You are on page 1of 147

Dkt.

Dyaboli

SEXUS
SIRI ZA NGONO TAMU

Chapa ya 3

DKT. DYABOLI

ii
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

SEXUS: Siri za Ngono Tamu


Chapa ya Tatu
Copyright © 2023 na Dkt. Dyaboli, Mojo
Kimehaririwa na Dkt. Atupakile Mwakigonoke

ISBN: 979-8-40568-322-5

Chapa ya Kwanza: 2004, na CreateSpace Publishers


ISBN: 1-86201-683-2
Chapa ya Pili: 2016, na KindleDirect Publishing
ISBN: 978-1-79061-790-6

Haki Zote zimehifadhiwa

iii
Dkt. Dyaboli

Hata kama hujui kusoma Kichina, kama una akili timamu


lazima utaelewa kinachoonekana hapo juu. Kitabu hiki
SIO kwaajili ya watu walio chini ya umri wa miaka 18.

iv
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

YALIYOMO:
Utangulizi

1 Chimbuko na Mitazamo ya Ngono 11


 Chimbuko la Ngono
 Mitazamo Mbalimbali kuhusu Ngono na Mapenzi
 Nyege
 Je, ni Lazima Mwanamke Avuje Damu Pindi
Anapobikiriwa?
 Tatizo la Kuma Kupwaya au kuwa ‘Bwawa’ na
Vyanzo Vyake
 Utajuaje Ikiwa Kuma Yako Imepwaya au La? Na
Unapaswa Kutumia Staili Zipi Kama Kuma Yako
Imepwaya?
 Njia za Kuibana Tena Kuma Iliyopwaya
 Mwanamke na Mzigo wa Lawama kwenye Ngono
2 Mwili wa Mwanamke 36
 Ngozi
 Midomo, Masikio na Shingo
 Matiti
 Chuchu
 Mgongo, Kiuno na Matako
 Kuma
 Kinembe/Kisimi
 Miguu na Nyayo
 Harufu na Ladha
3 Dondoo za Chumbani 53

v
Dkt. Dyaboli

 Urijali Maana Yake Nini?


 Upi ni Ukubwa Sahihi wa Mboo?
 Wanachotaka Wanawake Kitandani
 Ukipata Mwali, Kuwa Mwalimu (Mwanaume
Anapaswa Awe Fundi Kiasi Gani Kumridhisha
Mwanamke?)
 Mwanamke, Jifunze Ufundi Huu wa Chumbani
 Suluhisho kwa Wanaume Wanaowahi Kumaliza
na wenye Upungufu wa Nguvu za Kiume

4 Mechi Yenyewe 83
a. Maandalizi ya Mechi
 Usafi wa Mwili na Mavazi
 Kujiamini
 Mabusu na Michezo ya Awali
 Vilainishi
b. Staili/Mikao ya Kufanyia Mapenzi
 Staili Mbalimbali za Ngono
 Staili Mahsusi kwa Wapenzi Wenye
Maumbo Yasiyowiana
 Staili au Mikao Mingine
c. Jinsi ya Kuipekecha Mboo Kumani ili Kupeana
Utamu Zaidi
d. Ngono Katika Kipindi cha Ujauzito
e. Amri Kumi za Ngono
5 Mara Ngapi Ufanye 130
 Ngono na Umri Mkubwa
6 Punyeto 135
 Kiasi Gani Watu Hupiga Punyeto?
 Wanawake na Matumizi ya Mboo Bandia
 Jinsi ya Kujiepusha na Uraibu wa Punyeto

Hitimisho
Kuhusu Mwandishi

vi
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

vii
Utangulizi
Hivi unajua ni kwanini maneno Uchi, Uchizi na
Uchawi yanashabihiana? Ni kwasababu uchi ni
uchawi unaotia uchizi.
Kitabu hiki kilipotoka kwa mara ya kwanza
mwaka 2004 nilishambuliwa vikali na watu, viongozi
wakubwa wa dini na wanasiasa kwamba nilikuwa
nakiuka maadili. Viongozi wa dini walisema ngono
iliwekwa kwa minajili ya kuzaliana tu, si vinginevyo.
Rais akaagiza kitabu kifungiwe na mimi nikamatwe.
Miaka kumi na miwili baadaye kitabu kikahitajika
tena mitaani. Nilipotoa tu chapa ya pili
nikasimamishwa kazi pale Muhimbili. Mwaka 2023
wasomi wamekiomba tena na tumeamua
kukiboresha zaidi kiendane na zama hizi. Shukrani
kwa The GIDI Brotherhood.
Mapenzi hayawezi kuzuiliwa. Hata yawekewe
kodi, tozo, ushuru au adhabu kubwa kiasi gani, watu
watakuwa tayari kulipa gharama na wataendelea
kuvuana nguo! Hii ni kwasababu ngono ndiyo
mchezo wenye wachezaji na mashabiki wengi zaidi
duniani; mchezo pekee ambao haubagui umri, utaifa,
kimo, hadhi wala hali ya kiuchumi.
Watoto huanza kudindisha wakiwa ndani ya
matumbo ya mama zao, na miezi michache tu baada
ya kuzaliwa watoto wachanga huanza kujishika nyeti
zao wakionekana kuifurahia hisia ambayo kitendo
hicho huwapa. Na kimsingi, katika dunia hii sisi sote
ni malaya. Kama umewahi kufanya mapenzi na watu

8
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

watatu tofauti, unapata wapi ujasiri wa kusema wewe


sio malaya?
Naomba ieleweke vema kwamba kitabu hiki si cha
kiponografia kwani ponografia ni shamba la nyege;
ni maudhui ambayo dhima yake kuu ni kuamsha
hamu ya ngono. Kitabu hiki ni muongozo wa jinsi ya
kufanya mapenzi kwa usahihi ili kunufaika nayo
kiafya kwani maisha timamu ya kingono humaanisha
maisha timamu kwa ujumla.
Ngono ni tendo muhimu si tu kwa wanadamu bali
hata kwa viumbe vinginevyo. Hivi unajua kwamba
chororo-kaya wakikaa mwaka mzima bila kujamiana
wanakufa? Ngono hutibu maumivu ya kichwa kwa
kuituliza misuli ya ubongo, huponya mafua kwa
haraka na pia hudumisha mwonekano mzuri wa
ngozi. Wanawake wanaofika kileleni walau mara
moja kwa juma huwa wanapata mzunguko wa hedhi
wenye mpangilio mzuri na pia wanajipunguzia
uwezekano wa kusumbuliwa na magonjwa ya kiuno,
ya mgongo na saratani za mfumo wa uzazi kwa
takribani 69% wakilinganishwa na wale wanaokaa
kipindi kirefu bila kufanya. Wanaume wanaofanya
walau mara moja kwa juma huwa wanajipunguzia
uwezekano wa kupatwa na maradhi ya moyo kwa
takribani 30%, kiharusi kwa takribani 50% na
kisukari kwa takribani 40%. Vilevile wanaume walio
hai kingono wanao uwezekano mkubwa wa kuishi
mpaka wakavuka umri wa miaka 80 wakilinganishwa
na wale walio wafu kingono.
Wale waliowahi kufanya mapenzi alfajiri mpaka
wakafika kileleni kisha wakaingia kufanya usaili

9
Dkt. Dyaboli

asubuhi wanajua ni jinsi gani akili zao zilikuwa


changamfu na makini kwenye usaili. Wanafunzi
ambao wamewahi kujikuta wanafika kileleni ndani ya
chumba cha mtihani wanajua ni jinsi gani walipata
majibu ya mtihani kwa urahisi baada ya hapo.
Kila siku matukio takribani bilioni moja ya ngono
hufanyika duniani. Ndoa ilitengenezwa ili kudhibiti
nyege, lakini haijawahi kuwa na mapenzi kamili.
Aidha ukubaliane nami au upinge, haitobadili ukweli
kwamba mapenzi matamu zaidi hufanyika nje ya
ndoa.
Hata hivyo, bahati mbaya linapokuja suala la
tendo lenyewe, wengi huwa wanajua nini wanapaswa
kufanya lakini hawajui ni vipi wanapaswa kufanya ili
pande zote mbili ziweze kuridhika sanjari na
kunufaika kimwili, kiakili na kiroho. Ngono kati ya
wapenzi wanaohitaji kudumu pamoja inahitaji
kuendelea kujengwa kila mara kwa kuongezewa
mbinu mpya ili iendelee kuvutia. Sote tunajua
kwamba hata katika ndoa, kufeli kwa mambo
chumbani huwa mwanzo wa kusalitiana na masaibu
mengine lukuki.
Hii ndiyo sababu ya uhitaji wa kitabu hiki.
Mimi sipo hapa kukupa tafsiri au tofauti kati ya
ngono na mapenzi. Madhali tendo linafanyika kwa
maridhiano kati ya mwanamke na mwanaume, ni
sawa. Fanyeni kile kinachowapa furaha mkifuata
miongozo iliyo ndani ya kitabu hiki ili kuziboresha
na kuzinogesha mechi zenu.
Nakuombea kwa Mungu, mahangaiko na vilio
vyako vyote viishie kitandani ukiwa uchi.

10
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

CHIMBUKO NA MITAZAMO
KUHUSU NGONO NA MAPENZI

Kwenye Mashairi 99 toka Gizani, shairi la Wanaume


ni Mikundu, mwanamke mmoja anasema;
“Wanaume ni matumbo tu, sisi ni chakula safi;
Wanapotupata wanatula kwa ulafi,
Wakishashiba wanatuona mavi,
Wanakuwa mikundu – wanatunya.”

11
Dkt. Dyaboli

Chimbuko la Ngono
Kama wewe ni mfupi, basi ujue ulipatikana kwa
bao la chapchap. Tafadhali, naomba tusibishane
kuhusu hili. Haya twendelee.
Hapo awali ngono haikuwa inahusishwa na
dhambi. Dini za asili kabla ya Ukristo ziliichukulia
ngono kama sherehe na mfumo wa ibada. Ngono
ilitazamwa kama njia ya kuigiliza au kutukuza nguvu
ya miungu.
Katika jamii nyingi za Afrika leo ipo miiko
ambayo huratibu maneno yasiyoruhusiwa kujadiliwa
hadharani mintarafu hamu na matakwa ya ngono ya
kibinadamu. Yakichukuliwa kuwa ni maneno
machafu yenye matusi, maneno pamoja na mada
hizo huhusu nyeti za binadamu, hamu ya ngono na
ngono yenyewe. Lakini ukitazama kwa jicho la tatu
utabaini kwamba hii inakwenda kinyume na desturi
za awali za kiafrika ambapo jamii zilikuwa
zinaruhusu uhuru wa kujadili masuala ya ngono
miongoni mwa watu wazima, na watoto walikuwa
wanafunzwa kwa usahihi kuhusiana na hamu na
matakwa ya ngono ya kibinadamu pindi walipokuwa
wanapitia jando au unyago wakikaribishwa kwenye
utu-uzima.
Ilikuwa ni mnamo karne ya kumi na tisa Wazungu
walipowasili barani Afrika, ndiposa watafiti na
wamishenari wa kiingereza walishika hatamu ya
kubadili mitazamo kuhusu ngono barani Afrika.
Desturi zozote ambazo wao hawakuwa
12
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

wanazifahamu waliziita za kishenzi. Leo tunatamka


kwa uhuru maneno ‘iba’, ‘baka’, ‘ua’, ‘tukana’, ‘saliti’,
‘vamia’,… lakini maneno ‘tomba’, ‘nyege’,... tunadai
ni maneno machafu. Ni kwamba kufanya mapenzi ni
kitendo kichafu kuliko kuuana? Karl Marx anasema
hii vilevile ilifanya vijana wakose elimu ya jinsia
ambayo ilikuwa na msaada mkubwa kwenye maisha
yao.

Mitazamo Mbalimbali Kuhusu Ngono


na Mapenzi
Kwa mujibu wa mwanasaikolojia, mtafiti na
mtaalamu wa masuala ya ngono, daktari Alfred
Kinsey, watoto ambao mimba zao hupatikana
mchana huwa wanazaliwa mchana na wale
wanaotengenezwa usiku mara nyingi huzaliwa usiku.
Hii ndiyo sababu asilimia kubwa ya watoto
wanaozaliwa ndani ya ndoa huwa wanazaliwa usiku
na wale wa nje ya ndoa wengi wao huzaliwa mchana
(watoto wa magetoni na gesti hausi). Hii pia ndiyo
sababu watoto wengi huzaliwa usiku kuliko mchana
– kwasababu watu wengi hutombana usiku. Vilevile,
hii tena ndiyo sababu baadhi ya watoto huzaliwa
mambumbumbu na wajeuri kupindukia; kwasababu
baba alirudi nyumbani amelewa akalazimisha mechi
kwa mama, kwahiyo mimba ikatungwa baba akiwa
amelewa na mama akiwa na hasira!
Watafiti wengi wa sayansi ya ngono
wanakubaliana kwamba mwanamke ndiye huwa
anaifurahia zaidi ngono kuliko mwanaume
13
Dkt. Dyaboli

kwasababu tendo la ngono hufanyika ndani ya mwili


wa mwanamke wakati kwa mwanaume kinahusika
kiungo kidogo tu kinachoning’inia nje ya mwili, na
pia kiwango cha neva za hisia zilizopo kwenye
kinembe ni mara mbili ya zile zilizopo kwenye
kichwa cha mboo. Hata hivyo, mwanaume ndiye
hunufaika na ngono kuliko mwanamke kwani kwa
mechi moja mwanaume huunguza takribani kalori
150 mpaka 200 ndani ya mwili wake wakati
mwanamke huunguza takribani kalori 70 tu.
Kila jamii huitafsiri ngono katika mfumo
wanaoona wao unafaa. Ndani ya Alexandria ya Louiy
ngono ilitumika kama njia ya kuwapa watu furaha na
faraja ya akili. Misri ya kale ngono ilitumika kama
tiba ya magonjwa ya akili, maumivu ya viungo na
kuimarisha utendaji-kazi wa moyo. Ndani ya
Amerika ya Mis M., ngono inatumika kama silaha ya
watu kufanikisha malengo ya kiovu. Tunasoma;
“…..Maskini, Ndogi alimpenda Enyo kizamani wakati
binti alikuwa anaitumia ngono kama njia ya kuondoa
chunusi na kuchaji betri za ubongo wake. Katika
mazungumzo yao kitandani Ndogi anamuuliza binti
amewahi kulala na wanaume wangapi tangu ayajue
mapenzi. Swali hili linamkera Enyo, anahoji kama
anapaswa kuwa anatunza kumbukumbu.
Anamwambia amekuwa akilala na wanaume takribani
ishirini tofauti kwa mwaka katika kipindi cha miaka
kumi na mitano. Ndogi anapiga hesabu; ‘kama analala
na wanaume takribani 20 kwa mwaka inamaana jumla
atakuwa amelala na wanaume takribani 300 ndani ya
miaka 15!’ Anaduwaa. Hata hivyo, kwa Enyo huo ni
uhalisia wa maisha – kama tu idadi ya maduka
unayoingia kupata huduma ndani ya miaka 15.”
Fantasia za kingono ni suala mtambuka. Wapo
14
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

wanaume wengi tu wanatamani kulala na askari,


manesi au wafanyakazi wengine wanaovaa sare kazini
(sare huongeza mvuto wa kingono; wanasaikolojia
watakuthibitishia hili). Wengine wanatamani kulala
na albino au mtu yeyote mwenye ngozi tofauti,
wanaume wengine wanatamani kulala na mabosi wao
wa kike au na wanawake waliowazidi sana kiumri,
n.k. Maisha ya kingono huwa na changamoto nyingi
na wakati mwingine usaliti hukithiri kwenye ndoa
kwasababu wapenzi wanakuwa na mambo
wanayotamani kufanyiwa chumbani lakini hawawezi
kuwambia wenzi wao kwa kuhofia wataonekana
watu wa ajabu. Matokeo yake mtu anajikuta
anashawishika kwenda kutafuta mambo hayo
kwingineko.

Nyege
Habari njema kwa wewe uliyezaliwa mwezi wa
tisa: Wazazi wako waliutumia vizuri mwaka mpya;
kitandani. Na hawakuwa na ‘stresi’ za Januari.
Kila aliye na afya timamu huwa ana nyege. Ndiyo.
Kama hadindishi mboo anadindisha kinembe na
chuchu. Mwanamke anapokuwa na nyege, sauti na
hata sura yake hubadilika ili kuendana na hisia zake;
bahati mbaya mwanaume hajajaaliwa tunu hii.
Kwahiyo mwanaume akianza ‘kujiromantikisha’ na
‘kujibebisha’, jua ana kiwango kikubwa cha homoni
za kike.
Katika mzunguko wa maisha ya mwanamke, kuna
vipindi kadhaa ambapo nyege huwa moto zaidi. Hivi
15
Dkt. Dyaboli

kitabibu tunaviita Misimu ya Nyege. Kipindi cha


balehe ndicho hufungua dirisha la nyege kwa kijana.
Hapa vijana huzongwa na matamanio wasiyoweza
kuyaelezea kwa maneno. Kipindi hiki cha makuzi
huhitaji mwongozo wa elimu ya jinsia kwa kijana na
uangalizi thabiti toka kwa wazazi, walimu na walezi
ili kijana aweze kuvuka salama.
Kipindi cha hedhi na kipindi cha kuachiliwa kwa
yai huwakilisha msimu wa pili wa nyege. Vipindi hivi
huwatesa sana wanawake kutokana na ongezeko la
homoni ya estradiol. Matiti yanajaa, joto la mwili
linapanda, chuchu zinawasha, mapigo ya moyo
yanahamia kwenye kinembe, shingo ya kizazi
inazizima, mji wa mimba unatetema, na chupi
inalowa muda wote “Bebi nimekumisi” huwa nyingi
sana, na ikitokea ukamwambia tu muonane mahali,
hakuombi hata nauli! Hata wenye viuno vigumu
vipindi hivi huwa wanakuwa kama umeme wa
TANESCO; wanakatika hatari. Anakuwa kama
ameingiwa na jini mahaba... kama hajatombwa miaka
7! Ukimkuta mjuzi wa hizo kazi, anapeleka moto
kuliko hata wewe mwenye ukuni! Sasa umshikeshike
halafu umletee pozi kwamba haupo kwenye mudi;
anaweza kulilia mboo! Na ukimwacha akaondoka na
nyege zake, kuna hatari akatombwa na mtu yeyote
kama hatokuwa makini. Baadaye akili yake ikikaa
sawa anaanza kujilaumu; na kuliwa kashaliwa. Eeh!
Kapitiwa tu na Shetani!
Kipindi cha Ujauzito (hasa kwenye theluthi ya pili)
na baada ya kujifungua huja na mabadiliko mengine
makubwa ya homoni. Baadhi ya wanawake hupoteza

16
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

kabisa hamu ya ngono wakati wengine vipindi hivi


hufungua dirisha lingine la nyege kali. Kwa wale
ambao hamu huongezeka, hapa unaweza kumtomba
akiwa amekununia, akakupa ushirikiano hadi ukajua
ugomvi umeisha, halafu mkimaliza mechi mnuno
unaendelea. Nyege zikimkamata anakuja tena! Sasa
shangazi, ndiyo ukute huwa unamfanyia visa mjomba
kwasababu ya ujauzito wako kwahiyo hawezi hata
kukugegedua. Nyege unazihisi mpaka kooni halafu
mboo ipo na haisimami. Unaweza tenga msiba na
hujui kafa nani! Wengine nyege huendelea mpaka
wanapokuwa wananyonyesha; yaani hata kile kitendo
cha kumnyonyesha mwanawe kinamtia nyege. Ni
hali ya kawaida.
Msimu wa mwisho wa nyege huja kipindi cha
Kukoma kwa Hedhi (menopause). Kipindi hiki
tunaweza kukiita balehe ya pili kwani mwanamke
hupata hisia zilezile alizokuwa akizipata alipovunja
ungo kipindi cha usichana wake; nyege
zisizomithilika. Sasa unakuta mama yupo katika
kipindi hiki, baba hana nguvu za kiume kutokana na
changamoto za kiafya na umri mkubwa. Hapa ndipo
akina mama watu wazima wengi hujikuta
wakitafunwa na vijana wadogo. Hivi ndivyo vipindi
ambavyo wanawake wengi hupitiwa na Shetani
kwani katika vipindi hivi kila mwanaume huonekana
ni handsome.
Kama unakaa kipindi kirefu bila kupata nyege, ni
vema umwone daktari upatiwe ufumbuzi. Nyege ni
muhimu na ni lazima kwa uendelevu wa uhai, na pia
ni ishara ya utimamu wa afya ya mwili na akili. Lakini

17
Dkt. Dyaboli

ukiachilia mbali vipindi tajwa, mara nyingi upwiru


hustawi katika upweke. Vijana wasio na kazi ambao
hushinda nyumbani au vijiweni muda mwingi huwa
na nyege za mara kwa mara wakilinganishwa na wale
ambao muda mwingi wanakuwa wametingwa na
kazi. Bado pia, nguvu ya nyege huongezwa na
ukaribu wa kitu chenyewe kiletacho hamu hiyo.
Nyege zinaweza kuamshwa kwa wazo, zikalishwa
kwa kuona au kwa kusikia na zikakomazwa kwa
mguso. Kutazama video za pono na kula mirungi ni
mambo mengine ambayo hutia nyege kali. Baadhi ya
vilevi vinajulikana vema kwa kuamsha nyege;
wenyewe husema ‘kilevi hukimbilia chini’.
Wapo watu wengi tu ambao muda mwingi
wanakuwa na nyege na baadhi husingizia jini-mahaba
lakini kiuhalisia, mara nyingi sababu ni kwamba watu
hawa wanakula sana vyakula au wanakunywa
vinywaji ambavyo vinaamsha nyege. Wanawake
wanaopendelea sana vyakula vyenye viungo vingi,
chokoleti au vinywaji vilivyo na kafeini pamoja na
mvinyo, wanakuwa na nyege za mara kwa mara
kwani vitu hivi huchokoa utando wa uteute ndani ya
kuma zao, kwahiyo kuma zinakuwa zinawasha na
wanahitaji kukunwa.
Vilevile, inaeleweka kwa wanasayansi wa elimu ya
ngono kwamba kunyoosha miguu kwa muda mrefu
na kukata miti ni miongoni mwa shughuli ambazo
huamsha nyege. Uendeshaji wa vyombo vya moto
kwa muda mrefu na ujazaji wa leja pia huamsha
nyege za mara kwa mara. Tabia ya kulala chali usiku
vilevile huamsha nyege, na kwakuwa unakuwa

18
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

usingizini, akili-usu (Subconscious mind)


hukutengenezea taswira za mjongeo ambazo huja
kama ndoto ili kufuta nyege hizo; kwahiyo unaota
unafanya ngono. Ndiyo sababu katika jamii nyingi
wanawake huzuiliwa kulala chali wakiambiwa
wataingiliwa na jini mahaba. Ni kwasababu wengi
wanapolala chali huota ndoto za ngono.
Hata hivyo, zipo changamoto za kiafya ambazo
huweza kumfanya mtu awe na nyege zilizokithiri.
Mgonjwa wa Satiria anaweza kudindisha mboo
mahali popote, wakati wowote na bila kusisimuliwa
na chochote, na mboo inaweza kudinda kwa lisaa
lizima au zaidi, bila kulala. Nimfo ni mwanamke
ambaye hata umtombe kiasi gani, hata umkojoze
mara kumi, akikaa baada ya masaa mawili au matatu
tayari anakuwa na nyege tena. Hawa wote wawili
wanapaswa kutafuta msaada wa daktari kwani
wanaweza kuwa hekaheka kwa wenzi wao.

Je, ni Lazima Mwanamke Avuje Damu


Pindi Anapobikiriwa?
Shangazi, kama ulipobikiriwa ulihisi maumivu na
ulivuja damu, basi kuanzia leo acha kusema hujawahi
kubakwa!
Ndiyo. 99% ya wanaume wa kiafrika hawajui jinsi
ya kumbikiri mwanamke bila kumsababishia
maumivu. Kwanini avuje damu? Unafikiri kama
hajawahi kuingizwa chochote kwenye kuma basi

19
Dkt. Dyaboli

kuma yake inakuwa imeziba? Kwamba kunakuwa na


ukuta ambao ndiyo unatakiwa kuvunjwa pindi
anapobikiriwa? Bikira ingekuwa ni ukuta ulioifunga
kabisa kuma ambao ndiyo huchanwa pindi
mwanamke anapobikiriwa, basi wanawake mabikira
wasingekuwa wanavuja damu ya hedhi! Damu
ingekuwa inapita wapi?
Ingawa kubikiriwa ni hatua ambayo ni ya lazima
kupitiwa na wanawake wote maishani, hakuna elimu
ya jinsia inayotolewa kwa vijana juu ya kukabiliana
kwa usahihi na hatua hiyo ya maisha pindi
wanapoifikia. Matokeo yake ni kwamba mabinti
wanarithi maneno ya dada zao (ambao huwa ni
wahanga pia wa ukosefu wa elimu hii) kwamba
kubikiriwa kuna maumivu makali, wakati vijana wa
kiume wanakua katika falsafa ya mtaani kwamba
‘ukiingia geto na bikira, bila kutumia nguvu huli
mzigo!’
Mwanamke hatakiwi kuvuja damu anapobikiriwa!
Kama umewahi kumbikiri mwanamke yeyote (ndiyo,
wapo wanaume huwa mpaka wanazeeka hawajawahi
kubikiri mwanamke hata mmoja), basi utakuwa
unajua jinsi anavyokuwa anasumbua kwa kubana
mapaja na kukuzuia kwa mikono. Anakuwa na hofu
kwahiyo misuli inakakamaa. Na mwanaume hutumia
nguvu kumwingilia. Hii husababisha misuli ya
kizinda itatuke na kukatikakatika; ndiyo sababu
unaona damu.
Kizinda (mnayoita bikra) ni mkusanyiko wa tishu
zilizojaa misuli laini sana [katika umbo la duara kama
kibanio cha nywele] ambayo inaweza kuvutika na

20
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

kusinyaa kama rababendi. Kikitanuliwa kwa usahihi,


hakuna damu wala maumivu!
Muandae vizuri mwanamke kisaikolojia, halafu
chukua mafuta ya mrujuani umchuwe kuanzia
kwenye tumbo la chini, maeneo ya kiuno mpaka
kwenye kibumbu. Hii itasaidia akili yake kutulia na
misuli ya nyonga itanyumbulika; hapo mboo itaingia
bila kumsababishia maumivu wala kutokwa damu.
Wapo wanawake ambao hutanua vizinda vyao
wenyewe aidha kwa kukusudia au pasipo kujua
kupitia shughuli na michezo mbalimbali. Kuna
wanawake hutanua vizinda vyao kupitia michezo
kama sarakasi na kuogelea, wakati uendeshaji wa
baiskeli wa mara kwa mara pia huweza kutanua
kizinda taratibu mpaka kikafunguka kabisa kiasi
kwamba mboo inaweza kupita bila shida. Hawa wote
huwa hawatokwi damu kumani.
Mbali na hayo, ni muhimu pia kujua kwamba
wapo watoto wa kike ambao huzaliwa wakiwa
hawana kizinda (hawana bikira). Wapo vilevile
ambao huzaliwa na vizinda visivyo vya kawaida
ambavyo vinakuwa vimefunga kabisa1. Watoto hawa
huwa hawajui mpaka pale wanapovunja ungo na
kupata damu yao ya kwanza ya hedhi. Kizinda
huvimba na kuwa kama puto dogo lililojaa damu ya
hedhi. Lakini changamoto hii hurekebishwa kwa
urahisi tu hospitali. Mwanamke mwenye kizinda cha
aina hii hawezi kubikiriwa kwa ngono, mpaka aende
hospitali kizinda chake kifunguliwe kwa upasuaji
mdogo.
1
imperforate hymen

21
Dkt. Dyaboli

Hii inaturejesha kwenye ukweli kwamba kutovuja


damu wakati wa kubikiriwa si kiashiria kwamba
mwanamke si bikira, ikiwa hapa ubikira unamaanisha
hali ya mwanamke kuwa hajawahi kushiriki ngono ya
kuingizwa mboo kumani.

Tatizo la Kuma Kupwaya au kuwa ‘Bwawa’


na Vyanzo Vyake
Zipo dhana nyingi ambazo si sahihi kuhusu kuma.
Ni kweli kwamba kuma, kama zilivyo mboo,
midomo, pua au macho, hazilingani wala hazifanani.
Wanawake hawafanani wala hawalingani…vivyo
hivyo kuma zao pia zina maumbo, sura, rangi,
ukubwa, na hata harufu tofauti pia. Zipo kuma
kubwa na zipo kuma ndogo, kama tu ambavyo
baadhi ya wanawake wana vibumbu au visimi
vikubwa wakati wengine wanavyo vidogo. Hii ni
kutokana na sababu za kivinasaba na kimaumbile.
Ikiwa midomo tu hailingani, vipi tutarajie kuma zote
zilingane?
Ingawa wanawake huwa hawapendi kuzungumzia
kuma zao, wengi huwa na hofu kwamba kuma zao
zimepwaya, hasa baada ya kuwa wamejifungua.
Dhana ya kuwa mwanamke mwenye kuma
inayobana ni mtamu kuliko mwenye kuma legevu
imewaathiri wanawake wengi kwa kuwafanya wakose
kujiamini na hivyo kujikuta wakihangaika huku na
huko kutafuta njia za kufanya kuma zao zibane.
Wengine wamekuwa wakiwatupia lawama wenzi wao
22
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

kwamba wana mboo ndogo ambazo haziwaridhishi.


