoa nia ya kuwaunganisha watoto na familia zao
kipaumbele kwa ufumbuzi wa kifamilia na kama kitu cha msingi katika tathmini za
kijamii. mara kwa mara za malezi mbadala?

54 Nchi zihakikishe uwepo wa aina ...inahakikisha kwamba mtoto na familia


mbalimbali za malezi mbadala, wanashirikishwa katika kufanya maamuzi ya
zinazoendana na kanuni za jumla za uwezekano na mipango ya kumrudisha
Mwongozo huu zinazohusu malezi ya mtoto kwenye familia?
dharura, muda mfupi na muda mrefu.
...inahakikisha kwamba uamuzi wa
KUIMARISHA UJENZI MPYA WA kumrudisha mtoto kwenye familia yake
FAMILIA unapelekea kuwepo kwa mchakato wa
taratibu, kipindi ambacho familia inapata
Kwa watoto walioko kwenye malezi masaada unaofaa?
mbadala, na kuhakikisha kwamba watoto
wamewekwa kwa usahihi, dhumuni la
kumrudisha mtoto kwenye familia zao ni KUAINISHA MANUFAA
sehemu muhimu ya mchakato wa
kufanya tathmini ya malezi. Katika mazingira ya ulazima, hatua
inayofuata ni kuamua aina gani ya malezi
mbadala inafaa.

JE, SERA YA TAIFA...

...inawezesha familia na watoto kupinga JE, SERA YA TAIFA...


uamuzi wa kumweka mtoto katika malezi
mbadala na kutafuta kuunganishwa kwa ...inamtaka mtoa huduma kutumia mbinu za
matakwa yao? aina mbalimbali na nzuri katika kufanya
maamuzi ambazo zinatoa nafasi ya familia
...inahakikisha kwamba mtoto anawekwa na mtoto kushirikishwa?
karibu na familia na jamii yake ili kuzuia
kuaharibu ukaribu na kumwezesha mtoto ...inatoa utaratibu wa kiudhibiti kuhakikisha
kuwasiliana mara kwa mara na familia yake uthibitishaji, usajiri, ufuatiliaji na
ili kutengeneza mazingira ya kuunganishwa? uwajibikaji wa watoa huduma ya malezi?
20 MWONGOZO WA MALEZI MBADALA YA WATOTO

...inawataka watoa huduma ya malezi ridhaa ya mtoto na wazazi husika,


kuhakikisha kwamba kumbukumbu za kina kurasimisha huduma inayotolewa, baada ya
zinatunzwa tangu mwanzo ili mchakato wa muda fulani kupita, kwa kiwango ambacho
awali wa kufanya maamuzi utoe msingi utaratibu unaonekana wenye manufaa kwa
mzuri wa mipango ya baadaye na tathmini mtoto na utaendelea kuwa hivyo siku za
za mara kwa mara? baadaye.

...inasisitiza kwamba tathmini za vipindi VI. KUANISHA AINA ZA MALEZI


ziangalie mazingira ya huduma ambayo ZINAZOFAA
mtoto anaipata, umuhimu wa mtoto
kuendelea kupata malezi na zinazingatia 57 Maamuzi kuhusu malezi mbadala yenye
maoni ya mtoto? manufaa kwa mtoto yafanyike kwa kufuata
utaratibu wa kimahakama au kiutawala au
...inawataka watoa huduma ya malezi utaratibu mwingine unaojitoshekeza na
kutatua matatizo kwa njia tofauti tofauti unaofaa na ulinzi wa kisheria, na kama
ambazo zinachochea utulivu na kudumu inafaa, uwepo wa uwakilishili wa kisheria
katika kupanga malezi kwa kumuunganisha kwa niaba ya mtoto katika mazungumzo ya
mtoto na familia yake au kuendelea kisheria. Maamuzi yafanyike kwa kufuata
kumpatia malezi mbadala? tathmini na mpango wa kina, kwa kutumia
taratibu na mbinu nzuri, na yafanyike kwa
suala moja moja na watu wenye sifa
55 Nchi zihakikishe kwamba vitu na watu wanaofanya kazi kama timu,
wote wanaohusika katika kutoa huduma ya inapowezekana. Maamuzi yamshirikishe
malezi mbadala wanathibitishwa kufanya mtoto, kulingana na uwezo wake, ambao
hivyo na mamlaka halali na wanatathminiwa unaendelea kubadilika, na wazazi wake au
mara kwa mara na mamlaka hiyo hiyo kama walezi wanaotambulika kisheria. Ili
Mwongozo huu unavyosema. Ili kufanikisha kufanikisha hili, wahusika wote wapatiwe
hili, mamlaka zitengeneze vigezo kwa ajili taarifa zote muhimu ili wafanye maamuzi
ya kutathmini maadili na uwezo wa yanayoendana na taarifa walizonazo. Nchi
kitaalamu wa watoa huduma ya malezi na zifanye kila jitihada kutoa rasilimali na njia
uthibitisho, ufuatialiaji na usimamizi wao. za kutosha kwa ajili ya kutoa mafunzo na
kuwatambua wataalamu wanaohusika na
56 Kuhusu huduma za malezi zisizo rasmi uainishaji wa aina muafaka ya malezi ili
zitolewazo na jamaa, marafiki au watu kuendana na kanuni hizi.
wengine, inapowezekana, Nchi
ziwahamasishe watu hao kutoa taarifa kwa 58 Tathmini ifanyike haraka, vizuri na kwa
mamlaka halali ili wao na mtoto waweze umakini. Izingatie usalama na ustawi wa
kupata msaada utakaoimarisha ustawi na mtoto wa muda mfupi, na malezi na
ulinzi wa mtoto. Kama inawezekana na maendeleo yake ya muda mrefu, na
inafaa, Nchi ziwahamasishe na kuwasaidia ijumuishe tabia na maendeleo binafsi ya
watoa huduma za malezi wasio rasmi, kwa mtoto, asili yake kikabila, kiutamaduni,
21

lugha na dini yake, mazingira ya kifamilia nchi yake, utamaduni, lugha na dini yake, na
na kijamii, historia ya afya yake na mahitaji mahusiano ya mtoto na ndugu zake, kwa
maalumu. lengo la kuzuia kuwatenganisha.

59 Ripoti za awali na za tathminni zitumike 63 Mpango uonyeshe, pamoja na mambo


kama nyenzo muhimu katika kupanga mengine, malengo ya kumweka mtoto
maamuzi tangu yakubaliwe na mamlaka kwenye malezi mbadala na njia za
halali na kuendelea, kwa lengo la kuzuia kufanikisha hilo.
vikwazo visivyotarajiwa na maamuzi
yanayokinzana.

60 Mabadiliko ya mara kwa mara ya


mazingira ya kutolea huduma yanaathiri
maendeleo na uwezo wa mtoto kujenga
mahusiano, na kwa hivyo yasifanyike.
Utaratibu wa muda mfupi utumike katika
kutengeneza utaratibu wa muda mrefu.
Mtoto aunganishwe na familia yake au
jamaa mara moja, kama hii haiwezekani,
awekwe kwenye familia mbadala yenye
utulivu, au kama kanuni zilizoko katika aya
ya 21 hapo juu zinafaa, awekwe katika
malezi yenye utulivu na manufaa.

