You are on page 1of 470

Nimeisoma kwa umakini mkubwa sana thread ya mdau mmoja aliyekata shauri na kuamua kwenda kupima HIV!

Kiukweli kabisa toka katika uvungu wa moyo wangu nampongeza sana na Mwenyezi Mungu amuokoe huyu ndugu! Lakini kati
ya wachangiaji waliosimama kidedea kuchangia thread hii, mchangiaji mmoja nimemnukuu akisema, "hukujua kuwa kupata
UKIMWI ni kazi ngumu sana.."

Na kwa bahati mbaya alipoombwa kutoa elimu na uzoefu wake na baadhi ya wadau, hakuonekana tena! Usemi huu umeibua
tafakari na tafakuri nyingi katika halmashauri yangu ya kichwa, nikirejea na siku za mgongoni nikiwa darasani mwalimu pia
aliwahi kusema maneno sawia na ya mchangiaji wa leo na toka ya hapo, swali hili limetoka katika tawala za kichwa changu
kwamba, "Je, inawezekana mtu akalala (siyo kulala huku kwa kawaida, tafsida imezingatiwa) na mtu mwenye UKIMWI tena bila
condom na asipate UKIMWI?".

Nisaidieni wadau.

Nawasilisha.

======

 think3r91 said:
Virus vinaishi kwenye damu. Watu wamejaribu kupambanua njia tofauti tofauti za maambukzi. Ila njia ni moja tu.
Kukiwa na muingiliano wa damu kati ya muathirika na asiye athirika.

Kwa wanawake ni rahisi sana kuambukizwa kutokana na jinsi maumbile yao yalivyo. Katika uke wa mwanamke
kuna chembe chembe nyeupe za damu nyingi hususni wa kati wa tendo husika. Na tunajua HIV huwa vinaishi ndani
ya WBC.

Ishu za manii ama orgasm fluids zinapotoka huwa hazina uhalisia wa moja kwa moja wa kuwa na VVU

 Reactions:Gangplus, SpiderThy, gbefa and 12 others

Deo Corleone
JF-Expert Member
Joined Jun 29, 2011
 15,190   2,000
Nov 13, 2013


 #2

Kuna jamaa yangu baada ya kugonga demu ambaye inasemekana ameumia,huwa anajitetea eti
unaweza ukalabua kavu na usipate.

 Reactions:Gangplus, Askof tza, bush crazy and 2 others


S
Saint H.Jr
Member
Joined Aug 22, 2013
 47   0
Nov 13, 2013


 #3

Deo Corleone

Hukuwahi kumuuliza ni kwanini?


Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

Pianist
JF-Expert Member
Joined Nov 7, 2010
 617   225
Nov 13, 2013


 #4

Kama mwanamke ndiye ana virusi vinavyosababisha Ukimwi na mwanaume hana, mwanaume
anaweza asiambukizwe virusi hivyo endapo hakutakuwa na misuguano mikubwa
itakayosababisha michubuko wakati wa kuingiliana (katika uke). Hii inaweza kuwa kwa sababu
mwanamke alikuwa ametoa vilainisho vya asili au walitumia mafuta ya maji ya kulainisha.

However it is not worth it kwenda kavu hata mwanamke awe wa aina gani.

 Reactions:Ynamakaspak, Heller, gbefa and 13 others

S
Saint H.Jr
Member
Joined Aug 22, 2013
 47   0
Nov 13, 2013


 #5

 Pianist said:
Kama mwanamke ndiye ana virusi vinavyosababisha ukimwi na mwanaume hana, mwanaume anaweza
asiambukizwe virusi hivyo endapo hakutakuwa na misuguano mikubwa itakayosababisha michubuko wakati wa
kuingiliana (katika uke). Hii inaweza kuwa kwa sababu mwanamke alikuwa ametoa vilainisho vya asili au
walitumia mafuta ya maji ya kulainisha.

However it is not worth it kwenda kavu hata mwanamke awe wa aina gani.

Mkuu,vipi kuhusu mbadilishano wa manii,maana si wote mtafika kileleni kwa maana ya wote
kutoa semen

 Reactions:Ynamakaspak, gbefa, Aleyn and 3 others

Jakubumba
JF-Expert Member
Joined Mar 5, 2011
 1,627   1,195
Nov 13, 2013


 #6

Inawezekana kabisa ndugu! Kama kila anaelala na mwenye ukimwi bila condom angekuwa
anaambukizwa basi tungekuwa tumeisha. Asilimia kubwa ya watu hawavai condom, na wengi
wanafanya ngono kama hobby, all in all your theory is right Saint H.Jr
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

 Reactions:Ynamakaspak, SpiderThy, gbefa and 13 others

S
Saint H.Jr
Member
Joined Aug 22, 2013
 47   0
Nov 13, 2013


 #7

 Jakubumba said:
Inawezekana kabisa ndugu! Kama kila anaelala na mwenye ukimwi bila condom angekuwa anaambukizwa basi
tungekuwa tumeisha. Asilimia kubwa ya watu hawavai condom, na wengi wanafanya ngono kama hobby, all in all
your theory is right.

Mkuu,hapa inamaanisha fluids si kitu for AIDS career?


 Reactions:hero100 and sancheez

Pianist
JF-Expert Member
Joined Nov 7, 2010
 617   225
Nov 13, 2013


 #8

 Saint H.Jr said:


Mkuu,vipi kuhusu mbadilishano wa manii,maana si wote mtafika kileleni kwa maana ya wote kutoa semen?

Mkuu nadhani sina uelewa wa kukujibu hapo, nadhani wachangiaji wengine wataweza kujibu.

 Reactions:Eddix

Daud Omar
JF-Expert Member
Joined Apr 4, 2011
 2,462   1,225
Nov 13, 2013


 #9

Unaweza kulala na bundi ukaamka mwenye bahati, ila usijaribu, si unajua njia alizopita
mwenzio kufanikiwa, ukipta wew utaanguka

 Reactions:Saint anne, love b, SpiderThy and 7 others


Yantuzu
Senior Member
Joined Dec 10, 2011
 116   195
Nov 13, 2013


 #10

Acha umalaya ndio dawa ya Ukimwi....ule ugonjwa hauna guarantee!


 Reactions:gbefa, badoo, floow and 2 others

Jakubumba
JF-Expert Member
Joined Mar 5, 2011
 1,627   1,195
Nov 13, 2013


 #11

 Saint H.Jr said:


Mkuu,hapa inamaanisha fluids si kitu for AIDS career?

Mkuu what I can assure you is that all fluids in human body is AIDS career. The most important
thing is that make sure you know the difference between AIDS and HIV may be that can help to
understant what I meant.

 Reactions:chabuso, gbefa, MISULI and 5 others

S
Saint H.Jr
Member
Joined Aug 22, 2013
 47   0
Nov 13, 2013


 #12

 Jakubumba said:
Mkuu what I can assure you is that all fluids in human body is AIDS career. The most important thing is that make
sure you know the difference between AIDS and HIV may be that can help to understant what I meant.

Then,go further on educating me if you don't mind,i would like to learn from you! Thanks

 Reactions:Ynamakaspak and gwijimimi

Viol
JF-Expert Member
Joined Dec 15, 2009
 20,649   2,000
Nov 13, 2013


 #13

Thread kama hii hata ukieleza ushuhuda na ulivyoponea utaonekana tu unao.


 Reactions:Raynavero, gbefa, MISULI and 21 others

Steveachi
JF-Expert Member
Joined Nov 7, 2011
 5,604   2,000
Nov 13, 2013


 #14

 Deo Corleone said:


Kuna jamaa yangu baada ya kugonga demu ambaye inasemekana ameumia,huwa anajitetea eti unaweza ukalabua
kavu na usipate.

Weeeee,labda ukimwi wa kichina huo,wabongo mnavyojua kusimamia show,kutoambukizwa ni


bahati sana

 Reactions:Ynamakaspak, Mwasongola and edwayne

N
Nzowa Godat
JF-Expert Member
Joined Jun 15, 2011
 2,736   1,250
Apr 26, 2015


 #15

 steveachi said:
Weeeee,labda ukimwi wa kichina huo,wabongo mnavyojua kusimamia show,kutoambukizwa ni bahati sana

Ukiwa na uume mdogo ambao hausababishi michubuko halafu ukawahi kuuosha baada ya
kugegedua, unaweza ukasalimika.

 Reactions:mgoyojr, Elementi, SpiderThy and 6 others

Asabaya
JF-Expert Member
Joined Feb 12, 2012
 1,316   1,225
Apr 26, 2015


 #16

Mungu atunusuru ...


 Reactions:Honestty, King Victor, Christine1 and 2 others


Gorgeousmimi
JF-Expert Member
Joined Jun 21, 2010
 8,863   1,500
Apr 26, 2015


 #17

Ndio, inawezekana ulale na mtu mwenye ukimwi na usiupate!


 Reactions:mtoto wa kipare and Christine1

Steveachi
JF-Expert Member
Joined Nov 7, 2011
 5,604   2,000
Apr 27, 2015


 #18

Nzowa Godat

hahahaaaaaa, mkuu mi navyojua ukishakolea kwenye ile kitu hata kuosha utakumbuka basiii
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

 Reactions:SpiderThy, Aleyn, baraka3 and 2 others

Think3r91
JF-Expert Member
Joined May 7, 2013
 471   250
Apr 27, 2015


 #19

 Saint H.Jr said:


Mkuu,vipi kuhusu mbadilishano wa manii,maana si wote mtafika kileleni kwa maana ya wote kutoa semen

Virus vinaishi kwenye damu. Watu wamejaribu kupambanua njia tofauti tofauti za maambukzi.
Ila njia ni moja tu. Kukiwa na muingiliano wa damu kati ya muathirika na asiye athirika.

Kwa wanawake ni rahisi sana kuambukizwa kutokana na jinsi maumbile yao yalivyo. Katika uke
wa mwanamke kuna chembe chembe nyeupe za damu nyingi hususni wa kati wa tendo husika.
Na tunajua HIV huwa vinaishi ndani ya WBC.

Ishu za manii ama orgasm fluids zinapotoka huwa hazina uhalisia wa moja kwa moja wa kuwa
na VVU

Think3r91
JF-Expert Member
Joined May 7, 2013
 471   250
Apr 27, 2015


 #20

 Jakubumba said:
Mkuu what I can assure you is that all fluids in human body is AIDS career. The most important thing is that make
sure you know the difference between AIDS and HIV may be that can help to understant what I meant.

This is not quite practical. HIV both I&II finds a home in hosts WBC.

Je unajua baada ya virus kuingia ndani ya mwili wa binadamu. At very first stage within 72
hours ni kuishi kwenye lymphatic nodes?

Hapo ndipo PEP hufanya kazi za kuzuia HIV kwenda kwenye WBC. Mwisho wa siku virus
wankufa na kuwa dormant kabisa.

Tambua na ijulikane. Virus wa ukimwi amekuwa laboratory engineered to live and produce
replica in white blood cell..
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
Apr 28, 2015


 #30

 think3r91 said:
Well said... ulifuatilia ile documentary ya yule daktari aliyabatiza hii kitu...

Ndio mkuu,yaani sikubakisha kitu,documentary zote zinazohusu mambo haya nimezifuatila kwa
undani kabisa tena karibu mara sita sita kila moja.Hakuna documentary nilibakisha.Pia scientific
papers mbalimbali nimefuatilia na nimefanya tafiti mbalimbali clinic za watu wanaotumia ARVs
na nimefuatilia pia watu wanaotumia ARVs walio kwenye hatua za mwisho/yaani wenye hali
mbaya zaidi kiafya.
Nikaja kuhitimisha kwamba,sisi tunauawa kwa kukosa maarifa na uelewa,kwa kweli inaniuma
sana hadi leo hii baada ya kujua ukweli huu na ninadhani ipo siku walioshikiria biashara hii ya
ARVs wataniua kwa kuwaelimisha watu ukweli kwa maana sina hata chembe ya uvumilivu ya
kuhifadhi ukweli huu ndani ya ubongo wangu.
Tumedanganywa kuhusu ugonjwa huu kuanzia;
1.Historia yake(ni feki)
2.Hypothesis yake(ni uongo uliopindukia)
3.Vipimo vya HIV(ni feki na very misleading)
4.na Dawa zake za ARVs(hazina faida yoyote na ndio hizi hasa zinazosababisha matatizo halafu
tunamsingizia HIV).

 Reactions:vyamu, Tobinho, enhe and 20 others

Denjo
JF-Expert Member
Joined Jul 23, 2014
 334   195
Apr 28, 2015


 #31

 Deception said:
Ndio mkuu,yaani sikubakisha kitu,documentary zote zinazohusu mambo haya nimezifuatila kwa undani kabisa tena
karibu mara sita sita kila moja.Hakuna documentary nilibakisha.Pia scientific papers mbalimbali nimefuatilia na
nimefanya tafiti mbalimbali clinic za watu wanaotumia ARVs na nimefuatilia pia watu wanaotumia ARVs walio
kwenye hatua za mwisho/yaani wenye hali mbaya zaidi kiafya.
Nikaja kuhitimisha kwamba,sisi tunauawa kwa kukosa maarifa na uelewa,kwa kweli inaniuma sana hadi leo hii
baada ya kujua ukweli huu na ninadhani ipo siku walioshikiria biashara hii ya ARVs wataniua kwa kuwaelimisha
watu ukweli kwa maana sina hata chembe ya uvumilivu ya kuhifadhi ukweli huu ndani ya ubongo wangu.
Tumedanganywa kuhusu ugonjwa huu kuanzia;
1.Historia yake(ni feki)
2.Hypothesis yake(ni uongo uliopindukia)
3.Vipimo vya HIV(ni feki na very misleading)
4.na Dawa zake za ARVs(hazina faida yoyote na ndio hizi hasa zinazosababisha matatizo halafu tunamsingizia
HIV).
Click to expand...

Anzisha thread kila mtu aione na kuchangia chochote with references bro

 Reactions:SpiderThy, badoo, Raynavero and 2 others

M
Mchajikobe
JF-Expert Member
Joined Aug 14, 2009
 2,528   2,000
Apr 29, 2015


 #32

Mmmh tunawezaje ipata hiyo documentary?


 Reactions:full name

Lukolo
JF-Expert Member
Joined Dec 2, 2009
 5,148   1,250
Apr 29, 2015


 #33

Ndiyo inawezekana kulala na mwenye VVU na usivipate. Ni vizuri ufahamu kwamba kwa kila
tendo la ndoa linalofanywa, hatari ya kuambukizwa UKIMWI ipo kwa asilimia 2 tu. Hivyo
uwezekano wa kuambukizwa ukimwi si asilimia 100, kiasi cha mtu kudhani kwamba akigusa tu,
basi amepata. Lakini kwa mwanaume aliyetahiri asilimia hiyo mbili inapungua tena kwa asilimia
60. Piga hesabu ya asilimia zinazobaki baada ya kutoa asilimia 60 za asilimia 2. Hivyo kwa
aliyetahiri, anaweza kuwa kwenye hatari ya maambukizo kwa asilimia labda 0.8. Kwa kusema
hivi simaanishi kwamba sasa mjiachie tu na kwenda peku.

 Reactions:SpiderThy, MMVSMGWM, badoo and 5 others

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
Apr 30, 2015


 #34

 Lukolo said:
Ndiyo inawezekana kulala na mwenye VVU na usivipate. Ni vizuri ufahamu kwamba kwa kila tendo la ndoa
linalofanywa, hatari ya kuambukizwa UKIMWI ipo kwa asilimia 2 tu. Hivyo uwezekano wa kuambukizwa ukimwi
si asilimia 100, kiasi cha mtu kudhani kwamba akigusa tu, basi amepata. Lakini kwa mwanaume aliyetahiri asilimia
hiyo mbili inapungua tena kwa asilimia 60. Piga hesabu ya asilimia zinazobaki baada ya kutoa asilimia 60 za
asilimia 2. Hivyo kwa aliyetahiri, anaweza kuwa kwenye hatari ya maambukizo kwa asilimia labda 0.8. Kwa
kusema hivi simaanishi kwamba sasa mjiachie tu na kwenda peku.

1.Ukimwi hauambukizwi
2.Ukimwi hauambukizwi kwa njia ya ngono
3.HIV hawezi kusababisha ukimwi na hasababishi ukimwi kwa kuwa hana sifa ya kusababisha
ukimwi.Nashauri tujitahidi kwenda nje ya mainstream kutafuta habari,mambo mengi
tunayoyafahamu kwenye dunia hii hayapo kama tunavyoyaona au kuyasikia,na mambo
yamewekwa hivyo kwa sababu maalum kabisa.Anayesikia haya kwa mara ya kwanza atadharau
au kufunga milango yake ya fahamu,kufunga milango ya fahamu hakubadilishi ukweli kuwa
uongo,ukweli utabaki palepale.
Ukielewa ukweli kuhusu jambo hili utakubaliana na mimi kwamba mtu yeyote anayeogopa HIV
ni sawa na kuogopa kivuli chake mwenyewe.Kama una swali lolote ambalo unadhani lina utata
kuwa huru kuuliza.Nimetimiza wajibu wangu kutoa dokezo,kama mtu ana dukuduku/swali awe
huru kuniuliza.

Hebu gusa link hapo chini kwa kuanzia;

https://www.youtube.com/watch?v=pB8g0b-FkW0

 Reactions:SpiderThy, gbefa, MMVSMGWM and 14 others
BIGURUBE
JF-Expert Member
Joined Mar 11, 2014
 6,712   2,000
Apr 30, 2015


 #35

Deception

Possibly kuna kitu kizuri ulitaka kuelezea lakini umeshindwa namna ya ku-present...
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

 Reactions:miminimama, Avriel, Aleyn and 1 other person

Justin Dimee
JF-Expert Member
Joined Apr 17, 2012
 1,146   1,225
Apr 30, 2015


 #36

Deception

Dau kuna kitu kina kosekana flani ivi apa dah mmmmh narudia kusoma mara mbili mbili lakin
daah mmmh tuelimishe vizuri bana tukuelewe.?
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

 Reactions:Mr Dumila, Aleyn and gwijimimi
Think3r91
JF-Expert Member
Joined May 7, 2013
 471   250
Apr 30, 2015


 #37

 Justin Dimee said:


mdau kuna kitu kina kosekana flani ivi apa dah mmmmh narudia kusoma mara mbili mbili lakin daah mmmh
tuelimishe vizur bna tuku elewe.?

Wametaka tuamini kile walichotaka tuamini. Ukweli kuhusu ukimwi umefichwa na wao
wenyewe...

 Reactions:SpiderThy, Raynavero, Aleyn and 4 others

Sista
JF-Expert Member
Joined Sep 29, 2013
 3,207   1,250
Apr 30, 2015


 #38

Wanaume wenye vibamia hawaambukizi ukimwi

Diplomatic Imunnity
JF-Expert Member
Joined Apr 2, 2012
 1,238   1,250
Apr 30, 2015


 #39

mada nzuri na ina elimu ya uhakika kwa namna fulani


 Reactions:rodgerslelo and gwijimimi

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
Apr 30, 2015


 #40

 Denjo said:
Anzisha thread kila mtu aione na kuchangia chochote with references bro

 BIGURUBE said:
Possibly kuna kitu kizuri ulitaka kuelezea lakini umeshindwa namna ya ku-present...

 Justin Dimee said:


mdau kuna kitu kina kosekana flani ivi apa dah mmmmh narudia kusoma mara mbili mbili lakin daah mmmh
tuelimishe vizur bna tuku elewe.?

Wakuu,mada hii ni pana mno,kuiandaa na kuiweka yote hapa hata kwa summary bado ni kubwa
mno kwa kuwa inajumuisha mambo mengi sana,na ndio maana huwa natumia njia hii ya kutoa
dokezo halafu watu huuliza maswali ambayo wanadhani yana utata nami huyajibu.
Nikiweka mada yote huku kama inavyotakiwa wana JF kwa jinsi
ninavyowafahamu,hawataisoma yote na badala yake watakimbilia kupinga kwanza,utake
usitake,hivyo ndivyo wana JF wengi walivyo,hii ni mojawapo ya tabia inayonivunja moyo
sana,na ndio maana najitahidi kunusuru muda wangu pia.Nilitoa vidokezo 4 kusema kwamba
ugonjwa huu ni feki katika nyanja hizo,hivyo mtu ambaye ana swali kwenye kidokezo chochote
kati ya hivyo anaweza kuniuliza nami nitamjibu na kumpatia evidence pale anapohitaji ingawa
najua pia hata nikitoa evidence bado watu hawataamini kwa kuwa tumepumbazwa akili zetu na
taarifa hizi za uongo kwa muda mrefu sasa mpaka imefikia wakati tunaona ni kweli.Uongo
ukiurudia rudia mara kwa mara mwishowe watu watauona ni ukweli(ukweli wa uongo).

VIDOKEZO;
1.Historia ya HIV/AIDS ni feki
2.Hypothesis ya HIV/AIDS ni feki
3.Vipimo vya HIV/AIDS ni feki
4.Dawa zinazotumika za HIV/AIDS yaani ARVs ni feki pia.

Karibuni kwenye elimu ya bure,ni muda wako tu.

PARADIGM
JF-Expert Member
Joined Sep 9, 2014
 2,565   2,000
Apr 30, 2015


 #42

Mimi kuna askari mmoja ametembea na wanawake wenye ukimwi zaidi ya wanne na amekuwa
akipima mara kwa mara yuko vizuri. Mpaka wakati mwingine yeye huwa anajishangaa maana
haamini. Alikuwa ni mmoja wa waliopewa chanjo ya ukimwi ya majaribio.

 Reactions:edwayne, mombasafinest and mangatara

Junior Paul
Member
Joined Apr 14, 2015
 7   0
Apr 30, 2015


 #43

Dah! Kwanini unasema HIV/AIDS ni feki na vipimo vyake kwanini viwe feki pia?
M
Mangatara
JF-Expert Member
Joined Jul 6, 2012
 13,321   2,000
Apr 30, 2015

 #44

 Nzowa Godat said:


Ukiwa na uume mdogo ambao hausababishi michubuko halafu ukawahi kuuosha baada ya kugegedua, unaweza
ukasalimika.

Nzowa,
Umenifanya nikimbilie maliwato haraka kujicheki. Hivi uume mdogo ukoje na uume mkubwa
mpaka unasababisha michubuko ukoje?
Back to the point.

Si kila kumlala mwanamke mwenye ukimwi kunaleta maambukizi hayo. Ninawajua watu flani
sasa ni marehem, waliacha wake zao na hakuna hata mmoja mwenye hiyo kitu. Hapo nasema
kwa ukakamavu kabisa. Cha kushangaza mmoja alizaa na mama kati ya hao vitoto vimekwisha
tangulia lakini hawaa wawili ni wazima.

Haya; Si kila mwanamke atalala na mwenye ukimwi aupate pia. Mbona hawa wamama hawana?
Ukimwi ni adhabu flani hivi. Siye tunapiga kavu kavu nyingi tu bado hata dalili hakuna. Huna
haja ya kilainishi, mwandae vizuri, usilogwe ukaenda nje ya mipaka yaani kinyume na
maumbile. Huko hata umwandaeje, hakuna kilainishi chochote kule ila tangi bovu tu kule.

Mkitaka sikieni hamtaki endeleeni hata ukivaa kondom 2, ni bure. Miye ka ni mipira hiyo sivai
naacha naenda kulala

 Reactions:SpiderThy, Jolie Jolie, Llio 002 and 1 other person

Gney
Member
Joined Apr 30, 2015
 94   125
May 1, 2015


 #45

Mtoa mada una dhamira nzuri lkn unaongea kwa lugha ya picha sana.jaribu kudadafua kwa
undani zaidi
D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 1, 2015


 #46

 PARADIGM said:
Style hiyo aliitumia Zuma, raisi wa Afrika ya kusini.

Ndio maana nikasema jambo hili ni pana sana na nina mambo mengi sana kuelezea watu.Ukweli
ni kwamba,Zuma ni muongo kupindukia,aliongea hivyo ili kurudisha imani ya watu ambayo
imeshapotea kuhusiana na ugonjwa huu.Thabo Mbeki alishawafunua wananchi wake kuhusu
ukweli wa ugonjwa huu kwamba ni feki na aliwaambia kwamba yeye haamini kama
unasababishwa na HIV na akawapa sababu,hivyo watu wengi walimuelewa na takwimu za
matumizi ya ARVs zilishuka sana na watu wa SA hadi leo hawaogopi kabisa ukimwi kwa kuwa
wameshaelimika na wanajua kwamba ni feki,bado sisi vichwa ngumu kuelewa.Na hii ndio
sababuiliyomfanya Thabo Mbeki apigwe chini kabla ya kumaliza muda wake wa uongozi na
kumweka Zuma ili arudishe hali nzuri ya soko la ARVs.

 PARADIGM said:
Mimi kuna askari mmoja ametembea na wanawake wenye ukimwi zaidi ya wanne na amekuwa akipima mara kwa
mara yuko vizuri. Mpaka wakati mwingine yeye huwa anajishangaa maana haamini. Alikuwa ni mmoja wa
waliopewa chanjo ya ukimwi ya majaribio.
Kabla ya kutoa uthibitisho wangu,ninyi wenyewe wana JF mnatoa uthibitisho.Hakuna chanjo ya
ukimwi.Hata mimi naweza kutembea na mtu anayetumia ARVs bila kinga mara nyingi na
naweza pia kujikata na kujiwekea damu ya mtu huyo na siwezi kupata ukimwi/VVU.By
nature,ugonjwa huu haupo,ila jamaa wametumia akili nyingi tu kudanganya watu,wametumia
uongo wa kisayansi ili watu waamini kama kweli ugonjwa huu wa HIV/AIDS upo kitu ambacho
si kweli.Watu wanajua kwamba AIDS inasababishwa na HIV hivyo mtu hupewa ARVs,kumbe
ARVs baada ya muda fulani ndio husababisha AIDS,hili watu wamefumbwa,hawalijui.Na kama
mtu yeyote anaumwa na hatumii ARVs basi lazima atakuwa na tatizo la msingi linamsumbua na
akipewa dawa husika anapona kabisa na haitajia kula ARVs maisha yake yote hata kama
ameonekana ana HIV,kwa kuwa nilishasema mwanzo kwamba HIV hana madhara na zaidi ya
hapo vipimo hivi ni feki na nitaeleza kwa nini ni feki baadaye.

 junior paul said:


Dah! Kwanini unasema HIV/AIDS ni feki na vipimo vyake kwanini viwe feki pia?
HIV/AIDS ni feki kwa kuwa AIDS haisababishwi na HIV na HIV hana uwezo wa kusababisha
AIDS na ndio maana kuna mikanganyiko mingi sana sasa,mara watu hukwambia "ni vigumu
sana kupata HIV kwa kufanya ngono",ukweli ni kwamba HIV haambukizwi kwa njia ya
ngono.Wengine husema "kuna watu wana HIV lakini hawadhuriki" watu hawa huitwa
carrier,huu ni uongo pia,kila mtu hawezi kudhurika na HIV,hata wewe pia.Walichofanya hawa
jamaa wamefanya utafiti ni contradiction gani inajitokeza kwenye uongo huu waliotulisha halafu
wakatafutia majibu yake ili kuendelea kuwapa watu imani kwamba kweli VVU/Ukimwi upo na
unaua ilihali kinachoua ni ARVs.
Vipimo vyake ni feki kwa sababu havipimi HIV mwenyewe kwa muonekano kama ilivyo
kwenye baadhi ya magonjwa kama vile malaria,TB au Typhoid.Walikataa kutuia electronic
microscope kwa kuwa wenyewe wanajua kwamba HIV ni feki,haonekani.Na ndio maana hadi
leo hii muulize daktari yeyote ambaye unamwamini wewe ni kichwa kama kashawahi kumuona
HIV hata kwa kutumia vyombo vyao katika maisha yake yote ya udaktari,atakwambia hajawahi
kumwona,sasa kama hajawahi then nini tunachokiamini basi?Ile picha ya HIV kwenye vitabu
vyao waliipata wapi?Vipimo hivi hupima kinga ya mwili dhidi ya protini fulani ambazo
zinaaminika zinatoka kwa HIV lakini sio specific kwa HIV pekee,kuna mambo mengine ndani
ya mwili huweza kuzalisha protini hizo na mtu akaonekana ana HIV kwa kutumia vipimo
hivi(kumbuka bado kwamba HIV hasababishi ukimwi).Mojawapo ya mambo hayo ni magonjwa
mbalimbali kama vile TB,hali ya mimba kwa wanawake pia husababisha kuzalishwa/kutolewa
kwa protini hizo.Haya ninayoongea kamwambie daktari yeyote yule mwelewa hatapinga.

 mangatara said:
Nzowa,
Umenifanya nikimbilie maliwato haraka kujicheki. Hivi uume mdogo ukoje na uume mkubwa mpaka unasababisha
michubuko ukoje?
Back to the point.
Si kila kumlala mwanamke mwenye ukimwi kunaleta maambukizi hayo. Ninawajua watu flani sasa ni marehem,
waliacha wake zao na hakuna hata mmoja mwenye hiyo kitu. Hapo nasema kwa ukakamavu kabisa. Cha
kushangaza mmoja alizaa na mama kati ya hao vitoto vimekwisha tangulia lakini hawaa wawili ni wazima.
Haya; Si kila mwanamke atalala na mwenye ukimwi aupate pia. Mbona hawa wamama hawana? Ukimwi ni adhabu
flani hivi. Siye tunapiga kavu kavu nyingi tu bado hata dalili hakuna. Huna haja ya kilainishi, mwandae vizuri,
usilogwe ukaenda nje ya mipaka yaani kinyume na maumbile. Huko hata umwandaeje, hakuna kilainishi chochote
kule ila tangi bovu tu kule.
Mkitaka sikieni hamtaki endeleeni hata ukivaa kondom 2, ni bure. Miye ka ni mipira hiyo sivai naacha naenda
kulala
Click to expand...
Mkuu mangatara,maneno yako yanaendelea kuthibitisha mkanganyiko nilioueleza hapo
juu.Imebaki imani tu kwenye ugonjwa huu kama zilivyo imani nyingine,lakini uhalisia haupo
hapo.Tatizo hapa linakuja kwa sababu maneno haya kwamba ukimwi ni hatari yamerudiwa mara
nyingi sana kwenye vichwa vya watu na hatimaye yakageuka kuwa imani ambayo
imechanganyika na woga.Na hili ndio lengo lao,yaani uogope.Lakini hamna sayansi hapa
kwenye ugonjwa huu.Sayansi ya kweli inapingana na kila nyanja ya ugonjwa huu feki.Hakuna
kirusi kilichotengenezwa maabara hapa,hizi ni propaganda ili kukuaminisha kwamba kweli
kirusi kinachosababisha ukimwi kipo wakati ukweli ni kwamba hakipo.

Maneno haya sikusema mimi,bali nimejifunza kutoka kwa madaktari wazoefu duniani wenye
akili zao timamu na wengine wana nobel prizes kwa kugundua vitu mbalimbali na wamefanya
tafiti za kutosha kuhusu jambo hili,hivyo jambo hili si la kubeza,ni ukweli mtupu,lakini kitu
kipya kinapoingia kwenye bongo za watu huwa ni vigumu sana kupokewa na ubongo.Mimi
mwenyewe nimefanya tafiti zangu binafsi kuthibitisha wanachosema madaktari hawa na
nimegundua kwamba wanachosema ni kweli kwa 100%.Nina evidence za respects zote.Thabo
Mbeki sio chizi,ana akili zake timamu alipopinga suala hili,hivi watu hawastuki bado?Museveni
naye analijua hili,yaani raia wengi wa nchi za Afrika wamefanywa kama ng'ombe na viongozi
wao.Ni viongozi werevu na wenye huruma tu na wananchi wao ndio wamethubutu kusema
ukweli huu,na hao pia wamewekewa vikwazo kwa kugusa maslahi ya watu wakubwa.Hebu
tuamke ndugu zangu.Kama huelewi au huamini ninachosema basi fanya tafiti mwenyewe na
nina uhakika utarudi tena hapa kuni PM.Na ndio maana kapeni nyingi za mambo haya ziko
Afrika zaidi kwa kuwa ndiko kuna soko kubwa na wateja wake hawana akili za
kuhoji,wanajikusanyia tu mapato.Inatia huruma na hasira sana.HIV/AIDS ni biashara ya ARVs
tu na si vinginevyo.

Kwa kuanzia fuatilieni link hapo chini mumsikilize Dr(sasa hivi ni Prof) Peter Duesberg;Huyu
mzee hakuna wa kumfananisha naye kwenye field hii ya virusi duniani,na amepata hasara kubwa
sana baada ya kusema maneno haya kwenye public.Alishindwa kuvumilia kuona watu wanakufa
bila hatia.

https://www.youtube.com/watch?v=pB8g0b-FkW0

 Reactions:Bradha, gbefa, Mkorintho wa 6 and 9 others

Amaizing
JF-Expert Member
Joined May 3, 2013
 3,560   2,000
May 1, 2015


 #47

Mkuu Deception nmekupm nasubr msg yako.....


M
Mangatara
JF-Expert Member
Joined Jul 6, 2012
 13,321   2,000
May 1, 2015


 #48

Samahan kwa kuuliza swali hili. Yawezekanaje, mtoto atungwe mimba na watu wawili ambao ni
HIV+ halafu anyonye damu ya mama yake aliye+ miezi tisa kamili. Azaliwe, kwa njia ya
kawaida, ambayo kuna elasticity inayotokea kupanua njia ya kutokea. Akatwe kitovi na watu
waliovalia maglvu ya kufa mtu. Sometimes hata 4 kuogopa maambukizi. Mtoto, anyonye
colostrum ya mama aliye+.

Ati mtoto yule, asiupate. Haiingii akilini, yu people want to play with our minds, mtutie mihofu.
Hatutatumia mijikondom yenyu, hatutafanya mapenzi kinyume cha maumbile, na tutaishi wala
hatuta kufa kamwe.

Mungu alituruhusu tuzae, huwezi kuzaa kwa mipira. Ntaendelea kistaarab kumtumia mke wangu
kihalali na ukimwi hautanipata.

 Reactions:gbefa, Mkorintho wa 6, Jolie Jolie and 5 others

Jingus
JF-Expert Member
Joined Nov 17, 2013
 459   500
May 1, 2015


 #49

Hakika unaweza kwenda peku na usiupate ili mradi usiwe na manjonjo mengi kitandani na
kikubwa ni kumwandaa tu

Mavado
JF-Expert Member
Joined Jun 25, 2014
 1,182   2,000
May 1, 2015


 #50

 mangatara said:
Samahan kwa kuuliza swali hili. Yawezekanaje, mtoto atungwe mimba na watu wawili ambao ni HIV+ halafu
anyonye damu ya mama yake aliye+ miezi tisa kamili. Azaliwe, kwa njia ya kawaida, ambayo kuna elasticity
inayotokea kupanua njia ya kutokea. Akatwe kitovi na watu waliovalia maglvu ya kufa mtu. Sometimes hata 4
kuogopa maambukizi. Mtoto, anyonye colostrum ya mama aliye+.
Ati mtoto yule, asiupate. Haiingii akilini, yu people want to play with our minds, mtutie mihofu. Hatutatumia
mijikondom yenyu, hatutafanya mapenzi kinyume cha maumbile, na tutaishi wala hatuta kufa kamwe.
Mungu alituruhusu tuzae, huwezi kuzaa kwa mipira. Ntaendelea kistaarab kumtumia mke wangu kihalali na ukimwi
hautanipata.
Hakuna kitu inaitwa AIDS, it's hoax. pharmaceutical companies strategies to make money..
Especially in Africa.

 Reactions:gbefa, MMVSMGWM, MAPUMA MIYOGA and 5 others

Mavado
JF-Expert Member
Joined Jun 25, 2014
 1,182   2,000
May 1, 2015


 #51

Nshatembea sana na totoz but mpaka leo am so good, nothing like mdudu, but also nakula sana
mitishamba,, niko na almost 15 years sijala hata panadol.

 Reactions:enhe and gwijimimi

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 1, 2015


 #52

 mangatara said:
Samahan kwa kuuliza swali hili. Yawezekanaje, mtoto atungwe mimba na watu wawili ambao ni HIV+ halafu
anyonye damu ya mama yake aliye+ miezi tisa kamili. Azaliwe, kwa njia ya kawaida, ambayo kuna elasticity
inayotokea kupanua njia ya kutokea. Akatwe kitovi na watu waliovalia maglvu ya kufa mtu. Sometimes hata 4
kuogopa maambukizi. Mtoto, anyonye colostrum ya mama aliye+.
Ati mtoto yule, asiupate. Haiingii akilini, yu people want to play with our minds, mtutie mihofu. Hatutatumia
mijikondom yenyu, hatutafanya mapenzi kinyume cha maumbile, na tutaishi wala hatuta kufa kamwe.
Mungu alituruhusu tuzae, huwezi kuzaa kwa mipira. Ntaendelea kistaarab kumtumia mke wangu kihalali na ukimwi
hautanipata.

Ndio maana nikasema kwamba kutokana na ufeki wa ugonjwa huu kuna mikanganyiko mingi
sana,we mwenyewe umejionea au kusikia kama ulivyoeleza hapo juu.Maneno yako hapo juu
hata wenyewe wanakubali kwamba si rahisi mtoto kuambukizwa na wametoa asilimia 98% kama
mama atakula ARVs na 75% kama mama hatakula ARVs kuonesha uwezekano wa mtoto
kuepuka maambukizi haya ambayo mimi kwangu ni feki.Hongera kwa kuhoji hilo,maana
kujihoji ni mwanzo wa kuelewa ukweli.

 mavado said:
Nshatembea sana na totoz but mpaka leo am so good, nothing like mdudu, but also nakula sana mitishamba,, niko na
almost 15 years sijala hata panadol.
Unajua mkuu,hawa jamaa wanajua hii ndio starehe ya watu wengi,na ndio maana
wameng'angania kwamba unaambukizwa kwa njia hii kwa kuwa kila mtu akiambiwa anao
atakuwa na uwezekano mkubwa kwamba alishawahi kufanya ngono hivyo hata mtu mwenyewe
hatapinga akiambiwa kwamba anao.Mkuu wewe furahia maisha tu,wasitufanye tuwe watumwa
wa asili yetu.Wanajifanya hao ndio miungu,tumeshabaini ukweli na tuko huru.

 jingus said:
Hakika unaweza kwenda peku na usiupate ili mradi usiwe na manjonjo mengi kitandani na kikubwa ni kumwandaa
tu
Hata ukiwa na manjonjo ya aina gani,fanya mbwembwe zote unazozijua duniani kwenye
ngono,huwezi kupata ukimwi/VVU.Kuonekana kwamba una VVU ni matokeo ya vipimo feki na
si kwamba kweli una VVU.VVU hayupo kiuhalisia hivyo basi ukimwi hausababishwi na
VVU.Fuatilia vizuri post zangu utaelewa au watu kama mavado wanaweza kukusaidia
pia.Ukijua sayansi inayotumika katika vipimo vya VVU utajua ukweli uko wapi.Na ndio maana
niliwahi kusema kwamba,ukitaka ukimwi uishe,basi watu wasijitokeze kupima VVU,au wagome
kabisa kupima VVU na badala yake mtu akiumwa apimwe ugonjwa wake halisi tu na kupewa
tiba halisi kama zamani,hapo ukimwi utakuwa umeisha.Lakini kwa kampeni hizi feki za
kutuonesha kama vile wanatupenda saaaana na wanajali saaaana maisha yetu,watu watapimwa
VVU na vipimo feki,wataonekana VVU+ na hatimaye watapewa dawa za ARVs ambazo ndio
hasa zinazosababisha ukimwi kwa wanaozitumia halafu tunamsingizia VVU.Ukijua mtego huu
basi utakuwa umejikomboa na janga hili.Njombe wanaongoza kitakwimu kwa VVU/Ukimwi
kwa sababu wanajitokeza sana kupima VVU,hawaogopi kupima na kuchukua majibu,hii ndio
sababu kubwa na hamna sababu nyingine,lakini kwa mtu anayechukulia mambo kiurahisi
hataelewa ninachosema,labda watu kutoka njombe waje kuthibitisha wenyewe hapa.

 Reactions:Bradha, gbefa, MMVSMGWM and 12 others

M
Mangatara
JF-Expert Member
Joined Jul 6, 2012
 13,321   2,000
May 1, 2015


 #53

Siko hapa kuwafundisha watu kutokutumia kondom lakini nasema, muda umepita wa
kujitumbukiza kwenye mtego ka huu. Siku ukilogwa ukajikuta umetumbukiza tu bila mpira
tayari ndo siku mawazo yako yatakuua.

Thru experience;
Mi ni msajili wa ndoa. Sheria inaamuru kuwa tusiwafungie ndoa ambao hawana vyeti vya
kupima HIV tena mara 3 yaani kipindi kisichopungua miezi 6.
Kwa kusimamia sheria hii, nikaamuru vijana waende kupima.

Bahati mbaya sana, kijana yule me akaonekana analo. Wakaondoka na kusema ati miye ndo
nilienda kufitini aandikiwe kuwa + ili asifungiwe ndoa. OK, wakaamua wenyewe kwenda
hospitali nyingine tena mji mwingine mbali nisipo wala julikana. Kupima, kijana akaonekana +.
Kelele na chuki zikazidi kwani niliwaamuru walete majibu ya barua yangu nilio wapa ya kwenda
kupima.

Wakazidi kunipakazia kuwa nina mpango wa kum do yule binti. Sawa, wakaenda mbali mbali
zaidi, wakapima, jamaa akaambiwa analo. Duh! Binti akafunguka akili, akasema kiongozi
hajawahi kusikia kuwa tunakuja huku, hivyo sababu yako kuwa ananitamani haina mashiko.
Akauvunja uchumba. Jamaa kwa hasira akaenda akamtwaa binti ambaye amekaa sana bila
kuolewa, akamua waoane bila kufunga ndoa.

Mambo yakawa mazuri, binti ameshazaa watoto 4 wala hakuna aliye dhurika. Je ni vipimo
vilikuwa vibovu au ni mimi nilikuwa nawafuatilia kuwa haribia maisha yao?? Nasema, unavyo
amini ndivyo utakuwa. Ukiamini umeukwaa itakuwa hivyo. Tujifunze kuamini Positively kuwa
"Sina ukimwi" itakuwa hivyo

 Reactions:wagidi, Bradha, Ynamakaspak and 28 others

JOMAKIBU
JF-Expert Member
Joined Apr 18, 2015
 535   225
May 2, 2015


 #54

 Deception said:
1.Ukimwi hauambukizwi
2.Ukimwi hauambukizwi kwa njia ya ngono
3.HIV hawezi kusababisha ukimwi na hasababishi ukimwi kwa kuwa hana sifa ya kusababisha ukimwi.Nashauri
tujitahidi kwenda nje ya mainstream kutafuta habari,mambo mengi tunayoyafahamu kwenye dunia hii hayapo kama
tunavyoyaona au kuyasikia,na mambo yamewekwa hivyo kwa sababu maalum kabisa.Anayesikia haya kwa mara ya
kwanza atadharau au kufunga milango yake ya fahamu,kufunga milango ya fahamu hakubadilishi ukweli kuwa
uongo,ukweli utabaki palepale.
Ukielewa ukweli kuhusu jambo hili utakubaliana na mimi kwamba mtu yeyote anayeogopa HIV ni sawa na kuogopa
kivuli chake mwenyewe.Kama una swali lolote ambalo unadhani lina utata kuwa huru kuuliza.Nimetimiza wajibu
wangu kutoa dokezo,kama mtu ana dukuduku/swali awe huru kuniuliza.

Hebu gusa link hapo chini kwa kuanzia;

https://www.youtube.com/watch?v=pB8g0b-FkW0
Click to expand...

Je Kunamadhara Gan Yatokanayo Na Kunyonyana Ndimi?


D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 2, 2015


 #55

 JOMAKIBU said:
Je Kunamadhara Gan Yatokanayo Na Kunyonyana Ndimi?

Unaweza kupata magonjwa ya kuambukizwa/infectious diseases kama vile TB nk.Lakini sahau


kuhusu HIV/AIDS kwa sababu hauambukizwi na AIDS haisababishwi na HIV.Soma kwa makini
ulicho quote utaelewa.

 Reactions:Mr Dumila

S
Shanyc
Senior Member
Joined Sep 28, 2013
 172   195
May 3, 2015


 #56

yani imenibidi nikashee na rafiki zangu hii elimu. ahsante sana DECEPTION

Amaizing
JF-Expert Member
Joined May 3, 2013
 3,560   2,000
May 3, 2015


 #57

 Shanyc said:
yani imenibidi nikashee na rafiki zangu hii elimu. ahsante sana DECEPTION

Kwa elimu ya deception juz jioni nimekaa na familia yangu tulijadili sana hii issue na sasa
naanza kuona mwanga uliojificha

Fuatilia hapa mkuu kwa elimu zaidi


www.fadhilipaulo.com
Ukweli kuhusu AIDS/HIV

 Reactions:Bradha, enhe and Aleyn

Smart911
JF-Expert Member
Joined Jan 3, 2014
 36,691   2,000
May 3, 2015


 #58

Mi nadhani inawezekana. Kuna jirani yangu mmoja jina(), kabla ya kuoa alikwisha lala na
wanawake wasiopungua 60, na wengine alikuwa anaambiwa wana ukimwi na kwa kudhibitisha
kabisa ni kweli wanao na wengine washafariki kwa hali zao kuwa mbaya ila yeye mpaka leo kila
anapopima ukimwi anakutwa hana.

 Reactions:Elementi, MMVSMGWM and Diplomatic Imunnity

Diplomatic Imunnity
JF-Expert Member
Joined Apr 2, 2012
 1,238   1,250
May 3, 2015


 #59

 Smart911 said:
Mi nadhani inawezekana. Kuna jirani yangu mmoja jina(), kabla ya kuoa alikwisha lala na wanawake wasiopungua
60, na wengine alikuwa anaambiwa wana ukimwi na kwa kudhibitisha kabisa ni kweli wanao na wengine
washafariki kwa hali zao kuwa mbaya ila yeye mpaka leo kila anapopima ukimwi anakutwa hana.

Nakuunga mkono kwa asilimia mia moja mkuu hilo lipo kabisa.

 Reactions:Mr Dumila and Smart911

Junior. Cux
JF-Expert Member
Joined Feb 3, 2011
 5,345   2,000
May 3, 2015


 #60

 Deception said:
Wakuu,mada hii ni pana mno,kuiandaa na kuiweka yote hapa hata kwa summary bado ni kubwa mno kwa kuwa
inajumuisha mambo mengi sana,na ndio maana huwa natumia njia hii ya kutoa dokezo halafu watu huuliza maswali
ambayo wanadhani yana utata nami huyajibu.
Nikiweka mada yote huku kama inavyotakiwa wana JF kwa jinsi ninavyowafahamu,hawataisoma yote na badala
yake watakimbilia kupinga kwanza,utake usitake,hivyo ndivyo wana JF wengi walivyo,hii ni mojawapo ya tabia
inayonivunja moyo sana,na ndio maana najitahidi kunusuru muda wangu pia.Nilitoa vidokezo 4 kusema kwamba
ugonjwa huu ni feki katika nyanja hizo,hivyo mtu ambaye ana swali kwenye kidokezo chochote kati ya hivyo
anaweza kuniuliza nami nitamjibu na kumpatia evidence pale anapohitaji ingawa najua pia hata nikitoa evidence
bado watu hawataamini kwa kuwa tumepumbazwa akili zetu na taarifa hizi za uongo kwa muda mrefu sasa mpaka
imefikia wakati tunaona ni kweli.Uongo ukiurudia rudia mara kwa mara mwishowe watu watauona ni
ukweli(ukweli wa uongo).

VIDOKEZO;
1.Historia ya HIV/AIDS ni feki
2.Hypothesis ya HIV/AIDS ni feki
3.Vipimo vya HIV/AIDS ni feki
4.Dawa zinazotumika za HIV/AIDS yaani ARVs ni feki pia.

Karibuni kwenye elimu ya bure,ni muda wako tu.


Click to expand...
ey try to get serious.... mi naona unapotosha watu tu na theory zako!!!

* HIV/AIDS Imeanza kuingia kabla hata ya ARVs kuuzwa, unavosema kuwa HIV/AIDS ni
mradi wa kuuza ARVs unakosea sana.... ingeku hivyo basi ARVs zingekuja zamani sana pamoja
na ugonjwa huo

* HIV/AIDS inasababishwa na ARVs.... seriously!??? wangapi ambao hawajaanza hata kutumia


hizo dawa na tiari wanaugua ukimwi, haya tuseme vipimo ni fake hawana huo ukimwi then ni
ugonjwa gani unaowadhoofisha mpaka kufa ambao bado hauna jina na ni nini dawa ya huo
ugonjwa...

ukimwi upo jamani, acheni siasa kwenye mambo ya msingi


Ranyia
Senior Member
Joined Dec 23, 2014
 143   225
May 3, 2015


 #62

Kama HIV haisababishi ukimwi je ni ugonjwa gani huo unaowafanya watu Kukonda sana mpaka
wabaki na kilo mbili, na kunyonyoka nywele? nini kinasababisha mkanda wa jeshi na nini tiba
yake?
kama ARVs ndiyo inasababisha ukimwi iweje mtu ambaye hakuwahi kutumia ARV apungukiwe
na nguvu kiasi cha kumuacha na kilo 2 na maradhi yasiyo na idadi.
Bado napata utata na kivipi ARV ndie msababishi wa AIDS
Mkuu deception naomba ufafanuz
 Shanyc said:
yani imenibidi nikashee na rafiki zangu hii elimu. ahsante sana DECEPTION

Madaktari na maprofesa walioibua ukweli huu pia walisema endapo mtu atapata taarifa hizi basi
asiwe mchoyo kwa wengine.Usihofu,mimi natimiza wajibu wangu tu kuwapa wengine taarifa.

 amaizing said:
Kwa elimu ya deception juz jioni nimekaa na familia yangu tulijadili sana hii issue na sasa naanza kuona mwanga
uliojificha

Fuatilia hapa mkuu kwa elimu zaidi


www.fadhilipaulo.com
Ukweli kuhusu AIDS/HIV
Unajua,akili ya binadamu ni ya ajabu sana,ina uwezo mkubwa kuliko watu wanavyofikiri.Hivyo
utakapo iruhusu ifanye kazi ya kudadisi na kuujua ukweli wa mambo yaliyojificha kamwe
haitakuangusha,utajua tu.Wewe hongera kwa kuruhusu akili yako kuhoji,kamwe hutajuta,ukweli
utauona muda si mrefu.
 Smart911 said:
Mi nadhani inawezekana. Kuna jirani yangu mmoja jina(), kabla ya kuoa alikwisha lala na wanawake wasiopungua
60, na wengine alikuwa anaambiwa wana ukimwi na kwa kudhibitisha kabisa ni kweli wanao na wengine
washafariki kwa hali zao kuwa mbaya ila yeye mpaka leo kila anapopima ukimwi anakutwa hana.
Wenyewe watakwambia hakupata mchubuko au ana blood group O au vinginevyo ilimradi
uamini kwamba kweli HIV yupo na anasababisha AIDS,lakini siku zote penye ukweli uongo
hujitenga wenyewe.Unachokieleza hapo juu ni mojawapo ya ishara inayoonesha kwamba
ugonjwa huu ni feki.Endelea kufuatilia utajua zaidi.Pia fuatilia link aliyotoa amaizing utajua
mengi zaidi.
 Junior. Cux said:
ey try to get serious.... mi naona unapotosha watu tu na theory zako!!!

Watanzania wengi hawajakomaa katika kufanya mijadala,na ndio maana tunabaki nyuma
kiuelewa kwa kuwa tunapoona au kusikia kitu kipya tunaanza na kupinga kwanza kabla ya
kuruhusu akili kudadisi au kujiuliza,hii ni mbaya sana.
1.Kuwa makini sana, usije wewe ndio ukawa hauko serious.
2.Unathibitisha vipi kwamba mimi napotosha watu?
3.Una uhakika gani kwamba haya ninayoeleza ni theory zangu?

 Junior. Cux said:


* HIV/AIDS Imeanza kuingia kabla hata ya ARVs kuuzwa, unavosema kuwa HIV/AIDS ni mradi wa kuuza ARVs
unakosea sana.... ingeku hivyo basi ARVs zingekuja zamani sana pamoja na ugonjwa huo
Wewe umeshajikita kwenye upingaji na umefunga kabisa milango yako ya fahamu kuelewa
chochote nitakachoeleza,hivyo nakusikitikia sana kwa kukosa kuujua ukweli huu wa karne,na
kuikosa elimu hii kunaweza kukusababishia matatizo makubwa aidha wewe au ndugu zako wa
karibu endapo utafikwa na janga hili.
Unachokiongea hapo juu hukielewi kabisa;
1.Hufahamu hata historia ya HIV/AIDS hata kwa tanzania pekee.
2.Hujawahi hata kuhudhuria clinic za watu wanaotumia ARVs na kufanya utafiti.
3.Unaweza kunijibu nimekosea vipi kusema kwamba HIV/AIDS ni mradi wa kuuza ARVs?
4.Una uhakika unajua ni lini ARVs zilianza kutumika?na ni aina gani za ARVs zalianza
kutumika?

 Junior. Cux said:


* HIV/AIDS inasababishwa na ARVs.... seriously!???
Seriously!
Ugonjwa wa AIDS kwa watu wanaotumia ARVs unasababishwa na ARVs na si HIV.Una hoja
ya kupinga hilo ninalosema mimi ili tuwape wengine faida?

 Junior. Cux said:


...wangapi ambao hawajaanza hata kutumia hizo dawa na tiari wanaugua ukimwi...
1.Nikikuuliza ukimwi ni nini utajibu vipi?
2.Unajua ukimwi unasababishwa na nini?
3.Je,unajua kama ukimwi ulikuwepo karne nyingi kabla ya kutangazwa kwa HIV mwaka 1984?

 Junior. Cux said:


... ni ugonjwa gani unaowadhoofisha mpaka kufa ambao bado hauna jina na ni nini dawa ya huo ugonjwa...
1.Kuna magonjwa mengi yanadhoofisha watu mpaka kufa zaidi ya huu ugonjwa feki wa
HIV/AIDS,ni kweli wewe hujui hili?
Mfano mmojawapo wa ugonjwa huo ni TB.Je,unajua kwamba ukiwa na TB muda mrefu
utakonda sana,utaishiwa nguvu,unaweza kutapika,unaweza kuharisha kutegemea na aina ya
TB,utakosa hamu ya kula,utakuwa na homa mara kwa mara,na ajabu zaidi unaweza ukapimwa
HIV na vipimo vikatoa majibu Negative/huna HIV.Je,hizi nilizotaja sio dalili za ugonjwa feki wa
HIV/AIDS ulizoambiwa wewe zamani?Huoni kwamba dalili hizo zinafanana?
Kama hayo maelezo ni sahihi,Je,ukimwi ni nini basi?

2.Dawa ya ugonjwa hutegemea na aina ya ugonjwa.Kama ugonjwa ni TB utapewa tiba ya TB na


utapona kabisa.

 Junior. Cux said:


....ukimwi upo jamani, acheni siasa kwenye mambo ya msingi
Wewe ndio unaleta siasa kwenye mambo ya msingi.Watu wameshaanza kuelewa,wewe unaleta
siasa,hujaleta hata hoja moja ya kisayansi kuthibitisha unachokisema,sasa nani kati ya mimi na
wewe analeta siasa?
Ndugu yangu ninakushauri tu.Hata kama umegundua umeingia vibaya kwenye mada hii,usijali
kuonekana mdhaifu,hivyo ndivyo mijadala ilivyo,jitahidi kuwa na free mind katika maisha yako
ili uwe mwepesi wa kuhoji/kudadisi au kuuliza endapo utakumbana na kitu kipya akilini
mwako,usiwe mwepesi wa kupinga tu kila jambo jipya.Utakosa mengi na hasa yale ya muhimu
katika maisha yako.
 ranyia said:
Kama HIV haisababishi ukimwi je ni ugonjwa gani huo unaowafanya watu Kukonda sana mpaka wabaki na kilo
mbili, na kunyonyoka nywele?

Angalau wewe umeanza kwa kuuliza na si kupinga.Napenda kukushauri kwamba,mada hii ni


nzito na inahitaji uwe na open/free mind ili uelewe,usijikite kwenye kupinga zaidi bali jikite
kwenye hoja za kudadisi zaidi.

1.Swali lako hapo juu ni zuri sana.Kuna mmoja nilimjibu hili.Nilisema kwamba kuna magonjwa
mengi yapo hata kabla ya kutangaziwa ugonjwa huu feki wa HIV/AIDS ambayo huwafanya
watu wakonde na hata kupungua sana uzito.Je,hujui kama TB nayo ina dalili hizi,kama huamini
hebu ingia mtandaoni ili ujithibitishie hili.Hawa jamaa wamezishika akili zetu na tumezuiwa
kufikiri kabisa kwamba TB nayo ina dalili kama hizi na ndio mojawapo ya magonjwa yaliyoua
watu wengi miaka hiyo hata kabla watu hawajaanza kutumia ARVs.Ingia link hapo chini uone
dalili za TB.

Tuberculosis Causes, Symptoms, Treatment - Tuberculosis Symptoms and Signs -


eMedicineHealth

2.Kuwa makini,elimu nzito inakuja hapa;


Kunyonyoka nywele ni dalili mojawapo pia kwa wagonjwa wa cancer/saratani wanaotibiwa kwa
dawa za chemotherapy,dawa hizi huwa zinauwa kinga na kudhibiti chanzo cha kuzalisha nywele
na hivyo nywele hunyonyoka.Kama huamini ingia mtandaoni uangalie side effects za
chemotherapy.
Sasa basi,ARVs zinazotumiwa na watu ambao wamebambikiwa kesi ya kuwa na HIV pia zina
component ya chemorapy ila katika dozi ndogo.Unapotumia ARVs kwa muda mrefu na hasa bila
kuzingatia lishe bora itafikia muda nywele zako zitakuwa dhaifu na kunyonyoka.Hii ni kwa
sababu component ambayo ipo kwenye dawa za chemotherapy ipo pia kwenye ARVs.
Kama hujui mtandao wa kuingia,basi ingia hapa chini uone side effects za
chemotherapy.Fahamu pia kwamba side effects za chemotherapy zinafanana kabisa na side
effects za ARVs kwa kuwa zina common component ambayo kazi yake ni kuua cell za mwili,na
kazi yake hii walimaanisha iwe hivyo,hawajakosea.

Haya mambo ni sayansi tu.Ukijua ukweli wa mambo fulani, halafu ukijua sayansi,huwezi
kudanganywa kirahisi.

 ranyia said:
...nini kinasababisha mkanda wa jeshi na nini tiba yake?...
Unasababishwa na kirusi aitwaye vericella/herpes zoster.Sababu kuu ya ugonjwa huu ni
upungufu wa kinga.Hivyo tiba yake ni kurudisha kinga ya mwili na ugonjwa utapona kirahisi
kabisa kwa kuwa virusi hivi hudhibitiwa vizuri sana na kinga ya mwili.Najua
utashangaa.Upungufu wa kinga pia usikutishe,ni suala dogo sana hili,upungufu wa kinga
unaweza kuwa nao kama huli vizuri,mnywaji sana wa pombe bila kula vizuri,utumiaji wa
madawa ya hospitali mara kwa mara kama vile antibiotics,diclofenac,vidonge vya uzazi wa
mpango,ARVs nk,utumiaji wa madawa ya kulevya nk.Najua pia na hapa utashangaa,maana siku
hizi vitu vya kawaida watu huviona vya ajabu na vya ajabu huviona vya kawaida.Hii ni sayansi
na sio hisia zangu binafsi.

 ranyia said:
...kama ARVs ndiyo inasababisha ukimwi iweje mtu ambaye hakuwahi kutumia ARV apungukiwe na nguvu kiasi
cha kumuacha na kilo 2 na maradhi yasiyo na idadi.
Nilikueleza hapo juu kwamba mojawapo ya magonjwa ambayo watu hujifanya kukisingizia
kirusi VVU kwamba kimesababisha ilihali si kweli ni ugonjwa wa TB.Nimekupa link hapo juu
usome dalili za TB ambayo najua hutapinga kwamba TB haisababishwi na HIV,soma hiyo link
na kama dalili utakazozisoma hazijatosha basi unaweza kunitajia maradhi hayo ambayo wewe
unasema hayana idadi na mimi nitakwambia yanasababishwa na nini hata kama mtu hatumii
ARVs.
Tatizo watu wengi hawajui sayansi,wamezi-lock akili zao kwamba HIV ndio msababishaji wa
magonjwa zaidi ya 30 na wameng'ang'ania hicho wanachokijua bila kwenda upande wa pili wa
shilingi na kujiuliza kwamba huyo HIV anawezaje kusababisha magonjwa yote hayo peke
yake.Kama hujui sayansi,huwezi kujua ukweli huu na badala yake mtu ataishia kupinga tu bila
kuwa na hoja zozote za kisayansi anazozisimamia.

 ranyia said:
....Bado napata utata na kivipi ARV ndie msababishi wa AIDS
Mkuu deception naomba ufafanuz
Rahisi sana.Ni hivi,angali mtiririko hapo chini;
-AIDS=UKIMWI=Upungufu wa Kinga Mwilini.Kinga inashindwa kufanya kazi yake.
-Kinga ya mwili si kitu kingine bali ni seli(si seli zote bali ni seli maalum)
-ARVs zina side effects nyingi ikiwemo ile ya kuua seli za mwili na kudhibiti uzalishwaji wa seli
hizo hasa makao makuu ya kuzalisha seli hizo(bone marrow)
-ARVs zinasababisha lactic acidiosis kwenye damu.Damu inapokuwa na acid nyingi seli
zinashindwa kupumua,zinakosa oksijeni,fikiria wewe ukikosa oksijeni utaishi vipi?Kama seli
zitakosa oksijeni basi mitochondria(kitovu cha kuzalisha nguvu kwenye seli) haitafanya kazi na
hivyo seli zitashindwa kufanya kazi na mwishowe hufa.

Kama ninayoeleza hapo juu ni kweli,basi ni kweli pia ARVs zinasababisha AIDS.Ili kuthibitisha
kama ni kweli ,soma/fuatilia hizo link hapo chini;Ukitaka scientific paper/proof utaniambia
nitakupa.Hiyo ni link ya wamarekani wenyewe waliotudanganya kuhusu ugonjwa huu,sio
mimi.Ina maana hao wenyewe wanakubali kwamba dawa za ARVs zina matatizo.

Tenofovir Disoproxil Fumarate (Viread) | Patient Version | AIDSinfo

Ulishawahi pia kujiuliza kwamba;


1.Je HIV ni kirusi kipya au kilikuwapo miaka mingi kabla ya kutangazwa mwaka 1984?
2.Kama kilikuwapo miaka/karne nyingi,Je,kwa nini hakikusababisha AIDS miaka mingi ya
nyuma na kije kisababishe AIDS miaka ya hivi karibuni?

HIV ni retrovirus ambaye amesingiziwa kwamba yeye(retrovirus) ndio anayesababisha AIDS,na


ndio kisa cha kupewa jina hili HIV.Retrovirus huyu alikuwapo karne nyingi zilizopita na si
kirusi kipya.Sasa kwa nini hakikusababisha AIDS miaka ya nyuma na kije kusababisha miaka ya
hivi karibuni?

HIV virus inapenya kwa Urahisi kwenye epithelium tissues/cells, mfano wa Epithelium cells ni
zile cells ambazo kiasili zina unyevunyevu na blood capillaries zipo karibu karibu, mfano wa
cells hizo ni Kichwa cha uume ambao haujatahirwa, au kama umetahiriwa basi ni pale kwenye
kitundu cha kutolea mkojo, ukibinya uume na kuangalia kile kitundu utaona kale ka ngozi
kekundu.
Uke wa mwanamke kwa ndani ndo kuna aina hii ya tissue sana.

Tissue zenye ngozi ngumu mfano mikono, vidole siyo rahisi vidudu kupenya kwa sababu tissue
za viungo hivi hazina receptors za HIV.

Ndiyo maana inashauriwa kutahiriwa wanaume, ili ngozi ngumu iote ambayo haina receptors
kwa HIV

Unaweza Ukamtia kidole mwanamke mwenye Ukimwi, usipate Ukimwi, kwa sababu kidole
hakina receptors hizi unless uwe una jeraha/ mchubuko haswa unaokuexpose kwa receptors wa
virusi hivi
Au Shahawa za mwanaume zinaweza kudondokea let say kwenye ngozi ya nje ya mwili, kama
tumbo, kifua, mapaja lakini Mhusika asipate Ukimwi, mpaka iwepo jeraha lenye kuexpose inner
epithelium cells.

Sehemu nyingine zenye epithelium cells kwa wingi ni ukibinua jicho ngozi ile nyekundu,
ukibinua mdomo, Mkunduni.

NA LIQUIDS ZENYE HIV LOAD KWA WINGI ZAIDI NI 1. DAMU, 2. SHAHAWA, 3.


MAJI YA UKENI
Nakupongeza sana kwa elimu nzuri unayoitoa mwanzoni nilipoanza kusoma huu uzi nilibaki
50/50 ,nilitaka kupinga kama watu wengine wanavyokupinga lakini niliona kwamba kabla ya
kukupinga niliona ni vyema nikatafuta facts kwanza.

Kizuri ni kwamba ulimwengu wa teknolojia umekua, niliingia Google kuutafuta ukweli ulipo.
Niliyokutana nayo ndiyo yamenifanya nije hapa leo nikupongeze ingawa bado naendelea ku-
speculate zaidi na zaidi.

Facts nilizokutana nazo ni kwamba HIV ni retrovirus kama ulivyoeleza hapo mwanzo na
amesingiziwa tu kuwa anasababisha AIDS. But purposely walitengeneza Antiretrovirus drugs ili
kurasmisha walichokisema kumbe ARV ndizo zinazoharibu kinga ya mwili halafu
wanamsingizia HIV.

Pamoja sana mkuu nashukuru kwa kunifumbua macho juu ya hilo , ushauri wangu kwa wengine
ni kwamba kwamba mtu anapokuja na hoja aliyoiwekea evidences tusikimbilie kupinga tu. Be
ready to learn something kutoka kwake,penye doubt muulize, hujaridhika na majibu tafuta
ukweli kwenye mitandao.

NA KWA TAARIFA YAKO UKIMWI HAUJAANZIA AFRIKA KAMA


TULIVYOKARIRISHWA
HIV virus inapenya kwa Urahisi kwenye epithelium tissues/cells, mfano wa Epithelium cells ni zile cells ambazo
kiasili zina unyevunyevu na blood capillaries zipo karibu karibu, mfano wa cells hizo ni Kichwa cha uume ambao
haujatahirwa, au kama umetahiriwa basi ni pale kwenye kitundu cha kutolea mkojo, ukibinya uume na kuangalia
kile kitundu utaona kale ka ngozi kekundu.
Uke wa mwanamke kwa ndani ndo kuna aina hii ya tissue sana.

Tissue zenye ngozi ngumu mfano mikono, vidole siyo rahisi vidudu kupenya kwa sababu tissue za viungo hivi
hazina receptors za HIV.

Ndiyo maana inashauriwa kutahiriwa wanaume, ili ngozi ngumu iote ambayo haina receptors kwa HIV

Unaweza Ukamtia kidole mwanamke mwenye Ukimwi, usipate Ukimwi, kwa sababu kidole hakina receptors hizi
unless uwe una jeraha/ mchubuko haswa unaokuexpose kwa receptors wa virusi hivi

Au Shahawa za mwanaume zinaweza kudondokea let say kwenye ngozi ya nje ya mwili, kama tumbo, kifua, mapaja
lakini Mhusika asipate Ukimwi, mpaka iwepo jeraha lenye kuexpose inner epithelium cells.

Sehemu nyingine zenye epithelium cells kwa wingi ni ukibinua jicho ngozi ile nyekundu, ukibinua mdomo,
Mkunduni.

NA LIQUIDS ZENYE HIV LOAD KWA WINGI ZAIDI NI 1. DAMU, 2. SHAHAWA, 3. MAJI YA UKENI
Click to expand...

Unaelezeaje kuhusu wanaume ambao wamepimwa wakakutwa HIV+ wanaishi na wanawake na


kuwapa mimba lakini wanawake hao wanapimwa ila hawakutwi na HIV?
 Adm said:
Nakupongeza sana kwa elimu nzuri unayoitoa mwanzoni nilipoanza kusoma huu uzi nilibaki 50/50 ,nilitaka kupinga
kama watu wengine wanavyokupinga lakini niliona kwamba kabla ya kukupinga niliona ni vyema nikatafuta facts
kwanza. Kizuri ni kwamba ulimwengu wa teknolojia umekua, niliingia Google kuutafuta ukweli ulipo. Niliyokutana
nayo ndiyo yamenifanya nije hapa leo nikupongeze ingawa bado naendelea ku-speculate zaidi na zaidi. Facts
nilizokutana nazo ni kwamba HIV ni retrovirus kama ulivyoeleza hapo mwanzo na amesingiziwa tu kuwa
anasababisha AIDS. But purposely walitengeneza Antiretrovirus drugs ili kurasmisha walichokisema kumbe ARV
ndizo zinazoharibu kinga ya mwili halafu wanamsingizia HIV.
Pamoja sana mkuu nashukuru kwa kunifumbua macho juu ya hilo , ushauri wangu kwa wengine ni kwamba
kwamba mtu anapokuja na hoja aliyoiwekea evidences tusikimbilie kupinga tu. Be ready to learn something kutoka
kwake,penye doubt muulize, hujaridhika na majibu tafuta ukweli kwenye mitandao. NA KWA TAARIFA YAKO
UKIMWI HAUJAANZIA AFRIKA KAMA TULIVYOKARIRISHWA
Click to expand...

Mkuu hongera sana,ni jambo la kushukuru sana kwa wewe kuwa na attitude hiyo,si wote
wanayo.Na hili ndilo ninalopigania ili watu wabadilike.Sasa kwa jinsi utakavyoendelea
kutafiti,ndivyo jinsi utakavyogundua mengi zaidi ya hayo unayoyajua na utajionea mwenyewe
jinsi tunavyoishi kwenye dunia yenye full of fiction.Ninakuomba na wewe uwe msaada kwa
wengine utakapomaliza tafiti zako kama mimi ninavyofanya.
 Deception said:
Watanzania wengi hawajakomaa katika kufanya mijadala,na ndio maana tunabaki nyuma kiuelewa kwa kuwa
tunapoona au kusikia kitu kipya tunaanza na kupinga kwanza kabla ya kuruhusu akili kudadisi au kujiuliza,hii ni
mbaya sana.
1.Kuwa makini sana, usije wewe ndio ukawa hauko serious.
2.Unathibitisha vipi kwamba mimi napotosha watu?
3.Una uhakika gani kwamba haya ninayoeleza ni theory zangu?

Wewe umeshajikita kwenye upingaji na umefunga kabisa milango yako ya fahamu kuelewa chochote
nitakachoeleza,hivyo nakusikitikia sana kwa kukosa kuujua ukweli huu wa karne,na kuikosa elimu hii kunaweza
kukusababishia matatizo makubwa aidha wewe au ndugu zako wa karibu endapo utafikwa na janga hili.
Unachokiongea hapo juu hukielewi kabisa;
1.Hufahamu hata historia ya HIV/AIDS hata kwa tanzania pekee.
2.Hujawahi hata kuhudhuria clinic za watu wanaotumia ARVs na kufanya utafiti.
3.Unaweza kunijibu nimekosea vipi kusema kwamba HIV/AIDS ni mradi wa kuuza ARVs?
4.Una uhakika unajua ni lini ARVs zilianza kutumika?na ni aina gani za ARVs zalianza kutumika?

Seriously!
Ugonjwa wa AIDS kwa watu wanaotumia ARVs unasababishwa na ARVs na si HIV.Una hoja ya kupinga hilo
ninalosema mimi ili tuwape wengine faida?

1.Nikikuuliza ukimwi ni nini utajibu vipi?


2.Unajua ukimwi unasababishwa na nini?
3.Je,unajua kama ukimwi ulikuwepo karne nyingi kabla ya kutangazwa kwa HIV mwaka 1984?
1.Kuna magonjwa mengi yanadhoofisha watu mpaka kufa zaidi ya huu ugonjwa feki wa HIV/AIDS,ni kweli wewe
hujui hili?
Mfano mmojawapo wa ugonjwa huo ni TB.Je,unajua kwamba ukiwa na TB muda mrefu utakonda sana,utaishiwa
nguvu,unaweza kutapika,unaweza kuharisha kutegemea na aina ya TB,utakosa hamu ya kula,utakuwa na homa mara
kwa mara,na ajabu zaidi unaweza ukapimwa HIV na vipimo vikatoa majibu Negative/huna HIV.Je,hizi nilizotaja sio
dalili za ugonjwa feki wa HIV/AIDS ulizoambiwa wewe zamani?Huoni kwamba dalili hizo zinafanana?
Kama hayo maelezo ni sahihi,Je,ukimwi ni nini basi?

2.Dawa ya ugonjwa hutegemea na aina ya ugonjwa.Kama ugonjwa ni TB utapewa tiba ya TB na utapona kabisa.

Wewe ndio unaleta siasa kwenye mambo ya msingi.Watu wameshaanza kuelewa,wewe unaleta siasa,hujaleta hata
hoja moja ya kisayansi kuthibitisha unachokisema,sasa nani kati ya mimi na wewe analeta siasa?
Ndugu yangu ninakushauri tu.Hata kama umegundua umeingia vibaya kwenye mada hii,usijali kuonekana
mdhaifu,hivyo ndivyo mijadala ilivyo,jitahidi kuwa na free mind katika maisha yako ili uwe mwepesi wa
kuhoji/kudadisi au kuuliza endapo utakumbana na kitu kipya akilini mwako,usiwe mwepesi wa kupinga tu kila
jambo jipya.Utakosa mengi na hasa yale ya muhimu katika maisha yako.
Click to expand...

Ni kwel kabla hujatumia unakua vizuri kosa utumie na ukaacha ndo unaanza kuumwa

Na inakuaje mtu anakonda unakohoa kama ukimwi haupo nifundishe tafadhali

Na kwa nn wanasema ukitumia hzo dawa hutakiwi kuacha


 Deception said:
1.Ukimwi hauambukizwi
2.Ukimwi hauambukizwi kwa njia ya ngono
3.HIV hawezi kusababisha ukimwi na hasababishi ukimwi kwa kuwa hana sifa ya kusababisha ukimwi.Nashauri
tujitahidi kwenda nje ya mainstream kutafuta habari,mambo mengi tunayoyafahamu kwenye dunia hii hayapo kama
tunavyoyaona au kuyasikia,na mambo yamewekwa hivyo kwa sababu maalum kabisa.Anayesikia haya kwa mara ya
kwanza atadharau au kufunga milango yake ya fahamu,kufunga milango ya fahamu hakubadilishi ukweli kuwa
uongo,ukweli utabaki palepale.
Ukielewa ukweli kuhusu jambo hili utakubaliana na mimi kwamba mtu yeyote anayeogopa HIV ni sawa na kuogopa
kivuli chake mwenyewe.Kama una swali lolote ambalo unadhani lina utata kuwa huru kuuliza.Nimetimiza wajibu
wangu kutoa dokezo,kama mtu ana dukuduku/swali awe huru kuniuliza.

Hebu gusa link hapo chini kwa kuanzia;

https://www.youtube.com/watch?v=pB8g0b-FkW0
Click to expand...

Mkuu inaonekana unajua mengi tuwekee taarifa kwa kina zaidi au anzisha uzi nasi tupate uelewa
wa kina
Hao wanaopinga kuwa HIV hasababishi AIDS hivi mko serious?.
Kama hoja ni kama ya Thabo Mbeki kwamba Umasikini na lishe duni ndo inasababisha Ukimwi,
vipi kuhusu matajiri kama Lwambo Makiadi, Vipi kuhusu Mashoga wa Marekani wenye pesa
walioambukizwa, Vipi Matajiri Lukuki ambao wanaafford Misosi ya maana?.

Jamani Tumeuguza mama zetu, kaka zetu, ndugu zetu n.k Tumeona hali ilivyo, msifanye
masikhara
Na kama HIV hasababishi AIDS kwa nini hutokea mpenzi mmoja aliyefiwa na mwenziwe kwa
AIDS naye baada ya muda fulani huanza kudevelop Dalili za AIDS?
 winme said:
Ni kwel kabla hujatumia unakua vizuri kosa utumie na ukaacha ndo unaanza kuumwa....

ARVs zimetengenezwa kwa makusudi kabisa ziwe addictive,kama yalivyo madawa ya


kulevya.Hivyo ukiacha ghafla unakufa,na hii ndio point wanayoitegemea sana kuwaaminisha
watu kwamba ARVs zinasaidia na ndio maana ukiacha unakufa.Lakini ukweli ni kwamba hazina
msaada wowote ule zaidi kukufanya uwe teja kama watumiaji wengine wa madawa ya kulevya
na hivyo ukiacha ghafla unakufa.Kuna utaratibu wake wa kuacha.Wametumia sayansi kubwa
sana hapa kurubuni akili zetu.
Mimi nimemuachisha kutumia ARVs ndugu yangu na yuko safi mpaka sasa.Mtu akipinga
nitacheka tu kumhurumia kwa maana kupinga kunamkosesha elimu ya karne.

 winme said:
...Na inakuaje mtu anakonda unakohoa kama ukimwi haupo nifundishe tafadhali.....
Sikusema ukimwi haupo,nilisema VVU/Ukimwi haupo,yaani ukimwi hausababishwi na VVU na
ukimwi ulikuwapo karne nyingi zilizopita na si ugonjwa wa ajabu kihivyo na si hatari kihivyo na
unapona kirahisi sana kama utarekebisha kitu kinachosababisha kinga yako kushuka.
Kama ungenifuatilia vizuri,ungeshapata jibu la swali hili.Ni hivi,kuna magonjwa mengi yana
dalili kama hizi tulizoambiwa za VVU/Ukimwi feki,mojawapo ya ugonjwa huo ni TB.Baadhi ya
dalili za TB ni;
1.Kukohoa sana
2.Kukonda
3.Kupungua uzito
4.Kukosa hamu ya kula
5.Homa za mara kwa mara
6.Kuishiwa nguvu nk.

Kama hizi dalili zinafana na zile za VVU/ukimwi feki tulizoaminishwa,Je,VVU/Ukimwi ni


ugonjwa wa aina gani sasa?Akili kichwani.Ukweli huu watu wanajifanya hawaujui.

 winme said:
....Na kwa nn wanasema ukitumia hzo dawa hutakiwi kuacha....
Wanaosema hivyo ni madaktari au manesi.Hao wameshakaririshwa kwamba bila kutumia hizo
dawa lazima ufe na pia wana uzoefu wa kuona watu waliotumia muda mrefu dawa hizo
wakaacha wakafa.Hivyo wanaamini kwamba dawa zinasaidia na ndio maana mtu akiacha
anakufa,kumbe hawajui mtu anakkufa kwa addiction.
Nilishasema kwamba hutakiwi kuacha ARVs ghafla kwa kuwa watu wengi hawana elimu
hii,hivyo wanaweza kuacha ghalfa halafu wakafa.Wakishakufa baada ya kuacha maksi
zinakwenda kwa wale waliotuletea ARVs kwamba wako sahihi.Inabidi mtu awe na ujuzi jinsi ya
kuacha ndio aache,ARVs zinaachwa kwa utaratibu sio ghafla.Nadhani unajua kwamba hata wale
wanaotumia madawa ya kulevya huwa wana vituo vyao wanahudhuria ili kuacha,wakienda huko
huwa wanapewa dozi fulani tofauti na madawa hayo mpaka wanakuwa safi kabisa.ARVs nazo
zina utaratibu wake.

Kuwa makini hapa:


Wagonjwa wanaopewa dawa za ARVs na zile za Cancer(chemotherapy) mahospitalini huwa
wanakufa kwa dawa.Yaani dawa ndizo zinawauwa kabla ya ugonjwa halisi kuwaua.
Mtu ana TB wanampa dawa za TB na ARVs baada ya kumpima.Anapona TB lakini ARVs
zinamwua.Mtu ana cancer anapewa dawa za cancer.Dawa zinaua cancer ya zamani na
kusababisha cancer mpya ambayo ni hatari kuliko ile ya zamani.Je,ulikuwa unajua hili?Ndio
maana pia mara nyingi husema cancer haiponi.

Nikikuchukua wewe mzima kabisa huumwi chochote.Nikikupa dozi wanayopewa wagonjwa wa


cancer kwa muda wa miaka mitatu tu,tunaenda kukuzika.Pia nikikuchukua wewe mzima wa
afya,huumwi chochote nikakupa ARVs halafu nikakunyima vyakula vya asili,baada ya miaka 5
hadi 10 tunaenda kukuzika.

 Reactions:MMVSMGWM, Aleyn, rutabazi and 3 others
 PUNKY said:
Mkuu inaonekana unajua mengi tuwekee taarifa kwa kina zaidi au anzisha uzi nasi tupate uelewa wa kina

Uko sahihi mkuu,watu wengi walishaniambia hivyo.Tatizo mada hii ina mambo mengi sana na
watu ni lazima wayasome yote ili wakubaliane na ukweli,haitakiwi kusoma kwa
kurukaruka.Kwa navyowajua wana JF wengi hawana tabia hiyo.Nina mifano hai,mimi sio wa
kwanza kuanzisha mada kama hii,kuna mwana JF mmoja alishawahi kuanzisha lakini watu
waliishia kupinga tu,lakini ukiisoma ile mada jinsi ilivyoandaliwa,utagundua kwamba jamaa
alitumia muda wake mwingi sana kuonesha upendo kwa wengine,lakini aliishia kupingwa tu na
sijamwona tena akizungumzia au kuchangia kwenye mada kama hizi tena hadi leo,labda pengine
hakuwa na hoja na uzoefu wa kutosha kujibu hoja za watu.Hii inakatisha sana tamaa,na ndio
maana mimi ninatumia utaratibu huu.Natoa dokezo,watu wanauliza maswali,mimi ninajibu kwa
kutoa evidence pale zinapohitajika.
Nashukuru kwa maoni yako.Sasa hivi niko mbioni kuanda kajarida/kakitabu kinachoeleza
ukweli kuhusu;
1.HIV/AIDS
2.CANCER
3.MARIJUANA(BANGI)
4.GMO(Genetic Modified Foods)

na mambo mengine kama hayo.Napanga kuweka maandishi na video kwa kiswahili.Watu wengi
wanachukulia mambo kirahisi sana,hawajui kwamba karibu mambo yote tunayoyaona na
kuyajua sasa ni feki,yapo kwa ajili ya manufaa ya wengine.Na ndio maana ID yangu ni
Deception,niko humu kuwajuza watu mambo tuliyodanganywa.
Asante Deception unazid kufungua akili yangu

 Gamba la Nyoka said:


Hao wanaopinga kuwa HIV hasababishi AIDS hivi mko serious?.
Kama hoja ni kama ya Thabo Mbeki kwamba Umasikini na lishe duni ndo inasababisha Ukimwi, vipi kuhusu
matajiri kama Lwambo Makiadi, Vipi kuhusu Mashoga wa Marekani wenye pesa walioambukizwa, Vipi Matajiri
Lukuki ambao wanaafford Misosi ya maana?.

Jamani Tumeuguza mama zetu, kaka zetu, ndugu zetu n.k Tumeona hali ilivyo, msifanye masikhara
Na kama HIV hasababishi AIDS kwa nini hutokea mpenzi mmoja aliyefiwa na mwenziwe kwa AIDS naye baada ya
muda fulani huanza kudevelop Dalili za AIDS?

Hujakuwa tayari kuelewa.Ukiwa tayari nitajua tu na kuanza kukupa elimu.Kwa sasa naogopa
kupoteza muda wangu,nina uzoefu huo humu JF kwa watu kama ninyi.Labda sasa nitasikitika tu
kwanini hauko huru kusikiliza na kuhoji na badala yake unalaumu tu.Kwenye maswali yako
hamna hata swali moja ambalo halina jibu sahihi na hamna hata swali moja lenye utata.Tatizo ni
kwamba hujajiandaa kusikiliza.

Kwa kuwa nina nia ya kukuokoa,ngoja nikupe test moja nijue kama uko tayari kuelewa;Fuatilia
hapo chini.Ukisha fuatilia,usipotee,rudi tena humu nikusikilize unasemaje.Kama hujiamini wewe
mwenyewe unaweza kuomba msaada kwa daktari yoyote ambaye wewe unamwamini akusaidie
kuuliza maswali.

https://www.youtube.com/watch?v=pB8g0b-FkW0
 Gamba la Nyoka said:
Hao wanaopinga kuwa HIV hasababishi AIDS hivi mko serious?.
Kama hoja ni kama ya Thabo Mbeki kwamba Umasikini na lishe duni ndo inasababisha Ukimwi, vipi kuhusu
matajiri kama Lwambo Makiadi, Vipi kuhusu Mashoga wa Marekani wenye pesa walioambukizwa, Vipi Matajiri
Lukuki ambao wanaafford Misosi ya maana?.

Jamani Tumeuguza mama zetu, kaka zetu, ndugu zetu n.k Tumeona hali ilivyo, msifanye masikhara
Na kama HIV hasababishi AIDS kwa nini hutokea mpenzi mmoja aliyefiwa na mwenziwe kwa AIDS naye baada ya
muda fulani huanza kudevelop Dalili za AIDS?

Unakumbuka swali hilo hapo chini?Kama ulikuwa hujaliona basi nimekuwekea tena hapo chini.

 Deception said:
Unaelezeaje kuhusu wanaume ambao wamepimwa wakakutwa HIV+ wanaishi na wanawake na kuwapa mimba
lakini wanawake hao wanapimwa ila hawakutwi na HIV?
 Deception said:
Unakumbuka swali hilo hapo chini?Kama ulikuwa hujaliona basi nimekuwekea tena hapo chini.

Jibu ni kwamba kuna watu hawapati Virusi vya Ukimwi Naturally, wana genetic composition
ambayo haifevi virusi kuingia , kwa mfano kuna hii gene inaitwa CCR5-Δ32, wenye gene
hii hawaathiriwi na HIV

Google hii information ya CCR5 Delta 32


 Deception said:
Ndio maana nikasema kwamba kutokana na ufeki wa ugonjwa huu kuna mikanganyiko mingi sana,we mwenyewe
umejionea au kusikia kama ulivyoeleza hapo juu.Maneno yako hapo juu hata wenyewe wanakubali kwamba si rahisi
mtoto kuambukizwa na wametoa asilimia 98% kama mama atakula ARVs na 75% kama mama hatakula ARVs
kuonesha uwezekano wa mtoto kuepuka maambukizi haya ambayo mimi kwangu ni feki.Hongera kwa kuhoji
hilo,maana kujihoji ni mwanzo wa kuelewa ukweli.

Unajua mkuu,hawa jamaa wanajua hii ndio starehe ya watu wengi,na ndio maana wameng'angania kwamba
unaambukizwa kwa njia hii kwa kuwa kila mtu akiambiwa anao atakuwa na uwezekano mkubwa kwamba
alishawahi kufanya ngono hivyo hata mtu mwenyewe hatapinga akiambiwa kwamba anao.Mkuu wewe furahia
maisha tu,wasitufanye tuwe watumwa wa asili yetu.Wanajifanya hao ndio miungu,tumeshabaini ukweli na tuko
huru.

Hata ukiwa na manjonjo ya aina gani,fanya mbwembwe zote unazozijua duniani kwenye ngono,huwezi kupata
ukimwi/VVU.Kuonekana kwamba una VVU ni matokeo ya vipimo feki na si kwamba kweli una VVU.VVU
hayupo kiuhalisia hivyo basi ukimwi hausababishwi na VVU.Fuatilia vizuri post zangu utaelewa au watu kama
mavado wanaweza kukusaidia pia.Ukijua sayansi inayotumika katika vipimo vya VVU utajua ukweli uko wapi.Na
ndio maana niliwahi kusema kwamba,ukitaka ukimwi uishe,basi watu wasijitokeze kupima VVU,au wagome kabisa
kupima VVU na badala yake mtu akiumwa apimwe ugonjwa wake halisi tu na kupewa tiba halisi kama zamani,hapo
ukimwi utakuwa umeisha.Lakini kwa kampeni hizi feki za kutuonesha kama vile wanatupenda saaaana na wanajali
saaaana maisha yetu,watu watapimwa VVU na vipimo feki,wataonekana VVU+ na hatimaye watapewa dawa za
ARVs ambazo ndio hasa zinazosababisha ukimwi kwa wanaozitumia halafu tunamsingizia VVU.Ukijua mtego huu
basi utakuwa umejikomboa na janga hili.Njombe wanaongoza kitakwimu kwa VVU/Ukimwi kwa sababu
wanajitokeza sana kupima VVU,hawaogopi kupima na kuchukua majibu,hii ndio sababu kubwa na hamna sababu
nyingine,lakini kwa mtu anayechukulia mambo kiurahisi hataelewa ninachosema,labda watu kutoka njombe waje
kuthibitisha wenyewe hapa.
Click to expand...

Duuh...mkuu hoja zako kama zina ukweli ndan yake...sasa kwann miaka ya nyuma kabla ya
ARVs wagonjwa wa ukimwi walikuwa wakiumwa sana na kukonda au ule nao haukuwa
ukimwi?
Daaah halafu ukiangalia huu ugonjwa waweza sema unapendelea asee. Kuna ndugu yangu yeye
ni mlevi sana na anahakikisha kila akilewa anaondoka na barmaid. yaani kwa siku hata wadada
watatu anaondoka nao tena wale hatarishi kabisa na hana rekodi ya kutumia kondom kabisaa.
Tangu ujana wake ndio yuko hivohivo na mpaka sasa umri unamtupa mkono lakini bado na
wadada kama damu.
Lakini mpaka leo hana vvu wala ukimwi asee na anadunda kama kawa mipombe kama kawa
mademu mwendo uleule. Sasa katembee wewe na barmaid mmoja tu uone kama hujafa kwa
presha kabla tarehe yako ya kurudia kupima.
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 5, 2015
 Gamba la Nyoka said:
Jibu ni kwamba kuna watu hawapati Virusi vya Ukimwi Naturally, wana genetic composition ambayo haifevi virusi
kuingia , kwa mfano kuna hii gene inaitwa CCR5-Δ32, wenye gene hii hawaathiriwi na HIV

Google hii information ya CCR5 Delta 32


Kutokana na maelezo yako inaonesha hujui bado.Uliyoeleza hapo juu ni uongo mtupu.Hata huo
uongo uliousoma pia umeshindwa kuuelewa.Ngoja nikwambie uongo wenyewe uko vipi kuhusu
CCR5-Δ32 receptor halafu nitakwambia kwa nini huo ni uongo.Tuliza akili yako;

Hata huu uongo ulioumeza,hukuumeza kama inavyotakiwa.Uongo huu haukusema kwamba


watu hawa hawapati HIV bali HIV hawezi kuathiri targeted cell kwa kuwa hawana receptors
kuruhusu HIV kudhuru cell zinazohusika na kinga.Lakini uongo huu unakubali kwamba HIV
huweza kuingia kwenye damu ya mtu lakini mtu huyu hawezi kuathirika.Wewe unasema watu
hawa hawapati HIV.Umeona tofauti hapo?
Jibu lako lilitakiwa kueleza kwa nini hawa watu niliokuuliza mimi kwenye swali langu
hawajapata HIV na si kwa nini hawaathiriwi na HIV.Umeelewa hapo?Mnapenda kuja na
materminology ambayo hamyaelewi,ndio maana nakusihi uwe tayari kusikiliza.Kama hata
uongo huu umeshindwa kuunasa kama ulivyo Je,utaweza kuelewa ukweli nitakao kwambia?
Nikwambie kitu;hawa jamaa wana sababu kubwa sana ya kutuambia hivyo kuhusu CCR5-
Δ32 ambayo nitakwambia baadaye,wewe hujui.

Ukweli ni huu hapa chini.Nikikwambi uthibitishe kwamba watu wenye CCR5-Δ32 gene
hawaathiriwi na HIV(ambaye kwangu mimi ni feki) nitakuwa nimekuonea bure,maana hata hao
waliokuandikia uongo huo hawana scientific paper/proof.Najua utahangaika sana kwenye
mitandao ili kurudisha majibu lakini ukweli unabaki palepale kwamba hiyo uliyoisoma sio
sayansi ya kweli,yaani ni pseudo-science,au ni sayansi ya kurubuni akili za watu ili wajipatie
pesa kupitia mauzo ya ARVs,kwa kuwa wanajua sisi hatuwezi kuingia kwenye damu ya mtu
kujithibitishia kwamba HIV hawezi kuingia kwenye cell ambazo hazina coreceptors kwa macho
yetu.Sayansi ya kweli ni hii ninayokueleza mimi.

Mimi ninakuwekea scientific paper hapa kuthibitisha kwamba ulichoeleza wewe kuhusu gene
mutation ni uongo,na wewe lete scientific paper kupinga ile ninayoleta mimi.
Attachments:
 Deception said:
Kutokana na maelezo yako inaonesha hujui bado.Uliyoeleza hapo juu ni uongo mtupu.Hata huo uongo uliousoma
pia umeshindwa kuuelewa.Ngoja nikwambie uongo wenyewe uko vipi kuhusu CCR5-Δ32 receptor halafu
nitakwambia kwa nini huo ni uongo.Tuliza akili yako;

Hata huu uongo ulioumeza,hukuumeza kama inavyotakiwa.Uongo huu haukusema kwamba watu hawa hawapati
HIV bali HIV hawezi kuathiri targeted cell kwa kuwa hawana receptors kuruhusu HIV kudhuru cell zinazohusika na
kinga.Lakini uongo huu unakubali kwamba HIV huweza kuingia kwenye damu ya mtu lakini mtu huyu hawezi
kuathirika.Wewe unasema watu hawa hawapati HIV.Umeona tofauti hapo?
Jibu lako lilitakiwa kueleza kwa nini hawa watu niliokuuliza mimi kwenye swali langu hawajapata HIV na si kwa
nini hawaathiriwi na HIV.Umeelewa hapo?Mnapenda kuja na materminology ambayo hamyaelewi,ndio maana
nakusihi uwe tayari kusikiliza.Kama hata uongo huu umeshindwa kuunasa kama ulivyo Je,utaweza kuelewa ukweli
nitakao kwambia?Nikwambie kitu;hawa jamaa wana sababu kubwa sana ya kutuambia hivyo kuhusu CCR5-
Δ32 ambayo nitakwambia baadaye,wewe hujui.

Ukweli ni huu hapa chini.Nikikwambi uthibitishe kwamba watu wenye CCR5-Δ32 gene hawaathiriwi na
HIV(ambaye kwangu mimi ni feki) nitakuwa nimekuonea bure,maana hata hao waliokuandikia uongo huo hawana
scientific paper/proof.Najua utahangaika sana kwenye mitandao ili kurudisha majibu lakini ukweli unabaki palepale
kwamba hiyo uliyoisoma sio sayansi ya kweli,yaani ni pseudo-science,au ni sayansi ya kurubuni akili za watu ili
wajipatie pesa kupitia mauzo ya ARVs,kwa kuwa wanajua sisi hatuwezi kuingia kwenye damu ya mtu
kujithibitishia kwamba HIV hawezi kuingia kwenye cell ambazo hazina coreceptors kwa macho yetu.Sayansi ya
kweli ni hii ninayokueleza mimi.
Mimi ninakuwekea scientific paper hapa kuthibitisha kwamba ulichoeleza wewe kuhusu gene mutation ni uongo,na
wewe lete scientific paper kupinga ile ninayoleta mimi.
Click to expand...

Unatumia nguvu nyingi kwenye Maconspiracy theories wakati hujui chochote. Lete ushahidi na
scientific evidence wa hoja zako muflisi
Kuna MTU alimtafutia jamaa mwenzie demu mwenye ukimwi makusudi jamaa alipogundua
kaletewa demi wa ukimwi yule aliemletea akafariki ktk mazingira ya kutatanisha cjui ilikuwaje
 Habari ya Mujini said:
Duuh...mkuu hoja zako kama zina ukweli ndan yake...sasa kwann miaka ya nyuma kabla ya ARVs wagonjwa wa
ukimwi walikuwa wakiumwa sana na kukonda au ule nao haukuwa ukimwi?

Ukisoma post zangu zote utaelewa,cha msingi kuwa na free mind.Kuwa na moyo wa kudadisi
zaidi na si kupinga.Uongo uliorudiwa mara nyingi kuhusu neno ukimwi(yaani ukimwi ukimwi
ukimwi ukimwi ukimwi ukimwi...) umefanya akili zetu usahau magonjwa mengine ambayo yana
dalili zinazofanana na huo ugonjwa feki wa VVU/Ukimwi.Chukulia kwa mfano TB.TB
ilikuwapo hata kabla ya huu ugonjwa feki wa VVU/Ukimwi.Baadhi ya dalili za TB ni;
1.Kukohoa sana
2.Kukonda sana
3.Kupungua uzito
4.Kukosa hamu ya kula
5.Kuishiwa nguvu
6.Homa za mara kwa mara
7.Kuharisha au kutapika kama ni GI TB nk.

Hizi dalili zinafanana kabisa na zile za ukimwi feki.Watu wanajifanya wamezifumbia macho
dalili hizi za TB ili kuhalalisha uongo wao,ina maana hata wewe huzijui hizi?Kama hizi ni kweli
dalili za TB,Je,ukimwi ni nini hasa?
Lakini leo akija Obama akisema mtu akiwa na dalili hizi lazima utakuwa ukimwi,watu
watakubali kama mazuzu huku wakisahau kwamba hata TB ina dalili hizo.
 ankol said:
Daaah halafu ukiangalia huu ugonjwa waweza sema unapendelea asee. Kuna ndugu yangu yeye ni mlevi sana na
anahakikisha kila akilewa anaondoka na barmaid. yaani kwa siku hata wadada watatu anaondoka nao tena wale
hatarishi kabisa na hana rekodi ya kutumia kondom kabisaa. Tangu ujana wake ndio yuko hivohivo na mpaka sasa
umri unamtupa mkono lakini bado na wadada kama damu.
Lakini mpaka leo hana vvu wala ukimwi asee na anadunda kama kawa mipombe kama kawa mademu mwendo
uleule. Sasa katembee wewe na barmaid mmoja tu uone kama hujafa kwa presha kabla tarehe yako ya kurudia
kupima.

HIV/AIDS au VVU/UKIMWI hauambukizwi kwa njia ya ngono/sex na HIV hasababishi


ukimwi.Jitahidini kidogo ku stretch uwezo wenu,elimu ipo lakini mnairuka kwa makusudi.

HIV/AIDS is a mindset disease.Sijui kama nitaeleweka kwa kusema hivi.Yaani ugonjwa huu
haupo kiuhalisia,kinachoua si HIV bali kinachoua ni ARVs kwa wale wanaozitumia.Hata kama
mtu hatumii ARVs na amedhoofika wewe mpime tu utagundua kwamba lazima awe na ugonjwa
fulani unaofahamika,aidha TB,Pneumonia,Cancer nk.

Watu wanadhani mimi nimekurupuka kwa siku moja tu na kuja kuandika yote haya,la hasha
nimefuatilia na kufanya tafiti ya mambo haya kwa zaidi ya miaka 5.Watu wanachukulia kirahisi
sana,hawagundui hata kwa nini mimi ninawaeleza haya,hawagundui hata kidogo upendo huu
ninaouonesha kwao.
 Temu Son said:
Hauko serious wewe....

Unaweza kuthibitisha kwamba siko serious?

 Temu Son said:


..... watu wanakufa tunaona kwa macho yetu ati unasema ni uzushi ....
Unaweza kuthibitisha pia kwamba uliowaona wewe walikufa kwa HIV/AIDS?

 Temu Son said:


.... ukapimwe akili, ....
Nilijua kwamba mwishowe ungenitukana.Usihofu,hayo ni madhaifu tu kila mtu anayo ya
kwake.Nipo kwa ajili ya kukuelewesha kama utakuwa na utayari huo wa kusikiliza kwa kuwa
najua itakuwaje kama wewe au ndugu yako mtakutwa na janga hili endapo mtapimwa
HIV+.Niko tayari kukuokoa kama una nia hiyo.

 Temu Son said:


.... kwa maana hii hata mchawi au jini ni imani tu
Hii sio imani ndugu yangu,hii ni sayansi.Mimi si kwamba siami kwamba HIV hasababishi
ukimwi,bali najua kwamba HIV hasababishi ukimwi.
Labda wewe unayepinga,Je, unaweza kuthibitisha kwamba HIV anasababisha ukimwi?Na wale
wanaokufa wanakufa kwa ukimwi uliosababishwa na HIV?

Karibu.
 Gamba la Nyoka said:
Unatumia nguvu nyingi kwenye Maconspiracy theories wakati hujui chochote. Lete ushahidi na scientific evidence
wa hoja zako muflisi

Unazidi kunisikitisha ndugu yangu.Unachoniomba hapo kwenye nyekundu hukukiona sehemu


ya chini kabisa ya maelezo niliyotoa?Au unafanya makusudi?Chini niliweka scientific
paper/proof,Je,hukuiona?
Ndio maana nikakushauri kwanza ujiweke tayari kiakili kusikiliza ndio utapata elimu.Wewe
hauko tayari bado kusikiliza na ndio maana ume bypass na hukuiona kabisa hiyo scientific
paper.Unaendelea kunizidishia majonzi kwa kung'ang'ania kupinga pasipo kuhoji.

Swali langu hukunijibu bado,ok,si tatizo.Nimeleta scientific paper hutaki kuisoma halafu
unakuja tena unaniomba scientific evidence.Jitahidi kubadilika ndugu yangu,najua ni ngumu
kukubali,lakini jitahidi kidogo.
 Deception said:
HIV/AIDS au VVU/UKIMWI hauambukizwi kwa njia ya ngono/sex na HIV hasababishi ukimwi.Jitahidini kidogo
ku stretch uwezo wenu,elimu ipo lakini mnairuka kwa makusudi.

HIV/AIDS is a mindset disease.Sijui kama nitaeleweka kwa kusema hivi.Yaani ugonjwa huu haupo
kiuhalisia,kinachoua si HIV bali kinachoua ni ARVs kwa wale wanaozitumia.Hata kama mtu hatumii ARVs na
amedhoofika wewe mpime tu utagundua kwamba lazima awe na ugonjwa fulani unaofahamika,aidha
TB,Pneumonia,Cancer nk.

Watu wanadhani mimi nimekurupuka kwa siku moja tu na kuja kuandika yote haya,la hasha nimefuatilia na kufanya
tafiti ya mambo haya kwa zaidi ya miaka 5.Watu wanachukulia kirahisi sana,hawagundui hata kwa nini mimi
ninawaeleza haya,hawagundui hata kidogo upendo huu ninaouonesha kwao.
Click to expand...

Ndugu. unachojaribu kusema ni kwamba ARVs badala ya kuongeza maisha bali ndio
inasababisha vifo. Sijakuelewa vizuri labda.
 ankol said:
Ndugu. unachojaribu kusema ni kwamba ARVs badala ya kuongeza maisha bali ndio inasababisha vifo. Sijakuelewa
vizuri labda.

Ukisoma post zangu vizuri utanielewa tu.Nina maana hiyohiyo kwamba ARVs ndio husababisha
vifo kwa wale wanaozitumia.Nifuatilie kwenye post zangu utanielewa tu mkuu.Watu
husema,"mbona mtu anaumwa kabisa lakini akianza kutumia ARVs anakuwa safi".Wanaosema
hivi bado hawajui ukweli,ngoja nikupe mfano;

Mara nyingi mtu aliyedhoofika halafu akakutwa na huyu HIV feki lazima atakuwa na ugonjwa
maalum unaofahamika mfano TB.Mgonjwa huyu watampa ARVs pamoja na dawa za TB.Bila
shaka atapona TB ataanza kunenepa huku watu wakijua kwamba ARVs ndizo
zimemponya.Baada ya muda mrefu sana mtu huyu ataanza kuonesha dalili nyingine hata kama
hana TB,kama vile nywele kuwa dhaifu,kupungua kilo/uzito,ngozi kuwa dhaifu au kutoka
vipele,cancer,upungufu wa damu,ugonjwa wa ini,figo kushindwa kufanya kazi vizuri na
hatimaye miguu kuvimba sehemu ya chini,tumbo kujaa,matatizo ya moyo nk.
Je,ushawahi kujiuliza kama mtu hana TB,hana malaria,hana typhoid nk,Je,magonjwa niliyotaja
hapo juu yanasababishwa na nini?Kama yanasababishwa na HIV,Je,anasababishaje magonjwa
haya?

1.HIV anasababishaje ugonjwa wa moyo?


2.HIV anasababishaje nywele kuwa dhaifu?
3.HIV anasababishaje kupungua kwa uzito?
4.HIV anasababishaje udhaifu wa ngozi na vipele/vidonda?
5.HIV anasababishaje cancer?
6.HIV anasababishaje upungufu wa damu?
7.HIV anasababishaje ini kushindwa kufanya kazi?
8.HIV anasababishaje figo kushindwa kufanya kazi?

Waliotudanganya hawawezi kuelezea ni kwa vipi HIV anaweza kusababisha matatizo ya hapo
juu.Mimi nitakuelezea;

ARVs zinasababisha lactic acidosis kwenye damu hivyo damu inakuwa na tindikali/acid
nyingi.Daktari yeyote yule hawezi kupinga maelezo haya,kama yupo aje hapa kupinga.

Sasa basi,damu inapokuwa na acid mwili unakumbwa na kila aina ya tatizo kwa kuwa damu
haikuumbwa iwe na acid bali imeumbwa iwe na alkali/nyongo na kiwango thabiti cha nyongo
kwenye damu kinatakiwa kiwe ni pH=7.365,kikiwa chini ya 7.3 tu matatizo yanaanza.
Nakupa faida hapa;Fuatilia wagonjwa wote wa cancer iwe ocean road au kokote kule,lazima pH
ya damu zao iwe chini ya 7.365,lazima.Fahamu pia sumu yoyote ni acid by nature,hivyo acid
kwenye damu maana yake ni sumu kwenye damu.Seli zote za damu zinazungukwa na acid,seli
zikizungukwa na acid haziwezi kupumua kwa kuwa kwenye acid hamna oxygen ya
kutosha,Je,unafahamu kitu kinachoitwa oxygen debt kwenye biology kinatokeaje?

Rahisi sana,ni muscles zinajaa lactic acid baada ya kufanya mazoezi kwa muda na hizo mtu
hujisikia maumivu kesho yake anapoamka.Hii inatokea kwa kuwa seli zinakosa oxygen ya
kutosha,baada ya muda damu inajibalance yenyewe na maumivu huondoka yenyewe.

Kama damu ina pH chini ya 7.365,ini,figo,moyo vyote haviwezi kufanya kazi vizuri.Mwili
unapoteza madini kama vile calcium na magnesium ambayo ndio muhimu kwa contraction na
relaxation ya heart muscles.Pia kupotea kwa calcium kunafanya mifupa iwe dhaifu na kuvunjika
kwa urahisi.

Seli ni rahisi kuwa mutated au kufa na hii husababisha cancer na matatizo kama vile vipele
kwenye ngozi au ngozi kuwa dhaifu.Kisukari pia hapa ni mahali pake.Bone marrow pia
huathirika sana na acid hii hivyo hushindwa kuzalisha damu vizuri,na ndio maana huwa unasikia
wagonjwa waliobobea kwenye matumizi ya ARVs huwa wanabadilisha damu mara kwa mara.

Ndugu yangu sayansi hii ni pana naweza kuandika kitabu,niishie hapa.Ili kuthibitisha kwamba
ARVs zinasababisha lactic acidosis hebu ingia kwenye website hii ya wamarekani wenyewe
ujisomee,sio mimi,hii ni ya wamarekani wenyewe,unaweza kujionea picha ya mwewe chini ya
hiyo web ni ishara kwamba hiyo ni ya wamarekani.

Ingia kwenye web,soma sehemu ya WARNING;Wenyewe wanakwambia husababisha serious


LIFE THREATENING side effects.

Tenofovir Disoproxil Fumarate (Viread) | Patient Version | AIDSinfo


 Reactions:gbefa, MMVSMGWM, caine and 4 others
 Deception said:
Unazidi kunisikitisha ndugu yangu.Unachoniomba hapo kwenye nyekundu hukukiona sehemu ya chini kabisa ya
maelezo niliyotoa?Au unafanya makusudi?Chini niliweka scientific paper/proof,Je,hukuiona?
Ndio maana nikakushauri kwanza ujiweke tayari kiakili kusikiliza ndio utapata elimu.Wewe hauko tayari bado
kusikiliza na ndio maana ume bypass na hukuiona kabisa hiyo scientific paper.Unaendelea kunizidishia majonzi kwa
kung'ang'ania kupinga pasipo kuhoji.

Swali langu hukunijibu bado,ok,si tatizo.Nimeleta scientific paper hutaki kuisoma halafu unakuja tena unaniomba
scientific evidence.Jitahidi kubadilika ndugu yangu,najua ni ngumu kukubali,lakini jitahidi kidogo.

*unataka tuamini linki zako ila wengine wakikuwekea unazikataa.... kwanini tuanini link zako na
kuacha zingine!??

*Unaulizwa maswali mengi na mengi unajibu kwa kuuliza maswali na wewe, hapo unazidi
kujichanganya
.......... nijibu haya tu na kazi imeisha......

*ukimwi ulianza kugundulika kwa mtu wa kwanza kabla ua arv kuwepo.... aliupata kwa njia gani
bila ya kuambukizwa kupitia arv!??

*arv ya kwanza kugundulika ilikua 1988 lakini kwa tabzania zilichelewa kufika mpaka miaka ya
mwanzo ya 90, je kwa kipindi chote hicho maambukizi yalikua kwa njia gani!??

*TB unayoisema imeanza zamani sana na wagonjwa walikua wanapata dawa mbalimbali,
inakuaje kwa tb hii kuuwa watu wengi namna hiyo na kukondesha kiasi hicho.

*kama ni TB mbona ukimwi unasemekana ulianzia Bukoba miaka hiyo, watu wa mikoa mingine
walikua hawaugui TB!?? kwanini na wenyewe wasiishe kama watu wa BK walivyokua
wanadhoofika

naomba majibu kwanza na usinijubu kwa maswali tafadhari


 Deception said:
HIV/AIDS au VVU/UKIMWI hauambukizwi kwa njia ya ngono/sex na HIV hasababishi ukimwi.Jitahidini kidogo
ku stretch uwezo wenu,elimu ipo lakini mnairuka kwa makusudi.

HIV/AIDS is a mindset disease.Sijui kama nitaeleweka kwa kusema hivi.Yaani ugonjwa huu haupo
kiuhalisia,kinachoua si HIV bali kinachoua ni ARVs kwa wale wanaozitumia.Hata kama mtu hatumii ARVs na
amedhoofika wewe mpime tu utagundua kwamba lazima awe na ugonjwa fulani unaofahamika,aidha
TB,Pneumonia,Cancer nk.

Watu wanadhani mimi nimekurupuka kwa siku moja tu na kuja kuandika yote haya,la hasha nimefuatilia na kufanya
tafiti ya mambo haya kwa zaidi ya miaka 5.Watu wanachukulia kirahisi sana,hawagundui hata kwa nini mimi
ninawaeleza haya,hawagundui hata kidogo upendo huu ninaouonesha kwao.
Click to expand...

Mkuu vp kuhusu watu waliokua wanakufa miaka ya tisini wakiwa wamedhohofu sans kabla ya
kugundulika kwa ARVs?
nataka kutuambia tusiangaike na kondom wala nini tuamini tu hakuna kitu kinaitwa ngoma ni
uzushi tu afu kesho uanze kunyauka kama jani la kondeni kama ni swala la wengine kutopata ni
kadiri ya majaliwa ya Mungu maana neema sio ya wote ila mmoja mmoja kozi hata ebira kuna
waliopona bila hata kutumia dawa, malaria yenyewe kuna wale inawaendesha hatua tu za
mwanzo, wakati mwingine mpaka dalili zitokee yuko highest stage ya makaria
Swali zuri sana kaka habari ya mjini
nasoma kwa makini sana
 Junior. Cux said:
*unataka tuamini linki zako ila wengine wakikuwekea unazikataa.... kwanini tuanini link zako na kuacha zingine!??

*Unaulizwa maswali mengi na mengi unajibu kwa kuuliza maswali na wewe, hapo unazidi kujichanganya

.......... nijibu haya tu na kazi imeisha......


*ukimwi ulianza kugundulika kwa mtu wa kwanza kabla ua arv kuwepo.... aliupata kwa njia gani bila ya
kuambukizwa kupitia arv!??

*arv ya kwanza kugundulika ilikua 1988 lakini kwa tabzania zilichelewa kufika mpaka miaka ya mwanzo ya 90, je
kwa kipindi chote hicho maambukizi yalikua kwa njia gani!??

*TB unayoisema imeanza zamani sana na wagonjwa walikua wanapata dawa mbalimbali, inakuaje kwa tb hii kuuwa
watu wengi namna hiyo na kukondesha kiasi hicho.

*kama ni TB mbona ukimwi unasemekana ulianzia Bukoba miaka hiyo, watu wa mikoa mingine walikua hawaugui
TB!?? kwanini na wenyewe wasiishe kama watu wa BK walivyokua wanadhoofika

naomba majibu kwanza na usinijubu kwa maswali tafadhari


Click to expand...

The so called HIV was laboratorily engineered. The whole concept was relating to cancer cells at
initial stage. So all the research were targeting how to evade the new type of cancer.

Jina la HIV/AIDS lilianza tumika after sometimes (sikumbuki mwaka) ila in 1980's hivi. Na first
drug to be used was the AZT ambazo baadae zikaja kuzuiwa. Kama ulifuatilia documentary ya
madaktari wanao mponda huyo alianzisha jina la HIV/AIDS utaona jinsi hali ilivyokuwa.

Wametuaminisha how the virus inafanya kazi na kuangamiza... lakini in most cases watu
wanaenda fasta sana kwa kuanza kutumia ARV kwani zinakuwa na magonjwa sababishi
yanayotokana na matumizi ya hizo dawa. Kama ilivyo kwa AZT . Itafika kipindi watu watajua
shida zake na wataachana nazo wataamia kwenye dawa zingine.

At the end hii imekaa ki conspiracy sana


 Deception said:
Uko sahihi mkuu,watu wengi walishaniambia hivyo.Tatizo mada hii ina mambo mengi sana na watu ni lazima
wayasome yote ili wakubaliane na ukweli,haitakiwi kusoma kwa kurukaruka.Kwa navyowajua wana JF wengi
hawana tabia hiyo.Nina mifano hai,mimi sio wa kwanza kuanzisha mada kama hii,kuna mwana JF mmoja
alishawahi kuanzisha lakini watu waliishia kupinga tu,lakini ukiisoma ile mada jinsi ilivyoandaliwa,utagundua
kwamba jamaa alitumia muda wake mwingi sana kuonesha upendo kwa wengine,lakini aliishia kupingwa tu na
sijamwona tena akizungumzia au kuchangia kwenye mada kama hizi tena hadi leo,labda pengine hakuwa na hoja na
uzoefu wa kutosha kujibu hoja za watu.Hii inakatisha sana tamaa,na ndio maana mimi ninatumia utaratibu
huu.Natoa dokezo,watu wanauliza maswali,mimi ninajibu kwa kutoa evidence pale zinapohitajika.
Nashukuru kwa maoni yako.Sasa hivi niko mbioni kuanda kajarida/kakitabu kinachoeleza ukweli kuhusu;
1.HIV/AIDS
2.CANCER
3.MARIJUANA(BANGI)
4.GMO(Genetic Modified Foods)

na mambo mengine kama hayo.Napanga kuweka maandishi na video kwa kiswahili.Watu wengi wanachukulia
mambo kirahisi sana,hawajui kwamba karibu mambo yote tunayoyaona na kuyajua sasa ni feki,yapo kwa ajili ya
manufaa ya wengine.Na ndio maana ID yangu ni Deception,niko humu kuwajuza watu mambo tuliyodanganywa.
Click to expand...

Itakuwa vyema mkuu Deception ukifanya hivyo ,pia katika pitapita zangu kwenye harakati za
kuutafuta ukweli nilikutana na issue fulan ambayo ilinistua kidogo kwamba hiki tunachoambiwa
kuwa GLOBAL WARMING ndani yake kuna uongo mwingi sana. Sijalifuatilia sana lakini kuna
dalili ambazo naanza kuona kwamba kuna mambo mengi sana ambayo ni uongo ila
tunakaririshwa tu kwa manufaa ya kikundi Fulani cha watu
 Habari ya Mujini said:
Mkuu vp kuhusu watu waliokua wanakufa miaka ya tisini wakiwa wamedhohofu sans kabla ya kugundulika kwa
ARVs?

Ngoja nikwambie kitu hapa mkuu;Kuna vitu vya kusikia na vya kuona mwenyewe.Halafu vile
vya kuona mwenyewe pia unaweza kuvielewa au usivielewe kulingana na upeo au elimu
aliyonayo mtu.Watu wengi wanazungumza vitu vya kusikia zaidi,na wale walioona hawakuwa
na uelewa au elimu ya kutosha kipindi ambacho wanaona hivyo vitu.

Mimi ninayezungumza hapa nimefanya tafiti nyingi za kisayansi.Siko hapa JF kuleta porojo
kama wengine wanavyodhani,watu wamejikita zaidi kwenye upingaji lakini hawakujiandaa
kuelewa.Kama mtu hakujiandaa kuelewa utamjua tu,na kamwe hawezi kuelewa hata ukimpatia
evidence ya aina gani,mtu huyu atalazimisha umpe evidence si kwamba anataka kuelewa la
hasha bali anataka ukwame,ukimpa evidence haisomi/haifuatilii na badala yake anatafuta mtego
mwingine ili ukwame.Hii ndio tabia ya watu wengi humu JF,wamejiandaa kupinga na kuleta
porojo zaidi badala ya kutoa hoja za kisayansi ili kupinga zile ninazotoa mimi.

Jibu lako hili hapa chini;


Miaka ya 1990 ARVs zilikuwa zimeshagundulika ila zilikuwa bado hazijafika kwa wingi
Tanzania.ARVs(AZT) zilianza kutumika kwa mara ya kwanza Marekani mwaka 1987,hivyo
nakubaliana na wewe kwamba wengi walikuwa hawatumii ARVs Tanzania lakini walikuwa
wanakufa kwa magonjwa.Swali linakuja,Je,walikuwa wanakufa kwa magonjwa gani?

Kumbuka kwamba(kama ulikuwa na akili timamu miaka ya 1990) hali ya uchumi kwa upande
wa huduma za kijamii ilikuwa mbaya sana kipindi kile hasa huduma za kiafya.

Magonjwa yaliyoongoza kwa kuuwa watu yalikuwa ni malaria na TB,malaria ikishika namba
moja.Vipimo vilikuwa duni na madawa pia yalikuwa adimu.Na ndio maana hata ukiangalia
takwimu za wagonjwa wa TB zilikuwa zinashuka kuanzia mwaka 1990 kuja juu kwa kadri
huduma za kiafya zilivyoboreshwa.Watu walikufa kwa TB na malaria na si HIV.Kama mtu ana
uthibitisho kuonesha kwamba HIV/AIDS ndio iliua watu wengi kipindi kile basi alete hapa
jukwaani.Maana kuna mambo ya kusikia bila kuona na ukweli.

Kuhusu malaria,unaweza usiamini kwa kuwa haikudhoofisha watu.Lakini TB ilikuwa inatisha


ndugu yangu.Si unajua TB iliyokomaa ikoje?Sasa changanya na tatizo la upatikanaji wa huduma
za kiafya kipindi kile yaani madawa na vipimo.Hivyo wagonjwa wengi wa TB walishindwa
kupata huduma za vipimo na dawa kwa sababu mbalimbali zikiwemo uelewa,umbali wa kufika
vituo vya afya vipimo duni na madawa.

Mgonjwa wa TB aliyekosa kabisa huduma huwezi kumuangalia mara mbili.Sasa ukichanganya


na kasumba tuliyomezeshwa ya HIV/AIDS jinsi tulivyotangaziwa na vyombo vya habari kipindi
hicho redio ni moja,basi kila kitu kinachotangazwa tunakiamini,hivyo tukasahau kabisa kama
dalili za TB ndio zilezile dalili za HIV/AIDS tulizoambiwa;
-Kukonda sana
-kupungua uzito
-kuishiwa nguvu
-homa za mara kwa mara
-Kutapika au kuharisha kutegemeana na aina ya TB(GI TB)
-Kukohoa mara kwa mara nk.

Lakini watu bado wanafunga milango yao ya fahamu kujifanya hawajui kama hizi dalili mtu
mwenye TB pia anakuwa nazo eti kwa sababu redio imetangaza kwamba hizi ni dalili za
VVU/Ukimwi.Silaumu sana kwa maana elimu na uelewa pia kipindi kile vilikuwa chini sana.

Hakuna mgonjwa yeyote wa TB ambaye nywele zake zilinyonyoka kipindi kile kabla ya ARVs
hazijaanza kutumika.Kama mtu ana evidence alete hapa.Baada ya ARVs kuanza kutumika ndio
ikaongezeka dalili nyingine ya kunyonyoka nywele au nywele kuwa dhaifu.Pia baada ya ARVs
kuanza kutumika,zikaongezeka dalili nyingine kama vile;
-Ugonjwa wa moyo
-Matatizo ya figo
-matatizo ya ini
-tumbo kujaa
-miguu kuvimba
-Upungufu wa damu
-Cancer/saratani

Hayo matatizo niliyotaja hapo juu,hamna hata tatizo moja linalosababishwa na HIV.Kama mtu
anapinga alete ushahidi.

Nywele kunyonyoka ni dalili mojawapo ya mtu anayetumia ARVs.ARVs na dawa za


chemotherapy zinafanana kwa kuwa na common component.Mgonjwa wa cancer pia akitumia
chemotherapy hunyonyoka nywele.Kama mtu anapinga hili pia,aje na evidence.

Watu walikuwa wanadhoofika kabla hata kutangazwa kwa HIV mwaka 1984,yaani miaka ya
1970 na kabla ya hapo,walikuwa wana dalili zote za TB nilizozitaja na watu wa kipindi hicho
walikuwa wanaona kwa macho yao.Lakini baada ya kutangazwa kwa HIV,watu wamesahau
kabisa kama kuna ugonjwa unaitwa TB na una dalili kama za HIV/AIDS
tulizoambiwa/kudanganywa,ama kweli ujinga ni mbaya sana.

Angalizo;
Watu wanaangalia tu upande mmoja,lakini hawajui pia kwamba asilimia ya 97%(WHO data) ya
watu waliopimwa wakakutwa na huyu HIV feki katika bara la Afrika hawana AIDS.Asilimia 3%
ya walio na huyu HIV feki ndio wana AIDS.Na AIDS waliyonayo inalezeka kisayansi
wameipataje,lakini haikusababishwa na huyu HIV feki.

Nikianza kutoa list ya maswali ya kutatanisha kuhusu HIV/AIDS sitamaliza,lakini siko hapa kwa
ajili hiyo bali nipo hapa ili kuwaelewesha watu.Lakini kuna watu wamejikita kupinga tu na
kuuliza maswali ya mitego ambayo wao wanadhani hayajibiki,kumbe yana majibu rahisi
sana.Wanataka wajibiwe,lakini wakijibiwa hawasomi,na wakisoma wanasoma kwa bias,yaani
wanasoma huku wakiwa na mlengo wa kupinga.Siwezi kupoteza muda wangu kujadiliana na
watu kama hao.

Fahamu pia sasa hivi katika NGO zinazoshughulikia masuala ya HIV/AIDS kuna kitengo
kinachohusiana na cervical cancer kwa wanawake.Sasa umeshawahi kujiuliza kwa nini
wameweka kitengo hicho ndani ya NGO hizo?

Jibu ni rahisi sana;Ni kwa sababu wanawake wengi wanaotumia ARVs kwa muda mrefu
mwishowe hupata cervical cancer,cancer hii haisababishwi na HIV la hasha,husababishwa na
matumizi ya ARVs.Dawa za uzazi wa mpango pia husababisha cancer,lakini hapa nazungumzia
specifically ARVs.
Je,unajua pia kwa nini mama wajawazito sasa hivi kuna sheria lazima wapimwe HIV?Jibu ni
rahisi sana;Hawa jamaa si kwamba wanatupenda saaaana la hasha,bali wanatafuta wateja
kinguvu,wanajua kwamba mama wajawazito ni rahisi sana kukutwa HIV+ kutokana na trick
waliyoiweka kwenye vipimo vya HIV.Mama wajawazito wana uwezekano mkubwa wa kutoa
protein ambazo zinafanana kabisa na zile zinazokuwa targeted na vipimo vyao ambazo hufanya
mwili wa mama mjamzito ku generate antibodies dhidi ya hizo protein.Antibodies hizi
zikionekana ndizo zinazofanya vipimo vioneshe kwamba mtu ni HIV+.Lakini kuna muda protein
hizi zinatoweka kama hali iliyosababisha zitokee ikitoweka.Na ndio maana mtu anaweza kuwa
HIV+ leo halafu siku nyingine akapima akawa HIV-.

Hivyo basi,mtu kuwa HIV+ is not a big deal,ni usanii tu wa vipimo.Ila mtu anayetumia ARVs
kwa muda mrefu huwa mara nyingi anaonekana HIV+ kutokana na sayansi ya dawa
zilivyo.Yaani ndugu yangu haya mambo ni mengi sana na ni mazito,inahitaji utulie sana,huwezi
kutulia kama una attitude ya kupinga.

Mtu mwenye attitude ya kupinga hawezi kupata kitu hapa,atarukaruka tu huku na kule.Na ndio
maana hawa jamaa pamoja na kwamba nawachukia,lakini hapa wametumia sayansi kubwa sana
kudanganya watu.Na kwa jamii hii ya watu ninayoiona humu JF,wataishia kuongozwa kama
ng'ombe malishoni,waombe tu wasipimwe HIV+,watajuta,kwa kuwa hawatajua la kufanya ili
kujitetea.Na lazima ARVs ziwaue watu kama hawa.
 Adm said:
Itakuwa vyema mkuu Deception ukifanya hivyo ,pia katika pitapita zangu kwenye harakati za kuutafuta ukweli
nilikutana na issue fulan ambayo ilinistua kidogo kwamba hiki tunachoambiwa kuwa GLOBAL WARMING ndani
yake kuna uongo mwingi sana. Sijalifuatilia sana lakini kuna dalili ambazo naanza kuona kwamba kuna mambo
mengi sana ambayo ni uongo ila tunakaririshwa tu kwa manufaa ya kikundi Fulani cha watu

Ndio, ni kweli mkuu,naona wewe unaanza kufunguka sasa,kaza uzi huohuo utajua mengi tu zaidi
ya hayo,this world is full of fiction,utajua mengi tu,nenda taratibu.
Wanasema kwamba global warming inasababishwa na hewa ukaa(carbon dioxide) kitu ambacho
si kweli.Au kivingine, wanasema global warming ni anthropogenic,yaani husababishwa na
shughuli za kibinadamu ambazo huzalisha hewa ya ukaa.Yaani hapa mkuu hawa jamaa
wanadanganya mpaka utapenda badala ya kuchukia.
Lakini wanapata profit kubwa sana kwa uongo huu,tukipata muda tutaijadili hii pia.Huu
upumbavu aliuanzisha Al Gore,unamkumbuka huyu jamaa?Unajua ukiwa una influence kwenye
serikali ya marekani ni rahisi sana kuanzisha biashara hata kama ni feki,kama hii ya
HIV/AIDS.Kuna mtaalam mmoja alisema "If you find something doesn't make sense then follow
the money and you will find any answer"
Hivyo mkuu,kuna biashara nyingi feki nenda taratibu utazijua tu na itakufanya uwe huru kwenye
maisha yako.Najua kuna mambo mengi kwa sasa yamekuweka kifungoni na tumekaririshwa
mashuleni,lakini baada ya kujua ukweli utakuwa huru na utaanza kuona raha ya dunia.
Mh, I love ua maandiko, u real know what you are presenting, African mind, especially
Watanzania, hawatokuelewa coz elimu yenyewe tuuu ni ya kuunga unga... Well said
Sasa Unawashauri Wale Wanandoa Ambao Wameamua Kwenda Kupima Ukimwi? Wasiende?

Na Vipi Mtu Ambae Aliyeugua Sanaa Na Akatanabahi Kuwa Inamladhimu Akachek Vipimo
Vikuu Yani Ukimwi? Naye Huyu Wamshauri Vip?

Na Kuna Kipindi Walileta Hivi Vipimo Vya Kujipima Mwenyewe Vile VyA Kuonesha Mistari,
Vimepotelea Wapi, UnawezA Kufahamu Kwa Nini Vimepotea?
 mavado said:
Mh, I love ua maandiko, u real know what you are presenting, African mind, especially Watanzania, hawatokuelewa
coz elimu yenyewe tuuu ni ya kuunga unga... Well said

Mkuu hongera kwa wewe kuwa hivyo.Unajua mkuu,mambo haya awali ya yote,ni magumu
sana.Hivyo ili mtu aelewe inabidi kwanza ajitoe na awe ameamua kwelikweli kuelewa na
aruhusu akili yake kupokea mambo mapya na kufanya udadisi,hapo ndipo atakapoanza
kuelewa,na hatopata ukweli wote kwa siku moja kwa kuwa mambo ni mengi sana.Wengi humu
JF hawako hivyo.

Yaani jambo hili ninalojitahidi kuwaelimisha watu ni moja kati ya mambo mengi sana
yanayotuathiri katika maisha yetu,yapo mengine mengi bado sijaanza kuyafunua humu.Hili tu
watu kulielewa ni mgogoro,Je,nikianza kuwaambia watu kwamba mimi nina uwezo wa kutibu
cancer ya aina yoyote ile na unapona kabisa si watanitafuta waniue kabisa.Hili kihistoria liliwahi
kutokea katika jamii za zamani,yaani watu wenye akili ndogo walikuwa wanawaua watu wenye
akili kubwa kwa sababu za kishenzi tu.