Kupwaya kwa kuma vilevile humfanya mwanamke
ashindwe kufurahia ngono kutokana na kutokuwepo
kwa msuguano wa kutosha kati ya kuma yake na
mboo ya mwenzi wake. Na bahati mbaya sana, kama
ilivyo kwa tatizo la harufu mbaya ya kuma,
wanawake huhisi aibu na hivyo hawako huru
kulizungumzia jambo hili kwa uwazi aidha na wenzi
wao au hata wanapokuwa na wahudumu wa afya.
Hivyo wanawake wengi huamua kutafuta tiba
wenyewe kwa kupitia maneno ya mitaani au ya
kwenye mitandao ya kijamii, wakati mwingine kwa
njia ambazo huzidi kulegeza kuma zao maradufu au
kuwasababishia maambukizi mabaya kumani.
Kabla hatujaenda mbele zaidi, tunaomba kwanza
ieleweke kwamba kinacholegea huwa si kuma
yenyewe bali ni msuli wa chini wa nyonga. Msuli wa
chini wa nyonga ndiyo huwa unashikilia kuma
pamoja na msuli wa ukuta wa kuma. Msuli huu
unapokuwa imara na sawasawa, kila kitu
kinachohusiana na kuma kinakuwa kimeshikiliwa
vizuri na kwa usahihi. Msuli wa ukuta wa kuma ni
kodiani inayovutika sana, imejikunja na hutanuka
kulingana na ukubwa wa kitu kinachoingia kwenye
kuma (kama mboo kwamfano) au kinachotoka
(kama mtoto) na baada ya muda husinyaa na kurudia
umbo lake la awali. Fikiria rababendi; ukiivuta
inatanuka, ukiiachia inarudia umbo lake la awali.
Ndivyo ulivyo msuli huu.
Ukiachilia mbali sababu za kivinasaba na za
kimaumbile, zipo sababu kuu tatu tu na sababu

23
Dkt. Dyaboli

ndogondogo takribani nane ambazo ndizo huweza


kusababisha msuli huu wa chini wa nyonga kulegea
na hivyo kuma kushindwa kukaza kama ilivyokuwa
ikikaza awali.
o Sababu ya kwanza ni umri. Kadri umri
unavyozidi kusogea, uimara wa misuli mingi
ya mwili huwa unapungua, na moja kati ya
mambo ambayo hujidhihirisha zaidi kwa
mwanamke ni kupungua nguvu kwa msuli wa
chini wa nyonga, hali ambayo hupelekea msuli
huu ushindwe kuwa unatanuka na kusinyaa
kwa ufanisi kama ilivyokuwa awali na hivyo
kufanya kuma ionekane kulegea.
o Sababu ya pili ni uzazi wa mfululizo. Hapa
tunalenga mwanamke kujifungua mfululizo
kwa njia ya asili, siyo upasuaji. Ujauzito na
kujifungua huweka shinikizo kubwa kwenye
msuli wa chini wa nyonga. Kama mwanamke
atajifungua awamu tatu au zaidi bila
kupumzika, tuseme kila baada ya miaka miwili
anajifungua, hii itaunyima msuli huu muda wa
kutosha wa kupona kwa ukamilifu na hivyo
utapungua uwezo wake wa kuvutika na
kusinyaa kwa usahihi, ambapo matokeo yake
huwa ni kuma kuwa legevu na kuongezeka
urefu.
o Baadhi ya magonjwa ambayo kwa namna
moja au nyingine huathiri misuli ya mwili
huweza pia kudhoofisha msuli huu wa kuma
na kuufanya upoteze ule uwezo wake wa awali
na hivyo kuma yako kuwa legevu.

24
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

o Sababu ndogondogo, ambazo hata hivyo kwa


karne hii zinaonekana kuwa kubwa na
zinalegeza kuma za mabinti wengi wadogo ni
pamoja na michezo ya kujiingizia kwenye
kuma vitu vikubwavikubwa mara kwa mara
kama matango, chupa za pombe, na vitu
vingine ambavyo wenyewe wanaita sex toys,
kwa lengo la kujistarehesha, kama wasemavyo
‘raha jipe mwenyewe'. Tumesema msuli huu ni
kodiani inayotanuka kulingana na kitu
kinachoingia au kinachotoka. Nikweli. Lakini
hata utanukaji wa msuli huu una ukomo wake,
na kwa asili kuma huwa inatanuka zaidi
kutoka ndani kuja nje kuliko kutoka nje
kwenda ndani [ndiyo sababu kichwa cha
mtoto kinaweza kutoka kwenye kuma lakini
hakiwezi kuingia]. Tabia endelevu ya kusafisha
kuma kwa maji ya moto, kwa sabuni au kwa
‘madawa ya kusafishia kuma' pia hudhoofisha
msuli huu. Sababu nyingine ni ubebaji wa
mara kwa mara wa vitu vizito, ambao pia
hufanyiza shinikizo kubwa kwenye nyonga.
Ajali ambayo hujeruhi nyonga pia huweza
kuathiri ufanisi wa msuli huu. Maumivu ya
mgongo ya muda mrefu yanaweza kuwa ni
sababu nyingine. Vilevile matumizi ya baadhi
ya madawa, hasa madawa ya kunywa ili
kupunguza ukubwa wa tumbo, huweka
mgandamizo mkubwa kwenye tumbo la chini
na hivyo kulegeza pia msuli huu wa chini wa
nyonga. Madawa makali ya hospitali ya

25
Dkt. Dyaboli

kuweka kwenye kuma ili kutibu maradhi


mbalimbali ya kuma, mbali na kuharibu flora2
wa kuma, vilevile huathiri ufanisi wa msuli wa
chini wa nyonga. Ufanyaji wa mazoezi kupita
kiasi, halikadhalika upasuaji wa kuondolewa
kifuko cha mayai, huathiri pia kiwango cha
homoni ya estrojeni na hivyo kupelekea
kudhoofika na kulegea kwa msuli huu.

Utajuaje Kama Kuma Yako Imepwaya au


La? Na Unapaswa Kutumia Staili Zipi kama
Kuma yako Imepwaya?
Kujua ikiwa kuma yako imepwaya au la ni rahisi na
wala haihitaji ukamwone daktari akufanyie
uchunguzi. Unaweza kujipima mwenyewe kwa
kufanya yafuatayo:
 Ukiingiza kidole chako cha shahada kwenye
kuma halafu ukajaribu kukaza kuma ili
ikibanie ndani, kuma haiwezi kukibana.
 Ukijaribu kuingiza vidole vyako vitatu kwa
pamoja kwenye kuma yako vinaingia tu bila
shida wala kukwama.
 Kiashiria kingine ni kuanza kutamani mboo
kubwa zaidi kwasababu unahisi mboo ya
mwanaume uliye naye haijai tena kwenye

2
bakteria wazuri ambao hulinda na kudumisha afya ya kuma

26
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

kuma yako na hivyo hupati hasa ule mkuno


unaoutaka.
 Mwanaume wako pia anakuwa hapati ile raha
anayopaswa kuipata kutokana na hisia za
upana wa kuma na kushindwa kwake kubana
mboo yake.

Hata hivyo, kama tulivyoona kwenye mboo ndogo


sana, kuwa na kuma iliyopwaya hakumaanishi huwezi
tena kufurahia ngono. Hii ni kusema unaweza kuwa
na kuma legevu na bado ukaweza kufanya mapenzi
na mwenzi wako mwenye mboo ndogo (kibamia) na
nyote wawili mkaifurahia mechi na pia kuridhishana
kabisa. Mnachohitaji ni kuijua tu siri!
Moja kati ya sababu kubwa zinazofanya wanawake
wengi hawaridhishwi kingono na wenzi wao ni
kwamba wanawake wenyewe hawazijui kuma zao ni
za aina gani na ni vipi wanatakiwa wafanye ngono
(kwa kuzingatia aina za kuma zao) ili waweze kufika
kileleni au kukojozwa kwa urahisi. Badala yake,
lawama zote wanawatupia wenzi wao. Wapo baadhi
ya wanawake ambao mwanaume akilala naye mara
moja tu hataki kurudia tena siku nyingine. Yamkini
wewe ni miongoni mwa wanawake ambao
wamewahi kukumbwa na adha hii. Ukweli wa
kisayansi ni kwamba aina ya kuma uliyonayo inaweza
kuathiri furaha yenu ya chumbani kwa kutegemea
unafanya ngono kwa mikao au mitindo gani.
Wakati wanaume wanajua kwamba kuma ziko
tofauti, bahati mbaya sana wanawake wenyewe
hawalijui hili, na ndiyo sababu wakatunga usemi wa

27
Dkt. Dyaboli

utazunguka bucha zote, nyama ni ileile! Haya ni maneno


ya kujifariji tu. Ukweli ni kwamba kuma ziko tofauti
kuanzia kwenye maumbo, sura, mbano, harufu hadi
kiwango cha joto!
Kisayansi, kama tu ilivyo kwa mboo, baadhi ya
mikao au mitindo ya ngono inafaa zaidi kwa aina
fulani ya kuma kuliko mikao mingine. Na ni muhimu
sana wewe mwanamke ukaifahamu mikao sahihi kwa
kuma yako. Kumbuka tumesema kuma hazifanani.
Kila aina ya kuma inahitaji ujuzi wa mikao gani
utumie kwenye ngono ili ufurahie zaidi na kuweza
kufika kileleni kwa urahisi. Hili ndilo jambo kubwa
ambalo zaidi ya asilimia 90 ya wanawake hawalijui!
Kwanza kabisa unatakiwa kuzingatia kuma yako ni
ya aina gani: je ni kuma iliyobana sana, kuma ya
wastani, kuma iliyolegea au kuma kubwa? Ni kuma
yenye kisimi kikubwa au kirefu, kuma ambayo iko
wazi kiasi kwamba midomo ya ndani inaonekana
waziwazi, kuma yenye midomo mirefu au
inayoning'inia, kuma yenye kibumbu kilichotuna,
kuma yenye kibumbu kilichonyooka kama mgongo
wa meza, kuma kavu, au labda ni kuma iliyokonda au
isiyo na nyama ndani? Ukiijua aina ya kuma yako na
kujua ni jinsi gani unapaswa kuitumia kwa usahihi
unapokuwa faragha na mwenzi wako, amini
usiamini, hata ikitokea mwenzi wako akachepuka na
mwanamke mwingine atagundua kwamba kuna kitu
fulani anakikosa kwenye mechi – kitu ambacho huwa
anakipata kwako tu!
Hii ni kusema, njia sahihi ya wewe kufurahia
ngono na kuweza kukojozwa kwa urahisi,

28
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

halikadhalika kumpagawisha mwenzi wako kitandani,


ni wewe kujua aina ya kuma uliyonayo na mitindo ipi
ya ngono inafaa. Kwa mfano, kama wewe una kuma
ndogo au kuma iliyobana, ni kosa kutumia mitindo
ya ngono ambayo inaibana kuma kwani kutumia
mitindo hii kutamfanya mwanaume wako afike
kileleni mapema sana na kukuacha wewe ukiwa bado
moto unawaka. Badala yake, unapaswa utumie
mitindo inayoitanua kuma yako ili umsaidie mwenzi
wako kuchelewa kufika kileleni kiasi kwamba aidha
wewe uanze kufika kabla yake au mfike pamoja.
Mwandishi Paulo Coelho kwenye kitabu chake
cha Eleven Minutes anaeleza: “Mwanaume
hajithibitishi urijali wake kwa mboo yake kuweza tu
kusimama imara, bali hujihisi yu mwanaume kamili
kwa kuhakikisha anamridhisha mwanamke. Akiona
amekuridhisha basi hapo anajiona yeye ndiye kidume
hasa na anapokuwa nawe faragha anakuwa anapiga
mechi kwa kujiamini, na kujiamini huku kunamsaidia
kufanya vizuri na kuweza kukurudhisha!” Unaona
mwunganiko huu?
Kama unahisi au unajua kuma yako imelegea na
hivyo mboo ya mwenzi wako haijai, hakuna haja ya
kusononeka au kutafuta mwanaume mwingine
mwenye mboo kubwa. Kuweni wabunifu kwa
kuanza kutumia mitindo au mikao inayoibana kuma
mnapokuwa faragha. Ipo sanaa moja muhimu sana
ambayo ukiitumia wewe mwanamke,
tunakuhakikishia, hutojuta. Iko hivi; mnapokuwa
mnafanya mapenzi, mwenzi wako anaposukuma
mboo yake ndogo ndani ya kuma, wewe unabana

29
Dkt. Dyaboli

msuli wa chini wa nyonga ili uibane mboo yake


ndani, akirudisha mboo yake nyuma, unauachia
msuli huo, akisukuma unaubana tena. Akianza
kushindilia mboo kwa kasi, unakuwa unabana na
kuachia mara chachechache zaidi. Wachina
wamebobea sana katika sanaa hii kiasi kwamba
mwanamke wa kiChina mwenye kuma kubwa kuliko
wanawake wote duniani anaweza kumridhisha bila
shida na hata kumteka kihisia mwanaume mwenye
mboo ndogo kuliko wanaume wote duniani.
Linapokuja suala la ngono, wenyewe wanasema a wise
man does not judge by appearances.
Mbali na kwamba mtindo huu utamwacha
mwanaume wako akiwa amechanganyikiwa kabisa
kutokana na raha kubwa atakayokuwa amepata,
mtindo huu vilevile ni tiba kwani husaidia kukaza
msuli wa chini wa nyonga na hivyo kuondoa ule
ulegevu wa kuma. Ukiufanya kwa muda mrefu, msuli
wako wa kuma utaimarika tena na kuma itabana.
Sanaa hii inafahamika kama Casse-noisette, na
Waswahili huiita ‘Kufinyia kwa Ndani'! Inaweza
kuwa ngumu mwanzoni, lakini kadri unavyozidi
kuitumia ndivyo utakavyozidi kuizoea na kuifurahia,
wakati huohuo ukimwacha mwenzi wako akijiuliza
imekuwaje kuma yako imekuwa tamu kiasi hicho.
Jambo lingine muhimu ni kuhakikisha kila
unapofanya mapenzi unafika kileleni. Mbali na faida
nyingine za kiafya, kufika kileleni vilevile husaidia
kukaza kwa msuli wa chini wa nyonga na hivyo
kuimarisha kuta za kuma yako.
Kufanya mazoezi ya kuchuchumaa na kuinuka

30
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

mara kwa mara husaidia sana pia kuimarisha misuli


yote ya nyonga. Ukiyafanya kwa usahihi na kwa
nidhamu, mazoezi haya pia husaidia sana kukaza
kuma iliyopwaya.
Wapo makungwi ambao wameweza kujifunza na
kuizoesha misuli yao kiasi kwamba wanaweza
kuzipanua na kuzibana kuma zao vile watakavyo.
Wanaweza kuituliza misuli ya kuma zao mpaka
mikono miwili ya mtu mzima ikaweza kuingia kwa
pamoja na pia wanaweza kuibana mpaka kidole
kidogo kabisa cha mkono kikashindwa kuingia
kumani. Hii inawawezesha wanawake hawa kufanya
mapenzi na mwanaume mwenye saizi yoyote ya
mboo na bado wakaweza kufurahia halikadhalika
wakawafurahisha na kuwaridhisha wapenzi wao. Ni
mbinu ambayo mwanamke yeyote anaweza
kujifunza, ila hutegemea zaidi mwalimu
anayekufundisha ana ujuzi kiasi gani.

Njia za Kuibana Tena Kuma Iliyopwaya


(Kurejesha Bikira?)
Hakuna mtu ambaye huwa anabaki kuwa bikra siku
zote; kuna wakati maisha huwa yanamtomba kila
mtu. Lakini kama utahitaji kuibana tena kuma yako
ili uweze kuwa huru na kuendelea kufurahia mechi
bila jitihada za ziada, zipo njia za kukuwezesha
kulifanikisha hilo.
Sheikh Nefzawi anashauri; yeyusha shabu kwenye
maji kisha tumia maji hayo kuoshea kuma yako, tiba
ambayo waweza kuiongezea ufanisi kwa
31
Dkt. Dyaboli

kuichanganyia kiasi kidogo cha magome ya mjozi.


Kama Sutra ya Vatsyayana inatoa tiba nyingine
ambayo inafahamika kwa ufanisi wake:
Ukitaka kukaza kuma iliyolegea, changanya kiasi
sawasawa cha karobu zilizoondolewa kokwa na
magome ya mkomamanga na uuchemshe vema
mchanganyiko wako. Acha upoe kiasi na kubaki
vuguvugu kisha utie ndani ya beseni halafu vua nguo
zote uyakalie maji hayo. Rudia zoezi hili mara mbili
kwa kipindi cha siku tatu hadi tano, kuma itakaza.
Almasi ya Kijani inashauri njia nyingine salama
ambayo matabibu wengi wa tiba za asili
wanakubaliana kwa pamoja kwamba inafanya kazi
kwa ufanisi:
Ukiusaga mzizi wa mkokila halafu unga wake
ukauchanganya na mafuta ya mrujuani, ukautia
mchanganyiko wako kwenye kitambaa safi cheupe
kisha ukakiweka kitambaa hicho kwenye mlango wa
kuma na kulala nacho usiku mzima, kuma itarejesha
bikira!

Bi Munira Ali Salim, mkaazi wa Mombasa nchini


Kenya, kupitia mahojiano aliyopata kuyafanya na
Shirika la Habari la BBC alieleza;
“Hii ndiyo shabu na kazi yake ni kuchukua hiki
kipande unaponda kisha unafunga kwenye pamba
unachanganya na mafuta mazito yenye harufu nzuri
mathalani manukato ya udi. Sasa hiyo husaidia kukaza
kuma iliyolegea kwani ukitia huku chini shabu inavuta
msuli wa nyonga ambao ndiyo hudhibiti kutanuka na
kukazika kwa kuma.” Aliendelea kueleza… “Hii
shabu husaidia maana kuna wengine humwaga maji
sana wakati wa kufanya mapenzi. Sasa hii shabu ukitia
huko kumani, humfanya mtu kuwa mkavu halafu
huvuta na ikabana kuma.” – ya mlalo ni yangu.

32
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

Mwanamke na Mzigo wa Lawama


kwenye Ngono
Katika jamii zetu inaaminika kwamba mwanamke
ni kiumbe mjinga ambaye unaweza kumhonga saa na
bado ukaweza kumpotezea muda wake.
Ngoja kwanza... Hivi, tofauti na kwenye simulizi,
kwenye maisha halisi kuna wanaume ambao huwa
wanafunga ndoa wakiwa bado ni mabikira? Usinijibu.
Jamii zetu zimetawaliwa na mfumo-dume kiasi
kwamba mwanamke kumtongoza mwanaume
linaonekana kuwa ni jambo la kushangaza. Katika
jamii anui hasa huko Mashariki ya Mbali bado
heshima ya mwanamke hupimwa kwa kukutwa akiwa
bikira anapokutana faragha na mmewe kwenye usiku
wa harusi, lakini desturi hizi haziuangalii hata kidogo
uchafu wa mwanaume. Wanawake ndio wamefanywa
kuwa maadui katika maelfu ya kazi za fasihi,
vikiwemo Vitabu vya Dini. Hata ile hadithi ya
kwamba mwanamke ndiye aliyemshawishi
mwanaume kula tunda la dhambi iliandikwa na
wanaume. Hii imefanya usaliti wa mwanamke
unaonekana kuwa ni dhambi kubwa kuliko usaliti wa
mwanaume.
Wanawake wengi huwa hawasemi wanachotamani
wafanyiwe na wenzi wao chumbani kwasababu ya
kasumba iliyopo; akisema anaonekana malaya, akiwa
mstaarabu anaonekana mshamba au mvivu.
Sehemu kubwa ya maendeleo ya mwanadamu
kijamii imekuwa ni katika kukinzana na Uasilia.
33
Dkt. Dyaboli

Wanaume na kiherehere chao cha kutafuta ustaarabu


wameshindwa kushindana na Uasilia. Njia rahisi
imekuwa ni kuwabwagia zigo la lawama wanawake.
Alfu Lela Ulela ina visa vingi vya kuthibitisha mfumo-
dume. Kwenye simulizi ya Kamar al Zaman na
Zumarid, Zumarid anamshawishi Kamar amtoroshe
wakimbilie kusikojulikana ingawa Zumarid tayari ni
mke wa mtu. Baba yake Kamar baada ya kuubaini
mpango huu anamkemea vikali Zumarid, kisha
anamwambia mwanawe;
“Mwanaume hana mbinu ya kujizuia anaposhawishiwa na
mwanamke kwani Allah amemkirimia mwanaume
wajihi wa kumkubalia mwanamke; lakini mwanamke
anaposhawishiwa na mwanaume asiye mmewe na
akashindwa kumkatalia, anakuwa ametenda dhambi
duniani mpaka akhera.”
Hapa tunaona kwamba furaha ya mwanaume
inapewa kipaumbele na mwanamke ndiye anabeba
mzigo wa uvunjifu wa maadili.
Mwanaume akiwa na wake wanne, wanasema ni
agizo la Mungu; mwanamke akiwa na wanaume
wawili anaitwa malaya au ‘burudani kwa wote’.
Uasherati wa wanaume ni jambo ambalo liko wazi
katika jamii lakini bado kuna mkwamo kwa wanaume
kukubali wanawake watende ukengeufu eti kwakuwa
wao wanautenda ukengeufu huohuo pia.
Kwenye Stradella, James Sherwood anatupa picha
ya jinsi mwanamke anavyoweza kubwagiwa zigo la
lawama pasipo hata kujaribu kumwelewa. Anaeleza:
‘Stradella hatimaye anaifunua siri nzito iliyomfanya awe
mfu linapokuja suala la kufurahia maisha kingono.
Alikuwa kisura ambaye tangu akiwa na umri wa miaka
12 alikuwa ananyanyaswa kingono kwa kunyonyeshwa

34
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

mboo na babake mzazi. Shuleni pia mwalimu wake


alikuwa anamuingilia kinguvu. Alipokuwa na umri wa
miaka 17 kuna mwanaume alimbaka akiwa
amewaweka chini ya ulinzi kwa bastola baba na kaka.
Alipokwenda kutafuta msaada polisi, polisi
wakamuomba mapenzi ili wamsaidie. Stradella sasa
anaona mapenzi ni kero tu. Kwake, ngono haina raha
wala uradhi wa nafsi. Mara zote anapovua chupi
huwakumbuka kaka na baba na jinsi ambavyo huwa
wanamtazama kwa kinyaa na kumwambia yeye ni
kibudu – hata kwa tangawizi na limao haungiki. Baada
ya kujishauri kwa kipindi kirefu, anaamua kuwa
kahaba. Kama ngono haikupi manufaa yoyote kihisia
kwanini usiitumie kujipatia pesa?
Katika tafiti zetu za kadhia na mitazamo ya ngono
tulifanikiwa kuzungumza na wanawake wengi lakini
mahojiano yaliyotusisimua zaidi yalikuwa ni yale
tuliyofanya na kahaba mmoja wa Manzese jijini Dar-
es-salaam aliyejitambulisha kwa jina moja tu la Zai.
Miongoni mwa mambo mengi tuliyozungumza,
kisura huyu aliutetea ukahaba kwamba unasaidia
kudumisha ndoa na kuwalinda mabinti kwani
wanaume hupata msaada wa kingono kwa makahaba
pindi wanaposhindwa kuridhishwa na wake zao na
pia hupunguza mabinti kubakwa kwani wanaume
humalizia nyege zao kwa makahaba. Zai alikuwa na
roho nzuri na alipenda kuwasaidia wengine pale
alipoweza. Tuna hakika hata tabia yake ya umalaya
ilikuwa tu ni njia yake nyingine ya kuonesha wema
wake kwa wanaume waliokuwa na uhitaji.

35
Dkt. Dyaboli

MWILI WA MWANAMKE

Wanaume wanakiri kwamba kimwili wanawake ni


wazuri kuliko wao, hasa kwa kuzingatia mkao wa via
vya uzazi. Hata hivyo, baadhi ya wanawake wana
sura ambazo huvutia pindi tu wanapokuwa na hasira,
baadhi wanapokuwa na njaa, wanapokuwa

36
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

wamechoka, wanapokuwa na maumivu, na wengi


wanapokuwa na nyege.
Ni kipi basi kwenye mwili wa mwanamke
huamsha ashki kwa mwanaume? Huwezi jua
harakaharaka ni kipi kinamsisimua mwanaume yupi.
Baadhi husisimuliwa na vitu vidogodogo ambavyo
kwa wengine vyaweza kuonekana vya ajabu; vitu
kama vidole vya mikono, vibumbu vilivyotuna,
vitovu vilivyotitia, matiti makubwa, midomo minene,
macho makubwa au tumacho tudogo, nywele za
makwapani, harufu ya makwapa au ya jasho,
vinyweleo vingi, mikundu iliyobinukia nje, chuchu
ndefu; na wanaume wengine hudatishwa na vititi
vidogo, wanawake wembamba sana au wafupi sana,
migongo myembamba, vitako vidogo, miguu mifupi
na viparangoto.
Lakini uchambuzi dhati wa mwili wa mwanamke
kwa karne nyingi sasa unabaki kuwa ni Wimbo Ulio
Bora toka ndani ya Biblia Takatifu, wimbo ambao
inaaminika Mfalme Solomoni alimuandikia
mpenziwe, binti wa Farao. Kwa miaka mingi wasomi
wa kikristo wamejaribu kuutafsiri wimbo huu kiroho
wakidai si wimbo unaozungumzia mapenzi ya
mwanaume kwa mwanamke bali mapenzi ya Mungu
kwa taifa la Izraeli. Hebu tutazame walau nukuu fupi
ya wimbo huu.
Wimbo Ulio Bora 4:1-6 unasomeka hivi:
“Hakika u mzuri ewe mpenzi wangu, hakika u mzuri!
Macho yako ni kama ya hua nyuma ya shela lako,
nywele zako ni kama kundi la mbuzi washukao katika
milima ya Gileadi. Meno yako ni kama kondoo majike
waliokatwa manyoya wanaoteremka baada ya

37
Dkt. Dyaboli

kuogeshwa. Midomo yako ni kama utepe mwekundu,


kinywa chako chavutia kweli. Nyuma ya shela lako,
mashavu yako ni kama nusu mbili za komamanga.
Shingo yako ni kama mnara wa Daudi uliojengwa ili
kuhifadhia silaha… Matiti yako ni kama paa mapacha
ambao huchungwa malishoni. Hata jua lipunge, na
vivuli vikimbie, nitakuja kwenye mlima wa manemane
na kwenye kilima cha ubani…”
Mwili wa mwanamke ni chombo ghali cha muziki
ambacho ni wanaume machachari tu ndio wanajua
jinsi ya kukicheza kwa ufanisi. Hebu tutazame baadhi
ya maeneo muhimu kwenye mwili wa mwanamke
ambayo mwanaume anapaswa kuyajua na kuyatumia
kikamilifu wawapo faragha ili kufanikisha furaha
maridhawa kwa wenzi wote wawili.

Ngozi
Wakati ubongo ndicho kiungo cha ngono chenye
nguvu zaidi, ngozi ndicho kiungo kikubwa zaidi cha
ngono kwenye mwili wa mwanamke – kiungo
ambacho hupuuzwa na wanaume wengi ambao
hushughulika na matiti na kinembe zaidi.
Kusisimua ngozi ya mwili ni jambo muhimu
katika ufanyaji wa mapenzi, hasa ukizingatia hisia
iletazo inapopapaswa kwa usahihi iwe ni kwa ncha za
vidole, kwa viganja vya mikono, kwa ulimi au kitu
kingine chochote cha ziada kama unyoya na
kadhalika.

Midomo, Masikio na Shingo


Midomo minene, minyevu na laini ndio
huonekana kuchetua hisia za matamanio kwa watu

38
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

wengi. Midomo ipo ili inyonywe kwa ufundi tangu


nje mpaka sehemu ya ndani na kusugua ndimi na
kaakaa za wapenzi. Busu la kunyonyana midomo na
ndimi ni kiungo muhimu sana katika kuamsha na
kukoleza hisia za huba na mshikamano wa kiakili
kwa wapenzi.
Wanawake wengi pia wameonekana kuwa na hisia
kali katika sehemu za masikio na shingo. Unaweza
kupitisha ncha ya ulimi kwa ndani ukiifuatisha
mikunjo ya masikio wakati ukishusha pumzi kwa
mbaali na taratibu kupitia pua zako 3, au unaweza
kupitisha ncha yako ya ulimi sehemu ya nyuma ya
masikio yake ukichorachora ramani kwa kufuata
mikunjo ya masikio yake. Unaweza pia kutumia
mdomo wako wa chini na wa juu kuzibana pembe za
masikio yake au kutumia meno kuzing’atang’ata
taratibu ukishuka na kupitisha ncha ya ulimi sehemu
za pembeni ya shingo chini ya masikio na kisha
kurejea tena kwenye sikio lenyewe. Ukiwa mchezaji
mzuri na mtundu katika mchezo huu, na kama
mwanamke wako ni mmoja wa wale walio na hisia
kali katika maeneo haya ya mwili, niamini, unaweza
kumfikisha kileleni kabla hata hujamuingizia mboo
kumani.