61 Mpango wa kutoa huduma ya malezi na


mtoto kuwekwa katika malezi ya kudumu
ufanyike mapema iwezekanavyo, ingefaa
kama ungefanyika kabla mtoto hajaanza
kupata malezi, kwa kuzingatia faida na 64 Mtoto na familia yake au mlezi
hasara za kila aina zinazofikiriwa, na anayetambulika kisheria wapewe taarifa za
uhusishe mapendekezo ya muda mfupi na kina kuhusu aina za malezi mbadala
mrefu. zilizopo, athari za kila aina na haki zao na
wajibu wao.
62 Mpango wa kutoa huduma ya malezi na
mtoto kuwekwa katika malezi ya kudumu 65 Maandalizi, matumizi na tathmini ya
ufanyike kwa kuzingatia asili na ubora wa hatua za ulinzi kwa ajili ya mtoto yafanyike,
mahusiano ya mtoto na familia yake, uwezo kadiri inavyowezekana, kwa kuwashirikisha
wa familia kuhakikisha ustawi na maendeleo wazazi wake au mlezi anayetambulika
yenye utulivu ya mtoto, mahitaji na hamu ya kisheria, waasili tarajiwa na watoa huduma
mtoto kujisikia kuwa sehemu ya familia, ya malezi, kwa kuzingatia mahitaji,
hamu ya mtoto ya kubaki katika jamii na misimamo na matakwa yake. Kwa maombi
ya mtoto, wazazi au walezi wanaotambulika
kisheria, watu wengine muhimu kwenye
22 MWONGOZO WA MALEZI MBADALA YA WATOTO

maisha ya mtoto washirikishwe katika yasiyo rasmi kwa ajili ya watoto


mchakato wote wa kufanya maamuzi, kwa waliopoteza malezi ya wazazi. Sera hizo
maagizo ya mamlaka halali. ziandaliwe kwa kufuata taarifa na data nzuri.
Zitoe mchakato wa kuanisha nani ana
66 Nchi zihakikishe kwamba mtoto yeyote jukumu la kumlea mtoto, kwa kuzingatia,
aliyewekwa katika malezi mbadala na wajibu wa wazazi wa mtoto au walezi
mahakama, baraza la hukumu au chombo wakuu kwenye mazingira ya usalama,
cha kiutawala au chombo chochote chenye malezi na maendeleo ya mtoto. Jukumu la
mamlaka, pamoja na wazazi wake au watu kufanya uamuzi ni, labda ionekane
wengine wenye jukumu la kumlea, wazazi vinginevyo, la wazazi au walezi wakuu.
na mtoto wanapata fursa ya kuwakilishwa
mahakamani katika kufanya maamuzi ya 70 Sekta zote za Nchi zinazohusika na
wapi mtoto awekwe, wanaambiwa haki yao kupeleka watoto na kutoa msaada kwa
ya kuwakilishwa na wanasaidiwa kufanya watoto waliopoteza malezi ya wazazi, kwa
hivyo. kushirikiana na asasi za kijamii, zitumie sera
na utaratibu unaochochea kupeana taarifa na
67 Nchi zihakikishe haki ya mtoto yeyote kushirikiana kati ya wakala na mtu mmoja
alioko katika malezi wakati wa kufanya mmoja ili malezi yenye manufaa, msaada
tathmini ya mara kwa mara, ingefaa tathmini baada ya muda wa malezi na ulinzi wa
ifanyike angalau kila baada ya miezi mitatu, watoto hawa upatikane. Ofisi na aina ya
ya kufaa kwa malezi na jinsi mtoto wakala anayehusika na kusimamia malezi
anavyotunzwa, kwa kuzingatia maendeleo mbadala ni lazima zifaamike ili kuongeza
na mahitaji yake yanayobadilika, mambo upatikanaji wake kwa watu wanaohitaji
yanayotokea katika mazingira ya familia huduma zinazotolewa.
yake, na kufaa na ulazima wa malezi
anayopata katika mazingira hayo. Tathmini 71 Mkazo maalumu uelekezwe katika ubora
ifanyike na watu wenye uwezo na wa huduma mbadala inayotolewa katika
waliothibitishwa na iwashirikishe mtoto na vituo vya malezi au mazingira ya kifamilia,
watu wote wanaohusika na maisha yake. hususani mbinu, uchaguzi, mafunzo na
usimamizi wa walezi. Nafasi na majukumu
68 Mtoto aandaliwe kwa mabadiliko yote ya yao ni lazima yaanishwe na yafafanuliwe
mazingira ya malezi yanayotokana na vizuri kulingana na nafasi na majukumu ya
mipango na michakato ya tathmini. wazazi na walezi wanaotambulika kisheria.

VII. UTOAJI WA MALEZI MBADALA 72 Kwenye kila nchi, mamlaka halali


ziandae chapisho linaloonyesha haki za
A. SERA watoto walioko katika malezi mbadala
kulingana na Mwongozo huu. Watoto
69 Ni jukumu la Nchi au ngazi fulani ya wanaopata malezi mbadala wawezeshwe
serikali kuhakikisha inaandaa na kutekeleza kuzifahamu kwa undani kanuni, sheria na
sera zinazoratibiwa kuhusu malezi rasmi na
23

malengo ya sehemu ya kutolea malezi na yapi yanahitaji msaada maalumu au


haki na wajibu wao katika sehemu hiyo. usimamizi.

73 Utoaji wa malezi mbadala uendane na 77 Kama inafaa, mamlaka halali


malengo na madhumuni yaliyoandikwa ya iwahamasishe watoa huduma ya malezi
mtoa huduma ya kutoa huduma na asili ya wasio rasmi wajifahamishe na wahakikishe
wajibu wa mtoa huduma kwa mtoto kwamba wanapata huduma na misaada
inayoakisi viwango vilivyoanishwa na mingine ambayo itawasaidia kumtunza na
Mkataba wa Umoja wa Mataifa kuhusu Haki kumlinda mtoto.
za Mtoto, Mongozo huu na sheria husika.
Watoa huduma wote ni lazima wawe na sifa 78 Serikali zitambue majukumu ya watoa
na wathibitishwe kulingana na sheria huduma ya malezi wasio rasmi.
zinazohusu utoaji wa malezi mbadala.
79 Nchi ziandae hatua maalumu na
74 Utaratibu wa usimamizi uanzishwe ili zinazofaa ili kuwalinda watoto wanaopata
kuhakikisha mchakato wenye viwango wa huduma ya malezi isiyo rasmi dhidi ya
kumpeleka au kumweka mtoto katika malezi udhalilishaji, kuachwa, ajira za watoto, na
mbadala. aina zingine zote za unyonyaji kwa kuweka
mkazo maalumu katika huduma ya malezi
75 Masuala ya kiutamaduni na kidini isiyo rasmi inayotolewa na watu ambao sio
yanayohusu utoaji wa malezi mbadala, ndugu au ndugu ambao mtoto halikuwa
pamoja na yale yanayohusu mitazamo ya hawajui au wanaoishi mbali na makazi ya
kijinsia, yaheshimiwe na yaendelezwe kwa kila siku ya mtoto.
kiwango ambacho yanaendana na haki na
masilahi ya mtoto. Mchakato wa kuamua 2. Viwango vya jumla kuhusu mipango ya
kama masuala hayo yanastahili kukuzwa utoaji wa aina zote rasmi za malezi mbadala
ufanyike kwa njia ya ushirikishaji, kwa
kushirikisha viongozi wa kiutamaduni na 80 Mchakato wa kumweka mtoto kwenye
kidini wanaohusika, wataalamu na watu malezi mbadala ufanyike kwa uangalifu wa
wanaotunza watoto wasiopata malezi ya hali ya juu, bila kumuathiri mtoto, hususani
wazazi, wazazi na washikadau wengine, ufanyike na watu waliopata mafunzo
pamoja na watoto wenyewe. wasiovaa sare.

