Professional Documents
Culture Documents
YUD - Kiswahili - 1068 Yuda
YUD - Kiswahili - 1068 Yuda
Utangulizi
Mwandishi wa waraka huu ametambuliwa kuwa ni Yuda, ambaye alikuwa nduguye Yakobo. Yakobo
aliyekuwa msimamizi wa baraza la Yerusalemu na ambaye ndiye mwandishi wa waraka wa Yakobo. Yeye
alikuwa ndugu wa Yesu wa kuzaliwa na Maria (Mk.6:3). Mfanano wa yaliyomo na yale yaliyomo kwenye Waraka
wa pili wa Petro yanaashiria kuwa Yuda alikuwa amehamasishwa na ujumbe wa Petro. Katika (Yuda 1:3)
anaonyesha kuwa alikusudia kuandika kuhusu wokovu wao lakini sasa anabadili nasaha zake kuelekea kwenye
mwelekeo wa kukemea mtazamo wa watu fulani wenye tabia mbaya waliokuwa wanazunguka miongoni mwao
wakiwa wanapotosha neema ya Mungu.
Tarehe
Tarehe ya kuandikwa kwa waraka huu inaweza ikawa kati ya mwaka 65 - 70 B.K., au kama miaka kumi
baadaye. Kama waraka huu uliandikiwa Wakristo wa Kiyahudi huko Palestina, tarehe ya awali inakubalika zaidi.
Wazo Kuu
Yuda anasisitiza umuhimu wa kuishindania imani. Upotovu, yaani, uzushi, ni lazima uonyeshwe wazi
kwamba si kweli. Anaonya kwamba hukumu ya Mungu itakuja juu ya wale wanaopotoka katika imani kama vile
ilivyokuja juu ya Kaini, Kora na Balaamu.
Mgawanyo
• Utangulizi (1:1- 4)
• Maonyo dhidi ya uongo (1: 5 -16)
• Marudi na hitimisho (1:17- 25)
1
Yuda
Kaini, wamekimbilia faida katika kosa la
Salamu Baalamu na kuangamia katika uasi wa Kora.
1Yuda, mtumwa wa Yesu Kisto nduguye 12Watu hawa ni dosari katika karamu zenu
mwili unajisi, hukataa kuwa chini ya mamlaka na kwenye moto, nao wengine wahurumieni mkiwa
kunena mabaya juu ya wenye mamlaka. 9Lakini na hofu mkichukia hata vazi lenye mawaa na
hata Malaika Mkuu Mikaeli alipokuwa kutiwa unajisi na mwili.
anashindana na ibilisi juu ya mwili wa Mose,
hakuthubutu kumlaumu, bali alimwambia, Dua Ya Kutakia Heri
24Kwake Yeye awezaye kuwalinda
“Bwana na akukemee!” 10 Lakini watu hawa
hunena mabaya dhidi ya mambo msianguke na kuwaleta ninyi mbele za utukufu
wasiyoyafahamu na katika mambo yale Wake mkuu bila dosari kwa furaha ipitayo kiasi,
25Yeye Mungu pekee, Mwokozi wetu kwa Yesu
wanayoyafahamu kwa hisia kama wanyama
wasio na akili, hayo ndiyo hasa Kristo Bwana wetu, utukufu, ukuu, uweza na
yanayowaharibu. mamlaka vina Yeye tangu milele, sasa na hata
11Ole wao! Kwa kuwa wanaifuata njia ya milele! Amen.
2
Yuda
3
Yuda