Matiti
Miaka kadhaa nyuma rafiki yangu mmoja alikuja
na kuniambia alikuwa amekutana na mwanamke

3
usimpumulie maskioni kama vile unakimbizwa au kumlamba
kama mbwa

39
Dkt. Dyaboli

aliyekuwa na matiti matatu! Alikuwa na hofu


akiamini alikuwa amekutana na jini. Nilicheka tu
nikamwambia sio jambo la ajabu mwanamke kuwa
na matiti zaidi ya mawili. Kitabibu inaitwa polymastia,
na sio ugonjwa. Ni tofauti tu za kimaumbile.
Nusu za komamanga, vifuu vya nazi, maparachihi,
mapapai, matikiti – haijalishi yanakuwa ya saizi,
umbo au rangi gani, yote ni mazuri. Wapo wanaume
waliozoea kusema “yule demu matiti
yanashikwashikwa sana ndio sababu yamelala!” Mimi
huwa nawambia ‘kumbe yakishikwashikwa sana
ndiyo yanalala? Hebu na wewe anza kuyashikashika
yako tuone kama yatalala! Mbona mfuko wa pumbu
huwa unalegea pia na pumbu zinaning’inia kuliko
kawaida! Na zenyewe zinakuwa zimeshikwashikwa
sana?’
Matiti kuwahi kulala au ‘kuanguka’ hakuna
uhusiano na kushikwashikwa na wanaume. Matiti
yana tezi zinazohusika na uzalishaji wa maziwa, yana
vifereji ambavyo hupeleka maziwa kwenye chuchu,
yana tishu za mafuta, yana kano zinazoshikilia matiti
yako, na tishu zingine unganishi.
Umri mkubwa huathiri uwezo wa tishu na kano za
matiti; kwahiyo kadri umri unavyozidi kwenda,
lazima matiti yalale. Lakini ukiachilia mbali sababu ya
umri mkubwa, mambo yanayoweza kufanya matiti
yawahi kulala ni pamoja na vinasaba (kama mzazi
wako ana matiti makubwa na kano dhaifu),
magonjwa ambayo hudhoofisha kano na nyuzinyuzi
ndani ya ngozi, ujauzito na kujifungua (matiti hujaa
maziwa na kuzitanua kano na nyuzinyuzi za ngozi

40
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

kwahiyo hata unapokoma kunyonyesha utagundua


kwamba matiti yako yamelegea, tofauti na zamani),
uvutaji wa sigara, na mabadiliko ya ghafla ya uzito
(kunenepa sana au kukonda kwa ghafla). Ufanyaji wa
mazoezi ya mara kwa mara bila kuvaa sidiria, hasa
mazoezi ambayo hufanya matiti yarukeruke kwa
nguvu, hudhoofisha na kutanua kano za matiti,
kwahiyo yanalala mapema.
Kuna wakati pia binti wa chini ya miaka 18
anaweza kukumbwa na hali ya matiti kuendelea
kukua kwa kasi na kuwa makubwa na kulala kuliko
kawaida, hali ambayo hufahamika kama Juvenile Breast
Hypertrophy. Hili ni tatizo; linahitaji msaada wa daktari
kwani hapa binti huwa na mzigo mkubwa ambao
hupelekea ahisi maumivu ya shingo na mgongo.
Kwahiyo shangazi, haijalishi una matiti ya aina
gani; ni madogo, makubwa, yamejaa, yamesinyaa…
usijiumize kichwa – madhali hayakupi shida yoyote
ya kiafya, jivunie jinsi Mungu alivyokuumba!
Mbali na kupapaswa, kutomaswa, kunyonywa au
kusisimuliwa kwa njia nyingine yoyote wakati wa
mechi, matiti yanaweza pia kutumika kama mbadala
wa kuma kwa kupitisha mboo katikati yao na
kuibania hapo kisha mwanaume anaanza
kuishindilia4. Baadhi ya wanawake huitumia njia hii
na kuifurahia sana (wakiunganisha kunyonya mboo
na kunyonywa chuchu) kushusha ashki zao na za
wanaume wao pindi mwanamke anapokuwa kwenye
siku zake za hedhi.
4
ni muhimu kupaka vilainishi katikati ya matiti na kwenye mboo
yenyewe ili kuwezesha kuwepo kwa utelezi

41
Dkt. Dyaboli

Unakumbuka nilikugusia kuhusu mahojiano


niliyofanya na Zai? Kuna wakati tulikuwa
tunazungumzia matiti. Akaniambia kutokana na
uzoefu wake wa ukahaba kwa takribani miaka tisa
alikuwa amejifunza kwamba wanaume maskini
huvutiwa zaidi na wanawake wenye matiti makubwa,
wale wenye kipato cha kati hupenda wanawake
wenye matiti saizi ya kati, wakati wanaume matajiri
hupenda wanawake wenye matiti madogo.
Nikashangaa kwani maoni yake yalikubaliana na tafiti
takribani nne za kisayansi zilizopata kufanyika
kuhusu matiti.

Chuchu
Zabibu, lulu, mawaridi ya paradiso, vichwa vya
risasi – vyovyote utakavyoamua kuziita ni sawa.
Wanaume wengi wanahusudu chuchu. Ndiyo sababu
miongoni mwa jamii za Waswahili ni kawaida kusikia
misemo kama chuchu konzi, chuchu saa sita, chuchu
dede, chuchu msumari, na majina mengine kama
hayo. Hata hivyo, sio wanaume wote hudatishwa na
sehemu hii ya mwili wa mwanamke; wengine hujikita
zaidi kwenye maeneo mengine. Hata wanawake
wenyewe vilevile hutofautiana; wapo ambao huweza
kufikishwa kileleni kwa kuchezewa chuchu tu wakati
wengine hawana kabisa hisia kwenye eneo hili la
mwili. Wapo pia wanawake ambao hawana kabisa
chuchu, hali ambayo kitabibu hufahamika kama
Athelia.
Mbali na kutumika kunyonyesha watoto, chuchu
zipo ili zifurahiwe na wanaume kitandani;

42
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

kuminywaminywa, kuviringwa kwenye vidole na


viganja vya mikono, kupigwapigwa kwa mboo,
kutekenywa kwa ncha ya ulimi, kung’atwang’atwa
kwa meno, na kadhalika. Chuchu pia hutofautiana
kati ya mwanamke mmoja na mwingine katika
maumbo, rangi, ukubwa na zaidi katika mizunguko
yao. Kwa baadhi ya wanawake chuchu hutokea pia
kwenye makwapa, hasa katika kipindi cha ujauzito.
Na mwanamke anapokuwa anamnyonyesha
mwanaye kwa chuchu zake za kifuani, chuchu hizi za
makwapani huwa zinachuruzika maziwa pia. Ni hali
ya kawaida mwanamke kuwa na chuchu zaidi ya
mbili; wapo wanawake wenye chuchu mpaka nane.
Hazina madhara kiafya.

Mgongo, Kiuno na Matako


Mgongo wa mwanamke unaweza tumika pia kama
kichocheo cha ashki. Mwanaume anaweza kuupapasa
kwa kidole kimoja au kutembeza taratibu viwili
kwenye barabara nyembamba ya uti wa mgongo;
anaweza pia kupitisha ulimi tangu juu kabisa
mwanzo wa uti wa mgongo mpaka chini kwenye
kiuno na mstari wa mkundu, wakati mwingine
akiupuliza kwa pumzi za mbaali kupitia pua.
Anaweza vilevile kutumia vifaa bandia kama unyoya
au hata kipande cha barafu.
Wale waraibu wa matako wanajua ni jinsi gani
sehemu hii inaweza kuwa na mvuto chumbani, hasa
kama mwenye nayo anajua jinsi ya kuitumia.
Kuyatazama tu wakati wa mechi, kuyabusu,
kuyalambalamba, kuyang’ata, kuyatetemesha,

43
Dkt. Dyaboli

kuyapapasa, kuyaminyaminya, kuyapanua na


kupenyeza ulimi katikati yao ili upige Busu la
Shetani... aah! Ni shani tosha. Wanawake wachache
sana wanaweza kusisimka kwa kupapaswa au
kuminywa matako, lakini wanawake wote husisimka
kama watakutana na mwanaume anayejua jinsi ya
kuzisoma kontua na mizingo ya hisia kwenye
matako. Kila mwanamke anazo kontua na mizingo
hii; ukijua jinsi ya kuzisoma na kuchora ramani
kwenye matako yake kwa kutumia ndevu, ulimi na
ncha cha vidole vyako... Hahaa.

Kuma
Kwenye Mashairi 99 toka Gizani, shairi la Hauna
Dhambi linasomeka:
Tangu mwanzo hukupendwa, sasa kwanini uliumbwa?
Dhambi gani ulitenda? Haukuasi, haukutupwa!
Mara ya kwanza nilikuogopa.
Nilipokuona nikalia; ‘AGNUS DEI Poppa!’,
Nikatoa sadaka kwenye Pango la Chikopa.
Nilichoka kuwa soja - nikachagua kuwa king,
Nikauza roho bila gharama - nani asiyependa vingi?
Unanizika nikiwa hai nikifa unanifufua.
Unanizika tena - hadi mabubu wanaongea.
Kwako magaidi wanatubu, Marais wanasujudu.
Sio wachawi na majambazi - hadi wanadini wanakuabudu.
I love you Anticrisis.
Umenifanya show-guy haki yangu siikosi.
Naenjoy, my aunt cries.
My bros say I’m lost but damn, I’m not missing!
Una sura tofauti surako halisi ni ipi?
Majina lukuki jinako la asili ni lipi?
Sadaka yako damu najua sababu ni ipi!
Nipe ushetani maana malaika wanaboa.
Mpango ni kwenda pangoni,
Hata nikikuta ukuta sitasita nitatoboa!

44
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

Wanaokuvunjia mlango huwa unawavunja moyo,


Wanaokutumia vibaya unawapitisha kama vivuli,
Ni kweli uliumbwa kwa moto?
Naona jua usiku nikiligusa kaburi,
Nikikuona nageuka babu - ubongo unafeli,
Ukinizika narudi utoto na SIFI, naishi milele.
Hakika sijajua ningekuwa wapi bila wewe,
Unanipa mbawa nakuwa juu kama mwewe,
Ukifika wakati wa sadaka nitajitoa mwenyewe!

Mungu ni genius. Kuma isingewekewa midomo


kama haikutakiwa kunyonywa kwa ulimi. Na zipo
mpaka kuma zenye meno. Sio hadithi za kubuni; ni
kweli. Baadhi ya wanawake hupata vivimbe ndani ya
kuma, vivimbe ambavyo huwa na meno ndani yao.5
Kuma ni pango la miujiza. Kuma ni papa
anayemmeza nyangumi. Kuma ni lango la peponi na
lango la kuzimu. Kuma ni mgodi wenye kila aina ya
madini. Kuma ni kaburi ambalo mboo zinazikwa;
ndiyo sababu chupi za wanawake huwa zina maua. Si
unajua mashada ya maua huwekwa kwenye
makaburi? Baadhi ya wanawake huwa na hofu
kwamba kuma zao haziko kawaida, lakini kusema
kweli, kwenye mwonekano wa kuma hakuna
kawaida. Ziko tofauti kimaumbo, kwa saizi na rangi.
Hata manukato yao pia yanatofautiana. Kama umbo
au mwonekano wa kuma yako haukusababishii
maumivu au kero, basi kuma yako iko sawa; hupaswi
kuwa na wasiwasi. Utofauti huu wa mionekano ya
kuma umeelezwa sana kwenye miswada dhati ya kale.
Alfu Lela Ulela inaeleza:

5
hali hii kitabibu hujulikana kama Vagina dentata

45
Dkt. Dyaboli

‘Zote tatu zilikuwa za kupendeza – kila moja ikiwa na


mvuto wa aina yake. Ya kwanza ilikuwa na kibumbu
kilichotuna na kuwa kama tako la mbele, midomo yake ya
ndani ikionekana kwa mbali kana kwamba kuma hii ilikuwa
ikitabasamu. Ya pili ilikuwa imechanua kama waridi
adhimu la pinki linalodondosha theluji likielekea kuwa
jekundu, midomo yake ya ndani ikiwa imetokeza nje na
kuning’inia kwa chini. Ya tatu ilikuwa kama bahari tulivu
iliyozungukwa na magugu, kinembe chake kikubwa
kikitokeza kama ngalawa iliyotoka masafa marefu.’
Mazingira ya nje ya kuma yanaweza pia kuongeza
mvuto wa Mungu huyu wa Gizani. Kibumbu
kilichojaa sugu na makovu kinakera. Wengine
huvutiwa na mavuzi mengi au marefu, wengine
husema mavuzi ni uchafu na wengine hupenda
yapunguzwe tu wakidai kiparangoto hufanya mbunye
ionekane kama ya mtoto. Binafsi napenda mavuzi
yanyolewe aidha kwa mtindo wa kiduara, kijogoo,
pembe tatu, kipepeo, msalaba au X! Kwenye Mashairi
99 toka Gizani, shairi la Pete ya Miujiza linasomeka:
‘Mmeo alikuvisha pete ghali kidoleni,
Pete iliyozungushiwa kito adimu cha thamani,
Wewe ulimpatia kitu chenye ubora wa milele,
Pete ya miujiza iliyozungushiwa nywele.’
Mbilikimo akisimama mbele yako halafu akasema
nywele zako zinanukia vizuri, jua anazungumzia
mavuzi yako. Kwa baadhi ya watu rangi ya mavuzi
huwa tofauti na rangi ya nywele za kichwani. Hii ni
kwasababu mwanadamu anaweza kuwa na nywele za
rangi tofautitofauti katika maeneo tofauti ya mwili
wake.6
Wanawake wengi hufurahia kunyonywa kuma na

6
hii kitabibu inaitwa heterochromia, na sio tatizo

46
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

wenzi wao. Hata hivyo, wengi walio na kiwango


kidogo cha elimu huona ngono ya mdomo ni uchafu.
Lakini kimsingi wanadamu sio viumbe pekee ambao
hufurahia ngono ya mdomo; simba, chui, dubu,
popo na sokwe ni miongoni mwa viumbe vingine
ambavyo pia hufanya ngono ya kunyonyana au
kulambana via vya uzazi.
Mwanamke anapokaribia kufika kileleni sehemu
za ndani ya pua huvimba (kwahiyo njia ya hewa
inakuwa ndogo ndiyo sababu analazimika kuachama
ili kuhema kwa mdomo. Wanawake wenyewe huwa
hawalijui hili. Katika hatua hiyo sehemu ya ndani ya
kuma huvimba pia, na kuifanya kuma kupungua saizi
kwa takribani 30%. Kwahiyo anapokaribia, pamoja
na ishara zingine, kuma yake itaikumbatia mboo kwa
nguvu zaidi.
Wapo wanawake ambao huzaliwa wakiwa na
kuma mbili. Na mara nyingi hawa vilevile huwa na
mifuko miwili ya uzazi. Kitabibu hali hii hujulikana
kama uterine didelphys. Takwimu zinaonesha katika
kila wanawake 1000, mwanamke 1 huwa ana kuma
mbili. Kwahiyo kama wewe una kuma mbili, Salaam!
Umebarikiwa kuliko wanawake wengi. Nimewahi
kukutana na dada mmoja ambaye alikuwa hivi, na
alikuwa anajiamini kwelikweli. Akasema kuma moja
ilikuwa ni kwaajili ya mmewe, nyingine ilikuwa ya
biashara.

Kinembe/Kisimi
Fikiria unabeba ujauzito unaulea vizuri mpaka
unatimu miezi tisa bila shida. Unaingia wodini

47
Dkt. Dyaboli

unajifungua vizuri, halafu unapoulizia mtoto wako ni


jinsia gani, mkunga anashindwa kukujibu.
Kwasababu mtoto ana kuma halafu palipotakiwa
kuwa na kinembe pana kichwa cha mboo! Wapo.
Kitabibu wanaitwa Hermaphrodites. Kama wewe uko
hivi, usione haya; hii haimaanishi huvutii kama
wanawake wengine... inamaanisha uko tofauti, na
huo utofauti wako unakufanya uwe spesho!
Isitoshe, kinembe ni mboo ya mwanamke. Hii ni
kwasababu mwanadamu anapokuwa angali kiini-tete
ndani ya tumbo la mamaye, kinembe huwa kinaanza
kuumbika toka kwenye tishu ileile ambayo huumba
mboo. Ndiyo sababu ncha ya mboo na ya kinembe
zina miitikio sawa: zote zina hisia kali
zinaposisimuliwa, na kama ambavyo mwanaume
anapokuwa na nyege mboo hudinda, vivyo hivyo
mwanamke pia anaponyegeka kinembe hujaa damu
na kuongezeka ukubwa.
Kiungo hiki kidogo, ingawa ni cha muhimu sana
katika kumpa mwanamke raha, huwa
hakizungumziwi sana kwenye kazi za erotika.
Kinembe ndicho kiungo pekee kwenye mwili wa
mwanamke ambacho kazi yake pekee ni kumpa raha
ya ngono; hakina kazi nyingine. Kuna wakati huwa
najiuliza kwanini kiliwekwa ikiwa lengo la ngono ni
kuzaliana tu kama wanadini wanavyotaka tuamini.
Kuna kipengele kimoja cha kusisimua kwenye
Ujinga wa Baba, ambacho ni muhimu kukinukuu
kwani ni jambo ambalo huwatokea wapenzi wengi
wawapo faragha. Sumaku anajaribu kukitafuta
kinembe cha Tufaha bila mafanikio. Mwandishi

48
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

anaandika;
“Sio hapo…juu kidogo…hapohapo! hapohapo!...haya
nenda taratibu. ..hapana, chini. Chini! Oh! Oooh!” Tufaha
alitoa sauti fulani za raha halafu akalaani. “Mpenzi, sijui
shida iko wapi! Mara zote huwa unakishughulikia vizuri.”
“Nadhani hakipo hapa mpenzi,” akajitetea Sumaku.
“Hapana, kipo! Sijui tu leo una tatizo gani mpenzi wangu.
Kipo! Kinyonye vizuri baba!”
“Najaribu mpenzi. Ngoja nijitahidi. Mh! Kitakuwa kimehama
mpenzi!”
“Kinahamaje sasa? Kipo! Naona tu leo hauko sawa
mpenzi wangu!”
Yamkini wewe pia imewahi kukutokea unajaribu
kusugua kisimi cha mpenzi wako katika kupeana
raha halafu akakwambia ‘shuka chini kidogo’ au ‘juu
kidogo’ au bila kusema chochote akaushika mkono
wako akausogeza mwenyewe sehemu sahihi ilhali
wewe ulikuwa unaona umekigusa na unakisugua kwa
usahihi. Kisimi huwa kinahama!

Miguu na Nyayo
Wanaume wanatofautiana katika mitazamo ya upi
ni mwonekano bora wa miguu ya mwanamke.
Wengine wanapenda miguu mirefu; wengine
myembamba; wengine wanapenda mifupi yenye
nyama kiasi; wengine wanapenda minene; wengine
wanapenda yenye vinyweleo vingi; wengine hawajali
mwanamke ana miguu ya aina gani madhali
wamempenda; wengine wanapenda mapaja
yaliyojaajaa; wengine ilimradi mwanamke awe na
mapaja meupe basi inatosha kuwavutia.
Kwenye ngono miguu inaweza kutumika
kuchochea utamu wa mchezo wenyewe hasa kipindi
cha maandalizi. Unaweza kumpitishia unyoya,
49
Dkt. Dyaboli

kumtomasa au kumtekenya kwa ncha ya ulimi wako


kwenye sehemu za nyuma za miguu yake, hasa
kwenye mikunjo ya magoti na katikati ya mapaja
yake; Unaweza kumnyonya kidole gumba cha mguu
au kushindilia taratibu kidole chako cha mkono
katikati ya kidole gumba chake cha mguu na kidole
kinachofuata; Unaweza kumpapasa, kumtekenya au
kumpitishia ncha ya ulimi kwenye nyayo zake wakati
huohuo ukiendelea kumpapasa sehemu zingine za
mwili wake, n.k. Vile tu mwanamke anavyokuwa
ananyonganyonga miguu yake akiibebanisha kisha
kuipishanisha, kuikunja na kuikunjua, kisha kuipanua
na kuibana – yaweza kuwa shani kuu ikiwa
mwanamke ana ujuzi wa sanaa hiyo.

Harufu na Ladha
Kisayansi, wanaume wanao uwezo wa kunusa na
kutambua kama mwanamke ametoka kufanya ngono
– ingawa huwa hawawezi kujua moja kwa moja
kwamba wameinusa harufu hiyo. Badala yake, harufu
hii huwafanya wavutiwe zaidi na mwanamke huyo na
kujikuta wakitamani pia kufanya naye ngono.
Yamkini katika maisha yako shangazi umewahi
kuchepuka ukaliwa na mwanaume mwingine na mara
tu baada ya kurejea nyumbani mmeo naye
akakuomba mechi. Hakukuomba kwasababu alihisi
ulitoka kuliwa, la hasha, ni kwamba alikutamani
baada ya kuwa ameinusa harufu hiyo pasipo kujua
kwamba alikuwa ameinusa. Hii ndiyo sababu
wanaume wengi huvutiwa na makahaba!
Harufu au manukato asilia ya mwanamke mara

50
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

kadhaa yamekuwa moja ya vitu vinavyowavutia


wanaume. Hapa nazungumzia manukato asilia ya
mwanadamu, manukato ambayo kila mmoja anayo
yake tofauti na watu wengine wote duniani.
Mwarabu mmoja alimuusia bintiye wakati
akimkabidhisha kwa mmewe: ‘Mwanangu, siku zote
jipulizie marashi ya maji safi!’ akimaanisha bintiye
alipaswa kusafisha mwili wake mara kwa mara kwa
maji safi kwani marashi mengine yaweza yasimvutie
mmewe!
Hata harufu ya kuma ina mvuto wake; sasa
wadada wa leo unakuta wanazisugua kwelikweli
kuma zao na wengine wanaziosha kwa madawa.
Kuma inakuwa haina mvuto tena maana inakuwa
kama ya mtoto. Kuma gani haina hata harufu ya
kuma?
Mwisho, kwenye harufu tunahusisha pia ladha na
jinsi desturi ya kulamba mwili wa mwanamke na
kunyonya maeneo kadha wa kadha inavyoongeza
udambwidambwi kwenye mchakato wa kufikishana
peponi. Kwenye The Girl Beneath the Lion, Andre
Pieyre de Mandiargues anatwambia wakati mwingine
Giacomo alikuwa anamkalisha Vanina juu kwenye
ngazi kisha;
“…analamba nyayo zake, anapitisha ulimi katikati ya
mapaja yake, anamlamba tumbo na kunyonya kitovu
akibweka kama farasi na kutishia kwamba Vanina alikuwa
mtamu kiasi kwamba alikuwa anatamani amle, amtafune
mpaka mifupa.”
Tuhitimishe kwa kukumbushana kwamba
mwanaume anapaswa kuwa mdadisi kwa kutafiti
mwili wa mwanamke wake kubaini eneo lipi lina

51
Dkt. Dyaboli

hisia kali ili aweze kumpa raha maridhawa. Wapo


wanawake ambao wana hisia kali kwenye maeneo ya
uso, kwenye nyusi au kope, kwenye viwiko vya
mikono, kwenye tumbo au kitovu, kwenye kibumbu,
kwenye msamba, kwenye kiuno, kwenye mbavu,
kwenye macho, wengine hisia zao zipo kwenye
nywele, na kadhalika. Tafiti za kisayansi zimeonesha
kwamba wapo wanawake wengi ambao wanaweza
kufikishwa kileleni kwa maeneo haya kuchezewa tu
kwa ufanisi bila hata ntutu kuingizwa kwenye huu-
ha!

52
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

DONDOO ZA CHUMBANI

Kwenye Mashairi 99 toka Gizani, shairi la


Mwanamke Lazima Apigwe linasomeka:
Ni sheria ya Mungu, kwanini asipigwe?
MWANAMKE LAZIMA APIGWE!
Akiwashwa inabidi akunwe.
Kama humpigi, atachokoza mtaani apigwe,
Njia yake nyembamba, akifungua mdomo, piga!
Funga, chomachoma, nyonga!
MWANAMKE LAZIMA APIGWE!
Ah, ah! Ngoja kwanza...
Sio magumi, sio mapanga, NO! - sio kumcharaza,
Mpige kwa mboo kumtuliza.

53
Dkt. Dyaboli

Urijali Maana Yake Nini?


Mboo iko kama mbweha; siku zote inao uhai wa
ziada. Hii ndiyo sababu wakati fulani ngono
hutakatifuzwa na kutazamwa katika mtazamo wa
Kifo na Ufufuo (unafika kileleni, mboo inalala, baada
ya muda inasimama tena). Wengine huitazama katika
mfumo wa Mzunguko wa Dunia (jua linazama,
baada ya muda linachomoza tena).
Ndani ya majuma mawili tu mwanaume anao
uwezo wa kuzalisha mbegu za kuweza kuwatia
mimba wanawake wote walio na uwezo wa kushika
mimba hapa duniani. Sitanii. Kwa kila tendo moja la
ngono mwanaume humwaga kijiko kidogo kimoja
hadi viwili vya shahawa, ambavyo huwa na takribani
mbegu milioni 100 hadi 200. Kwa sasa dunia
inakadiriwa kuwa na jumla ya watu bilioni 7.8, wakati
ndani ya majuma mawili mwanaume anaweza kutoa
zaidi ya mbegu bilioni 7.1 kama atakuwa anamwaga
mara 3 tu kwa siku. Sijui unanielewa? Hii ni kusema
mwanaume mmoja anao uwezo wa kutoa takribani
geleni 14 za shahawa katika maisha yake yote,
ambazo huwa na mbegu takribani bilioni 523!
Lakini urijali sio uwezo wa kuwatomba wanawake
wengi au kuwatia mimba, bali ni uwezo wa kudhibiti
mdindo wako kwa muda wa kutosha ili kuweza
kumfikisha mpenzi wako kileleni.
Kwa wengi ukubwa wa mboo ni jambo lenye
umuhimu na uhusiano mkubwa na urijali, na
mwanaume mwenye mboo kubwa huwa anaiamini

54
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

mboo yake kuliko hata anavyomwamini Mungu.


Wale walio na mboo ndogo mara nyingi wamekuwa
wakikosa kujiamini.

Upi ni Ukubwa Sahihi wa Mboo?


Kuna kijana aliwahi kuja hospitali akihitaji dawa ya
kurefusha mboo yake. Nikamuuliza sababu akasema
alitaka kuweka neno 'mbooyangu' kuwa paswedi
kwenye kompyuta yake mpya, kompyuta ikakataa
ikamwambia 'Fupi Sana.'
Tafiti zinaonesha wanaume wengi hawana uelewa
sahihi wa kipi ni kiwango sahihi cha mboo. Hii
imewajengea hofu kwamba mboo zao ni ndogo na
hivyo haziwezi kuwaridhisha wanawake.
Wafanyabiashara wa madawa ya kukuza mboo
wanajaribu kuwaaminisha wanaume kwamba kuwa
na mboo kubwa ndiyo njia ya kumridhisha
mwanamke. Lakini tafiti vilevile zimeonesha kwamba
wengi wa wanaume wanaoamini kwamba mboo zao
ni ndogo sana kiuhalisia huwa wana saizi ya kawaida
ya mboo. Wanachokosea ni kwamba wanapima
ukubwa wa mboo zao wakati zikiwa zimesinyaa.
Mboo inaweza kuonekana kubwa inapokuwa
imesinyaa halafu ikaongezeka kidogo tu
inaposimama. Baadhi ya mboo hufichama na
kupotelea kabisa kwenye viuno vya baba zao pindi
zinapokuwa mapumzikoni. Zinaposhtushwa
zikasimama… Haleluya! Inastaajabisha Mungu
anavyoweza kuficha silaha za maangamizi katikati ya
mapaja ya mwanaume.
55
Dkt. Dyaboli

Kuhusu ipi ni saizi sahihi ya mboo, Almasi ya


Kijani inafafanua:
“Urefu wa kawaida wa mboo ni kuanzia inchi 5
(sentimita 13) na kuendelea inapokuwa imesimama.
Kama mboo yako ina urefu wa chini ya inchi 3
inapokuwa imesimama, hapo ndiyo kitabibu tunasema
una kamboo, au 'kibamia' (micropenis).
Kwa wastani, urefu wa kuma tupu ni kati ya
inchi 2.75 hadi inchi 3.25 katika hali ya kawaida.
Mwanamke anaponyegeka kina cha kuma huongezeka
na kuwa kati ya inchi 4.25 hadi inchi 4.75 (sentimita
7.5 mpaka 10). Kwahiyo kwa malengo ya kuingiliwa
kingono tunaweza kusema urefu wa kuma ni sentimita
10. Kwa upande mwingine, urefu wa kawaida wa
mboo iliyosimama ni kati ya sentimita 11.7 mpaka 15,
lakini mara nyingi wakati wa kunyanduana mboo
huwa haiingizwi yote, na isitoshe ni theluthi ya nje ya
kuma ndiyo huwapa wanawake wengi raha maridhawa
ya ngono.
Kuna usemi wa Kilatini unasema;
‘Noscitur a labiis quantum sit virginis antrum;
Noscitur a naso quanta sit hasta viro.’
Ambao tafsiri yake ni kwamba:
‘Mdomo wa mwanamke huakisi muundo wa kuma yake;
Pua ya mwanaume huakisi ukubwa wa mboo wake.’
Tunaweza kuongezea hapa;
‘Na nyusi huakisi uotaji na mwonekano wa mavuzi.’