1. Malezi yasiyo rasmi 81 Mtoto akiwekwa kwenye malezi


mbadala, mawasiliano na familia yake na
76 Ili kuhakikisha kwamba kuna mazingira watu wa karibu kwake kama marafiki,
ya malezi yanayofaa kwenye malezi yasiyo majirani na walezi wa zamani
rasmi yanayotolewa na mtu binafsi au yahamasishwe na yawezeshwe kwa
familia, Nchi zitambue mchango unaotolewa kuzingatia ulinzi na masilahi ya mtoto.
na aina hii ya malezi na kuchukua hatua za Mtoto apate taarifa kuhusu familia yake
kutosha kusaidia utoaji wa malezi bora kwa kama hawana mawasiliano.
kuzingatia tathmini inayoonyesha mazingira
24 MWONGOZO MALEZI MBADALA YA WATOTO

82 Nchi ziweke mkazo maalumu ili JE, SERA YA TAIFA...


kuhakikisha kwamba watoto walioko
kwenye malezi mbadala kutokana na wazazi ...inaweka na kufuatilia viwango vinavyofaa
wao kufungwa au kuwa hospitalini kwa watoa huduma kuhakikisha kwamba
wanapata taarifa kuhusu wazazi wao na mazingira yanafaa kiafya na kiusalama,
wanapata ushauri na msaada kuhusu suala inaweka viwango vya kutosha vya usafi
hilo. vinavyoheshimu haki ya mtoto
kutokuingiliwa?
83 Walezi wahakikishe kwamba watoto
wanapata chakula cha kutosha na chenye ...inawataka watoa huduma ya malezi rasmi
virutubisho kulingana na milo kamili kuhakikisha kwamba walezi wanasifa na
inayopatikana katika mazingira wanayoishi wanapata mafunzo, kwa mfano, kuhusu haki
watoto na viwango vya mlo kamili, na imani za watoto na masuala ya maendeleo ya
za kidini za watoto. Mlo kamili unaofaa na watoto?
waziada utolewe kama ni muhimu kufanya
hivyo. ...inahakikisha kwamba mawasaliano kati ya
mtoto aliye katika malezi mbadala na wazazi
VIWANGO VYA JUMLA (I) wake, wanafamilia wengine, marafiki na
wanajumuiya yanakuwepo?
Mwongozo unatofautisha malezi rasmi na
yasiyo rasmi na unaweka wajibu tofauti ...inabashiri kuhitajika kwa kupambana na
kwa kila aina. Watoa huduma wasio mitazamo ya kijamii na uonevu wa watoto
rasmi wanahimizwa kujitambulisha waliotoka kwenye malezi mbadala na kwa
wenyewe ili wapate misaada ya kijamii ujumla inakemea unyanyasaji katika kupata
yenye manufaa, na malezi rasmi lazima elimu, huduma ya afya na ajira?
yafikie viwango fulani vya jumla.
...inahakikisha kwamba watoa huduma ya
malezi na sehemu zinazotoa huduma
zinaweka usawa unaofaa kati ya kuhitajika
kwa malezi na ulinzi na maendeleo ya
uwezo wa mtoto unaoendelea kukua?
25

84 Walezi waimarishe afya za watoto watoto na watu wengine yahamsishwe na


wanaowatunza na kuweka mazingira mazuri yawezeshwe.
ili kuhakikisha kwamba huduma ya afya,
ushauri na msaada vinapatikana kama 87 Mahitaji ya kiusalama, kiafya na
inavyoelekezwa. kivirutubisho na mengine ya vichanga na
watoto wadogo, pamoja na wale wenye
85 Watoto wapate elimu rasmi na isiyo mahitaji maalumu, yapatikane katika vituo
rasmi na ya ufundi, kulingana na haki zao vyote vya kulelea watoto, ikiwa ni pamoja
kwa kiwango cha juu katika taasisi za elimu na kuwa karibu na mlezi fulani.
zilizoko katika maeneo yao.
88 Watoto waruhusiwe kufanya mambo yao
86 Walezi wahakikishe kwamba haki ya kila ya kidini na maisha ya kiimani, pamoja na
mtoto, pamoja na watoto wenye ulemavu, kutembelewa na mwakilishi wa dini yao
wanaoishi na virusi vya Ukimwi au wenye mwenye sifa, na kuamua kwa uhuru
mahitaji mengine maalumu yeyote, kushiriki ama kutoshiriki huduma za kidini,
wanakuzwa kupitia michezo na aina zingine elimu au ushauri wa kidini. Asili ya kidini
za mapumziko, inaheshimiwa na kwamba ya mtoto iheshimiwe, na hata mtoto mmoja
fursa za shughuli hizo zinapatikana ndani na hasishawishiwe kubadili dini yake akiwa
nje ya eneo la malezi. Mawasiliano kati ya katika kituo cha malezi.
26 MWONGOZO WA MALEZI MBADALA YA WATOTO

89 Watu wazima wote wanaotunza watoto 94 Walezi wote waimarishe na wahamasishe


waheshimu na kuimarisha haki ya mtoto watoto na vijana wadogo kuchagua vitu
kutoingiliwa, ikiwa ni pamoja na kupata ambavyo wanavielewa vizuri, kwa
nyezo zinazofaa za usafi, kuheshimu tofauti kuzingatia athari na umri wa mtoto, na
za kijinsia na mawasiliano, na sehemu ya kulingana na uwezo wa mtoto unaoendelea
kutosha na salama kwa ajili ya kuhifadhi kukua.
mali zao.
95 Nchi, wakala, vituo vya malezi, shule na
90 Walezi wafahamu umuhimu wa nafasi huduma za jamii zichukue hatua zenye
yao katika kuendeleza mahusiano chanya, manufaa kuhakikisha kwamba watoto
sala na yanayowafanya watoto wakue vizuri, walioko katika malezi mbadala hawateswi
na wawe na uwezo wa kufanya hivyo. wakiwa katika malezi au baada ya
kuondoka. Hii ijumuishe jitihada za
91 Malazi katika sehemu zote za huduma ya kupunguza uwezekano wa mtoto
malezi yafikie viwango ya afya na usalama. kutambulika kwamba anaishi katika malezi
mbadala.
92 Kwa kupitia mamlaka zao halali Nchi
zihakikishe kwamba malazi yanayotolewa 96 Hatua zote za kurekebisha tabia ambazo
katika malezi mbadala, na usimamizi wao zinahusisha mateso, ukatili au adhabu za
katika sehemu hizo, yanawezesha mtoto kizalilishaji, pamoja na mtoto kuwekwa
kulindwa dhidi ya udhalilishaji. Mkazo chini ya ulinzi mkali peke yake au aina
maalumu uelekezwe kwenye umri, uwezo nyingine yeyote ya vurugu za kimwili au
wa kiakili na kiwango cha uwezekano wa kisaikolojia ambazo zinaweza kuathiri afya
kila mtoto kuathirika katika kufanya ya mtoto kimwili au kiakili, zipigwe
maamuzi ya wapi aishi. Hatua za marufuku kulingana na sheria ya kimataifa
kuhakikisha kwamba mtoto anayepata ya haki za binadamu. Nchi zichukue
huduma ya malezi analindwa ziendane na tahadhari zote za lazima kuzuia vitendo
sheria na zisiwanyime watoto uhuru wao hivyo na kuhakikisha kwamba mtu
bila sababu za msingi ukilinganisha na anayefanya hivyo anaadhibiwa kisheria.
watoto wa umri wao wanaoishi katika jamii Mtoto hasinyimwe ruhusa kuonana na
yao. familia yake au watu wa karibu kwake kama
adhabu.
93 Sehemu zote za huduma ya malezi
zihakikishe kwamba watoto wanalindwa 97 Nguvu na vizuizi vya aina yeyote ile
dhidi ya kutekwa, kusafirishwa nje ya nchi visiruhisiwe isipokuwa tu kama ni lazima
kibiashara au aina zingine zote za unyonyaji. kulinda hadhi ya mtoto au mtu mwingine
Kunyimwa uhuru wao au shughuli zao kimwili au kisaikolojia, kulingana na sheria
kufanyike tu kwa kiwango ambacho ni na kwa njia nzuri na inayofaa kwa
muhimu kuhakikisha kwamba mtoto kuheshimu haki za msingi za mtoto.
analindwa kwa kina dhidi ya vitendo hivyo. Kuadhibu kwa kutumia dawa kufanyike
27

kulingana na mahitaji ya kimatibabu na


kusifanywe bila kutathminiwa na kuagizwa
na mtaalamu.

VIWANGO VYA JUMLA (II)

JE, SERA YA TAIFA...

