Professional Documents
Culture Documents
Holly Bible
Holly Bible
Utangulizi
Neno “Mwanzo” linatokana na neno la Kiyunani “genesis” ambalo maana yake ni “asili,” “chimbuko” au “chanzo,”
ambalo ndilo jina lililopewa kitabu hiki na watafsiri wa Agano la Kale la Kiyunani lijulikanalo kama
Septuagint.katika karne ya tatu kabla ya Kristo. Ingawa kitabu hiki cha Mwanzo kinaanza kuelezea uumbaji wa
vitu vyote, mtazamo mkubwa ni uumbaji wa mwanadamu. Kitabu hiki kinaeleza mwanzo wa ulimwengu, mwanzo
wa mwanadamu, yaani, mwanamke na mwanamume, mwanzo wa dhambi ya mwanadamu, mwanzo wa ahadi na
mipango ya Mungu ya wokovu na uhusiano wa kipekee kati ya Abrahamu na Mungu. Kitabu kinaelezea juu ya
watu mahsusi wa Mungu na mipango Yake katika maisha yao. Baadhi ya watu hawa ni Adamu na
Eva,wanadamu wa kwanza kabisa kuumbwa, Noa, Abrahamu, Isaki, Yakobo, Yosefu na ndugu zake na wengine
wengi.
Mwanzo ni kitabu cha kwanza miongoni mwa vile vitabu vinavyoitwa, ‘‘Vitabu Vitano vya Mose,’’ vilivyoko
mwanzoni mwa Biblia. Vitabu hivi vinaitwa pia vitabu vya sheria kwa sababu ndipo palipoandikwa maagizo na
sheria za Mungu kwa watu wa Israeli. Kitabu hiki cha Mwanzo kama kitabu cha utangulizi katika habari za
Mungu kuendelea kujifunua mwenyewe katika jamaaa ya wanadamu,jambo hili ni la muhimu sana.Katika kitabu
hiki ndiko tunapopata ahadi ya kwanza kabisa ya ukombozi wa mwanadamu aliyeanguka, “….uzao wa
mwanamke utakuponda kichwa…”(3:15). Mwanzo kinaelezea jinsi ilivyotokea hadi Israeli wakafanyika watu
maalum wa Mungu.
Wazo Kuu
Kueleza uumbaji, anguko, ukombozi wa uzao wa mwanadamu kwa njia ya Yesu Kristo.Katika maeneo haya
ndipo ulipo ufunuo wote wa ki-Mungu na kweli yote katika Maandiko.Kitabu hiki ni kama kitalu cha mbegu cha
Biblia nzima, hivyo ni muhimu sana kuwa na uelewa sahihi wa kila sehemu.Mwanzo ndio msingi ambako ufunuo
wote wa ki-Mungu ulipo na ambako umejengwa. Kila msingi mkuu wa imani katika Maandiko, mizizi yake iko
katika Mwanzo kama asili, kitu kamili au mfano,au ufunuo wa halisi.
Mwandishi
Mose. Kuna uwezekano mkubwa kwamba Mwanzo ambacho ni mojawapo ya vile vitabu vitano viliandikwa na
Mose, isipokuwa sura ya mwisho ya kitabu cha Kumbukumbu la Torati inayoelezeajuu ya kifo cha Mose.
Mahali
Sehemu ambayo kwa sasa inaitwa Mashariki ya Kati.
Wahusika Wakuu
Adamu, Eva, Kaini, Abeli, Enoki, Noa, Abrahamu, Sara, Loti, Isaki, Rebeka, Yakobo, Yosefu na ndugu zake.
Tarehe
Kitabu hiki kiliandikwa 1688 K.K.
Mgawanyo
• Kuumbwa kwa ulimwengu, dunia, mwanadamu. (1:1-2:25)
• Anguko la mwanadamu na matokeo ya dhambi. (3:1-5:32)
• Habari za Noa. (6:1-9:29)
• Kutawanywa kwa mataifa. (10:1-11:32)
• Maisha ya Abrahamu. (12:1-25:18)
• Isaki na familia yake. (25:19-26:35)
• Yakobo na wanawe. (27:1-37:1)
• Maisha ya Yosefu. (37:2-50:26)
1
Siku Sita za Uumbaji na Sabato kwenye maji, ndege waruke juu ya dunia
1 Hapo mwanzo Mungu aliumba mbingu na
dunia. 2Sasa a Dunia ilikuwa haina umbo
katika nafasi ya anga.’’ 21Kwa hiyo Mungu
akaumba viumbe wakubwa wa baharini na
tena ilikuwa tupu, giza lilikuwa juu ya uso kila kiumbe hai kiendacho majini, kulingana
wa vilindi vya maji, naye Roho wa Mungu na aina zake na kila ndege mwenye
alikuwa ametanda juu ya maji. mabawa kulingana na aina yake. Mungu
akaona kuwa hili ni jema. 22Mungu
3Mungu akasema, “Iwepo nuru’’ nayo nuru akavibariki akasema, “Zaeni mkaongezeke
ikawepo. 4Mungu akaona ya kuwa nuru ni mkayajaze maji ya bahari, nao ndege
njema, ndipo Mungu akatenganisha nuru na waongezeke katika dunia.’’ 23Ikawa jioni,
giza. 5Mungu akaiita nuru “mchana’’ na giza ikawa asubuhi, siku ya tano.
akaliita “usiku.’’ Ikawa jioni ikawa asubuhi, 24Mungu akasema, “Ardhi na itoe viumbe hai
na nchi kavu.’’Ikawa hivyo.10 Mungu akaiita kwa mfano wetu, kwa sura yetu, wakatawale
nchi kavu “ardhi,’’ nalo lile kusanyiko la maji juu ya samaki wa baharini na ndege wa
akaliita ‘’bahari.’’ Mungu akaona kuwa ni angani, juu ya mifugo, juu ya dunia yote, na
vema. 11Kisha Mungu akasema, “Ardhi na juu ya viumbe wote watambaao juu ya nchi.’’
itoe mimea: miche itoayo mbegu, miti juu ya
nchi itoayo matunda yenye mbegu ndani 27Kwahiyo Mungu alimwumba mtu kwa
yake, kila mmea kulingana na aina zake mfano wake mwenyewe,
mbalimbali.” Ikawa hivyo. 12Ardhi ikachipua kwa mfano wa Mungu alimwumba,
mimea: Mimea itoayo mbegu kulingana na mwanaume na mwanamke aliwaumba.
aina zake na miti itoayo matunda yenye
mbegu kulingana na aina zake. Mungu 28Mungu akawabariki na akawaambia,
akaona ya kuwa hili ni jema. 13Ikawa jioni, “Zaeni na mkaongezeke, mkaijaze tena
ikawa asubuhi, siku ya tatu. dunia b na kuitiisha. Mkatawale samaki wa
14Mungu akasema, “Iwepo mianga kwenye baharini, ndege wa angani na kila kiumbe
nafasi ya anga ili itenganishe mchana na hai kiendacho juu ya ardhi.’’
usiku, nayo iwe alama ya kutambulisha 29Kisha Mungu akasema, “Nimewapa
majira mbali mbali, siku na miaka, 15nayo kila mche utoao mbegu juu ya uso wa dunia
iwe ndiyo mianga kwenye nafasi ya anga yote na kila mti wenye matunda yenye
itoe nuru juu ya dunia.’’ Ikawa hivyo. mbegu ndani yake. Vitakuwa kwa ajili ya
16Mungu akafanya mianga miwili mikubwa. chakula chenu, 30Cha wanyama wote wa
Mwanga mkubwa utawale mchana na dunia, ndege wote wa angani na viumbe
mwanga mdogo utawale usiku. Pia Mungu vyote viendavyo juu ya ardhi. Kila kiumbe
akafanya nyota. 17Mungu akaiweka katika chenye pumzi ya uhai, ninawapa kila mche
nafasi ya anga iangaze dunia, 18itawale wa kijani kuwa chakula.’’ Ikawa hivyo.
mchana na usiku na ikatenganishe nuru na 31Mungu akatazama vyote alivyoumba
giza. Mungu akaona kuwa hili ni jema. na ilikuwa vizuri sana. Ikawa jioni, ikawa
19Ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya nne. asubuhi, siku ya sita.
20Mungu akasema “Kuwepo na viumbe hai tele
a2 “Sasa” ina maana kwamba Mungu anatengeneza upya b28 “mkaijaze tena dunia” hapa ina maana Mungu anawabariki
ulimwengu ulioharibiwa wakati wa uasi wa Lusifa. wanadamu ili wakaijaze tena dunia baada ya maangamizi
kutokana na uasi wa Lusifa.
MWANZO
2 Kwa hiyo mbingu na dunia zikakamilika,
pamoja na vyote vilivyomo.
kumfaa.’’
19Basi BWANA Mungu alikuwa amefanyiza
Mungu akafanya aina zote za miti ziote kutoka uchi, wala hawakuona aibu.
ardhini, miti yenye kupendeza macho na mizuri
kwa chakula. Katikati ya bustani ulikuwepo mti Anguko la Mwanadamu
wa uzima na mti wa ujuzi wa mema na mabaya.
10Mto wa kunyeshea bustani ulitiririka toka 3 Basi nyoka alikuwa mwerevu kuliko
wanyama wote wa porini ambao BWANA
Edeni, kuanzia hapa ukagawanyika kuwa mito Mungu aliowafanya. Nyoka akamwambia
minne. 11Mto wa kwanza uliitwa Pishoni, nao mwanamke, “Ati kweli Mungu alisema, ‘Kamwe
huzunguka nchi yote ya Havila ambako kuna msile matunda ya mti wo wote wa bustanini?’ ’’
dhahabu. 12(Dhahabu ya nchi hiyo ni nzuri, lulu 2Mwanamke akamjibu nyoka, “Tunaweza
na vito shohamu pia hupatikana huko.) 13Jina la kula matunda ya miti iliyoko bustanini, 3lakini
mto wa pili ni Gihoni, ambao huzunguka nchi Mungu alisema, ‘Kamwe msile tunda la mti ulio
yote ya Kushi. 14Jina la mto wa tatu ni Tigrisi, katikati ya bustani, wala msiguse kabisa, la sivyo
unaopita mashariki ya Ashuru. Mto wa nne ni mtakufa.’ ’’
Eufrati. 4Lakini nyoka akamwambia mwanamke,
15BWANA Mungu akamchukua huyo mtu “Hakika hamtakufa. 5Kwa maana Mungu anajua
akamweka kwenye Bustani ya Edeni ailime na ya kuwa wakati mtakapoyala macho yenu
kuitunza. 16BWANA Mungu akamwagiza huyo yatafumbuliwa, nanyi mtakuwa kama Mungu,
mtu akamwambia, ‘‘Uko huru kula matunda ya mkijua mema na mabaya.’’
mti wo wote katika bustani, 17lakini kamwe usile 6Mwanamke alipoona ya kuwa tunda la mti
matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya, huo lilikuwa zuri kwa chakula na la kupendeza
kwa maana siku utakapokula matunda yake, macho, tena linatamanika kwa kujipatia hekima,
hakika utakufa.’’ basi akachuma katika matunda yake, akala, pia
18BWANA Mungu akasema, ‘‘Si vema huyu akampa mumewe, aliyekuwa pamoja naye, naye
mtu awe peke yake. Nitamfanyia msaidizi wa akala. 7Ndipo macho yao wote wawili
2
MWANZO
yakafumbuliwa, wakajiona kwamba walikuwa 19Kwa jasho la uso wako utakula chakula chako
uchi, hivyo wakashona majani ya mtini hadi utakaporudi ardhini,
wakajifunika. kwa kuwa ulitwaliwa kutoka humo,
8Ndipo yule mwanamume na mkewe, kwa kuwa wewe u mavumbi
waliposikia sauti ya BWANA Mungu alipokuwa na mavumbini wewe utarudi.’’
akitembea bustanini wakati wa utulivu wa jioni,
wakajificha kutoka mbele za BWANA Mungu 20Adamu akamwita mkewe Eva, kwa kuwa
katikati ya miti ya bustani. 9Lakini BWANA atakuwa mama wa wote walio hai.
Mungu akamwita Adamu, “Uko wapi?’’ 21BWANA Mungu akawatengenezea Adamu
10Naye akajibu, “Nilikusikia katika bustani na mkewe mavazi ya ngozi akawavika. 22Kisha
nikaogopa kwa sababu nilikuwa uchi, hivyo BWANA Mungu akasema, “Sasa mtu huyu
nikajificha. amekuwa kama mmoja wetu, kwa kujua mema
11Mungu akamwuliza, “Ni nani aliyekuambia na mabaya. Sharti asiruhusiwe kunyoosha
yakuwa ulikuwa uchi? Je, umekula matunda ya mkono wake na kuchuma pia kutoka katika mti
mti niliokuamuru usile?’’ wa uzima akala, naye akaishi milele.’’ 23Hivyo
12Adamu akasema, ‘‘Huyu mwanamke BWANA Mungu akamfukuzia mbali kutoka
uliyenipa awe pamoja nami, ndiye aliyenipa Bustani ya Edeni, akalime ardhi ambamo
sehemu ya tunda kutoka kwenye huo mti, nami alitolewa. 24Baada ya kumfukuzia mbali Adamu,
nikala.’’ Mungu akaweka makerubi mashariki ya Bustani
13Ndipo BWANA Mungu akamwuliza ya Edeni pamoja na upanga wa moto, ukimulika
mwanamke, ‘‘Ni nini hili ambalo umelifanya?’’ huku na huko kulinda njia ya kuuendea mti wa
Mwanamke akajibu, ‘‘Nyoka alinidanganya, uzima.
nami nikala.’’
14Hivyo BWANA Mungu akamwambia Kaini na Abeli
nyoka, ‘‘kwa kuwa umefanya hili,
4 Adamu akakutana kimwili na mkewe Eva,
akapata mimba, akamzaa Kaini. Eva
‘‘Umelaaniwa kuliko wanyama wote wa akasema, “Kwa msaada wa BWANA nimemzaa
kufugwa na wa porini! mwanaume.” 2Baadaye akamzaa Abeli ndugu
Utatambaa kwa tumbo lako na kula yake.
mavumbi siku zote za maisha yako. Basi Abeli akawa mfugaji na Kaini akawa
15Nami nitaweka uadui kati yako na huyo mkulima. 3Baada ya muda Kaini akaleta baadhi
mwanamke, ya mazao ya shamba kama sadaka kwa
na kati ya uzao wako na wake, BWANA. 4Lakini Abeli akaleta fungu nono
huo atakuponda kichwa, kutoka katika baadhi ya wazaliwa wa kwanza wa
nawe utamgonga kisigino.’’ mifugo yake. BWANA akamkubali Abeli pamoja
na sadaka yake, 5lakini Mungu hakumkubali
16Kwa mwanamke akasema, Kaini pamoja na sadaka yake. Kwa hiyo Kaini
akakasirika sana, uso wake ukawa na huzuni.
“Nitakuzidishia sana utungu wakati wa 6Kisha BWANA akamwambia Kaini, “Kwa
umemsikiliza mke wako na ukala kutoka kwenye “Twende shambani.’’ Walipokuwa shambani,
mti niliokuamuru, ‘msile tunda lake,’ Kaini akamshambulia Abeli ndugu yake
akamwua.
“Ardhi imelaaniwa kwa sababu yako, 9Kisha BWANA akamwuliza Kaini, “Ndugu
kwa kazi ngumu utakula chakula kitokacho yako Abeli yuko wapi?’’ Akamjibu,
humo siku zote za maisha yako. ‘‘Sijui, je, mimi ni mlinzi wa ndugu yangu?’’
18Itazaa miiba na mibaruti kwa ajili yako, 10BWANA akasema, “Umefanya nini?
nawe utakula mimea ya shambani. Sikiliza! Damu ya ndugu yako inanililia mimi
3
MWANZO
kutoka ardhini. 11Sasa umelaaniwa na
umehamishwa kutoka katika ardhi, ambayo Kutoka Adamu Hadi Noa
imefungua kinywa chake na kupokea damu ya
ndugu yako kutoka mkononi mwako.
12Utakapoilima ardhi, haitakupa tena mazao
5 Hii ni orodha iliyoandikwa ya vizazi vya
Adamu.
ikiwa mtu ye yote atamwua Kaini atalipizwa 800 akawa na watoto wengine wa kiume na wa
kisasi mara saba zaidi.’’ Kisha BWANA kike. 5Adam aliishi jumla ya miaka 930, ndipo
akamwekea Kaini alama ili mtu yeyote ambaye akafa.
angemwona asimwue. 16Kwa hiyo Kaini 6Sethi alipokuwa ameishi miaka 105,
akaondoka mbele za BWANA akaenda kuishi akamzaa Enoshi. 7Baada ya kumzaa Enoshi
katika nchi ya Nodi, iliyoko mashariki ya Edeni. Sethi aliishi miaka 807 akawa na watoto
17Kaini akakutana kimwili na mkewe, naye wengine wa kiume na wa kike. 8Sethi aliishi
akapata mimba na akamzaa Enoki. Wakati huo jumla ya miaka 912, ndipo akafa.
Kaini alikuwa anajenga mji akauita Enoki jina la 9Enoshi alipokuwa ameshi miaka tisini
mtoto wake. 18Enoki akamzaa Iradi, Iradi akamzaa Kenani. 10Baada ya kumzaa Kenani,
akamzaa Mehuyaeli, Mehuyaeli akamzaa Enoshi aliishi miaka 815 naye alikuwa na watoto
Methushaeli na Methushaeli akamzaa Lameki. wengine wa kiume na wa kike. 11Enoshi aliishi
19Lameki alioa wanawake wawili, mmoja jumla ya miaka 905, ndipo akafa.
aliitwa Ada na mwingine Sila. 20Ada akamzaa 12Kenani alipokuwa ameishi miaka sabini,
Yabali ambaye ni baba wa wale walioishi katika akamzaa Mahalaleli. 13Baada ya kumzaa
mahema na kufuga wanyama. 21Kaka yake Mahalaleli Kenani aliishi miaka 840 akawa na
aliitwa Yubali, alikuwa baba wa wote wachezao watoto wengine wa kiume na wa kike. 14Kenani
zeze na filimbi. 22Pia Sila alikuwa na mtoto wa aliishi jumla miaka 910, ndipo akafa.
kiume aliyeitwa Tubali – Kaini ambaye alifua 15Mahalaleli alipokuwa ameishi miaka sitini
vifaa vya aina mbalimbali vya shaba na chuma. na mitano akamzaa Yaredi. 16Baada ya kumzaa
Naama alikuwa dada wa Tubali - Kaini. Yaredi, Mahalaleli aliishi miaka 830 akawa na
23Lameki akawaambia wake zake, watoto wengine wa kiume na wa kike.
17Mahalaleli aliishi jumla ya miaka 895, ndipo
Wakati huo watu wakaanza kuliitia jina la kwa sababu Mungu alimchukua.
BWANA. 25Mathusela alipokuwa ameishi miaka 187,
4
MWANZO
wengine wa kiume na wa kike. 27Methusela “Nitawaangamiza watu wote, kwa kuwa dunia
aliishi jumla ya miaka 969, ndipo akafa. imejaa jeuri kwa sababu yao. Hakika mimi
28Lameki alipokuwa ameishi miaka 182, nitaangamiza watu pamoja na dunia. 14Kwa hiyo
alimzaa mwana. 29Akamwita jina lake Noa, jitengenezee safina kubwa kwa mbao za mvinje,
Akasema, “yeye ndiye atakayetufariji katika kazi tengeneza vyumba ndani yake na uipake lami
na maumivu makali ya mikono yetu ndani na nje. 15Hivi ndivyo utakavyoitengeneza:
yaliyosababishwa na ardhi iliyolaaniwa na Safina iwe na urefu wa dhiraa 300, upana wake
BWANA.’’ 30Baada ya Noa kuzaliwa, Lameki dhiraa hamsini, na kimo chake dhiraa
aliishi miaka 595 akawa na watoto wengine wa thelathini a . 16Itengenezee paa na umalizie
kiume na wa kike. 31Aliishi jumla ya miaka 777, safina kwa kuacha nafasi ya dhiraa moja juu.
ndipo akafa. Weka mlango ubavuni mwa safina na uifanye ya
32Baada ya Noa kuishi miaka 500 aliwazaa ghorofa ya chini, ya kati na ya juu. 17Nitaleta
Shemu, Hamu na Yafethi. gharika ya maji juu ya nchi ili kuharibu uhai wote
chini ya mbingu, kila kiumbe chenye pumzi ya
Sababu za Gharika uhai ndani yake. Kila kitu juu ya nchi
Watu walipoanza kuongezeka idadi katika kitaangamia. 18Lakini Mimi nitaweka agano
6 uso wa dunia na watoto wa kike langu na wewe, nawe utaingia ndani ya Safina,
wakazaliwa kwao, 2wana wa Mungu wakawaona wewe pamoja na mke wako, wanao na wake
kuwa hao binti za wanadamu walikuwa wazuri zao. 19Utaingiza ndani ya Safina kila aina ya
wa sura, wakaoa ye yote miongoni mwao kiumbe hai wawili wawili, wa kiume na wa kike,
waliyemchagua. 3Ndipo BWANA akasema, ili kuwahifadhi hai pamoja na wewe. 20Wawili wa
“Roho yangu haitakaa ndani ya mwanadamu kila aina ya ndege, wa kila aina ya mnyama na
milele, kwa kuwa yeye ni wa kufa, siku zake wa kila aina ya kitambaacho ardhini watakuja
zitakuwa miaka 120.’’ kwako ili wahifadhiwe hai. 21Utachukua kila aina
4Wanefili walikuwako duniani siku hizo, pia ya chakula kitakacholiwa na ukiweke akiba
na baadaye, hao walizaliwa na binti za watu kama chakula kwa ajili yako na yao.’’
wakati wana wa Mungu walipoingia kwao na 22Noa akafanya kila kitu sawasawa kama
akapata kibali machoni pa BWANA. kwa siku arobaini mchana na usiku, nami
nitafutilia mbali kutoka katika uso wa nchi kila
9Hivi ndivyo vizazi vya Noa. kiumbe hai nilichokiumba.’’
5Noa akafanya yote kama BWANA
Noa alikuwa mtu wa haki, asiye na lawama alivyomwamuru.
miongoni mwa watu wa wakati wake, tena 6Noa alikuwa na miaka 600 gharika ilipokuja
alitembea na Mungu. 10Noa alikuwa na wana juu ya dunia. 7Noa na mkewe na wanawe na
watatu: Shemu, Hamu na Yafethi. wake zao wakaingia katika safina ili waepuke ile
11Wakati huu dunia ilikuwa imejaa uharibifu gharika. 8Jozi ya wanyama wasio najisi na walio
na jeuri machoni pa Mungu. 12Mungu akaona najisi, ndege na viumbe vitambaavyo, 9wa kiume
jinsi dunia ilivyoharibika, kwa maana watu wote
duniani walikuwa wameharibu njia zao. 13Kwa a15 Dhiraa 300 ni sawa na meta 140, dhiraa 50 ni sawa na
hiyo Mungu akamwambia Noa, mita 23 na dhiraa 30 ni sawa na mita 13.5. Dhiraa 1 ni kama
sentimita 45.
5
MWANZO
na wa kike, walikuja kwa Noa wakaingia katika naye ndani ya safina, akatuma upepo ukavuma
safina kama Mungu alivyomwamuru Noa. katika dunia, nayo maji yakaondoka. 2Zile
10Baada ya siku zile saba maji ya gharika yakaja chemchemi zilizo chini sana ya ardhi pamoja na
juu ya dunia. malango ya mafuriko ya mbinguni yakawa
11Katika siku ya kumi na saba ya mwezi wa yamefungwa nayo mvua ikawa imekoma
pili mwaka wa 600 wa kuishi kwake Noa, siku kunyesha kutoka angani. 3Maji yakaendelea
hiyo ndipo chemchemi zote hata zilizo chini sana kupungua taratibu katika nchi. Kunako mwisho
ya ardhi zilibubujika kwa nguvu, na malango ya wa siku ya 150 maji yalikuwa yamepungua,
mafuriko ya mbinguni yakafunguliwa. 12Mvua 4katika siku ya kumi na saba ya mwezi wa saba,
ikanyesha juu ya nchi siku arobaini mchana na safina ikatua katika milima ya Ararati. 5Maji
usiku. yakaendelea kupungua hadi mwezi wa kumi, na
13Siku hiyo Noa na mkewe na wanawe siku ya kwanza ya mwezi wa kumi, vilele vya
Shemu, Hamu na Yafethi pamoja na wake zao milima vikaonekana.
wakaingia katika ile safina. 14Nao walikuwa 6Baada ya siku arobaini Noa akafungua
pamoja na kila mnyama wa mwituni kufuatana dirisha alilokuwa amelifanya katika safina 7na
na aina yake, wanyama wote wafugwao akamtoa kunguru, akawa akiruka kwenda na
kufuatana na aina zao, kila kiumbe kitambaacho kurudi mpaka maji yalipokwisha kukauka juu ya
juu ya ardhi kwa aina yake, kila ndege kufuatana nchi. 8Kisha akamtoa hua ili aone kama maji
na aina yake kila kiumbe chenye mabawa. yameondoka juu ya uso wa ardhi. 9Lakini hua
15Viumbe vyote vyenye pumzi ya uhai ndani hakupata mahali pa kutua kwa kuwa maji
yake vikaja kwa Noa viwili viwili, vikaingia katika yalienea juu ya uso wa dunia yote, kwa hiyo
safina. 16Wanyama walioingia katika safina akarudi kwa Noa ndani ya safina. Noa
walikuwa wa kiume na wa kike, wa kila kiumbe akanyoosha mkono akamchukua yule hua
chenye uhai kama Mungu alivyomwamuru Noa, akamrudisha ndani ya safina. 10Noa akangojea
ndipo BWANA akamfungia ndani. siku saba zaidi kisha akamtoa tena hua kutoka
17Kwa siku arobaini mafuriko yaliendelea katika safina. 11Wakati hua aliporejea kwa Noa
kujaa duniani na maji yalivyozidi kuongezeka, jioni, alikuwa amechukua katika mdomo wake
yaliinua safina juu sana kutoka kwenye uso wa jani bichi la mzeituni, lililochumwa wakati ule ule!
nchi. 18Maji yakajaa na kuongezeka sana juu ya Ndipo Noa akajua ya kuwa maji yameondoka juu
nchi, na safina ikaelea juu ya uso wa maji. 19Maji ya uso wa dunia. 12Akangojea siku saba zaidi na
yakazidi kujaa juu ya nchi, yakaifunika milima akamtuma tena hua, lakini wakati huu hua
yote mirefu chini ya mbingu yote. 20Maji hakurudi tena kwa Noa.
yakaendelea kujaa yakaifunika milima kwa kina 13Katika siku ya kwanza ya mwezi wa
cha zaidi ya dhiraa kumi na tano b . 21Kila kiumbe kwanza ya mwaka 601, wa kuishi kwake Noa,
hai kitambaacho juu ya nchi kikaangamia: maji yalikuwa yamekauka duniani. Kisha Noa
ndege, wanyama wa kufugwa, wanyama pori, akafungua mlango wa safina akaona ya kuwa
viumbe vyote juu ya nchi na wanadamu wote. uso wa ardhi ulikuwa umekauka. 14Katika siku
22Kila kiumbe juu ya nchi kavu chenye pumzi ya ya ishirini na saba ya mwezi wa pili dunia ilikuwa
uhai kikafa. 23Kila kitu chenye uhai juu ya uso imekauka kabisa.
wa nchi kilifutiliwa mbali, watu, wanyama, 15Ndipo Mungu akamwambia Noa, 16‘‘Toka
viumbe vitambaavyo na ndege warukao angani ndani ya safina, wewe na mkeo na wanao na
wakafutiliwa mbali toka duniani. Waliobaki ni wake zao. 17Utoe nje kila aina ya kiumbe hai
Noa peke yake na wale waliokuwa pamoja naye aliye pamoja nawe: ndege, wanyama na viumbe
ndani ya safina. vyote vitambaavyo juu ya ardhi, ili wakazae, na
24Maji yakaifunika dunia kwa siku 150. kuongezeka na kuijaza tena dunia.’’
18Kwa hiyo Noa akatoka nje pamoja na
6
MWANZO
pamoja nanyi: ndege, wanyama wa kufugwa na
Noa Atoa Dhabihu wanyama wote wa porini, wale wote waliotoka
20Kisha Noa akamjengea BWANA katika safina pamoja nanyi, kila kiumbe hai
madhabahu, akachukua baadhi ya wale duniani. 11Ninaweka agano nanyi: kamwe uhai
wanyama wote wasio najisi na ndege wasio hautafutwa tena kwa gharika, kamwe
najisi, akatoa sadaka ya kuteketezwa juu ya haitakuwepo tena gharika ya kuangamiza
madhabahu. 21BWANA akasikia harufu nzuri ya dunia.’’
kupendeza, naye akasema moyoni mwake, 12Mungu akasema, “Hii ni ishara ya agano
“Kamwe sitailaani tena ardhi kwa sababu ya ninalofanya kati yangu na ninyi na kila kiumbe
mwanadamu, hata ingawaje kila mwelekeo wa hai kilicho pamoja nanyi, agano kwa vizazi
moyo wake ni mbaya tangu ujana. Kamwe vyote vijavyo: 13Nimeweka upinde wangu wa
sitaangamiza tena viumbe hai vyote kama mvua mawinguni, nao utakuwa ishara ya agano
nilivyofanya.’’ nifanyalo kati yangu na dunia. 14Wakati wowote
ninapotanda mawingu juu ya dunia na upinde
22“Kwa muda dunia idumupo, wa mvua ukijitokeza mawinguni, 15nitakumbuka
wakati wa kupanda na wa kuvuna, agano langu kati yangu na ninyi na viumbe vyote
wakati wa baridi na wa joto, vilivyo hai vya kila aina. Kamwe maji
wakati wa kiangazi na wa masika, hayatakuwa tena gharika ya kuangamiza uhai
mchana na usiku kamwe havitakoma.’’ wote. 16Wakati wo wote upinde wa mvua
unapotokea mawinguni, nitauona na kukumbuka
Mungu Aweka Agano na Noa agano la milele kati ya Mungu na viumbe vyote
idadi na mkaijaze tena a dunia. 2Wanyama wote ishara ya agano ambalo nimelifanya kati yangu
wa duniani, ndege wote wa angani, kila kiumbe na viumbe vyote vilivyo hai duniani.’’
kitambaacho juu ya ardhi na samaki wote wa
baharini wamekabidhiwa mikononi mwenu, nao Wana wa Noa
watawaogopa na kuwahofu. 3Kila kitu chenye 18Wana wa Noa waliotoka ndani ya safina
uhai kiendacho kitakuwa chakula chenu. Kama ni: Shemu, Hamu na Yafethi. (Hamu ndiye
vile nilivyowapa mimea mbalimbali, sasa aliyekuwa baba wa Kanaani.) 19Hawa ndio
nawapa kila kitu. waliokuwa wana watatu wa Noa, kutokana nao
4“Lakini kamwe msile nyama ambayo bado watu walienea katika dunia.
ina damu ya uhai wake, kwa maana damu ni 20Noa akawa mkulima, akawa mtu wa
uhai. 5Hakika damu ya uhai wenu nitadai. kwanza kupanda mizabibu. 21Alipokunywa huo
Nitadai kutoka kwa kila mnyama. Kutoka kwa mvinyo wake akalewa na akalala uchi kwenye
kila mwanadamu pia nitadai kwa ajili ya uhai wa hema lake. 22Hamu, baba wa Kanaani, akauona
mtu mwenzake. uchi wa baba yake na kuwaeleza ndugu zake
wawili waliokuwa nje. 23Lakini Shemu na Yafethi
6“Yeyote
amwagaye damu ya mwanadamu, wakachukua nguo wakaitanda mabegani mwao
damu yake itamwagwa na mwanadamu, wote wawili, kisha wakaenda kinyumenyume,
kwa kuwa katika mfano wa Mungu, wakaufunika uchi wa baba yao. Nyuso zao
Mungu alimwumba mwanadamu. zilielekea upande mwingine ili wasiuone uchi wa
baba yao.
7Kuhusu ninyi, zaeni mwongezeke kwa wingi, 24Noa alipolevuka kutoka kwenye mvinyo
mzidi katika dunia na kuijaza.’’ wake na kujua lile ambalo mwanae mdogo
8Ndipo Mungu akamwambia Noa na kuliko wote alilokuwa amemtendea, 25akasema,
wanawe pamoja naye: 9“Sasa mimi ninaweka
agano langu nanyi, pamoja na uzao wenu baada “Alaaniwe Kanaani!
yenu, 10pia na kila kiumbe hai kilichokuwa atakuwa mtumwa wa chini sana kuliko
watumwa wote kwa ndugu zake.’’
26Pia akasema,
a1 “Mkaijaze tena dunia” hapa ina maana Mungu anambariki Noa
na wanawe ili waongezeke wakaijaze tena dunia iliyoangamizwa
na gharika. Ona pia Mwa. 1:28
7
MWANZO
“Abarikiwe BWANA Mungu wa na Wakaftori.
Shemu! 15Kanaani alikuwa baba wa:
Kanaani na awe mtumwa wa Shemu. Sidoni mzaliwa wake wa kwanza, Hethi,
27Mungu na apanue mipaka ya Yafethi, 16Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,
Yafethi na aishi katika mahema ya Shemu, 17Wahivi, Waarki, Wasini, 18Waarvadi,
Kanaani na awe mtumwa wake.’’ Wasemari na Wahamathi.
28Baada ya gharika Noa aliishi miaka 350.
29Noa alikuwa na jumla ya miaka 950, ndipo Baadaye koo za Mkanaani zilitawanyika,
akafa. 19na mipaka ya Kanaani ilienea kutoka Sidoni
kuelekea Gerari hadi Gaza, kisha kuelekea
Mataifa Yaliyotokana na Noa Sodoma, Gomora, Adma na Seboimu hadi
10 Hawa ndio wazao wa Noa: Shemu,
Hamu na Yafethi, ambao walizaa wana
kufikia Lasha.
20Hawa ni wana wa Hamu kwa koo zao na
Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Yafethi, kwake kulizaliwa wana pia. Shemu
Tubali, Mesheki na Tirasi. alikuwa baba wa wana wote wa Eberi.
3Wana wa Gomeri walikuwa:
kila moja kwa lugha yake lenyewe.) naye Sela akamzaa Eberi.
25Eberi akazaa wana wawili:
8Kushi alikuwa baba yake Nimrodi, akakua 30Nchi waliyoishi ilienea toka Mesha kuelekea
akawa mtu shujaa mwenye nguvu duniani. Sefari kwenye nchi ya vilima iliyoko mashariki.
9Alikuwa mwindaji hodari mbele za BWANA. 31Hao ndio wana wa Shemu kwa koo zao na
Ndiyo sababu watu husema, “Kama Nimrodi, lugha zao, katika nchi zao na mataifa yao.
hodari wa kuwinda mbele za BWANA.’’ 10Vituo 32Hizi ndizo koo za wana wa Noa, kufuatana
vyake vya kwanza katika ufalme wake vilikuwa na vizazi vyao, katika mataifa yao. Kutokana na
Babeli, Ereki, Akadi na Kalne katika Shinari. hawa mataifa yalienea duniani kote baada ya
11Kutoka katika nchi ile alikwenda Ashuru, gharika.
ambako alijenga Ninawi, Rehoboth-iri, Kala 12na
Reseni, iliyo kati ya Ninawi na Kala, huo ndio mji Mnara wa Babeli
mkubwa.
13Misri
11 Wakati huo dunia yote ilikuwa na lugha
moja na msemo mmoja. 2Watu
alikuwa baba wa Waludi, Wanami, walipoelekea upande wa mashariki, wakafika
Walehabi, Wanaftuhi, 14Wapathrusi, kwenye tambarare katika nchi ya Shinari a nao
Wakasluhi, (ambao Wafilisti walitokana nao) wakaishi huko.
3Wakasemezana wao kwa wao, “Njoni,
a6 “Misri” hapa ina maana “Misraimu” ambaye alikuwa mwana tufyatue matofali na tuyachome vizuri kwa
wa Hamu. Ona pia mstari 13.
a2 “Shinari” ndio Babeli
8
MWANZO
moto.’’ Walitumia matofali badala ya mawe, na akamzaa Tera. 25Baada ya Nahori kumzaa Tera,
lami kwa ajili ya kulinganishia hayo matofali. aliishi miaka 119 na akazaa watoto wengine wa
4Ndipo wakasema, “Njoni, tujijengee mji wenye kiume na wa kike.
mnara ambao utafika hadi mbinguni, ili tujipatie 26Tera alipokuwa na miaka sabini, akamzaa
Kutoka hapo BWANA akawatawanya katika uso mwana wa mwanawe Harani na Sarai mkwewe,
wa dunia yote. mke wa Abramu mwanawe, wakatoka kwa
pamoja katika Uru ya Wakaldayo kwenda nchi
Shemu Hadi Abramu ya Kanaani. Lakini walipofika Harani, wakaishi
10Hivi ndivyo vizazi vya Shemu. huko. 32Tera alikufa huko Harani akiwa na miaka
205.
Miaka miwili baada ya gharika, Shemu
alipokuwa na miaka 100, akamzaa Arfaksadi. Wito wa Abramu
11Baada ya kumzaa Arfaksadi, Shemu aliishi
lakini wewe watakuacha hai. 13Sema wewe ni Yordani kuwa lilikuwa na maji tele, kama bustani
dada yangu, ili nitendewe mema kwa ajili yako ya BWANA, kama nchi ya Misri, kuelekea Soari.
na maisha yangu yatahifadhiwa kwa sababu (Hii ilikuwa kabla BWANA hajaharibu Sodoma
yako.’’ na Gomora.) 11Hivyo Loti akajichagulia bonde
14Abramu alipoingia Misri, Wamisri lote la Yordani, akaelekea upande wa mashariki.
wakamwona Sarai kuwa ni mwanamke mzuri Watu hao wawili wakatengana: 12Abramu
sana wa sura. 15Maafisa wa Farao akaishi katika nchi ya Kanaani, wakati Loti aliishi
walipomwona, wakamsifia kwa Farao, ndipo miongoni mwa miji ya lile bonde na kupiga
Sarai akachukuliwa kwenda kwenye jumba lake mahema yake karibu na Sodoma. 13Basi watu
la kifalme. 16Kwa ajili ya Sarai, Farao wa Sodoma walikuwa waovu, wakifanya sana
akamtendea Abramu mema, akapata kondoo, dhambi dhidi ya BWANA.
ng'ombe, punda, ngamia na watumishi wa kiume 14Baada ya Loti kuondoka BWANA
na wa kike. akamwambia Abramu, “Ukiwa hapo ulipo inua
17Lakini BWANA akamwadhibu Farao na macho yako utazame kaskazini na kusini,
nyumba yake kwa maradhi ya kufisha kwa mashariki na magharibi. 15Nchi yote unayoiona
sababu ya kumchukua Sarai, mke wa Abramu. nitakupa wewe na uzao wako hata milele.
18Ndipo Farao akamwita Abramu, akamwuliza, 16Nitaufanya uzao wako uwe mwingi kama
“Umenifanyia nini? Kwa nini hukuniambia ni mke mavumbi ya nchi, hivyo kama kuna yeyote
wako? 19Kwa nini ulisema, ‘yeye ni dada yangu,’ awezaye kuhesabu mavumbi, basi uzao wako
hata nikamchukua kuwa mke wangu? Sasa basi, utahesabika. 17Ondoka, tembea katika marefu
mke wako huyu hapa. Mchukue uende zako!’’ na mapana ya nchi, kwa maana ninakupa
20Kisha Farao akawapa watu wake amri kuhusu wewe.’’
Abramu, wakamsindikiza, pamoja na mke wake 18Basi Abramu akaondoa mahema yake,
10
MWANZO
bonde la Sidimu, yaani Bahari ya Chumvi. Mungu Aliye Juu Sana, 19akambariki Abramu,
4Walikuwa wametawaliwa na mfalme akisema,
Kedorlaoma kwa miaka kumi na miwili, lakini
mwaka wa kumi na tatu waliasi. “Abarikiwe Abramu na Mungu Aliye Juu
5Mnamo mwaka wa kumi na nne, mfalme Sana,
Kedorlaoma na wafalme waliojiunga naye Muumba wa mbingu na nchi.
walikwenda kupigana na kuwashinda Warefai 20Abarikiwe Mungu Aliye Juu Sana,
katika Ashtarothkanaimu, Wazuzi katika Hamu, ambaye amewaweka adui zako mkononi
Waemi katika Shawe-kiriathaimu 6na Wahori mwako.’’
katika nchi ya kilima cha Seiri, hadi El-Parani
karibu na jangwa. 7Kisha wakarudi wakaenda Ndipo Abramu akampa Melkizedeki sehemu ya
Enmisfati, (yaani, Kadeshi,) wakashinda nchi kumi ya kila kitu.
yote ya Waamaleki, pamoja na Waamori 21Mfalme wa Sodoma akamwambia
waliokuwa wakiishi Hasason Tamari. Abramu, “Nipe hao watu na hizo mali uchukue
8Ndipo mfalme wa Sodoma, mfalme wa wewe mwenyewe.’’
Gomora, mfalme wa Adma, mfalme wa Seboimu 22Lakini Abramu akamwambia mfalme wa
na mfalme wa Bela (yaani Soari) wakatoka Sodoma, “Nimeinua mkono wangu kwa BWANA,
kupanga majeshi yao kwenye Bonde la Sidimu Mungu aliye Juu Sana, Muumba wa mbingu na
9dhidi ya Kedorlaoma, mfalme wa Elamu, Tidali dunia na nimeapa 23kwamba sitapokea kitu
mfalme wa Goimu, Amrafeli mfalme wa Shinari chochote kilicho chako, hata kama ni uzi au
na Arioko mfalme wa Elasari, yaani wafalme gidamu ya kiatu, ili kamwe usije ukasema,
wanne dhidi ya wafalme watano. 10Basi Bonde ‘Nimemtajirisha Abramu.’ 24Sitapokea cho chote
la Sidimu lilikuwa limejaa mashimo ya lami, ila kile tu watu wangu walichokula na sehemu
wafalme wa Sodoma na wa Gomora ambayo ni fungu la watu waliokwenda pamoja
walipokimbia, baadhi ya watu walitumbukia huko nami, ambao ni Aneri, Eshkoli na Mamre. Wao
na wengine wakakimbilia vilimani. 11Wale na wapewe fungu lao.’’
wafalme wanne wakateka mali yote ya Sodoma
na Gomora pamoja na vyakula vyao vyote, kisha Agano la Mungu na Abramu
wakaenda zao. 12Pia walimteka Loti mwana wa
ndugu yake Abramu pamoja na mali zake, kwa 15 Baada ya jambo hili, neno la BWANA
likamjia Abramu katika maono:
kuwa alikuwa akiishi Sodoma.
13Mtu mmoja aliyekuwa ametoroka akaja ‘‘Usiogope, Abramu.
kumpa Abramu Mwebrania taarifa. Sasa Abramu Mimi ni ngao yako na
alikuwa anaishi karibu na mialoni ya Mamre thawabu yako kubwa sana.’’
Mwamori, aliyekuwa ndugu yake Eshkoli na
Aneri ambao wote walikuwa wameungana na 2Lakini Abramu akasema, ‘‘Ee BWANA
Abramu. 14Abramu alipopata habari kwamba Mwenyezi, utanipa nini na mimi sina hata mtoto
jamaa yake amechukuliwa mateka, akawaita na atakayerithi nyumba yangu ni huyu Eliezeri
watu 318 wa nyumbani mwake waliokuwa Mdameski?’’ 3Abramu akasema, ‘‘Hukunipa
wamefunzwa wakawafuatilia hadi Dani. 15Wakati watoto, hivyo mtumishi katika nyumba yangu
wa usiku Abramu aliwagawa watu wake katika ndiye atakuwa mrithi wangu.’’
vikosi ili awashambulie na akawafuatilia, 4Ndipo neno la BWANA lilipomjia: ‘‘Mtu huyu
akiwafukuza hadi Hoba, kaskazini ya Dameski. hatakuwa mrithi wako, bali mwana atakayetoka
16Akarudisha mali zote na akamrudisha Loti katika viuno vyako mwenyewe ndiye
jamaa yake na mali zake, pamoja na wanawake atakayekuwa mrithi wako.’’ 5Akamtoa nje na
na watu wengine. kusema, ‘‘Tazama juu kuelekea mbinguni na
17Abramu aliporudi baada ya kumshinda uhesabu nyota, kama hakika utaweza
mfalme Kedorlaoma na wale wafalme kuzihesabu.’’ Ndipo akamwambia, ‘‘Hivyo ndivyo
waliojiunga naye, mfalme wa Sodoma akatoka uzao wako utakavyokuwa.’’
kwenda kumlaki katika bonde la Shawe, (yaani, 6Abramu akamwamini BWANA, naye kwake
alipoleta mkate na divai. Alikuwa kuhani wa niliyekutoa toka Uru ya Wakaldayo nikupe nchi
11
MWANZO
hii uimiliki.’’ mtumishi wake wa kike wa Kimisri Hagari na
8Lakini Abramu akasema, ‘‘Ee BWANA kumpa mumewe awe mke wake. 4Akakutana
Mwenyezi, nitawezaje kujua kwamba nitapata kimwili na Hagari, naye akapata mimba.
kuimiliki?’’ Hagari alipojua kuwa ana mimba, alianza
9Ndipo BWANA akamwambia, ‘‘Niletee kumdharau Sarai. 5Ndipo Sarai akamwambia
mtamba wa ng’ombe, mbuzi na kondoo mume, Abramu, ‘‘Unawajibika na manyanyaso
kila mmoja wa miaka mitatu, pamoja na hua na ninayoyapata. Nilimweka mtumishi wangu
kinda la njiwa.’’ mikononi mwako, sasa kwa vile anajua kwamba
10Abramu akamletea hivi vyote, akampasua ana mimba, ananidharau mimi. BWANA na
kila mnyama vipande viwili, akavipanga kila aamue kati yako na mimi.’’
kimoja kuelekea mwenzake, lakini hata hivyo 6Abramu akamwambia, ‘‘Mtumishi wako
ndege, hakuwapasua vipande viwili. 11Kisha yuko mikononi mwako. Mtendee lolote unalofikiri
ndege walao nyama wakatua juu ya ni bora zaidi.’’ Ndipo Sarai akamtesa Hagari
mizoga, lakini Abramu akawafukuza. hivyo akamtoroka.
12Wakati jua lilipokuwa linatua, Abramu 7Malaika wa BWANA akamkuta Hagari
akashikwa na usingizi mzito, giza nene na la karibu na chemchemi huko jangwani, ilikuwa
kutisha likaja juu yake. 13Kisha BWANA chemchemi ile iliyokuwa kando ya barabara
akamwambia, ‘‘Ujue hakika kwamba wazao iendayo Shuri. 8Malaika akamwambia, ‘‘Hagari,
wako watakuwa wageni kwenye nchi ambayo si mtumishi wa Sarai, umetokea wapi na
yao wenyewe, nao watakuwa watumwa na unakwenda wapi?’’
watateswa kwa miaka mia nne. 14Lakini Akamjibu, ‘‘Ninamkimbia bibi yangu Sarai.’’
nitaliadhibu taifa lile wanaolitumikia kama 9Ndipo malaika wa BWANA akamwambia,
watumwa, hatimaye watatoka huko na mali ‘‘Rudi kwa bibi yako ukajishushe chini yake.’’
nyingi. 15Wewe, hata hivyo utakwenda kwa baba 10Malaika akaendelea akasema, ‘‘Nitazidisha
zako kwa amani na kuzikwa katika uzee wazao wako kwamba watakuwa wengi mno
mwema. 16Katika kizazi cha nne wazao wako wasiohesabika.’’
watarudi hapa, kwa maana dhambi ya Waamori 11Pia malaika wa BWANA akamwambia:
Misri a hadi mto ule mkubwa, Eufrati, 19yaani nchi mkono wake utakuwa dhidi ya kila mtu
ya Wakeni, Wakenizi, Wakadmoni, 20Wahiti, na mkono wa kila mtu dhidi yake,
Waperizi, Warefai, 21Waamori, Wakanaani, naye ataishi kwa uhasama na ndugu zake
Wagirgashi na Wayebusi.’’ wote.’’
nitaweza kupata watoto kupitia kwake.’’ naye Abramu akamwita huyo mwana Hagari
Abramu akakubaliana na lile Sarai aliyemzalia Ishmaeli. 16Abramu alikuwa na umri
alilosema. 3Hivyo baada ya Abramu kuishi katika wa miaka themanini na sita wakati Hagari
nchi ya Kanaani miaka kumi, Sarai akamchukua alipomzalia Ishmaeli.
a18 ‘‘Mto wa Misri’’ hapa ina maana ‘‘Wadi-el-Arish’’ kwenye a11 “Ishmaeli” maana yake “Mungu husikia.’’
mpaka wa kusini wa Yuda. b14 “Beer-lahai-roi’’ maana yake “Yeye Aliye hai anionaye
mimi.’’
12
MWANZO
mia moja aweza kuzaa mwana? Je, Sara atazaa
Agano la Tohara mtoto katika umri wa miaka tisini?’’ 18Abrahamu
17
Abramu alipokuwa na miaka tisini na akamwambia Mungu, ‘‘Laiti Ishmaeli naye
tisa, BWANA akamtokea angeshiriki baraka yako!’’
akamwambia, “Mimi ndimi Mungu Mwenye 19Ndipo Mungu akasema, ‘‘Ndiyo, lakini
Nguvu, enenda mbele zangu na uishi kwa mkeo Sara atakuzalia wewe mwana, nawe
unyofu. 2Nami nitafanya agano langu kati yangu utamwita jina lake Isaki b . Nitalithibitisha agano
na wewe, nami nitakuzidisha sana sana.” langu naye kama agano la milele kwa ajili yake
3Abramu akaanguka kifudifudi, naye Mungu na wazao wake baada yake. 20Kwa upande wa
akamwambia, 4“kwa upande wangu, hili ndilo Ishmaeli, nimekusikia: hakika nitambariki,
agano langu na wewe: Wewe utakuwa baba wa nitamfanya awe na uzao mwingi na nitaongeza
mataifa mengi. 5Jina lako hutaitwa tena Abramu, sana idadi yake. Atakuwa baba wa watawala
bali jina lako litakuwa Abrahamu a , kwa maana kumi na wawili, nami nitamfanya awe taifa
nimekufanya wewe baba wa mataifa mengi. kubwa. 21Lakini agano langu nitalithibitisha kwa
6Nitakufanya uwe na uzao mwingi sana, kwako Isaki, ambaye Sara atakuzalia mwaka ujao
yatatoka mataifa nao wafalme watatoka kwako. majira kama haya.’’ 22Wakati alipomaliza
7Nitalithibitisha agano langu kama agano la kuzungumza na Abrahamu, Mungu akapanda
milele kati yangu na wewe na wazao wako juu akaondoka kwa Abrahamu.
baada yako na vizazi vijavyo niwe Mungu wako 23Siku ile ile, Abrahamu akamchukua
a5 ‘‘Abrahamu’’ maana yake ‘‘baba wa watu wengi.’’ b19 “Isaki” maana yake “hucheka.’’
13
MWANZO
6Hivyo Abrahamu akaharakisha akaingia kuelekea Sodoma, lakini Abrahamu akabaki
hemani kwa Sara. Akasema, “Chukua vipimo amesimama mbele za BWANA. 23Ndipo
vitatu vya unga laini haraka, ukande na uoke Abrahamu akamsogelea akasema: “Je,
mikate.” utawaangamiza wenye haki na waovu? 24Je,
7Kisha akakimbia kwenda kwenye kundi ikiwa watakuwepo watu wenye haki hamsini
akachagua ndama mzuri, laini na akampa katika mji huo, hivi kweli utauangamiza na wala
mtumishi, ambaye aliharakisha kumtayarisha. hutauacha kwa ajili ya hao watu hamsini wenye
8Kisha akaleta jibini, maziwa na nyama ya yule haki waliomo ndani yake? 25Hilo na liwe mbali
ndama iliyoandaliwa, akaviweka mbele ya nawe, kufanya jambo kama hilo, kuwaua wenye
wageni. Walipokuwa wakila, alisimama karibu haki pamoja na waovu, kuwatendea wenye haki
nao chini ya mti. sawasawa na waovu. Iwe mbali nawe! Je,
9Wakamwuliza, “Yuko wapi Sara mkeo?’’ Mwamuzi wa dunia yote hatafanya lililo sawa?’’
Akasema, “Yuko huko, ndani ya hema.’’ 26BWANA akasema, “Kama nikipata watu
10Kisha BWANA akasema, “Hakika hamsini wenye haki katika mji wa Sodoma,
nitakurudia tena majira kama haya mwakani na nitausamehe huo mji wote kwa ajili yao.’’
Sara mkeo atakuwa ana mwana.’’ 27Kisha Abrahamu akasema tena: “Sasa
Sara alikuwa akiwasikiliza kwenye ingilio la kwa kuwa nimekuwa na ujasiri wa kuzungumza
hema, lililokuwa nyuma yake. 11Abrahamu na na Bwana, ingawa mimi si kitu bali ni mavumbi
Sara walikuwa wazee tena waliosogea miaka, na majivu, 28je, kama hesabu ya wenye haki
naye Sara alikwishakoma katika desturi ya imepungua watano katika hamsini,
wanawake. 12Hivyo Sara akacheka kimoyomoyo utauangamiza huo mji wote kwa ajili ya hao
alipokuwa akiwaza, “Baada ya mimi kuwa watano waliopungua?’’
mkongwe hivi na bwana wangu amezeeka, je, Bwana akamwambia, “Kama nikiwakuta
nitaweza kufurahia jambo hili?’’ huko watu arobaini na watano sitauangamiza.’’
13Ndipo BWANA akamwambia Abrahamu, 29Abrahamu akazungumza naye kwa mara
“Kwa nini Sara amecheka na kusema, ‘Kweli nyingine, “Je, kama huko watapatikana watu
nitazaa mtoto nami sasa ni mzee?’ 14Je, kuna arobaini tu?’’
jambo lo lote gumu lisilowezekana kwa Akamjibu, “Kwa ajili ya hao arobaini
BWANA? Nitakurudia mwakani majira kama sitauangamiza.’’
haya, naye Sara atakuwa na mwana.’’ 30Ndipo akasema, “BWANA na asikasirike,
15Sara akaogopa kwa kuwa alidanganya na lakini niruhusu nizungumze. Je, kama huko
kusema, “Mimi sikucheka.’’ watakuwepo thelathini tu?’’
Lakini Bwana akasema, “Ndiyo, ulicheka!’’ Akajibu, ‘‘Sitapaangamiza ikiwa nitawakuta
huko watu thelathini.’’
Abrahamu Aiombea Sodoma 31Abrahamu akasema, ‘‘Sasa kwa kuwa
16Wakati watu hao waliposimama ili nimekuwa na ujasiri sana kuzungumza na
waondoke, walielekeza nyuso zao Sodoma, Bwana, je, kama wakipatikana huko watu ishirini
Abrahamu akawatoa kitambo kidogo ili tu?’’
awasindikize. 17Ndipo BWANA akasema, “Je, Bwana akajibu, ‘‘Kwa ajili ya hao ishirini,
nimfiche Abrahamu jambo ninalokusudia sitauangamiza.’’
kufanya? 18Hakika Abrahamu atakuwa taifa 32Abrahamu akasema, ‘‘Bwana na
kubwa na lenye nguvu, kupitia kwake mataifa asikasirike, lakini niruhusu nizungumze tena
yote ya dunia yatabarikiwa. 19Kwa maana mara moja tu. Itakuwaje kama watapatikana
nimemchagua yeye, ili kwamba aongoze watoto huko watu kumi tu?’’
wake na jamaa yake kumtii BWANA, wawe Bwana akajibu, ‘‘Kwa ajili ya hao kumi,
waadilifu na kutenda haki, ili BWANA atimize sitauangamiza.’’
ahadi yake kwa Abrahamu.’’ 33BWANA alipomaliza kuzungumza na
20Basi BWANA akasema, “Kilio dhidi ya Abrahamu, akaondoka, naye Abrahamu akarudi
Sodoma na Gomora ni kikubwa sana na dhambi nyumbani kwake.
yao inasikitisha sana, 21kwamba nitashuka nione
kama waliyoyatenda ni mabaya kiasi cha kilio Kuangamizwa kwa Sodoma na Gomora
kilichonifikia. Kama sivyo, nitajua.”
22Basi wale watu wakageuka wakaenda 19 Malaika wale wawili wakafika Sodoma
wakati wa jioni, naye Loti alikuwa
14
MWANZO
ameketi kwenye lango la mji. Wakati haraka! Mchukue mke wako na binti zako wawili
alipowaona, aliondoka kwenda kuwalaki na walioko hapa, vinginevyo utaangamizwa wakati
kuwasujudia hadi chini. 2Akasema, ‘‘Bwana mji utakapoadhibiwa.’’
zangu, tafadhali karibuni kwenye nyumba ya 16Alipositasita, wale watu wakamshika
mtumishi wenu. Mnaweza kunawa miguu na mkono wake na mikono ya mke wake na binti
kulala hapa kisha asubuhi na mapema zake wawili na kuwaongoza salama nje ya mji,
mwendelee na safari yenu.’’ kwa kuwa BWANA alikuwa na huruma kwao.
Wakamjibu, ‘‘La hasha tutalala hapa nje 17Mara walipokwisha kuwatoa nje, mmoja wao
wote kutoka kila sehemu ya mji wa Sodoma, zangu, tafadhalini! 19Mtumishi wenu amepata
vijana kwa wazee, waliizunguka nyumba. kibali mbele ya macho yenu, nanyi mmeonyesha
5Wakamwita Loti wakisema, ‘‘Wako wapi wale wema mkubwa kwangu kwa kuokoa maisha
watu ambao walikuja kwako jioni hii? Watoe nje yangu. Lakini siwezi kukimbilia milimani, janga
kwetu ili tuweze kuwalawiti.’’ hili litanikumba, nami nitakufa. 20 Tazama, hapa
6Loti akatoka nje kuonana nao, akaufunga kuna mji karibu wa kukimbilia, nao ni mdogo.
mlango nyuma yake, 7akasema, ‘‘La hasha, Niruhusuni nikimbilie humo, ni mdogo sana, ama
rafiki zangu. Msifanye jambo hili ovu. 8Tazama, sivyo? Ndipo maisha yangu yatasalimika.’’
ninao binti wawili ambao kamwe hawajakutana 21Akamwambia, ‘‘Vema sana, nitalikubali hili
kimwili na mwanaume. Acha niwatoe nje kwenu, ombi pia, sitauangamiza mji ulioutaja. 22Lakini
nanyi mnaweza kuwafanyia lolote mnalotaka. ukimbilie huko haraka, kwa sababu sitaweza
Lakini msiwafanyie cho chote watu hawa, kwa kufanya lolote mpaka ufike huko.’’ (Ndiyo maana
sababu wako kwenye ulinzi chini ya dari langu.’’ mji huo ukaitwa Soari a .)
9Wakamjibu, “Tuondokee mbali.’’ 23Wakati Loti alipofika Soari, jua lilikuwa
Wakaendelea kusema, “Huyu mtu alikuja hapa limechomoza katika nchi. 24Ndipo BWANA
kama mgeni na sasa anataka kuwa mwamuzi akanyesha moto wa kiberiti juu ya Sodoma na
wetu! Tutakutenda vibaya kuliko wao.’’ Gomora, uliotoka mbinguni kwa BWANA.
Waliendelea kumlazimisha Loti na kusonga 25Hivyo akaiteketeza miji ile na eneo lote la
mlangoni mwa ile nyumba, vijana kwa wazee, Abrahamu akaamka na kurudi mahali pale
hivyo hawakuweza kuupata mlango. aliposimama mbele za BWANA. 28Akatazama
12Wale watu wawili wakamwambia Loti, upande wa Sodoma na Gomora, kuelekea nchi
“Una mtu mwingine yeyote hapa, wakwe zako, yote ya tambarare, akaona moshi mzito
wana au binti, ama yeyote mwingine aliye wako ukipanda kutoka kwenye nchi, kama moshi
katika mji huu? Waondoe hapa, 13kwa sababu utokao kwenye tanuru.
tunapaangamiza mahali hapa. Kilio kwa 29Kwa hiyo Mungu alipoiangamiza miji ya
BWANA dhidi ya watu wa hapa, ni kikubwa kiasi tambarare alimkumbuka Abrahamu, akamtoa
kwamba ametutuma kupaangamiza.’’ Loti kutoka kwenye lile janga lililoharibu miji ile
14Kwa hiyo Loti alitoka ili kuzungumza na ambamo Loti alikuwa ameishi.
wakwe zake, waliokuwa wamewaposa binti
zake. Akawaambia, “Fanyeni haraka kuondoka Loti na Binti Zake
mahali hapa, kwa kuwa BWANA ni karibu 30Loti na binti zake wawili waliondoka Soari
kuangamiza mji huu!’’ Lakini wakwe zake na kufanya makao yao kule milimani, kwa
walifikiri kwamba alikuwa akitania. maana aliogopa kukaa Soari. Yeye na binti zake
15Kunako mapambazuko, malaika
wakawahimiza Loti, wakamwambia, “Fanya a22 ‘‘Soari’’ maana yake ‘‘Samehe.’’
15
MWANZO
wawili waliishi katika pango. 31Siku moja binti ni nabii, naye atakuombea nawe utaishi. Lakini
mkubwa akamwambia yule mdogo, “Baba yetu kama hukumrudisha, ujue kwa hakika kuwa
ni mzee na hakuna mwanaume mahali hapa wewe na watu wako wote mtakufa.’’
atakayekutana na sisi kimwili, kama ilivyo desturi 8Kesho yake asubuhi na mapema Abimeleki
ya mahali pote duniani. 32Tumnyweshe baba akawaita maafisa wake wote, baada ya
yetu mvinyo kisha tukutane naye kimwili ili kuwaambia yote yaliyotokea, waliogopa sana.
tuhifadhi uzao wetu kupitia baba yetu.” 9Kisha Abimeleki akamwita Abrahamu na
33Usiku ule walimnywesha baba yao mvinyo, kumwambia, “Wewe umetufanyia nini?
alipolewa binti yake mkubwa akaingia na Nimekukosea nini hata ukaleta hatia kubwa
kukutana naye kimwili. Baba yao hakujua namna hii juu yangu na ufalme wangu?
wakati binti yake alipoingia kulala naye wala Umenifanyia mambo ambayo hayakupasa
alipotoka. kufanyika.’’ 10Abimeleki akamwuliza Abrahamu,
34Siku iliyofuata binti mkubwa akamwambia “Ulikuwa na kusudi gani kufanya hivi?’’
yule mdogo, “Usiku uliopita mimi nilikutana 11Abrahamu akajibu, “Niliwaza kwamba,
kimwili na baba yangu. Tumnyweshe divai tena, ‘Hakika hakuna hofu ya Mungu mahali hapa,
usiku huu nawe ukutane naye kimwili ili tuweze nao wataniua kwa sababu ya mke wangu.’
kuhifadhi uzao wetu kupitia baba yetu.’’ 35Kwa 12Pamoja na hayo, ni kweli kwamba yeye ni
hiyo wakamnywesha baba yao mvinyo tena dada yangu, binti wa baba yangu ingawa si
usiku ule, naye binti yake mdogo akaingia mtoto wa mama yangu basi akawa mke wangu.
akakutana naye kimwili. Kwa mara nyingine 13Wakati BWANA aliponifanya nisafiri mbali na
baba yao hakujua binti yake alipolala naye wala nyumbani mwa baba yangu, nilimwambia, ‘Hivi
alipoondoka. ndivyo utakavyoonyesha pendo lako kwangu:
36Hivyo binti wawili wa Loti wakapata mimba Kila mahali tutakapokwenda, kuhusu mimi sema,
kwa baba yao. 37Binti mkubwa akamzaa mwana, “Huyu ni kaka yangu.’’
akamwita jina lake Moabu, ndio baba wa 14Kisha Abimeleki akatwaa kondoo na
Wamoabu hata leo. 38Binti mdogo naye pia ng'ombe na watumwa wa kiume na wa kike
akamzaa mwana, naye akamwita Benami ndiye akampa Abrahamu, akamrudisha Sara kwa
baba wa Waamoni hata leo. mumewe. 15Abimeleki akasema, ‘‘Nchi yangu iko
mbele yako, ishi popote unapotaka.’’
Abrahamu na Abimeleki 16Akamwambia Sara, ‘‘Ninampa kaka yako
Basi Abrahamu akaendelea mbele shekeli elfu moja za fedha. Hii ni kufidia kosa
20 kutoka huko hadi nchi ya Negebu na lililofanyika dhidi yako mbele ya wote walio
akaishi kati ya Kadeshi na Shuri. Kwa muda pamoja nawe, haki yako imethibitishwa kabisa.’’
mfupi alikaa Gerari kama mgeni, 2huko 17Kisha Abrahamu akamwomba Mungu,
Abrahamu akasema kuhusu Sara mkewe, naye Mungu akamponya Abimeleki, mke wake
“Huyu ni dada yangu.’’ Kisha Abimeleki mfalme na watumwa wake wa kike kwamba waweze
wa Gerari akatuma Sara aletwe naye kupata watoto tena, 18kwa kuwa BWANA
akamchukua. alikuwa ameyafunga matumbo ya wote katika
3Lakini Mungu akamjia Abimeleki katika nyumba ya Abimeleki kwa sababu ya mke wa
ndoto wakati wa usiku na kumwambia, “Wewe ni Abrahamu.
kama mfu kwa sababu ya huyu mwanamke
uliyemchukua, yeye ni mke wa mtu.’’ Kuzaliwa kwa Isaki
21
4Wakati huo Abimeleki alikuwa bado Wakati huu BWANA akamrehemu Sara
hajamsogelea, kwa hiyo akasema, “Je, Bwana kama alivyokuwa amesema, naye
utaliharibu taifa lisilo na hatia? 5Hakusema BWANA akamtendea Sara kile alichokuwa
kwangu, ‘Huyu ni dada yangu,’ naye Sara pia ameahidi. 2Sara akapata mimba, akamzalia
hakusema, ‘Huyu ni kaka yangu?’ Nimefanya Abrahamu mwana katika uzee wake, majira yale
haya kwa dhamiri njema na mikono safi.’’ ya Mungu aliomwahidi. 3Abrahamu akamwita
6Kisha Mungu akamwambia katika ndoto, Isaki a yule mwana ambaye Sara alimzalia. 4Isaki
“Ndiyo, najua ya kwamba umefanya haya kwa alipokuwa na umri wa siku nane, Abrahamu
dhamiri safi, kwa hiyo nimekuzuia usinitende akamtahiri, kama Mungu alivyomwamuru.
dhambi. Ndiyo sababu sikukuacha umguse.
7Sasa umrudishe huyo mke wa mtu, kwa maana a3 “Isaki’’ maana yake “hucheka.’’
16
MWANZO
5Abrahamu alikuwa na miaka 100 wakati Isaki Mapatano Katika Beersheba
mwanawe alipozaliwa. 22Wakati huo Abimeleki na Fikoli mkuu wa
6Sara akasema, “Mungu ameniletea majeshi yake wakamwambia Abrahamu, “Mungu
kicheko, kila mmoja atakayesikia jambo hili yu pamoja nawe katika kila kitu unachofanya.
atacheka pamoja nami.’’ 7Akaongeza kusema, 23Sasa niapie hapa mbele za Mungu kwamba
“Nani angemwambia Abrahamu kuwa Sara hutanitenda hila mimi, watoto wangu wala
angenyonyesha watoto? Tena nimemzalia wazao wangu. Nitendee mimi na nchi ambayo
mwana katika uzee wake.’’ unaishi kama mgeni wema ule ule ambao
nimekutendea.’’
Hagari na Ishimaeli Wafukuzwa 24Abrahamu akasema, “Ninaapa hivyo.’’
8Mtoto akakua akaachishwa kunyonya na 25Ndipo Abrahamu akalalamika kwa
siku hiyo Abrahamu alifanya sherehe kubwa. Abimeleki kuhusu kisima cha maji ambacho
9Lakini Sara aliona kuwa mwana ambaye Hagari watumishi wa Abimeleki walikuwa
Mmisri aliyemzalia Abrahamu, alikuwa wamekinyang'anya. Lakini Abimeleki akasema,
26
Abrahamu akachukua chakula na kiriba cha maji kwa sababu watu wawili waliapiana hapo.
akampa Hagari. Akaviweka mabegani mwa 32Baada ya mapatano kufanyika huko
pale. 18Mwinue kijana na umshike mkono, kwa mwanao, mwana wako wa pekee, Isaki
maana nitamfanya kuwa taifa kubwa.’’ umpendaye, uende katika nchi ya Moria. Mtoe
19Ndipo Mungu akamfumbua Hagari macho huko kama sadaka ya kuteketezwa juu ya mlima
yake naye akaona kisima cha maji. Hivyo mmojwapo nitakaokuambia.’’
akaenda akajaza kiriba maji na kumpa kijana 3Abrahamu akaamka asubuhi na mapema
anywe. 20Mungu akawa pamoja na huyu kijana siku iliyofuata akamtayarisha punda wake.
alipokuwa akiendelea kukua. Aliishi jangwani na Akawachukua watumishi wake wawili pamoja na
akawa mpiga upinde. 21Alipokuwa akiishi katika Isaki mwanawe. Baada ya kuchanja kuni za
Jangwa la Parani, mama yake akampatia mke kutosha kwa ajili ya hiyo sadaka ya
kutoka Misri. kuteketezwa, akaondoka kuelekea mahali
17
MWANZO
Mungu alipokuwa amemwambia. 4Siku
ya tatu pwani. Wazao wako watamiliki miji ya adui zao,
Abrahamu akainua macho, akapaona mahali 18kupitia uzao wako mataifa yote duniani
pale kwa mbali. 5Akawaambia watumishi wake, yatabarikiwa, kwa sababu umenitii.’’
“Kaeni hapa pamoja na punda, wakati mimi na 19Ndipo Abrahamu akawarudia watumishi
kijana tunakwenda kule. Tutakwenda kuabudu wake, wakaondoka wakaenda wote pamoja
na kisha tutawarudia.’’ mpaka Beer-sheba. Abrahamu akaishi huko
6Abrahamu akachukua kuni kwa ajili ya Beer-sheba.
sadaka ya kuteketezwa, akamtwika Isaki
mwanawe, yeye mwenyewe akachukua moto na Wana wa Nahori
kisu. Walipokuwa wakienda pamoja, 7Isaki 20Baada ya muda, Abrahamu akaambiwa,
akanena akamwambia baba yake Abrahamu, “Milka pia amepata watoto, amemzalia ndugu
“Baba yangu!’’ yako Nahori wana: 21Usi mzaliwa wake wa
Abrahamu akaitika, “Mimi hapa, kwanza, Buzi nduguye, Kemueli (baba wa
mwanangu.’’ Aramu), 22Kesedi, Hazo, Pildashi, Yidlafu na
Isaki akasema, “Moto na kuni zipo, Je, yuko Bethueli.’’ 23Bethueli akamzaa Rebeka. Milka
wapi mwanakondoo kwa ajili ya sadaka ya alimzalia Nahori nduguye Abrahamu hao wana
kuteketezwa?’’ wanane. 24Suria wake Nahori aliyeitwa Reuma
8Abrahamu akajibu, “Mwanangu, Mungu pia alikuwa na wana: Teba, Gahamu, Tahashi
mwenyewe atajipatia mwana kondoo kwa ajili na Maaka.
ya hiyo sadaka.’’ Nao hawa wawili wakaendelea
mbele pamoja . Kifo cha Sara
9Walipofika mahali pale
ameambiwa na Mungu, Abrahamu akajenga
alipokuwa
23 Sara aliishi akawa na umri wa miaka
mia na ishirini na saba. 2Sara akafa
madhabahu hapo, akaziweka kuni juu yake. huko Kiriathi-Arba (yaani Hebroni) katika nchi ya
Akamfunga Isaki mwanawe na akamlaza Kanaani, Abrahamu akamwombolezea na
kwenye madhabahu, juu ya zile kuni. 10Kisha kumlilia Sara.
akanyoosha mkono wake na akachukua kisu ili 3Ndipo Abrahamu akainuka kutoka pale
wala usimtendee jambo lolote. Sasa ninajua tusikilize. Wewe ni mtawala mkuu sana
kwamba unamcha Mungu, kwa sababu miongoni mwetu. Zika maiti wako katika kaburi
hukunizuilia mwanao, mwana wako wa pekee.’’ unalolipenda kati ya makaburi yetu. Hakuna mtu
13Abrahamu akainua macho yake, akaona wa kwetu atakayekuzuia kaburi lake ili kuzika
kondoo mume amenaswa pembe zake nyuma maiti wako.’’
yake katika kichaka. Akaenda akamchukua 7Abrahamu akainuka na akasujudu mbele
huyo kondoo mume, akamtoa awe sadaka ya ya wenyeji wa nchi, yaani Wahiti. 8Akawaambia,
kuteketezwa badala ya mwanawe. 14Abrahamu ‘‘Kama mnaniruhusu kumzika maiti wangu, basi
akapaita mahali pale Yehova-yire a , yaani nisikilizeni mkamsihi Efroni mwana wa Sohari
BWANA atatupatia. Mpaka siku ya leo kwa niaba yangu 9ili aniuzie pango la Makpela,
inasemekana, “Katika mlima wa BWANA lililo mali yake, nalo liko mwisho wa shamba
itapatikana.’’ lake. Mwambieni aniuzie kwa bei kamili
15Basi malaika wa BWANA akamwita atakayosema ili liwe mahali pangu pa kuzikia
Abrahamu kutoka mbinguni mara ya pili, miongoni mwenu.’’
16akasema, “Ninaapa kwa nafsi yangu, asema 10Efroni Mhiti alikuwa ameketi miongoni
BWANA, kwamba kwa sababu umefanya hili na mwa watu wake, akamjibu Abrahamu mbele ya
hukunizuilia mwanao, mwana wako wa pekee, Wahiti wote waliokuwepo katika lango la mji.
17hakika nitakubariki na nitauzidisha uzao wako 11‘‘La hasha, bwana wangu, nisikilize, nakupa
kama nyota za angani na kama mchanga ulioko shamba, pia nakupa pango lililomo ndani yake.
Nakupa mbele ya watu wangu. Uzike maiti
a14 ‘‘Yehova-yire’’ maana yake Bwana atatupatia. wako.’’
18
MWANZO
12Abrahamu akasujudu tena, mbele ya atatuma malaika wake akutangulie ili umpatie
wenyeji wa nchi, 13akamwambia Efroni wale mwanangu mke kutoka huko. 8Kama huyo
watu wakiwa wanasikia, ‘‘Tafadhali nisikilize. mwanamke asipokubali kufuatana nawe, basi
Nitakulipa fedha za hilo shamba. Kubali utafunguliwa kutoka kiapo nilichokuapisha. Ila
kuzipokea ili niweze kumzika maiti wangu.” usimrudishe mwanangu huko.’’ 9Basi yule
14Efroni akamjibu Abrahamu, 15“Nisikilize, mtumishi akaweka mkono wake chini ya paja la
bwana wangu, thamani ya ardhi hiyo ni shekeli bwana wake Abraham akamwapia kuhusu
400 za fedha a , lakini hiyo ni nini kati yako na shauri hili.
mimi? Mzike maiti wako.’’ 10Ndipo huyo mtumishi akachukua ngamia
16Abrahamu akakubali masharti ya Efroni, kumi miongoni mwa ngamia za bwana wake
akampimia ile fedha aliyotaja masikioni mwa akaondoka, akachukua aina zote za vitu vizuri
Wahiti: Shekeli 400 za fedha kulingana na kutoka kwa bwana wake. Akaelekea Aram
viwango vya uzito vilivyokuwa vikitumika wakati Naharaimu a na kushika njia kwenda mji wa
huo na wafanya biashara. Nahori. 11Akawapigisha ngamia magoti karibu
17Hivyo shamba la Efroni huko Makpela na kisima cha maji nje ya mji, ilikuwa inaelekea
karibu na Mamre, yaani shamba pamoja na jioni, wakati ambapo wanawake wanakuja
pango lililokuwamo, nayo miti yote iliyokuwemo kuteka maji.
ndani ya mipaka ya shamba hilo, vilikabidhiwa, 12Kisha akaomba, “Ee BWANA, Mungu wa
18kwa Abrahamu kuwa mali yake mbele ya bwana wangu Abrahamu, nipatie ushindi leo,
Wahiti wote waliokuwa wamekuja kwenye lango uonyeshe huruma kwa bwana wangu
la mji. 19Baada ya hayo Abrahamu akamzika Abrahamu. 13Tazama, nimesimama karibu na
Sara mkewe kwenye pango ndani ya shamba la kisima hiki cha maji, nao binti za watu wa mji
Makpela karibu na Mamre (huko Hebroni) katika huu wanakuja kuteka maji. 14Basi na iwe hivi,
nchi ya Kanaani. 20Hivyo Wahiti wakamkabidhi nitakapomwambia binti mmojawapo, ‘Tafadhali
Abrahamu shamba pamoja na pango lililokuwa tua mtungi wako nipate kunywa maji,’ naye
humo kuwa mahali pa kuzikia. akisema, ‘kunywa, nitawanywesha na ngamia
wako pia.’ Basi na awe ndiye uliyemchagua kwa
Isaki na Rebeka ajili ya mtumishi wako Isaki. Kwa hili nitajua
amembariki katika kila njia. 2Akamwambia akatokea akiwa na mtungi begani mwake.
mtumishi wake mkuu wa vitu vyote katika Alikuwa binti wa Bethueli. Bethueli alikuwa
nyumba yake, yule aliyekuwa msimamizi wa vitu mwana wa Milka aliyekuwa mke wa Nahori
vyote alivyokuwa navyo, “Weka mkono wako ndugu wa Abrahamu. 16Huyu msichana alikuwa
chini ya paja langu, 3Ninataka uape kwa mzuri sana wa sura, bikira, ambaye hakuna mtu
BWANA, Mungu wa mbingu na Mungu wa nchi, aliyekuwa amekutana naye kimwili. Aliteremka
kwamba hutamtwalia mwanangu mke kutoka kisimani, akajaza mtungi wake akapanda juu.
katika binti za Wakanaani, ambao ninaishi 17Ndipo yule mtumishi akaharakisha
miongoni mwao, 4bali utakwenda katika nchi kukutana naye akamwambia, “Tafadhali nipe
yangu na jamaa zangu umpatie Isaki mwanangu maji kidogo katika mtungi wako.’’
mke.’’ 18Yule msichana akasema, “Kunywa, bwana
5Yule mtumishi akamwuliza, “Je, kama huyo wangu.’’ Akashusha kwa haraka mtungi mkononi
mwanamke atakataa kuja nami katika nchi hii? mwake na akampa, akanywa.
Je, nimpeleke mwanao katika hiyo nchi 19Baada ya kumpa yule mtumishi yale maji,
19
MWANZO
mtumishi akamtazama kwa makini aone kama uzee wake, naye amempa kila kitu alichokuwa
BWANA ameifanikisha safari yake, au la. nacho. 37Naye bwana wangu ameniapisha na
22Ikawa ngamia walipokwisha kunywa wote, akasema, ‘Kamwe usimtwalie mwanangu mke
yule mtumishi akampa huyo msichana pete ya katika binti za Wakanaani, ambao ninaishi katika
puani ya dhahabu yenye uzito wa beka moja b nchi yao, 38ila uende mpaka kwa jamaa ya baba
na bangili mbili za dhahabu zenye uzito wa yangu na ukoo wangu mwenyewe, ukamtwalie
shekeli kumi c . 23Kisha akamwuliza, “Wewe ni mwanangu mke huko.’
binti wa nani? Tafadhali uniambie, je, kuna 39‘‘Kisha nikamwuliza bwana wangu, ‘Je,
nafasi katika nyumba ya baba yako kama huyo mwanamke hatakubali kurudi nami?’
tutakapoweza kulala?’’ 40‘‘Akanijibu, ‘BWANA ambaye nimetembea
24Yule msichana akamjibu, “Mimi ni binti wa mbele zake, atatuma malaika wake pamoja
Bethueli, mwana wa Milka aliyemzalia Nahori.’’ nawe, na kuifanikisha safari yako, ili uweze
25Akaendelea kusema, “Kwetu kuna majani kupata mke kwa ajili ya mwanangu katika ukoo
mengi na malisho, tena kuna nafasi kwa ajili wangu na kutoka katika jamaa ya baba yangu.
yenu kulala.’’ 41Kisha, utakapokwenda kwenye ukoo wangu,
26Yule mtumishi akasujudu na kumwabudu utakuwa umefunguliwa kutoka katika kiapo
BWANA, 27akisema, “Atukuzwe BWANA, Mungu changu hata kama wakikataa kukupa huyo binti,
wa bwana wangu Abrahamu, ambaye utakuwa umefunguliwa kutoka kiapo changu.’
hakuondoa wema na uaminifu wake kwa bwana 42‘‘Nilipokuja kisimani leo, nilisema, ‘Ee
wangu. Mimi nami, BWANA ameniongoza BWANA, Mungu wa bwana wangu Abrahamu,
safarini akanifikisha nyumbani kwa jamaa za ikikupendeza, naomba uifanikishe safari
bwana wangu.’’ niliyoijia. 43Tazama, ninasimama kando ya
28Yule msichana akakimbia akawaeleza kisima hiki, kama mwanamwali akija kuteka maji
watu wa nyumbani mwa mama yake kuhusu nami nikimwambia, ‘Tafadhali niruhusu ninywe
mambo haya. 29Rebeka alikuwa na kaka maji kidogo kutoka kwenye mtungi wako,’’
aliyeitwa Labani, huyo akaharakisha kukutana 44naye kama akiniambia, ‘Kunywa, nami nitateka
na yule mtumishi kule kisimani. 30Mara alipoiona maji kwa ajili ya ngamia wako pia,’’ basi huyo
ile pete puani, na bangili mikononi mwa dada awe ndiye mke ambaye BWANA amemchagulia
yake na kusikia yale maneno Rebeka mwana wa bwana wangu.’
aliyoambiwa na huyo mtumishi, alimwendea 45‘‘Kabla sijamaliza kuomba moyoni
huyo mtumishi, akamkuta amesimama karibu na mwangu, Rebeka akatokea, amebeba mtungi
ngamia wake pale karibu na kisima. begani mwake. Akashuka kisimani akateka
31Akamwambia, “Karibu nyumbani wewe maji, nami nikamwambia, ‘Tafadhali unipe maji
uliyebarikiwa na BWANA, kwa nini unasimama ninywe.’
huko nje? Mimi nimekuandalia nyumba na 46‘‘Akafanya haraka kushusha mtungi wake
kwa ajili yake na watu wake ili kunawa miguu. Akasema, ‘Mimi ni binti wa Bethueli mwana
33Ndipo chakula kikaandaliwa kwa ajili yake, wa Nahori, Milka aliyemzalia.’
lakini akasema, “Sitakula mpaka niwe ‘‘Ndipo nilipotia pete puani mwake na bangili
nimewaambia yale niliyo nayo ya kusema.” mikononi mwake, 48nikasujudu na nikamwabudu
Labani akasema, ‘‘Basi tuambie.’’ BWANA. Nikamtukuza BWANA, Mungu wa
34Hivyo akasema, ‘‘Mimi ni mtumishi wa bwana wangu Abrahamu, aliyeniongoza katika
Abrahamu. 35BWANA amembariki sana bwana njia sahihi ili nimtwalie mwana na bwana wangu
wangu, amekuwa tajiri. Amempa kondoo na mke katika jamaa zake. 49‘‘Ikiwa mtaonyesha
ng'ombe, fedha na dhahabu, watumishi wa wema na uaminifu kwa bwana wangu,
kiume na wa kike, ngamia na punda. 36Sara mniambie, la sivyo, mniambie, ili niweze kujua
mkewe bwana wangu amemzalia mwana katika njia ya kugeukia.’’
50Labani na Bethueli wakajibu, ‘‘Jambo hili
b22 “Beka moja ya dhahabu ni sawa na gramu 5.5. limetoka kwa BWANA, hatuwezi kukuambia
c22 “Shekeli kumi za dhahabu ni sawa na gramu 110. jambo lolote baya au jema. 51Rebeka
20
MWANZO
yuko hapa, mchukue na uende, awe mke wa akamwingiza Rebeka katika hema la Sara
mwana wa bwana wako, sawasawa na BWANA mama yake, Isaki akamchukua Rebeka, hivyo
alivyoongoza.’’ akawa mke wake, Isaki akampenda, akafarijika
52Ikawa huyo mtumishi wa Abrahamu baada ya kifo cha mama yake.
aliposikia waliyosema, alisujudu mpaka nchi
mbele ya BWANA. 53Ndipo huyo mtumishi Kifo cha Abrahamu
akatoa vitu vilivyotengenezwa kwa dhahabu na
kwa fedha pamoja na mavazi, akampa Rebeka, 25 Abrahamu alioa mke mwingine,
ambaye jina lake aliitwa Ketura. 2Huyu
pia akawapa zawadi za thamani kubwa nduguye alimzalia Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani,
na mamaye. 54Kisha yeye na wale watu Ishbaki na Shua. 3Yokshani alikuwa baba wa
waliokuwa pamoja naye wakala, wakanywa na Sheba na Dedani, wazao wa Dedani walikuwa
kulala pale pale. Waashuri, Waletushi na Waleumi. 4Wana wa
Walipoamka asubuhi, yule mtumishi, Midiani walikuwa Efa, Eferi,Hanoki, Abida na
akasema, ‘‘Nipeni ruhusa nirudi kwa bwana Eldaa. Hawa wote walikuwa uzao wa Ketura.
wangu.’’ 5Abrahamu akamwachia Isaki kila kitu
55Lakini ndugu yake Rebeka pamoja na alichokuwa nacho. 6Lakini alipokuwa bado hai,
mama yake wakajibu, ‘‘Acha binti akae kwetu akawapa watoto wa masuria wake zawadi kisha
siku kumi au zaidi, ndipo mwondoke.’’ akawaondoa waende kuishi pande za mashariki
56Lakini yule mtumishi akawaambia, mbali na mwanawe Isaki.
‘‘Msinicheleweshe, kwa kuwa BWANA 7Kwa jumla, Abrahamu aliishi miaka mia
amefanikisha safari yangu, nipeni ruhusa nirudi moja sabini na mitano. 8Ndipo Abrahamu
kwa bwana wangu.’’ akapumua pumzi ya mwisho na akafa mwenye
57Ndipo wakasema, ‘‘Acha tumwite huyo umri mzuri, akiwa mzee ameshiba siku,
binti tumwulize tusikie atakavyosema.’’ 58Kwa akakusanywa pamoja na watu wake. 9Watoto
hiyo wakamwita Rebeka na kumwuliza, ‘‘Je, wake Isaki na Ishmaeli wakamzika katika pango
utakwenda na mtu huyu?’’ la Makpela karibu na Mamre, katika shamba
Akasema, ‘‘Nitakwenda.’’ lililokuwa la Efroni mwana wa Sohari Mhiti,
59Hivyo wakamwaga ndugu yao Rebeka 10Shamba ambalo Abrahamu alilinunua kwa
aondoke, pamoja na mjakazi wake, mtumishi wa Wahiti. Hapo ndipo Abrahamu alipozikwa
Abrahamu na watu wake. 60Wakambariki pamoja na mkewe Sara. 11Baada ya kifo cha
Rebeka wakamwambia, Abrahamu, Mungu akambariki mwanawe Isaki,
‘‘Ndugu yetu, uwe wewe kumi elfu, ambaye baadaye aliishi karibu na Beer-Lahoi-
mara elfu nyingi, roi.
nao wazao wako wamiliki malango ya adui
zao.’’ Wana wa Ishmaeli
61Rebeka na vijakazi wake wakajiandaa, 12Hivi ndivyo vizazi vya Ishmaeli mtoto wa
wakapanda ngamia zao wakafuatana na yule Abrahamu, ambaye mjakazi wake Sara, Hagari
mtu. Hivyo yule mtumishi akamchukua Rebeka Mmisri, alimzalia Abrahamu.
akaondoka. 13Haya ndiyo majina ya wana wa Ishmaeli,
62Basi Isaki alikuwa ametoka Beer-Lahai-roi, yaliyoorodheshwa kulingana na jinsi
kwa kuwa alikuwa anaishi nchi ya Negebu. walivyozaliwa: Mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli
63Isaki akatoka kwenda shambani kutafakari ni Nebayothi, akafuatia Kedari, Adbeeli
wakati wa jioni, alipoinua macho yake, akaona Mibsamu, 14Mishma, Duma, Masa, 15Hadadi,
ngamia wanakuja. 64Rebeka pia akainua macho Tema, Yeturi, Nafishi na Kedema. 16Hawa
akamwona Isaki. Akashuka kutoka kwenye walikuwa wana wa Ishmaeli na haya ni majina
ngamia wake 65na akamwuliza yule mtumishi, ya viongozi wa makabila kumi na mawili
‘‘Ni nani mtu yule aliye kule shambani anayekuja kulingana na makao yao na kambi zao. 17Kwa
kutulaki?’’ jumla Ishmaeli aliishi miaka mia thelathini na
Yule mtumishi akajibu, ‘‘Huyu ndiye bwana saba. Akapumua pumzi ya mwisho, akafa, naye
wangu.’’ Hivyo Rebeka akachukua shela yake akakusanywa pamoja na watu wake. 18Wazao
akajifunika. wa Ishmaeli waliishi kuanzia nchi ya Havila hadi
66Kisha yule mtumishi akamweleza Isaki Shuri, karibu na mpaka wa Misri, unapoelekea
mambo yote aliyoyatenda. 67Ndipo Isaki Ashuri. Hao waliishi kwa uhasama na ndugu
21
MWANZO
zao wote. 32Esau akasema, “Tazama, mimi niko karibu
ya kufa, itanifaa nini haki ya mzaliwa wa
19Hivi
ndivyo vizazi vya Isaki mwana wa kwanza?’’
Abrahamu. 33Yakobo akamwambia, “Niapie kwanza.’’
ulikuwa umemshika Esau kisigino, akaitwa jina za mke wake, akasema, “Huyu ni dada yangu,’’
lake Yakobo b . Isaki alikuwa mwenye miaka sitini kwa sababu aliogopa kusema, “Huyu ni mke
Rebeka alipowazaa. wangu.’’ Alifikiri, “Watu wa mahali pale
27Watoto wakakua, Esau alikuwa mwindaji wataweza kumwua kwa sababu ya Rebeka, kwa
hodari, mtu wa mbugani, wakati Yakobo alikuwa kuwa alikuwa mzuri wa sura.’’
mtu mkimya, mwenye kukaa nyumbani. 28Isaki, 8Wakati Isaki alipokuwa amekaa huko siku
na watumishi wengi sana kiasi kwamba Wafilisti wakala na kunywa. 31Kesho yake asubuhi na
wakamwonea wivu. 15Kwa hiyo visima vyote mapema, wakaapizana wao kwa wao. Kisha
vilivyochimbwa na watumishi wakati wa Isaki akawaruhusu waende zao, wakamwacha
Abrahamu baba yake, Wafilisti wakavifukia Isaki kwa amani.
wakavijaza udongo. 32Siku hiyo watumishi wa Isaki wakaja
16Ndipo Abimeleki akamwambia Isaki, wakampa habari kuhusu kisima walichokuwa
‘‘Ondoka kwetu, kwa maana umetuzidi nguvu wamekichimba, wakamwambia, “Tumepata
sana.’’ maji!’’ 33Naye akakiita Shiba d , mpaka leo mji huo
17Basi Isaki akatoka huko akajenga kambi unaitwa Beer-sheba e .
katika Bonde la Gerari, akaishi huko. 18Ndipo 34Esau alipokuwa na umri wa miaka
Isaki akavichimbua tena vile visima vya maji arobaini, akamwoa Yudithi binti Beeri Mhiti,
ambavyo vilichimbwa siku zile za Abrahamu kisha akamwoa Basemathi binti Eloni Mhiti.
baba yake, ambavyo Wafilisti walivifukia baada 35Hawa walikuwa chanzo cha huzuni ya Isaki na
hata hicho pia wakakigombania, akakiita Sitna b . siku ya kifo changu. 3Sasa basi, chukua silaha
22Akaondoka huko, akachimba kisima kingine, zako, podo na upinde, uende nyikani, ukawinde
wala hakuna yeyote aliyekigombania. Akakiita nyama pori kwa ajili yangu. 4Uniandalie aina ya
Rehobothi c , akisema, “Sasa BWANA chakula kitamu nikipendacho uniletee nile, ili
ametufanyia nafasi, nasi tutasitawi katika nchi.’’ niweze kukubariki kabla sijafa.’’
23Kutoka pale akaenda Beer-sheba. 24Usiku 5Basi Rebeka alikuwa akisikiliza Isaki
chakula kitamu pamoja na mkate aliouoka. baba yake. Kisha akamwambia, “Baba yangu,
18Akamwendea baba yake akasema, “Baba keti ule sehemu ya mawindo yangu, ili upate
yangu.’’ kunibariki.’’
Akajibu, “Naam, mwanangu, wewe ni nani?’’ 32Isaki baba yake akamwuliza,
19Yakobo akamwambia baba yake, ‘‘Mimi ni “Wewe ni nani?’’
Esau mzaliwa wako wa kwanza. Nimefanya Akajibu, “Mimi ni mwanao, mzaliwa wako wa
kama ulivyoniambia. Tafadhali uketi, ule sehemu kwanza, Esau.’’
ya mawindo yangu ili uweze kunibariki.’’ 33Isaki akatetemeka kwa nguvu sana
20Isaki akamwuliza mwanawe. “Umepataje akasema, “Alikuwa nani basi, ambaye aliwinda
haraka namna hii, mwanangu?’’ mawindo akaniletea? Nilikula kabla tu hujaja na
Akajibu, “BWANA Mungu wako nikambariki, naye hakika atabarikiwa!”
amenifanikisha.’’ 34Esau aliposikia maneno haya ya baba
21Kisha Isaki akamwambia Yakobo, yake, akalia sauti kubwa na ya uchungu na
“Mwanangu tafadhali sogea karibu nami ili kumwambia baba yake, “Nibariki mimi, mimi pia,
nikupapase, nione kama hakika ndiwe Esau baba yangu!’’
mwanangu, au la.” 35Lakini akasema, “Ndugu yako amekuja
22Yakobo akasogea karibu na baba yake kwa udanganyifu na akachukua baraka yako.’’
Isaki, ambaye alimpapasa na kusema, “Sauti ni 36Esau akasema, ‘‘Si ndiyo sababu anaitwa
Akajibu, “Mimi ndiye.’’ kuwa bwana juu yako, pia nimewafanya ndugu
25Kisha akasema, “Mwanangu, niletee zako wote kuwa watumishi wake,
sehemu ya mawindo yako nile, ili nipate nimemtegemeza kwa nafaka na divai mpya.
kukubariki.’’ Sasa nitaweza kukufanyia nini, mwanangu?’’
Yakobo akamletea naye akala, akamletea 38Esau akamwambia baba yake, “Je, baba
na divai akanywa. 26Kisha Isaki baba yake yangu una baraka moja tu? Unibariki mimi pia,
akamwambia, “Njoo hapa, mwanangu, unibusu.’’ baba yangu!’’ Kisha Esau akalia kwa sauti
27Kwa hiyo akamwendea akambusu. Isaki kubwa.
aliposikia harufu ya nguo zake, akambariki, 39Baba yake Isaki akamjibu, akamwambia,
akasema,
“Makao yako yatakuwa
mbali na utajiri wa dunia,
mbali na umande wa mbinguni juu.
24
MWANZO
40Utaishi kwa upanga, Padan-Aram. 8Esau akatambua jinsi ambavyo
nawe utamtumikia ndugu yako, baba yake Isaki anavyowachukia binti za
lakini wakati utakapokuwa umejikomboa, Wakanaani, 9ndipo akaenda kwa Ishmaeli
utatupa nira yake kutoka shingoni akamwoa Mahalati, ndugu wa Nebayothi na binti
mwako.” wa Ishmaeli mwana wa Abrahamu, kuongezea
wale wake wengine aliokuwa nao.
Yakobo Anakimbilia kwa Labani
41Esau akawa na kinyongo dhidi ya Yakobo Ndoto Ya Yakobo Huko Betheli
kwa ajili ya baraka ambazo baba yake alikuwa 10Yakobo akatoka Beer-sheba kwenda
amembariki. Akasema moyoni mwake, “Siku za Harani. 11Alipofika mahali fulani, akalala hapo
kuomboleza kwa ajili ya baba yangu zimekaribia, kwa sababu jua lilikuwa limetua. Akachukua jiwe
ndipo nitamwua ndugu yangu Yakobo.’’ moja la mahali pale, akaliweka chini ya kichwa
42Rebeka alipokwisha kuambiwa yale chake akajinyoosha akalala usingizi. 12Akaota
aliyoyasema Esau mwanawe mkubwa, alimwita ndoto ambayo aliona ngazi imesimamishwa juu
Yakobo mwanawe mdogo akamwambia, “Ndugu ya ardhi, ncha yake ikiwa imefika mbinguni na
yako Esau anajifariji kwa wazo la kukuua. malaika wa Mungu wakawa wakipanda na
43Sasa basi, mwanangu, fanya nisemalo: kushuka juu yake. 13Juu yake alisimama
Kimbilia haraka kwa Labani ndugu yangu kule BWANA, akasema, “Mimi ni BWANA, Mungu wa
Harani. 44Ukae naye kwa muda mpaka ghahabu baba yako Abrahamu na Mungu wa Isaki. Nchi
ya ndugu yako itulie. 45Wakati ndugu yako ambayo umelala juu yake, nitakupa wewe na
atakapokuwa hana hasira nawe tena na uzao wako. 14Uzao wako utakuwa kama
amesahau uliyomtendea, nitakupelekea ujumbe mavumbi ya nchi, nawe utaenea upande wa
urudi. Kwa nini niwapoteze wote wawili kwa siku magharibi na mashariki, kaskazini na kusini.
moja?” Kupitia wewe na uzao wako mataifa yote ya
46Kisha Rebeka akamwambia Isaki, duniani yatabarikiwa. 15Niko pamoja nawe nami
“Nimechukia kuishi kwa sababu ya hawa nitakulinda kila uendako na nitakurudisha katika
wanawake wa Kihiti. Ikiwa Yakobo ataoa mke nchi hii. Sitakuacha mpaka nitakapofanya hayo
miongoni mwa wanawake wa nchi hii, niliyokuahidi.’’
wanawake wa Kihiti kama hawa, sitakuwa na 16Yakobo alipoamka kutoka usingizini,
faida kuendelea kuishi.’’ akawaza, “Hakika BWANA yuko mahali hapa,
wala mimi sikujua.’’ 17Kwa hiyo akaogopa,
28 Basi Isaki akamwita Yakobo akambariki
akamwamuru akisema, “Usioe
akasema, “Mahali hapa panatisha kama nini!
Bila shaka hapa ndipo nyumba ya Mungu ilipo,
mwanamke wa Kikanaani. 2Nenda mara moja hili ni lango la mbinguni.’’
mpaka Padan-Aram, kwenye nyumba ya 18Asubuhi yake na mapema, Yakobo
Bethueli baba wa mama yako. Uchukue mke kati akalichukua lile jiwe aliloliweka chini ya kichwa
ya binti za Labani ambaye ni ndugu wa mama chake, akalisimamisha kama nguzo na
yako. 3Mungu Mwenyezi na akubariki uwe na kumimina mafuta juu yake. 19Mahali pale
uzao uongezeke idadi yako upate kuwa jamii akapaita Betheli a , ingawa mji ule hapo kwanza
kubwa ya watu. 4Na akupe wewe na uzao wako uliitwa Luzu.
baraka aliyopewa Abrahamu, upate kumiliki nchi 20Kisha Yakobo akaweka nadhiri, akisema,
unayoishi sasa kama mgeni, nchi ambayo ‘‘Kama Mungu akiwa pamoja nami na kunilinda
Mungu alimpa Abrahamu.’’ 5Kisha Isaki katika safari niendayo, akinipa chakula nile na
akamuaga Yakobo, naye akaenda Padan-Aram, nguo nivae 21na nirudi salama nyumbani kwa
kwa Labani mwana wa Bethueli Mwaramu, baba yangu, hapo ndipo BWANA atakuwa
ndugu wa Rebeka, aliyekuwa mama wa Yakobo Mungu wangu, 22nalo jiwe hili nililolisimamisha
na Esau.” kama nguzo litakuwa nyumba ya Mungu na
6Sasa Esau akajua kuwa Isaki amembariki katika yote utakayonipa nitakutolea wewe
Yakobo na kumtuma kwenda Padan-Aram ili sehemu moja ya kumi.’’
achukue mke huko na kwamba alipombariki
alimwamuru akisema, “Usioe mke katika binti za
Wakanaani,’’ 7tena kwamba Yakobo amewatii
baba yake na mama yake naye amekwenda a19 ‘‘Betheli’’ maana yake ‘‘nyumba ya Mungu
25
MWANZO
Yakobo Awasili Padan Aramu ni jamaa yangu, ndiyo unifanyie kazi bila ujira?
ya mashariki. 2Huko akaona kisima katika mkubwa aliitwa Lea na binti mdogo aliitwa
shamba, pamoja na makundi matatu ya kondoo Raheli. 17Lea alikuwa na macho dhaifu, lakini
yamelala karibu na kisima hicho kwa sababu Raheli alikuwa na umbo la kupendeza na mzuri
walikuwa wanakunywa maji kutoka kwenye wa sura. 18Yakobo akampenda Raheli,
kisimani hicho. Jiwe lililokuwa mdomoni mwa akamwambia Labani, ‘‘Nitakutimikia kwa miaka
kisima lilikuwa kubwa. 3Wakati kondoo saba kwa ajili ya kumpata Raheli binti yako
wanapokuwa wamekusanyika hapo, wachungaji mdogo.’’
huvingirisha jiwe hilo kutoka kwenye mdomo wa 19Labani akasema, ‘‘Ni bora zaidi nikupe
kisima na kunywesha kondoo. Kisha hulirudisha Raheli kuliko kumpa mtu mwingine yeyote. Kaa
jiwe mahali pake juu ya mdomo wa kisima. pamoja na mimi hapa.’’ 20Kwa hiyo Yakobo
4Yakobo aliwauliza wachungaji, ‘‘Ndugu akatumika miaka saba ili kumpata Raheli, lakini
zangu, ninyi mmetoka wapi?’’ ilionekana kwake kama siku chache tu kwa
Wakamjibu, ‘‘Tumetoka Harani.’’ sababu ya upendo wake kwa Raheli.
5Aliwaambia, ‘‘Je, mnamjua Labani, mjukuu 21Ndipo Yakobo akamwambia Labani, ‘‘Nipe
aja Raheli binti yake akiwa na kondoo.’’ yake akampa Yakobo, naye Yakobo akakutana
7Akasema, ‘‘Tazama, jua bado liko juu, si naye kimwili. 24Naye Labani akamtoa Zilpa
wakati wa kukusanya kondoo. Nywesheni mtumishi wake wa kike kuwa mtumishi wa binti
kondoo na mwarudishe malishoni.’’ yake.
8Walijibu, ‘‘Haiwezekani, mpaka kondoo 25Kesho yake asubuhi, Yakobo akagundua
wote wakusanyike na jiwe liwe limevingirishwa kuwa amepewa Lea! Basi Yakobo akamwambia
kutoka mdomo wa kisima. Ndipo tutanywesha Labani, ‘‘Ni jambo gani hili ulilonitendea?
kondoo.’’ Nilikutumikia kwa ajili ya Raheli, Sivyo? Kwa nini
9Alipokuwa akizungumza nao, Raheli akaja umenidanganya?’’
pamoja na kondoo wa baba yake, kwa maana 26Labani akajibu, ‘‘Si desturi yetu kumwoza
alikuwa mchunga kondoo. 10Yakobo alipomwona binti mdogo kabla ya kumwoza binti mkubwa.
Raheli binti Labani, ndugu wa mama yake, 27Maliza juma la arusi ya binti huyu, kisha pia
pamoja na kondoo wa Labani, alikwenda na nitakupa huyu binti mdogo, kwa kutumika miaka
kulivingirisha jiwe kutoka mdomoni mwa kisima mingine saba.’’
na kuwanywesha kondoo wa mjomba wake. 28Naye Yakobo akafanya hivyo. Akamaliza
11Kisha Yakobo akambusu Raheli na akaanza juma na Lea, kisha Labani akampa Raheli binti
kulia kwa sauti. 12Alikuwa amemwambia Raheli yake kuwa mke wake. 29Labani akamtoa Bilha
kuwa yeye alikuwa jamaa ya baba yake na mtumishi wake wa kike kwa Raheli ili kuwa
kwamba ni mwana wa Rebeka. Basi Raheli mtumishi wake. 30Pia Yakobo akakutana na
alikimbia na kumweleza baba yake. Raheli kimwili, naye akampenda Raheli zaidi
13Mara Labani aliposikia habari kuhusu kuliko Lea. Yakobo akamtumikia Labani kwa
Yakobo, mwana wa ndugu yake, aliharakisha miaka mingine saba.
kwenda kumlaki. Akamkumbatia na kumbusu
halafu akamleta nyumbani kwake, kisha Yakobo Wana wa Yakobo
akamwambia mambo yote. 14Ndipo Labani 31BWANA alipoona kwamba Lea hapendwi,
akamwambia, ‘‘Wewe ni nyama yangu na damu akampa watoto, lakini Raheli alikuwa tasa. 32Lea
yangu mwenyewe.’’ akapata mimba akazaa mwana. Akamwita
Reubeni a , kwa maana alisema, ‘‘Ni kwa sababu
Yakobo Awaoa Lea na Raheli
Baada ya Yakobo kukaa kwa Labani mwezi
mzima, 15Labani akamwambia, ‘‘Kwa vile wewe a32 ‘‘Reubeni’’ maana yake ‘‘Ona mwana’’ – kwa maana Yehova
ameangalia taabu yake.
26
MWANZO
BWANA ameona huzuni yangu. Hakika mume “Jinsi gani nilivyo na furaha! Wanawake
wangu sasa atanipenda. wataniita furaha.’’ Kwa hiyo akamwita Asheri c .
33Akapata tena mimba, naye alipozaa 14Wakati wa kuvuna ngano, Reubeni
mwana, akasema, ‘‘Kwa sababu BWANA alisikia akaenda shambani akakuta tunguja, ambazo
kwamba sipendwi, amenipa tena huyu mwana.’’ alizileta kwa Lea mama yake. Raheli
Kwa hiyo akamwita Simeoni b . akamwambia Lea, “Tafadhali nakuomba unipe
34Akapata tena mimba, naye alipozaa baadhi ya tunguja za mwanao.”
mwana, akasema, ‘‘Sasa afadhali mume wangu 15Lakini Lea akamwambia, “Haikukutosha
ataambatana na mimi, kwa sababu nimemzalia kumtwaa mume wangu? Je, utachukua na
wana watatu.’’ Kwa hiyo akamwita Lawi c . tunguja za mwanangu pia?’’
35Akapata tena mimba, naye alipozaa Raheli akasema, ‘‘Vema sana.’’ Yakobo
mwana, akasema, ‘‘Wakati huu nitamsifu atakutana nawe kimwili leo usiku, kwa malipo ya
BWANA.’’ Kwa hiyo akamwita Yuda d . Kisha tunguja za mwanao.’’ 16Kwa hiyo Yakobo
akaacha kuzaa watoto. alipokuja kutoka shambani jioni ile, Lea akaenda
kumlaki, akamwambia, ‘‘Lazima ukutane nami
30 Raheli alipoona hamzalii Yakobo
watoto, akamwonea ndugu yake wivu.
kimwili. Nimekukodisha kwa tunguja za
mwanangu.’’ Kwa hiyo akakutana naye kimwili
Hivyo akamwambia Yakobo, ‘‘Nipe watoto, la usiku ule.
sivyo nitakufa!’’ 17Mungu akamsikiliza Lea, naye akapata
2Yakobo akamkasirikia akamwambia, ‘‘Je, mimba akamzalia Yakobo mwana wa tano.
mimi ni badala ya Mungu, ambaye amekuzuia 18Ndipo Lea akasema, “Mungu amenizawadia
kimwili ili aweze kunizalia watoto na kwa kupitia Yakobo mwana wa sita. 20Ndipo Lea aliposema,
yeye mimi pia niweze kuwa na uzao.’’ “Mungu amenizawadia kwa zawadi ya thamani
4Hivyo Raheli akampa Yakobo Bilha awe sana. Wakati huu mume wangu ataniheshimu
mke wake. Yakobo akakutana naye kimwili, kwa sababu nimemzalia wana sita.’’ Kwa hiyo
5akapata mimba naye akamzalia mwana. 6Ndipo akamwita Zabuloni e .
Raheli akasema, “Mungu amenipatia haki 21Baadaye akamzaa mtoto wa kike
yangu, amesikiliza maombi yangu na kunipa akamwita Dina f .
mwana.’’ Kwa sababu hiyo akamwita Dani a . 22Ndipo Mungu akamkumbuka Raheli,
7Bilha mtumishi wa kike wa Raheli akapata akasikia maombi yake na akafungua tumbo lake.
mimba tena akamzalia Yakobo mwana wa pili. 23Akapata mimba na akamzaa mwana na
8Ndipo Raheli akasema, ‘‘Nilikuwa na kusema, “Mungu ameniondolea aibu yangu.’’
mashindano makubwa na ndugu yangu, nami 24Akamwita Yosefu g na kusema, “BWANA na
amenibariki kwa sababu yako.’’ 28Akaongeza mbegu, Yakobo aliweka zile fito kwenye
kumwambia, ‘‘Taja ujira wako nami nitakulipa.’’ mabirika mbele ya hao wanyama, ili wapandwe
29Yakobo akamwambia, ‘‘Unajua jinsi karibu na hizo fito, 42lakini ikiwa wanyama
ambavyo nimekutumikia na jinsi ambavyo walikuwa wadhaifu hakuziweka hizo fito. Hivyo
wanyama wako walivyolishwa vizuri chini ya wanyama dhaifu wakawa wa Labani na
uangalizi wangu. 30Kidogo ulichokuwa nacho wanyama wenye nguvu wakawa wa Yakobo.
kabla sijaja kimeongezeka sana, naye BWANA 43Kwa njia hii Yakobo akastawi sana, tena
amekubariki popote nilipokuwa. Lakini sasa, ni akawa na makundi makubwa, watumishi wa kike
lini nitashughulikia mambo ya nyumba yangu na wa kiume na ngamia na punda.
mwenyewe?’’
31Labani akamwuliza, ‘‘Nikupe nini?’’ Yakobo Akimbia Kutoka kwa Labani
Yakobo akamjibu, ‘‘Usinipe chochote lakini
kama utanifanyia jambo hili moja, nitaendelea 31 Yakobo akawasikia wana wa Labani
wakisema, ‘‘Yakobo amechukua kila
kuchunga na kuyaangalia makundi yako. kitu kilichokuwa cha baba yetu naye amepata
32Niruhusu nipite katika makundi yako yote leo utajiri huu wote kutokana na vile vilivyokuwa
niondoe humo kila kondoo mwenye mali ya baba yetu.’’ 2Yakobo akatambua
mabakabaka au madoadoa, kila mwana kondoo kwamba moyo wa Labani kwake haukuwa kama
mweusi na kila mbuzi mwenye madoadoa au ulivyokuwa mwanzo.
mabakabaka. Hawa watakuwa ujira wangu. 3Ndipo BWANA akamwambia Yakobo,
33Uadilifu wangu utanishuhudia siku zijazo, kila ‘‘Rudi katika nchi ya baba zako na kwa watu
utakapochunguza ujira ambao umenilipa mimi. wako, nami nitakuwa pamoja nawe.’’
Mbuzi ye yote wangu ambaye hana 4Hivyo Yakobo akatuma ujumbe kwa Raheli
myeupe ionekane katika fito hizo. 38Kisha ndoto ambayo niliinua macho na kuona kwamba
akaweka fito alizozibambua kwenye mabirika wale mabeberu waliokuwa wakipanda kundi
yote ya kunyweshea mifugo, ili ziwe mbele ya walikuwa wa mistari, madoadoa na
makundi walipokuja kunywa maji. Wanyama mabakabaka. 11Malaika wa Mungu akaniambia
walipokuja kunywa maji, hali wakiwa wanahitaji katika ndoto, ‘Yakobo.’ nikamjibu, ‘Mimi hapa,’
mbegu, 39wakapandwa hizo fito zikiwa mbele 12akasema, ‘Inua macho yako uone wale
yao, wanyama waliopata mimba mbele ya hizo mabeberu wote wanaopanda kundi wana
fito, walizaa wanyama wenye mistari, madoadoa mistari, madoadoa au mabakabaka, kwa maana
na mabakabaka. 40Yakobo akawatenga wadogo nimeona yale yote ambayo Labani amekuwa
wa kundi peke yao, lakini akazielekeza nyuso za akikutendea. 13Mimi ndiye Mungu wa Betheli,
hao waliobaki kwenye wale wenye mistari na ulikomiminia ile nguzo mafuta na pale mahali
28
MWANZO
uliponiwekea nadhiri. Sasa ondoka katika nchi sababu nilifikiri ungeweza kuninyang'anya binti
hii mara moja urudi katika nchi uliyozaliwa.’’ zako kwa nguvu. 32Lakini kama ukimkuta ye yote
14Ndipo Raheli na Lea wakajibu, “Je bado tu aliye na miungu yako, hataishi. Mbele ya jamaa
tunalo fungu lo lote katika urithi wa nyumba ya yetu, angalia mwenyewe uone kama kuna cho
baba yetu? 15Je, yeye hatuhesabu sisi kama chote chako hapa nilicho nacho, kama kipo,
wageni? Sio kwamba ametuuza tu, bali kichukue.” Basi Yakobo hakujua kwamba Raheli
ametumia hata na vile vilivyolipwa kwa ajili yetu. alikuwa ameiba hiyo miungu.
16Hakika utajiri wote ambao Mungu ameuchukua 33Kwa hiyo Labani akaingia ndani ya hema
kutoka kwa baba yetu ni mali yetu na watoto la Yakobo na ndani ya hema la Lea na ndani ya
wetu. Hivyo fanya lo lote lile Mungu hema la watumishi wawili wa kike, lakini
alilokuambia.’’ hakukuta cho chote. Baadaye alipotoka katika
17Ndipo Yakobo akawapandisha watoto hema la Lea, akaingia hema la Raheli. 34Basi
wake na wake zake juu ya ngamia, 18naye Raheli ndiye aliyekuwa amechukua ile miungu
akawaswaga wanyama wote mbele yake ya nyumbani kwao na kuiweka katika matandiko
pamoja na vitu vyote alivyokuwa amechuma ya ngamia na kukalia. Labani akatafuta kila
huko Padan-Aram kwenda kwa baba yake Isaki mahali kwenye hema lakini hakupata cho chote.
katika nchi ya Kanaani. 35Raheli akamwambia baba yake,
19Labani alipokuwa amekwenda kukata “Usikasirike, bwana wangu kwa kuwa siwezi
kondoo wake manyoya, Raheli aliiba miungu ya kusimama ukiwepo, niko katika hedhi.’’ Labani
nyumba ya baba yake. 20Zaidi ya hayo, Yakobo akatafuta lakini hakuweza kuipata miungu ya
alimdanganya Labani Mwaramu kwa nyumbani kwake.
kutokumwambia kwamba anakimbia. 21Hivyo 36Yakobo akakasirika na kumshutumu
akakimbia pamoja na vitu vyote alivyokuwa Labani, akisema, “Uhalifu wangu ni nini?’’
navyo na kuvuka Mto Eufrati akaelekea nchi ya Akamwuliza Labani, ‘‘Ni dhambi gani niliyofanya
vilima katika Gileadi. hata unaniwinda? 37Sasa kwa kuwa umepekua
vitu vyangu vyote umepata nini kilicho cha
Labani Amfuatilia Yakobo nyumbani mwako? Kiweke hapa mbele ya
22Siku ya tatu Labani akaambiwa kwamba jamaa yako na yangu, nao waamue kati yetu sisi
Yakobo amekimbia. 23Akichukua jamaa zake, wawili.
akamfuatia Yakobo kwa siku saba na kumkuta 38“Mpaka sasa nimekuwa pamoja nawe
kwenye nchi ya vilima katika Gileadi. 24Ndipo miaka ishirini. Kondoo wako na mbuzi wako
Mungu akamjia Labani Mwaramu katika ndoto hawajaharibu mimba, wala sijala kondoo waume
usiku na kumwambia, “Jihadhari usiseme neno kutoka katika makundi yako. 39Sikukuletea
lo lote kwa Yakobo, liwe zuri au baya.’’ mfugo aliyeraruliwa na wanyama pori, nilibeba
25Yakobo alikuwa amepiga hema lake katika hasara mimi mwenyewe. Tena ulinidai malipo
nchi ya vilima katika Gileadi wakati Labani kwa cho chote kilichoibwa mchana au usiku.
alipomkuta, Labani na jamaa yake wakapiga 40Hii ndiyo iliyokuwa hali yangu: Niliumia kwa
kambi huko pia. 26Ndipo Labani akamwambia joto la mchana na baridi usiku, pia usingizi
Yakobo, “Umefanya nini? Umenidanganya na ulinipaa. 41Ilikuwa hivi kwa miaka ile ishirini
umewachukua binti zangu kama mateka katika niliyokuwa nyumbani kwako. Nilikutumikia miaka
vita. 27Kwa nini ulikimbia kwa siri na ile kumi na minne kwa ajili ya binti zako wawili,
kunidanganya? Kwa nini hukuniambia ili nikuage miaka sita kwa ajili ya makundi yako, nawe
kwa furaha na nyimbo za matari na vinubi? ulibadilisha ujira wangu mara kumi. 42Kama
28Hata hukuniruhusu niwabusu wajukuu zangu Mungu wa baba yangu, Mungu wa Abrahamu na
na kuwaaga binti zangu. Umefanya kitu cha Hofu ya Isaki, hakuwa pamoja nami, hakika
kipumbavu. 29Nina uwezo wa kukudhuru, lakini ungenifukuza mikono mitupu. Lakini Mungu
usiku uliopita Mungu wa baba yako alisema ameona taabu yangu na kazi ngumu ya mikono
nami, ‘Akaniambia, ‘Jihadhari, usiseme neno yangu, naye usiku uliopita amekukemea.’’
lolote kwa Yakabo liwe zuri au baya.’ 30Sasa 43Labani akamjibu Yakobo, “Wanawake
umeondoka kwa sababu umetamani kurudi hawa ni binti zangu, watoto hawa ni watoto
nyumbani kwa baba yako. Lakini kwa nini wangu na makundi haya ni makundi yangu.
umeiba miungu yangu?’’ Vyote unavyoviona ni vyangu. Lakini hata hivyo
31Yakobo akamjibu Labani, “Niliogopa, kwa ninaweza kufanya nini kuhusu hawa binti zangu,
29
MWANZO
au kuhusu watoto waliowazaa? 44Njoo
sasa na pamoja na Labani na nimekuwako huko mpaka
tufanye agano, wewe na mimi, na liwe kama sasa. 5Ninao ng'ombe na punda, kondoo na
shahidi kati yetu.’’ mbuzi, watumishi wa kiume na wa kike. Sasa
45Hivyo Yakobo akachukua jiwe ninatuma ujumbe huu kwa bwana wangu, ili
akalisimamisha kama nguzo. Akawaambia
46 nipate kibali machoni pako.’ ’’
jamaa yake, ‘‘Kusanyeni mawe.’’ Hivyo 6Wajumbe waliporudi kwa Yakobo,
wakachukua mawe na kuyakusanya yakawa wakamwambia, ‘‘Tulikwenda kuonana na ndugu
lundo, wakala chakula hapo karibu na hilo lundo. yako Esau, naye sasa anakuja kukulaki
47Labani akaliita Yegarsahadutha a na Yakobo akifuatana na wanaume mia nne.’’
akaliita Galeedi b . 7Kwa hofu kuu na huzuni, Yakobo
48Labani akasema, ‘‘Lundo hili ni shahidi kati akagawanya watu aliokuwa nao katika makundi
yako na mimi leo.’’ Ndiyo maana likaitwa mawili, pia akagawanya makundi ya kondoo na
Galeedi. 49Pia liliitwa Mispa c , kwa sababu mbuzi, ya vile vile ng’ombe na ngamia. 8Yakobo
alisema, “BWANA na aweke ulinzi kati yako na alifikiri, ‘‘Kama Esau akija na kushambulia kundi
mimi wakati kila mmoja akiwa mbali na moja, kundi lililobaki litaweza likanusurika.’’
mwingine. 50Kama ukiwatenda mabaya binti 9Ndipo Yakobo akaomba, ‘‘Ee Mungu wa
zangu au ukioa wake wengine zaidi ya binti baba yangu Abrahamu, Mungu wa baba yangu
zangu, hata ingawa hakuna hata mmoja aliye Isaki, Ee BWANA, ambaye uliniambia, ‘Rudi
pamoja nasi, kumbuka kwamba Mungu ni katika nchi yako na jamaa yako, nami
shahidi kati yako na mimi.’’ nitakufanya ustawi,’ 10mimi sistahili fadhili na
51Pia Labani akamwambia Yakobo, “Hili uaminifu wako wote ulionitendea mimi mtumishi
ndilo lundo, na hii ndiyo nguzo niliyoisimamisha wako. Nilikuwa na fimbo tu mkononi mwangu
kati yako na mimi. 52Lundo hili ni shahidi na nilipovuka mto huu wa Yordani, lakini sasa
nguzo hii ni shahidi, kwamba sitavuka lundo hili ninayo makundi mawili. 11Nakuomba, uniokoe
kuja upande wako kukudhuru, nawe kwamba na mkono wa ndugu yangu Esau, kwa maana
hutavuka lundo hili na nguzo hii kuja upande ninaogopa kuwa atakuja kunishambulia, pia
wangu kunidhuru. 53Mungu wa Abrahamu na mama pamoja na watoto wao. 12Lakini
Mungu wa Nahori, Mungu wa baba zao, aamue umeshasema, ‘Hakika nitakufanya ustawi na
kati yetu.’’ kuufanya uzao wako kuwa mwingi kama
Hivyo Yakobo akaapa kwa jina la Hofu ya mchanga wa baharini ambao hauwezi
baba yake Isaki. 54Yakobo akatoa dhabihu juu kuhesabika!’ ’’
ya kilima na akawaalika jamaa zake kula 13Akalala pale usiku ule, miongoni mwa vitu
chakula. Baada ya kula, wakalala huko. alivyokuwa navyo, akachagua zawadi kwa ajili
55Kesho yake asubuhi na mapema, Labani ya Esau ndugu yake: 14Mbuzi waume ishirini na
akawabusu wajukuu zake, binti zake na mbuzi wake 200, kondoo waume ishirini na
kuwabariki. Kisha akaondoka akarudi nyumbani. kondoo wake 200. 15Ngamia wake thelathini
pamoja na ndama zao, ng’ombe wake arobaini
Yakobo Ajiandaa Kukutana na Esau na mafahali kumi, punda wake ishirini na punda
32 Yakobo pia akaondoka akaenda zake,
malaika wa Mungu wakakutana naye.
waume kumi. 16Akaviweka chini ya uangalizi wa
watumishi wake, kila kundi peke yake na
2Yakobo alipowaona, akasema, ‘‘Hii ni kambi ya kuwaambia, ‘‘Nitangulieni na kuacha nafasi kati
Mungu!’’ Kwa hiyo akapaita mahali pale ya makundi.’’
Mahanaimu a . 17Akamwagiza yule aliyetangulia kuwa,
3Yakobo akatuma wajumbe kumtangulia ‘‘Ndugu yangu Esau atakapokutana nawe na
kwa Esau ndugu yake huko Seiri, katika nchi ya kukuuliza, ‘Wewe ni wa nani? Unakwenda wapi?
Edomu. 4Akawaagiza akisema: ‘‘Hili ndilo Wanyama hawa wote mbele yako ni mali ya
mtakalomwambia bwana wangu Esau: ‘Mtumishi nani?’ 18Ndipo utakaposema, ‘Ni mali ya
wako Yakobo anasema, nimekuwa nikiishi mtumishi wako Yakobo. Ni zawadi ambazo
zimetumwa kwa bwana wangu Esau, naye
anakuja nyuma yetu.’ ’’
a47 “Yegarsahadutha’’ maana yake ni “Lundo la Ushahidi’’ kwa 19Akamwagiza pia yule mtumishi wa kundi la
Kiaramu.
b47 “Galeedi’’ maana yake ni “Lundo la Ushahidi’’ kwa kiebrania. pili, la tatu na yale mengine yote yaliyofuata
c49 “Mispa’’ maana yake “Mnara wa Ulinzi.’’ akiwaambia, ‘‘Mtamwambia Esau maneno hayo
a2 “Mahanaimu” maana yake “kambi mbili.’’
30
MWANZO
hayo mtakapokutana naye. 20Hakikisheni Yakobo Akutana na Esau
mmesema, ‘Mtumishi wako Yakobo anakuja
nyuma yetu.’ ’’ Kwa kuwa alifikiri, ‘‘Nitaweza 33 Yakobo akainua macho akamwona
Esau akija na watu wake mia nne,
kumtuliza kwa zawadi hizi ninazotanguliza, kwa hiyo akawagawanya watoto kati ya Lea,
hatimaye, nitakapomwona, huenda atanikubali.’’ Raheli na wale watumishi wake wawili wa kike.
21Kwa hiyo zawadi za Yakobo zilitangulia mbele 2Akawaweka wale watumishi wa kike na watoto
yake, lakini yeye mwenyewe alilala kambini wao mbele, Lea na watoto wake wakafuata,
usiku ule. Raheli na Yosefu wakaja nyuma. 3Yeye
mwenyewe akatangulia mbele na kusujudu mara
Yakobo Ashindana Mweleka na Mungu saba alipomkaribia ndugu yake.
22Usiku ule Yakobo akaamka akawachukua 4Lakini Esau akamkimbilia Yakobo kumlaki
hawezi kumshinda, aligusa kiungio cha nyonga wao wakakaribia na kusujudu. 7Kisha Lea na
ya Yakobo kwa hiyo nyonga yake ikateguka watoto wake wakaja na kusujudu. Mwisho wa
wakati alipokuwa akishikana mweleka na yule wote wakaja Yosefu na Raheli, nao pia
mtu. 26Ndipo yule mtu akasema, ‘‘Niache wakasujudu.
niende, kwa kuwa ni mapambazuko.’’ 8Esau akauliza, ‘‘Una maana gani kuhusu
Lakini Yakobo akajibu, ‘‘Sitakuacha uende makundi hayo yote niliyokutana nayo?’’
usiponibariki.’’ Akasema, ‘‘Ni ili kupata kibali machoni pako,
27Yule mtu akamwuliza, ‘‘Jina lako nani?’’ bwana wangu.’’
Akajibu, ‘‘Yakobo.’’ 9Lakini Esau akamwambia, ‘‘Ndugu yangu,
28Ndipo yule mtu akasema, ‘‘Jina lako tayari nina wingi wa mali. Ulivyo navyo viwe
halitakuwa tena Yakobo, bali Israeli b , kwa vyako mwenyewe.’’
sababu umeshindana na Mungu na watu pia 10Yakobo akasema, ‘‘La hasha! Tafadhali,
31
MWANZO
wangu.’’ machoni penu, nami nitawapa chochote
16Hivyo siku hiyo Esau akashika njia akarudi mtakachosema. 12Niambieni kiasi cha mahari na
Seiri. 17Pamoja na hayo, Yakobo akaenda zawadi nitakayoileta, hata iwe kubwa kiasi gani,
Sukothi, mahali alipojijengea makazi kwa ajili nami nitawalipa chochote mtakachodai. Nipeni
yake na mabanda kwa ajili ya mifugo yake. Hii tu huyu msichana awe mke wangu.’’
ndiyo sababu sehemu ile inaitwa Sukothi a . 13Kwa sababu ndugu yao Dina alikuwa
18Baada ya Yakobo kutoka Padan-Aramu, amenajisiwa, wana wa Yakobo wakajibu kwa
alifika salama katika mji wa Shekemu huko udanganyifu walipozungumza na Shekemu
Kanaani na kuweka kambi yake karibu na mji. pamoja na baba yake Hamori. 14Wakawaambia,
19Akanunua kiwanja kutoka kwa wana wa “Hatuwezi kufanya jambo kama hili, hatuwezi
Hamori, baba wa Shekemu, kwa bei ya vipande kumtoa dada yetu kwa mtu ambaye
mia vya fedha, ambapo alipiga hema lake. hakutahiriwa. Hiyo itakuwa aibu kwetu.
20Pale akajenga madhabahu na kupaita, El- 15Tutakuruhusu kwa sharti moja tu, kwamba
32
MWANZO
alikuwa amenajisiwa. 28Wakachukua
kondoo na 11Mungu akamwambia, “Mimi ndimi Mungu
mbuzi, ng’ombe, punda na kila kitu kilichokuwa Mwenye Nguvu, ukazae na kuongezeka. Taifa
chao ndani ya mji ule na mashambani. na jamii ya mataifa itatoka kwako, nao wafalme
29Walichukua utajiri wao wote pamoja na watatoka viunoni mwako. 12Nchi niliyowapa
wanawake na watoto wao, wakachukua nyara Abrahamu na Isaki nakupa wewe pia, nami
kila kitu ndani ya nyumba zao. nitawapa wazao wako baada yako.’’ 13Kisha
30Kisha Yakobo akawaambia Simeoni na Mungu akapanda juu kutoka kwake mahali pale
Lawi, ‘‘Mmeleta taabu kwangu kwa kunifanya alipozungumza naye.
ninuke kama uvundo kwa Wakanaani na 14Yakobo akasimamisha nguzo ya jiwe
Waperizi, watu waishio katika nchi hii. Sisi ni mahali pale Mungu alipozungumza naye,
wachache, kama wakiunganisha nguvu zao akamimina sadaka ya kinywaji juu yake, pia
dhidi yangu na kunishambulia, mimi na nyumba akamimina mafuta juu yake. 15Yakobo akapaita
yangu tutaangamizwa.’’ mahali pale Mungu alipozungumza naye
31Lakini wakamjibu, “Je, ilikuwa vema Betheli c .
kumtendea dada yetu kama kahaba?’’
Vifo vya Raheli na Isaki
Yakobo Arudi Betheli 16Kisha wakaondoka Betheli. Walipokuwa
aliyekutokea ulipokuwa unamkimbia Esau ndugu mkunga akamwambia, “Usiogope, kwa sababu
yako.’’ umempata mwana mwingine.’’ 18Hapo
2Hivyo Yakobo akawaambia watu wa alipopumua pumzi yake ya mwisho, kwa maana
nyumbani mwake pamoja na wote waliokuwa alikuwa akifa, akamwita mwanawe Benoni d .
naye, “Iondoeni miungu ya kigeni ile iliyoko kati Lakini babaye akamwita Benyamini e .
kati yenu, jitakaseni na mkabadilishe nguo zenu. 19Kwa hiyo Raheli akafa, akazikwa kando ya
3Kisha njoni, twende Betheli, mahali njia iendayo Efrathi (ndio Bethlehemu.) 20Juu ya
nitakapomjengea Mungu madhabahu, aliyenijibu kaburi lake, Yakobo akasimamisha nguzo,
katika siku ya shida yangu, ambaye amekuwa ambayo mpaka leo inatambulisha kaburi la
pamoja nami po pote nilipokwenda.’’ 4Kwa hiyo Raheli.
wakampa Yakobo miungu yote ya kigeni 21Israeli akaendelea tena na safari yake na
waliyokuwa nayo pamoja na pete zilizokuwa kupiga hema mbele ya Ederi. 22Wakati Israeli
masikioni mwao, Yakobo akavizika chini ya mti alipokuwa akiishi katika nchi ile, Reubeni
wa mwaloni huko Shekemu. 5Kisha wakaondoka mwanawe alikutana kimwili na suria wa baba
na hofu ya Mungu ikawapata miji yote yake aitwaye Bilha, Israeli akasikia jambo hili.
iliyowazunguka kwa hiyo hakuna aliyewafuatia.
6Yakobo na watu wote waliokuwa pamoja Yakobo alikuwa na wana kumi na wawili:
naye wakafika Luzu, (ndio Betheli) katika nchi ya 23Wana wa Lea walikuwa:
Kanaani. 7Huko akajenga madhabahu na Reubeni mzaliwa wa kwanza wa Yakobo,
akapaita mahali pale El-Betheli a , kwa sababu Simeoni, Lawi, Yuda, Isikari na Zabuloni.
mahali pale ndipo Mungu alipojifunua kwake 24Wana wa Raheli walikuwa:
Isaki huko Mamre, karibu na Kiriath-arba (yaani 15Hawa ndio waliokuwa wakuu miongoni mwa
Hebroni), ambapo walikuwa wameishi wazao wa Esau.
Abrahamu na Isaki. 28Isaki aliishi miaka 180.
29Kisha Isaki akafa akiwa mzee wa miaka mingi. Wakuu wa wana wa Elifazi, mzaliwa wa kwanza
Basi wanawe Esau na Yakobo wakamzika. wa Esau ni:
Temani, Omari, Sefo, Kenazi, 16Kora
Wazao wa Esau Gatamu na Amaleki.
36 Hivi ndivyo vizazi vya Esau (yaani,
Edomu).
Hawa ndio waliokuwa wakuu waliotoka kwa
Elifazi huko Edomu, waliokuwa wajukuu wa
kiume wa Ada.
2Esau akaoa wake kutoka miongoni mwa 17Wakuu wa wana wa Reueli mwana wa Esau
wanyama wake wengine wote na mali yake yote (ndiye Edomu), na hawa ndio waliokuwa wakuu
ambayo alikuwa ameipata akiwa Kanaani, wao.
akahamia katika nchi iliyo mbali na Yakobo 20Hawa ndio walikuwa wana wa Seiri Mhori,
ndugu yake. 7Mali zao zilikuwa nyingi sana kiasi waliokuwa wakiishi katika nchi ile:
kwamba haikuwa rahisi wao kuishi pamoja, nchi Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana, 21Dishoni,
waliyokuwa wakiishi isingewatosha wote kwa Eseri na Dishani. Hawa ndio wana wa Seiri
ajili ya mifugo yao. 8Kwa hiyo Esau (ambaye ni huko Edomu waliokuwa wakuu walitoka kwa
Edomu) aliishi katika nchi ya kilima huko Seiri. Wahori.
22Wana wa Lotani walikuwa:
9Hawa ndio wazao wa Esau, baba wa Hori na Homamu. Timna alikuwa dada yake
Waedomu, katika nchi ya kilima cha Seiri. Lotani.
23Wana wa Shobali walikuwa:
10Haya ndiyo majina ya wana wa Esau: Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo na Onamu.
Elifazi, mwana wa Esau ambaye mkewe 24Wana wa Sibeoni walikuwa:
Ada alimzalia na Reueli, mwana wa Esau Aiya na Ana. Huyu Ana ndiye aliyegundua
ambaye mkewe Basemathi alimzalia. chemchemi ya maji moto jangwani
11Wana wa Elifazi ni: alipokuwa akichunga punda za Sibeoni baba
Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi. yake.
12Elifazi mwana wa Esau alikuwa pia na 25Watoto wa Ana walikuwa:
34
MWANZO
Ezeri na Dishani. Hawa ndio walikuwa 3Basi, Israeli akampenda Yosefu kuliko ye
wakuu wa Wahori, kufuatana na makundi yote miongoni mwa kaka zake, kwani ni
yao katika nchi ya Seiri. mwanawe wa uzeeni, akamshonea joho
lililorembwa vizuri sana. 4Ndugu zake walipoona
Watawala wa Edomu kwamba baba yao anampenda Yosefu kuliko ye
31Wafuatao ni wafalme waliotawala Edomu yote mwingine miongoni mwao, walimchukia na
kabla ya mfalme yeyote wa Israeli kutawala: hawakusema naye neno lo lote jema.
32Bela mwana wa Beiri alikuwa mfalme wa 5Yosefu akaota ndoto, naye alipowaeleza
Edomu. Mji wake uliitwa Dinhaba. ndugu zake, wakamchukia zaidi. 6Akawaambia,
33Bela alipokufa, nafasi yake ya ufalme ‘‘Sikilizeni ndoto niliyoota: 7Tulikuwa tukifunga
ikashikwa na Yobabu mwanawe Zera kutoka miganda ya nafaka shambani, ghafla mganda
Bosra. wangu ukasimama wima, wakati miganda yenu
34Yobabu alipokufa, Hushamu kutoka nchi ya ilizunguka na kuuinamia.’’
Watemani akatawala baada yake. 8Ndugu zake wakamwambia, ‘‘Wewe
35Hushamu alipokufa, Hadadi mwana wa unakusudia kututawala? Hivi kweli wewe
Bedadi, ambaye alikuwa ameshinda Midiani utatutawala sisi?’’ Wakaongeza kumchukia zaidi
katika nchi ya Moabu, akatawala baada kwa sababu ya ndoto yake pamoja na yale
yake. Mji wake uliitwa Avithi. aliyowaambia.
36Hadadi alipokufa, Samla kutoka Masreka 9Kisha akaota ndoto nyingine, akawaambia
akawa mfalme baada yake. ndugu zake akisema, ‘‘Sikilizeni, nimeota ndoto
37Samla alipokufa, Shauli kutoka Rehoboti nyingine, wakati huu jua, mwezi na nyota kumi
ng'ambo ya Mto Eufrati akatawala baada na moja zilikuwa zinanisujudia.’’
yake. 10Alipomwambia baba yake pamoja na
38Shauli alipokufa, Baal-Hanani mwana wa ndugu zake, baba yake akamkemea akisema,
Akbori alitawala badala yake. ‘‘Ni ndoto gani hii uliyoota? Hivi kweli mama
39Baal-Hanani mwana wa Akbori alipokufa, yako na mimi na ndugu zako tutakuja
Hadadi akatawala baada yake. Mji wake kukusujudia wewe hadi nchi?’’ 11Ndugu zake
uliitwa Pau, mke wake aliitwa Mehetabeli wakamwonea wivu, lakini baba yake akaliweka
binti Matredi, binti Me-Zahabu. jambo hilo moyoni.
Timna, Alva, Yethethi, 41Oholibama, Ela, kuchunga makundi ya baba yao karibu na
Pinoni, 42Kenazi, Femani, Mibsari, Shekemu, 13naye Israeli akamwambia Yosefu,
43Magdieli na Iramu. Hawa walikuwa ndio ‘‘Kama ujuavyo, ndugu zako wanachunga
wakuu wa Edomu, kufuatana na makazi yao makundi huko karibu na Shekemu. Njoo,
katika nchi waliyoimiliki. nitakutuma kwao.’’
Yosefu akajibu, ‘‘Vema sana niko tayari.’’
Huyu ndiye aliyekuwa Esau baba wa 14Kwa hiyo akamwambia, “Nenda uone
35
MWANZO
wakapanga shauri baya la kumwua. mwanawe kwa siku nyingi. 35Wanawe wote na
19Wakaambiana, “Yule mwota ndoto binti zake wakaja kumfariji, lakini hakukubali
anakuja! Njoni sasa, tumwue na kumtupa
20 kufarijiwa. Akasema, “Hapana,
katika shimo mojawapo na tuseme kwamba nitamwombolezea mwanangu mpaka nimfikie
mnyama mkali amemrarua. Kisha tutaona kaburini.’’ Kwa hiyo baba yake akaendelea
matokeo ya ndoto zake.’’ kumlilia.
21Reubeni aliposikia jambo hili, akajaribu 36Wakati ule ule, Wamidiani wakamwuza
kumwokoa kutoka mikononi mwao akasema, Yosefu huko Misri kwa Potifa mmojawapo wa
“Tusiutoe uhai wake, 22tusimwage damu yo yote. maafisa wa Farao, mkuu wa ulinzi.
Mtupeni katika shimo lililoko hapa jangwani,
lakini msimguse.’’ Reubeni alisema hivyo ili Yuda na Tamari
amwokoe kutoka mikononi mwao kisha
amrudishe nyumbani kwa baba yake. 38 Wakati ule, Yuda akawaacha ndugu
zake akaenda kuishi na Hira
23Kwa hiyo Yosefu alipowafikia ndugu zake, Mwadulami. 2Huko Yuda akakutana na binti wa
walimvua lile joho lake, lile joho lililorembwa Kikanaani aitwaye Shua akamwoa na akakutana
vizuri alilokuwa amevaa. 24Kisha wakamchukua naye kimwili, 3akapata mimba akamzaa mwana,
wakamtupa katika shimo. Wakati huo shimo ambaye alimwita Eri. 4Akapata mimba tena,
lilikuwa tupu, halikuwa na maji ndani yake. akamzaa mwana na kumwita Onani. 5Akamzaa
25Walipokaa ili wale chakula chao, wakainua mwana mwingine tena, akamwita Shela. Huyu
macho wakaona msafara wa Waishmaeli ukija alimzalia mahali paitwapo Kezibu.
kutoka Gileadi. Ngamia wao walikuwa 6Yuda akampatia Eri, mzaliwa wake wa
wamepakizwa mizigo ya vikolezo, uvumba na kwanza mke, aitwaye Tamari. 7Lakini Eri,
manemane, nao walikuwa njiani kuvipeleka mzaliwa wa kwanza wa Yuda alikuwa mwovu
Misri. machoni pa BWANA, kwa hiyo BWANA
26Yuda akawaambia ndugu zake, “Tutafaidi akamwua.
nini ikiwa tutamwua ndugu yetu na kuificha 8Kisha Yuda akamwambia Onani, “Kutana
damu yake? 27Njoni, tumwuze kwa hawa kimwili na mke wa ndugu yako na utimize wajibu
Waishmaeli, tusimguse kwa kuwa hata hivyo, wako kwake kama mke wa ndugu yako ili
yeye ni ndugu yetu, nyama yetu na damu yetu umpatie ndugu yako uzao.’’ 9Lakini Onani alijua
wenyewe.’’ Ndugu zake wakakubali. 28Kwa hiyo kwamba uzao haungekuwa wake, kwa hiyo kila
wale wafanya biashara Wamidiani walipofika, alipokutana kimwili na mke wa ndugu yake,
pale ndugu zake wakamtoa Yosefu kutoka alimwaga chini mbegu za kiume ili asimpatie
kwenye lile shimo na kumwuza kwa shekeli ndugu yake uzao. 10Alichofanya kilikuwa kiovu
ishirini a za fedha kwa wale Waishimaeli, ambao machoni pa BWANA, hivyo, pia BWANA
walimpeleka Misri. akamwua Onani.
29Rubeni aliporudi kutazama kwenye lile 11Kisha Yuda akamwambia Tamari
shimo na kuona kwamba Yosefu hayupo, mkwewe, “Ishi kama mjane nyumbani mwa baba
alirarua nguo zake. 30Akawarudia ndugu zake na yako mpaka mwanangu Shela atakapokua.”
kusema, “Kijana hayuko mle! Nielekee wapi Kwa maana alifikiri, “Angeweza kufa pia kama
sasa?’’ ndugu zake.’’ Kwa hiyo Tamari alikwenda kuishi
31Kisha wakalichukua lile joho la Yosefu, nyumbani kwa baba yake.
wakachinja mbuzi na kulichovya katika damu. 12Baada ya muda mrefu mke wa Yuda binti
32Wakalichukua lile joho lililorembwa vizuri na wa Shua akafariki. Baada ya msiba, Yuda
kulipeleka kwa baba yao na kusema, alikwenda Timna, kwa watu waliokuwa wakikata
“Tumeliokota hili joho. Uchunguze uone kama ni kondoo wake manyoya, naye alifuatana na rafiki
la mwanao.’’ yake Hira Mwadulami.
33Baba yao akalitambua akasema, “Hili ni 13Tamari alipoambiwa, “Baba mkwe wako
joho la mwanangu! Mnyama mkali amemrarua. yuko njiani kwenda Timna kukata kondoo wake
Hakika Yosefu ameraruliwa vipande vipande.’’ manyoya,’’ 14alivua mavazi yake ya ujane,
34Kisha Yakobo akararua nguo zake, akajifunika kwa shela ili asifahamike, akaketi
akavaa nguo ya gunia na kumwombolezea kwenye mlango wa Enaimu, ambao upo njiani
kuelekea Timna. Akafanya hivyo kwa sababu
a28 “Shekeli ishirini’’ ni sawa na kilo 0.2. aliona kwamba ingawa Shela amekua, lakini
36
MWANZO
alikuwa hajakabidhiwa kwake kuwa mkewe. hiyo muuguzi akachukua uzi mwekundu na
15Yuda alipomwona, alifikiri ni kahaba, kwa kuufunga mkononi mwa yule mtoto akasema,
sababu alikuwa amefunika uso wake. 16Pasipo “Huyu ametoka kwanza.’’ 29Lakini alipourudisha
kutambua kwamba alikuwa mkwe wake mkono wake ndugu yake akaanza kutoka naye
akamwendea kando ya njia na kumwambia, akasema, “Hivi ndivyo ulivyotoka kwa nguvu!’’
“Njoo sasa, nikutane na wewe kimwili.’’ Akaitwa Peresi. 30Kisha ndugu yake, aliyekuwa
Yule mkwewe akamwuliza, “Utanipa nini na uzi mwekundu mkononi, akatoka naye
nikikutana nawe kimwili?’’ akaitwa Zera.
17Akamwambia, “Nitakutumia mwanambuzi
akaondoka, akavua shela yake akavaa tena akastawi, Yosefu akaishi nyumbani kwa bwana
nguo zake za ujane. wake Mmisri. 3Potifa alipoona kuwa BWANA
20Wakati ule ule, Yuda akamtuma rafiki yake alikuwa pamoja na Yosefu na kwamba BWANA
Mwadulami apeleke yule mwanambuzi ili alimfanikisha kwa kila kitu alichokifanya, 4Yosefu
arudishiwe amana yake kutoka kwa yule alipata kibali machoni pa Potifa, akamfanya
mwanamke, lakini yule rafiki yake hakumkuta mhudumu wake. Potifa akamweka kuwa
yule mwanamke. 21Akawauliza watu wanaoishi msimamizi wa nyumba yake, naye akamkabidhi
mahali pale, “Yuko wapi yule kahaba aliyekuwa kuwa mwangalizi wa kila kitu alichokuwa nacho.
kando ya barabara hapa Enaimu?’’ 5Kuanzia wakati huo Potifa alipomweka Yosefu
Wakamjibu, “Hajawahi kuwepo mwanamke kuwa msimamizi wa nyumba na mali zake zote
yeyote kahaba hapa.’’ alizokuwa nazo, BWANA aliibariki nyumba ya
22Kwa hiyo akamrudia Yuda na kumwambia, Potifa kwa sababu ya Yosefu. Baraka ya
“Sikumpata. Zaidi ya hayo, watu wanaoishi BWANA ilikuwa juu ya kila kitu alichokuwa
mahali pale walisema ‘Hapakuwahi kuwepo nacho Potifa, nyumbani na shambani. 6Kwa hiyo
mwanamke yeyote kahaba hapa.’’ Potifa akamwachia Yosefu uangalizi wa kila kitu
23Kisha Yuda akasema, “Mwache avichukue alichokuwa nacho, Yosefu alipokuwa katika
vitu hivyo, ama sivyo tutakuwa kichekesho. Hata uongozi, Potifa hakuwa na sababu ya
hivyo, nilimpelekea mwanambuzi, lakini kujishughulisha na kitu chochote isipokuwa
hukumkuta.’’ chakula alichokula.
24Baada ya miezi mitatu Yuda akaambiwa, Yosefu alikuwa mwenye umbo zuri na sura
“Tamari mkweo ana hatia ya kuwa kahaba, na ya kuvutia, 7baada ya kitambo mke wa Potifa
matokeo yake ana mimba.’’ akamtamani Yosefu akamwambia, “Njoo,
Yuda akasema, “Mtaoeni nje na achomwe ukutane nami kimwili!’’
moto hadi afe!’’ 8Lakini Yosefu akakataa. Akamwambia yule
25Alipokuwa akitolewa nje, akatuma ujumbe mwanamke, “Mimi nikiwa katika uongozi, bwana
kwa baba mkwe wake kusema, “Nina mimba ya wangu hahusiki na kitu chochote katika nyumba
mtu mwenye vitu hivi,’’ akaongeza kusema, hii, kila kitu alicho nacho amenikabidhi. 9Hapa
“Angalia kama utatambua kwamba pete hii na nyumbani hakuna aliye mkuu kuliko mimi.
kamba yake pamoja na fimbo hii ni vya nani.’’ Bwana wangu hakunizuilia kitu chochote
26Yuda akavitambua na kusema, “Yeye ana isipokuwa wewe, kwa kuwa wewe ni mke wake.
haki kuliko mimi, kwa kuwa sikumkabidhi kwa Nitawezaje basi kufanya uovu huu na kutenda
mwanangu Shela ili awe mkewe.’’ Tangu hapo dhambi dhidi ya Mungu?’’ 10Ingawa yule
hakukutana naye kimwili tena. mwanamke aliendelea kumshawishi Yosefu siku
27Wakati ulipofika wa kujifungua, kukawa na baada ya siku, Yosefu alikataa kukutana naye
wana mapacha tumboni mwake. 28Alipokuwa kimwili wala kukaa karibu naye.
akijifungua, mmoja akatoa mkono wake nje, kwa 11Siku moja Yosefu akaingia ndani ya
37
MWANZO
nyumba kufanya kazi zake, wala hapakuwepo mnyweshaji na mwokaji wa mfalme wa Misri,
na mfanyakazi yeyote ndani ya nyumba. 12Mke waliokuwa wamewekwa gerezani, waliota ndoto
wa Potifa akashika vazi alilokuwa amevaa usiku mmoja na kila ndoto ilikuwa na maana
Yosefu, akamwambia, “Njoo tukutane kimwili!’’ yake tofauti.
Lakini Yosefu akaacha vazi lake mkononi mwa 6Yosefu alipowajia asubuhi yake, akawaona
huyo mwanamke, akatoka nje ya nyumba kwamba walikuwa na huzuni. 7Ndipo Yosefu
akikimbia. akawauliza maofisa hao wa Farao waliokuwa
13Wakati yule mwanamke alipoona kwamba chini ya ulinzi pamoja naye nyumbani mwa
Yosefu amemwachia vazi lake mkononi na bwana wake, akasema, “Mbona nyuso zenu
kukimbilia nje ya nyumba, 14akawaita watumishi zimejaa huzuni leo?’’
wake wa nyumbani, akawaambia, “Tazameni, 8Wakamjibu, “Sisi sote tuliota ndoto, lakini
wako alivyonitenda.’’ Hasira ya Potifa ikawaka. yake, matawi matatu ni siku tatu. 13Katika siku
20Potifa akamchukua Yosefu na kumweka hizi tatu, Farao atakutoa gerezani na kukuweka
gerezani, mahali ambapo wahalifu wa mfalme tena kwenye nafasi yako, nawe utaweka
walikuwa wamefungwa. kikombe cha Farao mikononi mwake, kama vile
Lakini wakati Yosefu alipokuwa huko ulivyokuwa unafanya ulipokuwa mnyweshaji
gerezani, 21BWANA alikuwa pamoja naye, wake. 14Lakini wakati mambo yatakapokuwia
akamhurumia na kumpa kibali mbele ya mazuri, unikumbuke unifanyie wema, useme
msimamizi wa gereza. 22Kwa hiyo msimamizi wa mema juu yangu kwa Farao ili niondoke huku
gereza akamweka Yosefu awe mkuu wa gerezani. 15Kwa maana nilichukuliwa kwa nguvu
wafungwa pamoja na kusimamia yote ambayo kutoka nchi ya Waebrania, na hata hapa nilipo
yalitendeka mle gerezani. 23Msimamizi wa sikufanya lolote linalostahili niwekwe gerezani.’’
gereza hakujishughulisha tena na kitu chochote 16Yule mwokaji mkuu alipoona kuwa Yosefu
kilichokuwa chini ya uangalizi wa Yosefu, kwa amefasiri ikiwa na maana nzuri, akamwambia
sababu BWANA alikuwa pamoja na Yosefu Yosefu, ‘‘Mimi pia niliota ndoto: Kichwani
akimfanikisha kwa kila alichofanya. mwangu kulikuwepo vikapu vitatu vya mikate.
17Katika kikapu cha juu kulikuwa na aina zote za
akawakabidhi kwa Yosefu, naye akawahudumia. ya kuzaliwa kwa Farao, akawaandalia maafisa
Walipokuwa wamekaa chini ya ulinzi kwa wake wote karamu. Akawatoa gerezani
muda, 5kila mmoja wa hao wawili, yaani mnyweshaji mkuu na mwokaji mkuu akawaweka
38
MWANZO
mbele ya maafisa wake: 21Ndipo akamrudisha ndoto, wala hakuna mtu hata mmoja anayeweza
mnyweshaji kwenye nafasi yake, ili aweke kuifasiri. Lakini nimesikia ikisemwa kwa habari
kikombe mikononi mwa Farao tena, 22lakini yako kwamba unapoelezwa ndoto waweza
akamwangika yule mwokaji mkuu, sawasawa na kuifasiri.”
jinsi Yosefu alivyowaambia katika tafsiri yake. 16Yosefu akamjibu Farao, “Siwezi kuifasiri,
23Pamoja na hayo, mnyweshaji mkuu lakini Mungu atampa Farao jibu analolihitaji.”
hakumkumbuka Yosefu bali alimsahau. 17Kisha Farao akamwambia Yosefu, “Katika
ndoto zake, lakini hakuna hata mmoja aliyeweza za Farao ni ndoto iyo hiyo moja, Mungu
kumfasiria. amemfunulia Farao jambo analokusudia kufanya
9Ndipo mnyweshaji mkuu alipomwambia karibuni. 26Ng'ombe saba wazuri ni miaka saba,
Farao, “Leo nimekumbushwa kuhusu kosa nayo masuke saba mazuri yaliyojaa nafaka ni
langu. 10Wakati fulani Farao aliwakasirikia miaka saba, ni ndoto iyo hiyo moja. 27Ng'ombe
watumishi wake, akanifunga mimi na mwokaji saba waliokonda na wabaya wale waliojitokeza
mkuu katika nyumba ya mkuu wa ulinzi. 11Kila baadaye ni miaka saba, vivyo hivyo masuke
mmoja wetu aliota ndoto katika usiku mmoja na saba ya ngano yaliyodhoofika na kukaushwa na
kila ndoto ilikuwa na maana yake tofauti. 12Basi upepo wa mashariki, ni miaka saba ya njaa.
kijana wa Kiebrania alikuwa pamoja nasi huko, 28“Ni kama vile nilivyomwambia Farao:
alikuwa mtumishi wa mkuu wa kikosi cha ulinzi. Mungu amemwonyesha Farao jambo
Tulimweleza ndoto zetu, naye akatufasiria, analokusudia kufanya karibuni. 29Miaka saba ya
akitupa kila mtu tafsiri ya ndoto yake. 13Nayo neema inakuja katika nchi yote ya Misri, 30lakini
mambo yakawa sawa kabisa na jinsi itafuata miaka saba ya njaa. Ndipo neema yote
alivyotufasiria ndoto zetu. Mimi nilirudishwa ya Misri itasahaulika na njaa itaikumba nchi.
kazini mwangu na huyo mtu mwingine 31Neema iliyokuwa katika nchi haitakumbukwa,
akatolewa kifungoni haraka. Baada ya kunyoa mbili ni kwamba jambo hilo Mungu ameshaamua
na kubadilisha nguo zake akaenda mbele ya kwa hakika, naye Mungu atalifanya karibuni.
Farao. 33“Basi sasa Farao na atafute mtu mwenye
15Farao akamwambia Yosefu, “Nimeota akili na hekima ili amweke kuwa msimamizi wa
39
MWANZO
nchi ya Misri. 34Farao na aweke wenye amri nafaka nyingi, mfano wa mchanga wa bahari,
nchini kote wakusanye moja ya tano ya mavuno ilikuwa nyingi mno kiasi kwamba walishindwa
ya Misri katika miaka hii saba ya neema. kuweka kumbukumbu kwa sababu akiba ilizidi
35Wakusanye chakula chote katika miaka hii sana kupita kipimo.
saba ya neema inayokuja na kuhifadhi nafaka 50Kabla ya miaka ya njaa kuanza, Asenathi
chini ya mamlaka ya Farao, iwe akiba ya binti Potifera, kuhani wa mji wa Oni, alikuwa
chakula katika miji. 36Chakula hiki kitakuwa amemzalia Yosefu wana wawili wa kiume.
akiba ya tahadhari kwa ajili ya nchi, ili kitumike 51Yosefu akamwita mzaliwa wake wa kwanza
katika ile miaka saba ya njaa itakayokuja Misri, Manase, akisema, “Ni kwa sababu Mungu
ili nchi isiharibiwe na njaa.’’ amenifanya nisahau taabu zangu zote pamoja
37Mpango huu ulionekana mzuri kwa Farao na jamaa yote ya nyumba ya baba yangu.’’
na kwa maafisa wake wote. 38Hivyo Farao 52Mwana wa pili akamwita Efraimu, akisema, “Ni
akawauliza, “Je tunaweza kumpata yeyote kama kwa sababu Mungu amenistawisha katika nchi
mtu huyu, ambaye Roho wa Mungu yumo ndani ya mateso yangu.’’
yake?’’ 53Ile miaka saba ya neema huko Misri
39Ndipo Farao akamwambia Yosefu, ikaisha, 54nayo miaka ile saba ya njaa ikaanza,
“Maadam Mungu amekufunulia yote haya, sawasawa na alivyosema Yosefu. Kulikuwa na
hakuna mwingine yeyote mwenye akili na njaa katika nchi nyingine zote, bali katika nchi
hekima kama wewe. 40Wewe utakuwa yote ya Misri kulikuwa na chakula. 55Wakati nchi
msimamizi wa jumba langu la kifalme, na watu yote ya Misri ilipopatwa na njaa, watu wakamlilia
wangu wote watatii amri zako. Ni kuhusu kiti cha Farao ili awape chakula. Ndipo Farao
ufalme tu, nitakuwa mkuu kuliko wewe.’’ alipowaagiza Wamisri wote, akisema, “Nendeni
kwa Yosefu, nanyi mfanye anachowaambia.’’
Yosefu Msimamizi wa Misri 56Wakati njaa ilipokuwa imeenea katika nchi
41Kwa hiyo Farao akamwambia Yosefu, yote, Yosefu akafungua ghala za vyakula na
“Sasa nakuweka uwe msimamizi wa nchi yote kuwauzia Wamisri nafaka, kwa sababu njaa
ya Misri.’’ 42Ndipo Farao akaivua pete yake ya ilikuwa kali mno katika nchi yote ya Misri. 57Pia
mhuri kutoka kidoleni mwake na kuivalisha nchi nyingine zote zilikuja Misri kununua nafaka
katika kidole cha Yosefu. Akamvika majoho kutoka kwa Yosefu, kwa sababu njaa ilikuwa kali
mazuri ya kitani safi na mkufu wa dhahabu mno duniani kote.
shingoni mwake. 43Akampandisha katika gari
lake la farasi kama msaidizi wake, watu Ndugu za Yosefu Waenda Misri
wakatangulia wakishangilia, wakisema, “Achieni
njia!’’ Ndivyo Farao alivyomweka Yosefu kuwa 42 Wakati Yokobo alipofahamu kuwa kuna
nafaka huko Misri, akawaambia
msimamizi wa nchi yote ya Misri. wanawe, “Mbona mnakaa tu hapa
44Kisha Farao akamwambia Yosefu, “Mimi ni mnatazamana?’’ 2Akaendelea kuwaambia,
Farao, lakini pasipo neno lako, hakuna mtu “Nimesikia kuwa huko Misri kuna nafaka.
mwenye ruhusa kuinua mkono au mguu katika Teremkeni huko mkanunue chakula kwa ajili
nchi yote ya Misri.’’ 45Farao akamwita Yosefu yetu, ili tuweze kuishi wala tusife.’’
Safenath-panea, pia akampa Asenathi binti 3Ndipo wale ndugu kumi wa Yosefu,
Potifera, kuhani wa mji wa Oni, kuwa mke wake. wakateremka huko Misri kununua nafaka.
Ndipo Yosefu akaitembelea nchi yote ya Misri. 4Lakini Yakobo hakumtuma Benyamini, ndugu
46Yosefu alikuwa na miaka thelathini yake Yosefu, pamoja na wengine, kwa sababu
alipoingia katika utumishi wa Farao mfalme wa aliogopa asije akapatwa na madhara. 5Hivyo
Misri. Naye Yosefu akatoka mbele ya Farao wana wa Israeli walikuwa miongoni mwa wale
akasafiri katika nchi yote ya Misri. 47Katika ile waliokwenda Misri kununua nafaka, kwani njaa
miaka saba ya neema nchi ilizaa mazao kwa ilikuwa katika nchi ya Kanaani pia.
wingi sana. 48Yosefu akakusanya chakula chote 6Wakati huo Yosefu alikuwa mtawala wa
kilichozalishwa katika ile miaka saba ya neema nchi ya Misri, naye alikuwa ndiye aliyewauzia
nchini Misri, akakihifadhi katika ghala za miji. watu wote nafaka. Kwa hiyo wakati ndugu zake
Katika kila mji kulihifadhiwa chakula Yosefu walipofika, wakamsujudia hadi nyuso
kilichozalishwa katika mashamba zao zikagusa ardhi. 7Mara Yosefu alipowaona
yaliyouzunguka mji huo. Yosefu alihifadhi
49 ndugu zake, akawatambua, lakini akajifanya
40
MWANZO
mgeni na kuzungumza nao kwa ukali, kisha akawarudia na kuzungumza nao tena.
akiwauliza, “Ninyi mnatoka wapi?’’ Akataka Simeoni akamatwe na kufungwa mbele
Wakamjibu, “Tumetoka katika nchi ya yao.
Kanaani kuja kununua chakula.’’ 25Yosefu akatoa amri ya kujaza magunia
8Ingawa Yosefu aliwatambua ndugu zake, yao nafaka na kuweka fedha ya kila mmoja
wao hawakumtambua. 9Ndipo Yosefu ndani ya gunia lake, kisha wapewe mahitaji ya
alipokumbuka ndoto zake kuwahusu wao, njiani. Baada ya kufanyiwa hayo yote,
akawaambia, “Ninyi ni wapelelezi! Mmekuja 26wakapakiza nafaka juu ya punda zao,
kuangalia mahali ambapo nchi yetu haina wakaondoka. 27Walipofika mahali pa kulala huko
ulinzi.’’ njiani mmoja wao akafungua gunia lake ili
10Wakamjibu, “Sivyo bwana wangu. amlishe punda wake, akakuta fedha yake
Watumishi wako wamekuja kununua chakula. kwenye mdomo wa gunia lake. 28Akawaambia
11Sisi sote ni wana wa baba mmoja. Watumishi ndugu zake, “Fedha yangu imerudishwa. Iko
wako ni watu waaminifu, wala sio wapelelezi.’’ ndani ya gunia langu.’’
12Akawaambia, “La hasha! Mmekuja Mioyo yao ikazimia kila mmoja akamgeukia
kuangalia mahali ambapo nchi yetu haina mwenzake wakitetemeka, wakaulizana, ‘‘Ni nini
ulinzi.’’ hiki Mungu alichotufanyia?’’
13Lakini wakamjibu, “Watumishi wako 29Walipofika kwa Yakobo baba yao katika
walikuwa kumi na wawili, wana wa mtu mmoja nchi ya Kanaani, wakamweleza mambo yote
ambaye anaishi katika nchi ya Kanaani. Sasa yaliyowapata. Wakasema, 30‘‘Huyo mtu ambaye
mdogo wetu wa mwisho yupo na baba yetu na ndiye bwana katika nchi hiyo alisema nasi kwa
mwingine alikufa.’’ ukali akatutendea kana kwamba sisi tulikuwa
14Yosefu akawaambia, “Ni sawa kabisa tunaipeleleza nchi. 31Lakini tulimwambia, ‘Sisi ni
kama nilivyowaambia: Ninyi ni wapelelezi! 15Na watu waaminifu, sio wapelelezi. 32Tulizaliwa
hivi ndivyo mtakavyojaribiwa: Hakika kama ndugu kumi na wawili, wana wa baba mmoja.
Farao aishivyo, hamtaondoka mahali hapa Mmoja alikufa na mdogo wetu wa mwisho yupo
mpaka ndugu yenu mdogo aje hapa. 16Tumeni na baba yetu huko Kanaani.’
mmoja wenu akamlete huyo ndugu yenu, 33Ndipo huyo mtu aliye bwana katika nchi
wengine mtawekwa gerezani, ili maneno yenu hiyo alipotuambia, ‘Hivi ndivyo nitafahamu kuwa
yajaribiwe kuona kama mnasema kweli. La ninyi ni watu waaminifu: Mwacheni mmoja wa
sivyo, hakika kama Farao aishivyo ninyi ni ndugu zenu pamoja nami hapa, kisha nendeni
wapelelezi!’’ 17Akawaweka wote chini ya ulinzi mpeleke chakula kwa ajili ya jamaa yenu
kwa siku tatu. inayoteseka kwa njaa. 34Lakini mleteni huyo
18Siku ya tatu Yosefu akawaambia, ndugu yenu mdogo kwangu, ndipo nitajua kuwa
‘‘Fanyeni hili nanyi mtaishi, kwa maana ninyi sio wapelelezi ila ni watu waaminifu. Kisha
namwogopa Mungu: 19Ikiwa ninyi ni watu nitamrudisha ndugu yenu, nanyi mtaweza
waaminifu, mmoja wa ndugu zenu na abaki kufanya biashara katika nchi hii.’ ’’
kifungoni, nanyi wengine pelekeni nafaka kwa 35Walipokuwa wanamimina nafaka kutoka
jamaa yenu wanaoteseka kwa njaa. 20Lakini ni kwenye magunia yao, ndani ya gunia la kila mtu
lazima mniletee ndugu yenu mdogo hapa, ili kulikuwa na mfuko wa fedha! Wakati wao na
maneno yenu yathibitike na kwamba msife.’’ baba yao walipoona mifuko ya fedha,
Wakakubali kufanya hivyo. wakaogopa. 36Yakobo baba yao akawaambia,
21Wakaambiana wao kwa wao, “Hakika ‘‘Ninyi mmenipokonya watoto wangu. Yosefu
tunaadhibiwa kwa sababu ya ndugu yetu. hayupo na Simeoni hayupo tena na sasa
Tuliona jinsi alivyohuzunika alipokuwa anatusihi mnataka kumchukua Benyamini. Kila kitu ni
kuponya maisha yake, lakini hatukumsikiliza, kinyume yangu!’’
hiyo ndiyo sababu dhiki hii imetupata.’’ 37Ndipo Reubeni akamwambia baba yake,
22Reubeni akawajibu, “Sikuwaambieni “Waweza kuwauwa wanangu wote wawili, ikiwa
msitende dhambi dhidi ya kijana? Lakini sitamrudisha Benyamini kwako. Mkabidhi
hamkunisikiliza! Sasa ni lazima tuadhibiwe kwa Benyamini katika uangalizi wangu, nami
ajili ya damu yake.’’ 23Hawakujua kuwa Yosefu nitamrudisha.’’
angewaelewa, kwa sababu alitumia mkalimani. 38Lakini Yakobo akasema, “Mwanangu
24Yosefu akajitenga nao akaanza kulia, hatashuka huko pamoja nanyi, ndugu yake
41
MWANZO
amekufa naye ndiye peke yake aliyebaki. Ikiwa mimi kama nikufiwa nimefiwa.’’
atapatwa na madhara katika safari 15Basi hao watu wakazichukua zile zawadi
mnayoiendea, mtashusha kichwa changu na zile fedha mara mbili pamoja na Benyamini.
chenye mvi kaburini kwa masikitiko.’’ Wakafanya haraka kwenda Misri na walipofika
wakajionyesha kwa Yosefu. 16Yosefu
tena mpaka mje na ndugu yenu.’ 4Kama wakaogopa walipopelekwa nyumbani kwa
utakubali ndugu yetu aende pamoja nasi, Yosefu. Wakafikiri, “Tumeletwa hapa kwa ajili ya
tutakwenda kuwanunulia chakula. 5Lakini ikiwa zile fedha zilizorudishwa katika magunia yetu
hutamruhusu aende, hatutakwenda, kwa sababu mara ile ya kwanza. Anataka kutushambulia na
mtu yule alituambia, ‘Hamtauona uso wangu kutushinda, atuchukue sisi kama watumwa na
tena mpaka mje pamoja na ndugu yenu.’ ’’ atwae hawa punda zetu.’’
6Israeli akauliza, “Kwa nini mkaniletea taabu 19Hivyo wakamwendea msimamizi wa
hii kwa kumwambia yule mtu mlikuwa na ndugu nyumba wa Yosefu na kuzungumza naye
mwingine?’’ kwenye ingilio la nyumbani. 20Wakasema,
7Wakamjibu, “Yule mtu alituhoji kwa undani “Tafadhali bwana, tulikuja hapa mara ya kwanza
sana habari zetu na za jamaa yetu. Alituuliza, kununua chakula. 21Lakini mahali pale tulipotua
‘Je, baba yenu bado yungali hai? Je mnaye wakati wa jioni tulifungua magunia yetu na kila
ndugu mwingine?’ Sisi tulimjibu maswali yake tu. mmoja wetu akakuta fedha zake, kwenye
Tungewezaje kujua kwamba angesema, ‘Mleteni mdomo wa gunia lake kiasi kile kile tulicholeta.
mdogo wenu hapa?’ ’’ Kwa hiyo tumezirudisha. 22Pia tumeleta fedha
8Ndipo Yuda akamwambia baba yake nyingine kwa ajili ya kununulia chakula. Hatujui
Israeli, ‘‘Mtume kijana pamoja nami, nasi ni nani aliziweka fedha hizo katika magunia
tutaondoka mara, ili sisi na wewe pamoja na yetu.’’
watoto wetu tuweze kuishi, wala tusife. 9Mimi 23Akawaambia, “Vema msiogope. Mungu
mwenyewe nitakuhakikishia usalama wake, wenu, Mungu wa baba yenu, amewapa ninyi
mimi mwenyewe nitawajibika kumrudisha. Ikiwa hazina katika magunia yenu, mimi nilipokea
sitamrudisha kwako na kumweka mbele yako, fedha yenu.’’ Ndipo akawaletea Simeoni.
nitakuwa mwenye lawama mbele yako maisha 24Msimamizi akawapeleka wale watu katika
yangu yote. 10Hakika, kama hatukuchelewa nyumba ya Yosefu, akawapa maji ya kunawa
kuondoka, tungekuwa tumekwenda na kurudi miguu na kuwapa punda wao majani.
mara mbili.’’ 25Wakaandaa zawadi zao ili wampe Yosefu
11Basi baba yao Israeli akawaambia, “Kama wakati atakapofika adhuhuri, kwa kuwa
ni lazima iwe hivyo, basi fanyeni hivi: Wekeni walikuwa wamesikia kwamba watakula chakula
baadhi ya mazao bora ya nchi katika mifuko huko.
yenu na mpelekeeni yule mtu kama zawadi, zeri 26Yosefu alipokuja nyumbani, walimkabidhi
kidogo, asali kidogo, vikolezo, manemane, zile zawadi walizokuwa nazo, ambazo walikuwa
kungu na lozi. 12Chukueni fedha mara mbili, kwa wamezileta mle nyumbani, nao wakamsujudia
kuwa mtazirudisha zile fedha zilizowekwa hadi nchi. 27Akawauliza kuhusu hali yao kisha
midomoni mwa magunia yenu. Labda ziliwekwa akawaambia, “Yule baba yenu mzee
kwa makosa. 13Mchukueni ndugu yenu pia mrudi mliyeniambia habari zake, yu hali gani? Je,
kwa huyo mtu mara moja. 14Naye Mungu bado yu hai?’’
Mwenye Nguvu awajalieni rehema mbele ya 28Wakamjibu, ‘‘Mtumishi wako baba yetu
huyo mtu ili apate kuwaachieni yule ndugu yenu bado anaishi na ni mzima.’’ Kisha wakainama
na Benyamini mweze kurudi pamoja. Kwangu chini kumpa heshima.
42
MWANZO
29Alipotazama na kumwona Benyamini nini tuibe fedha au dhahabu kutoka nyumbani
ndugu yake, mwana wa mama yake hasa, kwa bwana wako? 9Ikiwa ye yote miongoni mwa
akauliza, “Je, huyu ndiye ndugu yenu wa watumishi wako atapatikana nacho, auwawe, na
mwisho, ambaye mlinieleza habari zake?’’ Ndipo sisi wengine tutakuwa watumwa wa bwana
akasema, “Mungu na akufadhili mwanangu.’’ wangu.’’
30Akiwa ameguswa sana kwa kumwona ndugu 10Akajibu, ‘‘Vema sana na iwe kama
yake, Yosefu akatoka nje kwa haraka na msemavyo. Yeyote atakayekutwa nacho
kutafuta mahali pa kulilia. Akaingia kwenye atakuwa mtumwa wangu, lakini ninyi wengine
chumba chake cha pekee na kulilia humo. mtakuwa hamna lawama.’’
31Baada ya kunawa uso wake, akatoka nje 11Kila mmoja wao akafanya haraka
na huku akajizuia akasema, “Pakueni chakula.’’ kushusha gunia lake chini na kulifungua. 12Ndipo
32Wakampakulia Yosefu peke yake, ndugu msimamizi akaendelea kutafuta, akianzia kwa
zake peke yao na Wamisri waliokula pamoja mkubwa wa wote na akaishia kwa mdogo wa
naye peke yao, kwa sababu Wamisri wote. Basi kikombe kikapatikana katika gunia la
wasingeweza kula pamoja na Waebrania, kwa Benyamini. 13Kwa jambo hili, wakararua nguo
maana ilikuwa ni chukizo kwa Wamisri. 33Watu zao. Ndipo wote wakapakiza mizigo yao juu ya
hao walikuwa wameketi mbele yake kwa punda zao na kurudi mjini.
mfuatano wa umri wao, kuanzia mzaliwa wa 14Yosefu alikuwa bado yuko nyumbani
kwanza hadi mzaliwa wa mwisho, mwake wakati Yuda na kaka zake walipoingia,
wakatazamana wao kwa wao kwa mshangao. wote wakajitupa chini mbele yake. 15Yosefu
34Wakati walipopelekewa sehemu ya chakula akawaambia, ‘‘Ni jambo gani hili mlilolifanya?
kutoka mezani mwa Yosefu, sehemu ya Hamjui kuwa mtu kama mimi anaweza
Benyamini ilikuwa mara tano zaidi ya sehemu ya kufahamu mambo kwa njia ya kutabiri?’’
wale wengine. Kwa hiyo wakanywa na kufurahi 16Yuda akajibu, ‘‘Tutaweza kusema nini kwa
angenunulia nafaka yake.’’ Naye akafanya kama “Tafadhali bwana wangu, mruhusu mtumishi
Yosefu alivyosema. wako aseme neno kwa bwana wangu.
3Kulipopambazuka, hao watu wakaruhusiwa Usimkasirikie mtumishi wako, ingawa wewe ni
kuondoka pamoja na punda zao. 4Kabla sawa na Farao mwenyewe. 19Bwana wangu
hawajafika mbali kutoka mjini, Yosefu aliwauliza watumishi wake, ‘Mnaye baba au
akamwambia mtumishi wake, “Wafuatilie wale ndugu?’ 20Nasi tukakujibu, ‘Tunaye baba yetu
watu mara moja, utakapowakuta, waambie, ambaye ni mzee, pia yupo mwanawe mdogo
‘Kwa nini mmelipiza wema kwa ubaya? 5Je, aliyezaliwa katika uzee wake. Ndugu yake
kikombe hiki sicho anachonywea bwana wangu amekufa, na huyu mdogo ndiye mwana pekee
pia hukitumia kwa kutabiri mambo yajayo? Hili ni kwa mama yake aliyebaki, naye baba yake
jambo ovu mlilolitenda.’ ’’ anampenda.’
6Alipowafikia, akarudia maneno haya kwao. 21“Ndipo ulipowaambia watumishi wako,
7Lakini wakamwambia mtumishi, ‘‘Kwa nini ‘Mleteni kwangu ili niweze kumwona kwa macho
bwana wangu anasema maneno kama haya? yangu mwenyewe.’ 22Nasi tukamwambia bwana
Liwe mbali na watumishi wako wasije wakafanya wangu, ‘Kijana hawezi kumwacha baba yake,
jambo kama hilo! 8Hata hivyo tulikurudishia zile akimwacha, baba yake atakufa.’ 23Lakini
fedha kutoka nchi ya Kanaani ambazo tulizikuta ukawaambia watumishi wako, ‘Ndugu yenu
kwenye midomo ya magunia yetu. Hivyo kwa mdogo asiposhuka pamoja nanyi, hamtauona
43
MWANZO
uso wangu tena.’ 24Tuliporudi nyumbani kwa “Mimi ni ndugu yenu Yosefu, yule ambaye
mtumwa wako baba yangu, tulimwambia lile mlimwuza Misri! 5Sasa, msihuzunike wala
bwana wangu alilokuwa amesema. msijichukie wenyewe kwa kuniuza huku, kwa
25Ndipo baba yetu aliposema, ‘Rudini Misri sababu ilikuwa ni ili kuokoa maisha ya watu
mkanunue chakula kingine.’ 26Lakini ndiyo sababu Mungu alinituma niwatangulie
tukamwambia, ‘Hatuwezi kushuka Misri mpaka ninyi. 6Kwa miaka miwili sasa imekuwepo njaa
ndugu yetu mdogo awe pamoja nasi ndipo katika nchi, pia kwa miaka mitano ijayo
tutakapokwenda. Hatutaweza kuuona uso wa hapatakuwepo kulima wala kuvuna. 7Lakini
yule mtu mpaka ndugu yetu mdogo awe pamoja Mungu alinitanguliza mbele yenu ili kuhifadhi
nasi.’ kwa ajili yenu mabaki katika nchi na kuokoa
27Mtumwa wako baba yangu alituambia, maisha yenu, kwa wokovu mkuu.
‘Mnajua mke wangu alinizalia wana wawili. 8Kwa hiyo basi, si ninyi mlionileta huku, bali
28Mmojawapo alipotea, nami nikasema, “Hakika ni Mungu. Alinifanya kuwa baba kwa Farao,
ameraruliwa vipande vipande.’’ Nami sijamwona bwana wa watu wa nyumbani mwake wote na
tangu wakati huo. 29Ikiwa mtaniondolea huyu mtawala wa Misri yote. 9Sasa rudini haraka kwa
tena na akapatwa na madhara, mtashusha baba yangu na mwambieni, ‘Hili ndilo mwanao
kichwa changu chenye mvi kaburini nikiwa Yosefu asemalo: ‘Mungu amenifanya mimi kuwa
mwenye huzuni.’ bwana wa Misri yote. Shuka uje kwangu, wala
30Hivyo sasa, kama kijana hatakuwa pamoja usikawie. 10Nawe utaishi katika nchi ya Gosheni
nasi nitakaporudi kwa mtumishi wako baba na kuwa karibu nami, wewe, watoto wako na
yangu na kama baba yangu, ambaye maisha wajukuu wako, makundi yako ya kondoo, mbuzi
yake yamefungamanishwa na uhai wa kijana na ng'ombe, pamoja na vyote ulivyo navyo.
huyu, 31akiona kijana hayupo nasi atakufa. 11Nitawatunza huko, kwa sababu bado iko miaka
Watumishi wako watashusha kichwa chenye mvi mingine mitano inayokuja ya njaa. Vinginevyo
cha baba yetu kaburini kwa huzuni. 32Mtumwa wewe na nyumba yako na wote ulionao
wako alimhakikishia baba yangu usalama wa mtakuwa fukara.’
kijana. Nikamwambia, ‘Kama sikumrudisha 12Mnaweza kujionea wenyewe, hata ndugu
kwako nitakuwa mwenye lawama mbele yako, yangu Benyamini, kwamba hakika ni mimi
baba yangu, maisha yangu yote!’ ninayezungumza nanyi. 13Mwambieni baba
33“Sasa basi, tafadhali mruhusu mtumishi yangu juu ya heshima yote niliyopewa huku
abaki hapa kama mtumwa wa bwana wangu Misri na kuhusu kila kitu mlichokiona. Mleteni
badala ya kijana, naye kijana umruhusu arudi na baba yangu huku haraka.’’
ndugu zake. 34Ninawezaje kurudi kwa baba 14Ndipo akamkumbatia Benyamini ndugu
yangu kama kijana hatakuwa pamoja nami? La yake na kulia, naye Benyamini akamkumbatia
hasha! Usiniache nikaone huzuni ile akilia. 15Pia akawabusu ndugu zake wote, huku
itakayompata baba yangu.” akilia. Baada ya hayo ndugu zake
wakazungumza naye.
Yosefu Anajitambulisha 16Habari zilipofika kwenye jumba la kifalme
Hapo Yosefu hakuweza kujizuia zaidi la Farao kwamba ndugu zake Yosefu wamefika,
45 mbele ya wote waliokuwa Farao na maafisa wake wote wakafurahi.
wamesimama karibu naye, akapaza sauti, 17Farao akamwambia Yosefu, “Waambie ndugu
akasema, “Mwondoeni kila mtu mbele yangu!’’ zako, ‘Fanyeni hivi: Pakieni wanyama wenu
Kwa hiyo hapakuwepo mtu ye yote pamoja na mrudi mpaka nchi ya Kanaani, 18mkamlete baba
Yosefu alipojitambulisha kwa ndugu zake. 2Naye yenu na jamaa zenu kwangu. Nitawapa sehemu
akalia kwa sauti kubwa kiasi kwamba Wamisri nzuri sana ya nchi ya Misri nanyi mtafurahia
walimsikia, hata watu wa nyumbani mwa Farao unono wa nchi.’
wakapata hizo habari. 19Mnaagizwa pia kuwaambia, ‘Fanyeni hivi:
3Yosefu akawaambia ndugu zake, “Mimi ni ‘Chukueni magari ya kukokotwa kutoka Misri,
Yosefu! Je, baba yangu angali hai bado?” Lakini kwa ajili ya watoto wenu na wake zenu,
ndugu zake hawakuweza kumjibu, kwa sababu mkamchukue baba yenu mje. 20Msijali kamwe
walipatwa na hofu kuu mbele yake. kuhusu mali zenu, kwa sababu mema yote ya
4Ndipo Yosefu akawaambia ndugu zake, Misri yatakuwa yenu.’ ’’
“Sogeeni karibu nami.’’ Waliposogea, akasema, 21Hivyo wana wa Israeli wakafanya hivi.
44
MWANZO
Yosefu akawapa magari ya kukokotwa, kama 9Wana wa Reubeni ni:
Farao alivyoagiza, pia akawapa mahitaji kwa ajili Hanoki, Palu, Hesroni na Karmi.
ya safari yao. 22Kila mmoja mavazi mapya, lakini 10Wana wa Simeoni ni:
Benyamini akampa shekeli mia tatu za fedha, na Yemueli, Yemimi, Ohadi, Yakini, Sohari
jozi tano za nguo, 23hivi ndivyo vitu alivyotuma na Shauli mwana wa mwanamke
kwa baba yake: Punda kumi waliochukua vitu Mkanaani.
vizuri vya Misri, punda wake kumi waliobeba 11Wana wa Lawi ni:
Misri, roho ya baba yao Yakobo ikahuishwa. Yakobo huko Padan Aramu pamoja na binti
28Ndipo Israeli akasema, “Nimesadiki! yake Dina. Jumla ya wanawe na binti zake
Mwanangu Yosefu bado yu hai. Nitakwenda walikuwa thelathini na watatu.
nikamwone kabla sijafa.’’
16Wana wa Gadi ni:
Yakobo Aenda Misri Sefoni, Hagi, Shuni, Esboni, Eri, Arodi
Hivyo Israeli akaondoka na vyote na Areli.
46 vilivyokuwa mali yake, naye alipofika 17Wana wa Asheri ni:
Beer-sheba, akamtolea dhabihu Mungu wa Isaki Imna, Ishva, Ishvi na Beria. Dada yao
baba yake. alikuwa Sera.
2Mungu akanena na Israeli katika maono Wana wa Beria ni:
usiku na kusema, “Yakobo! Yakobo!’’ Heberi na Malkieli.
Akajibu, “Mimi hapa.’’ 18Hawa ndio watoto Zilpa, aliomzalia
3Mungu akamwambia, “Mimi ndimi Mungu Yakobo, ambao Labani alimpa binti yake Lea,
wa baba yako, usiogope kushuka Misri, kwa jumla yao walikuwa kumi na sita.
maana huko nitakufanya taifa kubwa. 4Nitashuka
Misri pamoja nawe, nami hakika nitakurudisha 19Wana wa Raheli mke wa Yakobo ni:
tena Kanaani. Mikono ya Yosefu mwenyewe Yosefu na Benyamini. 20Huko Misri,
ndiyo itakayofunga macho yako.’’ Asenathi binti wa Potifera, aliyekuwa
5Ndipo Yakobo akaondoka Beer-sheba nao kuhani wa mji wa Oni, alimzalia Yosefu
wana wa Israeli wakamchukua baba yao Yakobo wana wawili, Manase na Efraimu.
na watoto wao na wake zao katika magari ya 21Wana wa Benyamini ni:
kukokotwa yale Farao aliyokuwa amempelekea Bela, Bekeri, Ashbeli, Gera, Naamani,
kumsafirisha. 6Wakachukua pia mifugo yao na Ehi, Roshi, Mupimu, Hupimu na Ardi.
mali walizokuwa wamezipata Kanaani, Yakobo 22Hawa ndio wana wa Raheli aliomzalia
na uzao wake wote wakashuka Misri. Yakobo, jumla yao ni kumi na wanne.
7Akawachukua wanawe na binti zake, wajukuu
45
MWANZO
ndugu zako wamekuja kwako, nayo 6nchi ya
26Wote waliokwenda Misri pamoja na Misri ipo mbele yako, uwakalishe baba yako na
Yakobo, ambao walikuwa wazao wake hasa, ndugu zako katika sehemu iliyo bora kupita zote
pasipo kuhesabu wakwe zake, walikuwa watu katika nchi. Na waishi Gosheni. Kama
sitini na sita. 27Pamoja na wana wawili unamfahamu ye yote miongoni mwao mwenye
waliozaliwa na Yosefu huko Misri, jumla yote ya uwezo maalum, waweke wawe wasimamizi wa
jamaa ya Yakobo, waliokwenda Misri, walikuwa mifugo yangu.’’
sabini. 7Ndipo Yosefu akamleta Yakobo baba yake
Yosefu, liliandaliwa naye akaenda Gosheni miaka ya kusafiri kwangu ni miaka 130. Miaka
kumlaki baba yake Israeli. Mara Yosefu alipofika yangu imekuwa michache na ya taabu, wala
mbele yake, alimkumbatia baba yake akalia kwa haikufikia miaka ya kusafiri ya baba zangu.’’
muda mrefu. 10Kisha Yakobo akambariki Farao naye
30Israeli akamwambia Yosefu, ‘‘Sasa niko akaondoka mbele ya uso wake.
tayari kufa, kwa kuwa nimejionea mwenyewe 11Ndipo Yosefu akawakalisha baba yake na
kwamba bado uko hai.’’ ndugu zake katika nchi ya Misri na kuwapa milki
31Ndipo Yosefu akawaambia ndugu zake na katika sehemu bora sana ya nchi, wilaya ya
watu wa nyumbani mwa baba yake, ‘‘Nitapanda Ramesesi kama Farao alivyoelekeza. 12Pia
kwa Farao na kumwambia, ‘Ndugu zangu na Yosefu akampa baba yake na ndugu zake na
watu wa nyumbani mwa baba yangu, ambao wote wa nyumbani mwa baba yake vyakula, kwa
walikuwa wakiishi katika nchi ya Kanaani, kulingana na hesabu ya watoto wao.
wamekuja kwangu. 32Watu hao ni wachunga
mifugo, huchunga mifugo, wamekuja na Uongozi wa Yosefu Wakati wa Njaa
makundi ya kondoo, mbuzi na ng’ombe pamoja 13Hata hivyo, hapakuwepo chakula katika
na kila kitu walichonacho.’ 33Farao atakapowaita sehemu yote kwa kuwa njaa ilikuwa kali sana,
na kuwaulizeni, ‘Kazi yenu ni nini?’ 34Mjibuni, Misri na Kanaani zote zikaharibiwa kwa sababu
‘Watumwa wako wamekuwa wachunga mifugo ya njaa. 14Yosefu akakusanya fedha zote
tangu ujana wetu mpaka sasa, kama baba zetu zilizopatikana kutoka katika mauzo ya nafaka
walivyofanya.’ Ndipo mtakaporuhusiwa kukaa huko Misri na Kanaani akazileta kwenye jumba
katika nchi ya Gosheni, kwa kuwa wachunga la kifalme la Farao. 15Fedha za watu wa Misri na
mifugo wote ni chukizo kwa Wamisri.’’ Kanaani zilipokwisha, Wamisri wote wakamjia
Yosefu na kumwambia, “Tupatie chakula. Kwa
Yakobo Ambariki Farao nini tufe mbele ya macho yako? Fedha zetu
47 Yosefu akaenda na kumwambia Farao,
‘‘Baba yangu na ndugu zangu,
zimekwisha.’’