Uhanithi waweza tokana na zuio fulani


linalochimbukia kwenye akili ya mwanaume. Kwenye
Ujinga wa Baba, Sumaku anakutana na rafiki yake wa
zamani, Mahfudh, kwenye mgahawa mmoja
mashuhuri jijini Mbeya. Katika mazungumzo yao
marefu Mahfudh anamwambia kwamba anahisi ndoa
yake inaparaganyika kwasababu hawezi tena

56
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

kudindisha kwa umadhubuti. Anahisi huu ndiyo


mwisho wa uanaume wake. Lakini Sumaku
anamkumbusha, kama kwa kumkaripia hivi, juu ya
urijali aliokuwa nao na jinsi alivyokuwa ‘anatembeza
rungu’ wakati wakisoma Chuo Kikuu cha Alexandria;
“Wanawake wote uliowala walikuwa wanateseka baadaye
wakililia nafasi nyingine. Sasa iweje ushindwe leo ilhali
umesema umefanyiwa uchunguzi huna tatizo lolote la
kiafya? Nisikilize vizuri kaka, ngono iko kichwani.
…unaanza kudindisha kichwani kabla hujadindisha ndani
ya suruali!”
Mtazamo wa wanasaikolojia wengi unakubaliana
na mtazamo huu wa Sumaku. Wengi wanakiri
kwamba moja ya vyanzo vikuu vya upungufu wa
nguvu za kiume ni hofu ya kwamba unaweza kuwa
na tatizo hilo tayari au pengine liko njiani laja, hofu
ambayo hutokana na kusikia mara kwa mara kwamba
tatizo hili tayari linawakumba wanaume wengi.

Wanachotaka Wanawake Kitandani


Kulikuwa na binti mmoja aliyeitwa Eliza,
Aliamua kutoka na Fundi-majeneza,
Binti alijua angeweza,
Nyani kuruka kwenye miti anaweza!
Lakini siku hiyo miti yote iliteleza,
Msumari inchi tisa – bila pete ya kuupoza,
Binti koo lilikauka wakati msumari ukitoboza,
Fundi alifikiri anatengeneza jeneza,
Kumbe mteja wa jeneza,
Ooh, Ebeneza!
Mpaka binti akaanza kuona kiza,
Fundi alivyogongelea msumari kiingereza,
Almanusura amuue Eliza!

57
Dkt. Dyaboli

Hicho ni Kisa cha Fundi-majeneza kwenye Mashairi


99 toka Gizani.
Kwa mujibu wa vitabu, majarida na makala nyingi
za kimahaba, kitandani wanawake wanapenda mboo
kubwa, si kingine. Uhalisia umepindishwa kiasi
kwamba watu wengi wanaamini kuna ukweli katika
dhana hii. Hata hivyo, ukweli ni kwamba wanawake
wengi wanapokuja hospitali kuhusiana na masuala ya
ngono huwa hawalalamiki kwamba wenzi wao wana
mboo ndogo, huwa wanalalamikia hekaheka na taabu
wanazopata wakati wa ngono - kashkashi ambazo
hutokana aidha na kuma kuwa na kina kifupi, au
kuwa inabana sana au kama mwanamke husika ana
prolapse.
Kwenye Journey to the End of the Night, Celine
anatueleza kuhusu mwanafunzi mmoja wa utabibu
aliyekuwa anajipatia pesa kwa kufanya maonesho ya
mboo yake. Alikuwa anapata mialiko kwenye sherehe
ndogondogo kando ya miji na wanawake walikuwa
wanavutiwa sana na sherehe hizi. Rekodi za polisi
zinamtambua mwanafunzi huyu kwa jina la John
Thomas. The 120 Days of Sodom pia ina kisa
kinachoshabihiana na hiki. Hata hivyo rekodi
zinaendelea kutanabahisha kwamba huyu John
Thomas hakuwa mzuri kitandani. Wanawake
waliokwenda kuionja ladha ya mti wake wa uzima
walijutia kupoteza muda wao.
Mwanamke yeyote ambaye amewahi kujaribu
anajua ni jinsi gani ulivyo mtihani mgumu kumwacha
mwanaume anayejua jinsi ya kumgegedua vizuri

58
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

mpaka akaridhika hata kama hampendi kwa dhati au


mwanaume huyo ana mboo ndogo kiasi gani. Hii ni
kusema; linapokuja suala la kumridhisha mwanamke
chumbani, ukubwa wa mboo hauwezi kuchuana na
ufundi! Hata uwe na mapesa au unampenda na
kumpa zawadi ghali kiasi gani, kama humtoshelezi
kitandani atatafuta anayeweza kumridhisha. Kwenye
Ring of the Dove, Ibn Hazm anagusia kweli hii:
Siku moja Mussa ben Mesab alikwenda mjini kumwona
mwanamke mmoja ili amwombe amuuzie mtumwa
mmoja. Mwanamke huyu alikuwa ni mrembo asiye na
kifani na vilevile alikuwa tajiri hasa. Lakini Mussa
alipofika nyumbani kwa huyu bibie alimwona
mwanaume mmoja aliyekuwa na sura mbaya na
kibiongo kikali. Akauliza yule mwanaume alikuwa
nani na mwanamke huyu bila kusita akamjibu; “Huyu
ni mme wangu, kipenzi cha roho yangu.” “Huu ni
utumwa mbaya zaidi,” akasema Mussa,
“Unajidhalilisha sana, na hata Mnyaz Mungu
aliyekuumba atakuwa anasikitika!” Mwanamke huyo
akatabasamu na kujibu; “Kaka yangu, kuna uzuri
katika kila kosa. Kama ingewezekana mwanaume
huyu akufanye nyuma vile anavyonifanya mimi mbele,
hakika ungeuza mali zako zote ukamkabidhi mapato
yote, na ulemavu wake ungekuwa urembo akilini
mwako.”
Jambo hili si geni. Yamkini hata wewe umewahi
kuona mwanamke mrembo kwelikweli akiwa kafa-
kaoza kwa mwanaume wa kawaida sana, tena ambaye
ni kapuku anayepukutika na ananuka vumbi… hadi
ukabaki unajiuliza ‘bibi huyu kampendea nini bwana
huyu?’ Hahaa. Hujui? Anamtomba vizuri!

59
Dkt. Dyaboli

Ukipata Mwali, Kuwa Mwalimu!


(Mwanaume Anapaswa Awe Fundi Kiasi
Gani Kumridhisha Mwanamke?)
Zingatia jinsi mwanaume anavyokula au
anavyokunywa vinywaji vyake; kama ni mtu wa
harakaharaka, basi hata kitandani yuko hivyo pia –
chap tu, anamaliza na kulala.
Dhambi ya kwanza na kubwa zaidi wanayotenda
wanaume wengi chumbani ni kwenda kufanya
mapenzi baada ya kuwa wamekula chakula kingi
matumbo yamejaa. Zile kauli za Mpenzi kula ushibe
halafu uje ule ndizo huwafelisha wanaume wengi
chumbani. Mdindo madhubuti wa mboo unahitaji
mtiririko wa kutosha wa damu toka kwenye moyo
kuelekea kwenye mboo. Unapokuwa umekula
umeshiba, mwili huelekeza mtiririko mkubwa wa
damu kwenye tumbo na ogani zingine zinazohusika
na mmeng’enyo wa chakula, kwahiyo huwezi kupata
mdindo madhubuti wa muda mrefu. Matokeo yake
utaamini au utaonekana una upungufu wa nguvu za
kiume, kumbe sivyo. Ni mchezo gani wachezaji hula
wakashiba kisha wakaingia uwanjani na wakafanya
vizuri?
Mwanaume mjuzi wa ngono anapokuwa
chumbani na mpenzi wake huwa hatombi kuma;
anatomba ubongo! Mwanamke akikufungulia
mapaja, hakikisha unaingia mpaka unaugusa moyo
wake. Mle vizuri mpaka ashindwe kudhibiti sauti
yake; apige vigelegele. Mfanyie mambo ambayo
60
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

godoro la akili yake halitoweza kamwe kuyasahau!


Chumbani mwanaume ni mpiga-kasia kwenye boti
ndani ya Bahari ya Huba. Anapaswa kupiga kasia
lake vizuri ikiwa anataka yeye na abiria wake wafike
mapema na kwa furaha wanakokwenda. Kuweza
kulifanikisha hili, anapaswa kuzijua mbinu za kupiga
kasia na kuzingatia mwelekeo wa upepo. Ngono
ndiyo mchezo pekee duniani ambao ushindi wake wa
kweli hupatikana kwa pande zote mbili kutoka sare
ya magoli.
Maandalizi sahihi na ya kutosha sio tu ni muhimu,
NI LAZIMA, kama unataka mfurahie mechi yenu.
Mwili ulioandaliwa vema na akili iliyo tayari ndivyo
msingi madhubuti katika kufurahia ngono.
Usikurupuke tu na kuanza kushikashika matiti na
kinembe, au kuingiza kidole kwenye kuma, au
kumpiga makofi matakoni, au kumkunja nusu ya
kumvunja. Huo ni ubakaji! Pumbavu!
Ili kuepuka kutumia maneno yasiyo sahihi
ukaharibu, tumia zaidi mipapaso kuliko maneno.
Kitendo tu cha kuushika kwa usahihi mkono wa
mwanamke kinaweza kumwamshia ashki kuliko
kumwambia nahau elfu za mapenzi. Kumshika au
kumpapasa ukiongezea na busu,... utajifunza zaidi
kwenye kipengele cha Maandalizi ya Mechi.
Kuna vitu ukimfanyia mwanamke faragha hata
mkipotezana miaka ishirini ataendelea
kukukumbuka. Hii ni kwasababu hata mapenzi ya
kweli hufa; lakini ngono ya kweli haifi kamwe. Ndiyo
sababu kuna watu hulalamika kuwa wenza wao
wamerejesha mahusiano na wapenzi wao wa zamani.

61
Dkt. Dyaboli

Hawajui chanzo cha tatizo. Kama humfanyii mwenzi


wako zaidi ya yale aliyokuwa akifanyiwa [chumbani]
na mwenzi wake wa zamani, unategemea nini?
Tumia sana maziwa mtindi; yatakusaidia uwe
mzuri kitandani. Kwasababu ukiweza kula mtindi
huwezi kuwa na kinyaa kitandani. Fikiria mwanamke
wako anakata gogo umekaa unamwangalia, akimaliza
unasogea kwa upendo unamtawaza. Ni uchafu, sio?
Rejelea maneno Uchi na Uchizi, Uchi na Uchafu.
Mapenzi ni uchafu, ni ujinga, na ni uchizi. Ndiyo
sababu unaweza kumnyonya mkundu mwanamke
lakini kijiko cha chakula kikidondoka tu chini,
unaomba ubadilishiwe. Na ni mambo haya ndio
huacha kumbukumbu za kudumu kwenye akili ya
mpenzi. Ni kama kucheza muziki pamoja mkiwa
uchi. Huwezi kukisahau kitendo hicho.
Kumskiza mwanamke kwa maskio, macho na
hisia ili kubaini anataka nini kitandani ni jambo
muhimu sana. Kamwe usidanganyike na yale
mapenzi ya kwenye filamu za kizungu ya kuvunja
vyombo, kubananishana ukutani na kushambuliana
midomo kama mbwa-koko jalalani. Kwenye maisha
halisi hakuna mapenzi ya aina hiyo. Vilevile
usijiaminishe kwamba mbinu zilizomridhisha
mwanamke fulani zitamridhisha mwanamke
mwingine vivyo hivyo. Wanawake hawafanani.
Mmoja anaweza kuwa na hisia kali kwenye chuchu
halafu mwingine chuchu zake zikawa butu kabisa.
Kwahiyo unapokuwa kitandani unapaswa kuwa
mtoto - kuwa mdadisi. Na ni kupitia udadisi ndiyo
unaweza kujifunza na kujua zaidi. Baadhi ya

62
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

wanawake hupenda kuambiwa maneno machafu,


baadhi kupigwa makofi matakoni, kukabwa shingo
au kuvutwa nywele, wengine husisimka kwa
kuambiwa maneno matamu, n.k.
Hata miitikio yao kingono pia iko tofauti kwa
kutegemea mazingira, malezi na makuzi yao. Wale
waliolelewa kwa kudekezwa kitandani utawasikia
wakisema maneno kama Bebi usiingize yote! Ingiza
kichwa tu! Waliolelewa na wazazi wakali hupendelea
kutumia maneno kama mama, baba, n.k. Ngoma
ikikolea huwa wanatoa vilio flani hivi vinaenda na
biti; ukivipeleka studio kwenye wimbo vinafaa sana
ku-harmonize. Waliopitia malezi ya kidini hutumia
maneno kama Mungu, Yallah, Mtume, Yesu, n.k.
Hawa ndio wale unaweza kujituma ukamkuna vizuri
kwelikweli, halafu hakumbuki kutaja jina lako bali
anakuwa anasema tu Oh Sweet Jesus! au Mtumee! au
Mungu wangu weee! au Ahsante Yehova! Pumbavu
kabisa! Yaani shughuli nafanya mimi halafu
unawataja wengine! Wale wadada waliokulia maisha
magumu huonekana kukomazwa au kufanywa sugu
na maisha. Hawa kitandani huwa hawalalami bali
hutoa miguno tu kama ya ngoma za jadi Mh! Mh! na
milio ya ‘Sssssss’ kama nyoka. Wasomi huwa na
vingereza vingi sana kitandani. Hawa utawasikia
wakitumia maneno kama Oh yeah!, So sweet!, Fuck me
baby!, Give it to me!, Right there, n.k. Watoto wa mjini
almaarufu kama wadangaji - wale waliozoea kupiga
picha wametoa ulimi nje au wamebinua kisigino
kimoja - hawa huwa wanayajua vizuri maigizo ya
ngono. Huyu anaweza kukwambia hapohapo bebi!

63
Dkt. Dyaboli

Mboo yako tamu! kabla hata hujamuingizia mboo.


Wale ‘watoto wa mbwa’, yaani wadada waliokulia
uswahilini sana, hawa huwa wana mabalaa.
Wanajituma kwelikweli na huwa hawana tafsida;
utawasikia Tomba baba! Sukuma yote! Ipige kisawasawa!
Hii kuma ni yako baba, shindilia! Chochea baba, chochea!
na maneno mengine kama hayo. Hawa ndio huwa
wanapenda ngono ya fujo na kumwagiwa shahawa
usoni; au akiona unaelekea kuvunja yai anajichomoa
chap anakuwekea ulimi umvunjie yai mdomoni. Na
anameza! Wadada wa mkoa wa Arusha wako hivi
pia.
Yaelewe kwa undani yale maeneo muhimu
kwenye mwili wa mwanamke tuliyoyajadili kwenye
kurasa zilizopita. Nimesema wanawake hawafanani;
kwahiyo ni kwa kupitia udadisi ndiyo utaweza
kubaini maeneo yapi yanampa msisimko mkubwa
zaidi mwanamke wako.
Wanawake hufurahia sana kusisimuliwa maeneo
hayo lakini wengi wao hawawezi na wengine
hawapendi kusema; wanataka upambane uyabaini
mwenyewe maeneo hayo. Kwenye mapenzi hakuna
kinyaa. Zile ambazo wewe unaweza kuona ni harufu
au uchafu ndio wengine zinawapandisha mizimu yao
ya ngono. Nakuapia; omba kamwe mkeo/mpenzi
wako asikutane na mwanaume asiyejua kinyaa au
uchafu chumbani. Mtakuwa mnagombana kila siku!
Niliwahi kumla mwanadada fulani Mheshimiwa
(mwanasiasa). Baada ya kuwa nimemvua nguo
nilimfunga kamba kitandani kwa kumchanua; mkono
kwenye pembe hii ya kitanda, mkono mwingine

64
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

kwenye pembe nyingie, na miguu hivyohivyo.


Nikamfunga kitambaa chekundu machoni halafu
nikaanza kumsulubu kwa michezo ya kishenzi.
Alijinyonganyonga, akacheza kwasakwasa, mayenu,
sindimba, akatetemeka, kisha ghafla nikasikia
“Menemene tekeri na peresi!” akaanza kunena kwa lugha!
Akainua kiuno juu kwa nguvu, ulimi wangu ukaenda
naye hukohuko. Akakishusha kwa nguvu na
kukibamiza kwenye godoro. Nikazidisha ushenzi.
Dada wa watu akaanza kulia akinibembeleza niingize
mboo. Nikamwambia taratibu, tutafika tu.
Nilipoanza kumnyonya mkundu huku nikiwa
namtikisa kibumbu na wakati huohuo mkono
mwingine unashughulika na maeneo mengine hatari
kwenye mwili wake, alipagawa dada wa watu;
akaanza kuukatikia ulimi wangu akiimba Wimbo wa
Taifa bila kutamka maneno. Nikaingiza kidole
kumani nikawa nambonyeza Graffenberg spot wakati
nikiendelea kumnyonya mkundu na kumtetemesha
kibumbu. Akaongeza kasi ya kukatika halafu ghafla
akakakamaa, akainua tena kiuno juu, nikasikia
anapayuka “Yeeessu!” akarusha maji toka kumani
halafu akapigiza matako kwa nguvu kwenye godoro.
Akazimia. Kama unasoma kitabu hiki, unajijua.
Wanandoa wengi huchokana haraka kwasababu ya
kutojiongeza. Mwili na akili vina desturi ya kufurahia
na kuitikia kwa uzuri zaidi vitu, mambo au hali
tofautitofauti (sio kitu kilekile kila siku). Hata dawa
inapotumika sana, mwili huizoea na inakuwa haifanyi
kazi. Sasa nyinyi miaka mitano, kumi, mnatombana
kwa mfumo uleule, ndani ya chumba kilekile, kisa eti

65
Dkt. Dyaboli

ni nyumba yenu... Acheni ujinga! Ndiyo maana


ukichepuka unaona ya nje ni matamu kuliko ya
nyumbani. Nimekwambia kule mwanzo; mambo
yasipokuwa mazuri chumbani ni ngumu kuwa
mazuri sebuleni. Inafikia hatua ubongo unazoea,
ngono inakuwa inaboa! Anaanza kukupiga chenga
kwa visingizio kibao kila unapoomba tunda. Wakati
mwingine hata akikupa, mnapiga mechi dakika tatu,
kuma imekauka; mnaanza kuhangaika na vilainishi.
Tatizo halipo kwenye kuma, lipo kwenye ubongo wa
shangazi. Mtengenezee mazingira mazuri ubongo
utaruhusu kuma ijilainishe yenyewe.
Mnaweza kujaribu vitu vya ajabuajabu kama
kupiga mechi nje ya nyumba, jikoni wakati anapika,
ufukweni kiwiziwizi wakati watu wengine
wanaendelea na starehe zao, au hata hotelini aidha
chumbani au nje kwenye mabembea watu wakiwa
wanapita - mnapakatana na kujifanya mnabembea
kumbe wakati huo ukuni unaungua ndani ya tanuri!
Mechi za mfumo huu zinakuwa na ladha tofauti
kabisa. Ni kama ile mechi mnayopiga baada ya kuwa
mmegombana sana, halafu mkipatana tu ndizi
inatiwa kwenye kapu la shangazi. Huwa ina ladha
fulani ya kibikira hivi. Sijui unanielewa?
Maneno yana nguvu sana kwa mwanamke.
Usimwambie mwenzio hajui kukatika au ni mvivu;
mtie moyo kwamba akijituma anaweza. Vilevile
usiwe bubu kitandani. Msifie anapofanya kitu kizuri
[ila usimsifie kinafiki]. Sio mtoto wa watu hata
kukatika hajui maskini, ila anajituma kwelikweli ili
kukupa burudani, halafu wewe uko kimya ilhali

66
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

unafurahia. Jinga kabisa! Msifie umtie moyo! Ukimya


wako unaweza kumfanya akose kujiamini kwa
kufikiri hakufurahishi, hata stimu ya kubadili gia
inakata, hatimaye chungu chake kinakauka.
Wakati mwingine unakuta mwanaume yuko bize
anashindilia mboo mpaka mishipa ya shingo
inamsimama. Wewe! Hapo unakuwa unafanya
mapenzi au unapiga pushapu? Jinga kabisa! Kama
ishu ni kutumia tu nguvu si uende ukabebe vyuma?
Nyinyi ndio mnasababisha mwanamke anakereka
kwahiyo anaamua kukuongopea kwamba amefika
kileleni ili tu umuache aendelee na mambo mengine.
Ngono ni sanaa, sio kushindilia tu mboo kumani!
Kuzungusha kiuno chako kushoto na kulia katika
mfumo wa nusu-miduara kutampa mwanamke raha
kuliko kumshindilia tu kama unatwanga nafaka
kwenye kinu.
Wanawake wengi hawawezi kukiri waziwazi, lakini
kiukweli wengi wanapenda kufanyishwa mambo ya
kikahaba wanapokuwa chumbani. Wapo
wanaopenda kukabwa, kuvutwa nywele, kupigwa
makofi ya matako, kugeuzwageuzwa kama vitumbua,
kutukanwa, kumwagiwa shahawa mdomoni au usoni,
kutobolewa spika, na wapo wanaopenda kupewa
uhuru wao ndio waongoze mchezo au hata wakulaze
chali wakukalie usoni na kuanza kusugua visimi vyao
kwenye uso wako mpaka wafike kileleni. Ni muhimu
kujiongeza. Kuma haijinyonyi! Na hilo ni jambo
ambalo mwanamke hata awe mpiga punyeto mzuri
kiasi gani, hawezi kujifanyia mwenyewe. Hata wale
ambao huwa wanadai hawapendi kunyonywa,

67
Dkt. Dyaboli

ukimnyonya vizuri mara moja tu anatamani siku zote


uendelee kumnyonya. Wanawake wengine
wanapenda upekeche mboo kumani au mkunduni
halafu ukiichomoa moja kwa moja unamuwekea
mdomoni anaimumunya kama peremende kisha
unaichomeka tena ilikokuwa, mechi inaendelea.
Jaribu vitu vipya vidogovidogo mara kwa mara.
Mara nyingi unapojaribu kitu kigeni kwa mwanamke
wako, anaweza kukwambia ‘bwana mie sitaki!’ wakati
mwili unamsisimka na unaona chuchu zake, kisimi
na vinyweleo vinasimama. Wako hivyo hawa viumbe;
ni kama ile umemleta mwanamke kwa mara ya
kwanza chumbani kwako, unataka kumla anakataa,
ila akiona unaelekea kukata tamaa anakuwa
anakwambia hataki huku anapanua miguu. Si unajua
hata kuku huwa haachii mbususu hivihivi mpaka
akimbizwe kwanza? Halafu akikamatwa anabetua
mkia mwenyewe anaiachia waziwazi ishughulikiwe.
Eeeh, ni asili ya viumbe vya kike! Kwahiyo jitahidi
uwe mbunifu kwenye kipengele hiki; hapo mahaba
yenu yatakuwa hayapoi wala hayaboi.
Unaweza kuchukua kioo kikubwa, ukakiweka
mbele halafu mkaanza kunyanduana mkiwa
mnajiona kwenye kioo. Hii pia inabadilisha ladha ya
mechi yenu. Mnaweza kuwa wabunifu zaidi
mkatengeneza hata mazingira ya mechi kwa mfumo
wa Glory Hole chumbani kwenu. Vitu hivi vitasaidia
kufanya penzi lenu lisipoe. Hata chakula nyumbani
kama kinabadilishwa mapishi mara kwa mara
hakikinai; tofauti na kama kitakuwa kinapikwa kwa
pishi lilelile kila wakati.

68
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

Wakati mwingine piga mechi yako safi umalize,


muache shangazi aingie bafuni kukoga. Akitoka na
kuvaa vizuri tayari kwa kuondoka, unamvuta
unaomba akupe cha nyongeza. Hii unampiga akiwa
na nguo zake; anashika ukuta au kitanda, unasogeza
tu chupi pembeni unamdunga sindano-rungu. Kama
mnapiga mechi ya wizi vile. Ukimaliza unamfuta tu
kwa taulo unamwambia aende. Hii michezo inaweza
kuonekana ni ya kitoto au ni ujinga, lakini niamini;
kama hujawahi kufanya mambo ya kitoto kwenye
mapenzi, basi hujayajua mapenzi bado. Michezo hii
ndio huacha kumbukumbu za kudumu kwenye
ubongo wa mwanamke. Kupiga mechi mkiwa na
nguo au mkiwa sehemu ya wazi ambapo mnakuwa
na wasiwasi kwamba mnaweza kuonwa au kufumwa
wakati wowote huwa kuna mzuka wa kipekee! Jaribu
utanishukuru kimoyomoyo.
Kabla ya kufika ukingoni, hakikisha mwanamke
wako ametosheka kabisa ndiyo na wewe ujiruhusu
kumwaga.
Mwanaume mwenye kujali anapobaini kwamba
mwenzi wake ni mtu wa polepole sana kufika kileleni
atajitahidi kumsaidia afike kwanza kwa kutumia
mbinu za ziada. Tumia mbinu ya pumzi ili
kujichelewesha kufunga goli. Anza kuvuta pumzi
fupi za taratibu kupitia pua, ukihemea tumboni. Hii
ni mbinu ambayo huudanganya mwili na
kuushawishi uzuie goli na badala yake ushughulike
na hewa inayojilimbikiza tumboni. Unaweza hata
kuimba tebo za kuzidisha ili kuahirisha au
kuchelewesha kukojoa. Hii ni mbinu kongwe ya

69
Dkt. Dyaboli

Waarabu inayofundishwa sana Uiengereza. Wakati


mwingine tulia kabisa uzuie mijongeo yoyote. Jaribu
hata kujizuia kuhema.
Mjomba, unaweza kufika kileleni bila kumwaga
shahawa ukitaka. Kufika kileleni na kumwaga ni
maneno ambayo hutumiwa kama visawe kwa
wanaume, lakini kiuhalisia, kupiga bao sio kumwaga;
ni matendo mawili tofauti ambayo kwa wanaume
wengi hutokea kwa pamoja - lakini sio lazima
yatokee kwa pamoja! Ukijifunza tantra utaelewa
kwamba mbinu hii itakusaidia ufike kileleni mara
kadhaa bila mboo kulala [kwasababu unakuwa
humwagi shahawa], kwahiyo unaweza kufanya
mapenzi kwa zaidi ya dakika 40 ukiwa unapiga
mabao bila mboo kusinyaa. Huu unaitwa mshindo
mkavu, na humpa mwanaume hisia ileile anayoipata
anapomwaga shahawa.
Kulifanikisha hili, kwanza unapaswa kuuimarisha
msuli wa pubococcygeus ambao ndiyo huhusika na
kumwaga shahawa. Unaweza kuuimarisha msuli huu
kwa kufanya mazoezi ya Kegel. Mbinu nyingine za
kujifunza ni Ukingo na Korokoro. Hizi unajifunza
kwa kupiga punyeto mpaka unakaribia kabisa kupiga
bao halafu unajizuia kwa kushusha pumzi ndefu,
taratibu toka tumboni. Unaweza kujifunza pia Bao la
Tezi-dume. Zipo mbinu nyingi, ila zinahitaji
ustahimilivu na nidhamu.
Ili kumtosheleza mwanamke, mwanaume
anapaswa aelewe pia kwamba zipo aina nyingi za
mshindo wa mwanamke na zote hutokea pembe
tofauti katika mwili wake. Hii ndiyo sababu wapo

70
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

wanawake ambao huweza kufika kileleni wakati


wakiwa wanafanya mazoezi ya viungo, na wengine
huweza kufika kileleni wakiwa leba wanajifungua.
Inapotokea mwanaume akashindwa kujizuia na hivyo
akamaliza mapema, badala ya kugeukia kando au
kuamua kusinzia, mwanaume anayejali atatumia njia
mbadala kama matumizi ya kidole na ulimi ili
kumsaidia mwenzi wake naye aweze kuhitimisha
safari.
Zingatia: Wakati wa kunyanduana mwanaume
hapaswi kusisimua eneo moja tu la kuma bali
anapaswa kugusa na kusisimua maeneo yote nje na
ndani ya kuma huku pia akishughulika na maeneo
mengine yote muhimu kwenye mwili wa mwanamke,
wakati akiendelea kumskiza na kumsoma.
Wakati wanawake wengi hawawezi kufika kileleni
kwa kushindiliwa mboo kumani, ni wachache tu ndio
hushindwa kufika kwa kusisimuliwa kisimi, chuchu
na kibumbu kabla, bila, au sanjari na kuingizwa
kidole kumani.
Siri nyingine wasiyoijua wanaume wengi ni
kwamba wanawake wanaoshindwa kufika kileleni
wakati wa mechi, wakati mwingine huwa ni
kwasababu wanakuwa na miguu baridi; kwahiyo
kuwavalisha soksi nzito wakati wa mechi kunaweza
kuwasaidia wafike kileleni kwa urahisi.
Daktari Kinsey anahabarisha juu ya mbinu za
kustaajabisha za kumfikisha mwanamke kileleni.
Kwenye ripoti ya tafiti zake baadhi ya wanawake
waliweza kufikishwa kileleni kwa kupapaswa kope na
nyusi zao, au kwa vinywelelo vya miili yao kupulizwa

71
Dkt. Dyaboli

taratibu, wengine kwa kutiwa ulimi sikioni au kwa


kuchezewa nywele zao, au kwa kung’atwang’atwa tu
sehemu mbalimbali za mwili, na wengine waliweza
kufika kileleni kwa kuvutwavutwa mavuzi taratibu au
kwa kulambwa msamba sanjari na kupulizwa
mkundu tartiiiiibu!
Skiza mjomba; wanawake wote wanaweza kufika
kileleni wakamwaga maji ya kulowesha kitanda kama
Wahaya. Hii hutokea kwa kusisimua kipele Ooh!
Ooh! Ooh! (almaarufu G-spot) kwa kukibofyabofya
katika mipekecho maalumu. Ni sanaa ambayo mtu
yeyote anaweza kujifunza akaijua. Lakini kukigusa
kipele hiki, inakupasa uzame kumani kipelelezi.
Wanawake wengi hawajawahi kumwaga maji haya
kwasababu wanaume wengi hawaijui siri hii. Niliwahi
kuwambia wanawake watatu wa kizungu kwamba hii
inawezekana, wakapinga. Nikawambia tutatue utata
kiutu uzima; chumbani tukiwa uchi. Wakasema
walikuwa tayari kujitolea wote kwa pamoja
niwathibitishie kwa kutumia kidole, na kama
wangemwaga kweli basi wangenizawadia mechi halisi
wote kwa pamoja. Haikuchukua hata dakika 20; wote
walimwaga. Mmoja akasema ulikuwa ni mkojo kwani
alihisi kubanwa mkojo kabla ya kutokwa na maji
hayo. Nikalamba nikamwambia na yeye alambe. Maji
hayo hayakuwa na chumvi. Hii ni kwasababu maji
hayo hayatoki kwenye kibofu; yanatoka kwenye G-
spot. Walikuwa wakweli; walitimiza ahadi yao. Aisee,
ile ilikuwa foursome7 bora sana. Kuna wakati huwa

7
ngono ya watu wanne kwa pamoja

72
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

nakaa nafikiria siku nikifa halafu familia yangu


ikapekua simu yangu, watatingisha vichwa kwa
huzuni na watasema, “huyu mbwa alikuwa ni shida;
apumzike tu kwa amani.”