...inakataza na kuadhibu aina zote za vurugu


dhidi ya watoto walioko katika malezi
mbadala, na kuwataka watoa huduma ya
malezi kuhakikisha kwamba wanatoa
mafunzo na kukuza ufahamu wa walezi?
98 Watoto walioko kwenye malezi mbadala
...inawataka watoa huduma ya malezi wawe na mtu wanayemwamini ili
kuhakikisha kwamba kuna utaratibu wa wamwambie mambo yao ya siri. Mtu huyo
kuweka kumbukumbu na kushughulikia achaguliwe na mamlaka halali na mtoto
vitendo vya vurugu dhidi ya watoto walioko husika aridhie uchaguzi huo. Mtoto
katika malezi mbadala na uwajibikaji? aambiwe kwamba kanuni za kisheria au
kimaadili zinaweza kuingilia usiri huo
...inawataka watoa huduma ya malezi katika mazingira fulani.
kuhakikisha kwamba walezi wanapata
mafunzo ya mbinu za kutoa adhabu ambazo 99 Watoto walioko katika malezi mbadala
hazihusishi vurugu na matumizi ya adhabu wapate njia inayofahamika, inayofaa na
za kimwili zenye manufaa kama ni lazima iliyokamilika ya kutoa malalamiko au maoni
kufanya hivyo? yao kuhusu vitendo wanavyofanyiwa au
mazingira ya sehemu wanayoishi. Njia hizo
...inasisitiza wajibu wa kuweka zijumuishe mawasiliano ya awali, majibu,
kumbukumbu ya adhabu za kimwili na utekelezaji na mawasiliano ya ziada. Vijana
kuhitajika kwa watoa huduma kushughulikia wadogo ambao wamewahi kuishi katika
vizuri na kufuatilia matukio hayo? malezi mbadala washirikishwe kwenye
mchakato huu, na maoni yao yapewe uzito
...inatoa utaratibu wa udhibiti kuhakikisha unaostahili. Mchakato huu uendeshwe na
kwamba kuna utaratibu wa uwazi na kamili wato halali ambao wamepata mafunzo ya
wa kutoa malalamiko na usimamizi huru wa kufanya kazi na watoto na vijana wadogo.
mfumo huo?
100 Ili kuimarisha hali ya mtoto kujitambua,
...inahakikisha kwamba watoa huduma ya kiwepo kitabu chenye taarifa muhimu,
malezi wanamsaidia mtoto anayetoa picha, vitu binafsi na kumbukumbu kuhusu
malalamiko kwa, kwa mfano, kumpatia mtu kila hatua ya maisha ya mtoto kwa
anayeaminika kipindi chote cha mchakato kumshirikisha mtoto na mtoto aweze
wa kutoa malalamiko? kukitumia kipindi chote cha maisha yake.
28 MWONGOZO WA MALEZI MBADALA YA WATOTO

B. MAJUKUMU YA KISHERIA KWA (a) Kuhakikisha kwamba haki za mtoto


MTOTO zinalindwa na, hususani, kwamba mtoto
anapata malezi yenye manufaa, malazi,
101 Katika mazingira ambayo wazazi wa huduma ya afya, fursa za maendeleo,
mtoto hawapo au hawawezi kufanya masaada wa kisaikolojia na kijamii, kielimu
maamuzi kwa manufaa ya mtoto, na ambapo na lugha;
mtoto amewekwa kwenye malezi mbadala (b) Kuhakikisha kwamba mtoto anapata
kwa maagizo ya chombo halali cha uwakilishi wa kisheria na wa aina nyingine
kiutawala au mamlaka ya kimahakama, mtu kama ni muhimu, kumshirikisha mtoto ili
maalumu au chombo halali kipewe haki na maoni yake yazingatiwe na mamlaka
jukumu la kisheria la kufanya maamuzi kwa zinazofanya maamuzi, kumshauri na
niaba ya wazazi wa mtoto na kwa kumweleza mtoto haki zake;
kumshirikisha mtoto. Nchi zihakikishe (c) Kuchangia katika kuanisha njia nzuri ya
kwamba kuna utaratibu wa kumpata mtu au kutatua tatizo kwa masilahi ya mtoto;
chombo hicho. (d) Kutengeneza mahusiano kati ya mtoto na
asasi mbalimbali ambazo zinaweza kutoa
102 Majukumu hayo ya kisheria yatolewe na huduma kwa mtoto;
kusimamiwa na mamlaka halali au vyombo (e) Kumsaidia mtoto kuitafuta familia yake;
halali vilivyothibitishwa, pamoja na asasi (f) Kuhakikisha kwamba, kama mtoto
zisizo za kiserikali. Uwajibikaji wa mtu au anarudishwa kwao au anaungana na familia
chombo husika uwe mikononi mwa yake, kitendo hicho kinafanywa kwa
mamlaka yaliyompa majukumu mtu huyo au manufaa ya mtoto;
chombo hicho. (g) Kumsaidia mtoto kuwa na mawasiliano
na familia yake kama inafaa.
103 Watu wanaotekeleza majukumu hayo ni
lazima wawe watu wanaoheshimika na 1. Wakala na vituo vinavyotoa malezi rasmi
wenye ufahamu wa kutosha kuhusu masuala
ya watoto, uwezo wa kufanya kazi moja kwa 105 Sheria ielekeze kwamba wakala na
moja na watoto na uelewa wa mahitaji vituo vyote lazima visajiriwe na
yeyote maalumu na ya kiutamaduni ya vithibitishwe kutoa huduma na ustawi wa
watoto atakaopewa. Wapewe mafunzo ya jamii au mamlaka nyingine halali, na
kufaa na msaada wa kitaalamu ili kutekeleza kwamba kutofuata sheria hiyo ni kosa
majukumu yao. Wawe na uwezo wa kufanya kisheria. Uthibitishaji ufanyike na
maamuzi huru na kamili ambayo yako kwa utathminiwe mara kwa mara na mamlaka
manufaa ya mtoto husika na yanayoimarisha halali kwa kuzingatia vigezo vizuri,
na kulinda ustawi wa kila mtoto. ambavyo kwa kiwango cha chini,
vinaangalia madhumuni ya wakala au kituo,
104 Nafasi na wajibu wa mtu au chombo utendaji wake, wafanyakazi na sifa zao,
kilichopewa majukumu ujumuishe mambo mazingira ya malezi na rasilimali fedha na
yafuatayo: usimamizi.
29

106 Wakala na vituo vyote viwe na sera na Kumbukumbu hizi zitunzwe muda wote
matamko ya kiutandaji yanayoendana na ambao mtoto atakuwepo kwenye malezi
Mwongozo huu, yanayoonyesha malengo, mbadala na zitumiwe na wataalamu
sera, njia na viwango vinavyotumika waliothibitishwa na wanaohusika na malezi
kuajiri, kufuatilia, kusimamia na kukagua yake.
walezi wenye sifa ili kuhakikisha kwamba
malengo hayo yanafikiwa. 111 Mtoto na wazazi au walezi wanaweza
kupewa kumbukumbu zilizotajwa hapo juu
107 Wakala na vituo vyote vitengeneze kulingana na haki ya mtoto ya kutoingiliwa
kanuni za maadili za wafanyakazi ambazo na usiri, kadiri inavyofaa. Ushauri nasaha
zinaendana na Mwongozo huu, zinazoelezea unaofaa utolewe kabla, wakati na baada ya
kazi za kila mtaalamu, hususani walezi, na kuzipitia kumbukumbu hizo.
zionyeshe utaratibu wa kutoa malalamiko
kuhusu vitendo vya uovu vya mfanyakazi WAKALA, VITUO VYA MALEZI &
yeyote. WALEZI

108 Kugharamia malezi kusifanyike kwa Mwongozo unatoa utaratibu wa


lengo la kumweka mtoto katika kituo cha kiudhibiti unaosisitiza wajibu wa Nchi
malezi bila sababu za msingi au kurefusha kuthibitisha, kufuatilia na kuwawajibisha
muda wa mtoto kupata huduma ya malezi watoa huduma, vituo vya malezi na
inayopangwa au kutolewa na wakala au walezi binafsi.
kituo.

109 Taarifa za kutosha na za wakati


zinazohusu malezi mbadala anayopata mtoto
zitunzwe, pamoja na taarifa za kina kuhusu
watoto wanaolelewa, wafanyakazi na
mapatano ya kifedha.

