Professional Documents
Culture Documents
UTANGULIZI
Ufunguzi
UZINDUZI
UWASILISHAJI WA MADA
CHAI
Maswali
Kazi na majidiliano
1. Mtoto ni nani?
2. Haki za mtoto ni vipi?
3. Kwanini haki za mtoto zinavunjwa katika jamii?
4. Kwanini mtoto anatakiwa kulindwa na jamii?
5. Ni zipi faida za kumlinda mtoto dhidi ya vitendo hatarishi?
Kundi la kwanza
Kundi la pili
- Haki za kusikilizwa
- Haki za kupewa elimu
- Haki ya kupendwa
Kundi la tatu
Kundi la nne
Kundi la tano
MWISHO
UTANGULIZI
Ufunguzi
Uwasilishaji wa mada
Majibu
MAPUMZIKO
Kutoka kwa Afisa ustawi wa jamii wa Morogoro mnamo saa 11:34 asubuhi
Bi Judith. Na kuzungumza mada juu ya majukumu ya ustawi wa jamii na
watoto.
Kwa kufafanua Kifungu namba 17(1) na (3) cha Sheria ya Mtoto (2009)
Maswali
Mnamo saa 12:48 mchana, Dr. Lema kwa niaba ya Idara ya Saikolojia,
alisisitiza juu ya kuwa mabalozi wazuri wa kutetea haki za watoto. Pia
alimkaribisha msemaji wa wazazi kutoka Bigwa kwa neno la shukrani kwa
wandaaji wa semina.
MWISHO
Dr. Lema alitoa neno la shukrani kwa uongozi wa chuo na wanafunzi kwa
mchango wao pamoja na watoa mada wote na alisisitiza kuwaombea wote
kwa Mungu. Na semina ilifungwa rasmi mnamo saa 13:07 mchana kwa
siku mbili.