Hebu angalia na hili pia;Marekani ndio aliyeanzisha sheria dhidi ya madawa ya kulevya na ndiye
anayeongoza vita dhidi ya madawa hayo.Je,nikikwambia kwamba wakubwa kwenye serikali ya
Marekani ndio wanaolima na kutengeneza madawa ya kulevya,kwa harakaharaka si utaniona
mimi ni kichaa?Mtu yeyote mwenye akili ndogo atakimbilia kwanza kupinga kabla ya
kuhoji.Lakini tukienda taratibu ukweli utauona unakuja wenyewe.

Nikupe faida mojawapo ya kuujua ukweli kama huu;


Mwaka mmoja uliopita,ndugu yangu wa karibu alipimwa vipimo vingi sana na madaktari
wasema kwamba ana dalili zote za cancer ya ini,na kweli ini lake lilikuwa limevimba hata
ukimuangalia tumboni ubavuni unaona waziwazi,lilikuwa limevimba sana.Tumbo lake pia
lilikuwa kubwa/limejaa.Baada ya vipimo madaktari wakaniambia kwamba watampa tu dawa za
kutuliza maumivu kwa kuwa hawana tiba ya cancer,bila shaka na mimi nililijua hilo na nilienda
pale kwa ajili ya vipimo tu na si tiba,kwa kuwa jamaa wako vyema sana kwenye vipimo.

Baada ya kujua kinachomsumbua,nikaanza kumpatia tiba mimi mwenyewe.Sasa hivi ndugu


yangu anaendelea na shughuli zake kama kawaida.Alikuwa hawezi kutembea hata mita
mbili,sasa anatembea mwenyewe umbali mrefu wowote ambao mtu yeyote mwenye afya
anatembea.Kwa kifupi amepona.Nina evidence ya vipimo vyake vyote kabla na baada ya
kupona.Mtu mwenye akili ndogo akipinga nitacheka tu kumhurumia.
Kama nisingejua ukweli kuhusu cancer,ndugu yangu angeshapotea,na ndugu yangu yeyote
pamoja na mimi mwenyewe sitakuwa na ujanja kama nitapata cancer.Kama hujui ukweli huu
utakuwa kama mfugo,watakupeleka kokote wanapotaka.Hii ni mojawapo ya faida ya kujua
mambo haya.Lakini wenye akili ndogo wakiona haya mambo watakimbilia kusema ni
conspiracy.Sisi weusi bado sana.
 Deception said:
Mkuu hongera kwa wewe kuwa hivyo.Unajua mkuu,mambo haya awali ya yote,ni magumu sana.Hivyo ili mtu
aelewe inabidi kwanza ajitoe na awe ameamua kwelikweli kuelewa na aruhusu akili yake kupokea mambo mapya na
kufanya udadisi,hapo ndipo atakapoanza kuelewa,na hatopata ukweli wote kwa siku moja kwa kuwa mambo ni
mengi sana.Wengi humu JF hawako hivyo.
.....

Hilo LA wakubwa WA serikali ya us kuuza madawa, mbona like wapi, ni vile tuuu watu
wanasikiliza mainstream tuuu. Also ugaidi, it's Jews and us and not moslems but watu
wasiochambua ukweli wanasikiliza tuuu western media, watapinga because they just belive
everything they say . It's too bad
Sasa mkuu kama mtu asipotumia ARVs mwisho wake ni upi kiafya endapo atakua na Hiv
 Fourier said:
Sasa Unawashauri Wale Wanandoa Ambao Wameamua Kwenda Kupima Ukimwi? Wasiende?....

Kupima VVU/Ukimwi ni utumwa wa kiakili tu,ni ignorance ndio inasababisha mambo yote
haya.Ukijua ukweli kuhusu ugonjwa huu feki utajicheka saaana.Yaani ni sawa na wewe
mwenyewe katika umri huo wa utu uzima halafu unaogopa kivuli chako.
Ngoja nikupe dokezo dogo sana hapa;
-Najua unajua ya kwamba antibodies/kinga ya mwili ndio inatulinda dhidi ya magonjwa yote.
-Najua mpaka sasa unajua ya kwamba vipimo vya VVU vinapima antibodies/kinga dhidi ya
VVU/HIV na havipimi mwonekano wa VVU/HIV.
-Najua unajua ya kwamba mtu akiwa HIV+ maana yake mwili wake umetoa antibodies dhidi ya
HIV,na akiwa HIV- mwili hauna HIV.
-Najua unajua pia ya kwamba sayansi ya ufanyaji kazi wa antibodies ndio basis ya all
vaccines,vaccines zote zimetengenezwa kufuata sayansi ya antibodies,na ndio maana leo hii
unaamini ukipewa chanjo ya tetenus basi hutapata tetenus kamwe.

Sasa basi;umeshawahi kujiuliza ni kwa nini na kwa vipi ukipimwa HIV+(yaani mwili umetoa
kinga dhidi ya HIV feki),watakwambia kwamba umeathirika na wasikwambie kwamba you are
safe kwa sababu mwili wako umejibu mapigo ya HIV feki?
Hili swali kwamba kwa nini hizo antibodies haziwezi kukukinga wewe dhidi ya HIV feki hata
waliotudanganya hawawezi kulijibu.Ni madaktari weusi tu wanaojifanya wako
kimbelembele/wapambe na wanajifanya wanajua zaidi ya mabwana zao waliotudanganya ndio
hujifanya kujibu swali hili.Ukitaka ugomvi wambie wakupe any scientific paper
published,hawana.
Zaidi ya yote,HIV hasababishi AIDS,ukitaka ugomvi hapa tena waambie wakupe scientific proof
kwamba HIV anasababisha AIDS.Wanaosema kwamba hasababishi AIDS wana scientific
paper/proof published.
Science politics ni mbaya sana.

 Fourier said:
...Na Vipi Mtu Ambae Aliyeugua Sanaa Na Akatanabahi Kuwa Inamladhimu Akachek Vipimo Vikuu Yani
Ukimwi? Naye Huyu Wamshauri Vip?...
Mkuu unajua,watu wamesahau kwamba kuna magonjwa mengi sana halisi yanayotusumbua
wanadamu.Ulishawahi kusikia mtu anaumwa sana halafu kila hospitali anayokwenda
wanamwambia hawaoni tatizo?
Ulishawahi kusikia madaktari wanasema "this disease has unkown cause" Je,unaelewa maana ya
hiyo statement?Maana yake ni kwamba cause ipo ila wao(madaktari) hawaijui.Mimi nikiwa
karibu na mgonjwa kama huyo unayesema nitajua nifanye nini baada ya kumuangalia.Mara
nyingi magonjwa ambayo sio infectious mfano,autoimmune disease,nk hospitali za kawaida
hawawezi kuyagundua au kutibu.Na mwisho wake lazima madaktari watatafuta mhusika wa
kumbwagia zigo hili na kusema kwamba yeye ndiye amesababisha,mhusika huyu ambaye ana
bahati mbaya ya kusingiziwa ni HIV.Kwa mtu mwenye autoimmune disease,vitiligo and the
likes,ni rahisi sana kumpima HIV+ kutokana na sayansi ya vipimo.Na watu wenye magonjwa
kama haya watakapoanza kula ARVs,hawachukui muda mrefu,wanakufa.Sasa lawama ziko
mtaani bwana;"jamaa ngoma ndio iliyomuondoa" au "aaah yule mshikaji si mambo yetu yale
ndio yamemwondoa" nk.Upumbavu mtupu.Ujinga ni kitu kibaya sana,yaani unakuwa kama
ng'ombe,huna consciousness.
Msingi wa afya ya binadamu uko kwenye damu,pH ya damu ndio mpango mzima.pH ya damu
ikiwa mbovu unaweza kuumwa kila aina ya ugonjwa ambao upo duniani,ni chance tu.Weka pH
yako sawa na hata kama utakuwa na magonjwa 20 kwa pamoja,yote yataondoka yenyewe,na
utashangaa,hii ndio sayansi.

 Fourier said:
....Na Kuna Kipindi Walileta Hivi Vipimo Vya Kujipima Mwenyewe Vile VyA Kuonesha Mistari, Vimepotelea
Wapi, UnawezA Kufahamu Kwa Nini Vimepotea?
Utakuwa unazungumzia rapid test.Rapid tests ni stimulants za kuwachomoa watu wenye HIV
feki mafichoni ili waende kupima tena na kuanza kupewa ARVs ambalo hasa ndio lengo
lao.Hakuna hata kipimo kimoja cha HIV ambacho kiko sahihi,vyote ndani yake vina siasa ya
sayansi.Sina haja ya kujua kwa nini vimepotea kwa kuwa najua kwamba vipimo hivi vyote ni
siasa tu.
Hivi wewe ukiambiwa mwili wako una kinga dhidi ya malaria si utafurahi sana?Lakini kwa nini
ukiambiwa mwili wako una kinga dhidi ya HIV unalia sana na kama hamna watu karibu yako
waweza kujinyonga?Hapa ndipo utakapojua kwamba HIV/AIDS is a mindset disease/is not
real.Vipimo vya HIV vinapima kinga dhidi ya HIV na si vinginevyo.Kama mtu anaumwa sana
lazima ukimpima utamkuta na ugonjwa fulani ambao tayari unajulikana na una tiba
yake,ukimpatia tiba anapona kabisa.

Sasa jiandae vyema na umsikilize kwa makini kabisa neno baada ya neno(usiruke neno) huyu
mgunduzi wa HIV anachosema hapa.Narudia,huyu anayesema hapa ndiye mgunduzi wa
HIV.Yaani ni 'mungu' wa wale wanaoamini katika dini ya VVU/Ukimwi.Natarajia kwamba
hakuna mtu yeyote duniani atakayepinga maneno yake;msikilize hapa chini;
"You can be exposed to HIV many times without being chronically infected,our immune system
will get rid of the virus within few weeks if you have good immune system"

Halafu endelea kumsikiliza anazungumzia matatizo halisi yanayotusumbua hasa katika nchi za
afrika.
1.Nutrition/misosi
2.Oxidative stress;Hii nitaizungumzia kwa undani baadaye
3.Clean water

Halafu anasema "their immune system doesn't work well already even if they are not infected
with HIV",maana yake ni kwamba, watu wanakuwa na ukimwi hata kabla ya kuingiwa na VVU.

Anaendelea kushauri njia za kupunguza maambukizi ya HIV huyu feki ambazo ni;
1.Nutrition
2.Proper antioxidants
3.Hygiene measures
4.Fighting the specific infection(tusisingizie HIV,tutibu tatizo halisi)

Anaulizwa:"If you have good immune system then your body can get rid of HIV?"
Anajibu:Yes.
Ooooh very interesting!!! au mimi naota?Hebu sikiliza wewe mwenyewe.

Anaendelea kusema tena kwamba;"This is important knowledge which is completely


neglected,people always think of drugs and vaccines"

Na mwisho yeye mwenyewe anakubali kwamba alichokisema ni tofauti na kile alichosema


kipindi cha nyuma,yaani vinapingana.Huyu jamaa ameingizwa kwenye kundi la watu wenye
roho mbaya bila kupenda,sasa roho yake inamsuta na anaamua kusema ukweli.Huyu ndiye
mgunduzi wa HIV feki,Robert Gallo alimuibia tu data na yeye ndiye katangazwa
kwanza.Walichokigundua hata wenyewe wanajua kwamba hakisababishi Ukimwi,ni njaa tu ndio
inawasumbua.

Haya sikiliza sasa;

https://www.youtube.com/watch?v=XSSpoFq7uhM
 bushman10 said:
Sasa mkuu kama mtu asipotumia ARVs mwisho wake ni upi kiafya endapo atakua na Hiv +?

Soma soma soma soma soma soma soma ndugu yangu,yote haya nilishaelezea.Yako wazi kabisa
kama utahitaji kujua utajua tu mkuu,Jitahidi kusoma,tupende kusoma.Maswali yote hayo
nimeshayajibu,fuatilia vizuri,utajua tu mkuu.
 
Siku kadhaa zilzopita nilimfata deception pm..aisee alinipa vitu vya ukwel hapa tunavifanyia kaz
kwa mgonjwa wetu alikuwa mahutut ndan ya wik sasa matumaini yanaonekana
 Deception said:
Ngoja nikwambie kitu hapa mkuu;r jamii hii ya watu ninayoiona humu JF,wataishia kuongozwa kama ng'ombe
malishoni,waombe tu wasipimwe HIV+,watajuta,kwa kuwa hawatajua la kufanya ili kujitetea.Na lazima ARVs
ziwaue watu kama hawa.

we jamaa unaejiia Deception, ni mtu usiefaa kabisa katika jamii, kwa sababu unaleta mizaha
katika mambo ya msingi na ni mpotoshaji mkubwa usiefaa kuishi. Thanks lord JF ni jukwaa la
watu wachache otherwise ungepotosha wengi na kuangamiza maisha ya watu. Sijui hasa nia
yako ni nini? Kwa jinsi unavyoandika makala zako inaonyesha unaufahamu kidogo, ila napata
shida kujua intention yako kwa huu uongo unaoutunga! Kumbuka suala la HIV ni la kisayansi na
hupaswi kuliumba kisiasa. People like you deserve to be put on a firing squad since your
presence is dangerous for our society.
 Habari ya Mujini said:
Unafanyaje kuweka pH ya damu sawa mkuu? Angalau kwa ufupi..

Kuna aina fulani ya vyakula kama utakuwa na mazoea ya kula ndio utafanikiwa kuweka damu
sawa.Baadhi ya vyakula hivyo ambavyo vinapatikana hapa kwetu kirahisi ni;
-Limao/lemon/lime
-Mineral water
-Nanasi
-Maboga na hasa mbegu zake
-Vitunguu
-Sea salt
-Viazi vitamu
-Juisi ya mboga za majani hasa zile za kijani sana mfano;spinachi,tembele nk
-Tikiti
-Tufaa/apple
-Broccoli
-Karoti
-Kitunguu saumu
-Tangawizi
-Embe
-Olive oil
-Kabichi
-Parachichi
-Green tea
-Komamanga
-Bilinganya
-Bamia

Vipo vyakula vingi sana,ila hivyo hapo juu ni baadhi ambavyo vina uwezo mkubwa wa kuweka
sawa pH ya damu.
Pia nimesahau kukupa angalizo;Wakati unatumia vyakula hivyo unatakiwa uepuke vyakula
vyenye mafuta mengi,nyama
nyekundu(punguza/acha),sukari(punguza/acha),alcohol(punguza/acha),tumia mafuta ya
mimea,acha vyakula vya viwandani/vilivyosindikwa,Kuwa na tabia ya kunywa maji.
 Shanyc said:
mi kuna kitu kinaniumiza kichwa.. mbona hapo zamani watu walikua wakijulikana wana ukimwi baada ya mda afya
inadhoofu, wanatoka dots mwilini na ilhali walikua hawatumii arv...labda hapo tatizo ni nini?

Angalia reply/post yangu #103 .Kama hujaelewa rudi tena hapa.


 MANI said:
Mkuu Deception kama kuna mgonjwa alishaanza arv na kwa maelezo yako sio salama mwishoni nini ushauri wako
kwake ili aweze kuishi maisha marefu na kurudisha uzima wa mwili wake?
Swali la msingi sana mkuu;
Mimi nina ndugu yangu nimeshamwachisha ARVs baada ya kuzitumia kwa miaka saba(7
Years).Sasa hivi yuko safi na haumwi chochote miaka imeshapita.Najua kuna watu wajinga
watakurupuka na kupinga hili jambo huku wakitoa vitisho,mimi ninayejua nitacheka tu.

Sasa basi;Mtu kama huyo kuna mambo kadhaa anatakiwa kufanya,lakini mwisho wa siku
anatakiwa kuacha kabisa kutumia ARVs.Lakini kwa sasa hatakiwi kuziacha ARVs
ghafla,narudia tena,hatakiwi kuacha ARVs ghafla mpaka apitie taratibu fulani.Hata wanaotumia
madawa ya kulevya kuna taratibu wanapitia ili kuyaacha,sio ghafla tu,ARVs nazo ziko vivyo
hivyo.
La msingi hapa;
-Inabidi nijue ana muda gani tangu aanze kutumia ARVs
-Kuna tatizo lolote linalomsumbua kwa sasa?kama lipo/yapo,ni matatizo gani hayo?

Baada ya kujua hayo,ndio nitaanza kukupa ushauri.Lakini si hapa,utani PM.


Mkuu naomba unitoe tongotongo kuhusu kuhusu ukimwi na haya mambo;

1.Nini mkanda wa jeshi,kwa nini unatokea na nini kifanyike baada ya kutokea

1.Kwa nini mtoto inasemekana anazaliwa na maambukizi ya ukimwi

3.Inasemekana ukisex na mtu ambaye ana maambukizi na ukawa na wasiwasi kwamba unaweza
ambukizwa kuna dawa ukimeza (nafikiri ARV,sina hakika) ndani ya masaa 48 zinakinga,nini
lengo lao hapa?
Mkuu naomba unitoe tongotongo kuhusu kuhusu ukimwi na haya mambo;

1.Nini mkanda wa jeshi,kwa nini unatokea na nini kifanyike baada ya kutokea ....

Swali hili kuna mwana JF mmoja alishawahi kuniuliza.Fuatilia post yangu iko page namba
4,reply namba 68 utapata jibu lake.Soma na maelezo mengine pia kwenye reply hiyo ili uongeze
uelewa wako.Pia reply namba 103 na 113 zote zipo page namba 6,hizi zitakusaidia kukuongezea
maarifa zaidi.

 Manchira said:
....1.Kwa nini mtoto inasemekana anazaliwa na maambukizi ya ukimwi......
Umekosea jinsi ya kunukuu huo uongo.Uongo wenyewe uko hivi;"Inasemekana kuna watoto
wanaozaliwa na maambukizi ya VVU/HIV".Ni maambukizi ya HIV na si maambukizi ya
ukimwi.Sasa kuwa makini hapa upate elimu,na kama unamfahamu daktari yeyote
unayemwamini nenda kamuulize haya ninasema hapa halafu msikilize atakujibu vipi;
Ukisoma reply zangu za nyuma utaona nasema kwamba HIV hasababishi ukimwi kama watu
walivyodanganywa hivyo hata kama mtu akipimwa HIV+ sio ishu,ni ulimbukeni tu wa kukosa
elimu.Utaona pia kwamba vipimo vyenyewe vya HIV ni feki na wameweka trick ya kisayansi ili
vilete majibu wanayoyataka,hivyo mtu yeyote yule anaweza kupimwa HIV+ bila kujali kama
yeye ni bikira, aliwahi kupata maambukizi au la,haijalishi,unaweza kuwa HIV+.Hivi wametumia
akili nyingi sana kutudanganya kuanzia kwenye historia ya HIV,Hypothesis yake(yaani HIV
anasababisha ukimwi),Vipimo vyake na dawa zake zinazotumika yaani ARVs,vyote hivi ni feki.
Sasa tuje kwenye swali la msingi;
Wenyewe wanasema hivi;Mtoto anayezaliwa kutoka kwa mama mwenye HIV ana uwezekano
wa kupata HIV kwa 25% tu kama mama yake atakuwa hatumii ARVs,na ana uwezekano wa
kupata HIV kwa 2% kama mama yake atatumia ARVs.Kuna watu humu wana akili za kupinga
tu najua watapinga na hili pia,kabla ya kupinga angalia link hapo chini.Hizi ni data kutoka CDC
marekani.Hawa jamaa wa CDC ndio walioanzisha ile slogan ya "ONE TEST TWO
LIVES",hawa ndio wazee wa slogan za HIV/AIDS,slogan zote tunazozisikia zinaanzishwa na
hawa jamaa ili kuturubuni akili.Hata sheria ya kupima mama wajawazito HIV kwa lazima hapa
kwetu imeanzishwa na hawa jamaa.Nauliza swali "Eti hawa jamaa watakuwa wanatupenda
eeenh,yaani wanatupenda mpaka wanatulazimisha kupima!!!,yaani wana upendo na sisi kuliko
tunavyojipenda wenyewe"
Soma link hapo chini;
OTTL | Campaigns | Act Against AIDS | CDC

Mtoto kama mtu mwingine yeyote yule kama akipimwa HIV,narudia,kama akipimwa HIV kwa
kutumia vipimo hivi ambavyo wameweka trick zao za kisayansi,ana uwezekano wa kumkuta na
HIV.Lakini uwezekano huu hajalishi kama mama yake ana HIV au la.Narudia,mtoto kupimwa
HIV+ hakujalishi kama mama yake ni HIV+ au la,sasa wewe mwenyewe unaweza kujiuliza kwa
nini mtoto awe HIV+ wakati mama yake ni HIV-?Hizo case zipo nyingi tu.

Kama nikiambiwa nitoe uthibitisho,sitatumia data za zamani,nitaanza kufanya vipimo upya vya
watoto wapya waliozaliwa kutoka kwa mama zao ambao ni HIV-.Lazima nitapata watoto ambao
ni HIV+.Nadhani hapa utakuwa unanielewa nikisema kwamba kwa mtu kuwa HIV+ sio ishu,ni
suala la sayansi ya vipimo tu na si uhalisia,na pia HIV huyo wanayemnadi hasababishi ukimwi
kama wanavyosema,hivyo pia mtu kuwa HIV+ tena sio ishu.Mtu anadhoofu kwa matatizo halisi
ambayo yapo kweli kiuhalisia na ukimpa tiba husika anapona kabisa.Ila mbaya zaidi ukimpa
ARVs,ni suala la muda tu mtu huyu lazima afe kwa matatizo yafuatayo;
1.Ugonjwa wa moyo
2.Ini
3.Figo
4.Cancer yoyote
5.Upungufu wa damu

Kama huamini,fanya utafiti wako mwenyewe kwa watu waliozidiwa/wanaoumwa sana


wanaotumia ARVs.Ukimaliza tafiti rudi tena hapa.

Kuna kina mama wamepimwa HIV+ na hawatumii ARVs na wanazaa watoto ambao hawana
huyo HIV.Case hizi zipo nyingi mno.Hawawezi kuelezea kwa nini haya hutokea
pia.Wanajifanya kuangalia upande mmoja tu.Kwa jinsi mtoto anavyokaa tumboni na anavyopata
chakula kwa diffusion kutoka kwa mama yake na mambo mengine lukuki,bado mtoto anatoka
hana maambukizi hata kama mama yake ni HIV+.Hili swali ushawahi kujiuliza?
Unajua hawa jamaa elimu wanayoingiza kwenye vichwa vyetu kupitia vyombo vya habari
inafanya ubongo wetu ujiulize maswali fulani tu na si maswali ya aina nyingine,kwa kifupi
tunasema wametu 'brain wash'.

Sasa ngoja nikwambie kwa nini wanalazimisha mama wajawazito ambao ni HIV+ watumie
ARVs;
Jibu ni kwamba,wanajua sisi tutakuwa na mashaka sana endapo mama mwenye HIV atazaa
mtoto asiye na HIV kwa kuwa hilo si jambo la kawaida,ofcourse,sio la kawaida na ndio uhalisia
ulivyo kwamba case hizo zipo nyingi sana.
Sasa kama mama atatumia ARVs halafu atazaa mtoto ambaye hana HIV akili zetu zitakuwa
tuned kwamba ARVs ndizo zimemuokoa mtoto,lakini ukweli ni kwamba hata mama asipotumia
ARVs chance ni ileile.Chance ya mtoto kuwa HIV+ haichangiwi na mama kutumia au kutotumia
ARVs bali huchangiwa na vipimo vya HIV.Fanya utafiti utajua tu.

 Manchira said:
.....3.Inasemekana ukisex na mtu ambaye ana maambukizi na ukawa na wasiwasi kwamba unaweza
ambukizwa kuna dawa ukimeza (nafikiri ARV,sina hakika) ndani ya masaa 48 zinakinga,nini lengo lao hapa?
Dawa hizi zinaitwa PEP(Post/Pre exposure prophylaxis ),mojawapo ya dawa hizi ni
truvada.Fahamu kwamba mkuu wa Centre for infectious disease control(CDC) mshenzi Antonio
Faucci anataka dawa hizi ziwe zinatumika kila siku watu wanapotaka kujamiiana.Kuna jambo
hapa muhimu,lakini refu kidogo ngoja nilipotezee.
Wanatudanganya kwamba ukimeza dawa hizi ndani ya masaa 72 zinakukinga dhidi ya
maambukizi ya HIV.Mkuu hapa tunarudi kwenye concept ileile ya kuwapa mama wenye mimba
ARVs ili kuzuia watoto wao wasipate maambukizi.Wanajua kwamba mtu anaweza kufanya
ngono bila kinga na mtu mwenye HIV zaidi ya mara 200 na asipimwe HIV+,hizi wanatumia
mwanya huu kurubuni akili zetu ili ukimeza dawa hizo halafu ukipimwa HIV- ushangilie
kwamba dawa hizo ndio zime kusevu/kukuokoa na kwenye ubongo wako utajenga imani hiyo na
hamna mtu atakayeweza kubadili imani yako hiyo.Kumbe HIV huyu feki kamwe haambukizwi
kwa njia ya ngono kama tulivyodanganywa.
Lengo lao lingine ni lilelile maalum la kuuza dawa za ARVs.Na ndio maana Antonio Faucci
anafanya kampeni ili dawa hizi ziwe zinatumika kila mara watu wanapotaka kufanya ngono
zembe.Ila nimemsikia daktari mmoja hapa kwetu akipingana na maelezo hayo ya Antonio Faucci
kwamba yeye, huyu daktari wa bongo hakubaliani na hilo kwa kuwa dawa hizi zinapotumika
muda mrefu zina madhara hatari mwilini,nilifarijika sana kusikia anasema hivyo kwa kuwa sasa
watanzania tunaanza kufunguka.Ningekuwa nakumbuka nakala ile ya gazeti la Mwananchi
ningewawekea hapa msome wenyewe.

Ndugu yangu,haya mambo ni mazito na pia ni mengi sana na yote yana ukweli usiopingika ndani
yake,inahitaji uwe jasiri wa kudadisi na kujitoa muda wako.Wachache sana wenye uwezo wa
kufanya hivyo na ndio maana Ugonjwa huu wa ARVs/AIDS(sijakosea,ninamanisha kweli
ARVs/AIDS na sio HIV/AIDS) hautaisha leo wala kesho.
Ukimwi huambukizwa kwa njia ya michubuko au vidonda ukeni au kwa kwenye uume,
inashauriwa umwandae mkeo vizuri ukihakikisha ametoa maji maji ukeni na wewe vile vile ili
kulainisha pindi ufanyapo tendo, kumbuka yale maji yana aina fulani ya uterezi ambayo husaidia
musuguano usiwepo. Kwa wale wanaopenda kitu mnato pia ni hatari sana maana mwanamke
huwa ajamwaga au hajahisi hamu ndio maana ile sehemu ni kavu.
Ninae rafiki ambae yupo kwenye ndoa na mke mwenye hilo tatizo tangia 2009 na wamezaa
mtoto hana virusi pia yeye hana virusi kabisa na alimwoa huyo dada akiwa mwatilika tayari na
anatumia vidonge na Alianza kutumia vidonge hivyo wakati akiwa mjamzito kwa ushauri wa
madactari ili kumkinga mtoto.
Rafiki alinieleza kwamba huwa hatumii condom kwasababu haoni tija yake, kikubwa yeye huwa
makini katika kumuandaa mwanamke ili asiweze kuambukizwa.
 Ahsante!

Na vipi kuhusu hizi kondomu hazijatiwa sumu kweli ns hawa jamaa?

Sijafanya utafiti huo bado,hivyo sina jibu sahihi kwenye hili.Kuhusu nilichokujibu mwanzo
angalia post namba 135 ya mwana JF mwenzetu ili ujithibitishie mwenyewe baadhi ya vifungu
nilivyotoa mimi kwenye maelezo yangu.
ukimwi huambukizwa kwa njia ya michubuko au vidonda ukeni au kwa kwenye uume, inashauriwa umwandae
mkeo vizuri ukihakikisha ametoa maji maji ukeni na wewe vile vile ili kulainisha pindi ufanyapo tendo, kumbuka
yale maji yana aina fulani ya uterezi ambayo husaidia musuguano usiwepo. Kwa wale wanaopenda kitu mnato pia ni
hatari sana maana mwanamke huwa ajamwaga au hajahisi hamu ndio maana ile sehemu ni kavu.
Ninae rafiki ambae yupo kwenye ndoa na mke mwenye hilo tatizo tangia 2009 na wamezaa mtoto hana virusi pia
yeye hana virusi kabisa na alimwoa huyo dada akiwa mwatilika tayari na anatumia vidonge na Alianza kutumia
vidonge hivyo wakati akiwa mjamzito kwa ushauri wa madactari ili kumkinga mtoto.
Rafiki alinieleza kwamba huwa hatumii condom kwasababu haoni tija yake, kikubwa yeye huwa makini katika
kumuandaa mwanamke ili asiweze kuambukizwa.
Click to expand...

Kama una nia ya kujua ukweli tofauti na yale tuliyoambiwa kuhusu HIV/AIDS,fuatilia reply
zangu na hasa reply namba 134.Hapa utapata reply nyingine ndani yake ambazo kama utafuatilia
vizuri ukiwa na mlengo wa kulia basi utajua kwamba haya unayoyajua sasa hayako kama
ulivyoambiwa.
Nimekufuatilia vizuri sana ila unapaswa kutueleza kuhusu ukimwi zaidi maana hiv umefafanua
tayari mkuu
 lutemi said:
Nimekufuatilia vizuri sana ila unapaswa kutueleza kuhusu ukimwi zaidi maana hiv umefafanua tayari mkuu

inaonekana una busara sana na unapenda kujua vitu tusubiri mkuu aje atupe darasa
Mkuu nachojua unaweza kupima na ukakutwa ni HIV+ lakini ukashauriwa usianze kutumia
ARVs kwakua kinga yako haijashuka sana,,ila unashauriwa kujenga afya yako na kupima
kiwango cha kinga yako mara kwa mara ili kujua siku unayoweza kuaanza kutumia ARVs...hii
ikoje?
 lutemi said:
Ukimwi huambukizwa kwa njia ya michubuko au vidonda ukeni au kwa kwenye uume, inashauriwa umwandae
mkeo vizuri ukihakikisha ametoa maji maji ukeni na wewe vile vile ili kulainisha pindi ufanyapo tendo, kumbuka
yale maji yana aina fulani ya uterezi ambayo husaidia musuguano usiwepo. Kwa wale wanaopenda kitu mnato pia ni
hatari sana maana mwanamke huwa ajamwaga au hajahisi hamu ndio maana ile sehemu ni kavu.
Ninae rafiki ambae yupo kwenye ndoa na mke mwenye hilo tatizo tangia 2009 na wamezaa mtoto hana virusi pia
yeye hana virusi kabisa na alimwoa huyo dada akiwa mwatilika tayari na anatumia vidonge na Alianza kutumia
vidonge hivyo wakati akiwa mjamzito kwa ushauri wa madactari ili kumkinga mtoto.
Rafiki alinieleza kwamba huwa hatumii condom kwasababu haoni tija yake, kikubwa yeye huwa makini katika
kumuandaa mwanamke ili asiweze kuambukizwa.
Click to expand...

Mweh! na katika majimaji hayohayo ya ukeni ndo tunaambiwa vidudu hivi vinapenda kuishi
ukiachilia kwenye damu. Hii sayansi inahitaji unyambulifu wa hali ya juu kwakweli.
 ankol said:
Mweh! na katika majimaji hayohayo ya ukeni ndo tunaambiwa vidudu hivi vinapenda kuishi ukiachilia kwenye
damu. Hii sayansi inahitaji unyambulifu wa hali ya juu kwakweli.
mkuu hapo ndo nauliza kwenye majimaji ya mdomoni (mate)namo vipo??na kwenye machozi
je???
 ankol said:
Mweh! na katika majimaji hayohayo ya ukeni ndo tunaambiwa vidudu hivi vinapenda kuishi ukiachilia kwenye
damu. Hii sayansi inahitaji unyambulifu wa hali ya juu kwakweli.

Unyambulifu upo humuhumu lakini hamuuoni,ukiwa na nia ya kuuona utauona tu.

 Troojan said:
mkuu hapo ndo nauliza kwenye majimaji ya mdomoni (mate)namo vipo??na kwenye machozi je???
Hata kama vikiwepo halafu vikawa havina madhara je,kuna haja ya kujua uwepo wake?

Ndugu zangu,ninawasihi sana tusome.Elimu yote ya kweli kuhusu mambo haya ipo humuhumu
lakini watu wanai bypass.Siko hapa kumlazimisha mtu yeyote kuamini hiki ninachoelezea kwa
kuwa kila mtu ana mawazo yake,lakini nina uhakika kama watu wataamua kufuatilia haya
niliyoeleza humu kwa makini,lazima watauona ukweli.

Tupende kuwa na mazoea ya kuangalia upande wa pili wa shilingi,hii itatusaidia kujua ukweli
wa jambo lolote lile.Lakini tuking'ang'ania upande mmoja tu kamwe hatuwezi kubadilika
kiuelewa.

Jamani huwa nasisitiza siku zote kwamba hawa jamaa wametudanganya katika kila nyanja ya
ugonjwa huu feki kwa madhumuni ya kufanya biashara ya dawa,lakini watu wanadharau.Mimi
nimesoma sana mambo haya,nimefanya tafiti,nimetembelea clinics,nimeuguza watu wanaotumia
dawa hizi za ARVs.

Sisemi haya mambo kwa hisia bali hii ni sayansi ya kweli kabisa hata wenyewe waliotudanganya
wanalijua hili ila wameamua kuwa kichwa ngumu kwa kuwa wana uhakika hata kama wachache
wanajua ukweli lakini bado wapo wengi wajinga na hasa katika nchi zinazoendelea kama yetu
Tanzania.Fungukeni jamani jambo hili ipo siku litakuja kuwaathiri ninyi au ndugu zenu.Mbona
elimu ya bure ipo hapa jamani?

Isitoshe ukweli huu nimeupata kutoka kwa madaktari wazito duniani na wengine wana nobel
prizes.Madaktari hawa wameshindwa kuvumilia kukaa kwenye kundi moja na wenzao ambao
ndio hawa wanaofanya biashara hii,wakaamua kujitenga na kueleza ukweli.Mwanzoni hawa
wote walikuwa wanafanya kazi pamoja,je,hamuoni kwamba kuna ukweli hapo.

Madaktari wale wanaopinga wamepata wakati mgumu sana wa kuandamwa na baadhi kuna
ushahidi wa kimazingira kabisa kwamba wameuawa.Tuzinduke jamani kutoka katika kifungo
hiki,bado tuna mawazo ya kizamani sana.Mimi silipwi kupoteza muda wangu kushiriki nanyi
hiki ninachokijua,ingekuwa nalipwa au natangaza biashara mngepata sababu ya kusema,lakini
silipwi,je,hamuoni bado kwamba huu ni upendo wa bure tu kwa ndugu zangu?
 lutemi said:
Nimekufuatilia vizuri sana ila unapaswa kutueleza kuhusu ukimwi zaidi maana hiv umefafanua tayari mkuu

Ukimwi=Upungufu wa kinga mwilini,ukimwi hauambukizwi kwa jinsi yoyote ile kutoka kwa
mtu mmoja kwenda kwa mwingine,asilan abadani hauambukizwi.Ukimwi ulikuwapo karne
nyingi zilizopita kabla ya hata mwaka 1984 baada ya kutangazwa kwa HIV feki.Ukimwi si
jambo la kutisha/kutishia maisha kama utajua sayansi yake kwa maana ya chanzo na jinsi ya
kukikabili.Ukimwi unatibika kirahisi sana tena kuliko magonjwa mengi sana na ukimwi
hausababishwi na HIV kama tulivyoaminishwa huko nyuma.
Sababu zinazosababisha ukimwi ziko nyingi sana.Katika hizi sababu nyingi HIV hayumo.Na
ndio maana kuna wakati nasema sababu kubwa inayosababisha ukimwi ni lifestyle;

1.Malnutrition/utapiamlo,
2.Oxdative stress,
3.Repeated infections
4.Ukosefu wa maji safi ya kunywa
5.Alcohol abuse
6.Frequent use of drugs(eg antibiotics,diclofenac,ARVs,contraceptive
pills,chemotherapy,radiations etc),
7.Frequent use of drugs(heroin,cocaine etc )
8.Stress/msongo

Ukimwi humtokea mtu yeyote wakati wowote,na wakati mwingine ukimwi hutoweka wenyewe
bila hata mhusika kujijua,endapo tu atabadilisha lifestyle.Kila mtu alishawahi kupata ukimwi
wakati fulani wa maisha yake,na ndio maana kuna wakati tunaumwa magonjwa ya kuambukizwa
mara kwa mara halafu kuna wakati tunakaa muda mrefu sana bila kuumwa.Mwili hujikinga kwa
namna tofauti tofauti kulingana na ugonjwa.Lakini endapo kinga itashuka kidogo basi ni rahisi
kushambuliwa na magonjwa ya kuambukizwa au yasiyoambukizwa kama cancer.
Leo hii tumekuwa brainwashed na tunauona ukimwi ni ugonjwa wa kutisha sana tofauti na
kipindi cha nyuma,watu watakuona wewe umechanganyikiwa kama utasema kwamba ukimwi
hautishi na wala hauambukizwi.Jamaa hawa wamefanikiwa sana kuturubuni akili zetu.Njia
wanazozitumia kurubuni akili zetu ni very scientific,kwa akili za watu wengi na hasa sisi weusi
si rahisi kung'amua uongo huu wa kisayansi,wametumia sayansi kubwa sana kutudanganya.

Sasa kama una swali kuhusu ukimwi zaidi ya hayo niliyoeleza,kuwa huru,nakukaribisha.
 
 Habari ya Mujini said:
Mkuu nachojua unaweza kupima na ukakutwa ni HIV+ lakini ukashauriwa usianze kutumia ARVs kwakua kinga
yako haijashuka sana,,ila unashauriwa kujenga afya yako na kupima kiwango cha kinga yako mara kwa mara ili
kujua siku unayoweza kuaanza kutumia ARVs...hii ikoje?

Samahani nilipitiwa kidogo;

Sina uhakika vituo ulivyotembelea wewe kutafiti.Lakini ninachojua mimi siku hizi
wamebadilisha utaratibu.

Siku hizi ukikutwa tu HIV+ hapohapo unapewa zigo la dawa bila kujali kama kinga yako iko juu
au la,labda vituo vingine ambavyo sijawahi kufika inaweza ikawa tofauti.

Na kuna uwezekano mkubwa wamefanya hivyo kwa uzoefu kwamba siku hizi watu wameuzoea
ungonjwa huu(kwangu mimi ni feki) hivyo hata mtu akiambiwa ni HIV+ huwa hapati msongo
sana kama kipindi kile cha miaka ya nyuma,huwa atachukulia poa tu ndio imetokea halafu
anaendelea na shughuli zake,sasa watu kama hawa wakishauriwa kula vizuri kinga zao hazishuki
chini ya kiwango cha kuanza kutumia ARVs kwa sababu hawana msongo wa mawazo.

Sasa hili si jambo jema kwa wauza ARVs kwa kuwa wale wanaotegemewa kinga zishuke ili
waanzishiwe dawa kinga zao hazishuki hivyo wanakosa wateja.Na ndio maana wakaamua kuja
na utaratibu mpya,ukipimwa HIV+ tu,unabebeshwa zigo lako hapohapo.Lakini kama kweli HIV
angekuwa ndiye anayehusika kushusha kinga ya mwili,watu hawa lazima wangerudi mapema
kuanzishiwa dawa,lakini ukweli hauko hivyo,na ndio maana kuna wakati nilisema kwamba kuna
watu wengi sana duniani ambao wana HIV lakini hawana AIDS,kwa afrika peke yake ni
97%.Yaani 97% ya watu wenye HIV,hawana AIDS.Baada ya kupata takwimu hizi WHO
wakaamua kubadili utaratibu.Hebu fanya tafiti tena halafu uje unijuze na mimi kama
wamebadilisha tena.Lakini sasa iko hivyo.Ukiwa HIV+ hapohapo unaondoka na zigo lako la
ARVs ukahangaike nalo.

Mwanzo waliweka CD4 zikiwa chini ya 250 cells/mm3,wakaona hailipi,wakapandisha kufikia


350 cells/mm3 nayo wakaona hailipi sasa wamepandisha kuwa 500 cells/mm3 sehemu nyingi
tu.Wanabadilisha vigezo kila wakati ili kukidhi vigezo vya kutengeneza faida.

Na sasa hivi wameweka vigezo vingine ili kulazimisha watu waanze kutumia ARVs
mapema,wameweka criteria kibao siwezi kuzitaja zote.Mojawapo wanasema inabidi uanze
mapema ili kupunguza uwezekano wa kuambukiza wengine,hii sanasana iko kwa kina mama
wajawazito,wanaonyonyesha,watoto chini ya miaka 5 nk,hapa hawajali CD4 zako ziko vipi.Pia
kuna criteria kibao ambazo ukizifuatilia vizuri utaona kwamba kila mtu anaingia katika mkumbo
huo wa kuanzishwa mapema ARVs.

Sasa jiulize,kwa nini criteria zibadilike kila kukicha ilihali ugonjwa huu una miaka mingi sana
sasa?Kama uko vyema ni rahisi sana kugundua uongo wao.Na ndio maana huwa nasema suala
hili ni pana sana,hawa jamaa wanafanya kazi usiku na mchana kutunga mambo mapya ili kutetea
biashara yao.Kuna mengi sijayaeleza hapa kuhusu hili swali lako,lakini hayo tu niliyoeleza
ukitaka kujua kwamba wametudanganya utajua tu kwa kujiuliza maswali ambayo hayana majibu
na hata hao wenyewe hawana majibu.

Ngoja nikwambie kitu;Kwenye dunia ya leo haijalishi kama una evidence au la,haijalishi kama
unachosema kina mantiki au la,kinachoangaliwa katika dunia ya leo sio ukweli ulivyo bali ni
jinsi maslahi yalivyo.

Ukiwa kwenye panel unafanya debate na watu wanaokupinga halafu ukatoa


evidence,wanaokupinga pia wanajua kwamba wewe unasema kweli na wanajua pia kwamba
evidence unayotoa hapingiki lakini watacheka tu na kuendelea na shughuli zao kama ilivyo
kawaida.

Ukijua ukweli wa mambo mengi ulivyo kwenye dunia hii ni raha kwako binafsi kwa kuwa
utakuwa huru lakini kwa upande mwingi utaishi kwa majonzi sana kama kweli una upendo na
wengine na unataka wengine wajue lakini hawakupi nafasi ya kukusikiliza au jamii
inayokuzunguka inakucheka ili hali unachoeleza wewe ni ukweli mtupu.
Mkuu nashukuru kwa ufafanuzi..

 Manchira said:
Kuna kitu najiuliza.Kama hawa wazungu wanetegemea faida kwenye mauzo ya hizi dawa mbona Serikali zao ndio
bado zinatumia fedha nyingi kugharamikia hii ishu?

Ni kwamba na wao hawajui kinachoendelea au wanafahamu ila wanacholeta kwa mgongo wa msaada ni kidogo
sana kulingana na wanachopata?

Na je huko ulaya na marekani wananchi hawashauriwi kupima HIV? Vp kwa wajawazito wakati
wa kujifungua?
 Habari ya Mujini said:
Na je huko ulaya na marekani wananchi hawashauriwi kupima HIV? Vp kwa wajawazito wakati wa kujifungua?

Marekani ni lazima upimwe ukimwi ukiwa mjamzito, utake usitake.

jamani ukimwi unaepukika, it takes 2 minutes kumpima mtu. ukiona anajidai alishapima na
hataki kupima tena akiwa na wewe, achana naye. siyo lazima kulala naye halafu baada ya hapo
pressure ikapanda. ni good habit kupima kila mwaka especially kama uko sexually active
Deception
Bravoo!
Mkuu upo vizur.
Cheki hii true story iliyotwist brain yangu.
Kuna jamaa yangu mwaka 2013 mwishoni aliambukizwa HIV(feki) kwa makusudi na
mwanamke wake wakati huo akitumia ARV kisha kumwambia akapime ili aanze dozi maana
keshakufa. Akaanza kuharisha, mara kakonda, vipele havikuchelewa, Akanifuata kwa ushauri
sababu alipanic, moja kwa moja kupima kweli akakuta anao (HIV+feki) wakampa hapo hapo
dozi. tuliporudi nikamuacha home apumzike nikaenda kijiweni na kuwakuta jamaa (huwa
wanaenda kwa madiba na kurudi) wakibishana juu ya aids.

Walisema muhimu ni kupima magonjwa haya; pneumonia, malaria,TB.usijaribu kumeza ARV!


na ukiwa na moja kati ya hayo yatibu kisha kula mlo kamili ndani ya mwezi kisha kapime tena.!
Basi nikampelekea jamaa yangu huo ushauri na kwa shingo upande akaufuata akaenda kupima
kesho yake akakutwa na pneumonia akapewa dawa zake baada ya wiki 2 akaanza kula chakula
kamili, matunda mengi.

Huwezi kuamini baada ya mwezi na wiki 1 tukaenda palepale alipopima na kukutwa yupo HIV-
yenyewe wale wapimaji walishangaa maana walijua kafuata dozi ingine. Hivi sasa ameoa na ana
watoto wawili as always yupo negative. Hapo ndipo nikaanza kuhisi conspiracy flani hivi.
Nina swali moja;

Kuna suala nahitaji ufahamu kidogo..

Je ukitembea peku na mtumiaji wa arvs kuna side effects? Kama zipo nitajie.
 Manchira said:
Kuna kitu najiuliza.Kama hawa wazungu wanetegemea faida kwenye mauzo ya hizi dawa mbona Serikali zao ndio
bado zinatumia fedha nyingi kugharamikia hii ishu?......

Hata wewe ukiona biashara yako inalipa vizuri lazima utawekeza zaidi.

 Manchira said:
.....Ni kwamba na wao hawajui kinachoendelea au wanafahamu ila wanacholeta kwa mgongo wa msaada ni kidogo
sana kulingana na wanachopata?
Exactly!!Ulichosema hapo kwenye nyekundu ndio ukweli wenyewe.
Lakini nakusahihisha kidogo.Hawaleti msaada,tunalipia vyote hivyo,lakini wewe umeambiwa na
vyombo vyako vya habari kama ni msaada.Hata rais wako anajua kwamba si msaada,wananchi
ndio wanajua kwamba ni msaada.Niikulize kitu hapa;
Mimi nikija kukupa msaada wa Tshs 2mil kama msaada wa kumuuguza mjomba wako halafu
nikakupa mkataba uweke sahihi/saini yako kupokea kiasi hicho cha fedha,Je,huo utakuwa ni
msaada?Toka lini mtu unasaini kupokea msaada?Ok,hii ishu ya misaada kutoka nje nayo ni topic
kubwa,hebu tuachane nayo.Natumaini umenielewa.
 Habari ya Mujini said:
Na je huko ulaya na marekani wananchi hawashauriwi kupima HIV? Vp kwa wajawazito wakati wa kujifungua?

Sheria/slogan zote ambazo ziko huku kwetu bara la giza, na ulaya pia zipo.Ila tofauti kubwa ipo
kwenye uelewa.

Asilimia kubwa ya wazungu wanaelewa ukweli huu kuhusu HIV/AIDS kama ni ugonjwa
feki,kama huamini muulize jamaa yako yeyote anayeishi ulaya/marekani akufanyie utafiti
mdogo tu.
Kinachofanyika kule sasa hivi ni maigizo ya HIV/AIDS kama vile kuunda vikundi/NGO za
mambo hayo ili kurubuni akili za mwafrika na nchi zinazoendelea, maana ndiko kwenye soko
kubwa kwa sasa.
D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 9, 2015


 #155

 MatikaC said:
Marekani ni lazima upimwe ukimwi ukiwa mjamzito, utake usitake....

Uko sahihi.

 MatikaC said:
...jamani ukimwi unaepukika, it takes 2 minutes kumpima mtu....
Ni kweli ukimwi unaepukika.Lakini si kweli kwamba kwenye vituo vya upimaji wanapima
ukimwi.Hawapimi ukimwi bali wanapima VVU/HIV(feki).

 MatikaC said:
.....ukiona anajidai alishapima na hataki kupima tena akiwa na wewe, achana naye. siyo lazima kulala naye halafu
baada ya hapo pressure ikapanda. ni good habit kupima kila mwaka especially kama uko sexually active
HIV/AIDS haiambukizwi, na haiambukizwi kwa njia ya ngono.Hata ukinywa damu ya mtu
uliyeambiwa ni HIV+ hutapata HIV/AIDS kamwe.
HIV/AIDS is a mindset disease.Ulichoambiwa miaka 30 iliyopita kuhusu HIV/AIDS sio
kweli,HIV(feki) hasababishi AIDS/Ukimwi.Jitahidi kusoma ndugu yangu ili ujue na upande wa
pili kuna nini,ondoka gizani uje kwenye mwanga.

SOMA UJIKOMBOE.

 Reactions:Duke Tachez

Scatter
JF-Expert Member
Joined Feb 15, 2013
 1,356   1,500
May 9, 2015


 #156

Ukofanya mapenzi na mtu anayetumia ARV utapata nn


D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 9, 2015


 #157

 Gamba la Nyoka said:


Kuweni Makini na Maelezo ya Deception. HIV yupo, na anashambulia kinga ya mwili na kupelekea UKIMWI,
achaneni na hizi conspiracy theories zake . Nadhani almost kila mtu ashaona/Uguza mtu mwenye UKIMWI.....

Wewe ukiendelea kuwa na mlengo huo kamwe huwezi kuelewa.Nilishakwambia mara nyingi
kwamba using'ang'anie kukumbatia jambo ambalo hulielewi,jitahidi kusoma na kufuatilia
upande wa pili una facts gani.Unasema vitu kwa hisia tu pasi na uthibitisho,nimekupa uthibitisho
mwingi tu husomi,unakumbatia elimu rasmi.Sasa kati ya mimi na wewe nani anafanya
conspiracy?Unakuja kwenye uzi huu kwa kunyemelea,unadokoa kidogo,ukipewa facts
unapotea.Huna evidence ya kile unachokisema zaidi ya hisia na ukosefu wa knowledge
sahihi.Mimi nimeshauguza hao wagonjwa sana kuliko wewe unavyodhani,hivyo najua sababu
halisi iliyowasumbua na si ile unayoijua wewe.Mimi nilikuwa nauguza nikiwa na open mind na
kufanya tafiti wakati huohuo,wewe ulikuwa unauguza ukiwa gizani hivyo hukuweza kung'amua
chochote zaidi ya kile ulichodanganywa.

1.Thibitisha kwamba HIV yupo.


2.Thibitisha kwamba HIV anashambulia kinga ya mwili.

 Gamba la Nyoka said:


...Iwapo HIV hana madhara iweje tushuhudie mtu ambaye naye alikuwa na mpenzi aliyekufa kwa AIDS kutokana
na HIV kumshambulia na yeye baada ya muda fulani aanze kudevelop dalili za AIDS?....
JIBU:
Kushuhudia si suala la msingi,suala la msingi ni kujua sababu iliyosababisha uone kile
unachokishuhudia.Kama sio open minded na sio mdadisi wa kila ulichokishuhudia,kamwe
huwezi kung'amua ukweli uliojificha.Elimu ipo wazi hapa lakini hutahi hata
kuigusa,unakimbiakimbia tu,ushindani hautakupeleka popote,soma ndugu yangu upevuke
kiuelewa.Kwanini uko hivyo ndugu?

 Gamba la Nyoka said:


....HIV inashambulia kinga na kupelekea magonjwa nyemelezi kama vile carposis sarcoma, TB, Shingles n.k
kujitokeza....
Haha haaa....Ndugu yangu unanichekesha sana wewe.Sikulaumu sana wewe kwa maana hivyo
ndivyo ulivyofundishwa kutoka kwenye vyombo rasmi kutoka kwa Obama,na ndivyo
unavyoamini.Hebu tuchukulie carposis sarcoma peke yake kuokoa muda;
Carposis sarcoma haisababishwi kama wewe unavyoamini,sababu yake ni nyingine kabisa,na
ndio maana huwa nakusisitiza upende kusoma.Kwa sababu wewe umekaa kiubishi zaidi,sina
budi kukuomba uthibitishe unachosema halafu na mimi nitakuletea uthibitisho wa kisayansi
ugonjwa huu unasababishwa na nini tofauti na ulivyoaminishwa.
Fahamu kwamba,wakati unaleta maelezo yako ujue kabisa kwamba carposis sarcoma ni
cancer.Sijui kama umeng'amua kitu hapo.Nakusubiri tuwathibitishie wana JF ni nani mwana
maconspiracy kati ya mimi na wewe.

 Gamba la Nyoka said:


...... laiti HIV angekuwa harmless haya yasingetokea
Unakumbuka data niliyotoa kwamba 97% ya watu wenye HIV(feki) (kwa miaka mingi) Afrika
hawana AIDS?Unaweza kung'amua kitu hapo?Hii ni data ya 'miungu' wako WHO.

Na ndio maana mwanzo nilisema,siku hizi cha msingi sio scientifc evidence,bali cha msingi ni
maslahi.Watu hukimbilia kuomba evidence lakini wakipewa evidence hawasomi kwa kuwa
wakisoma na kuelewa watapoteza ushindi mbele ya watu.Hivyo kwa kuogopa kushindwa(kwa
sababu wamejikitika kupinga) huwa wanaomba evidence kama mtego tu na si kwamba
wanahitaji kweli hizo evidence kujiridhisha.Wewe ndio uko hivyo.
D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 9, 2015


 #158

 arafa255 said:
Bravoo!
Mkuu upo vizur.
Cheki hii true story iliyotwist brain yangu.
Kuna jamaa yangu mwaka 2013 mwishoni aliambukizwa HIV(feki) kwa makusudi na mwanamke wake wakati huo
akitumia ARV kisha kumwambia akapime ili aanze dozi maana keshakufa. Akaanza kuharisha, mara kakonda,
vipele havikuchelewa, Akanifuata kwa ushauri sababu alipanic, moja kwa moja kupima kweli akakuta anao
(HIV+feki) wakampa hapo hapo dozi. tuliporudi nikamuacha home apumzike nikaenda kijiweni na kuwakuta jamaa
(huwa wanaenda kwa madiba na kurudi) wakibishana juu ya aids. Walisema muhimu ni kupima magonjwa haya;
pneumonia, malaria,TB.usijaribu kumeza ARV! na ukiwa na moja kati ya hayo yatibu kisha kula mlo kamili ndani
ya mwezi kisha kapime tena.! Basi nikampelekea jamaa yangu huo ushauri na kwa shingo upande akaufuata
akaenda kupima kesho yake akakutwa na pneumonia akapewa dawa zake baada ya wiki 2 akaanza kula chakula
kamili, matunda mengi. Huwezi kuamini baada ya mwezi na wiki 1 tukaenda palepale alipopima na kukutwa yupo
HIV- yenyewe wale wapimaji walishangaa maana walijua kafuata dozi ingine. Hivi sasa ameoa na ana watoto
wawili as always yupo negative. Hapo ndipo nikaanza kuhisi conspiracy flani hivi.
Nina swali moja;
Kuna suala nahitaji ufahamu kidogo..
Je ukitembea peku na mtumiaji wa arvs kuna side effects? Kama zipo nitajie.
Click to expand...

Siku moja nilikuwa nawaelezea watu kuhusu Thabo Mbeki,kisa kilichomfanya angolewe
madarakani kabla ya kumaliza muda wake.Hao jamaa walichokipata South Africa ndio matokeo
ya elimu aliyoitoa Thabo Mbeki kwa wananchi wake ambayo ndio imempelekea yeye angolewe
madarakani na kuwekwa chizi Zuma ili aokoe jahazi la biashara ya ARVs linalozama.
Wewe ni mmoja wa mashuhuda kwa sababu umejionea mwenyewe baada ya kufanya kwa
vitendo.Lakini pamoja na evidence hiyo,bado watu wataendelea kung'ang'ania
walichoaminishwa hata kama wameuona ukweli huu unaoeleza wewe.Kwa kuwa siku hizi
evidence sio ishu,ishu ni maslahi.Hata hao waliompima bado hawataamini ukweli huo,hii ni
kasumba mbaya sana.Pia inabidi ufahamu kwamba jamaa yako hakuwa HIV+ eti kwa sababu
alitembea na mtu ambaye ni HIV+,la hasha.Mtu yeyote anaweza kupimwa HIV+ hata kama yeye
ni bikira,suala la msingi hapa lipo kwenye sayansi ya vipimo,vipimo hivi nilishasema mwanzo
kwamba viko very tricky.Mtu yeyote anaweza kupima HIV+ kwa vipimo hivi.
Ukitembea peku na mtu anayetumia ARVs hamna side effects zozote.Labda sanasana utakuwa
mwoga tu wakati wa kufanya tendo lenyewe.

 Reactions:arafa255

Econometrician
JF-Expert Member
Joined Oct 25, 2013
 9,947   2,000
May 9, 2015


 #159

 arafa255 said:
Bravoo!
Mkuu upo vizur.
Cheki hii true story iliyotwist brain yangu.
Kuna jamaa yangu mwaka 2013 mwishoni aliambukizwa HIV(feki) kwa makusudi na mwanamke wake wakati huo
akitumia ARV kisha kumwambia akapime ili aanze dozi maana keshakufa. Akaanza kuharisha, mara kakonda,
vipele havikuchelewa, Akanifuata kwa ushauri sababu alipanic, moja kwa moja kupima kweli akakuta anao
(HIV+feki) wakampa hapo hapo dozi. tuliporudi nikamuacha home apumzike nikaenda kijiweni na kuwakuta jamaa
(huwa wanaenda kwa madiba na kurudi) wakibishana juu ya aids. Walisema muhimu ni kupima magonjwa haya;
pneumonia, malaria,TB.usijaribu kumeza ARV! na ukiwa na moja kati ya hayo yatibu kisha kula mlo kamili ndani
ya mwezi kisha kapime tena.! Basi nikampelekea jamaa yangu huo ushauri na kwa shingo upande akaufuata
akaenda kupima kesho yake akakutwa na pneumonia akapewa dawa zake baada ya wiki 2 akaanza kula chakula
kamili, matunda mengi. Huwezi kuamini baada ya mwezi na wiki 1 tukaenda palepale alipopima na kukutwa yupo
HIV- yenyewe wale wapimaji walishangaa maana walijua kafuata dozi ingine. Hivi sasa ameoa na ana watoto
wawili as always yupo negative. Hapo ndipo nikaanza kuhisi conspiracy flani hivi.
Nina swali moja;
Kuna suala nahitaji ufahamu kidogo..
Je ukitembea peku na mtumiaji wa arvs kuna side effects? Kama zipo nitajie.
Click to expand...

mkuu alianza kupata hzo effcts baada ya kutembea na mtu mwenye ukimwi (ambao ni feki) au
alikuwa tayari amisha anza kutokana na ugonjwa alio kwenda kupima badaye na kugundulika
anao

Amaizing
JF-Expert Member
Joined May 3, 2013
 3,560   2,000
May 9, 2015


 #160

 Econometrician said:
mkuu alianza kupata hzo effcts baada ya kutembea na mtu mwenye ukimwi (ambao ni feki) au alikuwa tayari
amisha anza kutokana na ugonjwa alio kwenda kupima badaye na kugundulika anao
Me nadhan huyo jamaa baada ya kugundua mpenz wake anatumia ARV alipata stress na ndiyo
iliyomshusha kinga za mwil.na kinga za mwili zikishuka utapata magonjwa kwa urahisi...
 arafa255 said:
Unajua kuna muda hofu inaweza kukuangamiza. Ipo hivi huyo ndugu yangu ni mtu wa kusafiri dar-mbeya na hiyo
pneumonia aliipatia mbeya ila hakuitambua mapema sasa aliporudi dar yule mwanamke wake
akamuambukiza(HIV+) baada ya kuelezwa akaanza kuwa na hofu kubwa pamoja na kuanza vilevi (huku pneumonia
ikiendelea kudevelop) ndipo symptoms zikajitokeza.

Bravoo!
Kila kitu kinaelezeka kwa mantiki yake endapo watu watataka na watakuwa na nia ya
kuelewa.Kama watu hawatapenda kuwa wadadisi na watachukulia mambo juu juu basi kila kitu
watamsingizia huyu HIV(feki).Safi sana arafa,flow nzuri sana yenye mashiko.

-Alipata pneumonia=kukohoa,homa za mara kwa mara,kifua kuuma,moyo kwenda


mbio,kuharisha nk.
-Baada ya kujua mke wake ni HIV+ akaanza kuwa na hofu=MSONGO WA MAWAZO
HUSHUSHA KINGA
-Baada ya kujua mke wake ni HIV+ akaanza vilevi=VILEVI HUSHUSHA KINGA

Mkuu,waambie wana JF pia kwamba mwanzo alipimwa HIV+ lakini baada ya kushughulikia
taarifa uliyompa alipima tena na kukutwa HIV-,rudia kuwaambia kwa mkazo zaidi.Penda
kuirudia hii mara kwa mara kwa mtu yeyote anayepinga ili akupe jibu kwa nini imetokea hivyo.

 Reactions:amaizing, Ibn Khalidoun, Troojan and 1 other person

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 9, 2015


 #164

 naa said:
I wish ningeyajua haya mapema,katka ukoo wetu tumepoteza ndugu zetu wengi kwa ukimwi yaan had nawazaga
pengine tuna laana,.......

Hapana sio laana,ni kwa sababu ukoo wenu mnapenda sana kupima HIV.Mtu yeyote anayependa
kupima HIV hata akiambiwa HIV- lakini ipo siku atapata majibu ya HIV+.Suala hapa halipo
kwenye HIV bali lipo kwenye vipimo vyenyewe.Kipimo kikisha kukubambikia kesi ya kuwa
HIV+,utapewa zigo lako la dawa za ARVs,ukianza kutumia ARVs ndio kwa heri.Watu hawajui
kama ARVs ndio ukimwi wenyewe.Watu huweza kuvumilia madhara ya ARVs kutokana na
staili ya maisha wanayoishi,staili ya maisha ikiwa mbovu basi ARVs zitakuua mapema,ukiwa na
staili nzuri ya maisha unaweza ukaishi muda mrefu lakini ipo siku zitakukataa tu.Leo hii Njombe
wanaongoza kitakwimu kwa kuwa HIV kwa sababu watu wa njombe wanapima sana
HIV(hawaogopi kupima na kuchukua majibu yao).Kupima ndio mtego wao wa kupatia wateja,na
ndio maana kampeni za kupima HIV sasa hivi zimepamba moto kwa kuwa wanaona soko lao
limeshuka,magari yanakuja hadi mlangoni kwako kukuhamasisha upime.Sisi tusiojua tunadhani
wamarekani wanatupenda saaaana.Wewe mtu yuko marekani na familia
yake,hakujui,atakupendaje wewe zaidi ya unavyojipenda wewe mwenyewe?Kama wangekuwa
wanapenda watu kweli wasife,mbona wanauwa watu wengi sana wasio na hatia kwenye vita?
Kina mama,watoto wadogo,wachanga,vilema nk,wanawaua bila ya hatia.Watu huwa hawajiulizi
maswali haya.

Pole sana ndugu yangu,lakini pia ni muhimu sasa umejua haya ili uokoe waliobaki.Mama yako
mkubwa ni uthibitisho tosha kabisa kwamba HIV/AIDS ni ugonjwa feki,kinachoua si HIV bali
ni ARVs,umeshang'amua ukweli halisi,hongera sana kwa kujua hili.

 naa said:
.....lakini kuna mama angu mkubwa mmoja aligoma kabisa kutumia Arv na hadi leo anadunda tena mzima na afya
yake zaid ya miaka 15 sasa,.....
Waambie tena wana JF wengine ukweli huu ili wale wanaopinga wauone.Najua hata watu
wakiona ukweli huu bado watapinga.Watakwambia ni kwa sababu ya mutation.Na ndio maana
nilitoa data za WHO kwamba 97% ya watu wenye HIV katika bara la Afrika hawana AIDS,hii
inaonesha wazi kwamba HIV hana mchango wowote kwenye ukimwi.Watu hawa wakianza
kutumia ARVs tu,wataingia kwenye kundi la watu wenye AIDS muda si mrefu.
Mwambie mama yako mkubwa kwamba Deception anakupa big up kwa kukataa kutumia
ARVs,mwambie ARVs ni mtego na asitumie kabisa,akaze uzi huohuo,na ninakuhakikishia
akiwa na tabia ya kupima mara kwa mara,lazima ipo siku ataambiwa ni HIV- kama kwa sasa ni
HIV+.

 naa said:
......naanza kupata picha kilichowaondoa wa mwanzo pengine ndo haya unayoyasema maana huwaga hawachukui
hata miaka mitano wakishajijua.
Sio pengine,bali haswaa ndio haya ninayoyasema.

 Reactions:naa

V
Vyamavingi
JF-Expert Member
Joined Oct 3, 2014
 4,714   2,000
May 9, 2015


 #165

 Deception said:
HIV ni retrovirus.Retrovirus huyu amebambikiziwa jina hili la HIV ili aonekane ana sifa za kusababisha AIDS kitu
ambacho si kweli.HIV is a political and commercial/business name,watu wawili tu wamekaa na kuamua apewe jina
hilo bila hata single scientific proof/paper published kuthibitisha ukweli huo.Hakuna ugonjwa unaoitwa AIDS
unaosababishwa na HIV.Najua hili ni jambo geni kwa wengi,ila ndio ukweli.
Nakaribisha mtu yeyote mwenye mashaka au anayepinga hili na hasa madaktari ndio target yangu maana wao
wamelishwa sumu hii wakiwa masomoni.HIV free generation ni ile tu inayojua ukweli ulivyo.Na ndio maana
contradictions haziishi kuhusu ugonjwa huu feki.Karibuni kwenye mjadala ambao utakuondoa kwenye utumwa wa
kifikra.

Dah, ningeweza kukuamini lkn bahati mbaya ID unayoitumia (Deception) hainiruhusu


nikuamini.

Vv
D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 9, 2015


 #166

 Vyamavingi said:
Dah, ningeweza kukuamini lkn bahati mbaya ID unayoitumia (Deception) hainiruhusu nikuamini.

Vv

He he hee,wewe bado sana.Lakini bado una nafasi.Pia fahamu kwamba siko hapa ili wewe
uniamini,nataka ujue.

 Reactions:Troojan and Fourier

Ankol
JF-Expert Member
Joined Aug 21, 2012
 1,286   2,000
May 9, 2015


 #167

Sasa hapa namuelewa kua mkuu Deception sio kua anapinga ukimwi upo bali anapinga
matumizi ya dawa za ARV's ambazo kihalisia japokua zinasaidia kuongeza kinga za mwili ili
mwili usishambuliwe kirahisi na magonjwa andamizi pia zina side effects za ku alter hiyo blood
pH. kama zilivyodawa nyingine. Na kwakua dawa hizi humezwa siku zote basi tutarajie pia side
effects zake kua ni kubwa.
Cha muhimu mdau hebu njoo na njia mbadala sasa itumike ili kukamilisha research report yako
ambayo kwakweli itasaidia wengi.
Unafikiri watu watumie nini badala ya hizo ARV's ili waweze kumaintain miili yao kupambana
na hayo maradhi nyemelevu?
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 9, 2015


 #168

 ankol said:
Sasa hapa namuelewa kua mkuu Deception sio kua anapinga ukimwi upo bali anapinga matumizi ya dawa za
ARV's ambazo kihalisia japokua zinasaidia kuongeza kinga za mwili ili mwili usishambuliwe kirahisi na magonjwa
andamizi pia zina side effects za ku alter hiyo blood pH. kama zilivyodawa nyingine. Na kwakua dawa hizi
humezwa siku zote basi tutarajie pia side effects zake kua ni kubwa.
Cha muhimu mdau hebu njoo na njia mbadala sasa itumike ili kukamilisha research report yako ambayo kwakweli
itasaidia wengi.
Unafikiri watu watumie nini badala ya hizo ARV's ili waweze kumaintain miili yao kupambana na hayo maradhi
nyemelevu?

Soma reply zangu vizuri utaelewa niliposema kwamba ukimwi upo nilimaanisha
nini.Sikumaanisha VVU/Ukimwi bali niliaanisha ukimwi.Na nikataja sababu halisi
zinazosababisha ukimwi na jinsi ya kuzitatua,pia nikatoa evidence.
Mkuu ankol nilishawahi kukusisitiza usome reply zangu,lakini inawezekana hukuiona hiyo post.
Sasa nasisitiza tena kwamba soma reply zangu vizuri utaelewa tu kwamba ukimwi
hauambukizwi kwa njia yoyote ile na si ugonjwa wa kutisha na HIV hasababishi ukimwi.Wewe
ni mfuatiliaji mzuri sana lakini huwa unaruka baadhi ya post.

Parata
JF-Expert Member
Joined Jul 26, 2011
 3,105   1,225
May 9, 2015


 #169
hapa najifunza kitu

 Reactions:Lizarazu and RGforever

Karuhanga
JF-Expert Member
Joined Sep 23, 2014
 222   225
May 9, 2015


 #170

Inawezekana kutoupata kwa sababu ukimwi uambukizwa kwa kiwango kikubwa kwa njia ta
kujamiana na mtu mwenye virusi vinavyosababisha ugonjwa huo,hususani kama kutatokea
michubuko wakati wa tendo hilo ndo mana unatakiwa kumuanda mwanamke vizuri kabla ya
tendo hilo hapo hapo utakuwa salama kabisa

Troojan
JF-Expert Member
Joined Oct 8, 2012
 953   500
May 9, 2015


 #171

 Deception said:
He he hee,wewe bado sana.Lakini bado una nafasi.Pia fahamu kwamba siko hapa ili wewe uniamini,nataka ujue.

yaan mkuu jinsi unavyonifanya nihangaishe iki kichwa kwenye hili suala hata wakati nasoma
ckua na juhudi ivi.ila nakuhakikishia nmejifunza sana n nmeelewa sana.bado nakaza kuelewa
zaidi na zaidi.uko mbeleni ntaelewz zaidi.wazungu wametufanya watumw wa fikra na bado hadi
wanatutumia .maarifa ni kitu mhimu sna.nmekuelewa na nazidi kukuelewa

 Reactions:Raynavero, kaburungu and amaizing
Econometrician
JF-Expert Member
Joined Oct 25, 2013
 9,947   2,000
May 9, 2015


 #172

Wakuu,tulipo kuwa wadogo tulikuwa tunakatazwa na wazazi kuwa tusile limao kwamba
inamaliza damu,hv kuna ukweli wowote kuhusiana na hili.

Diplomatic Imunnity
JF-Expert Member
Joined Apr 2, 2012
 1,238   1,250
May 9, 2015


 #173

na ukiwa na ukosefu wa vitamin c pia uyaambiwa ule limao machungwa vitu vichachu chachu
hapo chacha

Sir Ganto G
JF-Expert Member
Joined Jul 22, 2013
 575   195
May 9, 2015


 #174
..hi ni topic nzuri sana

Sir Ganto G
JF-Expert Member
Joined Jul 22, 2013
 575   195
May 9, 2015


 #175

.Nashukuru sana Ndugu Deception kwa kutuamsha kutoka kwenye usingizi mzito wa ugonjwa
huu feki.

Binafsi imekua rahisi kukuamini kwa sababu mimi mwenyewe ni mfatiliaji wa mambo.mfano
kuna research article moja iliyoandikwa na prof. mmoja wa ivory coast akielezea uowongo wa
CDC kuhusu ebola na chanzo chake.ishu kama za uzazi wa mpango kwa wamerekani weusi na
secrete agenda behind,global warming n.k....
Yote hayo yananiaminisha kuwa VITU VINAVYOONEKANA DUNIANI SIO KAMA
VILIVYO.
D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 9, 2015


 #176

 Troojan said:
yaan mkuu jinsi unavyonifanya nihangaishe iki kichwa kwenye hili suala hata wakati nasoma ckua na juhudi ivi.ila
nakuhakikishia nmejifunza sana n nmeelewa sana.bado nakaza kuelewa zaidi na zaidi.uko mbeleni ntaelewz
zaidi.wazungu wametufanya watumw wa fikra na bado hadi wanatutumia .maarifa ni kitu mhimu sna.nmekuelewa
na nazidi kukuelewa

Hongera sana kwa kuwa na hiyo attitude.Kaza uzi hivyohivyo utajua mengi sana,na mimi niko
humu kumwaga vitu kama hivi endapo utanifuatilia vizuri.

 Reactions:mavado, Diplomatic Imunnity and kaburungu
Mavado
JF-Expert Member
Joined Jun 25, 2014
 1,182   2,000
May 9, 2015


 #177

 Deception said:
Hongera sana kwa kuwa na hiyo attitude.Kaza uzi hivyohivyo utajua mengi sana,na mimi niko humu kumwaga vitu
kama hivi endapo utanifuatilia vizuri.

Umenifungua macho sana mkuu, kumbe Ndio maana waganga WA jadi husema wako na dawa,
kumbe yawezekana wanajua ukweli, WA hii issues.

 Reactions:Deception

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 9, 2015


 #178

 Econometrician said:
Wakuu,tulipo kuwa wadogo tulikuwa tunakatazwa na wazazi kuwa tusile limao kwamba inamaliza damu,hv kuna
ukweli wowote kuhusiana na hili.

Wewe utakuwa umeoteshwa kulizungumzia tunda hili humu.Haya ndiyo mambo ambayo
ninayaongelea mara nyingi kwamba elimu ambayo tunapewa nyumbani na mashuleni ni
irrelevant,yaani haikidhi haja/mazingira tunayoishi,yaani haina maana.
Ukifuatilia kwa undani kwa nini tuliambiwa hivyo lazima utagundua kwamba kulikuwa na
mkono wa mtu hapo.Wazazi wetu wamepigwa changa la macho kwa faida ya watu
wachache.Sasa kwa nini nasema umeoteshwa;

Jibu;
Limao halikaushi damu,bali limao lina faida lukuki mwilini ambapo kama mtu,na hasa
watoto,watatumia vizuri tunda hili basi kwa mtu/mtoto huyo kuumwa kwake ni hadithi.Hata leo
ukianza kulitumia tunda hili ninakuhakikishia utarudi hapa kutoa ushuhuda.Unaweza ku google
mwenyewe uone faida zake;

1.Huimarisha kinga ya mwili-vitamin C


2.Husafisha utumbo mpana,huzuia constipation-Dietary Fiber
3.Hutibu malaria,kipindupindu-Antibacteria
4.Huweka sawa pH ya damu-Limao hufanya damu iwe alkaline.
5.Husaidia mmeng'enyo wa chakula-Husaidia/huchochea kuzalishwa kwa nyongo
6.Huzuia magonjwa ya moyo na presha ya juu ya damu-pH balance,calcium,magnesium na
potassium
7.Hutuliza homa na mafua
8.Huondoa sumu mwilini-alkaline blood/pH balance
9.Hutibu arthritis na Rheumatism-Husafisha damu na huondoa uric acid
10.Huondoa mikunjo kwenye ngozi
11.Huondoa maumivu ya kuumwa na nyuki,sunburn
12.Huboresha afya ya macho
13.Huzuia kuvuja kwa damu ndani ya mwili au puani
14.Huondoa makovu kwenye ngozi

Na mengine mengi madogomadogo.

-Kisukari(Type 1 diabetes) kwa heri(angalia;4,8)


-Cancer ya utumbo mpana kwa heri(angalia; 2)
-Cancer yoyote kwa heri kama utakuwa na tabia ya kunywa maji ya limao(angalia;2,4,8)
-Kipindupindu kwa heri kama una tabia ya kunywa maji ya lima kila asubuhi(angalia;1,3)
-Soko la dawa za malaria litashuka kama watu watakuwa wanatumia maji ya limao(angalia;1,3)
-Kwa watu wenye maumivu ya magoti huweza kupata nafuu kwa kunywa maji ya limao tu na
kusahau dawa za hospitalini(angalia;9)
-Kwa kina dada warembo;kwa kutumia limao tu wataepukana na vipodozi vyenye sumu ili
kungarisha ngozi zao(angalia;10,14)

Yaani usiende mbali sana,chukulia cancer,kisukari na malaria pekee.Kama watu watapenda


kutumia maji ya limao mara kwa mara kwenye maisha yao ina maana soko la dawa za
cancer,kisukari na malaria kwisha habari yake.Limao ni tunda tulilolizoea sana lakini hatujui
faida zake,tumelidharau kwa sababu ya mazoea.
Na hivi ndivyo baadhi ya vitu ambavyo viko kwenye mlolongo wa mambo ninayotaka wana JF
wenzangu wajue.Ni muhimu sana hili tunda,dharau tu na mazoea ndivyo vinatuathiri.

Kwa mfano;Mtu kama anaumwa ugonjwa wa joints(magoti yanauma/yamevimba nk),ukimpa


maji ya limao kila asubuhi ni tiba tosha.Ukitaka kukata mzizi wa fitina unaweza kujumlisha
tiba.Limao+mafuta ya nazi/olive oil+tumeric(bizari)+tangawizi+celery,hapo utakuwa umemaliza
kabisa.Lakini watu wanahangaika kwa kukosa uelewa.
Malaria,cancer,kisukari na mengineyo vivyohivyo.Hapo ndipo utakapoona kwamba vitu vingi
tunavyovijua sasa tumebebeshwa/irrelevant.Waliotudanganya wasingependa tujue ukweli huu
kwa kuwa hakutakuwa na soko tena.Kibaya zaidi tiba kama hizi hawawezi kuzi patent.

 Reactions:Raynavero, Lizarazu, Khalidoun and 6 others

G
Gwamakamwakyambiki
Member
Joined May 9, 2015
 26   20
May 9, 2015


 #179

Mnaletaleta siasa kwenye vitu siliasi!mnapimia asilimia ndogo ili mfanye sana! Shetani
anawatamani hamjui tuu! Historia ya huo ugonjwa hatali mnajua wazi kabisa! Lakini mkitaka
kukamatwa basi endeleeni na izo peku!

Mavado
JF-Expert Member
Joined Jun 25, 2014
 1,182   2,000
May 9, 2015


 #180

 Deception said:
Wewe utakuwa umeoteshwa kulizungumzia tunda hili humu.Haya ndiyo mambo ambayo ninayaongelea mara
nyingi kwamba elimu ambayo tunapewa nyumbani na mashuleni ni irrelevant,yaani haikidhi haja/mazingira
tunayoishi,yaani haina maana.
Ukifuatilia kwa undani kwa nini tuliambiwa hivyo lazima utagundua kwamba kulikuwa na mkono wa mtu
hapo.Wazazi wetu wamepigwa changa la macho kwa faida ya watu wachache.Sasa kwa nini nasema umeoteshwa;

Jibu;
Limao halikaushi damu,bali limao lina faida lukuki mwilini ambapo kama mtu,na hasa watoto,watatumia vizuri
tunda hili basi kwa mtu/mtoto huyo kuumwa kwake ni hadithi.Hata leo ukianza kulitumia tunda hili
ninakuhakikishia utarudi hapa kutoa ushuhuda.Unaweza ku google mwenyewe uone faida zake;

1.Huimarisha kinga ya mwili-vitamin C


2.Husafisha utumbo mpana,huzuia constipation-Dietary Fiber
3.Hutibu malaria,kipindupindu-Antibacteria
4.Huweka sawa pH ya damu-Limao hufanya damu iwe alkaline.
5.Husaidia mmeng'enyo wa chakula-Husaidia/huchochea kuzalishwa kwa nyongo
6.Huzuia magonjwa ya moyo na presha ya juu ya damu-pH balance,calcium,magnesium na potassium
7.Hutuliza homa na mafua
8.Huondoa sumu mwilini-alkaline blood/pH balance
9.Hutibu arthritis na Rheumatism-Husafisha damu na huondoa uric acid
10.Huondoa mikunjo kwenye ngozi
11.Huondoa maumivu ya kuumwa na nyuki,sunburn
12.Huboresha afya ya macho
13.Huzuia kuvuja kwa damu ndani ya mwili au puani
14.Huondoa makovu kwenye ngozi

Na mengine mengi madogomadogo.

-Kisukari(Type 1 diabetes) kwa heri(angalia;4,8)


-Cancer ya utumbo mpana kwa heri(angalia; 2)
-Cancer yoyote kwa heri kama utakuwa na tabia ya kunywa maji ya limao(angalia;2,4,8)
-Kipindupindu kwa heri kama una tabia ya kunywa maji ya lima kila asubuhi(angalia;1,3)
-Soko la dawa za malaria litashuka kama watu watakuwa wanatumia maji ya limao(angalia;1,3)
-Kwa watu wenye maumivu ya magoti huweza kupata nafuu kwa kunywa maji ya limao tu na kusahau dawa za
hospitalini(angalia;9)
-Kwa kina dada warembo;kwa kutumia limao tu wataepukana na vipodozi vyenye sumu ili kungarisha ngozi
zao(angalia;10,14)

Yaani usiende mbali sana,chukulia cancer,kisukari na malaria pekee.Kama watu watapenda kutumia maji ya limao
mara kwa mara kwenye maisha yao ina maana soko la dawa za cancer,kisukari na malaria kwisha habari
yake.Limao ni tunda tulilolizoea sana lakini hatujui faida zake,tumelidharau kwa sababu ya mazoea.
Na hivi ndivyo baadhi ya vitu ambavyo viko kwenye mlolongo wa mambo ninayotaka wana JF wenzangu wajue.Ni
muhimu sana hili tunda,dharau tu na mazoea ndivyo vinatuathiri.

Kwa mfano;Mtu kama anaumwa ugonjwa wa joints(magoti yanauma/yamevimba nk),ukimpa maji ya limao kila
asubuhi ni tiba tosha.Ukitaka kukata mzizi wa fitina unaweza kujumlisha tiba.Limao+mafuta ya nazi/olive
oil+tumeric(bizari)+tangawizi+celery,hapo utakuwa umemaliza kabisa.Lakini watu wanahangaika kwa kukosa
uelewa.
Malaria,cancer,kisukari na mengineyo vivyohivyo.Hapo ndipo utakapoona kwamba vitu vingi tunavyovijua sasa
tumebebeshwa/irrelevant.Waliotudanganya wasingependa tujue ukweli huu kwa kuwa hakutakuwa na soko
tena.Kibaya zaidi tiba kama hizi hawawezi kuzi patent.
Click to expand...

Watu wengi hawajui haya, toka nijue hizi tiba Za matunda na mizizi, +mimea kwa kweli
hospitali na madawa ya pharmaceutical nayaskia tuuu kwa majirani, kwa kweli namshukuru
Mungu kwa kunifunua na kunipa uwezo WA kujua tiba Za kiasili. ..
 sir Ganto G said:
.Nashukuru sana Ndugu Deception kwa kutuamsha kutoka kwenye usingizi mzito wa ugonjwa huu feki.

Binafsi imekua rahisi kukuamini kwa sababu mimi mwenyewe ni mfatiliaji wa mambo.mfano kuna research article
moja iliyoandikwa na prof. mmoja wa ivory coast akielezea uowongo wa CDC kuhusu ebola na chanzo chake.ishu
kama za uzazi wa mpango kwa wamerekani weusi na secrete agenda behind,global warming n.k....
Yote hayo yananiaminisha kuwa VITU VINAVYOONEKANA DUNIANI SIO KAMA VILIVYO.

Hongera kwa kuzinduka,hiyo ndio maana ya elimu hasa;


Unajua mambo haya mtu akiyaingilia kwa pupa anaweza kuishia kudharau tu na kuondoka
zake,lakini ukijaliwa kujitolea ka muda kadogo tu kuupa nafasi ubongo wako kudadisi,basi
utagundua mambo ambayo kukuwahi kuyafikiria na mambo yenyewe ni mazito kwelikweli.

Kwa mfano;Kuhusu ebola;


Kuna thread moja humu JF niliwahi kuwaambia watu kwamba Ebola ni ugonjwa feki pia na
nikawaambia wana JF kwamba kamwe hawawezi kuja kupata Ebola.Watu wakacheka sana,mimi
nikaenda zangu.
Pia hili la uzazi wa mpango;
ukiachilia mbali wamarekani weusi,tuzungumzie hapa kwetu maana ndio kunatuhusu.Kampeni
zote za uzazi wa mpango kwenye vyombo vyetu rasmi vya habari mwisho wake zinaishia na
kuhamasisha watu watumie vidonge vya uzazi wa mpango.Kumbuka kwamba kuna njia nyingi
za kufanya uzazi wa mpango,lakini wameng'ang'ania kwenye hili la vidonge,je,unajua kwa nini?

Kwanza kwenye suala zima la uzazi wa mpango wana agenda nyingi,lakini kubwa kuliko yote ni
kuuza dawa.Sasa ngoja nikwambie wanafanyaje hapa;
-Kwanza kampeni;"uzazi wa mpango jamani uzazi wa mpangoooo, uzazi wa mpango ndio
mpango mzimaaaaaa"
-Pili;Wanawake wanazoea kusikia maneno hayohayo na mwishowe yanageuka kuwa kasumba.

-Tatu;Wanawake wanaambiwa njia rahisi na 'salama' ya uzazi wa mpango ni kutumia


vidonge(contraceptive pills).

-Nne;Wanawake wanakubali kwa sababu ya kasumba,na wanaanza kutumia vidonge.Tayari


biashara imeanza.

-Tano;Vidonge hivi ambavyo wanasema havina madhara vinasababisha cancer ya kizazi na


cancer ya matiti kwa wanawake baada ya kutumika kwa muda mrefu kama zilivyo ARVs.

-Sita;Wanawake hawa hupelekwa Ocean Road kuhudhuria matibabu ambapo pale ndio kituo
chao kikubwa cha kuuzia dawa za cancer.Biashara moja imezaa nyingine,vidonge vya uzazi wa
mpango vimezaa biashara ya dawa za cancer(chemotherapy,radiations/mionzi).Kumuhudumia
mgonjwa mmoja wa cancer Ocean Road si chini ya Tshs 2,000,000 kwa mwaka,na usifikiri
kwamba anapona,haponi,bali hutuliza dalili tu.Mashine moja ya mionzi(Linear Accelerator)
inauzwa Tshs 4,500,000,000(4.5 bil).

Idadi ya wagonjwa wa cancer Ocean Road inaongezeka kila mwaka kwa mwezi.Sasa hivi Ocean
Road inapokea zaidi ya wagonjwa 400 kwa mwezi kutoka 3 kwa mwezi kipindi cha
nyuma.Asilimia 80 ya wagonjwa hao ni wanawake, na asilimia kubwa ya wanawake hao wana
cancer ya kizazi na cancer ya matiti.Fanya utafiti utajua hilo.Swali la kujiuliza;Kwa nini
wagonjwa wa cancer wanaongezeka kwa kasi kubwa hivyo siku hizi?Na kwanini idadi kubwa ya
wagonjwa hao ni wanawake?Je,kuna variable gani imeongezeka kwenye equation hii ya sababu
za cancer?I hope jibu unalijua.

-Saba;Matumizi ya muda mrefu ya vidonge hivi huharibu kinga na hivyo hupelekea generation
ya antibodies ambazo hu trigger vipimo vya HIV kutoa HIV+ results.Biashara nyingine hiyo
imeshazalishwa ambayo ndio ninaizungumzia sasa.Fuatilia dozi kikopo kimoja tu cha
ARVs(mfano,Tenofovir Disoproxil Fumarate) ni Tshs ngapi,piga mahesabu kwa mwaka
vinatumika vingapi kwa mgonjwa mmoja halafu zidisha kwa wagonjwa 3,000,000 wa
Tanzania,achilia mbali wagonjwa wapya wanaozalishwa kwa life style zinazosababishwa na
kampeni zao feki.Pesa utakayoipata utashangaa.Na ndio maana wanazidi kuwekeza hapa
Tanzania na Afrika kwa ujumla.

Na mwisho Global warming:


Hili nalo ni pana.Wanasema kwamba glabal warming inasababishwa na hewa ya ukaa ambayo
inazalishwa na binadamu,yaani Anthropogenic global warming,kitu ambacho si kweli.Na mbaya
zaidi ndivyo tunavyofundishwa mashule mpaka leo.Hadi leo watoto wetu wanalishwa sumu
hii,na watu wengi wanajua hivyo.Wanang'ang'ania kusema hivyo kwa kuwa wana agenda nyingi
sana nyuma ya pazia;

Agenda mojawapo ni ile ya kuweka sheria ambayo itazuia nchi zinazoendelea kama Tanzania
kutoweza au kuwa na ukomo wa kujenga viwanda kwa maendeleo ya nchi.Nadhani watu
wanaelewa kwa nini nchi zinazoendelea kama Tanzania zikiwa na viwanda vyake itakuwa ni
tatizo kwa nchi na wafanya biashara wakubwa katika nchi zilizoendelea kama Marekani.

Al gore ndio world tycoon aliyeanzisha uzushi huu,na kwa sababu yeye ni mmoja wa wadau wa
serikali ya marekani inayosimamia sheria za dunia hii,basi imekuwa rahisi sana kwa sheria hizi
kupita na kukubaliwa na UN na kuwa enforced kwa nchi wanachama na hivyo elimu nzima
kuhusu global warming ikaanza kufundishwa mashuleni ku brainwash watu.

Ndugu yangu tuna safari ndefu sana.Ukifuatilia mashuleni;Shule za msingi,sekondari na vyuo


vikuu,utakuwa na huzuni sana kutokana na mambo yanayofundishwa kama kweli unajua uhalisia
wa dunia hii ulivyo.Ni vizuri na wewe uka share na wana JF wengine ulichonacho ili kupunguza
gape hili,kidogokidogo hujaza kibaba.Elimu ya kweli ndio itakayoiokoa nchi yetu na kuipeleka
kwenye maendeleo makubwa.Kwa uelewa huu tulionao,maendeleo ni kama ndoto.

 Reactions:Raynavero, Lizarazu, Khalidoun and 4 others

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 9, 2015


 #183

 mavado said:
Umenifungua macho sana mkuu, kumbe Ndio maana waganga WA jadi husema wako na dawa, kumbe yawezekana
wanajua ukweli, WA hii issues.

Uko sahihi sana.Sio tu waganga wa jadi,bali hata baadhi ya wahubiri wa dini pia wamesha
unlock password hii ya ugonjwa huu feki.Hawa niliowataja huwa wanasema wana dawa na kweli
watu wakienda wanapona HIV/AIDS (feki),pamoja na kwamba mbwembwe zinazooneshwa na
wahubiri au waganga hawa wa jadi hazina uhusiano na tiba yenyewe lakini mwishoni wanawapa
tiba halisi lakini mgonjwa hawezi kujua,yeye anachojua zile mbwembwe ndio tiba yenyewe.
Ukijua mambo mengi ni rahisi sana kutengeneza pesa.Ha haaaa, sijui umeng'amuaje hili.

 Reactions:Beka Mpole
D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 9, 2015


 #184

 gwamakamwakyambiki said:
Mnaletaleta siasa kwenye vitu siliasi!mnapimia asilimia ndogo ili mfanye sana! Shetani anawatamani hamjui tuu!
Historia ya huo ugonjwa hatali mnajua wazi kabisa! Lakini mkitaka kukamatwa basi endeleeni na izo peku!

Umejiunga leo JF na leoleo umeanza kukurupuka kuchangia mada nzito nzito.Nakushauri uanze
na ndogondogo kwanza ili ukuze kipaji.
Kuza kipaji kwa kuanza na kusoma mwenzako kaandika nini,hoji,uliza maswali halafu ukikomaa
ndio uanze kuchangia,umesikia eenh!!

 Reactions:Showme, Pompey, mito and 2 others

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 10, 2015


 #185

 MatikaC said:
niliyokwisha soma yanatosha....sitaki headache

Ooooh nimechelewa,milango ya fahamu imeshafungwa,nasikitika kukupoteza.Bado nina nia ya


kukujuza ukweli,muda wowote ukiwa tayari utaniambia.

Mavado
JF-Expert Member
Joined Jun 25, 2014
 1,182   2,000
May 10, 2015

 #186

 Deception said:
Uko sahihi sana.Sio tu waganga wa jadi,bali hata baadhi ya wahubiri wa dini pia wamesha unlock password hii ya
ugonjwa huu feki.Hawa niliowataja huwa wanasema wana dawa na kweli watu wakienda wanapona HIV/AIDS
(feki),pamoja na kwamba mbwembwe zinazooneshwa na wahubiri au waganga hawa wa jadi hazina uhusiano na
tiba yenyewe lakini mwishoni wanawapa tiba halisi lakini mgonjwa hawezi kujua,yeye anachojua zile mbwembwe
ndio tiba yenyewe.
Ukijua mambo mengi ni rahisi sana kutengeneza pesa.Ha haaaa, sijui umeng'amuaje hili.

I read a lot of stuff. I also do some research, na hii topic Yako imenifanya nigundue Vingi, zaidi,

 Reactions:Deception

Amaizing
JF-Expert Member
Joined May 3, 2013
 3,560   2,000
May 10, 2015


 #187

 Deception said:
Wewe utakuwa umeoteshwa kulizungumzia tunda hili humu.Haya ndiyo mambo ambayo ninayaongelea mara
nyingi kwamba elimu ambayo tunapewa nyumbani na mashuleni ni irrelevant,yaani haikidhi haja/mazingira
tunayoishi,yaani haina maana.
Ukifuatilia kwa undani kwa nini tuliambiwa hivyo lazima utagundua kwamba kulikuwa na mkono wa mtu
hapo.Wazazi wetu wamepigwa changa la macho kwa faida ya watu wachache.Sasa kwa nini nasema umeoteshwa;

Jibu;
Limao halikaushi damu,bali limao lina faida lukuki mwilini ambapo kama mtu,na hasa watoto,watatumia vizuri
tunda hili basi kwa mtu/mtoto huyo kuumwa kwake ni hadithi.Hata leo ukianza kulitumia tunda hili
ninakuhakikishia utarudi hapa kutoa ushuhuda.Unaweza ku google mwenyewe uone faida zake;

1.Huimarisha kinga ya mwili-vitamin C


2.Husafisha utumbo mpana,huzuia constipation-Dietary Fiber
3.Hutibu malaria,kipindupindu-Antibacteria
4.Huweka sawa pH ya damu-Limao hufanya damu iwe alkaline.
5.Husaidia mmeng'enyo wa chakula-Husaidia/huchochea kuzalishwa kwa nyongo
6.Huzuia magonjwa ya moyo na presha ya juu ya damu-pH balance,calcium,magnesium na potassium
7.Hutuliza homa na mafua
8.Huondoa sumu mwilini-alkaline blood/pH balance
9.Hutibu arthritis na Rheumatism-Husafisha damu na huondoa uric acid
10.Huondoa mikunjo kwenye ngozi
11.Huondoa maumivu ya kuumwa na nyuki,sunburn
12.Huboresha afya ya macho
13.Huzuia kuvuja kwa damu ndani ya mwili au puani
14.Huondoa makovu kwenye ngozi

Na mengine mengi madogomadogo.

-Kisukari(Type 1 diabetes) kwa heri(angalia;4,8)


-Cancer ya utumbo mpana kwa heri(angalia; 2)
-Cancer yoyote kwa heri kama utakuwa na tabia ya kunywa maji ya limao(angalia;2,4,8)
-Kipindupindu kwa heri kama una tabia ya kunywa maji ya lima kila asubuhi(angalia;1,3)
-Soko la dawa za malaria litashuka kama watu watakuwa wanatumia maji ya limao(angalia;1,3)
-Kwa watu wenye maumivu ya magoti huweza kupata nafuu kwa kunywa maji ya limao tu na kusahau dawa za
hospitalini(angalia;9)
-Kwa kina dada warembo;kwa kutumia limao tu wataepukana na vipodozi vyenye sumu ili kungarisha ngozi
zao(angalia;10,14)

Yaani usiende mbali sana,chukulia cancer,kisukari na malaria pekee.Kama watu watapenda kutumia maji ya limao
mara kwa mara kwenye maisha yao ina maana soko la dawa za cancer,kisukari na malaria kwisha habari
yake.Limao ni tunda tulilolizoea sana lakini hatujui faida zake,tumelidharau kwa sababu ya mazoea.
Na hivi ndivyo baadhi ya vitu ambavyo viko kwenye mlolongo wa mambo ninayotaka wana JF wenzangu wajue.Ni
muhimu sana hili tunda,dharau tu na mazoea ndivyo vinatuathiri.

Kwa mfano;Mtu kama anaumwa ugonjwa wa joints(magoti yanauma/yamevimba nk),ukimpa maji ya limao kila
asubuhi ni tiba tosha.Ukitaka kukata mzizi wa fitina unaweza kujumlisha tiba.Limao+mafuta ya nazi/olive
oil+tumeric(bizari)+tangawizi+celery,hapo utakuwa umemaliza kabisa.Lakini watu wanahangaika kwa kukosa
uelewa.
Malaria,cancer,kisukari na mengineyo vivyohivyo.Hapo ndipo utakapoona kwamba vitu vingi tunavyovijua sasa
tumebebeshwa/irrelevant.Waliotudanganya wasingependa tujue ukweli huu kwa kuwa hakutakuwa na soko
tena.Kibaya zaidi tiba kama hizi hawawezi kuzi patent.
Click to expand...

Faida za limao
Attachments:

1431277645071.jpg

File size

76.2 KB

 Reactions:Raynavero and Deception

B
Bushman10
Member
Joined Oct 20, 2013
 80   125
May 11, 2015


 #188

Naomba nikupigie

Ministrant
Member
Joined Jan 17, 2014
 92   125
May 11, 2015


 #189

Brother Deception naweza kukubaliana na ww kwa kile ulichosema kwakuwa umenifumbua


macho kuwa michezo hii ya wababe wa Dunia ipo pia kwenye kada ya afya, napebda kufuatilia
siasa za Dunia hii utagundua kuwa imejaa michezo michafu na ya kutisha. Mfano mzuri
ukiangalia kwa juu juu unaweza ukasema UN (United Nations) ni chombo chenye lengo la
kuimarisha usawa katika Dunia but kwa jicho la tatu ni playground for those powerful states to
exercise their power to achieve their interests.

 Reactions:Beka Mpole and Deception

K
Kichelepure
Member
Joined Mar 31, 2014
 96   95
May 11, 2015


 #190

Jamani naomba maelekezo jinsi ya kuandaa maji haya ya limao hadi yawe dawa,kwani mtoto
wangu anasumbuliwa sana na malaria.natanguliza shukrani

 Reactions:Raynavero, rutabazi and Lizarazu

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 11, 2015


 #191

 ministrant said:
Brother Deception naweza kukubaliana na ww kwa kile ulichosema kwakuwa umenifumbua macho kuwa michezo
hii ya wababe wa Dunia ipo pia kwenye kada ya afya, napebda kufuatilia siasa za Dunia hii utagundua kuwa imejaa
michezo michafu na ya kutisha. Mfano mzuri ukiangalia kwa juu juu unaweza ukasema UN (United Nations) ni
chombo chenye lengo la kuimarisha usawa katika Dunia but kwa jicho la tatu ni playground for those powerful
states to exercise their power to achieve their interests.

You are right,dunia ina mambo mengi sana feki ndugu yangu,hebu angalia hili hapa chini
kwanza;

Kuna jambo moja liko katika uwigo wa kimataifa zaidi,linaitwa 'kulinda amani'.Kuna aina mbili
ambazo sisi huambiwa kwamba majeshi yanaenda 'kulinda amani',kwa kiingereza ya kwanza ni
'Peace keeping' na aina ya pili ni 'Fighting'.Sasa jiulize swali moja,hivi majeshi ya kulinda amani
huwa yanalindaje amani?Au kurahisisha tutumie mfano wa Tanzania kule DRC;
Je,jeshi la Tanzania nchini DRC linalinda amani kwa kutumia njia gani?Au Linafanya mambo
gani nchini DRC ambayo ndio hasa hupelekea watu kusema linalinda amani?

-Kupigana na 'waasi', mfano, wa M23 sio kulinda amani,kwa maana hata Kabila alikuwa 'muasi'
kabla hajaingia madarakani.Hivyo huwezi kujua kati ya anayeitwa 'muasi' na aliye madarakani ni
nani hasa ndiye mzalendo halisi wa nchi husika,na ndio maana kuna baadhi ya nchi 'waasi'
hupigwa na 'majeshi ya kulinda amani' wakati nchi nyingine serikali ndio hupigwa na majeshi
yanayoitwa ya 'kulinda amani'.Bado swali hili linanitatiza,'majeshi ya kulinda amani' yanalindaje
amani?
Fuatilia suala la majeshi ya Tanzania kulinda amani DRC kwa tiketi ya UN,ninakuhakikishia
utagundua kwamba ni biashara kubwa sana ambayo wananchi hawaijui kabisa,watu wananufaika
sana na biashara hii.Ukijua vizuri suala hili peke yake ndipo utakapojithibitishia kwamba bara la
Afrika limeoza.Wewe ni mfuatiliaji,fuatilia na hili pia.
Utagundua kwamba majeshi ya Tanzania DRC ni kama Group4 security guards wanavyolinda
watu wenye pesa zao,pia utagundua kwamba kuna sayansi ya mmarekani ndani yake ili
kuhakikisha EAC haiundwi,na hata ikiundwa inakuwa kama joka lisilo na meno kama vile ilivyo
AU sasa.

 Reactions:Beka Mpole, Pompey, Bavaria and 1 other person


Mavado
JF-Expert Member
Joined Jun 25, 2014
 1,182   2,000
May 11, 2015


 #192

 Deception said:
You are right,dunia ina mambo mengi sana feki ndugu yangu,hebu angalia hili hapa chini kwanza;

Kuna jambo moja liko katika uwigo wa kimataifa zaidi,linaitwa 'kulinda amani'.Kuna aina mbili ambazo sisi
huambiwa kwamba majeshi yanaenda 'kulinda amani',kwa kiingereza ya kwanza ni 'Peace keeping' na aina ya pili ni
'Fighting'.Sasa jiulize swali moja,hivi majeshi ya kulinda amani huwa yanalindaje amani?Au kurahisisha tutumie
mfano wa Tanzania kule DRC;
Je,jeshi la Tanzania nchini DRC linalinda amani kwa kutumia njia gani?Au Linafanya mambo gani nchini DRC
ambayo ndio hasa hupelekea watu kusema linalinda amani?

-Kupigana na 'waasi', mfano, wa M23 sio kulinda amani,kwa maana hata Kabila alikuwa 'muasi' kabla hajaingia
madarakani.Hivyo huwezi kujua kati ya anayeitwa 'muasi' na aliye madarakani ni nani hasa ndiye mzalendo halisi
wa nchi husika,na ndio maana kuna baadhi ya nchi 'waasi' hupigwa na 'majeshi ya kulinda amani' wakati nchi
nyingine serikali ndio hupigwa na majeshi yanayoitwa ya 'kulinda amani'.Bado swali hili linanitatiza,'majeshi ya
kulinda amani' yanalindaje amani?
Fuatilia suala la majeshi ya Tanzania kulinda amani DRC kwa tiketi ya UN,ninakuhakikishia utagundua kwamba ni
biashara kubwa sana ambayo wananchi hawaijui kabisa,watu wananufaika sana na biashara hii.Ukijua vizuri suala
hili peke yake ndipo utakapojithibitishia kwamba bara la Afrika limeoza.Wewe ni mfuatiliaji,fuatilia na hili pia.
Utagundua kwamba majeshi ya Tanzania DRC ni kama Group4 security guards wanavyolinda watu wenye pesa
zao,pia utagundua kwamba kuna sayansi ya mmarekani ndani yake ili kuhakikisha EAC haiundwi,na hata ikiundwa
inakuwa kama joka lisilo na meno kama vile ilivyo AU sasa.
Click to expand...

Ua very right, swali LA kujiuliza ni, hawa waasi wanapata wapi silaha nzito, tena made in
Europe, kama kweli Un wako for peace or selling weapons. It's a good business, like boko haram
in Nigeria where do they get power to do all that if not business??? African we are so stupid thus
we this f**ers, are playing with our mind.

 Reactions:Lizarazu, Habari ya Mujini and Deception

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 11, 2015

 #193

 kichelepure said:
Jamani naomba maelekezo jinsi ya kuandaa maji haya ya limao hadi yawe dawa,kwani mtoto wangu anasumbuliwa
sana na malaria.natanguliza shukrani

Chemsha maji kiasi cha glasi moja ili kuuwa vijidudu.Ukishaipua,mimina kwenye glasi halafu
kamulia humo limao moja wakati maji yangali ya moto.Subiri maji yapungue joto kidogo kiasi
cha mtu kuweza kuyanywa bila shida(vuguvugu).Mpe mtoto wako glasi moja kila siku asubuhi.
Sijui mtoto ana umri gani,lakini utakadiria kiwango cha maji kulingana na umri wa mtoto wako
kwa kuwa tiba hiyo haina sumu, bali yenyewe ndio huondoa sumu.

 Reactions:Lizarazu

Kaunga
JF-Expert Member
Joined Nov 28, 2010
 12,573   2,000
May 11, 2015


 #194

Mdaktari wa humu gorgeousmimi Riwa Asprin Preta georgeallen na yule wa natural


medicine MziziMkavu mbona hampingi au kumuunga mkono Deception akiwa anadeceive watu
au sijui anaclear deception?
Tunawategemea ujue
Na wale scientists kama gfsonwin na Dark City ina maana hamjapita mitaa hii?
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

 Reactions:steve111, gfsonwin, Preta and 3 others

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 11, 2015


 #195
 Kaunga said:
Mdaktari wa humu gorgeousmimi Riwa Asprin Preta georgeallen na yule wa natural
medicine MziziMkavu mbona hampingi au kumuunga mkono Deception akiwa anadeceive watu au sijui anaclear
deception?
Tunawategemea ujue
Na wale scientists kama gfsonwin na Dark City ina maana hamjapita mitaa hii?

Nashukuru kwa kuwaita hapa,kama hao ni madaktari, ndio nilikuwa nawahitaji hasa ili twende
sawa,evidence kwa evidence.

 Reactions:Showme

Kaunga
JF-Expert Member
Joined Nov 28, 2010
 12,573   2,000
May 11, 2015


 #196

 Deception said:
Nashukuru kwa kuwaita hapa,kama hao ni madaktari, ndio nilikuwa nawahitaji hasa ili twende sawa,evidence kwa
evidence.

Nimepoteza ndugu kibao hadi sijui nini cha kuamini. Wa mwisho ni mtoto ambaye hakufika hata
darasa la 3 roho inauma sana. Mama yake hadi niligombana naye kwa kukataa kumuanzishia
dawa hadi kafariki. Sasa wewe unasema arv ndizo zinaua mbona huyu mtoto wetu
hakuanzishiwa dawa? gfsonwin anaijua hii case
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

 Reactions:gfsonwin

Habari Ya Mujini
JF-Expert Member
Joined Dec 22, 2013
 2,447   2,000
May 11, 2015

 #197

 Deception said:
Chemsha maji kiasi cha glasi moja ili kuuwa vijidudu.Ukishaipua,mimina kwenye glasi halafu kamulia humo limao
moja wakati maji yangali ya moto.Subiri maji yapungue joto kidogo kiasi cha mtu kuweza kuyanywa bila
shida(vuguvugu).Mpe mtoto wako glasi moja kila siku asubuhi.
Sijui mtoto ana umri gani,lakini utakadiria kiwango cha maji kulingana na umri wa mtoto wako kwa kuwa tiba hiyo
haina sumu, bali yenyewe ndio huondoa sumu.

Mkuu unasemaje kuhusu watu wa ulaya na marekani wanaougua Ukimwi? Au ni


mazimgaombwe? Au ndo wazungu wameleta propaganda inawaua hadi wao wenyewe?

MziziMkavu
JF-Expert Member
Joined Feb 3, 2009
 40,245   2,000
May 11, 2015


 #198

 Kaunga said:
Mdaktari wa humu gorgeousmimi Riwa Asprin Preta georgeallen na yule wa natural
medicine MziziMkavu mbona hampingi au kumuunga mkono Deception akiwa anadeceive watu au sijui anaclear
deception?
Tunawategemea ujue
Na wale scientists kama gfsonwin na Dark City ina maana hamjapita mitaa hii?

Mkuu Kaunga ni kweli anayoyasema mkuu Deception kuwa Limau lina faida nyingi tu.

Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

K
Kichelepure
Member
Joined Mar 31, 2014
 96   95
May 11, 2015


 #199
 Deception said:
Chemsha maji kiasi cha glasi moja ili kuuwa vijidudu.Ukishaipua,mimina kwenye glasi halafu kamulia humo limao
moja wakati maji yangali ya moto.Subiri maji yapungue joto kidogo kiasi cha mtu kuweza kuyanywa bila
shida(vuguvugu).Mpe mtoto wako glasi moja kila siku asubuhi.
Sijui mtoto ana umri gani,lakini utakadiria kiwango cha maji kulingana na umri wa mtoto wako kwa kuwa tiba hiyo
haina sumu, bali yenyewe ndio huondoa sumu.

Mtoto ana umri wa miaka minne,kwahiyo hiyo glasi moja anakunywa asubuhi kabla ya kula kitu
kingine chochote na anakunywa kwa mara moja? Na je anatakiwa anywe kwa muda gani ili
apone kabisa malaria? Nashukuru sana deception kwa majibu yako na mwenyezi mungu
akujaalie maisha mema na marefu ila usichoke kutupatia elimu uliyonayo.

Kaunga
JF-Expert Member
Joined Nov 28, 2010
 12,573   2,000
May 11, 2015


 #200

MziziMkavu sio kuhusu limao. Deception anasema


1.hakuna HIV kwasababu huyo virus hajawahi kuwa isolated
2.ukimwi upo lkn hausababishwi na hiv bali malnutrition, tb, genetically inherited upungufu
wa kinga, cancer, antibiotic, drugs kwa maana madawa ya kulevya na arv
3. Ukimwi una dawa ambayo ni pamoja na lishe antioxidants etc
4. Anasema nyie waganga wa tiba asili mnaijua hiyo siri ndio maana mnajitangaza kutibu
HIV ilhali hayupo in the first place
5. Watu wa maombi pia wanajua hiyo issue ndio maana wanatake advantage
6. Vipimo vya HIV including viral loads haviaminiki na havisemi kweli
7. Uwepo wa antigens zinazoonesha HIV+ maana yake hao HIV weshauwawa na kinga

Sasa unakubaliana naye kwa yote hayo au limao tu?


 Kaunga said:
Mdaktari wa humu gorgeousmimi Riwa Asprin Preta georgeallen na yule wa natural
medicine MziziMkavu mbona hampingi au kumuunga mkono Deception akiwa anadeceive watu au sijui anaclear
deception?
Tunawategemea ujue
Na wale scientists kama gfsonwin na Dark City ina maana hamjapita mitaa hii?

HIV inaathiri cells zilizo na CD4 cell surface antigen na CCR5 beta-chemokine receptor ni
muhimu katika kusababisha maambukizi.CD4-receptors ni Th cells,monocytes,dendritic cells
na microglia.Virusi vinaambukiza kupitia kwenye viral gp120 glycoprotein envelope ambayo
inajiunga kwenye CD4 receptor.Kuna baadhi ya watu wana CCR5 GENE DELETIONS,watu
hawa wanakuwa resistant na infection,kwahio hawawezi kupata maambukizi.

 Reactions:Dark City, think3r91, MziziMkavu and 2 others

Dark City
JF-Expert Member
Joined Oct 18, 2008
 16,281   1,500
May 11, 2015


 #204

 Kaunga said:
Mdaktari wa humu gorgeousmimi Riwa Asprin Preta georgeallen na yule wa natural
medicine MziziMkavu mbona hampingi au kumuunga mkono Deception akiwa anadeceive watu au sijui anaclear
deception?
Tunawategemea ujue
Na wale scientists kama gfsonwin na Dark City ina maana hamjapita mitaa hii?

Mzima mdogo wangu Kaunga? Tumepotezana sana.

Kuhusu swali la Deception, ni kwamba; siyo kila tukio la kujamiiana na mwathirika wa VVU
lazima lisababishe maambukizi. Hapa kuna sababu nyingi za kitaalamu. Kwa mtu anayependa,
anaweza kuongeza uelewa wake kwa kutafuta kutoka google.com sababu za kuwepo kwa
discordant couples. Hawa ni wanandoa ambao wanashiriki tendo la ndoa kama kawaida ila
mmoja tu ndiye kaathirika.

Hata hivyo, kuna maelezo mengine nimeona (kwa ufupi) ambayo ni uongo na hatari sana. Kwa
mfano, mtu anasema eti limao inatibu malaria....????
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

Dark City
JF-Expert Member
Joined Oct 18, 2008
 16,281   1,500
May 11, 2015


 #205

 Kaunga said:
MziziMkavu sio kuhusu limao. Deception anasema
1.hakuna HIV kwasababu huyo virus hajawahi kuwa isolated
2.ukimwi upo lkn hausababishwi na hiv bali malnutrition, tb, genetically inherited upungufu wa kinga, cancer,
antibiotic, drugs kwa maana madawa ya kulevya na arv
3. Ukimwi una dawa ambayo ni pamoja na lishe antioxidants etc
4. Anasema nyie waganga wa tiba asili mnaijua hiyo siri ndio maana mnajitangaza kutibu HIV ilhali hayupo in the
first place
5. Watu wa maombi pia wanajua hiyo issue ndio maana wanatake advantage
6. Vipimo vya HIV including viral loads haviaminiki na havisemi kweli
7. Uwepo wa antigens zinazoonesha HIV+ maana yake hao HIV weshauwawa na kinga

Sasa unakubaliana naye kwa yote hayo au limao tu?


Click to expand...

Anayasema hayo kweli Kaunga?

Samahani sijawezi na sitaweza kupitia posts zote. Ila kama anasema hayo basi anatakiwa
kuwekwa kwenye group la akina Thabo Mbeki. Hii ni zaidi ya deception!
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

Dark City
JF-Expert Member
Joined Oct 18, 2008
 16,281   1,500
May 11, 2015


 #206

 gorgeousmimi said:
HIV inaathiri cells zilizo na CD4 cell surface antigen na CCR5 beta-chemokine receptor ni muhimu katika
kusababisha maambukizi.CD4-receptors ni Th cells,monocytes,dendritic cells na microglia.Virusi vinaambukiza
kupitia kwenye viral gp120 glycoprotein envelope ambayo inajiunga kwenye CD4 receptor.Kuna baadhi ya watu
wana CCR5 GENE DELETIONS,watu hawa wanakuwa resistant na infection,kwahio hawawezi kupata
maambukizi.

Uko sahihi kabisa na hii technical sana. Kama unaweza kuielezea kwa lugha laini sana basi
utasaidia wengi ambao ni medically laymen!

 Reactions:juju000

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 11, 2015


 #207

 kichelepure said:
Mtoto ana umri wa miaka minne,kwahiyo hiyo glasi moja anakunywa asubuhi kabla ya kula kitu kingine chochote
na anakunywa kwa mara moja? Na je anatakiwa anywe kwa muda gani ili apone kabisa malaria? Nashukuru sana
deception kwa majibu yako na mwenyezi mungu akujaalie maisha mema na marefu ila usichoke kutupatia elimu
uliyonayo.

Nashukuru Mkuu.

Angalizo;
Maelekezo niliyokupa nilimaanisha kwamba mtoto anywe ili asipate tena hali kama
hiyo(malaria),yaani ukimpa maji hayo kinga yake itakuwa juu sana na hatashambuliwa na
malaria na magonjwa mengine kirahisi.Lakini kuhusu dozi kamili kwa mtu anayeumwa hilo
sijalifanyia utafiti bado,ila kuna tafiti za kisayansi kabisa kwamba lina uwezo wa kutibu.Kwa
sasa ninakuomba uchukue maelekezo niliyokupa kama kinga ya mtoto kwa baadaye.Labda mkuu
MziziMkavu anaweza kujua dozi kamili.
Karibu.

 Reactions:kinyama nje

Econometrician
JF-Expert Member
Joined Oct 25, 2013
 9,947   2,000
May 11, 2015


 #208

Kuna swali bado linanitatanisha.


Ni kwa nini thabo mbeki atoe kauli kama ile tena kama raisi,je alitaka wananchi wake wafe zaidi
au ni kwa masilahi gani?,there must be somethng behnd ths halijalishi ni jema au baya.
Cc,dark city na wengine

 Reactions:RGforever, Habari ya Mujini, Dark City and 1 other person


Asprin
JF-Expert Member
Joined Mar 8, 2008
 60,606   2,000
May 11, 2015


 #209

 Kaunga said:
Nimepoteza ndugu kibao hadi sijui nini cha kuamini. Wa mwisho ni mtoto ambaye hakufika hata darasa la 3 roho
inauma sana. Mama yake hadi niligombana naye kwa kukataa kumuanzishia dawa hadi kafariki. Sasa wewe
unasema arv ndizo zinaua mbona huyu mtoto wetu hakuanzishiwa dawa? gfsonwin anaijua hii case

Rafiki puliiiz...

Bado kuna mtu anabisha huu ukweli ulio wazi?

Kuna mtu anayeweza kukataa kuwa shahidi kuwa hili janga halijawahi kumgusa??

Hii kitu ipo na anayepinga anatakiwa aangaliwe sana.

UKIMWI UPO.... yani hiv sio?? Na inaua mbaya.

Tujadili vingine wajameni.


Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

 Reactions:Dark City

Gorgeousmimi
JF-Expert Member
Joined Jun 21, 2010
 8,863   1,500
May 11, 2015


 #210
 Dark City said:
Uko sahihi kabisa na hii technical sana. Kama unaweza kuielezea kwa lugha laini sana basi utasaidia wengi ambao
ni medically laymen!

Ni ngumu kufafanua vitu hivi kwa lugha laini kama wewe unaweza babu DC karibu.

 Reactions:Dark City

Asprin
JF-Expert Member
Joined Mar 8, 2008
 60,606   2,000
May 11, 2015


 #211

 Dark City said:


Mzima mdogo wangu Kaunga? Tumepotezana sana.

Kuhusu swali la Deception, ni kwamba; siyo kila tukio la kujamiiana na mwathirika wa VVU lazima lisababishe
maambukizi. Hapa kuna sababu nyingi za kitaalamu. Kwa mtu anayependa, anaweza kuongeza uelewa wake kwa
kutafuta kutoka google.com sababu za kuwepo kwa discordant couples. Hawa ni wanandoa ambao wanashiriki
tendo la ndoa kama kawaida ila mmoja tu ndiye kaathirika.

Hata hivyo, kuna maelezo mengine nimeona (kwa ufupi) ambayo ni uongo na hatari sana. Kwa mfano, mtu anasema
eti limao inatibu malaria....????

Hhahahahah mzee mwenzangu unasema limao linaangamiza parasites wa malaria??? Nazeeka


vibaya asee....

Kuna watu wengine ni wa kufungia kabisa hakyamama. Hakuna jela ya tiba??


Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

 Reactions:Dark City

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 11, 2015


 #212

 Kaunga said:
MziziMkavu sio kuhusu limao. Deception anasema
1.hakuna HIV kwasababu huyo virus hajawahi kuwa isolated
2.ukimwi upo lkn hausababishwi na hiv bali malnutrition, tb, genetically inherited upungufu wa kinga, cancer,
antibiotic, drugs kwa maana madawa ya kulevya na arv
3. Ukimwi una dawa ambayo ni pamoja na lishe antioxidants etc
4. Anasema nyie waganga wa tiba asili mnaijua hiyo siri ndio maana mnajitangaza kutibu HIV ilhali hayupo in the
first place
5. Watu wa maombi pia wanajua hiyo issue ndio maana wanatake advantage
6. Vipimo vya HIV including viral loads haviaminiki na havisemi kweli
7. Uwepo wa antigens zinazoonesha HIV+ maana yake hao HIV weshauwawa na kinga

Sasa unakubaliana naye kwa yote hayo au limao tu?


Click to expand...

1.Kweli nimesema
2.Si kweli,umevuruga maelezo,vipo vya kweli na vya uongo ambavyo sijasema.
3.Kweli nimesema
4.Kweli,lakini ni baadhi ya waganga.
5.Kweli,lakini ni baadhi ya watu wa maombi
6.Kweli nimesema
7.Umekosea maelezo.

Habari Ya Mujini
JF-Expert Member
Joined Dec 22, 2013
 2,447   2,000
May 11, 2015


 #213

 Asprin said:
Hhahahahah mzee mwenzangu unasema limao linaangamiza parasites wa malaria??? Nazeeka vibaya asee....

Kuna watu wengine ni wa kufungia kabisa hakyamama. Hakuna jela ya tiba??

Mkuu kwani ata hizi za mahospitalini tunazotumia asilimia kubwa si zinatokana na mimea?

 Reactions:RGforever

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 11, 2015


 #214

 Dark City said:


Anayasema hayo kweli Kaunga?

Samahani sijawezi na sitaweza kupitia posts zote. Ila kama anasema hayo basi anatakiwa kuwekwa kwenye group la
akina Thabo Mbeki. Hii ni zaidi ya deception!

Unamjua aliyekuwa mshauri mkubwa wa masuala ya kiafya wa Thabo Mbeki alikuwa nani?
D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 11, 2015


 #215

 gorgeousmimi said:
HIV inaathiri cells zilizo na CD4 cell surface antigen na CCR5 beta-chemokine receptor ni muhimu katika
kusababisha maambukizi.CD4-receptors ni Th cells,monocytes,dendritic cells na microglia.Virusi vinaambukiza
kupitia kwenye viral gp120 glycoprotein envelope ambayo inajiunga kwenye CD4 receptor.Kuna baadhi ya watu
wana CCR5 GENE DELETIONS,watu hawa wanakuwa resistant na infection,kwahio hawawezi kupata
maambukizi.

Una uthibitisho wa kisayansi zaidi ya vitabu ulivyosoma shuleni kwamba HIV yupo na anaua T-
cells?

 Reactions:Pompey and arafa255

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 11, 2015


 #216

 Asprin said:
Rafiki puliiiz...

Bado kuna mtu anabisha huu ukweli ulio wazi?

Kuna mtu anayeweza kukataa kuwa shahidi kuwa hili janga halijawahi kumgusa??

Hii kitu ipo na anayepinga anatakiwa aangaliwe sana.

UKIMWI UPO.... yani hiv sio?? Na inaua mbaya.

Tujadili vingine wajameni.


Click to expand...

Kuna mambo mawili;


La kwanza ni kushuhudia/kuona jambo linatokea/limetokea na la pili ni kujua sababu halisi
iliyosababisha kutokea kwa jambo ulilolishuhudia/kuliona.Umenielewa?

Halafu ni vyema ukaweza kutofautisha kati ya Ukimwi na VVU/Ukimwi,haya ni mambo mawili


tofauti kabisa.

 Reactions:arafa255

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 11, 2015


 #217

 Asprin said:
Hhahahahah mzee mwenzangu unasema limao linaangamiza parasites wa malaria??? Nazeeka vibaya asee....

Kuna watu wengine ni wa kufungia kabisa hakyamama. Hakuna jela ya tiba??

Unajua kabla ya wazungu kukuletea vidonge vyao vya malaria,bibi na babu zako walikuwa
wanajitibu vipi?
Swali langu litakuwa irrelevant endapo tu bibi na babu zako kipindi kile kabla ya kuja wakoloni
walikuwa hawaugui malaria.

 Reactions:naa, arafa255 and mavado

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 11, 2015


 #218

 Dark City said:


Mzima mdogo wangu Kaunga? Tumepotezana sana.

Kuhusu swali la Deception, ni kwamba; siyo kila tukio la kujamiiana na mwathirika wa VVU lazima lisababishe
maambukizi. Hapa kuna sababu nyingi za kitaalamu. Kwa mtu anayependa, anaweza kuongeza uelewa wake kwa
kutafuta kutoka google.com sababu za kuwepo kwa discordant couples. Hawa ni wanandoa ambao wanashiriki
tendo la ndoa kama kawaida ila mmoja tu ndiye kaathirika.

Hata hivyo, kuna maelezo mengine nimeona (kwa ufupi) ambayo ni uongo na hatari sana. Kwa mfano, mtu anasema
eti limao inatibu malaria....????

Hilo la VVU ni pana sana,tutakwenda nalo kipekee.Kuhusu limao,sitashangaa kwa wewe


kusema hivyo kwa kuwa halijaandikwa kwenye vitabu vyenu vya kiada,inabidi uende kwenye
vitabu vya ziada.
Utakuwa haufahamu mambo mengi sana yanayoendelea duniani na hasa kwenye masuala haya
ya kiafya.Hujui kama kuna vita baridi kati ya tiba asilia katika magonjwa fulanifulani na tiba
rasmi.Hujui pia hata historia ya western medicine imeanzia wapi.Hujui pia kwamba waliondika
vitabu vyenu mnavyovitumia ni kina nani(sina maana ya majina).Hujui pia kwenye vitabu vyenu
nini hawajaandika ambacho kwao ni hasara kama watakiandika,hivyo hujui mmefichwa nini.
Inabidi kwanza uyajue haya ndio twende sawa,vinginevyo kila kitu nitakachokieleza utakiona
kama hadithi tu,hivyo ni vigumu kwenda pamoja.

 Reactions:Pompey, Kinyau, RGforever and 3 others

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 11, 2015


 #219

 Kaunga said:
Nimepoteza ndugu kibao hadi sijui nini cha kuamini. Wa mwisho ni mtoto ambaye hakufika hata darasa la 3 roho
inauma sana. Mama yake hadi niligombana naye kwa kukataa kumuanzishia dawa hadi kafariki. Sasa wewe
unasema arv ndizo zinaua mbona huyu mtoto wetu hakuanzishiwa dawa? gfsonwin anaijua hii case

Pole sana mkuu(kutoka moyoni);


Mimi pia nimepoteza ndugu zangu wengi kabla sijajua ukweli huu.Baada ya kujua ukweli
niliwahi kuuguza wagonjwa hawa huku nikifanya tafiti kwa makini sana.Siwezi kueleza mengi
hapa.Ila kwa kifupi nina ndugu ambao hawatumii kabisa ARVs na wako safi muda mrefu sasa na
wapo walioacha na wako safi kwa muda mrefu hadi leo hii.
Wako pia ambao wamepima HIV+ wakarudia wakapima HIV- wakarudia wakapima HIV+
wakarudia tena wakawa HIV-,wako safi na hawatumii ARVs,si mimi tu mkitaka stori ambazo
mnaziita za ajabu(kwangu mimi ni kawaida) kuna watu humuhumu wanaweza kuwaambia stori
zao wakija.

Ndugu yangu;
Kuona na kujua sababu iliyosababisha unachokiona ni mambo mawili tofauti.Naendelea
kusisitiza kwamba unifuatilie kwa makini,utagundua ukweli wa yale yote uliyoyaona ambayo
yameshapita na yanayokuja.

Gorgeousmimi
JF-Expert Member
Joined Jun 21, 2010
 8,863   1,500
May 11, 2015


 #220

 Deception said:
Una uthibitisho wa kisayansi zaidi ya vitabu ulivyosoma shuleni kwamba HIV yupo na anaua T-cells?

Kwani wanaoandika vitabu vya mashuleni wanaandika kama hadithi za shingongo?Ofcoz


vithibitisho vipo na ndio maana kukawa na vielelezo.Masuala ya afya lazima yafanyiwe
researches kabla hayajawa published.

http://www.ncbi.nlm.nih.gov/pmc/articles/PMC2627644/pdf/9284370.pdf

Utafiti wa kisayansi umeshafanyika sana,kuna mafurushi ya tafiti.Nimekuwekea moja tu.

Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 12, 2015


 #240

 kai said:
Itakuwaje biashara tu ya ARVs wakati zimegundulika juzi tu? Hapo kabla walikuwa wanafanya biashara
kutoka kwenye nini?
Mkuu umeingilia thread hii katikati/mwishoni,na nina wasiwasi bado utauliza maswali mengi
zaidi ya hili ambayo yote nimeshayajibu.Kama unapenda na una nia ya kweli ya kujua
ukweli,ninakuomba ufuatilie reply zangu za nyuma utapata majibu yote pamoja na hili
pia.Najua hutapoteza muda mwingi zaidi ya mimi ambaye ndiye niliyeandika.
Karibu mkuu.
 mito said:
Hii mada ni nzuri kwa sisi wagonjwa watarajiwa (ofcourse kila mtu anaugua), sema mmeingiza ubishi wa kitaalamu
mpaka mnatupoteza sasa.

Binafsi natumia dawa zote, za asili na hizi za Western, na zote zinanisaidiaga sana tu. Za kiasili nazitumia zaidi
kama kinga, mfano ukitumia limao kama kinga kama Deception anavyosema ni kweli malaria unaweza usiisikie
kabisa. Mi naweza kukaa zaidi ya miaka 2 bila kuugua malaria, naaminiga ni kwa sababu natumia sana limau
pamoja na madawa mengine ya asili. Ikitokea nina malaria huwa natumia kwanza dawa za hospitali, nikimaliza dozi
ndo naendelea na mambo yangu ya limau n.k.

Huwa naamini dawa za hospitali zinafanya kazi fasta, wakati hizi za asili ni slow, so za asili nazitumiaga kama
kinga tu. Hivyo mimi kama mtumiaji naelewa vizuri anachozungumza Deception na pia naelewa vizuri
wanachoongea kina georgeousmimi na madaktari wengine.

Kwahiyo badala ya kubishana mi ningewaomba chonde chonde mjikite kwenye kutoa uzoefu wenu ktk kutibu haya
magonjwa ili mtusaidie sisi wagonjwa. Otherwise, mtakuwa mnatuchanganya zaidi na hayo maneno yenu ya
kitabibu ndo kabisaa, mwishowe uzi utabaki wenu tu maprofessionals
Click to expand...

Safi sana mito;Wewe sasa umenielewa ,na umenielewa kwa kuwa umeshajijengea attitude ya
kutaka kuelewa,hongera kwa hilo.Huwa najisikia raha sana kupata watu kama ninyi.Kama
umenifuatilia sawasawa utaona kwamba mimi sipingani na kila tiba za magharibi,bali hupingana
na baadhi ya tiba fulani tu za magonjwa fulani na si zote.Hata mimi huwa natumia tiba za
magharibi wakati fulani kuwa dawa zake ziko katika concentrated form ambapo huleta majibu
kwa haraka zaidi.
Na ndio maana nilitoa angalizo kwa mwana JF mmoja kwamba anatakiwa atumie limao kama
kinga kwa sasa na si tiba,sikutaka kueleza mambo yote kwa nini nimemwambia hivyo,ila kama
hata limao utalifanyia extract likawa kwenye concentrated form pia linaweza kutumika kama tiba
kama zilivyo dawa nyingine za malaria.Ni kasumba za kimagharibi tu ndizo zimetuharibu.