110 Taarifa kuhusu watoto waliopo kituoni


ziwe kamili, za wakati, ziwekwe kwa usiri
na usalama, na zijumuishe taarifa za muda JE, SERA YA TAIFA...
wa watoto kupokelewa na kuondoka kituoni,
muundo na maelezo ya kina kuhusu malezi ...inataka uthibitishaji wa watoa huduma za
anayopata kila mtoto, pamoja na aina yeyote malezi na vituo vya malezi, pamoja na
ya utambulisho sahihi na taarifa zingine uwasilishaji wa sera za kuajiri wafanyakazi,
binafsi. Taarifa kuhusu familia ya mtoto mwenendo na ufuatiliaji, viwango vya
ziwekwe kwenye jalada lake na kwenye malezi yanayotolewa na taratibu za kutoa
ripoti za tathmini za mara kwa mara. taarifa kuhusu makosa ya kinidhamu?
30 MWONGOZO WA MALEZI MBADALA YA WATOTO

...inawataka watoa huduma ya malezi


kuhakikisha wanatunza kumbukumbu za wa
wakati na kwa usiri na kumwezesha mtoto
kuzipata kumbukumbu hizo akizihitaji?

...inaweka viwango vya chini vya kuajiri ili


kuhakikisha mazingira mazuri ya kazi,
mishahara inayokidhi, na kwa hiyo kuwatia
hamasa walezi na wafanyakazi wengine
kuendelea kubaki kazini?

...inaweka vigezo kuhakikisha kwamba


JE, SERA YA TAIFA...
watoa huduma ya malezi wanazingatia
viwango vizuri vya kutoa malezi kwa walezi ...inaweka ajenda inayosaidia kuendeleza,
kujiendeleza kitaaluma na kuwapatia kuhamasisha, kusaidia na kukuza
mafunzo juu ya masuala mahususi, kwa upatikanaji na utumiaji wa malezi
mfano, kuifahamu sheria ya ulinzi wa mtoto, yatolewayo na watu ambao siyo wazazi wa
haki za watoto, matumizi sahihi ya vizuizi, damu wa mtoto na aina nyingine za malezi
masuala ya maendeleo ya mtoto na ya ya kifamilia?
watoto wenye mahitaji maalumu?
...inahakikisha mwamba mfumo wa malezi
yanayotolewa na wazazi ambao siyo wa
damu unaendelezwa kulingana na mahitaji
AINA MBALIMBALI ZA MALEZI
ya jamii na mfumo huo unakuwa wa
Kuheshimu kanuni za ulazima na kufaa kijamii?
pamoja na uhitaji wa kufanya maamuzi
...inaruhusu mazungumzo yenye manufaa na
kwa suala moja moja kunapelekea
wazazi ambao siyo wa damu na asasi
kuwepo kwa majadiliano kuhusu
zinazotoa malezi ya aina hii kutengeza na
kuhitajika kwa aina mbalimbali za malezi
kushawishi sera zenye manufaa?
mbadala ili kutoa fursa ya kufanya
uchaguzi. ...inahakikisha kwamba vituo vya malezi
vinatoa huduma bora ya malezi kwa kila
mtoto, kwenye makundi madogo madogo,
na vina wafanyakazi wa kutosha na wenye
sifa ili kutoa huduma za malezi zenye
viwango?
31

...inatoa ulinzi wa kutosha ili kuhakikisha 116 Walezi walioajiriwa na wakala na vituo
kuwa malezi katika vituo yanatolewa pale tu vya malezi wapatiwe mafunzo juu ya njia
inapobidi, na kwamba juhudi za watoa nzuri za kukabiliana na changamoto za
huduma kuwaweka watoto katika vituo ili, kitabia, zikiwemo njia za kutatua migogoro
kwa mfano, kujipatia fedha, zinapigwa na za kuzuia vitendo vyenye madhara kwa
marufuku? watu wengine na mtu binafsi.

112 Vituo vyote vya malezi viwe na sera 117 Wakala na vituo vya malezi vihakikishe
nzuri itakayodumisha usiri wa taarifa za kila kwamba, pale inapofaa, walezi
mtoto, sera ambayo walezi wote wanaijua na wanaandaliwa ili wakabiliane na watoto
kuifuata. wenye mahitaji maalumu, hasa wale
wanaoishi na virusi vya Ukimwi au
113 Ni vizuri kwa wakala na vituo vyote vya magonjwa mengine ya kudumu ya kimwili
malezi kuhakikisha kwamba, kabla ya au kiakili na watoto wenye ulemavu.
kuajiri walezi na wafanyakazi wengine
wanaohudumia watoto, kutathmini kwa kina 2 Malezi ya wazazi wasiokuwa wa damu
kufaa na uwezo wao wa kuwatunza watoto.
118 Mamlaka halali au wakala watengeneze
114 Mazingira ya kazi, ikiwemo mishahara mfumo, na watoe mafunzo kwa
ya walezi inayolipwa na wakala na vituo vya wafanyakazi, ili watathmini na kulinganisha
malezi, yatoe motisha, yawe ya kuridhisha mahitaji ya mtoto na uwezo na rasilimali za
na endelevu ili wafanyakazi watekeleze wazazi tarajiwa wasiokuwa wadamu na
majukumu yao kwa kiwango cha juu. kuwaandaa wote wanaohusika na mchakato
wa kumweka mtoto katika malezi hayo.
115 Mafunzo kuhusu haki za watoto
waliopoteza malezi ya wazazi na kuhusu 119 Katika kila eneo, uanishaji wa walezi
madhara wanayoweza kuyapata, hususani wasio wa damu wenye uwezo wa kuwalea
wale wanaoishi katika mazingira magumu, na kuwalinda watoto na kuendeleza
kama katika vituo vya malezi vya dharura au mahusiano na familia, jumuiya na kikundi
nje ya mazingira wanayoishi kila siku cha utamaduni, ufanyike.
yatolewe. Walezi pia wapate mafunzo
kuhusu masuala ya kitamaduni, kijamii, 120 Maandalizi maalumu, msaada na
kijinsia na kidini. Nchi zitoe rasilimali za huduma za ushauri nasaha kwa ajili ya
kutosha na njia za kuwatambua wataalamu walezi hao zitengenezwe na zitolewe kwa
hawa ili watekeleze kanuni hizi. walezi wote mara kwa mara, kabla, wakati
na baada ya kumweka mtoto katika malezi.

121 Walezi walioko ndani ya wakala wa


malezi na mifumo mingine wawahudumie
32 MWONGOZO WA MALEZI MBADALA YA WATOTO

watoto waliopoteza malezi ya wazazi ili kumpatia mtoto fursa ya kuwa karibu na
wapate fursa ya kuzifanya sauti zao zisikike mlezi fulani. Walezi wawekwe katika vituo
na kutoa maoni yao katika kutengeneza sera. vya malezi ili watekeleze kikamilifu nia na
malengo ya vituo ya kuhakikisha kwamba
122 Wazazi wasiokuwa wa damu mtoto yuko salama.
wahamasishwe kuanzisha vyama vya walezi
ili waweze kusaidiana katika utendaji na 127 Sheria, sera na kanuni zipige marufuku
kutengeneza sera. ushawishi wa kuwaweka watoto katika vituo
vya malezi unaofanywa na wakala, vituo na
C. Vituo vya malezi mtu binafsi.
123 Vituo vinavyotoa huduma ya malezi D. Ukaguzi na Ufuatiliaji
lazima viwe vidogo na vizingatie haki na
mahitaji ya mtoto, katika mfumo ambao 128 Wakala, vituo na wataalamu wa
unafanana sana na wa kifamilia au huduma ya malezi wawajibike kwa
mazingira ya kikundi kidogo. Lengo lake mamlaka halali ambayo inapaswa
kwa ujumla liwe ni kumpatia mtoto malezi kuhakikisha kwamba, pamoja na mambo
ya muda na kuchangia kikamilifu katika mengine, ukaguzi wa mara kwa mara
kumuunganisha na familia yake, au kama uliopangwa na wa kushtukiza unafanyika,
haiwezekani kufanya hivyo, kumpatia ukihusisha ukaguzi na majadiliano na
malezi mbadala bora kwenye familia wafanyakazi na watoto.
nyingine, kwa kumuasili au kumtoa kafala
kwa mujibu wa sheria ya Kiislam pale 129 Kwa kiwango kinachowezekana na
inapofaa. kinachofaa, ukaguzi uwe na sehemu ya
mafunzo na kujenga uwezo wa walezi.
124 Hatua zichukuliwe, ili pale inapobidi na
inapofaa, mtoto anayehitaji ulinzi na malezi 130 Nchi zihakikishe kwamba mfumo huru
wa ufuatiliaji unakuwepo, kwa kuzingatia
mbadala tu awekwe mahali tofauti na watoto uwezo wa taasisi za kitaifa kukuza na
waliofanya makosa ya jinai. kulinda haki za binadamu (Kanuni za Paris).
Mfumo wa ufuatiliaji ufikiwe kirahisi na
125 Mamlaka halali za kitaifa au za ngazi za watoto, wazazi na watu wenye jukumu la
mitaa zitengeneze utaratibu mzuri wa kulea watoto waliopoteza malezi ya wazazi
mchujo ili kuhakikisha watoto wanawekwa wao. Kazi za mfumo wa ufuatiliaji
katika malezi mbadala kwa utaratibu mzuri. zijumuishe:
(a) Kuzungumza kwa usiri na watoto walio
126 Nchi zihakikishe kwamba vituo vya katika aina zote za malezi mbadala,
malezi vina walezi wa kutosha ili kuwepo kutembelea vituo wanavyoishi na kufanya
uangalizi wa karibu na, inapowezekana, uchunguzi juu ya madai ya uvunjifu wa haki
za binadamu katika vituo hivyo, kwa
33