Mwanamke, Jifunze Ufundi Huu wa


Chumbani

Utazunguka bucha zote, nyama ni ileile. Nyama ni ileile?


Nani kasema? Wewe ulishaonja nyama za bucha
zote? Acha ujinga, nyama zinatofautiana. Na mapishi
pia.
Unaweza kumpiga limbwata mwanaume akawa zuzu
bwege mtozeni anayekuganda na kukuskiza kwa kila
jambo, lakini hiyo haitamfanya afurahie kutombana
nawe. Chumbani hakuna urogi; huko silaha yako
yenye nguvu zaidi ni Tunu Tukufu ya Ukahaba.
Mwanamke msafi wa tabia anakuwa mtamu sana
anapokuwa mchafu wa tabia kitandani. Kuwa
mstaarabu wakati wote inaboa! Kwenye Ujinga wa
Baba mwandishi anaandika:
‘….Sumaku akamwangalia sana, akatabasamu. “Vipi?”
akauliza Tufaha. “Unaonaje mimi niwe moja ya vitu
unavyoviingiza mwilini mwako leo? Nimepakumbuka
nyumbani.” akajibu Sumaku kwa upole. “Nyumbani?”
akahoji Tufaha akionekana kukanganywa na kauli hiyo.
“Katikati ya mapaja yako,” akajibu Sumaku. “…kiuno
changu kikiwa kinayapiga mapaja yako taratibu na kutoa
sauti kama za mbawa za njiwa wa peponi. Ungeweza
kuisoma akili yangu sasa hivi, ungekuwa tayari umefika
kileleni.” Tufaha akaduwaa. Akamwangalia sana halafu
akainuka kitandani alipokuwa ameketi, akamsogelea na
kuinua gauni lake mpaka juu ya magoti, akapanua miguu

73
Dkt. Dyaboli

kimahaba na kumwambia; “Mpige busu mtoto.” Sumaku


akapiga magoti, kichwa chake kikaanza kucheza katikati ya
mapaja ya Tufaha. Baada ya kitambo kidogo akainuka,
akavuta kiti na kuketi kando. “Jichezee,” akamwambia.
“Jichezee wakati ukiimba nyimbo za maombolezo ambazo
zinakufa.” Tufaha akamwambia kwamba yeye ni
mwanaume mchafu sana wa tabia, lakini akaanza kufanya
alivyoambiwa; akijichua kisimi, kunyonga kiuno taratibu na
kutoa miguno na vilio vya kimahaba wakati Sumaku akiwa
amechora nne anaendelea kumtazama kwa makini
akimalizia juisi yake taratibu….’
Kanuni ya Dhahabu: Kula chakula baada ya mechi,
sio kabla. Ukienda kutombana umeshiba utachelewa
na unaweza kushindwa kabisa kufika kileleni kwani
mwili wako utakuwa unaelekeza kiwango kikubwa
cha damu kwenda tumboni kusaidia mmeng’enyo wa
chakula badala ya kwenye kuma; hali ambayo
hupunguza msisimko kwenye kuma.
Jambo lingine muhimu unalopaswa kulielewa ni
kwamba kiwango kikubwa zaidi cha hisia za
mwanaume kipo kwenye kichwa cha mboo.
Unaweza kumpigisha punyeto mwanaume wako kwa
kutumia nyayo za miguu yako ukiwa unamuangalia
kwa macho legevu. Angalizo: usijaribu hii kama nyayo
zako zimepasuka au zimekakamaa kama ‘hafkeki’ za
uswahilini.
Kunyonya mboo kwa usahihi ni sanaa muhimu
ambayo kila mwanamke anayeyajali mahusiano yake
anapaswa kujifunza na kuielewa. Ndiyo sababu
Warumi walibuni pipi ya kijiti; ili wanawake waitumie
kujifunza kunyonya mboo tangu wakiwa watoto.
Sasa ukikuta mwanaume ananyonya pipi ya kijiti,
muulize tu kwa upole anajifunza nini.
Ishike mboo na kuipapasa kimahaba, umpige
74
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

mabusu kwenye kinena, kwenye kichwa cha mboo


na kwenye pumbu. Jibinuebinue na
kujinyonganyonga huku ukimuangalia machoni kila
wakati. Chongoa ulimi wako ukianza kwa kutumia
ncha ya ulimi tu kwenye kichwa cha mboo kana
kwamba unaonja ladha yake au unaichorachora
ramani, halafu unautandaza ulimi wako na kuanza
kuilamba kama koni, kisha kukitumbukiza kichwa
mdomoni na kuimumunya kama kibogoyo (usitumie
meno). Anza kuitombesha mdomoni huku ulimi
ukiendelea kuitekenya ncha ya mboo; unakuwa
unaizungusha ncha ya ulimi kwenye kichwa cha
mboo kana kwamba unachora maduara halafu
unafanya kudonoadonoa kwenye tundu la mboo,
kisha unainyonya kwa kuvuta kama unavuta maziwa
hivi, unaendelea kuishindilia mdomoni ukiipumulia
taratibu kupitia pua zako na wakati huohuo mkono
wako mmoja ukifanya kazi ya kuchua shina la mboo
kana kwamba unaipigisha punyeto, kisha
unaizamisha yote kama vile unataka kuimeza, sasa
mkono wako mmoja ukiwa unatomasa pumbu zake
na kinena na mkono wa pili ukiwa unampapasa
tumbo na kifua. Usimruhusu mapema akuingizie
mboo kumani; mtese mpaka ahisi kukata roho -
mpaka aanze kukuomba ujiingizie. Mnyooshe mpaka
aamini malaika wake anayemlinda ni mlevi, yuko baa
wakati huo. Wanawake wasiokula nyama huwa
wanafurahia sana kunyonya mboo; kwasababu mboo
ndio nyama pekee wanayoweza kuitia mdomoni.
Hiki ni kipengele muhimu sana kwenye “Tunu
Tukufu ya Ukahaba”. Wewe ukijifanya mstaarabu au

75
Dkt. Dyaboli

una kinyaa chumbani usifikiri itakujengea heshima.


Chumbani wanaume wote wanapenda wanawake
makahaba!
Wanawake wajanja wanaoijua michezo hii huwa
wanajiachia chumbani; wanajikubali na hawana hata
chembe ya aibu. Hapo kidume hupata ile picha na
raha halisi ya peponi. Na hapa ndipo wanapofeli
wanawake wengi warembo. Unakuta mwanamke
analeta usistaduu mpaka kitandani au mwingine
kwakuwa unajijua wewe ni mrembo sana basi wala
hujitumi; unaamini ule tu urembo wako unatosha.
Hii ndiyo sababu unaweza kukuta mwanaume ana
mke mrembo kwelikweli lakini ana kamchepuko
kake pembeni ambako kamekomaa sura iko kama
ugoko. Halafu unaanza kulalamika kwamba
wanaume ni mbwa, hawatosheki. Mbwa mwenyewe!
Lione!
Wanawake wabaya huwa wanajituma sana
chumbani kwasababu wanajua hawana muonekano
wa kumvutia mwanaume, kwahiyo kitanda ndiyo
nguvu yao. Hata kama umeolewa, acha tabia ya
kufanya mapenzi kama mke wa mtu. Wake wanaboa.
Ndiyo maana neno mke linashabihiana na neno
mkeka. Mpe mwamba mapigo ya kisimbe. Rojeka
mwanamke. Bimbilika, miminika, kipe kashkashi
kitanda! Sio unalala tu kama upo hospitali
unafanyiwa check-up halafu kutwa kucha unalalama
kwamba mwanaume wako hakufikishi. Kabla
hujalalama kwamba hakuridhishi jiulize kwanza;
kitandani wewe ni kitu au kituko? Au ni kitumbua
ukitiwa spoku unaganda? Shangazi, ukitaka sungura

76
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

aruke, rusha karoti!


Mara mojamoja tumia hata vilevi vidogovidogo ili
kuuweka vizuri zaidi mwili wako na kuuongezea joto.
Unaweza kutumia kungu ili kusaidia kulainisha zaidi
maungo yako na kuifanya kuma iwe na joto zaidi.
Kama wewe ni mwanamke mwenye aibuaibu, mbinu
hizi zinaweza kukufaa pia. Lakini ni muhimu zaidi
kuishughulikia aibu yako ili kuipatia suluhisho la
kudumu.8
Kwa wale wanaopenda maneno fulani makali
kwenye mechi, tembea nao kwenye njia yao. Isifie
mboo yake au jinsi anavyokukuna, mwambie
akutombe zaidi, n.k.
Na ukiona mwanaume wako hajiwezi au hana
ujuzi wa kutosha kukufikisha, mwongoze [kwa
vitendo, sio maneno] afanye kile unachotaka wewe.
Hauhitaji leseni ya udereva kumwendesha huyo.
Amua hata kukaa kwenye usukani uanze kubadili gia
mwenyewe unavyotaka. Hii ni dunia ya mwanamke,
lakini usipofanya maamuzi ya kuchukua
unachokitaka, dunia haitakuletea.
Mwanamke anayejua anachokitaka chumbani na
asiyeogopa kusema ni mwanamke wa dhahabu.
Kuwa huru. Mwambie mwenzi wako unapenda
akukune vipi ili uweze kufurahia shughuli. Maisha
yenyewe mafupi. Unaweza kufa na fundo lako kooni
ukaiacha dunia hujaifaidi na peponi jina lako halipo.
Hata hivyo ni muhimu kuchukua tahadhari hapa:

8
mwanaume anapaswa kumsaidia mwanamke wake ili aweze
kuishinda aibu aliyonayo

77
Dkt. Dyaboli

wanaume wengi wa kiafrika bado wana mawazo


mgando; ukiwa na aibu chumbani wanakuona
mshamba, ukijiachia sana wanakuona hujatulia.
Msome kwanza mwenzi wako kabla hujachukua
hatua.
Zai anasema;
“…..Baadhi ya wanawake hulala kama magogo
wanapokuwa na wanaume vitandani, wanafikiri huu
ndiyo ustaarabu. Bado hawajajua ni upande upi wa
jahanamu wanalala malaika. Ukilala kama gogo
mwanaume anaweza tumia masaa kadhaa akiwa
anakushindilia mboo. Lakini ukimfinyia kwa ndani,
ukijinyonga na kujichetuachetua hivi na vile na
kumlilia kimahaba atamaliza haraka na kukuacha. Si ni
ujinga kurefusha zoezi usilotaka liwe refu? Halafu pia,
binafsi vipo vitu vidogodogo ninavyoweza kuvifanya
kwa mteja ambavyo vinaweza kumfanya akojoe kabla
hata hajaniingilia.”
Sote tunajua kwamba kuna wakati hata ndani ya
ndoa mme anaweza kuwa na upwiru wakati mke
hajiskii kabisa na hivyo inamlazimu kufanya tu ili
kumridhisha mwenzi wake. Ushauri wa Zai unaweza
kuwa na tija katika hali ya aina hiyo.
Na kama mwanaume wako anawahi kumaliza na
wewe huipendi hali hiyo, yapo mambo unayoweza
kufanya ili kumsaidia achelewe kukojoa pindi
unapoona amekaribia; acha kukatika wala
kujishindilia, panua miguu yako ili kupanua kuma
yako, na tuliza misuli yako ya kuma. Hii itasaidia
kupunguza msuguano kati ya kuma yako na mboo
yake. Acha pia kulia au kuigugumia mboo kwani
kulialia kimahaba ni miongoni mwa mambo ambayo
huwafanya wanaume wengi wawahi kufika kileleni.

78
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

Wanaume wanatofautiana pia, na wanapenda


mambo tofauti chumbani, ingawa mengi yanafanana.
Wapo ambao ili ajiskie raha maridhawa kitandani,
anataka ajambiwe usoni na mwanamke wake,
wengine wanapenda wanyonywe pumbu, mkundu au
chuchu zao. Wapo wanaopenda kuwatawala
wanawake chumbani na wengine wanapenda
mwanamke anayepiga makelele sana. Wapo
wanaopenda kutoboa spika9, wengine wanapenda
mwanamke anayejamba mara kwa mara kitandani,
wengine wanapenda wakojolewe mdomoni au hata
kunyewa ndiyo waone wamefurahia mechi na
wengine wengi wana matamanio yao mengine ya
ajabuajabu. Kama mwenzi wako anataka jambo
ambalo wewe huliwezi na hauko tayari kulifanya,
zungumza naye kwa upole umueleweshe.

Suluhisho kwa Wanaume Wanaowahi


Kumaliza na wenye Upungufu wa Nguvu za
Kiume
Kama unamiliki mboo, jua kwamba kila kilicho
muhimu kwa afya ya mwili wako ni muhimu kwa
afya ya mboo yako. Acha kuvuta sigara, punguza
pombe, kula vyakula sahihi, pata usingizi wa kutosha,
fanya mazoezi na epuka chochote kinachoweza
kukusababishia maradhi.

9
ngono ya mboo kuingizwa mkunduni

79
Dkt. Dyaboli

Vilevile, midindo hudumisha afya ya mboo.


Itumie mboo yako mara kwa mara. Mboo ni msuli
ambao huimarika zaidi unapofanyishwa mazoezi ya
mara kwa mara.
Ikiwa unawahi sana kufika kileleni, kwenye mlo
wako wa kila siku epuka matumizi ya vyakula vyenye
viungo vingi, punguza matumizi ya chumvi (au tumia
chumvi ya mawe), punguza matumizi ya pombe,
sigara na epuka dawa za “kuongeza nguvu za
kiume”.
Pombe inakufanya upoteze umakini; uwe
mpumbavu usiyeweza kufikiri kwa usahihi wala
kujidhibiti. Kahawa ina kafeini, kisisimuzi cha muda
mfupi ambacho ni sumu katika mwili wa
mwanadamu. Chokoleti pia ina kisisimuzi kinaitwa
theobromine, ambacho ni sawa na kafeini. Vitu hivi
vinaweza kukutia hamu ya ngono lakini haviwezi
kukupa nguvu ya kuhimili muda mrefu kitandani.
Hata dawa unazoambiwa zinaongeza nguvu za
kiume hazitofautiani sana na vitu kama pombe,
kahawa na chokoleti. Ni vichocheo ambavyo
vinakupa hamu ya ngono kwa muda mfupi lakini
havikupi nguvu za kiume za kudumu. Badala yake,
zinakufanya kuwa tegemezi kwazo; bila hizo
unakuwa dhaifu maradufu.
Ili kusaidia mboo iendelee kusimama imara kwa
muda mrefu kwenye mechi na kujidhibiti usiwahi
kukojoa, kanuni ni rahisi: tumbo tupu, jua kuudhibiti
mwili wako. Hii inafanyikaje?
Unapotaka kwenda kutombana, kunywa tu maji au
chai yenye aidha sukari nyeupe, sukari-guru au asali.

80
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

Hivi vitakusaidia usihisi njaa na vitazuia mmeng’enyo


wa chakula usiingilie shughuli yako ya kufurahia
mechi.
Muhimu zaidi, anza kwa kutomba polepole. Hii
itasaidia kupunguza msuguano kati ya kuma na
mboo yako kwahiyo itafanya uchelewe kukojoa.
Vilevile, epuka mjongeo wa kushindilia tu mboo
kumani kana kwamba unatwanga nafaka kwenye
kinu au unapiga pushapu; badala yake, tumia
mpekecho wa kuzungusha kiuno kushoto na kulia
kama unachora nusu-miduara. Mpekecho huu mbali
na kukuchelewesha kukojoa, vilevile utampa mikuno
maridhawa mwanamke wako kwani mboo itakuwa
inazunguka kumani. Unapohisi unakaribia kukojoa,
aidha sitisha mijongeo yote ya mwili wako utulie
kabisa au chomoa mboo kumani umgeuze ili
mbadilishe staili. Sekunde hizi chache zitakusaidia
kurudisha shahawa nyuma kwahiyo utakapoanza
kupekecha tena mboo kumani itakuwa ni kama ndiyo
unaanza moja.
Kama tatizo lako limekwishakuwa sugu, Almasi ya
Kijani inashauri njia za asili za kukurejeshea urijali
wako bila kutumia dawa zilizo na viambata-sumu:
Chukua pumbu za mbuzi, tia matone matatu ya
mafuta ya nundu ya ngamia kisha changanya na kijiko
kimoja cha damu ya bundi. Zichemshe ziive kisha
kula ukisindikiza mlo wako kwa viini vya mayai na
asali. Fanya hivi kwa muda wa siku saba, tatizo lako
litakwisha kabisa. Usiku kucha mboo yako
haitakupumzisha; utakuwa unachelewa kukojoa na kila
ukimaliza raundi moja, baada ya dakika mbili mboo
inakuwa tayari imesimama imara tena. Hii
inamaanisha unaweza kuunganisha raundi nne bila

81
Dkt. Dyaboli

kuchomoa mboo kumani!

Mashauri haya ni suluhisho la kumaliza kabisa


tatizo hili. Kwa mujibu wa miswada na maandiko
mengi ya kale, hii ndiyo ilikuwa siri ya Mfalme
Solomoni kuwaridhisha wake zake wote 700 pamoja
na vimada wake 300!

82
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

MECHI YENYEWE

Kwenye Mashairi 99 toka Gizani, shairi la Vita vya


Uchi linasomeka:
Bibie, nikuvue kwaajili ya mechi?
Vita vinavyopiganwa leo ni Vita vya uchi,
Vita vya kuiteka nchi.
Tunapaswa tuandae nyonga, kinu na mchi.

83
Dkt. Dyaboli

Vita vinaweza piganwa bustanini au jangwani,


Nani mvamizi, nani mvamiwa; haijulikani.
Ila najua itakuwa ni lazima kujificha pangoni,
Mshale ukigota saa sita kamili, tia utelezi mlangoni,
Ukae juu ya mlima wa volkano tufanye tambiko la kale,
Ooh, maskini! Pole,
Najua umechoka maana umezunguka sana akilini mwangu leo,
Lakini tafadhali ikumbuke leo,
Kwani leo ndiyo mwanzo wa milele.
Ikitokea tukafa leo basi tukafe kifo cha upendeleo,
Naupenda sana moyo wangu -
Lakini katika maisha yajayo nitafurahi zaidi nikiishi moyoni mwako.
Uwe unanisafirisha nafika kila eneo la mwili wako!

Hapa duniani hakuna raha kubwa kama


kutombana juu ya bembea mkiwa mnaelea angani.
Niamini, hakuna mwanamke anaweza kuisahau hiyo
raha. Wote niliowatomba hivyo wananipigia simu
mpaka leo hii wananikumbusha.
Kimsingi, kupanda kitandani na mtu sio kwamba
ndiyo unakuwa umemaliza. Kumbuka kujua cha
kufanya haimaanishi unajua jinsi ya kukifanya. Kama
kitanda kingekuwa na uwezo wa kuwaelezea watu,
kingewaelezea vizuri kuliko watu wanavyokielezea
kitanda.
Kuna watu wanaboa kitandani; ni kuchafuana tu,
na wanawake wengi huondoka chumbani na nyege
zao wakati wanaume wao wakiamini
wamewaridhisha. Kwa upande mwingine, kuna mtu
ukipata nafasi ya kunjunjana naye mara moja tu,
unaendelea kumkumbuka siku zote na kila wakati
inapozungumziwa mechi tamu unamkumbuka yeye.
Hii sio siri; sote tunao ambao huwa tunawakumbuka.

84
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

A. MAANDALIZI

Moyo wa mwanamke umo ndani ya masikio yake


na dini yake ipo katikati ya mapaja yake. Ukiweza
kuutekenya kwa usahihi moyo wake na kutenda
miujiza mikubwa kwenye dini yake… atakuabudu!
Sote tunajua kwamba mwanamke ni kiumbe
kinachoongozwa na masikio, kwahiyo maneno yana
nguvu zaidi kwa wanawake kuliko kwa wanaume. Hii
ni kusema, unaweza kuzungumza na mwanamke
hata kwenye simu tu na ukafanikiwa kumfanya afike
kileleni. Kwahiyo unaweza kumwandaa mpenzi wako
tangu mchana kwa maneno matamu ya kimahaba
kama unatazamia kulitafuna tunda la peponi jioni ya
siku hiyo. Utamu wa mapenzi huwa unaongezwa na
matarajio!
Maandalizi sahihi ya ngono huhusisha mambo
kama utayari wa kiakili na kihisia, usafi wa mwili na
unadhifu wa mavazi, kujiamini, maandalizi ya uwanja
ambao mechi itachezwa, mabusu na
michezomichezo ya awali kabla mboo haijaingizwa
kumani, pamoja na maandalizi ya vilainishi vya
dharura endapo itatokea adha ya ukavu wa kuma.

Usafi wa Mwili na Mavazi


Harufu mbaya ya mwili pekee hupunguza hamu
na mizuka ya mapenzi, lakini inapounganishwa na
harufu mbaya ya kinywa, inaweza kuizima kabisa
hamu ya ngono. Mwingine unakuta nywele za
85
Dkt. Dyaboli

makwapani mpaka zimebadilika rangi na kuwa kama


mvi! Kama una harufu mbaya ya mwili kwa ujumla,
Almasi ya Kijani inashauri; baada ya kuwa mmepika
ugali, ijaze maji ile sufuria iliyotumika na uyaache
maji hayo mpaka kesho yake asubuhi, halafu oga
maji hayo; tatizo lako litakwisha.
Changamoto ni kwamba wenye tatizo la kunuka
mdomo mara nyingi huwa hawajijui kwamba wana
tatizo – wakati mwingine kwasababu watu wao wa
karibu hawawambii ukweli kwa kuhofia kuwa
wakiwambia watajiskia vibaya. Ukihisi una tatizo hili,
mwombe mwenzi wako awe huru kukwambia ukweli
ili utafute ufumbuzi.
Dada, bibi yako alipokuwa anakusisitiza ule
mbogamboga, alikuwa na maana nzuri.
Mbogamboga zenye kiwango kikubwa cha
chanikiwiti husaidia kudumisha afya ya kuma na
kuifanya inukie vizuri, kama ilivyo kwa matunda.
Wanaume wengi leo unapowambia suala la
kumnyonya kuma au mkundu mwanamke swali lao
la kwanza linakuwa “Harufu je?” Lakini kama
mwanamke anajali usafi wa mwili wake na ana afya
bukheri, harufu itatoka wapi? Ni kweli wapo
wanawake wenye shida hiyo, kama tu ambavyo wapo
wanaume wenye changamoto ya kunuka pumbu;
lakini mara nyingi changamoto hizi hutokana na
usafi duni, ingawa wapo ambao changamoto hii
hutokana na maradhi na ulaji mbaya. Ulaji wa
vyakula vyenye viungo vingi, matumizi makubwa ya
pombe, sigara, vinywaji vyenye kafeini na chokoleti
ni miongoni mwa mambo ambayo huchochea harufu

86
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

mbaya ya kuma. Kwenye The Perfumed Garden, Sheikh


Nefzawi anashauri:
“Mwanamke akitaka kuiondoa harufu mbaya ya kuma
anapaswa kupondaponda mrujuani kisha auchanganye na
majimaji ya mawaridi. Lowesha pamba kwa kutumia
mchanganyiko huo halafu tumia pamba hiyo kusugua
midomo ya kuma yako. Rudia zoezi hili kwa siku tatu,
harufu mbaya itatoweka.”
Kwa upande mwingine, tunapozungumzia
unadhifu wa mavazi hatumaanishi ni lazima kuvaa
mavazi ya gharama, la hasha. Kinachomaanishwa
hapa ni kwamba wapenzi wanapaswa kuvaa mavazi
safi na yanayoendana na maumbo yao. Ni vema
ukajitahidi kupendeza ili kumvutia mwenzi wako
nyumbani badala ya kujiachia ovyo unapokuwa naye
halafu unapendeza unapotaka kutoka [ili ukawavutie
wengine huko upitako].

Kujiamini
Maneno yanapotumiwa vibaya huweza kuacha
majeraha makubwa na makovu ya muda mrefu
kuliko mapigo. Usimwambie mwenzio hajui kufanya
mapenzi au hajui kukatika, au ana kibamia au ana
matiti mabaya na maneno mengine kama hayo.
Badala yake, mtie moyo ajikubali na kujiamini.
Kadri unavyokuwa unajiamini ndivyo
unavyojiweka kwenye nafasi nzuri zaidi ya kuifurahia
ngono na kumfurahisha mwenzi wako. Siku hizi
watu wengi wamepoteza kujiamini kwa kigezo cha
muonekano, lakini hii ni kwasababu mitandao ya
kijamii inapotosha juu ya upi ni muonekano wa

87
Dkt. Dyaboli

kuvutia. Unakuta mwanamke akiwekwa staili fulani


tayari kuma inakauka kwasababu anapoteza
kujiamini. Wapenzi wengi hawawezi hata kuoga
pamoja! Au unakuta mmoja wa wapenzi anadai taa
izimwe ndiyo awe huru kutombana. Huwezi
kufurahia ngono kama unahofia kuwa una umbo
baya, au mwili una madoa mengi, au una mboo
ndogo, n.k. Jikubali na pambana kwa silaha
ulizojaaliwa nazo! Kama una vitako au vititi vidogo
sana, usihisi huvutii; jua hata keki ndogo ni keki pia.
Niamini; hivyo ulivyo, kuna mtu huwa anajifungia
ndani anakupigia punyeto bila wewe kujua. Kwahiyo
kama huupendi mwonekano wa mwili wako, badili
akili yako; kama mpenzi wako haupendi mwonekano
wa mwili wako, badili mpenzi!