Sasa madaktari wanakuja hapa wanakimbilia kupinga tu bila kuhoji,mimi nilitegemea nimepata
watu waelewa wa kwenda nao sambamba kwenye uzi huu kumbe hawana tofauti na wale
wengine wanaopenda kupinga bila kuhoji.Sisi inatuwia vigumu kutengeneza extract zetu
wenyewe kwa sababu nyingi sana ambazo nikianza kueleza sitamaliza,unaweza kuandika kitabu.

Wachina wana dawa zao za kutibu magonjwa mbalimbali kama malaria nk kwa kuwa wana
uwezo wa kutengeneza hizo extracts,hivyo wachina wengi hawatumii dawa za magharibi.Watu
wanakurupuka na kuja kupinga tu bila kuhoji,mbona mimi sikupinga tiba za magharibi zaidi ya
hizi za magonjwa ya ki-propaganda?

Mimi niliona yule jamaa kafanya jambo jema kuwaita madaktari humu kumbe ndio wamekuja
kuharibu tu,hawajui hata pa kuanzia kuhoji na badala yake hukimbilia kupinga mambo
wasioyajua.Kweli wasomi ni wengi lakini waelimika ni wachache sana.

 Reactions:arafa255, naa and mito

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 12, 2015


 #242

Dinazarde njoo uku usikie habari njema, zile ARV hazifai tena njoo tupate ushauri apa ooh tusije
kufa kabla ya wakat sijui nani atawapa umbea humu
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

 Reactions:RGforever, amaizing, mito and 1 other person

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 12, 2015


 #243

 Manga ML said:
Mkuu Deception usife moyo ukipata wasaa njoo utupe unachokijua

HAOO WANAOPINGA WATUMIE KAMA UBAO SISI ILI SISI TUNAOPENDA KUJUA PANDE ZOTE
TOSOME

maana habali ya watu kupona ipo na ya watu kuishi navyo na hawatumii dawa ipo vilevile

Karibu

Kama unakumbuka,niliwahi kusema kwamba,kuna watu wanakuomba utoe


ushahidi/evidence/scientific paper si kwamba wanataka kuelewa,la hasha,bali wanataka
ukwame,na ukiwapa evidence,wanasema hiyo sio evidence bali ni speculations,zile wanazotoa
wao ndio evidence za kweli.Na ndio maana nikaelemea kwenye real life experience zaidi na si
scientific paper,lakini hawakunielewa nilikuwa na maana gani.

Sasa angalia,wametaka scientific paper nimewapa,walivyoina,kabla hata hawajaisoma wanasema


ni speculations,unaona hapo?Lakini haya yote niliyajua kabla na ndio maana nilitahadharisha
mapema kwa lengo la kutaka wengine waelewe kiurahisi.

Mkuu hapo kwenye nyekundu nilishawahi kusema kwamba,ni ukosefu wa elimu sahihi ndio
unafanya tusielewe nini kinaendelea kuhusu vipimo vya HIV,kuna sayansi nzito sana kuhusu
vipimo vya HIV.

Nadhani umewahi kuona au kusikia michezo ya kitapeli inayoitwa kanyaboya,karata tatu nk,basi
hivi ndivyo vipimo vya HIV vilivyo.Wameweka sayansi nzito ndani yake ili kurubuni akili
zetu,na kweli wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa sana.Nisingependa kurudia tena hapa kwa kuwa
nilishazungumzia hili la vipimo kwamba ni feki pia.HIV ni feki,vipimo vya HIV ni
feki,Hypothesis ya HIV/AIDS ni feki na madawa ya HIV(yaani ARVs) nayo ni feki.

Hawa jamaa wametumia ukweli wa magonjwa mengine ambayo yapo kiuhalisia na yanatibika ili
kutudanganya.

Ni vigumu sana kwa mtu wa kawaida kung'amua ukweli kama mtu aliyekudanganya ametumia
ukweli kusema uongo.Unahitaji elimu ya ziada hapa.Hawa jamaa wametumia ukweli kusema
uongo,halafu ule uongo wakaurudiarudia mara nyingi sana kwenye vichwa vyetu mpaka imefikia
wakati umekuwa IMANI.

Hivyo kile unachokiona kwa watu ambao umeambiwa wana HIV ni kiini macho ndugu
yangu.Unachokiona na uhalisia ulivyo ni tofauti kabisa ndugu yangu.Mambo yote yapo humu,ni
juhudi zako tu.
Karibu.

Mito
JF-Expert Member
Joined Jun 20, 2011
 8,986   2,000
May 12, 2015


 #244

Mkuu Deception ni kweli kabisa siyo wote watakuelewa na siyo wote watafuata kile
unachosema. Sababu ni kwamba watu wengi hatuna kasumba ya kusoma zaidi ya kile
tulichofundishwa, pia hatuna kasumba ya kuuliza nje ya kile tunachofundishwa. Mimi sina hata
chembe ya udaktari, lakini haya matibabu ya asili nimeanza kuyafuatilia baada ya kuanza
kujiuliza maswali mengi bila kupata majibu ya maana, nikawa na interest ya kusoma zaidi habari
zake ndo nikagundua ni kinga nzuri tu.
Hizi dawa au kinga asili zinatumika pia hata kwenye mifugo. Kule jukwa la biashara kuna uzi
umegusia tiba za asili. Sasa mimi kwa vile tayari nazitumia, sikupata tabu kuamini kuwa zinafaa
kwa mifugo pia. Kifupi mi nafuga kuku, wachache tu kama mia hivi wa kienyeji kwa matumizi
ya familia. Hawa kuku natumia sana kinga asili na wako poa, magonjwa ya mlipuko yanaibuka
kuku wajirani wanakufa wangu wapo tu, nikiwaambia nachotumia hawaamini wanabaki
kunishangaa tu. Ila napo inapotokea ugonjwa fulani naanza na hizi za madukani zinazofanya kazi
fasta then naendelea na asilia zangu kama kawaida. Tena hata hivyo nimekunja kugundua
magonjwa yanaibuka pale ninapozembea kuwapa kinga za asili au ninapokuwa nimesafiri kwa
muda mrefu waliopo wakazembea kuwapa. Lakini ukiifanya kama sehemu ya diet mbona
magonjwa utayasikia kwa jirani tu.
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

 Reactions:Deception

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 12, 2015


 #245

 Kaunga said:
I thank God,kweli tumepotezana sana. Maisha yanakimbiza mno.

Hii kitu inachanganya sana na bahati mbaya wanasayansi hamtuelezi vizuri zaidi ya kutuongezea misamiati migumu
migumu. Mbona std kama symphilis gono herpes na hata fungus inakuwa ni kama sheria mmoja akipata na
mwingine anapata?

Ndugu yangu,hao uliowategemea watoe changamoto hawana uwezo huo kwa kuwa ugonjwa huu
wa HIV haujaegemea kwenye science bali umeegemea kwenye pseudo-science.

Kama ungeegemea kwenye science basi I bet kwa uelewa walionao hawa madaktari ningekuwa
nimeshanyoosha mikono.Lakini haujaegemea kwenye science na ndio maana kuna
mikanganyiko mingi sana na kila kukicha kunaibuka mikanganyiko mipya ambayo hawawezi
kuielezea.

Kwa bahati mbaya watu nao wanapoona mikanganyiko hiyo husema "tumwachie
mungu",amakweli ugonjwa huu feki ni IMANI.
Mungu amekupa akili ili uifanyie nini kama sio kuhoji na kupambanua na kugundua?Sidhani
kama mungu tunayemlilia amekosea kutoa kipaji cha akili kinachotuwezesha kuhoji,tutakuwa
hatutendei haki akili zetu.Kama tunashindwa kuhoji suala lenye utata kama hili je,tutahoji jambo
gani?

Ninakuhakikishia kwamba ninayosema mimi ni ukweli mtupu na ndio maana hao madaktari
hawana ubavu wa kupinga kwa kutoa hoja zenye mashiko ili kujibu masuala tata ambayo
tunayaona kila kukicha kuhusu ugonjwa huu feki katika kila nyanja.Kama wana ubavu waambie
waje tena halafu ujionee mwenyewe.

Sina ugomvi na madaktari,lakini nina hasira na hii system ya kiafya ya magharibi especially
katika magonjwa haya ya ki-propaganda,na ninazidi kupata uchungu nikiwakumbuka ndugu
zangu waliopoteza maisha kwa kula dawa hizi zenye sumu kali kabla sijafahamu ukweli huu.

Kuna watu wanasema mimi napotosha jamii,Ok,waje waseme ni wapi nimepotosha.Nitaendelea


na kampeni hizi kuokoa wengine mpaka siku ya kuingia kaburini,hakuna mwenye uwezo wa
kunizuia.Kama kufa walishakufa wengi kupigania haki na usawa,mimi sitakuwa wa kwanza.

 Reactions:arafa255

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 12, 2015


 #246

 bushman10 said:
Mkuu Deception naomba kujua ni kwanini hata watu wenye uwezo wa kupata mlo kamili na kujitibu
vizuri wanakufa wakipata maambukizi?

-Ni kweli ulifanya controlled reaserch kama hiyo au umesikia kwa wengine?
-Hapo kwenye nyekundu,unazungumzia maambukizi gani?Kama unazungumzia HIV,basi
hukufanya controlled research.Kama ungefanya controlled research lazima ungeona tofauti na
yale unayoyaleza hapa.Soma vizuri reply zangu utaelewa yote hayo.Ukosefu wa uelewa/elimu
sahihi unawafanya watu wengi wafanye wrong observation kuhusu ugonjwa huu feki.

Unajua mkuu,ngoja nikwambie kitu;


Kama ulivyokuwa shuleni ulifundishwa kama 2+2=4 halafu 2*2=4,basi kila namba itafuata
utaratibu huo na ukaamini hivyo,basi kila mlinganganyo kama huo utautolea hoja zinazoegemea
kwenye mlinganyo huo na hutaweza kwenda nje ya hiyo sheria mama.Hivyo utakuwa kila
unapokwenda ukijua kwamba ukijumlisha namba zinazofanana ni sawa na kuzidisha namba
hizohizo.Hata 3+3=6 utasema 3*3=6,hata mtu akikwambia kwamba umekosea hutamwamini
kwa kuwa umeegemea kwenye ile sheria mama ya kwanza ambayo ipo ki-coincidence zaidi.Hivi
ndivyo ulivyo ugonjwa huu feki.Nadhani utakuwa umenielewa.

 bushman10 said:
....Hata matajiri wengi tunaona wanakufa na kuacha pesa zap nyingi tu ilhali wanapata mlo kamili!!? Nisaidie bila
kunirefer.
Suala la msingi sio kufa,bali ni sababu inayowaua.Na ndio maana niko humu kuelezea haya
yote,we jitahidi kuwa mvumilivu kufuatilia.
D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 12, 2015


 #247

 Manga ML said:
Amepotea kidogo bila shaka majukum
Ila kwa nilivo muelewa kutojua chanzo na kuamini tulivo aminishwa yaweza kua sababu kwa kuna mtu katoa
ushahidi kwa rafiki yake kabisa na kwamaelezo yake hata waliompima mwanzo walishangaa wakizani amekuja
kuongeza dozi kwa mimi sikatai mojakwamoja maana taalifa kama hizi zipo na wanapona kweli

Kuna mtu hapo amehoji ni kwa nini magonjwa mengine ya zinaa nikama shiria mmoja akiwa nao mwenzie lazima
apate? kitu ambacho ni tofauti na hili janga kiukweli ingekua kama gono tungekufa karibia wote hawa wenzetu ni
binaadam kwa nje lakin hawana tofaut na ibilisi maana hupanga mipango ya myaka mia na kuifanikisha baada ya
kutimia
Click to expand...

Hapo kwenye nyekundu soma kwa makini ninachoeleza hapa chini;


Kuna link moja nilimpa daktari mmoja humu afuatilie lakini akasema kwamba ile link haitoshi
kuwa evidence.Mojawapo ya mambo yalikuwemo kwenye ile link ni sababu za kisayansi
zinazothibitisha kwamba HIV hasababishi AIDS.Kuna sababu 10 za kisayansi ndani ya ile link
zinazothibitisha kwamba HIV hasababishi AIDS.

Sababu namba 7 inasema kwamba HIV hasababishi AIDS kwa kuwa anashindwa kukidhi haja za
Sheria za Koch(Koch's Postulates).Sheria za Koch zipo 4.Hapa nitazungumzia ile ya 1 na ya 3.
1.Virus au bacteria anayesababisha ugonjwa fulani,lazima awepo katika maeneo yote(hosts)
ambayo ugonjwa huo upo/unaonekana.
3.Virus au bacteria/germ lazima asababishe ugonjwa huohuo kama atadungwa kwenye host
mwingine mwenye afya.

Hizi ni sheria za kisayansi kabisa na endapo ugonjwa hautakidhi sheria zote nne basi ugonjwa
huo utakuwa hausababishwi na germ(virus au bacteria).Hata madaktari wenyewe hawawezi
kupinga hili,kama huamini waulize.

HIV amefeli postulate/sheria zote hizi bila kipingamizi.Na ndio maana hapo kwenye nyekundu
kuna mkanganyiko.Huyo aliyeleta mkanganyiko huu inawezekana hajui hizi sheria za Koch,sasa
mimi nimemsaidia kisayansi zaidi kujibu swali lake.Kama kuna daktari anapinga hili alete
ushahidi wa kisayansi pamoja na ushahidi wa kiuhalisia kama ulivyoletwa kwenye post hii.
K
Kichelepure
Member
Joined Mar 31, 2014
 96   95
May 13, 2015


 #248

 Deception said:
Safi sana mito;Wewe sasa umenielewa ,na umenielewa kwa kuwa umeshajijengea attitude ya kutaka
kuelewa,hongera kwa hilo.Huwa najisikia raha sana kupata watu kama ninyi.Kama umenifuatilia sawasawa utaona
kwamba mimi sipingani na kila tiba za magharibi,bali hupingana na baadhi ya tiba fulani tu za magonjwa fulani na
si zote.Hata mimi huwa natumia tiba za magharibi wakati fulani kuwa dawa zake ziko katika concentrated form
ambapo huleta majibu kwa haraka zaidi.
Na ndio maana nilitoa angalizo kwa mwana JF mmoja kwamba anatakiwa atumie limao kama kinga kwa sasa na si
tiba,sikutaka kueleza mambo yote kwa nini nimemwambia hivyo,ila kama hata limao utalifanyia extract likawa
kwenye concentrated form pia linaweza kutumika kama tiba kama zilivyo dawa nyingine za malaria.Ni kasumba za
kimagharibi tu ndizo zimetuharibu.
Sasa madaktari wanakuja hapa wanakimbilia kupinga tu bila kuhoji,mimi nilitegemea nimepata watu waelewa wa
kwenda nao sambamba kwenye uzi huu kumbe hawana tofauti na wale wengine wanaopenda kupinga bila
kuhoji.Sisi inatuwia vigumu kutengeneza extract zetu wenyewe kwa sababu nyingi sana ambazo nikianza kueleza
sitamaliza,unaweza kuandika kitabu.Wachina wana dawa zao za kutibu magonjwa mbalimbali kama malaria nk kwa
kuwa wana uwezo wa kutengeneza hizo extracts,hivyo wachina wengi hawatumii dawa za magharibi.Watu
wanakurupuka na kuja kupinga tu bila kuhoji,mbona mimi sikupinga tiba za magharibi zaidi ya hizi za magonjwa ya
ki-propaganda?
Mimi niliona yule jamaa kafanya jambo jema kuwaita madaktari humu kumbe ndio wamekuja kuharibu tu,hawajui
hata pa kuanzia kuhoji na badala yake hukimbilia kupinga mambo wasioyajua.Kweli wasomi ni wengi lakini
waelimika ni wachache sana.
Click to expand...

Naomba kuuliza jamani,nimeona post moja humu inasema juisi ya mboga za majani kama
matembele na sipinachi ni nzuri sana katika mwili.hii juisi inaandaliwa vipi hadi kuitumia?
Mkuu deception pamoja na wengine msikatishwe tamaa na watu wachache endeleeni
kutuelimisha.na katika ile ishu ya limao nashukuru sana deception ulilielewa vizuri sana swali
langu.sikumaanisha tiba unapokuwa na malaria ila ukishatumia dawa za malaria then utumie nini
ili malaria isiwe yenye kurudia rudia.mkuu deception nashukuru kwa kunielewa na kunielekeza
vizuri kabisa.usikatishwe tamaa na watu wachache.endelea kutufungua fahamu hao wataalamu
sio rahisi kuongea ukweli kama unavyoongea wewe kwani wanalinda vibarua vyao.

Optimist
JF-Expert Member
Joined Sep 13, 2009
 269   225
May 13, 2015

 #249

mbona literature nyingine zinasema mtu anaweza kuambukizwa vvu kutokana na maji maji
(fluids) kutokakwa mwili wa mwathirika hii imekaaje ?
K
Kisaka Victpr
JF-Expert Member
Joined Jul 28, 2014
 657   195
May 13, 2015


 #250

mkuu nashukuru kwa elimu.Swali:inamaana vipimo vikionyesha HIV neg,nikaanza kutumia


ARV'S baadaye nikipima ntakutwa na HIV+ au AIDS?Usaidizi tafadhali.
D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 13, 2015


 #251

 kichelepure said:
Naomba kuuliza jamani,nimeona post moja humu inasema juisi ya mboga za majani kama matembele na sipinachi
ni nzuri sana katika mwili.hii juisi inaandaliwa vipi hadi kuitumia? Mkuu deception pamoja na wengine
msikatishwe tamaa na watu wachache endeleeni kutuelimisha.na katika ile ishu ya limao nashukuru sana deception
ulilielewa vizuri sana swali langu.sikumaanisha tiba unapokuwa na malaria ila ukishatumia dawa za malaria then
utumie nini ili malaria isiwe yenye kurudia rudia.mkuu deception nashukuru kwa kunielewa na kunielekeza vizuri
kabisa.usikatishwe tamaa na watu wachache.endelea kutufungua fahamu hao wataalamu sio rahisi kuongea ukweli
kama unavyoongea wewe kwani wanalinda vibarua vyao.

Nimekupata mkuu;
-Kuandaa juisi hizi ni rahisi sana,kuna mashine maalum zenye uwezo wa kukamua juisi kutoka
kwenye mboga hizo,ukienda maeneo ya mjini ukiuliza ni rahisi kuzipata,zinakamua vizuri
sana.Ukishakamua hamna complications nyingine,ni unakunywa tu moja kwa moja hiyo juisi
bila kuchanganya na chochote.Ila unaweza kuchanganya juisi za aina mbili au tatu
zinazoendana,mfano,unaweza kuchanganya juisi ya matembele na spinachi kwa pamoja kwenye
glasi halafu unakunywa tu.Ila inahitaji moyo kama ndio mara yako ya kwanza,lakini haina
tatizo.Ukifanya hivyo cancer utaisikia kwenye vyombo vya habari tu au kwa jirani.Najua
madaktari watapinga hili,nawasubiri,maana hapa nimeanzisha vita nyingine.
-Ndio,si rahisi hawa madaktari kuukubali ukweli huu kwa kuwa wamekula kiapo kwenye kazi
zao.Na hili la kula kiapo si la hiari kwao ni la lazima na limetoka mbali sana tangu mwaka 1910
ila wao hawajui tu historia yao halisi.Hawawezi kukubali kwa kuwa watapoteza ajira zao na pia
si tu watapoteza ajira pekee bali wengine hawajui kabisa sayansi hii.
D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 13, 2015


 #252

 optimist said:
mbona literature nyingine zinasema mtu anaweza kuambukizwa vvu kutokana na maji maji (fluids) kutokakwa
mwili wa mwathirika hii imekaaje ?

Hizo literature ni za mainstream medicine ambazo ndizo mimi ninazipinga kwa hoja za
kisayansi.Hazina ukweli wowote,tumedanganywa.Wewe umeanzia mbali sana kwenye uzi
huu,hii ni page ya 13 ya uzi.Fuatilia reply zangu kuanzia mwanzo wa uzi utajua tu ukweli uko
wapi kama una nia ya kweli ya kutaka kuujua huo ukweli.

Hakuna kitu kinachoitwa VVU kiuhalisia,VVU ni kiini macho tu ambacho kinasingiziwa


kusababisha magonjwa zaidi ya 30 ilihali sababu halisi zinazosababisha magonjwa hayo zipo
lakini wametufichwa.Ili tuwaamini zaidi wakaleta na vipimo feki vya kupimia huyo VVU
feki,wameweka trick zao kwenye hivyo vipimo ili vitoe majibu ambayo wewe umeamishwa
kwamba ndio HIV+,halafu kwa kuwa umeshaambiwa kwamba yeye ndiye chanzo cha magonjwa
hayo basi wewe ni vigumu kupinga kwa kuwa tayari wameshakujenga kisaikolojia kuamini.

HIV anasadikika kusababisha magonjwa zaidi ya 30 kama yupo ndani ya mwili,lakini kama
hayupo,sababu halisi zinazosababisha magonjwa hayo ndipo zinapotiliwa mkazo.Kama HIV
yupo mwilini basi sababu halisi zitasahaulika kabisa.Hapo ndipo utakapojua kwamba ugonjwa
huu ambao umepewa jina la ukimwi si mgeni katika maisha yetu na sababu zake zinafahamika
tangu zamani sana na si ugonjwa hatari kwa kuwa una tiba rahisi sana na unapona kabisa.Lakini
walipokuja hawa jamaa kuingiza elimu yao feki ndani ya vichwa vyetu,tumewaamini kama
miungu bila kuhoji, hata kama tunaona mikanganyiko inatokea kila kukicha hatuwezi
kuhoji,akili zetu zimeganda,zina ganzi.Tumeshindwa kabisa kutumia kipaji cha akili
tulichopewa,wenzetu wametumia kipaji cha akili kama silaha ya kutuangamiza sisi ambao
tunaona uvivu wa kutumia akili zetu.

Kama tutatumia akili zetu,basi wao na sisi hamna wa kumzidi mwenzie,wote tuna uwezo
mkubwa.Leo hii kutokana na uelewa nilionao,kama Obama atazungumza jambo fulani,nina
uwezo wa kujua ana maana gani tofauti na kile ambacho watu wanakisikia kwa muda huo kutoka
mdomoni mwake,uwezo huo ninao.
D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 13, 2015


 #253

 kisaka victpr said:


mkuu nashukuru kwa elimu.Swali:inamaana vipimo vikionyesha HIV neg,nikaanza kutumia ARV'S baadaye
nikipima ntakutwa na HIV+ au AIDS?Usaidizi tafadhali.

Kupimwa HIV+ is just a matter of chance,haijalishi kama unatumia ARVs au la,bikira au


la.Protein zinazosababisha vipimo kuleta majibu ya HIV+ zinatolewa na seli za mwili kwa
sababu mbalimbali,lakini wao wanamsingizia HIV.Sisi tumeshaaminishwa hivyo kwamba kama
vipimo vitaonesha HIV+ basi anayepimwa atakuwa na HIV,wameendelea zaidi kutudanganya
kwa kusema,kama aliyekutwa HIV+ anaumwa,basi HIV ndiye atakuwa anahusika na kuumwa
kwake.

Ila hilo la kutumia ARVs halafu baadaye(haijalishi muda) ukapata AIDS halina ubishi
kabisa.Hata kama sasa hivi wewe ni HIV- halafu ukaanza kutumia ARVs,lazima baada ya muda
fulani utapata matatizo kwenye kinga yako,yaani AIDS.Namtaka daktari yeyote aje kupinga hoja
hii kama yupo.Na ndio maana kampeni hizi ninazozisimamia ninalenga kuwataka watu
wasithubutu kutumia ARVs,kwa maana ndio chanzo cha matatizo ambayo tunayaona kwa macho
yetu kwa wale ambao tunaambiwa wameathirika.Kama mtu anaumwa sana lakini hatumii
ARVs,ukimpima kwa uaminifu kabisa,lazima utamkuta na ugonjwa wowote maalum ambao upo
kiuhalisia na una tiba yake na ukimpa tiba anapona kabisa.

 Reactions:Pompey

Amaizing
JF-Expert Member
Joined May 3, 2013
 3,560   2,000
May 13, 2015


 #254

 warumi said:
Dinazarde njoo uku usikie habari njema, zile ARV hazifai tena njoo tupate ushauri apa ooh tusije kufa kabla ya
wakat sijui nani atawapa umbea humu
Hhaaaaa...binamu naona upo huku..huu Uzi mtamu nimeufuatilia toka unaanza ..
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

Kaunga
JF-Expert Member
Joined Nov 28, 2010
 12,573   2,000
May 13, 2015


 #255

mito hawa watu wa humu I mean kina [MENTION=228495] gorgeousmimi na Deception kila


mtu anavutia kwake na hawataki kudebate. Ilibidi jana nifanye kazi ya kugoogle. Deception
anatumia zaudi taarifa za Peter alizochapisha over 20 years ago na argument hizo hizo. Kuna
watu wameshacriticize hizo argument za Peter hasa ile ya Koch test. Wanasema sasa hivi
wanaweza kuisolate huyo HIV na anaweza ambukiza mwingine. Shida ni hawa madaktari
hawana mood ya kumcrush kwa point deception ndio maana anaonekana kushinda argument. I
understand that they are busy lkn kule mmu huwa wana spare enough time huenda kwa ajili ya
kurefresh mind after a long day of work, kingine naelewa kuna specialisation kwa madaktari
hivyo sio wote wana ulewa wa kina juu ya HIV. Generally wanapatiwa symptoms, vipimo na
dosages and they are okay to go. So I excuse them.
Kuhusu deception na Peter na Thabo Mbeki, sisi watu wakawaida we have this simple but ugly
realite ndugu na wapendwa wetu na pengine sisi wenyewe tunaugua tunapimwa na kuambiwa
tuko positive na tunakufa.
Kukataa kuwa hakuna HIV haiondoi ukweli kuwa kuna kitu (bila kujali jina) kinanyong'oneza
(to put it in a light word) afya za watu ni sawa na Kiranga et el anavyodai hakuna ushahidi wa
uwepo wa Mungu; lakini haiondoi ukweli kwamba Mungu YUPO
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

 Reactions:mkurya org. and mito

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 13, 2015


 #256
 Kaunga said:
mito hawa watu wa humu I mean kina gorgeousmimi na Deception kila mtu anavutia kwake na hawataki
kudebate.....

Wewe utakuwa huelewi.Nani hataki ku debate?Kwa nini unashindwa kusema wao hawataki ku
debate?Kati ya mimi na wao ni nani haonekani humu kwenye hii thread?Kitu gani kimekufanya
uone kwamba mimi ninavutia kwangu?Nilidhani umeanza kunielewa kumbe bado sana ndugu
yangu.

 Kaunga said:
....... Kuna watu wameshacriticize hizo argument za Peter hasa ile ya Koch test...
Usifikiri kwamba mimi silijui hilo.Nitajie hao walio criticize argument za Peter na Koch.Sayansi
ni sayansi,haiwezi kubadilika,ukiona imebadilika kuwa uongo basi ujue hiyo sio sayansi.Hata
kama Peter na Koch waliyasema haya muda mrefu,muda si kigezo cha kufanya sheria za sayansi
zibadilike kutoka kwenye ukweli kwenda kwenye uongo/ubatili.Wewe utakuwa hujui sayansi na
ndio maana unahangaika,huelewi wapi pa kushika.Kwa mtu yeyote anayejua sayansi vizuri ni
rahisi sana kung'amua haya ninayosema.

 Kaunga said:
.....Wanasema sasa hivi wanaweza kuisolate huyo HIV na anaweza ambukiza mwingine...
Niletee hapa evidence ya ELECTRONICS MICROGRAPHS za HIV baada ya kumu isolate na
ku purify.Nitakushangaa sana ukileta hizo photo maana hata hao unaowaamini hawana hizo
photos.Labda photoshop.
Halafu angalia jinsi usivyoelewa.Yaani huyo HIV kipindi cha nyuma hakuweza kuambukizwa
kwa njia wanazosisema,imekuwaje ashindwe kipindi kile na aweze sasa hivi.Bado una kazi
ndefu sana ndugu.

Sasa unasema sasa hivi wanaweza kumu isolate,kama kipindi kile mwaka 1984 wameshindwa
kumu isolate na wameweza sasa,hebu niambie zile picha za HIV kipindi kile kabla ya kumu
isolate/purify,walizipata wapi?Sijui kama umeelewa maana yangu hapo.

 Kaunga said:
.....Shida ni hawa madaktari hawana mood ya kumcrush kwa point deception ndio maana anaonekana kushinda
argument....
Wewe lazima utakuwa na uhusiano fulani na hao madakktari.Si kwamba hawana mood bali
hawana hoja za kupinga kile nilisema,wewe unawatetea kivipi?Mimi sikuja humu kutafuta
ushindi,bali nimekuja kuokoa jahazi linazidi kuzamishwa na uongo huu wa karne.Hakuna mtu
aliyeuguza watu walioathirika na ARVs kama mimi humu.Niliuguza huku nikifanya tafiti kwa
makini sana wakati huohuo,hivyo ninaelewa ninachokisema,ndio maana hakuna daktari yeyote
humu mwenye uwezo wa kupinga kwa hoja kile ninachosema,si kwamba wako incompetent,la
hasha,bali hoja ninazotoa hazipingiki kwa kuwa ndio ukweli wa kisayansi ulivyo,wanachosema
wao ni speculations tu.HIV/AIDS is not based on causation but is based on
correlation.Umenielewa?

 Kaunga said:
....wapendwa wetu na pengine sisi wenyewe tunaugua tunapimwa na kuambiwa tuko positive na tunakufa...
Uko positive na kitu gani?
Kufa si tatizo,na si suala la msingi hapa,suala la msingi ni je,unakufa kwa kitu gani hasa?Jitahidi
ku stretch ubongo wako kidogo tu utaelewa maana ya hoja ninazotoa.

 Kaunga said:
...Kukataa kuwa hakuna HIV haiondoi ukweli kuwa kuna kitu (bila kujali jina) kinanyong'oneza (to put it in a light
word) afya za watu ni sawa na Kiranga et el anavyodai hakuna ushahidi wa uwepo wa Mungu; lakini haiondoi
ukweli kwamba Mungu YUPO
Sasa hapo ndipo kwenye suala la msingi.Unaposema kukataa kuwa hakuna HIV haiondoi ukweli
kuwa kuna KITU(bila kujali JINA) kinanyong'onyeza afya za watu.

Sasa mimi niko humu kukujuza hiko KITU kinachonyong'onyeza afya za watu kina JINA
gani.HIV kweli hayupo,kazi ambayo tumedanganywa kwamba inafanywa na HIV(feki)
kiuhalisia haifanywi na HIV bali hufanywa na ARVs.Infact ukweli ni kwamba ugonjwa huu
ulitakiwa uitwe ARVs/AIDS na si HIV/AIDS kama tulivyokuwa brainwashed miaka 30
iliyopita.
Ukiachilia mbali baadhi ya scientific papers/proof ambazo nimezitoa humu kuthibitisha
hilo,kuna real life experiences mitaani zinazothibitisha ukweli huu.Hao madaktari hawawezi
kuthibitisha kwa kutumia real life experience kwamba HIV ndiye anasababisha magonjwa zaidi
ya 30,mimi ninaweza kuthibitisha kwa kutumia real life experience kwamba ARVs ndizo
zinazosababisha magonjwa hayo kwa wale wanaozitumia.
Wewe unasema hawana mood ya kujadili,kama hawana mood kwa nini walikuja humu kuanza
kujadili in the first place baada ya kuitwa na wewe?Kwa nini unashindwa kusema kwamba
hawana hoja za kujadili zaidi ya speculations?Waite tena waje humu kama kweli wana hoja za
msingi.

Wanawake,kina dada zetu wanakufa sana kwa cervical cancer inayosababishwa na ARVs,halafu
ninyi mnaendelea kutetea ukatili huu,watu hamjui ukweli,mkiambiwa ukweli mnapinga kwa hoja
nyepesi nyepesi zisizo namashiko,kwa nini mko hivyo?Kwa nini hamtaki kusikiliza na kudadisi
upande wa pili.Ukitaka kuamini kama dada/mama zetu wengi wanakufa kwa cancer
zinazosababishwa na ARVs,nenda hospitali ya Ocean Road kafanye utafiti.Au nenda kwenye
NGO nyingi tu za mambo ya HIV/AIDS sasa hivi wameanzisha kitengo cha cervical cancer kwa
wanawake wanaotumia ARVs.

Msichukulie mambo haya juu juu tu.Watu tuna miaka kwenye tafiti hizi.

 Reactions:RGforever

Manga ML
JF-Expert Member
Joined Jul 6, 2013
 8,577   2,000
May 13, 2015


 #257

 mito said:
Hii mada ni nzuri kwa sisi wagonjwa watarajiwa (ofcourse kila mtu anaugua), sema mmeingiza ubishi wa kitaalamu
mpaka mnatupoteza sasa.

Binafsi natumia dawa zote, za asili na hizi za Western, na zote zinanisaidiaga sana tu. Za kiasili nazitumia zaidi
kama kinga, mfano ukitumia limao kama kinga kama Deception anavyosema ni kweli malaria unaweza usiisikie
kabisa. Mi naweza kukaa zaidi ya miaka 2 bila kuugua malaria, naaminiga ni kwa sababu natumia sana limau
pamoja na madawa mengine ya asili. Ikitokea nina malaria huwa natumia kwanza dawa za hospitali, nikimaliza dozi
ndo naendelea na mambo yangu ya limau n.k.

Huwa naamini dawa za hospitali zinafanya kazi fasta, wakati hizi za asili ni slow, so za asili nazitumiaga kama
kinga tu. Hivyo mimi kama mtumiaji naelewa vizuri anachozungumza Deception na pia naelewa vizuri
wanachoongea kina georgeousmimi na madaktari wengine.

Kwahiyo badala ya kubishana mi ningewaomba chonde chonde mjikite kwenye kutoa uzoefu wenu ktk kutibu haya
magonjwa ili mtusaidie sisi wagonjwa. Otherwise, mtakuwa mnatuchanganya zaidi na hayo maneno yenu ya
kitabibu ndo kabisaa, mwishowe uzi utabaki wenu tu maprofessionals

Kaunga njoo bwana, we ndo umesababisha jana nije kuutafuta huu uzi pale ulipomstua Asprin kule MMU
Click to expand...

Mimi hiyo marelia hata panadol sili ni mwendo wa ndim na dafu nnacho amini dawa za hospital
zina dhoofisha kwanza kabla ya kupona ukinywa kama ulikua watembea lazima ulale lakin za
asili hudhoofiki kabsaa waendelea na pilika zako

 Reactions:mito

Ankol
JF-Expert Member
Joined Aug 21, 2012
 1,286   2,000
May 13, 2015


 #258

 Kaunga said:
mito hawa watu wa humu I mean kina gorgeousmimi na Deception kila mtu anavutia kwake na hawataki kudebate.
Ilibidi jana nifanye kazi ya kugoogle. Deception anatumia zaudi taarifa za Peter alizochapisha over 20 years ago na
argument hizo hizo. Kuna watu wameshacriticize hizo argument za Peter hasa ile ya Koch test. Wanasema sasa hivi
wanaweza kuisolate huyo HIV na anaweza ambukiza mwingine. Shida ni hawa madaktari hawana mood ya
kumcrush kwa point deception ndio maana anaonekana kushinda argument. I understand that they are busy lkn kule
mmu huwa wana spare enough time huenda kwa ajili ya kurefresh mind after a long day of work, kingine naelewa
kuna specialisation kwa madaktari hivyo sio wote wana ulewa wa kina juu ya HIV. Generally wanapatiwa
symptoms, vipimo na dosages and they are okay to go. So I excuse them.
Kuhusu deception na Peter na Thabo Mbeki, sisi watu wakawaida we have this simple but ugly realite ndugu na
wapendwa wetu na pengine sisi wenyewe tunaugua tunapimwa na kuambiwa tuko positive na tunakufa.
Kukataa kuwa hakuna HIV haiondoi ukweli kuwa kuna kitu (bila kujali jina) kinanyong'oneza (to put it in a light
word) afya za watu ni sawa na Kiranga et el anavyodai hakuna ushahidi wa uwepo wa Mungu; lakini haiondoi
ukweli kwamba Mungu YUPO
Click to expand...

Haswaa. Hata mimi nilikua na wazo kama hili la thread hii kuhamishiwa katika jukwaa la MMU.
Tutapata mawazo ya watu wengi na tutaweza kuchanganua zaidi.
Mods please tunaomba tuhamishieni uzi wetu huu tafadhali

Manga ML
JF-Expert Member
Joined Jul 6, 2013
 8,577   2,000
May 13, 2015


 #259

 mito said:
Mkuu Deception ni kweli kabisa siyo wote watakuelewa na siyo wote watafuata kile unachosema. Sababu ni
kwamba watu wengi hatuna kasumba ya kusoma zaidi ya kile tulichofundishwa, pia hatuna kasumba ya kuuliza nje
ya kile tunachofundishwa. Mimi sina hata chembe ya udaktari, lakini haya matibabu ya asili nimeanza kuyafuatilia
baada ya kuanza kujiuliza maswali mengi bila kupata majibu ya maana, nikawa na interest ya kusoma zaidi habari
zake ndo nikagundua ni kinga nzuri tu.

Hizi dawa au kinga asili zinatumika pia hata kwenye mifugo. Kule jukwa la biashara kuna uzi umegusia tiba za asili.
Sasa mimi kwa vile tayari nazitumia, sikupata tabu kuamini kuwa zinafaa kwa mifugo pia. Kifupi mi nafuga kuku,
wachache tu kama mia hivi wa kienyeji kwa matumizi ya familia. Hawa kuku natumia sana kinga asili na wako poa,
magonjwa ya mlipuko yanaibuka kuku wajirani wanakufa wangu wapo tu, nikiwaambia nachotumia hawaamini
wanabaki kunishangaa tu. Ila napo inapotokea ugonjwa fulani naanza na hizi za madukani zinazofanya kazi fasta
then naendelea na asilia zangu kama kawaida. Tena hata hivyo nimekunja kugundua magonjwa yanaibuka pale
ninapozembea kuwapa kinga za asili au ninapokuwa nimesafiri kwa muda mrefu waliopo wakazembea kuwapa.
Lakini ukiifanya kama sehemu ya diet mbona magonjwa utayasikia kwa jirani tu.
Click to expand...

Ha ha ha kuna mmoja kasema hicho alicho soma kinamtosha na hataki kujiongezea tabu inavo
onekana tunaamini sana wenzetu mpaka tunajizarau wakati sivyo kuna mtu alipewa dawa ya
marelia na rafikiake wa kizungu iliponya kabsaaa na hakusumbuka tena hii inaonyesha
watumiazo wao sio wanazo tuuzia yani wapo kibiashara zaidi
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

 Reactions:mito

Kupe
JF-Expert Member
Joined Jul 26, 2012
 1,026   1,225
May 13, 2015


 #260

Naomba niulize swali kutokana na kusema umefanya utafiti muda mrefu . Je katika utafiti wako
vipi watu walioathirika na hiv katika nchi za ulaya, america, asia.....nao wanatumia arv.......na
kama hawatumii je wanatumia dawa gani naomba unijibu kwa utafiti wako na uelewa wako.
maana ukimwi sio africa ni dunia nzima.
 mavado said:
Naomba niulize hawa madokta wetu, kwa nini, ulaya wanameza tembe chache Za huu ugonjwa, ukilinganisha na
Africa wanameza lumbesa halafu ni daily. ???, mkishanijibu hapo tuendelee

Unafikiri dawa zote zilizo Tanzania ni dawa zilizopitia minadhili yote yakifamasia kuwa dawa
zinazofanya kazi 100%??zina active ingredient sahihi,katika kiwango sahihi,contents nyingine
zipo sahihi na zipo approved na GMP?Umeshawahi kusikia kuhusu GLOBAL PHARMACY?
NB:Si dawa zote zinazopatikana ulaya zipo afrika mkuu!!

 Reactions:mito

Mavado
JF-Expert Member
Joined Jun 25, 2014
 1,182   2,000
May 13, 2015


 #272

 gorgeousmimi said:
Unafikiri dawa zote zilizo Tanzania ni dawa zilizopitia minadhili yote yakifamasia kuwa dawa zinazofanya kazi
100%??zina active ingredient sahihi,katika kiwango sahihi,contents nyingine zipo sahihi na zipo approved na GMP?
Umeshawahi kusikia kuhusu GLOBAL PHARMACY?
NB:Si dawa zote zinazopatikana ulaya zipo afrika mkuu!!

Naona unazunguka tuuu, hujibu swali??? @

Manchira
Member
Joined Apr 30, 2015
 52   0
May 13, 2015


 #273

 Deception said:
Nimekupata mkuu;
-Kuandaa juisi hizi ni rahisi sana,kuna mashine maalum zenye uwezo wa kukamua juisi kutoka kwenye mboga
hizo,ukienda maeneo ya mjini ukiuliza ni rahisi kuzipata,zinakamua vizuri sana.Ukishakamua hamna complications
nyingine,ni unakunywa tu moja kwa moja hiyo juisi bila kuchanganya na chochote.Ila unaweza kuchanganya juisi
za aina mbili au tatu zinazoendana,mfano,unaweza kuchanganya juisi ya matembele na spinachi kwa pamoja
kwenye glasi halafu unakunywa tu.Ila inahitaji moyo kama ndio mara yako ya kwanza,lakini haina tatizo.Ukifanya
hivyo cancer utaisikia kwenye vyombo vya habari tu au kwa jirani.Najua madaktari watapinga
hili,nawasubiri,maana hapa nimeanzisha vita nyingine.

-Ndio,si rahisi hawa madaktari kuukubali ukweli huu kwa kuwa wamekula kiapo kwenye kazi zao.Na hili la kula
kiapo si la hiari kwao ni la lazima na limetoka mbali sana tangu mwaka 1910 ila wao hawajui tu historia yao
halisi.Hawawezi kukubali kwa kuwa watapoteza ajira zao na pia si tu watapoteza ajira pekee bali wengine hawajui
kabisa sayansi hii.
Click to expand...

Hizo juice unatengeneza mboga zikiwa mbichi kabisa au unazichemsha kidogo

Na kama unatengeneza hizo juice bila kuchemsha mboga vpi kuhusu madhara ya kemikali
maana tunajua siku hizi ukuzaji wa mboga unategemea kwa asilimia kubwa kemikali
Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 13, 2015


 #274

 gorgeousmimi said:
Hakuna dawa isio na sideffect!unafaham dawa za ukimwi zinafanya kazi vipi?Ni muhimu ufahamu virusi
anasurvive vipi kwanza ili ujue dawa ya ukimwi inafanya kazi vipi?which is better having a longer life with
medication or short one with none?Dhumuni ya kutibu magonjwa tofauti yasokuwa na tiba ni nini then?Dawa
zinapunguza sickness progression na hatimae kukupa better life quality .Kwa fikra zenu hizo then hakuna umuhimu
wa kutibu ugonjwa wowote!!

I know that, but hizo effects za kutumia madawa for life Big No kwa kweli, Tunakufa na
maukimwi kwa ajili ya lishe Duni tu na ukosefu wa Elimu kuhusu Ukimwi, ile midawa ni mikali
sana, inahitaji msosi wa nguvu, sasa mtu mlo mmoja tu shida, aya uanze kujipa na madawa tena
juu tusife mchezo? Mimi sipingi wala kukubaliana na yeyote ila najaribu tu kuchakachua akili
yangu.

 Reactions:Lizarazu, RGforever, naa and 2 others

Gorgeousmimi
JF-Expert Member
Joined Jun 21, 2010
 8,863   1,500
May 13, 2015


 #275

 mavado said:
Naona unazunguka tuuu, hujibu swali??? @

Hujawahi kuona mtu akijibu swali kwa swali (retroverse question)nimekupa swali ili wewe
mwenyewe ufikirie jibu chemsha ubongo wako.Dawa ya ukimwi kwani ipo jamii moja tu??
Gorgeousmimi
JF-Expert Member
Joined Jun 21, 2010
 8,863   1,500
May 13, 2015


 #276

 warumi said:
I know that, but hizo effects za kutumia madawa for life Big No kwa kweli, Tunakufa na maukimwi kwa ajili ya
lishe Duni tu na ukosefu wa Elimu kuhusu Ukimwi, ile midawa ni mikali sana, inahitaji msosi wa nguvu, sasa mtu
mlo mmoja tu shida, aya uanze kujipa na madawa tena juu tusife mchezo? Mimi sipingi wala kukubaliana na yeyote
ila najaribu tu kuchakachua akili yangu.

Ni kweli umasikini wa watanzania unasababisha watu wanaugulia zaidi kuliko kawaida


kwasababu mabara wengine watu wana ukimwi wanakula dawa na wazimaa..Na ukichunguza
walio victims wengi ni wale wenye maisha duni.

 Reactions:warumi and mito

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 13, 2015


 #277

 gorgeousmimi said:
Hakuna dawa isio na sideffect!unafaham dawa za ukimwi zinafanya kazi vipi?Ni muhimu ufahamu virusi
anasurvive vipi kwanza ili ujue dawa ya ukimwi inafanya kazi vipi?which is better having a longer life with
medication or short one with none?Dhumuni ya kutibu magonjwa tofauti yasokuwa na tiba ni nini then?Dawa
zinapunguza sickness progression na hatimae kukupa better life quality .Kwa fikra zenu hizo then hakuna umuhimu
wa kutibu ugonjwa wowote!!

Hilo suala la kutumia ARV for life time kwa kweli mmh!! hapana ,ata kama nikijua nimeathirika
sitafanya huo upuuzi, nitakula vizuri na kufanya mazoezi, labda kama nikiona hali inabadilika
sana ndio hospital itakuwa option ilaa iv mzima ukanipe mi ARV inahuu? Kama hayo madawa
yasingekuwa mabaya basi waathirika wasingekufa, kila siku watu wanakufa na ukimwi na bado
ARV wanakunywa, si wajaribu plan B? Madawa sio mazuri, yanaua, mwili wa binadamu
ukanywe dawa kila siku mpaka kufa mchezo

 Reactions:mito

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 13, 2015


 #278

 kupe said:
Naomba niulize swali kutokana na kusema umefanya utafiti muda mrefu . Je katika utafiti wako vipi
watu walioathirika na hiv katika nchi za ulaya, america, asia.....nao wanatumia arv.......na kama hawatumii je
wanatumia dawa gani naomba unijibu kwa utafiti wako na uelewa wako.
maana ukimwi sio africa ni dunia nzima.

Kama mimi ningekuwa computer,ningetoa jibu linalosema "question is invalid".


Huwa nasema siku zote kwamba hakuna kijidudu chenye sifa ya kuitwa HIV kwa maana
tuliyokaririshwa sisi.Kuna retrovirus,hawa jamaa wametumia picha ya retrovirus na kumpa sifa
ya HIV.Hakuna retrovirus yoyote duniani mwenye uwezo wa kushusha kinga ya mtu.Hivyo
basi,nitalijibu swali lako kwa kumchukulia HIV kama hypothetical.

Jibu:
Hata sehemu hizo ulizozitaja pia wanatumia ARVs,ila kwa wenzetu wanaoelewa ukweli huu ni
wengi kuliko sisi,ila wajinga pia bado wapo,ila ni wachache sana.

Halafu pia huwa nawarekebisha watu wengi sana kwenye neno hili 'ukimwi'.Hivi kwa nini
mnashindwa kutofautisha kati ya 'ukimwi' na 'VVU/Ukimwi'?Unaposema ukimwi upo dunia
nzima sikupingi hata kidogo,lakini hakuna ugonjwa unaoitwa VVU/Ukimwi.VVU ni kitu cha
kufikirika,hakipo kiuhalisia,hivyo ukimwi hausababishwi na VVU.Nadhani umenielewa.

Gorgeousmimi
JF-Expert Member
Joined Jun 21, 2010
 8,863   1,500
May 13, 2015


 #279
 warumi said:
Hilo suala la kutumia ARV for life time kwa kweli mmh!! hapana ,ata kama nikijua nimeathirika sitafanya huo
upuuzi, nitakula vizuri na kufanya mazoezi, labda kama nikiona hali inabadilika sana ndio hospital itakuwa option
ilaa iv mzima ukanipe mi ARV inahuu? Kama hayo madawa yasingekuwa mabaya basi waathirika wasingekufa,
kila siku watu wanakufa na ukimwi na bado ARV wanakunywa, si wajaribu plan B? Madawa sio mazuri, yanaua,
mwili wa binadamu ukanywe dawa kila siku mpaka kufa mchezo

Je wanakula dawa kwa usahihi ndio swali?na kuna mtu hapo nimemuuliza kuhusu dawa zilizopo
afrika na quality zake ww unadhani zina quality zinazopaswa kuwa nazo??Kitu kingine
nikukumbushe dawa ya ukimwi haiponeshi hakuna dawa ya kuponya ugonjwa wowote wa
virusi,dhumuni ya dawa za ukimwi ni kusaidia ugonjwa usiworsen ili wahusika waishi maisha
marefu na bora.
 gorgeousmimi said:
......si kweli kwamba dawa za HIV zinasababisha AIDs....

Bado mimi nitaendelea kukuheshimu kwa kuwa wewe ni daktari na una uelewa mkubwa
kuhusu mambo ya madawa.Hivyo wakati unaongea na mimi inabidi ujue kwamba unaongea
na mtu anayekukubali kwenye field yako.Lakini pale ambapo huna uelewa nako sina budi
kukujulisha, kwa maana hakuna anayejua vyote.

Hivi hapo juu kwenye nyekundu umeandika wewe kweli?Sina uhakika ndio maana
nakuuliza.Kwa elimu uliyonayo sikutarijia kama ungeandika hivyo.AIDS inatokea kama mtu
ana mapungufu kwenye kinga yake,kuna vitu vingi vinavyoweza kuleta mapungufu kwenye
kinga ya mtu,hapa ninazungumzia specifically ARVs.

Hebu tuchukue mfano wa ARVs mojawapo inayoitwa Tenofovir Disoproxil Fumarate(TDF)


ambayo inatumika na wagonjwa wengi wa AIDS,najua hapa nimekufikisha nyumbani
kwako.
Dawa hii kwenye warning zake inasema "It can cause serious,life-threatening side
effects.These include lactic acidosis and severe liver problems."
Najua unajua kwamba kiwango salama cha acid/alkali kwenye damu(yaani pH) ni
7.365,maana yake damu inatakiwa iwe slightly alkaline ili kinga ya mwili iweze kufanya kazi
yake vizuri.Chini ya kiwango hicho ni majanga matupu,utakuwa na magonjwa
yasiyohesabika na yasiyoisha mpaka unakufa.Najua mpaka hapa huna cha kupinga,labda
urekebishe kidogo sana.
Sasa kama acid itajijenga kwenye damu yako,maana yake pH ya damu yako ita drop na
kuwa chini ya 7.365.ARVs na specifically hii TDF ndivyo inavyofanya kwenye damu za wale
wanaoitumia.TDF inaongeza kiwango cha acid kwenye damu.Acid ni sumu kwenye
damu,acid inapokuwa nyingi INI haliwezi kufanya kazi yake inavyotakiwa na ndio maana
kwenye dawa hizo severe liver problems imetajwa kama mojawapo ya effects.
Pia najua unajua ya kwamba kama damu ina acid nyingi,hewa ya oxygen inapungua sana
hivyo seli za damu zinakosa oxygen ya kutosha kufanya kazi yake,najua unajua nini
kinatokea kama seli za damu zitakosa oxygen.Hata wewe mwenye ukikosa oxygen unajua
kitakutokea nini.Hapa najua huna hoja ya kupinga pia.

Sasa kutokana na ukweli huo,Je,ARVs hazisababishi mapungufu kwenye kinga?Na


kutokana na effects hizo ndio maana magonjwa mengi sana huzaliwa kwa wale ambao
wametumia ARVs muda mrefu.Baadhi ya magonjwa hayo ni kama vile;
-Cancer:Ukimpima mgonjwa yeyote wa cancer lazima utakuta damu yake ni acidic(yaani pH
yake ni chini ya 7.365)
-Ini
-Figo
-Anaemia
-Heart disease
nk.

Fanya uchunguzi kwa wagonjwa wote waliolazwa mahospitalini,lazima utawakuta na


moja/mawili/matatu.... kati ya magonjwa niliyotaja hapo juu.
Kuhusu cancer,usifikiri kama zile NGO za mambo ya HIV/AIDS zilivyoanzisha kitengo
maalumu kwa ajili ya cervical cancer kwa wanawake ilikuwa ni coincidence.Hiyo cancer
inasababishwa na ARVs,fanya uchunguzi wewe mwenyewe kama una muda.
Hivyo basi,nataka nikwambie kwamba ARVs zinasababisha AIDS,hii sio speculation ndugu
yangu,its real.Kama unataka evidence tena kuhusu hizo side effects niambie nitakupa.

 gorgeousmimi said:
...Ukimwi haupo afrika tu upo hata mabara ya ulaya...
Ndugu yangu inabidi uzungumze kama daktari,nani amesema kwamba ulaya hamna
ukimwi.Inabidi uwe unatofautisha kati ya Ukimwi na VVU/Ukimwi.Na wewe pia huoni tofauti
hapo?

 gorgeousmimi said:
....Ukimwi upo kila mahala lakini umaskini wetu waafrika wakifirka,kielimu na kiuchumi unasababisha
tunapukutika kama -----.Tubadilishe mitazamo yetu kwanza.
Tofautisha kati ya ukimwi na VVU/Ukimwi.Hiki ndicho chanzo cha hawa jamaa
kutudanganya.Wametumia ukweli uliokuwepo katika maisha yetu(yaani ukimwi) tangu
karne nyingi zilizopita kusema uongo(yaani VVU/Ukimwi).Uongo wao wameujenga juu ya
msingi wa ukweli.Hawa jamaa wana akili kubwa sana ya kudanganya watu.

 gorgeousmimi said:
Je wanakula dawa kwa usahihi ndio swali?na kuna mtu hapo nimemuuliza kuhusu dawa zilizopo afrika na quality
zake ww unadhani zina quality zinazopaswa kuwa nazo??Kitu kingine nikukumbushe dawa ya ukimwi
haiponeshi hakuna dawa ya kuponya ugonjwa wowote wa virusi,dhumuni ya dawa za ukimwi ni kusaidia ugonjwa
usiworsen ili wahusika waishi maisha marefu na bora.

-ARVs sio dawa ya ukimwi.Sijui kama umeng'amua nina maana gani.


-ARVs hazina faida mwilini zaidi ya hasara kwa kuwa hazina target.Target ya ARVs ni
hewa,haipo,hakuna.Hakuna kirusi mwenye uwezo wa kushusha kinga.

Nitarudia hii mpaka mwisho wa maisha yangu kwa kuwa nina uhakika na ninachokisema.Ninyi
madaktari mmepotoshwa kwenye suala hili,ninawasihi sana msidharau haya
ninayosema,yafuatilieni,mnaua watu bila ninyi wenyewe kujua.

Najua hamkusudii kuua watu kwa ARVs,bali mmedanganywa.Pamoja na kuniona mimi sifai
hapa jukwaani,lakini mkitoka humu tafuteni muda wenu kufuatilia ukweli huu.Hautapungukiwa
kitu kama utafuatilia.

Mnaua watu wasio na hatia kwa kuwapa dawa zenye sumu ambazo hazitibu chochote.Mnafanya
hivyo kwa kuambiwa tu na wakubwa zenu lakini hamjafanya utafiti.Kwa nini mnakuwa wagumu
kuangalia na upande wa pili?

Hivi mnadhani Prof.Peter Duesberg ni chizi,mnadhani Prof.Kary Mullis ni Chizi?Mnadhani Mh


aliyekuwa rais wa SA Thabo Mbeki ni chizi?Hawa ni watu wenye heshima zao,wanajua
wanachokisema mbele ya jamii.Hivi mnafikiri kwa nini hawa watu hawafunguliwi mashtaka ya
kupotosha jamii?Mmeshajiuliza swali hilo ninyi?

Hivi kwa nini hampendi kabisa kujiuliza?Mmepewa nini siku mliyokula kiapo cha udaktari
mpaka muwe hivyo mlivyo?Msinifanye niwaweke kundi moja na wauaji waliotudanganya.

Kwa nini mna roho za kupinga tu pasipo kudadisi.Hivi hamuoni mikanganyiko inayotokea
mtaani kila kukicha ambayo hamuwezi kuielezea kwa theory zenu batili?Kwa nini mnaegemea
upande mmoja tu?Badilikeni ndugu zangu,msiwe wagumu kiasi hicho.

 Reactions:warumi, Ibn Khalidoun and arafa255

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 13, 2015


 #309

 nifah said:
Mhhh! Mhhh, au ndio maana hunenepi nini binamu?

Mwenzangu izi ARV ninazotumia sijui za kichina ata sielewi,au umbea nao unachangia, ngoja
nimuulize kama mtu ukitumia ARV Unatakiwa uache umbea au lah tusije vunja masharti bure
tukaondoka kabla ya wakati

 Reactions:mito

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 13, 2015


 #310

 gorgeousmimi said:
NIMEMUULIZA MASWALI YA MSINGI SANA ANAYAKIMBIA.NA WW ULIVYO NA UPEO MDOGO WA
FIKRA UNAMTETEA LOL :becky:Uwe na usiku mwema 

Wewe kumbe ni daktari? Mmh!! Kazi ipo aiseeh, tunahitaji huelewa zaidi kuhusu hili jambo

Econometrician
JF-Expert Member
Joined Oct 25, 2013
 9,947   2,000
May 13, 2015


 #311

 gorgeousmimi said:
Kuna false positive results ukipima ukimwi kwahio kuna possibilty uambiwe unao wakati huna na kuna uwezekano
jamaa alikuwa hana.Kama nilivyosema awali hakuna dawa ya kuponya magonjwa ya virusi kwasababu hasa RNA-
virusi ni wajanja sana wanabadilisha genetic make up zao na ni njia ya kuimaliza immune system.

what do you mean,inawezekana kipimo kilikuwa feki au doctor haku interpret majibu au kufanya
vipimo vizuri.
Remember,kitu hakiwezi kutokuwepo at the same time kiwepo.ufafanuzi plz!

 Reactions:Lizarazu and Manga ML

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 13, 2015


 #312
 gorgeousmimi said:
Hilo ni chaguo la mtu binafsi warumi lakini si sawa kupotosha watu...

Kwa nini umeng'ang'ania kwamba mimi napotosha na sio wewe?Unaweza kuniambia wapi
nimepotosha?

 gorgeousmimi said:
...Yeye anapotosha watu na ideology zisizoexist...
Ideology gani haipo kati ya yale niliyoyasema?

 gorgeousmimi said:
....anayosema kuwa ukimwi hauambukizwi ...
Wewe mwenyewe ndio unajichanganya pamoja na udaktari wako.Kwa mawazo yako
wewe,unaweza kuniambia ukimwi unaambukizwa vipi?Inabidi uwe makini sana unapojadiliana
na mimi jambo.

 gorgeousmimi said:
.... na hakuna ugonjwa unaoitwa ukimwi come on?Hakuna ukweli wowote hapo!!
Unaweza kuni quote wapi nimesema hakuna ugonjwa unaoitwa ukimwi, ili watu wawe na imani
na wewe?
D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 15, 2015


 #313

 Manchira said:
Hizo juice unatengeneza mboga zikiwa mbichi kabisa au unazichemsha kidogo

Na kama unatengeneza hizo juice bila kuchemsha mboga vpi kuhusu madhara ya kemikali maana tunajua siku hizi
ukuzaji wa mboga unategemea kwa asilimia kubwa kemikali

Mboga zinatakiwa ziwe mbichi kabisa.Kuhusu madhara ya kemikali unatakiwa uzioshe sana na
maji ya moto,hakuna jinsi nyingine ndugu yangu,ndio tumeshajipiga lock kukubali GMO
foods.GMO foods huwezi kuzikuza bila kutumia kemikali,na haya ndio mambo yaliyonifanya
niwe humu JF.Suala mojawapo ambalo liko kwenye mtaala wangu ni hilo la GMO.
Watu hawajui kabisa kuhusu hili jambo.Kwa mfano mtu anaenda gengeni kununua nyanya
chungu,halafu anachagua zile zenye rangi nyeupe,eti kwake yeye ndio bora kwa kuwa hazina
uchungu na ni za kisasa.Kumbe hajui kama hazina virutubisho kama vile vinavyopatikana
kwenye nyanya chungu halisi zile za uchungu kabisa,na hajui pia kama ule uchungu ni
dawa.Watu wanaona vyakula hivi vinafanana kwa macho kumbe ni tofauti kabisa kama utakuwa
na uelewa.
Na ndio maana utakuta mtu anajitahidi kula vizuri lakini bado anaumwa mara kwa mara.
Kuna mambo mengi ya kujua ndugu yangu yangu.

GMO=Genetic Modified Organisms(Food,in this case)


 Reactions:Manchira and Ibn Khalidoun

Diplomatic Imunnity
JF-Expert Member
Joined Apr 2, 2012
 1,238   1,250
May 15, 2015


 #314

hahahaha umoja ni nguvuuuuuuuuuuuuuu

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 15, 2015


 #315

nifah Dinazarde, mito Diva Beyonce aya kujeni sasa uzi wetu umerudi


Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

 Reactions:Raynavero, naa, mito and 2 others
Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 15, 2015


 #316

 gorgeousmimi said:
Ha ha ha lol....ukibishana na mjinga unakuwa mjinga tu ngoja niwaache mpotoshane   tchao tchao

Wewe unaweza kuwa ni mjinga kuliko sisi, uliwezaje kupoteza muda wako na akili yako isiyo
na utashi kwenda ku comment kwenye uzi wa wajinga? Basi tunaomba utuache kwa Amani ili
tuendelee kupotoshana maana naona huna hoja ya msingi ya kuitetea hyo kauli yako ya
kupinga ,hoja zako ni dhaifu, ninaanza kupatwa wasi wasi na taaluma yako. Samahani lakini.

 Reactions:steve111, Raynavero, Showme and 3 others

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 15, 2015


 #317

 gorgeousmimi said:
Ha ha ha lol....ukibishana na mjinga unakuwa mjinga tu ngoja niwaache mpotoshane   tchao tchao

Kama wewe ni daktari kweli ni vyema ukawa makini na maandishi yako, vinginevyo unaweza
kupoteza ata huo uaminifu mdogo watu waliokujengea, maana watu wengi sana wanafuatilia hii
topic, bora uwe mjinga wa kukaa kimya na kusoma kuliko kuwa mpumbavu wa kujenga hoja
dhaifu ambazo hazina mashiko especially kwa daktari kama wewe. Apa unaendelea kujiaibisha
wewe na hiyo taaluma yako

 Reactions:Raynavero, Showme, kaburungu and 1 other person


Manga ML
JF-Expert Member
Joined Jul 6, 2013
 8,577   2,000
May 15, 2015


 #318

 warumi said:
Wewe kumbe ni daktari? Mmh!! Kazi ipo aiseeh, tunahitaji huelewa zaidi kuhusu hili jambo

Hukuntendea haki asee kwa upande mwingine hongela

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 15, 2015


 #319

 gorgeousmimi said:
NIMEMUULIZA MASWALI YA MSINGI SANA ANAYAKIMBIA.NA WW ULIVYO NA UPEO MDOGO WA
FIKRA UNAMTETEA LOL :becky:Uwe na usiku mwema 

Sio kuwa na Upeo mdogo binamu,tatizo hoja zako hazina mashiko yani nyepesi mno kiasi
kwamba hata mtu aliyemaliza form four anaweza kuelezea kama wewe , wewe ni daktari be
proffesional, Deception anaweza akawa muongo lakini mwenzio ana point muhimu za
kutetea uongo wake, na wewe unaweza kuwa mkweli ila inawezekana pia ukawa na upeo
mdogo kuhusu hili jambo, sasa apa unataka tumuamini nani binamu? Jenga hoja za msingi
kama datktari.
Mimi nilikuwa sijui kuwa wagonjwa wa UKIMWI uwa wanameza vidonge kila siku, nilikuwa
sijui kuwa waathirika wanatumia madawa hayo kwa maisha yao yote, ila nimeuliza
kwa Deception na kaniambia na sasa ivi ninajua, kwa hiyo kwa kuwa nimeuliza kuhusu ARV
basi warumi ana ukimwi? Mtajijua wenyewe mimi uwaga siogopagi watu when it comes kwenye
issue za muhimu kama izi, acheni upumbavu fungukeni humu watu wajue..
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

 Reactions:Raynavero, Showme, Habari ya Mujini and 1 other person

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 15, 2015


 #326

Kuna swali moja liliulizwa hivi:

 Manga ML said:
Kuna mtu ametoa ushahidi wa rafikiake alianza kunywa arv baada yakusikia watu wakikanusha uwepo wa ukimwi
nakushauli kupimwa ugonjwa husika
Akamshauli rafikie na kwenda kupima upya na kuanza batibabu akapona kabisaaa je huyo nae anapotosha?
Huyo mtu mwenyewe aliyetoa ushahidi huo ni huyu hapa chini:

 arafa255 said:
Deception

Bravoo!
Mkuu upo vizur.
Cheki hii true story iliyotwist brain yangu.
Kuna jamaa yangu mwaka 2013 mwishoni aliambukizwa HIV(feki) kwa makusudi na mwanamke wake wakati huo
akitumia ARV kisha kumwambia akapime ili aanze dozi maana keshakufa. Akaanza kuharisha, mara kakonda,
vipele havikuchelewa, Akanifuata kwa ushauri sababu alipanic, moja kwa moja kupima kweli akakuta anao
(HIV+feki) wakampa hapo hapo dozi. tuliporudi nikamuacha home apumzike nikaenda kijiweni na kuwakuta
jamaa (huwa wanaenda kwa madiba na kurudi) wakibishana juu ya aids.

Walisema muhimu ni kupima magonjwa haya; pneumonia, malaria,TB.usijaribu kumeza ARV! na ukiwa na moja
kati ya hayo yatibu kisha kula mlo kamili ndani ya mwezi kisha kapime tena.! Basi nikampelekea jamaa yangu huo
ushauri na kwa shingo upande akaufuata akaenda kupima kesho yake akakutwa na pneumonia akapewa dawa zake
baada ya wiki 2 akaanza kula chakula kamili, matunda mengi.

Huwezi kuamini baada ya mwezi na wiki 1 tukaenda palepale alipopima na kukutwa yupo HIV- yenyewe wale
wapimaji walishangaa maana walijua kafuata dozi ingine. Hivi sasa ameoa na ana watoto wawili as always yupo
negative. Hapo ndipo nikaanza kuhisi conspiracy flani hivi.
Nina swali moja;

Kuna suala nahitaji ufahamu kidogo..

Je ukitembea peku na mtumiaji wa arvs kuna side effects? Kama zipo nitajie.
Click to expand...
Jibu la doctor lilikuwa hivi:

 gorgeousmimi said:
Kuna false positive results ukipima ukimwi kwahio kuna possibilty uambiwe unao wakati huna na kuna uwezekano
jamaa alikuwa hana.Kama nilivyosema awali hakuna dawa ya kuponya magonjwa ya virusi kwasababu hasa RNA-
virusi ni wajanja sana wanabadilisha genetic make up zao na ni njia ya kuimaliza immune system.
Tuchambue jibu alilotoa doctor sasa:

1."ukipima ukimwi"
-Huwa hawapimi ukimwi bali wanapima VVU/HIV.Na ndio maana napishana na doctor maeneo
kama haya,yeye hajangundua bado.

2."kuna possibilty uambiwe unao wakati huna"


-Nadhani wenyewe mnathibitisha kwamba vipimo hivi ni feki.Hili nilishalizungumzia mwanzoni
kabisa.Hata yeye mwenyewe anakubali hilo.Sasa uamuzi ni wenu wenyewe.

3."kuna uwezekano jamaa alikuwa hana"


-Kwa sababu amesema "kuna uwezekano", sasa na mimi nasema tuchukulie kuna uwezekano
jamaa kweli alikuwa ana HIV.
Doctor inatakiwa ajibu swali hili huku akichukulia upande wa pili kwamba jamaa kweli alikuwa
na HIV,maana amechukulia uwezekano wa upande mmoja tu,sasa inabidi achukulie na upande
huu wa pili.Tunamsubiri.

 Reactions:Analyse, starboy09, mavado and 1 other person

Chitalula
JF-Expert Member
Joined Nov 3, 2010
 1,304   1,225
May 15, 2015


 #327

Tunawashukuru mods kwa kuturudishia uzi wetu, ngoja niendelee nilikoishia kusoma

 Reactions:mito and warumi
Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 15, 2015


 #328

 chitalula said:
tunawashukuru mods kwa kuturudishia uzi wetu, ngoja niendelee nilikoishia kusoma

jisomee mwenzangu, kama una swali uliza uwasaidie na wengine, maana watu wanaona aibu
kuchangia na kuuliza maswali kwa kuogopa kuwa watahisiwa wana ukimwi, kuna baadhi ya
watu wanakimbilia kwenye msg kuuliza maswali ila wengine wanasoma ila hawajajiunga humu,
so mkiuliza maswali apa mtawasaidia na wengine uko, najua bwna Deception anapokea msg
nyingi sana pm, ila kuna ambao hawana access na wanahitaji kujua apa na ndio maana huu uzi
upo, watu wasiogope kuuliza maswali kuhusu ukimwi na arv.
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

 Reactions:mito

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 15, 2015


 #329

Kuna watu humu wakisikia neno UKIMWI wanabanwa na haja kubwa, wanaogopa inaweza
wakawa wameathirika au wanajihisi wameathirika, njoo apa uliza maswali usaidiwe, ukikimbilia
PM hautawasaidia wengine Deception naomba usitishe kwa muda huduma za PM, kama una
maswali ya kawaida njoo uwanjani apa uulize ili mimi na yule tujue, jamii inahitaji kufahamu
upande wa pili kuhusu Ukimwi na ARV, sio wote wenye access au kujua kutumia PM, mtu
kajitolea kwa nini msiulize? Inaweza ikawa ndugu yako ana ukimwi, rafiki, jamaa au ata wewe,
sio vibaya kuuliza, na kuuliza maswali haimaanishi kuwa umeathirika, ila ni Elimu tu ambayo
kila mtu anatakiwa kuifahamu.
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

 Reactions:Deception, mito and Ibn Khalidoun
D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 15, 2015


 #330

Kuna reply moja doctor alisema ARVs hazisababishi Ukimwi/AIDS.Mimi nikamwambia


kwamba ARVs ndizo zinazosababisha Ukimwi kwa wale wanaozitumia baada ya muda
fulani.Maelezo yangu kuthibitisha kwamba ARVs ndizo zinasababisha Ukimwi kwa wale
wanaozitumia ni haya hapa chini:

 Deception said:
Hebu tuchukue mfano wa ARVs mojawapo inayoitwa Tenofovir Disoproxil Fumarate(TDF) ambayo inatumika na
wagonjwa wengi wa AIDS,najua hapa nimekufikisha nyumbani kwako.
Dawa hii kwenye warning zake inasema "It can cause serious,life-threatening side effects.These include lactic
acidosis and severe liver problems."
Najua unajua kwamba kiwango salama cha acid/alkali kwenye damu(yaani pH) ni 7.365,maana yake damu
inatakiwa iwe slightly alkaline ili kinga ya mwili iweze kufanya kazi yake vizuri.Chini ya kiwango hicho ni majanga
matupu,utakuwa na magonjwa yasiyohesabika na yasiyoisha mpaka unakufa.Najua mpaka hapa huna cha
kupinga,labda urekebishe kidogo sana.
Sasa kama acid itajijenga kwenye damu yako,maana yake pH ya damu yako ita drop na kuwa chini ya 7.365.ARVs
na specifically hii TDF ndivyo inavyofanya kwenye damu za wale wanaoitumia.TDF inaongeza kiwango cha acid
kwenye damu.Acid ni sumu kwenye damu,acid inapokuwa nyingi INI haliwezi kufanya kazi yake inavyotakiwa na
ndio maana kwenye dawa hizo severe liver problems imetajwa kama mojawapo ya effects.
Pia najua unajua ya kwamba kama damu ina acid nyingi,hewa ya oxygen inapungua sana hivyo seli za damu
zinakosa oxygen ya kutosha kufanya kazi yake,najua unajua nini kinatokea kama seli za damu zitakosa oxygen.Hata
wewe mwenye ukikosa oxygen unajua kitakutokea nini.Hapa najua huna hoja ya kupinga pia.

Sasa kutokana na ukweli huo,Je,ARVs hazisababishi mapungufu kwenye kinga?Na kutokana na effects hizo ndio
maana magonjwa mengi sana huzaliwa kwa wale ambao wametumia ARVs muda mrefu.Baadhi ya magonjwa hayo
ni kama vile;
-Cancer:Ukimpima mgonjwa yeyote wa cancer lazima utakuta damu yake ni acidic(yaani pH yake ni chini ya 7.365)
-Ini
-Figo
-Anaemia
-Heart disease
nk.

Fanya uchunguzi kwa wagonjwa wote waliolazwa mahospitalini(wanaotumia ARVs),lazima utawakuta na


moja/mawili/matatu.... kati ya magonjwa niliyotaja hapo juu.
Kuhusu cancer,usifikiri kama zile NGO za mambo ya HIV/AIDS zilivyoanzisha kitengo maalumu kwa ajili ya
cervical cancer kwa wanawake ilikuwa ni coincidence.Hiyo cancer inasababishwa na ARVs,fanya uchunguzi wewe
mwenyewe kama una muda.
Hivyo basi,nataka nikwambie kwamba ARVs zinasababisha AIDS,hii sio speculation ndugu yangu,its real.Kama
unataka evidence tena kuhusu hizo side effects niambie nitakupa.
Click to expand...
Doctor alijibu hivi:

 gorgeousmimi said:
Hata paracetamol ukinywa na pombe inasababisha liver toxicity na watu wanafanya hivo all the time.Ukitumia dawa
kuna sideffects always ambazo zinavumilika na ambazo zinazoweza kuwa weighed faida zake against
benefits.Wewe ndio unadanganya watu.Kwani dawa zote zinakuwa metabolized kwa njia gani?
Tuchambue jibu la doctor:

1."Hata paracetamol ukinywa na pombe inasababisha liver toxicity"


-Hata mimi simpingi doctor kuhusu hili,lakini Je,jibu alilotoa linaendana na content ya maelezo
niliyotoa mimi hapo juu?Hamuoni kwamba ilitakiwa apinge kwa hoja hayo niliyoeleza mimi
badala ya kutoa mfano wa paracetamol?Je,ni kweli hajui kwamba mjadala wetu hapa ni ARVs
na sio paracetamol?Je,watu hutumia paracetamol kila siku kama ilivyo kwa ARVs?Kweli yeye
haoni kama kuna tofauti kati ya dawa hizi mbili?

2."Ukitumia dawa kuna sideffects always ambazo zinavumilika"


-Tuchukulie maneno haya "ambazo zinavumilika"
-Sasa twende kwenye hoja:
-Je,ugonjwa wa cancer unavumilika?
-Je,ugonjwa wa ini unavumilika?
-Je,ugonjwa wa figo unavumilika?
-Je,upungufu wa damu(anaemia) unavumilika?
-Je,ugonjwa wa moyo unavumilika?

Na ndio maana nilitaka jibu lake liegemee kwenye ARVs,na sio kutoa mfano wa dawa
nyingine.Inatakiwa sasa ajibu kama kweli magonjwa hayo hapo juu ambayo husababishwa na
matumizi ya ARVs yanavumilika.

3."Wewe ndio unadanganya watu"


-Sasa inabidi doctor aeleze kwa hoja ni wapi nimedanganya kwenye haya maelezo yangu ili
ninyi wana JF muweze kumwamini na kujenga imani naye.

 Reactions:Lukub, Beka Mpole, Lizarazu and 8 others

Definition
JF-Expert Member
Joined Nov 28, 2013
 969   1,000
May 15, 2015


 #331

ahaaa...acha siasa kwenye medical unapotosha jamii na siasa zako zisizo na


evidences...ikumbukwe virus hasa wenye RNA wana stage 6 za ukuwaji wao na ant virus...ARV
kama ziduvudane ina inhabitor only 3 stages of virus kati ya 6 ndio sababu znashindwa kutibu
HIV buli zina sogeza mda kwaku zuia hzo atua 3 za ukuaji...pia ikumbukwe kuwa kumuua HIV
virus inakuwa ngumu kwasababu ana reverse...RNA material yake kwenye DNA yako
kulazmisha replication ya more virus ivyo ili kuzuia replication nilazma ufanye kuuwa T-
lymphocytes kwanza ndo uweze kuuwa new generation ya virus....ukiacha CD4 kuna CD8
cytotoxic ambazo hufanya kuuwa target infrcted CD4 naku sababisha upungufu wa kinga
kwakuwa cd4 cells ztakuwa zna kisha due to repture after virises replication and cytotoxic...sasa
kwa style hii kwanini CD4( kinga zisishuke) je utashindwa sema HIV ina leta
AIDS.....!!??????????? tukrudi kwenye Arvs nina evidence tosha kuwa zna ongeza maisha(CD4)
nshawahi kumu hufumia patient with HIV infection nakumbuka alikuwa na CD4 < 200 ila baada
yakuanza ARVs dose zka rise na akatoka kwenye deadline ya AIDS.....!! mfano mwingne waku
jiulza kwanini watu wenye HIV + baada ya CD4 kuwa <200 wanapata opportunity disease such
us CANdIDIASIS.....TB....PNEUMOCYTIS CARINII...TAXOPLASMA GONDII...!!??? kama
syo wana upungufu wa kinga mwilini such us T helper cells(CD4)...!!???....nakumbuka pia
umesha wahi sema amna m2 aliye ona virus uki maanisha ni CONSPIRATORY THEORY..?
jambo hili syo kweli deily watu wanawaona virus by using ELECTONE MICROSCOPE..... na
ndio maana wakapata structure za virus + morphological future....

 Reactions:gorgeousmimi and warumi

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 15, 2015


 #332

 definition said:
ahaaa...acha siasa kwenye medical unapotosha jamii na siasa zako zisizo na evidences...ikumbukwe virus hasa
wenye RNA wana stage 6 za ukuwaji wao na ant virus...ARV kama ziduvudane ina inhabitor only 3 stages of virus
kati ya 6 ndio sababu znashindwa kutibu HIV buli zina sogeza mda kwaku zuia hzo atua 3 za ukuaji...pia
ikumbukwe kuwa kumuua HIV virus inakuwa ngumu kwasababu ana reverse...RNA material yake kwenye DNA
yako kulazmisha replication ya more virus ivyo ili kuzuia replication nilazma ufanye kuuwa T-lymphocytes kwanza
ndo uweze kuuwa new generation ya virus....ukiacha CD4 kuna CD8 cytotoxic ambazo hufanya kuuwa target
infrcted CD4 naku sababisha upungufu wa kinga kwakuwa cd4 cells ztakuwa zna kisha due to repture after virises
replication and cytotoxic...sasa kwa style hii kwanini CD4( kinga zisishuke) je utashindwa sema HIV ina leta
AIDS.....!!??????????? tukrudi kwenye Arvs nina evidence tosha kuwa zna ongeza maisha(CD4) nshawahi kumu
hufumia patient with HIV infection nakumbuka alikuwa na CD4 < 200 ila baada yakuanza ARVs dose zka rise na
akatoka kwenye deadline ya AIDS.....!! mfano mwingne waku jiulza kwanini watu wenye HIV + baada ya CD4
kuwa <200 wanapata opportunity disease such us CANdIDIASIS.....TB....PNEUMOCYTIS
CARINII...TAXOPLASMA GONDII...!!??? kama syo wana upungufu wa kinga mwilini such us T helper
cells(CD4)...!!???....nakumbuka pia umesha wahi sema amna m2 aliye ona virus uki maanisha ni CONSPIRATORY
THEORY..? jambo hili syo kweli deily watu wanawaona virus by using ELECTONE MICROSCOPE..... na ndio
maana wakapata structure za virus + morphological future....
Click to expand...

Ahsante kwa hoja yenye mashiko, tunamsubiria Deception tusikie kutoka kwake, bora ata wewe
unaeleweka vizuri na hoja zako.
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

 Reactions:Manga ML and Manchira

Diplomatic Imunnity
JF-Expert Member
Joined Apr 2, 2012
 1,238   1,250
May 15, 2015


 #333

 warumi said:
Ahsante kwa hoja yenye mashiko, tunamsubiria Deception tusikie kutoka kwake, bora ata wewe unaeleweka vizuri
na hoja zako.

 Diplomatic Imunnity said:


hili nitukio liminitokea mm nimekuwa na mahusiano mwanamke tangu mwaka 2012 mpaka leo huyu mwanamke
miaka 10 iliyopita alipata maradhi ya hiv badae aliugua sana tena akapata matezi shingoni miguuni vidonda baada
ya muda mwaka 2011 alianzishia dozi ya arvs code 171 mpaka leo anatumia hizo dawa binafsi nimekuja
kuyagundua haya mwezi watatu kwa kipindi chote alinificha siku mikakati ya ndoa nikaanza kufanya ss baada ya
kupeleka barua ya posa nikawa najiuliza mbona mimba akipata zina haribika nikaset cm yake iwe inarekodi
maongezi ndipo nikaja kusikia kwa mdomo wake yy na mama yake wakilizungumza mama yake alikuwa
anamuuliza je mwanaume anajua hali yko mawanamke akamjibu hajui nilishiwa nguvu baadae nikaja kupekua
pochi yake nikakutana na vidonge vya arv nikamilisha upelelezi wangu nikatafuta siku nzuri tukaa sehemu
nikamuuliza kweli alikiri ni hiv + niliumia sana ila nilikuta namsamehe nikaenda kupima mm nikajikuta nipo salama
yani sina huo ugonjwa nikaa baada ya wiki nikarudi tena hosp nikapima nipo salama na dokta aliniambia nisiwe na
shaka baada ya kupata juzi jumatatu ilikuwa zamu yake kwenda kuchukua vidonge nilamwambia tuende wote
tukaenda mpaka hind mandal hosp kweli nililipa ili kupimwa cd4 zake mana mara ya mwisho aliniambia alipima
zilikuwa 567 na nilipa sh 3000 kumuona dokta na kweli wakati ukafika tukaingia kwa dokta baada ya pale tukaenda
chumba cha dawa tukapatiwa vikopo viwili wallah hapo nikawa nimepata jibu sahihi kuwa mwenzangu ni mgonjwa
sasa kuna vitu.najiuliza nilikuwa naishi naye kiwembe chake ndio kiwembe changu mm namtindo wa kungata kucha
na vinyaama vya vidole na mie Namchezo wa kuchezea kule kwa vidole mpaka ss sijaelewa nm mimetokeà na bado
Ninaye huyo mwanamke sasa kutokana na elimu ya ndugu yetu Nitapenda nimshauri huyu mwanamke wangu
akapime tena isije naye akawa analishwa madawa bila sababu
Click to expand...
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

 Reactions:Raynavero, Showme, arafa255 and 2 others

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 15, 2015


 #334

 definition said:
ahaaa...acha siasa kwenye medical unapotosha jamii na siasa zako zisizo na evidences...ikumbukwe virus hasa
wenye RNA wana stage 6 za ukuwaji wao na ant virus...ARV kama ziduvudane ina inhabitor only 3 stages of virus
kati ya 6 ndio sababu znashindwa kutibu HIV buli zina sogeza mda kwaku zuia hzo atua 3 za ukuaji...pia
ikumbukwe kuwa kumuua HIV virus inakuwa ngumu kwasababu ana reverse...RNA material yake kwenye DNA
yako kulazmisha replication ya more virus ivyo ili kuzuia replication nilazma ufanye kuuwa T-lymphocytes kwanza
ndo uweze kuuwa new generation ya virus....ukiacha CD4 kuna CD8 cytotoxic ambazo hufanya kuuwa target
infrcted CD4 naku sababisha upungufu wa kinga kwakuwa cd4 cells ztakuwa zna kisha due to repture after virises
replication and cytotoxic...sasa kwa style hii kwanini CD4( kinga zisishuke) je utashindwa sema HIV ina leta
AIDS.....!!??????????? tukrudi kwenye Arvs nina evidence tosha kuwa zna ongeza maisha(CD4) nshawahi kumu
hufumia patient with HIV infection nakumbuka alikuwa na CD4 < 200 ila baada yakuanza ARVs dose zka rise na
akatoka kwenye deadline ya AIDS.....!! mfano mwingne waku jiulza kwanini watu wenye HIV + baada ya CD4
kuwa <200 wanapata opportunity disease such us CANdIDIASIS.....TB....PNEUMOCYTIS
CARINII...TAXOPLASMA GONDII...!!??? kama syo wana upungufu wa kinga mwilini such us T helper
cells(CD4)...!!???....nakumbuka pia umesha wahi sema amna m2 aliye ona virus uki maanisha ni CONSPIRATORY
THEORY..? jambo hili syo kweli deily watu wanawaona virus by using ELECTONE MICROSCOPE..... na ndio
maana wakapata structure za virus + morphological future....
Click to expand...

Naomba uwe makini na utumiaji sahihi wa lugha ya kigeni, sina uhakika kama ni Typing error,
vinginevyo nimekusoma, bora ata wewe umekuja na pingamizi lenye mashiko

 Reactions:Manga ML
Diva Beyonce
JF-Expert Member
Joined Mar 6, 2014
 12,937   2,000
May 15, 2015


 #335

 warumi said:
Mimi nilikuwa sijui kuwa wagonjwa wa UKIMWI uwa wanameza vidonge kila siku, nilikuwa sijui kuwa waathirika
wanatumia madawa hayo kwa maisha yao yote, ila nimeuliza kwa Deception na kaniambia na sasa ivi ninajua, kwa
hiyo kwa kuwa nimeuliza kuhusu ARV basi warumi ana ukimwi? Mtajijua wenyewe mimi uwaga siogopagi watu
when it comes kwenye issue za muhimu kama izi, acheni upumbavu fungukeni humu watu wajue..

Uu Uzi umenifunza mengi huko hayo ma ARV ndo yanayowamaliza wengi aisee imagine daily
mtu anayameza bila kuwa na side effects nilikuaga nawaza ila Leo nimepata jibu ndo mana
wengi wanaotumiaga haya madawa siku akiugua kidogo tu basi kwaheri na kuna mda huwa
zinawakataa.
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

 Reactions:mito and warumi

Gorgeousmimi
JF-Expert Member
Joined Jun 21, 2010
 8,863   1,500
May 15, 2015


 #336

 Econometrician said:
what do you mean,inawezekana kipimo kilikuwa feki au doctor haku interpret majibu au kufanya vipimo vizuri.
Remember,kitu hakiwezi kutokuwepo at the same time kiwepo.ufafanuzi plz!

Kipimo sio feki ila health personal wanaweza kukosea kuinterpret majibu vizuri kutokana na
lack of skills/training.Kipimo kinaweza kufail kutokana na sababu kama sensitivity ya kipimo
cha haraka kuwa chini au kutoa mixed up results na kusababisha kuwa interpreted kimakosa.Ni
kawaida kwenye tests tofauti hata ya mimba inaweza ikupe false positive results.Na ndio maana
ukipima HIV unashauriwa upime at least mara 3 na katika muda tofauti.Hata maabara kama
unafanya experiment lazima uifanye mara 3 au zaidi ili uproove hypothesis yako na majibu yawe
na uwiano in ratio at least 2:1.
Ni muhimu ukipima HIV upime mara tatu kwa nyakati tofauti na daktari ainterpret majibu yako.

 Reactions:warumi, definition and mito

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 15, 2015


 #337

 gorgeousmimi said:
Kipimo sio feki ila health personal wanaweza kukosea kuinterpret majibu vizuri kutokana na lack of
skills/training.Kipimo kinaweza kufail kutokana na sababu kama sensitivity ya kipimo cha haraka kuwa chini au
kutoa mixed up results na kusababisha kuwa interpreted kimakosa.Ni kawaida kwenye tests tofauti hata ya mimba
inaweza ikupe false positive results.Na ndio maana ukipima HIV unashauriwa upime at least mara 3 na katika muda
tofauti.Hata maabara kama unafanya experiment lazima uifanye mara 3 au zaidi ili uproove hypothesis yako na
majibu yawe na uwiano in ratio at least 2:1.
Ni muhimu ukipima HIV upime mara tatu kwa nyakati tofauti na daktari ainterpret majibu yako.

Ahsante nimekuelewa sana apo kwenye kupima mara tatu kwa nyakakati tofauti , maana
wengine wakishapima mara moja wakiona wanao basi wanakimbilia ARV wengine kujiua
kabisa, na ndio maana Deception anapingana na ARV kwa upande mwingine, unakuta mtu
anapima akikutwa na ukimwi basi anakimbilia ARV mwisho wa siku zinamuua nwenyewe ,so ni
vizur watu wakawa na ufahamu kuhusu ARV kwa upande wa pili...
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 15, 2015

 #338

NOTE: KWA WA WATUMIAJI WA ARV.

Mnapopewa hayo madawa yanakuwa wrapped kwenye mifuko maalumu, hivyo mnashauriwa
mzitunze hizo dawa kwenye mifuko /container kama mlivyopewa, maana wengine wakipewa tu
ARV wanatoa kwenye mifuko yake maalumu wanaweka kwenye makaratasi au vitu
wanavyovijua wao kwa kuogopa watu kuwagundua kuwa wanatumia ARV, mwisho wa siku izo
dawa haziwi DAWA bali zinakuwa SUMU matokeo yake yanakuua wewe
mwenyewe,wataalamu wana maana yao walivyohifadhi hizo dawa kwenye hyo mifuko, hivyo
unatakiwa uhifadhi umo umo, kama watu wakiona utajibeba vinginevyo una haribu virutubisho
vya hizo dawa na kugeuka sumu, so watumiaji mzitunze ivooo, ndo maisha yenu hayo, nyie
jishaueni mjifanye masista duu mnayaficha kwenye maziwa wengine kwenye boxer sijui
mnajidanganya wenyewe, ukimwi si wako? Maisha si yako? KWa nini uogope? Mara wengine
wanaficha ARV matakon* eeh jamani kweli? Kama unao best unao tu, cha muhimu ni kuhifadhi
sehemu maalumu kama utakavyoelezewa na wataalamu

Maana wengine wanatembea na ARV kutwa wamezificha kwenye matak* au nguo za ndani, sasa
jaman kweli? Na wengine kuzifua nguo za ndani ni mtihani wa taifa, sasa izo dawa zitakuwa
dawa kweli au mnataka tu na mengine? ARV ndo mpenzi wako wa maisha ivo umtunze kama
mboni yako nshamaliza
 definition said:
ahaaa...acha siasa kwenye medical unapotosha jamii na siasa zako zisizo na evidences....

Mnaona shida yenu ninyi,mnakimbilia kusema napotosha bila kusema wapi


nimepotosha.Je,umeomba evidence nikashindwa kukupa?Ndio maana mwenzako kakimbia
hapa.Hebu tuone na wewe.

 definition said:
...ikumbukwe virus hasa wenye RNA wana stage 6 za ukuwaji wao na ant virus...ARV kama ziduvudane ina
inhabitor only 3 stages of virus kati ya 6 ndio sababu znashindwa kutibu HIV buli zina sogeza mda kwaku zuia hzo
atua 3 za ukuaji...pia ikumbukwe kuwa kumuua HIV virus inakuwa ngumu kwasababu ana reverse...RNA material
yake kwenye DNA yako kulazmisha replication ya more virus ivyo ili kuzuia replication nilazma ufanye kuuwa T-
lymphocytes kwanza ndo uweze kuuwa new generation ya virus....ukiacha CD4 kuna CD8 cytotoxic ambazo
hufanya kuuwa target infrcted CD4 naku sababisha upungufu wa kinga kwakuwa cd4 cells ztakuwa zna kisha due to
repture after virises replication and cytotoxic...sasa kwa style hii kwanini CD4( kinga zisishuke) je utashindwa sema
HIV ina leta AIDS.....!!???????????
Hata mwezako alikuja na theory hivyohivyo.Tatizo ninyi mko biased na theories zenu tu ambazo
zinakwenda kinyume kabisa na uhalisia.Mimi nikileta theory tofauti na hiyo mnasema ni
speculations.Na ndio maana nikasema tuzungumzie maisha ya kila siku mtaani ambao huo ndio
uthibitisho mzuri kila mtu anaweza kujionea mwenyewe.Maswali yangu ya msingi yanayoakisi
uhalisia hamtaki kuyajibu na badala yake mnakimbilia kwenye theories ambazo nina uhakika ni
watu wachache sana wataelewa mnazungumzia nini,na hata hao watakaoelewa bado hawawezi
kuthibitisha hivyo vitu kwa maana hawavioni zaidi ya terminologies tu ili kuwaogopesha watu
wasiojua ukweli.
 definition said:
...tukrudi kwenye Arvs nina evidence tosha kuwa zna ongeza maisha(CD4) nshawahi kumu hufumia patient with
HIV infection nakumbuka alikuwa na CD4 < 200 ila baada yakuanza ARVs dose zka rise na akatoka kwenye
deadline ya AIDS.....!! mfano mwingne waku jiulza kwanini watu wenye HIV + baada ya CD4 kuwa <200 wanapata
opportunity disease such us CANdIDIASIS.....TB....PNEUMOCYTIS CARINII...TAXOPLASMA GONDII...!!???
kama syo wana upungufu wa kinga mwilini such us T helper cells(CD4)...!!???....
-Hivi wewe unajua kwamba kuna vitu vingi vinaweza kuongeza CD4 mwilini zaidi ya hizo
ARVs?
-Je,unajua pia kwamba kuna vitu vingi vinaweza kushusha CD4 mwili katika maisha yetu ya kila
siku?
-Je,unajua kwamba kushuka kwa CD4 si kitu cha kuogopa na cha kutisha kama
mlivyokaririshwa darasani?Immune System ni somo pana sana na mojawapo ya mambo ambayo
wanasayansi bado hawajalielewa kwa ufasaha.CD4 sio ishu ndugu yangu,mtu anaweza kuwa na
CD4 chini ya kiwango mnachosema halafu bado akawa na afya njema kama watu
wengine.Acheni kukariri nadharia,twendeni kwenye vitendo tulinganishe.Fungua akili yako
kwanza ili twende sawa.

Mojawapo ya uthibitisho kwamba kushuka kwa CD4 sio ishu ya msingi ni huu hapa chini:
Ushuhuda huu umetoka kwako mwenyewe,usinilaumu mimi.

 definition said:
...wakat mwngne 2kiacha mambo ya medical mungu pia yupo ma anasaidia nasema hivi kwasababu nakumbuka mm
mwenyewe ka mkono wangu nmesha wahi mpma patient ana CD4 63 ila bado anatembea na anaongea vzr na ana
afya tele...haya ni maajabu japo kuwa najua ata weza fika mbali...
Hebu tuchambue huu uthibitisho:
1."wakat mwngne 2kiacha mambo ya medical mungu pia yupo ma anasaidia"
Hivi ndivyo walivyo watu wengi kifikra,hata hawa madaktari wako hivi.Yanapotokea mambo
kama haya yenye mkanganyiko,badala ya kufanya udadisi ili kujiongeza ubongo
wao,wanakimbilia kusema eti mungu yupo.Msinilaumu mimi,hii ndio kasumba waliyonayo
ambayo ndio inawafanya wasiweze kabisa kuangalia upande wa pili na kujiongeza.

2."ana CD4 63 ila bado anatembea na anaongea vzr na ana afya tele"

Je,ndugu daktari,huna hata maelezo ya kufoji kuelezea hili tukio?Au tuendelee kusema kwamba
mungu yupo?

3."haya ni maajabu japo kuwa najua ata weza fika mbali"


Haya ni maajabu kwako wewe ambaye hutaki kuangalia na upande wa pili.Kwangu mimi sio
maajabu.Na huyu mgonjwa atafika mbali tu tofauti na wewe unavyotaka,labda mkiendelea
kumpa lumbesa la ARVs hapo ndio nitakubaliana na wewe kwamba hatafika mbali,maana ARVs
ndio ugonjwa wenyewe.

 definition said:
....nakumbuka pia umesha wahi sema amna m2 aliye ona virus uki maanisha ni CONSPIRATORY THEORY..?
jambo hili syo kweli deily watu wanawaona virus by using ELECTONE MICROSCOPE..... na ndio maana
wakapata structure za virus + morphological future....
Huwezi kukiona kirusi na kuweza kupata picha ya structure+morphology bila ya kufanya
isolation na purification ya huyo virus,hata wewe unajua hilo.Sasa jibu maswali haya chini:
1.Waliwahi kufanya isolation na purification ya huyo HIV?
2.Kama walifanya niambie ni mwaka gani, na ulete hapa electronic micrographs zake ili na sisi
tuchambue.Hapo ndipo tutakapoona nani mkweli.

 Reactions:starboy09, definition, Papa Mopao and 3 others

Ankol
JF-Expert Member
Joined Aug 21, 2012
 1,286   2,000
May 15, 2015


 #342

Nikiri kuwa niliwahi kutumia ARVs (PEP) kama kinga nilipojaminiana na mdada hatarishi wazo
nililopewa na wana JF.
Rejea hapa https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/585017-mawazo-
yananiua.html
Ndugu zangu nilipata mateso ya hali ya juu kwani madawa haya yana nguvu sana.
Nilianza kupoteza kumbukumbu,
Muda mwingine nakua sijielewielewi,
Nikawa nina hasira sana,
Nilianza onyesha dalili za kusumbuliwa na ini (nail decoloration ) Ikabidi nirudi hospitali
kupimwa ufanisi wa ini.
Nashkuru nilimaliza salama dozi hii ya mwezi mmoja nikapimwa niko sawa.
Swali. Ingekua ndio nameza madawa haya siku zote ningekua wapi saa hii? Tuombe sana wadau
tusiingie kwenye tatizo hili.

 Reactions:Raynavero, Lizarazu, Khalidoun and 3 others

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 15, 2015


 #343

 Diplomatic Imunnity said:


 Diplomatic Imunnity said:
hili nitukio liminitokea mm nimekuwa na mahusiano mwanamke tangu mwaka 2012 mpaka leo huyu mwanamke
miaka 10 iliyopita alipata maradhi ya hiv badae aliugua sana tena akapata matezi shingoni miguuni vidonda baada
ya muda mwaka 2011 alianzishia dozi ya arvs code 171 mpaka leo anatumia hizo dawa binafsi nimekuja
kuyagundua haya mwezi watatu kwa kipindi chote alinificha siku mikakati ya ndoa nikaanza kufanya ss baada ya
kupeleka barua ya posa nikawa najiuliza mbona mimba akipata zina haribika nikaset cm yake iwe inarekodi
maongezi ndipo nikaja kusikia kwa mdomo wake yy na mama yake wakilizungumza mama yake alikuwa
anamuuliza je mwanaume anajua hali yko mawanamke akamjibu hajui nilishiwa nguvu baadae nikaja kupekua
pochi yake nikakutana na vidonge vya arv nikamilisha upelelezi wangu nikatafuta siku nzuri tukaa sehemu
nikamuuliza kweli alikiri ni hiv + niliumia sana ila nilikuta namsamehe nikaenda kupima mm nikajikuta nipo salama
yani sina huo ugonjwa nikaa baada ya wiki nikarudi tena hosp nikapima nipo salama na dokta aliniambia nisiwe na
shaka baada ya kupata juzi jumatatu ilikuwa zamu yake kwenda kuchukua vidonge nilamwambia tuende wote
tukaenda mpaka hind mandal hosp kweli nililipa ili kupimwa cd4 zake mana mara ya mwisho aliniambia alipima
zilikuwa 567 na nilipa sh 3000 kumuona dokta na kweli wakati ukafika tukaingia kwa dokta baada ya pale tukaenda
chumba cha dawa tukapatiwa vikopo viwili wallah hapo nikawa nimepata jibu sahihi kuwa mwenzangu ni mgonjwa
sasa kuna vitu.najiuliza nilikuwa naishi naye kiwembe chake ndio kiwembe changu mm namtindo wa kungata kucha
na vinyaama vya vidole na mie Namchezo wa kuchezea kule kwa vidole mpaka ss sijaelewa nm mimetokeà na bado
Ninaye huyo mwanamke sasa kutokana na elimu ya ndugu yetu Nitapenda nimshauri huyu mwanamke wangu
akapime tena isije naye akawa analishwa madawa bila sababu
Click to expand...

Watakwambia una CCR5 au CXCR4 gene mutation,au hukupata mchubuko,au blood group O.Maana hawakosagi
majibu hao.Maswali kama haya huwa wanayakimbia,wanajibu yale mepesi tu.
Click to expand...

 Reactions:Diplomatic Imunnity

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 15, 2015


 #344

 gorgeousmimi said:
Kipimo sio feki ila health personal wanaweza kukosea kuinterpret majibu vizuri kutokana na lack of
skills/training.Kipimo kinaweza kufail kutokana na sababu kama sensitivity ya kipimo cha haraka kuwa chini au
kutoa mixed up results na kusababisha kuwa interpreted kimakosa.Ni kawaida kwenye tests tofauti hata ya mimba
inaweza ikupe false positive results.Na ndio maana ukipima HIV unashauriwa upime at least mara 3 na katika muda
tofauti.Hata maabara kama unafanya experiment lazima uifanye mara 3 au zaidi ili uproove hypothesis yako na
majibu yawe na uwiano in ratio at least 2:1.
Ni muhimu ukipima HIV upime mara tatu kwa nyakati tofauti na daktari ainterpret majibu yako.

Jibu hoja zangu reply number 326 na reply number 330 katika page number 17.
 definition said:
inaonekana sumu ya uyo mweshimiwa ime kuingia sana....siwez sema ni mwongo bali naweza sema namchkulia
kama m2 asiye jua akibishacho!!!
Wewe ndiye unayejua.Naomba umsaidie mwenzako hapo juu kujibu hoja zangu kama
hutajali.Msilete siasa.Na wewe nakusubiri kwenye reply yangu number 341 page number 18.

Nawasihi muache siasa,nataka mjibu hizo hoja wana JF wote waone na


walinganishe.Narudia,jibuni hoja,msilete siasa.

 Reactions:starboy09

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 15, 2015


 #345

 ankol said:
Nikiri kuwa niliwahi kutumia ARVs (PEP) kama kinga nilipojaminiana na mdada hatarishi wazo nililopewa na
wana JF.
Rejea hapa https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/585017-mawazo-yananiua.html
Ndugu zangu nilipata mateso ya hali ya juu kwani madawa haya yana nguvu sana.
Nilianza kupoteza kumbukumbu,
Muda mwingine nakua sijielewielewi,
Nikawa nina hasira sana,
Nilianza onyesha dalili za kusumbuliwa na ini (nail decoloration ) Ikabidi nirudi hospitali kupimwa ufanisi wa ini.
Nashkuru nilimaliza salama dozi hii ya mwezi mmoja nikapimwa niko sawa.
Swali. Ingekua ndio nameza madawa haya siku zote ningekua wapi saa hii? Tuombe sana wadau tusiingie kwenye
tatizo hili.
Click to expand...

Tunashukuru kwa ushuhuda, ubarikiwe

Diplomatic Imunnity
JF-Expert Member
Joined Apr 2, 2012
 1,238   1,250
May 15, 2015


 #346

 Deception said:
 Diplomatic Imunnity said:
Watakwambia una CCR5 au CXCR4 gene mutation,au hukupata mchubuko,au blood group O.Maana hawakosagi
majibu hao.Maswali kama haya huwa wanayakimbia,wanajibu yale mepesi tu.

mkuuu unatufungua sana vichwa vyetu naomba uendelee kutoa vitu namm nitafanya juu chini nikampime tena huyu
mpenzi wangu na hata ule ushauri wako naufanyia kazi

 Reactions:Deception

P
Phillemon Mikael
JF-Expert Member
Joined Nov 5, 2006
 9,386   2,000
May 15, 2015


 #347

Zuma alitembea na mwanamke mwenye Ukimwi na akakiri hakupata mahakamani


D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 15, 2015


 #348

 naa said:
Deception

I wish ningeyajua haya mapema,katka ukoo wetu tumepoteza ndugu zetu wengi kwa ukimwi yaan had nawazaga
pengine tuna laana,lakini kuna mama angu mkubwa mmoja aligoma kabisa kutumia Arv na hadi leo anadunda tena
mzima na afya yake zaid ya miaka 15 sasa,naanza kupata picha kilichowaondoa wa mwanzo pengine ndo haya
unayoyasema maana huwaga hawachukui hata miaka mitano wakishajijua.
Na wewe watakwambia pia mama yako mdogo ana CCR5 au CXCR4 gene mutation,au blood
group O.Au bado HIV yuko kwenye dormant period,lakini wenyewe wanasema kuwa dormant
period huwa si zaidi ya miaka 10 au 11,sasa huyo ma mdogo miaka 15 mbona mingi,au
umekosea wewe naa,aahaaa haa haaa.
Ha ha haaa,unajua nacheka sana madaktari wanaponiona kwamba mimi sijielewi bila
kujichunguza wao kwamba inawezekana ndio hawajielewi.Hakuna kitu kibaya kama
kasumba,ukiwa na kasumba kwenye suala fulani huwezi kamwe kukubali mambo tofauti na
suala hilo,na sio tu kukubali,bali hata kuhoji huwezi,hii ndio mbaya zaidi.
Nimecheka sana leo,ngoja niende mishughulikoni,nitarudi kuwapa nondo.
Lakini mkae mkujua kwamba kuogopa HIV ni sawa na kuogopa kivuli chako
mwenyewe,mkigundua ukweli mtajicheeeeka sana,ndio maana mimi nimecheka.Kinachotakiwa
kuogopwa ni ARVs na si HIV,maana ARVs ndio muziki munene wenyewe.
Na kama mtu anaumwa umwa halafu hatumii ARVs,basi ukimfanyia uchunguzi bila bias
yoyote,lazima utagundua tatizo halisi linalomsumbua na ukimpa tiba husika anapona
kabisa,forget about HIV,its not real.Lakini mtu huyu anayeumwa umwa ukijiroga kumpima HIV
tu,kuna posibility kubwa kumkuta HIV+ kutokana na magonjwa yanayosumbua,na kumkuta
HIV+ haina maana kwamba ana HIV,la hasha,bali hizo ni tricks za vipimo tu ambazo ninyi
hamzijui.

Ninarudia,hata kama mtakuwa vichwa ngumu inabidi mfahamu hivyo kwamba ARVs ndio
muziki munene.Ukiona unaumwa jitibu tatizo husika halafu change diet,kula vizuri kabisa halafu
uone kama utaendelea kuumwa umwa,hii ndiyo sayansi ya kweli.Mkiwasikiliza hao madaktari
watawamaliza.Kwa maana hao wenyewe wanaishi na wanalisha familia zao kwa biashara
hiyohiyo.Mwenye masikio na asikie.

 Reactions:warumi and mavado

Gorgeousmimi
JF-Expert Member
Joined Jun 21, 2010
 8,863   1,500
May 15, 2015


 #349

 Deception said:
Jibu hoja zangu reply number 326 na reply number 330 katika page number 17.
Wewe ndiye unayejua.Naomba umsaidie mwenzako hapo juu kujibu hoja zangu kama hutajali.Msilete siasa.Na
wewe nakusubiri kwenye reply yangu number 341 page number 18.

Nawasihi muache siasa,nataka mjibu hizo hoja wana JF wote waone na walinganishe.Narudia,jibuni hoja,msilete
siasa.
Click to expand...

Wewe mbona hujibu unayoulizwa??unataka ujibiwe wewe tu tangia jana umeyaepuka maswali
au huna jibu??!!Usivutie kila kitu kwako!!
Tell me whats a virus na kwanini hakuna tiba ya kuua virusi?? na kuna sehemu umesema virus
hana host nakukosoa virus anae host na inaweza kuwa different living organisms thats a host.Na
kwanini unafikiri kuna CCR5 gene mutation?how does a virus reproduce Mr Deception?
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

Gorgeousmimi
JF-Expert Member
Joined Jun 21, 2010
 8,863   1,500
May 15, 2015


 #350

 Diplomatic Imunnity said:


 Deception said:
mkuuu unatufungua sana vichwa vyetu naomba uendelee kutoa vitu namm nitafanya juu chini nikampime tena huyu
mpenzi wangu na hata ule ushauri wako naufanyia kazi
Click to expand...

Muulize pia je hakuna virusi maana hata mi atanifumbua macho coz kuna ebola virus,human papilloma virus,herpes
simplex virus,varicella zooster virus,hepatittis A,B,C,E virus,rotavirus,norovirus,influenza
virus,rabiesvirus,poliovirus list ni ndefu mnooo......virusi sio vya HIV tu!!Na wote hao hawana dawa za kuwaua
why????
Click to expand...

Mavado
JF-Expert Member
Joined Jun 25, 2014
 1,182   2,000
May 15, 2015

 #351

 gorgeousmimi said:
 Diplomatic Imunnity said:
Muulize pia je hakuna virusi maana hata mi atanifumbua macho coz kuna ebola virus,human papilloma virus,herpes
simplex virus,varicella zooster virus,hepatittis A,B,C,E virus,rotavirus,norovirus,influenza
virus,rabiesvirus,poliovirus list ni ndefu mnooo......virusi sio vya HIV tu!!Na wote hao hawana dawa za kuwaua
why????
Click to expand...

But haviui coz ukitibiwa vizuri, na kinga ikiwa imara life goes on & u can heal, so why hiv??? There is a lot of shit
behind this!!! Especially wen USA are behind this.
Click to expand...

 Reactions:naa

Gorgeousmimi
JF-Expert Member
Joined Jun 21, 2010
 8,863   1,500
May 15, 2015


 #352

 mavado said:
 gorgeousmimi said:
But haviui coz ukitibiwa vizuri, na kinga ikiwa imara life goes on & u can heal, so why hiv??? There is a lot of shit
behind this!!! Especially wen USA are behind this.
Click to expand...

Vinaua au kusababisha vilema vya maisha ebola virus haiui?Hepatittis haiui?vingine vina vaccine na ndio maana
watoto wanapozaliwa tu lazima wachomwe vaccine! Na ni kweli vinakwenda into latent stage ya virusi lakini
vinaamka immune system ikiwa down!Hakuna dawa ya kuua virusi yoyote!Wamarekani wenyewe wameshindwa
kuzindua dawa ya kuua virusi vya aina yoyote unafikiri hawataki kuzindua dawa hizo maana hata wao wanaathirika
in the same level kama wengine!
Click to expand...
Mavado
JF-Expert Member
Joined Jun 25, 2014
 1,182   2,000
May 15, 2015


 #353

 gorgeousmimi said:
 mavado said:
Vinaua au kusababisha vilema vya maisha ebola virus haiui?Hepatittis haiui?vingine vina vaccine na ndio maana
watoto wanapozaliwa tu lazima wachomwe vaccine! Na ni kweli vinakwenda into latent stage ya virusi lakini
vinaamka immune system ikiwa down!Hakuna dawa ya kuua virusi yoyote!Wamarekani wenyewe wameshindwa
kuzindua dawa ya kuua virusi vya aina yoyote unafikiri hawataki kuzindua dawa hizo maana hata wao wanaathirika
in the same level kama wengine!
Click to expand...

Vinaua iwapo, hutopata matibabu mazuri, mfano wale wazungu walipata ebola Kuna aliyekufa!!!!! Hope you know
why??? That means hiv can be cured if you treat them well , just like other virus, I got some hope in this.
Click to expand...

 Reactions:Lizarazu

Definition
JF-Expert Member
Joined Nov 28, 2013
 969   1,000
May 15, 2015


 #354

 Deception said:
Mnaona shida yenu ninyi,mnakimbilia kusema napotosha bila kusema wapi nimepotosha.Je,umeomba evidence
nikashindwa kukupa?Ndio maana mwenzako kakimbia hapa.Hebu tuone na wewe.

Hata mwezako alikuja na theory hivyohivyo.Tatizo ninyi mko biased na theories zenu tu ambazo zinakwenda
kinyume kabisa na uhalisia.Mimi nikileta theory tofauti na hiyo mnasema ni speculations.Na ndio maana nikasema
tuzungumzie maisha ya kila siku mtaani ambao huo ndio uthibitisho mzuri kila mtu anaweza kujionea
mwenyewe.Maswali yangu ya msingi yanayoakisi uhalisia hamtaki kuyajibu na badala yake mnakimbilia kwenye
theories ambazo nina uhakika ni watu wachache sana wataelewa mnazungumzia nini,na hata hao watakaoelewa
bado hawawezi kuthibitisha hivyo vitu kwa maana hawavioni zaidi ya terminologies tu ili kuwaogopesha watu
wasiojua ukweli.

-Hivi wewe unajua kwamba kuna vitu vingi vinaweza kuongeza CD4 mwilini zaidi ya hizo ARVs?
-Je,unajua pia kwamba kuna vitu vingi vinaweza kushusha CD4 mwili katika maisha yetu ya kila siku?
-Je,unajua kwamba kushuka kwa CD4 si kitu cha kuogopa na cha kutisha kama mlivyokaririshwa darasani?Immune
System ni somo pana sana na mojawapo ya mambo ambayo wanasayansi bado hawajalielewa kwa ufasaha.CD4 sio
ishu ndugu yangu,mtu anaweza kuwa na CD4 chini ya kiwango mnachosema halafu bado akawa na afya njema
kama watu wengine.Acheni kukariri nadharia,twendeni kwenye vitendo tulinganishe.Fungua akili yako kwanza ili
twende sawa.

Mojawapo ya uthibitisho kwamba kushuka kwa CD4 sio ishu ya msingi ni huu hapa chini:
Ushuhuda huu umetoka kwako mwenyewe,usinilaumu mimi.

Hebu tuchambue huu uthibitisho:


1."wakat mwngne 2kiacha mambo ya medical mungu pia yupo ma anasaidia"
Hivi ndivyo walivyo watu wengi kifikra,hata hawa madaktari wako hivi.Yanapotokea mambo kama haya yenye
mkanganyiko,badala ya kufanya udadisi ili kujiongeza ubongo wao,wanakimbilia kusema eti mungu
yupo.Msinilaumu mimi,hii ndio kasumba waliyonayo ambayo ndio inawafanya wasiweze kabisa kuangalia upande
wa pili na kujiongeza.

2."ana CD4 63 ila bado anatembea na anaongea vzr na ana afya tele"

Je,ndugu daktari,huna hata maelezo ya kufoji kuelezea hili tukio?Au tuendelee kusema kwamba mungu yupo?

3."haya ni maajabu japo kuwa najua ata weza fika mbali"


Haya ni maajabu kwako wewe ambaye hutaki kuangalia na upande wa pili.Kwangu mimi sio maajabu.Na huyu
mgonjwa atafika mbali tu tofauti na wewe unavyotaka,labda mkiendelea kumpa lumbesa la ARVs hapo ndio
nitakubaliana na wewe kwamba hatafika mbali,maana ARVs ndio ugonjwa wenyewe.

Huwezi kukiona kirusi na kuweza kupata picha ya structure+morphology bila ya kufanya isolation na purification ya
huyo virus,hata wewe unajua hilo.Sasa jibu maswali haya chini:
1.Waliwahi kufanya isolation na purification ya huyo HIV?
2.Kama walifanya niambie ni mwaka gani, na ulete hapa electronic micrographs zake ili na sisi tuchambue.Hapo
ndipo tutakapoona nani mkweli.
Click to expand...

haaaaa tangulini ukasikia kuna isolation ya virus only virus ninaye jua nafanyiwa isolation
nrabies by using NEGRI BODIES NA TISSUE CULTURE... haya yako wazi HIV VIRUS
hawez fanyiwa isolation(CULTURE) kwakuwa ni INTRACELLULAR & NO SPECIFIC
CULTURE MEDIA FOR THE HIV VIRUSES GROWTH..KAMA ZILIVYO
MCA,BA,CA&SDA......IVYO ACHA ULIZA MASWALI YASIYO NA MSHIKO YANAYO
JULIKANIKA MAJIBU... !!"
UKI NGA'NG'ANIA ISOLATION NTAKULIZA MBNA
HAEMOPARASITE( INTRACELLULAR) SUCH US PLASMODIUM SPECIES&
LEISMANIA SPECIES....HAWAFANYIWI ISOLATION LAKINI NI POSSIBLE
KUWAFANYIA LABORATORY DIAGNOSIS...!??? VIRUSES SUCH US
PAPOVAVORUSES(POLYOMA&SV40) NAO MBNA WANAONEKANA BILA
ISOLATION...??? IVYO BASI ISOLATION SYO LAZMA ILI KUWEZA KUFANYA
INVESTGATION YA INFECTED VIRUSES KWAN WANAWEZA ONEKANA BILA
STAIN...CHA MSINGI NI +VE SPECIMEN....
NIKIRUDI KWENYE SWALA LA MPRPHOLOGICAL FETURE VIRUS ANA UKUBWA
WA 20-30nm IVYP UTAONA KUWA VIRUS NDO KIUMBE PEKEE KWA UDOGO
DUNIANI BADO HAKIJA PATIKANA KINGINE ZAIDI YAKE...!!!! REFER monica
chesbrogh medical laboratpry in tropical countries...

NIRUDI KWENYE SWALI LA CD4 NAOMBA WW UNII JBU NI NINI KINACHO


SABABISHA CD4 KUWA BELOW NORMAL RANGE 100.. KAMA UMESEMA SIYO
HIV...???????!!!! PIA UMESEMA CD4 SYO MUHIMU KWA BINADAMU KIWEZA
KUISHI ...JE NIKULIZE MWILI UNAWEZA VP KUJIENDESHA BILA KIWA NA
NATURAL IMMUNITY ZAKU KULINDA NA PATHOGENI INFECTION..!!???????
ABT PATIENT ALYE KUWA NA CD4 BELOW NORMAL RANGE UYO NA HUWAKIKA
LAZMA ALISHA POTEZA MAISHA....

Definition
JF-Expert Member
Joined Nov 28, 2013
 969   1,000
May 15, 2015


 #355

 Deception said:
Mnaona shida yenu ninyi,mnakimbilia kusema napotosha bila kusema wapi nimepotosha.Je,umeomba evidence
nikashindwa kukupa?Ndio maana mwenzako kakimbia hapa.Hebu tuone na wewe.

Hata mwezako alikuja na theory hivyohivyo.Tatizo ninyi mko biased na theories zenu tu ambazo zinakwenda
kinyume kabisa na uhalisia.Mimi nikileta theory tofauti na hiyo mnasema ni speculations.Na ndio maana nikasema
tuzungumzie maisha ya kila siku mtaani ambao huo ndio uthibitisho mzuri kila mtu anaweza kujionea
mwenyewe.Maswali yangu ya msingi yanayoakisi uhalisia hamtaki kuyajibu na badala yake mnakimbilia kwenye
theories ambazo nina uhakika ni watu wachache sana wataelewa mnazungumzia nini,na hata hao watakaoelewa
bado hawawezi kuthibitisha hivyo vitu kwa maana hawavioni zaidi ya terminologies tu ili kuwaogopesha watu
wasiojua ukweli.

-Hivi wewe unajua kwamba kuna vitu vingi vinaweza kuongeza CD4 mwilini zaidi ya hizo ARVs?
-Je,unajua pia kwamba kuna vitu vingi vinaweza kushusha CD4 mwili katika maisha yetu ya kila siku?
-Je,unajua kwamba kushuka kwa CD4 si kitu cha kuogopa na cha kutisha kama mlivyokaririshwa darasani?Immune
System ni somo pana sana na mojawapo ya mambo ambayo wanasayansi bado hawajalielewa kwa ufasaha.CD4 sio
ishu ndugu yangu,mtu anaweza kuwa na CD4 chini ya kiwango mnachosema halafu bado akawa na afya njema
kama watu wengine.Acheni kukariri nadharia,twendeni kwenye vitendo tulinganishe.Fungua akili yako kwanza ili
twende sawa.

Mojawapo ya uthibitisho kwamba kushuka kwa CD4 sio ishu ya msingi ni huu hapa chini:
Ushuhuda huu umetoka kwako mwenyewe,usinilaumu mimi.

Hebu tuchambue huu uthibitisho:


1."wakat mwngne 2kiacha mambo ya medical mungu pia yupo ma anasaidia"
Hivi ndivyo walivyo watu wengi kifikra,hata hawa madaktari wako hivi.Yanapotokea mambo kama haya yenye
mkanganyiko,badala ya kufanya udadisi ili kujiongeza ubongo wao,wanakimbilia kusema eti mungu
yupo.Msinilaumu mimi,hii ndio kasumba waliyonayo ambayo ndio inawafanya wasiweze kabisa kuangalia upande
wa pili na kujiongeza.

2."ana CD4 63 ila bado anatembea na anaongea vzr na ana afya tele"

Je,ndugu daktari,huna hata maelezo ya kufoji kuelezea hili tukio?Au tuendelee kusema kwamba mungu yupo?

3."haya ni maajabu japo kuwa najua ata weza fika mbali"


Haya ni maajabu kwako wewe ambaye hutaki kuangalia na upande wa pili.Kwangu mimi sio maajabu.Na huyu
mgonjwa atafika mbali tu tofauti na wewe unavyotaka,labda mkiendelea kumpa lumbesa la ARVs hapo ndio
nitakubaliana na wewe kwamba hatafika mbali,maana ARVs ndio ugonjwa wenyewe.

Huwezi kukiona kirusi na kuweza kupata picha ya structure+morphology bila ya kufanya isolation na purification ya
huyo virus,hata wewe unajua hilo.Sasa jibu maswali haya chini:
1.Waliwahi kufanya isolation na purification ya huyo HIV?
2.Kama walifanya niambie ni mwaka gani, na ulete hapa electronic micrographs zake ili na sisi tuchambue.Hapo
ndipo tutakapoona nani mkweli.
Click to expand...

haaaaa tangulini ukasikia kuna isolation ya virus only virus ninaye jua nafanyiwa isolation
nrabies by using NEGRI BODIES NA TISSUE CULTURE... haya yako wazi HIV VIRUS
hawez fanyiwa isolation(CULTURE) kwakuwa ni INTRACELLULAR & NO SPECIFIC
CULTURE MEDIA FOR THE HIV VIRUSES GROWTH..KAMA ZILIVYO
MCA,BA,CA&SDA......IVYO ACHA ULIZA MASWALI YASIYO NA MSHIKO YANAYO
JULIKANIKA MAJIBU... !!"
UKI NGA'NG'ANIA ISOLATION NTAKULIZA MBNA
HAEMOPARASITE( INTRACELLULAR) SUCH US PLASMODIUM SPECIES&
LEISMANIA SPECIES....HAWAFANYIWI ISOLATION LAKINI NI POSSIBLE
KUWAFANYIA LABORATORY DIAGNOSIS...!??? VIRUSES SUCH US
PAPOVAVORUSES(POLYOMA&SV40) NAO MBNA WANAONEKANA BILA
ISOLATION...??? IVYO BASI ISOLATION SYO LAZMA ILI KUWEZA KUFANYA
INVESTGATION YA INFECTED VIRUSES KWAN WANAWEZA ONEKANA BILA
STAIN...CHA MSINGI NI +VE SPECIMEN....
NIKIRUDI KWENYE SWALA LA MPRPHOLOGICAL FETURE VIRUS ANA UKUBWA
WA 20-30nm IVYP UTAONA KUWA VIRUS NDO KIUMBE PEKEE KWA UDOGO
DUNIANI BADO HAKIJA PATIKANA KINGINE ZAIDI YAKE...!!!! REFER monica
chesbrogh medical laboratpry in tropical countries...
NIRUDI KWENYE SWALI LA CD4 NAOMBA WW UNII JBU NI NINI KINACHO
SABABISHA CD4 KUWA BELOW NORMAL RANGE 100.. KAMA UMESEMA SIYO
HIV...???????!!!! PIA UMESEMA CD4 SYO MUHIMU KWA BINADAMU KIWEZA
KUISHI ...JE NIKULIZE MWILI UNAWEZA VP KUJIENDESHA BILA KIWA NA
NATURAL IMMUNITY ZAKU KULINDA NA PATHOGENI INFECTION..!!???????
ABT PATIENT ALYE KUWA NA CD4 BELOW NORMAL RANGE UYO NA HUWAKIKA
LAZMA ALISHA POTEZA MAISHA....

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 15, 2015


 #356

 definition said:
haaaaa tangulini ukasikia kuna isolation ya virus only virus ninaye jua nafanyiwa isolation nrabies by using NEGRI
BODIES NA TISSUE CULTURE... haya yako wazi HIV VIRUS hawez fanyiwa isolation(CULTURE) kwakuwa ni
INTRACELLULAR & NO SPECIFIC CULTURE MEDIA FOR THE HIV VIRUSES GROWTH..KAMA
ZILIVYO MCA,BA,CA&SDA......IVYO ACHA ULIZA MASWALI YASIYO NA MSHIKO YANAYO
JULIKANIKA MAJIBU... !!"
UKI NGA'NG'ANIA ISOLATION NTAKULIZA MBNA HAEMOPARASITE( INTRACELLULAR) SUCH US
PLASMODIUM SPECIES& LEISMANIA SPECIES....HAWAFANYIWI ISOLATION LAKINI NI POSSIBLE
KUWAFANYIA LABORATORY DIAGNOSIS...!??? VIRUSES SUCH US
PAPOVAVORUSES(POLYOMA&SV40) NAO MBNA WANAONEKANA BILA ISOLATION...??? IVYO BASI
ISOLATION SYO LAZMA ILI KUWEZA KUFANYA INVESTGATION YA INFECTED VIRUSES KWAN
WANAWEZA ONEKANA BILA STAIN...CHA MSINGI NI +VE SPECIMEN....
NIKIRUDI KWENYE SWALA LA MPRPHOLOGICAL FETURE VIRUS ANA UKUBWA WA 20-30nm IVYP
UTAONA KUWA VIRUS NDO KIUMBE PEKEE KWA UDOGO DUNIANI BADO HAKIJA PATIKANA
KINGINE ZAIDI YAKE...!!!! REFER monica chesbrogh medical laboratpry in tropical countries...

NIRUDI KWENYE SWALI LA CD4 NAOMBA WW UNII JBU NI NINI KINACHO SABABISHA CD4 KUWA
BELOW NORMAL RANGE 100.. KAMA UMESEMA SIYO HIV...???????!!!! PIA UMESEMA CD4 SYO
MUHIMU KWA BINADAMU KIWEZA KUISHI ...JE NIKULIZE MWILI UNAWEZA VP KUJIENDESHA
BILA KIWA NA NATURAL IMMUNITY ZAKU KULINDA NA PATHOGENI INFECTION..!!???????
ABT PATIENT ALYE KUWA NA CD4 BELOW NORMAL RANGE UYO NA HUWAKIKA LAZMA ALISHA
POTEZA MAISHA....
Click to expand...

Maandishi yako yanatia kinyaa, kuwa mtulivu acha papara, ata ukiandika kwa herufi ndogo
tutakuelewa tu na kukusoma, usilazimishe vitu we nenda taratibu usi panick, be a doctor, be
professional, be smart

 Reactions:Raynavero, Showme, Tira and 3 others

Definition
JF-Expert Member
Joined Nov 28, 2013
 969   1,000
May 15, 2015


 #357

 Deception said:
Mnaona shida yenu ninyi,mnakimbilia kusema napotosha bila kusema wapi nimepotosha.Je,umeomba evidence
nikashindwa kukupa?Ndio maana mwenzako kakimbia hapa.Hebu tuone na wewe.

Hata mwezako alikuja na theory hivyohivyo.Tatizo ninyi mko biased na theories zenu tu ambazo zinakwenda
kinyume kabisa na uhalisia.Mimi nikileta theory tofauti na hiyo mnasema ni speculations.Na ndio maana nikasema
tuzungumzie maisha ya kila siku mtaani ambao huo ndio uthibitisho mzuri kila mtu anaweza kujionea
mwenyewe.Maswali yangu ya msingi yanayoakisi uhalisia hamtaki kuyajibu na badala yake mnakimbilia kwenye
theories ambazo nina uhakika ni watu wachache sana wataelewa mnazungumzia nini,na hata hao watakaoelewa
bado hawawezi kuthibitisha hivyo vitu kwa maana hawavioni zaidi ya terminologies tu ili kuwaogopesha watu
wasiojua ukweli.

-Hivi wewe unajua kwamba kuna vitu vingi vinaweza kuongeza CD4 mwilini zaidi ya hizo ARVs?
-Je,unajua pia kwamba kuna vitu vingi vinaweza kushusha CD4 mwili katika maisha yetu ya kila siku?
-Je,unajua kwamba kushuka kwa CD4 si kitu cha kuogopa na cha kutisha kama mlivyokaririshwa darasani?Immune
System ni somo pana sana na mojawapo ya mambo ambayo wanasayansi bado hawajalielewa kwa ufasaha.CD4 sio
ishu ndugu yangu,mtu anaweza kuwa na CD4 chini ya kiwango mnachosema halafu bado akawa na afya njema
kama watu wengine.Acheni kukariri nadharia,twendeni kwenye vitendo tulinganishe.Fungua akili yako kwanza ili
twende sawa.

Mojawapo ya uthibitisho kwamba kushuka kwa CD4 sio ishu ya msingi ni huu hapa chini:
Ushuhuda huu umetoka kwako mwenyewe,usinilaumu mimi.

Hebu tuchambue huu uthibitisho:


1."wakat mwngne 2kiacha mambo ya medical mungu pia yupo ma anasaidia"
Hivi ndivyo walivyo watu wengi kifikra,hata hawa madaktari wako hivi.Yanapotokea mambo kama haya yenye
mkanganyiko,badala ya kufanya udadisi ili kujiongeza ubongo wao,wanakimbilia kusema eti mungu
yupo.Msinilaumu mimi,hii ndio kasumba waliyonayo ambayo ndio inawafanya wasiweze kabisa kuangalia upande
wa pili na kujiongeza.
2."ana CD4 63 ila bado anatembea na anaongea vzr na ana afya tele"

Je,ndugu daktari,huna hata maelezo ya kufoji kuelezea hili tukio?Au tuendelee kusema kwamba mungu yupo?

3."haya ni maajabu japo kuwa najua ata weza fika mbali"


Haya ni maajabu kwako wewe ambaye hutaki kuangalia na upande wa pili.Kwangu mimi sio maajabu.Na huyu
mgonjwa atafika mbali tu tofauti na wewe unavyotaka,labda mkiendelea kumpa lumbesa la ARVs hapo ndio
nitakubaliana na wewe kwamba hatafika mbali,maana ARVs ndio ugonjwa wenyewe.