kuletewa malalamiko au kwa kuanzisha (c) Kuandaa na kuwasilisha mapendekezo


uchunguzi; na maoni kuhusu rasimu ya sheria;
(b) Kupendekeza sera mahsusi kwa (d) Kuchangia kwa uhuru katika kutoa
mamlaka husika kwa lengo la kuboresha hali taarifa kulingana na Mkataba wa Haki za
za watoto waliopoteza malezi ya wazazi na Mtoto, pamoja na kuchangia taarifa kwenye
kuhakikisha kwamba huduma inayozingatia
ripoti za vipindi za Nchi zinazopelekwa
matokeo ya tafiti kuhusu ulinzi, afya,
maendeleo na malezi ya mtoto; kwenye Kamati ya Haki za Mtoto kuhusu
utekelezaji wa Mwongozo huu.

MAANDALIZI & MSAADA KWA ...inawataka watoa huduma ya malezi


AJILI YA MAISHA YA BAADAYE kuhakikisha kwamba watoto wanaojiandaa
kuondoka katika vituo vya malezi wanapata
Kwa kutambua changamoto nyingi elimu rasmi na ya ufundi, mafunzo ya stadi
zinazowakabili vijana wengi za maisha, pamoja na fursa nyingine
wanaoondoka kwenye vituo vya malezi, zinazoendana na matamanio yao ya maisha
Mwongozo unatoa utaratibu saidizi ili yao ya baadaye?
vijana waendelee kupata msaada baada
ya kuondoka katika vituo vya malezi. ...inahakikisha upatikanaji wa rasilimali
maalumu, kwa mfano, mtu aliyejitoa
kuwaongoza na kuwashauri watoto
wanapojiandaa kuondoka kwenye malezi
mbadala na baada ya kuondoka?

...inaunga mkono umuhimu wa malezi


mbadala kuwa na sera inayowaruhusu wale
wanaoondoka, kwa mfano, kutembelea na
kuendelea kuwa na mawasiliano na walezi
wao wa zamani kama chanzo cha msaada
wa ziada?

JE, SERA YA TAIFA... E. Msaada baada ya muda wa malezi


kumalizika
...inatambua umuhimu wa kuwa na mipango
ya kuwaandaa vijana mapema kuondoka 131 Wakala na vituo viwe na sera nzuri na
katika vituo vya malezi, iliyoandaliwa kwa vifuate utaratibu uliokubalika kuhusu ukomo
kushauriana na mtoto? wa kazi zao uliopangwa au usiopangwa na
watoto ili kuhakikisha kwamba malezi
34 MWONGOZO WA MALEZI MBADALA YA WATOTO

muafaka ya baadaye na ufuatiliaji 135 Fursa endelevu za elimu na mafunzo ya


yanapatikana. Muda wote wa malezi, wakala ufundi stadi zitolewe kwa vijana kama
na vituo vihakikishe kwamba vinawaaanda sehemu ya elimu ya stadi za maisha
watoto kuanza maisha ya kujitegemea na inayotolewa kwa vijana wadogo kuwasaidia
kuwarudisha katika jamii, kwa mfano, kwa wajitegemee kiuchumi na wajipatie kipato.
kupata stadi za maisha zinazopatikana kwa
kushiriki katika maisha ya kila siku ya jamii 136 Huduma za kijamii, kisheria na kiafya,
husika. pamoja na msaada muafaka wa kifedha,
zitolewe kwa vijana wanaoondoka vituo vya
132 Mchakato wa kuondoka katika malezi malezi na baadaye katika maisha yao.
mbadala kuelekea kwenye maisha ya
baadaye uzingatie jinsia, umri, uwezo wa VIII. UTOAJI WA HUDUMA YA
kiakiri pamoja na mazingira husika na MALEZI KWA WATOTO NJE YA NCHI
ujumuishe msaada na ushauri ili kuepusha YAO
unyonyaji. Watoto wanaojiandaa kuondoka A. KUMCHUKUA MTOTO ILI APATE
kwenye malezi wahamasishwe kupanga HUDUMA YA MALEZI NJE YA NCHI
maisha yao ya baadaye. Watoto wenye
mahitaji maalumu, kama vile walemavu, 137 Mwongozo wa sasa utumiwe na taasisi
wanufaike na mfumo unaofaa wa msaada, ili zote za umma na binafsi na watu wote
kuhakikisha kwamba, pamoja na mambo wanaohusika katika mipango ya kumpeleka
mengine, vituo vya malezi haviwi taasisi. mtoto nje ya nchi yake, kwa matibabu,
Sekta za umma na za binafsi zihamasishwe, makazi ya muda, mapumziko au kwa sababu
ikiwa ni pamoja na kuwapa motisha, kuajiri nyingine yeyote.
watoto kutoka sehemu tofauti za malezi,
138 Nchi husika zihakikishe kwamba
hususani watoto wenye mahitaji maalumu.
zinateua chombo chenye wajibu wa
133 Jitihada maalumu zifanyike kumpatia kuanisha viwango maalumu vinavyopaswa
kila mtoto, inapowezekana, mtu maalumu kufikiwa, hususani, vigezo vya kuchagua
anayeweza kumwandaa ili ajitegemee baada walezi katika nchi ambayo mtoto
ya kuondoka kwenye kituo cha malezi. anapelekwa na ubora wa malezi na
ufuatiliaji, na vya kusimamia na kufuatilia
134 Malezi ya baadaye yaandaliwe mapema mipango hiyo.
iwezekanavyo na, kwa namna yeyote ile,
kabla mtoto hajaondoka katika kituo cha 139 Ili kuhakikisha ushirikiano mzuri wa
malezi. kimataifa na usalama wa mtoto katika
mazingira hayo, Nchi zinahamasishwa
kukubali au kuridhia Mkataba wa Kimahaka
wa The Hague, Kuitambua na Kuitekeleza
35

Sheria Husika na Kushirikiana katika ...inawaruhusu wakala na idara husika, kwa


masuala ya Wajibu wa Kimalezi na Hatua za mfano uhamiaji, ustawi wa jamii na jeshi la
Kumlinda Mtoto, wa Oktoba 19, 1996. polisi, kufanya kazi pamoja?