16Yosefu akawaambia, “Basi leteni mifugo
wamekuja kutoka nchi ya Kanaani wakiwa na yenu, nitawauzia chakula kwa kubadilisha na
makundi yao ya kondoo, mbuzi na ng'ombe, mifugo yenu, kwa kuwa fedha zenu
pamoja na kila kitu walichonacho, nao sasa zimekwisha.” 17Kwa hiyo wakaleta mifugo yao
wapo huko Gosheni.’’ 2Akachagua ndugu zake kwa Yosefu, naye akawapa chakula kwa
watano na kuwaonyesha kwa Farao. kubadilishana na farasi zao, kondoo na mbuzi
3Farao akawauliza hao ndugu zake, ‘‘Kazi zao, ng'ombe na punda zao. Katika mwaka huo
yenu ni nini?’’ wote Yosefu akawapa chakula kwa
Wakamjibu, ‘‘Watumishi wako ni wachunga kubadilishana na mifugo yao yote.
mifugo, kama vile baba zetu walivyokuwa.’’ 4Pia 18Mwaka ule ulipokwisha, wakamjia mwaka
46
MWANZO
macho yako, sisi pamoja na nchi yetu? Manase na Efraimu
Utununue sisi pamoja na ardhi yetu ili
kubadilishana kwa chakula. Nasi pamoja na nchi 48 Baada ya muda Yosefu akaambiwa
kwamba, “Baba yako ni mgonjwa.’’ Kwa
yetu tutakuwa watumwa wa Farao. Tupe sisi hiyo akawachukua wanawe wawili Manase na
mbegu ili tuweze kuishi wala tusife, nchi yetu Efraimu, pamoja naye. 2Yakobo alipoambiwa,
isije ikawa ukiwa.’’ “Mwanao Yosefu amekujia kukuona,’’ Israeli
20Kwa hiyo Yosefu akamnunulia Farao nchi akakusanya nguvu zake akaketi kitandani.
yote ya Misri. Wamisri, mmoja baada ya 3Yakobo akamwambia Yosefu, “Mungu
mwingine waliuza mashamba yao, kwa sababu Mwenye Nguvu alinitokea huko Luzu katika nchi
njaa ilikuwa kali sana kwao. Nchi ikawa mali ya ya Kanaani, huko akanibariki, 4naye akaniambia,
Farao, 21Yosefu akawafanya watu watumike ‘Nitakufanya ustawi na kuongezeka hesabu
kama watumwa kuanzia upande mmoja wa Misri yako, nitakufanya kuwa jamii ya mataifa, nami
hadi upande mwingine. 22Hata hivyo, hakununua nitakupa nchi hii uimiliki milele wewe na wazao
nchi ya makuhani, kwa sababu walikuwa wako baada yako.’
wanapata mgao wao wa kawaida kutoka kwa 5“Sasa basi, wanao wawili waliozaliwa
Farao, nao walikuwa na chakula cha kuwatosha kwako huku Misri kabla sijaja hapa kwako
kutokana na mgao waliopewa na Farao. Hii watahesabiwa kuwa ni wangu, Efraimu na
ndiyo sababu hawakuuza ardhi yao. Manase watakuwa wangu, kama vile Rubeni na
23Yosefu akawaambia watu, ‘‘Kwa vile Simeoni walivyo wangu. 6Lakini watoto
nimewanunua ninyi pamoja na nchi yenu leo utakaowazaa baada yao watakuwa wako. Katika
kuwa mali ya Farao, hapa kuna mbegu kwa ajili nchi watakayoirithi, watatambuliwa kwa jina la
yenu ili mweze kuziotesha. 24Lakini wakati ndugu zao. 7Nilipokuwa ninarudi kutoka Padani,
mazao yatakapokuwa tayari, mpeni Farao katika huzuni yangu Raheli alifariki katika nchi
sehemu moja ya tano. Sehemu hizo nne ya Kanaani tulipokuwa tungali tukisafiri, tukiwa
zitakazobaki mtaziweka kama mbegu kwa ajili karibu kufika Efratha. Kwa hiyo nilimzika huko,
ya mashamba na kwa ajili ya chakula chenu kando ya njia iendayo Efratha.’’ (Yaani,
wenyewe na cha watu wa nyumbani mwenu na Bethlehemu.)
watoto wenu.’’ 8Wakati Israeli alipowaona wana wa Yosefu
25Wakamwambia, ‘‘Umeokoa maisha yetu akauliza, “Hawa ni nani?’’
basi na tupate kibali mbele ya macho ya bwana 9Yosefu akamjibu baba yake, “Hao ni wana
ya Farao. Ni nchi ya makuhani tu ambayo vizuri kwa sababu ya uzee, naye aliona kwa
haikuwa ya Farao. shida. Kwa hiyo Yosefu akawaleta wanawe
27Basi Waisraeli wakaishi Misri katika nchi karibu na baba yake, Israeli akawabusu na
ya Gosheni. Wakapata mali huko wakastawi na akawakumbatia.
kuongezeka kwa wingi sana. 11Israeli akamwambia Yosefu, “Kamwe
28Yakobo akaishi Misri miaka kumi na saba, sikutazamia kuuona uso wako tena, sasa Mungu
nayo miaka ya maisha yake ilikuwa 147. ameniruhusu kuwaona watoto wako pia.’’
29Wakati ulipokaribia wa Israeli kufa, akamwita 12Ndipo Yosefu akawaondoa wanawe
mwanawe Yosefu na kumwambia, ‘‘Kama magotini mwa Israeli naye akasujudu hadi nchi.
nimepata kibali machoni pake, weka mkono 13Yosefu akachukua wale wana wawili, Efraimu
wako chini ya paja langu na uniahidi kuwa kwenye mkono wake wa kuume akimwelekeza
utanifanyia fadhili na uaminifu. Usinizike Misri, kwenye mkono wa kushoto wa Israeli na
30lakini nitakapopumzika na babu zangu, Manase katika mkono wake wa kushoto
unichukue kutoka Misri ukanizike walipozikwa.’’ akimwelekeza kwenye mkono wa kuume wa
Yosefu akamwambia, “Nitafanya kama Israeli, akawaleta karibu na babu yao. 14Lakini
unavyosema.’’ Israeli akaupeleka mkono wake wa kuume
31Akamwambia, ‘‘Niapie’’ Ndipo Yosefu akauweka juu ya kichwa cha Efraimu, ingawa
akamwapia, naye Israeli akaabudu akijiegemeza alikuwa ndiye mdogo, na mkono wake wa
kwenye mchago wa kitanda chake. kushoto akaukatisha akauweka juu ya kichwa
47
MWANZO
cha Manase, ingawa Manase alikuwa ndiye 2“Kusanyikeni na msikilize, enyi wana wa
mzaliwa wa kwanza. Yakobo,
msikilizeni baba yenu Israeli.
15Ndipo akambariki Yosefu akisema,
3“Reubeni,wewe ni mzaliwa wangu wa kwanza,
“Mungu ambaye baba zangu nguvu zangu, tunda la kwanza la nguvu
Abrahamu na Isaki walimtii, zangu,
Mungu ambaye amekuwa mchungaji umepita kwa heshima, umepita kwa uwezo.
wa maisha yangu yote mpaka leo hii, 4Usiyezuiwa kama maji, basi hutakuwa
16Malaika ambaye aliniokoa kutoka katika mkuu tena,
madhara yote, kwa kuwa ulipanda kwenye kitanda cha
yeye na awabariki vijana hawa. baba yako,
Na waitwe kwa jina langu na kwa majina kwenye kitanda changu na kukinajisi.
ya baba zangu Abrahamu na Isaki,
wao na waongezeke kwa wingi katika 5‘‘Simeoni na Lawi ni wana ndugu,
dunia.’’ panga zao ni silaha za jeuri.
6 Mimi na nisiingie katika baraza lao,
17Yosefu alipoona baba yake akiweka nami nisiunganike katika kusanyiko lao,
mkono wa kuume juu ya kichwa cha Efraimu, kwa kuwa wamewaua watu katika hasira yao
hakupendezwa, kwa hiyo akauchukua mkono walikata mishipa ya miguu ya mafahali kama
wa baba yake kutoka kichwa cha Efraimu na walivyopenda.
kuuweka juu ya kichwa cha Manase. 18Yosefu 7Hasira yao na ilaaniwe, kwa kuwa ni kali mno,
akamwambia, “Hapana, baba yangu, huyu ndiye nayo ghadhabu yao, ni ya ukatili!
mzaliwa wa kwanza, uweke mkono wako wa Nitawatawanya katika Yakobo
kuume juu ya kichwa chake.’’ Na kuwasambaza katika Israeli.
19Lakini baba yake akakataa akasema,
“Ninajua, mwanangu, ninajua. Yeye pia atakuwa 8“Yuda, ndugu zako watakusifu,
taifa, naye pia atakuwa mkuu. Hata hivyo, ndugu mkono wako utakuwa shingoni mwa adui
yake mdogo atakuwa mkuu kuliko yeye, nao zako.
wazao wake watakuwa kundi la mataifa.’’ Wana wa baba yako watakusujudia.
20Akawabarikia siku ile na kusema, 9Ee Yuda, wewe ni mwana simba,
ninakaribia kufa, lakini Mungu atakuwa pamoja naye mwana-punda wake kwenye tawi lililo
nanyi na atawarudisha katika nchi ya baba zenu. bora zaidi,
22Kwako wewe, kama aliye juu ya ndugu zako, atafua mavazi yake katika divai,
ninakupa sehemu moja zaidi ya ndugu zako, lile majoho yake katika damu ya mizabibu.
eneo nililoteka kwa Waamori kwa upanga wangu 12Macho yake yatakuwa mekundu kwa divai,
48
MWANZO
15Aonapo palivyo pazuri mahali pake pa kuu,
kupumzika na jinsi nchi yake asubuhi hurarua mawindo yake,
inavyopendeza, jioni hugawa nyara.’’
atainamisha bega lake kwenye mzigo
na kujitolea kwa ajili ya kazi ngumu. 28Haya yote ndiyo makabila kumi na mawili
ya Israeli, na hivi ndivyo baba yao
16“Dani atahukumu watu wake kwa haki alivyowaambia alipowabariki, akimpa kila mmoja
kama mmoja wa makabila ya Israeli baraka inayomfaa.
17Dani atakuwa nyoka kando ya barabara,
ili yule ampandaye aanguke chali. niko karibu kukusanywa kwa watu wangu.
Mnizike pamoja na baba zangu kwenye pango
18‘‘Ee BWANA, nautafuta wokovu wako. katika shamba la Efroni Mhiti, 30pango lililoko
katika shamba la Makpela, karibu na Mamre
19‘‘Gadiatashambuliwa ghafula na kundi la huko Kanaani, ambalo Abrahamu alinunua kwa
washambuliaji, ajili ya mahali pa kuzikia kutoka kwa Efroni Mhiti,
lakini yeye atawageukia na kuwashinda pamoja na shamba. 31Huko ndiko Abrahamu na
kabisa. Sara mkewe walikozikwa, huko akazikwa Isaki
na Rebeka mkewe, na huko nilimzika Lea.
20“Chakula cha Asheri kitakuwa kinono, 32Shamba hilo na pango lililoko ndani yake
50
22Yosefu ni mzabibu uzaao, Basi Yosefu akamwangukia baba yake
mzabibu uzaao ulio kando ya chemchemi, akalilia juu yake na akambusu. 2Ndipo
ambao matawi yake hutanda ukutani. Yosefu akawaagiza matabibu waliokuwa
23Kwa uchungu wapiga mshale walimshambulia, wakimhudumia, wamtie baba yake Israeli dawa
wakampiga mshale kwa ukatili. ili asioze, 3wakafanya hivyo kwa siku arobaini,
24Lakini upinde wake ulibaki imara, kwa maana ndio muda uliotakiwa wa kutia dawa.
mikono yake ikatiwa nguvu, Nao Wamisri wakamwombolezea Yakobo kwa
na mkono wa Mwenye Nguvu wa Yakobo, siku sabini.
kwa sababu ya Mchungaji, Mwamba wa 4Siku za kumwombolezea zilipokwisha,
Baraka hizo zote na zikae juu ya kichwa cha baba yake, maafisa wote wa Farao wakaenda
Yosefu, pamoja naye, watu mashuhuri wa baraza lake
juu ya paji la mwana wa kifalme miongoni na watu mashuhuri wote wa Misri. 8Hawa ni
mwa ndugu zake. mbali na watu wote wa nyumbani kwa Yosefu na
ndugu zake na wale wote wa nyumbani mwa
27‘‘Benyamini ni mbwa mwitu mlafi mwenye njaa baba yake. Ni watoto wao, makundi yao ya
49
MWANZO
kondoo, mbuzi na ng'ombe tu waliobakia katika Kifo cha Yosefu
nchi ya Gosheni. 9Magari makubwa na wapanda 22Yosefu akakaa katika nchi ya Misri, yeye
farasi pia walipanda pamoja naye. Likawa kundi pamoja na jamaa yote ya baba yake. Akaishi
kubwa sana. miaka 110 23naye akaona kizazi cha tatu cha
10Walipofika kwenye sakafu ya kupuria watoto wa Efraimu. Pia akaona watoto wa Makiri
nafaka ya Atadi, karibu na Yordani, wakalia kwa mwana wa Manase, wakawekwa magotini mwa
sauti na kwa uchungu, huko Yosefu akapumzika Yosefu walipozaliwa.
kwa siku saba kumwombolezea baba yake. 24Ndipo Yosefu akawaambia ndugu zake,
11Wakanaani walioishi huko walipoona “Mimi ninakaribia kufa. Lakini kwa hakika Mungu
maombolezo yaliyofanyika katika sakafu ile ya atawasaidia na kuwachukueni kutoka nchi hii na
kupuria ya Atadi, wakasema, “Wamisri kuwapeleka katika nchi aliyomwahidi kwa kiapo
wanafanya maombolezo makubwa, kwa hiyo Abrahamu, Isaki na Yakobo.’’ 25Naye Yosefu
mahali pale karibu na Yordani pakaitwa Abel- akawaapisha wana wa Israeli na kuwaambia,
Mizraimu a . “Hakika Mungu atawasaidia, nanyi ni lazima
12Hivyo wana wa Yakobo wakafanya kama mhakikishe mmepandisha mifupa yangu kutoka
baba yao alivyowaagiza: 13Wakamchukua mahali hapa.’’
mpaka nchi ya Kanaani, wakamzika kwenye 26Kwa hiyo Yosefu akafa akiwa na umri wa
pango katika shamba la Makpela, karibu na miaka 110. Baada ya kumtia dawa ili asioze
Mamre, ambalo Abrahamu alilinunua kutoka kwa akawekwa kwenye jeneza huko Misri.
Efroni Mhiti pamoja na shamba liwe mahali pa
kuzikia. 14Baada ya Yosefu kumzika baba yake,
akarudi Misri pamoja na ndugu zake na wale
wote waliokuwa wamekwenda naye kumzika
baba yake.
Wazo Kuu
Kutolewa utumwani, kuanzishwa kwa Pasaka, kuongozwa na Mungu,kuingia kwenye agano na Mungu na kuanzishwa kwa
uhusiano baina ya Israeli na Mungu (Agano) kulisababisha Israeli litambuliwe kuwa taifa takatifu.Kwa njia ya kumwabudu
Mungu kwa moyo wote na utii Kwake, Israeli ilipaswa kuonyesha kielelezo kuwa wao ni watu wa Mungu. Mungu aliwapa
watu Wake amri kumi, sanduku la agano, makuhani, hema ya ibada ili kuwafanya wawe na maisha ambayo
yangedhihirisha kwamba wao ni watu wa Mungu kweli kweli na vitu hivyo viwaongoze katika lengo hilo. Jambo muhimu ni
kwamba kitabu cha Kutoka kinaelezea miujiza mingi kuliko kitabu kingine cho chote katika Agano la Kale. Kinafahamika
kwa kuwa na Amri Kumi.
Wahusika Wakuu
Yakobo (Israeli) na wanawe, Yosefu, Binti Farao, Mose, Aroni, Miriamu,Yethro, Farao na Wamisri, Yoshua na Bezaleli.
Mose ni mhusika mkuu aliyetumiwa na Mungu kuwaokoa Waisraeli na kuwa kiongozi wao kwa muda wa miaka arobaini.
Mwandishi
Mwandishi wa kitabu hiki ni Mose. Ingawa alikuwa mtu dhaifu, Mungu kwa uweza Wake mwenyewe, alimpa uwezo
mkubwa wa kutenda miujiza (7:6-11) na kuongoza.
Mahali
Jangwani wakati Waisraeli wanatangatanga, mahali fulani katika Ghuba ya Sinai.
Mgawanyo
• Mose, Kiongozi aliyechaguliwa na Mungu. (1:1-4 :31)
• Ugumu wa Farao na matokeo yake. (5:1-11:10)
• Kuanzishwa kwa Pasaka na pigo la mwisho(12:1-30)
• Kutoka Misri mpaka Mlima Sinai. (12:31-19:2)
• Agano la Mungu na amri Zake. (19:3-24:8)
• Hema ya ibada. (24:9-9-40:38)
1
KUTOKA
kuendelea kuwa wengi zaidi. 21Kwa vile hao
Waisraeli Waonewa wakunga walimcha Mungu, Mungu akawajalia
Haya ndiyo majina ya wana wa Israeli kuwa na jamaa zao wenyewe.
1 ambao walikwenda Misri na Yakobo, kila 22Kisha Farao akatoa agizo hili kwa watu
mmoja akiwa pamoja na jamaa yake: 2Reubeni, wake wote: “Kila mtoto wa kiume atakayezaliwa
Simeoni, Lawi na Yuda, 3Isakari, Zabuloni na kwa Waebrania lazima atupwe katika mto Nile
Benyamini, 4Dani na Naftali, Gadi na Asheri. bali kila mtoto wa kike aachwe aishi.’’
5Wazao wote wa Yakobo walikuwa watu sabini,
kile chote walikufa, 7lakini Waisraeli walikuwa akaoa mwanamke Mlawi, 2mwanamke
wamezaana na kuongezeka sana, idadi yao huyo akapata mimba akazaa mtoto wa kiume.
ikawa kubwa mno, kwa hiyo wakaijaza nchi. Alipoona mtoto huyo ni mzuri, akamficha kwa
8Kisha mfalme mpya, ambaye hakufahamu miezi mitatu. 3Lakini alipoona hawezi kumficha
habari za Yosefu, aliitawala Misri. 9Akawaambia zaidi, akamtengenezea kisafina cha matete
watu wake, “Tazameni, Waisraeli wamekuwa akakipaka lami. Kisha akamweka huyo mtoto
wengi mno kwa idadi kuliko sisi. 10Njoni, ni ndani yake akakificha katikati ya matete kando
lazima tuwashughulikie kwa uangalifu la sivyo ya ukingo wa Mto Nile. 4Dada wa huyo mtoto
watazidi kuwa wengi zaidi na ikiwa patatokea akasimama mbali ili kuona kitakachompata
vita, watajiunga na adui zetu, kupigana dhidi mtoto.
yetu na kuondoka katika nchi hii.’’ 5Ndipo binti Farao akatelemka mtoni Nile
11Basi Wamisri wakaweka wasimamizi kuoga, nao wahudumu wake wakawa
waliokuwa watumwa kuwasimamia na kuwatesa wanatembea ukingoni mwa mto. Binti mfalme
Waisraeli kwa kazi ngumu, wakajenga miji ya akaona kisafina katikati ya manyasi akamtuma
Pithomu na Ramesesi ya kuweka akiba ya mmoja wa mtumwa wake wa kike kukichukua.
Farao. 12Lakini walivyozidi kuteswa ndivyo 6Alifungua kisafina akaona mtoto ndani yake.
walivyozidi kuongezeka na kuenea katika nchi, Mtoto alikuwa akilia, akamhurumia. Akasema,
Wamisri wakawaogopa Waisraeli, 13kwa hiyo “Huyu ni mmoja wa watoto wa Kiebrania.’’
wakawatumikisha kwa ukatili. 14Wakafanya 7Ndipo dada wa huyo mtoto akamwuliza
maisha ya Waisraeli kuwa machungu kwa binti Farao, “Je, niende nikakutafutie mmoja wa
kufanya kazi ngumu ya kutengeneza lami na wanawake wa Kiebrania akulelee huyu mtoto?’’
kufyatua matofali, walifanya kazi zote za 8Binti Farao akamjibu, “Ndiyo, nenda.’’ Yule
mashambani na katika kazi zao zote ngumu msichana akaenda akamleta mama wa mtoto.
Wamisri waliwatumia Waisraeli kwa ukatili. 9Binti Farao akamwambia, “Mchukue huyu mtoto
15Mfalme wa Misri akawaambia wakunga wa unisaidie kumlea, nami nitakulipa.’’ Basi yule
Kimisri waliowazalisha wanawake wa Kiebrania, mwanamke akamchukua mtoto na kumlea.
ambao majina yao ni Shifra na Pua, 10Mtoto alipokua, akampeleka kwa binti Farao,
16“Mtakapowazalisha wanawake wa Kiebrania, naye akawa mwanawe. Akamwita jina lake
wanapojifungua, chunguzeni ikiwa ni mtoto wa Mose, akisema, “Nilimtoa kwenye maji.’’
kiume, mwueni, lakini ikiwa ni msichana
mwacheni aishi.’’ 17Lakini hao wakunga, Mose Akimbilia Midiani
walimcha Mungu na hawakufanya kile mfalme 11Siku moja, baada ya Mose kukua,
wakunga hao. Waisraeli wakaongezeka na wewe kuwa mtawala na mwamuzi juu yetu? Je,
2
KUTOKA
unataka kuniua kama ulivyomwua yule Mmisri?’’ ardhi takatifu.’’ 6Kisha akamwambia, “Mimi ni
Ndipo Mose akaogopa na kuwaza, “Jambo lile Mungu wa baba yako, Mungu wa Abrahamu,
nililofanya lazima limefahamika.’’ Mungu wa Isaki na Mungu wa Yakobo.” Katika
15Farao aliposikia jambo hili, alijaribu jambo hili, Mose akafunika uso wake, kwa
kumwua Mose, lakini Mose akamkimbia Farao sababu aliogopa kumtazama Mungu.
na kwenda kuishi katika nchi ya Midiani, akaketi 7BWANA akamwambia, “Hakika nimeona
kando ya kisima. 16Kuhani wa Midiani alikuwa na mateso ya watu wangu katika Misri. Nimesikia
binti saba, nao wakaja kisimani ili kuchota maji kilio chao kwa sababu ya wasimamizi wao, nami
na kujaza hori kwa ajili ya kunyweshea mifugo naguswa na mateso yao. 8Basi nimeshuka
ya baba yao. 17Baadhi ya wachungaji wakaja niwaokoe kutoka mkono wa Wamisri, niwatoe na
wakawafukuza hao wasichana. Ndipo Mose kuwapandisha kutoka katika nchi hiyo,
akainuka, akawasaidia na kunywesha mifugo niwapeleke katika nchi nzuri na kubwa, nchi
yao. itiririkayo maziwa na asali, nchi ya Wakanaani,
18Hao wasichana waliporudi nyumbani kwa Wahiti, Waamori, Waperizi, Wahivi na
Reueli baba yao, akawauliza, “Imekuwaje leo Wayebusi. 9Sasa kilio cha Waisraeli kimenifikia,
mmerudi mapema hivyo?’’ nami nimeona jinsi Wamisri wanavyowatesa.
19Wakamjibu, “Mmisri mmoja alituokoa 10Basi, sasa nenda. Ninakutuma kwa Farao ili
kutoka mikononi mwa wachungaji. Pia mtu huyo kuwatoa watu wangu Waisraeli kutoka Misri.’’
alituchotea maji na kunywesha mifugo.’’ 11Lakini Mose akamwambia Mungu, ‘‘Mimi ni
20Akawauliza binti zake, “Yuko wapi? Mbona nani hata niende kwa Farao kuwatoa Waisraeli
mmemwacha? Mkaribisheni ale chakula.’’ nchini Misri?’’
21Mose akakubali kukaa kwa huyo mtu, 12Naye Mungu akasema, ‘‘Mimi nitakuwa
ambaye alimpa Mose binti yake aliyeitwa Sipora pamoja nawe. Hii itakuwa ishara kwako kwamba
amwoe. 22Sipora alizaa mtoto wa kiume, naye ni Mimi nimekutuma: Hapo utakapokuwa
Mose akamwita Gershomu, akisema, umewatoa watu Misri, mtamwabudu Mungu
“Nimekuwa mgeni katika nchi ya kigeni.” katika mlima huu.’’
23Baada ya muda mrefu, mfalme wa Misri 13Mose akamwambia Mungu, ‘‘Ikiwa
akafa. Waisraeli wakalia kwa huzuni katika nitawaendea Waisraeli na kuwaambia, ‘Mungu
utumwa wao, walilia na kilio chao cha kutaka wa baba zenu amenituma kwenu,’ nao
msaada kwa ajili ya utumwa kikamfikia Mungu. wakiniuliza, ‘Jina lake ni nani?’ Nitawaambia
24Mungu akasikia kilio chao cha huzuni, nini?’’
akakumbuka agano alilofanya na Abrahamu 14Mungu akamwambia Mose, ‘‘MIMI NIKO
pamoja na Isaki na Yakobo. 25Kwa hiyo Mungu AMBAYE NIKO. Hivyo ndivyo utakavyowaambia
akawaangalia Waisraeli na kuwahurumia. Waisraeli: ‘MIMI NIKO’ amenituma kwenu.’’
15Vile vile Mungu akamwambia Mose,
mwali wa moto kutoka katika kichaka. Mose uwaambie, ‘BWANA Mungu wa baba zenu,
akaona hilo, ingawa kile kichaka kilikuwa Mungu wa Abrahamu, Isaki na Yakobo,
kinawaka moto, kilikuwa hakiteketei. 3Ndipo alinitokea akaniambia: Nimewatazama nami
Mose akawaza, “Nitageuka sasa nione kitu hiki nimeona mliyofanyiwa katika Misri. 17Nami
cha ajabu, nami nione ni kwa nini kichaka hiki nimeahidi kuwapandisha kutoka katika mateso
hakiteketei.’’ yenu katika nchi ya Misri niwapeleke nchi ya
4BWANA alipoona kuwa amegeuka ili aone, Wakanaani, Wahiti, Waamori, Waperizi, Wahivi
Mungu akamwita kutoka ndani ya kile kichaka, na Wayebusi, nchi itiririkayo maziwa na asali.’
“Mose! Mose!’’ 18“Wazee wa Israeli watakusikiliza. Kisha
Naye Mose akajibu, “Mimi hapa.’’ wewe na wazee mtakwenda kwa mfalme wa
5Mungu akamwambia, “Usikaribie zaidi. Vua Misri na kumwambia, ‘BWANA Mungu wa
viatu vyako, kwa maana mahali unaposimama ni Waebrania ametutokea. Turuhusu tuende safari
3
KUTOKA
ya siku tatu huko jangwani kutoa dhabihu kwa 10Mose akamwambia BWANA, “Ee Bwana,
BWANA, Mungu wetu.’ 19Lakini nafahamu kamwe sijapata kuwa msemaji kwa ufasaha
kwamba mfalme wa Misri hatawaruhusu kwenda wakati uliopita wala tangu ulipoanza
mpaka mkono wenye nguvu umlazimishe. 20Kwa kuzungumza na mtumishi wako. Ulimi wangu ni
hiyo nitaunyoosha mkono wangu na kuwapiga mzito kuzungumza.’’
Wamisri kwa maajabu yote nitakayofanya 11BWANA akamwambia, ‘‘Ni nani aliyempa
miongoni mwao. Baada ya hayo, atawaruhusu mwandamu kinywa? Ni nani aliyemfanya mtu
mwondoke. kuwa kiziwi au bubu? Ni nani anayempa mtu
21“Nami nitawapa hawa watu upendeleo kuona au upofu? Je, si mimi, BWANA? 12Sasa
mbele ya Wamisri, kwa hiyo mtakapoondoka nenda, nitakusaidia kusema, nami
nchini hamtaondoka mikono mitupu. 22Kila nitakufundisha jambo la kusema.’’
mwanamke Mwisraeli atamwomba jirani yake 13Lakini Mose akasema, ‘‘Ee Bwana,
Mmisri na mwanamke ye yote anayeishi tafadhali mtume mtu mwingine kufanya kazi
nyumbani kwake ampe vyombo vya fedha, hiyo.’’
dhahabu na nguo, ambavyo mtawavika wana 14Ndipo hasira ya BWANA ikawaka dhidi ya
wenu na binti zenu. Hivyo mtawateka nyara Mose, akamwambia, ‘‘Vipi kuhusu ndugu yako,
Wamisri.” Aroni Mlawi? Ninajua yeye anaweza
kuzungumza vizuri. Naye yuko tayari njiani
Ishara za Mose kukulaki, na moyo wake utafurahi wakati
Mose akamjibu, “Itakuwaje kama atakapokuona. 15Utazungumza naye na kuweka
4 hawataniamini au kunisikiliza, waseme, maneno kinywani mwake. Nitawasaidia ninyi
‘BWANA hakukutokea?’ ’’ wawili kusema, nami nitawafundisha jambo la
2Ndipo BWANA akamwambia, “Ni nini hicho kufanya. 16Aroni ataongea na watu badala yako
kilicho mkononi mwako?” na itakuwa kwamba yeye amekuwa kinywa
Akajibu, “Fimbo.’’ chako nawe utakuwa kama Mungu kwake.
3BWANA akasema, “Itupe chini.” 17Lakini chukua fimbo hii mkononi mwako ili
Mose akaitupa chini hiyo fimbo nayo ikawa uweze kuitumia kufanya ishara hizo za ajabu.’’
nyoka, naye akaikimbia. 4Kisha BWANA
akamwambia, “Nyoosha mkono wako uikamate Mose Anarudi Misri
mkiani.’’ Basi Mose akanyoosha mkono 18Kisha Mose akarudi kwa Yethro mkwewe
akamkamata yule nyoka, nayo ikabadilika tena akamwambia, ‘‘Niruhusu nirudi kwa watu wangu
kuwa fimbo mkononi mwake. 5BWANA Misri kuona kama yuko hata mmoja wao
akasema, “Hivi ndivyo Waisraeli watakavyoamini ambaye bado anaishi.’’
kuwa BWANA Mungu wa baba zao, Mungu wa Yethro akamwambia, “Nenda, nami
Abrahamu, Mungu wa Isaki na Mungu wa nakutakia mema.’’
Yakobo, amekutokea wewe.’’ 19Basi BWANA alikuwa amemwambia Mose
6Kisha BWANA akamwambia, “Weka mkono huko Midiani, “Rudi Misri kwa maana watu wote
wako ndani ya joho lako.’’ Basi Mose akaweka waliotaka kukuua wamekufa.’’ 20Basi Mose
mkono wake ndani ya joho lake, naye alipoutoa, akamchukua mkewe na wanawe,
ulikuwa na ukoma, mweupe kama theluji. akawapandisha juu ya punda na kuanza safari
7Mungu akamwambia, “Sasa urudishe tena kurudi Misri. Naye akaichukua ile fimbo ya
huo mkono ndani ya joho lako.’’ Basi Mose Mungu mkononi mwake.
akaurudisha mkono wake ndani ya joho lake na 21BWANA akamwambia Mose, “Utakaporudi
alipoutoa, ulikuwa mzima, kama sehemu zingine Misri, hakikisha kwamba utafanya mbele ya
za mwili wake. Farao maajabu yote niliyokupa uwezo wa
8Ndipo BWANA akamwambia, “Kama kuyafanya. Lakini nitafanya moyo wake kuwa
hawatakuamini wewe, au kutojali ishara ya mgumu ili kwamba asiwaruhusu watu waende.
kwanza, wataamini ishara ya pili. 9Lakini kama 22Kisha mwambie Farao, ‘Hili ndilo asemalo
4
KUTOKA
24Mose alipokuwa mahali pa kulala wageni 9Fanyeni kazi kuwa ngumu zaidi kwa watu hao
akiwa njiani kurudi Misri, BWANA akakutana ili kwamba wakazane na kazi na kuacha
naye akataka kumwua. 25Lakini Sipora kusikiliza uongo.’’
akachukua jiwe gumu, akakata govi la 10Basi viongozi wa watumwa na wasimamizi
mwanawe na kugusa nalo miguu ya Mose. wakaenda kuwaambia watu, “Hivi ndivyo Farao
Sipora akasema, “Hakika wewe ni bwana arusi asemavyo: ‘Sitawapa tena nyasi. 11Nendeni
wa damu kwangu.’’ 26Sipora alipomwita Mose, mkatafute nyasi wenyewe po pote mnapoweza
“Bwana arusi wa damu,’’ alikuwa anamaanisha kuzipata, lakini kazi yenu haitapunguzwa hata
ile tohara. Baada ya hayo BWANA akamwacha. kidogo.’ ’’ 12Basi watu wakatawanyika kote
27BWANA akamwambia Aroni, “Nenda nchini Misri kukusanya mabua ya kutumia
jangwani ukamlaki Mose.’’ Basi akakutana na badala ya nyasi. 13Viongozi wa watumwa
Mose kwenye Mlima wa Mungu akambusu. wakasisitiza, wakisema, “Timizeni kazi
28Kisha Mose akamwambia Aroni kila kitu mnayotakiwa kwa kila siku, kama wakati ule
BWANA alichomtuma kusema, vile vile habari mlipokuwa mkipewa nyasi.’’ 14Wasimamizi wa
za ishara na maajabu alizokuwa amemwamuru Kiisraeli waliochaguliwa na viongozi wa
kufanya. watumwa wa Farao waliwapiga na kuwauliza,
29Mose na Aroni wakawakusanya wazee “Kwa nini hamkutimiza kiwango chenu cha
wote wa Waisraeli, 30naye Aroni akawaambia kutengeneza matofali jana na leo, kama
kila kitu BWANA alichokuwa amemwambia mwanzoni?’’
Mose. Pia akafanya ishara mbele ya watu, 31nao 15Ndipo wasimamizi wa Kiisraeli wakaenda
wangu waende, ili waweze kunifanyia sikukuu sababu mnasema, ‘Turuhusu twende
huko jangwani.’ ’’ tukamtolee BWANA dhabihu.’ 18Sasa nendeni
2Farao akasema, “Huyo BWANA ni nani, kazini. Hamtapewa nyasi zo zote, nanyi ni
hata nimtii na kuruhusu Israeli waende?. Simjui lazima mtengeneze matofali.’’
huyo BWANA wala sitawaruhusu Israeli 19Wasimamizi wa Kiisraeli walitambua kuwa
5
KUTOKA
sababu ya mkono wangu wenye nguvu 16Haya yalikuwa ndiyo majina ya wana
atawaachia watu waende, kwa sababu ya wa Lawi kufuatana na orodha zao:
mkono wangu wenye nguvu atawafukuza Gershoni, Kohathi na Merari. Lawi aliishi
waondoke nchini mwake.’’ miaka 137.
2Pia Mungu akamwambia Mose, ‘‘Mimi 17Wana wa Gershoni kwa koo, walikuwa
sikuwajulisha jina langu, Yehovaa, Mimi Ishari, Hebroni na Uzieli. Kohathi aliishi
mwenyewe sikujitambulisha kwao. 4Pia niliweka miaka 133.
agano langu nao kuwapa nchi ya Kanaani, 19Wana wa Merari walikuwa Mahli na
mtajua kuwa mimi ndimi BWANA, Mungu wenu, Aminadabu ndugu yake Nashoni, naye
niliyewatoa chini ya kongwa la Wamisri. 8Nami akamzalia Nadabu, Abihu, Eleazari na
nitawaleta mpaka nchi niliyoapa kwa mkono Ithamari.
ulioinuliwa kumpa Abrahamu, Isaki na Yakobo. 24Wana wa Kora walikuwa Asiri, Elkana
Nitawapa iwe milki yenu. Mimi ndimi BWANA.’ ’’ na Abiasafu. Hawa walikuwa ndio koo za
9Mose akawaarifu Waisraeli jambo hili, lakini Kora.
hawakumsikiliza kwa sababu ya maumivu 25Eleazari mwana wa Aroni akamwoa
awaachie Waisraeli waondoke nchini mwake.’’ Hawa walikuwa ndio wakuu wa jamaa
12Lakini Mose akamwambia BWANA, ‘‘Ikiwa za Walawi, ukoo kwa ukoo.
Waisraeli hawatanisikiliza, kwa nini yeye Farao
anisikilize mimi, ambaye huzungumza kwa 26Hawa walikuwa Aroni na Mose wale wale
kigugumizi?’’ ambao BWANA aliwaambia, “Watoeni Waisraeli
katika nchi ya Misri kwa vikosi vyao.’’ 27Ndio hao
Orodha ya Jamaa ya Mose na Aroni hao waliozungumza na Farao mfalme wa Misri
13Ndipo BWANA akanena na Mose na Aroni kuhusu kuwatoa Waisraeli Misri. Ilikuwa ni huyo
kuhusu Waisraeli na Farao mfalme wa Misri, Mose na huyo Aroni.
naye akawaamuru wawatoe Waisraeli kutoka
Misri. Aroni Kuzungumza Badala ya Mose
28BWANA aliponena na Mose huko Misri,
14Hawa walikuwa wakuu wa jamaa zao: 29akamwambia, “Mimi ndimi BWANA. Mwambie
wa kiume wa Israeli walikuwa Hanoki, Palu, kuwa mimi huzungumza kwa kigugumizi, Farao
Hesroni na Karmi. Hawa walikuwa ndio koo atanisikiliza mimi?’’
za Reubeni.
7
15Wana wa Simeoni walikuwa Yemueli, Kisha BWANA akamwambia Mose,
Yamini, Ohadi, Yakini, Sohari na Shauli “Tazama, nimekufanya kuwa kama
mwana wa mwanamke Mkanaani. Hawa Mungu kwa Farao, naye Aroni, huyo ndugu
walikuwa ndio koo za Simeoni. yako, atakuwa nabii wako. 2Utasema kila kitu
6
KUTOKA
nitakachokuagiza, naye Aroni ndugu yako vibaya, Wamisri hawataweza kunywa hayo maji
atamwambia Farao awaachie Waisraeli watoke yake.’ ’’
katika nchi yake. 3Lakini nitaufanya moyo wa 19BWANA akamwambia Mose, “Mwambie
Farao kuwa mgumu, hata ingawa nitazidisha Aroni, ‘Chukua ile fimbo yako unyoshe mkono
ishara na maajabu katika Misri, 4hatawasikiliza. wako juu ya maji ya Misri, juu ya chemchemi na
Kisha nitaupeleka mkono wangu juu ya Misri na mifereji, juu ya madimbwi na mabwawa yote’
kwa matendo makuu ya hukumu nitavitoa navyo vitabadilika kuwa damu. Damu itakuwa
vikundi vyangu, watu wangu Waisraeli. 5Nao kila mahali katika Misri, hata kwenye vyombo
Wamisri watajua kuwa Mimi ndimi BWANA vya miti na vya mawe.’’
nitakapounyosha mkono wangu dhidi ya Misri na 20Mose na Aroni wakafanya kama vile
wao. 12Kila mmoja alitupa fimbo yake chini, nayo kuyapiga maji ya Mto Nile.
ikawa nyoka. Lakini fimbo ya Aroni ikazimeza
zile fimbo zao. 13Hata hivyo moyo wa Farao
ukawa mgumu, naye hakuwasikiliza Mose na 8 Ndipo BWANA akamwambia Mose,
“Nenda kwa Farao ukamwambie, ‘Hili
Aroni, sawasawa kama vile BWANA alivyokuwa ndilo asemalo BWANA: Waachie watu wangu
amesema. waende, ili wapate kuniabudu. 2Kama ukikataa
kuwaruhusu kuondoka, basi nitaipiga nchi yako
Pigo la Kwanza - Damu yote kwa kuwaletea vyura. 3Mto Nile utafurika
14Kisha BWANA akamwambia Mose, “Moyo vyura. Watakuja kwenye jumba lako la kifalme
wa Farao ni mgumu, anakataa kuwaachia watu na katika chumba chako cha kulala na kitandani
kuondoka. 15Nenda kwa Farao asubuhi wakati mwako, katika nyumba za maafisa wako na kwa
anapokwenda mtoni. Ungoje ukingoni mwa Nile watu wako, vyura hao wataingia katika meko
ili kuonana naye, nawe uchukue mkononi yenu na kwenye vyombo vya kukandia unga.
mwako fimbo ile iliyobadilishwa kuwa nyoka. 4Vyura watapanda juu yako, juu ya watu wako
16Kisha umwambie, ‘BWANA Mungu wa na maafisa wako wote.’ ’’
Waebrania, amenituma nikuambie: Uwaachie 5Ndipo BWANA akamwambia Mose,
watu wangu waende, ili wapate kuniabudu “Mwambie Aroni, ‘nyosha mkono wako ukiwa na
jangwani. Lakini hadi sasa hujasikiliza. 17Hili ile fimbo yako juu ya vijito, mifereji na madimbwi,
ndilo BWANA asemalo: Kwa hili utajua kuwa fanya vyura waje juu ya nchi ya Misri.’ ’’
Mimi ndimi BWANA: Fimbo iliyo mkononi 6Ndipo Aroni akaunyosha mkono wake juu
mwangu nitapiga nayo maji ya Nile nayo ya maji ya Misri, nao vyura wakatokea na
yatabadilika kuwa damu. 18Samaki waliopo kuifunika nchi. 7Lakini waganga wakafanya vivyo
katika Mto Nile watakufa, nao mto utanuka hivyo kwa siri ya uganga wao, nao pia
7
KUTOKA
wakafanya vyura kuja juu ya nchi ya Misri.’ ’’ hutawaachia watu wangu waondoke
8Ndipo Farao akamwita Mose na Aroni na nitakupelekea makundi ya mainzi juu yako, kwa
kusema, “Mwombeni BWANA awaondoe vyura maafisa wako, kwa watu wako na kwenye
kutoka kwangu na kwa watu wangu, nami nyumba zenu. Nyumba za Wamisri zitajazwa
nitawaachia watu wenu waende kumtolea mainzi, hata na ardhi yote ya Misri.
BWANA dhabihu.’’ 22“ ‘Lakini siku ile nitafanya kitu tofauti katika
9Mose akamwambia Farao, “Ninakupa nchi ya Gosheni, ambapo watu wangu wanaishi,
heshima ya kuamua ni wakati gani wa hapatakuwepo na makundi ya mainzi, ili mpate
kukuombea wewe, maafisa wako na watu wako kujua kwamba Mimi, BWANA, niko katika nchi
ili kwamba vyura watoke kwenu na kwenye hii. 23Nitaweka tofauti kati ya watu wangu na
nyumba zenu. Isipokuwa wale walio katika mto watu wenu. Ishara hii ya ajabu itatokea kesho.’ ’’
Nile.’’ 24Naye BWANA akafanya hiyo. Makundi
10Farao akasema, “Kesho.’’ makubwa ya mainzi yalimiminika katika jumba la
Mose akamjibu, “Itakuwa kama kifalme la Farao na katika nyumba za maafisa
unavyosema, ili upate kujua kwamba hakuna ye wake, pia nchi yote ya Misri ikaharibiwa na
yote kama BWANA, Mungu wetu. 11Vyura mainzi.
wataondoka kwako na katika nyumba zako, kwa 25Ndipo Farao akamwita Mose na Aroni na
maafisa wako na kwa watu wako, ila watabakia kuwaambia, “Nendeni mkamtolee Mungu wenu
katika mto Nile tu.’’ dhabihu katika nchi hii.’’
12Baada ya Mose na Aroni kuondoka kwa 26Lakini Mose akamwambia, “Hilo
Farao, Mose akamlilia BWANA kuhusu vyura halitakuwa sawa. Dhabihu tutakazomtolea
aliokuwa amewaleta kwa Farao. 13Naye BWANA BWANA, Mungu wetu zitakuwa chukizo kwa
akafanya lile Mose alilomwomba. Vyura wafia Wamisri. Kama tukitoa dhabihu ambazo ni
ndani ya nyumba, viwanjani na mashambani. chukizo mbele yao, je, hawatatupiga mawe?
Wakayakusanya malundo, nchi nzima ikanuka. 27Ni lazima twende mwendo wa siku tatu mpaka
15Lakini Farao alipoona pametokea nafuu, tufike jangwani ili tumtolee BWANA, Mungu
akaushupaza moyo wake na hakuwasikiliza wetu dhabihu, kama alivyotuagiza.’’
Mose na Aroni, kama vile BWANA alivyokuwa 28Farao akamwambia, “Nitawaruhusu
amesema. mwende kumtolea BWANA, Mungu wenu
dhabihu huko jangwani, lakini hamna ruhusa
Pigo la Tatu - Chawa kwenda mbali sana. Sasa mniombee.’’
16Ndipo BWANA akamwamba Mose, 29Mose akajibu, “Mara tu nitakapoondoka,
“Mwambie Aroni, ‘Nyosha fimbo yako uyapige nitamwomba BWANA na kesho mainzi
mavumbi ya ardhi,’ nayo nchi yote ya Misri yataondoka kwa Farao, kwa maafisa wake na
mavumbi yatakuwa viroboto.’’ 17Wakafanya kwa watu wake. Hakikisha tu kwamba Farao
hivyo, Aroni aliponyosha mkono wake wenye hatatenda kwa udanganyifu tena kwa
fimbo na kuyapiga mavumbi ya nchi, viroboto kutokuwaachia watu waende kumtolea BWANA
wakawajia watu na wanyama. Mavumbi yote dhabihu.’’
katika nchi ya Misri yakawa viroboto. 18Lakini 30Ndipo Mose akamwacha Farao na
waganga walipojaribu kutengeneza viroboto kwa kumwomba BWANA, 31naye BWANA akafanya
siri ya uganga wao, hawakuweza. Nao chawa lile Mose alilomwomba. Mainzi yakaondoka kwa
walikuwa juu ya watu na wanyama. Farao, kwa maofisa wake na kwa watu wake,
19Waganga wale wakamwambia Farao, “Hiki wala hakuna hata inzi aliyebakia. 32Lakini wakati
ni kidole cha Mungu.’’ Lakini moyo wa Farao huu pia Farao akaushupaza moyo wake, wala
ukawa mgumu naye hakuwasikiliza, kama vile hakuwaruhusu Waisraeli waondoke.
BWANA alivyosema.
Pigo la Tano – Vifo vya Mifugo
Pigo la Nne - Mainzi
20Kisha BWANA akamwambia Mose, “Amka 9 Ndipo BWANA akamwambia Mose,
“Nenda kwa Farao ukamwambie, ‘Hili ndilo
mapema asubuhi na usimame mbele ya Farao BWANA Mungu wa Waebrania asemalo:
wakati anapokwenda mtoni nawe umwambie, Waachie watu wangu waende ili wapate
‘Hili ndilo BWANA asemalo: Waachie watu kuniabudu.” 2Kama ukikataa kuwaachia waende,
wangu waende, ili wapate kuniabudu. 21Kama nawe ukiendelea kuwashikilia, 3mkono wa
8
KUTOKA
BWANA utaleta pigo baya kwa mifugo yako, juu wakati kama huu nitaleta mvua mbaya sana ya
ya farasi wako, punda, ngamia, ng'ombe wako, mawe ambayo haijapata kunyesha katika nchi
kondoo na mbuzi. 4Lakini BWANA ataweka ya Misri, tangu siku ilipoumbwa mpaka leo.
tofauti kati ya mifugo ya Israeli na ile ya Misri, 19Sasa toa amri urudishe wanyama wote watoke
kuwa hakuna mwingine kama Mimi katika dunia nje ya mji, nitanyoosha mikono yangu juu
yote. 15Kwa kuwa mpaka sasa ningelikuwa kumwomba BWANA. Ngurumo zitakoma na
nimenyoosha mkono wangu na kukupiga wewe hapatakuwepo mvua ya mawe tena, ili upate
na watu wako kwa pigo ambalo lingekufutilia kujua kuwa, nchi ni mali ya BWANA. 30Lakini
mbali juu ya nchi. 16Lakini nimekuacha wewe ninajua kuwa wewe na maafisa wako bado
uwepo kwa kusudi hili hasa, ili nipate hamumwogopi BWANA, Mungu.”
kukuonyesha uwezo wangu na ili jina langu 31(Kitani na shayiri viliharibiwa, kwa kuwa
lipate kutangazwa katika dunia yote. 17Bado shayiri ilikuwa na masuke na kitani ilikuwa katika
unaendelea kujiinua juu ya watu wangu, wala kutoa maua. 32Hata hivyo, ngano na jamii
hutaki kuwaachia waende. 18Kwa hiyo, kesho nyingine ya ngano hazikuharibiwa kwa sababu
9
KUTOKA
zilikuwa hazijakomaa bado.) 10Farao akasema, ‘‘BWANA awe pamoja
33Kisha Mose akaondoka kwa Farao nanyi, kama nikiwaruhusu mwondoke pamoja na
akaenda nje ya mji. Mose akanyoosha mikono wanawake zenu na watoto wenu! Ni wazi
yake kuelekea kwa BWANA, ngurumo na mvua kwamba mna makusudi mabaya. 11La hasha!
ya mawe vikakoma, mvua haikuendelea tena Wanaume peke yao na waende, wakamwabudu
kunyesha nchini. 34Farao alipoona kwamba BWANA, kwa kuwa hilo ndilo mmekuwa
mvua ya mawe na ngurumo zimekoma, mkiomba.’’ Kwa hiyo Mose na Aroni
akafanya dhambi tena. Yeye na maafisa wake wakaondolewa mbele ya Farao.
wakafanya mioyo yao kuwa migumu. 35Kwa hiyo 12Basi BWANA akamwambia Mose,
moyo wa Farao ukawa mgumu, wala “Nyosha mkono wako juu ya Misri ili kundi la
hakuwaachia Waisraeli waende, kama vile nzige liweze kuingia juu ya nchi na kutafuna kila
BWANA alivyokuwa amesema kupitia Mose. kitu kiotacho katika mashamba na kila kitu
kilichosazwa na ile mvua ya mawe.’’
Pigo la Nane - Nzige 13Kwa hiyo Mose akanyoosha fimbo yake
10
KUTOKA
tatu. Lakini Wasraeli wote walikuwa na mwanga ya Misri na Israeli. 8Maafisa hawa wako wote
katika maeneo yao waliyokuwa wanaishi. watanijia, wakisujudu mbele yangu, wakisema,
24Ndipo Farao akamwita Mose na kusema, ‘Ondoka, wewe pamoja na watu wako wote
“Nendeni, mkamwabudu BWANA. Hata wanaokufuata!’ Baada ya haya nitaondoka.’’
wanawake na watoto wenu mwaweza kwenda Kisha Mose, huku akiwa amewaka hasira
nao pia, lakini kondoo, mbuzi na ng'ombe wenu akamwacha Farao.
waacheni.’’ 9BWANA alikuwa amemwambia Mose,
25Lakini Mose akasema, “Huna budi “Farao atakataa kukusikiliza, ili maajabu yangu
kuturuhusu tuwe na dhabihu na sadaka za yapate kuongezeka katika nchi ya Misri.” 10Mose
kuteketezwa za kutoa mbele za BWANA, Mungu na Aroni wakafanya maajabu haya yote mbele
wetu. 26Sisi ni lazima tuondoke na mifugo yetu ya Farao, lakini BWANA akaufanya moyo wa
pia, wala hakuna ukwato utakaoachwa nyuma. Farao kuwa mgumu, wala hakuwaachia
Inatupasa kutumia baadhi ya hiyo mifugo katika Waisraeli waondoke katika nchi yake.
kumwabudu BWANA, Mungu wetu, kwa kuwa
mpaka tutakapofika huko hatutakuwa Pasaka
tumefahamu ni nini tutakachotumia katika
kumwabudu BWANA.’’
27Lakini BWANA akaufanya moyo wa Farao
12 BWANA akamwambia Mose na Aroni
katika nchi ya Misri, 2“Mwezi huu
utakuwa mwanzo wa miezi kwenu, yaani, mwezi
kuwa mgumu, hakuwa radhi kuwaachia wa kwanza wa mwaka wenu. 3Iambie jumuiya
waondoke. 28Farao akamwambia Mose, yote ya Israeli kwamba katika siku ya kumi ya
“Ondoka mbele yangu! Hakikisha kuwa hutakuja mwezi huu, kila mtu atatwaa mwana kondoo
mbele yangu tena! Siku ile utakapouona uso mmoja kwa ajili ya familia yake, mmoja kwa kila
wangu utakufa.’’ nyumba. 4Ikiwa nyumba yo yote ina watu
29Mose akamjibu, “Iwe kama ulivyosema! wachache wasioweza kumaliza huyo mwana
Kamwe sitauona uso wako tena.’’ kondoo mzima, nyumba hiyo itabidi ishirikiane
na nyumba ya jirani wa karibu, baada ya
Pigo la Kumi – Kuuawa Wazaliwa wa Kwanza kuzingatia idadi ya watu waliomo. Mtaangalia ni
11 Basi BWANA alikuwa amemwambia
Mose, “Nitaleta pigo moja zaidi kwa
kiasi gani cha nyama kitahitajika kulingana na
mahitaji ya kila mtu. 5Wanyama
Farao na katika nchi ya Misri. Baada ya hilo, mtakaowachagua, lazima wawe wa kiume wa
atawaacha mwondoke hapa na atakapofanya umri wa mwaka mmoja wasio kuwa na dosari,
hivyo, atawafukuza mtoke kabisa. 2Waambie mwaweza kuwachukua kati ya kondoo au
watu wote waume kwa wake wawaombe mbuzi. 6Tunzeni wanyama hao mpaka siku ya
majirani zao vitu vya fedha na vya dhahabu.’’ kumi na nne ya mwezi, ambapo lazima watu wa
3(BWANA akawafanya Wamisri wawe na moyo jumuiya yote ya Israeli wachinje wanyama hao
wa ukarimu kwa Waisraeli, naye Mose wakati wa jioni. 7Ndipo watakapochukua baadhi
mwenyewe akaheshimiwa sana na maafisa wa ya hiyo damu na kuipaka kwenye vizingiti na
Farao na watu wote katika nchi ya Misri.) miimo ya milango ya nyumba ambamo watakula
4Kwa hiyo Mose akasema, “Hili ndilo wanakondoo hao. 8Usiku huo huo watakula
BWANA asemalo: ‘Panapo usiku wa manane nyama iliyookwa kwenye moto, pamoja na
Mimi nitapita katika nchi yote ya Misri. 5Kila mboga chungu za majani na mikate isiyotiwa
mwanamume kifungua mimba katika Misri chachu. 9Msile nyama mbichi wala
atakufa, kuanzia mzaliwa wa kwanza wa kiume iliyochemshwa, lakini iwe imeokwa kwenye
wa Farao, aketiye penye kiti cha ufalme, hadi moto, kichwa, miguu na nyama zake za ndani.
mzaliwa wa kwanza wa kiume wa mtumwa wa 10Msibakize nyama yo yote mpaka asubuhi,
kike, anayesaga nafaka kwa jiwe, pamoja na kila nazo kama zitabakia mpaka asubuhi, lazima
mzaliwa wa kwanza wa mifugo. 6Patakuwepo mziteketeze kwa moto. 11Hivi ndivyo
kilio kikubwa katika nchi yote ya Misri, kilio mtakavyokula: Mtajifunga mikanda viunoni,
kibaya ambacho hakijakuwepo wala kamwe mtakuwa mmevaa viatu vyenu miguuni na fimbo
hakitakuwepo tena. 7Lakini miongoni mwa zenu mkononi mwenu. Mle kwa haraka, hii ni
Waisraeli hakuna hata mbwa atakayembwekea Pasaka ya BWANA.
mwanadamu wala mnyama ye yote.’ Ndipo 12“Usiku uo huo nitapita katika nchi yote ya
mtakapojua kuwa BWANA huweka tofauti kati Misri na kumwua kila mzaliwa wa kwanza, wa
11
KUTOKA
wanadamu na wa wanyama, nami nitaihukumu atakayowapa kama alivyoahidi, shikeni desturi
miungu yote ya Misri. Mimi ndimi BWANA. hii. 26Watoto wenu watakapowauliza, ‘Sikukuu
13Damu itakuwa ishara kwa ajili yenu ya hii ina maana gani kwenu?’ 27Basi waambieni,
kuonyesha nyumba ambazo mtakuwamo, nami ‘Hii ni dhabihu ya Pasaka kwa BWANA, ambaye
nitakapoiona damu, nitapita juu yenu. Hakuna alipita juu ya nyumba za Waisraeli katika nchi ya
pigo la uharibifu litakalowagusa ninyi Misri na hakudhuru nyumba zetu alipowapiga
nitakapoipiga Misri. Wamisri.’ ’’ Ndipo watu wa Israeli waliposujudu
14Siku hii itakuwa kumbukumbu kwenu. na kuabudu. 28Waisraeli wakafanya kama vile
Mtaiadhimisha kuwa sikukuu kwa BWANA, BWANA alivyomwagiza Mose na Aroni.
katika vizazi vyenu vyote mtaishika kuwa amri 29Ilipofika usiku wa manane BWANA
ya kudumu. 15Kwa siku saba mtakula mikate akawapiga wazaliwa wa kwanza wote katika
isiyotiwa chachu. Katika siku ya kwanza Misri, kuanzia mzaliwa wa kwanza wa Farao,
mtaondoa chachu yote ndani ya nyumba zenu, mrithi wa kiti cha ufalme, hadi mzaliwa wa
kwa maana ye yote atakayekula cho chote kwanza wa mfungwa, aliyekuwa gerezani na
chenye chachu kuanzia siku ya kwanza hadi ya wazaliwa wa kwanza wa mifugo yote pia.
saba lazima akatiliwe mbali kutoka katika Israeli. 30Farao na maafisa wake wote na Wamisri wote
16Katika siku ya kwanza mwe na kusanyiko wakaamka usiku na kulikuwa na kilio kikubwa
takatifu, na kusanyiko jingine katika siku ya katika nchi ya Misri, kwa kuwa haikuwepo
saba. Katika siku hizo msifanye kazi kamwe nyumba ambayo hakufa mtu.
isipokuwa kutayarisha chakula cha kila mmoja,
hilo ndilo tu mtakalofanya. Kutoka
17“Mtaadhimisha Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa 31Wakati huo Farao akawaita Mose na Aroni
Chachu, kwa sababu hiyo ndiyo siku ile na kuwaambia, “Ondokeni! Tokeni katika watu
niliyovitoa vikosi vyenu kutoka Misri. wangu, ninyi pamoja na Waisraeli! Nendeni
Mtaiadhimisha siku hii kwa vizazi vyenu vyote mkamwabudu BWANA kama mlivyoomba.
kuwa amri ya kudumu. 18Katika mwezi wa 32Chukueni makundi yenu ya kondoo na mbuzi
kwanza mtakula mikate isiyotiwa chachu, pamoja na ng'ombe, kama mlivyosema, nanyi
kuanzia jioni ya siku ya kumi na nne hadi jioni ya mwende zenu. Nanyi pia mnibarikini.’’
siku ya ishirini na moja. 19Kwa muda wa siku 33Wamisri wakawahimiza Waisraeli
saba isionekane chachu yo yote katika nyumba waondoke kwa haraka na kuacha nchi yao. Kwa
zenu. Ye yote alaye cho chote chenye chachu kuwa walisema, “La sivyo, tutakufa wote!’’
ndani yake, lazima akatiliwe mbali kutoka katika 34Hivyo watu wakachukua donge lao la unga
jumuiya ya Israeli, akiwa ni mgeni au mzawa. kabla ya kutiwa chachu, wakaweka ndani ya
20Msile cho chote kilichotiwa chachu. Po pote mabakuli ya kukandia wakayaviringisha katika
muishipo, ni lazima mle mikate isiyotiwa vitambaa na kuyabeba mabegani mwao.
chachu.’’ 35Waisraeli wakafanya kama Mose
21Ndipo Mose akawaita wazee wote wa alivyowaelekeza nao wakawaomba Wamisri
Israeli na kuwaambia, ‘‘Nendeni mara moja wawapatie vitu vya fedha, dhahabu na nguo.
mkachague wanyama kwa ajili ya jamaa zenu 36Basi BWANA alikuwa amewafanya Wamisri
mkachinje mwana kondoo wa Pasaka. kuwa wakarimu kwa hawa watu, wakawapatia
22Chukueni kitawi cha hisopo, kichovyeni Waisraeli vile walivyotaka kwao, kwa hiyo
kwenye damu iliyopo kwenye sinia na kuipaka wakawateka nyara Wamisri.
baadhi ya hiyo damu kwenye vizingiti na kwenye 37Waisraeli wakasafiri kutoka Ramesesi
miimo yote miwili ya milango. Mtu ye yote mpaka Sukothi. Walikuwepo wanaume wapatao
asitoke nje ya mlango wa nyumba yake mpaka 600,000 waendao kwa miguu bila kuhesabu
asubuhi. 23BWANA apitapo katika nchi yote wanawake na watoto. 38Watu wengine wengi
kuwapiga Wamisri, ataiona damu juu ya vizingiti wakafuatana nao, pamoja na makundi makubwa
na kwenye miimo ya milango naye atapita juu, ya mifugo wakiwemo kondoo, mbuzi na
wala hatamruhusu mwangamizi kuingia katika ng’ombe. 39Wakatengeneza maandazi
nyumba zenu na kuwapiga ninyi. yasiyotiwa chachu kwa ule unga uliokandwa
24‘‘Shikeni maagizo haya kuwa kanuni ya waliokuwa wameutoa Misri, donge hilo la unga
kudumu kwenu na kwa ajili ya wazao wenu. halikuwa limetiwa chachu, kwa kuwa walikuwa
25Mtakapoingia katika nchi BWANA wameondolewa Misri kwa haraka nao
12
KUTOKA
hawakuwa na muda wa kuandaa chakula chao. ya saba utamfanyia BWANA sikukuu. 7Kwa
40Waisraeli walikuwa wameishi Misri kwa muda wa siku saba utakula mikate isiyotiwa
muda wa miaka 430. 41Ilikuwa ni siku ya mwisho chachu, pasionekane kitu cho chote kilicho na
ya hiyo miaka 430, vikosi vyote vya BWANA chachu miongoni mwako, wala chachu yo yote
vilipokuwa vimeondoka Misri. 42Kwa sababu isionekane po pote ndani ya mipaka yako. 8Siku
BWANA aliutenga usiku ule ili kuwatoa Waisraeli ile utamwambia mwanao, ‘Nafanya hivi kwa
katika nchi ya Misri, katika usiku huu Waisraeli sababu ya jambo ambalo BWANA alinitendea
wote wanapaswa kuadhimisha kwa kukesha ili nilipotoka katika nchi ya Misri.’ 9Adhimisho hili,
kumheshimu BWANA katika vizazi vijavyo. litakuwa kama alama kwenye mkono wako na
43BWANA akamwambia Mose na Aroni, ukumbusho katika paji lako la uso, kwamba
“Haya ndiyo masharti kwa ajili ya Pasaka: sheria ya BWANA inapaswa iwe kinywani
“Mgeni hataruhusiwa kula Pasaka. mwako. Kwa kuwa BWANA alikutoa katika nchi
44Mtumwa ye yote ambaye mmemnunua aweza ya Misri kwa mkono wake wenye nguvu. 10Ni
kuila kama mmemtahiri, 45lakini kibarua ye yote lazima uishike amri hii kwa wakati uliopangwa
au msafiri haruhusiwi kula. mwaka baada ya mwaka.
46Sharti iliwe ndani ya nyumba, msichukue 11Baada ya BWANA kukuingiza katika nchi
nyama yo yote nje ya nyumba hiyo. Msiuvunje ya Wakanaani na kukupa nchi hiyo, kama
mfupa wo wote. 47Jumuiya yote ya Israeli ni alivyokuahidi kwa kiapo na kwa baba zako,
lazima waiadhimishe Pasaka hiyo. 12inakupasa kumtolea BWANA mzaliwa wa
48Mgeni aishiye miongoni mwenu ambaye kwanza wa kila tumbo. Wazaliwa wote wa
anataka kuadhimisha Pasaka ya BWANA ni kwanza wa kiume wa mifugo yako ni mali ya
lazima wanaume wote waliomo nyumbani BWANA. 13Kila mzaliwa wa kwanza wa punda
mwake wawe wametahiriwa, ndipo aweze utamkomboa kwa mwana kondoo, lakini kama
kushiriki kama mzawa. Mwanaume ye yote hukumkomboa, utamvunja shingo yake. Kila
asiyetahiriwa haruhusiwi kuila. 49Sheria iyo hiyo mzaliwa wa kwanza mwanaume miongoni mwa
itamuhusu mzawa na mgeni anayeishi miongoni wana wenu utamkomboa.
mwenu.’’ 14“Katika siku zijazo, mwanao akikuuliza, ‘Hii
50Waisraeli wote walifanya kama vile ina maana gani?’ Mwambie, ‘Kwa mkono wenye
BWANA alivyomwagiza Mose na Aroni. 51Siku nguvu BWANA alitutoa katika nchi ya Misri,
ile ile BWANA akawatoa Waisraeli katika nchi ya kutoka nchi ya utumwa. 15Farao alipokataa kwa
Misri kwa vikosi vyao. ukaidi kuturuhusu kuondoka, BWANA aliua kila
mzaliwa wa kwanza wa Wamisri, mwanadamu
Kuwekwa Wakfu kwa Wazaliwa wa Kwanza na wa mnyama. Hii ndiyo sababu ninatoa
chachu. 4Leo, katika mwezi wa Abibu a , hakuwaongoza kufuata njia ipitiayo katika nchi
mnatoka. 5BWANA atakapokuleta katika nchi ya ya Wafilisti, ingawa njia hiyo ilikuwa fupi zaidi.
Wakanaani, Wahiti, Waamori, Wahivi na Kwa maana Mungu alisema, “Wakikabiliana na
Wayebusi, nchi aliyowaapia baba zako kukupa, vita, wanaweza kubadili mawazo yao na kurudi
nchi itiririkayo maziwa na asali, utaiadhimisha Misri.’’ 18Kwa hiyo Mungu akawaongoza watu
sikukuu hii katika mwezi huu: 6Kwa siku saba kupitia njia ya kuzunguka kupitia jangwani,
utakula mikate isiyotiwa chachu na katika siku kuelekea Bahari ya Shamu. Waisraeli walipanda
kutoka katika nchi ya Misri wakiwa wamejiandaa
a4 Abibu hili ni jina la mwezi wa nne, ambao ndio mwezi wa kwa vita.
kwanza kwa Wayahudi. 19Mose akachukua mifupa ya Yosefu kwa
13
KUTOKA
sababu Yosefu alikuwa amewaapisha wana wa kututoa Misri? 12Hatukukuambia tulipokuwa
Israeli. Alikuwa amewaambia, “Hakika Mungu huko Misri, tuache tuwatumikie Wamisri?
atakuja kuwasaidia, nanyi ni lazima mwiichukue Ingekuwa vema zaidi kwetu kuwatumikia
mifupa yangu mwende nayo kutoka mahali Wamisri kuliko kufa jangwani!’’
hapa.’’ 13Mose akawajibu Waisraeli, “Msiogope.
20Baada ya Waisraeli kuondoka Sukothi Simameni imara, nanyi mtauona wokovu
wakapiga kambi huko Ethamu ukingoni mwa BWANA atakaowapatia leo. Hao Wamisri
jangwa. 21Wakati wa mchana BWANA mnaowaona leo kamwe hamtawaona tena.
aliwatangulia kwa nguzo ya wingu kuwaongoza 14BWANA atawapigania ninyi, nanyi mnatakiwa
kusafiri mchana au usiku. 22Ile nguzo ya wingu nini wewe unanililia? Waambie Waisraeli
wakati wa mchana au ile nguzo ya moto wakati waendelee mbele. 16Inua fimbo yako na
wa usiku haikuondoka mahali pake mbele ya unyoshe mkono wako juu ya bahari ili kuyagawa
watu. maji, hivyo kwamba Waisraeli wapate kupita
mahali pakavu baharini. 17Nitaifanya mioyo ya
Kuvuka Bahari ya Shamu Wamisri kuwa migumu kusudi waingie baharini
limewafungia.’ 4Nami nitaufanya moyo wa Farao akisafiri mbele ya jeshi la Israeli, akaondoka
mgumu, naye atawafuatilia. Lakini nitajipatia akakaa nyuma yao. Pia ile nguzo ya wingu
utukufu kwa ajili yangu mwenyewe kupitia Farao ikaondoka hapo mbele yao na kusimama
na jeshi lake lote, nao Wamisri watajua kuwa nyuma, 20ikakaa kati ya majeshi ya Misri na
mimi ndimi BWANA.’’ Kwa hiyo Waisraeli Israeli. Usiku kucha wingu likalileta giza upande
wakafanya hivyo. mmoja na nuru kwa upande mwingine, kwa hiyo
5Mfalme wa Misri alipoambiwa kuwa hakuna aliyemkaribia mwenzake usiku kucha.
Waisraeli wamekimbia, Farao na maafisa wake 21Ndipo Mose akanyosha mkono wake juu
wakabadili nia zao kuhusu Waisraeli, ya bahari, naye BWANA akayasukuma maji ya
wakasema, “Tumefanya nini? Tumewaachia bahari nyuma kwa upepo mkali wa mashariki
Waisraeli waende zao na tumeukosa utumishi usiku ule wote na kupafanya nchi kavu. Maji
wao!’’ 6Kwa hiyo akaandaliwa gari lake la vita yakagawanyika, 22nao Waisraeli wakapita
naye akaenda pamoja na jeshi lake. 7Akachukua baharini mahali pakavu, maji yakiwa ukuta
magari bora mia sita, pamoja na magari upande wao wa kuume na upande wao wa
mengine yote ya Misri, pamoja na maofisa wa kushoto.
magari hayo yote. 8BWANA akaufanya mgumu 23Wamisri wakawafuatia, pamoja na farasi
moyo wa Farao, mfalme wa Misri, kwa hiyo wote wa Farao, magari ya vita na wapanda
akawafuatia Waisraeli, waliokuwa wakiondoka farasi ndani ya bahari. 24Karibia mapambazuko,
Misri kwa ujasiri. 9Wamisri, farasi wote wa Farao BWANA akaliangalia jeshi la Wamisri kutoka
na magari ya vita, wapanda farasi na vikosi vya katika ile nguzo ya moto na ya wingu,
askari, wakawafuatia Waisraeli, wakawakuta akalifadhaisha. 25Mungu akayaondoa
karibu na Pi-hahirothi mkabala na Baal-Sefoni magurudumu ya magari yao, kwa hivyo
walipokuwa wamepiga kambi kando ya bahari. wakayaendesha kwa shida. Nao Wamisri
10Farao alipokaribia, Waisraeli wakainua wakasema, “Tuachane na Waisraeli! BWANA
macho yao wakawaona Wamisri, wakija nyuma anawapigania dhidi ya Misri.’’
yao. Wakashikwa na hofu wakamlilia BWANA.
11Wakamwambia Mose, “Je, ni kwamba Wafuatiliaji Wazama
hayakuweko makaburi huko Misri hata 26Ndipo BWANA akamwambia Mose,
umetuleta tufe huku jangwani? Umetufanyia nini “Nyosha mkono wako juu ya bahari ili maji
14
KUTOKA
yarudiane yawafunike Wamisri, magari yao ya maji yalijilundika.
vita na wapanda farasi wao.’’ 27Mose akanyosha Mawimbi ya maji yakasimama imara kama
mkono wake juu ya bahari, wakati wa ukuta,
mapambazuko bahari ikarudiana na kuwa kama vilindi vikagandamana ndani ya moyo wa
kawaida. Wamisri wakajaribu kuyakimbia maji, bahari.
lakini BWANA akawasukumia ndani ya bahari.
28Maji yakarudiana na kuyafunika magari ya vita 9‘‘Adui alijivuna,
na wapanda farasi pamoja na jeshi lote la Farao ‘nitawafuatia, nitawapata.
lililokuwa limewafuata Waisraeli ndani ya bahari. Nitagawanya nyara,
Hakuna hata mmoja wao aliyenusurika. nitajishibisha kwa wao.
29Lakini Waisraeli wakapita baharini mahali Nitafuta upanga wangu
pakavu, ukiwepo ukuta wa maji upande wao wa na mkono wangu utawaangamiza.’
kuume na upande wao wa kushoto. 30Siku ile 10Lakini ulipuliza kwa pumzi yako,
Yeye ni Mungu wangu, nami nitamsifu, viongozi wa Moabu watatetemeka kwa hofu,
Mungu wa baba yangu, nami nitamtukuza. watu wa Kanaani watayeyuka,
3BWANA ni shujaa wa vita, 16vitisho na hofu vitawaangukia.
15
KUTOKA
yakawafunika, lakini wana wa Israeli walipita 4Kisha BWANA akamwambia Mose,
baharini mahali pakavu. 20Kisha Miriamu yule “Nitanyesha mikate kutoka mbinguni kwa ajili
nabii mke, ndugu yake Aroni akachukua matari yenu. Watu watatoka kila siku na kukusanya
mkononi mwake na wanawake wote kitakachowatosha kwa siku ile, kwa njia hii,
wakamfuata na matari yao wakicheza. 21Miriamu nitawajaribu nione kama watafuata maelekezo
akawaimbia: yangu. 5Siku ya sita watatayarisha kile
waletacho ndani, nacho kitakuwa mara mbili
‘‘Mwimbieni BWANA, kuliko ya kile walichokusanya kila siku.’’
kwa maana ametukuka sana. 6Kwa hiyo Mose na Aroni wakawaambia
wenu na kuyafanya yaliyo sawa machoni pake, manung'uniko ya Waisraeli. Waambie, ‘Jioni
kama mkiyatii maagizo yake na kuzishika amri mtakula nyama, na asubuhi mtashiba mikate.
zake zote, sitaleta juu yenu ugonjwa wo wote Ndipo mtajua ya kwamba Mimi ndimi BWANA,
niliowaletea Wamisri, kwa kuwa Mimi ndimi Mungu wenu.’ ’’
BWANA, niwaponyaye.’’ 13Jioni ile kware wakaja wakaifunika kambi
27Kisha wakafika Elimu, mahali palipokuwa na asubuhi kulikuwa na tabaka la umande
na chemchemi kumi na mbili na miti sabini ya kuzunguka kambi. 14Wakati umande
mitende, wakapiga kambi huko karibu na maji. ulipoondoka, vipande vidogo vidogo kama theluji
vilionekana juu ya uso wa jangwa. 15Waisraeli
Mana na Kware walipoona, wakaambiana, “Hiki ni nini?’’ Kwa
16
KUTOKA
yule aliyekusanya kidogo hakuwa na upungufu. Sanduku la Agano. 35Waisraeli wakala mana
Kila mmoja alikusanya kiasi alichohitaji. kwa miaka arobaini, mpaka walipofika katika
19Kisha Mose akawaambia, “Mtu ye yote nchi iliyokaliwa na watu. Walikula mana mpaka
asibakize cho chote mpaka asubuhi.’’ walipofika mpakani mwa Kanaani.
20Hata hivyo, wengine hawakuzingatia 36(Pishi moja c ni sehemu moja ya kumi ya
Hifadhini cho chote kinachobaki na mkiweke wakanung’unika dhidi ya Mose, wakisema, “Kwa
mpaka asubuhi.’ ’’ nini ulitutoa kule Misri, ukatuleta hapa utuue kwa
24Kwa hiyo wakavihifadhi mpaka asubuhi, kiu sisi, watoto wetu na mifugo yetu?’’
kama Mose alivyoagiza, havikunuka wala kuwa 4Kisha Mose akamlilia BWANA, akasema,
na mabuu. 25Mose akawaambia, “Kuleni leo, “Niwafanyie nini watu hawa? Sasa wanakaribia
kwa sababu leo ni Sabato kwa BWANA. kunipiga kwa mawe.’’
Hamtapata cho chote juu ya nchi leo. 26Kwa siku 5BWANA akamjibu Mose, “Pita mbele ya
sita mtakusanya, lakini siku ya saba, yaani watu. Wachukue pamoja nawe baadhi ya wazee
Sabato, hakutakuwepo cho chote.’’ wa Israeli, ichukue mkononi mwako ile fimbo
27Hata hivyo baadhi ya watu wakatoka uliyopiga nayo Mto Nile, nawe uende. 6Huko
kwenda kukusanya siku ya saba, lakini nitasimama mbele yako karibu na mwamba wa
hawakupata cho chote. 28Ndipo BWANA Horebu. Uupige mwamba na maji yatatoka
akamwambia Mose, “Je, mtaacha kushika ndani yake kwa ajili ya watu kunywa.’’ Kwa hiyo
maagizo na maelekezo yangu mpaka lini? Mose akafanya haya mbele ya wazee wa Israeli.
29Fahamuni kuwa BWANA amewapa ninyi 7Naye akapaita mahali pale Masa a na Meriba b ,
Sabato, ndiyo sababu katika siku ya sita kwa sababu Waisraeli waligombana na
amewapa mikate ya siku mbili. Kila mmoja kumjaribu BWANA wakisema, “Je, BWANA yu
inampasa kukaa pale alipo katika siku ya saba. pamoja nasi au la?’’
Hata mmoja haruhusiwi kutoka.’’ 30Kwa hiyo
watu wakapumzika siku ya saba. Vita na Waamaleki
31Watu wa Israeli wakaita ile mikate Mana b . 8Waamaleki wakaja na kuwashambulia
Ilikuwa myeupe kama mbegu za mtama na Waisraeli huko Refidimu. 9Mose akamwambia
ladha yake ilikuwa kama mkate mwembamba Yoshua, “Chagua baadhi ya watu wetu na
uliotengenezwa kwa asali. 32Mose akasema, uende kupigana na Waamaleki. Kesho
“Hivi ndivyo alivyoagiza BWANA: ‘Chukueni nitasimama juu ya kilima nikiwa na fimbo ya
pishi ya mana na kuhifadhi kwa ajili ya vizazi Mungu mkononi mwangu.’’
vijavyo ili vione mikate niliyowapa mle jangwani 10Kwa hiyo Yoshua akapigana na
nilipowatoa katika nchi ya Misri.’ ” Waamaleki kama Mose alivyomwagiza, nao
33Kwa hiyo Mose akamwambia Aroni, Mose, Aroni na Huri wakapanda juu ya kilima.
“Chukua gudulia na uweke pishi moja ya mana 11Ikawa wakati wote Mose alipokuwa
ndani yake. Kisha uweke mbele za BWANA ili amenyanyua mikono yake, Waisraeli walikuwa
kihifadhiwe kwa ajili ya vizazi vijavyo.”
34Kama BWANA alivyomwagiza Mose, c36 Pishi ni sawa na omeri ambayo ni sehemu moja ya kumi ya
efa.
hatimaye Aroni alikuja kuihifadhi ndani ya d36 Efa ni sawa na kilo mbili.
a7 Masa maana yake ni kujaribu.
b31 Mana maana yake “mkate kutoka mbinguni.’’ b7 Meriba maana yake ni kugombana.
17
KUTOKA
wakishinda, lakini kila aliposhusha mikono yake BWANA, aliyekuokoa wewe kutoka mkononi
Waamaleki walishinda. 12Mikono ya Mose mwa Wamisri na Farao na aliyewaokoa watu
ilipochoka, wakachukua jiwe na kumpa alikalie. kutoka mkononi mwa Wamisri. 11Sasa najua ya
Aroni na Huri wakaishikilia juu mikono ya Mose, kuwa BWANA ni mkuu kuliko miungu mingine
mmoja upande huu na mwingine upande huu. yote, kwa kuwa amewatendea hivi wale
Wakaitegemeza mikono yake ikabaki imeinuliwa waliowatenda Israeli kwa ujeuri.’’ 12Kisha Yethro,
mpaka jua lilipozama. 13Kwa hiyo Yoshua baba mkwe wa Mose, akaleta sadaka ya
akalishinda jeshi la Waamaleki kwa upanga. kuteketezwa na dhabihu nyingine kwa Mungu,
14Kisha BWANA akamwambia Mose, Aroni pamoja na wazee wote wa Israeli wakaja
‘Andika mambo haya katika kitabu ili kula chakula pamoja na baba mkwe wa Mose
yakumbukwe na uhakikishe kwamba Yoshua mbele za Mungu.
amesikia, kwa sababu nitafuta kabisa
kumbukumbu la Amaleki chini ya mbingu.’’ Ushauri wa Yethro
15Mose akajenga madhabahu na kuiita, 13Siku iliyofuata, Mose akachukua nafasi
‘Yehova Nisi,’ yaani, BWANA ni Bendera yangu. yake kama hakimu wa watu, nao wakasimama
16Mose akasema, “Kwa maana mikono iliinuliwa kumzunguka kuanzia asubuhi hadi jioni. 14Baba
mpaka kwenye kiti cha Enzi cha BWANA. mkwe wake alipoona yote Mose anayowafanyia
BWANA atakuwa na vita dhidi ya Waamaleki watu, akasema, “Ni nini hiki unachowafanyia
kutoka kizazi hata kizazi.’’ watu? Kwa nini wewe unakuwa mwamuzi wa
watu hawa peke yako, wakati watu hawa
Yethro Amtembelea Mose wamesimama wakikuzunguka tangu asubuhi
18 Basi Yethro, kuhani wa Midiani, baba
mkwe wa Mose, akawa amesikia kila
mpaka jioni?’’
15Mose akamjibu, “Kwa sababu watu
kitu Mungu alichomfanyia Mose na watu wake wananijia kutaka mapenzi ya Mungu. 16Kila
wa Israeli, pia jinsi BWANA alivyowatoa Israeli wakiwa na shauri huletwa kwangu, nami
Misri. huamua kati ya mtu na mwenzake na
2Baada ya Mose kumrudisha mkewe Sipora, kuwajulisha juu ya amri na sheria za Mungu.”
Yethro baba mkwe wake, alimpokea 3pamoja na 17Baba mkwe wa Mose akamjibu,
wanawe wawili. Jina la mmoja aliitwa Gershoni, “Unachofanya sio kizuri. 18Wewe pamoja na
kwa kuwa Mose alisema, “Nimekuwa mgeni watu hawa wanaokujia mtajichosha bure. Kazi ni
katika nchi ya kigeni.’’ 4Mwingine aliitwa Eliezeri, nzito sana kwako, huwezi kuibeba mwenyewe.
kwa kuwa alisema, “Mungu wa baba yangu 19Sasa nisikilize mimi, nitakupa shauri, Mungu
alikuwa msaada wangu, akaniokoa kutoka na awe pamoja nawe. Yapasa wewe uwe
upanga wa Farao.’’ mwakilishi wa watu mbele za Mungu na ulete
5Yethro, baba mkwe wa Mose, pamoja na mashauri yao kwake. 20Uwafundishe amri na
wana wawili wa Mose na mkewe, wakamjia sheria, tena uwaonyeshe namna ya kuishi na
Mose huko jangwani, mahali alipokuwa amepiga kazi zinazowapasa wao kufanya. 21Lakini
kambi karibu na mlima wa Mungu. 6Yethro uchague watu wenye uwezo miongoni mwa
alikuwa ametuma ujumbe kwake kusema, “Mimi watu wote, watu wanaomwogopa Mungu, watu
Yethro baba mkwe wako, ninakuja kwako waaminifu wanaochukia mali ya dhuluma,
pamoja na mke wako na wanawe wawili.’’ uwateuwe wawe maafisa juu ya maelfu, mamia,
7Kwa hiyo Mose akatoka kumlaki baba hamsini na makumi. 22Waweke wawe waamuzi
mkwe wake, akainama na kumbusu. wa watu kwa wakati wote, lakini waambie
Wakasalimiana kisha wakaingia hemani. 8Mose wakuletee kila shauri lililo gumu, yale yaliyo
akamwambia baba mkwe wake kuhusu kila kitu rahisi wayaamue wao wenyewe. Hii itafanya
BWANA alichomfanyia Farao na Wamisiri, kwa mzigo wako kuwa mwepesi, kwa sababu
ajili ya Israeli na pia kuhusu shida zote watashirikiana nawe. 23Kama ukifanya hivi na
walizokutana nazo njiani na jinsi BWANA ikiwa Mungu ameagiza hivyo, utaweza kushinda
alivyowaokoa. uchovu, nao watu hawa wote watarudi nyumbani
9Yethro akafurahishwa sana kusikia juu ya wameridhika.’’
mambo yote mazuri BWANA aliyowatendea
Waisraeli katika kuwaokoa na mkono wa Kuchaguliwa kwa Waamuzi
Wamisri. 10Akasema, “Sifa na ziwe kwa 24Mose akamsikiliza baba mkwe wake na
18
KUTOKA
kufanya kila kitu alichosema. 25Akawachagua mtu hautamgusa. Akiwa mwanadamu au
watu wenye uwezo kutoka Israeli yote mnyama, hataruhusiwa kuishi.’ Ila tu wakati
akawafanya kuwa viongozi wa watu, maafisa juu baragumu itakapopigwa kwa mfululizo, ndipo
ya maelfu, mamia, hamsini na makumi. watu wote watakapopanda mlimani.’’
26Wakatumika kama waamuzi wa watu kwa 14Baada ya Mose kushuka kutoka mlimani
wakati wote. Mashauri magumu wakayaleta kwa akawaendea watu na kuwaweka wakfu, wakafua
Mose, lakini yale yaliyo rahisi wakayaamua nguo zao. 15Kisha akawaambia watu,
wenyewe. “Jitayarisheni, kwa ajili ya siku ya tatu,
27Kisha Mose akaagana na Yethro baba mwanamume ye yote asimkaribie mwanamke.’’
mkwe wake, akarudi katika nchi yake. 16Asubuhi ya siku ya tatu kulikuwa na
za tai na kuwaleta kwangu. 5Sasa kama mkinitii akamwita Mose apande juu mlimani. Kwa hiyo
kikamilifu na kutunza agano langu, basi ninyi Mose akapanda juu 21na BWANA akamwambia,
mtakuwa mali yangu ya thamani kubwa “Shuka ukawaonye watu ili wasijipenyeze
miongoni mwa mataifa yote. Ijapokuwa dunia kutafuta kumwona BWANA na wengi wao
yote ni mali yangu, 6ninyi mtakuwa kwangu wakafa. 22Hata makuhani, watakaomkaribia
ufalme wa makuhani na taifa takatifu.’ Haya BWANA ni lazima wajiweke wakfu, la sivyo
ndiyo maneno utakayosema kwa wana wa BWANA atawaadhibu.’’
Israeli. 23Mose akamwambia BWANA, “Watu
7Kwa hiyo Mose akarudi, akawaita wazee hawawezi kupanda mlima Sinai kwa sababu
wa watu na kuwaambia maneno yote ambayo wewe mwenyewe ulituonya, ‘Wekeni mipaka
BWANA alikuwa amemwamuru ayaseme. 8Watu kuuzunguka mlima na kuutenga kama
wote wakajibu kwa pamoja, “Tutafanya kila kitu patakatifu.’ ’’
BWANA alichokisema.’’ Naye Mose akarudisha 24BWANA akajibu, “Shuka ukamlete Aroni
majibu yao kwa BWANA. pamoja nawe. Lakini makuhani pamoja na watu
9BWANA akamwambia Mose, “Nitakujia wasije wakalazimisha kuja kwa BWANA, nisije
katika wingu zito, ili watu wanisikie nikinena nikawaadhibu.’’
nawe na kila mara waweke tumaini lao kwako.” 25Basi Mose akashuka kwa watu na
atakayeugusa mlima hakika atauawa. 13Hakika umbo la kitu cho chote kilicho juu
atapigwa mawe au kupigwa mishale, mkono wa mbinguni au duniani chini au ndani ya
19
KUTOKA
maji. 5Usivisujudie au kuviabudu, kwa alipokuwa.
kuwa Mimi BWANA wako ni Mungu
mwenye wivu, ninayewaadhibu watoto Sanamu na Madhabahu
kwa ajili ya dhambi ya baba zao kizazi 22Kisha BWANA akamwambia Mose,
cha tatu na cha nne cha wanichukiao, “Waambie Waisraeli hivi: ‘Mmejionea wenyewe
6lakini ninaonyesha upendo kwa vizazi kwamba nimesema nanyi kutoka mbinguni:
elfu vya wale wanipendao na kuzishika 23Msijifanyize miungu yo yote na kuilinganisha
kumhesabia hatia yeye alitajaye jina na juu yake utoe sadaka za kuteketezwa kwa
lake bure. moto na sadaka za amani, kondoo zako, mbuzi
8Ikumbuke siku ya Sabato uitakase. 9Kwa na ng’ombe zako. Po pote nitakapofanya jina
siku sita utafanya kazi zako zote, 10lakini langu liheshimiwe, nitakuja kwenu na
siku ya saba ni Sabato kwa BWANA kuwabariki. 25Ikiwa unanitengenezea
Mungu wako. Siku hiyo hutafanya kazi madhabahu ya mawe, usiijenge kwa mawe ya
yo yote, wewe wala mwana wako au kuchonga, maana mkitumia chombo cha
binti yako, wala mtumishi wako wa kuchongea mtaitia unajisi. 26Msitumie ngazi
kiume au wa kike wala wanyama wako, kupandia kwenye madhabahu yangu, uchi wako
wala mgeni aliye ndani ya malango usije ukadhihirika kwa chini.’
yako. 11Kwa kuwa kwa siku sita,
BWANA aliumba mbingu na nchi, bahari “Hizi ndizo sheria utakazoweka mbele
na vyote vilivyomo ndani yake, lakini 21 ya Waisraeli:
akapumzika siku ya saba. Kwa hiyo
BWANA akaibariki siku ya Sabato na Watumishi wa Kiebrania
kuifanya takatifu. 2“Kama ukimnunua mtumwa wa Kiebrania,
12“Waheshimu baba yako na mama yako, ili atakutumikia kwa miaka sita. Lakini katika
upate kuishi siku nyingi katika nchi mwaka wa saba, atakuwa huru naye atakwenda
anayokupa BWANA Mungu wako. zake pasipo kulipa cho chote. 3Kama akija
13“Usiue. mwenyewe, atakwenda huru mwenyewe, lakini
14“Usizini. kama akija na mke, ataondoka pamoja naye.
15“Usiibe. 4Kama bwana wake alimpatia mke naye
16“Usitoe ushuhuda wa uongo dhidi ya jirani akamzalia wana au binti, mwanamke pamoja na
yako. watoto wake watakuwa mali ya bwana wake na
17“Usiitamani nyumba ya jirani yako. huyo mwanaume ataondoka peke yake.
Usimtamani mke wa jirani yako, wala 5“Lakini kama mtumishi akisema,
mtumishi wake wa kiume au wa kike, ‘Ninampenda bwana wangu, mke wangu pamoja
wala ng’ombe wake au punda wake watoto na hataki kuwa huru, 6ndipo bwana wake
wala cho chote kile alicho nacho jirani atakapolazimika kumpeleka mbele ya waamuzi.
yako.” Kisha atampeleka kwenye mlango au kizingiti na
kutoboa sikio lake kwa shazia naye atamtumikia
18Watu walipoona ngurumo na radi na bwana wake maisha yake yote.
kusikia mlio wa tarumbeta na kuuona mlima 7“Kama mtu akimwuza binti yake kuwa
katika moshi, walitetemeka kwa woga. mtumwa, hataachwa huru kama watumwa wa
Wakasimama mbali 19na wakamwambia Mose, kiume waachiwavyo. 8Kama hakumpendeza
“Sema nasi wewe mwenyewe nasi tutakusikiliza. bwana wake aliyemchagua, huyo bwana
Lakini usimwache Mungu aseme nasi, la sivyo atamwacha akombolewe. Hatakuwa na haki ya
tutakufa.’’ kumwuza kwa wageni kwa sababu huyo bwana
20Mose akawaambia watu, “Msiogope! atakuwa amekosa uaminifu. 9Kama akimchagua
Mungu amekuja kuwajaribu, ili kwamba hofu ya aolewe na mwanawe, ni lazima ampe haki za
Mungu iwakalie msitende dhambi.” kuwa binti yake. 10Ikiwa huyo mwana aliyeozwa
21Watu wakabaki mbali, wakati Mose mtumwa mwanamke ataoa mwanamke
alipolisogelea lile giza nene mahali pale Mungu mwingine, ni lazima aendelee kumtosheleza
20
KUTOKA
huyo mke wa kwanza kwa chakula, mavazi na mwanamke kwa kumpiga kwa pembe, fahali
haki zote za ndoa. 11Iwapo hatamtosheleza kwa huyo ni lazima auawe kwa kupigwa mawe, na
mambo hayo matatu, huyo mke wa kwanza nyama yake haitaliwa. Lakini mwenye fahali
ataondoka na kuwa huru bila malipo yo yote ya huyo hatawajibika. 29Lakini hata hivyo, ikiwa
fedha. huyo fahali amekuwa na tabia ya kupiga kwa
pembe na mwenyewe ameonywa na hakutaka
Majeraha ya Mwilini kumfungia naye akamwua mwanaume au
12“Ye yote ampigaye mtu na kumwua ni mwanamke, huyo fahali ni lazima auawe kwa
lazima auawe hakika. 13Hata hivyo, kama mawe na mwenye fahali pia auawe. 30Lakini
hakumwua kwa makusudi, lakini Mungu ikiwa malipo yatatakiwa kwake, basi anaweza
akaruhusu itokee hivyo, basi atakimbilia mahali kulipa kinachodaiwa ili kuukomboa uhai wake.
nitakapomchagulia. 14Lakini kama mtu akipanga 31Sheria hii pia itatumika ikiwa fahali atampiga
na kumwua mwingine kwa makusudi, mwondoe kwa pembe mwana au binti. 32Ikiwa fahali
katika madhabahu yangu na kumwua. atampiga mtumwa wa kike au wa kiume,
15“Ye yote amshambuliaye baba yake au mwenye fahali atalipa shekeli thelathini za fedha
mama yake ni lazima auawe. kwa bwana mwenye mtumwa na fahali ni lazima
16‘‘Ye yote amtekaye nyara mwingine auawe kwa mawe.
akamuuza au akamweka kwake, akikamatwa ni 33“Kama mtu akiacha shimo wazi, ama
makubwa, mhalifu atatozwa mali kiasi cha akapigwa hata akafa, aliyemwua hana hatia ya
madai ya mume wa yule mwanamke na jinsi kumwaga damu, 3lakini jambo hilo likitokea
mahakama itakavyoamua. 23Lakini kukiwa na wakati jua limechomoza, huyo mtu atakuwa na
jeraha kubwa, ni lazima ulipe uhai kwa uhai, hatia ya kumwaga damu.
24jicho kwa jicho, jino kwa jino, mkono kwa “Mwizi huyo sharti alipe, lakini kama hana
mkono, mguu kwa mguu, 25kuchomwa moto kwa kitu, lazima auzwe ili alipe kwa ajili ya wizi wake.
kuchomwa moto, jeraha kwa jeraha, mchubuko 4“Kama mnyama aliyeibwa akikutwa hai
lazima amwache huru yule mtumwa kama fidia shamba, au shamba la mizabibu na akawaachia
ya hilo jicho. 27Kama akimvunja jino mtumwa wa wajilishe katika shamba la mtu mwingine, ni
kiume au wa kike, ni lazima amwache huru huyo lazima alipe vitu bora kutoka kwenye shamba
mtumwa kwa kufidia hilo jino. lake mwenyewe au kutoka katika shamba la
28‘‘Kama fahali akimwua mwanaume au mizabibu.
21
KUTOKA
6“Kama moto ukiwaka na kuenea kwenye mwingine dhabihu isipokuwa BWANA, lazima
vichaka vya miiba na kuteketeza miganda ya aangamizwe.
nafaka au nafaka ambayo haijavunwa au 21“Usimtendee mgeni vibaya au kumwonea,
kuteketeza shamba lote, mtu yule aliyewasha kwa kuwa nanyi mlikuwa wageni huko Misri.
moto lazima alipe. 22“Usimdhulumu mjane wala yatima. 23Kama
7“Kama mtu akimpa jirani yake fedha au ukifanya hivyo nao wakinililia, hakika nitasikia
mali nyingine amtunzie na kama vikiibwa kutoka kilio chao. 24Hasira yangu itawaka, nami
nyumba ya huyo jirani, kama mwizi atashikwa, nitawaua kwa upanga, wake zenu watakuwa
lazima alipe mara mbili. 8Lakini mwizi wajane na watoto wenu watakuwa yatima.
asipopatikana, mwenye nyumba atafika mbele 25“Kama ukimkopesha mmojawapo wa watu
ya waamuzi ili kuthibitisha kuwa hakuchukua wangu fedha ambaye ni mhitaji, usiwe kama mtu
mali ya mwenzake. 9Pakiwepo jambo lo lote la mkopesha fedha, usimtoze riba. 26Kama
mali isiyo halali, ikiwa ni maksai, punda, kondoo, ukichukua vazi la jirani kama rehani, ulirudishe
mavazi, ama mali yo yote iliyopotea ambayo kwake kabla jua kuzama, 27kwa kuwa vazi lake
fulani atasema, ‘Hii ni yangu,’ pande zote mbili ndilo pekee alilonalo la kumfunika mwili wake. Ni
wataleta mashauri yao mbele ya waamuzi. Yule nini kingine atajifunika nacho? Atakaponililia,
ambaye waamuzi watamwona kuwa na hatia, nitasikia, kwa kuwa nina huruma.
atamlipa jirani yake mara mbili. 28“Usimkufuru Mungu au kulaani mtawala
10“Kama mtu akimpa jirani yake punda, wa watu wako.
ng’ombe, kondoo au mnyama mwingine ye yote 29‘‘Usiache kutoa sadaka kutoka ghala zako
hakuna malipo yatakayohitajika. 12Lakini kama Kwa hiyo msile nyama ya mnyama aliyeraruliwa
mnyama aliibwa kwa jirani, atampasa amlipe na wanyama pori, mtupieni mbwa.
mwenye mnyama. 13Kama ameraruliwa na
mnyama pori, ataleta mabaki ya mnyama kama Sheria za Haki na Rehema
ushahidi, naye hatadaiwa kulipa mnyama
aliyeraruliwa.
14“Kama mtu akimwazima mnyama kutoka
23 ‘‘Usieneze habari za uongo. Usimsaidie
mtu mwovu kwa kuwa shahidi mwenye
nia ya kudhuru wengine.
kwa jirani yake na kama akiumia au akafa na 2“Usifuate umati wa watu katika kutenda
mwenye mnyama hayupo, lazima amlipe huyo mabaya. Unapotoa ushahidi kwenye mashtaka,
mnyama. 15Lakini mwenye mnyama akiwa usipotoshe haki ukijumuika na umati wa watu,
angalipo na mnyama wake, mwazimaji 3nawe usimpendelee mtu maskini katika
hatalazimika kumlipa. Kama mnyama alikuwa mashtaka yake.
amekodishwa, fedha iliyolipwa kwa kukodisha 4“Kama ukikutana na maksai au punda wa
kisha atamwoa msichana huyo. 17Baba wa katika mashtaka yao. 7Ujiepushe na mashtaka
msichana akikataa kata kata kumpa huyo mtu ya uongo wala usimwue mtu asiye na hatia au
huyo msichana wake, bado ni lazima huyo mtu mtu mwaminifu, kwa maana sitamhesabia hana
atalipa mahari kama inavyostahili malipo ya hatia yeye aliye na hatia.
ubikira. 8“Usipokee rushwa, kwa kuwa rushwa
18“Usiruhusu mwanamke mchawi aishi. hupofusha wale waonao na kupinda maneno ya
19“Mtu ye yote aziniye na mnyama lazima wenye haki.
auawe. 9“Usimwonee mgeni, ninyi wenyewe mnajua
20“Mtu awaye yote anayemtolea mungu jinsi mgeni anavyojisikia, kwa sababu mlikuwa
22
KUTOKA
wageni Misri. mahali nilipoandaa. 21Mtamtii na kusikiliza kile
anachokisema. Usiasi dhidi yake, kwa maana
Sheria za Sabato hatakusamehe uasi wako, kwa maana Jina
10“Kwa muda wa miaka sita mtapanda langu limo ndani yake. 22Kama ukitii kweli kweli
mashamba yenu na kuvuna mazao, 11lakini kile asemacho na kufanya yote nisemayo,
katika mwaka wa saba usiilime ardhi wala nitakuwa adui wa adui zako, nitawapinga wale
kuitumia. Ili watu walio maskini miongoni mwenu wakupingao. 23Malaika wangu atatangulia mbele
waweze kupata chakula kutoka kwenye hayo yako na kukuleta katika nchi ya Waamori,
mashamba, nao wanyama wa pori wapate Wahiti, Waperizi, Wakanaani, Wahivi na
chakula kwa yale mabaki watakayobakiza. Wayebusi, nami nitawafutilia mbali. 24Usiisujudie
Utafanya hivyo katika shamba lako la mizabibu miungu yao au kuiabudu wala kufuata desturi
na la mizeituni. yao. Utawabomoa kabisa na kuvunja vunja
12“Kwa siku sita fanya kazi zako, lakini siku mawe yao ya ibada vipande vipande.
ya saba usifanye kazi, ili maksai wako na punda 25Utamwabudu BWANA Mungu wako, na baraka
wako wapate kupumzika naye mtumwa zake zitakuwa juu ya vyakula vyako na maji
aliyezaliwa nyumbani mwako, pamoja na mgeni yako. Nami nitaondoa maradhi miongoni
wapate kustarehe. mwako, 26hakuna atakayeharibu mimba wala
13“Uzingatie kutenda kila kitu atakayekuwa tasa katika nchi yako. Nami
nilichokuambia. Usiombe kwa majina ya miungu nitakupa maisha makamilifu.
mingine, wala usiyaruhusu kusikika kinywani 27‘‘Nitapeleka utisho wangu mbele yako na
kwa wakati uliopangwa katika mwezi wa Abibu, mpaka uwe umeongezeka kiasi cha kutosha
ndio mwezi wa nne,kwa sababu katika mwezi kuimiliki nchi.
huo ulitoka Misri. 31‘‘Nitaweka mipaka ya nchi yako kuanzia
“Mtu ye yote asije mbele yangu mikono Bahari ya Shamu hadi Bahari ya Wafilisti na
mitupu. kuanzia jangwani hadi Mto Eufrati. Nitawatia
16“Utaadhimisha Sikukuu ya Mavuno kwa watu wanaoishi katika nchi hizo mikononi
malimbuko ya mazao yako uliyopanda katika mwako, nawe utawafukuza watoke mbele yako.
shamba lako. 32Usifanye agano lo lote nao wala na miungu
23
KUTOKA
kila kitu BWANA alichokuwa amesema. Utapokea sadaka kwa ajili yangu kutoka kwa
Akaamka kesho yake asubuhi na mapema kila mtu ambaye moyo wake wapenda kutoa.
na kujenga madhabahu chini ya mlima na 3Hizi ndizo sadaka utakazozipokea kutoka kwao:
kusimamisha nguzo kumi na mbili za mawe dhahabu, fedha, shaba, 4nyuzi za buluu, za
kuwakilisha makabila kumi na mawili ya Israeli. zambarau na za rangi nyekundu pamoja na
5Kisha akawatuma vijana wanaume wa Kiisraeli, nguo za kitani safi, singa za mbuzi, 5ngozi za
nao wakatoa sadaka za kuteketezwa na dhabihu kondoo waume zilizotiwa rangi nyekundu, ngozi
za mafahali wachanga kuwa sadaka za amani za mbuzi, mbao za mshita, 6mafuta ya mzeituni
kwa BWANA. 6Mose akachukua nusu ya damu kwa ajili ya taa, vikolezi kwa ajili ya mafuta ya
ya wale wanyama na kuiweka kwenye mabakuli kupaka na kwa ajili ya uvumba wenye harufu
na nusu nyingine akainyunyiza juu ya nzuri, 7vito vya shohamu na vito vingine vya
madhabahu. 7Kisha akachukua kile Kitabu cha kutiwa kwenye kile kisibau na kifuko cha kifuani.
Agano na kuwasomea watu. Nao wakajibu, 8“Kisha amuru watengeneze mahali
“Tutafanya kila kitu alichosema BWANA, nasi patakatifu kwa ajili yangu, nami nitakaa
tutatii.’’ miongoni mwao. 9Tengeneza hema hili na
8Ndipo Mose akachukua ile damu, vyombo vyake vyote sawasawa na kielelezo
akainyunyiza juu ya watu akasema, “Hii ni damu nitakacho kuonyesha.
ya agano ambalo BWANA amefanya nanyi
kufuatana na maneno haya yote.’’ Sanduku la Agano
9Mose na Aroni, Nadabu na Abihu, pamoja 10Nao watatengeneza sanduku la mbao za
na wazee sabini wa Israeli wakapanda mliman,i mshita, lenye urefu wa dhiraa mbili na nusu a ,
10nao wakamwona Mungu wa Israeli. Chini ya upana dhiraaa moja na nusu b , na kimo cha
miguu yake kulikuwa na kitu kama sakafu ya dhiraa moja na nusu. 11Utalifunika hilo sanduku
mawe ya yakuti samawi, iliyo safi kama anga kwa dhahabu safi ndani na nje na kulifanyia
angavu. 11Lakini Mungu hakuinua mkono wake ukingo wa dhahabu juu yake kulizunguka.
dhidi ya hawa viongozi wa Waisraeli, walimwona 12Utalitengenezea pete nne za dhahabu na
Mungu, nao wakala na kunywa. kuzifunga kwenye miguu yake minne, pete mbili
12BWANA akamwambia Mose, “Panda uje upande mmoja na pete mbili upande mwingine.
kwangu huku mlimani na ukae hapa, nami 13Kisha utatengeneza mipiko ya mti wa mshita
nitakupa vibao vya mawe, vyenye sheria na amri na kuzifunika kwa dhahabu. 14Utaiingiza hiyo
ambazo nimeziandika ziwe mwongozo wao.’’ mipiko kwenye hizo pete zilizo katika pande
13Basi Mose akaondoka na Yoshua mbili za hilo sanduku ili kulibeba. 15Hiyo mipiko
mtumishi wake, Mose akapanda juu kwenye itabakia daima katika hizo pete za hilo sanduku,
mlima wa Mungu. 14Mose akawaambia wazee hazitaondolewa. 16Kisha weka ndani ya hilo
wa Israeli, “Tungojeni hapa mpaka sanduku Ushuhuda nitakaokupa.
tutakapowarudia. Aroni na Huri wako pamoja 17“Tengeneza kiti cha rehema cha dhahabu
nanyi na kila aliye na neno aweza kuwaendea safi, chenye urefu wa dhiraa mbili na nusu na
wao.’’ upana wa dhiraa moja na nusu. 18Tengeneza
15Mose alipopanda juu mlimani wingu makerubi wawili kwa dhahabu iliyofuliwa kwenye
liliufunika huo mlima, 16nao utukufu wa BWANA miisho miwili ya hicho kifuniko. 19Tengeneza
ukatua juu ya Mlima Sinai. Kwa muda wa siku kerubi mmoja kwenye mwisho mmoja na kerubi
sita wingu lilifunika mlima na siku ya saba mwingine kwenye mwisho mwingine,
BWANA akamwita Mose kutoka katikati ya lile yatengeneze makerubi yawe kitu kimoja na
wingu. 17Kwa Waisraeli utukufu wa BWANA hicho kifuniko,katika miisho hiyo miwili.
ulionekana kama moto uteketezao juu ya mlima. 20Makerubi hao watakuwa wametandaza
18Kisha Mose akaingia ndani ya lile wingu mabawa kuelekea juu, yakitia kivuli hicho
alivyokuwa akipanda mlimani. Naye akakaa kifuniko. Makerubi hao wataelekeana,
huko mlimani kwa muda wa siku arobaini, wakitazama hicho kifuniko. 21Weka huo
mchana na usiku. Ushuhuda nitakaokupa ndani ya hilo sanduku la
agano na uweke hicho kifuniko juu ya hilo
Sadaka kwa Ajili ya Maskani ya Mungu sanduku. 22Hapo juu ya hicho kifuniko, kati ya
BWANA akamwambia Mose,
25 2“Waambie Waisraeli waniletee sadaka.
a10 Dhiraa mbili ni nusu ni kama sentimita 112.5
b10 Dhiraa moja ni nusu ni kama sentimita 67.5
24
KUTOKA
hao makerubi wawili walioko juu ya hilo sanduku yake. 38Vitu vya kusawazishia vya tambi na
la Ushuhuda, hapo ndipo nitakapokutana nawe vyano, vitakuwa vya dhahabu safi. 39Utatumia
na kukupa maagizo yangu kwa ajili ya Waisraeli. talanta moja g ya dhahabu safi kutengeneza
hicho kinara na hivi vifaa vyake vyote.
Meza ya Mikate ya Wonyesho 40Hakikisha kuwa umevitengeneza sawasawa
23“Tengeneza meza ya mti wa mshita yenye na kile kielelezo ulichoonyeshwa kule mlimani.
urefu wa dhiraa mbili c , upana wa dhiraa moja d
na kimo cha dhiraa moja na nusu e . 24Ifunike hiyo Maskani ya Mungu
meza kwa dhahabu safi kisha uifanyie ukingo
wa dhahabu kuizunguka pande zote. 25Kisha 26 “Tengeneza Hema kwa mapazia kumi
ya kitani iliyosokotwa vizuri na nyuzi za
tengeneza upapi wenye upana wa nyanda nne f buluu, za zambarau na za rangi nyekundu.
na ufanyie ule upapi ukingo kuuzunguka pande Fundi stadi, atatarizi makerubi kwenye mapazia
zote. 26Tengeneza pete nne za dhahabu kwa hayo. 2Mapazia yote yatakuwa na ukubwa
ajili ya meza hiyo, uzifungie kwenye pembe nne, mmoja, kila moja litakuwa na urefu wa dhiraa
kwenye miguu yake minne. 27Pete hizo zitakuwa ishirini na nane a na upana wa dhiraa nne b .
karibu na ukingo ule kushika ile mipiko ambayo 3Unganisha mapazia matano kuwa kipande
ni ya kubebea hiyo meza. 28Tengeneza mipiko kimoja, fanya vivyo hivyo kwa hayo mengine
ya mti wa mshita, uifunike dhahabu, hiyo mipiko matano. 4Tengeneza vitanzi vya kitambaa cha
itakuwa ya kuibebea hiyo meza. 29Tengeneza buluu kwenye ukingo wa pazia la mwisho la
sahani zake na masinia yake kwa dhahabu safi, kipande cha kwanza, pia kipande cha mwisho
pamoja na bilauri na bakuli zake kwa ajili ya cha pazia la pili ufanye vivyo hivyo. 5Fanya
kumiminia sadaka. 30Utaweka mikate ya vitanzi hamsini katika pazia la mwisho la
wonyesho juu ya meza hii iwe mbele yangu kipande cha kwanza na vitanzi hamsini vingine
daima. kwenye pazia la mwisho la kipande cha pili,
vitanzi vyote vielekeane. 6Kisha tengeneza
Kinara cha Taa kulabu hamsini za dhahabu ili kukaza mapazia
31“Tengeneza kinara cha taa cha dhahabu pamoja kufanya Hema liwe moja.
safi nacho kiwe cha kazi ya kufua, tako lake na 7“Tengeneza mapazia kumi na moja ya
ufito wake, vikombe vyake vinavyofanana na ua, singa za mbuzi kwa ajili ya kufunika Hema.
matovu yake na maua yake, vitakuwa vya kitu 8Mapazia hayo kumi na moja yatakuwa na
kimoja. 32Matawi sita yatatokeza kuanzia ule kipimo cha aina moja. Kila pazia litakuwa na
ufito wa katikati wa kinara cha taa, matawi urefu wa dhiraa thelathini na tatu c na upana wa
matatu upande mmoja na matawi matatu dhiraa nne. 9Unganisha hayo mapazia matano
upande mwingine. 33Vikombe vitatu mfano wa pamoja na hayo mengine sita pamoja. Kunja hilo
maua ya mlozi yenye matovu na maua yawe pazia la sita mara mbili mbele ya Hema.
katika tawi moja, matovu matatu katika tawi 10Tengeneza vitanzi hamsini ukingoni mwa
jingine na vivyo hivyo kwa matawi yote sita pazia la mwisho la kipande cha kwanza na
yaliyoanzia kwenye kinara cha taa. 34Juu ya vitanzi hamsini ukingoni mwa pazia la mwisho la
kinara chenyewe vitakuwepo vikombe vinne kipande cha pili. 11Kisha tengeneza kulabu
mfano wa maua ya mlozi, pamoja na matovu hamsini za shaba uziingize katika vile vitanzi
yake na maua yake. 35Tovu moja litakuwa chini hamsini ili kukaza Hema kuwa kitu kimoja.
ya jozi ya kwanza ya matawi yaliyoanzia kwenye 12Kuhusu kile kipande cha ziada cha pazia la
kinara cha taa, tovu la pili chini ya jozi ya pili, Hema, nusu ya hilo pazia lililobaki litaning’inizwa
nalo tovu la tatu chini ya jozi ya tatu, yaani upande wa nyuma wa Hema. 13Mapazia ya
matawi sita kwa jumla. 36Matovu na matawi yote hema yatakuwa na urefu wa dhiraa moja d zaidi
yatakuwa ya kitu kimoja na kile kinara cha taa pande zote, sehemu itakayobaki itaning’inia
vyote vitafuliwa kutoka dhahabu safi. pande zote za Hema ili kuifunika. 14Tengeneza
37Kisha tengeneza taa zake saba uziweke kifuniko cha Hema kwa ngozi za kondoo waume
juu ya kinara hicho ili ziweze kuangaza mbele zilizotiwa rangi nyekundu, juu ya kifuniko hicho
c23 Dhiraa mbili ni kama sentimita 90. g39 Talanta moja ya dhahabu ni kama kilo 34.
d23 Dhiraa moja ni kama sentimita 45. a2 Dhiraa ishirini na nane ni kama mita 13.
e23 Dhiraa moja na nusu ni kama sentimita 67.5. b2 Dhiraa nne ni kama mita 1.8.
f25 Nyanda nne ni kama sentimita 8. c8 dhiraa thelathini na tatu ni kama mita 15.3.
d13 dhiraa moja ni kama sentimita 45.
25
KUTOKA
ufunike ngozi laini za wanyama. 36‘‘Kwaajili ya lango la hema tengeneza
15“Tengeneza mihimili ya mti wa mshita kwa pazia la nyuzi za buluu, za zambarau na za
ajili ya Hema. 16Kila mhimili uwe na urefu wa rangi nyekundu na kitani safi iliyosokotwa vizuri,
dhiraa kumi e na upana wake dhiraa moja na ambayo ni kazi ya mtarizi. 37Tengeneza kulabu
nusu f , 17ikiwa na ndimi mbili zilizo sambamba. za dhahabu kwa ajili ya hilo pazia na nguzo tano
Tengeneza mihimili yote ya Hema jinsi hii. za mshita zilizofunikwa kwa dhahabu. Kisha
18Tengeneza mihimili ishirini ya upande wa mimina vitako vitano vya shaba kwa ajili yake.
kusini wa Hema 19kisha tengeneza vitako
arobaini vya fedha vya kuweka chini ya hiyo Madhabahu ya Sadaka ya Kuteketezwa
mihimili, vitako viwili kwa kila mhimili, moja chini
ya kila ulimi. 20Kuhusu upande mwingine, yaani 27 “Jenga madhabahu ya mbao za mti wa
mshita, kimo chake ni dhiraa tatu a ,
upande wa kaskazini wa Hema, tengeneza itakuwa mraba, urefu wake dhiraa tano b na
mihimili ishirini 21na vitako arobaini vya fedha, upana wake dhiraa tano. 2Tengeneza upembe
viwili chini ya kila mhimili. 22Kisha tengeneza kwenye kila pembe ya hizo pembe nne, ili
mihimili sita kwa kila mwisho, yaani, upande wa kwamba zile pembe na madhabahu ziwe
magharibi wa Hema, 23pia utengeneze mihimili zimeungana na uifunike madhabahu kwa shaba.
miwili ya pembe za mwishoni. 24Katika pembe 3Tengeneza vyombo vyake vyote kwa shaba,
hizi mbili ni lazima mihimili iwe miwili kuanzia vyungu vyake vya kuondolea majivu, sepeto
chini mpaka juu na kushikizwa kwenye pete zake, mabakuli ya kunyunyuzia, nyuma za
moja, yote miwili itafanana. 25Kwa hiyo nyama na vyombo vya kuchukulia moto. 4Kisha
itakuwepo mihimili minane na vitako kumi na sita itengenezee hiyo madhabahu wavu wa shaba
vya fedha, viwili chini ya kila mhimili. na tengeneza pete za shaba kwenye kila pembe
26“Pia tengeneza fito za mti wa mshita: tano nne za huo wavu. 5Weka wavu huo chini ya
kwa ajili ya mihimili ya upande mmoja wa Hema, ukingo wa madhabahu ili ufike nusu ya kimo cha
27tano kwa ajili ya mihimili ya upande mwingine madhabahu. 6Tengeneza mipiko ya mti wa
na tano kwa ajili ya mihimili ya upande wa mshita kwa ajili ya madhabahu, ifunike kwa
magharibi, mwishoni kabisa mwa Hema. 28Ufito shaba. 7Hiyo mipiko itaingizwa kwenye zile pete
wa katikati utapenya toka mwisho huu hadi ili iwe katika pande mbili za madhabahu, wakati
mwisho mwingine katikati ya mihimili. 29Funika inapobebwa. 8Tengeneza madhabahu iwe na
hiyo mihimili kwa dhahabu kisha tengeneza pete uvungu ndani yake, ukitumia mbao.
za dhahabu ambazo zitashikilia hizo fito. Pia Utaitengeneza sawasawa na vile
funika fito hizo kwa dhahabu. ulivyoonyeshwa mlimani.
30“Simamisha Hema sawasawa na ramani
zambarau na za rangi nyekundu na kitani safi Kukutania. Upande wa kusini utakuwa na urefu
iliyosokotwa vizuri, fundi stadi atarizi makerubi wa dhiraa mia moja c na itakuwa na mapazia ya
kwenye hayo mapazia. 32Litundike kwa kulabu kitani iliyosokotwa vizuri, 10pamoja na nguzo
za dhahabu kwenye nguzo nne za mti wa mshita ishirini na vitako vya shaba ishirini. Pia kutakuwa
ambazo zimefunikwa kwa dhahabu, zikiwa na kulabu za fedha na tepe za fedha juu ya hizo
zimesimamishwa kwenye vitako vinne vya nguzo. 11Upande wa kaskazini itakuwa na urefu
fedha. 33Ning’iniza pazia hilo kwenye vifungo, wa dhiraa mia moja nao utakuwa na mapazia na
kisha weka sanduku la Ushuhuda nyuma ya nguzo zake ishirini na vitako ishirini vya shaba,
pazia. Pazia litatenganisha Patakatifu na pamoja na kulabu na tepe za fedha juu ya hizo
Patakatifu pa Patakatifu. 34Weka kifuniko cha kiti nguzo.
cha rehema juu ya sanduku la Ushuhuda ndani 12‘‘Upande wa magharibi wa ua wa
kukutania, weka pazia lenye urefu wa dhiraa za buluu, za zambarau, za rangi nyekundu na
ishirini f , la nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau kitani safi iliyosokotwa, kazi ya fundi stadi.
na za rangi nyekundu pamoja na kitani 7Kitakuwa na vipande viwili vya mabegani
iliyosokotwa vizuri kazi ya mtarizi. Pazia hilo vilivyoshikizwa kwenye pembe zake mbili ili
litashikiliwa na nguzo nne na vitako vinne. kufungia kisibau. 8Mshipi wa kiunoni
17Nguzo zote zinazozunguka ua wa kukutania uliotengenezwa kwa ustadi ambao ni kitu kimoja
zitakuwa na tepe na kulabu za fedha, na vitako na kisibau utatengenezwa kwa nyuzi za
vya shaba. 18Ua wa kukutania utakuwa na urefu dhahabu, za buluu, za zambarau na za rangi
wa dhiraa mia moja g na upana wa dhiraa nyekundu, kitani safi iliyosokotwa vizuri.
hamsini h , ukiwa na mapazia ya kitani 9Chukua mawe mawili ya shohamu na
yaliyosokotwa vizuri yenye urefu wa dhiraa tano i uchore juu yake majina ya wana wa Israeli
kwenda juu na vitako vya shaba. 19Vyombo 10kufuatana na walivyozaliwa, majina sita katika
vingine vyote vinavyotumika katika maskani ya jiwe moja na mengine sita katika jiwe jingine.
BWANA kwa shughuli yo yote, pamoja na vigingi 11Yachore majina ya wana wa Israeli juu ya
vyote na hata vile vya ua wa kukutania vitakuwa hayo mawe mawili kama vile sonara
vya shaba. anavyochonga mhuri. Kisha uyatie hayo mawe
katika vijalizo vya dhahabu 12na uvifungie juu ya
Mafuta ya Kinara cha Taa vipande vya mabega ya kisibau yawe kama
20“Utawaamuru Waisraeli wakuletee mafuta mawe ya kumbukumbu ya wana wa Israeli.
safi ya zeituni yaliyokamuliwa kwa ajili ya Aroni atavaa majina hayo mabegani mwake
mwanga ili zile taa ziwake daima. 21Katika Hema kama kumbukumbu mbele za BWANA.
la Kukutania, nje ya pazia lililo mbele ya 13Tengeneza vijalizo vya dhahabu 14na mikufu
Ithamari ili wanitumikie katika kazi ya ukuhani. upande, kikunjwe mara mbili. 17Kisha weka safu
2Mshonee Aroni ndugu yako mavazi matakatifu nne za vito vya thamani juu yake. Safu ya
ili yampe ukuu na heshima. 3Waambie mafundi kwanza itakuwa ya akiki, yakuti manjano,
stadi wote niliowapa hekima katika shughuli hiyo zabarajadi, 18katika safu ya pili kitakuwa na
wamtengenezee Aroni mavazi hayo, ili awekwe almasi, yakuti samawi na zumaridi, 19safu ya
wakfu, anitumikie katika kazi ya ukuhani. 4Haya tatu itakuwa na hiakintho, akiki nyekundu na
ndiyo mavazi watakayoshona: kifuko cha kifuani, amethisto 20na safu ya nne itakuwa ya krisolitho,
kisibau, kanzu, joho lililorembwa, kilemba na shohamu na yaspi. Yote yatiwe kwenye vijalizo
vya dhahabu. 21Patakuwa na mawe kumi na
e15 dhiraa kumi na tano ni sawa na mita 6.75. mawili, moja kwa kila jina la wana wa Israeli, kila
f16 dhiraa ishirini ni sawa na mita 9.
g18 dhiraa mia moja sawa na mita 45.
h18 dhiraa hamsini ni sawa na mita 22.5.
i18 dhiraa tano ni sawa na mita 2..25. a16 nusu dhiraa ni sawa na sentimita 22.5.
27
KUTOKA
moja lichorwe kama muhuri likiwa na jina la 36“Tengeneza bamba la dhahabu safi na
moja ya makabila kumi na mawili ya Israeli. uchore kama muhuri juu yake maneno haya:
22“Kwa ajili ya kifuko cha kifuani, tengeneza TAKATIFU KWA BWANA. 37Lifunge hilo bamba
mikufu ya dhahabu safi, iliyosokotwa kama kwa kamba ya buluu kwenye kilemba, nalo ni
kamba. 23Tengeneza pete mbili za dhahabu kwa lazima liwe mbele yakilemba. 38Aroni alivae
ajili yake uzifungie kwenye pembe mbili za bamba hilo kwenye paji la uso wake, naye
kifuko cha kifuani. 24Funga ile mikufu miwili ya atachukua hatia kuhusu sadaka takatifu za
dhahabu kwenye zile pete zilizo katika pembe Waisraeli wanazoweka wakfu, sadaka za aina
za kifuko cha kifuani, 25zile ncha nyingine mbili yo yote. Litakuwa kwenye paji la uso wa Aroni
za mkufu wa dhahabu zishikamanishe kwenye daima ili zikubalike kwa BWANA.
vijalizo viwili vya kisibau upande wa mbele. 39“Fuma koti la kitani safi na ufanye kilemba
26Tengeneza pete mbili za dhahabu uzifunge cha kitani safi. Mshipi uwe ni kazi ya mtarizi.
kwenye ncha mbili za chini upande wa ndani wa 40Watengenezee wana wa Aroni makoti, mishipi
kifuko cha kifuani karibu na kisibau. na kofia, ili kuwapa ukuu na heshima. 41Baada
27Tengeneza pete mbili zaidi za dhahabu na ya kumvika Aroni ndugu yako pamoja na
uzishikize mbele katika ncha za chini za vipande wanawe nguo hizi, watie mafuta na kuwabariki.
vya kisibau, mahali kinapoungana juu ya mshipi Waweke wakfu ili wanitumikie katika kazi ya
wa kiunoni wa kisibau. 28Pete za kifuko cha ukuhani.
kifuani zitafungwa pamoja na zile za kisibau kwa 42Watengenezee nguo za ndani za kitani
kamba ya buluu, ili kiunganishwe na ule mshipi zitakazofunika mwili, kutoka kiunoni hadi
wa kiunoni ili kifuko cha kifuani kisitoke na mapajani. 43Aroni na wanawe ni lazima wavae
kuachana na kisibau. haya kila wanapoingia katika Hema ya
29“Wakati wo wote Aroni aingiapo Mahali Kukutania au wanaposogelea madhabahu
Patakatifu, atakuwa na yale majina ya wana wa wakati wa kutoa huduma mahali patakatifu, ili
Israeli moyoni mwake juu ya kile kifuko cha wasije wakafanya kosa wakafa.
kifuani cha uamuzi kama kumbukumbu ya “Haya yawe maagizo ya kudumu kwa Aroni
kudumu mbele ya BWANA. 30Pia weka Urimu na na vizazi vyake.
Thumimu b ndani ya kifuko cha kifuani, yawe juu
ya moyo wa Aroni kila mara aingiapo mbele za Kuweka Wakfu Makuhani
BWANA. Kwa hiyo siku zote Aroni atakuwa na
uwezo kufanya maamuzi kwa ajili ya wana wa 29 “Hili ndilo utakalofanya ili kuwaweka
wakfu makuhani ili wanitumikie mimi
Israeli mbele za BWANA. katika kazi ya ukuhani: Chukua fahali mchanga
mmoja na kondoo waume wawili wasio na
Mavazi Mengine ya Kikuhani dosari. 2Kutokana na unga laini wa ngano
31“Shona kanzu ya kuvalia kisibau kwa usiotiwa chachu, tengeneza mikate na maandazi
kitambaa cha buluu tupu, 32katikati weka nafasi yaliyokandwa kwa mafuta, pamoja na mikate
ya kuingizia kichwa. Kutakuwa na utepe midogo myembamba. 3Viwekwe vyote ndani ya
unaofanana na ukosi uliozungushwa kwenye kikapu na kuvitoa pamoja na yule fahali na wale
nafasi hiyo ya shingo, ili isichanike. 33Tengeneza kondoo waume wawili. 4Kisha mlete Aroni na
makomamanga ya nyuzi za buluu, za zambarau wanawe kwenye lango la Hema la Kukutania na
na za rangi nyekundu kuzunguka pindo la hilo uwaoshe kwa maji. 5Chukua yale mavazi na
joho, weka pia vikengele vya dhahabu kati ya umvike Aroni koti, joho la kisibau na kisibau
hayo makomamanga. 34Hivyo vikengele vya chenyewe pamoja na kile kifuko cha kifuani.
dhahabu na makomamanga vitapishana Mfungie hicho kisibau kwa ule mshipi wa kiunoni
kuzunguka pindo la kanzu. 35Ni lazima Aroni uliosukwa kwa ustadi. 6Weka kilemba kichwani
alivae anapofanya huduma. Sauti ya hivyo mwake na kuweka taji takatifu ishikamane na
vikengele itasikika anapoingia na kutoka katika hicho kilemba. 7Chukua yale mafuta ya upako
mahali patakatifu mbele za BWANA, ili asije umimine juu ya kichwa chake. 8Walete wanawe
akafa. na uwavike makoti 9na uwavike zile tepe za
kichwani. Ndipo uwafunge Aroni na wanawe
mishipi. Ukuhani ni wao kwa agizo la kudumu.
b30 Urimu na Thumimu maana yake “Nuru na kweli,’’ viliwekwa
kwenye kifuko cha kifuani cha kisibau cha kuhani mkuu ili
Kwa njia hii utamsimika Aroni na wanawe.
10Mlete yule fahali mbele ya Hema la
kujua mapenzi ya Mungu kwenye mambo ya kutatanisha.
28
KUTOKA
Kukutania, naye Aroni na wanawe wataweka kuwa harufu nzuri ya kupendeza kwa BWANA,
mikono yao juu ya kichwa chake. 11Mchinje huyo sadaka iliyotolewa kwa BWANA kwa moto.
fahali mbele ya BWANA kwenye mlango wa 26Baada ya wewe kuchukua kidari cha huyo
Hema la Kukutania. 12Chukua sehemu ya damu kondoo mume wa kusimikwa kwa Aroni, kiinue
ya huyo fahali na kuipaka kwenye pembe za mbele za BWANA kuwa sadaka ya kuinuliwa,
hiyo madhabahu kwa kidole chako, na damu nayo itakuwa fungu lako.
iliyobaki uimwage sehemu ya chini ya 27“Weka wakfu zile sehemu za kondoo
madhabahu. 13Kisha chukua mafuta yote ya mume aliyetumika kwa kumsimika Aroni na
huyo mnyama ya sehemu za ndani, yale wanawe: kidari kile kilichoinuliwa na lile paja
yanayofunika ini na figo zote mbili pamoja na lililotolewa. 28Siku zote hili litakuwa fungu la
mafuta yake, uvichome juu ya madhabahu. kawaida kutoka kwa Waisraeli kwa ajili ya Aroni
14Lakini nyama ya huyo fahali na ngozi yake na na wanawe. Hili ni toleo la Waisraeli watakalotoa
matumbo yake utavichoma nje ya kambi. Hii ni kwa BWANA kutoka katika sadaka zao za
sadaka ya dhambi. amani.
15“Chukua mmoja wa wale kondoo mume, 29“Mavazi matakatifu ya Aroni yatakuwa ya
naye Aroni na wanawe wataweka mikono yao wazao wake ili kwamba waweze kutiwa mafuta
juu ya kichwa chake. 16Mchinje huyo kondoo na kusimikwa wakiwa wameyavaa. 30Mwana
mume, chukua damu yake na uinyunyizie pande atakayeingia mahali pake kuwa kuhani na kuja
zote za hiyo madhabahu. 17Mkate huyo kondoo kwenye Hema la Kukutania kuhudumu katika
mume vipande vipande na usafishe sehemu za Mahali Patakatifu atayavaa kwa siku saba.
ndani pamoja na miguu, ukiviweka pamoja na 31“Chukua nyama ya huyo kondoo mume wa
kichwa na vipande vingine. 18Kisha mteketeze kuwasimika uipike katika Mahali Patakatifu.
huyo kondoo mzima juu ya madhabahu. Hii ni 32Kwenye ingilio la Hema la Kukutania, Aroni na
sadaka ya kuteketezwa kwa BWANA, harufu ya wanawe wataila ile nyama ya huyo kondoo
kupendeza, sadaka iliyotolewa kwa BWANA mume pamoja na ile mikate iliyo kwenye hicho
kwa moto. kikapu. 33Watakula sadaka hizi ambazo kwa
19“Mchukue yule kondoo mume mwingine, hizo upatanisho ulifanywa kwa ajili ya kusimikwa
naye Aroni na wanawe waweke mikono yao juu kwao na kuwekwa kwao wakfu. Lakini hakuna
ya kichwa chake. 20Mchinje, chukua sehemu ya mtu mwingine ye yote anayeruhusiwa kuvila,
damu yake na kuipaka kwenye masikio ya Aroni kwa sababu ni vitakatifu. 34Ikiwa nyama yo yote
na wanawe, kwenye vidole gumba vya mikono ya huyo kondoo mume iliyotumika kwa
yao ya kuume, pia kwenye vidole gumba vya kuwasimika au mkate wo wote umebaki mpaka
miguu yao ya kuume. Kisha nyunyiza hiyo damu asubuhi, vichomwe. Kamwe visiliwe, kwa
pande zote za madhabahu. 21Pia chukua sababu ni vitakatifu.
sehemu ya damu iliyo juu ya madhabahu na 35Hivyo utamfanyia Aroni na wanawe kila
sehemu ya mafuta ya upako mnyunyizie Aroni kitu kama vile nilivyokuamuru: Utachukua muda
na mavazi yake, pia wanawe na mavazi yao. wa siku saba kuweka wakfu. 36Utatoa dhabihu
Ndipo Aroni na wanawe pamoja na mavazi yao ya fahali kila siku kuwa sadaka ya dhambi ili
watakuwa wamewekwa wakfu. kufanya upatanisho. Takasa madhabahu kwa
22“Chukua mafuta ya huyu kondoo mume, kufanya upatanisho kwa ajili yake nayo uitie
mafuta ya mkia, mafuta ya sehemu za ndani mafuta na kuiweka wakfu. 37Kwa muda wa siku
yale yanayofunika ini, figo zote mbili na mafuta saba fanya upatanisho kwa ajili ya madhabahu
yake pamoja na paja la kulia. (Huyo ndiye na kuiweka wakfu. Ndipo madhabahu itakuwa
kondoo mume kwa ajili ya kuwasimika.) takatifu sana na cho chote kitakachoigusa
23Kutoka kwenye kile kikapu chenye mikate kitakuwa kitakatifu.
isiyotiwa chachu, kilichoko mbele za BWANA, 38Kwa kawaida hiki ndicho utakachotoa juu
chukua mkate, andazi lililokandwa kwa mafuta ya madhabahu kila siku: wana kondoo wawili
na mkate mdogo mwembamba. 24Viweke vitu wenye umri wa mwaka mmoja. 39Utamtoa
hivi vyote mikononi mwa Aroni na wanawe na mmoja asubuhi na huyo mwingine wakati wa
uviinue mbele za BWANA kuwa sadaka ya machweo. 40Pamoja na mwana kondoo wa
kuinuliwa. 25Kisha vichukue vitu hivyo kutoka kwanza utatoa efa moja a ya unga wa ngano laini
mikononi mwao, uviteketeze juu ya madhabahu
pamoja na sadaka ya kuteketezwa
a40 efa moja ni kama kilo mbili.
29
KUTOKA
uliochanganywa na robo ya hini b
ya mafuta mwingine wo wote juu ya madhabahu hii au
yaliyokamuliwa ya zeituni pamoja na robo ya sadaka nyingine yo yote ya kuteketezwa wala
hini ya divai kuwa sadaka ya kinywaji. 41Huyo sadaka ya nafaka, wala usimimine sadaka ya
mwana kondoo mwingine mtoe dhabihu wakati kinywaji juu yake. 10Mara moja kwa mwaka
wa machweo pamoja na sadaka za unga na za Aroni atafanya upatanisho juu ya pembe za hiyo
kinywaji kama vile ulivyofanya asubuhi, kuwa madhabahu. Upatanisho huu wa mwaka lazima
harufu ya kupendeza, sadaka iliyotolewa kwa ufanywe kwa damu ya sadaka ya upatanisho
BWANA kwa moto. kwa ajili ya dhambi kwa vizazi vijavyo. Ni takatifu
42“Kwa vizazi vijavyo itakuwa kawaida kutoa sana kwa BWANA.’’
sadaka hii ya kuteketezwa kila mara kwenye
ingilio la Hema la Kukutania mbele ya BWANA. Fedha ya Upatanisho
Hapo ndipo nitakapokutana na ninyi na kusema 11“Naye BWANA akamwambia Mose,
nanyi, 43Huko ndipo nitakapokutana na 12“Utakapowahesabu Waisraeli, kila mmoja
Waisraeli, nalo Hema la Kukutania litatakaswa lazima alipe kwa BWANA fidia kwa ajili ya nafsi
na utukufu wangu. yake wakati wa kuhesabiwa kwake. Ndipo
44Kwa hiyo nitaliweka wakfu Hema la hakutakuwa na pigo juu yao unapowahesabu.
Kukutania pamoja na madhabahu, nami 13Kila mmoja anayekwenda upande wa wale
nitamweka wakfu Aroni na wanawe ili waliokwisha hesabiwa atatoa nusu shekeli c ,
wanitumikie mimi katika kazi ya ukuhani. 45Ndipo kulingana na shekeli ya mahali patakatifu,
nitakapofanya makao miongoni mwa Waisraeli ambayo ina uzito wa gera ishirini d . Hii nusu
na kuwa Mungu wao. 46Nao watajua kuwa Mimi shekeli ni sadaka kwa BWANA. 14Wote wale
Ndimi BWANA Mungu wao, aliyewatoa Misri ili wanaovuka, wenye umri wa miaka ishirini au
nipate kufanya makao miongoni mwao. Mimi zaidi, watatoa sadaka kwa BWANA. 15Matajiri
Ndimi BWANA Mungu wao. hawatalipa zaidi ya nusu shekeli, nao maskini
hawatatoa pungufu wakati mnatoa sadaka kwa
Madhabahu ya Kufukizia Uvumba BWANA kwa kufanya upatanisho wa nafsi zenu.
mshita kwa ajili ya kufukizia uvumba. Waisraeli na uzitumie kwa ajili ya huduma ya
2Madhabahu iwe mraba, urefu na upana wa Hema la Kukutania. Itakuwa ni ukumbusho kwa
dhiraa moja a na kimo cha dhiraa mbili b , pembe Waisraeli mbele za BWANA kufanya upatanisho
zake zitakuwa za kitu kimoja nayo. 3Funika juu kwa ajili ya nafsi zenu.”
ya hiyo madhabahu na pande zote na pembe
zake kwa dhahabu safi na ufanyize ukingo wa Sinia la Kunawia
dhahabu kuizunguka. 4Tengeneza pete mbili za 17Kisha BWANA akamwambia Mose,
dhahabu kwa ajili ya madhabahu chini ya huo 18“Tengeneza sinia la shaba, lenye kishikilio cha
ukingo, nyingine mbili upande wa pili ili kushika shaba kwa ajili ya kunawia. Liweke kati ya Hema
hiyo mipiko itumikayo wakati wa kuibeba. la Kukutania na madhabahu, kisha weka maji
5Tengeneza mipiko ya mti wa mshita na uifunike ndani yake. 19Aroni na wanawe watanawa
kwa dhahabu. 6Weka hiyo madhabahu mbele ya mikono na miguu yao kwa maji yatokayo katika
lile pazia lililo mbele ya Sanduku la Ushuhuda hilo sinia. 20Wakati wo wote wanapoingia katika
lililo mbele ya kiti cha rehema kilicho juu ya Hema la Kukutania, watanawa kwa maji ili
Sanduku la Ushuhuda, mahali ambapo kwamba wasije wakafa. Pia, wanapokaribia
nitakutana nawe. madhabahu ili kuhudumu, kwa kuleta sadaka
7“Aroni itampasa kufukiza uvumba wenye zilizotolewa kwa BWANA kwa moto, 21watanawa
harufu nzuri juu ya madhabahu kila siku asubuhi mikono na miguu yao ili kwamba wasije wakafa.
wakati anapowasha zile taa. 8Itampasa afukize Hii itakuwa ni amri ya kudumu kwa ajili ya Aroni
uvumba tena wakati anapowasha taa wakati wa na wazao wake kwa vizazi vijavyo.”
machweo ili uvumba ufukizwe daima mbele za
BWANA kwa vizazi vijavyo. 9Usifukize uvumba
mchanganyiko wa uvumba wenye harufu nzuri, kwenu. Ye yote atakayeinajisi lazima auawe, ye
kazi ya mtengeneza manukato. Utiwe chumvi ili yote atakayefanya kazi siku hiyo lazima akafie
upate kuwa safi na mtakatifu. 36Saga baadhi mbali na watu wake. 15Kwa siku sita, mtafanya
yake kuwa unga na uweke mbele ya sanduku la kazi, lakini siku ya saba ni Sabato ya
Ushuhuda ndani ya Hema la Kukutania, mahali kupumzika, takatifu kwa BWANA. Ye yote
ambapo nitakutana nawe. Itakuwa takatifu sana afanyaye kazi yo yote siku ya Sabato ni lazima
kwenu. 37Msitengeneze uvumba mwingine wo auawe. 16Waisraeli wataishika Sabato,
wote wa namna hii kwa ajili yenu wenyewe, kuiadhimisha kwa vizazi vijavyo kuwa agano la
uoneni kuwa ni mtakatifu kwa BWANA. 38Ye milele. 17Itakuwa ishara kati yangu na Waisraeli
yote atakayetengeneza uvumba kama huu ili milele, kwa kuwa kwa muda wa siku sita
BWANA aliumba mbingu na dunia na siku ya
saba akaacha kufanya kazi na akapumzika.’ ”
e23 Shekeli 500 ni sawa na kilo 6 18BWANA alipomaliza kusema na Mose juu
f23 Shekeli 250 ni swa na kilo 3
g24 Hini moja ni sawa na lita 4 ya Mlima Sinai, Mungu akampa vibao viwili vya
31
KUTOKA
Ushuhuda, vya mawe vilivyoandikwa kwa kidole niliwaahidia, nayo itakuwa urithi wao milele.’’’
cha Mungu. 14Kisha BWANA akawaonea huruma wala
hakuleta juu ya watu wake maafa aliyokuwa
Ndama ya Dhahabu amekusudia.
32 Watu walipoona kuwa Mose amekawia 15Mose akageuka, akashuka kutoka mlimani
sana kushuka kutoka mlimani, akiwa na vibao viwili vya Ushuhuda mikononi
walimkusanyikia Aroni na kumwambia, “Njoo, mwake. Vilikuwa vimeandikwa pande zote mbili,
tutengenezee miungu itakayotutangulia. Kwa mbele na nyuma. 16Vibao hivyo vilikuwa kazi ya
maana huyu jamaa yetu Mose aliyetupandisha Mungu, maandishi yalikuwa mwandiko wa
kutoka Misri, hatujui jambo lililompata.” Mungu, yaliyochorwa kama muhuri juu ya vibao.
2Aroni akawajibu, “Vueni vipuli vya dhahabu 17Yoshua aliposikia sauti za watu wakipiga
ambavyo wake zenu, wana wenu na binti zenu kelele, akamwambia Mose, ‘‘Kuna sauti ya vita
wamevaa, mkaniletee.” 3Kwa hiyo watu wote kambini.’’
wakavua vipuli vyao wakavileta kwa Aroni. 18Mose akajibu:
4Akavichukua vile vitu walivyomkabidhi
akavifanyiza kwa kusubu sanamu yenye umbo “Si sauti ya ushindi,
la ndama, akaichonga kwa kutumia chombo. wala si sauti ya kushindwa,
Kisha wakasema, “Hii ndiyo miungu yenu, Ee ni sauti ya kuimba ninayosikia.’’
Israeli, iliyowapandisha kutoka Misri.”
5Aroni alipoona hili, akajenga madhabahu 19Mose alipoikaribia kambi na kuona ile
mbele ya yule ndama na kutangaza, “Kesho ndama na ile michezo, hasira yake ikawaka,
kutakuwa na sikukuu kwa BWANA.” 6Kwa hiyo akatupa vile vibao vilivyokuwa mikononi mwake,
siku iliyofuata watu wakaamka asubuhi na akavipasua vipande vipande pale chini ya
mapema na kutoa sadaka za kuteketeza na mlima. 20Kisha akaichukua ile ndama
sadaka za amani. Baadaye watu wakaketi kula waliyokuwa wameitengeneza na kuichoma
na kunywa, nao wakasimama wakajizamisha kwenye moto kisha akaisaga kuwa unga,
katika karamu ya ulevi na ulafi. akainyunyiza kwenye maji na kuwafanya
7Kisha BWANA akamwambia Mose, “Shuka, Waisraeli wanywe.
kwa sababu, watu wako uliowatoa Misri, 21Mose akamwambia Aroni, “Watu hawa
Wameisujudia na kuitolea dhabihu nao wangu. Unajua jinsi watu hawa walivyo tayari
wamesema, ‘Hii ndiyo miungu yenu, Ee Israeli kwa maovu. 23Wao waliniambia, ‘Tufanyie
iliyokupandisha kutoka Misri.’ miungu itakayotuongoza. Kwa kuwa huyu jamaa
9“BWANA akamwambia Mose, “Nimeona yetu Mose aliyetupandisha kutoka Misri,
watu hawa, nao ni watu wenye shingo ngumu. hatufahamu yaliyompata.’ 24Kwa hiyo
10Sasa niache ili hasira yangu ipate kuwaka nikawaambia, ‘Ye yote aliye na kito cho chote
dhidi yao, nami nipate kuwaangamiza. Kisha cha dhahabu avue.’ Kisha wakanipa hiyo
nitakufanya wewe kuwa taifa kubwa.’’ dhahabu nami nikaitupa motoni, akatokea huyu
11Lakini Mose akamsihi BWANA Mungu ndama!’’
wake, akasema, “Ee BWANA, kwa nini hasira 25Mose akaona kuwa watu wameasi kwa
yako iwake dhidi ya watu wako, wale uliowatoa kuwa Aroni alikuwa amewaacha waasi na kuwa
Misri kwa uweza mkuu na mkono wenye nguvu? kichekesho kwa adui zao. 26Kwa hiyo Mose
12Kwa nini Wamisri waseme, ‘Ni kwa nia mbaya akasimama kwenye ingilio la kambi akasema,
aliwatoa Misri, ili awaue milimani na kuwafuta ‘‘Ye yote aliye upande wa BWANA, aje upande
usoni mwa dunia? Achilia mbali hasira yako kali, wangu.’’ Walawi wote wakamjia.
waonee huruma na usilete maafa juu ya watu 27Ndipo alipowaambia, “Hili ndilo BWANA
wako. 13Wakumbuke watumishi wako Mungu wa Israeli asemalo: ‘Kila mmoja wenu
Abrahamu, Isaki na Israeli, ambao uliwaapia ajifunge upanga wake kiunoni aende huku na
kwa nafsi yako mwenyewe: ‘Nitawafanya uzao huko kambi yote mwisho hadi mwisho mwingine,
wako kuwa wengi kama nyota za angani, nami kila mmoja amue ndugu yake na rafiki yake na
nitawapa wazao wako nchi hii yote ambayo jirani yake.’ ’’ 28Walawi wakafanya kama Mose
32
KUTOKA
alivyoamuru, siku ile wakafa watu wapatao hema na kulisimika nje ya kambi umbali kiasi,
3,000. 29Kisha Mose akasema, “Leo mmewekwa akaliita “Hema la Kukutania.’’ Kila aliyekuwa
wakfu kwa BWANA, kwa kuwa mlikuwa kinyume akiulizia shauri kwa BWANA, angelikwenda
na wana wenu wenyewe na ndugu zenu, naye katika Hema la Kukutania nje ya kambi. 8Wakati
Mungu amewabariki leo.’’ wo wote Mose alipokwenda kwenye hema, watu
30Siku iliyofuata Mose akawaambia watu, wote waliinuka na kusimama kwenye maingilio
“Mmefanya dhambi kubwa. Lakini sasa ya mahema yao, wakimwangalia Mose mpaka
nitapanda juu kwa BWANA, labda nitaweza aingie kwenye hema. 9Kila mara Mose alipoingia
kufanya upatanisho kwa ajili ya dhambi yenu.’’ ndani ya hema, nguzo ya wingu ingeshuka chini
31Hivyo Mose akarudi kwa BWANA na na kukaa kwenye ingilio, wakati Mungu
kumwambia, “Loo! Hawa watu wamefanya akizungumza na Mose. 10Kila mara watu
dhambi kubwa namna gani! Wamejitengenezea walipoona hiyo nguzo ya wingu ikiwa
miungu ya dhahabu. 32Lakini sasa, nakusihi imesimama kwenye ingilio la hema, wote
wasamehe dhambi yao, lakini kama sivyo, basi walisimama wakaabudu, kila mmoja kwenye
nifute kutoka kwenye kitabu ulichoandika.’’ ingilio la hema lake. 11BWANA angezungumza
33BWANA akamjibu Mose, “Ye yote na Mose uso kwa uso, kama vile mtu
aliyenitenda dhambi ndiye nitakayemfuta kutoka azungumzavyo na rafiki yake. Kisha Mose
kwenye kitabu changu. 34Sasa nenda, uongoze angerudi kambini, lakini msaidizi wake kijana
hao watu mpaka mahali nilipokuambia, naye Yoshua mwana wa Nuni hakuondoka mle
malaika wangu atakutangulia. Pamoja na hayo, hemani.
wakati utakapofika wa mimi kuwaadhibu,
nitawaadhibu kwa ajili ya dhambi yao.” Mose na Utukufu wa BWANA
35Ndipo BWANA akawapiga watu kwa 12Mose akamwambia BWANA, “Umekuwa
ugonjwa wa tauni kwa sababu ya yale ukiniambia, ‘Ongoza watu hawa,’ lakini
waliyoyafanya kwa ndama yule ambaye hujanifahamisha ni nani utakayemtuma pamoja
alitengenezwa na Aroni. nami. Umesema, ‘Ninakujua wewe kwa jina
lako, nawe umepata kibali mbele zangu.’ 13Ikiwa
Amri ya Kuondoka Sinai umependezwa nami, nifundishe njia zako ili
mpaka nchi niliyomwahidi Abrahamu, Isaki na pamoja nawe, nami nitakupa raha.’’
Yakobo kwa kiapo, nikisema, ‘Nitawapa wazao 15Kisha Mose akamwambia, “Kama uso
wenu nchi hii.’ 2Nitamtuma malaika mbele yenu wako hauendi pamoja nasi, usituondoe hapa.
naye atawafukuza Wakanani, Waamori, Wahiti, 16Mtu ye yote atajuaje kuwa mimi pamoja na
Waperizi, Wahivi na Wayebusi. 3Pandeni watu wako tumepata kibali mbele zako,
mwende katika nchi itiririkayo maziwa na asali. usipokwenda pamoja nasi? Ni nini kingine
Lakini mimi sitakwenda pamoja nanyi, kwa kitakachoweza kututofautisha mimi na watu
sababu ninyi ni watu wenye shingo ngumu, wako miongoni mwa watu wengine wote walio
nisije nikawaangamiza njiani.’’ katika uso wa dunia?”
4Watu waliposikia habari hizo za huzuni, 17BWANA akamwambia Mose, “Nitakufanyia
wakaanza kuomboleza wala hakuna mtu jambo lile uliloomba, kwa sababu ninapendezwa
aliyevaa mapambo yo yote. 5Kwa kuwa BWANA nawe nami ninakujua kwa jina lako.’’
alikuwa amemwambia Mose, “Waambie 18Kisha Mose akasema, “Basi nionyeshe
ningewaangamiza. Sasa vueni mapambo yenu wema wangu wote mbele yako, nami
nami nitaamua nitakalowatendea.’ ’’ 6Hivyo nitalitangaza jina langu, BWANA, mbele ya uso
Waisraeli wakavua mapambo yao katika Mlima wako. Nitakuwa na rehema kwake yeye
wa Horebu. nimrehemuye, pia nitakuwa na huruma kwake
yeye nimhurumiaye. 20Lakini Mungu akasema,
Hema la Kukutania “Hutaweza kuuona uso wangu, kwa kuwa
7Basi Mose alikuwa na desturi ya kuchukua hakuna mtu ye yote awezaye kuniona akaishi.’’
33
KUTOKA
21Kisha BWANA akasema, “Kuna mahali ninayokuamuru leo. Tazama nawafukuza mbele
karibu nami ambapo unaweza kusimama juu ya yako Waamori, Wakanaani, Wahiti, Waperizi,
mwamba. 22Utukufu wangu unapopita, Wahivi na Wayebusi. 12Uwe mwangalifu,
nitakuweka gengeni kwenye mwamba na usifanye agano na wale wanaokaa katika nchi
kukufunika kwa mkono wangu mpaka ile unayoiendea, la sivyo watakuwa mtego
nitakapokwisha kupita. 23Kisha nitaondoa mkono katikati yako. 13Bomoa madhabahu zao, vunja
wangu nawe utaona mgongo wangu, lakini mawe yao ya kuabudia na ukatekate nguzo zao
kamwe uso wangu hautaonekana.” za Ashera. 14Usiabudu mungu mwingine, kwa
kuwa BWANA, ambaye jina lake ni Wivu, ni
Vibao Vipya vya Mawe Mungu mwenye wivu.
vibao viwili vya mawe kama vile vya watu wanaoishi katika nchi, kwa maana wakati
kwanza, nami nitaandika juu yake maneno yale wanapojifanyia ukahaba kwa miungu yao na
yaliyokuwa kwenye vile vibao vya kwanza, kuwatolea kafara, watakualika wewe nawe
ulivyovivunja. 2Uwe tayari wakati wa asubuhi, utakula sadaka za matambiko yao.
kisha upande juu ya Mlima Sinai. Uje mbele 16Unapowachagua baadhi ya binti zao kuwa
zangu kukutana nami huko juu ya mlima. 3Mtu wake wa wana wenu na binti hao wakajifanyia
ye yote asije pamoja nawe wala asionekane mtu ukahaba kwa miungu yao, watawaongoza wana
po pote juu ya mlima, wala kondoo na mbuzi au wenu kufanya vivyo hivyo.
ng’ombe wasilishe karibu mbele ya huo mlima.’’ 17“Usijifanyie sanamu za kusubu.
4Kwa hiyo Mose akachonga vibao viwili vya 18“Utaadhimisha Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa
mawe kama vile vya kwanza naye akapanda juu Chachu. Kwa siku saba mtakula mikate isiyotiwa
ya Mlima Sinai asubuhi na mapema, kama chachu, kama nilivyokuamuru. Fanya hivi kwa
BWANA alivyokuwa amemwagiza, akachukua wakati ulioamuriwa, katika mwezi wa Abibu, ndio
vile vibao viwili vya mawe mikononi mwake. mwezi wa nne, kwa kuwa katika mwezi huo
5Kisha BWANA akashuka katika wingu ndipo wewe ulipotoka Misri.
akasimama pamoja naye huko, akalitangaza jina 19“Mzaliwa wa kwanza wa kila tumbo ni mali
kwa ajili ya dhambi ya baba zao saba utapumzika, hata ikiwa ni majira ya kulima
hata katika kizazi cha tatu na cha nne.” au ya kuvuna lazima upumzike.
22“Utaadhimisha Sikukuu ya Majuma kwa
8Mara Mose akasujudu na kuabudu. 9Mose malimbuko ya mavuno ya ngano na Sikukuu ya
akasema, ‘‘Ee BWANA, kama nimepata kibali Kukusanya mavuno mwishoni mwa mwaka.
mbele zako, basi BWANA uende pamoja nasi. 23Mara tatu kwa mwaka wanaume wako wote
Ingawa watu hawa ni wenye shingo ngumu, watakuja mbele za BWANA Mwenyezi, Mungu
samehe uovu wetu na dhambi yetu, tuchukue wa Israeli. 24Nitawafukuza mataifa mbele yako
kuwa urithi wako.’’ na kupanua mipaka ya nchi yako, wala hakuna
10Kisha BWANA akasema: “Tazama mtu ye yote atakayeitamani nchi yako wakati
ninafanya agano mbele ya watu wako wote. unapokwenda mara tatu kila mwaka kuonana na
Mbele ya watu wako wote nitafanya maajabu BWANA Mungu wako.
ambayo hayajafanyika katika taifa lo lote katika 25“Usinitolee damu ya dhabihu pamoja na
ulimwengu wote. Watu wale mnaoishi miongoni kitu cho chote chenye chachu, wala usibakize
mwao wataona jinsi ilivyo ya kushangaza ile kazi dhabihu yo yote ya Sikukuu ya Pasaka mpaka
nitakayowafanyia mimi BWANA wenu. 11Tii yale asubuhi.
34
KUTOKA
26“Leteni matunda ya kwanza yaliyo bora BWANA sadaka ya dhahabu, fedha na shaba,
zaidi ya ardhi yako katika nyumba ya BWANA 6nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, za rangi
Mungu wako. nyekundu na kitani safi, singa za mbuzi, 7ngozi
“Usimchemshe mwana mbuzi katika maziwa za kondoo waume zilizopakwa rangi nyekundu
ya mama yake. na ngozi za mbuzi, mbao za mshita, 8mafuta ya
27Kisha BWANA akamwambia Mose, zeituni kwa ajili ya taa, vikolezi kwa ajili ya
“Andika maneno haya, kwa maana kulingana na mafuta ya upako pamoja na uvumba wa harufu,
maneno haya, nimefanya agano na wewe 9vito vya shohamu na vito vingine vya thamani
pamoja na Israeli.’’ 28Mose alikuwa huko pamoja vya kuweka kwenye kisibau na kile kifuko cha
na BWANA kwa siku arobaini mchana na usiku kifuani.
bila kula chakula wala kunywa maji. Naye 10“Wote wenye ujuzi miongoni mwenu
akaandika juu ya vibao maneno ya agano, yaani inawapasa kuja na kutengeneza kila kitu
zile Amri Kumi. BWANA alichoamuru: 11maskani ya BWANA
pamoja na hema lake na kifuniko chake, vibanio,
Mng’ao wa Uso wa Mose mihimili, mataruma, nguzo na vitako, 12sanduku
29Mose alipotelemka kutoka Mlima Sinai la agano pamoja na mipiko yake, kifuniko cha
akiwa na vile vibao viwili vya Ushuhuda kiti cha rehema na pazia linalokizuia, 13meza na
mikononi mwake, hakujua kuwa uso wake mipiko yake pamoja na vyombo vyake vyote,
ulikuwa uking’aa, kwa sababu alikuwa mikate ya Wonyesho, 14kinara cha taa kwa ajili
amezungumza na BWANA. 30Aroni na Waisraeli ya mwanga pamoja na vifaa vyake vyote, taa na
wote walipomwona Mose, kuwa uso wake mafuta kwa ajili ya mwanga, 15madhabahu ya
unang’aa, waliogopa kumkaribia. 31Lakini Mose kufukiza uvumba pamoja na mipiko yake,
akawaita, kwa hiyo Aroni na viongozi wote wa mafuta ya upako na uvumba wenye harufu
jumuiya wakarudi, naye akazungumza nao. nzuri, pazia la mlangoni mahali pa kuingilia
32Baadaye Waisraeli wote wakamkaribia, naye ndani ya maskani, 16madhabahu ya sadaka za
akawapa amri zote BWANA alizompa katika kuteketeza pamoja na wavu wake wa shaba,
Mlima wa Sinai. mipiko yake pamoja na vyombo vyake vyote,
33Mose alipomaliza kuzungumza nao, sinia la shaba pamoja na kitako chake, 17pazia
akaweka utaji kwenye uso wake. 34Lakini kila la eneo la ua pamoja na nguzo zake na vitako
wakati Mose alipoingia mbele za BWANA vyake, pazia la ingilio la kwenye ua, 18vigingi vya
kuzungumza naye, aliondoa ule utaji mpaka hema kwa ajili ya maskani pamoja na ua na
alipotoka nje. Naye alipotoka nje na kuwaambia kamba zake, 19mavazi yaliyofumwa yavaliwayo
Waisraeli lile ambalo ameagizwa, 35waliona wakati wa huduma ndani ya mahali patakatifu,
kuwa uso wake unang’aa. Kisha Mose mavazi matakatifu kwa ajili ya kuhani Aroni na
angeliweka tena utaji juu ya uso wake mpaka mavazi kwa ajili ya wanawe watakapokuwa
alipokwenda kuzungumza na BWANA. wakihudumu katika kazi ya ukuhani.”
20Ndipo jumuiya yote ya Waisraeli
Masharti ya Sabato ilipoondoka mbele ya Mose 21na kila mmoja
35
KUTOKA
kila aliyekuwa na mti wa mshita kwa ajili ya kazi kazi yote ya mahali patakatifu wakasimamisha
yo yote ile akauleta. 25Kila mwanamke aliyekuwa kazi zao 5ili kuja kumwambia Mose, “Watu
na ujuzi alisokota kwa mikono yake na alileta wanaleta zaidi kuliko mahitaji kwa ajili ya kazi hii
kile alichosokota, nyuzi za rangi ya buluu, za ambayo BWANA ameagiza ifanyike.”
zambarau au za rangi nyekundu au kitani safi. 6Ndipo Mose akatoa agizo, nao wakapeleka
26Wanawake wote waliopenda na waliokuwa na neno hili katika kambi yote: “Mtu ye yote
ujuzi wakasokota singa za mbuzi. 27Viongozi mwanaume au mwanamke asilete tena kitu cho
wakaleta vito vya shohamu pamoja na vito chote kwa ajili ya sadaka ya mahali patakatifu.’’
vingine vya thamani kwa ajili ya kuweka kwenye Hivyo watu wakazuiliwa kuleta zaidi, 7kwa
kisibau na kwenye kifuko cha kifuani. 28Wakaleta sababu walivyokuwa navyo tayari vilitosha na
pia viungo na mafuta ya zeituni kwa ajili ya kuzidi kuifanya kazi yote.
mwanga, kwa ajili ya mafuta ya upako na kwa
ajili ya uvumba wenye harufu nzuri. 29Waisraeli Maskani Ya Mungu
wote waume kwa wake waliokuwa wanapenda 8Watu wote wenye ustadi miongoni mwa
wakaleta mbele za BWANA kwa hiari yao wafanyakazi wote wakatengeneza maskani kwa
wenyewe sadaka kwa ajili ya kazi yote ya mapazia kumi ya kitani iliyosokotwa vizuri, na
BWANA aliyokuwa amewaagiza kuifanya kupitia nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau na za
kwa Mose. rangi nyekundu, pamoja na makerubi
yaliyotariziwa juu yake na fundi stadi. 9Mapazia
Bezaleli na Ohaliabu yote yalikuwa yamelingana, kila moja lilikuwa na
30Kisha Mose akawaambia Waisraeli, urefu wa dhiraa ishirini na nane a na upana wa
“Tazameni, BWANA amemchagua Bezaleli dhiraa nne b . 10Wakayaunganisha mapazia
mwana wa Uri, mwana wa Huri, wa kabila la matano pamoja, pia wakafanya hivyo hivyo kwa
Yuda, 31naye amemjaza Roho wa Mungu, na yale mengine matano. 11Kisha wakatengeneza
ujuzi, uwezo na ustadi katika aina zote za vitanzi vya buluu kwenye upindo wa pazia la
ufundi, 32ili kutengeneza michoro ya kitaalamu mwisho la kipande cha kwanza na vitanzi
kwa ajili ya kazi za dhahabu, fedha na shaba, vingine katika pazia la mwisho la kipande cha
33kuchonga na kuyatia mawe mahali, kufanya pili. 12Wakatengeneza pia vitanzi hamsini katika
kazi za mbao na kuhusika katika aina zote za pazia la kipande cha kwanza na vitanzi vingine
kazi za ubunifu na ufundi. 34Tena amemvuvia hamsini mwishoni mwa pazia la pili na vitanzi
pamoja naye utaalamu huo Oholiabu, mwana vyote vikaelekeana. 13Kisha wakatengeneza
wa Ahisamaki, wa kabila la Dani, uwezo wa vibanio hamsini vya dhahabu na wakavitumia
kufundisha wengine. 35Amewajaza ustadi wa kufunga na kuunganisha vile vipande viwili vya
kufanya kazi za aina zote zifanywazo na pazia pamoja ili maskani ipate kuwa kitu kimoja.
mafundi wenye kubuni, watarizi kwa rangi ya 14Wakatengeneza mapazia kumi na moja ya
buluu, ya zambarau, nyekundu na kitani safi, au singa za mbuzi kwa ajili ya hema juu ya
wafumaji, wote walikuwa mafundi na wabunifu maskani. 15Mapazia yote kumi na moja yalikuwa
hodari. yamelingana urefu wa dhiraa thelathini c na
upana wa dhiraa nne. 16Wakaunganisha
na kila mtu mwenye ustadi ambaye BWANA kulikaza hema pamoja kuwa kitu kimoja. 19Kisha
alikuwa amempa uwezo na mwenye kupenda wakatengeneza kifuniko cha hema kwa ngozi za
kuja na kufanya kazi. 3Wakapokea kutoka kwa kondoo waume zilizotiwa rangi nyekundu na juu
Mose sadaka zote ambazo Waisraeli walikuwa yake kifuniko cha ngozi laini za wanyama.
wameleta ili kuifanya kazi ya ujenzi wa Mahali
Patakatifu. Nao watu wakaendelea kuleta
sadaka za hiari kila asubuhi.Ikafika wakati a9 dhiraa ishirini na nane ni kama mita 12.6.
mafundi wote wenye ujuzi waliokuwa wakiifanya b9 dhiraa nne ni kama mita 1.8 mia mstari wa 15.
c15 dhiraa thelathini ni kama mita 13.5.
36
KUTOKA
20Wakatengeneza mihimili ya kusimamisha
ya mti wa mshita kwa ajili ya maskani. 21Kila Sanduku La Agano
mhimili ulikuwa na urefu wa dhiraa kumi d na
upana wa dhiraa moja na nusu e , 22zikiwa na 37 Bezaleli akatengeneza sanduku kwa
mbao za mshita, urefu wake ulikuwa
ndimi mbili kila moja sambamba na mwingine. dhiraa mbili na nusu a , upana wake dhiraa moja
Wakatengeneza mihimili yote ya maskani kwa na nusu na kimo chake dhiraa moja na nusu.
njia hii. 23Wakatengeneza mihimili ishirini kwa 2Akafunika kwa dhahabu safi ndani na nje na
mihimili ishirini 26na vitako arobaini vya shaba, na kuzifunika kwa dhahabu. 5Akaiingiza ile
viwili chini ya kila mhimili. 27Wakatengeneza mipiko ndani ya zile pete kwenye pande za
mihimili sita kwa ajili ya upande wa mwisho, sanduku ili kulibeba.
yaani upande wa magharibi wa maskani, 28na 6Akatengeneza kifuniko cha upatanisho kwa
mihimili miwili ikatengenezwa kwa ajili ya pembe dhahabu safi, urefu wake dhiraa mbili na nusu
za maskani za upande wa mwisho. 29Katika na upana wake dhiraa moja na nusu. 7Kisha
pembe hizi mbili mihimili yake ilikuwa jozi moja akatengeneza makerubi mawili kwenye miisho
kuanzia chini mpaka juu na vikaingizwa kwenye ya kile kifuniko kutokana na dhahabu iliyofuliwa.
pete moja, jozi zote mbili zilikuwa za kufanana. 8Akaweka kerubi moja mwisho huu na kerubi la
30Kwa hiyo kulikuwa na mihimili minane na pili mwisho mwingine, akayafanya kuwa kitu
vitako kumi na sita vya fedha, viwili chini ya kila kimoja na hicho kifuniko. 9Mabawa ya makerubi
kizingiti. yalikuwa yaliyokunjuliwa kuelekea juu, yakitilia
31Wakatengeneza pia mataruma kwa mti wa kifuniko uvuli. Makerubi yalielekeana,
mshita: matano kwa ajili ya mihimili ya upande yakitazama kuelekea kifuniko.
mmoja wa maskani, 32matano kwa ajili ya yale
yaliyo upande mwingine na matano kwa ajili ya Meza
upande wa magharibi, mwisho kabisa wa 10Akatengeneza meza ya mbao za mshita
maskani. 33Wakatengeneza taruma la katikati urefu wake dhiraa mbili b , upana wake dhiraa
likapenya katikati ya mihimili kutoka upande moja c na kimo chake dhiraa moja na nusu d .
mmoja hadi mwingine. 34Wakaifunika hiyo 11Kisha akaifunika kwa dhahabu safi na
wakayafunika yale mataruma kwa dhahabu. nyanda nne e kuizunguka ile meza na kuuweka
35Wakatengeneza mapazia kwa nyuzi za ukingo wa dhahabu juu yake. 13Akasubu pete
buluu, za zambarau na za rangi nyekundu kwa nne za dhahabu kwa ajili ya ile meza na
kitani iliyosokotwa vizuri, yakiwa yametariziwa kuzifungia kwenye pembe zake nne, pale penye
makerubu na fundi stadi. 36Wakatengeneza miguu minne ya meza. 14Pete hizo ziliwekwa
nguzo nne za mti wa mshita kwa ajili yake na karibu na ile duara ya upapi ili kuishikilia ile
kuzifunika kwa dhahabu. Wakatengeneza mipiko iliyotumika kuibebea hiyo meza. 15Mipiko
kulabu za dhahabu kwa ajili yake na kusubu hiyo ya kubebea meza, ilitengenezwa kwa mti
vitako vinne vya fedha. 37Kwa ajili ya ingilio la wa mshita na ilikuwa imefunikwa kwa dhahabu.
hema wakatengeneza pazia la nyuzi za rangi ya 16Vyombo vyote vya mezani vilitengenezwa kwa
buluu, za zambarau, za rangi nyekundu na kitani dhahabu safi, yaani, sahani zake, masinia,
iliyosokotwa vizuri, kazi ya mtarizi, 38pia mabakuli na magudulia kwa ajili ya kumiminia
wakatengeneza nguzo tano zenye kulabu. sadaka za kinywaji.
Wakafunika ncha za juu za hizo nguzo kwa
dhahabu pamoja na tepe zake, pia
wakatengeneza vitako vyake vitano vya shaba.
a1 dhiraa mbili na nusu ni sawa na mita 1.13
b10 dhiraa mbili ni sawa na sentimita 90 pia mstari wa 25.
d21 dhiraa kumi ni kama mita 4.5. c10 dhiraa moja ni sawa na sentimita 45 pia mstari wa 25.
e21 dhiraa moja na nusu ni sawa na sentimita 67.5 pia 37:1,6. d10 dhiraa moja na nusu ni sawa na sentimita 67.5.
e12 Nyanda nne ni sawa na sentimita 8
37
KUTOKA
Kinara cha Taa dhiraa tano. 2Akatengeneza upembe kwenye
17Akatengeneza kinara cha taa kwa kila pembe katika hizo pembe nne, ili kwamba
dhahabu safi iliyofuliwa vizuri, kitako chake na zile pembe na madhabahu ziwe zimeungana,
ufito, vikombe vilivyofanana na ua, matovu na akafunika madhabahu kwa shaba.
maua vilikuwa vya kitu kimoja. 18Matawi sita 3Akatengeneza vyombo vyake vyote kwa shaba,
yalijitokeza kwenye pande za kile kinara cha taa, vyungu vyake vya kuondolea majivu, masepeto,
matatu upande mmoja na matatu upande mabakuli ya kunyunyizia, nyuma za nyama na
mwingie. 19Vikombe vyenye muundo wa maua sufuria za kuchukulia moto. 4Akatengeneza
ya mlozi vikiwa na matovu na maua kwenye tawi wavu wa shaba, uwe chini ya ukingo wa
moja, vitatu vilikuwa kwenye tawi lililofuata na madhabahu ili kwamba ufikie nusu ya kimo cha
yanayofanana na matawi yote sita yalitokeza madhabahu. 5Akasubu pete za shaba za
kwenye kile kinara cha taa. 20Juu ya kinara kushikilia ile mipiko kwa ajili ya pembe nne za
kulikuwepo na vikombe vinne vyenye muundo huo wavu wa shaba. 6Akatengeneza mipiko ya
kama maua ya mlozi vikiwa na matovu yake na mti wa mshita na kuifunika kwa shaba.
maua yake. 21Tovu moja lilikuwa chini ya jozi ya 7Akaingiza ile mipiko kwenye zile pete ili hiyo
kwanza ya matawi yaliyojitokeza kwenye kinara mipiko iwe upande huu na upande huu wa
cha taa, tovu la pili chini ya jozi ya pili, nalo tovu madhabahu kwa ajili ya kuibeba. Akaitengeneza
la tatu chini ya jozi ya tatu, yaani, jumla matawi madhabahu yenye uvungu ndani yake akitumia
sita. 22Matovu na matawi vyote vilikuwa ya kitu mbao.
kimoja na kinara cha taa, kikiwa kimefuliwa kwa
dhahabu safi. Sinia la Kunawia
23Akatengeneza taa zake saba, mikasi ya 8Akatengeneza sinia la shaba na kitako
kusawazishia tambi pamoja na masinia ya chake cha shaba kutokana na vioo vya shaba
dhahabu safi. 24Akatengeneza kinara hicho cha vilivyotolewa na wanawake waliohudumu penye
taa pamoja na vifaa vyake vyote kutoka kwenye ingilio la Hema ya Kukutania.
talanta f moja ya dhahabu safi.
Ua wa Kukutania
Madhabahu ya Kufukizia Uvumba 9Kisha akatengeneza ua ambao upande wa
25Akatengeneza madhabahu ya kufukiza kusini ulikuwa na urefu wa dhiraa mia moja c na
uvumba kwa mbao za mshita. Ilikuwa ya mraba, ulikuwa na mapazia ya kitani iliyosokotwa vizuri,
urefu wake dhiraa moja, upana wake dhiraa 10wenye nguzo ishirini na vitako ishirini vya
moja na kimo chake dhiraa mbili, pembe zake shaba, pia zilikuwa na kulabu za fedha na tepe
zilikuwa za kitu kimoja nayo. 26Sehemu ya juu ya za fedha juu yake. 11Upande wa kaskazini
meza pande zake zote pamoja na zile pembe ulikuwa pia na urefu wa dhiraa mia moja, na
zilifunikwa kwa dhahabu safi, pia ulikuwa na wenye nguzo ishirini na vitako ishirini
akazitengenezea ukingo wa dhahabu vya shaba, pamoja na kulabu za fedha na tepe
kuizunguka. 27Akatengeneza pete mbili za za fedha juu yake.
dhahabu chini ya huo ukingo, mbili kila upande, 12Upande wa mwisho wa magharibi ulikuwa
ili zishikilie ile mipiko iliyobebea hiyo na upana wa dhiraa hamsini d na ulikuwa na
madhabahu. 28Akatengeneza mipiko kwa miti ya mapazia, pamoja na nguzo kumi na vitako kumi,
mshita na kuifunika kwa dhahabu. pamoja na kulabu za fedha na tepe za fedha juu
29Pia akatengeneza mafuta matakatifu ya yake. 13Upande wa mwisho wa mashariki
upako na uvumba safi, wenye harufu nzuri, kazi linakotokea jua, pia kulikuwa na upana wa
ya mtengeneza manukato. dhiraa hamsini. 14Mapazia yenye urefu wa
dhiraa kumi na tano e yalikuwa upande mmoja
Madhabahu ya Sadaka ya Kuteketezwa wa ingilio pamoja na nguzo tatu na vitako vitatu,
f24 Talanta moja ya dhahabu ni sawa na kilo 34. c9 dhiraa mia moja ni sawa na mita 46 pia mstari wa 11
a1 dhiraa tatu ni sawa na mita 1.4. d12 dhiraa hamsini ni sawa na mita 23.
b1 dhiraa tano ni sawa na mita 2.5. e14 dhiraa kumi na tano ni sawa na mita 6.9.
38
KUTOKA
yalikuwa ya kitani iliyosokotwa vizuri. 17Vitako na shekeli 2400 i 30Akaitumia hiyo shaba
vya nguzo vilikuwa vya shaba. Kulabu na tepe kutengeneza vitako vya ingilio la Hema la
juu ya nguzo zilikuwa za fedha, ncha zake Kukutania, madhabahu ya shaba pamoja na ule
zilifunikwa kwa fedha, kwa hiyo nguzo yote ya wavu wake na vyombo vyake vyote, 31vile vitako
ua ilikuwa na tepe za fedha. vya ule ua uliozunguka na vile vya ingilio na
18Pazia la kwenye ingilio la ua lilikuwa la vigingi vyote vya maskani ya BWANA pamoja
kitani lililosokotwa vizuri la rangi ya buluu, ya na ule ua uliozunguka.
zambarau na nyekundu, kazi ya mtarizi. Pazia
hilo lilikuwa na urefu wa dhiraa ishirini kama yale Mavazi ya Kikuhani
ya kwenye ua, kwenda juu kwake lilikuwa dhiraa Kutokana na nyuzi za rangi ya buluu, ya
tano, 19pakiwa na nguzo nne na vitako vinne vya 39 zambarau na nyekundu akatengeneza
shaba. Kulabu zake na tepe zake zilikuwa za mavazi yaliyofumwa kwa ajili ya
fedha, ncha zake zilikuwa zimefunikwa kwa kuhudumu katika mahali patakatifu. Pia
fedha. 20Vigingi vyote vya maskani akamshonea Aroni mavazi matakatifu, kama
vilivyozunguka ua vilikuwa vya shaba. BWANA alivyomwagiza Mose.
Ithamari, mwana wa kuhani Aroni. 22(Bezaleli dhahabu na kutengeneza nyuzi nyembamba ili
mwana wa Uri, mwana wa Huri, wa kabila la kufuma pamoja na hizo nyuzi za rangi ya buluu,
Yuda, alifanya kila kitu BWANA alichomwamuru ya zambarau, nyekundu na kitani safi, kazi ya
Mose, 23akiwa pamoja na Oholiabu mwana wa fundi stadi. 4Akatengeneza vile vipande vya
Ahisamaki wa kabila la Dani, fundi stadi wa kutia begani kwa ajili ya kisibau, vilivyokuwa
nakshi, kubuni michoro, mtarizi kwa rangi ya vimeshikizwa kwenye pembe zake mbili, ili
buluu, ya zambarau, nyekundu na kitani safi.) kiweze kufungwa. 5Mshipi wa kiunoni uliofumwa
24Jumla ya dhahabu iliyopatikana kutokana na kwa ustadi ulifanana nacho, ulikuwa kitu kimoja
sadaka ya kuinuliwa kwa ajili ya kazi ya mahali na hicho kisibau, nao ulitengenezwa kwa nyuzi
patakatifu ilikuwa na uzito wa talanta ishirini na za rangi ya dhahabu, ya buluu, ya zambarau na
tisa na shekeli 730 f , kulingana na shekeli ya nyekundu na kwa kitani iliyosokotwa vizuri,
mahali patakatifu. kama BWANA alivyomwagiza Mose.
25Fedha iliyopatikana kutokana na jumuiya 6Akatengeneza vito vya shohamu,
ya watu waliohesabiwa ilikuwa yenye uzito wa vilivyowekwa katika vijalizo vya dhahabu, navyo
talanta mia moja na shekeli 1775 g , kulingana na vilichorwa kama muhuri vikiwa na majina ya
shekeli ya mahali patakatifu. 26Kila mtu alitoa wana wa Israeli. 7Kisha akavifungia kwenye
beka moja h ambayo ni sawa na nusu shekeli ya vipande vya begani vya kisibau kuwa mawe ya
fedha, kwa kazi ya mahali patakatifu, kutoka ukumbusho kwa ajili ya wana wa Israeli, kama
kwa kila mtu aliyekuwa amehesabiwa mwenye BWANA alivyomwagiza Mose.
umri wa miaka ishirini au zaidi, ambao jumla yao
walikuwa wanaume 603,550. 27Talanta 100 za Kifuko cha Kifuani
fedha zilitumika kusubu vile vitako mia moja kwa 8Akatengeneza kifuko cha kifuani, kazi ya
ajili ya mahali patakatifu na mapazia, vitako mia fundi stadi. Akakitengeneza kama kile kisibau:
moja kwa talanta mia, yaani, talanta moja kwa kwa nyuzi za rangi ya dhahabu, ya buluu, ya
kila kitako. 28Akatumia zile shekeli 1775 zambarau, nyekundu na za kitani iliyosokotwa
kutengeneza kulabu za nguzo, kufunika ncha za vizuri. 9Kifuko hicho kilikuwa cha mraba chenye
nguzo na kutengeneza vitanzi vyake. urefu wa shibiri moja a na upana wa shibiri moja
29Shaba iliyopatikana kutokana na sadaka nacho kilikunjwa mara mbili. 10Kifuko hicho
ya kuinuliwa ilikuwa na uzito wa talanta sabini kilipambwa kwa safu nne za vito vya thamani.
f24 talanta 29 na shekeli 730 za dhahabu ni sawa na tani moja. i29 talanta 70 na shekeli 2,400 ni sawa na tani 2.4.
g25 talanta 100 na shekeli 1,775 za fedha ni sawa na tani 3.4. a9 Shibiri moja ni sawa na sentimita 22.
h26 talanta moja ni sawa na nusu shekeli ni sawa na gramu 5.5.
39
KUTOKA
Safu ya kwanza ilikuwa ya akiki, yakuti manjano nguo za ndani za kitani zilizosokotwa vizuri.
na zabarajadi, 11safu ya pili ilikuwa ya almasi, 29Mshipi ulikuwa wa kitani iliyosokotwa vizuri ya
yakuti-samawi na zumaridi, 12safu ya tatu ilikuwa rangi ya buluu, ya zambarau na nyekundu, kazi
ya yakintho, akiki nyekundu na amethisto, ya mtarizi, kama BWANA alivyomwagiza Mose.
13katika safu ya nne ilikuwa ya krisolitho, 30Kisha akatengeneza bamba, taji takatifu,
shohamu na yaspi. Vito hivyo viliwekwa kwenye kwa dhahabu safi na kuchora juu yake kama
vijalizo vya dhahabu. 14Palikuwa na vito kumi na mchoro juu ya mhuri: MTAKATIFU KWA
viwili, kila kimoja kikiwa na jina mojawapo la BWANA. 31Kisha wakalifunga kwa kamba ya
wana wa Israeli, kila kito kilichorwa kama muhuri rangi ya buluu ili kulishikamanisha na kile
kikiwa na jina mojawapo la yale makabila kumi kilemba kama BWANA alivyomwagiza Mose.
na mawili.
15Kwa kile kifuko cha kifuani Mose Akagua Maskani ya Mungu
akakitengenezea mikufu ya dhahabu safi, mfano 32Kwa hiyo kazi yote ya maskani, Hema la
wa kamba. 16Akaitengeneza vijalizo viwili vya Kukutania ikakamilika. Waisraeli wakafanya kila
dhahabu na pete mbili za dhahabu na kuzifungia kitu sawasawa kama vile BWANA
pete hizo kwenye pembe mbili za hicho kifuko alivyomwagiza Mose. Ndipo wakaleta maskani
33
cha kifuani. 17Akafunga hiyo mikufu miwili ya kwa Mose: hema pamoja na vifaa vyake vyote,
dhahabu kwenye hizo pete katika pembe za vibanio vyake, mihimili yake, mataruma yake,
hicho kifuko cha kifuani, 18zile ncha nyingine za nguzo na vitako vyake, 34kifuniko cha ngozi za
mikufu kwenye vile vijalizo viwili, kondoo waume kilichotiwa rangi nyekundu,
akazishikamanisha na vile vipande vya begani kifuniko cha ngozi laini za wanyama, pazia la
vya kile kisibau kwa mbele. 19Akatengeneza kufunikia, 35sanduku la Ushuhuda pamoja na
pete mbili za dhahabu na kuzishikamanisha mipiko yake na kiti cha rehema, 36meza pamoja
kwenye pembe mbili za hicho kifuko cha kifuani na vyombo vyake vyote na mikate ya
kwenye ukingo wa ndani karibu na kisibau. Wonyesho, 37kinara cha taa cha dhahabu safi,
20Kisha akatengeneza pete nyingine mbili za safu zake za taa pamoja na vifaa vyake vyote
dhahabu na kuzishikamanisha upande wa chini pamoja na mafuta kwa ajili ya taa, 38madhabahu
wa vipande vya begani mbele ya kile kisibau, ya dhahabu, mafuta ya upako, uvumba wenye
karibu na pindo juu kidogo ya mshipi wa kiunoni harufu nzuri na pazia la ingilio la hema,
wa kisibau. 21Akafunga pete za hicho kifuko cha 39madhabahu ya shaba, pamoja na wavu wa
kifuani kwenye pete za kisibau kwa kamba ya shaba, nguzo zake na vyombo vyake vyote,
buluu, wakiiunganisha na mshipi wa kiunoni, ili sinia, na kishikilio chake, 40mapazia ya ua
kifuko cha kifuani kisije kikasogea kutoka pamoja na nguzo na vitako vyake, pia na
kwenye kile kisibau, kama BWANA mapazia kwa ajili ya ingilio la kwenye ua, kamba
alivyomwagiza Mose. zake na vigingi vya hema kwa ajili ya ua,
vyombo vyote vilivyohitajiwa kwa ajili ya
Mavazi Mengine ya Kikuhani maskani, Hema la Kukutania, 41mavazi
22Akatengeneza joho la kisibau lote la rangi yaliyofumwa yanayovaliwa kwa kuhudumia
ya buluu, kazi ya mfumaji. 23Joho hilo lilikuwa na mahali patakatifu, mavazi matakatifu ya kuhani
nafasi ya shingo yenye ukosi na utepe Aroni na mavazi kwa ajili ya wanawe wakati
ulishonewa kwa kuizunguka nafasi hiyo ili wanapohudumu katika kazi ya ukuhani.
lisichanike. 24Akatengeneza makomamanga ya 42Waisraeli walikuwa wamefanya kazi yote
la hilo joho. 25Kisha akatengeneza njuga za kuona kuwa walikuwa wameifanya sawasawa
dhahabu safi na kuzishikamanisha kuzunguka kama vile BWANA alivyokuwa ameagiza. Kwa
pindo kati ya makomamanga. 26Njuga hizo na hiyo Mose akawabariki.
makomamanga vilipitana kwa kuzunguka upindo
wa joho ili livaliwe kwa kuhudumu, kama Kusimika Maskani ya Mungu
BWANA alivyomwagiza Mose.
27Pia akamtengenezea Aroni na wanawe 40 Kisha BWANA akamwambia Mose:
2“Simika maskani ya Mungu,yaani,
makoti ya kitani safi, kazi ya mfumaji, 28kilemba Hema la Kukutania, katika siku ya kwanza ya
cha kitani safi, tepe za kichwani za kitani na mwezi wa kwanza. 3Weka sanduku la Ushuhuda
40
KUTOKA
ndani yake na ulifunike kwa pazia. Ingiza meza alivyomwagiza.
na kupanga vitu vyake juu yake. Kisha ingiza 24Akaweka kinara cha taa ndani ya Hema la
kinara cha taa na uweke taa zake juu yake. Kukutania mkabala na meza upande wa kusini
5Weka ile madhabahu ya dhahabu ya kufukizia mwa maskani ya Mungu 25na kuziweka taa
uvumba mbele ya sanduku la Ushuhuda kisha mbele ya BWANA, kama BWANA
uweke pazia kwenye lango la Maskani ya alivyomuagiza.
Mungu. 26Mose akaweka madhabahu ya dhahabu
6“Weka madhabahu ya sadaka za ndani ya Hema la Kukutania mbele ya pazia
kuteketezwa mbele ya lango la maskani ya 27na kufukiza uvumba wenye harufu nzuri kama
Mungu, Hema ya Kukutania, 7weka sinia kati ya BWANA alivyomuagiza. 28Kisha akaweka pazia
Hema ya Kukutania na madhabahu, na uweke kwenye ingilio la maskani ya Mungu.
maji ndani yake. 8Fanyiza ua kuzunguka 29Akaweka madhabahu ya sadaka za
maskani na uweke pazia penye ingilio la ua. kuteketezwa karibu na ingilio la maskani ya
9“Chukua mafuta ya upako, ipake maskani Mungu ndani ya Hema la Kukutania na kutoa juu
ya Mungu pamoja na kila kitu kilichomo ndani yake sadaka za kuteketezwa na sadaka za
yake, iweke wakfu pamoja na vitu vyote nafaka kama BWANA alivyomwagiza.
vilivyomo ndani mwake, nayo itakuwa takatifu. 30Akaweka sinia kati ya Hema la kukutania na
10Kisha ipake mafuta hiyo madhabahu ya madhabahu, akaweka maji ndani yake kwa ajili
kuteketezea sadaka pamoja na vifaa vyake ya kunawia, 31Naye Mose, Aroni na wanawe
vyote, weka wakfu madhabahu nayo itakuwa wakayatumia kwa kunawia mikono na miguu
takatifu sana. 11Paka sinia mafuta pamoja na yao. 32Wakanawa kila wakati walipoingia katika
kishikilio chake na uviweke wakfu. Hema la Kukutania au walipoikaribia
12“Mlete Aroni na wanawe kwenye ingilio la madhabahu kama BWANA alivyomwagiza
Hema la Kukutania na uwaoshe kwa maji. Mose.
13Kisha mvike Aroni yale mavazi matakatifu, 33Kisha Mose akafanya ua kuizunguka
umtie mafuta na kumweka wakfu ili apate maskani ya Mungu na madhabahu, pia akaweka
kunitumikia katikati ya ukuhani. 14Walete pazia kwenye ingilio la huo ua. Hivyo Mose
wanawe na uwavike makoti. 15Kisha watie akaikamilisha kazi.
mafuta kama ulivyomtia baba yao, ili nao pia
wanitumikie katika kazi ya ukuhani. Kutiwa Utukufu wa BWANA
mafuta kwao kutakuwa kwa ajili ya ukuhani 34Ndipo wingu likafunika Hema la Kukutania
utakaoendelea kwa vizazi vyote vijavyo.” 16Mose na utukufu wa BWANA ukaijaza maskani ya
akafanya kila kitu sawa kama vile BWANA Mungu. 35Mose hakuweza kuingia ndani ya
alivyomwagiza . Hema la Kukutania kwa sababu wingu lilikuwa
17Kwa hiyo maskani ya Mungu ilisimikwa limetua juu ya Hema, nao utukufu wa BWANA
katika siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza ukaijaza maskani ya Mungu.
katika mwaka wa pili. 18Mose aliposimika 36Katika safari yote ya Waisraeli, kila wakati
maskani ya Mungu, aliweka vitako mahali pake, wingu lilipoinuka kutoka juu ya maskani ya
akasimamisha mihimili, akatia mataruma na Mungu, wangeondoka 37lakini kama wingu
kusimamisha nguzo. 19Kisha akalitandaza hema halikuinuka, hawakuondoka mpaka siku
juu ya maskani ya Mungu na kuifunika hema, lilipoinuka. 38Kwa hiyo wingu la BWANA lilikuwa
kama BWANA alivyomwagiza. juu ya maskani, mchana na moto ulikuwa katika
20Akachukua ule ushuhuda na kuuweka hilo wingu wakati wa usiku, machoni pa nyumba
ndani ya sanduku la agano, akaweka ile mipiko yote ya Israeli siku zote za safari zao.
ya kubebea sanduku na kuweka kiti cha rehema
juu yake. 21Kisha akalileta sanduku ndani ya
maskani ya Mungu, akatundika pazia ili
kulifunika sanduku la Ushuhuda, kama BWANA
alivyomwagiza.
22Mose akaweka meza ndani ya Hema la
41
MAMBO YA WALAWI
Utangulizi
Aroni na wanawe walikuwa wamechaguliwa na Mungu kuwa katika nafasi ya ukuhani ili dhabihu ziweze kutolewa
inavyokubalika (8:1-10:20).Maelekezo mbalimbali juu ya kanuni za kuishi maisha matakatifu zilitolewa. Nyingi ya
hizi kanuni huwa za maana sana kwa wasomi wa kisasa ili kufahamu maendeleo ya utamaduni wa Israei
yanayofanana na ya wakati ule.
Walawi ndio waliokuwa wamechaguliwa na Mungu kuwa makuhani. Aroni ni Mlawi kutoka katika ukoo wa
Lawi. Kitabu cha Walawi kina amri nyingi walizopaswa kuzitii katika kuitenda kazi hii ya ukuhani – amri za
kumwabudu Mungu, utoaji dhabihu na sadaka na jinsi ya kushughulikia matatizo ya kila siku kuhusu uadilifu.
Ingawa amri nyingi zilitolewa kwa ajili ya Walawi, kusudi la amri zote hizo zilikuwa kuwasaidia Waisraeli wote jinsi
ya kumwabudu Mungu na kuishi katika utakatifu kama watu wateule wa Mungu.
Katika Agano la Kale Mungu aliamuru kutolewa kwa sadaka na dhabihu, nazo zikapata maana yake
kutokana na uhusiano wa agano la Mungu na Israeli. Makusanyiko matakatifu yaliyofanyika katika mwaka
mzima yalitoa mwito kwa Waisraeli kufanya upya tabia na ile hali ya kutambua wajibu wao kama watu
waliochaguliwa na Mungu.Kudumishwa kwa uhusiano huu wa agano na Mungu kulikuwa kwa muhimu sana kwa
Waisraeli. Kwa njia ya kutoa sadaka na dhabihu kuliwezesha mtu binafsi au Waisraeli kwa pamoja kumkaribia
mara kwa mara katika kuabudu, wakionyesha shukrani zao. Ondoleo la dhambi lilifanyika kwa njia ya kumwaga
damu wakati wanyama walipokuwa wanatolewa dhabihu kufuatana na maelekezo yaliyokuwa yametolewa
kupitia kwa Mose.
Kutolewa kwa mwongozo wa kuishi maisha matakatifu kulitolewa kutokana na upendo wa Mungu kwetu,
upendo wetu kwa Mungu na upendo wetu kwa wengine. Ile amri kuu ya pili isemayo: “Mpende jirani yako kama
uanavyojipenda wewe mwenyewe” (19:18; Mat.22:39) imetolewa kutokana na uhusiano huu.
Wazo Kuu
Kitabu hiki cha tatu miongoni mwa “ Vitabu Vitano vya Mose” kimsingi kinashughulika sana na maelekezo
kuhusu kuishi maisha matakatifu na kuabudu. “ …iweni watakatifu kwa sababu Mimi ni mtakatifu’’(11:45). Kwa
hiyo “Utakatifu” ndilo wazo kuu la kitabu hiki ambalo limetajwa mara 152. Neno hili “takatifu” au “utakatifu”
limetokana na neno la Kiebrania “qodesh.”
Wahusika Wakuu
Walawi, Mose, Aroni, Nadabu, Abihu, Eleazeri na Ithamari.
Jambo Muhimu
Utakatifu umetajwa mara nyingi katika kitabu hiki kuliko kitabu kingine cho chote cha Biblia. Mungu
anawafundisha Waisraeli jinsi ya kuishi maisha matakatifu.
Mahali.
Chini ya Mlima Sinai, wakati wa safari ya Wana wa Israeli.