Huwezi kukiona kirusi na kuweza kupata picha ya structure+morphology bila ya kufanya isolation na purification ya
huyo virus,hata wewe unajua hilo.Sasa jibu maswali haya chini:
1.Waliwahi kufanya isolation na purification ya huyo HIV?
2.Kama walifanya niambie ni mwaka gani, na ulete hapa electronic micrographs zake ili na sisi tuchambue.Hapo
ndipo tutakapoona nani mkweli.
Click to expand...

haaaaa tangulini ukasikia kuna isolation ya virus only virus ninaye jua nafanyiwa isolation
nrabies by using NEGRI BODIES NA TISSUE CULTURE... haya yako wazi HIV VIRUS
hawez fanyiwa isolation(CULTURE) kwakuwa ni INTRACELLULAR & NO SPECIFIC
CULTURE MEDIA FOR THE HIV VIRUSES GROWTH..KAMA ZILIVYO
MCA,BA,CA&SDA......IVYO ACHA ULIZA MASWALI YASIYO NA MSHIKO YANAYO
JULIKANIKA MAJIBU... !!"
UKI NGA'NG'ANIA ISOLATION NTAKULIZA MBNA
HAEMOPARASITE( INTRACELLULAR) SUCH US PLASMODIUM SPECIES&
LEISMANIA SPECIES....HAWAFANYIWI ISOLATION LAKINI NI POSSIBLE
KUWAFANYIA LABORATORY DIAGNOSIS...!??? VIRUSES SUCH US
PAPOVAVORUSES(POLYOMA&SV40) NAO MBNA WANAONEKANA BILA
ISOLATION...??? IVYO BASI ISOLATION SYO LAZMA ILI KUWEZA KUFANYA
INVESTGATION YA INFECTED VIRUSES KWAN WANAWEZA ONEKANA BILA
STAIN...CHA MSINGI NI +VE SPECIMEN....
NIKIRUDI KWENYE SWALA LA MPRPHOLOGICAL FETURE VIRUS ANA UKUBWA
WA 20-30nm IVYP UTAONA KUWA VIRUS NDO KIUMBE PEKEE KWA UDOGO
DUNIANI BADO HAKIJA PATIKANA KINGINE ZAIDI YAKE...!!!! REFER monica
chesbrogh medical laboratpry in tropical countries...

NIRUDI KWENYE SWALI LA CD4 NAOMBA WW UNII JBU NI NINI KINACHO


SABABISHA CD4 KUWA BELOW NORMAL RANGE 100.. KAMA UMESEMA SIYO
HIV...???????!!!! PIA UMESEMA CD4 SYO MUHIMU KWA BINADAMU KIWEZA
KUISHI ...JE NIKULIZE MWILI UNAWEZA VP KUJIENDESHA BILA KIWA NA
NATURAL IMMUNITY ZAKU KULINDA NA PATHOGENI INFECTION..!!???????
ABT PATIENT ALYE KUWA NA CD4 BELOW NORMAL RANGE UYO NA HUWAKIKA
LAZMA ALISHA POTEZA MAISHA MANA BODY DEFENCE YAKE IPO LOW SANA.....
NA PIA NINA UTHIBITISHO KUWA CD4( RECEPTOR) NDIZO ZINAZO.SHAMBULIWA
NA VIRAL INFECTION KWAKUWA HUI NI.MGAWANYIKO WAKI MAJUKUMU
BAINA YA MAKUNDI YA CELLS ZLIZO NDANI YA WBC NIKI
MAANISHA.....LYMPHOCYTES...NEUTRACYTES...BASOPHILS...MONOCYTES&
EOSINOPHILIS....NIKIANZA NA BASOPHILIS ZENYEWW ZIPO RESPNSBLE NA
ALLERGIC FACTOR....EOSINOPHILIS HIZI NI KWAJILI YA PARASITIC
INFECTION....NEUTOPHIL HIZI NI KWAJLI YA BACTERIA INFECTION...NA
LYMPHOCTES AMBAYO IMEGAWANYKA KWENYE B - LYPHOCYES YENYE CD45
RESEPTOR PAMOJA NA T-LYPHOSITES YENYE YENYE CD4,CD8& CD 3 HIZI NI
SPECIAL KWAJL YA VIRAL INEFTION IVYO UTAONA AMNA CELL INA FANYA KAZ
YA MWINGINE WALA AMNA UGONJWA MWNGNE UNAO SHAMBULIA CD4 ZAIDI
YA VIRAL.....
 Habari ya Mujini said:
Ivi ni kwa nn tunaambiwa tupime tena baada ya muda fulani? Mbona magonjwa mengine tunapima nakupewa
majibu na kuanza matibabu? Kuna nn hapa?

hii sana sana ni kwaajili ya false +ve ambyo maranyngi husababishwa na wahudumu wa
afya...na rapid test kit zkiwa expired nazo zna sababisha false + ivyo ndio sababu una shauriwa
urudi baada ya mda fulani...nkirudi kwenye swala la false negative hii huwa inasababishwa na
WINDOW PERIOD niki maanisha ugonjwa ukiwa umeupata ndani ya week adi week 2 antbody
kwa ajili ya HIV infection znakuwa bado hazja tengenezwa na mwili mfano wa antbody ni (IgM)
na kwakuwa kwenye test za HIV ukianzia Determine, Ungold & ELISA machine ambazo zna
tegemea serology(antgen VS antbody reactio) ndo ziweze toa jibu zki kosa target antbody
ztashindwa react na jb litakuwa false negative wakat ya wezekana ukawa +ve..ndio sababu wa
shauriwa kurud baada ya mda

 Reactions:Habari ya Mujini

Diplomatic Imunnity
JF-Expert Member
Joined Apr 2, 2012
 1,238   1,250
May 15, 2015


 #369

 kisungu said:
Unajua pia kuna kitu juwa sielewi, kuna tangazo moja redioni wanasema kama mtoto amebakwa umwawishe
hospitali ndani ya masaa 24 ili kumlinda na UKIMWI, anayefahamu hebu atupe jibu hapa

sio ukimwii ni maambukizi ya vvu fekiiiii we wa wapiii hakuna maambukizi ya ukimwi kuna
maambukizi ya vvu tu

 Reactions:Deception
Manga ML
JF-Expert Member
Joined Jul 6, 2013
 8,577   2,000
May 15, 2015


 #370

 Habari ya Mujini said:


Ivi ni kwa nn tunaambiwa tupime tena baada ya muda fulani? Mbona magonjwa mengine tunapima nakupewa
majibu na kuanza matibabu? Kuna nn hapa?

Vpimo havina hakika kwa akili ya kawaida kabisaaaaaaa


 Reactions:Deception, Habari ya Mujini and arafa255

Manga ML
JF-Expert Member
Joined Jul 6, 2013
 8,577   2,000
May 15, 2015


 #371

Deception bado uko na hoja kupitia mifano halisi maana mifano ya maandishi inamkanganyiko
tena mkubwa yaonyesha wazi usemayo yana ukweli ni ufuatiliaji tu ndo unao tusumbua
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

 Reactions:Deception
RGforever
JF-Expert Member
Joined Apr 3, 2011
 6,931   2,000
May 15, 2015


 #372

 Shanyc said:
mi kuna kitu kinaniumiza kichwa.. mbona hapo zamani watu walikua wakijulikana wana ukimwi baada ya mda afya
inadhoofu, wanatoka dots mwilini na ilhali walikua hawatumii arv...labda hapo tatizo ni nini?

Jibu Naona Amelitoa kuwa Ni Magonjwa mengine Kama TB n.k

ILA NIMEFIKIRIA JAMBO MOJA. KUNA KAMPENI INASEMA HIV HAISABABISHI


KUDHOOFIKA ILA MAGONJWA NYEMELEZI.

Hii inanifanya niunganishe Dots za Deception na Kugundua kuwa Tunapigana Na Magonjwa


Nyemelezi na Wala Si HIV
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

 Reactions:Raynavero, Tira, Habari ya Mujini and 2 others

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 15, 2015


 #373

 gorgeousmimi said:
Wewe mbona hujibu unayoulizwa??unataka ujibiwe wewe tu tangia jana umeyaepuka maswali au huna jibu??!!
Usivutie kila kitu kwako!!
Tell me whats a virus na kwanini hakuna tiba ya kuua virusi?? na kuna sehemu umesema virus hana host nakukosoa
virus anae host na inaweza kuwa different living organisms thats a host.Na kwanini unafikiri kuna CCR5 gene
mutation?how does a virus reproduce Mr Deception?

Haya maswali yako sijayajibu kwa kuwa hayana nia ya kuelimisha.Wewe unatakiwa uwaambie
wana JF ni wapi mimi nimekosea kwa kutoa hoja zako ili wazipime.Kwa mfano uliposema
kwamba mimi nimesema virus hana host ilitakiwa uni quote kuonesha wapi nimesema
hivyo,lakini huoneshi hiyo quotation.
Yaani maswali yako yamekaa hovyo sana na huna lengo lolote zaidi ya kukimbia hoja za msingi
ambazo wana JF ni muhimu wakazijua.Haya tunayojadili hapa mwisho wa siku inabidi wana JF
wayafanyie kazi katika maisha yao ya kila siku kwa vitendo,wewe unaleta theory ambazo mimi
nilishakwambia hatutafika muafaka.
Tuangalie yale yanayotokea katika maisha ya kila siku,huu ndio uthibitisho ambao kila mtu
atauelewa.Bado unaleta terminologies kwa makusudi ili uengue wengine wakose hamu ya
kusoma na kuelewa.Sasa nikishakujibu hayo maswali,then,watu watathibitisha nini?Na kama
unataka watu wathibitishe kitu fulani,kwa nini usikiseme moja kwa moja,maana hiyo ndio maana
ya mjadala.Mmekalia siasa tu,mnaona aibu kushindwa kujibu hoja zenye mikanganyiko
inayotokea kila kukicha.

Umeshindwa kupinga kwa kutoa uthibitisho kwamba ARVs zinasababisha AIDS.Mimi ninasema
kwamba ARVs zinasababisha AIDS.Wewe pinga ili wana JF waone nani mkweli.Haya ndio
mambo halisia ambayo kila mwana JF ataelewa na ni rahisi kuyafanyia kazi.Haya jibu hoja
hiyo,usilete siasa.Hili ndilo suala ambalo hata muda huu tunaoongea watu wanaendelea kuumia
kwa sababu hii.

Mimi:"ARVs zinasababisha AIDS"


Wewe: haya pinga hapa

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 15, 2015


 #374

 Habari ya Mujini said:


Ivi ni kwa nn tunaambiwa tupime tena baada ya muda fulani? Mbona magonjwa mengine tunapima nakupewa
majibu na kuanza matibabu? Kuna nn hapa?

HIlo nalo swali, ngoja dokta gorgeousmimi aje atutolee ufafanuzi apa au Deception, kwa nini
upime sijui baada ya miez mitatu, unapima nn sasa Cd 4 au?
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

 Reactions:Habari ya Mujini

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 15, 2015


 #375

 gorgeousmimi said:
 Diplomatic Imunnity said:
Muulize pia je hakuna virusi maana hata mi atanifumbua macho coz kuna ebola virus,human papilloma virus,herpes
simplex virus,varicella zooster virus,hepatittis A,B,C,E virus,rotavirus,norovirus,influenza
virus,rabiesvirus,poliovirus list ni ndefu mnooo......virusi sio vya HIV tu!!Na wote hao hawana dawa za kuwaua
why????
Click to expand...

Umefunga milango yako ya fahamu?Hivi unaelewa hata hoja zangu za msingi ni zipi?Wapi nimesema hakuna
virusi?hebu ni quote wana JF waone.Unapojadiliana na mimi inabidi uwe makini sana.Sema wapi nimesema hakuna
virusi.
Na kwa upeo wako ulivyo na jinsi mlivyofundishwa dawa kwako ni zile kemikali kwenye vidonge au maji,huna
uelewa mwingine kuhusu dawa.
Yaani hoja zako hazipo kwenye kujenga,ni siasa tu.
Click to expand...

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 15, 2015


 #376

 RGforever said:
Jibu Naona Amelitoa kuwa Ni Magonjwa mengine Kama TB n.k

ILA NIMEFIKIRIA JAMBO MOJA. KUNA KAMPENI INASEMA HIV HAISABABISHI KUDHOOFIKA ILA
MAGONJWA NYEMELEZI.

Hii inanifanya niunganishe Dots za Deception na Kugundua kuwa Tunapigana Na Magonjwa Nyemelezi na Wala Si
HIV

NAfuatilia
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

 Reactions:RGforever
Gorgeousmimi
JF-Expert Member
Joined Jun 21, 2010
 8,863   1,500
May 15, 2015


 #377

Upo shallow Deception kama unataka watu wakuelewe unasema nini lazima uanze kwenye
basics wengi wanalalamika lugha nyingi ya kitaaluma inatumika kwasababu hawana
knowledge ya lugha hio kwahio ni vyema ukianza kutengeneza ground foundation halafu
ndio ulete hoja zako utueleze virusi ni nini na anajizalisha vipi na anathiri vipi.Kisha utueleze
hizo ARVs ni nini na inakuwaje zinasababisha madhara uyasemayo auutupe na mechanism
of action.Hio ndio tofauti yangu na yako wewe unarukia mambo juu kwa juu bila kufikiria
vyanzo vya matatizo mm nipo detail oriented.Ukisema ARV inasababisha ukimwi unapaswa
useme how???Halafu kama huna lakunijibu usiniquote zaidi.Thanx in advance.
 gorgeousmimi said:
Upo shallow Deception kama unataka watu wakuelewe unasema nini lazima uanze kwenye basics wengi
wanalalamika lugha nyingi ya kitaaluma inatumika kwasababu hawana knowledge ya lugha hio kwahio ni vyema
ukianza kutengeneza ground foundation halafu ndio ulete hoja zako utueleze virusi ni nini na anajizalisha vipi na
anathiri vipi.Kisha utueleze hizo ARVs ni nini na inakuwaje zinasababisha madhara uyasemayo auutupe na
mechanism of action.Hio ndio tofauti yangu na yako wewe unarukia mambo juu kwa juu bila kufikiria vyanzo vya
matatizo mm nipo detail oriented...

Kwa mawazo yako wewe unajua kwamba mimi sijui details.Lakini hujui kwamba utafiti wangu
uli base kwenye hizo details zenu huku nikilanganisha na details za ma Profesa wanaopinga
details zenu na kulinganisha na uhalisia ulivyo.Details zenu zimeshindwa kabisa.Hazina ukweli
hata kidogo.Kama huamini lete details zako halafu uone nitakavyokuaibisha.Usiniulize mimi
nikupe details.Hapa ndipo utakapothibitisha kama kweli mimi nipo shallow.

 gorgeousmimi said:
...Ukisema ARV inasababisha ukimwi unapaswa useme how???Halafu kama huna lakunijibu usiniquote zaidi.Thanx
in advance.
Nadhani hata wewe mwenyewe umeshajingundua kama una matatizo ya kifikra.Swali hilo
nilishakujibu ukakimbia.Sasa umejileta mwenyewe.Je,unakumbuka maelezo haya chini?

 Deception said:
......Hebu tuchukue mfano wa ARVs mojawapo inayoitwa Tenofovir Disoproxil Fumarate(TDF) ambayo inatumika
na wagonjwa wengi wa AIDS,najua hapa nimekufikisha nyumbani kwako.
Dawa hii kwenye warning zake inasema "It can cause serious,life-threatening side effects.These include lactic
acidosis and severe liver problems."
Najua unajua kwamba kiwango salama cha acid/alkali kwenye damu(yaani pH) ni 7.365,maana yake damu
inatakiwa iwe slightly alkaline ili kinga ya mwili iweze kufanya kazi yake vizuri.Chini ya kiwango hicho ni majanga
matupu,utakuwa na magonjwa yasiyohesabika na yasiyoisha mpaka unakufa.Najua mpaka hapa huna cha
kupinga,labda urekebishe kidogo sana.
Sasa kama acid itajijenga kwenye damu yako,maana yake pH ya damu yako ita drop na kuwa chini ya 7.365.ARVs
na specifically hii TDF ndivyo inavyofanya kwenye damu za wale wanaoitumia.TDF inaongeza kiwango cha acid
kwenye damu.Acid ni sumu kwenye damu,acid inapokuwa nyingi INI haliwezi kufanya kazi yake inavyotakiwa na
ndio maana kwenye dawa hizo severe liver problems imetajwa kama mojawapo ya effects.
Pia najua unajua ya kwamba kama damu ina acid nyingi,hewa ya oxygen inapungua sana hivyo seli za damu
zinakosa oxygen ya kutosha kufanya kazi yake,najua unajua nini kinatokea kama seli za damu zitakosa oxygen.Hata
wewe mwenye ukikosa oxygen unajua kitakutokea nini.Hapa najua huna hoja ya kupinga pia.

Sasa kutokana na ukweli huo,Je,ARVs hazisababishi mapungufu kwenye kinga?Na kutokana na effects hizo ndio
maana magonjwa mengi sana huzaliwa kwa wale ambao wametumia ARVs muda mrefu.Baadhi ya magonjwa hayo
ni kama vile;
-Cancer:Ukimpima mgonjwa yeyote wa cancer lazima utakuta damu yake ni acidic(yaani pH yake ni chini ya 7.365)
-Ini
-Figo
-Anaemia
-Heart disease
nk.

Fanya uchunguzi kwa wagonjwa wote waliolazwa mahospitalini,lazima utawakuta na moja/mawili/matatu.... kati ya
magonjwa niliyotaja hapo juu.
Kuhusu cancer,usifikiri kama zile NGO za mambo ya HIV/AIDS zilivyoanzisha kitengo maalumu kwa ajili ya
cervical cancer kwa wanawake ilikuwa ni coincidence.Hiyo cancer inasababishwa na ARVs,fanya uchunguzi wewe
mwenyewe kama una muda.
Hivyo basi,nataka nikwambie kwamba ARVs zinasababisha AIDS,hii sio speculation ndugu yangu,its real.Kama
unataka evidence tena kuhusu hizo side effects niambie nitakupa....
Click to expand...
Sasa wewe pinga.

 Reactions:Analyse

Definition
JF-Expert Member
Joined Nov 28, 2013
 969   1,000
May 15, 2015


 #388

 Deception said:
Uvundo mtupu.Hujajibu swali la msingi halafu theory kibao.Hizo theories hata mimi ninazo,siziandiki kwa kuwa
najua watu hawataelewa,ila mifano hai katika maisha ndio itakayowafanya watu waelewe.Kama theories haziendani
na ukweli ujue hamna kitu hapo.

Angalia hapo kwenye nyekundu ulivyoweka uvundo.Yaani wewe ukisema una uhakika lazima alishapoteza maisha
basi ndio unataka tukuamini?
Je unajua wakati umempima na kugundua ana idadi hiyo ya CD4 alikuwa katika hali hiyo muda gani kabla
hujampima?
Yaani ninyi mnapenda sana kung'ang'ania nadharia hata kama haziendani na uhalisia.Kwa hiyo baada ya kukosa
theory ya kufoji kuelezea mkanganyiko huu ndio umejibu hizi pumba kwamba atakuwa ameshapoteza maisha?Kwa
hiyo ile imani uliyokuwa nayo kwamba mungu ndiye amemsaidia mpaka kufika hali ile imepotea?Kwa nini
usiendelee basi kuamini kwamba mungu bado anamsaidia na badala yake unasema atakuwa amepoteza maisha?

Mmmh!!!Hapa hamna suluhu.Ngoja niandae hitimisho langu watu wasome na waamue wenyewe.
Click to expand...

ujue sku elewi ebu angalia maswal nilie kuulza kwny hyo post..! naona kila unapo eleweshwa
una kimbila kusema theory ebu naomba unitajie theory ni zp kwenye hyo quote na unieleze pia
ukwel ni upi juu ya hzo theory...!
D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 15, 2015


 #389

 gorgeousmimi said:
Kasema wapi?Angekuwa kasema nisingeuliza na huoni anakwepa kujibu.Hajasema mechanism of action of how
ARVS zinasababisha ukimwi.Kila dawa ikiingia mwilini kuna jinsi inafanya kazi aseme how inasababisha
ukimwi.Kama amesema plizzz enlighten me!NB:Usijichanganye kwamba side effects za dawa ndio zinasababisha
UKIMWI.

Nimeshakujibu angalia.Kama ukiona bado utaniambia nikupe scientific paper inayoelezea details
zaidi.Ila nina wasiwasi kwamba utasema ni speculations,maana ndio neno lililopo kwenye lips
zako.
D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 15, 2015


 #390

 definition said:
ujue sku elewi ebu angalia maswal nilie kuulza kwny hyo post..! naona kila unapo eleweshwa una kimbila kusema
theory ebu naomba unitajie theory ni zp kwenye hyo quote na unieleze pia ukwel ni upi juu ya hzo theory...!

Wewe mwenyewe hujui kwamba ulitoa theory?Au sema mwenyewe,ulichotoa nini kama sio
theory.
Mimi nilichofanya,nimelinganisha theory zako na uhalisia halafu nikakuuliza kwamba,ni kwa
vipi yule mtu alikuwa na CD4 chache mno halafu bado alikuwa na afya njema?
Sasa hukujibu hilo swali,mimi nakusubiri ujibu.Na wana JF pia wanakusubiri ujibu ili
wakuamini kwamba theory ulizotoa ni za kweli.Vinginevyo nitakusamehe kama utasema mungu
alimsaidia.

 Reactions:Habari ya Mujini, Tira and warumi

Habari Ya Mujini
JF-Expert Member
Joined Dec 22, 2013
 2,447   2,000
May 15, 2015


 #391

Naomba kujua ARVs zinatibu magonjwa au zinamkinga mtu dhidi ya magonjwa?


 Reactions:Tira

Definition
JF-Expert Member
Joined Nov 28, 2013
 969   1,000
May 15, 2015


 #392

 Deception said:
Wewe mwenyewe hujui kwamba ulitoa theory?Au sema mwenyewe,ulichotoa nini kama sio theory.
Mimi nilichofanya,nimelinganisha theory zako na uhalisia halafu nikakuuliza kwamba,ni kwa vipi yule mtu alikuwa
na CD4 chache mno halafu bado alikuwa na afya njema?
Sasa hukujibu hilo swali,mimi nakusubiri ujibu.Na wana JF pia wanakusubiri ujibu ili wakuamini kwamba theory
ulizotoa ni za kweli.Vinginevyo nitakusamehe kama utasema mungu alimsaidia.

jaribu kuelewa kinacho andkwa nmesema still bado alkuwa ana tembea na syo ana afya
njema....hii nku maanisha kuwa syo kla anae tembea ana afya njema...! mimi ninacho taka
kwako ni utoe ushaidi theory ni zipi kwenye post yangu hapo juu..!? na kama ni theory zisizo na
mshko yapi majbu yake....!?? unadai syo HIV virus pekee wanao shambulia T
lymphocytes(CD4) je nikip kingne knacho shambulia...!"? uki jibu hayo maswali yangu ndio
utafanya bijue nabishana na.m2 mwenye uwelewa au mropokaji...!!!

Manchira
Member
Joined Apr 30, 2015
 52   0
May 15, 2015


 #393

 Deception said:
 gorgeousmimi said:
Totally brainwashed,mtoto wangu simpeleki akasomee tiba za magharibi hata kidogo.Bado unaamini kwenye
chanjo?Mtoto wangu nimemzuia kupata chanjo kwa nguvu na mpaka leo yuko safi.Bibi na babu zetu hawakupata
hizo chanjo na hawakuumwa umwa kama miaka yetu tunavyoumwa pamoja na lundo la chanjo,unafiki mtupu na
ukosefu wa elimu sahihi.
Hata hiyo Ebola ni feki pia,ila sina muda kwa sasa kulizungumzia hilo.Ukiniuliza kuhusu chanjo,nina uthibitisho
mwingi tu kwamba ndizo zinazosababisha udhaifu kwa watoto wetu,na ukiniuliza kuhusu Ebola,nina uthibitisho
kwamba huu ni ugonjwa feki,watu wanachokiona kwenye TV si kitu halisi.Wewe umeshajiuliza,kama wananchi wa
nchi zilizoathirika na ebola wanasema kwamba ebola ni feki,kwa nini wewe ambaye unaangalia tu kwenye TV na
haupo kwenye tukio unang'ang'a kuamini?
Hebu hayo tuyaache kwa sasa,mkiniuliza swali hapa sitawajibu ili kulinda mantiki ya uzi huu.Nilitaka niwape
mwanga tu kidogo ili baadaye tutakapojadili iwe rahisi.Na ndio maana huwezi kusikia ebola imekuja Tanzania
kamwe,ila wenyewe watakwambia huioni kwa kuwa imedhibitiwa.Ebola utaisikia kwenye strategic areas peke yake.
Nawachukia wamarekani sana lakini nawaheshimu sana kwa uongo.

-Wamedanganya Sept 11
-Wamedanganya vita dhidi ya madawa ya kulevya
-Wamednganya kuhusu ebola
-Wamedanganya mambo ya chanjo
-Wamedanganya kuhusu global warming
-Wamedanganya Vita dhidi ya cancer
-Wamedanganya kwamba bangi haramu
-Wamedanganya kwenye GMO(Genetic Modified Organisms/Food)
-Wamedanganya Vita ya kwanza ya dunia
-Wamedanganya vita ya pili ya dunia
-Wamedanganya Vita ya vietnam
-Wamedanganya vita ya Iraq
-Wamedanganya Vita ya Afghanistan
-Wamedanganya Vita ya Siria
-Wamedanganya Vita ya Libya
-Wanadanganya mgogoro wa DRC
-Wanadanganya mgogoro wa Ukraine
-Wanadanganya kuhusu alternative energies
-Wamedanganya kuhusu US Federal Reserve System
-Wametudanganya kuhamia kwa lazima digitali kutoka analogia
-Wamedanganya kuhusu Alqaeda
-Wamedanganya kuhusu ISIS
- Wamedanganya kuhusu HIV/AIDS ambalo ndilo tunajadili sasa.

Sasa mimi sina uwezo wa kumshawishi mtu kuamini,ila mimi niko huru hapa duniania kwa kujua huu ukweli.
-Nimepiga chini chanjo-Ukibisha shauri yako
-Natibu ndugu zangu cancer-Ukibisha shauri yako
-Natibu ndugu zangu kisukari-Ukibisha shauri yako
-Naachisha watu ARVs-Ukibisha shauri yako
-Nina uwezo wa kutengeneza diesel ya kuendeshea mashine kwa kutumia bangi-Ukibisha shauri yako

Na mambo mengine lukuki.

Ninachofanya ni kutoa elimu ya bure kwa wengine kwa sababu najua umuhimu wake.Kukubali au kukataa,yote ni
maamuzi ya mpokeaji.Nimetimiza wajibu wangu.
Click to expand...

Mkuu usikatishwe tamaa.Endelea kutuelemisha,mwenye kuchukua achukue na mwenye kuacha aache


Hilo la Septemba 11 hata mimi nlishaanza kuliamini kuwa ni feki.Kuhusu chanjo? mwanangu ana miezi 11 hepu
tupe elimu
Click to expand...

 Reactions:Manga ML

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 15, 2015


 #394

 definition said:
jaribu kuelewa kinacho andkwa nmesema still bado alkuwa ana tembea na syo ana afya njema....hii nku maanisha
kuwa syo kla anae tembea ana afya njema...! mimi ninacho taka kwako ni utoe ushaidi theory ni zipi kwenye post
yangu hapo juu..!? na kama ni theory zisizo na mshko yapi majbu yake....!?? unadai syo HIV virus pekee wanao
shambulia T lymphocytes(CD4) je nikip kingne knacho shambulia...!"? uki jibu hayo maswali yangu ndio utafanya
bijue nabishana na.m2 mwenye uwelewa au mropokaji...!!!

Ungejua unaongea na mtu wa aina gani wala usingesema yote hayo.

 definition said:
jaribu kuelewa kinacho andkwa nmesema still bado alkuwa ana tembea na syo ana afya njema....hii nku maanisha
kuwa syo kla anae tembea ana afya njema...!
angalia hapo chini matapishi yako mwenyewe.
 definition said:
....wakat mwngne 2kiacha mambo ya medical mungu pia yupo ma anasaidia nasema hivi kwasababu nakumbuka
mm mwenyewe ka mkono wangu nmesha wahi mpma patient ana CD4 63 ila bado anatembea na anaongea vzr na
ana afya tele...haya ni maajabu japo kuwa najua ata weza fika mbali...
Tuendelee.

 definition said:
mimi ninacho taka kwako ni utoe ushaidi theory ni zipi kwenye post yangu hapo juu..!? na kama ni theory zisizo na
mshko yapi majbu yake....!?? ..
Unaona unavyojichanganya?Kwanza unauliza theory ni zipi kwenye post yako,halafu unaniuliza
kama theory zako hazina mashiko nikupe majibu yake.
Sina uhakika kama najadiliana na mtu anayejielewa vizuri.Na ndio maana nilikuuliza
kwamba,kama ulichoeleza kwenye post yako sio theory ni nini basi?Umeona jinsi nilivyotaka
kukuokoa na hii aibu?

 definition said:
unadai syo HIV virus pekee wanao shambulia T lymphocytes(CD4) je nikip kingne knacho shambulia...!"? uki jibu
hayo maswali yangu ndio utafanya bijue nabishana na.m2 mwenye uwelewa au mropokaji...!!!
Sasa unatakiwa na wewe uni quote wapi nimesema hivyo ili wana JF wakuamini.Mwenzako
anajua ndio maana anaingia kwa woga na ujanja ujanja.

 Reactions:MISULI, mkurya org., Tira and 7 others

Definition
JF-Expert Member
Joined Nov 28, 2013
 969   1,000
May 15, 2015


 #395

 Deception said:
Ungejua unaongea na mtu wa aina gani wala usingesema yote hayo.

angalia hapo chini matapishi yako mwenyewe.

Tuendelee.
Unaona unavyojichanganya?Kwanza unauliza theory ni zipi kwenye post yako,halafu unaniuliza kama theory zako
hazina mashiko nikupe majibu yake.
Sina uhakika kama najadiliana na mtu anayejielewa vizuri.Na ndio maana nilikuuliza kwamba,kama ulichoeleza
kwenye post yako sio theory ni nini basi?Umeona jinsi nilivyotaka kukuokoa na hii aibu?

Sasa unatakiwa na wewe uni quote wapi nimesema hivyo ili wana JF wakuamini.Mwenzako anajua ndio maana
anaingia kwa woga na ujanja ujanja.
Click to expand...

usiku mwema umenkuta na akili zangu za usiku..!


 Reactions:Deception

Habari Ya Mujini
JF-Expert Member
Joined Dec 22, 2013
 2,447   2,000
May 15, 2015


 #396

 definition said:
usiku mwema umenkuta na akili zangu za usiku..!

Hahaaa usikimbie mkuu jibu hoja itatusaidia sisi wafuatiliaji wa mjadala huu...tupo hapa ili
kusaidiana kujua ukweli...

 Reactions:Beka Mpole, MISULI, definition and 4 others

Troojan
JF-Expert Member
Joined Oct 8, 2012
 953   500
May 15, 2015


 #397

madokta wamekimbia wanaenda kupekua notes@definition kala matapish yake kaenda kulala
.aiseeee we deception ni mtu mbaya sana.umenifanya adi najichekea mwenyewe.jamaa
wamekuja na miterminologies ya ajabu ili sisi tutoke kapa.lakini kumbe wamedandia treni kwa
mbele.wanauliza vitu ambavyo vingi vilishatolewa ufafanuzi mda tu.nashindwa kuelewa ni
wavivu wa kusoma au??kama wanashindwa kupitia uzi huu wa page 40 hayo mavitabu ya
maugonjwa na maresearch wanapataga mda kwelibwa kuyapitia???
Ninachofahamu kutokana na theory ya Microbiology na uzoefu kidogo ni kuwa huo
uwezekano upo, lakini ni mdogo sana. Kuna takriban asilimia 5 ya watu ambao seli zao
nyeupe zinakosa receptors muhimu kwa ajili ya virusi kuingia ndani ya miili yao, hivyo hata
wakikitana na mtu mwenye VVU, kwao kupata maambukizi ni kitu kigumu. Na kuna asilimia
ndogo sana ya watu ambao hata akipata maambukizi, kamwe hatobadilika status kwenda
kwenye kuwa na AIDS(UKIMWI). Yeye ataishia kwenye kiwa na VVU tu. Na tukumbuke
kuwa kinachoketa athari kubwa ni kubadilika na kuwa na UKIMWI (AIDS) baada ya kupata
VVU. Lakini ni watuwachache sana walio hivyo. Kuna proof juu ya hilo, kuna mgonjwa wa
UKIMWI alifanyiwa transplantation ya bone marrow (uboho wa mfupa) kutoka kwa mtu
ambaye apparently seli hai nyeupe zake zilikuwa zinakosa hizo receptors, na baada ya
kipindi fulani yule mgonjwa alikuja kuwa AIDS free (tukumbuke pia kuwa seli hai
hutengenezwa kwenye bone marrow). Watu wa namna hii huwa ni medical miracles, lakini
wapo. Na wakati mwingine watu walio kwenye ndoa huwa wanakuja wakiwa
serodiscordant, mmoja kaathirika na mmoja hajaathirika na ukiwauliza watakwambia
wanashiriki...tena bila hata ya kutumia condoms.

http://www.ibtimes.co.uk/aids-cure-hiv-free-two-men-boston-367459

http://www.m.webmd.com/a-to-z-guides/news/20120724/man-cured-of-aids-virus-news-
conference

Hizo links mbili zinaonyesha kuwa watu wenye hizo genetic mutations wapo kweli. Ila ni
wachache SANA!

Ninachofahamu kutokana na theory ya Microbiology na uzoefu kidogo ni kuwa huo


uwezekano upo, lakini ni mdogo sana. Kuna takriban asilimia 5 ya watu ambao seli zao
nyeupe zinakosa receptors muhimu kwa ajili ya virusi kuingia ndani ya miili yao, hivyo hata
wakikitana na mtu mwenye VVU, kwao kupata maambukizi ni kitu kigumu. Na kuna asilimia
ndogo sana ya watu ambao hata akipata maambukizi, kamwe hatobadilika status kwenda
kwenye kuwa na AIDS(UKIMWI). Yeye ataishia kwenye kiwa na VVU tu. Na tukumbuke
kuwa kinachoketa athari kubwa ni kubadilika na kuwa na UKIMWI (AIDS) baada ya kupata
VVU. Lakini ni watuwachache sana walio hivyo. Kuna proof juu ya hilo, kuna mgonjwa wa
UKIMWI alifanyiwa transplantation ya bone marrow (uboho wa mfupa) kutoka kwa mtu
ambaye apparently seli hai nyeupe zake zilikuwa zinakosa hizo receptors, na baada ya
kipindi fulani yule mgonjwa alikuja kuwa AIDS free (tukumbuke pia kuwa seli hai
hutengenezwa kwenye bone marrow). Watu wa namna hii huwa ni medical miracles, lakini
wapo. Na wakati mwingine watu walio kwenye ndoa huwa wanakuja wakiwa
serodiscordant, mmoja kaathirika na mmoja hajaathirika na ukiwauliza watakwambia
wanashiriki...tena bila hata ya kutumia condoms.

http://www.ibtimes.co.uk/aids-cure-hiv-free-two-men-boston-367459

http://www.m.webmd.com/a-to-z-guides/news/20120724/man-cured-of-aids-virus-news-
conference

Hizo links mbili zinaonyesha kuwa watu wenye hizo genetic mutations wapo kweli. Ila ni
wachache SANA!

 warumi said:
Kuna ndugu yangu aliumwa homa wakampeleka hospital, wakakataa kumtibu wakasema akapime ukimwi, wakimpa
dawa za maralia watamuua, sasa nikashangaa kama walimkuta na maralia kwa nn wasimtibu maralia? Au kuna
maralia wa kawaida na wa ukimwi? Watufungue tujue kwa kweli

Kuna mtoto wangu wa kike almst 8 years,nampenda sana,na wakati huo tayari nilishajua ukweli
wa mambo haya.Angalia faida yake sasa:

Wakati niliposafiri,aliumwa sana,wakampeleka hospitali wakagundua alikuwa na malaria na


UTI.Wakampa dozi zote mbili,nadhani mnajua sumu aliyoipata hapo,ofcourse ndiyo tiba
yenyewe huwezi pinga.Kuna dalili chache zikatoweka lakini aliendelea kuumwa homa mara kwa
mara kila siku.Homa ilikuja na kutoweka kama mara tatu kwa siku moja.Alikuwa ktk hali hiyo
kwa wiki mbili,niliporudi nikampeleka hospitali mwenyewe.
Hospitali ya kwanza niliwaelezea historia yote pamoja na dozi alizotumia.Wakampima
wakamkuta na UTI kidogo sana ila malaria hana.Wakamwandikia tena dozi kali zaidi ya ile ya
mwanzo(wakati huo akili yangu ilikuwa ikijua kwamba tatizo la mtoto litakuwa ni sumu ya
dawa).Basi nikarudi nyumbani lakini sikumpatia mtoto zile dawa nikiogopa kumuonezea sumu
mwilini,nilikuwa nafikiria njia nyingine ya kufanya.Kesho yake nikaenda Hosp mbili kushtakia
tena,lakini zote zilikataa kumhudumia eti mpaka apime HIV.Mimi nikakataa kabisa na
kumpeleka hospitali nyingine huku nikidictate wampime ini.Ile hospitali wakampima kwa siri
HIV pamoja na ini.Lakini alikuwa HIV- kwa vipimo vyao feki,ila walikuta ini lina matatizo
makubwa,hivyo wakampa dawa ya kuondoa sumu dozi ya siku 8.Baada ya kutumia dozi siku 3
homa ikakatika kabisa na haikurudi tena.Nikaendelea kumpa diet nzuri na hadi leo yuko poa.
Hebu chukulia kama angepimwa HIV halafu wangemkuta ni HIV+ na vipimo vyao na kumpa
ARVs,halafu changanya kwamba na mimi nisingekuwa najua ukweli huu.Nadhani jibu unalo.

 Reactions:MISULI, Raynavero, RGforever and 4 others
Chakochangu
JF-Expert Member
Joined Mar 21, 2011
 2,447   2,000
May 16, 2015


 #453

 mkuyati og said:
This idea, which is based on the belief that
HIV is man made, is largely disproved by
the similarities between HIV (Human
Immunodeficiency Virus) and SIV (Simian
Immunodeficiency Virus). It has been
scientifically proven that HIV is most likely a
viral descendant of SIV. For example in
1999 scientists in Alabama discovered a
strain of SIV which was very similar to the
HIV-1 strain.
It is well established that it is possible for
some viruses to jump from animals to
humans. SIV was transmitted to humans
through humans eating the flesh of SIV
infected apes or monkeys. Another way the
virus could have been passed to humans is
through infected ape or monkey blood
getting into open wounds and cuts on the
human body.
Click to expand...

Watafute watu wafuatao halafu wasome machapisho yao.


Robert Gallo,Dr leonard George Horowitz, Dr Peter Duesberg.

Habari Ya Mujini
JF-Expert Member
Joined Dec 22, 2013
 2,447   2,000
May 16, 2015


 #454

 warumi said:
Kuna ndugu yangu aliumwa homa wakampeleka hospital, wakakataa kumtibu wakasema akapime ukimwi, wakimpa
dawa za maralia watamuua, sasa nikashangaa kama walimkuta na maralia kwa nn wasimtibu maralia? Au kuna
maralia wa kawaida na wa ukimwi? Watufungue tujue kwa kweli
Ujinga wa hali ya juu..hakuna ugonjwa mmoja unaitwa Ukimwi,mjumuiko wa magonjwa tofauto
tofauti kwann wasitibu haya magonjwa badala yake wanakimbilia ARVs? Ivi ukishatumia arv
hutaugua tena maisha yako yote? Kama ndo ivyo kwann wasiseme watu wote tutumie izo arv ili
tusipate magonjwa?

 Reactions:Beka Mpole and warumi

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 16, 2015


 #455

 definition said:
usilo lijua lita kusumbua sana Medical ni science pana sana tafuta maana ya MD na specialist...utajua nini.kina anza
badae knafuata kipi....acha ushabiki maandazi ujui kitu...jitahidi urudi kwenye majukwaa yako ya MMU&
UDAKU...nlikuona uki mwandama GEORGEOUSMIMi...ivi ivi..ila kumbuka elimu siyo vita unajikuta unaropoka
kuliko alie anzsha uzi...Tufikie hitimisho sisi madoctor tumeshindwa kwenye huu uzi ..siyo kwamba nimeshindwa
kwa hoja za mkuu hapo juu ...bali kwa mm binafsi nmeamua kujitoa kwenye huu uzi kwajili ya kiherehere chako
unavyoruga wengine wanaotaka kupata knowledge juu ya tatizo hili....

NOTE: no matter sumu utakayo mezeshwa ukfanya unsafe sex lazma upate maambukizi na CD4 ztakapo shuka
ARVs utakunywa tuu tena bila kulazmishwa..

Are you a doctor by professional?, why are you involving gossip forums into this? Umekosa hoja
so unatafuta njia ya kunifedhehesha? then you are completely mistaken my Dear doctor.

I'm commenting on this thread, sio kwa sababu najifanya najua sana, ila kwa sababu mimi ni
MJINGA na ninataka ujinga wangu uondoke niwe na ufahamu ambao pengine ata wewe dokta
hauna na nina uhakika hauna, maandishi yako yanaweza yakawa ushuhuda tosha kuonyesha jinsi
ulivyokuwa na ufahamu mdogo kuhusu UKIMWI na ARV, sio mbaya mimi na wewe
tukajifunza kutoka kwa Deception na watu wengine wenye hoja zenye mashiko. Karibu tujifunze
wote.
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

 Reactions:MISULI, Raynavero, Tira and 4 others

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 16, 2015


 #456

 RGforever said:
Mimi nimezisoma hizo Robert Koch Prostulates. Na wanasanyansi Wamezimodify na kusema kuwa ni za
Kizamani..

Kwa Sababu kuu hii

* Si lazima Mdudu aliyesababisha Mfano mm nitoke Vipele mwili mzima asababishe Vipele kwako Deception kwa
Sababu ya Immunity system zetu kuwa Tofauti. Kwahiyo wakasema kuwa Robert koch hakuliona hili la immunity
yeye akageneralize kuwa Ugonjwa ili usababishwe na mdudud ni lazima Ulete Effect sawa kama Ukiingizwa kwa
Mtu Mwingine

Sitaki kukupeleka mbali sana kwa kuwa nitakuchanganya.Siku zote penye ukweli uongo
hujitenga.Hebu chukua hiyo postulate namba 3 peke yake.

3.Germ lazima asababishe ugonjwa huo huo kama akidungwa kwenye host mwingine mwenye
afya.

Sasa nakuuliza wewe.Je,Kila mtu mwenye HIV ana ukimwi?


 Reactions:definition and warumi

Mkuyati Og
JF-Expert Member
Joined Apr 19, 2011
 815   500
May 16, 2015


 #457

 Deception said:
Kuna mtoto wangu wa kike almst 8 years,nampenda sana,na wakati huo tayari nilishajua ukweli wa mambo
haya.Angalia faida yake sasa:

Wakati niliposafiri,aliumwa sana,wakampeleka hospitali wakagundua alikuwa na malaria na UTI.Wakampa dozi


zote mbili,nadhani mnajua sumu aliyoipata hapo,ofcourse ndiyo tiba yenyewe huwezi pinga.Kuna dalili chache
zikatoweka lakini aliendelea kuumwa homa mara kwa mara kila siku.Homa ilikuja na kutoweka kama mara tatu kwa
siku moja.Alikuwa ktk hali hiyo kwa wiki mbili,niliporudi nikampeleka hospitali mwenyewe.
Hospitali ya kwanza niliwaelezea historia yote pamoja na dozi alizotumia.Wakampima wakamkuta na UTI kidogo
sana ila malaria hana.Wakamwandikia tena dozi kali zaidi ya ile ya mwanzo(wakati huo akili yangu ilikuwa ikijua
kwamba tatizo la mtoto litakuwa ni sumu ya dawa).Basi nikarudi nyumbani lakini sikumpatia mtoto zile dawa
nikiogopa kumuonezea sumu mwilini,nilikuwa nafikiria njia nyingine ya kufanya.Kesho yake nikaenda Hosp mbili
kushtakia tena,lakini zote zilikataa kumhudumia eti mpaka apime HIV.Mimi nikakataa kabisa na kumpeleka
hospitali nyingine huku nikidictate wampime ini.Ile hospitali wakampima kwa siri HIV pamoja na ini.Lakini
alikuwa HIV- kwa vipimo vyao feki,ila walikuta ini lina matatizo makubwa,hivyo wakampa dawa ya kuondoa sumu
dozi ya siku 8.Baada ya kutumia dozi siku 3 homa ikakatika kabisa na haikurudi tena.Nikaendelea kumpa diet nzuri
na hadi leo yuko poa.
Hebu chukulia kama angepimwa HIV halafu wangemkuta ni HIV+ na vipimo vyao na kumpa ARVs,halafu
changanya kwamba na mimi nisingekuwa najua ukweli huu.Nadhani jibu unalo.
Click to expand...

nadhani ambacho huelewi ni kuhusu matokeo ya vipimo kabla na baada ya kuanza dawa, na
tafsiri yake in medical terms. ni vizuri pia kuelewa mechanism ya dawa kufanya kazi na mda
mpaka kuonekana effect ya dawa. pia, naomba utaje hizo dawa hapa jamvini tupeane elimu
pili, unaposema "alipewa dawa ya malaria na UTI", halafu unaongelea sumu,, una maana gani
hapo? ulivyoiweka ni kama vile mwanao alipewa sumu ya panya kwa mchanganyiko huo!!
inataka watu waamini kwamba hizi dawa ni sumu zaidi, na side effect zake zina outweigh faida
zake?
now kwa swali langu la msingi: kupima HIV ni hiari, ila in some circumstances inategemea na
historia ya ugonjwa, na viashiria vingine. kwa situation kama hiyo, daktari anaweza kushauri
kufanya kipimo cha HIV. Swali langu ni kwamba, je kama mwanao angepima HIV mwanzoni
wakati kapelekwa hosp, unadhani majibu yangekuwa +ve ilihali baada ya matibabu majibu
yalikuwa -ve? maana we unadai vipimo ni feki

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 16, 2015


 #458

 Habari ya Mujini said:


Ujinga wa hali ya juu..hakuna ugonjwa mmoja unaitwa Ukimwi,mjumuiko wa magonjwa tofauto tofauti
kwann wasitibu haya magonjwa badala yake wanakimbilia ARVs? Ivi ukishatumia arv hutaugua tena
maisha yako yote? Kama ndo ivyo kwann wasiseme watu wote tutumie izo arv ili tusipate magonjwa?

Aahahaha ahah hilo nalo neno, watuambie na sisi tuanze dozi ya ARV tusipate magonjwa
nyemelezi kwa kweli khaa!!, Halafu nahis nina maralia, sijui nikachukue ARV nianze dozi na
mimi?

Sio kwamba tunawashawishi watu vibaya, ila tujaribu kuwa wadadisi kuhusu afya zetu,
hakuna aliyekatazwa kutumia ARV, we tumia tu tani yako na kwa raha zako, mwili si wako
na maisha si yako?, namshukuru Mungu kwa kuniumba kupenda kuwa mdadisi kuhusu vitu
mbali mbali

Hii ni Elimu tu, we kama unaijali afya yako kapime, ukikutwa anza kutumia dawa kama
utakavyoelekezwa na wataalamu kwa kuzingatia kila kitu, Deception alikuwa anajaribu
kutufahamisha tu kuhusu UKIMWI na ARV ila maamuzi yote yapo mikononi mwetu, akili
kichwani mwako
 Fvr said:
Mkuu nimesoma post zako zote na kukuelewa,naomba unipe maelekezo ya kumuachisha ARV mtu ambaye tayari
anazitumia

Mkuu kuna mambo mengi ya kujua kabla hujafanya hivyo,tena nawashauri wengine wasijaribu
kwa kuwa unatakiwa uwe unaelewa mambo fulani kwanza.Halafu suala hili sio la kuzungumza
hadharani,nitakwambia kwanini,wewe utani PM.
Mimi nilishafanya hivyo na watu wako poa hadi leo,ila unahitaji kujua ARVs zinaleta athari gani
mwilini baada ya kuacha na unahitaji kujua utazikabili vipi hizo athari.Watu huwa
wanachanganya maeneo haya,wakiona mtu amekufa kwa sababu kaacha ARVs wanasema HIV
amemuua kwa kuwa kaacha ARVs,kumbe hawajui kwamba ARVs zinasababisha DRUG
INDUCED DISEASE.Atakayepinga namsubiri.Mimi mbona watu wameacha halafu bado wako
poa muda mrefu sasa na hawaumwi?
Najua watasema,"hao walioacha hawana muda mrefu watakufa tu".Ha ha haaa,kasumba ni kitu
kibaya sana.

 Reactions:Raynavero, Habari ya Mujini, naa and 1 other person

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 16, 2015


 #463

 RGforever said:
Afya Duni na Kutozingatia Afya Bora.. Hata Ukiugua Malaria Inakulaza Una Ukimwi kwa Jinsi nilivyomuelewa
Deception

Hasaaa,we unaelewa.Ila ushauri wangu ni kwamba,hata kama mtu hana uhakika na mambo haya
ninayoeleza,sina uwezo kabisa wa kumlazimisha kwa kuwa na yeye ana ubongo
wake.Ila,narudia,ila,anatakiwa ajue wazi kwamba kujiingiza kwenye matumizi ya ARVs ni sawa
na kujiingiza kwenye matumizi ya dawa za kulevya.
Kama umetumia dawa za kulevya muda mrefu,ukiacha ghafla unakufa,ukiendelea nazo pia
zitakuua tu.Na ndio maana wanaotumia dawa za kulevya kama heroin wana utaratibu wao wa
kuachishwa,hawaachi kiholela tu.
ARVs nazo vivyo hivyo,ukiacha ghafla unakufa,ukiendelea nazo pia zitakuua tu,kuna taratibu
zake pia za kuacha,huachi kiholela tu.
Kuna ushauri nitautoa mwishoni ambao ndio wa maana zaidi kivitendo na si kinadharia.

 Reactions:Habari ya Mujini, RGforever and warumi

Definition
JF-Expert Member
Joined Nov 28, 2013
 969   1,000
May 16, 2015


 #464

 Deception said:
Habari doctor.Naomba kwanza kabisa uniambie unataka evidence kuhusu nini,halafu pia uniambie evidence
inakuaga vipi,yaani ili ujue hii ni evidence inatakiwa iweje.Naogopa usije kuikataa ukasema kwamba sio
evidence.Nakusubiri.

ubishi umekwsha nmekupa ushindi pia nashukuru kwa challnge zako..ww pamoja na Team
yako@Team Deception. naomba usi ni QUOTE tena.

 Reactions:RGforever, warumi and Diplomatic Imunnity

Habari Ya Mujini
JF-Expert Member
Joined Dec 22, 2013
 2,447   2,000
May 16, 2015


 #465

 mkuyati og said:
nimefatilia kwa uchache baadhi ya page za thread hii, na nimegundua yafuatayo.
1. asilimia 99 ya wafuatiliaji/wachangiaji ni layman wa mambo ya afya, na hasa HIV/AIDS. wanafanya kuburuzwa
tu na hizo wanazoziita fact, ilihali hawaelewi foundation ya hizo "fact". and trust me, arguments za Deception
haziko founded, wala haziko documented, na wala hawezi kuzi prove.
2. watu always wanatafuta the easiest way out, someone or something to put blame on. lets face the facts, ukimwi
upo na unaua. hiyo iko proven beyond reasonable doubt
3. ushabiki maandazi hausaidii, tena kama unashabikia mtu kwa kuangalia volume ya maneno katika post zake, kwa
concepts ambazo wewe na yeye wote hamzielewi.
4. kiasi napata picha kwanini babu wa loliondo aliweza kutushika masikio, sababu ya akili zetu mbovu. we are very
easily manipulated, wala hatufikiri.
5. tusicheze na taaluma za watu, tena hasa when it comes to diseases with severe mortality and morbidity. tuwe na
huruma na hawa wanaohangaikia maisha yao.
6. the subject of HIV is very broad, na sio rahisi kama wengine humu wanavyotaka kuamini. mi nawaita waganga
wa kienyeji. sasa wewe nenda kavu uone kama hatukuziki. ni nani humu hajaguswa na ugonjwa wa HIV maishani?
do you still think its a myth? acheni kuaibisha taaluma za watu kwa kumanipulate laymen
Click to expand...

Haya wewe bado hujajubu hoja za msingi zinazotiliwa nashaka kuhusu ukimwi...unajaribu
kutisha watu wanaotaka kujifunza zaidi,,malaria inaua kuliko huo ukimwi,watu tunataka tupate
majibu ya msingi siyo vitisho,,usiwe kama muumini wa kibwetere unalazimisha watu waogope
ukimwi bila kujenga hoja za msingi..umefuatilia huu mjadala toka mwanzo?

 Reactions:juju000, naa and warumi

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 16, 2015


 #466

 scatter said:
We warumi toka katika uzi huu ..mbumbu hujui kaa kimya....VIRUSI VYA AIDS VIPO

kama kunywa dawa nyingi kuna side effect chunguza dozi za mtu anayeugua Tb tena ile chronic anapewa madawa
mengi sana kushinda hata hizo ARV

Kinachonishangaza mimi ni kwamba,pamoja na madawa yote hayo ya TB tena chronic na mengi


sana kama unavyosema kushinda ya ARVs,mbona hujiulizi kwa nini mgonjwa wa TB anapona
kabisa na kuendelea na shughuli zake lakini mgonjwa wa AIDS haponi mpaka anakufa?
Uliwahi kujiuliza hilo swali?

 Reactions:ankol, warumi and naa

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 16, 2015


 #467

 Deception said:
Mkuu kuna mambo mengi ya kujua kabla hujafanya hivyo,tena nawashauri wengine wasijaribu kwa kuwa
unatakiwa uwe unaelewa mambo fulani kwanza.Halafu suala hili sio la kuzungumza hadharani,nitakwambia
kwanini,wewe utani PM.
Mimi nilishafanya hivyo na watu wako poa hadi leo,ila unahitaji kujua ARVs zinaleta athari gani mwilini baada ya
kuacha na unahitaji kujua utazikabili vipi hizo athari.Watu huwa wanachanganya maeneo haya,wakiona mtu
amekufa kwa sababu kaacha ARVs wanasema HIV amemuua kwa kuwa kaacha ARVs,kumbe hawajui kwamba
ARVs zinasababisha DRUG INDUCED DISEASE.Atakayepinga namsubiri.Mimi mbona watu wameacha halafu
bado wako poa muda mrefu sasa na hawaumwi?
Najua watasema,"hao walioacha hawana muda mrefu watakufa tu".Ha ha haaa,kasumba ni kitu kibaya sana.

Habari nzuri, kuna watu apa wanaharisha wakiskia ARV inaua, hahah ahaha nacheka kama
mazuri, ebu tupe elimu bro
D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 16, 2015


 #468

 mkuyati og said:
nimefatilia kwa uchache baadhi ya page za thread hii, na nimegundua yafuatayo.
1. asilimia 99 ya wafuatiliaji/wachangiaji ni layman wa mambo ya afya, na hasa HIV/AIDS. wanafanya kuburuzwa
tu na hizo wanazoziita fact, ilihali hawaelewi foundation ya hizo "fact". and trust me, arguments za Deception
haziko founded, wala haziko documented, na wala hawezi kuzi prove.
2. watu always wanatafuta the easiest way out, someone or something to put blame on. lets face the facts, ukimwi
upo na unaua. hiyo iko proven beyond reasonable doubt
3. ushabiki maandazi hausaidii, tena kama unashabikia mtu kwa kuangalia volume ya maneno katika post zake, kwa
concepts ambazo wewe na yeye wote hamzielewi.
4. kiasi napata picha kwanini babu wa loliondo aliweza kutushika masikio, sababu ya akili zetu mbovu. we are very
easily manipulated, wala hatufikiri.
5. tusicheze na taaluma za watu, tena hasa when it comes to diseases with severe mortality and morbidity. tuwe na
huruma na hawa wanaohangaikia maisha yao.
6. the subject of HIV is very broad, na sio rahisi kama wengine humu wanavyotaka kuamini. mi nawaita waganga
wa kienyeji. sasa wewe nenda kavu uone kama hatukuziki. ni nani humu hajaguswa na ugonjwa wa HIV maishani?
do you still think its a myth? acheni kuaibisha taaluma za watu kwa kumanipulate laymen
Click to expand...

Hebu na wewe jaribu bahati yako.Niambie kitu chochote ambacho wewe unahitaji kupewa fact.

 Reactions:Raynavero and warumi

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 16, 2015


 #469

 Habari ya Mujini said:


Haya wewe bado hujajubu hoja za msingi zinazotiliwa nashaka kuhusu ukimwi...unajaribu kutisha watu wanaotaka
kujifunza zaidi,,malaria inaua kuliko huo ukimwi,watu tunataka tupate majibu ya msingi siyo vitisho,,usiwe kama
muumini wa kibwetere unalazimisha watu waogope ukimwi bila kujenga hoja za msingi..umefuatilia huu mjadala
toka mwanzo?

Achana nae huyo, akawatishe uko instagram, kama hana hoja ni bora akae kimya aendelee
kujifunza ndipo aanze kubisha

 Reactions:Habari ya Mujini

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 16, 2015


 #470

 scatter said:
We warumi toka katika uzi huu ..mbumbu hujui kaa kimya....VIRUSI VYA AIDS VIPO

kama kunywa dawa nyingi kuna side effect chunguza dozi za mtu anayeugua Tb tena ile chronic anapewa madawa
mengi sana kushinda hata hizo ARV

Je,wewe uliyeandika hapo juu ndio huyu aliyeandika hapa chini?

 scatter said:
DISADVANTAGES OF USING ANTIRETROVIRAL DRUGS.

There are number of bad side effects of antiretroviral drugs (ARVs) that also depends with an individual body type
and the level of hiv infection. The behaviour and side effects of antiretroviral drugs, ARVs, varies significantly and
may be aggrevated by patient's nutrition as well as other health conditions.
I) Drug resistance to HIV.
The benefits of antiretroviral drugs are short lived when a single doze is used alone. The short term effects results
when HIV mutates or changes it genetic structure, becoming resistant to drug. The structure of the virus’s enzyme
changes if the virus mutates. Drugs no longer work against the enzymes, making the drugs ineffective against viral
infection, and resistance sets in. Genes mutate during the course of viral replication, so the best way to prevent
mutation is to halt replication. The most effective treatment to halt HIV replication is to employ a combination of
three drugs.
ii) HIV drugs side effects.
There are unpleasant side effects of HIV drugs. Common side effects of antiretroviral drugs include; diarrhoea,
fatigue, headache, nausea, kidney stones, abdominal pain, tingling or numbness in the hand an feet and anaemia.
Some patients may develop diabetes mellitus while others will collect fat deposits in the abdomen or back, causing a
noticeable change in body configuration. Some antiretroviral drugs produce an increase in blood fat levels, placing
the victim at risk of developing hypertension, cardiovascular disease, and stroke.
iii) Cost of treatment.
The greatest drawback in the treatment of HIV AIDS is the high cost of treatment and low health care facilities,
most of these HIV drugs are not reachable by the vast majority whose income is very low.
HOW TO REDUCE SIDE EFFECTS ASSOCIATED WITH ANTIRETROVIRAL DRUGS........
Click to expand...

 Reactions:warumi

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 16, 2015


 #471

 Deception said:
Je,wewe uliyeandika hapo juu ndio huyu aliyeandika hapa chini?

Umeona wanavyochanganyikiwa hawa? Mimi ndie ninaetoa Elimu kuhusu ARV humu? ,kwa
nini ninakuwa tishio kwao?, mimi nikitoka inakuaje? Kweli umewavuruga sio mchezo
Chakochangu
JF-Expert Member
Joined Mar 21, 2011
 2,447   2,000
May 16, 2015


 #472

 Deception said:
Uvundo mtupu.Hujajibu swali la msingi halafu theory kibao.Hizo theories hata mimi ninazo,siziandiki kwa kuwa
najua watu hawataelewa,ila mifano hai katika maisha ndio itakayowafanya watu waelewe.Kama theories haziendani
na ukweli ujue hamna kitu hapo.

Angalia hapo kwenye nyekundu ulivyoweka uvundo.Yaani wewe ukisema una uhakika lazima alishapoteza maisha
basi ndio unataka tukuamini?
Je unajua wakati umempima na kugundua ana idadi hiyo ya CD4 alikuwa katika hali hiyo muda gani kabla
hujampima?
Yaani ninyi mnapenda sana kung'ang'ania nadharia hata kama haziendani na uhalisia.Kwa hiyo baada ya kukosa
theory ya kufoji kuelezea mkanganyiko huu ndio umejibu hizi pumba kwamba atakuwa ameshapoteza maisha?Kwa
hiyo ile imani uliyokuwa nayo kwamba mungu ndiye amemsaidia mpaka kufika hali ile imepotea?Kwa nini
usiendelee basi kuamini kwamba mungu bado anamsaidia na badala yake unasema atakuwa amepoteza maisha?

Mmmh!!!Hapa hamna suluhu.Ngoja niandae hitimisho langu watu wasome na waamue wenyewe.
Click to expand...

Hii sentensi ya mwisho ,Naisubiri kwa hamu mkuu.


 Reactions:Habari ya Mujini

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 16, 2015


 #473

 RGforever said:
Mara Nyingi Darasani hatuelezwi madhara ila. faida kwa sana..

Hivi Kubadili Genetic make up ya mmea uliokuwa unazaa Kwa mwaka mara moja uwe unazaa Hata Mara Tatu
hakuna madhara katika kupunguza ubora wa kinachozalishwa?

Good question,sasa tulia peke yako chumbani,asikubughuzi mtu,kula tartiiib hiyo documentary
hapo chini.Ukimaliza mpaka mwisho ndio utaelewa kwamba dunia unayoishi sasa ni ya namna
gani.
https://www.youtube.com/watch?v=eUd9rRSLY4A

 Reactions:warumi and RGforever

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 16, 2015


 #474

 definition said:
usilo lijua lita kusumbua sana Medical ni science pana sana tafuta maana ya MD na specialist...utajua nini.kina anza
badae knafuata kipi....acha ushabiki maandazi ujui kitu...jitahidi urudi kwenye majukwaa yako ya MMU&
UDAKU...nlikuona uki mwandama GEORGEOUSMIMi...ivi ivi..ila kumbuka elimu siyo vita unajikuta unaropoka
kuliko alie anzsha uzi...Tufikie hitimisho sisi madoctor tumeshindwa kwenye huu uzi ..siyo kwamba nimeshindwa
kwa hoja za mkuu hapo juu ...bali kwa mm binafsi nmeamua kujitoa kwenye huu uzi kwajili ya kiherehere chako
unavyoruga wengine wanaotaka kupata knowledge juu ya tatizo hili....

NOTE: no matter sumu utakayo mezeshwa ukfanya unsafe sex lazma upate maambukizi na CD4 ztakapo shuka
ARVs utakunywa tuu tena bila kulazmishwa..

Mkuu kuwa mvumilivu,nadhani hata mafundisho yenu yanasema hivyo.Tulia tujadili,hayo ni


mambo ya kawaida kwenye mijadala,hata mimi hunitokea mara nyingi tu.Chukulia ni kama
sehemu ya mjadala.Hata mimi siko hapa ili nishinde.
Take it easy.
 warumi said:
Nilishamwambia yule daktari kuwa maelezo yake tu yanathitibitisha kuwa yeye ni mjinga kuliko mimi ambaye sio
daktari, they are not professional at all,wanajibu kwa ku panick, si ajabu ndio maana wagonjwa wa ukimwi
wanajiua, yani wana maneno ya kejeli na maudhi, utafikir hawajasoma kabisa, communication skills yao ni mbovu,
uandishi mbovu, unaanzaje kumwamini huyo mtu? This is a big tragedy to our Nation, measures should be taken to
stop this immediately, hii ni aibu ambayo haivumiliki.

inawezekana UKIMWI ukawa hauui, bali sisi ndio tunaojiua kwa upumbavu wetu wa kukosa maarifa

Kuna siku moja niliandika hivi:

"Sasa jiandae vyema na umsikilize kwa makini kabisa neno baada ya neno(usiruke neno) huyu
mgunduzi wa HIV anachosema hapa.Narudia,huyu anayesema hapa ndiye mgunduzi wa
HIV.Yaani ni 'mungu' wa wale wanaoamini katika dini ya VVU/Ukimwi.Natarajia kwamba
hakuna mtu yeyote duniani atakayepinga maneno yake;msikilize hapa chini;
"You can be exposed to HIV many times without being chronically infected,our immune system
will get rid of the virus within few weeks if you have good immune system" Na hata ukimfuatilia
Prof.Duesberg(virology machine) anayepinga kuhusu HIV naye alishasema hivihivi.Huyu
mungu wao anathibitisha tu maneno ya Duesberg ambayo mwanzo aliyakataa,sasa hivi anaona
aibu.
Halafu endelea kumsikiliza anazungumzia matatizo halisi yanayotusumbua hasa katika nchi za
afrika.

1.Nutrition/misosi
2.Oxidative stress;Hii nitaizungumzia kwa undani baadaye
3.Clean water

Halafu anasema "their immune system doesn't work well already even if they are not infected
with HIV",maana yake ni kwamba, watu wanakuwa na ukimwi hata kabla ya kuingiwa na VVU.

Anaendelea kushauri njia za kupunguza maambukizi ya HIV huyu feki ambazo ni;
1.Nutrition
2.Proper antioxidants
3.Hygiene measures
4.Fighting the specific infection(tusisingizie HIV,tutibu tatizo halisi)

Anaulizwa:"If you have good immune system then your body can get rid of HIV?"
Anajibu:Yes.
Ooooh very interesting!!! au mimi naota?Hebu sikiliza wewe mwenyewe.

Anaendelea kusema tena kwamba;"This is important knowledge which is completely


neglected,people always think of drugs and vaccines"

Na mwisho yeye mwenyewe anakubali kwamba alichokisema ni tofauti na kile alichosema


kipindi cha nyuma,yaani vinapingana.Huyu jamaa ameingizwa kwenye kundi la watu wenye
roho mbaya bila kupenda,sasa roho yake inamsuta na anaamua kusema ukweli.Huyu ndiye
mgunduzi wa HIV feki,Robert Gallo alimuibia tu data na yeye ndiye katangazwa
kwanza.Walichokigundua hata wenyewe wanajua kwamba hakisababishi Ukimwi,ni njaa tu ndio
inawasumbua.

Haya sikiliza sasa;

https://www.youtube.com/watch?v=XSSpoFq7uhM "

Pamoja na hayo yote,hakuna virus anayesababisha ukimwi.Watu wanashindwa tu kuunganisha


dots za maelezo niliyotoa kwa kuwa labda ni mengi sana na hayako kimpangilio kutokana na
mjadala ulivyo.Hata wenyewe waliogundua huyo HIV feki wanajua kwamba HIV hasababishi
ukimwi na ndio maana kuna wakati wenyewe kwa wenyewe wanapingana.Nitakuleteeni video
nyingine inayoonesha kwamba wanapingana halafu ninyi wenyewe muamue.
Na ndio maana huyu mgunduzi alikubali kusema tu hayo lolote na liwe maana ndio ukweli
wenyewe.Wengine wanasema HIV peke yake hawezi kusababisha ukimwi,anahitaji co
factors,ilihali wengine wanasema HIV peke yake anaweza kusababisha ukimwi bila co
factors,nitawaleteeni hiyo video.Unaona sasa penye ukweli uongo hujitenga?

Watu wanaogopa ukimwi kwa sababu ya kasumba tu,neno hili limewaingia vichwani mwao kwa
kurudiwa mara kwa mara huku wakioneshwa video za kutisha za wagonjwa bila kujali uhalisia
kwamba mgonjwa alikuwa anaumwa nini hasa.Watu wanaogopa kitu ambacho kilikuwapo tangu
kabla ya kutangazwa kwa HIV,eti kwa sababu wameambiwa HIV anasababisha ukimwi ndio
wanaugopa sasa,kumbe ulikuwapo tangu zamani na hautishi na unatibika kirahisi na wakati
mwingine unaondoka wenyewe bila ya wewe kujijua,ukibalisha lifestyle tu uko poa.

Sasa Je,

1.Kuna daktari hapa kwetu anaweza kukwambia kama unaweza kuwa na HIV(feki) lakini kinga
ya mwili wako inaweza kumdhibiti na kumtoa kama alivyosema huyu mgunduzi?Vinginevyo
wapinge kwamba huyu sio mgunduzi.

2.Huyu mgunduzi anakwambia "people always think of drugs and vaccines" anaposema drugs
anamaanisha ARVs kwa maana ndizo zinazotumika kwenye AIDS.Na maana yake nyingine ni
kwamba,huwezi kuwa na HIV kama kinga yako iko safi.

Sasa kama mnatakata kujithibitishia wenyewe,muulize daktari yoyote bongo kama anaweza
kukubali hayo aliyosema mungu wake.Hapo ndipo utakapoona kwamba kasumba ni kitu kibaya
sana.

Wenzetu wazungu sio wepesi kupinga kama sisi ngozi nyeusi.Ushauri huu wengi wanaujua toka
kitambo,na ndio maana they don't take a shit kwenye ugonjwa huu feki,wanakula raha tu.

Sisi weusi ndio tumefanywa malimbukeni na shimo la kutupia madawa yao yenye sumu.Halafu
eti wanatuambia tuyahifadhi vizuri yasije kuharibika.UNAHIFADHI SUMU YA MWILI
WAKO?WE VIPI?

Ama kweli watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.Eti unatakiwa uhifadhi vizuri sumu
ya mwili wako.Sasa kama kuna daktari yupo,aje kupinga maneno ya huyu mungu wao.

Kuna mwana JF mmoja(nafikiri atakuwa anaitwa Chakochangu),ana quote yake inasema


"Maajabu ya kenge,anakimbia mvua anaingia mtoni".
Ndio sisi tulivyo,tunakimbia HIV tunakimbilia ARVs ambazo ndizo mziki mnene wenyewe.Hivi
vitu watu hawawezi kuvielewa mara moja mpaka kwanza wajue historia ya medicine na viwanda
vya madawa ikoje.Hapo ndio watajua kwamba watu hawana masikhara kwenye biashara.

 Reactions:Chakochangu, RGforever, arafa255 and 2 others

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 16, 2015


 #491

 gorgeousmimi said:
Hujui unasema nn wewe SMH!!:A S-confused1: haya kashtaki!!

Doctor kuwa mvumilivu,mijadala ndivyo ilivyo,hata mimi hunikuta sana sio kwenye uzi huu
tu.Tujitahidi kuvumiliana.

 Reactions:warumi

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 16, 2015


 #492

 Deception said:
Kuna siku moja niliandika hivi:

"Sasa jiandae vyema na umsikilize kwa makini kabisa neno baada ya neno(usiruke neno) huyu mgunduzi wa HIV
anachosema hapa.Narudia,huyu anayesema hapa ndiye mgunduzi wa HIV.Yaani ni 'mungu' wa wale wanaoamini
katika dini ya VVU/Ukimwi.Natarajia kwamba hakuna mtu yeyote duniani atakayepinga maneno yake;msikilize
hapa chini;
"You can be exposed to HIV many times without being chronically infected,our immune system will get rid of the
virus within few weeks if you have good immune system" Na hata ukimfuatilia Prof.Duesberg(virology machine)
anayepinga kuhusu HIV naye alishasema hivihivi.Huyu mungu wao anathibitisha tu maneno ya Duesberg ambayo
mwanzo aliyakataa,sasa hivi anaona aibu.

Halafu endelea kumsikiliza anazungumzia matatizo halisi yanayotusumbua hasa katika nchi za afrika.

1.Nutrition/misosi
2.Oxidative stress;Hii nitaizungumzia kwa undani baadaye
3.Clean water

Halafu anasema "their immune system doesn't work well already even if they are not infected with HIV",maana
yake ni kwamba, watu wanakuwa na ukimwi hata kabla ya kuingiwa na VVU.

Anaendelea kushauri njia za kupunguza maambukizi ya HIV huyu feki ambazo ni;
1.Nutrition
2.Proper antioxidants
3.Hygiene measures
4.Fighting the specific infection(tusisingizie HIV,tutibu tatizo halisi)
Anaulizwa:"If you have good immune system then your body can get rid of HIV?"
Anajibu:Yes.
Ooooh very interesting!!! au mimi naota?Hebu sikiliza wewe mwenyewe.

Anaendelea kusema tena kwamba;"This is important knowledge which is completely neglected,people always think
of drugs and vaccines"

Na mwisho yeye mwenyewe anakubali kwamba alichokisema ni tofauti na kile alichosema kipindi cha nyuma,yaani
vinapingana.Huyu jamaa ameingizwa kwenye kundi la watu wenye roho mbaya bila kupenda,sasa roho yake
inamsuta na anaamua kusema ukweli.Huyu ndiye mgunduzi wa HIV feki,Robert Gallo alimuibia tu data na yeye
ndiye katangazwa kwanza.Walichokigundua hata wenyewe wanajua kwamba hakisababishi Ukimwi,ni njaa tu ndio
inawasumbua.

Haya sikiliza sasa;

https://www.youtube.com/watch?v=XSSpoFq7uhM "

Pamoja na hayo yote,hakuna virus anayesababisha ukimwi.Watu wanashindwa tu kuunganisha dots za maelezo
niliyotoa kwa kuwa labda ni mengi sana na hayako kimpangilio kutokana na mjadala ulivyo.Hata wenyewe
waliogundua huyo HIV feki wanajua kwamba HIV hasababishi ukimwi na ndio maana kuna wakati wenyewe kwa
wenyewe wanapingana.Nitakuleteeni video nyingine inayoonesha kwamba wanapingana halafu ninyi wenyewe
muamue.
Na ndio maana huyu mgunduzi alikubali kusema tu hayo lolote na liwe maana ndio ukweli wenyewe.Wengine
wanasema HIV peke yake hawezi kusababisha ukimwi,anahitaji co factors,ilihali wengine wanasema HIV peke yake
anaweza kusababisha ukimwi bila co factors,nitawaleteeni hiyo video.Unaona sasa penye ukweli uongo hujitenga?

Watu wanaogopa ukimwi kwa sababu ya kasumba tu,neno hili limewaingia vichwani mwao kwa kurudiwa mara
kwa mara huku wakioneshwa video za kutisha za wagonjwa bila kujali uhalisia kwamba mgonjwa alikuwa
anaumwa nini hasa.Watu wanaogopa kitu ambacho kilikuwapo tangu kabla ya kutangazwa kwa HIV,eti kwa sababu
wameambiwa HIV anasababisha ukimwi ndio wanaugopa sasa,kumbe ulikuwapo tangu zamani na hautishi na
unatibika kirahisi na wakati mwingine unaondoka wenyewe bila ya wewe kujijua,ukibalisha lifestyle tu uko poa.

Sasa Je,

1.Kuna daktari hapa kwetu anaweza kukwambia kama unaweza kuwa na HIV(feki) lakini kinga ya mwili wako
inaweza kumdhibiti na kumtoa kama alivyosema huyu mgunduzi?Vinginevyo wapinge kwamba huyu sio mgunduzi.

2.Huyu mgunduzi anakwambia "people always think of drugs and vaccines" anaposema drugs anamaanisha ARVs
kwa maana ndizo zinazotumika kwenye AIDS.Na maana yake nyingine ni kwamba,huwezi kuwa na HIV kama
kinga yako iko safi.

Sasa kama mnatakata kujithibitishia wenyewe,muulize daktari yoyote bongo kama anaweza kukubali hayo
aliyosema mungu wake.Hapo ndipo utakapoona kwamba kasumba ni kitu kibaya sana.

Wenzetu wazungu sio wepesi kupinga kama sisi ngozi nyeusi.Ushauri huu wengi wanaujua toka kitambo,na ndio
maana they don't take a shit kwenye ugonjwa huu feki,wanakula raha tu.

Sisi weusi ndio tumefanywa malimbukeni na shimo la kutupia madawa yao yenye sumu.Halafu eti wanatuambia
tuyahifadhi vizuri yasije kuharibika.UNAHIFADHI SUMU YA MWILI WAKO?WE VIPI?

Ama kweli watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.Eti unatakiwa uhifadhi vizuri sumu ya mwili wako.Sasa
kama kuna daktari yupo,aje kupinga maneno ya huyu mungu wao.

Kuna mwana JF mmoja(nafikiri atakuwa anaitwa Chakochangu),ana quote yake inasema "Maajabu ya
kenge,anakimbia mvua anaingia mtoni".
Ndio sisi tulivyo,tunakimbia HIV tunakimbilia ARVs ambazo ndizo mziki mnene wenyewe.Hivi vitu watu
hawawezi kuvielewa mara moja mpaka kwanza wajue historia ya medicine na viwanda vya madawa ikoje.Hapo
ndio watajua kwamba watu hawana masikhara kwenye biashara.
Click to expand...

Yani nacheka apa, kama nawaona wale mahodari wa kutumia ARV wanavyohaha, ahahah
hahah, thanks for the vital information
M
Makefra
Member
Joined May 10, 2015
 16   0
May 16, 2015


 #493

Daktari huko juu alisema ya kuwa HIV wanashusha CD4's na hivyo kinga ya mwili kuwa dhaifu
mno,na itafika kipindi CD4's zikiwa chini sana mwili hushambuliwa na magonjwa mengi na
hatimaye mwili hushindwa kustahimili. Akasema ARV's hupunguza makali ya virusi na
kuwezesha CD4's kuwa katika kiwango stahiki(na hata mtu akishambuliwa na magonjwa
atatibiwa tu magonjwa hayo kama mtu mwingine yeyote). Sasa kulingana na maelezo ya daktari
ni kuwa HIV wana uwezo wa kushambulia hizo CD4's mpaka zikawa chini mno,ndipo mtu
huugua magonjwa mfululizo hata akijitibu(sababu ya kinga dhaifu na hatimaye mwili
hudhoofika).lakini mjadala naona uko katika side effects za ARV's lakini wote wanakubaliana
kuwa HIV/AIDS ni real

 Reactions:warumi and Habari ya Mujini

Cute B
JF-Expert Member
Joined Aug 14, 2014
 17,218   2,000
May 16, 2015


 #494

 warumi said:
Fuatilia huu uzi taratibu utaelewa, usipoelewa utauliza

Hahahaa nimeufatiliaa....kazi ipo kujua ukwel


 Reactions:warumi and Manga ML

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 16, 2015


 #495

 cute b said:
Hahahaa nimeufatiliaa....kazi ipo kujua ukwel

Tunakosa changamoto kwa wataalamu, wanashindwa kutufafanulia vizur basi ni shidaa


 Reactions:cute b and Troojan

Cute B
JF-Expert Member
Joined Aug 14, 2014
 17,218   2,000
May 16, 2015


 #496

 warumi said:
Tunakosa changamoto kwa wataalamu, wanashindwa kutufafanulia vizur basi ni shidaa

warumi ebu niambie wew kama wew umeelewaje maana mimi thielewi kuna nyingine
zimeandikwa kikristo yaan ni tabu..
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

 Reactions:warumi

M
Makefra
Member
Joined May 10, 2015
 16   0
May 16, 2015


 #497

Deception alisema ya kuwa mwili una uwezo wa kufight off HIV anamaanisha kuwa 1/kinga ya
mwili inavimaliza?(kuviondoa kabisa mwilini) 2/au vinakuwepo na havina uwezo wa kuleta
athari katika mwili?(kinga ya mwili inavidhibiti).

 Reactions:warumi, cute b and arafa255

Cute B
JF-Expert Member
Joined Aug 14, 2014
 17,218   2,000
May 16, 2015


 #498

Manga ML summary plzzz maana page nyingi sana


Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

 Reactions:warumi and Manga ML

Amaizing
JF-Expert Member
Joined May 3, 2013
 3,560   2,000
May 16, 2015


 #499
 gorgeousmimi said:
Katika kazi yangu nakutana na wagonjwa wa aina hio kila siku na hakuna hata mmoja anayelalamikia sideeffects
zozote.

Doctor acha masikhara hujawah kukutana na mgonjwa akakueleza side effects za ARVs?
Mbona kwenye hizo dawa karatasi ya instruction ndan imeeleza kuwa zinaweza kuleta side
effects na ni kwel hzo effects zinawapata wanaotumia.

Nna ndugu yangu alitumia hizo dawa almost 12 years mwishon kila kitu kwenye mwili wake
kilifel ,mapafu ,ini,figo vyote vilifeli .
Chunguza kwa makini hao wagonjwa wako utajua wanapata effects gani kutokana na hizo dawa

 Reactions:Raynavero, RGforever, warumi and 1 other person

Amaizing
JF-Expert Member
Joined May 3, 2013
 3,560   2,000
May 16, 2015


 #500

 makefra said:
Daktari huko juu alisema ya kuwa HIV wanashusha CD4's na hivyo kinga ya mwili kuwa dhaifu mno,na itafika
kipindi CD4's zikiwa chini sana mwili hushambuliwa na magonjwa mengi na hatimaye mwili hushindwa
kustahimili. Akasema ARV's hupunguza makali ya virusi na kuwezesha CD4's kuwa katika kiwango stahiki(na hata
mtu akishambuliwa na magonjwa atatibiwa tu magonjwa hayo kama mtu mwingine yeyote). Sasa kulingana na
maelezo ya daktari ni kuwa HIV wana uwezo wa kushambulia hizo CD4's mpaka zikawa chini mno,ndipo mtu
huugua magonjwa mfululizo hata akijitibu(sababu ya kinga dhaifu na hatimaye mwili hudhoofika).lakini mjadala
naona uko katika side effects za ARV's lakini wote wanakubaliana kuwa HIV/AIDS ni real

Nimemfuatilia sana Deception toka alivyoanza kuelezea kuhusu UKIMWI, VVU na ARV
Kwa uelewa wangu ni kuwa UKIMWI ULikuwepo miaka mingi iliyopita ila VVU wamekuja
kuitangaza 1980's na kudai ndio inasababisha UKIMWI.
Baada ya Dr.galo kuitangaza VVU kuwa ndio chanzo cha UKIMWI wakaja jopo la madaktar
akiwepo dokta margareth kutangaza ARV kuwa zinasaidia kufubaza kirusi ie.VVU.na hapo
biashara ya ARV ikakua na ARV ndizo zinazosababisha vifo kwa watu wengi kutokana na
madhara yake.
Mimi nakubaliana na Deception ARV zinamadhara sana
Kwa kweli mjadala mzuri sana

1. Kwa kuna UKIMWI na HIV/UKIWMI


2. Kwamba UKIMWI Ulikuwepo tangu enzi na enzi, na baada ya mwili kupungukiwa na kinga
ulishambuliwa na magonjwa mbalimbali yakiwemo Mkanda wa jeshi, ukurutu nk, lakini
magonjwa hayo yalitibiwa na yalipona bila matumizi ya ARV,

3. Kwamba kuanzia miaka ya 80 kulitokea aina mpya ya upungufu wa Kinga UKIMWI


unaosababishwa na Virusi vinavyoitwa HIV, na kwamba magonjwa kama Makanda wa jeshi na
Ukurutu sasa hauoponi kwa tiba ile ya zamani, na badala yake ni ARV

 Reactions:Habari ya Mujini

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 16, 2015


 #507

 amaizing said:
Binamu kila kitu kilifel tulishamzika miaka mitatu iliyopita. Aaaahh R.I.P ndugu yangu

Apumzike kwa Amani, maskini inahuzunisha sana, apo watu watajua ukimwi ndio umemuua
maskini, mtu unatumia ARV miaka 12? Dah!!! Ila ipo siku jamii itaelewa ukweli, ipo siku

Amaizing
JF-Expert Member
Joined May 3, 2013
 3,560   2,000
May 16, 2015


 #508

 warumi said:
Kwa akili ya kawaida tu, mtu umeze mi ARV maisha yako yote then utegemee zisikuletee madhara? KWeli jamani?
Yan binamu acha tu
Nna case ya MTU mwingine yeye alipima HIV akakutwa positive akashauriwa apime CD4
akakuta zipo juu hospital wakamwambia awe anarud kuchek kama zimeshuka ili aanzishiwe
ARV ni toka 2009 hajarud hospital tena yan yeye anakula vizur,mazoez hana stress na yuko poa
kabisa na mpango wa kupima tena hana.

 Reactions:Raynavero, Habari ya Mujini, Manga ML and 1 other person

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 16, 2015


 #509

 amaizing said:
Yan binamu acha tu
Nna case ya MTU mwingine yeye alipima HIV akakutwa positive akashauriwa apime CD4 akakuta zipo juu
hospital wakamwambia awe anarud kuchek kama zimeshuka ili aanzishiwe ARV ni toka 2009 hajarud hospital tena
yan yeye anakula vizur,mazoez hana stress na yuko poa kabisa na mpango wa kupima tena hana.

AHahahah nimempenda bure huyo, mwambie warumi anakupa BIG UP, mbwa kabisa hao
mxiuu,eti rudi badala mda fulani nyoo, kawakomesha wauaji wakubwa, wangemuua bure

 Reactions:Habari ya Mujini

Amaizing
JF-Expert Member
Joined May 3, 2013
 3,560   2,000
May 16, 2015


 #510
 Kituko said:
Kwa kweli mjadala mzuri sana

1. Kwa kuna UKIMWI na HIV/UKIWMI

2. Kwamba UKIMWI Ulikuwepo tangu enzi na enzi, na baada ya mwili kupungukiwa na kinga ulishambuliwa na
magonjwa mbalimbali yakiwemo Mkanda wa jeshi, ukurutu nk, lakini magonjwa hayo yalitibiwa na yalipona bila
matumizi ya ARV,

3. Kwamba kuanzia miaka ya 80 kulitokea aina mpya ya upungufu wa Kinga UKIMWI unaosababishwa na Virusi
vinavyoitwa HIV, na kwamba magonjwa kama Makanda wa jeshi na Ukurutu sasa hauoponi kwa tiba ile ya zamani,
na badala yake ni ARV
Click to expand...

Haswaaaa ndio hivyo


Me nadhan ni bora mgonjwa akiona anamalaria au ugonjwa wowote atibu kwanza huo ugonjwa
sio kukimbilia kupima VVU kwani akiambiwa positive lazima upate stress kidogo
zitakazoendelea kushusha kinga ya mwili na mwisho wa siku ataangukia kwenye ARV za
kunywa maisha yake yoteee.sasa kila siku MTU unakunywa dawa hilo INI lazima litachoka
kuchuja sumu.

 Reactions:warumi

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 16, 2015


 #511

 amaizing said:
Yan binamu acha tu
Nna case ya MTU mwingine yeye alipima HIV akakutwa positive akashauriwa apime CD4 akakuta zipo juu
hospital wakamwambia awe anarud kuchek kama zimeshuka ili aanzishiwe ARV ni toka 2009 hajarud hospital tena
yan yeye anakula vizur,mazoez hana stress na yuko poa kabisa na mpango wa kupima tena hana.

Halafu unajua waathirika wengi wa UKIMWI wanakufa baada ya kupima na kuzijua afya zao,
ukishapima tu ndio matatizo yanaibuka, mtu ulikuwa mzima ukapima ukaambiwa una VVU,
unapewa madawa, ndio inakuwa ticket yako ya mauti.

Wengine apa usikute tuna ma ukimwi toka tupo wadogo, ila ukishapima tu mama ,ujue ndo
umekata ticket ya kifo, pressure itakupanda, stress zitajaa, mawazo plus madawa basi unajifia
zako taratibu kwa raha zako ,tena usiombe akina warumi wajue umeathirika yani mbona utafurai
shoo, watu wanahesabu siku tu.
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

 Reactions:Raynavero, starboy09, Habari ya Mujini and 1 other person

M
Makefra
Member
Joined May 10, 2015
 16   0
May 16, 2015


 #512

 amaizing said:
Nimemfuatilia sana Deception toka alivyoanza kuelezea kuhusu UKIMWI, VVU na ARV
Kwa uelewa wangu ni kuwa UKIMWI ULikuwepo miaka mingi iliyopita ila VVU wamekuja kuitangaza 1980's na
kudai ndio inasababisha UKIMWI.
Baada ya Dr.galo kuitangaza VVU kuwa ndio chanzo cha UKIMWI wakaja jopo la madaktar akiwepo dokta
margareth kutangaza ARV kuwa zinasaidia kufubaza kirusi ie.VVU.na hapo biashara ya ARV ikakua na ARV ndizo
zinazosababisha vifo kwa watu wengi kutokana na madhara yake.
Mimi nakubaliana na Deception ARV zinamadhara sana

Inawezekana zina madhara makubwa sana kweli,lakini nilipokuwa mdogo nakumbuka kuwaona
wagonjwa wengi wa UKIMWI wakiwa katika hali mbaya na kufariki(ina maana haya yalikuwa
maigizo tu?),baba anaondoka kwa ugonjwa,mama anafatia na dalili zile zile kisha kichanga
nacho kinafuatia,na baada ya miaka kadhaa wale waliokuwa vimada wa baba wanafuatia kwa
dalili zile zile.Na hayo magonjwa mengine walikuwa wanapimwa na kupatiwa matibabu yake na
chakula bora pia na bado walikuwa wanazidi kuugua tu.Watu walikuwa wanafariki hata kabla ya
hizo ARV's,na je kabla ya UKIMWI kutangazwa kama HIV/AIDS kuna ushahidi kwamba
ulikuwepo na ulikuwa ukijulikana(hata kwa jina lingine) na watu walitambuaje kwamba ndio
wenyewe(dalili kwa mgonjwa) na walitambuaje(vipimo vya kugundua kuwa mtu alikuwa
nao),hapa nazungumzia kabla ya concept ya "HIV" hajasingiziwa kusababisha AIDS "peke
yake".

 Reactions:amaizing and warumi

RGforever
JF-Expert Member
Joined Apr 3, 2011
 6,931   2,000
May 16, 2015


 #513

 Habari ya Mujini said:


Naomba kujua ARVs zinatibu magonjwa au zinamkinga mtu dhidi ya magonjwa?

Nijuavyo mm na nilivyosoma Katika vitabu vinasema ARV zina Block Entrance au Products
mpya za HIV katika Mwili wako. Na Zipo tofauti tofauti kulingana na Route of Entrance
wanayotaka kublock.. Kama wanataka kublock Mdudu asiingie kwenye cell kabisa kwahiyo
wanatoa Dawa itakayoweza kublock mdudu asiingie kwenye Cell membrane aishie nje pekee.

Wakitaka wablock Protein synthesis wanatoa dawa za kublock hivyo


 Reactions:Habari ya Mujini

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 16, 2015


 #514

 makefra said:
Daktari huko juu alisema ya kuwa HIV wanashusha CD4's na hivyo kinga ya mwili kuwa dhaifu mno,......

Si kweli.Ukiwa na nia ya kujua ukweli utajua tu.Kuna mifano mingi ipo ya watu wenye HIV na
hawatumii ARVs na bado CD4 zao ziko juu,tena ni wengi hata humu wapo watu wanatoa
ushuhuda.

 makefra said:
.....lakini wote wanakubaliana kuwa HIV/AIDS ni real
Mimi sikubaliani kwamba HIV/AIDS is real.AIDS ndio real na hata hiyo AIDS
haitishi,ukibadilisha lifestyle tu uko safi na wakati mwingine unakuwa na AIDS wewe
mwenyewe hujui mpaka uumwe mfano TB ndio utagundua,lakini wakati mwingine AIDS
inatoweka bila wewe kujua,ni utaratibu wa maisha tu ambao nilishazungumzia haya.
Lakini napinga mpaka mwisho wa maisha yangu kwamba hakuna AIDS inayosababishwa na
HIV.HIV hana uwezo wa kushusha kinga ya mwili,nina scientific evidence na mifano hai
kuthibitisha hili.Wewe umeanzia mwishoni huu uzi.

Na ndio maana nasema ili mtu aelewe ukweli kuhusu jambo hili inabidi apitie hatua zote
nilizotaja mwanzoni.Halafu inabidi ajue kwamba hii ni biashara ya watu fulani,HIV/AIDS
haukutokea kwa bahati mbaya,ulipangwa.Ninaposema ulipangwa sina maana HIV
ametengenezwa,la hasha,bali mfumo mzima wa kutunga ugonjwa huu HEWA ndio umepangwa.

Watu hawajui;HIV ni retrovirus,retrovirus huyu amepachikwa jina hili na watu wawili tu ambao
ni Robert Gallo na Luc Montaigner.Hawa ndio wamepewa hati miliki ya
ugunduzi.Wamekusanya data zao wakachanganya zikawa zinatofautiana lakini pamoja na hayo
wakaamua watoe jina moja la mdudu huyu HEWA ambalo ni HIV.Sasa hakuna retrovirus yoyote
duniani mwenye uwezo wa kushusha kinga.

Unahitaji kujua mambo mengi sana kwa kuwa kila pembe ya ugonjwa huu feki kuna very tricky
deception.Kama huelewi pembe zote hizo basi kila wakati utaendelea kujishawishi kwamba
HIV/AIDS is real kila kukicha.Hwa jamaa wana akili bwana.

 Reactions:Analyse, Chakochangu and Habari ya Mujini

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 16, 2015


 #515

 makefra said:
Deception alisema ya kuwa mwili una uwezo wa kufight off HIV anamaanisha kuwa 1/kinga ya mwili inavimaliza?
(kuviondoa kabisa mwilini) 2/au vinakuwepo na havina uwezo wa kuleta athari katika mwili?(kinga ya mwili
inavidhibiti).

Hujakosea kusema hivyo hapo kwenye nyekundu,lakini mimi nitaongezea kitu hapo;
Sio mimi ninayesema,ila wataalam wenye nishani Profs and Dr ndio walisema hivyo,na si
walisema kwa hisia zao bali baada ya kupata uthibitisho wa kisayansi.Halafu pia inabidi kwenye
fikra uondoe neno HIV kama kiumbe halisi halafu weka HIV kama kiumbe HEWA.Retrovirus
kweli wapo lakini hawasababishi ukimwi.Sasa HIV ni jina alilopachikwa retrovirus ili aonekane
kwamba anasababisha ukimwi,umeelewa hapo?
Sasa kwa kuwa retrovirus wote hawana uwezo wa kusababisha ukimwi,maana yake ni kwamba
jina HIV ni batili.Lakini wenyewe wanaosema kwamba HIV ni halisi pia wanakubali kwamba
HIV huyohuyo anaweza kuondolewa na kinga ya mwili.

Sasa nikuulize swali:


Kati ya daktari wa kawaida mfano daktari wa hapa Tanzania, na Mgunduzi wa huyo
HIV,wakizungumza jambo moja linalohusu HIV/AIDS halafu wakatofautiana,je,utamwini nani?

 Reactions:Chakochangu

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 16, 2015


 #516

 amaizing said:
Nimemfuatilia sana Deception toka alivyoanza kuelezea kuhusu UKIMWI, VVU na ARV
Kwa uelewa wangu ni kuwa UKIMWI ULikuwepo miaka mingi iliyopita ila VVU wamekuja kuitangaza 1980's na
kudai ndio inasababisha UKIMWI.
Baada ya Dr.galo kuitangaza VVU kuwa ndio chanzo cha UKIMWI wakaja jopo la madaktar akiwepo dokta
margareth kutangaza ARV kuwa zinasaidia kufubaza kirusi ie.VVU.na hapo biashara ya ARV ikakua na ARV ndizo
zinazosababisha vifo kwa watu wengi kutokana na madhara yake.
Mimi nakubaliana na Deception ARV zinamadhara sana

Exactly,wewe umeelewa.Halafu kuhusu madhara ya dawa,wala huitaji kukubaliana na mimi,hata


wenyewe wameandika hayo madhara,hivyo haihitaji mtu kukushawishi kwamba zina
madhara.Halafu chukulia unatumia maisha yako yote.

 warumi said:
Kwa akili ya kawaida tu, mtu umeze mi ARV maisha yako yote then utegemee zisikuletee madhara? KWeli jamani?
Huhitaji kujiuliza,wameandika wenyewe,halafu nikwambie kitu.Haya madhara hayapo kwa
bahati mbaya,wamedhamiria yawe hivyo ili mwisho wa siku wanaotumia wakifa,watu watajua
HIV ndio amehusika na wataendelea kuwa na imani kwamba kweli HIV/AIDS ni ugonjwa usio
na tiba.Fikiria mara mbilimbili hapo utaona kitu.

Vinginevyo wataendelea kutupa imani kila mwaka eti "wanasayansi wanakaribia kupata dawa ya
ukimwi",yaani upumbavu mtupu,dawa gani inakaribia kupatikana miaka zaidi ya 30 sasa?
wanatuchezea akili sana hawa.Wakati dawa ya ukimwi ni uelewa wako kuujua ukweli
ulivyo.Kataa kupima,kataa kutumia ARVs,Kula vizuri,fanya mazoezi,kunywa maji safi,weka
mazingira safi,acha kutumia madawa ya hospitali mara kwa mara pasipo sababu za msingi.Yaani
kamwe hutaugua ugua ovyo.Na ukiugua,ukigusa dawa kidogo tu umepona,yaani kama umeme.

Hawa jamaa wanafanya biashara kupitia serikali za nchi husika.Na ndio maana Thabo Mbeki
aling'olewa madarakani kwa kushindwa kutetea biashara ya ARVs,Museveni anajua ukweli huu
ninaowapa na ndio maana hataki kabisa kusikia mambo haya lakini amekaa kimya kwa kuwa
anajua yatakayomkuta akithubutu kugusa maslahi haya,nadhani mnakumbuka alivyogusa
maslahi ya Obama kwenye ushoga kilimtokea nini,alisalimu amri mwenyewe.Lakini yeye
mwanzo alikataa kabisa watu kupima HIV.

Sasa watu wanaona kwamba Deception ndio anapotosha watu,vipi kuhusu hawa ma rais nao?
Hawa nafikiri ndio wenye influence zaidi na wakipotosha wanapotosha kwelikweli.Si mmesikia
wenyewe kuhusu South Africa?Sasa hivi wananchi wa SA wanakwambia "I don't fear
HIV/AIDS,I fear malaria",hili ndilo zao la Thabo Mbeki.Hivyo bila kuchelewa World's Tycoons
wakamuondoa fasta na kuliweka madarakani lile chizi Zuma likaendeleze biashara.Likaanza na
vituko eti limetembea na mwanamke mwenye HIV lakini halikupata eti kwa sababu limewahi
kunawa haraka.Linasema hivyo ili watu waamini kwamba kweli HIV yupo na ana madhara.Hii
dunia hii,kama huijui vizuri utakuwa kama ng'ombe,utaishi bila consciousness.

 Reactions:Se-ronga, MISULI, Chakochangu and 2 others

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 16, 2015


 #517

 Deception said:
Exactly,wewe umeelewa.Halafu kuhusu madhara ya dawa,wala huitaji kukubaliana na mimi,hata wenyewe
wameandika hayo madhara,hivyo haihitaji mtu kukushawishi kwamba zina madhara.Halafu chukulia unatumia
maisha yako yote.

Huhitaji kujiuliza,wameandika wenyewe,halafu nikwambie kitu.Haya madhara hayapo kwa bahati


mbaya,wamedhamiria yawe hivyo ili mwisho wa siku wanaotumia wakifa,watu watajua HIV ndio amehusika na
wataendelea kuwa na imani kwamba kweli HIV/AIDS ni ugonjwa usio na tiba.Fikiria mara mbilimbili hapo utaona
kitu.

Vinginevyo wataendelea kutupa imani kila mwaka eti "wanasayansi wanakaribia kupata dawa ya ukimwi",yaani
upumbavu mtupu,dawa gani inakaribia kupatikana miaka zaidi ya 30 sasa?wanatuchezea akili sana hawa.Wakati
dawa ya ukimwi ni uelewa wako kuujua ukweli ulivyo.Kataa kupima,kataa kutumia ARVs,Kula vizuri,fanya
mazoezi,kunywa maji safi,weka mazingira safi,acha kutumia madawa ya hospitali mara kwa mara pasipo sababu za
msingi.Yaani kamwe hutaugua ugua ovyo.Na ukiugua,ukigusa dawa kidogo tu umepona,yaani kama umeme.

Hawa jamaa wanafanya biashara kupitia serikali za nchi husika.Na ndio maana Thabo Mbeki aling'olewa
madarakani kwa kushindwa kutetea biashara ya ARVs,Museveni anajua ukweli huu ninaowapa na ndio maana
hataki kabisa kusikia mambo haya lakini amekaa kimya kwa kuwa anajua yatakayomkuta akithubutu kugusa
maslahi haya,nadhani mnakumbuka alivyogusa maslahi ya Obama kwenye ushoga kilimtokea nini,alisalimu amri
mwenyewe.Lakini yeye mwanzo alikataa kabisa watu kupima HIV.

Sasa watu wanaona kwamba Deception ndio anapotosha watu,vipi kuhusu hawa ma rais nao?Hawa nafikiri ndio
wenye influence zaidi na wakipotosha wanapotosha kwelikweli.Si mmesikia wenyewe kuhusu South Africa?Sasa
hivi wananchi wa SA wanakwambia "I don't fear HIV/AIDS,I fear malaria",hili ndilo zao la Thabo Mbeki.Hivyo
bila kuchelewa World's Tycoons wakamuondoa fasta na kuliweka madarakani lile chizi Zuma likaendeleze
biashara.Likaanza na vituko eti limetembea na mwanamke mwenye HIV lakini halikupata eti kwa sababu limewahi
kunawa haraka.Linasema hivyo ili watu waamini kwamba kweli HIV yupo na ana madhara.Hii dunia hii,kama
huijui vizuri utakuwa kama ng'ombe,utaishi bila consciousness.
Click to expand...
Thank you mkuu
D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 16, 2015


 #518

 amaizing said:
Doctor acha masikhara hujawah kukutana na mgonjwa akakueleza side effects za ARVs?
Mbona kwenye hizo dawa karatasi ya instruction ndan imeeleza kuwa zinaweza kuleta side effects na ni kwel hzo
effects zinawapata wanaotumia.

Nna ndugu yangu alitumia hizo dawa almost 12 years mwishon kila kitu kwenye mwili wake kilifel ,mapafu
,ini,figo vyote vilifeli .
Chunguza kwa makini hao wagonjwa wako utajua wanapata effects gani kutokana na hizo dawa

-Je, HIV anasababisha mapafu kufeli?


-Je, HIV anasababisha ini kufeli?
-Je,HIV anasababisha figo kufeli?

Ofcourse HIV(feki) hawezi kusababisha matatizo haya.Hizi ni side effect za ARVs,simple and
clear.Hivyo watu watapinga sana lakini mwisho wa siku ukweli uko palepale haubadiliki,
kwamba ARVs=AIDS kwa wale wanaozitumia.

 Reactions:warumi

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 16, 2015


 #519

 makefra said:
Inawezekana zina madhara makubwa sana kweli,lakini nilipokuwa mdogo nakumbuka kuwaona wagonjwa wengi
wa UKIMWI wakiwa katika hali mbaya na kufariki(ina maana haya yalikuwa maigizo tu?),baba anaondoka kwa
ugonjwa,mama anafatia na dalili zile zile kisha kichanga nacho kinafuatia,na baada ya miaka kadhaa wale
waliokuwa vimada wa baba wanafuatia kwa dalili zile zile.Na hayo magonjwa mengine walikuwa wanapimwa na
kupatiwa matibabu yake na chakula bora pia na bado walikuwa wanazidi kuugua tu.Watu walikuwa wanafariki hata
kabla ya hizo ARV's,na je kabla ya UKIMWI kutangazwa kama HIV/AIDS kuna ushahidi kwamba ulikuwepo na
ulikuwa ukijulikana(hata kwa jina lingine) na watu walitambuaje kwamba ndio wenyewe(dalili kwa mgonjwa) na
walitambuaje(vipimo vya kugundua kuwa mtu alikuwa nao),hapa nazungumzia kabla ya concept ya "HIV"
hajasingiziwa kusababisha AIDS "peke yake".

Kuna mambo mengi sana hapa lazima utakuwa umeya bypass na hasa pale uliposema ulipokuwa
mdogo.Hapa lazima utakuwa umemiss taarifa muhimu sana ambazo zinaweza kuelezea hicho
ulichokiona bila mizengwe kabisa.Ningekuwapo kipindi hicho na kuwaona hao watu lazima
ningekupatia maelezo sahihi kabisa kuhusu ulichokiona.
Fuatilia taratibu reply hizi utaelewa taratibu,huwezi kuelewa au kuukubali ukweli huu kwa siku
moja.Ni sayansi nzito sana imetumika kudanganya kwenye ungonjwa huu feki wa
HIV/AIDS.Hivyo si rahisi ukaelwa kwa muda mfupi.Yote yale ambayo wewe unadhani
yanakuchanganya,yana majibu yake tena ni sahihi kabisa tofauti na sasa unavyofikiri kwamba
HIV ndiye anaye/aliyehusika.
 warumi said:
Nafurahi sana ninavyozidi kupata mifano dhahiri.

Unajua kitu kikiwa cha uongo,ni vigumu sana kukitetea.Mfano kama umeiba kuku ukamfunika
na shati au kanga,kuna muda tu atalia kwiioo,halafu watu watashtuka "eeh kumbe ameficha kuku
huyu".Hii mifano hata mimi ninayo mingi sana lakini nilijua kwamba kutokana na ukweli wa
haya ninayosema,lazima kuna watu wataleta mifano yao ili iweze kuakisi yale
ninayoyasimamia.Kama nikitoa mifano yangu binafsi,watu wanaweza kusema nimefoji.Lakini
mifano inakuja yenyewe humu.
Hata wewe jaribu kuanzisha mada hii katika watu wengi sehemu yoyote ile ambapo
unafahamiana na watu,halafu jifanye kama huna uelewa vile,halafu sikiliza watu wataema
nini.Hapo ndipo utakapothibitisha kwamba haya mambo ni kasumba tu,na hatupati muda wa
kukaa chini kuyazamia kwa kina kwa sababu ya ugumu wa maisha ndio maana hatujui ukweli
ulivyo.Ila ukiupa nafasi ubongo wako kuhoji kidogo tu,utaona mwanga wa ukweli huooo
unakuja.Basi kila kitu ndivyo kilivyo,ukikipa muda kwenye ubongo tu basi utajua mengi sana
yaliyojificha.
Dunia hii watu wabinafsi wameshaiharibu kwa tamaa zao.Kila eneo/sector inaweza kutumika
kufanya biashara.Watu hawajui kama sector ya afya duniani nayo ni biashara na ndio maana ni
vigumu sana watu kuelewa masuala haya tunayojadili.

Mtu mmoja anatumia ARVs hadi anakufa/maisha yake yote,sasa kuna watu wangapi Tanzania
wanatumia ARVs,halafu jumlisha idadi hiyo na wale wa nchi nyingine duniani nao wanatumia
kila siku.Halafu idadi hiyo zidisha na gharama za ARVs kwa mtu mmoja.Yaani unapata figure
kubwa sana hata kwenye calculator haikai.Hawa jamaa unafikiri kwa faida hii wanayoipata
watakwambia kwamba dawa imepatikana?Najua HIV ni feki,lakini pamoja na hayo hawawezi
kukwambia kama dawa imepatikana hata siku moja kutokana na faida wanayoipata.

Magonjwa yote halisi yana dawa,ukiona ugonjwa hauna dawa ujue huo ni feki(yaani haupo
kiuhalisia).

 Reactions:MISULI, Chakochangu and Diplomatic Imunnity
Mr. Mangi
JF-Expert Member
Joined Sep 21, 2014
 1,523   1,500
May 16, 2015


 #523

 Deception said:
Usijali doctor,najua ni uchovu tu unaotokana na kazi za kutwa ambao hata mimi naweza kuwa nao.Usiku mwema.

mkuu Deception kweli nimeamini mwanzo mgumu kule mwanzo response ya watu ilikuwa


ndogo mno ukilinganisha na coverage ya janga hili maana naamini ktk kila familia lipo ama
ukoo ama kwa jamaa na marafiki wa wanaJF ila sasa japo nachungulia humu mara moja moja
naona dhahiri Mungu kaajaliwa watu sasa wameamka
pia nakumbuka maneno ya raisi flan wa marekani "unaweza kuwadanganya watu fulani kwa
muda wote ila huwezi kuwadanganya watu wote kwa muda wote" wengi wamekuwa
wakiwalaani wazungu juu ya kuikoloni Afrika ila kwa mauwaji indirect ly wanayofanya sasa ni
zaid ya maovu yote ya ukoloni mkuu nakupongeza kwa moyo wako wa kujitolea mungu
akubariki. Gud nait
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 16, 2015


 #524

 Junior. Cux said:


Mi naomba unijibie swala la hapo juu.... hii nimeishuudia pia mimi na kwa umri nilikua mkubwa tu wa
kujitambua!!!! ukinijibu scenario hizo itakua vizuri.
cc: Deception

Jaribu kufikiria out of the box basi... usifurahie kila kitu, do home work kidogo

Nilishamjibu,au hukuona?
Najua pia hata jinsi ulivyouliza tu,inaonekana kabisa hukujiandaa kuelewa.Sasa kama kweli
unahitaji hoja zenye mashiko kati ya mimi na wewe twende taratibu hoja kwa hoja halafu wana
JF wajionee wenyewe nani mkweli.Haya,kwa kuwa najua umekuja kupinga na si kujadili,sasa
unahitajika ueleze wapi mimi sikusema kweli na wewe useme ukweli ni upi halafu tuanze hoja
kwa hoja.

Raass
Senior Member
Joined Feb 5, 2014
 112   195
May 16, 2015


 #525

 Deception said:
Exactly,wewe umeelewa.Halafu kuhusu madhara ya dawa,wala huitaji kukubaliana na mimi,hata wenyewe
wameandika hayo madhara,hivyo haihitaji mtu kukushawishi kwamba zina madhara.Halafu chukulia unatumia
maisha yako yote.

Huhitaji kujiuliza,wameandika wenyewe,halafu nikwambie kitu.Haya madhara hayapo kwa bahati


mbaya,wamedhamiria yawe hivyo ili mwisho wa siku wanaotumia wakifa,watu watajua HIV ndio amehusika na
wataendelea kuwa na imani kwamba kweli HIV/AIDS ni ugonjwa usio na tiba.Fikiria mara mbilimbili hapo utaona
kitu.

Vinginevyo wataendelea kutupa imani kila mwaka eti "wanasayansi wanakaribia kupata dawa ya ukimwi",yaani
upumbavu mtupu,dawa gani inakaribia kupatikana miaka zaidi ya 30 sasa?wanatuchezea akili sana hawa.Wakati
dawa ya ukimwi ni uelewa wako kuujua ukweli ulivyo.Kataa kupima,kataa kutumia ARVs,Kula vizuri,fanya
mazoezi,kunywa maji safi,weka mazingira safi,acha kutumia madawa ya hospitali mara kwa mara pasipo sababu za
msingi.Yaani kamwe hutaugua ugua ovyo.Na ukiugua,ukigusa dawa kidogo tu umepona,yaani kama umeme.

Hawa jamaa wanafanya biashara kupitia serikali za nchi husika.Na ndio maana Thabo Mbeki aling'olewa
madarakani kwa kushindwa kutetea biashara ya ARVs,Museveni anajua ukweli huu ninaowapa na ndio maana
hataki kabisa kusikia mambo haya lakini amekaa kimya kwa kuwa anajua yatakayomkuta akithubutu kugusa
maslahi haya,nadhani mnakumbuka alivyogusa maslahi ya Obama kwenye ushoga kilimtokea nini,alisalimu amri
mwenyewe.Lakini yeye mwanzo alikataa kabisa watu kupima HIV.

Sasa watu wanaona kwamba Deception ndio anapotosha watu,vipi kuhusu hawa ma rais nao?Hawa nafikiri ndio
wenye influence zaidi na wakipotosha wanapotosha kwelikweli.Si mmesikia wenyewe kuhusu South Africa?Sasa
hivi wananchi wa SA wanakwambia "I don't fear HIV/AIDS,I fear malaria",hili ndilo zao la Thabo Mbeki.Hivyo
bila kuchelewa World's Tycoons wakamuondoa fasta na kuliweka madarakani lile chizi Zuma likaendeleze
biashara.Likaanza na vituko eti limetembea na mwanamke mwenye HIV lakini halikupata eti kwa sababu limewahi
kunawa haraka.Linasema hivyo ili watu waamini kwamba kweli HIV yupo na ana madhara.Hii dunia hii,kama
huijui vizuri utakuwa kama ng'ombe,utaishi bila consciousness.
Click to expand...
Kwa niaba ya wasomaji na wapenzi wa Jamii Forum,,, ambao hawawezi ku reply/ comment
chochote hapa Jukwaani....

Tunasema Tunashukuru Sana,,,,

Unatuelimisha na Kutufungua Fikra zetu kwa kiasi kikubwa.

again Tunashukuru sana.


 Reactions:MISULI and Lizarazu

RGforever
JF-Expert Member
Joined Apr 3, 2011
 6,931   2,000
May 16, 2015


 #526

 Deception said:
Sitaki kukupeleka mbali sana kwa kuwa nitakuchanganya.Siku zote penye ukweli uongo hujitenga.Hebu chukua
hiyo postulate namba 3 peke yake.

3.Germ lazima asababishe ugonjwa huo huo kama akidungwa kwenye host mwingine mwenye afya.

Sasa nakuuliza wewe.Je,Kila mtu mwenye HIV ana ukimwi?

No siyo Kila Mtu mwenye HIV ana Ukimwi


D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 16, 2015


 #527

 Mr. Mangi said:


mkuu Deception kweli nimeamini mwanzo mgumu kule mwanzo response ya watu ilikuwa ndogo mno
ukilinganisha na coverage ya janga hili maana naamini ktk kila familia lipo ama ukoo ama kwa jamaa na marafiki
wa wanaJF ila sasa japo nachungulia humu mara moja moja naona dhahiri Mungu kaajaliwa watu sasa wameamka
pia nakumbuka maneno ya raisi flan wa marekani "unaweza kuwadanganya watu fulani kwa muda wote ila huwezi
kuwadanganya watu wote kwa muda wote" wengi wamekuwa wakiwalaani wazungu juu ya kuikoloni Afrika ila
kwa mauwaji indirect ly wanayofanya sasa ni zaid ya maovu yote ya ukoloni mkuu nakupongeza kwa moyo wako
wa kujitolea mungu akubariki. Gud nait

Ha ha haaaa,nimeipenda hiyo kwenye blue hapo.Ila humu wapo watu ambao wanaweza
kudanganyika kwa muda wote.
Usiku mwema.

Junior. Cux
JF-Expert Member
Joined Feb 3, 2011
 5,345   2,000
May 16, 2015


 #528

 Deception said:
Kuna mambo mengi sana hapa lazima utakuwa umeya bypass na hasa pale uliposema ulipokuwa mdogo.Hapa
lazima utakuwa umemiss taarifa muhimu sana ambazo zinaweza kuelezea hicho ulichokiona bila mizengwe
kabisa.Ningekuwapo kipindi hicho na kuwaona hao watu lazima ningekupatia maelezo sahihi kabisa kuhusu
ulichokiona.
Fuatilia taratibu reply hizi utaelewa taratibu,huwezi kuelewa au kuukubali ukweli huu kwa siku moja.Ni sayansi
nzito sana imetumika kudanganya kwenye ungonjwa huu feki wa HIV/AIDS.Hivyo si rahisi ukaelwa kwa muda
mfupi.Yote yale ambayo wewe unadhani yanakuchanganya,yana majibu yake tena ni sahihi kabisa tofauti na sasa
unavyofikiri kwamba HIV ndiye anaye/aliyehusika.

Hapa hujajibu chochote mkuu, nimeona maneno mengi tu ambayo obviously ni siasa.... kusema
kuna mambo mengi atakua ameyabypass na kumiss taarifa ni kutojibu chochote....

 Deception said:
Nilishamjibu,au hukuona?
Najua pia hata jinsi ulivyouliza tu,inaonekana kabisa hukujiandaa kuelewa.Sasa kama kweli unahitaji hoja zenye
mashiko kati ya mimi na wewe twende taratibu hoja kwa hoja halafu wana JF wajionee wenyewe nani
mkweli.Haya,kwa kuwa najua umekuja kupinga na si kujadili,sasa unahitajika ueleze wapi mimi sikusema kweli na
wewe useme ukweli ni upi halafu tuanze hoja kwa hoja.
Ungeingia into details ni vipi hao wazee walikufa kwa style moja mpaka mtoto na mahawara nao
wakafata kwa style hiyo hiyo na wakati walikua hawatumii arv, na madawa ya magonjwa
nyemelezi waliyatumia....

 Reactions:Mjuni Lwambo

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 16, 2015


 #529

 RGforever said:
No siyo Kila Mtu mwenye HIV ana Ukimwi

Ha ha haaa,yaani mkuu unajibu kama uko kwenye mtihani wa taifa.

RGforever
JF-Expert Member
Joined Apr 3, 2011
 6,931   2,000
May 16, 2015


 #530

 Deception said:
Good question,sasa tulia peke yako chumbani,asikubughuzi mtu,kula tartiiib hiyo documentary hapo
chini.Ukimaliza mpaka mwisho ndio utaelewa kwamba dunia unayoishi sasa ni ya namna gani.

https://www.youtube.com/watch?v=eUd9rRSLY4A

Ngoja niipakue kabisa

RGforever
JF-Expert Member
Joined Apr 3, 2011
 6,931   2,000
May 16, 2015


 #531

 gorgeousmimi said:
Katika kazi yangu nakutana na wagonjwa wa aina hio kila siku na hakuna hata mmoja anayelalamikia sideeffects
zozote.

Watalalamikaje na kukuletea wakati wao wanajua Ni HIV ndo inawasumbua siyo ARV...

Ndo maana Hujawahi kuona wanalalamika maana wanajua Watakufa tu maana Hatawakileta
hayo malalamiko na Wewe utasema ni HIV huyo Chukua tena Hizi ARV

 Reactions:Lizarazu, kaburungu, warumi and 2 others

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 16, 2015


 #532

 raass said:
Kwa niaba ya wasomaji na wapenzi wa Jamii Forum,,, ambao hawawezi ku reply/ comment chochote hapa
Jukwaani....

Tunasema Tunashukuru Sana,,,,

Unatuelimisha na Kutufungua Fikra zetu kwa kiasi kikubwa.

again Tunashukuru sana.

Nashukuru pia kwa kutoa muda wa kusikiliza.Pia nakushauri ili uwe vyema zaidi inabidi ufanye
utafiti wewe mwenyewe mtaani na mitandaoni ili kujiridhisha na haya niliyosema.Kama utaweza
kuwafuatilia kwa ukaribu wale watu waliopo kwenye vituo vya kupimia HIV(feki) hapo utakuwa
umefanya la maana sana.

 Reactions:warumi

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 16, 2015


 #533

 RGforever said:
Ngoja niipakue kabisa

Ha ha haa,we mbayaaa!!

RGforever
JF-Expert Member
Joined Apr 3, 2011
 6,931   2,000
May 17, 2015


 #534

 Kituko said:
Kwa kweli mjadala mzuri sana

1. Kwa kuna UKIMWI na HIV/UKIWMI

2. Kwamba UKIMWI Ulikuwepo tangu enzi na enzi, na baada ya mwili kupungukiwa na kinga ulishambuliwa na
magonjwa mbalimbali yakiwemo Mkanda wa jeshi, ukurutu nk, lakini magonjwa hayo yalitibiwa na yalipona bila
matumizi ya ARV,

3. Kwamba kuanzia miaka ya 80 kulitokea aina mpya ya upungufu wa Kinga UKIMWI unaosababishwa na Virusi
vinavyoitwa HIV, na kwamba magonjwa kama Makanda wa jeshi na Ukurutu sasa hauoponi kwa tiba ile ya zamani,
na badala yake ni ARV
Click to expand...

Naona Watu wameshaanza Kutumia Kichwa Kufikiri. Kwa Kuhoji kwako tu huku

RGforever
JF-Expert Member
Joined Apr 3, 2011
 6,931   2,000
May 17, 2015


 #535

 amaizing said:
Yan binamu acha tu
Nna case ya MTU mwingine yeye alipima HIV akakutwa positive akashauriwa apime CD4 akakuta zipo juu
hospital wakamwambia awe anarud kuchek kama zimeshuka ili aanzishiwe ARV ni toka 2009 hajarud hospital tena
yan yeye anakula vizur,mazoez hana stress na yuko poa kabisa na mpango wa kupima tena hana.

Hahahahahahhaha
Mwambie Akapime inawezekana ikawa Imevapour

 Reactions:warumi

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 17, 2015


 #536

 Junior. Cux said:


Hapa hujajibu chochote mkuu, nimeona maneno mengi tu ambayo obviously ni siasa.... kusema kuna mambo mengi
atakua ameyabypass na kumiss taarifa ni kutojibu chochote....

Ungeingia into details ni vipi hao wazee walikufa kwa style moja mpaka mtoto na mahawara nao wakafata kwa
style hiyo hiyo na wakati walikua hawatumii arv, na madawa ya magonjwa nyemelezi waliyatumia....

Mkuu tulia kwanza,unaonekana wazi kabisa kwamba hata ukipewa jibu sahihi utapinga tu,kwa
maana umeshakaa stance kabisa,jibu lolote litakalokuja mbele yako ni kupinga tu bila kujali
kama ni kweli au la,ha ha haaa.Wenzetu wazungu hawako hivi kabisa,hivi kwa nini sisi weusi
tuko hivi?

Sasa inaonekana hujalielewa jibu nililotoa kwa sababu ya bias.Usijali,ili nikujibu kama
unavyotaka naomba unijibu swali hili kwanza.Kumbuka kwamba nina nia kabisa ya
kukujibu,ndio maana niko humu.

Swali:Naomba unitajie dalili kuu tano za ugonjwa fulani.


 Reactions:halloperidon, warumi and Diplomatic Imunnity

Chakochangu
JF-Expert Member
Joined Mar 21, 2011
 2,447   2,000
May 17, 2015

 #537

 Deception said:
Swali zuri sana hilo.Sijui kama umemuelewa alivyojibu.

Nimemuelewa hii nafikiri ni ile theory yao ugonjwa umetokea kwa masokwe, huko misitu ya
Ikweta kwa ndugu zetu wanaokula Nyama pori za jamii ya manyani. Kitu ambacho kinapingwa
na Dr Duesberg na wenzake.

Junior. Cux
JF-Expert Member
Joined Feb 3, 2011
 5,345   2,000
May 17, 2015


 #538

 Deception said:
Mkuu tulia kwanza,unaonekana wazi kabisa kwamba hata ukipewa jibu sahihi utapinga tu,kwa maana umeshakaa
stance kabisa,jibu lolote litakalokuja mbele yako ni kupinga tu bila kujali kama ni kweli au la,ha ha haaa.Wenzetu
wazungu hawako hivi kabisa,hivi kwa nini sisi weusi tuko hivi?

Sasa inaonekana hujalielewa jibu nililotoa kwa sababu ya bias.Usijali,ili nikujibu kama unavyotaka naomba unijibu
swali hili kwanza.Kumbuka kwamba nina nia kabisa ya kukujibu,ndio maana niko humu.

Swali:Naomba unitajie dalili kuu tano za ugonjwa fulani.

Mkuu kumbuka post yangu ya #93 ndo mana nkasema wewe ni ujanja ujanja kuwatoa watu
kwenye mstari.... nimekuuliza swali unajibu kwa swali, kwanini usinijibu kwanza ndo ukauliza
na wewe....

Post #93 Nilikwambia hivi wakati nakujibu

 Junior. Cux said:


*unataka tuamini linki zako ila wengine wakikuwekea unazikataa.... kwanini tuanini link zako na kuacha zingine!??

*Unaulizwa maswali mengi na mengi unajibu kwa kuuliza maswali na wewe, hapo unazidi kujichanganya

.......... nijibu haya tu na kazi imeisha......


*ukimwi ulianza kugundulika kwa mtu wa kwanza kabla ua arv kuwepo.... aliupata kwa njia gani bila ya
kuambukizwa kupitia arv!??

*arv ya kwanza kugundulika ilikua 1988 lakini kwa tabzania zilichelewa kufika mpaka miaka ya mwanzo ya 90, je
kwa kipindi chote hicho maambukizi yalikua kwa njia gani!??

*TB unayoisema imeanza zamani sana na wagonjwa walikua wanapata dawa mbalimbali, inakuaje kwa tb hii kuuwa
watu wengi namna hiyo na kukondesha kiasi hicho.

*kama ni TB mbona ukimwi unasemekana ulianzia Bukoba miaka hiyo, watu wa mikoa mingine walikua hawaugui
TB!?? kwanini na wenyewe wasiishe kama watu wa BK walivyokua wanadhoofika

naomba majibu kwanza na usinijubu kwa maswali tafadhari


Click to expand...
Madaktari wengi najua wanaipita hii thread kwa sababu ya style yako ya kujibu.... unastory
ndefu zisizo na scientific proves

Carter
JF-Expert Member
Joined Jan 23, 2009
 2,902   2,000
May 17, 2015


 #539

Ah well, sichepuki! Though niko vyombo nimepitia pitia hii sread japo kuna mikanganyiko
mingi hakuna suluhisho la pamoja!

Wasi wasi ndio akili..... Kanyesha ni kanyesha tu IPO na ilikwepo na itaendelea kuwepo manake
bado sijaona jitihada za kuimaliza au ugunduzi wa dawa wala tiba!

Sent from JamiiForums

A De La K
Member
Joined Dec 27, 2013
 70   0
May 17, 2015


 #540

 Deception said:
Mbona kwa Tanzania wapo wengi tofauti na tafiti hizo?Yaani ni wengi sana kiasi kwamba hata humu JF wapo.

Kwetu wanaweza wakawepo, ila si wengi kama unavyoiput. Na zaidi si kitu kilichokuwa
documented hivyo kufahamu hasa idadi si rahisi. Ila based on cases nilizowahi kuziona clinic
naweza kusema mi chache out of watu wote waliokuja kupima. Sasa hao wa jamiiForums
unaowasema mkuu, je, ni documented cases au ndo zile za washkaji kuongea wanachojisikia
tuu? Na zaidi, kwenye medicine, distribution ya traits mara kadhaa hiwa ni normal...hasa kwa
zile ambazo zipo universal. Hivyo ukiona kitu kiko kidogo nje basi na kwetu itakuwa more or
less hivyo hivyo.
Mimi binafsi kuna kitu kimenifungua akili, aunt yangu alikuwa na mgogoro na mume wake
aliyekuwa na mahusiano nje ya ndoa muda mrefu tena ulifikia pabaya baada ya mumewe kuzaa
na mmoja wa wanawake zake, kukafanywa vikao mume akaomba msamaha ila aunt akasisitiza
hatoweza shiriki naye tendo la ndoa mpaka wapime HIV, mume akakubali mbele ya kikao eehhh
walivyoenda kupima jamani aunt yangu akakutwa ameathirika na mume hajaathirika, hii
imemfanya aunt azidi kudhoofika kwasababu mume ambaye hakuwa mwaminifu ndo mzima
jaman yaan ana mawazo sasa imekuwaje au mume ni carreer yaan hamna anayeelewa, ila baada
ya kusoma hapa kuna kitu nimepata i wish nimuonyeshe asome hapa apunguze stress maskini
maana ndo znamfubaisha sababu huyo mwanamke aliyezaa na uncle anamsimanga maskin
mpaka huruma

 Reactions:Duke Tachez, Raynavero, RGforever and 4 others

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 17, 2015


 #542

 A de La K said:
Kwetu wanaweza wakawepo, ila si wengi kama unavyoiput. Na zaidi si kitu kilichokuwa documented hivyo
kufahamu hasa idadi si rahisi. Ila based on cases nilizowahi kuziona clinic naweza kusema mi chache out of watu
wote waliokuja kupima. Sasa hao wa jamiiForums unaowasema mkuu, je, ni documented cases au ndo zile za
washkaji kuongea wanachojisikia tuu? Na zaidi, kwenye medicine, distribution ya traits mara kadhaa hiwa ni
normal...hasa kwa zile ambazo zipo universal. Hivyo ukiona kitu kiko kidogo nje basi na kwetu itakuwa more or
less hivyo hivyo.

Wewe hujaelewa kabisa mantiki ya nilichokijibu.Kuna wenzako walikuwa wananijibu kwa pupa
vivyohivyo,lakini baada ya kugundua niko vipi,wakaanza kuwa makini kwenye majibu yao.
Ukiacha mifano mingi sana ile ninayoijua mimi,humuhumu JF pia kuna watu wana mifano yao
kuhusu watu waliopimwa na kuonekana wana huyo HIV(feki).Lakini ni miaka mingi sana
imepita wako vyema kiafya na hawatumii ARVs.Sasa kama hawa watu hawana hizo
traits,unatakiwa kujibu swali ni kwanini hawa watu ninaowajua mimi na hawa walioshuhudiwa
humu JF wanaishi miaka mingi hivyo bila kutumia ARVs.

Ha ha haaa,najua utaniambia HIV yuko kwenye latent period,mnakosaga majibu ninyi!!!


D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 17, 2015


 #543

 Tira said:
Mimi binafsi kuna kitu kimenifungua akili, aunt yangu alikuwa na mgogoro na mume wake aliyekuwa na
mahusiano nje ya ndoa muda mrefu tena ulifikia pabaya baada ya mumewe kuzaa na mmoja wa wanawake zake,
kukafanywa vikao mume akaomba msamaha ila aunt akasisitiza hatoweza shiriki naye tendo la ndoa mpaka wapime
HIV, mume akakubali mbele ya kikao eehhh walivyoenda kupima jamani aunt yangu akakutwa ameathirika na
mume hajaathirika, hii imemfanya aunt azidi kudhoofika kwasababu mume ambaye hakuwa mwaminifu ndo mzima
jaman yaan ana mawazo sasa imekuwaje au mume ni carreer yaan hamna anayeelewa, ila baada ya kusoma hapa
kuna kitu nimepata i wish nimuonyeshe asome hapa apunguze stress maskini maana ndo znamfubaisha sababu huyo
mwanamke aliyezaa na uncle anamsimanga maskin mpaka huruma

Unaona ukweli unavyojieleza wenyewe eeenh?Na ndio maana nasema ugonjwa huu feki ni feki
kila nyanja,mojawapo ya nyanja hizo ni vipimo na huyo HIV mwenyewe.Nashukuru sana
kusema hili mapema.Naomba umuwahishe huyo aunt yako aje tuongee.Sitakubali kumpoteza
mtu mnyenyekevu kama huyo.
Usiwasikilize hao mwewe wanaosema kwamba eti mme wake atakuwa carrier,muwahishe
haraka sana hapa tuongee halafu wewe mwenyewe utakuwa shuhuda kwa mara ya pili hapahapa
JF hata kwenye uzi mwingine.