B. UTOAJI HUDUMA YA MALEZI KWA ...inaruhusu uteuzi wa mtu au wakala


MTOTO ALIYE NJE YA NCHI kumwakilisha na kumsaidia mtoto katika
michakato ya kufanya maamuzi kuhusu
140 Mwongozo wa sasa na kanuni zingine malezi na/au uhamiaji?
za kimataifa zitumiwe na taasisi zote za
umma na binfsi na watu wote wanaohusika ...inahakikisha kuwa aina ya malezi mbadala
katika kupanga malezi ya mtoto akiwa nje inayotolewa kwa watoto walio nje ya nchi
ya nchi yake kwa sababu yeyote ile. yao ni sahihi na inaheshimu mila, utamaduni
na dini ya mtoto?
141 Watoto wapweke au waliotengwa lakini
wako nje ya nchi wapate ulinzi na malezi ...inahakikisha, kwa njia za kidiplomasia au
sawa na yale wanayopata watoto za kiuchunguzi, kwamba tathmini za athari
waliozaliwa katika nchi husika. zinafanyika kabla mtoto yeyote
hajarudishwa nchini kwake au
WATOTO WALIO NJE YA NCHI hajaunganishwa na familia yake?
Mwongozo huu unasisistiza kuwa watoto ...inatoa ulinzi wa kutosha kuhakikisha
walio nje ya nchi yao wapate ulinzi na kwamba jitihada zote zinafanyika ili
malezi sawa na yale wanayopata watoto kumuunganisha mtoto na wazazi, ndugu au
waliozaliwa katika nchi husika. walezi wake wa muda mrefu, kabla fumbuzi
zingine zozote za kudumu, kama vile kuasili
mtoto, hazijachukuliwa?

142 Katika kuanisha malezi muafaka, tofauti


za watoto wapweke au waliotengwa (kama
za kikabila, kihamiaji, kitamaduni au kidini)
zizingatiwe kwa mtu mmoja mmoja.
JE, SERA YA TAIFA...
143 Watoto wapweke na waliotengwa,
...inahakikisha kwamba maafisa uhamiaji
wanapata mafunzo ya kutosha ili pamoja na wale wanoingia katika nchi fulani
kwa njia zisizo halali, wasinyimwe uhuru
washughulikie mahitaji ya watoto walio nje
wao kwa sababu wamevunja sheria yeyote
ya nchi zao kwa uangalifu unaohitajika?
inayohusu kuingia na kuishi katika nchi
husika.
36 MWONGOZO WA MALEZI MBADALA YA WATOTO

144 Watoto ambao ni wahanga wa biashara ndugu, mlezi ambaye ni mtu mzima, wakala
haramu ya kusafirisha watu nje ya nchi wa Serikali au wakala aliyethibitishwa au
wasiwekwe rumande au wasiadhibiwe kwa kituo cha malezi katika nchi aliyetoka
kushurutishwa kufanya vitendo haramu. kimekubali na kinaweza kumpatia mtoto
malezi mazuri na ulinzi;
145 Mara tu baada ya mtoto mpweke (c) Kama, kwa sababu zingine, uamuzi wa
kutambuliwa, Nchi zinahimizwa kuteua kumrudisha mtoto hauna manufaa kwa
mtoto, kulingana na tathmini iliyofanywa na
mlezi, au ikibidi, mwakilishi wa shirika
mamlaka halali.
linalohusika na malezi na ustawi wa mtoto
ili awe na mtoto kipindi chote cha mchakato 149 Kwa kuzingatia malengo hayo hapo juu,
wa kuanisha hadhi yake na kufanya ushirikiano kati ya Nchi, mikoa, serikali za
maamuzi. mitaa na asasi za kijamii ukuzwe na
uimarishwe.
146 Mara tu baada ya mtoto mpweke au
aliyetengwa kuwekwa katika sehemu ya 150 Ushirikishaji wa huduma za kibalozi, au
malezi, jitihada zifanyike kutafuta familia inaposhindikana kufanya hivyo, wawakilishi
yake na kuanzisha tena mahusiano kati ya wa kisheria wa nchi aliyozaliwa mtoto
familia na mtoto, kama tu haya yote watafutwe kabla, ikiwa kufanya hivyo kuna
yanafanyika kwa masilahi ya mtoto na kama masilahi kwa mtoto au familia yake.
hayawadhuru wahusika.
151 Wale wanaohusika na ustawi wa mtoto
147 Ili kusaidia kupanga maisha ya baadaye mpweke au aliyetengwa wahakikishe mtoto
ya mtoto mpweke au aliyetengwa kwa na familia yake wanawasiliana mara kwa
namna ambayo inalinda haki zake, mamlaka mara, isipokuwa pale inapokuwa ni kinyume
halali za Nchi na huduma ya jamii zifanye na matakwa ya mtoto au ni dhahiri kwamba
jitihada za kupata nyaraka na taarifa ili ni kinyume na masilahi ya mtoto.
kufanya tathmini ya madhara yanayoweza
kumpata mtoto pamoja na hali ya familia 152 Kumuasili au kumtoa kafala mtoto
yake katika nchi yao. kulingana na sheria ya Kiislamu siyo uamuzi
sahihi kufanyika awali kwa mtoto mpweke
148 Mtoto mpweke au aliyetengwa au aliyetengwa. Nchi zinashauriwa kufanya
hasirudishwe nchini kwake: hivi ikiwa tu jitihada za kufahamu waliko
(a) Kama, baada ya kufanya tathmini ya
wazazi wake, jamaa zake au walezi wa
athari na usalama, kuna kila sababu ya
kuamini kwamba ulinzi na usalama wa kudumu zimeshindikana.
mtoto uko hatarini;
(b) Isipokuwa kama, kabla ya kumrudisha
mtoto, mlezi anayefaa, kama vile mzazi,
37

IX. MALEZI KATIKA MAZINGIRA YA katika mazingira yaliyoelezwa katika aya ya


DHARURA 160 hapo chini;
(f) Kufanya jitihada za ushirikiano katika
A. MATUMIZI YA MWONGOZO kuitafuta familia na kumuunganisha mtoto
153 Mwongozo huu utumike katika na familia kuwa za lazima.
mazingira ya dharura yatokanayo na Kuzuia kutengana
matukio ya asili au ya kibinadamu kama vita
kati ya taifa moja na jingine au vita vya 155 Mashirika na mamlaka zifanye kila
wenyewe kwa wenyewe na uvamizi wa jitihada kuzuia kutengana kwa watoto na
mataifa ya nje. Watu binafsi na mashirika wazazi au walezi wao wakuu, isipokuwa
ambayo yangependa kuwasaidia watoto kama masilahi ya mtoto yanahitaji kufanya
waliopoteza malezi ya wazazi katika hivyo na kuhakikisha kwamba vitendo vyao
mazingira ya dharura wanashauriwa kufanya havisababishi kwa bahati mbaya familia na
hivyo kwa kuzingatia Mwongozo huu. watoto kutengana kwa kutoa huduma na
misaada kwa watoto peke yao badala ya
154 Katika mazingira hayo, Nchi au kufanya hivyo kwa familia.
mamlaka halali katika kanda husika,
jumuiya ya kimataifa na wakala wote wa 156 Utengano unaosababishwa na wazazi
ndani ya nchi, wa kigeni na wa kimataifa wa mtoto au walezi wake wakuu uepushwe
wanaotoa au wanaodhamiria kutoa huduma kwa:
zinazomlenga mtoto wazingatie mambo (a) Kuhakikisha kwamba kaya zote zinapata
yafuatayo: chakula, madawa pamoja na huduma zingine
(a) Kuhakikisha kwamba taasisi na watu kama elimu;
wote wanaohudumia watoto wapweke au (b) Kukataza uanzishaji wa vituo vya malezi
waliotengwa wana uzoefu wa kutosha, na kuruhusu tu katika mazingira ambayo ni
wamepata mafunzo, wana rasilimali na
lazima kufanya hivyo.
vitendea kazi vya kutosha ili wafanye kazi
vizuri;
B. MIPANGO YA KUTOA HUDUMA YA
(b) Kutengeneza, kama ni lazima, malezi ya
kifamilia ya muda mfupi na muda mrefu; MALEZI
(c) Kutumia malezi ya makazi kama ni hatua
157 Jamii zisaidiwe kufuatilia kikamilifu na
ya muda mfupi mpaka malezi ya kifamilia
yatakapoanzishwa; kushughulikia masuala ya malezi na ulinzi
(d) Kukataza uanzishaji wa vituo vipya ili ambayo watoto wanakumbana nayo.
kutoa malezi sambamba kwa kundi kubwa la
watoto kwa kudumu au kwa muda mrefu; WATOTO WALIO KATIKA
(e) Kuzuia watoto kupatiwa huduma ya MAZINGIRA YA DHARURA
malezi nje ya mipaka ya nchi zao, isipokuwa
Mwongozo huu utumike katika mazingira
yote ya dharura na lengo kuu la kutafuta
watoto na kuwaunganisha tena na familia
38 MWONGOZO WA MALEZI MBADALA YA WATOTO

zao kwa kiwango kinachowezekana kabla ...inatoa ulinzi wa kutosha ili kuhakikisha
ya kuchukua ufumbuzi mwingine wowote kwamba jitihada zote za kuwaunganisha
wa kudumu lisisitizwe. watoto na familia zao zimefanyika, kabla
fumbuzi zingine za kudumu, kama vile
kuasili, hazijatafutwa?