Mwandishi
Mose, kiongozi wa Israeli.
Mgawanyo
• Amri na maelekezo ya kutoa dhabihu na sadaka. (1:1-7:38)
• Kuteuliwa kwa Aroni na wanawe na Mungu kuwa makuhani. (8:1-10:20)
• Amri ili kuishi maisha matakatifu. (11:1-15:33)
• Siku ya upatanisho. (16:1-34)
• Utakatifu kimatendo. (17:1-22:33)
• Sabato, sikukuu na majira. (23:1-25:55)
• Vitu vya kufanya ili kustahili baraka za Mungu. (26:1-27:34)
1
MAMBO YA WALAWI
Sadaka ya Kuteketezwa chakula pamoja na uchafu wake na kuvitupa
1 BWANA akamwita Mose na kusema naye
kutoka kwenye Hema la Kukutania,
upande wa mashariki wa madhabahu, mahali
pale penye majivu. 17Atampasua na kumweka
akamwambia, 2‘‘Sema na Waisraeli na wazi katika mabawa yake lakini asimwachanishe
uwaambie: ‘Ye yote miongoni mwenu aletapo kabisa, kisha kuhani ataichoma juu ya zile kuni
sadaka ya mnyama kwa BWANA, alete mnyama zinazowaka juu ya madhabahu. Hii ni sadaka ya
kama sadaka yake kutoka kundi lake la ng’ombe kuteketezwa, sadaka iliyotolewa kwa moto,
au la kondoo na mbuzi. harufu nzuri ya kumpendeza BWANA.
3‘‘ ‘Kama sadaka hiyo ni ya kuteketezwa
Aroni kuhani watapanga vile vipande vya jikoni, itakuwa ya unga laini, maandazi
nyama, pamoja na kichwa na mafuta ya huyo yaliyotengenezwa bila kutiwa chachu,
mnyama juu ya zile kuni zinazowaka juu ya yaliyochanganywa na mafuta, au mikate
madhabahu. 9Ataziosha sehemu za ndani na myembamba iliyotengenezwa bila kutiwa
miguu yake kwa maji, naye kuhani atavichoma chachu na iliyopakwa mafuta. 5Iwapo sadaka
vyote juu ya madhabahu. Hii ni sadaka ya yako ya nafaka imeandaliwa kwenye kikaango,
kuteketezwa, sadaka iliyotolewa kwa moto, itakuwa ni ya unga laini uliochanganywa na
yenye harufu nzuri ya kumpendeza BWANA. mafuta na bila chachu. 6Ukande na kumimina
10‘‘ ‘Kama sadaka ni ya kuteketezwa kutoka mafuta juu yake, hii ni sadaka ya nafaka. 7Kama
kwenye kundi la kondoo au mbuzi, atamtoa sadaka yako ya nafaka imepikwa kwenye
mnyama mume asiye na dosari. 11Atamchinja sufuria, itatengenezwa kwa unga laini na
upande wa kaskazini wa madhabahu mbele za mafuta. 8Ilete hiyo sadaka ya nafaka
BWANA, nao wana wa Aroni kuhani iliyotengenezwa kwa vitu hivi kwa BWANA,
watanyunyizia damu yake pande zote za mkabidhi kuhani ambaye ataipeleka
madhabahu. 12Atamkata vipande vipande, naye madhabahuni. Naye atatoa ile sehemu ya
9
kuhani atavipanga, pamoja na kichwa na mafuta kumbukumbu kutoka kwenye hiyo sadaka ya
ya mnyama juu ya zile kuni zinazowaka juu ya nafaka na kuiteketeza juu ya madhabahu kuwa
madhabahu. 13Ataosha sehemu za ndani na sadaka iliyotolewa kwa moto, harufu nzuri ya
miguu kwa maji, naye kuhani atavileta vyote na kumpendeza BWANA. 10Sadaka ya nafaka
kuvichoma juu ya madhabahu. Hii ni sadaka ya iliyobaki ni ya Aroni na wanawe, ni sehemu ya
kuteketezwa, sadaka iliyotolewa kwa moto, sadaka iliyo takatifu sana ya sadaka iliyotolewa
harufu nzuri ya kumpendeza BWANA. kwa BWANA kwa moto.
14‘‘ ‘Kama sadaka ya kuteketezwa 11‘‘ ‘Kila sadaka ya nafaka unayoleta kwa
inayotolewa kwa BWANA ni ndege, atamtoa hua BWANA ni lazima ifanywe bila kutiwa chachu,
au kinda la njiwa. 15Kuhani atamleta kwenye kwa kuwa huna ruhusa kuchoma chachu yo yote
madhabahu, naye atamvunja shingo na au asali katika sadaka itolewayo kwa BWANA
kumnyofoa kichwa na kumchoma juu ya kwa moto. 12Unaweza kuzileta kwa BWANA
madhabahu, damu yake itachuruzishwa ubavuni kama sadaka ya malimbuko, lakini haziwezi
mwa madhabahu. 16Ataondoa kifuko cha kutolewa juu ya madhabahu kama harufu nzuri
2
MAMBO YA WALAWI
ya kupendeza. 13Koleza sadaka zako zote za kwa BWANA kwa moto.
nafaka kwa chumvi. Usiache kuweka chumvi ya 12‘‘ ‘Kama sadaka yake ni mbuzi, ataileta
agano la Mungu wako katika sadaka zako za mbele za BWANA. 13Ataweka mkono wake juu
nafaka, weka chumvi kwenye sadaka zako zote. ya kichwa chake na kumchinja mbele ya Hema
14‘‘ ‘Kama ukileta malimbuko ya sadaka ya la Kukutania. Kisha wana wa Aroni
nafaka kwa BWANA, utatoa masuke watanyunyiza damu yake kwenye madhabahu
yaliyopondwa ya nafaka mpya iliyookwa kwa pande zote. 14Kutokana na ile sadaka anayotoa,
moto. 15Weka mafuta na uvumba juu yake, ni atatoa sadaka hii kwa BWANA kwa moto:
sadaka ya nafaka. 16Kuhani atateketeza ile Mafuta yote yanayofunika sehemu za ndani na
sehemu ya kumbukumbu kutoka kwenye hiyo yale yanayoungana nazo, 15figo zote mbili
sadaka ya nafaka iliyopondwa kwa mafuta, pamoja na mafuta yaliyo juu yake karibu na
pamoja na uvumba wote, kama sadaka kiuno na yanayofunika ini, ambayo atayaondoa
iliyotolewa kwa BWANA kwa moto. pamoja na figo. 16Kuhani ataviteketeza juu ya
madhabahu kama chakula, sadaka iliyotolewa
Sadaka ya Amani kwa moto, harufu nzuri. Mafuta yote ya mnyama
3 ‘‘ ‘Kama sadaka ya mtu ni sadaka ya
amani, naye akatoa ng’ombe kutoka
ni ya BWANA.
17‘‘ ‘Hii ni kanuni ya kudumu kwa vizazi
katika kundi, akiwa dume au jike, atamleta huyo vijavyo, po pote muishipo. Msile mafuta yo yote
mbele za BWANA mnyama asiye na dosari. ya mnyama wala damu.’ ’’
2Ataweka mkono wake juu ya kichwa cha hiyo
na yale yanayofunika ini, ambayo atayatoa na kiuno na yale yanayofunika ini ambayo
pamoja na figo. 11Kuhani ataviteketeza juu ya atayaondoa pamoja na figo zote, 10kama vile
madhabahu kama chakula, sadaka iliyotolewa mafuta yanayoondolewa kutoka kwenye maksai
3
MAMBO YA WALAWI
aliyetolewa sadaka ya amani. Kisha kuhani kwenye pembe za madhabahu ya sadaka ya
ataviteketeza juu ya madhabahu ya sadaka ya kuteketeza na kuimwaga damu iliyobaki chini ya
kuteketezwa. 11Lakini ngozi ya huyo fahali na madhabahu. 26Atayateketeza mafuta yote juu ya
nyama zake zote, pamoja na kichwa na miguu madhabahu kama alivyoteketeza mafuta ya
yake, sehemu za ndani na matumbo, 12yaani, sadaka ya amani. Kwa njia hii kuhani atafanya
sehemu nyingine zote zilizobaki za huyo fahali upatanisho wa dhambi kwa ajili ya yule mtu,
lazima azitoe nje ya kambi mpaka mahali palipo naye atasamehewa.
safi kiibada, ambapo majivu hutupwa, naye
atamchoma kwa moto juu ya kuni zilizoko juu ya 27‘‘ ‘Kama mtu katika jumuiya ametenda
lundo la majivu. dhambi pasipo kukusudia na kufanya lile
lililokatazwa katika amri yo yote ya BWANA,
13‘‘ ‘Ikiwa jumuiya yote ya Israeli watatenda yeye ana hatia. 28Atakapofahamishwa dhambi
dhambi pasipo kukusudia na kufanya lile yake aliyoitenda, ni lazima alete mbuzi jike asiye
lililokatazwa katika amri ye yote ya BWANA, na dosari kama sadaka yake kwa ajili ya
hata kama jumuiya haifahamu juu ya jambo hilo, dhambi aliyotenda. 29Ataweka mkono wake juu
wana hatia. 14Wanapotambua juu ya dhambi ya kichwa cha sadaka ya dhambi na kumchinjia
waliyoitenda, lazima kusanyiko lilete fahali mahali pa kuteketezea sadaka. 30Kisha kuhani
mchanga kuwa sadaka ya dhambi na kuikabidhi atachukua sehemu ya ile damu kwa kidole
mbele ya Hema la Kukutania. 15Wazee wa chake na kuitia kwenye pembe za madhabahu
jumuiya wataweka mikono yao juu ya kichwa ya sadaka ya kuteketezwa na kuimwaga damu
cha huyo fahali aliye mbele za BWANA, naye iliyobaki chini ya madhabahu. 31Atayaondoa
fahali atachinjwa mbele za BWANA. 16Kisha mafuta yote, kama vile mafuta yaondolewavyo
kuhani aliyetiwa mafuta ataiingiza sehemu ya kwenye sadaka ya amani, naye kuhani
damu ya huyo fahali ndani ya Hema la atayateketeza juu ya madhabahu kama harufu
Kukutania. 17Atachovya kidole chake kwenye nzuri ya kumpendeza BWANA. Kwa njia hii
damu na kuinyunyiza mara saba mbele za kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake, naye
BWANA mbele ya hilo pazia. 18Atatia sehemu ya atasamehewa.
hiyo damu juu ya pembe za ile madhabahu iliyo 32‘‘ ‘Ikiwa ataleta mwana-kondoo kama
mbele ya BWANA katika Hema la Kukutania. sadaka yake ya dhambi, atamleta jike asiye na
Damu iliyobaki ataimwaga chini ya madhabahu dosari. 33Ataweka mkono wake juu ya kichwa
ya kuteketezea sadaka, penye ingilio la Hema la cha huyo mwana-kondoo na kumchinja kwa ajili
Kukutania. 19Atayaondoa mafuta yote ya yule ya sadaka ya dhambi mahali sadaka ya
fahali na kuyateketeza juu ya madhabahu, kuteketezwa ichinjiwapo. 34Kisha kuhani
20naye atamfanyia fahali huyu kama atachukua sehemu ya damu ya sadaka ya
alivyomfanyia yule fahali mwingine wa sadaka dhambi kwa kidole chake na kuitia juu ya pembe
ya dhambi. Kwa njia hii kuhani atawafanyia watu za madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa na ile
upatanisho, nao watasamehewa. 21Kisha damu iliyobaki ataimwaga chini ya madhabahu.
atamchukua yule fahali nje ya kambi na 35Ataondoa mafuta yote, kama vile mafuta
5
lazima alete mbuzi mume asiye na dosari kama ‘‘ ‘Ikiwa mtu atakuwa ametenda dhambi
sadaka yake. 24Ataweka mkono wake juu ya kwa sababu hakusema alipotakiwa kutoa
kichwa cha yule mbuzi na kumchinja mahali pale ushahidi hadharani kuhusu jambo aliloona au
ambapo sadaka za kuteketezwa huchinjwa kujua habari zake, yeye anastahili adhabu.
mbele za BWANA. Hii ni sadaka ya dhambi. 2‘‘ ‘Au kama mtu akigusa kitu cho chote
25Kisha kuhani atachukua sehemu ya damu ya ambacho si safi kwa kawaida ya ibada, kama ni
sadaka ya dhambi kwa kidole chake na kuitia mizoga ya wanyama pori walio najisi au ya
4
MAMBO YA WALAWI
wanyama wafugwao walio najisi au ya viumbe atasamehewa. Sadaka iliyobaki itakuwa ya
vitambaavyo ardhini hata kama hana habari, kuhani, kama ilivyokuwa ile sadaka ya nafaka.’
amekuwa najisi na mwenye hatia. ’’
3‘‘ ‘Au kama akigusa kitu kilicho kichafu Sadaka ya Hatia
kinachotokana na binadamu, kitu cho chote kile 14BWANA akamwambia Mose: 15‘‘Mtu
kinachoweza kumfanya awe najisi, hata ikiwa anapokiuka na kutenda dhambi pasipo
hana habari juu yake, atakapojua atakuwa ana kukusudia kuhusu mojawapo ya mambo
hatia. matakatifu ya BWANA, huyo mtu ataleta kwa
4‘‘ ‘Au kama mtu ameapa kufanya kitu cho BWANA kama adhabu, kondoo mume mmoja
chote bila kufikiri kikiwa chema au kibaya, kwa kutoka katika kundi lake, asiye na dosari na
vyo vyote mtu aweza kuapa kwa uzembe akiwa mwenye thamani halisi kifedha, kulingana na
hana habari juu yake, hata kama hatambui juu shekeli ya mahali patakatifu, hii ni sadaka ya
yake kwa vyo vyote atakapofahamu atakuwa na hatia. 16Ni lazima alipe kwa yale aliyoshindwa
hatia. kufanya kuhusu vitu vitakatifu, kwa kuongeza
5‘‘ ‘Wakati mtu ye yote atakapokuwa na sehemu moja ya tano ya thamani ile na kuitoa
hatia katika mojawapo ya haya, lazima akiri yote kwa kuhani, ambaye atamfanyia
kuwa ni kwa njia gani ametenda dhambi 6na upatanisho kwa huyo kondoo dume kama
kwa ajili ya adhabu ya dhambi aliyoitenda lazima sadaka ya dhambi, naye atasemehewa.
alete kwa BWANA kondoo jike au mbuzi kutoka 17‘‘Kama mtu akifanya dhambi na kufanya
kwenye kundi lake kama sadaka ya dhambi, yale yaliyokatazwa katika mojawapo ya amri za
naye kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake BWANA, hata ikiwa hajui, yeye ana hatia na
kwa dhambi yake. anastahili adhabu. 18Atamletea kuhani kama
7‘‘ ‘Lakini huyo mtu kama hataweza kumtoa sadaka ya hatia kondoo mume kutoka kundi
mwana-kondoo, ataleta hua wawili au makinda lake, kondoo asiye na dosari na mwenye
wawiili wa njiwa kwa BWANA kuwa adhabu kwa thamani halisi kifedha. Kwa njia hii kuhani
ajili ya dhambi yake, mmoja wa hao ndege kwa atafanya upatanisho kwa ajili yake kwa kosa
ajili ya sadaka ya dhambi na wa pili kwa ajili ya alilotenda bila kukusudia, naye atasamehewa.
sadaka ya kuteketezwa. 8Atawaleta kwa kuhani, 19Hii ni sadaka ya hatia, amekuwa na hatia kwa
ambaye atamtoa kwanza huyo mmoja kwa ajili kufanya kosa dhidi ya BWANA.’’
ya sadaka ya dhambi. Atamvunja shingo yake
na kuacha kichwa chake kikining’inia, 9naye Kurudisha Kilichochukuliwa
atanyunyiza sehemu ya hiyo damu ya sadaka ya
dhambi kwenye pembe za madhabahu, damu 6 BWANA akamwambia Mose: 2‘‘Kama mtu
ye yote akitenda dhambi naye si
iliyobaki lazima ichuruzwe chini ya madhabahu. mwaminifu kwa BWANA kwa kumdanganya
Hii ni sadaka ya dhambi. 10Kisha kuhani atamtoa jirani yake kuhusu kitu fulani alichokabidhiwa au
yule wa pili kama sadaka ya kuteketezwa kwa kimeachwa chini ya utunzaji wake au kimeibwa,
kufuata utaratibu uliowekwa na kufanya au kama akimdanganya, 3au akiokota mali
upatanisho kwa ajili yake kwa dhambi iliyopotea na akadanganya au kuapa kwa
aliyoitenda, naye atasamehewa. uongo, au kama akitenda dhambi yo yote
11‘‘ ‘Ikiwa basi, hawezi kupata hua wawili au ambayo watu waweza kuitenda, 4wakati
makinda mawili ya njiwa, ataleta moja ya kumi akitenda dhambi hizo na kuwa mwenye hatia, ni
ya efa a ya unga laini kwa ajili ya sadaka ya lazima arudishe kile alichokuwa amekiiba au
dhambi. Kamwe asiweke mafuta wala uvumba amekichukua kwa dhuluma, au alichokuwa
juu yake kwa sababu ni sadaka ya dhambi. amekabidhiwa, au mali iliyokuwa imepotea
12Atauleta kwa kuhani, naye atauchukua unga akaipata, 5au cho chote alichokuwa amekiapia
huo konzi moja kama sehemu ya kumbukumbu kwa uongo. Lazima akirudishe kikamilifu,
na atauteketeza kwenye madhabahu juu ya aongeze sehemu moja ya tano ya thamani yake
sadaka zilizotolewa kwa BWANA kwa moto. Hii na kumpa vyote mwenye mali siku ile
ni sadaka ya dhambi. 13Kwa njia hii kuhani anapopeleka sadaka yake ya hatia. 6Kisha kama
atafanya upatanisho kwa ajili yake kwa dhambi adhabu lazima amletee kuhani, yaani kwa
mojawapo ya hizi alizotenda, naye BWANA, sadaka yake ya hatia, kondoo dume
kutoka katika kundi asiye na dosari na mwenye
a11 Moja ya kumi (1/10) ya efa ni sawa na kilo moja. thamani kamili. 7Kwa njia hii kuhani atafanya
5
MAMBO YA WALAWI
upatanisho kwa ajili yake mbele za BWANA, unga laini kama sadaka ya kawaida ya nafaka,
naye atasamehewa kwa kosa lo lote katika nusu yake ataitoa asubuhi na nusu nyingine
mambo hayo aliyoyatenda yaliyomfanya kuwa jioni. 21Iandae kwa mafuta kwenye kikaango,
na hatia.’’ ilete ikiwa imechanganywa vizuri na utoe hiyo
sadaka ya nafaka ikiwa imevunjwa vipande
Sadaka ya Kuteketezwa vipande kuwa harufu nzuri ya kumpendeza
8BWANA akamwambia Mose: 9‘‘Mpe Aroni BWANA. 22Mtoto atakayeingia mahali pake
na wanawe agizo hili: ‘Haya ndiyo masharti kwa kama kuhani aliyetiwa mafuta ndiye
ajili ya sadaka ya kuteketezwa: Sadaka ya atakayeiandaa. Ni fungu la kawaida la BWANA,
kuteketezwa itabaki kwenye moto juu ya nalo litateketezwa kabisa. 23Kila sadaka ya
madhabahu usiku kucha, mpaka asubuhi, nao nafaka ya kuhani itateketezwa kabisa, kamwe
moto lazima uwe unaendelea kuwaka juu ya haitaliwa.’’
madhabahu. 10Kisha kuhani atavaa mavazi yake
ya kitani, pamoja na nguo za kitani za ndani, Sadaka ya Dhambi
kisha ataondoa majivu ya sadaka ya 24BWANA akamwambia Mose, 25‘‘Mwambie
kuteketezwa ambayo moto umeteketeza juu ya Aroni na wanawe: ‘Haya ndiyo masharti kwa ajili
madhabahu na kuyaweka kando ya madhabahu. ya sadaka ya dhambi: Sadaka ya dhambi
11Kisha atayavua mavazi haya na kuvaa itachinjwa mbele za BWANA mahali sadaka ya
mengine, atachukua yale majivu nje ya kambi na kuteketezwa ichinjiwapo, ni takatifu sana.
kupeleka mahali palipo safi kwa kawaida ya 26Kuhani anayeitoa ndiye atakayeila, italiwa
ibada. 12Moto ulio juu ya madhabahu lazima uwe mahali patakatifu, katika ua wa Hema la
unaendelea kuwaka, kamwe usizimike. Kila Kukutania. 27Cho chote kitakachogusa nyama
asubuhi kuhani ataongeza kuni na kupanga yo yote ya hiyo sadaka kitakuwa kitakatifu na
sadaka ya kuteketezwa juu ya moto na kama hiyo damu itadondokea juu ya vazi, lazima
kuteketeza mafuta ya sadaka za amani juu uifulie mahali patakatifu. 28Chungu cha udongo
yake. 13Moto lazima uendelee kuwaka juu ya kitakachopikiwa nyama lazima kivunjwe, lakini
madhabahu mfululizo, kamwe usizimike. kama imepikiwa kwenye chombo cha shaba,
chombo hicho kitasuguliwa na kusuuzwa kwa
Sadaka ya Nafaka maji. 29Kila mwanaume katika familia ya kuhani
14‘‘ ‘Haya ndiyo masharti ya sadaka ya aweza kula nyama hiyo, ni takatifu sana.
nafaka: Wana wa Aroni wataileta mbele za 30Lakini kila sadaka ya dhambi ambayo damu
ni sadaka ambayo Aroni na wanawe sadaka iliyotolewa kwa BWANA kwa moto. Hii ni
wanapaswa kuleta kwa BWANA siku sadaka ya hatia. 6Mwanaume ye yote katika
atakapotiwa mafuta: moja ya kumi ya efa a ya jamaa ya kuhani aweza kuila, lakini lazima iliwe
mahali patakatifu, ni takatifu sana.
a20 Moja ya kumi (1/10) ya efa ni sawa na kilo moja
6
MAMBO YA WALAWI
7‘‘ ‘Sheria hii ya sadaka ya hatia ni sawa najisi au kitu cho chote kilicho najisi, kitu cha
sawa na ile ya sadaka ya dhambi: Nyama ya kuchukiza, kisha akala nyama yo yote ya
yule mnyama aliyetolewa sadaka ni ya yule sadaka ya amani iliyotolewa kwa BWANA, mtu
kuhani anayesimamia ibada ya upatanisho. huyo ni lazima akatiliwe mbali na watu wake.’ ’’
8Kuhani anayetoa sadaka ya kuteketezwa kwa
ajili ya ye yote anaweza kuichukua ile ngozi ya Kula Mafuta na Kunywa Damu Kwakatazwa
mnyama yule aliyetolewa iwe yake. 9Kila sadaka 22BWANA akamwambia Mose, 23“Waambie
ya nafaka iliyookwa jikoni au kupikwa katika Waisraeli: ‘Msile mafuta yo yote ya ng’ombe,
sufuria au katika kikaangio itakuwa ya kuhani kondoo wala mbuzi. 24Mafuta ya mnyama
anayeitoa 10na kila sadaka ya nafaka, ikiwa aliyekutwa amekufa au ameraruliwa na mnyama
imechanganywa na mafuta au kavu, itakuwa ya pori yanaweza kutumika kwa kazi nyingine yo
wana wa Aroni, nayo itagawanywa sawa. yote lakini kamwe msiyale. 25Mtu ye yote alaye
mafuta ya mnyama ambaye ametolewa sadaka
Sadaka ya Amani kwa BWANA kwa moto ni lazima akatiliwe mbali
11‘‘ ‘Haya ndiyo masharti kwa ajili ya sadaka na watu wake. 26Po pote mtakapoishi, kamwe
ya amani ambayo mtu aweza kuileta kwa msinywe damu ya ndege ye yote wala ya
BWANA: mnyama. 27Ikiwa mtu ye yote atakunywa damu,
12‘‘ ‘Ikiwa mtu atatoa sadaka ya amani kwa mtu huyo lazima akatiliwe mbali na watu wake.’
ajili ya kuonyesha shukrani, ndipo pamoja na ’’
sadaka hii ya shukrani, atatoa maandazi
yasiyotiwa chachu yaliyochanganywa na mafuta, Fungu la Makuhani
mikate myembamba isiyotiwa chachu iliyopakwa 28BWANA akamwambia Mose, 29“Waambie
mafuta, maandazi ya unga laini uliokandwa Waisraeli: ‘Mtu ye yote aletaye sadaka ya amani
vizuri na kuchanganywa na mafuta. 13Pamoja na kwa BWANA ataleta sehemu ya sadaka hiyo
sadaka hii ya amani ya shukrani ataleta sadaka kama dhabihu yake kwa BWANA. 30Kwa mikono
ya maandazi yaliyotengenezwa kwa chachu. yake mwenyewe ataileta sadaka iliyotolewa kwa
14Ataleta moja ya kila aina ya andazi kama BWANA kwa moto, ataleta mafuta ya huyo
sadaka, matoleo kwa BWANA, hii ni ya kuhani mnyama pamoja na kidari, naye atainua hicho
anayenyunyiza damu ya sadaka ya amani. kidari mbele za BWANA kuwa sadaka ya
15Nyama ya sadaka ya amani kwa ajili ya kuinuliwa. 31Kuhani atayateketeza hayo mafuta
shukrani lazima iliwe siku iyo hiyo inapotolewa, juu ya madhabahu, lakini kidari kitakuwa cha
hutabakiza kitu cho chote mpaka asubuhi. Aroni na wanawe. 32Paja la kulia la sadaka zako
16‘‘ ‘Lakini kama sadaka yake ni kwa ajili ya za amani utampa kuhani kama matoleo.
nadhiri au ni sadaka ya hiari, sadaka hiyo italiwa 33Mwana wa Aroni atoaye damu na mafuta ya
siku hiyo inapotolewa, lakini cho chote sadaka ya amani, ndiye atakayepewa paja hilo
kinachobakia kinaweza kuliwa kesho yake. la kulia kuwa fungu lake. 34Kutoka kwenye
17Nyama yo yote ya sadaka inayobaki mpaka sadaka za amani za Waisraeli, mimi Mungu
siku ya tatu lazima iteketezwe kwa moto. nimepokea kidari kile kilichoinuliwa pamoja na
18Kama nyama yo yote ya sadaka ya amani lile paja lililotolewa, nami nimevitoa kwa kuhani
italiwa siku ya tatu,BWANA hataikubali. Aroni na wanawe kuwa fungu lao la kawaida
Haitahesabiwa kwake huyo aliyeitoa, kwa kuwa kutoka kwa Waisraeli.’ ’’
ni najisi, mtu atakayekula sehemu yake yo yote 35Hii ndiyo sehemu ya sadaka zilizotolewa
atakuwa na hatia kwa uovu huo. kwa BWANA kwa moto ambazo zilitengwa kwa
19‘‘ ‘Nyama ile inayogusa cho chote ajili ya Aroni na wanawe siku ile walipowekwa
ambacho ni najisi kwa kawaida ya ibada kamwe wakfu kumtumikia BWANA katika kazi ya
haitaliwa, ni lazima iteketezwe kwa moto. ukuhani. 36Siku ile walipotiwa mafuta, BWANA
Kuhusu nyama nyingine, mtu ye yote aliye safi aliagiza kwamba Waisraeli wawape hili kama
kwa kawaida ya ibada anaweza kuila. 20Lakini fungu lao la kawaida kwa vizazi vijavyo.
kama mtu ye yote ni najisi akila nyama yo yote
ya sadaka ya amani iliyotolewa kwa BWANA, 37Basi
haya ndiyo masharti kuhusu sadaka
huyo mtu atakatiliwa mbali na watu wake. ya kuteketezwa, sadaka ya nafaka, sadaka ya
21Kama mtu ye yote akigusa kitu kilicho najisi dhambi, sadaka ya hatia, sadaka ya kuwekwa
ikiwa ni uchafu wa mwanadamu au mnyama wakfu na sadaka ya amani, 38ambayo BWANA
7
MAMBO YA WALAWI
alimpa Mose juu ya mlima Sinai siku ile za ndani, mafuta yanayofunika ini, figo zote mbili
alipowaagiza Waisraeli walete sadaka zao kwa na mafuta yake na kuyateketeza juu ya
BWANA, katika Jangwa la Sinai. madhabahu. 17Lakini fahali pamoja na ngozi
yake na nyama yake na sehemu zake za ndani
Kuwekwa Wakfu kwa Aroni na Wanawe na matumbo akayateketeza nje ya kambi, kama
8 BWANA akamwambia Mose, 2‘‘Mletee
Aroni na wanawe mavazi yao, mafuta ya
BWANA alivyomwagiza Mose.
18Kisha Mose akamleta kondoo mume kwa
upako, fahali kwa ajili ya sadaka ya dhambi, ajili ya sadaka ya kuteketezwa, Aroni na
kondoo waume wawili na kikapu chenye mikate wanawe wakaweka mikono yao juu ya kichwa
iliyotengenezwa bila chachu, 3kisha kusanya chake. 19Ndipo Mose akamchinja yule kondoo
mkutano wote kwenye ingilio la Hema la mume na kunyunyiza damu yake pande zote za
Kukutania.’’ 4Mose akafanya kama BWANA ile madhabahu. 20Akamkata yule kondoo mume
alivyomwagiza, mkutano ukakusanyika kwenye vipande vipande na kukiteketeza kichwa, vile
ingilio la Hema la Kukutania. vipande na yale mafuta. 21Kisha akamsafisha
5Mose akaliambia kusanyiko, “Hili ndilo
sehemu za ndani na miguu kwa maji na
BWANA aliloagiza lifanyike.’’ 6Kisha Mose kumteketeza yule kondoo mume mzima juu ya
akamleta Aroni na wanawe mbele akawaosha madhabahu kuwa sadaka ya kuteketezwa,
kwa maji. 7Akamvika Aroni koti, akamfunga harufu nzuri ya kumpendeza, sadaka iliyotolewa
mshipi, akamvika joho na kumvalisha kisibau. kwa BWANA kwa moto, kama BWANA
Pia akafunga kisibau juu yake na kukifunga alivyomwagiza Mose.
kiunoni mwake kwa mshipi uliosokotwa kwa 22Kisha akaleta kondoo mume mwingine,
ustadi. 8Akaweka kifuko cha kifuani juu yake na ndiye kondoo mume kwa ajili ya kuwaweka
kuweka Urimu na Thumimu a kwenye hicho wakfu, Aroni na wanawe wakaweka mikono yao
kifuko. 9Kisha akamvika Aroni kilemba kichwani juu ya kichwa chake. 23Mose akamchinja yule
pake, akaweka lile bamba la dhahabu, ile taji kondoo mume na kuichukua sehemu ya damu
takatifu, upande wa mbele wa kilemba, kama yake na kuipaka juu ya ncha ya sikio la kuume
BWANA alivyomwagiza Mose. la Aroni na juu ya kidole gumba cha mkono wa
10Ndipo Mose akachukua mafuta ya upako
kuume na juu ya kidole kikubwa cha mguu wa
na kuipaka maskani na kila kitu kilichokuwamo kuume. 24Pia Mose akawaleta hao wana wa
ndani yake, kisha akaviweka wakfu. Aroni mbele na kuipaka sehemu ya hiyo damu
11Akanyunyiza baadhi ya mafuta juu ya
kwenye ncha za masikio yao ya kuume, juu ya
madhabahu mara saba, akiipaka madhabahu vidole gumba vya mikono ya kuume na juu ya
mafuta na vyombo vyake vyote pamoja na sinia vidole vikubwa vya miguu ya kuume. Kisha
na kinara chake, ili kuviweka wakfu. akanyunyiza damu pande zote za madhabahu.
12Akamimina sehemu ya hayo mafuta ya upako 25Akachukua mafuta ya mnyama: mafuta ya
kichwani mwa Aroni, akamtia mafuta ili mkia, mafuta yote yanayozunguka sehemu za
kumweka wakfu. 13Kisha akawaleta wana wa ndani, mafuta yanayofunika ini, figo zote mbili
Aroni mbele, akawavika makoti, akawafunga pamoja na mafuta yake na paja la kulia. 26Kisha
mishipi na kuwavika vilemba kama BWANA kutoka kwenye kikapu cha mikate
alivyomwagiza Mose. iliyotengenezwa bila chachu, kilichokuwa mbele
14Kisha akamtoa fahali kwa ajili ya sadaka
za BWANA, akachukua andazi moja na jingine
ya dhambi, Aroni na wanawe wakaweka mikono lililotengenezwa kwa mafuta na mkate
yao juu ya kichwa chake. 15Mose akamchinja mwembamba, akaviweka hivi vyote juu ya
yule fahali na akachukua sehemu ya hiyo damu, mafungu ya mafuta ya mnyama na juu ya lile
kisha kwa kidole chake akaitia kwenye pembe paja la kulia. 27Akaviweka hivi vyote mikononi
zote za madhabahu ili kuitakasa madhabahu. mwa Aroni na wanawe na kuviinua mbele za
Akaimwaga damu iliyobaki chini ya madhabahu, BWANA kuwa sadaka ya kuinuliwa. 28Kisha
kwa hiyo akaiweka wakfu ili kufanya upatanisho Mose akavichukua kutoka mikononi mwao na
kwa ajili ya hiyo madhabahu. 16Pia Mose kuviteketeza juu ya madhabahu ya sadaka ya
akachukua mafuta yote yanayozunguka sehemu kuteketezwa kuwa sadaka ya kuwekwa wakfu,
harufu nzuri ya kupendeza, sadaka iliyotolewa
a8 Urimu na Thumimu maana yake “Nuru na kweli,’’ viliwekwa
kwenye kifuko cha kifuani cha kisibau cha kuhani mkuu ili
kwa BWANA kwa moto. 29Kisha akachukua
kujua mapenzi ya Mungu kwenye mambo ya kutatanisha. kidari, kilicho fungu la Mose la kondoo mume
8
MAMBO YA WALAWI
kwa ajili ya kuwekwa wakfu na kukiinua mbele ya dhambi na sadaka yako ya kuteketezwa,
ya BWANA kama sadaka ya kuinuliwa, kama ufanye upatanisho kwa ajili yako mwenyewe na
BWANA alivyomwagiza Mose. kwa ajili ya watu, kisha utoe sadaka ya
30Kisha Mose akachukua sehemu ya mafuta upatanisho kwa ajili ya watu, kamavile BWANA
ya upako, sehemu ya damu kutoka kwenye alivyoagiza.’’
madhabahu na kuvinyunyiza juu ya Aroni na 8Hivyo Aroni akaja madhabahuni na
mavazi yake na juu ya wanawe na mavazi yao. kumchinja yule ndama kuwa sadaka ya dhambi
Kwa hiyo akamweka Aroni na mavazi yake kwa ajili yake mwenyewe. 9Wanawe
wakfu pamoja na wanawe na mavazi yao. wakamletea damu, na akachovya kidole chake
31Kisha Mose akamwambia Aroni na katika hiyo damu, akaitia kwenye pembe za
wanawe, ‘‘Pika hiyo nyama kwenye ingilio la madhabahu, damu iliyobaki akaimwaga chini ya
Hema la Kukutania na uile hapo pamoja na madhabahu. 10Juu ya madhabahu akateketeza
mkate kutoka kwenye kikapu cha sadaka ya mafuta, figo na mafuta yanayofunika ini kutoka
kuweka wakfu, kama nilivyoagiza, nikisema, kwenye hiyo sadaka ya dhambi, kama BWANA
‘Aroni na wanawe wataila.’ 32Kisha teketeza alivyomwagiza Mose, 11nyama na ngozi
nyama na mikate iliyobaki. 33Msitoke kwenye akaviteketeza nje ya kambi.
ingilio la Hema la Kukutania kwa muda wa siku 12Kisha Aroni akachinja sadaka ya
saba, mpaka siku zenu za kuwekwa wakfu ziwe kuteketezwa. Wanawe wakamletea damu naye
zimetimia, kwa kuwa muda wenu wa kuwekwa akainyunyiza pande zote za madhabahu.
wakfu utakuwa siku saba. 34Lile lililofanyika leo 13Wakamletea sadaka ya kuteketezwa kipande
liliagizwa na BWANA ili kufanya upatanisho kwa kwa kipande, pamoja na kichwa, naye
ajili yenu. 35Lazima mkae kwenye ingilio la akaviteketeza juu ya madhabahu. 14Akasafisha
Hema la Kukutania mchana na usiku kwa siku sehemu za ndani na miguu na kuviteketeza juu
saba na kufanya lile BWANA analolitaka ili ya sadaka ya kuteketezwa juu ya madhabahu.
kwamba msife, kwa kuwa hilo ndilo 15Kisha Aroni akaleta sadaka ile iliyokuwa
nililoamriwa.’’ 36Kwa hiyo Aroni na wanawe kwa ajili ya watu. Akachukua yule mbuzi wa
wakafanya kila kitu BWANA alichoamuru kupitia sadaka ya dhambi kwa ajili ya watu, akamchinja
Mose. na kumtoa kwa ajili ya sadaka ya dhambi, kama
alivyofanya kwa ile ya kwanza.
Makuhani Waanza Huduma Yao 16Aroni akaleta sadaka ya kuteketezwa na
wawili wasiwe na dosari, nao uwalete mbele za sadaka ya amani kwa ajili ya watu. Wanawe
BWANA. 3Kisha waambie Waisraeli: ‘Chukueni wakampa ile damu, naye akainyunyiza kwenye
mbuzi mume kwa ajili ya sadaka ya dhambi, madhabahu pande zote. 19Lakini sehemu zile za
ndama na mwana-kondoo, wote wawili wawe wa mafuta ya yule maksai na kondoo mume, yaani,
umri wa mwaka mmoja, wasio na dosari, kwa mafuta ya mkia, mafuta yaliyofunika tumbo, ya
ajili ya sadaka ya kuteketezwa 4na maksai na figo na yaliyofunika ini, 20hivi vyote wakaviweka
kondoo mume kwa ajili ya sadaka ya amani, ili juu ya vidari, kisha Aroni akayateketeza hayo
kutoa dhabihu mbele za BWANA, pamoja na mafuta ya wanyama juu ya madhabahu. 21Aroni
sadaka ya nafaka iliyochanganywa na mafuta. akaviinua vile vidari na paja la kulia mbele za
Kwa kuwa leo BWANA atawatokea.’ ’’ BWANA kuwa sadaka ya kuinuliwa, kama Mose
5Wakavileta vile vitu Mose alivyowaagiza alivyoagiza.
mbele ya Hema la Kukutania, nalo kusanyiko 22Kisha Aroni akainua mikono yake
lote likakaribia na kusimama mbele za BWANA. kuwaelekea watu na kuwabariki. Naye baada ya
6Ndipo Mose akasema, “Hili ndilo BWANA kutoa dhabihu ya sadaka ya dhambi, sadaka ya
alilowaagiza mlifanye, ili utukufu wa BWANA kuteketezwa na sadaka ya amani, akashuka
upate kuonekana kwenu.’’ chini.
7Mose akamwambia Aroni, “Njoo 23Kisha Mose na Aroni wakaingia kwenye
madhabahuni ili utoe dhabihu yako ya sadaka Hema la Kukutania. Walipotoka nje
9
MAMBO YA WALAWI
wakawabariki watu, nao utukufu wa BWANA wanawe waliosalia, Eleazari na Ithamari,
ukawatokea watu wote. 24Moto ukaja kutoka “chukueni sadaka ya nafaka iliyobaki kutoka
katika uwepo wa BWANA, ukairamba ile sadaka katika sadaka zilizotolewa kwa BWANA kwa
ya kuteketezwa, pamoja na sehemu ya mafuta moto, muile hapo kando ya madhabahu ikiwa
yaliyokuwa juu ya madhabahu. Watu wote imeandaliwa bila chachu kwa sababu ni takatifu
walipoona jambo hili, wakapiga kelele kwa sana. 13Mtaila katika mahali patakatifu kwa
furaha na kusujudu. sababu ni fungu lenu na fungu la wana wenu la
sadaka zilizotolewa kwa BWANA kwa moto, kwa
Kifo cha Nadabu na Abihu maana hivyo ndivyo nilivyoamuriwa. 14Lakini
wanawe Eleazari na Ithamari, “Msifunue vichwa wametoa sadaka zao za dhambi na sadaka zao
vyenu wala msirarue mavazi yenu, la sivyo za kuteketezwa mbele za BWANA, lakini
mtakufa na BWANA ataikasirikia jumuiya nzima. mambo kama haya yamenitokea mimi. Je,
Lakini ndugu zenu, nyumba yote ya Israeli BWANA angependezwa kama ningekuwa
wanaweza kuwaombolezea wale ambao nimekula sadaka ya dhambi leo?” 20Mose
BWANA amewaangamiza kwa moto. 7Msitoke aliposikia haya, akaridhika.
nje ya ingilio la Hema la Kukutania la sivyo
mtakufa, kwa sababu mafuta ya BWANA ya Vyakula Najisi na Visivyo Najisi
upako yako juu yenu.’’ Kwa hiyo wakafanya
kama vile Mose alivyosema. 11 BWANA akawaambia Mose na Aroni,
2‘‘Waambie Waisraeli: ‘Kati ya wanyama
8Kisha BWANA akamwambia Aroni, 9“Wewe wote waishio juu ya nchi, hawa ndio
na wanao msinywe mvinyo wala kinywaji kingine mtakaowala: 3Mwaweza kula mnyama ye yote
kilichochachuka wakati mwingiapo katika Hema mwenye kwato zilizogawanyika sehemu mbili na
la Kukutania, la sivyo mtakufa. Hili litakuwa ambaye hucheua.
Agizo la kudumu kwa vizazi vijavyo. 10Ni lazima 4‘‘ ‘Kuna wanyama wengine ambao hucheua
mtenganishe kilicho kitakatifu na kile kilicho cha tu au wenye kwato zilizogawanyika tu, lakini hao
kawaida, kati ya yaliyo najisi na yaliyo safi, kamwe msiwale. Ngamia, ingawa hucheua hana
11lazima mwafundishe Waisraeli amri zote kwato zilizogawanyika, kwa kawaida ya ibada
ambazo BWANA aliwapa kupitia Mose.’’ hiyo ni najisi kwenu. 5Pelele, ingawa hucheua,
12Mose akamwambia Aroni pamoja na lakini hana kwato zilizogawanyika, huyo ni najisi
10
MAMBO YA WALAWI
kwenu. 6Sungura, ingawa hucheua lakini hana 29‘‘ ‘Kuhusu wanyama watambaao juu ya
kwato zilizogawanyika, ni najisi kwenu. 7Naye ardhi, hawa ni najisi kwenu: kicheche, panya,
nguruwe ingawa anazo kwato zilizogawanyika aina yo yote ya mijusi mikubwa, 30guruguru,
sehemu mbili, lakini hacheui, ni najisi kwenu. kenge, mijusi ya ukutani, goromoe na kinyonga.
8Kamwe msile nyama yao wala kugusa mizoga 31Hao wote watambaao juu ya ardhi ni najisi
nzige wa aina zote, senene, parare au panzi. kumla akifa, ye yote atakayeugusa mzoga wake
23Lakini viumbe wengine wote wenye mabawa atakuwa najisi mpaka jioni. 40Ye yote
na wenye miguu minne ni machukizo kwenu. atakayekula sehemu ya mzoga huo ni lazima
afue nguo zake, naye atakuwa najisi mpaka
Wanyama Ambao ni Najisi jioni. Ye yote atakayebeba mzoga huo ni lazima
24“ ‘Wanyama hawa watawanajisi ninyi. Ye afue nguo zake, naye atakuwa najisi mpaka
yote agusaye mizoga yao atakuwa najisi mpaka jioni.
jioni. 25Ye yote atakayebeba mizoga ya viumbe 41‘‘ ‘Kila kiumbe kitambaacho juu ya ardhi ni
hawa ni lazima afue nguo zake naye atakuwa chukizo, kisiliwe. 42Msile kiumbe cho chote
najisi mpaka jioni. kitambaacho juu ya ardhi, kiwe kitambaacho
26“ ‘Kila mnyama mwenye ukwato kwa tumbo lake au kitambaacho kwa miguu
ulioachana lakini haukugawanyika kabisa au minne au kwa miguu mingi, ni chukizo. 43Msijitie
yule asiyecheua ni najisi kwenu, ye yote unajisi kwa cho chote katika viumbe hivi. Msijitie
atakayegusa mzoga wo wote wa hao atakuwa unajisi kwa viumbe hivyo na hivyo ninyi
najisi. 27Miongoni mwa wanyama wote wenyewe kuwa najisi. 44Mimi ndimi BWANA
watembeao kwa miguu minne, wale watembeao wenu, jitakaseni mwe watakatifu kwa sababu
kwa vitanga vyao ni najisi kwenu, ye yote mimi ni mtakatifu. Msijitie unajisi wenyewe kwa
atakayegusa mizoga yao atakuwa najisi mpaka kiumbe cho chote kile kiendacho juu ya ardhi.
jioni. 28Ye yote atakayebeba mizoga yao ni 45Mimi ndimi BWANA niliyewapandisha mtoke
lazima afue nguo zake na atakuwa najisi mpaka Misri ili niwe Mungu wenu, kwa hiyo iweni
jioni. Wanyama hawa ni najisi kwenu. watakatifu kwa sababu Mimi ni mtakatifu.
11
MAMBO YA WALAWI
46‘‘
‘Haya ndiyo masharti kuhusu wanyama, atachunguza hicho kidonda kilichopo juu ya
ndege, kila kiumbe hai kiendacho ndani ya maji ngozi yake na kama nywele za mahali palipo na
na kila kiumbe kiendacho juu ya ardhi. 47Ni kidonda zimebadilika kuwa nyeupe na ikiwa
lazima mpambanue kati ya kilicho najisi na kidonda kimeingia ndani ya ngozi, basi ni
kilicho safi, kati ya viumbe hai vinavyoweza ugonjwa wa ngozi wa kuambukiza. Kuhani
kuliwa na vile visivyoweza kuliwa.’ ’’ atakapomchunguza, atamtangaza mtu huyo
kuwa ni najisi kwa kawaida ya ibada. 4Kama
Utakaso Baada ya Kuzaa Mtoto alama juu ya ngozi yake ni nyeupe lakini
12 BWANA
2“Waambie
akamwambia Mose,
Waisraeli: ‘Mwanamke
haionekani kuwa imeingia ndani zaidi ya ngozi
na nywele kwenye alama hiyo hazijageuka kuwa
ambaye atapata mimba na kuzaa mtoto wa nyeupe, kuhani atamtenga mtu huyo mahali pa
kiume atakuwa najisi kwa kawaida ya ibada kwa pekee kwa siku saba. 5Siku ya saba, kuhani
siku saba, kama anavyokuwa najisi wakati wa atamchunguza na kama hakuona badiliko
siku zake za hedhi. 3Mvulana atatahiriwa siku ya kwenye kile kidonda na hakijaenea juu ya ngozi,
nane. 4Kisha ni lazima huyo mwanamke asubiri atamtenga kwa siku nyingine saba. 6Siku ya
kwa siku thelathini na tatu ndipo atakaswe saba kuhani atamchunguza tena na kama
kutoka damu kwake. Hataruhusiwa kugusa kitu kidonda kimepungua na hakijaenea juu ya
cho chote kilicho kitakatifu au kuingia mahali ngozi, kuhani atamtangaza mtu huyo kuwa ni
patakatifu mpaka siku za kutakaswa kwake safi, ni upele tu. Ni lazima mtu huyo afue mavazi
zimetimia. 5Kama akimzaa mtoto wa kike, yake, naye atakuwa safi. 7Lakini ikiwa ule upele
mwanamke huyo atakuwa najisi kwa majuma utaenea juu ya ngozi yake baada ya yeye
mawili, kama wakati wake wa hedhi. Kisha kujionyesha kwa kuhani na kutangazwa kuwa
atasubiri kwa siku sitini na sita ndipo atatakaswa safi, ni lazima aende tena kwa kuhani. 8Kuhani
kutoka damu kwake. atamchunguza na kama upele umeenea kwenye
6‘‘Siku zake za utakaso kwa ajili ya mwana ngozi, atamtangaza kuwa najisi kwani ni
au binti, zitakapotimia, mwanamke huyo ugonjwa wa ngozi wa kuambukiza.
atamletea kuhani kwenye ingilio la Hema la 9“Wakati mtu ye yote ana ugonjwa wa ngozi
kuteketezwa na kinda la njiwa au hua kwa ajili mweupe juu ya ngozi ambao umefanya nywele
ya sadaka ya dhambi. 7Atavitoa mbele za kuwa nyeupe na kama kuna nyama mbichi
BWANA ili kufanya upatanisho kwa ajili yake na ndani ya uvimbe, 11ni ugonjwa sugu wa ngozi na
kisha atakuwa safi kwa desturi ya ibada kuhani atamtangaza kuwa najisi. Hatamtenga
kutokana na kutokwa damu kwake. tena kwa sababu ni najisi tayari.
‘‘ ‘Haya ndiyo masharti kwa ajili ya 12‘‘Ikiwa ugonjwa utakuwa umeenea kwenye
mwanamke atakayezaa mtoto wa kiume au wa ngozi yake yote kwa kadiri kuhani atakavyoweza
kike. 8Kama huyo mwanamke hana uwezo wa kuona, kwamba umeenea kwenye ngozi yote ya
kumpata mwana-kondoo, ataleta hua wawili au huyo mgonjwa kutoka kichwani mpaka wayo,
makinda mawili ya njiwa, moja kwa ajili ya 13kuhani atamchunguza na kama ugonjwa
sadaka ya kuteketezwa na mwingine kwa ajili ya umeenea mwili mzima, atamtangaza huyo mtu
sadaka ya dhambi. Kwa njia hii, kuhani atafanya kuwa safi. Kwa kuwa mwili wote umekuwa
upatanisho kwa ajili yake, naye atakuwa safi.’ ’’ mweupe, yeye ni safi. 14Lakini itokeapo nyama
mbichi kwenye ngozi yake atakuwa najisi.
Masharti Kuhusu Magonjwa ya Ngozi 15Kuhani atakapoiona hiyo nyama mbichi
au upele au alama nyeupe juu ya ngozi yake ni lazima amwendee kuhani. 17Kuhani
ambayo yaweza kuwa ugonjwa wa ngozi wa atamchunguza, kama vidonda vimekuwa
kuambukiza a , ni lazima aletwe kwa Aroni kuhani vyeupe, kuhani atamtangaza mgonjwa huyo
ama kwa wanawe,kuhani mmojawapo. 3Kuhani kuwa safi, kisha atakuwa safi.
18‘‘Wakati mtu ana jipu juu ya ngozi yake
a2 ‘‘ Ugonjwa wa ngozi wa kuambukiza, ambao kwa desturi ni nalo likapona, 19napo mahali palipokuwa na jipu,
Ukoma.
12
MAMBO YA WALAWI
pakatokea uvimbe mweupe au alama yenye isipokuwa mahali palipo na ugonjwa, naye
wekundu na weupe, ni lazima akajionyeshe kwa kuhani atamtenga kwa siku nyingine saba.
kuhani. 20Kuhani atapachunguza na kama 34Siku ya saba kuhani atachunguza tena ule
uvimbe umezama ndani ya ngozi na nywele upele, ikiwa kwamba haujaenea kwenye ngozi
zimegeuka kuwa nyeupe kuhani atamtangaza na hakuna shimo mahali pale, kuhani
mtu huyo kuwa najisi. Ni ugonjwa wa ngozi wa atamtangaza kuwa safi. Lazima afue nguo zake
kuambukiza uliojitokeza pale jipu lilipokuwa. naye atakuwa safi. 35Lakini ikiwa upele utaenea
21Lakini ikiwa wakati kuhani anapopachunguza juu ya ngozi baada ya kutangazwa kuwa safi,
pakawa hapana nywele nyeupe ndani yake 36kuhani atamchunguza na kama upele
wala hakuna shimo, bali pamepungua, basi umeenea kwenye ngozi kuhani hana haja ya
kuhani atamtenga mtu huyo kwa siku saba. kutazama kama kuna nywele za manjano, mtu
22Kama unaenea kwenye ngozi, kuhani huyo ni najisi. 37Lakini, hata hivyo, katika
atamtangaza kuwa najisi, ni ugonjwa wa ngozi hukumu yake akiona hapajabadilika na nywele
wa kuambukiza. 23Lakini ikiwa ile alama nyeusi zimeota juu yake, upele umepona. Yeye
haijabadilika wala kuenea, ni kovu tu kutokana si najisi na kuhani atamtangaza kuwa safi.
na jipu, kuhani atamtangaza kuwa safi. 38‘‘Ikiwa mwanaume au mwanamke ana
24‘‘Wakati mtu ameungua kwenye ngozi alama nyeupe juu ya ngozi yake, 39kuhani
yake pakatokea alama yenye wekundu na atawachunguza, kama alama hizo zina weupe
weupe au alama nyeupe ikaonekana penye uliofifia, ni vipele visivyo na madhara
nyama mbichi pale palipoungua, 25kuhani vilivyojitokeza kwenye ngozi, mtu huyo ni safi.
ataichunguza ile alama, kama nywele zilizoko 40“Wakati mwanamume hana nywele naye
juu yake zimegeuka kuwa nyeupe, napo ana upaa, yeye ni safi. 41Ikiwa hana nywele
pametokea shimo, basi huo ni ugonjwa wa ngozi kwenye ngozi ya kichwa chake na ana upaa
wa kuambukiza ambao umetokea juu ya jeraha tangu kwenye paji, ni safi. 42Lakini kama ana
la moto. Kuhani atamtangaza kuwa najisi, ni kidonda chenye wekundu na weupe kwenye
ugonjwa wa ngozi wa kuambukiza. 26Lakini kichwa chake chenye upaa au kwenye paji la
kama kuhani akichunguza na kuona kwamba uso ni ugonjwa wa ngozi wa kuambukiza
hakuna nywele nyeupe kwenye alama ile wala unaojitokeza kichwani au kwenye paji lake la
hakuna shimo napo pameanza kupungua, basi uso. 43Kuhani atamchunguza na kama kidonda
kuhani atamtenga kwa siku saba. 27Siku ya saba kilichovimba juu ya kichwa chake au kwenye paji
kuhani atamchunguza tena na kama unaenea la uso ni chekundu au cheupe kama ugonjwa wa
kwenye ngozi, kuhani atamtangaza kuwa najisi, ngozi wa kuambukiza, 44mtu huyo ni mgonjwa
ni ugonjwa wa ngozi wa kuambukiza. 28Lakini, naye ni najisi. Kuhani atamtangaza kuwa najisi
kama alama ile haikubadilika na wala haijaenea kwa sababu ya kidonda kwenye kichwa chake.
kwenye ngozi napo pamepungua, ni uvimbe 45“Mtu mwenye ugonjwa kama huo wa
kidonda juu ya kichwa au juu ya kidevu, 30kuhani wa kuambukiza atabaki kuwa najisi, ni lazima
atakichunguza kile kidonda na kama ataona aishi peke yake, ni lazima aishi nje ya kambi.
kuwa kimeingia ndani na nywele zilizoko juu
yake ni njano na nyembamba, kuhani Masharti Kuhusu Upele
atamtangaza mtu huyo kuwa najisi, kwani ni 47“Kama vazi lo lote lina maambukizo ya
upele, ni ugonjwa wa ngozi wa kuambukiza wa upele: likiwa ni vazi la sufu au kitani, 48lo lote
kichwa au kidevu. 31Lakini kama kuhani lililofumwa au kusokotwa likiwa la kitani au la
akichunguza aina hii ya kidonda, kikionekana sufu, ngozi yo yote au cho chote
kuwa hakina shimo na hakuna nywele nyeusi kilichotengenezwa kwa ngozi, 49tena kama
juu yake ndipo atakapomtenga mtu huyo kwa maambukizo kwenye vazi, au ngozi, au
siku saba. 32Siku ya saba kuhani atachunguza lililofumwa au kusokotwa, au kifaa cho chote cha
kidonda kile, kama upele haujaenea na hakuna ngozi, ni rangi ya kijani au nyekundu, huo ni
nywele za manjano juu yake wala hakuna shimo upele unaoenea na ni lazima kuhani
lo lote, 33mtu huyo ni lazima atanyolewa aonyeshwe. 50Kuhani atachunguza upele huo na
13
MAMBO YA WALAWI
kukitenga kifaa hicho kwa siku saba. 51Siku ya pamoja na mti wa mwerezi, kitani nyekundu na
saba atakichunguza, kama upele umeenea hisopo ndani ya damu ya yule ndege
kwenye nguo, au kifaa kilichofumwa au aliyechinjiwa kwenye maji safi. 7Atamnyunyizia
kusokotwa, au ngozi, kwa vyo vyote vile yule mwenye ugonjwa wa kuambukiza maji hayo
itumikavyo, ni upele uangamizao, kifaa hicho ni mara saba na kumtangaza kuwa safi. Kisha
najisi. 52Ni lazima aichome hiyo nguo, ikiwa ni ya atamwachia yule ndege aliye hai aende zake
sufu ama kitani iliyofumwa ama kusokotwa ama kwenye mashamba.
chombo cho chote cha ngozi chenye 8‘‘Huyo mtu atakayetakaswa ni lazima afue
maambukizo kwa kuwa ni upele unaoangamiza, nguo zake, anyoe nywele zake zote, aoge kwa
vyombo vyote ni lazima vichomwe moto. maji, ndipo atakapokuwa safi kwa desturi ya
53“Lakini wakati kuhani atakapokichunguza ibada. Baada ya hili anaweza kuingia kambini,
na kuona kuwa ule upele haujaenea kwenye lakini ni lazima akae nje ya hema lake kwa siku
nguo iliyofumwa au kusokotwa au vifaa vya saba. 9Siku ya saba ni lazima anyoe nywele
ngozi, 54ataagiza kwamba kifaa chenye zake zote, yaani anyoe nywele za kichwa, ndevu
maambukizo kisafishwe. Kisha atakitenga kwa zake, kope zake na nywele nyingine zote. Ni
siku saba. 55Baada ya kifaa chenye lazima afue nguo zake, aoge kwa maji naye
maambukizo kusafishwa, kuhani atakichunguza atakuwa safi.
na kama upele hujaonyesha badiliko lo lote, 10‘‘Siku ya nane, ni lazima alete kondoo
hata kama haujaenea ni najisi. Choma kwa waume wawili na kondoo mke mmoja wote wa
moto, kama upele umeenea upande mmoja au mwaka mmoja wasio na dosari pamoja na
mwingine. 56Kama kuhani ataona kuwa ile alama sehemu tatu za kumi za efa moja a za unga laini
imefifia baada ya kuoshwa, basi atararua uliochanganywa na moja ya mafuta kwa ajili ya
sehemu iliyo ambukizwa ya nguo au ngozi au sadaka ya nafaka na logi moja b ya mafuta.
kifaa kilichofumwa au kusokotwa. 57Lakini kama 11Kuhani atakayemtangaza kuwa safi atahitaji
kumchunguza nje ya kambi. Kama mtu huyo kwenye mafuta yaliyoko kwenye kiganja chake
atakuwa amepona ugonjwa wake wa ngozi wa na kwa kidole hicho atamnyunyizia mtu yule
kuambukiza, 4kuhani ataagiza vitu vifuatavyo anayetakaswa mara saba mbele za BWANA.
viletwe kwa ajili ya mtu atakayetakaswa: ndege 17Kuhani atampaka sehemu ya mafuta
wawili safi walio hai, mti wa mwerezi, kitani yaliyobaki kiganjani kwenye ncha ya sikio la
nyekundu na hisopo. 5Kisha kuhani ataagiza
kwamba mmoja wa ndege wale achinjwe
a10 Sehemu tatu za kumi (3/10) za efa moja ni sawa na kilo
kwenye chungu chenye maji safi. 6Kisha kuhani tatu.
atamchukua ndege aliye hai na kumtumbukiza b10 Logi moja ni sawa na lita 0.3. pia mstari wa 12.
c12 angalia b10 pia mstari wa15,21,24
14
MAMBO YA WALAWI
kuume la yule anayetakaswa, kwenye kidole na kufanya upatanisho kwa ajili yake mbele za
gumba cha mkono wa kuume na kidole kikubwa BWANA. 30Kisha atatoa dhabihu wale hua ama
cha mguu wa kuume, mahali pale pale yale makinda ya njiwa, ambayo mtu ataweza
alipompaka damu ya sadaka ya kuondoa hatia. kuwapata, 31mmoja kwa ajili ya sadaka ya
18Kuhani atayapaka mafuta yaliyobaki kwenye dhambi na mwingine kuwa sadaka ya
kiganja chake juu ya kichwa cha yule kuteketezwa, pamoja na sadaka ya nafaka. Kwa
anayetakaswa na kufanya upatanisho kwa ajili njia hii kuhani atafanya upatanisho mbele za
yake mbele za BWANA. BWANA kwa ajili ya yule anayetakaswa.
19‘‘Kisha kuhani atatoa dhabihu ya sadaka 32Haya ndiyo masharti kwa mtu ye yote
kupata vitu hivi, ni lazima achukue mwana- ninawapa kuwa milki yenu, nami nikaweka upele
kondoo mmoja kama sadaka ya hatia ipate ueneao kwenye nyumba katika nchi ile, 35ni
kuinuliwa ili kumfanyia upatanisho pamoja na lazima mwenye nyumba hiyo akamwambie
sehemu ya kumi ya efa d ya unga laini kuhani, ‘Nimeona kitu fulani kinachofanana na
uliochanganywa na logi moja ya mafuta kwa ajili upele kwenye nyumba yangu. 36Kuhani ataagiza
ya sadaka ya nafaka, 22na hua wawili au vitu vyote vitolewe ndani ya nyumba kabla
makinda mawili ya njiwa, kile atakachoweza hajaenda kuchunguza kama ina ugonjwa huo ili
kupata, mmoja kwa sadaka ya dhambi na kitu cho chote ndani ya nyumba kisitangazwe
mwingine kwa sadaka ya kuteketezwa. kuwa najisi. Baada ya hili kuhani ataingia ndani
23‘‘Katika siku ya nane ni lazima avilete vitu na kuikagua hiyo nyumba. 37Atachunguza upele
hivyo kwa kuhani, kwa ajili ya kutakaswa kwake huo katika kuta za nyumba hiyo, nazo kama zina
kwenye ingilio la Hema la Kukutania mbele za rangi ya kijani kibichi au wekundu na kuna
BWANA. 24Kuhani atamchukua mwana-kondoo mibonyeo ndani ya ukuta, 38kuhani atatoka na
kwa ajili ya sadaka ya hatia pamoja na ile logi ya kufunga mlango wa nyumba hiyo kwa siku saba.
mafuta ya kuinuliwa mbele za BWANA kuwa 39Siku ya saba kuhani atarudi kuikagua nyumba.
sadaka ya kuinuliwa. 25Atamchinja huyo mwana- Kama upele umeenea juu ya kuta, 40ataagiza
kondoo kwa ajili ya sadaka ya hatia pia kwamba mawe yote yaliyoambukizwa
ataichukua sehemu ya damu yake na kuipaka yaondolewe na kutupwa katika eneo lililo najisi
kwenye ncha ya sikio la kuume la yule nje ya mji. 41Kuta zote za ndani ya nyumba hiyo
atakayetakaswa, ataipaka pia kwenye kidole ni lazima zikwanguliwe na kifusi chake kitupwe
gumba cha mkono wa kuume na kidole kikubwa mahali najisi nje ya mji. 42Kisha watachukua
cha mguu wa kuume. 26Kuhani atamiminia mawe mengine na kujenga palipobomolewa kwa
sehemu ya mafuta kwenye kiganja chake cha udongo mpya wa mfinyanzi na kuipiga nyumba
mkono wa kushoto 27na kwa kidole chake cha hiyo lipu mpya.
shahada cha mkono wa kuume atamnyunyizia 43‘‘Ikiwa upele huo utatokea tena ndani ya
yule anayetakaswa yale mafuta yaliyo kwenye ile nyumba baada ya mawe kuondolewa na
kiganja chake mara saba mbele za BWANA. nyumba kukwanguliwa na kuwekwa lipu mpya,
28Atampaka mafuta yaliyobaki kwenye kiganja 44kuhani atakwenda kuikagua na kama upele
chake katika sehemu zote kama alivyompaka umeenea ndani ya nyumba, basi ni upele
damu ya sadaka ya hatia, yaani kwenye ncha ya uharibuo, nyumba hiyo ni najisi. 45Ni lazima
sikio la kuume la yule anayetakaswa, kwenye ibomolewe: mawe yake, mbao na lipu yake,
kidole gumba cha mkono wake wa kuume na vikatupwe nje ya mji mahali palipo najisi.
kidole kikubwa cha mguu wa kuume. 29Kuhani 46‘‘Ye yote atakayeingia katika nyumba hiyo
atayapaka mafuta yaliyobaki katika kiganja ikiwa imefungwa atakuwa najisi mpaka jioni.47Ye
chake kwenye kichwa cha yule anayetakaswa yote atakayelala au kula ndani ya nyumba hiyo
ni lazima afue nguo zake.
d21 sehemu moja ya efa ni sawa na lita 2 48“Lakini ikiwa kuhani atakuja kuikagua na
15
MAMBO YA WALAWI
kukuta kuwa upele haujaenea tena baada ya amekalia atakuwa najisi mpaka jioni, ye yote
nyumba kupigwa lipu, ataitangaza nyumba ile atakayeinua vitu hivyo, ni lazima afue nguo zake
kuwa safi, kwa sababu upele umekwisha. 49Ili na aoge kwa maji, naye atakuwa najisi mpaka
kuitakasa nyumba hiyo, mwenye nyumba ataleta jioni.
ndege wawili, mti wa mwerezi, kitani nyekundu 11“ ‘Ye yote atakayeguswa na mtu
na hisopo. 50Atamchinja mmoja wa wale ndege anayetokwa na usaha bila kunawa mikono yake
kwenye chungu chenye maji safi. 51Kisha kwa maji, ni lazima afue nguo zake na aoge kwa
atachukua mti wa mwerezi, hisopo, kitani maji, naye atakuwa najisi mpaka jioni.
nyekundu na ndege aliye hai na kuvitumbukiza 12“ ‘Chungu cha udongo kitakachoguswa na
ndani ya damu ya ndege aliyechinjwa pamoja na mtu huyo ni lazima kivunjwe na kifaa cho chote
maji safi na kuinyunyizia nyumba ile mara saba. cha mbao kitaoshwa kwa maji.
52Ataitakasa nyumba kwa damu ya yule ndege, 13“ ‘Wakati mtu atakapotakasika kutokwa
maji safi, ndege aliye hai, mti wa mwerezi, usaha kwake, anapaswa kuhesabu siku saba za
hisopo na kitani nyekundu. 53Kisha atamwachia kawaida ya ibada ya utakaso, ni lazima afue
yule ndege aliye hai huru mashambani nje ya nguo zake na aoge kwa maji safi, naye
mji. Kwa njia hii atafanya upatanisho kwa ajili ya atatakasika. 14Siku ya nane, atachukua hua
nyumba ile, nayo itakuwa safi.’’ wawili au makinda mawili ya njiwa, aje mbele za
54Haya ndiyo masharti kuhusu aina yo yote BWANA kwenye ingilio la Hema ya Kukutania
ya ugonjwa wa ngozi wa kuambukiza, mwasho na kumpa kuhani. 15Kuhani atavitoa dhabihu,
wo wote, 55upele ndani ya nguo au ndani ya huyo mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi na
nyumba, 56kwa uvimbe, vipele au kipaku huyo mwingine kwa ajili ya sadaka ya
king’aacho, 57kupambanua wakati kitu fulani ni kuteketezwa. Kwa njia hii atafanya upatanisho
safi au najisi. mbele za BWANA kwa ajili ya huyo mtu kwa
Haya ndiyo masharti kuhusu magonjwa ya sababu ya kutokwa usaha kwake.
ngozi ya kuambukiza na upele. 16“ ‘Wakati mtu akitokwa na shahawa, ni
usaha wake utakavyomletea unajisi: kawaida ya mwezi, atakuwa najisi kwa siku saba
4“ ‘Kitanda cho chote atakacholala mtu na ye yote atakayemgusa atakuwa najisi mpaka
mwenye kutokwa na usaha kitakuwa najisi na jioni.
cho chote atakachokalia kitakuwa najisi. 5Ye 20“ ‘Cho chote atakacholalia wakati wake wa
yote atakayegusa kitanda chake ni lazima afue hedhi kitakuwa najisi na cho chote
nguo zake na aoge kwa maji, naye atakuwa atakachokikalia kitakuwa najisi. 21Ye yote
najisi mpaka jioni. 6Ye yote atakayeketi juu ya atakayegusa kitanda chake ni lazima afue nguo
kitu cho chote alichokalia mwenye kutokwa na zake na aoge kwa maji naye atakuwa najisi
usaha, ni lazima afue nguo zake, aoge kwa maji mpaka jioni. 22Ye yote atakayegusa cho chote
naye atakuwa najisi mpaka jioni. atakachokalia ni lazima afue nguo zake na aoge
7“ ‘Ye yote atakayemgusa mtu mwenye kwa maji naye atakuwa najisi mpaka jioni.
kutokwa na usaha ni lazima afue nguo zake 23Kiwe ni kitanda ama cho chote alichokuwa
aoge kwa maji naye atakuwa najisi mpaka jioni. amekikalia, ikiwa mtu ye yote atakigusa atakuwa
8“ ‘Ikiwa mtu mwenye kutokwa na usaha najisi mpaka jioni.
atamtemea mate mtu ye yote ambaye ni safi, 24“ ‘Ikiwa mwanaume atalala naye na ile
mtu huyo ni lazima afue nguo zake na aoge kwa damu ya mwezi ikamgusa, atakuwa najisi kwa
maji, naye atakuwa najisi mpaka jioni. siku saba, kitanda cho chote atakachokilalia
9“ ‘Kila tandiko ambalo mtu huyo atalikalia huyo mwanaume kitakuwa najisi.
wakati wa kupanda mnyama litakuwa najisi 10na 25“ ‘Ikiwa mwanamke atatokwa na damu kwa
ye yote atakayegusa kitu cho chote alichokuwa siku nyingi zaidi ya siku zake za mwezi au
16
MAMBO YA WALAWI
amekuwa na damu inayoendelea zaidi ya kipindi kuvaa kilemba cha kitani. Haya ni mavazi
chake, atakuwa najisi kwa kipindi chote cha matakatifu, kwa hiyo ni lazima aoge kwa maji
shida hiyo, kama ilivyokuwa katika siku za hedhi kabla ya kuyavaa mavazi hayo. 5Atachukua
yake. 26Kitanda cho chote atakachokilalia huyo mbuzi waume wawili kutoka kwa jumuiya ya
mwanamke wakati akiendelea kutokwa na damu Kiisraeli kwa ajili ya sadaka ya dhambi na
kitakuwa najisi kama kilivyokuwa kitanda chake kondoo mume kwa ajili ya sadaka ya
wakati wa siku zake za hedhi, cho chote kuteketezwa.
atakachokalia kitakuwa najisi, kama wakati wake 6“Aroni atamtoa huyo fahali kwa ajili ya
wa hedhi. 27Ye yote agusaye vitu hivyo atakuwa sadaka yake ya dhambi ili afanye upatanisho
najisi, ni lazima afue nguo zake na kuoga kwa kwa ajili yake mwenyewe na nyumba yake.
maji naye atakuwa najisi mpaka jioni. 7Kisha atawachukua wale mbuzi waume wawili
28“ ‘Wakati atakapotakasika kutoka hedhi na kuwaleta mbele za BWANA kwenye ingilio la
yake, ni lazima ahesabu siku saba na baada ya Hema la Kukutania. 8Atapiga kura kwa ajili ya
hapo atakuwa safi kwa kawaida ya ibada. 29Siku hao mbuzi wawili, mmoja kwa ajili ya BWANA na
ya nane ni lazima achukue hua wawili au mwingine kwa ajili ya Azazeli a . 9Aroni atamleta
makinda mawili ya njiwa na kuyaleta kwa kuhani yule mbuzi ambaye kura ya BWANA
kwenye mlango wa Hema la Kukutania. imemwangukia na kumtoa dhabihu kwa ajili ya
30Kuhani atatoa dhabihu, huyo mmoja kwa ajili sadaka ya dhambi. 10Lakini mbuzi
ya sadaka ya dhambi na huyo mwingine kwa ajili aliyechaguliwa kwa kura kuwa wa Azazeli
ya sadaka ya kuteketezwa. Kwa njia hii, atatolewa akiwa hai mbele za BWANA atumike
atafanya upatanisho kwa ajili yake mbele za kwa kufanya upatanisho kwa kumwacha aende
BWANA kwa sababu ya unajisi wa kutokwa jangwani kama aliyebebeshwa dhambi.
damu kwake. 11“Aroni atamleta yule fahali kwa ajili ya
31“ ‘Ni lazima uwatenge Waisraeli kutokana sadaka ya dhambi yake mwenyewe ili kufanya
na vitu ambavyo vinawafanya najisi, ili wasife upatanisho kwa ajili yake na nyumba yake, naye
katika unajisi wao kwa kunajisi makao yangu, atamchinja huyo fahali kwa ajili ya sadaka ya
ambayo yapo katikati yao.’ ’’ dhambi yake mwenyewe. 12Atachukua chetezo
32Haya ni masharti kwa ajili ya mtu mwenye kilichojaa makaa yanayowaka kutoka
kutokwa na usaha, kwa ajili ya ye yote madhabahuni mbele za BWANA na konzi mbili
atakayetokwa na shahawa, 33kwa ajili ya za uvumba laini uliosagwa vizuri wenye harufu
mwanamke katika siku zake za hedhi, kwa ajili na kuvipeleka nyuma ya pazia. 13Ataweka
ya mwanaume au mwanamke atokwaye na uvumba juu ya moto mbele za BWANA na
usaha na kwa ajili ya mwanaume alalaye na moshi wa uvumba utafunika kile kiti cha rehema
mwanamke ambaye ni najisi kwa kawaida ya kilicho juu ya Ushuhuda, ili kwamba asife.
ibada. 14Atachukua sehemu ya damu ya fahali na kwa
akamwambia Mose: “Mwambie ndugu yako dhambi kwa ajili ya watu na kuichukua damu
Aroni asije wakati wo wote atakavyo yeye ndani yake nyuma ya pazia aifanyie kama alivyofanya
ya Patakatifu pa Patakatifu nyuma ya pazia kwa damu ya fahali: Atanyunyiza juu ya kiti cha
mbele ya kiti cha rehema kile kilichoko juu ya rehema na mbele yake. 16Kwa njia hii atafanya
sanduku la agano, la sivyo atakufa, kwa sababu upatanisho kwa ajili ya Patakatifu pa Patakatifu
huwa ninatokea ndani ya wingu juu ya kile kiti kwa sababu ya unajisi na uasi wa Waisraeli, kwa
cha rehema. dhambi zao zo zote. Atafanya hivyo kwa ajili ya
3“Hivi ndivyo Aroni atakavyoingia katika Hema la Kukutania ambalo liko miongoni mwao
mahali patakatifu: akiwa na fahali mchanga kwa katikati ya unajisi wao. 17Mtu ye yote haruhusiwi
ajili ya sadaka ya dhambi na kondoo mume kwa kuwa ndani ya Hema la Kukutania kuanzia
ajili ya sadaka ya kuteketezwa. 4Atavaa koti wakati Aroni anapoingia kufanya upatanisho
takatifu la kitani, pamoja na nguo za ndani za
kitani, atafunga mshipi wa kitani kiunoni na a8 “Azazeli” hapa maana yake ‘Mbuzi wa kubebeshwa dhambi.’
17
MAMBO YA WALAWI
katika Patakatifu pa Patakatifu mpaka ajili yenu ili kuwatakasa. Kisha, mbele ya
atakapotoka nje, baada ya kujifanyia upatanisho BWANA, mtakuwa safi kutokana na dhambi
yeye mwenyewe, nyumba yake pamoja na zenu zote. 31Ni sabato ya mapumziko, ni lazima
jumuiya yote ya Israeli. mfunge, ni agizo la kudumu. 32Kuhani ambaye
18“Kisha atatoka kuja kwenye madhabahu ile ametiwa mafuta na kuwekwa wakfu ili kuingia
iliyo mbele za BWANA na kufanya upatanisho mahali pa baba yake kama kuhani mkuu
kwa ajili yake. Atachukua sehemu ya damu ya atafanya upatanisho. Atavaa mavazi matakatifu
fahali na sehemu ya damu ya mbuzi na kuiweka ya kitani 33na kufanya upatanisho kwa ajili ya
kwenye pembe za madhabahu. 19Atanyunyiza Patakatifu pa Patakatifu, Hema la Kukutania na
baadhi ya hiyo damu juu ya madhabahu kwa madhabahu, pia kwa ajili ya makuhani pamoja
kidole chake mara saba ili kuitakasa na kuiweka na jumuiya yote ya watu.
wakfu kutokana na unajisi wa Waisraeli. 34‘‘Hili litakuwa agizo la kudumu kwa ajili
20“Aroni atakapokuwa amemaliza kufanya yenu. Upatanisho utafanywa mara moja tu kwa
upatanisho kwa ajili ya Patakatifu pa Patakatifu, mwaka kwa ajili ya dhambi zote za Waisraeli.’’
Hema la Kukutania na madhabahu, atamleta Ndivyo ilivyofanyika, kama vile BWANA
mbele yule mbuzi aliye hai. 21Ataweka mikono alivyomwamuru Mose.
yake miwili juu ya kichwa cha mbuzi aliye hai na
kuungama juu yake uovu wote na uasi wa Kunywa Damu Kumekatazwa
Waisraeli pamoja na dhambi zao zote, kisha BWANA akamwambia Mose, 2“Sema na
kuziweke juu ya kichwa cha huyo mbuzi. 17 Aroni na wanawe pamoja na Waisraeli
Atamwachia huyo mbuzi akimbilie jangwani kwa wote uwaambie: ‘Hili ndilo BWANA aliloagiza:
uangalizi wa mtu aliyepewa wajibu huo. 22Yule 3Mwisraeli ye yote atakayetoa dhabihu ya
mbuzi atachukua juu yake dhambi zao zote maksai, mwana-kondoo au mbuzi ndani ya
mpaka mahali pasipo na watu na yule mtu kambi au nje yake 4badala ya kuileta kwenye
atamwachia akimbilie jangwani. ingilio la Hema la Kukutania ili kuileta kama
23“Kisha Aroni atakwenda ndani ya Hema la sadaka kwa BWANA mbele ya maskani ya
Kukutania na kuvua yale mavazi ya kitani BWANA, mtu huyo atahesabiwa kuwa na hatia
aliyoyavaa kabla ya kuingia katika Patakatifu pa ya kumwaga damu na ni lazima akatiliwe mbali
Patakatifu, naye atayaacha pale. 24Ataoga kwa na watu wake. 5Hii ni ili kwamba Waisraeli
maji mahali patakatifu na kuvaa mavazi yake ya wamletee BWANA dhabihu wanazozifanya sasa
kawaida. Kisha atatoka na kutoa dhabihu ya mahali pa wazi mashambani. Ni lazima wazilete
sadaka ya kuteketezwa kwa ajili yake na sadaka kwa makuhani, yaani, kwa BWANA, katika
ya kuteketezwa kwa ajili ya watu, ili kufanya ingilio la Hema la Kukutania na kutoa dhabihu
upatanisho kwa ajili yake na kwa ajili ya watu. kama sadaka za amani. 6Kuhani atanyunyiza
25Pia atachoma mafuta ya mnyama wa sadaka damu kwenye madhabahu ya BWANA katika
ya dhambi juu ya madhabahu. ingilio la Hema la Kukutania na kuyateketeza
26“Yule mtu anayemwachia yule mbuzi wa mafuta ya hiyo dhabihu kuwa harufu nzuri ya
Azazeli ni lazima afue nguo zake na kuoga kwa kumpendeza BWANA. 7Hawatatoa kamwe
maji, baadaye anaweza kuingia kambini. 27Yule dhabihu zao kwa sanamu za mbuzi ambazo
fahali na mbuzi aliyetolewa kwa ajili ya sadaka wamekuwa wakijifanyia nazo ukahaba. Hili
za dhambi, ambao damu yao ilikuwa imeletwa litakuwa agizo la kudumu kwao na kwa ajili ya
Patakatifu pa Patakatifu kwa ajili ya kufanya vizazi vijavyo.’
upatanisho, ni lazima watolewe nje ya kambi, 8“Waambie: ‘Mwisraeli ye yote au mgeni ye
ngozi zao, nyama na matumbo yake pamoja na yote anayeishi miongoni mwao atakayetoa
mavi vitateketezwa kwa moto. 28Mtu sadaka ya kuteketezwa au dhabihu 9na bila
atakayevichoma ni lazima afue nguo zake na kuileta kwenye ingilio la Hema la Kukutania ili
aoge kwa maji baadaye ataweza kuingia kutoa dhabihu kwa BWANA, mtu huyo ni lazima
kambini. akatiliwe mbali na watu wake.
29“Hili litakuwa agizo la kudumu kwa ajili 10“ ‘Mwisraeli ye yote au mgeni anayeishi
yenu: Katika siku ya kumi ya mwezi wa saba ni miongoni mwao ambaye hunywa damu yo yote,
lazima mfunge wala msifanye kazi yo yote akiwa nitakuwa kinyume cha mtu huyo atakayekunywa
mzaliwa au mgeni anayeishi miongoni mwenu, damu na kumkatilia mbali na watu wake. 11Kwa
30kwa sababu siku hii upatanisho utafanyika kwa kuwa uhai wa kiumbe uko ndani ya damu nami
18
MAMBO YA WALAWI
nimewapa hiyo damu ili mfanyie upatanisho kwa baba yako, aliyezaliwa na baba yako, huyo ni
ajili yenu wenyewe juu ya madhabahu, damu dada yako.
ndiyo ifanyayo upatanisho kwa ajili ya maisha ya 12“ ‘Usikutane kimwili na dada wa baba
mtu. 12Kwa hiyo, ninawaambia Waisraeli, yako, ni ndugu wa karibu wa baba yako.
“Hakuna hata mmoja wenu anayeruhusiwa 13“ ‘Usikutane kimwili na dada wa mama
kunywa damu, wala mgeni anayeishi miongoni yako, kwa sababu ni ndugu wa mama yako wa
mwenu haruhusiwi kunywa damu.’’ karibu.
13“ ‘Mwisraeli ye yote au mgeni anayeishi 14“ ‘Usimvunjie heshima ndugu wa baba
miongoni mwenu ambaye atamwinda mnyama yako, kwa kukutana kimwili na mke wake, yeye
au ndege anayeruhusiwa kuliwa ni lazima ni shangazi yako.
aimwage damu na kuifunika kwa udongo, 14kwa 15“ ‘Usikutane kimwili na mkwe wako, yeye
sababu uhai wa kila kiumbe ni katika damu ni mke wa mwanao, usiwe na mahusiano kama
yake. Ndiyo sababu nimewaambia Waisraeli, hayo naye.
“Kamwe msinywe damu ya kiumbe cho chote, 16“ ‘Usikutane kimwili na mke wa kaka yako,
kwa sababu uhai wa kila kiumbe ni katika damu utamvunjia heshima kaka yako.
yake, ye yote atakayekunywa damu ni lazima 17“ ‘Usikutane kimwili na mwanamke kisha
nguo zake na aoge kwa maji, naye atakuwa mke mwenza na kukutana naye kimwili wakati
najisi kwa kawaida ya ibada mpaka jioni, kisha bado mke wako anaishi.
atakuwa safi. 16Lakini kama hakufua nguo zake 19‘‘ ‘Usimsogelee mwanamke ili kukutana
na kuoga, atakuwa na hatia kwa kosa hilo. naye kimwili wakati wa unajisi wa siku zake za
mwezi.
Uhusiano wa kukutana Kimwili Kinyume cha 20‘‘ ‘Usikutane kimwili na mke wa jirani yako
na Waisraeli uwaambie: ‘Mimi ndimi kwa mungu Moleki, kamwe usilinajisi jina la
BWANA wenu. 3Msifanye kama wafanyavyo Mungu wako. Mimi ndimi BWANA.
huko Misri, mahali mlipokuwa mnaishi, wala 22‘‘ ‘Usikutane kimwili na mwanaume kama
msifanye kama wanavyofanya katika nchi ya mtu akutanaye na mwanamke, hilo ni chukizo.
Kanaani, mahali ninapowapeleka. Msifuate 23“ ‘Usikutane kimwili na mnyama na kujitia
matendo yao. 4Ni lazima mzitii sheria zangu, unajisi kwake. Mwanamke asijipeleke kwa
nanyi iweni waangalifu kuzifuata amri zangu. mnyama ili kukutana naye kimwili, huo ni
Mimi ndimi BWANA wenu. 5Mzishike amri zangu upotovu.
na sheria zangu kwa maana mtu anayezitii 24‘‘ ‘Msijitie unajisi kwa njia yo yote katika
ataishi kwa hizo, Mimi ndimi BWANA. hizi, kwa sababu hivi ndivyo mataifa
6“ ‘Hakuna mtu awaye yote nitakayoyafukuza mbele yenu yalivyojitia najisi.
atakayemsogelea ndugu wa karibu ili kukutana 25Hata nchi ikatiwa unajisi, hivyo nikaiadhibu
naye kimwili. Mimi ndimi BWANA. kwa dhambi zake nayo nchi ikawataapika
7‘‘ ‘Usimvunjie heshima baba yako kwa wakazi wake. 26Lakini ni lazima uzitunze amri
kukutana kimwili na mama yako. Yeye ni mama zangu na sheria zangu. Mzaliwa na wageni
yako, usiwe na mahusiano kama hayo naye. waishio miongoni mwenu kamwe wasifanye
8“ ‘Usikutane kimwili na mke wa baba yako, mambo yo yote ya machukizo haya, 27kwa kuwa
hiyo itamvunjia heshima baba yako. mambo haya yote yalifanywa na watu walioishi
9“ ‘Usikutane kimwili na dada yako, wala katika nchi hii kabla yenu na nchi ikawa najisi.
binti wa baba yako, au binti wa mama yako, awe 28Kama mkiinajisi nchi, itawataapika kama
19
MAMBO YA WALAWI
yaliyofanywa kabla hamjafika katika nchi hii na ndimi BWANA.
kujitia unajisi kwa hayo. Mimi ndimi BWANA 17“ ‘Usimchukie ndugu yako moyoni mwako.
itakubaliwa kwa niaba yenu. 6Sadaka hiyo mwanamke ambaye ni msichana mtumwa
italiwa siku iyo hiyo mnayoitoa au kesho yake, aliyeposwa na mwanaume mwingine, lakini
cho chote kitakachobaki hadi siku ya tatu lazima ambaye hajakombolewa wala hajapewa uhuru,
kiteketezwe kwa moto. 7Kama sehemu yo yote lazima iwepo adhabu. Hata hivyo hawatauawa,
ya sadaka hiyo italiwa siku ya tatu itakuwa si safi kwa sababu msichana alikuwa bado hajaachwa
nayo haitakubaliwa. 8Ye yote atakayekula huru. 21Hata hivyo huyo mtu lazima alete
atawajibishwa kwa sababu amenajisi kitu kilicho kondoo mume kwenye ingilio la Hema la
kitakatifu kwa BWANA, mtu huyo lazima Kukutania kwa ajili ya sadaka ya hatia kwa
akatiliwe mbali na watu wake. BWANA. 22Pamoja na kondoo mume wa sadaka
9“ ‘Wakati uvunapo mavuno ya nchi yako, ya hatia kuhani atafanya upatanisho kwa ajili
usivune hadi kwenye mipaka ya shamba lako, yake mbele za BWANA kwa ajili ya dhambi
wala usikusanye mabaki ya mavuno yako. aliyotenda, naye atasamehewa dhambi yake.
10Usirudi mara ya pili katika shamba lako la 23“ ‘Mtakapoingia katika hiyo nchi na
mizabibu wala usiokote zabibu zilizoanguka kupanda aina yo yote ya mti wa matunda,
chini. Ziache kwa ajili ya maskini na mgeni. Mimi hesabuni matunda yake kama yaliyokatazwa.
ndimi BWANA wako. Kwa miaka mitatu mtayahesabu kwamba
11“ ‘Usiibe. yamekatazwa, hayataliwa. 24Katika mwaka wa
“ ‘Usiseme uongo. nne matunda yote ya mti huo yatakuwa
“ ‘Msidanganyane. matakatifu, sadaka ya sifa kwa BWANA. 25Bali
12“ ‘Usiape kwa uongo kwa jina langu na katika mwaka wa tano mnaweza kula matunda
hivyo kulinajisi jina la Mungu wako. Mimi ndimi ya mti huo. Kwa njia hii mavuno yenu
BWANA. yataongezwa. Mimi ndimi BWANA wako.
13‘‘ ‘Usimdhulumu wala kumwibia jirani yako. 26“ ‘Msile nyama yo yote yenye damu ndani
mbele ya kipofu, lakini umche Mungu wako. kunyoa pembe za ndevu zenu.
Mimi ndimi BWANA. 28“ ‘Msichanje chale miili yenu kwa ajili ya
15“ ‘Usipotoshe haki, usionyeshe mfu wala msijichore alama juu ya miili yenu.
kumpendelea maskini wala upendeleo kwa Mimi ndimi BWANA.
mwenye cheo, bali mwamulie jirani yako kwa 29“ ‘Usimdhalilishe binti yako kwa kumfanya
“ ‘Usifanye kitu cho chote kile mahali pangu patakatifu. Mimi ndimi BWANA.
kinachohatarisha maisha ya jirani yako. Mimi 31“ ‘Msiwaendee waaguzi, wala msitafute
20
MAMBO YA WALAWI
wapunga pepo, kwa maana vitawanajisi. Mimi 9“ ‘Ikiwa mtu ye yote atamlaani baba yake
ndimi BWANA Mungu wako. au mama yake, lazima auawe. Amemlaani baba
32“ ‘Uwapo mbele ya mzee usimame, yake au mama yake, damu yake itakuwa juu ya
kuonyesha heshima kwa wazee, nawe umche kichwa chake mwenyewe.
Mungu wako. Mimi ndimi BWANA. 10“ ‘Ikiwa mtu atazini na mke wa mtu
33Wakati mgeni anaishi pamoja nawe katika mwingine, yaani, mke wa jirani yake, wazinzi
nchi yako, usimnyanyase. 34Mgeni anayeishi hao wawili lazima wauawe.
pamoja nawe ni lazima umtendee kama mmoja 11“ ‘Kama mtu atakutana kimwili na mke wa
wa wazawa wa nchi yako. Mpende kama baba yake, hakumheshimu baba yake.
unavyojipenda mwenyewe, kwa maana ulikuwa Mwanaume huyo na mwanamke huyo wote
mgeni katika nchi ya Misri. Mimi ndimi BWANA wauawe, damu yao itakuwa juu ya vichwa vyao
Mungu wako. wenyewe.
35“ ‘Usitumie vipimo vya udanganyifu 12“ ‘Ikiwa mtu atakutana kimwili na mke wa
unapopima urefu, kupima uzito wala kupima mwanawe lazima wote wawili wauawe.
wingi. 36Tumia mizani halali, mawe ya kupimia Walichokifanya ni upotovu, damu yao itakuwa
uzito halali, efa a halali na hini b halali. Mimi ndimi juu ya vichwa vyao wenyewe.
BWANA wako, ambaye alikutoa katika nchi ya 13“ ‘Kama mwanaume akikutana kimwili na
20 BWANA akamwambia Mose, 2“Sema 14“ ‘Ikiwa mwanaume ataoa binti pamoja na
na wana wa Israeli: ‘Mwisraeli ye yote mama yake, huo ni uovu. Wote watatu ni lazima
au mgeni anayeishi katika Israeli ambaye wachomwe moto, ili kwamba pasiwepo na uovu
atamtoa ye yote miongoni mwa watoto wake katikati yenu.
kuwa sadaka kwa mungu Moleki, mtu huyo 15“ ‘Kama mwanaume akikutana kimwili na
lazima auawe. Watu wa jumuiya hiyo mnyama, ni lazima auawe, pia ni lazima
watamkatilia mbali, watampiga kwa mawe. mnyama huyo auawe.
3Mimi nitauelekeza uso wangu dhidi ya mtu 16“ ‘Kama mwanamke atamsogelea mnyama
huyo, nami nitamkatilia mbali na watu wake. kukutana naye kimwili, mwueni mwanamke huyo
Kwa maana kwa kumtoa mmoja wa watoto wake pamoja na mnyama pia. Lazima wauawe, damu
kwa mungu Moleki, amenajisi madhabahu yao itakuwa juu ya vichwa vyao wenyewe.
yangu na kulinajisi jina langu takatifu. 4Ikiwa 17“ ‘Ikiwa mtu anamwoa dada yake, binti
watu wa jumuiya watafumba macho wakati mtu aliyezaliwa na baba yake au mama yake, nao
huyo anapomtoa mmoja wa watoto wake kwa wakakutana kimwili, ni aibu. Lazima wakatiliwe
mungu Moleki, nao wakaacha kumwua, 5mimi mbali machoni pa watu wao. Huyo mwanaume
nitauelekeza uso wangu dhidi ya mtu huyo amemwaibisha dada yake, hivyo atawajibika
pamoja na jamaa yake, nami nitawakatilia mbali kwa ajili ya uovu huo.
yeye na watu wote waliofanya ukahaba na 18“ ‘Ikiwa mwanaume atalala na mwanamke
21
MAMBO YA WALAWI
yake, hili ni tendo lichafu, amemwaibisha ndugu Mungu wao. 8Waoneni kuwa watakatifu, kwa
yake. Nao hawatazaa mtoto. sababu ndio wanaotoa chakula cha Mungu
22“ ‘Shika amri na sheria zangu zote na wenu. Kumbukeni kuwa ni watakatifu, kwa
kuzifuata, ili kwamba katika nchi ninayowaleta sababu Mimi BWANA ni mtakatifu, Mimi
kuishi isiwataapike. 23Kamwe msiishi kwa niwafanyaye ninyi watakatifu.
kufuata desturi za mataifa nitakayoyafukuza 9‘‘ ‘Ikiwa binti wa kuhani amejitia unajisi kwa
mbele yenu. Kwa sababu walifanya mambo kufanya ukahaba, anamwaibisha baba yake,
haya yote, nami nikachukizwa sana nao. lazima achomwe kwa moto.
24Lakini niliwaambia, “Mtaimiliki nchi yao, 10‘‘ ‘Kuhani mkuu, aliye miongoni mwa
nitawapa ninyi kuwa urithi, nchi inayotiririka ndugu zake, ambaye amekwisha kutiwa mafuta
maziwa na asali.” Mimi ndimi BWANA wenu, kwa kumiminiwa juu ya kichwa chake na
ambaye amewatenga kutoka katika mataifa. ambaye amewekwa wakfu kuvaa mavazi ya
25“ ‘Kwa hiyo, ninyi lazima mweze ukahuni, kamwe asiache nywele zake bila
kutofautisha kati ya wanyama walio safi na kufunikwa wala asirarue nguo zake. 11Kamwe
wasio safi pia kati ya ndege wasio safi na walio asiingie ndani mahali penye maiti. Kamwe
safi. Msijitie unajisi kutokana na mnyama ye asijitie unajisi, hata kwa ajili ya baba yake au
yote au ndege wala kitu cho chote kitambaacho mama yake, 12wala asiondoke mahali patakatifu
juu ya ardhi, vile ambavyo nimevitenga kuwa pa Mungu wake au kupanajisi, kwa sababu
najisi kwa ajili yenu. 26Mtakuwa watakatifu amewekwa wakfu kwa kupakwa mafuta ya
kwangu, kwa sababu Mimi, BWANA, ni Mungu wake. Mimi ndimi BWANA.
mtakatifu, nami nimewatenga kutoka katika 13‘‘ ‘Mwanamke atakayemwoa ni lazima awe
22
MAMBO YA WALAWI
Matumizi ya Sadaka Takatifu moja ya tano ya thamani ya sadaka hiyo.
22 BWANA akamwambia Mose, 15Kamwe makuhani wasiinajisi sadaka takatifu
2“Mwambie Aroni na wanawe ambayo Waisraeli wameitoa kwa BWANA 16kwa
kushughulikia kwa uangalifu sadaka takatifu kuwaruhusu kuzila sadaka hizo takatifu na hivyo
Waisraeli wanazoziweka wakfu kwangu, ili kuwaletea hatia ya kudaiwa malipo. Mimi ndimi
wasilinajisi jina langu takatifu. Mimi ndimi BWANA niwafanyaye watakatifu.’ ’’
BWANA.
3“Waambie: ‘Katika vizazi vijavyo, ikiwa ye Dhabihu Zisizokubalika
yote wa wazao wako ni najisi kwa taratibu za 17BWANA akamwambia Mose, 18“Sema na
kiibada, naye akakaribia sadaka takatifu Aroni, wanawe na Waisraeli wote na uwaambie:
Waisraeli wanazoziweka wakfu kwa BWANA, ‘Ikiwa mmoja wenu, aliye Mwisraeli au mgeni
mtu huyo lazima akatiliwe mbali na uso wangu. anayeishi katika nchi ya Israeli, atatoa matoleo
Mimi ndimi BWANA. kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa kwa moto
4“ ‘Ikiwa mzao wa Aroni ana ugonjwa wa kwa BWANA, iwe kutimiza nadhiri au kuwa
ngozi unaoambukiza au anatokwa na usaha sadaka ya hiari, 19lazima mtoe mnyama mume
mwilini, hawezi kula sadaka takatifu mpaka asiye na dosari akiwa ng’ombe, mbuzi au
atakasike. Vile vile atakuwa najisi ikiwa atagusa kondoo ili kwamba aweze kukubalika kwa niaba
kitu cho chote kilichotiwa unajisi kwa kugusa yako. 20Kamwe usitoe kitu cho chote chenye
maiti au mtu aliyetokwa na shahawa, 5au ikiwa dosari kwa sababu hakitakubaliwa kwa niaba
atagusa kitu cho chote kitambaacho hicho yako. 21Mtu ye yote aletapo sadaka ya amani
kimfanyacho mtu najisi, au mtu ye yote awezaye kwa BWANA kutoka kundi la ngo'mbe au mbuzi
kumtia unajisi, unajisi uwao wote. 6Mtu ili kutimiza nadhiri maalum au sadaka ya hiari,
anayegusa kitu cho chote cha aina hiyo lazima sadaka hiyo isiwe na dosari au waa ili
atakuwa najisi mpaka jioni. Kamwe hatakula ikubalike. 22Kamwe usimtolee BWANA mnyama
sadaka yo yote takatifu mpaka yeye mwenyewe aliye kipofu, aliyejeruhiwa wala aliye kilema, au
awe ameoga kwa maji. 7Wakati jua linapotua, cho chote kilicho na uvimbe, chenye upele au
atakuwa safi na baada ya hilo anaweza kula chenye vidonda vinavyotoka usaha. Kamwe cho
sadaka takatifu, kwa kuwa ni vyakula vyake. chote cha aina hii kisiwekwe juu ya madhabahu
8Kamwe asile nyama ya mzoga wala kuwa sadaka iliyotolewa kwa BWANA ya
iliyoraruliwa na wanyama pori, naye akatiwa kuteketezwa kwa moto. 23Pengine, waweza
unajisi kwa hilo. Mimi ndimi BWANA. kuamua na ukatoa sadaka ya hiari ng'ombe au
9“ ‘Makuhani lazima washike maagizo yangu kondoo mwenye kilema au aliyedumaa, lakini hii
ili wasiwe na hatia wakafa kwa kuyadharau. haitakubalika ili kuwa sadaka ya kutimiza
Mimi ndimi BWANA ninayewafanya watakatifu. nadhiri. 24Kamwe usimtolee BWANA mnyama
10“ ‘Hakuna mtu ye yote asiye wa jamaa ya ambaye mapumbu yake yamejeruhiwa, au
kuhani anayeruhusiwa kula sadaka takatifu, aliyehasiwa au yaliyoraruliwa au kukatwa.
wala mgeni wa kuhani au mfanyakazi wake Kamwe usifanye katika nchi yako mwenyewe,
haruhusiwi kuila. 11Lakini ikiwa kuhani 25kamwe usikubali wanyama wa aina hii kutoka
amenunua mtumwa kwa fedha, au mtumwa katika mkono wa mgeni na kuwatoa wanyama
amezaliwa katika nyumba ya kuhani huyo, hao kuwa chakula kwa Mungu wako. Wanyama
mtumwa huyo aweza kula chakula cha huyo hao hawatakubaliwa kwa niaba yako, kwa
kuhani. 12Ikiwa binti wa kuhani ameolewa na mtu sababu wana vilema nao wana dosari.’ ’’
asiye kuhani, binti huyo haruhusiwi kula cho 26BWANA akamwambia Mose, 27“Wakati
chote cha matoleo matakatifu. 13Lakini ikiwa binti ndama, mwana-kondoo au mwana mbuzi
wa kuhani amekuwa mjane au amepewa talaka, azaliwapo, atabaki na mama yake kwa siku
naye hana watoto, naye akarudi kuishi na jamaa saba. Kuanzia siku ya nane na kuendelea
ya baba yake kama wakati wa usichana wake, anaweza kukubaliwa kuwa sadaka iliyotolewa
binti huyo anaweza kula chakula cha baba yake. kwa BWANA kwa kuteketezwa kwa moto.
Hata hivyo, mtu asiyeruhusiwa hawezi kula cho 28Usimchinje ng'ombe na ndama wake au
23
MAMBO YA WALAWI
pasipo kubakiza cho chote mpaka asubuhi. Mimi iliyotolewa kwa BWANA kwa kuteketezwa kwa
ndimi BWANA. moto, harufu nzuri ya kupendeza na sadaka ya
31“ ‘Shikeni maagizo yangu na kuyafuata. kinywaji robo ya hini b ya divai. 14Kamwe msile
Mimi ndimi BWANA. 32Msilinajisi jina langu mkate wo wote, au cho chote kilichokaangwa au
takatifu. Lazima nikubalike kuwa mtakatifu kwa nafaka mpya mpaka siku ile mtakayomletea
Waisraeli. Mimi ndimi BWANA ninayewafanya Mungu sadaka hii. Hili litakuwa agizo la kudumu
watakatifu 33na niliyewatoa katika nchi ya Misri kwa vizazi vijavyo, po pote mnapoishi.
niwe Mungu wenu. Mimi ndimi BWANA.’’
Sikukuu Za Majuma
Sikukuu Zilizoamuriwa 15“ ‘Tangu siku ile iliyofuata Sabato, siku
moto. Kwenye siku hiyo ya saba mtafanya msifanye kazi zenu za kawaida. Hili litakuwa
kusanyiko takatifu na msifanye kazi zenu za agizo la kudumu kwa vizazi vijavyo po pote
kawaida.’ ’’ mnapoishi.
22“ ‘Mnapovuna mavuno ya ardhi yenu,
niaba yenu, kuhani ataupunga siku inayofuata Waisraeli: ‘Katika siku ya kwanza ya mwezi wa
Sabato. 12Siku hiyo mtakapoinua huo mganda, saba mtakuwa na siku ya mapumziko,
lazima mtoe kwa BWANA dhabihu ya kusanyiko takatifu kwa ukumbusho pamoja na
kuteketezwa kwa moto mwana-kondoo wa kupigwa kwa tarumbeta. 25Msifanye kazi zenu
mwaka mmoja asiye na dosari, 13pamoja na zo zote za kawaida, lakini toeni sadaka kwa
sadaka ya unga laini wa nafaka sehemu mbili za BWANA iliyoteketezwa kwa moto.’ ’’
kumi za efa a uliochanganywa na mafuta, sadaka
Pia mstari wa 17.
a13 Sehemu mbili za kumi (2/10) za efa ni sawa na kilo mbili. b13 Robo ya hini ni sawa na lita moja.
24
MAMBO YA WALAWI
agizo la kudumu kwa vizazi vijavyo, iadhimisheni
Siku Ya Upatanisho kwenye mwezi wa saba. 42Mtaishi katika
26BWANA akamwambia Mose, 27“Siku ya vibanda kwa siku saba: Wazawa wote wa
kumi ya mwezi huu wa saba ni Siku ya Waisraeli wataishi katika vibanda 43ili wazao
Upatanisho. Mtafanya kusanyiko takatifu, wenu wajue kuwa niliwafanya Waisraeli waishi
mfunge, nanyi mtoe sadaka kwa BWANA kwenye vibanda nilipowatoa Misri. Mimi ndimi
yakuteketezwa kwa moto. 28Msifanye kazi siku BWANA wenu.’ ’’
hiyo, kwa sababu ni Siku ya Upatanisho, 44Kwa hiyo Mose akawatangazia Waisraeli
Waisraeli: ‘Katika siku ya kumi na tano ya mwezi miwili, ukitumia sehemu mbili za kumi za efa a za
wa saba Sikukuu ya BWANA ya vibanda unga kwa kila mkate. 6Iweke katika mistari
itaanza, nayo itaadhimishwa kwa siku saba. miwili, kila mstari mikate sita, uiweke mbele za
35Siku ya kwanza ni kusanyiko takatifu, msifanye BWANA juu ya meza iliyotengenezwa kwa
kazi zenu za kawaida. 36Kwa siku saba toeni dhahabu safi. 7Kando ya kila mstari weka
sadaka kwa BWANA za kuteketezwa kwa moto, uvumba safi kama sehemu ya ukumbusho ili
kwenye siku ya nane fanyeni kusanyiko takatifu kuwakilisha mikate kuwa sadaka iliyotolewa kwa
na mtoe sadaka kwa BWANA ya kuteketezwa BWANA kwa kuteketezwa kwa moto. 8Mikate hii
kwa moto. Ni kusanyiko la mwisho, msifanye itawekwa mbele za BWANA kila wakati, Sabato
kazi zenu za kawaida. baada ya Sabato, kwa niaba ya Waisraeli, kuwa
37(“‘Hizi ni sikukuu za BWANA agano la kudumu. 9Hii ni mali ya Aroni na
zilizoamuriwa, ambazo mtazitangaza kuwa wanawe, watakaoila katika mahali patakatifu,
makusanyiko matakatifu kwa kuleta sadaka kwa kwa sababu ni sehemu takatifu sana ya fungu
BWANA za kuteketeza kwa moto. Sadaka za lao la kawaida la sadaka iliyotolewa kwa
kuteketezwa na sadaka za nafaka, sadaka za BWANA kwa kuteketezwa kwa moto.’’
vinywaji zitahitajika kila siku. 38Sadaka hizi ni
nyongeza ya zile mnazozitoa katika Sabato za Mwenye Kukufuru Apigwe Mawe.
BWANA, pia ni nyongeza ya matoleo yenu ya 10Basi mwana wa mama wa Kiisraeli
cho chote mlichoweka nadhiri na sadaka zenu ambaye baba yake ni Mmisri alikwenda
zote za hiari mnazozitoa kwa BWANA.) miongoni mwa Waisraeli na mapigano
39“ ‘Basi kuanzia siku ya kumi na tano ya yakatokea ndani ya kambi kati yake na
mwezi wa saba, baada ya kuvuna mazao yote Mwiisraeli. 11Huyu mwana wa mwanamke wa
ya nchi, mtaadhimisha sikukuu kwa BWANA Kiisraeli akalikufuru Jina la BWANA na kulaani,
kwa siku saba, siku ya kwanza ni mapumziko, kwa hiyo wakamleta kwa Mose. (Jina la mama
pia siku ya nane ni mapumziko. 40Kwenye siku yake aliitwa Shelomithi binti wa Dibri wa kabila
ya kwanza mtachukua matunda mazuri ya miti, la Dani.) 12Nao wakamweka mahabusu mpaka
matawi ya mitende, matawi yenye majani mengi mapenzi ya BWANA yatakapokuwa wazi kwao.
na matawi ya mirebi, nanyi mtashangilia mbele 13Ndipo BWANA akamwambia Mose:
za BWANA wenu kwa siku saba. 14“Mchukue huyo aliyekufuru nje ya kambi. Wale
41Mtaadhimisha siku hii kuwa sikukuu kwa
BWANA kwa siku saba kila mwaka. Hili litakuwa a5 Sehemu mbili za kumi za efa ni sawa na kilo mbili
25
MAMBO YA WALAWI
wote waliomsikia akikufuru wataweka mikono miaka saba mara saba, ili kwamba sabato saba
juu ya kichwa chake, kisha kusanyiko lote za miaka utakuwa muda wa miaka arobaini na
litampiga mawe. 15Waambie Waisraeli: ‘Ikiwa tisa. 9Ndipo tarumbeta itapigwa kila mahali
mtu ye yote atamlaani Mungu wake, atakuwa na katika siku ya kumi ya mwezi wa saba, katika
hatia kwa uovu wake, 16ye yote atakayekufuru Siku ya Upatanisho piga tarumbeta katika nchi
jina la BWANA ni lazima auawe. Kusanyiko lote yako yote. 10Mwaka wa hamsini mtauweka
litampiga kwa mawe. Iwapo ni mgeni au mzawa, wakfu na kutangaza uhuru katika nchi kwa
atakapolikufuru Jina la BWANA, ni lazima wakazi wake wote. Itakuwa ni yubile a kwenu,
auawe. kila mmoja wenu atairudia mali ya jamaa yake
17‘‘ ‘Kama mtu ye yote atamwua mtu na kila mmoja kurudi kwenye ukoo wake.
mwingine, ni lazima auawe. 18Mtu ye yote auaye 11Mwaka wa hamsini utakuwa yubile kwenu,
mnyama wa mtu mwingine lazima afidie, uhai msipande wala msivune kile kiotacho chenyewe
kwa uhai. 19Ikiwa mtu ye yote atamjeruhi jirani au kuvuna zabibu zisizohudumiwa. 12Kwa kuwa
yake, cho chote alichomtenda naye atatendewa: ni yubile nayo itakuwa takatifu kwenu, mtakula
20Iwapo amemvunja mfupa atavunjwa mfupa, tu kile kilichotoka moja kwa moja mashambani.
jicho kwa jicho, jino kwa jino. Kama 13“ ‘Katika Mwaka huu wa Yubile kila mmoja
alivyomjeruhi mwenzake, vivyo hivyo ndivyo atarudi kwenye mali yake mwenyewe.
atakavyojeruhiwa. 21Ye yote auaye mnyama wa 14“ ‘Ikiwa utauza ardhi kwa mmoja wa
mtu lazima alipe fidia, lakini ye yote auaye mtu, wazawa wa nchi yako au ukinunua ardhi kutoka
lazima auawe. 22Mtakuwa na sheria iyo hiyo kwa kwake, mmoja asimpunje mwingine. 15Utanunua
mgeni na kwa mzawa. Mimi ndimi BWANA ardhi kwa mzawa wa nchi yako kwa misingi ya
Mungu wenu.’ ’’ hesabu ya miaka baada ya Yubile. Naye ataiuza
23Kisha Mose akasema na Waisraeli, nao kwako kwa misingi ya hesabu ya miaka iliyobaki
wakamchukua yule aliyekufuru nje ya kambi na kwa kuvuna mavuno. 16Miaka inapokuwa mingi,
kumpiga mawe. Waisraeli wakafanya kama utaongeza bei, nayo miaka ikiwa michache,
BWANA alivyomwagiza Mose. utapunguza bei, kwa sababu kile anachokuuzia
kwa hakika ni hesabu ya mazao. 17Mmoja
Mwaka wa Sabato asimpunje mwingine, bali utamcha Mungu wako.
uwaambie: ‘Mtakapoingia katika nchi waangalifu kutii amri zangu, nanyi mtaishi
ninayowapa ninyi, nchi yenyewe ni lazima ishike salama katika nchi. 19Kisha nchi itazaa matunda
sabato kwa ajili ya BWANA. 3Kwa miaka sita yake, nanyi mtakula na kushiba na kuishi humo
mtapanda mazao katika mashamba yenu, nanyi kwa salama. 20Mwaweza kuuliza, “Tutakula nini
kwa miaka sita mtaikata mizabibu yenu matawi katika mwaka wa saba ikiwa hatutapanda wala
na kuvuna mazao yake. 4Lakini mwaka wa saba kuvuna mazao yetu?’’ 21Nitawapelekeeni baraka
nchi lazima iwe na sabato ya mapumziko, ni ya pekee katika mwaka wa sita kwamba nchi
sabato kwa BWANA. Msipande mbegu katika itazalisha mazao ya kutosha kwa miaka mitatu.
mashamba yenu wala msikate mizabibu yenu 22Iwapo mtapanda mwaka wa nane mtakula
matawi. 5Msivune na kuweka akiba kinachoota mavuno ya miaka iliyopita, pia mtaendelea
chenyewe wala kuvuna na kusindika zabibu kuyala mazao hayo mpaka yajapo mavuno ya
ambayo hamkuhudumia mashamba yake. Nchi mwaka wa tisa.
lazima iwe na mwaka wa mapumziko. 6Cho 23“ ‘Kamwe ardhi isiuzwe kwa mkataba wa
chote nchi itoacho katika mwaka wa sabato kudumu, kwa sababu nchi ni mali yangu, nanyi
kitakuwa chakula chenu wenyewe, watumishi ni wageni na wapangaji wangu. 24Katika nchi
wenu wa kiume na wa kike, mfanyakazi yote mtakayoshika kuwa milki yenu ni lazima
aliyeajiriwa na mkazi wa muda anayeishi mtoe ukombozi wa ardhi.
miongoni mwenu, 7vile vile malisho ya mifugo 25“ ‘Ikiwa mmoja wa wazawa wa nchi yako
yenu na wanyama pori katika nchi yenu. Cho amekuwa maskini na akauza baadhi ya mali
chote nchi itakachozalisha kinaweza kuliwa.
a10 Yubile: ni baragumu iliyopigwa kila mwaka wa hamsini.
Mwaka wa Yubile : Sabato ya nchi ya kila mwaka wa hamsini uliokuwa
8“ ‘Hesabu sabato saba za miaka, yaani,
mwaka wa ukombozi, yaani kuachia huru.
26
MAMBO YA WALAWI
yake, ndugu yake wa karibu atakuja na atatumika mpaka Mwaka wa Yubile. 41Ndipo
kukomboa kile ndugu yako alichokiuza. 26Iwapo yeye na watoto wake wataachiwa, naye atarudi
mtu huyo hana jamaa wa karibu wa kukomboa kwa watu wa ukoo wake na kwenye mali ya
mali hiyo kwa ajili yake, lakini yeye mwenyewe baba zake. 42Kwa sababu Waisraeli ni
akafanikiwa na kupata njia itoshayo kuikomboa, watumishi wangu niliowaleta kutoka nchi ya
27ataamua tena thamani yake kwa miaka tangu Misri, kamwe wasiuzwe kama watumwa.
alipoiuza na kurudisha kiasi kilichobaki cha 43Usiwatawale kwa ukatili, lakini utamcha Mungu
ya mji uliozungukwa kwa ukuta itakuwa mali ya yako atakuwa tajiri na mmoja wa wazawa wa
kudumu ya mnunuzi na wazao wake. nchi yako akawa maskini, naye akajiuza kwa
Haitarudishwa mwaka wa Yubile. 31Lakini yule mgeni anayeishi katikati yako au kwa
nyumba zilizo vijijini bila ya kuwa na kuta mmoja wa jamaa wa koo za wageni, 48anayo
zilizozizunguka zitahesabiwa kama mashamba. haki ya kukombolewa baada ya kujiuza. Mmoja
Zinaweza kukombolewa, nazo zirudishwe katika wa jamaa zake aweza kumkomboa: 49Mjomba
mwaka wa Yubile. wake au binamu yake au ye yote aliye ndugu wa
32“ ‘Walawi siku zote wana haki ya damu katika ukoo wake aweza kumkomboa. Au
kukomboa nyumba zao katika miji ya Walawi ikiwa atafanikiwa, anaweza kujikomboa
wanayoimiliki. 33Kwa hiyo mali ya Mlawi inaweza mwenyewe. 50Yeye na huyo aliyemnunua
kukombolewa, yaani, nyumba iliyouzwa katika watahesabu muda kuanzia mwaka aliojiuza hadi
mji wo wote wanaoushikilia, itarudishwa mwaka Mwaka wa Yubile. Mahali pa kuanzia bei ya
wa Yubile, kwa sababu nyumba zilizo katika miji kuachiwa kwake itakadiriwa na kilicholipwa kwa
ya Walawi ni mali yao miongoni mwa Waisraeli. mfanyakazi aliyeajiriwa kwa idadi ya hiyo miaka.
34Lakini nchi ya malisho iliyo mali ya miji yao 51Ikiwa imebaki miaka mingi, ni lazima atalipia
kamwe isiuzwe, ni milki yao ya kudumu. ukombozi wake fungu kubwa la bei iliyolipwa
35“ ‘Ikiwa mmoja wa wazawa wa nchi yako kumnunua yeye. 52Ikiwa miaka iliyobaki ni
amekuwa maskini naye akashindwa michache kufikia Mwaka wa Yubile, atafanya
kujitegemeza mwenyewe katikati yako, msaidie hesabu yake naye atalipa malipo yanayostahili
kama vile ambavyo ungelimsaidia mgeni au kwa ajili ya ukombozi wake. 53Atatendewa kama
kama mkazi wa muda, ili aweze kuendelea mtu wa kuajiriwa mwaka hadi mwaka, lazima
kuishi katikati yako. 36Usichukue riba wala faida uone kwamba yule aliyemnunua hamtawali kwa
yo yote kutoka kwake, bali utamwogopa Mungu ukatili.
wako, ili kwamba mzawa wa nchi yako aweze 54“ ‘Hata ikiwa hakukombolewa kwa njia
kuendelea kuishi katikati yako. 37Usimkopeshe mojawapo ya hizi, yeye na watoto wake
fedha ili alipe na riba, wala usimwuzie chakula wataachiwa katika Mwaka wa Yubile, 55kwa
kwa faida. 38Mimi ndimi BWANA Mungu wako, maana Waisraeli ni mali yangu kama watumishi.
niliyekuleta kutoka nchi ya Misri nikupe nchi ya Wao ni watumishi wangu, niliowatoa kutoka nchi
Kanaani nami niwe Mungu wako. ya Misri. Mimi ndimi BWANA Mungu wako.
39“ ‘Ikiwa mmoja wa wazawa wa nchi yako
27
MAMBO YA WALAWI
lililochongwa katika nchi yenu na kusujudu hamtanisikiliza, nitawaadhibu mara saba zaidi
mbele yake. Mimi ndimi BWANA, Mungu wenu. kwa ajili ya dhambi zenu. 19Nitakivunja kiburi
2“ ‘Zishikeni Sabato zangu na kuheshimu chenu cha ukaidi na kuifanya anga lililo juu yenu
mahali patakatifu pangu. Mimi ndimi BWANA. liwe kama chuma na ardhi yenu kama shaba.
3“ ‘Ikiwa mtafuata amri zangu na kuwa 20Nguvu zenu zitatumika bila ya mafanikio, kwa
waangalifu kutii maagizo yangu, 4nitawanyeshea sababu ardhi yenu haitawazalia mazao yake,
mvua katika majira yake, nayo ardhi itatoa wala miti ya nchi yenu haitazaa matunda yake.
mazao yake na miti ya mashambani itazaa 21“ ‘Kama mtaendelea kuwa na uadui nami
mapya. 11Nitafanya makao yangu miongoni hamtanisikiliza lakini mkaendelea kuweka uadui
mwenu, nami sitawachukia. 12Nitatembea nami, 28ndipo katika hasira yangu nitaweka
katikati yenu niwe Mungu wenu, nanyi mtakuwa uadui nanyi, nami mwenyewe nitawaadhibu
watu wangu. 13Mimi ndimi BWANA Mungu mara saba kwa ajili ya dhambi zenu. 29Mtakula
wenu, niliyewatoa katika nchi ya Misri ili nyama ya wana wenu na nyama ya binti zenu.
msiendelee kuwa watumwa wa Wamisri, 30Nitapaharibu mahali penu pa juu pa kuabudia
28
MAMBO YA WALAWI
36“ ‘Kwa habari ya wenzenu wale shekeli thelathini b . 5Kama ni mwenye umri wa
watakaobaki, nitaifanya mioyo yao kuwa na hofu miaka kati ya mitano na ishirini, weka thamani
kuu katika nchi za adui zao kiasi kwamba sauti ya mwanaume kuwa shekeli ishirini c na
ya jani linalopeperushwa na upepo itawafanya mwanamke shekeli kumi d . 6Kama ni mtu
wakimbie. Watakimbia kana kwamba mwenye umri kati ya mwezi mmoja na miaka
wanakimbia upanga, nao wataanguka, ingawa mitano, weka thamani ya mwanaume kuwa
hakuna anayewafukuza. 37Watajikwaa mmoja shekeli tano e za fedha na ile ya mwanamke
juu ya mwingine kama wakimbiao upanga, hata kuwa shekeli tatu f za fedha. 7Kama ni mtu
ingawa hakuna anayewafuatia. Hivyo mwenye miaka sitini na zaidi, weka thamani ya
hamtaweza kusimama mbele ya adui zenu. mwanaume kuwa shekeli kumi na tano g na
38Mtaangamia katikati ya mataifa, nchi ya adui mwanamke shekeli kumi. 8Kama mtu ye yote
zenu itawala. 39Wengine wenu watakaobaki anayeweka nadhiri ni maskini mno kulipa kiasi
wataangamia katika nchi za adui zao kwa kilichowekwa, atampeleka huyo mtu kwa kuhani,
sababu ya dhambi zao, pia kwa sababu ya ambaye ataweka thamani yake kulingana na kile
dhambi za baba zao wataangamia. mweka nadhiri anachoweza kulipa.
40“ ‘Lakini kama watatubu dhambi zao na 9Kama kile mtu alichokiwekea nadhiri ni
dhambi za baba zao, udanganyifu wao dhidi mnyama anayekubalika kama sadaka kwa
yangu na uadui wao kwangu, 41ambao ulinifanya BWANA, mnyama wa namna hiyo aliyetolewa
niwe na uadui nao, hata nikawapeleka katika kwa BWANA anakuwa mtakatifu. 10Mtu
nchi ya adui zao, kisha mioyo yao isiyotahiriwa haruhusiwi kumbadilisha au kutoa mnyama
ikanyenyekea na kutubu dhambi yao, mzuri kwa mbaya au mnyama mbaya kwa
42nitakumbuka agano langu na Yakobo na mzuri, kama atatoa mnyama badala ya
agano langu na Isaki na agano langu na mwingine, wanyama wote wawili, yaani, yule
Abrahamu, nami nitaikumbuka nchi. 43Kwa kuwa aliyetolewa na yule aliyebadiliwa, huwa
wataiacha nchi ukiwa, nayo itafurahia sabato watakatifu. 11Kama alichokiwekea nadhiri ni
zake wakati ikiwa ukiwa pasipo wao kuwepo. mnyama aliye najisi kiibada, yaani, yule asiye
Watalipizwa kwa ajili ya dhambi zao kwa sababu kubalika kuwa sadaka kwa BWANA, huyo
walizikataa sheria zangu na kuzichukia amri mnyama lazima aletwe kwa kuhani, 12ambaye
zangu. 44Lakini pamoja na hili, wakati wakiwa ataamua ubora wa mnyama huyo kama ni mzuri
katika nchi ya adui zao, sitawakataa wala au mbaya. Thamani yo yote atakayoweka
kuwachukia kiasi cha kuwaharibu kabisa na kuhani, hivyo ndivyo itakavyokuwa. 13Kama
kuvunja agano langu nao. Mimi ndimi BWANA mwenye mnyama atapenda kumkomboa
wao. 45Lakini kwa ajili yao nitalikumbuka agano mnyama huyo, lazima aongeze sehemu moja ya
langu na baba zao ambao niliwatoa Misri mbele tano ya thamani.
ya mataifa ili niwe Mungu wao. Mimi ndimi 14“ ‘Kama mtu ataweka nyumba yake wakfu
ye yote ataweka nadhiri maalum ili kuweka watu jamaa yake wakfu kwa BWANA, thamani yake
wakfu kwa BWANA, kwa kutoa kiasi cha itawekwa kulingana na kiasi cha mbegu
thamani inayolingana, 3thamani ya mwanaume inayohitajiwa kupandwa katika ardhi hiyo,
mwenye kati ya umri wa miaka ishirini na miaka
sitini atakombolewa kwa shekeli hamsini a za b4 Shekeli thelathini za fedha ni sawa na gramu 360.
fedha kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, c5 Shekeli ishirini za fedha ni sawa na gramu 240.
4ikiwa ni mwanamke weka thamani yake kwa d5 Shekeli kumi za fedha ni sawa na gramu 120.
e6 Shekeli tano za fedha ni sawa na gramu 60.
f6 Shekeli tatu za fedha ni sawa na gramu 36.
g7 Shekeli kumi na tano za fedha ni sawa na gramu 180.
a3 Shekeli hamsini za fedha ni sawa na gramu 600.
29
MAMBO YA WALAWI
homeri moja hya mbegu za shayiri kwa shekeli 31Kama mtu akikomboa cho chote cha zaka
hamsini i za fedha. 17Kama akiweka shamba yake, lazima aongeze sehemu moja ya tano ya
lake wakfu katika mwaka wa Yubile, ile thamani thamani yake. 32Zaka yote ya kundi la ng'ombe
iliyokwisha wekwa itakuwa iyo hiyo. 18Lakini au la kondoo na mbuzi kila mnyama wa kumi
kama akiweka shamba lake wakfu baada ya apitaye chini ya fimbo ya yule awachungaye,
Yubile, kuhani ataweka thamani kulingana na atakuwa mtakatifu kwa BWANA. 33Yule
idadi ya miaka iliyobaki kufikia mwaka unaofuata mnyama wa kumi hatachaguliwa kwa kigezo cha
wa Yubile na thamani yake iliyoamuliwa uzuri au ubaya, naye haruhusiwi kubadiliwa.
itapunguzwa. 19Kama mtu anayeweka wakfu Ikiwa atabadiliwa, basi mnyama yule wa kwanza
shamba anataka kulikomboa, lazima aongeze na huyo aliyebadiliwa wote watahesabiwa kuwa
sehemu moja ya tano ya thamani yake, nalo watakatifu na haiwezekani kuwakomboa.’ ’’
shamba litakuwa lake tena. 20Kama pengine,
halikomboi shamba, au kama ameliuza kwa mtu 34Haya ndiyo maagizo BWANA aliyompa
mwingine, kamwe haliwezi kukombolewa. Mose juu ya Mlima Sinai kwa ajili ya Waisraeli.
21Shamba litakapoachiwa mwaka wa Yubile,
30
Hesabu
Utangulizi
Kitabu hiki kimepata jina lake kutokana na matukio mawili ya kuwahesabu wana wa Israeli. La kwanza huko Sinai
katika mwaka wa pili baada ya kutoka Misri (sura ya kwanza) na la pili huko Yordani katika mwaka wa arobaini
(sura ya ishirini na sita). Jina la kitabu hiki kwa Kiebrania, “Bemidbar,” ambalo maaana yake ni “Huko jangwani,”
linaelekea kueleza zaidi yale yaliyomo.
Kitabu hiki kinaweza kugawanywa katika sehemu tatu kuu.
1. Sehemu hii ya kwanza ya kitabu hiki(1:1-10:10) inashughulika na Waisraeli wakiwa wamepiga kambi huko
Mlima Sinai. Sehemu hii ya kwanza inazungumzia kuhusu wana wa Israeli ule mwaka mmoja walipokuwa
wamepiga hema chini ya Mlima Sinai.
2. Maelezo ya safari ya wana wa Israeli tangu Sinai (10:11-21:35)kuelekea mashariki mwa Bahari ya
Chumvi(Bahari Mfu),kutekwa kwa nchi zilizoko mashariki mwa ukingo wa Yordani. Sehemu hii ya pili
inazungumza juu ya safari ya wana wa Israeli kutoka Mlima Sinai mpaka kufika upande wa mashariki wa
Bahari ya Chumvi (Bahari Mfu).
3. Sehemu hii ya mwisho ya kitabu hiki, inahusu maelekezo waliyopewa Wana wa Israeli wakiwa huko Shitimu
mkabala na Yeriko katika maandalizi ya kuingia na kuiteka Kanaani. Sehemu hii ya tatu(22:1-36:13) ni juu ya
maandalizi ya kuingia, kuishinda Kanaani na jinsi ya kuigawanya nchi.
Wazo Kuu
Kitabu hiki kinaeleza juu ya utunzaji na uongozi wa Mungu, uvumilivu Wake, uasi wa watu wa Mungu na matokeo
yake.Jambo moja lililokuwa dhahiri na ambalo limerudiwa mara kwa mara katika kitabu chote ni jinsi mkono wa
Mungu ulivyokuwa pamoja na wana wa Israeli saa zote ili kuwahudumia na kuwapatia mahitaji yao. Kwa miujiza
Mungu aliwapatia mana, maji na kware kwa miaka arobaini kule jangwani zaidi ya wanaume 603,550 wawezao
kwenda vitani pamoja na wanawake na watoto. Walawi hawakuhesabiwa katika idadi hiyo kwani Mungu alikuwa
amemwagiza Mose asiwahesabu(2:32-33).
Wahusika Wakuu
Mose, Aroni, Miriamu, Yoshua, Kalebu, Eleazari, Kora, Balaamu na Balaki.
Mahali
Katika jangwa la Sinai kwenye nyanda za Moabu, karibu Yeriko mashariki ya nchi ya Kanaani.
Mwandishi
Mose.Kwa kuwa Hesabu ni mojawapo ya vile vitabu vitano vya kwanza vya Biblia, basi mwandishi ni Mose.
Tarehe
Muda mfupi tu kabla ya kuingia Kanaani.
Mgawanyo
• Maelezo ya kupiga hema na kuendelea na safari. (1:1-10:10)
• Kutoka Sinai mpaka nchi tambarare ya Moabu. (10:11-21:35)
• Balaamu, Balaki na Israeli. (22:1-25 :18)
• Maelekezo juu ya kuishinda na kuitwaa nchi ya Kanaani. (26:1-36:13)
1
HESABU
BWANA alisema na Mose katika Jangwa kwanza wa kiume wa Israeli:
1 la Sinai, katika Hema la Mkutano, siku ya Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini
kwanza ya mwezi wa pili, katika mwaka wa pili au zaidi ambao waliweza kutumika katika
baada ya Waisraeli kutoka nchi ya Misri, jeshi waliorodheshwa kwa majina, mmoja
akamwambia: 2“Hesabu watu wa jumuiya yote mmoja kufuatana na kumbukumbu za koo
ya Waisraeli kwa kufuata koo zao na jaama zao, zao na jamaa zao. 21Idadi kutoka kabila la
ukiorodhesha kila mwanaume kwa jina lake, Reubeni ilikuwa watu 46,500.
mmoja mmoja. 3Wewe na Aroni mtawahesabu
kwa migawanyo yao wanaume wote katika 22Kutokawazao wa Simeoni:
Israeli wenye miaka ishirini na kuendelea ambao Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini
wanaweza kutumika katika jeshi. 4Mwanaume au zaidi ambao waliweza kutumika katika
mmoja kutoka kila kabila, kila aliye kiongozi wa jeshi walihesabiwa na kuorodheshwa kwa
jamaa yake atawasaidia. 5Haya ndiyo majina ya majina, mmoja mmoja kufuatana na
wanaume watakaowasaidia: kumbukumbu za koo zao na jamaa zao.
23Idadi kutoka kabila la Simeoni walikuwa
Gideoni, 74,600.
12kutoka Dani, ni Ahiezeri mwana wa
2
HESABU
au zaidi ambao waliweza kutumika katika 603,550.
jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana 47Hata hivyo jamaa ya kabila la Lawi
Israeli kila mmoja akiwakilisha jamaa yake. katika kambi ya Yuda kufuatana na makundi
45Wanaume wote Waisraeli waliokuwa na miaka yao, walikuwa watu 186,400. Wao
ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika watatangulia kwanza kuondoka.
jeshi la Israeli, walihesabiwa kufuatana na
jamaa zao. 46Jumla ya hesabu yao ilikuwa watu 10Kwa upande wa kusini kutakuwa
3
HESABU
kambi ya makundi ya Reubeni chini ya katika kambi ya Dani walikuwa 157,600.
alama yao. Kiongozi wa watu wa Reubeni ni Wao watakuwa wa mwisho kuondoka chini
Elisuri mwana wa Shedeuri. 11Kundi lake ya alama yao.
lina watu 46,500.
12Kabila la Simeoni watapiga kambi 32Hawa ndio Waisraeli waliohesabiwa
karibu na Reubeni. Kiongozi wa watu wa kwa kufuatana na jamaa zao. Wote wale
Simeoni ni Shelumieli mwana wa waliokuwa kambini kwa makundi yao ni
Surishadai. 13Kundi lake lina watu 59,300. watu 603,550. 33Hata hivyo, Walawi
14Kabila la Gadi litafuata. Kiongozi wa hawakuhesabiwa pamoja na Waisraeli
watu wa Gadi ni Eliasafu mwana wa Deueli. wengine, kama BWANA alivyomwagiza
15Kundi lake lina watu 45,650. Mose.
16Wanaume wote waliohesabiwa kuwa
katika kambi ya Reubeni kufuatana na 34Kwa hiyo Waisreli wakafanya kila kitu
makundi yao, walikuwa watu 151,450. Nao BWANA alichomwamuru Mose, hivyo ndivyo
watakuwa nafasi ya pili kuondoka. walivyopiga kambi chini ya alama zao, pia hivyo
ndivyo walivyoondoka, kila mmoja akiwa na
17Kisha Hema la Mkutano na kambi ya ukoo wake na jamaa yake.
Walawi vitakuwa katikati ya kambi zote.
Wao watasafiri kwa utaratibu ule ule kama Walawi
walivyopiga kambi, kila mmoja mahali pake
mwenyewe chini ya alama yake. 3 Hii ni hesabu ya jamaa ya Aroni na Mose
kwa wakati ule BWANA alipozungumza na
Mose, katika Mlima Sinai.
18Upande wa magharibi kutakuwepo na 2Majina ya wana wa Aroni yalikuwa: Nadabu
kambi ya makundi ya Efraimu chini ya mzaliwa wa kwanza, Abihu, Eleazari na
alama yao. Kiongozi wa watu wa Efraimu ni Ithamari. 3Hayo yalikuwa majina ya wana wa
Elishama mwana wa Amihudi. 19Kundi lake Aroni, makuhani wapakwa mafuta, ambao
lina watu 40,500. walikuwa wamesimikwa kuhudumu kama
20Kabila la Manase litafuata baada ya
makuhani. 4Hata hivyo, Nadabu na Abihu,
Efraimu. Kiongozi wa watu wa Manase ni walikufa mbele za BWANA wakati walipotoa
Gamalieli mwana wa Pedasuri. 21Kundi lake sadaka kwa moto usioruhusiwa mbele zake
lina watu 32,200. katika Jangwa la Sinai. Hawakuwa na wana,
22Kabila la Benyamini litafuata baada ya
kwa hiyo Eleazari na Ithamari peke yao
Manase. Kiongozi wa watu wa Benyamini ni walihudumu kama makuhani wakati wote wa
Abidani mwana wa Gideoni. 23Kundi lake maisha ya Aroni baba yao.
lina watu 35,400. 5BWANA akamwambia Mose, 6“Walete watu
24Wanaume wote waliohesabiwa kuwa
wa kabila la Lawi mbele ya Aroni kuhani ili
katika kambi ya Efraimu kufuatana na wamsaidie. 7Watafanya huduma kwa ajili yake
makundi yao walikuwa watu 108,100. Nao na kwa jumuiya yote katika Hema la Mkutano
watakuwa nafasi ya tatu kuondoka. kwa kufanya kazi za maskani ya BWANA.
8Watatunza samani zote za Hema la Mkutano,
25Upande wa Kaskazini kutakuwa na wakitimiza wajibu wa kuhudumia Waisraeli kwa
makundi ya kambi ya Dani, chini ya alama kufanya kazi ya maskani ya BWANA.
yao. Kiongozi wa watu wa Dani ni Ahiezeri 9Wakabidhi Walawi kwa Aroni na wanawe, hao
mwana wa Amishadai. 26Kundi lake lina ndio Waisraeli ambao wanakabidhiwa kabisa
watu 62,700. kwake. 10Waweke Aroni na wanawe kuhudumu
27Kabila la Asheri watapiga kambi karibu
kama makuhani, mtu mwingine ye yote
na Dani. Kiongozi wa watu wa Asheri ni atakayesogelea mahali patakatifu ni lazima
Pagieli mwana wa Okrani. 28Kundi lake lina auawe.”
watu 41,500. 11BWANA akamwambia Mose,
29Kabila la Naftali litafuata. Kiongozi wa 12“Nimewatwaa Walawi kutoka miongoni mwa
watu wa Naftali ni Ahira mwana wa Enani. Waisraeli badala ya mzaliwa wa kwanza wa
30Kundi lake lina watu 53,400.
kiume wa kila mwanamke wa Mwisraeli. Walawi
31Wanaume wote waliohesabiwa kuwa
ni wangu, 13kwa kuwa wazaliwa wote wa
4
HESABU
kwanza ni wangu. Nilipowaua wazaliwa wa kila kitu kinachohusika na matumizi yake.
kwanza huko Misri, nilimtenga kila mzaliwa wa 32Kiongozi mkuu wa Walawi alikuwa Eliazari
kwanza katika Israeli awe wangu, akiwa mwana wa kuhani Aroni. Aliwekwa juu ya wale
mwanadamu au mnyama. Watakuwa wangu. waliowajibika kutunza mahali patakatifu.
Mimi ndimi BWANA.’’
14BWANA akamwambia Mose katika 33Kwa Merari kulikuwa na koo za Wamahli
Jangwa la Sinai, 15“Wahesabu Walawi kwa na Wamushi, hizi zilikuwa koo za Merari.
jamaa zao na koo zao. Mhesabu kila 34Hesabu ya waume wote wenye umri wa
mwanaume mwenye umri wa mwezi mmoja au mwaka mmoja au zaidi waliohesabiwa walikuwa
zaidi.’’ 16Kwa hiyo Mose akawahesabu, kama 6,200. 35Kiongozi wa jamaa za koo za Wamerari
alivyoamriwa na neno la BWANA. alikuwa Surieli mwana wa Abihaili, hawa
17Haya yalikuwa majina ya wana wa Lawi: walitakiwa kuweka kambi zao upande wa
Gershoni, Kohathi na Merari kaskazini mwa maskani ya BWANA. 36Wamerari
18Haya ndiyo yaliyokuwa majina ya koo za waliwekwa kutunza miimo ya maskani ya
Wagershoni: BWANA, mataruma yake, nguzo, vitako na vifaa
Libni na Shimei vyake vyote na kila kitu kilichohusika na
19Koo za Wakohathi ni: matumizi yake. 37Pia nguzo za ua unaozunguka
Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli pamoja na vitako vyake, vigingi vya hema na
20Koo za Wamerari zilikuwa ni: kamba zake.
Mahli na Mushi.
Hizi ndizo zilizokuwa koo za Walawi 38Mose, Aroni na wanawe walitakiwa
kufuatana na jamaa zao. kuweka kambi zao mashariki mwa maskani ya
BWANA kuelekea maawio ya jua, mbele ya
21Kulikuwa na koo za Walibni na Washimei Hema la Mkutano. Wao walihusika na utunzaji
kwa Gershoni, hizi ndizo zilizokuwa koo za wa mahali patakatifu kwa niaba ya Waisraeli.
Wagershoni. 22Idadi ya waume wote waliokuwa Mtu mwingine ye yote aliyepasogelea mahali
na mwezi mmoja au zaidi waliohesabiwa patakatifu angeuawa.
walikuwa 7,500. 23Ukoo wa Wagershoni
walitakiwa kuweka kambi zao upande wa 39Jumla ya hesabu ya Walawi
magharibi, nyuma ya maskani ya BWANA. waliohesabiwa na Mose na Aroni kwa amri ya
24Kiongozi wa jamaa za Wagershoni alikuwa BWANA, kufuatana na koo, pamoja na kila
Eliasafu mwana wa Laeli. 25Katika Hema la mwanaume mwenye mwezi mmoja au zaidi
Mkutano, Wagershoni walikuwa na wajibu wa walikuwa 22,000.
kutunza maskani ya BWANA na hema, vifuniko
vyake, pazia katika mlango wa kuingilia ndani ya 40BWANA akamwambia Mose, ‘‘Wahesabu
Hema la Mkutano, 26mapazia ya ua wazaliwa wa kwanza wa kiume wote wa
unaozunguka maskani ya BWANA na Waisraeli wenye umri wa mwezi mmoja au zaidi
madhabahu, pamoja na kamba, yaani kila na uorodheshe majina yao. 41Nitwalie Walawi
kinachohusika kwa matumizi yake. badala ya wazaliwa wa kwanza wa Waisraeli,
nayo mifugo ya Walawi badala ya wazaliwa wa
27Kwa Kohathi kulikuwepo koo za mifugo ya Waisraeli. Mimi ndimi BWANA.’’
Waamrami, Waishari, Wahebroni na Wauzieli, 42Hivyo Mose akawahesabu wazaliwa wa
hizi ndizo zilizokuwa koo za Wakohathi. kwanza wote wa Waisraeli, kama BWANA
28Hesabu ya wanaume wote wenye mwezi alivyomwamuru. 43Jumla ya hesabu ya
mmoja au zaidi ilikuwa watu 8,600. Wakohathi wazaliwa wa kwanza waume wenye umri wa
waliwajibika kutunza mahali patakatifu. 29Koo za mwezi mmoja au zaidi, walioorodheshwa kwa
Wakohathi zilitakiwa kuweka kambi zao upande majina walikuwa 22,273.
wa kusini wa maskani ya BWANA. 30Kiongozi 44BWANA akamwambia Mose, 45‘‘Watwae
wa jamaa za koo za Wakohathi alikuwa Elisafani Walawi badala ya wazaliwa wa kwanza wote wa
mwana wa Uzieli. 31Waliwajibika kutunza Israeli, nayo mifugo ya Walawi badala ya mifugo
sanduku la agano, meza, kinara cha taa, yao. Walawi watakuwa wangu. Mimi ndimi
madhabahu, na vile vyombo vya mahali BWANA. 46Ili kukomboa wazao wa kwanza 273
patakatifu vinavyotumika kuhudumu, pazia na wa Waisraeli ambao wamezidi hesabu ya
5
HESABU
Walawi, 47kusanya shekeli tano a
kwa kila 11“Juu ya madhabahu ya dhahabu
mmoja, kufuatana na shekeli ya mahali watatandaza kitambaa cha buluu na kukifunika
patakatifu, ambayo ina uzito wa gera ishirini b . kwa ngozi laini ya mnyama na kuweka mipiko
48Mpe Aron na wanawe hizo fedha kwa ajili ya yake mahali pake.
ukombozi wa idadi ya Waisraeli waliozidi.’’ 12“Watavichukua vyombo vyote
49Kwa hiyo Mose akakusanya fedha za vinavyotumika kuhudumia mahali patakatifu,
ukombozi kutoka kwa wale ambao hesabu yao watavisokotea kwenye kitambaa cha buluu na
ilizidi wale waliokombolewa na Walawi. kufunika kwa ngozi laini ya mnyama na
50Kutokana na wazaliwa wa kwanza wa kuviweka juu ya miti ya kuchukulia.
Waisraeli alikusanya fedha yenye uzito wa 13“Wataondoa majivu kutoka katika
shekeli 1,365 c kufuatana na shekeli ya mahali madhabahu ya shaba na kutandaza kitambaa
patakatifu. 51Mose akampa Aroni na wanawe ile cha zambarau juu yake. 14Kisha wataweka
fedha ya ukombozi, kama alivyoamuriwa na vyombo vyote juu yake vinavyotumika kwa
neno la BWANA. kuhudumia madhabahuni pamoja na vyombo
vya kutolea moto, nyuma, miiko na mabakuli ya
Wakohathi kunyunyizia juu yake watatandaza ngozi laini ya
mnyama ya kufunika na kuweka mipiko mahali
4 BWANA akawaambia Mose na Aroni,
2“Wahesabu Wakohathi walio sehemu ya pake.
15“Baada ya Aroni na wanawe kumaliza kazi
Walawi kwa koo zao na jamaa zao. 3Wahesabu
wanaume wote wenye umri wa miaka thelathini ya kufunika samani takatifu na vyombo vyake
hadi hamsini wanaokuja kutumika katika kazi ya vyote, watu watakapokuwa tayari kung’oa
Hema la Mkutano. kambi, Wakohathi watakuja kufanya kazi ya
4“Hii ndiyo kazi ya Wakohathi katika Hema kubeba. Lakini wasije wakagusa vitu vitakatifu la
la Mkutano: Watatunza vitu vilivyo vitakatifu sivyo watakufa. Wakohathi ndio watakaobeba
sana. 5Wakati kambi inapohamishwa, Aroni na vile vitu vilivyomo katika Hema la Mkutano.
16‘‘Eleazari mwana wa Aroni kuhani ndiye
wanawe wataingia ndani na kushusha lile pazia
la kuzuilia na kufunika nalo sanduku la atakayesimamia mafuta kwa ajili ya taa, uvumba
Ushuhuda. 6Kisha watafunika juu yake na ngozi wenye harufu nzuri, sadaka za kila siku za
ya mnyama a na kutandaza juu yake kitambaa nafaka na mafuta ya upako. Ndiye atakayekuwa
cha rangi ya buluu iliyokolea na kuingiza mipiko msimamizi wa maskani yote ya BWANA na kila
mahali pake. kitu kilichomo ndani mwake pamoja na samani
7“Juu ya meza ya mikate ya Wonyesho takatifu na vyombo vyake.’’
17BWANA akawaambia Mose na Aroni,
watatandaza kitambaa cha buluu na waweke
18‘‘Hakikisheni kwamba koo za kabila la
sahani juu yake, masinia, bakuli na magudulia
kwa ajili ya sadaka za kinywaji; mkate ule Wakohathi hawatengwi kutoka Walawi. 19Ili
ambao upo hapa daima utabaki juu yake. 8Juu wapate kuishi wala wasife wanapokaribia vitu
ya hivyo vitu watatandaza kitambaa chekundu vitakatifu sana, uwafanyie hivi: Aroni na wanawe
na kufunika kwa ngozi laini ya mnyama na watakwenda mahali patakatifu na kumgawia kila
kuweka mipiko yake mahali pake. mtu kazi yake na kwamba ni nini
9“Watachukua kitambaa cha buluu na atakachochukua. 20Lakini Wakohathi
kufunika kinara cha taa kilicho kwa ajili ya nuru, hawaruhusiwi kuingia ndani ili kuangalia vitu
pamoja na taa zake, mikasi yake, sinia zake, vitakatifu, hata kwa kitambo kidogo, la sivyo
magudulia yake yote yaliyotumika kuwekea watakufa.’’
mafuta. 10Kisha watakisokotea pamoja na vifaa
vyake vyote katika ngozi laini ya mnyama na Wagershoni
21BWANA akamwambia Mose,
kukiweka kwenye jukwaa lake.
22‘‘Wahesabu pia Wagershoni kwa jamaa zao na
6
HESABU
Mkutano, kifuniko chake na kifuniko cha nje cha 42Wamerari walihesabiwa kwa koo zao na
ngozi laini ya mnyama, mapazia ya maingilio ya jamaa zao. 43Wanaume wote kuanzia umri wa
Hema la Mkutano, 26mapazia ya ua miaka thelathini hadi miaka hamsini ambao
unaozunguka maskani ya BWANA na walikuja kutumika katika Hema la mkutano,
madhabahu, pazia la maingilio, kamba na vifaa 44waliohesabiwa kwa koo zao walikuwa 3,200.
vyote vinavyotumika katika huduma yake. 45Hii ilikuwa ndiyo jumla ya wale wa koo za
utafanyika chini ya maelekezo ya Aroni na waliwahesabu Walawi wote kwa koo zao na
wanawe. Mtawapangia kama wajibu wao yote jamaa zao. 47Wanaume wote wenye umri
watakayoyafanya. 28Hii ndiyo huduma ya koo za kuanzia miaka thelathini hadi hamsini waliokuja
Wagershoni katika Hema la Mkutano. Wajibu kufanya kazi ya kuhudumu na kubeba Hema la
wao utakuwa chini ya maelekezo ya Ithamari Mkutano 48walikuwa watu 8,580. 49Kwa amri ya
mwana wa kuhani Aroni. BWANA kupitia Mose, kila mmoja aligawiwa kazi
yake na kuambiwa kitu cha kubeba.
Wamerari Hivyo ndivyo walivyohesabiwa kama
29“Wahesabu Wamerari kwa koo zao na BWANA alivyomwamuru Mose.
jamaa zao. 30Wahesabu wanaume wote kuanzia
umri wa miaka thelathini hadi hamsini ambao Utakaso wa Kambi
watakuja kutumika katika Hema la Mkutano.
31Huu ndio wajibu wao wanapofanya huduma 5 BWANA akamwambia Mose, 2‘‘Waamuru
Waisraeli kumtoa nje ya kambi mtu ye
katika Hema la Mkutano: Kubeba miimo ya yote ambaye ana ugonjwa wa ngozi
maskani yaBWANA, mataruma yake, nguzo na uambukizao a , au anayetokwa na majimaji ya
vitako, 32nguzo za ua unaozunguka pamoja na aina yo yote, au ambaye ni najisi kwa utaratibu
vitako vyake, vigingi vya hema, kamba, vifaa wa ibada kwa sababu ya maiti. 3Hii itakuwa ni
vyake vyote na kila kitu kinachohusiana na kwa wote,yaani, wanaume na wanawake,
matumizi yake. Kila mtu mpangie vitu maalum watoeni nje ya kambi ili wasije wakanajisi kambi
vya kubeba. 33Huu ndio utumishi wa koo za yao, ambamo ninaishi miongoni mwao.’’
Merari kama watakavyofanya kazi katika Hema 4Waisraeli wakafanya vile vile kama BWANA
7
HESABU
wakfu ni chake mwenyewe, lakini kile atoacho yaletayo laana na yaingie ndani ya mwili wako ili
kwa kuhani kitakuwa cha kuhani.’ ’’ tumbo lako livimbe na paja lako lipooze c .”
“ ‘Kisha mwanamke atasema, Amen. Iwe
Jaribio kwa Ajili ya Mwanamke hivyo.’ ’’
Asiyemwaminifu 23“ ‘Kuhani ataandika laana hizi kwenye
11Kisha BWANA akamwambia Mose, kitabu, kisha atazioshea laana hizo kwenye yale
12‘‘Nena na Waisraeli uwaambie: ‘Ikiwa mke wa maji machungu. 24Kuhani atamnywesha yule
mtu amepotoka na si mwaminifu kwa mumewe, mwanamke yale maji machungu yaletayo laana,
13kwa kukutana kimwili na mwanaume nayo maji haya yatamwingia na kumsababishia
mwingine, tendo hili likafichika kwa mumewe na maumivu makali. 25Kuhani atachukua sadaka ya
unajisi wake usigundulike (kwa kuwa hakuna nafaka kwa ajili ya wivu kutoka mikononi mwa
ushahidi dhidi yake naye hakukamatwa katika huyo mwanamke, naye ataipunga mbele za
tendo hilo,) 14nazo hisia za wivu zikamjia BWANA na kuileta madhabahuni. 26Kisha
mumewe na kumshuku mkewe, naye mke yule Kuhani atachota sadaka ya nafaka mkono
ni najisi, au mumewe ana wivu na akamshuku uliojaa kama sadaka ya ukumbusho na
ingawa si najisi, 15basi atampeleka mkewe kwa kuiteketeza juu ya madhabahu, baada ya hayo,
kuhani. Huyo mume itampasa apeleke pia atamtaka huyo mwanamke anywe yale maji.
sadaka ya unga wa shayiri kiasi cha sehemu 27Kama amejitia unajisi na kukosa uaminifu kwa
moja ya kumi ya efa b kwa niaba ya mkewe. mumewe, wakati anapotakiwa anywe maji yale
Huyo mwanaume kamwe asimimine mafuta juu yaletayo laana, yatamwingia na kusababisha
ya huo unga wala asiweke uvumba juu yake, maumivu makali, tumbo lake litavimba na paja
kwa sababu ni sadaka ya nafaka kwa ajili ya lake litapooza, naye atakuwa amelaaniwa
wivu, sadaka ya ukumbusho ili kukumbushia miongoni mwa watu wake. 28Hata hivyo, ikiwa
uovu. huyo mwanamke hakujitia unajisi, naye ni safi,
16“ ‘Kuhani atamleta huyo mwanamke na atasafishwa hatia na ataweza kuzaa watoto.
kumsimamisha mbele za BWANA. 17Kisha 29“ ‘Basi, hii ndiyo sheria ya wivu
mikononi mwake, ile sadaka ya nafaka kwa ajili mwanamke atayachukua matokeo ya dhambi
ya wivu, huku kuhani mwenyewe akishikilia yale yake.” ’
maji machungu yaletayo laana. 19Kisha kuhani
atamwapiza huyo mwanamke akimwambia, Mnadhiri
“Ikiwa hakuna mwanaume mwingine aliyekutana
kimwili nawe, wala hujapotoka na kuwa najisi
wakati ukiwa umeolewa na mumeo, maji haya
6 BWANA akamwambia Mose, 2“Sema na
Waisraeli na uwaambie: ‘Ikiwa mwanaume
au mwanamke anataka kuweka nadhiri maalum,
machungu yaletayo laana na yasikudhuru. nadhiri ya kutengwa kwa ajili ya BWANA kama
20Lakini ikiwa umepotoka wakati ukiwa Mnadhiri, 3ni lazima ajitenge na mvinyo na
umeolewa na mume wako na umejinajisi kinywaji kingine cho chote chenye chachu na
mwenyewe kwa kukutana kimwili na kamwe asinywe siki itokanayo na mvinyo au
mwanaume mwingine asiyekuwa mumeo’’, itokanayo na kinywaji kingine chenye chachu.
21hapa kuhani atamweka huyo mwanamke chini
Kamwe asinywe maji ya zabibu wala kula zabibu
ya laana ya kiapo akisema, “BWANA na mbichi au kavu. 4Kwa muda wote atakaokuwa
awafanye watu wako wakulaani na kukukataa, mnadhiri, kamwe hatakula cho chote
wakati BWANA atakapolifanya paja lako kitokanacho na mzabibu, sio mbegu wala
kupooza na tumbo lako kuvimba. 22Maji haya maganda.
cha kujitenga kwa ajili ya BWANA hatakaribia zake za kujitenga kwake, kuhani atampa
maiti. 7Hata kama baba yake mwenyewe au mikononi mwake bega la kondoo mume
mama au kaka au dada akifa, hatajinajisi lililochemshwa, andazi na mkate mwembamba
mwenyewe kwa taratibu za ibada kwa ajili yao kutoka kwenye kikapu, vyote vikiwa
kwa sababu ishara ya kujiweka wakfu kwake vimetengenezwa bila kuwekwa chachu. 20Kisha
kwa Mungu ipo katika kichwa chake. 8Kwa kuhani atavipunga mbele za BWANA kama
kipindi chote cha kujitenga kwake yeye ni wakfu sadaka ya kupunga, ni vitakatifu na ni mali ya
kwa BWANA. kuhani, pamoja na kile kidari kilichopungwa na
9“ ‘Kama mtu ye yote akifa ghafula karibu lile paja lililotolewa. Baada ya hayo, Mnadhiri
naye, atakuwa ametiwa unajisi nywele zake anaweza kunywa divai.
alizoziweka wakfu, hivyo ni lazima anyoe nywele 21“ ‘Hii ndiyo sheria ya Mnadhiri ambaye
zake, siku ya utakaso wake, yaani siku ya saba. anaweka nadhiri kwa matoleo yake kwa BWANA
10Kisha siku ya nane ni lazima alete hua wawili kufuatana na kujitenga kwake, zaidi ya cho
au makinda mawili ya njiwa kwa kuhani katika chote kile anachoweza kupata. Ni lazima atimize
mlango wa Hema la Mkutano. 11 Kuhani atatoa nadhiri aliyoiweka kufuatana na sheria ya
mmoja kama sadaka ya dhambi na mwingine Mnadhiri.’ ’’
kama sadaka ya kuteketezwa ili kufanya
upatanisho kwa ajili yake kwa sababu ametenda Baraka ya Kikuhani
dhambi kwa kuwepo mbele ya maiti. Siku iyo 22BWANA akamwambia Mose, 23“Mwambie
hiyo atakiweka wakfu kichwa chake. 12 Ni Aroni na wanawe, ‘Hivi ndivyo mtakavyowabariki
lazima ajitoe kabisa kwa BWANA kwa kipindi Waisraeli. Waambieni:
cha kujitenga kwake na ni lazima atoe mwana-
kondoo wa mwaka mmoja kama sadaka ya 24‘“BWANA akubariki
hatia. Siku zilizopita hazitahesabiwa kwa na kukulinda,
sababu alijitia unajisi katika siku zake za 25BWANA akuangazie nuru ya uso wake
kujitenga. na kukufadhili,
13“ ‘Basi hii ndiyo sheria kwa ajili ya Mnadhiri 26BWANA akugeuzie uso wake
9
HESABU
4BWANA akamwambia Mose, 5“Vikubali
vitu kiongozi wa kabila la Isakari, alileta sadaka
hivi kutoka kwao, ili viweze kutumika katika kazi yake. 19Sadaka aliyoleta ilikuwa sahani
kwenye Hema la Mkutano. Wapatie Walawi moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130 d
kama kazi ya kila mtu itakavyohitaji.’’ na bakuli la fedha la kunyunyizia lenye uzito
6Hivyo Mose akachukua yale magari ya wa shekeli sabini vyote kulingana na shekeli
kukokotwa pamoja na maksai na kuwapa ya mahali patakatifu, kila kimoja kikawa
Walawi. 7Aliwapa Wagershoni magari mawili ya kimejazwa unga laini uliochanganywa na
kukokotwa na maksai wanne, kama walivyohitaji la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi
kwa kazi yao,8pia aliwapa Wamerari magari likiwa limejazwa uvumba, 21fahali mmoja
manne ya kukokotwa na maksai wanane, kama mchanga, kondoo mume mmoja na mwana-
kazi yao ilivyohitaji. Wote walikuwa chini ya kondoo mume mmoja wa mwaka mmoja,
maelekezo ya Ithamari mwana wa kuhani Aroni. kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, 22mbuzi
9Lakini Mose hakuwapa Wakohathi cho chote mume mmoja kwa ajili ya sadaka ya
kati ya hivyo, kwa sababu walitakiwa kubeba dhambi, 23maksai wawili, kondoo waume
vitu vitakatifu mabegani mwao, kwa kuwa watano, mbuzi waume watano na wana-
walikuwa wanawajibika. kondoo waume watano wa mwaka mmoja,
10Wakati madhabahu ilipotiwa mafuta, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani.
viongozi walileta sadaka zao kwa ajili ya kule Hii ilikuwa ndiyo sadaka ya Nethaneli
kuwekwa wakfu kwake na kuziweka mbele ya mwana wa Suari.
madhabahu. 11Kwa maana BWANA alikuwa
amemwambia Mose, “Kila siku kiongozi mmoja 24Siku ya tatu, Eliabu mwana wa Heloni,
ataleta sadaka yake ili kuwekwa wakfu kiongozi wa kabila la Zabuloni, alileta sadaka
madhabahu.’’ yake.
25Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha
12Yule ambaye alileta sadaka yake siku ya yenye uzito wa shekeli 130 e na bakuli moja
kwanza alikuwa Nashoni mwana wa Aminadabu la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa
wa kabila la Yuda. shekeli sabini f , vyote kulingana na shekeli
13Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya ya mahali patakatifu, kila kimoja kikiwa
fedha yenye uzito wa shekeli 130 a , bakuli kimejazwa unga laini uliochanganywa na
moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa mafuta kama sadaka ya nafaka, 26sinia moja
shekeli sabini b vyote kulingana na shekeli la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi g ,
ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga likiwa limejazwa uvumba, 27fahali mmoja
laini uliochanganywa na mafuta kama mchanga, kondoo mume mmoja na mwana-
sadaka ya nafaka, 14sinia moja la dhahabu kondoo wa mwaka mmoja, kwa ajili ya
lenye uzito wa shekeli kumi c , lililojazwa sadaka ya kuteketezwa, 28mbuzi mume
uvumba, 15fahali mmoja mchanga, kondoo mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi,
mume mmoja na mwana-kondoo mume 29maksai wawili, kondoo waume
mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya watano, mbuzi waume watano na wana-
sadaka ya kuteketezwa, 16mbuzi mume kondoo waume watano wa mwaka mmoja,
mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya
17maksai wawili, kondoo waume watano, amani. Hii ilikuwa ndiyo sadaka ya Eliabu
mbuzi waume watano na wana-kondoo mwana wa Heloni.
waume watano wa mwaka mmoja, ili
vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii 30Siku ya nne Elisuri mwana wa Shedeuri,
ilikuwa ndiyo sadaka ya Nashoni mwana wa kiongozi wa kabila la Reubeni alileta sadaka
Aminadabu. yake.
mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka yenye uzito wa shekeli 130 na bakuli moja la
ya amani. Hii ilikuwa ndiyo sadaka ya Elisuri fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli
mwana wa Shedeuri. sabini vyote kulingana na shekeli ya mahali
patakatifu, kila kimoja kikiwa kimejazwa
36Siku ya tano Shelumieli mwana wa Surishadai, unga laini uliochanganywa na mafuta kama
kiongozi wa watu wa Simeoni, alileta sadaka sadaka ya nafaka, 50sinia moja la dhahabu
yake. lenye uzito wa shekeli kumi, lililojazwa
37Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha uvumba, 51fahali mmoja mchanga, kondoo
yenye uzito wa shekeli 130 na bakuli moja la mume mmoja na mwana-kondoo mume
fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya
sabini, vyote kwa kulingana na shekeli ya sadaka ya kuteketezwa, 52mbuzi mume
mahali patakatifu, kila kimoja kikiwa mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi,
kimejazwa unga laini uliochanganywa na 53maksai wawili, kondoo waume watano,
mafuta kama sadaka ya nafaka, 38sinia moja mbuzi waume watano, na wana-kondoo
la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi waume watano wa mwaka mmoja, ili
likiwa limejazwa uvumba, 39fahali mmoja vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii
mchanga, kondoo mume mmoja na mwana- ilikuwa ndiyo sadaka ya Elishama mwana
kondoo mume mmoja wa mwaka mmoja, wa Amihudi.
kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, 40mbuzi
mume mmoja kwa ajili ya sadaka ya 54Siku ya nane Gamalieli mwana wa Pedasuri,
dhambi, 41pamoja na maksai wawili, kondoo kiongozi wa watu wa Manase, alileta sadaka
waume watano, mbuzi waume watano na yake.
wana-kondoo waume watano wa mwaka 55Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha
mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya yenye uzito wa shekeli 130 h na bakuli moja
amani. Hii ilikuwa ndiyo sadaka ya la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa
Shelumieli mwana wa Surishadai. shekeli sabini i , vyote kulingana na shekeli
ya mahali patakatifu, kila kimoja kikiwa
42Siku ya sita Eliasafu mwana wa Deueli, kimejazwa unga laini uliochanganywa na
kiongozi wa watu wa Gadi, akaleta sadaka yake. mafuta kama sadaka ya nafaka, 56sinia moja
43Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi j ,
yenye uzito wa shekeli 130 na bakuli moja la
fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli
sabini, vyote kwa kulingana na shekeli ya
mahali patakatifu, kila kimoja kikiwa h55 Shekeli 130 za fedha ni kama kilo 1.5 pia mstari 61,67,73 na
kimejazwa unga laini uliochanganywa na 79.
i55 Shekeli sabini za fedha ni kama gramu 800 (0.8kg) pia mstari
mafuta kama sadaka ya nafaka, 44sinia moja 61,67,73,na 79.
la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, j56 Shekeli kumi za dhahabu ni kama gramu 110 (0.11kg) pia
mstari 62,68,74 na 80
11
HESABU
lililojazwa uvumba,57fahali
mmoja mchanga, 71maksai wawili, kondoo waume watano,
kondoo mume mmoja na mwana-kondoo mbuzi waume watano na wana-kondoo
mume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya waume watano wa mwaka mmoja, ili
sadaka ya kuteketezwa, 58mbuzi mmoja vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii
mume kwa ajili ya sadaka ya dhambi, ilikuwa ndiyo sadaka ya Ahiezeri mwana wa
59maksai wawili, kondoo waume watano, Amishadai.
mbuzi waume watano na wana-kondoo
waume watano wa mwaka mmoja, ili 72Siku ya kumi na moja Pagieli mwana wa
vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii Okrani, kiongozi wa watu wa Asheri, alileta
ilikuwa ndiyo sadaka ya Gamalieli mwana sadaka yake.
wa Pedasuri. 73Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha
12
HESABU
na kielelezo ambacho BWANA alikuwa
84Hizizilikuwa ndizo sadaka za viongozi wa amemwonyesha Mose.
Israeli madhabahu ilipowekwa wakfu wakati
ilipotiwa mafuta, sahani kumi na mbili za fedha, Kutengwa Kwa Walawi Kwa Ajili Ya BWANA
bakuli kumi na mbili za fedha za kunyunyizia na 5BWANA akamwambia Mose: 6“Watwae
masinia kumi na mawili ya dhahabu. 85Kila Walawi kutoka miongoni mwa Waisraeli wengine
sahani ya fedha ilikuwa na uzito wa shekeli na uwatakase kwa kawaida ya ibada. 7Ili
130 k , na kila bakuli la fedha la kunyunyizia kuwatakasa fanya hivi: Nyunyizia maji ya
lilikuwa na uzito wa shekeli sabini l . Masinia kumi utakaso juu yao, kisha uwaambie wanyoe
na mawili yalikuwa na uzito wa shekeli 2,400 m nywele kwenye mwili mzima, wafue nguo zao na
kulingana na shekeli ya mahali patakatifu. hivyo wajitakase wenyewe. 8Waambie
86Sahani kumi na mbili za dhahabu zilizojazwa wamchukue fahali mchanga pamoja na sadaka
uvumba zilikuwa na uzito wa shekeli kumi n kila yake ya nafaka ya unga laini uliochanganywa na
moja kulingana na shekeli ya mahali patakatifu. mafuta, kisha utamchukua fahali mchanga wa
Zote kwa pamoja, sahani za dhahabu zilikuwa pili kwa ajili ya sadaka ya dhambi. 9Walete
na uzito wa shekeli 120 o . 87Jumla ya wanyama Walawi mbele ya Hema la Mkutano na
waliotolewa kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, ukusanye jumuiya yote ya Waisraeli.
walikuwa fahali kumi na wawili wachanga, 10Utawaleta Walawi mbele ya BWANA na
kondoo waume kumi na wawili, na wana-kondoo Waisraeli wataweka mikono yao juu ya Walawi.
waume kumi na wawili wa mwaka mmoja, 11Aroni atawaweka Walawi mbele ya BWANA
pamoja na sadaka zao za nafaka. Mbuzi waume kama sadaka ya kupunga kutoka kwa Waisraeli,
kumi na wawili walitolewa kwa ajili ya sadaka za ili kwamba wawe tayari kuifanya kazi ya
dhambi. 88Jumla ya wanyama kwa ajili ya BWANA.
dhabihu ya sadaka ya amani walikuwa maksai 12“Baada ya Walawi kuweka mikono yao juu
ishirini na wanne, kondoo waume sitini, mbuzi ya vichwa vya hao mafahali wawili, tumia mmoja
waume sitini na wana-kondoo waume wa kwa ajili ya sadaka ya dhambi kwa BWANA, na
mwaka mmoja sitini. Hizi zilikuwa ndizo sadaka mwingine kuwa sadaka ya kuteketezwa, ili
zilizoletwa kwa ajili ya kuwekwa wakfu kwa kufanya upatanisho kwa ajili ya Walawi.
madhabahu baada ya kutiwa mafuta. 13Waambie hao Walawi wasimame mbele ya
89Mose alipoingia kwenye Hema la Mkutano Aroni na wanawe kisha wawatoe kama sadaka
kuzungumza na BWANA, alisikia sauti ikisema ya kupunga kwa BWANA. 14Kwa njia hii utakuwa
naye kutoka kati ya wale makerubi wawili umewatenga Walawi kutoka Waisraeli wengine,
waliokuwa juu ya kile kiti cha rehema, juu ya nao Walawi watakuwa wangu.
sanduku la Ushuhuda. Mose akazungumza 15“Utakapokuwa umekwisha kuwatakasa
viongozi, yaani, wakuu wa koo za Israeli, ndio ya alama yao. Elishama mwana wa Amihudi
watakaokusanyika mbele yako. 5Wakati mlio wa alikuwa kiongozi wao. 23Gamalieli mwana wa
kujulisha hatari ukipigwa, makabila yaliyo na Pedasuri aliongoza kikosi cha kabila la Manase,
makambi upande wa mashariki yataondoka. 24naye Abidani mwana wa Gideoni alikuwa
6Ukisikika mlio wa pili wa jinsi hiyo, walioko kiongozi wa kikosi cha kabila la Benyamini.
kwenye makambi ya kusini wataondoka. Mlio 25Mwishowe, kama kikosi cha nyuma cha
huo wa kujulisha hatari utakuwa ishara ya ulinzi wa vikosi vyote, vikosi vya kambi ya Dani
kuondoka. 7Ili kukusanya kusanyiko, piga viliondoka chini ya alama yao. Ahiezeri mwana
tarumbeta zote, lakini siyo kwa mlio wa kujulisha wa Amishadai alikuwa kiongozi wao. 26Pagieli
hatari. mwana wa Okrani aliongoza kikosi cha kabila la
8“Wana wa Aroni, makuhani, ndio Asheri, 27naye Ahira mwana wa Enani aliongoza
watakaopiga hizo tarumbeta. Hili litakuwa agizo kikosi cha kabila la Naftali. 28Huu ulikuwa ndio
la kudumu kwa ajili yenu na kwa vizazi vijavyo. utaratibu wa kuondoka wa vikosi vya Waisraeli
9Wakati mtakapopigana vita katika nchi yenu walipokuwa wanaondoka.
wenyewe dhidi ya adui anayewaonea, piga 29Basi Mose akamwambia Hobabu mwana
tarumbeta kwa mlio wa kujulisha hatari. Ndipo wa Reueli Mmidiani, mkwewe Mose,
utakumbukwa na BWANA Mungu wenu na “Tunaondoka kwenda mahali ambapo BWANA
kuokolewa kutoka kwa adui zenu. 10Pia nyakati amesema ‘Nitawapa ninyi mahali hapo’. Twende
za furaha yenu, yaani sikukuu zenu zilizoamriwa pamoja nasi tutakutendea mema, kwa maana
na sikukuu za Mwezi Mwandamo, mtapiga BWANA ameahidi mambo mema kwa Israeli.”
tarumbeta juu ya sadaka zenu za kuteketezwa 30Akajibu, “Hapana, sitakwenda, nitarudi
na sadaka zenu za amani, nazo zitakuwa kwenye nchi yangu mwenyewe na watu wangu
ukumbusho kwa ajili yenu mbele za Mungu mwenyewe.”
wenu. Mimi ndimi BWANA, Mungu wenu.” 31Lakini Mose akasema, “Tafadhali
usituache. Wewe unajua mahali ambapo
Waisraeli Waondoka Sinai yatupasa kupiga kambi jangwani, nawe
11Katika siku ya ishirini ya mwezi wa pili wa unaweza kuwa macho yetu. 32Ikiwa utafuatana
mwaka wa pili, wingu liliinuka kutoka juu ya nasi, tutashirikiana nawe yale mema yo yote
maskani ya Ushuhuda. 12Ndipo Waisraeli tutakayopewa na BWANA.
wakaondoka kutoka Jangwa la Sinai wakasafiri 33Hivyo waliondoka kutoka mlima wa
kutoka sehemu moja hadi nyingine mpaka wingu BWANA nao wakasafiri kwa siku tatu. Sanduku
lilipotua katika Jangwa la Parani. 13Waliondoka la agano la BWANA liliwatangulia kwa zile siku
kwa mara ya kwanza kwa agizo la Mungu kupitia tatu ili kuwatafutia mahali pa kupumzika.
kwa Mose. 34Wingu la BWANA lilikuwa juu yao wakati wa
14Vikosi vya kambi ya Yuda vilitangulia mchana walipoondoka kambini.
kwanza chini ya alama yao, Nahshoni mwana 35Wakati wo wote sanduku lilipoondoka,
15
HESABU
“Ee BWANA, rudi, ni mzito sana kwangu. 15Kama hivi ndivyo
kwa maelfu ya Waisraeli unavyonitendea, uniue sasa hivi, kama
wasiohesabika.’’ nimepata kibali machoni pako, usiniache nione
maangamizi yangu mwenyewe.”
Moto Kutoka Kwa BWANA 16BWANA akamwambia Mose: “Niletee
wa usiku, pia mana ilianguka pamoja nao. BWANA ni mfupi sana? Sasa utaona kama
10Mose akasikia watu wa kila jamaa wakilia, jambo nililolisema halitatimizwa kwa ajili yako au
kila mmoja kwenye mlango wa hema lake. la.’’
BWANA akakasirika mno, naye Mose 24Kwa hiyo Mose akatoka na kuwaambia
akafadhaika. 11Akamwuliza BWANA, “Kwa nini watu lile ambalo BWANA alikuwa amesema.
umeleta taabu hii juu ya mtumishi wako? Akawakusanya wazee wao sabini
Nimekufanyia nini cha kukuchukiza hata akawasimamisha kuzunguka Hema. Kisha 25
ukaweka mzigo huu wa watu hao wote juu BWANA akashuka katika wingu na kunena na
yangu? 12Je! watu hawa wote mimi ndiye Mose, naye akachukua sehemu ya Roho
niliyewatungisha mimba? Je! ni mimi iliyokuwa juu ya Mose na kuiweka hiyo Roho juu
niliyewazaa? Kwa nini unaniambia niwachukue ya wale wazee sabini. Roho alishuka juu yao,
mikononi mwangu, kama vile mlezi abebavyo wakatabiri, lakini hawakufanya hivyo tena.
mtoto mchanga, hadi kwenye nchi uliyowaahidi 26Lakini, watu wawili, ambao majina yao ni
baba zao? 13Nitapata wapi nyama kwa ajili ya Eldadi na Medadi, walibaki kambini. Walikuwa
watu wote hawa? Wanaendelea kunililia wameorodheshwa miongoni mwa wale wazee
wakisema, ‘Tupe nyama tule!’ 14Mimi siwezi sabini, lakini hawakutoka kwenda kwenye
kuwabeba watu hawa wote peke yangu, mzigo Hema. Lakini Roho pia alishuka juu yao, nao
wakatabiri huko kambini. 27Mwanaume mmoja
a3 “Tabera’’ hapa maana yake “Kunaungua.” kijana alikimbia na kumwambia Mose, ‘‘Eldadi
16
HESABU
na Medadi wanatabiri Kambini.’’ wawili waliposogea mbele, 6BWANA akasema,
28Yoshua mwana wa Nuni, ambaye alikuwa “Sikilizeni maneno yangu:
msaidizi wa Mose tangu ujana wake, akajibu
akasema, ‘‘Mose bwana wangu, “Akiwapo nabii wa BWANA miongoni
wanyamazishe!’’ mwenu,
29Lakini Mose akajibu, ‘‘Je, unaona wivu ninajifunua kwake kwa maono,
kwa ajili yangu? Ningetamani watu wote wa ninanena naye katika ndoto.
BWANA wangekuwa manabii na kwamba 7Lakini sivyo kwa mtumishi wangu Mose,
BWANA angeweka Roho yake juu yao!’’ 30Ndipo yeye ni mwaminifu katika nyumba yangu
Mose na wale wazee wa Israeli wakarudi yote.
kambini. 8Kwake ninanena naye uso kwa uso,
kutwa na usiku kucha pamoja na siku nzima Hema, Miriamu akawa tayari ana ukoma,
iliyofuata watu walitoka kwenda kuokota kware. mweupe kama theluji. Aroni akamgeukia
Hakuna mtu ye yote aliyekusanya chini ya akaona ana ukoma, 11akamwambia Mose,
homeri kumi b . Kisha wakazianika kuzunguka “Tafadhali, bwana wangu, usituhesabie dhambi
kambi yote. 33Lakini wakati walipokuwa wakila hii ambayo tumeifanya kwa upumbavu.
nyama ingali bado kati ya meno yao na kabla 12Usimwache awe kama mtoto mchanga
hawajamaliza kula, hasira ya BWANA ikawaka aliyezaliwa akiwa mfu ambaye nusu ya mwili
dhidi ya watu, naye akawapiga kwa tauni. 34Kwa wake imeharibika hapo atokapo katika tumbo la
hiyo mahali hapo pakaitwa Kibroth-hataava c , mama yake.”
kwa sababu huko ndiko walipowazika watu 13Hivyo Mose akamlilia BWANA akisema,
mpaka Haaserothi na kukaa huko. yake angemtemea usoni, asingeona aibu kwa
siku saba? Mfungie nje ya kambi kwa siku
Miriamu na Aroni Wampinga Mose saba, baada ya hapo anaweza kurudishwa
kambini.” 15Kwa hiyo Miriamu akafungiwa nje ya
12 Miriamu na Aroni walianza kuzungumza
dhidi ya Mose kwa sababu ya mke kambi kwa siku saba na watu hawakuendelea
na safari mpaka aliporudishwa kambini.
wake Mkushi, kwa kuwa alikuwa ameoa Mkushi.
2Waliuliza, “Je, BWANA amesema kupitia Mose 16Baada ya hayo, watu waliondoka
peke yake?’’ ‘‘Je, hajasema kutupitia sisi pia?’’ Haserothi, wakapiga kambi katika Jangwa la
BWANA akasikia hili. Parani.
3(Basi Mose alikuwa mtu mnyenyekevu
17
HESABU
wa Zakuri, nchi.
5kutoka kabila la Simeoni, Shafati mwana
wa Hori, Taarifa juu ya Upelelezi
6kutoka kabila la Yuda, Kalebu mwana wa 26Wakarudi kwa Mose, Aroni na jumuiya
kutoka Jangwa la Sini hadi Rehobu, kuelekea tufe kwa upanga? Wake zetu na watoto wetu
Lebo Hamathi. 22Wakapanda kupitia Negebu watachukuliwa kama nyara. Je, isingekuwa bora
hadi wakafika Hebroni, mahali ambapo Ahimani, kwetu kurudi Misri?” 4Wakasemezana wao kwa
Sheshai na Talmai, wazao wa Anaki walipoishi. wao, “Inatupasa kumchagua kiongozi na kurudi
(Hebroni ulikuwa umejengwa miaka saba kabla Misri.’’
ya mji wa Soani ulioko Misri.) 23Walipofika katika 5Ndipo Mose na Aroni, wakaanguka
bonde la Eshkoli, walivunja tawi lililokuwa na kifudifudi mbele ya kusanyiko lote la Kiisraeli
kishada kimoja cha zabibu. Wawili wao lililokusanyika hapo. 6Yoshua mwana wa Nuni
wakalichukua lile tawi kwenye mti pamoja na na Kalebu mwana wa Yefune, waliokuwa
komamanga na tini. 24Eneo lile likaitwa Bonde la miongoni mwa watu wale waliokwenda
Eshkoli kwa sababu ya kile kishada cha zabibu kuipeleleza nchi, wakararua nguo zao,
ambacho Waisraeli walikikata huko. 25Mwishoni 7wakasema na kusanyiko lote la Kiisraeli
mwa siku arobaini wakarudi kutoka kuipeleleza wakawaambia, “Nchi tuliyopita katikati yake na
18
HESABU
kuipeleleza ni nzuri sana sana. 8Ikiwa BWANA mtumishi wangu Kalebu ana roho ya tofauti na
anapendezwa nasi, atatuongoza kuingia katika ananifuata kwa moyo wote, nitamwingiza katika
nchi ile, nchi itiririkayo maziwa na asali, naye nchi aliyoiendea, nao wazao wake watairithi.
atatupa nchi hiyo. 9Ila tu msimwasi BWANA. 25Kwa kuwa Waameleki na Wakanaani wanaishi
Wala msiwaogope watu wa nchi hiyo, kwa katika mabonde, kesho geukeni mwelekee
sababu tutawameza. Ulinzi wao umeondoka, jangwani kwa kufuata njia iendayo Bahari ya
lakini BWANA yupo pamoja nasi. Msiwaogope.’’ Shamu a .’’
10Lakini kusanyiko lote likazungumza juu ya 26BWANA akamwambia Mose na Aroni:
kuwapiga kwa mawe. Ndipo utukufu wa BWANA 27‘‘Jumuiya hii ovu itanung’unika dhidi yangu
ukaonekana katika Hema la Mkutano kwa hadi lini? Nimesikia malalamiko ya hawa
Waisreali wote. 11BWANA akamwambia Mose, Waisraeli wanaonung’unika. 28Hivyo waambie,
‘‘Watu hawa watanidharau mpaka lini? ‘Hakika kama niishivyo, asema
Wataendelea kukataa kuniamini mimi mpaka BWANA,nitawafanyia vitu vile vile nilivyosikia
lini, ingawa nimetenda ishara za miujiza mkisema: 29Kila mmoja wenu mwenye umri wa
miongoni mwao? 12Nitawapiga kwa tauni na miaka ishirini au zaidi ambaye alihesabiwa na
kuwaangamiza, lakini nitakufanya wewe kuwa ambaye amenung’unika dhidi yangu miili yenu
taifa kubwa lenye nguvu kuliko wao.’’ itaanguka katika jangwa hili. 30Hakuna hata
13Mose akamwambia BWANA, ‘‘Ndipo mmoja wenu atakayeingia katika nchi niliyoapa
Wamisri watasikia juu ya jambo hili! Kwa uweza kwa mkono ulioinuliwa kuwa makao yenu,
wako uliwapandisha watu hawa kutoka miongoni isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune na Yoshua
mwao. 14Nao watawaambia wenyeji wa nchi hii mwana wa Nuni. 31Lakini kwa watoto wenu
jambo hili. Wao tayari wameshasikia kwamba ambao mlisema watachukuliwa kama mateka,
wewe, Ee BWANA, upo pamoja na watu hawa, nitawaingiza humo ili waifurahie nchi ambayo
kuwa wewe, Ee BWANA, umeonekana uso kwa ninyi mmeikataa. 32Lakini ninyi, miili yenu
uso, nalo wingu lako hukaa juu yao, tena wewe, itaanguka katika jangwa hili. 33Watoto wenu
unawatangulia kwa nguzo ya wingu mchana na watakuwa wachungaji wa mifugo hapa kwa
kwa nguzo ya moto usiku. 15Ikiwa utawaua watu miaka arobaini, wakiteseka kwa ajili ya kukosa
hawa wote kwa mara moja, mataifa ambayo uaminifu kwenu, hadi mwili wa mtu wenu wa
yamesikia taarifa hii kukuhusu wewe watasema, mwisho ulale katika jangwa hili. 34Kwa miaka
16‘BWANA alishindwa kuwaingiza, watu hawa arobaini, mwaka mmoja kwa kila siku katika zile
katika nchi aliyowaahidi kwa kiapo, hivyo siku arobaini mlizoipeleleza nchi, mtateseka kwa
akawaua jangwani.’ ajili ya dhambi zenu na kujua jinsi ilivyo
17‘‘Basi sasa nguvu za Bwana na zionekane, kunifanya mimi kuwa adui yenu.’ 35Mimi,
sawasawa na vile ulivyosema, 18‘BWANA si BWANA nimesema, hakika nitafanya mambo
mwepesi wa hasira, ni mwingi wa upendo na haya kwa jumuiya hii yote ovu, ambayo
mwenye kusamehe dhambi na uasi. Lakini imefungamana pamoja dhidi yangu. Watakutana
haachi kumwadhibu mwenye hatia, huadhibu na mwisho wao katika jangwa hili, hapa ndipo
watoto kwa ajili ya dhambi ya baba zao hata watafia.’’
kizazi cha tatu na cha nne.’ 19Kwa kadri ya 36Hivyo watu wale ambao Mose alikuwa
upendo wako mkuu, usamehe dhambi ya watu amewatuma kuipeleleza nchi, waliorudi na
hawa, kama vile ulivyowasamehe tangu wakati kuifanya jumuiya nzima kunung’unika dhidi ya
walipotoka Misri mpaka sasa.’’ Mose kwa kueneza taarifa mbaya kuhusu hiyo
20BWANA akajibu, ‘‘Nimewasamehe, kama nchi, 37watu hawa waliohusika kueneza taarifa
ulivyoomba. 21Hata hivyo kwa hakika kama mbaya kuhusu hiyo nchi walipigwa na kuanguka
niishivyo na kwa hakika kama utukufu wa kwa tauni mbele za BWANA. 38Miongoni mwa
BWANA uijazavyo dunia yote, 22hakuna hata watu waliokwenda kuipeleleza hiyo nchi, ni
mmoja wa watu hawa, ambao waliuona utukufu Yoshua mwana wa Nuni na Kalebu mwana wa
wangu na ishara za miujiza niliyotenda huko Yefune peke yao waliosalia.
Misri na huko jangwani lakini ambaye hakunitii 39Mose alipotoa taarifa hii kwa Waisraeli
na akanijaribu mara hizi kumi, 23hakuna hata wote, waliomboleza kwa uchungu. 40Mapema
mmojawapo atakayeona nchi niliyowaahidi baba
zao kwa kiapo. Hakuna hata mmoja ambaye a25 Bahari ya Shamu hapa ina maana Bahari Nyekundu au “
amenidharau atakayeiona. 24Lakini kwa sababu Bahari ya Mafunjo.’’
19
HESABU
asubuhi siku iliyofuata walipanda juu kuelekea 10Pia utaleta nusu ya hini ya divai kama sadaka
kwenye nchi ya vilima virefu wakasema, ya kinywaji. Itakuwa sadaka iliyoteketezwa kwa
“Tumetenda dhambi, tutakwea mpaka mahali moto, harufu nzuri inayompendeza BWANA.
BWANA alipotuahidi.’’ 11Kila fahali au kondoo mume, kila mwana-
41Lakini Mose akasema, “Kwa nini hamtii kondoo au mbuzi mchanga, atatayarishwa kwa
amri ya BWANA? Jambo hili halitafanikiwa! njia hii. 12Fanyeni hivi kwa ajili ya kila mmoja,
42Msipande juu, kwa kuwa BWANA hayupo kwa kadri ya wingi wa mtakavyoandaa.
pamoja nanyi. Mtashindwa na adui zenu, 43Kwa 13“ ‘Kila mmoja ambaye ni mzawa ni lazima
kuwa Waameleki na Wakanaani watapambana afanye vitu hivi kwa njia hii hapo aletapo sadaka
nanyi huko. Kwa sababu mmemwacha BWANA, ya kuteketezwa kwa moto kama harufu nzuri
hatakuwa pamoja nanyi, ninyi mtaanguka kwa inayompendeza BWANA. 14Kwa vizazi vijavyo,
upanga.’’ wakati wo wote mgeni au mtu mwingine ye yote
44Hata hivyo, kwa kiburi chao walipanda juu anayeishi miongoni mwenu aletapo sadaka ya
kuelekea nchi ya vilima virefu, ijapokuwa Mose kuteketezwa kuwa harufu nzuri ya kumpendeza
hakutoka kambini wala sanduku la agano la BWANA, ni lazima afanye sawasawa kabisa na
BWANA. 45Ndipo Waameleki na Wakanaani jinsi mnavyofanya ninyi. 15Jumuiya itakuwa na
walioishi katika hiyo nchi ya vilima wakatelemka sheria hizo hizo kwenu na kwa mgeni aishiye
na kuwashambulia, wakawapiga njia yote hadi miongoni mwenu, hii ni amri ya kudumu kwa
Horma. vizazi vijavyo. Ninyi na mgeni mtakuwa sawa
mbele za BWANA: 16Sheria hizo hizo na
Sadaka za Nyongeza masharti hayo hayo, yatawahusu ninyi na mgeni
15 BWANA akamwambia Mose, 2“Sema
na Waisraeli uwaambie: ‘Baada ya ninyi
aishiye miongoni mwenu.’ ’’
17BWANA akamwambia Mose, 18“Sema na
kuingia katika nchi ninayowapa kama nyumbani, Waisraeli na uwaambie: ‘Mtakapoingia katika
3nanyi mkitoa sadaka za kuteketezwa kwa moto,
nchi ninayowapeleka 19nanyi mkala chakula cha
kutoka katika makundi ya ng’ombe au kondoo, nchi hiyo, toeni sehemu ya chakula hicho kama
kama harufu nzuri inayompendeza BWANA, sadaka kwa BWANA. 20Toeni andazi kutoka
ikiwa ni sadaka za kuteketezwa au dhabihu, kwa katika malimbuko ya chakula chenu kitokacho
ajili ya nadhiri maalum ama sadaka ya hiari au katika ardhi na mkitoe kama sadaka kutoka
sadaka ya sikukuu zenu, 4ndipo yeye aletaye katika sakafu ya kupuria nafaka. 21Kwa vizazi
sadaka yake ataiweka mbele za BWANA vyote vijavyo hamna budi kutoa sadaka hii kwa
sadaka ya nafaka moja ya kumi ya efa a ya unga BWANA kutoka katika malimbuko ya unga
laini uliochanganywa na robo ya hini b ya mafuta. wenu.
5Pamoja kila mwana-kondoo kwa ajili ya sadaka
ya kuteketezwa au dhabihu, andaa robo ya hini Sadaka kwa ajili ya Dhambi Isiyo ya
ya divai kwa sadaka ya kinywaji. Makusudi
6“ ‘Pamoja na kondoo mume andaa sadaka 22“ ‘Basi kama pasipo kukusudia
ya nafaka ya sehemu mbili za kumi za efa c za umeshindwa kushika mojawapo katika amri hizi
unga laini uliochanganywa na theluthi moja ya ambazo BWANA alimpa Mose, 23amri yo yote ya
hini d ya mafuta. 7Pamoja na theluthi moja ya hini BWANA kwenu kupitia Mose, tangu siku ile
ya divai kama sadaka ya kinywaji. Vitoe kama BWANA alipowapa na inaendelea hadi vizazi
harufu nzuri inayompendeza BWANA. vyote vijavyo, 24ikiwa hili limefanyika pasipo
8“ ‘Unapoandaa fahali mchanga kama
kukusudia bila jumuiya kuwa na habari nalo,
sadaka ya kuteketezwa au dhabihu, kwa ajili ya basi jumuiya yote itatoa fahali mchanga kuwa
nadhiri maalum au sadaka ya amani kwa sadaka ya kuteketezwa kuwa harufu nzuri
BWANA, 9leta pamoja na huyo fahali sadaka ya inayompendeza BWANA pamoja na
nafaka ya unga laini sehemu tatu za kumi za vilivyoamriwa, yaani sadaka ya nafaka na ya
efa e uliochanganywa na nusu ya hini f ya mafuta. kinywaji na mbuzi mume kwa ajili ya sadaka ya
dhambi. 25Kuhani atafanya upatanisho kwa ajili
a4 “Moja ya kumi ya efa” ni kipimo cha uzito sawa na kilo moja. ya jumuiya yote ya Kiisraeli, nao
b4 “Robo ya hini” ni kipimo cha ujazo sawa na “lita moja.’’ watasamehewa, kwa kuwa haikuwa makusudi
c6 “Sehemu mbili za kumi za efa” ni sawa na “kilo mbili.’’
d6 “Theluthi ya hini’’ ni sawa na “lita moja na nusu.’’
nao wamemletea BWANA kwa ajili ya kosa lao
e9 Sehemu tatu za kumi za efa ni sawa na kilo tatu. sadaka iliyoteketezwa kwa moto na sadaka ya
f9 Nusu ya hini ni lita mbili
20
HESABU
dhambi. 26Jumuiya yote ya Kiisraeli pamoja na Kora, Dathani na Abiramu
wageni waishio miongoni mwao watasamehewa,
kwa sababu watu wote walihusika katika kosa 16 Kora mwana wa Ishari mwana wa
Kohathi mwana wa Lawi, pamoja na
lile lisilokusudiwa. baadhi ya Wareubeni, yaani Dathani na
27“ ‘Lakini kama mtu mmoja peke yake Abiramu, wana wa Eliabu na Oni mwana wa
akitenda dhambi pasipo kukusudia, ni lazima Palethi, wakachukua baadhi ya watu,
alete mbuzi mke wa mwaka mmoja kwa ajili ya 2wakainuka dhidi ya Mose. Pamoja nao
umefanyika kwa ajili yake, atasamehewa. Aroni, wakawaambia, “Ninyi mmejitukuza sana!