 Reactions:renyo, Habari ya Mujini, RGforever and 2 others

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 17, 2015

 #544

 Junior. Cux said:


Mkuu kumbuka post yangu ya #93 ndo mana nkasema wewe ni ujanja ujanja kuwatoa watu kwenye mstari....
nimekuuliza swali unajibu kwa swali, kwanini usinijibu kwanza ndo ukauliza na wewe....

Post #93 Nilikwambia hivi wakati nakujibu

Madaktari wengi najua wanaipita hii thread kwa sababu ya style yako ya kujibu.... unastory ndefu zisizo na scientific
proves
Click to expand...

Usituletee habari za madokta wako wa mifugo apa, wenyewe wanajua kilichowakimbiza humu...
we kama unataka kuelewa uliza tu utaeleweshwa achana na madokta wa mifugo

 Reactions:starboy09

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 17, 2015


 #545

 carter said:
Ah well, sichepuki! Though niko vyombo nimepitia pitia hii sread japo kuna mikanganyiko mingi hakuna suluhisho
la pamoja!

Wasi wasi ndio akili..... Kanyesha ni kanyesha tu IPO na ilikwepo na itaendelea kuwepo manake bado sijaona
jitihada za kuimaliza au ugunduzi wa dawa wala tiba!

Sent from JamiiForums

Tatizo wabongo ni vichwa ngumu mno, aliyekwambia uchepuke nani? Ivi unajielewa vizuri
unachokiandika? Acha kuwaza kama mnyama bwana, nani kaongelea kuhusu kuchepuka humu
au kufanya ngono isiyo salama? Think like a human

Wewe ni mpumbavu, unawaza kuchepuka tu, kwani usiwaze mambo mengine? Kwa hiyo kama
dawa ingepatikana ungechepuka? Jali afya yako acha kuwaza kama kuku, huu ni utoto sana, eti
sichepuki, who told you to? Nitafutie sehemu walioandika humu kuwa watu wachepuke?

 Reactions:Habari ya Mujini

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 17, 2015


 #546

 carter said:
Ah well, sichepuki! Though niko vyombo nimepitia pitia hii sread japo kuna mikanganyiko mingi hakuna suluhisho
la pamoja!

Wasi wasi ndio akili..... Kanyesha ni kanyesha tu IPO na ilikwepo na itaendelea kuwepo manake bado sijaona
jitihada za kuimaliza au ugunduzi wa dawa wala tiba!

Sent from JamiiForums

Huwezi kujua jitihada za kuimaliza au ugunduzi wa dawa kama unavysoema wakati umelala
kijana, unataka nani akufuate kwako akwambie dawa ya ukimwi imepatikana? Do you think
properly? changamsha akili yako, Ujinga wako ndio utakaokuponza, unaweza kujishaua apa
unaogopa ukimwi kumbe unao tayari

ukisoma vizuri humu utajua jinsi ya kujikinga na magonjwa mbali mbali kwa kuzingatia lishe
bora hata kama huja athirika, kama unataka kujifunza ni bora ukaja na maswali yenye mashiko
sio unaongea kama umekunywa viroba.

 Reactions:Habari ya Mujini

Nchi Kavu
JF-Expert Member
Joined Sep 11, 2010
 3,676   2,000
May 17, 2015


 #547

 Junior. Cux said:


Hapa hujajibu chochote mkuu, nimeona maneno mengi tu ambayo obviously ni siasa.... kusema kuna mambo mengi
atakua ameyabypass na kumiss taarifa ni kutojibu chochote....

Ungeingia into details ni vipi hao wazee walikufa kwa style moja mpaka mtoto na mahawara nao wakafata kwa
style hiyo hiyo na wakati walikua hawatumii arv, na madawa ya magonjwa nyemelezi waliyatumia....

dah! yani jamaa kanikata stimu kweli. nilikuwa nasubiri sana jibu lake kuhusiana na
alivyoulizwa ila kanihuzunisha kweli. angetuwekea basi link ya majibu yake. hilo swali
lililohlizwa ndio ilikuwa nafasj yake ya kukata mzizi wa fitna. Deception hata kama ulishajibu
basi jinukuu tuone majibu. kulalamikia arv bado hujatusaidia
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

 Reactions:Junior. Cux

Rene Jr.
JF-Expert Member
Joined Jan 31, 2014
 3,524   2,000
May 17, 2015


 #548

Hii thread nilikuwa sijaipitia sku nyingi sana, naona bado iko hai...iko hai lakini ikiwa imepoteza
dira kabisaa. swali la mleta mada lilikuwa straight na wazi kabisa, na wadau walishalijibu
kisayansi, kinachoendelea sasa ni vijembe, siasa, marketing za waganga wa kienyeji, matusi na
takataka zingine zilizoko nje ya mada!...kazi ipo.

 Reactions:Junior. Cux

Gwijimimi
JF-Expert Member
Joined Sep 24, 2011
 7,176   2,000
May 17, 2015

 #549

 Nzowa Godat said:


Ukiwa na uume mdogo ambao hausababishi michubuko halafu ukawahi kuuosha baada ya kugegedua, unaweza
ukasalimika.

Hume mdogo au point ni usipate michubuko?

Gwijimimi
JF-Expert Member
Joined Sep 24, 2011
 7,176   2,000
May 17, 2015


 #550

 think3r91 said:
Deception

Well said, ulifuatilia ile documentary ya yule daktari aliyabatiza hii kitu...

Inaitwaje?
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

Gwijimimi
JF-Expert Member
Joined Sep 24, 2011
 7,176   2,000
May 17, 2015


 #551

 Deception said:
Ndio mkuu,yaani sikubakisha kitu,documentary zote zinazohusu mambo haya nimezifuatila kwa undani kabisa tena
karibu mara sita sita kila moja.Hakuna documentary nilibakisha.Pia scientific papers mbalimbali nimefuatilia na
nimefanya tafiti mbalimbali clinic za watu wanaotumia ARVs na nimefuatilia pia watu wanaotumia ARVs walio
kwenye hatua za mwisho/yaani wenye hali mbaya zaidi kiafya.
Nikaja kuhitimisha kwamba,sisi tunauawa kwa kukosa maarifa na uelewa,kwa kweli inaniuma sana hadi leo hii
baada ya kujua ukweli huu na ninadhani ipo siku walioshikiria biashara hii ya ARVs wataniua kwa kuwaelimisha
watu ukweli kwa maana sina hata chembe ya uvumilivu ya kuhifadhi ukweli huu ndani ya ubongo wangu.
Tumedanganywa kuhusu ugonjwa huu kuanzia;
1.Historia yake(ni feki)
2.Hypothesis yake(ni uongo uliopindukia)
3.Vipimo vya HIV(ni feki na very misleading)
4.na Dawa zake za ARVs(hazina faida yoyote na ndio hizi hasa zinazosababisha matatizo halafu tunamsingizia
HIV).
Click to expand...

Naomba majina ya hzo documentary mkuu

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 17, 2015


 #552

 Deception said:
Unaona ukweli unavyojieleza wenyewe eeenh?Na ndio maana nasema ugonjwa huu feki ni feki kila
nyanja,mojawapo ya nyanja hizo ni vipimo na huyo HIV mwenyewe.Nashukuru sana kusema hili mapema.Naomba
umuwahishe huyo aunt yako aje tuongee.Sitakubali kumpoteza mtu mnyenyekevu kama huyo.
Usiwasikilize hao mwewe wanaosema kwamba eti mme wake atakuwa carrier,muwahishe haraka sana hapa tuongee
halafu wewe mwenyewe utakuwa shuhuda kwa mara ya pili hapahapa JF hata kwenye uzi mwingine.

Watu wengi tunaogopa UKIMWI kwa kuwa tunajua hauna tiba wala kinga , ila kuna magonjwa
kama MARALIA, TB na magonjwa mengi tu ambayo yana Tiba,kinga
na dawa ila bado vifo vinatokea mfululizo especially vinavyosababishwa na maralia, nauliza ivi

1. Kwa hiyo hao wanaoukufa kwa maralia,tb nk CD 4 zao zinakuwa ndogo (kinga) au nini
kinachowaua?

2. Mtu ukiwa na Upungufu wa kinga mwilini (CD 4) that means una ukimwi?

3. Wote wanaoathirika na Ukimwi lazima wafe vifo vya mateso? Kama kuarisha sana, homa,
vidonda mwilini nk, ina maana hakuna waathirika wanaokufa natural death?, yani alikuwa
mzima kiafya ila kalala ndo ikawa kwa heri.

4. Nataka kujua dalili moja tu ya waathirika wa UKIMWI ambayo hakuna mgonjwa yeyote
anayeweza kuipata isipokuwa waathirika tu, achilia mbali homa, kuarisha, vidonda mwilini nk.
5. Nataka kujua kinachowaua wagonjwa wa UKIMWI na wagonjwa wa MARALIA

6. Unakuta mtu anaambiwa ana UKIMWI na baada ya mda tu lazima yule mtu afe(nimeshuhudia
mara 4-6), japokuwa nakuwa sina uhakika kama wanatumia ARVs au lah maana hyo ni siri ya
mtu na sina uhakika kama kweli wana VVU ila uvumi kama unavyojua,kuna dada mmoja ivi uku
kwetu aliolewa na mzungu zaman sana, huyo mzungu alifariki mwaka 99 kwa UKIMWI
inavyosemekana ,basi huyo dada akaendelea kuishi vizur tu, mpaka mwaka huu mwezi 3 hali
ikaanza kubadilika, watu wakasema anamfuata mume wake, dada akaugua sana, hatimaye
akafariki kama wiki tatu zimepita wakamzika kwao moshi, na sasa ivi kuna jamaa ambaye
alikuwa anatembea nae watu wameanza pia kumhesabia siku, kibinadamu inatisha, haswa
ukishuhudia, inachanganya sana.

7.Kutokana na maelezo yako umesema ARV zinaua na ushahidi tumeona kutoka kwa
wanasayansi na mashuhuda wengi tu, je? Mfano mimi warumi niliyeathirika na UKIMWI
nafanyaje kuhakikisha naishi na vizuri, bila HOFU wala magonjwa?, je ni chakula tu ndicho
kitakachofanya afya yangu iwe imara kama watu wengine kwa miaka yote bila kutumia madawa
yeyote?
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

 Reactions:Habari ya Mujini

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 17, 2015


 #553

 Rene Jr. said:


Hii thread nilikuwa sijaipitia sku nyingi sana, naona bado iko hai...iko hai lakini ikiwa imepoteza dira kabisaa. swali
la mleta mada lilikuwa straight na wazi kabisa, na wadau walishalijibu kisayansi, kinachoendelea sasa ni vijembe,
siasa, marketing za waganga wa kienyeji, matusi na takataka zingine zilizoko nje ya mada!...kazi ipo.

Humu sio waganga tu ata wachawi tupo, kuna wazinzi, wezi, majambazi na kila aina ya watu
unaowajua, kwa hiyo ulikuwa unataka msaada gani? Wa kiganga, kichawi, kisiasa au unatafuta
biashara na wewe? Basi jitahidi kuitangaza biashara yako na wewe tuione, acha porojo ,humu
hatuimbi taarabu....

 Reactions:Raynavero, Showme, arafa255 and 2 others
Habari Ya Mujini
JF-Expert Member
Joined Dec 22, 2013
 2,447   2,000
May 17, 2015


 #554

 gwijimimi said:
Naomba majina ya hzo documentary mkuu

Zimo humu ndan fuatilia vizuri mkuu..


 Reactions:warumi

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 17, 2015


 #555

 Habari ya Mujini said:


Zimo humu ndan fuatilia vizuri mkuu..

Watu ni wavivu kusoma, wametoka uko wamekuja mbio wanauliza maswali ambayo
yamekwishajibiwa ,sasa sijui unawasaidiaje, tunarudi nyuma badala ya kwenda mbele

 Reactions:Habari ya Mujini
Gwijimimi
JF-Expert Member
Joined Sep 24, 2011
 7,176   2,000
May 17, 2015


 #556

 mavado said:
Nshatembea sana na totoz but mpaka leo am so good, nothing like mdudu, but also nakula sana mitishamba,, niko na
almost 15 years sijala hata panadol.

Mitishamba gani hyo mkuu


Need assistance kwakweli!

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 17, 2015


 #557

 Habari ya Mujini said:


Zimo humu ndan fuatilia vizuri mkuu..

Watu wanadanganyana uko PM na kusema vibaya kwa maneno ya kashfa ooh eti
tunadanganyika na kushabikia upuuzi, mi nawaona wao ndio wapuuzi, wanashindwa kuja na
hoja za msingi kuhusu wanachokipinga wanaishia kuongelea pembeni wapuuzi sana, hakuna
aliyeingia humu kushindana na mtu wote tunataka kujifunza kwa yeyote atakayekuwa tayar
kufanya hivyo na kwa hoja za msingi.

 Reactions:Habari ya Mujini

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 17, 2015


 #558

 Junior. Cux said:


Hapa hujajibu chochote mkuu, nimeona maneno mengi tu ambayo obviously ni siasa.... kusema kuna mambo mengi
atakua ameyabypass na kumiss taarifa ni kutojibu chochote....

Ungeingia into details ni vipi hao wazee walikufa kwa style moja mpaka mtoto na mahawara nao wakafata kwa
style hiyo hiyo na wakati walikua hawatumii arv, na madawa ya magonjwa nyemelezi waliyatumia....

Wewe utakuwa na matatizo makubwa bila kujifahamu,na ndio maana nikakwambia kwanza
ondoa bias na kasumba kwa kuwa hizo ndizo lock za milango yako ya fahamu.Haya
nilishayajibu huko nyuma,lakini kwa sababu ya bias na kasumba,umeyapita bila kuelewa.Halafu
unagusagusa reply chache sana,unarukaruka,leo huku kesho kule.Huwezi kuelewa kamwe kwa
tabia hiyo uliyonayo,hata nikikwambia kwamba kwenye post zangu namba fulani nimejibu hayo
maswali wala huwezi kuelewa kama nimejibu na badala yake utaendelea kung'ang'ania
kukumbatia kasumba.Yaani ndio bado kabisa,wale madaktari ndio nilikuwa nakwenda nao
sawa,sio wewe.Wewe huwezi kung'amua kabisa mtu akisema jambo huwa ana maana gani.

Sasa hapo unasema niingie kwenye details kwenye swali la jamaa.Nitaingia vipi kwenye details
ilihali hata mwenyewe aliyeuliza hajaingia kwenye details,ametoa mfano ambao hakusema
kaona dalili gani(amesema ameona dalili zinazofanana ila hakuzitaja),ulikuwa mwaka
gani,alikuwa na umri gani wakati anashuhudia hayo,walikuwa wanatumia dozi gani za hayo
magonjwa,hali ya kiuchumi ya hao wagonjwa ilikuwaje na walikuwa wanaishi kwenye
mazingira gani,style yao ya maisha ilikuwaje na mambo mengine lukuki hakutaja.
Sasa unasema mimi niingie kwenye details,nitaingiaje kwenye details bila kujua taarifa kama
hizo?Ubongo wako umejiandaa kusikia kile ambacho unakijua tu na si zaidi ya hapo.Hivi wewe
umeshaona wapi daktari anatoa dozi kwa mgonjwa kwa kumsikiliza malalamiko yake tu bila
kujiridhisha kwa kuchukua vipimo?Wewe ndivyo unavyotaka mimi nifanye,na kwa kuwa
unadhani akili yangu na yako zinafanana basi unategemea kweli nitakujibu kama unavyotaka.

Sasa tuangalie hiyo post yako unayosema;

 Junior. Cux said:


.......... nijibu haya tu na kazi imeisha......

*ukimwi ulianza kugundulika kwa mtu wa kwanza kabla ua arv kuwepo.... aliupata kwa njia gani bila ya
kuambukizwa kupitia arv!??...
Samahani kwa majibu nitakayokupa;Usikimbilie kusema ninakuuliza swali kabla sijajibu
swali,haya yote yanatokea kwa kuwa maswali yako yana utata na hayajakamilika,hivyo nataka
tuyaweke vizuri kabla sijakujibu.Nimeamua kukwambia hivyo mapema kabisa kwa maana najua
uwezo wako wa kutambua bado si mzuri.
-Kwanza inajidhihirisha kabisa kwamba hujui unachokiongea.Haya niambie ukimwi ulianza
kugundulika mara ya kwanza mwaka gani?
-Unaweza kupata ukimwi kwa njia nyingi tu,baadhi ya hizo njia ni;
1.Malnutrition/ukosefu wa chakula bora 2.Ukosefu wa antioxidants 3.Frequent use of drugs
4.Ukosefu wa maji safi ya kunywa 5.Hygiene(maambukizi ya mara kwa mara kutokana na
uchafu) nk.

Najua haya yako nje ya kasumba unayoijua.

 Junior. Cux said:


.......... nijibu haya tu na kazi imeisha......

*arv ya kwanza kugundulika ilikua 1988 lakini kwa tabzania zilichelewa kufika mpaka miaka ya mwanzo ya 90, je
kwa kipindi chote hicho maambukizi yalikua kwa njia gani!??..
-Hapa unazungumzia maambukizi ya kitu gani?Weka sawasawa kwanza kabla sijakujibu swali
lako.

 Junior. Cux said:


.......... nijibu haya tu na kazi imeisha......

*TB unayoisema imeanza zamani sana na wagonjwa walikua wanapata dawa mbalimbali, inakuaje kwa tb hii kuuwa
watu wengi namna hiyo na kukondesha kiasi hicho....
-Una uthibitisho wowote kwamba TB ya mwanzo ilikuwa haiui watu wengi na kukondesha
sana?Haya mazungumzo ya hisia ndio huwa nayachukia mimi,halafu unakuja kulalamika
kwamba sijajibu swali lako,wenzako wameondoka humu kwa kukosa vithibitisho,theory wanazo
nyingi tu,hata mimi ninazo theory zangu,usifikiri kwamba sina.Ila mwisho wa siku tunatakiwa
kuthibitisha kwa kutumia uhalisia wa mambo.

Haya lete uthibitisho kwamba TB ya mwanzo ilikuwa haiui watu wengi sana na ilikuwa
haikondeshi sana.

 Junior. Cux said:


.......... nijibu haya tu na kazi imeisha......

*kama ni TB mbona ukimwi unasemekana ulianzia Bukoba miaka hiyo, watu wa mikoa mingine walikua hawaugui
TB!?? kwanini na wenyewe wasiishe kama watu wa BK walivyokua wanadhoofika...
Unaona matatizo yako yalivyo?
Eti "ukimwi unasemekana ulianzia Bukoba miaka hiyo".Yaani hisia tupu zimejaa.Eti "watu wa
mikoa mingine walikuwa hawaugui TB".Eti"Kwa nini wenyewe wasiishe kama watu wa Bukoba
walivyokuwa wanadhoofika"

Yaani zote ni hisia tu hizo.

1.kama ni TB mbona ukimwi unasemekana ulianzia Bukoba miaka hiyo.


Yaani hapa naona hata uvivu kukujibu.Hizo ni WHO data ndizo zinasosema hivyo kama ulikua
hujui,wameripoti case ya kwanza mwaka 1983 Bukoba wakati HIV katangazwa kugundulika 23
April 1984 na mgunduzi ametangazwa bila hata ku submit test results zake kwa wanasayansi
wengine kwa ajili ya peer review(sijui kama umeng'amua kitu hapo).Na hao wanaoongoza WHO
ndio hao wenye viwanda vya madawa yakiwemo ya ARVs,hivyo si ajabu kuja kutafuta soko
Tanzania na nchi nyingine duniani,ukifunga milango yako ya fahamu huwezi kuyajua haya
yote,utaendelea kumnyenyekea mtu ambaye wewe unamwona anakupenda kumbe ni hatari kwa
maisha yako.

2.watu wa mikoa mingine walikua hawaugui TB!?? kwanini na wenyewe wasiishe kama watu
wa BK walivyokua wanadhoofika?

Wewe uliwaona hao watu wa mikoa mingine kwamba walikuwa hawadhoofiki?Na kama
uliwaona je unaweza kututhibitishia vipi hapa?
Mkuu deception ninaomba maelekezo katika yafuatayo; 1.yale maji ya limao ni lazima yatumiwe
asubuhi tu na yachanganywe na maji tu? Namaanisha hakuna mbadala wa maji labda kama juice
ya matunda unachanganya na limao na ikafanya kazi kama inavyotakiwa? 2. Unaweza ukatumia
vyakula gani ili kuondoa sumu za madawa na vyakula mbalimbali mwilini? Au kama zipo dawa
ni dawa gani ambazo zinatoa sumu mwilini?
Mkuu deception ukweli umenifungua fahamu juu ya vyakula mfano nyanya zile chungu kabisa
na ile minyanya ambayo sio michungu.pia hawa jamaa wametuletea mavitunguu swaumu yale
makubwa na meupe vivyohivyo na matangawizi yao ya kisasa yaani najiuliza mantiki ya
kutuletea mavyakula ya aina hii ni nini na wao wanayatumia kweli!!! Ukija kwenye yale makuku
yao ya wiki mbili ni shida hivi kweli hawa watu weupe wanayala kweli? Hapa inabidi tufunguke
fahamu ndugu zangu na cha ajabu hawa madaktari wetu sijasikia wakituelimisha juu ya vyakula
gani tutumie na vipi tusitumie.Hapa nina mfano mmoja kuhusu hivi vyakula,kuna mjapani
mmoja aliniuliza mbona mayai ya tanzania ni white white?akaniambia kwao ni white
yellow.hapo mnapata picha gani wana jf wenzangu?

 Reactions:Manchira, Diva Beyonce and warumi

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 17, 2015


 #565

 kichelepure said:
Mkuu deception ninaomba maelekezo katika yafuatayo; 1.yale maji ya limao ni lazima yatumiwe asubuhi tu na
yachanganywe na maji tu? Namaanisha hakuna mbadala wa maji labda kama juice ya matunda unachanganya na
limao na ikafanya kazi kama inavyotakiwa? 2. Unaweza ukatumia vyakula gani ili kuondoa sumu za madawa na
vyakula mbalimbali mwilini? Au kama zipo dawa ni dawa gani ambazo zinatoa sumu mwilini?
Mkuu deception ukweli umenifungua fahamu juu ya vyakula mfano nyanya zile chungu kabisa na ile minyanya
ambayo sio michungu.pia hawa jamaa wametuletea mavitunguu swaumu yale makubwa na meupe vivyohivyo na
matangawizi yao ya kisasa yaani najiuliza mantiki ya kutuletea mavyakula ya aina hii ni nini na wao wanayatumia
kweli!!! Ukija kwenye yale makuku yao ya wiki mbili ni shida hivi kweli hawa watu weupe wanayala kweli? Hapa
inabidi tufunguke fahamu ndugu zangu na cha ajabu hawa madaktari wetu sijasikia wakituelimisha juu ya vyakula
gani tutumie na vipi tusitumie.Hapa nina mfano mmoja kuhusu hivi vyakula,kuna mjapani mmoja aliniuliza mbona
mayai ya tanzania ni white white?akaniambia kwao ni white yellow.hapo mnapata picha gani wana jf wenzangu?
Click to expand...

KUhusu kuku wa kizungu mimi ndio bingwa wa kuwala aiseeh, na walivyo rahis kupika na
kuiva basi dakika mbili naanda, yan ndio msosi wangu mara kwa mara, sijajua itaniletea
madhara gani, napenda kuku aseeh

Rene Jr.
JF-Expert Member
Joined Jan 31, 2014
 3,524   2,000
May 17, 2015


 #566

 Deception said:
Je,hapo ndipo uwezo wako wa kufikiri ulipoishia?

weka nakala ya utafiti wako acha maneno yasiyo na msingi.


 Reactions:Nchi Kavu

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 17, 2015


 #567
 Rene Jr. said:
weka nakala ya utafiti wako acha maneno yasiyo na msingi.

Ni vizuri ukasoma kwanza toka mwanzo ukaelewa, maana kila kitu kimeshaongelewa uko
nyuma, we unabisha tu kwa umeamua kubisha na sio kama unataka kufahamu kitu, ni vizur
ukatuliza akil yako kwanza ukasoma na kuelewa then uulize maswali, maana apa tunarudi
nyuma badala ya kwenda mbele

Rene Jr.
JF-Expert Member
Joined Jan 31, 2014
 3,524   2,000
May 17, 2015


 #568

 warumi said:
Ni vizuri ukasoma kwanza toka mwanzo ukaelewa, maana kila kitu kimeshaongelewa uko nyuma, we unabisha tu
kwa umeamua kubisha na sio kama unataka kufahamu kitu, ni vizur ukatuliza akil yako kwanza ukasoma na
kuelewa then uulize maswali, maana apa tunarudi nyuma badala ya kwenda mbele

oh!...nimeomba nakala ya utafiti wa mkuu Deception ili nijisomee kwa umakini kwa sababu


nimeona kuna vitu vya msingi amevidokeza hapa, wewe unasema nabisha....nimebisha kipi na
unataka nikubali kipi? bahati mbaya kabisa huwa sijuwi kubishana, huwa napenda kujifunza,
nataka nijifunze kutoka kwenye ugunduzi wa Deception lakini kabla hata hajaniforwardia
nachohitaji wewe umeshaanza hizo mnazoita ligi!!!!...au ni mtu mmoja ID mbili?!!
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

Nchi Kavu
JF-Expert Member
Joined Sep 11, 2010
 3,676   2,000
May 17, 2015


 #569

 makefra said:
Inawezekana zina madhara makubwa sana kweli,lakini nilipokuwa mdogo nakumbuka kuwaona wagonjwa wengi
wa UKIMWI wakiwa katika hali mbaya na kufariki(ina maana haya yalikuwa maigizo tu?),baba anaondoka kwa
ugonjwa,mama anafatia na dalili zile zile kisha kichanga nacho kinafuatia,na baada ya miaka kadhaa wale
waliokuwa vimada wa baba wanafuatia kwa dalili zile zile.Na hayo magonjwa mengine walikuwa wanapimwa na
kupatiwa matibabu yake na chakula bora pia na bado walikuwa wanazidi kuugua tu.Watu walikuwa wanafariki hata
kabla ya hizo ARV's,na je kabla ya UKIMWI kutangazwa kama HIV/AIDS kuna ushahidi kwamba ulikuwepo na
ulikuwa ukijulikana(hata kwa jina lingine) na watu walitambuaje kwamba ndio wenyewe(dalili kwa mgonjwa) na
walitambuaje(vipimo vya kugundua kuwa mtu alikuwa nao),hapa nazungumzia kabla ya concept ya "HIV"
hajasingiziwa kusababisha AIDS "peke yake".

 Deception said:
Kuna mambo mengi sana hapa lazima utakuwa umeya bypass na hasa pale uliposema ulipokuwa mdogo.Hapa
lazima utakuwa umemiss taarifa muhimu sana ambazo zinaweza kuelezea hicho ulichokiona bila mizengwe
kabisa.Ningekuwapo kipindi hicho na kuwaona hao watu lazima ningekupatia maelezo sahihi kabisa kuhusu
ulichokiona.
Fuatilia taratibu reply hizi utaelewa taratibu,huwezi kuelewa au kuukubali ukweli huu kwa siku moja.Ni sayansi
nzito sana imetumika kudanganya kwenye ungonjwa huu feki wa HIV/AIDS.Hivyo si rahisi ukaelwa kwa muda
mfupi.Yote yale ambayo wewe unadhani yanakuchanganya,yana majibu yake tena ni sahihi kabisa tofauti na sasa
unavyofikiri kwamba HIV ndiye anaye/aliyehusika.
Ndugu yangu deception hapo ndipo mada ilipolala. Naomba link ya post zako juu ya maswali ya
ndugu yetu hapo juu. We umeshajiridhisha, uturidhishe na sisi

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 17, 2015


 #570

 Rene Jr. said:


oh!...nimeomba nakala ya utafiti wa mkuu Deception ili nijisomee kwa umakini kwa sababu nimeona kuna vitu vya
msingi amevidokeza hapa, wewe unasema nabisha....nimebisha kipi na unataka nikubali kipi? bahati mbaya kabisa
huwa sijuwi kubishana, huwa napenda kujifunza, nataka nijifunze kutoka kwenye ugunduzi wa Deception lakini
kabla hata hajaniforwardia nachohitaji wewe umeshaanza hizo mnazoita ligi!!!!...au ni mtu mmoja ID mbili?!!

Ndio maana nakwambia usome toka mwanzo, we tulia soma vizuri, maswali yako tu
yanaonyesha hujafuatilia toka mwanzo, ndio maana nakusisitizia usome

Wewe ni muongo hupendi kujifunza kama unavyodai ila unataka ligi ambayo apa ndio nyumbani
kwake, ila tu bahati mbaya huu si wakati wa ligi ni wakati wa kufahamishana tu na
kueleweshana
Mimi na deception ni ID mbili na wawili tofauti wenye imani tofauti na ndio maana deception
haamini kama ukimwi upo ila mimi naamini upo na unaua, ila kwa upande wa ARV unaruhisiwa
tu kusema mimi na deception ni mtu mmoja
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

 Reactions:Habari ya Mujini

Amaizing
JF-Expert Member
Joined May 3, 2013
 3,560   2,000
May 17, 2015


 #571

 Rene Jr. said:


oh!...nimeomba nakala ya utafiti wa mkuu Deception ili nijisomee kwa umakini kwa sababu nimeona kuna vitu vya
msingi amevidokeza hapa, wewe unasema nabisha....nimebisha kipi na unataka nikubali kipi? bahati mbaya kabisa
huwa sijuwi kubishana, huwa napenda kujifunza, nataka nijifunze kutoka kwenye ugunduzi wa Deception lakini
kabla hata hajaniforwardia nachohitaji wewe umeshaanza hizo mnazoita ligi!!!!...au ni mtu mmoja ID mbili?!!

Mkuu ...warumi na deception ni watu wawili tofauti sio MTU mmoja


Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

 Reactions:Rene Jr. and warumi

Rene Jr.
JF-Expert Member
Joined Jan 31, 2014
 3,524   2,000
May 17, 2015


 #572

 warumi said:
Ndio maana nakwambia usome toka mwanzo, we tulia soma vizuri, maswali yako tu yanaonyesha hujafuatilia toka
mwanzo, ndio maana nakusisitizia usome

Wewe ni muongo hupendi kujifunza kama unavyodai ila unataka ligi ambayo apa ndio nyumbani kwake, ila tu
bahati mbaya huu si wakati wa ligi ni wakati wa kufahamishana tu na kueleweshana

Mimi na deception ni ID mbili na wawili tofauti wenye imani tofauti na ndio maana deception haamini kama
ukimwi upo ila mimi naamini upo na unaua, ila kwa upande wa ARV unaruhisiwa tu kusema mimi na deception ni
mtu mmoja

oops! nimeomba nakala kwa lengo zuri tu la kusoma kwa umakini na kujifunza, hata kama
unauza sema mkuu nitanunua1

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 17, 2015


 #573

Mimi sipo apa kwa ajili ya kumshabikia mtu, nipo apa kwa ajili ya kujifunza, na sio vitu vyote
anavyosema deception basi mimi nakubaliana navyo vyote, mi deception nimemuelewa sana
kuhusu ARV sana, na ninamshukur kwa hilo sana, ila suala la UKIMWI kutokuwepo apo bado
kabisa sikubaliani nae, najua ukimwi upo na unaua, nipo apa kwa ajili ya kuelewa ni jinsi gani ya
kupambana na hivyo VVU bila kutumia ARV basi na si vinginevyo, apa
ndio Deception nasubiria aelezee vizuri, ila mimi ni muumini ya wale wanaoamini kuwa
UKIMWI upo na unaua kwa sababu sijapata hoja iliyoshiba ya kukana uwepo wa UKIMWI
wakati nashuhudia ndugu, jamaa na marafiki wakipoteza kwa ajili ya UKIMWI, labda nahitaji
kuelewa zaidi ili niondokane na haya mawazo mgando ambyo yameusonga ubongo wangu
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

 Reactions:Habari ya Mujini

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 17, 2015


 #574

 amaizing said:
Mkuu ...warumi na deception ni watu wawili tofauti sio MTU mmoja

NImeshamwambia mimi ni muumini wa wale wanaoamini kuwa UKIMWI upo na unaua, ila
deception anapinga haupo, ila kuhusu ARV nimemuelewa sana deception na ninamshukur kwa
hilo sana yani, labda nahitaj kueleweshwa zaidi kuhusu uwepo wa ukimwi fake, ila kwa sasa
bado siamini kama ukimwi haupo, hyo ndio tofauti yangu na deception na ndio maana naendelea
kumfuatilia sana ili nione hatma yake, nina uhakika jamaa anajua vingi vingi huenda
nikashawishika ,bado naendelea kumsoma

Amaizing
JF-Expert Member
Joined May 3, 2013
 3,560   2,000
May 17, 2015


 #575

 warumi said:
Mimi sipo apa kwa ajili ya kumshabikia mtu, nipo apa kwa ajili ya kujifunza, na sio vitu vyote anavyosema
deception basi mimi nakubaliana navyo vyote, mi deception nimemuelewa sana kuhusu ARV sana, na ninamshukur
kwa hilo sana, ila suala la UKIMWI kutokuwepo apo bado kabisa sikubaliani nae, najua ukimwi upo na unaua, nipo
apa kwa ajili ya kuelewa ni jinsi gani ya kupambana na hivyo VVU bila kutumia ARV basi na si vinginevyo, apa
ndio Deception nasubiria aelezee vizuri, ila mimi ni muumini ya wale wanaoamini kuwa UKIMWI upo na unaua
kwa sababu sijapata hoja iliyoshiba ya kukana uwepo wa UKIMWI wakati nashuhudia ndugu, jamaa na marafiki
wakipoteza kwa ajili ya UKIMWI, labda nahitaji kuelewa zaidi ili niondokane na haya mawazo mgando ambyo
yameusonga ubongo wangu

Binamu Deception anaamin UKIMWI upo na ulikuwepo tangu zaman means before 1980s ila
asichoamin ni HIV/VVU na ARV
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

 Reactions:warumi, naa and renyo

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 17, 2015


 #576

 warumi said:
Watu wengi tunaogopa UKIMWI kwa kuwa tunajua hauna tiba wala kinga....

Hapana,nadhani unakumbuka nilivyosema kwamba,ukimwi ulikuwapo tangu karne nyingi tu,na


una kinga na tiba pia ambazo nilishaziorozesha.Sasa hivi hawa jamaa wamekuja kuujenga uongo
kwenye vichwa vyetu kwenye misingi ya ukweli tunaoujua kwamba eti ukimwi unasababishwa
na HIV na hauna kinga wala tiba,hii sikweli na nikatolea uthibitisho wake,baadhi ya uthibitisho
unaonekana kwa macho hata humu kuna watu wengi wameshajionea wenyewe kwamba HIV
hasababishi ukimwi(pamoja na kwamba kwa uelewa wangu HIV ni feki).
Nadhani wewe mwenyewe umemsikia yule mgunduzi wa HIV(HIV kwangu ni feki)
alichosema,sasa ninashangaa watu wanang'ang'ania kusema HIV/AIDS haina kinga wala tiba
wakati mgunduzi mwenyewe anasema HIV ana kinga na ana tiba.Unajua kasumba ikitawala
kwenye vichwa vya watu ni kitu kibaya sana.Watu wakiona watu wanakonda na kufa hawawezi
kufikiri upande wa pili na badala yake wataelemea kwenye kasumba,kweli hawa jamaa
wametuchakaza sana.

 warumi said:
... ila kuna magonjwa kama MARALIA, TB na magonjwa mengi tu ambayo yana Tiba,kinga
na dawa ila bado vifo vinatokea mfululizo especially vinavyosababishwa na maralia....
Umeona eenh!!
Magonjwa yana tiba na dawa lakini watu bado wanakufa,na yalikuwapo hata kabla ya HIV
kutangazwa na yalikuwa na tiba na dawa lakini watu bado walikuwa wanakufa kwayo.Lakini leo
hii ukitibiwa magonjwa hayo halafu ukashindwa kupona watasema HIV ndio amehusika.

 warumi said:
1. Kwa hiyo hao wanaoukufa kwa maralia,tb nk CD 4 zao zinakuwa ndogo (kinga) au nini kinachowaua?..
Sio wote wanaokufa kwa magonjwa hayo wana CD4 chache.Kuhusu nini kinawaua,ni sayansi ya
ugonjwa wenyewe husika jinsi unavyodhoofisha mwili.

 warumi said:
2. Mtu ukiwa na Upungufu wa kinga mwilini (CD 4) that means una ukimwi? ..
Ndugu yangu,hao waliotudanganya wana definition nyingi sana tofauti za ukimwi.CD4 zako
zikiwa chini ya kiwango fulani wanachokisema kuwa ni safe watakwambia una ukimwi.Ukiwa
na TB+HIV watakwambia una ukimwi lakini ukiwa na TB bila HIV ukimwi huna,ukiwa na
Dementia+HIV una ukimwi lakini ukiwa na Dementia bila HIV huna ukimwi na
kuendelea....Hata hizo CD4 walisema kama ni chini ya 250 basi una ukimwi,wakaja wakaongeza
na kuwa 350 na sasa hivi wakaongeza tena imekuwa 500,na baadhi ya maeneo wanatumia hiki
kiwango cha CD4 chini ya 500 kusema kwamba una ukimwi.Yaani wanabadilisha kila kukicha.
Lakini wanaangali CD4 kama ndio pekee inahuska kwenye kinga ilihali kuna mambo mengine
lukuki.

 warumi said:
..3. Wote wanaoathirika na Ukimwi lazima wafe vifo vya mateso? Kama kuarisha sana, homa, vidonda mwilini nk,
ina maana hakuna waathirika wanaokufa natural death?, yani alikuwa mzima kiafya ila kalala ndo ikawa kwa heri. ..
Hao tulioambiwa ni waathirika wa ukimwi,huwa hawafi kwa ugonjwa unaofanana,lakini wengi
wanakufa kwa mateso sana.Na ukichunguza utagundua kwamba magonjwa yanayowaua huwa
mara nyingi ni;
1.Moyo 2.Ini kufeli 3.figo kufeli 4.Anaemia 5.Cancer ukifanya uchunguzi wako binafsi utakuja
kuleta marejesho hapa hata kwenye uzi mwingine,sio lazima afe hata kama kazidiwa,we
chunguza nini kinamsumbua lazima kitaangukia kwenye moja ya hayo niliyotaja juu.
Ukiona kafa kwa TB,Malaria,itakuwa aidha kachelewa kutibu au hakufuata masharti ya dozi au
mwili umekataa ku respond dawa kutokana na sumu ya ARVs.Chunguza huku ukiwa na free
mind utajua tu.

 warumi said:
4. Nataka kujua dalili moja tu ya waathirika wa UKIMWI ambayo hakuna mgonjwa yeyote anayeweza kuipata
isipokuwa waathirika tu, achilia mbali homa, kuarisha, vidonda mwilini nk....
Hakuna dalili kama hiyo.Kama kuna mtu anayepinga anaweza kusema ni dalili gani hiyo.

 warumi said:
...5. Nataka kujua kinachowaua wagonjwa wa UKIMWI na wagonjwa wa MARALIA...
Ukimwi hauui,bali ugonjwa unaoupata kutokana na upungufu wa kinga ndio unaoweza
kukuua.Madaktari ndio wanaweza kukueleza kwa kina jinsi malaria inavyoua,to be honest mimi
siwezi vinginevyo nitakudanganya tu.

 warumi said:
6. Unakuta mtu anaambiwa ana UKIMWI na baada ya mda tu lazima yule mtu afe(nimeshuhudia mara 4-6),
japokuwa nakuwa sina uhakika kama wanatumia ARVs au lah maana hyo ni siri ya mtu na sina uhakika kama kweli
wana VVU ila uvumi kama unavyojua,kuna dada mmoja ivi uku kwetu aliolewa na mzungu zaman sana, huyo
mzungu alifariki mwaka 99 kwa UKIMWI inavyosemekana ,basi huyo dada akaendelea kuishi vizur tu, mpaka
mwaka huu mwezi 3 hali ikaanza kubadilika, watu wakasema anamfuata mume wake, dada akaugua sana, hatimaye
akafariki kama wiki tatu zimepita wakamzika kwao moshi, na sasa ivi kuna jamaa ambaye alikuwa anatembea nae
watu wameanza pia kumhesabia siku, kibinadamu inatisha, haswa ukishuhudia, inachanganya sana...
Unajua mambo kama hayo ndiyo yanayowachanganya watu,watu hawana uelewa wa kutosha na
hatimaye wanafanya hitimisho lisilo sahihi kwa kutumia kasumba.Unajua kama unafanya
maamuzi ya kitu kwa kutumia kasumba,wewe mwenyewe unakuwa hujijui,na badala yake
unajiona uko sahihi kabisa.

Sasa ili uweze kufanya hitimisho la mambo kama hayo uliyoeleza ni lazima ufanye controlled
study ya tukio zima.Mambo haya uliyoeleza ni sawasawa na swali la mwana JF mmoja ambaye
analalamika kwamba ninakimbia kumjibu.Huwezi kujibu swali kama hilo kwa usahihi kwa
kutumia hisia tu,kama utafanya controlled study kila kitu kinaelezeka.
Mtu akiwa hana uelewa wa kutosha kuhusu jambo fulani hata mahitisho atakayotoa yatalingana
na uelewa alionao.Sasa wewe mwenyewe utajithibitishia.Leo hii umepata elimu tofauti humu
JF,sasa itumie elimu hii kufanya udadisi wa mambo kama hayo upya.Lazima utakuja na maelezo
yenye mashiko tofauti na kipindi cha nyuma ambacho ulikuwa huelewi ukweli huu.Jaribu
kufanya utafiti.Kwa kuwa najua wewe ni mfuatiliaji sana wa mambo,nina uhakika lazima utapata
jibu sahihi tu.

 warumi said:
...7.Kutokana na maelezo yako umesema ARV zinaua na ushahidi tumeona kutoka kwa wanasayansi na mashuhuda
wengi tu, je? Mfano mimi warumi niliyeathirika na UKIMWI nafanyaje kuhakikisha naishi na vizuri, bila HOFU
wala magonjwa?, je ni chakula tu ndicho kitakachofanya afya yangu iwe imara kama watu wengine kwa miaka yote
bila kutumia madawa yeyote?
Exactly,najua wewe warumi unayajua haya yote,ila najua unatafuta uhakika tu.Yaani inanifariji
sana kuona udadisi kama huo ulionao,watu wachache sana wako kama wewe.
Wewe wala usitumie nguvu nyingi;Tumia tu ushauri wa yule Prof aliyegundua HIV(kwangu
HIV ni feki),yaani;

1.Nutrition
2.Antioxidants
3.Hygiene
4.Clean water

Naongezea;
5.Mazoezi kama vile kukimbia
6.Kuepuka madawa ya hospitali pasipo ulazima kama vile madawa ya uzazi wa mpango na
madawa ya kutuliza maumivu.
7.Ukishindwa kuacha,basi punguza kunywa pombe kali.
8.Epuka matumizi ya madawa ya kulevya
nk

Huyu prof mgunduzi alisema ukiwa na kinga imara HIV(kwangu HIV ni feki) hawezi kukaa
mwilini,na pia hata kama yupo mwilini tayari ukibadili tabia na kuweka kinga yako imara, kinga
yako utamtoa HIV.Sasa kama huyu Prof watu hawawezi kumwamini,mimi nashindwa kupata
picha huyo mwingine wanayemwamini ni nani wakati huyu ndiye mgunduzi?

 Reactions:Lizarazu, Habari ya Mujini and warumi

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 17, 2015


 #577

 gwijimimi said:
Naomba majina ya hzo documentary mkuu

subiri nitakuwekea links.

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 17, 2015


 #578

 Rene Jr. said:


oops! nimeomba nakala kwa lengo zuri tu la kusoma kwa umakini na kujifunza, hata kama unauza sema mkuu
nitanunua1

Narudia tena, anza kusoma toka mwanzo, vinginevyo una matatizo yako binafsi , kama una nia
ya kujifunza soma, usipoelewa uliza na sisi kama hatujaelewa tupate kueleweshwa, huu uzi sio
wa deception wala wa kwangu ni wa kila mtu, na ndio maana nakusisitizia usome kijana, acha
uvivu wa kusoma, jifunze kupenda kusoma kabla ya kuanzisha marumbano yasiyo na msingi.

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 17, 2015


 #579

 amaizing said:
Binamu Deception anaamin UKIMWI upo na ulikuwepo tangu zaman means before 1980s ila asichoamin ni
HIV/VVU na ARV

Yani mi bado naamini vyote vipo, ahaha ahah sijui ndio ujinga tuliomezeshwa sijui ila bado
najua vyote vipo, hahahh na ndio maana nasema mimi ni MJINGA na nipo humu ili
nieleweshwe, maana nauogopaje ukimwi mwenzio? AHaha
Diva Beyonce
JF-Expert Member
Joined Mar 6, 2014
 12,937   2,000
May 17, 2015


 #580

 warumi said:
KUhusu kuku wa kizungu mimi ndio bingwa wa kuwala aiseeh, na walivyo rahis kupika na kuiva basi dakika mbili
naanda, yan ndio msosi wangu mara kwa mara, sijajua itaniletea madhara gani, napenda kuku aseeh

Mbona nilisikia wanakuzwa na vyakula vilivyochaganywa na ARV ili kuwanenepesha na kukua


sasa sijui ka ni kweli tangia hapo siwalagi hao kuku.
 Wallet said:
Ndugu yangu deception hapo ndipo mada ilipolala. Naomba link ya post zako juu ya maswali ya ndugu yetu hapo
juu. We umeshajiridhisha, uturidhishe na sisi

Yaani inaonekana kabisa kwa upeo wangu kwamba wew una nia ya kujua mambo tofauti,na hiyo
attitude yako ndiyo itakayokukomboa kutoka hali hii ya sasa.
Sasa hapa najibu maswali mengi sana na PM pia,halafu nahitaji kutoka kwenda
mihangaikoni.Naomba unipe muda nikutafutie baadhi ya hizo link.Ila naomba uulize specific
question na mimi nitalitolea jibu kwa uthibitisho.Nadhani huu ndio utakuwa utaratibu
mzuri.Unaonaje?

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 17, 2015


 #584

 Diva Beyonce said:


Mbona nilisikia wanakuzwa na vyakula vilivyochaganywa na ARV ili kuwanenepesha na kukua sasa sijui ka ni
kweli tangia hapo siwalagi hao kuku.
WEe? Kwa hyo na mimi nakunywa ARV bila kujijua? Mayoo nyie hawa wazungu looh??

 Reactions:naa

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 17, 2015


 #585

 Rene Jr. said:


weka nakala ya utafiti wako acha maneno yasiyo na msingi.

Nilishaweka hizo si mara moja humu.Ni vizuri ukawa na staha kidogo unapotaka kujua
jambo,vinginevyo mtu anaweza kujua kwamba una nia nyingine tofauti na kutaka kuelewa.

 Reactions:warumi and Rene Jr.

Troojan
JF-Expert Member
Joined Oct 8, 2012
 953   500
May 17, 2015


 #586

 warumi said:
WEe? Kwa hyo na mimi nakunywa ARV bila kujijua? Mayoo nyie hawa wazungu looh??

hata me nliskiaga ivyo.ila nkiwakuta wamekaangwa.weeee hapovkwa kweli moyo na nafsi


yangu vinanishindaga kweli kujizuia

 Reactions:warumi
Diva Beyonce
JF-Expert Member
Joined Mar 6, 2014
 12,937   2,000
May 17, 2015


 #587

 warumi said:
WEe? Kwa hyo na mimi nakunywa ARV bila kujijua? Mayoo nyie hawa wazungu looh??

Ndo nilivosikia aisee tangia hapo nikawa nawaogopa hata kuonja plasi chemicals za kuwakuza.
Kilichonitisha zaidi ni hizo arv sana jinsi inavowafanya watu kuondoka ghafla.

 Reactions:warumi

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 17, 2015


 #588

 Deception said:
Yaani inaonekana kabisa kwa upeo wangu kwamba wew una nia ya kujua mambo tofauti,na hiyo attitude yako
ndiyo itakayokukomboa kutoka hali hii ya sasa.
Sasa hapa najibu maswali mengi sana na PM pia,halafu nahitaji kutoka kwenda mihangaikoni.Naomba unipe muda
nikutafutie baadhi ya hizo link.Ila naomba uulize specific question na mimi nitalitolea jibu kwa uthibitisho.Nadhani
huu ndio utakuwa utaratibu mzuri.Unaonaje?

Natamanije niwaone hao wanaoku PM, khaa umbea huu utaniua, unakuta mijitu mingine
inaponda humu baadae wanakuja PM kuomba msaada jinsi ya kuacha kutumia ARV, yani
nacheka apa mpaka basi, pole sana kwa kazi nzito ya uko PM
Kama vipi waambie kwanza wapitie kwangu, niandike majina nijue takwimu ya watumiaji wa
ARV halafu tuanze kuwahesabia siku mapemaa, hahaha hahaha lol, jamani natania tu ahahaha

 Reactions:renyo and naa

Diva Beyonce
JF-Expert Member
Joined Mar 6, 2014
 12,937   2,000
May 17, 2015


 #589

 Deception said:
Yaani inaonekana kabisa kwa upeo wangu kwamba wew una nia ya kujua mambo tofauti,na hiyo attitude yako
ndiyo itakayokukomboa kutoka hali hii ya sasa.
Sasa hapa najibu maswali mengi sana na PM pia,halafu nahitaji kutoka kwenda mihangaikoni.Naomba unipe muda
nikutafutie baadhi ya hizo link.Ila naomba uulize specific question na mimi nitalitolea jibu kwa uthibitisho.Nadhani
huu ndio utakuwa utaratibu mzuri.Unaonaje?

Kwanini hayo maswali ya pm wasije kuulizia hapa hadharani ili kila mtu ajue kwa undani a, b, c
zake kuliko ujibu huko na huku swali hilo hilo ujibu ili Ku save time.

 Reactions:Diplomatic Imunnity, Deception, Rene Jr. and 1 other person

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 17, 2015


 #590

 Troojan said:
hata me nliskiaga ivyo.ila nkiwakuta wamekaangwa.weeee hapovkwa kweli moyo na nafsi yangu vinanishindaga
kweli kujizuia
Deception ebu njoo utupe ukweli kuhusu hawa kuku wa kiingereza, maana sio najishaua apa
kumbe na mimi ni mtumiaji mzuri wa ARV bila kujijua, khaa hawa akina obama hawa watatuua
sana mwaka huu
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 17, 2015


 #591

 warumi said:
Mimi sipo apa kwa ajili ya kumshabikia mtu, nipo apa kwa ajili ya kujifunza, na sio vitu vyote anavyosema
deception basi mimi nakubaliana navyo vyote, mi deception nimemuelewa sana kuhusu ARV sana, na ninamshukur
kwa hilo sana, ila suala la UKIMWI kutokuwepo apo bado kabisa sikubaliani nae, najua ukimwi upo na unaua, nipo
apa kwa ajili ya kuelewa ni jinsi gani ya kupambana na hivyo VVU bila kutumia ARV basi na si vinginevyo, apa
ndio Deception nasubiria aelezee vizuri, ila mimi ni muumini ya wale wanaoamini kuwa UKIMWI upo na unaua
kwa sababu sijapata hoja iliyoshiba ya kukana uwepo wa UKIMWI wakati nashuhudia ndugu, jamaa na marafiki
wakipoteza kwa ajili ya UKIMWI, labda nahitaji kuelewa zaidi ili niondokane na haya mawazo mgando ambyo
yameusonga ubongo wangu

Ha ha haaa.Hapa warumi ume bypass.Sikusema hakuna ukimwi,bali nilisema hakuna ukimwi


unaosababishwa na HIV.Nadhani sasa utakuwa umepata point yangu.
Sasa mimi vita yangu ipo kwenye kuwasingizia watu kwamba wana HIV na kuwapa ARVs
zenye sumu ili kuwalinda na HIV ambaye hayupo kiuhalisia hivyo hana madhara ilihali ARVs
ndizo zinakuja kusababisha matatizo yote tunayoyaona kwa wale wanaozitumia.
Pia hata kama mtu amedhoofika halafu hatumii ARVs,lazima ukimfanyia udadisi kwa kina
utagundua kwamba kuna sababu specific na za msingi ambazo zimemsababishia matatizo
aliyonayo,na uki deal na hizo sababu za msingi na matatizo yake yatakwisha mara moja.

Hayo ninayoeleza hapo juu watu wanaya bypass sana na kufanya mjadala unakuwa mrefu
sana.Niko very consistent na yale ninayoyaeleza na ndio maana hamna mtu yeyote hata kama ni
daktari mwenye uwezo wa kupinga kwa hoja zenye mashiko.Nina vithibitisho vya maandishi na
vya kuonekana na vile vya kufanya mwenyewe kwa mkono wangu.

 Reactions:renyo and warumi

Rene Jr.
JF-Expert Member
Joined Jan 31, 2014
 3,524   2,000
May 17, 2015


 #592

 Deception said:
Nilishaweka hizo si mara moja humu.Ni vizuri ukawa na staha kidogo unapotaka kujua jambo,vinginevyo mtu
anaweza kujua kwamba una nia nyingine tofauti na kutaka kuelewa.

unaweza kunipa link nidownload mkuu?

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 17, 2015


 #593

 Diva Beyonce said:


Ndo nilivosikia aisee tangia hapo nikawa nawaogopa hata kuonja plasi chemicals za kuwakuza. Kilichonitisha zaidi
ni hizo arv sana jinsi inavowafanya watu kuondoka ghafla.

KUna watu humu ni mabingwa wa kutumia ARV wakisikia hvyo wanajiarishia, ahahaha ahaha
khaa, ila sio mbya kama watakuwa wamepitia humu au kuambiwa, ni vizuri kufikiria mara mbil
kabla ya kufanya maamuzi ya ARV, maisha matamu nyie, ukifikiria kufa yani utamu wote wa
naniliu huupati tena sio mchezo lazima uchanganyikiwe

Msuya Jr.
JF-Expert Member
Joined May 31, 2013
 1,708   2,000
May 17, 2015


 #594
 warumi said:
KUhusu kuku wa kizungu mimi ndio bingwa wa kuwala aiseeh, na walivyo rahis kupika na kuiva basi dakika mbili
naanda, yan ndio msosi wangu mara kwa mara, sijajua itaniletea madhara gani, napenda kuku aseeh

Kama ni wa kiume tegemea manyonyo mkuu, Hilo ndo ninalojua

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 17, 2015


 #595

 Diva Beyonce said:


Kwanini hayo maswali ya pm wasije kuulizia hapa hadharani ili kila mtu ajue kwa undani a, b, c zake kuliko ujibu
huko na huku swali hilo hilo ujibu ili Ku save time.

Yani na umbea wangu natamanije niwe deception japokuwa kwa nusu saa tuu nichungulie uko
PM nijionee mambo nicheke hayo maswali ya watu mpaka basi, halafu nikitoka apo
nawafungulia thread wote walio ni PM na kuanika msg zao zote, hahahah hahahah ahahh khaa,
natania lakini

 Reactions:'Valentina' and Diva Beyonce

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 17, 2015


 #596

 Deception said:
Ha ha haaa.Hapa warumi ume bypass.Sikusema hakuna ukimwi,bali nilisema hakuna ukimwi unaosababishwa na
HIV.Nadhani sasa utakuwa umepata point yangu.
Sasa mimi vita yangu ipo kwenye kuwasingizia watu kwamba wana HIV na kuwapa ARVs zenye sumu ili
kuwalinda na HIV ambaye hayupo kiuhalisia hivyo hana madhara ilihali ARVs ndizo zinakuja kusababisha matatizo
yote tunayoyaona kwa wale wanaozitumia.
Pia hata kama mtu amedhoofika halafu hatumii ARVs,lazima ukimfanyia udadisi kwa kina utagundua kwamba kuna
sababu specific na za msingi ambazo zimemsababishia matatizo aliyonayo,na uki deal na hizo sababu za msingi na
matatizo yake yatakwisha mara moja.

Hayo ninayoeleza hapo juu watu wanaya bypass sana na kufanya mjadala unakuwa mrefu sana.Niko very consistent
na yale ninayoyaeleza na ndio maana hamna mtu yeyote hata kama ni daktari mwenye uwezo wa kupinga kwa hoja
zenye mashiko.Nina vithibitisho vya maandishi na vya kuonekana na vile vya kufanya mwenyewe kwa mkono
wangu.
Click to expand...

Umeona sasa? UJINGA wangu umenisaidia kuelewa tena kwa ufasaha ulichokuwa
umekizungumza, na ndio maana nakufuatilia kwa umakini zaidi ili nielewe vizur, nashukuru
sana, sasa nimekuelewa
D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 17, 2015


 #597

 mkuyati og said:
mi nasubiri nakala tu hapa, mengine yote porojo. weka link mkuu deception watu tuchambue

Mkuu nikumbushe,maana mambo mengi.Unataka link au nakala inayothibitisha kuhusu nini?


 Reactions:warumi

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 17, 2015


 #598

 Deception said:
Mkuu nikumbushe,maana mambo mengi.Unataka link au nakala inayothibitisha kuhusu nini?
Achana nao, wengine wapo apa kwa ajili ya kuzipa promo ID zao, maana humu wewe ndio
habari ya mujini, kila mtu anakimbilia humu, chezeya ARV weye, hahaha hahahah....
D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 17, 2015


 #599

 Rene Jr. said:


unaweza kunipa link nidownload mkuu?

Niambie specifically unataka link inayozungumzia nini?Jitahidi haraka kidogo nahitaji kutoka.

Diva Beyonce
JF-Expert Member
Joined Mar 6, 2014
 12,937   2,000
May 17, 2015


 #600

 warumi said:
Yani na umbea wangu natamanije niwe deception japokuwa kwa nusu saa tuu nichungulie uko PM nijionee mambo
nicheke hayo maswali ya watu mpaka basi, halafu nikitoka apo nawafungulia thread wote walio ni PM na kuanika
msg zao zote, hahahah hahahah ahahh khaa, natania lakini

Hata mi natamani kujua. Sioni sababu ya kuogopa kuja hadharani hadi kukimbilia pm isitoshe
tunatumia fake id's shuhuda zao zingesaidia watu wengi sana kupata uelewa wa hili gonjwa. Ili
kuokoa watu wengi mana uu Uzi wengi wanapita kimya na kukimbilia pm hamna siri duniani
bana.
Kwa kweli huu uzi toka nikifuatilia, deception Ana point Za msingi kabisa, japo nimeona case
Za waathirika, Kuna possibility ya kuwa arv ni shida. Maana mimi pia nina mfano halisi, Kuna
mke wa kaka yangu alifariki kwa ugonjwa huu miaka kadhaa iliyopita kama 6 hivi, tukajua na
bro ndo basi tena, but hamaki jamaa alienda Pima Ili aanze arv but majibu yalikuwa v-, so Kuna
siri kubwa nyuma ya hili swala. So tufanye tafiti binafsi tujue ukweli. Na sio kuropoka bila
uthibitisho, maana haswa watanzania ni wazuri katika hili.

 Reactions:Duke Tachez, RGforever, Tira and 1 other person

Rene Jr.
JF-Expert Member
Joined Jan 31, 2014
 3,524   2,000
May 17, 2015


 #602

 Deception said:
Niambie specifically unataka link inayozungumzia nini?Jitahidi haraka kidogo nahitaji kutoka.

UTAFITI WAKO KUHUSU UKIMWI mkuu, asante.

Rene Jr.
JF-Expert Member
Joined Jan 31, 2014
 3,524   2,000
May 17, 2015


 #603

 Diva Beyonce said:


Hata mi natamani kujua. Sioni sababu ya kuogopa kuja hadharani hadi kukimbilia pm isitoshe tunatumia fake id's
shuhuda zao zingesaidia watu wengi sana kupata uelewa wa hili gonjwa. Ili kuokoa watu wengi mana uu Uzi wengi
wanapita kimya na kukimbilia pm hamna siri duniani bana.

waache wamalize shida zao pm mkuu, ndiyo maana ikawepo pm kwa ajili ya privacy.

Diva Beyonce
JF-Expert Member
Joined Mar 6, 2014
 12,937   2,000
May 17, 2015


 #604

 warumi said:
KUna watu humu ni mabingwa wa kutumia ARV wakisikia hvyo wanajiarishia, ahahaha ahaha khaa, ila sio mbya
kama watakuwa wamepitia humu au kuambiwa, ni vizuri kufikiria mara mbil kabla ya kufanya maamuzi ya ARV,
maisha matamu nyie, ukifikiria kufa yani utamu wote wa naniliu huupati tena sio mchezo lazima uchanganyikiwe

Huu Uzi umenifungua macho aisee nilikua nawazaga bila kupata majibu yani kila siku umeze
mavidonge mengi sasa sijui ni vingapi humeza kwa siku bila kuwa na effects kubwa mwilini.
Mara mastory mtaani wengi wanaotumia hizo dawa hufa ghafla zikiwakataa ila nimepata jibu
tosha aisee.

 Reactions:Duke Tachez and warumi

Cjilo
JF-Expert Member
Joined Sep 8, 2011
 884   250
May 17, 2015


 #605

 Deception said:
Mkuu nikumbushe,maana mambo mengi.Unataka link au nakala inayothibitisha kuhusu nini?

Najaribu kukuelewa mkuu,,sasa ukimwi unasababishwa na nini kama c hiv?

Diva Beyonce
JF-Expert Member
Joined Mar 6, 2014
 12,937   2,000
May 17, 2015


 #606

 Rene Jr. said:


waache wamalize shida zao pm mkuu, ndiyo maana ikawepo pm kwa ajili ya privacy.

Lengo la Uzi ni kujifunza waje na I'd ambazo hazijazoeleka then waitupe kapuni. Naheshimu
sana privacy ya mtu lengo ni kujifunza zaidi basi.

 Reactions:warumi

Rene Jr.
JF-Expert Member
Joined Jan 31, 2014
 3,524   2,000
May 17, 2015


 #607

 Diva Beyonce said:


Lengo la Uzi ni kujifunza waje na I'd ambazo hazijazoeleka then waitupe kapuni. Naheshimu sana privacy ya mtu
lengo ni kujifunza zaidi basi.

hahaaa, mnataka kuwapa kazi ya ziada moderators! nadhani anayepokea hizo pm anapowajibu
kule maswala yao binafsi kama anaona yana manufaa ya jumla kwa jamii anayajumuisha
kwenye posts zake huku hadharani, au mpaka awataje na majina ndiyo inoge?

Diva Beyonce
JF-Expert Member
Joined Mar 6, 2014
 12,937   2,000
May 17, 2015


 #608

 Rene Jr. said:


hahaaa, mnataka kuwapa kazi ya ziada moderators! nadhani anayepokea hizo pm anapowajibu kule maswala yao
binafsi kama anaona yana manufaa ya jumla kwa jamii anayajumuisha kwenye posts zake huku hadharani, au mpaka
awataje na majina ndiyo inoge?

Nadhani ukuelewa maana yangu ilikua nzuri tu wala sio kutaka kujua majina au id's zao lengo
ilikua kuelewa kwa upana majina hayana umuhimu kuyajua ili iweje labda hyo haikua mantiki
yangu kabisa.

 Reactions:warumi

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 17, 2015


 #609

 Rene Jr. said:


UTAFITI WAKO KUHUSU UKIMWI mkuu, asante.

Sijaufanyia documentation bado,haya ninayoeleza hapa pamoja na link na scientific papers


nilizotumia ndio content ya utafiti wangu.Hivyo haya yanatosha pia kwa wewe kusoma na
kuelewa wakati unasubiri documentation.Karibu mkuu.

 Reactions:Rene Jr.

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 17, 2015


 #610

 Diva Beyonce said:


Lengo la Uzi ni kujifunza waje na I'd ambazo hazijazoeleka then waitupe kapuni. Naheshimu sana privacy ya mtu
lengo ni kujifunza zaidi basi.

Nahitaji kuweka summary ya mambo yote lakini kila kukicha wanaingia wachangiaji wapya na
kunirudisha nyuma.Hii summary itasaidia kupunguza maswali mengi na wale ndugu zangu wa
kutafuniwa watakuwa wamepata mkombozi.

 Reactions:Duke Tachez, warumi, RGforever and 1 other person

Rene Jr.
JF-Expert Member
Joined Jan 31, 2014
 3,524   2,000
May 17, 2015


 #611

 Deception said:
Sijaufanyia documentation bado,haya ninayoeleza hapa pamoja na link na scientific papers nilizotumia ndio content
ya utafiti wangu.Hivyo haya yanatosha pia kwa wewe kusoma na kuelewa wakati unasubiri documentation.Karibu
mkuu.

Asante mkuu, lakini unampango wa kucompile hiyo research yako?

Diva Beyonce
JF-Expert Member
Joined Mar 6, 2014
 12,937   2,000
May 17, 2015


 #612

 Deception said:
Nahitaji kuweka summary ya mambo yote lakini kila kukicha wanaingia wachangiaji wapya na kunirudisha
nyuma.Hii summary itasaidia kupunguza maswali mengi na wale ndugu zangu wa kutafuniwa watakuwa wamepata
mkombozi.

Ukifanya hivo itakua vizuri na ita save time pia kuliko kurudia rudia uliyo kwisha eleza mwanzo
ili watu waelewe vizuri.

 Reactions:warumi
Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 17, 2015


 #613

 Diva Beyonce said:


Hata mi natamani kujua. Sioni sababu ya kuogopa kuja hadharani hadi kukimbilia pm isitoshe tunatumia fake id's
shuhuda zao zingesaidia watu wengi sana kupata uelewa wa hili gonjwa. Ili kuokoa watu wengi mana uu Uzi wengi
wanapita kimya na kukimbilia pm hamna siri duniani bana.

Hilo ndio tatizo, hawajui kuwa kuna members ambao hawajajiunga na wanatamani kujua zaidi,
wenyewe wanakimbilia, kwanza sasa Deception hakuna ku reply message za watu uko PM bure
watoe pesa kwanza maana unatumia bundle na muda, uku tu ndio free huduma ya PM naomba
ilipiwe, nawasilisha
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

 Reactions:MANI

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 17, 2015


 #614

 Diva Beyonce said:


Huu Uzi umenifungua macho aisee nilikua nawazaga bila kupata majibu yani kila siku umeze mavidonge mengi
sasa sijui ni vingapi humeza kwa siku bila kuwa na effects kubwa mwilini. Mara mastory mtaani wengi wanaotumia
hizo dawa hufa ghafla zikiwakataa ila nimepata jibu tosha aisee.
Umeona eeh? Mimi toka zamani nilikuwa najiulizaga ivi hao waaokunywa ARV kila siku
wanajipenda? Dozi ya maralia tu ya week inakupeleka puta kama mwendawazimu yani na apa
nilivyomsikiliza deception ndo nikapigia mstari kabisa, jibu ninalo sasa khaa hapana kwa kweli

 Reactions:Diva Beyonce

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 17, 2015


 #615

 Rene Jr. said:


hahaaa, mnataka kuwapa kazi ya ziada moderators! nadhani anayepokea hizo pm anapowajibu kule maswala yao
binafsi kama anaona yana manufaa ya jumla kwa jamii anayajumuisha kwenye posts zake huku hadharani, au mpaka
awataje na majina ndiyo inoge?

UKIMWI una privacy? Waje watuelezee humu walivyopima na kupewa dozi na experience yao
kuhusu ARV ili wengine wajifunze kupitia wao

 Reactions:Diva Beyonce

Carter
JF-Expert Member
Joined Jan 23, 2009
 2,902   2,000
May 17, 2015


 #616

 warumi said:
Huwezi kujua jitihada za kuimaliza au ugunduzi wa dawa kama unavysoema wakati umelala kijana, unataka nani
akufuate kwako akwambie dawa ya ukimwi imepatikana? Do you think properly? changamsha akili yako, Ujinga
wako ndio utakaokuponza, unaweza kujishaua apa unaogopa ukimwi kumbe unao tayari
ukisoma vizuri humu utajua jinsi ya kujikinga na magonjwa mbali mbali kwa kuzingatia lishe bora hata kama huja
athirika, kama unataka kujifunza ni bora ukaja na maswali yenye mashiko sio unaongea kama umekunywa viroba.

Khaa am above your league kido! And am smelling something on u!why always
you....whining..yapping for this bullsh*ts anyway?

Well, its among of its side effects! Getting angry for nothing eh?

Unaposema hakuna HIV ni feki unatoa elimu gani au ujumbe gani kwa Wale waliochagua C kwa
ABC za ukimwi? Unafikiri kuchochea ngono zembe ni mpaka utamke wazi wazi hadharani? La
hasha....hapa ni kampeni ya kuwafanya watu waone HIV/UKIMWI ni kama mafua tuu

Ukimwi upo na madhara yake yanaonekana sasa unapokazania watu waende huko unakotaka
wewe si sawa!

Let's say madoctor wamekuwa brainwashed kutokana na mafunzo na elimu waliyopitia kuhusu
HIV/AIDS ndio maana wako rigid to copy this new education, sasa huoni na wewe utakuwa
brainwshed ni hizi theory na kutoka nje ya medical parameters? What will be the conclusion
kido?

Note: Sina tabia ya ku comment more than twice kwenye thread moja so pita hivi.........nishavuka
mchangani

Sent from JamiiForums

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 17, 2015


 #617

 carter said:
Khaa am above your league kido! And am smelling something on u!why always you....whining..yapping for this
bullsh*ts anyway?

Well, its among of its side effects! Getting angry for nothing eh?

Unaposema hakuna HIV ni feki unatoa elimu gani au ujumbe gani kwa Wale waliochagua C kwa ABC za ukimwi?
Unafikiri kuchochea ngono zembe ni mpaka utamke wazi wazi hadharani? La hasha....hapa ni kampeni ya
kuwafanya watu waone HIV/UKIMWI ni kama mafua tuu
Ukimwi upo na madhara yake yanaonekana sasa unapokazania watu waende huko unakotaka wewe si sawa!

Let's say madoctor wamekuwa brainwashed kutokana na mafunzo na elimu waliyopitia kuhusu HIV/AIDS ndio
maana wako rigid to copy this new education, sasa huoni na wewe utakuwa brainwshed ni hizi theory na kutoka nje
ya medical parameters? What will be the conclusion kido?

Note: Sina tabia ya ku comment more than twice kwenye thread moja so pita hivi.........nishavuka mchangani

Sent from JamiiForums


Click to expand...

Are you threatening me or what ? For your information, I'm not afraid neither of you nor any
blood imbecile like you...

Thats why i have been insisting on you guys to read the articles very carefully, before coming
here with your stupid replies without understanding, where did i say HIV/AIDS is not existing ?
Where? , answer me ..

Watch out wewe mtoto, if you are looking for a trouble,here its a home..,Dont you ever try me
non sense..

 Reactions:Raynavero, Showme and Diva Beyonce

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 17, 2015


 #618

 carter said:
Khaa am above your league kido! And am smelling something on u!why always you....whining..yapping for this
bullsh*ts anyway?

Well, its among of its side effects! Getting angry for nothing eh?

Unaposema hakuna HIV ni feki unatoa elimu gani au ujumbe gani kwa Wale waliochagua C kwa ABC za ukimwi?
Unafikiri kuchochea ngono zembe ni mpaka utamke wazi wazi hadharani? La hasha....hapa ni kampeni ya
kuwafanya watu waone HIV/UKIMWI ni kama mafua tuu

Ukimwi upo na madhara yake yanaonekana sasa unapokazania watu waende huko unakotaka wewe si sawa!

Let's say madoctor wamekuwa brainwashed kutokana na mafunzo na elimu waliyopitia kuhusu HIV/AIDS ndio
maana wako rigid to copy this new education, sasa huoni na wewe utakuwa brainwshed ni hizi theory na kutoka nje
ya medical parameters? What will be the conclusion kido?

Note: Sina tabia ya ku comment more than twice kwenye thread moja so pita hivi.........nishavuka mchangani

Sent from JamiiForums


Click to expand...

OOhh!! So you are smelling something on me eeh? Keep on smelling even my pen*s, do you
think I care? Never... just smell everyrhing you want to smell on me...

You people are so ignorant n stupid, instead of coming with constructive critisism unaniletea
ujinga wako, watch out mimi ni mshenzi kuliko unavyodhani , so watch your step mtoto..

Nchi Kavu
JF-Expert Member
Joined Sep 11, 2010
 3,676   2,000
May 17, 2015


 #619

 Deception said:
Yaani inaonekana kabisa kwa upeo wangu kwamba wew una nia ya kujua mambo tofauti,na hiyo attitude yako
ndiyo itakayokukomboa kutoka hali hii ya sasa.
Sasa hapa najibu maswali mengi sana na PM pia,halafu nahitaji kutoka kwenda mihangaikoni.Naomba unipe muda
nikutafutie baadhi ya hizo link.Ila naomba uulize specific question na mimi nitalitolea jibu kwa uthibitisho.Nadhani
huu ndio utakuwa utaratibu mzuri.Unaonaje?

Yani bado narudi pale kwamba ndugu yetu kauliza mambo ya msingi sana. Na yawezekana
umeshajibu huko awali na post ni nyingi, ila unazijua zako. Ishu ni kwamba, Kwa nini Bukoba
walikufa sana kuanzia baba, mama, watoto, mahawara, n.k? tena kwa dalili zile zile? Nasikia pia
wapo watu wanaoitwa carrier (sijui kama ni sahihi). Hawa wanaambukiza tu ila hawaugui HIV.

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 17, 2015

 #620

 Diva Beyonce said:


Ukifanya hivo itakua vizuri na ita save time pia kuliko kurudia rudia uliyo kwisha eleza mwanzo ili watu waelewe
vizuri.

Kuna watu wanasema mimi nina UKIMWI ndio maana nashabikia, sasa sijui nashabikia nini,
yani mtu uwe na UKIMWI then upinge matumizi ya ARV? Ajabu, yani watu ni wajinga sana, na
ndio maana watu wanaogopa kuchangia humu

Mimi nasema asilimia nyingi ya watu wanaosoma humu na kuogopa kuchangia ni wale
watumiaji wa ARV wanaogopa wakiuliza humu Live watu watawajua, wanakimbilia PM.
Unadhani kama mimi nina matatizo yangu nashindwa kwenda PM na kuongea kimya kimya?
Why nije hadharani?

Wengine wanasema Deception kanihonga niwashawishi watu waamini uongo wake, mimi


nimekuwa Mungu mpaka niwafanye watu waamini kitu?, yani yote hayo ni kuchanganyikiwa na
kutafuta faraja. SIna undugu na deception nimemfahamu humu tu kama wengi wenu humu.
Naomba kujua....wakati tunapochangia damu huwa wanapima ile damu mara ngap ili
kujiridhisha haina maambukizi!? Ninachofahamu huwa inapimwa inapotolewa kwa
mchangiaji,,je ule utaratibu wakumpima mtu angalau mara tatu kwa kipindi cha miezi 3 hapa
hautumiki? Au wanapochukua damu huwa wanaiweka maabara na kuipima mara tatu kwa
vipindi vya miezi mitatu mitatu ili kijiridhisha kwamba damu haina maambukizi? Au inapimwa
mara moja tu na kwenda kuwekewa wagonjwa? Kama ni mara moja tu na vipimo vyenyewe
huwa havitabiriki je hakuna uwezekano wakuongeza maambukizi kwa njia hii?

 Reactions:renyo

Diva Beyonce
JF-Expert Member
Joined Mar 6, 2014
 12,937   2,000
May 17, 2015


 #626

 warumi said:
Kuna watu wanasema mimi nina UKIMWI ndio maana nashabikia, sasa sijui nashabikia nini, yani mtu uwe na
UKIMWI then upinge matumizi ya ARV? Ajabu, yani watu ni wajinga sana, na ndio maana watu wanaogopa
kuchangia humu
Mimi nasema asilimia nyingi ya watu wanaosoma humu na kuogopa kuchangia ni wale watumiaji wa ARV
wanaogopa wakiuliza humu Live watu watawajua, wanakimbilia PM. Unadhani kama mimi nina matatizo yangu
nashindwa kwenda PM na kuongea kimya kimya? Why nije hadharani?

Wengine wanasema Deception kanihonga niwashawishi watu waamini uongo wake, mimi nimekuwa Mungu mpaka
niwafanye watu waamini kitu?, yani yote hayo ni kuchanganyikiwa na kutafuta faraja. SIna undugu na deception
nimemfahamu humu tu kama wengi wenu humu.
Click to expand...

Huo Ukimwi wamekupima au? Tatizo watu ni waoga na hawapendi kujifunza mambo mapya
Yale waliokremishwa bila hata Ku challenge na kuangalia upande wa pili wa shilingi. Hii mada
ni nzuri sana tu kujifunza sema watu wanaogopa kuisiwa ati!
Nilitegemea tena madaktari wamchallenge Deception lakini hamna kitu wanadai siasa.

Hii kitu mi nilisikia watu mbalimbali wakiongea na hapa nimeona kitu.In short Watanzania
tupende kujifunza vitu vipya.
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

 Reactions:RGforever, renyo and warumi

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 17, 2015


 #627

 Diva Beyonce said:


Huo Ukimwi wamekupima au? Tatizo watu ni waoga na hawapendi kujifunza mambo mapya Yale waliokremishwa
bila hata Ku challenge na kuangalia upande wa pili wa shilingi. Hii mada ni nzuri sana tu kujifunza sema watu
wanaogopa kuisiwa ati!
Nilitegemea tena madaktari wamchallenge Deception lakini hamna kitu wanadai siasa.

Hii kitu mi nilisikia watu mbalimbali wakiongea na hapa nimeona kitu.In short Watanzania tupende kujifunza vitu
vipya.

Unajua mwalimu anapomfundisha mwanafunzi, mwanafunzi anakuwa na uwezo mkubwa wa


kujua uwezo wa ufundishaji wa yule mwalimu kupitia jinsi anavyofundisha, anaweza kujua huyu
mwalimu mbaya au mzuri, ila haimaanishi kuwa huyo mwanafunzi anajua sana kuliko mwalimu.
Hata mashuleni/vyuoni wanafunzi wengi wanagomaga kuwa hawamtaki mwalimu /lecture flani
kwa kuwa hajui kufundisha au hawamuelewi, unadhani hao wanafunzi wanakuwa wana akili
sana kuliko walimu /lecture? Hapana sio kweli. Sisi binadamu tuna uwezo mkubwa sana na akili
ya kufanya zaidi ya yale tunayoyafanya, ila tunakosa ujuzi na maarifa tu jinsi ya kutumia akili
zetu vizuri.

Ukiachilia mbali akili/ufahamu ambao baadhi ya watu wanaupata kutoka kwenye taasisi mbali
mbali za Elimu, Binadamu tumeumbwa na akili zetu za asili tofauti na ile ya mashuleni.

So madaktari wasituone sisi hatuna akili kabisa,bado tuna haki ya msingi ya kujua kiundani yale
ambayo wao wamesomea na yanayouhusu afya zetu , na tunategemea wao ndio watuelezee
vizuri, lakini matokeo yake imekuwa tofauti kabisa, halafu bado wanatuona sisi tunawadharau
kwa kukubali yale ambayo deception anayasema ambayo wao wanapinga bila kuleta maelezo ya
kujitosheleza.

Amaizing
JF-Expert Member
Joined May 3, 2013
 3,560   2,000
May 17, 2015


 #628

 warumi said:
UKIMWI una privacy? Waje watuelezee humu walivyopima na kupewa dozi na experience yao kuhusu ARV ili
wengine wajifunze kupitia wao

Hahaaaa .toka Uzi huu umeanza hakuna hata MTU mmoja aliyejitolea kuthibitisha au kukiri
anatumia ARV japo I'd zetu feki ila hapo pagumu

 Reactions:warumi and tryice

Tira
Member
Joined Jun 19, 2012
 24   45
May 17, 2015


 #629
 warumi said:
Ndio maana nakwambia usome toka mwanzo, we tulia soma vizuri, maswali yako tu yanaonyesha hujafuatilia toka
mwanzo, ndio maana nakusisitizia usome

Wewe ni muongo hupendi kujifunza kama unavyodai ila unataka ligi ambayo apa ndio nyumbani kwake, ila tu
bahati mbaya huu si wakati wa ligi ni wakati wa kufahamishana tu na kueleweshana

Mimi na deception ni ID mbili na wawili tofauti wenye imani tofauti na ndio maana deception haamini kama
ukimwi upo ila mimi naamini upo na unaua, ila kwa upande wa ARV unaruhisiwa tu kusema mimi na deception ni
mtu mmoja

Warumi ngoja nisaidie kuelewesha ni hivi Deception amesema UKIMWI/AIDS na tena


ulikuwepo tangu zamani ila asichokubaliana nacho ni kuwa Ukimwi hausababishwi na
VVU/HIV kwasababu VVU ni kirusi kisichonauwezo wa kupunguza kinga mwilini ( kutokana
na taarifa za kisayansi) sasa unapogundulika kuwa una VVU haimaanishi tayari una UKIMWI,
sasa kwenye ARV Deception anaamini ndo zinazopelekea pia kuwa na UKIMWI kutokana na
side effects zake zinazosababisha kupungua kwa kinga mwilini na hata mwili kushindwa
kuhimili magonjwa nyemelezi

 Reactions:juju000, NDESA BOY, Abou Saydou and 3 others

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 17, 2015


 #630

 amaizing said:
Hahaaaa .toka Uzi huu umeanza hakuna hata MTU mmoja aliyejitolea kuthibitisha au kukiri anatumia ARV japo I'd
zetu feki ila hapo pagumu

Tatizo sio fake IDs, tatizo nafsi, watu wanaogopa kukashfiwa, ID is just a series of text ila
behind kuna binadamu mwenye moyo wa nyama, ukianza kukashfiwa sio ID itakayoumia ila
yeye mtu binafsi, ndio maana watu wanaogopa kuumizwa hisia zao.

 Reactions:Raynavero
Diva Beyonce
JF-Expert Member
Joined Mar 6, 2014
 12,937   2,000
May 17, 2015


 #631

warumi sema madaktari wa kibongo huwa hawataki kuambiwa kitu au Ku chalenjiwa wanakua


wakali mno. Unaweza ukawa daktari na bado usijue yote. Pia kupitia vitu mbalimbali kuongeza
ujuzi na knowledge na wengi wavivu kufanya research.
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

 Reactions:warumi and Tira

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 17, 2015


 #632

 Tira said:
Warumi ngoja nisaidie kuelewesha ni hivi Deception amesema UKIMWI/AIDS na tena ulikuwepo tangu zamani ila
asichokubaliana nacho ni kuwa Ukimwi hausababishwi na VVU/HIV kwasababu VVU ni kirusi kisichonauwezo wa
kupunguza kinga mwilini ( kutokana na taarifa za kisayansi) sasa unapogundulika kuwa una VVU haimaanishi
tayari una UKIMWI, sasa kwenye ARV Deception anaamini ndo zinazopelekea pia kuwa na UKIMWI kutokana na
side effects zake zinazosababisha kupungua kwa kinga mwilini na hata mwili kushindwa kuhimili magonjwa
nyemelezi

Tira una uelewa mzuri sana, napenda watu wadadisi kama wewe, that is what exactly jamaa
alivyoelezea kulingana na scientific research... labda tu aje aongezee mengine kama atakuwa
nayo, karibu
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

 Reactions:Tira

M
Matenene
JF-Expert Member
Joined Nov 14, 2013
 477   195
May 17, 2015


 #633

Niliona makala moja inasema kuna binadamu wachache cell zao hazina ncha. Kirusi kikiingia
kinazunguka hakioni pa kuingilia na hufa. Hawa jamaa wanakula mizigo peku peku. Nataka na
mimi nikaangalie je cell zangu zikoje, natamani ziwe butu niwanyime ulaji PSI.

 Reactions:Raynavero and Habari ya Mujini

RGforever
JF-Expert Member
Joined Apr 3, 2011
 6,931   2,000
May 17, 2015


 #634

 cjilo said:
Najaribu kukuelewa mkuu,,sasa ukimwi unasababishwa na nini kama c hiv?

Hivi ushawahi kusikiliza Hata Matangazo mkuu? Hata Matangazo yanakuambia mtu anayepata
HIV si Amepata Ukimwi ila Magonjwa Nyemelezi kama TB n.k yakikupata ndipo unapata
Ukimwi. Ndio maana Hata Deception anasema HIV ni Hewa Tu kinachotakiwa kuogopwa ni
Hayo magonjwa Nyemelezi maana Bila Yenyewe kuwepo na HIV hayupo pia. Maana Bila TB
kumshambulia Mgonjwa au Parasites wakasababisha aarishe Basi HIV hawezi kumfanya Mtu
Chochote kile..

Ndo maana Wanatangaza Vita zidi ya Magonjwa Nyemelezi sana kuliko hata Huyo HIV
mwenyewe.......

Hii inamaana HIV hajaqualify kuitwa Mdudu maana Hawezi Ku stand Alone akasababisha Mtu
akafa ila Magonjwa hayo ambayo Ni Nyemelezi kama Vile TB ambayo inaweza Kumfanya Mtu
akonde.. Akohoe mfululizo... Protozoa zitakazomfanya Aharishe sanaa.... N.k ndizo
zinasababisha Na Wala Si HIV..

Mi ndo nilivyomuelewa Deception

Na Tukipambana Na Hayo tu Magonjwa Jua Kuwa tumeshamshinda HIV nguvu maana Hana
Jeshi. Au mtu akipatwa na TB au Protozoa wa Kumfanya Aharishe Na Tukawatibu hao TB na
Protozoa basi Mgonjwa Napeta
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

 Reactions:Lizarazu, cjilo, naa and 4 others

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 17, 2015


 #635

 RGforever said:
Hivi ushawahi kusikiliza Hata Matangazo mkuu? Hata Matangazo yanakuambia mtu anayepata HIV si Amepata
Ukimwi ila Magonjwa Nyemelezi kama TB n.k yakikupata ndipo unapata Ukimwi. Ndio maana
Hata Deception anasema HIV ni Hewa Tu kinachotakiwa kuogopwa ni Hayo magonjwa Nyemelezi maana Bila
Yenyewe kuwepo na HIV hayupo pia. Maana Bila TB kumshambulia Mgonjwa au Parasites wakasababisha aarishe
Basi HIV hawezi kumfanya Mtu Chochote kile..

Ndo maana Wanatangaza Vita zidi ya Magonjwa Nyemelezi sana kuliko hata Huyo HIV mwenyewe.......

Hii inamaana HIV hajaqualify kuitwa Mdudu maana Hawezi Ku stand Alone akasababisha Mtu akafa ila Magonjwa
hayo ambayo Ni Nyemelezi kama Vile TB ambayo inaweza Kumfanya Mtu akonde.. Akohoe mfululizo... Protozoa
zitakazomfanya Aharishe sanaa.... N.k ndizo zinasababisha Na Wala Si HIV..

Mi ndo nilivyomuelewa Deception

Na Tukipambana Na Hayo tu Magonjwa Jua Kuwa tumeshamshinda HIV nguvu maana Hana Jeshi. Au mtu
akipatwa na TB au Protozoa wa Kumfanya Aharishe Na Tukawatibu hao TB na Protozoa basi Mgonjwa Napeta
Click to expand...

Utaambiwa sasa ivi na wewe muathirika, ngoja waje apa


Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

 Reactions:RGforever and Habari ya Mujini

Habari Ya Mujini
JF-Expert Member
Joined Dec 22, 2013
 2,447   2,000
May 17, 2015


 #636

 RGforever said:
Hivi ushawahi kusikiliza Hata Matangazo mkuu? Hata Matangazo yanakuambia mtu anayepata HIV si Amepata
Ukimwi ila Magonjwa Nyemelezi kama TB n.k yakikupata ndipo unapata Ukimwi. Ndio maana
Hata Deception anasema HIV ni Hewa Tu kinachotakiwa kuogopwa ni Hayo magonjwa Nyemelezi maana Bila
Yenyewe kuwepo na HIV hayupo pia. Maana Bila TB kumshambulia Mgonjwa au Parasites wakasababisha aarishe
Basi HIV hawezi kumfanya Mtu Chochote kile..

Ndo maana Wanatangaza Vita zidi ya Magonjwa Nyemelezi sana kuliko hata Huyo HIV mwenyewe.......

Hii inamaana HIV hajaqualify kuitwa Mdudu maana Hawezi Ku stand Alone akasababisha Mtu akafa ila Magonjwa
hayo ambayo Ni Nyemelezi kama Vile TB ambayo inaweza Kumfanya Mtu akonde.. Akohoe mfululizo... Protozoa
zitakazomfanya Aharishe sanaa.... N.k ndizo zinasababisha Na Wala Si HIV..

Mi ndo nilivyomuelewa Deception

Na Tukipambana Na Hayo tu Magonjwa Jua Kuwa tumeshamshinda HIV nguvu maana Hana Jeshi. Au mtu
akipatwa na TB au Protozoa wa Kumfanya Aharishe Na Tukawatibu hao TB na Protozoa basi Mgonjwa Napeta
Click to expand...

Na huu ndo mkanganyiko mkubwa kuhusu hiv...which means mtu ukiwa na afya njema HIV
hana maana yoyote...
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

 Reactions:warumi

Habari Ya Mujini
JF-Expert Member
Joined Dec 22, 2013
 2,447   2,000
May 17, 2015

 #637

 RGforever said:
Hivi ushawahi kusikiliza Hata Matangazo mkuu? Hata Matangazo yanakuambia mtu anayepata HIV si Amepata
Ukimwi ila Magonjwa Nyemelezi kama TB n.k yakikupata ndipo unapata Ukimwi. Ndio maana
Hata Deception anasema HIV ni Hewa Tu kinachotakiwa kuogopwa ni Hayo magonjwa Nyemelezi maana Bila
Yenyewe kuwepo na HIV hayupo pia. Maana Bila TB kumshambulia Mgonjwa au Parasites wakasababisha aarishe
Basi HIV hawezi kumfanya Mtu Chochote kile..

Ndo maana Wanatangaza Vita zidi ya Magonjwa Nyemelezi sana kuliko hata Huyo HIV mwenyewe.......

Hii inamaana HIV hajaqualify kuitwa Mdudu maana Hawezi Ku stand Alone akasababisha Mtu akafa ila Magonjwa
hayo ambayo Ni Nyemelezi kama Vile TB ambayo inaweza Kumfanya Mtu akonde.. Akohoe mfululizo... Protozoa
zitakazomfanya Aharishe sanaa.... N.k ndizo zinasababisha Na Wala Si HIV..

Mi ndo nilivyomuelewa Deception

Na Tukipambana Na Hayo tu Magonjwa Jua Kuwa tumeshamshinda HIV nguvu maana Hana Jeshi. Au mtu
akipatwa na TB au Protozoa wa Kumfanya Aharishe Na Tukawatibu hao TB na Protozoa basi Mgonjwa Napeta
Click to expand...

Watakacho fanya wakiona unaumwa malaria mara kwa mara wanakurundikia ma ARVs as if
ukishayameza haya madawa huta ugua tena maleria maishani mwako...lazima wataalamu wetu
wa afya wafikirie kuja na mbinu mpya...
 Habari ya Mujini said:
Naomba kujua....wakati tunapochangia damu huwa wanapima ile damu mara ngap ili kujiridhisha haina
maambukizi!? Ninachofahamu huwa inapimwa inapotolewa kwa mchangiaji,,je ule utaratibu wakumpima mtu
angalau mara tatu kwa kipindi cha miezi 3 hapa hautumiki? Au wanapochukua damu huwa wanaiweka maabara na
kuipima mara tatu kwa vipindi vya miezi mitatu mitatu ili kijiridhisha kwamba damu haina maambukizi? Au
inapimwa mara moja tu na kwenda kuwekewa wagonjwa? Kama ni mara moja tu na vipimo vyenyewe huwa
havitabiriki je hakuna uwezekano wakuongeza maambukizi kwa njia hii?

Hili la kuchangia damu tungepata majibu mazuri kutoka kwa madaktari maana wao ndio kazi
yao kila siku.Mimi siwezi kukujibu kwa kuwa sikuwahi kufanya utafiti huo.
Ila kuhusu kuongezeka kwa maambukizi(kama unazungumzia maambukizi ya HIV),mimi nina
uhakika na ninajua kwamba hakuna virus mwenye uwezo wa kushusha kinga,hivyo basi hakuna
kitu kinachoitwa HIV kiuhalisia.Kwa maana hivyo hutakiwi kuogopa HIV bali unatakiwa
kuogopa maambukizi ya vijidudu vingine vya magonjwa ambavyo kweli vipo kiuhalisia kama
typhoid,TB nk.Simlaumu mtu yeyote kwa kuwa mzito kukubali kwamba hakuna HIV,hata mimi
nilichukua muda kidogo,lakini baada ya kufanya tafiti zangu nikagundua ukweli haraka sana.Na
ndio maana nilishawashauri watu wengi humu kufanya tafiti za haya mambo niliyosema ili
wajiridhishe,na nina uhakika lazima mtakubaliana na mimi,vinginevyo itabaki stori tu kwamba
kulikuwa na mada kama hii JF halafu hukupata faida yoyote muhimu kwenye maisha
yako.Nawasihi mfanye tafiti zenu binafsi ili mjionee wenyewe kama haya niliyozungumza ni
kweli au uongo,bila tafiti hamuwezi kujiamini bali mtabaki kuwa mguu nje mguu ndani.Fanya
tafiti ujue ukweli mmoja tu na uchukue maamuzi yatakayokukomboa wewe na familia
yako,huwezi kufanya maamuzi kama hujiamini na huwezi kujiamini kama hujafanya tafiti.
Mimi nina uwezo wa kujidunga damu ya mtu ambaye anatumia ARVs kwa kuwa najua
ukweli,Je,wewe unaweza?

 Reactions:proud to be me, Raynavero, warumi and 1 other person

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 17, 2015


 #650

 RGforever said:
Hivi ushawahi kusikiliza Hata Matangazo mkuu? Hata Matangazo yanakuambia mtu anayepata HIV si Amepata
Ukimwi ila Magonjwa Nyemelezi kama TB n.k yakikupata ndipo unapata Ukimwi. Ndio maana
Hata Deception anasema HIV ni Hewa Tu kinachotakiwa kuogopwa ni Hayo magonjwa Nyemelezi maana Bila
Yenyewe kuwepo na HIV hayupo pia. Maana Bila TB kumshambulia Mgonjwa au Parasites wakasababisha aarishe
Basi HIV hawezi kumfanya Mtu Chochote kile..

Ndo maana Wanatangaza Vita zidi ya Magonjwa Nyemelezi sana kuliko hata Huyo HIV mwenyewe.......

Hii inamaana HIV hajaqualify kuitwa Mdudu maana Hawezi Ku stand Alone akasababisha Mtu akafa ila Magonjwa
hayo ambayo Ni Nyemelezi kama Vile TB ambayo inaweza Kumfanya Mtu akonde.. Akohoe mfululizo... Protozoa
zitakazomfanya Aharishe sanaa.... N.k ndizo zinasababisha Na Wala Si HIV..

Mi ndo nilivyomuelewa Deception

Na Tukipambana Na Hayo tu Magonjwa Jua Kuwa tumeshamshinda HIV nguvu maana Hana Jeshi. Au mtu
akipatwa na TB au Protozoa wa Kumfanya Aharishe Na Tukawatibu hao TB na Protozoa basi Mgonjwa Napeta
Click to expand...

Umejitahidi kuelezea,lakini humo nilipoweka rangi nyekundu umechanganya.Kama mimi


ningekuwa ni wale madaktari,ningekushinda kwa hoja kirahisi sana.Subiri summary ninaiandaa
inaweza kukupa mwanga wa mambo yote niliyoeleza.Nimeshaligundua hilo mapema kwa watu
wengi ndio maana naandaa summary.

 Reactions:Habari ya Mujini and RGforever

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 17, 2015


 #651
 Habari ya Mujini said:
Watakacho fanya wakiona unaumwa malaria mara kwa mara wanakurundikia ma ARVs as if ukishayameza haya
madawa huta ugua tena maleria maishani mwako...

Hiyo kwenye rangi nyekundu ni point kubwa sana ila wewe hujui tu.Hivi ndivyo vitu ambavyo
watu wanatakiwa kujiuliza kabla ya kuanza kutumia ARVs.Je,sitaumwa tena?Kama nitaumwa
tena je,ARVs zina faida gani mwilini?
Unapewa ARVs na wakati huohuo unapewa dawa za kuzuia magonjwa nyemelezi.Hivyo zigo la
dawa linakuwa kubwa sana.Ninyi hamjui tu kama hiyo ni biashara inayofanyika kwa kutumia
uongo wa kisayansi.Viwanda vya madawa vinatengeneza tani za dawa kila siku,we unafikiri
wataziuzaje kama hamna wagonjwa?
Na kama hamna wagonjwa je,watapataje wagonjwa wa kuwauzia dawa?Jibu lake ni kwamba ili
wapate wagonjwa wa kuwauzia dawa inabidi wahamasishe watu mitaani ili waende kupima
HIV,na wakati mwingine wanatoa rapid test ili watu wajipige short wenyewe ,majumbani mwao
na kama watajiona ni HIV+ lazima watatoka vyumbani wenyewe kuelekea kwenye vituo vya
afya kupima bila kulazimishwa huku hofu imewajaa,ukifika kituo cha afya ukipima na mihofu
yako majibu hayooo HIV+ na unapewa zigo la dawa hapohapo bila kuchelewa eti wanasema
"early HIV treatment is better",hawa wapumbavu nini?Kwani mwanzo hawakulijua hili?
Hizo ndizo njia zao za kupatia wateja.They don't earn money when you are well,so they must
force you to be sick and your government will pay for you the money for buying ARVs.Na ndio
maana biashara ya madawa hasa haya ya ARVs inafanyika kati ya serikali na viwanda vya
madawa,sio viwanda vya madawa na wewe.Ndio maana serikali inapiga sana chepuo kwenye
vyombo vya habari kutoa matangazo ya kupima HIV,matangazo ya uzazi wa mpango halafu
wanalazima kinamama watumie vidonge,kwani kufanya uzazi wa mpango lazima utumie
vidonge?kwani hakuna njia nyingine hata zile za asili?hawa pumbavu nini?

Na ninakuhakikishia pia kuwa dawa hizi za ARVs na vidonge vya uzazi wa mpango zinakuja
kuzaa magonjwa mengine kama vile cancer,ukiwa na cancer watakupeleka paleee Ocean Road
ukawe mteja wao kwa mara nyingine tena kutumia dawa za cancer,na huo ndio utakuwa mwisho
wako halafu tunakuzika.
Hivi kuna mtu alishawahi kujiuliza kwa nini sasa hivi wagonjwa wa cancer wameongezeka sana
hasa kina mama?Kama mtu haamini aende Ocean Road kufanya utafiti.Anyway,mambo ni
mengi sana mnahitaji kuyajua.

 Habari ya Mujini said:


...lazima wataalamu wetu wa afya wafikirie kuja na mbinu mpya...
Ng'o,haiwezekani kuja na mbinu mpya,we unafikiri mbinu hii ya sasa wamekosea?Hawajakosea
bali wamedhamiria,lengo lao sio kukuponya bali lengo lao ni kukufanya uendelee kuwa
mgonjwa ili waweze kukuuzia dawa.Wanaomiliki viwanda vya madawa ndio haohao wenye
nguvu serikali ya marekani,na ndio haohao wanaochokozaga vita na nchi nyingine ili waende
kuiba mafuta nk.Sasa hawa watu wanaua watu wengi sana vitani,kina mama na vitoto visivyo na
hatia havijaonja hata utamu wa maisha,Je,watu hawahawa wanaweza kuwa na upendo na wewe
tena mtu mweusi uliyeko bara chafu la afrika kiasi kwamba wakujali kwa kukubembeleza
ukapima HIV na kufanya uzazi wa mpango?
Hii ni biashara bwana!!!

 Reactions:Habari ya Mujini

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 17, 2015


 #652

 renyo said:
Kwa kweli huu uzi toka nikifuatilia, deception Ana point Za msingi kabisa, japo nimeona case Za waathirika, Kuna
possibility ya kuwa arv ni shida. Maana mimi pia nina mfano halisi, Kuna mke wa kaka yangu alifariki kwa
ugonjwa huu miaka kadhaa iliyopita kama 6 hivi, tukajua na bro ndo basi tena, but hamaki jamaa alienda Pima Ili
aanze arv but majibu yalikuwa v-, so Kuna siri kubwa nyuma ya hili swala. So tufanye tafiti binafsi tujue ukweli. Na
sio kuropoka bila uthibitisho, maana haswa watanzania ni wazuri katika hili.

Basi madaktari wakiona mambo kama haya huwa wanamsingizia mungu."Aah! unajua mungu
ana maajabu yake bwana".Hizi ndizo fikra zinazowafunga milango yao ya fahamu na hivyo
hawawezi kamwe kuwa na sababu ya kuangalia upande wa pili.

Hebu kamuulize daktari yeyote kwa nini imetokea hivyo halafu uje utuambie
amesemaje.Nasubiri kwa hamu sana jibu lako.

 Reactions:Raynavero, Msuya Jr. and Habari ya Mujini

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 17, 2015


 #653

 Deception said:
Hiyo kwenye rangi nyekundu ni point kubwa sana ila wewe hujui tu.Hivi ndivyo vitu ambavyo watu wanatakiwa
kujiuliza kabla ya kuanza kutumia ARVs.Je,sitaumwa tena?Kama nitaumwa tena je,ARVs zina faida gani mwilini?
Unapewa ARVs na wakati huohuo unapewa dawa za kuzuia magonjwa nyemelezi.Hivyo zigo la dawa linakuwa
kubwa sana.Ninyi hamjui tu kama hiyo ni biashara inayofanyika kwa kutumia uongo wa kisayansi.Viwanda vya
madawa vinatengeneza tani za dawa kila siku,we unafikiri wataziuzaje kama hamna wagonjwa?
Na kama hamna wagonjwa je,watapataje wagonjwa wa kuwauzia dawa?Jibu lake ni kwamba ili wapate wagonjwa
wa kuwauzia dawa inabidi wahamasishe watu mitaani ili waende kupima HIV,na wakati mwingine wanatoa rapid
test ili watu wajipige short wenyewe ,majumbani mwao na kama watajiona ni HIV+ lazima watatoka vyumbani
wenyewe kuelekea kwenye vituo vya afya kupima bila kulazimishwa huku hofu imewajaa,ukifika kituo cha afya
ukipima na mihofu yako majibu hayooo HIV+ na unapewa zigo la dawa hapohapo bila kuchelewa eti wanasema
"early HIV treatment is better",hawa wapumbavu nini?Kwani mwanzo hawakulijua hili?
Hizo ndizo njia zao za kupatia wateja.They don't earn money when you are well,so they must force you to be sick
and your government will pay for you the money for buying ARVs.Na ndio maana biashara ya madawa hasa haya
ya ARVs inafanyika kati ya serikali na viwanda vya madawa,sio viwanda vya madawa na wewe.Ndio maana
serikali inapiga sana chepuo kwenye vyombo vya habari kutoa matangazo ya kupima HIV,matangazo ya uzazi wa
mpango halafu wanalazima kinamama watumie vidonge,kwani kufanya uzazi wa mpango lazima utumie vidonge?
kwani hakuna njia nyingine hata zile za asili?hawa pumbavu nini?

Na ninakuhakikishia pia kuwa dawa hizi za ARVs na vidonge vya uzazi wa mpango zinakuja kuzaa magonjwa
mengine kama vile cancer,ukiwa na cancer watakupeleka paleee Ocean Road ukawe mteja wao kwa mara nyingine
tena kutumia dawa za cancer,na huo ndio utakuwa mwisho wako halafu tunakuzika.
Hivi kuna mtu alishawahi kujiuliza kwa nini sasa hivi wagonjwa wa cancer wameongezeka sana hasa kina mama?
Kama mtu haamini aende Ocean Road kufanya utafiti.Anyway,mambo ni mengi sana mnahitaji kuyajua.

Ng'o,haiwezekani kuja na mbinu mpya,we unafikiri mbinu hii ya sasa wamekosea?Hawajakosea bali
wamedhamiria,lengo lao sio kukuponya bali lengo lao ni kukufanya uendelee kuwa mgonjwa ili waweze kukuuzia
dawa.Wanaomiliki viwanda vya madawa ndio haohao wenye nguvu serikali ya marekani,na ndio haohao
wanaochokozaga vita na nchi nyingine ili waende kuiba mafuta nk.Sasa hawa watu wanaua watu wengi sana
vitani,kina mama na vitoto visivyo na hatia havijaonja hata utamu wa maisha,Je,watu hawahawa wanaweza kuwa na
upendo na wewe tena mtu mweusi uliyeko bara chafu la afrika kiasi kwamba wakujali kwa kukubembeleza ukapima
HIV na kufanya uzazi wa mpango?
Hii ni biashara bwana!!!
Click to expand...

Ok, nina swali kidogo apa linanitatiza,

1. Ninavyojua mimi ukishagundulika na HIV utapewa dawa za ARV pamoja na masharti ya kula
vyakula maalumu pamoja na kufanya mazoezi na kunywa maji kwa wingi yaliyo safi na salama,
mi nilihisi labda kwa kuwa ARV inapunguza makali ya hivyo virus pamoja na kuongeza maisha
kama inavyosemekena, je? Kama izo ARV zinafanya izo kazi mwilini, kwa nini kuna masharti
tena ya kula vyakula?, kwa nini usiruhusiwe kula vyakula vya kawaida kama watu wengine, kwa
kuwa izo ARV zinaenda kuua wadudu Automatically? NIZIAMINI ARV AU LISHE BORA??,
kama ARV zinafanya kazi hyo kwa nini wabaguliwe kula vyakula? Ni kwa ajili ya izo dawa ndio
zinataka aina hiyo ya chakula au?

Mi nilijua ukipewa ARV utaambiwa urudi kwenu uendelee na maisha yako ule chakula
unachotaka, kama mrenda, kunde, maharage, makande utajijua wewe, yani imradi tu uwe
umeshiba na kunywa maji mengi kwa ajili ya dawa, je kuna mahusiano yeyote kati ya special
diet na ARV? Deception, Deception Deception Deception
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

 Reactions:Raynavero, Deception and Habari ya Mujini

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 17, 2015


 #654

 Rene Jr. said:


Asante mkuu, lakini unampango wa kucompile hiyo research yako?

Yes,lakini bado nafikiria jinsi ya kufanya ili kiwafikie watu bila kuniletea madhara.Hii ishu
inanitatiza sana kiusalama.Kuhusu kushtakiwa hilo halinipi hofu kwa kuwa najua nitashinda
kirahisi sana,suala kubwa hapa ni usalama wangu,maana nagusa biashara ya watu tena watu
wazito halafu mimi mwenyewe ni mlalahoi tu.

 Reactions:warumi and renyo

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 18, 2015


 #655

 Wallet said:
Yani bado narudi pale kwamba ndugu yetu kauliza mambo ya msingi sana. Na yawezekana umeshajibu huko awali
na post ni nyingi, ila unazijua zako. Ishu ni kwamba, Kwa nini Bukoba walikufa sana kuanzia baba, mama, watoto,
mahawara, n.k? tena kwa dalili zile zile? Nasikia pia wapo watu wanaoitwa carrier (sijui kama ni sahihi). Hawa
wanaambukiza tu ila hawaugui HIV.

Unahitaji maelezo mapana sana hapa,inabidi niunganishe reply nyingi ili uweze kupata picha na
sasa kuna page nyingi sana.Lakini pia,kwa kifupi,wakati namjibu yule jamaa mwingine
nilizungumzia swali lako kwamba halina details za kunifanya mimi niweze kukujibu,umeeleza tu
mtiririko wa watu kufa kwa dalili zinazofanana bila kutaja dalili zenyewe ni zipi
ulizoziona?,ulikuwa mwaka gani?,wewe mwenyewe ulikuwa na umri gani wakati huo?,watu hao
walikuwa na hali gani kiuchumi?,walikuwa wanaishi maisha ya namna gani(yaani tabia na
utaratibu wao wa maisha)?,walipimwa ama hawakupimwa magonjwa yao?,kama walikuwa
wanatumia dawa yoyote basi utaje ni dawa gani? nk.
Mambo haya nikiyajua ndio naweza kuelezea kwa ufasaha.Unajua watu wengi kasumba hii
imewaingia vichwani kiasi kwamba wanaona kuna mambo ni vigumu sana kuyaelezea,lakini
ninakwambia kwamba hakuna ugumu kabisa,kila kitu kinaelezeka kwa urahisi kabisa tofauti na
unavyodhani na kwa hoja zenye mashiko bila kubabaisha.Kama ukinipa details hizo bila
kudanganya na bila kutumia hisia zako binafsi na kufoji taarifa,basi nina uwezo wa kukueleza ni
sababu gani iliyowafanya wafe hivyo kwa kufanana dalili.
Concept ya carriers sio valid kwa HIV.HIV ni jina alilopewa retrovirus ambaye alikuwapo enzi
na enzi ili aonekane kwamba ana sifa ya kushusha kinga kama jina linavyojieleza
lenyewe.Lakini ukweli ni kwamba,hakuna retrovirus yoyote duniani mwenye uwezo wa
kushusha kinga.Hakuna scientific evidence yoyote inayoweza kuthibitisha kwamba HIV
anashusha kinga.
Sasa basi,retrovirus huwa wana knobs/spikes ambazo ndizo huzitumia kuingia kwenye cell.Ili
waweze kuingia kwenye cell inabidi cell yenyewe iwe na co receptor ya kuruhusu retrovirus ku
attach knob yake kwayo na kuingia kwenye cell.Sasa kuna watu hawana hizi co receptors,na
watu wa namna hii ndio huwa wanasema hawaugui,yaani hawadhuriki.Concept hii ni sahihi kwa
retrovirus,lakini concept hii kuwa sahihi haimaanishi kwamba HIV ndio anasababisha kushuka
kwa kinga.Kuingia kwenye cell na kushuka kwa kinga ni vitu viwili tofauti.

Kuna watu wawili wamegundua huyo kirusi,mmoja Ufaransa na mwingine Marekani.Baada ya


kumaliza ugunduzi wao feki kila mtu akatoa jina lake kwa kirusi huyo,baada ya hawa watu
kukutana pamoja eti wenyewe wakaona kumbe virusi hivyo viwili vinafanana na hivyo
wakakubaliana kutoa jina moja na kukiita HIV.Kwa hiyo HIV ni jina tu waliloamua watu wawili
tu kumpa huyu kirusi bila hata ku publish any scientific paper/proof ili wanasayansi wengine
wenye uwezo kama wao na kuwazidi wao nao wachambue ugunduzi wao,hivyo walificha.Lakini
baada ya wenyewe kusema genetic composition ya huyo kirusi hadharani ndio wanasayansi
wengine kusema "ahaaaa,kumbe ninyi mmegundua retrovirus",wakaendelea kusema "kutokana
na hiyo genetic comp ya huyo virus,basi ninyi(wakimaanisha wale wagunduzi) mnazungumzia
retrovirus",wakaendelea kusema "Lakini mbona retrovirus wote hawana uwezo wa kusababisha
AIDS?,hebu tuelezeeni wanasababishaje AIDS?"Sasa hapo ndipo ugomvi ulipoanza kati ya
wagunduzi wa huyo HIV na wale wanasayansi wanaopinga.Mpaka leo hii tunavyozungumza
hakuna mtu yeyote mwenye uwezo wa kuelezea kwamba HIV anashushaje kinga mbele ya jopo
la wanasayansi wengine makini,hakuna.

Sasa kwa sababu hata wenyewe wanajua kwamba HIV hawezi kushusha kinga,ndio maana dawa
wanazotoa za ARVs wamezitengeneza kwa kuweka composition fulani ambazo ndizo
husababishwa yale magonjwa unayoyaona kwa mtu anayezitumia huku wewe ukidhani kwamba
HIV ndiye anayesababisha,kumbe si HIV bali ni ARVs.Sasa kwa kuwa tumeshakuwa
brainwashed akili zetu hadi leo tunaendelea kuamini kwamba HIV anasababisha AIDS.Ujinga
huu unatufanya tumeze ARVs ambazo ndizo sababu halisi sasa zinazoleta magonjwa kwa
mtumiaji.Sisi kwa ujinga wetu tunajua HIV=AIDS,kumbe ukweli ni kwamba ARVs=AIDS,hii
ndio hatari inayojitokeza kama sayansi itatumika vibaya kudanganya watu.

Na hii imejidhihirisha na inaendelea kujidhihirisha kwamba HIV hawezi kusababisha AIDS na


hata mtaani kuna mifano mingi tu inajionesha wazi.Pale penye mikanganyiko hawa jamaa
wagunduzi huwa wanatunga theory za kuwafanya watu wasipoteze imani kutokana na
mikanganyiko inayojitokeza,yaani kuwafanya watu waendelee kuamini kwamba HIV
anasbabisha AIDS,hii mikanganyiko yote inatokea kwa kuwa kile walichosema hawa wagunduzi
kuhusu HIV si kweli.
Anyway tuishie hapo,naenda kulala.

 Reactions:Troojan and Habari ya Mujini
Infantrier
JF-Expert Member
Joined Jan 1, 2013
 337   225
May 18, 2015


 #656

 Kyara Atufigwe said:


Mmh. Embu fungueni link hii
The Dr. Rath Health Foundation | Responsibility for a healthy world

Wakuu fungueni hii link aliyotoa mdau hapo juu siyo mnambishia tu Deception.
Kazi ipo !! tumekwisha.

 Reactions:warumi and Deception

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 18, 2015


 #657

 warumi said:
Ok, nina swali kidogo apa linanitatiza,

1. Ninavyojua mimi ukishagundulika na HIV utapewa dawa za ARV pamoja na masharti ya kula vyakula maalumu
pamoja na kufanya mazoezi na kunywa maji kwa wingi yaliyo safi na salama, mi nilihisi labda kwa kuwa ARV
inapunguza makali ya hivyo virus pamoja na kuongeza maisha kama inavyosemekena, je? Kama izo ARV zinafanya
izo kazi mwilini, kwa nini kuna masharti tena ya kula vyakula?, kwa nini usiruhusiwe kula vyakula vya kawaida
kama watu wengine, kwa kuwa izo ARV zinaenda kuua wadudu Automatically? NIZIAMINI ARV AU LISHE
BORA??, kama ARV zinafanya kazi hyo kwa nini wabaguliwe kula vyakula? Ni kwa ajili ya izo dawa ndio zinataka
aina hiyo ya chakula au?

Mi nilijua ukipewa ARV utaambiwa urudi kwenu uendelee na maisha yako ule chakula unachotaka, kama mrenda,
kunde, maharage, makande utajijua wewe, yani imradi tu uwe umeshiba na kunywa maji mengi kwa ajili ya dawa, je
kuna mahusiano yeyote kati ya special diet na ARV? Deception, Deception Deception Deception
Click to expand...
1.Wenyewe wenye HIV wao,yaani wale wanaomiliki huyo HIV wanakwambia ARVs haziui
HIV bali zinazuia HIV ku multiply/kuongezeka.

2.Hilo la kula vyakula bora nk,hao wahudumu kwenye vituo vya afya wanaliona si la msingi
kuzidi ARVs,yaani msosi ni muhimu ila ni kama subsidiary halafu ARVs ndio lazima,kumbe
ukweli ni kwamba msosi na mambo mengine kiafya ndio lazima halafu ARVs ni za kuzitupa
kabisa tena 'dispose with care'.

Tena hutakiwi kutumia nguvu nyingi kuelewa,we refer kwa yule mungu wa watu wanaoamini
HIV anasemaje kuhusu misosi na mambo mengine.Kama mungu wao amesema vile,basi wote
walio tofauti na yeye ni waongo.Hebu mfuatilie tena yule mzee urudie alichokisema.

"We can be exposed to HIV many times without being chronically infected,our immune system
get rid of the virus within few weeks,if you have good immune system"
"This is the knowledge that is completely neglected,people always think of drugs(ARVs) and
vaccine"
"You know health care institutions do not get this kind of advice(nutrition advice) because there
is no profit"-Yaani hapa viwanda vya madawa haviwezi kukwambia ule chakula bora kwa kuwa
ushauri huo kwao haulipi,na badala yake watasisitiza ule ARVs,na pia ukila vyakula bora na
kufanya mazoezi hutaumwa mara kwa mara hivyo watakosa wateja.

Hayo ni baadhi tu aliyosema huyu mgunduzi.Akili kichwani.


 Reactions:Lizarazu, ranyia, RGforever and 1 other person

Kupe
JF-Expert Member
Joined Jul 26, 2012
 1,026   1,225
May 18, 2015


 #658

Raper Easy E alikufa na ukimwi miaka ya 90.....michael johnson akajitangaza ana HIV na mpaka
leo anadunda na dozi. kitu Cha maana ulichokiongea ni kimoja tu kuwa kama huli mlo kamili na
unameza ARV lazima utakufa tu . Hakuna jinsi ya kuokoka . So badili heading yako andika
ARV inasaidia unapopata mlo kamili. Basi . Usiongeze chochote .........Babu wa loliondo alianza
hivi hivi akapata wagonjwa nchi mzima hadi nchi jirani....... Huyu sasa anakuja na style ya kuwa
kafanya utafiti. Mimi namuuliza kafanya utafiti lini, wapi na chuo gani. Kama binafsi je ana
vifaa. Wapi paper zake ili watu wazipitishe kisayansi . Paper huna unatumia paper za watu
harafu unashauri watu waache kula dawa . Harafu kuna swali nilimuuliza akalikwepa kabisa
.....ukimwi haupo tanzania wala africa peke yake . Ukimwi upo China ,India , Thailand , UK,
Marekani tena upo mwingi sana washngton state . In short ukimwi upo dunia nzima . Sasa swali
je huko wanatumia dawa za kupunguza makali yaani kama hizi ARV au hawatumii. Na kama
hawatumii katika utafiti wako ambao sasa nauita FAKE je wanatumia dawa gani ? Mimi
nimeshawahi kuona kwa macho yangu mchina anakunywa dawa same ARV lakini katoka nayo
kwao China . Na anameza nadhani kila mwezi kidonge kimoja au kila mwaka na nilipomuhoji
alisema atameza maisha yake yote . Bei yake ni kama dola 100 kwa kidonge ......achana na
huyo . Kuna viongozi wa ngazi za juu na hata wabunge wangapi na wafanyabiashara wangapi
wana HIV na wapo katika dozi hiyo hiyo ya ARV na wanadunda coz wana hela na wanafuatilia
ratiba ya afya . Hawa watu wanaokufa wenye vipato vidogo ni kutokana na kunywa dawa bila
chakula bora na hiyo inatokana na uchumi duni . Dawa yeyote ili ifanyekazi lazima iende na
chakula bora otherwise itakutesa sana . Maana inaweza kuwa hata sumu . So ndugu please
muogope Mungu wako . Acha kutafuta utajiri wa haraka haraka kupitia watu masikini kwa
kisingizio cha eti umefanya utafiti. Kama umefanya utafiti weka paper upewe uprofesa . Achana
na utapeli uchwara

Kupe
JF-Expert Member
Joined Jul 26, 2012
 1,026   1,225
May 18, 2015


 #659

Raper Easy E alikufa na ukimwi miaka ya 90.....michael johnson akajitangaza ana HIV na mpaka
leo anadunda na dozi. kitu Cha maana ulichokiongea ni kimoja tu kuwa kama huli mlo kamili na
unameza ARV lazima utakufa tu . Hakuna jinsi ya kuokoka . So badili heading yako andika
ARV inasaidia unapopata mlo kamili. Basi . Usiongeze chochote .........Babu wa loliondo alianza
hivi hivi akapata wagonjwa nchi mzima hadi nchi jirani....... Huyu sasa anakuja na style ya kuwa
kafanya utafiti. Mimi namuuliza kafanya utafiti lini, wapi na chuo gani. Kama binafsi je ana
vifaa. Wapi paper zake ili watu wazipitishe kisayansi . Paper huna unatumia paper za watu
harafu unashauri watu waache kula dawa . Harafu kuna swali nilimuuliza akalikwepa kabisa
.....ukimwi haupo tanzania wala africa peke yake . Ukimwi upo China ,India , Thailand , UK,
Marekani tena upo mwingi sana washngton state . In short ukimwi upo dunia nzima . Sasa swali
je huko wanatumia dawa za kupunguza makali yaani kama hizi ARV au hawatumii. Na kama
hawatumii katika utafiti wako ambao sasa nauita FAKE je wanatumia dawa gani ? Mimi
nimeshawahi kuona kwa macho yangu mchina anakunywa dawa same ARV lakini katoka nayo
kwao China . Na anameza nadhani kila mwezi kidonge kimoja au kila mwaka na nilipomuhoji
alisema atameza maisha yake yote . Bei yake ni kama dola 100 kwa kidonge ......achana na
huyo . Kuna viongozi wa ngazi za juu na hata wabunge wangapi na wafanyabiashara wangapi
wana HIV na wapo katika dozi hiyo hiyo ya ARV na wanadunda coz wana hela na wanafuatilia
ratiba ya afya . Hawa watu wanaokufa wenye vipato vidogo ni kutokana na kunywa dawa bila
chakula bora na hiyo inatokana na uchumi duni . Dawa yeyote ili ifanyekazi lazima iende na
chakula bora otherwise itakutesa sana . Maana inaweza kuwa hata sumu . So ndugu please
muogope Mungu wako . Acha kutafuta utajiri wa haraka haraka kupitia watu masikini kwa
kisingizio cha eti umefanya utafiti. Kama umefanya utafiti weka paper upewe uprofesa . Achana
na utapeli uchwara

Kyara Atufigwe
Senior Member
Joined Mar 29, 2015
 103   195
May 18, 2015


 #660

Questions and Answers About AIDS


Dr. Raxit Jariwalla, professor of virology, is one of the world's leading researchers in the field of
AIDS and nutrition. In this questions and answer section Dr. Jariwalla exposes the truth about
the background of the ARV business with the AIDS epidemic.
More information
Back to introduction
Click here to read Dr. Raxit Jariwalla's biography.
Potential beneficiaries for whom these web pages were built: More
Does HIV exist?
Yes.
What does the diagnosis “HIV-positive” mean?
“HIV-positive” means that a person has antibodies to this virus – not necessarily the presence of
an intact virus. The presence of antibodies to HIV only implies that the person at some earlier
point was exposed to the virus.
Does HIV cause AIDS?
HIV has been linked to AIDS but, but there is no scientific evidence that it is the sole cause of
AIDS. It is an undisputed scientific fact that it takes on an average 9 to 10 years (!) from HIV
infection to the manifestation of the symptoms of AIDS in those who develop it. This is unlike
other viruses such as measles or the flu, where it only takes a few days from the time of infection
to the outbreak of the disease. These facts indicate that other factors contribute to AIDS
development. They are discussed below.
Does everyone who is diagnosed “HIV-positive” develop AIDS?
No, not everyone does. There are many long-term survivors who had been diagnosed HIV-
positive, but have remained free of AIDS symptoms for more than a decade. Based on WHO-
Reports from 2001 about the annual appearance of new AIDS cases it can be estimated that the
rate of AIDs development was 1.4% per year. This statistically says that from all people infected
with HIV globally less than 20% develop AIDS even after a period of 13 years. This is
particularly significant since at that time only a minority of the HIV-infected population was on
ARV drugs.
Are there other causes of immune deficiency and AIDS?
Yes, there are. The most widespread cause of immune deficiencies is malnutrition, and in
particular, insufficient intake of vitamins, minerals and other micronutrients. Scientific studies
(Gray RH, 1983; Beach RS et al, 1992; Baum MK et al, 1995) have clearly shown that both,
malnutrition derived from insufficient intake of protein as well as specific deficits in
micronutrient intake (blood levels) have been linked to immune deficiencies, HIV-infections and
AIDS.
What is “viral load” and does it correlate with the severity of AIDS?
Viral load is the concentration of the virus in the bloodstream. It is measured by quantifying the
level of viral RNA in the blood plasma. Viral load has been thought to be a correlate of the
progression of the AIDS disease; however, this relationship has been questioned.
So what is the significance of “viral load” and how does it relate to AIDS drug approval?
Initially, the measurement of viral load was introduced as a so-called “biomarker,” that is a
measurable indicator for the successful suppression of the progression of AIDS disease. Soon
thereafter it became clear that viral load was a poor substitute (surrogate) marker for AIDS.
Nevertheless, early ARV drugs, such as AZT and nevirapine, were approved primarily on this
criterion and even subsequent ARV drug approval has been based on it.
-
However, it was later recognized that patients taking ARVs and experiencing viral load reduction
were not protected from developing AIDS. Today it is clear that viral load has been made a
“surrogate marker” for the purpose of AIDS drug approval. Fact is, however, that viral load does
not correlate with the progression of AIDS disease.
So what would be better “biomarkers” for AIDS?
AIDS is defined as an immune deficiency condition. The progression of this disease is best
reflected by the status of immune cells in the blood in general comprising various types of white
blood cells (leucocytes), including lymphocytes such as CD4 and CD8 cells, monocytes,
macrophages and neutrophils.
Can ARVs cure HIV infections?
Anti-retroviral drugs (ARVs) are chemical compounds that were designed to inhibit steps in the
multiplication of viruses of the same virus family (retroviruses). Fact is, however, that these
drugs also affect the growth and multiplication of all normal cells in the body. ARVs can lower
“viral load” in the bloodstream of a patient, however, these drugs do not eradicate the virus from
the body and thereby eliminate the infection.
Can ARVs cure AIDS?
No, they cannot cure AIDS. At best, they keep HIV levels in check in the bloodstream, but they
neither eradicate the virus nor rebuild (reconstitute) the immune system. Immune deficiency
persists in the body even in the presence of ARV drugs. Infected persons remain susceptible to
opportunistic infections, such as Tuberculosis, pneumocystis, fungal infections as well as other
complications of AIDS
Are there any long-term studies that show that ARVs are live-saving or life-prolonging?
No. There are no placebo-controlled, long-term studies showing that ARVs are live saving or life
prolonging. The effects of ARV drugs on survival of patients are limited, as shown by the study
that was used to obtain the approval of AZT for AIDS treatment (AZT licensing study). In that
study, involving AIDS patients, taking AZT showed only a short-term survival benefit.
Moreover, the patients that survived had to be kept alive by red blood cell transfusions.
-
One of the largest studies conducted with AZT was a British/French study called “Concorde”,
involving HIV infected patients who had not developed any symptoms of AIDS. In this study,
giving AZT did neither prevent the development of AIDS nor prolong the life of HIV-infected
persons. In fact, in this large-scale study, those participants who took AZT drugs had a 25%
higher death (mortality) rate compared to the control group who received only placebo.
So even after 25 years of promoting ARV drugs – above all in the developing world – is there
any clinical proof from long term controlled studies that these drugs reduce the progression of
AIDS disease or extend the survival of those affected by it?
No.
What are the side-effects of ARVs?
There is a wide range of serious side effects dependent on the type of ARV drug.
ARV drugs (nucleosides-analog reverse transcriptase inhibitors, NRTI), such as AZT, that are
designed to target the genetic replication of virus are damaging to all cells of the body
particularly the bone marrow, the site of blood cell production (hemopoesis) leading to anemia,
leucopenia (Richman et al., New England Journal of Medicine (1987); 317: 192-197; Costello et
al., Journal of Clinical Pathology (1988); 41: 711-715; Dainiak et al., British Journal of
Haematology (1988); 69: 299-304), neutropenia, thrombocytopenia and other signs of impaired
blood cell formation.
ARV drugs (non-nucleoside reverse transcriptase inhibitors, NNRTI), such as nevirapine, are
damaging to the liver and other organs and lead to impaired organ function and organ failure.
ARV drugs (protease inhibitors), which form part of the so called “triple-combination cocktail”
have been associated with metabolic disorders (Fleischer R et al Clin Infect Dis (2004) 38(4):
e79-80; Carr et al., Lancet (2001); 357: 1412-1414), including disorders of fat metabolism (lipid
disorders, lipodystrophy syndrome) of sugar (glucose) metabolism, bone metabolism as well as
the accumulation of lactic acid in the blood (lactic acidaemia).
Can ARV drugs cause immune deficiency and AIDS-like symptoms?
Yes, they can. ARV drugs pose the risk of drug-induced immune deficiency. As explained
above, ARVs are known to damage the bone marrow and impair the formation of immune cells.
This can further weaken the immune system and aggravate immune deficiency and produce
AIDS-like symptoms.
-
In this context, the above-mentioned WHO-report from 2001 is important (see above). It can be
calculated from that report that the worldwide death (mortality) rate for all HIV positive people
(among them a minority who took ARV drugs) was 1.4% per year (assuming that all who
developed AIDS died during the same year).
-
About the same time, two uncontrolled surveys (Palella et al New Engl J Med (1998) 338: 853-
860; Hogg et al JAMA (2001); 286:2568-2577) from the US and Canada about the death rate of
HIV positive persons taking ARV drugs were published. The results of these large scale studies
showed that the death rate of HIV-positive persons taking ARVs were between 6.7 and 8.8% per
year.
-
This means that the mortality rate of HIV positive people taking ARV drugs is four to six times
higher than the global mortality rate of the HIV population referred to in the WHO estimate.
Does that mean that while ARV drugs recommended to fight AIDS can not cure the disease they
can actually aggravate – or even cause – AIDS?
Yes, since ARVs can further weaken the immune system, they pose risk for acquiring immune
deficiency, the very disease they are meant to treat.

