Professional Documents
Culture Documents
Somo La 12 Kwajili Ya Machi 25, 2023
Somo La 12 Kwajili Ya Machi 25, 2023
Somo la 12 kwajili ya
Machi 25, 2023
“Bwana wake
akamwambia,
‘Vema, mtumwa
mwema na
mwaminifu; ulikuwa
mwaminifu ka
machache,
nitakuweka juu ya
mengi; ingia katika
furaha ya bwana
wako’’”
(Mathayo 25:21)
Tunapoupokea wokovu ambao Yesu alishinda msalabani,
tunakuwa “tuliumbwa katika Kristo Yesu, tutende matendo
mema, ambayo tokea awali Mungu aliyatengeneza ili tuenende
nayo” (Ef. 2:10). “Kila mtu atapata thawabu yake mwenyewe
sawasawa na taabu yake mwenyewe.” (1Kor. 3:8)
Ikiwa “ni Mungu atendaye kazi ndani yenu, kutaka kwenu na
kutenda kwenu, kwa kutimiliza kusudi lake jema” (Fil. 2:13),
kwanini Atupe thawabu? Kwa upande mwingine, kwanini
thawabu itusubiri?
Thawabu:
Thawabu Yake
Uzima wa milele
Kuwa na Yesu
Uaminifu:
kusimamia kwaajili ya Bwana…
…hadi Ajapo
THAWABU
THAWABU
“Tazama, naja upesi, na ujira wangu u
pamoja nami, kumlipa kila mtu kama kazi yake
ilivyo.” (Ufunuo 22:12)
Ni akina nani watapokea thawabu zao kutoka kwa Yesu atakapokuja?
Waliouawa Wale
Waliopanda wanaowapen
watakatifu kwa sababu ya
haki da maadui zao
(Za. 58:11) imani zao
(Mit. 11:18)
(Mt. 5:12) (Lk. 6:35)
Thawabu itakuwa sawa na matendo ya kila mtu (1Kor. 3:8). Je, hiyo
inamanisha tunaokolewa kwa matendo yetu? Hapana kabisa!
Wokovu ni karama ambayo kila mmoja anaweza kuipata bila kujali
matendo yake (Tit. 3:5). Woye waliokombolewa watapokea “taji” zao,
thawabu ya haki (2Tim. 4:8).
UZIMA WA MILELE
“Kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti; bali karama ya Mungu ni
uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu.” (Warumi 6:23)