29Sheria hiyo moja itamhusu kila mmoja ambaye Kusanyiko hili lote ni takatifu, kila mmoja wao,
ametenda dhambi pasipo kukusudia, awe naye BWANA yu pamoja nao. Kwa nini basi
mzawa ama mgeni. mmejitukuza wenyewe juu ya kusanyiko la
30“ ‘Lakini ye yote ambaye amefanya dhambi BWANA?’’
kwa dharau awe mzawa au mgeni, anamkufuru 4Mose aliposikia jambo hili, akaanguka
BWANA, naye mtu huyo ni lazima akatiliwe kifudifudi. 5Kisha akamwambia Kora na wafuasi
mbali na watu wake. 31Kwa sababu amelidharau wake wote: “Asubuhi BWANA ataonyesha ni
neno la BWANA na kuvunja amri zake, mtu nani aliye wake na ni nani aliye mtakatifu, tena
huyo ni lazima kwa hakika akatiliwe mbali, hatia atamtaka mtu huyo aje kwake. Mtu yule ambaye
yake inabaki juu yake.’ ’’ atamchagua atamfanya kuja karibu naye.
6Wewe Kora na wafuasi wako wote mtafanya
haikufahamika kwa wazi kwamba afanyiwe nini. Sasa nisikilizeni. 9Haiwatoshi ninyi kwamba
35Ndipo BWANA akamwambia Mose, “Huyo mtu Mungu wa Israeli amewateua ninyi kutoka katika
ni lazima afe. Kusanyiko lote lazima limpige kusanyiko lote la Kiisraeli na kuwaleta karibu
mawe nje ya kambi.’’ 36Hivyo kusanyiko likamtoa naye mpate kufanya kazi kwenye maskani ya
nje ya kambi na kumpiga mawe hadi akafa, BWANA na kusimama mbele ya kusanyiko ili
kama BWANA alivyomwamuru Mose. kuwahudumia? 10Amekuleta wewe na ndugu
zako Walawi mwe karibu naye, lakini sasa
Vifundo Kwenye Mavazi unajaribu kupata na ukuhani pia. 11Wewe na
37BWANA akamwambia Mose, 38“Sema na wafuasi wako wote mmekusanyika pamoja
Waisraeli uwaambie: ‘Kwa vizazi vyote vijavyo kinyume cha BWANA. Aroni ni nani kwamba
jifanyieni vifundo katika pindo za mavazi yenu ninyi mnung’unike dhidi yake?”
vikiwa na uzi wa buluu kwenye kila kifundo. 12Kisha Mose akawaita Dathani na Abiramu
39Mtakuwa mkivitazama vifundo hivyo ili mpate wana wa Eliabu. Lakini wao wakasema, “Sisi
kukumbuka amri zote za BWANA, ili mpate hatuji! 13Haitoshi tu kwamba wewe umetuleta
kuzitii msije mkajitia uzinzi wenyewe kwa kutoka nchi itiririkayo maziwa na asali ili kutuua
kuzifuata tamaa za mioyo yenu na za macho sisi jangwani? Nawe sasa pia unataka kuwa
yenu. 40Ndipo mtakumbuka kuzitii amri zangu mkuu juu yetu? 14Zaidi ya hayo, hujatuingiza
zote nanyi mtawekwa wakfu kwa Mungu wenu. katika nchi inayotiririka maziwa na asali wala
41Mimi Ndimi BWANA, Mungu wenu, niliyewatoa hujatupa urithi wa mashamba na mashamba ya
Misri niwe Mungu wenu. Mimi Ndimi BWANA, mizabibu. Je, utayang’oa macho ya watu hawa?
Mungu wenu.’ ’’ Hapana, sisi hatuji!’’
15Ndipo Mose akakasirika sana na
kumwambia BWANA, “Usiikubali sadaka yao.
Mimi sikuchukua cho chote, hata punda kutoka
21
HESABU
kwao, wala sijamkosea hata mmoja wao.’’ 31Mara Mose alipomaliza kusema haya yote,
16Mose akamwambia Kora, “Wewe na ardhi iliyokuwa chini yao ikapasuka, 32nchi
wafuasi wako wote kesho mtatokea mbele za ikafunua kinywa chake na kuwameza wao,
BWANA, yaani wewe na hao wenzako pamoja pamoja na jamaa zao na watu wote wa Kora na
na Aroni. 17Kila mtu atachukua chetezo chake mali zao zote. 33Wakashuka chini kaburini
na kuweka uvumba ndani yake, vyetezo 250 wakiwa hai, pamoja na kila kitu walichokuwa
kwa jumla na kuleta mbele za BWANA. Pia nacho, nchi ikajifunika juu yao, nao
wewe na Aroni mtaleta vyetezo vyenu.” 18Kwa wakaangamia wakatoweka kutoka katika
hiyo kila mtu akachukua chetezo chake, kusanyiko, 34kutoka kilio chao, Waisraeli wote
akaweka moto na uvumba ndani yake na waliowazunguka walikimbia, wakipaza sauti,
kusimama pamoja na Mose na Aroni kwenye “Nchi inatumeza na sisi pia!”
mlango wa Hema la Mkutano. 19Kora alipokuwa 35Moto ukaja kutoka kwa BWANA
amekusanya wafuasi wake wote kuwapinga ukawateketeza wale watu 250 waliokuwa
Mose na Aroni kwenye mlango wa Hema la wakifukiza uvumba.
Mkutano, utukufu wa BWANA ukatokea kwa 36BWANA akamwambia Mose, 37“Mwambie
kusanyiko lote. 20BWANA akamwambia Mose na Eleazari mwana wa kuhani Aroni, atoe vyetezo
Aroni, 21“Jitengeni kutoka kwenye kusanyiko hili kwenye mabaki ya moto na kutawanya makaa
ili nipate kuwaangamiza mara moja.” mbali kiasi kwa maana vyetezo ni vitakatifu, 38ni
22Lakini Mose na Aroni wakaanguka vyetezo vya watu waliofanya dhambi
kufudifudi na kulia kwa sauti, wakasema, “Ee iliyowagharimu maisha yao. Fua vyetezo hivyo
Mungu, Mungu wa roho za wanadamu wote, kuwa bamba ili kufunika madhabahu, kwa
utakuwa na hasira na kusanyiko lote wakati ni maana vimeletwa mbele za BWANA na
mtu mmoja tu ametenda dhambi?” vimekuwa vitakatifu. Navyo viwe ishara kwa
23Ndipo BWANA akamwambia Mose, Waisraeli.”
24“Liambie kusanyiko, ‘Ondokeni hapo karibu na 39Hivyo kuhani Eleazari akavikusanya vile
wamesimama pamoja na wake zao, watoto wao wakanung’unika dhidi ya Mose na Aroni,
na wale wanyonyao kwenye mlango wa wakisema, “Mmewauwa watu wa BWANA.”
mahema yao. 42Lakini wakati kusanyiko lilipokusanyika
28Ndipo Mose akasema, “Hivi ndivyo kupingana na Mose na Aroni na kugeuka
mtakavyojua kuwa BWANA amenituma kufanya kuelekea Hema la Mkutano, ghafula wingu
mambo haya na kwamba halikuwa wazo langu. likafunika Hema na utukufu wa BWANA
29Ikiwa watu hawa watakufa kifo cha kawaida na ukatokea. 43Ndipo Mose na Aroni wakaenda
kupatwa na yale ya kawaida yanayowapata mbele ya Hema la Mkutano, 44naye BWANA
wanadamu, basi BWANA hakunituma mimi. akamwambia Mose, 45“Jitenge mbali na
30Lakini ikiwa BWANA ataleta jambo jipya kusanyiko hili ili niweze kuwaangamiza mara
kabisa, ardhi ikifunua kinywa chake na moja.” Wakaanguka chini kifudifudi.
kuwameza wao, pamoja na kila kitu kilicho mali 46Kisha Mose akamwambia Aroni, “Chukua
yao, nao washuke chini kaburini a wakiwa hai, chetezo chako na uweke uvumba ndani yake,
ndipo mtafahamu kuwa watu hawa pamoja na moto kutoka madhabahuni, nawe
wamemdharau BWANA.” uende haraka kwenye kusanyiko ili kufanya
upatanisho kwa ajili yao. Ghadhabu imekuja
a30 “Kaburi” hapa maana yake ni “Kuzimu’’, “Sheol kwa kiebrania, kutoka kwa BWANA, tauni imeanza.’’ 47Hivyo
ona pia mst. 33. Aroni akafanya kama Mose alivyosema,
22
HESABU
akakimbilia katikati ya kusanyiko. Tauni ilikuwa mtawajibika kwa makosa dhidi ya mahali
tayari imeanza miongoni mwa watu, lakini Aroni patakatifu, wewe na wanao peke yenu ndio
akafukiza uvumba na kufanya upatanisho kwa mtakaowajibika kwa makosa dhidi ya ukuhani.
ajili yao. 48Aroni akasimama kati ya waliokuwa 2Walete Walawi wenzako kutoka kabila la baba
hai na waliokufa nayo tauni ikakoma. 49Lakini zako ili waungane nanyi na kuwasaidia wakati
walikufa watu 14,700 kutokana na tauni hiyo, wewe na wanao mnapohudumu mbele ya Hema
licha ya wale waliokuwa wamekufa kwa sababu la Ushuhuda. 3Watawajibika kwenu na
ya Kora. 50Ndipo Aroni akamrudia Mose kwenye watafanya kazi zote za Hema, lakini kamwe
mlango wa Hema la Mkutano, kwa maana tauni wasisogelee vifaa vya patakatifu au madhababu,
ilikuwa imekoma. la sivyo wao na ninyi mtakufa. 4Watajiunga
nanyi na watawajibika kwa utunzaji wa Hema la
Kuchipuka kwa Fimbo ya Aroni Mkutano, kazi zote kwenye Hema, wala hakuna
mtu mwingine ye yote atakayeweza kusogea
17 BWANA akamwambia Mose, 2“Sema na
Waisraeli na ujipatie fimbo kumi na mbili karibu hapo mlipo.
5“Mtawajibika katika utunzaji wa mahali
kutoka kwao, moja kutoka kwa kila mmoja wa
viongozi wa kabila za baba zao. Andika jina la patakatifu na madhabahu, ili kwamba ghadhabu
kila mtu kwenye fimbo yake. 3Kwenye fimbo ya isiwaangukie Waisraeli tena. 6Mimi mwenyewe
Lawi andika jina la Aroni, kwa maana ni lazima nimewachagua Walawi wenzenu kutoka
iwepo fimbo moja kwa kila kiongozi kwa ajili ya miongoni mwa Waisraeli kama zawadi kwenu,
kila kabila la baba zao. 4Ziweke hizo fimbo waliowekwa wakfu kwa BWANA ili kufanya kazi
ndani ya Hema la Mkutano mbele ya sanduku la katika Hema la Mkutano. 7Lakini ni wewe tu na
Ushuhuda, mahali nikutanapo nawe. 5Fimbo ya wanao mtakaoweza kutumika kama
mtu nitakayemchagua itachipua, nami makuhani kuhusiana na kila kitu kwenye
mwenyewe nitayakomesha haya manung’uniko madhabahu na ndani ya pazia. Ninawapa
ya mara kwa mara ya Waisraeli dhidi yako.” utumishi wa ukuhani kama zawadi. Mtu
6Hivyo Mose akasema na Waisraeli, nao mwingine ye yote atakayekaribia mahali
viongozi wao wakampa fimbo kumi na mbili, patakatifu ni lazima auawe.”
fimbo moja kwa ajili ya kila kabila la baba zao,
nayo fimbo ya Aroni ikiwa miongoni mwa hizo. Sadaka Kwa Ajili ya Makuhani na Walawi
8Kisha BWANA akamwambia Aroni, “Mimi
7Mose akaziweka hizo fimbo mbele za BWANA
23
HESABU
mmoja nyumbani kwako ambaye ni safi kwa kutoka kwa Waisraeli ambayo ninawapa kama
taratibu za Ibada anaweza kula. urithi wenu kutoka kwao, ni lazima mtoe sehemu
14“Kila kitu katika Israeli ambacho moja ya kumi ya hiyo zaka kama sadaka kwa
kimetolewa kwa BWANA ni chenu. 15Kila BWANA, iwe zaka ya hiyo zaka. 27Sadaka yenu
mzaliwa wa kwanza wa mwanadamu na wa itahesabiwa kwenu kama nafaka kutoka katika
mnyama, ambaye ametolewa kwa BWANA ni sakafu ya kupuria au divai kutoka kwenye
wenu. Lakini ni lazima mumkomboe kila mwana shinikizo la kukamulia zabibu. 28Kwa njia hii
mzaliwa wa kwanza na kila mzaliwa wa kwanza ninyi pia mtatoa sadaka kwa BWANA kutoka
wa kiume wa wanyama wasio safi. katika zaka zote mtakazopokea kutoka kwa
16Watakapokuwa na umri wa mwezi mmoja ni Waisraeli. Kutoka kwenye zaka hizi, ni lazima
lazima mtawakomboa kwa bei ya ukombozi mtoe sehemu ya BWANA kwa Aroni kuhani. 29Ni
iliyowekwa, kwa shekeli tano a za fedha, lazima mtoe kama sehemu ya BWANA iliyo
kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, yenye nzuri sana tena ile sehemu iliyo takatifu sana
uzito wa gera ishirini b . kuliko zote ya kile kitu mlichopewa.’
17“Lakini kamwe usimkomboe mzaliwa wa 30“Waambie Walawi: ‘Wakati mtakapotoa
kwanza wa maksai, kondoo au mbuzi, hawa ni sehemu zilizo bora sana, itahesabiwa kwenu
watakatifu. Nyunyizia damu yao juu ya kama mazao ya sakafu ya kupuria nafaka au ya
madhabahu na uchome mafuta yao kama shinikizo la kukamulia zabibu. 31Ninyi na wa
sadaka itolewayo kwa moto, harufu nzuri nyumbani mwenu mnaweza kula sehemu
inayompendeza BWANA. 18Nyama zao zitakuwa iliyobaki mahali po pote, kwani ndio ujira wenu
chakula chenu, kama ilivyokuwa kidari cha kwa ajili ya kazi yenu katika Hema la Mkutano.
kupungwa na paja la mguu wa kulia. 19Cho 32Kwa kutoa sehemu zake zilizo bora sana
chote kitakachotengwa kutoka katika sadaka hamtakuwa na hatia katika jambo hili, ndipo
takatifu ambazo Waisraeli wanamtolea BWANA, hamtatia unajisi sadaka takatifu za Waisraeli,
ninakupa wewe, wanao na binti zako kama nanyi hamtakufa.’ ’’
fungu lenu la kawaida. Ni agano la milele la
chumvi mbele ya BWANA kwako na watoto Maji ya Utakaso
wako.”
20BWANA akamwambia Aroni, “Hutakuwa 19 BWANA akamwambia Mose na Aroni:
2“Hivi ndivyo sheria ambayo BWANA
na urithi wo wote katika nchi yao, wala hutakuwa ameagiza itakavyo: Waambie Waisraeli
na sehemu miongoni mwao, Mimi ni fungu lako wakuletee mtamba mwekundu asiye na dosari
na urithi wako miongoni mwa Waisraeli. wala waa na ambaye hajapata kufungwa nira.
21“Ninawapa Walawi zaka yote katika Israeli 3Mpeni kuhani Eleazari huyo mtamba, naye
kama urithi wao kuwa kama malipo kwa kazi atatolewa nje ya kambi na kuchinjwa mbele
wanayoifanya wakati wanapohudumu katika yake huyo kuhani. 4Kisha kuhani Eleazari
Hema la Mkutano. 22Kuanzia sasa, kamwe atachukua baadhi ya damu yake kwenye kidole
Waisraeli wasisogelee karibu na Hema la chake na kuinyunyiza mara saba kuelekea
Mkutano, la sivyo watabeba matokeo ya dhambi upande wa mbele ya Hema la Mkutano. 5Wakati
zao nao watakufa. 23Ni Walawi watakaofanya akali akitazama, mtamba huyo atateketezwa
kazi katika Hema la Mkutano na kubeba wajibu ngozi yake, nyama yake, damu na sehemu zake
wa makosa dhidi yake. Hili ni agizo la kudumu za ndani. 6Kuhani atachukua kuni za mti wa
kwa vizazi vijavyo. Hawatapokea urithi wo wote mwerezi, hisopo na sufu nyekundu na kuvitupa
miongoni mwa Waisraeli. 24Badala yake, kwenye huyo mtamba anayeungua. 7Baada ya
ninawapa Walawi zaka zote zinazotolewa na hayo, kuhani lazima afue nguo zake, na aoge
Waisraeli kama sadaka kwa BWANA kuwa urithi mwili wake kwa maji. Kisha anaweza kurudi
wao. Hiyo ndiyo sababu nimesema hivi kuhusu kambini, lakini atakuwa najisi kwa kawaida ya
wao, ‘Hawatakuwa na urithi miongoni mwa ibada mpaka jioni. 8Mtu amchomaye huyo
Waisraeli.’ ’’ mtamba lazima naye pia afue nguo zake na
25BWANA akamwambia Mose, 26“Sema na kuoga kwa maji, naye pia atakuwa najisi mpaka
Walawi na uwaambie: ‘Mtakapopokea zaka jioni.
9“Mtu ambaye ni safi atakusanya majivu ya
25
HESABU
Edomu Waliwakatalia Israeli Kupita Eleazari mwanawe na uwapandishe juu katika
14Mose akawatuma wajumbe kutoka Mlima wa Hori. 26Mvue Aroni mavazi yake na
Kadeshi kwenda kwa mfalme wa Edomu, umvike Eleazari mwanawe, kwa maana Aroni
akisema: atakusanywa pamoja na watu wake, atafia
huko.’’
‘‘Hili ndilo ndugu yako Israeli asemalo: 27Mose akafanya kama BWANA
Wewe unafahamu juu ya taabu zote alivyomwagiza: Wakapanda Mlima Hori mbele
ambazo zimetupata. 15Baba zetu ya macho ya jumuiya yote ya Kiisraeli. 28Mose
walishuka Misri, nasi tumeishi huko akamvua Aroni mavazi yake na kumvika
miaka mingi. Wamisri walitutesa sisi mwanawe Eleazari mavazi hayo. Naye Aroni
na baba zetu, 16lakini tulipomlilia akafia pale juu ya mlima. Kisha Mose na
BWANA, alisikia kilio chetu na akamtuma Eleazari wakatelemka kutoka mlimani.
malaika akatutoa Misri. 29Jumuiya yote ilipofahamu kwamba Aroni
‘‘Sasa tupo hapa Kadeshi, mji ulio amekufa, jamaa yote ya Kiisraeli
mpakani mwa nchi yako. 17Tafadhali wakamwambolezea kwa siku thelathini.
turuhusu tupite katika nchi yako. Hatutapita
katika shamba lo lote, wala shamba la Nchi ya Aradi Yaangamizwa
mizabibu, au kunywa maji kutoka kwenye
kisima cho chote. Tutasafiri kufuata njia kuu
ya mfalme na hatutageuka kulia wala
21 Mfalme wa Kikanaani wa Aradi aliyeishi
huko Negebu, aliposikia kwamba
Waisraeli walikuwa wanakuja kwa njia ya
kushoto mpaka tuwe tumeshapita nchi Atharimu, aliwashambulia Waisraeli na
yako.’’ kuwateka baadhi yao. 2Ndipo Israeli akaweka
18Lakini
nadhiri hii kwa BWANA: “Ikiwa utawatia watu
mfalme wa Edomu akajibu: hawa mikononi mwetu, tutaiangamiza kabisa
miji yao.’’ 3BWANA akasikiliza ombi la Waisraeli
“Hamtapita hapa, kama mkijaribu kupita, naye akawapa ushindi juu ya Wakanaani.
tutatoka na kuwashambulia kwa upanga.” Wakawaangamiza kabisa na miji yao, hivyo
19Waisraeli
mahali pale pakaitwa Horma a .
wakajibu:
Nyoka wa Shaba
“Sisi tutafuata njia kuu, tena ikiwa sisi 4Waisraeli wakasafiri kutoka mlima Hori
au mifugo yetu tutakunywa tone la maji kupitia njia inayoelekea Bahari ya Shamu b
yenu, tutalilipia. Sisi tunataka tu kupita kwa kuizunguka Edomu. Lakini watu wakakosa
miguu, wala si kitu kingine cho chote.’’ uvumilivu njiani, 5wakamnung’unikia Mungu na
20Watu
Mose wakisema, “Kwa nini umetupandisha
wa Edomu wakajibu tena: kutoka Misri ili tufe jangwani? Hakuna mkate!
Hakuna maji! Nasi tunachukia sana chakula hiki
‘‘Hamwezi kupita hapa.’’ duni!’’
6Ndipo BWANA akapeleka nyoka wenye
Ndipo watu wa Edomu wakatoka dhidi ya sumu katikati yao, wakawauma watu, nao
Waisraeli, jeshi kubwa lenye nguvu. 21Kwa kuwa Waisraeli wengi wakafa. 7Watu wakamjia Mose
Waedomu waliwakatalia Waisraeli kupita katika na kusema, “Tumetenda dhambi wakati
nchi yao, Israeli wakageuka wakawaacha. tuliponena dhidi ya BWANA na dhidi yako.
Mwombe BWANA ili atuondolee hawa nyoka.’’
Kifo cha Aroni Hivyo Mose akawaombea hao watu.
22Jumuiya yote ya Kiisraeli ikaondoka
8BWANA akamwambia Mose, “Tengeneza
kutoka Kadeshi wakafika kwenye Mlima Hori. nyoka wa shaba na umweke juu ya mti, ye yote
23Kwenye Mlima Hori, karibu na mpaka wa
aliyeumwa na nyoka anaweza kumtazama na
Edomu, BWANA akamwambia Mose na Aroni, akaishi tena.’’ 9Kwa hiyo Mose akatengeneza
24‘‘Aroni atakusanywa pamoja na watu wake,
26
HESABU
nyoka wa shaba na kumweka juu ya mti. Kisha tutakapokuwa tumekwisha kupita katika nchi
wakati mtu ye yote alipoumwa na nyoka, naye yako.’’
akamtazama yule nyoka wa shaba, aliishi.
23Lakini Sihoni hakumruhusu Israeli apite
Safari Kwenda Moabu katika nchi yake. Alilikutanisha jeshi lake lote
10Waisraeli waliendelea na safari yao na wakaondoka kwenda jangwani ili kupigana na
wakapiga kambi huko Obothi. 11Kisha Israeli. Wakati alipofika huko Yahasa, akapigana
wakaondoka Obothi na kupiga kambi huko Iye- na Israeli. 24Hata hivyo, Israeli, alimshinda kwa
Abarimu, katika jangwa linalotazamana na upanga na kuiteka ardhi yake kutoka Arnoni
Moabu kuelekea maawio ya jua. 12Kutoka hapo mpaka Yaboki, lakini ni hadi kufikia nchi ya
waliendelea mbele wakapiga kambi kwenye Waamoni tu. Kwa sababu mipaka yake ilikuwa
bonde la Zeredi. 13Wakasafiri kutoka hapo na imezungushwa ukuta. 25Israeli akaiteka miji yote
kupiga kambi kando ya Mto Arnoni, ambao uko ya Waamori na kuikalia, pamoja na Heshboni na
katika jangwa lililoenea hadi nchi ya Waamori. makazi yote yanayoizunguka. 26Heshboni
Arnoni ni mpaka wa Moabu, kati ya Moabu na ulikuwa mji wa Sihoni mfalme wa Waamori,
Waamori. 14Ndiyo sababu kitabu cha vita vya ambaye alikuwa amepigana dhidi ya mfalme wa
BWANA kinasema: Moabu aliyetangulia na akawa amechukua ardhi
yake yote mpaka Arnoni.
“…Mji wa Wahebu nchini Seifa na mabonde 27Ndiyo sababu watunga mashairi husema:
16Kutoka hapo waliendelea mbele kisima cha 28“Moto uliwaka kutoka Heshboni,
Beeri, kwenye kile kisima ambacho BWANA mwali wa moto kutoka mji wa Sihoni.
alimwambia Mose, “Wakusanye watu pamoja Uliteketeza Ari ya Moabu,
nami nitawapa maji.’’ raia wa mahali pa Arnoni palipoinuka.
17Kisha Israeli akaimba wimbo huu: 29Ole wako, Ee Moabu!
ambapo kilele cha Pisga kinatazamana na kwenda mji wa Yazeri, Waisraeli waliteka viunga
nyika. vya mji huo na kuwafukuza Waamori waliokuwa
wanaishi huko. 33Kisha wakageuka na kwenda
Kushindwa kwa Sihoni na Ogu katika njia inayoelekea Bashani, Ogu mfalme wa
21Israeli akawatuma wajumbe kumwambia Bashani pamoja na jeshi lake lote wakatoka
Sihoni mfalme wa Waamori: kupigana nao huko Edrei.
34BWANA akamwambia Mose,
22“Uturuhusu tupite katika nchi yako. “Usimwogope Ogu, kwa sababu
Hatutageuka kando kwenda katika nimeshamkabidhi mikononi mwako, pamoja na
mashamba au mashamba ya mizabibu, ama jeshi lake lote na nchi yake. Mtendee kama
kunywa maji kutoka kisima cho chote. ulivyomtendea Sihoni mfalme wa Waamori,
Tutasafiri kwenye njia kuu ya mfalme hata ambaye alitawala huko Heshboni.”
27
HESABU
35Kwa hiyo wakamuua, pamoja na wanawe wakuu wa Balaki, “Rudini katika nchi yenu, kwa
na jeshi lake lote, bila ya kumwacha hata mtu kuwa BWANA amenikataza nisiende pamoja
mmoja hai. Wakaimiliki nchi yake. nanyi.’’
14Kwa hiyo wakuu wa Maobu wakarudi kwa
mwana wa Sipori, mfalme wa Moabu, katika njia nyembamba iliyo kati ya mashamba
alinipelekea ujumbe huu: 11‘Taifa ambalo mawili ya mizabibu, yakiwa na kuta pande zote
limekuja kutoka Misri limefunika uso wa nchi. mbili. 25Punda alipomwona malaika wa BWANA,
Sasa uje ukanilaaniye hao watu. Kisha huenda alijisukumiza karibu na ukuta, na kugandamiza
nitaweza kupigana nao na kuwafukuza.’ ’’ mguu wa Balaamu ukutani. Ndipo Balaamu
12Lakini BWANA akamwambia Balaamu, akampiga tena punda.
26Kisha malaika wa BWANA akaendelea
“Usiende pamoja nao. Hupaswi kulaani watu
hao, kwa kuwa wamebarikiwa.’’ mbele na kusimama mahali pembamba ambapo
13Asubuhi iliyofuata akaamka akawaambia hapakuwepo nafasi ya kugeuka, upande wa
28
HESABU
kulia wala wa kushoto. 27Punda alipomwona Ujumbe wa Kwanza wa Balaamu
malaika wa BWANA, alilala chini Balaamu angali
amempanda, naye Balaamu akakasirika na
kumpiga kwa fimbo yake. 28Kisha BWANA
23 Balaamu akasema, ‘‘Nijengee hapa
madhabahu saba, mnitayarishie
mafahali saba na kondoo waume saba.’’ 2Balaki
akakifunua kinywa cha punda, akamwambia akafanya kama Balaamu alivyosema, hao
Balaamu, ‘‘Nimekutendea nini kinachokufanya wawili, kila mmoja wao akatoa fahali mmoja na
unipige mara hizi tatu?’’ kondoo dume mmoja juu ya kila madhabahu.
29Balaamu akamjibu punda, ‘‘Umenifanya 3Kisha Balaamu akamwambia Balaki, ‘‘Kaa
mjinga! Kama ningelikuwa na upanga mkononi hapa kando ya sadaka yako wakati mimi
mwangu, ningelikuua sasa hivi.’’ ninakwenda kando. Huenda BWANA atakuja
30Punda akamwambia Balaamu, ‘‘Je, mimi si
kukutana nami. Lo lote atakalonifunulia,
punda wako mwenyewe, ambaye umenipanda nitakuambia.’’ Basi akaenda hata mahali peupe
siku zote, hadi leo? Je, nimekuwa na tabia ya palipoinuka.
kufanya hivi kwako?’’ 4Mungu akakutana naye, Balaamu
Akajibu, ‘‘Hapana.’’ akasema, ‘‘Nimekwisha kutengeneza
31Kisha BWANA akafungua macho ya
madhabahu saba na juu ya kila madhabahu
Balaamu, naye akamwona malaika wa BWANA nimetoa sadaka ya fahali mmoja na kondoo
amesimama barabarani akiwa ameufuta upanga mume mmoja.’’
wake. Balaamu akainama akasujudu. 5BWANA akaweka ujumbe katika kinywa
32Malaika wa BWANA akamwuliza Balaamu,
cha Balaamu na kusema, ‘‘Rudi kwa Balaki
‘‘Kwa nini umempiga punda wako mara tatu umpe ujumbe huu.’’
hizi?’’ Nimekuja kukuzuia kwa sababu njia yako 6Basi Balaamu akarudi kwa Balaki
imepotoka mbele yangu. 33Punda aliniona na akamkuta amesimama kando ya sadaka yake
kunikwepa mara hizi tatu. Kama punda akiwa na wakuu wote wa Moabu. 7Ndipo
hangenikwepa, hakika ningekuwa nimesha kuua Balaamu akasema ujumbe wake:
sasa, lakini ningemwacha punda hai.’’
34Balaamu akamwambia malaika wa ‘‘Balaki amenileta kutoka Aramu,
BWANA, ‘‘Nimetenda dhambi. Sikutambua naye mfalme wa Moabu kutoka milima
kuwa umesimama barabarani kunizuia. Basi ya mashariki.
kama haikupendezi nitarudi.’’ Akasema, ‘Njoo, unilaanie Yakobo,
35Malaika wa BWANA akamwambia njoo unishutumie Israeli.’
Balaamu, ‘‘Uende na watu hao, lakini useme tu 8Nitawezaje kuwalaani,
lile nikuambialo.’’ Kwa hiyo Balaamu akaenda hao ambao Mungu hajawalaani?
na wale wakuu wa Balaki. Nitawezaje kuwashutumu
36Balaki aliposikia kuwa Balaamu anakuja,
hao ambao Mungu hakuwashutumu?
akatoka kumlaki katika mji wa Moabu katika 9Kutoka vilele vya miamba ninawaona,
mpaka wa Arnoni ukingoni mwa nchi yake. kutoka mahali palipoinuka ninawatazama.
37Balaki akamwambia Balaamu, ‘‘Je, Ninaliona taifa ambalo wanaishi peke yao,
sikukupelekea jumbe za haraka? Kwa nini Nao hawahesabiwi kama mojawapo ya
hukuja kwangu? Hivi kweli mimi siwezi mataifa.
kukulipa?’’ 10Ni nani awezaye kuhesabu mavumbi ya
38‘‘Balaamu akajibu, ‘‘Vema, sasa nimekuja
Yakobo
kwako. Lakini kwani nina uwezo wa kusema tu au kuhesabu robo ya Israeli?
cho chote ? Ni lazima niseme tu kile ambacho Mimi na nife kifo cha mtu mwenye haki
Mungu ataweka kinywani mwangu.’’ na mwisho wangu na uwe kama wao!”
39Kisha Balaamu alikwenda na Balaki
mpaka Kiriathi Husothi. 40Balaki akatoa dhabihu 11Balaki akamwambia Balaamu, ‘‘Ni nini
ya ng’ombe na kondoo, baadhi yake akampa ulichonitendea? Nimekuleta ulaani adui zangu,
Balaamu na wakuu waliokuwa pamoja naye. lakini wewe badala yake umewabariki!’’
41Asubuhi iliyofuata Balaki akamchukua 12Balaamu akajibu, ‘‘Je, hainipasi kusema
Balaamu mpaka Bamothi Baali, kutoka huko kile BWANA anachoweka katika kinywa
Balaamu akawaona baadhi ya watu. changu?’’
29
HESABU
Ujumbe wa Pili wa Balaamu watu kutoka mahali hapo.’’ 28Balaki akamchukua
13Ndipo Balaki akamwambia, ‘‘Twende Balaamu juu ya mlima Peori,unaotazamana na
pamoja mahali pengine ambapo unaweza nyika.
kuwaona, utawaona baadhi tu wala si wote. 29Balaamu akasema, “Nijengee hapa
Nawe kutoka huko, unilaanie.’’ 14Basi madhabahu saba, uandae mafahali saba na
akampeleka kwenye shamba la Sofimu, juu ya kondoo waume saba kwa ajili yangu.’’ 30Balaki
kilele cha Mlima Pisga, pale akajenga akafanya kama Balaamu alivyosema, kisha
madhabahu saba na kutoa sadaka ya fahali na akatoa sadaka ya fahali mmoja na kondoo
kondoo mume mmoja juu ya kila madhabahu. mume mmoja juu ya kila madhabahu.
15Balaamu akamwambia Balaki, ‘‘Kaa hapa
10Ndipo hasira ya Balaki ikawaka dhidi ya 21Kisha akawaona Wakeni akatoa ujumbe
Balaamu. Akapiga mikono yake pamoja wake:
akamwambia Balaamu, “Nilikuita uje kulaani
adui zangu, lakini umewabariki mara hizi tatu. “Makao yenu ni salama,
11Sasa ondoka upesi uende nyumbani! Mimi kiota chenu kiko kwenye mwamba,
nilisema nitakuzawadia vizuri sana, lakini 22Hata hivyo ninyi Wakeni mtaangamizwa
kama adui wakati walipowadanganya katika kutoka kwa Eri, ukoo wa Waeri,
tukio la Peori na dada yao Kozbi, binti wa 17kutoka kwa Arodi, ukoo wa Waarodi,
33
HESABU
59jina la mke wa Amramu ni Yokobedi, naye naye hakuacha mwana, utampa binti yake urithi
pia alikuwa mzao wa Lawi, ambaye alizaliwa wake. 9Ikiwa hana binti, wape ndugu zake wa
kwa Walawi nchini Misri. Alimzalia Amramu kiume urithi wake. 10Ikiwa hana ndugu wa kiume
Aroni, Mose na dada yao Miriamu. 60Aroni toa urithi wake kwa ndugu za baba yake. 11Ikiwa
alikuwa baba yake Nadabu na Abihu, baba yake hakuwa na ndugu wa kiume, toa
Eleazari na Ithamari. urithi wake kwa ndugu wa karibu katika ukoo
61Lakini Nadabu na Abihu walikufa wakati wake, ili aumiliki. Hili litakuwa dai la sheria kwa
walipotoa sadaka mbele za BWANA kwa Waisraeli kama BWANA alivyomwamuru Mose.’
moto usioruhusiwa.) ’’
hao Waisraeli hakika wangekufa huko jangwani, Mungu wa roho zote za wanadamu na amteue
wala hakuna mmoja wao aliyeachwa isipokuwa mtu juu ya jumuiya hii 17ili atoke na kuingia
Kalebu mwana wa Yefune na Yoshua mwana mbele yao, yeye atakayewaongoza katika
wa Nuni. kutoka kwao na kuingia kwao, ili watu wa
BWANA wasiwe kama kondoo wasio na
Binti Wa Selofehadi mchungaji.’’
18Kwa hiyo BWANA akamwambia Mose,
Binti za Selofehadi mwana wa Heferi,
27 mwana wa Gileadi, mwana wa Makiri, “Mchukue Yoshua mwana wa Nuni, mtu ambaye
Roho yuko ndani yake, uweke mkono juu yake.
mwana wa Manase, walikuwa wa koo za
19Msimamishe mbele ya kuhani Eleazari pamoja
Manase mwana wa Yosefu. Majina ya hao binti
yalikuwa Mahla, Noa, Hogla, Milka na Tirsa. na kusanyiko lote umpe maagizo mbele yao.
20Mpe sehemu ya mamlaka yako ili jumuiya yote
Walikaribia 2ingilio la Hema la Mkutano na
kusimama mbele ya Mose, kuhani Eleazari, ya Waisraeli ipate kumtii. 21Atasimama mbele ya
viongozi na kusanyiko lote wakasema, 3“Baba kuhani Eliazeri, ambaye atapokea maamuzi kwa
yetu alikufa jangwani. Hakuwa miongoni mwa ajili yake kwa kuuliza mbele za BWANA kwa ile
wafuasi wa Kora, ambao walifungamana pamoja Urimu. Kwa amri yake yeye na jumuia yote ya
dhidi ya BWANA, lakini alikufa kwa ajili ya Waisraeli watatoka na kwa amri yake wataingia.”
22Mose akafanya kama BWANA
dhambi yake mwenyewe na hakuacha wana.
4Kwa nini jina la baba yetu lifutike kutoka katika alivyomwagiza. Akamtwaa Yoshua na
ukoo wake kwa sababu hakuwa na mwana? kumsimamisha mbele ya kuhani Eleazari na
Tupatie milki miongoni mwa ndugu za baba kusanyiko lote. 23Kisha akaweka mikono yake
yetu.” juu ya kichwa cha Yoshua na kumpa maagizo,
5Kwa hiyo Mose akalileta shauri lao mbele kama vile BWANA alivyoelekeza kupitia
za BWANA 6naye BWANA akamwambia, kwa Mose.
7“Wanachosema binti za Selofehadi ni sawa, ni
lazima kwa hakika uwape milki kama urithi Sadaka za Kila Siku
miongoni mwa ndugu za baba yao na kubadili
urithi wa baba yao uwe wao.
8“Waambie Waisraeli, ‘Ikiwa mtu atakufa
28 BWANA akamwambia Mose, 2“Wape
Waisraeli agizo hili na uwaambie:
‘Hakikisheni kwamba mnaniletea mimi kwa
34
HESABU
wakati uliowekwa chakula kwa ajili ya sadaka za sadaka ya nafaka yenye uzito wa sehemu moja
kuteketezwa kwa moto kama harufu nzuri ya ya kumi ya efa ya unga laini uliochanganywa na
kupendeza.’ 3Waambie: ‘Hii ni sadaka ya mafuta. Hii ni kwa ajili ya sadaka ya
kuteketezwa kwa moto mnayomtolea BWANA: kuteketezwa, harufu nzuri, sadaka ya
Wana-kondoo wawili wa mwaka mmoja wasio kuteketezwa iliyotolewa kwa moto kwa BWANA.
na dosari, kama sadaka ya kawaida ya 14Pamoja na kila fahali kutakuwa na sadaka ya
kuteketezwa kila siku. 4Andaa mwana-kondoo kinywaji nusu ya hini e ya divai, pamoja na kila
mmoja asubuhi na mwingine jioni, 5kila mmoja kondoo mume, theluthi moja ya hini f pamoja na
atatolewa pamoja na sadaka ya nafaka sehemu kila mwana-kondoo robo hini g . Hii ni sadaka ya
moja ya kumi ya efa a ya unga laini kuteketezwa ya kila mwezi itakayotolewa kila
uliochanganywa pamoja na robo ya hini b ya mwandamo wa mwezi kwa mwaka. 15Zaidi ya
mafuta ya zeituni. 6Hii ni sadaka ya kawaida ya sadaka ya kawaida ya kuteketezwa pamoja na
kuteketezwa iliyoanzishwa katika Mlima Sinai sadaka yake ya kinywaji, mbuzi mmoja mume
kama harufu nzuri ya kupendeza, sadaka atatolewa kwa BWANA kama sadaka ya
iliyotolewa kwa BWANA kwa moto. 7Sadaka ya dhambi.
kinywaji itakayotolewa pamoja na kila mwana-
kondoo ni robo ya hini ya kinywaji Pasaka
kilichochachuka. Mimina sadaka ya kinywaji kwa 16“ ‘Katika siku ya kumi na nne ya mwezi wa
BWANA mahali patakatifu. 8Andaa yule mwana- kwanza itafanyika Pasaka ya BWANA. 17Katika
kondoo wa pili jioni, pamoja na sadaka ya siku ya kumi na tano ya mwezi huo itakuwa
nafaka na sadaka ya kinywaji kama ulivyofanya sikukuu, kwa siku saba mtakula mkate usiotiwa
kwa ile sadaka nyingine ya asubuhi. Hii ni chachu. 18Katika siku ya kwanza mwe na
sadaka iliyotolewa kwa kuteketezwa kwa moto, kusanyiko takatifu, msifanye kazi za kawaida.
harufu nzuri ya kumpendeza BWANA. 19Leteni mbele za BWANA sadaka ya
kuteketezwa, sadaka ya kuteketezwa ya
Sadaka za Sabato mafahali wawili wachanga, kondoo mume
9“ ‘Siku ya Sabato, utatoa sadaka ya wana- mmoja na wana-kondoo waume saba wenye
kondoo wawili wa mwaka mmoja wasiokuwa na umri wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.
dosari pamoja na sadaka yake ya kinywaji na 20Pamoja na kila fahali andaa sadaka ya nafaka
sadaka ya nafaka yenye uzito wa sehemu mbili sehemu tatu za kumi za efa za unga laini
za kumi za efa c za unga laini uliochanganywa uliochanganywa na mafuta, pamoja na kondoo
na mafuta. 10Hii ni sadaka ya kuteketezwa mume, sehemu mbili za kumi za efa, pia
itakayotolewa kwa ajili ya kila Sabato, pamoja pamoja 21na kila mmoja wa wale wana-kondoo
na sadaka ya kawaida ya kuteketezwa na saba, sehemu moja ya kumi ya efa. 22Pia mtoe
sadaka yake ya kinywaji. beberu mmoja kama sadaka ya dhambi ambaye
atafanya upatanisho kwa ajili yenu. 23Andaa hizi
Sadaka za Kila Mwezi licha ya zile sadaka za kawaida za kuteketezwa
11“ ‘Siku ya kwanza ya kila mwezi, za kila asubuhi. 24Kwa njia hii andaa chakula
mtamletea BWANA sadaka ya kuteketezwa ya cha sadaka ya kuteketezwa kila siku, kwa siku
fahali wawili wachanga, kondoo mume mmoja saba kama harufu nzuri impendezayo BWANA,
na wana-kondoo saba wa mwaka mmoja, wote hii itaandaliwa licha ya ile sadaka ya kawaida ya
wasiokuwa na dosari. 12Pamoja na kila fahali kuteketezwa ya kila siku pamoja na sadaka ya
kutakuwa na sadaka ya nafaka ya unga laini kinywaji. 25Siku ya saba muwe na kusanyiko
sehemu tatu za kumi za efa d uliochanganywa na takatifu na msifanye kazi zenu za kaiwada.
mafuta, pamoja na kondoo mume mmoja,
sadaka ya nafaka ya unga laini uliochanganywa Sikukuu ya Majuma
na mafuta, 13pamoja na kila mwana-kondoo, 26“ ‘Siku ya malimbuko, mnapomletea
sehemu moja ya kumi ya efa ya unga laini kwa wa saba, mtakuwa na kusanyiko takatifu na
kila mmoja wa wana-kondoo saba. 30Ongeza hamtafanya kazi za kawaida. Adhimisheni
Beberu mmoja kwa kufanya upatanisho kwa ajili sikukuu kwa BWANA kwa siku saba. 13Toeni
yenu. 31Andaa hizi sadaka pamoja na sadaka sadaka ya kuteketezwa mafahali wachanga
zake za vinywaji, kuwa nyongeza ya sadaka za kumi na watatu, kondoo waume wawili na wana-
kawaida za kuteketezwa pamoja na sadaka kondoo kumi na wanne wa mwaka mmoja, wote
yake ya nafaka. Hakikisha kuwa wanyama hao wasio na dosari kama harufu nzuri
hawana dosari. inayompendeza BWANA. 14Pamoja na hao
mafahali kumi na watatu kila mmoja aandaliwe
Sikukuu ya Tarumbeta na sadaka ya nafaka sehemu ya kumi tatu za
efa za unga laini uliochanganywa na mafuta,
29 Katika siku ya kwanza ya mwezi wa
saba mtakuwa na kusanyiko takatifu na
kwa kondoo waume wawili kila mmoja
aandaliwe sehemu ya kumi mbili za efa za unga
msifanye kazi ya kawaida. Ni siku kwa ajili yenu
laini 15na wana-kondoo kumi na wanne kila
ya kupiga tarumbeta. 2Mtatayarisha sadaka ya
mmoja aandaliwe sehemu moja ya kumi ya efa
kuteketezwa kama harufu nzuri impendezayo
ya unga laini. 16Ongeza beberu mmoja kama
BWANA ya fahali moja mchanga, kondoo
sadaka ya dhambi kwa nyongeza ya sadaka ya
mume mmoja na wana-kondoo saba wa mwaka
kawaida ya kuteketezwa na sadaka yake ya
mmoja, wote wasiwe na dosari. 3Pamoja na
nafaka pamoja na sadaka ya vinywaji.
fahali andaeni sadaka ya nafaka sehemu ya 17‘‘ ‘Katika siku ya pili andaeni mafahali
kumi tatu za efa za unga laini uliochanganywa
wachanga kumi na wawili, kondoo waume wawili
na mafuta, kondoo mume, unga sehemu ya
na wana-kondoo kumi na wanne wa mwaka
kumi mbili za efa, 4pamoja na wana-kondoo
mmoja, wote wasio na dosari. 18Pamoja na
saba kila mmoja aandaliwe na sehemu ya kumi
mafahali, kondoo waume na wana-kondoo
moja ya efa ya unga. 5Ongeza beberu mmoja
andaeni sadaka zao za nafaka na sadaka za
kama sadaka ya dhambi kufanya upatanisho
vinywaji kulingana na idadi iliyoainishwa.
kwa ajili yenu. 6Hivi ni nyongeza ya sadaka za 19Weka beberu mmoja kama sadaka ya dhambi
kuteketezwa kila mwezi na kila siku pamoja na
kwa nyongeza ya kawaida ya sadaka ya
sadaka za nafaka na sadaka za vinywaji kama
kuteketezwa na sadaka yake ya nafaka pamoja
ilivyoainishwa. Ni sadaka zinazotolewa kwa
na sadaka zao za vinywaji.
BWANA kwa moto, harufu inayopendeza. 20‘‘ ‘Katika siku ya tatu andaeni mafahali
na wana-kondoo, andaeni sadaka zao za nafaka BWANA au anapoapa kujifunga kwa ahadi,
na sadaka za kinywaji kulingana na idadi kamwe asitangue neno lake bali ni lazima
iliyoainishwa. 28Ongeza beberu mmoja kama afanye kila kitu alichosema.
sadaka ya dhambi katika nyongeza ya sadaka 3“Wakati mwanamwali anayeishi bado
ya kawaida ya kuteketezwa na sadaka yake ya nyumbani kwa baba yake atakapoweka nadhiri
nafaka pamoja na sadaka ya kinywaji. kwa BWANA ama amejifunga mwenyewe kwa
29‘‘ ‘Katika siku ya sita andaeni mafahali ahadi, 4na baba yake akisikia kuhusu nadhiri au
wanane, kondoo waume wawili na wana-kondoo ahadi yake lakini asimwambie lo lote, ndipo
kumi na nne wa mwaka mmoja, wote wasio na nadhiri zake zote na kila ahadi aliyoiweka na
dosari. 30Pamoja na mafahali, kondoo waume na kujifunga kwayo itathibitika. 5Lakini kama baba
wana-kondoo, andaeni sadaka zao za nafaka na yake akimkataza wakati anapoisikia, hakuna
sadaka za kinywaji kulingana na idadi nadhiri wala ahadi yake ye yote aliyojifunga
iliyoainishwa. 31Ongeza beberu mmoja kama kwayo itakayosimama, BWANA atamwacha
sadaka ya dhambi katika nyongeza ya sadaka huru huyo mwanamwali kwa sababu baba yake
ya kawaida ya kuteketezwa pamoja na sadaka amemkataza.
yake ya nafaka na sadaka ya kinywaji. 6“Ikiwa ataolewa baada ya kuweka nadhiri
32‘‘ ‘Katika siku ya saba andaeni mafahali au baada ya midomo yake kutamka ahadi fulani
saba, kondoo waume wawili na wana-kondoo bila kufikiri akawa amejifunga hivyo 7na mume
kumi na nne wa mwaka mmoja wote wasio na wake akasikia habari hiyo asimwambie neno lo
dosari. 33Pamoja na mafahali, kondoo waume na lote, ndipo nadhiri zake ama ahadi zake ambazo
wana-kondoo,andaeni sadaka zao za nafaka na alikuwa amejifunga nazo zitathibitika. 8Lakini
sadaka za kinywaji kulingana na idadi ikiwa mume wake atamkataza atakaposikia
iliyoainishwa. 34Ongeza beberu mmoja kama kuhusu hilo, atakuwa ametangua nadhiri
sadaka ya dhambi katika nyongeza ya sadaka ambazo zilikuwa zimemfunga mkewe ama ahadi
ya kawaida ya kuteketezwa na sadaka yake ya aliyotamka pasipo kufikiri ambayo amejifunga
nafaka pamoja na sadaka ya kinywaji. kwayo, BWANA atamwacha huru yule
35‘‘ ‘Katika siku ya nane mtakuwa na mwanamke.
kusanyiko na msifanye kazi ya kawaida. 36Toeni 9“Nadhiri ye yote ama patano ambalo
mmoja na wana-kondoo waume saba wa ataweka nadhiri ama kujifunga mwenyewe kwa
mwaka mmoja, wote wasio na dosari. 37Pamoja ahadi chini ya kiapo 11na mumewe akasikia
na fahali, kondoo mume na wana-kondoo, kuhusu jambo hili lakini asimwambie lo lote wala
andaeni sadaka zao za nafaka na sadaka za hakumkataza, ndipo viapo vyake vyote au ahadi
vinywaji kulingana na idadi iliyoainishwa. zinazomfunga zitakapothibitika. 12Lakini ikiwa
38Ongeza beberu mmoja kama sadaka ya mumewe atabatilisha nadhiri hizo baada ya
dhambi katika nyongeza ya sadaka ya kawaida kuzisikia, basi hakuna nadhiri au ahadi zo zote
ya kuteketezwa na sadaka yake ya nafaka alizoziweka kwa midomo yake zitakazothibitika.
pamoja na sadaka ya kinywaji. Mumewe atakuwa amezibatilisha na BWANA
39‘‘ ‘Zaidi ya kile unachoweka nadhiri na atamweka huru yule mwanamke. 13Mumewe
sadaka zenu za hiari, andaeni hizi kwa ajili ya anaweza kuthibitisha au kutangua nadhiri ye
BWANA kwenye sikukuu zenu zilizoamuriwa: yote anayoweka au ahadi ye yote aliyoweka kwa
37
HESABU
kuapa ili kujikana mwenyewe. 14Lakiniikiwa wanawake wote hai?’’ 16‘‘Wanawake hao ndio
mumewe hasemi lo lote kwake kuhusu jambo waliofuata ushauri wa Balaamu nao ndio
hilo siku baada ya siku, basi mumewe atakuwa waliowasababisha Waisraeli wamwasi BWANA
amethibitisha nadhiri zote na ahadi zote kwa kile kilichotokea kule Peori, kwa hiyo pigo
zinazomfunga mkewe. Anavithibitisha kwa liliwapata watu wa BWANA. 17Sasa wauwe
kutokusema lo lote kwa mkewe anapoyasikia wavulana wote. Pia umuue kila mwanamke
hayo. 15Hata hivyo, ikiwa mumewe atavibatilisha ambae alikwisha fanya tendo la ndoa, 18lakini
baada ya kusikia hayo, basi atawajibika kwa mwacheni hai kwa ajili yenu kila msichana
hatia ya mkewe.’’ ambaye kamwe hajawahi kuzini na
16Haya ndiyo masharti ambayo BWANA mwanamume.
alimpa Mose kuhusu mahusiano kati ya mtu na 19‘‘Ninyi nyote ambao mmeua mtu ye yote
mkewe na kati ya baba na binti yake ambaye au kumgusa mtu ye yote ambaye ameuawa,
bado anaishi nyumbani kwa baba yake. lazima mkae nje ya kambi kwa muda wa siku
saba. Katika siku ya tatu na ya saba lazima
Kulipiza Kisasi Juu ya Wamidiani mjitakase wenyewe pamoja na wafungwa wenu.
BWANA akamwambia Mose, 20Takaseni kila vazi pamoja na kila kitu
31 2“Uwalipize kisasi Wamidiani kwa ajili kilichotengenezwa kwa ngozi, kwa singa za
ya Waisraeli. Halafu baada ya hayo, utakufa.’’ mbuzi au kwa mti.’’
3Kwa hiyo Mose akawaambia watu, 21Kisha kuhani Eleazari aliwaambia askari
“Waandaeni baadhi ya wanaume wenu waende ambao walikuwa wamekwenda vitani, ‘‘Haya
vitani kupigana na Wamidiani ili wawalipize ndiyo matakwa ya sheria ambayo BWANA
kisasi cha BWANA . 4Peleka wanaume moja elfu alimpa Mose: 22Dhahabu, fedha, shaba, chuma,
vitani kutoka kila kabila la Israeli.” 5Kwa hiyo bati, risasi 23na kitu kingine cho chote ambacho
waliandaliwa wanaume kumi na mbili elfu kwa kinaweza kuhimili moto lazima mkipitishe
vita, wanaume moja elfu kutoka kila kabila, kwenye moto, kisha kitakuwa safi. Lakini ni
walitolewa kutoka koo za Israeli. 6Mose lazima pia kitakaswe kwa maji ya utakaso. Kitu
aliwatuma vitani, watu moja elfu kutoka kila cho chote kisichoweza kuhimili moto lazima
kabila, pamoja na Finehasi mwana wa kuhani kipitishwe kwenye yale maji ya utakaso.
Eleazari, ambaye alichukua vyombo vya mahali 24Katika siku ya saba fueni nguo zenu nanyi
walikuwepo wafalme watano wa Midiani, nao ni kuhani Eleazari pamoja na viongozi wa jamaa
Evi, Rekemu, Suri, Huri na Reba. Vile vile ya jumuiya mtahesabu watu wote na wanyama
walimwua Balaamu mwana wa Beori kwa ambao walitekwa. 27Gawanyeni hizo nyara kati
upanga. 9Waisraeli waliwateka wanawake wa ya askari ambao walishiriki katika vita na kwa
Kimidiani pamoja na watoto wao na walichukua jumuiya. 28Kutoka katika fungu la wale
makundi ya ng’ombe, kondoo na mali zao kama waliokwenda kupigana vitani, tenga kama
nyara. 10Walichoma moto miji yote ambayo ushuru kwa ajili ya BWANA kitu kimoja kati ya
Wamidiani walikuwa wanaishi, pamoja na kambi kila mia tano, ikiwa ni wanadamu, ng'ombe,
zao zote. 11Walichukua nyara zote na mateka, punda, kondoo au mbuzi. 29Chukua ushuru huu
pamoja na watu na wanyama, 12nao waliwaleta kutoka katika fungu lao umpe kuhani Eleazari
wafungwa mateka na nyara kwa Mose na kwa kama sehemu ya BWANA. 30Kutoka katika
kuhani Eleazari, nao Waisraeli walikusanyika fungu la Waisraeli,chukua kitu kimoja kati ya
kwenye kambi zao katika tambarare za nchi ya kila hamsini, ikiwa ni wanadamu, ng'ombe,
Moabu, kando ya Yordani ng’ambo ya Yeriko. punda, kondoo, mbuzi au wanyama wengine.
13Mose, kuhani Eleazari na viongozi wote Hivyo uwape Walawi, ambao wanawajibika
wa jumuia wakatoka kuwalaki nje ya kambi. kutunza maskani ya BWANA.” 31Kwa hiyo Mose
14Mose aliwakasirikia maafisa wa jeshi yaani na kuhani Eleazari wakafanya kama BWANA
hao wakuu wa jeshi la maelfu na wakuu wa jeshi alivyomwagiza Mose.
la mamia, ambao walirudi kutoka vitani. 32Nyara zilizobaki kutoka katika mateka
15Mose akawauliza, ‘‘Je, mmewaacha ambayo askari walichukua ni kondoo 675,000,
38
HESABU
33ng’ombe 72,000, 34punda
61,000, 35na Makabila Ng’ambo ya Yordani
wanawake 32,000 ambao hawakumjua mume
kwa kufanya tendo la ndoa.
36Nusu ya fungu la wale waliokwenda
32 Kabila la Wareubeni na Wagadi, ambao
walikuwa na makundi makubwa ya
ng’ombe, kondoo na mbuzi, waliona kuwa nchi
kupigana vitani lilikuwa: ya Yazeri na nchi ya Gileadi ni nzuri kwa mifugo.
2Hivyo walimjia Mose na kuhani Eleazari na
Kondoo 337,500, 37ambayo ushuru kwa ajili viongozi wa jumuiya, na kuwaambia, 3“Atarothi,
ya BWANA ilikuwa kondoo 675, Diboni, Yazeri, Nimra, Heshboni, Eleale,
38ng’ombe 36,000, ambao ushuru kwa ajili ya
Sebamu, Nebo na Beoni, 4nchi ambayo BWANA
BWANA ulikuwa ng’ombe 72, 39punda 30,500 ameishinda mbele ya wana wa Israeli inafaa
ambao ushuru kwa ajili ya BWANA ulikuwa kwa mifugo, nao watumishi wako wana mifugo.
punda 61, 5Kama tumepata kibali mbele ya macho yako,
40Watu 16,000 ambao ushuru kwa ajili ya
nchi hii na ipewe watumishi wako kama miliki
BWANA ulikuwa watu 32. yetu. Usitufanye tuvuke Yordani.’’
41Mose alimpa kuhani Eleazari ushuru kama 6Mose akawaambia Wagadi na Wareubeni,
sehemu ya BWANA, kama BWANA “Je, watu wa nchi yenu watakwenda vitani
alivyomwagiza Mose. wakati ninyi mmeketi hapa? 7Kwa nini
42Ile nusu iliyokuwa ya Waisraeli, ambayo
mmewakatisha Waisraeli tamaa wasivuke katika
Mose aliitenga kutoka kwa ile ya watu nchi ambayo BWANA amewapa? 8Hivi ndivyo
waliokwenda vitani, 43nusu iliyokuwa ya jumuiya baba zenu walivyofanya wakati nilipowatuma
ilikuwa kondoo 337,500, 44ng’ombe 36,000, kutoka Kadeshi-Barma kuipeleleza nchi. 9Baada
45punda 30,500, 46na wanadamu 16,000.
ya kufika kwenye Bonde la Eshkeli na
47Kutoka hiyo nusu iliyokuwa ya Waisraeli, Mose
kuitazama nchi waliwakatisha tamaa Waisraeli
alichagua moja kati ya kila hamsini ya wasiingie katika nchi ambayo BWANA alikuwa
wanadamu na wanyama, kama BWANA amewapa. 10Siku ile hasira ya BWANA iliwaka
alivyomwagiza naye aliwapa Walawi, ambao naye akaapa kiapo hiki: 11‘Kwa kuwa
waliwajibika kutunza maskani ya BWANA. hawakunifuata kwa moyo, hakuna mtu ye yote
48Kisha maafisa ambao walikuwa juu ya
mwenye miaka ishirini au zaidi ambao walikuja
vikosi vya jeshi, wakuu wa jeshi wa maelfu na kutoka Misri watakaoona nchi niliyoahidi kwa
wakuu wa jeshi la mamia, walimwendea Mose kiapo kwa Abrahamu, Isaka na Yakobo,
49na kumwambia, “Watumishi wako 12hakuna hata mmoja isipokuwa Kalebu mwana
wamehesabu askari walio chini ya amri yetu na wa Yefune Mkenizi, na Yoshua mwana wa Nuni,
hakuna hata mmoja aliyekosekana. 50Kwa hiyo kwa sababu walimfuata BWANA kwa moyo
tumeleta kama sadaka kwa BWANA vyombo wote.’ 13Hasira ya BWANA iliwaka dhidi ya
vya dhahabu kila mmoja wetu alivyopata, Waisraeli na akawafanya watangetange katika
vikuku, bangili, pete za mhuri, vipuli na mikufu, ili jangwa kwa miaka arobaini, mpaka kizazi chote
kufanya upatanisho kwa ajili yetu mbele za cha wale waliofanya maovu mbele yake
BWANA.’’ kimeangamia.
51Mose na kuhani Eleazari wakapokea 14“Nanyi mko hapa, uzao wa wenye dhambi,
kutoka kwao dhahabu na vyombo vyote mkisimamia mahali pa baba zenu na mkimfanya
vilivyonakishiwa. 52Dhahabu yote kutoka kwa BWANA kuwakasirikia Waisraeli hata zaidi.
wakuu wa jeshi wa maelfu na wakuu wa jeshi 15Kama mkigeuka na mkiacha kumfuata,
wa mamia ambavyo Mose na kuhani Eleazari atawaacha tena watu hawa wote jangwani na
walimletea BWANA kama zawadi ilikuwa shekeli mtakuwa sababu ya maangamizi yao.’’
16,750 a , 53Kila askari alikuwa amejichukulia 16Ndipo wakamjia Mose na kumwambia,
nyara zake binafsi. 54Mose na kuhani Eleazari “Tungalitaka kujenga mazizi hapa kwa ajili ya
walipokea dhahabu kutoka kwa wakuu wa jeshi mifugo yetu na miji kwa ajili ya wanawake wetu
la maelfu na wakuu wa jeshi la mamia, na watoto. 17Lakini sisi tuko tayari kuchukua
wakazileta katika Hema la kukutania kama silaha zetu na kutangulia mbele ya Waisraeli
ukumbusho kwa Waisraeli mbele za BWANA. mpaka tutakapowaleta mahali pao. Wakati huo
wanawake wetu na watoto wataishi katika miji
yenye ngome, kwa ajili ya ulinzi dhidi ya wenyeji
a52 Shekeli 16,750 ni sawa na uzito wa kilo 200 hivi. wa nchi. 18Hatutarudi nyumbani mwetu mpaka
39
HESABU
kila Mwiisraeli amepokea urithi wake. pamoja na miji yake na nchi inayowazunguka.
19Hatutapokea urithi wo wote pamoja nao 34Wagadi wakajenga Diboni, Atarothi,
ng’ambo ya pili ya Yordani, kwa sababu urithi Aroeri, 35 Atroth-shofani, Yazeri, Yogbeha,
wetu umekuja kwetu upande wa mashariki ya 36Beth-nimra na Beth-harani kama miji
Yordani.’’ iliyozungushiwa ngome, tena wakajenga mazizi
20Kisha Mose akawaambia, “Kama mtafanya kwa ajili ya makundi yao ya mbuzi na kondoo.
jambo hili, kama mtajivika silaha mbele ya 37Nao Wareubeni wakajenga upya miji ya
BWANA kwa ajili ya vita, 21na kama ninyi nyote Heshboni, Eleale na Kiriathaimu, 38pia Nebo na
mtakwenda mmejivika silaha ng’ambo ya Baal-meoni (majina ya hiyo miji yalibadilishwa)
Yordani mbele za BWANA mpaka awe na Sibma. Miji waliyoijenga upya waliipa majina.
amewafukuza adui zake mbele zake, 22hadi 39Wazao wa Makiri mwana wa Manase
Nayo nchi hii itakuwa milki yenu mbele za Manase nchi ya Gileadi nao wakakaa huko.
BWANA. 41Yairi, mzao wa Manase, akateka makao yao
23“Lakini mkishindwa kufanya hili, mtakuwa akayaita Hawoth-Yairi. 42Naye Noba akateka
mnatenda dhambi dhidi ya BWANA, nanyi iweni Kenathi na makao yaliyoizunguka akayaita Noba
na hakika kuwa dhambi yenu itawapata. kwa jina lake.
24Jengeni miji kwa ajili ya wanawake na watoto
wenu na mazizi kwa ajili ya mbuzi na kondoo Vituo Katika Safari ya Waisraeli
zenu, lakini fanyeni yale mliyoahidi.’’
25Wagadi na Wareubeni wakamwambia
40
HESABU
kando ya bahari ya Shamu. 36Wakaondoka Esion-geberi na kupiga
11Wakaondoka kando ya bahari ya kambi huko Kadeshi katika Jangwa la Sini.
Shamu na kupiga kambi katika jangwa la 37Wakaondoka Kadeshi na kupiga
Sini. kambi kwenye Mlima Hori, mpakani mwa
12Wakaondoka katika jangwa la Sini, Edomu. 38Kwa amri ya BWANA, kuhani
wakapiga kambi huko Dofka. Aroni alipanda Mlima Hori, mahali alipofia
13Wakaondoka Dofka wakapiga kambi katika siku ya kwanza ya mwezi wa tano
huko Alushi. mwaka wa arobaini baada ya Waisraeli
14Wakaondoka Alushi wakapiga kambi kutoka Misri. 39Aroni alikufa juu ya Mlima
Refidimu, mahali ambapo hapakuwa na maji Hori akiwa na umri wa miaka mia moja na
kwa ajili ya watu kunywa. ishirini na mitatu.
15Wakaondoka Refidimu na kupiga 40Mfalme Mkanaani wa Aradi, ambaye
41
HESABU
55“ ‘Lakini kama hamkuwafukuza wenyeji 16BWANA akamwambia Mose, 17“Haya
wakaao katika nchi hiyo, wale mtakaowaruhusu ndiyo majina ya watu ambao watakusaidia
wabaki watakuwa kama miiba kwenye macho kugawanya nchi kama urithi. Eleazari kuhani na
yenu na miiba kwenu kila upande. Yoshua mwana wa Nuni. 18Tena uteue kiongozi
Watawasumbua katika nchi mtakayoishi. 56Kisha mmoja kutoka kila kabila kusaidia kuigawanya
nitawatenda ninyi kile ambacho nimepanga nchi. 19Haya ndiyo majina yao:
kuwatenda wao.’’
Kalebu mwana wa Yefune,
Mipaka ya Kanaani kutoka kabila la Yuda
20Shemueli mwana wa Amihudi,
BWANA akamwambia Mose,
34 2“Waamuru Waisraeli na uwaambie: kutoka kabila la Simeoni,
21Elidadi mwana wa Kisloni,
‘mtakapoingia nchi ya Kanaani, nchi ambayo
kutoka kabila la Benyamini,
itagawanywa kwenu kama urithi itakuwa na 22Buki mwana wa Yogli,
mipaka ifuatayo:
kiongozi kutoka kabila la Dani,
23Hanieli mwana wa Efodi,
3“ ‘Upande wenu wa kusini utajumuisha
kiongozi kutoka kabila la Manase mwana wa
sehemu ya jangwa la Sini kufuata mpaka wa
Yosefu,
Edomu, upande wa mashariki mpaka wenu wa 24Kemueli mwana wa Shiftani,
kusini utaanzia mwisho wa Bahari ya Chumvi,
4katiza kusini mwa Pito la Akrabimu, endelea kiongozi kutoka kabila la Efraimu mwana wa
Yosefu,
mpaka Sini na kwenda kusini ya Kadesh 25Elisafani mwana wa Parnaki,
Barnea. Kisha mpaka huo utaenda hadi Hasar-
kiongozi kutoka kabila la Zabuloni,
Adari hadi Azmoni, 5mahali ambapo utapinda na 26Patieli mwana wa Azani,
kuunganika na mpaka wa Misri na kumalizikia
kiongozi kutoka kabila la Isakari,
kwenye Bahari ya Kati. 27Ahihudi mwana wa Shelomi,
6“ ‘Mpaka wenu wa magharibi utakuwa
kiongozi kutoka kabila la Asheri,
Bahari ya Kati. Huu utakuwa mpaka wenu 28Pedaheli mwana wa Amihudi,
upande wa magharibi.
7“ ‘Kwa mpaka wenu wa kaskazini, wekeni kiongozi kutoka kabila la Naftali.”
29Hawa ndio watu ambao BWANA aliamuru
alama kuanzia Bahari ya Kati hadi mlima Hori
8na kutoka mlima Hori hadi Pito la Hamathi. kuwa wagawanye urithi kwa Waisraeli katika
nchi ya Kanaani.
Kisha mpaka utaenda hadi Sedadi, 9kuendelea
hadi Zifroni na kuishia Hazar Enani. Huu
Miji kwa ajili ya Walawi
utakuwa mpaka wenu upande wa kaskazini.
10“ ‘Kwa mpaka wenu wa mashariki, wekeni
mingi, lakini uchukue miji michache kwa kabila mipaka ya mji wa makimbilio ambao
lile lenye miji michache.” amekimbilia, 27na mlipiza kisasi wa damu
9Kisha BWANA akamwambia Mose: akimkuta nje ya mji, mlipiza kisasi wa damu
10“Sema na Waisraeli uwaambie: ‘Wakati anaweza kumwua mshtakiwa huyo bila kuwa na
mtakapovuka Yordani kuingia Kanaani, hatia ya kuua. 28Mshtakiwa lazima akae katika
“chagueni baadhi ya miji iwe miji yenu ya mji wake wa makimbilio mpaka atakapokufa
makimbilio, ambayo mtu ambaye amemua kuhani mkuu, atarudi tu kwenye mali yake
mwenzake bila kukusudia aweze kukimbilia. baada ya kifo cha kuhani mkuu.
12Itakuwa mahali pa kukimbilia kutoka mlipiza 29“ ‘Hizi ndizo kanuni za sheria
kisasi, ili kwamba mtu aliyeshtakiwa kwa mauaji zitakazohitajiwa kwenu na katika vizazi vyenu
asife kabla ya kujitetea mbele ya mkutano. 13Miji vijavyo, po pote mtakapoishi.
hii sita mtakayoitoa itakuwa miji yenu ya 30“ ‘Ye yote anayeua mtu atauawa kama
makimbilio. 14Mtatoa miji mitatu ng’ambo hii ya muuaji ikiwa tu kuna ushuhuda wa mashahidi.
Yordani na mitatu upande wa Kanaani kama miji Lakini hakuna mtu atakayeuawa kwa ushuhuda
ya makimbilio. 15Miji hii sita itakuwa mahali pa wa shahidi mmoja tu.
makimbilio kwa ajili ya Waisraeli, wageni na 31“ ‘Usikubali fidia ye yote ya kuokoa uhai
watu wengine wo wote wanaoishi katikati yenu, wa muuaji ambaye anastahili kufa. Mtu huyo
ili kwamba mtu ye yote ambaye ameua mtu hakika lazima auawe.
mwingine pasipo kukusudia aweze kukimbilia 32“ ‘Usikubali fidia ya mtu ye yote ambaye
analo jiwe mkononi mwake ambalo laweza damu hunajisi nchi, na upatanisho hauwezekani
kuua, naye akampiga mwenzake akafa, yeye ni kufanyika katika nchi ambayo damu
mwuaji, mwuaji huyo sharti atauawa. 18Au kama imemwagwa, isipokuwa tu kwa damu ya yule
mtu ana chombo cha mti mkononi mwake aliyeimwaga damu. 34Msiinajisi nchi mnayoishi
ambacho chaweza kuua, naye akampiga ambayo nami ninakaa, kwa kuwa Mimi,
mwenzake akafa, yeye ni mwuaji, mwuaji huyo BWANA, ninakaa katikati ya Waisraeli.’ ’’
sharti atauawa. 19Mlipiza kisasi cha damu
atamwua mwuaji, wakati akikutana naye, Urithi wa binti za Selofehadi
atamwua. 20Ikiwa mtu ana chuki ya siku nyingi
na mwenzake akamsukuma au akamtupia kitu 36 Viongozi wa jamaa ya ukoo wa Gileadi
mwana wa Makiri, mwana wa Manase,
kwa kukusudia naye akafa, 21au ikiwa katika ambao walikuwa wametoka katika koo za wazao
uadui akampiga ngumi naye akafa, mtu yule wa Yosefu, walikuja na kuzungumza mbele ya
sharti atauawa, yeye ni mwuaji. Mlipiza kisasi Mose na viongozi, wakuu wa jamaa ya
cha damu atamwua mwuaji atakapokutana Waisraeli. 2Wakasema, “Wakati BWANA
naye. alipomwamuru bwana wangu kuwapa Waisraeli
22“ ‘Lakini kama mtu akimsukuma mwenzie nchi kama urithi kwa kura, alikuamuru kutoa
ghafla pasipo chuki, au kumtupia kitu pasipo urithi wa ndugu yetu Selofehadi kwa binti zake.
kukusudia, 23au pasipo kumwona, 3Sasa ikiwa wataolewa na watu wa makabila
akimwangushia jiwe ambalo laweza kumua, mengine ya Kiisraeli, itakuwa kwamba urithi wao
43
HESABU
utaondolewa kutoka urithi wa mababu zetu na
kuongezwa katika urithi wa kabila ambalo dada
hao wameolewa. Kwa hiyo sehemu ya urithi
tuliyogawiwa itachukuliwa kutoka kwetu. 4Wakati
mwaka wa Yubile kwa Waisraeli utakapofika,
urithi wao utaongezwa kwa lile kabila ambalo
wameolewa na mali yao itaondolewa kutoka
urithi wa kabila la mababu zetu.”
5Ndipo kwa agizo la BWANA Mose akatoa
44
KUMBUKUMBU LA TORATI
Utangulizi
Kumbukumbu la Torati limetokana na neno la Kiyunani ‘’ Deuteronomion’’ ambalo maana yake ni ‘‘ kutolewa kwa amri
mara ya pili.‘’ Kitabu hiki kilipewa jina hili na watafsiri wa (Septuagint), yaani, Agano la Kale kwa Kiyunani.Katika hotuba
zilizonakiliwa katika Kumbukumbu la Torati, Mose anafanya ufupisho wa dini ya Wairaeli kuwa agano lililotolewa kwa baba
zao wakuu kuwa ndilo msingi wa uhusiano ulioanzishwa na Mungu baina Yake na Waisraeli, wala si sheria, ambalo sasa
linadhihirishwa kwa Waisraeli kwa kuokolewa kutoka Misri na kutunzwa kwa muda wote wa kutangatanga huko jangwani.
Baada ya miaka arobaini, Waisraeli walikuwa wamekaribia kuingia katika Nchi ya Ahadi. Lakini kabla ya kufanya hivyo,
Mose alitaka kuwakumbusha historia yao, yaani, yale yote ambayo Mungu alikuwa amewatendea, pamoja na amri zile zote
walizopaswa kuendelea kutii kama taifa teule la Mungu.
Kusudi kubwa la Mose lilikuwa wao Waisraeli waitikie upendo wa Mungu kwa moyo wote.Hii ndiyo njia pekee ambayo
wangeweza kuendelea kufurahia upendeleo wa Mungu na baraka Zake.Upendo wa halisi kwa Muingu ungekuwa ushahidi
katika kicho na heshima kwa Mungu na kujitoa kwao Kwake.Hivyo kwa asili, wangetii maagizo ya kimungu yanayohusu
kuishi maisha matakatifu.
Mazungumzo ya kwanza ya Mose yalikuwa kuwakumbusha watu wema wa Mungu kwa kipindi chote cha safari ili
kuwapa nchi ya Kanaani. Mazungumzo ya pili yalikuwa ni muhtasari wa sheria za Mungu zikiwepo Amri kumi. Mose
aliwaambia watu ‘‘Mpende BWANA Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa nafsi yako yote na kwa nguvu zako zote,’’
(6 :5) ili waweze kuendelea kuzifurahia baraka za Mungu. Pia Mose alitilia mkazo ukweli kwamba ili waweze kuwa na
uhusiano mzuri na Mungu, ilikuwa ni lazima watu wawafundishe watoto wao kumpenda Mungu na kuzitii amri zake.
Kutokana na hilo haki na uadilifu ungepenya katika maisha yao ya kila siku, kadiri ambavyo upendo wao ungeelekezwa
kwa ndugu wa kiume na wa kike.
Ili kudumisha uhusiano huu muhimu wa upendo kati ya Waisraeli na Mungu, wazazi waliagizwa kuwafundisha watoto
wao(4 :9-10 ; 6 :7) kumcha Mungu kwa mafundisho na kwa kielelezo. Kwa njia ya kuadhimisha zile sikukuu za mwaka,
yaani, Pasaka, Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa Chachu,Sikukuu ya Majuma, Sikukuu ya Vibanda, Pentekoste, pamoja na yale
makusanyiko mengine, Waisraeli walivikumbusha vizazi vingine vilivyofuata juu ya upendo wa Mungu ulioonyeshwa
kwenye ukombozi wao toka Misri na kuendelea kwao kutunzwa Naye kwa kuwapa mazao.
Kumbukumbu la Torati linaishia likiwakumbusha Waisraeli juu ya agano ambalo Mungu alifanya nao (Kumbukumbu la
Torati 29), kuteuliwa kwa Yoshua kuwa kiongozi mpya (Kumbukumbu la Torati 31) na kifo cha Mose (Kumbukumbu la
Torati 34).
Wazo Kuu
Kuwakumbusha Waisaeli juu ya agano la Mungu na baba zao, kuwapa mwongozo jinsi ya kudumisha hilo agano kwa
kumpenda Mungu kwa moyo wote na kuwapenda wengine.Upendo na utii ndio mkazo mkuu katika kitabu hiki.
Mwandishi
Inakubalika kwamba Mose ndiye aliyeandika kitabu hiki isipokuwa hii sura inayoelezea juu ya kifo chake.
Tarehe
Kiliandikwa kama 1645 K.K.
Mahali
Kaitka nchi tambarare ya Moabu, Mashariki mwa mto Yordani, karibu na Yeriko, wakiwa wanaikabili nchi ya Kanaani, kabla
tu ya kuvuka kuingia (1 :5 ; 34 :1-12).
Wahusika Wakuu
Mose, Yoshua na Waisraeli
Mgawanyo
• Mazungumzo ya kwanza ya Mose. (1:1-4:43)
• Mazungumzo ya pili ya Mose. (4:44-11:32)
• Sheria za maisha ya kila siku. (12:1-26 :29)
• Matokeo ya kutii na kutokutii. (27:1-28:68)
• Kufanya upya agano. (29:1-30:20)
• Baraka za Mose kwa Israeli na kifo chake. (31:1-34:12)
KUMBUKUMBU LA TORATI
Amri Ya Kuondoka Mlima Horebu maafisa wa makabila. 16Nami wakati ule
Haya ni maneno Mose aliyoyasema kwa nikawaagiza waamuzi wenu: “Sikilizeni magomvi
1 Israeli yote jangwani mashariki ya kati ya ndugu zenu na mwamue kwa haki, hata
Yordani, ambayo iko katika Araba inayokabiliana kama shauri ni kati ya ndugu wa Kiisraeli au kati
na Sufu kati ya Parani, Tofeli, Labani, Hazerothi ya mmoja wa ndugu wa Kiisraeli na mgeni.
na Dizahabu. 2(Ni mwendo wa siku kumi na 17Msionyeshe upendeleo katika maamuzi,
moja kutoka Horebu kwa njia ya Mlima Seiri wasikilizeni wote sawasawa, wadogo na
mpaka Kadesh Barnea. wakubwa. Msimwogope mtu ye yote kwa kuwa
3Katika mwaka wa arobaini, siku ya kwanza hukumu ni ya Mungu, mniletee mimi shauri lo
ya mwezi wa kumi na moja, Mose aliwatangazia lote lililo gumu sana kwenu, nami nitalisikiliza.
Waisraeli yale yote BWANA aliyomwamuru 18Nami wakati ule niliwaambia kila kitu ambacho
Wakanaani hadi Lebanoni, na kufika mto “Tupeleke watu watutangulie kuipeleleza nchi
mkubwa Eufrati. Tazama, nimewapa ninyi nchi
8 kwa ajili yetu na kutuletea taarifa kuhusu njia
hii. Ingieni mkaimiliki nchi ambayo BWANA tutakayopita na miji tutakayoiendea.’’
aliapa kuwa angaliwapa baba zenu, Abrahamu, 23Wazo hilo lilionekana zuri kwangu, kwa
Isaki na Yakobo pamoja na vizazi vyao baada hiyo niliwachagua watu wenu kumi na wawili,
yao.’ ” mwanaume mmoja kutoka kila kabila.
24Waliondoka na kukwea katika nchi ya vilima,
mzigo mzito sana kwangu kuwachukua peke wakatuletea na kutuarifu. “Ni nchi nzuri ambayo
yangu. BWANA Mungu wenu ameongeza
10 BWANA Mungu wetu anatupa.’’
hesabu yenu kwamba leo ninyi ni wengi kama
nyota za angani. 11Naye BWANA Mungu wa Uasi Dhidi Ya BWANA
baba zenu, na awaongeze mara elfu na 26Lakini hamkuwa tayari kukwea, mkaasi
kuwabariki kama alivyoahidi! 12Lakini mimi dhidi ya amri ya BWANA Mungu wenu.
nitawezaje kubeba matatizo yenu na mizigo 27Mkanun’gunika ndani ya mahema yenu na
yenu na magomvi yenu peke yangu?. kusema, “BWANA anatuchukia, kwa hiyo
13Chagueni baadhi ya watu wenye hekima, alitutoa Misri ili kututia mikononi mwa Waamori
wenye ufahamu na wanaoheshimika kutoka kutuangamiza. 28Twende wapi? Ndugu zetu
katika kila kabila lenu, nami nitawaweka juu wametufanya kufa moyo. Wanasema, ‘Watu wa
yenu.” huko wana nguvu zaidi na ni warefu kuliko sisi
14Mlinijibu, “Shauri ulilolitoa ni zuri.’’ tulivyo, miji ni mikubwa, yenye kuta zilizofika juu
15Kwa hiyo niliwachukua wanaume viongozi angani. Zaidi ya hayo tumewaona Waanaki
wa makabila yenu, wenye hekima na huko.’ ’’
wanaoheshimika, nami nikawateua wawe na 29Ndipo nikawaambia, “Msihofu, wala
mamlaka juu yenu kama majemadari wa maelfu, msiwaogope. 30 BWANA Mungu wenu
wa mamia, wa hamsini na wa makumi na kama anayewatangulia, atawapigania, kama
2
KUMBUKUMBU LA TORATI
alivyofanya kwa ajili yenu huko Misri, mbele ya kuzunguka vilima katika nchi ya Seiri.
macho yenu hasa, 31pia huko jangwani. Huko 2Kisha BWANA akaniambia, 3‘‘Umetembea
mliona jinsi BWANA Mungu wenu kuzunguka hii nchi ya vilima kwa muda wa
alivyowachukua, kama baba amchukuavyo kutosha, sasa geukia kaskazini. 4Wape watu
mwanawe, katika njia yote mliyoiendea mpaka maagizo haya: ‘Mko karibu kupita katikati ya
mkafika mahali hapa.” nchi ya ndugu zako ambao ni wazao wa Esau,
32Pamoja na hili, hamkumtegemea BWANA ambao wanaishi Seiri. Watawaogopa, lakini
Mungu wenu, 33ambaye aliwatangulia katika mwe waangalifu. 5Msiwachokoze kwa vita kwa
safari yenu, kwa moto usiku na kwa wingu maana sitawapa ninyi sehemu yo yote ya nchi
mchana, kuwatafutia mahali penu pa kupiga yao, hata sehemu ya kutosha kuweka wayo
kambi na kuwaonyesha njia mtakayoiendea. wenu juu yake. Nimempa Esau nchi ya vilima ya
34Wakati BWANA aliposikia lile mlilosema, Seiri kama yake mwenyewe. 6Mtawalipa fedha
alikasirika akaapa, akasema: “Hakuna mtu wa
35 kwa chakula mtakachokula na maji
kizazi hiki kiovu atakayeona nchi nzuri niliyoapa mtakayokunywa.’ ’’
kuwapa baba zenu, 36isipokuwa Kalebu mwana 7 BWANA Mungu wenu amewabariki kwa
wa Yefune. Yeye ataiona, nami nitampa yeye na kazi yote ya mikono yenu. Amewalinda katika
wazao wake nchi aliyoikanyaga kwa miguu, kwa safari yenu katikati ya jangwa hili kubwa. Kwa
sababu alimfuata BWANA kwa moyo wote.” miaka hii arobaini BWANA Mungu wenu
37Kwa sababu yenu BWANA pia amekuwa pamoja nanyi na hamkupungukiwa na
alinikasirikia mimi akasema, “Hutaingia hiyo nchi kitu cho chote.
pia. Lakini msaidizi wako, Yoshua mwana wa
38 8Basi tulipita kwa ndugu zetu wazao wa
Nuni, ataiingia. Mtie moyo, kwa sababu Esau ambao wanaishi Seiri. Tuligeuka kutoka
atawaongoza Waisraeli kuirithi hiyo nchi. Wale
39 njia ya Araba ambayo inatokea Elathi na Esion-
watoto ambao mliwasema wangelichukuliwa geberi, tukasafiri kufuata njia ya jangwa la
mateka, yaani watoto wenu ambao bado Moabu.
hawajui jema na baya wataingia katika nchi. 9Kisha BWANA akaniambia, “Usiwasumbue
Nitawapa hiyo nchi nao wataimiliki. 40Bali ninyi, Wamoabi kwa vita, kwa kuwa sitawapa sehemu
geukeni, mwondoke kuelekea jangwani kwa yo yote ya nchi yao. Nimetoa nchi ya Ari kwa
kufuata njia ya Bahari ya Shamu.’’ wazao wa Loti kama milki yao.’’
41Ndipo mkanijibu, “Tumemtenda BWANA 10(Waemi walikuwa wakiishi huko hapo
dhambi. Tutakwenda kupigana, kama BWANA zamani, watu wenye nguvu, wengi na warefu
Mungu wetu alivyotuamuru.” Hivyo kila mmoja kama Waanaki. 11Kama walivyokuwa Waanaki,
wenu akachukua silaha zake, huku mkifikiri hao pia walikuwa kama Warefai, lakini
kuwa ni rahisi kukwea katika nchi ya vilima. Wamoabu waliwaita Waemi. 12Wahori waliishi
42Lakini BWANA aliniambia, “Waambie, Seiri, lakini wazao wa Esau waliwafukuza.
‘msipande kupigana, kwa sababu sitakuwa Wakawaangamiza Wahori na kukaa mahali pao,
pamoja nanyi. Mtashindwa na adui zenu.’ ’’ kama Waisraeli walivyofanya katika nchi
43Hivyo niliwaambia, lakini hamkutaka ambayo BWANA aliwapa kama milki yao.)
kusikia. Mliasi dhidi ya amri ya BWANA na 13BWANA akasema, “Sasa ondokeni mvuke
katika kiburi chenu mlienda katika nchi ya vilima. Bonde la Zeredi.” Hivyo tukavuka bonde.
44Waamori ambao waliishi katika vilima hivyo 14Miaka thelathini na minane ilipita tangu
waliinuka dhidi yenu, wakawafukuza kama kundi wakati tulipoondoka Kadesh-Barnea mpaka
la nyuki wakiwapiga njia yote ya Seiri mpaka tulipovuka Bonde la Zeredi. Kwa wakati huo kile
Horma. Mlirudi na kulia mbele za BWANA,
45 kizazi chote cha wanaume kuanzia wale
lakini Mungu hakusikiliza kilio chenu, wala wawezao kwenda vitani kilikuwa kimekufa, kama
hakuwajali. Hivyo mlikaa Kadeshi kwa siku
46 BWANA alivyokuwa amewaapia. 15Mkono wa
nyingi, kwa muda wote mlikaa huko. BWANA uliwakabili hadi alipowaangamiza wote
huko kambini.
Kutangatanga Jangwani 16Ikawa baada ya mtu wa mwisho kuanzia
3
KUMBUKUMBU LA TORATI
kuwa sitawapa ardhi yo yote iliyo ya Waamori mtu hata mmoja. 35Lakini mifugo na nyara
kuwa milki yenu. Nimeitoa kama milki ya wazao tulizoziteka kutoka ile miji tulijichukulia
wa Loti.’’ wenyewe. 36Kutoka Aroeri kwenye ukingo wa
20(Hiyo pia ilidhaniwa kuwa nchi ya Warefai bonde la Arnoni, kutoka mji ulio ndani ya bonde,
waliokuwa wakiishi huko, lakini Waamoni hata mpaka Gileadi hapakuwa na mji hata
waliwaita Wazamzumi. 21Walikuwa watu wenye mmoja uliokuwa na nguvu kutushinda. BWANA
nguvu na wengi, warefu kama Waanaki, Mungu wetu alitupa yote. 37Lakini kulingana na
BWANA akawaangamiza kutoka mbele ya amri ya BWANA Mungu wetu, hamkujiingiza
Waamoni, ambao waliwafukuza na kukaa katika nchi yo yote ya Waamori, wala katika
mahali pao. BWANA alikuwa amefanya hivyo
22 sehemu yo yote iliyo kando kando ya mto
kwa wazao wa Esau, ambao waliishi Seiri, Yaboki au katika miji iliyoko katika vilima, au
wakati alipowaangamiza Wahori watoke mbele po pote pengine alipotukataza BWANA Mungu
yao. Waliwafukuza na wao wakaishi mahali pao wetu.
mpaka leo. Nao Waavi ambao waliishi katika
23
vijiji mpaka Gaza, Wakaftori waliokuja kutoka Kushindwa Kwa Ogu Mfalme Wa Bashani
Kaptori waliwaangamiza na kukaa mahali pao.)
3 Kisha tukageuka tukakwea kufuata
barabara iliyoelekea Bashani, Ogu mfalme
Kushindwa Kwa Sihoni Mfalme Wa wa Bashani akaondoka na jeshi lake lote
Heshboni kupigana na sisi huko Edrei. 2BWANA
24‘‘Ondoka sasa na uvuke bonde la Arnoni. akaniambia, “Usimwogope kwa kuwa
Tazama, nimemweka Sihoni Mwamori mikononi nimekwisha mkabidhi mikononi mwako pamoja
mwako, mfalme wa Heshboni na nchi yake. na jeshi lake lote na nchi yake. Umfanyie
Anza kuimiliki nchi hiyo na umwingize katika sawasawa na ulivyomfanyia Sihoni mfalme wa
vita. 25Siku hii ya leo nitaanza kuwatia hofu na Waamori ambaye alitawala huko Heshboni.’’
woga mataifa yote chini ya mbingu wawaogope 3Hivyo BWANA Mungu wetu pia akamweka
ninyi. Watakaposikia taarifa zenu, watatetemeka Ogu mfalme wa Bashani pamoja na jeshi lake
na kufadhaika kwa sababu yenu.’’ lote mikononi mwetu. Tuliwaangamiza wote,
26Kutoka jangwa la Kedemothi nilituma hakubakia hata mmoja. 4Wakati huo tuliteka miji
wajumbe wenye maneno ya amani kwa Sihoni yake yote. Hakuna mji hata mmoja kati ya ile
mfalme wa Heshboni kusema, ‘‘Turuhusu 27 sitini ambao hatukuuteka, yaani eneo lote la
tupite katika nchi yako. Tutapita katika barabara Argobu, utawala wa mfalme Ogu katika Bashani.
kuu, hatutageuka kuume wala kushoto. Tuuzie28 5Miji yote hii ilijengewa ngome zenye kuta ndefu
chakula tule na maji tunywe kwa thamani yake zenye malango na makomeo, pia kulikuwako na
katika fedha. Turuhusu tu tupite kwa miguu, vijiji vingi ambavyo havikujengewa kuta.
29kama wazao wa Esau ambao wanaishi Seiri 6Tuliwaangamiza kabisa, kama tulivyomfanyia
wako ameifanya roho yake kuwa ngumu na kwa wafalme hawa wawili wa Waamori nchi ya
moyo wake kuwa mkaidi ili amweke kwenye mashariki ya Jordani, kutoka bonde la Arnoni
mikono yenu, kama alivyofanya sasa. mpaka kufika kwenye Mlima Hermoni.
31BWANA akaniambia, ‘‘Tazama, nimeanza 9(Wasidoni huuita mlima huo Sirioni, na
kuwapa mfalme Sihoni na nchi yake. Sasa Waamori huuita Seniri.) 10Tuliteka miji yote
anzeni kuishinda na kuimiliki nchi yake.’’ kwenye uwanda wa juu, Gileadi yote, Bashani
32Wakati Sihoni pamoja na jeshi lake lote yote mpaka kufika Saleka na Edrei, miji ya
walipokuja kukutana nasi katika vita huko utawala wa mfalme Ogu huko Bashani.
Yahazi, 33 BWANA Mungu wetu alimweka 11Mfalme Ogu ndiye peke yake aliyesalia
mikononi mwetu nasi tukamwangamiza pamoja miongoni mwa mabaki ya Warefai, kitanda
na wanawe na jeshi lake lote. 34Kwa wakati ule chake kilikuwa cha chuma chenye urefu wa
tuliteka miji yake yote na kuiangamiza kabisa:
wanaume, wanawake na watoto. Hatukubakiza
4
KUMBUKUMBU LA TORATI
dhiraa tisa a na upana wa dhiraa nne b . Mpaka 23Wakati huo nilimsihi BWANA: 24“Ee
wanaume wenu wote wenye uwezo, wakiwa BWANA alichokifanya kule Baali-Peori. BWANA
wamejiandaa tayari kwa vita, wavuke ng’ambo Mungu wenu aliwaharibu kutoka miongoni
ya pili wakiwatangulia ndugu zako Waisraeli. mwenu kila mmoja aliyemfuata Baali wa Peori,
19Lakini wake zenu, watoto wenu na mifugo 4lakini ninyi nyote mlioshikamana na BWANA
yenu, (kwani najua mnayo mifugo mingi,) kwa uthabiti, Mungu wenu, mko hai mpaka leo.
wanaweza kukaa katika miji niliyowapa, mpaka 20 5Tazama, nimewafundisha amri na sheria
hapo BWANA atakapowapa ndugu zenu kama BWANA Mungu wangu alivyoniamuru
kupumzika kama alivyowapa ninyi, wao pia mimi, ili mzifuate katika nchi mnayoingia
wamiliki ile nchi ambayo BWANA Mungu wenu kuimiliki. 6Zishikeni kwa uangalifu, kwa kuwa hii
anawapa, ng’ambo ya Yordani. Baada ya hapo, itaonyesha hekima na ufahamu wenu kwa
kila mmoja wenu anaweza kurudi kwenye milki mataifa, ambayo yatasikia kuhusu amri zote hizi,
niliyowapa.” nao watasema, “Hakika taifa hili kubwa ni watu
wenye hekima na ufahamu.’’ 7Ni taifa gani
Mose Akataliwa kuvuka Yordani jingine lililo kubwa kiasi cha kuwa na miungu
21Wakati huo nilimwamuru Yoshua, yao iliyo karibu nao kama BWANA Mungu wetu
“Umejionea kwa macho yako mwenyewe yale alivyo karibu nasi wakati wo wote
yote ambayo BWANA Mungu wenu tunapomwomba? 8Nalo ni taifa gani jingine lililo
amewafanyia wafalme hawa wawili. BWANA kubwa hivi lenye kuwa na amri na sheria za haki
atazifanyia falme zote huko mnakokwenda vivyo kama hizi ninazoweka mbele yenu leo?
hivyo. 22Msiwaogope, BWANA Mungu wenu 9Mwe waangalifu, na makini ili msije
moto mpaka mbinguni juu, pamoja na mawingu atawatawanya miongoni mwa mataifa na ni
meusi na giza nene. 12 Ndipo BWANA wachache wenu tu watakaosalia miongoni mwa
alipozungumza nanyi kutoka katika moto. mataifa hayo ambayo BWANA atawafukuzia.
Mkasikia sauti ya maneno lakini hamkuona 28Huko mtaabudu miungu ya miti na mawe
sitavuka Yordani, lakini ninyi ni karibu mvuke kuwa BWANA ndiye Mungu, hakuna mwingine
mkaimiliki ile nchi nzuri. Jihadharini msilisahau
23 ila Yeye. 36Kutoka mbinguni amewasikizisha
agano la BWANA Mungu wenu lile alilofanya sauti yake ili kuwaadilisha. Hapa duniani
nanyi, msijitengenezee sanamu katika umbo la aliwaonyesha moto wake mkubwa, nanyi
kitu cho chote ambacho BWANA Mungu wenu mlisikia maneno yake kutoka kwenye ule moto.
amewakataza. Kwa kuwa BWANA Mungu
24 37Kwa sababu aliwapenda baba zenu na
wenu ni moto ulao, Mungu mwenye wivu. alichagua wazao wao baada yao, aliwatoa
25Baada ya kuwa na watoto na wajukuu na katika nchi ya Misri kwa Uwepo wake na kwa
kuishi katika nchi hiyo siku nyingi, tena kama uwezo wake mkuu, 38aliwafukuza mbele yenu
6
KUMBUKUMBU LA TORATI
mataifa makubwa na yenye nguvu kuliko ninyi mliogopa ule moto nanyi hamkupanda mlimani.)
na kuwaleta ninyi katika nchi yao na akawapa Naye Mungu alisema :
ninyi kuwa urithi wenu, kama ilivyo leo. 6‘‘Mimi ndimi BWANA Mungu wako,
39Kubalini na mweke moyoni leo kuwa niliyekutoa katika nchi ya Misri, kutoka
BWANA, ndiye Mungu mbinguni juu na duniani katika nchi ya utumwa.
chini. Hakuna mwingine. 40Mshike amri na 7‘‘Usiwe na miungu mingine ila mimi,
maagizo yake ninayowapa leo, ili mpate 8‘‘Usijitengenezee sanamu katika umbo la
kufanikiwa ninyi na watoto wenu baada yenu kitu cho chote kilicho juu mbinguni
mpate kuishi maisha marefu katika nchi auduniani chini au ndani ya maji.
awapayo BWANA Mungu wenu siku zote. 9 Usivisujudie wala kuviabudu, kwa
maana Mimi, BWANA Mungu wako, ni
Miji ya Makimbilio Mungu mwenye wivu, ninayewaadhibu
41Kisha Mose akatenga miji mitatu mashariki watoto kwa ajili ya dhambi za baba zao
ya Yordani, ambayo mtu ye yote aliyemwua
42 hata kizazi cha tatu na cha nne cha
mtu angeweza kukimbilia ikiwa amemwua jirani wale wanichukiao, 10lakini ninaonyesha
yake bila kukusudia na bila kuwa na chuki naye upendo kwa maelfu ya vizazi vya wale
siku zilizopita. Angeweza kukimbilia katika wanipendao na kuzishika amri zangu.
mmojawapo ya miji hii na kuokoa maisha yake. 11‘‘Usilitaje jina la BWANA Mungu wako
43Miji hiyo ilikuwa: Beseri katika tambarare ya bure, kwa kuwa BWANA hataacha
jangwa kwa ajili ya Wareubeni, Ramothi katika kumhesabia hatia yeye alitajaye jina
nchi ya Gileadi kwa ajili ya Wagadi, nao mji wa lake bure.
Golani katika nchi ya Bashani kwa ajili ya 12“Adhimisha siku ya Sabato na kuiweka
Arnoni mpaka Mlima Sioni (yaani ndio Hermoni,) Misri na BWANA Mungu wenu aliwatoa
49pamoja na eneo lote la Araba mashariki ya huko kwa mkono wenye nguvu na kwa
Yordani na kuenea mpaka Bahari ya Araba mkono ulionyooshwa. Kwa hiyo BWANA
kwenye mitelemko ya Pisga. Mungu wako amekuagiza kuiadhimisha
siku ya Sabato.
Amri Kumi 16‘‘Waheshimu baba yako na mama yako,
bali alifanya nasi, nasi sote ambao tuko hai hapa 19‘‘Usiibe.
leo. 4BWANA alisema nanyi uso kwa uso kutoka 20‘‘Usimshuhudie jirani yako uongo.
7
KUMBUKUMBU LA TORATI
ng’ombe au punda wake wala kitu cho siku zote kwa kushika amri na maagizo yake
chote cha jirani yako.’’ yote ninayowapa ili mweze kuyafurahia maisha
marefu. 3Sikia, Ee Israeli, nawe uwe mwangalifu
22Hizi ndizo amri alizozitangaza BWANA kutii ili upate kufanikiwa na kuongezeka sana
kwa sauti kubwa kwa kusanyiko lenu lote huko katika nchi itiririkayo maziwa na asali kama
mlimani kutoka kwenye moto, wingu na giza BWANA Mungu wa baba zenu alivyowaahidi
nene, wala hakuongeza cho chote zaidi. Kisha ninyi.
akaziandika juu ya vibao viwili vya mawe, naye 4Sikia, Ee Israeli: BWANA Mungu wako, ni
ametuonyesha utukufu na enzi yake, nasi kuhusu amri hizi uketipo nyumbani na wakati
tumesikia sauti yake kutoka kwenye moto. Leo utembeapo njiani, ulalapo na uamkapo. 8Zifunge
tumeona kwamba mwanadamu anaweza kuishi kama alama juu ya mkono wako, zifunge juu ya
hata kama Mungu akizungumza naye. 25Lakini paji la uso wako. 9Ziandike kwenye miimo ya
sasa, kwa nini tufe? Moto huu mkubwa milango ya nyumba yako na juu ya malango
utatuteketeza sisi na tutakufa kama tukiendelea yako.
kusikia sauti ya BWANA Mungu wetu zaidi. 26Ni 10Wakati BWANA Mungu wako
mtu yupi mwenye mwili ambaye amewahi atakapokuleta katika nchi aliyowaapia baba
kuisikia sauti ya Mungu aliye hai akizungumza zako, Abrahamu, Isaki na Yakobo, kukupa wewe
kutoka kwenye moto, kama sisi tulivyoisikia nchi kubwa, miji inayopendeza ambayo
naye akaishi? 27Sogea karibu usikie yale yote hukuijenga, 11nyumba zilizojaa vitu vizuri vya
asemayo BWANA Mungu wetu. Kisha utuambie aina nyingi ambavyo hukuvijaza, visima
cho chote kile ambacho BWANA Mungu wetu ambavyo hukuchimba na mashamba ya
anakuambia. Tutasikiliza na kutii.’’ mizabibu na mizeituni ambayo hukupanda
28BWANA aliwasikia wakati mlipozungumza wewe, utakapokula na kushiba, 12 jihadhari usije
nami, na BWANA akaniambia, ‘‘Nimesikia kile ukamwacha BWANA, aliyekutoa katika nchi ya
hawa watu walichokuambia. Kila kitu Misri, kutoka katika nchi ya utumwa.
walichokisema ni kizuri. 29Laiti kama mioyo yao 13Utamcha BWANA Mungu wako, mtumikie
ingekuwa na mwelekeo wa kuniogopa na yeye peke yake na kuapa kwa jina lake.
kuzishika amri zangu zote daima, ili kwamba 14Usifuate miungu mingine, miungu ya mataifa
wafanikiwe wao pamoja na watoto wao milele! yanayokuzunguka, 15kwa kuwa BWANA Mungu
30‘‘Nenda uwaambie warudi kwenye wako ambaye yuko katikati yako, ni Mungu
mahema yao. 31Lakini wewe baki hapa pamoja mwenye wivu na hasira yake itawaka dhidi yako,
nami ili niweze kukupa maagizo yote, amri na naye atakuangamiza kutoka katika uso wa nchi.
sheria ambazo utawafundisha wazifuate katika 16Usimjaribu BWANA Mungu wako kama
8
KUMBUKUMBU LA TORATI
miujiza na maajabu makubwa na ya kutisha juu wale wamchukiao.
ya Misri na Farao pamoja na nyumba yake yote.
23Lakini Mungu akatutoa huko akatuleta na 11Kwa hiyo, mwe waangalifu kufuata maagizo,
kutupa nchi hii ambayo aliwaahidi baba zetu amri na sheria ninazowapa leo.
kwa kiapo. BWANA akatuagiza tutii amri hizi
24 12Kama mkizingatia sheria hizi na kuzifuata
zote na kumcha BWANA Mungu wetu ili tupate kwa uangalifu, basi BWANA Mungu wenu
kustawi na kuendelea kuwa hai kama ilivyo leo. atatunza agano lake la upendo nanyi kama
25Kama tukizitii kwa bidii amri hizi zote mbele za alivyowaapia baba zenu. 13Atawapenda ninyi na
BWANA Mungu wetu, kama alivyotuamuru sisi, kuwabariki na kuongeza idadi yenu. Atabariki
hiyo itakuwa haki yetu.’’ uzao wa tumbo lenu, mazao ya nchi yenu,
nafaka, divai mpya na mafuta, ndama wa
Kuyafukuza Mataifa ng’ombe wa kundi lenu na kondoo za kundi lenu
BWANA itawaka dhidi yako naye ni yenye nguvu kuliko sisi. Tutawezaje
atakuangamiza ghafula. 5 Hili ndilo kuwafukuza?’’ 18Lakini msiwaogope.Kumbukeni
utakalowafanyia. Utavunja madhabahu zao, vema jinsi BWANA Mungu wenu alivyofanya
yabomoe mawe yao yaliyowekwa wakfu, kata kwa Farao na kwa wote huko Misri. 19Mliona
kata nguzo zao za Ashera na kuchoma sanamu kwa macho yenu wenyewe majaribu makubwa,
zao kwa moto. Kwa kuwa wewe ni taifa takatifu
6 ishara za miujiza na maajabu, mkono wenye
kwa BWANA Mungu wako. BWANA Mungu nguvu na ulionyooshwa, ambao kwa huo
wako amekuchagua wewe kutoka katika mataifa BWANA Mungu wenu aliwatoa mtoke Misri.
yote juu ya uso wa dunia kuwa watu wake, BWANA Mungu wenu atawafanyia hivyo watu
hazina yake ya thamani. wote ambao mnawaogopa sasa. 20Zaidi ya
7BWANA hakuweka upendo wake juu yenu hayo, BWANA Mungu wenu atatuma mavu
na kuwachagua kwa sababu mlikuwa wengi miongoni mwao hadi yale mabaki watakaojificha
mno kuliko watu wengine, kwa maana ninyi ndio waangamie. 21Msiingiwe na hofu kwa sababu
mliokuwa wachache sana kuliko mataifa yote. yao, kwa kuwa BWANA Mungu wenu, ambaye
8Lakini ni kwa sababu BWANA aliwapenda ninyi yupo miongoni mwenu ni mkuu naye ni Mungu
na kutunza kiapo alichowaapia babu zenu wa kutisha. 22 BWANA Mungu wenu
kwamba atawatoa ninyi kwa mkono wenye atawafukuza mataifa hayo mbele yenu kidogo
nguvu na kuwakomboa kutoka nchi ya utumwa, kidogo. Hamtaruhusiwa kuwaondoa wote kwa
kutoka nguvu za Farao mfalme wa Misri. 9Basi mara moja, la sivyo wanyama mwitu
ujue kwamba BWANA Mungu wwako ndiye wataongezeka na kuwa karibu nanyi. 23Lakini
Mungu, ni Mungu mwaminifu, anayetunza agano BWANA Mungu wenu atawatia watu hao
la upendo kwa maelfu ya vizazi vya wale mikononi mwenu, akiwatia katika
wanaompenda na kuzishika amri zake. 10Lakini kuchanganyikiwa kukubwa mpaka wawe
wameangamizwa. 24Atawatia wafalme wao
kwa wale wanaomchukia atawalipiza mikononi mwenu, nanyi mtayafuta majina yao
kwenye nyuso zao kwa maangamizi, chini ya mbingu. Hakuna hata mmoja
hatachelewa kuwalipiza kwenye nyuso zao atakayeweza kusimama dhidi yenu bali
9
KUMBUKUMBU LA TORATI
mtawaangamiza. 25Vinyago vya miungu yao kiburi mkamsahau BWANA Mungu wenu
mtavichoma moto. Msitamani fedha wala aliyewatoa katika nchi ya Misri, kutoka nchi ya
dhahabu iliyo juu yao, wala msizichukue kwa ajili utumwa. 15Aliwaongoza kupitia jangwa kubwa
yenu, la sivyo mtakuwa mmetekwa navyo. Kwa na la kutisha, nchi ile ya kiu isiyo na maji, yenye
kuwa ni chukizo kwa BWANA Mungu wenu. 26 nyoka wa sumu na nge. Aliwatolea maji kutoka
Msilete vitu vya machukizo katika nyumba zenu kwenye mwamba mgumu. 16Aliwapa mana ya
kwani ninyi, mtatengwa kama vitu hivyo kwa kula jangwani, kitu ambacho baba zenu
maangamizo. Ukichukie kabisa kitu hicho kwa hawakukijua, ili kuwanyenyekeza na kuwajaribu
kuwa kimetengwa kwa maangamizo. ninyi ili mwishoni mfanikiwe. 17Mnaweza
kusema, “Uwezo wangu na nguvu za mikono
Usimsahau BWANA yangu ndizo zilizonipatia utajiri huu.’’ 18Lakini
alivyowaongoza katika njia yote katika jangwa mkaifuata miungu mingine mkaiabudu na
kwa miaka hii arobaini, kukunyenyekeza na kuisujudia, ninashuhudia dhidi yenu leo kwamba
kukujaribu ili ajue lililoko moyoni mwako, hakika mtaangamizwa. 20Kama mataifa BWANA
kwamba utayashika maagizo yake au la. aliyoyaangamiza mbele yenu, ndivyo ninyi
3Alikudhili na kukufanya uone njaa kisha mtakavyoangamizwa kwa kutokumtii BWANA
akulishe kwa mana, ambayo wewe wala baba Mungu wenu.
zako hamkuijua, awafundishe kuwa
mwanadamu hataishi kwa mkate tu bali kwa kila Si kwa Sababu ya Haki ya Waisraeli.
neno litokalo katika kinywa cha BWANA. Nguo
9 Sikiliza, Ee Israeli. Sasa mnakaribia
4
10
KUMBUKUMBU LA TORATI
moto. Nikaiponda na kuisaga ikawa unga laini
Ndama ya Dhahabu kama vumbi, nikatupa lile vumbi kwenye kijito
7Kumbukeni hili, kamwe msisahau jinsi kilichotiririka toka mlimani.
mlivyomkasirisha BWANA Mungu wenu kwa 22Pia mlimkasirisha BWANA huko Tebera,
alinipa mbao mbili za mawe zilizoandikwa kwa kwa zile siku arobaini mchana na usiku kwa
kidole cha Mungu. Juu ya mbao hizo kulikuwapo sababu BWANA alikuwa amesema
amri zote ambazo BWANA aliwatangazieni kule angewaangamiza ninyi. Nilimwomba BWANA
26
mlimani kwa njia ya moto siku ya kusanyiko. na kusema, “Ee BWANA Mwenyezi,
11Mwisho wa siku arobaini mchana na usiku, usiangamize watu wako. Urithi wako mwenyewe
BWANA alinipa mbao mbili za mawe, mbao za ule ulioukomboa kwa uweza wako mkuu na
agano. 12Kisha BWANA akaniambia, “Shuka kuwatoa katika nchi ya Misri kwa mkono wenye
chini mara moja, kwa sababu watu wako ambao nguvu. 27Wakumbuke watumishi wako
umewatoa katika nchi ya Misri wamepotoka. Abrahamu, Isaki na Yakobo. Usiangalie ukaidi
Wamegeukia mbali haraka kutoka lile wa watu hawa, uovu wao wala dhambi yao.
nililowaagiza, wamejitengenezea sanamu ya 28Watu wa nchi ile uliyotutoa sisi wasije
mlimani kwani mlima ulikuwa ukiwaka moto. Pia Vibao Vingine vya Amri Kumi
vibao vile viwili vya agano vilikuwa mikononi Wakati ule BWANA aliniambia, “Chonga
mwangu. 16 Nilipotazama, niliona kuwa 10 vibao viwili vya mawe kama vile vya
mmefanya dhambi dhidi ya BWANA Mungu kwanza uje kwangu juu mlimani. Pia utengeneze
wenu, mmejifanyia sanamu ya kusubu katika sanduku la mbao. 2Nitaandika juu ya vibao
umbo la ndama. Mmegeuka upesi kutoka njia ile maneno yaliyokuwa katika vile vibao vya
BWANA aliyowaagiza. Kwa hiyo nilichukua
17 kwanza, ambavyo ulivivunja. Kisha utaviweka
vibao vile viwili nikavitupa na kuvipasua vipande ndani ya sanduku.’’
vipande mbele ya macho yenu. 3Hivyo nikatengeneza sanduku kwa mti wa
18Ndipo tena nikasujudu mbele za BWANA mshita, nikachonga pia vibao vya mawe kama
kwa siku arobaini mchana na usiku, sikula vile vya kwanza, kisha nikakwea mlimani nikiwa
mkate wala sikunywa maji, kwa sababu ya na vibao viwili mikononi mwangu. 4BWANA
dhambi yote mliyoifanya, mkifanya lile lililo ovu akaandika juu ya hivi vibao kile alichokuwa
mbele za BWANA na kumkasirisha. Niliogopa
19 amekiandika kabla, Amri Kumi alizokuwa
hasira na ghadhabu ya BWANA, kwa kuwa amewatangazia juu mlimani, kutoka kwenye
aliwakasirikia vya kutosha na kutaka moto siku ile ya kusanyiko. BWANA
kuwaangamiza. Lakini BWANA alinisikiliza tena. akanikabidhi. 5Kisha nikashuka kutoka mlimani
20Bali Yeye alimkasirikia Aroni kiasi cha kutaka na kuweka vibao ndani ya sanduku nililokuwa
kumwangamiza, nami wakati huo nilimwombea nimelitengeneza, kama BWANA alivyoniagiza,
Aroni pia. 21Kisha nikachukua ile sanamu ya navyo viko huko sasa.
ndama mliyoitengeneza na kuichoma kwenye 6(Waisraeli walisafiri kutoka visima vya
11
KUMBUKUMBU LA TORATI
Yaakani hadi Mosera. Huko Aroni alifariki na Mpende na Umtii BWANA.
kuzikwa, Eliezeri mwanawe akachukua nafasi Mpende BWANA Mungu wako na
yake kama kuhani. Kutoka pale, walisafiri hadi
7 11 kushika masharti yake, amri zake, sheria
Gudgoda wakaendelea mpaka Yotbatha, nchi zake na maagizo yake siku zote. 2Kumbuka hivi
yenye vijito vya maji. 8Wakati huo BWANA leo kwamba sio watoto wako waliona na kujua
aliteua kabila la Lawi kulibeba sanduku la agano marudi ya BWANA Mungu wako: utukufu wake,
la BWANA, kusimama mbele ya BWANA ili mkono wake wenye nguvu, mkono wake
kutoa huduma na kutangaza baraka kwa Jina ulionyooshwa, 3ishara alizozifanya na mambo
lake, kama wanavyofanya mpaka leo. 9Hiyo aliyoyafanya katikati ya Misri, kwa Farao mfalme
ndiyo sababu ya Walawi kutokuwa na sehemu wa Misri na kwa nchi yake yote, 4lile alilolifanyia
wala urithi miongoni mwa ndugu zao, BWANA jeshi la Wamisri, farasi na magari yake, jinsi
ndiye urithi wao kama BWANA Mungu wao alivyowafurikisha na maji ya bahari ya Shamu
alivyowaambia.) walipokuwa wakiwafuatilia ninyi na jinsi BWANA
10Basi nilikaa mlimani kwa siku arobaini alivyowaletea angamizo la kudumu juu yao.
mchana na usiku, kama nilivyofanya mara ya 5Haikuwa ni watoto wenu walioona lile Mungu
kwanza,pia BWANA alinisikiliza hata wakati huu. alilowafanyia huko jangwani mpaka mkafika
Haikuwa nia yake kuangamiza. 11BWANA mahali hapa, 6Wala lile Mungu alilowafanyia
akaniambia, ‘‘Nenda, ukawaongoze watu katika Dathani na Abiramu, wana wa Eliabu wa kabila
njia yao ili kwamba waweze kuingia na kuimiliki la Reubeni, wakati ardhi ilipofungua kinywa
nchi ile niliyowaapia baba zao kuwapa.’’ chake katikati ya Israeli yote, ikawameza
pamoja na wa nyumbani mwao, hema zao na
Mche BWANA kila kitu kilichokuwa hai ambacho kilikuwa mali
12Na sasa, Ee Israeli, BWANA Mungu wako yao. 7Bali ilikuwa ni macho yenu wenyewe
anataka nini kwako ila kumcha BWANA Mungu ambayo yaliona mambo haya yote makuu
wako, kwenda katika njia zake, kumpenda na BWANA aliyoyatenda.
kumtumikia BWANA Mungu wako kwa moyo 8Kwa hiyo fuateni maagizo yote ninayowapa
wako wote na kwa roho yako yote, 13kuyashika leo, ili mpate kuwa na nguvu za kuingia na
maagizo ya BWANA na amri zake ninazokupa kuiteka nchi ile ambayo mnavuka Yordani
leo kwa mafanikio yako mwenyewe? kuimiliki, 9ili mpate kuishi siku nyingi katika nchi
14Mbingu, hata mbingu za juu sana, dunia ile ambayo BWANA aliapa kuwapa baba zenu
na kila kitu kilichomo ndani yake, ni mali ya na wazao wao, nchi itiririkayo maziwa na asali.
BWANA Mungu wako. Hata hivyo BWANA
15 10Nchi mnayoiingia kuimiliki haifanani na nchi ya
alikuwa na shauku na baba zako, akawapenda Misri mlikotoka ambako mlipanda mbegu yenu
na akawachagua ninyi, wazao wao, kuliko na kuinywesha, kama bustani ya mboga.
mataifa yote, kama ilivyo leo. Kwa hiyo tahirini
16 11 Lakini nchi mnayovuka Yordani kuimiliki ni nchi
mioyo yenu na msiwe na shingo ngumu tena. ya milima na mabonde inywayo mvua kutoka
17Kwa kuwa BWANA Mungu wenu ni Mungu wa mbinguni. 12Ni nchi ambayo BWANA Mungu
miungu na Bwana wa ma BWANA Mungu mkuu, wenu anaitunza, macho ya BWANA Mungu
mwenye uweza na wa kutisha ambaye hana wenu yanaitazama daima kutoka mwanzo wa
upendeleo na hapokei rushwa. 18Huwapigania mwaka hadi mwisho wa mwaka.
yatima na wajane, humpenda mgeni akimpa 13Hivyo kama mkiyatii maagizo yangu
12
KUMBUKUMBU LA TORATI
isinyeshe nayo ardhi haitatoa mazao, nanyi Mahali Pekee pa Kuabudia.
mtaangamia mara katika nchi nzuri ambayo Hizi ndizo amri na sheria ambazo ni
BWANA anawapa. Yawekeni haya maneno
18 12 lazima mwe waangalifu kuzifuata katika
yangu katika mioyo yenu na akili zenu, nchi ambayo BWANA Mungu wa baba zenu,
yafungeni kama alama juu ya mikono yenu na amewapa kumiliki, kwa muda wote mtakaoishi
kwenye paji za nyuso zenu. 19Wafundisheni katika nchi. 2Haribuni kabisa kila mahali pao pa
watoto wenu, yazungumzeni wakati mketipo kuabudia kwenye milima mirefu, vilima na chini
nyumbani na wakati mtembeapo njiani, wakati ya kila mti mkubwa ambamo mataifa haya
mlalapo na wakati mwamkapo. 20Yaandikeni juu mnayokwenda kuchukua ardhi yao huabudia
ya miimo ya nyumba zenu na juu ya malango miungu yao. 3Bomoeni madhabau zao, vunjeni
yenu, 21ili kwamba siku zenu na siku za watoto yale mawe wanayoabudu, chomeni moto nguzo
wenu zipate kuwa nyingi katika nchi ile BWANA zao za Ashera, katilieni mbali sanamu za
aliyoapa kuwapa baba zenu, kama zilivyo nyingi miungu yao na mfute majina yao mahali hapo.
siku za mbingu juu ya nchi. 4Kamwe msimwabudu BWANA Mungu
22Kama mkishika kwa makini maagizo haya wenu kama wanavyoabudu wao. 5Bali mtatafuta
yote ninayowapa kuyafuata: Kumpenda mahali BWANA Mungu wenu atakapopachagua
BWANA Mungu wenu, kuenenda katika njia katika makabila yenu yote ili aliweke jina lake
zake zote na kushikamana naye kwa uthabiti, huko kuwa makao yake. Mahali hapo ndipo
23ndipo BWANA atawafukuza mataifa haya yote iwapasapo kwenda, 6hapo ndipo mtakapoleta
mbele yako, nawe utawafukuza mataifa yaliyo sadaka zenu za kuteketezwa na dhabihu, zaka
makubwa na yenye nguvu kuliko wewe. Kila 24 zenu na changizo zenu, kile
mahali mtakapoweka mguu wenu patakuwa ulichoweka nadhiri kutoa, sadaka zenu za hiari
penu: Nchi yenu itaenea kutoka jangwa la na malimbuko ya makundi yenu ya ng’ombe
Lebanoni, na kutoka mto wa Eufrati hadi bahari pamoja na mbuzi na kondoo. 7Hapo, katika
ya magharibi a . 25Hapatakuwa na mtu uwepo wa BWANA Mungu wenu, ninyi pamoja
atakayeweza kusimama dhidi yenu. BWANA na jamaa zenu, mtakula na kufurahia kila kitu
Mungu wenu, kama alivyoahidi, ataweka juu ya ambacho mmegusa kwa mikono yenu, kwa
nchi yote utisho na hofu kwa ajili yenu po pote sababu BWANA Mungu wenu amewabariki.
mwendako. 8Msifanye kama tunavyofanya hapa leo, kila
26Tazama, leo ninaweka mbele yenu baraka mtu anavyopenda mwenyewe, 9kwa kuwa bado
na laana, baraka kama mtatii maagizo ya
27 hamjafikia mahali pa mapumziko na urithi
BWANA Mungu wenu, ambayo ninawapa leo, ambao BWANA Mungu wenu anawapa. 10Lakini
28laana kama hamtatii maagizo ya BWANA mtavuka Yordani na kuishi katika nchi BWANA
Mungu wenu na kuacha njia ambayo Mungu wenu anayowapa kama urithi, naye
ninawaamuru leo kwa kufuata miungu mingine, atawapa pumziko kutokana na adui zenu wote
ambayo hamkuijua. 29Wakati BWANA Mungu wanaowazunguka ili ninyi mpate kuishi kwa
wenu atakapokuwa amewaleta katika nchi salama. 11Kisha kuhusu mahali BWANA Mungu
mnayoingia kuimiliki, mtatangaza baraka kutoka wenu atakapopachagua kuwa mahali pa makao
Mlima Gerizimu, na kutangaza laana kutoka ya Jina lake, hapo ndipo inapowapasa kuleta
Mlima Ebali. 30Kama mnavyofahamu, milima hii kila kitu ninachowaamuru: Sadaka zenu za
ipo ng’ambo ya Yordani, magharibi ya barabara, kuteketezwa na dhabihu, zaka zenu na
kuelekea machweo ya jua, karibu na miti changizo, pamoja na vitu vyote vyenye thamani
mikubwa ya More, katika nchi ya wale ambavyo mmeweka nadhiri kumtolea BWANA.
Wakanaani wanaoishi Araba jirani na Gilgali. 12Hapo furahini mbele za BWANA Mungu wenu,
31Karibu mvuke ng’ambo ya Yordani kuingia na ninyi, wana wenu, binti zenu, watumishi wenu
kuimiliki nchi ambayo BWANA Mungu wenu wa kiume na wa kike, pamoja na Walawi kutoka
anawapa. Wakati mtakapokuwa mmeichukua na katika miji yenu ambao hawana mgao wala urithi
mnaishi humo, hakikisheni kwamba mnatii
32 wao wenyewe. 13Iweni waangalifu, msitoe
amri na sheria zote ninazoziweka mbele yenu dhabihu zenu za kuteketezwa mahali po pote
leo. mnapopapenda. 14Mtazitoa tu mahali pale
ambapo BWANA atachagua katika mojawapo ya
makabila yenu, nanyi hapo zingatieni kila jambo
ninalowaamuru.
a24 Bahari ya Magharibi ndio Mediterania
13
KUMBUKUMBU LA TORATI
15Hata hivyo, mnaweza kuwachinja masharti haya yote ninayowapa, ili kwamba siku
wanyama wenu katika miji yenu yo yote ile na zote mweze kufanikiwa ninyi pamoja na watoto
kula nyama nyingi mpendavyo kama vile wenu baada yenu, kwa sababu mtakuwa
mmemchinja paa au kulungu, kulingana na mkifanya lililo jema na sahihi mbele za macho
baraka mtakazojaliwa na BWANA Mungu wenu. ya BWANA Mungu wenu.
Watu walio najisi au walio safi wanaweza kula. 29 BWANA Mungu wenu atayakatilia mbali
16Lakini kamwe usinywe damu, imwage juu ya mbele yenu mataifa ambayo punde kidogo
ardhi kama maji. 17Hamruhusiwi kula katika miji mtayavamia na kuyaondoa. Lakini mtakapokuwa
yenu zaka yenu ya nafaka, ya divai mpya na ya mmeyafukuza na kuishi katika nchi yao, 30na
mafuta, au mzaliwa wa kwanza wa makundi baada ya kuangamizwa mbele yenu, mwe
yenu ya ng’ombe na makundi yenu ya mbuzi na waangalifu msijiingize katika tanzi kwa kuuliza
kondoo, wala cho chote ambacho mmeweka habari za miungu yao mkisema, “Je, mataifa
nadhiri kukitoa, au sadaka zako za hiari, wala haya hutumikiaje miungu yao? Nasi tutafanya
matoleo maalumu. Badala yake, mtakula vitu
18 vivyo hivyo.’’ 31Kamwe msimwabudu BWANA
hivyo katika uwepo wa BWANA Mungu wenu Mungu wenu kwa njia wanayoabudu miungu
mahali ambapo BWANA Mungu wenu yao, kwa sababu katika kuabudu miungu yao,
atapachagua, wewe, wana wako na binti zako, wanafanya aina zote za machukizo
watumishi wako wa kiume na wa kike na Walawi anayoyachukia BWANA. Hata huwateketeza
kutoka miji yenu. Mnatakiwa mfurahi mbele za wana wao na binti zao kwa moto kama kafara
BWANA Mungu wenu kwa kula kitu kwa miungu yao.
mtakachoweka mikono yenu. Mwe waangalifu
19 32Angalieni kwamba mnafanya yote
msiwapuuze Walawi kwa muda wote mnaoishi niliyowaamuru, msiongeze kitu wala
katika nchi yenu. msipunguze kitu.
20 BWANA Mungu wenu atakapokuwa
mbali sana kutoka kwenu, unaweza kuchinja ikatokea, naye akasema, “Na tufuate miungu
wanyama kutoka makundi yenu ya ng’ombe, ya mingine,” (miungu ambayo hamjaifahamu) na
mbuzi na ya kondoo ambayo BWANA tuiabudu,” 3kamwe msiyasikilize maneno ya
amewapa, kama nilivyokuamuru, na mkiwa nabii wala mwota ndoto huyo. BWANA Mungu
katika miji yenu wenyewe mnaweza kula nyingi wenu anawajaribu kuangalia kama mnampenda
mtakavyo. Mle kama vile mngekula paa na
22 kwa moyo wenu wote na kwa roho yenu yote.
kulungu. Wote walio najisi kiibada na walio safi 4Ni BWANA Mungu wenu ambaye mnapaswa
14
KUMBUKUMBU LA TORATI
mwingine,) 8usikubali wala usimsikilize. na kwato zilizogawanyika kamwe msile ngamia,
Usimhurumie! Usimwache wala usimkinge. sungura na pelele. Iwapo wanacheua, lakini
9Hakika ni lazima auawe. Ni lazima mkono wako hawana kwato zilizogawanyika, ni najisi kwenu
uwe wa kwanza katika kumwua kisha mikono ya kwa taratibu za kiibada. 8Nguruwe pia ni najisi,
watu wengine wote. 10Mpigeni kwa mawe mpaka ingawa ana kwato zilizogawanyika, hacheui.
afe, kwa sababu alijaribu kuwageuza mtoke kwa Msile nyama yake wala kugusa mzoga wake.
BWANA Mungu wenu ambaye aliwatoa Misri, 9Katika viumbe hai vyote viishivyo kwenye
miji ambayo BWANA Mungu wenu anawapa 12 Lakini wafuatao msiwale: tai, kipungu, kipungu
mkae ndani yake 13kuwa wanaume waovu mweusi, 13kengewa mwekundu, kengewa
wameinuka miongoni mwenu na mweusi, mwewe wa aina yo yote, 14kunguru wa
wamewapotosha watu wa mji, wakisema, aina yo yote, 15mbuni, kirukanjia, dudumizi,
‘‘Twendeni tukaabudu miungu mingine’’ (miungu kipanga wa aina yo yote 16bundi, muvurila, bundi
ambayo hamkuifahamu,) 14 ndipo itakubidi mkubwa, 17mwari, nderi, ndezi, mnandi,
kuuliza, kupima na kuchunguza kwa makini. 18membe, koikoi wa aina yo yote, hudihudi na
BWANA Mungu wenu, mkizishika amri zake mazao yote ya mashamba yenu kila mwaka.
zote zile ninazowapa leo na kufanya lile lililo 23Mtakula zaka za nafaka yenu, divai mpya,
wenu. BWANA amewachagua ninyi kuwa taifa la mmebarikiwa na BWANA Mungu wenu na
kipekee kutoka mataifa yote juu ya uso wa hamwezi kubeba zaka yenu, (kwa sababu
dunia, mwe tunu yake. mahali pale BWANA atakapopachagua kuliweka
3Msile kitu cho chote ambacho ni Jina lake ni mbali sana,) 25basi badilisheni zaka
machukizo. 4Hawa ndio wanyama mtakaokula: yenu kuwa fedha, mkaichukue hiyo fedha
ng’ombe, kondoo, mbuzi, kulungu, paa,
5 mwende nayo mahali BWANA Mungu wenu
kongoni, paa mweupe, mbuzi mwitu, pofu na atakapopachagua. 26Tumieni hiyo fedha
kondoo wa mlimani. 6Mnaweza kumla mnyama kununua cho chote ukitakacho: ng’ombe,
ye yote mwenye kwato zilizogawanyika mara kondoo, divai au kinywaji cho chote chenye
mbili pia yule anayecheua. 7Hata hivyo, chachu au cho chote mnachotaka. Kisha ninyi
miongoni mwa wale wanaocheua au wale walio na wa nyumbani mwenu mtaila mbele ya
15
KUMBUKUMBU LA TORATI
BWANA Mungu wenu na kufurahi. 27Msiache ndugu zenu, kuwaelekea maskini na wahitaji
kuwajali Walawi waishio katika miji yenu, kwa katika nchi yenu.
kuwa hao hawana shamba wala urithi wao
wenyewe Kuwaacha huru Watumishi.
28Mwishoni mwa kila mwaka wa tatu, leteni 12Kama Mwebrania mwenzako, mwanaume
zaka zote za mazao ya miaka ile na uyahifadhi au mwanamke, akijiuza kwako na kukutumikia
kwenye miji yenu ili Walawi (ambao hawana
29 miaka sita, katika mwaka wa saba ni lazima
mashamba wala urithi wao wenyewe) na umwache aende zake akiwa huru. 13Nawe
wageni, yatima na wajane wanaoishi kwenye wakati utakapomwachia usimwache aende
miji yenu wapate kuja kula na kushiba, ili mikono mitupu. 14Mpe kwa uhuru kutoka katika
BWANA Mungu wenu apate kuwabariki ninyi zizi lako la kondoo na mbuzi, kutoka katika
katika kazi zote za mikono yenu. sakafu yako ya kupuria nafaka na kutoka katika
mashinikizo yako ya kukamulia divai. Mpe kama
Mwaka wa Kufuta Madeni vile ambavyo BWANA Mungu wako
deni, kwa sababu wakati wa BWANA wa kufuta kukuacha,’’ kwa sababu anakupenda wewe na
madeni umetangazwa. Unaweza kudai malipo
3 jamaa yako naye anaridhika nawe, 17ndipo
kwa mgeni, lakini lazima ufute kila deni ambalo utachukua chuma ndogo utoboe sikio lake
ndugu yako anawiwa nawe. Hata hivyo,4 mpaka hiyo chuma iingie kwenye ubao wa
hapatakuwepo maskini miongoni mwenu, kwa mlango, naye atakuwa mtumishi wako wa
kuwa katika nchi BWANA Mungu wenu maisha. Ufanye vivyo hivyo kwa mtumishi wa
anayowapa kuimiliki kama urithi wenu, kike.
atawabariki sana, 5ikiwa tu mtamtii BWANA 18Usifikiri kuwa kuna ugumu kumwacha
Mungu wenu kikamilifu na kuwa waangalifu mtumishi wako huru, kwa sababu utumishi wake
kuyafuata maagizo haya yote ninayowapa leo. kwako kwa miaka hii sita umekuwa wa thamani
6Kwa kuwa BWANA Mungu wenu atawabariki mara mbili ya ujira wa mtumishi wa kuajiriwa.
kama alivyoahidi, nanyi mtawakopesha mataifa Naye BWANA Mungu wenu atakubarikia kwa
mengi lakini hamtakopa kwa ye yote. Mtatawala kila kitu utakachofanya.
mataifa mengi lakini hakuna taifa
litakalowatawala ninyi. Wazaliwa wa Kwanza wa Wanyama
7Ikiwa kuna mtu maskini miongoni mwa 19Wekeni wakfu kwa BWANA Mungu wenu
ndugu zenu, katika mji wo wote wa hiyo nchi kila mzaliwa wa kwanza wa kiume wa makundi
ambayo BWANA wenu anawapa, msiwe na yenu ya n’gombe na ya mbuzi na kondoo.
moyo mgumu wala usimfumbie mkono ndugu Maksai walio wazaliwa wa kwanza msiwafanyize
yako aliye masikini. Afadhali fungua mikono
8 kazi, wala msinyoe manyoya ya wazaliwa wa
yako na umkopeshe kwa hiari cho chote kwanza wa kondoo. 20Kila mwaka ninyi na
anachohitaji. 9Jihadhari usijiwekee wazo hili ovu: jamaa zenu mtapaswa kuwala mbele za
“Mwaka wa saba, mwaka wa kufuta madeni BWANA Mungu wenu pale mahali
umekaribia,’’ usije ukaonyesha nia mbaya kwa atakapopachagua. 21Kama mnyama ana dosari,
ndugu yako mhitaji na ukaacha kumpa cho akiwa ni kilema au kipofu au kama ana kilema
chote. Anaweza kumlalamikia BWANA dhidi kibaya, kamwe usimtoe dhabihu kwa BWANA
yako nawe utakuwa umepatikana na hatia ya Mungu wenu. 22Itawapasa kumla ninyi wenyewe
dhambi. 10Mpe kwa ukarimu na ufanye hivyo bila katika miji yenu. Wote wasio safi na walio safi
kinyongo moyoni, ndipo kwa sababu ya hili kwa desturi za kiibada mwaweza kula kama vile
BWANA Mungu wenu atakubariki katika kazi mnavyokula paa au kulungu. 23 Lakini kamwe
zako zote na kwa kila kitu utakachokiwekea msinywe damu, imwageni ardhini kama maji.
mkono wako. 11Siku zote watakuwepo watu
maskini katika nchi. Kwa hiyo ninawaamuru
mwe na mikono iliyokunjuliwa kuwaelekea
16
KUMBUKUMBU LA TORATI
watumishi wenu wa kiume na wa kike, Walawi,
Pasaka wageni, yatima na wajane ambao wanaishi
Shikeni mwezi wa Abibu,ndio mwezi wa katika miji yenu. 15Kwa siku saba mtaiadhimisha
16 nne na kuiadhimisha Pasaka ya sikukuu ya BWANA Mungu wenu katika
BWANA Mungu wenu, kwa sababu katika mwezi mahali atakapopachagua BWANA. Kwa kuwa
wa Abibu Mungu aliwatoa Misri usiku. 2Mtatoa BWANA Mungu wenu atawabariki katika
dhabihu ya Pasaka ya mnyama kwa BWANA mavuno yenu na katika kazi zote za mikono
Mungu wenu kutoka kundi lenu la mbuzi na yenu na furaha yenu itakamilika.
kondoo au la ng’ombe mahali pale ambapo 16Wanaume wenu wote lazima wajitokeze
BWANA atapachagua kama makao kwa ajili ya mara tatu kwa mwaka mbele za BWANA
Jina lake. 3Msile nyama hiyo pamoja na mikate Mungu wenu mahali atakapopachagua: kwa ajili
iliyotiwa hamira, lakini kwa siku saba mtakula ya Sikukuu ya Mikate isiyotiwa chachu, Sikukuu
mikate isiyotiwa chachu, mikate ya kujitesa, kwa ya Majuma na Sikukuu ya Vibanda. Hakuna mtu
sababu mliondoka Misri kwa haraka, ili kwamba atakayejitokeza mbele ya BWANA mikono
siku zote za maisha yenu mpate kukumbuka mitupu: 17Kila mmoja wenu ni lazima alete
wakati wenu wa kuondoka Misri. 4Hamira zawadi kulingana na jinsi ambavyo BWANA
isionekane katika mali zenu katika nchi yenu Mungu wenu alivyowabariki.
yote kwa siku saba. Nyama yo yote ya dhabihu
mtakayotoa jioni ya siku ya kwanza isibakizwe Waamuzi
mpaka asubuhi. 18Wateue waamuzi na maafisa kwa kila
5Kamwe msitoe dhabihu ya Pasaka katika kabila lenu katika kila mji ambao BWANA
mji wo wote ambao BWANA Mungu wenu Mungu wenu anawapa, nao watawaamua watu
amewapa, isipokuwa mahali atakapopachagua
6 kwa usawa. 19Msipotoshe haki au upendeleo.
kama makao kwa ajili ya Jina lake. Hapo ndipo Msikubali rushwa kwa sababu rushwa
lazima mtoe dhabihu ya Pasaka jioni, jua hupofusha macho ya wenye busara na kugeuza
litakapotua, iwe kumbukumbu yenu ya kutoka maneno ya wenye haki. 20Mfuate haki na haki
Misri. 7Okeni na mle mahali pale ambapo peke yake, ili mweze kuishi na kuimiliki nchi
BWANA Mungu wenu atakapopachagua, kisha ambayo BWANA Mungu wenu anawapa.
asubuhi mrudi kwenye mahema yenu. 8Kwa siku
sita mtakula mikate isiyotiwa chachu na siku ya Kuabudu Miungu Mingine
saba fanyeni kusanyiko kwa ajili ya BWANA 21Msisimamishe nguzo yo yote ya Ashera
makao ya Jina lake, ninyi, wana wenu na kati ya mojawapo ya miji akupayo BWANA,
mabinti zenu, watumishi wenu wa kiume na wa anakutwa anafanya uovu mbele za BWANA
kike, Walawi walio katika miji yenu na wageni, Mungu wenu, kwa kuvunja agano lake, 3naye
yatima na wajane waishio miongoni mwenu. amekwenda kinyume na agizo langu kuabudu
12Kumbukeni kwamba mlikuwa watumwa kule miungu mingine na kuisujudia, kama vile jua,
Misri na mfuate amri hizi kwa uangalifu. mwezi au nyota za angani, 4hili likiwa limeletwa
mbele yenu, ni lazima kulichunguza kikamilifu.
Sikukuu ya Vibanda Ikiwa ni kweli na kuwa limehakikishwa kwamba
13Adhimisheni sikukuu ya vibanda kwa siku hili ni chukizo lililofanyika katika Israeli,
saba baada ya kukusanya mazao yenu ya 5mchukueni huyo mwanaume au mwanamke
nafaka na kukamua zabibu. 14Mfurahie sikukuu ambaye amelifanya tendo hili ovu kwenye lango
yenu, ninyi, wana wenu, mabinti zenu, la mji wenu na kumpiga mawe mtu huyo mpaka
17
KUMBUKUMBU LA TORATI
afe. 6Kwa ushuhuda wa mashahidi wawili au yake ili kwamba ajifunze kumheshimu BWANA
watatu mtu huyo atauawa, bali hakuna mtu Mungu wake na kufuata kwa uangalifu maneno
atakayeuawa kwa ushuhuda wa shahidi mmoja yote ya sheria hii na amri hizi, 20naye asijifikirie
tu. Ni lazima kwanza mikono ya mashahidi
7 bora kuliko ndugu zake na kuipotosha sheria.
itangulie kumwua huyo mtu. Ni lazima mwondoe Ndipo yeye na wazao wake watatawala ufalme
uovu miongoni mwenu. wake kwa muda mrefu katika Israeli.
lazima auawe. Lazima mwondoe uovu kutoka ya miji yenu popote katika Israeli ambapo
Israeli. 13Watu wote watasikia na kuogopa, nao anaishi, akaja kwa moyo wote mahali ambapo
hawatakuwa wenye kudharau tena. BWANA atapachagua, 7anaweza akahudumu
katika jina la BWANA Mungu wake kama
Mfalme Walawi wenzake wote wanaohudumu hapo
14Wakati utakapoingia katika nchi mbele za BWANA. 8Atashiriki sawa katika mafao
anayowapa BWANA Mungu wenu kuimiliki na yao, hata kama amepokea fedha kutoka mauzo
kukaa humo, nanyi mkasema, “Na tumweke ya mali ya jamaa yake.
mfalme juu yetu kama mataifa
yanayotuzunguka.’’ 15Iweni na uhakika wa Matendo ya Machukizo
kumweka mfalme juu yenu ambaye BWANA 9Wakati mtakapoingia katika nchi ambayo
Mungu wenu atamchagua. Ni lazima atoke BWANA Mungu wenu anawapa, msijifunze
miongoni mwa ndugu zenu wenyewe. kuiga njia za machukizo za mataifa ya huko.
Msimweke mgeni juu yenu ambaye si ndugu wa 10Asionekane mtu ye yote miongoni mwenu
Kiisraeli. 16Hata hivyo, mfalme si lazima ahitaji ampitishaye mwanawe au binti yake katika
hesabu kubwa ya farasi kwa ajili yake moto, atakayefanya uaguzi, ulozi, anayetabiri
mwenyewe au kuwafanya watu warudi Misri ili nyakati, anayejishughulisha na uchawi, 11wala
kupata farasi zaidi, kwa maana BWANA alogaye kwa kupiga mafundo, wala apandishaye
amekuambia, “Hamtairudia njia ile tena.’’ pepo, anayeabudu mizimu, wala awaombaye
17Kamwe asioe wake wengi, la sivyo moyo wake wafu. 12Mtu ye yote afanyaye mambo haya ni
utapotoka. Kamwe asijilimbikizie kiasi kikubwa chukizo kwa BWANA, tena ni kwa sababu ya
cha fedha na dhahabu. matendo haya ya kuchukiza wayafanyayo ndiyo
18Atakapokuwa amekalia kiti cha ufalme maana BWANA Mungu wenu atayafukuza
wake, aandike kwenye kitabu cha sheria kwa mataifa hayo mbele yenu. 13Kamwe msilaumiwe
ajili yake mwenyewe kutoka zile sheria za mbele ya BWANA Mungu wenu.
makuhani ambao ni Walawi. 19Atakuwa na
nakala hiyo, naye ataisoma siku zote za maisha
18
KUMBUKUMBU LA TORATI
Nabii kukimbilia katika mmojawapo ya miji hii na
14Mataifa, mtakayowafukuza husikiliza wale kuokoa maisha yake. 6Vinginevyo, mlipiza kisasi
wafanyao ulozi na uaguzi. Lakini kwenu ninyi, cha damu anaweza kumfuatilia kwa hasira kali,
BWANA Mungu wenu hajawaruhusu kufanya naye akamkamata na kumwua kama umbali ni
hivyo. BWANA Mungu wenu atawainulia nabii
15 mrefu sana , hata ingawa hastahili kifo, kwa
kama mimi kutoka miongoni mwa ndugu zenu sababu amemwua jirani yake bila kukusudia.
wenyewe. Lazima mumsikilize yeye. Kwa 16 7 Hii ndiyo sababu nimewaagiza ninyi kutenga
kuwa hivi ndivyo mlivyomwomba BWANA miji mitatu ya makimbilio kwa ajili yenu.
Mungu wenu kule Horebu siku ile ya kusanyiko, 8Kama BWANA Mungu wenu akipanua nchi
wakati mliposema, ‘‘Na tusiisikie sauti ya yenu, kama alivyoahidi kwa kiapo kwa baba
BWANA Mungu wetu wala kuuona moto huu zenu na kuwapa nchi yote aliyowaahidi, 9kwa
mkubwa tena, ama sivyo tutakufa.’’ sababu mmefuata kwa uangalifu sheria zote
17BWANA akaniambia: ‘‘Wanachosema ni ninazowaamuru leo, kumpenda BWANA Mungu
vema. Nitawainulia nabii kama wewe kutoka
18 wenu na kuenenda siku zote katika njia zake,
miongoni mwa ndugu zao, nitaweka maneno ndipo mtenge miji mingine, mitatu zaidi.
yangu kinywani mwake naye atawambia kila kitu 10Fanyeni hivi ili damu isiyo na hatia isimwagwe
nitakachomwamuru. 19 Kama mtu ye yote katika nchi yenu, ambayo BWANA Mungu wenu
hakusikiliza maneno yangu ambayo nabii anawapa kama urithi wenu, ili kwamba msije
atayasema kwa jina langu, Mimi mwenyewe mkawa na hatia ya kumwaga damu.
nitamwajibisha. 20Lakini nabii ambaye 11Lakini kama mtu anamchukia ndugu yake,
atathubutu kusema kwa jina langu kitu cho chote akamvizia, akamshambulia na kumwua, kisha
ambacho sikumwamuru akiseme, au nabii akakimbilia katika mmojawapo ya miji hii,
ambaye husema kwa jina la miungu mingine ni 12wazee wa mji wake watatuma ujumbe kwake,
huyo amesema kwa kudhania tu. Msimwogope ambao uliwekwa na wale waliokutangulia katika
huyo. urithi upokeao katika nchi BWANA Mungu wako
anayowapa kuimiliki.
Miji ya Makimbilio
19 Wakati BWANA Mungu wenu
atakapokuwa amewaangamiza mataifa
Mashahidi
15Shahidi mmoja hatoshi kumtia hatiani mtu
ambayo nchi yao anawapa ninyi, wakati kwa uhalifu au kosa lo lote ambalo anaweza
mtakapokuwa mmewafukuza na kuishi katika kuwa amelitenda. Lazima shauri lithibitishwe
miji yao na nyumba zao, 2ndipo mtenge miji kwa ushuhuda wa mashahidi wawili au watatu.
mitatu iliyopo katikati ya nchi kwa ajili yenu, 16Kama shahidi mwenye nia ya kumdhuru
katika nchi ambayo BWANA Mungu wenu mwingine akisimama kumshtaki mtu kwa uhalifu,
anawapa kuimiliki. Jengeni barabara katika miji
3 17watu wawili wanaohusika katika mabishano
hiyo na kuigawa mara tatu, nchi anayowapa lazima wasimame mbele za BWANA na mbele
BWANA Mungu wenu kama urithi, ili kwamba ye ya makuhani na waamuzi ambao wako kazini
yote amwuaye mtu aweze kukimbilia humo. wakati huo. 18Waamuzi lazima wafanye
4Hii ndiyo kanuni kuhusu mtu amwuaye uchunguzi kwa makini na shahidi akionekana
mwingine na kukimbilia humo kuokoa maisha kuwa ni mwongo, akitoa ushuhuda wa uongo
yake, yaani, yeye amwuaye jirani yake bila dhidi ya ndugu yake, 19basi mtende kama
kukusudia, wala hakumchukia kabla ya hapo. alivyotaka kumtendea ndugu yake. Ni lazima
5Kwa mfano, mtu aweza kwenda msituni na mwuondoe uovu miongoni mwenu. 20Watu
jirani yake kukata miti, naye anapozungusha watakaosalia watasikia hili na kuogopa, uovu
shoka kuangusha mti, shoka linaweza kama huo kamwe hautatendeka tena miongoni
kuchomoka kutoka kwenye mpini na kumpiga mwenu. 21Msionyeshe huruma, uhai kwa uhai,
jirani yake na kumwua. Yule mtu anaweza
19
KUMBUKUMBU LA TORATI
jicho kwa jicho, jino kwa jino, mkono kwa BWANA Mungu wenu anawapa kama urithi,
mkono, mguu kwa mguu. msiache kitu cho chote hai kinachopumua.
17Waharibuni kabisa Wahiti, Waamori,
Kwenda Vitani Wakanaani, Waperizi, Wahivi na Wayebusi
vita na jeshi kubwa kuliko lenu, msiwaogope, ya machukizo wanayofanya wakiabudu miungu
kwa sababu BWANA Mungu wenu aliyewatoa yao, nanyi mtatenda dhambi dhidi ya BWANA
kutoka Misri, atakuwa pamoja nanyi. 2Wakati Mungu wenu.
mtakapokaribia kwenda vitani, kuhani atakuja 19Wakati mtakapouzunguka mji kwa vita kwa
mbele na kuhutubia jeshi. 3Atasema: ‘‘Sikia, Ee muda mrefu, mkipigana dhidi yake ili kuuteka,
Israeli, leo unakwenda vitani kupigana na adui msiharibu miti yake kwa kuikata kwa shoka kwa
zako. Usife moyo wala usiogope, usitishwe wala sababu mtaweza kula matunda yake. Hivyo
usitiwe hofu mbele yao. Kwa kuwa BWANA
4 msiikate. Je, miti hiyo ya mashambani ni watu,
Mungu wenu ni mmoja, ndiye huenda pamoja hata muizingire? 20Hata hivyo, mnaweza kuikata
nanyi kuwapigania dhidi ya adui zenu na miti ambayo sio miti ya matunda na kuitumia
kuwapatia ushindi.’’ kujenga ngome, mpaka mji ulio katika vita na
5Maofisa wataliambia jeshi: ‘‘Je, kuna ye ninyi utakapoanguka.
yote aliyejenga nyumba mpya ambayo
haijawekwa wakfu? Yeye na arudi nyumbani, Upatanisho kuhusu Mauaji
ama sivyo anaweza kufa vitani na mtu mwingine
akaiweka wakfu. 6Je, kuna ye yote aliyepanda 21 Kama mtu akikutwa ameuawa, naye
amelala kwenye shamba katika nchi
shamba la mizabibu na hajaanza kulifurahia? ambayo BWANA Mungu wenu anawapa
Yeye na arudi nyumbani, au sivyo anaweza kufa kuimiliki, wala haijulikani ni nani aliyemwua,
vitani na mtu mwingine akalifurahia. 7Je, kuna 2wazee wenu na waamuzi watatoka na kupima
ye yote aliyeposa mwanamke na hajamwoa? umbali kutoka maiti alipolala mpaka kwenye miji
Yeye na arudi nyumbani, ama sivyo anaweza ya jirani. 3Kisha wazee wa ule mji uliokaribu
kufa vitani na mtu mwingine akamwoa.’’ Kisha8 zaidi na yule maiti watamchukua mtamba
maafisa wataongeza haya, ‘‘Je, kuna mtu ambaye hajapata kufanyizwa kazi na ambaye
anayeogopa ama kufa moyo? Yeye na arudi hajafungwa nira 4na kumpeleka kwenye bonde
nyumbani ili ndugu zake nao wasije wakafa ambalo halijapata kulimwa au kupandwa mazao
moyo pia.’’ Wakati maafisa watakapomaliza
9 na ambapo kuna chemchemi itiririkayo. Huko
kuzungumza na jeshi, watawateua wakuu wa kwenye hilo bonde watamvunja yule mtamba
vikosi. shingo. 5Makuhani, wana wa Lawi, watasogea
10Wakati mtakapokwenda kushambulia mji, mbele, kwa kuwa BWANA Mungu wenu,
wapeni watu wake masharti ya amani. amewachagua kuhudumu na kutoa baraka
11Wakikubali na kuwafungulia malango yao, katika jina la BWANA na kuamua mashauri yote
watu wake wote watawatumikia kwa kufanya ya mabishano na mashambulio. 6Ndipo wazee
kazi ngumu na watawatumikia. Ikiwa12 wote wa mji ulio karibu zaidi na huyo maiti
watakataa kufanya mapatano ya amani na watanawa mikono yao juu ya huyo mtamba
wakiwaingiza katika vita, basi mtauzunguka mji ambaye shingo yake imevunjwa huko kwenye
huo kwa vita. 13Wakati BWANA Mungu wenu bonde, 7nao watatangaza: “Mikono yetu
atakapouweka mji huo mkononi mwenu, waueni haikumwaga damu hii, wala macho yetu
kwa upanga wanaume wote waliomo ndani hayakuona likifanyika. 8Ee BWANA, ukubali
yake. 14Kwa upande wa wanawake, watoto, upatanisho kwa watu wako Israeli, ambao
mifugo na kila kitu kingine cho chote ndani ya umewakomboa, wala usiwahesabie watu wako
huo mji, mnaweza kuvichukua kama nyara kwa hatia ya damu ya mtu asiyekuwa na hatia.’’
ajili yenu. Nanyi mnaweza kuzitumia hizo nyara Nayo damu iliyomwagika itakuwa imefanyiwa
ambazo BWANA Mungu wenu amewapa upatanisho. 9Hivyo mtakuwa mmejitakasa
kutoka kwa adui zenu. 15Hivi ndivyo wenyewe kutoka hatia ya kumwaga damu
mtakavyofanya kwa miji yote ambayo iko mbali isiyokuwa na hatia, kwa kuwa mmefanya lile
nanyi ambayo haimilikiwi na mataifa ya karibu. lililosawa mbele za macho ya BWANA.
16Hata hivyo, katika miji ya mataifa ambayo
20
KUMBUKUMBU LA TORATI
kucha. Hakikisheni mnauzika mwili wake siku ile
Kuoa Mwanamke Mateka ile, kwa sababu kila mtu anayeangikwa mtini
10Mkienda vitani kupigana na adui zenu yupo chini ya laana ya Mungu. Msiinajisi nchi
naye BWANA Mungu wenu akawatia adui ambayo BWANA Mungu wenu anawapa kama
mikononi mwenu, nanyi mkachukua mateka, urithi wenu.
11kama ukiona miongoni mwa mateka
mwanamke mzuri wa sura nawe wavutwa naye,
waweza kumwoa akawa mke wako. 12Mlete 22 Kama ukimwona ng’ombe au kondoo
wa ndugu yako anapotea, usipuuze bali
nyumbani mwako, anyoe nywele na kukata uhakikishe unamrudisha kwa mwenyewe. 2Ikiwa
kucha zake, 13avue nguo alizokuwa amevaa huyo ndugu haishi karibu nawe au kama
alipotekwa. Baada ya kuishi nyumbani mwako hufahamu yeye ni nani, mchukue nyumbani
na kumwombolezea baba yake na mama yake kwako huyo mnyama umweke mpaka
kwa mwezi mzima, ndipo utakapoweza mwenyewe aje kumtafuta. Ndipo umrudishie.
kumwendea na kuwa mume wake naye atakuwa 3 Fanya vivyo hivyo ukimkuta punda wa nduguyo
mke wako. 14Lakini kama hutaendelea au joho lake au cho chote alichopoteza.
kupendezwa naye, mwache aende po pote Usipuuze jambo hilo.
anapotaka. Kamwe huwezi kumuuza au 4Kama ukimwona punda wa nduguyo au
kumtendea kama mtumwa, kwa sababu ng’ombe wake ameanguka barabarani, usipuuze
utakuwa umemvunjia heshima. jambo hilo. Msaidie asimame kwa miguu yake.
5Haimpasi mwanamke kuvaa nguo za kiume
mwana mzaliwa wa kwanza ni wa yule mke barabara au juu ya mti naye ndege amelala juu
asiyempenda, 16wakati anapotoa wosia wa mali ya makinda au mayai, usimchukue huyo ndege
yake kwa wanawe, kamwe asitoe haki za pamoja na makinda yake. 7Waweza kuchukua
mzaliwa wa kwanza kwa mwana wa mke makinda, lakini uwe na hakika ya kumwacha
ampendaye kwa upendeleo, badala ya mzaliwa huyo ndege, ili upate kufanikiwa na uweze kuishi
hasa wa kwanza, ambaye ni mwana wa mke maisha marefu.
ambaye hampendi. 17Ni lazima amkubali mwana 8Wakati unapojenga nyumba mpya, fanya
wa mke asiyempenda kama mzaliwa wa kwanza kitu cha kuzuia kandokando ya dari ili usijiletee
kwa kumpa sehemu ya vile vyote alivyonavyo hatia ya kumwaga damu juu ya nyumba yako
mara dufu. Mwana huyo ni ishara ya kwanza ya ikiwa ye yote ataanguka kutoka humo.
nguvu za baba yake. Haki ya mzaliwa wa 9Usipande aina mbili za mbegu katika
kati yenu. Israeli yote itasikia hili na kuogopa. kufanya naye tendo la ndoa, akamchukia,
14akimsingizia na kumwita jina baya, akisema,
21
KUMBUKUMBU LA TORATI
kwenye lango. 16Baba wa msichana atawaambia msichana shekeli hamsini b za fedha. Ni lazima
wazee, “Nilimwoza binti yangu kwa huyu amwoe huyo msichana, kwa maana
mwanaume, lakini hampendi. 17 Sasa amemfanyia jeuri. Kamwe hawezi kumpa talaka
amemsingizia na kusema, ‘Sikumkuta huyu binti siku zote za maisha yake.
akiwa bikira.’ Lakini hapa kuna uthibitisho wa 30Mwanaume asimwoe mke wa baba yake,
ubikira wa binti yangu.’’ Kisha wazazi wake kamwe asidhalilishe kitanda cha baba yake.
wataonyesha nguo zake kwa wazee wa mji,
18nao wazee watamchukua huyo mwanaume na Kutengwa na Mkutano
kumwadhibu. 19Watamtoza shekeli za fedha mia
moja na kupewa wazazi wa msichana, kwa
a 23 Asiingie mtu ye yote aliyehasiwa kwa
kupondwa makende au kwa kukatwa
sababu mwanaume huyu amempa bikira wa uume wake katika kusanyiko la BWANA.
KiIsraeli jina baya. Ataendelea kuwa mke wake, 2Mtu ye yote ambaye amezaliwa kwenye
kamwe hawezi kumpa talaka siku zote za ndoa isiyo halali au wazao wake wasiingie
maisha yake. kwenye kusanyiko la BWANA, hata mpaka
20Hata hivyo, kama shitaka ni la kweli na kizazi cha kumi.
hakuna uthibitisho juu ya ubikira wa huyo 3Hapatakuwa na Mwamori au Mmoabu au
ambaye ameposwa na mtu akazini naye ndugu yako. Usimchukie Mmisri, kwa sababu
24utawachukua wote wawili kwenye lango la mji uliishi kama mgeni katika nchi yake. 8Kizazi cha
na kuwapiga kwa mawe mpaka wafe, yule tatu cha watoto watakaozaliwa nao wanaweza
msichana kwa kuwa alikuwa mjini na hakupiga kuingia katika kusanyiko la BWANA.
kelele kuomba msaada, na yule mwanaume kwa
sababu amemtenda jeuri mke wa mtu mwingine. Unajisi katika Kambi
Lazima mwondoe uovu katikati yenu. 9Unapokuwa umepiga kambi dhidi ya adui
25Lakini ikiwa itatokea mwanaume zako, jitenge na kitu cho chote kisicho safi.
akakutana na msichana aliyeposwa huko 10Ikiwa mtu amechafuka kwa sababu ya
mashambani akambaka, mwanaume aliyefanya kutokwa na shahawa usiku, inampasa atoke nje
hivi peke yake ndiye atakayeuawa. ya kambi na kukaa huko. 11Lakini jioni ikikaribia
26Usimtendee msichana jambo lo lote, hajafanya ataoga na baada ya jua kuzama ataingia tena
dhambi inayostahili kifo. Shauri hili ni kama lile kambini.
la ye yote ambaye anamshambulia na kumwua 12Tengeni mahali nje ya kambi ambapo
kwa makusudi jirani yake, 27kwa maana mnaweza kwenda kujisaidia. 13Kama sehemu ya
mwanaume huyo alimkuta msichana huko vifaa vyenu iweni na kitu cha kulimia, nanyi
mashambani, na ingawa msichana aliyeposwa mnapojisaidia, chimba shimo na kisha funika kile
alipiga kelele pale hapakuwa na mtu wa kikutokacho. 14Kwa kuwa BWANA Mungu wenu
kumwokoa. hutembea katika kambi yenu ili kuwalinda na
28Ikiwa itatokea mwanaume akutane na kuwaweka adui zenu mikononi mwenu. Kambi
bikira ambaye hajaposwa na kumbaka nao yenu ni lazima iwe takatifu, ili asione kitu cho
wakakutwa, mwanaume atamlipa baba wa
29
a19 Shekeli mia moja za fedha ni kama kilo moja b29 Shekeli hamsini za fedha ni kama kilo 0.6
a4 “Aramu Naharaimu” ndiyo “Mesopotania Kaskazini Magharibi.
22
KUMBUKUMBU LA TORATI
chote miongoni mwenu kilicho kichafu akageuka BWANA Mungu wako anakupa kama urithi.
na kuwaacha. 5Kama mtu ameoa karibuni, kamwe
asipelekwe vitani au kupewa wajibu mwingine
Sheria Mbalimbali wo wote. Kwa mwaka mmoja atakuwa huru
15Ikiwa mtumwa amekimbilia kwako, kubaki nyumbani ili amfurahishe mke
usimrudishe kwa bwana wake. 16Mwache aishi aliyemwoa.
miongoni mwenu mahali po pote anapopapenda 6Usitoe jozi ya mawe ya kusagia, hata ikiwa
na katika mji wo wote anaochagua. Usimwonee. lile la juu, kuweka rehani kwa ajili ya deni, kwa
17Asiwepo Mwiisraeli mwanamke kahaba au sababu itakuwa ni kuweka uhai wa mtu kama
mwanaume mlawiti wa mahali pa ibada. dhamana.
18Kamwe usilete mapato ya ukahaba ikiwa ni ya 7Kama mtu akikamatwa akiiba,ye yote
mwanamke au ni ya mwanaume katika nyumba miongoni mwa ndugu zake wa Waisraeli na
ya BWANA Mungu wako kwa ajili ya nadhiri yo kumtenda kama mtumwa au akimwuza, mwizi
yote, kwa sababu BWANA Mungu wako huyo ni lazima auawe. Nawe utaondoa uovu
anachukizwa na yote mawili. kutoka miongoni mwenu.
19Usimtoze ndugu yako riba, iwe ni fedha 8Pakitokea magonjwa ya ngozi ya
ama chakula ama kitu kingine cho chote kuambukiza, mwe waangalifu sana kufanya
ambacho waweza kupata riba juu yake. sawasawa na maagizo ya makuhani, ambao ni
20Unaweza kumtoza mgeni riba, lakini siyo Walawi. Ni lazima mfuate kwa uangalifu yale
nduguyo Mwiisraeli, ili kwamba BWANA Mungu niliyowaamuru. 9Kumbukeni kile BWANA
wako akubariki katika kila kitu unachoweka Mungu wenu alichomfanyia Miriamu njiani
mkono katika nchi unayoingia kuimiliki. baada ya ninyi kutoka Misri.
21Ukiweka nadhiri kwa BWANA Mungu 10Unapomkopesha jirani yako cho chote,
wako, usichelewe kuitimiza, kwa kuwa BWANA usiingie nyumbani kwake kutwaa kile
Mungu wako atakudai, nawe utakuwa na hatia anachokitoa kama rehani. 11Ukae nje na
ya dhambi. Lakini ukijizuia kuweka nadhiri,
22 umwache huyo mtu uliyemkopesha akuletee
hutakuwa na hatia. 23Cho chote hiyo rehani. 12Ikiwa mtu huyo ni maskini,
kitakachotamkwa kwa midomo yako ni lazima usiende kulala ukiwa na hiyo rehani yake katika
uhakikishe umekifanya, kwa sababu uliweka milki yako. 13Rudisha vazi lake kabla ya
nadhiri yako kwa hiari mbele za BWANA Mungu machweo ya jua ili apate kulilalia. Kisha
wako kwa kinywa chako mwenyewe. atakushukuru na kitaonekana kama kitendo cha
24Kama ukiingia katika shamba la mizabibu haki mbele za BWANA Mungu wako.
la jirani yako, unaweza kula zabibu kadiri 14Usimwonee mtu maskini na mhitaji
utakavyo, lakini usiweke cho chote kwenye ambaye umemwajiri, akiwa ni nduguyo
kikapu chako. Kama ukiingia katika shamba la
25 Mwisraeli au mgeni anayeishi katika mojawapo
nafaka la jirani yako, unaweza kukwanyua kwa ya miji yenu. 15Mlipe ujira wake kila siku kabla
mikono yako, lakini usikate kwa mundu nafaka ya jua kutua, kwa sababu yeye ni maskini na
iliyosimama. anautegemea ujira huo. La sivyo, anaweza
kumlilia BWANA dhidi yako, nawe ukapata hatia
Sheria Kuhusu Ndoa na Talaka ya dhambi.
Ikiwa mtu atamwoa mke na 16Baba wasiuawe kwa ajili ya watoto wao,
24 akamchukia kwa sababu ya kukosa wala watoto wasiuawe kwa ajili ya baba zao, kila
adabu, akamwandikia hati ya talaka, akampa na mmoja atakufa kwa ajili ya dhambi yake
kumfukuza kutoka nyumbani kwake, ikiwa 2 mwenyewe.
baada ya kuondoka nyumbani kwake atakuwa 17Usipotoshe hukumu ya mgeni au yatima,
talaka, akampa na kumfukuza kutoka nyumbani Misri naye BWANA Mungu wenu akawakomboa
kwake, au kama akifa, 4basi yule mume wake kutoka huko. Hii ndiyo sababu ninawaamuru
wa kwanza, ambaye alimpa talaka, haruhusiwi kutenda hili.
kumwoa tena baada ya mwanamke huyo kuwa 19Unapovuna shamba lako na ukasahau
najisi. Hayo yatakuwa machukizo machoni pa mganda, usirudi kuuchukua. Acha kwa ajili ya
BWANA. Usilete dhambi juu ya nchi ambayo mgeni, yatima na mjane, ili BWANA Mungu
23
KUMBUKUMBU LA TORATI
wako aweze kukubariki wewe katika kazi zote za lazima uwe na uzito na vipimo sahihi na vya
mikono yako. 20Unapovuna zeituni kutoka katika haki, ili upate kuishi maisha marefu katika nchi
miti yako, usirudie matawi mara ya pili. Acha anayokupa BWANA Mungu wako. 16Kwa maana
kilichobaki kwa ajili ya mgeni, yatima na mjane. BWANA Mungu wako humchukia ye yote
21Unapochuma zabibu katika shamba lako la ambaye hufanya mambo kama haya, ye yote
mizabibu usirudie tena. Acha zinazobaki kwa anayetenda kwa udanganyifu.
ajili ya mgeni, yatima na mjane. Kumbuka
22 17Kumbuka kile Waamaleki
kwamba mlikuwa watumwa katika nchi ya Misri. walichowatendea mlipokuwa njiani mkitoka
Ndiyo sababu ninawaamuru kufanya hili. Misri. 18Wakati mlipokuwa mmechoka na
kuishiwa nguvu kwa safari yenu, wakawapiga
sehemu za siri, 12huyo mwanamke utamkata inayotiririka maziwa na asali, 10nami sasa
mkono wake. Usimhurumie. ninaleta malimbuko ya ardhi ambayo wewe, Ee
13Usiwe na mawe ya kupimia ya aina mbili BWANA, umenipa.’’ Weka kapu mbele za
katika mkoba wako, moja zito na jingine jepesi, BWANA Mungu wako na usujudu mbele zake.
14Usiwe na vipimo viwili tofauti katika nyumba 11Kisha wewe pamoja na Walawi na wageni
yako, kimoja kikubwa, kingine kidogo. 15Ni wote walioko miongoni mwenu mtafurahi katika
24
KUMBUKUMBU LA TORATI
vitu vyote vizuri ambavyo BWANA Mungu wenu 5Huko mjengeeni BWANA Mungu wenu
amewapa pamoja na wa nyumbani mwenu. madhabahu, madhabahu ya mawe. Msitumie
12Wakati utakapokuwa umeshatoa zaka zote kifaa cho chote cha chuma juu yake. 6Jengeni
za mazao yako katika mwaka wa tatu, ambao ni madhabahu ya BWANA Mungu wenu kwa
mwaka wa zaka, utampa Mlawi, mgeni, yatima mawe ya shambani na mtoe sadaka za
na mjane, ili waweze kula katika miji yenu na kuteketezwa juu yake kwa BWANA Mungu
kushiba. Kisha umwambie BWANA Mungu
13 wenu. 7Toeni sadaka za amani juu yake, mkizila
wako: “Nimeondoa katika nyumba yangu ile na kufurahia mbele za BWANA Mungu wenu.
sehemu iliyowekwa wakfu na nimempa Mlawi, 8Nanyi mtaandika juu yake kwa wazi sana
mgeni, yatima na mjane, kulingana na yote maneno yote ya sheria hii juu ya mawe haya
uliyoamuru. Sijazihalifu amri zako wala kusahau ambayo mmesimamisha.’’
hata mojawapo. Sijala sehemu iliyowekwa
14
wala sijatoa sehemu yake yo yote kwa wafu. Walawi, wakawaambia Israeli wote, “Nyamaza
Nimemtii BWANA Mungu wangu, nimefanya Ee Israeli, sikiliza! Sasa umekuwa taifa la
kila kitu ulichoniamuru. 15Angalia chini kutoka BWANA Mungu wako. 10Mtii BWANA Mungu
mbinguni, maskani yako matakatifu, uwabariki wako na kufuata amri zake na maagizo
watu wako Israeli pamoja na nchi uliyotupa ninayokupa leo.’’
kama ulivyoahidi kwa kiapo kwa baba zetu, nchi 11Siku ile ile Mose akawaagiza watu:
Mungu wako na kwamba utafuata njia zake, Israeli kwa sauti kubwa:
kwamba utayashika maagizo yake, amri zake na
sheria zake nawe utamtii. 18Naye BWANA 15“Alaaniwe mtu afanyaye sanamu ya
ametangaza leo kwamba ninyi ni taifa lake, kuchonga au mwenye kusubu sanamu, kitu
hazina yake ya thamani kama alivyoahidi, ili ambacho ni chukizo kwa BWANA, kazi ya
kwamba mpate kuyashika maagizo yake yote. mikono ya fundi stadi na kuisimamisha kwa
19Ametangaza kwamba atawaweka juu kuliko siri.’’
mataifa mengine aliyoyafanya katika sifa, kuwa Kisha watu wote watasema,
fahari na heshima na kwamba mtakuwa taifa “Amen!’’
takatifu kwa BWANA Mungu wenu, kama 16 “Alaaniwe mtu amdharauye baba yake
alivyoahidi. na mama yake.”
Kisha watu wote watasema,
Madhabahu katika Mlima Ebali “Amen!’’
asali, kama vile BWANA Mungu wa baba zenu, mgeni, yatima au mjane.’’
alivyowaahidi. 4Mtakapokuwa mmevuka Kisha watu wote wataseme,
Yordani, simamisheni mawe haya juu ya Mlima “Amen!”
Ebali, kama ninavyowaagiza leo, mkayatie lipu. 20 “Alaaniwe mtu akutanaye kimwili na
25
KUMBUKUMBU LA TORATI
mke wa baba yake, kwa maana anadharau saba.
malazi ya baba yake.’’ 8BWANA ataagiza baraka juu ya ghala zako
Kisha watu wote watasema, na juu ya kila kitu utakachogusa kwa mkono
“Amen!’’ wako. BWANA Mungu wako atakubariki katika
21“Alaaniwe mtu akutanaye kimwili na nchi anayokupa.
mnyama ye yote.’’ 9BWANA atakufanya kuwa taifa lake takatifu
Kisha watu wote watasema, kama alivyokuahidi kwa kiapo, kama ukishika
“Amen!’’ maagizo ya BWANA Mungu wako na kwenda
22“Alaaniwe mtu akutanaye kimwili na katika njia zake. 10Kisha mataifa yote ya dunia
dada yake, binti wa baba yake au binti wa wataona kuwa unaitwa kwa jina la BWANA, nao
mama yake.’’ watakuogopa. 11BWANA atakupa kustawi kwa
Kisha watu wote watasema, wingi, katika tunda la uzao wa tumbo lako,
“Amen!’’ wanyama wachanga wa mifugo yako na mazao
23“Alaaniwe mtu akutanaye kimwili na ya ardhi yako, katika nchi aliyowaapia baba
mama mkwe.’’ zako kuwapa.
Kisha watu wote watasema, 12BWANA atafungua mbingu, ghala zake za
26
KUMBUKUMBU LA TORATI
23Anga juu yako itakuwa shaba, na ardhi chini yako yote, lakini hutatumia hayo mafuta yake,
yako itakuwa chuma. 24BWANA atafanya mvua kwa sababu zeituni zitapukutika. 41Utakuwa na
ya nchi yako kuwa mavumbi na mchanga, wana na binti lakini hawatakuwa nawe, kwa
vitakujia kutoka angani mpaka umeangamia. sababu watachukuliwa mateka. 42Makundi ya
25BWANA atakufanya ushindwe mbele ya nzige yatavamia miti yako yote na mazao ya
adui zako. Utawajia kwa njia moja lakini nchi yako.
utawakimbia mbele yao kwa njia saba, nawe 43Mgeni anayeishi miongoni mwako
utakuwa kitu cha kuchukiza kwa falme zote za atainuka juu zaidi na zaidi kuliko wewe, lakini
dunia. 26Mizoga yenu itakuwa chakula cha wewe utashuka chini zaidi na zaidi. 44Yeye
ndege wa angani na wanyama wa nchi, wala atakukopesha, lakini wewe hutamkopesha. Yeye
hapatakuwepo mtu ye yote wa kuwafukuza. atakuwa kichwa, lakini wewe utakuwa mkia.
27BWANA atakupiga kwa majipu ya Misri na kwa 45Laana hizi zote zitakuja juu yako.
Hutafanikiwa katika lo lote ufanyalo, siku baada wako kwa furaha na kwa moyo wakati wa
ya siku utaonewa na kunyang'anywa, wala kufanikiwa kwako, 48kwa hiyo katika njaa na kiu,
hakuna ye yote atakayekuokoa. katika uchi na umaskini wa kutisha,
30Utaposa mke, lakini mtu mwingine utawatumikia adui ambao BWANA atawatuma
atakutana naye kimwili. Utajenga nyumba, lakini dhidi yako. Yeye ataweka nira ya chuma
hutaishi ndani yake. Utapanda shamba la shingoni mwako hadi amekwisha
mizabibu, lakini hutakula matunda yake. kukuangamiza.
31Ng'ombe wako atachinjwa mbele ya macho 49BWANA ataleta taifa dhidi yako kutoka
yako lakini hutakula nyama yake. Punda wako mbali, kutoka miisho ya dunia, kama tai
atachukuliwa kwa nguvu kutoka kwako wala ashukiavyo mawindo chini, taifa ambalo hutaijua
hatarudishwa. Kondoo wako watapewa adui lugha yake, 50taifa lenye uso mkali lisilojali
zako, wala hakuna mtu ye yote wa kuwaokoa. wazee wala kuwahurumia vijana. 51Watakula
32Wanao na binti zako watatolewa kwa mataifa wadogo wa mifugo yako na mazao ya nchi yako
mengine, nawe utayachosha macho yako mpaka umeangamia. Hawatakuachia nafaka,
ukiwatazamia siku baada ya siku, hutakuwa na divai mpya au mafuta, wala ndama wo wote wa
nguvu kuinua mkono. 33Taifa usilolijua watakula kundi lako au wana-kondoo wa kundi lako
mazao ya nchi yako na taabu ya kazi yako, mpaka umekuwa magofu. 52Nao waizingira miji
hutakuwa na cho chote, bali kuonewa kikatili yote katika nchi yako mpaka kuta ndefu za
siku zako zote. 34Vitu utakavyoviona kwa macho ngome ambazo unazitegemea zimeanguka.
yako vitakufanya wazimu. BWANA atayapiga
35 Watazingira miji yote katika nchi ambayo
magoti yako na miguu yako kwa majipu yenye BWANA Mungu wako anakupa.
maumivu makali yasiyoponyeka, yakienea 53Kwa sababu ya mateso yale adui zako
kutoka nyayo za miguu yako hadi utosini. watakayokuletea wakati wa kukuzingira, utakula
36BWANA atakupeleka wewe na mfalme uzao wa tumbo lako, nyama ya wana wako na
uliyemweka juu yako uende kwenye taifa binti zako ambao BWANA Mungu wako
ambalo hukulijua wewe wala baba zako. Huko amekupa. 54Hata yule mtu mwungwana sana na
utaabudu miungu mingine, miungu ya miti na makini miongoni mwako hatakuwa na huruma
mawe. 37Utakuwa kitu cha kuchukiza tena kitu kwa ndugu yake mwenyewe au kwa mke
cha kudharauliwa na kudhihakiwa kwa mataifa ampendaye au watoto wake waliosalia, 55naye
yote huko BWANA atakakokupeleka. hatampa hata mmoja wao nyama ya watoto
38Utapanda mbegu nyingi katika shamba wake ambao anawala. Kwa kuwa hakuna kitu
lakini utavuna haba, kwa sababu nzige watazila. kingine kilichosalia kwake katika mazingirwa
39Utapanda mashamba ya mizabibu na makali ambayo adui yako watakuletea kwa miji
kuyapalilia, lakini hutakunywa divai yake wala yako yote. 56Mwanamke ambaye ni mwungwana
hutakusanya zabibu, kwa sababu wadudu sana na makini miongoni mwako, yaani, ambaye
watazila. Utakuwa na mizeituni katika nchi
40 ni makini sana na muungwana kiasi kwamba
27
KUMBUKUMBU LA TORATI
asingethubutu kugusa ardhi kwa wayo wa mguu Waisraeli huko Moabu, kuwa nyongeza ya
wake, yeye atakuwa mchoyo kwa mume agano alilofanya nao huko Horebu.
ampendaye na mwanawe mwenyewe au binti 2Mose akawaita Waisraeli wote
yake, kondo la nyuma kutoka kwenye tumbo
57 akawaambia:
lake na watoto anaowazaa, kwa kuwa
anakusudia kuwala kwa siri wakati wa Macho yenu yameona yale yote BWANA
kuzingirwa na katika taabu zile ambazo adui aliyofanya kwa Mfalme Farao huko Misri, kwa
yako atazileta juu yako na miji yako. maafisa wake wote na kwa nchi yake yote. 3Kwa
58Kama hutafuata kwa bidii maneno yote ya macho yenu wenyewe mliona yale majaribu
sheria hii, ambayo yameandikwa katika kitabu makubwa, ishara zile za miujiza na maajabu
hiki na kama hutalicha hili jina la fahari na la makubwa. 4Lakini mpaka leo BWANA hajawapa
kutisha la BWANA Mungu wako, BWANA 59 akili ya kuelewa au macho yanayoona au
ataleta mapigo ya kutisha juu yako na kwa masikio yanayosikia. 5Kwa muda wa miaka
wazao wako, maafa makali na ya kudumu, arobaini niliyowaongoza jangwani, nguo zenu
magonjwa mazito na ya kudumu. 60Atakuletea hazikuchakaa, wala viatu miguuni mwenu.
juu yako magonjwa yote ya Misri yale 6Hamkula mkate na hamkunywa mvinyo wala
uliyoyaogopa, nayo yataambatana nawe. Pia 61 kileo cho chote. Nilifanya hivi ili mpate kujua
BWANA atakuletea kila aina ya ugonjwa na kuwa mimi ndimi BWANA Mungu wenu.
maafa ambayo hayakuandikwa humu katika 7Wakati mlipofika mahali hapa, Mfalme
kitabu hiki cha sheria, mpaka utakapokuwa Sihoni wa Heshboni na Mfalme Ogu wa Bashani
umeangamizwa. Ninyi ambao mlikuwa wengi
62 walikuja kupigana dhidi yetu, lakini tuliwashinda.
kama nyota za angani mtaachwa wachache tu, 8Tuliichukua nchi yao na kuwapa Wareubeni,
kwa sababu hamkumtii BWANA Mungu wenu. Wagadi na nusu ya kabila la Manase kama urithi
63Kama ilivyompendeza BWANA kuwafanya wao.
ninyi mstawi na kuongezeka kwa idadi, ndivyo 9Fuateni kwa bidii masharti ya agano hili, ili
mingine, miungu ya miti na ya mawe, ambayo wageni waishio katika kambi zenu
ninyi wala baba zenu hamkuijua. 65Miongoni wanaowapasulia kuni na kuwachotea maji.
mwa mataifa hayo hamtapata raha wala mahali 12Mnasimama hapa ili kufanya agano na
pa kupumzisha wayo wa mguu wenu. Huko BWANA Mungu wenu, agano Mungu
BWANA atawapa mahangaiko ya mawazo, analolifanya nanyi siku hii ya leo na kulitia
macho yaliyochoka kwa kungojea na moyo muhuri kwa kiapo, 13kuwathibitisha ninyi siku hii
uliokata tamaa. 66Utaishi katika mahangaiko siku ya leo kama taifa lake, ili aweze kuwa Mungu
zote, ukiwa umejaa hofu usiku na mchana, wala wenu kama alivyowaahidi na kama alivyowaapia
hutakuwa kamwe na uhakika wa maisha yako. baba zenu Abrahamu,Isaki na Yakobo.
67Wakati wa asubuhi utasema, “Laiti ingekuwa 14Ninafanya agano hili pamoja na kiapo chake,
jioni!’’ na jioni utasema, “Laiti ingekuwa sio na ninyi tu 15mnaosimama hapa na sisi leo
asubuhi!’’ kwa sababu ya hofu ile itakayojaza mbele za BWANA Mungu wetu, bali pia pamoja
moyo wako na vitu vile macho yako yataviona. na wale ambao hawapo hapa leo.
68BWANA atawarudisha tena Misri kwa meli, 16Ninyi wenyewe mnajua jinsi tulivyoishi
safari niliyosema kamwe hamngeenda tena. nchini Misri na jinsi tulivyopita katikati ya nchi
Huko mtajiuza ninyi wenyewe kwa adui zenu mpaka tukafika hapa. 17Mliona miongoni mwao
kama watumwa wa kiume na wa kike, lakini vinyago vyao vya kuchukiza na sanamu za miti
hakuna ye yote atakayewanunua. na mawe, za fedha na dhahabu. 18Hakikisheni
kwamba hakuna mwanaume au mwanamke,
Kufanya Upya Agano ukoo au kabila miongoni mwenu leo ambalo
28
KUMBUKUMBU LA TORATI
hakikisheni hakuna mzizi miongoni mwenu wako mtakapomrudia BWANA Mungu wako na
unaotoa sumu chungu ya namna hii. kumtii kwa moyo wako wote na kwa roho yako
19Wakati mtu wa namna hii asikiapo maneno yote kulingana na kila kitu ninachokuamuru leo,
ya kiapo hiki, hujibariki mwenyewe na kisha 3ndipo BWANA Mungu wako atakapokurudisha
zitamwangukia na BWANA atafuta jina lake chini zako, nawe utaimiliki. Atakufanya ufanikiwe
ya mbingu. 21BWANA atamtwaa peke yake sana na kukuzidisha kwa idadi kuliko baba zako.
kutoka makabila ya Israeli kwa maangamizo, 6 BWANA Mungu wako ataitairi mioyo yenu na
kulingana na laana zote za agano zilizoandikwa mioyo ya wazao wenu ili mweze kumpenda kwa
kwenye Kitabu hiki cha Sheria. moyo wako wote na kwa roho yako yote ukaishi.
22Watoto wako watakaofuata baada yako 7BWANA Mungu wako ataweka laana hizi zote
katika vizazi vya baadaye na wageni ambao juu ya adui zako ambao wanakuchukia na
watakuja kutoka nchi za mbali, wataona maafa, kukutesa. 8Utamtii tena BWANA na kuzishika
yaliyoipata nchi na magonjwa ambayo BWANA amri zake zote ninazokupa leo. 9Ndipo BWANA
aliyaleta juu yake. Nchi yote itakuwa jaa
23 Mungu wako atakapokufanikisha sana katika
linaloungua la chumvi na kiberiti, hakuna kazi zote za mikono yako na katika uzao wa
kilichopandwa, hakuna kinachochipua, hakuna tumbo lako, wadogo wa mifugo yako na mazao
mimea inayoota juu yake. Itakuwa kama ya nchi yako. BWANA atakufurahia tena na
maangamizo ya Sodoma na Gomora, Adma na kukufanikisha, kama alivyowafurahia baba zako,
Seboimu ambazo BWANA aliangamiza kwa 10kama ukimtii BWANA Mungu wako na
hasira kali. 24Mataifa yote yatauliza: “Kwa nini kuzishika amri zake na maagizo yake ambayo
BWANA amefanya hivi juu ya nchi hii? Kwa nini yameandikwa katika Kitabu hiki cha Sheria na
hasira hii kali ikawaka?’’ kumgeukia BWANA Mungu wako kwa moyo
25Na jibu litakuwa: “Ni kwa sababu watu wako wote na kwa roho yako yote.
hawa waliacha agano la BWANA Mungu wa
baba zao, agano alilofanya nao wakati Uzima na Mauti
alipowatoa katika nchi ya Misri. 26Walienda zao 11Ninachokuagiza leo sio kigumu sana
BWANA Mungu wako atakapokutawanya ukawa huna utii, kama umevutwa kuisujudia
miongoni mwa mataifa, hapo wewe na watoto
2 miungu mingine na kuiabudu, 18nakutangazia
29
KUMBUKUMBU LA TORATI
leo hii kwamba hakika utaangamizwa. Hutaishi 12Kusanya watu, wanaume, wanawake,watoto
maisha marefu katika nchi unayovuka Yordani na wageni wanaoishi katika miji yenu, ili waweze
kuiingia na kuimiliki. kusikia na kujifunza kumcha BWANA Mungu
19Leo ninaziita mbingu na nchi kama wenu na kufuata kwa bidii maneno yote ya
mashahidi dhidi yako kwamba nimeweka mbele sheria hii. 13Watoto wao, ambao hawaijui sheria
yako uzima na mauti, baraka na laana. Basi hii, lazima waisikie na kujifunza kumcha
sasa chagueni uzima, ili wewe na watoto wako BWANA Mungu wenu kwa muda mtakaoishi
mpate kuishi 20na ili upate kumpenda BWANA katika nchi mnayovuka Yordani kuimiliki.’’
Mungu wako, uisikilize sauti yake na
kuambatana naye. Kwa kuwa BWANA ndiye Kuasi kwa Waisraeli Kunatabiriwa
uzima wako na atakupa wingi wa siku ili upate 14BWANA akamwambia Mose, “Sasa siku
kuishi katika nchi aliyoapa kuwapa baba zako ya kifo chako imekaribia. Mwite Yoshua,
Abrahamu, Isaki na Yakobo. mkajihudhurishe katika Hema ya Kukutania,
mahali nitakapompa maagizo.” Kwa hiyo Mose
Yoshua Kutawala baada ya Mose na Yoshua wakaja na kujihudhurisha kwenye
miaka mia moja na ishirini nami siwezi tena katika nguzo ya wingu, nalo wingu likasimama
kuwaongoza. BWANA ameniambia, ‘Hutavuka juu ya ingilio la Hema. 16Kisha BWANA
Yordani.’ 3 BWANA Mungu wenu yeye akamwambia Mose: “Unakwenda kupumzika na
mwenyewe atavuka mbele yenu. Ataangamiza baba zako, nao watu hawa hivi karibuni watazini
mataifa haya mbele yenu, nanyi mtaimiliki nchi na miungu migeni ya nchi wanayoingia.
yao. Pia Yoshua atavuka mbele yenu, kama Wataniacha na kuvunja agano nililofanya nao.
BWANA alivyosema. 4Naye BWANA 17Siku hiyo nitawakasirikia na kuwaacha,
atawafanyia watu hao kile alichowafanyia Sihoni nitawaficha uso wangu, nao wataangamizwa.
na Ogu, wafalme wa Waamori, ambao Maafa mengi na shida nyingi zitakuja juu yao,
aliwaangamiza pamoja na nchi yao. 5BWANA nao siku hiyo watauliza, ‘Je, maafa haya
atawakabidhi kwenu, nanyi lazima mwatendee hayakuja juu yetu kwa sababu Mungu wetu
yale yote niliyowaamuru, 6Iweni imara na moyo hayuko pamoja nasi?’ 18Nami
wa ushujaa. Msiogope wala msifadhaike kwa hakika nitauficha uso wangu siku hiyo kwa
sababu yao, kwa kuwa BWANA Mungu wenu sababu ya maovu yao yote kwa kugeukia
anakwenda pamoja nanyi, kamwe hatawaacha miungu mingine.
wala hatawatupa ninyi.’’ 19“Sasa uandike wimbo huu a , kwa ajili yenu
7Kisha Mose akamwita Yoshua na na uwafundishe Waisraeli na uwaamuru
akamwambia mbele ya Israeli wote, “Uwe imara wauimbe, ili upate kuwa shahidi yangu dhidi
na moyo wa ushujaa, kwa kuwa ni lazima uende yao. 20Nitakapokwisha kuwaingiza katika nchi
na watu hawa katika nchi ile BWANA itiririkayo maziwa na asali, nchi niliyowaahidi
aliyowaapia baba zao kuwapa, nawe ni lazima baba zao kwa kiapo, nao watakapokula
uwagawie kama urithi wao. 8BWANA wakashiba na kufanikiwa, watageukia miungu
mwenyewe atakutangulia naye atakuwa pamoja mingine na kuiabudu, wakinikataa mimi na
nawe, kamwe hatakuacha wala hatakutupa. kuvunja agano langu. 21Maafa na shida
Usiogope wala usifadhaike.’’ zitakapokuja juu yao, wimbo huu utashuhudia
dhidi yao, kwa sababu hautasahauliwa na
Kusoma Sheria wazao wao. Ninajua lile wanaloandaa kufanya,
9Kwa hiyo Mose akaandika sheria hii na hata kabla sijawaingiza katika nchi niliyowaahidi
kuwapa makuhani, wana wa Lawi, waliochukua kwa kiapo.’’ 22Hivyo Mose akaandika wimbo huu
sanduku la agano la BWANA na wazee wote wa siku ile na akawafundisha Waisraeli.
Israeli. Kisha Mose akawaamuru akasema:
10 23BWANA akampa Yoshua mwana wa Nuni
“Mwishoni mwa kila miaka saba, katika mwaka agizo hili: “Uwe hodari na shujaa kwa kuwa
wa kufuta madeni, wakati wa Sikukuu ya
Vibanda, 11Waisraeli wote wanapokuja mbele za
BWANA Mungu wenu mahali atakapopachagua, a19 “Wimbo huu’’ upo 32:1-44 ambao pia huitwa “Wimbo wa
utasoma sheria hii mbele yao masikioni mwao. Mose.’’
30
KUMBUKUMBU LA TORATI
utawaleta Waisraeli katika nchi niliyowaahidi Je, Yeye si Baba yenu, Muumba wenu,
kwa kiapo, nami mwenyewe nitakuwa pamoja aliyewafanya ninyi na kuwaumba?
nawe.’’
24Baada ya Mose kumaliza kuandika 7Kumbuka siku za kale,
kwenye kitabu maneno ya sheria hii kutoka tafakari vizazi vya zamani vilivyopita.
mwanzo hadi mwisho, 25akawapa Walawi agizo Uliza baba yako naye atakuambia,
hili wale waliolibeba sanduku la agano la wazee wako, nao watakueleza.