 Reactions:think3r91

Kyara Atufigwe
Senior Member
Joined Mar 29, 2015
 103   195
May 18, 2015


 #662

Aren’t the manufacturers of ARV drugs obligated to warn the patients about that fact?
Yes, they are. By law they have to post warnings of serious adverse side effects on the patient
information sheet accompanying every ARV bottle. But these warnings do not speak of “immune
deficiencies” as one of the known serious side effects of ARVs. The manufacturers of these
drugs mask this fact by using the Latin and Greek names for immune deficiencies, including
“leucopenia” (decrease of all immune cells - i.e. white blood cells or leucocytes), “neutropenia”
(decrease of an important subgroup of immune cells called neutrophils) and others.
Does the drug industry also use other means to bypass these warnings?
Yes, it does. Despite warnings of serious side effects on product information sheets, the drug
industry bypasses these warnings and finances lobbyists in medicine, the media and politics to
promote ARVs as life-saving drugs while no long-term survival benefit has been documented in
controlled clinical trials. In the developing world the ARV manufacturers even sponsors
organizations that repackage ARVs into little dispenser boxes in order to systematically remove
all warning labels associated with ARVs.
Is there a scientific basis for the global marketing campaign of ARV drugs?
No. ARV drugs are not a cure for AIDS. They have limited effects on virus eradication, patient
survival and fail completely to rebuild (reconstitute) the ailing immune system.
Are there other motives for the global promotion of ARV drugs?
One is obviously the economic greed of the ARV drug companies. The drug industry is an
investment industry and its primary focus is the return on investment (profit) not the health of the
people. Another motive is to create economic dependency. If governments in the developing
world are forced to pay significant portions of their budgets for drugs that are unable to end the
AIDS epidemic – then these economies enter a vicious cycle at the end of it only one party wins:
Those interests who want to keep the developing world in economic dependency.
If ARVs are so questionable, why are so many organizations promoting these drugs?
Over a quarter of a century, the only sales argument for ARV drugs was that they suppress the
virus, HIV. For that argument to work, HIV has been construed to be the sole cause of AIDS.
Other factors such as nutritional abnormalities, which play an important role in the progression
of AIDS disease, are ignored. The scientific facts, however, are: ARV drugs merely lower viral
load but do not eradicate virus from the body nor do they rebuild the immune system. Moreover,
ARV drugs are toxic chemicals that not only affect viruses but also attack all other cells and
organs in the body, namely the immune system, thereby aggravating immune deficiencies.
-
To help downplay these scientific facts in the public debate, the pharmaceutical industry spends
hundreds of millions of dollars to influence medicine, media and politics – even church and
community groups – in many countries. The drug multinationals even finance groups in
developing countries that – under the pretext of fighting for the “human right of free access to
ARVs” – claiming life-saving benefits of ARVs and irresponsibly propagate “free ARVs for all”.
This happens despite warnings on all ARV product pamphlets that these drugs are toxic and are
without any scientific proof for expanding the lives of AIDS patients (patient survival) from
controlled long-term studies.
Do AIDS patients have nutritional deficiencies?
Yes, particularly in developing countries most AIDS patients suffer from some from general
malnutrition or some form of nutritional deficiency. This includes protein malnutrition as well as
specific micronutrient abnormalities (Beach RS et al, 1992; Baum MK et al, 1995) involving
deficiencies in vitamins (A, B, C and E), minerals (selenium, zinc), amino acids (cysteine) as
well as other micronutrients such as glutathione. From the early stages of the AIDS epidemic
there have been many studies documenting that these nutritional abnormalities were important
factors in the progression of AIDS disease.
Can vitamins affect the HI-Virus?
Yes. Certain vitamins such as vitamin C have been shown to suppress the multiplication
(replication) of HIV in chronically and acutely infected cells. The effect of this vitamin on the
inhibition of HIV in these basic research studies (Harakeh, Jariwalla and Pauling, Proceedings of
the National Academy of Sciences of the USA (1990); 87:7245-49; Harakeh and Jariwalla,
American Journal of Clinical Nutrition (1991); 54: 1231S-1235S) was significant and reached
more than 99%. In addition, vitamin C has been shown to block activation of the HI-virus from
cells that are infected, but do not actively multiply HIV (latently infected cells). Moreover,
vitamins and other micronutrients have been documented in clinical studies to suppress virus
load in patients. As opposed to ARV drugs, they do so without any toxic side effects.
Which nutrients are important for immune system function?
Several nutrients are essential to optimum immune system function. Vitamins C, E and the group
of B-vitamins are required for optimal blood cell production and immune response. There were
no less than 9 Nobel Prizes awarded to the discovery of the health benefits of vitamins, the
majority of which for their role in building and restoring the immune system.
-
In addition other micronutrients have also been shown to enhance the immune system. Alpha
lipoic acid, the natural amino acid cysteine and its derivative-acetyl cysteine (NAC) as well as
the natural trace elements selenium and zinc are essential for the optimum function of white
blood cells, including lymphocytes. Scientific research shows that these micronutrients promote
the activation and proliferation of the so-called “helper cells”as well as the “cytotoxic T-cells”,
both of which play an important role in the control of AIDS.
Where can I get these nutrients from?
Micronutrients are contained in vegetables and fruits, particularly when they are fresh. Thus, the
first measure for anyone to improve their immune system is to regularly eat fresh fruits and
vegetables. This knowledge has far-reaching consequences for everyone, but particularly people
living in developing countries. Here the readily available space should be used to start kitchen
gardens, school gardens, and community gardens whenever possible.
-
According to a 2002 UNICEF Report vitamin deficiency conditions are one of the leading health
problems in the developing world. At the same time infectious diseases and immune deficiencies
are spreading in epidemic proportions in these countries. Knowing the connection between the
two is essential for successful national and global health strategies.
Which vegetables are particularly rich in these nutrients?
All vegetables and fruits contain important micronutrients. Particularly rich in immune-
enhancing nutrients are green leafy vegetables, berries, cherries, beetroot, potatoes, garlic and
citrus fruits. The health value of some of these vegetables and fruits for AIDS patients have been
publicly questioned and even ridiculed in the past. Of course, this propaganda campaign
distorting the scientific facts about the profound health benefits of certain fruits and plants was
no coincidence. This campaign was conducted in the interest of multinational drug companies, to
protect their multi-billion dollar investment business with ARV drugs by discrediting effective
and safe natural approaches to AIDS. Their motive was obvious: the fewer fruits and vegetables
people get, the lower their micronutrient status and, generally, the weaker their immune system
and the greater their dependency on ARV and other drugs.
-
The disinformation campaign against natural health and the relentless attacks on politicians and
scientist promoting it was part of a comprehensive marketing campaign of multinational drug
companies to promoting global sales of their patented ARV drugs.
-
But the time for ridicule is over. The most important biochemical ingredients in these fruits and
vegetables have been known for their enhancing effects on the immune system and can be used
to help fight the AIDS epidemic – without any toxic side effects

 Reactions:clixus, Habari ya Mujini and think3r91

Kyara Atufigwe
Senior Member
Joined Mar 29, 2015
 103   195
May 18, 2015

 #663

Are there any scientific studies documenting these health benefits?


Yes. There are a number of controlled clinical studies published in peer-reviewed scientific
journals that have documented positive benefits of micronutrient supplementation on the health
of people affected with AIDS. Among these are prospective studies (Abrams et al., Journal of
Acquired Immune Deficiency Syndrome (1993); 6: 949-958; Tang et al., American Journal of
Epidemiology (1993); 138: 937-951) involving HIV-positive persons who had not yet developed
any symptoms of AIDS. The results of these studies showed that daily dietary supplementation
with various vitamins was associated with a statistically significant delay in AIDS development.
Other controlled studies (Herzenberg et al., Proceedings of the National Academy of Sciences of
the USA (1997); 94: 1967-1972); Muller et al., European Journal of Clinical Investigation
(2000); 30:905-914; Kaiser et al., Journal of Journal of Acquired Immune Deficiency Syndrome
(2006); 42: 523-528; Namulemia et al, Journal of Orthomolecular Medicine (2007); 22(3); 129-
136; Jariwalla et al., Journal of Alternative and Complementary Medicine (2008) 14(2): 139-
146) involving AIDS patients consuming single, double or multiple micronutrient combinations
have documented improvement of the immune system (immune response), of blood antioxidant
status, as part of the body’s defense, and of survival. Additionally, studies conducted in HIV-
infected pregnant women have shown that a diet supplemented with different vitamins can
improve the immune response and significantly extend the time until AIDS symptoms develop.
-
While neither ARVs nor micronutrients are a cure for AIDS, micronutrients – as opposed to
ARVs – enhance the immune system. Moreover, while not a single controlled long-term clinical
study is available documenting that ARV drugs are actually prolonging the life of AIDS patients,
such studies (Herzenberg et al., Proceedings of the National Academy of Sciences USA (1997);
94: 1967-1972; Jiamton et al., AIDS (2003); 17: 2461-2469) exist for micronutrients
documenting the extended survival time of AIDS patients. Thus the promotion of micronutrients
is the only responsible strategy to increase the time needed for the international research
community to find a definite cure for AIDS.
Are there any community health programs that support the benefits of vitamins and other
micronutrients in people living with HIV infections or AIDS?
Yes. A nutrient community health program involving nearly 1000 people living with AIDS in
South Africa has shown that micronutrient supplementation significantly reduced the key
symptoms that define AIDS, i.e. fewer, excessive coughing, weight loss, infections and other
symptoms associated with AIDS such as sweating, lymph node swelling and many others,
thereby leading to a significant improvement of the quality of life. Now that this community
health program has shown good results in South Africa, it can now be adopted by communities
around the world. Details of this program are documented on the internet at www4.dr-rath-
foundation.org/nat_vit/PDF-Files/community_health_program.pdf.
Are there any specific ingredients in beetroot that are scientifically proven to fight AIDS?
Beetroot is a good source of vitamins A, B, C, minerals such as sodium, potassium, calcium,
which are present in multivitamin or multi-micronutrient preparations, shown to be beneficial in
fighting AIDS. The micronutrient ingredients of beetroot have been shown in scientific studies to
have a multitude of health-related effects (Webb AJ et all, Hypertension, 2008; Tesoriere L et al,
2005) including: decreasing inflammation (anti-inflammatory properties), natural inhibition of
cancer cells (non-toxic cancer chemoprevention), inhibition of blood platelet aggregation (anti-
coagulative effect) and prevention of oxidation of low-density lipoproteins (antioxidant effect),
two mechanisms involved in the development of cardiovascular disease.
Are there any specific ingredients in garlic that are scientifically proven to fight AIDS?
Yes. Garlic is rich in B-complex vitamins such as B1, B2, B3, folic acid, minerals including iron,
magnesium, phosphorous, potassium, selenium, zinc and phytochemicals such as beta carotene,
cysteine, and quercitin, to name some specific ingredients important in fighting AIDS.

 Reactions:Habari ya Mujini

Kyara Atufigwe
Senior Member
Joined Mar 29, 2015
 103   195
May 18, 2015


 #664

What should responsible politicians do in light of these scientific facts?


Every responsible decision taker should undertake a series of fact checks:
-
First, consider the scientific facts. They are:
ARVs are neither a cure for HIV nor AIDS. This information is required by law to be part of the
patient information leaflet of every single ARV drug package.
There exists not a single long-term controlled clinical study documenting that ARV drugs are
life-saving or even life-prolonging for AIDS patients – even after two decades of global ARV
drug promotion.
ARVs drugs have severe toxic side effects, including the initiation and aggravation of immune
deficiencies, the very disease for which they are being promoted. This information, too, is
required by law to be part of the patient information leaflet of ARV drugs. But instead of spelling
out the fact that ARV drugs can actually cause “immune deficiency” the ARV manufacturers use
Latin and Greek code names for this condition. By doing so, the drug manufacturers apparently
hope that neither the patients, nor the public – nor the political decision takers – will comprehend
the nature of these drugs.
-
The second step every decision taker from the community level to the highest level of
government is well-advised to do is to compare the scientific facts of this documentation to the
propaganda and false promises of ARV promoters in medicine, the media and even the streets.
The conclusions of this comparison should no longer be a matter of private interest. Every
responsible politician and every citizen should take an active part in exposing the false and
irresponsible promises of the ARV promoters and help to wake up their fellow citizens.
-
A third step for everyone realizing the dimension of the harm done by supporting the ARV
business is to search for the motives for such an unscrupulous act. On other pages of the Dr.-
Rath Foundation’s website you may find some valuable answers to that question. For the people
of Africa and other developing regions of the world the facts presented there may cast some
useful light on the fact that the developing world is a particular target of the global interest
groups behind the ARV business.
-
Fourth, and most importantly, you have to take a decision how to best help the people affected
by HIV or AIDS in your country. Here you have essentially two choices: You can promote ARV
drugs knowing now that they cause or aggravate immune deficiencies and thereby accelerate the
development of AIDS. Or you can promote measures that help improve the production of white
blood cells and optimize their immune function. This can best be accomplished by a diet rich in
plant-derived micronutrients. If you chose the second option, then you should promote science-
based natural health education as well as the establishment of kitchen gardens, school gardens
and community gardens with the goal to improve the health of your people, their families and
communities.
Implementing these steps as part of a responsible and science-based public health policy will not
be easy. After all, the interests behind the ARV business are ready to defend their multi-billion
business with patented ARV drugs and even topple governments to advance their agenda. But all
these strategies are bound to fail. While one can fight over ideologies and political opinions,
there is one force that can never be overcome: the power of scientific facts.

 Reactions:Habari ya Mujini

Kyara Atufigwe
Senior Member
Joined Mar 29, 2015
 103   195
May 18, 2015


 #665

Soma soma soma ili uongeze maarifa, upanue uwezo wako wa kutafakari mambo. Kuna mambo
mengine hata madaktari wanashindwa kuyatolea ufafanuzi. Soma tafiti mbalimbali ya kitabibu ili
kujua kweli mbalimbali. Acha uvivu, Soma!
http://www4.dr-rath-foundation.org/THE_FOUNDATION/the_truth_about_arvs/index.html

 Reactions:warumi and Tira
Canal59
Member
Joined Feb 13, 2015
 64   70
May 18, 2015


 #666

Inawezekana kabisa ..tena unampa mimba mwanamke lakn na ukimwi hupati


 Reactions:warumi

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 18, 2015


 #667

 kupe said:
Raper Easy E alikufa na ukimwi miaka ya 90.....michael johnson akajitangaza ana HIV na mpaka leo anadunda na
dozi. kitu Cha maana ulichokiongea ni kimoja tu kuwa kama huli mlo kamili na unameza ARV lazima utakufa tu .
Hakuna jinsi ya kuokoka . So badili heading yako andika ARV inasaidia unapopata mlo kamili. Basi . Usiongeze
chochote .........Babu wa loliondo alianza hivi hivi akapata wagonjwa nchi mzima hadi nchi jirani....... Huyu sasa
anakuja na style ya kuwa kafanya utafiti. Mimi namuuliza kafanya utafiti lini, wapi na chuo gani. Kama binafsi je
ana vifaa. Wapi paper zake ili watu wazipitishe kisayansi . Paper huna unatumia paper za watu harafu unashauri
watu waache kula dawa . Harafu kuna swali nilimuuliza akalikwepa kabisa .....ukimwi haupo tanzania wala africa
peke yake . Ukimwi upo China ,India , Thailand , UK, Marekani tena upo mwingi sana washngton state . In short
ukimwi upo dunia nzima . Sasa swali je huko wanatumia dawa za kupunguza makali yaani kama hizi ARV au
hawatumii. Na kama hawatumii katika utafiti wako ambao sasa nauita FAKE je wanatumia dawa gani ? Mimi
nimeshawahi kuona kwa macho yangu mchina anakunywa dawa same ARV lakini katoka nayo kwao China . Na
anameza nadhani kila mwezi kidonge kimoja au kila mwaka na nilipomuhoji alisema atameza maisha yake yote .
Bei yake ni kama dola 100 kwa kidonge ......achana na huyo . Kuna viongozi wa ngazi za juu na hata wabunge
wangapi na wafanyabiashara wangapi wana HIV na wapo katika dozi hiyo hiyo ya ARV na wanadunda coz wana
hela na wanafuatilia ratiba ya afya . Hawa watu wanaokufa wenye vipato vidogo ni kutokana na kunywa dawa bila
chakula bora na hiyo inatokana na uchumi duni . Dawa yeyote ili ifanyekazi lazima iende na chakula bora otherwise
itakutesa sana . Maana inaweza kuwa hata sumu . So ndugu please muogope Mungu wako . Acha kutafuta utajiri wa
haraka haraka kupitia watu masikini kwa kisingizio cha eti umefanya utafiti. Kama umefanya utafiti weka paper
upewe uprofesa . Achana na utapeli uchwara
Click to expand...

Kuhusu wachina sijui na nchi nyingine zilizoendelea naomba tusifike uko, let us focus on
African continent, wenzetu uchumi wao uko vizur interms of everything, mfumo wa maisha yetu
na wale ni tofauti huwez kulinganisha,wenzetu ni wajanja ,uku kwetu vifo vimekuwa vingi sana
ukilinganisha na uko bara la wenzetu, cha msingi ni kujiuliza tu ni njia gani mbadala
itakayoweza kuwasaidia akina kantupeni ambao mlo wao tu kwa siku ni shida je waendelee
kupewa ARV ili wafe vizur au?

 Reactions:amaizing and Tira

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 18, 2015


 #668

 Kyara Atufigwe said:


Soma soma soma ili uongeze maarifa, upanue uwezo wako wa kutafakari mambo. Kuna mambo mengine hata
madaktari wanashindwa kuyatolea ufafanuzi. Soma tafiti mbalimbali ya kitabibu ili kujua kweli mbalimbali. Acha
uvivu, Soma!
http://www4.dr-rath-foundation.org/THE_FOUNDATION/the_truth_about_arvs/index.html

Thanks for the info


D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 18, 2015


 #669

 kupe said:
Raper Easy E alikufa na ukimwi miaka ya 90.....
Ninyi ndio wale mnao pop up kwenye uzi huu,mkijibiwa hamuonekani tena,mnarudi siku
nyingine ambayo mada imeshafika mbali.Mna matatizo sana ninyi.Angalia sasa
unavyojichanganya,eti "Easy E alikufa kwa ukimwi" so what?
Wewe kwanza hujui hata nini maana ya ukimwi,hujui hata unazungumza nini wewe.Watu kama
ninyi ni vigumu sana kubadilika hata kama mtapewa facts,hata kama utajua moyoni mwako
kwamba hii ni fact,huwezi kukubali hadharani.
Najua huwezi kung'amua nina maana gani kutokanana na uelewa wako.

 kupe said:
.....michael johnson akajitangaza ana HIV na mpaka leo anadunda na dozi....
We una uthibitisho kwamba Michael/Magic Johnson ana HIV?Yaani wewe uko mafichoni sana
na huwezi kugundua hilo kwa kuwa huna nia.Hujui hata kama Michael/Magic Johnson ni HIV
propaganda missile inayotumika kusambaza HIV/AIDS myth.Hebu ngoja nikuache hapa na hiyo
IMANI yako,najua hutanielewa,hii elimu ni nzito sana kwako.

 kupe said:
..So badili heading yako andika ARV inasaidia unapopata mlo kamili.....
Ha ha haaa,yaani unapotea hivihivi nakuona.Ningekua na ubongo kama wa kwako,kweli
ningeandika kama unavyosema hapo juu.Lakini mimi niko tofauti kabisa na wewe,hunijui, ndio
maana unanichukulia kirahisi sana,unaweza kupata bahati ya kujua baadaye sana kuhusu uwezo
wangu wa kufikiri,hapo ndipo utakapojiona kwamba wewe hujui kitu.

 kupe said:
Usiongeze chochote .........Babu wa loliondo alianza hivi hivi akapata wagonjwa nchi mzima hadi nchi jirani.......
Huyu sasa anakuja na style ya kuwa kafanya utafiti....
Wewe utakuwa unatumia utumbo mpana kufikiri.Ni kitu gani kinachokuthibitishia kwamba
mimi nataka kufanya biashara hapa,umeona nimetoa namba ya simu au chochote kile kuashiria
kwamba nataka kufanya biashara?Babu wa Loliondo alitumia imani zaidi,haya ninayoeleza mimi
hapa ni sayansi,wewe huoni tofauti?
Sijui ni kwanini unahangaika hivyo,au nimewashika pabaya,au nimegusa maslahi?

 kupe said:
..Mimi namuuliza kafanya utafiti lini, wapi na chuo gani...
Akili ndogo bwana!!
Sasa ukijua nimefanya utafi lini,wapi na chuo gani, hivyo vina msaada gani kwako ili kujua
ukweli,kwani utafiti lazima ufanyike chuoni?Taabu sana ninyi.

 kupe said:
Kama binafsi je ana vifaa...
Vifaa gani?

 kupe said:
..Wapi paper zake ili watu wazipitishe kisayansi . Paper huna unatumia paper za watu harafu unashauri watu waache
kula dawa ....
Wewe unataka paper zangu au unataka paper?Na hizo paper unazosema kwamba ni za watu
je,ulizisoma?Na kama ulizisoma je,unazikubali?Kama unazikubali basi hutakiwa kusema haya
yote,kama huzikubali basi hata paper zangu huwezi kuzikubali kwa maana ili paper yako
ikubalike lazima uoneshe ref kutoka kwenye paper za watu wengine.Umeelewa mdogo wangu
eenh?

 kupe said:
... Harafu kuna swali nilimuuliza akalikwepa kabisa .....ukimwi haupo tanzania wala africa peke yake . Ukimwi upo
China ,India , Thailand , UK, Marekani tena upo mwingi sana washngton state . In short ukimwi upo dunia nzima ....
Nani amekataa kwamba ukimwi haupo dunia nzima?Wewe bado hujui maana ya ukimwi ni nini
dogo.

 kupe said:
..Sasa swali je huko wanatumia dawa za kupunguza makali yaani kama hizi ARV au hawatumii...
Uvundo tena!!
Wewe umeona wapi ukimwi unatibiwa kwa kula dawa za kupunguza makali kama ARVs?,na pia
unaweza kuthibitisha kama ARVs zinapunguza makali ya huo ukimwi unaoujua wewe?Wewe
hujui kitu kabisa,hujui hata unapinga kitu gani.Yaani wewe umekuja kupinga tu bila kujua hata
unapinga nini.Hii ni sayansi bwana,hatutumii hisia hapa.

 kupe said:
..Na kama hawatumii katika utafiti wako ambao sasa nauita FAKE je wanatumia dawa gani..
Maandishi yako peke yake yanadhihirisha jinsi usivyokuwa na nia ya kuelewa.

 kupe said:
..Mimi nimeshawahi kuona kwa macho yangu mchina anakunywa dawa same ARV lakini katoka nayo kwao China .
Na anameza nadhani kila mwezi kidonge kimoja au kila mwaka na nilipomuhoji alisema atameza maisha yake yote .
Bei yake ni kama dola 100 kwa kidonge ......achana na huyo . Kuna viongozi wa ngazi za juu na hata wabunge
wangapi na wafanyabiashara wangapi wana HIV na wapo katika dozi hiyo hiyo ya ARV na wanadunda coz wana
hela na wanafuatilia ratiba ya afya . Hawa watu wanaokufa wenye vipato vidogo ni kutokana na kunywa dawa bila
chakula bora na hiyo inatokana na uchumi duni . Dawa yeyote ili ifanyekazi lazima iende na chakula bora otherwise
itakutesa sana . Maana inaweza kuwa hata sumu...
Doctor Kairuki alikuwa hali vizuri?

 kupe said:
...Acha kutafuta utajiri wa haraka haraka kupitia watu masikini kwa kisingizio cha eti umefanya utafiti. Kama
umefanya utafiti weka paper upewe uprofesa . Achana na utapeli uchwara
Una uthibitisho gani kwamba mimi natafuta utajiri hapa?

Yaani nakuonea huruma sana,unakosa vitu vingi sana bila kujijua,na utaendelea kukosa mambo
mengi zaidi ya haya ambayo yangekuwa msaada kwako na kwa familia yako.Jaribu kubadilika
na kupenda kuhoji.Hata kama huamini kile ninachosema,basi unaweza tu kusikiliza na kufuatilia
halafu kama huoni ukweli basi unaacha,lakini unaacha hata bila ya kufuatilia kwa undani haya
ninayosema.Ngozi nyeusi tuna attitude chafu sana.

 Reactions:ranyia and warumi

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 18, 2015


 #670

 Kyara Atufigwe said:


Soma soma soma ili uongeze maarifa, upanue uwezo wako wa kutafakari mambo. Kuna mambo mengine hata
madaktari wanashindwa kuyatolea ufafanuzi. Soma tafiti mbalimbali ya kitabibu ili kujua kweli mbalimbali. Acha
uvivu, Soma!
The Dr. Rath Health Foundation | Responsibility for a healthy world

Safi sana mkuu;


Almost 100% na kile nilichokisema.Ila huyu Dr. amewalegezea kidogo,sijui anawaogopa
wamiliki wa viwanda vya madawa!!
Anyway,lakini cha msingi hapa,ujumbe niliotaka kuufikisha kwa watu umefika kutokea upande
mwingine.Yaani hapa,watu wapinge kila kitu kilichoandikwa humu lakini wasithubutu kwenda
kupima HIV na kuanza kutumia ARVs.Tusilaumiane hapa kwamba eti hujawahi kuambiwa.

1.Nasema usiende kupima kwa sababu,ukiambiwa ni HIV+ utakuwa na stress za kijinga


sana,utaishi maisha ya hofu kuogopa kitu ambacho ni hewa.Retrovirus yupo,ila retrovirus kama
HIV ni hewa/hayupo.Sasa utakuwa na hofu isiyo na msingi wowote,ni kama vile unaogopa
kivuli chako.

2.Nasema usitumie ARVs kwa sababu nilizokwisha eleza mimi na zimejirudia tena kwenye post
za mwenzetu hapo juu.Ukiona unaumwa mara kwa mara,lazima utakuwa na tatizo fulani specific
linalokusumbua na lazima litakuwa na tiba.Tibu hilo tatizo na uendelee kula raha.Vinginevyo
nilitoa ushauri wa watu kubadili staili zao za maisha na waishi maisha bora yenye kufuata
taratibu nzuri kama vile vyakula bora,mazoezi, nk.

Ukifanya mambo hayo mawili HIV/AIDS kwako wewe itakuwa historia ambayo utakuwa
unawasimulia wajukuu zako jinsi ulivyodanganywa enzi hizo(yaani sasa).Huu ni ushauri wa
bureee kabisa tofauti na watu wengine mbumbumbu wanavyodhani eti mimi nataka kufanya
biashara.

 Reactions:renyo, Habari ya Mujini, arafa255 and 1 other person


Kyara Atufigwe
Senior Member
Joined Mar 29, 2015
 103   195
May 18, 2015


 #671

Anayetaka research papers ingia kwenye link niliyoipost mtapata links za paper nyingi sana.
Kwa uelewa wangu, bado kuna utata mkubwa kuhusu huu ugonjwa. Madaktari wengi wa Afrika
bado hawana uelewa mpana juu ya Ugonjwa huu, na hata wakienda kujifunza wanafuata banking
system of education..... internalize vile wanavyolishwa.

 Reactions:warumi and Habari ya Mujini

Kyara Atufigwe
Senior Member
Joined Mar 29, 2015
 103   195
May 18, 2015


 #672

Afrika bado tunarudi nyuma sana kwenye tabibu. We r not independent rathr than
kutengenezewa mazingira ya "kusubiri"....wazungu kesho watakuja na chanjo ipi.....tiba ipi!
Angalia issue ya tiba ya Malaria, angalia pia issue ya vidonge vya uzazi wa mpango na side
effects zake. Mnaanza kwa kuwasisitiza sana watumie at last madhara yanakuwa makubwa.
Mliwaambia watu punyeto hazina madhara kipindi hicho lkn sasa kila anayejiita Dr aulizwapo
moja ya sababu kubwa ya tatizo la kupungua nguvu za kiume atakwambia punyeto!

Ushauri wangu:
Tujikite kwenye kusoma. Kuwa open-minded..... soma. Utagundua mambo mengi sana!
Ukiambiwa kitu na hasa kikiwa tofauti na jinsi ukifahamuvyo usibishe kwanza, tafuta muda
tulivu then fanya simple research. Ukiona utata uliza. Hata kama hitobadili unavyoamini bt
utakuwa ume learn kitu.

 Reactions:Tira, warumi and Mjuni Lwambo

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 18, 2015


 #673

 Kyara Atufigwe said:


Afrika bado tunarudi nyuma sana kwenye tabibu. We r not independent rathr than kutengenezewa mazingira ya
"kusubiri"....wazungu kesho watakuja na chanjo ipi.....tiba ipi! Angalia issue ya tiba ya Malaria, angalia pia issue ya
vidonge vya uzazi wa mpango na side effects zake. Mnaanza kwa kuwasisitiza sana watumie at last madhara
yanakuwa makubwa. Mliwaambia watu punyeto hazina madhara kipindi hicho lkn sasa kila anayejiita Dr aulizwapo
moja ya sababu kubwa ya tatizo la kupungua nguvu za kiume atakwambia punyeto!

Ushauri wangu:
Tujikite kwenye kusoma. Kuwa open-minded..... soma. Utagundua mambo mengi sana! Ukiambiwa kitu na hasa
kikiwa tofauti na jinsi ukifahamuvyo usibishe kwanza, tafuta muda tulivu then fanya simple research. Ukiona utata
uliza. Hata kama hitobadili unavyoamini bt utakuwa ume learn kitu.
Click to expand...

Dah aiseeh ahsante kwa uwepo wako, nadhani watu watakuwa wamejifunza kitu humu

 Reactions:Habari ya Mujini

Habari Ya Mujini
JF-Expert Member
Joined Dec 22, 2013
 2,447   2,000
May 18, 2015


 #674

 warumi said:
Dah aiseeh ahsante kwa uwepo wako, nadhani watu watakuwa wamejifunza kitu humu

Wabongo tusivyopenda kujifunza subiri waje hapa kukejeli..


 Reactions:RGforever and warumi

Habari Ya Mujini
JF-Expert Member
Joined Dec 22, 2013
 2,447   2,000
May 18, 2015


 #675

 Kyara Atufigwe said:


Afrika bado tunarudi nyuma sana kwenye tabibu. We r not independent rathr than kutengenezewa mazingira ya
"kusubiri"....wazungu kesho watakuja na chanjo ipi.....tiba ipi! Angalia issue ya tiba ya Malaria, angalia pia issue ya
vidonge vya uzazi wa mpango na side effects zake. Mnaanza kwa kuwasisitiza sana watumie at last madhara
yanakuwa makubwa. Mliwaambia watu punyeto hazina madhara kipindi hicho lkn sasa kila anayejiita Dr aulizwapo
moja ya sababu kubwa ya tatizo la kupungua nguvu za kiume atakwambia punyeto!

Ushauri wangu:
Tujikite kwenye kusoma. Kuwa open-minded..... soma. Utagundua mambo mengi sana! Ukiambiwa kitu na hasa
kikiwa tofauti na jinsi ukifahamuvyo usibishe kwanza, tafuta muda tulivu then fanya simple research. Ukiona utata
uliza. Hata kama hitobadili unavyoamini bt utakuwa ume learn kitu.
Click to expand...

Mkuu umewasilisha vema...Asante


 Reactions:warumi

F
Fortune Lucas
Member
Joined Jul 28, 2011
 10   0
May 18, 2015


 #676
Nakala za tafiti zipo nyingi sana Deception ameweka pitia post za mwazoni utaziona mkuuu

 Reactions:warumi

Kupe
JF-Expert Member
Joined Jul 26, 2012
 1,026   1,225
May 18, 2015


 #677

Umejibu at least kuliko huyu mtafiti fake.....anasema yeye hafanyi biashara na hatafuti pesa .
Wakati huo huo anaita watu PM kwanini asiongee nao hapa hafharani. Hata babu wa loliondo
alisema yeye anatibu bure ila utalipa kidogo tu sh 500. Sasa 500 ukipata watu milioni
1...........huyu mtafiti fake aliponishangaza na kuniudhi kuwaambia watu wafanye sex . Eti
ukimwi hausababishwi na sex. Kwahiyo ukimwi uliopo china. Thailand . India .
Marekani .........umesababishwa na nini.? Maana hata huko pia watu wanakufa kwa ukimwi
ingawa si kwa wingi kama kwetu

Habari Ya Mujini
JF-Expert Member
Joined Dec 22, 2013
 2,447   2,000
May 18, 2015


 #678

Mi na amini tupo hapa tulipo na afya tuliyo nayo siyo kwasababu ya madawa bali kwa sababu ya
vyakula tunavyokula...hivyo ni ukweli usiopingika kuwa lishe bora ndiyo kinga ya maradhi na
siyo dawa...!

 Reactions:Showme
Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
Joined Apr 25, 2012
 6,388   2,000
May 18, 2015


 #679

Deception, mimi naomba kuuliza kitu kimoja kwanza.

Mtu ambaye hajawahi kutumia ARVs, anapoenda kupima VVU na akaambiwa anavyo,
kinachokuwa kimeonekana ni nini?
Namaanisha, ni nini hicho kinachoreact kwenye kipimo hadi wakuambie kuwa umeathirika?
Nimesoma, Deception amesema kuwa kuna protein fulani ambazo huwa zinatengeneza ant
bodies ambazo ndizo hureact kwenye vipimo,
Amesema hili suala amelifanyia utafiti, ningeomba kujua hizi ni protein za aina gani au
zinaitwaje na zinasababishwa na nini kwenye mwili wa binadamu?

Amesema pia protein hizi zinaweza kupatikana kwa urahisi zaidi kwa wanawake wajawazito, na
ndio sababu imeamriwa wapimwe HIV ( kwa mujibu wa Deception), kama ni kweli, mbona
hakuna rekodi zinazoonyesha kuwa wanawake wajawazito wanaongoza kwa kuwa HIV+?(kama
zipo ziwekwe)

Ametolea mfano sana TB kuwa ina dalili sana na VVU/UKIMWI, ni kweli, TB kwa sasa
inatibika, tena bure, je ni kwa nini kuna watu wengi tu ambao hawakutumia ARVs na
wamefariki wakiwa na hizo dalili za VVU/UKIMWI( kama ni TB wangepona maana inatibika).
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

 Reactions:Habari ya Mujini and warumi

Namanyele
JF-Expert Member
Joined Oct 19, 2012
 1,858   1,250
May 18, 2015

 #684

Hili linawezekana kabisa japo sina uhakika kwa kila mtu au la, niliskia kwa wanaume walio na
magovi ni rahisi zaidi kupata ukimwi, mimi mwenyewe ni shahidi na siyo kwamba najisifu ila ni
katika kuwekana sawa kutokana na hii mada, nimetahiriwa vizuri sana na nimeshawahi
kutembea na wanawake 3 kwa wakati tofauti ambao nina uhakika walikuwa na VVU japo wakati
natembea nao sikuwa najua kama wameambukizwa na sikuwahi kutumia condom, wote
wameshakufa na ilithibitika kabisa walikuwa na VVU. Nashukuru sana nilipima na niko fresh
kabisa na nimeoa nina watoto 4 wote tukiwa tuna afya njema kabisa. Mpaka leo hii mwenyewe
siamini ilikuwaje sikupata maambukizi ya VVU

 Reactions:Diplomatic Imunnity, warumi and Habari ya Mujini

Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
Joined Apr 25, 2012
 6,388   2,000
May 18, 2015


 #685

 Gumilapua said:
we jamaa unaejiia Deception, ni mtu usiefaa kabisa katika jamii, kwa sababu unaleta mizaha katika mambo ya
msingi na ni mpotoshaji mkubwa usiefaa kuishi. Thanks lord JF ni jukwaa la watu wachache otherwise ungepotosha
wengi na kuangamiza maisha ya watu. Sijui hasa nia yako ni nini? Kwa jinsi unavyoandika makala zako inaonyesha
unaufahamu kidogo, ila napata shida kujua intention yako kwa huu uongo unaoutunga! Kumbuka suala la HIV ni la
kisayansi na hupaswi kuliumba kisiasa. People like you deserve to be put on a firing squad since your presence is
dangerous for our society.

Mkuu punguza jaziba kidogo, umeenda mbali sana, freedom of speechni haki ya mtu kikatiba,
haipaswi kuwa "uhaini" kama wewe ulikofika.

Huyu jamaa mimi sijakubaliana nae, ila naendelea kusoma na kufikiri, niko page ya 6 tu ya uzi
huu wenye kurasa thelasini na kitu, sijui kilichojadiliwa huko mbele ila ningeomba kama kuna
madaktari wenye hoja kuwa VVU/UKIMWI ni kweli, waje wampinge huyu jamaa asiendelee
kupotosha watu.

 Reactions:Habari ya Mujini, Gumilapua and warumi
Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 18, 2015


 #686

 kupe said:
Umejibu at least kuliko huyu mtafiti fake.....anasema yeye hafanyi biashara na hatafuti pesa . Wakati huo huo anaita
watu PM kwanini asiongee nao hapa hafharani. Hata babu wa loliondo alisema yeye anatibu bure ila utalipa kidogo
tu sh 500. Sasa 500 ukipata watu milioni 1...........huyu mtafiti fake aliponishangaza na kuniudhi kuwaambia watu
wafanye sex . Eti ukimwi hausababishwi na sex. Kwahiyo ukimwi uliopo china. Thailand . India . Marekani
.........umesababishwa na nini.? Maana hata huko pia watu wanakufa kwa ukimwi ingawa si kwa wingi kama kwetu

Wewe una chuki zako binafsi tu, maana sijaona point yako ya msingi zaidi ya kumtaja babu wa
loliondo, mara sijui Thailand, mara tapeli, ni wapi kasema watu wafanye sex? Aliyekwambia
ukimwi unaambukizwa kwa sex peke yake nani? Tatizo hujielewi unakurupuka tu badala ya
kuuliza kwa ustaarabu, unavyoandika tu inaonyesha tu umekuja kishari na sio kujifunza au
kuuliza maswali

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 18, 2015


 #687

 amaizing said:
Ndugu acha kuongea kitu usichokijua me nimemfata deception pm nimeuliza maswali nimejibiwa na kupewa ushaur
hata sh 10 hajaniomba.
Uwe na uhakika na unachoongea

Huyo mpuuzi achana nae, anavyoandika tu inatosha kumjua ni mtu wa aina gani, achana nae,
wengi ambao hawapendi kujifunza ni wale waliokimbia shule, kwa hyo ata ukibishana nao ni
kazi bure, kuna watu wanakuja kupinga hoja kistaarabu bila kuumiza hisia za wengine, ili mbuz
linakuja kama linatafuta mahali pa kujifungulia aende uko porini

 Reactions:amaizing

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 18, 2015


 #688

 Mjuni Lwambo said:


Ok mkuu, nashukuru kwa ushauri wa kupenda utamaduni wa kusoma, nitajitahidi.

Nimesoma, Deception amesema kuwa kuna protein fulani ambazo huwa zinatengeneza ant bodies ambazo ndizo
hureact kwenye vipimo,
Amesema hili suala amelifanyia utafiti, ningeomba kujua hizi ni protein za aina gani au zinaitwaje na
zinasababishwa na nini kwenye mwili wa binadamu?

Amesema pia protein hizi zinaweza kupatikana kwa urahisi zaidi kwa wanawake wajawazito, na ndio sababu
imeamriwa wapimwe HIV ( kwa mujibu wa Deception), kama ni kweli, mbona hakuna rekodi zinazoonyesha kuwa
wanawake wajawazito wanaongoza kwa kuwa HIV+?(kama zipo ziwekwe)

Ametolea mfano sana TB kuwa ina dalili sana na VVU/UKIMWI, ni kweli, TB kwa sasa inatibika, tena bure, je ni
kwa nini kuna watu wengi tu ambao hawakutumia ARVs na wamefariki wakiwa na hizo dalili za
VVU/UKIMWI( kama ni TB wangepona maana inatibika).
Click to expand...

Kidogo umejitahid kuuliza maswali yenye mashiko, ila ningekushauri utulie rafiki usome vizur,
kuna baadhi ya maswali yashajibiwa.

Watu wengi wakina nani? Wakina nani waliokufa kwa ukimwi bila kutumia ARV? ,una uhakika
gani kuwa ukimwi ndio uliowaua? Una uhakika gani walikuwa hawatumii ARV? nimependa
maswali yako rafiki, ila ningependa kujua kuhusu maswali yangu apo juu kuhusu hao waliokufa
kwa ukimwi bila kutumia ARV
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 18, 2015


 #689

 namanyele said:
Hili linawezekana kabisa japo sina uhakika kwa kila mtu au la, niliskia kwa wanaume walio na magovi ni rahisi
zaidi kupata ukimwi, mimi mwenyewe ni shahidi na siyo kwamba najisifu ila ni katika kuwekana sawa kutokana na
hii mada, nimetahiriwa vizuri sana na nimeshawahi kutembea na wanawake 3 kwa wakati tofauti ambao nina
uhakika walikuwa na VVU japo wakati natembea nao sikuwa najua kama wameambukizwa na sikuwahi kutumia
condom, wote wameshakufa na ilithibitika kabisa walikuwa na VVU. Nashukuru sana nilipima na niko fresh kabisa
na nimeoa nina watoto 4 wote tukiwa tuna afya njema kabisa. Mpaka leo hii mwenyewe siamini ilikuwaje sikupata
maambukizi ya VVU

Ni kweli kabisa rafiki, wanaume wasiotahiriwa wako katika risk ya maambukizi ukitofautisha na
wale waliotahiriwa, ni kweli mkuu...

 Reactions:Habari ya Mujini and namanyele

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 18, 2015


 #690

 Mjuni Lwambo said:


Deception, mimi naomba kuuliza kitu kimoja kwanza.

Mtu ambaye hajawahi kutumia ARVs, anapoenda kupima VVU na akaambiwa anavyo, kinachokuwa kimeonekana
ni nini?
Namaanisha, ni nini hicho kinachoreact kwenye kipimo hadi wakuambie kuwa umeathirika?

Ni antibodies/kinga dhidi ya protini ambazo zinaaminika zimetoka kwa HIV lakini sio specific
kwa HIV pekee.Kuna mechanisms/conditions nyingi mwilini ambazo zinaweza ku trigger
vipimo hivi kutoa majibu ya HIV+, mfano mmojawapo ni MIMBA.
Na ndio maana mara nyingi sana watu hupimwa HIV+ halafu wakipimwa tena huwa HIV- au
kinyume chake.Unaweza kupima hata mara 100 ukapata majibu ambayo ni random,huwezi
kupata jibu moja tu,ukitaka kuthibitisha hili we fanya utafiti wako binafsi,utajua tu.Kwa wale
ambao wanatumia ARVs kwa muda mrefu wana uwezekano wa kupima HIV+ mara nyingi zaidi
kuliko HIV- au wasipate kabisa majibu ya HIV-.Hivyo vipimo ni tricks tu za kutafutia wateja wa
kula vidonge vya ARVs ambazo hazitibu chochote na hazina faida yoyote.
Yaani kinachofanywa na ARVs si kingine zaidi ya kuleta matatizo ambayo ndio yaleyale
ambayo anasingiziwa HIV kwamba ndiye kasababisha.
D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 18, 2015


 #691

 kupe said:
Umejibu at least kuliko huyu mtafiti fake....

Kwanza kabisa umemsifia jamaa kwa kujibu vizuri tofauti na mimi niliyeleta siasa.Hebu
tuangalie hapo chini,Je,umeelewa alichokijibu jamaa?

 kupe said:
...huyu mtafiti fake aliponishangaza na kuniudhi kuwaambia watu wafanye sex . Eti ukimwi hausababishwi na
sex. Kwahiyo ukimwi uliopo china. Thailand . India . Marekani .........umesababishwa na nini.? Maana hata huko pia
watu wanakufa kwa ukimwi ingawa si kwa wingi kama kwetu
Mimi nimesema ukimwi hausababishwi na sex,ndio nakubali nilisema hivyo.Haya sasa,zamu
yako kuniambia ili kuonesha kama kweli wewe ni mfuatiliaji mzuri unapopewa facts kama
jamaa alivyojitahidi kuchambua.

Onesha ni wapi kwenye maelezo ya jamaa ambapo yanaonesha kukubaliana na kwamba ukimwi
unasababishwa kwa kufanya sex?

 Reactions:Ganda Mweri and warumi

Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
Joined Apr 25, 2012
 6,388   2,000
May 18, 2015


 #692
Ok, mkuu.Kumbe kirusi kinachoitwa HIV kipo! Ila tu hakisababishi AIDS. sawa. Je,
kinasababishwa na nini, na je kinaambukizwa toka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine Kwa
njia gani?
 Deception said:
Ni antibodies/kinga dhidi ya protini ambazo zinaaminika zimetoka kwa HIV lakini sio specific kwa HIV
pekee.Kuna mechanisms/conditions nyingi mwilini ambazo zinaweza ku trigger vipimo hivi kutoa majibu ya HIV+,
mfano mmojawapo ni MIMBA.Na ndio maana mara nyingi sana watu hupimwa HIV+ halafu wakipimwa tena huwa
HIV- au kinyume chake.Unaweza kupima hata mara 100 ukapata majibu ambayo ni random,huwezi kupata jibu
moja tu,ukitaka kuthibitisha hili we fanya utafiti wako binafsi,utajua tu.Kwa wale ambao wanatumia ARVs kwa
muda mrefu wana uwezekano wa kupima HIV+ mara nyingi zaidi kuliko HIV- au wasipate kabisa majibu ya
HIV-.Hivyo vipimo ni tricks tu za kutafutia wateja wa kula vidonge vya ARVs ambazo hazitibu chochote na hazina
faida yoyote.Yaani kinachofanywa na ARVs si kingine zaidi ya kuleta matatizo ambayo ndio yaleyale ambayo
anasingiziwa HIV kwamba ndiye kasababisha.
D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 18, 2015


 #693

 Mjuni Lwambo said:


Ok mkuu, nashukuru kwa ushauri wa kupenda utamaduni wa kusoma, nitajitahidi.

Nimesoma, Deception amesema kuwa kuna protein fulani ambazo huwa zinatengeneza ant bodies ambazo ndizo
hureact kwenye vipimo,
Amesema hili suala amelifanyia utafiti, ningeomba kujua hizi ni protein za aina gani au zinaitwaje na
zinasababishwa na nini kwenye mwili wa binadamu?..

Soma.Mimi nimetumia nguvu nyingi kuandika kuliko ile utakayoitumia wewe


kusoma.Soma,ukiona hujapata jibu la swali lako ndio urudi kuuliza.

 Mjuni Lwambo said:


...Amesema pia protein hizi zinaweza kupatikana kwa urahisi zaidi kwa wanawake wajawazito, na ndio sababu
imeamriwa wapimwe HIV ( kwa mujibu wa Deception)..
Usisome kwa bias,tulia,soma taratibu,unakimbilia wapi?Unaona sasa?Hujaelewa maana ya kile
nilichoandika.Una haraka gani?

 Mjuni Lwambo said:


..kama ni kweli, mbona hakuna rekodi zinazoonyesha kuwa wanawake wajawazito wanaongoza kwa kuwa HIV+?
(kama zipo ziwekwe)...
Bias hiyooo inaanza kuonekana taratibu.Hujaelewa tena ulichokisoma.Nadhani wewe unasoma
na wakati huohuo unaandaa swali la kunikwamisha.Acha bias halafu soma kwa makini.Maeneo
kama haya nisipojibu swali ndio watu husema kwamba mimi naleta siasa.
 Mjuni Lwambo said:
...Ametolea mfano sana TB kuwa ina dalili sana na VVU/UKIMWI, ni kweli, TB kwa sasa inatibika, tena bure, je
ni kwa nini kuna watu wengi tu ambao hawakutumia ARVs na wamefariki wakiwa na hizo dalili za
VVU/UKIMWI( kama ni TB wangepona maana inatibika).
There you are!!!
Nimeshahitimisha kwamba una bias.Wewe unajua watu waliokufa ambao wana dalili za
VVU/Ukimwi na hawakutumia ARVs na unasema kama ni TB wangepona maana inatibika.
Je,ni kweli hujui kwamba pamoja na TB kutibika lakini imeua watu wengi sana?Au labda
uniambie kila anayekufa kwa TB lazima alikuwa na huyo VVU(ambaye kwangu mimi ni feki).

 Mjuni Lwambo said:


....Huyu jamaa mimi sijakubaliana nae, ila naendelea kusoma na kufikiri, niko page ya 6 tu ya uzi huu wenye kurasa
thelasini na kitu, sijui kilichojadiliwa huko mbele ila ningeomba kama kuna madaktari wenye hoja kuwa
VVU/UKIMWI ni kweli, waje wampinge huyu jamaa asiendelee kupotosha watu.
Mimi huwa najua mtu aliyejiandaa kuelewa na yule aliyejiandaa kupinga tangu mwanzo
anapoanza kuchangia.

Kwanza unasema hujui kilichoandikwa huko mbele,halafu unawaambia madaktari waje kupinga
ili nisiendelee kupotosha wakati hata hujamaliza kukisoma hicho kilichojadiliwa huko mbele.

Kwa hiyo mimi napotosha,au vipi bro?Hao madaktari ndio wako sahihi,au vipi bro?Labda
umekosea ku present ngoja tuangalie.

Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
Joined Apr 25, 2012
 6,388   2,000
May 18, 2015


 #694

Deception, I am sad you are misunderstanding my themes, first of all I am grateful for what you
are trying to present, regardless of whether it is correct or erronous, hii itasaidia watu kuanza
kufikiri.

Niliposema madaktari waje wakupinge, nilimaanisha wale wanaoamini katika ukweli wa


HIV/AIDS, watoe hoja za kutetea, ili kama unapotosha ijulikane, so far sina evidence kama
unapotosha ama la, kwa hiyo umenielewa vibaya, tuachane na hilo, kama hutojali naomba
ufafanuzi wa post #692 hapo juu.
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

 Reactions:Raynavero and Habari ya Mujini

Eiyer
JF-Expert Member
Joined Apr 17, 2011
 28,266   2,000
May 18, 2015


 #695

 Mjuni Lwambo said:


Deception, I am sad you are misunderstanding my themes, first of all I am grateful for what you are trying to
present, regardless of whether it is correct or erronous, hii itasaidia watu kuanza kufikiri.

Niliposema madaktari waje wakupinge, nilimaanisha wale wanaoamini katika ukweli wa HIV/AIDS, watoe hoja za
kutetea, ili kama unapotosha ijulikane, so far sina evidence kama unapotosha ama la, kwa hiyo umenielewa vibaya,
tuachane na hilo, kama hutojali naomba ufafanuzi wa post #692 hapo juu.

Mkuu hao madaktari wameshatoka nduki hapa kitambo,we endelea tu kusoma uzi huu

Huyu jamaa ana hoja nzito sana na yuko makini na sijaona mtu wa kupinga hoja zaidi ya bka bka
tu

Mkuu hebu tuendelee kupata elimu kwa huyu ndugu....


Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

 Reactions:Raynavero, Habari ya Mujini, Mjuni Lwambo and 1 other person

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 18, 2015


 #696

 Mjuni Lwambo said:


Ok, mkuu.Kumbe kirusi kinachoitwa HIV kipo! Ila tu hakisababishi AIDS...

Ndio kipo,kirusi kinachoitwa HIV kipo,ila hakuna kirusi chenye sifa ya kuitwa HIV.Ila historia


ya ugunduzi wake ni very tricky na ina mikanganyiko mingi sana,sitaki kwenda huko sasa kwa
kuwa wewe bado ni mchanga kwenye mambo haya,ukikomaa sawasawa labda.
Ndio,hakisababishi AIDS.

 Mjuni Lwambo said:


..Je, kinasababishwa na nini, na je kinaambukizwa toka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine Kwa njia gani?
Retrovirus aliyepachikwa jina feki la HIV alikuwapo tangu enzi na enzi na aliishi na anaendelea
kuishi kwenye host wengi akiwemo binadamu na hajawahi kusababisha ukimwi enzi zote
hizo.Kutokana na probability ya kumpata huyu virus kwenye damu ni vigumu sana
kuambukizwa kwa njia nyingine kama vile sex(inakaribia kutowezekana),njia ambayo ni typical
ni ile ya kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto nayo pia ni ndogo sana.CDC report inasema
mtoto ana uwezekano wa kupata huyu kirusi kutoka kwa mama kwa 25% tu,ambayo bado sio
significant.Na hata ukiwa na huyu kirusi si jambo la ajabu au kutisha kwa kuwa hana uwezo wa
kusababisha AIDS,na pia awali ya yote hudhibitiwa na kinga ya mwili.
Sisi tumekuwa brainwashed kuaminishwa kwamba huyu kirusi ndiye anayesababisha AIDS,kitu
ambacho si kweli na kuna scientific proofs nying sana kuthibitisha hilo.Sisi kwenye miili yetu
kuna bifidus bacteria ambao husaidia digestion,lakini siku Obama akisema kwenye TV fulani
kwamba bifidus bacteria ndiye anayesababisha cancer ya utumbo wote tutaamini bila kuhoji kwa
kuwa Obama kasema,siku nikitokea mimi kajamba nani nikipinga kwa vielelezo watu watasema
napotosha.Hivi ndivyo ilivyokuwa kwa huyu HIV feki.Yupo maisha yote,lakini tumeanza
kumwogopa mwaka 1984 alipotangazwa kwamba ndiye "probable cause of AIDS",aliyekuwa
probable cause na watu wakaamini kwamba ni probable cause sasa hivi amekuwa real cause of
AIDS.Kwa kweli inahitaji jitihada na upeo wa hali ya juu sana wa kuelewa ukweli wa jambo hili.

 Reactions:Raynavero and Habari ya Mujini

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 18, 2015


 #697

 Eiyer said:
Mkuu hao madaktari wameshatoka nduki hapa kitambo,we endelea tu kusoma uzi huu

Huyu jamaa ana hoja nzito sana na yuko makini na sijaona mtu wa kupinga hoja zaidi ya bka bka tu

Mkuu hebu tuendelee kupata elimu kwa huyu ndugu....

Mkuu ulipotelea wapi?Naona kimya sana.


 Reactions:warumi
Eiyer
JF-Expert Member
Joined Apr 17, 2011
 28,266   2,000
May 18, 2015


 #698

 Mjuni Lwambo said:


Ok, mkuu.Kumbe kirusi kinachoitwa HIV kipo! Ila tu hakisababishi AIDS. sawa. Je, kinasababishwa na nini, na je
kinaambukizwa toka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine Kwa njia gani?

Kwa mujibu wa Deception huyu kirusi yupo tangu zamani sana na nimeshasoma mahojiano
kibao sana ya madaktari wakithibitisha hili

Huyu kirusi haambukizwi kutoka binadamu mmoja kwenda mwingine bali kwa njia nyingine tu
ndio anaambukizwa

Huyu kirusi hana madhara kwa binadamu jwa sababu kwanza mwili una uwezo wa
kumuangamiza huyu kirusi bila kunywa kidonge chochote kile

Kama una maradhi ya.mara kwa mara kula lishe bora na pia pima maradhi kama
malaria,pumu,TB n.k na kama utakutwa na maradhi haya yatibu yenyewe na afya yako itarejea
bila kujali kama mwili wako una retrovirus (HIV?) Wa aina yoyote ile na utaishi hadi uzee

Kwa kifupi ni hayo kwa mujibu wa mkuu Deception

Mambo.mengine kwakweli naweza kusema tumelishwa uongo na hawa watu tunaowaamini


kama watu wa magharibi

Kinachotikea huku mitaani ni tofauti ba wanachotuambia

Mpaka sasa nakubaliana na mkuu Deception...


 Reactions:Beka Mpole, Raynavero, Showme and 4 others


Eiyer
JF-Expert Member
Joined Apr 17, 2011
 28,266   2,000
May 18, 2015


 #699

 Deception said:
Mkuu ulipotelea wapi?Naona kimya sana.

Mkuu nipo tu ....

Haya mashughuli yetu yanatupoteza sana mkuu.......


D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 18, 2015


 #700

 Mjuni Lwambo said:


Deception, I am sad you are misunderstanding my themes, first of all I am grateful for what you are trying to
present, regardless of whether it is correct or erronous, hii itasaidia watu kuanza kufikiri.

Niliposema madaktari waje wakupinge, nilimaanisha wale wanaoamini katika ukweli wa HIV/AIDS, watoe hoja za
kutetea, ili kama unapotosha ijulikane, so far sina evidence kama unapotosha ama la, kwa hiyo umenielewa vibaya,
tuachane na hilo, kama hutojali naomba ufafanuzi wa post #692 hapo juu.

Unajua mkuu sikuoni,hivyo naangalia ulicho present tu.Mtu anaweza kuhitimisha tofauti na vile
ulivyo kutokana na presentation ya maandishi,ulikosea kwenye maandishi nikakuelewa
tofauti,hiyo inawezekana,ni ubinadamu tu.Usijali,nimekuelewa.
Mkuu nashukuru kwa majibu mazuri, naomba kuuliza swali dogo la nyongeza;

Nahisi kuna sehemu nimechanganya, post zako kule nyuma nimeelewa kuwa kinachoreact
kwenye kipimo ni aina flani ya protein tu ambazo mtu yeyote anaweza akawa nazo, hii virus
yenyewe inaonekanaje mwilini ikiwa kinachoreact ni kuwepo kwa aina flani ya protein na wala
sio HIV?
 Deception said:
Ndio kipo,kirusi kinachoitwa HIV kipo,ila hakuna kirusi chenye sifa ya kuitwa HIV.Ila historia ya ugunduzi wake ni
very tricky na ina mikanganyiko mingi sana,sitaki kwenda huko sasa kwa kuwa wewe bado ni mchanga kwenye
mambo haya,ukikomaa sawasawa labda.
Ndio,hakisababishi AIDS.
Retrovirus aliyepachikwa jina feki la HIV alikuwapo tangu enzi na enzi na aliishi na anaendelea kuishi kwenye host
wengi akiwemo binadamu na hajawahi kusababisha ukimwi enzi zote hizo.Kutokana na probability ya kumpata
huyu virus kwenye damu ni vigumu sana kuambukizwa kwa njia nyingine kama vile sex(inakaribia
kutowezekana),njia ambayo ni typical ni ile ya kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto nayo pia ni ndogo sana.CDC
report inasema mtoto ana uwezekano wa kupata huyu kirusi kutoka kwa mama kwa 25% tu,ambayo bado sio
significant.Na hata ukiwa na huyu kirusi si jambo la ajabu au kutisha kwa kuwa hana uwezo wa kusababisha
AIDS,na pia awali ya yote hudhibitiwa na kinga ya mwili.
Sisi tumekuwa brainwashed kuaminishwa kwamba huyu kirusi ndiye anayesababisha AIDS,kitu ambacho si kweli
na kuna scientific proofs nying sana kuthibitisha hilo.Sisi kwenye miili yetu kuna bifidus bacteria ambao husaidia
digestion,lakini siku Obama akisema kwenye TV fulani kwamba bifidus bacteria ndiye anayesababisha cancer ya
utumbo wote tutaamini bila kuhoji kwa kuwa Obama kasema,siku nikitokea mimi kajamba nani nikipinga kwa
vielelezo watu watasema napotosha.Hivi ndivyo ilivyokuwa kwa huyu HIV feki.Yupo maisha yote,lakini tumeanza
kumwogopa mwaka 1984 alipotangazwa kwamba ndiye "probable cause of AIDS",aliyekuwa probable cause na
watu wakaamini kwamba ni probable cause sasa hivi amekuwa real cause of AIDS.Kwa kweli inahitaji jitihada na
upeo wa hali ya juu sana wa kuelewa ukweli wa jambo hili.
Click to expand...
D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 18, 2015


 #702

 Eiyer said:
Kwa mujibu wa Deception huyu kirusi yupo tangu zamani sana na nimeshasoma mahojiano kibao sana ya madaktari
wakithibitisha hili

Huyu kirusi haambukizwi kutoka binadamu mmoja kwenda mwingine bali kwa njia nyingine tu ndio anaambukizwa

Huyu kirusi hana madhara kwa binadamu jwa sababu kwanza mwili una uwezo wa kumuangamiza huyu kirusi bila
kunywa kidonge chochote kile

Kama una maradhi ya.mara kwa mara kula lishe bora na pia pima maradhi kama malaria,pumu,TB n.k na kama
utakutwa na maradhi haya yatibu yenyewe na afya yako itarejea bila kujali kama mwili wako una retrovirus (HIV?)
Wa aina yoyote ile na utaishi hadi uzee

Kwa kifupi ni hayo kwa mujibu wa mkuu Deception

Mambo.mengine kwakweli naweza kusema tumelishwa uongo na hawa watu tunaowaamini kama watu wa
magharibi

Kinachotikea huku mitaani ni tofauti ba wanachotuambia

Mpaka sasa nakubaliana na mkuu Deception...


Click to expand...

Yaani very short and tight summary,kama watu wakiangaziwa kidogo tu ubongo wao na
kuyafuata haya basi sina haja ya kujaza page nyingi hivi na bado watu hawaelewi sawasawa.

 Reactions:Raynavero, napoteza and Eiyer

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 18, 2015


 #703

 Eiyer said:
Mkuu nipo tu ....

Haya mashughuli yetu yanatupoteza sana mkuu.......

Usijali mkuu.Mimi mwenyewe kama vile nipo likizo, ndio maana na pop mara kwa mara,ila
soon nitaanza kupoteapotea.

 Reactions:Eiyer

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 18, 2015


 #704

 Mjuni Lwambo said:


Mkuu nashukuru kwa majibu mazuri, naomba kuuliza swali dogo la nyongeza;

Nahisi kuna sehemu nimechanganya, post zako kule nyuma nimeelewa kuwa kinachoreact kwenye kipimo ni aina
flani ya protein tu ambazo mtu yeyote anaweza akawa nazo, hii virus yenyewe inaonekanaje mwilini ikiwa
kinachoreact ni kuwepo kwa aina flani ya protein na wala sio HIV?

Huu utata ndio mojawapo ya maeneo tuliyodanganywa na ndio maana mimi niko humu kujadili
na wengine ili waujue ukweli.
Ukiendelea kusoma taratibu utaelewa tu,kuna mahali nimeelezea hayo mambo.Najua hata wewe
ingekuingia akilini kama wangepima muonekano wa HIV(feki) mwenyewe na sio protini
zake,hivyo electronic microscopes ndio kingekuwa kipimo kizuri zaidi kuliko kile cha kuangalia
antibodies dhidi ya protini kutoka kwa HIV(feki) ambapo protini hizi sio specific kwa HIV(feki).
Na ndio maana hata wewe uliwahi kusikia watu kupewa majibu ya uongo mara nyingi tu.Na ndio
maana hawataki kutumia electronics microscope kwa kuwa hii ndio inadhihirisha kwelikweli
kama virus yupo,na kama wangetumia hii kungekuwa na uwezekano mdogo mno wa kupata
watu ambao wana huyu kirusi na hivyo maana nzima ya biashara ya ARVs ingepotea.
Kwa hiyo hawajakosea kutumia hivi vipimo vya sasa,wanajua na ndio mpango
wao,hawajakosea.Kwa kuwa vipimo hivi vina tricks ambazo zinawasaidia kupata wateja wengi
zaidi wa ARVs.

 Reactions:Eiyer and Mjuni Lwambo

U
UGORO87
JF-Expert Member
Joined Mar 7, 2014
 792   500
May 19, 2015


 #705

nimeifuatilia sna huu uzi.naomba kuuliza je kusex na mtu mwenye ukimwi haupati ukimwi?
ningeshukuru ningepata majibu

Eiyer
JF-Expert Member
Joined Apr 17, 2011
 28,266   2,000
May 19, 2015


 #706

 Deception said:
Usijali mkuu.Mimi mwenyewe kama vile nipo likizo, ndio maana na pop mara kwa mara,ila soon nitaanza
kupoteapotea.

Majukumu ni muhimu sana kiongozi

Tuendelee kuwasiliana ......


Eiyer
JF-Expert Member
Joined Apr 17, 2011
 28,266   2,000
May 19, 2015


 #707

 UGORO87 said:
nimeifuatilia sna huu uzi.naomba kuuliza je kusex na mtu mwenye ukimwi haupati ukimwi?ningeshukuru ningepata
majibu

Unasema umefuatilia uzi huu halafu unauliza swali ambalo limeshajibiwa

Kaazi kweli kweli....


 Reactions:Raynavero, starboy09, kaburungu and 5 others

Habari Ya Mujini
JF-Expert Member
Joined Dec 22, 2013
 2,447   2,000
May 19, 2015


 #708

 Eiyer said:
Unasema umefuatilia uzi huu halafu unauliza swali ambalo limeshajibiwa

Kaazi kweli kweli....

Watanzania ni wavivu wakusoma mkuu...


 Reactions:Deception, kaburungu and Eiyer

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 19, 2015


 #709

 UGORO87 said:
nimeifuatilia sna huu uzi.naomba kuuliza je kusex na mtu mwenye ukimwi haupati ukimwi?ningeshukuru ningepata
majibu

Usijaribu ndugu, endelea kujitunza na kuijali afya yako, tumia kinga kila wakati

Eiyer
JF-Expert Member
Joined Apr 17, 2011
 28,266   2,000
May 19, 2015


 #710

 Habari ya Mujini said:


Watanzania ni wavivu wakusoma mkuu...

Yaani we acha tu.....

Lakini ukimpa kitabu cha hadithi utaona hakimalizi hata siku moja kimeshaisha ....

Mambo ya msingi hatuyafuatilii kabisa ....!!


 Reactions:Raynavero, Habari ya Mujini, warumi and 1 other person

Eiyer
JF-Expert Member
Joined Apr 17, 2011
 28,266   2,000
May 19, 2015

 #711

 warumi said:
Usijaribu ndugu, endelea kujitunza na kuijali afya yako, tumia kinga kila wakati

Mpaka kufikia hapa Deception katoa ushahidi kuwa ugonjwa wa ukimwi watu wanaweza


kuupata bila sex na wala hautishi kwani dawa yake ni lishe bora

Ushahidi huo hakuna ambae ameweza kuupinga hadi sasa kwa hoja na ushahidi,lakini pia
ushahidi huu wa Deception uko back up na kile ambacho kinatokea huku mitaani kwetu kuhusu
wanaodaiwa wana ugonjwa uliosababishwa na kijidudu cha HIV,Hakuna maelezo ya kutosha
kuelezea huu mgongano ....

Kufikia hapa naweza kusema ukimwi hautishi na wala hauambukizwi kwa ngono kwasababu
hakuna ushahidi wa hili

Sasa ya nini tuogope kitu ambacho hakina madhara kwetu?


Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 19, 2015


 #712

 Eiyer said:
Mpaka kufikia hapa Deception katoa ushahidi kuwa ugonjwa wa ukimwi watu wanaweza kuupata bila sex na wala
hautishi kwani dawa yake ni lishe bora

Ushahidi huo hakuna ambae ameweza kuupinga hadi sasa kwa hoja na ushahidi,lakini pia ushahidi huu
wa Deception uko back up na kile ambacho kinatokea huku mitaani kwetu kuhusu wanaodaiwa wana ugonjwa
uliosababishwa na kijidudu cha HIV,Hakuna maelezo ya kutosha kuelezea huu mgongano ....

Kufikia hapa naweza kusema ukimwi hautishi na wala hauambukizwi kwa ngono kwasababu hakuna ushahidi wa
hili

Sasa ya nini tuogope kitu ambacho hakina madhara kwetu?


Click to expand...

ukiachilia mbali ukimwi ,bado kuna magonjwa mengi ya zinaa yanayotokana na ngono zembe,
bado kujikinga ni muhimu
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

 Reactions:Raynavero and Eiyer

Eiyer
JF-Expert Member
Joined Apr 17, 2011
 28,266   2,000
May 19, 2015


 #713

 warumi said:
ukiachilia mbali ukimwi ,bado kuna magonjwa mengi ya zinaa yanayotokana na ngono zembe, bado kujikinga ni
muhimu

Safi sana mkuu ....

Hii ni sawa sawa na watu wajue umuhimu wa kunywa maji ya kutosha na kula matunda kwa
usahihi wake pamoja na kuuweka mwili fiti kwa kufanya mazoezi ......

Kwa kufanya hivi hawa majamaa watajikuta wanaingia kwenye umaskini maana moja kati ya
mambo yanayowapa utajiri ni kuuza madawa hasa huku Afrika

Bill Gates aligharamia pesa nyingi sana ile sijui ni "chanjo" ya ebola,nadhani ni kama dola mil
40,huyu jamaa ni mfanya biashara,hivi anawapenda kwa kiasi gani wananchi wa nchi zilizokuwa
na ebola? [Fake]

Kuna mambo ni rahisi sana kuona uongo kama watu tutaamua kuuona ....

1;Mwaka 1990 Watanzania tulikuwa mil 25


2;Mwaka 2015 Watanzania tupo almost mil 50

Ugonjwa wa Ukimwi wanasema unaenezwa kwa ngono zembe au kwa ligha nyingine kufanya
ngono bila kinga,wakati huu ugonjwa unadaiwa kuingia nchini ni miaka ya 80 hatukuwa na
"elimu" ya kutosha kuuhusu na namna ya maambukizi yake tofauti na ngono

Unapoona watu wanazaliana sana basi watu hao wanafanya ngonoi zembe au wanafanya ngono
bila kinga,sasa hebu tafakari tu,kutoka mwaka 1990 hadi 2015 watu walipaswa waongezeke au
wapungue?

Tunaambiwa maambukizi yanazidi kuongezeka,kwanini watu wanazidi tu?


Hawa watu walipoona kuwa wanaumbuka walilazimika kuleta madawa ya kutumaliza kama
ARVs na madawa ya uzazi wa mpango pamoja na kuwalazimisha wamama wajawazito
wapimwe kwa lazima ili wawarundikie madawa......

Hawa ni zaidi ya mashetani ........!!


 Reactions:warumi, Chakochangu, Mwamba028 and 4 others

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 19, 2015


 #714

 Eiyer said:
Mpaka kufikia hapa Deception katoa ushahidi kuwa ugonjwa wa ukimwi watu wanaweza kuupata bila sex na wala
hautishi kwani dawa yake ni lishe bora

Ushahidi huo hakuna ambae ameweza kuupinga hadi sasa kwa hoja na ushahidi,lakini pia ushahidi huu
wa Deception uko back up na kile ambacho kinatokea huku mitaani kwetu kuhusu wanaodaiwa wana ugonjwa
uliosababishwa na kijidudu cha HIV,Hakuna maelezo ya kutosha kuelezea huu mgongano ....

Kufikia hapa naweza kusema ukimwi hautishi na wala hauambukizwi kwa ngono kwasababu hakuna ushahidi wa
hili

Sasa ya nini tuogope kitu ambacho hakina madhara kwetu?


Click to expand...

Yaani mkuu kama wengine wangeelewa kama wewe, nisingepata shida yote hii.Wapo wachache
wengine wameelewa vizuri sana,lakini ni wachache.Mimi nachotaka ni watu waelewe kile
ninachowasilisha tu basi,suala la kukubaliana au kutokukubaliana na yale niliyowasilisha ni
uamuzi wa mpokeaji mwenyewe.
Lakini kama mtu ameelewa tu kile nilichosema inatosha.Maana yangu ni kwamba,kama
ameelewa lakini hakubaliani na yale niliyoeleza,nina uhakika knowledge hiyo itabaki kichwani
kwake na lazima ipo siku itajidhihirisha na atakubaliana nayo bila hata kushawishiwa na mtu
mwingine.Shida ya watu wengi ipo kwenye kuelewa nilicho present.Na kizuizi kikubwa
kinachofanya watu wengi wasielewe ni UVIVU WA KUSOMA,KASUMBA na HISIA.

 Reactions:napoteza, Eiyer, warumi and 1 other person


Eiyer
JF-Expert Member
Joined Apr 17, 2011
 28,266   2,000
May 19, 2015


 #715

 Deception said:
Yaani mkuu kama wengine wangeelewa kama wewe, nisingepata shida yote hii.Wapo wachache wengine
wameelewa vizuri sana,lakini ni wachache.Mimi nachotaka ni watu waelewe kile ninachowasilisha tu basi,suala la
kukubaliana au kutokukubaliana na yale niliyowasilisha ni uamuzi wa mpokeaji mwenyewe.
Lakini kama mtu ameelewa tu kile nilichosema inatosha.Maana yangu ni kwamba,kama ameelewa lakini
hakubaliani na yale niliyoeleza,nina uhakika knowledge hiyo itabaki kichwani kwake na lazima ipo siku
itajidhihirisha na atakubaliana nayo bila hata kushawishiwa na mtu mwingine.Shida ya watu wengi ipo kwenye
kuelewa nilicho present.Na kizuizi kikubwa kinachofanya watu wengi wasielewe ni UVIVU WA
KUSOMA,KASUMBA na HISIA.

Mkuu ongezea na hofu .....

Hofu ni mbaya sana mkuu...

Hili suala la ukimwi nilikuwa nalishtukia tangu siku nyingi sana kuanzia sinema ya Magic
Jonson hadi kufikia kwa Thabo Mbeki kuamua kusema ukweli

Hakika Yesu hakukosea aliposema "hakuna lililofichika ambalo halitafunuliwa"....!!


 Reactions:amaizing, Habari ya Mujini, warumi and 1 other person

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 19, 2015


 #716

 warumi said:
ukiachilia mbali ukimwi ,bado kuna magonjwa mengi ya zinaa yanayotokana na ngono zembe, bado kujikinga ni
muhimu
Umetoa ushauri mzuri sana warumi;

Kwa upande wangu huwa ninawashauri watu wawe makini kwenye sex kwa kuwa kuna
magonjwa halisi kabisa ambayo ni kweli huambukizwa kwa njia ya ngono kama vile
kisonono/kaswende lakini yanatibika.Ila kuhusu VVU/Ukimwi si kweli kabisa kwamba
huambukizwa kwa njia ya ngono kwa kuwa kuna ushahidi wa kutosha kabisa kuhusu
hili,ushahidi wa kisayansi na ushahidi wa mazingira/mtaani unaoonekana.Na pale mtu
anapofanya sex na mtu anayesadikika kuwa na HIV halafu na yeye akapimwa HIV+ bado kuna
maeleze ya kisayansi kuelezea tukio kama hilo.
Na jambo lingine la msingi ni kwamba,sio mpaka ufanye sex tu ndio kigezo cha wewe kupimwa
HIV+ na hivi vipimo,hata kama wewe ni bikira na hujawahi pata ajali au jambo lingine lolote
lililoweza kukufanya damu yako ichanganyike na ya mtu mwingine mwenye huyo HIV,bado
vipimo hivi vinaweza kukupima HIV+.Mtu kuwa HIV+ ni tricks za vipimo tu,jambo hili watu
wengi sana wanali bypass.Na ndio maana mwanzoni kabisa nililazimika kuorodhesha mambo
manne ambayo hawa jamaa waliotudanganya ndio wameyatumia ili kuturubuni akili zetu,mambo
hayo ni;
1.Historia ya HIV/AIDS ambayo ni feki,
2.Hypothesis ya HIV/AIDS ambayo ni feki,
3.Vipimo vya HIV ambavyo ni feki,
4.Dawa za HIV/AIDS(ARVs) ambazo ni feki na very toxic na hazina faida yoyote mwilini zaidi
ya hasara.Dawa hizi hazina target.Sasa utatumiaje dawa isiyo na target?Kinachofikiriwa kwamba
ni target hakipo,sasa una target nini?

Hizi ni hisia ndani ya vichwa vya watu ambazo zimejengeka miaka na miaka.Uongo ukiurudia
mara kwa mara mwishowe hugeuka kuwa ukweli(ukweli wa uongo).Wame advertise sana
kwenye vyombo vyao vya habari huku wakitumia picha na video za kutisha ili kuwaogopesha
watu mpaka watu wameamini.

Ama kweli "watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa"


 Reactions:Habari ya Mujini, warumi, Eiyer and 1 other person

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 19, 2015


 #717
 Eiyer said:
Mkuu ongezea na hofu .....

Hofu ni mbaya sana mkuu...

Hili suala la ukimwi nilikuwa nalishtukia tangu siku nyingi sana kuanzia sinema ya Magic Jonson hadi kufikia kwa
Thabo Mbeki kuamua kusema ukweli

Hakika Yesu hakukosea aliposema "hakuna lililofichika ambalo halitafunuliwa"....!!

Yesu pia alisema "watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa"


 Reactions:Deception and Eiyer

Dena Amsi
RIP
Joined Aug 17, 2010
 13,118   1,250
May 19, 2015


 #718

 Habari ya Mujini said:


Watanzania ni wavivu wakusoma mkuu...

Sio watanzania tu ngozi nyeusi ni wavivu mno kusoma sometime unakuta muanzisha thread
kaandika mahala ama muda ama maelezo fulani ya kutosha lakini unakuta watu wanauliza swali
ambalo liko wazi kabisa huwa nachoka kiukweli

 Reactions:Raynavero, Chakochangu, warumi and 1 other person

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 19, 2015


 #719

 Eiyer said:
Mkuu ongezea na hofu .....

Hofu ni mbaya sana mkuu...

Hili suala la ukimwi nilikuwa nalishtukia tangu siku nyingi sana kuanzia sinema ya Magic Jonson hadi kufikia kwa
Thabo Mbeki kuamua kusema ukweli

Hakika Yesu hakukosea aliposema "hakuna lililofichika ambalo halitafunuliwa"....!!

Yaa nilii bypass hofu mkuu.Hofu ni shauri nyingine.Kwa mfano unaweza kumchukua mtu
yeyote aliyekubali mambo yote niliyosema na akaamini kabisa.Lakini mwambie njoo tukudunge
damu ya mtu mwenye HIV uone balaa lake,ha ha haaa kweli hofu ni balaa.

Halafu kuna mtu ali pop up na stori yake ya Magic Johnson hapa halafu katoweka,anaweza kuja
tena kuchafua uzi baadaye sana wakati watu wameshafika mbali.Yaani ana pop anakimbia,ana
pop anakimbia,inachekesha sana,lakini pia inahuzunisha kuona watu ni wazito sana kusikiliza au
kusoma mambo tofauti na yale waliyoyazoea.

Kama ulivyosema,watu kama hawa kwa kusoma vitabu vya hadithi hawajambo,siku 7 anamaliza
vitabu 7,si mbaya ni burudani,kila mtu ana burudani yake,lakini ni muhimu pia kufuatilia
masuala ya msingi katika afya zetu.

 Reactions:warumi and Chakochangu

Dena Amsi
RIP
Joined Aug 17, 2010
 13,118   1,250
May 19, 2015


 #720

 Deception said:
Yaa nilii bypass hofu mkuu.Hofu ni shauri nyingine.Kwa mfano unaweza kumchukua mtu yeyote aliyekubali
mambo yote niliyosema na akaamini kabisa.Lakini mwambie njoo tukudunge damu ya mtu mwenye HIV uone balaa
lake,ha ha haaa kweli hofu ni balaa.

Halafu kuna mtu ali pop up na stori yake ya Magic Johnson hapa halafu katoweka,anaweza kuja tena kuchafua uzi
baadaye sana wakati watu wameshafika mbali.Yaani ana pop anakimbia,ana pop anakimbia,inachekesha sana,lakini
pia inahuzunisha kuona watu ni wazito sana kusikiliza au kusoma mambo tofauti na yale waliyoyazoea.

Kama ulivyosema,watu kama hawa kwa kusoma vitabu vya hadithi hawajambo,siku 7 anamaliza vitabu 7,si mbaya
ni burudani,kila mtu ana burudani yake,lakini ni muhimu pia kufuatilia masuala ya msingi katika afya zetu.
Click to expand...
Kwa thread hii naanza kukubaliana na wewe kama HIV inaambukizwa kwa damu iweje mtoto
aliyetumboni kwa mama asipate wakati damu anayozaliwa nayo kaitoa kwa mama mwenye
HIV ? Naanza kuelewa sasa naendelea kusoma kwa makini hii mada kama imenigusa sana na
kunifundisha nisivovijua
Nimesoma hii topic kwa muda mrefu bila kuchangia chochote, sasa ni muda muafaka nami
nichangie.

U = Upungufu wa
KI = Kinga
MWI = Mwilini

Swali:
Upungufu wa kinga mwilini unasababishwa na nini?

Je! Unasababishwa na HIV?

Je! Unasababishwa na malnutrition?

Upungufu wa Kinga MWIlini Unaambukizwa?


 Reactions:warumi, Tira and Habari ya Mujini

U
UGORO87
JF-Expert Member
Joined Mar 7, 2014
 792   500
May 19, 2015


 #724

dawa yake ni mlo kamili ila epuka kula nyama na vyakula vya kusindika.kula matunda masaa
mawili kabla ya kula au baada.

Mkuu Wa Chuo
JF-Expert Member
Joined Feb 3, 2011
 7,264   1,500
May 19, 2015


 #725

 Eiyer said:
Mkuu ongezea na hofu .....

Hofu ni mbaya sana mkuu...

Hili suala la ukimwi nilikuwa nalishtukia tangu siku nyingi sana kuanzia sinema ya Magic Jonson hadi kufikia kwa
Thabo Mbeki kuamua kusema ukweli

Hakika Yesu hakukosea aliposema "hakuna lililofichika ambalo halitafunuliwa"....!!

Hawa jamaa wanatupa hofu kumbe hata kumbe HIV(feki) hata hasababishi UKIMWI...

Wanatengeneza tatizo halafu wanaanza kuuza midawa yao...

Nimeona madaktari wamekuja wamepanic wameshindwa kujibu hoja...


 Reactions:Raynavero, Eiyer, RGforever and 4 others

Mkuu Wa Chuo
JF-Expert Member
Joined Feb 3, 2011
 7,264   1,500
May 19, 2015


 #726

 Mantz said:
Nimesoma hii topic kwa muda mrefu bila kuchangia chochote, sasa ni muda muafaka nami nichangie.

U = Upungufu wa
KI = Kinga
MWI = Mwilini

Swali:
Upungufu wa kinga mwilini unasababishwa na nini?

Je! Unasababishwa na HIV?

Je! Unasababishwa na malnutrition?

Upungufu wa Kinga MWIlini Unaambukizwa?


Click to expand...
Mbona haya yote yameshajibiwa, hata TB inaweza sababisha huo upungufu wa kinga, ila
unatibika ukishafanyia chanzo cha upungufu wa kinga...

 Reactions:Mantz, Deception and Eiyer

RGforever
JF-Expert Member
Joined Apr 3, 2011
 6,931   2,000
May 19, 2015


 #727

 Habari ya Mujini said:


HIV/AIDS nahisi ni mpango wa biashara ya ARVs na Condoms..

Halafu condom zinapanda bei kila wakati


 Reactions:Habari ya Mujini

Ngorunde
JF-Expert Member
Joined Nov 17, 2006
 1,631   2,000
May 19, 2015


 #728

 Dena Amsi said:


Kwa thread hii naanza kukubaliana na wewe kama HIV inaambukizwa kwa damu iweje mtoto aliyetumboni kwa
mama asipate wakati damu anayozaliwa nayo kaitoa kwa mama mwenye HIV ? Naanza kuelewa sasa naendelea
kusoma kwa makini hii mada kama imenigusa sana na kunifundisha nisivovijua

Mkuu hilo jambo ni tofauti kabisa, Ni somo jipya. Damu ya mtoto huwa haihusiani kabisa kabisa
na damu ya mama. Ndio maana group ya damu ya mtoto inaweza kutofautiana na ya mama.

 Reactions:warumi

Habari Ya Mujini
JF-Expert Member
Joined Dec 22, 2013
 2,447   2,000
May 19, 2015


 #729

 Dena Amsi said:


Kwa thread hii naanza kukubaliana na wewe kama HIV inaambukizwa kwa damu iweje mtoto aliyetumboni kwa
mama asipate wakati damu anayozaliwa nayo kaitoa kwa mama mwenye HIV ? Naanza kuelewa sasa naendelea
kusoma kwa makini hii mada kama imenigusa sana na kunifundisha nisivovijua

Madaktari wanasema ni mpango wa Mungu...


 Reactions:Deception

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 19, 2015


 #730

 Dena Amsi said:


Kwa thread hii naanza kukubaliana na wewe kama HIV inaambukizwa kwa damu iweje mtoto aliyetumboni kwa
mama asipate wakati damu anayozaliwa nayo kaitoa kwa mama mwenye HIV ? Naanza kuelewa sasa naendelea
kusoma kwa makini hii mada kama imenigusa sana na kunifundisha nisivovijua

Hakuna direct connection ya damu kati ya mama na mtoto wakati wa mimba.Ila kuna interaction
fulani ambayo ni complicated kidogo kati ya mama na mtoto wakati wa mimba ambayo ndio
inahusika kumfanya mtoto apate maambukizi ya HIV kutoka kwa mama yake kama mama yake
ana HIV.

NOTE/ANGALIZO;
Maneno hayo hapo juu ni valid tu kama kweli HIV anayepimwa kwenye vipimo wanavyotumia
is real.

Sasa tuchukulie HIV is real.Ukichukulia HIV is real swali lako lina mashiko sana,ila jibu la
madaktari watakwambia kwamba mtoto hakupata maambukizi kwa kuwa mama yake alikuwa
anatumia ARVs hivyo viroload/kiwango cha virusi ni ndogo hivyo ni vigumu mtoto
kuambukizwa.Lakini wanasahau kwamba kuna kina mama wamepimwa HIV+ na hawatumii
ARVs lakini watoto wamezaliwa bila HIV,hapa nako watajibu kwamba hata kama mama
hatumii ARVs bado chance ni ndgo mtoto kuambukizwa ambayo ni 25% kama mama hatumii
ARVs.Lakini pia hawazungumzii watoto waliozaliwa na huyu HIV hata kama mama zao
walikuwa wanatumia ARVs.

Ukweli ni kwamba HIV wa kwenye vipimo vyao ni wa kufikirika.Ndio maana kuna


mikanganyiko mingi sana.Na hata wenyewe wanajua hivyo,na wanajua kwamba kwa kuwa huu
ni uongo,hivyo specifically kwa suala hili la mama na mtoto kuna uwezekano mkubwa watu
wakaanza kuwa na mashaka na kupoteza imani zao kuhusu ugonjwa huu.Na hii ndio sababu
mojawapo iliyowafanya waanzishe sheria ya kulazimisha mama wajawazito wapime HIV kwa
lazima kwa kisingizio eti wanatupeeenda saaana ili kama mama ni HIV+ waanze kumpa ARVs
ili wanusuru maisha yake na ya mtoto atakayezaliwa,ili sisi tukiona mtoto kazaliwa bila HIV
basi tujue kwamba ARVs alizotumia mama ndizo zimemuokoa mtoto na maambukizi ilihali
watoto wanazaliwa ki asilia kabisa bila maambukizi hata kama mama zao hawatumii ARVs.

Hawa jamaa wana majibu ya kila swali tata watakaloulizwa,na masuala mengine tata ambayo
hawana majibu yake wanaendelea kuyatafutia majibu ya kufoji.Hawa ni watu wabaya sana kwa
kweli lakini sisi tunawaona kwamba ndio weeema saaana,eti wanatupenda sana kuliko sisi
tunavyojipenda wenyewe.Kama wanatupenda sana kwa nini haohao wanaomiliki viwanda hivi
vya madawa ndio haohao wanaua watu wasio na hatia kwenye vita ya Iraq,Siria,Afghanistan na
kwingineko?

 Reactions:cariha, Habari ya Mujini, warumi and 2 others

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 19, 2015


 #731

 Mkuu wa chuo said:


Mbona haya yote yameshajibiwa, hata TB inaweza sababisha huo upungufu wa kinga, ila unatibika ukishafanyia
chanzo cha upungufu wa kinga...

Mkuu ulipotelea wapi?


Kete Ngumu
JF-Expert Member
Joined Nov 21, 2014
 5,666   2,000
May 19, 2015


 #732

 Deception said:
Ndio maana nikasema kwamba kutokana na ufeki wa ugonjwa huu kuna mikanganyiko mingi sana,we mwenyewe
umejionea au kusikia kama ulivyoeleza hapo juu.Maneno yako hapo juu hata wenyewe wanakubali kwamba si rahisi
mtoto kuambukizwa na wametoa asilimia 98% kama mama atakula ARVs na 75% kama mama hatakula ARVs
kuonesha uwezekano wa mtoto kuepuka maambukizi haya ambayo mimi kwangu ni feki.Hongera kwa kuhoji
hilo,maana kujihoji ni mwanzo wa kuelewa ukweli.

Unajua mkuu,hawa jamaa wanajua hii ndio starehe ya watu wengi,na ndio maana wameng'angania kwamba
unaambukizwa kwa njia hii kwa kuwa kila mtu akiambiwa anao atakuwa na uwezekano mkubwa kwamba
alishawahi kufanya ngono hivyo hata mtu mwenyewe hatapinga akiambiwa kwamba anao.Mkuu wewe furahia
maisha tu,wasitufanye tuwe watumwa wa asili yetu.Wanajifanya hao ndio miungu,tumeshabaini ukweli na tuko
huru.

Hata ukiwa na manjonjo ya aina gani,fanya mbwembwe zote unazozijua duniani kwenye ngono,huwezi kupata
ukimwi/VVU.Kuonekana kwamba una VVU ni matokeo ya vipimo feki na si kwamba kweli una VVU.VVU
hayupo kiuhalisia hivyo basi ukimwi hausababishwi na VVU.Fuatilia vizuri post zangu utaelewa au watu kama
mavado wanaweza kukusaidia pia.Ukijua sayansi inayotumika katika vipimo vya VVU utajua ukweli uko wapi.Na
ndio maana niliwahi kusema kwamba,ukitaka ukimwi uishe,basi watu wasijitokeze kupima VVU,au wagome kabisa
kupima VVU na badala yake mtu akiumwa apimwe ugonjwa wake halisi tu na kupewa tiba halisi kama zamani,hapo
ukimwi utakuwa umeisha.Lakini kwa kampeni hizi feki za kutuonesha kama vile wanatupenda saaaana na wanajali
saaaana maisha yetu,watu watapimwa VVU na vipimo feki,wataonekana VVU+ na hatimaye watapewa dawa za
ARVs ambazo ndio hasa zinazosababisha ukimwi kwa wanaozitumia halafu tunamsingizia VVU.Ukijua mtego huu
basi utakuwa umejikomboa na janga hili.Njombe wanaongoza kitakwimu kwa VVU/Ukimwi kwa sababu
wanajitokeza sana kupima VVU,hawaogopi kupima na kuchukua majibu,hii ndio sababu kubwa na hamna sababu
nyingine,lakini kwa mtu anayechukulia mambo kiurahisi hataelewa ninachosema,labda watu kutoka njombe waje
kuthibitisha wenyewe hapa.
Click to expand...

Mkuu kunasehemu umenichanganya, umesema kwa wanaotumia hizo ARV's ndio hupata
Ukimwi, je wakishaupata hawawezi kuuambukiza? Kama hawawezi kwakuwa wameshapa
ugonjwa je ugonjwa huo (ukimwi) utakuwa unaambukizwa kwa njia gani? Je baada ya mgonjwa
wa ukimwi kuupata kutokana na maelezo yako akipimwa ili uonekane atapimwa sampuli gani?
damu, mate, choo, mkojo, au nini?

 Reactions:warumi

Dena Amsi
RIP
Joined Aug 17, 2010
 13,118   1,250
May 19, 2015


 #733

 Deception said:
Hakuna direct connection ya damu kati ya mama na mtoto wakati wa mimba.Ila kuna interaction fulani ambayo ni
complicated kidogo kati ya mama na mtoto wakati wa mimba ambayo ndio inahusika kumfanya mtoto apate
maambukizi ya HIV kutoka kwa mama yake kama mama yake ana HIV.

NOTE/ANGALIZO;
Maneno hayo hapo juu ni valid tu kama kweli HIV anayepimwa kwenye vipimo wanavyotumia is real.

Sasa tuchukulie HIV is real.Ukichukulia HIV is real swali lako lina mashiko sana,ila jibu la madaktari watakwambia
kwamba mtoto hakupata maambukizi kwa kuwa mama yake alikuwa anatumia ARVs hivyo viroload/kiwango cha
virusi ni ndogo hivyo ni vigumu mtoto kuambukizwa.Lakini wanasahau kwamba kuna kina mama wamepimwa
HIV+ na hawatumii ARVs lakini watoto wamezaliwa bila HIV,hapa nako watajibu kwamba hata kama mama
hatumii ARVs bado chance ni ndgo mtoto kuambukizwa ambayo ni 25% kama mama hatumii ARVs.Lakini pia
hawazungumzii watoto waliozaliwa na huyu HIV hata kama mama zao walikuwa wanatumia ARVs.

Ukweli ni kwamba HIV wa kwenye vipimo vyao ni wa kufikirika.Ndio maana kuna mikanganyiko mingi sana.Na
hata wenyewe wanajua hivyo,na wanajua kwamba kwa kuwa huu ni uongo,hivyo specifically kwa suala hili la
mama na mtoto kuna uwezekano mkubwa watu wakaanza kuwa na mashaka na kupoteza imani zao kuhusu ugonjwa
huu.Na hii ndio sababu mojawapo iliyowafanya waanzishe sheria ya kulazimisha mama wajawazito wapime HIV
kwa lazima kwa kisingizio eti wanatupeeenda saaana ili kama mama ni HIV+ waanze kumpa ARVs ili wanusuru
maisha yake na ya mtoto atakayezaliwa,ili sisi tukiona mtoto kazaliwa bila HIV basi tujue kwamba ARVs
alizotumia mama ndizo zimemuokoa mtoto na maambukizi ilihali watoto wanazaliwa ki asilia kabisa bila
maambukizi hata kama mama zao hawatumii ARVs.

Hawa jamaa wana majibu ya kila swali tata watakaloulizwa,na masuala mengine tata ambayo hawana majibu yake
wanaendelea kuyatafutia majibu ya kufoji.Hawa ni watu wabaya sana kwa kweli lakini sisi tunawaona kwamba ndio
weeema saaana,eti wanatupenda sana kuliko sisi tunavyojipenda wenyewe.Kama wanatupenda sana kwa nini
haohao wanaomiliki viwanda hivi vya madawa ndio haohao wanaua watu wasio na hatia kwenye vita ya
Iraq,Siria,Afghanistan na kwingineko?
Click to expand...

Kiukweli nakubaliana na wewe kwa asilimia kubwa tu naendelea kufatilia mada kwa karibu sana

 Reactions:Deception and Eiyer
Amaizing
JF-Expert Member
Joined May 3, 2013
 3,560   2,000
May 19, 2015


 #734

Nimetafakari sana kuhusu upungufu wa kinga mwilini

MTU akiwa na kansa kinga ya mwili inashuka


MTU akiwa na tb pia kinga ya mwili inashuka maana yake anakuwa na upungufu wa kinga
mwilini lakini hana HIV

Naamini upungufu wa kinga mwilini unasababishwa na magonjwa au malnutrition hivyo kama


MTU akitibiwa hayo magonjwa na akapata lishe bora basi kinga ya mwili itapanda na mwili
utakuwa na afya bora

My take;ni bora kutibia magonjwa husika na kupata lishe bora kuliko kuhangaika na ARV
ambazo zinadaiwa kufubaza hicho wanachoita HIV badala ya kutibu magonjwa nyemelezi..

Ni mtazamo tu,wakuu msijenge chuki haya mawazo tu!!


 Reactions:Raynavero, Tira, Eiyer and 3 others

Kete Ngumu
JF-Expert Member
Joined Nov 21, 2014
 5,666   2,000
May 19, 2015


 #735

 Junior. Cux said:


ey try to get serious.... mi naona unapotosha watu tu na theory zako!!!

* HIV/AIDS Imeanza kuingia kabla hata ya ARVs kuuzwa, unavosema kuwa HIV/AIDS ni mradi wa kuuza ARVs
unakosea sana.... ingeku hivyo basi ARVs zingekuja zamani sana pamoja na ugonjwa huo

* HIV/AIDS inasababishwa na ARVs.... seriously!??? wangapi ambao hawajaanza hata kutumia hizo dawa na tiari
wanaugua ukimwi, haya tuseme vipimo ni fake hawana huo ukimwi then ni ugonjwa gani unaowadhoofisha mpaka
kufa ambao bado hauna jina na ni nini dawa ya huo ugonjwa...

ukimwi upo jamani, acheni siasa kwenye mambo ya msingi


Click to expand...

Jiambie mwenyewe ukimwi upo kwako siokwetu. Jeshi la nchi fulani linapovamia nchi nyingine
na maafa vifo, majeruhi njaa na mengineyo kutokea ni nini hutangulia kati ya vita na huduma za
kifya chakula na mengineyo? Watu hujipanga, tunasababisha hichi ili tufanikishe hichi, hii
hainatofauti na kusababisha vita ili kuuza silaha.

 Reactions:Eiyer, Deception and Chakochangu

Mwamba028
JF-Expert Member
Joined Nov 15, 2013
 4,000   2,000
May 19, 2015


 #736

huu uzi ni muhimu sana kwa taifa na dunia kwa ujumla, binafsi Deception nilishamuelewa
kitambo sana kwenye nyuzi zingine huko na hapa naongezea tu nyama, ila yuko sahihi kwa kila
alichosema mkuu Deception mchango wako ni mkubwa sana ktk hili na umewafungua watu
wengi sana.
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

 Reactions:Raynavero, kaburungu, Eiyer and 3 others

Arafa255
Senior Member
Joined Mar 3, 2015
 120   195
May 19, 2015


 #737

Deception maliza na summary. Yote umeshaeleza huko juu, hii thread haitaisha maswali kwa
waliowavivu kusoma post za mwanzo.

 Reactions:Habari ya Mujini, Eiyer, Deception and 2 others

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 19, 2015


 #738

 Mwamba028 said:
huu uzi ni muhimu sana kwa taifa na dunia kwa ujumla, binafsi Deception nilishamuelewa kitambo sana kwenye
nyuzi zingine huko na hapa naongezea tu nyama, ila yuko sahihi kwa kila alichosema mkuu Deception mchango
wako ni mkubwa sana ktk hili na umewafungua watu wengi sana.

Noted.

Mkuu hiyo avatar yako nadhani itakuwa ile movie ya drunken master ya Jack Chan,au
nimekosea?Ha ha haaaa...hapo alikuwa anapigana na yule jamaa wenye kichwa kama chuma...he
he heee..

 Reactions:Mwamba028

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 19, 2015


 #739

 amaizing said:
Nimetafakari sana kuhusu upungufu wa kinga mwilini

MTU akiwa na kansa kinga ya mwili inashuka


MTU akiwa na tb pia kinga ya mwili inashuka maana yake anakuwa na upungufu wa kinga mwilini lakini hana HIV

Naamini upungufu wa kinga mwilini unasababishwa na magonjwa au malnutrition hivyo kama MTU akitibiwa hayo
magonjwa na akapata lishe bora basi kinga ya mwili itapanda na mwili utakuwa na afya bora

My take;ni bora kutibia magonjwa husika na kupata lishe bora kuliko kuhangaika na ARV ambazo zinadaiwa
kufubaza hicho wanachoita HIV badala ya kutibu magonjwa nyemelezi..

Ni mtazamo tu,wakuu msijenge chuki haya mawazo tu!!


Click to expand...

Haswaaa! hata yule 'mungu' wa watu wanaoamini HIV,yaani yule mgunduzi wa huyo HIV
anasema vivyo hivyo kama hapo kwenye nyekundu.
Kinachonishangaza mimi ni kwamba,kwa nini madaktari na watu wengine wanaoamini kwenye
HIV wanapingana na 'mungu' wao?
Ama kweli kasumba ni kitu kibaya sana.

 Reactions:Eiyer, warumi and amaizing

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 19, 2015


 #740

 Kete Ngumu said:


Jiambie mwenyewe ukimwi upo kwako siokwetu. Jeshi la nchi fulani linapovamia nchi nyingine na maafa vifo,
majeruhi njaa na mengineyo kutokea ni nini hutangulia kati ya vita na huduma za kifya chakula na mengineyo?
Watu hujipanga, tunasababisha hichi ili tufanikishe hichi, hii hainatofauti na kusababisha vita ili kuuza silaha.

Wewe unajua sana kuunganisha matukio,safi sana kwa kuuona mlinganyo huo.

1.Wanasingizia HIV feki ili wauze ARVs na madawa ya kuzuia magonjwa nyemelezi.
2.Wanasingizia uzazi wa mpango ili wauze dawa za uzazi wa mpango.
3.Wanasingizia magonjwa ambayo kinga ya mwili inaweza kuyadhibiti ili wauze chanjo.

Halafu ukishatumia madawa ya hapo juu unasababisha magonjwa mengine mwilini kama vile
cancer nk.Halafu unakuwa mteja wao tena kwa kuuziwa dawa za magonjwa mengine.Kama
umepata cancer,watakuuzia tiba ya cancer ambayo si rahisi ikakuponya kwa kuwa dawa
zenyewe za cancer zinasababisha cancer kama zilivyo dawa za kupunguza makali ya ukimwi
zinavyosababisha ukimwi.
Ukifuatilia vizuri utagundua kwamba biashara ya HIV/AIDS inaendana sana na biashara ya
cancer na zote hizi zinaendana sana na biashara ya kisukari.Kama hatuna uelewa wa kutosha
kwenye mambo kama haya tutaendelea kuwa watumwa mpaka mwisho dunia.
Naombeni msaada kwenye hili swala hasa kwako kaka Deception, nina ndugu yangu ambaye
alipata ajali akaumia akawa hi hosp kabla ya 48hrs akapimwa alikuwa hiv-negative na hivo
kupewa dose ya pep kwa mwezi mzima! Alipomaliza dose akapimwa tena mara tatu akaonekana
ni negative ila hivi majuzi kapima akaonekana positive na mumewe ni negative na kwa sex
lifestyle yao ingelikuwa kweli hiv ni kwa njia ya ngono na wao ni watu wa sex ya katerero na
kusuguana sana nadhani eliser test ingeonyesha kwa hiyo nakubaliana na ww kabisa kuwa ngono
si njia ya maambukizi ya hiv na pia huyu dada ameshauriwa asitumie ARV maana immunity
yake bado iko juu na hapo alimconsult rafiki yake ambaye ni Dr wa hayo magonjwa
alichomshauri ni kula balanced diet, atumie septrin everyday na pia alikuwa na fungus ambazo
alimpa dawa ya kupaka na ya kwenye vaginas na ya kunywa for 28 days zaidi akamwambia play
with your immunity hakikisha unakunywa maji ya kutosha sasa swali langu linakuwa hivi what
could have been the possible cause ya hiv na je km anataka kuacha hizo septrin atadhurika au
nayo ina namna yake ya kuacha?Na je inawezekana zile dawa alikunywa km pep zikamdhuru
now?

 Reactions:warumi, Habari ya Mujini and RGforever

N
Napoteza
Member
Joined May 19, 2015
 77   70
May 19, 2015


 #744

Kaka Deception nikupongeze uko vizuri hii ni elimu ambayo watanzania wengi hawaipati! Ni
vyema kila mtu kwa wakati wake akasema si kwamba kuna mtu analazimishwa kuamini la hasha
ila changanya akili zako na za kupewa lifanyie kazi ujue unakaa upande gani kwa maamuzi yako
Duniani ya sasa inatisha

 Reactions:Habari ya Mujini and warumi

Habari Ya Mujini
JF-Expert Member
Joined Dec 22, 2013
 2,447   2,000
May 19, 2015


 #745

 amaizing said:
Nimetafakari sana kuhusu upungufu wa kinga mwilini

MTU akiwa na kansa kinga ya mwili inashuka


MTU akiwa na tb pia kinga ya mwili inashuka maana yake anakuwa na upungufu wa kinga mwilini lakini hana HIV

Naamini upungufu wa kinga mwilini unasababishwa na magonjwa au malnutrition hivyo kama MTU akitibiwa hayo
magonjwa na akapata lishe bora basi kinga ya mwili itapanda na mwili utakuwa na afya bora

My take;ni bora kutibia magonjwa husika na kupata lishe bora kuliko kuhangaika na ARV ambazo zinadaiwa
kufubaza hicho wanachoita HIV badala ya kutibu magonjwa nyemelezi..

Ni mtazamo tu,wakuu msijenge chuki haya mawazo tu!!


Click to expand...

Bila kusahau kisukari mkuu...!


 Reactions:Eiyer and amaizing

KATASAN'KAZA
JF-Expert Member
Joined Jul 24, 2013
 3,012   2,000
May 19, 2015


 #746

Kama kulala tu hamna shida! Shida ukifanya uzinzi naye wakati mumelala.

Habari Ya Mujini
JF-Expert Member
Joined Dec 22, 2013
 2,447   2,000
May 19, 2015

 #747

 Patience123 said:
Daah! Ngachoka kapsaa.

Ngastukaa...machale kundesaa...

Medisonmuta
JF-Expert Member
Joined Oct 10, 2014
 1,268   1,250
May 19, 2015


 #748

Mm na wasiwasi na magonjwa ya zinaa kama gono,kisonono na kaswende lakini sidhani kama


kuna kitu kinaitwa HIV. Huwa najitahidi kujiepusha na wanawake wasiojisafisha vizuri na
wanaobadili ovyo

 Reactions:warumi and Eiyer

Habari Ya Mujini
JF-Expert Member
Joined Dec 22, 2013
 2,447   2,000
May 19, 2015


 #749

 napoteza said:
Naombeni msaada kwenye hili swala hasa kwako kaka Deception, nina ndugu yangu ambaye alipata ajali akaumia
akawa hi hosp kabla ya 48hrs akapimwa alikuwa hiv-negative na hivo kupewa dose ya pep kwa mwezi mzima!
Alipomaliza dose akapimwa tena mara tatu akaonekana ni negative ila hivi majuzi kapima akaonekana positive na
mumewe ni negative na kwa sex lifestyle yao ingelikuwa kweli hiv ni kwa njia ya ngono na wao ni watu wa sex ya
katerero na kusuguana sana nadhani eliser test ingeonyesha kwa hiyo nakubaliana na ww kabisa kuwa ngono si njia
ya maambukizi ya hiv na pia huyu dada ameshauriwa asitumie ARV maana immunity yake bado iko juu na hapo
alimconsult rafiki yake ambaye ni Dr wa hayo magonjwa alichomshauri ni kula balanced diet, atumie septrin
everyday na pia alikuwa na fungus ambazo alimpa dawa ya kupaka na ya kwenye vaginas na ya kunywa for 28 days
zaidi akamwambia play with your immunity hakikisha unakunywa maji ya kutosha sasa swali langu linakuwa hivi
what could have been the possible cause ya hiv na je km anataka kuacha hizo septrin atadhurika au nayo ina namna
yake ya kuacha?Na je inawezekana zile dawa alikunywa km pep zikamdhuru now?
Click to expand...

Kuna kila dalili PEP imehusika hapa...ni hisia zangu tu wadau msinifikirie vibaya...

 Reactions:Eiyer

Retroviridae
Member
Joined Apr 9, 2015
 47   0
May 19, 2015


 #750

Huwezi pata Kama Una genetic defect (CCR5 gene defect) kawaida HIV virus hutumia two
receptors kuingia katka mwili wa mwanadam (CD4 receptor na CCR5 co-receptor)
izo receptors zinapatikana katika immune cells

Defect to one of em ' husababisha HIV virus asi penetrate human cells.

those defects zinapatkana xana kwa wa2 anaotokea northern Europe .. But kibongo bongo ts very
rare,,,, xo 2mia pira weyeeeeeeeeeee 2cje 2kakuokota

RGforever
JF-Expert Member
Joined Apr 3, 2011
 6,931   2,000
May 19, 2015


 #751
 napoteza said:
Naombeni msaada kwenye hili swala hasa kwako kaka Deception, nina ndugu yangu ambaye alipata ajali akaumia
akawa hi hosp kabla ya 48hrs akapimwa alikuwa hiv-negative na hivo kupewa dose ya pep kwa mwezi mzima!
Alipomaliza dose akapimwa tena mara tatu akaonekana ni negative ila hivi majuzi kapima akaonekana positive na
mumewe ni negative na kwa sex lifestyle yao ingelikuwa kweli hiv ni kwa njia ya ngono na wao ni watu wa sex ya
katerero na kusuguana sana nadhani eliser test ingeonyesha kwa hiyo nakubaliana na ww kabisa kuwa ngono si njia
ya maambukizi ya hiv na pia huyu dada ameshauriwa asitumie ARV maana immunity yake bado iko juu na hapo
alimconsult rafiki yake ambaye ni Dr wa hayo magonjwa alichomshauri ni kula balanced diet, atumie septrin
everyday na pia alikuwa na fungus ambazo alimpa dawa ya kupaka na ya kwenye vaginas na ya kunywa for 28 days
zaidi akamwambia play with your immunity hakikisha unakunywa maji ya kutosha sasa swali langu linakuwa hivi
what could have been the possible cause ya hiv na je km anataka kuacha hizo septrin atadhurika au nayo ina namna
yake ya kuacha?Na je inawezekana zile dawa alikunywa km pep zikamdhuru now?
Click to expand...

Duuuuh kumbe kesi ni Nyingi halafu zote zinasupport Claim nyingi za Deception.. PEP(arv) Ni
chanzo kingine cha matatizo na kuwapa Watu HIV fake

 Reactions:warumi and Eiyer

Habari Ya Mujini
JF-Expert Member
Joined Dec 22, 2013
 2,447   2,000
May 19, 2015


 #752

 KATASAN'KAZA said:
Kama kulala tu hamna shida! Shida ukifanya uzinzi naye wakati mumelala.

Umepotea njia mkuu,,tafuta jukwaa jingine..


 Reactions:Deception, MANI and Eiyer

KATASAN'KAZA
JF-Expert Member
Joined Jul 24, 2013
 3,012   2,000
May 19, 2015


 #753

 Habari ya Mujini said:


Umepotea njia mkuu,,tafuta jukwaa jingine..

Hahaha...! I know niko focus.

Eiyer
JF-Expert Member
Joined Apr 17, 2011
 28,266   2,000
May 19, 2015


 #754

 RGforever said:
Duuuuh kumbe kesi ni Nyingi halafu zote zinasupport Claim nyingi za Deception.. PEP(arv) Ni chanzo kingine cha
matatizo na kuwapa Watu HIV fake

Mkuu hata wewe hapo mtaani ukiamua kukagua utaona nyingi tu .....

Pamoja na hayo huyo jamaa sio kweli kuwa ana HIV bali hayo madawa yameiharibu sana kinga
ya mwili ya jamaa hivyo anapaswa tu afuate maelekezo namna ya kuacha haya madawa na kula
vizuri na siku sio nyingi atarudi barabarani akiwa bomba kabisa

Haya majamaa bana ni hatari,yanatuua kwa namna nyingi tu!


 Reactions:Deception and RGforever

Eiyer
JF-Expert Member
Joined Apr 17, 2011
 28,266   2,000
May 19, 2015

 #755

 retroviridae said:
Huwezi pata Kama Una genetic defect (CCR5 gene defect) kawaida HIV virus hutumia two receptors kuingia katka
mwili wa mwanadam (CD4 receptor na CCR5 co-receptor)
izo receptors zinapatikana katika immune cells

Defect to one of em ' husababisha HIV virus asi penetrate human cells.

those defects zinapatkana xana kwa wa2 anaotokea northern Europe .. But kibongo bongo ts very rare,,,, xo 2mia
pira weyeeeeeeeeeee 2cje 2kakuokota

Tupe ushahidi mkuu .....!!

Eiyer
JF-Expert Member
Joined Apr 17, 2011
 28,266   2,000
May 19, 2015


 #756

 Habari ya Mujini said:


Kuna kila dalili PEP imehusika hapa...ni hisia zangu tu wadau msinifikirie vibaya...

Mi mwenyewe nawaza hivyo hivyo tu mkuu ......!!


 Reactions:Habari ya Mujini

Retroviridae
Member
Joined Apr 9, 2015
 47   0
May 19, 2015


 #757
 Eiyer said:
Tupe ushahidi mkuu .....!!

Mtafute m2 yeyote anaesoma medicine kuanzia mwaka wa pili na kuendelea akuelezee or


Google relationship btn CCR5 gene defect and HIV ... utapata a lot of knowledge abt it

Eiyer
JF-Expert Member
Joined Apr 17, 2011
 28,266   2,000
May 19, 2015


 #758

 Kete Ngumu said:


Mkuu kunasehemu umenichanganya, umesema kwa wanaotumia hizo ARV's ndio hupata Ukimwi, je wakishaupata
hawawezi kuuambukiza?

Ukimwi sio ugonjwa bali ni upungufu wa kinga mwilini,kinga yako inapokuwa ya hovyo ndipo
unapata maradhi mbali mbali,kwa maana hiyo huwezi kuambukizwa upungufu wa kinga mwilini

Hata hawa watu ambao ni waongo wakubwa nao hawasemi kuwa kinachoambukizwa ni ukimwi
bali ni virus anaesababisha huo ukimwi kirusi anaesababisha upungufu wa kinga mwilini

Kama hawawezi kwakuwa wameshapa ugonjwa je ugonjwa huo (ukimwi) utakuwa unaambukizwa kwa njia gani?
Jibu langu hapo juu nadhani linajibu hata hili swali lako mkuu....

Je baada ya mgonjwa wa ukimwi kuupata kutokana na maelezo yako akipimwa ili uonekane atapimwa sampuli
gani? damu, mate, choo, mkojo, au nini?
Sijui kama ukimwi unapimwa bali unaweza kuona matokeo ya mtu kuwa na ukimwi,kwanza
usisahau kuwa ukimwi hauambukizwi na wala hausababishwi na HIV hivyo kupima ili ujue
kama una ukimwi ni kupoteza muda tu

Unapokuwa na upungufu wa kinga utajua kwasababu utakuwa unashambuliwa sana na maradhi


na hiyo ndio maana ya kuwa na upungufu wa kinga,unachotakiwa wewe ni kutibu maradhi
yanayokupata na kuongeza au kupandisha kinga yako kwa kula vyakula bora na kufanya
mazoezi na utakuwa salama hadi miaka 1000 ijayo....

 Reactions:Manga ML, Diva Beyonce, Habari ya Mujini and 2 others


Eiyer
JF-Expert Member
Joined Apr 17, 2011
 28,266   2,000
May 19, 2015


 #759

 retroviridae said:
Mtafute m2 yeyote anaesoma medicine kuanzia mwaka wa pili na kuendelea akuelezee or Google relationship btn
CCR5 gene defect and HIV ... utapata a lot of knowledge abt it

Umelielewa swali nililokuuliza lakini?

Papa Mopao
JF-Expert Member
Joined Oct 7, 2009
 3,469   2,000
May 19, 2015


 #760

Mkuu Deception!

Tangu hii thread lilipokuwa na page mbili za mwanzo nilianza kuifuatilia hata pale ilipofutwa
(nilisikitika kwa kweli wakati huo) mpaka hapa, kwa kweli umenifanya nizunguke kweli kwenye
sources tofauti tofauti ulizotoa na zile nilizozikuta njiani wakati nazifuatilia hizo taarifa...

Kuna sehemu mmoja ambapo pamenistua ni juu ya Dr Robert Willner kujidunga sindano damu
yenye "HIV" (ambapo wewe unaiita fake) kutoka kwa mtu mwenye HIV kuonesha ushahidi
wake mbele ya waandishi wa habari na TV...
Dr Robert Willner anasema HIV is myth

Kwa wale ambao hawajabahatika kuiona link hii hapa


mjionee: https://www.youtube.com/watch?v=tQCKb1JV-4A
Aliulizwa kwanini alijidunga HIV kwenye mwili wake?

Jibu lake: "I do this to put a stop to the greatest murderous fraud in medical history. By injecting
myself with HIV positive blood, I am proving the point as Dr. Walter Reed did to prove the truth
about yellow fever. In this way it is my hope to expose the truth about HIV in the interest of all
mankind."
 napoteza said:
Naombeni msaada kwenye hili swala hasa kwako kaka Deception, nina ndugu yangu ambaye alipata ajali akaumia
akawa hi hosp kabla ya 48hrs akapimwa alikuwa hiv-negative na hivo kupewa dose ya pep kwa mwezi mzima!
Alipomaliza dose akapimwa tena mara tatu akaonekana ni negative ila hivi majuzi kapima akaonekana positive na
mumewe ni negative na kwa sex lifestyle yao ingelikuwa kweli hiv ni kwa njia ya ngono na wao ni watu wa sex ya
katerero na kusuguana sana nadhani eliser test ingeonyesha kwa hiyo nakubaliana na ww kabisa kuwa ngono si njia
ya maambukizi ya hiv.....

PEP ni ARV lakini utaratibu wake wa kutumika ni tofauti na zile ARVs zinazotumika kila
siku.Niliwahi kusema hapo mwanzoni kwamba dawa hizi zina sumu ambazo zina challenge
kinga ya mwili kiasi kwamba kwa watu wanaozitumia ni rahisi sana kuonekana HIV+ pale
wanapopimwa na vipimo vyao feki.Ndio maana nilisema kwa mtu anayetumia ARVs kumpima
HIV+ ni jambo la kawaida sana hata kama tunajua kwamba hana huyo HIV.Hivyo kuna
uwezekano mkubwa sana PEP zimechallenge kinga yake na kusababisha vipimo vitoe majibu ya
HIV+.

 napoteza said:
...pia huyu dada ameshauriwa asitumie ARV maana immunity yake bado iko juu...
Pamoja na kwamba,suala zima la HIV/AIDS ni feki,lakini angalau kidogo kwamba aliyemshauri
asitumie ARVs ametumia common sense,wengi hawawezi kutoa ushauri huo,wanatoa vifurushi
vya dawa bila kujali kinga iko juu au la,eti wanakwambia "early treatment is better".

 napoteza said:
...alimconsult rafiki yake ambaye ni Dr wa hayo magonjwa alichomshauri ni kula balanced diet, atumie septrin
everyday na pia alikuwa na fungus ambazo alimpa dawa ya kupaka na ya kwenye vaginas na ya kunywa for 28 days
zaidi akamwambia play with your immunity hakikisha unakunywa maji ya kutosha ..
Huyu Dr alimshauri vizuri sana,ila ameharibu hapo alipomwambia atumie septrin.Lakini
kutokana na protocols za kazi yake yeye anaona ni sawa.Madaktari wanajua vitu vingi sana
muhimu kwa afya zetu,lakini kwenye masuala kama haya kwa kweli wamedanganywa,kiba zaidi
ni kwamba hawajui kama wamedanganywa na si rahisi kujua,na hata wakijua hawawezi kufanya
tofauti na jinsi walivyofundishwa kwa sababu wanataka kutetea ajira zao.

 napoteza said:
...sasa swali langu linakuwa hivi what could have been the possible cause ya hiv ..
Hakuna HIV hapo,ni immunity yake imekuwa challenged na jambo fulani,na jambo hilo very
possibly litakuwa hizo PEP alizokuwa anatumia.

 napoteza said:
...na je km anataka kuacha hizo septrin atadhurika au nayo ina namna yake ya kuacha?Na je inawezekana zile dawa
alikunywa km pep zikamdhuru now?
Dawa nyingi za hospitali zikitumiwa muda mrefu huwa mwili unazoea hali hiyo.Lakini septrin
hazina sumu hatari kuliko ARVs,ila zina sumu kwa kuwa ziko designed kuua vijidudu kama
bacteria.

Ushauri:
Wala asitumie nguvu nyingi saaaana.We mwambie afuate ushauri wa doctor wa kula sana
vyakula,tena si vyakula tu bali vyakula bora na apende sana kunywa maji.Baada ya muda kupita
mwambie akapime tena kituo tofauti na cha mwanzo.Arudie kupima mara kadhaa hadi
atakapopata majibu HIV-.
Ataacha kutumia septrin yeye mwenyewe bila kushauriwa.Halafu rudi hapa hata kwenye uzi
mwingine utoe ushuhuda kwa wengine.Huu sio uchawi,hii ni sayansi.Kama bado hali itaendelea
hivyo nitamshauri hapahapa specific type of food ambacho anatakiwa ale.

 Reactions:Habari ya Mujini

Stunna
JF-Expert Member
Joined Nov 7, 2013
 259   225
May 19, 2015


 #779

asee hili somo limenigusa sana,hasa kwnye hivyo vipimo maana kuna rafiki yangu alinihadithia
kuna siku alienda kupima HIV akakutwa iko positive yeye kwakwl kwa mshituko akakataa
akadema wampime tena kipimwa tena kipimo kikasoma HIV negative,wakarudia tena kikasoma
negative, sasa hapo ulivyosema ndo nimekumbuka lakini pia hapo hapo kwnye kipimo vipo vya
aina mbili ambavyo ni bioline na determine nnavyojua mimi ukipimwa na bioline ukikutwa ni
positive wanakupima kwny dertemine sasa je inamaana vipimo vyote hvyo ni fake?? na pia kama
HIV haiambukizwi kwa sex inamaana nkienda kupima nkaambiwa niko positive japo nisitumie
Arvs je naweza kumuambukiza mtu mwngne??
 Deception said:
Unasemaje kuhusu wale ambao hawana hizo defects na wamepimwa HIV+ lakini hawatumii ARVs na wanaishi
mpaka sasa zaidi ya miaka 15?

ts true broh___ kuna wa2 ka hao

we cal em ( long-term non-progressors (LTNP), can survive with HIV & without treatment 4
prolonged periods)
Inatokana na xabab nyingi here r som of em

1st.. TYPE OF HIV VIRUS

HIV viruses wapo wa aina nyingi ( different strains ) ..


Such ax HIV-1 & HIV-2 ..

Na HIV-1 wana groups tofauti


Group 'M'
Group 'N'
Group 'P'

HIV-1 group 'M' is the most common type ambayo hukutwa katka many cases 90% owf
cases..and its tha most virulent with high infectivity..

hiloilo group limegawanyika katka clades(subtypes) according 2 different geographical location

HIV-2 less virulent & has lowest infectivity compared to HIV-1 ... it hv highest prevalence in
west africa

Kuna uwezekano wa huyo m2 unaemtaja ana type-2 xo ata2mia mda mrefu til viral load kuwa
threshold.. Ambapo ataanza kuonesha dalili(AIDS)

2nd... GENETIC FACTORS""


The human leukocyte antigens (HLAs)""

Are cell-surface proteins that dangle pieces of chewed-up virus for the immune system 2
recognize.

Several specific HLA alleles and genes 4 proteins dat interact with em hv bn implicated in AIDS
progression
... People with the HLAB*57 or *27 alleles have slower progression;

...Those with HLAB*35 progress faster

...Xo I hop 4those few reasons utakua umenielewa


 Reactions:gorgeousmimi

MADIBA MANDELA
JF-Expert Member
Joined Mar 2, 2014
 477   500
May 20, 2015


 #783

mh kazi ipo haka kautamu kameingiliwa ee mwenyenzi mungu tuponye na hili balaa kiimani
naisi hiv ni pepo

 Reactions:Habari ya Mujini

N
Napoteza
Member
Joined May 19, 2015
 77   70
May 20, 2015


 #784

PEP ni ARV lakini utaratibu wake wa kutumika ni tofauti na zile ARVs zinazotumika kila
siku.Niliwahi kusema hapo mwanzoni kwamba dawa hizi zina sumu ambazo zina challenge
kinga ya mwili kiasi kwamba kwa watu wanaozitumia ni rahisi sana kuonekana HIV+ pale
wanapopimwa na vipimo vyao feki.Ndio maana nilisema kwa mtu anayetumia ARVs kumpima
HIV+ ni jambo la kawaida sana hata kama tunajua kwamba hana huyo HIV.Hivyo kuna
uwezekano mkubwa sana PEP zimechallenge kinga yake na kusababisha vipimo vitoe majibu ya
HIV+.

Pamoja na kwamba,suala zima la HIV/AIDS ni feki,lakini angalau kidogo kwamba aliyemshauri


asitumie ARVs ametumia common sense,wengi hawawezi kutoa ushauri huo,wanatoa vifurushi
vya dawa bila kujali kinga iko juu au la,eti wanakwambia "early treatment is better".

Huyu Dr alimshauri vizuri sana,ila ameharibu hapo alipomwambia atumie septrin.Lakini


kutokana na protocols za kazi yake yeye anaona ni sawa.Madaktari wanajua vitu vingi sana
muhimu kwa afya zetu,lakini kwenye masuala kama haya kwa kweli wamedanganywa,kiba zaidi
ni kwamba hawajui kama wamedanganywa na si rahisi kujua,na hata wakijua hawawezi kufanya
tofauti na jinsi walivyofundishwa kwa sababu wanataka kutetea ajira zao.
Hakuna HIV hapo,ni immunity yake imekuwa challenged na jambo fulani,na jambo hilo very
possibly litakuwa hizo PEP alizokuwa anatumia.

Dawa nyingi za hospitali zikitumiwa muda mrefu huwa mwili unazoea hali hiyo.Lakini septrin
hazina sumu hatari kuliko ARVs,ila zina sumu kwa kuwa ziko designed kuua vijidudu kama
bacteria.

Ushauri:
Wala asitumie nguvu nyingi saaaana.We mwambie afuate ushauri wa doctor wa kula sana
vyakula,tena si vyakula tu bali vyakula bora na apende sana kunywa maji.Baada ya muda kupita
mwambie akapime tena kituo tofauti na cha mwanzo.Arudie kupima mara kadhaa hadi
atakapopata majibu HIV-.
Ataacha kutumia septrin yeye mwenyewe bila kushauriwa.Halafu rudi hapa hata kwenye uzi
mwingine utoe ushuhuda kwa wengine.Huu sio uchawi,hii ni sayansi.Kama bado hali itaendelea
hivyo nitamshauri hapahapa specific type of food ambacho anatakiwa ale.
N
Napoteza
Member
Joined May 19, 2015
 77   70
May 20, 2015


 #785

Kaka nashukuru kwa maelezo yako naahidi kurudi hapa tena kwa ajili ya mrejesho! In God we
trust

Retroviridae
Member
Joined Apr 9, 2015
 47   0
May 20, 2015


 #786

 Deception said:
Vipimo vyote ni feki kwa kuwa HIV mwenyewe ni feki.

Kamwe huwezi,kwa kuwa HIV ni feki.

Karibu.

Deception dix issue is real "" very real""" na ipo within our communities ...
Izo articles ulizosoma zickudanganye ukaja ingia chaka,,

maybe those drug dealer wanaweka ili kumanipulate our mind ili 2jichanganye wao waendelee
kuuza ARV zao...

xo take care broh...


 Reactions:gorgeousmimi

N
Napoteza
Member
Joined May 19, 2015
 77   70
May 20, 2015


 #787

Hivi hili swala la use of condoms nalo ni tata kidogo na sitoshangaa kusikia kuwa nazo ni deadly

Habari Ya Mujini
JF-Expert Member
Joined Dec 22, 2013
 2,447   2,000
May 20, 2015


 #788

 napoteza said:
PEP ni ARV lakini utaratibu wake wa kutumika ni tofauti na zile ARVs zinazotumika kila siku.Niliwahi kusema
hapo mwanzoni kwamba dawa hizi zina sumu ambazo zina challenge kinga ya mwili kiasi kwamba kwa watu
wanaozitumia ni rahisi sana kuonekana HIV+ pale wanapopimwa na vipimo vyao feki.Ndio maana nilisema kwa
mtu anayetumia ARVs kumpima HIV+ ni jambo la kawaida sana hata kama tunajua kwamba hana huyo HIV.Hivyo
kuna uwezekano mkubwa sana PEP zimechallenge kinga yake na kusababisha vipimo vitoe majibu ya HIV+.

Pamoja na kwamba,suala zima la HIV/AIDS ni feki,lakini angalau kidogo kwamba aliyemshauri asitumie ARVs
ametumia common sense,wengi hawawezi kutoa ushauri huo,wanatoa vifurushi vya dawa bila kujali kinga iko juu
au la,eti wanakwambia "early treatment is better".

Huyu Dr alimshauri vizuri sana,ila ameharibu hapo alipomwambia atumie septrin.Lakini kutokana na protocols za
kazi yake yeye anaona ni sawa.Madaktari wanajua vitu vingi sana muhimu kwa afya zetu,lakini kwenye masuala
kama haya kwa kweli wamedanganywa,kiba zaidi ni kwamba hawajui kama wamedanganywa na si rahisi kujua,na
hata wakijua hawawezi kufanya tofauti na jinsi walivyofundishwa kwa sababu wanataka kutetea ajira zao.

Hakuna HIV hapo,ni immunity yake imekuwa challenged na jambo fulani,na jambo hilo very possibly litakuwa hizo
PEP alizokuwa anatumia.

Dawa nyingi za hospitali zikitumiwa muda mrefu huwa mwili unazoea hali hiyo.Lakini septrin hazina sumu hatari
kuliko ARVs,ila zina sumu kwa kuwa ziko designed kuua vijidudu kama bacteria.

Ushauri:
Wala asitumie nguvu nyingi saaaana.We mwambie afuate ushauri wa doctor wa kula sana vyakula,tena si vyakula tu
bali vyakula bora na apende sana kunywa maji.Baada ya muda kupita mwambie akapime tena kituo tofauti na cha
mwanzo.Arudie kupima mara kadhaa hadi atakapopata majibu HIV-.
Ataacha kutumia septrin yeye mwenyewe bila kushauriwa.Halafu rudi hapa hata kwenye uzi mwingine utoe
ushuhuda kwa wengine.Huu sio uchawi,hii ni sayansi.Kama bado hali itaendelea hivyo nitamshauri hapahapa
specific type of food ambacho anatakiwa ale.
Click to expand...

Hii comment alikujibu Deception kwenye maswali yako kwenye page #78 vp naona umeiweka
tena hapa..vp umeamua kusisitiza jibu la Deception? Sawa ila inafanya ionekane kama hii ni ID
nyingine ya Deception amejichanganya....!!!!!

Eiyer
JF-Expert Member
Joined Apr 17, 2011
 28,266   2,000
May 20, 2015


 #789

 retroviridae said:
Oukay bwoi... Tembelea hii site...( HIV-1-resistance phenotype conferred by combination of two separate inherited
mutations of CCR5 gene) or ukiona haitoshi tafuta a book called LANGE REVIEW OF MEDICAL
MICROBIOLOGY AND IMMUNOLOGY page number 357.... Usipoelewa hapo ...
Nimesoma profile ako inaonesha unakaa Mwanza even mie naxoma hapa mwanza ka ucpoelewa hapo nambie
2onane nkupige lecture

Nikikuwekea site inayozungumza kinyume na hii utaiamini?

Rejao
JF-Expert Member
Joined May 4, 2010
 9,243   1,500
May 20, 2015


 #790

 Habari ya Mujini said:


Hii comment alikujibu Deception kwenye maswali yako kwenye page #78 vp naona umeiweka tena hapa..vp
umeamua kusisitiza jibu la Deception? Sawa ila inafanya ionekane kama hii ni ID nyingine ya Deception
amejichanganya....!!!!!

napoteza & Deception..something is not right..


Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

Mkuu Wa Chuo
JF-Expert Member
Joined Feb 3, 2011
 7,264   1,500
May 20, 2015


 #791
 Deception said:
Yaa,kuna mambo mengi ya kujua mkuu.

Ni kweli mkuu, unatakiwa utoe elimu zaidi... sio hili HIV(feki) peke yake tuliyodanganywa
majamaa yametudanganya mambo mengi sana mkuu...