Mabusu na Michezo ya Maandalizi


Kubusiana kwa angalau dakika tatu kila siku husaidia
kupunguza msongo wa mawazo, hushusha shinikizo
la damu na pia huuwezesha mwili kuunguza takribani
kalori 78, kwahiyo kupeana mabusu kila siku ni zoezi
zuri kwa wale wanaohitaji kupungua uzito wa mwili.
Kubusiana mara kwa mara vilevile husaidia kufanya
sura iwe na mwonekano mzuri zaidi na ichelewe
kuzeeka kwani busu la kunyonyana midomo na
ndimi huhusisha misuli yote 34 ya uso wakati busu la
kawaida huhusisha misuli miwili tu.
Kubusu ni sayansi, inaitwa Philematology; ndiyo
sababu kuna mafundi wa kubusu wakati wengine
huwa kero wanapobusu. Mwanamke anaweza kufika
88
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

kileleni kwa kupewa busu tu, kama mwanaume


anayempa busu hilo ana ufundi wa kutosha. Utafiti
uliofanywa na Chuo Kikuu cha Alexandria mwaka
2012 ulibainisha kuwa kwenye ngono wanawake
hufurahia zaidi kile kipengele cha maandalizi kuliko
hata zoezi lenyewe la kusugua mboo kumani, wakati
wanaume hufurahia zaidi wanapoona mwanamke
anafika kileleni.
Hivi unajua kwamba kubusiana huufanya ubongo
kuachilia homoni ya oxytocin ambayo huimarisha
uhusiano wa kihisia kati ya wale wanaobusiana?
Yamkini waweza kuwa unaamini kufanya mapenzi
ndilo tendo la kindani zaidi, lakini kufanya mapenzi
ni muunganiko tu wa viwiliwili viwili – pengine bila
muingiliano wa kihisia. Kati ya viungo vyote
vinavyohusika kwenye ngono, ni mdomo ndiyo upo
karibu zaidi na sehemu ya kati ya ubongo, sehemu
ambayo ndiyo mhimili wa fikra na hisia. Hii ni
kusema, kubusiana mdomo kwa mdomo ndilo tendo
ambalo huwaunganisha kwa ukaribu zaidi wapenzi
kuliko tendo lingine lolote lile maishani!
Zipo aina tatu za busu la mdomo ambazo ni Busu
Mpalazo – mwanamke anapogusa midomo ya
mpenzi wake taratibu lakini haibani wala kujaribu
kuinyonya; Busu Mtetemo – mwanaume anapoubana
mdomo wa chini wa mpenzi wake katikati ya
midomo yake na mwanamke akawa hana hakika
ikiwa anapaswa kujibu busu hilo au kujiondoa,
kwahiyo anaishia kutetemeka; na Busu Dadisi –
mwanamke anapomziba macho mpenzi wake kwa
kiganja chake kisha yeye akafumba macho yake na

89
Dkt. Dyaboli

kuubana mdomo wa chini wa mpenzi wake katikati


ya midomo yake halafu akaanza kuupapasa mdomo
huo kwa mfumo wa kuuzungukazunguka kwa
kutumia ulimi wake.
Zipo pia aina zingine tano za busu la mdomo
ambazo zinamfanya mwanaume kuwa mshiriki-hai.
Kwenye Busu Nyoofu mwanaume anaubana mdomo
wa chini wa mwanamke na kuunyonya taratibu.
Kwenye Busu Mshazari uso wa mmoja wa wapenzi
huzungushwa kidogo kama anataka kunyongwa
kisha mdomo wa chini hubanwa katikati ya midomo
inayokuwa kwenye umbo la O. Kwenye Busu
Mnyongo mwanaume humbusu mwanamke wake
akiwa amemshika kichwa na kidevu, akivizungusha
taratibu. Busu Mbano linakuwa hivyo pia, lakini
linahitaji uimara zaidi – upo pia mfumo mwingine wa
busu hili ambao hujulikana kama Busu la Kuunywa
Mdomo, ambapo shinikizo hutolewa na ncha ya
ulimi. Aina ya tano inaitwa Busu Skanganga, mdomo
wa chini unaposhikwa kwa kutumia dole gumba na
kidole cha shahada, unaminywa uwe katika umbo la
mpira kisha unaguswa kwa ulimi, unabanwa na
kunyonywa. Mwanamke anapounyonya mdomo wa
chini wa mwanaume wake, mwanaume anaweza
kunyonya mdomo wa juu wa mwanamke huyo. Hili
linaitwa Busu Kisasi. Mpenzi mmoja akiikamata
midomo yote miwili ya mwenzi wake na kuinyonya
kwa pamoja ikitoa mlio kama wa uluzi hivi, hilo ni
Busu la Jeshi. Wapenzi wanapobusiana wakiwa
wanasugua ndimi na kaakaa zao pamoja, hiyo huitwa
Vita vya Ndimi.

90
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

Zipo aina zingine tano tena za busu katika


maeneo mengine ya mwili. Busu Msawazo hupigwa
kwenye nyonga, kitovu na kifua – na halipigwi
polepole sana wala kwa nguvu sana; Busu Ovu
hupigwa kwenye matako, mkundu na kuma, na
linahitaji kiwango kikubwa cha ashki; Busu Chochezi
hupigwa upande wa pembeni wa shingo chini kidogo
ya sikio na ndani ya sikio, na hupigwa taratibu bila
kutoa sauti bali kwa mpalazo wa midomo tu; Busu
Tukufu hupigwa kwenye matiti na kushuka chini
kwenye kiuno; na aina ya mwisho ni Busu Azizi,
ambalo hupigwa kwa upole na unyenyekevu kwenye
paji la uso au kwenye macho au kwenye pembe ya
mdomo.
Mbali na mabusu, kabla hamjaanza kunyanduana
mnahitaji kuandaana kwa michezo ya kimahaba ili
kuhakikisha mwisho wa mechi yenu nyote mnakuwa
mmefurahia na kutosheka. Jambo muhimu la
kuzingatia ni kwamba kila mmoja anapaswa kufanya
awezacho ili kuifanya safari yenu iwe ya shani.
Wapenzi wazuri wanaweza kucheza muziki pamoja
chumbani. Kuvua au kuvuana nguo kimahaba mkiwa
mnacheza muziki ni kitendo ambacho huamsha hisia
za kipekee na kuimarisha mahusiano yenu. Msiwe na
haraka; chezeni mpaka mboo idinde hadi iume au
mpaka mwanamke akaribie kufika kileleni. Sio
mnafika tu chumbani mnavua nguo na kuzitupa
kando kisha mnarukia kitandani, eti kisa mmezoeana.
Mjomba, unalo jukumu kubwa na la muhimu kwa
mwenzi wako kabla hujamuingizia mboo kumani.
Utazame mmea wa mrehani kwa mfano;

91
Dkt. Dyaboli

usipousuguasugua kwa vidole vyako ili kuupasha joto


hautoi manukato yoyote.
Mwandae kwa kumpapasa na kumtomasa,
kumbusubusu mashavuni na kwenye paji la uso, kwa
kumnyonya midomo na kumng’atang’ata shingo,
matiti na chuchu. Endelea kummwagia mabusu
lukuki na umsisimue maeneo ya chini. Mng’ateng’ate
mikono na usisahau hata sehemu moja ya mwili
wake; mpitishie taratibu ncha ya ulimi wako sehemu
za nyuma na pembeni mwa shingo yake, nje na ndani
ya masikio, mbavuni na kwenye uti wa mgongo.
Mgeuze umnyonye kuma; 10 unatumia ncha ya ulimi
kutekenya kisimi, kwa kutumia hiyohiyo ncha ya
ulimi unafanya kudonoadonoa kwenye tundu la
kuma kana kwamba unaulazimisha ulimi uingie
kumani, halafu unaendelea kuchora maduara
taratibu, kisha kwa kasi, kukizunguka kisimi, halafu
unakibana katikakati ya midomo yako na kuanza
kukinyonya kama unavuta mchuzi toka kwenye
kipande cha nyama, unaendelea tena kukitekenya
kwa kutumia ncha ya ulimi. Kuendelea zaidi,
mpitishie ncha ya ulimi sehemu za ndani za mapaja
na kwenye nyayo za miguu yake. Mbinue
umng’ateng’ate matako, mpitishie ulimi kwenye
sehemu ya nyuma ya mikunjo ya magoti na
umnyonye mkundu. Fungamanisha miguu yako na
yake umvutie kifuani na kumkumbata ukiendelea
kumpapasa, kumtomasa, kumnyonya midomo na
kumwambia maneno ya khaluwa.

10
tumia ncha tu ya ulimi, sio unalamba kama mbwa

92
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

Wanawake hutofautiana katika muda wanaohitaji


kwaajili ya kuandaliwa kwa Mchezo Ulio Bora. Baadhi
huhitaji dakika takribani 10 hadi 15 wanakuwa tayari
kwa kuliwa, wakati wengine huhitaji dakika 20 mpaka
50 ili kuukoleza moto wa ashki ndani ya miili na
mioyo yao. Kwahiyo usiwe na pupa – sio kwasababu
mwanamke fulani ulimuandaa kwa dakika kumi
akawa tayari basi ukajua wote watakuwa tayari ndani
ya muda huo. Kuwa mdadisi na mwenye subra
mpaka utakapoona amekuwa chege. Kuma iko kama
hali ya hewa; ukiona inanyesha ujue ni wakati wa
kuingia ndani.

Vilainishi
Kama utaona kuma imekuwa kavu, yawezekana ni
kwasababu hujamuandaa kwa usahihi au kwa
kiwango cha kutosha; tulia na tia juhudi
kumnyegesha. Ukavu sugu wa kuma unaweza kuwa
unatokana na msongo wa mawazo kwa mwanamke,
maambukizi ya aina mbalimbali, dawa fulanifulani
ambazo amekuwa akitumia siku za karibuni au
anazotumia wakati huo, mfadhaiko, mabadiliko ya
homoni, matatizo ya kisaikolojia na baadhi ya
matatizo ya kiafya. Ni vema kumuona daktari kama
hali hii itakuwa endelevu. Lakini chumbani, kama
mtahisi kuma inahitaji vilainishi vya ziada, mate
ndicho kilainishi bora cha asili.
Zipo changamoto nyingi zinazoweza
kusababishwa na vilainishi vya kununua ambavyo
hudaiwa kuwa vinaongeza msisimko, harufu nzuri na
ladha ya ngono. Baadhi ya vilainishi hivi huweza
93
Dkt. Dyaboli

kuharibu na kutoboa kondom na vingine huweza


hata kuitia kuma ganzi. Hata hivyo, ni lazima
kutumia kilainishi kimojawapo kama mboo itakuwa
inaingizwa sehemu yoyote ambayo haiwezi
kujilainisha yenyewe.11

B. STAILI AU MIKAO MBALIMBALI


YA KUFANYIA MAPENZI
Hapa duniani kuna miti na kuna mitindo; kwahiyo
kabla ya kupanda miti, jua mitindo. Sio tu kuona
kuma na kumaliza. Wanapokutana mtu na mtuwe,
mitindo au staili tofautitofauti huongeza mahanjam
kwenye mchezo. Laiti wanaume wote wangejua
wanawake huwa wanakaa staili za aina gani
wanapokuwa wanajinyoa mavuzi, wangeelewa
kwamba kuna staili nyingi tamu za kupigia mechi
wanawake wanaziweza ila hawasemi.
Baadhi ya watu hulazimika kutumia baadhi tu ya
staili kutokana na kuwa na changamoto za kimwili
kama ulemavu, maumivu ya viungo na adha
zinginezo. Kwa mfano, mnashauriwa kutumia staili
ya Vijiko ikiwa mmoja wenu ana matatizo ya
mgongo. Staili za Popo Kanyea Mbingu, Spana
Malaya na Kitoroli ni ngumu kwa mwanamke asiye
na mazoezi ya sarakasi; na Staili ya Dini na ya
Kuchenjua Makinikia zaweza kuwa ngumu kama
wapenzi wote wawili wana vitambi. Mkuna Nazi ni

11
kama katikati ya matiti, kwapani au mkunduni

94
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

ngumu kwa mwanamke mzito, na 112 (Dharura)


inaweza kuwa ngumu endapo mwanaume na
mwanamke wana tofauti kubwa ya kimo.
Wasiojulikana inaweza kuwa hatari kwa mwanamke
mwenye changamoto ya moyo, wakati staili za
kubebana ni ngumu ikiwa mwanaume hana nguvu za
kutosha.
Hata hivyo, siku zote tunaweza kuzibadili kidogo
au kuziboresha staili zilizozoeleka ili ziweze kukidhi
mahitaji yetu binafsi katika vipindi au nyakati tofauti.
Hebu basi tutazame baadhi ya staili hizo:

Kuroga Mvua
Hapa mvua inarogwa kwa mwanaume na
mwanamke kutengeneza mzunguko wa dunia kwa
kutumia miili yao. Mwanaume
anakaa aidha chini au kitandani
na kunyoosha miguu yake akiwa
ameitanua. Mwanamke anakuja
na kusimama mbele yake akiwa
amemuwekea matako yake
usawa wa uso wakati akiwa
amepanua pia miguu yake na hivyo kufanya mapaja
ya mwanaume yawe katikati ya miguu yake. Baada ya
hapo anainama mpaka mdomo wake unaweza
kuifikia mboo ya mwanaume na anaanza kuinyonya
akiendelea kubaki hivyohivyo. Wakati huo
mwanaume anaizungusha mikono yake kwenye
kiuno cha mwanamke na kumshikilia madhubuti ili
kumsaidia kupata stamina halafu na yeye anaanza
kunyonya aidha kuma au mkundu wa mwanamke.

95
Dkt. Dyaboli

Staili ya Dini
Hii ni staili ambayo haina tozo wala kodi.
Mwanamke analala chali halafu mwanaume anakuja
juu yake akijipenyeza katikati ya mapaja yake.
Kwenye staili hii unakuwa huru kabisa; ukuni
unaungua ndani ya tanuri wakati wewe ukiwa
unamuangalia bebi machoni, unampa maneno
matamu au machafu,
au midomo yenu iko
vitani inafanya vita vya
ndimi, au hata ulimi
wako unachora
maduara kwenye sikio la bebi, wakati mkono mmoja
unacheza na chuchu zake. Watu wengi wenye stresi
za kazi, za kifamilia au za madeni, hupendelea zaidi
staili hii.
Wataalamu wengi wa sayansi ya ngono tangu
zama za kale wanaichukulia staili hii kuwa ni staili
dhati ambayo inamuwezesha mwanamke kufika
kileleni kwa urahisi kutokana na kuwepo kwa
muingiliano wa karibu viungo vyote vya kingono.
Ikiwa mwanaume ana mboo fupi na wapenzi
wanataka izame ndani zaidi kumani, wanaweza
kuiboresha staili hii kwa kuifanya kuwa staili ya Popo
Kanyea Mbingu.

Mkuna-Nazi
Mwanaume na mwanamke wanakaa kitandani
wakitazamana halafu wote wanafanya kunyoosha
miguu yao yote ikianza ya mwanaume kisha ya

96
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

mwanamke ikipita juu ya mapaja ya mwanaume


kuelekea mgongoni. sasa mboo inapachikwa
kumani, mwanamke anashika sehemu ya nyuma ya
shingo ya mwanaume kwa mkono mmoja na
mwanaume anashika aidha mgongo au kiuno cha
mwanamke kwa mkono mmoja
wakati mikono yao mingine
ikitumika kuwapa sapoti nyuma
yao. Hapo sasa zoezi la kukuna
nazi kwa viuno linaanza
likisindikizwa na mabusu ya
hapa na pale kila baada ya dakika chache. Wanaweza
pia kupishanisha miguu; mguu mmoja wa
mwanamke ukapita juu ya paja la mwanaume na wa
pili ukapita chini ya paja la pili la mwanaume
wakifanyiza kama mkasi. Mwanamke sasa anakuwa
anakisigina kibumbu chake dhidi ya kinena cha
mwanaume akikisukuma nyuma na mbele, kushoto
na kulia, kama mtu anayekuna nazi kwa kutumia
matako yake. Tamu sana hii staili. Mnaweza kuitumia
mkiwa mnaimba wimbo wa Honey wa Zuchu.

Wasiojulikana
Mvue nguo zote mwanamke wako, mfunge kamba
mikono na miguu kwenye pembe nne za kitanda,
mfunge kitambaa cheusi kwenye macho, halafu anza
kumtesa kimahaba mpaka afike kileleni kisha ingia
kazini umsosomole hivyohivyo ukiwa umemfunga.
Unaweza kubadili staili hii ukamfunga katika mfumo
wowote upendao, hata kwenye kiti kama gaidi
anayefanyiwa mahojiano na mwanausalama, lakini

97
Dkt. Dyaboli

mfumo huu wa kumtandaza kitandani niliouelezea


hapa unakuwa bora zaidi
kwasababu unakupa fursa ya
kuyafikia maeneo mengi ya
mwili wake kwa urahisi. Raha
ya hapa ni kwamba
unapokuwa unamchezea
anakuwa hajui unaelekea
sehemu ipi ya mwili wake ila unaweza kuwa
unamchezea hisia kwa kutumia pumzi ya pua zako ili
kumwongopea kwamba unataka kugusa au kunyonya
sehemu fulani, halafu unapita bila kupagusa. Ukiwa
mtundu na fundi kwenye kipengele hiki, ile hisia ya
matarajio inampa mwanamke msisimko ambao
hawezi kuupata sehemu nyingine yoyote ile duniani!
Wakati mwingine hata mwanaume anaweza
kufungwa na kufanyiwa hivi na mwanamke wake.

Mkasi
Hapa mwanaume analala kiubavu akilalia ubavu
wake wa kushoto halafu mwanamke analala chali,
kisha mwanamke anainua
mguu wake wa kulia na
kuuweka kwenye bega la
mkono wa kulia wa
mwanaume wakati mguu
wake wa kushoto ukiwa juu ya
paja la kushoto la mwanaume. Mwanaume
anaupitisha mguu wake wa kulia katikati ya mapaja ya
mwanamke, miguu yao sasa ikiwa imepishana na
kufanyiza mfano wa mkasi, halafu mboo inaingizwa

98
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

kumani na mipekecho inaanza. Mwanaume anaweza


kuwa anachezea chuchu au matiti ya mwanamke
wake au hata kumtia ulimi sikioni wakati viuno vyao
vikiendelea kuwasha moto kwenye mvua. Ipo
mifumo mingi tofauti ya staili hii, mpaka ya kukaa,
na yote ni mizuri.

Popo Kanyea Mbingu


Hii ni staili ngumu kidogo kwa mwanamke
ambaye si mtu wa mazoezi, lakini ni nzuri sana na
humuwezesha kufika kileleni kwa urahisi kwani
mboo hufika mpaka kwenye kuba ya kuma na
kusugua kipele-G na mji wa
mimba ipasavyo. Hapa,
mwanamke analala chali
halafu mwanaume anaibeba
miguu yake yote miwili na
kuiweka juu ya mabega yake kisha anaingiza mboo
kumani halafu anamlalia mwanamke kwa juu. Hii
itafanya kiuno cha mwanamke kibetuke juu kwani
magoti yake yatagusa godoro yakiwa kando ya
masikio yake. Katika mkao huu matako yake
yatainuka juu na kufanya kuma na mkundu vitazame
dari, kwahiyo hata mboo fupi itaweza kuzama mpaka
ndani kabisa ya kuma. Mfumo mwingine wa staili hii
ni wa kufanyia kwenye sofa, ambapo mwanamke
hupata nafasi ya kuegemeza kiuno chake kwenye
sofa na kuacha mbususu juu. Huu unaweza kuwa
rahisi kidogo kwa mwanamke lakini mgumu kwa
mwanaume ambaye si mtu wa mazoezi. Unafanyika
kama inavyoonekana hapo kwenye picha ya

99
Dkt. Dyaboli

kielelezo. Ni staili nzuri sana kwa ngono ya mkundu


pia.

Mbio za Vijiti
Mwanaume anapiga goti kwa mguu wa kushoto
wakati mguu wake wa kulia ukiwa mbele
umekanyaga chini madhubuti ukiwa umekunjwa
katika pembe ya nyuzi 90, kwahiyo anakuwa kama
mtu aliye kwenye mashindano ya mbio za vijiti
ambaye sasa yuko kwenye mstari wa kuanzia mbio
tayaritayari akingonja kipenga cha muamuzi
kimruhusu aanze. Wakati
mwanaume akiwa hivyo,
mwanamke anapiga goti moja
mbele yake, kama alivyofanya
yeye, anainamia kwa mbele
mpaka mkono wake wa
kushoto unashika chini, halafu anauinua juu mguu
wake wa kulia na kuupitisha juu ya paja la kulia la
mwanaume, unapita kwenye kiuno cha mwanaume
ambaye huudaka na kuubebelea kwa kuushika
sehemu ya goti halafu mwanamke anaupeleka na
kuukunja kwenye mgongo wa mwanaume unyayo
ukitazama juu. Mwanamke anautumia mkono wake
wa pili kushika paja la kulia la mwanaume ili limpatie
stamina asianguke kisha mboo inaingizwa kumani na
mwanaume anaanza kushughulika na kuma hiyo. Hii
ni staili ya hatua za juu kidogo kwenye sanaa ya
ngono kwahiyo inaweza kuwa ngumu kwa wapenzi
wengi ambao bado hawajafikia kiwango hicho cha
ubobevu.

100
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

Teke la Van Damme


Mwanaume analalia ubavu wake wa kushoto
akijisimika juu ya kiwiko cha mkono wake na miguu
yake anaikunja, akiinua juu goti la mguu wa kulia.
Mwanamke anajilaza mbele yake, akilalia ubavu wake
wa kushoto pia, kisha anainua juu mguu yake wa
kulia akichana msamba kabisa lakini anakuja
kuukunja mguu huo kwenye goti wakati ukiwa
angani. Kwa kutokea nyuma mwanaume
anampachikia mboo kumani na mwanamke anageuza
shingo yake ili waweze kutazamana au hata
kubusiana wakati mboo ikipekecha kumani. Hii ni
staili nzuri kwa ngono yoyote
mtakayochagua, aidha ya
kuma au ya mkundu, na
inawapa wote wawili uwezo
wa kusisimua kisimi kwa
kutumia kidole na pia mwanaume anaweza
kumpapasa mwanamke aidha kibumbu, tumbo,
matiti au shingo au hata kumnong’oneza maneno
matamu sikioni wakati wakiendelea kufanya mapenzi.

Haniiiiiiii!12
Mwanamke analalia ubavu wake wa kushoto na
kuikunja miguu yake akiyapeleka magoti kwenye
12
hii ndiyo staili anayoonesha msanii wa muziki Zuchu kwenye
wimbo wake aliouita ‘Honey’

101
Dkt. Dyaboli

kifua chake halafu anauinua juu mguu wake wa kulia.


Mwanaume analalia ubavu wa kushoto pia lakini
akielekeza kichwa
miguuni pa mwanamke,
halafu anaipitisha miguu
yake katikati ya mapaja
ya mwanamke ambaye
anaishika na kuikumbata akiitumia pia kama mto wa
kuegemeza kichwa chake, wakati huo sasa akiwa
amejikunyata kama anahisi baridi kali miguu yake
akiwa ameifungamanisha nyuma ya kiuno cha
mwanaume. Hapo mwanaume anaingiza mboo kisha
anashika matako au kiuno cha mwanamke na
mchezo unaanza wakati mwanamke akitetemeka
aidha mwili mzima au akitetemesha matako pekee na
kujinyonga kwa madeko.

Mbuzi Kagoma
Mwanamke anapiga magoti, anashika godoro
kawaida kwa mikono yake wakati
viwiko vya mikono yake vikiwa
vimerudi nyuma na kupishana na
magoti yake, halafu anakishusha
kichwa chake mpaka sikio lake
moja linakuwa limelala juu ya
godoro. Hii itafanya mgongo
wake ushuke chini na matako yake yabetuke juu
zaidi, hali ambayo itaruhusu mboo izame ndani zaidi
pindi inaposhindiliwa mbususuni. Ni muhimu kuwa
na mawasiliano mazuri kati ya wapenzi katika staili
hii hasa kama mwanaume ana mboo ndefu ili kujua

102
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

anapaswa aizamishe kwa kiwango gani na kiwango


gani kinamuumiza mwenzi wake kwani ni mkao
ambao huruhusu kuma na mkundu kujiweka wazi
kabisa. Hapa, wakati mboo inanong’ona ndani ya
sikio la utelezi, mwanaume anaweza kusimika Bendera
ya Uhuru (dolegumba mkunduni) ili kuichochea raha
ya mpekecho.

Mdundiko
Mwanaume anakaa aidha upenuni mwa kiti au
kwenye pembe ya kitanda, anabana kabisa miguu
yake halafu mwanamke
anayaweka mapaja ya
mwanaume katikati ya miguu
yake na kuikalia mboo. Baada
ya hapo anainama taratibu
mpaka anashika chini kwa mikono yake, mboo ikiwa
bado iko kumani, anaipandisha miguu yake juu ya
kitanda au anaiinua juu na mwanaume wake
anaishikilia kwa juu ikiwa imekunjwa kama miguu ya
chura au kama mwanamke anataka kuruka sarakasi…
anaanza kuukatikia mboo. Hapa sasa ndipo unapata
fursa ya kutikisa matako yako karibu kabisa na uso
wa mwenzi wako. Unaweza kuchezesha tako
mojamoja, kuyatetemesha yote au kucheza vyovyote
utakavyoweza ili kumpa raha maridhawa mwanaume
wako.

Sotojo
Mwanaume anakaa aidha upenuni mwa kitanda
miguu ikiwa imekanyaga chini au anakaa kwenye kiti,

103
Dkt. Dyaboli

halafu mwanamke anapanua miguu yake na kumkalia


mapajani akiiruhusu mboo izame kabisa kumani.
Hapo anaweza kuanza
kuikatikia lile uno la sotojo
wakati aidha amemkumbata
kabisa mwanaume wake
kwenye sehemu ya nyuma ya
shingo au akiwa ameegamia
kwa nyuma wakati mikono
yake ikiwa imeshika magoti ya mwanaume. Kama
atakuwa amejiegemeza kwa nyuma, mbali na
kutazamana machoni kwa uhuru mwanaume vilevile
anapata uhuru wa aidha kuyatazama yakiyumba na
kutetemeka au kuyatomasa na hata kuyanyonya
matiti ya mwanamke wake wakati akiendelea
kujicheketua juu ya mboo. Mfumo mwingine wa
staili hii ni mwanamke kukaa aidha upenuni mwa
kitanda au kwenye kiti akiisogeza kabisa kuma yake
upenuni mwa kiti hicho, halafu mwanaume anapiga
magoti katikati ya mapaja yake na kupachika mboo.
Staili hii inaweza kufanyika kwenye bembea pia.
Mwanaume anakaa kawaida kwenye bembea,
mwanamke anamkalia wakitazamana, halafu
wanajisukuma kwa nguvu ili kuiruhusu bembea
iwarushe angani. Hapo mwanamke anakuwa
anakatikia mboo na mwanaume anapiga mikito ya
taratibu wakati wakiwa wanaelea angani. Niamini, hii
ni staili hatari sana kwa wasio na uzoefu nayo, lakini
hakuna staili ya ngono ambayo ni tamu kuliko hii.
Usifanye mchezo na kufanya mapenzi angani!

104
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

Vijiko
Hii ni miongoni mwa staili ambazo
zinawaunganisha wapenzi kwa karibu kabisa kila
mmoja akilihisi joto la mwili wote wa mwenzie.
Fikiria vijiko vinakaaje unapokuwa umevibebanisha.
Mwanamke analala kiubavu
akilalia ubavu wake wa kulia,
halafu mwanaume analala
nyuma yake akilalia ubavu
wake wa kushoto na
kumpachikia mboo kutokea kwa nyuma. Mwanamke
anaweza kuinua kidogo mguu wa juu ili kuruhusu
mboo iingie halafu baada ya hapo anaushusha na
zoezi la kupekecha linaanza wakati miili hii miwili
ikiwa imefungamana kama vijiko viwili na mkono
mmoja wa mwanaume ukiwa unaupapasa mwili wa
mwanamke. Mchezo ukishakolea wanaweza kukunja
miguu watakavyo. Mwanamke vilevile anaweza
kugeuza shingo yake kidogo ili aweze kuwa
anamtazama mwanaume wake machoni au aweze
kumrushusu mwanaume kumtia ulimi sikioni wakati
zoezi likiendelea.

Chura
Hii ni staili iliyo na mifumo mingi kwa kutegemea
na mapenzi na mahitaji ya wapenzi husika. Katika
Chura ya kawaida mwanaume anakaa na kunyoosha
miguu halafu mwanamke anakuja anachuchumaa
mbele yake mboo ikipachikwa kumani kisha
anainamia mbele na kushika chini halafu anakuwa

105
Dkt. Dyaboli

anajirusharusha juu ya mboo kama afanyavyo chura


katika mjongeo. Mwanaume anaweza kusaidia kwa
kugongelea taratibu kutokea chini. Kwenye Chura
wa Mbeya mwanamke anainama na kushika chini
karibu kabisa na miguu yake, sasa akiwa amesimamia
vidole vya miguu pamoja na mikono na magoti
yakiwa yamejikunja kidogo yakigusana na viwiko vya
mikono yake, halafu mwanaume anamchukua
kutokea nyuma akiwa
amemshikilia kiuno ili
kumpa stamina. Kwenye
Chura wa Tanga,
mwanamke anachuchumaa
upenuni kabisa mwa kitanda
mikono yake ikiwa imeshika
godoro katikati ya miguu yake. Mwanaume
anasimama nyuma yake akiwa hajapanda kitandani
halafu anampachikia mboo. Hii ni staili nzuri sana
kwa kutoboa spika, hasa kwa mwanamke ambaye
ndiyo anaanza kujifunza kutobolewa spika. Kwenye
Chura wa Singida, mwanaume analala chali,
mwanamke akiwa amepanua miguu na kumweka
mwanaume katikati ya miguu yake, anachuchumaa
juu yake akiwa amesimamia vidole vya miguu,
vilevile wakiwa uso kwa uso. Hapo anaishika mboo
na kujipachikia kumani. Baada ya hapo anainama na
kushika kila mmoja wa mikono yake upande mmoja
wa mwanaume wake. Anaweza vilevile kuinama na
kushika kifua cha mwanaume wake kisha akaanza
kucheza juu ya mboo. Mifumo mingine ya staili hii ni
Chura wa Arusha, Chura wa Mwanza, Chura wa

106
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

Bukoba na Chura wa Kigoma. Zote hizi zinaruhusu


kutoboa spika kwa urahisi kabisa.