BWANA, akawaambia: 26“Chukueni Kitabu hiki 8Aliye Juu sana alipowapa mataifa urithi wao,
nchi,
Wimbo wa Mose akamlisha kwa mavuno ya mashamba.
30Mose akayasoma maneno ya wimbo huu Akamlea kwa asali toka mwambani,
kutoka mwanzo hadi mwisho katika masikio ya na kwa mafuta kutoka mwamba mgumu.
kusanyiko lote la Israeli: 14Kwa jibini kutoka makundi ya ng’ombe
kama manyunyu juu ya majani mabichi, alikuwa na chakula tele, akawa mzito na
kama mvua tele juu ya mimea myororo. akapendeza sana.
Akamwacha Mungu aliyemuumba
3Nitalitangaza jina la BWANA. na kumkataa Mwamba Mwokozi wake.
Naam, sifuni ukuu wa Mungu wetu! 16Wakamfanya Mungu kuwa na wivu kwa
4Yeye ni Mwamba, kazi zake ni kamilifu, miungu yao migeni,
njia zake zote ni haki. na kumkasirisha kwa sanamu zao za
Mungu mwaminifu ambaye hakosei, machukizo.
mnyofu na mwenye haki ni Yeye. 17Wakatoa dhabihu kwa pepo, ambao si Mungu,
miungu wasiyoijua,
5Wamefanya mambo ya upotovu mbele zake, miungu iliyojitokeza siku za karibuni,
kwa aibu yao, wao si watoto wake tena, miungu ambayo baba zenu hawakuiabudu.
lakini ni kizazi kilicho kiovu na kilichopotoka. 18Mkamwacha Mwamba, aliyewazaa ninyi,
6Je, hii ndiyo njia ya kumlipa BWANA, mkamsahau Mungu aliyewazaa.
Enyi watu wajinga na wasio na busara?
31
KUMBUKUMBU LA TORATI
19BWANA akaona hili akawakataa Sodoma
kwa sababu alikasirishwa na wanawe na na kutoka kwenye mashamba ya Gomora.
binti zake. Zabibu zake zimejaa sumu,
20Akasema, “Nitawaficha uso wangu, na vishada vyake vimejaa uchungu.
“nami nione mwisho wao utakuwa nini, 33Mvinyo wao ni sumu ya nyoka
Nitawafanya wawaonee wivu wale ambao si Wakati utakapowadia mguu wao utateleza
taifa, siku yao ya maafa ni karibu
nitawafanya wakasirishwe na taifa lile lisilo na maangamizo yao yanawajia haraka.’’
na ufahamu.
22Kwa maana moto umewashwa kwa hasira 36BWANA atahukumu watu wake
yangu, na kuwahurumia watumishi wake
ule uwakao hadi kwenye vina vya mauti. anapoona nguvu zao zimekwisha
Utateketeza dunia pamoja na mazao yake wala hakuna ye yote aliyebaki, mtumwa au
na kuwasha moto katika misingi ya milima. aliye huru.
23“Nitalundika majanga juu yao 37Atasema: “Sasa iko wapi miungu yao,
nyumbani mwao hofu itatawala. 39“Tazama basi mimi mwenyewe Mimi Ndiye!
Vijana wao wa kiume na wa kike wataangamia, Hakuna mungu mwingine ila Mimi.
watoto wachanga na wazee wenye mvi. Mimi ninaua na Mimi ninafufua,
26Nilisema ningewatawanya Mimi nimejeruhi na Mimi nitaponya,
na kufuta kumbukumbu lao katika wala hakuna awezaye kuokoa kutoka
mwanadamu. mkononi mwangu.
27Lakini nilihofia dhihaka za adui, 40Ninainua mkono wangu kuelekea mbinguni na
unaomeremeta
28Wao ni taifa lisilo na akili, na mkono wangu unapoushika katika kutoa
hakuna busara ndani yao. hukumu,
29Laiti wangekuwa na hekima wangefahamu hili nitalipiza kisasi juu ya adui zangu
na kutambua kwamba mwisho wao utakuwa na kuwalipiza wale wanaonichukia.
nini! 42Nitailevya mishale yangu kwa damu,
30Mtu mmoja angewezaje kufukuza elfu moja, wakati upanga wangu ukitafuna nyama:
au wawili kufukuza elfu kumi, damu ya waliochinjwa pamoja na mateka,
kama si kwamba Mwamba wao amewauza, vichwa vya viongozi wa adui.’’
kama si kwamba BWANA
amewaacha? 43Furahini, Enyi mataifa, pamoja na watu wake,
31Kwa kuwa mwamba wao si kama Mwamba kwa kuwa atailipiza damu ya watumishi
wetu, wake,
sawasawa na vile adui zetu wanavyokiri. atalipiza kisasi juu ya adui zake
32Mzabibu wao unatoka kwenye mzabibu wa na kufanya upatanisho kwa ajili ya nchi na
32
KUMBUKUMBU LA TORATI
watu wake. 5Alikuwa mfalme juu ya Yeshuruni a
maneno haya yote kwa Israeli wote, wala watu wake wasiwe wachache.’’
46akawaambia, “Yawekeni moyoni maneno yote 7Akasema hili kuhusu Yuda:
milki ya kusanyiko la Yakobo. a5 “Yeshuruni” maana yake “Aliye mnyofu,” yaani, Israeli.
34
KUMBUKUMBU LA TORATI
nchi niliyomwahidi Abrahamu na Isaka na
Yakobo kwa kiapo niliposema, ‘Nitawapa wazao
wako.’ Nimekuruhusu uione kwa macho yako,
lakini hutavuka kuingia.’’
5Naye Mose mtumishi wa BWANA akafa
35
YOSHUA
Utangulizi
Kitabu hiki kinachukua jina la mhusika wake mkuu, yaani, Yoshua, mwana wa Nuni, ambaye anatoka
kwenye kabila la Efraimu (Hes.13:8). Yoshua maana yake Yehova ( BWANA) ni wokovu. Yoshua alichaguliwa na
Mungu kuwa kiongozi muda mfupi kabla ya kifo cha Mose (Kum.31). Maandalizi kwa ajili ya huduma yake
yanajumuisha: Kiongozi wa jeshi la Israeli kupigana na Waamaleki (Kut..17:8-16); msaidizi wa Mose
(Kut..33:11); mmoja wa wale wapelelezi kumi na wawili waliokwenda kupeleleza Kanaani (Hes.13-14);
kuchaguliwa kwake kuingia mahali pa Mose kwa sababu ya kujionyesha kwa kipekee kwa huduma yake
(Hes.27:18 - 23; 32:13; Kum.1:38; 31:7- 8)
. Kitabu cha Yoshua ni habari juu ya Waisraeli wakiongozwa na Yoshua. Yoshua ambaye bila shaka
kufanikiwa kwake kunasababishwa na hali yake ya kumwelekea Mungu na ufunuo wa Mose, mara anawafanya
Waisraeli watambue uhusiano wao na Mungu kwa kuadhimisha Pasaka (5:10) na kanuni ya tohara (5:3) na kwa
kusimamisha kumbukumbu ya jiwe (4:3) baada ya kuvuka Mto Yordani. Waisraeli walivuka Mto Yordani
kimwujiza. Kutokana na vile mji wa Yeriko ulivyotekwa kwa mwujiza (5:13 -627), ungeweza ukawa ndio msingi
wao wa imani katika Mungu kwamba sehemu iliyosalia ya Kanaani pia ingekaliwa na wao. Kule kutekwa kwa mji
wa Ai, kushindwa kwa umoja wa Waamori upande wa kusini, kule kuanguka kwa Hazori, iliyokuwa ngome ya
Wakanaani upande wa kaskazini, kuliwapa Waisraeli kumiliki sehemu muhimu za nchi ya Ahadi, yaani, Kanaani.
Ingawa makabila mawili na nusu, yaani, kabila la Reubeni, Gadi na nusu ya kabila la Manase tayari
walikwisha kumiliki eneo la mashariki mwa Mto Yordani chini ya uongozi wa Mose, makabila mengine yaliyosalia
yalipata sehemu zao chini ya uongozi wa Yoshua. Kabila la Lawi halikupewa mgao wa urithi katika nchi, bali wao
walipewa miji arobaini na minane kuwa miliki yao katika nchi nzima ili waweze kutoa huduma yao ya kiroho kwa
sababu wao walipewa ukuhani.
Kabla Yoshua hajafa aliwakumbusha watu juu ya agano la Mungu na ahadi Zake kwao, akawaonya kuhusu
kuabudu sanamu.Yeye aliweka wazi upya agano kati ya Mungu na Israeli, akiwaonya Waisraeli kudumisha ile
hali ya kujitoa kwa Mungu na kumpenda kwa moyo wote. Aliwaelekeza watu waendelee kumpenda, kumtii na
kumtumikia Mungu. Alizungumza hadharani jinsi ambavyo yeye binafsi alikuwa tayari kumtumikia Mungu
aliposema, “….Chagueni hivi leo mtakayemtumikia, lakini mimi na nyumba yangu tutamtumikia BWANA..”
(24:15)
Wazo Kuu
Kuvuka Mto Yordani kwa mwujiza, kuingia, kutekwa na kugawanywa kwa Nchi ya Ahadi – Kanaani.
Miongoni mwa wanaume 603,550 wenye umri wa miaka kuanzia ishirini wawezao kwenda vitani waliotoka Misri,
ni Yoshua na Kalebu peke yao ndio walioingia Nchi ya Ahadi, yaani, Kanaani.
Mwandishi
Mwandishi wa kitabu hiki ni Yoshua, kiongozi wa Israeli baada ya Mose, isipokuwa sehemu ya mwisho
ambayo mwandishi wake hajulikani, lakini mapokeo ya Kiyahudi yanasema kwamba (24:29-32) iliongezwa na
Eleazari na (mst..33) uliandikwa na kuhani Finehasi, shahidi ambaye alishuhudia kwa macho yake mambo
yaliyoandikwa humu.
Mahali
Kanaani, ambayo ndiyo iliyokuwa Nchi ya Ahadi. Kwa sasa ndiyo nchi ya Israeli.
Tarehe
1646 – 1616 K.K. kwani matukio yaliyomo ni yale yaliyotukia wakati huo.
Wahusika Wakuu
Yoshua, Rahabu, Akani, Finehasi, Eleazari.
Mgawanyo
• Maandalizi ya kuiteka Kanaani. (1:1-5:15)
• Kuishinda Kanaani. (6:1-12:24)
• Mgawanyo wa nchi kwa makabila. (13:1-21:45)
• Kuagana na Yoshua na kifo chake. (22:1-24:33)
1
YOSHUA
BWANA Anamwagiza Yoshua BWANA awape nao raha, kama alivyokwisha
Baada ya kifo cha Mose mtumishi wa kufanya kwa ajili yenu hadi wao nao
1 BWANA, BWANA akamwambia Yoshua watakapokuwa wamemiliki nchi ile
mwana wa Nuni, msaidizi wa Mose: 2‘‘Mtumishi BWANA wenu anayowapa. Baada ya hilo,
wangu Mose amekufa. Sasa basi, wewe pamoja mwaweza kurudi na kukalia nchi yenu wenyewe,
na watu wote hawa, jiandaeni kuvuka huu Mto ambayo Mose mtumishi wa BWANA aliwapa
Yordani kuingia nchi ambayo karibu nitawapa mashariki ya Yordani kuelekea linakochomoza
wana wa Israeli. 3Kila mahali nyayo za miguu jua.
yenu zitakapokanyaga nimewapa, kama vile 16Ndipo wakamjibu Yoshua, ‘‘cho chote
BWANA alilowapa: ‘ BWANA Mungu wenu, akawaendea huko juu darini, 9akawaambia,
anawapa ninyi raha, naye amewapa nchi hii.’ “Ninajua kuwa BWANA amewapa nchi hii na
14Wake zenu, watoto wenu na mifugo yenu hofu kuu imetuangukia kwa sababu yenu, kiasi
watakaa katika nchi ile Mose aliyowapa kwamba wote waishio katika nchi hii
mashariki ya Yordani, lakini mashujaa wenu wanayeyuka kwa hofu kwa sababu yenu.
wote, wakiwa wamevikwa silaha kikamilifu 10Tumesikia jinsi BWANA alivyokausha maji ya
lazima wavuke mbele ya ndugu zenu. Bahari ya Shamua kwa ajili yenu mlipotoka Misri,
Imewapasa kuwasaidia ndugu zenu hadi 15 pia lile mlilowatendea Sihoni na Ogu, wafalme
2
YOSHUA
wawili wa Waamori mashariki ya Yordani, “Hakika BWANA
ambao mliwaangamiza kabisa. 11Tuliposikia juu ametupa nchi yote mikononi mwetu, watu wote
ya hili, mioyo yetu iliyeyuka na kila mmoja wanayeyuka kwa hofu kwa sababu yetu.”
alikosa ujasiri kwa sababu yenu, kwa maana
BWANA Mungu wenu ni Mungu aliye juu Kuvuka Yordani
mbinguni na duniani chini. 12Sasa basi, tafadhali
niapieni kwa BWANA, kwamba mtaitendea 3 Yoshua na Waisraeli wote wakaondoka
asubuhi na mapema, kutoka Shitimu
hisani jamaa ya baba yangu, kwa kuwa mimi wakaenda mpaka mto Yordani, ambako alipiga
nimewatendea hisani. Nipeni ishara ya uaminifu. kambi kabla ya kuvuka. 2Baada ya siku tatu
13kwamba mtayahifadhi maisha ya baba yangu maafisa wakapita katika kambi yote, 3wakitoa
na mama yangu, ndugu zangu wa kiume na wa maagizao kwa watu wakiwaambia: “Mtakapoona
kike, pamoja na wale wote walio wa kwao na Sanduku la Agano la BWANA Mungu wenu,
kwamba mtatuokoa na kifo.’’ likichukuliwa na Walawi ambao ndio makuhani,
14Wale watu wakamhakikishia Rahabu, mtaondoka hapo mlipo na kulifuata. 4Ndipo
“Uhai wetu kwa uhai wenu! Ikiwa hutatoa habari mtakapotambua njia mtakayoiendea, kwa kuwa
ya nini tunachofanya, wakati BWANA hamjawahi kuipita kabla. Lakini msisogee karibu
atakapotupa nchi hii, tutawatendea kwa hisani bali kuwe na umbali wa dhiraa elfu mbili a kati
na kwa uaminifu.” yenu na sanduku.”
15Kisha akawatelemsha dirishani kwa 5Ndipo Yoshua akawaambia hao watu,
kamba, kwa kuwa nyumba yake aliyokuwa “Jitakaseni, kwa kuwa kesho BWANA atatenda
anaishi ilikuwa sehemu ya ukuta wa mji. mambo ya kushangaza katikati yenu.”
16Akawaambia, “Nendeni vilimani ili wale 6Yoshua akawaambia makuhani, “Liinueni
wafuatiliaji wasiwapate. Jificheni huko kwa siku Sanduku la Agano mkatangulie mbele ya watu.”
tatu mpaka watakaporudi, hatimaye mwende Hivyo wakaliinua na kutangulia mbele yao.
zenu.” 7Ndipo BWANA akamwambia Yoshua, “Leo
17Wale watu wakamwambia, “Hiki kiapo nitaanza kukutukuza machoni pa Israeli yote, ili
ulichotuapisha hakitatufunga, 18isipokuwa, hapo wapate kujua kuwa niko pamoja nawe kama
tutakapoingia katika nchi hii, utakuwa umefunga nilivyokuwa pamoja na Mose. 8Uwaambie
hii kamba nyekundu dirishani pale makuhani wanaochukua Sanduku la Agano,
ulipotutelemshia na kama utakuwa umewaleta ‘Mnapofika kwenye ukingo wa maji ya Yordani,
baba yako na mama yako, ndugu zako na jamaa nendeni mkasimame ndani ya mto.” ’
yako yote ndani ya nyumba yako. 19Ikiwa mtu ye 9Yoshua akawaambia Waisraeli, “Njoni hapa
yote atatoka nje ya nyumba yako akaenda msikilize maneno ya BWANA Mungu wenu.
mtaani, damu yake itakuwa juu ya kichwa chake 10Hivi ndivyo mtakavyojua yakuwa Mungu aliye
mwenyewe, hatutawajibika. Lakini yule ambaye hai yupo katikati yenu na kwamba kwa hakika
atakuwa ndani pamoja nawe, kama mkono wa atawafukuza mbele yenu hao Wakanaani,
mtu ye yote ukiwa juu yake damu yake itakuwa Wahiti, Wahivi, Waperizi, Wagirgashi, Waamori
juu ya vichwa vyetu. 20Lakini ikiwa utatoa habari na Wayebusi. 11Tazama, sanduku la agano la
ya shughuli yetu tunayofanya, tutakuwa BWANA wa dunia yote litaingia ndani ya mto
tumefunguliwa kutoka kwenye kiapo hiki Yordani likiwa limetangulia. 12Sasa basi,
ulichotufanya tuape.’’ chagueni watu kumi na wawili kutoka katika
21Naye akajibu, “Nimekubali. Na iwe kama makabila ya Israeli, mtu mmoja kutoka kila
mnavyosema.” Kwa hiyo akaagana nao, nao kabila. 13Mara tu nyayo za makuhani
wakaondoka. Yeye akaifunga ile kamba walichukuao sanduku la agano la
nyekundu dirishani. BWANA, Bwana wa dunia yote,
22Walipoondoka, wakaelekea vilimani na zitakapokanyaga ndani ya mto wa Yordani, maji
kukaa huko siku tatu, hadi wale waliokuwa hayo yatiririkayo kutoka juu yatatindika na
wakiwafuatilia wakawa wamewatafuta njia nzima kusimama kama chuguu.”
na kurudi pasipo kuwapata. 23Ndipo wale 14Basi, watu walipovunja kambi ili kuvuka
wapelelezi wawili wakaanza kurudi. Wakashuka Yordani, makuhani wakiwa wamebeba sanduku
kutoka kule vilimani, wakavuka mto na kuja kwa
Yoshua mwana wa Nuni, na kumweleza kila kitu
kilichowatokea. 24Wakamwambia Yoshua, a4 Dhiraa 2000 ni sawa na mita 900
3
YOSHUA
la agano waliwatangulia. 15Wakati huu ulikuwa Yordani, mahali pale ambapo miguu ya
wakati wa mavuno, nao mto Yordani ulikuwa makuhani waliobeba sanduku la agano
umefurika hadi kwenye kingo zake. Ilikuwa iliposimama. Nayo yako huko mpaka leo.
kawaida ya Yordani kufurika nyakati zote za 10Makuhani waliobeba sanduku walibakia
mavuno. Mara tu makuhani wale waliokuwa wakiwa wamesimama katikati ya mto Yordani
wamebeba sanduku la agano walipofika mtoni mpaka kila kitu BWANA alichomwamuru Yoshua
na nyayo zao kuzama ndani ya yale maji, 16maji kilipokuwa kimefanywa na watu, sawasawa na
hayo yaliyotiririka kutoka upande wa juu vile Mose alivyokuwa amemwamuru Yoshua!
yalitindika yakasimama kama chuguu mbali nao, Watu wakafanya haraka kuvuka, 11mara tu watu
kwenye mji ulioitwa Adamu karibu na Sarethani, wote walipokwisha kuvuka, Sanduku la
wakati yale maji yaliyokuwa yanatiririka kuingia BWANA na makuhani wakavuka watu wakiwa
kwenye bahari ya Araba, yaani Bahari ya wanatazama. 12Wareubeni, Wagadi na nusu ya
Chumvi, yalikauka kabisa. Hivyo watu wakavuka kabila la Manase wakavuka mbele ya Waisraeli
kukabili Yeriko. 17Wale makuhani waliobeba wakiwa wamevaa silaha, kama Mose
sanduku la agano la BWANA wakasimama alivyowaamuru. 13Kiasi cha watu arobaini elfu
imara mahali pakavu katikati ya mto wa Yordani, waliojiandaa kwa vita walivuka mbele za
wakati Waisraeli wote wakiwa wanapita hadi BWANA hadi nchi tambarare za Yeriko kwa ajili
taifa lile lote likaisha kuvuka mahali pakavu. ya vita.
14Siku ile BWANA akamtukuza Yoshua
kuyaweka mahali mtakapokaa usiku huu wa makuhani akisema, “Pandeni kutoka ndani ya
leo.” mto Yordani.”
4Basi Yoshua akawaita watu kumi na wawili 18Nao makuhani wakapanda kutoka ndani
ambao alikuwa amewachagua kutoka miongoni ya mto Yordani wakilibeba hilo sanduku la
mwa Waisraeli, kila kabila mtu mmoja, 5naye agano la BWANA. Mara walipoiweka miguu yao
akawaambia, “Mtangulie mbele ya sanduku la penye kingo, nje ya mto, maji ya Yordani
agano la BWANA wenu mwende katikati yakarudi kufurika kama ilivyokuwa kabla.
ya mto wa Yordani. Kila mmoja wenu atainua 19Siku ya kumi ya mwezi wa kwanza watu
jiwe begani mwake, kufuatana na hesabu ya walipanda kutoka Yordani na kupiga kambi huko
makabila ya Waisraeli, 6kuwa kama ishara Gilgali, kwenye mpaka wa mashariki ya Yeriko.
katikati yenu. Siku zijazo, wakati watoto wenu 20Yale mawe kumi na mawili ambayo walikuwa
watakapowauliza wakisema, ‘Ni nini maana ya wameyachukua katikati ya mto Yordani, Yoshua
mawe haya?’ 7Waambieni kwamba maji ya mto akayasimamisha huko Gilgali. 21Akawaambia
Yordani yaliyokuwa yakitiririka yalitindika mbele Waisraeli, “Wazao wenu watakapowauliza baba
ya sanduku la agano la BWANA. Wakati zao siku zijazo wakisema, ‘Mawe haya maana
lilipovuka Yordani, maji ya Yordani yalitindika. yake ni nini?’ Waambieni, ‘Israeli walivuka
Mawe haya yatakuwa kumbukumbu kwa watu mahali pakavu katika mto wa Yordani.’ 23Kwa
wa Israeli milele.” maana BWANA Mungu wenu alikausha maji ya
8Hivyo Waisraeli wakafanya kama Yoshua Yordani mbele yenu, hadi mlipomaliza kuvuka.
alivyowaagiza. Wakachukua mawe kumi na BWANA Mungu wenu alifanya haya kwa mto
mawili kutoka katikati ya mto Yordani, kulingana Yordani sawasawa na kile alichoifanyia Bahari
na hesabu ya kabila za Waisraeli kama ya Shamu wakati alipoikausha mbele yetu hadi
BWANA alivyomwambia Yoshua, nao tulipomaliza kuvuka. 24Alifanya hivi ili kwamba
wakayabeba hadi kambini, mahali walipoyatua mataifa yote ya dunia yapate kujua kuwa mkono
chini. 9Yoshua akayasimamisha yale mawe kumi wa BWANA ni wenye nguvu na ili kwamba kila
na mawili ambayo yalikuwa katikati ya mto wakati mpate kumcha BWANA Mungu wenu.”
4
YOSHUA
Kuanguka Kwa Yeriko
13Basi wakati Yoshua alipokaribia Yeriko,
Basi wafalme wote wa Waamori magharibi akainua macho na akaona mtu aliyesimama
5 ya Yordani na wafalme wote wa Kanaani mbele yake, akiwa na upanga mkononi uliofutwa
waliokuwa kwenye mwambao wa bahari, kwenye ala. Yoshua akamwendea na
waliposikia jinsi BWANA alivyoukausha mto kumwuliza, “Je, wewe uko upande wetu au
Yordani mbele ya Waisraeli hata tulipokwisha upande wa adui zetu?”
kuvuka, mioyo yao ikayeyuka kwa hofu, wala 14Akajibu, “La, siko upande wo wote, lakini
hawakuwa na ujasiri kuwakabili Waisraeli. mimi nimekujia nikiwa amiri jeshi wa jeshi la
BWANA.” Yoshua akaanguka kifudifudi hadi
Tohara Huko Gilgali nchi akasujudu, akamwuliza, “Je, BWANA una
2Wakati huo BWANA akamwambia Yoshua, ujumbe gani kwa mtumishi wake?” 15Amiri Jeshi
“Tengeneza visu vya mawe magumu sana na wa jeshi la BWANA akajibu, “Vua viatu vyako,
uwatahiri Waisraeli.” 3Kwa hiyo Yoshua kwa maana mahali hapa unaposimama ni
akatengeneza visu vya mawe magumu sana na patakatifu.” Naye Yoshua akafanya hivyo.
kutahiri Waisraeli huko Gibeath Haaralothi a .
4Hii ndiyo sababu ya kufanya hivyo: Yeriko Yatekwa Na Kuangamizwa
6
wanaume wote waliotoka Misri, wote wenye Basi malango ya Yeriko yalifungwa kwa
umri wa kwenda vitani, walikufa jangwani uthabiti kwa ajili ya Waisraeli. Hakuna mtu
wakiwa njiani, baada ya kuondoka Misri. 5Watu ye yote aliyetoka au kuingia.
wote waliotoka Misri walikuwa wametahiriwa, 2Kisha BWANA akamwambia Yoshua,
lakini watu wote waliozaliwa jangwani wakiwa “Tazama, nimeitia Yeriko mikononi mwako,
safarini toka Misri walikuwa hawajatahiriwa. pamoja na mfalme wake na watu wake wa vita.
6Waisraeli walitembea jangwani miaka arobaini 3Zunguka mji mara moja pamoja na watu wako
mpaka wanaume wote wale waliokuwa na umri wote wa vita. Fanya hivi kwa siku sita. 4Uwe na
wa kwenda vitani wakati walipoondoka Misri makuhani saba wakibeba mabaragumu ya
walipokwisha kufa, kwa kuwa hawakumtii pembe za kondoo waume mbele ya sanduku.
BWANA. Kwa maana BWANA alikuwa Siku ya saba, mzunguke mji mara saba, nao
amewaapia kuwa wasingeweza kuona nchi makuhani wakipiga baragumu hizo.
ambayo alikuwa amewaahidi baba zao 5Utakaposikia makuhani wamepaliza sauti
kutupatia, nchi inayotiririka maziwa na asali. kubwa ya baragumu, watu wote wapige kelele
7Kwa hiyo akawainua wana wao baada yao na kwa sauti kuu, kisha ukuta wa mji utaanguka na
hawa ndio hao ambao Yoshua aliwatahiri. watu watakwea, kila mtu aingie ndani moja kwa
Walikuwa hawajatahiriwa bado kwa sababu moja kutokea pale alipo.’’
walikuwa safarini. 8Baada ya taifa lote 6Ndipo Yoshua mwana wa Nuni akaita
Yeriko, Waisraeli wakaadhimisha Pasaka. 11Siku wale makuhani saba wenye kuzibeba zile
ya pili baada ya Pasaka, katika siku ile ile, baragumu saba mbele za BWANA,
wakala mazao ya nchi, mikate isiyotiwa chachu wakatangulia mbele, wakipiga baragumu zao na
na nafaka za kukaanga. 12Mana ilikoma siku sanduku la agano la BWANA likawafuata.
iliyofuata baada ya Waisraeli kula chakula 9Walinzi waliokuwa na silaha wakaenda mbele
kilichotoka katika nchi, hapakuwa na mana tena ya hao makuhani waliopiga hizo baragumu na
kwa ajili ya Waisraeli ila mwaka huo walikula hao walinzi wa nyuma waliokuwa nyuma
mazao ya nchi ya Kanaani. wakafuata sanduku. Wakati wote huu baragumu
zilikuwa zikipigwa. 10Bali Yoshua aliwaagiza
watu, ‘‘Msipige kelele za vita, msipaze sauti
a3 Gibeath Haaralothi hapa maana yake,’’Kilima cha magovi’’
5
YOSHUA
zenu, wala kusema neno lo lote mpaka siku ile mwake. Akaleta jamaa yake yote na kuwaweka
nitakayowaambia mpige kelele. Ndipo mtapiga mahali nje karibu na kambi ya Israeli.
kelele!’’ 11Basi akalipeleka sanduku la 24Kisha wakauchoma mji wote na kila kitu
BWANA kuzunguka huo mji, likazungushwa kilichokuwamo ndani yake. Lakini fedha,
mara moja. Kisha watu wakarudi kambini kulala. dhahabu, vyombo vya shaba na chuma
12Yoshua akaamka mapema asubuhi wakaviweka katika hazina ya nyumba ya
iliyofuata na makuhani wakalichukua sanduku la BWANA. 25Lakini Yoshua akamhifadhi Rahabu
BWANA. 13Makuhani saba wakachukua zile yule kahaba, jamaa yake yote na wote
baragumu saba wakatangulia mbele ya sanduku waliokuwa wa kwake, kwa sababu aliwaficha
la BWANA wakizipiga hizo baragumu. Watu watu waliotumwa na Yoshua kuipeleleza Yeriko,
wenye silaha wakatangulia mbele yao,walinzi naye anaishi miongoni mwa Waisraeli hata leo.
waliokuwa nyuma wakalifuata sanduku la 26Wakati ule Yoshua akatamka kiapo hiki
BWANA, huku makuhani wakiendelea kuzipiga akasema, “Alaaniwe mbele za BWANA mtu
hizo baragumu. 14Siku ya pili wakazunguka mji atakayeinuka kuujenga tena mji huu wa Yeriko,
mara moja na kurudi kambini. Wakafanya hivi “Kwa gharama ya mzaliwa wake wa kwanza
kwa siku sita. wa kiume ataweka misingi yake,
15Siku ya saba, wakaamka asubuhi na kwa gharama ya mtoto wake wa mwisho
mapema wakazunguka mji kama walivyokuwa ataweka malango yake.’’
wakifanya, isipokuwa siku ile waliuzunguka mji
mara saba. 16Walipouzunguka mara ya saba, 27Hivyo BWANA alikuwa pamoja na Yoshua,
makuhani walipopiga baragumu kwa sauti sifa zake zikaenea katika nchi ile yote.
kubwa, Yoshua akawaamuru watu akisema,
‘‘Pigeni kelele ! Kwa maaana BWANA amewapa
mji huu! 17Mji huu pamoja na vyote vilivyomo Dhambi Ya Akani
ndani yake utawekwa wakfu kwa BWANA kwa
kuangamizwa kabisa. Ila Rahabu tu, yaani yule 7 Lakini Waisraeli hawakuwa waaminifu
kuhusu vile vitu vilivyowekwa wakfu, Akani
kahaba na wote ambao wako pamoja naye mwana wa Karmi, mwana wa Zabdi, mwana wa
nyumbani mwake ndio watakaosalimishwa, kwa Zera, wa kabila la Yuda, alivichukua baadhi ya
sababu aliwaficha wale wapelelezi tuliowatuma. hivyo vitu. Hasira ya BWANA ikawaka dhidi ya
18Lakini mjiepushe na vitu vilivyowekwa wakfu, Israeli.
msije mkachukua cho chote katika hivyo, msije 2Basi Yoshua akatuma watu kutoka Yeriko
mkajiletea maangamizi katika maskani ya Israeli waende Ai, karibu na Bethveni mashariki ya
na kuiletea taabu. 19Fedha yote na dhahabu, Betheli, akawaambia, ‘‘Pandeni mkaipeleleze
vyombo vya shaba na chuma ni vitakatifu kwa nchi.’’ Wakapanda wakaipeleleza Ai.
BWANA, lazima viletwe katika hazina.’’ 3Waliporudi kwa Yoshua, wakasema, ‘‘Si
20Wakati baragumu zilipopigwa, watu lazima watu wote waende kupigana na Ai.
walipiga kelele, kwa sauti ya baragumu, wakati Watume watu elfu mbili au tatu wakauteke huo
watu walipopaza sauti, ukuta ukaanguka, hivyo mji. Hakuna sababu ya kuwachosha watu wote,
kila mtu akasonga mbele moja kwa moja kwa sababu huko kuna watu wachache tu.’’
kutokea pale alipokuwa kutokea kila upande na 4Basi wakapanda kama watu elfu tatu tu, lakini
kuuteka mji. 21Wakauweka mji wakfu kwa wakashambuliwa na watu wa Ai, 5ambao
BWANA na kila chenye uhai ndani yake waliwaua watu kama thelathini na sita miongoni
walikiangamiza kwa upanga, wanaume kwa mwao. Wakawafukuza Waisraeli kutoka lango la
wanawake, vijana kwa wazee, ng’ombe, kondoo mji hadi Shebarimu, nao wakawapiga huko
na punda. kwenye matelemko. Kutokana na hili mioyo ya
22Yoshua akawaambia wale watu wawili watu ikayeyuka ikawa kama maji.
waliokuwa wameipeleleza nchi, ‘‘Nendeni 6Ndipo Yoshua akararua mavazi yake,
nyumbani kwa yule kahaba, mleteni pamoja na akapomoka kifudifudi mbele ya sanduku la
wote waliomo nyumbani mwake, kulingana na BWANA, akabakia hapo mpaka jioni. Wazee wa
kiapo chenu kwake.’’ 23Basi wale watu Israeli wakafanya vivyo hivyo, wakatia mavumbi
waliofanya upelelezi wakaenda kumleta vichwani mwao. 7Yoshua akasema, ‘‘Ee
Rahabu, baba yake na mama yake, ndugu zake BWANA Mwenyezi, kwa nini umewavusha watu
na watu wote waliokuwa pamoja naye nyumbani hawa ng'ambo ya Yordani ili kututia mikononi
6
YOSHUA
mwa Waamori watuangamize? Laiti kutoka Babeli, shekeli mia mbili a za fedha na
tungeliridhika kukaa ng'ambo ile nyingine ya kabari ya dhahabu uzito wake shekeli hamsini b ,
Yordani! 8Ee BWANA, niseme nini sasa, ikiwa nikavitamani nami nikavichukua. Tazama,
sasa Israeli ameshafukuzwa na adui zake? vimefichwa ardhini ndani ya hema langu,
9Wakanaani na watu wengine wa nchi watasikia pamoja na hiyo fedha chini yake.’’
habari hii, nao watatuzunguka na kutufutilia jina 22Kwa hiyo Yoshua akatuma wajumbe, nao
letu duniani. Utafanya nini basi kwa ajili ya jina wakapiga mbio mpaka hemani, tazama, vile vitu
lako mwenyewe lililo kuu?’’ vilikuwa vimefichwa hemani mwake, pamoja na
10BWANA akamwambia Yoshua, ‘‘Simama! ile fedha chini yake. 23Wakavichukua vile vitu
Unafanya nini hapo chini kifudifudi? 11Israeli toka mle hemani, wakamletea Yoshua pamoja
ametenda dhambi. Wamekiuka agano langu, na wana wa Israeli wote, nao wakavitandaza
nililowaamuru kulishika. Wamechukua baadhi ya mbele za BWANA.
vitu vilivyowekwa wakfu, wameiba, wamesema 24Basi Yoshua, pamoja na Israeli yote,
uongo, wameviweka pamoja na mali zao. wakamchukua Akani mwana wa Zera, pamoja
12Ndiyo sababu Waisraeli hawawezi kusimama na ile fedha, joho, kabari ya dhahabu, wanawe
dhidi ya adui zao, wanawapa visogo na na binti zake, ng'ombe, punda, kondoo, hema
kukimbia kwa kuwa wanastahili maangamizi. pamoja na vitu vyote alivyokuwa navyo,
Sitakuwa pamoja nanyi tena mpaka wakavileta katika bonde la Akori. 25Yoshua
mwangamize kila kitu miongoni mwenu akasema, ‘‘Kwa nini umeleta taabu hii juu yetu?
kilichowekwa kwa maangamizi. BWANA ataleta taabu juu yako leo hii.’’
13‘‘ ‘Nenda, ukawaweke watu wakfu. Ndipo Waisraeli wote wakampiga Akani kwa
Waambie, ‘Jitakaseni mjiandae kwa kesho, kwa mawe na baada ya kuwapiga jamaa yake yote
sababu hili ndilo asemalo BWANA wa Israeli: kwa mawe, wakawateketeza kwa moto.
kwamba kitu kilichowekwa wakfu kipo katikati 26Wakakusanya lundo la mawe juu ya Akani,
yenu, Ee Israeli. Hamwezi kusimama dhidi ya ambalo lipo mpaka leo. Naye BWANA akageuka
adui zenu mpaka mtakapokiondoa.” ’ kutoka katika hasira yake kali. Kwa hiyo mahali
14‘‘ ‘Asubuhi, mjihudhurishe kabila kwa pale pakaitwa Bonde la Akori, tangu siku hiyo.
kabila. Itakuwa kabila lile atakalolitwaa
BWANA litakuja mbele ukoo kwa ukoo, ukoo ule Mji Wa Ai Waangamizwa
atakaotwaa BWANA utakuja mbele jamaa kwa
jamaa, nayo jamaa ile atakayoitwaa 8 Ndipo BWANA akamwambia Yoshua,
‘‘Usiogope, wala usivunjike moyo, chukua
BWANA atakuja mbele mtu baada ya mtu. jeshi lote la vita uende pamoja nalo
15Yule atakayekutwa na vitu vilivyowekwa wakfu, kuishambulia Ai. Kwa kuwa nimeshamweka
atateketezwa kwa moto, pamoja na vitu vyote mikononi mwako huyo mfalme wa Ai pamoja na
alivyonavyo. Kwa kuwa amelivunja agano la watu wake, mji wake na nchi yake. 2Utafanya Ai
BWANA na kufanya kitu cha aibu katika Israeli!’’’ na mfalme wake kama ulivyofanya kwa mji wa
16Kesho yake asubuhi na mapema Yoshua Yeriko na mfalme wake, isipokuwa mnaweza
akawaamuru Israeli kuja mbele kabila kwa kuchukua mateka yake na mifugo yake, kwa ajili
kabila, Yuda akatwaliwa. 17Koo za Yuda zikaja yenu. Weka waviziaji upande wa nyuma ya mji.’’
mbele, akawatwaa Wazera. Akaamuru ukoo wa 3Basi Yoshua na jeshi lote wakainuka
Wazera kuja mbele jamaa kwa jamaa, jamaa ya kushambulia Ai. Akachagua watu mashujaa elfu
Zabdi ikatwaliwa. 18Yoshua akaamuru watu wa thelathini walio bora miongoni mwa wapiganaji
jamaa ya Zabdi kuja mbele mtu baada ya wake, akawapeleka wakati wa usiku
mwingine, Akani mwana wa Karmi, mwana wa 4akiwaagiza: ‘‘Sikilizeni kwa makini. Mtavizia
Zabdi, mwana wa Zera, wa kabila la Yuda, nyuma ya mji. Msiende mbali sana na mji. Wote
akatwaliwa. iweni macho. 5Mimi na watu walio pamoja nami,
19Ndipo Yoshua akamwambia Akani, tutaukabili mji, kisha itakuwa hapo watu
‘‘Mwanangu, umpe BWANA utukufu, Mungu wa watakapotoka nje kupigana nasi, kama
Israeli, nawe ukiri kwake. Niambie ni nini walivyofanya hapo kwanza, sisi tutawakimbia.
ulichotenda, wala usinifiche.’’ 6Watatufuatilia mpaka tutakapokuwa
20Akani akamjibu, ‘‘Ni kweli! Nimetenda tumewavuta waende mbali na mji, kwa kuwa
dhambi dhidi ya BWANA wa Israeli. Hili ndilo
nililofanya: 21Nilipoona katika nyara joho nzuri la a21 Shekeli 200 za fedha ni kama kilogram 2.3
b21 Shekeli 50 ni kama kilogramu o.6
7
YOSHUA
watasema, ‘Wanatukimbia, kama walivyofanya wo wote, kwa kuwa wale Waisraeli waliokuwa
hapo awali. Hivyo tutakapowakimbia, 7ninyi wanawakimbia kuelekea jangwani walikuwa
inawapasa mwinuke mtoke huko mafichoni na wamegeuka nyuma kuwakabili hao waliokuwa
kuuteka mji. BWANA Mungu wenu atautia wakiwafuatia. 21Basi Yoshua na Israeli wote
mkononi mwenu. 8Mtakapokuwa mmeuteka mji, walipoona kwamba waviziaji wameshauteka mji
uteketezeni kwa moto. Fanyeni kama vile na moshi ulikuwa unapaa juu kutoka kwenye
BWANA alivyoamuru. Angalieni nimewaagiza.’’ mji, wakawageukia watu wa Ai na
9Ndipo Yoshua akawatuma watu, nao kuwashambulia. 22Wale waviziaji nao wakatoka
wakaenda mahali pa kujificha, wakawa nje ya mji dhidi yao kuwashambulia kwa nyuma,
wanavizia kati ya Betheli na Ai, kuelekea hivyo watu wa Ai wakashikiwa katikati, Waisraeli
upande wa magharibi wa Ai, lakini Yoshua wakiwa pande zote mbili. Israeli wakawaua, bila
akalala miongoni mwa watu usiku huo. kuwaachia ye yote aliyenusurika wala
10Yoshua akaamka asubuhi na mapema aliyetoroka. 23Lakini wakamchukua mfalme wa
siku ya pili, akawakutanisha watu wake, yeye na Ai akiwa hai na kumleta kwa Yoshua.
viongozi wa Israeli wakawa mbele ya watu 24Waisraeli walipomaliza kuwaua wanaume
kwenda Ai. 11Watu wote wa vita waliokuwa wote wa Ai katika mashamba na jangwani
pamoja naye walipanda, wakakaribia na kufika walipokuwa wamewafukuzia, baada ya kila
mbele ya mji. Wakapiga kambi kaskazini ya Ai, mmoja wao kuuawa kwa upanga, Waisraeli wote
pakiwa na bonde kati yao na huo mji. 12Yoshua wakarudi Ai na kuwaua wale waliokuwa
alikuwa amewachukua watu wapatao elfu tano, wamebakia mjini. 25Watu kumi na mbili elfu
akawaweka mafichoni kati ya Betheli na Ai, waume kwa wake waliangamia siku ile yaani
upande wa magharibi wa mji. 13Wakawaweka watu wote wa Ai. 26Kwa maana Yoshua
askari katika maeneo yao, wale wote waliokuwa hakuurudisha ule mkono wake uliokuwa
kambini wakawa kaskazini ya mji na wale umeinua mkuki hadi alipomaliza kuwaangamiza
waliokuwa wamejificha wakawa upande wa wote walioishi huko Ai. 27Lakini Israeli
magharibi. Usiku huo Yoshua akaenda katika lile wakajichukulia mifugo na nyara za mji huu,
bonde. kama vile BWANA alivyokuwa amemwagiza
14Mfalme wa Ai alipoona jambo hili, yeye Yoshua.
pamoja na watu wote wa mji wakatoka nje kwa 28Kwa hiyo Yoshua akauchoma moto mji wa
kumewekwa waviziaji dhidi yake nyuma ya Mji. kumwacha hapo mpaka jioni. Wakati wa jua
15Yoshua na Israeli wote wakaruhusu kutua, Yoshua akawaamuru wautoe mwili wake
kurudishwa nyuma mbele yao, wakakimbia kwenye mti na kuutupa kwenye ingilio la lango la
kuelekea jangwani. Watu wote wa Ai wakaitwa ili mji. Kisha wakalundika mawe makubwa mengi
kuwafuatia, nao wakavutwa kumfuatia Yoshua juu yake, ambayo yamesalia huko mpaka leo.
mbali na mji. 17Hakuna hata mwanaume mmoja
aliyebakia Ai au Betheli ambaye hakufuatia Agano Linafanywa Upya Katika Mlima Ebali.
Israeli. Wakauacha mji wazi na kuwafuatia 30Kisha Yoshua akajenga madhabahu ya
‘‘Inua huo mkuki ulio mkononi mwako, amewaamuru Waisraeli. Akaijenga sawasawa
kuuelekeza Ai, kwa kuwa nitautia huo mji na ilivyoandikwa katika Kitabu cha Torati ya
mkononi mwako.’’ Hivyo Yoshua akauelekeza Mose, madhabahu ya mawe yasiyochongwa,
mkuki wake Ai. 19Mara tu alipofanya hivi, wale ambayo juu yake hakuna chombo cha chuma
watu waliokuwa mafichoni wakaondoka kilichotumika. Hapo juu yake wakamtolea
upesikutoka mahali pao na kukimbilia mbele. BWANA sadaka za kuteketezwa na kutoa
Wakaingia ndani ya mji, wakauteka na kuutia sadaka za amani. 32Huko, mbele ya Waisraeli
moto kwa haraka. wote Yoshua akanakili juu ya hayo mawe sheria
20Watu wa Ai wakaangalia nyuma wakauona ya Mose aliyokuwa ameiandika. 33Israeli wote,
moshi wa huo mji ukielekea angani, lakini wageni na wazawa sawasawa, wazee wao,
hawakuwa na nafasi ya kutoroka kwa upande maafisa wao na waamuzi walikuwa
8
YOSHUA
wamesimama pande zote mbili za hilo sanduku wafalme wawili wa Waamori mashariki ya
la agano la BWANA, wakiwaelekea wale Yordani, huyo Sihoni mfalme wa Heshboni na
waliokuwa wamelichukua, yaani Walawi ambao Ogu mfalme wa Bashani, aliyetawala huko
ni makuhani. Nusu ya watu walisimama mbele Ashtarothi. 11Basi wazee wetu na wale wote
ya mlima wa Gerizimu na nusu yao walisimama wanaoishi katika nchi yetu walituambia,
mbele ya mlima wa Ebali, kama vile Mose “Chukueni chakula cha safari, mkakutane na
mtumishi wa BWANA alivyokuwa amewaagiza watu hao na kuwaambia, ‘Sisi tu watumishi
hapo mwanzo alipowapa maagizo ili kuwabariki wenu, fanyeni mapatano nasi.” ’ 12Mkate huu
watu wa Israeli. ulikuwa wa moto tulipoufunga siku tulipoanza
34Hatimaye, Yoshua akasoma maneno yote safari kuja kwenu, lakini sasa angalia jinsi
ya sheria, yaani, baraka na laana, kama vile ulivyokauka na kuota ukungu. 13Viriba hivi vya
ilivyoandikwa katika Kitabu cha Torati. 35Hakuna mvinyo vilikuwa vipya tulipovijaza, lakini ona jinsi
neno lo lote katika yale yote ambayo Mose vilivyo na nyufa. Nguo zetu na viatu vimechakaa
alikuwa ameamuru ambalo Yoshua hakulisomea kwa ajili ya safari ndefu.”
kusanyiko lote la Israeli, ikiwa ni pamoja na 14Basi watu wa Israeli wakapokea vyakula
wanawake na watoto na wageni walioishi vyao na kuvikagua bila kutaka shauri kutoka
miongoni mwao. kwa BWANA. 15Ndipo Yoshua akafanya
mapatano ya amani pamoja nao kuwaacha
Udanganyifu Wa Wagibioni waishi, nao viongozi wa kusanyiko
haya yote, wale waliokuwa katika nchi ya vilima, na Wagibeoni, Waisraeli wakapata habari kuwa
upande wa magharibi mwa vilima na katika hao watu ni jirani zao. 17Ndipo wana wa Israeli
pwani yote ya hiyo Bahari Kuu, ndiyo walisafiri na siku ya tatu wakafika kwenye miji
Mediterania, hadi kufikia Lebanoni (wafalme wa yao ya Gibeoni, Kefira, Beerothi na Kiriath-
Wahiti, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi Yearimu. 18Lakini Waisraeli hawakuwashambulia
na Wayebusi), 2wakajiunga pamoja ili kupigana kwa kuwa viongozi wa kusanyiko walikuwa
vita dhidi ya Yoshua na Israeli. wamewaapia kwa BWANA wa Israeli.
3Hata hivyo, watu wa Gibeoni waliposikia Kusanyiko lote likanung’unika dhidi ya hao
juu ya hayo yote Yoshua aliyowatendea watu wa viongozi, 19lakini viongozi wote wakawajibu,
Yeriko na Ai, 4nao wakaamua kufanya hila: ‘‘Tumeshawaapia kwa BWANA wa Israeli, kwa
Wakaenda kama wajumbe wakiwa na punda hiyo hatuwezi kuwagusa sasa. 20Hivi ndivyo
waliobebeshwa mizigo wakiwa na magunia tutakavyowafanyia: Tutawaacha waishi, ili
yaliyochakaa na vibuyu vikuukuu vya mvinyo ghadhabu isije juu yetu kwa kuvunja kiapo
vilivyochakaa, vyenye nyufa zilizozibwa. tulichowaapia.” 21Wakaendelea kusema,
5Walivaa viatu vilivyoraruka na kushonwa na “Waacheni waishi, lakini wawe wapasua kuni na
nguo kuu-kuu, chakula chao kilikuwa mkate wachota maji kwa ajili ya jamii yote.” Hivyo ahadi
uliokauka na kuingia koga. 6Ndipo waliyoweka viongozi ikawa hivyo.
wakamwendea Yoshua kambini huko Gilgali 22Kisha Yoshua akawaita Wagibeoni na
wakamwambia yeye pamoja na watu wa Israeli, kuwaambia, ‘‘Kwa nini mmetudanganya kwa
‘‘Tumetoka katika nchi ya mbali, fanyeni kutuambia ‘Tunaishi mbali nanyi,’ wakati
mkataba nasi.’’ ambapo ninyi mnaishi karibu nasi? 23Sasa mko
7Basi watu wa Israeli wakawaambia hao chini ya laana: Daima mtakuwa wapasua kuni
Wahiti, ‘‘Lakini huenda mnakaa karibu nasi, na wachota maji kwa ajili ya nyumba ya Mungu
twawezaje basi kufanya mapatano nanyi?’’ wangu.”
8Wakamwambia Yoshua, “Sisi ni watumishi 24Wakamjibu Yoshua, ‘‘Watumwa wako
wako.’’ Yoshua akawauliza, ‘‘Ninyi ni nani, nanyi waliambiwa waziwazi jinsi BWANA Mungu
mnatoka wapi?” wenu alivyomwamuru mtumishi wake Mose
9Nao wakamjibu: “Watumishi wako kuwapa ninyi nchi hii yote na kuwafutilia mbali
wametoka nchi ya mbali sana kwa ajili ya wakazi wake wote mbele zenu. Kwa hiyo
umaarufu wa BWANA Mungu wenu. Kwa kuwa tuliogopa mno kwa ajili ya uhai wetu kwa sababu
tumesikia taarifa zake: hayo yote aliyofanya yenu, ndiyo maana tukafanya neno hili. 25Sasa
huko Misri, 10pia yale yote aliyowatendea tupo mikononi mwenu. Tufanyieni lo lote
9
YOSHUA
mnaloona kuwa jema na haki.’’ Israeli wakawafukuza kuelekea njia iendayo
26Kwa hiyo Yoshua akawaokoa mikononi Beth-Horoni wakiwaua mpaka kufikia njia
mwa Waisraeli nao hawakuuawa. 27Kuanzia siku iendayo Azeka hadi Makeda. 11Walipokuwa
hiyo akawafanya Wagibeoni wapasua kuni na wakikimbia mbele ya Israeli kwenye barabara
wachota maji kwa ajili ya jamii nzima na kwa ajili itelemkayo kutoka Beth-Horoni hadi Azeka,
ya madhabahu ya BWANA mahali pale ambapo BWANA akawavumishia mvua za mawe
BWANA angepachagua. Hivyo ndivyo walivyo makubwa kutoka mbinguni, wengi wao
mpaka hivi leo. wakauawa na hizo mvua za mawe kuliko wale
waliouawa kwa upanga wa Waisraeli.
Jua Linasimama 12Katika siku ile ambayo BWANA aliwatia
vikosi vyao vyote, nao wakajipanga dhidi ya wamekimbia kujificha kwenye pango huko
Gibeoni na kuishambulia. Makeda. 17Yoshua alipoambiwa kuwa wafalme
6Nao Wagibeoni wakatuma ujumbe kwa hao watano wamekutwa wakiwa wamejificha
Yoshua kwenye kambi ya Gilgali na ndani ya pango huko Makeda, 18akasema,
kumwambia, ‘‘Usiwaache watumishi wako. “Vingirisheni mawe makubwa kwenye mdomo
Panda haraka uje kwetu kutuokoa! Tusaidie, wa hilo pango, tena wekeni walinzi wa kulilinda.
kwa sababu wafalme wote wa Waamori wakaao 19Lakini msiwaache! Wafuatieni adui zenu,
kwenye nchi ya vilima, wameunganisha majeshi washambulieni walio nyuma, wala msiwaache
yao pamoja dhidi yetu.’’ wafike kwenye miji yao, kwa kuwa
7Basi Yoshua akaondoka Gilgali pamoja na BWANA wenu amewatia mikononi mwenu.’’
jeshi lake lote, wakiwepo watu wote mashujaa 20Hivyo Yoshua pamoja na Waisraeli
ghafula. 10BWANA akawatia hofu ya ghafula na mdomo wa pango mniletee hao wafalme
kuwafadhaisha mbele ya Waisraeli, nao watano.” 23Kwa hiyo wakawatoa hao wafalme
wakawashinda kwa ushindi mkuu huko Gibeoni. watano nje ya pango, mfalme wa Yerusalemu,
10
YOSHUA
Hebroni, Yarmuthi, Lakishi na Egloni. 24Baada wameufanyia Lakishi.
ya kuwaleta kwa Yoshua, akawaita watu wote 36Kisha Yoshua akapanda kutoka Egloni
wa Israeli na kuwaambia majemadari wa vita kwenda Hebroni akiwa pamoja na Israeli wote
waliokwenda pamoja naye, “Njoni hapa mweke na kuushambulia. 37Wakauteka mji na kuupiga
nyayo zenu juu ya shingo za hawa wafalme.” kwa upanga, pamoja na mfalme wake, vijiji
Basi wakaja wakawakanyaga shingoni. vyake na kila mmoja aliyekuwa ndani yake.
25Yoshua akawaambia, “Msiogope, wala Hawakubakiza huko mtu ye yote kama vile huko
msivunjike moyo. Iweni hodari na wenye moyo Egloni, waliuangamiza kabisa pamoja na kila
mkuu. Hili ndilo BWANA atakalowatendea adui mmoja aliyekuwa ndani yake.
zenu wote mnaokwenda kupigana nao.’’ 26Ndipo 38Ndipo Yoshua na Israeli wote wakageuka
Libna pamoja na mfalme wake mkononi mwa wote kwenye kambi huko Gilgali.
Israeli. Yoshua akaangamiza ule mji na kila mtu
aliyekuwa ndani yake kwa upanga. Hakubakiza Wafalme Wa Kaskazini Washindwa
huko mtu ye yote. Akamfanyia mfalme wa Libna
kama alivyokuwa amemfanyia mfalme wa 11 Ikawa Yabini mfalme wa Hazori
aliposikia habari za mambo haya
Yeriko. akatuma ujumbe kwa Yobabu mfalme wa
31Kisha Yoshua akaondoka Libna kwenda Madoni, na kwa mfalme wa Shimroni na kwa
Lakishi akiwa pamoja na Israeli wote, mfalme wa Akshafu, 2pia kwa wafalme wa
wakajipanga dhidi yake na kuushambulia. upande wa kaskazini wale waliokuwa milimani,
32BWANA akauweka Lakishi mkononi mwa katika Araba upande wa kusini mwa Kinerothi,
Israeli, Yoshua akauteka siku ya pili. Yoshua nchi chini ya vilima upande wa magharibi na
akauangamiza mji na kila kilicho ndani yake kwa katika miinuko ya Nafoth-Dori upande wa
upanga, kama vile alivyokuwa ameufanyia mji magharibi, 3kwa Wakaanani upande wa
wa Libna. 33Wakati huo huo, Horamu mfalme wa mashariki na magharibi, kwa Waamori, Wahiti,
Gezeri alikuwa amepanda ili kusaidia Lakishi, Waperizi na Wayebusi, katika nchi ya vilima na
lakini Yoshua akamshinda yeye pamoja na jeshi kwa Wahivi chini ya Hermoni katika nchi ya
lake, hadi alipowaangamiza wote. Mispa. 4Wakaja na vikosi vyao vyote na hesabu
34Ndipo Yoshua akaondoka Lakishi kwenda kubwa ya magari ya kuvutwa na farasi, jeshi
Egloni akiwa pamoja na Israeli wote, kubwa, kama wingi wa mchanga ulio pwani ya
wakajipanga dhidi yake na kuushambulia. bahari. 5Wafalme hao wote wakaunganisha
35Wakauteka mji siku ile ile, wakaupiga kwa majeshi yao na kupiga kambi pamoja penye Maji
upanga na kumwangamiza kila mmoja ya Meromu, ili kupigana dhidi ya Israeli.
aliyekuwa ndani yake, kama vile walivyokuwa 6BWANA akamwambia Yoshua,
11
YOSHUA
“Usiwaogope, kwa sababu kesho saa kama hii mwenyewe ambaye aliyeifanya mioyo yao iwe
nitawatia wote mkononi mwa Israeli, wakiwa migumu ili kupigana vita dhidi ya Israeli ili
wameuawa. Utakata mishipa ya nyuma ya kwamba apate kuwafutilia mbali, pasipo huruma,
miguu ya farasi wao na kuyachoma moto magari kama BWANA alivyomwagiza Mose.
yao.” 21Wakati huo Yoshua akaenda
7Hivyo Yoshua pamoja na jeshi lake lote kuwaangamiza Waanaki kutoka katika nchi ya
wakaja dhidi yao ghafula na kwenye maji ya vilima: kuanzia Hebroni, Debiri na Anabu, na
Meromu kuwashambulia, 8naye BWANA kutoka katika nchi yote ya milima ya Yuda na
akawatia mkononi mwa Israeli. Wakawashinda kutoka katika nchi yote ya milima ya Israeli.
na kuwafukuza hadi Sidoni Kuu na kuwafikisha Yoshua akawaangamiza kabisa pamoja na miji
Misrefoth Maimu, hadi Bonde la Mispa upande yao. 22Hawakubaki Waanaki wo wote katika nchi
wa mashariki, hadi pakawa hakuna ye yote ya Israeli, ila katika nchi ya Gaza, Gathi na
aliyebaki. 9Yoshua akawatendea kama Ashdodi. 23Yoshua akaiteka nchi hiyo yote kama
BWANA alivyomwamuru. Akakata mishipa ya BWANA alivyokuwa amemwagiza Mose, naye
nyuma ya miguu ya farasi wao na kuchoma Yoshua akawapa Israeli kuwa urithi wao, kama
moto magari yao. walivyogawanyika katika kabila zao.
10Wakati huo Yoshua akarudi kuuteka mji Ndipo nchi ikawa na amani bila vita.
wa Hazori na kumwua mfalme wake kwa
upanga. (Hazori ulikuwa mji mkuu wa falme hizo Orodha Ya Wafalme Walioshindwa
zote.) 11Kila aliyekuwa ndani yake wakamwua
kwa upanga. Wakawaangamiza kabisa, wala 12 Hawa ndio wafalme wa nchi ambao
Waisraeli walikuwa wamewashinda na
hawakusaza cho chote chenye pumzi na kutawala nchi yao upande wa mashariki ya
akauchoma Hazori kwa moto. Yordani, kuanzia Bonde la Arnoni mpaka Mlima
12Yoshua akaiteka hii miji yote ya kifalme Hermoni, pamoja na eneo lote la upande wa
pamoja na wafalme wake na kuwapiga kwa mashariki ya Araba:
upanga. Akawaangamiza kabisa wote, kama
Mose mtumishi wa BWANA alivyowaagiza. 2Sihoni mfalme wa Waamori ambaye alitawala
13Lakini Israeli hawakuichoma moto hata huko Heshboni. Alitawala kuanzia Aroeri
mojawapo ya miji hiyo iliyojengwa katika vilima kwenye ukingo wa Bonde la Arnoni, kuanzia
vya hao wafalme isipokuwa mji wa Hazori katikati ya bonde, hadi kwenye Mto Yaboki,
ambao Yoshua aliuchoma moto. 14Waisraeli ambao ni mpaka wa Waamoni. Hii ni
wakajichukulia nyara zote na mifugo yote ya miji pamoja na nusu ya Gileadi. 3Pia alitawala
hii, bali waliwaua watu wote kwa upanga hadi Araba ya mashariki kuanzia Bahari ya
walipowaangamiza kabisa, wala Kinerothi a hadi Bahari ya Araba (Bahari ya
hawakumbakiza ye yote mwenye pumzi. Kama 15 Chumvi,) hadi Beth Yeshimothi, kisha
vile BWANA alivyomwagiza Mose mtumishi kuelekea kusini chini ya matelemko ya
wake, vivyo hivyo Mose alimwagiza Yoshua, Pisga.
naye Yoshua akafanya kama vile alivyoagizwa,
akafanya yote kwa uangalifu kama vile 4Nayo nchi ya Ogu mfalme wa Bashani,
BWANA alivyomwagiza Mose. aliyekuwa mmoja wa mabaki ya Warefai,
16Yoshua akaiteka nchi hii yote: nchi ya aliyetawala Ashtarothi na Edrei. 5Naye
vilima, Negebu yote, nchi yote ya Gosheni, nchi alitawala katika Mlima Hermoni, Saleka,
chini ya vilima upande wa magharibi, Araba na Bashani yote hadi mpaka wa Wageshuri,
milima ya Israeli pamoja na nchi chini ya vilima, Wamaaka na nusu ya Gileadi, hadi kwenye
17kuanzia Mlima Halaki ambao umeinuka mpaka wa Sihoni mfalme wa Heshboni.
kuelekea Seiri hadi Baal-Gadi katika Bonde la
Lebanoni chini ya Mlima Hermoni. Akawateka 6Mose mtumishi wa BWANA na Waisraeli
wafalme wake wote akawapiga na kuwaua. wakawashinda. Naye Mose mtumishi wa
18Yoshua akapigana vita dhidi ya wafalme hawa BWANA akawapa Wareubeni, Wagadi na nusu
wote kwa muda mrefu. 19Hakuna ye yote katika ya kabila la Manase nchi ya hao wafalme ili iwe
eneo hili aliyetafuta amani na Israeli isipokuwa milki yao.
hao Wahivi wa Gibeoni. Wengine wote
walishindwa. 20Kwa maana ni BWANA
a3 ‘’Bahari ya Kinereth’’ hapa ina maana ‘’Bahari ya Galilaya’’
12
YOSHUA
7Hawa ndio wafalme wa nchi ambao akamwambia, “Wewe ni mzee sana, na bado
Yoshua na Waisraeli waliwashinda upande wa kumesalia sehemu kubwa sana za nchi ambazo
magharibi wa Yordani, kuanzia Baalgadi katika ni za kutwaliwa.
bonde la Lebanoni hadi kufikia Mlima Halaki,
unaoinuka ulioelekea Seiri. (Yoshua alitoa nchi 2“Haya ndiyo maeneo ambayo bado
zao kwa makabila ya Israeli iwe urithi wao hayajatekwa: maeneo ya Wafilisti na
sawasawa na mgawanyiko wa makabila yao, Wageshuri, 3yaani, ile nchi ya Wakanaani.
8nchi ya vilima, nchi chini ya vilima, upande wa Eneo hili linaanzia Mto Shihori ambao uko
magharibi, Araba, matelemko ya mlima, jangwa, upande wa mashariki ya Misri, kuelekea
Negebu, watu waliokuwa wanaishi katika kaskazini kwenye mpaka wa Ekroni,
maeneo haya walikuwa Wahiti, Waamori, 4ambako kuna miji mitano ya Wafilisti
Wakanaani, Waperizi, Wahivi na Wayebusi. ambayo ni: Gaza, Ashdodi, Ashkeloni, Gathi
Hawa ndio wafalme ambao Israeli waliwashinda: na Ekroni. Nchi ya Waavi iliyoko kusini pia
bado haijatekwa. Kwa upande wa kaskazini
9mfalme wa Yeriko, mmoja eneo hili halijatekwa: Eneo lote la
mfalme wa Ai, (karibu na Betheli) mmoja Wakanaani, pamoja na Meara (ambayo ni
10mfalme wa Yerusalemu, mmoja ya Wasidoni), ikienea kuelekea kaskazini
mfalme wa Hebroni, mmoja hadi Afeki kwenye mpaka wa Waamori,
11mfalme wa Yarmuthi, mmoja 5eneo la Wagebali na sehemu yote ya
13
YOSHUA
13Lakini
Waisraeli hawakuwafukuza watu wa 29Haya ndiyo maeneo ambayo Mose alikuwa
Geshuri na wa Maaka, kwa hiyo amewapa hiyo nusu ya kabila la Manase, yaani,
wanaendelea kuishi miongoni mwa kwa nusu ya jamaa ya uzao wa Manase, ukoo
Waisraeli mpaka leo hii. kwa ukoo:
14
21miji yote ya uwanda wa juu na eneo lote la Basi haya ndiyo maeneo Waisraeli
utawala wa Sihoni mfalme wa Waamori, waliyopokea kama urithi katika nchi ya
aliyetawala Heshboni. Mose alikuwa Kanaani, ambayo kuhani Eleazari, Yoshua
amemshinda Sihoni, pia watawala wakuu mwana wa Nuni na viongozi wa koo za kabila za
wa Wamidiani, ambao ni Evi, Rekemu, Suri, Israeli waliwagawia. 2Urithi wao uligawanywa
Huri na Reba waliokuwa wameungana na kwa kura kwa yale makabila tisa na nusu, kama
Sihoni, ambao waliishi katika nchi ile. BWANA alivyomwagiza Mose. 3Mose alikuwa
22Pamoja na wale waliouawa katika vita, amewapa yale makabila mawili na nusu urithi
Waisraeli walikuwa wamemwua kwa upanga wao upande wa mashariki ya Yordani, lakini
Balaamu mwana wa Beori aliyekuwa nabii. Walawi hawakupewa urithi miongoni mwa hao
23Mpaka wa Wareubeni ulikuwa ni ukingo wengine, 4kwa kuwa wana wa Yosefu walikuwa
wa mto Yordani. Miji hii ndiyo iliyokuwa urithi makabila mawili, Manase na Efrahimu. Walawi
wa Wareubeni ukoo kwa ukoo. hawakupata mgao wa ardhi, bali walipewa miji
tu kwa ajili ya kuishi, pamoja na maeneo ya
24Hayandiyo maeneo ambayo Mose alikuwa malisho kwa ajili ya makundi yao ya kondoo,
amewagawia kabila la Gadi, ukoo kwa ukoo: mbuzi na ng’ombe. 5Kwa hiyo Waisraeli
wakagawana ile nchi, kama vile BWANA
25Nchi ya Yazeri, miji yote ya Gileadi na alivyomwagiza Mose.
nusu ya nchi ya Amoni mpaka Aroeri, karibu
na Raba, 26Kuanzia Heshboni mpaka Kalebu Anapewa Mji Wa Hebroni
Ramath-Mizpa na Betonimu, tena kutoka 6Kisha watu wa Yuda wakamwendea
Mahanaimu hadi nchi ya Debiri, 27tena Yoshua huko Gilgali, naye Kalebu mwana wa
katika bonde, Beth-Nimra, Sukothi na Safoni Yefune, Mkenizi, akawaambia, “Unajua jambo
na sehemu iliyobaki ya eneo la utawala wa ambalo BWANA alimwambia Mose mtu wa
Sihoni mfalme wa Heshboni (upande wa Mungu huko Kadesh-Barnea kukuhusu wewe na
mashariki wa mto Yordani, nchi inayoishia mimi. 7Nilikuwa na umri wa miaka arobaini,
kwenye bahari ya Kinerethi.) 28Miji hii na wakati Mose mtumishi wa BWANA, aliponituma
vijiji vyake vilikuwa urithi wa kabila la Gadi kutoka Kadesh-Barnea kuipeleleza hiyo nchi.
ukoo kwa ukoo. Nami nikamletea taarifa kama kulingana na
nilivyosadiki moyoni. 8Lakini wenzangu
14
YOSHUA
tuliopanda nao waliifanya mioyo ya watu iyeyuke na kuendelea kaskazini mwa Beth-Araba
kwa hofu. Bali mimi, nilimfuata BWANA wangu hadi kwenye jiwe la Bohani mwana wa
kwa moyo wote. 9Hivyo siku ile Mose akaniapia, Reubeni. 7Kisha mpaka ulipanda hadi Debiri
‘Nchi ambayo umeikanyaga kwa miguu yako kutoka bonde la Ahori na kugeuka kaskazini
itakuwa urithi wako na wa watoto wako milele, hadi Gilgali inayotazamana na matelemko
kwa sababu umemfuata BWANA wangu kwa ya Adumimu, kusini mwa bonde.
moyo wote.’ Ukaendelea hadi maji ya En-Shemeshi na
10“Sasa basi, kama vile BWANA alivyoahidi, kutokeza huko En Rogeli. 8Kisha ukapanda
ameniweka hai kwa miaka arobaini na mitano kwa kufuata bonde la Ben-Hinomu
tangu wakati alipomwambia Mose jambo hili, sambamba na mtelemko wa kusini wa mji
wakati Waisraeli wakiwa wanazunguka wa Wayebusi (yaani Yerusalemu.) Kutoka
jangwani. Hivyo mimi hapa leo, nina umri wa hapo ukapanda juu ya kilima magharibi ya
miaka themanini na mitano! 11Bado ninazo bonde la Hinomu mwisho wa ncha ya
nguvu kama siku ile Mose aliponituma. Bado kaskazini ya Bonde la Warefai. 9Kutoka juu
ninazo nguvu za kwenda vitani sasa kama vile ya kilima mpaka ukaendelea hadi kwenye
nilivyokuwa wakati ule. 12Basi nipe nchi hii ya chemchemi ya maji ya Neftoa, ukatokea
kilima, ambayo BWANA aliniahidi siku ile. Wewe kwenye miji ya Mlima Efroni na kutelemka
mwenyewe ulisikia wakati ule kwamba Waanaki kuelekea Baala, (yaani, Kiriath-Yearimu.)
walikuwako huko na miji yao ilikuwa mikubwa na 10Kisha ukapinda upande wa magharibi
yenye maboma, lakini, kwa msaada wa kutoka Baala hadi Mlima Seiri ukafuatia
BWANA, nitawafukuza watoke huko kama vile mtelemko wa kaskazini wa Mlima Yearimu
alivyonena.’’ (yaani, Kesaloni), ukaendelea chini hadi
13Ndipo Yoshua akambariki Kalebu mwana Beth-Shemeshi na kukatiza hadi Timna.
wa Yefune, naye akampa Hebroni kuwa urithi 11Ukaelekea hadi kwenye mtelemko wa
wake. 14Hivyo Hebroni ikawa mali ya Kalebu kaskazini wa Ekroni, ukageuka kuelekea
mwana wa Yefune, Mkenizi tangu wakati ule, Shikeroni ukapita hadi Mlima Baala na
kwa sababu alimwandama BWANA wa Israeli kufika Yabneeli. Mpaka ukaishia baharini.
kwa moyo wote. 15(Hebroni uliitwa Kiriath-Arba 12Mpaka wa magharibi ni pwani ya
hapo mwanzo, kutokana na huyo Arba ambaye Bahari Kuu. Hii ndiyo iliyokuwa mipaka ya
alikuwa mtu mkuu kupita wote miongoni mwa watu wa Yuda kwa koo zao.
Waanaki. Kisha nchi ikawa na amani bila vita.
Nchi Aliyopewa Kalebu
Mgawo Kwa Yuda 13Kwa kufuata maagizo ya BWANA kwake,
unapoingilia, 6ukapanda hadi Beth-Hogla, Kwa kuwa umenipa shamba lililoko huko
15
YOSHUA
Negebu, nipe pia chemchemi za maji.” Basi vyake.
Kalebu akampa Aksa binti yake chemchemi za 55Maoni, Karmeli, Zifu, Yuta, 56Yezreeli,
Tapua, Afeka, 54Humta, Kiriath-Arba (yaani mpaka leo Wakanaani wanaishi miongoni mwa
Hebroni,) na Siori, miji tisa pamoja na vijiji watu wa Efraimu lakini wanatakiwa kufanya kazi
16
YOSHUA
ngumu za kulazimishwa. nchi ya Asheri na kwa upande wa mashariki
ilikuwa nchi ya Isakari.
Mgawo kwa Ajili ya Ile Nusu Nyingine ya 11Miji ifuatayo katika nchi ya Isakari na
ambaye alimpokea Gileadi na Bashani kwa hii, kwa kuwa Wakanaani waliendelea kuishi
sababu Wamakiri walikuwa askari wakuu. 2Kwa katika maeneo hayo. 13Hata hivyo, Waisraeli
hiyo mgawo huu ulikuwa kwa ajili ya watu wa walivyoendelea kupata nguvu waliwatumikisha
Manase waliokuwa wamebaki, ambao ni koo za Wakaanani na kuwatia katika kazi ngumu za
Abiezeri, Heleki, Asrieli, Shekemu, Heferi na kulazimisha, lakini hawakuwafukuza kutoka
Shemida. Hawa ndio wanaume wengine wa katika ile nchi.
uzao wa Manase mwana wa Yosefu kwa koo
zao. Kabila la Yosefu Lakataa
3Basi Selofehadi mwana wa Heferi, mwana 14Kabila la Yosefu wakamwambia Yoshua,
wa Gileadi, mwana wa Makiri, mwana wa “Kwa nini umetupa sisi mgawo mmoja tu na
Manase hakuwa na wana waume ila binti tu sehemu moja tu kuwa urithi? Sisi tu watu wengi
ambao majina yao ni Mala, Noa, Hogla, Milka na sana naye BWANA ametubariki kwa wingi.”
Tirsa. 4Wakawaendea kuhani Eleazari, Yoshua 15Yoshua akajibu, “Kama ninyi ni wengi
Manase lilikuwa na sehemu kumi za nchi, licha vilima haitutoshi, nao Wakanaani wote
ya Gileadi na Bashani mashariki mwa Yordani, wanaoishi katika tambarare wanayo magari ya
6kwa sababu wale binti za kabila la Manase chuma, wote wa Beth-Sheani na miji yake na
walipokea urithi miongoni mwa ndugu zao. Nchi wale walio katika bonde la Yezreeli.”
ya Gileadi ilikuwa mali ya wale wazao wengine 17Lakini Yoshua akanena na nyumba ya
wa kaskazini mwa kile kijito ilikuwa ya mtasubiri hata lini ili kuingia kumiliki nchi
Manase, Bahari ya Kati, ndiyo Mediterania, ambayo BWANA wa baba zenu amewapa?
ilikuwa ndio mpaka wa magharibi wa 4Chagueni watu watatu kutoka kwenye kila
Manase. Kaskazini mwa Manase ilikuwa kabila. Nitawatuma hao watu kukagua hiyo nchi
ambayo bado haijatekwa, nao watanirudia
wakiwa na taarifa ya mapendekezo ya
a9 Bahari hapa ina maana Mediterania.
17
YOSHUA
mgawanyo wa urithi wa kila kabila. wa mlima unaotazamana na Bonde la Ben-
5Mtaigawanya hiyo nchi sehemu saba. Yuda Hinomu, kaskazini ya Bonde la Warefai.
atabaki katika nchi yake upande wa kusini na Ukaendelea chini kwenye Bonde la Hinomu
nyumba ya Yosefu katika nchi yake upande wa na kupitia mtelemko wa kusini wa mji wa
kaskazini. 6Baada ya kuandika maelezo ya hizo Wayebusi na kisha hadi Enrogeli. 17Kisha
sehemu saba za nchi, myalete kwangu, nami ukapinda kuelekea kaskazini, ukaenda hadi
nitawagawia kwa kura mbele za BWANA En-Shemeshi na kuendelea mpaka Gelilothi,
Mungu wetu. 7Hata hivyo, Walawi hawatakuwa inayotazamana na Njia ya Adumimu,
na sehemu miongoni mwenu, maana huduma ukatelemka hadi kwenye Jiwe la Bohani
ya ukuhani kwa BWANA ndio urithi wao. Nao mwana wa Reubeni. 18Ukaendelea upande
Gadi, Reubeni na nusu ya kabila la Manase wa mtelemko wa kaskazini wa Beth-Araba
wameshapata urithi wao upande wa mashariki ukatelemka hadi Araba. 19Kisha ukaendelea
mwa Yordani, ambako Mose mtumishi wa mpaka kwenye mtelemko wa kaskazini wa
BWANA aliwapa.’’ Beth-Hogla na kujitokeza kwenye ghuba ya
8Hivyo hao watu walipokuwa wanaondoka kaskazini ya Bahari ya Chumvi, kwenye
kwenda kuandika vizuri kuhusu hiyo nchi, maingilio ya mto Yordani upande wa kusini.
Yoshua akawaagiza, “Nendeni mkakague hiyo Huo ndio uliokuwa mpaka wa kusini.
nchi na mwandike maelezo yake kisha mrudi 20Mto Yordani ulikuwa ndio mpaka wa
19
13Kutoka hapo ulikatiza kwenye mtelemko Kura ya pili ikaangukia kabila la
wa kusini wa Luzu (yaani Betheli) na Simeoni, ukoo kwa ukoo: Urithi wao
kushuka hadi Ataroth-Adari, katika kilima ulikuwa ndani ya nchi ya Yuda. 2Ulijumuisha:
kusini mwa Beth-Horoni ya chini. Beer-Sheba (au Sheba), Molada,
14Kutoka kilima kinachotazamana na 3Hasar-Shuali, Bala na Esemu, 4Eltoladi,
18
YOSHUA
Wasimeoni ulitolewa kutoka katika fungu la 28Ukaendelea hadi Abdoni, Rehobu, Hamoni
Yuda, kwa kuwa fungu la Yuda lilikuwa na Kana na kufika Sidoni kuu. 29Mpaka huo
kubwa kuliko walivyohitaji. Hivyo kabila la ukageukia nyuma kuelekea Rama na
Simeoni lilipewa urithi wao ndani ya nchi ya kwenda hadi kwenye mji wenye ngome wa
Yuda. Tiro, ukageuka kuelekea Hosa na kutokeza
bahari katika nchi ya Akzibu, 30Uma, Afeki
Mgawo kwa Wazabuloni na Rehobu. Ilikuwepo miji ishirini na miwili,
10Nayo kura ya tatu ikaangukia kabila la pamoja na vijiji vyake.
Zabuloni ukoo kwa ukoo: 31Miji hii pamoja na vijiji vyake ilikuwa ndio urithi
Mpaka wa urithi wao uliendelea hadi wa kabila la Asheri, ukoo kwa ukoo.
Saridi. 11Kuelekea upande wa
magharibi ukafika Marala, ukagusa Mgawo kwa Naftali
Dabeshethi, na kuendelea mpaka kijito 32Kura ya sita iliangukia kabila la Naftali, ukoo
cha maji karibu na Yokneamu. kwa ukoo :
12Ukageuka mashariki kuanzia Saridi 33Mpaka wao uliendelea kutoka Helefi
kuelekea maawio ya jua hadi kwenye nchi na kwenye mti mkubwa ulio katika
ya Kisilothtabori na kwenda hadi Daberathi Sananimu, ukipitia Adami-Nekebu na
na kupanda Jafia. 13Kisha ukaendelea Yabineeli: hadi Lakumu na kuishia katika
mashariki hadi Gath-Heferi na kufika mto wa Yordani. 34Mpaka ukaendelea
Ethkasini, ukatokea Rimoni na kugeuka magharibi kupitia Aznoth-Tabori na kutokea
kuelekea Nea. 14Huko mpaka ukazungukia Hukoki. Ukagusa Zabuloni upande wa
upande wa kaskazini hadi Hanathoni na kusini, Asheri upande wa magharibi na
kuishia katika bonde la Iftaeli. 15Miji mingine Yordani upande wa mashariki. 35Miji yenye
ni Katathi, Nahalali, Shimroni, Idala na ngome ilikuwa Sidimu, Seri, Hamathi,
Bethlehemu. Kulikuwa na miji kumi na miwili Rakathi, Kinerethi, 36Adama, Rama, Hazori,
pamoja na vijiji vyake. 37Kedeshi, Edrei, na Enhasori, 38Ironi,
16Miji hii na vijiji vyake vilikuwa ndio urithi wa Migdal-Eli, Horemu, Beth-Anathi na Beth-
Zabuloni ukoo kwa ukoo. Shemeshi. Kulikuwa na miji kumi na tisa na
vijiji vyake.
Mgawo kwa Isakari 39Miji hiyo pamoja na vijiji vyake ndiyo iliyokuwa
17Kura ya nne ikamwangukia Isakari ukoo kwa urithi wa kabila la Naftali, ukoo kwa ukoo.
ukoo. Nchi yao ilijumuisha:
18
ukaishia kwenye mto Yordani. Hii ilikuwa Ekroni, 44Elteke, Gibethoni, Baalathi,
miji kumi na sita, pamoja na vijiji vyake. 45Yehudi, Bene-Beraki, Gath-Rimoni, 46Me-
23Miji hii pamoja na vijiji vyake ilikuwa urithi wa Yarkoni na Rahoni, pamoja na eneo
kabila la Isakari ukoo kwa ukoo. linalotazamana na Yafa.
47(Lakini Wadani walipata shida kuimiliki
magharibi mpaka uligusa Karmeli na Shihor- wa kabila la Dani, ukoo kwa ukoo.
Libnathi. 27Tena ukageuka mashariki
kuelekea Beth-Dagoni, ukagusa Zabuloni na Mgawo kwa Yoshua
bonde la Iftaeli, ulikwenda upande wa 49Walipomaliza kugawanya nchi katika
19
YOSHUA
mwana wa Nuni urithi katikati yao, 50kama
vile za makabila ya Israeli 2huko Shilo katika
BWANA alivyokuwa ameamuru. Walimpa mji Kanaani na kuwaambia, “BWANA aliagiza
alioutaka, ambao ni Timnatha-Sera ulio katika kupitia Mose kuwa mtupe miji ya kuishi yenye
nchi ya vilima ya Efraimu.Naye akajenga mji sehemu za malisho kwa ajili ya mifugo yetu.’’
akakaa huko. 3Hivyo kama vile BWANA alivyoagiza, Waisraeli
51Hizo ndizo nchi ambazo Eleazari kuhani, wakawapa Walawi miji ifuatayo pamoja na
Yoshua mwana wa Nuni na viongozi wa koo za sehemu zake za malisho kutoka katika urithi
kabila za Israeli walizigawanya kwa kura huko wao wenyewe.
Shilo mbele za BWANA penye ingilio la Hema la 4Sehemu ya kwanza ikatoka kwa ajili ya
Mkutano. Nao wakamaliza kazi ya kuigawanya Wakohathi, ukoo kwa ukoo. Walawi waliokuwa
hiyo nchi. wazao wa kuhani Aroni walipewa miji kumi na
mitatu kutoka katika makabila ya Yuda, Simeoni
Miji ya Makimbilio na Benyamini. 5Wazao wengine waliobaki wa
20 Ndipo BWANA akamwambia Yoshua,
2“Waambie Waisraeli, watenge miji ya
Wakohathi, walipewa miji kumi kutoka katika koo
za makabila ya Efraim, Dani na nusu ya
kukimbilia, kama nilivyokuamuru kupitia Mose, Manase.
3ili mtu ye yote atakayemwua mtu kwa bahati 6Wazao wa Gershoni walipewa kwa kura
mbaya na pasipokukusudia aweze kukimbilia miji kumi na mitatu kutoka katika koo za
huko na kujiepusha na mlipiza kisasi cha damu. makabila ya Isakari, Asheri, Naftali na nusu ya
4“Anapokimbilia mojawapo ya miji hii, Manase huko Bashani.
atasimama kwenye maingilio ya lango la mji na 7Wazao wa Merari, ukoo kwa ukoo,
kueleza wazee wa mji kuhusu shauri lake. Kisha walipewa miji kumi na miwili, kutoka katika
watampokea katika mji wao na kumpa mahali pa makabila ya Reubeni, Gadi na Zabuloni.
kuishi nao. 5Kama mlipiza kisasi cha damu 8Kwa hiyo Waisraeli wakawapa Walawi miji
akimfuatilia, wazee wa mji kamwe wasimkabidhi hii pamoja na sehemu zake za malisho, kama
yule mshitakiwa, kwa sababu alimwua jirani vile BWANA alivyokuwa ameagiza kupitia kwa
yake bila kukusudia, na bila kuwa na nia ya Mose.
kudhuru. 6Huyu aliyeua atakaa kwenye mji huo
mpaka awe amesimama kukabili mashtaka yake 9Kutoka katika makabila ya Yuda na Simeoni
mbele ya kusanyiko na mpaka kuhani mkuu waligawa miji ifuatayo kwa majina 10(Miji hii
anayehudumu kwa wakati huo atakapokufa. walipewa wazao wa Aroni ambao walitokana na
Ndipo atakapoweza kurudi nyumbani kwake koo za Wakohathi, za Walawi, kwa sababu
katika mji ambao aliukimbia.” fungu la kwanza liliwaangukia):
7Basi wakatenga Kadeshi katika Galilaya 11Waliwapa Kiriath-Arba (yaani,
kwenye nchi ya kilima ya Naftali, Shekemu Hebroni), pamoja na sehemu zake za
katika nchi ya kilima ya Efraimu, na Kiriath-Arba malisho zilizoizunguka Kiriath-Arba, katika
(yaani Hebroni) kwenye nchi ya kilima ya Yuda. nchi ya vilima ya Yuda. (Arba alikuwa baba
8Katika upande wa mashariki ya Yordani ya wa Anaki.) 12Lakini mashamba na vijiji
Yeriko wakatenga Bezeri katika jangwa katika vilivyozunguka mji walikuwa wamempa
uwanda wa juu katika kabila la Reubeni, Kalebu mwana wa Yefune kuwa milki yake.
Ramothi katika Gileadi katika kabila la Gadi na 13Kwa hiyo wazao wa kuhani Aroni
Golani huko Bashani katika kabila la Manase. wakapewa Hebroni, (mji wa makimbilio kwa
9Mwisraeli ye yote au mgeni ye yote aishiye ajili ya ye yote anayeshtakiwa kwa mauaji)
miongoni mwao aliyemwua mtu kwa bahati 15
huko Libna, 14Yatiri, Eshtemoa, Holoni,
mbaya, angeweza kukimbilia katika miji hiyo Debiri, 16Aini, Yuta na Beth- Shemeshi, kwa
iliyotengwa na asiuawe na mwenye kulipiza ujumla ilikuwa miji tisa pamoja na sehemu
kisasi cha damu kabla hajasimama kukabili zake za malisho kutoka kwa makabila haya
mashtaka mbele ya kusanyiko. mawili.
17Kutoka katika kabila la Benyamini
Miji Kwa Ajili ya Walawi wakawapa: Gibeoni, Geba, 18Anathothi na
21
Basi viongozi wa jamaa ya Walawi, Almoni miji yote minne pamoja na sehemu
wakamwendea kuhani Eleazari, Yoshua zake za malisho.
mwana wa Nuni na viongozi wa jamaa nyingine 19Miji yote waliyopewa makuhani, wazao wa
20
YOSHUA
Aroni, ilikuwa jumla kumi na mitatu, pamoja na 36Kutoka katika kabila la Reubeni, walipewa
sehemu zake za malisho. Bezeri, Yahazi, 37Kedemothi na Mefaathi,
miji minne pamoja na sehemu zake za
20Koo nyingine za Wakohathi za Walawi malisho.
walipewa miji kutoka katika kabila la Efraimu. 38Kutoka katika kabila la Gadi walipewa Ramothi
21Katika nchi ya vilima ya katika Gileadi (mji wa makimbilio kwa ajili ya
Efraimuwalipewa Shekemu (mji wa ye yote anayeshtakiwa kwa ajili ya mauaji),
makimbilio kwa ajili ya ye yote Makanaimu,
anayeshtakiwa kwa mauaji,) 39Heshboni na Yazeri, miji minne pamoja na
22Kibisaimu na Beth-Horoni na sehemu zake za malisho.
Gezeri pamoja na sehemu zake za 40Miji yote waliyopewa koo za Wamerari, ambao
malisho yote ilikuwa miji minne. walikuwa mabaki ya Walawi, jumla ni kumi na
23Pia kutoka kabila la Dani miwili.
wakapokea Elteke, Gibethoni, 41Miji yote ya Walawi katika nchi iliyoshikwa
24Aiyaloni na Gath-Rimoni, yote miji na Waisraeli, ilikuwa arobaini na minane pamoja
minne pamoja na sehemu zake na sehemu zake za malisho. 42Kila mmoja wa
za malisho. miji hii ulikuwa na sehemu ya malisho
25Kutoka katika nusu ya kabila la kuuzunguka, ndivyo ilivyokuwa kwa miji hii yote.
Manase, wakapokea Taanaki na Gath-
Rimoni, yote miji miwili pamoja na 43Kwa hiyo BWANA akawapa Israeli nchi
sehemu zake za malisho. yote aliyokuwa ameapa kuwapa baba zao, nao
26Miji yote hii kumi pamoja na sehemu zake za wakaimiliki na kukaa humo. 44BWANA akawapa
malisho ilipewa koo za Wakohathi zilizobaki. raha kila upande, kama vile alivyokuwa
amewaapia baba zao, hakuna hata mmoja wa
27Koo za Walawi za Wagershoni walipewa: adui zao aliyeweza kusimama mbele yao,
kutoka katika nusu ya Manase, Golani BWANA akawatia adui zao wote mikononi
katika Bashani (mji wa makimbilio kwa ye mwao. 45Hakuna hata mojawapo ya ahadi nzuri
yote aliyeshtakiwa kwa mauaji) na za BWANA kwa ajili ya nyumba ya Israeli
Beeshtera, pamoja na sehemu zake za ambayo haikutimia, kila moja ilitimia.
malisho.
28Kutoka katika kabila la Isakari, walipewa Makabila ya Mashariki Yarudi Nyumbani
Kishioni, Daberathi, 29Yermuthi na En-
Ganimu, yote miji minne pamoja na sehemu 22 Ndipo Yoshua akawaita Wareubeni,
Wagadi na nusu ya kabila la Manase,
zake za malisho. 2naye akawaambia, “Mmeshafanya yale yote
30Kutoka kabila la Asheri, walipewa, Mose mtumishi wa BWANA aliyowaamuru,
31
Mishali, Abdoni, Helka-thi na Rehobu, yote nanyi mmenitii kwa kila jambo nililowaamuru.
3Kwa muda mrefu sasa, hadi siku hii ya leo,
miji minne pamoja na sehemu zake za
malisho. hamkuwaacha ndugu zenu, bali ninyi mmetimiza
32 ile kazi BWANA Mungu wenu aliyowapa. 4Sasa
Kutoka katika kabila la Naftali, walipewa
kwa kuwa BWANA Mungu wenu amewapa
Kadeshi katika Galilaya, (mji wa makimbilio
ndugu zenu raha kama alivyoahidi, rudini
kwa ajili ya ye yote anayeshtakiwa kwa
nyumbani mwenu katika nchi ile ambayo Mose
mauaji) anayeshtakiwa kwa Hamoth-Dori na
mtumishi wa BWANA aliwapa ng’ambo ya pili
Kartani yote miji mitano, pamoja na sehemu
wa Yordani. 5Lakini mwe waangalifu sana
zake za malisho.
33Jumla yote ya miji ya koo za Wagershoni, kushika amri na sheria zile Mose mtumishi wa
BWANA alizowapa, yaani kumpenda
ilikuwa kumi na mitatu, pamoja na sehemu zake
BWANA Mungu wenu na kuenenda katika njia
za malisho.
zake zote, kutii amri zake, kushikamana naye
34Koo kwa uthabiti na kumtumikia kwa moyo wenu
za Wamerari (Waliobaki wa Walawi)
wote na roho yenu yote.”
walipewa: 6Ndipo Yoshua akawabariki na kuwaaga
kutoka katika kabila la Zabuloni, Yokneamu,
waende zao, nao wakaenda nyumbani mwao.
Karta, 35Dimna na Nahalali, miji minne 7(Kwa nusu ya kabila la Manase Mose alikuwa
pamoja na sehemu zake za malisho.
21
YOSHUA
amewapa eneo katika Bashani na ile nusu madhabahu nyingine kwa ajili yenu, zaidi ya
nyingine Yoshua aliwapa eneo upande wa madhabahu ya BWANA Mungu wetu. 20Wakati
magharibi ya Yordani pamoja na ndugu zao.) Akani mwana wa Zera alipokosa uaminifu kwa
Yoshua alipowapeleka waende zao nyumbani vitu vilivyowekwa wakfu, je, ghadhabu ya Mungu
mwao, aliwabariki, 8akisema, “Rudini ninyi haikulipata kusanyiko lote la Israeli? Wala
nyumbani mwenu na utajiri wenu, yaani, hakuwa yeye peke yake aliyekufa kwa ajili ya
makundi makubwa ya mifugo, mkiwa na fedha, hiyo dhambi yake.’’
dhahabu, shaba na chuma, pia wingi wa nguo, 21Ndipo Wareubeni, Wagadi na nusu ya
nanyi mkagawane na ndugu zenu hizo nyara kabila la Manase walipowajibu viongozi wa koo
zilizotoka kwa adui zenu.’’ za Israeli wakisema: 22‘‘BWANA Mwenye
9Kwa hiyo Wareubeni, Wagadi na hiyo nusu Nguvu,Yeye peke yake ndiye Mungu !
ya kabila la Manase wakawaacha Waisraeli BWANA Mwenye Nguvu, Yeye peke yake ndiye
huko Shilo katika nchi ya Kanaani ili kurudi Mungu! Yeye anajua! Israeli na wajue! Kama hili
Gileadi, nchi yao wenyewe waliyoipata limekuwa ni kuasi au kukosa utii kwa
sawasawa na agizo la BWANA kupitia Mose. BWANA, asituache hai siku hii ya leo. 23Kama
10Walipofika Gelilothi karibu na Yordani, tumejijengea madhabahu yetu wenyewe ili
katika nchi ya Kanaani, Wareubeni, Wagadi na kumwacha BWANA na kutoa sadaka za
nusu ya kabila la Manase wakajenga kuteketezwa na sadaka za nafaka, au kutoa
madhabahu ya fahari kubwa huko kando ya sadaka za amani juu yake, BWANA mwenyewe
Yordani. 11Wale Waisraeli wengine waliposikia na atupatilize leo.
kwamba Wareubeni, Wagadi na ile nusu ya 24‘‘Sivyo! Tulifanya hivyo kwa hofu kwamba
Manase. 14Wakatuma pamoja naye watu kumi na tujenge madhabahu, lakini si kwa ajili ya
ambao ni viongozi, mmoja kwa ajili ya kila kabila sadaka za kuteketezwa au dhabihu. 27Badala
la Israeli, kila mmoja aliye kiongozi katika yake, itakuwa ni ushahidi kati yetu na sisi na
mgawanyiko wa jamaa miongoni mwa koo za vizazi vijavyo, kwamba tutamwabudu
Israeli. BWANA katika mahali patakatifu pake pamoja
15Walipofika katika nchi ya Gileadi, kwa na sadaka zetu za kuteketezwa, dhabihu na
Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la sadaka za amani. Ndipo siku zijazo wazao wenu
Manase wakawaambia: 16“Je, mmewezaje hawataweza kuwaambia wazao wetu, ‘Ninyi
kuacha kumwamini Mungu wa Israeli kwa hamna fungu katika BWANA.’ ’’
kufanya jambo kama hili? Mmewezaje 28‘‘Nasi tulisema, ‘Ikiwa wakati wo wote
atalikasirikia kusanyiko lote la Israeli. 19Kama kumwacha siku hii ya leo kwa kujenga
nchi mnayomiliki imenajisika, vukeni mje katika madhabahu kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa,
nchi ya BWANA, mahali maskani ya sadaka za nafaka na dhabihu, zaidi ya
BWANA ilipo, nanyi mkajitwalie sehemu madhabahu ya BWANA Mungu wetu iliyo mbele
miongoni mwetu, lakini msije mkaasi dhidi ya ya maskani yake na liwe mbali nasi.”
BWANA wala dhidi yetu sisi kwa kujijengea 30Wakati kuhani Finehasi na viongozi wa
22
YOSHUA
kusanyiko, wakuu wa koo za Israeli, waliposikia mataifa makubwa na yenye nguvu, mpaka siku
hayo waliyosema hao Wareubeni, Wagadi na ya leo hakuna ye yote aliyeweza kusimama
hiyo nusu ya kabila la Manase, wakaridhika. mbele yenu. 10Mtu mmoja miongoni mwenu
31Naye Finehasi mwana wa kuhani Eleazari, atafukuza watu elfu, kwa kuwa BWANA Mungu
akawaambia hao Wareubeni, Wagadi na hiyo wenu anawapigania, kama alivyoahidi. 11Kwa
nusu ya kabila la Manase, “Leo tunajua kwamba hiyo iweni waangalifu sana kumpenda
BWANA yuko pamoja nasi, kwa sababu BWANA Mungu wenu.
hamkukosa uaminifu kwa BWANA katika jambo 12“Lakini ikiwa mtageuka na kushikamana
hili, sasa mmewaokoa Waisraeli na mkono wa na mabaki ya mataifa haya yaliyosalia katikati
BWANA.” yenu na kama mtaoana na kushirikiana nao,
32Ndipo Finehasi, mwana wa kuhani 13basi mwe na hakika kuwa BWANA Mungu
Eleazari na viongozi wakarudi Kanaani kutoka wenu hatawafukuza tena mataifa hayo mbele
kwenye kukutana kwao na Wareubeni na yenu. Badala yake, watakuwa tanzi na mitego
Wagadi huko Gileadi nao wakatoa taarifa kwa kwenu, mijeledi migongoni mwenu na miiba
Waisraeli. 33Walifurahi kusikia taarifa hiyo, nao machoni penu, mpaka mwangamie kutoka
wakamhimidi Mungu. Wala hawakuzungumza katika nchi hii nzuri, ambayo BWANA Mungu
tena habari za kupigana vita dhidi yao kuharibu wenu amewapa.
nchi ambayo Wareubeni na Wagadi waliishi. 14“Sasa mimi ninakaribia kwenda katika njia
34Nao Wareubeni na Wagadi wakaiita ile ya watu wote wa dunia. Mnajua kwa mioyo yenu
madhabahu: “Ed, yaani, shahidi, kwa kuwa na roho zenu kwamba hakuna ahadi zote njema
itakuwa shahidi kati yetu na ninyi kwamba ambazo BWANA Mungu wenu alizowaahidia
BWANA NDIYE MUNGU.’’ ambayo ilishindwa. Kila ahadi imetimizwa,
hakuna hata moja ambayo imeshindwa. 15Bali
Yoshua anawaaga Viongozi kama vile ambavyo kila ahadi njema ya
24
4Kumbukeni jinsi nilivyowagawia kama urithi kwa Ndipo Yoshua akaita pamoja makabila
ajili ya makabila yenu yote nchi ya mataifa yote ya Israeli huko Shekemu. Akawaita
yaliyobaki, yaani mataifa niliyowashinda, kati ya wazee, viongozi, waamuzi na maafisa wa Israeli,
mto Yordani na Bahari ile kuu upande wa nao wakaja mbele za Mungu.
magharibi. 5BWANA Mungu wenu mwenyewe, 2Yoshua akawaambia watu wote, “Hili ndilo
atawaondoa watoke mbele yenu. Atawafukuza BWANA wa Israeli asemalo: ‘Hapo zamani baba
mbele yenu, nanyi mtamiliki nchi yao, kama vile zenu, pamoja na Tera baba yake Abrahamu na
BWANA Mungu wenu alivyowaahidi. Nahori, waliishi ng’ambo ya Mto Eufrati nao
6“Iweni hodari sana, iweni waangalifu kutii waliiabudu miungu mingine. 3Lakini nilimwondoa
yote yaliyoandikwa katika kitabu cha Torati ya baba yenu Abrahamu kutoka nchi hiyo ng’ambo
Mose, pasipo kugeuka upande wa kuume au ya Mto, nami nikamwongoza katika nchi yote ya
kushoto. 7Msishirikiane na mataifa yaliyobakia Kanaani, nikampa wazao wengi. Nikampa Isaki,
katikati yenu, wala msiombe kwa majina ya 4naye Isaki nikampa Yakobo na Esau. Esau
miungu yao au kuapa kwayo. Msiitumikie wala nikampa nchi ya vilima ya Seiri, lakini Yakobo
kuisujudia. 8Bali mtashikamana kwa uthabiti na pamoja na wanawe wakashuka Misri.
Mungu wenu, kama vile ambavyo mmefanya 5‘‘ ‘Kisha nikawatuma Mose na Aroni, nami
23
YOSHUA
zenu katika nchi ya Misri, mlifika kwenye bahari, tutamtumikia BWANA, kwa kuwa Yeye ndiye
nao Wamisri wakawafuatia baba zenu kwa Mungu wetu.’’
magari na wapanda farasi mpaka kwenye bahari 19Yoshua akawaambia watu, “Hamwezi
ya Shamu. 7Lakini wakamlilia BWANA wakitaka kumtumikia BWANA. Yeye ni Mungu Mtakatifu,
msaada, Mungu akaweka giza kati yenu na ni Mungu mwenye wivu. Hatasamehe uasi wenu
Wamisri, akaileta bahari juu yao ikawafunika. na dhambi zenu. 20Ikiwa mkimwacha
Ninyi mliona kwa macho yenu wenyewe kile BWANA na kuitumikia miungu migeni, yeye
nilichowatendea Wamisri. Kisha mliishi jangwani atageuka na kuwaleteeni maafa na
kwa muda mrefu. kuwaangamiza, baada ya kuwa mwema
8“ ‘Nikawaleta katika nchi ya Waamori kwenu.’’
ambao waliishi mashariki ya Yordani. 21Lakini watu wakamwambia
Wakapigana nanyi, lakini nikawatia mikononi Yoshua, ‘‘Sivyo! Sisi tutamtumikia
mwenu. Nikawaangamiza mbele yenu nanyi BWANA.’’
mkaimiliki nchi yao. 9Wakati Balaki mwana wa 22Ndipo Yoshua akawaambia, ‘‘Ninyi
Sipori, mfalme wa Moabu, alipojiandaa kupigana mmekuwa mashahidi juu yenu wenyewe kuwa
dhidi ya Israeli, alimwita Baalamu mwana wa mmechagua kumtumikia BWANA.’’ Nao
Beori apate kuwalaani. 10Lakini sikumkubali wakajibu, ‘‘Ndiyo, tu mashahidi.’’
Baalamu, kwa hiyo aliwabariki tena na tena, 23Yoshua akawaambia, ‘‘Sasa basi, itupeni
nami niliwaokoa toka mkononi mwake. mbali hiyo miungu migeni iliyo katikati yenu,
11“ ‘Ndipo mlipovuka Yordani mkafika nanyi mtoleeni BWANA wa Israeli mioyo yenu.’’
Yeriko. Raia wa Yeriko wakapigana nanyi, kama 24Nao watu wakamwambia Yoshua,
walivyofanya Waamori, Waperizi, Wakanaani, ‘‘Tutamtumikia BWANA Mungu wetu na kumtii
Wahiti, Wagirigashi, Wahivi na Wayebusi, lakini yeye.’’
niliwatia mikononi mwenu. 12Nikatuma manyigu 25Siku ile Yoshua akafanya agano kwa ajili
mbele yenu, ambao pia waliwafukuza mbele ya watu na hapo Shekemu ndipo alipowaandikia
yenu, hao wafalme wawili wa Waamori. Sio amri na sheria. 26Naye Yoshua akayaandika
upanga au upinde wenu wenyewe viliowapatia mambo haya katika Kitabu cha Sheria ya
ushindi. 13Hivyo nikawapa ninyi nchi ambayo Mungu. Ndipo akalitwaa jiwe kubwa
hamkuitaabikia na miji ambayo hamkuijenga, akalisimamisha huko, chini ya mwaloni huko
mkaishi ndani yake na kula mizabibu na karibu na mahali patakatifu pa BWANA.
mizeituni msiyoipanda.’ 27Akawaambia watu wote, ‘‘Angalieni! Jiwe
14‘‘Sasa basi mcheni BWANA na kumtumikia hili litakuwa shahidi juu yetu. Limesikia maneno
kwa uaminifu wote. Itupeni mbali miungu yote BWANA aliyotuambia. Litakuwa shahidi juu
ambayo baba zenu waliiabudu huko ng’ambo ya yenu kama mtakuwa waongo kwa Mungu
Eufrati na huko Misri, nanyi mtumikieni wenu.’’
BWANA. 15Lakini msipoona vema kumtumikia
BWANA, chagueni hivi leo mtakayemtumikia, Kuzikwa katika Nchi ya Ahadi
kama ni miungu ile ambayo baba zenu 28Basi Yoshua akawatuma watu kila mmoja
akatupandisha kutoka Misri, kutoka nchi ile ya wa kipindi cha Yoshua, na kipindi cha hao
utumwa, na kutenda zile ishara kubwa mbele ya wazee walioishi baada ya Yoshua kufa na
macho yetu. Ndiye aliyetulinda katika safari yetu ambao waliona wenyewe kila kitu BWANA
yote na kutokana na mataifa yote ambayo alichowatendea Israeli.
tulipita katikati yao. 18BWANA akawafukuza 32Nayo ile mifupa ya Yosefu, ambayo
mbele yetu mataifa yote pamoja na Wamori, Waisraeli waliipandisha kutoka huko Misri,
walioishi katika nchi hii. Hivyo sisi nasi
24
YOSHUA
wakaizika huko Shekemu kwenye eneo, ambalo
Yakobo alilinunua kwa wana wa Hamori baba
yake Shekemu, kwa vipande mia vya fedha.
Eneo hili likawa ni urithi wa uzao wa Yosefu.
33Naye Eleazari mwana wa Aroni akafariki
25
WAAMUZI
Utangulizi
Kitabu hiki kinaelezea habari za Waisraeli kwa kipindi kati ya kifo cha Yoshua na huduma ya Samweli.
Mungu alikuwa amewasaidia Waisraeli kuishinda na kuiteka Kanaani, ambako ndani yake yaliishi mataifa mengi
maovu. Lakini walikuwa katika hatari ya kuipoteza hii Nchi ya Ahadi kwa sababu walianza kumwasi Mungu.
Walipomrudia Mungu , Mungu aliwainulia waamuzi wa kuwaongoza.Hivyo kipindi hiki kilijulikana kwa mashujaa
walioitwa waamuzi ambao ndio walioongoza makabila ya Israeli. Jumla ya waamuzi kumi na watano
wameorodheshwa kuwa waliiongoza Israeli. Waliojulikana zaidi walikuwa Yefta, Debora, Gideoni na Samsoni.
Matukio katika kitabu cha Waamuzi yalifanyika katika mtiririko ufuatao:
• Waisraeli waliishi kwa amani wakiwa wanampenda na kumtumikia Mungu.
• Waisraeli wakamsahau Mungu na kuanza kuabudu miungu.
• Mungu akawaadhibu watu Wake kwa kupeleka taifa la jirani kupigana nao na kuwatawala.
• Waisraeli wakamgeukia Mungu na kuomba msamaha.
• Mungu akawasamehe watu Wake na akawaokoa kwa kumtuma mwamuzi kuwasaidia kumshinda adui.
Huu mtindo wa matukio ulijirudia mara nyingi kwa wakati huu katika historia ya Israeli.
Mataifa yaliyowaonea Waisraeli wakati wa kipindi hiki cha Waamuzi yalikuwa: Wakaldayo (Mesopotamia),
Wamoabu, Wakanaani, Wamidiani, Waamoni na Wafilisti. Kipindi hiki cha waamuzi kilidumu kwa miaka 410.
Wazo Kuu
Kuinuka na kuanguka kwa Israeli.Baada ya kufa kwa Yoshua Waisraeli walikuwa wakiinuka walipompata
kiongozi na baada ya kiongozi huyo walipotoka na hivyo wakaangukia mikononi mwa maadui.Walipomlilia Mungu
aliwainulia mwamuzi, ambaye aliwaongoza na kupata ushindi. Kitabu hiki kinaweka kumbukumbu za vita vya
kwanza vya Waisraeli kati yao wenyewe.
“Siku hizo hapakuwa na mfalme katika Israeli, kila mtu alifanya yaliyokuwa mema machoni pake mwenyewe.’’
(21:25).
Wahusika Wakuu
Othinieli, Ehudi, Debora, Gideoni, Abimeleki, Yefta, Samsoni, Delila.
Mahali
Nchi ya Kanaani ambayo baadaye iliitwa Israeli.
Mwandishi
Uwezekano mkubwa ni kwamba kiliandikwa na Samweli. Mapokeo ya Kiyahudi yanasema Samweli ndiye
mwandishi.
Tarehe
Kitabu hiki kiliandikwa 1126 K.K.
Mgawanyo
• Hali ilivyokuwa wakati wa kipindi cha Waamuzi. (1:1-3:6)
• Waamuzi walioongoza na mataifa waliyoyashinda (3:7-16:31)
• Ushirikina na vita baina yao wenyewe. (17:1-21:25)
1
WAAMUZI
Kipindi cha Waamuzi kilianza kati ya 1375 au (1220)
Othnieli Ehudi Debora Gideoni
1367 – 1327 1309 – 1229 1209 – 1169 1162 – 1122
au au au au
(1220 – 1162) (1184 – 1104) (1192 – 1152) (1146 – 1106)
Wasimeoni ndugu zao, pandeni pamoja nasi uliitwa Mji wa Mitende), Wakeni, ambao
katika nchi tuliyopewa, ili tupate kupigana na walikuwa wazao wa mkewe Mose, walisafiri
Wakanaani. Sisi pia tutakwenda pamoja nanyi pamoja nao katika Nyika ya Yuda. Wakaishi
katika sehemu yenu mliyopewa.’’ Basi humo miongoni mwa watu, karibu na mji wa
Wasimeoni wakaenda pamoja nao. Aradi huko Negebu.
4Yuda aliposhambulia, BWANA akawatia 17Basi watu wa Yuda wakaenda na
Wakanaani na Waperizi mikononi mwao, nao Wasimeoni ndugu zao kushambulia Wakanaani
wakawaua watu 10,000 huko Bezeki. 5Huko waishio Sefathi, nao wakauangamiza huo mji
ndiko walipomkuta huyo Adoni- kabisa. Kwa hiyo huo mji ukaitwa Horma a .
Bezeki, nao wakapigana naye na kuwafanya 18Watu wa Yuda wakatwaa pia Gaza, Ashkeloni
wakatelemka kupigana na Wakanaani walioishi Betheli, naye BWANA alikuwa pamoja nao.
katika nchi ya vilima, yaani, Negebu na nchi 23Walipotuma watu kwenda kupeleleza Betheli
chini ya vilima vya magharibi. 10Yuda (ambao hapo kwanza uliitwa Luzu), 24wale
wakakabiliana na Wakanaani walioishi Hebroni wapelelezi wakaona mtu anatoka mjini, nao
(ambayo hapo kwanza iliitwa Kiriath-Arba) na wakamwambia, ‘‘Tuonyeshe jinsi ya kuingia
kuwashinda Sheshai, Ahimani na Talmai. mjini nasi tutakutendea wema.’’ 25Hivyo
11Kutoka huko wakasonga mbele akawaonyesha, nao wakaupiga mji kwa upanga
kukabiliana na watu walioishi Debiri (ambayo lakini wakamhifadhi hai yule mtu na jamaa yake
hapo kwanza uliitwa Kiriath-Seferi.) 12Kalebu yote. 26Yule mtu akaende hadi nchi ya Wahiti,
akasema, “Mtu atakayewashinda Kiriath-Seferi ambapo aliujenga mji na kuuita Luzu, ambao
nitamtoa binti yangu Aksa awe mkewe.’’ 13Basi ndio jina lake hadi leo.
Othnieli mwana wa Kenazi, ndugu mdogo wa
huyo Kalebu akawashinda, kwa hiyo Kalebu
akamtoa binti yake Aksa akaolewa naye.
a17 Horma hapa maana yake “Maangamizi.’’
2
WAAMUZI
27Lakini Manase hawakuwafukuza watu wa sitawafukuza watoke katikati yenu ila watakuwa
Beth-Sheani na vijiji vyake, au watu wa Taanaki miiba kwenu, nao miungu yao itakuwa tanzi
na vijiji vyake, au watu wa Dori na vijiji vyake, au kwenu.’’
watu wa Ibleamu na vijiji vyake, au watu wa 4Malaika wa BWANA alipomaliza kusema
Megido na vijiji vyake, lakini Wakanaani mambo haya kwa Waisraeli wote, watu wakalia
waliazimu kuishi katika nchi ile. 28Israeli kwa sauti kuu. 5Wakapaita mahali pale Bokimu.
walipopata nguvu, wakawatia Wakanaani katika Nao wakamtolea BWANA sadaka.
kazi ya kulazimishwa, lakini kamwe
hawakuwafukuza watoke kabisa. 29Wala Efraimu Kifo cha Yoshua
hawakuwafukuza kabisa Wakanaani walioishi 6Baada ya Yoshua kuwapa watu ruhusa
Gezeri, bali Wakanaani waliendelea kuishi humo waende zao, Waisraeli wakaenda kwenye urithi
miongoni mwao. 30Vivyo hivyo Zabuloni wao wenyewe ili kumiliki nchi yao. 7Watu
hawakuwafukuza Wakanaani walioishi huko wakamtumikia BWANA siku zote za maisha za
Kitroni, wala walioishi Nahaloli, ambao walibaki Yoshua na za wazee walioishi kuliko Yoshua,
miongoni mwao bali waliwatia katika kazi ya ambao walikuwa wameona mambo makuu
kulazimishwa. 31Wala Asheri hawakuwafukuza ambayo BWANA alikuwa ametenda kwa ajili ya
wale walioishi huko Ako, Sidoni, Ahlabu, Akzibu, Israeli.
Helba, Afeki wala Rehobu 32na kwa sababu ya 8Yoshua mwana wa Nuni, mtumishi wa
jambo hili Waasheri wakaishi miongoni mwa BWANA, akafa akiwa na umri wa miaka 110.
Wakanaani, wale wenyeji wa nchi. 33Wala Naftali 9Wakamzika katika nchi ya urithi wake huko
wenyeji wa nchi, nao wale walioishi Beth- pamoja na baba zao, kikainuka kizazi kingine
Shemeshi na Beth-Anathi wakawa watumishi baada yao ambacho hakikumjua BWANA, wala
wao katika kazi ya kulazimishwa 34Waamori matendo yale aliyokuwa ametenda kwa ajili ya
wakawazuilia Wadani kwenye nchi ya vilima, Waisraeli. 11Kwa hiyo Waisraeli wakatenda
kwa maana hawakuwaacha washuke kuingia maovu machoni pa BWANA na kuwatumikia
kwenye sehemu tambarare. 35Waamori pia Mabaali. 12Wakamwacha BWANA Mungu wa
wakaendelea kukaa katika Mlima Heresi, katika baba zao, aliyekuwa amewatoa katika nchi ya
Aiyaloni na Shaalbimu, lakini mkono wa nyumba Misri. Wakaifuata na kuiabudu miungu
ya Yosefu ukawalemea, nao wakashindwa hata mbalimbali ya mataifa yanayowazunguka.
wakalazimika kuingia katika kazi ya Wakamkasirisha BWANA 13kwa sababu
kulazimishwa. 36Mpaka wa Waamori ulikuwa walimwacha Yeye na kutumikia Baali na
kuanzia Genge la Akrabimu, kuendelea hadi Maashtorethi. 14Hivyo hasira ya BWANA
Sela na kuelekea juu. ikawaka juu ya Israeli, naye akawatia mikononi
mwa wavamizi waliowateka nyara. Akawauza
Malaika wa BWANA Huko Bokimu katika mikono ya adui zao pande zote, hivyo
3
WAAMUZI
waliowashambulia. 17Lakini hawakuwasikiliza akawauza na kuwatia mikononi mwa Kushan-
hata waamuzi wao, bali walifanya uasherati kwa Rishathaimu mfalme wa Aram-Naharaimu a
kuifuata miungu mingine na kuiabudu. ambaye Israeli walikuwa chini yake
Waligeuka mara na kuiacha njia ambayo baba wakimtumikia kwa muda wa miaka minane.
zao waliiendea, yaani, njia ya kutii amri za 9Walipomlilia BWANA akawainulia mwokozi,
BWANA. 18Kila mara BWANA alipowainulia Othnieli mwana wa Kenazi, ndugu mdogo wa
mwamuzi, BWANA alikuwa pamoja na huyo Kalebu. 10Roho wa BWANA akaja juu yake,
mwamuzi, naye aliwaokoa kutoka mkononi mwa hivyo akawa mwamuzi wa Israeli, akaenda
adui zao kwa kipindi chote alichoishi yule vitani. BWANA akamtia Kushan-Rishathaimu
mwamuzi. Kwa kuwa BWANA aliwahurumia kwa mfalme wa Aramu mikononi mwa Othnieli naye
sababu ya kilio chao cha huzuni kwa ajili ya akamshinda. 11Hivyo nchi ikawa na amani kwa
wale waliokuwa wakiwatesa na kuwataabisha. muda wa miaka arobaini, mpaka Othnieli mwana
19Lakini kila mara mwamuzi alipokufa, watu wa Kenazi alipokufa.
walirudia katika hali mbaya ya uovu zaidi kuliko
baba zao, wakiifuata miungu mingine kuitumikia Ehudi
na kuiabudu. Walikataa kuacha matendo yao 12Waisraeli wakafanya yaliyo maovu mbele
maovu na njia zao za ukaidi. za BWANA tena, kwa kuwa walifanya maovu
20Kwa hiyo BWANA akawakasirikia sana hayo BWANA akamtia nguvu Egloni mfalme wa
Israeli na kusema, ‘‘Kwa kuwa taifa hili limevunja Moabu dhidi ya Israeli. 13Egloni akawataka
agano lile nililofanya na baba zao na Waamoni na Waamaleki waungane naye, akaja
hawakunisikiliza, 21Mimi nami sitafukuza taifa lo kuishambulia Israeli, nao wakatwaa Mji wa
lote ambalo Yoshua aliliacha alipokufa. Mitende b . 14Waisraeli wakawa chini ya Egloni
22Nitayatumia ili nipate kuwapima Israeli na mfalme wa Moabu kwa muda wa miaka kumi na
kuona kama wataishika njia ya BWANA na minane.
kuenenda katika hiyo kama baba zao 15Waisraeli wakamlilia tena BWANA, naye
walivyofanya.’’ 23BWANA alikuwa ameyaacha akawapa mwokozi, Ehudi, mtu wa shoto, mwana
hayo mataifa yabaki, hakuyaondoa mara moja wa Gera, Mbenyamini. Waisraeli wakamtuma
kwa kuyatia mikononi mwa Yoshua. kwa Egloni mfalme wa Moabu ushuru kwa
mkono wa Ehudi. 16Basi Ehudi alikuwa
Mataifa Yaliyobaki Katika Ile Nchi ametengeneza upanga wenye makali kuwili,
wakavishika vivuko vya Yordani kuelekea Wakeni wengine, yaani, wazao wa Hobabu,
Moabu, wala hawakuacha mtu ye yote kuvuka. mkwewe Mose, naye akapiga hema lake karibu
29Wakati huo wakawaua Wamoabu watu waume na ule mti mkubwa wa mwaloni ulioko
wapatao 10,000, wote walikuwa wenye nguvu Saananimu, karibu na Kedeshi.
na mashujaa, hakuna mtu ye yote aliyetoroka. 12Sisera alipoambiwa kuwa Baraka mwana
30Siku ile Moabu wakashindwa na Israeli, nayo wa Abinoamu alikuwa amepanda Mlima Tabori,
nchi ikawa na amani kwa miaka themanini. 13Sisera akakusanya pamoja magari yake yote
Sisera, aliyeishi huko Haroshethi Hagoyimu a . jeshi mpaka Haroshethi-Hagoyimu. Jeshi lote la
3Kwa kuwa Sisera alikuwa na magari ya chuma Sisera likaanguka kwa upanga, wala hakuna
hata mtu mmoja aliyesalia.
a2 Haroshethi Hagoyimu hapa ina maana Haroshethi ya Mataifa.
5
WAAMUZI
17Sisera, hata hivyo, akakimbia kwa miguu 5Milima ilitetemeka mbele za BWANA,
mpaka kwenye hema la Yaeli, mkewe Heberi hata ule wa Sinai,
Mkeni, kwa sababu palikuwa na uhusiano wa mbele ya BWANA, Mungu wa Israeli.
kirafiki kati ya Yabini mfalme wa Hazori na ukoo 6“Katika siku za Shamgari mwana wa Anathi,
akaingia ndani ya hema ya Yaeli, naye walikoma mpaka mimi Debora nilipoinuka,
akamfunika kwa blanketi nene. nilipoinuka kama mama katika Israeli.
19Akamwambia, ‘‘Nina kiu, tafadhali nipe 8Walipochagua miungu migeni,
maji ya kunywa.’’ Ndipo akafungua kiriba cha vita vilikuja katika malango ya mji,
maziwa na kumpa akanywa, kisha akamfunika. hapakuonekana ngao wala mkuki
20Naye Sisera akamwambia, ‘‘Simama miongoni mwa mashujaa 40,000 katika
mlangoni pa hema na mtu ye yote akija na Israeli.
kukuuliza, ‘Je, kuna mtu ye yote hapa? Sema, 9Moyo wangu u pamoja na wakuu wa Israeli,
6
WAAMUZI
16Kwa nini ulikaa katikati ya mazizi ya hapo ndipo alipoanguka akiwa amekufa.
kondoo
kusikiliza sauti ya filimbi zinazoita 28“Kupitiadirishani mama Sisera alichungulia,
makundi? ‘Mbona gari lake linachelewa kufika?
Katika jamaa za Reubeni, Mbona vishindo vya magari yake
palikuwa na kujihoji kukubwa vimechelewa?’
moyoni. 29Wanawake wake wenye busara kuliko
17Giliadi alikaa ng’ambo ya Yordani. wengine wote wakamjibu,
Naye Dani, kwa nini alikaa kwenye Naam, husema moyoni mwake,
merikebu siku nyingi? 30‘Je, Hawapati na kugawanya nyara?
Asheri alikaa kwa utulivu ufuoni mwa bahari, Msichana mmoja au wawili kwa kila mtu.
akikaa kwenye ghuba zake ndogo. Mavazi ya rangi mbali mbali kwa Sisera
18Watu wa Zabuloni walihatirisha maisha yao, kuwa nyara,
vile vile nao watu wa Naftali. mavazi ya rangi mbali mbali yaliyotariziwa.
Mavazi yaliyotariziwa vizuri kwa ajili ya
19“Wafalme walikuja na kufanya vita, shingo yangu,
wafalme wa Kanaani walipigana yote haya kuwa nyara?’
huko Taanaki karibu na maji ya Megido,
lakini hawakuchukua fedha wala nyara. 31“Adui zako wote na waangamie, Ee BWANA,
20Kutoka mbinguni nyota zilipigana,
nyota kutoka katika njia zake zilipigana na bali wote wakupendao na wawe kama jua
Sisera. lichomozavyo kwa nguvu zake.”
21Mto wa Kishoni uliwasomba, Hivyo nchi ikawa na amani kwa miaka arobaini.
ule mto wa zamani, mto wa Kishoni.
Songa mbele, Ee nafsi yangu, kwa Gideoni
ujasiri!
22Ndipo kwato za farasi zikafanya mshindo, 6 Waisraeli wakafanya tena yaliyo maovu
mbele za BWANA, naye kwa miaka saba
farasi wake wenye nguvu huenda mbio kwa BWANA akawatia mikononi mwa Wamidiani.
kurukaruka. 2Mkono wa Midiani ukawa na nguvu dhidi ya
23Malaika wa BWANA akasema, ‘Merozi Israeli na kwa ajili ya Wamidiani Waisraeli
alaaniwe,’ wakajitengenezea mahali pa kujificha milimani,
‘Walaaniwe watu wake kwa uchungu, kwenye mapango na ngome. 3Kila wakati
kwa kuwa hawakuja kumsaidia BWANA, Waisraeli walipopanda mazao mashambani,
kumsaidia BWANA dhidi ya hao Wamidiani, Waameleki na mataifa mengine ya
wenye nguvu.’ mashariki walivamia nchi yao. 4Wakapiga kambi
24“Yaeli abarikiwe kuliko wanawake wote, katika mashamba yao na kuharibu mazao ya
mkewe Heberi Mkeni, nchi yote hadi kufikia Gaza, wala hawakuacha
abarikiwe kuliko wanawake wote waishio kiumbe cho chote kilicho hai kwa Waisraeli, iwe
kwenye mahema. kondoo au ng’ombe au punda. 5Walipanda na
25Aliomba maji, naye akampa maziwa mifugo yao na mahema yao, mfano wa makundi
kwenye bakuli la heshima akamletea ya nzige. Ilikuwa haiwezekani kuwahesabu watu
maziwa mgando. na ngamia zao, wakavamia nchi ili kuiharibu.
26Akanyosha mkono wake akashika kigingi cha 6Waisraeli wakafanywa kuwa maskini sana na
7
WAAMUZI
yao. 10Nikawaambia, ‘Mimi ndimi BWANA mikate isiyotiwa chachu, nao moto ukatoka
Mungu wenu, msiiabudu miungu ya Waamori, kwenye mwamba ukateketeza ile nyama na ile
ambayo mnakaa katika nchi yao! Lakini ninyi mikate. Malaika wa BWANA akatoweka kutoka
hamkuitii sauti yangu.” machoni pake. 22Gideoni alipotambua kuwa ni
11Malaika wa BWANA akaja akaketi chini ya malaika wa BWANA, akapiga kelele kwa
mti wa mwaloni huko Ofra, ambao ulikuwa mali mshangao, akasema, “Ole wangu, BWANA
ya Yoashi Mwebiezeri, ambalo mwanawe Mwenyezi! Kwa kuwa nimemwona malaika wa
Gideoni alikuwa akipepeta ngano penye BWANA uso kwa uso!’’
shinikizo la kukamulia zabibu, ili kuificha 23Lakini BWANA akamwambia, ‘‘Amani iwe
matendo yake makuu baba zetu waliyotusimulia “Mchukue ng’ombe dume wa baba yako, yaani,
juu yake waliposema, ‘Je, BWANA yule wa pili mwenye miaka saba na ubomoe ile
hakutupandisha kutoka Misri? Lakini sasa madhabahu ya Baali, aliyo nayo baba yako na
BWANA ametuacha na kututia katika mkono wa ukaikate ile Ashera iliyo karibu nayo. 26Kisha
Midiani.” mjengee BWANA Mungu wako, madhabahu
14BWANA akamgeukia na kusema “Enenda halisi, kwa taratibu zake, juu ya huu mwamba.
kwa uwezo wako huu, ukawaokoe Israeli kutoka Kwa kutumia kuni za hiyo nguzo ya Ashera
mkononi mwa Wamidiani. Je, si mimi uliyoikatakata, mtoe sadaka huyo dume wa pili
ninayekutuma wewe?’’ kuwa sadaka ya kuteketezwa.’’
15Gideoni akauliza, ‘‘Ee Bwana wangu, 27Basi Gideoni akawachukua watumishi
nitawezaje kuwaokoa Israeli? Ukoo wangu ndio wake kumi na kufanya kama BWANA
dhaifu kuliko zote katika Manase, nami ndiye alivyomwambia. Lakini kwa kuwa aliwaogopa
mdogo wa wote katika jamaa yangu.’’ jamaa yake na watu wa mji, akafanya haya
16BWANA akamjibu, ‘‘Nitakuwa pamoja usiku badala ya mchana.
nawe, nawe utawapiga Wamidiani kana kwamba 28Watu wa mji walipoamka asubuhi, tazama
na kuandaa mwana mbuzi pamoja na kuoka mwanao hapa. Ni lazima afe, kwa sababu
mikate isiyotiwa chachu kutokana na efa moja a amebomoa madhabahu ya Baali na kukatakata
ya unga, akaweka nyama kwenye kikapu na nguzo ya Ashera iliyokuwa karibu nayo.’’
mchuzi kwenye chungu, akamletea huyo 31Lakini Yoashi akauambia ule umati
malaika hapo nje chini ya mti wa mwaloni na uliokuwa umezunguka ukiwa kinyume naye, “Je,
kumpa. ninyi mtamtetea Baali? Mnajaribu kumwokoa?
20Malaika wa Mungu akamwambia, ‘‘Itwae Ye yote mwenye kumpigania atauawa kufikia
nyama na mikate isiyotiwa chachu, uviweke juu kesho asubuhi! Kama Baali ni mungu kweli,
ya mwamba huu na umimine huo mchuzi juu anaweza kujitetea mwenyewe wakati mtu
yake.’’ Gideoni akafanya hivyo. 21Malaika wa anapobomoa madhabahu yake.’’ 32Basi siku ile
BWANA akainyosha fimbo iliyokuwa mkononi wakamwita Gideoni Yerub-Baali, yaani, “Baali
mwake, ncha yake ikagusa ile nyama na ile
b24 Yehova Shalom maana yake Bwana ni Amani.
a19 Efa moja ni sawa na lita 22.
8
WAAMUZI
na ashindane naye kwa sababu amebomoa yeye hatakwenda.’’
madhabahu yake.’’ 5Hivyo Gideoni akalileta lile jeshi chini
33Basi Wamidiani wote, Waamaleki na kwenye maji naye BWANA akamwambia
mataifa mengine ya mashariki wakaunganisha Gideoni, “Watenge upande mmoja wale wote
majeshi yao, wakavuka ng’ambo ya Yordani na wanywao maji kwa ulimi, kama vile mbwa
kupiga kambi katika bonde la Yezreeli. 34Ndipo anywavyo, wale wote wapigao magoti ili kunywa
Roho wa BWANA ikamjia Gideoni, akapiga wakipeleka mikono yao vinywani mwao, waweke
tarumbeta, akiwaita Waabiezeri ili wamfuate. upande mwingine. 6Idadi ya wale waliokunywa
35Akatuma wajumbe waende katika Manase kwa kulamba lamba walikuwa 300, lakini
yote, akiwataka wachukue silaha na pia katika wengine wote katika jeshi walipiga magoti ili
Asheri, Zabuloni na Naftali, nao wakakwea ili kunywa.
kukutana nao. 7BWANA akamwambia Gideoni, “Kwa hao
36Gideoni akamwambia Mungu, “Kama watu 300 waliolamba maji nitawaokoa ninyi,
utawaokoa Waisraeli kwa mkono wangu, kama nami nitawatia Wamidiani mkononi mwako.
ulivyoahidi, 37tazama, nitaweka ngozi ya kondoo Waache hao watu wengine wote warudi kila
kwenye kiwanja cha kupuria nafaka, na kama mmoja nyumbani mwake.’’ 8Hivyo Gideoni
utakuwepo umande juu ya ngozi tu, nayo ardhi akawaacha wale Waisraeli wengine kila mmoja
yote ikiwa kavu, ndipo nitakapojua kuwa aende kwenye hema yake. Akabakia na wale
utaokoa Israeli kwa mkono wangu, kama 300 ambao walichukua vyakula na tarumbeta za
ulivyosema.’’ 38Hivyo ndivyo ilivyotokea. Gideoni wale wenzao.
akaamka asubuhi na mapema kesho yake, Basi kambi ya Wamidiani ilikuwa chini yake
akaikamua ile ngozi, umande ukatoka, maji ya bondeni. 9Usiku ule ule BWANA akamwambia
kujaa bakuli. Gideoni, ‘‘Ondoka, ushuke kambini, kwa kuwa
39Kisha Gideoni akamwambia BWANA, nimeitia mkononi mwako. 10Lakini kama
“Usinikasirikie. Ninaomba nifanye ombi moja unaogopa kushambulia, shuka kambini pamoja
lingine. Niruhusu nifanye jaribio jingine moja kwa na mtumishi wako Pura, 11nawe sikiliza
ngozi hii. Wakati huu uifanye ngozi hii kavu na wanayosema. Hatimaye, utatiwa moyo
ardhi yote ifunikwe na umande.’’ 40Usiku ule kushambulia kambi.’’ Basi yeye na Pura
Mungu akafanya hivyo, ngozi ile ilikuwa kavu, mtumishi wake wakashuka na kufikia walinzi wa
nayo ardhi yote ikafunikwa na umande. mbele wenye silaha waliokuwa mle kambini.
12Wamidiani, Waameleki na mataifa mengine
ilikuwa kaskazini yao katika bonde karibu na mtu mmoja aliyekuwa anamweleza mwenzake
kilima cha More. 2BWANA akamwambia ndoto yake, akisema, “Niliota ndoto, tazama
Gideoni, ‘‘Jeshi lililo pamoja nawe ni kubwa mkate wa shayiri ulioviringana ulianguka katika
sana kwa mimi kuwatia Wamidiani mikononi kambi moja ya Wamidiani, ukaipiga na
mwao. Ili kwamba Israeli asije akajisifu juu ikaanguka nao ukaipindua juu chini na hema
yangu akisema, ‘Mkono wangu ndio ulioniokoa, ikaporomoka chini.’’
3kwa hiyo sasa tangaza jeshi lote likiwa linasikia, 14Rafiki yake akamjibu, “Habari hii si kitu
pamoja nawe,’ yeye atakwenda, lakini kama matatu, akawakabidhi tarumbeta mikononi
nikisema, ‘Huyu hatakwenda pamoja nawe,’ mwao wote na mitungi isiyokuwa na maji yenye
9
WAAMUZI
mienge ndani yake. kuokoa masazo ya zabibu za Efraimu si bora
17Akawaambia, “Nitazameni, fanyeni kama kuliko mavuno kamili ya zabibu ya Abiezeri?
nitakavyofanya, nitakapofika mwisho wa kambi 3Mungu amewatia Orebu na Zeebu, hao
mfanye kama nitakavyofanya. 18Wakati mimi na viongozi wa Wamidiani, mikononi mwenu. Je,
wale walio pamoja nami wote, tutakapopiga mimi niliweza kufanya nini kulinganisha na
tarumbeta zetu, ninyi nanyi pigeni tarumbeta mlichofanya ninyi? ‘‘Aliposema hili, hasira yao
pande zote za kambi na mpige kelele, mseme, dhidi yake ikatulia.
‘Upanga wa BWANA na wa Gideoni.’’ 4Gideoni akiwa pamoja na wale watu 300,
19Gideoni na wale watu mia moja waliokuwa waliofuatana naye, wakiwa wamechoka na
pamoja naye wakafika mwisho wa kambi usiku wenye njaa lakini bado wakiwafuatia, wakafika
mwanzoni mwa zamu ya kati, mara tu Yordani na kuuvuka. 5Akawaambia watu wa
walipokuwa wamebadili zamu, wakapiga zile Sukothi, ‘‘Tafadhali lipatieni jeshi langu mikate,
tarumbeta zao na kuvunja ile mitungi iliyokuwa kwa maana wamechoka, nami ningali
mikononi mwao. 20Yale makundi matatu ninawafuatia Zeba na Salmuna, wafalme wa
yakapiga tarumbeta na kuvunja mitungi. Midiani.’’
Wakashika mienge kwa mikono yao ya kushoto 6Lakini maafisa wa Sukothi wakasema, “Je,
na katika mikono yao ya kuume tarumbeta ili mikono ya Zeba na Salmuna tayari mnayo sasa
kuzipiga, wakapaza sauti zao, ‘‘Upanga wa ili tuweze kulipatia jeshi lako mikate?’’
BWANA na wa Gideoni!’’ 21Wakasimama kila 7Gideoni akajibu, “Kwa ajili ya hilo tu,
mtu mahali pake kuizunguka kambi pande zote, BWANA atakapowatia Zeba na Salmuna
Wamidiani wote wakakimbia, huku wakipiga mkononi mwangu, nitaichana nyama ya miili
kelele. yenu kwenye miiba ya nyikani na kwenye
22Walipozipiga zile tarumbeta 300, BWANA michongoma.’’
akafanya watu katika kambi yote 8Kutoka hapo alikwea mpaka Penieli na
kugeuziana upanga kila mmoja na mwenziwe. kutoa ombi lile lile, lakini nao watu wa Penueli
Jeshi likakimbia mpaka Beth-Shita kuelekea wakamjibu kama watu wa Sukothi walivyokuwa
Serera a hadi mpakani mwa Abel-Mehola karibu wamemjibu. 9Hivyo akawaambia watu wa
na Tabathi. 23Watu wa Israeli wakaitwa kutoka Penieli, “Nitakaporudi baada ya kushinda,
Naftali, Asheri na Manase, wakawafuatia nitaubomoa mnara huu.’’
Wamidiani. 24Gideoni akatuma wajumbe katika 10Wakati huu Zeba na Salmuna walikuwa
nchi yote ya vilima vya Efraimu akisema, Karkori wakiwa na jeshi lenye watu wapatao
‘‘Telemkeni dhidi ya Wamidiani na mkazuie 15,000 wale wote waliokuwa wamesalia wa
vivuko vya maji mbele yao hadi Beth-Bara na mataifa ya mashariki, kwa kuwa watu wapatao
pia Yordani.’’ 120,000 wenye panga walikuwa wameuawa.
Hivyo watu wote wa Efraimu wakakutanika 11Basi Gideoni akakwea kwa njia ya wasafiri
pale penye mwamba wa Orebu na Zeebu Midiani, wakakimbia lakini yeye Gideoni
wakamwulia penye shinikizo la kukamulia divai akawafuatia na kuwakamata, akalishinda hilo
la Zeebu. Wakawafuatia Wamidiani na kuleta jeshi lao lote.
vichwa vya Orebu na Zeebu kwa Gideoni, huko 13Gideoni mwana wa Yoashi akarudi kutoka
watu wa aina gani mliowaua huko Tabori?” nyumba yake. 30Alikuwa na wana sabini wa
Wakajibu, “Ni watu kama wewe, kila mmoja wao kwake mwenyewe, kwa kuwa alikuwa na wake
akiwa na nafasi ya uana wa mfalme.’’ wengi. 31Suria wake, aliyekuwa anaishi huko
19Gideoni akajibu, “Hao walikuwa ndugu Shekemu, pia alimzalia mwana, ambaye
zangu, wana wa mama yangu hasa. Hakika alimwita Abimeleki. 32Gideoni mwana wa Yoashi
kama aishivyo BWANA, kama mngekuwa akafa akiwa na umri mzuri wa uzee na akazikwa
mmewaacha hai, mimi nisingewauwa ninyi.’’ katika kaburi la Yoashi baba yake huko Ofra ya
20Akamgeukia Yetheri, mwanawe mzaliwa wa Waabiezeri.
kwanza, akasema, “Waue hawa!” Lakini Yetheri 33Mara tu alipokufa Gideoni, Waisraeli
hakuufuta upanga wake, kwa sababu aliogopa, wakarudia hali ya uovu na kufanya uasherati
kwa kuwa alikuwa bado kijana mdogo tu. kwa kuabudu Mabaali. Wakamsimamisha Baali-
21Zeba na Salmuna wakasema, “Njoo Berithi kuwa mungu wao na 34wala
ufanye hivyo wewe mwenyewe. ‘Alivyo mtu, hawakumkumbuka BWANA Mungu wao,
ndivyo zilivyo nguvu zake.’ ’ Hivyo Gideoni aliyewaokoa kutoka mkononi mwa adui zao
akatoka mbele na kuwaua, naye akayaondoa wote kutoka kila upande. 35Pia wakashindwa
mapambo kwenye shingo za ngamia zao. kuitendea mema jamaa ya Yerub-Baali, yaani,
Gideoni kwa ajili ya mambo yote mema
Kisibau cha Gideoni aliyokuwa amefanya kwa ajili yao.
22Waisraeli wakamwambia Gideoni,
“Ututawale, wewe, wanao na wana wa wana Abimeleki Ajaribu Kuanzisha Ufalme
wako, kwa kuwa umetuokoa kutoka mkononi
mwa Wamidiani.’’
23Lakini
9 Siku moja Abimeleki mwana wa Yerub-
Baali akaenda kwa ndugu wa mama yake
Gideoni akawaambia, “Mimi huko Shekemu na kuwaambia yeye na ukoo
sitatawala juu yenu, wala wanangu wote wa mama yake, akisema, 2“Waulizeni watu
hawatatawala juu yenu. BWANA ndiye wote wa Shekemu, ‘Lipi lililo bora kwenu:
atakayetawala juu yenu ninyi. 24Naye akasema, Kutawaliwa na wana wote sabini wa Yerub-
“Ninalo ombi moja, kwamba kila mmoja wenu Baali, au mtu mmoja peke yake? Kumbukeni
anipatie kipuli kutoka kwenye fungu lake la kwamba, mimi ni mfupa wenu nyama yenu
nyara.’’ (Ilikuwa desturi ya Waishmaeli kuvaa hasa.’’
vipuli vya dhahabu.) 3Ndugu za mama yake walipowaeleza watu
25Wakajibu, “Tutafurahi kuvitoa.’’ Hivyo wote wa Shekemu, wakaelekea kumkubali
wakatanda vazi chini na kila mwanaume Abimeleki kwa kuwa walisema, “Yeye ni ndugu
akatupia juu yake pete kutoka kwenye fungu yetu.’’ 4Wakampa shekeli sabini a za fedha
lake la nyara. 26Uzito wa pete za dhahabu kutoka katika hekalu la Baal-Berithi, naye
alizoomba zilifikia shekeli 1,700 a , bila kuhesabu Abimeleki akaitumia kuajiri watu ovyo wasiojali,
mapambo mengine, pete za masikio na mavazi wakawa ndio wafuasi wake. 5Akaenda nyumbani
ya zambarau yaliyovaliwa na wafalme wa kwa baba yake huko Ofra, na juu ya jiwe moja
Midiani au mikufu iliyokuwa kwenye shingo za wakawaua ndugu zake sabini, ambao ni wana
ngamia zao. 27Gideoni akatengeneza kisibau wa Yerub-Baali. Lakini Yothamu, mwana mdogo
kwa kutumia ile dhahabu, ambacho alikiweka wa wote wa Yerub-Baali, akaokoka kwa
katika mji wake, yaani, Ofra. Waisraeli wote kujificha. 6Ndipo watu wote wa Shekemu na
wakafanya uasherati kwa kukiabudu huko, Beth-Milo wakakusanyika pamoja chini ya mti
nacho kikawa mtego kwa Gideoni na jamaa mkubwa wa mwaloni penye nguzo iliyoko
yake. Shekemu wakamvika Abimeleki taji kuwa
28Hivyo Midiani ikashindwa mbele ya Israeli mfalme.
nayo haikuinua kichwa chake tena. Wakati wa
matunda yangu mazuri na matamu, ili niende na kuzisindika hizo zabibu, wakafanya siku kuu
nikawe juu ya miti?’ katika hekalu la Mungu wao. Wakati wakila na
12“Ndipo miti ikauambia mzabibu, “Njoo na kunywa wakamlaani Abimeleki. 28Gaali mwana
uwe mfalme wetu.’ wa Ebedi akasema, “Abimeleki ni nani na
13“Lakini mzabibu ukaijibu, ‘Je, niache kutoa Shekemu ni nani, hata tumtumikie? Je, yeye, si
divai yangu inayofurahisha miungu na mwana wa Yerub-Baali? Naye Zebuli si ndiye
wanadamu ili nikawe juu ya miti?’ msaidizi wake? Basi watumikieni watu wa
14“Mwishoni miti yote ikauambia mti wa Hamori, babaye Shekemu. Kwa nini tumtumikie
miiba, ‘Njoo na uwe mfalme wetu.’ Abimeleki? 29Laiti watu hawa wangekuwa chini
15“Nao mti wa miiba ukaijibu, ‘Kama kweli ya amri yangu! Basi mimi ningemwondoa huyo
mnataka niwe mfalme wenu, basi njoni mpate Abimeleki. Ningemwambia Abimeleki, ‘Ondoa
kupumzika chini ya kivuli changu, lakini kama jeshi lako lote.’ ’’
sivyo, moto nautoke kwenye mti wa miiba 30Zebuli aliyekuwa mtawala wa mji aliposikia
Baali na jamaa yake kwa heshima na uaminifu, lote wakaondoka usiku na kujificha karibu na
basi Abimeleki na awe furaha yenu nanyi mwe Shekemu wakiwa vikosi vinne. 35Basi Gaali
furaha yake pia! 20Lakini kama sivyo, moto na mwana wa Ebedi alikuwa ametoka nje akawa
utoke kwa Abimeleki na uwateketeze ninyi na amesimama katika ingilio la mji wakati ule ule
watu wa Shekemu na Beth-Milo, nao moto utoke ambao Abimeleki na watu wake walipokuwa
kwenu, watu wa Shekemu na Beth-Milo wanatoka sehemu zao za maficho.
umteketeze Abimeleki!” 36Gaali alipowaona, akamwaambia Zebuli,
21Ndipo Yothamu akakimbia, akatoroka “Tazama, watu wanashuka kutoka kwenye vilele
akaenda Beeri, akaishi huko kwa sababu vya milima!’’
alimwogopa ndugu yake Abimeleki. Zebuli akajibu, “Wewe unaona vivuli vya
22Baada ya Abimeleki kutawala Israeli kwa milima kana kwamba ni watu.’’
muda wa miaka mitatu, 23Mungu akaruhusu roho 37Lakini Gaali akasema tena, “Tazama, watu
mbaya kati ya Abimeleki na watu wa Shekemu, wanashuka kutoka katikati ya nchi na kikosi
watu wa Shekemu wakamtendea Abimeleki kwa kimoja kinakuja kutoka Tabur-Ezeri na kikosi
12
WAAMUZI
kingine kutoka upande wa Elon-Meonenimu.’’ juu ya jiwe la kusagia juu ya kichwa cha
38Ndipo Zebuli akamwambia, “Kuko wapi Abimeleki likapasua fuvu la kichwa chake.
kujivuna kwako sasa, wewe uliyesema, ‘Huyo 54Akamwita kwa haraka kijana yule
Abimeleki ni nani hata tumtumikie?’ Hawa si aliyechukua silaha zake, na kumwambia,
wale watu uliowadharau? Toka nje sasa “Chukua upanga wako na uniue, watu wasije
ukapigane nao!’’ wakasema kwamba, ‘Mwanamke amemwua.’ ’’
39Basi Gaali akatoka akawaongoza watu wa Basi yule kijana akamchoma upanga, naye
Shekemu kupigana na Abimeleki. 40Abimeleki akafa. 55Waisraeli walipoona kuwa Abimeleki
akamfukuza, watu wengi wakajeruhiwa katika amekufa, kila mtu akaenda nyumbani kwake.
kukimbia huko, njia nzima hadi kwenye ingilio la 56Hivyo ndivyo Mungu alivyolipiza uovu ule
lango. 41Abimeleki akakaa Aruma, naye Zebuli ambao Abimeleki alikuwa ameutenda kwa baba
akawafukuza Gaali na ndugu zake watoke yake kwa kuwaua ndugu zake sabini. 57Mungu
Shekemu. akawapatiliza watu wa Shekemu uovu wao juu
42Kesho yake watu wa Shekemu wakatoka ya vichwa vyao, na juu yao ikaja laana ya
wakaenda mashambani, Abimeleki akaambiwa Yothamu mwana wa Yerub-Baali.
juu ya jambo hili. 43Hivyo akawachukua watu
wake, akawagawanya katika vikosi vitatu na Tola na Yairi
10
kuwaweka waviziao huko mashambani. Baada ya Abimeleki, Tola mwana wa
Alipowaona watu wanatoka kwenda nje ya mji, Pua mwana wa Dodo, mtu wa Isakari,
akainuka dhidi yao na kuwashambulia. aliyeishi huko Shamiri, katika nchi ya vilima ya
44Abimeleki pamoja na vile vikosi wakaharakisha Efraimu, akainuka kuokoa Israeli. 2Akaamua
kwenda mbele kwenye nafasi mahali pa ingilio la Israeli kwa miaka ishirini na mitatu. Ndipo akafa,
lango la mji. Vile vikosi viwili vikawawahi wale naye akazikwa huko Shamiri.
waliokuwa mashambani na kuwaua. 45Siku hiyo 3Baada yake akafuatiwa na Yairi Mgileadi,
nzima Abimeleki akazidisha mashambulizi yake ambaye aliamua Israeli kwa miaka ishirini na
dhidi ya mji hadi akawa ameuteka na kuwaua miwili. 4Alikuwa na wana thelathini waliopanda
watu wa huo mji. Kisha akauangamiza mji na punda thelathini. Nao walikuwa na miji thelathini
kusambaza chumvi juu yake. iliyoko Gileadi, inayoitwa Hawoth-Yairi mpaka
46Kwa kusikia jambo hili watu wote katika leo. 5Yairi akafa, naye akazikwa huko Kamoni.
mnara wa Shekemu, wakaingia kwenye ngome
ya hekalu la El-Berithi. 47Abimeleki aliposikia Yefta
kuwa wamekusanyika huko, 48yeye na watu 6Wana wa Israeli wakatenda tena maovu
wake wote wakakwea kwenye Mlima Salmoni. machoni pa BWANA. Wakaabudu Mabaali na
Akachukua shoka akakata baadhi ya matawi Maashtorethi, miungu ya Aramu, miungu ya
ambayo aliyachukua mabegani. Akawaagiza Sidoni, miungu ya Moabu, miungu ya Waamoni
wale watu waliokuwa pamoja naye kuwa, na miungu ya Wafilisti. Kwa kuwa Waisraeli
‘‘Fanyeni kile mlichoona mimi nikifanya!’’ 49Basi walimwacha BWANA wala hawakuendelea
watu wote wakakata matawi na kumfuata kumtumikia, 7hivyo hasira ya BWANA ikawaka
Abimeleki. Wakayakusanya hayo matawi juu ya dhidi ya Israeli, naye akawatia mikononi mwa
ngome na kuitia moto ili kuwachoma wale watu Wafilisti na Waamoni, 8ambao waliwaonea na
wote waliokuwa ndani yake. Hivyo watu wote kuwatesa mwaka ule. Kwa miaka kumi na
katika mnara wa Shekemu, karibia watu 1,000 minane wakawatesa Waisraeli wote upande wa
waume kwa wake, pia wakafa. mashariki ya Mto Yordani katika Gileadi, nchi ya
50Baadaye Abimeleki akaenda Thebesi na Waamoni. 9Waamoni nao wakavuka Yordani ili
kuuzingira kwa jeshi na kuuteka. 51Hata hivyo, kupigana na Yuda, Benyamini na nyumba ya
ndani ya huo mji, kulikuwa na mnara imara, Efraimu, nayo nyumba ya Israeli ikawa katika
ambako watu wote wa mji wanaume na taabu kubwa. 10Ndipo Waisraeli wakamlilia
wanawake, watu wote wa mji walikimbilia ndani BWANA, “wakasema, “Tumetenda dhambi dhidi
yake. Wakajifungia ndani yake na kupanda juu yako, kumwacha Mungu wetu na kutumikia
ya paa la mnara. 52Abimeleki akaja kwenye ule Mabaali.’’
mnara na kuushambulia, lakini alipokaribia 11BWANA akawaambia, “Wakati Wamisri,
kwenye ingilio la mnara ili kuuchoma kwa moto, Waamoni, Wafilisti, 12Wasidoni, Waamaleki na
53mwanamke mmoja akaangusha sehemu ya Wamaoni walipowaonea na ninyi mkanililia na
13
WAAMUZI
kuomba msaada, je, sikuwaokoa kutoka wa Gileadi, nao watu wakamfanya kiongozi na
mikononi mwao? 13Lakini ninyi mmeniacha mimi jemedari wao. Naye akarudia maneno yake yote
na kutumikia miungu mingine, kwa hiyo mbele za BWANA huko Mizpa.
sitawaokoa tena. 14Nendeni mkaililie ile miungu 12Ndipo Yefta akatuma wajumbe kwa
mlioichagua. Hiyo miungu na iwaokoe mfalme wa Waamoni akisema, “Una nini juu
mnapokuwa katika taabu!”. yetu, hata umekuja kushambulia nchi yetu?”
15Lakini Waisraeli wakamwambia BWANA, 13Mfalme wa Waamoni akawajibu wajumbe
“Tumetenda dhambi. Ututendee lile unaloona wale wa Yefta, ‘‘Wakati Waisraeli walipopanda
kuwa jema kwako, lakini twakusihi utuokoe kutoka Misri, waliichukua nchi yangu kuanzia
sasa.’’ 16Nao wakaiondoa hiyo miungu migeni Arnoni mpaka Yaboki, hadi kufikia Yordani.
katikati yao nao wakamtumikia BWANA. Naye Sasa rudisha kwa amani.’’
akahuzunika kwa sababu ya taabu ya Israeli. 14Yefta akarudisha wajumbe kwa mfalme wa
17Ndipo Waamoni wakaitwa vitani na kupiga Waamoni, 15‘‘kusema: ‘
kambi huko Gileadi, Waisraeli wakakusanyika
na kupiga kambi huko Mizpa. 18Viongozi wa ‘Hili ndilo asemalo Yefta, Israeli
watu wa Gileadi wakaambiana wao kwa wao, hawakuchukua nchi ya Moabu wala ya
“Ye yote yule atakayeanzisha mashambulizi Waamoni. 16Lakini walipopanda kutoka
dhidi ya Waamoni atakuwa kiongozi wa wote Misri, Israeli walipitia katika jangwa hadi
wakaao Gileadi.’’ bahari ya Shamu na wakafika Kadeshi.
17Ndipo Israeli wakatuma wajumbe kwa
kwa sababu wewe ni mwana wa mwanamke jangwa wakiambaa ambaa na hiyo nchi ya
mwingine.” 3Basi Yefta akawakimbia ndugu zake Edomu na Moabu, wakapitia upande wa
akaenda kuishi katika nchi ya Tobu, mahali mashariki wa nchi ya Moabu na kupiga
ambako watu waasi walijiunga naye na kambi upande mwingine wa Arnoni.
kumfuata. Hawakuingia katika nchi ya Moabu kwa
4Baada ya muda Waamoni wakafanya vita kuwa Arnoni ilikuwa ndio mpaka wake.
na Israeli, 5viongozi wa Gileadi wakaenda 19“Kisha Israeli wakatuma wajumbe kwa
sasa tumegeuka kukuelekea wewe, ili uende akamtia Sihoni na watu wake wote
pamoja nasi kupigana na Waamoni, nawe mkononi mwa Israeli, nao wakawashinda.
utakuwa kiongozi wetu juu ya watu wote wa Israeli wakaitwaa nchi yote ya Waamoni,
Gileadi.” waliokuwa wakiishi katika nchi hiyo,
9Yefta akawaambia, “Ikiwa mtanirudisha 22wakiiteka nchi yote kuanzia Arnoni mpaka
kwetu kupigana na Waamoni, naye BWANA Yaboki na kutoka jangwani mpaka Yordani.
akanisaidia kuwashinda, Je, ni kweli nitakuwa 23“Basi kwa kuwa BWANA, Mungu wa
14
WAAMUZI
Kemoshi amekupa? Vivyo hivyo, cho chote miwili. Hivyo akaondoka pamoja na wasichana
kile BWANA Mungu wetu alichotupa sisi, wenzake, naye akaulilia ubikira wake huko
tutakimiliki. 25Je, wewe ni bora kuliko Balaki vilimani kwa sababu asingeolewa kamwe.
mwana wa Sipori mfalme wa Moabu? Je, 39Baada ya hiyo miezi miwili, alirejea kwa baba
yeye alishagombana na Israeli au kupigana yake, naye baba yake akamtendea kama
nao wakati wo wote? 26Kwa maana kwa alivyokuwa ametoa nadhiri yake. Naye alikuwa
miaka 300 Israeli wameishi Heshboni na bikira.
vijiji vyake, Aroeri navijiji vyake na katika miji Nayo ikawa desturi katika Israeli, 40kwamba
yote iliyo kando ya Arnoni. Kwa nini wewe kila mwaka binti za Israeli huenda kwa siku nne
haukuichukua wakati huo? 27Mimi ili kumkumbuka huyo binti wa Yefta Mgileadi.
sijakukosea jambo lo lote, bali wewe ndiye
unayenikosea kwa kufanya vitanami. Basi Yefta na Efraimu
BWANA aliye mwamuzi leo na aamue
ugomvi kati ya Waisraeli na Waamoni.’’ 12 Watu wa Efraimu wakaita majeshi yao,
wakavuka kwenda Zafoni,
wakamwambia Yefta, “Kwa nini mmekwenda
28Hata hivyo, Mfalme wa Waamoni, hakuyajali kupigana na Waamoni bila kutuita ili tuende
maneno ya ujumbe wa Yefta. pamoja nawe? Basi tutaichoma moto nyumba
29Ndipo Roho wa BWANA akaja juu ya yako, pamoja nawe ukiwa ndani yake.”
Yefta. Akapita katikati ya Gileadi na Manase, pia 2Yefta akajibu, “Mimi na watu wangu
akapita katika Mizpa ya Gileadi, na kutokea tulikuwa na ugomvi mkubwa na Waamoni, hata
huko akasonga mbele kushambulia Waamoni. ingawa niliwaita hamkuniokoa katika mkono
30Naye Yefta akaweka nadhiri mbele za BWANA wao. 3Nilipoona kuwa hamkunipa msaada
akisema, “Ikiwa utawatia Waamoni mkononi nikauhatirisha uhai wangu na nikavuka kupigana
mwangu, 31cho chote kile kitakachotoka katika na Waamoni. Naye BWANA akanipatia ushindi
mlango wa nyumba yangu cha kwanza ili dhidi yao. Sasa kwa nini mnanijia leo ili
kunilaki nirudipo kwa amani katika kuwashinda kupigana nami?”
Waamoni, kitakuwa ni cha BWANA na nitakitoa 4Ndipo Yefta akakusanya watu wa Gileadi
kucheza. Alikuwa ndiye mtoto pekee, hakuwa na Iwapo alitamka, kwa sababu hakuweza kutamka
mwana wala binti mwingine, 35Alipomwona hilo neno sawasawa, walimkamata na kumwua
akararua mavazi yake akalia, “Ee binti yangu! hapo kwenye vivuko vya Yordani. Waefaremu
Umenifanya niwe na huzuni na kunyong'onyea 42,000 waliuawa wakati huo.
sana, kwa kuwa nimeweka nadhiri kwa BWANA, 7Yefta akawa mwamuzi wa Waisraeli kwa
ambayo siwezi kuivunja.” muda wa miaka sita. Basi Yefta akafa akazikwa
36Akajibu, “Baba yangu, umetoa neno lako katika mmojawapo wa miji ya Gileadi.
kwa BWANA. Nitendee mimi kama vile
ulivyoahidi, kwa kuwa BWANA amekupatia Ibzani, Eloni na Abdoni
ushindi dhidi ya adui zako Waamoni. 37Naye 8Baada yake, Ibzani wa Bethlehemu akawa
akamwambia baba yake, “Naomba nifanyiwe mwamuzi wa Israeli. 9Alikuwa na wana thelathini
jambo hili, mimi na nipewe miezi miwili ili na binti thelathini. Akawaoza binti zake kwa
kuzunguka vilimani nikaulilie ubikira wangu, watu wengine nje ya ukoo wake na kuwatwalia
mimi na wenzangu.” wanawe wanawake thelethini toka nje ya ukoo
38Baba yake akamwambia, “Waweza wake. Ibzani akawa mwamuzi wa Israeli kwa
kwenda.” Naye akamwacha aende kwa miezi muda wa miaka saba. 10Ibzani akafa akazikwa
15
WAAMUZI
huko Bethlehemu. alipokuwa shambani, lakini mumewe Manoa
11Baada yake, Eloni Mzabuloni akawa hakuwepo. 10Basi yule mwanamke akaenda
mwamuzi wa Israeli, naye akawaamua kwa haraka na kumwambia mumewe, “Tazama mtu
muda wa miaka kumi. 12Kisha Eloni akafa yule aliyenitokea siku ile yupo hapa!’’
akazikwa katika Aiyaloni katika nchi ya Zabuloni. 11Manoa akainuka akaandamana na
13Baada yake, Abdoni mwana wa Hileli, mkewe. Alipomfikia yule mtu akamwuliza, “Je,
Mpirathoni, akawa mwamuzi wa Israeli. 14Naye wewe ndiye yule uliyesema na mke wangu?”
akazaa wana arobaini na wana wa wanawe Akasema, “Mimi ndiye.’’
thelathini waliopanda punda sabini. Akawa 12Basi Manoa akamwuliza “Wakati maneno
hakuwa na mtoto. 3Malaika wa BWANA utanizuia, sitakula cho chote kwako. Lakini
akamtokea huyo mwanamke na kumwambia, ukitaka kuandaa sadaka ya kuteketezwa, mtolee
“Wewe ni tasa na huna mtoto, lakini utachukua BWANA hiyo sadaka.” Kwa kuwa Manoa
mimba na utamzaa mtoto mwanaume. 4Lakini hakujua kuwa alikuwa malaika wa BWANA.
ujiadhari sana usinywe mvinyo wala kileo 17Ndipo Manoa akamwuliza yule malaika wa
kingine cho chote, wala usile kitu cho chote BWANA, “Jina lako ni nani, ili kwamba tuweze
kilicho najisi, 5kwa kuwa utachukuwa mimba na kukupa heshima hapo hayo uliyonena
utamzaa mtoto mwanaume. Wembe usipite yatakapotimia?”
kichwani pake, kwa kuwa huyo mwana atakuwa 18Akamjibu, “Kwa nini unauliza jina langu?
Mnadhiri wa Mungu, aliyewekwa wakfu kwa ajili Ni jina la ajabu.’’ 19Ndipo Manoa akamchukua
ya Mungu tangu tumboni mwa mama yake, naye mwana mbuzi, pamoja na sadaka ya unga, naye
ataanza kuwakoa Waisraeli kutoka mkononi akamtolea BWANA dhabihu hapo juu ya
mwa Wafilisti.” mwamba. Naye yule malaika wa BWANA
6Ndipo huyo mwanamke akamwendea akafanya jambo la ajabu wakati Manoa na
mumewe na kumweleza kuwa, “Mtu wa Mungu mkewe wakiwa wanaangalia: 20Mwali wa moto
alinijia. Kule kuonekana kwake kulikuwa kama kutoka hapo madhabahuni ulipowaka kuelekea
kwa malaika wa Mungu, wa kutisha sana. mbinguni, malaika wa BWANA akapaa ndani ya
Sikumwuliza alikotoka wala hakuniambia jina huo mwali. Manoa na mkewe kwa kuona jambo
lake. 7Lakini aliniambia, ‘Utachukua mimba na hili, wakaanguka chini kifudifudi. 21Malaika wa
utazaa mtoto mwanaume. Basi sasa, usinywe BWANA hakumtokea tena Manoa na mkewe.
mvinyo wala kileo kingine cho chote wala usile Ndipo Manoa akatambua kuwa huyo alikuwa
kitu kilicho najisi, kwa kuwa huyo mtoto atakuwa malaika wa BWANA.
Mnadhiri wa Mungu tangu tumboni mwa mama 22Manoa akamwambia mkewe, ‘‘Hakika
16
WAAMUZI
24Yule
mwanamke akazaa mtoto wa kiume thelathini. 13Lakini msipoweza kufumbua, ndipo
akamwita jina lake Samsoni. Kijana akakua, ninyi mtanipa mavazi thelethini ya kitani na
naye BWANA akambariki. 25Roho wa BWANA mavazi mengine mivao thelathini.”
akaanza kumsukuma wakati alipokuwa huko Wakamwambia, “Tuambie hicho kitendawili,
Mahane-Dani, kati ya Sora na Eshtaoli. hebu na tukisikie.”
14Akawaambia,
Ndoa ya Samsoni
14
Samsoni akatelemkia Timna, “Ndani ya mlaji kulitoka kitu cha kuliwa,
akamwona mwanamke wa Kifilisti. ndani ya mwenye nguvu kulitoka kitu
2Alipopanda kutoka huko, akawaambia baba kitamu.”
yake na mama yake, “Nimemwona mwanamke
wa Kifilisti huko Timna, basi mnipatie ili awe mke Kwa muda wa siku tatu hawakuweza kutoa jibu.
wangu.” 15Siku ya saba, wakamwambia mkewe
3Baba yake na mama yake wakamjibu, “Je, Samsoni, “Mbembeleze mumeo ili atueleze
hakuna mwanamke miongoni mwa jamaa yako hicho kitendawili, la sivyo tutakuchoma moto
au miongoni mwa ndugu zako hata ulazimike wewe na wa nyumba ya baba yako. Je,
kwenda kujitwalia mwanamke kutoka kwa hawa mmetualika ili mpate kutunyang’anya kile tulicho
Wafilisti wasiotahiriwa?” nacho?”
Lakini Samsoni akamwambia baba yake, 16Basi mke wa Samsoni akalia mbele yake
simba kwa mikono yake bila silaha yo yote kama mji wakamwambia Samsoni,
vile mtu ampasuavyo mwanambuzi, wala
hakumwambia baba yake wala mama yake ‘‘Ni nini kitamu kama asali ?
aliyoyafanya. 7Basi akatelemka na kuongea na Ni nini chenye nguvu kama simba?’’
yule mwanamke, naye akampendeza Samsoni.
8Baada ya muda aliporudi ili akamwoe, Samsoni akawaambia,
akatazama kando ili kuutazama mzoga wa yule
simba na tazama, kulikuwa na kundi la nyuki ‘‘Kama hamkulima na mtamba wangu,
ndani ya ule mzoga wa simba na kulikuwa na Hamngeweza kufumbua kitendawili
asali, 9akachukua asali mkononi mwake changu.”
akaendelea huku akila. Alipowafikia baba yake
na mama yake, akawapa ile asali nao wakala. 19Ndipo Roho wa BWANA akamjia Samsoni
Lakini hakuwaambia kuwa alitwaa asali kutoka kwa nguvu. Akatelemka mpaka Ashkeloni,
kwenye mzoga wa simba. akawaua watu waume thelathini, miongoni mwa
10Basi baba yake akatelemka kumwona watu wa mji, akatwaa mali zao na nguo zao
huyo mwanamke. Samsoni akafanya karamu akawapa watu wale waliofumbua kile kitendawili.
huko kama ilivyokuwa desturi ya vijana. 11Watu Akiwa na hasira akakwea kurudi nyumbani kwa
walipomwona, wakaleta vijana wenzake baba yake. 20Lakini huyo mke wa Samsoni
thelathini ili kuwa pamoja naye. akakabidhiwa kwa rafiki yake Samsoni ambaye
12Samsoni akawaambia, “Niwape alikuwa rafiki yake msaidizi siku ya arusi.
kitendawili, mkiweza kunipa jibu katika muda wa
siku hizi saba za karamu, nitawapa mavazi Kisasi cha Samsoni kwa Wafilisti
thelathini ya kitani na mavazi mengine mivao
15 Baada ya kitambo kidogo, wakati wa
17
WAAMUZI
mavuno ya ngano, Samsoni akachukua mwana wakamfunga kwa kamba mbili mpya.
mbuzi, kwenda kumzuru mkewe. Akasema, Wakamchukua toka huko kwenye ufa katika
“Nataka kuingia chumbani kwa mke wangu.” mwamba. 14Alipokaribia Lehi, Wafilisti wakamjia
Lakini baba yake huyo mwanamke wakipiga kelele. Roho wa BWANA akamjia juu
hakumruhusu kuingia. yake kwa nguvu. Kamba zilizomfunga mikono
2Huyo baba mkwe wake akamwambia, yake zikawa kama katani iliyochomwa kwa moto
“Nilikuwa na hakika kwamba ulimkataa, hivyo na vifungo vyake vikaanguka chini toka
mimi nikampa rafiki yako. Je, mdogo wake wa mikononi mwake. 15Ndipo akaona mfupa mpya
kike si mzuri zaidi kuliko yeye? Mchukue huyo wa taya la punda, akanyoosha mkono
badala yake.’’ akauchukua na kuua nao Wafilisti wapatao
3Samsoni akawaambia, “Wakati huu, 1,000.
nitakapowadhuru Wafilisti, sitakuwa na lawama. 16Ndipo Samsoni akasema,
4Hivyo Samsoni akatoka akawakamata mbweha
300 na kuwafunga wawili wawili kwa mikia yao “Kwa taya la punda malundo juu ya
kila mmoja kwa mwingine. Kisha akafungia malundo,
mwenge wa moto, kwenye mikia ya kila jozi kwa taya la punda nimeua watu 1,000.’’
moja ya mbweha aliyokuwa ameifunga
5akawasha ile mienge na kuwaachia wale 17Alipomaliza kusema, akautupa ule mfupa wa
mbweha katika mashamba ya Wafilisti ya nafaka taya na mahali pale pakaitwa Ramathi-Lehi a .
zilizosimamishwa matitamatita: Akateketeza 18Kwa kuwa alikuwa amesikia kiu sana,
baba yake. 7Samsoni akawaambia, ‘‘Kwa kuwa katika siku za Wafilisti kwa muda wa miaka
mmetenda hivyo, hakika sitatulia mpaka niwe ishirini.
nimelipiza kisasi juu yenu.’’ 8Akawashambulia
kwa ukali kwa mapigo makuu na kuwaua watu Samsoni na Delila
wengi sana. Kisha akatelemka na kukaa katika
ufa kwenye mwamba wa Etamu.
9Wafilisti wakapanda na kupiga kambi huko
16 Siku moja Samsoni akaenda Gaza,
akamwona huko mwanamke kahaba
naye akaingia kwake. 2Watu wa Gaza
Yuda na kuenea huko Lehi. 10Watu wa Yuda wakaambiwa, “Samsoni amekuja huku!’’ Hivyo
wakawauliza, “Kwa nini mmekuja kupigana wakapazinngira pale mahali nao wakamvizia
nasi?’’ usiku kucha, penye lango la mji. Wakanyamaza
Wakawajibu, ‘‘Tumekuja ili kumkamata kimya usiku kucha, wakisema, “Tumvizie hadi
Samsoni na kumtenda kama alivyotutendea.’’ mapambazuko ndipo tutamwua.”
11Ndipo watu 3,000 toka Yuda 3Samsoni akalala mpaka usiku wa manane,
“Naomba niambie siri ya hizi nguvu zako nyingi yake yote, akamwambia, “Wembe haujapita
na jinsi utakavyoweza kufungwa ili kukutiisha.” kamwe kichwani mwangu, kwa kuwa mimi ni
7Samsoni akamjibu, “Kama wakinifunga kwa Mnadhiri wa Mungu tangu tumboni mwa mama
kamba saba za upindi ambazo hazijakauka yangu. Kama nywele za kichwa changu
bado, hapo ndipo nitakapokuwa dhaifu kama zikinyolewa, nguvu zangu zitanitoka na nitakuwa
mtu mwingine ye yote.” dhaifu kama mtu mwingine ye yote!”
8Viongozi wa Wafilisti wakamletea yule 18Delila alipoona kuwa amemweleza siri
mwanamke kamba saba za upindi ambazo yake yote, akatuma ujumbe kwa viongozi wa
hazijakauka bado, akamfunga nazo Samsoni. Wafilisti na kusema, “Njoni tena mara nyingine,
9Wakati watu wakiwa wanamvizia katika maana amenieleza siri yake yote.’’ Basi viongozi
chumba cha ndani, yule mwanamke wa Wafilisti wakaja kwa Delila, wakiwa na fedha
akamwambia, “Samsoni, Wafilisti wanakujia! mikononi mwao. 19Delila akamfanya alale
Lakini yeye akazikata zile kamba za upindi, usingizi magotini pake, akamwita mtu akamnyoa
kama vile uzi wa pamba unapoguswa na moto. vile vishungi saba vya nywele za kichwa chake.
Hivyo siri ya nguvu zake haikujulikana. Akaanza kumsumbua ili aamke nazo nguvu
10Ndipo Delila akamwambia Samsoni, zake zikamtoka.
“Umenifanyia mzaha na kuniambia uongo. 20Yule mwanamke akamwita, “Samsoni, hao
19
WAAMUZI
nguzo ambazo zinategemeza jengo ili nipate mmoja wa wanawe kuwa kuhani wake. 6Katika
kuziegemea.’’ 27Basi lile jengo lilikuwa na wingi siku hizo Israeli hawakuwa na mfalme, kila
wa watu waume kwa wake, viongozi wote wa mmoja akafanya kama alivyoona vema machoni
Wafilisti walikuwemo humo na kwenye sakafu ya pake mwenyewe.
juu walikuwepo watu 3,000 waume kwa wake, 7Basi palikuwa na kijana mmoja wa
nguzo mbili za katikati ambazo lile jengo lilikuwa Akamjibu, “Mimi ni Mlawi kutoka
linazitegemea. Akazishika moja kwa mkono wa Bethlehemu ya Yuda, ninatafuta mahali pa
kuume na nyingine mkono kuishi.’’
wa kushoto. 30Samsoni akasema, “nife pamoja 10Ndipo Mika akamwambia, “Ishi pamoja
na Wafilisti!’’ Ndipo akazisukuma zile nguzo kwa nami, uwe baba yangu na kuhani wangu, nami
nguvu zake zote, lile jengo likaanguka juu ya nitakupa shekeli kumi c za fedha, nguo na
viongozi na watu wote waliokuwamo mle ndani chakula.’’ 11Hivyo yule Mlawi akakubali kuishi
yake. Hivyo akawaua watu wengi wakati wa kufa pamoja naye, naye huyo kijana akawa kwake
kwake, kuliko siku za uhai wake. kama mmoja wa wanawe. 12Hivyo Mika
31Basi ndugu zake na jamaa yote ya baba akamweka wakafu huyo kijana Mlawi, naye huyo
yake wakatelemka kwenda kumchukua. akawa kuhani wake na kuishi nyumbani mwake.
Wakampandisha na kumzika kati ya Sora na 13Ndipo Mika akasema, “Sasa najua BWANA
Eshtaoli kwenye kaburi la Manoa baba yake. atanitendea mema, kwa kuwa Mlawi amekuwa
Naye Samsoni alikuwa mwamuzi wa Israeli kwa kuhani wangu.’’
miaka ishirini.
Wadani Wahamia Laishi
Sanamu za Mika
17 Palikuwa na mtu aliyeitwa Mika ambaye 18 Katika siku hizo Israeli walikuwa hawana
mfalme. Katika siku hizo kabila la
aliishi katika vilima vya Efrahimu. Wadani walikuwa wanatafuta mahali pao
2Akamwambia mama yake, “Zile shekeli 1,100 a wenyewe pa kuishi, kwa sababu walikuwa
za fedha zilizochukuliwa kwako, ambazo nilisikia hawajafika kwenye urithi wao miongoni mwa
ukizinenea maneno ya laana, hizi hapa, mimi makabila ya Israeli. 2Hivyo Wadani wakatuma
ndiye niliyezichukua, lakini sasa ninakurudishia.” mashujaa watano kutoka Sora na Eshtaoli ili
Ndipo mama yake akamwambia, “BWANA kupeleleza nchi na kuichunguza. Hawa watu
na akubariki, mwanangu.’’ waliwakilisha koo zao zote. Wao waliwaambia,
3Alipozirudisha zile shekeli 1,100 za fedha “Nendeni mkaichuguze hiyo nchi.’’
kwa mama yake, mama yake akamwambia, Hao watu wakaingia katika nchi ya vilima ya
“Mimi nimeiweka fedha hii wakfu kwa BWANA Efraimu, nao wakafika kwenye nyumba ya Mika,
kwa ajili ya mwanangu kutengenezea kinyago ambako walilala usiku huo. 3Walipofika karibu
cha kuchonga na sanamu ya kusubu. Mimi na nyumba ya Mika, waliitambua sauti ya yule
nitakurudishia wewe.” kijana Mlawi, hivyo wakaingia humo na
4Hivyo akamrudishia mama yake ile fedha, kumwuliza, “Ni nani aliyekuleta hapa? Unafanya
naye mama yake akachukua shekeli mia mbili b nini mahali hapa? Kwa nini uko hapa?’’
za hiyo fedha na kumpa mfua fedha, ambaye 4Akawaeleza yale Mika aliyomtendea, naye
a2 Shekeli 1,100 za fedha ni sawa na kilo 13. c10 Shekeli kumi za fedha ni sawa na gramu 115.
b4 Shekeli mia mbili za fedha ni sawa na kilo 2.3.
20
WAAMUZI
7Basihao watu watano wakaondoka na afadhali utumikie kabila na ukoo katika Israeli
kufika Laishi, mahali ambapo waliwakuta watu kama kuhani kuliko kumtumikia mtu mmoja na
wanaishi kwa amani na salama, kama Wasidoni, watu wa nyumbani mwake?’’ 20Yule kuhani
kwa utulivu na bila mashaka, bili kupungukiwa akafurahi, akachukua ile naivera, zile sanamu
na kitu cho chote duniani, wakiwa na utajiri. Nao nyingine ndogo za nyumbani, sanamu ya
walikaa mbali na Wasidoni wala kuchonga, naye akaenda pamoja na wale watu.
hawakushughulika na mtu ye yote. 21Ndipo wakageuka na kuondoka
8Waliporudi kwa ndugu zao huko Sora na wakiwatanguliza mbele watoto wao wadogo,
Eshtaoli, ndugu zao wakawauliza, “Mlionaje wanyama wao wa kufugwa na mali zao.
mambo huko?’’ 9Wakajibu, “Twendeni, 22Walipokuwa wamesafiri umbali kidogo
tukapigane nao! Tumeona kuwa nchi ni nzuri toka nyumbani kwa Mika, watu walioishi karibu
sana. Je, hamtafanya cho chote? Msisite na Mika wakaitwa wakakusanyika pamoja, nao
kupanda ili kuimiliki. 10Mtakapokwenda huko wakawafikia Wadani. 23Walipofuatilia wakipiga
mtakuta watu waliotulia walio salama, nayo nchi kelele Wadani wakawageukia na kumwambia
hiyo ni kubwa na Mungu ameitia mikononi Mika, “Una nini wewe hata ukaja na kundi la
mwenu, nayo ni nchi ambayo haikupungukiwa watu namna hii ili kupigana?’’
na kitu cho chote kilicho duniani.’’ 24Akawajibu, “Mmechukua miungu yote
11Ndipo watu 600 toka ukoo wa Wadani, niliyoitengeneza, mkachukua na kuhani wangu,
waliojifunga silaha za vita wakaondoka Sora na nanyi mkaondoka. Nimebakiwa na nini kingine?
Eshtaoli. 12Walipokuwa wakisafiri wakapiga Mnawezaje kuniuliza, ‘Una nini wewe?’ ’’
kambi huko Kiriath-Yearimu katika Yuda. Hii 25Wadani wakamjibu, “Usibishane na sisi,
ndiyo sababu sehemu ya magharibi ya Kiriathi- vinginevyo watu wenye hasira kali
Yearimu inaitwa Mahane-Dani a mpaka leo. watakushambulia, nawe na watu wa nyumbani
13Kutoka hapo wakaendelea mbele mpaka nchi mwako mtapoteza maisha.’’ 26Basi Wadani
ya vilima ya Efraimu na kufika katika nyumba ya wakaenda zao, naye Mika alipoona kuwa wana
Mika. nguvu kuliko yeye, akageuka na kurudi
14Ndipo wale watu watano waliopeleleza nyumbani kwake.
nchi ya Laishi wakawaambia ndugu zao, ‘‘Je, 27Kisha wakachukua vile Mika alivyokuwa
mwajua kuwa mojawapo ya nyumba hizi kuna ametengeneza pamoja na kuhani wake,
naivera, sanamu ndogo za nyumbani, sanamu wakaendelea hadi Laishi, dhidi ya watu walio na
ya kuchonga na sanamu ya kusubu? Sasa basi amani wasiokuwa na wasiwasi.
fikirieni mtakalofanya.’’ 15Basi wakaingia humo Wakawashambulia kwa upanga na kuuteketeza
na kwenda kwenye nyumba ya yule kijana Mlawi mji wao kwa moto. 28Hapakuwepo na ye yote wa
katika nyumba ya Mika na kumsalimu. 16Wale kuwaokoa, kwa kuwa kulikuwa mbali sana na
Wadani 600, waliovaa silaha za vita, Sidoni na hawakuwa na ushirikiano na mtu
wakasimama penye ingilio la lango. 17Wale watu mwingine ye yote. Mji ulikuwa kwenye bonde
watano waliokwenda kupeleleza nchi wakaingia karibu na Beth-Rehobu.
ndani na kuchukua ile sanamu ya kuchonga, ile Wadani wakaujenga upya huo mji na kuishi
naivera,ndiyo kisibau cha kuhani, zile sanamu humo. 29Wakauita ule mji Dani kwa kufuata jina
nyingine ndogo za nyumbani pamoja na ile la baba yao aliyezaliwa na Israeli, ingawa mji
sanamu ya kusubu wakati yule kuhani akiwa huo ulikuwa ukiitwa Laishi hapo kwanza. 30Kisha
amesimama pale penye ingilio la lango pamoja Wadani wakajisimamishia sanamu ile ya
na wale watu 600 waliokuwa wamejifunga silaha kuchonga, naye Yonathani mwana wa
za vita. Gershomu, mwana wa Mose na wanawe
18Hao watu walipoingia katika nyumba ya walikuwa makuhani wa kabila la Wadani mpaka
Mika na kuchukua ile sanamu ya kuchonga, ile nchi hiyo ilipotekwa. 31Wakaisimamisha na
naivera na zile sanamu nyingine ndogo za kuiabudu hiyo sanamu ya kuchonga ya Mika
nyumbani pamoja na ile sanamu ya kusubu, aliyokuwa ameitengeneza, wakati wote ule
yule kuhani akawaambia, ‘‘Mnafanya nini?’’ nyumba ya Mungu ilipokuwa huko Shilo.
19Wakamjibu, ‘‘Nyamaza kimya! Weka
mkono wako juu ya kinywa chako na ufuatane Mlawi na Suria Wake
nasi, uwe baba yetu na kuhani wetu. Si ni
19 Katika siku hizo Israeli hawakuwa na
mfalme. Basi Mlawi mmoja aliyeishi
a12 Mahane-Dani hapa maana yake “Kambi ya Dani.
21
WAAMUZI
sehemu za mbali katika nchi ya vilima ya uwanja wa mji, wala hakuna mtu ye yote
Efraimu, akamchukua suria mmoja kutoka aliyewakaribisha kwake ili wapate kulala.
Bethlehemu ya Yuda. 2Lakini suria wake 16Jioni ile mtu mmoja mzee toka nchi ya
akafanya ukahaba dhidi yake, naye akamwacha vilima ya Efraimu, aliyekuwa anaishi huko Gibea
akarudi nyumbani kwa baba yake huko (watu wa sehemu ile walikuwa Wabenyamini),
Bethlehemu ya Yuda. Baada ya kukaa huko kwa akarudi kutoka kwenye kazi za shamba.
muda wa miezi minne, 3mume wake akaenda 17Alipotazama na kuwaona hao wasafiri katika
kumsihi ili arudi. Alikwenda na mtumishi wake uwanja wa mji, yula mzee akawauliza, “Ninyi
na punda wawili. Yule mwanamke mnakwenda wapi? Nanyi mmetoka wapi?’’
akamkaribisha nyumbani mwa baba yake, baba 18Akamwambia, “Tumepita kutoka
yake alipomwona akamkaribisha kwa furaha. Bethlehemu ya Yuda, tunaelekea katika nchi ya
4Baba mkwe wake, yaani, baba yake yule vilima ya Efraimu, ambako ndiko ninakoishi.
msichana, akamzuia ili akae, hivyo akakaa na Nilikwenda Bethlehemu ya Yuda na sasa
huyo baba mkwe wake kwa siku tatu, wakila, ninakwenda katika nyumba ya BWANA. Hakuna
wakinywa na kulala huko. mtu ye yote aliyenikaribisha katika nyumba
5Siku ya nne wakaamka mapema naye yake. 19Tunazo nyasi na chakula cha punda
akajiandaa kuondoka, lakini baba wa yule zetu na mkate na divai kwa ajili yetu sisi
msichana akamwambia mkwewe, “Ujiburudishe watumishi wako, yaani, mimi, mtumishi wako
kwa kula kitu cho chote, ndipo uweze kwenda.’’ mwanamke pamoja na huyu kijana tuliyefuatana
6Basi wakaketi wote wawili ili kula na kunywa naye. Hatuhitaji kitu cho chote.’’
pamoja. Baadaye baba wa msichana 20Yule mzee akawaambia, “Amani iwe
akamwambia, “Tafadhali ubakie usiku huu upate kwenu! Karibuni nyumbani mwangu. Nitawapa
kujifurahisha nafsi yako.’’ 7Basi yule mtu mahitaji yenu yote, msilale katika uwanja huu wa
alipotaka kuondoka baba wa yule msichana mji.’’ 21Hivyo akamwingiza nyumbani mwake na
akamsihi, basi akabakia usiku ule. 8Asubuhi ya kuwalisha punda wake. Baada ya kunawa miguu
siku ya tano, alipoamka ili aondoke, baba wa yao, wakala na kunywa.
yule msichana akamwambia, ‘‘Jiburudishe nafsi 22Walipokuwa wakijiburudisha, watu waovu
yako. Ngoja mpaka mchana!’’ Kwa hiyo wote wa mji huo, wakaizingira ile nyumba.
wawili wakala chakula pamoja. Wakagonga mlango na kusema na yule mzee
9Basi wakati yule mtu alipoinuka aende zake mwenye nyumba, “Mtoe nje yule mtu aliyeingia
pamoja na suria wake na mtumishi wake, baba kwako, tupate kumlawiti.’’
mkwe wake, yaani, baba wa yule msichana 23Yule mwenye nyumba akatoka nje na
akamwambia, “Tazama sasa jioni inakaribia. kuwaambia, “Hapana, ndugu zangu msiwe
Ulale hapa usiku unakaribia. Ukae waovu namna hii, ninawasihi. Kwa kuwa huyu
ukajifurahishe nafsi yako. Kesho unaweza mtu ni mgeni wangu msifanye jambo hili la aibu.
kuamka mapema asubuhi na uende nyumbani 24Tazameni, hapa yupo binti yangu ambaye ni
kwako.’’ 10Lakini akakataa kulala tena, bikira na suria wa huyu mtu. Nitawatoleeni hawa
akaondoka na kwenda mpaka Yebusi, ndio kwenu sasa, mkawatwae kwa nguvu na
Yerusalemu, akiwa na punda wake wawili kuwafanyia lo lote mtakalo, lakini kwa mtu huyu
waliotandikiwa pamoja na suria wake. msimfanyie jambo ovu.’’
11Alipokaribia Yebusi na usiku ukiwa 25Lakini wale watu hawakumsikia. Hivyo
umekaribia mtumishi akamwambia bwana wake, yule mtu akamtoa yule suria wake nje kwa wale
“Haya sasa natuingie katika mji huu wa watu, nao wakambaka na kumnajisi usiku ule
Wayebusi tulale humo.’’ kucha mpaka asubuhi. Kulipoanza
12Lakini bwana wake akamjibu, “Hapana. kupambazuka wakamwachia aende. 26Alfajiri
Hatutaingia kwenye mji wa kigeni, ambao watu yule mwanamke akarudi kwenye ile nyumba
wake si Waisraeli. Tutaendelea mpaka tufike bwana wake alikokuwa, akaanguka chini
Gibea.’’ 13Akasema, “Haya, tujitahidi tufike mlangoni akalala pale hata kulipopambazuka.
Gibea au Rama nasi tutalala katika mji 27Bwana wake alipoamka asubuhi na
mmojawapo.’’ 14Hivyo wakaendelea na safari, kufungua mlango wa nyumba na kutoka nje ili
jua likachwea walipokaribia Gibea ambao ni mji kuendelea na safari yake, tazama, yule suria
wa Benyamini. 15Wakageuka ili kuingia na kulala wake alikuwa ameanguka pale penye ingilio la
Gibea. Wakaingia humo, wakaketi kwenye nyumba na mikono yake ikiwa penye kizingiti
22
WAAMUZI
cha chini. 28Akamwambia yule suria, “Inuka, 12Makabila ya Israeli yakatuma watu kwenda
twende.’’ Lakini hakujibu. Yule bwana katika kabila la Benyamini lote na kuwaambia,
akamwinua akampandisha juu ya punda wake “Ni uovu gani huu wa kutisha uliotendeka
wakaondoka kwenda nyumbani. katikati yenu? 13Basi watoeni hao watu waovu
29Alipofika nyumbani, akachukua kisu na kabisa walioko Gibea, ili tupate kuwaua na
kumkatakata yule suria kiungo kwa kiungo, kuondoa uovu katika Israeli.’’
sehemu kumi na mbili na kuvipeleka hivyo Lakini Wabenyamini hawakuwasikia ndugu
vipande katika sehemu zote za Israeli. 30Kila mtu zao, Waisraeli. 14Wakatoka katika miji yao ya
aliyeona akasema, “Jambo la namna hii Gibea ili kupigana na Waisraeli. 15Siku ile
halijaonekana wala kutendeka, tangu Israeli Wabenyamini wakakusanya watu 26,000 kutoka
walipopanda kutoka Misri. Fikirini juu ya jambo katika miji yao, waliojifunga panga mbali na hao
hili! tafakarini juu ya jambo hili! Tuambieni 700 waliochaguliwa miongoni mwa hao waliokaa
tufanye nini!’’ Gibea. 16Miongoni mwa hao askari wote
kulikuwa na watu 700 bora waliochaguliwa
Waisraeli Wapigana na Wabenyamini watumiao mkono wa kushoto, kila mmoja wao
wakakusanyika mbele za BWANA huko Mizpa. Benyamini, wakakusanya watu waume 400,000,
2Viongozi wote wa kabila za Israeli wakakaa wenye kutumia panga, wote hao walikuwa
kwenye nafasi zao katika kusanyiko la watu wa mashujaa.
Mungu, askari 400,000 waendao kwa miguu 18Waisraeli wakapanda Betheli na
wenye panga. 3(Wabenyamini wakasikia kuwa kumwuliza Mungu, “Ni nani miongoni mwetu
Waisraeli wamepanda kwenda Mizpa.) Ndipo atakayetangulia mbele yetu ili kupigana na
Waisraeli wakasema, “Tuelezeni jinsi jambo hili Wabenyamini?’’
ovu lilivyotendeka.’’ BWANA akawajibu, “Yuda ndiye
4Hivyo yule Mlawi mume wa yule atakayetangulia.’’
mwanamke aliyeuawa akasema, “Mimi na suria 19Asubuhi yake Waisraeli wakaamka na
wangu tulifika Gibea ya Benyamini ili tulale kupiga kambi karibu na Gibea. 20Waisraeli
huko. 5Wakati wa usiku watu wa Gibea wakatoka kupigana na Wabenyamini, nao
wakanijia na kuizingira nyumba, wakitaka Waisraeli wakajiweka kwenye nafasi zao katika
kuniua. Wakambaka suria wangu mpaka akafa. vita dhidi yao huko Gibea. 21Wabenyamini
6Ndipo nikamchukua suria wangu, wakatoka Gibea na kuwaua watu 22,000 wa
nikamkatakata vipande vipande na kuvipeleka Israeli siku ile. 22Lakini Waisraeli wakatiana
katika nchi yote ya urithi wa Israeli, kwa kuwa moyo kila mmoja na mwenzake, nao wakajiweka
wametenda uasherati mkubwa na jambo la aibu kwenye nafasi zao katika vile vita mara ya pili
katika Israeli. 7Sasa, ninyi Waisraeli wote, mahali pale walipokuwa wamejiweka mara ya
semeni na mtoe uamuzi wenu.” kwanza. 23Waisraeli wakapanda mbele ya
8Watu wote wakainuka wakasema, kama BWANA na kulia mbele zake mpaka jioni, nao
mtu mmoja, “Hakuna hata mmoja wetu wakamwuliza BWANA wakisema, ‘‘Je, tupande
atakayekwenda nyumbani. Wala hakuna hata tena kupigana vita na Wabenyamini, ndugu
mmoja wetu atakayerudi nyumbani kwake. zetu?’’