Chakochangu
JF-Expert Member
Joined Mar 21, 2011
 2,447   2,000
May 20, 2015


 #792

 retroviridae said:
Deception dix issue is real "" very real""" na ipo within our communities ...
Izo articles ulizosoma zickudanganye ukaja ingia chaka,,

maybe those drug dealer wanaweka ili kumanipulate our mind ili 2jichanganye wao waendelee kuuza ARV zao...

xo take care broh...

Mkuu,nakushauri soma kitabu cha Dr Leonard G. Horowitz kiitwacho,Emerging Viruses Aids &
Ebola.Halafu fuatilia machapisho yake mengine,utajua kwamba unachofundishwa ni matango
pori.
NOTE: Wakuu wengine pakueni hiki kitabu,msomeni Horowitz.

Chakochangu
JF-Expert Member
Joined Mar 21, 2011
 2,447   2,000
May 20, 2015


 #793

Chanjo nyingi sana sisi watu wa Dunia ya tatu tulizopewa /tunazoendelea kupewa ni majanga.
HUTAKI UNAACHA.
N
Napoteza
Member
Joined May 19, 2015
 77   70
May 20, 2015


 #794

Habari ya mujini na Rejao hiyo coment ni mimi nimecopy na ku paste bila kujua nafanya nini
naomba mnisamehe kwa hilo wakuu hapa nazungumzia hayo majibu ya number 178! U shamba
mzigo

 Reactions:Habari ya Mujini

Sijazaliwa
JF-Expert Member
Joined Dec 11, 2014
 210   250
May 20, 2015


 #795

why majibu yao hayatofautiani ukishaambiwa unao ukimwi. ukibadili vituo vya upimaji lazima
tu utaambiwa unao. hata ukijipima mwenyewe
 retroviridae said:
Deception dix issue is real "" very real""" na ipo within our communities ...
Izo articles ulizosoma zickudanganye ukaja ingia chaka,,

maybe those drug dealer wanaweka ili kumanipulate our mind ili 2jichanganye wao waendelee kuuza ARV zao...

xo take care broh...

Angalau unajua kwamba kuna biashara ya ARVs inafanyika.

1.Kama ulichosema hapo kwenye nyekundu ni kweli.Je,kwa nini madaktari/maprofesa


wanaopinga HIV/AIDS wanazuiwa kwenda kwenye international HIV/AIDS conferences kutoa
lectures na articles zao haziruhusiwi kuwa published kwenye medical journals kama The Lancet
nk?Wewe huoni kwamba haya maeneo niliyotaja ni rahisi sana kuwafikia watu wengi
wanaomini HIV/AIDS ili kuwarubuni/manipulate?Kwa nini wanazuiwa kuingia maeneo hayo?
Pia kwa nini hao wagunduzi wa HIV wanakataa kufanya open debate na madaktari wanaopinga?
Huoni kwamba hizi ndio nafasi nzuri kwao ku manipulate watu?

2.Kuna watu nimewaachisha ARVs na bado wanadunda muda mrefu sasa,pia wapo watu wengi
ambao hawatumii ARVs na wamepimwa HIV+ muda mrefu sasa.Kama unasema kesi za HIV
type 2 ndio chache zaidi,kwa nini huku kwetu ziwe nyingi sana kiasi hicho?Hata wewe ukiamua
tu kufanya utafiti ili kujiongeza uwe doctor mzuri na mwelewa zaidi ya wenzako basi jaribu
kufanya huo utafiti na utagundua tu kwamba kesi hizo ziko nyingi sana hapa kwetu.

Hebu msikilize huyu mgunduzi wa HIV hapa chini halafu toa mchango wako kuhusu
anachosema:

https://www.youtube.com/watch?v=XSSpoFq7uhM
D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 20, 2015


 #806

 Rejao said:
napoteza & Deception..something is not right..

What about Deception & Eiyer,Habari ya mujini,mavado,amaizing,warumi,Mkuu wa chuo and


many others....
is there something not right?

 Reactions:Habari ya Mujini, Eiyer, amaizing and 1 other person

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 20, 2015


 #807

 Nakapanya said:
nimekuwa confused kidogo,sasa wale wanaokufa kwa UKIMWi nini huwa kinawaua kama unasema hakuna
UKIMWi?
Nini hupelekea wao kudhoofu mwili?

1.Unaweza kuni quote ni wapi nimesema hakuna ukimwi?

2.Kwani wewe hujui kwamba kuna magonjwa mengi tu yanaweza kudhoofisha mwili?Kwa
mfano,hujui kwamba TB inadhoofisha mwili?
M
Makefra
Member
Joined May 10, 2015
 16   0
May 20, 2015


 #808

Nilibanwa kidogo samahani, ila ningependa kupata ufafanuzi zaidi,kusema kuwa mpaka
ungewaona ndipo maelezo ya kuwa ni nini kiliwasibu kimeniacha njia panda,hawa watu
walikuwa kwenye circle moja na wote kikawatokea kimoja.(bado inanitia mashaka kuwa ilikuwa
ni kitu kimoja kiliwasababishia hilo).Imekuwa ngumu mimi kuamini kuwa kulikuwa na mambo
mengine yaliyosababisha hayo.

Na katika maelezo yako unakubali kwamba AIDS ilikuwepo muda mrefu tu kabla haijageuzwa
kibiashara,je watu walitambuaje kuwa mtu anao?(dalili), na walithibitishaje ndio wenyewe?
(vipimo), na matibabu yalikuwaje?(dawa), na kama ulikuwa unatambulikana uliitwaje kwa huku
kwetu(Africa).Nimeuliza hivi ili tujue kama ulikuwa common hivyo kuwezesha watu kurudi
nyuma kabla ya ARV's na kupata maarifa ya kweli.

 Reactions:gorgeousmimi and retroviridae

M
Makefra
Member
Joined May 10, 2015
 16   0
May 20, 2015


 #809

 Deception said:
Si kweli.Ukiwa na nia ya kujua ukweli utajua tu.Kuna mifano mingi ipo ya watu wenye HIV na hawatumii ARVs na
bado CD4 zao ziko juu,tena ni wengi hata humu wapo watu wanatoa ushuhuda.

Kulingana na maelezo haya ni kuwa unasema HIV hawashushi CD4's kwenye mwili wa mtu,je hao HIV huwa
wanauathiri mwili kwa namna gani? je ni friendly kwenye mwili wa mtu na hawashambulii chochote.

 Reactions:retroviridae

M
Makefra
Member
Joined May 10, 2015
 16   0
May 20, 2015


 #810

Nashukuru kwa majibu mazuri,kama hutojali unaweza kuelezea kivipi kinga ya mwili inaweza
kumaliza HIV kwenye mwili(mechanism).Kwa sababu kwa maelezo ya madaktari jinsi
wanavyokielezea kirusi na hizo cells za mwili ni next to impossible kwa cells hizo kuvimaliza
virusi.
Kuhusu ya kwamba nitamsikiliza mgunduzi au daktari wa bongo,naamini nitamsikiliza mwenye
scientific facts zaidi kwa sabaabu ugunduzi huendelezwa kwa utafiti na mgunduzi hana
hatimiliki ya knowledge,wengine huwa wanaendeleza alipoishia.

Valentina
JF-Expert Member
Joined Oct 12, 2013
 20,876   2,000
May 20, 2015


 #811

 warumi said:
Natamanije niwaone hao wanaoku PM, khaa umbea huu utaniua, unakuta mijitu mingine inaponda humu baadae
wanakuja PM kuomba msaada jinsi ya kuacha kutumia ARV, yani nacheka apa mpaka basi, pole sana kwa kazi
nzito ya uko PM

Kama vipi waambie kwanza wapitie kwangu, niandike majina nijue takwimu ya watumiaji wa ARV halafu tuanze
kuwahesabia siku mapemaa, hahaha hahaha lol, jamani natania tu ahahaha

Ha haa punguza umbeya Warumi lol

Back to topic kumbe tunamalizwa kimyakimya bila kujua aise



 Reactions:warumi

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 20, 2015


 #812

 makefra said:
Nashukuru kwa majibu mazuri,kama hutojali unaweza kuelezea kivipi kinga ya mwili inaweza kumaliza HIV
kwenye mwili(mechanism).Kwa sababu kwa maelezo ya madaktari jinsi wanavyokielezea kirusi na hizo cells za
mwili ni next to impossible kwa cells hizo kuvimaliza virusi.
Kuhusu ya kwamba nitamsikiliza mgunduzi au daktari wa bongo,naamini nitamsikiliza mwenye scientific facts zaidi
kwa sabaabu ugunduzi huendelezwa kwa utafiti na mgunduzi hana hatimiliki ya knowledge,wengine huwa
wanaendeleza alipoishia.

Hao wagunduzi ndio wana hizo zinazoaminika kuwa ni scientific facts na ndio wanaosimamia
jopo la watafiti kuendeleza utafiti zaidi kuhusu HIV/AIDS.
Hivyo basi,hata kama daktari wa bongo ana scientific facts,lazima atakuwa amepata kutoka
kwao,madaktari wa bongo hawana uwezo wa kufanya tafiti zaidi ya hao wagunduzi kwa kuwa
hawana fund na maabara za kufanya hivyo.

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 20, 2015


 #813

 'Valentina' said:
Ha haa punguza umbeya Warumi lol

Back to topic kumbe tunamalizwa kimyakimya bila kujua aise

Ahaha lol

Hata mimi wala sikutilia maanani hii ishu ya deception, ila niliamua kuruhusu milango yangu ya
fahamu kupokea na kuyatafakari kwa jicho la tatu,jicho pevu, ndipo nikaanza kugundua
kitu,nikauliza maswali yangu yote yaliyokuwa yakinitatiza kuhusu ARV na UKIMWI, hakika
nimejua mengi zaidi niliyokuwa siyajui, ukitaka kuelewa zaidi siku zote ni kusikiliza na kuuliza
maswali pale unapotatizwa

 Reactions:amaizing

A
Armani William
New Member
Joined Jul 3, 2014
 2   0
May 20, 2015


 #814

Natural Medication PDF For FREE

https://feelbetter.leadpages.net/leadbox/1422e5a73f72a2:162efe284346dc/5651124426113024/
M
Makefra
Member
Joined May 10, 2015
 16   0
May 20, 2015


 #815

Ina maana hata nchi zingine zilizoendelea, wapinzani wakubwa na washindani kama
China,Russia na Iran ambao ninaamini wana biotechnology inayowawezesha kufanya tafiti hizi
nao pia wamepumbazwa kama sisi,sababu suala la AIDS na ARV'S huko makwao ni kama huku
Africa lilivyo.
Kuhusu utafiti ninaamini madaktari wetu uwezo wanao tatizo ni funds na miundombinu.

 Reactions:retroviridae, Habari ya Mujini and gorgeousmimi

Habari Ya Mujini
JF-Expert Member
Joined Dec 22, 2013
 2,447   2,000
May 20, 2015


 #816

 Nakapanya said:
nimekuwa confused kidogo,sasa wale wanaokufa kwa UKIMWi nini huwa kinawaua kama unasema hakuna
UKIMWi?

Nini hupelekea wao kudhoofu mwili?

Hujasoma huu uzi toka mwanzo...majibu ya maswali yako ungeyapata...!


M
Makefra
Member
Joined May 10, 2015
 16   0
May 20, 2015


 #817

Kwenye moja ya maandiko yaliyoletwa kwenye post #660,Dr. Raxit Jariwalla, professor of
virology,one of the world's leading researchers in the field of AIDS and nutrition. In the
questions and answer session,

Aliulizwa what does the diagnosis “HIV-positive” mean?

Akajibu kuwa “HIV-positive” means that a person has antibodies to this virus – not
necessarily the presence of an intact virus. The presence of antibodies to HIV only implies
that the person at some earlier point was exposed to the virus.

Sasa hapa umenikumbusha tukio la muda kidogo,kuna mtu wangu wa karibu alipimwa akakutwa
na maambukizi,alihuzunika,akasikitika na kupanick sana.Baada ya muda akaja mtu akamwambia
kwa sababu alitumia madawa ya typhoid kwa muda mrefu ndio maana CD4 zake zikawa chini
hivyo akaonekana ameathirika.Na ni kweli alikuwa anaugua typhoid mno alikuwa akiyameza
madawa hayo kwa miaka kadhaa,alikuwa anapima typhoid na kubadilisha dozi tu miaka nenda
miaka rudi,bandika bandua dozi za typhoid bila kupumzika.

Akashauriwa asitumie dozi nyingine yoyote ya typhoid,anywe maji mengi ya kutosha,afanye


mazoezi mepesi na kula vizuri ili kupandisha hizo CD4.Baada ya kufata ushauri huo hata
haukupita muda mrefu sana akapimwa typhoid akaambiwa imeisha na vipimo vya UKIMWI
akaambiwa yuko NEGATIVE.Na ni mzima mpaka leo kapima mara kadhaa na kaambiwa yuko
salama na ni mtu mzima tu kwa sasa yuko kwenye 50's.(

Sasa najiuliza hivyo vipimo vya hapa bongo vilikuwa vinapima "antibodies wa HIV" au
vilikuwa vinapima CD4's? Maana mpaka leo bado niko kwenye mshangao,swali hili
nimelielekeza kwa madaktari wetu waliomo humu,anayewajua awape habari walijibu.

 Reactions:Habari ya Mujini

Habari Ya Mujini
JF-Expert Member
Joined Dec 22, 2013
 2,447   2,000
May 20, 2015


 #818

 makefra said:
Nilibanwa kidogo samahani, ila ningependa kupata ufafanuzi zaidi,kusema kuwa mpaka ungewaona ndipo maelezo
ya kuwa ni nini kiliwasibu kimeniacha njia panda,hawa watu walikuwa kwenye circle moja na wote kikawatokea
kimoja.(bado inanitia mashaka kuwa ilikuwa ni kitu kimoja kiliwasababishia hilo).Imekuwa ngumu mimi kuamini
kuwa kulikuwa na mambo mengine yaliyosababisha hayo.

Na katika maelezo yako unakubali kwamba AIDS ilikuwepo muda mrefu tu kabla haijageuzwa kibiashara,je watu
walitambuaje kuwa mtu anao?(dalili), na walithibitishaje ndio wenyewe?(vipimo), na matibabu yalikuwaje?(dawa),
na kama ulikuwa unatambulikana uliitwaje kwa huku kwetu(Africa).Nimeuliza hivi ili tujue kama ulikuwa common
hivyo kuwezesha watu kurudi nyuma kabla ya ARV's na kupata maarifa ya kweli.

Wale walee...
M
Makefra
Member
Joined May 10, 2015
 16   0
May 20, 2015


 #819

Swali lingine aliulizwa,Does HIV cause AIDS?

Akajibu,HIV has been linked to AIDS but, but there is no scientific evidence that it is the
sole cause of AIDS. It is an undisputed scientific fact that it takes on an average 9 to 10
years (!) from HIV infection to the manifestation of the symptoms of AIDS in those who
develop it.
Ukisoma jibu lake katika sentensi ya kwanza,anasema kuwa HIV ipo linked(!) to AIDS
akaendelea kusema kuwa hakuna scientific evidence kuprove kuwa it is the "sole"(it can lead to
AIDS lakini kuna other causes pia).Lakini kulingana na maelezo yako ulikataa kabisa kuwa HIV
hayuko linked kabisa to AIDS.

Anaendelea kusema kuwa inachukua miaka 9 mpaka 10 kutoka infection ya HIV(Hapa anakubali
kuwa HIV inaweza kuwa infected,ningependa unieleze inakuwa infected kwa njia gani) mpaka
mtu anapokuja kuonyesha dalili za AIDS.

 Reactions:gorgeousmimi and retroviridae

M
Makefra
Member
Joined May 10, 2015
 16   0
May 20, 2015


 #820

 Habari ya Mujini said:


Wale walee...

Wale wale akina nani? Watu tunatofautiana sasa kama bado kwangu haijakaa vizuri
nisiulize,kama vipi nijibu wewe.Mbona mwenyewe anajibu hana shida au wewe ndio msemaji
wake?
 makefra said:
Kwenye moja ya maandiko yaliyoletwa kwenye post #660,Dr. Raxit Jariwalla, professor of virology,one of the
world's leading researchers in the field of AIDS and nutrition. In the questions and answer session,

Aliulizwa what does the diagnosis “HIV-positive” mean?

Akajibu kuwa “HIV-positive” means that a person has antibodies to this virus – not necessarily the presence
of an intact virus. The presence of antibodies to HIV only implies that the person at some earlier point was
exposed to the virus.

Sasa hapa umenikumbusha tukio la muda kidogo,kuna mtu wangu wa karibu alipimwa akakutwa na
maambukizi,alihuzunika,akasikitika na kupanick sana.Baada ya muda akaja mtu akamwambia kwa sababu alitumia
madawa ya typhoid kwa muda mrefu ndio maana CD4 zake zikawa chini hivyo akaonekana ameathirika.Na ni kweli
alikuwa anaugua typhoid mno alikuwa akiyameza madawa hayo kwa miaka kadhaa,alikuwa anapima typhoid na
kubadilisha dozi tu miaka nenda miaka rudi,bandika bandua dozi za typhoid bila kupumzika.

Akashauriwa asitumie dozi nyingine yoyote ya typhoid,anywe maji mengi ya kutosha,afanye mazoezi mepesi na
kula vizuri ili kupandisha hizo CD4.Baada ya kufata ushauri huo hata haukupita muda mrefu sana akapimwa
typhoid akaambiwa imeisha na vipimo vya UKIMWI akaambiwa yuko NEGATIVE.Na ni mzima mpaka leo kapima
mara kadhaa na kaambiwa yuko salama na ni mtu mzima tu kwa sasa yuko kwenye 50's.(
Sasa najiuliza hivyo vipimo vya hapa bongo vilikuwa vinapima "antibodies wa HIV" au vilikuwa vinapima CD4's?
Maana mpaka leo bado niko kwenye mshangao,swali hili nimelielekeza kwa madaktari wetu waliomo
humu,anayewajua awape habari walijibu.
Click to expand...

Kama yale maswali yako ya mwanzoni kabisa ulipoingia kwenye uzi huu yangekuwa na details
kama hizo hapo juu,wala isingekuwa vigumu kukujibu kwa hoja zenye mashiko.
Kumbe mifano unayo,unachotakiwa sasa ni kusoma sana yote niliyoandika halafu hiyo mifano
yako pamoja na ya watu wengine utaitumia kama vielelezo/vithibitisho.

 Reactions:warumi

N
Napoteza
Member
Joined May 19, 2015
 77   70
May 20, 2015


 #822

Kwa uelewa wangu mm wa kizungu pori Makrefa neno has been linked but! Mpaka hapo tu
anamaanisha hiv anasingiziwa kama nakosea mnisahihishe
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

 Reactions:Deception and Eiyer

N
Napoteza
Member
Joined May 19, 2015
 77   70
May 20, 2015


 #823

Nimegundua hii thread ni very helpful madoctor wana all technological words za kutuelezea kitu
but this is REAL upungufu wa kinga mwilini dawa yake ni kukaa kwenye mazingira masafi, kula
chakula chenye virutubisho vyote yaani lishe bora, maji safi na salama na mambo yanayofanana
na hayo madoctor hata hawa semi kama hizo dawa ni deadly case

 Reactions:Habari ya Mujini, Eiyer and Deception
Blaki Womani
JF-Expert Member
Joined Feb 28, 2011
 11,066   2,000
May 20, 2015


 #824

Asante mkuu Deception ngoja tuendele kusoma daah watu wangu wanaangamia kwa kukosa
maarifa
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

 Reactions:Deception, Eiyer and Chakochangu

N
Napoteza
Member
Joined May 19, 2015
 77   70
May 20, 2015


 #825

Deception nina swali kaka yangu hivi hawa madaktari mbona hawajiulizi kwa nn the same
people funding the supporters of hiv causes aids hawataki ku sponsor hiv does not cause aids?
Unajua ni swala la ajabu coz scientifically ndio inavotakiwa kupatikana kwa dawa. Wabishane
mpaka mwenye strong evidence ashinde lakini wao wanajitoa kwenye ku finance research
zinazopinga ama kweli wazungu wametuweza elimu ya mkolonikila kitu from mkoloni
tusipoamka nchi ni yao hii ni umelo tu umetawala

 Reactions:Habari ya Mujini

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 20, 2015


 #826

 napoteza said:
Deception nina swali kaka yangu hivi hawa madaktari mbona hawajiulizi kwa nn the same people funding the
supporters of hiv causes aids hawataki ku sponsor hiv does not cause aids? Unajua ni swala la ajabu coz
scientifically ndio inavotakiwa kupatikana kwa dawa. Wabishane mpaka mwenye strong evidence ashinde lakini
wao wanajitoa kwenye ku finance research zinazopinga ama kweli wazungu wametuweza elimu ya mkolonikila kitu
from mkoloni tusipoamka nchi ni yao hii ni umelo tu umetawala

Unaona eenh!
wewe huwa unajiuliza maswali ya msingi sana.Maswali kama haya ndio huwa yanakujengea
hoja ili kuugundua ukweli,hata mimi nilitumia maswali kama hayo mpaka kufikia tamati hii.

Kama dawa haipatikani kwa muda wote huu wa miaka 30 tangu HIV/AIDS ilipotangazwa,kwa
nini wasiruhusu watu wenye hoja tofauti wajaribu kutumia fikra zao za kisayansi ili waone kama
watafanikiwa kupata dawa?Kwa nini wasiwape muda ili waone kitakachotokea?

Wanajua hawa wanaopinga wako sahihi hivyo watafanikiwa katika kil nyanja ya ugonjwa huu
wa AIDS na matokeo yatakuwa very fantastic na watu watapona AIDS bila kula dawa ya aina
yoyote ile.Hivyo watakuwa wamepoteza soko lao la dawa ambazo huwaingizia trillions of
dollars kwa mwaka.

 Reactions:Eiyer and napoteza

Mkuyati Og
JF-Expert Member
Joined Apr 19, 2011
 815   500
May 20, 2015


 #827

 makefra said:
nashukuru kwa majibu mazuri,kama hutojali unaweza kuelezea kivipi kinga ya mwili inaweza kumaliza hiv kwenye
mwili(mechanism).kwa sababu kwa maelezo ya madaktari jinsi wanavyokielezea kirusi na hizo cells za mwili ni
next to impossible kwa cells hizo kuvimaliza virusi.
Kuhusu ya kwamba nitamsikiliza mgunduzi au daktari wa bongo,naamini nitamsikiliza mwenye scientific facts zaidi
kwa sabaabu ugunduzi huendelezwa kwa utafiti na mgunduzi hana hatimiliki ya knowledge,wengine huwa
wanaendeleza alipoishia.

##fact##

Chakochangu
JF-Expert Member
Joined Mar 21, 2011
 2,447   2,000
May 20, 2015


 #828

Afya ni biashara inawalipa vizuri sana ,na walianza kuwekeza miaka mingi sana.Sasa matokeo
yake yanaonekana,inflenza,mafua ya nguruwe,ndege,cancer za kila aina,magonjwa ya moyo kwa
umri mdogo.Yote haya matokeo ya yale machanjo(vaccinations) ya polio,ndui,kifaduro,homa za
manjano.Ndugu zanguni chunguzeni hizi chanjo.Wakubwa wa Dunia Mpango wa siri.

 Reactions:Eiyer and napoteza

N
Napoteza
Member
Joined May 19, 2015
 77   70
May 20, 2015


 #829

Ila tusilikatie tamaa hili japo linakwaza na watu wanaangamia! Tunapaswa kuishi tukiwa tu
najiuliza kila kitu tu nacho consume! Bila fikra za kujiuliza maswali na kudadisi na ku stick to
elimu yao wanayotutisha nayo tutaangamia

Retroviridae
Member
Joined Apr 9, 2015
 47   0
May 20, 2015


 #830

 Chakochangu said:
Afya ni biashara inawalipa vizuri sana ,na walianza kuwekeza miaka mingi sana.Sasa matokeo yake
yanaonekana,inflenza,mafua ya nguruwe,ndege,cancer za kila aina,magonjwa ya moyo kwa umri mdogo.Yote haya
matokeo ya yale machanjo(vaccinations) ya polio,ndui,kifaduro,homa za manjano.Ndugu zanguni chunguzeni hizi
chanjo.Wakubwa wa Dunia Mpango wa siri.

I knw kwamba even we ulipewa chanjo enzi izo japokua unazipinga ryt naw..

Xo tha QN is """ ushawai pata hata moja ya ugonjwa ulio mention hapo juu?

 Reactions:gorgeousmimi

Chakochangu
JF-Expert Member
Joined Mar 21, 2011
 2,447   2,000
May 20, 2015


 #831

 retroviridae said:
I knw kwamba even we ulipewa chanjo enzi izo japokua unazipinga ryt naw..

Xo tha QN is """ ushawai pata hata moja ya ugonjwa ulio mention hapo juu?

Yes,nina Matatizo ya moyo.


D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 20, 2015


 #832

 Chakochangu said:
Afya ni biashara inawalipa vizuri sana ,na walianza kuwekeza miaka mingi sana.Sasa matokeo yake
yanaonekana,inflenza,mafua ya nguruwe,ndege,cancer za kila aina,magonjwa ya moyo kwa umri mdogo.Yote haya
matokeo ya yale machanjo(vaccinations) ya polio,ndui,kifaduro,homa za manjano.Ndugu zanguni chunguzeni hizi
chanjo.Wakubwa wa Dunia Mpango wa siri.

Very very long time indeed.It is from 1910 when The Rockefeller,The Morgans,Ford,Carnegie
and their associates took over the medical schools and skewed them to the pharmaceutical
industries.Very long time ago.....
Nenda google na usome Flexner Report iliyoandikwa na Abraham Flexner kuelezea mtiririko
huo,Abraham Flexner alikuwa hired na hao watu wazito kufanya kazi hiyo,hivyo basi
utakachokisoma ni purely kinatoka kwa hao watu wazito.Andika tu Flexner report na zitajaa link
nyingi tu utachagua mwenyewe.

Karibuni kujielimisha.

 Reactions:Chakochangu, Eiyer and napoteza

Chakochangu
JF-Expert Member
Joined Mar 21, 2011
 2,447   2,000
May 20, 2015


 #833

Hao jamaa wabaya,na wamehodhi kila nyanja. We acha tu.

Retroviridae
Member
Joined Apr 9, 2015
 47   0
May 20, 2015


 #834

 Chakochangu said:
Yes,nina Matatizo ya moyo.

Xo research gani ulioifanya, ulioiona inayoonesha dat chanjo izo husababisha magojwa ya
moyo,, na kwann wengine 2cpate upate wewe???

And co mbaya ka utanipa pathogenesis ya izo chanjo unazozisema


 Reactions:gorgeousmimi

Stunna
JF-Expert Member
Joined Nov 7, 2013
 259   225
May 20, 2015


 #835

Heshima kwako mkuu deception mimi nafikiri hata hawa mods wenyew wameamua kuurudisha
huu uzi upya nafkiri baada ya kuona una fact na kuna kitu unique hapa.

My intake:
Mods nawaomba huu uzi muuweke sticky maana ni uzi ambao umegusa watu wengi na jamii
kwa ujumla.

 Reactions:Diplomatic Imunnity, Deception, warumi and 2 others

Chakochangu
JF-Expert Member
Joined Mar 21, 2011
 2,447   2,000
May 20, 2015


 #836

 retroviridae said:
Xo research gani ulioifanya, ulioiona inayoonesha dat chanjo izo husababisha magojwa ya moyo,, na kwann
wengine 2cpate upate wewe???

And co mbaya ka utanipa pathogenesis ya izo chanjo unazozisema

Kile kitabu umekisoma cha Dr Horowitz?


 Reactions:Eiyer and Manga ML

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 20, 2015


 #837

 retroviridae said:
Xo research gani ulioifanya, ulioiona inayoonesha dat chanjo izo husababisha magojwa ya moyo,, na kwann
wengine 2cpate upate wewe???

And co mbaya ka utanipa pathogenesis ya izo chanjo unazozisema

Ndugu yangu bado kuna vitu vingi unatakiwa kuvijua,usijali huu ni mwanzo tu.Ukitaka kutafuta
maswali ya kupinga hoja hizi obviously utayapata mengi tu lakini je,unaelewa undani wa hii
biashara na historia yake?Chanjo peke yake ina historia kubwa.Kuna wakati walitoa chanjo kwa
maana ya kuuza chanjo tu bila kuweka conspiracy nyingine ndani yake,na pia kuna wakati
wanatoa chanjo kwa nia ya kuuza chanjo na kuweka conspiracy nyingine ndani yake(ndio sasa
hivi).Kwanza unaaminishwa halafu wanatumia imani yako kuendeleza conspiracy nyingine
ndani yake.

Kama mkemia mkuu wa serikali angekuwa smart enough na very decent kufanya utafiti wa
chanjo zote za sasa na angekuwa honest kusema alichokiona kwenye hizo chanjo,sasa hivi
kusingekuwa na mtu ambaye angekubali chanjo kiurahisi.

 Reactions:Chakochangu and Eiyer

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 20, 2015


 #838

 Chakochangu said:
Kile kitabu umekisoma cha Dr Horowitz?

Nilituma reply moja kwa makosa,mlengwa alikuwa mwingine.Usijali.


 Reactions:Chakochangu

Retroviridae
Member
Joined Apr 9, 2015
 47   0
May 20, 2015


 #839

 Chakochangu said:
Kile kitabu umekisoma cha Dr Horowitz?

Bado cjakixoma ,,
utakua umerahisisha kaz ka utaquote io sehem anayosema izo chanjo husababisha hayo
magonjwa uliosema hapo juu...

& bado najiuliza kwann most of u mnaweka Dr Horowitz as ya only source??

Do u remember Disneyland smallpox outbreak?,,, ivi unajua ki2 gan kilisababisha uo ugonjwa
uspread xo fast?

 Reactions:gorgeousmimi

M
Makefra
Member
Joined May 10, 2015
 16   0
May 20, 2015


 #840

Deception katika maelezo yako unakubali kwamba AIDS ilikuwepo muda mrefu tu kabla
haijageuzwa biashara,je watu walitambuaje kuwa mtu anao?(dalili), na walithibitishaje ndio
wenyewe?(vipimo), na matibabu yalikuwaje?(dawa), na kama ulikuwa unatambulikana uliitwaje
kwa huku kwetu(Africa).Nimeuliza hivi ili tujue kama ulikuwa common hivyo kuwezesha watu
kurudi nyuma kabla ya ARV's na kupata maarifa stahiki.
Na pia kwa kuwa kwa maelezo yako ni kuwa hao HIV hawawezi kushusha CD4's kwenye
mwili,je hao HIV wana madhara gani katika mwili wa mtu au ni friendly kwenye mwili kama
baadhi ya bacteria.
 napoteza said:
Kwa uelewa wangu mm wa kizungu pori Makrefa neno has been linked but! Mpaka hapo tu anamaanisha hiv
anasingiziwa kama nakosea mnisahihishe

Ulichukua kipande kidogo cha sentensi,para nzima inasomeka kama hapa chini
HIV has been linked to AIDS but, but there is no scientific evidence that it is the sole cause
of AIDS. It is an undisputed scientific fact that it takes on an average 9 to 10 years (!) from
HIV infection to the manifestation of the symptoms of AIDS in those who develop it

Hakusema kuwa HIV hasababishi AIDS,amedai kuwa hakuna scientific evidence inayoonyesha
kuwa HIV ndio cause ya "pekee" ya AIDS,kwa namna fulani ni kama anakubali kuwa HIV ni
cause ya AIDS ila kuna vingine pia ambavyo vinaweza kusababishi AIDS na sio kwamba HIV
peke yake ndio mwenye uwezo huo.

Mwisho kabisa anadai kuwa kuna ushahidi wa kisayansi kuwa inachukua wastani wa miaka 9
mpaka 10 kwa wale waliokuwa infected na virus kudevelop symptoms za AIDS,na kwamba sio
watu wote waliokuwa infected na huyo virus watadevelop AIDS.

my take.

Sasa kama kisayansi inachukua miaka 9 mpaka 10 aliyeathirika na virus kudevelop AIDS,hizo
ARV's zinachelewesha hizo symptoms za HIV kwa muda gani ikiwa kinga ya mwili tu yenyewe
inachukua miaka 9 hadi 10?

Pia kama kuna daktari hapa anijibu post #817 ,nilisoma wengine madaktari hapa mnaowajua
muwamention kwenye post hii na #817 ,je miaka ya nyuma kwenye test ya HIV mlikuwa
mnapima CD4's au antibodies za HIV?
M
Makefra
Member
Joined May 10, 2015
 16   0
May 20, 2015


 #844

 Habari ya Mujini said:


Jenga utamaduni wakupenda kusoma..kila unacho uliza kimeshangumziwa humu ndani...

Nani amekwambia sina utamaduni wa kusoma au unaleta hisia zako hapa? Eti kila ninachouliza
kimeshajibiwa humu ndani,kwa hiyo kama majibu hayajaondoa curiosity yangu nisiulize! nipe
hayo majibu ya maswali yote niliyouliza sehemu moja au kama vipi pita kule...
Queen Kan
JF-Expert Member
Joined Dec 26, 2012
 3,460   2,000
May 20, 2015


 #845

 stunna said:
Heshima kwako mkuu deception mimi nafikiri hata hawa mods wenyew wameamua kuurudisha huu uzi upya nafkiri
baada ya kuona una fact na kuna kitu unique hapa.

My intake:
Mods nawaomba huu uzi muuweke sticky maana ni uzi ambao umegusa watu wengi na jamii kwa ujumla.

kweli kabisa
N
Napoteza
Member
Joined May 19, 2015
 77   70
May 20, 2015


 #846

makefra ndo maana nikasema ni kizungu pori sentensi inayosema has been linked to but there is
no scientific evidence that it causes aids inamaanisha kuwa hiv anahusishwa na kusababisha aids
lakini hakuna ushahidi wa kisayansi kwamba ndo analeta aids huoni kweli kabisa kwa kufikiria
na ku soma thoroughly hiyo sentensi kuwa km kitu haina scientific evidence maana yake ni
kwamba sio sababu ya mtu kuwa na Aids? ??? C'mon hebu I some hiyo kauli vizuri na pia kwa
nini u nafikiria hakusema hiv causes aids though haija wa scientifically proven???? Hiyo ni clear
language km wanavoandika this medicine may cause....... so not necessarily kwamba it a cause
na ukiona side effects of these drugs are ujue ndo mpango mzima zitaja react that way
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

N
Napoteza
Member
Joined May 19, 2015
 77   70
May 20, 2015


 #847

Na pia it takes 9 to 10 years kupata aids ukiwa na huyo virus je umeshafikiria kwamba since the
virus wanazaliana mno hadi inabidi kutumia ARV mapema huoni km ten years ni nyingi sana
kwa rate ya ku za liana kwa virus hadi kuugua? That is not the cause so anasingiziwa huyo virus
N
Napoteza
Member
Joined May 19, 2015
 77   70
May 20, 2015


 #848

Theory ndogo Makrefa


Hiv +positive + pneumonia = AIDS
Hiv-negative + pneumonia = PNEUMONIA?
I think haihitaji say an si kuona kuna shida hapo kwenye swala la HIV causes AIds
D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 20, 2015


 #849

 makefra said:
Ulichukua kipande kidogo cha sentensi,para nzima inasomeka kama hapa chini
HIV has been linked to AIDS but, but there is no scientific evidence that it is the sole cause of AIDS. It is an
undisputed scientific fact that it takes on an average 9 to 10 years (!) from HIV infection to the manifestation
of the symptoms of AIDS in those who develop it

Hakusema kuwa HIV hasababishi AIDS,amedai kuwa hakuna scientific evidence inayoonyesha kuwa HIV ndio
cause ya "pekee" ya AIDS,kwa namna fulani ni kama anakubali kuwa HIV ni cause ya AIDS ila kuna vingine pia
ambavyo vinaweza kusababishi AIDS na sio kwamba HIV peke yake ndio mwenye uwezo huo.

Mwisho kabisa anadai kuwa kuna ushahidi wa kisayansi kuwa inachukua wastani wa miaka 9 mpaka 10 kwa wale
waliokuwa infected na virus kudevelop symptoms za AIDS,na kwamba sio watu wote waliokuwa infected na huyo
virus watadevelop AIDS.

my take.
Sasa kama kisayansi inachukua miaka 9 mpaka 10 aliyeathirika na virus kudevelop AIDS,hizo ARV's
zinachelewesha hizo symptoms za HIV kwa muda gani ikiwa kinga ya mwili tu yenyewe inachukua miaka 9 hadi
10?

Pia kama kuna daktari hapa anijibu post #817 ,nilisoma wengine madaktari hapa mnaowajua muwamention kwenye
post hii na #817 ,je miaka ya nyuma kwenye test ya HIV mlikuwa mnapima CD4's au antibodies za HIV?
Click to expand...

10 scientific reasons,why HIV is not the cause of AIDS:Hebu pitia hiyo doc hapo chini, na pia
utakuta nyingine nyingi zinaendana na hiyo.Tulia kabisa wakati unapitia hiyo doc,halafu kama
unataka scientific paper kuthibitisha hiyo doc pia utapata na kama pia unataka physical evidence
katika maisha yetu ya kila siku kuthibitisha hiyo doc na hiyo scientific paper pia utapata.Karibu.

https://www.youtube.com/watch?v=pB8g0b-FkW0

 Reactions:Eiyer

Retroviridae
Member
Joined Apr 9, 2015
 47   0
May 20, 2015


 #850

 Deception said:
10 scientific reasons,why HIV is not the cause of AIDS:Hebu pitia hiyo doc hapo chini, na pia utakuta nyingine
nyingi zinaendana na hiyo.Tulia kabisa wakati unapitia hiyo doc,halafu kama unataka scientific paper kuthibitisha
hiyo doc pia utapata na kama pia unataka physical evidence katika maisha yetu ya kila siku kuthibitisha hiyo doc na
hiyo scientific paper pia utapata.Karibu.

https://www.youtube.com/watch?v=pB8g0b-FkW0

Xo deception HIV anasababisha nn?..

Afu itakua very good ka utaziweka izo physical evidence toka katika maisha yako ya kila siku..

 Reactions:gorgeousmimi
Kupe
JF-Expert Member
Joined Jul 26, 2012
 1,026   1,225
May 20, 2015


 #851

Fighting HIV where no-one admits it's a problem.......The phrase "Aids epidemic" awakens
distant memories in most of Europe, Australia or the Americas, where infection rates have
generally been in decline for years. But as former UK Health Secretary Lord Fowler explains,
the phrase is not used in Russia either - despite failed policies that have allowed infection rates to
soar........For years Russia has remained remarkably silent on the challenge it faces from HIV and
Aids. Now that silence has been broken by an epidemiologist who has been working in the field
for more than two decades - and he calls the situation "a national catastrophe"..........There are
about one million people living with HIV today in Russia and year on year the rate of infection is
rising, unlike sub-Saharan Africa where the rate of increase is slowing. This is according to
Russia's official figures, which almost everyone agrees are a substantial underestimate of the true
position.
Last year some 90,000 Russian people contracted HIV, compared with fewer than 3,000 people
in Germany, which has one of the lowest rates of HIV infection in Europe. Germany's population
may be half the size of Russia's but the difference here is a factor of 30......."We need to spend 10
times more on prevention," Pokrovsky told me recently. "We need many more resources and we
need some political decisions - and changes in the law in connection with methadone and the
private lives of individuals."......"There are 80-100 cases of HIV infection among women a day.
This is no joke - a day. They are mostly young women, aged from 25 to 35 years and they are the
main new risk group," he told me.........Almost 60% of those with HIV in Russia are injecting
drug users and a further group are the sexual partners of the drug users. The HIV virus has
spread like wildfire via contaminated needles and syringes..........Global Aids epidemic in 2013
People living with HIV35m - 31.8m adults and 3.2m children under 15
New HIV infections2.1m - 1.9m adults and 240,000 children under 15
Aids related deaths1.5m - 1.3m adults and 190,000 children under 15........Everyone agrees that
the most important aim of global policy must be to persuade more people to step forward for
HIV tests. But why should you come forward if you risk discrimination? At present only half of
those around the world with HIV know their condition, so many will continue to spread the virus
- and the battle against Aids is set back further.......haya hii ni news ya leo BBC nimejaribu
kuikata kata sana kiufupi hata europe wanapimwa , wanapewa dawa . Na wanaambiwa waachane
na un protected sex inaleta ukimwi . Kazi kwetu

 Reactions:Habari ya Mujini

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 20, 2015


 #852

 makefra said:
Deception katika maelezo yako unakubali kwamba AIDS ilikuwepo muda mrefu tu kabla haijageuzwa biashara,je
watu walitambuaje kuwa mtu anao?(dalili), na walithibitishaje ndio wenyewe?(vipimo), na matibabu yalikuwaje?
(dawa), na kama ulikuwa unatambulikana uliitwaje kwa huku kwetu(Africa).Nimeuliza hivi ili tujue kama ulikuwa
common hivyo kuwezesha watu kurudi nyuma kabla ya ARV's na kupata maarifa stahiki....

Mkuu,AIDS haikuwa ishu kubwa ya kutisha kipindi cha nyuma na watu hawakuitilia maanani
sana.Watu walikuwa wanaangalia zaidi specific diseases kama malaria,TB,pneumonia
nk.Wanatibu magonjwa husika halafu maisha yanaendelea,kwa kuwa mara nyingi mtu hupata
ugonjwa wa kuambukizwa kama kinga imeshuka kidogo,hivyo watu hawakujihusisha sana na
AIDS kama ugonjwa ila walikuwa wanajua kwamba mtu huweza kupata magonjwa mbalimbali
kama kinga ina matatizo,hivyo kulikuwa na tiba mbalimbali hasa zile za vyakula na unapewa
dawa ya ugonjwa husika kama unao,unapona kabisa na maisha yanaendelea.

AIDS imekuwa popular baada ya media kuitangaza mara kwa mara huku wakitoa video za
kutisha na kusema inasababishwa na HIV,matangazo na video za bure zilisambazwa sehemu
mbalimbali ulimwenguni hata hapa Tz tuliwahi kuletewa video hizo na kiingilio ilikuwa ni
bure.Walifanya matangazo kwa muda mrefu sana mpaka watu wakaamini kwamba AIDS ni
ugonjwa mgeni unaosababishwa na HIV.Kumbe zile dalili wanazoziona zinasababishwa na
mambo mengine kabisa tofauti na walivyoambiwa,lakini watu wanaendelea kuamini hivyo kwa
kuwa matangazo yalishaingia sana kwenye bongo zao kiasi kwamba huwezi kumshawishi mtu
kwamba HIV hawezi kusababisha AIDS.Kuna sababu nyingi sana zinazosababisha kushuka kwa
kinga yaani AIDS,lakini kwenye sababu zote hizo HIV hayumo.

 makefra said:
...Na pia kwa kuwa kwa maelezo yako ni kuwa hao HIV hawawezi kushusha CD4's kwenye mwili,je hao HIV wana
madhara gani katika mwili wa mtu au ni friendly kwenye mwili kama baadhi ya bacteria.
Hawana madhara zaidi ya labda kusababisha mafua tu kama kweli utakuwa nao,nasema hivyo
kwa kuwa HIV kutokana na genetic comp waliyoitoa hao wagunduzi ameangukia kwenye kundi
la retrovirus.Retrovirus wote hawana uwezo wa kushusha kinga.Hao wagunduzi wenyewe
hawawezi kuthibitisha kwamba HIV anashusha kinga na ndio maana mifano hai ipo mingi tu ya
watu waliopimwa HIV+ na wameishi miaka mingi tena zaidi ya hiyo 10 wanayoisema wao ya
latent period bila kupata AIDS.Hapa watakwambia kwamba kuna HIV-1 na HIV-2.HIV-2 ndio
anaweza kuvumiliwa na kinga ya mwili kwa muda mrefu sana lakini strain hii ni asilimia ndogo
sana,sasa kama strain hii ni ndogo kwanini hapa Tanzania peke yake kuna kesi nyingi sana kama
hizo?
Madaktari huwa hawakosagi jibu,hata kama hao wenyewe wanajua kwamba jibu wanalotoa
halina mantiki.

Akili kichwani.

 Reactions:Chakochangu and Eiyer

Msuya Jr.
JF-Expert Member
Joined May 31, 2013
 1,708   2,000
May 20, 2015


 #853

BBC??? same mainstream media, anyways u can take it or leave it, nobody force u into anything
here, Mr deception is either trying to educated us or lying so chose what u think Is good for u.
For what I know white people don't like black skin. Be aware, that the fact. I know some few
black st**id will say am *******, naaa u know that.

 Reactions:Habari ya Mujini, Chakochangu and Eiyer

Habari Ya Mujini
JF-Expert Member
Joined Dec 22, 2013
 2,447   2,000
May 20, 2015


 #854

 kupe said:
Fighting HIV where no-one admits it's a problem.......The phrase "Aids epidemic" awakens distant memories in most
of Europe, Australia or the Americas, where infection rates have generally been in decline for years. But as former
UK Health Secretary Lord Fowler explains, the phrase is not used in Russia either - despite failed policies that have
allowed infection rates to soar........For years Russia has remained remarkably silent on the challenge it faces from
HIV and Aids. Now that silence has been broken by an epidemiologist who has been working in the field for more
than two decades - and he calls the situation "a national catastrophe"..........There are about one million people living
with HIV today in Russia and year on year the rate of infection is rising, unlike sub-Saharan Africa where the rate of
increase is slowing. This is according to Russia's official figures, which almost everyone agrees are a substantial
underestimate of the true position.
Last year some 90,000 Russian people contracted HIV, compared with fewer than 3,000 people in Germany, which
has one of the lowest rates of HIV infection in Europe. Germany's population may be half the size of Russia's but the
difference here is a factor of 30......."We need to spend 10 times more on prevention," Pokrovsky told me recently.
"We need many more resources and we need some political decisions - and changes in the law in connection with
methadone and the private lives of individuals."......"There are 80-100 cases of HIV infection among women a day.
This is no joke - a day. They are mostly young women, aged from 25 to 35 years and they are the main new risk
group," he told me.........Almost 60% of those with HIV in Russia are injecting drug users and a further group are the
sexual partners of the drug users. The HIV virus has spread like wildfire via contaminated needles and
syringes..........Global Aids epidemic in 2013
People living with HIV35m - 31.8m adults and 3.2m children under 15
New HIV infections2.1m - 1.9m adults and 240,000 children under 15
Aids related deaths1.5m - 1.3m adults and 190,000 children under 15........Everyone agrees that the most important
aim of global policy must be to persuade more people to step forward for HIV tests. But why should you come
forward if you risk discrimination? At present only half of those around the world with HIV know their condition, so
many will continue to spread the virus - and the battle against Aids is set back further.......haya hii ni news ya leo
BBC nimejaribu kuikata kata sana kiufupi hata europe wanapimwa , wanapewa dawa . Na wanaambiwa waachane
na un protected sex inaleta ukimwi . Kazi kwetu
Click to expand...

Ulaya kila kitu kinawezekana mkuu..!


D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 20, 2015


 #855

 renyo said:
BBC??? same mainstream media, anyways u can take it or leave it, nobody force u into anything here, Mr deception
is either trying to educated us or lying so chose what u think Is good for u. For what I know white people don't like
black skin. Be aware, that the fact. I know some few black st**id will say am *******, naaa u know that.

Unajua mkuu,humu kuna watu wako nyuma sana kiuelewa,hawana foundations kabisa
zinazowawezesha kujadili mada kama hii.Hajui kwamba HIV/AIDS imekuwa popular
kwasababu ya mainstream media hizohizo alizotaja yeye,na hajui pia kwamba hizo media
zinamilikiwa na haohao wamiliki wa viwanda vya madawa.Kwakweli sisi ngozi nyeusi tuna kazi
kubwa sana kuondokana na hili tatizo.
Halafu sijui kwanini tunapenda kukumbatia vitu kama hivi,kwanini sisi ngozi nyeusi tunapenda
kutetea jambo kama hili?Tunalipwa?au ndio tunaona hawa jamaa wanatupenda sana?Mimi
nilidhani mtu anaposikia jambo geni kama hili basi anatakiwa astuke na aanze kufuatilia kama ni
kweli,maana hii ni kama habari njema,lakini kinyume chake watu wanawatetea walioanzisha
janga hili.Sisi sijui ni watu wa namna gani.

 Reactions:Raynavero, Eiyer, Msuya Jr. and 2 others

K
Kichelepure
Member
Joined Mar 31, 2014
 96   95
May 20, 2015


 #856

Mkuu deception,naomba ufafanuzi juu ya namna ya kuandaa vitu vifuatavyo ili vilete faida
mwilini;tangawizi,carrot,vitunguu maji na saumu,ukwaju na cabbege

 Reactions:Raynavero, Eiyer and Deception

Habari Ya Mujini
JF-Expert Member
Joined Dec 22, 2013
 2,447   2,000
May 20, 2015


 #857

 renyo said:
BBC??? same mainstream media, anyways u can take it or leave it, nobody force u into anything here, Mr deception
is either trying to educated us or lying so chose what u think Is good for u. For what I know white people don't like
black skin. Be aware, that the fact. I know some few black st**id will say am *******, naaa u know that.

Subiri waje wakurushie maneno mkuu...


 Reactions:renyo

Kupe
JF-Expert Member
Joined Jul 26, 2012
 1,026   1,225
May 21, 2015


 #858

Russia wanakaa waafrica?

Retroviridae
Member
Joined Apr 9, 2015
 47   0
May 21, 2015


 #859

 Deception said:
Mkuu,AIDS haikuwa ishu kubwa ya kutisha kipindi cha nyuma na watu hawakuitilia maanani sana.Watu walikuwa
wanaangalia zaidi specific diseases kama malaria,TB,pneumonia nk.Wanatibu magonjwa husika halafu maisha
yanaendelea,kwa kuwa mara nyingi mtu hupata ugonjwa wa kuambukizwa kama kinga imeshuka kidogo,hivyo watu
hawakujihusisha sana na AIDS kama ugonjwa ila walikuwa wanajua kwamba mtu huweza kupata magonjwa
mbalimbali kama kinga ina matatizo,hivyo kulikuwa na tiba mbalimbali hasa zile za vyakula na unapewa dawa ya
ugonjwa husika kama unao,unapona kabisa na maisha yanaendelea.

AIDS imekuwa popular baada ya media kuitangaza mara kwa mara huku wakitoa video za kutisha na kusema
inasababishwa na HIV,matangazo na video za bure zilisambazwa sehemu mbalimbali ulimwenguni hata hapa Tz
tuliwahi kuletewa video hizo na kiingilio ilikuwa ni bure.Walifanya matangazo kwa muda mrefu sana mpaka watu
wakaamini kwamba AIDS ni ugonjwa mgeni unaosababishwa na HIV.Kumbe zile dalili wanazoziona
zinasababishwa na mambo mengine kabisa tofauti na walivyoambiwa,lakini watu wanaendelea kuamini hivyo kwa
kuwa matangazo yalishaingia sana kwenye bongo zao kiasi kwamba huwezi kumshawishi mtu kwamba HIV hawezi
kusababisha AIDS.Kuna sababu nyingi sana zinazosababisha kushuka kwa kinga yaani AIDS,lakini kwenye sababu
zote hizo HIV hayumo.

Hawana madhara zaidi ya labda kusababisha mafua tu kama kweli utakuwa nao,nasema hivyo kwa kuwa HIV
kutokana na genetic comp waliyoitoa hao wagunduzi ameangukia kwenye kundi la retrovirus.Retrovirus wote
hawana uwezo wa kushusha kinga.Hao wagunduzi wenyewe hawawezi kuthibitisha kwamba HIV anashusha kinga
na ndio maana mifano hai ipo mingi tu ya watu waliopimwa HIV+ na wameishi miaka mingi tena zaidi ya hiyo 10
wanayoisema wao ya latent period bila kupata AIDS.Hapa watakwambia kwamba kuna HIV-1 na HIV-2.HIV-2
ndio anaweza kuvumiliwa na kinga ya mwili kwa muda mrefu sana lakini strain hii ni asilimia ndogo sana,sasa
kama strain hii ni ndogo kwanini hapa Tanzania peke yake kuna kesi nyingi sana kama hizo?
Madaktari huwa hawakosagi jibu,hata kama hao wenyewe wanajua kwamba jibu wanalotoa halina mantiki.
Akili kichwani.
Click to expand...

Duuh"" io Kali.. sa chakufanya ki2 kimoja ..umesema kwamba HIV hasababishi AIDs ,
anasababisha mafua. .. Fresh 2 ..

Unaonaje 2kaingia kwenye njia ya vitendo??


2taftane tusainishane documents mbele ya lawyer

Then nkupe intravenous injection ya serum from infected patient .. niwe namonitor CD4 count
zako periodically afu natoa feedback kwa wakereketwa...?? ...

Unaonaje 2kawa sweet example katka kuondoa uo utata ?


 retroviridae said:
Duuh"" io Kali.. sa chakufanya ki2 kimoja ..umesema kwamba HIV hasababishi AIDs , anasababisha mafua. ..
Fresh 2 ..

Unaonaje 2kaingia kwenye njia ya vitendo??


2taftane tusainishane documents mbele ya lawyer

Then nkupe intravenous injection ya serum from infected patient .. niwe namonitor CD4 count zako periodically afu
natoa feedback kwa wakereketwa...?? ...

Unaonaje 2kawa sweet example katka kuondoa uo utata ?


Click to expand...

He he heee! yaani umeona hilo ni suala zito saaaana kiasi cha kusainishana.Mbona watu wengi
walishafanya hivyo na hakuna la maana lililotokea?Wamefanya hivyo lakini watu wameendelea
kuwa na imani ileile ya zamani,unajua ukiamini sana suala hili unakuwa kama mbuzi au
ng'ombe,hata ukishawishiwa kwa evidence ya namna gani huwezi kubadilika kwa sababu
unakuwa huna consciousness.

Na pia kabla mimi sijafanya hivyo unavyotaka,mbona kuna watu wengi tu wamepimwa HIV+ na
wana afya njema na hawatumii ARVs zaidi ya miaka yenu 10 ya latency na bado CD4 ziko juu
sana?Hawa nina uhakika hata wewe unajua kwamba wapo,lakini cha ajabu,kwa nini hutaki
kuwatumia hawa kama evidence na unang'ang'ania mimi ndio niwe evidence?Najua hata kama
nitathibitisha kwa kujidunga huyo HIV feki haitabadilisha chochote kwenye kile unachokijua na
badala yake utatafuta theory ya kuelezea kwanini sikudhurika kama mnavyofanya kwa watu
wengine.Kubadilika kiuelewa kunaanzia kwako mwenyewe hakutokei kwa kulazimishwa na mtu
mwingine,hivyo basi sina haja ya kukulazimisha.

Wewe una uelewa mdogo sana kuhusu hii biashara ya ARVs,huu ni mtandao mpana sana wewe
hujui.Robert Willner alijidunga damu ya mtu mwenye huyo HIV mara kadhaa lakini hakuna cha
maana kilichotokea tena mbele ya waandishi wa habari,badala ya waandishi kushangazwa na
tendo hili walikuwa wanachekacheka tu,si unaona kama binadamu hana consciousness
anakuwaje?Anakuwa kama mbuzi au ng'ombe,hajiulizi,wale waandishi wa habari walikuwa
wanachekacheka tu na lecture ilipoisha watu waliendelea na imani zao za zamani.

 Reactions:Raynavero, amaizing and Eiyer

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 21, 2015


 #871

 Kaunga said:
Monkeys wana SIV yao na haiwasumbui sana. Mbona yule Dr Robert alijiinject na sio mara moja au mbili? Si
alikuwa na uhakika na anachokifanya kama Deception alivyo ns uhakika wa anachokiongea.
I am sure ikiwa proven hata Dr Asprin atafurahi maana unadhani anafurahia macondom ni basi tu.

We utakuwa hujui vitu vingi sana halafu hujijui kama hujui.Fungua kidogo milango yako ya
fahamu kabla ya kusoma kile alichoandika mwenzako.
Angalia unavyojichanganya;Kwanza unakubali kwamba Dr.Robert Willner alifanya hivyo,sasa
kwanini huamini kilichotokea mpaka mimi nifanye tena,unless uniambie huamini kama kweli
alifanya.Nina mashaka kama kweli unasoma yale ninayoandika.Ukitaka kuelewa kwanza ondoa
kasumba mbaya iliyopo ndani ya bongo yako,vinginevyo ninakuhakikishia hutaelewa jambo hili
na mambo mengine mengi muhimu yatakayokuja halafu utapata hasara kubwa wewe mwenyewe
na ndugu zako wa karibu.

 Reactions:Eiyer

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 21, 2015


 #872

 Rejao said:
Hata mimi nakubaliana na idea yake. BTW nikiangalia meaning ya ID Deception naona kabisa inamreflect alivyo.
Tukicheza atawaingiza watu wengi chaka waanze kujiachia mwisho waangamie.

Unaona kasumba ilivyo mbaya?Yaani hata kabla sijajidunga huyo HIV wenu kama mwenzako
alivyotaka,tayari wewe huamini na umeshahitimisha.Kwa maana hiyo tayari una jibu kwenye
ubongo wako.Hata kama mimi nitathibitisha kwa kujidunga HIV huyo wewe utasema labda
itakuwa hivi....labda itakuwa vile....lakini hamna....aaah...haiwezekani....

Halafu utaendelea na imani ileile ya zamani na mtakuwa mmeshanipotezea muda wangu.


 Reactions:Eiyer

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 21, 2015


 #873

 Kaunga said:
Nafikiri ID yake ni kuonesha msisitizo kuwa ni kiasi gani we have been unde decrption? Just trying to understand
the logic behind.... but I am just Kaunga trying to understand complex things.

Mnapeana moyo wenyewe.Ha ha haaa!yaani vipofu wakitembea pamoja bwana...ni shiiida


sana...
D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 21, 2015


 #874

 kimbisi mbisi said:


Hata hivyo kuchukua tahadhari ni mhimu sana mkuu, usije sema hivyo ndo watu wakajiachia, wa jiulize swali dogo
tu, walioupata wamepataje??

Waliopata nini?

 Reactions:Eiyer

Kupe
JF-Expert Member
Joined Jul 26, 2012
 1,026   1,225
May 21, 2015

 #875

Fighting HIV where no-one admits it's a problem.......The phrase "Aids epidemic" awakens
distant memories in most of Europe, Australia or the Americas, where infection rates have
generally been in decline for years. But as former UK Health Secretary Lord Fowler explains,
the phrase is not used in Russia either - despite failed policies that have allowed infection rates to
soar........For years Russia has remained remarkably silent on the challenge it faces from HIV and
Aids. Now that silence has been broken by an epidemiologist who has been working in the field
for more than two decades - and he calls the situation "a national catastrophe"..........There are
about one million people living with HIV today in Russia and year on year the rate of infection is
rising, unlike sub-Saharan Africa where the rate of increase is slowing. This is according to
Russia's official figures, which almost everyone agrees are a substantial underestimate of the true
position.
Last year some 90,000 Russian people contracted HIV, compared with fewer than 3,000 people
in Germany, which has one of the lowest rates of HIV infection in Europe. Germany's population
may be half the size of Russia's but the difference here is a factor of 30......."We need to spend 10
times more on prevention," Pokrovsky told me recently. "We need many more resources and we
need some political decisions - and changes in the law in connection with methadone and the
private lives of individuals."......"There are 80-100 cases of HIV infection among women a day.
This is no joke - a day. They are mostly young women, aged from 25 to 35 years and they are the
main new risk group," he told me.........Almost 60% of those with HIV in Russia are injecting
drug users and a further group are the sexual partners of the drug users. The HIV virus has
spread like wildfire via contaminated needles and syringes..........Global Aids epidemic in 2013
People living with HIV35m - 31.8m adults and 3.2m children under 15
New HIV infections2.1m - 1.9m adults and 240,000 children under 15
Aids related deaths1.5m - 1.3m adults and 190,000 children under 15........Everyone agrees that
the most important aim of global policy must be to persuade more people to step forward for
HIV tests. But why should you come forward if you risk discrimination? At present only half of
those around the world with HIV know their condition, so many will continue to spread the virus
- and the battle against Aids is set back further.......haya hii ni news ya leo BBC nimejaribu
kuikata kata sana kiufupi hata europe wanapimwa , wanapewa dawa . Na wanaambiwa waachane
na un protected sex inaleta ukimwi . Kazi kwetu

 Reactions:gorgeousmimi and retroviridae

Kupe
JF-Expert Member
Joined Jul 26, 2012
 1,026   1,225
May 21, 2015

 #876

Nimeuliza naona blah blah tu...... je hao watu wa ulaya nao wanadanganywa......je nao ni weusi?
Maana kuna mtu kasema sisi weusi wazungu hawatupendi

 Reactions:retroviridae and gorgeousmimi

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 21, 2015


 #877

 retroviridae said:
Xo deception HIV anasababisha nn?..

Afu itakua very good ka utaziweka izo physical evidence toka katika maisha yako ya kila siku..

Ngoja nikuulize maswali ya kukusaidia,maana hapa tuko kusaidiana na si kubishana:

1.Unajua uwezo wa Prof.Peter Duesberg?Unajua huyu mtu amefanya nini kwenye historia ya
medicine?Unajua serikali ya Marekani ilimchukuliaje huyu mtu kabla hajaanza kupinga suala
hili?Na mwisho,umeshawahi kujiuliza kwanini anapingana na suala hili?

2.Unajua uwezo wa Prof.Kary Banks Mullis yule mgunduzi wa PCR kipimo kinachotegemewa
kupimia HIV?Unajua huyu mtu amefanya nini kwenye historia ya medicine?Unajua kwanini
huyu mtu pamoja na ugunduzi wake lakini anapinga kama HIV anasababisha AIDS?

3.Unajua kwanini hawa watu hawaruhusiwi kuingia kutoa lecture kwenye international AIDS
conferences?Unajua kwa nini pia hawaruhusiwi ku publish findings zao kwenye medical
journals?

4.Kuna watu wengi kama hawa siwezi kuwataja wote.Lakini umeshajiuliza kwa nini wanapinga?
Halafu wengine walitoa hoja zao kipindi kirefu nyuma,na hoja zao zilionekana na zinaendelea
kuonekana katika maisha yetu ya kila siku na specifically hapa kwetu,Je,kinachotokea sasa ni
utabiri wao au ukweli wa yale walisema au wamebahatisha?

Mimi siko hapa kukulazimisha,ni vizuri ukaangalia na upande wa pili pia.

NB:
Mgunduzi wa HIV Dr.Robert Gallo na Prof.Peter Duesberg walikuwa wanafanya research ya
aina moja miaka ya 1970 kuhusu virus that would cause cancer,Robert Gallo alichemka na Peter
Duesberg alifanikiwa.Unaona tofauti ya uwezo wa watu hawa wawili?Si jambo hili moja tu
linaloweza kuelezea uwezo wa watu hawa wawili,yapo mengine,huo ni mfano mmoja tu.

Mwanasayansi halisi lazima awe tofauti na mwanasayansi wa kibiashara.


 Reactions:Eiyer

Gorgeousmimi
JF-Expert Member
Joined Jun 21, 2010
 8,863   1,500
May 21, 2015


 #878

 retroviridae said:
Duuh"" io Kali.. sa chakufanya ki2 kimoja ..umesema kwamba HIV hasababishi AIDs , anasababisha mafua. ..
Fresh 2 ..

Unaonaje 2kaingia kwenye njia ya vitendo??


2taftane tusainishane documents mbele ya lawyer

Then nkupe intravenous injection ya serum from infected patient .. niwe namonitor CD4 count zako periodically afu
natoa feedback kwa wakereketwa...?? ...

Unaonaje 2kawa sweet example katka kuondoa uo utata ?


Click to expand...

Nimependa hii ha ha ha!Umenifurahisha Dr.


D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 21, 2015


 #879

 kupe said:
Nimeuliza naona blah blah tu...... je hao watu wa ulaya nao wanadanganywa......je nao ni weusi? Maana kuna mtu
kasema sisi weusi wazungu hawatupendi
Hiyo ya "sisi weusi wazungu hawatupendi" si hoja ya msingi itakayotufanya tujue ukweli halisi
uko wapi,la hasha.Je,wewe huoni kwamba unaegemea kwenye hoja ambayo sio ya msingi?
Kwanini unaacha hoja nyingi tu za msingi?Hayo ya ulaya tulishayazungumza sana na yana
maelezo yake lakini ili uyaelewe unahitaji kujua mambo mengi pia,huwezi kuandika neno 'baba'
kama hujui herufi za abc...
Twende kwenye hoja za msingi tu na ni rahisi sana kuzielewa na zina mifano mingi mtaani na
mahospitalini pia.Kuhusu mambo ya ulaya si rahisi kuyaelewa,twende kwenye mambo ya
hapahapa Tz/Afrika kwanza kama kweli umejikita kwenye kuelewa.

 Reactions:Eiyer

Gorgeousmimi
JF-Expert Member
Joined Jun 21, 2010
 8,863   1,500
May 21, 2015


 #880

 kupe said:
Nimeuliza naona blah blah tu...... je hao watu wa ulaya nao wanadanganywa......je nao ni weusi? Maana kuna mtu
kasema sisi weusi wazungu hawatupendi

Hana majibu ndio maana anaspeculate hana evidence yoyote na anayoyasema ameamka tu
kaanza kunadi Ukimwi hauexist ili auwe maelfu ya watu watakaomuamini.Sijui mtu utaishije na
such guilty conscious dah its sad na nikiona watu wanavyomuamini nasikitika tu!!!
 gorgeousmimi said:
Hana majibu ndio maana anaspeculate hana evidence yoyote na anayoyasema ameamka tu kaanza kunadi Ukimwi
hauexist ili auwe maelfu ya watu watakaomuamini.Sijui mtu utaishije na such guilty conscious dah its sad na
nikiona watu wanavyomuamini nasikitika tu!!!

Dr.niliwahi kukurekebisha lakini nadhani bado hujagundua,nafikiri kwa sababu ya bias,lakini


usijali,ni ubinadamu tu;

Mimi sikuwahi kusema kwamba ukimwi haupo,nilisema kwamba hakuna ukimwi


unaosababishwa na HIV/VVU.Hivyo hoja zetu zilitakiwa ziegemee hapo.Nadhani sasa
umenielewa.Ukimwi na VVU/Ukimwi ni mambo mawili tofauti,umeelewa sasa?

Haya twende hoja nyingine;

Hao unaowaheshimu wewe kwamba ndio wanajali maisha yetu na wale wanaopinga
unaowadharau kwamba ndio hawajali maisha yetu ni kinyume chake.Huwezi kutambua hili
mpaka uondoe utongo kwenye macho yako.Hebu jiulize,wale wanaopinga wanapata faida gani?
Vipi kuhusu wanaotetea,obviously tunajua wanafaidika kwa kuendelea kuuza dawa za ARVs na
zinazoendana nazo.Je,unajua wanapata jumla ya dola ngapi kwa mwaka kwa kuuza ARVs
ambazo bado hazitibu chochote?

Na pia je,unajua kwamba ARVs zinaua watu wengi na zinaendelea kuua hadi muda huu
tunaoongea?Unajua hilo?Huoni kama mimi napigania maisha ya watu hapa?

Mimi naweza kuthibitisha kwamba ARVs ndizo zinazoua,je,wewe unaweza kuthibitisha


kwamba ARVs haziui?

Mbona Dr.unapenda kujadili hoja nyepesi sana halafu zile nzito unaziruka?Kwa nini?

Ushauri:
Ni jukumu lako kupinga,lakini ninakuomba,hata kama unaendelea kupinga lakini jaribu kufanya
utafiti kuchunguza hili jambo.Wewe ni mtu unayetegemewa na jamii.Ni vizuri unaposikia jambo
kama hili kulifanyia utafiti.Ukijua upande wa pili wa suala hili hata uwezo wako wa kuhudumia
wagonjwa utakuwa mkubwa kuliko madaktari wa kawaida.
Ni ushauri tu.

 Reactions:kimbisi mbisi and Eiyer

Gorgeousmimi
JF-Expert Member
Joined Jun 21, 2010
 8,863   1,500
May 21, 2015


 #892

 warumi said:
Khaa? Seriously? Kumbe mnajua kuwa zina madhara so why muendelee kuwapa watu? Kwa nini wasitafute njia
mbadala ili watu waepuke na hayo madhara ya madawa? USijibu majibu mepesi dokta kwenye ishu nzito kama hii,
go deep tufafanulie

Zamani watu wakila mitishamba kwasababu hakukuwa na advanced technology ya madawa.Na


dawa nyingi zinatokea kwenye mimea ila zinakuwa synthethized na kuwekwa ingredients
nyingine ili ziwe madhubuti zaidi.Au zinakuwa semi synthesized.Kwani we ulifikiri dawa
inatokea wapi warumi?
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

 Reactions:warumi

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 21, 2015


 #893

 gorgeousmimi said:
Hakuna dawa isiyokuwa na side effects elewa nilichosema....kaishi miaka 12 ni dawa zimemrefushia
maisha....Unadhani asingekula dawa angeishi miaka mingapi?Kwani dhumuni la dawa za ukimwi ni nini?Kuwapa
watu side effects ili wafe haraka ama?ndicho unachojaribu kuproclaim??

Hakuna dawa isiyokuwa na side effects, nani asiyejua? Please doctor be a professional, ni bora
uendelee kukaa kimya kuliko kuendelea kuiaibisha taaluma yako na wewe mwenyewe, kama
wewe daktari umeshindwa kuja na uthibitisho wa kisayansi, ataweza Deception ambaye sio
dokta kama wewe? Wewe ushahid wako uko wapi ili tukuamini wewe?
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

 Reactions:Eiyer

Gorgeousmimi
JF-Expert Member
Joined Jun 21, 2010
 8,863   1,500
May 21, 2015


 #894

 warumi said:
Your argument are so cheap doctor, is that all what you can ask? Kwa nini usituthibitishie wewe daktari uliyesoma
kuhusu unayoyapinga? Kwa nn na wewe usituletee vithibitisho vyako vya kumpinga Deception? Vinginevyo apa
sioni hoja yeyote, mara mia deception katupa ushahid kutoka kwa wataalamu wenyewe waliogundua ukimwi, je
nyie madaktari mna hoja gani ya kisayansi ya kumpinga?
Yeye ndo anayepinga kama ukimwi haupo ndo ajitoe tuthibitishe mimi NASEMA UKIMWI
UPO NA UNAUA NA UKIAMINI HAUPO NA UNAKUNYWA JUISI YA MAEMBE
NAKUSHESABIA SIKU ZA KUISHI!!

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 21, 2015


 #895

 gorgeousmimi said:
Hana majibu ndio maana anaspeculate hana evidence yoyote na anayoyasema ameamka tu kaanza kunadi Ukimwi
hauexist ili auwe maelfu ya watu watakaomuamini.Sijui mtu utaishije na such guilty conscious dah its sad na
nikiona watu wanavyomuamini nasikitika tu!!!

Tupe evidence zako basi daktari, vinginevyo usiendelee kupoteza muda, kama wewe daktari
unashindwa kuja na ushahid wa kidaktari unadhan tutakuamini?

 Reactions:Eiyer

Gorgeousmimi
JF-Expert Member
Joined Jun 21, 2010
 8,863   1,500
May 21, 2015


 #896

 warumi said:
Hakuna dawa isiyokuwa na side effects, nani asiyejua? Please doctor be a professional, ni bora uendelee kukaa
kimya kuliko kuendelea kuiaibisha taaluma yako na wewe mwenyewe, kama wewe daktari umeshindwa kuja na
uthibitisho wa kisayansi, ataweza Deception ambaye sio dokta kama wewe? Wewe ushahid wako uko wapi ili
tukuamini wewe?
Nilete ushahidi mara ngapi wewe acha kujitoa faham!!Vithibitisho viletewe mara ngapi?Huyo
deception kaleta vithibitisho gani vya kisayansi hapa zaidi ya speculatons?

Gorgeousmimi
JF-Expert Member
Joined Jun 21, 2010
 8,863   1,500
May 21, 2015


 #897

 warumi said:
Tupe evidence zako basi daktari, vinginevyo usiendelee kupoteza muda, kama wewe daktari unashindwa kuja na
ushahid wa kidaktari unadhan tutakuamini?

we endelea kumuamini Deception ka alivyosema definition amekupa sumu yake loool


Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

Kaunga
JF-Expert Member
Joined Nov 28, 2010
 12,573   2,000
May 21, 2015


 #898

 gorgeousmimi said:
Ndio wanachosema hivo hakuna kirusi anayeitwa ukimwi sasa sijui hakuna virusi kabisa maana wapo wengi
teh......Kuna kichocho naona :becky:

Naamini ukimaanisha HIV na sio ukimwi

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 21, 2015


 #899

 gorgeousmimi said:
Nimependa hii ha ha ha!Umenifurahisha Dr.

Na sisi tungependa zaidi ungekuja na urhibitisho wako ili tukuamini, vinginevyo nakuona
shabiki tu usiyejielewa (samahani )

 Reactions:amaizing and Eiyer

Gorgeousmimi
JF-Expert Member
Joined Jun 21, 2010
 8,863   1,500
May 21, 2015


 #900

 warumi said:
Na sisi tungependa zaidi ungekuja na urhibitisho wako ili tukuamini, vinginevyo nakuona shabiki tu usiyejielewa
(samahani )

Yah mimi sijielewi na wanasayansi wote wanaopigana kuhusiana na vita ya ukimwi


hawajielewi,wanaoresearch kutengeneza dawa ya kuua virusi hawajielewi....mnajielewa nyie
wakina warumi au unaonaje??Halafu ka ulikuwa ukinisubiria ha ha ha nimekuja tu nawe
umezuka looool mabwaku
 warumi said:
Your argument are so cheap doctor, is that all what you can ask? Kwa nini usituthibitishie wewe daktari uliyesoma
kuhusu unayoyapinga? Kwa nn na wewe usituletee vithibitisho vyako vya kumpinga Deception? Vinginevyo apa
sioni hoja yeyote, mara mia deception katupa ushahid kutoka kwa wataalamu wenyewe waliogundua ukimwi, je
nyie madaktari mna hoja gani ya kisayansi ya kumpinga?

Mimi naomba ampinge Dr Peter au Robert Willner


Dr. Peter anasema HIV yupo ila hasababishi Ukimwi afuatilie machapisho yake halafu ampinge.
Dr. Robert aliyesema hakuna HIV na akajidunga damu ya the so called HIV+ ambao ni AIDS
patients.
Aachane na deception adeal na real scientists ambao wanaopinga hii kitu.
Pia ampinge Dr Luc founder wa HIV anayesema kutest HIV+ sio lazima uumwe ukimwi. Na
kwamba body immunity ikiwa nzuri baadaye waweza kukutwa negative na kwamba with good
nutrition na antioxidant virusi wanapotea.
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

 Reactions:napoteza, Habari ya Mujini, warumi and 2 others

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 21, 2015


 #907

 gorgeousmimi said:
Yah mimi sijielewi na wanasayansi wote wanaopigana kuhusiana na vita ya ukimwi hawajielewi,wanaoresearch
kutengeneza dawa ya kuua virusi hawajielewi....mnajielewa nyie wakina warumi au unaonaje??Halafu ka ulikuwa
ukinisubiria ha ha ha nimekuja tu nawe umezuka looool mabwaku

Yote unayoyajua wewe kuhusu ukimwi tunayajua sana,na tumeshasikia vifo vingi sana vya
ukimwi,tunataka hoja zenye mashiko, tunataka point zako na wewe, je ulifanya research au
kusoma kuhusu UKIMWI na ARV ili utueleweshe vizur? njoo na ushahid kutoka kwa
wanasayansi,ata ku google unashindwa? Kweli dokta? Unashindwa kuja na hoja zako za msingi
na kuambatanisha na maelezo kutoka google or something? Maneno yako ni matupu sana, yapo
uchi, yani kila mtu anayajua apa, unadhani sisi hatujui kuwa ukimwi upo? ,jengea hoja zenye
mashiko uje apa

 Reactions:Eiyer

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 21, 2015


 #908

 gorgeousmimi said:
Yeye ndo anayepinga kama ukimwi haupo ndo ajitoe tuthibitishe mimi NASEMA UKIMWI UPO NA UNAUA NA
UKIAMINI HAUPO NA UNAKUNYWA JUISI YA MAEMBE NAKUSHESABIA SIKU ZA KUISHI!!

mmh! hapa kuna walakini,pamoja na kukuelekeza kote kule lakini unarudia jambo lilelile,kwa
nini Dr.?Narudia tena,mimi sikusema hakuna ukimwi bali nilisema hakuna ukimwi
unaosababishwa na VVU/HIV,ukimwi na VVU/Ukimwi ni mambo mawili tofauti Dr.Au wewe
huoni tofauti hapo?

 Reactions:warumi, Eiyer, Diplomatic Imunnity and 2 others

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 21, 2015


 #909

 gorgeousmimi said:
Hakuna dawa isiyokuwa na side effects elewa nilichosema....kaishi miaka 12 ni dawa zimemrefushia
maisha....Unadhani asingekula dawa angeishi miaka mingapi?Kwani dhumuni la dawa za ukimwi ni nini?Kuwapa
watu side effects ili wafe haraka ama?ndicho unachojaribu kuproclaim??

Dr.vipi ya matatizo yaliyomuua yule mgonjwa kwenye ile quote,yaani mapafu,ini na


figo,Je,yalisababishwa na HIV?

 Reactions:warumi and Eiyer

Gorgeousmimi
JF-Expert Member
Joined Jun 21, 2010
 8,863   1,500
May 21, 2015


 #910

 Deception said:
mmh! hapa kuna walakini,pamoja na kukuelekeza kote kule lakini unarudia jambo lilelile,kwa nini Dr.?Narudia
tena,mimi sikusema hakuna ukimwi bali nilisema hakuna ukimwi unaosababishwa na VVU/HIV,ukimwi na
VVU/Ukimwi ni mambo mawili tofauti Dr.Au wewe huoni tofauti hapo?
Sasa kama hakuna VVU,,kutakuwa na ukimwi(AIDS) ndo hakuna na ndivo ulivyosema.

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 21, 2015


 #911

 gorgeousmimi said:
Tatizo mmeshaamua kubase kwenye upande mmoja Deception na blah blah zake ndo kafuzu maana anajua kuwapa
illusions za ubongo!

Deception hana maneno matupu, maneno yake hayapo uchi kama yenu, yote mnayoyazungumzia
kuhusu UKIMWI na ARV tumeshayasikia sana ni kama nyimbo za taifa yani, nataka mjaribu
kuwa wadadisi nyie wenyewe, yani mnashindwa ata ku google taarifa na maelezo yenu mkaja
nayo kujitetea humu?, yani hoja zenu nyepesi, nyie ndio mnaonekana mmekaririshwa kuhusu
UKIMWI na ARV, hamjui chochote, tunaanza kuwaogopa, kwa maneno yenu tu inatosha sana
watu kuwaogopa humu, maana maelezo yenu yanaonyesha tu kuwa mmekaririshwa kuhusu
UKIMWI, yani mnavyojua nyie kuhusu ukimwi, ata sisi tunajua hivyo hvyo, so nyie hamna
jipya ndio maana hakuna anayetaka kuwasikiliza, yani mmechacha kimawazo na kudoda uwezo
wenu wa kufikir
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

 Reactions:naa and Eiyer

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 21, 2015


 #912

 gorgeousmimi said:
Unaonaje ujitoe mhanga mr Deception ka alivyosuggest retroviridae tupate vithibitisho kuhusu maneno yako?

Kabla sijafanya hivyo,je,umesoma vizuri jibu nililompa jamaa,umelielewa?


 Reactions:Eiyer

Kaunga
JF-Expert Member
Joined Nov 28, 2010
 12,573   2,000
May 21, 2015


 #913

 warumi said:
You might be right kabisa, ila tatizo lipo kwenu, nyie ndio mnatakiwa mtuelimishe sisi vizur, unadhani kwa nini
watu wote humu wengi wanamwamin deception? Nyie hamna hoja kabisa mpo watupu kabisa, hilo ndio tatizo, yani
mpo kiushabiki zaidi kuliko kutaka kututoa huu ukungu kwa vielelezo vya kuaminika

Warumi my dear, wengi wetu tunapenda sana Deception awe right hata hao madaktari nao
wanapenda; why? Because they are also affected and infected just like anyone else. So habari
kuwa HIV haipo au haileti Ukimwi ni good news kwa wote ambao hawanufaiki na biashara ya
Ukimwi. Hata wafanyakazi wa tacaids nao wangefurahi kama huyu mdudu asingekuwepo. Issue
ni kwamba wengi wetu tumeona vifo na mateso mengi ya 'ukimwi' pasipo hata matumizi ya arv
na pia tumeona wengi waliokuwa positive muda mfupi wakianza kunywa arv wanakufa. Sasa
ndio hapo tunapochanganyikiwa.
gorgeousmimi ni kweli wengi wanafurahia maelezo ya deception kwasababu
1. Yanaleta matumaini
2. Kuna vitu vingi pro hiv wanashindwa kuvielezea kama kweli wao wenyewe wanavielewa
3. Kungekuwa na scientific debate kati ya Wanasayansi wakubwa pro hiv na hiv denialists
ingesaidia sana
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

 Reactions:naa, warumi, napoteza and 2 others

Gorgeousmimi
JF-Expert Member
Joined Jun 21, 2010
 8,863   1,500
May 21, 2015

 #914

 warumi said:
Yote unayoyajua wewe kuhusu ukimwi tunayajua sana,na tumeshasikia vifo vingi sana vya ukimwi,tunataka hoja
zenye mashiko, tunataka point zako na wewe, je ulifanya research au kusoma kuhusu UKIMWI na ARV ili
utueleweshe vizur? njoo na ushahid kutoka kwa wanasayansi,ata ku google unashindwa? Kweli dokta? Unashindwa
kuja na hoja zako za msingi na kuambatanisha na maelezo kutoka google or something? Maneno yako ni matupu
sana, yapo uchi, yani kila mtu anayajua apa, unadhani sisi hatujui kuwa ukimwi upo? ,jengea hoja zenye mashiko
uje apa

NIMEWEKA LINK YA ARTICLE JUU kuhusu swali la mleta uzi uliisoma?


I DONT THINK SO!!
N
Napoteza
Member
Joined May 19, 2015
 77   70
May 21, 2015


 #915

Gorgeousmimi hata Deception akichoma hiyo sindano na asipopata hao virus mtakimbilia hana
Co receptors za hao virus kujiatach! Na pia jinsi madoctor mlivo ni wagonjwa wangapi
mmeshachunguza patners wao na mkatoa majibu ya kuwa hao hawana hizo Co receptor? Sana
sana mnajibu tu kwa wepesi kuwa inawezekana ww ukawa una sijui CXR5 whatever you call it
bila ku counter check! It's never ur duties to satisfy your coriosity it's a question of what you
have been fed in medical school

 Reactions:Habari ya Mujini, arafa255, Eiyer and 1 other person

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 21, 2015


 #916

 gorgeousmimi said:
Nilete ushahidi mara ngapi wewe acha kujitoa faham!!Vithibitisho viletewe mara ngapi?Huyo deception kaleta
vithibitisho gani vya kisayansi hapa zaidi ya speculatons?
Nilishawahi kukuuliza,uthibitisho wa kisayansi ni upi?Unaweza kuutofautisha vipi na
speculation?Hukunijibu.

 Reactions:Eiyer

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 21, 2015


 #917

 Kaunga said:
Mimi naomba ampinge Dr Peter au Robert Willner
Dr. Peter anasema HIV yupo ila hasababishi Ukimwi afuatilie machapisho yake halafu ampinge.
Dr. Robert aliyesema hakuna HIV na akajidunga damu ya the so called HIV+ ambao ni AIDS patients.
Aachane na deception adeal na real scientists ambao wanaopinga hii kitu.
Pia ampinge Dr Luc founder wa HIV anayesema kutest HIV+ sio lazima uumwe ukimwi. Na kwamba body
immunity ikiwa nzuri baadaye waweza kukutwa negative na kwamba with good nutrition na antioxidant virusi
wanapotea.

KIla mtu humu anajua ku google kama wewe, ata ukitaka mimi nita google kama wewe, je
unadhani utaelewa kwa mfumo huo ndugu? Jifunze kujenga hoja mwenyewe kwanza, maneno
yenu yapo uchi sana kila mtu anayajua, so kama nikimjua huyo robert then what labda? I want to
hear from u zaidi ili nikuamini kwanza wewe kabla ata ya hayo maelezo ya ku google, we
unadhan kama mimi sikuamini wewe nitaweza amini maelezo yako ya ku google? Jifunze
kutetea hoja zako wewe mwenyewe kwa akili yako
D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 21, 2015


 #918

 Kaunga said:
Naamini ukimaanisha HIV na sio ukimwi

Unamrekebisha daktari wako?


Kaunga
JF-Expert Member
Joined Nov 28, 2010
 12,573   2,000
May 21, 2015


 #919

 gorgeousmimi said:
Sasa kama hakuna VVU,,kutakuwa na ukimwi(AIDS) ndo hakuna na ndivo ulivyosema.

Back in early 2000 kulikuwa na nurse mmoja kwenye one of the national parks. Aliniambia hata
matumizi ya muda mrefu ya antibiotic yanaweza leta upungufu wa kinga mwilini. Namkubali
sana huyo nurse. Hii ilikuwa kabla sijasikia kuhusu hiv denial.
So my dear Ukimwi unaweza sababishwa na kitu kingine na sio lazima hiv.

 Reactions:warumi, Chakochangu, Deception and 1 other person

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 21, 2015


 #920

 Kaunga said:
Mimi naomba ampinge Dr Peter au Robert Willner
Dr. Peter anasema HIV yupo ila hasababishi Ukimwi afuatilie machapisho yake halafu ampinge.
Dr. Robert aliyesema hakuna HIV na akajidunga damu ya the so called HIV+ ambao ni AIDS patients.
Aachane na deception adeal na real scientists ambao wanaopinga hii kitu.
Pia ampinge Dr Luc founder wa HIV anayesema kutest HIV+ sio lazima uumwe ukimwi. Na kwamba body
immunity ikiwa nzuri baadaye waweza kukutwa negative na kwamba with good nutrition na antioxidant virusi
wanapotea.
Please boy, grow up, do you think i dont know how to google? Jenga hoja zako mwenyewe
kwanza, do you think naweza kuamini maelezo yako uliyoya google bila kukwamin wewe? Be
smart sana, huu ni utoto, Robert has nothing to to with anything here kama wewe mwenyewe
ubongo wako umechacha, I know how to google too..
Warumi Kitu nimegundua ni kuwa doctors way of thinking is limited to the books they don't
ever get curious Hivi Gorgeousmimi kweli kama mna claim hiv takes 9 to 10 years to get aids
while hizo dawa it takes 12 to live na mtu anakuwa na mateso ya hizo dawa for 12 years kuna
haja gani ya kuzinywa? 2 years difference is it worth it kweli? Am suprised

 Reactions:Deception, Eiyer, warumi and 1 other person

Kaunga
JF-Expert Member
Joined Nov 28, 2010
 12,573   2,000
May 21, 2015


 #922

 Deception said:
Unamrekebisha daktari wako?

Duh so mnafikiri mimi niko kwenye side yoyote? Mimi ninataka sana kuelewa ndio maana
nikawaita madaktari ninaowajua wa humu.

 Reactions:Eiyer and Deception

N
Napoteza
Member
Joined May 19, 2015
 77   70
May 21, 2015


 #923

Halafu hawa ma dr wanatwist questions sasa hata ukimwi mnaita virus?? Go back to school na
hapa debate si kuwa ukimwi hamna Gorgeous mimi ni kuwa HIV virus hasababishi ukimwi
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

 Reactions:Eiyer

Elungata
JF-Expert Member
Joined Jan 28, 2011
 32,225   2,000
May 21, 2015


 #924

ukimwi haupo,wakeup peopleee........

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 21, 2015


 #925

 Kaunga said:
Mimi naomba ampinge Dr Peter au Robert Willner
Dr. Peter anasema HIV yupo ila hasababishi Ukimwi afuatilie machapisho yake halafu ampinge.
Dr. Robert aliyesema hakuna HIV na akajidunga damu ya the so called HIV+ ambao ni AIDS patients.
Aachane na deception adeal na real scientists ambao wanaopinga hii kitu.
Pia ampinge Dr Luc founder wa HIV anayesema kutest HIV+ sio lazima uumwe ukimwi. Na kwamba body
immunity ikiwa nzuri baadaye waweza kukutwa negative na kwamba with good nutrition na antioxidant virusi
wanapotea.

Na mimi naomba umpinge doctor Gorgousmimi anayesema ukimwi upo na arv hazina matatizo
yeyote, naomba umpinge au ukubaliane nae kwa hoja, vinginevyo I'm out, i know how to google
too
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Kaunga
JF-Expert Member
Joined Nov 28, 2010
 12,573   2,000
May 21, 2015


 #926

 warumi said:
Yote unayoyajua wewe kuhusu ukimwi tunayajua sana,na tumeshasikia vifo vingi sana vya ukimwi,tunataka hoja
zenye mashiko, tunataka point zako na wewe, je ulifanya research au kusoma kuhusu UKIMWI na ARV ili
utueleweshe vizur? njoo na ushahid kutoka kwa wanasayansi,ata ku google unashindwa? Kweli dokta? Unashindwa
kuja na hoja zako za msingi na kuambatanisha na maelezo kutoka google or something? Maneno yako ni matupu
sana, yapo uchi, yani kila mtu anayajua apa, unadhani sisi hatujui kuwa ukimwi upo? ,jengea hoja zenye mashiko
uje apa

Hujanipata kabisa.
Nilisema ningependa Dr gorgeousmimi awapinge hao gurus wa virology na fields zingine maana
nimeona wameshindwa kuelewana na deception.
Sasa suala la kuona wengine hawajui kugoogle limekuwaje? Nina maswali tu yanayochanganya
tu ndio ningependa kupata majibu au hata mitazamo ya learned felas maana I am just a
laykaunga
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

 Reactions:warumi, Eiyer, Deception and 1 other person

Gorgeousmimi
JF-Expert Member
Joined Jun 21, 2010
 8,863   1,500
May 21, 2015


 #927

 warumi said:
Na mimi naomba umpinge doctor Gorgousmimi anayesema ukimwi upo na arv hazina matatizo yeyote, naomba
umpinge au ukubaliane nae kwa hoja, vinginevyo I'm out, i know how to google too

Kaunga walau anaonesha uelewa lakini ww ndo usha confirm kila kitu teh!
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

N
Napoteza
Member
Joined May 19, 2015
 77   70
May 21, 2015


 #928

Shida ya Dr hatulii anaposoma anarukaruka


 Reactions:Eiyer, Deception and warumi

Habari Ya Mujini
JF-Expert Member
Joined Dec 22, 2013
 2,447   2,000
May 21, 2015


 #929

 gorgeousmimi said:
Sasa kama hakuna VVU,,kutakuwa na ukimwi(AIDS) ndo hakuna na ndivo ulivyosema.

Kwa nn tunaambiwa tupime Ukimwi zaidi ya mara moja? Kwann vipimo vya HIV vinaweza
kuonesha negative na baadae positive? Vipimo ivi vinaonesha uwepo wa kirusi(hiv) au
kinaonesha upungufu wa kinga?(ukimwi).Naomba tuanzie hapa docta..!

 Reactions:warumi
Kaunga
JF-Expert Member
Joined Nov 28, 2010
 12,573   2,000
May 21, 2015


 #930

 warumi said:
Na mimi naomba umpinge doctor Gorgousmimi anayesema ukimwi upo na arv hazina matatizo yeyote, naomba
umpinge au ukubaliane nae kwa hoja, vinginevyo I'm out, i know how to google too

Nahitaji facts zaidi ili niweze kuside. Nimechanganyikiwa.


Nina ndugu zangu waliofariki bila kutumia arv (zaidi ya 4 watoto wakiwemo)
Nina ndugu ambaye alikuwa vizuri hiv+ kwa miaka 12 akaanza kutumia arv hakuchukua miezi 4
akafariki
Nina ndugu mwingine alifiwa na mumewe na amekuwa kwenye arv kwa mwaka wa 4 sasa
Unaona dilemma yangu hiyo?
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

 Reactions:Raynavero, Chakochangu and naa

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 21, 2015


 #931

 gorgeousmimi said:
Zamani watu wakila mitishamba kwasababu hakukuwa na advanced technology ya madawa.Na dawa nyingi
zinatokea kwenye mimea ila zinakuwa synthethized na kuwekwa ingredients nyingine ili ziwe madhubuti zaidi.Au
zinakuwa semi synthesized.Kwani we ulifikiri dawa inatokea wapi warumi?

HUyu ndie dokta niliyekuwa namhitaji sasa


Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

 Reactions:Raynavero
Gorgeousmimi
JF-Expert Member
Joined Jun 21, 2010
 8,863   1,500
May 21, 2015


 #932

 Habari ya Mujini said:


Kwa nn tunaambiwa tupime Ukimwi zaidi ya mara moja? Kwann vipimo vya HIV vinaweza kuonesha negative na
baadae positive? Vipimo ivi vinaonesha uwepo wa kirusi(hiv) au kinaonesha upungufu wa kinga?(ukimwi).Naomba
tuanzie hapa docta..!

Nilishajibu nyuma kasome acha uvivu Na retroviridae pia alishaongelea hayohayo.


Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 21, 2015


 #933

 gorgeousmimi said:
Sasa kama hakuna VVU,,kutakuwa na ukimwi(AIDS) ndo hakuna na ndivo ulivyosema.

Kwa hiyo unamaanisha bila VVU hakuna Ukimwi?Naomba unijibu hili swali please.

 Reactions:Eiyer

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 21, 2015


 #934

 Kaunga said:
Warumi my dear, wengi wetu tunapenda sana Deception awe right hata hao madaktari nao wanapenda; why?
Because they are also affected and infected just like anyone else. So habari kuwa HIV haipo au haileti Ukimwi ni
good news kwa wote ambao hawanufaiki na biashara ya Ukimwi. Hata wafanyakazi wa tacaids nao wangefurahi
kama huyu mdudu asingekuwepo. Issue ni kwamba wengi wetu tumeona vifo na mateso mengi ya 'ukimwi' pasipo
hata matumizi ya arv na pia tumeona wengi waliokuwa positive muda mfupi wakianza kunywa arv wanakufa. Sasa
ndio hapo tunapochanganyikiwa.
gorgeousmimi ni kweli wengi wanafurahia maelezo ya deception kwasababu
1. Yanaleta matumaini
2. Kuna vitu vingi pro hiv wanashindwa kuvielezea kama kweli wao wenyewe wanavielewa
3. Kungekuwa na scientific debate kati ya Wanasayansi wakubwa pro hiv na hiv denialists ingesaidia sana
Click to expand...

Umeandika vizuri, ila mimi sipingi uwepo wa ukimwi, binafsi najua upo na unaua, mimi nipo na
ARV tu, uwe na ukimwi usiwe nao ila bado ntaendelea kusimama kwenye matumizi ya ARV,
kuhusu kupinga ukimwi mimi sipo ndugu, mind you that, bado nahis ARV ni tatizo na sio
UKimwi
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

Gorgeousmimi
JF-Expert Member
Joined Jun 21, 2010
 8,863   1,500
May 21, 2015


 #935

 napoteza said:
Halafu hawa ma dr wanatwist questions sasa hata ukimwi mnaita virus?? Go back to school na hapa debate si kuwa
ukimwi hamna Gorgeous mimi ni kuwa HIV virus hasababishi ukimwi

Hebu kwenda huko kwani kuna mtu anayekaa na HIV-virus au tunasema ana ukimwi??Ukimwi
unatoka kwenye nini then?
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 21, 2015


 #936

 Kaunga said:
Back in early 2000 kulikuwa na nurse mmoja kwenye one of the national parks. Aliniambia hata matumizi ya muda
mrefu ya antibiotic yanaweza leta upungufu wa kinga mwilini. Namkubali sana huyo nurse. Hii ilikuwa kabla
sijasikia kuhusu hiv denial.
So my dear Ukimwi unaweza sababishwa na kitu kingine na sio lazima hiv.

Apa nakuelewa sasa, tuendelee

Gorgeousmimi
JF-Expert Member
Joined Jun 21, 2010
 8,863   1,500
May 21, 2015


 #937

 Deception said:
Kwa hiyo unamaanisha bila VVU hakuna Ukimwi?Naomba unijibu hili swali please.

Nilikuuliza virusi ni nn ukakimbia !!

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 21, 2015


 #938
 napoteza said:
Warumi Kitu nimegundua ni kuwa doctors way of thinking is limited to the books they don't ever get curious Hivi
Gorgeousmimi kweli kama mna claim hiv takes 9 to 10 years to get aids while hizo dawa it takes 12 to live na mtu
anakuwa na mateso ya hizo dawa for 12 years kuna haja gani ya kuzinywa? 2 years difference is it worth it kweli?
Am suprised

Ndio maana nasema isije wao ndio wakawa wamepumbazwa na mawazo mgando, maana
wanayojua kuhusu ukimwi ata mimi na wewe tunayajua ,inshort hawana jipya,ngoja
tumsikilize Deception maana yeye ana mapya zaidi
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

 Reactions:Eiyer

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 21, 2015


 #939

 Kaunga said:
Hujanipata kabisa.
Nilisema ningependa Dr gorgeousmimi awapinge hao gurus wa virology na fields zingine maana nimeona
wameshindwa kuelewana na deception.
Sasa suala la kuona wengine hawajui kugoogle limekuwaje? Nina maswali tu yanayochanganya tu ndio ningependa
kupata majibu au hata mitazamo ya learned felas maana I am just a laykaunga

Unaandika vizur, you caught my mind, I'm giving u a credit for that, ila nahis hawa madokta
hawajui chochote bado, watakuwa wameakaririshwa kama mimi na wewe, yani wanavyojua wao
kuhusu ukimwi ata mi na wewe tunayajua hayo hayo, Deception atleast ana mambo mapya,
wacha tumsikilize
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

 Reactions:Eiyer and Diva Beyonce

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 21, 2015

 #940

 Kaunga said:
Mimi naomba ampinge Dr Peter au Robert Willner
Dr. Peter anasema HIV yupo ila hasababishi Ukimwi afuatilie machapisho yake halafu ampinge...

Hawezi kufanya hivyo,hata hao waliogundua huyo HIV wanamkimbia Peter kwenye open
debate.Kwakweli ni jambo la kushangaza sana hili katika historia ya sayansi,unakimbiaje
kujadili hoja tofauti?

 Kaunga said:
...Dr. Robert aliyesema hakuna HIV na akajidunga damu ya the so called HIV+ ambao ni AIDS patients.
Aachane na deception adeal na real scientists ambao wanaopinga hii kitu....
Wanazo hoja za kujibu huo mkanganyiko.CCR5?CXCR4? ahaa haaa....!

 Kaunga said:
...Pia ampinge Dr Luc founder wa HIV anayesema kutest HIV+ sio lazima uumwe ukimwi. Na kwamba body
immunity ikiwa nzuri baadaye waweza kukutwa negative na kwamba with good nutrition na antioxidant virusi
wanapotea.
Hapa kwenye nyekundu wakijibu nitafute.
 gorgeousmimi said:
Sasa kama unajua ukimwi upo na unaua unamsapoti vipi anayesema ukimwi haupo na hakuna HIV-virus?

You are better than this.


Deception hajasema ukimwi haupo. Amesema hiv ndio fake. Au pengine uelewa wako ni
ukimwi = hiv na kwamba nje ya hiv hakuna ukimwi; tuweke sawa

 Reactions:Eiyer, Deception and Chakochangu

Gorgeousmimi
JF-Expert Member
Joined Jun 21, 2010
 8,863   1,500
May 21, 2015


 #945

 warumi said:
Apo ndipo mnapomichanganya, mnajua mimi namsapot kila kitu deception,hilo tu ndio tatizo, mimi kuhusu ARV,
nipo na deception kwa kweli, ila kwenye ukimwi bado naendelea kuona hoja zenu zipo vipi, yani bado sijashiba
kuhusu ukimwi, na ndio maana nataka kuwasikia na nyie mna hoja gan mpya za kumpinga deception ila hamna,
mwisho wa siku inabid niamini, maana kma madokta hamjui then kwa nn niendelee kuwaamin? Acha tu deception
endeele kutudanganya kwa kwlli

Mimi nilishakujibu kuhusu ARV post za nyuma kama unakumbuka na nikakupa na mifano ya
nchi nyingine na tukafikia muafaka actually in some way kwamba dawa za ukimwi na umaskini
ni receipe for disaster lakini unavyoonekana yet umebase kwenye upande wa Deception halafu
unashadadia watu wamsapoti Deception hakuna HIV/ukimwi!!Na nakumbuka pia niligusia
kuhusu quality ya hizo dawa!!
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

 Reactions:warumi

Gorgeousmimi
JF-Expert Member
Joined Jun 21, 2010
 8,863   1,500
May 21, 2015


 #946

 Kaunga said:
You are better than this.
Deception hajasema ukimwi haupo. Amesema hiv ndio fake. Au pengine uelewa wako ni ukimwi = hiv na kwamba
nje ya hiv hakuna ukimwi; tuweke sawa

Sasa HIV ni fake AIDs ni nini then?Unajua maneno yenu yanawafunga kamba wenyewe!

 Reactions:definition and kimbisi mbisi

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 21, 2015


 #947

 Kaunga said:
Warumi my dear, wengi wetu tunapenda sana Deception awe right hata hao madaktari nao wanapenda;...
Hapo kwenye nyekundu si kweli.

 Kaunga said:
....Hata wafanyakazi wa tacaids nao wangefurahi kama huyu mdudu asingekuwepo...
Si kweli,halafu wakale wapi?

 Kaunga said:
....Issue ni kwamba wengi wetu tumeona vifo na mateso mengi ya 'ukimwi' pasipo hata matumizi ya arv na pia
tumeona wengi waliokuwa positive muda mfupi wakianza kunywa arv wanakufa. Sasa ndio hapo
tunapochanganyikiwa....
Hapa kwenye nyekundu ndipo kwenye hoja zangu za msingi.Na jambo hili kama ungekuwa
makini kufuatilia nimeshalijibu.Lakini hukuwa makini.
Niliwahi kuwaambia watu kwamba unaweza kuona kitu lakini usikielewe,na hii inatokana na
uelewa wako kuhusu kitu hicho.Sasa basi,hao watu uliowaona wewe je,unajua sababu ya msingi
iliyowaondoa hata kama hawakutumia ARVs?Sehemu kama hizi ndizo ngumu kwa watu
kuzielewa kama watakuwa na bias.
Ukiona mtu amepata TB ujue alikuwa na upungufu wa kinga wakati anapata hiyo TB,kama
huamini muulize Dr yeyote yule.Na si wagonjwa wote wenye TB wamepimwa HIV+,lakini
kutokuwa HIV+ haimaanishi kwamba huwana upungufu wa kinga,umeelewa hapo.

Pia inabidi ufahamu kwamba dalili za TB zinafanana kabisa na zile dalili ambazo wewe
umeambiwa ndio dalili za ukimwi,upo hapo?
-Kupungua uzito
-Kukonda sana
-Kukohoa mara kwa mara
-Homa za mara kwa mara
-Kukosa hamu ya kula
-Kuharisha au kutapika kutegemea na aina ya TB
-Kukosa nguvu

Je hata wewe huoni kwamba TB nayo ni ukimwi?Au ukimwi ni nini hasa?Unajichanganya wewe
mwenyewe.Ukiwa na bias maeneo kama haya kamwe huwezi kuujua ukweli asilani abadan.
Sasa je,una uhakika gani kama kile ulichokiona sio TB au hakikusababishwa na sababu nyingine
zinazofanana na TB?Acha bias kama kweli unataka kuelewa.

 Kaunga said:
...3. Kungekuwa na scientific debate kati ya Wanasayansi wakubwa pro hiv na hiv denialists ingesaidia sana
We unachokoza watu sasa.Unafikiri hao wagunduzi wanapenda kujadili hoja tofauti na zao
pamoja na kwamba hiyo wanayosema dawa ya HIV haijapatikana?Kwa kuwa dawa ya huyo HIV
haijapatikana,wewe huoni kwamba ndio ungekuwa wakati muafaka kutoa nafasi kwa hoja tofauti
kujaribu nafasi yao?Huoni kitu hapo?

Nikipata muda nitakuletea video yenye mambo mengi sana lakini pia utaona jinsi mgunduzi
mmoja wa HIV anavyopinga kuulizwa maswali fulani fulani ambayo ni kinyume na theory
rasmi.

 Reactions:Eiyer, Habari ya Mujini, Chakochangu and 2 others

Gorgeousmimi
JF-Expert Member
Joined Jun 21, 2010
 8,863   1,500
May 21, 2015


 #948

 Kaunga said:
Back in early 2000 kulikuwa na nurse mmoja kwenye one of the national parks. Aliniambia hata matumizi ya muda
mrefu ya antibiotic yanaweza leta upungufu wa kinga mwilini. Namkubali sana huyo nurse. Hii ilikuwa kabla
sijasikia kuhusu hiv denial.
So my dear Ukimwi unaweza sababishwa na kitu kingine na sio lazima hiv.

Sio kweli.Antibiotic inamuua au kumdhoofisha bacteria na haihusiani na immune system.Kuna


watu wana residriv urinary tract infection na wanatumia antibiotics for maintanance hawana
matatizo na immune system.

 Reactions:definition and warumi

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 21, 2015


 #949

 gorgeousmimi said:
Mimi nilishakujibu kuhusu ARV post za nyuma kama unakumbuka na nikakupa na mifano ya nchi nyingine na
tukafikia muafaka actually in some way kwamba dawa za ukimwi na umaskini ni receipe for disaster lakini
unavyoonekana yet umebase kwenye upande wa Deception halafu unashadadia watu wamsapoti Deception hakuna
HIV/ukimwi!!
Ningekuwa namshabikia deception peke yako wala nisingekuwa nakusikiliza na kuku quote, ila
kwa kuwa napenda kusikiliza pande zote ndio maana uwa nakuhoji maswali ambayo mengi
unayakwepa au kutoa majibu mepesi tofauti na deception anaingia ndani sana, ilo ndio tatizo,
labda tu nyie hamjajua
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

Amaizing
JF-Expert Member
Joined May 3, 2013
 3,560   2,000
May 21, 2015


 #950

 gorgeousmimi said:
Yeye ndo anayepinga kama ukimwi haupo ndo ajitoe tuthibitishe mimi NASEMA UKIMWI UPO NA UNAUA NA
UKIAMINI HAUPO NA UNAKUNYWA JUISI YA MAEMBE NAKUSHESABIA SIKU ZA KUISHI!!

Doctor try to understand Deception


Hajasema ukimwi haupo amethibitisha UKIMWI upo

Anachopinga yeye ni HIV kuwa inasabisha UKIMWI

Kwa akil ndogo tu;


UKIMWI ni upungufu wa kinga mwilini
Hivyo MTU akiwa na TB kinga inashuka means anakuwa na upungufu wa kinga ya mwili
MTU akiwa na cancer,pneumonia, typhoid au ugonjwa wowote na ukamsumbua kwauda mrefu
lazima kinga ya mwili itashuka hivyo atakuwa na upungufu wa kinga mwilini lakin sio HIV+

Kwa elimu yangu ndogo ninaweza kasema MTU unaweza kuwa na UKIMWI pasipo kuwa na
VVU

Ni mtazamo tuuuu..
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

 Reactions:starboy09, Troojan, warumi and 3 others
Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 21, 2015


 #951

 Deception said:
Hapo kwenye nyekundu si kweli.

Si kweli,halafu wakale wapi?

Hapa kwenye nyekundu ndipo kwenye hoja zangu za msingi.Na jambo hili kama ungekuwa makini kufuatilia
nimeshalijibu.Lakini hukuwa makini.
Niliwahi kuwaambia watu kwamba unaweza kuona kitu lakini usikielewe,na hii inatokana na uelewa wako kuhusu
kitu hicho.Sasa basi,hao watu uliowaona wewe je,unajua sababu ya msingi iliyowaondoa hata kama hawakutumia
ARVs?Sehemu kama hizi ndizo ngumu kwa watu kuzielewa kama watakuwa na bias.
Ukiona mtu amepata TB ujue alikuwa na upungufu wa kinga wakati anapata hiyo TB,kama huamini muulize Dr
yeyote yule.Na si wagonjwa wote wenye TB wamepimwa HIV+,lakini kutokuwa HIV+ haimaanishi kwamba
huwana upungufu wa kinga,umeelewa hapo.

Pia inabidi ufahamu kwamba dalili za TB zinafanana kabisa na zile dalili ambazo wewe umeambiwa ndio dalili za
ukimwi,upo hapo?
-Kupungua uzito
-Kukonda sana
-Kukohoa mara kwa mara
-Homa za mara kwa mara
-Kukosa hamu ya kula
-Kuharisha au kutapika kutegemea na aina ya TB
-Kukosa nguvu

Je hata wewe huoni kwamba TB nayo ni ukimwi?Au ukimwi ni nini hasa?Unajichanganya wewe mwenyewe.Ukiwa
na bias maeneo kama haya kamwe huwezi kuujua ukweli asilani abadan.
Sasa je,una uhakika gani kama kile ulichokiona sio TB au hakikusababishwa na sababu nyingine zinazofanana na
TB?Acha bias kama kweli unataka kuelewa.

We unachokoza watu sasa.Unafikiri hao wagunduzi wanapenda kujadili hoja tofauti na zao pamoja na kwamba hiyo
wanayosema dawa ya HIV haijapatikana?Kwa kuwa dawa ya huyo HIV haijapatikana,wewe huoni kwamba ndio
ungekuwa wakati muafaka kutoa nafasi kwa hoja tofauti kujaribu nafasi yao?Huoni kitu hapo?

Nikipata muda nitakuletea video yenye mambo mengi sana lakini pia utaona jinsi mgunduzi mmoja wa HIV
anavyopinga kuulizwa maswali fulani fulani ambayo ni kinyume na theory rasmi.
Click to expand...

Pole baba kwa kujaribu kutuelewesha kadri uwezavyo, jinsi ulivyokuwa na uwezo mkubwa wa
kutetea hoja zako pasipokujali changamoto zozote humu, na kwa kwa kujiamini, ndivyo
ninavyozidi kukuongezea credit, angekuwa mwingine angekuwa kashakimbia, I salute you
mkuu, Mungu akupe nguvu na kukulinda dhidi ya maadui, tunakuombea kwa kweli, maana
umetufungua sana kwa namna moja au nyingine, apa ni hiyar ya mtu kwenda kulia au kushoto.
Be blessed

 Reactions:Raynavero, Deception and Eiyer

Definition
JF-Expert Member
Joined Nov 28, 2013
 969   1,000
May 21, 2015


 #952

:msela:nme vumilia ila mwisho nimejkuta uzalendo wanishinda...watu mnabomoa badala yaku
jenga...juu ya swala lala HIV/Aids
D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 21, 2015


 #953

 warumi said:
Apo ndipo mnapomichanganya, mnajua mimi namsapot kila kitu deception,hilo tu ndio tatizo, mimi kuhusu ARV,
nipo na deception kwa kweli, ila kwenye ukimwi bado naendelea kuona hoja zenu zipo vipi, yani bado sijashiba
kuhusu ukimwi, na ndio maana nataka kuwasikia na nyie mna hoja gan mpya za kumpinga deception ila hamna,
mwisho wa siku inabid niamini, maana kma madokta hamjui then kwa nn niendelee kuwaamin? Acha tu deception
endeele kutudanganya kwa kwlli

Warumi na DR. bado mna miss point hapa.Wapi nimesemema ukimwi haupo?Mbona
nilishamrekebisha Dr mara nyingi tu kuhusu hili,hivi hata kama suala hili dogo sana nashindwa
kueleweka vipi kuhusu yale makubwa?Hebu angalia hapo chini Kaunga anasemaje.

 Kaunga said:
You are better than this.
Deception hajasema ukimwi haupo. Amesema hiv ndio fake. Au pengine uelewa wako ni ukimwi = hiv na kwamba
nje ya hiv hakuna ukimwi; tuweke sawa
Mmeelewa sasa?

 Reactions:Chakochangu, warumi and Eiyer

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 21, 2015


 #954

 gorgeousmimi said:
Sasa HIV ni fake AIDs ni nini then?Unajua maneno yenu yanawafunga kamba wenyewe!

Yaani hata wewe huoni kwamba wewe ndio unajifunga?Sasa nimekuelewa,kwamba wewe
unavyojua bila HIV basi hamna AIDS.Nimefurahi sana kulijua hilo.

Swali:
Kama kuna mgonjwa wa TB ambaye hajaanza dawa na anaweza kuambukiza wengine,na
mgonjwa huyu akaishi karibu na watu wengine kwa muda fulani,kuna watu watapata TB lakini
wengine hawatapata.

Kwanini wengine wasipate ilihali wote walikuwa wana interact pamoja na mgonjwa wa TB?

Gorgeousmimi
JF-Expert Member
Joined Jun 21, 2010
 8,863   1,500
May 21, 2015


 #955

 amaizing said:
Doctor try to understand Deception
Hajasema ukimwi haupo amethibitisha UKIMWI upo

Anachopinga yeye ni HIV kuwa inasabisha UKIMWI


Kwa akil ndogo tu;
UKIMWI ni upungufu wa kinga mwilini
Hivyo MTU akiwa na TB kinga inashuka means anakuwa na upungufu wa kinga ya mwili
MTU akiwa na cancer,pneumonia, typhoid au ugonjwa wowote na ukamsumbua kwauda mrefu lazima kinga ya
mwili itashuka hivyo atakuwa na upungufu wa kinga mwilini lakin sio HIV+

Kwa elimu yangu ndogo ninaweza kasema MTU unaweza kuwa na UKIMWI pasipo kuwa na VVU

Ni mtazamo tuuuu..
Click to expand...

Sasa kama HIV haisababishi ukimwi.HIV ni nini then?


Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 21, 2015


 #956

 Kaunga said:
Nahitaji facts zaidi ili niweze kuside. Nimechanganyikiwa.
Nina ndugu zangu waliofariki bila kutumia arv (zaidi ya 4 watoto wakiwemo)
Nina ndugu ambaye alikuwa vizuri hiv+ kwa miaka 12 akaanza kutumia arv hakuchukua miezi 4 akafariki
Nina ndugu mwingine alifiwa na mumewe na amekuwa kwenye arv kwa mwaka wa 4 sasa
Unaona dilemma yangu hiyo?

Ok,sasa naomba unielezee hao ndugu zako waliofariki bila kutumia ARVs,je,walikuwa na dalili
gani?Zitaje zote,usiache kitu.

 Reactions:warumi

Retroviridae
Member
Joined Apr 9, 2015
 47   0
May 21, 2015


 #957
CONSEQUENCES OF AIDS DENIALISM

In 2000, Duesberg was the most prominent AIDS denialist to sit on a 44-member Presidential
Advisory Panel on HIV and AIDS convened by then-President Thabo Mbeki of South Africa.
[37] The panel was scheduled to meet concurrently with the 2000 International AIDS
Conference in Durban and to convey the impression that Mbeki's doubts about HIV/AIDS
science were valid and actively discussed in the scientific community.[13] The views of the
denialists on the panel, aired during the AIDS conference, received renewed attention.[38]
Mbeki later suffered substantial political fallout for his support for AIDS denialism[39][40] and
for opposing the treatment of pregnant HIV-positive South African women with antiretroviral
medication.[41] Mbeki partly attenuated his ties with denialists in 2002, asking them to stop
associating their names with his.[42]

In response to the inclusion of AIDS denialists on Mbeki's panel, the Durban Declaration was
drafted and signed by over 5,000 scientists and physicians, describing the evidence that HIV
causes AIDS as "clear-cut, exhaustive and unambiguous".[43]

Two independent studies have concluded that the public health policies of Thabo Mbeki's
government, shaped in part by Duesberg's writings and advice, were responsible for over
330,000 excess AIDS deaths and many preventable infections, including those of infants.[12]
[13]

A 2008 Discover Magazine feature on Duesberg addresses Duesberg's role in anti-HIV drug-
preventable deaths in South Africa. Jeanne Linzer interviews prominent HIV/AIDS expert Max
Essex, who suggests that,

""...history will judge Duesberg as either "a nut who is just a tease to the scientific community"
or an "enabler to mass murder" for the deaths of many AIDS patients in Africa.""

 Reactions:gorgeousmimi

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 21, 2015


 #958

 gorgeousmimi said:
Mimi nilishakujibu kuhusu ARV post za nyuma kama unakumbuka na nikakupa na mifano ya nchi nyingine
na tukafikia muafaka actually in some way kwamba dawa za ukimwi na umaskini ni receipe for disaster lakini
unavyoonekana yet umebase kwenye upande wa Deception halafu unashadadia watu wamsapoti Deception hakuna
HIV/ukimwi!!Na nakumbuka pia niligusia kuhusu quality ya hizo dawa!!
ulifikia muafaka na nani?

 gorgeousmimi said:
Mimi nilishakujibu kuhusu ARV post za nyuma kama unakumbuka na nikakupa na mifano ya nchi nyingine
na tukafikia muafaka actually in some way kwamba dawa za ukimwi na umaskini ni receipe for disaster lakini
unavyoonekana yet umebase kwenye upande wa Deception halafu unashadadia watu wamsapotiDeception hakuna
HIV/ukimwi!!Na nakumbuka pia niligusia kuhusu quality ya hizo dawa!!
"In some way" he heee:Vipi kuhusu matajiri wanaokufa wakitumia hizo ARVs,unasemaje hapo?
HIV ndio kaua,au vp?

Retroviridae
Member
Joined Apr 9, 2015
 47   0
May 21, 2015


 #959

.. Dr. Peter Duesberg huyo.. A mass murderer of innocent South Africans...

Kufata upepo uko kulimponza Thabo mbeki

Eiyer
JF-Expert Member
Joined Apr 17, 2011
 28,266   2,000
May 21, 2015


 #960

 amaizing said:
Doctor try to understand Deception
Hajasema ukimwi haupo amethibitisha UKIMWI upo

Anachopinga yeye ni HIV kuwa inasabisha UKIMWI


Kwa akil ndogo tu;
UKIMWI ni upungufu wa kinga mwilini
Hivyo MTU akiwa na TB kinga inashuka means anakuwa na upungufu wa kinga ya mwili
MTU akiwa na cancer,pneumonia, typhoid au ugonjwa wowote na ukamsumbua kwauda mrefu lazima kinga ya
mwili itashuka hivyo atakuwa na upungufu wa kinga mwilini lakin sio HIV+

Kwa elimu yangu ndogo ninaweza kasema MTU unaweza kuwa na UKIMWI pasipo kuwa na VVU

Ni mtazamo tuuuu..
Click to expand...

Binafsi nimekuwa ni msomaji zaidi ya kuandika au kujibu,kuna wakati uzalendo umekuwa


ukinishinda baada ya kuona watu either wanaamua kutokumuelewa Deception kwa makusudi au
ni kwasababu uwezo wao wa kufikiri upo chini saaaana

Kuna wagonjwa wamekuwa na kansa na kwasababu hiyo wamekuwa na upungufu wa kinga


mwilini,kuna mzee mmoja alikuwa na kansa na hili lilitokea na kwa maana nyepesi kabisa huyu
mtu alipata ukimwi bila kuwa na HIV,leo hapa tunataka kuaminishwa kwa lazima kuwa ili uwe
na ukimwi ni hadi uwe na HIV tena tunalazimishwa hivi na watu muhimu kabisa kwenye afya
zetu,hii inasikitisha sana

Watu wanadhani kuwa watu wanaokubaliana na Deception wameamua tu kukubaliana nae tu


hivi hivi kitu ambacho sio sahihi kabisa,jamaa ana pointi nyingi sana na anaeleza kwa upana
unaostahili

Hebu fikiria tu alikuja hapa akaelezea ni kwa namna gani ARVs zinavyosababisha ukimwi
halafu mtu anakuja na kusema "speculations",kweli?

Wakati mwingine inaboa sana,nilitarajia wangekuja hapa na maelezo ya kina na kuibua mjadala
mkubwa na mzuri sana kwetu ambao hatujui haya mambo lakini naona kama kuna watu ambao
hawajui kabisa wanachokifanya na kibaya zaidi wamesomea hii ni hatari sana.....

Naona kama vile huyu Deception kawazidi mbali sana .....


 gorgeousmimi said:
ARV zinasababisha ukimwi kutokana na side effects ndio sehem aloegamia?mechanism of action iko wapi?sijaiona
mahali maana tumeenda kwenye pharmacology sasa.Kila dawa ina mechanism of action.Dawa za ukimwi
hazisababishi ukimwi.HIV-virus wanasababisha ukimwi.Dawa za ukimwi zinafanya kazi kumthibiti virusi.

Dr unaendelea kuji contradict tu ...

Unasema ameegemea kwenye side effect kitu ambacho hujakikana halafu unakuja kusema tena
ARVs hazisababishi ukimwi,are you ok?

Unataka ya mechanism of action ya kitu kipi? Kuua au? Deception ameshaonesha ni kwa namna


gani hayo madawa yanauwa badala ya kutibu au kusaidia,kuna case ya Kaunga hapo kuwa kuna
mtu aliishi miaka 12 bila hayo madawa na alipoyaanza tu akafa baada ya muda mfupi,bado
unataka tukusikilize Dr?
Deception keshatuonesha ni kwa namna gani HIV hawasababishi ukimwi na ameweka video
hapa za wataalam wa afya wengine wanakubaliana na hili,wewe mbona hufanyi haya?
Niseme tu kuwa mmenisikitisha sana nyie madaktari,tumeishi tukiwa na imani kuwa HIV
wanasababisha ukimwi na hili lilikuwa linaweza kabisa kutufanya tuone Deception ni muongo
na lingewarahisishia nyie kazi,lakini mmekuja hapa na jazba na maneno ya kupinga tu,hivi kweli
kwa mtu anaereason atawakubalia kwasababu ipi hasa?
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

 Reactions:warumi, Diva Beyonce, Habari ya Mujini and 1 other person

Amaizing
JF-Expert Member
Joined May 3, 2013
 3,560   2,000
May 21, 2015


 #971

 gorgeousmimi said:
ARV zinasababisha ukimwi kutokana na side effects ndio sehem aloegamia?mechanism of action iko wapi?sijaiona
mahali maana tumeenda kwenye pharmacology sasa.Kila dawa ina mechanism of action.Dawa za ukimwi
hazisababishi ukimwi.HIV-virus wanasababisha ukimwi.Dawa za ukimwi zinafanya kazi kumthibiti virusi.

Doctor hizo dawa sawa zinamdhibiti kirusi lakini ndio zinazopelekea INI,figo na mapafu kufeli

Kwanini tusitibu ugonjwa husika na kuhakikisha kinga ya mwili inapanda kuliko kumfubaza
huyo kirusi???

Hivi dokta kama kinga ya mwili IPO imara inaamaanisha inauwezo wa kupamba na kirusi au
magonjwa.

Me nadhani tupambane kutibu gonjwa husika na kupandisha kinga ya mwili kwa lishe
bora,mazoez,kunywa maji safi na kukaa kwenye hewa safi

ARV sijui HIV tupa kuleeee

Ni mtazamo tuuuuu

 Reactions:Raynavero, arafa255, Chakochangu and 2 others

N
Napoteza
Member
Joined May 19, 2015
 77   70
May 21, 2015


 #972

Dah huyu Gorgeousmimi mwache ni maana hata sisi ambao hatujapita med school upungufu wa
kinga mwilini unasababishwa na mambo mengi sana hata bacteria wanaweza kuleta upungufu
wa kinga mwilini! Kha

 Reactions:warumi

Retroviridae
Member
Joined Apr 9, 2015
 47   0
May 21, 2015


 #973

 gorgeousmimi said:
Dah inasikitisha Dr. Ona watu walivyopukutika ka ----- dah!!!

Oooooh!! ....
juz leave em as they r,
but I hop huu Uzi hautawafanya waanze kujiachia ovyo.. Bcz wakiukamata itakua a veeeery sad
story

Eiyer
JF-Expert Member
Joined Apr 17, 2011
 28,266   2,000
May 21, 2015


 #974

 warumi said:
Naona watu wameamua kuja na google humu, yani nacheka sana, mimi kama sikuamin wewe iweje niamin google
yako ambayo at mmi naweza ku google na kupachika humu, tunatak uelewa binafsi ambao Deception peke yake
ndio anao, wengine ni waathirika wa google hawana chochot kichwani

Mkuu we acha tu .....

Yaani kuna siku watu watabishana huko mtaani halafu wanaweza kuja na kuchukua haya
maelezo yangu eti ni ushahidi.........

Kaazi kweli kweli ......!!


 Reactions:warumi

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 21, 2015


 #975

 retroviridae said:
&#128071;&#128071;&#128071;&#128071;&#128071;&#128071;&#128071;&#128071;&#128071;&#128071;&
#128071;
sasa nmeekuelewa ..megundua kumbe Was not about education... wax all about finding winners and losers in this
issue... Good 4u
&#9757;&#128070;&#128070;&#128070;&#128070;&#128070;&#128070;&#128070;&#128070;&#128070;&#1
28070;&#128070;

Acha kutumia google kama ngao yako, ata mimi najua kutumia google, weka hoja binafsi zenye
mashiko

Hayo mengine ni mawazo yako mgando

Troojan
JF-Expert Member
Joined Oct 8, 2012
 953   500
May 21, 2015


 #976

 gorgeousmimi said:
Sasa HIV ni fake AIDs ni nini then?Unajua maneno yenu yanawafunga kamba wenyewe!

dk huelewiiii.hata me sjawah soma biology tangu nizaliwe nmeelewa kua ukimwi na hiv ni vitu
viwili tofauti!!!jaman ndio maana warumi aliwahi sema humu kuna madaktari wa mifugo.ndugu
tuliza akili usome taratibu.hadi sada cjaona kitu ambacho akijasemwa humu.bt still unauliza
yaleyale.me adi naskia aibu jamani uwiiii

 Reactions:Raynavero, Chakochangu, napoteza and 1 other person

Eiyer
JF-Expert Member
Joined Apr 17, 2011
 28,266   2,000
May 21, 2015


 #977

 retroviridae said:
Oooooh!! ....
juz leave em as they r,
but I hop huu Uzi hautawafanya waanze kujiachia ovyo.. Bcz wakiukamata itakua a veeeery sad story

Hata kabla ya huu uzi watu wameshaanza kuustukia huu ugonjwa feki...

Unakuja kututisha hapa unadhani hofu inasaidia nini?

Watu tumeshapoteza wapendwa wetu na tunahitaji maelezo yenu halafu mnaleta masikhara?

Hao wapendwa inawezekana kabisa wamefariki kwa ujinga wa aina hii hii wa nyie madaktari
maana mngekuwa mnawaza nje ya box huenda hata wasingekufa....

Mnakera sana nyie .....!!


 Reactions:arafa255, Deception, warumi and 2 others

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 21, 2015


 #978

 gorgeousmimi said:
Unaona ehhh!!hapa watu wanachukua sides na ni mashindano daktari yoyote atakayekuja anavamiwa.

Inategemea unakujaje, kama unakuja kama ng'ombe na sisi tutakupokea hvyo hvyo...

Gorgeousmimi
JF-Expert Member
Joined Jun 21, 2010
 8,863   1,500
May 21, 2015


 #979

 napoteza said:
Dah huyu Gorgeousmimi mwache ni maana hata sisi ambao hatujapita med school upungufu wa kinga mwilini
unasababishwa na mambo mengi sana hata bacteria wanaweza kuleta upungufu wa kinga mwilini! Kha

Wewe ndio huelewi kitu kabisa rafiki,Wapo nimesema bacteria hasababishi mapungufu ya kinga
ya mwili??
N
Napoteza
Member
Joined May 19, 2015
 77   70
May 21, 2015

 #980

 retroviridae said:
.. Dr. Peter Duesberg huyo.. A mass murderer of innocent South Africans...

Kufata upepo uko kulimponza Thabo mbeki

Naamini kama umesoma vizuri anavyozungumza deception ni kuwa kuacha ARV kuna
procedure zake km mvuta unga anapoachishwa na hivo basi watu wa south Africa ambao
walikuwa wameathirika walijaribu kuacha dawa bila kuwa na ushauri wowote juu ya kujitoa
kwenye hizo medication na ndo maana walikufa wengi ila as Kaunga alivozungumza open
debate ingekuwa suluhu kwa nn hawataki hao washirika wa hii biashara
 Troojan said:
dk huelewiiii.hata me sjawah soma biology tangu nizaliwe nmeelewa kua ukimwi na hiv ni vitu viwili tofauti!!!
jaman ndio maana warumi aliwahi sema humu kuna madaktari wa mifugo.ndugu tuliza akili usome taratibu.hadi
sada cjaona kitu ambacho akijasemwa humu.bt still unauliza yaleyale.me adi naskia aibu jamani uwiiii

Mkuu hebu shangaa na wewe halafu eti wanatutisha wanadhani hofu inasaidia chochote hapa .....

Hawa ndio madaktari wetu wanachakazwa na mtu mmoja tu halafu tutarajie hawa hawa ndio
wafanye tafiti za matatizo mengine ya kiafya yanayotukabili huku mtaani eti .......

Mungu tusaidie sana .......

Nimeona aibu na kukereka sana kwakweli maana nawaheshimu sana hawa watu ....!!

 Reactions:Deception

Troojan
JF-Expert Member
Joined Oct 8, 2012
 953   500
May 21, 2015


 #983

 gorgeousmimi said:
Sio kweli.Antibiotic inamuua au kumdhoofisha bacteria na haihusiani na immune system.Kuna watu wana residriv
urinary tract infection na wanatumia antibiotics for maintanance hawana matatizo na immune system.
sasa UTI c dozi ya siku tatu au week jaman.dk kweli kweli hukumuelewa jamaa.kasema
matumizi ya MUDA MREFU ya ant biotics.sasa ARV dozi yake unaweza ifananisha na dozi ya
UTI!!!u cnt b serious dk!!!!

 Reactions:Beka Mpole, Chakochangu, Habari ya Mujini and 1 other person

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 21, 2015


 #984

 Eiyer said:
Mkuu we acha tu .....

Yaani kuna siku watu watabishana huko mtaani halafu wanaweza kuja na kuchukua haya maelezo yangu eti ni
ushahidi.........

Kaazi kweli kweli ......!!