112 (Dharura)
Hii ni staili nzuri kwa wale wapenzi wa mechi za
‘zima moto’ pindi wanapozidiwa na nyege kazini, au
ofisini, au bafuni pindi wapenzi wanapokuwa
wanakoga. Kwenye staili hii, mwanamke anasimama
akijiegemeza ukutani halafu mwanaume anaingia
katikati ya miguu yake, hapo
mwanamke anainua mguu wake
mmoja na kuukunja ukizunguka
kwenye nyonga ya mwanaume.
Mfumo mwingine ni wapenzi
kusimama wakitazamana, halafu
mkono mmoja wa mwanaume
unashika kiuno cha mwanamke na mkono wa pili
unashika mguu mmoja na kuuinua juu. Mwanamke
anajiingizia mboo halafu anainamishia kiwiliwili
chake nyuma wakati mikono yake ikiwa imeshika
kichwa cha mwanaume. Hii inawaruhusu kubusiana
pia wakati viuno vyao vikiendelea kutenda miujiza
huko chini. Mwanaume anaweza pia kuubeba mguu
mmoja wa mwanamke na kumpachikia mboo kwa
kutokea nyuma. Uzuri wa staili hii unakuwa ni
kwamba hata kama mwanamke ana makalio
makubwa sana, mboo inaingia yote kumani bila
shida; tofauti na staili za kuinama au kushika ukuta.

Twanga-pepeta
Mwanaume anambeba mwanamke kwa mfumo

107
Dkt. Dyaboli

wa kumkumbata na kumkalisha juu ya mboo,


mwanamke anajishikiza kwa kuzungusha mikono
yake kwenye shingo ya mwanaume na miguu yake
kwenye kiuno cha mwanaume
halafu mwanaume anaanza
kumrusharusha juu ya mboo kana
kwamba anatwanga nafaka
kwenye kinu. Mwanamke anaweza
kuwa anakatika kunogesha
mchezo, akifanyiza sasa utaratibu
wa kupepeta nafaka. Kama
mwanaume ana nguvu za kutosha anaweza kumbeba
mwanamke na akawa anamtwangisha juu ya mboo
akizunguka ndani ya chumba mpaka atakapokuwa
amechoka. Mfumo mwingine wa staili hii ni
mwanaume kusimama nyuma ya mwanamke, kisha
anaipitisha mikono yake katikati ya mapaja ya
mwanamke na kumuinua juu akiwa ameyapanua
mapaja hayo na kuja kumkalisha juu ya mboo wakati
mwanamke anazungusha mkono wake mmoja
kwenye shingo ya mwanaume ili kujipatia stamina ya
kuruka juu na chini na hata kukatika. Mawasiliano ya
karibu zaidi ni muhimu hapa kwani kutokana na
mwanamke kuwa amepanuliwa mapaja, mboo
inaweza kuzama ndani zaidi.

Kisingeli
Mwanaume anakaa kitandani na kunyoosha miguu
wakati akijiegemeza kwa nyuma kwa kutumia mkono
wake wa kushoto ambao unakuwa umeshika godoro
kumpa stamina. Mwanamke anakaa juu ya mboo

108
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

akiwa amempa mgongo halafu anainama mpaka


kichwa chake kinagusa godoro
au miguu ya mwanaume wake,
wakati huo miguu ya
mwanamke ikiwa imepita
kwenye kiuno cha mwanaume,
kisha anaanza kucheza singeli
juu ya mboo. Kwa ule mkono mmoja uliobaki huru,
mwanaume anaweza kuwa anampapasa aidha
matako, mgongo au kumtia kidole mkunduni au
vyovyote yeye na mwenzi wake watakavyoona
inapendeza. Anaweza vilevile kuachia ule mkono
aliojiegemeza kwa nyuma na badala yake akashika
kiuno cha mwanamke.

Mkurupuo
Fikiria mtu anayekurupushwa sehemu, anatoka
mbio halafu anaanguka, wakati anainuka ili aendelee
kukimbia, anageuka nyuma na kukuta
anayemkimbiza tayari anamshika
mguu. Ndivyo mkao huu
unavyokuwa. Mwanamke analala
kifudifudi, halafu anakunja
mguu wake wa kushoto
akilipandisha goti lake kuelekea
kifuani mpaka linakuja kukutana na kiwiko cha
mkono wake wa kulia. Hapo, mwanaume anapiga
magoti katikati ya miguu ya mwanamke na kuingiza
mboo. Anaweza kuanza kushindilia akiwa hivyo
amepiga magoti au anaweza kujilaza kwa mbele
mikono yake ikishika chini upande wa kulia na wa

109
Dkt. Dyaboli

kushoto usawa wa mabega ya mwanamke wake ili


aweze pia kuwa anambusu au kumnyonya aidha
midomo au kumtia ulimi sikioni mwanamke wake
wakati mboo ikiendelea kupekecha kumani.

Kula halafu Ule


Staili hii ni mahsusi kwaajili ya mezani, na sharti
ianze kwa mwanaume kunyonya kuma kabla ya
kuingiza mboo. Mwanaume
anakaa kwenye kiti kawaida
kama anangoja chakula,
lakini badala ya kuwekewa
chakula mezani mwanamke
ndiye anapanda juu ya meza
hiyo analala chali akiipitisha
miguu yake yote juu ya mabega ya mwanaume
ambaye humshika kiuno na kukiinua juu kisha
anaanza kumnyonya kuma kana kwamba ameshika
pande kubwa la tikitimaji analila. Kwakuwa sasa
matako yake yanakuwa angani, mwanamke anatumia
viwiko vya mikono yake ili kujiweka katika mkao wa
msawazo mezani. Mwanaume akishatosheka na
kunyonya kuma anaweza sasa kumpanga mwanamke
kwa staili yoyote atakayochagua hapo juu ya meza na
kukamilisha mlo wake kwa kumpachikia mboo aidha
kumani au mkunduni.

Toboa-tobo
Mwanaume anakaa upenuni mwa kitanda mguu
wake mmoja ukiwa umekanyaga chini ukinyooka
kuelekea mbele yake wakati mguu wa pili unakuwa

110
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

umekanyaga juu ya kitanda,


halafu mikono yake yote ikiwa
imeshika kitanda kwa nyuma
yake na hivyo kukipa stamina
kiwiliwili chake ambacho
kinakuwa kimeegamia nyuma.
Mwanamke anasimama mbele
yake akiwa amempa mgongo, halafu anapandisha
mguu wake mmoja na kukanyaga kitandani wakati
mguu wa pili ukiwa umesimama chini na kuruhusu
ule mguu wa chini wa mwanaume upite katikati ya
miguu yake. Anaishusha kuma yake mpaka
anajipachika kwenye mboo halafu mwanaume
anaanza kazi ya kutoboa tobo wakati mwanamke
anakuwa huru kujichezea vyovyote atakavyo kwa
mkono wake.

Kitoroli
Mwanaume na mwanamke wanasimama
wakitazama upande mmoja, mwanamke mbele na
mwanaume nyuma. Mwanamke anainama na kushika
chini halafu mwanaume
anamshika miguu na kuiinua juu
(kama mtu ashikavyo mikono ya
toroli) akiibania usawa wa
nyonga zake. Mwanamke sasa
anakuwa amesimamia viwiko vya
mikono yake na matako yake
yanakuwa usawa wa kiuno cha
mwanaume. Kama hamfanyii kitandani staili hii ni
muhimu kuweka mto chini ili mwanamke autumie

111
Dkt. Dyaboli

kusimika mikono yake asiumie. Mfumo mwingine wa


staili hii ambao yamkini unaweza kuwa rahisi zaidi ni
mwanaume na mwanamke kupiga magoti,
mwanamke mbele na mwanaume nyuma, halafu
mwanamke anainama na kulaza kabisa kichwa chake
chini kisha anaipitisha miguu yake kwenye kiuno cha
mwanaume na kwenda kuifunga mgongoni.
Mwanaume, badala ya kushika miguu ya mwanamke
kama ilivyo kwenye mfumo wa kwanza, hapa
anashika kiuno na kukiinua mpaka kinafika usawa wa
mboo yake, anaiingiza kumani na kuanza kupekecha.

Kaa la Moto
Mwanaume anakaa kwenye kiti au kwenye pembe
ya kitanda miguu ikiwa imekanyaga chini, mwanamke
anageuka na kumpa
mgongo kisha anaikalia
mboo halafu anaanza
kudundadunda juu ya mboo
kama mtu anayekalia kaa la
moto akashtuka baada ya
kuungua, kisha anarudi
kukaa tena kana kwamba anatafuta sehemu isiyo na
moto lakini kila wakati anakuwa anafikia palepale
penye kaa la moto. Anaweza kufanya hivi akiwa
ameshika magoti ya mwanaume wake au miguu yake
mwenyewe. Staili hii vilevile inaweza kutumika kwa
kutoboa spika na pia inampa mwanamke uhuru wa
kujipimia mwenyewe, kuifinyia kwa ndani na
kujichekecha atakavyo ili kupata pembe sahihi
anayotaka mboo iguse.

112
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

STAILI MAHSUSI KWA WAPENZI


WALIO NA MAUMBO YASIYOWIANA
Baadhi ya wapenzi hujikuta wakiwa katika wakati
mgumu linapokuja suala la kufanya mapenzi kwa
uhuru na kwa staili wanazozitamani kutokana na
maumbo ya miili yao kukinzana na yale ya wenzi
wao. Hapa nitazungumzia staili zinazofaa kwa
wapenzi walio na maumbo yasiyowiana.
 Tuanze na mechi kati ya mwanaume
mwembamba sana na mwanamke mnene
sana. Kama wanataka kufanya mapenzi
kiupandeupande, wanalala kiubavuubavu
halafu mwanaume anabeba paja moja la
mwanamke na kuliinua juu kadri ya uwezo
wake kisha analiegemeza kwenye kiuno chake;
anautumia mkono wa chini wa mwanamke
kama mto wa kuegemeza kichwa chake na
anahakikisha anaweka mto mnene chini ya
nyonga yake ya upande wa chini ili imsaidie
kuiinua juu mboo yake katika kimo
kinachostahili, jambo ambalo ni la lazima kwa
kuzingatia unene wa mapaja ya mwanamke.
 Endapo mwanamke ana kitambi kikubwa cha
kuning’inia kwenye mapaja na mbavu zake,
itakuwa vema zaidi kumlaza chali, kisha
kuyainua mapaja yake kuelekea kwenye tumbo
lake. Mwanaume atapiga magoti katikati ya
mapaja hayo akiwa amemshika kiuno na
kujisogeza zaidi karibu na kuma yake na

113
Dkt. Dyaboli

kuipachikia mboo.
 Ikiwa tumbo la mwanamke ni kubwa kwa
ujauzito, mwanaume anamlaza kiubavu,
anayakunja mapaja yake kuelekea kwenye
tumbo halafu naye analala nyuma yake
kiubavu anapachika mboo kumani. Katika
mkao huu mwanaume anakuwa huru
kushindilia mboo yote kumani, hasa akiwa
ameuinua mguu wake ambao unakuwa chini
ya mguu wa mwanamke wake, mpaka ufikie
kimo cha paja la mwanamke.
 Kama mwanaume ndiye atakuwa mnene sana
akiwa na kitambi kikubwa na mwanamke
akawa ni mwembamba, basi njia sahihi ni
kumuacha mwanamke ndiye awe mwongozaji
mkuu wa mchezo. Staili ya Muendesha Farasi
itafaa zaidi, ingawa staili nyingi zinazompa
mwanamke jukumu la kuwa muongozaji
mkuu wa mchezo zinaweza kufaa. Staili ya
Sotojo haitawezekana kutokana na kitambi
kikubwa cha mwanaume.
 Endapo wote wawili ni wanene na wenye
vitambi, staili ya Mbuzi Kagoma itafaa zaidi.
Mwanamke akishajiseti kwenye staili hiyo,
mwanaume anakuja nyuma yake akiwa
amelibebelea tumbo lake kwa mikono yake na
kuingiza mboo kumani halafu analiweka
tumbo lake juu ya matako ya mwanamke kisha
mikono yake inafanya kazi ya kushikilia aidha
mapaja au kiuno cha mwanamke wake ili
aweze kushindilia mboo kumani bila tumbo

114
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

lake kuporomoka. Ikiwa mwanamke ni mfupi


na hivyo matako yake hayatoshi kubebelea
tumbo la mwanaume, wanapaswa kuweka
mto chini ya magoti ya mwanamke ili ainuke
juu kidogo. Hakuna staili nyingine tofauti na
hii ambayo inaweza kuwa rahisi kwa kufanya
mapenzi kati ya mwanaume mnene na
mwanamke mnene ambao wote wana
matumbo makubwa – hasa kama mwanamke
ana matako makubwa pia.
 Kwa mwanaume mwenye mwili mkubwa sana
na mwanamke mwenye umbo dogo sana,
changamoto huwa tu ni kuhakikisha mbususu
na mboo zinapokuwa zinashughulikiana na
midomo yao pia iwe pamoja ikishughulikiana.
Kufanikisha hili mwanamke anatakiwa alale
chali, mwanaume analala kando yake
kiubavuubavu, anapitisha mkono wake mmoja
chini ya shingo ya mwanamke na mkono wake
mwingine unafanya kuinua mapaja ya
mwanamke juu mpaka mwanaume aweze
kupachika mboo kumani kwa kutokea nyuma.
Katika staili hii ya Mkunjo wa Nyani,
mwanaume anambana mwanamke kwa
mikono yake kwenye shingo na kwenye
mapaja kisha anaingiza mboo kwa uhuru
wakati mwanamke anakuwa ameizungusha
mikono yake kwenye shingo ya mwanaume na
wanaweza kunyonyana midomo kwa uhuru
pia.
 Wanapokutana mwanamke mwenye mbususu

115
Dkt. Dyaboli

kubwa na mwanaume mwenye mboo ndogo


sana kanuni ya dhahabu ni kutumia staili
ambazo zinaibana kuma. Hii ni kusema, kama
watataka kutumia staili ya Mbuzi Kagoma
kwamfano, basi mwanamke akiinama
anapaswa abane mapaja yake ili kuubana
mlango wa kuma. Mpekecho wa Kuifinyia
kwa Ndani unawafaa sana wapenzi wa aina hii.
 Kwenye kitombo kati ya mwanaume mfupi
sana na mwanamke mrefu sana, ni dhahiri
wawili hao hawawezi kubusiana pindi wawapo
katikati ya mchezo, lakini wanaweza kutumia
karibu staili zote wakatombana kwa uhuru.

STAILI AU MIKAO MINGINE YA


KUTOMBANIA

116
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

117
Dkt. Dyaboli

118
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

Ieleweke kwamba si mara zote na kwa wapenzi


wote ngono tamu itatokea kwa kufuata tu staili au
mikao niliyoiorodhesha hapa. Wakati mwingine
wapenzi wanaweza kufurahia zaidi mechi yao kwa
kubuni staili zao wenyewe ambazo zitawapa hasa kile
wanachokitaka kwenye mchezo wao.

C. JINSI YA KUIPEKECHA MBOO


KUMANI ILI KUPEANA UTAMU ZAIDI
Kitanda ni ndege ya wawili, na ngono ni njia ya
kuwafikisha wapenzi kwenye mji unaoelea – kwenye
mbingu ya saba. Pindi mtu na mtuwe wanapokuwa
wameungana, yapo mambo mengi madogomadogo
ambayo waweza kuyafanya ili kukolezana na hivyo
kufurahia zaidi mechi yao. Mwanamke, mathalani,
anaweza kutumia misuli yake ya kuma kumpa raha
maridhawa mwenzi wake.
Sanaa ya kukatikia mboo na kuifinyia kwa ndani
hupewa uzito mkubwa kote Mashariki ya Mbali.
China wapo maprofesa, mara nyingi wanawake
wazee, ambao huwafundisha wasichana vyuoni
katika tanzu hii ya sarakasi. Ukibahatika kupanda
kitandani na mmoja wa wasichana waliofunzwa na
kufuzu katika tanzu hii, niamini, utamtusi
kimoyomoyo kila aliyewahi kusema ‘utazunguka
bucha zote nyama ni ileile’. Watoto wa mjini husema
hapo ndio utajua hujui.
Hapa nitazungumzia baadhi ya mipekecho bora

119
Dkt. Dyaboli

kabisa ya kuchezeshea mboo kumani na nitaifafanua:

Mpekecho wa Tekeo Kisimani. Jinsi ya kutumia


mpekecho huu, mwanaume na mwanamke
wanakumbatiana bada ya mboo kuwa imeingizwa
kumani, halafu mwanaume anaisukumia mboo ndani
zaidi, kisha anairudisha na kuibakiza nusu kumani;
mwanamke pia anafanya kama alivyofanya
mwanaume – anajisukumia mbele ili mboo iingie
yote kisha anajirudisha na kuibakiza nusu ndani.
Kwahiyo wanaendelea na mtindo huo kwa
kupokezana, kama vile wanarusha tekeo ndani ya
kisima na kisha kulivuta kwa juu baada ya kuwa
limejaa maji, wakati huu sasa miguu ya mwanaume
ikiwa dhidi ya miguu ya mwanamke, na mikono yao
ikiwa imenyooka na kushikana juu ya vichwa vyao.

Mpekecho wa Mbawa za Njiwa. Hapa, mara


baada ya mboo kuwa imeingizwa kumani, wote
wawili wanarudisha viuno vyao nyuma kana kwamba
wanataka kutenganisha kuma na mboo, lakini
hawarudi mpaka mboo ikachomoka kabisa kumani.
Halafu wote kwa pamoja wanasukuma mbele viuno
vyao na kuvigonganisha taratibu, na wanaendelea
hivyo; viuno vya wote wawili vinakuwa ni mfano wa
mbawa za njiwa. Mfumo mwingine wa mpekecho
huu ni kwa mwanamke kutumia matako yake kupiga
makofi. Hapa, mboo ikishaingizwa kumani
mwanaume anatulia halafu mwanamke ndiye
anayatumia matako yake kama mbawa za njiwa
akiibana mboo kumani na kuiachia huku pia

120
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

akisukuma kiuno chake mbele na nyuma. Wakati


akifanya haya matako yake yanakuwa yanafunga na
kufunguka, au kama vile matako hayo yanapiga
makofi. Mjongeo huu ni mzuri sana pia
wanapokutana mwanaume mwenye mboo ndogo na
mwanamke mwenye kuma kubwa.

Mpekecho wa Nipe-nkupe. Mwanaume


anapekecha mboo kumani kama kawaida, halafu
ghafla anaacha. Halafu mwanamke anaanza pia
kupekecha kama alivyokuwa akifanya mwanaume,
kisha baada ya muda naye anaacha, mwanaume
anampokea tena. Wanaendelea na mpekecho huu na
vikolombwezo vingine vikiwa vinaendelea pia mpaka
watakapoamua kubadili staili. Mjongeo huu unaweza
kutumika pia kama njia ya mwanaume
kujichelewesha kufika kileleni, hasa kwa wale
wanaume ambao kwao ni vigumu kujizuia kufika
kileleni pindi wanapohisi wamekaribia. Hapa,
mwanaume anaweza kuwa anahesabu, anapiga tako
kumi au kumi na tano, anaacha, kisha anamhesabia
mwanamke wake pia anapiga tako ngapi. Hii itafanya
ubongo wake uwe bize na mahesabu na hivyo
anaweza kuahirisha au kujichelewesha kukojoa.

Mpekecho wa Fundi-Cherehani. Mboo ikiwa


imeingia nusu kumani, mwanaume anaishindilia
harakaharaka bila kuiingiza yote, wakati mwanamke
akiwa anakatika taratibu. Baada ya kushindilia hivyo
kwa kitambo kidogo, ghafla anaingiza yote kumani.
Huu ni mjongeo wa sindano mikononi mwa fundi-

121
Dkt. Dyaboli

cherehani machachari, mjongeo ambao wote


mwanamke na mwanaume wanapaswa kuutambua.

Mpekecho wa Kuizunguka Dunia. Sahau


habari ya kwamba dunia ina pande kuu nne; mimi
nakwambia leo – dunia ina pande kuu tano! Wengi
huwa wanatazama Mash, Magh, Kas na Kus, halafu
wanasahau upande waliposimama; yaani katikati.
Haya, kwenye mjongeo huu, mwanaume anaingiza
mboo kumani halafu anaanza kuipekecha katika
pande zote tano za kuma: anashindilia upande wa juu
wa kuma, kisha upande wa chini, halafu anashindilia
kulia, kushoto, katikati, anaanza kuzungusha kiuno
akiizungusha mboo kumani, halafu anarudi tena juu
na kuendelea kwa mfumo huo. Mjongeo huu
unaifanya mboo kuwa mfano wa kijiti cha
kuchokonolea meno, ndiyo sababu wakati mwingine
huitwa Mchokonoo.

Mpekecho wa Katerero. Mboo inaingizwa


kumani na kushindiliwa kama ilivyo ada. Baada ya
kitambo kifupi inachomolewa, mwanaume anaishika
kama rungu na kuanza kuipigapiga kwenye kibumbu
(karibu kabisa na kisimi), halafu anatumia kichwa cha
mboo kuisugua taratibu midomo ya kuma kuanzia
juu kwenye kinembe, anashuka mpaka chini kwenye
pembe ya kuma, anarudia tena zoezi la kupigapiga
kibumbu, anapigapiga mpaka kwenye midomo ya
kuma, anaisugua tena. Baada ya kitambo kifupi
anaanza mchezo wa kuiingiza yote kumani kisha
anaichomoa yote, halafu anaiingiza tena yote na

122
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

kuichomoa yote, anaendelea hivyo mpaka


watakapoamua kuhamia kwenye mjongeo mwingine.

Mpekecho wa Wachimba Kisima. Mkuyenge


unaingizwa kumani, mwanaume anaushindilia kwa
kasi halafu mwanamke anamshika kiuno na kumvuta
ili kuusokomeza zaidi mboo kumani na anatulia nao
tuli kwa sekunde kadhaa, wakati mwanaume sasa
akiwa amesitisha zoezi la kushindilia. Halafu
mwanamke anaanza kuzungusha kiuno taratibu kama
vile anajaribu kuchora duara kwa kutumia kiuno
chake, wakati huu midomo yao ikiwa imenatana.
Anaenda akiongeza kasi ya kuchora maduara yake
kidogokidogo hatimaye anashika kasi, halafu baada
ya muda anatulia tuli. Mwanaume anampokea kwa
kuusokomeza mkuyenge ndani zaidi, taratibu, halafu
anaanza kushindilia kama awali, kisha baada ya muda
anaacha kushindilia na kuanza kuupekecha kana
kwamba anazoa au anachota udongo kwa kutumia
mboo humo kumani na kisha kuurusha nje ya shimo.
Mjongeo huu hurahisisha na kumsaidia mwanamke
aweze kufika kileleni mapema kama utafanyika kwa
usahihi kwani huruhusu kichwa cha mboo kusugua
kipele-G kumani na pia kufika kwa urahisi kwenye
mji wa mimba na kuusisimua. Mwanaume
anapoufikia mji wa mimba mwanamke hupata hisia
kali sana kwahiyo huanza kulalama kama kwa
maumivu hivi lakini akionekana kutaka zaidi, na
mwanaume huihisi misuli ya kuma ikiubana
mkuyenge kana kwamba inajaribu kuukaba ukate
roho. Hapo mwanaume anapaswa kuongeza kasi

123
Dkt. Dyaboli

kwani katika hatua hiyo ni rahisi kumfikisha


mwanamke kileleni.

Mpekecho wa Kuifinyia kwa Ndani. Ndizi


ikiwa ndani ya kapu, mwanamke anabimbilika na
kujinyonganyonga akiwa ameibana kwa nguvu misuli
yake ya mbususu halafu anakuwa anauvutia ndani
(kama vile anajaribu kubana au kuzuia mkojo
usitoke), akiendelea kwa kuibana misuli yake ya
mbususu na kisha kuiachia kana kwamba anaufyonza
mkuyenge ndani ya mbususu, wakati kiuno pia
kikiendelea kufanya kazi yake. Kwenye The Girl
Beneath the Lion, kupitia Giacomo, mwandishi Andre
Pieyre de Mandiargues anatuambia;
“…kuma ya binti huyu ilikuwa kama tupa,
ikininolea ndani kwa ndani. Binti huyu alikuwa na kile
ambacho warembo, matajiri na wasomi hawakuwa
nacho, kile nilichokuwa nimetafuta kwa wanawake
lukuki bila mafanikio – Kufinyiwa kwa Ndani.
Mbususu iliibana mboo yangu, tundu lake likifanya
kazi kama bomba la kufyonzea mboo. Nilifurahia,
nikazama kwa nguvu zangu zote…”
Unaona? Mtaalamu wa sanaa hii anaweza kukalia
libolo akatulia kabisa na bado akaweza kumfanya
mwanaume afike kileleni. Kwa kuibania ndani mboo
iliyodinda mwanamke anahisi ongezeko la msisimko
kumani na anaweza pia kufika kileleni mapema.
Wakati mwingine, ule mbano wa mbususu yake
unaweza kuisaidia mboo isiyo na nguvu za kutosha
kuwa imara zaidi au hata kumsaidia Jini Kipara
apande tena.

124
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

Mpekecho wa Kusugua Gaga Kumani.


Mwanaume anazamisha mboo kumani mpaka
mavuzi yake yanachangamana na mavuzi ya
mwanamke wake. Hapo sasa anapaswa kuisokomeza
ndani zaidi, kwa kuilazimisha, kinena chake
kikibonyezana na kibumbu, bila kuirudisha nyuma,
wakati mwanamke akiwa anakatika. Wataalamu
wengi wanakiri kwamba huu ndiyo mpekecho bora
zaidi na unaowapa raha wanawake wengi kuliko
mipekecho mingine kwani hapa tumbo husuguana
na tumbo, kifua husuguana na matiti, kinena
hubofyana na kibumbu, kichwa cha mboo hubofya
kipele-G, kisimi husisimuliwa, mdomo hunatana na
mdomo, na mguso wa mji wa mimba huzidisha raha
ya mnyanduano kwa pande zote mbili.

Angalizo:
Wakati wa kufanya mapenzi, kuingia kwa hewa
kumani kunaweza kuwa na matokeo hasi kwani
kuma inaweza kutoa milio kama ya filimbi au uluzi
hivi, au kama mwanamke anajamba kupitia kuma, na
kuna wakati hali hii huweza kuendelea kusikika hata
masaa kadhaa baada ya kufanya mapenzi pindi
atakapokuwa anajigeuza au kubadili mikao. Kwa
mwanamke mwenye kuma inayobana uwezekano wa
hali hii kutokea unakuwa mdogo kwani mboo
inabanwa na kufungiwa kabisa kumani, kwahiyo kwa
mwenye kuma legevu, akitumia staili za kubana
mapaja wakati wa kufanya mapenzi itasaidia
kupunguza uwezekano wa kutokea kwa hali hii.
Ngono ya mwanaume kunyonya kuma pamoja na

125
Dkt. Dyaboli

ngono ya fujo vilevile huweza kusababisha hewa


kuingia kumani pamoja na kusababisha hewa
kujilimbikiza na kukwama chini ya kiwambo cha
moyo, hali ambayo kitabibu hufahamika kama
Spontaneous Pneumoperitoneum. Hali hii inapotokea
huweza kupelekea mwanamke ahisi maumivu kifuani
au katika tumbo la juu.
Kama lengo la mechi yenu ni kutafuta mtoto,
epukeni kabisa matumizi ya vilainishi kama mate, K-
Y, mafuta na Astroglide kwani vilainishi hivi huathiri
ubora na ufanisi wa kuogelea wa mbegu za kiume. Ni
vema mkafanya maandalizi sahihi na ya kutosha
kabla ya mechi ili kuma iweze kujilainisha yenyewe
kwa kilainishi chake cha asili.
Kama mtaamua kucheza Kirumi, ni vema
kuepuka kuhama toka mkunduni kwenda kumani
kabla ya kuiosha vizuri mboo kwani mkundu una
bakteria wengi ambao kama wataingizwa kumani
wanaweza kusababisha maambukizi kwenye mfumo
wa uzazi wa mwanamke. Vilevile, kuta za mkundu
huwa hazina vilainishi vya asili kama zilivyo kuta za
kuma, na spinkta ya mkundu ni finyu – kwahiyo
kupaka vilainishi kwenye mlango wa mkundu na
kwenye mboo ni jambo la lazima.
Na hata mnapokuwa mmefikia ukingoni mwa
mbio zenu na nyote mmeridhika, usichomoe mboo
na kuinuka mjomba; ichomoe halafu endelea kujilaza
kando ya mwenzi wako ukimtazama kwa upendo,
mbusubusu na umpongeze kwa kazi yake nzuri.
Hapo utakuwa umejitofautisha na nyumbu ambao
hushindilia tu mboo kumani na baada tu ya kumwaga

126
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

huchomoa na kuinuka au kugeukia kando na


kusinzia.
Haijalishi mwanamke atajikabidhisha kwa
mwanaume mara ngapi au kwa namna gani,
mwanamke huwa anajiskia faraja na mahaba ya dhati
kubaini kwamba pamoja na kuwa amejikabidbisha
mzimamzima na ameliwa kisawasawa, mwanaume
huyo bado anamtamani, kumheshimu na
kumthamini.