9Sasa hili ndilo tutakalotendea Gibea: Tutaikabili BWANA akajibu, “Pandeni mkapigane nao.’’
jinsi kura itakavyotuongoza. 10Tutatoa watu kumi 24Ndipo Waisraeli wakawakaribia
katika kila mia kutoka kwenye kabila zote za Wabenyamini siku ya pili. 25Wakati huu,
Israeli, watu mia moja katika watu elfu na watu Wabenyamini walipotoka Gibea ili kupigana nao,
elfu katika elfu kumi, ili waende wakalete wakawaua watu Waisraeli 18,000, wote wakiwa
mahitaji kwa ajili ya jeshi. Basi wakati jeshi wamejifunga panga.
litakapofika Gibea ya Benyamini, watawatendea 26Ndipo Waisraeli, watu wote wakapanda
yale wanayostahili, kwa ajili ya uovu huu wa Betheli, huko wakakaa mbele za BWANA
aibu waliotenda katika Israeli.’’ 11Hivyo wakilia. Wakafunga siku ile mpaka jioni na kutoa
wanaume wote wa Israeli wakakutanika pamoja sadaka ya kutekezwa na sadaka ya amani kwa
na kujiunga kama mtu mmoja dhidi ya huo mji. BWANA. 27Nao Waisraeli wakauliza kwa
23
WAAMUZI
BWANA. (Katika siku hizo sanduku la agano la wakageuka na kuona moshi wa mji mzima
Mungu lilikuwako huko 28na Finihasi mwana wa unapaa juu angani. 41Ndipo watu wa Israeli
Eleazari, mwana wa Aroni, alikuwa wakawageukia, nao Wabenyamini wakatiwa
anahudumu mbele za hilo sanduku.) Wakauliza, hofu, kwa kuwa walitambua kwamba maafa
“Je, tupande kwenda vitani kupigana tena na yamewajia. 42Basi wakakimbia mbele ya
Wabenyamini ndugu zetu, au la?’’ Waisraeli kuelekea nyikani, lakini hawakuweza
BWANA akajibu, “Nendeni, kwa kuwa kesho kuikwepa ile vita. Nao watu wa Israeli waliotoka
nitawatia mikononi mwenu.’’ katika ile miji wakawaua huko. 43Wakawazingira
29Basi Waisraeli wakaweka waviziao Wabenyamini pande zote, wakawafuatia na
kuizunguka Gibea. 30Kisha Waisraeli wakapanda kuwapata hapo walipopumzika katika viunga vya
kupigana na Wabenyamini katika siku ya tatu na Gibea upande wa mashariki. 44Wakaanguka
kujiweka kwenye nafasi zao dhidi ya Gibea Wabenyamini 18,000 ambao wote ni mashujaa.
kama walivyokuwa wamefanya hapo kwanza. 45Walipogeuka na kukimbia kuelekea nyikani
31Wabenyamini wakatoka ili kukabiliana nao, hata kufikia mwamba wa Rimoni, Waisraeli
Waisraeli wakawavuta Wabenyamini watoke wakawaua watu 5,000 wakiwa njiani.
katika mji. Wakaanza kupigana na kuua watu Wakawafuatia kwa kasi mpaka Gidomu huko
wapatao thelathini wa Israeli, kama walivyofanya wakawaua watu wengine 2,000.
nyakati nyingine, katika njia kuu, moja iendayo 46Siku ile wakawaua watu 25,000 waliokuwa
hawakutambua kuwa maangamizi yalikuwa Mungu mpaka jioni, wakapaza sauti zao wakalia
karibu nao kwa kiasi hicho. 35BWANA sana. 3Wakasema, “Ee BWANA, Mungu wa
akawashinda Wabenyamini mbele ya Waisraeli Israeli, kwa nini jambo hili limewapata
na siku ile Waisraeli wakawaua Wabenyamini Waisraeli? Kwa nini kabila moja la Israeli
watu waume 25,100, wote wakiwa wenye limekosekana.’’
kujifunga silaha za vita. 36Hivyo Wabenyamini 4Kesho yake asubuhi na mapema watu
la moshi kutoka katika huo mji, 39ndipo watu wa ndugu zao Wabenyamini wakasema, “Leo kabila
Waisraeli wangegeuka kupigana. moja limekatiliwa mbali na Israeli. 7Sasa
Watu wa Benyamini walikuwa wameanza tutawezaje kuwapa mabinti zetu wawe wake zao
kuwapiga na kuua watu wa Israeli wapatao kwa hao waliobakia maadamu tumeapa kuwa
thelathini, hivyo wakafikiri, “Hakika tutawapiga, hatutawapa binti zetu kuwa wake zao?’’ 8Ndipo
kama tulivyowashinda katika vita hapo kwanza. wakasema, “Ni kabila lipi la Israeli ambalo
40Lakini wakati lile wingu la moshi lilipoanza halikufika mbele za BWANA huko Mispa?
kupanda kutoka katika ule mji, Wabenyamini Wakagundua kuwa hakuna hata mmoja
24
WAAMUZI
aliyetoka Yabeshi-Gileadi aliyefika kambini kwa mmoja akamchukua akaenda naye ili awe mke
ajili ya kusanyiko la mkutano. 9Walipohesabu wake. Kisha wakarudi katika urithi wao na
waliona hakuna mtu ye yote wa Yabeshi-Gileadi kuijenga upya miji na kuishi humo.
aliyekuwapo. 24Wakati huo Waisraeli wakaondoka
10Ndipo mkutano wakatuma askari kumi na sehemu ile na kwenda nyumbani kwao, kwenye
wawili, wakawaamuru kwenda Yabeshi-Gileadi makabila yao na kwa jamaa zao, kila mmoja
na kuwaua wale wote waishio huko, walikuwepo kwenye urithi wake mwenyewe.
wake na watoto. 11Wakasema, “Hilo ndilo 25Katika siku hizo kulikuwa hakuna mfalme
mtakalofanya. Ueni kila mtu mume na mke katika Israeli, kila mtu alifanya kile alichoona ni
ambaye si bikira.’’ 12Wakawakuta watu waishio sawa machoni pake mwenyewe.
Yabeshi-Gileadi wanawali mia nne ambao
hawajakutana kimwili, nao wakawachukua
kwenye kambi huko Shilo katika nchi ya
Kanaani.
13Ndipo mkutano ukatuma ujumbe wa amani
25
RUTHI
Utangulizi
Kitabu hiki kinachukua jina la mhusika wake mkuu, yaani, Yoshua, mwana wa Nuni, ambaye anatoka
kwenye kabila la Efraimu(Hes.13:8). Yoshua maana yake Yehova (BWANA) ni wokovu. Yoshua alichaguliwa na
Mungu kuwa kiongozi muda mfupi kabla ya kifo cha Mose (Kum.31).
Maandalizi kwa ajili ya huduma yake yanajumuisha: Kiongozi wa jeshi la Israeli kupigana na Waamaleki
(Kut..17:8-16); msaidizi wa Mose(Kut..33:11); mmoja wa wale wapelelezi kumi na wawili waliokwenda
kupeleleza Kanaani(Hes.13-14); kuchaguliwa kwake kuingia mahali pa Mose kwa sababu ya kujionyesha kwa
kipekee kwa huduma yake(Hes.27:18 - 23; 32:13; Kum.1:38; 31:7- 8)
Kitabu cha Yoshua ni habari juu ya Waisraeli wakiongozwa na Yoshua. Yoshua ambaye bila shaka
kufanikiwa kwake kunasababishwa na hali yake kumwelekea Munguna ufunuo wa Mose, mara anwafanya
Waisraeli watambue uhusiano wao na Mungu kwa kuadhimisha Pasaka(5:10) na kanuni ya tohara(5:3) na kwa
kusimamisha kumbukumbu ya jiwe (4:3) baada ya kuvuka Mto Yordani. Waisraeli walivuka Mto Yordani
kimwujiza. Kutokana na vile mji wa Yeriko ulivyotekwa kwa mwujiza(5:13 -627), ungeweza ukawa ndio msingi
wao wa imani katika Mungu kwamba sehemu iliyosalia ya Kanaani pia ingekaliwa na wao. Kule kutekwa kwa mji
wa Ai, kushindwa kwa umoja wa Waamori upande wa kusini, kule kuanguka kwa Hazori, iliyokuwa ngome ya
Wakanaani upande wa kaskazini, kuliwapa Waisraeli kumiliki sehemu muhimu za nchi ya Ahadi, yaani, Kanaani.
Ingawa makabila mawili na nusu, yaani, kabila la Reubeni, Gadi na nusu ya kabila la Manase tayari
walikwisha kumiliki eneo la mashariki mwa Mto Yordani chini ya uongozi wa Mose, makabila mengine yaliyosalia
yalipata sehemu zao chini ya uongozi wa Yoshua. Kabila la Lawi halikupewa mgao wa urithi katika nchi, bali wao
walipewa miji arobaini na minane kuwa miliki yao katika nchi nzima ili waweze kutoa huduma yao ya kiroho kwa
sababu wao walipewa ukuhani.
Kabla Yoshua hajafa aliwakumbusha watu juu ya agano la Mungu na ahadi Zake kwao, akawaonya kuhusu
kuabudu sanamu.Yeye aliweka wazi upya agano kati ya Mungu na Israeli, akiwaonya Waisraeli kudumisha ile
hali ya kujitoa kwa Mungu na kumpenda kwa moyo wote.Aliwaelekeza watu waendelee kumpenda, kumtii na
kumtumikia Mungu. Alizungumza hadharani jinsi ambavyo yeye binafsi alikuwa tayari kumtumikia Mungu
aliposema, “….Chagueni hivi leo mtakayemtumikia, lakini mimi na nyumba yangu tutamtumikia BWANA..” (24:15)
Wazo Kuu
Kuvuka Mto Yordani kwa mwujiza, kuingia, kutekwa na kugawanywa kwa Nchi ya Ahadi – Kanaani.
Miongoni mwa wanaume 603,550 wenye umri wa miaka kuanzia ishirini wawezao kwenda vitani waliotoka Misri,
ni Yoshua na Kalebu peke yao ndio walioingia Nchi ya Ahadi, yaani, Kanaani.
Mwandishi
Mwandishi kitabu hiki ni Yoshua,kiongozi wa Israeli baada ya Mose, isipokuwa sehemu ya mwisho ambayo
mwandishi wake hajulikani, lakini mapokeo ya Kiyahudi yanasema kwamba(24:29-32) iliongezwa na Eleazari na
(mst..33) uliandikwa na kuhani Finehasi, shahidi ambaye alishuhudia kwa macho yake mambo yaliyoandikwa
humu.
Mahali
Kanaani, ambayo ndiyo iliyokuwa Nchi ya Ahadi. Kwa sasa ndiyo nchi ya Israeli.
Tarehe
1646 – 1616 K.K. kwani matukio yaliyomo ni yale yaliyotukia wakati huo.
Wahusika Wakuu
Yoshua, Rahabu, Akani, Finehasi, Eleazari.
Mgawanyo
• Maandalizi ya kuiteka Kanaani. (1:1-5:15)
• Kuishinda Kanaani. (6:1-12:24)
• Mgawanyo wa nchi kwa makabila. (13:1-21:45)
• Kuagana na Yoshua na kifo chake. (22:1-24:33)
1
RUTHI
Naomi na Ruthi wako watakuwa watu wangu na Mungu wako
Wakati Waamuzi walipotawala Israeli, atakuwa Mungu wangu. 17Pale utakapofia nami
1 kulikuwa na njaa katika nchi, akaondoka nitafia hapo na papo hapo nitazikwa.BWANA na
mtu mmoja kutoka nchi ya Bethlehemu ya Yuda aniadhibu vikali, kama kitu kingine cho chote
pamoja na mke wake na wanae wawili, akaenda kitanitenga nawe isipokuwa kifo.” 18Naomi
kuishi katika nchi ya Moabu. 2Mtu huyu aliitwa alipotambua kwamba Ruthi amenuia kufuatana
Elimeleki, mkewe aliitwa Naomi, na hao wanawe naye, hakuendelea kumsihi tena.
wawili waliitwa Maloni na Kilioni. Walikuwa 19Kwa hiyo hao wanawake wawili
Waefrathi kutoka Bethlehemu ya Yuda. wakaondoka wakafika Bethlehemu. Walipofika
Wakaenda katika nchi ya Moabu wakaishi huko. Bethlehemu, mji mzima ulitaharuki, wanawake
3Elimeleki mumewe Naomi akafa, Naomi wakashangaa wakasema, “Huyu aweza kuwa ni
akabaki na wanawe wawili. 4Nao wakaoa Naomi?”
wanawake wa Kimoabu, jina la mmoja aliitwa 20Akawaambia, “Msiniite tena Naomi a , niiteni
Orpa na wa pili aliitwa Ruthi. Baada ya miaka Mara b , kwa sababu Mwenyezi Mungu
kumi, 5Maloni na Kilioni pia wakafa, basi Naomi amenitendea mambo machungu sana. 21Mimi
akabaki hana mume wala wanawe wawili. niliondoka hali nimejaa, lakini BWANA
6Aliposikia huko Moabu kwamba BWANA amenirudisha mtupu. Kwa nini kuniita Naomi?
amewasaidia watu wake kwa kuwapa chakula, BWANA amenitendea mambo machungu,
Naomi na wakweze wakajiaandaa kurudi Mwenyezi Mungu ameniletea msiba.”
nyumbani. 7Yeye na wakweze wawili, 22Kwa hiyo Naomi alirudi pamoja na Ruthi
wakaondoka pale walipokuwa wakiishi na Mmoabi, mkwe wake, nao wakafika Bethlehemu
kushika njia kurudi nchi ya Yuda. mwanzoni mwa kuvuna shayiri.
8Ndipo Naomi akawaambia wale wakwe
zake wawili, “Rudini, kila mmoja wenu nyumbani Ruthi Akutana na Boazi
kwa mama yake. BWANA na awatendee fadhili
kama mlivyowatendea hao waliofariki pamoja na 2 Basi Naomi alikuwa na jamaa wa upande
wa mume wake, kutoka katika ukoo wa
mimi. 9BWANA na amjalie kila mmoja wenu Elimeleki, jina lake aliitwa Boazi.
maisha mema nyumbani kwa mume mwingine.” 2Ruthi Mmoabi akamwambia Naomi,
Kisha akawabusu, nao wakalia kwa sauti “Nitakwenda mashambani nikaokote mabaki ya
kubwa 10wakamwambia, “Tutarudi pamoja na nafaka nyuma ya yule nitakayepata kibali
wewe nyumbani kwa watu wako.” machoni pake.”
11Lakini Naomi akasema, “Rudini nyumbani, Naomi akamwambia, “Nenda, binti yangu.”
binti zangu. Kwa nini mnifuate? Mimi nitaweza 3Basi akaenda akaokota mabaki ya nafaka
tena kuwa na wana wengine, ambao wataweza nyuma ya wavunaji. Ikatokea kwamba, alijikuta
kuwaoa ninyi? 12Rudini nyumbani binti zangu, anafanya kazi kwenye shamba lililokuwa mali ya
mimi ni mzee kiasi kwamba siwezi kumpata Boazi, ambaye alitoka kwenye ukoo wa
mume mwingine. Hata kama ningefikiria kuwa Elimeleki.
bado kuna tumaini kwangu, hata kama 4Papo hapo Boazi akarudi kutoka
ningekuwa na mume usiku huu na kuwazaa Bethlehemu akawasalimu wavunaji akasema,
wana, 13je, mngesubiri mpaka wakue? “BWANA awe nanyi!” Nao wakamjibu,
Mngebakia bila kuolewa mkiwasubiri? La, “BWANA akubariki.”
hasha, binti zangu. Nimepata uchungu kuliko 5Boazi akamwuliza msimamizi wa wavunaji,
ninyi, kwa sababu mkono wa BWANA umekuwa “Je, huyo mwanamwali ni wa nani?”
kinyume nami!” 6Msimamizi akamjibu, “Yeye ni yule Mmoabi
14Kisha wakalia tena kwa sauti. Orpa aliyerudi kutoka nchi ya Moabu pamoja na
akambusu mama mkwe wake akaenda zake, Naomi. 7Yeye aliomba, ‘Tafadhali niruhusu
lakini Ruthi akaambatana naye. niokote na kukusanya miongoni mwa minganda
15Naomi akamwambia, “Tazama, mwenzako nyuma ya wavunaji.’ Naye ameshinda shambani
anarejea kwa watu wake na kwa miungu yake. tangu asubuhi pasipo kupumzika, isipokuwa kwa
Rudi pamoja naye.” muda mfupi kivulini.”
16Lakini Ruthi akajibu, “Usinisihi nikuache au
nyuma yao. Nimewaamuru hao wanaume aliniambia, ‘Kaa pamoja na watumishi wangu
wasikuguse. Wakati wo wote ukiona kiu, nenda mpaka watakapomaliza kuvuna nafaka yangu
kwenye mitungi ukanywe maji waliyoyateka hao yote.’”
wanaume.’’ 22Kisha Naomi akamwambia Ruthi mkwewe,
10Kwa ajili ya hili akasujudu mpaka nchi, “Binti yangu, itakuwa vema wewe ufuatane na
akamwambia, “Ni kwa nini nimepata kibali wasichana wake, kwa sababu katika shamba la
machoni pako hata ukanijali mimi, mgeni?” mtu mwingine wanaweza kukudhuru.”
11Boazi akamjibu, “Nimeambiwa yote 23Kwa hivyo Ruthi akafuatana na watumishi
uliyomtendea mama mkwe wako tangu mume wasichana wa Boazi kuokota mpaka mwisho wa
wake alipofariki, na jinsi ulivyomwacha baba mavuno ya shayiri na ya ngano. Naye aliishi na
yako na mama yako na nchi yako ulimozaliwa, mama mkwe wake.
ukaja kuishi na watu ambao hukuwafahamu. 12
na akulipe kwa yale uliyoyatenda. Ubarikiwe kwa Ruthi na Boazi Kwenye Sakafu ya Kupuria
wingi na BWANA wa Israeli, ambaye
umekimbilia mbawani mwake.”
13Kisha Ruthi akasema, “Naomba niendelee
3 Kisha Naomi akamwambia mkwewe, “Binti
yangu, je, nisingelikutafutia pumziko
ambako utatunzika vema? 2Je, Boazi, ambaye
kupata kibali machoni pako bwana wangu. Kwa umekuwa pamoja na watumishi wake
maana umenifariji na umezungumza kwa wasichana, si jamaa yetu wa karibu? Usiku wa
ukarimu na mjakazi wako, hata ingawa mimi si leo atakuwa anapepeta ngano kwenye sakafu ya
bora kama mmoja wa watumishi wako wa kike.” kupuria. 3Basi oga na ukajipake marashi, ujivalie
14Wakati wa chakula Boazi akamwambia nguo zako nzuri. Kisha uende kwenye sakafu ya
Ruthi, “Karibia hapa. Kula mkate na uchovye kupuria, lakini angalia asijue kwamba upo pale
ndani ya divai.” mpaka atakapomaliza kula na kunywa.
Alipoketi pamoja na wavunaji, akampa 4Atakapokwenda kulala, angalia mahali
nafaka zilizookwa. Akala kiasi alichotaka na atakapolala. Kisha uende ufunue miguu yake,
kusaza. 15Alipoinuka ili kuokota mabaki ya ulale. Naye atakuambia utakalofanya.’’
nafaka, Boazi akawaagiza watu wake, “Hata 5Ruthi akajibu, “Lo lote usemalo nitatenda.”
kama atakusanya kati ya miganda msimzuie. 6Basi akashuka mpaka kwenye sakafu ya
16Badala yake toeni masuke katika miganda kupuria, akafanya kila kitu mama mkwe wake
mwacheni ayaokote na msimkemee.’’ alichomwambia kufanya.
17Basi Ruthi akaokota masazo kondeni hata 7Wakati Boazi alipomaliza kula na kunywa,
jioni. Akatwanga ile shayiri aliyokusanya, ikajaa naye alikuwa amejawa na furaha, alikwenda
efa moja a . 18Akaibeba na kuelekea mjini, mama kulala mwisho wa lundo la nafaka. Ruthi
mkwe wake akaona jinsi alivyoweza kuokota akakaribia kimya kimya, akafunua miguu yake
nafaka nyingi. Pia Ruthi akachukua kile akalala. 8Usiku wa manane kitu kilimshtua
alichobakiza baada ya kula na kushiba, akampa. Boazi, akajigeuza, akagundua yupo mwanamke
19Basi mkwewe akamwuliza, “Je, umeokota amelala miguuni pake.
wapi leo? Umefanya kazi wapi? Abarikiwe mtu 9Akauliza, “Wewe ni nani?’’
“Yule mtu niliyefanyia kazi kwake leo, anaitwa BWANA. Wema huu wa sasa ni mkuu kushinda
Boazi.” hata ule ulioonyesha mwanzoni. Hukuwakimbilia
20Naye Naomi akamwambia mkwewe, vijana, wakiwa matajiri au maskini. 11Sasa, binti
“BWANA ambariki! Hakuacha kuonyesha yangu, usiogope. Nitakufanyia yote uliyoomba.
Kwa maana mji wote wa watu wangu wanakujua
ya kwamba
a17 Efa moja ni sawa na kilo 20
3
RUTHI
wewe ni mwanamke mwenye tabia nzuri. 5Ndipo Boazi akasema “Siku utakaponunua
12Ingawa ni kweli kwamba mimi ndiye jamaa shamba kutoka kwa Naomi na Ruthi Mmoabi,
aliye karibu, lakini kuna mtu mwingine wa jamaa itakubidi kumchukua pia huyo mjane, ili
aliye karibu zaidi wa kukomboa kuliko mimi. kudumisha jina la marehemu pamoja na mali
13Wewe kaa hapa usiku huu, kisha asubuhi yake.”
kama akikubali kukomboa, vema na akomboe. 6Kuhusu hili, yule jamaa wa karibu wa
La sivyo kama hayuko tayari, hakika kama kukomboa akasema, “Basi mimi sitaweza
BWANA aishivyo nitafanya hivyo. Lala hapa kukomboa kwa sababu inaonekana
mpaka asubuhi.’’ nitauhatarisha urithi wangu. Wewe komboa
14Hivyo huyo mwanamke akalala miguuni mwenyewe. Mimi sitaweza.”
pake mpaka asubuhi, akaondoka mapema 7(Basi katika siku za kale huko Israeli, ili
akamimina vipimo sita a vya shayiri akamtwika. akamwambia Boazi, “Wewe nunua mwenyewe.’’
Kisha Ruthi akarudi zake mjini. Naye huyo jamaa akavua kiatu chake.
16Basi Ruthi alipofika kwa mama mkwe 9Kisha Boazi akawatangazia wazee na watu
wake Naomi, akamwuliza, “Je, binti yangu, wote waliokuwepo, “Leo ninyi ni mashahidi
ilikuwaje huko? kwamba mimi nimenunua kutoka kwa Naomi
Ndipo akamwelezea kila kitu Boazi yote yaliyokuwa mali ya Elimeleki, Kilioni na
alichomfanyia. 17Akaendelea kusema, “Amenipa Maloni. 10Nimemchukua pia Ruthi Mmoabi,
shayiri vipimo sita akisema, ‘Usiende kwa mama mjane wa Maloni, awe mke wangu, ili
mkwe wako mikono mitupu.’ ” kuendeleza jina la marehemu pamoja na mali
18Kisha Naomi akasema, “Subiri binti yangu, zake, ili jina lake marehemu lisitoweke miongoni
mpaka utakapojua kwamba hili jambo mwa jamaa yake wala katika kumbukumbu za
limekwendaje. Kwa sababu mtu huyu hatatulia mji wake. Leo hivi ninyi ni mashahidi!”
mpaka akamilishe jambo hili leo.” 11Kisha wazee pamoja na watu wote
ardhi iliyokuwa mali ya ndugu yetu Elimeleki. mke wake. Alipoingia kwake, BWANA akamjalia
4Nami niliwaza nikujulishe wewe na kukuambia Ruthi naye akapata mimba, akamzaa mtoto wa
uinunue mbele ya hawa waliopo hapa na mbele kiume. 14Wanawake wakamwambia Naomi:
ya wazee wa watu wangu. Kama wewe “Ahimidiwe BWANA, asiyekuacha bila kuwa na
utaikomboa, haya fanya hivyo. Lakini kama jamaa wa karibu wa kukomboa. Na awe
hutaikomboa, uniambie, ili nijue. Kwa kuwa mashuhuri katika Israeli yote! 15Atakurejeshea
hakuna mtu mwingine mwenye haki ya uhai wako na kukuangalia katika siku za uzee
kuikomboa ila wewe na baada yako ni mimi.” wako. Kwa maana mkweo ambaye anakupenda
Naye akasema, “Nitaikomboa mimi.” na ambaye kwako ni bora zaidi ya watoto wa
kiume saba, ndiye aliyemzaa.’’
a15 Vipimo sita hapa ni sawa na kilo 15, pia mstari wa 17
4
RUTHI
16Basi Naomi akamchukua yule mtoto,
akampakata na akawa mlezi wake. 17Wanawake
waliokuwa jirani zake, wakasema, “Naomi ana
mtoto wa kiume.” Wakamwita jina lake Obedi.
Yeye ndiye baba yake Yese, aliye baba yake
Daudi.
18Hivi ndivyo vizazi vya Peresi:
5
1SAMWELI
Utangulizi
Katika andiko la Kiebrania, kitabu cha 1Samweli na 2Samweli vilikuwa kitabu kimoja kilichotambuliwa kwa
jina hilo. Huku kugawanyika na kuwa vitabu kuwa viwili kulifanyika katika tafsiri ya Septuagint, yaani,Agano la
Kale la Kiyunani, ambalo liliviita Kitabu cha Kwanza na cha Pili cha Wafalme.
Kitabu cha 1Samweli kinaandika habari za maisha ya Samweli, Sauli na sehemu kubwa ya maisha ya Daudi.
1Samweli kinaanza kuelezea kuzaliwa kwa Samweli na mafundisho yake hekaluni. Kinaelezea jinsi alivyoiongoza
Israeli akiwa kama nabii, kuhani na mwamuzi.
Wakati wana wa Israeli walipodai kuwa na mfalme, Samweli, kwa uongozi wa Mungu, alimtia Sauli mafuta
kuwa mfalme wa kwanza wa Waisraeli. Lakini Sauli aliacha kumtii Mungu, naye Mungu akamkataa asiendelee
kuwa mfalme. Kisha Mungu akamongoza Samweli akamtia Daudi mafuta kwa siri kuwa mfalme badala ya Sauli.
Mapambano kati ya Sauli na Daudi ndiyo yaliyomo katika sehemu iliyobaki ya kitabu hiki. Ingawa tunajifunza
mengi kuhusu watu hawa wawili, pamoja na kutokumtii Mungu kwa Sauli, pia kuna mkazo mkubwa kuhusu wema
wao kwa Mungu.
Wazo Kuu
Hiki kilikuwa ni kipindi cha mabadiliko katika historia ya Israeli, wakati taifa hili lilipoondokana na mfumo wa
kuwa na waamuzi kama viongozi wao na kuwa na mfalme kama mataifa ya jirani yalivyokuwa. Samweli, akiwa
nabii, kuhani na mwamuzi, alichangia kikubwa katika kipindi hiki.
Mwandishi
Ingawa 1 na 2Samweli mapokeo yanasema mwandishi ni Samweli, ni vigumu sana yeye kuwa ndiye
aliyeandika wakati kifo chake kimeandikwa katika 1Samweli 25. Ye yote aliyeandika vitabu hivi anaweza kuwa
alitumia kitabu cha Yashari, ambacho kimetajwa katika 2Samweli 18 kama chanzo cha habari hizi. Uandishi wa
Samweli, nabii Nathani na Gadi, “Daudi mwana wa Yese alitawala juu ya Israeli miaka arobaini: Alitawala huko
Hebroni miaka saba na miaka thelatini na mitatu akatawala huko Yerusalemu” (1Mambo ya Nyakati 29:29.).
Hawa ndio ambao wameeleza matendo yote ya Mfalme Daudi tangu mwanzo hadi mwisho.
Wahusika Wakuu
Eli, Elikana, Hana, Samweli, Sauli, Yonathani, Daudi.
Mahali
Kitabu kinaanzia wakati walipokuwa wanaongozwa na waamuzi na kuelezea Israeli kuondoka katika utawala
wa Mungu na kuingia katika utawala wa wanadamu kwa kuwa na mfalme.
Tarehe
1204 – 1035 K.K.
Mgawanyo
• Eli kuhani na mwamuzi (1:1-4:22)
• Samweli kiongozi wa Israeli (5:1-8:22)
• Sauli mfalme wa kwanza wa Israeli (9:1-15:35)
• Kifo cha Sauli (31:1-13).
1
1SAMWELI
Kuzaliwa Kwa Samweli mwovu, nimekuwa nikiomba hapa katika wingi
Kulikuwepo na mtu mmoja kutoka Rama, wa uchungu mkuu na huzuni.’’
1 Msufi kutoka nchi ya vilima vya Efraimu, 17Eli akamjibu, “Nenda kwa amani, naye
ambaye jina lake aliitwa Elikana mwana wa Mungu wa Israeli na akujalie kile
Yerohamu, mwana wa Elihu mwana wa Tohu, ulichomwomba.’’
mwana wa Sufu, Mwefraimu. 2Alikuwa na wake 18Hana akasema, “Mtumishi wako na apate
wawili, mmoja aliitwa Hana na mwingine Penina. kibali machoni pako.’’ Kisha akaondoka zake na
Penina alikuwa na watoto, lakini Hana hakuwa kula chakula wala uso wake haukuwa na huzuni
na mtoto. tena.
3Kila mwaka mtu huyu alikwea kutoka mji 19Kesho yake asubuhi na mapema waliamka
wake ili kuabudu na kutoa dhabihu kwa BWANA wakaabudu mbele za BWANA na kisha
Mwenye Nguvu huko Shilo, ambapo Hofni na wakarudi nyumbani kwao huko Rama. Elikana
Finehasi, wana wawili wa Eli, walikuwa akakutana kimwili na mkewe Hana, naye
makuhani wa BWANA. 4Kila mara ilipofika siku BWANA akamkumbuka. 20Hivyo wakati
ya Elikana kutoa dhabihu, aliwapa mafungu ulipotimia, Hana akapata mimba na akamzaa
Penina mkewe na wanawe wote pamoja na binti mwana. Hana akamwita jina lake Samweli,
zake. 5Lakini alimpa Hana fungu mara dufu kwa akasema, “Kwa kuwa nilimwomba kwa
sababu alimpenda, ingawa BWANA alikuwa BWANA.’’
amemfunga tumbo. 6Kwa sababu BWANA
alikuwa amemfunga tumbo, mke mwenzake Hana Anamweka Samweli Wakfu.
alikuwa anamchokoza ili kumwudhi. 7Hili 21Wakati huyo mtu Elikana alipopanda
liliendelea mwaka baada ya mwaka. Kila mara pamoja na jamaa yake yote kutoa dhabihu ya
Hana alipokwenda katika nyumba ya BWANA, mwaka kwa BWANA na kutimiza nadhiri yake,
mke mwenzake alikuwa akimkasirisha mpaka 22Hana hakwenda. Alimwambia mume wake,
akisema, “Ee BWANA Mwenye Nguvu, laiti Hana akamchukua huyo mtoto, akiwa mdogo
ungeangalia huzuni kuu ya mtumishi wako na hivyo hivyo pamoja na fahali wa miaka mitatu,
kunikumbuka mimi, wala efa a ya unga na kiriba cha divai, naye akamleta
usimsahau mtumishi wako nawe ukampa mtoto kwenye nyumba ya BWANA huko Shilo.
mwana, basi huyo mwana nitamtoa kwa 25Wakati walipokwisha kumchinja yule fahali;
BWANA kwa siku zote za maisha yake, wala wakamleta mtoto kwa Eli, 26Hana akamwambia
wembe hautapita kichwani mwake. Eli, “Hakika kama uishivyo, bwana wangu, mimi
12Alipokuwa anaendelea kumwomba ndiye yule mama ambaye alisimama hapa
BWANA, Eli alichunguza kinywa chake. 13Hana karibu nawe akiomba kwa BWANA. 27Niliomba
alikuwa akiomba moyoni mwake midomo yake mtoto huyu, naye BWANA amenijalia kile
ikiwa inachezacheza lakini sauti haikusikika. Eli nilichomwomba. 28Hivyo sasa ninamtoa kwa
akafikiri alikuwa amelewa 14naye akamwambia, BWANA. Kwa maana maisha yake yote atakuwa
“Utaendelea kulewa mpaka lini? Achilia mbali ametolewa kwa BWANA.’’ Naye akamwabudu
mvinyo wako.’’ BWANA huko.
15Hana akajibu, “Si hivyo bwana wangu,
2
1SAMWELI
Maombi Ya Hana kabisa.
2“Hakuna ye yote aliye mtakatifu kama BWANA, 11Kisha Elkana akaenda nyumbani Rama,
lakini mtoto akahudumu mbele za BWANA chini
hakuna mwingine zaidi yako, ya kuhani Eli.
hakuna Mwamba kama Mungu wetu.
Wana Waovu Wa Eli
3“Msiendelee kusema kwa kiburi hivyo 12Wana wa Eli walikuwa watu wabaya
wala msiache vinywa vyenu kunena kwa kabisa, hawakumheshimu BWANA. 13Basi
kiburi, ilikuwa desturi ya makuhani pamoja na watu
kwa kuwa BWANA ndiye Mungu ajuaye, kwamba kila mara ye yote anapotoa dhabihu na
na kwa Yeye matendo hupimwa. huku nyama ikiwa inachemshwa, mtumishi wa
kuhani angalikuja na uma wenye meno matatu
4“Pindeza mashujaa zimevunjika, mkononi mwake. 14Angeutumbukiza huo uma
lakini wale wanaojikwaa wamevikwa nguvu. kwenye sufuria au birika au sufuria kubwa au
5Wale waliokuwa na chakula tele wamejikodisha chungu, naye kuhani angalijichukulia mwenyewe
wenyewe ili kupata chakula, cho chote ambacho uma ungelikileta. Hivi ndivyo
lakini wale waliokuwa na njaa hawana njaa walivyowatendea Waisraeli wote waliokuja Shilo.
tena. 15Lakini hata kabla mafuta ya mnyama
Mwanamke yule aliyekuwa tasa amezaa watoto hayajachomwa, mtumishi wa kuhani angalikuja
saba, na kusema kwa mtu ambaye alikuwa akitoa
lakini yule ambaye alikuwa na wana wengi dhabihu, “Mpe kuhani nyama akaoke, kwani
amedhoofika. hatapokea nyama iliyochemshwa kutoka kwako,
ila iliyo mbichi tu.’’
6“BWANA huua na huleta uhai, 16Kama mtu akimwambia, “Mafuta ya
hushusha chini mpaka kaburini a na kufufua. mnyama na yachomwe kwanza, kisha ndipo
7BWANA humfanya mtu maskini naye uchukue cho chote unachotaka,” mtumishi
hutajirisha, angalijibu, “Hapana, nipe sasa, kama huwezi
hushusha na hukweza. nitaichukua kwa nguvu.’’
8Humwinua maskini kutoka mavumbini 17Hii Dhambi ya hawa vijana ilikuwa kubwa
na humwinua mhitaji kutoka lundo la majivu; sana machoni pa BWANA, kwa kuwa
huwaketisha pamoja na wakuu waliitendea dhabihu ya BWANA kwa dharau.
na kuwafanya warithi kiti cha enzi cha 18Lakini Samweli alikuwa akihudumu mbele
a6 “Kaburini” hapa ina maana “Kuzimu”, yaani, kwa Kiebrania b10 “Mpakwa mafuta” hapa maana yake “Masihi” yaani,
“Sheol” “Aliyetiwa mafuta”
3
1SAMWELI
Wakati huo, kijana Samweli akaendelea kukua kuwa mzee. 33Kila mmoja wenu ambaye
mbele za BWANA. sitamkatilia mbali kutoka madhabahuni pangu
22Basi Eli, ambaye alikuwa mzee sana, atabakizwa tu kupofusha macho yenu kwa
alisikia kuhusu kila kitu ambacho wanawe machozi na kuihuzunisha mioyo yenu, nao
walikuwa wakiwafanyia Israeli wote na jinsi wazao wenu wote watakufa watakapokuwa
walivyokutana kimwili na wanawake wamefikia umri wa kustawi.
waliohudumu kwenye ingilio la Hema la 34Kile kitakachotokea kwa wanao wawili,
Mkutano. 23Hivyo akawaambia, “Kwa nini Hofni na Finehasi, kitakuwa ishara kwako. Wote
mmefanya mambo kama haya? Nimesikia wawili watakufa katika siku moja. 35Mimi
kutoka kwa watu wote juu ya haya matendo mwenyewe nitajiinulia kuhani mwaminifu,
yenu maovu. 24Sivyo, wanangu, hii si habari ambaye atafanya sawasawa na kile kilichoko
nzuri ambayo ninasikia ikienea miongoni mwa moyoni mwangu na akilini mwangu. Nitaifanya
watu wa BWANA. 25Kama mtu akifanya dhambi nyumba yake kuwa imara, naye atahudumu
dhidi ya mtu mwenzake, mtu mwingine aweza mbele ya mpakwa mafuta wangu daima. 36Kisha
kumwombea kwa Mungu, lakini kama mtu kila mmoja aliyeachwa katika mbari yenu atakuja
akimfanyia Mungu dhambi, ni nani na kusujudu mbele yake kwa ajili ya kipande cha
atakayemwombea? Hata hivyo wanawe fedha na ganda la mkate akisema, “Niteue
hawakusikia maonyo ya baba yao, kwa sababu katika baadhi ya ofisi ya ukuhani ili niweze
BWANA alitaka kuwaua. kupata chakula.’’
26Naye kijana Samweli akaendelea kukua
‘Je, sikujifunua wazi wazi kwa nyumba ya baba yalikuwa yamefifia sana kiasi kwamba aliona
yako wakati walipokuwa huko Misri chini ya kwa shida sana, alikuwa amelala mahali pake pa
Farao? 28Nilimchagua baba yako kati ya kawaida. 3Taa ya Mungu ilikuwa haijazimika
makabila yote ya Israeli kuwa kuhani wangu, bado na Samweli alikuwa amelala hekaluni a
kukwea kwenye madhabahu yangu, kufukiza mwa BWANA, ambapo sanduku la Mungu
uvumba na kuvaa kisibau mbele yangu. Pia lilikuwako. 4Kisha BWANA akamwita Samweli.
niliwapa nyumba ya baba yako sadaka zote Samweli akajibu, “Mimi hapa.’’ 5Naye
zilizotolewa kwa moto na Waisraeli. 29Kwa nini akakimbia kwa Eli na kumwambia, “Mimi hapa,
unadharau dhabihu zangu na sadaka zile kwa kuwa umeniita.’’
nilizoziamuru kwa ajili ya makao yangu? Kwa Lakini Eli akasema, “Sikukuita, rudi ukalale.’’
nini unawaheshimu wanao kuliko mimi kwa Hivyo akaenda kulala.
kujinenepesha wenyewe kwa kula zile sehemu 6BWANA akaita tena, “Samweli!’’ Naye
zilizo bora za kila sadaka zinazotolewa na watu Samweli akaamka, kwenda kwa Eli na kusema,
wangu wa Israeli? “Mimi hapa, kwa kuwa umeniita’’
30“Kwa hiyo, BWANA, Mungu wa Israeli Eli akasema, “Mwanangu, sikukuita, rudi
asema: “Niliahidi kuwa nyumba yako na nyumba ukalale.’’
ya baba yako wangehudumu mbele zangu 7Wakati huu Samweli alikuwa bado
milele”. Lakini sasa BWANA anasema: Jambo hajamjua BWANA. Neno la BWANA lilikuwa
hili na liwe mbali nami! Wale wanaoniheshimu bado halijafunuliwa kwake.
nitawaheshimu, wale wanaonidharau mimi 8BWANA akamwita Samweli mara ya tatu,
Kisha Samweli akasema, “Nena, kwa kuwa wakalichukua sanduku la agano la BWANA
mtumishi wako anasikiliza.’’ Mwenye Nguvu, aliyekaa kwenye kiti chake cha
11Naye BWANA akamwambia Samweli: enzi kati ya makerubi. Nao wale wana wawili wa
“Tazama, nipo karibu kufanya kitu katika Israeli Eli, Hofni na Finehasi, walikuwako huko pamoja
ambacho kitafanya masikio ya kila mmoja na sanduku la agano la Mungu.
atakayesikia yawashe. 12Wakati huo nitatimiza 5Wakati sanduku la agano la BWANA
dhidi ya Eli kila kitu nilichonena dhidi ya jamaa lilipokuja kambini, Waisraeli wote wakapiga
yake, kuanzia mwanzo mpaka mwisho. 13Kwa kelele kwa sauti kuu hata ardhi ikatikisika.
kuwa nilimwambia kwamba ningehukumu jamaa 6Wafilisti waliposikia makelele wakauliza, “Ni nini
yake milele kwa sababu ya dhambi aliyoijua, makelele haya yote katika kambi ya
wanawe kumkufuru Mungu, naye akashindwa Waebrania?’’
kuwazuia. 14Kwa hiyo, nikaapa kuhusu nyumba Walipofahamu kuwa sanduku la BWANA
ya Eli, “Hatia ya nyumba ya Eli kamwe limekuja kambini, 7Wafilisti wakaogopa
haitaweza kufidiwa kwa dhabihu au sadaka.’’ wakasema, “Mungu amekuja kambini, ole wetu.’’
15Samweli akalala mpaka asubuhi, kisha Halijatokea jambo kama hili tangu hapo. 8Ole
akafungua milango ya nyumba ya BWANA. wetu! Ni nani atakayetuokoa kutoka mikononi
Aliogopa kumwambia Eli yale maono, 16lakini Eli mwa miungu hii yenye nguvu? Ni miungu ile
akamwita na kumwambia, “Samweli iliyowapiga Wamisri kwa mapigo ya aina zote
mwanangu.’’ huko jangwani. 9Tuweni hodari, enyi Wafilisti!
Samweli akamjibu, “Mimi hapa.’’ Tuweni wanaume, la sivyo mtakuwa watumwa
17Eli akamwuliza, “Ni nini alichokuambia? wa Waebrania, kama wao walivyokuwa kwenu.
Usinifiche. BWANA na ashughulike nawe, tena Iweni wanaume, mpigane!’’
kwa ukali, kama utanificha cho chote 10Basi Wafilisti wakapigana, nao Waisraeli
kuwa Samweli amethibitishwa kuwa nabii wa Benyamini akakimbia kutoka kwenye uwanja wa
BWANA. 21BWANA akaendelea kutokea huko vita na kwenda Shilo, nguo zake zikiwa
Shilo na huko kujidhihirisha kwa Samweli kwa zimeraruka na akiwa na mavumbi kichwani
njia ya neno lake. mwake. 13Alipofika, Eli alikuwa ameketi juu ya
kiti chake kando ya barabara akiangalia, kwa
Wafilisti Wateka Sanduku La Mungu sababu moyo wake ulikuwa na hofu kwa ajili ya
4 Nalo neno la Samweli likaja kwa Israeli
yote. Basi Waisraeli walitoka kwenda
sanduku la Mungu. Mtu yule alipoingia mjini na
kueleza ni nini kilichokuwa kimetokea, mji wote
kupigana dhidi ya Wafilisti. Waisraeli wakapiga ukalia.
kambi huko Ebenezeri, nao Wafilisti wakapiga 14Eli akasikia kelele za kilio naye akauliza,
kambi huko Afeki. 2Wafilisti wakapanga safu za “Ni nini maana ya makelele haya?
majeshi yao kupambana na Israeli, wakati vita Yule mtu akafanya haraka kwenda kwa Eli,
vilipoenea, Israeli wakashindwa na Wafilisti, 15wakati huu Eli alikuwa na miaka tisini na
ambao waliwaua askari wa Israeli wapatao minane nayo macho yake yalikuwa yamepofuka
4,000 kwenye uwanja wa vita. 3Wakati Askari na hakuweza kuona. 16Akamwambia Eli, “Mimi
waliporudi kambini, wazee wa Israeli nimetoka vitani sasa hivi, nimekimbia kutoka
wakawauliza, “Kwa nini BWANA ameruhusu leo huko leo hii.’’
tushindwe mbele ya Wafilisti? Tulete sanduku la Eli akamwuliza, “Je, mwanangu, ni nini
5
1SAMWELI
kimetokea huko?’’ kikitokea, wakasema, “Sanduku la Mungu wa
17Yule mtu aliyeleta habari akajibu, “Israeli Israeli kamwe lisikae hapa pamoja na sisi, kwa
amekimbia mbele ya Wafilisti, nalo jeshi sababu mkono wake ni mzito juu yetu na juu ya
limepata hasara kubwa. Pia wana wako wawili, Dagoni mungu wetu.’’ 8Basi wakawaita watawala
Hofni na Finehasi, wamekufa, na sanduku la wote wa Wafilisti pamoja na kuwauliza,
Mungu limetekwa.’’ “Tutafanya nini na hili sanduku la Mungu wa
18Mara alipotaja sanduku la Mungu, Eli Israeli?’’
alianguka kutoka kwenye kiti chake kwa nyuma Wakajibu, “Sanduku la Mungu wa Israeli na
kando ya lango. Shingo yake ikavunjika naye liende Gathi." Basi wakalihamisha sanduku la
akafa, kwa kuwa alikuwa mzee tena mzito. Mungu wa Israeli.
Alikuwa amewaongoza Israeli kwa miaka 9Lakini baada ya kulihamisha, mkono wa
huyo Dagoni. 3Watu wa Ashdodi walipoamka waaguzi na kuwaambia, “Tutafanya nini na hili
asubuhi na mapema kesho yake kumbe, sanduku la BWANA? Tuambieni jinsi
wakamkuta Dagoni ameanguka chini kifudifudi tutakavyolirudisha mahali pake.’’
mbele ya sanduku la BWANA ! Wakamwinua 3Wakajibu, “Kama mtalirudisha sanduku la
Dagoni na kumrudisha mahali pake. 4Lakini Mungu wa Israeli, msilirudishe mikono mitupu
asubuhi iliyofuata, walipoamka kumbe, bali kwa vyo vyote mpelekeeni sadaka ya hatia.
walimkuta huyo Dagoni ameanguka chini Kisha mtaponywa, nanyi mtafahamu kwa nini
kifudifudi mbele ya sanduku la BWANA ! Kichwa mkono wake haujaondolewa kwenu.’’
chake na mikono vilikuwa vimevunjwa navyo 4Wafilisti wakawauliza, “Ni sadaka gani ya
watu wa Ashdodi na vijiji vya jirani akaleta wale wanaoharibu nchi yenu, nanyi mheshimuni
uharibifu juu yao na kuwatesa kwa majipu. Mungu wa Israeli. Labda ataondoa mkono wake
7Watu wa Ashdodi walipoona kile kilichokuwa kutoka kwenu na kwa miungu yenu na nchi
yenu. 6Kwa nini ninyi mnafanya mioyo yenu
a21 Ikabodi maana yake Utukufu wa Bwana umeondoka katika migumu kama Wamisri na Farao walivyofanya?
Israeli.
6
1SAMWELI
Je, alipowatendea kwa ukali, hawakuwaachia Wafilisti ya watawala watano wa Wafilisti na miji
Waisraeli wakaenda zao? yao iliyozungukwa na maboma pamoja na vijiji
7Sasa basi, wekeni gari jipya la kukokotwa vya nchi yao. Ule mwamba mkubwa, ambao juu
pamoja na ng'ombe wawili ambao wamezaa yake waliliweka lile sanduku la BWANA, ni
lakini ambao kamwe hawajafungwa nira. ushahidi hadi leo katika shamba la Yoshua wa
Fungieni hao ng’ombe hilo gari, lakini ondoeni Beth-Shemeshi.
ndama wao na muwaweke zizini. 8Chukueni hilo 19Lakini Mungu aliwapiga baadhi ya watu wa
sanduku la BWANA na mliweke juu ya gari la Beth-Shemeshi, akiwaua watu sabini miongoni
kukokotwa, ndani ya kasha kando yake wekeni mwao kwa sababu walichungulia ndani ya
hivyo vitu vya dhahabu mnavyompelekea sanduku la BWANA. Watu wakaomboleza kwa
BWANA kama sadaka ya hatia, ipelekeni, 9lakini sababu ya pigo zito kutoka kwa BWANA, 20nao
liangalieni kwa makini. Iwapo litakwenda katika watu wa Beth-Shemeshi wakauliza, “Ni nani
nchi yake lenyewe, kuelekea Beth-Shemeshi, awezaye kusimama mbele za BWANA, huyu
basi tutajua kwamba BWANA ndiye aliyeleta Mungu aliye mtakatifu? Sanduku litapanda
haya maafa makubwa juu yetu. Lakini kama kwenda kwa nani kutoka hapa?’’
halikwenda, basi tutajua kwamba haukuwa 21Kisha wakatuma wajumbe kwa watu wa
ng’ombe hadi mpakani Yearimu kwa muda mrefu, yaani jumla ya miaka
mwa Beth-Shemeshi. ishirini, nao watu wa Israeli wakaomboleza na
13Wakati huu watu wa Beth-Shemeshi kumtafuta BWANA. 3Naye Samweli akawaambia
walikuwa wakivuna ngano yao huko bondeni, nyumba yote ya Israeli, “Ikiwa mtamrudia
walipoinua macho yao na kuona lile sanduku, BWANA kwa mioyo yenu yote, basi iacheni
wakafurahi kuliona. 14Lile gari la kukokotwa miungu migeni na Maashtorethi na kujitoa
lilikuja mpaka kwenye shamba la Yoshua wa wenyewe kwa BWANA na kumtumikia yeye
Beth-Shemashi, nalo likasimama kando ya peke yake, naye atawaokoa ninyi na mkono wa
mwamba mkubwa. Watu wakapasua mbao za Wafilisti.’’ 4Hivyo Waisraeli wakaweka mbali
lile gari la kukokotwa na kutoa dhabihu wale Mabaali yao na Maashtorethi nao wakamtumikia
ng’ombe kama sadaka ya kuteketezwa kwa BWANA peke yake.
BWANA. 15Walawi walilishusha sanduku la 5Kisha Samweli akasema, “Wakusanyeni
BWANA, pamoja na lile kasha lililokuwa na vile Israeli wote huko Mispa nami nitawaombea ninyi
vitu vya dhahabu na kuviweka juu ya ule kwa BWANA.’’ 6Walipokwisha kukutanika huko
mwamba mkubwa. Siku ile watu wa Beth- Mispa, walichota maji na kuyamimina mbele za
Shemeshi wakatoa sadaka za kuteketezwa na BWANA. Siku hiyo walifunga na wakaungama
dhabihu kwa BWANA. 16Wale watawala watano wakisema, “Tumetenda dhambi dhidi ya
wa Wafilisti waliona haya yote, nao wakarudi BWANA.’’ Naye Samweli alikuwa kiongozi wa
siku ile ile mpaka Ekroni. Israeli huko Mispa.
17Haya ndiyo yale majipu ya dhahabu 7Wafilisti waliposikia kwamba Israeli
Wafilisti waliyotuma kama sadaka ya hatia kwa wamekusanyika huko Mispa, watawala wa
BWANA, moja kwa ajili ya Ashdodi, moja kwa Wafilisti wakapanda ili kuwashambulia. Waisraeli
Gaza, moja kwa Ashkeloni, moja kwa Gathi na waliposikia habari hiyo, waliogopa kwa sababu
moja kwa Ekroni. 18Nayo hesabu ya wale panya ya Wafilisti. 8Wakamwambia Samweli, “Usiache
wa dhahabu ilikuwa kulingana na idadi ya miji ya kumlilia BWANA, Mungu wetu kwa ajili yetu, ili
7
1SAMWELI
kwamba apate kutuokoa na mikono ya Wafilisti.’’ akamwomba BWANA. 7Naye BWANA
9Kisha Samweli akamchukua mwana kondoo akamwambia “Sikiliza yale yote watu
anyonyaye na kumtoa mzima kama sadaka ya wanayokuambia, si wewe ambaye
kuteketezwa kwa BWANA. Akamlilia BWANA wamekukataa, bali wamenikataa mimi kuwa
kwa niaba ya Israeli, naye BWANA akamjibu. mfalme wao. 8Kama vile walivyofanya tangu siku
10Wakati Samweli alipokuwa anatoa hiyo nilipowapandisha kutoka Misri mpaka siku hii ya
dhabihu ya kuteketezwa, Wafilisti wakasogea leo; wakiniacha mimi na kutumikia miungu
karibu ili kupigana vita na Israeli. Lakini siku ile mingine, ndivyo wanavyokufanyia wewe. 9Sasa
BWANA alinguruma kwa ngurumo kubwa dhidi wasikilize, lakini waonye kwa makini na
ya Wafilisti na kuwafanya wafadhaike na uwafahamishe yale watakayotendewa na
kutetemeka kwamba walikimbizwa mbele ya mfalme atakayewatawala.’’
Waisraeli. 11Watu wa Israeli wakatoka mbio 10Samweli akawaambia wale watu ambao
nayo Israeli akazikomboa nchi za jirani kutoka manukato, wapishi na waokaji. 14Atayachukua
mkononi mwa Wafilisti. Kukawepo amani mashamba yenu yaliyo mazuri, mashamba ya
kati ya Israeli na Waamori. mizabibu na mashamba yenu ya mizeituni na
15Samweli akaendelea kama mwamuzi juu kuwapa watumishi wake. 15Ataichukua sehemu
ya Israeli siku zote za maisha yake. 16Mwaka ya kumi ya nafaka yenu na ya zabibu zenu na
hadi mwaka aliendelea kuzunguka kutoka kuwapa maafisa wake na watumishi wake.
Betheli mpaka Gilgali na Mispa, akiamua Israeli 16Atawachukua watumishi wenu wa kiume na wa
katika sehemu hizo zote. 17Lakini kila mara kike na ng’ombe wenu walio wazuri sana na
alirudi Rama, ambako ndiko kulikokuwa punda zenu atawachukua kwa matumizi yake
nyumbani kwake, huko pia aliwaamua Israeli. mwenyewe. 17Atachukua sehemu ya kumi ya
Naye huko alimjengea BWANA madhabahu. makundi yenu ya kondoo na mbuzi na ninyi
wenyewe mtakuwa watumwa wake. 18Siku ile
Israeli Waomba Mfalme itakapowadia, mtalia kwa kutaka msaada
8
1SAMWELI
Samweli Anamtia Sauli Mafuta dhabihu huko mahali pa juu. 13Mara tu
Sauli, “Mchukue mmoja wa watumishi mwende alikuwa amemfunulia Samweli jambo hili:
pamoja naye kuwatafuta punda.’’ 4Hivyo akapita 16“Kesho wakati kama huu nitakupelekea mtu
katika nchi ya vilima ya Efraimu na katika eneo kutoka nchi ya Benyamini. Umtie mafuta awe
la Shalisha, lakini hawakuwapata. Wakaendelea kiongozi juu ya watu wangu Israeli, ndiye
katika sehemu ya Shaalimu, lakini punda atakayewakomboa watu wangu na mkono wa
hawakuwepo huko. Kisha wakapita katika nchi Wafilisti. Nimewaangalia watu wangu, kwa kuwa
ya Benyamini, lakini hawakuwapata. kilio chao kimenifikia.’’
5Walipofika sehemu ya Sufu, Sauli 17Samweli alipomwona Sauli, BWANA
akamwambia mtumishi aliyekuwa pamoja naye, akamwambia, “Huyu ndiye mtu yule
“Njoo, sisi na turudi, au baba yangu ataacha niliyekuambia habari zake, kwamba yeye
kufikiria juu ya punda na kuanza kufadhaika atawatawala watu wangu.’’
kuhusu sisi.’’ 18Sauli akamkaribia Samweli langoni na
6Lakini mtumishi akajibu, “Tazama, katika kumwuuliza, “Tafadhali, je, waweza kuniambia
mji huu yupo mtu wa Mungu, anayeheshimiwa mahali nyumba ya mwonaji ilipo?”
sana na kila kitu asemacho hutokea kweli. Sasa 19“Samweli akamjibu, Mimi ndiye mwonaji,
na twende huko. Huenda atatuambia twende panda utangulie mbele yangu mpaka mahali pa
njia ipi.’’ juu, kwa kuwa leo itakupasa kula pamoja nami
7Sauli akamwambia mtumishi wake, “Kama na asubuhi nitakuruhusu uende na nitakuambia
tukienda, tutampa nini huyo mtu? Chakula yale yote yaliyo moyoni mwako. 20Kuhusu wale
kimekwisha kwenye mifuko yetu. Hatuna zawadi punda uliowapoteza siku tatu zilizopita,
ya kumpelekea huyo mtu wa Mungu. Je tuna usifadhaike kwa habari yao, wamepatikana ni
nini?’’ kwa nani ambaye shauku yote ya Israeli
8Mtumishi akamjibu tena, akasema, imeelekea, kama si kwako na jamaa yote ya
“Tazama, nina fedha robo shekeli a . Hiyo baba yako?’’
nitampa huyo mtu wa Mungu ili aweze 21Sauli akajibu, “Je, mimi si Mbenyamini,
kutuambia tuende kwa njia ipi.’’ 9(Zamani katika kutoka kabila dogo kuliko yote ya Israeli, nao
Israeli, kama mtu alikwenda kuuliza neno kwa ukoo wangu si ndio mdogo kuliko koo zote za
Mungu, angalisema, “Njoo na twende kwa kabila la Benyamini? Kwa nini uniambie jambo la
mwonaji,’’ kwa sababu nabii wa sasa alikuwa namna hiyo?”
akiitwa mwonaji.) 22Kisha Samweli akamleta Sauli na
10Sauli akamwambia mtumishi wake, mtumishi wake ndani ukumbini na kuwaketisha
“Vyema, njoo na twende.’’ Basi wakaenda mjini mahali pa heshima zaidi miongoni mwa wale
alipokuwepo huyo mtu wa Mungu. waliokuwa wamealikwa, jumla yao walikuwa
11Walipokuwa wakipanda mlima kwenda kama watu thelathini. 23Samweli akamwambia
mjini, wakakutana na baadhi ya wasichana mpishi, “Lete ile sehemu ya nyama niliyokupa,
wanakuja kuchota maji, nao wakawauliza, “Je, ile niliyokuambia iweke kando.’’
mwonaji yuko?’’ 24Hivyo mpishi akachukua mguu pamoja na
12Wakajibu, “Yuko, yu mbele yenu kile kilichokuwa juu yake akaiweka mbele ya
amewatangulia, sasa fanyeni haraka, ndiyo tu Sauli. Samweli akasema, “Hiki ndicho ambacho
amekuja mjini kwetu leo, kwa kuwa watu wana kimewekwa kwa ajili yako. Ule, kwa sababu
kilitengwa kwa ajili yako kwa tukio hili, tangu
a8 “Robo Shekeli” ni kama gramu 3. niliposema, ‘Nimewaalika wageni.’’’ Naye Sauli
9
1SAMWELI
akala pamoja na Samweli siku ile. kufanya.”
25Baada ya kushuka kutoka mahali pa juu
Israeli? 2Utakapoondoka kwangu leo, utakutana mtumishi wake, “Je, mlikuwa wapi?”
na watu wawili karibu na kaburi la Raheli, huko Akajibu, “Tulikuwa tukiwatafuta punda.
Selsa kwenye mpaka wa Benyamini. Lakini tulipoona hawapatikani, tulikwenda kwa
Watakuambia, ‘Punda wale uliotoka kwenda Samweli.”
kuwatafuta, wamekwisha kupatikana. 15Babaye mdogo Sauli akasema, “Niambie
Sasa baba yako ameacha kufikiri kuhusu punda Samweli amekuambia nini.”
na sasa ana hofu kukuhusu wewe. Anauliza, 16Sauli akajibu, “Alituhakikishia kwamba
watakutana nawe hapo. Mmoja atakuwa kwa BWANA huko Mispa 18naye akawaambia,
amechukua wana mbuzi watatu, mwingine “Hili ndilo asemalo BWANA, Mungu wa Israeli:
mikate mitatu na mwingine kiriba cha divai. ‘Niliwatoa Israeli kutoka Misri, nami niliwaokoa
4Watakusalimu na kukupa mikate miwili, ambayo toka nguvu za Misri na falme zote zile
utaipokea kutoka kwao. zilizowaonea.’ 19Lakini sasa mmemkataa Mungu
5“Baada ya hayo utakwenda Gibea ya wenu, ambaye anawaokoa toka katika maafa
Mungu, ambapo hapo kuna kambi ya Wafilisiti. yenu yote na taabu zenu zote. Nanyi mmesema,
Unapokaribia mji utakutana na kundi la manabii “Hapana, tuwekee, mfalme atutawale. Sasa
wakiteremka kutoka mahali pa juu wakiwa na basi, jihudhurisheni wenyewe mbele za BWANA
vinubi, matari, filimbi na zeze vikipigwa mbele kwa kabila zenu na kwa koo zenu.”
yao, nao watakuwa wakitoa unabii. 6Roho wa 20Samweli alipoyasogeza makabila yote ya
BWANA atakuja juu yako kwa nguvu, nawe Israeli, kabila la Benyamini likachaguliwa.
utatoa unabii pamoja nao, nawe utageuzwa 21Kisha akalisogeza mbele kabila la Benyamini,
kuwa mtu wa tofauti. 7Mara ishara hizi ukoo kwa ukoo, nao ukoo wa Matri
zitakapotimizwa, fanya lo lote mkono wako ukachaguliwa. Mwishoni Sauli mwana wa Kishi
upasao kufanya, kwa kuwa Mungu yu pamoja akachaguliwa. Lakini walipomtafuta
nawe. hakuonekana. Wakazidi kuuliza kwa BWANA,
22
8“Tangulia kushuka mbele yangu mpaka “Je, huyo mtu amekwisha kufika hapa?,”
Gilgali. Hakika nami nitatelemka nikujie ili kutoa Naye BWANA akasema, “Ndiyo, amejificha
dhabihu za sadaka za kuteketezwa na dhabihu kati kati ya mizigo.”
za amani, lakini lazima ungojee kwa siku saba 23Wakakimbia na kumleta kutoka huko, naye
hata nitakapokujia na kukuambia likupasalo aliposimama kati kati ya watu alikuwa mrefu
10
1SAMWELI
kuliko watu wengine wote. 24Samweli Gileadi, ‘Kesho kabla jua halijawa kali
akawaambia watu wote, “Je, mnamwona mtu mtaokolewa.’’ Wajumbe walipokwenda na kutoa
ambaye BWANA amemchagua? Hayupo aliye taarifa hii kwa watu wa Yabeshi, wakafurahi.
kama yeye miongoni mwa watu wote.” 10Wakawaambia Waamoni, “Kesho
Ndipo watu wakapiga kelele, wakasema, tutajisalimisha kwenu, nanyi mtaweza
“Mfalme na aishi maisha marefu.” kututendea cho chote mnachoona chema
25Samweli akawaeleza watu madaraka ya kwenu.”
ufalme. Akayaandika kwenye kitabu na kuweka 11Kesho yake Sauli alitenganisha watu wake
mbele za BWANA. Kisha Samweli akawaruhusu katika vikosi vitatu, wakati wa zamu ya mwisho
watu, kila mmoja aende nyumbani kwake. ya usiku wakaingia katika kambi ya Waamoni na
26Sauli pia akaenda nyumbani kwake huko kuwachinja mpaka mchana. Wale walionusurika
Gibea, akisindikizwa na watu hodari ambao wakasambaa, kiasi kwamba hawakusalia watu
Mungu alikuwa amegusa mioyo yao. 27Lakini wawili pamoja.
baadhi ya watu wakorofi walisema, “Huyu mtu
atawezaje kutuokoa? Wakamdharau na wala Sauli Athibitishwa Kuwa Mfalme.
hawakumletea zawadi. Lakini Sauli akanyamaza 12Kisha watu wakamwambia Samweli, “Ni
Nahashi Mwamori akakwea mmoja atakayeuawa leo, kwa kuwa siku hii
11 kuuzunguka kwa jeshi mji wa Yabeshi BWANA ameokoa Israeli.”
Gileadi. Watu wote wa Yabeshi wakamwambia, 14Ndipo Samweli akawaambia watu, “Njoni,
“Fanya mkataba na sisi tutakuwa chini yako.” twendeni Gilgali na huko tuthibitishe ufalme.”
2Lakini Nahashi Mwamori akajibu, 15Kwa hiyo watu wote wakaenda Gilgali na
“Nitafanya mkataba na ninyi tu kwa sharti kumthibitisha Sauli kuwa mfalme mbele za
kwamba nitang’oa jicho la kulia la kila mmoja BWANA. Huko wakatoa dhabihu za sadaka za
wenu na hivyo kuleta aibu juu ya Israeli yote.” amani mbele za BWANA, naye Sauli na
3Viongozi wa Yabeshi wakamwambia, “Tupe Waisraeli wote wakafanya karamu kubwa.
siku saba ili tuweze kutuma wajumbe katika
Israeli yote, kama hakuna hata mmoja Hotuba Ya Samweli Ya Kuaga
anayekuja kutuokoa, tutajisalimisha kwako.”
4Wajumbe walipofika Gibea ya Sauli na 12 Samweli akawaambia Israeli wote,
“Nimesikiliza kila kitu mlichoniambia
kutoa taarifa juu ya masharti haya kwa watu, nami nimewawekea mfalme juu yenu. 2Sasa
wote walilia kwa sauti kubwa. 5Wakati huo huo mnaye mfalme kama kiongozi wenu. Lakini kwa
Sauli alikuwa anarudi kutoka mashambani, habari yangu mimi ni mzee na nina mvi, nao
akiwa nyuma ya maksai wake, naye akauliza, wanangu wapo hapa pamoja nanyi. Nimekuwa
“Watu wana nini? Mbona wanalia?” Ndipo kiongozi wenu tangu ujana wangu mpaka siku
wakamweleza jinsi watu wa Yabeshi hii ya leo. 3Mimi ninasimama hapa. Shuhudieni
walivyokuwa wamesema. juu yangu mbele za BWANA na mpakwa mafuta
6Sauli aliposikia maneno yao, Roho wa wake. Nimechukua maksai wa nani?
Mungu akaja juu yake kwa nguvu, naye Nimechukua punda wa nani? Ni nani nimepata
akawaka hasira. 7Akachukua jozi ya maksai na kumdanganya? Ni nani nimepata kumwonea? Ni
kuwakata vipande vipande naye kuvituma hivyo kutoka kwenye mkono wa nani nimepokea
vipande kupitia wajumbe katika Israeli yote, rushwa ili kunifanya nifumbe macho yangu?
wakitangaza, “Hivi ndivyo itakavyofanyika kwa Kama nimefanya cho chote katika hivi, mimi
maksai wa kila mmoja ambaye hatamfuata Sauli nitawarudishia.”
na Samweli. “Kisha hofu ya BWANA 4Wakajibu, “Hujatudanganya wala kutuonea.
ikawaangukia watu, nao wakatoka kama mtu Hujapokea cho chote kutoka kwenye mkono wa
mmoja. 8Sauli alipowakusanya huko Bezeki, mtu awaye yote.”
watu wa Israeli walikuwa 300,000 na watu wa 5Samweli akawaambia, “BWANA ni shahidi
11
1SAMWELI
Wakasema, “Yeye ni shahidi.” Hivyo watu wote wakamwogopa sana BWANA
6Kisha Samweli akawaambia watu, “BWANA na Samweli.
ndiye aliyemchagua Mose na Aroni na kuwaleta 19Watu wote wakamwambia Samweli,
baba zenu akiwapandisha kutoka Misri. 7Sasa “Mwombe BWANA Mungu wako, kwa ajili ya
basi, simameni hapa, kwa sababu ninakwenda watumishi wako ili tusije tukafa,kwa kuwa
kukabiliana nanyi kwa ushahidi mbele za tumeongeza uovu juu ya dhambi zetu nyingine
BWANA kwa matendo yote ya haki yaliyofanywa kwa kuomba mfalme.”
na BWANA kwenu na kwa baba zenu. 20Samweli akajibu, “Msiogope, mmefanya
8‘‘Baada ya Yakobo kuingia Misri, walimlilia uovu huu wote, hata hivyo msimwache BWANA,
BWANA kwa ajili ya msaada, naye BWANA bali mtumikieni BWANA kwa moyo wenu wote.
akawatuma Mose na Aroni, ambao waliwatoa 21Msigeukie sanamu zisizofaa. Haziwezi
baba zenu kutoka Misri na kuwakalisha mahali kuwatendea jema, wala haziwezi kuwaokoa kwa
hapa. sababu hazina maana. 22Kwa ajili ya jina lake
9‘‘Lakini wakamsahau BWANA Mungu wao, kuu BWANA hatawakataa watu wake, kwa
hivyo Mungu akawauza katika mkono wa Sisera, sababu ilimpendeza BWANA kuwafanya kuwa
jemadari wa jeshi la Hazori na katika mikono ya wake mwenyewe. 23Kwa habari yangu, iwe
Wafilisti na mfalme wa Moabu, ambaye mbali nami kutenda dhambi dhidi ya BWANA
alipigana dhidi yao. 10Wakamlilia BWANA na kwa kushindwa kuwaombea. Mimi
kusema, ‘Tumetenda dhambi, tumemwacha nitawafundisha njia iliyo njema na ya kunyooka.
BWANA na kutumikia 24Lakini hakikisheni mnamcha BWANA na
Mabaali na Maashtorethi. Lakini sasa tuokoe kumtumikia kwa uaminifu kwa moyo wenu wote,
kutoka katika mikono ya adui zetu, nasi tafakarini ni mambo gani makubwa aliyotenda
tutakutumikia.’ 11Ndipo BWANA akawatuma kwa ajili yenu. 25Hata hivyo mkiendelea kufanya
Yeru-Baali a , Baraka, Yeftha na Samweli, naye uovu, ninyi na mfalme wenu mtafutiliwa mbali!”
akawaokoa kutoka katika mikono ya adui zenu
kila upande, ili ninyi mpate kukaa salama. Samweli Amkemea Sauli
13
12‘‘Lakini mlipomwona yule Nahashi mfalme Sauli alikuwa na miaka thelathini,
wa Waamoni anakuja dhidi yenu, mliniambia, alipokuwa mfalme, akatawala Israeli
‘Hapana, tunataka mfalme atutawale,’ hata miaka arobaini na miwili.
ingawa BWANA Mungu wenu alikuwa mfalme 2Sauli alichagua watu 3,000 kutoka Israeli,
wenu. 13Sasa huyu hapa ndiye mfalme miongoni mwa hao watu 2,000 walikuwa pamoja
mliyemchangua, yule mliyeomba, tazameni, naye huko Mikmashi na katika nchi ya vilima ya
BWANA amemweka mfalme juu yenu. 14Kama Betheli, nao watu 1,000 walikuwa pamoja na
mkimcha BWANA na kumtumikia na kumtii nanyi Yonathani huko Gibea ya Benyamini. Watu
msipoasi dhidi ya amri zake, ninyi pamoja na waliosalia aliwarudisha nyumbani mwao.
mfalme anayetawala juu yenu mkimfuata 3Yonathani akashambulia ngome ya Wafilisti
BWANA, Mungu wenu,mambo yatakuwa mema huko Geba, nao Wafilisti wakapata habari hizo.
kwenu! 15Lakini kama hamkumtii BWANA, nanyi Kisha Sauli akaamuru tarumbeta ipigwe nchi
kama mkiasi dhidi ya amri zake, mkono wake yote na kusema, “Waebrania na wasikie!” 4Hivyo
utakuwa dhidi yenu, kama ulivyokuwa dhidi ya Israeli wote wakasikia habari kwamba: “Sauli
baba zenu. ameshambulia ngome ya Wafilisti, nao sasa
16”Sasa basi, simameni kimya mkaone Israeli wamekuwa harufu mbaya kwa Wafilisti.”
jambo hili kubwa ambalo BWANA anakwenda Basi watu waliitwa kuungana na Sauli huko
kulifanya mbele ya macho yenu! 17Je, sasa si Gilgali.
mavuno ya ngano? Nitamwomba BWANA ili 5Wafilisti wakakusanyika ili kupigana na
alete ngurumo na mvua. Nanyi mtatambua Israeli, wakiwa na magari ya vita 3,000,
jambo hili lilivyo baya mlilolifanya mbele za waendesha magari ya vita 6,000 na askari wa
macho ya BWANA mlipoomba mfalme.” miguu wengi kama mchanga wa ufuoni mwa
18Kisha Samweli akamwomba BWANA na bahari. Walipanda na kupiga kambi huko
siku ile ile BWANA akatuma ngurumo na mvua. Mikmashi, mashariki ya Beth Aveni. 6Watu wa
Israeli walipoona kuwa hali yao ni ya hatari na
kuwa jeshi lao limesongwa sana, wakajificha
a11 Yeru Baali ambaye pia aliitwa Gideoni. katika mapango na katika vichaka, katikati ya
12
1SAMWELI
miamba, kwenye mashimo na kwenye Wafilisti ili kunoa majembe ya plau, majembe ya
mahandaki. 7Hata baadhi ya Waebrania mkono, mashoka na miundu. 21Bei ilikuwa fedha
wakavuka Yordani mpaka nchi ya Gadi na theluthi mbili za shekeli a kunoa majembe ya
Gileadi. plau na majembe ya mkono, na theluthi moja ya
Sauli akabaki huko Gilgali, navyo vikosi shekeli b kwa nyuma, mashoka na michokoo.
vyote vilivyokuwa pamoja naye vilikuwa 22Kwa hiyo siku ya vita hakuna askari ye
vikitetemeka kwa hofu. 8Akangoja kwa siku yote aliyekuwa kambini na Sauli na Yonathani
saba, muda uliowekwa na Samweli, lakini ambaye alikuwa na upanga wala mkuki mkononi
Samweli hakuja Gilgali, nao watu wa Sauli mwake, ila Sauli tu na mwanawe Yonathani ndio
wakaanza kutawanyika. 9Basi akasema, waliokuwa navyo.
“Nileteeni hapa sadaka ya kuteketezwa na
sadaka za amani.” Naye Sauli akatoa sadaka ya Yonathani Awashambulia Wafilisti
kuteketezwa. 10Mara alipomaliza kutoa hiyo 23Basi kikosi cha Wafilisti kilikuwa kimetoka
14
11Samweli akamwuliza, “Umefanya nini?” Siku moja Yonathani mwana wa Sauli
Sauli akajibu, “Nilipoona kwamba watu akamwambia kijana mbeba silaha
wanatawanyika, na kwamba hukuja wakati wake, akasema, “Njoo, tuwavukie Wafilisti
uliopangwa na kwamba Wafilisti walikuwa kwenye doria upande ule mwingine.” Lakini
wakikusanyika huko Mikmashi, 12nikawaza, hakumwambia baba yake.
‘Sasa Wafilisti watatelemka dhidi yangu huko 2Sauli alikuwa akikaa kwenye viunga vya
Gilgali nami sijaomba kibali kwa BWANA. Hivyo Gibea chini ya mkomamanga huko Migroni.
nikalazimika kutoa sadaka ya kuteketezwa.” Alikuwa pamoja na watu kama 600, 3miongoni
13Samweli akasema, “Umetenda kwa mwao alikuwepo Ahiya, ambaye alikuwa
upumbavu. Hukuyashika maagizo ya BWANA amevaa kisibau. Alikuwa mwana wa Ikabodi,
Mungu wako aliyokupa, kama ungelitii, nduguye Ahitubu mwana wa Finehasi, mwana
angeudumisha ufalme wako juu ya Israeli kwa wa Eli, kuhani wa BWANA huko Shilo. Hakuna
wakati wote. 14Lakini sasa ufalme wako ye yote aliyekuwa na habari kwamba Yonathani
hautadumu, BWANA amemtafuta mtu alikuwa ameondoka.
aupendezae moyo wake na amemchagua awe 4Kila upande wa njia ambayo Yonathani
kiongozi wa watu wake, kwa sababu hukuyatii alikusudia kupita ili kuvuka kufikia doria ya
maagizo ya BWANA.” Wafilisti kulikuwepo na jabali, jabali moja lilikuwa
15Kisha Samweli akaondoka Gilgali, linaitwa Bosesi na jingine Sene. 5Jabali moja
akapanda Gibea ya Benyamini, naye Sauli lilisimama kaskazini kuelekea Mikmashi na
akawahesabu watu aliokuwa nao. Jumla yao jingine upande wa kusini kuelekea Geba.
walikuwa watu 600. 6Yonathani akamwambia kijana wake
mbeba silaha. “Njoo, tuvukie doria ya wale
Israeli Bila Silaha jamaa wasiotahiriwa. Huenda BWANA atatenda
16Sauli, mwanawe Yonathani na watu kwa ajili yetu. Hakuna cho chote kitakachoweza
waliokuwa pamoja nao walikuwa wakiishi huko kumzuia BWANA kuokoa, kwamba ni kwa wingi
Gibea ya Benyamini, wakati Wafilisti wakiwa au kwa uchache.”
wamepiga kambi huko Mikmashi. 17Makundi ya 7Mbeba silaha wake akamwambia, “Fanya
wavamiaji walikuja kutoka katika kambi ya yale yote uliyonayo katika moyo wako. Songa
Wafilisti katika vikosi vitatu. Kikosi kimoja mbele, moyo wangu na roho yangu viko pamoja
kilielekea Ofra karibu na Shuali, 18Kikosi kingine nawe.”
kilielekea Beth- Horoni, nacho kikosi cha tatu 8Yonathani akasema, “Basi njoo, tutavuka
kilielekea kwenye nchi ya mpakani ielekeayo kuwaelekea hao watu na acha watuone. 9Kama
Bonde la Seboimu linalotazamana na jangwa. wakituambia, Subirini hapo mpaka tuje kwenu,
19Hapakuwa na mhunzi ambaye angeweza tutakaa pale tulipo na hatutakwea kwao. 10Lakini
kupatikana katika nchi yote ya Israeli, kwa kama watasema, “Pandeni mje kwetu, tutakwea,
sababu Wafilisti walikuwa wamesema,
“Waebrania wasije wakatengeneza panga au
mikuki!.” 20Hivyo Waisraeli wote hutelemka kwa a21 Fedha theluthi mbili za shekeli ni sawa na gramu 8.
b21 Fedha theluthi moja ya shekeli ni sawa na gramu 4.
13
1SAMWELI
kwa sababu hiyo itakuwa ishara yetu kwamba navyo vita vilienea hadi kupita Beth Aveni.
BWANA amewatia mikononi mwetu.”
11Basi wote wawili wakajionyesha kwa doria Yonathani Ala Asali
ya Wafilisti. Wafilisti wakasema, “Tazama! 24Basi watu wa Israeli walikuwa katika dhiki
Waebrania wanatambaa toka mashimoni siku ile, kwa sababu Sauli alikuwa amewafunga
walimokuwa wamejificha.” 12Watu wa kwenye watu kwa kiapo akisema, “Alaaniwe mtu ye yote
doria wakawapigia kelele Yonathani na mbeba ambaye atakula chakula kabla ya jioni, kabla
silaha wake wakisema. “Njoni pandeni kwetu sijalipiza kisasi juu ya adui zangu! “Kwa hiyo
nasi tutawakomesha.” hakuna mtu ye yote katika jeshi aliyeonja
Basi Yonathani akamwambia mbeba silaha chakula.
wake, “Panda nyuma yangu, BWANA amewatia 25Jeshi lote liliingia mwituni na huko
14
1SAMWELI
36Sauli akasema, “Tutelemke tufuatie nyara.
Wafilisti usiku na kuwateka nyara mpaka
mapambazuko, nasi tusiache hata mmoja wao Jamaa Ya Sauli
hai.” 49Wana wa Sauli walikuwa Yonathani, Ishvi
Wakajibu, “Fanya lo lote lile uonalo jema na Malki - Shua. Jina la binti yake mkubwa
zaidi kwako.” Lakini kuhani akasema, “Tuulize aliitwa Merabu na mdogo aliitwa Mikali. 50Jina la
kwa Mungu mahali hapa” mkewe Sauli aliitwa Ahinoamu binti wa
37Basi Sauli akamwuliza Mungu akisema, Ahimaasi. Jina la jemadari wa jeshi la Sauli
“Je, nitelemke kuwafuatia Wafilisti? Je, utawatia aliitwa Abneri mwana wa Neri, naye Neri alikuwa
mkononi mwa Israeli?” Lakini Mungu hakumjibu babaye mdogo Sauli. 51Babaye Sauli yaani,
siku ile. Kishi na Neri baba yake Abneri walikuwa wana
38Kwa hiyo Sauli akasema, “Njoni hapa, wa Abieli. 52Siku zote za kutawala kwa Sauli
ninyi nyote ambao ni viongozi wa jeshi, na zilikuwa za vita vikali dhidi ya Wafilisti na wakati
tutafute ni dhambi gani imefanywa leo. 39Kwa wo wote Sauli alipomwona mtu mwenye nguvu
hakika kama BWANA aiokoaye Israeli aishivyo, au shujaa, alimchukua kwa utumishi wake.
hata kama itakuwa juu ya mwana wangu
Yonathani, ni lazima afe.” Lakini hakuna mtu ye BWANA Anamkataa Sauli Asiwe Mfalme
yote aliyesema neno.
40Kisha Sauli akawaambia Waisraeli wote, 15 Samweli akamwambia Sauli, “Mimi ndiye
ambaye BWANA alinituma nikutie
“Ninyi simameni huko, mimi na mwanangu mafuta uwe mfalme juu ya watu wake Israeli,
Yonathani tutasimama hapa.” basi sasa sikiliza ujumbe kutoka kwa BWANA.
Watu wakajibu, “Fanya lile unaloona jema 2Hili ndilo BWANA Mwenye Nguvu asemalo:
Hivyo Yonathani akamwambia, “Nilionja tu huko Telaimu, askari wa miguu 200,000 pamoja
asali kidogo kwa ncha ya fimbo yangu, Je, sasa na watu 10,000 kutoka Yuda. 5Sauli akaenda
ni lazima nife?” katika mji wa Amaleki na kuwavizia bondeni.
44Sauli akasema, “Mungu na anishughulikie 6Kisha akawaambia Wakeni, “Ondokeni,
kwa ukali zaidi kama wewe Yonathani hutakufa.” waacheni Waamaleki ili kwamba nisije
45Lakini watu wakamwambia Sauli, “Je, nikawaangamiza ninyi pamoja nao, kwa kuwa
Yonathani atakufa, yeye ambaye ameleta ninyi mliwatendea mema Waisraeli wote wakati
wokovu huu mkubwa Israeli? Hasha! Hakika walipopanda toka Misri. “Basi Wakeni
kama BWANA aishivyo, hakuna hata unywele wakaondoka wakawaacha Waamaleki.
wa kichwa chake utakaoanguka juu ya ardhi, 7Ndipo Sauli akawashambulia Waamaleki
kwa kuwa alifanya jambo hili leo kwa msaada toka Havila mpaka Shuri, hadi mashariki ya
wa Mungu.” Basi watu wakamwokoa Yonathani, Misri. 8Akamchukua Agagi, mfalme wa
wala hakuuawa. Waamaleki akiwa hai, nao watu wake wote
46Kisha Sauli akaacha kuwafuata Wafilisti, akawaangamiza kabisa kwa upanga. 9Lakini
nao wakajiondoa na kurudi katika nchi yao. Sauli na hilo jeshi wakamhifadhi hai Agagi na
47Baada ya Sauli kujitwalia utawala katika kondoo na ng’ombe walio wazuri, mafahali na
Israeli, alipigana dhidi ya adui zake kila upande: wanakondoo walionona kila kitu kilichokuwa
Moabu, Waamoni, Edomu, wafalme wa Soba na kizuri. Hivi vitu hawakuwa radhi kuviangamiza
Wafilisti. Po pote alipogeukia, aliwashinda. kabisa, bali kila kitu kilichodharauliwa na kilicho
48Akapigana kishujaa na kuwashinda dhaifu wakakiangamiza kabisa.
Waameleki, akiikomboa Israeli kutoka katika 10Kisha neno la BWANA likamjia Samweli
15
1SAMWELI
Sauli kuwa mfalme, kwa sababu ameacha Kwa sababu umelikataa neno la BWANA,
kunifuata mimi na hakutimiza maagizo yangu.” naye amekukataa wewe kuendelea kuwa
Samweli akafadhaika, naye akamlilia BWANA mfalme.”
usiku ule wote.
12Asubuhi na mapema Samweli akaamka 24Ndipo Sauli akamwambia Samweli,
kwenda kukutana na Sauli, lakini akaambiwa, “Nimetenda dhambi. Nimevunja amri ya BWANA
“Sauli amekwenda Karmeli. Huko na maagizo yako. Niliwaogopa watu na kwa hiyo
amesimamisha mnara kwa heshima yake nikafanya walivyotaka. 25Sasa ninakusihi,
mwenyewe naye ameendelea na kutelemkia usamehe dhambi yangu nawe urudi pamoja
Gilgali.” nami, ili nipate kumwabudu BWANA.”
13Samweli alipomfikia, Sauli akamwambia, 26Lakini Samweli akamwambia, “Sitarudi
“BWANA akubariki! Nimetimiza yale BWANA pamoja nawe. Umelikataa neno la BWANA,
aliyoniagiza.” nawe BWANA amekukataa wewe usiendelee
14Lakini Samweli akasema, “Nini basi huu kuwa mfalme juu ya Israeli!”
mlio wa kondoo masikioni mwangu? Huu mlio 27Samweli alipogeuka ili aondoke, Sauli
16
23Kwa maana kuasi ni kama dhambi ya uaguzi, BWANA akamwambia Samweli,
nao ukaidi ni kama uovu wa kuabudu “Utamlilia Sauli mpaka lini, maadam
sanamu. nimemkataa asiendelee kuwa mfalme juu ya
16
1SAMWELI
Israeli? Jaza pembe yako mafuta ushike njia akaenda zake Rama.
uende, ninakutuma kwa Yese Mbethlehemu.
Nimemchagua mmoja wa wanawe kuwa Daudi Katika Utumishi Kwa Sauli
mfalme.” 14Basi Roho wa BWANA alikuwa
2Lakini Samweli akasema, “Nitakwendaje? ameondoka kwa Sauli, nayo roho mbaya
Sauli atasikia juu ya jambo hili na ataniua.” ikaachiwa nafasi na BWANA ili imtese.
BWANA akamwambia, “Chukua mtamba wa 15Watumishi wa Sauli wakamwambia,
ng’ombe na useme, ‘Nimekuja kumtolea “Angalia, roho mbaya imeachiwa nafasi na
BWANA dhabihu. 3Mwalike Yese aje kwenye BWANA nayo inakutesa. 16Basi bwana wetu na
dhabihu, nami nitakuonyesha utakalofanya. aamuru watumishi wake walioko hapa kutafuta
Utamtia mafuta kwa ajili yangu yule mtu ambaye anaweza kupiga kinubi. Atakipiga
nitakayekuonyesha.” kinubi wakati roho mbaya iliyoachiwa nafasi na
4Samweli akafanya kile BWANA Mungu ikujiapo, nawe utajisikia vizuri.”
alichosema. Alipofika Bethlehemu, wazee wa mji 17Basi Sauli akawaambia watumishi wake,
wakatetemeka walipomlaki. Wakauliza, “Je, “Mtafuteni mtu apigaye kinubi vizuri mkamlete
umekuja kwa amani?” kwangu.”
5Samweli akajibu, “Ndiyo, kwa amani, 18Mmoja wa watumishi wake akajibu,
akasema, “Hata huyu BWANA hakumchagua.” akisema, “Mruhusu Daudi abaki katika utumishi
9Kisha Yese akampitisha Shama, lakini Samweli wangu, kwa kuwa ninapendezwa naye.”
akasema, “Wala huyu BWANA hakumchagua.” 23Kila mara roho mbaya iliyoachiwa nafasi
10Yese alikuwa na wana saba aliowapitisha na Mungu ilipomjia Sauli, Daudi alichukua kinubi
mbele ya Samweli, lakini Samweli akamwambia, chake na kupiga. Ndipo Sauli angetulizwa na
“BWANA hajawachagua hawa.” 11Hivyo kujisikia vizuri, nayo ile roho mbaya
akamwuliza Yese, “Je, hawa ndio wana pekee ingemwacha.
ulio nao?”
Yese akajibu, “Bado yuko mdogo kuliko Daudi Na Goliathi
wote, - lakini anachunga kondoo.” Wakati huu Wafilisti wakakusanya
Samweli akasema, “Tuma aitwe, hatutaketi 17 majeshi yao kwa ajili ya vita nao
mpaka afike.” wakakusanyika huko Soko katika Yuda.
12Basi akatuma aitwe naye akaletwa. Wakapiga kambi huko Efes-Damimu, kati ya
Alikuwa mwekundu mwenye sura nzuri na umbo Soko na Azeka. 2Sauli na Waisraeli
la kupendeza. wakakusanyika na kupiga kambi katika Bonde la
Ndipo BWANA akasema, “Inuka na umtie Ela na kupanga jeshi ili kupigana vita na
mafuta, huyu ndiye.” Wafilisti. 3Wafilisti wakawa katika kilima kimoja
13Basi Samweli akachukua ile pembe ya na Waisraeli katika kilima kingine, hilo bonde
mafuta na kumtia mafuta mbele ya ndugu zake, likiwa kati yao.
kuanzia siku ile na kuendelea Roho wa BWANA 4Shujaa aliyeitwa Goliathi, aliyetoka Gathi,
akaja juu ya Daudi kwa nguvu. Kisha Samweli akajitokeza kutoka katika kambi ya Wafilisti.
17
1SAMWELI
Alikuwa na urefu dhiraa sita na shibiri moja a . alivyokuwa amemwagiza.Akafika kambini wakati
5Alikuwa na chepeo ya shaba kichwani mwake jeshi lilipokuwa likitoka kwenda kwenye sehemu
na alivaa dirii ya shaba kifuani mwake yenye yake ya kupigania, huku wakipiga kelele za vita.
uzito wa shekeli elfu tano b . 6Miguuni mwake 21Israeli na Wafilisti walikuwa wakipanga safu
alivaa mabamba ya shaba na mkuki wa shaba zao wakitazamana. 22Daudi akaacha vile vitu
mkononi mwake. 7Mpini wa huo mkuki ulikuwa vyake kwa mtunza vifaa, akakimbilia katika safu
kama mti wa mfumaji na ncha ya chuma yake za vita na kuwasalimu ndugu zake. 23Alipokuwa
ilikuwa na uzito wa shekeli mia sita c . Mbeba akisema nao, Goliathi, yule Mfilisti shujaa kutoka
ngao wake alitangulia mbele yake. Gathi, akajitokeza mbele ya safu zake na kupiga
8Goliathi alisimama na kuwapigia kelele ile kelele yake ya kawaida ya matukano, naye
majeshi ya Israeli, akisema, “Kwa nini mmetoka Daudi akayasikia. 24Waisraeli walipomwona yule
kupanga vita? Je, mimi si Mfilisti na ninyi ni mtu, wote wakamkimbia kwa woga mkuu.
watumishi wa Sauli? Chagueni mtu na anishukie 25Basi Waisraeli walikuwa wakisema, Je,
mimi. 9Kama anaweza kupigana nami na kuniua, mnaona jinsi mtu huyu anavyoendelea
tutakuwa chini yenu, lakini kama nikimshinda na kujitokeza. Hujitokeza ili kutukana Israeli.
kumwua, ninyi mtakuwa chini yetu na Mfalme atatoa utajiri mwingi kwa yule mtu
mtatutumikia.” 10Kisha yule Mfilisti akasema, atakayemwua. Pia atamwoza binti yake na
“Siku hii ya leo nayatukana majeshi ya Israeli! atasamehe jamaa ya baba yake kulipa kodi
Nipeni mtu tupigane.” 11Kwa kusikia maneno ya katika Israeli.”
Wafilisti, Sauli na Waisraeli wote wakafadhaika 26Daudi akauliza watu waliokuwa
na kuogopa. wamesimama karibu naye, “Je, atafanyiwa nini
12Basi Daudi alikuwa mwana wa Mwefrathi mtu atakayemwua huyu Mfilisti na kuondoa aibu
jina lake Yese aliyekuwa ametoka Bethlehemu hii itoke katika Israeli? Ni nani huyu Mfilisti
ya Yuda. Yese alikuwa na wana wanane, naye asiyetahiriwa hata atukane majeshi ya Mungu
wakati wa Sauli alikuwa mzee tena wa umri aliye hai?”
mkubwa. 13Wana wakubwa watatu wa Yese 27Wakarudia yale yaliyokuwa yamesemwa
walikuwa wamefuatana na Sauli vitani: Mzaliwa na kumwambia kuwa, “Hili ndilo atakalotendewa
wa kwanza alikuwa Eliabu, wa pili Abinadabu na mtu yule atakayemwua.
wa tatu Shama. 14Daudi ndiye aliyekuwa mdogo 28Eliabu nduguye mkubwa Daudi alipomsikia
wa wote. Hao wakubwa watatu wakamfuata akizungumza na watu hasira ikawaka juu yake
Sauli, 15Lakini Daudi alikuwa akienda kwa Sauli akamwuliza, “Kwa nini umetelemka kuja hapa?
na kurudi ili kuchunga kondoo za baba yake Nao wale kondoo wachache kule nyikani
huko Bethlehemu. umewaacha na nani? Ninajua jinsi ulivyo na
16Kwa siku arobaini huyo Mfilisti alikuwa kiburi na jinsi moyo wako ulivyo mwovu,
akija mbele kila siku asubuhi na jioni na umekuja hapa kutazama vita tu.”
kujionyesha. 29Daudi akasema, “Sasa nimefanya nini? Je,
17Wakati huo Yese akamwambia mwanawe siwezi hata kuongea.” 30Daudi akamgeukia mtu
Daudi, “Chukua hii efa d ya bisi na hii mikate mwingine na kumwuliza jambo hilo hilo na watu
kumi kwa ajili ya ndugu zako uwapelekee upesi wakamjibu vile vile kama mwanzo. 31Lile Daudi
kambini mwao. 18Chukua pamoja na hizi jibini alilosema likasikiwa na kuelezwa kwa Sauli,
kumi kwa jemadari wa kikosi chao. Ujue hali ya naye Sauli akatuma aitwe.
ndugu zako na uniletee taarifa za uhakika 32Daudi akamwambia Sauli, “Mtu ye yote
kutoka kwao. 19Wao wako pamoja na Sauli na asife moyo kwa habari ya huyu Mfilisti, mtumishi
watu wote wa Israeli huko kwenye Bonde la Ela, wako atakwenda kupigana naye.”
wakipigana na Wafilisti.” 33Sauli akajibu, “Wewe hutaweza kwenda
20Asubuhi na mapema Daudi akaondoka, kupigana dhidi ya huyu Mfilisti, wewe ni kijana
akaliacha kundi la kondoo pamoja na mchungaji, tu, naye amekuwa mtu wa vita tangu ujana
akapakia vitu vile na kuondoka, kama vile Yese wake.”
34Lakini Daudi akamwambia Sauli,
“Mtumishi wako amekuwa akichunga kondoo za
a4 Dhiraa sita na shabiri moja ni sawa na mita 3. baba yake. Wakati simba au dubu alipokuja na
b5 Shekeli 5,000 ni sawa na kilo 50.
c7 Shekeli 600 ni sawa na kilo 7. kuchukua kondoo kutoka katika kundi,
d17 Efa ni kipimo cha uzito sawa na kilo 10. 35nilifuatia, nikampiga na nikampokonya kondoo
18
1SAMWELI
kwenye kinywa chake. Aliponigeukia, kombeo nalo likampiga yule Mfilisti kwenye paji
nilimkamata nywele zake, nikampiga na la uso. Nalo lile jiwe likaingia chini kipajini mwa
kumwua. 36Mtumishi wako ameshaua simba na uso, akaanguka kifudifudi.
dubu pia, huyu Mfislisti asiyetahiriwa atakuwa 50Basi Daudi akamshinda huyo Mfilisti kwa
kama mmoja wa hao, kwa sababu ameyatukana kombeo na jiwe, bila kuwa na upanga mikononi
majeshi ya Mungu aliye hai. 37BWANA ambaye mwake akampiga huyo Mfilisti na kumwua.
aliniokoa toka katika makucha ya simba na 51Daudi akakimbia na kusimama juu yake.
makucha ya dubu ataniokoa kutoka katika Akaushika upanga wa huyo Mfilisti na kuuvuta
mikono ya huyu Mfilisti,” toka kwenye ala yake. Baada ya kumwua,
Sauli akamwambia Daudi, “Nenda, naye akakata kichwa chake kwa ule upanga.
BWANA na awe pamoja nawe.” Wafilisti walipoona kuwa shujaa wao
38Ndipo Sauli akamvika Daudi silaha zake amekufa, wakageuka na kukimbia. 52Ndipo watu
mwenyewe za vita. Akamvika dirii na chepeo ya wa Israeli na Yuda wakainuka kwenda mbele
shaba kichwani mwake. 39Daudi akajifunga wakipiga kelele na kufuatia Wafilisti mpaka
upanga juu ya hayo mavazi na kujaribu kwenye ingilio la Gathi kwenye malango ya
kutembea kwa sababu alikuwa hana uzoefu Ekroni. Maiti zao zilitawanyika kando ya
navyo. barabara ya Shaaraimu hadi Gathi na Ekroni.
Daudi akamwambia Sauli, “Siwezi kwenda 53Waisraeli waliporudi kutoka kuwafukuza
nikiwa nimevaa hivi, kwa sababu sina uzoefu Wafilisti wakateka nyara kambi yao. 54Daudi
navyo.” Hivyo akavivua. 40Kisha akachukua akachukua kichwa cha yule Mfilisti na kukileta
fimbo yake mkononi, akachagua mawe laini Yerusalemu, naye akaweka silaha za huyo
matano kutoka kwenye kijito akayaweka kwenye Mfilisti katika hema lake mwenyewe.
kifuko ndani ya mfuko wake wa kichungaji, 55Wakati Sauli alipomwona Daudi
akiwa na kombeo yake mkononi mwake, anakwenda kukabiliana na huyo Mfilisti,
akamkaribia yule Mfilisti. alimwambia Abneri, jemadari wa jeshi, “Abneri,
41Wakati ule ule, yule Mfilisti, akiwa na yule kijana ni mwana wa nani?”
mbeba ngao wake mbele yake akaendelea Abneri akajibu, “Hakika kama uishivyo, Ee
kujongea karibu na Daudi. 42Mfilisti mfalme, mimi sifahamu.”
akamwangalia Daudi kote na kumwona kuwa ni 56Mfalme akasema, “Uliza huyu kijana ni
mimi ni mbwa, hata unanijia na fimbo? ‘ Yule Mfilisti, Abneri akamchukua na kumleta mbele
Mfilisti akamlaani Daudi kwa miungu yake. ya Sauli. Daudi alikuwa bado anakishikilia kile
44Akamwambia, “Njoo hapa, nami nitawapa kichwa cha yule Mfilisti.
ndege wa angani na wanyama wa mwituni 58Sauli akamwuliza, “Kijana, wewe ni
wake mfukoni na kuchukua jiwe, akalirusha kwa alitenda kwa hekima, hata Sauli akampa cheo
19
1SAMWELI
cha juu katika jeshi. Jambo hili likawapendeza likampendeza.. 21Sauli akawaza, “Nitampa
watu wote, hata maofisa wa Sauli pia. Daudi binti yangu, ili apate kuwa mtego kwake ili
6Watu walipokuwa wanarudi nyumbani kwamba mkono wa Wafilisti upate kuwa juu
baada ya Daudi kumwua yule Mfilisti, wanawake yake.” Hivyo Sauli akamwambia Daudi, “Sasa
wakaja kutoka pande zote za miji ya Israeli unayo nafasi ya pili ya kuwa mkwe wangu.”
kumlaki mfalme Sauli kwa kuimba na kucheza, 22Ndipo Sauli akawaagiza watumishi wake
kwa nyimbo za furaha na kwa matari na zeze. akisema, “Zungumzeni na Daudi kwa siri na
7Walipokuwa wanacheza, wakaimba: kumwambia, ‘Tazama, mfalme amependezwa
nawe, nao watumishi wake wote wanakupenda,
“Sauli amewaua elfu zake, basi na uwe mkwewe mfalme.”
naye Daudi makumi elfu yake.” 23Wakarudia hayo maneno kwa Daudi.
lakini mimi wamenipa elfu tu. Apate nini zaidi Daudi aliyoyasema, 25Sauli akajibu, “Mwambieni
isipokuwa ufalme?” 9Kuanzia wakati ule na Daudi, ‘Mfalme hataki zawadi nyingine kwa
kuendelea Sauli akawa na jicho la wivu juu ya mahari isipokuwa magovi mia moja ya Wafilisti,
Daudi. ili kulipiza kisasi juu ya adui zake.’” Mawazo ya
10Kesho yake roho mbaya iliyoachiwa nafasi Sauli yalikuwa Daudi akaanguke mikononi mwa
na Mungu ikaja kwa nguvu juu ya Sauli. Alikuwa Wafilisti.
akitabiri nyumbani mwake, wakati Daudi 26Watumishi walipomwambia Daudi mambo
alipokuwa akipiga kinubi, kama alivyozoea. Sauli haya, ikampendeza kuwa mkwewe mfalme. Basi
alikuwa na mkuki mkononi mwake 11akautupa kabla siku iliyopangwa haijafika, 27Daudi na watu
kwa nguvu, akijisemea mwenyewe “Nitamchoma wake walitoka na kuua Wafilisti mia mbili.
kwa mkuki abaki hapo ukutani.” Lakini Daudi Akayaleta magovi yao na kupeleka hesabu
akamwepa mara mbili. kamilifu kwa mfalme ili kwamba apate kuwa
12Sauli akamwogopa Daudi, kwa sababu mkwewe mfalme. Ndipo Sauli akamwoza Daudi
BWANA alikuwa pamoja na Daudi lakini alikuwa Mikali binti yake.
amemwacha yeye. 13Kwa hiyo Sauli 28Sauli alipotambua kuwa BWANA alikuwa
akamwondoa Daudi mbele yake na kumpa kuwa pamoja na Daudi na kwamba Mikali binti yake
kiongozi wa watu elfu moja, naye Daudi akatoka anampenda Daudi, 29Sauli akazidi kumwogopa
na kuingia akiongoza vikosi katika vita. 14Katika Daudi, naye Sauli akabaki kuwa adui yake siku
kila kitu alichofanya alipata mafanikio makubwa, zote za maisha yake.
kwa sababu BWANA alikuwa pamoja naye. 30Jemadari wa jeshi wa Wafilisti waliendelea
15Sauli alipoona jinsi alivyokuwa akifanikiwa, kupigana vita na kadiri walivyoendelea
akamwogopa. 16Lakini Israeli wote na Yuda kupigana, Daudi akazidi kutenda kwa hekima
walimpenda Daudi, kwa sababu ndiye aliyekuwa kuliko maafisa wengine wa Sauli, nalo jina lake
akitoka na kuingia mbele yao katika vita vyao. likajulikana sana.
17Sauli akamwambia Daudi, “Huyu hapa
binti yangu mkubwa Merabu. Nitakupa umwoe, Sauli Ajaribu Kumwua Daudi
endapo tu utanitumikia kwa ushujaa na kupigana
vita vya BWANA.” Kwa maana Sauli alisema 19 Sauli akamwambia mwanawe
Yonathani na watumishi wake wote
moyoni mwake, “Sitainua mkono wangu dhidi wamwue Daudi. Lakini Yonathani mwana wa
yake. Acha mkono wa Wafilisti uwe juu yake.” Sauli alimpenda sana Daudi 2naye akamwonya
18Lakini Daudi akamwambia Sauli, “Mimi ni akisema, “Baba yangu Sauli anatafuta nafasi ya
nani, nayo jamaa yangu ni nini au ukoo wa baba kukuua. Ujilinde kesho asubuhi, nenda ukajifiche
yangu katika Israeli, kwamba mimi niwe na ukae huko. 3Nitatoka na kukaa na baba
mkwewe mfalme?” 19Basi ulipofika wakati wa yangu shambani mahali uliko. Nitazungumza
Merabu, binti Sauli, Daudi apewe, aliozwa kwa naye juu yako nami nitakueleza nilichogundua”.
Adrieli Mmeholathi. 4Yonathani akanena mema juu ya Daudi
20Basi Mikali binti Sauli alimpenda Daudi, kwa Sauli baba yake na kumwambia, “Mfalme
nao walipomwambia Sauli juu ya jambo hili, asitende mabaya kwa mtumishi wake Daudi,
20
1SAMWELI
hajakukosea, aliyoyafanya yamekuwa ya faida yuko Nayothi huko Rama.” 20Basi Sauli akatuma
sana kwako. 5Alihatarisha maisha yake watu kumkamata lakini walipoona kundi la
alipomwua yule Mfilisti. BWANA akajipatia manabii wakitoa unabii, wakiwa pamoja na
ushindi mkubwa kwa ajili ya Israeli wote, nawe Samweli akiwa amesimama hapo kama kiongozi
uliuona na ukafurahi. Kwa nini basi utende wao, Roho wa Mungu akaja juu ya watu wa
mabaya kwa mtu asiye na hatia kama Daudi Sauli nao pia wakatoa unabii. 21Sauli akaelezwa
kwa kumwua bila sababu?” juu ya hilo, naye akapeleka watu wengine zaidi,
6Sauli akamsikiliza Yonathani na kuapa hivi: nao wakatoa unabii pia. Sauli akatuma watu
“Hakika kama BWANA aishivyo, Daudi mara ya tatu, nao pia wakatoa unabii.
hatauawa.” 22Mwishowe, yeye mwenyewe akaondoka
7Basi Yonathani akamwita Daudi na kwenda Rama na kwenda hadi kwenye kile
kumweleza mazungumzo yote. Akamleta kwa kisima, kikubwa kilichoko huko Seku. Naye
Sauli, naye Daudi akawa pamoja na Sauli kama akauliza, “Wako wapi Samweli na Daudi?”
kwanza. Wakasema, “Wako Nayothi huko Rama.”
8Vita vilitokea tena, naye Daudi akatoka na 23Hivyo Sauli akaenda Nayothi huko Rama.
kupigana na Wafilisti. Akawapiga kwa nguvu Lakini Roho wa Mungu akaja juu yake hata
nyingi hata wakakimbia mbele yake. yeye, akawa anatembea huku anatoa unabii
9Lakini roho mbaya iliyoachiwa nafasi na hadi akafika Nayothi. 24Akavua majoho yake na
BWANA ikaja juu ya Sauli alipokuwa ameketi pia akatoa unabii mbele ya Samweli. Akalala hali
katika nyumba yake akiwa na mkuki mkononi hiyo ule mchana kutwa na usiku kucha. Hii ndiyo
mwake. Daudi alipokuwa anampigia kinubi, sababu watu husema, “Je, Sauli pia yumo
10Sauli akajaribu kumchoma Daudi ukutani kwa miongoni mwa manabii?”
huo mkuki wake, lakini Daudi akamuepa Sauli
alipouchoma huo mkuki ukutani. Usiku ule ule Daudi Na Yonathani
Daudi akakimbia na kuokoka.
11Sauli akatuma watu nyumbani mwa Daudi 20 Kisha Daudi akakimbia kutoka Nayothi
huko Rama akamwendea Yonathani na
wailinde hiyo nyumba na kumwua asubuhi. kumwuliza, “Kwani nimefanya nini? Kosa langu
Lakini Mikali, mkewe Daudi, akamwonya ni nini? Nimemkosea baba yako kwa jinsi gani,
akisema, “Kama hukukimbia kuokoa maisha hata kwamba anajaribu kuuondoa uhai wangu?’’
yako usiku huu, kesho yake utauawa.” 12Basi 2Yonathani akajibu, ‘‘La hasha! hutakufa!
Mikali akamtelemsha Daudi kupitia dirishani, Tazama, baba yangu hafanyi kitu chochote,
naye akakimbia na kuokoka. 13Kisha Mikali kikubwa au kidogo, bila kuniambia mimi. Kwa
akachukua kinyago, akakilaza kitandani, nini anifiche hili? Sivyo ilivyo!’’
akakifunika kwa vazi na kukiwekea singa za 3Lakini Daudi akaapa na kusema, “Baba
‘Niache niende zangu. Kwa nini nikuue?” mwambie, ‘Daudi aliniomba sana ruhusa kuwahi
18Daudi alipokuwa amekimbia na kuokoka, Bethlehemu, mji wake wa nyumbani, kwa
alimwendea Samweli huko Rama na sababu dhabihu ya mwaka inafanywa huko kwa
kumwambia yale yote Sauli aliyomfanyia. Ndipo ajili ya ukoo wake wote’ 7Kama akisema, Ni
Daudi na Samweli wakaenda Nayothi kukaa vyema sana; basi mtumishi wako yu salama.
huko. 19Habari zikamfikia Sauli kusema: “Daudi Lakini kama akikasirika, unaweza kuwa na
21
1SAMWELI
hakika kwamba anakusudia kunidhuru. 8Lakini amekuruhusu uende zako. 23Kuhusu yale
kwa habari yako wewe, umtende wema tuliyozungumza wewe na mimi, kumbuka,
mtumishi wako, kwa sababu mmeingia kwenye BWANA naye shahidi kati yako wewe na mimi
agano pamoja naye mbele za BWANA. milele.’’
Kama nina hatia, basi niue wewe mwenyewe! 24Basi Daudi akajificha shambani, Sikukuu
Kwa nini unikabidhi kwa baba yako?” ya Mwezi Mwandamo ilipowadia, mfalme akaketi
9Yonathani akasema, “La hasha! Kama ili ale. 25Akaketi mahali pake pa kawaida karibu
ningekuwa na kidokezo kidogo kwamba baba na ukuta, kuelekeana na Yonathani, naye Abneri
yangu amekusudia kukudhuru wewe, je, akaketi karibu na mfalme Sauli, lakini kiti cha
nisingekuambia?’’ Daudi kilikuwa wazi. 26Sauli hakusema cho
10Daudi akamwuliza, je nani atakayeniambia chote siku ile kwa kuwa alifikiri, “Kuna kitu cha
kama baba yako atakujibu kwa ukali?’’ lazima kimetokea kwa Daudi ambacho
11Yonathani akamwambia; “Njoo, twende kimemfanya najisi asihudhurie karamuni, hakika
shambani.’’ Basi wakaenda huko pamoja. yeye yu najisi.’’ 27Lakini siku iliyofuata, siku ya
12Kisha Yonathani akamwambia Daudi, pili ya mwezi, kiti cha Daudi kilikuwa wazi tena.
“Ninakuahidi kwa jina la BWANA, Mungu wa Kisha Sauli akamwambia mwanawe Yonathani,
Israeli hakika nitamchunguza baba yangu wakati “Kwa nini mwana wa Yese hajaja chakulani jana
kama huu kesho kutwa! Kama ameweka wala leo?’’
utaratibu wa kufaa kukuhusu wewe, je, 28Yonathani akamjibu, “Daudi alinisihi sana
na anishughulikie tena iwe kwa ukali, iwapo yetu wana dhabihu mjini na ndugu yangu
sitakufahamisha na kukuaga uende kwa salama. ameniagiza niwepo huko. Kama nimepata kibali
BWANA na awe pamoja nawe kama alivyokuwa mbele yako, niruhusu niende kuona ndugu
pamoja na baba yangu. 14”Lakini nitendee wema zangu.’ Hii ndiyo sababu hakuja mezani pa
usiokoma kama ule wa BWANA siku zote za mfalme.’’
maisha yangu, ili nisije nikauawa, 15Wala 30Hasira ya Sauli ikawaka dhidi ya
usiuondoe wema wako kwa jamaa yangu, hata Yonathani na kumwambia, “Wewe mwana wa
kama ni wakati ule BWANA atakapokuwa mwanamke mkaidi na mwasi! Je, sijui kuwa
amekatilia mbali kila adui wa Daudi kutoka umekuwa upande wa mwana wa Yese kwa aibu
kwenye uso wa dunia.” yako mwenyewe na kwa aibu ya mama yako
16Basi Yonathani akafanya agano na aliyekuzaa? 31Maadam mwana wa Yese angali
nyumba ya Daudi, akisema: “BWANA na anaishi katika dunia hii wewe wala ufalme wako
awaangamize adui za Daudi.’’ 17Naye Yonathani hautasimama. Sasa tuma aitwe umlete kwangu,
akamtaka Daudi athibitishe tena kiapo chake kwa kuwa ni lazima afe!’’
cha kumpenda, kwa sababu Yonathani 32Yonathani akamwuliza baba yake, “Kwa
alimpenda Daudi kama nafsi yake mwenyewe. nini auawe? Kwani amefanya nini?’’ 33Lakini
18Kisha Yonathani akamwambia Daudi, Sauli akamtupia Yonathani mkuki wake kwa
“Kesho ni Sikukuu ya Mwezi Mwandamo. nguvu ili amwue. Hapo ndipo Yonathani
Itajulikana kwamba haupo kwa kuwa kiti chako alipotambua kwamba baba yake alikusudia
kitakuwa hakina mtu. 19Kesho kutwa, kumwua Daudi.
inapokaribia jioni, nenda mahali pale ulipojificha 34Yonathani akainuka kutoka mezani kwa
wakati tatizo hili lilipoanza na usubiri karibu na hasira kali, siku ile ya pili ya mwezi hakula
jiwe la Ezeli. 20Nitapiga mishale mitatu kando chakula, kwa kuwa alikuwa amehuzunishwa na
yake, kama kwamba nilikwenda kulenga vitendo vya aibu baba yake alivyokuwa
shabaha. 21Kisha nitamtuma mvulana na anamtendea Daudi.
kumwambia, ‘Nenda ukaitafute mishale.’ Kama 35Kesho yake asubuhi Yonathani alikwenda
nikimwambia, ‘Tazama mishale iko upande huu shambani kukutana na Daudi. Alikuwa
wako! Uilete hapa; basi ujue, kwa sababu hakika amefuatana na mvulana mdogo, 36naye
kama BWANA aishivyo wewe ni salama, hakuna Yonathani akamwambia yule mvulana, “Kimbia
hatari. 22Lakini kama nikimwambia huyo ukatafute mishale nitakayorusha.’’ Mvulana
mvulana, ‘Angalia, mishale iko mbele yako,’ basi alipokuwa akikimbia, akarusha mishale mbele
inakupasa uondoke, kwa sababu BWANA yake. 37Yule mvulana alipofika mahali pale
22
1SAMWELI
ambapo mshale wa Yonathani ulipokuwa wachungaji wanyama wa Sauli.
umeanguka, Yonathani akamwita!; “Je, mshale 8Daudi akamwuliza Ahimeleki, “Je, unao
hauko mbele yako? 38Yonathani akampigia mkuki au upanga hapa? Sikuleta upanga wala
kelele, “Harakisha, nenda haraka! Usisimame!” silaha nyingine yo yote, kwa sababu shughuli ya
Mvulana akaokota mshale na kurudi kwa bwana mfalme ilikuwa ya haraka.’’
wake. 39(Mvulana hakujua cho chote juu ya hayo 9Kuhani akajibu, “Upanga wa Goliathi
yote, Yonathani na Daudi tu ndio waliojua) Mfilisti, ambaye ulimwua katika Bonde la Ela,
40Basi Yonathani akampa yule mvulana silaha upo hapa, umefungiwa katika kitambaa nyuma
zake na kumwambia, “Nenda, zirudishe mjini.’’ ya kisibau. Kama unauhitaji, uchukue, hakuna
41Baada ya mvulana kwenda Daudi upanga mwingine hapa ila huo tu.’’
akainuka kutoka upande wa kusini wa lile jiwe Daudi akasema, “Hakuna upanga mwingine
naye akasujudu uso wake mpaka nchi mara tatu kama huo”. Nipatie huo.’’
mbele ya Yonathani. Kisha kila mmoja
akambusu mwenzake wakalia pamoja. Lakini Daudi Huko Gathi
Daudi akalia zaidi sana. 10Siku ile Daudi akamkimbia Sauli na
42Yonathani akamwambia Daudi, “Nenda kwenda kwa Akishi mfalme wa Gathi. 11Lakini
kwa amani, kwa kuwa tumeapiana kiapo cha watumishi wa Akishi wakamwambia, “Je, huyu si
urafiki kati yetu kwa jina la BWANA, tukisema, ndiye Daudi mfalme wa nchi? Je, huyu si ndiye
‘BWANA ndiye shahidi kati yako na mimi na kati yule ambaye wanaimba katika ngoma zao
ya wazao wako na wazao wangu milele.’ ’’ Kisha wakisema:
Daudi akaondoka, naye Yonathani akarudi mjini.
“ ‘Sauli amewaua elfu zake,
Daudi Huko Nobu naye Daudi makumi elfu yake?’ ’’
Daudi akaenda Nobu, kwa Ahimeleki
21 kuhani. Ahimeleki akatetemeka 12Daudi akayaweka maneno haya moyoni
alipokutana naye, akamwuliza, “Kwa nini uko naye akamwogopa sana Akishi mfalme wa
peke yako? Kwa nini hukufuatana na mtu ye Gathi. 13Basi akajifanya mwenda wazimu mbele
yote?’’ yao, naye alipokuwa mikononi mwao, alitenda
2Daudi akamjibu Ahimeleki kuhani akisema, kama kichaa, akikwaruza kwa kutia alama juu ya
“Mfalme ameniagiza shughuli fulani na milango ya lango na kuachia udelele kutiririka
kuniambia, ‘Mtu ye yote asijue cho chote kuhusu kwenye ndevu zake.
kazi yake wala maagizo yako! Kuhusu watu 14Akishi akawaambia watumishi wake,
wangu, nimewaambia tukutane mahali fulani. “Tazameni mtu huyu! Ana wazimu! Kwa nini
3Sasa basi, una nini mkononi? Nipatie mikate mnamleta kwangu? 15Je, mimi nimepungukiwa
mitano au cho chote unachoweza kupata.’’ na wenda wazimu kiasi kwamba mmeniletea
4Lakini kuhani akamjibu Daudi, ‘‘Sina mkate mtu huyo hapa aendelee kufanya hivi mbele
wo wote wa kawaida kwa sasa, hata hivyo, ipo yangu? Je, ilikuwa ni lazima mtu huyo aje
hapa mikate iliyowekwa wakfu, iwapo watu nyumbani kwangu?’’
wamejitenga na wanawake.’’
5Daudi akajibu, ‘‘Hakika tumejitenga na Daudi Akiwa Adulamu Na Mispa
wanawake kwa siku hizi chache kama kawaida
ya ninapotoka kwenda kwenye shughuli, navyo 22 Daudi akaondoka Gathi na kukimbilia
kwenye pango la Adulamu. Ndugu zake
vyombo vya wale vijana huwa ni vitakatifu hata na watu wa nyumba ya baba yake waliposikia
kwenye safari ya kawaida, si zaidi sana leo habari hiyo, wakamwendea huko. 2Wale wote
vyombo vyao vitakuwa ni vitakatifu ? ’’ 6Hivyo waliokuwa katika dhiki au waliokuwa na madeni
kuhani akampa ile mikate iliyowekwa wakfu, kwa au wale ambao hawakuridhika wakamkusanyikia
kuwa hapakuwepo mikate mingine isipokuwa Daudi, naye akawa kiongozi wao. Watu wapatao
hiyo ya Wonyesho iliyokuwa imeondolewa hapo 400 walikuwa pamoja naye.
mbele za BWANA na kubadilishwa na mingine 3Kutoka huko Daudi akaenda Mispe huko
23
1SAMWELI
wake wakae na mfalme wa Moabu, nao jamaa ya baba yake, kwa kuwa mtumishi wako
wakakaa naye muda wote Daudi aliokuwa hafahamu lolote kabisa kuhusu jambo hili lote.’’
ngomeni. 16Lakini mfalme akasema, “Ahimeleki,
5Ndipo nabii Gadi akamwambia Daudi, hakika utakufa, wewe na jamaa yote ya baba
“Usikae ngomeni. Nenda katika nchi ya Yuda.’’ yako.’’
Hivyo Daudi akaondoka na kwenda katika msitu 17Ndipo mfalme akawaamuru walinzi wake
agano na mwana wa Yese. Hapana hata mmoja mwana wa Ahitubu, akatoroka, akakimbia na
wenu anayejishughulisha nami wala kujiunga na Daudi. 21Akamwambia Daudi kuwa
anayeniambia kwamba mwanangu amechochea Sauli amewaua makuhani wa BWANA. 22Kisha
mtumishi wangu kunivizia, kama afanyavyo leo.’’ Daudi akamwambia Abiathari: “Siku ile, wakati
9Lakini Doegi Mwedomu, ambaye alikuwa Doegi Mwedomu alipokuwa pale nilijua
akisimama na maafisa wa Sauli, akasema, atahakikisha amemwambia Sauli, mimi
“Nilimwona mwana wa Yese akija kwa Ahimeleki ninawajibika kwa vifo vya jamaa ya baba yako
mwana wa Ahitubu huko Nobu. 10Ahimeleki yote. 23Ukae pamoja nami, usiogope, mtu
akamwuliza BWANA kwa ajili yake, pia akampa anayeutafuta uhai wako anautafuta uhai wangu
vyakula na ule upanga wa Goliathi Mfilisti.’’ pia. Ukiwa pamoja nami utakuwa salama.’’
11Kisha mfalme akatuma watu wamwite
kumwuliza Mungu kwa ajili yake, kwa sababu “Hapa Yuda kwenyewe tunaogopa. Si zaidi
hiyo ameasi dhidi yangu na kunivizia, kama sana, kama tukienda Keila dhidi ya majeshi ya
afanyavyo leo?’’ Wafilisti!”
14Ahimeleki akamjibu mfalme, “Ni nani 4Daudi akauliza kwa BWANA tena, naye
miongoni mwa watumishi wako wote BWANA akamjibu akamwambia, “Shuka uende
aliyemwaminifu kama Daudi, mkwewe mfalme, Keila, kwa kuwa nitawatia Wafilisti mkononi
kiongozi wa walinzi wako na anayeheshimika mwako.’’ 5Basi Daudi na watu wake wakaenda
sana katika watu wa nyumbani mwako? 15Je, Keila, wakapigana na Wafilisti na kutwaa
siku hiyo ilikuwa ndiyo ya kwanza kumwomba wanyama wao wa kutosha. Daudi akawatia
Mungu kwa ajili yake? La hasha! Mfalme na hasara kubwa Wafilisti na kuwaokoa
usiwashutumu watumishi wako wala yeyote wa
24
1SAMWELI
watu wa Keila. 6(BasiAbiathari mwana wa mfalme, utelemke wakati wo wote unapoona
Ahimeleki alikuwa ameleta kisibau alipokimbilia vyema kufanya hivyo, sisi tutawajibika
kwa Daudi huko Keila.) kumkabidhi kwa mfalme.’’
21Sauli akajibu, “BWANA awabariki kwa
Ee BWANA, Mungu wa Israeli, mwambie mlima, naye Daudi na watu wake walikuwa
mtumishi wako.’’ upande mwingine wa mlima, wakiharakisha
Naye BWANA akasema, “Ndiyo atashuka.’’ kumkimbia Sauli. Wakati Sauli na majeshi yake
12Daudi akauliza tena, “Je watu wa Keila walipokaribia kumkamata Daudi na watu wake,
watanisalimisha mimi pamoja na watu wangu 27mjumbe alikuja kwa Sauli akisema, “Njoo
Gibea na kusema, “Je, Daudi hajifichi miongoni kwa kukata upindo wa joho la Sauli.
6Akawaambia watu wake, “BWANA na
mwetu katika ngome huko Horeshi, katika kilima
cha Hakila, kusini ya Yeshimoni? 20Sasa, Ee
a28 “Hamahlekothi” maana yake “Mwamba wa kutengana.’’
25
1SAMWELI
apishie mbali nisije nikafanya jambo kama hilo katika jamaa ya baba yangu.’’
kwa bwana wangu, yeye ambaye ni mpakwa 22Basi Daudi akamwapia Sauli. Kisha Sauli
mafuta wa BWANA, au kuinua mkono wangu akarudi zake nyumbani, lakini Daudi na watu
dhidi yake, kwani yeye ni mpakwa mafuta wa wake wakapanda kwenda ngomeni.
BWANA. 7Kwa maneno haya Daudi akawaonya
watu wake na hakuwaruhusu wamshambulie Daudi, Nabali Na Abigaili
Sauli. Naye Sauli akaondoka pangoni na
kwenda zake. 25 Basi Samweli akafa, nao Israeli wote
wakakusanyika na kumwombolezea,
8Ndipo Daudi naye akatoka pangoni na wakamzika nyumbani kwake huko Rama.
kumwita Sauli akisema, “Mfalme bwana wangu! Kisha Daudi akatelemka kwenye Jangwa la
Sauli alipotazama nyuma, Daudi akainama na Maoni. 2Mtu mmoja huko Maoni, aliyekuwa na
kusujudu uso wake mpaka nchi. 9Akamwambia mali huko Karmeli, yeye alikuwa tajiri sana.
Sauli, “Kwa nini unasikiliza wakati watu Alikuwa na mbuzi elfu moja na kondoo elfu tatu,
wanapokuambia, ‘Daudi amenuia kukudhuru?’ aliokuwa akiwakata manyoya huko Karmeli.
10Leo umeona kwa macho yako mwenyewe jinsi 3Jina la mtu huyo aliitwa Nabali na jina la mkewe
BWANA alivyokutia mikononi mwangu huko aliitwa Abigaili. Alikuwa mwanamke mwenye
pangoni. Watu wengine walisisitiza nikuue lakini busara na mzuri wa sura, lakini mumewe
nilikuacha, nikisema! ‘Sitainua mkono wangu ambaye alikuwa wa ukoo wa Kalebu, alikuwa
dhidi ya bwana wangu, kwa sababu yeye ni mwenye hasira na mchoyo katika utendaji wake.
4Wakati Daudi alipokuwa huko jangwani,
mpakwa mafuta wa BWANA.’ 11Tazama, Baba
yangu, ona kipande hiki cha joho lako mkononi akasikia kuwa Nabali alikuwa anakata kondoo
mwangu! Nilikata upindo wa joho lako lakini manyoya. 5Basi akatuma vijana kumi na
sikukuua. Basi ujue na kutambua kuwa sina kuwaambia, “Pandeni kwa Nabali huko Karmeli
hatia ya kutenda mabaya wala ya kuasi. Wewe na msalimieni kwa jina langu. 6Msalimieni
sijakukosea, lakini wewe, unaniwinda mimi ili mkimwambia: ‘Amani iwe kwako! Amani iwe
kuuondoa uhai wangu. 12BWANA na ahukumu kwako pamoja na wa nyumbani mwako! Pia
kati yangu na wewe. Naye BWANA alipize amani iwe pamoja na vyote ulivyo navyo!
7“ ‘Nasikia kuwa huu ni wakati wa kukata
mabaya unayonitendea, lakini mkono wangu
hautakugusa. 13Kama msemo wa kale kondoo manyoya. Wachungaji wa mifungo yako
usemavyo, ‘Kutoka kwa watenda maovu hutoka walipokuwa pamoja nasi, hatukuwatendea
matendo maovu,’ kwa hiyo mkono wangu mabaya na wakati wote waliokuwa huko Karmeli
hautakugusa wewe. hakuna cho chote chao kilichopotea. 8Waulize
14“Je, mfalme wa Israeli ametoka dhidi ya watumishi wako nao watakuambia. Kwa hiyo
nani? Ni nani unayemfuatia? Je, ni mbwa mfu? uwatendee wema vijana wangu, kwani tumekuja
Ni kiroboto? 15BWANA na awe mwamuzi wetu, wakati wa furaha. Tafadhali wape watumishi
Yeye na aamue kati yetu. Yeye na anitetee wako na mwanao Daudi chochote kitakachokuja
shauri langu, anihesabie haki kwa kuniokoa mkononi mwako kwa ajili yao.’ ’’
9Watu wa Daudi walipofika wakampa Nabali
mkononi mwako.’’
16Daudi alipomaliza kusema haya, Sauli ujumbe huu kwa jina la Daudi. Kisha
akamwuliza, ‘‘Je, hiyo ni sauti yako, Daudi wakangojea.
10Nabali akawajibu watumishi wa Daudi,
mwanangu?’’ Ndipo Sauli akalia kwa sauti kuu
akisema, 17‘‘Wewe ni mwenye haki kuliko mimi,’ “Huyu Daudi ni nani? Huyu Mwana wa Yese ni
umenitendea mema, lakini mimi nimekutendea nani? Watumishi wengi wanakimbia kutoka kwa
mabaya. 18Sasa umeniambia juu ya mema bwana zao siku hizi. 11Kwa nini nichukue mkate
uliyonitendea, BWANA alinitia mikononi mwako, wangu, maji yangu na nyama niliyochinja kwa
lakini wewe hukuniua. 19Je, mtu ampatapo adui ajili ya wakata manyoya wangu, na kuwapa watu
yake, humwacha aende zake bila kumdhuru? ambao hakuna anayejua wanakotoka?’’
12Watu wa Daudi wakageuka na kurudi.
BWANA na akulipe mema kwa jinsi
ulivyonitenda leo. 20Ninajua kwamba hakika Walipofika, wakaarifu kila neno. 13Daudi
utakuwa mfalme na ya kwamba ufalme wa akawaambia watu wake, “Jifungeni panga zenu!
Israeli utakuwa imara mikononi mwako. 21Sasa Basi wakajifunga panga zao, naye Daudi
niapie kwa BWANA kwamba hutakatilia mbali akajifunga upanga wake. Watu kama mia nne
uzao wangu wala kulifuta jina langu kutoka hivi wakapanda pamoja na Daudi na watu mia
26
1SAMWELI
mbili wakabaki na vifaa. kumdhuru bwana wangu wawe kama Nabali.
14Mmoja wa watumishi akamwambia Abigaili 27Nayo zawadi hii ambayo mtumishi wako
mkewe Nabali: “Daudi alituma wajumbe kutoka amemletea bwana wangu, wapewe watu
jangwani kumpa bwana wetu salamu zake, lakini wanaofuatana nawe. 28Tafadhali samehe kosa
akawavurumishia matukano. 15Hata hivyo watu la mtumishi wako, kwa kuwa BWANA kwa
hawa walikuwa wema sana kwetu. hakika atafanya imara jamaa ya kifalme kwa
Hawakututendea mabaya, wakati wote bwana wangu, kwa sababu anapigana vita vya
tulipokuwa nje huko mashambani karibu nao, BWANA. 29Hata ingawa yuko mtu anayekufuatia
hatukupotewa na kitu cho chote. 16Usiku na kuondoa uhai wako, usiruhusu baya lo lote
mchana walikuwa ukuta wakituzunguka wakati kuonekana kwako siku zote za maisha yako,
wote tulipokuwa tukichunga kondoo zetu karibu uhai wa bwana wangu utafungwa salama
nao. 17Sasa fikiri juu ya jambo hili na uone kwenye furushi la walio hai na BWANA Mungu
unaweza kufanya nini, kwa sababu maafa wako. Lakini uhai wa adui zako atavurumishwa
yanakaribia juu ya bwana wetu na nyumba yake kama vile jiwe kutoka kwenye kombeo.
yote. Yeye ni mtu mwovu kiasi kwamba hakuna 30BWANA atakapokuwa ameshamtendea bwana
mtu awezaye kuzungumza naye.’’ wangu kila kitu chema alichoahidi kumhusu yeye
18Abigaili akafanya haraka, akachukua na kumweka kuwa kiongozi wa Israeli, 31bwana
mikate mia mbili, viriba viwili vya divai, kondoo wangu hatakuwa na dhamiri inayolemewa na
watano waliochinjwa vipimo vitano vya bisi, mzigo kwa kumwaga damu kusiko na sababu au
vishada mia moja vya zabibu kavu, mikate mia ya kujilipizia kisasi yeye mwenyewe. BWANA
mbili ya tini, akavipakia juu ya punda. 19Kisha atakapomletea bwana wangu mafanikio
akawaambia watumishi wake, “Tangulieni, mimi umkumbuke mtumishi wako.’’
nitakuja nyuma yenu.’’ Lakini hakumwambia 32Daudi akamwambia Abigaili, “Ahimidiwe
Daudi, tena kwa ukali, ikiwa kesho asubuhi mwake kile alichokuwa amemletea naye
nitambakizia mwanaume hata mmoja aliye hai akasema, “Nenda nyumbani kwako kwa amani,
miongoni mwa watu wake wote!” nimesikia maneno yako na kukujalia ombi lako.’’
23Abigaili alipomwona Daudi, akashuka 36Abigaili alipokwenda kwa Nabali; alikuwa
haraka kwenye punda wake akainama kifudifudi ndani ya nyumba yake akifanya karamu kama ile
uso wake mpaka nchi mbele ya Daudi. ya mfalme. Naye alikuwa anafuraha nyingi na
24Akamwangukia miguuni pake na kusema; akiwa amelewa sana. Kwa hiyo Abigaili
“bwana wangu, kosa hili na liwe juu yangu hakumwambia mumewe kitu cho chote mpaka
mwenyewe. Tafadhali mruhusu mtumishi wako asubuhi yake. 37Basi asubuhi, Nabali alipokuwa
aseme nawe. Sikia kile mtumishi wako amelevuka, mkewe akamwambia mambo yote,
atakachosema. 25Bwana wangu na asimjali huyo nao moyo wake ukazimia akawa kama jiwe.
mtu mwovu Nabali. Yeye anafanana na jina 38Baada ya siku kumi, BWANA akampiga Nabali
27
1SAMWELI
kumwomba awe mke wake. 40Watumishi wa hatia? 10Akasema, “Hakika kama vile BWANA
Daudi wakaenda mpaka Karmeli na kumwambia aishivyo, BWANA mwenyewe atampiga, au
Abigaili wakisema, “Daudi ametutuma kwako wakati wake utafika naye atakufa, au atakwenda
kukuchukua uwe mkewe.’’ vitani na kuangamia. 11Lakini Mungu na apishie
41Akainama chini uso wake mpaka ardhini mbali nisije nikainua mkono juu ya mpakwa
akasema, “Mjakazi wako yuko hapa, tayari mafuta wa BWANA. Sasa chukua huo mkuki na
kuwatumikia na kuwatawadha miguu watumishi hilo gudulia la maji, vilivyo karibu na kichwa
wa bwana wangu.’’ 42Abigaili akainuka kwa chake na tuondoke.’’
haraka akapanda punda wake, akihudumiwa na 12Hivyo Daudi akachukua huo mkuki na hilo
wajakazi wake watano, akaenda pamoja na gudulia la maji vilivyokuwa karibu na kichwa cha
wajumbe wa Daudi naye akawa mkewe. 43Pia Sauli, nao wakaondoka. Hakuna ye yote
Daudi alikuwa amemwoa Ahinoamu wa Yezreeli, aliyeona au kufahamu habari hii wala hakuna
wote wawili wakawa wake zake. 44Lakini Sauli hata mmoja aliyeamka usingizini. Wote walikuwa
alikuwa amemwoza Mikali binti yake, aliyekuwa wamelala,kwa sababu BWANA alikuwa
mkewe Daudi, kwa Palitieli mwana wa Laishi, amewatia kwenye usingizi mzito.
aliyekuwa mtu kutoka Galimu. 13Kisha Daudi akavuka upande mwingine na
28
1SAMWELI
21Ndipo Sauli akasema, “Nimetenda dhambi. kuanzia Telemu katika njia itelemkayo Shuri hadi
Rudi Daudi mwanangu. Kwa kuwa uliyahesabu kufikia nchi ya Misri. 9Kila mara Daudi
maisha yangu kuwa ya thamani leo, sitajaribu aliposhambulia eneo, hakubakiza hai
kukudhuru tena. Hakika nimetenda kama mwanaume wala mwanamke, lakini alichukua
mpumbavu na nimekosa sana.’’ kondoo na ng’ombe, punda na ngamia na nguo.
22Daudi akajibu, “Mkuki wa mfalme uko Kisha akarudi kwa Akishi.
hapa. Mmoja wa vijana wako na avuke 10Akishi alipomwuliza, “Je leo umeshambulia
kuuchukua. 23BWANA humlipa kila mtu kwa ajili wapi?” Daudi humjibu, “Dhidi ya Negebu ya
ya haki yake na uaminifu wake. BWANA alikutia Yuda au mwingine husema, Dhidi ya Negebu ya
katika mikono yangu leo, lakini sikuinua mkono Yerameeli, au dhidi ya Negebu ya Wakeni.
wangu juu ya mpakwa mafuta wa BWANA. 11Daudi hakumbakiza hai mwanaume au
24Kwa hakika kama vile maisha yako mwanamke ili apate kuletwa Gathi, kwa maana
yalivyokuwa ya thamani kwangu leo, vivyo hivyo Daudi aliwaza, Wanaweza kujulisha habari zetu
maisha yangu na yawe na thamani kwa BWANA na kusema, ‘Hivi ndivyo alivyofanya Daudi.’ ’’ Hii
na kuniokoa kutoka katika taabu zote.” ndiyo iliyokuwa desturi yake wakati wote
25Ndipo Sauli akamwambia Daudi, alipoishi katika nchi ya Wafilisti. 12Akishi
“Mwanangu Daudi na ubarikiwe, utafanya akamsadiki Daudi na kuwaza moyoni mwake
mambo makubwa na hakika utashinda.’’ akasema, “Daudi amekuwa kitu cha kuchukiza
Basi Daudi akaenda zake, naye Sauli kabisa kwa watu wake, yaani Waisraeli, kwamba
akarudi nyumbani. atakuwa mtumishi wangu milele.”
27
Daudi akasema moyoni mwake,
“Katika mojawapo ya siku hizi 28 Siku zile Wafilisti wakakusanya majeshi
yao ili kupigana vita dhidi ya Israeli.
nitaangamizwa kwa mkono wa Sauli. Jambo lililo Akishi akamwambia Daudi, “lazima ujue kuwa
bora ni kutorokea kwenye nchi ya Wafilisti. Hivyo wewe pamoja na watu wako mtafuatana nami
Sauli atakata tamaa ya kunisaka po pote katika kwenda vitani.”
Isareli, nami nitakuwa nimeponyoka mkononi 2Daudi akasema, “Ndipo wewe mwenyewe
pamoja na Akishi. Kila mtu alikuwa pamoja na Israeli wote walikuwa wamemwombolezea na
jamaa yake, naye Daudi pamoja na wakeze kumzika kwenye mji wake mwenyewe huko
wawili, yaani Ahinoamu wa Yezreeli na Abigaili Rama. Sauli alikuwa amewafukuza wenye pepo
wa Karmeli, mjane wa Nabali. 4Sauli alipokuwa wa utambuzi na wachawi.
ameambiwa kwamba Daudi alikuwa amekimbilia 4Wafilisti wakakusanyika na kupiga kambi
Gathi, hakuendela kumsaka tena. yao huko Shunemu, naye Sauli akawakusanya
5Ndipo Daudi akamwambia Akishi, “Kama Waisraeli wote na kupiga kambi yao huko Giboa.
nimepata kibali machoni pako, unipe sehemu 5Sauli alipoona jeshi la Wafilisti, akaogopa,
katika mojawapo ya miji katika nchi nikae huko, moyo wake ukajawa na hofu kuu. 6Lakini Sauli
kwa nini mtumwa wako akae pamoja nawe akauliza ushauri kwa BWANA, lakini BWANA
katika mji huu wa kifalme?” hakumjibu kwa ndoto, wala kwa Urimu a , wala
6Hivyo siku hiyo Akishi akampa Daudi kwa njia ya manabii. 7Basi Sauli akawaambia
Siklagi, nayo Siklagi umekuwa mali ya wafalme watumishi wake, “Nitafutieni mwanamke
wa Yuda tangu wakati huo. 7Daudi akaishi katika mwenye pepo wa utambuzi ili nimwendee nipate
nchi ya Wafilisti muda wa mwaka mmoja na kuuliza kwake.
miezi minne.
8Basi Daudi na watu wake wakapanda na
29
1SAMWELI
Watumishi wake wakamwambia, “Yuko 20Papo hapo Sauli akaanguka chini
mwanamke mmoja huko Endori.” akajinyoosha, akiwa amejawa na hofu kwa ajili
8Hivyo Sauli akajigeuza kwa kuvaa mavazi ya maneno ya Samweli. Nguvu zake
mengine, naye usiku akiwa amefuatana na watu zikamwishia kwa maana alikuwa hajala cho
wawili wakaenda kwa huyo mwanamke. chote mchana ule wote na usiku.
Akamwambia, “Nibashirie na unipandishie huyo 21Yule mwanamke alipomwendea Sauli na
BWANA aishivyo, hutaadhibiwa kwa ajili ya Lakini watumishi wake wakaungana na yule
jambo hili.” mwanamke wakamsisitiza ale, naye akakubali.
11Ndipo yule mwanamke akauliza, “Je Basi akainuka hapo chini, akaketi juu ya kitanda.
unataka nikupandishie nani? 24Yule mwanamke alikuwa na ndama
mzee amevaa joho anayepanda.” pamoja na vikosi vyao vya mamia na vya
Ndipo Sauli akatambua kwamba ni Samweli. maelfu, Daudi na watu wake walikuwa
Sauli akasujudu kifudifudi uso wake hadi ardhini. wakitembea huko nyuma pamoja na Akishi.
15Samweli akamwuliza Sauli, Kwa nini 3Majemadari wa Wafilisti wakauliza, “Vipi kuhusu
30
1SAMWELI
6Basi Akishi akamwita Daudi na nitawapata? ”
kumwambia, “Kama vile BWANA aishivyo, wewe BWANA akajibu, “Wafuatie. Hakika
umekuwa mtu mwaminifu, nami ningependa utawapata na utafanikiwa kuwaokoa.”
utumike pamoja nami katika jeshi. Tangu siku ile 9Daudi pamoja na watu wake 600 wakafika
uliyofika kwangu hadi sasa, sijaona kosa lo lote kwenye Bonde la Besori, mahali ambapo
kwako, lakini hao watawala hawakukubali. 7Rudi wengine waliachwa nyuma, 10kwa kuwa watu
na uende kwa amani, usifanye cho chote cha 200 walikuwa wamechoka sana kuweza kuvuka
kuwakasirisha watawala wa Kifilisti.” hilo bonde. Lakini Daudi pamoja na watu 400
8Daudi akauliza, “Lakini mimi nimefanya wakaendelea kufuatia.
nini? Je, umeona nini kibaya juu ya mtumishi 11Wakamkuta Mmisri katika shamba fulani,
wako tangu siku ile niliyokuja kwako hadi leo? nao wakamleta kwa Daudi. Wakampa huyo
Kwa nini nisirudi na kupigana na adui za bwana Mmisri maji ya kunywa na chakula, 12 kipande
wangu mfalme?” cha andazi la tini na andazi la zabibu
9Akishi akamjibu Daudi, “Mimi ninajua ya zilizokaushwa. Akala naye akapata nguvu, kwa
kuwa wewe umekuwa wa kupendeza machoni kuwa hakuwa amekula chakula cho chote wala
pangu kama vile malaika wa Mungu, lakini hao kunywa maji kwa siku tatu mchana na usiku.
majemadari wa Wafilisti wamesema, ‘Huyu 13Daudi akamwuliza, “Wewe ni wa nani na
31
1SAMWELI
walipowakaribia, akawasalimu. 22Lakini watu na wale waliokuwa ng’ambo ya Yordani
wote waovu na wakorofi miongoni mwa wafuasi walipoona kuwa jeshi la Waisraeli limekimbia na
wa Daudi wakasema, “Kwa sababu kwamba Sauli na wanawe wamekufa, wakaacha
hawakwenda pamoja nasi, hatutagawana nao miji yao na kukimbia. Nao Wafilisti wakaja na
nyara tulizorudisha. Lakini, kila mtu aweza kumiliki humo.
kuchukua mkewe na watoto wake na kuondoka.” 8Kesho yake Wafilisti walipokuja kuwavua
23Daudi akajibu, “La hasha, ndugu zangu, maiti silaha, wakamkuta Sauli na wanawe
kamwe hamwezi kufanya hivyo kwa kile watatu wameanguka kwenye Mlima Gilboa.
ambacho BWANA ametupatia. Bwana 9Wakamkata Sauli kichwa na wale waliouawa
ametulinda na kuweka mikononi mwetu majeshi kuwavua silaha zao, nao wakatuma wajumbe
yale yaliyokuja kupigana dhidi yetu. 24Ni nani katika nchi yote ya Wafilisti kutangaza habari
atasikiliza yale mnayosema? Fungu la mtu katika hekalu la sanamu zao na miongoni mwa
aliyekaa na vyombo litakuwa sawa na la yule watu wao. 10Wakaweka silaha zake katika
aliyekwenda vitani. Wote watashiriki sawa.” hekalu la Maashtorethi na kukifunga kiwiliwili
25Daudi akafanya hili liwe amri na agizo kwa chake katika ukuta wa Beth-Shani.
Israeli kutoka siku ile hata leo. 11Watu wa Yabeshi Gileadi waliposikia kile
26Daudi alipofika Siklagi, akatuma baadhi ya Wafilisti walichomfanyia Sauli, 12mashujaa wao
nyara kwa wazee wa Yuda, waliokuwa rafiki wote wakaenda usiku hadi Beth-Shani.
zake, akasema, “Tazama, hapa kuna zawadi Wakauchukua mwili wa Sauli na miili ya wanawe
kwa ajili yenu kutoka katika nyara za adui za kutoka kwenye ukuta wa Beth-Shani na kurudi
BWANA.” hadi Yabeshi, mahali ambapo waliiteketeza kwa
27Akazituma kwa wale waliokuwa Betheli, moto. 13Kisha wakachukua mifupa yao na
Ramoth, Negebu na Yatiri, 28kwa wale walioko kuizika chini ya mti wa mkwaju huko Yabeshi,
Aroeri, Sifmothi, Eshtemoa 29na Rakali, kwa nao wakafunga siku saba.
wale waliokuwa katika miji ya Wayeralimeeli na
ya Wakeni 30na kwa wale walioko Horma, Bori
Ashani, Aihaki, 31na kwa wakazi wa Hebroni na
kwa wale waliokuwa mahali pengine pote
ambako Daudi na watu wake walitembelea.
Sauli Ajiua
32
2 SAMWELI
Utangulizi
Kitabu kinaendeleza historia ya kuanzishwa kwa ufalme katika Israeli. Kinaanza na kifo cha Sauli,
kinaendelea na habari za kutawazwa kwa Daudi kukalia kiti cha ufalme cha Israeli na kipindi chote cha miaka
arobaini ya utawala wake. Kinaweka kumbukumbu ya vita na matukio mengine ya wakati wa utawala wa Daudi
kama vile kutekwa kwa mji wa Yerusalemu (5:6-16), dhambi ya Daudi na Bathsheba (11:1-27) na uasi wa
Absalomu (13: 1-20).
Wazo Kuu
Kitabu hiki kimepewa jina la nabii aliyempaka Daudi mafuta na kumwongoza katika kumfuata Mungu.Kitabu
hiki kinashughulika zaidi na miaka arobaini ya utawala wa Mfalme Daudi, kikionyesha jinsi ambavyo ustawi wa
watu wote kifamilia na kitaifa umefungwa katika hali ya kiroho na ya kimaadili ya kiongozi wao. Uadilifu au
upotovu wa kiongozi huamua ustawi au kudidimia kwa jamii au taifa.
Mwandishi
Haijulikani kwa uhakika. Wengine wamesema inawezekana ikawa ni Zabudi, mwanawe Nathani. (1Wafalme
4:5). Pia kitabu kina habari zilizoandikwa na Nathani na Gadi (1Mambo ya Nyakati 29:29).Wengine
wanaodhaniwa kuhusika ni Samweli, Daudi, Nathani na Gadi (1Mambo ya Nyakati 29:29). Ni muhimu kuchukulia
vitabu hivi vya 1Samweli na 2Samweli kama kitabu kimoja.
Mahali
Katika nchi ya Israeli chini ya utawala wa Mfalme Daudi.
Tarehe
1204 -1035 K.K.
Wahusika Wakuu
Daudi, Yoabu, Bathsheba, Nathani na Absalomu
Mgawanyiko
• Daudi mfalme wa Yuda (1:1 - 4:12)
• Daudi anaiunganisha Israeli (5:1 - 24:25)
1
2 SAMWELI
Baada ya kifo cha Sauli, Daudi alipokuwa wake na kumwambia, “Nenda ukamwue!” Kwa
1 amerudi kutoka kuwashinda Waamaleki, hiyo akampiga, naye akafa. 16Kwa maana Daudi
Daudi alikaa siku mbili huko Siklagi. 2Siku ya alikuwa amemwambia, “Damu yako iwe juu ya
tatu akaja mtu mwenye nguo zilizoraruka na kichwa chako mwenyewe. Kinywa chako
mavumbi kichwani mwake kutoka kwenye kambi mwenyewe kimeshuhudia dhidi yako uliposema,
ya Sauli. Alipomjia Daudi akajitupa chini ili ‘Nilimwua mpakwa mafuta wa BWANA ’.”
kumpa heshima.
3Daudi akamwuliza, “Wewe umetoka wapi?” Ombolezo La Daudi Kwa Ajili Ya Sauli Na
Akamjibu, “Nimetoroka kutoka katika kambi Yonathani
ya Waisraeli.” 17Daudi akafanya maombolezo haya kuhusu
4Daudi akamwuliza, “Ni nini kilichotokea? Sauli na Yonathani mwanawe, 18naye akaagiza
Niambie.” kwamba watu wa Yuda wafundishwe ombolezo
Akasema, “Watu walikimbia kutoka vitani. hili la upinde (ambalo limeandikwa katika kitabu
Wengi wao walianguka na kufa. Naye Sauli na cha Yashari):
Yonathani mwanawe wamekufa.” 19“Walio fahari yako, Ee Israeli wameuawa juu
5Ndipo Daudi akamwambia huyo kijana ya mahali pako palipoinuka”.
mwanaume aliyemletea taarifa, “Je, Jinsi wenye nguvu walivyoanguka!
umefahamuje kwamba Sauli na Yonathani 20Msilisimulie hili katika Gathi,
2
2 SAMWELI
kwangu ulikuwa mpendwa sana. wa Seruya na watu wa Daudi wakatoka na
Upendo wako kwangu ulikuwa wa ajabu, kukutana nao kwenye bwawa la Gideoni.
wa ajabu zaidi kuliko ule wa wanawake”. Kikundi kimoja kiliketi upande mmoja wa bwawa
na kikundi kingine upande wa pili.
27 “Tazama jinsi mashujaa walivyoanguka! 14Ndipo Abneri akamwambia Yoabu,
Silaha za vita zimeangamia!” “Tuwaweke baadhi ya vijana wasimame na
wapigane ana kwa ana mbele yetu.”
Daudi Atiwa Mafuta Kuwa Mfalme Wa Yuda Yoabu akasema, “Sawa na wafanye hivyo.”
2 Ikawa baada ya mambo haya, Daudi
akamwuliza BWANA , “Je nipande kwenda
15Kwa hiyo vijana wakasimama
wakahesabiwa, watu wa Benyamini na wa Ish-
katika mojawapo ya miji ya Yuda?” Boshethi mwana wa Sauli kumi na wawili na
BWANA akasema, “Panda.” upande wa Daudi kumi na wawili. 16Kisha kila
Daudi akauliza, “Je niende wapi?” mtu akakamatana na mpinzani wake kichwani
BWANA akajibu, “Nenda Hebroni”. na kuchomana kwa upanga, nao wakaanguka
2Basi Daudi akakwea kwenda huko pamoja chini pamoja. Kwa hiyo mahali pale katika
na wake zake wawili Ahinoamu wa Yezreeli na Gibeoni pakaitwa Helkath Hasurimu.
Abigaili, mjane wa Nabali wa Karmeli. 3Pia 17Siku hiyo vita vilikuwa vikali sana, naye
Daudi akawachukua watu waliokuwa pamoja Abneri na watu wa Israeli wakashindwa na watu
naye, kila mmoja na jamaa yake, nao wakaishi wa Daudi.
huko Hebroni na miji yake. 4Ndipo watu wa Yuda 18Wana watatu wa Seruya walikuwako huko:
wakaja Hebroni, huko wakamtia Daudi mafuta Nao ni Yoabu, Abishai na Asaheli. Basi huyo
awe mfalme juu ya nyumba ya Yuda. Asaheli alikuwa na mbio kama paa. 19Asaheli
Daudi alipoambiwa kuwa ni watu wa akamfukuza Abneri, pasipo kugeuka kulia wala
Yabeshi-Gileadi waliomzika Sauli, 5akatuma kushoto wakati akimfuata. 20Abneri akaangalia
wajumbe kwa watu wa Yabeshi – Gileadi nyuma na kumwuliza, “Ni wewe Asaheli?.
kuwaambia, “BWANA awabariki kwa kuonyesha Akamjibu, “Ndiyo”
wema huu kwa kumzika Sauli bwana wenu. 21Ndipo Abneri akamwambia, “Geuka
6Sasa BWANA na awaonyeshe wema na upande wa kulia au kushoto. Mchukue mmoja
uaminifu, nami pia nitawaonyesha wema ule ule wa vijana wa kiume na umvue silaha zake.”
kwa kuwa mmefanya jambo hili. 7Sasa basi, Lakini Asaheli hakuacha kumfukuza.
iweni hodari na mashujaa, kwa maana bwana 22Abneri akamwonya tena Asaheli
wenu Sauli amekufa, nayo nyumba ya Yuda akimwambia, “Acha kunifukuza! Kwa nini
imenitia mafuta niwe mfalme juu yao”. nikuue? Je, nitawezaje kumtazama ndugu yako
Yoabu usoni?
Vita Kati ya Nyumba ya Daudi na Sauli 23Lakini Asaheli alikataa kuacha kumfuatia,
8Wakati huo Abneri mwana wa Neri, kwa hiyo Abneri akamchoma Asaheli tumboni
jemadari wa jeshi la Sauli, alikuwa amemchukua kwa ncha butu ya mkuki wake, mkuki
Ish-Boshethi mwana wa Sauli na kumleta hadi ukamtoboa ukatokea mgongoni mwake.
Mahanaimu. 9Akamweka awe mfalme juu ya Akaanguka na kufa papo hapo. Ikawa kila mtu
nchi ya Gileadi, Ashuri a , Yezreeli, Efraimu, alisimama alipofika mahali pale Asaheli
Benyamini na Israeli yote. alipoanguka na kufa.
10Ish-Boshethi mwana wa Sauli alikuwa na 24Lakini Yoabu na Abishai walimfuata
umri wa miaka arobaini alipoanza kutawala Abneri, jua lilipokuwa linatua, wakafika kwenye
Israeli, naye akatawala miaka miwili. Hata hivyo, kilima cha Ama, karibu na Gia kwenye njia ya
nyumba ya Yuda ikamfuata Daudi. 11Muda kuelekea kwenye nyika ya Gibeoni. 25Ndipo
ambao Daudi alikuwa mfalme juu ya nyumba ya watu wa kabila la Benyamini wakakusanyika
Yuda huko Hebroni ilikuwa miaka saba na miezi tena nyuma ya Abneri. Wakaunda kikosi na
sita. kujiimarisha juu ya kilima.
12Abneri mwana wa Neri, pamoja na watu 26Abneri akamwita Yoabu, akamwambia,
3
2 SAMWELI
27Yoabu akajibu, “Hakika kama aishivyo mimi ni kichwa cha mbwa, kwa upande wa
Mungu, kama hukusema, hawa watu Yuda? Siku hii ya leo mimi ni mtiifu kwa nyumba
wangeendelea kuwafuatia ndugu zao mpaka ya baba yako Sauli, kwa jamaa yake na rafiki
asubuhi.” zake. Sijakukabidhi kwa Daudi lakini bado
28Basi Yoabu akapiga tarumbeta, nao watu unanilaumu kwa kosa la kuhusika na huyu
wote wakasimama, hawakuwafuata Israeli tena, mwanamke! 9Mungu na amshughulikie Abneri,
wala hawakuwapiga tena. tena kwa ukali, ikiwa sitafanya kwa ajili ya Daudi
29Usiku ule wote Abneri na watu wake kile BWANA alichomwahidi kwa kiapo 10na
wakatembea kupitia Araba. Wakavuka Mto kuuhamisha ufalme kutoka kwenye nyumba ya
Yordani, wakaendelea wakipitia nchi yote ya Sauli na kuimarisha kiti cha ufalme cha Daudi
Bithroni wakafika Mahanaimu. juu ya Israeli na Yuda kuanzia Dani mpaka
30Basi Yoabu akarudi kutoka kumfuatia Beersheba.” 11Ish-Boshethi hakuthubutu kusema
Abneri na kuwakusanya watu wake wote. neno jingine kwa Abneri, kwa sababu
Pamoja na Asaheli, watu kumi na tisa wa Daudi alimwogopa Abneri.
walikuwa wamepotea. 31Lakini watu wa Daudi 12Ndipo Abneri akatuma wajumbe kwa niaba
walikuwa wamewauwa watu wa kabila la yake kwa Daudi, kumwambia, “Nchi hii ni ya
Benyamini 360 waliokuwa pamoja na Abneri. nani? Fanya mapatano na mimi, nami
32Wakamchukua Asaheli, wakamzika katika nitakusaidia kuiweka Israeli yote juu yako.”
kaburi la baba yake huko Bethlehemu. Kisha 13Daudi akasema, “vyema nitafanya
Yaobu na watu wake wakatembea usiku kucha mapatano nawe. Lakini nahitaji jambo moja
na kufika huko Hebroni wakati wa kwako: Usije mbele yangu mpaka umemleta
mapambazuko. Mikali binti Sauli wakati utakapokuja kuniona’,”
14Kisha Daudi akapeleka wajumbe kwa Ish-
4
2 SAMWELI
yale ambayo moyo wako unaonea shauku.” Basi Abneri:
Daudi akamwaga Abneri, naye akaenda kwa
amani. “Je, ilipasa Abneri afe kama afavyo
mpumbavu?
Yoabu Amwua Abneri 34Mikono yako haikufungwa,
22Wakati huo huo, watu wa Daudi na Yoabu miguu yako haikufungwa pingu.
walirudi kutoka kwenye kushambulia, nao Ulianguka kama yeye aangukaye mbele ya watu
wakarudi na nyara nyingi mno. Lakini Abneri waovu.”
hakuwa tena pamoja na Daudi huko Hebroni,
kwa sababu Daudi alikuwa amemruhusu aende Nao watu wote wakamlilia tena.
zake, naye akaenda kwa amani. 23Yoabu na 35Kisha watu wote wakaja kumsihi Daudi ale
askari wote aliokuwa nao walipowasili, cho chote kulipokuwa kungali bado mchana,
aliambiwa kwamba Abneri mwana wa Neri lakini Daudi akaapa akisema, “Mungu na
alikuwa amekuja kwa mfalme na kwamba anishughulikie tena kwa ukali, kama nikionja
mfalme alikwishamruhusu aende zake na mkate au kitu kingine cho chote kabla ya jua
kwamba alikwisha ondoka kwa amani. kutua!”
24Basi Yoabu alikwenda kwa mfalme na 36Watu wote wakaona hilo nao
kumwambia, “Ni nini hiki ulichofanya?” Tazama, ikawapendeza, naam, kila kitu mfalme
Abneri alikujia. Kwa nini ukamwacha aende? alichofanya kiliwapendeza. 37Kwa hiyo siku ile
Sasa amekwenda! 25Wajua Abneri mwana wa watu wote na Israeli yote wakajua kwamba
Neri alikuja kukudanganya na kuchunguza mfalme hakushiriki katika mauaji ya Abneri
nyendo zako na kupata kila kitu unachokifanya.” mwana wa Neri.
26Ndipo Yoabu akamwacha Daudi na 38Kisha mfalme akawaambia watu wake,“Je,
kutuma wajumbe wamfuate Abneri, nao hamfahamu kwamba mkuu na mtu mashuhuri
wakamrudisha kutoka kisima cha Sira. Lakini ameanguka katika Israeli leo? 39Nami leo
Daudi hakufahamu jambo hili. 27Basi Abneri ingawa ni mfalme mpakwa mafuta, mimi ni
aliporudi Hebroni, Yoabu akamchukua kando dhaifu, nao hawa wana wa Seruya wananizidi
ndani ya lango, kama vile kuzungumza naye nguvu. BWANA na amlipize mtenda maovu
faraghani. Pale pale kwa kulipiza kisasi damu ya sawasawa na matendo yake maovu!”
nduguye Asaheli, Yoabu akamchoma mkuki
tumboni, naye akafa. Ish-Boshethi Anauawa
28Baadaye, Daudi aliposikia kuhusu jambo
hili, akasema, “Mimi na ufalme wangu kamwe 4 Ish-Boshethi mwana wa Sauli aliposikia
kwamba Abneri amekufa huko Hebroni,
hatuna hatia mbele za BWANA kuhusu damu ya akakosa ujasiri, nayo Israeli yote wakatiwa hofu
Abneri mwana wa Neri. 29Damu yake na iwe juu kuu. 2Basi mwana wa Sauli alikuwa na watu
ya kichwa cha Yoabu na juu ya nyumba yote ya wawili ambao walikuwa viongozi wa vikundi vya
baba yake! Kamwe asikosekane ye yote katika uvamizi. Mmoja aliitwa Baana na mwingine
nyumba ya Yoabu mwenye kidonda chenye Rekabu, waliokuwa wana wa Rimoni Mbeerothi
usaha, au ukoma au mwenye kuegemea fimbo kutoka kabila la Benyamini. Beerothi
au aangukaye kwa upanga au kupungukiwa na alihesabiwa kuwa sehemu ya Benyamini, 3kwa
chakula.” sababu watu wa Beerothi walikimbilia huko
30(Yoabu na Abishai ndugu yake walimwuua Gitaimu na wameishi huko kama wageni mpaka
Abneri kwa sababu alikuwa amemwua Asaheli siku hii ya leo.
ndugu yao katika vita huko Gibeoni.) 4(Yonathani mwana wa Sauli alikuwa na
31Kisha Daudi akamwambia Yoabu na watu mwana aliyekuwa mlemavu miguu yote miwili.
wote aliokuwa pamoja nao, “Rarueni nguo zenu Alikuwa na miaka mitano wakati habari kuhusu
na mvae nguo za gunia na mtembee Sauli na Yonathani zilipofika kutoka Yezreeli.
mkiomboleza mbele ya Abneri.” Mfalme Daudi Yaya wake akambeba ili kukimbia, lakini yaya
mwenyewe akatembea nyuma ya jeneza. alipokuwa anaharakisha kuondoka, mtoto
32Wakamzika Abneri huko Hebroni, naye mfalme alianguka akawa kiwete. Jina lake aliitwa
akalia kwa sauti kwenye kaburi la Abneri. Pia Mefiboshethi).
watu wote wakalia. 5Basi Rekabu na Baana, wana wa Rimoni
33Mfalme akaimba ombolezo hili kwa ajili ya Mbeerothi wakaenda nyumbani kwa Ish-
5
2 SAMWELI
Boshethi, nao walifika huko wakati alipokuwa na miezi sita na katika Yerusalemu alitawala
kwenye mapumziko yake ya mchana. Israeli yote na Yuda kwa miaka thelathini na
6Wakaingia kwenye chumba cha ndani kana mitatu.
kwamba wanachukua ngano, wakamchoma Ish-
Boshethi mkuki wa tumboni. Ndipo Rekabu na Daudi Anashinda Yerusalemu
Baana nduguye wakatoroka. 6Mfalme na watu wake wakaenda
7Walikuwa wameingia ndani ya nyumba Yerusalemu kuwashambulia Wayebusi walioishi
wakati alipokuwa amelala kitandani chumbani huko. Wayebusi wakamwambia Daudi,
kwake. Baada ya kumchoma mkuki na kumwua, “Hutaingia hapa ndani, kwani hata vipofu na
walikata kichwa chake. Wakawa wamekichukua, viwete wanaweza kukufukuza.” “Walidhani
walitembea usiku kucha kwa njia ya Araba. “Daudi hawezi kuingia humu”. 7Hata hivyo,
8Wakamletea Daudi kichwa cha Ish-Boshethi Daudi akateka ngome ya Sayuni, Mji wa Daudi.
huko Hebroni wakamwambia mfalme, “Hiki hapa 8Siku ile Daudi akasema, “Ye yote ambaye
kichwa cha Ish-Boshethi mwana wa Sauli, adui atawashinda Wayebusi, atatumia huo mfereji
yako, aliyejaribu kuondoa uhai wako. Siku hii ya kuwafikia hao Viwete na Vipofu, ambao ni adui
leo BWANA amemlipia kisasi mfalme bwana za Daudi. Ndiyo sababu wanasema, “Vipofu na
wangu dhidi ya Sauli na mzao wake”. Viwete hawataingia kwenye jumba la ufalme.”
9Daudi akawajibu Rekabu na Baana 9Ndipo Daudi akafanya makao ndani ya
nduguye, wana wa Rimoni Mbeerothi, akasema, ngome na kuiita Mji wa Daudi. Akajenga eneo
“Hakika kama BWANA aishivyo, ambaye linalozunguka kuanzia Milo kuelekea ndani.
ameniokoa kutoka katika taabu zote, 10yule mtu 10Daudi akazidi kuwa na mamlaka zaidi na zaidi,
aliponiambia, ‘Sauli amekufa’, akadhani kwa sababu BWANA Mungu Mwenye Nguvu
ananiletea habari njema, nilimkamata nikamwua alikuwa pamoja naye.
huko Siklagi. Hiyo ndiyo zawadi niliyompa kwa 11Basi Hiramu mfalme wa Tiro akatuma
ajili ya taarifa yake! 11Je, ni mara ngapi zaidi wajumbe kwa Daudi, pamoja na magogo ya
wakati watu waovu wamemwua mtu asiye na mierezi, maseremala na waashi, nao wakajenga
hatia akiwa ndani ya nyumba yake mwenyewe jumba la kifalme kwa ajili ya Daudi. 12Naye
na kwenye kitanda chake mwenyewe? Je, sasa Daudi akafahamu kuwa BWANA
nisidai damu yake mikononi mwenu na amemwimarisha kama mfalme juu ya Israeli na
kuwaondoa duniani? ameinua ufalme wake kwa ajili ya Israeli watu
12Kwa hiyo Daudi akawaamuru watu wake, wake.
wakawaua. Wakakata mikono yao na miguu na 13Baada ya Daudi kuondoka Hebroni,
kutundika viwiliwili vyao kando ya dimbwi huko akajitwalia masuria zaidi na wake huko
Hebroni. Lakini wakakichukua kichwa cha Ish- Yerusalemu, nao wana na binti wengi walizaliwa
Boshethi na kukizika katika kaburi la Abneri kwake. 14Haya ndiyo majina ya watoto
huko Hebroni. waliozaliwa kwake huko. Shamua, Shobabu,
Nathani, Solomoni, 15Ibhari, Elishua, Nefegi,
Daudi Awa Mfalme Juu ya Israeli Yafia, 16Elishama, Eliada na Elifeleti.
5 Makabila yote ya Israeli yakamjia Daudi
huko Hebroni na kumwambia, “Sisi tu Daudi Awashinda Wafilisti
nyama yako na damu yako hasa. 2Zamani, 17Wafilisti waliposikia kuwa Daudi ametiwa
wakati Sauli alipokuwa mfalme juu yetu, wewe mafuta kuwa mfalme wa Israeli, wakapanda kwa
ulikuwa ndiye uliyeongoza Israeli vitani. Naye nguvu zote kumtafuta, lakini Daudi akasikia
BWANA akakuambia, ‘Utawachunga watu kuhusu jambo hili akatelemka kwenye ngome.
wangu Israeli, nawe utakuwa kiongozi wao.’ ” 18Basi Wafilisti walikuwa wamekuja na
3Wazee wote wa Israeli wakamwendea kusambaa kwenye Bonde la Refaimu, 19kwa
Mfalme Daudi huko Hebroni, mfalme akafanya hiyo Daudi akamwuliza BWANA , “Je, niende
mapatano nao huko Hebroni mbele za BWANA , kuwashambulia Wafilisti? Je, utawatia mikononi
nao wakamtia Daudi mafuta kuwa mfalme wa mwangu?”
Israeli. BWANA akamjibu, “Nenda, kwa maana
4Daudi alikuwa na miaka thelathini alipoanza hakika nitawatia Wafilisti mikononi mwako.”
kutawala, naye akatawala Israeli miaka arobaini. 20Ndipo Daudi akaenda mpaka Baal
5Huko Hebroni alitawala Yuda kwa miaka saba Perasimu na huko akawashinda Wafilisti.
6
2 SAMWELI
Akasema, “Kama mafuriko yafurikavyo, BWANA kulichukua sanduku la BWANA kwake katika mji
amewafurikia adui zangu mbele yangu.” Kwa wa Daudi. Badala yake akalipeleka kwenye
hiyo mahali hapo pakaitwa Baali Perasimu a . nyumba ya Obed Edomu Mgiti. 11Sanduku la
21Wafilisti wakatelekeza vinyago vyao huko, BWANA likabaki katika nyumba ya Obedi
naye Daudi na watu wake wakavichukua. Edomu Mgiti kwa miezi mitatu, naye BWANA
22 Wafilisti walikwea kwa mara nyingine tena akambariki pamoja na nyumba yake yote.
na kusambaa katika Bonde la Refaimu, 23Kwa 12Kisha Mfalme Daudi akaambiwa, “BWANA
hiyo Daudi akamwuliza BWANA , naye ameibariki nyumba ya Obed Edomu pamoja na
akamjibu, “Usipande moja kwa moja, bali kila alicho nacho, kwa sababu ya sanduku la
wazungukie kwa nyuma na uwashambulie Mungu. Basi Daudi akateremka na kulipandisha
mbele ya miti ya miforosadi. 24Mara utakaposikia sanduku la Mungu kutoka katika nyumba ya
sauti ya kutembea kutoka kwenye vilele vya miti Obed Edomu mpaka Mji wa Daudi kwa furaha.
ya miforosadi, nenda haraka, kwa sababu hiyo 13Wale waliokuwa wamebeba sanduku la
itamaanisha kuwa BWANA ametangulia mbele BWANA walipokuwa wametembea hatua sita,
yako kupiga jeshi la Wafilisti” 25Basi Daudi Daudi alitoa dhabihu fahali na ndama aliyenona.
akafanya kama BWANA alivyomwagiza, naye 14Daudi akiwa amevaa kisibau cha kitani,
akawaangusha Wafilisti njia yote kuanzia alicheza mbele za BWANA kwa nguvu zake
Gebba b hadi Gezeri. zote, 15wakati yeye na nyumba yote ya Israeli
walipopandisha sanduku la BWANA kwa
Sanduku la Mungu Laletwa Yerusalemu shangwe na sauti za tarumbeta.
6 Daudi akakusanya tena watu 30,000 wa
Israeli waliochaguliwa. 2Yeye na watu
16Ikawa sanduku la BWANA lilipokuwa
makerubi walioko juu ya hilo sanduku. mahali pake ndani ya hema ambalo Daudi
3Wakaweka hilo sanduku la Mungu juu ya gari alikuwa amelisimika kwa ajili yake, naye Daudi
jipya la kukokotwa na kulileta kutoka katika akatoa sadaka za kuteketezwa kwa moto na
nyumba ya Abinadabu, iliyokuwa juu ya kilima. sadaka za amani mbele za BWANA. 18Baada ya
Uza na Ahio, wana wa Abinadabu, walikuwa kumaliza kutoa sadaka za kuteketezwa na
wakiongoza hilo gari jipya la kukokotwa 4likiwa sadaka za amani, akawabariki watu katika jina la
na sanduku la Mungu juu yake, naye Ahio BWANA Mwenye nguvu. 19Kisha akatoa mkate,
alikuwa anatembea akiwa mbele yake. 5Daudi andazi la tende na andazi la zabibu kavu kwa
na nyumba yote ya Israeli walikuwa wanacheza kila mtu katika mkutano wote wa Waisraeli,
mbele za BWANA kwa nguvu zao zote, kwa wanaume kwa wanawake. Nao watu wote
nyimbo, vinubi, zeze, matari, kayamba na wakaenda nyumbani kwao.
matoazi. 20Daudi aliporudi ili kuwabariki watu wa
6Walipofika kwenye sakafu ya kupuria ya nyumbani mwake, Mikali binti Sauli akatoka nje
Nakoni, Uza akanyoosha mkono na kulishika kumlaki, akamwambia, “Tazama jinsi mfalme wa
sanduku la Mungu kwa sababu maksai Israeli alivyojibainisha mwenyewe leo machoni
walijikwaa. 7Hasira ya BWANA ikawaka dhidi ya pa vijakazi wa watumishi wake kama vile
Uza kwa sababu ya kitendo chake cha kukosa ambavyo mtu asiye na adabu angelifanya! ”
heshima, kwa hiyo Mungu akampiga akafia 21Daudi akamwambia Mikali, “Nilifanya hivyo
papo hapo kando ya sanduku la Mungu. mbele za BWANA ambaye alinichagua mimi
8Ndipo Daudi akakasirika kwa sababu badala ya baba yako au mwingine ye yote
ghadhabu ya Bwana ilifurika juu ya Uza, hivyo kutoka katika nyumba yake wakati aliponiweka
hadi leo mahali hapo panaitwa Peres Uza. niwe mtawala juu ya Israel, watu wa BWANA .
9Daudi akamwogopa BWANA siku ile, Kwa hiyo nitacheza mbele za BWANA.
akasema, “Ni jinsi gani sanduku la BWANA 22Nitakuwa asiye na heshima zaidi kuliko sasa,
tena. Watu waovu hawatawaonea tena, pekee duniani ambalo Mungu alitoka
kama walivyofanya mwanzoni 11na kama kwenda kulikomboa kama taifa kwa ajili
walivyofanya tangu mwanzo wakati yake mwenyewe na kujifanyia jina
nilipowaweka viongozi juu ya watu wangu mwenyewe na kufanya mambo makuu na
Israeli. Pia nitawapa raha mbele ya adui maajabu ya kutisha kwa kuwafukuza
zenu wote. mataifa na miungu yao kutoka mbele ya
BWANA akuambia kwamba, BWANA watu wako, ambao uliwakomboa kutoka
mwenyewe atakujengea nyumba. 12Siku Misri? 24Umeimarisha watu wako Israeli
zako zitakapokwisha nawe ulale pamoja hasa kama watu wako mwenyewe milele,
na baba zako, nitainua mzao wako aingie nawe, Ee BWANA , umekuwa Mungu
mahali pako, ambaye atatoka viunoni wao.
8
2 SAMWELI
25Basi sasa, BWANA , kuzileta Yerusalemu. 8Kutoka miji ya Beta a na
ukaitimize ahadi uliyosema kuhusu Berothai, ambayo alitawala Hadadezeri, Mfalme
mtumishi wako na nyumba yake milele. Daudi akatwaa shaba nyingi sana.
Ukafanye kama ulivyoahidi, 26ili kwamba jina 9Tou mfalme wa Hamathi aliposikia kwamba
lako litukuke milele. Ndipo watu watasema, Daudi ameshinda jeshi lote la Hadadezeri,
“BWANA Mwenye Nguvu ni Mungu juu ya 10akamtuma Yoramu mwanawe kwa Mfalme
Israeli! Nayo nyumba ya mtumishi wako Daudi kumsalimu na kumpongeza kwa ajili ya
Daudi itakuwa imara mbele zako. ushindi wake katika vita juu ya Hadadezeri, kwa
27Ee BWANA Mwenye Nguvu, Mungu maana Hadadezeri alikuwa amepigana vita na
wa Israeli, umelifunua hili kwa mtumishi Tou. Yoramu akamletea Daudi vyombo vya
wako, ukisema, “Nitakujengea nyumba. fedha, dhahabu na shaba.
“Hivyo mtumishi wako amepata ujasiri 11Mfalme Daudi akaviweka vyombo hivi
kukuletea dua hii. 28Ee BWANA Mwenyezi, wakfu kwa BWANA , kama vile alivyokuwa
Wewe ndiwe Mungu! Maneno yako ndiyo amefanya kwa fedha na dhahabu kutoka kwa
kweli, nawe umeahidi mambo haya mazuri mataifa yote aliyokuwa ameyashinda: 12yaani
kwa mtumishi wako. 29Sasa naomba uwe Edomu, Moabu, Waamoni, Wafilisti na
radhi kuibariki nyumba ya mtumishi wako, ili Waamaleki. Pia akaweka wakfu nyara alizoteka
iweze kudumu mbele zako milele, kwa kutoka kwa Hadadezeri mwana wa Rehobu,
maana Wewe, Ee BWANA Mwenyezi, mfalme wa Soba.
umesema na kwa baraka zako nyumba ya 13Naye Daudi akajulikana baada ya kurudi
mtumishi wako itaendelea kubarikiwa milele. kutoka kuwaua Waedomu 18,000 katika Bonde
la Chumvi.
Ushindi wa Daudi 14Akaweka kambi za askari walinzi katika
kwa urefu wa kamba. Kila alipopima urefu wa haki na sawa kwa watu wake wote. 16Yoabu
hiyo kamba mara mbili hilo kundi waliuawa na mwana wa Seruya alikuwa mkuu wa jeshi,
alipopima mara ya tatu aliwaacha hai. Kwa hiyo Yehoshafati mwana wa Ahiludi alikuwa mweka
Wamoabu wakawa chini ya Daudi na kumbukumbu, 17Sadoki mwana wa Ahitubu na
wakamletea kodi. Ahimeleki mwana wa Abiathari walikuwa
3Zaidi ya hayo, Daudi akapigana na makuhani, Seraia alikuwa mwandishi, 18Benaia
Hadadezeri mwana wa Rehobu, mfalme wa mwana wa Yehoiada alikuwa kiongozi wa
Soba, alipokwenda kurudisha tena utawala Wakerethi na Wapelethi, nao wana wa Daudi
wake kwenye eneo la Mto Eufrati. 4Daudi walikuwa washauri wa kifalme.
akateka magari yake ya vita 1,000, askari
wapanda farasi 7,000 na askari 20,000 Daudi na Mefiboshethi
watembeao kwa miguu. Daudi akawakata wale
farasi wote wakokotao magari mishipa ya miguu 9 Daudi akauliza, “Je, hakuna mtu hata
mmoja wa nyumba ya Sauli aliyebaki
isipokuwa farasi 100 hakuwakata. ambaye naweza kumtendea wema kwa ajili ya
5Waaramu wa Dameski walipokuja Yonathani?”
kumsaidia Hadadezeri mfalme wa Soba, Daudi 2Basi palikuwepo mtumishi wa nyumba ya
akawaua 22,000 miongoni mwao. 6Daudi Sauli aliyeitwa Siba. Wakamwita aje mbele ya
akaweka askari walinzi katika ufalme wa Daudi, naye mfalme akamwambia, “Wewe
Waaramu huko Dameski, nao Waaramu ndiwe Siba?” Akamjibu,
wakawa chini yake na kumlipa kodi. BWANA “Naam, mimi ndiye mtumishi wako.”
akampa Daudi ushindi ko kote alikokwenda.
7Daudi akazitwaa ngao za dhahabu
zilizokuwa mali ya maafisa wa Hadadezeri na a8 “Beta’’ mji wa Aramu – Soba ambao yamkini ungesomeka
“Teba,’’ ambao uliitwa Tibhathi kwenye 1Nya. 18:8.
9
2 SAMWELI
3Mfalme akauliza, “Je, hakuna ye yote baba yake alivyonitendea mimi wema”. Hivyo
ambaye amebaki wa nyumba ya Sauli Daudi akatuma ujumbe kuonyesha wema wake
ninayeweza kumwonyesha wema wa Mungu?” kwa Hanuni kuhusu baba yake.
Siba akamjibu mfalme, “Bado yupo mwana Watu wa Daudi walipofika katika nchi ya
wa Yonathani, yeye ni kiwete miguu yote” Waamoni, 3wakuu wa Waamoni wakamwambia
4Mfalme akauliza, “Yuko wapi?” Hanuni bwana wao, “unadhani Daudi
Siba akajibu, “Yuko nyumbani kwa Makiri anamheshimu baba yako kwa kukutumia watu ili
mwana wa Amieli huko Lo-Debari.” kuonyesha masikitiko? Je, Daudi hakuwatuma
5Basi Mfalme Daudi akamtaka aletwe watu hawa kuchunguza na kuupeleleza mji ili
kutoka Lo-Debari kutoka nyumbani kwa Makiri kuupindua?” 4Basi Hanuni akawakamata watu
mwana wa Amieli. wa Daudi, akawanyoa kila mmoja ndevu zake
6Mefiboshethi mwana wa Yonathani mwana nusu, akakata mavazi yao nyuma katikati
wa Sauli alipofika kwa Daudi, akainama kumpa kwenye matako, akawaacha waende zao.
mfalme heshima. 5Daudi alipoambiwa jambo hili, akatuma
baba yako Yonathani. Nitakurudishia ardhi yote harufu mbaya kwenye pua za Daudi, wakaajiri
iliyokuwa mali ya Sauli baba yako, nawe daima askari wa miguu 20,000 wa Kiaramu kutoka
utakula chakula mezani pangu. Bethi Rehobu na Soba, pia mfalme wa Maaka
8Mefiboshethi akasujudu akasema, “mimi pamoja na watu 1,000 vile vile watu 12,000
mtumishi wako ni nini hata uangalie mbwa mfu kutoka Tobu.
kama mimi?” 7Daudi aliposikia jambo hili, akamtuma
9Ndipo mfalme akamwita Siba mtumishi wa Yoabu na jeshi lote la wapiganaji. 8Waamoni
Sauli na kumwambia, “Nimempa mwana wa wakatoka wakajipanga kwenye vita penye ingilio
bwana wako kila kitu kilichokuwa mali ya Sauli la lango la mji wao, wakati Waaramu wa Soba,
na jamaa yake. 10Wewe, wanao na watumishi wa Rehobu, watu wa Tobu na Maaka walikuwa
wako mtamlimia mashamba Mefiboshethi na peke yao kwenye eneo la wazi.
kumletea mavuno, ili kwamba mwana wa bwana 9Yoabu akaona kuwa mbele yake na nyuma
wako apate mahitaji yake. Naye Mefiboshethi yake kumepangwa vita, hivyo akachagua baadhi
mwana wa bwana wako atakula chakula mezani ya vikosi vilivyo bora sana katika Israeli
pangu daima.” (Siba alikuwa na wana kumi na akavipanga dhidi ya Waaramu. 10Akawaweka
watano na watumishi ishirini.) waliobaki chini ya uongozi wa Abishai nduguye
11Ndipo Siba akamwambia mfalme, na kuwapanga dhidi ya Waamoni. 11Yoabu
“Mtumishi wako atafanya cho chote bwana akasema, “Ikiwa Waaramu wana nguvu kunizidi,
wangu mfalme atakachoagiza mtumishi wake basi itawabidi mje kuniokoa, lakini ikiwa
kufanya”. Basi Mefiboshethi akala chakula Waamoni wana nguvu kuwazidi ninyi, basi
mezani pa Daudi kama mmoja wa wana wa nitakuja kuwaokoa. 12Iweni hodari na tupigane
mfalme. kishujaa kwa ajili ya watu wetu na miji ya Mungu
12Mefiboshethi alikuwa na mwanaye mdogo wetu. BWANA atafanya lile lililo jema machoni
aliyeitwa Mika, nao watu wote wa nyumba ya pake.”
Siba walikuwa watumishi wa Mefiboshethi. 13Basi Yoabu na vikosi vyake wakatangulia
13Naye Mefiboshethi akaishi huko Yerusalemu, mbele kupigana na Waaramu, nao wakakimbia
kwa sababu daima alikula mezani pa mfalme, mbele yake. 14Waamoni walipoona kwamba
naye alikuwa kiwete miguu yote. Waaramu wanakimbia, nao wakakimbia mbele
ya Abishai na kuingia ndani ya mji. Basi Yoabu
Daudi Awashinda Waamoni akarudi kutoka kupigana na Waamoni na kufika
10
Baada ya muda, mfalme wa Waamoni Yerusalemu.
akafa, Hanuni mwanawe akaingia 15Baada ya Waaramu kuona wamekimbizwa
10
2 SAMWELI
ya Mto Eufrati, wakaenda Helamu pamoja na hakuteremka kwenda nyumbani kwake.
Shobaki jemadari wa jeshi la Hadadezeri 10Daudi alipoambiwa kwamba Uria
akiwaongoza. hakwenda nyumbani, Daudi akamwuliza, “Je, si
17Daudi alipoambiwa jambo hili, akakusanya ndiyo tu umefika kutoka safari ya mbali? Kwa
Israeli yote, wakavuka mto Yordani wakaenda nini hukwenda nyumbani?”
Helamu. Waaramu wakapanga vikosi vyao vya 11Uria akamwambia Daudi, “Sanduku la
askari kukabiliana na kupigana dhidi ya Daudi. Mungu, Israeli na Yuda wanakaa kwenye
18Lakini wakakimbia mbele ya Israeli, naye mahema, naye bwana wangu Yoabu na watu wa
Daudi akaua watu wao mia saba wapanda bwana wangu wamepiga kambi mahali pa wazi.
magari yao ya vita na askari wao wa miguu Ningewezaje kwenda nyumbani kwangu ili nile,
40,000. Vile vile alimpiga Shobaki jemadari wa ninywe na kukutana na mke wangu? Hakika
jeshi lao, naye akafa huko. 19Wafalme wote kama uishivyo sitafanya jambo la namna hiyo!”
waliokuwa wanamtumikia Hadadezeri walipoona 12Ndipo Daudi akamwambia, “Kaa hapa siku
kuwa wameshindwa na Israeli, wakafanya moja zaidi, nami kesho nitakutuma urudi.” Kwa
amani na Waisraeli na wakawa chini yao. hiyo Uria akakaa Yerusalemu siku ile na siku
Hivyo Waaramu wakaogopa kuwasaidia iliyofuata. 13Kwa ukaribisho wa Daudi, Uria akala
Waamoni tena. na kunywa pamoja naye, Daudi akamlevya.
Lakini jioni Uria alitoka kwenda kulala juu ya
Daudi na Bath/Sheba mkeka wake miongoni mwa watumishi wa
11 Katika mwanzo wa mwaka mpya,
wakati wafalme watokapo kwenda
bwana wake, hakwenda nyumbani.
14Asubuhi yake Daudi akamwandikia Yoabu
vitani, Daudi akamtuma Yoabu pamoja na watu barua akamtuma Uria kuipeleka 15Ndani ya
wa mfalme na jeshi lote la Israeli. barua aliandika, “Mweke Uria mstari wa mbele
Wakawaangamiza Waamoni na kuuzunguka mahali ambapo mapigano ni makali sana. Kisha
kwa jeshi mji wa Raba. Lakini Daudi akabaki wewe uondoke ili Uria aangushwe chini na
Yerusalemu. kuuawa.”
2Ikawa siku moja wakati wa jioni Daudi 16Hivyo Yoabu alipokuwa ameuzingira mji
aliinuka kitandani mwake na kutembeatembea kwa jeshi, akamweka Uria mahali ambapo alijua
juu ya paa la jumba lake la kifalme. Kutokea kuwa ulinzi wa adui ulikuwa imara sana.
kule kwenye paa, akamwona mwanamke 17Wakati watu wa mjini walipotoka kwenda
akioga. Mwanamke huyo alikuwa mzuri sana wa kupigana dhidi ya Yoabu, baadhi ya watu katika
sura, 3naye Daudi akatuma mtu mmoja kuuliza jeshi la Daudi wakauawa, zaidi ya hayo, Uria
habari za huyo mwanamke. Huyo mtu Mhiti akafa.
akamwambia Daudi, “Je huyu si Bath-Sheba 18Yoabu akampelekea Daudi maelezo yote
binti Elamu, naye ni mke wa Uria Mhiti?” 4Ndipo ya vita. 19Akamwagiza mjumbe hivi,
Daudi akatuma wajumbe kumleta. Huyo “Utakapokuwa umemaliza kumpa mfalme
mwanamke akaja kwa Daudi, Daudi akakutana maelezo ya vita, 20hasira ya mfalme yaweza
naye kimwili (huyo mwanamke ndipo tu alikuwa kuwaka, naye aweza kukuuliza, “Kwa nini
amejitakasa kutoka siku zake za hedhi). Kisha mlisogea karibu hivyo na mji kupigana?
akarudi nyumbani kwake. 5Huyo mwanamke Hamkujua kuwa wangeweza kuwapiga mishale
akapata mimba akampelekea Daudi ujumbe, kutoka ukutani?” 21 Ni nani aliyemwua Abimeleki
kusema, “Mimi ni mjamzito.” mwana wa Yerub – Besheth? Je, mwanamke
6Ndipo Daudi akapeleka ujumbe kwa hakutupa juu yake jiwe la juu la kusagia kutoka
Yoabu, “Unipelekee Uria Mhiti.” Naye Yoabu ukutani, kwa hiyo akafa huko Thebesi? Kwa nini
akamtuma Uria kwa Daudi. 7Uria alipofika, mlisogea hivyo karibu ya ukuta? Ikiwa atakuuliza
Daudi akamwuliza habari za Yoabu, hali za hivi, ndipo umwambie, Pia mtumishi wako Uria
askari na vita kwamba inaendeleaje. 8Kisha Mhiti amekufa.”
Daudi akamwambia Uria, “Teremka nyumbani 22Mjumbe akaondoka, alipowasili
kwako ukanawe miguu yako.” Basi Uria akamwambia Daudi kila kitu alichokuwa
akaondoka kutoka kwenye jumba la kifalme tena ametumwa na Yoabu kusema. 23Mjumbe
zawadi zikamfuata kutoka kwa mfalme, 9lakini akamwambia Daudi, “Watu walituzidi nguvu
Uria akalala kwenye ingilio la jumba la kifalme wakatoka nje ya mji dhidi yetu kwenye eneo la
pamoja na watumishi wote wa bwana wake na wazi, lakini tuliwarudisha nyuma mpaka kwenye
11
2 SAMWELI
ingilio la mji.24Ndipo wapiga upinde walitupa kwa kufanya lililo ovu machoni pake? Ulimwua
mishale kwa watumishi wako kutoka ukutani, na Uria Mhiti kwa upanga na kumchukua mke wake
baadhi ya watu wa mfalme wakafa. Zaidi ya awe mkeo. Ulimwua kwa upanga wa Waamoni.
hayo, Uria Mhiti mtumishi wako amekufa.” 10Basi kwa hiyo, upanga hautaondoka nyumbani
25Daudi akamwambia mjumbe, mwako kamwe kwa sababu ulinidharau mimi na
“ukamwambie Yoabu hivi, ‘Jambo hili lisikutie kumchukua mke wa Uria Mhiti kuwa mkeo.
wasiwasi, upanga hula huyu sawa na ulavyo 11Hili ndilo asemalo BWANA , “Kutoka katika
mwingine. Zidisha mashambulizi dhidi ya mji na nyumba yako mwenyewe nitaondokesha maafa
uangamize. Mwambie Yoabu hivi ili kumtia juu yako, mbele ya macho yako mwenyewe
moyo.” nitatwaa wake zako na kumpa yeye aliye wa
26Mke wa Uria aliposikia kwamba mumewe karibu nawe, naye atakutana kimwili na wake
amekufa, akamwombelezea. 27Baada ya muda zako wazi. 12Ulifanya kwa siri, lakini nitalifanya
wa maombolezo kwisha, Daudi akamtaka aletwe jambo hili wakati wa mchana mwangavu wazi
nyumbani kwake, naye akawa mkewe na mbele ya Israeli yote.”
akamzalia mwana. Lakini jambo alilokuwa 13Ndipo Daudi akamjibu Nathani,
amefanya Daudi lilimchukiza BWANA. “Nimefanya dhambi dhidi ya BWANA.”