158 Malezi katika jamii ya mtoto, ikiwa ni


pamoja na malezi ya wazazi wasio wa damu,
yahamasishwe kwani yanatoa mwendelezo
wa mtoto kua sehemu ya jamii na
maendeleo yake.

159 Kwa sababu watoto wapweke au


waliotengwa wanaweza kuwa hatarini
kunyanyaswa na kunyonywa, ufuatiliaji na
msaada maalumu wa malezi uanishwe
mapema ili watoto wawe salama.
JE, SERA YA TAIFA...
160 Watoto walio katika mazingira ya
...inawataka wakala wa ndani ya nchi na wa dharura wasipelekwe kwenye nchi zingine
kimataifa wanaotoa msaada wa dharura ili wapatiwe malezi mbadala isipokuwa kwa
kuwa na sera bayana zinazohusu utoaji wa muda na kwa sababu za kiafya, kimatibabu
huduma kamili kwa familia na jamii pamoja au za kiusalama. Ikitokea hivyo, nchi hiyo
na malezi na ulinzi wa lazima kwa mtoto? iwe ya karibu na nchi zao na lazima wawe
...inahakikisha kwamba unakuwepo na mzazi au mlezi wanayemjua, na mipango
usimamizi wa Nchi katika kusajiri watoto mizuri ya kuwarudisha kwao ianze.
waliotengwa ili kuhakikisha kwamba taarifa 161 Kama haiwezekani kumuunganisha
zinazokusanywa zinatunzwa kwa usiri, mtoto na familia yake au kama kufanya
usalama na zinatumika kwa lengo la hivyo kunakinzana na masilahi ya mtoto,
kumuunganisha mtoto na familia yake? fumbuzi madhubuti na za uhakika, kama
...inahakikisha utengenezaji wa aina vile kusaili au kafala ya sheria ya Kiislamu
mbalimbali za malezi ya kijumuiya zifikiriwe. Kama haiwezekani kufanya
zinazofaa na zinazoweza kufikia, kwa suala hivyo, fumbuzi zingine za muda mrefu
moja moja, mahitaji tofauti tofauti ya watoto zifikiriwe; kama vile malezi ya wazazi
ambao hawawezi kuunganishwa na familia wasiokuwa wa damu au ya makazi
zao? yanayofaa, pamoja na makazi ya watoto
wengi na mipango mingine ya makazi
inayosimamiwa.
39

C. KUTAFUTA NA KUUNGANISHA Isichukuliwe hatua yeyote inayoweza kuzuia


FAMILIA UPYA kuungana kwa familia na mtoto, kwa mfano,
kuasili, kubadilisha jina au kumpeleka mtoto
162 Kuainisha na kusajiri watoto wapweke mbali na sehemu inakoishi familia yake,
au waliotengwa ni vipaumbele katika mpaka jitihada zote za kutafuta familia
mazingira yote ya dharura na kufanyike zimefanyika.
haraka iwezekanavyo.
167 Taarifa zote muhimu zinazohusu
163 Shughuli za usajiri zifanywe au kumweka mtoto katika malezi mbadala
zisimamiwe moja kwa moja na mamlaka za zitunzwe katika hali ya usalama ili
Nchi na taasisi zilizopewa wajibu wa kuwezesha kuungana kwa mtoto na familia
kufanya hivyo na zenye uzoefu na kazi hii. yake siku za baadaye.
164 Usiri wa taarifa zilizokusanywa
uheshimiwe na mifumo iwekwe ili kutuma
na kutunza taarifa kwa usalama. Taarifa
zitumiwe na wakala husika tu kwa nia ya
kutafuta na kumuunganisha mtoto na familia
yake na kutoa huduma ya malezi.

165 Wale wote wanaohusika na kutafuta


familia ya mtoto au walezi wanaotambulika
kisheria au kimila wafanye kazi yao katika
mfumo unaoratibiwa, kwa kutumia fomu
maalumu na taratibu zinazokamilishana kila
inapowezekana. Wahakikishe kwamba
mtoto na wahusika wengine hawaathiriki na
hatua wanazochukua.

166 Uhalali wa mahusiano na uthibitishaji


wa utayari wa mtoto na familia
kuunganishwa kuhakikiwe na kila mtoto.
40 MWONGOZO WA MALEZI MBADALA YA WATOTO

TOVUTI MUHIMU

Mkataba wa Umoja wa Mataifa kuhusu Haki za Mtoto (UNCRC):


• Matini yote ya mkataba: http://www2.ohchr.org/english/law/crc.htm
• Nakala ya watoto: http://www.unicef.org/voy/media/rights_leaflet.pdf
• Tafuta nakala iliyo katika lugha yako hapa: http://www.unicef.org/voy/explore/rights/explore_2781.html
Hati ya Afrika ya Haki na Ustawi wa Mtoto
http://www.africa-union.org/child/home.htm
Baraza la Ulaya la Kumbukumbu za Pendekezo (2005)5 kuhusu haki za mtoto anayeishi katika kituo cha
malezi
http://www.coe.int/familypolicy (chagua ‘watoto walioko katika vituo vya malezi’; inapatikana katika lugha ya
Kiingereza, Kirusi, Kigiriki, Kipolandi, Kiistonia, Kiluthinia, Kiisilandia, Kizeki and Kisebia)
Viwango vya Ubora kwa Ajili ya Watoto (Q4C) - http://www.quality4children.info
Baraza la Ulaya & Vijiji vya Watoto vya Kimataifa vya SOS: “Watoto na vijana wadogo walioko katika
malezi – Zitambue haki zako”-
http://www.coe.int/t/transversalprojects/children/News/enfants%20institution/text%20flyer_en.asp
Vijiji vya Watoto vya Kimataifa vya SOS - http://www.sos-childrensvillages.org
Asasi ya Kimataifa ya Huduma ya Jamii - http://www.iss-ssi.org/
Kikundi cha Asasi Zinazojihusisha na Mkataba wa Haki za Mtoto - http://www.childrightsnet.org/
Mtandao wa Taarifa kuhusu Haki za Mtoto (CRIN) - http://www.crin.org
Mtandao wa Malezi Bora - http://crin.org/bcn/
Shirika la Umoja wa Linashughulikia Masuala ya Watoto (UNICEF) - http://www.unicef.org
Mtandao wa Malezi Bora & Shirika la Umoja wa Linashughulikia Masuala ya Watoto (UNICEF): Kitabu
Kinachotoa Mwongozo wa Namna ya Kutathmini Hali za Watototo Walioko katika Malezi Maalumu
http://www.crin.org/BCN/details.asp?id=19618&themeID =1001&topicID =1011

TOLEO

Mchapishaji: Maudhui yameandaliwa na:


Vijiji vya Watoto vya Kimataifa vya SOS Christian Posch
Kazi imeandaliwa Picha zimeandaliwa, na maudhui yamepangwa na:
Hermann-Gmeiner-Strasse 51 Vijiji vya Watoto vya Kimataifa vya SOS
6020 Innsbruck, Austria
Simu.: +43/1/310 23 98 Ruhusa ya kuchapisha matini ya Mkutano Mkuu (A/RES/
Nukushi: +43/1/3 10 23 98 20 64/142) imetolewa bure na Umoja wa Mataifa.
Barua pepe: lao@sos-kd.org Inaruhusiwa kuchapisha katika lugha nyingine zaidi ya
www.sos-childrensvillages.org Kiingereza lakini kwa kuonyesha chanzo chake. Hairuhusiwi
kuuza.
Ilitolewa: Novemba 2010.
www.sos-childrensvillages.ORG

You might also like