D. NGONO KATIKA KIPINDI CHA


UJAUZITO
Ingawa ujauzito huweza kusababisha mabadiliko
kwenye kiwango cha hamu na raha ya ngono kwa
mwanamke, kufanya mapenzi kipindi cha ujauzito
hakuna madhara yoyote kwa mtoto aliye tumboni
wala kwa mama. Dhana kwamba ukiendelea kufanya
mapenzi kipindi cha ujauzito mtoto atazaliwa akiwa
na shahawa kwenye utosi au usoni ni imani
zinazotokana na uelewa duni. Tumboni mtoto
hulindwa na majimaji yaliyo ndani ya mji wa mimba
pamoja na misuli ya mji wa mimba wenyewe.
Kufanya mapenzi hakuwezi kumuathiri mtoto
madhali mama hana historia ya changamoto za
kujifungua kabla ya wakati au matatizo ya kondo la
nyuma.
Muhimu ni kuzingatia mikao ya ngono ambayo
haimfanyi mama abane tumbo au achoke sana, na pia
127
Dkt. Dyaboli

kuepuka ngono ya fujo. Hata hivyo, yapo mambo


kadhaa ambayo ni muhimu kuyaelewa kabla
hujafanya ngono kwenye kipindi cha ujauzito:
kwanza unapaswa kujua kwamba mambo kama
kusisimua matiti, mwanamke kufika kileleni, pamoja
na homoni za prostaglandini ambazo hupatikana pia
kwenye shahawa, vyote hivi huweza kusababisha mji
wa mimba kujifinya – kwahiyo kwa mjamzito,
anaweza kupatwa na uchungu wa uzazi. Vilevile ni
vizuri kuepuka kabisa kufanya mapenzi kipindi cha
ujauzito endapo kutakuwa na kuvuja kwa damu au
majimaji toka kwenye mji wa mimba au kama tando
za kiini-tete zitakuwa zimetatuka. Ngono ya
mwanamke kunyonya mboo haina shida lakini ya
mwanaume kunyonya kuma inaweza kuwa hatari
zaidi kwenye wiki chache za mwisho za ujauzito
kwani inaweza kupelekea kupuliziwa kwa hewa
kumani, hali ambayo huweza kusababisha hewa
kuingia kwenye mkondo wa damu kwa kupitia
kwenye kondo la nyuma.
Vinginevyo, kadri ujauzito unavyoendelea kukua,
endeleeni pia kutafiti ni staili zipi au mijongeo ipi
itawafaa zaidi kwenye mechi zenu. Kuweni
wabunifu, madhali mnazingatia kwamba mjamzito
haumii na badala yake nyote wawili mnaufurahia
mchezo wenu.

128
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

E. AMRI KUMI ZA NGONO


I. JIAMINI. Kuwa na mwili mzuri hakuwezi
kuwa kigezo cha wewe kufanya mapenzi
vizuri; kujikubali na kujiamini kunaweza.
II. KULA CHAKULA BAADA YA MECHI,
SIO KABLA. Shibe humfanya mwanamke
achelewe kufika kileleni na humfanya
mwanaume ashindwe kutunza mdindo
madhubuti wa muda mrefu.
III. MSIBAKANE. Andaaneni kwa ufanisi.
IV. MTHAMINI MWENZIO. Usiwe mtawala
kitandani na pia usiwe mpokeaji tu.
V. USIKARIRI. Sio watu wote wanapenda vitu
sawa. Kuwa mdadisi na mbunifu.
VI. JIFUNZENI NGONO YA MDOMO.
Itawafaa pindi mboo haijiwezi au kuma ina
damu ya hedhi.
VII. TOMBANA, USITOMBANETOMBANE.
Kila kitu kinapaswa kuwa na kiasi.
VIII. HAIISHI, MPAKA BIBI AIMBE. Mjomba,
usijisifu umempiga shangazi bao ngapi; jisifu
umemfikisha mara ngapi.
IX. USIOSHE MBOO KWA MAJI BARIDI
MARA TU BAADA YA MECHI. Yaweza
kupelekea kupooza kwa misuli ya mboo.
X. FANYA NGONO SALAMA! Ngono zembe
ina magonjwa ya zinaa na ina mimba
zisizotarajiwa.

129
Dkt. Dyaboli

MARA NGAPI UFANYE

Kufanya mapenzi mara kwa mara ni dhambi?


Sijui. Kwanza, mimi sina dhambi.
Lakini kitabibu, ipo haja ya kuvifanyisha mazoezi
130
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

ya mara kwa mara via vya uzazi kwa njia ya asili. Kwa
baadhi ya watu ngono inaweza kuonekana si ya
lazima sana, lakini ngono husaidia kumfanya mtu
aendelee kuwa imara kiafya. Katika hali ya sasa
ambapo vyakula vyetu vyote ni bandia na dawa
nyingi zina viambata-sumu, ni vema kwa mwanaume
aliye katika umri wa kuanzia miaka thelathini ajitahidi
kukinga udodefu wa via vyake vya uzazi kwa
kuvifanyisha mazoezi ya mara kwa mara na kwa
usahihi. Hii ni kusema, asiache kabisa kufanya
mapenzi na pia asifanye mara nyingi sana.
Kwenye Ujinga wa Baba, Sumaku anasema alizaliwa
akiwa amedinda na bila shaka angekuja kufa
amedinda. Alikuwa akidai kwamba alikuwa na uwezo
wa kufanya mapenzi mara nane ndani ya masaa
matatu na mara zote akifika kileleni; lakini wasomi
wenzie hawakumwamini, na walikuwa wakisema
nguvu ya aina hiyo ingekuwa hatari – ingeweza
kupelekea uchovu usiomithilika na hata myumbo wa
mfumo wa fahamu. Kitabibu hata hivyo, jambo
ambalo pengine hawakulijua ni kwamba Sumaku
alikuwa anatumia sana mafuta ya nundu ya ngamia
na damu ya bundi.
Katika uhalisia, baada ya kufanya mapenzi raundi
tatu au nne benki ya shahawa huwa inafilisika, na
wanaume wengi huwa hawawezi kuendelea na ngono
pindi benki zao za shahawa zinapokuwa zimefilisika.
Kwa mujibu wa tafiti mbalimbali, kwa wastani
mwanaume mwenye afya timamu hutombana
takribani mara 6,376 tangu anapotimu umri wa
miaka 18 mpaka anapokuja kutimu miaka 60, wakati

131
Dkt. Dyaboli

mwanamke mwenye afya timamu hufanya takribani


mara 4,241 katika kipimo hicho cha umri. Piga
hesabu, mpaka umri ulionao sasa umeshatombana
mara ngapi?
Hakuna shaka kwamba kila vita huacha madhara
ya muda mrefu. Madhara wayapatayo makahaba,
mathalani, ni kwamba huwa wanapoteza hisia za
ngono – wanakuwa butu. Hali hii huwa ni mfumo
wa kujilinda ambao hujengwa na ubongo toka
kwenye ulazima wa kuvumilia kutombwa mara kwa
mara na watu tofautitofauti, pasipo kuhisi hofu,
kinyaa wala maumivu.

NGONO NA UMRI MKUBWA


Kwa kawaida, ujana wako unakwisha unapokuwa na
mtoto ambaye ameanza kutombana. Hata hivyo,
umri wako mkubwa unaweza kuwa chachu ya
mahaba ya kweli – yale mawarda ambayo
hayaendeshwi tu na mihemko ya kingono.
Kuna dhana kwamba mwanamke hupoteza hamu
ya ngono kadri umri unavyozidi kwenda. Zipo
mpaka tafiti ambazo zimedai wanawake wote
huendelea kupoteza hamu ya ngono kadri umri
unavyozidi kwenda. Lakini hiki sicho
ninachokishuhudia toka kwa wagonjwa wangu
wanapokuja hospitali.
Kukoma kwa uenguliwaji wa mayai humaanisha
kukoma kwa rutuba ya uzazi na kukoma kwa hedhi.
Kwa wengine kipindi hiki huwakilisha uhuru toka
kwenye kifungo cha kutumia uzazi wa mpango,
132
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

kifungo cha kuvuja damu kila mwezi; na hii


ukiongeza uzoefu wa kutosha wa masuala ya ngono
na mabadiliko makubwa ya homoni, humfanya
mwanamke ajikute akirejeshwa kwenye zama za umri
wake wa usichana wakati ambapo alikuwa kwenye
kilele cha nyege. Kumbuka pia kwamba uwezo wa
mwanamke kufika kileleni wakati wa ngono
huongezeka zaidi na zaidi kadri umri unavyozidi
kwenda.
Mwanamke aliyefikia umri huu anayo sababu ya
msingi ya kuendelea kufanya mapenzi. Bila kufanya
mapenzi mara kwa mara, kuma inaweza kubana na
tishu zake kuwa nyembamba zaidi na kuwa na
uwezekano mkubwa wa kuvuja damu pindi
atakapoamua kurejea uwanjani. Katika yote haya,
kufanya ngono kwa usahihi siku zote husaidia.
Kwa wanaume, baada ya kuishi miaka hamsini ile
midindo madhubuti huanza kutokea mara chache.
Vilevile mwanaume huanza kuchelewa kufika kileleni
na pia hamu ya kufanya mapenzi hupungua. Ni
jambo la busara kutolazimisha kufanya mapenzi
mpaka ufike kileleni kila unapokutana na mwenzi
wako kwani hii inaweza kukufanya ufanye mapenzi
kwa muda mrefu kiasi cha kumchosha au
kumuumiza mwenzi wako.
Mambo ya kuzingatia katika kipindi hiki cha
maisha ni pamoja na: kufanya mapenzi alfajiri wakati
viwango vya homoni za baba viko juu; kuhakikisha
kila mnapoamua kufanya basi mnakuwa na vilainishi
vya ziada ili kukabiliana na ukavu wa kuma ya mama;
mama kuwa kiongozi kitandani na amsaidie baba

133
Dkt. Dyaboli

kwa kutumia mkono na mdomo; baba kubaini


kwamba mkono na mdomo wake pia vinaweza
kufanya kazi nzuri kwenye kuma ya mama; na wenzi
wote wawili kuwa tayari kujaribu mbinu mpya
rahisirahisi ili kupanua wigo wa burudani yao.

Tahadhari muhimu: Msisitishe matumizi ya njia


za uzazi wa mpango mpaka mama awe amekaa
miaka miwili bila kupata damu ya hedhi (kama umri
wake ni chini ya miaka hamsini) au mwaka mmoja
(kama umri wake umevuka miaka hamsini).

134
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

PUNYETO

“Nilivamiwa na nyege usiku wa jana, nikalazimika kujichukulia


sheria mkoni,
Niliziua kabisa; na namshukuru Mungu nililifanikisha hilo kwa
mkono mmoja tu.”

Ilivyozoeleka ni kwamba punyeto huwa ni tendo


la mtu mmoja kujihudumia mwenyewe kingono
akiwa faragha – ndiyo maana ikaitwa raha ya kujipa
mwenyewe. Unaweza kuiita vyovyote ulivyozoea;
135
Dkt. Dyaboli

puchu, puli, masta, mgalala, kujimaliza, kujichua,


kuosha bunduki, kujichukulia sheria mkononi,
kupandisha bendera, kujioa mwenyewe, kula fungate
kiganjani,… – iite vyovyote; maana inabaki palepale.
Lakini punyeto ya watu wawili inawezekana pia.
Ikumbukwe kwamba matumizi ya vifaa bandia vya
ngono ni punyeto pia. Kinachostaajabisha zaidi
kuhusu punyeto ni kwamba kiungo kinachokuwa na
hisia kali zaidi unapokuwa unapiga punyeto ni
masikio yako; unakuwa makini kuskiza kama kuna
mtu anakuja.
Toka zama za daktari Freud tumejifunza kwamba
hata watoto wachanga huwa na muitikio wa stimuli
za kingono. Ripoti ya utafiti wa daktari Alfred
Kinsey iliyopewa jina la The Kinsey Female Report
inatoa kisa cha dhahiri cha punyeto ya watoto
wadogo toka kwa mama aliyemshuhudia mwanawe
wa kike aliyekuwa na umri wa miaka miwili. Mtoto
alilala kitandani kifudifudi akiwa amekunja magoti
akaanza kukita nyonga zake kwenye godoro taratibu.
Baadaye mama aligundua kwamba chini, usawa wa
kuma, mtoto alikuwa amelalia mdoli wake ambao
ndiyo alikuwa anainua kiuno na kuja kukisugua kwa
mdoli huo na mara kadhaa alionekana kubadili
mikao. Mama aliarifu kwamba aliona na kusikia
bintiye akivuta pumzi fupifupi akiwa ameachama
kisha akatulia. Kinsey akatoa maoni kwamba kule
kutweta na hatimaye kutulia kwa mtoto huyo
kulikuwa ni sawasawa na wafanyavyo watu wazima
wanapokuwa wanafika kileleni katika ngono.
Kinachomaanishwa hapa ni kwamba punyeto ni

136
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

mchakato wa asili na huweza kuambatana na makuzi


mengine ya kijinsia katika kipindi cha utoto. Matukio
ya aina hii yanaweza kusahaulika lakini umri wa
balehe huja na awamu ya tabia nyingine ya punyeto.
Katika kipindi hiki sasa punyeto hufanyika kwa
utambuzi na yaweza kuhusishwa na ukosefu wa
mwenzi wa kushiriki naye kingono.
Watafiti wengine kama Moraglia, Wulfen,
Schbankov na Hellmann, wanakubaliana na Kinsey,
na baadhi yao wanataja mafundisho fulani ya Biblia
kama moja ya vyanzo vya watoto kujifunza punyeto.
Hebu tuangazie kisa cha Onani kinachopatikana
ndani ya Biblia Takatifu kwenye Kitabu cha Mwanzo
38: 7-9 kikisomeka hivi:
‘…Lakini Eri, mzaliwa wa kwanza wa Yuda, alikuwa
ametenda uovu machoni pa Mwenyezi Mungu; hivyo
Mwenyezi Mungu akamuua. Basi Yuda akamwambia
Onani; “Mchukue mke wa ndugu yako marehemu kama
ilivyo desturi, upate kumzalia nduguyo watoto.” Lakini
Onani alijua kwamba hao watoto wasingekuwa wake,
kwahiyo alipoingia kwa mke wa kaka yake alimwaga chini
mbegu zake ili asije akampatia nduguye watoto.’
Kwenye kifungu hiki, yamkini inaweza kuonekana
kwamba Onani alimla shemeji yake lakini shahawa
alimwagia nje. Hata hivyo, baadhi ya wachambuzi na
watafiti wa maandiko ya kale wanaamini Onani
alipiga punyeto.
Karne ya 21 imezima dhana za zama za kale
kuhusu punyeto. Sasa punyeto haionekani kuwa kitu
cha ajabu miongoni mwa vijana wadogo, ingawa
bado inakirihisha inapofanywa na mtu mzima.

137
Dkt. Dyaboli

Kiasi Gani Watu Hupiga Punyeto?


Sampuli ya Kinsey ilionesha kuwa 92% ya
wanaume hupiga punyeto mpaka wakafika kileleni.
Idadi ilionekana kuwa kubwa zaidi miongoni mwa
wanaume wenye kiwango kikubwa cha elimu. Dhana
ya kwamba kila mwanaume hupiga punyeto katika
hatua fulani maishani mwake ilionekana kukinzana
na takwimu za uhalisia. Wapo wanaume ambao
hawapigi kabisa punyeto maishani mwao kutokana
na bongo zao kutokuwa na vichocheo vya kingono
vya kutosha kuwashawishi watafute njia ya
kuvipunguza pale vinapolipuka – hawa hutegemea
zaidi ndoto-nyevu kupunguza shahawa. Wapo pia
wavulana, hasa wa familia duni, ambao huwa
hawapigi kabisa punyeto maishani mwao kwasababu
wanaanza mapema sana kujihusisha na ngono halisi
kiasi kwamba wanakuwa hawana haja ya kutafuta njia
nyingine ya kumaliza nyege zao. Vilevile wapo
baadhi ya vijana wenye muitikio hafifu wa hisia
ambao huwa wanashindwa kufika kileleni kwa kupiga
punyeto – ambao matokeo yake ni kwamba huwa
hawataki kujaribu tena punyeto baada ya kuwa
wamejaribu mara ya kwanza wakashindwa kufika
kileleni.
Daktari Sofie Lazarsfeld, kupitia utafiti uliofanywa
na gazeti la Vienna ukiongozwa na yeye mwenyewe,
aligundua kwamba wanaume na wanawake wengi
huendelea kupiga punyeto kwa miaka mingi baada ya
umri wa balehe. Utafiti wa Kinsey ulionesha kwamba
takribani 62% ya wanawake huwa wanapiga punyeto
maishani mwao na takribani 48% huwa wanapiga
138
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

punyeto mpaka wanafika kileleni – katika vipindi


fulani maishani mwao.
Nakwambia ukweli shangazi, kusisimua kisimi
kuna raha ya aina yake. Aliyefanya uvumbuzi wa
kwanza kabisa wa kusisimua kisimi atakuwa anakula
raha peponi sasa hivi, na atashukuriwa na wanawake
milele na milele. Wapo wanawake waliokuja duniani
bahati mbaya ambao mbingu imewanyima tunu ya
raha. Hawa hata mabusu motomoto na makumbato
ya bashasha hayawezi kuipasha joto mioyo yao ya
udongo. Kidole cha kati ndio silaha ya mwisho hapo.
Hakuna mwanamke awezaye kukikazia kidole cha
Fundi. Vipo pia visimi ambavyo kuviwasha moto ni
mpaka uvimwagie mafuta ya taa au petroli. Hapo,
uzoefu na ufundi vinahitajika sana. Hata hivyo,
wanawake wanajua jinsi ya kuvisisimua visimi vyao
wenyewe vizuri zaidi kuliko wanaume wanavyofanya.
Mimi namshukuru Mungu amenijaalia vidole vyenye
macho na akili. Zaidi ya wanawake 470
wameshaniambia hili. Niletee kisimi chako, utaelewa
ninachosema.
Kimsingi, punyeto yenyewe haina tatizo isipokuwa
kuifanya kupita kiasi ndilo tatizo. Punyeto ni
muhimu kwa kijana, wanasema wanasayansi, ni
Kitulizo cha Uasilia. Shahawa zinapozalishwa na
kuachwa zikae mwilini kwa kitambo kirefu, baadhi ya
chembembe mbaya zaweza ingia kwenye damu na
kuleta madhara kiafya.

139
Dkt. Dyaboli

Wanawake na Matumizi ya Mboo Bandia


Haiwezekani kuzungumzia matumizi ya mboo
bandia bila kuwataja masista wa kikatoliki. Hii
inadhihirisha ukweli kwamba nyege ni hisia za asili
kwa kila mwanamke.
Mboo bandia zinaweza kuchukuliwa kama
mahasimu wa wanaume, lakini pia zinaweza kusaidia
kupoza hamu ya mwanamke mwenye nyege za mara
kwa mara bila kumsaliti mwanaume wake. Samuel
Batler, kwenye Dildoides, anasema tangu zama za kale
huko India na Arabia masuria na wasenge hawakuwa
wanatoshelezwa kingono na hivyo walikuwa
wanaamua kutafuta mbadala wa kupoza nyege zao
kwa kutumia mboo za bandia. Walitumia matunda
na vyakula kama ndizi, biringanya, matango na
mihogo. Mbadala wa vitu hivi uliokuwa mashuhuri
zaidi ulikuwa ni mshumaa.
Kwenye Memoirs of a Young Rakehell, Apollinaire
pia anaandika kuhusu matumizi ya mboo bandia.
Kuna kijana anamsikia mamake mdogo akiwa
anafanya kitubio kwamba yeye bado ni bikra
linapokuja suala la wanaume, lakini kuna kipindi
alibaini kwamba mtoto wa dadake, Catherine,
ambaye alikuwa anapenda sana kula matango,
alikuwa anatumia mishumaa mingi sana kwa
kujisomea usiku chumbani kwake. Familia ilikuwa na
hofu kwamba mishumaa hiyo ingeweza kusababisha
ajali ya moto. Usiku mmoja muda ukiwa umeenda
sana ma’mdogo aliona mwanga chumbani kwa
Catherine, ikabidi aende akihofia pengine binti huyu
alikuwa amepitiwa usingizi ameacha mshumaa
140
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

unawaka. Alipoingia chumbani... la haula! Catherine


alikuwa amekaa chini, uchi wa mnyama (samahani, ni
uchi wa Catherine, sio wa mnyama) akiwa amepanua
miguu, mbele yake kukiwa na kioo na tango
limepakwa mafuta, na mkononi alikuwa na mshumaa
mrefu ambao alikuwa anausukuma ukiingia na
kutoka kumani. Alikuwa
anashusha pumzi fupifupi,
akitoa vilio vya sauti ya chini na
kutetemeka. Ma'mdogo
alipomuuliza kwanini alikuwa
anafanya hivyo Catherine alijibu
kwamba hakutaka kumsaliti
mpenzi wake ambaye alikuwa masomoni. Ma'mdogo
alimkanya na kumwambia aache tabia hiyo kwani
ingawa lengo lilikuwa zuri, njia aliyokuwa anatumia
haikuwa sahihi. Usiku uliofuata ma'mdogo alijaribu
kufanya kama alivyokuwa anafanya Catherine;
akanogewa, akawa ‘anajimaliza’ karibu kila usiku.
Maendeleo ya sayansi na teknolojia yamesaidia
kuboreshwa kwa vifaa bandia vya ngono katika karne
hii. Ingawa bado wapo wanawake na wanaume
wasenge wanaotumia matango, mihogo, ndizi,
mishumaa na wengine kwenda mbali zaidi na
kutumia chupa, leo hii vipo viwanda ambavyo
vinatengeneza mboo na kuma za bandia zenye
mwonekano sawa kabisa na mboo na kuma halisi,
pamoja na vitetemeshi vya kusisimua kisimi na
mkundu.
Hata hivyo, wanawake na wasenge wengi wanakiri
kwamba mboo halisi ni mboo halisi tu, haiwezi

141
Dkt. Dyaboli

kufananishwa na mboo bandia.

Jinsi ya Kujiepusha na Uraibu wa Punyeto


Punyeto haina madhara, isipokuwa kuifanya
kupita kiasi ndilo tatizo. Mambo mengi maishani
yako hivyo. Hapa tuna kisa cha vijana wawili nguli
wa punyeto. Mmoja alikuwa akipiga punyeto kila
siku. Kwake ilikuwa ni kama chakula, asingeweza
kupata usingizi bila kwanza kuzishughulikia nyege
zake. Nilipoisikia tu hii, nikabashiri hatma ya kijana
huyu, ambayo kweli ilikuja kutimia ndani ya kipindi
cha miezi 28 kwani alikufa kwa kile madaktari
walichokiita Deep Consumption baada ya kuwa amepiga
punyeto mpaka akapinda mgongo na akawa haoni
sawasawa. Mwingine naye alifuata kwa kupiga
punyeto mpaka ikafikia hatua shahawa zikawa
zinachuruzika tu bila hata kuwa amedindisha –
zilikuwa zinatoka akicheka, akipiga chafya, akikohoa
au akipenga kamasi, na wakati mwingine akijamba,
akishtuka au akiwa msalani anajisaidia. Aliendelea
hivyo mpaka hatimaye akapatwa na wazimu. Lakini
pia mjomba, kuwa makini. Ukizidisha punyeto
unaweza kujikuta unakuwa baunsa wa mkono
mmoja; mkono unaopiga punyeto unajazia halafu
mwingine unabaki mdogo.
Kwahiyo waungwana, ni rahisi kujiepusha na
uraibu wa punyeto. Fuata kanuni hizi rahisi:
 Epuka kukaa peke yako muda mwingi.
 Epuka kusoma makala au kutazama video au

142
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

picha zinazoweza kukutia nyege.


 Usijilaze kitandani ikiwa huna usingizi;
inapokulazimu kuwa kitandani, fanya jambo
ambalo litakuweka bize mpaka utakaposhikwa
na usingizi.
 Toka kitandani mara tu unapoamka toka
usingizini.
 Jifunze kulala kiubavu, sio chali wala
kifudifudi – kulala chali hupasha joto mafio
ambayo huamsha nyege, wakati kulala
kifudifudi hupandisha joto kwenye kende na
huweza kuathiri uzalishwaji wa shahawa na
uimara wa msuli wa mboo.

143
Dkt. Dyaboli

Hitimisho

Ngono ni dawa. Ukiitumia kwa usahihi inakupa


afya bukheri na furaha ya dahari; ukiitumia vibaya
inakuwa sumu na inakupa madhila yanayoweza
kuvuruga kabisa mpangilio wa maisha yako!
Vijana wadogo ambao huwa wanangoja mpaka
wakue na kufikia umri sahihi ndiyo wanaanza
kujihusisha na ngono huwa wanajipunguzia
uwezekano wa kuambukizwa magonjwa ya zinaa.
Takribani nusu ya maambukizi yote ya magonjwa ya
zinaa huwakumba vijana wa umri wa kati ya miaka
15 na 24, na kundi hili ndilo liko hatarini zaidi
kuambukizwa UKIMWI, Klamidia na Kaswende.
Ngono vilevile hujumuisha hatari ya mimba
zisizotarajiwa ambazo zaweza kuvuruga kabisa
mipango ya maisha ya kijana husika. Kila mwaka
takribani mabinti 750,000 walio kati ya umri wa
miaka 14-19 hupata ujauzito na takribani 90% ya
mimba hizi huwa hazikutarajiwa.
Kila mwanaume anajua ni kwa jinsi gani kufika
kileleni huwa kunadhoofisha kila kiungo cha mwili.
Wengine huwa wanarembua hadi macho kama
wanataka kukata roho pindi wanapokuwa wanafunga
goli. Kwahiyo ngono holela inaweza kuuchosha sana
mwili wako na kudhoofisha afya yako. Ngono holela
vilevile hupelekea miparaganyiko ya familia na
kuyumba au kuporomoka kiuchumi.
144
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

Rafiki, ngono ni tamu; anayeipinga apigwe mawe


afe! Lakini chonde; jifunze kujidhibiti na kujitawala.
Ukiruhusu nyege zikutawale, utatumbukia shimoni.
Kondomu haikuhakikishii usalama wako. Kuna mtu
aliwahi kukatwa mapanga akafa akiwa amevaa
kondom baada ya kufumaniwa akiwa na mke wa
mtu. Hapo utasema kondom ilimlinda? Vilevile
pombe sio nzuri kwa wanawake wengi kwasababu
huwapa tatizo la chupi kupwaya na kupanua mapaja
kwa urahisi. Tukumbuke pia kwamba chupi na akili
zinafanana; zote zinaweza kutolewa kwa pombe.

Namwomba Shetani aendelee kuwa nami na


kuniongoza kwenye dhambi yangu ya uzinzi.
Amen.13

Ave Satanas!

13
Hiyo ni dua yako wewe uliyeisoma; sio ya mwandishi.

145
Dkt. Dyaboli

MAREJELEO:
BANCROFT. J., Human Sexuality and its Problems, 1983.
BRIZENDINE, LOUANN, The Female Brain, 2006.
BURTON. R. na ARBUTHNOT. F, Vatsyayana’s Kama Sutra, 1963.
CÉLINE, LOUIS, Journey to the End of the Night, 1932.
CHESSER, DR. EUSTACE, Love Without Fear: A Plain Guide to Sex
Technique for every Married Adult, 1941.
DYABOLI, DR. MOJO, Almasi ya Kijani, 2016. Mashairi 99 toka
Gizani, 2006. Ujinga wa Baba, 2018.
FROBENIUS, LEO na FOX, DOUGLAS, African Genesis, 1938.
JAMI, Abode of Spring , 1887.
KINSEY, DR. ALFRED, Sexual Behavior in the Human Male, 1948.
Sexual Behavior in the Human Female, 1953.
LAURENT, E. na NAGOUR, P., Magica Sexualis: Mystic Love Books
of Black Arts and Secret Sciences, 1934.
LAZARSFELD, DR. SOFIE, Woman's Experience of the Male, 1955.
LUKUMBUJA, GIBSON, Mauaji ya Ng’wanamalundi: Ukweli
Unaoogopwa, 2018.
MANDIARGUES, ANDRÉ, The Girl Beneath the Lion, 1959.
MASTERS. H. na JOHNSON. E., Human Sexual Response, 1966.
MATHERS, P., The Arabian Nights (tafs. ya Alfu Lela Ulela)
NEFZAWI, SHEIKH, M., The Perfumed Garden, 1427.
RICHARD, E. JONES na KRISTIN, H. LOPEZ, Human
Reproductive Biology (Chapa ya III), 2006.
SADOCK. B.J. na SADOCK. V.A., Techniques of Coitus in
Comprehensive Textbook of Psychiatry, Chapa ya III, 1980.
SHERWOOD, JAMES, Stradella, 1962.
VAN DE VELDE, DR., Ideal Marriage: Its Physiology and
Technique, 1928.

146
SEXUS: Siri za Ngono Tamu

KUHUSU MWANDISHI

Hiyo hapo ni picha ya mwandishi wakati akiwa bado


mdogo. Ni picha ya kitambo sana.

Jambo moja muhimu sana nimesahau kukwambia:


Nilikiandika kitabu chote hiki nikiwa uchi kabisa,
chote, mwanzo mpaka mwisho.

Wasiliana na mwandishi kupitia baruapepe:


drdyaboli7@mail.com

Zingatia: ni @mail.com, sio @gmail.com

147

You might also like