Nathani akamjibu, “BWANA amekuondolea
Nathani Amkemea Daudi dhambi yako. Hutakufa. 14Lakini kwa sababu
BWANA akamtuma Nathani kwa Daudi. kwa kufanya hili umefanya adui za BWANA
12 Alipofika kwake akamwambia, “Katika kuonyesha dharau kabisa, mwana
mji mmoja kulikuwapo na watu wawili, mmoja atakayezaliwa kwako atakufa.
alikuwa tajiri na mwingine alikuwa maskini. 2Yule 15Baada ya Nathani kurudi nyumbani kwake,
mtu tajiri alikuwa na idadi kubwa sana ya BWANA akampiga yule mtoto ambaye mke wa
kondoo na ng’ombe, 3lakini yule maskini hakuwa Uria alikuwa amemzalia Daudi, akaugua.
na cho chote ila kondoo jike mdogo aliyekuwa 16Daudi akamwomba Mungu kwa ajili ya mtoto.
amemnunua. Akamtunza kondoo huyo, akakulia Akafunga na akaingia ndani ya nyumba yake
kwake pamoja na watoto wake. Kondoo huyo akawa siku zote analala sakafuni usiku kucha.
alishiriki chakula cha bwana wake na kunywea 17Wazee wa nyumbani mwake wakamwendea
kikombe chake hata pia huyo kondoo alilala wakasimama karibu naye ili kumwamsha kutoka
mikononi mwa bwana wake. Kwake alikuwa pale sakafuni, lakini akakataa, wala hakula cho
kama binti yake. chote pamoja nao.
4Siku moja yule tajiri akafikiwa na mgeni, 18Kunako siku ya saba yule mtoto akafa.
lakini huyo tajiri akaacha kuchukua mmoja wa Watumishi wa Daudi wakaogopa kumwambia
kondoo au ng’ombe wake mwenyewe kuwa mtoto amekufa, kwa maana walifikiri,
amwandalie mgeni. Badala yake akachukua “Wakati mtoto alipokuwa angali hai,
yule kondoo jike mdogo aliyekuwa mali ya yule tulizungumza na Daudi lakini hakutusikiliza.
maskini na kumwandalia yule mgeni wake.” Tutawezaje kumwambia kwamba mtoto
5Daudi akawakwa na hasira dhidi ya mtu amekufa? Anaweza kufanya kitu cha kujidhuru”.
huyo tajiri na kumwambia Nathani, “Hakika 19Daudi akaona kuwa watumishi wake
kama BWANA aishivyo, mtu huyo aliyefanya wananong’onezana wenyewe naye akatambua
hivyo anastahili kufa! 6Lazima alipe mara nne kuwa mtoto alikuwa amekufa. Akauliza “Je, ni
zaidi, kwa ajili ya kondoo huyo, kwa sababu kwamba huyo mtoto amekufa?”
amefanya jambo kama hilo na hakuwa na Wakamjibu, “Ndiyo, mtoto amekufa.”
huruma.” 20Basi Daudi akainuka kutoka pale sakafuni.
7Ndipo Nathani akamwambia Daudi, “Wewe Baada ya kuoga, akajipaka mafuta na
ndiwe huyo mtu! Hivi ndivyo asemavyo BWANA kubadilisha nguo zake kisha akaenda ndani ya
, Mungu wa Israeli: ‘Nilikupaka mafuta uwe nyumba ya Mungu akaabudu. Baada ya hapo
mfalme juu ya Israeli, nilikuokoa kutokana na akaenda nyumbani kwake kwa kutaka kwake,
mkono wa Sauli. 8Nilikupa nyumba ya bwana wakamwandalia chakula, naye akala.
wako na wake za bwana wako mikononi mwako. 21Watumishi wake wakamwuliza, “Kwa nini
Nikakupa nyumba ya Israeli na Yuda. Kama unafanya hivi? Mtoto alipokuwa angali hai,
haya yote yalikuwa madogo sana, ningekupa ulifunga na kulia, lakini sasa mtoto amekufa,
hata zaidi. 9Kwa nini ulilidharau neno la BWANA umeinuka na kula”.
12
2 SAMWELI
22Akajibu, “Wakati mtoto alipokuwa bado mfalme, kwa nini siku baada ya siku
yungali hai, nilifunga na kulia. Nilifikiri, ‘Nani unaonekana kukonda? Hutaniambia?
ajuaye? BWANA aweza kunirehemu ili Amnoni akamwambia, “Ninampenda Tamari
kumwacha mtoto aishi? 23Lakini sasa kwa kuwa dada yake Absalomoni ndugu yangu.”
amekufa, kwa nini nifunge? Je, naweza 5Yonadabu akamwambia, “Nenda ukalale
kumrudisha tena? Mimi nitakwenda kwake, kitandani na ujifanye kuwa mgonjwa. Baba yako
lakini yeye hatanirudia mimi.” atakapokuja kukuona mwambie, ‘Ningependa
24Ndipo Daudi akamfariji Bathsheba mkewe, Tamari dada yangu aje kunipatia cho chote ili
akaingia kwake akakutana naye kimwili. Akazaa nile. Tafadhali mruhusu aje na kuniandalia
mwana, wakamwita jina lake Solomoni. BWANA chakula mbele yangu ningali ninamwona, ili
alimpenda Solomoni. 25Kwa kuwa BWANA nipate kula kutoka mkononi mwake”.
alimpenda, akatuma neno kwa Daudi kwa 6Kwa hiyo Amnoni akalala kitandani
kinywa cha nabii Nathani kuwa mtoto aitwe kujifanya mgonjwa. Mfalme alipokuja kumwona,
Yedidia a . Amnoni akamwambia, ‘Ningependa dada yangu
26Wakati huo Yoabu akapigana dhidi ya Tamari aje na kuniandalia mikate maalum mbele
Raba jamii ya Waamoni na kuteka ngome ya yangu, ili nipate kula toka mkononi mwake.”
kifalme. 27Kisha Yoabu akatuma wajumbe kwa 7Daudi akampelekea Tamari ujumbe huko
Daudi, kusema, “Nimepigana dhidi ya Raba, kwenye jumba la kifalme, kusema: “Nenda
nami nimetwaa chanzo chake cha maji. 28Sasa katika nyumba ya ndugu yako Amnoni
kusanya vikosi vilivyobaki na ukauzingire mji ukamwandalie chakula.” 8Kwa hiyo Tamari
kwa jeshi na kuuteka. La sivyo, nitauteka mimi, akaenda nyumbani kwa nduguye Amnoni,
nao utaitwa kwa jina langu.” ndugu ambaye alikuwa amelala. Tamari
29Kwa hiyo Daudi akakusanya jeshi lote akachukua unga uliotiwa hamira akaukanda,
akaenda Raba, akaushambulia na kuuteka. akaiandaa mikate mbele yake na kuioka.
30Akatwaa taji kutoka kwenye kichwa cha 9Tamari akaondoa mikate kwenye kikaango ili
mfalme wao, lililokuwa na uzito wa talanta ya ampatie Amnoni, lakini akakataa kula.
dhahabu b , nayo ilikuwa imewekewa vito vya Amnoni akamwambia, “Mtoe nje kila mtu
thamani, nayo ikawekwa juu ya kichwa cha aliyeko hapa.” Kwa hiyo kila mmoja akaondoka.
Daudi. Alichukua nyara nyingi kutoka mjini 10Ndipo Amnoni akamwambia Tamari, “Lete
31akawatoa humo watu waliokuwa ndani yake mkate hapa ndani ya chumba changu li nipate
akawaweka wafanye kazi wakitumia misumeno, kula kutoka mkononi mwako, “Basi Tamari
sululu za chuma na mashoka, naye akawaweka akachukua mikate aliyoiandaa na kumletea
kwenye kazi ya kutengeneza matofali. Akafanya Amnoni ndugu yake ndani ya chumba chake.
hivi kwa miji yote ya Waamoni. Kisha Daudi na 11Lakini alipompelekea ili ale, akamkamata kwa
Jeshi lake lote wakarudi Yerusalemu. nguvu na kumwambia “njoo ulale nami dada
yangu.”
Amnoni Na Tamari 12Akamwambia, “Usifanye hivyo ndugu
Ikawa baada ya hayo, Amnoni mwana yangu! Usinitende jeuri! Jambo la namna hii
13 wa Daudi akampenda Tamari, umbu halistahili kufanyika katika Israeli! Usitende
lake Absalomoni mwana wa Daudi ambaye jambo hili ovu. 13Kwa upande wangu je,
alikuwa mzuri wa sura. itakuwaje? Nitaipeleka wapi aibu yangu? Pia
2Amnoni akasumbuka sana kuhusu Tamari kwa upande wako itakuwaje? Utakuwa kama
hata akaugua, kwa kuwa Tamari alikuwa bikira mmoja wa wapumbavu waovu katika Israeli.
ilionekana kwamba haiwezekani Amnoni Tafadhali zungumza na mfalme, hatakukatalia
kumfanyia jambo lo lote. wewe kunioa,” 14Lakini Amnoni akakataa
3Basi Amnoni alikuwa na rafiki jina lake kumsikiliza na kwa kuwa alikuwa na nguvu
Yonadabu mwana wa Shimea a , nduguye Daudi. kuliko Tamari, akamtenda jeuri.
Yonadabu alikuwa mtu wa hila nyingi sana. 15Kisha Amnoni akamchukia Tamari, kwa
Akamwuliza Amnoni, “Wewe ni mtoto wa machukio makuu sana. Kwa kweli, Amnoni
alimchukia kuliko alivyokuwa amempenda.
a25 “Yedidia’’ maana yake “Anayependwa na BWANA. Amnoni akamwambia, “Inuka na utoke nje!
b30 Talanta ya dhahabu ni sawa na kilo 34. 16Tamari
a3 “Shimea” ni namna nyingine ya kutaja jina “Shama’’ kwa akamwambia, “Hapana!
Kiebrania. Kunifukuza itakuwa vibaya zaidi kuliko yale
13
2 SAMWELI
uliyonitendea.” alivyokuwa amewaagiza. Ndipo wana wote wa
Lakini Amnoni akakataa kumsikiliza. mfalme wakainuka, wakapanda nyumbu zao
17Akamwita mtumishi wake mahsusi na wakakimbia.
kumwambia, “Mtoe huyu mwanamke hapa na 30Wakati wakiwa njiani, taarifa ilimjia Daudi
ufunge mlango nyuma yake.” 18Kwa hiyo, kusema “Absalomu amewaua wana wote wa
mtumishi wake akamtoa nje na kufunga mlango mfalme, hakuna hata mmoja aliyesalia.”
nyuma yake. Tamari alikuwa amevaa joho 31Mfalme akasimama, akararua nguo zake
lililopambwa vizuri, kwa maana lilikuwa ndilo akalala chini ardhini, nao watumishi wake wote
aina ya vazi lililovaliwa na binti za kifalme walio wakasimama kando yake na nguo zao zikiwa
mabikira. 19Tamari akajitia majivu kichwani zimeraruliwa.
mwake na kurarua lile joho alilokuwa amevaa. 32Lakini Yonadabu mwana wa Shimea
Akaweka mkono wake kichwani akaenda zake nduguye Daudi, akasema, “Bwana wangu
akilia kwa sauti. asifikiri kwamba wamewaua wana wote wa
20Absolomu nduguye akamwuliza, “Je, huyo mfalme, ni Amnoni peke yake ndiye aliyekufa.
Amnoni ndugu yako, amekutana nawe kimwili? Hili limekuwa kusudi la moyo wa Absalomu
Sasa nyamaza umbu langu, yeye ni ndugu yako. tangu siku ile Amnoni alipomtendea jeuri Tamari
Usilitie jambo hili moyoni. “Naye Tamari akaishi dada yake. 33Mfalme bwana wangu
nyumbani kwa Absolomu nduguye, akiwa asisumbuliwe na taarifa kwamba wamewauwa
mwanamke mwenye huzuni. wana wote wa mfalme. Ni Amnoni peke yake
21Mfalme Daudi aliposikia mambo haya aliyekufa.”
yote, akakasirika sana. 22Absolomu hakusema 34Wakati huo Absalomu akawa amekimbia.
neno lo lote na Amnoni, likiwa zuri au baya, kwa Basi mlinzi akaangalia, naye akaona watu
kuwa alimchukia Amnoni kwa sababu alikuwa wengi barabarani magharibi yake, wakishuka
amemtia aibu Tamari dada yake. kutoka upande wa kilima. Mlinzi akaenda
akamwambia mfalme, “Naona watu wakitokea
Absalomu Amwua Amnoni upande wa Horonaimu, huko upande wa
23Miaka miwili baadaye, wakati wakata kilimani.”
manyoya ya kondoo wa Absalomu walipokuwa 35Yonadabu akamwambia mfalme,
huko Baal-Hasori karibu na mpaka wa Efraimu, “Tazama, wana wa mfalme wako hapa, imekuwa
alialika wana wote wa mfalme kuja huko. kama vile mtumishi wako alivyosema.”
24Absalomu akaenda kwa mfalme na 36Mara alipomaliza kusema, wana wa
kumwambia, “Mtumishi wako ninao wakata mfalme wakaingia ndani wakiomboleza kwa
kondoo manyoya waliokuja. Tafadhali, je, makelele. Pia mfalme na watumishi wake wote
mfalme na maafisa wake wanaweza kuungana wakalia sana kwa uchungu.
nami?” 37Absalomu akakimbia na kwenda kwa
25Mfalme akajibu, “La hasha, mwanangu si Talmai mwana wa Amihudi, mfalme wa Geshuri.
lazima sisi sote tuje, tutakuwa tu mzigo kwako.” Lakini mfalme Daudi akaomboleza kwa ajili ya
Ingawa Absalomu alimsihi sana, mfalme alikataa mwanawe kila siku.
kwenda, lakini alimbariki. 38Baada ya Absalomu kukimbia na kwenda
26Basi Absalomu akasema, “Kama hutakuja, Geshuri, akakaa huko miaka mitatu. 39Roho ya
tafadhali mruhusu ndugu yangu Amnoni twende Mfalme Daudi ikatamani kumwendea Absalomu
pamoja naye.” kwa maana mfalme alikuwa amefarijika kuhusu
Mfalme akamwuliza, “Kwa nini aende kifo cha Amnoni.
pamoja nawe?” 27Lakini Absalomu alimsihi, kwa
hiyo mfalme akamtuma Amnoni pamoja na wana Absalomu Arudi Yerusalemu
wengine wa mfalme waliobaki.
28Absalomu aliagiza watu wake, “Sikilizeni! 14 Yoabu mwana wa Seruya akafahamu
kuwa moyo wa mfalme ulikuwa na
Wakati Amnoni atakapokuwa amekunywa shauku ya kumwona Absalomu. 2Kwa hiyo
mvinyo na kulewa sana nami nikiwaambia, Yoabu akamtuma mtu fulani kwenda Tekoa na
‘Mpigeni Amnoni, basi mwueni. Msiogope. Je, si kumleta mwanamke mwenye hekima kutoka
mimi niliyewapa amri hii? Jipeni hodari na wenye huko. Akamwambia huyo mwanamke, “Jifan\ye
ushujaa”. 29Kwa hiyo watu wa Absalomu uko katika maombolezo. Vaa nguo za
wakamtendea Amnoni kama vile Absalomu kuomboleza, nawe usitumie mafuta yo yote ya
14
2 SAMWELI
uzuri, jifanye kama mwanamke ambaye yasivyoweza kuzoleka tena, hivyo sisi kufa ni
amekuwa na huzuni kwa siku nyingi kwa ajili ya lazima. Lakini Mungu haondoi uhai, badala
kufiwa. 3Kisha nenda kwa mfalme ukazungumze yake, yeye hufanya njia ili kwamba aliyefukuzwa
maneno haya, “Naye Yaobu akaweka maneno asibaki akiwa amefarikishwa naye.
kinywani mwa yule mwanamke. 15“Nami sasa nimekuja kusema hili kwa
4Huyo huyo mwanamke kutoka Tekoa bwana wangu mfalme kwa sababu watu
alipofika kwa mfalme, akaanguka kifudifudi wameniogopesha. Mtumishi wako alifikiri,
kumpa mfalme heshima, akasema, “Ee mfalme, ‘Nitanena na mfalme, labda mfalme atamfanyia
nisaidie!” mtumishi wake kile anachoomba. 16Labda
5Mfalme akamwuliza, “Una shida gani? mfalme atakubali kumwokoa mtumishi wake
Akamwambia, “Mimi ni mjane hasa, mume kutoka mkononi mwa mtu anayejaribu kunikatilia
wangu amekufa. 6Mimi mtumishi wako nilikuwa mbali mimi na mwanangu kutoka kwenye urithi
na wana wawili. Wakapigana wao kwa wao huko Mungu aliotupatia.’
shambani wala huko hapakuwa na mtu hata 17Basi sasa mtumishi wako anasema, ‘Neno
“Nenda nyumbani, nami nitatoa agizo kwa ajili haupo pamoja nawe katika jambo hilo lote?”
yako.” Huyo Mwanamke akajibu, “Hakika kama
9Lakini huyo mwanamke kutoka Tekoa uishivyo, bwana wangu mfalme, hakuna ye yote
akamwambia, “Mfalme bwana wangu, lawama anayeweza kugeuka kulia wala kushoto
na iwe juu yangu na juu ya nyumba ya baba kutokana na cho chote anachosema bwana
yangu, naye mfalme na kiti chake cha enzi na wangu mfalme. Naam, ni mtumishi wako Yoabu
asiwe na hatia.” ndiye aliyenifundisha kufanya hivi, naye ndiye
10Mfalme akajibu, “Ikiwa mtu ye yote aliyeweka maneno haya yote kinywani mwa
atakusemesha lo lote, mlete kwangu, naye mtumishi wako. 20Mtumishi wako Yaobu
hatakusumbua tena.” amefanya hivi ili kubadili hali iliyopo. Bwana
11Huyo mwanamke akasema, “Basi mfalme wangu ana hekima kama ile ya malaika wa
na amwombe BWANA Mungu wake ili kuzuia Mungu, hufahamu kila kitu kinachotokea katika
mlipiza kisasi cha damu kuongeza juu ya nchi”.
uharibifu, ili kwamba mwanangu asije 21Mfalme akamwambia Yoabu, “vyema
wewe umewaza jambo kama hili dhidi ya watu akamrudisha Absalomu Yerusalemu. 24Lakini
wa Mungu? Je, mfalme asemapo hili, hajitii mfalme akasema, “Lazima Absalomu aende
hatiani mwenyewe, kwa maana mfalme kwenye nyumba yake mwenyewe, kamwe
hajamrudisha mwanawe aliyefukuziwa mbali? asiuone uso wangu.” Kwa hiyo Absalomu
14Kama vile maji yaliyomwagika ardhini, akaenda kwenye nyumba yake na hakuuona
15
2 SAMWELI
uso wa mfalme. yako ni ya haki na sawasawa, lakini hakuna
25Katika Israeli yote hakuna mtu ye yote mwakilishi wa mfalme wa kukusikiliza.”
aliyesifiwa kwa uzuri wa sura kama Absalomu. 4Absalomu angeongeza, Laiti tu ningeteuliwa
Kuanzia utosi wa kichwa chake hadi wayo wa kuwa mwamuzi katika nchi. Ndipo kila mmoja
mguu wake hapakuwa na kasoro. 26Kila mara mwenye mashtaka au shauri angekuja kwangu
aliponyoa nywele za kichwa chake, kwa kuwa nami ningeona kwamba anapata haki.”
alikuwa akinyoa mara kwa mara zilipokuwa 5Pia, wakati mtu ye yote alipomkaribia ili
zinamwia nzito, alizipima uzito wake ulikuwa kusujudu mbele yake, Absalomu angenyoosha
shekeli mia mbili a kwa kipimo cha kifalme. mkono wake na kumshika pia kumbusu.
27Walizaliwa wana watatu na binti mmoja 6Absalomu akaendelea na tabia hii mbele ya
kwa Absalomu. Jina la binti yake aliitwa Tamari, Waisraeli wote waliomjia mfalme kumwomba
naye akawa mwanamke mzuri wa sura. awapatie haki, kwa hiyo Absalomu akaiba mioyo
28Absalomu akaishi miaka miwili huko ya watu wa Israeli.
Yerusalemu pasipo kuuona uso wa mfalme. 7Mnamo mwisho wa mwaka wa nne,
29Basi Absalomu akamwita Yaobu kwa kusudi la Absalomu akamwambia mfalme, “Naomba unipe
kumtuma kwa mfalme, lakini Yoabu akakataa ruhusa niende Hebroni nikatimize nadhiri
kuja kwa Absalomu. Ndipo akamwita tena mara niliyomwekea BWANA. 8Wakati mtumishi wako
ya pili, lakini pia akakataa kuja. 30Ndipo alipokuwa huko Geshuri katika nchi ya Aramu,
akawaambia watumishi wake, “Tazama, shamba niliweka nadhiri hii, ‘Ikiwa BWANA atanirudisha
la Yoabu liko jirani na langu, naye ana shayiri Yerusalemu, nitamwabudu BWANA huko
humo. Nendeni mkalitie moto.” Kisha watumishi Hebroni.’”
wa Absalomu wakalitia moto shamba hilo. 9Mfalme akamwambia, “Enenda kwa
31Basi Yoabu akaenda nyumbani kwa amani.” Hivyo akaenda Hebroni.
Absalomu, akamwambia, “Kwa nini watumishi 10Kisha Absalomu akatuma wajumbe kwa
wako wametia moto shamba langu?” siri katika makabila yote ya Israeli, kusema,
32Absalomu akamwambia Yoabu, “Tazama, “Mara mtakaposikia sauti ya tarumbeta basi
nilikutumia ujumbe na kusema, ‘Njoo ili niweze semeni, “Absalomu ni mfalme huko Hebroni.”
kukutuma kwa mfalme kuuliza, “Kwa nini 11Watu mia mbili kutoka Yerusalemu walikuwa
kando ya barabara inayoelekea kwenye lango la wote waliokuwa pamoja naye huko Yerusalemu,
mji. Wakati wo wote alipokuja mtu ye yote “Njoni! Ni lazima tukimbie, la sivyo hakuna hata
mwenye mashtaka yanayohitaji kuletwa mbele mmoja wetu atakayeokoka kutoka mkononi mwa
ya mfalme kwa uamuzi, Absalomu nae Absalomu. Ni lazima tuondoke kwa haraka, la
angemwita na kumwuliza, “ Wewe unatoka mji sivyo atakuja mbio na kutupata, atatuangamiza
upi?” Naye angejibu, “Mtumishi wako anatoka na kuupiga mji kwa upanga.”
katika mojawapo ya makabila ya Israeli.” 3Kisha 15Maafisa wa mfalme wakamjibu,
Absalomu angemwambia, “Tazama, malalamiko “Watumishi wako tu tayari kufanya lo lote
mfalme bwana wetu analochagua.”
a26 “Shekeli mia mbili’’ kwa kipimo cha kifalme ni kama kilo 2.3. 16Mfalme akatoka, pamoja na watu wa
16
2 SAMWELI
nyumbani mwake wakimfuata, lakini akawaacha wa Mizeituni, akaenda huku analia, akiwa
masuria kumi ili kuangalia jumba la kifalme. amefunika kichwa chake na bila viatu miguuni.
17Hivyo mfalme akaondoka, pamoja na watu Watu wote waliokuwa pamoja naye, nao
wote wakimfuata, wakatua mahali mbali kiasi. wakafunika vichwa vyao wakawa wanalia
18Watu wake wote wakatembea wakampita, walipokuwa wakipanda. 31Basi Daudi alikuwa
wakiwa wamefuatana na Wakerethi wote pia ameambiwa, “Ahithofeli alikuwa miongoni mwa
Wapelethi pamoja na Wagiti wote mia sita washiriki wa shauri baya la Absalomu.” Ndipo
waliokuwa wamefuatana naye kutoka Gathi Daudi akaomba akisema, “Ee BWANA , geuza
wakapita mbele ya mfalme. shauri la Ahithofeli kuwa ujinga.”
19Mfalme akamwambia Itai, Mgiti, “Kwa nini 32Daudi alipofika kwenye kilele cha mlima,
ufuatane na sisi? Rudi ukakae pamoja na mahali ambapo watu walikuwa wamezoea
mfalme Absalomu. Wewe ni mgeni, mkimbizi kumwabudu Mungu, Hushai Mwarki alikuwako
kutoka nchini mwako. 20Ulikuja jana tu. Nami leo huko kumlaki, joho lake likiwa limeraruka na
nikufanye utangetange pamoja nasi, wakati sijui mavumbi kichwani mwake. 33Daudi
niendako? Rudi, nawe ukawachukue watu wa akamwambia, “Kama ukienda pamoja nami,
kwenu. Wema na uaminifu na viwe pamoja utakuwa mzigo kwangu. 34Lakini ikiwa utarudi
nawe.” mjini na kumwambia Absalomu, ‘Nitakuwa
21Lakini Itai akamjibu mfalme, “Hakika kama mtumishi wako, Ee mfalme, nilikuwa mtumishi
BWANA aishivyo na kama mfalme bwana wa baba yako wakati uliopita, lakini sasa
wangu aishivyo, po pote mfalme bwana wangu nitakuwa mtumishi wako,’ Basi utaweza
atakapokuwa, ikiwa ni kuishi au kufa, hapo kunisaidia kwa kupinga shauri la Ahithofeli. 35Je,
ndipo mtumishi wako atakapokuwa.” makuhani Sadoki na Abiathari hawatakuwa
22Daudi akamwambia Itai, “Songa mbele, pamoja nawe? Waambie lo lote utakalosikia
endelea.” Kwa hiyo Itai Mgiti akaendelea pamoja katika jumba la mfalme. 36Wana wao wawili,
na watu wake wote pia jamaa zote waliokuwa Ahimaasi mwana wa Sadoki na Yonathani
pamoja naye. mwana wa Abiathari, wako pamoja nao huko.
23 Watu wote wa nje ya mji wakalia kwa Watume kwangu na lo lote utakalosikia”.
sauti wakati watu wote walipokuwa wakipita. 37Kwa hiyo Hushai rafiki wa Daudi akafika
Mfalme naye akavuka Bonde la Kidroni, nao Yerusalemu wakati Absalomu alipokuwa
watu wote wakaelekea jangwani. anaingia mjini.
24Sadoki pia alikuwako, kadhalika Walawi
nawe”, basi mimi niko tayari, yeye na anifanye umeleta vitu hivi?”
cho chote aonacho chema kwake”. Siba akamjibu, “Punda ni kwa ajili ya watu
27Pia mfalme alimwambia kuhani Sadoki, wa nyumba ya mfalme kupanda, mikate na
“Je, wewe si mwonaji? Rudi mjini kwa amani matunda ni kwa ajili ya watu kula, nayo divai ni
pamoja na mwanao Ahimaasi na Yonathani kwa kuwaburudisha watakaochoka jangwani.”
mwana wa Abiathari. Wewe na Abiathari 3Kisha mfalme akauliza, “Yuko wapi mwana
17
2 SAMWELI
yako.” na kumwambia, “Mfalme aishi maisha marefu!
Siba akasema, “Nasujudu kwa Mfalme aishi maisha marefu!”
unyenyekevu, naomba nipate kibali mbele yako 17Absalomu akamwuliza Hushai, “Je, huu
alivyokuwa akilaani, akasema, “Toka hapa, toka shauri lako. Tufanye nini?”
hapa, wewe mtu wa damu, wewe mtu mbaya 21Ahithofeli akajibu, “kutana kimwili na
kabisa! 8BWANA amekulipiza kwa ajili ya damu masuria wa baba yako aliowaacha kuangalia
yote uliyomwaga ya watu wa nyumba ya Sauli, jumba la kifalme. Ndipo Israeli yote itakaposikia
ambaye nafasi yake umeimiliki wewe. BWANA kwamba umejifanya chukizo kwa baba yako,
amekabidhi ufalme mkononi mwa mwanao nayo mikono ya kila mmoja aliye pamoja nawe
Absalomu. Maangamizi yamekupata kwa itatiwa nguvu”. 22Kwa hiyo wakasimika hema
sababu wewe ni mtu wa damu!” kwa ajili ya Absalomu juu ya paa, naye
9Ndipo Abishai mwana wa Seruya akakutana kimwili na masuria wa baba yake
akamwambia mfalme, “Kwa nini huyu mbwa mfu mbele ya Israeli wote.
amlaani bwana wangu mfalme? Niruhusu nivuke 23Ilikuwa katika siku hizo shauri lililotolewa
maafisa wake wote, “Mwanangu, yeye ambaye 17 Ahithofeli akamwambia Absalomu, “Nipe
ruhusa niwachague watu kumi na mbili
ametoka viunoni mwangu mwenyewe, anajaribu elfu na waanze safari usiku huu huu kumfuatia
kuuondoa uhai wangu. Je, si zaidi sana, kwa Daudi. 2Nitamshambulia wakati akiwa amechoka
huyu Mbenyamini! Mwacheni, acha alaani, kwa na ni dhaifu. Nitampiga na hofu na kisha watu
maana BWANA amemwambia afanye hivyo. wote walio pamoja naye watakimbia. Nitampiga
12Inawezekana kwamba BWANA ataona dhiki mfalme peke yake 3na kuwarudisha watu wote
yangu na kunilipa mema kwa ajili ya laana kwako. Kifo cha mtu yule unayemtafuta
ninayopokea leo." kitamaanisha kurudi kwa wote, hakuna hata mtu
13Kwa hiyo Daudi na watu wake mmoja atakayeumizwa.” 4Mpango huu
wakaendelea na safari yao barabarani huku ulionekana mzuri kwa Absalomu na kwa wazee
Shimei akiwa anatembea pembezoni mwa kilima wote wa Israeli.
sambamba na Daudi, huku akimlaani na 5Lakini Absalomu akasema, “Pia mwiteni
kumtupia Daudi mawe na kumrushia mavumbi. Hushai Mwarki, ili tuweze kusikia
14Mfalme na watu wote aliokuwa pamoja nao anachokisema.” 6Hushai alipokuja, Absalomu
wakafika kwenye kituo chao wakiwa akasema, “Ahithofeli ametoa shauri hili. Je,
wamechoka. Mfalme akajiburudisha hapo. tufanye anavyosema? Kama sivyo, tupe maoni
yako.”
Shauri la Hushai na Ahithofeli 7Hushai akamjibu Absalomu, “Shauri la
15Wakati huo, Absalomu pamoja na watu Ahithofeli alilotoa halifai kwa wakati huu.
wote wa Israeli wakafika Yerusalemu, naye 8Unamfahamu baba yako na watu wake, ni
Ahithofeli alikuwa pamoja naye. 16Ndipo Hushai wapiganaji hodari, nao ni wakali kama dubu
Mwarki, rafiki wa Daudi, akamwendea Absalomu mwitu aliyepokonywa watoto wake. Zaidi ya
18
2 SAMWELI
hayo, baba yako ni mpiganaji mahiri, usiku mfuniko akauweka kwenye mdomo wa kile
hatalala pamoja na vikosi. 9Hata sasa, kisima na kuanika nafaka juu yake. Wala
amefichwa ndani ya pango au mahali pengine, hakuna mtu ye yote aliyefahamu cho chote
Kama atatangulia kushambulia vikosi vyako, ye kuhusu jambo hili.
yote asikiaye habari hii atasema, kuna machinjo 20Watu wa Absalomu walipofika kwa huyo
Israeli wote watazungushia mji ule kamba, nasi halikufuatwa, akatandika punda wake
tutauburuta mji huo mpaka bondeni hadi akaondoka kwenda nyumbani kwake kwenye mji
isionekane hata changarawe ya huo mji.” wake. Akaiweka nyumba yake katika utaratibu,
14Absalomu na watu wote wa Israeli kisha akajinyonga mwenyewe. Hivyo akafa na
wakasema, “Shauri la Hushai Mwarki ni jema akazikwa katika kaburi la baba yake.
zaidi kuliko lile la Ahithofeli.” Kwa maana 24Daudi akaenda Mahanaimu, naye
BWANA alikuwa amekusudia kupinga shauri Absalomu akavuka Yordani pamoja na watu
nzuri la Ahithofeli, ili kuleta maafa juu ya wote wa Israeli. 25Absalomu alikuwa amemweka
Absalomu. Amasa juu ya jeshi badala ya Yoabu. Amasa
15Hushai akawaambia makuhani Sadoki na alikuwa mwana wa mtu mmoja aliyeitwa Yetheri,
Abiathari, “Ahithofeli amemshauri Absalomu na Mwishmaeli ambaye alikuwa amemwoa Abigaili,
wazee wa Israeli kufanya kadha wa kadha, lakini binti Nahashi dada yake Seruia mamaye Yaobu.
mimi nimewashauri wao kufanya kadha wa 26Waisraeli na Absalomu wakapiga kambi huko
vivuko katika jangwa, vuka bila kukosa, la sivyo, wa Nahashi kutoka Raba ya Waamoni, Makiri
mfalme pamoja na watu wote waliofuatana naye mwana wa Amieli kutoka Lo-debari na Barzilai,
watamezwa.’” Mgileadi kutoka Rogelimu 28wakaleta matandiko
17Yonathani na Ahimaasi walikuwa ya kitandani, mabakuli na vyombo vya
wakingoja huko En-Rogeli, naye mtumishi mfinyanzi. Walileta pia ngano na shayiri, unga
mmoja wa kike akawa anakwenda kuwapasha na bisi, maharage na kunde, 29asali na maziwa
habari nao wakawa wanakwenda kumwambia yaliyoganda, kondoo na jibini kutoka kwenye
Mfalme Daudi, kwa maana wasingetaka maziwa ya ng’ombe kwa ajili ya Daudi na watu
kujihatarisha kuonekana wakiingia mjini. 18Lakini wake ili wale. Kwa maana walisema, “Watu
kijana mmoja mwanaume akawaona naye wameona njaa tena wamechoka na wamepata
akamwambia Absalomu. Basi wote wawili kiu huko jangwani.”
wakaondoka haraka wakaenda mpaka kwenye
nyumba ya mtu mmoja huko Bahurimu. Mtu Kifo cha Absalomu
huyo alikuwa na kisima katika ua wa nyumba
yake, nao Yonathani na Ahimaasi wakateremka 18 Daudi akakusanya watu aliokuwa nao
na kuweka majemadari wa maelfu na
ndani ya kisima hicho. 19Mkewe akachukua majemadari wa mamia. 2Daudi akatuma vikosi
19
2 SAMWELI
vya askari, theluthi moja ilikuwa chini ya amri ya na hakuna lo lote linalofichika kwa mfalme,
Yoabu, theluthi ya pili chini ya Abishai mwana wewe mwenyewe ungejitenga nami.”
wa Seruya nduguye Yoabu na theluthi ya tatu 14Yoabu akasema, “Mimi sitapoteza muda
chini ya Itai Mgiti. Mfalme akaviambia vikosi, hapa pamoja nawe” Hivyo akachukua mikuki
“Hakika mimi mwenyewe nitakwenda pamoja mitatu mkononi mwake na kumchoma nayo
nanyi.” Absalomu kwenye moyo alipokuwa angali hai
3Lakini watu wakasema, “Haikupasi kwenda, akiwa ananing’inia katika ule mwaloni. 15Nao
ikiwa sisi tutalazimika kukimbia, wao wabeba silaha kumi wa Yoabu wakamzunguka
hawatatujali. Hata kama nusu yetu tukifa Absalomu, wakampiga na kumwua.
hawatajali, lakini wewe una thamani ya watu 16Kisha Yaobu akapiga tarumbeta, navyo
kama sisi kumi elfu. Ingekuwa bora zaidi kwako vikosi vikaacha kuwafuata Israeli, kwa maana
basi kutupatia msaada kutoka mjini.” Yoabu aliwasimamisha. 17Wakamchukua
4Mfalme akajibu, “Nitafanya lo lote Absalomu, wakamtupa katika shimo kubwa huko
linaloonekana jema zaidi kwenu.” msituni na kulundika lundo kubwa la mawe juu
Kwa hiyo mfalme akasimama kando ya yake. Huko nyuma, Waisraeli wote wakakimbilia
lango wakati watu wote wakitoka nje kwa nyumbani kwao.
makundi ya mamia na maelfu. 5Mfalme 18Wakati wa uhai wa Absalomu alikuwa
naye nyumbu alipopita chini ya matawi wewe utakayepeleka habari. Unaweza kupeleka
yaliyosongana ya mwaloni mkubwa, kichwa cha habari wakati mwingine, lakini leo haikupasi
Absalomu kilinaswa kwenye mti. Akaachwa kupeleka, kwa sababu mwana wa mfalme
ananing’inia hewani, wakati nyumbu aliyekuwa amekufa.”
amempanda aliendelea kwenda. 21Ndipo Yoabu akamwambia mtu mmoja
10Mmojawapo wa wale watu alipoona, Mkushi, “Nenda, ukamwambie mfalme kile
akamwambia Yoabu, “Nimemwona Absalomu ulichoona.” Mkushi akasujudu mbele ya Yoabu
akining’inia kwenye mti wa mwaloni.” akaondoka mbio.
11Yoabu akamwambia huyo mtu, “Nini! 22Ahimaasi mwana wa Sadoki akamwambia
Ulimwona Absalomu? Kwa nini hukumpiga papo tena Yoabu, “Liwalo na liwe, tafadhali niruhusu
hapo mpaka chini? Ndipo ningekupa shekeli nikimbie nyuma ya huyo Mkushi.”
kumi a za fedha na mkanda wa askari shujaa.” Lakini Yoabu akajibu, “Mwanangu, mbona
12Lakini huyo mtu akajibu, “Hata kama wataka kwenda? Wewe huna habari yo yote
ungenipimia shekeli elfu b mikononi mwangu itakayokupatia tuzo.”
nisingeinua mkono wangu dhidi ya mwana wa 23Ahimaasi akasema, “Liwalo na liwe,
a11 Shekeli kumi za fedha ni sawa na gramu 115. lango la ndani na la nje, mlinzi akapanda juu ya
b12 Shekeli elfu za fedha ni sawa na kilo 11.5
20
2 SAMWELI
paa la lango kupitia ukutani. Alipotazama nje, ikisemwa, “Mfalme anahuzunika kwa ajili ya
akaona mtu mmoja akikimbia peke yake. mwanawe.” 3Siku ile watu wakaingia mjini kimya
25Mlinzi akampaazia mfalme sauti na kumpa kama vile waingiavyo kwa aibu watu waliokimbia
taarifa. kutoka vitani. 4Mfalme akafunika uso wake
Mfalme akasema, “Ikiwa yuko peke yake, akalia kwa sauti, akisema, “Ee mwanangu
lazima atakuwa na habari njema.” Naye yule Absalomu! Ee Absalomu, mwanangu,
mtu akazidi kujongea karibu. mwanangu!”
26Kisha mlinzi akaona mtu mwingine 5Kisha Yoabu akaingia ndani ya nyumba ya
anakuja akikimbia, akamwita bawabu, “Tazama, mfalme na kusema, “Leo umewaaibisha watu
mtu mwingine anakuja akikimbia peke yake!” wako wote, waliookoa maisha yako, maisha ya
Mfalme akasema, “Lazima atakuwa analeta wanao na binti zako, maisha ya wake zako na
habari njema pia.” masuria wako. 6Unawapenda wale
27Mlinzi akasema, “ninaona kuwa yule wa wanaokuchukia na unawachukia wale
kwanza anakimbia kama Ahimaasi mwana wa wanaokupenda. Leo umeonyesha wazi kwamba
Sadoki.” majemadari wako na watu wao hawana maana
Mfalme akasema, “Yeye ni mtu mwema. kwako. Naona kwamba ungefurahi kama
Analeta habari njema.” Absalomu angekuwa hai leo na sisi sote tuwe
28Ndipo Ahimaasi akamwita mfalme, tumekufa. 7Sasa utoke nje ukawatie moyo watu
akasema, “Mambo yote ni mema!” akasujudu wako. Naapa kwa BWANA kwamba ikiwa
mbele ya mfalme uso wake mpaka ardhini, hutatoka nje, hakuna mtu atakayesalia pamoja
akasema, “Ahimidiwe BWANA Mungu wako! nawe ifikapo leo jioni. Hii itakuwa mbaya zaidi
Yeye aliyewatoa watu wale walioinua mikono kwako kuliko maafa yote yaliyokupata tangu
yao dhidi ya mfalme bwana wangu.” ujana wako hadi sasa.”
29Mfalme akauliza, “Je, huyo kijana 8Kwa hiyo mfalme akaondoka akaketi kitini
usubiri hapa.” Basi akasogea kando na yote ya Israeli, watu walikuwa wanabishana wao
kusimama hapo. kwa wao, wakisema, “mfalme alituokoa kutoka
31Ndipo huyo Mkushi akawasili na kusema, mkononi mwa adui zetu, yeye ndiye aliyetuokoa
“mfalme bwana wangu, sikia habari njema! Leo kutoka mikononi mwa Wafilisti. Lakini sasa
BWANA amekuokoa kutoka kwa wale wote mfalme ameikimbia nchi kwa sababu ya
walioinuka dhidi yako.” Absalomu, 10naye Absalomu, tuliyemtia mafuta
32Mfalme akamwuliza huyo Mkushi, “Je, atutawale, amekufa vitani. Basi mbona hamsemi
kijana Absalomu yuko salama?” lo lote kuhusu kumrudisha mfalme?
Huyo Mkushi akajibu, “Adui wa mfalme 11Mfalme Daudi akapeleka ujumbe huu kwa
21
2 SAMWELI
kama vile walikuwa mtu mmoja. Wakapeleka wangu mfalme. Bwana wangu mfalme ni kama
ujumbe kwa mfalme, kusema, “Rudi, wewe na malaika wa Mungu, kwa hiyo fanya lo lote
watu wako wote.” 15Ndipo mfalme akarudi linalokupendeza. 28Wazao wote wa baba yangu
akaenda hadi kufikia Yordani. hawastahili kitu kingine isipokuwa kifo kutoka
Basi watu wa Yuda walikuwa wamekuja kwa bwana wangu mfalme, lakini ulimpa
mpaka Gileadi ili kutoka kwenda kumlaki mfalme mtumishi wako nafasi miongoni mwa wale
na kumvusha Mto Yordani. 16Shimei mwana wa waliokula mezani pako. Je, ninayo haki gani
Gera, wa kabila la Benyamini kutoka Bahurimu, kumwomba mfalme zaidi ya hayo?
akaharakisha kutelemka pamoja na watu wa 29Mfalme akamwambia, “Kwa nini useme
Yuda ili kumlaki Mfalme Daudi. 17Pamoja naye zaidi? Naamuru wewe na Siba mgawanye
walikuwapo Wabenyamini elfu moja wakiwa mashamba.”
wamefuatana na Siba, msimamizi wa nyumba 30Mefiboshethi akamwambia mfalme,
ya Sauli, pia wanawe kumi na watano na “Mruhusu achukue kila kitu, kwa kuwa sasa
watumishi ishirini. Wakaharakisha kwenda bwana wangu mfalme amerudi nyumbani
Yordani, mahali mfalme alipokuwa. 18Wakavuka salama.”
kivuko ili kuwachukua watu wa nyumbani mwa 31Barzilai, Mgileadi pia akashuka kutoka
mfalme ili kuwavusha na kufanya kila kitu Rogelimu ili kuvuka Yordani pamoja na mfalme
alichotaka. na kumsindikiza kutoka huko. 32Basi Barzilai
Shimei mwana wa Gera alipovuka Yordani, alikuwa mzee sana mwenye umri wa miaka
akaanguka kifudifudi mbele ya mfalme, 19na themanini. Alikuwa amempatia mfalme mahitaji
kumwambia, “Bwana wangu na asinihesabie wakati alipokuwa anaishi Mahanaimu, kwa huko
hatia. Usikumbuke jinsi mtumishi wako alikuwa mtu tajiri sana. 33Mfalme akamwambia
alivyofanya kosa siku ile bwana wangu mfalme Barzilai, “Vuka pamoja nami na ukae nami huko
alipoondoka Yerusalemu. Mfalme aliondoe Yerusalemu, nami nitakuptia mahitaji yako.
moyoni mwake. 20Kwa maana mimi mtumishi 34Lakini Barzilai akamjibu mfalme, “Je,
wako najua nimefanya dhambi, lakini leo nitaishi miaka mingine mingapi, hata nipande
nimekuja hapa kama wa kwanza wa nyumba kwenda Yerusalemu pamoja na mfalme? 35Sasa
yote ya Yosefu kushuka na kumlaki bwana nina miaka themanini. Je, naweza kutofautisha
wangu mfalme.” kati ya lililo jema na lililo baya? Je, mtumishi
21Ndipo Abishai mwana wa Seruya wako anaweza kujua ladha ya kile anachokula
akasema, “Je, Shimei hapaswi kuuawa kwa ajili au anachokunywa? Je, bado naweza kusikiliza
ya hili? Alimlaani mpakwa mafuta wa BWANA.” sauti za waimbaji wa kiume na za wanawake?
22Daudi akajibu, “Mimi nina nini nanyi, enyi Kwa nini mtumishi wako aongeze mzigo kwa
wana wa Seruya? Leo hii mmekuwa adui zangu! bwana wangu mfalme? 36Mtumishi wako
Je, leo kuna ye yote atakayeuawa katika Israeli? atavuka Yordani pamoja na mfalme kwa umbali
Je, mimi sijui kuwa leo ndimi mfalme katika mfupi tu, lakini kwa nini mfalme anizawadie kwa
Israeli yote?’ 23Basi mfalme akamwambia namna hii? 37Mruhusu mtumishi wako arudi,
Shimei, “Hutakufa.” Naye mfalme akamwahidi kwamba mimi nikafie katika mji wangu
kwa kiapo. mwenyewe karibu na kaburi la baba na mama
24Pia Mefiboshethi mwana wa Sauli yangu. Lakini yupo hapa mtumishi wako
akashuka kwenda kumlaki mfalme. Hakuwa Kimhamu. Mruhusu avuke Yordani pamoja na
amenawa miguu wala kunyoa ndevu zake wala bwana wangu mfalme. Mtendee lo,lote
kufua nguo zake tangu siku mfalme alipoondoka linalokupendeza.”
Yerusalemu mpaka siku aliporudi ile salama. 38Mfalme akamwambia Barzilai, “Kimhamu
25Wakati alipotoka Yerusalemu kuja kumlaki atavuka Yordani pamoja nami, nami
mfalme, mfalme akamwuliza, “Mefiboshethi, kwa nitamtendea lo lote litakalokupendeza. Nawe
nini hukufuatana nami?” kitu cho chote unachotaka kutoka kwangu
26Akasema, “Bwana wangu mfalme, nitakutendea.”
maadam mimi mtumishi wako ni kiwete, 39Kwa hiyo watu wote wakavuka Yordani,
nilisema, ‘Nitandikiwe punda wangu, nimpande, kisha mfalme akavuka. Mfalme akambusu
ili niweze kwenda pamoja na mfalme’ lakini Siba Barzilai na kumbariki, Barzilai akarudi nyumbani
mtumishi wangu akanisaliti. 27Naye kwake.
amemchongea mtumishi wako kwa bwana 40Mfalme alipovuka kwenda Gilgali,
22
2 SAMWELI
Kimhamu alivuka pamoja naye. Vikosi vyote vya 6Daudi akamwambia Abishai, “Sasa Sheba
Yuda na nusu ya vikosi vya Israeli vilimvusha mwana wa Bikri atatuletea madhara zaidi kuliko
mfalme. alivyofanya Absalomu. Wachukue watu wa
41Baada ya kitambo kidogo watu wote wa bwana wako na umfuatie, la sivyo atapata mji
Israeli wakaja kwa mfalme na kumwambia, “Kwa wenye ngome na kututoroka.” 7Hivyo watu wa
nini ndugu zetu, watu wa Yuda wamemrudisha Yoabu Wakerethi na Wapelethi pamoja na
mfalme kwa siri bila kutushirikisha na kumvusha wapiganaji mashujaa wote wakaondoka chini ya
ng’ambo ya Yordani, yeye na nyumba yake, uongozi wa Abishai. Wakatoka Yerusalemu ili
pamoja na watu wake wote? kumfuata Sheba mwana wa Bikri.
42Watu wote wa Yuda wakawajibu watu wa 8Wakati walipokuwa kwenye mwamba
Israeli, “Tulifanya hivi kwa sababu mfalme ni mkubwa huko Gibeoni, Amasa alikuja kuwalaki.
jamaa yetu wa karibu. Kwa nini mnakasirikia Yoabu alikuwa amevaa mavazi yake ya kijeshi,
jambo hili? Je, tumekula kitu cho chote cha juu yake alifunga mkanda kwenye kiuno wenye
mfalme? Je, tumejichukulia kitu cho chote kwa upanga ndani ya ala. Alipokuwa akienda mbele,
ajili yetu wenyewe? ule upanga ukaanguka kutoka kwenye ala.
43Ndipo watu wa Israeli wakawajibu watu wa 9Yoabu akamwambia Amasa, “U hali gani,
Yuda, “Tunayo haki mara kumi kwa mfalme, sisi ndugu yangu?” Kisha Yoabu akamshika Amasa
tunahusika zaidi na Daudi kuliko ninyi. Kwa nini ndevu kwa mkono wake wa kuume ili ambusu.
basi mnatudharau? Je, hatukuwa wa kwanza 10Amasa hakuona upanga uliokuwa mkononi
kuzungumza kuhusu kumrudisha mfalme mwa Yoabu, naye Yoabu akamchoma nao
nyumbani?” tumboni, nayo matumbo yake yakamwagika
Lakini watu wa Yuda wakajibu kwa ukali chini. Pasipo kuchomwa mara ya pili, Amasa
hata zaidi kuliko watu wa Israeli. akafa. Basi Yoabu na Abishai nduguye
wakamfuatia Sheba mwana wa Bikri.
Sheba Aasi Dhidi ya Daudi 11Mmoja wa watu wa Yoabu akasimama
Basi, kulikuwa na mtu mbaya sana kando ya Amasa akasema, “Ye yote ampendaye
20 aliyeitwa Sheba mwana wa Bikri, Yoabu na ye yote aliye upande wa Daudi, na
Mbenyamini, aliyekuwako huko. Akapiga amfuate Yoabu!” 12Amasa alikuwa akigaagaa
tarumbeta na kupaza sauti, katika damu yake katikati ya barabara, mtu
mmoja akaona kwamba vikosi vyote vilikuwa
“Hatuna fungu katika Daudi, vinasimama pale. Huyo mtu alipotambua
wala hatuna sehemu katika mwana wa kwamba kila aliyefika pale Amasa alipokuwa
Yese! alisimama, alimburuta Amasa kutoka barabarani
Kila mtu aende hemani mwake, Enyi Israeli! mpaka kwenye shamba na kutupia nguo juu
yake. 13Baada ya Amasa kuondolewa kutoka
2Kwa hiyo watu wote wa Israeli barabarani, watu wote walienda pamoja na
wakamwacha Daudi na kumfuata Sheba mwana Yoabu kumfuatia Sheba mwana wa Bikri.
Bikri. Lakini watu wa Yuda wakawa karibu na 14Sheba akapita katika makabila yote ya
mfalme wao katika safari yote kutoka Yordani Israeli hadi Abeli Beth Maaka na kupitia eneo
mpaka Yerusalemu. lote la Wabikri ambao walijikusanya pamoja na
3Daudi aliporudi katika jumba lake la kifalme kumfuata. 15Vikosi vyote vya Yoabu vikaja na
huko Yerusalemu, aliwachukua wale masuria kumhusuru Sheba mwana wa Bikri huko Abeli
kumi aliokuwa amewaacha ili kuangalia jumba la Beth Maaka. Wakauzingira mji kwa kuweka
kifalme na kuwaweka ndani ya nyumba chini ya vikosi vya askari, ili kukabiliana na ngome ya
ulinzi. Akawapa mahitaji yao lakini hakukutana Mji. Walipokuwa wanagongagonga ukuta ili
nao kimwili. Waliwekwa kifungoni wakaishi kama kuubomoa na kuuangusha chini, 16mwanamke
wajane mpaka kifo chao. mmoja mwenye busara akaita kutoka ndani ya
4Ndipo mfalme akamwambia Amasa, “Waite Mji, akisema, “Sikilizeni! Sikilizeni! Mwambieni
watu wa Yuda waje kwangu katika muda wa Yoabu aje hapa ili niweze kuzungumza naye,”
siku tatu, nawe mwenyewe uwepo hapa.” 5Lakini 17Yoabu alikwenda mbele yake, akamwuliza,
23
2 SAMWELI
mtumishi wako atakachokuambia.” “Niwatendee nini? Nitawaridhishaje ili mbariki
Akamwambia, “Ninasikiliza.” urithi wa BWANA ?”
18Huyo mwanamke akaendelea kusema, 4Wagibioni wakamjibu, “Hatuna haki ya
“Zamani za kale walikuwa wakisema, ‘Wakaulize kudai fedha wala dhahabu kutoka kwa Sauli au
ushauri huko Abeli’, hivyo kulimaliza lile shauri. jamaa yake, wala hatuna haki ya kumwua mtu
19Sisi ni watu wa amani na waaminifu katika ye yote katika Israeli.”
Israeli. Wewe unajaribu kuharibu mji ambao ni Daudi akawauliza, “Mnataka niwafanyie
mama katika Israeli. Kwa nini unataka kumeza nini?”
urithi wa BWANA ?” 5Wakamjibu mfalme, “Kwa habari ya mtu
20Yoabu akajibu, “Hilo liwe mbali nami. Hilo aliyetuangamiza na kufanya hila mbaya dhidi
liwe mbali nami kumeza au kuharibu. 21Hivyo yetu ili kwamba tuangamizwe na tusiwe na ye
sivyo ilivyo. Mtu mmoja jina lake Sheba mwana yote katika Israeli, 6tupatieni wazao wake saba
wa Bikri, kutoka nchi ya vilima vya Efraimu, wa kiume tuwaue hadharani mbele za BWANA
ameinua mkono wake dhidi ya mfalme, dhidi ya huko Gibea ya Sauli, aliyekuwa amechaguliwa
Daudi. Nikabidhini mtu huyu mmoja, nami na BWANA.”
nitajiondoa katika mji huu.” Basi mfalme akasema, “Nitawakabidhi
Huyu mwanamke akamwambia Yoabu, kwenu.”
“Kichwa chake mtatupiwa kupitia juu ya ukuta.” 7Mfalme akamhifadhi Mefiboshethi mwana
22Ndipo huyo mwanamke akaenda kwa watu wa Yonathani, mwana wa Sauli, kwa sababu ya
wote akiwa na ushauri wake wa busara, nao kile kiapo mbele za BWANA kati ya Daudi na
wakakata kichwa cha Sheba mwana wa Bikri na Yonathani. 8Lakini mfalme akamchukua Armoni
kumtupia Yoabu. Kwa hiyo Yoabu akapiga na Mefiboshethi wana wawili wa Rispa binti
tarumbeta, na watu wake wakatawanyika kutoka Ahiya, ambao alikuwa amemzalia Sauli, pamoja
Mjini, kila mmoja akirejea nyumbani kwake. na wana watano wa Merabu binti Sauli, aliokuwa
Naye Yoabu akarudi kwa mfalme huko amemzalia Adrieli mwana wa Barzilai
Yerusalemu. Mmeholathi. 9Akawakabidhi kwa Wagibioni,
23Yoabu alikuwa mkuu wa jeshi lote la ambao waliwaua na kuwaweka wazi juu ya
Israeli. Benaya mwana wa Yehoyada alikuwa kilima mbele ya BWANA. Wote saba walianguka
juu ya Wakerethi na Wapelethi, 24Adoniramu kwa pamoja, waliuawa katika siku za kwanza za
alikuwa kiongozi wa wale waliofanya kazi ya mavuno, mara tu uvunaji wa shayiri ulipokuwa
kulazimishwa, Yehoshafati mwana wa Ahiludi unaanza.
alikuwa mweka kumbukumbu, 25Sheva a alikuwa 10Rispa binti Ahiya akachukua nguo ya
24
2 SAMWELI
ya hayo, Mungu akajibu maombi kwa ajili ya Huniokoa kutoka kwa watu wenye jeuri.
nchi. 4Namwita BWANA , Yeye anayestahili
kusifiwa,
Vita Dhidi ya Wafilisti. “nami ninaokolewa kutoka kwa adui zangu.
15Kwa mara nyingine tena kulikuwa na vita
na Wafilisti, huko Gobu. Wakati huo Sibekai moto ulao ukatoka kinywani mwake,
Mhushathi akamwua Safu, mmoja wa wazao wa makaa ya moto yawakayo kwa nguvu
Warefai. yalitoka humo.
19Katika vita nyingine na Wafilisti huko 10Akazipasua mbingu akashuka chini,
huko Gathi, kulikuwako jitu kubwa sana refu mawingu meusi ya mvua ya angani.
lililokuwa na vidole sita katika kila mkono na 13Kutokana na mng’ao wa uwepo wake
katika Gathi, nao walianguka katika mikono ya sauti ya Aliye Juu ilisikika.
Daudi na watu wake. 15Aliipiga mishale akatawanya adui,
sijatenda ubaya nikamwacha Mungu wangu. uliwafanya adui zangu kusujudu miguuni
23Sheria zake zote zi mbele yangu, pangu.
wala sijayaacha maagizo yake. 41Uliwafanya adui zangu wageuke na
24Nimekuwa sina hatia mbele zake, wakakimbia,
nami nimejilinda nisitende dhambi. nami nikawaangamiza adui zangu.
25BWANA amenilipa sawa sawa na 42Walipiga yowe, lakini hapakuwapo na ye yote
mwaminifu, nchi,
kwa asiye na hatia unajionyesha kuwa asiye nikawaponda na kuwakanyaga kama tope
na hatia, barabarani.
27kwa aliye mtakatifu unajionyesha kuwa 44Umeniokoa kutokana na mashambulizi ya
BWANA hulifanya giza langu kuwa huja wakitetemeka kutoka kwenye ngome
mwanga. zao.
30Kwa msaada wako naweza kusogeza jeshi, 47BWANA yu hai! Sifa ni kwa Mwamba
na kufanya njia yangu kuwa kamilifu. huonyesha fadhili zake kwa mpakwa mafuta
34Huifanya miguu yangu kama miguu ya wake,
kulungu, kwa Daudi na wazao wake milele.”
huniwezesha kusimama mahali palipo juu.
35Huifundisha mikono yangu kwa ajili ya Maneno ya Mwisho ya Daudi
kupigana vita,
mikono yangu inaweza kupinda upinde wa 23 Haya ni maneno ya mwisho ya Daudi:
26
2 SAMWELI
mwimbaji wa nyimbo wa Israeli. na kuwaua Wafilisti, naye BWANA akawapatia
ushindi mkubwa.
2“Roho ya BWANA ilinena kupitia kwangu, 13Wakati wa mavuno, viongozi watatu kati
kunijalia matakwa yangu yote? kufanya kitu hiki. Je, hii si damu ya watu ambao
6Lakini watu waovu wote watatupwa kando walikwenda kwa kuhatarisha maisha yao? Naye
kama miiba, Daudi hakuyanywa.
ambayo haikusanywi kwa mkono. Haya yalifanywa na hao mashujaa watatu.
7Ye yote agusaye miiba 18Abishai ndugu yake Yoabu mwana wa
hutumia chombo cha chuma au mpini wa Seruya ndiye aliyekuwa kiongozi wa hao watatu.
mkuki, Aliinua mkuki wake dhidi ya watu 300 ambao
nayo huchomwa pale ilipo. aliwaua, kwa hiyo naye akawa na sifa kama hao
watatu. 19Je, hakupata heshima kubwa zaidi
Mashujaa wa Daudi kuliko hao Watatu? Alikuwa jemadari wao,
8Haya ndiyo majina ya mashujaa wa Daudi: ingawa hakuwekwa miongoni mwao.
Yosheb-Bashebethi a , Mtahkemoni alikuwa 20Benaya mwana wa Yehoyada alikuwa
ndiye kiongozi wa wale watatu, yeye aliinua mpiganaji hodari kutoka Kabzeeli, ambaye
mkuki wake dhidi ya watu 800, ambao aliwaua alifanya mambo mengi ya ushujaa. Aliwaua
kwa siku moja. mashujaa wawili waliokuwa hodari kuliko wote
9Wa pili wake alikuwa Eleazari mwana wa wa Moabu. Pia alishuka Shimoni siku
Dodai b Mwahohi. Akiwa mmojawapo wa wale kulipokuwa na barafu na kumwuua simba. 21Pia
mashujaa watatu, alikuwa pamoja na Daudi alimwua Mmisri mrefu mkubwa. Ingawa Mmisri
wakati walipowadhihaki Wafilisti waliokuwa alikuwa na mkuki mkononi mwake, Benaya
wamekusanyika huko Pasi-Daminu kwa ajili ya alimwendea akiwa na rungu. Alipokonya mkuki
vita. Kisha watu wa Israeli wakarudi nyuma, kutoka mkononi mwa Mmisri na kumwua kwa
10lakini yeye alisimama imara akawaua Wafilisti mkuki wake mwenyewe. 22Haya yalikuwa
hadi mkono wake ukachoka na ukagandamana mambo ya ushujaa ya Benaya mwana wa
na upanga. BWANA akawapa ushindi mkubwa Yehoyada, naye pia alikuwa maarufu sawa na
siku ile. Vikosi vikarudi kwa Eleazari, kuteka tu wale mashujaa watatu. 23Alipata heshima kubwa
nyara za waliokufa. zaidi kuliko ye yote wa wale Thelathini, lakini
11Aliyefuata alikuwa Shama mwana wa hakuwekwa miongoni mwa wale watatu. Daudi
Agee Mharari. Wafilisti walipokusanyika pamoja alimweka kuwa kiongozi wa walinzi wake
mahali palipokuwa shamba lililojaa dengu, vikosi mwenyewe.
vya Israeli viliwakimbia. 12Lakini Shama
akasimama imara katikati ya shamba. Akatetea 24Miongoni mwa wale thelathini walikuwepo:
Asaheli ndugu wa Yoabu,
Elhana mwana wa Dodo kutoka
a8 Yosheb-Bashebethi au Yashobeamu.(1Nyakati 11:11) Bethlehemu.
b9 “Dodai’’ tafsiri nyingine zinamwita “Dodo.’’
27
2 SAMWELI
25Shama Mharodi, 5Baada ya kuvuka Yordani, walipiga kambi
Elika Mharodi, karibu na Aroeri, kusini ya mji ulioko kwenye
26Helesi Mpalti, bonde jembamba, ndipo wakipitia Gadi,
Ira mwana wa Ikeshi kutoka Tekoa, wakaenda hadi Yazeri. 6Walikwenda mpaka
27Abiezeri kutoka Anathothi, Gileadi pia eneo la Tahtimu Hodshi,
Mebunai Mhushathi, wakaendelea mpaka Dani-Yaani na kuzunguka
28Salmoni Mwahohi, kuelekea Sidoni. 7Kisha wakaenda kuelekea
Muharai Mnetofathi, ngome ya Tiro pamoja na miji yote ya Wahivi na
29Heledi mwana wa Baana Mnetofathi, ya Wakanaani. Mwishoni, walikwenda mpaka
Ithai mwana wa Ribai kutoka Gibea Beer-Sheba katika Negebu ya Yuda.
katika Benyamini, 8Baada ya kupita katika nchi nzima, walirudi
30Benaya Mpirathoni, Yerusalemu baada ya miezi tisa na siku ishirini,
Hidai kutoka vijito vya Gaashi, 9Yoabu akatoa hesabu ya wapiganaji kwa
31Abi - Alboni Mwarbathi, mfalme: Katika Israeli kulikuweko watu 800,000
Azmawethi Mbarhumi, wenye uwezo wa kupigana na katika Yuda watu
32Eliaba Mshaalboni, 500,000.
wana wa Yasheni, Yonathani 33mwana 10Dhamiri ya Daudi ilishtuka baada ya
24 ya Israeli, naye akamchochea Daudi Afadhali tuangukie mikononi mwa BWANA , kwa
dhidi yao, akisema, “Nenda ukawahesabu Israeli maana rehema zake ni kubwa, lakini usiniache
na Yuda.” nianguke mikononi mwa wanadamu.”
2Kwa hiyo mfalme akamwambia Yoabu, 15Basi BWANA akaruhusu tauni katika
pamoja na majemadari wengi wa jeshi aliokuwa Israeli kuanzia asubuhi mpaka mwisho wa muda
nao, “Nendeni kwa makabila yote ya Israeli ulioamuriwa, wakafa watu 70,000 kuanzia Dani
kuanzia Dani hadi Beer-Sheba na mwandikishe hadi Beer-Sheba. 16Malaika aliponyoosha
watu wapiganaji, ili niweze kujua idadi yao.” mkono wake ili kuangamiza Yerusalemu,
3Lakini Yaobu akamjibu mfalme, “BWANA BWANA alihuzunika kwa sababu ya maafa
Mungu wako na azidishe vikosi mara mia, nayo akamwambia malaika aliyekuwa anawadhuru
macho ya bwana wangu mfalme na yaone hili. watu, “Yatosha! Rudisha mkono wako.” Wakati
Lakini kwa nini bwana wangu mfalme anataka huo malaika alikuwa kwenye sakafu ya kupuria
kufanya kitu cha namna hii?” ya Arauna Myebusi.
4Hata hivyo, neno la mfalme, likawa na 17Ikawa Daudi alipomwona huyo malaika
nguvu juu ya Yaobu pamoja na majemadari wa aliyekuwa akiwaua watu, akamwambia BWANA,
jeshi, kwa hiyo wakaondoka mbele ya mfalme “Mimi ndiye niliyetenda dhambi na kufanya kosa.
kuandikisha wapiganaji wa Israeli. Hawa ni kama kondoo tu. Wamefanya nini?
28
2 SAMWELI
Mkono wako uwe juu yangu na nyumba yangu.”
Mwandishi
Inasemekana labda ni Isaya na Yeremia ndio walioandika au waliofanya makusanyo ya mwisho kwa kutumia
kumbukumbu za wafalme wa Israeli. Waliohusika kuandika kumbukumbu hizo walikuwa Nathani, Godi, Ido,
Ahiya, Yehu na wengine. Mapokeo ya Kiyahudi yanasema Yeremia ndiye mwandishi. Inaelekea kutokana na
2Mambo ya Nyakati 32:32 kwamba Isaya ndiye mwandishi hadi wakati wa Mfalme Hezekia, naye Yeremia
akamalizia akieleza matukio kuanzia hapo hadi wakati wa uhamisho.
Mahali
Kitabu hiki kiliandikwa katika nchi ya Palestina. Taifa la Israeli ambalo lilikuwa taifa moja kubwa, sasa
limegawanyika. Siyo tu kijeografia lakini pia kiroho.Sasa panakuwa na taifa la kaskazini –Israeli na la kusini –
Yuda.
Tarehe
1046 -616 K. K.
Wahusika Wakuu
Daudi, Solomoni, Rehoboamu, Yeroboamu, Abiya, Asa, Eliya, Ahabu na Yezebeli.
Mgawanyo
• Utawala wa Solomoni. (1:1-11:43)
• Rehoboamu na Yeroboamu. (12:1-14:31)
• Wafalme wa Israeli na Yuda. (15:1-16:34)
• Eliya na Ahabu. (17:1-19:21)
• Utawala wa Ahabu na Yezebeli. (20:1-22:53)
1
1 WAFALME
ili bwana wetu mfalme apate joto.” mwenyewe uliniapia mimi mtumishi wako kwa
3Kisha wakatafuta katika Israeli yote ili BWANA wa ko kwamba: ‘Solomoni Mwanao
kumpata msichana mzuri wa sura na atakuwa mfalme baada yangu na ndiye
wakampata Abishagi, Mshunami, wakamleta atakayeketi kwenye kiti changu cha ufalme.’
kwa mfalme. 4Msichana huyo alikuwa mzuri 18Lakini sasa Adonia amekuwa mfalme, nawe,
sana wa sura, akamtunza mfalme na bwana wangu mfalme huna habari kuhusu
kumhudumia, lakini mfalme hakufanya naye jambo hilo. 19Ametoa dhabihu idadi kubwa ya
tendo la ndoa. ng'ombe, ndama walionona na kondoo, naye
5Basi Adonia, ambaye mama yake alikuwa amewaalika wana wa mfalme wote, kuhani
Hagithi, akajigamba na kusema, “Mimi nitakuwa Abiathari na Yoabu jemadari wa jeshi, lakini
mfalme.” Hivyo akajiwekea tayari magari na hakumwalika Solomoni mtumishi wako. 20Bwana
wapanda farasi, pamoja na watu hamsini wangu mfalme, macho ya Israeli yote
watakaomtangulia wakikimbia. 6(Baba yake yanakutazama wewe wajue kutoka kwako kuwa
hakuwa ameingilia na kumwuliza, “Kwa nini ni nani atakayeketi katika kiti cha ufalme cha
unafanya hivyo?” Alikuwa pia kijana mzuri sana bwana wangu mfalme baada yake. 21Kama
wa sura na alizaliwa baada ya Absalomu.) sivyo, mara tu bwana wangu mfalme
7Adonia akashauriana pamoja na Yoabu atakapopumzishwa pamoja na baba zake, mimi
mwana wa Seruya na kuhani Abiathari, nao na mwanangu Solomoni tutatendewa kama
wakamsaidia. 8Lakini kuhani Sadoki, Benaya wahalifu.’’
mwana wa Yehoyada, Nathani nabii, Shimei, Rei 22Alipokuwa angali anazungumza na
na walinzi maalumu wa Daudi hawakujiunga na mfalme, nabii Nathani akafika. 23Wakamwambia
Adonia. mfalme, “Nabii Nathani yuko hapa.’’ Kisha
9Ndipo Adonia akatoa dhabihu ya kondoo, akaenda mbele ya mfalme na kumsujudia hadi
ng'ombe na ndama walionona kwenye Jiwe la uso wake ukagusa ardhi.
Zohelethi karibu na En Rogeli. Akawaalika 24Nathani akasema, “Je, bwana wangu
ndugu zake wote, wana wa mfalme na wanaume mfalme, umetangaza kuwa Adonia atakuwa
wote wa Yuda waliokuwa maafisa wa kifalme, mfalme baada yako na kwamba ataketi kwenye
10lakini hakumwalika nabii Nathani, Benaya, kiti chako cha ufalme? 25Leo ameshuka na kutoa
walinzi maalumu wa mfalme wala ndugu yake dhabihu idadi kubwa ya ng'ombe, ndama
Solomoni. walionona na kondoo. Amewaalika wana wote
11Ndipo Nathani akamwuliza Bathsheba, wa mfalme, jemadari wa jeshi na kuhani
mama yake Solomoni, “Je, hujasikia kwamba Abiathari. Sasa hivi, wanakula na kunywa
Adonia, mwana wa Hagathi, amekuwa mfalme pamoja naye wakisema, ‘Aishi maisha marefu
pasipo bwana wetu Daudi kujua jambo hili? Mfalme Adonia!’ 26Lakini mimi mtumishi wako,
12Sasa basi, acha nikushauri jinsi utakavyookoa kuhani Sadoki, Benaya mwana wa Yehoyada na
uhai wako mwenyewe na uhai wa mwanao mtumishi wako Solomoni hakutualika. 27Je, hili ni
Solomoni. 13Ingia kwa Mfalme Daudi na jambo ambalo bwana wangu mfalme amelifanya
umwambie, ‘Bwana wangu mfalme, je pasipo kuwajulisha watumishi wake ili wapate
hukuniapia mimi mtumishi wako: “Hakika kujua ni nani atakayeketi kwenye kiti cha ufalme
mwanao Solomoni atakuwa mfalme baada cha bwana wangu mfalme baada yake?’’
yangu na ndiye atakayeketi juu ya kiti changu
cha ufalme?’’ Kwa nini basi Adonia amekuwa Daudi Amfanya Solomoni Kuwa Mfalme
mfalme?’ 14Utakapokuwa ukizungumza na 28Ndipo mfalme Daudi akasema, “Mwite
mfalme, nitaingia na kuthibitisha hayo Bath-sheba, aingie ndani.’’ Hivyo akaingia mbele
uliyoyasema.’’ ya mfalme na kusimama mbele yake.
2
1 WAFALME
29Ndipo mfalme akaapa: “Hakika kama 43“Yonathani akajibu, “La hasha! Mfalme
BWANA aishivyo, ambaye ameniokoa kutoka Daudi bwana wetu amemfanya Solomoni kuwa
katika kila taabu, 30hakika nitatekeleza leo kile mfalme. 44Mfalme amemtuma pamoja naye
nilichokuapia kwa BWANA wa Israeli: Mwanao kuhani Sadoki, nabii Nathani, Benaya mwana
Solomoni atakuwa mfalme baada yangu, naye wa Yehoyada, Wakerethi na Wapelethi nao
ataketi kwenye kiti changu cha ufalme baada wamempandisha juu ya nyumbu wa mfalme,
yangu.’’ 45nao kuhani Sadoki na nabii Nathani wamemtia
31Kisha Bathsheba akasujudu akipiga mafuta kuwa mfalme huko Gihoni. Kuanzia hapo
magoti mbele ya mfalme uso wake ukigusa ardhi wameendelea kushangilia na sauti zimeenea
akasema, “Bwana wangu Mfalme Daudi na aishi pote mjini. Hizo ndizo kelele unazosikia. 46Zaidi
milele!’’ ya hayo, Solomoni ameketi juu ya kiti chake cha
32Mfalme Daudi akasema, “Mwite kuhani ufalme. 47Pia, maafisa wa kifalme wamekuja ili
Sadoki ndani, nabii Nathani na Benaya mwana kumtakia heri bwana wetu mfalme Daudi
wa Yehoyada.’’ Walipofika mbele ya mfalme, wakisema, ‘Mungu wako na alifanye jina la
33akawaambia: “Wachukueni watumishi wa Solomoni kuwa mashuhuri kuliko lako na kiti
bwana wenu pamoja nanyi na mkamkalishe chake cha ufalme kiwe na ukuu kuliko chako!’
mwanangu Solomoni juu ya nyumbu wangu Naye mfalme akasujudu akiabudu kitandani
mwenyewe mkamtelemshe hadi Gihoni. 34Huko mwake 48na kusema, ‘Ahimidiwe BWANA wa
kuhani Sadoki na nabii Nathani wamtie mafuta Israeli, ambaye ameruhusu macho yangu kuona
awe mfalme juu ya Israeli. Pigeni tarumbeta na mrithi juu ya kiti changu cha ufalme leo hii.’ ’’
mpaze sauti, ‘Mfalme Solomoni aishi maisha 49Katika hili, wageni wote wa Adonia
kukifanya kiti chake cha utawala kuwa kikuu kuwa mtu mstahiki, hakuna unywele wake
kuliko kile cha bwana wangu Mfalme Daudi!’’ utakaoanguka juu ya ardhi, lakini kama uovu
38Hivyo kuhani Sadoki, nabii Nathani, ukionekana ndani yake, atakufa.’’ 53Ndipo
Benaya mwana Yehoyada, Wakerethi na Mfalme Solomoni akawatuma watu, nao
Wapelethi wakampandisha Solomoni juu ya wakamshusha kutoka madhabahuni. Naye
nyumbu wa Mfalme Daudi nao wakamsindikiza Adonia akaja akamwinamia Mfalme Solomoni,
hadi Gihoni. 39Kuhani Sadoki akachukua pembe naye Solomoni akamwambia, “Nenda nyumbani
ya mafuta kutoka kwenye hema takatifu na kwako.’’
kumtia Solomoni mafuta. Kisha wakapiga
tarumbeta na watu wote wakapaza sauti Maagizo Ya Daudi Kwa Solomoni
wakisema, “Mfalme Solomoni aishi maisha
marefu!’’ 40Na watu wote wakakwea wakimfuata, 2 Siku zilipokaribia za Daudi kufa, akampa
mwanawe Solomoni agizo,
wakipiga filimbi na kushangilia sana, hata ardhi 2akasema, “Mimi ninakaribia kwenda njia ya
ikatikisika kwa ile sauti. dunia yote. Hivyo uwe hodari, jionyeshe kuwa
41Adonia pamoja na wageni wote waliokuwa mwanaume, 3shika lile BWANA wako
pamoja naye wakasikia sauti hiyo walipokuwa analokuagiza: Enenda katika njia zake, ushike
wakimalizia karamu yao. Waliposikia sauti ya maagizo na amri zake, sheria zake na kanuni
tarumbeta, Yoabu akauliza, “Nini maana ya zake, kama ilivyoandikwa katika Sheria ya
makelele yote haya katika mji?’’ Mose, ili upate kustawi katika yote ufanyayo na
42Hata alipokuwa anasema, Yonathani po pote uendako, 4ili kwamba BWANA aweze
mwana wa kuhani Abiathari akafika. Adonia kunitimizia ahadi yake: ‘Kama wazao wako
akasema, “Ingia ndani, mtu mstahiki kama wewe wakiangalia sana wanavyoishi na kama
ni lazima alete habari njema.’’ wakienenda kwa uaminifu mbele zangu kwa
3
1 WAFALME
mioyo yao yote na kwa roho zao zote, kamwe 17Kwa hiyo akaendelea kusema, “Tafadhali
hutakosa kuwa na mtu kwenye kiti cha ufalme mwombe mfalme Solomoni, anipatie Abishagi
cha Israeli.’ Mshunami awe mke wangu, hatakukatalia
5“Sasa wewe mwenyewe unafahamu lile wewe.’’
Yoabu mwana wa Seruya alilonitendea, lile 18Bathsheba akamjibu, “Vema sana,
alilofanya kwa majemadari wawili wa majeshi ya nitazungumza na mfalme kwa ajili yako.’’
Israeli, Abneri mwana wa Neri na Amasa mwana 19Bathsheba alipokwenda kwa Mfalme
Yetheri. Aliwaua, akimwaga damu yao wakati wa Solomoni kuzungumza naye kwa ajili ya Adonia,
amani kama vile ni kwenye vita, tena akaipaka mfalme alisimama kumlaki mama yake,
damu ile kwenye mkanda uliokuwa kiunoni akamwinamia na kuketi kwenye kiti chake cha
mwake na viatu alivyovaa miguuni mwake. ufalme. Akaamuru kiti cha ufalme kuletwa kwa
6Shughulika naye kwa kadiri ya hekima yako, ajili ya mama yake mfalme, naye akaketi mkono
lakini usiache kichwa chake chenye mvi kishukie wake wa kuume.
kaburi a kwa amani. 20“Bathsheba akamwambia mfalme, “Ninalo
7“Lakini uwaonyeshe wema wana wa ombi moja dogo la kukuomba, usinikatalie.’’
Barzilai wa Gileadi na uwaruhusu wawe Mfalme akajibu, “Omba mama yangu,
miongoni mwa wale walao mezani pako. sitakukatalia.’’
Walisimama nami nilipomkimbia ndugu yako 21Akasema, “Mruhusu Abishagi Mshunami,
Gera, Mbenyamini, kutoka Bahurimu, ambaye “Kwa nini uombe Abishagi Mshunami kwa ajili ya
alinilaani kwa laana kali siku niliyokwenda Adonia? Ungeweza pia kuomba ufalme kwa ajili
Mahanaimu. Aliposhuka kunilaki huko Yordani, yake, hata hivyo, yeye ni ndugu yangu mkubwa,
nilimwapia kwa BWANA : ‘Sitakuua kwa naam, pia kuhani Abiathari na Yoabu mwana wa
upanga!’ 9Lakini sasa, usidhani kwamba hana Seruya wapo upande wake!”
hatia. Wewe ni mtu wa hekima, utajua la 23Mfalme Solomoni akaapa kwa BWANA,
kumtendea. Zishushe mvi zake kaburini kwa akasema: “Mungu na aniulie mbali, tena bila
damu.’’ huruma, ikiwa Adonia hatalipa kwa uhai wake
10“Kisha Daudi akapumzika pamoja na baba kwa ajili ya ombi hili! 24Basi sasa, hakika kama
zake naye akazikwa katika Mji wa Daudi. BWANA aishivyo, yeye ambaye ameniimarisha
11Alikuwa ametawala juu ya Israeli miaka salama kwenye kiti cha ufalme cha Daudi baba
arobaini, miaka saba huko Hebroni na miaka yangu naye amenipatia ukoo wa kifalme kama
thelathini na mitatu katika Yerusalemu. 12Kwa alivyoahidi, Adonia atauawa leo!’’ 25Hivyo
hiyo Solomoni akaketi katika kiti cha ufalme cha mfalme Solomoni akatoa amri kwa Benaya
baba yake Daudi, nao utawala wake ukaimarika mwana wa Yehoyada, naye akampiga Adonia
sana. akafa.
26Mfalme akamwambia kuhani Abiathari,
Kiti Cha Ufalme Cha Solomoni Chaimarishwa “Nenda huko Anathothi katika mashamba yako.
13Basi Adonia, mwana wa Hagithi, akaenda Wewe unastahili kufa, lakini sitakuua sasa, kwa
kwa Bathsheba, mama yake Solomoni. sababu ulilichukua sanduku la BWANA
Bathsheba akamwuliza, “Je, umekuja kwa Mwenyezi mbele ya Daudi baba yangu na
amani?’’ Akajibu, “Ndiyo, kwa amani.” 14Kisha ulishiriki taabu zote za baba yangu.’’ 27Hivyo
akaongeza, ‘‘Ninalo jambo la kukuambia.’’ Solomoni akamwondoa Abiathari kwenye
Akajibu, “Waweza kulisema.’’ ukuhani wa BWANA, akilitimiza neno la BWANA
15Akasema, “Kama unavyojua, ufalme alilokuwa amenena huko Shilo kuhusu nyumba
ulikuwa wangu. Israeli wote waliniangalia mimi ya Eli.
kama mfalme wao. Lakini mambo yalibadilika, 28Habari zilipomfikia Yoabu, ambaye alikuwa
ufalme umekwenda kwa ndugu yangu, kwa amefanya shauri baya na Adonia, Absalomu
maana umemjia kutoka kwa BWANA. 16Sasa hakuhusika, alikimbilia kwenye hema la BWANA
ninalo ombi moja ninalokuomba. Usinikatalie.’’ na kushika pembe za madhabahu. 29Mfalme
Bathsheba akasema, “Waweza kuliomba.’’ Solomoni akaambiwa kuwa Yoabu amekimbilia
kwenye hema la BWANA naye alikuwa kando ya
a6 “Kaburi” maana yake hapa ni “Kuzimu,” yaani, Sheol kwa madhabahu. Basi Solomoni akamwagiza
Kiebrania.
4
1 WAFALME
Benaya mwana wa Yehoyada: “Nenda na kukuonya kuwa, ‘Siku utakayoondoka
ukamwue!’’ kwenda mahali pengine po pote, uwe na hakika
30Ndipo Benaya akaingia kwenye hema la utakufa?’ Wakati ule uliniambia, ‘Ulilolisema ni
BWANA na kumwambia Yoabu, “Mfalme jema. Nitatii! 43Kwa nini basi hukutunza kiapo
anasema, ‘Toka nje!’ ’’ chako kwa BWANA na kutii amri niliyokupa?’’
Lakini akajibu, “La! Nitafia hapa hapa.’’ 44Pia mfalme akamwambia Shimei, ‘‘Unajua
Benaya akamwarifu mfalme, “Hivi ndivyo katika moyo wako, makosa uliyomtendea baba
Yoabu alivyonijibu. yangu Daudi. Sasa BWANA atakulipiza kwa ajili
31Kisha mfalme akamwamuru Benaya, ya mabaya yako uliyotenda. 45Lakini mfalme
“Fanya kama asemavyo. Mwue na kumzika, ili Solomoni atabarikiwa, na kiti cha ufalme cha
uniondolee mimi na nyumba ya baba yangu Daudi kitakuwa imara mbele za BWANA milele.’’
dhambi ya damu isiyokuwa na hatia ile Yoabu 46Kisha mfalme akatoa amri kwa Benaya
aliyoimwaga. 32BWANA atamlipiza kwa ajili ya mwana wa Yehoyada, naye akatoka nje
damu aliyoimwaga, kwa sababu, pasipo Daudi akampiga Shimei na kumwua.
baba yangu kujua, aliwashambulia watu wawili Sasa ufalme ukawa umeimarika kikamilifu
na kuwaua kwa upanga. Wote wawili, Abneri mikononi mwa Solomoni.
mwana wa Neri, jemadari wa jeshi la Israeli na
Amasa mwana wa Yetheri, jemadari wa jeshi la Solomoni Anaomba Hekima
Yuda, ambao walikuwa watu wazuri na wanyofu Solomoni akafanya urafiki na Mfalme
kuliko yeye. 33Hatia ya damu yao na iwe juu ya 3 Farao wa Misri na kumwoa binti yake.
kichwa cha Yoabu na wazao wake milele. Lakini Akamleta huyo binti katika mji wa Daudi mpaka
kwa Daudi na uzao wake, nyumba yake na kiti alipomaliza kujenga jumba lake la kifalme na
chake cha ufalme, iwepo amani ya BWANA hekalu la BWANA, pamoja na ukuta kuzunguka
milele.’’ Yerusalemu. 2Hata hivyo, watu bado walikuwa
34Basi Benaya mwana wa Yehoyada wakitoa dhabihu huko kwenye vilima, kwa
akakwea, akampiga na kumwua Yoabu, naye sababu hekalu lilikuwa bado halijajengwa kwa
akazikwa katika nchi yake mwenyewe katika ajili ya Jina la BWANA. 3Solomoni akaonyesha
jangwa. 35Mfalme akamweka Benaya mwana wa upendo wake kwa BWANA kwa kuenenda
Yehoyada juu ya jeshi kwenye nafasi ya Yoabu sawasawa na amri za Daudi baba yake, ila yeye
na kumweka kuhani Sadoki badala ya Abiathari. alitoa dhabihu na kufukiza uvumba huko mahali
36Kisha mfalme akatuma ujumbe kwa pa juu.
Shimei na kumwambia, “Ujijengee nyumba huko 4Mfalme akaenda Gibeoni kutoa dhabihu,
Yerusalemu uishi huko, lakini usiende mahali kwa maana ndipo palipokuwa mahali maarufu
pengine po pote. 37Siku utakayoondoka kuvuka zaidi, naye Solomoni akatoa sadaka elfu moja
Bonde la Kidroni, uwe na hakika utakufa, damu za kuteketezwa juu ya hiyo madhabahu.
yako itakuwa juu ya kichwa chako mwenyewe.’’ 5BWANA akamtokea Solomoni huko Gibeoni
38Shimei akamjibu mfalme, “Ulilolisema ni wakati wa usiku katika ndoto, naye Mungu
jema. Mtumishi wako atatenda kama bwana akasema, ‘‘Omba lo lote utakalo nikupe.’’
wangu mfalme alivyosema.’’ Naye Shimei 6Solomoni akajibu, ‘‘Umemfanyia mtumishi
akakaa Yerusalemu kwa muda mrefu. wako baba yangu Daudi fadhili nyingi, kwa kuwa
39Lakini baada ya miaka mitatu, watumwa alikuwa mwaminifu kwako na mwenye haki tena
wawili wa Shimei wakatoroka kwenda kwa mnyofu wa moyo. Nawe umemzidishia fadhili hii
Akishi mwana wa Maaka, mfalme wa Gathi, kuu na umempa mwana wa kuketi kwenye kiti
naye Shimei akaambiwa, “Watumwa wako wako chake cha ufalme kama ilivyo leo.
Gathi.’’ 40Kwa ajili ya hili, Shimei akatandika 7Sasa, Ee BWANA wangu, umemfanya
punda wake, akaenda kwa Akishi huko Gathi mtumishi wako mfalme baada ya baba yangu
kuwatafuta watumwa wake. Basi Shimei Daudi. Lakini mimi ni mtoto mdogo tu wala sijui
akaondoka na kuwarudisha watumwa wake jinsi ya kutekeleza wajibu wangu. 8Mtumishi
kutoka Gathi. wako yuko hapa miongoni mwa watu
41Solomoni alipoambiwa kuwa Shimei uliowachagua. Taifa kubwa, watu wengi
ametoka Yerusalamu na kwenda Gathi na wasioweza kuhesabika wala kutoa idadi yao.
amekwisha kurudi, 42mfalme akamwita Shimei 9Hivyo mpe mtumishi wako moyo wa ufahamu
na kumwambia, “Je, sikukuapiza kwa BWANA kutawala watu wako na kupambanua kati ya
5
1 WAFALME
mema na mabaya. Kwa maana ni nani awezaye 23Mfalme akasema, “Huyu anasema,
kutawala watu wako hawa walio wengi? “Mwanangu ndiye aliye hai na aliyekufa ndiye
10Bwana akapendezwa kwamba Solomoni mwanao, maadam yule anasema, ‘Hapana!
ameliomba jambo hili. 11Basi Mungu Aliyekufa ni wako na aliye hai ni wangu.’’
akamwambia, ‘‘Kwa kuwa umeomba neno hili na 24Kisha mfalme akasema, “Nileteeni
hukuomba maisha marefu au upate utajiri kwa upanga.” Basi wakamletea mfalme upanga.
nafsi yako, wala adui zako wafe, bali umeomba 25Ndipo mfalme akatoa amri: “Mkate mtoto aliye
ufahamu katika kutoa haki, 12nitafanya lile hai vipande viwili, mpe huyu nusu na mwingine
uliloomba. Nitakupa moyo wa hekima na wa nusu.”
ufahamu, kiasi kwamba hajakuwepo mtu 26Mwanamke ambaye mwanaye alikuwa hai
mwingine kama wewe wala kamwe hatakuwapo akajawa na huruma kwa ajili ya mwanawe na
baada yako. 13Zaidi ya hayo, nitakupa yale kumwambia mfalme, “Tafadhali, bwana wangu,
ambayo hukuomba, yaani utajiri na heshima, ili mpe yeye mtoto aliye hai! Usimue!”
kwamba maisha yako yote hapatakuwa na mtu Lakini yule mwanamke mwingine akasema,
kama wewe miongoni mwa wafalme. 14Nawe “Mkate vipande viwili. Asiwe wangu au wake!’’
kama ukienenda katika njia zangu na kutii sheria 27Kisha mfalme akatoa uamuzi wake:
na amri zangu kama baba yako Daudi “Mpeni mama wa kwanza mtoto aliye hai.
alivyofanya, nitakupa maisha marefu.’’ 15Ndipo Msimue, ndiye mama yake.’’
Solomoni akaamka, akatambua kuwa alikuwa 28Wakati Israeli yote iliposikia hukumu
mwanangu kutoka ubavuni pangu wakati mimi Adoniramu mwana wa Abda, msimamizi wa
mtumishi wako nilipokuwa nimelala. Akamweka kazi za kulazimisha.
kifuani mwake na kumweka mwanawe aliyekufa
kifuani mwangu. 21Asubuhi yake, nikaamka ili 7Pia Solomoni alikuwa na watawala kumi na
kumnyonyesha mwanangu, naye alikuwa wawili wa wilaya katika Israeli yote, walioleta
amekufa! Lakini nilipomwangalia sana katika mahitaji kwa mfalme na kwa watu wa nyumbani
nuru ya asubuhi, niliona kuwa hakuwa yule kwa mfalme. Kila mmoja alitoa chakula kwa
mwana niliyekuwa nimemzaa. mwezi mmoja katika mwaka. 8Majina yao ni
22Huyo mwanamke mwingine akasema, haya:
“Hapana! Mwana aliye hai ndiye wangu, Ben-Huri, katika nchi ya vilima ya Efraimu,
aliyekufa ni wako.’’ 9Ben-Dekeri, katika Makasi, Shaalbimu,
6
1 WAFALME
11Ben-Abinadabu, katika Nafathidori (Alimwoa mfalme. Walihakikisha kuwa hakuna cho chote
Tafathi binti Solomoni.) kilichopungua. 28Pia walileta sehemu
12Baana mwana wa Ahihudi katika Taanaki, walizopangiwa za shayiri na majani kwa ajili ya
Megido na katika Bethshani yote karibu na farasi wavutao magari na farasi wengine mahali
Zarethani chini ya Yezreeli, kuanzia Beth- palipostahili.
Shani hadi Abel-Mehola kupitia Yokmeamu,
13Ben-Geberi katika Ramothi Gileadi (makao ya Hekima Ya Solomoni
Yairi mwana wa Manase katika Gileadi 29Mungu akampa Solomoni hekima na akili
ilikuwa miji yake, pamoja na wilaya ya kubwa, pia ufahamu mpana usiopimika kama
Argobu, katika Bashani na miji yake mchanga ulioko pwani ya bahari. 30Hekima ya
mikubwa sitini yenye kuzungukwa na kuta Solomoni ilikuwa kubwa kuliko hekima ya watu
zenye makomeo ya shaba. wote wa Mashariki na kubwa kuliko hekima yote
14Ahinadabu mwana wa Ido, katika Mahanaimu, ya Misri. 31Alikuwa na hekima kuliko kila
15Ahimaasi, katika Naftali (alikuwa amemwoa mwandishi, akiwemo Ethani Mwezrahi, Hemani,
Basemathi binti Solomoni.) Kalkoli na Darda, wana wa Maholi. Umaarufu
16Baana mwana wa Hushai, katika Asheri na wake ukaenea kwa mataifa yote
katika Alothi, yaliyomzunguka. 32Akanena mithali 3,000 na
17Yehoshafati mwana wa Parua, katika Isakari, nyimbo zake zilikuwa 1,005. 33Akaelezea
18Shimei mwana wa Ela, katika Benyamini, maisha ya mimea kuanzia mwerezi wa Lebanoni
19Geberi mwana wa Uri katika Gileadi (nchi ya hadi hisopo iotayo ukutani. Pia akafundisha
Sihoni mfalme wa Waamori na nchi ya Ogu kuhusu wanyama na ndege, wanyama wenye
mfalme wa Bashani.) Naye alikuwa ndiye damu baridi, wakiwemo samaki. 34Watu wa
mtawala pekee katika wilaya. mataifa yote wakaja kusikiliza hekima ya
Solomoni, waliotumwa na wafalme wote wa
Mahitaji Ya Solomoni Ya Kila Siku ulimwengu, waliokuwa wamesikia juu ya hekima
20Watu wa Yuda na Israeli walikuwa wengi yake.
kama mchanga wa pwani, walikula, wakanywa
na kufurahi. 21Mfalme Solomoni akatawala Maandalio Ya Ujenzi Wa Hekalu
katika falme zote kuanzia Mto Eufrati hadi nchi
ya Wafilisti, hadi kwenye mpaka wa Misri. Nchi 5 Hiramu mfalme wa Tiro aliposikia kuwa
Solomoni ametiwa mafuta awe mfalme
hizi zilileta ushuru na zilikuwa chini ya Solomoni, mahali pa Daudi baba yake, akatuma wajumbe
siku zote za maisha yake. kwa Solomoni, kwa sababu Hiramu siku zote
22Mahitaji ya Solomoni ya kila siku yalikuwa alikuwa na uhusiano mzuri wa kirafiki na Daudi.
kori 30 a za unga laini, kori 60 b za unga wa 2Solomoni akapeleka ujumbe huu kwa Hiramu:
watu wa nyumbani mwake, pamoja na mafuta yaliyochongwa huko machimboni, wala hakuna
safi ya zeituni yaliyokamuliwa bathi 20,000 b . nyundo, patasi au chombo kingine cho chote
Solomoni aliendelea kumfanyia Hiramu hivyo cha chuma kilichosikika sauti yake katika eneo
mwaka baada ya mwaka. 12BWANA akampa la ujenzi wa hekalu wakati lilipokuwa likijengwa.
Solomoni hekima, kama alivyomwahidi. 8Ingilio la ghorofa ya chini kabisa lilikuwa
wachonga mawe 80,000 huko vilimani, 16pamoja kusema: 12‘‘Kwa habari ya hekalu hili
na wasimamizi 3,300 ambao walisimamia kazi unalojenga, kama ukifuata amri zangu, ukatunza
hiyo na kuwaongoza wafanyakazi. 17Kwa amri masharti yangu na kushika maagizo yangu yote
ya mfalme walitoa kwenye machimbo ya mawe, na kuyatii, kwa kupitia wewe nitatimiza ahadi
mawe makubwa, yaliyo bora kwa kujengea
msingi wa nyumba yaliyochongwa kwa ajili ya
c18 ‘Gebali” mji kaskazini mwa Sidoni kama km67.2
hekalu. 18Mafundi wa Solomoni, wa Hiramu na a2 Dhiraa 60 ni sawa na mita 27.
b2 Dhiraa 20 ni sawa na mita 9.
c2 Dhiraa 30 ni sawa na mita 13.5.
“Dhiraa” sawa na “mkono mmoja,’’ yaani, urefu kuanzia
a11 “Kori 20,000 “kipimo cha Kiebrania sawa na madebe 240,000 kwenye kiwiko hadi nchi ya kidole, kama sentimeta 45.
b11 “bathi 20,000 kipimo cha Kiebrania, kitumikacho kupima vitu d6 Dhiraa 5 ni sawa na mita 2.25 (pia 6:10)
vya majimaji hapa ni sawa na madebe 200. e6 dhiraa saba ni sawa na mita3.15
8
1 WAFALME
niliyomwahidi Daudi baba yako. 13Nami
nitakaa chumba. 28Akafunika wale makerubi kwa
miongoni mwa Waisraeli, nami sitawaacha watu dhahabu.
wangu Israeli.’’ 29Juu ya kuta zote zilizozunguka hekalu, za
14Basi Solomoni akajenga hekalu na vyumba vya ndani na vya nje, zilipambwa kwa
kulikamilisha. 15Akazifunika kuta zake za ndani nakshi zilizokatwa za makerubi, miti ya mitende
kwa mbao za mierezi, akizipigilia ukutani na maua yaliyochanua. 30Pia alifunika sakafu
kuanzia sakafuni mwa hekalu hadi kwenye dari zote za vyumba vya ndani na vya nje vya hekalu
na kufunika sakafu ya hekalu kwa mbao za kwa dhahabu.
misunobari. 16Akagawa dhiraa ishirini sehemu 31Kwa ingilio la mahali Patakatifu pa
mikufu ya dhahabu kutoka upande huu hadi mawe yaliyochongwa na safu moja ya boriti za
upande mwingine, mbele ya Patakatifu pa mierezi zilizorembwa.
Patakatifu ambako palifunikwa kwa dhahabu. 37Msingi wa hekalu la BWANA uliwekwa
22Basi akafunika sehemu yote ya ndani kwa katika mwaka wa nne, katika mwezi wa Zivu,
dhahabu. Pia akafunika madhabahu ile iliyokuwa ndio mwezi wa tano. 38Katika mwaka wa kumi
ndani ya Patakatifu pa Patakatifu kwa dhahabu. na moja, mwezi wa Buli, ndio mwezi wa nane,
Hekalu lilikamilika katika hatua zake zote kwa
23Katika mahali Patakatifu pa Patakatifu kufuatana na maelekezo yake Solomoni.
akatengeneza makerubi wawili kwa mzeituni, Alilijenga kwa miaka saba.
kila moja likiwa na dhiraa kumi g kwenda juu.
24Bawa moja la kerubi wa kwanza lilikuwa na Solomoni Ajenga Jumba Lake La Kifalme
urefu wa dhiraa tano na bawa jingine dhiraa Ilimchukua Solomoni miaka kumi na mitatu
tano, hivyo urefu kutoka ncha ya bawa moja 7 kukamilisha ujenzi wa Jumba lake la
hadi ncha ya bawa jingine ulikuwa dhiraa kumi. kifalme. 2Alijenga Jumba la Kifalme la Msitu wa
25Kerubi wa pili alikuwa na urefu wa dhiraa kumi Lebanoni, urefu wake ulikuwa dhiraa mia moja a ,
pia, hivyo makerubi hao wawili walifanana kwa upana wake dhiraa hamsini b na kimo chake
vipimo na kwa umbo. 26Kimo cha kila kerubi dhiraa thelathini c , likiwa na safu nne za nguzo
kilikuwa dhiraa kumi. 27Aliwaweka makerubi hao za mierezi zikishikilia boriti za mierezi
ndani ya Patakatifu pa Patakatifu pa hekalu, zilizorembwa. 3Ilipauliwa kwa mierezi juu ya
mabawa yake yakiwa yamekunjuliwa. Bawa la boriti zile zilizolala juu ya nguzo arobaini na
kerubi mmoja liligusa ukuta mmoja, wakati bawa tano, kumi na tano kwa kila safu. 4Madirisha
la yule mwingine liligusa ukuta mwingine, nayo yake yaliwekwa juu kwa safu tatu, yakielekeana.
mabawa yao mengine yaligusana katikati ya 5Milango yote ilikuwa na
katika safu tatu, ikielekeana. makomamanga katika safu mbili kuzunguka kila
6Akajenga ukumbi wa nguzo, ambao urefu wavu kuremba mataji yaliyo juu ya nguzo.
wake ulikuwa dhiraa hamsini na upana wake Alifanya hivyo kwa kila nguzo. 19Mataji
dhiraa thelathini. Mbele ya jengo hilo kulikuwepo yaliyokuwa juu ya nguzo kwenye baraza,
baraza. Mbele ya baraza kulikuwapo na nguzo yalikuwa katika umbo la yungiyungi, kimo chake
na paa lililoning’inia. ni dhiraa nne i . 20Juu ya mataji ya zile nguzo
7Akajenga ukumbi wa kiti cha enzi, ukumbi mbili, juu ya ile sehemu yenye umbo kama
wa Hukumu, mahali ambapo angelitolea bakuli, karibu na ule wavu, kulikuwa na yale
hukumu, akaufunika kwa mierezi kutoka makomamanga 200 katika safu kuzunguka
sakafuni hadi darini. 8Kwenye jumba la kifalme pande zote. 21Hiramu akasimamisha nguzo
ambamo angeliishi, aliiweka nyuma zaidi, ikiwa kwenye baraza ya hekalu. Nguzo ya upande wa
na mjengo wa aina moja na hiyo nyingine. Pia kusini akaiita Yakini j na ile ya upande wa
Solomoni akajenga jumba la kifalme kaskazini Boazi k . 22Mataji yaliyokuwa juu
linalofanana na huo ukumbi mkubwa kwa ajili ya yalikuwa umbo la yungiyungi. Hivyo kazi ya
binti Farao, aliyekuwa amemwoa. nguzo ikakamilika.
9Ujenzi huu wote, kuanzia nje mpaka 23Hiramu akasubu Bahari ya chuma, yenye
kwenye ua mkuu na kuanzia kwenye msingi hadi umbo la mviringo, vipimo vyake dhiraa kumi
upenuni, ulifanywa kwa mawe ya ubora wa hali kutoka ukingo hadi ukingo na kimo cha dhiraa
ya juu yaliyokuwa yamechongwa kwa vipimo na tano. Mzunguko wake ulikuwa dhiraa thelathini l .
kusawazishwa kwa msumeno nyuso zake za 24Chini ya ukingo, ilizungukwa na maboga, kumi
ndani na za nje. 10Misingi iliwekwa kwa mawe kwenye kila dhiraa moja. Maboga yalikuwa
makubwa yaliyo bora, yenye urefu wa dhiraa yamesubiwa katika safu mbili ili kuwa kitu kimoja
kumi d na mengine yenye urefu wa dhiraa nane e . na hiyo bahari.’’
11Sehemu za juu kulikuwepo na mawe yenye 25Bahari iliwekwa juu ya mafahali kumi na
ubora wa hali ya juu, yaliyokatwa kwa vipimo na wawili, watatu wakielekea kaskazini, watatu
boriti za mierezi. 12Ule ua mkuu ulizungukwa na wakielekea magharibi, watatu wakielekea kusini
ukuta wa safu tatu za mawe yaliyochongwa na na watatu wakielekea mashariki. Bahari iliwekwa
safu moja ya boriti za mierezi zilizorembwa, juu yao na sehemu zao za nyuma zilielekeana.
kama ulivyokuwa ua wa ndani wa hekalu la 26Ilikuwa na unene wa nyanda nne m na ukingo
kumleta Hiramu, 14ambaye mama yake alikuwa vinavyoweza kuhamishika, kila kimoja kilikuwa
mjane kutoka kabila la Naftali na baba yake na urefu wa dhiraa nne, upana dhiraa nne na
alikuwa mtu wa Tiro tena fundi wa shaba. kimo chake dhiraa tatu o . 28Hivi ndivyo vile vitako
Hiramu alikuwa na ustadi wa hali ya juu na vilivyotengenezwa. Vilikuwa na mbao za
mzoefu katika aina zote za kazi ya shaba. pembeni zilizoshikamanishwa na mihimili. 29Juu
Alikuja kwa Mfalme Solomoni na kufanya kazi ya mbao kati ya hiyo mihimili kulikuwa na simba,
zake zote alizopangiwa. mafahali na makerubi, pia kwenye mihimili yake.
15Hiramu akasubu nguzo mbili za shaba, kila Juu na chini ya simba na mafahali kulikuwa
moja ikiwa na urefu wa dhiraa kumi na nane f , kumesokotewa taji za kufuliwa. 30Kila kitako
kila nguzo ikiwa na mzingo wa dhiraa kumi na kilikuwa na magurudumu manne ya shaba, na
mbili g kwa mstari. 16Pia alitengeneza mataji vyuma vya katikati vya kuyazungusha hayo
mawili ya shaba ya kusubu ili kuyaweka juu ya magurudumu na kila kimoja kilikuwa na sinia
hizo nguzo, kila taji lilikuwa na kimo cha dhiraa
tano h kwenda juu. 17Wavu wa mikufu
i19 “Dhiraa nne” ni sawa na mita 1.80.
iliyosokotewa kwenye zile taji juu ya zile nguzo, j21 Yakini maana yake “Yeye (Mungu atafanya imara.)
k21 Boazi maana yake “Ndani yake (Mungu) kuna nguvu.
d10 ‘‘Dhiraa kumi’’ ni sawa na mita 4.5. l23 “Dhiraa thelathini” ni sawa na mita 13.5.
e10 ‘‘Dhiraa nane’’ ni sawa na mita 3.6. m26 “Kiganja kimoja” sawa na upana wa kiganja kwenye vidole
f15 ‘‘Dhiraa 18’’ ni sawa na mita 8.1. vinne vilivyokunjuliwa, ambao ni sawa na sentimeta 75.
g15 ‘‘Dhiraa 12’’ ni sawa na mita 5.4. n26 “Bathi 2,000’’ ni sawa na lita 40,000
h16 “Dhiraa 5” ni sawa na mita 2.25. o31 “Dhiraa tatu” ni sawa na mita 1.35.
10
1 WAFALME
kwenye vishikizo vinne vya taji iliyosubiwa kila kwa kila wavu, zikipamba hayo mataji mawili
upande. 31Ndani ya kitako kulikuwa na nafasi ya yenye umbo la bakuli juu ya hizo nguzo)
wazi iliyokuwa na umbile la mviringo lenye kina 43vitako kumi pamoja na masinia yake kumi,
cha dhiraa moja p . Nafasi hii ya wazi ilikuwa ya 44ile bahari ya chuma na yale mafahali kumi na
mbili (zikiwa na safu mbili za makomamanga Mfalme Solomoni wakati wa sikukuu ya mwezi
wa Ethanimu, ndio mwezi wa saba.
3Viongozi wote wa Israeli walipokwisha
p31 “Dhiraa moja” ni sawa na sentimita 45.
q31 “Dhiraa moja na nusu” ni sawa na sentimeta 67.5
kufika, makuhani wakajitwika hilo sanduku la
r38 “Bathi arobaini” ni sawa na lita 800. agano, 4wakalipandisha sanduku la BWANA,
s38 “Dhiraa nne ni sawa na mita 1.8.
11
1 WAFALME
Hema la Mkutano pamoja na vyombo vyote sababu ilikuwa moyoni mwako kujenga
vitakatifu ndani yake. Makuhani na Walawi hekalu kwa ajili ya Jina langu, ulifanya vema
wakavibeba, 5naye Mfalme Solomoni pamoja na kuwa na jambo hili moyoni mwako. 19Hata
kusanyiko lote la Israeli waliokusanyika hivyo, sio wewe utakayenijengea hekalu,
kumzunguka walikuwa mbele ya hilo sanduku, bali mwanao, ambaye ni nyama yako na
wakatoa dhabihu nyingi za kondoo na ng'ombe damu yako mwenyewe, ndiye atakayejenga
ambao idadi yao hawakuweza kuandika au hekalu kwa ajili ya Jina langu.’
kuhesabu. 20‘‘BWANA ametimiza ahadi
6Ndipo makuhani wakalileta sanduku la aliyoiweka: Nimeingia mahali pa Daudi baba
agano la BWANA mahali pake ndani ya hekalu, yangu na sasa ninakikalia kiti cha ufalme
katika Patakatifu pa Patakatifu na kuliweka chini cha Israeli, kama vile BWANA
ya mabawa ya yale makerubi. 7Makerubi alivyoahidi, nami nimejenga hekalu kwa ajili
yalitandaza mabawa yao juu ya mahali pa ya Jina la BWANA wa Israeli.
sanduku la agano na kutia kivuli sanduku 21Nimetenga nafasi humo kwa ajili ya
pamoja na mipiko yake ya kubebea. 8Mipiko hiyo sanduku la agano, ambamo ndani yake
ilikuwa mirefu kiasi kwamba ncha zake ziliweza kuna agano la BWANA lile alilofanya
kuonekana kutoka Mahali Patakatifu mbele ya na baba zetu wakati alipowatoa Misri.’’
mahali Patakatifu pa Patakatifu, lakini si kutoka
nje ya Mahali Patakatifu, nayo iko huko hadi leo. Maombi Ya Solomoni Ya Kuweka Hekalu
9Hapakuwa na cho chote ndani ya sanduku la Wakfu
agano isipokuwa zile mbao mbili za mawe 22Kisha Solomoni akasimama mbele ya
Patakatifu, wingu likalijaza hekalu la BWANA. “Ee BWANA Mungu wa Israeli, hakuna
11Nao makuhani hawakuweza kufanya huduma Mungu kama wewe mbinguni juu wala duniani
yao kwa sababu ya lile wingu, kwa kuwa utukufu chini, wewe unayetunza agano lako la upendo
wa BWANA ulilijaza hekalu lake. pamoja na watumishi wanaodumu katika
12Ndipo Solomoni akasema, ‘‘BWANA njia yako kwa moyo wote. 24Umetimiza
alisema kwamba ataishi katika giza nene, ahadi yako kwa mtumishi wako Daudi baba
13Naam, hakika nimekujengea hekalu zuri sana, yangu, kwa kinywa chako uliahidi na kwa
mahali pako pa kuishi milele.’’ mkono wako umetimiza, kama ilivyo leo.
25Sasa BWANA Mungu wa Israeli,
mji katika kabila lo lote la Israeli hekalu makao duniani? Mbingu, hata mbingu zilizo
lijengwe kwa ajili ya Jina langu ili lipate juu sana, haziwezi kukutosha wewe.
kuwako huko, bali nimemchagua Daudi Sembuse hekalu hili nililojenga! 28Hata hivyo
kuwatawala watu wangu Israeli.’ sikiliza dua ya mtumishi wako na maombi
17‘‘IIikuwa moyoni mwa Daudi baba yake kwa huruma, Ee BWANA Mungu
yangu kujenga hekalu kwa ajili ya Jina la wangu. Sikia kilio na dua ambayo
BWANA wa Israeli. 18Lakini BWANA mtumishi wako anaomba mbele zako siku hii
akamwambia Daudi baba yangu, ‘Kwa ya leo. 29Macho yako na yafumbuke
12
1 WAFALME
kuelekea hekalu hili usiku na mchana, watu wote), 40ili wakuogope kwa wakati wote
mahali hapa ambapo ulisema, ‘Jina langu watakaoishi katika nchi uliyowapa baba
litakuwako humo,’ ili kwamba upate kusikia zetu.
maombi ambayo mtumishi wako ataomba 41“Kwa habari ya mgeni ambaye si
kuelekea mahali hapa. 30Usikie maombi ya miongoni mwa watu wako Israeli, lakini
mtumishi wako na ya watu wako Israeli amekuja kutoka nchi ya mbali kwa sababu
wakati wanapoomba kuelekea mahali hapa. ya jina lako, 42kwa maana watu watasikia
Sikia kutoka mbinguni, mahali pa makao juu ya Jina lako kuu na juu ya mkono wako
yako na usikiapo, samehe. wenye nguvu na mkono wako ulionyooshwa,
31“Mtu anapomkosea jirani yake na wakati atakapokuja na kuomba kuelekea
akatakiwa kuapa, akija na kuapa mbele ya hekalu hili, 43basi na usikie kutoka mbinguni,
madhabahu yako ndani ya hekalu hili, mahali pa makao yako, ukafanye lo lote
32basi, sikia kutoka mbinguni na ukatende. ambalo mgeni huyo anakuomba, ili mataifa
Hukumu kati ya watumishi wako, yote ya dunia wapate kujua jina lako na
ukimhukumu yule mwenye hatia na kuleta wakuogope kama wafanyavyo watu wako
juu ya kichwa chake yale aliyoyatenda. Israeli na wapate pia kujua kwamba nyumba
Umtangazie asiye na hatia kwamba hana hii niliyoijenga imeitwa kwa Jina lako.
hatia, hivyo ukathibitishe kutokuwa na hatia 44“Wakati watu wako watakapokwenda
ukasamehe dhambi ya watu wako Israeli na kwa kuwa hakuna mtu ye yote ambaye
kuwarudisha katika nchi uliyowapa baba hatendi dhambi, nawe ukachukizwa nao na
zao. kuwakabidhi kwa adui, ambaye
35“Wakati mbingu zitakapokuwa atawachukua utumwani katika nchi yake
zimefungwa kusiwe na mvua kwa sababu mwenyewe, mbali au karibu 47na kama
watu wako wametenda dhambi dhidi yako, watabadilika mioyo yao katika nchi
watakapoomba kuelekea mahali hapa na wanakoshikiliwa mateka, nao wakatubu na
kulikiri jina lako nao wakageuka kutoka kukulilia katika nchi ya wale waliowashinda
katika dhambi zao kwa sababu na kusema, ‘Tumetenda dhambi, tumefanya
umewaadhibu, 36basi usikie kutoka mbinguni makosa, tumetenda kwa uovu,’ 48kama
na usamehe dhambi ya watumishi wako, wakikugeukia kwa moyo wao wote na nafsi
watu wako Israeli. Wafundishe njia sahihi ya zao katika nchi ya adui zao ambao
kuishi na ukanyeshe mvua juu ya nchi waliwachukua mateka, wakakuomba
uliyowapa watu wako kuwa urithi. kuelekea nchi uliyowapa baba zao, kuelekea
37“Wakati njaa au tauni vikija juu ya nchi, mji uliouchagua na hekalu nililolijenga kwa
au koga au kawa, nzige au panzi, au wakati ajili ya Jina lako, 49basi kutoka mbinguni,
adui atakapowazingira katika mji wao wo mahali pa makao yako, usikie dua yao na
wote, maafa ya namna yo yote au ugonjwa maombi yao na ukawatetee haki yao.
wo wote unaoweza kuwajia, 38wakati dua au 50Uwasamehe watu wako, waliotenda
maombi yatakapofanywa na mmojawapo wa dhambi dhidi yako, uwasamehe makosa
watu wako Israeli, kila mmoja akijua juu ya yote waliyoyatenda dhidi yako, ukawafanye
taabu ya moyo wake mwenyewe, wale waliowashinda kuwaonea huruma,
akainyoosha mikono yake kuelekea 51kwa maana ni watu wako na urithi wako,
hekalu hili, 39basi usikie kutoka mbinguni, uliowatoa Misri, kutoka kwenye lile tanuru la
katika makao yako. Usamehe na utende, kuyeyushia chuma.
umpe kila mtu kulingana na matendo yake, 52Macho yako na yafumbuke juu ya
kwa kuwa unaujua moyo wake (kwa ombi la mtumishi wako na ombi la watu
kuwa ni wewe peke yako ujuaye mioyo ya wako Israeli, nawe uwasikilize wakati wo
13
1 WAFALME
wote wanapokulilia. 53Kwa maana sadaka hizo za kuteketezwa, sadaka za nafaka
uliwachagua wao kutoka mataifa yote ya na mafuta ya wanyama wa sadaka za amani.
ulimwengu kuwa urithi wako mwenyewe, 65Hivyo Solomoni akaiadhimisha sikukuu
kama ulivyotangaza kupitia mtumishi wako kwa wakati ule, na Israeli wote pamoja naye,
Mose wakati wewe, Ee BWANA Mwenyezi, kusanyiko kubwa sana, watu kutoka ingilio la
ulipowatoa baba zetu kutoka Misri.’’ Hamathi hadi korongo la Misri. Wakiadhimisha
mbele za BWANA Mungu wetu kwa siku saba
54Wakati Solomoni alipomaliza dua hizi zote na siku saba zaidi, yaani, jumla siku kumi na
na maombi kwa BWANA, akainuka kutoka nne. 66Siku iliyofuata, aliwaruhusu watu
mbele ya madhabahu ya BWANA, mahali waondoke. Wakambariki mfalme, kisha
alipokuwa amepiga magoti, mikono yake ikawa wakaenda nyumbani, wakiwa na mashangilio na
imekunjuliwa kuelekea juu mbinguni. furaha rohoni kwa ajili ya mambo yote mema
55Akasimama na kubariki kusanyiko lote la ambayo BWANA ametenda kwa ajili ya Daudi
Israeli kwa sauti kubwa akisema: mtumishi wake na watu wake Israeli.
usiku, ili kwamba atetee shauri la mtumishi kwa unyofu wa moyo na uadilifu, kama baba
wake na la watu wake Israeli kulingana na yako Daudi alivyofanya na kutenda yote
hitaji lao la kila siku, 60ili kwamba mataifa ninayoyaagiza kwa kutunza maagizo yangu
yote ya dunia wajue kwamba BWANA ndiye na sheria, 5nitaimarisha kiti chako cha
Mungu na kwamba hakuna mwingine. ufalme juu ya Israeli milele kama
61Lakini ni lazima mwiweke mioyo yenu nilivyomwahidi Daudi baba yako nikisema,
kikamilifu kwa BWANA Mungu wetu, kuishi ‘Hutakosa kamwe kuwa na mtu kwenye kiti
kwa maagizo yake na kutii amri zake, kama cha ufalme cha Israeli.’
ilivyo wakati huu.’’ 6‘‘Lakini kama ninyi au wana wenu
akatoa dhabihu sadaka za amani kwa BWANA: nchi niliyowapa na kulikataa hekalu hili
ng’ombe 22,000, kondoo pamoja na mbuzi nililoliweka wakfu kwa Jina langu. Ndipo
120,000. Hivyo mfalme pamoja na Waisraeli Israeli itakuwa kitu cha kudharauliwa na
wote wakaliweka wakfu hekalu la BWANA. watu na kuwa kitu cha mzaha miongoni
64Siku iyo hiyo mfalme akaweka wakfu mwa watu wote. 8Ingawa hekalu hili linavutia
sehemu ya kati ya ua ulioko mbele ya hekalu la sasa, wote watakaopita karibu yake
BWANA na hapo akatoa sadaka za watashangaa na kudhihaki wakisema, ‘Kwa
kuteketezwa, sadaka za nafaka na mafuta ya nini BWANA amefanya kitu cha namna hii
wanyama wa sadaka za amani, kwa sababu katika nchi hii na kwenye hekalu hili?’
madhabahu ya shaba iliyokuwa mbele za 9Watu watajibu, ‘‘Kwa sababu wamemwacha
BWANA ilikuwa ndogo sana kuweza kubeba BWANA wao, aliyewatoa baba zao Misri,
14
1 WAFALME
nao wamekumbatia miungu mingine, wakuu wasimamizi wa miradi ya Solomoni,
wakiiabudu na kuitumikia, ndiyo sababu maafisa 550 waliowasimamia watu waliofanya
BWANA ameyaleta maafa haya yote juu kazi.
yao.’ ‘’ 24Baada ya binti Farao kuja kutoka Mji wa
Solomoni alijenga majengo haya mawili, yaani na sadaka za amani mara tatu kwa mwaka, juu
hekalu la BWANA na jumba la kifalme, 11Mfalme ya madhabahu aliyokuwa amejenga kwa ajili ya
Solomoni akampa Hiramu mfalme wa Tiro miji BWANA, akifukiza uvumba mbele za BWANA
ishirini katika Galilaya, kwa sababu Hiramu pamoja na dhabihu hizo, hivyo kutimiza kanuni
alikuwa amempatia mierezi yote, misunobari na za hekalu.
dhahabu yote aliyohitaji. 12Lakini Hiramu 26Mfalme Solomoni akatengeneza pia meli
alipotoka Tiro kwenda kuiona ile miji ambayo huko Ezion Geberi, ambayo iko karibu na Elathi
Solomoni alikuwa amempa, hakupendezwa katika Edomu, kwenye ukingo wa Bahari ya
nayo. 13Hiramu akauliza, ‘‘Hii ni miji ya namna Shamu d . 27Naye Hiramu akatuma watu wake,
gani uliyonipa, ndugu yangu?’’ mabaharia walioijua bahari, kuhudumu katika
Naye akaiita nchi ya Kabul a , jina lililoko hadi leo. hizo meli pamoja na watu wa Solomoni.
14Basi Hiramu alikuwa amempelekea mfalme 28Wakasafiri kwenda Ofiri na kurudi na talanta
shokoa, kama ilivyo hadi leo. 22Lakini Solomoni kwenye nchi yangu mwenyewe kuhusu
hakumfanya ye yote wa Waisraeli kuwa mafanikio na hekima yako ni kweli. 7Lakini
mtumwa, wao ndio waliokuwa wapiganaji wake, sikuamini mambo haya mpaka nilipokuja na
maafisa wake wa serikali, maafisa wake, wakuu kuona kwa macho yangu mwenyewe. Naam,
wake, majemadari wa jeshi wa magari yake ya sikuambiwa hata nusu yake, katika hekima na
vita na wapanda farasi. 23Pia walikuwa maafisa mali umezidi sana ile taarifa niliyoisikia. 8Watu
a13 ‘‘Kabul’’ maana yake ‘‘isiyofaa kitu.’’ d26 ‘‘Bahari ya Shamu,’’ yaani, ‘‘Bahari Nyekundu au Bahari
b14 ‘‘Talanta120’’ za dhahabu ni sawa na tani 4.5 ya Mafunjo.’’
c15 ‘‘Milo’’ maana yake ‘‘Boma la ngome.’’ e28 “talanta 420 za dhahabu ni kama tani 14.”
15
1 WAFALME
wako wanafurahi namna gani! Maafisa wako kiti kulikuwa na mahali pa kuwekea mikono,
wanafurahi namna gani, wale ambao husimama sanamu ya simba akisimama kila upande wake
mbele yako daima na kusikia hekima yako! mahali pa kuwekea mikono. 20Simba kumi na
9Ahimidiwe BWANA wako, ambaye wawili walisimama kwenye ngazi sita, wawili
amependezwa sana nawe na kukuweka juu ya kwenye kila ngazi, yaani, mmoja upande huu na
kiti cha ufalme cha Israeli. Kwa sababu ya mwingine upande huu. Hakuna kitu kama hicho
upendo wa BWANA wa milele kwa ajili ya Israeli, kilichokuwa kimefanyika kwenye ufalme
amekufanya mfalme, ili kudumisha haki na mwingine wo wote. 21Vikombe vyote vya mfalme
uadilifu.” Solomoni vya kunywea vilikuwa vya dhahabu na
10Naye akampa mfalme talanta mia moja na vyombo vyote vya nyumbani katika jumba la
ishirini a za dhahabu, kiasi kikubwa cha vikolezi kifalme la msitu wa Lebanoni vilikuwa dhahabu
na mawe ya thamani. Haikuwahi kamwe kutokea safi. Hakukuwa na kitu kilichotengenezwa kwa
tena vikolezi vingi hivyo kuletwa kama vile fedha, kwa sababu fedha ilionekana ya thamani
malkia wa Sheba alivyompa Mfalme Solomoni. ndogo wakati wa Solomoni. 22Mfalme alikuwa na
11(Meli za Hiramu zilileta dhahabu kutoka meli nyingi za biashara baharini zilizokuwa
Ofiri, tena kutoka huko zilileta shehena kubwa zikiandamana na meli za Hiramu. Mara moja kila
ya miti ya msandali na mawe ya thamani. miaka mitatu zilirudi, zikiwa zimebeba dhahabu,
12Mfalme akatumia miti ya msandali kuwa nguzo fedha, pembe za ndovu na nyani wadogo na
kwa ajili ya hekalu la BWANA na kwa jumba la wakubwa.
kifalme, pia kwa kutengeneza vinubi na zeze 23Mfalme Solomoni alikuwa mkuu zaidi kwa
kwa ajili ya waimbaji. Kiasi hicho kingi cha miti utajiri na hekima kuliko wafalme wote wa dunia.
ya msandali hakijawahi kuingizwa nchini tangu 24Dunia yote ikatafuta kukutana na Solomoni
alipokea kwa mwaka ulikuwa talanta mia sita Yerusalemu kama mawe, mierezi akaifanya
sitini na sita b , 15pasipo kuweka mapato kutoka kuwa mingi kama mikuyu chini ya vilima.
wafanyibiashara, wachuuzi na kutoka kwa 28Farasi wa Solomoni waliletwa kutoka Misri na
wafalme wote wa Arabuni na watawala wa nchi. kutoka Kue e , wafanya biashara wa kifalme
16Mfalme Solomoni akatengeneza ngao waliwanunua kutoka Kue. 29Waliingiza magari
kubwa mia mbili kwa dhahabu iliyofuliwa, kila kutoka Misri kwa bei ya shekeli za fedha 600 f na
ngao ilikuwa na dhahabu yenye uzito wa shekeli farasi kwa shekeli za fedha 150 g . Pia waliwauza
mia sita c . 17Akatengeneza pia ngao ndogo mia nje kwa wafalme wote wa Wahiti na Waaramu h .
tatu za dhahabu iliyofuliwa, kila ngao ikiwa na
uzito wa mane tatu d za dhahabu. Mfalme Wakeze Solomoni
akaziweka katika jumba la kifalme la msitu wa Hata hivyo, mfalme Solomoni
Lebanoni.
18Kisha mfalme akatengeneza kiti kikubwa
11 akawapenda wanawake wengi wa
kigeni zaidi mbali na binti Farao: Wanawake wa
cha kifalme kwa kutumia pembe za ndovu na Wamoabu, Waamoni, Waedomu, Wasidoni na
kukifunika kwa dhahabu safi. 19Kiti hicho Wahiti. 2Wakitoka katika mataifa ambayo
kilikuwa na ngazi sita na egemeo la nyuma BWANA aliwaambia Waisraeli, “Msije mkaoana
lilikuwa la mviringo kwa juu. Juu pande zote za nao, kwa hakika wataigeuza mioyo yenu
Kemoshi chukizo la Wamoabu na kwa Moleki kwamba Daudi amepumzika na baba zake na ya
mungu chukizo la Waamoni. 8Akafanya hivyo kwamba pia Yoabu aliyekuwa jemadari wa jeshi
kwa wake zake wote wa kigeni, ambao amekufa. Ndipo Hadadi akamwambia Farao,
walifukiza uvumba na kutoa dhabihu kwa “Niruhusu niende ili niweze kurudi katika nchi
miungu yao. yangu.’’
9BWANA akamkasirikia Solomoni kwa 22Farao akauliza, “Umekosa nini hapa
sababu moyo wake uligeuka mbali na BWANA, kwamba unataka kurudi katika nchi yako?”
Mungu wa Israeli, ambaye alikuwa amemtokea Hadadi akajibu, “Hakuna, lakini niruhusu
mara mbili. 10Ingawa alikuwa amemkataza niende!”
Solomoni kufuata miungu mingine, Solomoni 23Mungu akamwinua adui mwingine dhidi ya
hakutii amri ya BWANA. 11Kwa hiyo BWANA Solomoni, Rezoni mwana wa Eliyada, ambaye
akamwambia Solomoni, “Kwa kuwa hii ndiyo hali alikuwa amemkimbia bwana wake Hadadezeri
yako na hukushika agano langu na sheria zangu mfalme wa Soba. 24Akawakusanya watu, naye
nilizokuamuru, hakika nitaurarua ufalme kutoka akawa kiongozi wa kundi la waasi, wakati Daudi
kwako na kumpa mmoja wa walio chini yako. alipoangamiza majeshi ya Soba, waasi
12Hata hivyo, kwa ajili ya Daudi baba yako, walikwenda Dameski, mahali walipokaa na
sitafanya jambo hili wakati wa uhai wako. kumiliki. 25Rezoni alikuwa adui wa Israeli kwa
Nitaurarua kutoka mikononi mwa mwanao. muda wote alioishi Solomoni, ukiongezea
13Lakini pia sitaurarua ufalme wote kutoka matatizo yaliyosababishwa na Hadadi. Kwa hiyo
kwake, bali nitampa kabila moja kwa ajili ya Rezoni akatawala katika Aramu b na alikuwa
Daudi mtumishi wangu na kwa ajili ya mkatili kwa Israeli.
Yerusalemu, ambao nimeuchagua..
Yeroboamu Anaasi Dhidi Ya Solomoni
Adui Za Solomoni 26Pia, Yeroboamu mwana wa Nebati aliasi
14Kisha BWANA akamwinua adui dhidi ya dhidi ya mfalme. Alikuwa mmoja wa maafisa wa
Solomoni, Hadadi Mwedomu kutoka ukoo wa Solomoni, Mwefraimu kutoka Sereda, ambaye
kifalme wa Edomu. 15Huko nyuma wakati Daudi mama yake alikuwa mjane aliyeitwa Serua.
alipokuwa akipigana na Edomu, Yoabu jemadari 27Haya ndiyo maelezo ya jinsi alivyomwasi
wa jeshi, aliyekuwa amekwenda kuzika mfalme: Solomoni alikuwa amejenga milo c naye
waliouawa, alikuwa amewaua wanaume wote akawa ameziba mwanya katika ukuta wa mji wa
waliokuwako Edomu. 16Yoabu na Waisraeli wote Daudi baba yake. 28Basi Yeroboamu alikuwa
walikaa huko kwa miezi sita, mpaka mtu shujaa na hodari, naye Solomoni alipoona
walipomaliza kuwaangamiza wanaume wote jinsi kijana alivyofanya kazi yake, akamweka
huko Edomu. 17Lakini Hadadi, akiwa bado kuwa kiongozi wa kazi yote ya mikono ya
mvulana mdogo, alikimbilia Misri akiwa na nyumba ya Yosefu.
Hawa wawili walikuwa peke yao mashambani, akiwa Yerusalemu. 43Kisha akalala pamoja na
30naye Ahiya akachukua joho jipya alilokuwa baba zake na akazikwa katika mji wa Daudi
amevaa akalirarua vipande kumi na viwili. baba yake. Naye Rehoboamu mwanawe
31Kisha akamwambia Yeroboamu, “Chukua akatawala badala yake.
vipande kumi kwa ajili yako, kwa kuwa hivi
ndivyo BWANA, Mungu wa Israeli asemavyo, Israeli Yaasi Dhidi Ya Rehoboamu
‘Tazama, ninakwenda kuuchana ufalme kutoka Rehoboamu akaenda Shekemu, kwa
mikononi mwa Solomoni na kukupa wewe 12 kuwa Waisraeli wote walikuwa
makabila kumi. 32Lakini kwa ajili ya mtumishi wamekwenda huko kumfanya yeye kuwa
wangu Daudi na mji wa Yerusalemu, ambao mfalme. 2Yeroboamu mwana wa Nebati
nimeuchagua miongoni mwa makabila yote ya aliposikia hili (alikuwa bado yuko Misri alikokuwa
Israeli, atakuwa na kabila moja. 33Nitafanya hivi amekimbilia awe mbali na Mfalme Solomoni),
kwa sababu wameniacha mimi na kuabudu akarudi kutoka Misri. 3Kwa hiyo wakatuma watu
Ashtorethi mungu mke wa Wasidoni, Kemoshi kumwita Yeroboamu, yeye na kusanyiko lote la
mungu wa Wamoabu na Moleki mungu wa Israeli wakamwendea Rehoboamu na
Waamoni, nao hawakwenda katika njia zangu ili kumwambia, “Baba yako aliweka nira nzito juu
4
kufanya yaliyo sawa machoni pangu, wala yetu, lakini sasa ufanye nyepesi kazi za kikatili
kushika amri na sheria zangu kama Daudi, na nira nzito aliyoweka juu yetu, nasi
babaye Solomoni alivyofanya. tutakutumikia.’’
34‘ “Lakini sitauondoa ufalme wote kutoka 5Rehoboamu akajibu, ‘Nendeni kwa muda
mikononi mwa Solomoni, nimemfanya mtawala wa siku tatu na kisha mnirudie.’ Basi watu
siku zote za maisha yake kwa ajili ya Daudi wakaenda zao.
mtumishi wangu, niliyemchagua na ambaye 6Kisha mfalme Rehoboamu akataka shauri
aliyatunza maagizo na amri zangu. 35Nitauondoa kwa wazee ambao walimtumikia Solomoni baba
ufalme kutoka mikononi mwa mwanaye na yake wakati wa uhai wake akawauliza,
kukupa wewe makabila kumi. 36Nitampa “Mnanishauri nini katika kuwajibu watu hawa?”
mwanawe kabila moja ili kwamba Daudi 7Wakajibu, “Kama leo utakuwa mtumishi wa
mtumishi wangu awe na taa mbele zangu daima watu hawa na kuwahudumia na kuwapa jibu
katika Yerusalemu, mji ambao nimeuchagua linaloridhisha, watakuwa watumishi wako
kuweka jina langu. 37Hata hivyo, kukuhusu daima.”
wewe Yeroboamu, nitakutwaa, nawe utatawala 8Lakini Rehoboamu akakataa shauri
juu ya yote yale moyo wako unayotamani, alilopewa na wazee na akataka ushauri kwa
utakuwa mfalme juu ya Israeli. 38Ikiwa utafanya vijana wanaume rika lake waliokuwa
kila nitakalokuamuru, kuenenda katika njia wakimtumikia. 9Akawauliza, “Ninyi ushauri wenu
zangu na kufanya yaliyo sawa mbele za macho ni nini? Tutawajibuje watu hawa wanaoniambia,
yangu kwa kuzishika amri zangu na maagizo ‘Ifanye nyepesi nira baba yako aliyoweka juu
yangu kama alivyofanya Daudi mtumishi wangu, yetu?’ ”
nitakuwa pamoja nawe. Nitakujengea ukoo wa 10Wale vijana wa rika lake wakamjibu,
kifalme utakaodumu kama ule niliomjengea “Waambie watu hawa waliokuambia, ‘Baba yako
Daudi, nami nitakupa Israeli. 39Nitawatesa aliweka nira nzito juu yetu, lakini ifanye nira yetu
wazao wa Daudi kwa ajili ya hili, lakini siyo nyepesi, kuwa, ‘Kidole changu kidogo ni kinene
milele.’ ’’ kuliko kiuno cha baba yangu. 11Baba yangu
40Solomoni akajaribu kumwua Yeroboamu, aliweka nira nzito juu yenu, mimi nitaifanya hata
lakini Yeroboamu akakimbilia Misri, kwa mfalme iwe nzito zaidi. Baba yangu aliwachapa kwa
Shishaki, naye akakaa huko mpaka Solomoni mijeledi, mimi nitawachapa kwa nge.’ ’’
alipokufa. 12Siku tatu baadaye, Yeroboamu na watu
18
1 WAFALME
shauri la vijana wa rika lake na kusema, “Baba 25Kisha Yeroboamu akajenga Shekemu
yangu alifanya nira yenu kuwa nzito, mimi akaizungushia ngome katika nchi ya kilima ya
nitaifanya kuwa nzito zaidi. Baba yangu Efraimu na akaishi huko. Akatoka huko,
aliwachapa kwa mijeledi, mimi nitawachapa kwa akajenga Penueli a .
nge.’’ 15Kwa hiyo mfalme hakuwasikiliza watu, 26Yeroboamu akawaza moyoni mwake,
kwa kuwa jambo hili lilitoka kwa BWANA, ili “Sasa inawezekana ufalme ukarudi katika
kutimiza neno ambalo BWANA alikuwa nyumba ya Daudi. 27Kama watu hawa
amenena kwa Yeroboamu mwana wa Nebati watapanda kwenda kutoa dhabihu katika hekalu
kupitia Ahiya Mshiloni. la BWANA huko Yerusalemu, mioyo yao
16Israeli wote walipoona kuwa mfalme itamrudia bwana wao, Rehoboamu mfalme wa
amekataa kuwasikiliza, wakamjibu mfalme: Yuda. Wataniua mimi na kurudi kwa mfalme
Rehoboamu.’’
“Tuna fungu gani kwa Daudi? 28Baada ya kutafuta shauri, mfalme
Sisi hatuna urithi kwa mwana wa Yese. akatengeneza ndama wawili wa dhahabu.
Nendeni kwenye mahema yenu, Ee Israeli, Akawaambia watu, “Ni gharama kubwa kwenu
Angalia nyumba yako mwenyewe, kukwea kwenda Yerusalemu. Hii hapa miungu
Ee Daudi!” yenu, Ee Israeli, iliyowapandisha kutoka Misri.’’
29Ndama mmoja akamweka Betheli na mwingine
Hivyo Waisraeli wakaenda kwenye mahema Dani. 30Nalo jambo hili likawa dhambi, watu
yao. 17Lakini kwa habari ya Waisraeli waliokuwa wakawa wanaenda hadi Dani kumwabudu huyo
wakiishi katika miji ya Yuda, Rehoboamu aliyewekwa huko.
akaendelea kuwatawala bado. 31Yeroboamu akajenga madhabahu mahali
18Mfalme Rehoboamu akamtuma Adoramu pa juu pa kuabudia miungu na kuwateua
aliyekuwa msimamizi wa wale waliofanya kazi makuhani kutoka watu wa aina zote, ijapokuwa
ngumu kwa kulazimishwa, lakini Israeli yote hawakuwa Walawi. 32Akaweka sikukuu katika
wakampiga kwa mawe hadi akafa. Hata hivyo, siku ya kumi na tano ya mwezi wa nane, kama
mfalme Rehoboamu, akafanikiwa kuingia sikukuu iliyokuwa ikifanyika huko Yuda na
kwenye gari lake na kutorokea Yerusalemu. akatoa dhabihu juu ya madhabahu. Akafanya
19Hivyo Israeli ameasi dhidi ya nyumba ya Daudi hivyo huko Betheli akitoa dhabihu kwa ndama
hadi leo. alizotengeneza. Huko Betheli, akawaweka
20Waisraeli wote waliposikia kwamba makuhani pia katika sehemu za juu za kuabudia
Yeroboamu amerudi, wakatuma watu na miungu alizotengeneza. 33Katika siku ya kumi na
kumwita kwenye kusanyiko na kumfanya mfalme tano ya mwezi wa nane, mwezi aliouchagua
juu ya Israeli yote. Ni kabila la Yuda peke yake mwenyewe, alitoa dhabihu juu ya madhabahu
lililobaki kuwa tiifu kwa nyumba ya Daudi. aliyokuwa amejenga huko Betheli. Kwa hiyo
21Ikawa Rehoboamu alipofika Yerusalemu, akaweka sikukuu kwa ajili ya Waisraeli na
akakusanya nyumba yote ya Yuda na kabila la akapanda madhabahuni kutoa sadaka.
Benyamini, wanaume wapiganaji 180,000,
kufanya vita dhidi ya nyumba ya Israeli na Mtu Wa Mungu Kutoka Yuda
kuurudisha tena ufalme kwa Rehoboamu
mwana wa Solomoni.
22Lakini neno hili la Mungu likamjia
13 Kwa neno la BWANA mtu wa Mungu
alifika Betheli kutoka Yuda wakati
Yeroboamu alipokuwa amesimama kando ya
Shemaiya mtu wa Mungu: 23“Mwambie madhabahu ili kutoa sadaka. 2Akapiga kelele
Rehoboamu mwana wa Solomoni mfalme wa dhidi ya madhabahu kwa neno la BWANA : “Ee
Yuda, nayo nyumba yote ya Yuda, ya Benyamini madhabahu, madhabahu! Hivi ndivyo asemavyo
na watu wengine wote, 24‘Hili ndilo asemalo BWANA: ‘Mwana aitwaye Yosia atazaliwa katika
BWANA : Usipande kupigana dhidi ya ndugu nyumba ya Daudi. Juu yako atawatoa dhabihu
zako, Waisraeli. Nendeni nyumbani, kila mmoja makuhani wa mahali pa juu pa kuabudia miungu
wenu, kwa kuwa hili limetoka kwangu.” Kwa hiyo wale ambao wanatoa sadaka hapa sasa, nayo
wakalitii neno la BWANA na kurudi nyumbani, mifupa ya wanadamu itachomwa juu yako.’ ’’
kama BWANA alivyokuwa ameagiza. 3Siku iyo hiyo, mtu wa
Ndama Wa Dhahabu Huko Betheli Na Dani a25 “Penueli” ni jina lingine la Penieli kwa Kiebrania.
19
1 WAFALME
Mungu akatoa ishara: “Hii ndiyo ishara BWANA uliyojia.’ ’’
aliyotangaza: Madhabahu hii itapasuka na 18Yule nabii mzee akajibu, “Mimi pia ni nabii,
majivu yaliyo juu yake yatamwagika.’’ kama wewe. Naye malaika alisema nami kwa
4Mfalme Yeroboamu aliposikia kile mtu wa neno la BWANA : ‘Mrudishe aje katika nyumba
Mungu alichosema alipopiga kelele dhidi ya yako ili apate kula mkate na kunywa maji.’ ’’
madhabahu huko Betheli,akanyosha mkono (Lakini alikuwa akimwambia uongo.) 19Hivyo mtu
wake kutoka madhabahuni na kusema, wa Mungu akarudi pamoja naye na akala na
“Mkamate!” Lakini mkono aliokuwa kunywa katika nyumba yake.
ameunyoosha kumwelekea yule mtu ukasinyaa 20Wakati walipokuwa wameketi mezani,
na kubaki hapo hapo, kiasi kwamba hakuweza neno la BWANA likamjia yule nabii mzee
kuurudisha. 5Pia madhabahu ilipasuka na majivu aliyemrudisha huyo mtu wa Mungu.
yakamwagika sawasawa na ishara iliyotolewa 21Akampazia sauti yule mtu wa Mungu
na mtu wa Mungu kwa neno la BWANA. aliyekuwa ametoka Yuda, “Hivi ndivyo
6Kisha mfalme akamwambia mtu wa Mungu, asemavyo BWANA : “Umeasi neno la BWANA
“Niombee kwa BWANA wa ko ili mkono wangu na hukushika amri uliyopewa na BWANA wa ko,
upate kupona.” Kwa hiyo mtu wa Mungu 22bali ulirudi na ukala mkate na kunywa maji
akamwombea kwa BWANA, nao mkono wa mahali ambapo alikuambia usile wala usinywe.
mfalme ukapona na kuwa kama ulivyokuwa Kwa hiyo maiti yako haitazikwa katika kaburi la
hapo kwanza. baba zako.”
7Mfalme akamwambia yule mtu wa Mungu, 23Wakati huyo mtu wa Mungu alipomaliza
“Twende nyumbani kwangu upate chakula, nami kula na kunywa, nabii aliyekuwa amemrudisha
nitakupa zawadi.’’ akamtandikia punda wake. 24Alipokuwa akienda
8Lakini yule mtu wa Mungu akamjibu akakutana na simba njiani akamwua na maiti
mfalme, “Hata kama ungenipa nusu ya mali yake ikabwagwa barabarani, yule punda wake
zako, nisingekwenda pamoja na wewe, wala na simba wakiwa wamesimama karibu yake.
nisingekula mkate au kunywa maji hapa. 9Kwa 25Baadhi ya watu waliopita pale waliona maiti
kuwa niliagizwa kwa neno la BWANA : ‘Kamwe imebwagwa pale chini, simba akiwa amesimama
usile mkate wala usinywe maji au kurudi kwa kando ya maiti, wakaenda na kutoa habari katika
njia uliyojia.’ ’’ 10Kwa hiyo akafuata njia nyingine mji ambao nabii mzee aliishi.
na hakurudi kupitia njia ile ambayo alikuwa 26Yule nabii aliyekuwa amemrudisha kutoka
mfalme. 12Baba yao akawauliza, “Ameelekea punda,” nao wakafanya hivyo. 28Kisha akatoka
njia gani?” Nao wanawe wakamwonyesha ile akaenda akakuta maiti imebwagwa chini
njia yule mtu wa Mungu kutoka Yuda aliyopita. barabarani, punda na simba wakiwa
13Hivyo akawaambia wanawe, “Nitandikieni wamesimama kando yake. Simba hakuwa
punda.’’ Walipokwisha kumtandikia punda, amekula ile maiti wala kumrarua punda. 29Basi
akampanda 14na kumfuatilia yule mtu wa yule nabii mzee akachukua maiti ya mtu wa
Mungu. Akamkuta ameketi chini ya mwaloni na Mungu, akailaza juu ya punda na akairudisha
akamwuliza, “Je, wewe ndiwe mtu wa Mungu katika mji wake, ili amwombolezee na kumzika.
kutoka Yuda?” 30Kisha akailaza ile maiti katika kaburi lake huyo
20
1 WAFALME
madhababu yote katika mahali pa juu pa kiume katika Israeli, mtumwa au mtu huru.
kuabudia miungu katika miji ya Samaria, hakika Nitachoma nyumba ya Yeroboamu kama mtu
yatatokea kweli.” achomaye kinyesi mpaka imeteketea yote.
33Hata baada ya haya, Yeroboamu 11Mbwa watawala wale walio wa nyumba ya
hakubadili njia zake mbaya, lakini mara nyingine Yeroboamu watakaofia ndani ya mji na ndege
tena akaweka makuhani kwa ajili ya mahali pa wa angani watajilisha kwa wale watakaofia
juu pa kuabudia miungu kutoka watu wa aina mashambani. BWANA amesema!’
zote. Ye yote aliyetaka kuwa kuhani alimweka 12Kukuhusu wewe, rudi nyumbani. Wakati
wakfu kwa ajili ya mahali pa juu pa kuabudia utakapotia mguu katika mji wako, kijana atakufa.
miungu. 34Hii ilikuwa ndiyo dhambi ya nyumba 13Israeli yote itamwombolezea na kumzika. Kwa
alishindwa kuona kwa sababu ya umri wake. akaondoka kwenda Tirza. Mara alipokanyaga
5Lakini BWANA alikuwa amemwambia Ahiya, kizingiti cha mlango, kijana akafa. 18Wakamzika
“Mke wa Yeroboamu anakuja kukuuliza kuhusu na Israeli yote ikamwombolezea, kama BWANA
mwanaye, kwa kuwa ni mgonjwa, nawe utamjibu alivyokuwa amesema kupitia mtumishi wake
hivi na hivi. Atakapowasili, atajifanya kuwa ni nabii Ahiya.
mtu mwingine.’’ 19Matukio mengine ya utawala wa
6Hivyo Ahiya aliposikia kishindo cha hatua Yeroboamu, vita vyake na jinsi alivyotawala,
zake mlangoni, akasema, “Karibu ndani, mke wa vimeandikwa katika vitabu vya tarehe vya
Yeroboamu. Kwa nini kujibadilisha? Nimetumwa wafalme wa Israeli. 20Akawatawala kwa miaka
kwako nikiwa na habari mbaya. 7Nenda, ishirini na miwili kisha akalala na baba zake.
ukamwambie Yeroboamu kwamba hivi ndivyo Naye Nadabu mwanawe akaingia mahali pake
asemavyo BWANA wa Israeli: ‘Nilikuinua kama mfalme.
miongoni mwa watu na kukufanya kiongozi juu
ya watu wangu Israeli. 8Nikararua ufalme kutoka Rehoboamu Mfalme Wa Yuda
kwa nyumba ya Daudi na kukupa wewe, lakini 21Rehoboamu mwana wa Solomoni alikuwa
hukuwa kama mtumishi wangu Daudi ambaye mfalme wa Yuda. Alikuwa na umri wa miaka
aliyashika maagizo yangu na kunifuata kwa arobaini na moja alipoanza kutawala, naye
moyo wake wote, akifanya tu lile lililokuwa sawa akatawala miaka kumi na saba huko
machoni pangu. 9Umefanya maovu mengi kuliko Yerusalemu, mji ambao BWANA alikuwa
wote walio kutangulia. Umejitengenezea miungu ameuchagua kutoka makabila yote ya Israeli ili
mingine, sanamu za chuma, umenighadhibisha apate kuliweka humo Jina lake. Mama yake
na kunitupa nyuma yako. aliitwa Naama, ambaye alikuwa Mwamoni.
10“Kwa sababu ya hili, nitaleta maafa juu ya
kila kilima kilichoinuka na kila mti uliotanda. Yeroboamu wakati wote wa maisha ya Abiya.
24Walikuwepo hata wanaume mahanithi wa 7Kwa habari ya matukio mengine ya utawala wa
mahali pa ibada za sanamu katika nchi, watu Abiya na yote aliyofanya, je, hayakuandikwa
wakajiingiza katika kutenda machukizo ya katika kitabu cha kumbukumbu cha wafalme wa
mataifa ambayo BWANA aliyafukuza mbele ya Yuda? Kulikuwa na vita kati ya Abiya na
Waisraeli. Yeroboamu. 8Naye Abiya akalala pamoja na
25Katika mwaka wa tano wa kutawala kwake baba zake akazikwa katika mji wa Daudi. Naye
Mfalme Rehoboamu, Shishaki mfalme wa Misri Asa mwanawe akaingia mahali pake kama
akashambulia Yerusalemu. 26Akachukua hazina mfalme.
yote ya hekalu la BWANA na hazina yote ya 9Katika mwaka wa ishirini wa kutawala
jumba la kifalme. Alichukua kila kitu, pamoja na kwake Yeroboamu mfalme wa Israeli, Asa
ngao zote za dhahabu Solomoni alizotengeneza. akawa mfalme wa Yuda, 10naye akatawala
27Kwa hiyo mfalme Rehoboamu akatengeneza katika Yerusalemu miaka arobaini na mmoja.
ngao za shaba kuweka mahali pa zile za Jina la bibi yake aliitwa Maaka binti Abshalomu.
dhahabu, akawagawia wakuu wa ulinzi, 11Asa akatenda yaliyo mema machoni mwa
waliokuwa zamu kwenye ingilio la jumba la BWANA, kama alivyokuwa ametenda Daudi
mfalme. 28Kila wakati mfalme alipokwenda baba yake. 12Akawafukuza mahanithi wa mahali
katika hekalu la BWANA, walinzi walizichukua pa kuabudia miungu kutoka katika nchi na
zile ngao, hatimaye walizirudisha kwenye kuondoa sanamu zote ambazo baba zake
chumba cha ulinzi. walikuwa wametengeneza. 13Hata akamwondoa
29Kwa matukio mengine ya utawala wa bibi yake Maaka kwenye nafasi yake kama
Rehoboamu na yote aliyoyafanya, je, mama malkia, kwa sababu alikuwa
hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu ametengeneza nguzo ya Ashera ya kuchukiza.
cha wafalme wa Yuda? 30Kulikuwa na vita Asa akakatakata hiyo nguzo na kuiteketeza kwa
vinavyoendelea kati ya Rehoboamu na moto kwenye Bonde la Kidroni. 14Japokuwa
Yeroboamu. 31Naye Rehoboamu akalala na hakuondoa mahali pa juu pa kuabudia miungu,
baba zake na akazikwa pamoja nao katika mji moyo wa Asa ulikuwa umejiweka kwa BWANA
wa Daudi. Mama yake aliitwa Naama, ambaye kikamilifu maisha yake yote. 15Akaleta ndani ya
alikuwa Mwamoni. Naye Abiya b mwanawe hekalu la BWANA fedha na dhahabu pamoja na
akaingia mahali pake kama mfalme. vitu ambavyo yeye na baba yake walikuwa
wameviweka wakfu.
Abiya Mfalme Wa Yuda 16Kulikuwa na vita kati ya Asa na Baasha
Nebati, Abiya akawa mfalme wa Yuda, 2naye Yuda na kuweka ngome Rama kuzuia ye yote
akatawala katika Yerusalemu miaka mitatu. kuingia au kutoka katika nchi ya Asa mfalme wa
Mama yake aliitwa Maaka binti Abishalomu a . Yuda.
3Alitenda dhambi zote baba yake alizotenda 18Kisha Asa akachukua fedha yote na
kabla yake, moyo wake haukuwa mkamilifu kwa dhahabu iliyokuwa imeachwa katika hazina za
BWANA wa ke kama moyo wa Daudi baba yake hekalu la BWANA na za jumba lake mwenyewe
ulivyokuwa. 4Pamoja na hayo, kwa ajili ya Daudi, la kifalme. Akawakabidhi maafisa wake na
BWANA wa ke akampa taa katika Yerusalemu kuwatuma kwa Ben-Hadadi mwana wa
kwa kumwinua mwana atawale badala yake na Tabrimoni, mwana wa Hezioni, mfalme wa
Aramu b , aliyekuwa akitawala Dameski.
19“Akasema na pawepo mkataba kati yangu na
b31 “Abiya, maandishi mengi ya Kiebrania yanamwita
“Abiyamu.’’
a2 “Abishalomu,” yaani namna nyingine ya kutaja “Absalomu.’’ b18 ‘‘Aramu’’ ndiyo Shamu, yaani, Syria.
“Absalomu” maana yake “baba wa amani,’’ pia mst. wa 10.
22
1 WAFALME
wewe, kama ulivyokuwepo kati ya baba yangu Israeli? 32Kulikuwa na vita kati ya Asa na
na baba yako. Tazama, nakutumia zawadi ya Baasha mfalme wa Israeli wakati wote wa
fedha na dhahabu. Sasa vunja mkataba wako utawala wao.
na Baasha mfalme wa Israeli ili aniache huru.’’
20Ben-Hadadi akakubaliana na mfalme Asa Baasha Mfalme Wa Israeli
na akatuma majemadari wake dhidi ya miji ya 33Katika mwaka wa tatu wa kutawala kwake
Israeli. Akaishinda miji ya Iyoni, Dani, Abel-beth Asa mfalme wa Yuda, Baasha mwana wa Ahiya
Maaka na Kinerothi yote pamoja na Naftali. akawa mfalme wa Israeli yote huko Tirza, naye
21Wakati Baasha aliposikia hili, akaacha akatawala kwa miaka ishirini na minne.
kuijenga Rama na akaenda kuishi Tirza. 22Kisha 34Akatenda maovu machoni pa BWANA,
Mfalme Asa akatoa amri kwa Yuda yote, pasipo akienenda katika njia za Yeroboamu na dhambi
kumbagua hata mmoja, kubeba mawe na mbao yake, ambayo alikuwa amesababisha Israeli
kutoka Rama, ambazo Baasha alikuwa akitumia kuitenda.
huko. Mfalme Asa akazitumia kujengea Geba
iliyoko Benyamini na Mispa pia.
23Kwa matukio yote ya utawala wa Asa, 16 Ndipo neno la BWANA likamjia Yehu
mwana wa Hanani dhidi ya Baasha
mafanikio yake yote, yote aliyofanya na miji kusema: 2“Nilikuinua kutoka mavumbini na
aliyoijenga, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kukufanya kiongozi wa watu wangu Israeli, lakini
kumbukumbu cha wafalme wa Yuda? Katika ukaenenda katika njia za Yeroboamu na
uzee wake, hata hivyo alipata ugonjwa wa kusababisha watu wangu Israeli kutenda dhambi
miguu. 24Kisha Asa akalala pamoja na baba na kunikasirisha kwa dhambi zao. 3Basi
zake na kuzikwa pamoja nao katika mji wa nitamwangamiza Baasha pamoja na nyumba
Daudi baba yake. Naye Yehoshafati mwanawe yake, nami nitaifanya nyumba yako kama ile ya
akaingia mahali pake kama mfalme. Yeroboamu mwana wa Nebati. 4Mbwa watawala
watu wa Baasha watakaofia mjini na ndege wa
Nadabu Mfalme Wa Israeli angani watajilisha kwa wale watakaofia
25Nadabu mwana wa Yeroboamu akawa mashambani.’’
mfalme wa Israeli katika mwaka wa pili wa 5Kwa matukio mengine ya utawala wa
utawala wa Mfalme Asa wa Yuda, naye Baasha, aliyoyafanya na mafanikio yake, je,
akatawala Israeli kwa miaka miwili. 26Akafanya hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu
maovu machoni pa BWANA akienenda katika cha wafalme wa Israeli? 6Baasha akalala na
njia za baba yake na katika dhambi yake, baba zake naye akazikwa huko Tirza. Naye Ela
ambayo alisababisha Israeli kuifanya. mwanawe akaingia mahali pake kama mfalme.
27Baasha mwana wa Ahiya wa nyumba ya 7Zaidi ya hayo, neno la BWANA likamjia
Isakari akafanya shauri baya dhidi yake, naye Baasha pamoja na nyumba yake kupitia kwa
akamwua huko Gibethoni, mji wa Wafilisti, Yehu mwana wa Hanani, kwa sababu ya maovu
wakati Nadabu na Israeli yote walipokuwa yote aliyokuwa ametenda machoni pa BWANA,
wameuzingira. 28Baasha akamwua Nadabu akamkasirisha kwa mambo aliyotenda na kuwa
katika mwaka wa tatu wa kutawala kwake Asa kama nyumba ya Yeroboamu na pia kwa
mfalme wa Yuda, naye Baasha akaingia mahali sababu aliiangamiza.
pake kama mfalme.
29Mara tu alipoanza kutawala, aliua jamaa Ela Mfalme Wa Israeli
yote ya Yeroboamu. Hakumwachia Yeroboamu 8Katika mwaka wa ishirini na sita wa
ye yote aliyekuwa hai, bali aliwaangamiza wote, kutawala kwake Asa mfalme wa Yuda, Ela
kulingana na neno la BWANA lililotolewa kupitia mwana wa Baasha akawa mfalme wa Israeli,
kwa mtumishi wake Ahiya Mshiloni, 30kwa naye akatawala huko Tirza kwa miaka miwili.
sababu ya dhambi alizokuwa amezitenda 9Zimri, mmoja wa maafisa wake, aliyekuwa
Yeroboamu na kusababisha Israeli kuzitenda, na amri juu ya nusu ya magari yake ya vita,
tena kwa sababu alimkasirisha BWANA wa akafanya hila mbaya dhidi ya Ela. Wakati huo
Israeli. Ela alikuwa Tirza, akilewa katika nyumba ya
31Kwa matukio mengine ya utawala wa Arsa, mtu aliyekuwa msimamizi wa jumba la
Nadabu na yote aliyofanya, je hayakuandikwa kifalme huko Tirza. 10Zimri akaingia, akampiga
katika kitabu cha kumbukumbu cha Wafalme wa na kumwua katika mwaka wa ishirini na saba wa
23
1 WAFALME
kutawala kwake Asa mfalme wa Yuda. Kisha akawa mfalme wa Israeli, naye akatawala kwa
Zimri akaingia mahali pake kama mfalme. miaka kumi na miwili, sita kati ya hiyo katika
11Mara tu alipoanza kutawala na kuketi juu Tirza. 24Alinunua kilima cha Samaria kutoka kwa
ya kiti cha ufalme, aliua jamaa yote ya Baasha. Shemeri kwa talanta mbili a za fedha na
Hakumwacha mwanamume hata mmoja, akiwa akajenga mji juu ya hicho kilima, akiuita
ni ndugu au rafiki. 12Hivyo Zimri akaangamiza Samaria, kutokana na Shemeri, jina la mmiliki
jamaa yote ya Baasha, kulingana na neno la wa kwanza wa kilima hicho.
BWANA lililonenwa dhidi ya Baasha kupitia nabii 25Lakini Omri akatenda maovu machoni pa
kitabu cha kumbukumbu cha wafalme wa Omri, yale aliyofanya na vitu alivyovifanikisha,
Israeli? je, hayakuandikwa katika kitabu cha
kumbukumbu cha wafalme wa Israeli? 28Omri
Zimri Mfalme Wa Israeli akalala pamoja na baba zake na akazikwa huko
15Katika mwaka wa ishirini na saba wa Samaria. Ahabu mwanawe akatawala mahali
kutawala kwake Asa mfalme wa Yuda, Zimri pake.
akatawala huko Tirza siku saba. Jeshi lilikuwa
limepiga kambi karibu na Gibethoni, mji wa Ahabu Awa Mfalme Wa Israeli
Wafilisti. 16Wakati Waisraeli waliokuwa kambini 29Katika mwaka wa thelathini na nane wa
waliposikia kuwa Zimri alikuwa amefanya hila kutawala kwake Asa mfalme wa Yuda, Ahabu
mbaya dhidi ya mfalme na kumwua, mwana wa Omri akawa mfalme wa Israeli, naye
wakamtangaza Omri, jemadari wa jeshi, kuwa akatawala Israeli akiwa Samaria kwa miaka
mfalme wa Israeli siku iyo hiyo huko kambini. ishirini na miwili. 30Ahabu mwana wa Omri
17Ndipo Omri na Waisraeli wote pamoja naye akafanya maovu zaidi machoni mwa BWANA
wakaondoka Gibethoni na kuizingira Tirza. kuliko ye yote aliyewatangulia. 31Kama vile
18Wakati Zimri alipoona kuwa mji umechukuliwa, haikutosha kuishi kama Yeroboamu mwana wa
alikwenda ndani ya ngome ya jumba la kifalme Nebati, akamwoa Yezebeeli binti wa Ethbaali
na kulichoma moto jumba la kifalme na mfalme wa Wasidoni, naye akaanza kumtumikia
kujiteketeza ndani yake. Kwa hiyo akafa, 19kwa Baali na kumwabudu. 32Akajenga madhabahu
sababu ya dhambi alizofanya, akitenda maovu kwa ajili ya Baali katika hekalu la Baali lile
machoni pa BWANA na kuenenda katika njia za alilolijenga huko Samaria. 33Pia Ahabu
Yeroboamu na katika dhambi alizofanya na akatengeneza nguzo ya Ashera na kufanya
kusababisha Israeli kuzifanya. mengi ili kumkasirisha BWANA, Mungu wa
20Kwa matukio mengine ya utawala wa Zimri Israeli kuliko walivyofanya wafalme wote wa
na uasi alioutenda, je, hayakuandikwa katika Israeli waliomtangulia.
kitabu cha kumbukumbu cha wafalme wa 34Katika wakati wa Ahabu, Hieli Mbetheli
kutawala kwake Asa mfalme wa Yuda, Omri a24 “talanta mbili za fedha’’ ni sawa na kilo 70.
24
1 WAFALME
Eliya Analishwa Na Kunguru jamaa yake. 16Kwa kuwa lile gudulia la unga
Basi Eliya Mtishbi kutoka Tishbe katika halikwisha na ile chupa ya mafuta haikukauka,
17 Gileadi, akamwambia Ahabu, “Kama , sawasawa na lile neno la BWANA alilosema
Mungu wa Israeli aishivyo, ambaye Eliya.
ninamtumikia, hapatakuwa na umande wala 17Baada ya muda, mwana wa yule
mvua katika miaka hii isipokuwa kwa neno mwanamke mwenye nyumba akaugua. Hali
langu.’’ yake ikaendelea kuwa mbaya sana na hatimaye
2Kisha neno la BWANA likamjia Eliya akaacha kupumua. 18Akamwambia Eliya, “Una
kusema, 3“Ondoka hapa, elekea upande wa nini dhidi yangu, ewe mtu wa Mungu? Umekuja
mashariki ukajifiche katika Kijito cha Kerithi, ili kukumbushia dhambi yangu na kusababisha
mashariki mwa Yordani. 4Utakunywa maji kutoka kifo cha mwanangu?”
katika kile kijito, nami nimeagiza kunguru 19Eliya akamjibu, “Nipe mwanao.’’ Eliya
sababu mvua haikuwa imenyesha katika nchi. ya kijana ikamrudia, naye akafufuka. 23Eliya
8Kisha neno la BWANA likamjia kusema, akamtwaa kijana na kumbeba kutoka chumbani
9‘‘Ondoka, uende Sarepta ya Sidoni na ukae mwake akamshusha kumpeleka kwenye
huko. Nimemwagiza mjane katika sehemu ile nyumba. Akampa mama yake na kusema,
akupatie chakula.’’ 10Hivyo akaenda Sarepta. ‘‘Tazama, mwanao yu hai!’’
Alipofika kwenye lango la mji, mjane alikuwa 24Ndipo yule mwanamke akamwambia Eliya,
huko akiokota kuni. Akamwita na kumwomba, “Sasa ninajua kwamba wewe ni mtu wa Mungu
“Naomba uniletee maji kidogo kwenye gudulia ili na kwamba neno la BWANA kutoka kinywani
niweze kunywa.’’ 11Alipokuwa anakwenda mwako ni kweli.
kumletea, akamwita akasema, “Tafadhali niletee
pia kipande cha mkate.” Eliya Na Obadia
12Akamjibu, ‘Hakika kama BWANA wako Baada ya muda mrefu, katika mwaka
aishivyo, sina mkate wo wote, isipokuwa konzi 18 wa tatu, neno la BWANA likamjia Eliya
ya unga kwenye gudulia na mafuta kidogo kusema, “Nenda ukajionyeshe kwa Ahabu na
kwenye chupa. Ninakusanya kuni chache mimi nitanyesha mvua juu ya nchi.’’ 2Kwa hiyo
nipeleke nyumbani na nikapike chakula kwa ajili Eliya akaenda kujionyesha kwa Ahabu.
yangu na mwanangu, ili kwamba tule kiishe Wakati huu njaa ilikuwa kali sana katika
tukafe.’’ Samaria, 3naye Ahabu alikuwa amemwita
13Eliya akamwambia, “Usiogope. Nenda Obadia ambaye alikuwa msimamizi wa jumba
nyumbani ukafanye kama ulivyosema. Lakini lake la kifalme. (Obadia alimcha BWANA sana.
kwanza unifanyizie mimi mkate mdogo kutoka 4Wakati Yezebeli alipokuwa akiwauwa manabii
25
1 WAFALME
majani, Ahabu akaenda upande mmoja na mfuateni yeye.’’
Obadia upande mwingine. Lakini watu hawakusema kitu.
7Wakati Obadia alipokuwa akitembea njiani, 22Kisha Eliya akawaambia, “Ni mimi peke
Eliya akakutana naye. Obadia akamtambua, yangu nabii wa BWANA aliyebaki, lakini Baali
akamsujudia hadi nchi na kusema, “Je, hivi kweli ana manabii mia nne na hamsini. 23Leteni
ni wewe bwana wangu Eliya?” mafahali wawili. Wao na wajichagulie mmoja,
8Eliya akamjibu, “Ndiyo, nenda ukamwambie wamkate vipande vipande na waweke juu ya
bwana wako Ahabu, Eliya yuko hapa.’’ kuni lakini wasiiwashie moto. Nitamwandaa huyo
9Obadia akamwuliza, “Ni kosa gani fahali mwingine na kumweka juu ya kuni lakini
nimefanya, hata ukaamua kumkabidhi mtumishi sitawasha moto. 24Kisha mliitie jina la mungu
wako mkononi mwa Ahabu ili aniue?’’ 10Hakika wenu, nami nitaliitia jina la BWANA Mungu yule
kama BWANA wa ko aishivyo, hakuna taifa hata ambaye atajibu kwa moto, huyo ndiye Mungu.’’
moja au ufalme ambapo bwana wangu Kisha watu wote wakasema, “Hilo
hajamtuma mtu kukutafuta. Kila wakati taifa au unalosema ni jema’’
ufalme walipodai kwamba haupo huko, 25Eliya akawaambia manabii wa Baali,
moja, nami nikawapatia chakula na maji. 14Nawe kuwadhihaki akisema, “Pigeni kelele zaidi!
sasa unaniambia niende kwa bwana wangu na Hakika yeye ni mungu! Labda amezama katika
kumwambia, ‘Eliya yuko hapa.’ Yeye ataniua!” mawazo mazito, au ana shughuli nyingi, au
15Eliya akasema, “Kama BWANA Mwenye amesafiri. Labda amelala usingizi mzito, naye ni
Nguvu aishivyo, Yeye ninayemtumikia, hakika lazima aamshwe.’’ 28Kwa hiyo wakapiga kelele
nitajionyesha kwa Ahabu leo.’’ zaidi na kama ilivyokuwa desturi yao
wakajichanja wenyewe kwa visu na vyembe,
Eliya Juu Ya Mlima Karmeli. mpaka damu ikachuruzika. 29Adhuhuri ikapita,
16Basi Obadia akaenda kukutana na Ahabu nao wakaendelea na utabiri wao wa kiwazimu
na kumwambia, naye Ahabu akaenda kukutana mpaka wakati wa dhabihu ya jioni. Lakini
na Eliya. 17Alipomwona Eliya akamwambia, “Je, hapakuwa na jibu, hakuna aliyejibu, hakuna
ni wewe, mtaabishaji wa Israeli?’’ aliyeangalia.
18Eliya akamjibu, “mimi sijaitaabisha Israeli. 30Kisha Eliya akawaambia watu wote,
Lakini ni wewe na jamaa ya baba yako ndio “Sogeeni karibu nami.’’ Watu wote
mnaofanya hivyo. Mmeziacha amri za BWANA wakamkaribia, naye akakarabati madhabahu ya
na mkafuata Mabaali. 19Sasa waite watu kutoka BWANA, ambayo ilikuwa imevunjwa. 31Eliya
Israeli yote tukutane nao juu ya Mlima Karmeli. akachukua mawe kumi na mawili, moja kwa ajili
Nawe uwalete hao manabii wa Baali mia nne na ya kila kabila la wana wa Yakobo, ambaye neno
hamsini na hao manabii mia nne wa Ashera, la BWANA lilimjia, likisema, “Jina lako litakuwa
walao chakula mezani mwa Yezebeli.’’ Israeli.’’ 32Kwa mawe hayo, akajenga
20Ndipo Ahabu akatuma ujumbe katika madhabahu katika jina la BWANA, na
Israeli yote na kuwakusanya manabii hao juu ya akachimba handaki kuizunguka, ukubwa wa
mlima Karmeli. 21Eliya akasimama mbele ya kutosha vipimo viwili vya mbegu. 33Akapanga
watu na kusema, “Mtasitasita katika mawazo kuni, akamkata yule fahali vipande vipande na
mawili hadi lini? Ikiwa BWANA ndiye Mungu, kuvipanga juu ya kuni. Kisha akawaambia,
mfuateni yeye, lakini ikiwa Baali ni Mungu, basi “Jazeni mapipa manne maji na kuyamwaga juu
26
1 WAFALME
ya sadaka ya kuteketezwa na juu ya kuni.’’
34Akawaambia, “Fanyeni hivyo tena.’’ Nao Eliya Akimbilia Horebu
wakafanya hivyo tena. Ahabu akamwambia Yezebeli kila kitu
Akaagiza, “Fanyeni kwa mara ya tatu.’’ Nao 19 Eliya alichokuwa amefanya na jinsi
wakafanya hivyo kwa mara ya tatu. 35Maji alivyowaua manabii wote kwa upanga. 2Hivyo
yakatiririka kuizunguka madhabahu na hata Yezebeli akamtuma mjumbe kwa Eliya, kusema,
kujaza lile handaki. ‘‘Hao miungu initendee hivyo na kuzidi, kama
36Wakati wa kutoa dhabihu ya jioni, nabii kufikia kesho wakati kama huu sitaifanya roho
Eliya akasogea mbele na kuomba akisema: “Ee yako kama mmojawapo wa hao manabii.’’
BWANA wa Abrahamu na Isaki nawe Israeli, 3Eliya aliogopa na akakimbia kuokoa maisha
ijulikane leo kwamba Wewe ndiye Mungu katika yake. Alipofika Beersheba katika Yuda,
Israeli na ya kwamba mimi ni mtumishi wako na akamwacha mtumishi wake huko, 4lakini yeye
nimefanya mambo haya yote kwa neno lako. mwenyewe akatembea mwendo wa kutwa
37Unijibu mimi, Ee BWANA, nijibu mimi, ili watu nzima katika jangwa. Akafika kwenye mti wa
hawa wajue kwamba Wewe, Ee BWANA, ndiwe mretemu, akakaa chini yake na kuomba ili afe.
Mungu na kwamba unaigeuza mioyo yao Akasema, “Yatosha sasa, BWANA, ondoa roho
ikurudie tena.’’ yangu, kwani mimi si bora kuliko baba zangu.’’
38Kisha moto wa BWANA ukashuka na 5Kisha akajinyosha chini ya mti akalala usingizi.
kuiteketeza ile dhabihu, zile kuni, yale mawe, ule Mara malaika akamgusa na akamwambia,
udongo, na pia kuramba yale maji yaliyokuwa “Inuka na ule.’’ 6Akatazama pande zote, napo
ndani ya handaki. hapo karibu na kichwa chake palikuwepo mkate
39Wakati watu wote walipoona hili, uliookwa kwenye makaa ya moto na gudulia la
wakaanguka kifudifudi na kulia, “BWANA, Yeye maji. Akala na kunywa kisha akajinyosha tena.
ndiye Mungu! BWANA, Yeye ndiye Mungu!’’ 7Yule malaika wa BWANA akaja tena mara
40Kisha Eliya akawaamuru, “Wakamateni ya pili, akamgusa akamwambia, “Inuka na ule,
hao manabii wa Baali. Msimwache hata mmoja kwa kuwa safari ni ndefu kwako.’’ 8Kwa hiyo
atoroke!’’ Wakawakamata, naye Eliya akawaleta akainuka akala na kunywa. Akiwa ametiwa
mpaka Bonde la Kishoni na kuwachinja huko. nguvu na kile chakula, akasafiri siku arobaini
41Eliya akamwambia Ahabu, “Nenda, ukale mchana na usiku mpaka akafika Horebu, mlima
na kunywa, kwa kuwa kuna sauti ya mvua wa Mungu. 9Huko akaingia katika pango akalala
kubwa.’’ Hivyo Ahabu akaondoka ili kula na humo usiku ule.
kunywa. Lakini Eliya akapanda kileleni mwa
Karmeli, akasujudu na akaweka kichwa chake BWANA Amtokea Eliya
katikati ya magoti yake. Nalo neno la BWANA likamjia kusema,
43Akamwambia mtumishi wake, “Nenda “Unafanya nini hapa Eliya?’’
ukatazame kuelekea bahari.’’ Akaenda na 10Akajibu, “Nimeona wivu mwingi kwa ajili ya
Hivyo Eliya akasema, ‘‘Nenda ukamwambie juu ya mlima mbele za BWANA, kwa kuwa
Ahabu, ‘Tandika gari lako na ushuke kabla mvua BWANA yu karibu kupita hapo.’’
haijakuzuia.’ ’’ Kisha upepo mwingi na wenye nguvu
45Wakati ule ule anga likawa jeusi kwa ukapasua milima ile na kuvunjavunja miamba
mawingu, upepo ukainuka na mvua kubwa mbele za BWANA, lakini BWANA hakuwamo
ikanyesha, naye Ahabu akaenda zake Yezreeli. katika ule upepo. Baada ya upepo palikuwa na
46Nguvu za BWANA, zikamjia Eliya, naye tetemeko la nchi, lakini BWANA hakuwamo
akajikaza viuno, akakimbia mbele ya Ahabu njia kwenye lile tetemeko. 12Baada ya tetemeko la
yote hadi maingilio ya Yezreeli. nchi ukaja moto, lakini BWANA hakuwamo
katika ule moto. Baada ya moto ikaja sauti ya
utulivu ya kunong’ona. 13Eliya alipoisikia,
27
1 WAFALME
akafunika uso kwa vazi lake, akatoka na dhahabu ni yangu, nao wake zako walio wazuri
kusimama kwenye mdomo wa pango. sana na watoto ni wangu.’ ’’
Kisha ile sauti ikamwambia, “Eliya, unafanya 4Mfalme wa Israeli akajibu, “Iwe kama
wamekataa agano lako, wamevunja madhabahu ‘‘Hivi ndivyo asemavyo Ben-Hadadi: ‘Nimetuma
zako na kuwaua manabii wako kwa upanga. Ni kutaka fedha yako na dhahabu, wake zako na
mimi, mimi peke yangu, niliyebaki nao watoto wako. 6Lakini kesho wakati kama huu,
wanaitafuta roho yangu waitoe.’’ nitawatuma maafisa wangu kukagua jumba lako
15BWANA akamwambia, “Rudi kwa njia la kifalme na nyumba za maafisa wako.
uliyoijia, uende kwenye jangwa la Dameski. Watatwaa kitu unachokithamini nao
Wakati utakapofika huko, mtie Hazaeli mafuta watakichukua.’’
awe mfalme wa Aramu a . 16Pia mtie mafuta Yehu 7Mfalme wa Israeli akawaita wazee wote wa
mwana wa Nimshi awe mfalme wa Israeli na nchi na akawaambia, “Tazama jinsi mtu huyu
umtie Elisha mwana wa Shafati kutoka Abel- anavyochokoza! Wakati alipotuma apelekewe
Mehola awe nabii badala yako. 17Yehu atamwua wake zangu na watoto wangu, fedha zangu na
ye yote atakayeutoroka upanga wa Hazaeli, dhahabu yangu, sikumkatalia.’’
naye Elisha atamwua ye yote atakayeutoroka 8Wazee na watu wote wakajibu,
upanga wa Yehu. 18Hata sasa nimeweka akiba “Usimsikilize wala usiyakubali matakwa yake.’’
watu 7,000 katika Israeli, wote ambao 9Kwa hiyo akawajibu wajumbe wa Ben-
hawajampigia Baali magoti, nao wote ambao Hadadi, “Mwambieni bwana wangu mfalme,
midomo yao haijambusu. mtumishi wako atafanya yote uliyoyadai
mwanzoni, lakini dai hili la sasa siwezi
Wito Wa Elisha kulitekeleza.’ ’’ Wakaondoka na kupeleka jibu
19Hivyo Eliya akaondoka kutoka huko na kwa Ben-Hadadi.
kumkuta Elisha mwana wa Shafati. Alikuwa 10Kisha Ben-Hadadi akatuma ujumbe
akilima kwa jozi kumi na mbili za maksai na yeye mwingine kwa Ahabu, kusema ‘Miungu iniletee
mwenyewe aliongoza ile jozi ya kumi na mbili. maafa, tena makubwa zaidi, ikiwa vumbi la
Eliya, akapita karibu naye akamrushia vazi lake. Samaria litatosheleza konzi moja ya kila mtu ya
20Kisha Elisha akawaacha maksai wake wale wafuatanao nami.
akamkimbilia Eliya, akamwambia, “Niruhusu 11Mfalme wa Israeli akajibu, “Mwambieni,
nikawabusu baba yangu na mama yangu, halafu yule anayevaa mavazi ya vita asije akajisifu
nitafuatana nawe.’’ kama yule anayevua.’’
Eliya akajibu, “Rudi zako, kwani 12Ben-Hadadi alisikia ujumbe huu wakati
kuuzingira kwa jeshi Samaria na kuishambulia. hili?’ nabii akamjibu, “Hivi ndivyo asemavyo
2Akawatuma wajumbe katika mji kwa Ahabu BWANA : ‘Maafisa vijana majemadari wa
mfalme wa Israeli, kusema, “Hivi ndivyo majimbo watafanya hili.’ ’’
asemavyo Ben-Hadadi: 3‘Fedha yako na Akauliza, “Ni nani atakayeanzisha vita?’’
Nabii akamjibu, ‘Ni wewe.’’
a15 “Aramu” hapa ina maana ya Shamu, yaani, Syria (pia 20:1)
28
1 WAFALME
15Kwa hiyo Ahabu akawaita maafisa vijana asemavyo: ‘Kwa sababu Waaramu wanafikiri
majemadari wa majimbo, wanaume 232. Kisha BWANA ni mungu wa vilimani na sio mungu wa
akawakusanya Waisraeli wote waliobaki, jumla mabondeni, nitatia jeshi hili kubwa mkononi
yao 7,000. 16Wakaondoka wakati wa adhuhuri mwako, nawe utajua kuwa mimi ndimi
Ben-Hadadi na wale wafalme thelathini na wawili BWANA.’’’
walioungana naye walipokuwa katika mahema 29Kwa siku saba walipiga kambi
yao wakilewa. 17Maafisa vijana majemadari wa wakitazamana na siku ya saba vita vikaanza.
majimbo waliondoka kwanza. Waisraeli wakawajeruhi askari wa miguu wa
Wakati huu Ben-Hadadi alikuwa Waaramu 100,000 kwa siku moja. 30Waliobaki
amewatuma wapelelezi, ambao walileta taarifa wakatorokea katika mji wa Afeki mahali ambapo
kusema kwamba, ‘‘Askari wanasonga mbele watu 27,000 waliangukiwa na ukuta. Naye Ben-
kutoka Samaria.’’ Hadadi akakimbilia mjini na kujificha kwenye
18Akasema, ‘‘Ikiwa wamekuja kwa amani, chumba cha ndani.
wakamate wakiwa hai, ikiwa wamekuja kwa vita, 31Maafisa wake wakamwambia, “Tazama,
Aramu akatoroka akiwa amepanda farasi wake mwao na kamba kuzunguka vichwa vyao,
pamoja na baadhi ya wapanda farasi wake. walikwenda kwa mfalme wa Israeli na kusema,
21Mfalme wa Israeli akasonga mbele na “Mtumishi wako Ben-Hadadi anasema:
kushinda farasi na magari ya vita na ‘Tafadhali naomba uniache hai.’’
kusababisha hasara kubwa kwa Waaramu. Mfalme akajibu, “Je, bado yuko hai? Yeye ni
22Baadaye nabii akaja kwa mfalme wa ndugu yangu.’’ 33Wale watu wakalipokea jambo
Israeli na kusema, ‘‘Jiandae vizuri ufikirie la lile kama dalili nzuri nao wakawa wepesi
kufanya kwa sababu mwakani mfalme wa kulichukua neno lake wakisema, ‘‘Ndiyo, yeye ni
Aramu atakuja kukushambulia tena.’’ ndugu yako Ben-Hadadi!’’
23Wakati ule ule, maafisa wa mfalme wa Mfalme akawaambia, ‘‘Nendeni mkamlete.’’
Aramu wakamshauri wakamwambia, ‘‘Miungu Ikawa Ben-Hadadi alipokuja, Ahabu
yao ni miungu ya vilimani. Ndiyo sababu akampandisha katika gari lake la vita. Ben-
walikuwa na nguvu sana kutuzidi. Lakini kama Hadadi akajitolea akisema, 34‘‘Nitairudisha ile
tukipigana nao katika nchi tambarare, hakika miji ambayo baba yangu aliiteka kutoka kwa
tutawashinda. 24Fanya hivi: Waondoe hao baba yako.’’ Unaweza kuweka maeneo yako ya
wafalme wote thelathini na wawili kutoka nafasi soko katika Dameski, kama baba yangu
zao na uweke maafisa wengine mahali pao. 25Ni alivyofanya huko Samaria.
lazima pia uandae jeshi jingine kama lile Ahabu akasema, ‘‘Katika misingi ya
ulilopoteza, farasi kwa farasi,gari la vita kwa gari mkataba, nitakuachilia huru.’’ Kwa hiyo akaweka
la vita ili tuweze kupigana na Israeli katika nchi mkataba naye, akamruhusu aende zake.
tambarare. Kisha kwa hakika tutakuwa na nguvu
kuliko wao.’’ Akakubaliana nao naye Nabii Amlaumu Ahabu
akashughulika ipasavyo. 35Kwa neno la BWANA, mmoja wa wana wa
26Mwaka uliofuata, majira kama hayo, Ben- manabii akamwambia mwenzake, ‘‘Nipige kwa
Hadadi akawakusanya Waaramu mpaka Afeki silaha yako,’’ lakini yule mtu akakataa.
kupigana dhidi ya Israeli. 27Baada ya Waisraeli 36Kwa hiyo yule nabii akasema, ‘‘Kwa
29
1 WAFALME
na kusimama barabarani akimsubiri mfalme. la mizabibu la Nabothi Myezreeli.’’
Akajibadilisha kwa kushusha kitambaa cha 8Kwa hiyo akaandika barua kwa jina la
kichwani mwake hadi kwenye macho. 39Mfalme Ahabu akaweka muhuri wake juu ya hizo barua,
alipopita pale, yule nabii akamwita, ‘‘Mtumishi akazipeleka kwa wazee na kwa watu wenye
wako alikwenda vitani wakati vita vilipopamba cheo walioishi katika mji pamoja na Nabothi.
moto, mtu mmoja akanijia na mateka akasema, 9Katika barua hizo aliandika:“Tangazeni siku ya
‘Mlinde mtu huyu. Kama akitoroka itakuwa uhai watu kufunga na mumketishe Nabothi
wako kwa uhai wake, ama vipande 3,000 vya mahali pa wazi miongoni mwa watu. 10Lakini
fedha. 40Wakati mtumishi wako alipokuwa na ketisheni watu wawili wabaya kabisa mkabala
shughuli nyingi hapa na pale, yule mtu naye nao washuhudie kuwa yeye amemlaani
akatoweka.’’ Mungu na mfalme. Kisha mtoeni nje na kumpiga
Mfalme wa Israeli akasema, ‘‘Hiyo ndiyo kwa mawe hadi afe.’’
hukumu yako. Wewe umeitaja mwenyewe.’’
41Kisha yule nabii akajifunua macho yake 11Hivyo wazee na watu wenye cheo
haraka na mfalme wa Israeli akamtambua kama walioishi katika mji wa Nabothi wakafanya kama
mmoja wa manabii. 42Akamwambia mfalme, Yezebeli alivyoelekeza katika barua
‘‘Hivi ndivyo BWANA asemavyo: ‘Umemwacha aliyowaandikia. 12Wakatangaza mfungo na
huru mtu niliyekusudia afe. Kwa hiyo ni uhai kumketisha Nabothi mahali pa wazi miongoni
wako kwa uhai wake, watu wako kwa watu mwa watu. 13Kisha watu wawili wabaya kabisa
wake.’ ’’ 43Kwa uchungu na hasira, mfalme wa wakaja wakaketi mkabala naye, nao wakaleta
Israeli akaenda kwenye jumba lake la kifalme mashtaka dhidi ya Nabothi mbele ya watu,
huko Samaria. wakisema, “Nabothi amemlaani Mungu na
mfalme.’’ Kwa hiyo wakamtoa nje na kumpiga
Shamba La Mizabibu La Nabothi kwa mawe hadi akafa. 14Kisha wakatuma
Baada ya hayo, Nabothi Myezreeli, ujumbe kwa Yezebeli, kusema, “Nabothi
21 alikuwa na shamba la mizabibu jirani na amepigwa mawe na amekufa.’’
jumba la kifalme la Ahabu mfalme wa Samaria. 15Mara tu Yezebeli aliposikia kwamba
2Ahabu akamwambia Nabothi, “Unipatie shamba Nabothi amepigwa mawe na amekufa,
lako la mizabibu nilitumie kwa bustani ya mboga, akamwambia Ahabu, “Amka na uchukue lile
kwa kuwa liko karibu na jumba langu la kifalme. shamba la mizabibu la Nabothi Myezreeli
Badala yake, nitakupa shamba jingine la ambalo alikataa kukuuzia. Hayuko hai tena, bali
mizabibu zuri zaidi au, kama utapenda, amekufa.’’ 16Ahabu aliposikia Nabothi amekufa,
nitakulipa kiasi cho chote unachoona ni thamani akainuka na kushuka ili kulichukua shamba la
yake. mizabibu la Nabothi.
3Lakini Nabothi akajibu, “BWANA na 17Kisha neno la BWANA likamjia Eliya
apitishie mbali kukupa wewe urithi wa baba Mtishbi: 18“Shuka ukakutane na Ahabu mfalme
zangu.’’ wa Israeli, anayetawala Samaria. Sasa yuko
4Basi Ahabu akaenda nyumbani, mwenye katika shamba la mizabibu la Nabothi, ambapo
huzuni na hasira kwa sababu ya yale ambayo amekwenda alimiliki. 19Umwambie, ‘Hivi ndivyo
Nabothi Myezreeli alikuwa amesema, “Sitakupa BWANA asemavyo: Je, hujamwua mtu na
urithi wa baba zangu.’’ Akajinyosha juu ya kuitwaa mali yake? Kisha umwambie, “Hivi
kitanda akisononeka na akakataa kula. ndivyo asemavyo BWANA : Mahali ambapo
5Yezebeli mke wake akaingia na mbwa walilamba damu ya Nabothi, mbwa
akamwuliza, “Kwa nini unahuzunika hivi? Kwa watailamba damu yako, naam, yako wewe!’ ’’
nini huli chakula?’’ 20Ahabu akamwambia Eliya, “Kwa hiyo
6Akamjibu, ‘‘Kwa sababu nilimwambia umenipata,wewe adui yangu!’’
