Professional Documents
Culture Documents
Mfalme Anakuja
Mfalme Anakuja
inaendelea kutoka nyuma haijawahi kuwa na matatizo 3. Je, kuja kwa Yesu mara ya pili kutaonekana na watu
ulafi, na ulevi, na masumbufu ya maisha haya; wote au kundi fulani tu la watu?
siku ile ikawajia ghafula, kama mtego unasavyo.”
kama iliyo nayo sasa hivi ambayo “Tazama, yuaja na mawingu; na kila jicho litamwona.”
Lk. 21:34. “Kwa maana kama vile ilivyokuwa Ufu. 1:7. “Kwa maana kama vile umeme utokavyo
yanaonekana kana kwamba hayana ufumbuzi. mashariki ukaonekana hata magharibi, hivyo ndivyo
siku za Nuhu, ndivyo kutakavyokuwa kuja kwake
Mwana wa Adamu.” kutakavyokuwa kuja kwake Mwana wa Adamu.”
Magazeti ya kila siku yanaandika juu ya matatizo Mt. 24:27.
Mt. 24:37.
Unyakuo wa siri, unaoaminiwa na wengi na
Kuna hatari kubwa ya kuzama katika ambayo mwanadamu hawezi kuyamudu.
•
mahangaiko ya maisha haya au anasa za dhambi kufundishwa siku hizi, haupo kwenye Biblia. Ni uzushi
na kuja kwa Yesu kukatujia kama Gharika wakati Ufumbuzi wa kudumu kwa matatizo haya wa wanadamu. Kuja kwa Yesu mara ya pili litakuwa tukio
wa Nuhu na kutushitukiza, tukiwa hatuko tayari halisi, litakaloonekana duniani kote. Yesu mwenyewe
na kupotea. Ndivyo itakavyokuwa kwa mamilioni unaweza kupatikana wapi? Biblia yako inalo ataonekana akija katika mawingu kuikomesha dunia na
Yachunguzeni
ya watu. kuwapa tuzo au kuwaadhibu watu wote.
jibu. Kristo alizungumzia tukio ambalo litatatua
Je, itakuwaje kwako? Yesu anarudi upesi sana 4. Ni nani atakayekuja pamoja na Yesu?
Maandiko!
matatizo yote ya wanadamu. Hakuna ufumbuzi “Hapo atakapokuja Mwana wa Adamu katika utukufu
katika siku tunazoishi sasa. Je, uko tayari? Hakuna
jambo la muhimu kama hili. wake, na malaika watakatifu wote pamoja naye, ndipo
mwingine! atakapoketi katika kiti cha utukufu wake.” Mt. 25:31.
Je, unaamua kujiandaa ili uwe tayari siku Yesu
atakaporudi. Malaika wote wa mbinguni watakuwa pamoja na
Miaka 2000 iliyopita, mwishoni mwa huduma yake Yesu atakaporudi. Nao watawakusanya haraka wateule na
Je, uko tayari kufungua moyo wako ili Yesu hapa duniani, Yesu alizungumza juu ya siku ya kusulibiwa
aingie na kukubadilisha ili uwe mmoja kati ya watu kuwaandaa kwa ajili ya safari ya kwenda minguni
kwake. Wanafunzi hawakuweza kuamini kuwa janga kama (Mt. 24:31).
atakaokuja kuwachukua? hilo lingeweza kumpata Kiongozi wao ambaye walimpenda.
Kristo alijua kwamba wangehitaji tumaini thabiti katika siku 5. Lengo la kuja kwa Yesu mara ya pili ni lipi?
za usoni. Akawapaatia ahadi nzuri iliyopo katika Yohana “Tazama, naja upesi, na ujira wangu u pamoja nami,
Uamuzi Wangu: 14:1-3: “Msifadhaike mioyoni mwenu; mnamwamini kumlipa kila mtu kama kazi yake ilivyo.” Ufu. 22:12.
Mungu, niaminini na mimi. Nyumbani mwa Baba yangu “Nitakuja tena niwakaribishe kwangu; ili nilipo mimi,
mna makao mengi; kama sivyo, ningaliwaambia; maana nanyi mwepo.” Yn 14:3. “Apate kumtuma Kristo Yesu…
naenda kuwaandalia mahali. Basi mimi nikienda na ambaye ilimpasa kupokewa mbinguni hata zije zamani za
kuwaandalia mahali, nitakuja tena niwakaribishe kwangu; ili
•
kufanywa upya vitu vyote.” Mdo. 3:20,21.
nilipo mimi, nanyi mwepo.”
Kutimia kwa ahadi hii wakati wa kuja kwa Yesu mara ya 6. Kutatokea jambo gani kwa watu wenye haki?
pili ni tumaini pekee la ulimwengu. Hebu tuangalie Neno la “Kwa sababu Bwana mwenyewe atashuka kutoka
Mungu linafundisha nini juu ya tukio hili la ajabu – Kuja mbinguni… nao waliokufa katika Kristo watafufuliwa
kwa Mfalme wetu! kwanza. Kisha sisi tulio hai, tuliosalia, tutanyakuliwa
Tafadhali wasiliana na Kanisa la Waadventista Wasabato pamoja nao katika mawingu, ili tumlaki Bwana
1. Je, tunaweza kuwa na uhakika kuwa Yesu atarudi hewani; na hivyo tutakuwa pamoja na Bwana
lililo karibu nawe, au tuandikie kwa anwani hii:
tena duniani? milele.” 1 The. 4:16,17. “Sote tutabadilika… na wafu
“Kristo… atatokea mara ya pili.” Ebr. 9:28. “Nikienda watafufuliwa wasiwe na uharibifu… Maana sharti huu
na kuwaandalia mahali, nitakuja tena.” Yn 14:3. uharibikao uvae kutokuharibika.” 1 Kor. 15:51-53.
Kibidula Bible Studies “Tunamtazamia…Bwana Yesu Kristo, atakayeubadili
2. Je, Yesu atarudi tena kwa jinsi gani?
P.O. Box 17 “Walipokuwa wakitazama, akainuliwa, wingu likampokea
mwili wetu wa unyonge, upate kufanana na mwili wake
wa utukufu.” Flp. 3:20,21.
Mafinga/Iringa kutoka machoni pao. Walipokuwa wakikaza macho Wenye haki waliokufa, watafufuliwa na kupewa miili
mbinguni, yeye alipokua akienda zake, tazama, watu
Tanzania wawili wakasimama karibu nao, wenye nguo nyeupe,
mikamilifu isiyokufa kama ule wa Yesu. Nao wale wenye
haki walio hai, watapewa miili kama ule wa Yesu na kwa
wakasema, Enyi watu wa Galilaya, mbona mmesimama pamoja na wale waliofufuliwa watanyakuliwa ili kumlaki
mkitazama mbinguni? Huyu Yesu aliyechukuliwa kutoka Bwana hewani.
kwenu kwenda juu mbinguni, atakuja jinsi iyo hiyo