Wapumbavu kweli, aliyewaambia sisi hatujui kutumia google nani? Yani wanatufanya sisi
mazezeta mxiuu, hawana hoja wameishiwa hao, wata Google sana mwaka huu ila
haisaidii, Deception is another thing, hawamuwezi kwa chochote,wanajigogisha apa wanajifanya
wanajua wenyewe
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

 Reactions:Eiyer

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 21, 2015


 #985

 retroviridae said:
.. Dr. Peter Duesberg huyo.. A mass murderer of innocent South Africans...

Kufata upepo uko kulimponza Thabo mbeki

Hayo ndio madhara ya kuegemea kwenye mainstream media.Huwezi kubadilika kamwe,wewe


unafikiri TBC inaweza kutoa habari ya kumtukana Kikwete?Sijui kama umeambulia kitu
hapo.Nilishakushauri uondoe bias lakini inaonekana huna nia ya kuelewa,sijui ni kwanini ninyi
mnakuwa wazito hivyo.

Hata kina Galileo,Columbus,Tesla,Wright Brothers,Vasco Da Gama walipingwa vivyo


hivyo,lakini baadaye mambo yakawa hadharani.

Vilevile hata magonjwa kama vile Beriberi,Scurvy,Pelagra,SMON,Virus-Cancer yalidhaniwa


yanasababishwa na virus na watu waling'ang'ania kweli kweli.Lakini baadaye yakaja kuwa
hadharani kwamba hayasababishwi na virus,na chanzo ni tofauti kabisa na watu
walivyong'ang'ania.

Hivyo ni suala la muda tu kina Duesberg kuonekana heroes miaka ijayo na AIDS kujulikana
hadharani kwamba hausababishwi na HIV.Ni suala la muda tu,ninyi pingeni sana lakini ukweli
uko palepale.

 Reactions:Raynavero, Habari ya Mujini and RGforever

Gorgeousmimi
JF-Expert Member
Joined Jun 21, 2010
 8,863   1,500
May 21, 2015


 #986

 Troojan said:
dk huelewiiii.hata me sjawah soma biology tangu nizaliwe nmeelewa kua ukimwi na hiv ni vitu viwili tofauti!!!
jaman ndio maana warumi aliwahi sema humu kuna madaktari wa mifugo.ndugu tuliza akili usome taratibu.hadi
sada cjaona kitu ambacho akijasemwa humu.bt still unauliza yaleyale.me adi naskia aibu jamani uwiiii

Ndio yaleyale mnayoyaamini hakuna HIV-virus!!!Na ARV zinasababisha ukimwi naona


ingelikuwa vizuri mkijua kwanza how ARV zinavyofanya kazi!!
Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 21, 2015


 #987

 Troojan said:
dk huelewiiii.hata me sjawah soma biology tangu nizaliwe nmeelewa kua ukimwi na hiv ni vitu viwili tofauti!!!
jaman ndio maana warumi aliwahi sema humu kuna madaktari wa mifugo.ndugu tuliza akili usome taratibu.hadi
sada cjaona kitu ambacho akijasemwa humu.bt still unauliza yaleyale.me adi naskia aibu jamani uwiiii

AHahaha unanichekesha mkuu, yani hawa madaktari wetu sijawahi kuona aisehh, yani wanazidi
kujidharirisha apa walivyo na upeo mdogo ambao ata mimi ambaye sio daktari sina mawazo
mpauko kama yao

Gorgeousmimi
JF-Expert Member
Joined Jun 21, 2010
 8,863   1,500
May 21, 2015


 #988

 warumi said:
Wapumbavu kweli, aliyewaambia sisi hatujui kutumia google nani? Yani wanatufanya sisi mazezeta mxiuu, hawana
hoja wameishiwa hao, wata Google sana mwaka huu ila haisaidii, Deception is another thing, hawamuwezi kwa
chochote,wanajigogisha apa wanajifanya wanajua wenyewe

Nyie mnatumia database gani ehh kuleta hizo scientic proofs zenu?
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Gorgeousmimi
JF-Expert Member
Joined Jun 21, 2010
 8,863   1,500
May 21, 2015


 #989

 Troojan said:
sasa UTI c dozi ya siku tatu au week jaman.dk kweli kweli hukumuelewa jamaa.kasema matumizi ya MUDA
MREFU ya ant biotics.sasa ARV dozi yake unaweza ifananisha na dozi ya UTI!!!u cnt b serious dk!!!!

Seriously dude?ushawahi kusikia kuhusu residriv UTI hebu kamuulize daktari wa karibu yako
inakuwa chronic.Kuna watu wanakuwa on antibiotics kwa mwaka au zaidi,Hasa vizee ambao
hawana uwezo mzuri wa kukojoa mkojo wote.Wanakuwa na mabaki ya mkojo kwenye kibofu
wakati wote kwahio wanakula dawa kumaintain UTI looool.Kama ww unajua zaidi kuliko mm
HONGERAAAAAAAAAAAAA.Na kwani uliponiquote post hii uliona nimemjibu nani na nini?
Nilimjibu Kaunga kuhusu antibiotics haihusiani na ARV usidandie daladala kwa mbele Troojan
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 21, 2015


 #990

 gorgeousmimi said:
Hebu nipe mfano kaja daktari gani hapa na hoja zake akapewa sapoti?

Unadhani wote humu wanaomsapoti deception ni wajinga kama unavyofikiria? Kuna sehemu
mna upungufu, ebu jichunguzeni kwanza, haiwezekan kila mtu akamsapoti jamaa na sio nyie, ni
wazi hamna hoja zilizo hai, mna mawazo mpauko

Eiyer
JF-Expert Member
Joined Apr 17, 2011
 28,266   2,000
May 21, 2015


 #991

 gorgeousmimi said:
Ndio yaleyale mnayoyaamini hakuna HIV-virus!!!Na ARV zinasababisha ukimwi naona ingelikuwa vizuri mkijua
kwanza how ARV zinavyofanya kazi!!

Kwa elimu yangu ya darasa la saba sio kweli kwamba Deception kasema hakuna hawa virusi ila
hawa virusi ni aina ya retrovirus ambao sio kitisho kwa kinga na maisha ya binadamu

LAKINI,Hakuna ushahidi wa kirusi wa HIV SPECIFIC uliowahi kutolewa na hata wewe kama
unaweza tuletee hapa NA UTUTHIBITISHIE huyu ndie HIV,nadhani hata noble prize itakuhusu
.....

Sasa kama unadhani huko kufanya kazi kwa hizo ARVs kuna umuhimu kwetu na unayapenda
maisha yetu si uweke hapa hiyo elimu ili tusome ili tujue?

Unaruka ruka nini Dr.?


Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

 Reactions:arafa255, Chakochangu, Manga ML and 1 other person

Gorgeousmimi
JF-Expert Member
Joined Jun 21, 2010
 8,863   1,500
May 21, 2015


 #992

 warumi said:
Unadhani wote humu wanaomsapoti deception ni wajinga kama unavyofikiria? Kuna sehemu mna upungufu, ebu
jichunguzeni kwanza, haiwezekan kila mtu akamsapoti jamaa na sio nyie, ni wazi hamna hoja zilizo hai, mna
mawazo mpauko

Mi nimeuliza nyie mnatumia database gani kuleta hizo hoja zenu??reference gani au ndo
mnazuka tu na kusema?
Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 21, 2015


 #993

 gorgeousmimi said:
Nyie mnatumia database gani ehh kuleta hizo scientic proofs zenu?

Hoja za deception zina mashiko na proofs zake ndio kabisa, sasa nyie hoja dhaifu, mnadhan nani
atakayewaamini hayo mnayo google, come on guys

Kaunga
JF-Expert Member
Joined Nov 28, 2010
 12,573   2,000
May 21, 2015


 #994

 Deception said:
Ok,sasa naomba unielezee hao ndugu zako waliofariki bila kutumia ARVs,je,walikuwa na dalili gani?Zitaje
zote,usiache kitu.

Kuna binamu yangu yeye kilichomlaza ni maumivu ya kwenye uti wa mgongo. Wakasema ana
sijui fungus kwenye uti wa mgongo na/au TB. Wakampima wakamkuta ni HIV+. Tukapewa
mlundo wa madawa hadi nurse mmoja akatushauri tusimpe yote ila hatukumfuata maana
tuliamini Dr anajua zaidi ya nurse. 4 days later he passed away. Alikuwa na watoto wawili kwa
mama 2 tofauti, watoto wote walifariki wakiwa HIV+. Mmoja pnemounia mwingine fungal
infection. Mkewe yuko kwenye arv baada ya yeye kuwa positive. Hapo niambie hiv is not real
and not infectious. Usinipe habari za nutrition maana walikuwa wanakaa mwanza kwenye
samaki, dagaa na majani ya kutosha. Uchumi wa kati
Retroviridae
Member
Joined Apr 9, 2015
 47   0
May 21, 2015


 #995

 warumi said:
Wapumbavu kweli, aliyewaambia sisi hatujui kutumia google nani? Yani wanatufanya sisi mazezeta mxiuu, hawana
hoja wameishiwa hao, wata Google sana mwaka huu ila haisaidii, Deception is another thing, hawamuwezi kwa
chochote,wanajigogisha apa wanajifanya wanajua wenyewe

Juz a question 2u Roman... Izo habari zote unazozisoma Google unadhani zinatoka wapi?...

Kila habari Ina reference zake chini.. Kama kweli umesoma io habari niliokutolea Google juz
kukupa a history of that man mnaemsupport
Ukiangalia chini kuna so many reference & some of em zinatoka kwa huyohuyo Dr...
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

Gorgeousmimi
JF-Expert Member
Joined Jun 21, 2010
 8,863   1,500
May 21, 2015


 #996

 warumi said:
Hoja za deception zina mashiko na proofs zake ndio kabisa, sasa nyie hoja dhaifu, mnadhan nani atakayewaamini
hayo mnayo google, come on guys

ha ha ha sawa basi….
Gorgeousmimi
JF-Expert Member
Joined Jun 21, 2010
 8,863   1,500
May 21, 2015


 #997

 retroviridae said:
Juz a question 2u Roman... Izo habari zote unazozisoma Google unadhani zinatoka wapi?... Kila habari Ina
reference zake chini.. Kama kweli umesoma io habari niliokutolea Google juz kukupa a history of that man
mnaemsupport Ukiangalia chini kuna so many reference & some of em zinatoka kwa huyohuyo Dr...

Wao wanamuamini deception anayetumia "UTUBE"!!!


 Reactions:retroviridae

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 21, 2015


 #998

 napoteza said:
Dah huyu Gorgeousmimi mwache ni maana hata sisi ambao hatujapita med school upungufu wa kinga mwilini
unasababishwa na mambo mengi sana hata bacteria wanaweza kuleta upungufu wa kinga mwilini! Kha

Mkuu,unajua madaktari hawana uelewa wa kutosha kuhusu nutrition kwa kuwa


hawajafundishwa kwa undani.Wanachojua wao ni kwamba karibu kila ugonjwa lazima
uupoison.
D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 21, 2015

 #999

 retroviridae said:
Oooooh!! ....
juz leave em as they r,
but I hop huu Uzi hautawafanya waanze kujiachia ovyo.. Bcz wakiukamata itakua a veeeery sad story

Vitisho vya kijinga tu hivyo...

Definition
JF-Expert Member
Joined Nov 28, 2013
 969   1,000
May 21, 2015


 #1,000

 Deception said:
Yaani hata wewe huoni kwamba wewe ndio unajifunga?Sasa nimekuelewa,kwamba wewe unavyojua bila HIV basi
hamna AIDS.Nimefurahi sana kulijua hilo.

Swali:
Kama kuna mgonjwa wa TB ambaye hajaanza dawa na anaweza kuambukiza wengine,na mgonjwa huyu akaishi
karibu na watu wengine kwa muda fulani,kuna watu watapata TB lakini wengine hawatapata.

Kwanini wengine wasipate ilihali wote walikuwa wana interact pamoja na mgonjwa wa TB?

labda nisaidie jibu hili swali...!


nikwamba hali hii inatokana na swala la upungufu wa kinga mwilini niki maanisha kwamba mtu
alie na kinga pungufu mwilini(cd4) ndiye atakaye pata TB(tuberclosis) ila kwa asye na upungufu
wa kinga mwilini hawezi pata maambukizi ya TB...kwasababu kinga zake ziko vzuri

kuku thibitishia hili nakupa mechanism kidogo ya circle ya Microbacterium tuberclosis wanavyo
mpata mtu adi jnsi anavyo kuwa infected.....M.tuberclosis ni normal flora(wadudu wasiyo na
madhara) waishio kwenye ngozi ya binadamu na kwenye hewa hii ni kwasababu they are
Anaerobic huweza kumpata mtu through inhalation ya air droplets from an infected individual
ivyo basi kwakuwa ni anaerobic hukimbilia moja kwa moja kwenye mapafu(simanishi kuwa
M.tuberclosis wana shambulia only upper pulmonary) wakiingia mwilini immune system
huwatambua kama infected micro organism ivyo kinacho fanyika cells ambazo zko responsble
kwajili yaku wazuia ni Microcytes ambazo moja kwa moja huenda kuzi
enguf(phagocytosis..kuzimeza) TB ...kinacho fanyika ni kwamba m.tuberclosis bado wanakuwa
hai ndani ya hiyo macrocytes ivyo CD4&cd8 znakuja saidia ku activw enzymes ambao wapo juu
ya macrocytes ku release Toxic ambayo huzi angamiza M.tuberclosis ivyo basi iwapo mtu
atakuwa na HIV+ cd4 zake ztashuka na ikimbukwe kuwa kutokana na process tajwa hapo juu
m.tuberclosis(TB) wapo kwenye hewa ivyo asilimia 90% ya watu wote kila mtu anao tb ivyo
baso immune system yako ikishuka kutakuwa amna destructipn tena ya hao Tb na ndiyo maana
unakuta karbu kila HIV+ anayo TB...hii ni the same way with other OP(magonjwa nyemelezi)
yote yapo mwilini mfano Candidias (fungi) wapo kwenye genital area ya mwanamke ila hawana
madhara mpaka Cd4 zako ztakapo shuka....nafkiri utakuwa umenielewa kwanini watu wengine
wanaweza ambukizwa TB na wengine hawawezi..!!
Dr.Gorgeousmimi & Retroviridae Kweli hapo pagumu labda nikuulize haya maswali
1) tuberculosis ni ugonjwa unaosababishwa na nn?
2)what causes pneumonia?
3 )virus wanaoleta viral pneumonia ni adenoviruses, rhinovirus es, influenza virus, para
influenza virus, and respiratory syncytial virus (RSV)
4) je kama sio virus anahusika kuleta hayo magonjwa naomba unieleze umeona popote ambapo
HIV virus anahusika hapo when someone is not hiv+positive
5)sasa swali langu ni hii equation ambayo mlitakiwa ku argue from med school
HIV -negative + pneumonia=AIDS
Hiv-negative +tuberculosis = AIDS
HIV +positive + pneumonia =AIDS
HIV +positive + tuberculosis = AIDS
Hapo kwenye hiyo scenario HIV katokea wapi?
Nipo theory kuwa HIV virus does not cause AIDS inapokuja na ndo hapo anaposingiziwa

 Reactions:Chakochangu, Deception and Habari ya Mujini

RGforever
JF-Expert Member
Joined Apr 3, 2011
 6,931   2,000
May 21, 2015


 #1,023

 definition said:
labda nisaidie jibu hili swali...!
nikwamba hali hii inatokana na swala la upungufu wa kinga mwilini niki maanisha kwamba mtu alie na kinga
pungufu mwilini(cd4) ndiye atakaye pata TB(tuberclosis) ila kwa asye na upungufu wa kinga mwilini hawezi pata
maambukizi ya TB...kwasababu kinga zake ziko vzuri

kuku thibitishia hili nakupa mechanism kidogo ya circle ya Microbacterium tuberclosis wanavyo mpata mtu adi jnsi
anavyo kuwa infected.....M.tuberclosis ni normal flora(wadudu wasiyo na madhara) waishio kwenye ngozi ya
binadamu na kwenye hewa hii ni kwasababu they are Anaerobic huweza kumpata mtu through inhalation ya air
droplets from an infected individual ivyo basi kwakuwa ni anaerobic hukimbilia moja kwa moja kwenye
mapafu(simanishi kuwa M.tuberclosis wana shambulia only upper pulmonary) wakiingia mwilini immune system
huwatambua kama infected micro organism ivyo kinacho fanyika cells ambazo zko responsble kwajili yaku wazuia
ni Microcytes ambazo moja kwa moja huenda kuzi enguf(phagocytosis..kuzimeza) TB ...kinacho fanyika ni kwamba
m.tuberclosis bado wanakuwa hai ndani ya hiyo macrocytes ivyo CD4&cd8 znakuja saidia ku activw enzymes
ambao wapo juu ya macrocytes ku release Toxic ambayo huzi angamiza M.tuberclosis ivyo basi iwapo mtu atakuwa
na HIV+ cd4 zake ztashuka na ikimbukwe kuwa kutokana na process tajwa hapo juu m.tuberclosis(TB) wapo
kwenye hewa ivyo asilimia 90% ya watu wote kila mtu anao tb ivyo baso immune system yako ikishuka kutakuwa
amna destructipn tena ya hao Tb na ndiyo maana unakuta karbu kila HIV+ anayo TB...hii ni the same way with
other OP(magonjwa nyemelezi) yote yapo mwilini mfano Candidias (fungi) wapo kwenye genital area ya
mwanamke ila hawana madhara mpaka Cd4 zako ztakapo shuka....nafkiri utakuwa umenielewa kwanini watu
wengine wanaweza ambukizwa TB na wengine hawawezi..!!
Click to expand...

Je ushawahi kusoma Pia Kwanini Virus Hawa Wanapotea Kama Mtu akiwa na Immunity Nzuri

Mfano . Hepatitis... HPV n.k sasa Kama Unakubali Kuwa hawa Wadudu ambao ni Deadly Virus
wanaweza Kupotea Kmaa Una immunity nzuri Kwann Tusipate Elimu Mpya kuhusu HIV kama
Wataalam baadhi wanavyosema Kwamba Anaweza na Yeye Akapotea kama Una Immune Nzuri

Gorgeousmimi
JF-Expert Member
Joined Jun 21, 2010
 8,863   1,500
May 21, 2015


 #1,024

 definition said:
achana nae anajaribu kuku toa mchezoni just baki strong kumthibitishia you are a doctar.

Naingia mzigoni bdae!


 Reactions:Deception

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 21, 2015


 #1,025
 definition said:
mfano nani umesha wahi msikia anaumwa TB ambaye ana HIV+ ebu npe mfano...??

Mimi niliwahi kuugua TB lakini sikuwa HIV+.Historia yangu ipo kwenye hospitali fulani.Hilo
unalizungumziaje?Kivingine,Je kama huna HIV huwezi kupata TB?Kivingine,Je,wote wenye TB
wana HIV?
N
Napoteza
Member
Joined May 19, 2015
 77   70
May 21, 2015


 #1,026

 gorgeousmimi said:
Wewe ndio huelewi kitu kabisa rafiki,Wapo nimesema bacteria hasababishi mapungufu ya kinga ya mwili??

hili ndio limenipelekea kuulizia hizo equation

RGforever
JF-Expert Member
Joined Apr 3, 2011
 6,931   2,000
May 21, 2015


 #1,027

Mi Nasubiri Summary Tu...


 Reactions:Deception

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 21, 2015


 #1,028

 Ruttashobolwa said:
Pengine kama amesema hivi basi ameteleza maana kimsingi si kila mwenye TB ana virusi vya UKIMWI! Mtu
anapo fikia stage ya UKIMWI anakuwa ana andamwa na kila aina ya magonjwa na kati ya magonjwa nyemelezi na
TB hipo kati yao...lakini kila aina ya Magonjwa humuandama mtu mwenye UKIMWI....!

Lakini tunatakiwa kujua magonjwa hayo yanaweza mpata mtu hata kama hana virusi vya UKIMWI!

Nafikiri kuna sehemu hamuelewani lakini mnaongea lugha moja!

Hiyo elimu unayoitoa ni nyepesi mno,kila mtu anaijua humu,hukufuatilia vizuri mjadala huu
toka mwanzo.Huyo DR alisema hivyo mara nyingi tu na akaulizwa na kurudia vilevile,na
alikuwa anamaanisha hivyo,si bahati mbaya,hata wewe muulize.
Ukitaka kuona kwamba mjadala huu ni mzito kuliko unavyofikiri,wewe fuatilia tu.

 Reactions:Habari ya Mujini

Troojan
JF-Expert Member
Joined Oct 8, 2012
 953   500
May 21, 2015


 #1,029

 gorgeousmimi said:
Ndio yaleyale mnayoyaamini hakuna HIV-virus!!!Na ARV zinasababisha ukimwi naona ingelikuwa vizuri mkijua
kwanza how ARV zinavyofanya kazi!!

yaaan we dk ntakutia kwenzi aiseee.yaan nyie c ndio mabingwa wa kusoma vitabu vikubwa
vikubwa vya masayansi.sasa huu uzi wa kulasa100 za kwenye cm tena unakushindaje kusoma!!!
yaaan mbna uko nyuma jamaa alielezea jinsi ARV znavyofanya kazi.akaelezea jinsi zilivyo na
sumu..yaaaan tena vizuri kabisa na akasema aje dk apinge hakutokea mtu.wewe leo unauliza
tena???we ni dk au pre dk??me naona niendelee kusoma tu maaan Madk wanantia hasira
tu.hawaleti vitu tunavyovitarajia wanabisha tu hata wakijibiwa wanauliza tena.mmekula
maharage ya wap nyieeeeew

 Reactions:Beka Mpole
Definition
JF-Expert Member
Joined Nov 28, 2013
 969   1,000
May 21, 2015


 #1,030

 RGforever said:
Je ushawahi kusoma Pia Kwanini Virus Hawa Wanapotea Kama Mtu akiwa na Immunity Nzuri

Mfano . Hepatitis... HPV n.k sasa Kama Unakubali Kuwa hawa Wadudu ambao ni Deadly Virus wanaweza Kupotea
Kmaa Una immunity nzuri Kwann Tusipate Elimu Mpya kuhusu HIV kama Wataalam baadhi wanavyosema
Kwamba Anaweza na Yeye Akapotea kama Una Immune Nzuri

jitahidi usome vizuri virology moja kati ya virus complication ni hao wa HepatitisB& C nani
kakwambia unaweza kuwa nao kutokana na immunity nzuri kwanza lazma uelewe hao virus
wanashambulia cells tofauti za ini kama kupfer cells&hepatocytes nakuleta liver cirrhosis
ugonjwa hambao hauna dawa labda PEP...tukirud kwenye HIV hawa. hawana swala la immunity
sytem kutokana nakwamba ni intracellular( wanazaliana ndani ya cell kwaku badlisha DNA yako
kutoa copy yake orginal japo yy ni RNA) ivyo basi wakijaa wana replication nakuwa wengi
ambapo new generation nayo inarudia process ivyo amna immunity system yaku
wasimamisha..!!!

Definition
JF-Expert Member
Joined Nov 28, 2013
 969   1,000
May 21, 2015


 #1,031

 Deception said:
Mimi niliwahi kuugua TB lakini sikuwa HIV+.Historia yangu ipo kwenye hospitali fulani.Hilo unalizungumziaje?
Kivingine,Je kama huna HIV huwezi kupata TB?Kivingine,Je,wote wenye TB wana HIV?

kwanza niambie ulikuwa una TB ipi..ya mifupa, ya uti wa mgongo au ya mapafu...!!????


Definition
JF-Expert Member
Joined Nov 28, 2013
 969   1,000
May 21, 2015


 #1,032

 gorgeousmimi said:
Naingia mzigoni bdae!

poa poa..!

Troojan
JF-Expert Member
Joined Oct 8, 2012
 953   500
May 21, 2015


 #1,033

 gorgeousmimi said:
Seriously dude?ushawahi kusikia kuhusu residriv UTI hebu kamuulize daktari wa karibu yako inakuwa
chronic.Kuna watu wanakuwa on antibiotics kwa mwaka au zaidi,Hasa vizee ambao hawana uwezo mzuri wa
kukojoa mkojo wote.Wanakuwa na mabaki ya mkojo kwenye kibofu wakati wote kwahio wanakula dawa
kumaintain UTI looool.Kama ww unajua zaidi kuliko mm HONGERAAAAAAAAAAAAA.Na kwani uliponiquote
post hii uliona nimemjibu nani na nini?Nilimjibu Kaunga kuhusu antibiotics haihusiani na ARV usidandie daladala
kwa mbele Troojan

unaona maajabu yenu.adi mchokonolewee wee ndio mnajivutavuta.sasa hayo maelezo io aina ya
UTI ulishindwa nini kuielezea tangu mda??wengi tunajua UTI za kawaida ambazo dozi ni week
maximum unadunda.wazee kwanza wengi wanashambuliwa sana na magonjwa nyemelezi.kinga
zao zmechoka ndugu.ndio maana wengi wanakisukali,tb na magpnjwa kibao.
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

 Reactions:warumi
D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 21, 2015


 #1,034

 definition said:
kwanza niambie ulikuwa una TB ipi..ya mifupa, ya uti wa mgongo au ya mapafu...!!????

Mapafu

Definition
JF-Expert Member
Joined Nov 28, 2013
 969   1,000
May 21, 2015


 #1,035

 Deception said:
Mapafu

kiutaratibu wa kazi na mazingira huwa amna treatment kabla ya history taken ya mgonjwa..labda
nkulize maswali machache kabla ya kujbu swali..

ulisha wahi pima HIV baada au kabla yakukutwa na TB...??

baada yakukutwa +ve ilipewa dawa zipi na ulitumia mda gani...!!?

je unaweza npa ushahidi wowote katika hilo tatizo ata picha ya hospital request...!??

Medisonmuta
JF-Expert Member
Joined Oct 10, 2014
 1,268   1,250
May 21, 2015


 #1,036

Kila ugonjwa una dawa yake


 Reactions:Diplomatic Imunnity

Definition
JF-Expert Member
Joined Nov 28, 2013
 969   1,000
May 21, 2015


 #1,037

 napoteza said:
Dr.Gorgeousmimi & Retroviridae Kweli hapo pagumu labda nikuulize haya maswali
1) tuberculosis ni ugonjwa unaosababishwa na nn?
2)what causes pneumonia?
3 )virus wanaoleta viral pneumonia ni adenoviruses, rhinovirus es, influenza virus, para influenza virus, and
respiratory syncytial virus (RSV)
4) je kama sio virus anahusika kuleta hayo magonjwa naomba unieleze umeona popote ambapo HIV virus anahusika
hapo when someone is not hiv+positive
5)sasa swali langu ni hii equation ambayo mlitakiwa ku argue from med school
HIV -negative + pneumonia=AIDS
Hiv-negative +tuberculosis = AIDS
HIV +positive + pneumonia =AIDS
HIV +positive + tuberculosis = AIDS
Hapo kwenye hiyo scenario HIV katokea wapi?
Nipo theory kuwa HIV virus does not cause AIDS inapokuja na ndo hapo anaposingiziwa
Click to expand...

lazima utambue pneumonia ni ugonjwa ambao uko complication sana....kila micro organism
anaweza sababisha pneumonia...je wajua minyoo kama( strongiloides stericoralis, hookworm&
ascaris) wanaweza sababisha pneumonia...je wajua karibu aina zote za bacteria
kama..strayptoccocus pneumonia, haemophilus ducrey...proteus wote wanaweza sababisha
pneumoni....so usi kariri kuwa only virus ndo anasababisha peneumonia.
definition ya pneumonia ni inflamation of lungs ivyo mashambulizi yoyote ya respiratory surface
twaweza taita pneumonia ivyo basi hli HIV- & pneumonia= aids sjui umeitolea wap...?????
K
Kichelepure
Member
Joined Mar 31, 2014
 96   95
May 21, 2015


 #1,038

Nionavyo mimi,tunatakiwa kutafakari kwa mapana zaidi juu ya facts mpya zilizoletwa na
wanasayansi mbalimbali juu ya huu ugonjwa,tutafakari tena kwanini maoni ya wanasayansi hao
waliosema hiv sio cause ya aids hayakutiliwa mkazo na hayajawekwa katika vitabu mbalimbali
ambavyo madaktari wanafundishiwa?kwanini nguvu nyingi sana zimetumika kuutangaza huu
ugonjwa?wanaotangaza sana huu ugonjwa ni wakina nani na ni kwanini? Watengenezaji wa
haya madawa ni wakina nani? Na kama hayaondoi hiv kwanini usitafutwe mbadala wake ambao
hauna side effects za hatari kama za arvs?Ambaye ni daktari na ambaye si daktari hebu tuondoe
bias katika jambo hili na tujadili kwa mapana zaidi ya tulivyofundishwa..

 Reactions:Chakochangu, Deception and Diva Beyonce

N
Naa
JF-Expert Member
Joined May 5, 2013
 393   250
May 21, 2015


 #1,039

 gorgeousmimi said:
Hebu kwenda huko kwani kuna mtu anayekaa na HIV-virus au tunasema ana ukimwi??Ukimwi unatoka kwenye
nini then?

I doubt if ur really a Dr mbna una hasira hivi???


 Reactions:Raynavero

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 21, 2015


 #1,040

 definition said:
kiutaratibu wa kazi na mazingira huwa amna treatment kabla ya history taken ya mgonjwa..labda nkulize maswali
machache kabla ya kujbu swali..

ulisha wahi pima HIV baada au kabla yakukutwa na TB...??

baada yakukutwa +ve ilipewa dawa zipi na ulitumia mda gani...!!?

je unaweza npa ushahidi wowote katika hilo tatizo ata picha ya hospital request...!??

Hujanielewa Dr.nimesema niliwahi kuwa na TB muda mrefu huko nyuma lakini waliponipima
HIV nilikuwa HIV-.Nazungumzia hoja ya Dr mmoja aliyesema ili uwe na ukimwi lazima uwe na
HIV,umenielewa maana yangu?
hii habari ya HV inataka kufanana na ile habari iliyoaminishwa kwa walimwengu kuwa Iraq
wanazo silaha za mangamizi kumbe ni uwongo.

HIV ni makubaliano ya wanasayansi wawili kuwa iitwe hivyo baada ya kila mmoja kudai
kumuibia mwezake chanzo cha kisababishi cha Ukimwi.

kuna mahakama ujerumani iliamua kuwa HIV haipo kwa sababu taasisi ya afya ya
hukowalishidwa kupeleka ushahidi mahakamani dhidi ya ule ulioonyesha kuwa haupo.

nashukuru Deception kwa hoja yako japo bado nina mashaka ila hoja zako zinamashiko na
zimenifanya kutafuta ukweli

 Reactions:mimisiowewe and Chakochangu

Habari Ya Mujini
JF-Expert Member
Joined Dec 22, 2013
 2,447   2,000
May 21, 2015


 #1,046

 Troojan said:
sasa UTI c dozi ya siku tatu au week jaman.dk kweli kweli hukumuelewa jamaa.kasema matumizi ya MUDA
MREFU ya ant biotics.sasa ARV dozi yake unaweza ifananisha na dozi ya UTI!!!u cnt b serious dk!!!!
Huwa ndo madokta kanjanja kazi yao kutoa mimba baasii...
K
Kichelepure
Member
Joined Mar 31, 2014
 96   95
May 21, 2015


 #1,047

 Habari ya Mujini said:


Ivi udocta ni kama msaafu au biblia? Manake hawa madokta ni kama hawataki kujifunza kitu kipya...

Kitu cha muhimu sasa ni kwa mkuu deception kutupatia summary ya haya mambo kama
alivyotuahidi maana hiyo ni idea mpya ambayo naamini wengi hatukuwa nayo lakini hiyo ya
madaktari si mpya vichwani mwetu kwani tumefundishwa hivyo kama wao wanavyosema.hapo
madaktari wanajitahidi kuelewesha kama vitabu vyao vinavyoeleza ambavyo msingi wake ni
yule aliyesema amegundua hiv ya kuwa anasababisha aids na hoja za deception msingi wake ni
kutoka kwa wale wanasayansi waliopinga hiv anasababisha aids.kwahiyo hapa mada haitakuwa
inaenda mbele.mkuu deception tupe summary then twende kwenye magonjwa mengine kama
cancer na kisukari na usiache kutuelekeza namna ya kuandaa aina mbalimbali za vyakula ili
viweze kutupatia virutubisho muhimu kwa miili yetu na tuimarishe kinga za miili yetu.

 Reactions:Habari ya Mujini and Diva Beyonce

Definition
JF-Expert Member
Joined Nov 28, 2013
 969   1,000
May 21, 2015


 #1,048

 Deception said:
Huu utata ndio mojawapo ya maeneo tuliyodanganywa na ndio maana mimi niko humu kujadili na wengine ili
waujue ukweli.
Ukiendelea kusoma taratibu utaelewa tu,kuna mahali nimeelezea hayo mambo.Najua hata wewe ingekuingia akilini
kama wangepima muonekano wa HIV(feki) mwenyewe na sio protini zake,hivyo electronic microscopes ndio
kingekuwa kipimo kizuri zaidi kuliko kile cha kuangalia antibodies dhidi ya protini kutoka kwa HIV(feki) ambapo
protini hizi sio specific kwa HIV(feki).
Na ndio maana hata wewe uliwahi kusikia watu kupewa majibu ya uongo mara nyingi tu.Na ndio maana hawataki
kutumia electronics microscope kwa kuwa hii ndio inadhihirisha kwelikweli kama virus yupo,na kama wangetumia
hii kungekuwa na uwezekano mdogo mno wa kupata watu ambao wana huyu kirusi na hivyo maana nzima ya
biashara ya ARVs ingepotea.
Kwa hiyo hawajakosea kutumia hivi vipimo vya sasa,wanajua na ndio mpango wao,hawajakosea.Kwa kuwa vipimo
hivi vina tricks ambazo zinawasaidia kupata wateja wengi zaidi wa ARVs.
Click to expand...

1.mkuu unavyo sema vipimo feki vya HIV antbodies(protn) una maanisha nini...???

2.nme soma hapo juu nkaona una amini juu ya magonjwa halisia kama kaswende(syphilis)&
typhoid fever....jee haya yana pimwa na nnn..!!!???

3.umesema watu hawapimwi kwaku tumia electron microscope...labda nikulize iyo machine
hapa tanzania ipo wap..!!??

Definition
JF-Expert Member
Joined Nov 28, 2013
 969   1,000
May 21, 2015


 #1,049

 Deception said:
Hujanielewa Dr.nimesema niliwahi kuwa na TB muda mrefu huko nyuma lakini waliponipima HIV nilikuwa
HIV-.Nazungumzia hoja ya Dr mmoja aliyesema ili uwe na ukimwi lazima uwe na HIV,umenielewa maana yangu?

nimekuekewa...lakini je unafikiri sentence yake hapo juu amekosea...!???

Habari Ya Mujini
JF-Expert Member
Joined Dec 22, 2013
 2,447   2,000
May 21, 2015


 #1,050

 warumi said:
AHahaha unanichekesha mkuu, yani hawa madaktari wetu sijawahi kuona aisehh, yani wanazidi kujidharirisha apa
walivyo na upeo mdogo ambao ata mimi ambaye sio daktari sina mawazo mpauko kama yao

Nasikia ni mabwana shamba siyo madokta...by Warumi


 Reactions:warumi

Habari Ya Mujini
JF-Expert Member
Joined Dec 22, 2013
 2,447   2,000
May 21, 2015


 #1,051

 Eiyer said:
Kwa elimu yangu ya darasa la saba sio kweli kwamba Deception kasema hakuna hawa virusi ila hawa virusi ni aina
ya retrovirus ambao sio kitisho kwa kinga na maisha ya binadamu

LAKINI,Hakuna ushahidi wa kirusi wa HIV SPECIFIC uliowahi kutolewa na hata wewe kama unaweza tuletee
hapa NA UTUTHIBITISHIE huyu ndie HIV,nadhani hata noble prize itakuhusu .....

Sasa kama unadhani huko kufanya kazi kwa hizo ARVs kuna umuhimu kwetu na unayapenda maisha yetu si uweke
hapa hiyo elimu ili tusome ili tujue?

Unaruka ruka nini Dr.?


Click to expand...

Mi najiuliza ni kwann huyu virus wa hiv hawatafuti namna yakuona kama virus wengine?
Badala yake wanatupa assumption tu za huyu mdudu...
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

Habari Ya Mujini
JF-Expert Member
Joined Dec 22, 2013
 2,447   2,000
May 21, 2015


 #1,052

 Kaunga said:
Maelezo mazuri nafikiri gorgeousmimi anafuatilia.
Kwa vile TB ilikuwepo kabla ya hiv kugundulika (sijasema kuwepo), na umesema mtu ambaye kinga yake
imepungua (mwenye Upungufu wa KInga MWIlini) basi ndio anaugua TB; kwa maneno mengine unapingana na
Dr gorgeousmimi anayesema no HIV no Upungufu wa KInga MWIlini so ni next to imposible kwa mtu kupata TB?

Safi hii hoja nzuri sana...maana yake kinga ya mwili inaweza kushuka hata bila huyo HIV..
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

K
Kimbisi Mbisi
JF-Expert Member
Joined Jan 4, 2015
 508   0
May 21, 2015


 #1,053

 Deception said:
Waliopata nini?

Ukimwi mkuu.

Habari Ya Mujini
JF-Expert Member
Joined Dec 22, 2013
 2,447   2,000
May 21, 2015


 #1,054

 napoteza said:
Dr.Gorgeousmimi & Retroviridae Kweli hapo pagumu labda nikuulize haya maswali
1) tuberculosis ni ugonjwa unaosababishwa na nn?
2)what causes pneumonia?
3 )virus wanaoleta viral pneumonia ni adenoviruses, rhinovirus es, influenza virus, para influenza virus, and
respiratory syncytial virus (RSV)
4) je kama sio virus anahusika kuleta hayo magonjwa naomba unieleze umeona popote ambapo HIV virus anahusika
hapo when someone is not hiv+positive
5)sasa swali langu ni hii equation ambayo mlitakiwa ku argue from med school
HIV -negative + pneumonia=AIDS
Hiv-negative +tuberculosis = AIDS
HIV +positive + pneumonia =AIDS
HIV +positive + tuberculosis = AIDS
Hapo kwenye hiyo scenario HIV katokea wapi?
Nipo theory kuwa HIV virus does not cause AIDS inapokuja na ndo hapo anaposingiziwa
Click to expand...

Nimekukubali mkuu...
K
Kimbisi Mbisi
JF-Expert Member
Joined Jan 4, 2015
 508   0
May 21, 2015


 #1,055

 warumi said:
Na sisi tungependa zaidi ungekuja na urhibitisho wako ili tukuamini, vinginevyo nakuona shabiki tu usiyejielewa
(samahani )

Mkuu ma doctor wote wameapa kutotoa siri, sio za wagonjwa tu, hata za ugonjwa na dawa zake.
Hivyo usitegemee jibu hapo. Utakesha, bora tumsikilize deception.

 Reactions:Manga ML and mimisiowewe

Habari Ya Mujini
JF-Expert Member
Joined Dec 22, 2013
 2,447   2,000
May 21, 2015


 #1,056

 RGforever said:
Je ushawahi kusoma Pia Kwanini Virus Hawa Wanapotea Kama Mtu akiwa na Immunity Nzuri

Mfano . Hepatitis... HPV n.k sasa Kama Unakubali Kuwa hawa Wadudu ambao ni Deadly Virus wanaweza Kupotea
Kmaa Una immunity nzuri Kwann Tusipate Elimu Mpya kuhusu HIV kama Wataalam baadhi wanavyosema
Kwamba Anaweza na Yeye Akapotea kama Una Immune Nzuri

Hapa lazima watafute sababu mkuu...


Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 21, 2015


 #1,057

 kimbisi mbisi said:


Mkuu ma doctor wote wameapa kutotoa siri, sio za wagonjwa tu, hata za ugonjwa na dawa zake. Hivyo usitegemee
jibu hapo. Utakesha, bora tumsikilize deception.

Si bora wangekuwa wanazijua izo siri sasa, hawajui lolote kama sie tu, wabongo walivyokuwa
wambea tena hao madaktari ndio usiseme, sidhan kama wangekaa kimya labda madokta wa
usalama wa taifa, labda lakini

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 21, 2015


 #1,058

 Troojan said:
kama nesi flani ivi!!

Umeona eeh? Yupo kama nesi flan ivi amazing

Kupe
JF-Expert Member
Joined Jul 26, 2012
 1,026   1,225
May 21, 2015


 #1,059

Nilichogundua Wengi wanaoshabikia huyu dokta FAKE wengi wao ni wale walipimwa na
kukutwa na HIV+ sasa either wabishi hawataki kukubali au wanatafuta relief yaani wanajifariji
au wanatamani itangazwe hata redioni kesho kuwa ukimwi hausababishwi na ngono ili wapate
sababu. Au ni wale watu ambao starehe yao ni ngono na hawataki kutumia
condom.........anachokifanya dokta FAKE ni kitu kidogo sana . Yeye ananukuu paper za wale
waliopinga ukimwi basiii yaani ni sawa na ushabiki wa simba na yanga. Maswali ya msingi
anayakwepa anakadhania TB sijui mafua ......mtu alikuwa hoi hoi kaisha kabakia mifupa hata
kula hali anaanzishiwa dozi ya ARV ana recover anarudi safi kabisa . Dokta FAKE anasema
dawa ya upungufu wa kinga mwilini ni chakula mlo kamili . Sasa mtu alifikia hatua hata ya kula
hawezi atawezaje kula hizo juice . Dokta FAKE na nyie waathirika taratibu jamani mtapotosha
watu . Kuna watu walienda kwa babu wa loliondo wakaacha kula ARV walifariki fasta .
K
Kimbisi Mbisi
JF-Expert Member
Joined Jan 4, 2015
 508   0
May 21, 2015


 #1,060

 Deception said:
Kwa hiyo unamaanisha bila VVU hakuna Ukimwi?Naomba unijibu hili swali please.

Ndio, kwakuwa lazima uwe na vvu kwanza na baadae ndo unakuwa ukimwi, yaani kwa kifupi
hizi ni stages, Dk atanisaidia kama nimekosea hapo.
hii habari ya HV inataka kufanana na ile habari iliyoaminishwa kwa walimwengu kuwa Iraq
wanazo silaha za mangamizi kumbe ni uwongo.

HIV ni makubaliano ya wanasayansi wawili kuwa iitwe hivyo baada ya kila mmoja kudai
kumuibia mwezake chanzo cha kisababishi cha Ukimwi.

kuna mahakama ujerumani iliamua kuwa HIV haipo kwa sababu taasisi ya afya ya
hukowalishidwa kupeleka ushahidi mahakamani dhidi ya ule ulioonyesha kuwa haupo.

nashukuru Deception kwa hoja yako japo bado nina mashaka ila hoja zako zinamashiko na
zimenifanya kutafuta ukweli

 Reactions:mimisiowewe and Chakochangu
Habari Ya Mujini
JF-Expert Member
Joined Dec 22, 2013
 2,447   2,000
May 21, 2015


 #1,046

 Troojan said:
sasa UTI c dozi ya siku tatu au week jaman.dk kweli kweli hukumuelewa jamaa.kasema matumizi ya MUDA
MREFU ya ant biotics.sasa ARV dozi yake unaweza ifananisha na dozi ya UTI!!!u cnt b serious dk!!!!

Huwa ndo madokta kanjanja kazi yao kutoa mimba baasii...


K
Kichelepure
Member
Joined Mar 31, 2014
 96   95
May 21, 2015


 #1,047

 Habari ya Mujini said:


Ivi udocta ni kama msaafu au biblia? Manake hawa madokta ni kama hawataki kujifunza kitu kipya...

Kitu cha muhimu sasa ni kwa mkuu deception kutupatia summary ya haya mambo kama
alivyotuahidi maana hiyo ni idea mpya ambayo naamini wengi hatukuwa nayo lakini hiyo ya
madaktari si mpya vichwani mwetu kwani tumefundishwa hivyo kama wao wanavyosema.hapo
madaktari wanajitahidi kuelewesha kama vitabu vyao vinavyoeleza ambavyo msingi wake ni
yule aliyesema amegundua hiv ya kuwa anasababisha aids na hoja za deception msingi wake ni
kutoka kwa wale wanasayansi waliopinga hiv anasababisha aids.kwahiyo hapa mada haitakuwa
inaenda mbele.mkuu deception tupe summary then twende kwenye magonjwa mengine kama
cancer na kisukari na usiache kutuelekeza namna ya kuandaa aina mbalimbali za vyakula ili
viweze kutupatia virutubisho muhimu kwa miili yetu na tuimarishe kinga za miili yetu.

 Reactions:Habari ya Mujini and Diva Beyonce


Definition
JF-Expert Member
Joined Nov 28, 2013
 969   1,000
May 21, 2015


 #1,048

 Deception said:
Huu utata ndio mojawapo ya maeneo tuliyodanganywa na ndio maana mimi niko humu kujadili na wengine ili
waujue ukweli.
Ukiendelea kusoma taratibu utaelewa tu,kuna mahali nimeelezea hayo mambo.Najua hata wewe ingekuingia akilini
kama wangepima muonekano wa HIV(feki) mwenyewe na sio protini zake,hivyo electronic microscopes ndio
kingekuwa kipimo kizuri zaidi kuliko kile cha kuangalia antibodies dhidi ya protini kutoka kwa HIV(feki) ambapo
protini hizi sio specific kwa HIV(feki).
Na ndio maana hata wewe uliwahi kusikia watu kupewa majibu ya uongo mara nyingi tu.Na ndio maana hawataki
kutumia electronics microscope kwa kuwa hii ndio inadhihirisha kwelikweli kama virus yupo,na kama wangetumia
hii kungekuwa na uwezekano mdogo mno wa kupata watu ambao wana huyu kirusi na hivyo maana nzima ya
biashara ya ARVs ingepotea.
Kwa hiyo hawajakosea kutumia hivi vipimo vya sasa,wanajua na ndio mpango wao,hawajakosea.Kwa kuwa vipimo
hivi vina tricks ambazo zinawasaidia kupata wateja wengi zaidi wa ARVs.
Click to expand...

1.mkuu unavyo sema vipimo feki vya HIV antbodies(protn) una maanisha nini...???

2.nme soma hapo juu nkaona una amini juu ya magonjwa halisia kama kaswende(syphilis)&
typhoid fever....jee haya yana pimwa na nnn..!!!???

3.umesema watu hawapimwi kwaku tumia electron microscope...labda nikulize iyo machine
hapa tanzania ipo wap..!!??

Definition
JF-Expert Member
Joined Nov 28, 2013
 969   1,000
May 21, 2015


 #1,049

 Deception said:
Hujanielewa Dr.nimesema niliwahi kuwa na TB muda mrefu huko nyuma lakini waliponipima HIV nilikuwa
HIV-.Nazungumzia hoja ya Dr mmoja aliyesema ili uwe na ukimwi lazima uwe na HIV,umenielewa maana yangu?

nimekuekewa...lakini je unafikiri sentence yake hapo juu amekosea...!???

Habari Ya Mujini
JF-Expert Member
Joined Dec 22, 2013
 2,447   2,000
May 21, 2015


 #1,050

 warumi said:
AHahaha unanichekesha mkuu, yani hawa madaktari wetu sijawahi kuona aisehh, yani wanazidi kujidharirisha apa
walivyo na upeo mdogo ambao ata mimi ambaye sio daktari sina mawazo mpauko kama yao

Nasikia ni mabwana shamba siyo madokta...by Warumi


 Reactions:warumi

Habari Ya Mujini
JF-Expert Member
Joined Dec 22, 2013
 2,447   2,000
May 21, 2015


 #1,051

 Eiyer said:
Kwa elimu yangu ya darasa la saba sio kweli kwamba Deception kasema hakuna hawa virusi ila hawa virusi ni aina
ya retrovirus ambao sio kitisho kwa kinga na maisha ya binadamu

LAKINI,Hakuna ushahidi wa kirusi wa HIV SPECIFIC uliowahi kutolewa na hata wewe kama unaweza tuletee
hapa NA UTUTHIBITISHIE huyu ndie HIV,nadhani hata noble prize itakuhusu .....

Sasa kama unadhani huko kufanya kazi kwa hizo ARVs kuna umuhimu kwetu na unayapenda maisha yetu si uweke
hapa hiyo elimu ili tusome ili tujue?

Unaruka ruka nini Dr.?


Click to expand...

Mi najiuliza ni kwann huyu virus wa hiv hawatafuti namna yakuona kama virus wengine?
Badala yake wanatupa assumption tu za huyu mdudu...
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

Habari Ya Mujini
JF-Expert Member
Joined Dec 22, 2013
 2,447   2,000
May 21, 2015


 #1,052

 Kaunga said:
Maelezo mazuri nafikiri gorgeousmimi anafuatilia.
Kwa vile TB ilikuwepo kabla ya hiv kugundulika (sijasema kuwepo), na umesema mtu ambaye kinga yake
imepungua (mwenye Upungufu wa KInga MWIlini) basi ndio anaugua TB; kwa maneno mengine unapingana na
Dr gorgeousmimi anayesema no HIV no Upungufu wa KInga MWIlini so ni next to imposible kwa mtu kupata TB?

Safi hii hoja nzuri sana...maana yake kinga ya mwili inaweza kushuka hata bila huyo HIV..
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016

K
Kimbisi Mbisi
JF-Expert Member
Joined Jan 4, 2015
 508   0
May 21, 2015


 #1,053

 Deception said:
Waliopata nini?

Ukimwi mkuu.
Habari Ya Mujini
JF-Expert Member
Joined Dec 22, 2013
 2,447   2,000
May 21, 2015


 #1,054

 napoteza said:
Dr.Gorgeousmimi & Retroviridae Kweli hapo pagumu labda nikuulize haya maswali
1) tuberculosis ni ugonjwa unaosababishwa na nn?
2)what causes pneumonia?
3 )virus wanaoleta viral pneumonia ni adenoviruses, rhinovirus es, influenza virus, para influenza virus, and
respiratory syncytial virus (RSV)
4) je kama sio virus anahusika kuleta hayo magonjwa naomba unieleze umeona popote ambapo HIV virus anahusika
hapo when someone is not hiv+positive
5)sasa swali langu ni hii equation ambayo mlitakiwa ku argue from med school
HIV -negative + pneumonia=AIDS
Hiv-negative +tuberculosis = AIDS
HIV +positive + pneumonia =AIDS
HIV +positive + tuberculosis = AIDS
Hapo kwenye hiyo scenario HIV katokea wapi?
Nipo theory kuwa HIV virus does not cause AIDS inapokuja na ndo hapo anaposingiziwa
Click to expand...

Nimekukubali mkuu...
K
Kimbisi Mbisi
JF-Expert Member
Joined Jan 4, 2015
 508   0
May 21, 2015


 #1,055

 warumi said:
Na sisi tungependa zaidi ungekuja na urhibitisho wako ili tukuamini, vinginevyo nakuona shabiki tu usiyejielewa
(samahani )

Mkuu ma doctor wote wameapa kutotoa siri, sio za wagonjwa tu, hata za ugonjwa na dawa zake.
Hivyo usitegemee jibu hapo. Utakesha, bora tumsikilize deception.

 Reactions:Manga ML and mimisiowewe

Habari Ya Mujini
JF-Expert Member
Joined Dec 22, 2013
 2,447   2,000
May 21, 2015


 #1,056

 RGforever said:
Je ushawahi kusoma Pia Kwanini Virus Hawa Wanapotea Kama Mtu akiwa na Immunity Nzuri

Mfano . Hepatitis... HPV n.k sasa Kama Unakubali Kuwa hawa Wadudu ambao ni Deadly Virus wanaweza Kupotea
Kmaa Una immunity nzuri Kwann Tusipate Elimu Mpya kuhusu HIV kama Wataalam baadhi wanavyosema
Kwamba Anaweza na Yeye Akapotea kama Una Immune Nzuri

Hapa lazima watafute sababu mkuu...

Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 21, 2015


 #1,057

 kimbisi mbisi said:


Mkuu ma doctor wote wameapa kutotoa siri, sio za wagonjwa tu, hata za ugonjwa na dawa zake. Hivyo usitegemee
jibu hapo. Utakesha, bora tumsikilize deception.

Si bora wangekuwa wanazijua izo siri sasa, hawajui lolote kama sie tu, wabongo walivyokuwa
wambea tena hao madaktari ndio usiseme, sidhan kama wangekaa kimya labda madokta wa
usalama wa taifa, labda lakini
Warumi
JF-Expert Member
Joined May 6, 2013
 14,769   2,000
May 21, 2015


 #1,058

 Troojan said:
kama nesi flani ivi!!

Umeona eeh? Yupo kama nesi flan ivi amazing

Kupe
JF-Expert Member
Joined Jul 26, 2012
 1,026   1,225
May 21, 2015


 #1,059

Nilichogundua Wengi wanaoshabikia huyu dokta FAKE wengi wao ni wale walipimwa na
kukutwa na HIV+ sasa either wabishi hawataki kukubali au wanatafuta relief yaani wanajifariji
au wanatamani itangazwe hata redioni kesho kuwa ukimwi hausababishwi na ngono ili wapate
sababu. Au ni wale watu ambao starehe yao ni ngono na hawataki kutumia
condom.........anachokifanya dokta FAKE ni kitu kidogo sana . Yeye ananukuu paper za wale
waliopinga ukimwi basiii yaani ni sawa na ushabiki wa simba na yanga. Maswali ya msingi
anayakwepa anakadhania TB sijui mafua ......mtu alikuwa hoi hoi kaisha kabakia mifupa hata
kula hali anaanzishiwa dozi ya ARV ana recover anarudi safi kabisa . Dokta FAKE anasema
dawa ya upungufu wa kinga mwilini ni chakula mlo kamili . Sasa mtu alifikia hatua hata ya kula
hawezi atawezaje kula hizo juice . Dokta FAKE na nyie waathirika taratibu jamani mtapotosha
watu . Kuna watu walienda kwa babu wa loliondo wakaacha kula ARV walifariki fasta .
K
Kimbisi Mbisi
JF-Expert Member
Joined Jan 4, 2015
 508   0
May 21, 2015


 #1,060

 Deception said:
Kwa hiyo unamaanisha bila VVU hakuna Ukimwi?Naomba unijibu hili swali please.

Ndio, kwakuwa lazima uwe na vvu kwanza na baadae ndo unakuwa ukimwi, yaani kwa kifupi
hizi ni stages, Dk atanisaidia kama nimekosea hapo.
 Eiyer said:
Umeweka mchoro tu huo...

Unanisikitisha kwasababu hata hujui maana ya ushahidi ni.nini...

Hivi hiyo ni picha kweli?

Aliegundua HIV mwenyewe hajawahi kumuona huyu kirusi halafu wewe mmatumbi uweze kumuona!?

Hivi mkikubali tu hakuna ushahidi wa hii kitu mtakufa?


Click to expand...

He he hee,sio kwamba hawajui maana ya ushahidi bali hawana huo ushahidi,we unamuonea bure
tu.Hebu angalia hiyo video hapo chini uone huyo mama anavyoelezea jinsi hawa jamaa
walivyofanya mpaka kusema kwamba wamegundua HIV,video hii si scientific proof,ila
anachoongea huyo mama ni data za jinsi walivyofanya kina Gallo na Montaigner.

Hebu angalia uone huyu mama alivyokuwa nuksi.Nuksi kweli huyu mama...yaani nuksi kweli
kweli na ana uhakika anachokiongea na wewe mwenyewe muangaliaji unaweza kugundua kitu
hapo.Tuliza akili na uangalie.Ukimaliza ndio utajua kwanini jamaa alikuletea picha ya mchoro
badala ya electronic micro-graphs za HIV.Haya twende kazini.....

https://www.youtube.com/watch?v=1Ga01hvqOow

 Reactions:Eiyer and mimisiowewe

Kamjingijingi
JF-Expert Member
Joined Mar 10, 2009
 807   225
May 21, 2015


 #1,087
tujuzeni kwa kiswahili
D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 21, 2015


 #1,088

 definition said:
uliwajua vp kama ni -ve...acha kujibu kipuzi ili na wewe uonekane uko team flani...na ndiyo maana apo juu
nilimuliza mwezio.alikuwa na tb ya wap..??? na je hao watu walipona..?? na je ukiacha maandishi una kigezo kipi
chaku nishawishi ...?? vna hitaji vigozo zaidi ya maneno mkuu....muda wa siasa ulisha isha page za mwanzo...!!

Dr.niliwahi kukwambia kwamba mimi mwenyewe niliwahi kuugua TB muda mrefu nyuma
lakini waliponipima wakakuta ni HIV-,yaani sina HIV.Kwa kuwa ili upate TB inabidi kinga
yako iwe imeshuka,sasa nauliza hivi;

Kama nilikuwa sina HIV je nini kilishusha kinga yangu?


 Reactions:RGforever and Eiyer

Amaizing
JF-Expert Member
Joined May 3, 2013
 3,560   2,000
May 21, 2015


 #1,089

 retroviridae said:
&#128071;&#128071;&#128071;&#128071;&#128071;&#128071;&#128071;&#128071;&#128071;&#128071;&
#128071;
sasa nmeekuelewa ..megundua kumbe Was not about education... wax all about finding winners and losers in this
issue... Good 4u
&#9757;&#128070;&#128070;&#128070;&#128070;&#128070;&#128070;&#128070;&#128070;&#128070;&#1
28070;&#128070;

Mkuu hatupo hapa kutafuta winners wala losers.


Tupo hapa kupata elimu zaid ni watu wengi wanamatatizo haya

Yan kama Mimi nimetoka na kitu hapa kuwa ukimwi unaweza kuwa nao bila ya HIV+

Kwa akili yako utabisha ila ukweli ndio huo doctor


 Reactions:warumi and Eiyer

D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 21, 2015


 #1,090

 definition said:
mkuu una uhakika na ukisemacho...!?? ni wapi umepata habari kuwa HIV virus haonekani...??

Dr unachotakiwa wewe ni kumthibitishia kwamba HIV anaweza kuonekana.Mchoro sio


uthibitisho.

 Reactions:Eiyer

Amaizing
JF-Expert Member
Joined May 3, 2013
 3,560   2,000
May 21, 2015


 #1,091

 retroviridae said:
Oooooh!! ....
juz leave em as they r,
but I hop huu Uzi hautawafanya waanze kujiachia ovyo.. Bcz wakiukamata itakua a veeeery sad story

Doctor usione tunakomaa na huu uzi na sio kwamba tunajiachia au tunajifariji

Ila kwa maisha ya sasa ni lazima utazame kila kitu kwa jicho la tatu
Sio unakubali kupelekwa kama ng'ombe

Lazima tujue nin madhara ya ARV.lazima tujue upande wa pili wa AIDS ukoje na kwanini watu
wakipinga HIV+=AIDS wanapotezwa au hawapewi support ili kutatua hili tatizo??

Mara ngapi tunasikia dawa imepatikana halafu hizo story zinapotea.jaribu kuruhusu akili yako
itazame upande wa pili

""Ni mtazamo tuuuu...usijenge chuki haya mawazo tuuuuu""


 Reactions:Raynavero, tryice, UMBWE1 and 4 others

Definition
JF-Expert Member
Joined Nov 28, 2013
 969   1,000
May 21, 2015


 #1,092

 Deception said:
Dr.niliwahi kukwambia kwamba mimi mwenyewe niliwahi kuugua TB muda mrefu nyuma lakini waliponipima
wakakuta ni HIV-,yaani sina HIV.Kwa kuwa ili upate TB inabidi kinga yako iwe imeshuka,sasa nauliza hivi;

Kama nilikuwa sina HIV je nini kilishusha kinga yangu?

fanya ujibu maswali yangu hapo juu ili na mm niende sawa na yakwako...nakujua ww ni bingwa
waku kimbia maswali...!!

Mtimkavu2
Senior Member
Joined Apr 23, 2012
 110   195
May 21, 2015


 #1,093
Inawezekana usipate ukimwi lakini hakuna sababu ya kujaribisha ni bora ukatumia kinga mara
zote. Kuna research nimeisoma sina uhakika nayo sana ila wanasema kuwa ukifanya tigo kupata
maambukizi chansi yake ni 1 kati ya 71. Kama papuchi chansi ya kupata ni 1 kati ya 1250. Na
wale wachumvini chansi ni kiduuuchu. Kila mtu na zali lake unaweza ubahatike au uwe ndo that
1......

All exposures are not equal


The results of several meta-analyses suggest that some types of sex carry on average a higher
risk of HIV transmission than others. Below are estimates from meta-analyses that have
combined the results of studies conducted in high-income countries. For types of sex where
meta-analysis estimates do not exist, numbers from individual studies are provided.

Anal sex
A meta-analysis exploring the risk of HIV transmission through unprotected anal sex was
published in 2010.1 The analysis, based on the results of four studies, estimated the risk through
receptive anal sex (receiving the penis into the anus, also known as bottoming) to be 1.4%. (This
means that an average of one transmission occurred for every 71 exposures.) This risk was
similar regardless of whether the receptive partner was a man or woman.

No meta-analysis estimates currently exist for insertive anal sex (inserting the penis into the
anus, also known as topping) but two individual studies were conducted to calculate this risk.
The first, published in 1999, calculated the risk to be 0.06% (equivalent to one transmission per
1,667 exposures).2 However, due to the design of the study, this number likely underestimated
the risk of HIV transmission. The second study, published in 2010, was better designed and
estimated the risk to be 0.11% (or 1 transmission per 909 exposures) for circumcised men and
0.62% (1 transmission per 161 exposures) for uncircumcised men.3

Vaginal sex
A meta-analysis of 10 studies exploring the risk of transmission through vaginal sex was
published in 2009.4 It estimated the risk of HIV transmission through receptive vaginal sex
(receiving the penis in the vagina) to be 0.08% (equivalent to 1 transmission per 1,250
exposures).

A meta-analysis of three studies exploring the risk from insertive vaginal sex (inserting the penis
into the vagina) was estimated to be 0.04% (equivalent to 1 transmission per 2,500 exposures).4

Oral sex
No meta-analysis estimates exist for oral sex (vaginal or penile) because too few good-quality
studies have been completed. This is because it is difficult to find people whose only risk of HIV
transmission is unprotected oral sex. A review of the studies that are available was published in
2008 and concluded that vaginal and penile oral sex pose a “low but non-zero transmission
probability.”5

In the three studies aimed at calculating the risk of HIV transmission from one act of oral sex, no
transmissions were observed among three different populations—lesbian serodiscordant couples,
heterosexual serodiscordant couples and single gay men—who reported unprotected oral sex as
their only risk for HIV transmission. However, these studies enrolled only a small number of
people and followed them for only a short period of time, which may explain the lack of HIV
transmissions and makes it impossible to conclude that the risk from oral sex is zero.
 amaizing said:
Mkuu hatupo hapa kutafuta winners wala losers.

Tupo hapa kupata elimu zaid ni watu wengi wanamatatizo haya

Yan kama Mimi nimetoka na kitu hapa kuwa ukimwi unaweza kuwa nao bila ya HIV+

Kwa akili yako utabisha ila ukweli ndio huo doctor

Kuanzia leo na mimi naomba mniite dokta warumi, sikujua kuwa udokta ni cheo chepesi namna
hii, call me doctor warumi from now on...
Hakuna kitu hapa kama nilivyosema ni kundi la waathirika na dokta fake anayetafuta pa
kutokea.......nimeuliza zaidi ya mara tatu wanakwepa maswali wanakuja na vitisho vya kipuuzi
mno.........US. UK. Asia...... hawali mlo kamili? Je wanapoambiwa watumie condom
wanadanganywa abt ukimwi? Maana huku africa mmesema tunachukiwa coz ni african black
 warumi said:
Kuanzia leo na mimi naomba mniite dokta warumi, sikujua kuwa udokta ni cheo chepesi namna hii, call me doctor
warumi from now on...

Mheshimiwa daktari warumi....


 kupe said:
Hakuna kitu hapa kama nilivyosema ni kundi la waathirika na dokta fake anayetafuta pa kutokea.......nimeuliza zaidi
ya mara tatu wanakwepa maswali wanakuja na vitisho vya kipuuzi mno.........US. UK. Asia...... hawali mlo kamili?
Je wanapoambiwa watumie condom wanadanganywa abt ukimwi? Maana huku africa mmesema tunachukiwa coz ni
african black

Duuuu
Yaani sie kuruhusu akili zetu kufunguka tumekuwa waathirika

Kalaghabaho muyawe
Sina mengi ila kupata ukweli kuhusu ukimwi msikilize Nobel prize winner Prof. Luc Montaginer
kwenye hii video ufunguke....https://m.youtube.com/watch?v=PyPq-waF-h4
nataka tuendelee kupuuza tu mikanganyiko hii na badala yake tuwaamini wao kama
miungu.
Kwa ndugu yangu Ruttashobolwa kwa mikanganyiko hii huoni kama kuna jambo unatakiwa
kulijua hapa? nataka tuendelee kupuuza tu mikanganyiko hii na badala yake tuwaamini wao
kama miungu.
Kwa ndugu yangu Ruttashobolwa kwa mikanganyiko hii huoni kama kuna jambo unatakiwa
kulijua hapa? nataka tuendelee kupuuza tu mikanganyiko hii na badala yake tuwaamini wao
kama miungu.
Kwa ndugu yangu Ruttashobolwa kwa mikanganyiko hii huoni kama kuna jambo unatakiwa
kulijua hapa.nataka tuendelee kupuuza tu mikanganyiko hii na badala yake tuwaamini wao
kama miungu.
Kwa ndugu yangu Ruttashobolwa kwa mikanganyiko hii huoni kama kuna jambo unatakiwa
kulijua hapa?
lafu kama kweli unapenda kujua ukweli hebu fuatilia vizuri utajua tu,kuna vithibitisho vingi vya
kisayansi kuonesha kwamba ukimwi haumbukizwi kutoka host mmoja kwenda kwa mwingine
na si tu hauambukizwi,bali hauambukizwi kwa njia ya ngono kama tulivyoambiwa.Hawa jamaa
wana sababu kubwa sana ya kusema ukimwi kuambukizwa kwa njia ya ngono,watu hawajui tu.

Ukimwi unatokana na lifestyle:Ulaji mbovu wa chakula,ukosefu wa maji safi na salama,utumiaji


wa mara kwa mara wa madawa ya hospitali kama vile
diclofenac,antibiotics,ARVs,chemotherapy,radiations kwa wagonjwa wa cancer nk,recreational
drugs/madawa ya kulevya,unywaji wa kupindukia wa pombe,magonjwa ya kujirudia,ukosefu wa
antioxidants.

Mtu anaweza kuwa na ukimwi hata kama hana HIV huyu anayesingiziwa.Mtu kupimwa HIV+ is
not a big deal,kupimwa HIV+ hakuna maana yoyote kiafya,ni ulimbukeni tuliomezeshwa kwa
muda mrefu kwa kuwa HIV hana madhara tunayoyaogopa.Ni sawa na kupima uwepo wa bifidus
bacteria tumboni,ukiwa nao so what?Kupimwa HIV+ ni suala la tricks za vipimo tu na
haimaanishi kwamba una huyo HIV,na hata kama unaye kweli so what?HIV hasababishi
ukimwi.Ni ulimbukeni tu ndio unaotusumbua.

Vyote nilivyosema hapo juu vina mifano hai ya kuthibitisha,lakini kwa kuwa tayari watu wana
kasumba,bado hawaamini.Tena kuna uthibitisho kutoka kwa wagunduzi wenyewe,achilia mbali
wale wanaopinga kwa maana unaweza kusema wanapendelea upande wao.Luc Montagnier
alisema mara nyingi tu kwamba kinga ya mwili inatosha kumdhibiti huyo HIV kama utakuwa na
kinga nzuri,sasa kipi cha muhimu hapa,kula ARVs zenye sumu au kula chakula bora na kubadili
lifestyle?

Tu stretch uwezo wetu wa kufikiri,ninaamini watu wote humu wakiamua kushughulisha bongo
zao watauona ukweli tu hasa kwa wale ambao bado hawajauona.

Ukijua ukweli huu utaona kwamba kupima HIV ni ulimbukeni wa kifikra tu.
Sipimi ng'o
Hapa ni mwendo wa menu ya maana, maji ya uhakika, matunda kwa sana, gambe kiasi matizi
kidogo and the likes
Totoz siachi kuchapa
Condom kwa ajili ya ku prevent STDs tu basii hakuna HIV tushadanganywa sana duuh.
 Deception said:
Una mfano hai au unatumia hisia?
Kama una mfano hai lete data zote za huo mfano tuudadavue.

Halafu kama kweli unapenda kujua ukweli hebu fuatilia vizuri utajua tu,kuna vithibitisho vingi vya kisayansi
kuonesha kwamba ukimwi haumbukizwi kutoka host mmoja kwenda kwa mwingine na si tu hauambukizwi,bali
hauambukizwi kwa njia ya ngono kama tulivyoambiwa.Hawa jamaa wana sababu kubwa sana ya kusema ukimwi
kuambukizwa kwa njia ya ngono,watu hawajui tu.

Ukimwi unatokana na lifestyle:Ulaji mbovu wa chakula,ukosefu wa maji safi na salama,utumiaji wa mara kwa mara
wa madawa ya hospitali kama vile diclofenac,antibiotics,ARVs,chemotherapy,radiations kwa wagonjwa wa cancer
nk,recreational drugs/madawa ya kulevya,unywaji wa kupindukia wa pombe,magonjwa ya kujirudia,ukosefu wa
antioxidants.

Mtu anaweza kuwa na ukimwi hata kama hana HIV huyu anayesingiziwa.Mtu kupimwa HIV+ is not a big
deal,kupimwa HIV+ hakuna maana yoyote kiafya,ni ulimbukeni tuliomezeshwa kwa muda mrefu kwa kuwa HIV
hana madhara tunayoyaogopa.Ni sawa na kupima uwepo wa bifidus bacteria tumboni,ukiwa nao so what?Kupimwa
HIV+ ni suala la tricks za vipimo tu na haimaanishi kwamba una huyo HIV,na hata kama unaye kweli so what?HIV
hasababishi ukimwi.Ni ulimbukeni tu ndio unaotusumbua.

Vyote nilivyosema hapo juu vina mifano hai ya kuthibitisha,lakini kwa kuwa tayari watu wana kasumba,bado
hawaamini.Tena kuna uthibitisho kutoka kwa wagunduzi wenyewe,achilia mbali wale wanaopinga kwa maana
unaweza kusema wanapendelea upande wao.Luc Montagnier alisema mara nyingi tu kwamba kinga ya mwili
inatosha kumdhibiti huyo HIV kama utakuwa na kinga nzuri,sasa kipi cha muhimu hapa,kula ARVs zenye sumu au
kula chakula bora na kubadili lifestyle?

Tu stretch uwezo wetu wa kufikiri,ninaamini watu wote humu wakiamua kushughulisha bongo zao watauona ukweli
tu hasa kwa wale ambao bado hawajauona.

Ukijua ukweli huu utaona kwamba kupima HIV ni ulimbukeni wa kifikra tu.
Click to expand...

Deceptipn..sja elewa vizuri hapo juu umesema ukimwi hau ambukizwi kwa sexual
intercorse...ninge penda unfundishe kidogo kuwa virus huyo ana ambkizwa vip...??

kama kukutwa HIV+ syo deal kwann baada ya miaka.kadhaa hao walio kutwa +ve huanza ku
dhofika na mwishoe hufa na kilo 2..!?
 Trimmer said:
Sipimi ng'o
Hapa ni mwendo wa menu ya maana, maji ya uhakika, matunda kwa sana, gambe kiasi matizi kidogo and the likes
Totoz siachi kuchapa
Condom kwa ajili ya ku prevent STDs tu basii hakuna HIV tushadanganywa sana duuh.

Hahaaaaa
Umetisha mkuu

Wataalam wanasema ukifanya ngono Mara kwa Mara na watu tofauti unapunguza kinga ya
mwili kwasababu unatumia nguvu nyingi mpendwa

Na maandiko yanasema USIZINI


Bado naendelea kusoma, ila Deception kuna hoja moja umeitoa imenifikirisha, Umesema "ARVs
hazina faida mwilini kwa kuwa hazina target".

Huwa tunaambiwa kazi za ARVs ni kufubaza makali ya VVU/UKIMWI, nimejiuliza,


"kufubaza" ni kufanya nini?
:Je ni kuua HIV?
:Je ni kuongeza kinga mwilini, au labda
:Ni kuwafanya HIV wasizaliane? (kama huwa wanazaliana)n.k

Mwenye uelewa hapa ninaomba ufafanuzi tafadhali..


Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
 Mjuni Lwambo said:
Bado naendelea kusoma, ila Deception kuna hoja moja umeitoa imenifikirisha, Umesema "ARVs hazina faida
mwilini kwa kuwa hazina target".

Huwa tunaambiwa kazi za ARVs ni kufubaza makali ya VVU/UKIMWI, nimejiuliza, "kufubaza" ni kufanya nini?
:Je ni kuua HIV?
:Je ni kuongeza kinga mwilini, au labda
:Ni kuwafanya HIV wasizaliane? (kama huwa wanazaliana)n.k

Mwenye uelewa hapa ninaomba ufafanuzi tafadhali..


Click to expand...

Kwa mujibu wa madakitari ARVs zinafanya virus wa HIV wasizaliane hivyo kuzikinga cell za
mwili zisishambuliwe zaidi...huwa najiuliza mbona baada ya muda mtu aliyetumia arv hupata
magonjwa sugu kama cancer,magonjwa ya ini,upungufu wa damu n.k....!
Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Hahaha eti ukimwi unatokana na ulaji mbaya wa chakula. Kutokunywa maji safi..........swali
linarudi pale pale hivi UK. USA. ASIA ..........nao hawali vizuri? Hawanywi maji safi? ..........hili
swali huwa sijibiwi

 #1,151 kupe said:ahaha eti ukimwi unatokana na ulaji mbaya wa chakula. Kutokunywa maji
safi..........swali linarudi pale pale hivi UK. USA. ASIA ..........nao hawali vizuri? Hawanywi maji safi? ..........hili
swali huwa sijibiwi

Ujinga nao ni tatizo kweli kweli we kupe wale watu wa ulaya wanaoshinda kwenye burger na
fries unaweza ita ni kula vizuri? Wale watu wanene mpaka hawawezi kuamka walipokaa
wanakula vizuri! Umeshaona drug addict a kila vizur? au hata mlevi? Inaelekea ww bado sana
hii mada ni shida kidogo kwako hivi hujui watu hawawezi ku afford nyumba huko ulaya
wanaishi kwenye trailers? Hiyo lishe bora inatoka wapi? Usisikie habari ya ulaya ukadhani ni
pepo ingine unajifubaza akili, huko Asia unakozungumzia hivi unaangaliaga hata news ww?
Ushaona maisha ya most Indians yalivo? Ushaona huko Asia wanavokumbwa na ma katrina na
mafuriko ya kila namna ww ulaya wamekupumbaza sana angalia hata taarifa za habari za
international kidogo utaona hali halisia ya maisha! Huko ulaya kuna watu wana lala street na
kuna omba omba km bongo! Pole
Ndio unavyowadanganya watu kijiweni eeh.......umewahi kutoka hata nje ya nchi? Ukisikia asia
unajua india...... na ukisikia india unapata picha ya wale masikini wa mitaani......hujui asia ni
pamoja singapore . China. Thailand. Malasia...... ndugu yangu danganya hao hao wa jf. Ila
nakusifu mnawapata. Nyie ndio mnaowadanganyaga watu vijiweni
Kweli huu ukimwi umefika patamu hadi anajiita napoteza sijui kapotea anafananisha tanzania na
europe. Swali rahisi umeulizwa huo ukimwi unaopona kwa chakula ni huu wa bongo au wa
dunia nzima?......swali la pili je ukimwi usioambikizwa na sexual intercourse wala damu ni huu
wa bongo peke yake au dunia nzima. Swali la mwisho ukimwi unaopona kwa chakula na maji
safi ni huu wa bongo au dunia nzima
Mtu mwenye akili timamu unakaa kwenye keyboard na kusema eti viongozi wakikataa deal la
dawa za ARV watatolewa madarakani. Mbona dunia iko wazi sana soma ndugu yangu na fuatilia
vitu . Jiulize katika africa nchi ngapi zinawapa wananchi wake ARV. Na why zinawapa na je zile
zisizowapa inakuwaje . Just simple fuatilia nchi jirani kama kenya , uganda , mozambique
......kumbuka ukimwi upo dunia nzima . So na dunia nzima watu wanapimwa . Wewe unasema
vipimo FAKE sasa hivyo vipimo fake ni bongo peke yake au dunia nzima ? Kama una ukimwi
na unatumia ARV acha kwa mpango wako . Kama huna imani na afya yako na unaogopa kupima
acha kwa binafsi yako usidanganye watu......kama hutaki kutumia condom kwa sababu zako
binafsi pia acha wewe mwenyewe usipotoshe watu.
 kupe said:
Mtu mwenye akili timamu unakaa kwenye keyboard na kusema eti viongozi wakikataa deal la dawa za ARV
watatolewa madarakani. Mbona dunia iko wazi sana soma ndugu yangu na fuatilia vitu . Jiulize katika africa nchi
ngapi zinawapa wananchi wake ARV. Na why zinawapa na je zile zisizowapa inakuwaje . Just simple fuatilia nchi
jirani kama kenya , uganda , mozambique ......kumbuka ukimwi upo dunia nzima . So na dunia nzima watu
wanapimwa . Wewe unasema vipimo FAKE sasa hivyo vipimo fake ni bongo peke yake au dunia nzima ? Kama una
ukimwi na unatumia ARV acha kwa mpango wako . Kama huna imani na afya yako na unaogopa kupima acha kwa
binafsi yako usidanganye watu......kama hutaki kutumia condom kwa sababu zako binafsi pia acha wewe mwenyewe
usipotoshe watu.

Nimekuwa msomaji tangu Uzi huu uanze, nimeshindwa kuvumilia hoja zako Mkuu kupe;
1.kwako wewe mtu mwenye akili timamu yukoje? Je ni Yule anaendika au kusema kile masikio
yako/macho yako yanakubaliana nacho, na kwamba akiandika kinyume na hivyo Basi akili zake
zinakuwa sio timamu.

2. Unadai dunia iko wazi na unashauri asome na kufuatilia vitu,, nashawishika kuamini kuwa
wewe uko na spirit hiyo ya kusoma na kufuatilia vitu, sasa hata hili la VVU hukulifuatilia
kung'amua ukweli wake??

3. Nchi kuwapa au kutokuwapa wananchi wake ARV unamaanisha nn? Hivi kuna nchi isiyotoa
ARV kwa hao wanaodaiwa kuwa na HIV v+, nijuze Mkuu.

4. Kuwepo kwa UKIMWI dunia nzima sio issue since UKIMWI upo karne na karne haukuanza
Jana wala juz, unapouliza U_feki wa vipimo vya bongo nazid kukushangaa,, ni sawa na kusema
hewa (Oksijeni) anayovuta mchina sio sawa na Ile anayovuta m_south Africa. Kipimo Feki Cha
HIV kilichopo bongo na kwingineko ni kilekile provided kiko programmed kusoma kirus
anaeitwa HIV na kirus hana nchi au hachagui wa kumuingia awe mmatumbi, mkongoman au
mjapan.

5. Unaandika "Imani ya afya",,,, ni kitu gani hicho? kuna tofauti Kati ya kuamini na
kujua,,angalia usije kuamini kisichokuwepo!!!

6. Wapi ilipoandikwa hataki kutumia condom? Soma taratibu akili ikiwa imetulia utaelewa tu
Mkuu.
Ndugu kaburungu kuna maswali kama matatu a manne nimeuliza je kuna tatizo yanashindwa
kujibiwa? Soma maswali yangu vizuri kabla hujaanza kulaumu
 kupe said:
Hahaha eti ukimwi unatokana na ulaji mbaya wa chakula. Kutokunywa maji safi..........swali linarudi pale pale hivi
UK. USA. ASIA ..........nao hawali vizuri? Hawanywi maji safi? ..........hili swali huwa sijibiwi

Tembea nchi za watu uone acha ushamba wewe, we unadhan uko kila mtu ana maisha mazuri?
Hoja zako za kitoto sana ,acha uvivu wa kufikir, eti ulaya hawal vzur, unachekesha sana,
ushamba mzigo
 napoteza said:
Ujinga nao ni tatizo kweli kweli we kupe wale watu wa ulaya wanaoshinda kwenye burger na fries unaweza ita ni
kula vizuri? Wale watu wanene mpaka hawawezi kuamka walipokaa wanakula vizuri! Umeshaona drug addict a kila
vizur? au hata mlevi? Inaelekea ww bado sana hii mada ni shida kidogo kwako hivi hujui watu hawawezi ku afford
nyumba huko ulaya wanaishi kwenye trailers? Hiyo lishe bora inatoka wapi? Usisikie habari ya ulaya ukadhani ni
pepo ingine unajifubaza akili, huko Asia unakozungumzia hivi unaangaliaga hata news ww? Ushaona maisha ya
most Indians yalivo? Ushaona huko Asia wanavokumbwa na ma katrina na mafuriko ya kila namna ww ulaya
wamekupumbaza sana angalia hata taarifa za habari za international kidogo utaona hali halisia ya maisha! Huko
ulaya kuna watu wana lala street na kuna omba omba km bongo! Pole
Huyo Mshamba achana nae, kama yeye mwenyewe hajielewi unadhani ataelewa kitu humu?
Yani kaona USA ni mbinguni kila kitu kipo, huyu sio mzima yani nacheka sana apa, maandishi
yake yalivyomuumbua na upumbavu wake. Ushamba kazi ila ujinga nao ni kazi zaidi
Hahahaha warumi ulidhani nipo bongo eeh pole sana ndugu yangu.
 kaburungu said:
Nimekuwa msomaji tangu Uzi huu uanze, nimeshindwa kuvumilia hoja zako Mkuu kupe;
1.kwako wewe mtu mwenye akili timamu yukoje? Je ni Yule anaendika au kusema kile masikio
yako/macho yako yanakubaliana nacho, na kwamba akiandika kinyume na hivyo Basi akili zake zinakuwa
sio timamu.

2. Unadai dunia iko wazi na unashauri asome na kufuatilia vitu,, nashawishika kuamini kuwa wewe uko
na spirit hiyo ya kusoma na kufuatilia vitu, sasa hata hili la VVU hukulifuatilia kung'amua ukweli wake??

3. Nchi kuwapa au kutokuwapa wananchi wake ARV unamaanisha nn? Hivi kuna nchi isiyotoa ARV kwa
hao wanaodaiwa kuwa na HIV v+, nijuze Mkuu.

4. Kuwepo kwa UKIMWI dunia nzima sio issue since UKIMWI upo karne na karne haukuanza Jana wala
juz, unapouliza U_feki wa vipimo vya bongo nazid kukushangaa,, ni sawa na kusema hewa (Oksijeni)
anayovuta mchina sio sawa na Ile anayovuta m_south Africa. Kipimo Feki Cha HIV kilichopo bongo na
kwingineko ni kilekile provided kiko programmed kusoma kirus anaeitwa HIV na kirus hana nchi au
hachagui wa kumuingia awe mmatumbi, mkongoman au mjapan.

5. Unaandika "Imani ya afya",,,, ni kitu gani hicho? kuna tofauti Kati ya kuamini na kujua,,angalia usije
kuamini kisichokuwepo!!!

6. Wapi ilipoandikwa hataki kutumia condom? Soma taratibu akili ikiwa imetulia utaelewa tu Mkuu.
Click to expand...

Hiyo historia ya ukimwi usijisumbue kutuadithia, kila mtu anaijua vizur, hakuna mpya ndugu,
kama izo ARV unaziona ni mkombozi, kwa nini bado watu wanazidi kufa? Umewahi
kujiuliza kwa nini? Na ndio maana tupo apa kuujadili huu ugonjwa kwa jicho la tatu pamoja
na ARV, hatuwezi kushabikia kitu ambacho tunaona kinamaliza watu kila siku eti kwa kuwa
wazungu wamesema, kwa hyo wazungu kwenu mungu?

Hao hao wazungu walikuja apa TZ na kutaka kuhararisha USHOGA, mbona mliwapinga? Si
kila kitu kwao mnakiona ni sawa? Mzungu akisema basi iko iko ni sawa, tuache mawazo
mpauko na tujaribu kuwa wadadisi kwa faida zetu wenyewe. Walivyotaka kuhamasisha
ushoga tu, apo apo nikawaona sio watu wazuri, na hawatupendi, kama mtu anakwambia
utembee na mwanaume mwenzio kama mke /mume wako we unadhani huyo mtu ana
mapenzi na wewe? Deception namuelewa sana kupitia mifano dhahir na matukio kama
haya, nyie endeleeni kuwaamini ngozi nyeupe tu.
 definition said:
Deceptipn..sja elewa vizuri hapo juu umesema ukimwi hau ambukizwi kwa sexual intercorse...ninge penda
unfundishe kidogo kuwa virus huyo ana ambkizwa vip...??

Ndio,ukimwi hauambukizwi kwa sexual intercourse.We umeona/umesikia wapi kwamba


upungufu wa kinga huambukizwa?Unawezaje kumwambukiza upungufu wako wa kinga mtu
mwingine?

Je,wewe unashindwa kutofautisha kati ya ukimwi na HIV?Je,ni kweli mtu akiwa na ukimwi basi
ndio ana HIV?
Hata huyo HIV mwenyewe haambukizwi kwa njia ya ngono.Na hata ukipimwa HIV+ huwezi
kupata ukimwi kwa kuwa HIV hana uwezo wa kusababisha ukimwi.

 definition said:
..kama kukutwa HIV+ syo deal kwann baada ya miaka.kadhaa hao walio kutwa +ve huanza ku dhofika na mwishoe
hufa na kilo 2..!?
Je,hujui kwamba TB ni mojawapo ya ugonjwa unaweza kukufanya udhoofike na ufe na kilo
chache sana?Umeona wapi mtu kafa kwa ukimwi?Kama wewe kweli ni Dr.hebu fanya utafiti
wako mwenyewe kwa watu wanaosadikika kuwa HIV+ waliodhoofika halafu wachunguze uone
wanakufa kwa magonjwa gani.Ukimwi hauui bali magonjwa yanayoingia mwilini kutokana na
upungufu wa kinga wa mtu ndio yanayoua,swali la msingi la kujiuliza hapa ni je,magonjwa gani
hayo yanayoua?

Ukifuatilia ni magonjwa gani yanayoua ndio utaelewa nina maana gani.Vinginevyo ulete
uthibitisho maalum unaoonesha kwamba AIDS peke yake bila mchango wa ugonjwa
unaofahamika ndio inayoua,lete huo uthibitisho kama unao.Mimi nakwambia kwamba AIDS
haina uwezo wa kuua bali ugonjwa unaoingia mwilini baada ya kuwa na AIDS ndio unaoua.
 Habari ya Mujini said:
Leo Ireland wanapiga kura yakuhalalisha ndoa za same sex...baada ya hapo watakuja na Afrika wakisingizia
demokrasia....

Tumekwisha
 Deception said:
Ndio,ukimwi hauambukizwi kwa sexual intercourse.We umeona/umesikia wapi kwamba upungufu wa kinga
huambukizwa?Unawezaje kumwambukiza upungufu wako wa kinga mtu mwingine?

Je,wewe unashindwa kutofautisha kati ya ukimwi na HIV?Je,ni kweli mtu akiwa na ukimwi basi ndio ana HIV?
Hata huyo HIV mwenyewe haambukizwi kwa njia ya ngono.Na hata ukipimwa HIV+ huwezi kupata ukimwi kwa
kuwa HIV hana uwezo wa kusababisha ukimwi.

Je,hujui kwamba TB ni mojawapo ya ugonjwa unaweza kukufanya udhoofike na ufe na kilo chache sana?Umeona
wapi mtu kafa kwa ukimwi?Kama wewe kweli ni Dr.hebu fanya utafiti wako mwenyewe kwa watu wanaosadikika
kuwa HIV+ waliodhoofika halafu wachunguze uone wanakufa kwa magonjwa gani.Ukimwi hauui bali magonjwa
yanayoingia mwilini kutokana na upungufu wa kinga wa mtu ndio yanayoua,swali la msingi la kujiuliza hapa ni
je,magonjwa gani hayo yanayoua?

Ukifuatilia ni magonjwa gani yanayoua ndio utaelewa nina maana gani.Vinginevyo ulete uthibitisho maalum
unaoonesha kwamba AIDS peke yake bila mchango wa ugonjwa unaofahamika ndio inayoua,lete huo uthibitisho
kama unao.Mimi nakwambia kwamba AIDS haina uwezo wa kuua bali ugonjwa unaoingia mwilini baada ya kuwa
na AIDS ndio unaoua.
Click to expand...

Pombe imeandikwa ukinywa nyingi inahatarisha afya yako, inamaanisha kuna sumu. Sasa
najiuliza na ule mzigo wa madawa watu wanaopewa inakuwaje?aisee hii taaluma ya utabibu
watu hawana huruma kabisa, baada ya kumwambia mtu piga matunda ya kutosha, maji ya
kutosha, mboga za majani za kutosha na mformat brain kwamba ukimwi haupo, hivi nani
angekufa. Aisee hatari sana
 warumi said:
Nyie ambao mnawaona wazungu ni Miungu watu, ambao kila kitu wakisema wao basi mnawaona wapo sahihi, kwa
kuwa tu ni weupe
OBAMA alikuja apa na kutaka kuhararisha ndoa ya jinsia moja, ili waendelee kutupa misaada, na inavyosemekana
kufanya ngono kinyume na maumbile (USHOGA ) ni njia moja wapo rahisi sana kuambukizana virusi vya
UKIMWI, na wenyewe wanajua vizuri, iweje wao waje na kuhamasisha ngono ambayo ni hatarishi kwa
maambukizi ya UKIMWI? Huoni kama wanataka watumalize zaidi ili tuendelee kuwa wateja wao wa ARV? ,
mmeshawahi kujiuliza kwa nini wahamasishe mapenzi ya jinsia moja? Ni kwamba wanatupenda sana kuliko
Mungu? Mmeshawahi kulifikiria hili kwa jicho pevu? Hamuoni kwamba wapo kibiashara zaidi
kama Deception anavyosema?
Eiyer RGforever Napotezea definition amaizing Ruttashobolwa Habari ya
Mujini Deception gorgeousmimi @retroviride Hornet Troojan Diva Beyonce renyo tinya kupe nahitaji mawazo
yenu kuhusu hili suala.

Idadi kubwa ya waathirika wa UKIMWI ni MASHOGA ( wanaofanya mapenzi ya jinsia moja ), takwimu inasema
hvyo,je? KWa nini waje kuhamasisha mchezo ambao ni hatari kwa maambuzi ya UKIMWI? Hawa watu
wanatupenda kweli? Hamuoni kuwa wapo kibiashara zaidi ili waendelee kuuza ARV?
Click to expand...

Warumi unaonekana una information nyingi lakini bado hazijakaa sawasawa kwako.Sasa nataka
nikuwekee sawasawa.Kwanza kabisa wewe unafuatilia sana huu mjadala,lakini una miss baadhi
ya vitu vya msingi kwa kuwa unatumia muda mwingi kubishana na watu wasio na nia ya
kuelewa na hivyo unatoka nje ya njia.Kwanza ningekushauri kama utagundua mtu fulani
amekuja kupinga bila hoja,uachane naye,hii itakusaidia ku focus kwenye mada,vinginevyo hao
watu watakupotezea muda na uta miss points za msingi.

Sasa twende kwenye mada;


Kwanza ni vizuri sana kwamba unajua kwamba AIDS ina link sana na ushoga,na hili ndilo lengo
lao kubwa sana kusambaza ushoga ulimwenguni.Na ndio maana hata kama ushoga hauwaingii
watu akilini lakini watu wanaofahamika kuwa na heshima duniani wanaendelea kuhamasisha
jambo hili la kipumbavu,WHY?

Jibu lake hili hapa chini:


Mashoga wana tabia moja tofauti sana na jamii nyingine ya watu.Huwa wanatumia kwa wingi
sana recreational drugs kama vile poppers,pia wanatumia antibiotics kwa sehemu kubwa ya
maisha yao.Na wanatumia haya madawa si kwa kupenda bali inawalazimu kutokana na hughuli
yenyewe wanayoifanya.
Poppers zinawafanya wajiandae kufanya tendo lenyewe bila shida kutokana na nature ya tendo
lilivyo,kila siku wanatumia poppers.Pia wanatumia sana antibiotics kwa kuwa hupata magonjwa
ya STDs(sio HIV) mara kwa mara.Sasa matumizi ya madawa haya kwa muda mrefu hushusha
kwa kiwango kikubwa sana kinga zao za mwili na hivyo kuwafanya kuwa prone na maambukizi
ya magonjwa mengine ambayo yapo kiuhalisia.Kama umenifuatilia utagundua kwamba tayari
karibu sababu zote zinazoleta upungufu wa kinga zimewagusa kundi hili la mashoga.

Na ndio maana first AIDS cases marekani zilitokea kwa mashoga 5 Los Angeles mwaka
1981.Sasa mashoga wengi sana wana AIDS,kinga zao haziko sawa,lakini ukiwapima utapata
wengi sana ambao ni HIV-.Kumbuka hata ukiwapata ambao ni HIV+ bado ni tricks za vipimo
tu,kwa kuwa AIDS ya mashoga inaletwa na sababu nilizotaja hapo juu.Pia kumpima shoga HIV+
ni rahisi sana kutokana na chemicals ambazo zina challenge kinga zao hivyo huweza ku trigger
vipimo vitoe majibu ya HIV+ kutokana na sayansi ya vipimo.

Hivyo basi,hata hapa kwetu ukifanya utafiti utagundua mashoga wote kuna madawa fulani
wanayatumia ili kurahisisha tendo wanalolifanya.Siwezi kusema kwa namna gani hapa hayo
madawa huwasaidia kwa kuwa maneno yenyewe hayavutii kuyasikia.

Huo ndio uhalisia kwa kifupi, ni kwa vipi mashoga wanahusishwa na HIV/AIDS.
 warumi said:
Nyie ambao mnawaona wazungu ni Miungu watu, ambao kila kitu wakisema wao basi mnawaona wapo sahihi, kwa
kuwa tu ni weupe
OBAMA alikuja apa na kutaka kuhararisha ndoa ya jinsia moja, ili waendelee kutupa misaada, na inavyosemekana
kufanya ngono kinyume na maumbile (USHOGA ) ni njia moja wapo rahisi sana kuambukizana virusi vya
UKIMWI, na wenyewe wanajua vizuri, iweje wao waje na kuhamasisha ngono ambayo ni hatarishi kwa
maambukizi ya UKIMWI? Huoni kama wanataka watumalize zaidi ili tuendelee kuwa wateja wao wa ARV? ,
mmeshawahi kujiuliza kwa nini wahamasishe mapenzi ya jinsia moja? Ni kwamba wanatupenda sana kuliko
Mungu? Mmeshawahi kulifikiria hili kwa jicho pevu? Hamuoni kwamba wapo kibiashara zaidi
kama Deception anavyosema?
Eiyer RGforever Napotezea definition amaizing Ruttashobolwa Habari ya
Mujini Deception gorgeousmimi @retroviride Hornet Troojan Diva Beyonce renyo tinya kupe nahitaji mawazo
yenu kuhusu hili suala.

Idadi kubwa ya waathirika wa UKIMWI ni MASHOGA ( wanaofanya mapenzi ya jinsia moja ), takwimu inasema
hvyo,je? KWa nini waje kuhamasisha mchezo ambao ni hatari kwa maambuzi ya UKIMWI? Hawa watu
wanatupenda kweli? Hamuoni kuwa wapo kibiashara zaidi ili waendelee kuuza ARV?
Click to expand...

Inafahamika kuwa mashoga ndio watumiaji wa madawa haya ya kulevya kwa wingi sanana kule
Marekani walikuwa wanatumia mambo mengi sana ambayo ndio yaliyofanya kuonekana HIV+
na hili ni fact kabisa

Mashoga wa hapa kwetu nao ni hivyo kwa sehemu,wengi ni waathirika wa stress na mdongo wa
mawazo na mengine ya kufanana na hayo kitu ambacho kinashusha kinga zao na kusababisha
kuonekana wana maradhi hayo wakati fulani tena kwa idadi kubwa sana

Hawa wanaofanya hii biashara ya ARVs ndio hao hao wanaopigia promo ukimwi,ni binadami
wa hovyo sana hawa ....!!
 navajo said:
Pombe imeandikwa ukinywa nyingi inahatarisha afya yako, inamaanisha kuna sumu. Sasa najiuliza na ule mzigo wa
madawa watu wanaopewa inakuwaje?aisee hii taaluma ya utabibu watu hawana huruma kabisa, baada
ya kumwambia mtu piga matunda ya kutosha, maji ya kutosha, mboga za majani za kutosha na mformat brain
kwamba ukimwi haupo, hivi nani angekufa. Aisee hatari sana

Unajua mkuu,si kwamba madaktari kwa mfano hawa wa kwetu hawana huruma,sababu ni
kwamba hawajui ukweli.Ila ninachowalaumu mimi ni kwamba,hata wale wanaosikia mambo
haya hawataki na hawana nia ya kuhoji kabisa,hili ndilo tatizo.

Pia madaktari hawawezi kutoa ushauri kama huo uliosema wewe kwa kuwa hawajafundishwa
hivyo darasani.Madaktari ni zao la pharmaceutical Industries hivyo hufuata protocols za
pharmaceutical industries,hawawezi kwenda nje ya hapo kwa kuwa aidha watafungiwa leseni
zao au watafunguliwa mashtaka au yote mawili kwa pamoja kama watafanya kinyume na kiapo
chao.

Kwa kweli hili ni tatizo kubwa sana na njia pekee rahisi kulitatua ni kujikwamua wewe
mwenyewe kiuelewa.Ukishajua ukweli wewe mwenyewe utakuwa responsible na afya yako na
watu wako wa karibu,basi.
 Deception said:
Ndio,ukimwi hauambukizwi kwa sexual intercourse.We umeona/umesikia wapi kwamba upungufu wa kinga
huambukizwa?Unawezaje kumwambukiza upungufu wako wa kinga mtu mwingine?

Je,wewe unashindwa kutofautisha kati ya ukimwi na HIV?Je,ni kweli mtu akiwa na ukimwi basi ndio ana HIV?
Hata huyo HIV mwenyewe haambukizwi kwa njia ya ngono.Na hata ukipimwa HIV+ huwezi kupata ukimwi kwa
kuwa HIV hana uwezo wa kusababisha ukimwi.

Je,hujui kwamba TB ni mojawapo ya ugonjwa unaweza kukufanya udhoofike na ufe na kilo chache sana?Umeona
wapi mtu kafa kwa ukimwi?Kama wewe kweli ni Dr.hebu fanya utafiti wako mwenyewe kwa watu wanaosadikika
kuwa HIV+ waliodhoofika halafu wachunguze uone wanakufa kwa magonjwa gani.Ukimwi hauui bali magonjwa
yanayoingia mwilini kutokana na upungufu wa kinga wa mtu ndio yanayoua,swali la msingi la kujiuliza hapa ni
je,magonjwa gani hayo yanayoua?

Ukifuatilia ni magonjwa gani yanayoua ndio utaelewa nina maana gani.Vinginevyo ulete uthibitisho maalum
unaoonesha kwamba AIDS peke yake bila mchango wa ugonjwa unaofahamika ndio inayoua,lete huo uthibitisho
kama unao.Mimi nakwambia kwamba AIDS haina uwezo wa kuua bali ugonjwa unaoingia mwilini baada ya kuwa
na AIDS ndio unaoua.
Click to expand...

ilo liko wazi na linajulikanika kuwa HIV huwa haileti vifo bali huwa inaleta upungufu wa kinga
mwili kwajl yaku shambulia kinga za mwili....na ndipo magonjwa nymelezi huibuka hapo...hii ni
kwasababu magonjwa hayo au pathogen wake wapo mwlini kila siku ila.awawez fanya
mashambulz kwakuwa kinga yako iko vzr...je unajua Candidias albcus(fungi),
Bacilus,proteus,enterobacteriae na wengi na kila mtu anao mwlini ila huibuka kama magonjwa
iwapo kinga yako itakuwa imeshuka...?? sasa sielewi unasema vp kuwa wao ndo wana sababisha
upngufu wa kinga mwlini...!!? kama ni ivyo dunia mzma tungekuwa na huo upngfu
D
Deception
JF-Expert Member
Joined Mar 27, 2014
 1,115   2,000
May 23, 2015


 #1,191

 definition said:
ilo liko wazi na linajulikanika kuwa HIV huwa haileti vifo bali huwa inaleta upungufu wa kinga mwili kwajl yaku
shambulia kinga za mwili....na ndipo magonjwa nymelezi huibuka hapo...hii ni kwasababu magonjwa hayo au
pathogen wake wapo mwlini kila siku ila.awawez fanya mashambulz kwakuwa kinga yako iko vzr...je unajua
Candidias albcus(fungi), Bacilus,proteus,enterobacteriae na wengi na kila mtu anao mwlini ila huibuka kama
magonjwa iwapo kinga yako itakuwa imeshuka...?? sasa sielewi unasema vp kuwa wao ndo wana sababisha
upngufu wa kinga mwlini...!!? kama ni ivyo dunia mzma tungekuwa na huo upngfu

Mimi nimesema HIV hana uwezo wa kusababisha ukimwi na hawezi kusababisha ukimwi,halafu
nikataja mambo mengi tofauti ambayo ndio sababu halisi zinazoleta upungufu wa kinga
mwilini,mojawapo ni repeated infections.Sasa wewe hujanielewa nilichoandika.

Hoja yangu kubwa ni kwamba ukimwi hausababishwi na HIV kama mafundisho rasmi
yanavyosema bali ukimwi unasababishwa na mambo mengine tofauti na HIV ambayo
nilishayataja mwanzo.

Hivyo nisingependa kurudia kujadili kwa nini HIV hasababishi ukimwi kwa kuwa nilishajadili
suala hili kwa kulitolea scientific proofs/paper,mifano halisi mtaani na mahospitalini,mifano ya
ushuhuda humuhumu JF iliyoletwa na watu wengine, na uthibitisho kutoka kwa mgunduzi
mwenyewe wa HIV.Mjadala huu umefikia hapa page zote hizi kwa sababu ya kuwajibu
madaktari wenzako ambao walinipinga kwa kusema kwamba HIV anasababisha ukimwi kitu
ambacho si kweli na tumedanganywa.

Ukijiweka huru kudadisi utanielewa tu.Ni sawasawa na leo nikakwambia kwamba Global
Warming haisababishwi na hewa ya ukaa tofauti na ulivyofundishwa ulipokuwa shuleni,ni
vigumu sana kuamini lakini ukijiweka huru na kufuatilia utajua tu.Ni sawasawa pia nikikwambia
kwamba kisukari,autoimmunity na cancer zote,zote,vinatibika kirahisi sana tofauti na
ulivyofundishwa darasani,ni vigumu sana kuamini,lakini ukijiweka huru na kufuatilia utajua
tu.Hebu jiweke huru na ufuatilie hili la HIV/AIDS.

Fact:HIV hasababishi ukimwi.(nina vithibitisho)


Fact:ARVs zinasababisha ukimwi kwa wale wanaozitumia.(nina vithibitisho)

Kama umepitwa na maelezo yangu mengine,unaweza kurudi nyuma na kusoma baadhi ya reply
zangu.
Tuachane na hiv, walioelewa haya, ambao bado haya, the choice is yours. Twende kwa kisukari
sasa na cancer. Coz haya yanaua sana kuliko hata hiv.
 renyo said:
Tuachane na hiv, walioelewa haya, ambao bado haya, the choice is yours. Twende kwa kisukari sasa na cancer. Coz
haya yanaua sana kuliko hata hiv.

Ngoja niweke ka summary kadogo kwanza.


HIV/AIDS ni feki katika kila nyanja.Watu waliotunga uongo huu wa karne walitumia akili ya
juu sana kukwepesha sheria za kisayansi na kutumia ujanja wa kisayansi na sayansi ya jamii ili
kupenyeza uongo huu kwa jamii kwa manufaa ya biashara zao za madawa.Uongo huu umejikita
katika nyanja kuu 4,nazo ni;
1.Historia ya HIV/AIDS
2.HIV/AIDS hypothesis
3.Vipimo vya HIV
4.Madawa ya HIV/AIDS(ARVs)

AIDS/Ukimwi=Upungufu wa kinga mwilini.Tatizo hili si geni,lilikuwapo karne nyingi zilizopita


na watu hawakulichukulia kama ni tatizo kubwa.Mtu anapokuwa na ukimwi mwili wake ni rahisi
kuingiliwa na magonjwa mbalimbali kama vile malaria,TB,Pneumonia,cancer nk.Hivyo watu
walikuwa wanatibu magonjwa husika na maisha yanaendelea kama kawaida.

Ukimwi hauui bali ugonjwa unaoingia mwilini kutokana na upungufu wa kinga ndio
unaoua.Watu wengi wamejisahau sana kwa kukariri kwamba ukimwi unaua kiasi cha kufikia
kuwa na kasumba isiyoweza kubadilika kirahisi na kuelewa tofauti na jinsi wanavyojua kwamba
ukimwi unaua,kinachoua ni ugonjwa unaoingia mwilini kama vile
Malaria,TB,Cancer,Pneumonia nk baada ya mtu kuwa na upungufu wa kinga.Hakuna mtu hata
mmoja duniani aliyekufa kwa sababu ya upungufu wa kinga.Upungufu wa kinga ni hali tu ya
kushuka kwa kinga ambayo inasababishwa na mambo mengi sana ambayo nitayataja baadaye.

Hivyo basi,kusema mtu amekufa kwa ukimwi ni sawa na kusema “timu ya Yanga imepoteza
ushindi kwa sababu mabeki wake wawili wamepewa kadi nyekundu”,kusema hivi si
sahihi.Inatakiwa useme “timu ya Yanga imepoteza ushindi kwa sababu imefungwa kutokana na
kupoteza mabeki wawili kwa kadi nyekundu”.Hii ni kwa sababu ili yanga ipoteze ushindi lazima
ifungwe,si sahihi kusema “ili yanga ipoteze ushindi lazima ipoteze mabeki wawili kwa kadi
nyekundu”,hii ni kwa sababu Yanga inaweza kupoteza mabeki wawili na bado si sababu ya
kufungwa/kupoteza ushindi,ila kupoteza mabeki wawili kwa kadi nyekundu kunaweza kuifanya
Yanga ifungwe na hivyo kupelekea kupoteza ushindi.Hivi ndivyo ukimwi ulivyo.Nadhani
nemeeleweka.Sasa ili yanga ipoteze mabeki wake kwa kadi nyekundu inabidi mabeki wake
wacheze rafu uwanjani.Na vivyo hivyo ukimwi,ili mtu apate ukimwi inabidi awe na utaratibu
mbovu wa maisha kama vile;
I/. Ulaji mbovu wa chakula.Kutozingatia lishe bora kama vile kula matunda halisi,mboga za
majani zisizoiva sana,dona,ulezi,mtama,maboga,kunywa maji safi na salama,kuepuka ulaji wa
nyama nyekundu mara kwa mara,kuepuka vyakula vilivyosindikwa viwandani,kuepuka unywaji
wa vinywaji vyenye sukari nyingi kama vile soda,juisi za viwandani nk.
II/. Utumiaji wa mara kwa mara wa madawa ya hospitali kama vile
diclofenac,antibiotics,chemotherapy na mionzi kwa wagonjwa wa cancer,ARVs,madawa ya
uzazi wa mpango nk.
III/. Utumiaji wa madawa ya kulevya.
IV/. Utumiaji wa madawa ya kufanikisha na kuleta hamu ya kufanya tendo la ndoa mara kwa
mara kama vile poppers,Viagra nk.
V/. Unywaji wa pombe kali na zisizo na viwango kupindukia.
VI/. Kutozingatia usafi wa mazingira na kusababisha mlipuko na maambukizi ya magonjwa
mara kwa mara.
VII/. Msongo wa mawazo kwa muda mrefu.
Nk.

1.Historia ya HIV/AIDS.
Hapa sitazungumzia sana.Historia ya HIV/AIDS ni feki kwa sababu kuna maelezo tofauti
ambayo yote ni ya kufikirika na hayana mashiko kwa sababu yote yameegemea kwenye HIV
kama ndiye chanzo cha tatizo ilihali si kweli.HIV hana uwezo wa kusababisha ukimwi na
haambukizwi kwa njia ya ngono.Kuna watu wanasema HIV/AIDS imeanzia kwa mashoga huko
Marekani,wengine husema imeanzia kwa nyani/sokwe wa misitu ya Congo na wengine
wanasema imetokana na chanjo ya polio Afrika.Hizi zote ni hisia na zimeegemea kwenye kitu
cha kufikirika(HIV) ambacho hakiwezi kuasababisha ukimwi.

Watu walijidanganya kwa kusema kwamba HIV/AIDS ilianzia kwa mashoga kwa kuwa sababu
iliyosababisha AIDS kwa mashoga ni tofauti kabisa na HIV,madawa waliyokuwa wakitumia
mashoga ndio sababu halisi na ya kweli iliyowasababishia AIDS.
Pia kuhusu HIV/AIDS kuanzia kwa nyani/sokwe au chanjo ya polio,hii si kweli kabisa,lengo lao
hapa ni kusambaza uvumi kwamba HIV ni kijidudu cha kutengenezwa ambacho kimesambazwa
kwa makusudi ili kudhuru watu ili kutimiza malengo ya waliosambaza.Walioeneza uvumi huu
walitaka watu waamini kwamba kweli kuna kirusi cha aina hiyo kinachoitwa HIV na
kinasababisha AIDS.Ukweli ni kwamba,hakuna kirusi HALISIA na wala CHA
KUTENGENEZWA chenye uwezo wa kusababisha AIDS/Ukimwi kinachoitwa HIV,Ila
RETROVIRUS wapo, lakini hawana uwezo wa kusababisha Ukimwi.

2.HIV/AIDS Hypothesis.
HIV anasemekana kusababisha AIDS kwa sababu kuu 1 ambayo ni kuua T-cells.Wagunduzi wa
HIV wote wawili hawana uthibitisho wa kisayansi kuonesha kwamba HIV anau T cells,na
hawawezi kuelezea pia ni kwa njia gani HIV anaua T cells.Robert Gallo ametangazwa kuwa
mgunduzi wa HIV mwaka 1984 kwenye press conference na Margareth Heckler kwa kusema
kwamba “The ‘probable’ cause of AIDS has been found” bila hata ya uthibitisho mmoja wa
kisayansi ambao umechapishwa mahali popote ili wanasayansi wengine kama yeye na
waliomzidi yeye waujadili.Na mpaka leo hii tunavyozungumza,hakuna uthibitisho wa kisayansi
unaothibitisha kwamba HIV anasababisha ukimwi kwa kuua T cells,hakuna.

Mgunduzi mwingine aliyefanya kazi pamoja na Robert Gallo ambaye anashiriki hatimiliki ya
ugunduzi wa HIV na Robert Gallo,Luc Montaigner, yeye mwenyewe anakiri kwamba hawawezi
kuelezea ni kwa vipi HIV anaua T cells,kwa maana hiyo hawajui.Pia Luc Montaigner anaendelea
kuthibitisha kwamba hata kama kweli HIV ataingia kwenye mwili wa mtu,anaweza kuondolewa
na kinga ya mwili kama kinga itakuwa vyema/imara.Luc Montaigner ndio mgunduzi halisi
ambaye data zake ziliibwa na Robert Gallo na kumfanya R.Gallo awe wa kwanza kutangazwa
ndiye mgunduzi.Lakini hicho walichokigundua pia ni cha kufikirika na si kweli kwamba
walikiona,ili ujue ukweli huu inabidi uingie kwa undani kidogo.Pia mwanasayansi nguli
anayepinga kuhusu HIV/AIDS hypothesis Prof.Peter Duesberg anasema kwamba HIV hawezi
kusababisha ukimwi na haambukizwi kwa njia ya ngono,na anaendelea kusema kwamba HIV
huondolewa na kinga ya mwili mara baada ya kuonekana na kinga ya mwili.

Nadhani mnajionea wenyewe jinsi mgunduzi wa HIV Prof.Luc Montaigner na Prof.Peter


Duesberg anayepinga HIV/AIDS hypothesis walivyoenda sawa kuhusu HIV kuweza
kuondolewa na kinga ya mwili tofauti na vile tulivyodanganywa huko nyuma kwamba HIV
akiingia mwilini hatoki maisha yako yote.Kwa maana hii basi,mtu huna haja ya kutumia ARVs
zenye sumu hata kama umepimwa HIV+ kwa kuwa ukiijenga kinga yako kwa kufanya mambo
tajwa hapo juu utakuwa umemwondoa HIV mwilini.Najua pamoja na ukweli na uthibitisho
nitakaouweka humu bado baadhi ya watu wataendelea kung’ang’ania kasumba hii.Kilichofanya
HIV/AIDS iwe maarufu na watu waiogope ni matangazo ya muda mrefu kwenye vyombo vya
habari yaliyoendana na kuonesha video za kutisha.Marekani ni nchi yenye uwezo mkubwa wa
kutengeneza propaganda kuliko ule wa kipindi cha Adolf Hitler.

Hakuna uthibitisho kwamba HIV anaua T cells.Pia HIV huondolewa na kinga ya mwili bila
kutumia dawa yoyote:

Link- Prof.Peter Duesberg: https://www.youtube.com/watch?v=xJXIbZxNLho


Link-Prof.Luc Montaigner: https://www.youtube.com/watch?v=PyPq-waF-h4

Link-Mgunduzi wa kipimo cha HIV(PCR),Prof.Kary Mullis hakubaliani kwamba HIV


anasababisha AIDS:
https://www.youtube.com/watch?v=IifgAvXU3ts

3.Vipimo vya HIV.


Vipimo vya HIV ni moja ya sehemu muhimu katika uongo huu wa karne.Hapa sitazungumza
sana,bali nitaweka video mjielimishe wenyewe.Lakini jambo moja ambalo ni muhimu watu
kulifahau ni kwamba,vipimo vya HIV havipimi mwonekano wa HIV mwenyewe bali hupima
kinga ya mwili dhidi ya aina fulani za protini ambazo husemekana zinatoka kwa HIV ‘lakini sio
maalum kwa HIV’.Ina maana protini hizi huweza kutolewa na hali mbalimbali mwilini kama vile
magonjwa kama TB,malaria nk na hali ya mimba.Hivyo basi,mtu kuwa HIV+ haimaanishi
kwamba una HIV,na hata kama utakuwa na HIV hutapata AIDS kwa kuwa HIV hana uwezo wa
kusababisha AIDS.Kutokana na ukweli huu kumbe kwenda kupima HIV ni ulimbukeni
tu.Kutokana na ukweli huu,ndio maana mtu leo anapima HIV+ halafu baada ya muda anapima
HIV- na utaratibu huu unaendelea hivyo hivyo kutegemea na utaratibu wa maisha anayoishi mtu
huyo na idadi ya vipimo atakavyofanya.Kama mtu haamini na afanye utafiti na aweke lengo la
kupima kama mara 10 hivi maeneo mbalimbali,atakachokiona ndio kitamfanya aelewe mimi
nina maana gani.
Birth of heresy: https://www.youtube.com/watch?v=Q-iccGpFto8

4.Madawa ya HIV(ARVs).
ARVs zinasemakana kurefusha maisha kwa watu wenye HIV wanaozitumia kutokana na tabia
yake ya kufubaza virusi na kuvifanya visiongezeke.Hii si kweli na kuna tafiti nyingi
zimeshafanyika kuthibitisha hili.Kwa kifupi ni kwamba ARVs ndio zinazosababisha vifo kwa
wale wanaozitumia,ARVs zinaleta matatizo mengi sana kwa wale wanaozitumia kutokana na
side effects zake.Inabidi watu wafahamu kwamba,side effects za ARVs hazipo kwa bahati
mbaya bali zilipangwa ziwepo,na hii ni kwa sababu,HIV hana uwezo wa kushusha kinga ya
mwili hivyo inabidi badala yake ARVs zitengenezwe ziwe hivyo ili mwisho wa siku mtu
atakapokufa watu waendelee kuamini kwamba HIV anaua na hana tiba.Kumbe ARVs ndizo
zinazoua.Kuna tafiti mbalimbali zimefanyika kwa kuchukua wagonjwa waliopimwa HIV+ na
kuwatenga makundi mawili,kundi moja lilipewa ARVs lakini lingine halikupewa,baada ya muda
mrefu lile kundi wanalotumia ARVs likaanza kupata side effects tofauti kulingana na mgonjwa
lakini wale ambao walikuwa hawatumii ARVs waliendelea kuwa na afya njema.

Kwa kifupi hata ukimchukua mtu ambaye ni HIV- na ni mzima wa afya halafu ukampa ARVs
baada ya muda Fulani ataanza kupata side effects ambazo kama utaendelea kumpa ARVs na
hutamtibia hizo side effects hatachukua muda atakufa.ARVs ni sawa na dawa za cancer
mahospitalini,ukimpa dawa za cancer(chemotherapy) mtu mwenye afya ambaye haumwi
chochote,baada ya muda Fulani Yule mtu atapata cancer.Hivyo basi,ARVs zinasababisha
ukimwi kama dawa za cancer(chemotherapy) zinavyosababisha cancer.Matatizo ambayo
tumeambiwa kwamba yanasababishwa na HIV si kweli kwamba yanasababishwa na HIV na
badala yake yanasababishwa na ARVs kwa wale wanaozitumia.
Hata kama utasikia au kumwona mtu amekufa kwa dalili kama zile ambazo umeambiwa ni za
HIV/AIDS halafu mtu huyo hatumii ARVs jambo hili lisikutishe,hii ni kwasababu kuna
magonjwa mengi yenye dalili sawa kabisa na zile ulizoambiwa wewe kwamba ni za
HIV/AIDS.Magonjwa yenye dalili hizi yalikuwapo karne nyingi zilizopita lakini kutokana na
ulimbukeni tunayaona ni ya ajabu na tunamsingizia HIV kwamba yeye ndiye
anayesababisha.Fuatilia vizuri sana dalili za ugonjwa wa TB na Cancer utaona kwamba dalili
zake kwa asilimia kubwa hufanana na zile tulizoambiwa ni za HIV/AIDS.Ulimbukeni huu ndio
umetufanya tujisahau na kushindwa kujua kwamba Ukimwi hauna dalili zinazoonekana kwa
nje,bali magonjwa yanayoingia baada ya mtu kuwa na ukimwi ndiyo yana dalili zinazoonekana
kwa nje,na magonjwa haya yote si mageni,yalikuwapo karne nyingi zilizopita.Hivyo kusema
kwamba ukimwi una daily Fulani ni ulimbukeni wa kifikra unaotokana na kukaririshwa na
matangazo ya muda mrefu kutoka kwenye vyombo vya habari yaliyoambatana na video za
kutisha.

Mtu anapotumia ARVs kwa muda mrefu anakuwa hatarini kupata madhara yafuatayo:

I/. Matatizo ya moyo

II/. Matatizo ya ini

III/. Matatizo ya figo

IV/. Cancer/Saratani

V/. Anaemia/Upungufu wa damu

VI/. Kisukari

VII/. Stroke/kupooza

Mara nyingi na karibu mara zote haya ndio matatizo yanayosababisha vifo kwa wale
wanaotumia ARVs.Matatizo yote haya hayawezi kusababishwa na HIV,huitaji kufika chuo kikuu
ili ufahamu kwamba matatizo haya hayawezi kusababishwa na HIV.Kama mtu haamini basi
afanye utafiti wake mwenyewe kwa wale wanaotumia ARVs ambao hali zao ni taabani,atajua
tu.Nilisema kwamba hata kama mtu hatumii ARVs halafu anaumwa sana na amedhoofika, bado
sio kisingizio kwamba HIV ndiye amesababishwa kama watu wengi wanavyofikiri,kama
utamfuatilia mtu kama huyu kwa ukaribu lazima utagundua tatizo lake halisi linalomsumbua na
utajua limesababishwa na nini,hivyo basi kila kitu kinaelezeka,hakuna kitu chochote chenye
utata kwa wale wanaopinga HIV/AIDS kwa kuwa wao wanatumia sayansi ya kweli hivyo
hakuna mtu anayeweza kuwashinda kwa hoja,na hii ni kwasababu wanachosema ni ukweli
mtupu wenye mashiko.SI SAHIHI kusema kwamba HIV=AIDS.Bali NI SAHIHI kusema
kwamba ARVs=AIDS.

HIV anasemekana kusababisha magonjwa zaidi ya 30 kama yupo mwilini lakini kama hayupo
mwilini basi sababu za magonjwa hayo zinahusika zenyewe.Ugonjwa huu unabadilishwa tafsiri
kila kukicha.Siku hizi ukiwa na ugonjwa wowote unaofahamika mfano TB halafu umepimwa
HIV+ watasema una ukimwi lakini kama una ugonjwa huo lakini ni HIV- watasema una TB na
si ukimwi,utaratibu huu unaendelea vivyo hivyo kwa magonjwa mengine.Magonjwa haya yote
yalikuwapo hata kabla ya huyo HIV hajatangazwa na yalikuwa yanaua na yanaendelea kuua hadi
sasa,hivyo hakuna kitu kigeni kwenye ugonjwa huu,cha msingi watu inabidi waelewe ukweli
halisi ni upi ili watu wenyewe wawe walinzi wa afya zao na za watu wao wa karibu.Haiwezekani
mtu akae Marekani halafu akupende wewe uliye Tanzania/Afrika wakati hata hakujui,na kama
angekuwa ana upendo sana je, angekulazimisha uukubali ushoga?na kama pia angekuwa na
upendo sana je, angeua watu wasio na hatia kwenye vita mbalimbali duniani kama vile
Iraq,Afghanistan,Syria,Libya,Vietnam,Panama,Equador,Venezuela nk?Inabidi watu wafahamu
kwamba hawa watu hawapo ili kutupenda sisi, bali wanajali biashara zao na si wewe,wewe ni
nani kwao hata wakupende?

Kuna reply yangu moja nilielezea jinsi ARVs zinavyoweza kusababisha upungufu kwenye kinga
ya mtu.Maelezo niliyotoa ni haya hapa chini:

“Hebu tuchukue mfano wa ARVs mojawapo inayoitwa Tenofovir Disoproxil Fumarate(TDF)


ambayo inatumika na wagonjwa wengi wa AIDS.
Dawa hii kwenye warning zake inasema "It can cause serious, life-threatening side effects. These
include lactic acidosis and severe liver problems."
Kiwango salama cha acid/alkali kwenye damu(yaani pH) ni 7.365,maana yake damu inatakiwa
iwe slightly alkaline ili kinga ya mwili iweze kufanya kazi yake vizuri.Chini ya kiwango hicho ni
majanga matupu,utakuwa na magonjwa yasiyohesabika na yasiyoisha mpaka unakufa.
Sasa kama acid itajijenga kwenye damu yako,maana yake pH ya damu yako itashuka na kuwa
chini ya 7.365.ARVs na specifically hii TDF ndivyo inavyofanya kwenye damu za wale
wanaoitumia.TDF inaongeza kiwango cha acid kwenye damu.Acid ni sumu kwenye damu,acid
inapokuwa nyingi INI haliwezi kufanya kazi yake inavyotakiwa na ndio maana kwenye dawa
hizo, severe liver problems imetajwa kama mojawapo ya effects.
Pia najua unajua ya kwamba kama damu ina acid nyingi,hewa ya oxygen inapungua sana hivyo
seli za damu zinakosa oxygen ya kutosha kufanya kazi yake,najua unajua nini kinatokea kama
seli za damu zitakosa oxygen.Hata wewe mwenye ukikosa oxygen unajua kitakutokea nini.

Sasa kutokana na ukweli huo,Je,ARVs hazisababishi mapungufu kwenye kinga?Na kutokana na


effects hizo ndio maana magonjwa mengi sana huzaliwa kwa wale ambao wametumia ARVs
muda mrefu.Baadhi ya magonjwa hayo ni kama vile;
-Cancer:Ukimpima mgonjwa yeyote wa cancer lazima utakuta damu yake ni acidic(yaani pH
yake ni chini ya 7.365)
-Ini
-Figo
-Anaemia
-Heart disease
nk.

Fanya uchunguzi kwa wagonjwa wote waliolazwa mahospitalini ambao wanatumia


ARVs,lazima utawakuta na moja/mawili/matatu.... kati ya magonjwa niliyotaja hapo juu.
Kuhusu cancer,usifikiri kama zile NGO za mambo ya HIV/AIDS zilivyoanzisha kitengo
maalumu kwa ajili ya cervical cancer kwa wanawake ilikuwa ni coincidence.Hiyo cancer
inasababishwa na ARVs,fanya uchunguzi wewe mwenyewe kama una muda.
Hivyo basi,nataka nikwambie kwamba ARVs zinasababisha AIDS,hii sio speculation,its real.”

ARVs side effects: https://www.youtube.com/watch?v=GokUme9x07E

ARVs side effects: https://aidsinfo.nih.gov/drugs/290/tenofovir-disoproxil-fumarate/0/patient -


Hii website hutumiwa na CDC kutoa taarifa mbalimbali,hivyo kilichowekwa humu kimetoka
kwao wenyewe wanaofanya biashara ya ARVs.

Attachment:scientific paper:HIV/AIDS acquired by Drug Consumption and other non contagious


risk factors.
Attachments:1992 HIVAIDS-AIDS acquired by drug consumption and other noncontagious risk factors.pdf

Ninawashukuru wote kwa kutoa muda wenu wa kusoma na kuruhusu akili zenu
kuhoji,ninawashukuru pia hata wale waliokuwa wanapinga kwa maana ndio wametufikisha
hapa,bila wao pengine kuna mambo nisingeyaongelea.

Kuna mwenzetu mmoja ameshauri kwamba tabia hii ya kudadisi isiishie kwenye mambo
haya tu,bali pia tujijenge katika kuhoji mambo mengine na kujali afya zetu kwa kupenda
kula vyakula bora.Kuna mwingine aliomba maelekezo jinsi ya kuandaa baadhi ya vyakula
vya asili,tutakwenda huko baadaye.

Nimefarijika kuona kumbe pamoja na uzito wa suala hili bado kuna watu wanapenda kujua
mambo tofauti,hii itatusaidia sana kubadilika kifikra katika mambo mengine mageni kama
hili.Kuna mambo mengi tulishafundishwa huko nyuma na kuona kwamba ndio sahihi,lakini
ukweli ni kwamba yako tofauti kabisa na uhalisia,hii ni kwasababu,kuna watu wako
kibiashara zaidi na wana mbinu kubwa sana za kudanganya kisayansi ili kurubuni akili za
watu.

Mimi nimejijengea tabia ya kuhoji jambo lolote hata kama liko wazi kabisa,nimejijenga
katika tabia hii muda mrefu sana tangu niko na miaka takribani 13 hivi.Nilipofika sekondari
tabia hii ikazidi sana jinsi masomo yalivyozidi kuongeza ugumu.Hii ikanifanya kupenda zaidi
masomo ya sayansi,nilipofika chuo kikuu nikachukua masomo hayohayo ya sayansi katika
degree ya kwanza, na degree ya pili nikaendelea kuchukua masomo hayohayo nje ya
nchi.Nje ya nchi nilizidi kuwa mdadisi zaidi kutokana na kukutana na tamaduni tofauti za
watu.

Baadhi ya masomo yaliyoongeza uwezo wangu wa kufikiri ni Mathematics kama vile


Algebra,Quantum Physics,Detection and estimation and Microprocessor
programing.Kusoma masomo haya kumenifanya nione kwamba hakuna kitu
kisichowezekana duniani kama binadamu ata stretch ubongo wake,na ndio elimu kama hizi
watu wenye nia mbaya huzitumia kudhuru wengine ili kufanikisha malengo yao.Nimejieleza
kwa ufupi kama mmoja wa wana JF alivyoomba.Nia yangu kubwa hapa ni
kwamba,nimeshindwa kuvumilia kukaa na uelewa huu bila kuwashirikisha wengine hivyo
ningependa watu wajue ukweli hata kama hawataufanyia kazi,lakini wameshajua,kujua
ukweli kutawasaidia watu kwa namna nyingi sana.Kwa kushiriki na wengine elimu
hii,nitakuwa nimeondoa dukuduku niliyonayo kwa muda mrefu.

Ningependa pia kuanza mada mpya na muhimu kwa watu wengi.Mada hii haitachukua
muda mrefu sana kutokana na jinsi ilivyo.Nataka niwape ukweli kuhusu
CANCER/SARATANI.Najua wengi wetu tumedanganywa kwa muda mrefu sana kwamba
cancer haina tiba.Waliotudanganya wanaendelea kunufaika kwenye biashara hii kwa
kuingiza trillions of dollars kila mwaka kwa kuuza dawa za cancer ambazo haziponyi na
vifaa mbalimbali vinavyotumika kwenye hayo matibabu yasiyoponesha.

Ningeomba kupata ushauri wenu kuhusu mjadala huu mpya:Je,tuuendeleze kwenye uzi
huu au tuanzishe uzi mwingine?

Kumbukeni:Kuelewa kwenu ndio faraja yangu,mimi nimesaidiwa sana katika maisha yangu
tena na watu nisiowajua,hivyo hapa ninaondoa dukuduku moyoni kwa kuwasaidia wengine
bila kulipia chochote.Nisingependa kulipwa chochote wakati wowote kwa sababu yoyote
kwa kuwa roho yangu inakataa kufanya hivyo.Elimu hii ni bure na nitajitahidi kuitoa kwa
kadiri ya uwezo wangu pale ninapokuwa na muda wa kufanya hivyo,cha msingi tu inabidi
watu wajenge kumbukumbu ya kupitia humu JF pale wanapohitaji msaada wa kujua jambo
fulani kati ya yale niliyokwisha au nitakayo zungumza.

'
1."Our bodies can get rid of the so called 'HIV' within few weeks if we have good immune
system, without using drugs".

2."ARVs(not HIV) cause AIDS".

Je,una hoja za kupinga ukweli huu?Kama una hoja za kupinga ukweli huu lete hapa ili
uokoe watu wasije kuangukia kwenye uongo ninaoleta mimi.Ukiona huwezi kujibu peke
yako,ita madaktari unaowaamini waje kukusaidia kujibu.Ukipiga kelele kwa kupamba
maandishi yako kwa lugha ya kizungu haitasaidia watu wenye nia ya kukuelewa.Acha jazba
na hasira,lete hoja.Nakusubiri.

You might also like