Nabothi Myezreeli, ‘Niuzie shamba lako la Akajibu, “Ndiyo, nimekupata, ‘Kwa sababu
mizabibu, au kama ukipenda, nitakupa shamba umejiuza mwenyewe kufanya uovu mbele ya
jingine la mizabibu badala yake.’ Lakini macho ya BWANA. 21Nitaleta maafa juu yako.
akasema, ‘Sitakupa shamba langu la mizabibu.’’’ Nitaangamiza uzao wako na kukatilia mbali
7Yezebeli mke wake akasema, “Hivi ndivyo kutoka kwa Ahabu, kila mzaliwa wa mwisho wa
unavyofanya nawe ni mfalme katika Israeli yote? kiume katika Israeli, wa mtumwa au wa mtu
Inuka na ule! Changamka. Nitakupatia shamba huru. 22Nitaifanya nyumba yako kama ile ya
30
1 WAFALME
Yeroboamu mwana wa Nebati na ile ya Baasha nabii wa BWANA hapa ambaye tunaweza
mwana wa Ahia, kwa sababu umenighadhibisha kumwulizia?’’
kwa kuwa umesababisha Israeli kutenda 8Mfalme wa Israeli akamjibu Yehoshafati,
machoni mwa BWANA, akiwa anachochewa na mmoja wa maafisa wake na kusema, “Mlete
Yezebeli mkewe. 26Alitenda kwa uovu sana Mikaya mwana wa Imla mara moja.’’
katika kuabudu sanamu, kama wale Waamori 10Wakiwa wamevalia majoho yao ya kifalme,
akashuka kwenda kumwona mfalme wa Israeli. Mikaya akamwambia, “Tazama, manabii wote
3Mfalme wa Israeli alikuwa amewaambia kama mtu mmoja wanatabiri ushindi kwa
maafisa wake, “Je, hamjui Ramothi-Gileadi ni mfalme. Neno lako na likubaliane na lao, nawe
mali yetu na bado hatufanyi cho chote unene mema kuhusu mfalme.’’
kuirudisha kwetu kutoka kwa mfalme wa 14Lakini Mikaya akasema, “Hakika kama
“Kwanza tafuta shauri la BWANA.’’ nitakuapisha ili usiniambie kitu cho chote ila
6Kwa hiyo mfalme wa Israeli akawaleta kweli tu kwa jina la BWANA ?’’
pamoja manabii wanaume wapatao mia nne, 17Kisha Mikaya akajibu, “Niliona Israeli yote
akawauliza, “Je, niende vitani dhidi ya Ramothi- imetawanyika vilimani kama kondoo wasio na
Gileadi, au niache?’’ mchungaji, na BWANA akasema, ‘Watu hawa
Wakajibu, “Naam, nenda kwa kuwa Bwana hawana bwana. Mwache kila mmoja aende
ataiweka Ramothi-Gileadi mkononi mwa nyumbani kwa amani.’ ”
mfalme.’’ 18Mfalme wa Israeli akamwambia
7Lakini Yehoshafati akauliza, “Je, hayuko Yehoshafati, “Sikukuambia kwamba huwa
31
1 WAFALME
hatabiri jambo lo lote jema kunihusu bali mabaya mkubwa, isipokuwa mfalme wa Israeli.” 32Wakati
tu?’’ wale majemadari wa magari ya vita
19Mikaya akaendelea, "Kwa hiyo lisikie neno walipomwona Yehoshafati wakafikiri, “Hakika
la BWANA : Nilimwona BWANA ameketi juu ya huyu ndiye mfalme wa Israeli.” Kwa hiyo
kiti chake cha enzi pamoja na jeshi lote la wakageuka ili wamshambulie, lakini Yehoshafati
mbinguni wamesimama kumzunguka kulia alipiga kelele, 33wale majemadari wakaona
kwake na kushoto kwake. 20Naye BWANA kwamba hakuwa mfalme wa Israeli nao
akasema, “Ni nani atakayemshawishi Ahabu ili wakaacha kumfuatilia.
aishambulie Ramoth-Gileadi na kukiendea kifo 34Lakini mtu fulani akavuta upinde pasipo
wako wote. BWANA ameamuru maafa kwa ajili nao wakamzika huko. 38Wakasafisha lile gari la
yako.’’ vita katika bwawa la Samaria (mahali makahaba
24Kisha Zedekia mwana wa Kenaana walipooga) na mbwa wakalamba damu yake,
akatoka na kumpiga Mikaya kofi usoni. Akauliza, sawasawa na neno la BWANA lilivyokuwa
“Huyo Roho kutoka kwa BWANA alipita njia limesema.
gani, alipotoka kwangu ili kusema nawe?’’ 39Kwa matukio mengine ya utawala wa
25Mikaya akajibu, “Utagundua siku hiyo Ahabu, pamoja na yote aliyoyafanya, jumba la
utakapokwenda kujificha kwenye chumba cha kifalme alilojenga na kunakishiwa kwa pembe za
ndani.’’ ndovu, nayo miji aliyoijengea maboma, je,
26Kisha mfalme wa Israeli akaagiza, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu
“Mchukueni na mkamrudishe kwa Amoni cha wafalme wa Israeli? 40Ahabu akalala pamoja
mtawala wa mji na kwa Yoashi mwana wa na baba zake. Naye Ahazia mwanawe akaingia
mfalme. 27Mkaseme, ‘Hivi ndivyo asemavyo mahali pake kama mfalme.
mfalme: Mwekeni mtu huyu gerezani na asipewe
cho chote ila mkate na maji mpaka nitakaporudi Yehoshafati Mfalme wa Yuda
salama.’ ’’ 41Yehoshafati mwana wa Asa akawa
28Mikaya akasema, “Kama utarudi salama, mfalme wa Yuda katika mwaka wa nne wa
basi BWANA hajanena kupitia kwangu.’’ Kisha Ahabu mfalme wa Israeli. 42Yehoshafati alikuwa
akaongeza kusema, “Zingatieni maneno yangu, na umri wa miaka thelathini na miwili alipoanza
enyi watu wote!’’ kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu
miaka ishirini na mitano. Jina la mama yake
Ahabu Anauawa Huko Ramothi-Gileadi aliitwa Azuba binti Shilhi, 43Katika kila jambo
29Basi mfalme wa Israeli na Yehoshafati alienenda katika njia za Asa baba yake wala
mfalme wa Yuda wakaenda Ramothi-Gileadi. hakwenda kinyume chake, akafanya yaliyo
30Mfalme wa Israeli akamwambia Yehoshafati, mema machoni pa BWANA. Hata hivyo
“Nitaingia vitani nikiwa nimejibadilisha, lakini mahali pa juu pa kuabudia palikuwa
wewe uvae majoho yako ya kifalme.” Kwa hiyo hapakuondolewa na watu waliendelea kutoa
mfalme wa Israeli akajibadilisha na kwenda dhabihu na kufukiza uvumba huko.
vitani. 44Yehoshafati pia alikuwa na amani na mfalme
31Wakati huu, mfalme wa Aramu alikuwa wa Israeli.
amewaagiza majemadari thelathini na wawili wa 45Kwa habari ya matukio mengine ya
32
1 WAFALME
nayo na uhodari wake katika vita, je,
hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu
cha wafalme wa Yuda? 46Aliondolea mbali katika
nchi mabaki ya madhabahu za mahanithi
waliobaki huko hata baada ya utawala wa baba
yake Asa. 47Tangu hapo hapakuwepo na
mfalme katika Edomu, naibu ndiye aliyetawala.
48Wakati huu Yehoshafati akaunda
merikebu nyingi za biashara ili kwenda Ofiri
kuchukua dhahabu, lakini kamwe hazikusafiri,
kwa maana zilivunjika huko Ezion-Geberi.
49Wakati ule, Ahazia mwana wa Ahabu
33
2 WAFALME
Utangulizi
Kwa kuwa kitabu cha 1Wafalme na 2Wafalme ni historia moja inayoendelea, taarifa za msingi kwa ajili ya
2Wafalme ziko katika utangulizi wa 1Wafalme.Kitabu hiki kinaanza kufuatilia kudidimia kwa Israeli na Yuda,
kuanzia 852 K.K. Kinafuatilia historia ya falme zote mbili na kushindwa kwake. Israeli ilishindwa na Waashuru
722-721 K.K. na Yuda ikashindwa na Wakalidayo (Babeli) 586 K.K. Katika falme zote hizi mbili manabii
waliendelea kuonya watu juu ya hatari ya hukumu ya Mungu iwapo hawatatubu.Pia kinaelezea juu ya ufalme wa
kaskazini wa Israeli na ufalme wa kusini wa Yuda mpaka nyakati falme hizi zote mbili ziliposhindwa. Katika falme
zote hizi mbili manabii wa Mungu waliendelea kuwaonya kwamba Mungu angewaadhibu kama wasingetubu.
Kinaandika majanga mawili makubwa yaliyosababisha kuanguka kwa Israeli na Yuda:
(1) Kuharibiwa kwa mji mkuu wa Israeli, yaani, Samaria na taifa kuchukuliwa kwenda utumwani
(Ashuru 722 K.K.)
(2) Kuharibiwa kwa Yerusalemu na Yuda kupelekwa utumwani Babeli mnamo mwaka 586 K.K. 2Wafalme
kimeelezea kipindi chote cha miaka 130 kati ya miaka 345 cha historia ya Yuda.Ile hali ya kutokuwepo kwa
utulivu kabisa katika Israeli, yaani, yale makabila kumi ya kaskazini, inadhihirishwa na kule kubadilishwa kwa
wafalme mara kwa mara ambao idadi yao inafikia 19 kutoka kwenye koo tisa tofauti katika kipindi cha miaka 210,
ukilinganisha na wafalme ishirini wa Yuda kutoka kwenye ukoo mmoja ( ulioingiliwa kidogo) kwa zaidi ya kipindi
cha miaka 345.
Wengi wa manabii walioandikwa walihudumu wakati wa kipindi kilichoandikwa katika kitabu hiki.
Waliwakumbusha, kuwaonya na kuwasihi juu ya wajibu wao kwa Mungu kama wawakilishi Wake wa utawala
miongoni mwa wanadamu. Amosi na Hosea walitabiri katika Israeli, wakati Yoeli, Isaya, Mika, Nahumu,
Habakuki, Sefania na Yeremia walitabiri katika Yuda. Vitabu hivi vya hawa manabii vinatoa historia na ufunuo wa
kitheologia ulio wa muhimu sana ambao hauko katika kitabu hiki cha 2Wafalme,yaani, kuhusu kule kudidimia
kiroho na kimaadili kwa mataifa yote mawili.
Wazo Kuu
Kuanguka kwa falme zote mbili (Israeli na Yuda) kulisababishwa na kutokutii maagizo ya Mungu na kuishi
maisha ya dhambi. Hali hii iliwapelekea kuwa mateka na kukaa utumwani na miji yao kuharibiwa kama adhabu ya
Mungu.
Jambo Muhimu
Vitabu 17 vya unabii vilivyoko mwishoni mwa Agano la kale, vinatoa habari nyingi kuhusu nyakati za kitabu
cha 2Wafalme.
Mwandishi
Haijulikani kwa uhakika, pengine huenda akawa ni Yeremia au kikundi cha manabii.
Mahali
Taifa la Israeli ambalo lilikuwa limeungana, sasa limegawanyika na kuwa falme mbili, Israeli na Yuda kwa
muda zaidi ya karne moja.
Tarehe
Idadi kadhaa ya wasomi wanaamini vitabu hivi vya Wafalme viliandikwa wakati fulani kabla ya 600 – 550
K.K. na kuna uwezekano kuwa vyote viwili viliandikwa na mwandishi mmoja akiwa anaishi uhamishoni, ambaye
akitumia vitendea kazi vilivyokuwa chini ya madaraka yake aliweza kufuatilia historia kwa uangalifu mkubwa.
Wahusika Wakuu
Eliya, Elisha, Mwanamke Mshunami, Naamani, Yezebeli, Yehu, Yoashi, Hezekia, Senakeribu, Isaya,
Manase, Yosia, Yehoiakimu, Sedekia, Nebukadneza.
Yaliyomo
• Eliya na Elisha (1:1-8:15)
• Wafalme wa Israeli na wa Yuda (8:16-17:6)
• Israeli wachukuliwa mateka kwenda Ashuru (17:7-23:37)
1
2 WAFALME
alikuwa ameanguka huko Samaria kutoka mkuu wa kikosi mwingine na askari wake
baraza ya chumba chake cha juu akaumia. hamsini. Yule mkuu wa kikosi akamwambia
Hivyo akatuma wajumbe, akiwaambia, “Nendeni Eliya, “Mtu wa Mungu, hili ndilo asemalo
mkaulize kwa Baal-Zebubu, aliye mungu wa mfalme, “Ushuke chini mara moja!’ ”
Ekroni, mkaone kama nitapona kutokana na 12Eliya akajibu, “Ikiwa mimi ni mtu wa
mungu wa Ekroni?” 4Kwa hiyo hili ndilo asemalo tatu na watu wake hamsini. Huyu mkuu wa
BWANA, ‘Hutaondoka kwenye kitanda kikosi wa tatu akapanda na kupiga magoti mbele
unachokilalia. Hakika utakufa!’ ” Hivyo Eliya ya Eliya, akiomba “Mtu wa Mungu, tafadhali
akaenda. niachie uhai wangu na uhai wa hawa watu
5Wajumbe waliporudi kwa mfalme, hamsini, watumishi wako! 14Tazama, moto
akawauliza, “Kwa nini mmerudi?” umeshuka kutoka mbinguni na kuwateketeza
6Wakamjibu, “Mtu fulani alikuja kukutana wale wakuu wa vikosi viwili vya kwanza pamoja
nasi, naye akatuambia, ‘Rudini kwa mfalme na watu wao. Lakini sasa niachie uhai wangu!”
aliyewatuma na mwambieni, “Hili ndilo asemalo 15Malaika wa BWANA akamwambia Eliya,
BWANA: “Je, ni kwa sababu hakuna Mungu “Shuka pamoja naye, usimwogope.” Hivyo Eliya
katika Israeli ndiyo maana unawatuma watu akainuka na kushuka pamoja naye kwa mfalme.
kwenda kuuliza kwa Baal-Zebubu, aliye mungu 16Akamwambia mfalme, “Hili ndilo asemalo
wa Ekroni? Kwa hiyo hutaondoka kwenye BWANA, ‘Je, ni kwa sababu hakuna Mungu
kitanda unachokilalia. Hakika utakufa!” katika Israeli wa wewe kumwuliza ndiyo maana
7Mfalme akawauliza, “Alikuwa mtu wa ukatuma wajumbe kuuliza Baal-Zebubu, aliye
namna gani ambaye mlikutana naye na mungu wa Ekroni? Kwa sababu umefanya hili,
kuwaambia hili?” kamwe hutaondoka kwenye kitanda
8Wakamjibu, “Alikuwa mtu aliyekuwa na vazi unachokilalia, Hakika utakufa!” Hivyo akafa,
17
la manyoya na mkanda wa ngozi kiunoni sawasawa na lile neno la BWANA ambalo Eliya
mwake.” alikuwa amesema.
Mfalme akasema, “Huyo alikuwa ni Eliya Kwa kuwa Ahazia hakuwa na mwana,
Mtishbi.” Yoramu a akaingia mahali pake kama mfalme
9Ndipo mfalme akamtuma mkuu wa kikosi katika mwaka wa pili wa Yehoramu mwana wa
pamoja na kikosi chake cha askari hamsini kwa Yehoshafati mfalme wa Yuda. 18Kwa matukio
nabii Eliya. Yule mkuu wa kikosi akamwendea mengine ya utawala wa Ahazia na yale
Eliya, aliyekuwa ameketi juu ya kilima na aliyoyafanya, je, hayakuandikwa katika kitabu
kumwambia, “Mtu wa Mungu, mfalme anasema, cha kumbukumbu cha wafalme wa Israeli?
‘Ushuke chini!’ ”
10Eliya akamjibu yule mkuu wa kikosi, “Ikiwa
2
2 WAFALME
Mwanzo wa Mwanzo Kuanguka Hezekia Yosia Mwanzo wa Kitabu Yuda Kutekwa Kuanguka
huduma ya wa kwa Israeli anakuwa anakuwa huduma ya cha yatekwa kwa Yuda kwa Yuda
Mika huduma (Ufalme wa mfalme mfalme wa Yeremia Sheria kwa mara kwa mara (Ufalme wa
742 ya Isaya Kaskazini) wa Israeli Yuda 627 kinakutwa ya ya pili, Kusini)
740 722 715 640 hekaluni kwanza, Ezekieli 586
Danieli achukuliwa
622 achukuliwa
605 597
Eliya Achukuliwa Juu Mbinguni kutoka kwako litakuwa lako, la sivyo, haitakuwa
Elisha akawajibu, “Ndiyo najua, lakini Eliya kisha akarudi na kusimama ukingoni mwa
msizungumze juu ya jambo hilo.” Yordani. 14Ndipo akalichukua lile vazi ambalo
4Kisha Eliya akamwambia, “Baki hapa lilikuwa limeanguka kutoka kwa Eliya naye
Elisha, BWANA amenituma Yeriko.” akayapiga nalo yale maji. Akauliza, “Yuko wapi
Naye akajibu, “Kwa hakika kama BWANA sasa BWANA, Mungu wa Eliya?” Alipoyapiga
aishivyo na wewe uishivyo, sitakuacha.” Hivyo maji, yakagawanyika kulia na kushoto naye
wakaenda Yeriko. akavuka.
5Wana wa manabii waliokuwako huko 15Wale wana wa manabii kutoka Yeriko,
Elisha, “Niambie, nikufanyie nini kabla “Tazama, bwana wetu, mahali mji huu
sijaondolewa kutoka kwako?” ulipojengwa ni pazuri, kama bwana wangu
Elisha akajibu, “Naomba nirithi sehemu aonavyo, lakini maji yake ni mabaya na nchi
maradufu ya roho yako.’’ haizai.”
10Eliya akasema, “Umeomba jambo gumu, 20Akasema, “Nileteeni bakuli mpya, wekeni
lakini kama utaniona wakati ninapoondolewa chumvi ndani yake.” Kwa hiyo wakamletea.
3
2 WAFALME
21Kisha akatoka akaenda kwenye 8Akauliza, “Je, tutashambulia kupitia njia
chemchemi na kuitupa ile chumvi ndani yake, gani?’’
akisema, “Hili ndilo asemalo BWANA: Akajibu, “Kupitia Jangwa la Edomu.”
‘Nimeyaponya maji haya. Kamwe 9Hivyo mfalme wa Israeli akaondoka pamoja
mzaha. Wakisema, “Paa wewe mwenye upaa! nabii wa BWANA hapa, ili tuweze kumwuliza
Paa wewe mwenye upaa!” 24Akageuka, BWANA kupitia kwake?”
akawatazama na kuwalaani kwa Jina la Afisa mmoja wa mfalme wa Israeli akajibu,
BWANA. Kisha dubu wawili wa kike wakatokea “Elisha mwana wa Shafati yuko hapa. Yeye
mwituni na kuwararua vijana arobaini na wawili ndiye aliyekuwa akimimina maji juu ya mikono
miongoni mwao. 25Naye akaondoka huko ya Eliya.”
akaenda Mlima Karmeli na kutoka huko akarudi 12Yehoshafati akasema, “Neno la BWANA
mfalme wa Israeli katika Samaria mwaka “Nina nini mimi nawe? Nenda kwa manabii wa
wa kumi na nane wa kutawala kwake baba yako na manabii wa mama yako.”
Yehoshafati mfalme wa Yuda, naye akatawala Mfalme wa Israeli akajibu, “La hasha, kwa
kwa miaka kumi na miwili. 2Akafanya maovu sababu ni BWANA ambaye ametuita pamoja sisi
machoni pa BWANA, lakini sio kama baba yake wafalme watatu ili atutie mkononi mwa Moabu.”
na mama yake walivyokuwa wamefanya. 14Elisha akasema, “Hakika, kama BWANA
Akaondoa nguzo ya ibada ya Baali ambayo Mwenye Nguvu aishivyo, ambaye ninamtumikia,
baba yake alikuwa ameitengeneza. 3Hata hivyo kama si kuheshimu uwepo wa Yehoshafati
akashikamana na dhambi za Yeroboamu mfalme wa Yuda, nisingekutazama wala hata
mwana wa Nebati, ambazo alisababisha Israeli kukutupia jicho. 15Lakini sasa nileteeni mpiga
kuzitenda, wala hakuziacha. kinubi”
4Basi Mesha mfalme wa Moabu akafuga Mpiga kinubi alipokuwa akipiga, mkono wa
kondoo, naye akawa ampatie mfalme wa Israeli BWANA ukaja juu ya Elisha, 16naye akasema,
wanakondoo 100,000 pamoja na sufu ya kondoo “Hivi ndivyo asemavyo BWANA, ‘Chimbeni
waume 100,000. 5Lakini baada ya Ahabu kufa, bonde hili lijae mahandaki.’ ’’ 17Kwa kuwa hivi
mfalme wa Moabu aliasi dhidi ya mfalme wa ndivyo asemavyo BWANA, ‘Hamtaona upepo
Israeli. 6Kwa hiyo kwa wakati ule mfalme wala mvua, lakini bonde hili litajaa maji, nanyi
Yehoramu akaondoka kutoka Samaria na pamoja na ng’ombe wenu na wanyama wenu
kukusanya tayari Israeli yote kwenda vitani. wengine mtakunywa. 18Hili ni jambo rahisi
7Akapeleka pia ujumbe ufuatao kwa Yehoshafati machoni pa BWANA, ataitia Moabu mikononi
mfalme wa Yuda: “Mfalme wa Moabu ameasi mwenu pia. 19Mtaushinda kila mji wenye ngome
dhidi yangu. Je, utakwenda pamoja nami na kila mji mkubwa. Mtakata kila mti ulio mzuri,
kupigana dhidi ya Moabu?” mtaziba chemchemi zote na kuharibu kila
Akajibu, “Nitakwenda pamoja nawe, Mimi ni shamba zuri kwa mawe.”
kama wewe, watu wangu ni kama watu wako, 20Kesho yake asubuhi, karibu na wakati wa
farasi wangu ni kama farasi wako.” kutoa dhabihu ya asubuhi, tazama, maji yakawa
yanatiririka kutoka upande wa Edomu! Nayo
nchi ikajaa maji.
a1 “Yehoramu” wakati mwingine limetajwa kama “Yoramu.” 21Basi Wamoabu wote walikuwa wamesikia
4
2 WAFALME
kuwa wale wafalme wamekuja kupigana dhidi vyote vilipojaa, akamwambia mwanaye, “Niletee
yao, hivyo kila mtu, kijana na mzee, ambaye chombo kingine.”
angeweza kushika silaha akaitwa na kuwekwa Lakini mwanaye akajibu, “Hakuna chombo
kwenye mpaka. 22Walipoamka asubuhi na kingine kilichobaki.” Basi mafuta yakakoma
mapema, jua likawa linamulika juu ya maji. kutiririka.
Wamoabu waliokuwa upande wa pili, wakaona 7Yule mwanamke akamwendea yule mtu wa
maji ni mekundu kama damu. 23Wamoabu Mungu, naye yule mtu wa Mungu akasema,
wakasema, “Ile ni damu! Lazima wafalme “Nenda ukayauze hayo mafuta ulipe madeni
watakuwa wamepigana na kuchinjana wao kwa yako. Wewe na wanao mnaweza kuishi kwa kile
wao. Sasa Moabu twendeni tukateke nyara.’’ kinachosalia.’’
24Lakini Wamoabu walipofika kwenye kambi
yake ndio uliobaki na mawe yake yakiwa mahali mtu ambaye anakuja kwetu mara kwa mara ni
pake, lakini hata hivyo watu waliokuwa na mtu mtakatifu wa Mungu. 10Tutengeneze
makombeo wakauzunguka na kuushambulia vile chumba kidogo juu darini na tuweke ndani yake
vile. kitanda na meza, kiti na taa kwa ajili yake.
26Mfalme wa Moabu alipoona kuwa vita Kisha anaweza kukaa humo kila mara akija
vimekuwa vikali dhidi yake, akachukua watu 700 kwetu.”
wenye panga ili kuingia kwa mfalme wa Edomu, 11Siku moja Elisha alipokuja, akapanda
angeingia mahali pake kama mfalme, akamtoa huyo Mshunami.” Hivyo akamwita naye akaja
kama dhabihu ya kuteketezwa juu ya ukuta wa akasimama mbele yake. 13Elisha akamwambia
mji. Ghadhabu ikawa kubwa dhidi ya Israeli, mtumishi wake, “Mwambie huyu mwanamke,
wakajiondoa kwake na kurudi katika nchi yao umetaabika sana kwa ajili yetu. Sasa utendewe
wenyewe. nini? Je, tunaweza kuzungumza na mfalme au
jemadari wa jeshi kwa niaba yako?”
Mafuta Ya Mjane Akajibu, “Mimi nina kwangu miongoni mwa
Mke wa mtu mmoja kutoka katika wana wa watu wangu.”
4 manabii akamwendea Elisha, 14Elisha akamwambia mtumishi wake, “Je,
5
2 WAFALME
“Kichwa changu! Kichwa changu!” amekufa. 33Akaingia ndani, akajifungia yeye na
Baba yake akamwambia mtumishi, yule mtoto, akamwomba BWANA. 34Kisha
“Mchukue umpeleke kwa mama yake.” 20Baada akapanda kitandani akalala juu ya yule mtoto,
ya mtumishi kumbeba na kumpeleka kwa mama mdomo wake juu ya mdomo wa mtoto, macho
yake, mtoto akaketi mapajani mwa mama yake yake juu ya macho ya mtoto, mikono yake juu ya
mpaka adhuhuri, kisha akafa. 21Mama mikono ya mtoto. Naye alipojinyosha juu yake,
akampandisha na kumlaza juu ya kitanda cha mwili wa mtoto ukapata joto. 35Elisha akajiondoa
yule mtu wa Mungu, kisha akafunga mlango juu yake na kuanza kutembeatembea ndani ya
akatoka nje. chumba na kisha akarudi tena kitandani na
22Akamwita mume wake na kusema, kujinyosha tena juu ya mtoto mara nyingine.
‘Tafadhali mtume mmoja miongoni mwa Mtoto akapiga chafya mara saba na akafungua
mtumishi pamoja na punda ili niweze kwenda macho yake.
kwa mtu wa Mungu haraka na kurudi.” 36Elisha akamwita Gehazi na kumwambia,
23Mume wake akamwuliza, “Kwa nini “Mwite huyo Mshunami,” naye akafanya hivyo.
kwenda kwake leo? Leo si mwandamo wa Yule Mshunami alipokuja, Elisha akasema,
mwezi wala si Sabato.” “Mchukue mwanao.” 37Akaingia ndani,
Mwanamke akasema, “Yote ni sawa”. akaanguka miguuni pa Elisha na kusujudu hadi
24Akatandika punda na kumwambia nchi. Kisha akamchukua mwanawe na kutoka
mtumishi wake, “Mwongoze huyo punda, nje.
usinipunguzie mwendo mpaka nikuambie.”
25Kwa hiyo akaenda na kumfikia huyo mtu wa Mauti ndani ya Chungu
Mungu katika Mlima Karmeli. 38Elisha akarudi Gilgali nako huko kulikuwa
Alipomwona kwa mbali, huyo mtu wa Mungu na njaa katika eneo lile. Wakati wana wa kundi
akamwambia mtumishi wake Gehazi, “Tazama, la manabii walipokuwa wanakutana naye,
yule Mshunami! 26Kimbia ukamlaki na umwulize, akamwambia mtumishi wake, “Teleka chungu
‘Je, wewe hujambo, mume wako hajambo? kikubwa jikoni uwapikie manabii.”
Mtoto wako ni mzima?’ ” 39Mmoja wao akatoka kwenda mashambani
sikukuambia usiamshe matumaini yangu?” ndani ya chungu na kusema, “Wagawie watu ili
29Elisha akamwambia Gehazi, “Jikaze viuno, wale.” Wala hapakuwa na kitu cho chote chenye
chukua fimbo yangu mkononi mwako na madhara ndani ya chungu.
ukimbie. Ikiwa utakutana na mtu ye yote,
usimsalimie na mtu ye yote akikusalimu, Mamia Wanalishwa
usimjibu. Ilaze fimbo yangu juu ya uso wa 42Akaja mtu kutoka Baal-Shalisha, akimletea
6
2 WAFALME
nisingeweza kuoga ndani ya hiyo mito na
Naamani Aponywa Ukoma kutakasika?” Basi akageuka na kuondoka kwa
mkuu mbele ya bwana wake na aliyeheshimiwa kumwambia, “Baba yangu, kama huyo nabii
sana, kwa sababu kwa kupitia yeye, BWANA angekwambia kufanya jambo lililo kubwa, je,
alikuwa amewapa Aramu ushindi. Alikuwa usingefanya? Je, si zaidi sana basi,
askari shujaa, lakini alikuwa na ukoma. anapokuambia, ‘Oga na utakasike!’ ” 14Hivyo
2Panapo siku hizo vikosi kutoka Aramu akashuka na kujizamisha ndani ya mto Yordani
vilikuwa vimekwenda na vikawa vimemchukua mara saba, kama vile huyo mtu wa Mungu
mateka msichana kutoka Israeli, naye alivyokuwa amemwambia, nayo nyama ya mwili
akamtumikia mkewe Naamani. 3Akamwambia wake ikapona na kutakasika kama ya mwili wa
bibi yake, “Kama bwana wangu angelimwona mvulana mdogo.
nabii aliyeko Samaria! Angemponya ukoma 15Kisha Naamani na wahudumu wake wote
amechukua talanta kumi a za fedha, shekeli aishivyo, ambaye ninamtumikia, sitapokea kitu
6,000 za dhahabu b na mivao kumi ya mavazi. hata kimoja.” Ingawa Naamani alimsihi sana,
6Barua aliyokuwa ameichukua ili aipeleke kwa yeye alikataa.
mfalme wa Israeli ilisomeka hivi: “Pamoja na 17Naamani akasema, “Ikiwa hutapokea,
barua hii ninamtuma mtumishi wangu Naamani tafadhali mtumishi wako na apewe udongo kiasi
kwako ili uweze kumponya ukoma wake.” cha mzigo wa kuweza kubebwa na punda
7Mara mfalme wa Israeli alipomaliza wawili, kwa sababu mtumishi wako hatatoa tena
kuisoma ile barua, akararua majoho yake na sadaka ya kuteketezwa na dhabihu kwa mungu
kusema, “Je, mimi ni Mungu? Je, mimi naweza mwingine isipokuwa BWANA. 18Lakini BWANA
kuua na kufufua tena? Kwa nini huyu mtu na amsamehe mtumishi wake kwa kitu hiki
anamtuma mtu ili mimi nipate kumponya ukoma kimoja: Wakati bwana wangu atakapoingia
wake? Tazama jinsi anavyotafuta kuanzisha kwenye hekalu la Rimoni ili kusujudu, naye
ugomvi nami!” akiwa anauegemea mkono wangu nami
8Elisha mtu wa Mungu aliposikia kwamba nikasujudu huko pia, wakati nitakaposujudu
mfalme wa Israeli alikuwa amerarua majoho ndani ya hekalu la Rimoni, BWANA na
yake, akamtumia ujumbe huu: “Kwa nini amsamehe mtumishi wako kwa ajili ya jambo
umerarua mavazi yako? Mwamuru mtu huyo aje hili.’’
kwangu naye atajua ya kuwa yuko nabii katika 19Elisha akamwambia, “Nenda kwa amani.”
Israeli.” 9Kwa hiyo Naamani akaenda akiwa na Baada ya Naamani kusafiri umbali fulani,
farasi wake na magari yake na kusimama 20Gehazi, mtumishi wa Elisha mtu wa Mungu,
kwamba angetoka nje asimame na kuliitia jina la Naamani. Naamani alipomwona akikimbia
BWANA Mungu wake na kuweka mkono wake kumwelekea, akashuka chini kutoka kwenye gari
juu ya mahali pagonjwa aniponye ukoma wangu. lake na kwenda kumlaki. Akauliza, “Je, mambo
12Je, Abana na Farpari, mito ya Damaski si bora yote ni sawa?’’
zaidi kuliko mito yo yote ya Israeli? Je, 22Gehazi akajibu, “Mambo yote ni sawa.
azipokee, kisha akafunga talanta mbili za fedha akipigana vita na Israeli. Baada ya kukubaliana
katika mifuko miwili pamoja na mivao miwili ya na maafisa wake, akasema, “Nitapiga kambi
mavazi. Akawapa watumishi wake wawili mizigo yangu mahali fulani na fulani.”
hiyo, nao wakaibeba wakitangulia mbele ya 9Mtu wa Mungu akatuma ujumbe kwa
Gehazi. 24Gehazi alipofika kwenye kilima mfalme wa Israeli. Jihadhari usije ukapita mahali
akavichukua vile vitu kutoka kwa wale watumishi pale, kwa sababu Waaramu wanashuka huko.”
na kuvificha mbali ndani ya nyumba. Akawaaga 10Kwa hiyo mfalme wa Israeli akatuma neno la
wale watu nao wakaondoka. 25Kisha akaingia tahadhari mahali pale alikokuwa ameelekezwa
ndani na kusimama mbele ya Elisha bwana na mtu wa Mungu. Mara kwa mara Elisha
wake. alimwonya mfalme, kwamba watu wawe macho
Elisha akamwuliza, “Gehazi, ulikuwa wapi?’’ kwenye maeneo kama hayo.
Gehazi akajibu, “Mtumishi wako hakwenda 11Hili lilimfadhaisha sana mfalme wa Aramu.
Je, huu ni wakati wa kupokea fedha au kupokea “Mfalme bwana wangu, hakuna hata mmoja
nguo, mashamba ya mizeituni, mashamba ya wetu, lakini Elisha, yule ambaye ni nabii katika
mizabibu, makundi ya kondoo na mbuzi, Israeli, humwambia mfalme wa Israeli hata yale
makundi ya ng’ombe au watumishi wa kiume na maneno unayozungumza ukiwa katika chumba
wa kike? 27Ukoma wa Naamani utakushika chako cha kulala.’’
wewe na wazao wako milele.” Kisha Gehazi 13Mfalme akaagiza akisema, ‘Nendeni,
akaondoka mbele ya Elisha, mwenye ukoma, mkatafute aliko, ili niweze kutuma watu
mweupe kama theluji. kumkamata.” Taarifa ikarudi kwamba, “Yuko
Dothani.” 14Ndipo akatuma farasi na magari ya
Shoka Laelea vita na jeshi lenye nguvu huko. Walikwenda
Wana wa manabii wakamwambia Elisha, usiku na kuuzunguka mji.
6 “Tazama, mahali hapa tunapoishi chini ya 15Kesho yake asubuhi na mapema mtumishi
nitapata wapi msaada kwa ajili yako? Je, ni ukoma katika ingilio la lango la mji.
kutoka kwenye sakafu ya kupuria? Au kwenye Wakaambiana, “Kwa nini tukae hapa mpaka
shinikizo la divai?” 28Kisha akamwuliza, “Kwani tufe? 4Kama tukisema, ‘Tutaingia mjini, mjini
kuna nini?’’ kuna njaa, nasi tutakufa humo. Kama tukikaa
Yule mwanamke akamjibu, “Huyu hapa tutakufa. Kwa hiyo twende kwenye kambi
mwanamke aliniambia, ‘Mtoe mwanao ili tupate ya Waaramu na tujisalimishe. Kama wakituacha
kumla leo na kesho tutamla mwanangu.’ 29Basi hai, tutaishi, kama wakituua, basi na tufe.’’
5Wakati wa giza la jioni wakaondoka na
tukampika mwanangu na kumla. Siku iliyofuata
nikamwambia, ‘Mtoe mwanao ili tupate kumla.’ kwenda kwenye kambi ya Waaramu. Walipofika
Lakini akawa amemficha.” mwanzo wa kambi, hapakuwa na mtu, 6kwa
30Wakati mfalme aliposikia maneno ya yule kuwa Bwana alilifanya jeshi la Waaramu lisikie
mwanamke, alirarua majoho yake. Naye sauti kama ya magari ya vita, farasi na jeshi
alipoendelea kutembea ukutani, watu kubwa kiasi kwamba waliambiana, “Tazama,
wakamtazama, ndani ya majoho yake alikuwa mfalme wa Israeli ameajiri mfalme wa Wahiti na
amevaa nguo ya gunia mwilini mwake. mfalme wa Wamisri kuja kutushambulia sisi!”
31Akasema, “Mungu na anitendee hivyo na 7Kwa hiyo wakaondoka na kukimbia wakati wa
kuzidi, ikiwa kichwa cha Elisha mwana wa giza la jioni na kuacha mahema yao, farasi wao
Shafati kitabaki juu ya mabega yake leo!” na punda wao. Wakakimbia kuokoa maisha yao
32Wakati huu, Elisha alikuwa ameketi ndani na kuacha kila kitu ndani ya kambi kama
ya nyumba yake, akiwa pamoja na wazee. kilivyokuwa.
iwe yetu wenyewe. Kama tukisubiri mpaka mtu wa Mungu, “Tazama, hata kama BWANA
mapambazuko, maafa yatatupata. Twendeni atafungua madirisha ya mbinguni, je, jambo hili
mara moja tukatoe habari hizi katika jumba la litawezekana?” Yule mtu wa Mungu alikuwa
kifalme.” amemjibu, “Utaona kwa macho yako
10Hivyo wakaenda mjini na kuwaita walinzi mwenyewe, lakini hutakula cho chote kati ya
wa langoni na kuwaambia, “Tulikwenda katika hivyo.” 20Ndivyo hasa ilivyotokea kwake, kwa
kambi ya Waaramu wala hapakuwapo na mtu kuwa watu walimkanyaga langoni, naye akafa.
huko, hapakuwa na sauti ya mtu ye yote, ila
farasi na punda waliofungwa na mahema Ardhi Ya Mshunami Yarudishwa
yaliyoachwa kama yalivyokuwa.’’ 11Walinzi wa
langoni wakatangaza habari ile kwa nguvu na 8 Wakati huu, Elisha alikuwa amemwambia
yule mwanamke ambaye mwanawe
taarifa hii ikatolewa ndani ya jumba la kifalme. alikuwa amefufuliwa, “Ondoka wewe na jamaa
12Mfalme akaamka usiku na kuwaambia
yako ukaishi mahali po pote unapoweza, kwa
maafisa wake, “Nitawaambia kile Waaramu kitambo kidogo, kwa sababu BWANA ameamuru
walichotufanyia. Wanajua kwamba tuna njaa, njaa katika nchi hii ambayo itadumu kwa miaka
hivyo wameacha kambi yao ili kujificha saba.” 2Yule mwanamke akafanya kama vile
mashambani, wakifiri, ‘Kwa hakika watatoka nje yule mtu wa Mungu alivyosema. Yeye na jamaa
ya mji, nasi tutawakamata wakiwa hai na kuingia yake wakaondoka na kwenda kuishi katika nchi
ndani ya mji.’ ” ya Wafilisti kwa miaka saba.
13Mmoja wa maafisa wake akajibu, 3Baada ya miaka saba yule mwanamke
“Waamuru watu wachache wakawachukue wale akarudi kutoka nchi ya Wafilisti na kwenda kwa
farasi watano waliobaki katika mji. Kama mfalme kumwomba kwa ajili ya nyumba yake na
wakipatwa na mambo mabaya huko, haitakuwa shamba lake. 4Mfalme alikuwa anazungumza na
hasara kubwa kama vile wangebakia hapa na Gehazi, mtumishi wa mtu wa Mungu, naye
sisi sote Waisraeli tukafa”. alikuwa amesema, “Hebu niambie mambo yote
14Ndipo wakachagua magari mawili ya vita
makuu yaliyofanywa na Elisha.” 5Wakati Gehazi
pamoja na farasi wake, naye mfalme alipokuwa akimweleza mfalme jinsi Elisha
akawatuma wafuatilie jeshi la Waaramu. alivyomfufua mtu, yule mwanamke ambaye
Akawaamuru waendeshaji akisema, “Nendeni mwanawe alikuwa amefufuliwa na Elisha akaja
mkaone ni nini kilichotokea” 15Wakawafuatia ili amwombe mfalme kwa ajili ya nyumba yake
hadi Yordani, nao wakakuta barabara yote ikiwa na shamba lake.
imetapakaa nguo na vyombo vya Waaramu Gehazi akasema, “Huyu ndiye huyo
walivyokuwa wamevitupa wakati walipokuwa mwanamke, bwana wangu mfalme na huyu
wanakimbia. Basi wale wajumbe wakarudi na ndiye mwanaye ambaye Elisha alimfufua.”
kutoa taarifa kwa mfalme. 16Kisha watu 6Mfalme akamwuliza yule mwanamke kuhusu
wakatoka na kuteka nyara kambi ya Waaramu. mambo hayo, naye akamweleza.
Kwa hiyo kipimo cha unga mzuri kikauzwa kwa Ndipo akaamuru afisa ashughulikie shauri
shekeli na vipimo viwili vya shayiri kwa shekeli lake na kumwambia, “Mrudishie huyu
sawasawa kama vile BWANA alivyokuwa mwanamke kila kitu kilichokuwa mali yake,
amesema. pamoja na mapato yote yaliyotokana na shamba
17Basi mfalme akamweka yule afisa ambaye
lake tangu siku alipoondoka nchini hadi sasa.”
yeye mfalme alikuwa anautegemea mkono wake
awe msimamizi wa lango, nao watu Hazaeli Anamwua Ben-Hadadi
wakamkanyaga walipoingia langoni, naye 7Elisha akaenda Dameski, naye Ben-Hadadi
10
2 WAFALME
mfalme wa Aramu alikuwa mgonjwa. Mfalme kuidumisha taa kwa ajili ya Daudi na uzao wake
alipoambiwa, “Mtu wa Mungu ametoka mbali milele.
akapanda hadi hapa, 8mfalme akamwambia 20Wakati wa Yehoramu, Edomu waliasi dhidi
uso wa mfalme, hivyo akafa. Kisha Hazaeli wa Ahabu dhidi ya Hazaeli mfalme wa Aramu
akaingia mahali pake kama mfalme wa Aramu. huko Ramoth-Gileadi. Waaramu wakamjeruhi
Yoramu. 29Basi mfalme Yoramu akarudi Yezreeli
Yehoramu Mfalme wa Yuda ili apate kutibu majeraha aliyoyapata huko
16Katika mwaka wa tano wa Yoramu mwana Ramothi a alipokuwa anapigana na Hazaeli
wa Ahabu mfalme wa Israeli, wakati huo mfalme wa Aramu.
Yehoshafati akiwa mfalme wa Yuda, Yehoramu
mwana wa Yehoshafati akaanza kutawala kama Yehu Atiwa Mafuta Kuwa Mfalme
mfalme wa Yuda. 17Alikuwa na umri wa miaka
thelathini na miwili alipoanza kutawala, 9 Nabii Elisha akamwita mtu mmoja kutoka
kwa wana wa manabii na kumwambia,
akatawala huko Yerusalemu kwa miaka minane. “Jikaze viuno, ichukue hii chupa ya mafuta
18Akaziendea njia za wafalme wa Israeli, kama nenda Ramothi-Gileadi. 2Ukifika huko, mtafute
nyumba ya Ahabu ilivyokuwa imefanya, kwa Yehu mwana wa Yehoshafati, mwana wa
kuwa alimwoa binti wa Ahabu. Akatenda maovu Nimshi. Mwendee, mtenge mbali na wenzake na
machoni pa BWANA. 19Hata hivyo, kwa ajili ya umpeleke katika chumba cha ndani. 3Kisha
Daudi mtumishi wake, BWANA hakutaka
kuiangamiza Yuda. Alikuwa ameahidi a29 Ramothi au Rama kwa Kiebrania.
11
2 WAFALME
chukua hii chupa na umiminie mafuta juu ya kujiuguza kutokana na majeraha ambayo
kichwa chake nawe utangaze, ‘Hivi ndivyo Waaramu walimtia katika vita na Hazaeli mfalme
asemavyo BWANA: ‘Ninakutia mafuta uwe wa Aramu.) Yehu akasema, “Kama hii ndiyo nia
mfalme juu ya Israeli.’ Kisha ufungue mlango na yenu, msimruhusu hata mmoja kutoroka nje ya
ukimbie, usikawie!’’ mji kwenda kupeleka habari huko Yezreeli.’’
4Basi yule kijana, ambaye ni nabii, akaenda 16Ndipo akaingia katika gari lake la vita na
atakayemzika.’ ’’ Kisha akafungua mlango na “Mjumbe amewafikia lakini hata yeye harudi.
kukimbia. Uendeshaji ule ni kama wa Yehu mwana wa
11Yehu alipotoka nje na kurudi kwenda kwa Nimshi, anaendesha kama mwenye wazimu!’’
maafisa wenzake, mmoja wao akamwuliza, “Je, 21Yoramu akaagiza akasema, “Weka tayari
kila kitu ni salama? Kwa nini huyu mwenye gari langu la vita,’’ na baada ya gari kuwa tayari,
wazimu alikuja kwako?’’ Yoramu mfalme wa Israeli na Ahazia mfalme wa
Yehu akajibu, “Wewe unamfahamu huyo Yuda wakaondoka, kila mmoja kwenye gari lake,
mtu na aina ya vitu ambavyo yeye husema.’’ ili kukutana na Yehu. Walikutana naye katika
12Wakasema, “Hiyo siyo kweli! Tuambie.’’ shamba lililokuwa mali ya Nabothi Myezreeli.
Yehu akasema, “Haya ndiyo aliyoniambia: 22Yoramu alipomwona Yehu akauliza, “Je, Yehu
na kupiga kelele wakisema, “Yehu ni mfalme!’’ akimwambia Ahazia, “Huu ni uhaini Ahazia!’’
24Kisha Yehu akatwaa upinde wake na
12
2 WAFALME
nyuma ya Ahabu baba yake wakati BWANA hiyo Yehu akaandika barua na kuzituma
alipotoa unabii huu kumhusu: 26‘Jana niliona Samaria kwa: maafisa wa Yezreeli, kwa wazee
damu ya Nabothi na damu ya wanawe, nami na kwa walezi wa watoto wa Ahabu. Akasema,
kwa hakika nitakufanya uilipe juu ya shamba hili, 2“Mara tu barua hii itakapokufikia, kwa kuwa
asema BWANA.’ Sasa basi, mwinue na umtupe wana wa bwana wako wapo pamoja nawe, nawe
juu ya kiwanja kile, kulingana na neno la una magari ya vita na farasi, mji wenye ngome
BWANA.’’ na silaha, 3mchague mwenye uwezo zaidi kati
27Wakati Ahazia mfalme wa Yuda alipoona ya wana wa bwana wako na umweke juu ya kiti
kilichotokea, akakimbia kupitia barabara ya cha enzi cha baba yake. Kisha upigane kwa ajili
Beeth Hagani. Yehu akamkimbiza akipiga kelele ya nyumba ya bwana wako.’’
akisema, “Mwue naye pia!’’ Wakamjeruhi katika 4Lakini wakaogopa sana na kusema, “Ikiwa
gari lake kwenye njia ielekeayo Guri karibu na wafalme wawili hawakuweza kupambana na
Ibleamu, lakini akatorokea Megido na akafia Yehu, sisi tutawezaje?’’
huko. 28Watumishi wake wakambeba kwa gari la 5Basi msimamizi wa jumba la kifalme,
13
2 WAFALME
wa jamaa ya Ahazia mfalme wa Yuda akauliza, Yehu akawaambia watumishi wa Baali,
“Ninyi ni nani?’’ “Tazameni kila mahali mhakikishe kwamba
Wao wakasema, “Sisi ni jamaa ya Ahazia, hakuna hata mtumishi mmoja wa BWANA aliye
nasi tumeshuka kuwasalimu jamaa ya mfalme hapa pamoja nanyi, wawe ni watumishi wa Baali
na ya mama malkia.” tu.’’ 24Kwa hiyo wakaingia ndani ili kutoa kafara
14Yehu akaagiza, “Wakamateni wakiwa hai!’’ na sadaka ya kuteketezwa. Wakati huu, Yehu
Kwa hiyo wakawachukuwa wakiwa hai watu alikuwa amewaweka watu wake themanini akiwa
arobaini na wawili na kuwachinja kando ya amewapa onyo kwamba, “Ikiwa mmoja wenu
kisima cha nyumba ya kukatia manyoya ya atamwachia mtu ye yote ninayemweka mikononi
kondoo, yaani, Beth-Ekedi ya wachunga mwake atoroke, itakuwa uhai wako kwa uhai
kondoo. Hakuacha ye yote anusurike. wake.’’
15Baada ya kuondoka hapo, alimkuta 25Mara baada ya Yehu kutoa sadaka ya
yote na watumishi wote wa Baali wakaja, Gileadi (eneo la Gadi, Reubeni na Manase),
hakuna hata mmoja ambaye hakufika. kutoka Aroeri karibu na Bonde la Arnoni kupitia
Wakasongana ndani ya hekalu la Baali mpaka Gileadi hadi Bashani.
likajaa tangu mwanzo hadi mwisho wake. 34Kwa matukio mengine ya utawala wa
22Naye Yehu akamwambia yule aliyekuwa Yehu, yote aliyofanya na mafanikio yake yote,
mtunza chumba cha mavazi, “Lete majoho kwa je, hayakuandikwa katika kitabu cha
ajili ya watumishi wote wa Baali.’’ Basi kumbukumbu cha wafalme wa Israeli?
akawaletea majoho. 35Yehu akalala pamoja na baba zake naye
23Kisha Yehu na Yehonadabu mwana wa akazikwa huko Samaria. Naye Yehoahazi
Rekabu wakaingia ndani ya hekalu la Baali. mwanawe akaingia mahali pake kama mfalme
14
2 WAFALME
badala yake. 36Muda
Yehu aliotawala juu ya madhabahu na hekalu, kuanzia upande wa
Israeli huko Samaria ilikuwa miaka ishirini na kusini hadi upande wa kaskazini mwa hekalu.
minane. 12Yehoiada akamtoa mwana wa mfalme na
Yehosheba, binti wa mfalme Yehoramu ambaye walinzi pamoja na watu akawaendea watu pale
ni dada yake Ahazia akamtwaa Yoashi mwana penye hekalu la BWANA. 14Akaangalia na
wa Ahazia kwa siri kutoka miongoni mwa wana tazama alikuwako mfalme, akiwa amesimama
wa kifalme, ambao walikuwa karibu kuuawa. karibu na nguzo, kama ilivyokuwa desturi.
Akamweka Yoashi pamoja na yaya wake ndani Maafisa na wapiga tarumbeta walikuwa pembeni
ya chumba cha kulala na kumficha humo ili mwa mfalme, nao watu wote wa nchi walikuwa
Athalia asimwone, kwa hiyo hakuuawa. 3Alibaki wakifurahi na kupiga tarumbeta. Kisha Athalia
amefichwa pamoja na yaya wake kwenye hekalu akararua majoho yake na kupiga kelele, “Uhaini!
la BWANA kwa miaka sita wakati Athalia Uhaini!’’
alipokuwa akitawala nchi. 15Kuhani Yehoiada akawaagiza majemadari
4Katika mwaka wa saba Yehoiada kuhani wa vikosi vya mamia, waliokuwa wasimamizi wa
akaamuru wakuu wa vikundi vya mamia, jeshi, “Mleteni huyo Athalia nje katikati ya safu
Wakari a na walinzi, waletwe kwake kwenye na mtieni upanga mtu ye yote atakayemfuata.’’
hekalu la BWANA. Akafanya agano nao na Kwa kuwa kuhani alikuwa amesema, “Hatauawa
kuwaapisha katika hekalu la BWANA. Ndipo ndani ya hekalu la BWANA.’’ 16Basi
akawaonyesha mwana wa mfalme. wakamkamata Athalia na alipofika mahali
5Akawaamuru akisema, “Hivi ndivyo iwapasavyo ambapo farasi huingilia katika viwanja vya jumba
kufanya: Ninyi ambao mko makundi matatu la mfalme wakamwulia hapo.
mnaokwenda zamu siku ya Sabato, theluthi 17Ndipo Yehoiada akafanya agano kati ya
yenu itakuwa ikilinda jumba la kifalme, 6theluthi BWANA na mfalme na watu kwamba watakuwa
nyingine italinda Lango la Suri na theluthi watu wa BWANA. Akafanya pia agano kati ya
nyingine italinda lango lililo nyuma ya walinzi, mfalme na watu. 18Watu wote wa nchi
ambao hupeana zamu kulinda hekalu, 7nanyi wakaenda kwenye hekalu la Baali na kulibomoa.
ambao mko katika makundi mengine mawili Wakavunja madhabahu zote na sanamu
ambao kwa kawaida hupumzika Sabato, wote vipande vipande na kumwua Matani kuhani wa
mtalinda hekalu kwa ajii ya mfalme. 8Jipangeni Baali mbele ya hiyo madhabahu.
kumzunguka mfalme, kila mtu akiwa na silaha Kisha Yehoiada kuhani akawaweka walinzi
yake mkononi mwake. Ye yote anayesogelea kwenye hekalu la BWANA. 19Pamoja naye
safu yenu ya askari ni lazima auawe. Kaeni akawachukua majemadari wa mamia, Wakari a ,
karibu na mfalme popote aendako.’’ walinzi na watu wote wa nchi, nao kwa pamoja
9Majemadari wa vikosi vya mamia wakamshusha mfalme kutoka katika hekalu la
wakafanya sawasawa kama alivyoagiza kuhani BWANA na kwenda kwenye jumba la kifalme,
Yehoiada. Kila mmoja akawachukua watu wake, wakiingilia njia ya lango la walinzi. Ndipo mfalme
wale waliokuwa wakienda zamu siku ya Sabato akachukua nafasi yake kwenye kiti cha enzi,
na wale waliokuwa katika mapumziko, nao 20nao watu wote wa nchi wakafurahi. Mji
wakaja kwa kuhani Yehoiada. 10Ndipo akawapa ukatulia, kwa sababu Athalia alikuwa ameuawa
wale majemadari mikuki na ngao zilizokuwa mali kwa upanga huko kwenye jumba la kifalme.
ya Mfalme Daudi na zile zilizokuwa ndani ya 21Yoashi alikuwa na umri wa miaka saba
12
Katika mwaka wa saba wa kutawala
kwake Yehu, Yoashi alianza kutawala,
a4 Wakari hapa ina maana ya Wakerethi (Ona 1Sam.30:14,
Eze 25:16 na Sefania 2:5,6 a19 Wakari hapa ina maana ya Wakerethi.
15
2 WAFALME
naye akatawala huko Yerusalemu miaka vyo vyote vya dhahabu au fedha kwa ajili ya
arobaini. Jina la mama yake aliitwa Sibia, kutoka hekalu la BWANA, 14zililipwa kwa wafanyakazi,
Beer-sheba. 2Yoashi akafanya yaliyo mema ambao walizitumia kwa kukarabati hekalu.
machoni pa Mungu miaka yote ambayo 15Wao hawakudai kupewa hesabu ya fedha
Yehoyada kuhani alikuwa akimwelekeza. 3Hata kutoka kwa wale waliowapa ili kuwalipa
hivyo mahali pa juu pa kuabudia wafanyakazi, kwa sababu walifanya kwa
hapakuondolewa, watu waliendelea kutoa kafara uaminifu wote. 16Fedha zilizopatikana kutokana
na kufukiza uvumba huko. na sadaka za hatia na sadaka za dhambi
4Yoashi akawaambia makuhani, “Kusanyeni hazikuletwa katika hekalu la BWANA, zilikuwa
fedha zote ambazo zitaletwa kama sadaka mali ya makuhani.
takatifu kwenye hekalu la BWANA, yaani, fedha 17Wakati huu Hazaeli mfalme wa Aramu
zilizokusanywa katika kodi, fedha zilizopokelewa akapanda kuishambulia Gathi na akaiteka. Kisha
kutokana na nadhiri za watu binafsi na fedha akageuka ili kuishambulia Yerusalemu. 18Lakini
zilizoletwa kwa hiari hekaluni. 5Kila kuhani na Yoashi mfalme wa Yuda akavichukua vyombo
apokee fedha kutoka kwa mmoja wa watunza vyote vitakatifu vilivyowekwa wakfu na baba
hazina, nazo zitumike kukarabati uharibifu wo zake, yaani Yehoshafati, Yehoramu na Ahazia
wote unaoonekana katika hekalu.’’ wafalme wa Yuda, zawadi ambazo yeye
6Lakini ikawa kufikia mwaka wa ishirini na mwenyewe alikuwa ameziweka wakfu pamoja
tatu wa utawala wake mfalme Yoashi, makuhani na dhahabu yote iliyokutwa katika hazina za
walikuwa bado hawajalikarabati hekalu. 7Kwa hekalu la BWANA na katika jumba la kifalme,
hiyo mfalme Yoashi akamwita Yehoyada kuhani akazipeleka kwa Hazaeli mfalme wa Aramu,
na makuhani wengine na akawauliza, “Kwa nini ambaye hatimaye aliondoka Yerusalemu.
hamtengenezi uharibifu uliofanyika hekaluni? 19Kwa matukio mengine ya utawala wa
Msichukue fedha zaidi kutoka kwa watunza Yoashi na yote aliyoyafanya, je, hayakuandikwa
hazina wenu kwa ajili ya matumizi yenu, lakini katika kitabu cha tarehe cha wafalme wa Yuda?
kuanzia sasa ni lazima yote itumike kwa ajili ya 20Maafisa wake wakafanya shauri baya dhidi
kukarabati hekalu.’’ 8Makuhani wakakubali kuwa yake nao wakamwua huko Beth Milo, kwenye
hawatakusanya tena fedha kutoka kwa watu na barabara itelemkayo kuelekea Sila. 21Maafisa
kwamba hawatakarabati hekalu wenyewe. waliomwua walikuwa Yozabadi mwana wa
9Yehoyada kuhani akachukua kisanduku na Shimeathi na Yehozabadi mwana wa Shomeri.
akatoboa tundu kwenye kifuniko chake. Akafa na akazikwa pamoja na baba zake katika
Akakiweka kando ya madhabahu upande wa Mji wa Daudi. Naye Amazia mwanawe akaingia
kulia unapoingia hekaluni mwa BWANA. mahali pake kama mfalme.
Makuhani waliolinda ingilio wakaweka ndani ya
kisanduku fedha zote ambazo zililetwa katika Yehoahazi Mfalme Wa Israeli
hekalu la BWANA. 10Kila mara walipoona kuwa
kuna kiasi kikubwa cha fedha ndani ya 13 Katika mwaka wa ishirini na tatu wa
kutawala kwake Yoashi mwana wa
kisanduku, mwandishi wa jumba la kifalme na Ahazia mfalme wa Yuda, Yehoahazi mwana wa
kuhani mkuu walikuja, wakazihesabu fedha hizo Yehu alianza kutawala Israeli katika Samaria,
zilizoletwa katika hekalu la BWANA na kuziweka naye akatawala miaka kumi na saba. 2Akafanya
katika mifuko. 11Wakiisha kuthibitisha kiasi cha maovu machoni pa BWANA kwa kufuata dhambi
hizo fedha, waliwapa watu walioteuliwa za Yeroboamu mwana wa Nebati, ambazo
kusimamia kazi katika hekalu. Kwa fedha hizo, alikuwa amesababisha Israeli kuzitenda na wala
wakiwalipa wale watu waliofanya kazi katika hakuziacha. 3Kwa hiyo hasira ya BWANA
hekalu la BWANA: maseremala na wajenzi, ikawaka dhidi ya Israeli na kwa muda mrefu
12yaani, waashi na wakata mawe. Walinunua akawaweka chini ya utawala wa Hazaeli mfalme
mbao na mawe ya kuchongwa kwa ajili ya wa Aramu na Ben-Hadadi mwanawe.
ukarabati wa hekalu la BWANA na kulipia 4Ndipo Yehoahazi akamsihi BWANA
gharama nyingine zote za kulitengeneza. rehema, naye BWANA akamsikiliza, kwa maana
13Fedha zilizoletwa kwenye hekalu aliona jinsi mfalme wa Aramu alivyokuwa
hazikutumiwa kutengenezea masinia ya fedha, akiwatesa Israeli vikali. 5BWANA akamtoa
mikasi ya kusawazishia tambi, mabakuli ya mwokozi kwa ajili ya Israeli, nao wakaokoka
kunyunyizia, tarumbeta wala vyombo vingine kutoka kwenye mamlaka ya Aramu. Hivyo
16
2 WAFALME
Waisraeli wakaishi katika nyumba zao wenyewe Elisha akaweka mikono yake juu ya mikono ya
kama ilivyokuwa hapo awali. 6Lakini mfalme.
hawakuziacha dhambi za nyumba ya 17Elisha akasema, “Fungua dirisha la
magari kumi ya vita na askari wa miguu 10,000, mfalme akaichukua. Elisha akamwambia, “Piga
kwa kuwa mfalme wa Aramu alikuwa ardhi kwa hiyo mishale.’’ Akaipiga mara tatu
amewaangamiza hao wengine na kuwafanya halafu akaacha.
kama mavumbi wakati wa kupura nafaka. 19Mtu wa Mungu akamkasirikia na akasema,
8Matukio mengine ya utawala wa Yehoahazi “Ungepiga chini mara tano au sita, ndipo
yote aliyoyafanya na mafanikio yake, je, ungeishinda Aramu na kuiangamiza kabisa.
hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu Lakini sasa utaishinda mara tatu tu.’’
cha wafalme wa Israeli? 9Yehoahazi akalala 20Elisha akafa nao wakamzika.
pamoja na baba zake na akazikwa huko Vikosi vya Wamoabu vilikuwa vinashambulia
Samaria. Naye Yehoashi a mwanawe akaingia nchi kwa vita kila mwaka wakati wa vuli. 21Ikawa
mahali pake kama mfalme. Waisraeli fulani walipokuwa wanamzika mtu,
ghafula wakaona kikosi cha washambuliaji, basi
Yehoashi Mfalme Wa Israeli. wakaitupa ile maiti ya yule mtu ndani ya kaburi
10Katika mwaka wa thelathini na saba wa la Elisha. Wakati ile maiti ilipogusa mifupa ya
kutawala kwake Yoashi mfalme wa Yuda, Elisha, yule mtu akafufuka na kusimama kwa
Yehoashi mwana wa Yehoahazi alianza miguu yake.
kutawala Israeli huko Samaria, naye akatawala 22Hazaeli mfalme wa Aramu aliwatesa
miaka kumi na sita. 11Alifanya maovu machoni Israeli wakati wote wa utawala wa Yehoahazi.
pa BWANA na hakuacha dhambi yo yote kati ya 23Lakini BWANA akawarehemu na
zile za Yeroboamu mwana wa Nebati ambazo akawahurumia, akaonyesha kujishughulisha nao
alikuwa amesababisha Israeli kuzitenda, kwa sababu ya agano lake na Abrahamu, Isaki
aliendelea kuzitenda. na Yakobo. Hadi leo, hajawaangamiza wala
12Na kwa matukio mengine ya utawala wa kuwafukuza mbele zake.
Yehoashi, yote aliyoyafanya na mafanikio yake, 24Hazaeli mfalme wa Shamu akafa, naye
pamoja na vita yake dhidi ya Amazia mfalme wa Ben-Hadadi mwanawe akaingia mahali pake
Yuda, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kama mfalme. 25Kisha Yehoashi mwana wa
kumbukumbu cha wafalme wa Israeli? Yehoahazi akateka tena kutoka kwa Ben-Hadadi
13Yehoashi akalala pamoja na baba zake, mwana wa Hazaeli ile miji aliyokuwa ameitwaa
akazikwa Samaria pamoja na wafalme wa kwa vita kutoka kwa baba yake Yehoahazi.
Israeli. Yeroboamu akaingia mahali pake kama Yehoashi alimshinda mara tatu, hivyo akaweza
mfalme. kuiteka tena ile miji ya Waisraeli.
14Wakati huu, Elisha alikuwa anaumwa na
17
2 WAFALME
4Hata hivyo mahali pa juu pa kuabudia miungu hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu
hapakuondolewa, watu waliendelea kutoa kafara cha wafalme wa Israeli? 16Yehoashi akalala
na kufukiza uvumba huko. pamoja na baba zake na akazikwa Samaria
5Baada ya ufalme kuwa imara mikononi pamoja na wafalme wa Israeli, naye Yeroboamu
mwake, aliwaua wale maafisa waliomwua mwanawe akaingia mahali pake kama mfalme.
mfalme Yoashi baba yake. 6Hata hivyo, 17Amazia mwana wa Yoashi mfalme wa
hakuwaua wana wa wale wauaji, sawasawa na Yuda aliishi miaka kumi na mitano baada ya kifo
ilivyoandikwa katika kitabu cha Sheria ya Mose cha Yehoashi mwana wa Yehoahazi mfalme wa
ambako BWANA aliagiza akisema, “Baba Israeli. 18Matukio mengine ya utawala wa
hawatauawa kwa ajili ya watoto wao, wala Amazia, je, hayakuandikwa katika kitabu cha
watoto hawatauawa kwa ajili ya baba zao, kila kumbukumbu cha wafalme wa Yuda?
mmoja atakufa kwa ajili ya dhambi zake 19Wakafanya shauri baya dhidi ya Amazia
Lebanoni akaja na kuukanyaga ule mbaruti chini kutawala kwake Amazia mwana wa Yoashi
ya nyayo zake. 10Hakika umeishinda Edomu na mfalme wa Yuda, Yeroboamu mwana wa
sasa unajivuna. Jisifu katika ushindi wako, lakini Yehoashi mfalme wa Israeli alianza kutawala
kaa nyumbani! Kwa nini unachokoza nawe huko Samaria, naye akatawala kwa miaka
usababishe anguko lako mwenyewe na lile la arobaini na mmoja. 24Akafanya maovu machoni
Yuda pia?’’ pa BWANA na hakuacha dhambi hata moja ya
11Hata hivyo, Amazia hakusikia, hivyo Yeroboamu mwana wa Nebati, ambazo alikuwa
Yehoashi mfalme wa Israeli akashambulia. Yeye amesababisha Israeli kuzitenda. 25Yeye ndiye
na Amazia mfalme wa Yuda wakakutana uso aliyerudishia mipaka ya Israeli kuanzia Lebo
kwa uso huko Beth-Shemeshi katika Yuda. Hamathi hadi bahari ya Araba, sawasawa na
12Yuda ikashindwa na Israeli na kila mtu neno la BWANA, Mungu wa Israeli, lililosemwa
akakimbilia nyumbani kwake. 13Yehoashi kupitia mtumishi wake Yona mwana wa Amitai,
mfalme wa Israeli akamkamata Amazia mfalme nabii kutoka Gath-Heferi.
wa Yuda, mwana wa Yoashi, mwana wa Ahazia, 26BWANA alikuwa ameona jinsi kila mmoja
huko Beth-Shemeshi. Kisha Yehoashi akaenda katika Israeli, awe mtumwa au aliye huru
Yerusalemu na kuvunja ukuta wa Yerusalemu alivyoteseka kwa uchungu, hapakuwepo na ye
kuanzia Lango la Efraimu hadi Lango la kwenye yote wa kuwasaidia. 27Kwa kuwa BWANA
Pembe, kisehemu chenye urefu wa kama dhiraa alikuwa hajasema kuwa atafuta jina la Israeli
mia nne a . 14Akachukua dhahabu yote na fedha chini ya mbingu, akawaokoa kwa mkono wa
na vyombo vyote vilivyopatikana ndani ya hekalu Yeroboamu mwana wa Yehoashi.
la BWANA na katika hazina zote za jumba la 28Kwa matukio mengine ya utawala wa
pamoja na baba zake, wafalme wa Israeli. Naye katika mwaka wa thelathini na tisa wa Uzia
Zekaria mwanawe akaingia mahali pake kama mfalme wa Yuda, naye akatawala katika
mfalme. Samaria kwa mwezi mmoja. 14Kisha Menahemu
mwana wa Gadi akaenda kutoka Tirza mpaka
Azaria Mfalme Wa Yuda Samaria. Akamshambulia Shalumu mwana
miwili. Jina la mama yake aliitwa Yekoliya akashambulia Tifsa na kila mtu ndani yake na
kutoka Yerusalemu. 3Akatenda yaliyo mema wale waliokuwa jirani kwa sababu walikataa
machoni pa BWANA, kama Azaria baba yake kufungua malango yao, yaani kujitolea ili mji wao
alivyofanya. 4Hata hivyo, mahali pa juu pa utekwe. Akaiangamiza Tifsa yote na kuwapasua
kuabudia miungu hapakuondolewa, watu matumbo wanawake wote wenye mimba.
waliendelea kutoa kafara na kufukiza uvumba
huko. Menahemu Mfalme Wa Israeli
5BWANA akampiga mfalme kwa ukoma 17Katika mwaka wa thelathini na tisa wa
mpaka siku aliyokufa, naye aliishi katika nyumba kutawala kwake Azaria mfalme wa Yuda,
iliyotengwa peke yake. Yothamu mwana wa Menahemu mwana wa Gadi akawa mfalme wa
mfalme akawa msimamizi wa jumba la kifalme Israeli na alitawala huko Samaria kwa miaka
na akawatawala watu wa nchi. kumi. 18Akatenda maovu machoni pa BWANA.
6Matukio mengine ya utawala wa Azaria na Katika wakati wa utawala wake wote hakuziacha
yote aliyoyafanya, je, hayakuandikwa katika dhambi za Yeroboamu mwana wa Nebati
kitabu cha kumbukumbu cha wafalme wa Yuda? ambazo alisababisha Israeli kuzitenda.
7Azaria akalala pamoja na baba zake naye 19Kisha Pulu mfalme wa Ashuru
akazikwa karibu nao katika mji wa Daudi na akaishambulia Israeli, Menahemu mfalme wa
Yothamu mwanawe akaingia mahali pake kama Israeli akampa talanta elfu moja a za fedha ili
mfalme. amsaidie na kumwezesha katika utawala wake.
20Menahemu akatoza fedha hizi kwa nguvu
Zekaria Mfalme wa Israeli kutoka kwa Israeli. Kila mtu tajiri alilazimika
8Katika mwaka wa thelathini na nane wa kuchanga shekeli hamsini b za fedha ambazo
kutawala kwake mfalme Azaria mfalme wa alipewa mfalme wa Ashuru. Basi mfalme wa
Yuda, Zekaria mwana wa Yeroboamu akawa Ashuru akajiondoa na hakuendelea kuikalia
mfalme wa Israeli katika Samaria, naye nchi.
akatawala miezi sita. 9Akafanya maovu machoni 21Matukio mengine ya utawala wa
pa BWANA, kama baba zake walivyofanya. Menahemu na yote aliyoyafanya, je,
Hakuziacha dhambi za Yeroboamu mwana wa hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu
Nebati ambazo alisababisha Israeli kuzitenda. cha wafalme wa Israeli? 22Mehahemu akalala
10Shalumu mwana Yabeshi akafanya shauri pamoja na baba zake. Naye Pekahia mwanawe
baya dhidi ya Zekaria. Akamshambulia mbele ya akaingia mahali pake kama mfalme.
watu, akamwua na kuingia mahali pake kama
mfalme. 11Matukio mengine ya utawala wa Pekahia Mfalme Wa Israeli
Zekaria yameandikwa kwenye kitabu cha 23Katika mwaka wa hamsini wa kutawala
kumbukumbu cha wafalme wa Israeli. 12Kwa kwake Azaria mfalme wa Yuda, Pekahia mwana
hiyo neno la BWANA lililonenwa kwa Yehu wa Menahemu akawa mfalme wa Israeli huko
likatimia kwamba, “Uzao wako utaketi juu ya kiti Samaria, akatawala miaka miwili. 24Pekahia
cha enzi cha Israeli mpaka kizazi cha nne.’’ akafanya uovu machoni pa BWANA.
20
2 WAFALME
hiyo Uria kuhani akajenga madhabahu kulingana waliomtangulia.
na mipango yote ambayo mfalme Ahazi alikuwa 3Mfalme Shalmanesa wa Ashuru akainuka
ameituma kutoka Dameski na kumaliza ujenzi dhidi ya mfalme Hoshea, hivyo Hoshea akawa
kabla ya kurudi mfalme Ahazi. 12Mfalme mtumwa wake na kumlipa ushuru. 4Lakini
aliporudi kutoka Dameski na kuiona hiyo mfalme wa Ashuru akagundua kuwa Hoshea
madhabahu, aliisogelea na kutoa sadaka juu alikuwa msaliti, kwa kuwa alikuwa ametuma
yake. 13Akatoa sadaka yake ya kuteketezwa na wajumbe kwa So mfalme wa Misri, naye
sadaka ya nafaka, akamimina sadaka ya hakuendelea kulipa ushuru kwa mfalme wa
kinywaji na kunyunyuzia damu ya sadaka zake Ashuru tena kama alivyokuwa anafanya kila
za amani juu ya hiyo madhabahu. 14Mfalme mwaka. Kwa hiyo Shalmanesa akamkamata na
Ahazi akaiondoa ile madhabahu ya zamani ya kumtia gerezani. 5Mfalme wa Ashuru
shaba kutoka hapo mbele ya hekalu la BWANA, akaishambulia nchi yote, akapigana dhidi ya
iliyokuwa imesimama kati ya ingilio la hekalu na Samaria na kuizunguka kwa majeshi miaka
hiyo madhabahu mpya, naye akaiweka upande mitatu. 6Katika mwaka wa tisa wa Hoshea,
wa kaskazini mwa hiyo madhabahu mpya. mfalme wa Ashuru akaiteka Samaria na
15Ndipo Mfalme Ahazi akatoa amri zifuatazo kuwahamishia Waisraeli huko Ashuru.
kwa kuhani Uria: “Juu ya hiyo madhabahu Akawaweka huko Hala, Gozani karibu na Mto
kubwa mpya, utoe sadaka ya asubuhi ya Habori na katika miji ya Wamedi.
kuteketezwa na sadaka ya jioni ya nafaka,
sadaka ya mfalme ya kuteketezwa pamoja na Israeli Inakwenda Uhamishoni Kwa Sababu
sadaka yake ya nafaka, sadaka za kuteketezwa Ya Dhambi
za watu wote wa nchi, pamoja na sadaka yao ya 7Yote haya yalitokea kwa sababu Waisraeli
nafaka na sadaka yao ya kinywaji. Unyunyize walikuwa wametenda dhambi dhidi ya BWANA
juu ya hiyo madhabahu damu yote ya sadaka za Mungu wao, ambaye alikuwa amewapandisha
kuteketezwa na dhabihu. Lakini mimi nitatumia kutoka Misri akiwatoa chini ya utawala wa nguvu
hiyo madhabahu ya zamani ya shaba kwa ajili wa Farao mfalme wa Misri. Waliabudu miungu
ya kutafuta uongozi.’’ 16Naye Uria kuhani, mingine 8na kufuata desturi za mataifa ambayo
akafanya sawasawa kama mfalme Ahazi BWANA alikuwa ameyafukuza mbele yao,
alivyoagiza. pamoja na desturi ambazo wafalme wa Israeli
17Mfalme Ahazi akaondoa mbao za pembeni walizileta. 9Waisraeli wakafanya vitu kwa siri
na kuondoa masinia kwenye vile vishikilio dhidi ya BWANA Mungu wao, ambavyo
vinavyohamishika. Akaondoa ile Bahari kutoka havikuwa sawa. Kuanzia kwenye mnara wa
kwenye mafahali wa shaba walioishikilia na ulinzi hadi kwenye mji wenye maboma
kuiweka kwenye kitako cha jiwe. 18Kwa ajili ya walijijengea wenyewe mahali pa juu pa kuabudia
mfalme wa Ashuru akaliondoa pia pazia la miungu katika miji yao yote. 10Wakaweka mawe
Sabato lililokuwa limewekwa ndani ya hekalu na ya kuabudiwa na nguzo za Ashera juu ya kila
akafuata ile njia ya kifalme ya kuingia kwenye kilima kirefu na chini ya kila mti uliotanda.
hekalu la BWANA. 11Wakafukiza uvumba kila mahali palipoinuka,
19Matukio mengine ya utawala wa Ahazi na kama walivyofanya yale mataifa ambayo
yale aliyoyafanya, je hayakuandikwa katika BWANA alikuwa ameyafukuza mbele yao.
kitabu cha kumbukumbu cha wafalme wa Yuda? Wakafanya mambo maovu ambayo
20Ahazia akalala pamoja na baba zake naye yalimghadhibisha BWANA. 12Wakaabudu
akazikwa pamoja nao katika mji wa Daudi. sanamu, ingawa BWANA alikuwa amesema,
Hezekia mwanawe akaingia mahali pake kama “Msifanye mambo haya.’’ 13BWANA akawaonya
mfalme. Israeli na Yuda kupitia kwa manabii na waonaji
wake wote: “Acheni njia zenu mbaya. Zishikeni
Hoshea, Mfalme Wa Mwisho Katika Israeli amri na maagizo yangu, sawasawa na sheria
Katika mwaka wa kumi na mbili wa yangu yote niliyowaagiza baba zenu kuitii
17 kutawala kwake Ahazi mfalme wa ambayo niliileta kwenu kupitia kwa watumishi
Yuda, Hoshea mwana wa Ela akawa mfalme wa wangu manabii.’’
Israeli katika Samaria, akatawala kwa miaka 14Lakini hawakusikiliza, walikuwa na shingo
tisa. 2Akafanya maovu machoni pa BWANA, ngumu kama baba zao, ambao
lakini si kama wafalme wengine wa Israeli hawakumtegemea BWANA Mungu wao.
21
2 WAFALME
15Walizikataa amri zake na agano alilokuwa simba miongoni mwao, ambao wanawaua, kwa
amelifanya na baba zao na maonyo aliyokuwa sababu watu hawajui anachokitaka.’’
amewapa. Wakafuata sanamu zisizofaa, nao 27Ndipo mfalme wa Ashuru akaamuru hivi:
Ashera. Wakasujudia mianga yote ya angani, Samaria kilitengeneza miungu yao wenyewe
wakamtumikia Baali. 17Wakawatoa kafara wana katika miji kadhaa mahali walipoishi, nao
wao na mabinti zao katika moto. Wakafanya wakaiweka mahali pa kuwekea vitu vya ibada za
uaguzi na uchawi, nao wakajiuza wenyewe miungu ambapo watu wa Samaria walikuwa
katika kutenda uovu machoni pa BWANA, wametengeneza katika mahali pa juu pa
wakamghadhibisha. kuabudia miungu. 30Watu kutoka Babeli
18Basi BWANA akawakasirikia sana Israeli wakamtengeneza Sukoth Benothi kuwa mungu
na kuwaondoa kwenye uwepo wake. Ni kabila la wao, watu kutoka Kutha wakamtengeneza
Yuda tu ndilo lililobaki, 19hata hivyo nao Nergali na watu kutoka Hamathi
hawakuzishika amri za BWANA Mungu wao. wakamtengeneza Ashima, 31Waavi
dhambi zote za Yeroboamu mwana wa Nebati, zamani. Hawamwabudu BWANA wala kuzishika
hawakuziacha 23hadi BWANA alipowaondoa hukumu na maagizo, sheria na amri ambazo
kutoka kwenye uwepo wake, kama vile BWANA aliwapa uzao wa Yakobo, ambaye
alivyokuwa ameonya kupitia watumishi wake alimwita Israeli. 35Wakati BWANA alipofanya
wote manabii. Hivyo watu wa Israeli agano na Waisraeli aliwaamuru akisema:
wakaondolewa kutoka katika nchi yao kwenda “Msiiabudu miungu mingine yo yote wala
uhamishoni Ashuru, nao wako huko mpaka kuisujudia, wala kuitumikia wala kuitolea
sasa. dhabihu. 36Bali imewapasa kumwabudu BWANA
aliyewapandisha kutoka Misri kwa uwezo wake
Samaria Inakaliwa Tena mkuu na kwa mkono wake ulionyooshwa.
24Mfalme wa Ashuru akawaleta watu kutoka Kwake yeye mtasujudu na kwake yeye mtatoa
Babeli, Kutha, Ava, Hamathi na Sefarvaimu na dhabihu. 37Imewapasa daima kuwa waangalifu
kuwaweka katika miji ya Samaria badala ya kutunza hukumu na maagizo, sheria na amri
Waisraeli. Wakaimiliki Samaria na kuishi katika alizowaandikia. Msiabudu miungu mingine.
miji yake. 25Wakati walipoanza kuishi humo, 38Msisahau agano nililofanya nanyi wala
hawakumwabudu BWANA, kwa hiyo akatuma msiabudu miungu mingine. 39Bali mtamwabudu
simba miongoni mwao, wakawaua baadhi ya BWANA Mungu wenu, kwani yeye ndiye
watu. 26Habari ikapelekwa kwa mfalme wa atakayewakomboa kutoka mkononi mwa adui
Ashuru kusema: “Watu uliowahamisha na zenu wote.’’
kuwaweka katika miji ya Samaria hawajui kile 40Hata hivyo, hawakusikiliza, lakini
Mungu wa nchi hiyo anachokitaka. Ametuma waliendelea na desturi zao za awali. 41Hata
22
2 WAFALME
wakati watu hawa walipokuwa wanamwabudu 13Katikamwaka wa kumi na nne wa utawala
BWANA, walikuwa bado wakitumikia sanamu wa mfalme Hezekia, Senakeribu mfalme wa
zao. Mpaka leo watoto wao na watoto wa watoto Ashuru akaishambulia miji yote ya Yuda
wao wanaendelea kufanya kama baba zao iliyozungushiwa ngome na kuitwaa. 14Basi
walivyofanya. Hezekia mfalme wa Yuda akamtumia ujumbe
mfalme wa Ashuru huko Lakishi akisema:
Hezekia Mfalme Wa Yuda “Nimefanya makosa. Ondoka katika nchi yangu,
binti Zekaria. 3Akafanya yaliyo mema machoni akabandua dhahabu yote iliyokuwa imefunika
pa BWANA, kama Daudi baba yake alivyofanya. milango na miimo ya hekalu la BWANA, akampa
4Akapaondoa mahali pa juu pa kuabudia mfalme wa Ashuru.
miungu, akazivunja sanamu, akakatakata nguzo
za Ashera, akavunja vipande vipande ile nyoka Senakeribu Anaitishia Yerusalemu.
ya shaba Mose aliyotengeneza, kwa kuwa hadi 17Mfalme wa Ashuru akamtuma jemadari
siku hizo wana wa Israeli walikuwa wanaifukizia wake mkuu, afisa wake mkuu, jemadari wa jeshi
uvumba, nayo (ilikuwa ikiitwa Nehushtani a ) lake pamoja na jeshi kubwa, kutoka Lakishi
5Hezekia aliweka tumaini lake kwa BWANA, mpaka kwa mfalme Hezekia huko Yerusalemu.
Mungu wa Israeli. Hapakuwepo na mfalme Wakaja mpaka Yerusalemu na kusimama kando
mwingine wa kufanana naye miongoni mwa ya mfereji unaopeleka maji katika Bwawa la Juu,
wafalme wa Yuda, kabla yake au baada yake. kwenye barabara iendayo kwenye Uwanja wa
6Alishikamana na BWANA kwa bidii wala Dobi. 18Wakaagiza mfalme aitwe, Eliyakimu
hakuacha kumfuata, alishika amri ambazo mwana wa Hilkia msimamizi wa jumba la
BWANA alikuwa amempa Mose. 7Naye BWANA kifalme, Shebna mwandishi na Yoa mwana wa
alikuwa pamoja naye, akafanikiwa katika kila Asafu mwandishi wa kumbukumbu,nao
alichokifanya. Aliasi dhidi ya mfalme wa Ashuru wakawaendea.
na wala hakumtumikia. 8Kuanzia mnara wa 19Yule jemadari wa jeshi akawaambia,
bwana wangu amenituma kutoa ujumbe huu kifalme, Shebna mwandishi na makuhani
kwa bwana wenu na kwenu tu? Je, hakunituma viongozi, wote wakiwa wamevaa nguo ya gunia,
pia kwa watu walioko ukutani, ambao, kama waende kwa nabii Isaya mwana wa Amozi.
ninyi, itawabidi kula mavi yao na kunywa mikojo 3Wakamwambia, “Hivi ndivyo asemavyo
yao wenyewe?’’ Hezekia: ‘Siku hii ni siku ya huzuni, kukemewa
28Kisha yule jemadari wa jeshi akasimama na fedheha, kama vile wakati watoto
na kuita kwa Kiebrania: “Sikieni neno la mfalme wanapofikia hatua ya kuzaliwa lakini hakuna
mkuu, mfalme wa Ashuru! 29Hivi ndivyo nguvu ya kuwazaa. 4Inawezekana kuwa
asemavyo mfalme: Msikubali Hezekia BWANA Mungu wako atasikia maneno yote ya
awadanganye. Hawezi kuwaokoa mikononi jemadari wa jeshi, ambaye bwana wake, mfalme
mwangu. 30Msimkubali Hezekia awashawishi wa Ashuru, amemtuma kumdhihaki Mungu aliye
kumtumaini BWANA kwa kuwaambia, ‘Hakika hai na kwamba atamkemea kwa maneno
BWANA atatuokoa, mji huu hautaangukia ambayo BWANA Mungu wako ameyasikia. Kwa
mkononi mwa mfalme wa Ashuru.’ hiyo omba kwa ajili ya mabaki ambao bado
31Msimsikilize Hezekia. “Hivi ndivyo wanaishi.’ ’’
asemavyo mfalme wa Ashuru: Fanyeni amani 5Maafisa wa mfalme Hezekia walipofika kwa
nami na mje kwangu. Kisha kila mmoja wenu Isaya, 6Isaya akawaambia, “Mwambieni bwana
atakula kutoka kwenye mzabibu wake wenu, ‘Hivi ndivyo asemavyo BWANA: Usiogope
mwenyewe na kwenye mtini wake na kunywa kwa hayo uliyoyasikia, yale maneno ambayo
maji kutoka kwenye kisima chake mwenyewe, watumishi wa mfalme wa Ashuru wamenikufuru
32mpaka nitakapokuja na kuwapeleka kwenye mimi. 7Sikia! Ninakwenda kuweka roho ndani
nchi iliyo kama hii ya kwenu, nchi yenye nafaka yake ambayo wakati atakaposikia habari fulani,
na divai mpya, nchi ya mikate na mashamba ya atarudi kwenye nchi yake mwenyewe na huko
mizabibu, nchi ya mizeituni na asali. Chagueni nitahakikisha ameanguka kwa upanga.’ ’’
uzima na sio mauti! 8Yule jemadari wa jeshi aliposikia kwamba
24
2 WAFALME
kwamba Tirhaka, Mkushi mfalme wa Misri, unapokimbia.
ametoka ili kupigana dhidi yake. Basi akatuma 22Unafikirini nani uliyemtukana na kumkufuru?
tena wajumbe kwa Hezekia wakiwa na neno hili. Ni nani uliyeinua sauti yako dhidi yake
10“Mwambieni Hezekia mfalme wa Yuda: na kumwinulia macho yako kwa kiburi?
Usiruhusu huyo Mungu unayemtumaini Ni dhidi ya yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli!
akudanganye wakati anaposema, ‘Yerusalemu 23Kupitia kwa wajumbe wako
mwake, ili kwamba falme zote duniani zipate na kiburi chako kimefika masikioni mwangu,
kujua kwamba Wewe peke yako, Ee BWANA, nitaweka ndoana yangu puani mwako
ndiwe Mungu.’’ na lijamu yangu kinywani mwako
nami nitakufanya urudi kwa njia ile uliyoijia.’
Isaya Anatabiri Kuanguka kwa Senakeribu
20Kisha Isaya mwana wa Amozi akatuma 29Hii itakuwa ishara kwako, Ee Hezekia:
ujumbe kwa Hezekia kusema: ‘‘Hivi ndivyo
asemavyo BWANA, Mungu wa Israeli: “Mwaka huu, utakula kile kinachoota
‘Nimesikia maombi yako kuhusu Senakeribu chenyewe
mfalme wa Ashuru. 21Hili ndilo neno ambalo na mwaka wa pili, utakula maotea yake.
BWANA amelisema dhidi yake: Lakini katika mwaka wa tatu panda na
uvune.
‘‘ ‘Bikira Binti Sayuni panda mashamba ya mizabibu na kula
anakudharau wewe na kukudhihaki. matunda yake.
Binti Yerusalemu anatikisa kichwa chake 30Kwa mara nyingine tena wale waliobaki wa
25
2 WAFALME
nyumba ya Yuda machozi yako, nitakuponya. Katika siku ya tatu
watatia mizizi chini na kuzaa matunda juu. kuanzia sasa utapanda kwenda hekaluni mwa
31Kwa maana kutoka Yerusalemu watakuja BWANA. 6Nitaongeza miaka kumi na tano katika
mabaki, maisha yako. Nami nitakuokoa wewe na mji huu
na kutoka Mlima Sayuni kundi la kutoka katika mkono wa mfalme wa Ashuru.
walionusurika. Nitaulinda mji huu kwa ajili yangu na kwa ajili ya
mtumishi wangu Daudi!’’
Wivu wa BWANA Mwenye Nguvu ndio 7Kisha Isaya akasema, “Tengeneza dawa ya
Esar-hadoni mwanawe akaingia mahali pake kuwaonyesha vitu vyote vile vilivyokuwa katika
kama mfalme. ghala zake, yaani fedha, dhahabu, vikolezo na
mafuta safi, ghala la silaha na kila kitu
Ugonjwa Wa Hezekia kilichokuwa katika hazina zake. Hapakuwa na
mambo ya nyumba yako, kwa sababu utakufa, Hezekia na kumwuliza, “Hao watu wamesema
hutapona.’ ’’ nini na wametoka wapi?’’
2Hezekia akaelekeza uso wake ukutani Hezekia akajibu, “Wametoka nchi ya mbali,
akamwomba BWANA akisema, 3“Ee BWANA, wametoka Babeli.’’
kumbuka jinsi nilivyoenenda mbele zako kwa 15Nabii akauliza, “Wameona nini katika
Hezekia, kiongozi wa watu wangu, hivi ndivyo neno la BWANA: 17Hakika wakati utakuja ambao
BWANA Mungu wa baba yako Daudi kila kitu katika jumba lako la kifalme na vyote
asemavyo: ‘Nimeyasikia maombi yako na kuona vile ambavyo baba zako waliweka akiba mpaka
26
2 WAFALME
siku hii ya leo, vitachukuliwa kwenda Babeli. Sheria yote ambayo walipewa na Mose
Hakuna cho chote kitakachobaki, asema mtumishi wangu.’’ 9Lakini hawa watu
BWANA. 18Baadhi ya wazao wako, nyama yako hawakusikiliza. Manase akawapotosha, hivyo
mwenyewe na damu yako, ambao watazaliwa kwamba walifanya maovu mengi zaidi kuliko
kwako, watachukuliwa, nao watakuwa mataifa yale ambayo BWANA aliwaangamiza
matowashi ndani ya jumba la mfalme wa mbele ya Waisraeli.
Babeli.’’ 10BWANA akasema kupitia watumishi wake
19Hezekia akajibu, “Neno la BWANA manabii: 11“Manase mfalme wa Yuda ametenda
ulilosema ni jema.’’ Mfalme alifikiri, “Lakini si dhambi hizi za kuchukiza. Amefanya maovu
patakuwa na amani na usalama wakati wa uhai mengi kuliko Waamori waliokuwepo kabla yake
wangu?’’ na ameiongoza Yuda katika dhambi kwa
20Matukio mengine ya utawala wa Hezekia, sanamu zake. 12Kwa hiyo hili ndilo asemalo
mafanikio yake yote na jinsi alivyotengeneza BWANA, Mungu wa Israeli: Nitaleta maafa
bwawa na mfereji ambao ulileta maji katika mji, makubwa juu ya Yerusalemu na Yuda kiasi
je, hayakuandikwa katika kitabu cha kwamba masikio ya kila mmoja atakayesikia
kumbukumbu cha wafalme wa Yuda? 21Hezekia habari zake yatawasha. 13Nitanyosha juu ya
akafa akazikwa pamoja na baba zake. Manase Yerusalemu kamba ya kupimia iliyotumika dhidi
mwanawe akaingia mahali pake kama mfalme. ya Samaria na timazi iliyotumika dhidi ya
nyumba ya Ahabu. Nitaifutilia mbali Yerusalemu
Manase Mfalme Wa Yuda kama mtu afutaye sahani, nikiifuta na
Jina langu milele. 8Sitaifanya tena miguu ya akaabudu sanamu ambazo baba yake
Waisraeli itangetange kutoka katika nchi aliziabudu na kuzisujudia. 22Akamwacha
niliyowapa baba zao, ikiwa watakuwa waangalifu BWANA, Mungu wa baba zake, wala
kufanya kila kitu nilichowaamuru na kuishika hakuenenda katika njia za BWANA.
27
2 WAFALME
23Maafisa wa Amoni wakafanya shauri baya hizi kwa Hilkia kuhani, Ahikamu mwana wa
dhidi yake nao wakamwua mfalme katika jumba Shafani, Akbori mwana wa Mikaia, Shafani
lake la kifalme. 24Kisha watu wa nchi wakawaua mwandishi na Asaia mhudumu wa mfalme:
wote waliopanga hilo shauri baya dhidi ya 13“Nendeni na mkaulize kwa BWANA kwa ajili
mfalme Amoni, nao wakamfanya Yosia yangu na kwa ajili ya watu na Yuda wote kuhusu
mwanawe kuwa mfalme mahali pake. kile kilichoandikwa ndani ya kitabu hiki ambacho
25Matukio mengine ya utawala wa Amoni na kimepatikana. Hasira ya BWANA ni kubwa
yale aliyoyafanya, je, hayakuandikwa katika inayowaka dhidi yetu kwa sababu baba zetu
kitabu cha kumbukumbu cha wafalme wa Yuda? hawakuyatii maneno ya kitabu hiki, hawajatenda
26Akazikwa kwenye kaburi lake katika bustani ya kulingana na yale yote yaliyoandikwa humo
Uza. Yosia mwanawe akaingia mahali pake kutuhusu sisi.”
kama mfalme. 14Hilkia kuhani, Ahikamu, Akbori, Shafani na
kutoka Bozkathi. 2Akafanya yaliyo mema BWANA, Mungu wa Israeli: Mwambieni yule mtu
machoni pa BWANA na kuenenda katika njia aliyewatuma ninyi kwangu, 16‘Hivi ndivyo
zote za Daudi baba yake, bila kugeuka upande asemavyo BWANA: nitaleta maafa juu ya mahali
wa kuume wala wa kushoto. hapa na watu wake, kulingana na kila kitu
3Katika mwaka wa kumi na nane wa utawala kilichoandikwa katika kitabu hicho mfalme wa
wake, mfalme Yosia akamtuma mwandishi, Yuda alichosoma. 17Kwa sababu wameniacha
Shafani mwana wa Azalia, mwana wa mimi na kufukiza uvumba kwa miungu mingine
Meshulamu, kwenda katika hekalu la BWANA. na kunighadhibisha kwa sanamu zote
Akisema: 4“Panda uende kwa Hilkia kuhani zilizotengenezwa kwa mikono yao, hasira yangu
mkuu, mwambie ahesabu zile fedha ambazo itawaka dhidi ya mahali hapa nayo haiwezi
zimeletwa katika hekalu la BWANA, ambazo kuzimwa.’ 18Mwambieni mfalme wa Yuda,
mabawabu wamekusanya kutoka kwa watu. ambaye amewatuma ninyi kuulizia kwa BWANA,
5Waambie waikabidhi kwa watu walioteuliwa ‘Hivi ndivyo asemavyo BWANA, Mungu wa
kusimamia kazi ya hekalu. Waamuru watu hawa Israeli kuhusu maneno uliyoyasikia: 19Kwa
wawalipe wafanyakazi ambao wanakarabati sababu moyo wako ulikuwa msikivu na
hekalu la BWANA, 6yaani mafundi seremala, ulijinyenyekeza mbele za BWANA uliposikia kile
wale wajenzi na mafundi waashi. Waambie pia nilichosema dhidi ya mahali hapa na watu wake,
wanunue mbao na mawe yaliyochongwa ili kwamba wangelaaniwa na kuachwa ukiwa, basi
kukarabati hekalu. 7Lakini hawahitajiki kutoa kwa sababu uliyararua majoho yako na kulia
hesabu ya fedha walizokabidhiwa kwa sababu mbele zangu, nimekusikia, asema BWANA.
wanafanya kwa uaminifu.’’ 20Kwa hiyo nitakukusanya wewe kwa baba zako,
8Hilkia kuhani mkuu akamwambia Shafani nawe utazikwa kwa amani. Macho yako
mwandishi, “Nimekipata Kitabu cha Torati ndani hayataona maafa yote nitakayoleta juu ya
ya hekalu la BWANA.’’ Akampa Shafani, mahali hapa.’ ’’
ambaye alikisoma. 9Kisha Shafani mwandishi Basi wakapeleka jibu kwa mfalme.
akamwendea mfalme na kumpa taarifa akisema:
“Maafisa wako wametoa ile fedha ambayo Yosia Analifanya Upya Agano
ilikuwa ndani ya hekalu la BWANA na
imekabidhiwa mikononi mwa wasimamizi wa 23 Kisha mfalme akawaita pamoja wazee
wote wa Yuda na Yerusalemu.
marekebisho ya hekalu.’’ 10Ndipo Shafani 2Akapanda mpaka kwenye hekalu la BWANA
mwandishi akampasha mfalme habari kwamba: pamoja na watu wa Yuda, watu wa Yerusalemu,
“Hilkia kuhani amenipa kitabu hiki.’’ Naye makuhani na manabii, watu wote kuanzia aliye
Shafani akakisoma kile kitabu mbele ya mfalme. mdogo hadi aliye mkubwa kabisa. Akasoma
11Mfalme aliposikia maneno ya kile kitabu wakiwa wanasikia maneno yote ya Kitabu cha
cha Torati, akararua majoho yake. 12Akatoa amri Agano, ambacho kilikuwa kimepatikana katika
28
2 WAFALME
hekalu la BWANA. 3Mfalme akasimama karibu hekalu la BWANA wale farasi ambao wafalme
na nguzo na kulifanya upya lile agano mbele za wa Yuda walikuwa wamewaweka wakfu kwa ajili
BWANA: yaani kumfuata BWANA na kuzishika ya mungu jua. Walikuwa kwenye
amri zake, maagizo na hukumu zake kwa moyo ua karibu na chumba cha afisa aliyeitwa
wake wote na kwa roho yake yote, hivyo Nathani-Meleki. Basi Yosia akayachoma moto
kuyathibitisha maneno ya hilo agano yale magari yaliyokuwa yamewekwa wakfu kwa
yaliyoandikwa ndani ya kitabu hiki. Kisha watu mungu jua.
wote wakajifunga wenyewe kwa kiapo katika 12Alizivunja madhabahu ambazo wafalme
kusambaza hilo vumbi juu ya makaburi ya watu mahali pa juu pa kuabudia miungu palipokuwa
wabaya ambao waliitolea kafara. 7Akabomoa pia pamejengwa na Yeroboamu mwana wa Nebati,
nyumba za mahanithi wa mahali pa ibada za ambaye aliwafanya Israeli watende dhambi, hata
miungu, zilizokuwa ndani ya hekalu la BWANA hiyo madhabahu na mahali pa juu pa kuabudia
na mahali wanawake walipofuma kwa ajili ya miungu alipabomoa. Alipateketeza kwa moto
Ashera. hapo mahali pa juu pa kuabudia miungu na
8Yosia akawaleta makuhani wote wa kupasaga hadi pakawa vumbi na kuichoma hiyo
BWANA kutoka miji yote ya Yuda na kupafanya nguzo ya Ashera pia. 16Kisha Yosia
mahali pa juu pa kuabudia miungu pasifae tena akatazamatazama huku na huko, naye alipoona
kufanyia hizo ibada, kuanzia Geba hadi Beer- makaburi yaliyokuwa huko kwenye kilima,
Sheba, mahali pote ambapo hao makuhani wa akaamuru mifupa itolewe humo na akaichoma
miungu walifukiza uvumba. Akabomoa mahali juu ya madhabahu hiyo ya Betheli ili kupafanya
pa kuwekea vitu vya ibada za miungu pasifae tena kufanyia hizo ibada za miungu. Hili
palipokuwa katika malango, kwenye ingilio la lilitokea sawasawa na neno la BWANA
lango la Yoshua, mtawala wa mji, lililoko upande lililosemwa na mtu wa Mungu ambaye
wa kushoto wa lango la mji. 9Ingawa makuhani alitangulia kusema mambo haya.
wa mahali pa juu pa kuabudia miungu 17Mfalme akauliza, “Lile kaburi lenye mnara
29
2 WAFALME
Samaria. 30Watumishiwa Yosia wakauleta mwili wake
19Kama alivyokuwa amefanya huko Betheli, ndani ya gari la vita kutoka Megido hadi
Yosia akabomoa na kufanya mahali pa kuwekea Yerusalemu na kumzika kwenye kaburi lake
vitu vya ibada za mahali pa juu pa kuabudia mwenyewe. Nao watu wa nchi wakamchukua
miungu ambapo wafalme wa Israeli walikuwa Yehoahazi mwana wa Yosia, wakamtia mafuta
wamejenga ndani ya miji ya Samaria ambayo na kumfanya mfalme mahali pa baba yake.
ilikuwa imemghadhibisha BWANA pasifae tena
kwa ibada. 20Yosia akawachinja makuhani wote Yehoahazi Mfalme Wa Yuda
wa mahali pa juu pa kuabudia miungu katika 31Yehoahazi alikuwa na umri wa miaka
madhabahu zao wenyewe na kuchoma mifupa ishirini na mitatu alipoanza kutawala, akatawala
ya wanadamu juu yake. Kisha akarudi katika Yerusalemu kwa miezi mitatu. Jina la
Yerusalemu. mama yake aliitwa Hamutali binti Yeremia
kutoka Libna. 32Akafanya maovu machoni mwa
Yosia Aadhimisha Pasaka BWANA, kama baba zake walivyofanya.
21Mfalme akatoa agizo hili kwa watu wote: 33Farao-Neko akamfunga katika minyororo huko
“Adhimisheni Pasaka kwa BWANA Mungu Ribla katika nchi ya Hamathi ili kwamba asiweze
wenu, kama ilivyoandikwa katika Kitabu hiki cha kutawala huko Yerusalemu, naye akaamuru kodi
Agano.’’ 22Hapakuwahi kuwapo na adhimisho ya talanta mia a za fedha na talanta ya
jingine la Pasaka kama hilo tangu nyakati za dhahabu b katika Yuda. 34Farao-Neko
Waamuzi walioongoza Israeli, wala katika akamfanya Eliyakimu mwana wa Yosia kuwa
nyakati zote za wafalme wa Israeli na wafalme mfalme mahali pa baba yake Yosia na
wa Yuda. 23Lakini katika mwaka wa kumi na kulibadilisha jina la Eliyakimu kuwa Yehoiakimu.
nane wa utawala wa mfalme Yosia, Pasaka hii Lakini akamchukua Yehoahazi na kumpeleka
iliadhimishwa kwa BWANA huko Yerusalemu. Misri, naye akafia huko. 35Yehoiakimu akamlipa
24Zaidi ya hayo, Yosia akawaondoa Farao-Neko ile fedha na dhahabu aliyodai. Ili
wapunga pepo, wanaoabudu mizimu, sanamu kuweza kufanya hivyo, Yehoiakimu akatoza nchi
za kuagulia, sanamu za kuabudiwa na vitu kodi na kulipiza fedha na dhahabu kutoka kwa
vingine vyote vya machukizo vilivyoonekana watu wa nchi kulingana na makadirio ya mapato
katika Yuda na Yerusalemu. Haya aliyafanya ili yao.
kutimiza itakiwavyo kulingana na sheria
iliyoandikwa ndani ya kile kitabu ambacho Hilkia Yehoiakimu Mfalme Wa Yuda
kuhani alikikuta ndani ya hekalu la BWANA. 36Yehoiakimu alikuwa na umri wa miaka
25Kabla wala baada ya mfalme Yosia ishirini na mitano alipoanza kutawala, naye
hapakuwepo na mfalme mwingine ye yote akatawala katika Yerusalemu miaka kumi na
ambaye alimpenda BWANA kwa moyo wake mmoja. Jina la mama yake aliitwa Zebida binti
wote, kwa roho yake yote na kwa nguvu zake Pedaiya kutoka Ruma. 37Naye akafanya maovu
zote sawasawa na Sheria yote ya Mose. machoni mwa BWANA kama baba zake
26Hata hivyo, BWANA hakuacha ghadhabu walivyokuwa wamefanya.
yake, iliyowaka dhidi ya Yuda kwa sababu ya
yale yote ambayo Manase alikuwa amefanya ili
kumghadhibisha. 27Hivyo BWANA akasema, 24 Wakati wa utawala wa Yehoiakimu,
Nebukadneza mfalme wa Babeli
“Nitamwondoa Yuda mbele zangu kama aliishambulia nchi, naye Yehoiakimu akawa
nilivyomwondoa Israeli, nami nitaukataa mtumwa wake kwa miaka mitatu. Lakini
Yerusalemu, mji niliouchagua na hekalu hili, hatimaye akabadili mawazo yake na kuasi dhidi
ambalo nilisema, ‘Humo Jina langu litakaa.’ ’’ ya Nebukadneza. 2BWANA akatuma
28Matukio mengine ya utawala wa Yosia na Wakaldayo, Waaramu, Wamoabu na Waamoni
yote aliyoyafanya, je, hayakuandikwa katika ili kumshambulia ghafula. Aliwatuma
kitabu cha kumbukumbu cha wafalme wa Yuda? kuiangamiza Yuda sawasawa na neno la
29Yosia alipokuwa mfalme, Farao-Neko BWANA lililosemwa na watumishi wake manabii.
mfalme wa Misri akapanda mpaka mto Eufrati 3Hakika mambo haya yalitokea Yuda kulingana
30
2 WAFALME
na agizo la BWANA, ili kuwaondoa kutoka wenye nguvu na wanaofaa kupigana vita, watu
machoni pake kwa sababu ya dhambi za wenye ustadi na mafundi elfu moja.
Manase na yote aliyoyafanya, 4ikiwa ni pamoja 17Akamfanya Matania, ndugu wa baba yake
na kumwaga damu isiyo na hatia. Kwa kuwa Yehoiakini kuwa mfalme mahali pake na
aliijaza Yerusalemu kwa damu isiyo na hatia na akalibadilisha jina lake kuwa Sedekia.
BWANA hakuwa radhi kusamehe.
5Matukio mengine ya utawala wa Sedekia Mfalme wa Yuda
Yehoiakimu na yote aliyoyafanya, je, 18Sedekia alikuwa na umri wa miaka ishirini
hayakuandikwa katika kitabu cha tarehe cha na mmoja alipoanza kutawala, naye akatawala
wafalme wa Yuda? 6Yehoiakimu akalala pamoja katika Yerusalemu miaka kumi na mmoja. Jina
na baba zake. Naye Yehoiakini mwanawe la mama yake aliitwa Hamuthi binti Yeremia,
akaingia mahali pake kama mfalme. kutoka Libna. 19Akafanya maovu machoni mwa
7Mfalme wa Misri hakutoka tena katika nchi BWANA kama alivyofanya Yehoiakimu. 20Ilikuwa
yake, kwa sababu mfalme wa Babeli alikuwa ni kwa sababu ya hasira ya BWANA haya yote
ameitwaa himaya yake yote, kuanzia kijito cha yakatokea katika Yerusalemu na katika Yuda na
Misri hadi Mto Eufrati. mwishoni akawasukumia mbali na uso wake.
kutoka hekalu la BWANA na kutoka jumba la Babeli huko Ribla, mahali ambapo hukumu yake
mfalme, akavichukua vyombo vyote vya ilitangazwa. 7Wakawaua wanawe Sedekia
dhahabu ambavyo Solomoni mfalme wa Israeli mbele ya macho yake. Kisha wakayang’oa
alikuwa amevitengeneza kwa ajili ya hekalu la macho yake, wakamfunga kwa pingu za shaba
BWANA. 14Akawachukua Yerusalemu wote na kumpeleka Babeli.
kwenda uhamishoni, yaani: maafisa wote na 8Katika siku ya saba ya mwezi wa tano
mashujaa, watu wenye ustadi na ufundi, jumla katika mwaka wa kumi na tisa wa kutawala
yao watu elfu kumi. Watu maskini sana ndio tu kwake mfalme Nebukadneza mfalme wa Babeli,
waliobaki katika nchi. Nebuzaradani jemadari wa jeshi la walinzi wa
15Nebukadneza akamchukua mateka mfalme na afisa wa mfalme wa Babeli, wakaja
Yehoiakini kwenda Babeli. Pia akawachukua Yerusalemu. 9Akachoma moto hekalu la
utumwani kutoka Yerusalemu kwenda Babeli BWANA, jumba la kifalme na nyumba zote za
mama yake mfalme, wake zake, maafisa wake Yerusalemu. Alichoma kila jengo muhimu.
na viongozi wote wa nchi. 16Mfalme wa Babeli 10Jeshi lote la Wakaldayo chini ya jemadari wa
pia akawahamishia Babeli mashujaa elfu saba, jeshi la walinzi wa mfalme, wakavunja kuta
31
2 WAFALME
zilizoizunguka Yerusalemu. 11Nebuzaradani 22Nebukadneza mfalme wa Babeli akamteua
jemadari wa jeshi la walinzi akawapeleka Gedalia mwana wa Ahikamu, mwana wa
uhamishoni watu waliokuwa wamebaki katika Shafani, awe msimamizi wa watu aliowaacha
mji, pamoja na watu wengine waliokuwa Yuda. 23Wakati maafisa wote wa jeshi na watu
wamebaki pamoja na wale askari wao waliposikia kwamba mfalme wa Babeli
waliojisalimisha kwa mfalme wa Babeli. 12Lakini amemteua Gedalia kama mtawala, wakamjia
yule jemadari wa jeshi akawaacha baadhi ya Gedalia huko Mispa, nao ni Ishmaeli mwana wa
wale watu maskini mno wa nchi ili kutunza Nethania, Yohanani mwana wa Karea, Seraya
mashamba ya mizabibu na mashamba mengine. mwana wa Tanhumeti Mnetofa, Yezania mwana
13Wakaldayo wakavunja zile nguzo za wa Mmaaka, pamoja na watu wao. 24Gedalia
shaba, vishikilio vya shaba vinavyohamishika na akaapa kuwahakikishia wao na watu wao,
ile Bahari ya shaba, vile vitu ambavyo vilikuwa akasema, “Msiwaogope maafisa wa Kikaldayo,
katika hekalu la BWANA, nao wakaichukua hiyo kaeni katika nchi na mtumikieni mfalme wa
shaba kwenda Babeli. 14Wakachukua pia Babeli na itakuwa vyema kwenu.’’
vyungu, masepetu, mikasi ya kusawazishia 25Hata hivyo, katika mwezi wa saba,
utambi, vile vyombo vya udongo na vile vyombo Ishmaeli mwana wa Nethania, mwana wa
vyote vya shaba vilivyotumika katika huduma Elishama, aliyekuwa wa damu ya kifalme, akaja
hekaluni. 15Yule jemadari wa jeshi la walinzi wa na watu kumi na wakamwua Gedalia na watu wa
mfalme akachukua vile vyetezo na yale Yuda, pamoja na Wakaldayo waliokuwa pamoja
mabakuli ya kunyunyuzia, vitu vyote vile naye huko Mispa. 26Katika hili, watu wote
vilivyokuwa vimetengenezwa kwa dhahabu safi kuanzia aliye mdogo sana hadi aliye mkubwa
au fedha. kabisa, pamoja na maafisa wa jeshi,
16Shaba iliyotokana na zile nguzo mbili, ile wakakimbilia Misri kwa kuwaogopa Wakaldayo.
Bahari na vile vishikilio vinavyohamishika,
ambavyo Solomoni alikuwa ametengeneza kwa Yehoiakini Anaachiliwa
ajili ya hekalu la BWANA, ilikuwa nzito kiasi 27Katika mwaka wa thelathini na saba wa
33
1 MAMBO YA NYAKATI
Utangulizi
Jina hili la kitabu “Mambo ya Nyakati” linaweza likafuatiliwa mpaka kwa Yerome ambaye ndiye aliyelitumia
kwa ajili ya kitabu hiki katika tafsiri ya Kilatini ya Vulgate.Jina la kitabu hiki katika Kiyunani “Mambo Yaliyorukwa”,
linaonyesha ile hali ya watafsiri wa Agano la Kale katika Septuagint kwamba vitabu hivi kimsingi yalikuwa mambo
ya nyongeza kuhusu mambo ya dhabihu yaliyokuwa yameachwa na vitabu vya Samweli na Wafalme.
Ingawaje vitabu vya Mambo ya Nyakati vinaelekea kurudia yaliyomo katika Samweli na Wafalme,haina
maana vinarudia mambo yale yale. Mambo ya Nyakati viliandikwa kwa ajili ya wale waliorudi Israeli kutoka
uhamishoni baada ya kutekwa na kupelekwa Babeli ili kuwakumbusha kwamba walikuwa wa ukoo wa kifalme wa
Daudi na ya kwamba, wao walikuwa watu wateule wa Mungu.
Wazo Kuu
Wazo kubwa ni kwamba, daima Mungu ni mwaminifu katika agano Lake. Kwa sababu hizi (Mambo ya
Nyakati) kinaanza na kuelezea kwa ufupi habari tangu Adamu mpaka kifo cha Mfalme Sauli. Sehemu ya kitabu
iliyobaki inaelezea habari za Mfalme Daudi. Vitabu hivi vinachukua nafasi ya kuwaonya na pia kuwatia moyo
Wayahudi kuwa waaminifu kwa agano lao na BWANA.
1Mambo ya Nyakati kinaenda sambamba na 2Samweli na kinatoa ufafanuzi wake. Kitabu hiki kinakazia
habari za kiroho za Yuda na Israeli.
Wahusika Wakuu
Daudi na Solomoni.
Mahali
Hebroni na Yerusalemu,
Mwandishi
Ezra, kulingana na mapokeo ya Kiyahudi.
Tarehe
1279 – 461 K.K.
Mgawanyo
• Orodha ya Vizazi (1:1-9:44)
• Utawala wa Daudi (10:1-29:30)
1
1 MAMBO YA NYAKATI
Kumbukumbu ya Historia Kuanzia Adamu 20Wana wa Yoktani walikuwa:
hadi Abrahamu Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
21Hadoramu, Uzali, Dikla, 22Obali, Abimaeli,
Wana Wa Yafethi
5Wana wa Yafethi Jamaa ya Abrahamu
walikuwa: Gomeri, Magogu, Madai, 28Abrahamu alikuwa na wana wawili:
Elamu, Ashuri, Arfaksadi, Ludi na Aramu, Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi,
Wana wa Aramu walikuwa: Esau kwa Timna akamzaa Amaleki.
Usi, Huli, Getheri na Mesheki. 37Wana wa Rehueli walikuwa:
18Arfaksadi akamzaa Shela, Nahathi, Zera, Shama na Miza.
Shela akamzaa Eberi.
19Eberi alikuwa na wana wawili: Watu wa Seiri Walikuwa Edomu
Mmoja wao aliitwa Pelegi b kwa sababu ni 38Wana wa Seiri walikuwa:
katika wakati wake dunia iligawanyika, Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana, Dishoni, Eseri
ndugu yake aliitwa Yoktani. na Dishani.
2
1 MAMBO YA NYAKATI
39Wana wa Lotani walikuwa wawili:
Hori na Homamu. Lotani alikuwa na dada Wana wa Israeli
yake aliyeitwa Timna.
40Wana wa Shobali walikuwa: 2 Hawa ndio waliokuwa wana wa Israeli:
Reubeni, Simeoni, Lawi, Yuda, Isakari,
Alvani c , Manahathi, Ebali, Shefi na Onamu. Zabuloni, 2Dani, Yosefu, Benyamini, Naftali,
Wana wa Sibeoni walikuwa: Gadi na Asheri.
Aya na Ana.
41Mwana wa Ana alikuwa: Yuda hadi Wana wa Hesroni
Dishoni. 3Wana wa Yuda waliozaliwa kwake na mkewe
Bela mwana wa Beori, ambaye mji wake ni Zimri, Ethani, Hemani, Kalkoli na Daido.
Dinhaba. Jumla ya wana wa Zera walikuwa watano.
44Bela alipofariki, 7Mwana wa Karmi, alikuwa:
Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra Akari a , ambaye alileta taabu kwa Waisraeli
akaingia mahali pake kama mfalme. kwa kukiuka onyo la kutokuchukua vitu
45Yobabu alipofariki, ambavyo vilikuwa vimewekwa wakfu.
Hushamu kutoka nchi ya Watemani akaingia 8Mwana wa Ethani alikuwa, Azariya. 9Wana
Eufrati, akaingia mahali pake kama mfalme. Eliabu mwanawe wa kwanza, wa pili
49Shauli alipofariki, Abinadabu, wa tatu Shimea b , 14wa nne
Baal-Hanani mwana wa Akbori akaingia Nethaneli, wa tano Radai, 15wa sita Osemu
mahali pake kama mfalme. na wa saba Daudi. 16Dada zao walikuwa
50Baali-Hanani alipofariki, Seruya na Abigaili. Wana wa Seruya
Hadadi akaingia mahali pake kama mfalme. walikuwa watatu: Abishai, Yoabu na saheli.
Mji wake uliitwa Pau, na mkewe aliitwa 17Abigaili alikuwa mama yake Amasa
Mehetabeli binti Matredi, binti Me-Zahabu. ambaye baba yake alikuwa Yetheri,
51Naye Hadadi pia akafa. Mwishmaeli.
alikuwa na mke mwingine, aliyeitwa Atara, Mosa na Gazezi. Harani alikuwa baba wa
aliyekuwa mama yake Onamu. Gazezi.
27Wana wa Ramu mzaliwa wa kwanza wa 47Wana wa Yadai walikuwa Regemu, Yothamu,
4
1 MAMBO YA NYAKATI
54Wazao wa Salma walikuwa: wafalme ni:
Bethlehemu, Mnetofathi, Waatrothi-Beth- Yekonia mwanaye na Sedekia.
Yoabu, nusu ya Wamenahathi, Wasori,
55pamoja na koo za waandishi zilizoishi Ukoo wa Kifalme Baada ya Uhamisho
katika mji wa Yabesi: Watirathi, 17Hawa ndio waliokuwa wazao wa Yekonia
3
Hawa ndio waliokuwa wana wa Daudi Wana wa Zerubabeli walikuwa:
waliozaliwa huko Hebroni: Meshulamu na Hanania, Shelomithi alikuwa
Mzaliwa wa kwanza alikuwa Amoni ambaye dada yao.
mama yake aliitwa Ahinoamu wa Yezreeli, 20Pia walikuwepo wengine watano:
wa pili, Danieli ambaye mama yake alikuwa Hashuba, Oheli, Berekia, Hasadia na
Abigaili wa Karmeli. Yushab-Hesedi.
2Wa tatu, alikuwa Absalomu, ambaye mama 21Wazao wa Hanania walikuwa
yake alikuwa Maaka, binti Talmai mfalme wa Pelatia na Yeshaya. Yeshaya akamzaa
Geshuri. Wa nne, Adoniya, ambaye mama Refaya, Refaya akamzaa Arnani, Arnani
yake alikuwa Hagithi, akamzaa Obadia, Obadia akamzaa
3Wa tano, alikuwa Shefatia ambaye mama Shekania,
yake alikuwa Abitali, wa sita alikuwa 22Wazao wa Shekania
Ithreamu, aliyezaliwa na mke wake Egla. Shemaya na wanawe: Hatushi, Igali, Baria,
4Hawa sita walizaliwa huko Hebroni ambako Nearia na Shafati, jumla yao walikuwa sita.
Daudi alitawala kwa miaka saba na miezi 23Wana wa Nearia walikuwa:
thelathini na mitatu, 5hawa ndio watoto wa Hodavia, Eliashibu, Pelaya, Akubu, Yohana,
mfalme Daudi waliozaliwa huko Yerusalemu: Delaya na Anani, jumla yao wote saba.
mkewe Bathsheba, binti Amieli, alimzalia:
Shamua a , Shobabu, Nathani na Solomoni. Koo Nyingine za Yuda
6Pia kulikuwa na wana wengine: Ibhari, Wana wa Yuda walikuwa:
Elishua, Elifeleti, 7Noga, Nefegi, Yafai,
8Elishama, Eliada na Elifeleti, wote walikuwa
4 Peresi, Hesroni, Karmi, Huri na Shobali.
2Reaya mwana wa Shobali akamzaa
tisa. 9Hawa wote walikuwa wana wa Daudi, Yahathi, Yahathi akamzaa Ahumai na
mbali na wale wana waliozaliwa na masuria. Lahadi. Hizi ndizo zilizokuwa koo za
Tamari alikuwa dada yao. Wasorathi.
3Hawa ndio waliokuwa wana wa Etamu:
5
1 MAMBO YA NYAKATI
9Yabesi aliheshimiwa kuliko ndugu zake. Yoashi na Sarafi waliotawala huko Moabu
Mama yake alimwita Yabesi, akisema, “Nilimzaa na Yoshubi - Lehemu. (Taarifa hizi ni za
kwa huzuni.” 10Yabesi akamlilia Mungu wa zamani sana.) 23Hawa walikuwa wafinyanzi
Israeli akisema, “Ee Mungu, laiti ungenibariki walioishi Netaimu na Gedera, waliishi huko
kweli kweli na kuipanua mipaka yangu! Mkono wakimtumikia mfalme.
wako na uwe pamoja nami, uniepushe na uovu
ili nisithurike! Naye Mungu akamjalia hayo Simeoni
aliyoyaomba. 24Wazao wa Simeoni walikuwa:
Nemueli, Yamini, Yaribu, Zera na Shauli.
11Kelubu,nduguye Shuha, akamzaa Mehiri, 25Mwana wa Shauli alikuwa Shalumu, Shalumu
6
1 MAMBO YA NYAKATI
huko sababu kulikuwa na malisho mazuri kwa Mikaeli, Meshulamu, Sheba, Yorai, Yakani,
ajili ya mifugo yao. 42Watu wa kabila la wa Zia na Eberi.
Simeoni wapatao mia tano, wakiongozwa na 14Hawa walikuwa ndio wana wa Abihaili, mwana
Pelatia, Nearia, Refaya na Uzieli wana wa Ishi, wa Huri, mwana wa Yaroa, mwana wa
wakavamia nchi ya kilima ya Seiri. 43Wakawaua Gileadi, mwana wa Mikaeli, mwana wa
Waamaleki waliobaki waliokuwa wamenusurika, Yeshishai, mwana wa Yahdo, mwana wa
nao wanaishi huko hadi leo. Buzi.
15Ahi mwana wa Abdieli, mwana wa Guni,
5 Wana wa Reubeni mzaliwa wa kwanza wa 16Wagadi waliishi Gileadi, huko Bashani pamoja
Israeli (yeye alikuwa mzaliwa wa kwanza, na vijiji vilivyoizunguka, pia katika nchi yote
lakini kwa kuwa alikinajisi kitanda cha baba ya malisho ya Sharoni kote walikoenea.
yake, haki zake za mzaliwa wa kwanza 17Yote haya yaliwekwa katika kumbukumbu
walipewa wana wa Yosefu mwana wa Israeli, za ukoo wao wakati wa utawala wa Yothamu,
hivyo hakuorodheshwa kwenye orodha ya ukoo mfalme wa Yuda na Yeroboamu mfalme wa
wao kulingana na haki yake ya kuzaliwa, Israeli.
2ingawa Yuda alikuwa na nguvu zaidi ya ndugu
wakaishi katika mahema ya Wahagari katika za kabila hilo: Eferi, Ishi, Elieli, Azrieli, Yeremia,
eneo lote la mashariki ya Gileadi. Hodavia na Yahdieli. Walikuwa askari shujaa
watu maarufu, viongozi wa jamaa zao. 25Lakini
Wana wa Gadi hawakuwa waaminifu kwa Mungu wa baba
11Wagadi waliishi jirani nao katika nchi ya zao,nao wakafanya ukahaba kwa Mungu wa
Bashani, mpaka Saleka. mataifa, ambayo Mungu alikuwa
12Yoeli alikuwa ndiye mkuu wao, Shafamu ameyaangamiza mbele yao. 26Kwa hiyo Mungu
alikuwa wa pili, wakafuata Yanai na Shafati, wa Israeli akaiamsha roho ya Pulu, mfalme wa
huko Bashani. Ashuru, (ambaye pia alijulikana kama Tiglathi-
13Ndugu zao kulingana na koo zao walikuwa Pi-Leseri), ambaye aliwachukua Wareubeni,
saba: Wagadi na nusu ya kabila la Manase kwenda
7
1 MAMBO YA NYAKATI
uhamishoni. Akawapeleka huko Hala, Habori, 20Wafuatao ndio wazao wa Gershomu kutoka
Hara na mto Gozani, ambako wamekaa mpaka kizazi hadi kizazi:
leo. Gershomu akamzaa Libni, Libni akamzaa
Yahathi, Yahathi akamzaa Zima, 21Zima
Wana wa Lawi akamzaa Yoa, Yoa akamzaa Ido, Ido
Wana wa Lawi walikuwa: akamzaa Zera, Zera akamzaa Yeatherai.
6 Gershomu, Kehathi na Merari.
2Wana wa Kohathi walikuwa:
22Wazao wa Kohathi walikuwa:
8
1 MAMBO YA NYAKATI
mwana wa Ebiasafu, mwana wa Kora, pamoja na sehemu ya Malisho
38mwana wa Ishari, mwana wa Kohathi, inayoizunguka. 56Lakini mashamba pamoja
mwana wa Lawi, mwana wa Israeli na vijiji vilivyoizunguka mji alipewa Kalebu
39na msaidizi wa Hemani alikuwa Asafu, kutoka mwana wa Yefune.
ukoo wa Gerishoni, aliyesimama mkono wa 57Kwa hiyo wazao wa Aroni walipewa
kuume, Asafu mwana wa Berekia, mwana miji ifuatayo pamoja na eneo la Malisho:
wa Shimea, Hebroni (mji wa makimbilio), Libna, Yatiri,
40mwana wa Mikaeli, mwana wa Eshtemoa, 58Hileni, Debiri, 59Ashani, Yuta
Baaseya, mwana wa Malkiya, 41mwana na Beth-Shemeshi pamoja na maeneo yake
wa Ethni, mwana wa Zera, mwana wa ya Malisho. 60Kutoka kabila la Benyamini
Adaia, walipewa Gibeoni, Geba, Alemethi na
42mwana wa Ethani, mwana wa Zima, Anathothi, pamoja na maeneo yake ya
mwana wa Shimei, 43mwana wa malisho.
Yahathi, mwana wa Gershomu, mwana Miji hii kumi na mitatu iligawanywa
wa Lawi. miongoni mwa koo za Wakohathi.
44na kutoka kwa walioshirikiana nao, 61Wazao waliobaki wa Wakohathi walipewa
wa Shemeri, 47mwana wa Mahli, mwana walipewa miji kumi na miwili kutoka makabila ya
wa Mushi, mwana wa Merari, mwana Reubeni, Gadi na Zabuloni.
wa Lawi. 64Kwa hiyo Waisraeli waliwapa Walawi miji
huduma nyingine za kuhudumia hema takatifu, Benyamini walipewa miji iliyotajwa hapo juu.
nyumba ya Mungu. 49Lakini Aroni na uzao wake 66Baadhi ya koo za Wakohathi walipewa
ndio waliokuwa na wajibu wa kutoa sadaka kama nchi yao miji kutoka kabila la Efraimu.
katika madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa na 67Katika nchi ya vilima ya Efraimu
Ahimaasi. Deberathi,
73Ramothi na Anemu, pamoja na maeneo
54Zifuatazo ni sehemu walizopewa ziwe nchi yake ya Malisho.
yao kwa ajili ya makazi yao. (Walipewa wazao 74Kutoka kabila la Asheri walipokea:
9
1 MAMBO YA NYAKATI
walipokea Kedeshi katika Galilaya, Hamoni wa jamaa zao walikuwa wapiganaji 20,200.
na Kiriathaimu pamoja na maeneo yake ya 10Yadiaeli alikuwa na mwana mmoja
malisho. jina lake Bilhani.
Wana wa Bilhani walikuwa:
77Wamerari (Walawi waliobakia) walipokea miji Yeushi, Benyamini, Ehudi, Kenaana.
ifuatayo: Zethani, Tarshishi na Ahishahari. 11Hawa
kutoka kabila la Zabuloni walipokea wana wote wa Yadieli walikuwa viongozi wa
Yokneamu, Karta, Rimono na Tabori pamoja jamaa zao. Kulikuwako wanaume
na maeneo yake ya malisho. wapiganaji 17,200, waliokuwa tayari kwenda
78Kutoka kabila la Reubeni, ng'ambo ya Yordani vitani.
mashariki ya Yeriko walipokea Bezeri ulioko 12Shupimu na Hupimu walikuwa wana wa Iri.
10
1 MAMBO YA NYAKATI
akakutana kimwili na mke wake tena,
akachukua mimba, akamzalia mwana. Ukoo wa Sauli Mbenyamini
Akamwita Beria, kwa sababu ya misiba
iliyoipata nyumba yake. 24Beria alikuwa na 8 Benyamini akamzaa:
Bela mzaliwa wake wa kwanza, Ashbeli
binti jina lake Sheera. Huyu ndiye mwanawe wa pili, Ahara wa tatu,
aliyeijenga miji ya Beth-Horoni ya juu na 2Noha wa nne na Rafa wa tano.
vijiji vyake hadi kufikia Aya na vijiji vyake. Moabu baada ya kuwapa talaka wake zake
29Katika mipaka ya Manase walikuwepo Beth- wawili yaani, Hushimu na Baara. 9Kwa
Shani, Taanaki, Megido na Dori pamoja na vijiji mkewe Hodeshi, akawazaa wana saba:
vyake. Wana wa Yosefu, mwana wa Israeli Yoabu, Sibia, Mesha, Malkamu, 10Yeuzi,
waliishi katika miji hii. Sakia na Mirma. Hawa ndio waliokuwa
wanawe, viongozi wa jamaa zao. 11Hushimu
Wana wa Asheri alimzalia: Abitubu na Elpaali.
30Wana wa Asheri walikuwa: 12Wana wa Elpaali walikuwa:
Imna, Ishva, Ishri na Beria. Dada yao Eberi, Mishamu, Shemedi (ambaye aliijenga
alikuwa Sera. miji ya Ono na Lodi, pamoja na vijiji
31Wana wa Beria walikuwa: vilivyoizunguka) 13Beria na Shema, ambao
Heberi na Malkieli, aliyekuwa baba yake walikuwa viongozi wa zile jamaa zilizokuwa
Birzaithi. zinaishi katika mji wa Aiyaloni na ambao
32Heberi akawazaa: waliwafukuza wenyeji wa Gathi.
Yafleti, Shomeri na Hothamu, naye Shua 14Wana wa Beria walikuwa:
Sua, Harneferi, Shuali, Beri, Imra, 37Bezeri, Ishpani, Eberi, Elieli, 23Abdoni, Zikri, Hanani,
Hodu, Shama, Shilsha, Ithrani na Beera. 24Hanania, Elamu, Anthothiya, 25Ifdeya na
38Wana wa Yetheri walikuwa: Penueli.
Yefune, Pispa na Ara. 26Wana wa Yerohamu walikuwa:
39Wana wa Ula walikuwa: Shamsherai, Sheharia, Athalia, 27Yaareshia,
Ara, Hanieli na Risia. Elia na Zikri.
40Hawa wote ndio waliokuwa wazao wa 28Hawa wote walikuwa ni viongozi wa jamaa
Asheri, viongozi wa jamaa zao, watu bora, zao, wakuu kama ilivyoorodheshwa katika koo
mashujaa walio hodari na viongozi maarufu. zao, nao waliishi Yerusalemu.
Idadi ya watu waliokuwa tayari kwa vita, kama
ilivyoorodheshwa katika ukoo wao, walikuwa 29Yeieli alikuwa baba yake Gibeoni naye aliishi
26,000. huko Gibeoni.
11
1 MAMBO YA NYAKATI
Mke wake aliitwa Maaka. 30Mzaliwa
wake 4Uthai
mwana wa Amihudi, mwana wa Omri,
wa kwanza alikuwa Abdoni, wakafuatia Zuri, mwana wa Imri, mwana wa Bani, wa
Kishi, Baali, Neri, Nadabu, 31Gedori, Ahio, wana wa Peresi, mwana wa Yuda.
Zekeri, 32na Miklothi ambaye alikuwa baba 5Wa wazao wa Washilo waliorudi ni:
yake Shimea. Hawa pia waliishi karibu na Asaya mzaliwa wa kwanza na wanawe.
jamaa zao katika Yerusalemu. 6Wa wana wa Zera:
33Neri akamzaa Kishi, Kishi akamzaa Sauli, Yeuli, na ndugu zao, jumla yao ni watu
Sauli akamzaa Yonathani, Malkishua, 690.
Abinabu na Esh-Baali. 34Yonathani akamzaa 7Wa Benyamini walikuwa:
zilizoandikwa kwenye kitabu cha wafalme zao walikuwa 1,760. Walikuwa watu wenye
wa Israeli. uwezo, waliowajibika kuhudumu katika
nyumba ya Mungu.
Watu katika Yerusalemu
Watu wa Yuda walichukuliwa mateka Jamaa za Walawi
kwenda Babeli kwa sababu ya kukosa uaminifu 14Wa jamaa za Walawi walikuwa:
kwa Mungu. 2Basi watu wa kwanza kurudi kukaa Shemaia, mwana wa Hashubu, mwana
kwenye milki zao katika miji yao walikuwa wa Azrikamu, mwana wa Hashabia, wa
baadhi ya Waisraeli, makuhani, Walawi na wana wa Merari, 15Bakbakari, Hereshi,
Wanethini a . Galali na Matania mwana wa Mika, mwana
3Wale waliotoka Yuda, Benyamini, Efraimu wa Zikri, mwana wa Asafu. 16Obadia mwana
na Manase ambao waliishi Yerusalemu wa Shemaia, mwana wa Galali, mwana wa
walikuwa: Yeduthuni, Berekia mwana wa Asa, mwana
wa Elkana, ambao waliishi katika vijiji vya
Wanetofathi.
17Mabawabu katika hekalu la BWANA waliorudi
nyumba ya BWANA, nyumba iliyoitwa Hema. Alemethi, Azmawethi na Zimri, naye Zimri
24Mabawabu walikuwa pande zote nne: akamzaa Mosa. 43Mosa akamzaa Binea,
mashariki, magharibi, kaskazini na kusini. Binea akamzaa Refaya, Refaya akamzaa
25Ndugu zao katika vijiji vyao walikuwa wakija Eleasa, naye Eleasa akamzaa Aseli.
mara kwa mara na kuwasaidia katika kazi zao 44Aseli alikuwa na wana sita na haya ndiyo
vifaa vilivyotumika katika huduma ndani ya wakawafuatia kwa bidii Sauli na wanawe,
hekalu, walivihesabu kila vilipoingizwa ndani na wakawaua wanawe Yonathani, Abinadabu na
kila vilipotolewa. 29Wengine walipangiwa Malkishua. 3Mapigano yakawa makali
kutunza mapambo na vifaa vingine vya kumzunguka Sauli na wakati wapiga mishale
patakatifu, pamoja na unga, divai, mafuta, walipompata, wakamjeruhi.
uvumba na vikolezo. 30Lakini baadhi ya 4Sauli akamwambia mbeba silaha wake,
makuhani walifanya kazi ya kuchanganya “Futa upanga wako unichome, la sivyo hawa
vikolezo. 31Mlawi aliyeitwa Metithia, mwana watu wasiotahiriwa watanifanya vibaya.’’
mzaliwa wa kwanza wa Shalumu, wa ukoo wa Lakini yule mbeba silaha wake akaogopa na
Kora, alikabidhiwa wajibu kwa ajili ya kuoka hakuthubutu kufanya hivyo, kwa hivyo Sauli
mikate ya sadaka. 32Baadhi ya ndugu zao wa akachukua upanga wake akajichoma
ukoo wa Kohathi walikuwa viongozi wa kuandaa mwenyewe. 5Mbeba silaha wake alipoona
mikate ya wonyesho kwa ajili ya kila sabato,
mikate iliyokuwa inawekwa mezani.
33Wale waliokuwa waimbaji, viongozi wa a39 Esh-Baali ndiye anayejulikana kwa jina la Ishboshethi.
b40 Merib-Baali ndiye anayejulikana kwa jina la Mefi-Boshethi
jamaa za Walawi, waliishi katika vyumba vya (Sam 4:4.)
13
1 MAMBO YA NYAKATI
kwamba Sauli amekufa, naye pia akauangukia Hata hivyo, Daudi akaiteka ngome ya Sayuni,
upanga wake akafa. 6Kwa hiyo Sauli na wanawe Mji wa Daudi.
watatu wakafa, pamoja na nyumba yake yote. 6Daudi alikuwa amesema, “Ye yote
7Waisraeli wote waliokuwa bondeni aongozaye mashambulizi dhidi ya Wayebusi,
walipoona kwamba jeshi limekimbia na kwamba atakuwa jemadari mkuu.’’ Yoabu mwana wa
Sauli na wanawe wamekufa, waliacha miji yao Seruya, akawa wa kwanza kukwea, naye akawa
wakakimbia. Nao Wafilisti wakaja na kukaa mkuu.
humo. 7Daudi akafanya maskani yake kwenye
8Kesho yake, Wafilisti walipokuja kuchukua ngome, hivyo ukaitwa Mji wa Daudi. 8Akajenga
nyara za hao waliouawa, walimkuta Sauli na mji pande zote, kuanzia kwenye mito hadi
wanawe wameanguka juu ya Mlima Gilboa. kwenye ukuta kuzunguka, wakati huo huo
9Wakamvua mavazi, wakachukua kichwa chake Yoabu akajenga sehemu zingine zilizobaki za
pamoja na silaha zake, wakawatuma wajumbe Yerusalemu. 9Daudi akazidi kuwa na nguvu
katika nchi yote ya Wafilisti kutangaza habari zaidi na zaidi, kwa sababu BWANA Mwenye
hizi miongoni mwa sanamu zao na watu wao. nguvu alikuwa pamoja naye.
10Waliweka silaha zake katika hekalu la miungu
wewe ndiwe uliyeiongoza Israeli vitani, naye thelathini, walimwendea Daudi katika mwamba
BWANA Mungu wako alikuambia, ‘Wewe huko kwenye pango la Adulamu, wakati kikosi
utawachunga watu wangu Israeli, na utakuwa cha Wafilisti kilikuwa kimepiga kambi kwenye
mtawala wao.’ Bonde la Warefai. 16Wakati ule Daudi alikuwa
3Wazee wote wa Israeli walipokuwa katika ngome na askari walinzi wa Wafilisti
wamewasili kwa Mfalme Daudi huko Hebroni, walikuwa katika mji wa Bethlehemu. 17Daudi
alifanya mapatano nao huko Hebroni mbele za alitamani maji akasema, “Laiti mtu angenipatia
BWANA nao wakamtia Daudi mafuta awe maji ya kunywa kutoka kisima kilichoko karibu
mfalme wa Israeli, sawasawa na BWANA na lango la Bethlehemu!’’ 18Kwa hivyo wale
alivyoahidi kupitia kwa Samweli. watatu, wakapita katikati ya safu za Wafilisti,
wakachota maji kutoka kwenye hicho kisima
Daudi Ashinda Yerusalemu kilichoko nje ya lango la Bethlehemu,
4Daudi na Waisraeli wote wakaenda wakamletea Daudi. Lakini yeye akakataa
Yerusalemu, (ndio Yebusi.) Nao Wayebusi, kuyanywa, badala ya kuyanywa akayamimina
ambao ndio waliokuwa wanaishi humo mbele za BWANA. 19Akasema, “Mungu apishie
5wakamwambia Daudi, “Wewe hutaingia humu.’’ mbali kwamba nifanye hivi! Je kweli, niinywe
14
1 MAMBO YA NYAKATI
damu ya watu hawa waliohatarisha maisha 35Ahiamu mwana wa Sakari Mharari,
yao?’’ Kwa sababu walihatarisha maisha yao Elifale mwana wa Uri,
kuyaleta yale maji, Daudi hakukubali kuyanywa. 36Heferi Mmekerathi,
watu mia tatu, ambao aliwaua, hivyo akawa Naharai Mbeorothi, Mbeba silaha wa
maarufu kama wale Watatu. 21Alitunukiwa Yoabu, mwana wa Seruya,
heshima maradufu ya wale Watatu akawa 40Ira na Garebu
mambo makubwa ya ujasiri. Aliwaua watu wawili ambaye alikuwa mkuu wa Wareubeni,
mashujaa wa Moabu. Pia aliingia shimoni siku ambaye alikuwa pamoja na watu
ya theluji na kumwua simba. 23Alimwua Mmisri thelathini.
aliyekuwa na urefu kama dhiraa tano a . Ingawa 43Hanani mwana wa Maaka, Yoshafati
12
26Wale watu mashujaa walikuwa: Hawa ndio watu waliomjia Daudi huko
Asaheli nduguye Yoabu, Ehanani Siklagi, wakati alipokuwa amefukuzwa
mwana wa Dodo kutoka Bethlehemu, mbele ya Sauli mwana wa Kishi, (walikuwa
27Shamothi Mharori, miongoni mwa mashujaa waliomsaidia Daudi
Helesi Mpeloni, vitani, 2walikuwa na pinde na walikuwa na
28Ira mwana wa Ikeshi kutoka Tekoa, uwezo wa kupiga mishale au kutupa mawe kwa
Abiezeri kutoka Anathothi, kombeo wakitumia mkono wa kushoto au wa
29Sibekai Mhushathi, kulia: hawa walikuwa ndugu zake Sauli kutoka
Ilai, Mwahohi, kabila la Benyamini):
30Maharai Mnetofathi,
15
1 MAMBO YA NYAKATI
BWANA wake.’’ 20Daudi alipokwenda Siklag,
8Baadhi ya Wagadi wakajitenga na kujiunga hawa ndio watu wa kabila la Manase waliojiunga
na Daudi katika ngome yake huko jangwani. naye: Adna, Yozabadi, Yediaeli, Mikaeli,
Walikuwa mashujaa hodari, waliokuwa tayari Yozabadi, Elihu na Silethai, viongozi wa vikosi
kwa vita na wenye uwezo wa kutumia ngao na vya watu elfu moja katika kabila la Manase.
mkuki. Nyuso zao zilikuwa nyuso za simba na 21Walimsaidia Daudi dhidi ya makundi ya
walikuwa na wepesi kama paa milimani. uvamizi, kwa kuwa wote walikuwa mashujaa
9Ezeri alikuwa mkuu wao, hodari na walikuwa majemadari katika jeshi
Obadia alikuwa wa pili katika uongozi, lake. 22Siku baada ya siku watu walikuja
Eliabu alikuwa wa tatu, kumsaidia Daudi, mpaka akawa na jeshi kubwa,
10Mishmana wa nne, Yeremia wa tano, kama jeshi la Mungu.
11Atai wa sita, Elieli wa saba,
12Yohanani wa nane, Elzabadi wa tisa, Wengine Waungana na Daudi Huko Hebroni
13Yeremia wa kumi na Makbanai wa kumi na 23Hawa ndio watu waliojiandaa kwa ajili ya
uweza zaidi ya wote aliongoza elfu moja. 15Wao walikuwa 6,800. Wote walikuwa tayari kwa
ndio walivuka Mto Yordani katika mwezi wa vita.
kwanza wakati ukiwa umefurika hadi kwenye 25Watu wa Simeoni, mashujaa waliokuwa tayari
kingo zake zote na kusababisha watu wote kwa vita walikuwa 7,100,
waliokuwa wanaishi kwenye mabonde kukimbilia 26watu wa Lawi walikuwa 4,600, 27pamoja na
amani, kunisaidia, mimi niko tayari kuwaruhusu Ndugu zake Sauli, walikuwa 3,000, wengi
ninyi kuungana nami. Lakini kama mmekuja ili wao walikuwa wameendelea kuwa
kunisaliti kwa adui zangu wakati mimi mikono waaminifu kwa Sauli mpaka wakati huo,
yangu haina hatia, basi Mungu wa baba zetu 30watu wa Efraimu,
kwa kuwa Mungu wako atakusaidia.’’ mkubwa walioandaliwa tayari kwa vita
wakiwa na silaha za kila aina, ili kumsaidia
Kwa hiyo Daudi akawapokea na kuwafanya Daudi kwa uaminifu thabiti walikuwa 50,000,
viongozi wa vikosi vyake vya uvamizi. 34watu wa Naftali maafisa 1,000,
19Baadhi ya watu kutoka kabila la Manase pamoja na watu 37,000 waliochukua ngao
wakajiunga na Daudi wakati alipokwenda na mikuki,
pamoja na Wafilisti, kupigana na Sauli. Daudi na 35Watu wa Dani, 28,600 walio tayari kwa vita,
sababu, baada ya ushauri, watawala wao askari wenye uzoefu mkubwa waliondaliwa
walimrudisha. Wakasema, “Itatugharimu vichwa kwa ajili ya vita,
vyetu kama Daudi atatuasi na kurudi kwa Sauli 37watu kutoka mashariki ya Yordani, watu wa
16
1 MAMBO YA NYAKATI
Reubeni, Gadi na nusu ya kabila la Manase, nafaka wa Kidoni, Uza akaunyoosha mkono
wakiwa na kila aina ya silaha 120,000, wake ili kulizuia sanduku, kwa sababu hao
38wote hawa walikuwa watu wapiganaji maksai walijikwaa. 10Hasira ya BWANA ikawaka
waliojitolea kutumika katika safu zao. Walikuja dhidi ya Uza, akampiga kwa sababu
Hebroni wakiwa wameamua kikamilifu kumfanya aliuweka mkono wake kwenye sanduku. Kwa
Daudi mfalme juu ya Israeli yote. Waisraeli hiyo akafa pale mbele za Mungu.
wengine wote walikuwa pia na nia hiyo moja ya 11Kisha Daudi akakasirika kwa sababu
kumfanya Daudi kuwa mfalme. 39Watu hawa ghadhabu ya BWANA iliwaka dhidi ya Uza,
wakakaa huko na Daudi siku tatu, wakila na mahali pale panaitwa Peres–Uza hadi leo.
kunywa, kwa sababu jamaa zao zilikuwa 12Siku ile Daudi akamwogopa Mungu nae
zimewapatia mahitaji yao. 40Pia, majirani zao akauliza. “Nitawezaje kulichukua sanduku la
hata wale walio mbali hadi Isakari, Zabuloni na Mungu kwangu?” 13Hakulichukua hilo sanduku
Naftali, walikuja wakiwaletea vyakula akae nalo katika mji wa Daudi. Badala yake,
walivyovibeba kwa punda, ngamia, nyumbu na akalipeleka nyumbani kwa Obedi – Edomu,
maksai. Kulikuwepo na wingi wa unga, Mgiti. 14Sanduku la Mungu likabaki pamoja na
maandazi ya tini, maandazi ya zabibu kavu, jamaa ya Obedi-Edomu, nyumbani kwake, kwa
divai, mafuta, ng'ombe na kondoo, kwa maana miezi mitatu, naye BWANA akaibariki nyumba
kulikuwa na furaha katika Israeli. yake pamoja na kila kitu alichokuwa nacho.
miji yao na katika sehemu zao za malisho yao wengine zaidi na akawa baba wa wana na binti
waje waungane na sisi. 3Sisi na tulirudishe wengi. 4Haya ndiyo majina ya watoto
sanduku la Mungu wetu kwetu kwa maana waliozaliwa kwake huko; Shamua, Shobabu,
hatukujali wakati wa utawala wa Sauli.” Nathani, Solomoni, 5Ibhari, Elishua, Elpeleti,
4Kusanyiko lote likakubaliana kufanya hivyo, 6Noga, Nefegi, Yafia, 7Elishama, Beeliada na
kuanzia Mto Shihori ulioko Misri hadi Lebo Daudi Awashinda Wafilisti
Hamathi, ili kulileta sanduku la Mungu kutoka 8Wakati Wafilisti waliposikia kwamba Daudi
Kiriathi-Yearimu. 6Daudi akiwa pamoja na ametiwa mafuta kuwa mfalme katika Israeli yote,
Waisraeli wote wakaenda Baada ya Yuda wakaondoka na jeshi lao lote ili kwenda
(Kiriath–Yearimu) kulipandisha sanduku la kumsaka, lakini Daudi akapata habari naye
Mungu BWANA kutoka huko, ambaye anaketi akatoka ili kwenda kukabiliana nao. 9Basi
katika kiti chake cha enzi kilichoko kati ya Wafilisti walikuwa wameingia na kushambulia
makerubi, sanduku ambalo linaitwa kwa Jina Bonde la Warefai, 10Hivyo Daudi akamwuliza
lake. Mungu: “Je, niende na kuwashambulia hao
7Wakalisafirisha Sanduku la Mungu kwa gari Wafilisti? Je, utawatia mkononi mwangu?’’
jipya lenye magurudumu mawili likikokotwa na BWANA akamjibu, “Nenda, nitawatia
maksai kutoka katika nyumba ya Abinadabu, mkononi mwako.’’
Uza na Ahio wakiliongoza gari hilo. 8Daudi 11Hivyo Daudi pamoja na watu wake
17
1 MAMBO YA NYAKATI
miungu yao huko, Daudi akaamuru iteketezwe Walawi. Ninyi pamoja na Walawi wenzenu
kwa moto. inawapasa mjitakase na kulipandisha sanduku
13Kwa mara nyingine tena Wafilisti la BWANA, Mungu wa Israeli hadi mahali
wakavamia lile bonde, 14hivyo Daudi akamwuliza ambapo nimetengeneza kwa ajili yake. 13Ilikuwa
Mungu tena, naye Mungu akamjibu, ni kwa sababu ninyi, Walawi, hamkulipandisha
“Usiwapandie moja kwa moja, bali wazungukie safari ya kwanza, hata ikasababisha BWANA
na uwashambulie kutoka mbele ya hiyo miti ya Mungu wetu kuwaka hasira dhidi yetu.
miforosadi. 15Mara usikiapo sauti ya kwenda juu Hatukumwuliza jinsi ya kufanya ili tupate kulileta
ya hiyo miti ya miforosadi, hapo ndipo utoke jinsi alivyoagiza.'' 14Kwa hiyo makuhani pamoja
upigane vita, kwa sababu hiyo itaonyesha na Walawi wakajitakasa ili kulipandisha sanduku
kwamba Mungu amekutangulia ili kupiga jeshi la la BWANA, Mungu wa Israeli. 15Nao Walawi
Wafilisti. 16Kwa hiyo Daudi akafanya sawasawa wakalichukua sanduku la Mungu mabegani
na alivyoagizwa na Mungu, wakalipiga jeshi la mwao wakitumia mipiko, kama vile Mose
Wafilisti kuanzia Gibeoni hadi Gezeri. alivyoamuru sawasawa na neno la BWANA.
17Hivyo umaarufu wa Daudi ukaenea katika 16Daudi akawaambia viongozi wa Walawi
kila nchi, naye BWANA akayafanya mataifa yote kuwaweka ndugu zao waimbaji ili waimbe
kumwogopa Daudi. nyimbo za shangwe, wakiwa na vyombo vya
uimbaji: zeze, vinubi na matoazi.
Sanduku la Agano Laletwa Yerusalemu 17Basi Walawi wakawaweka Hemani mwana
Baada ya Daudi kujijengea nyumba wa Yoeli, kutoka miongoni mwa ndugu zake,
15 zake katika mji wa Daudi, Asafu mwana wa Berekia kutoka miongoni mwa
akatengeneza sehemu kwa ajili ya sanduku la ndugu zao Wamerari, Ethani mwana wa
Mungu, kisha akasimamisha hema kwa ajili Kushaia, 18hawa walichaguliwa kuwa wasaidizi
yake. 2Kisha Daudi akasema, "Hakuna mtu ye wao: Zekaria, Yaazieli, Shemiramoth, Yahieli,
yote isipokuwa Walawi peke yao anayeruhusiwa Uni, Eliabu, Benaia, Maaseya, Mtittua, Elifelehu,
kubeba sanduku la Mungu, kwa sababu BWANA Mikneia, pamoja na mabawabu Obed, Edomu
aliwachagua kulibeba sanduku la BWANA na na Yeieli b .
kuhudumu mbele zake milele.'' 19Waimbaji Hemani, Asafu na Ethani
3Daudi akawakusanya Israeli wote huko walichaguliwa kupiga matoazi ya shaba,
Yerusalemu ili kulipandisha sanduku la BWANA 20Zekaria, Azieli, Shemiramothi, Yehieli, Uni,
na kulileta hadi kwenye sehemu aliyokuwa Eliabu, Maaseya na Benaia walikuwa wapiga
ametengeneza kwa ajili yake. 4Kisha Daudi zeze kufuatana na sauti ya alamothi c , 21na
akawakusanya pamoja wazao wa Aroni na Matithia, Elifelehu, Mikneia, Obed-Edomu, Yeieli
Walawi: na Azazia walikuwa wapiga vinubi,
5Kutoka wazao wa Kohathi, wakiongozwa kwa kufuata sauti ya Sheminithi d .
Urieli kiongozi na ndugu zake 120, 22Kenania kiongozi wa Walawi alikuwa
6kutoka wazao wa Merari, msimamizi wa uimbaji, huu ndio uliokuwa wajibu
Asaia kiongozi na ndugu zake 220. wake kwa sababu alikuwa stadi katika hilo.
7Kutoka wazao wa Gershoni a 23Berekia na Elkana walikuwa mabawabu
Yoeli kiongozi na ndugu zake 130. kwa ajili ya sanduku la Mungu. 24Shebania,
8Kutoka wazao wa Elisafani, Yoshafati, Nethaneli, Amasai, Zekaria, Benaia
Shemaia kiongozi na ndugu zake 200. na Eliezeri, makuhani walikuwa, wapiga
9Kutoka wazao wa Hebroni, tarumbeta mbele ya sanduku la BWANA. Obed-
Elieli kiongozi na ndugu zake 80, Edomu na Yehiya waliwekwa pia kuwa
10kutoka wazao wa Uzieli, mabawabu wa sanduku.
Aminadabu kiongozi na ndugu zake 25Basi Daudi pamoja na wazee wa Israeli na
18
1 MAMBO YA NYAKATI
kutoka katika nyumba ya Obed-Edomu kwa waambieni matendo yake yote ya ajabu.
shangwe. 26Kwa sababu Mungu alikuwa 10Utukufu kwa jina lake takatifu,
amewasaidia Walawi waliokuwa wanalichukua mioyo ya wale wamtafutao BWANA
sanduku la agano la BWANA mafahali saba na na ifurahi.
kondoo waume saba walitolewa dhabihu. 27Basi 11Mtafuteni BWANA na nguvu zake,
Daudi alikuwa amevaa joho la kitani safi, kama utafuteni uso wake siku zote.
walivyokuwa wamevaa Walawi wote waliokuwa 12Kumbuka matendo ya ajabu aliyoyafanya,
Israeli wote wakalipandisha sanduku la agano la hukumu zake zimo duniani pote.
BWANA kwa shangwe, wakipiga pembe za 15Hulikumbuka agano lake milele,
binti Sauli akachungulia dirishani. Alipomwona kwa Israeli kama agano la milele:
Mfalme Daudi akicheza na kusifu, akamdharau 18“Wewe nitakupa nchi ya Kanaani
alikuwa amelisimamisha kwa ajili hiyo, wakatoa kutoka ufalme mmoja hadi mwingine.
sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani 21Hakuruhusu mtu ye yote awaonee,
mbele za Mungu. 2Baada ya Daudi kutoa hizo kwa ajili yao aliwakemea wafalme,
sadaka za kuteketezwa na hizo sadaka za 22akisema, “Msiwaguse masiya a wangu,
mara kwa mara mbele ya sanduku la agano la nguvu na utukufu vimo patakatifu pake.
Mungu. 28Mpeni BWANA enyi jamaa za mataifa,
17
31Mbingu na zishangilie, nchi na ifurahi, Baada ya Daudi kukaa kwa utulivu katika
Katikati ya mataifa semeni, “ BWANA jumba lake la kifalme, akamwambia nabii
anatawala.’’ Nathani, “Hebu tazama, mimi ninakaa kwenye
32Bahari na ivume na vyote vilivyomo ndani nyumba nzuri iliyojengwa kwa mierezi, wakati
yake. Sanduku la Agano la BWANA liko ndani ya
Mashamba na yashangilie, hema.’’
na vyote vilivyomo ndani yake. 2Nathani akamjibu Daudi, “Lo lote ulilo nalo
33Kisha miti yote ya msituni itaimba kwa furaha, moyoni mwako litende, kwa sababu Mungu yuko
vitaimba mbele za BWANA kwa maana pamoja na wewe”.
anakuja kuihukumu dunia.. 3Usiku ule neno la Mungu likamjia Nathani,
34Mshukuruni BWANA kwa kuwa ni kusema:
Mwema,
upendo wake wadumu milele. 4“Nenda ukamwambie mtumishi wangu
35Ee BWANA Mungu wetu, utuokoe, Daudi, hili ndilo asemalo BWANA: ‘Wewe
utukusanye tena kutoka kwa mataifa, hutanijengea mimi nyumba ili nikae humo.
ili tuweze kulishukuru jina lako takatifu 5Mimi sijakaa ndani ya nyumba tangu siku
na kujisifu katika sifa zako. ile niliyowatoa Israel Misri mpaka leo.
36Atukuzwe BWANA, Mungu wa Israeli, Nimehama kutoka hema moja hadi jingine
tangu milele na hata milele. na kutoka mahali pamoja hadi pengine. 6Je,
po pote nilipokwenda pamoja na Waisraeli
Watu wote na waseme, “Amen!’’ wote, wakati wo wote nilimwambia kiongozi
Msifuni BWANA. ye yote niliyemwagiza kuwachunga watu
wangu, “Kwa nini hujanijengea nyumba ya
37Daudi akamwacha Asafu na wenzake mierezi?’’ ’
mbele ya sanduku la agano la BWANA ili 7“Sasa basi, mwambie mtumishi wangu
wahudumu humo mara kwa mara, kulingana na Daudi, ‘Hili ndilo asemalo BWANA
mahitaji ya kila siku. 38Pia akamwacha Obed- Mwenye Nguvu: Nilikuchukua machungani
Edomu pamoja na wenzake sitini na wanane na kutoka kuandama kondoo ili uwatawale
wahudumu pamoja nao. Obed-Edomu mwana watu wangu Israeli. 8Nimekuwa pamoja
wa Yeduthuni na pia Hosa walikuwa mabawabu nawe po pote ulipokwenda, nami
wa lango. nimewakatilia mbali adui zako wote mbele
39Daudi akamwacha Sadoki, kuhani pamoja yako. Basi nitalifanya jina lako kuwa kama
na makuhani wenzake mbele ya hema ya ibada majina ya watu wengine wakuu sana wa
ya BWANA katika mahali pa juu pa kuabudia dunia. 9Nami nitawapatia watu wangu Israeli
huko Gibeoni 40ili kutoa sadaka za kuteketezwa mahali na nitawapa ili wawe na mahali pao
kwa BWANA kwenye madhabahu ya sadaka ya wenyewe pa kuishi na wasisumbuliwe tena.
kuteketezwa mara kwa mara, asubuhi na jioni, Watu waovu hawatawaonea tena, kama
sawasawa na kila kitu kilichoandikwa katika walivyofanya hapo mwanzo, 10na ambavyo
sheria ya BWANA ambayo alikuwa amempa wamefanya siku zote tangu nilipowachagua
Israeli. 41Waliohudumu pamoja nao walikuwa viongozi kwa ajili ya watu wangu Israel. Pia
Hemani, Yeduthuni na wale wote nitawatiisha adui zenu wote.
waliochaguliwa na kutajwa kwa jina kumpa Pamoja na hayo ninakuambia kwamba
BWANA shukrani, "Kwa maana fadhili zake BWANA atakujengea nyumba: 11Wakati
zadumu milele.'' 42Hemani na Yeduthuni wako utakapokuwa umekwisha, nawe
walikuwa na wajibu wa kupiga tarumbeta, ukawa umekwenda kukaa na baba zako,
matoazi na kutumia vyombo vingine kwa ajili ya nitamwinua mzao wako aingie mahali pako
nyimbo za sifa kwa Mungu. Wana wa Yeduthuni kama mfalme, mmoja wa wana wako
waliwekwa langoni. mwenyewe, nami nitaufanya imara ufalme
43Kisha watu wote wakaondoka, kila mmoja wake. 12Yeye ndiye atakayejenga nyumba
akarudi nyumbani kwake, naye Daudi akarudi kwa ajili yangu, nami nitakifanya imara kiti
20
1 MAMBO YA NYAKATI
cha ufalme wake milele. 13Mimi Daudi itafanywa imara mbele zako.
nitakuwa 25Wewe, Mungu wangu, umemfunulia
baba yake, naye atakuwa mwanangu. mtumishi wako Daudi kwamba utamjengea
Kamwe sitaondoa upendo wangu kwake, yeye nyumba. Hivyo mtumishi wako
kama nilivyouondoa kwa yeye amekuwa na ujasiri wa kukuomba maombi
aliyekutangulia. 14Nitamweka juu ya nyumba haya. 26Ee BWANA, wewe ndiye Mungu!
yangu na ufalme wangu milele, kiti chake Umemwahidi mtumishi wako mambo haya
cha enzi nitakifanya imara milele. mazuri. 27Basi imekupendeza kuibariki
nyumba ya mtumishi wako, ili ipate kudumu
15Nathani akamwarifu Daudi maneno yote ya milele machoni pako, kwa ajili yako, Ee
maono haya. BWANA, umeibariki, nayo itabarikiwa milele.
18
16Ndipo Mfalme Daudi akaingia ndani akaketi Baada ya muda, Daudi akawashinda
mbele za BWANA akasema: Wafilisti na kuwatiisha, akautwaa Gathi
pamoja na vijiji vinavyouzunguka kutoka katika
“Mimi ni nani, Ee BWANA Mungu utawala wa Wafilisti.
na jamaa yangu ni nini, hata unitendee haya 2Daudi akawashinda pia Wamoabu, wakawa
yote? 17Kama vile haya hayakutosha watumishi wake, nao wakawa wanamletea
machoni pako, Ee Mungu, umesema pia ushuru.
kuhusu siku zijazo za nyumba ya mtumishi 3Zaidi ya hayo, Daudi akapigana na
wako. Umeniangalia kama mtu aliyetukuka Hadadezeri mfalme wa Soba, hadi Hamathi,
kuliko watu wote, Ee BWANA Mungu. wakati alipokwenda kuimarisha utawala wake
18“Daudi aweza kukuambia nini zaidi katika Mto Eufrati. 4Daudi akateka magari ya vita
kuhusu kumheshimu mtumishi wako? Kwa 1,000 miongoni mwa magari yake, waendesha
maana wewe unamjua mtumishi wako, 19Ee hayo magari ya kukokotwa na farasi 7,000 na
BWANA Mungu. Kwa ajili ya mtumishi askari wa miguu 20,000. Daudi akakata mishipa
wako, tena sawasawa na mapenzi ya miguu ya nyuma ya farasi wote wakokotao
yako, umefanya hili jambo kubwa sana magari, ila akabakiza mia moja.
na kujulisha ahadi hizi zote zilizo 5Waaramu wa Dameski, walipokuja
kubwa sana. kumsaidia Hadadezeri mfalme wa Soba, Daudi
20Hakuna aliye kama wewe, Ee akawashambulia na kuwaua 22,000 miongoni
BWANA Mungu, wala hakuna Mungu ila mwao. 6Kisha Daudi akaweka askari walinzi
wewe, kama vile tulivyosikia kwa masikio katika ufalme wa Waaramu huko Dameski. Basi
yetu wenyewe. 21Naye ni nani aliye Waaramu wakawa watumishi wa Daudi, wakawa
kama watu wako Israeli, taifa moja wanamletea ushuru. BWANA akampa Daudi
duniani ambalo Mungu wake alitoka kwenda ushindi kila mahali alipokwenda.
kulikomboa kwa ajili yake mwenyewe na 7Daudi akatwaa zile ngao za dhahabu
21
1 MAMBO YA NYAKATI
shaba. moja a za fedha ili kukodisha magari ya vita
11Mfalme Daudi akaviweka vifaa hivi wakfu pamoja na waendeshaji wa hayo magari ya
kwa BWANA kama vile alivyokuwa amefanya kukokotwa na farasi, kutoka Aramu Naharaimu b ,
kwa fedha na dhahabu aliyokuwa ameitwaa Aram – Maaka na Soba. 7Walikodisha magari ya
katika mataifa yote haya: Edomu na Moabu, vita 32,000 yakiwa na waendeshaji wake,
Waamoni, Wafilisti na Waamaleki. pamoja na mfalme wa Maaka na vikosi vyake,
12Abishai mwana wa Seruya akawaua walikuja na kupiga kambi karibu na Medeba,
Waedomu 18,000 katika Bonde la Chumvi. Waamoni nao walikusanyika toka miji yao,
13Akaweka askari walinzi huko Edomu, nao wakatoka ili kupigana vita.
Waedomu wote wakawa watumishi wa Daudi. 8Daudi aliposikia juu ya haya, akamtuma
BWANA akampa Daudi ushindi kila mahali Yoabu na jeshi lote la wapiganaji. 9Waamoni
alipokwenda. wakatoka wakajipanga tayari kwa vita katika
ingilio la mji wao, wakati ambapo wale wafalme
Maafisa wa Daudi wengine waliokuja nao walijipanga kwa vita
14Daudi akatawala katika Israeli yote, uwanjani.
akitenda lililo haki na lililo sawa kwa watu wake 10Yoabu akaona kwamba jeshi limejipanga
wote. 15Yoabu, mwana wa Seruya alikuwa mkuu mbele yake na nyuma yake, kwa hiyo
wa jeshi, Yehoshafati mwana wa Ahiludi alikuwa akachagua baadhi ya vikosi bora katika Israeli
mtunza kumbukumbu, 16Sadoki, mwana wa na kuvipanga dhidi ya Waaramu. 11Akawaweka
Ahitubu na Ahimeleki mwana wa Abiathari wale wanajeshi wengine waliobaki chini ya amri
walikuwa makuhani, Shavsha alikuwa ya Abishai ndugu yake, nao wakapangwa ili
mwandishi, 17naye Benaia, mwana wa wakabiliane na Waamoni. 12Yoabu akasema,
Yehoyada alisimamia Wakerethi na Wapelethi, “Kama Waamoni watanizidi nguvu, basi
nao wana wa Daudi walikuwa maafisa wakuu itakupasa wewe unisaidie, lakini kama Waamoni
katika utumishi wa mfalme. watakuzidi nguvu, basi mimi nitakusaidia. 13Uwe
hodari na tupigane kwa ujasiri kwa ajili ya watu
Vita Dhidi Ya Waamoni wetu na miji ya Mungu wetu. BWANA atafanya
mahali pake kama mfalme. 2Daudi akawaza, naye wakasonga mbele kupigana na Waaramu,
“Nitamtendea mema Hanuni mwana wa nao Waaramu wakakimbia. 15Waamoni
Nahashi, kwa sababu baba yake alinitendea walipoona Waaramu wanakimbia, nao pia
mema.” wakakimbia mbele ya nduguye Abishai na
Hivyo Daudi akatuma wajumbe ili kumfariji kuingia ndani ya Mji. Hivyo Yoabu, akarudi
Hanuni kwa ajili ya kifo cha baba yake. Watu wa Yerusalemu.
Daudi walipofika kwa Hanuni katika nchi ya 16Baada ya Waaramu kuona kwamba
22
1 MAMBO YA NYAKATI
19Raia wa Hadadezeri walipoona kuwa 3Yoabu akajibu, “ BWANA na aongeze jeshi
wameshindwa na Israeli, wakafanya mapatano ya lake mara mia na zaidi. Mfalme BWANA wangu,
amani na Daudi, wakawa watumishi wake. kwani hawa wote si raia wa BWANA wangu? Kwa
Hivyo Waaramu hawakukubali Waamoni nini BWANA wangu unataka
kuwasaidia tena.
Vita na Wafilisti
4Baada ya muda, kulitokea vita dhidi ya Wafilisti,
nguvu juu ya Yoabu; kwa hiyo Yoabu ndiye niliyeamuru watu wahesabiwe? Mimi ndiye
akaondoka na kuzunguka Israeli yote kisha niliyetenda dhambi na kukosa. Hawa ni kondoo
akarudi Yerusalemu. 5Yoabu akampa Daudi tu. Kwani wao wamekosa nini? Ee, BWANA
jumla ya idadi ya watu wanaoweza kupigana. Mungu wangu, mkono wako na uwe juu yangu
Katika Israeli kulikuwa na watu 1,100,000 mimi na jamaa yangu, lakini usiache tauni hii
ambao wangeweza kutumia upanga na katika iendelee juu ya watu wako.”
Yuda watu 470,000. 18Kisha malaika wa BWANA akamwamuru
6Lakini Yoabu hakuwahesabu Walawi na Gadi amwambie Daudi apande na kumjengea
Wabenyamini, kwa sababu alichukizwa sana na BWANA madhabahu katika uwanja wa kupuria
amri ya mfalme. 7Amri hii ilikuwa mbaya nafaka wa Arauna Myebusi. 19Kwa hiyo Daudi
machoni pa Mungu pia, hivyo akaiadhibu Israeli. akakwea akalitii lile neno ambalo Gadi alikuwa
8Kisha Daudi akamwambia Mungu, amelisema katika jina la BWANA.
“Nimetenda dhambi kubwa kwa kufanya hivi. 20Wakati Arauna alipokuwa anapura ngano,
Sasa, ninakusihi, ondoa hatia ya mtumishi wako. akageuka akamwona yule malaika. Wanawe
Nimefanya jambo la kipumbavu sana”. wanne waliokuwa pamoja naye wakajificha,
9 BWANA akamwambia Gadi, mwonaji wa yeye akaendelea kupura ngano 21Kisha Daudi
Daudi, 10“Nenda ukamwambie Daudi, Hili ndilo akakaribia, Arauna alipotazama na kumwona,
asemalo BWANA : ninakupa kuchagua kati ya akaondoka kwenye uwanja wa kupuria nafaka
mambo matatu. Chagua mojawapo ili nipate akamsujudia Daudi akainamisha uso wake
kulitenda dhidi yako.” mpaka chini.
11Kwa hiyo Gadi akamwendea Daudi 22Daudi akamwambia, “Nipatie huu uwanja
akamwambia, “Hili ndilo BWANA asemalo: wako wa kupuria nafaka ili niweze kujenga
‘Chagua: 12Miaka mitatu ya njaa, au miezi mitatu madhabahu ya BWANA tauni ipate kukomeshwa
ya kushindwa na adui zako, ukipatwa na upanga katika watu. Niuzie kwa bei yake kamili.
wao, au siku tatu za upanga wa BWANA, yaani, 23Arauna akamwambia Daudi, “Uchukue
siku za tauni katika nchi na malaika wa BWANA huo Uwanja. Mfalme BWANA wangu na afanye
akiangamiza kila mahali katika Israeli. Sasa lolote analopenda. Tazama, nitatoa maksai kwa
basi, amua jinsi nitakavyomjibu yeye ajili ya sadaka za kuteketezwa, vifaa vya kupuria
aliyenituma.” kuwa kuni, pamoja na ngano kwa ajili ya
13Daudi akamwambia Gadi, “Ninayo dhabihu ya nafaka. Natoa hivi vyote.
mahangaiko makubwa. Mimi na nianguke 24Lakini mfalme Daudi akamjibu Arauna “La
mikononi mwa BWANA kwa sababu rehema hasha lakini ninasisitiza kwamba nitalipa bei
zake ni kuu mno, lakini usiniache niangukie yake kamili. Sitachukuwa kilicho chako kwa ajili
mikononi mwa wanadamu. ya BWANA au kutoa sadaka ya kuteketezwa
14Basi BWANA akapeleka tauni juu ya ambayo hainigharimu chochote.
Israeli, watu 70,000 wa Israeli wakafa. 15Mungu 25Basi Daudi akamlipa Arauna shekeli za
akapeleka malaika kuangamiza Yerusalemu. dhahabu mia sita a kwa ajili ya ule uwanja.
Lakini malaika alipokuwa akifanya hivyo, 26Kisha Daudi akamjengea BWANA madhabahu
BWANA akaona na akahuzunika kwa sababu ya mahali hapo na kumtolea sadaka za kutekezwa
maafa akamwambia yule malaika aliyekuwa na sadaka za amani. Akamwita BWANA naye
anaangamiza watu, “Yatosha! Sasa rudisha BWANA akajibu maombi yake kwa moto toka
mkono wako.” Wakati huu huyu malaika wa mbinguni juu ya madhabahu ya sadaka ya
BWANA alikuwa amesimama katika uwanja wa kuteketezwa.
kupuria nafaka wa Arauna a Myebusi. 27Kisha BWANA akanena na yule malaika,
16Daudi akayainua macho yake akamwona naye akarudisha upanga wake katika ala yake.
huyo malaika wa BWANA akiwa amesimama 28Wakati huo, Daudi alipoona kwamba BWANA
katikati ya mbingu na dunia, naye ameunyosha amemjibu kule kwenye uwanja wa kupuria
upanga wake juu ya Yerusalemu tayari nafaka wa Arauna Myebusi, akatoa dhabihu
a15 “Arauna’’ ni jina lingine ambalo ni Ornani kwa Kiebrania. a25 Shekeli mia sita za dhahabu ni sawa na kilo 7.
24
1 MAMBO YA NYAKATI
huko. 29Maskani ya BWANA ambayo Mose 11“Sasa, mwanangu, BWANA awe pamoja
aliitengeneza kule jangwani, pamoja na nawe, nawe uwe na mafanikio upate kuijenga
madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa kwa nyumba ya BWANA Mungu wako, kama
wakati huo vilikuwa viko mahali pa juu pa alivyosema utafanya. 12 BWANA na akupe
kuabudu huko Gibeoni. 30Lakini Daudi busara na ufahamu wakati atakapokuweka juu
hakuthubutu kuisogelea ili kumwuliza Mungu, ya Israeli, ili uweze kuishika sheria ya BWANA
kwa sababu aliuogopa upanga wa yule malaika Mungu wako. 13Ndipo utakapofanikiwa, ikiwa
wa BWANA. utakuwa na bidii kutii amri na sheria BWANA
alizompa Mose kwa ajili ya Israeli. Uwe
Kisha Daudi akasema, “Nyumba ya BWANA 22 hodari na ushujaa. Usiogope wala
Mungu itakuwa mahali hapa, pia pamoja na usishuke moyo.
madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa kwa ajili 14Nimejitaabisha sana ili kupata mahitaji kwa
kwa ajili ya Jina langu, kwa sababu umemwaga wa Israeli, pamoja na makuhani na Walawi.
damu nyingi juu ya nchi machoni pangu. 9Lakini 3Walawi waliokuwa na umri wa miaka thelathini
Mahli na Mushi.
Wagershoni
7Wana wa Wagershoni walikuwa wawili: Wana wa Mahli walikuwa:
Ladani na Shimei. Eliazari na Kishi.
8Wana wa Ladani walikuwa watatu: 22Eliazari akafa bila kuwa na wana. Alikuwa na
Yehieli mkuu wao, Zethamu na Yoeli. binti tu. Binamu zao, wana wa Kishi, wakawaoa.
9Wana wa Shimei walikuwa watatu: 23Wana wa Mushi walikuwa watatu:
wake milele, wawe wakiweka wakfu vile wazao wa Aroni kuhudumu katika hekalu la
vitu ambavyo ni vitakatifu mno, BWANA : Kuwa wasimamizi wa nyua, vyumba
kutoa dhabihu mbele za BWANA vya pembeni, kutakasa vyombo vitakatifu na
kuhudumu mbele zake na utendaji mwingine wowote katika nyumba ya
kutamka baraka katika jina la BWANA Mungu. 29Walikuwa wasimamizi wa mikate
milele. 14Wana wa Mose mtu wa Mungu iliyowekwa mezani, unga kwa ajili ya sadaka za
walihesabiwa kama sehemu ya kabila la nafaka, mikate isiyotiwa chachu, uokaji na
Lawi. uchanganyaji, pamoja na vipimo vyote vya wingi
15Wana wa Mose walikuwa: na ukubwa. 30Pia ulikuwa wajibu wao kila
Gershomu na Eliezeri. asubuhi kumshukuru na kumsifu BWANA.
16Wazao wa Gershomu: Iliwapasa pia kufanya hivyo jioni 31na wakati
Shubaeli alikuwa mkuu wao, wowote sadaka za kuteketezwa zilipotolewa kwa
17Wazao wa Eliezeri: BWANA siku za Sabato na kwenye sikukuu za
Eliezeri alikuwa na mwana mmoja tu, Mwezi Mwandamo na katika sikukuu nyingine
Rehabia,naye alikuwa mkuu wao. Lakini zilizoamuriwa. Iliwapasa kuhudumu mbele za
wana wa Rehabia walikuwa wengi sana, BWANA mara kwa mara kwa idadi maalum na
18Wana wa Ishari: kwa namna waliyokuwa wamepewa maelekezo.
Shelomithi alikuwa mkuu wao. 32Hivyo Walawi wakafanya wajibu wao
19Wana wa Hebroni walikuwa wanne: katika Hema la Mkutano, katika Mahali
Yeria alikuwa mkuu wao, wa pili Amaria, Patakatifu chini ya uongozi wa ndugu zao wazao
wa tatu Yahazieli na wa nne Yekameamu. wa Aroni, kwa ajili ya utumishi katika hekalu la
20Wana wa Uzieli walikuwa wawili: BWANA.
Mika mkuu wao na Ishia wa pili.
Migawanyo ya Makuhani
a9 Shelomothi ndiye Shelomithi.
b10 Ziza ndiye tafsiri nyingine zinamwita “Zina.’’ 24 Hii ndiyo migawanyo ya wana wa Aroni:
Aroni alikuwa na wana wanne: Nadabu,
26
1 MAMBO YA NYAKATI
Abihu, Eleazari na Ithamari.2Nadabu na Abihu
walikufa kabla ya baba yao, nao hawakuwa na 19Huu ulikuwa ndio utaratibu wao
wana, kwa hiyo ndugu zao Eleazari na Ithamari uliokubalika wa kuhudumu walipoingia katika
wakahudumu kama makuhani. 3Akisaidiwa na hekalu la BWANA kulingana na masharti
Sadoki mwana wa Eleazari na Ahimeleki mwana waliyoelekezwa na Aroni baba yao, kama
wa Ithamari, Daudi aliwapanga wazao wa Aroni BWANA, Mungu wa Israeli, alivyokuwa
katika migawanyo kufuatana na wajibu wa amemwamuru.
huduma zao. 4Idadi kubwa ya viongozi
walipatikana miongoni mwa wazao wa Eleazari, Walawi waliobaki
kuliko miongoni mwa wazao wa Ithamari, nao 20Kuhusu wazao waliobaki wa Lawi:
waligawanywa kwa uwiano: Viongozi kumi na kutoka kwa wana wa Amramu, alikuwa
sita wa jamaa kutoka wazao wa Eleazari na Shubaeli,
viongozi wanane wa jamaa kutoka uzao wa kutoka kwa wana wa Shubaeli alikuwa
Ithamari. 5Waliwagawanya bila upendeleo kwa Yedeia.
kupiga kura, kwa kuwa kulikuwa na maafisa wa 21Kwa wa Rehabia, kutoka kwa wanawe,
25
17ya ishirini na moja Yakini, wakawatenga baadhi ya wana wa Asafu, wana
ya ishirini na mbili Gamuli, wa Hemani na wana wa Yeduthuni, kwa ajili ya
18ya ishirini na tatu Delaia, huduma ya kutoa unabii, wakitumia vinubi, zeze
ya ishirini na nne na matoazi. Hii ndiyo orodha ya watu waliofanya
Maazia. huduma hii.
27
1 MAMBO YA NYAKATI
12ya tano ikamwangukia Nethania, wanawe
2Kutoka kwa wana wa Asafu walikuwa: na jamaa zake, jumla yao
Zakuri, Yosefu, Nethania na Asarela. Wana kumi na
wa Asafu walikuwa chini ya usimamizi wa wawili,
Asafu, ambaye alitoa unabii chini ya 13ya sita ikamwangukia Bukia,
usimamizi wa baba yao Yeduthuni, wao wanawe na jamaa zake, jumla yao kumi na
walikuwa wakitoa unabii wakitumia vinubi, wawili,
wakimshukuru na kumtukuza BWANA.
wanawe na jamaa zake, jumla yao kumi 26 Hii ndiyo migawanyo ya mabawabu:
29
1 MAMBO YA NYAKATI
ijapokuwa hakuwa mzaliwa wa kwanza), aliokuwa majemadari wa maelfu na
11Hilkiawa pili, Tabalia wa tatu na Zekaria majemadari wa mamia, na kwa maafisa
wa nne. Wana na jamaa za Hosa jumla yao wengine wa jeshi. 27Baadhi ya nyara
walikuwa watu kumi na watatu. zilizotekwa vitani waliziweka wakfu kwa ajili
12Hii migawanyo ya mabawabu, kupitia ya ukarabati wa hekalu la BWANA. 28Kila
wakuu wao, walikuwa na zamu za kuhudumu kitu kilichokuwa kimewekwa wakfu na
hekaluni mwa BWANA kama jamaa zao Samweli mwonaji na Sauli mwana wa Kishi,
walivyokuwa nazo. 13Kura zilipigwa kwa kila Abneri mwana wa Neri na Yoabu mwana wa
lango, kufuatana na jamaa zao, wakubwa kwa Seruya, pamoja na vitu vingine vyote
wadogo. vilivyokuwa vimewekwa wakfu vilikuwa chini
14Kura ya Lango la Mashariki ilimwangukia ya uangalizi wa Shelomithi na jamaa zake.
Shelemia a . Kisha wakapiga kura kwa Zekaria 29Kutoka kwa wana wa Ishari: Kenani na
mwanawe, aliyekuwa mshauri mwenye hekima, wanawe walipewa kazi nje ya hekalu kama
nayo kura ya Lango la Kaskazini ikamwangukia. maafisa na waamuzi juu ya Israeli.
15Kura ya Lango la Kusini ikamwungukia Obed- 30Kutoka kwa wana wa Hebroni: Hashabia na
Edomu, nayo kura ya maghala ikawaangukia jamaa zake, watu 1,700 wenye uwezo,
wanawe. 16Kura za lango la Magharibi na lango waliwajibika katika Israeli Magharibi ya
la Shalekethi kwenye barabara ya juu Yordani kwa ajili ya kazi zote za BWANA na
zikawaangukia Shupimu na Hosa. utumishi wa mfalme 31Kuhusu wana wa
Zamu za walinzi ziligawanywa kwa usawa. Hebroni, Yeria alikuwa mkuu wao kufuatana
17Kulikuwa na Walawi sita kila siku upande wa na orodha ya jamaa yao. Katika mwaka wa
Mashariki, wanne upande wa Kaskazini, wanne arobaini wa utawala wa Daudi uchunguzi
upande wa Kusini na wawili wawili kwa mara ulifanyika katika kumbukumbu, nao watu
moja kwenye ghala. 18Kuhusu ukumbi kuelekea wenye uwezo miongoni mwa wana wa
Magharibi, kulikuwa na wanne barabarani na Hebroni wakapatikana huko Yazeri katika
wawili kwenye ukumbi wenyewe. Gileadi. 32Yeria alikuwa na jamaa ya watu
19Hii ndiyo iliyokuwa migawanyo ya wana 2,700, waliokuwa watu wenye uwezo na
wa Kora na wana wa Merari. viongozi wa jamaa, Mfalme Daudi
akawaweka kuangalia Wareubeni, Wagadi
Watunza Hazina na Maafisa Wengine na nusu ya kabila Manase kuhusu kila
20Katika Walawi, Ahiya alikuwa mwangalizi jambo lililomhusu Mungu na shughuli za
wa hazina za nyumba ya Mungu na mwangalizi mfalme.
wa hazina za vitu vilivyowekwa wakfu.
21Wazao wa Ladani, ambao walikuwa Vikosi vya Jeshi
27
Wagerishoni kupitia Ladani na ambao walikuwa Hii ndiyo orodha ya watu wa Waisraeli,
viongozi wa jamaa za Ladani Mgerishoni, viongozi wa jamaa, majemadari wa
walikuwa Yehieli, 22wana wa Yehieli, wana wa maelfu, majemadari wa mamia na maafisa wao,
Zethamu na wa nduguye Yoeli, wao walikuwa waliomtumikia mfalme kwa lo lote lile lililohusu
waangalizi wa hazina za hekalu la BWANA. vikosi vya jeshi vile vilivyokuwa zamu mwezi
23Kutoka kwa wana wa Amramu, wana wa baada ya mwezi katika mwaka mzima. Kila
Ishari wana wa Hebroni na wana wa Uzieli, kikosi kimoja kilikuwa na watu 24,000.
zote za vitu vile vilivyowekwa wakfu na Dodau Mhohi, Miklothi ndiye aliyekuwa
Mfalme Daudi, kwa viongozi wa jamaa kiongozi wa kikosi chake. Kikosi chake
kilikuwa na watu 24,000.
a14 “Shelemia’’ huyu ndiye “Meshelemia.’’ 5Jemadari wa kikosi cha tatu, kwa mwezi wa
30
1 MAMBO YA NYAKATI
tatu, alikuwa Benaiya mwana wa Yehoyada kwa Wanaftali, Yerimothi mwana wa Azrieli,
kuhani. Yeye ndiye aliyekuwa mkuu wa 20kwa Waefraimu, Hoshea mwana wa Azazia,
kikosi chake kilikuwa na watu 24,000. 6Huyu kwa nusu ya kabila la Manase, Yoeli mwana
ndiye yule Benaiya aliyekuwa shujaa wa Pedaya,
miongoni mwa wale Thelathini na ndiye 21kwa nusu nyingine ya kabila la Manase huko
aliyekuwa juu yao hao Thelathini. Mwanawe Gileadi, Ido mwana wa Zekaria,
Amizabadi ndiye aliyekuwa mkuu katika kwa Wabenyamini, Yaasieli mwana wa
kikosi chake. Abneri,
7Jemadari wa nne, kwa mwezi wa nne, alikuwa 22kwa Wadani, Azareli mwana wa Yerohamu.
Asaheli nduguye Yoabu, mwanawe Zebadia Hao ndio waliokuwa maafisa wa kabila la
ndiye aliyeingia mahali pake kwenye Israeli.
uongozi. Kikosi chake kilikuwa na watu
24,000. 23Daudi hakuwahesabu wale watu
8Jemadari wa kikosi cha tano kwa mwezi wa waliokuwa chini ya miaka ishirini, kwa sababu
tano alikuwa Shamhuthi Mwizrahi, kikosi Mungu alikuwa ameahidi kuwafanya Israeli
chake kilikuwa na watu 24,000. kuwa wengi kama nyota za angani. 24Yoabu
9Jemadari wa kikosi cha sita kwa mwezi wa sita, mwana wa Seruya alianza kuwahesabu watu
alikuwa Ira, mwana wa Ikeshi Mtekoi. Kikosi lakini hakumaliza. Kwa sababu ya kuwahesabu
chake kilikuwa na watu 24,000. watu, hasira ya Mungu iliwaka juu ya Israeli,
10Jemadari wa kikosi cha saba kwa mwezi wa nayo hiyo hesabu yao haikuingizwa katika kitabu
saba, alikuwa Helesi Mpeloni Mwefraimu. cha kumbukumbu za Mfalme Daudi.
Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
11Jemadari wa nane kwa mwezi wa nane, Wasimamizi wa Mali za Mfalme
alikuwa Sibeksi Mhushathi wa Wazera. 25Azmavethi mwana wa Adieli, ndiye
31
1 MAMBO YA NYAKATI
Hawa wote ndio waliokuwa maafisa yote na kusanyiko hili la BWANA naye Mungu
wasimamizi wa mali alizokuwa nazo Mfalme wetu akiwa anasikia: Iweni na bidii kuzifuata
Daudi, amri za BWANA Mungu wenu, ili mpate kumiliki
nchi hii nzuri na kuwaachia wana wenu kuwa
32Yonathani mjomba wa Daudi alikuwa urithi milele.
mshauri, mtu mwenye ufahamu mkubwa na 9“Nawe, Solomoni mwanangu, mjue Mungu
mwandishi. Yehieli mwana wa Hakmoni alikuwa wa baba yako, ukamtumikie kwa kujitoa kwa
akiwahudumia wana wa mfalme. moyo wote na kwa nia ya kumkubali, kwa
33Ahithoefeli alikuwa mshauri wa mfalme. maana BWANA huuchunguza kila moyo na
Hushai Mwarki alikuwa rafiki wa mfalme. kujua kila kusudi la kila fikira. Ukimtafuta,
34Baada ya Ahithofeli, Yehoyada mwana wa ataonekana kwako, bali kama ukimwacha, Yeye
Benaia aliingia mahali pake kama mshauri wa atakukataa wewe milele. 10Angalia basi, kwa
mfalme pamoja na Abiathari. maana BWANA amekuchagua wewe ili ujenge
Yoabu alikuwa ndiye jemadari wa majeshi hekalu kuwa mahali patakatifu. Uwe hodari
ya mfalme. ukafanye kazi hiyo”.
11Ndipo Daudi akampa mwanawe kielelezo
Maandalizi ya Daudi Ya Kujenga Hekalu kwa ajili ya ukumbi wa hekalu, nyumba zake,
28 Daudi akawaita maafisa wote wa Israeli
wakusanyike huko Yerusalemu: yaani,
vyumba vyake vya hazina, ghorofa zake,
vyumba vyake vya ndani na mahali pa kufanyia
maafisa walio juu ya makabila, majemadari wa upatanisho. 12Akampa vielelezo vya yote
vikosi katika utumishi wa mfalme,majemadari wa ambavyo Roho alikuwa ameweka moyoni
maelfu na majemadari wa mamia, maafisa mwake kwa ajili ya kumbi za hekalu la BWANA
wanaosimamia mali zote na mifugo ya mfalme na vyumba vyote vinavyolizunguka, kwa ajili ya
na wanawe, wakiwemo maafisa wa jumba la hazina za hekalu la Mungu na kwa hazina za
kifalme, mashujaa na maaskari wote walio vitu vilivyowekwa wakfu. 13Mfalme pia akampa
hodari. Solomoni maelekezo kwa ajili ya migawanyo ya
2Mfalme Daudi akainuka na kusema: huduma za makuhani na Walawi, pia kwa ajili ya
“Nisikilizeni ndugu zangu nanyi watu wangu. kazi zote za huduma katika hekalu la BWANA
Nilikuwa na nia ya kujenga nyumba ili iwe akampa pia maelezo kuhusu vifaa vyote vya
mahali pa kukaa sanduku la agano la BWANA kutumika katika huduma ya hekalu.
kwa ajili ya kuwa mahali pa kuwekea miguu ya 14Akamwagizia uzito wa dhahabu kwa ajili ya
Mungu wetu, nami nikafanya maandalizi ya vitu vyote vya dhahabu vya kutumika katika
kuijenga. 3Lakini Mungu akaniambia, ‘Wewe huduma mbalimbali, uzito wa fedha kwa ajili ya
hutajenga nyumba kwa jina langu, kwa sababu vitu vyote vya fedha vya kutumika katika
wewe umepigana vita na umemwanga damu’.” huduma mbalimbali. 15Uzito wa dhahabu kwa
4“Hata hivyo BWANA, Mungu wa Israeli, ajili ya vinara vya dhahabu na taa zake, kukiwa
alinichagua mimi kutoka jamaa yangu yote niwe na uzito kwa ajili ya kila kinara na taa zake
mfalme juu ya Israeli milele. Alimchagua Yuda pamoja na uzito wa fedha kwa ajili ya kila kinara
kuwa kiongozi na kutoka katika nyumba ya Yuda cha fedha na taa zake, kulingana na matumizi
akaichagua jamaa yangu na kutoka katika wana ya kila kinara, 16uzito wa dhahabu kwa ajili ya
wa baba yangu ikampendeza kunifanya niwe meza ya mikate iliyowekwa wakfu, uzito wa
mfalme juu ya Israeli yote. 5Miongoni mwa fedha kwa ajili ya meza ya fedha, 17uzito wa
wanangu wote, naye BWANA amenipa wengi, dhahabu safi kwa ajili ya nyuma, mabakuli ya
amemchagua Solomoni mwanangu ili kukikalia kunyunyizia na vikombe, masinia, uzito wa
kiti cha enzi cha ufalme wa BWANA juu ya dhahabu kwa ajili ya kila bakuli la dhahabu, uzito
Israeli. 6Aliniambia: ‘Solomoni mwanao ndiye wa fedha kwa ajili ya kila bakuli la fedha 18na
atakayejenga nyumba yangu na nyua zangu, uzito wa dhahabu safi kwa ajili ya madhabahu
kwa maana nimemchagua yeye kuwa ya kufukizia uvumba. Pia alimpa kielelezo kwa
mwanangu, nami nitakuwa baba yake. ajili ya gari, yaani, wale makerubi wa dhahabu
7Nitaufanya imara ufalme wake milele kama waliokunjua mbawa zake na kuweka kivuli juu
akiendelea kuzishika amri zangu na sheria ya sanduku la agano la BWANA.
zangu, kama afanyavyo hivi leo’. 19Daudi akasema, “Hii yote, ninayo kwa
8“Hivyo basi ninawaagiza mbele za Israeli maandishi kutoka mkononi mwa BWANA ulio
32
1 MAMBO YA NYAKATI
juu yangu, naye amenipa ufahamu kwa ajili ya
habari zote za kielelezo hiki.” 7Wakatoa kwa ajili ya kazi ya hekalu la Mungu
20Daudi pia akamwambia Solomoni talanta 5,000 c na darkoni 10,000 d za dhahabu,
mwanawe, “Uwe hodari na moyo mkuu, talanta 10,000 e za fedha, talanta 18,000 f za
ukafanye kazi hii. Usiogope wala usifadhaike, shaba na talanta 100,000 g za chuma. 8Kila
kwa maana BWANA aliye Mungu, Mungu wangu mmoja aliyekuwa na vito vya thamani akavitoa
yu pamoja nawe. Hatakuacha wala katika hazina ya hekalu la BWANA chini ya
hatakupungukia mpaka kazi hii yote kwa ajili ya uangalizi wa Yehieli Mgerishoni. 9Watu
utumishi wa hekalu la BWANA itakapokamilika. wakafurahi kwa sababu ya itikio la hiari la
21Migawanyo ya makuhani na Walawi iko tayari viongozi wao, kwa kuwa walikuwa wametoa kwa
kwa ajili ya kazi yote katika hekalu la Mungu, hiari na kwa moyo wote kwa BWANA. Mfalme
naye kila mtu mwenye moyo wa kupenda Daudi pia akafurahi sana.
mwenye ustadi katika aina yo yote ya ufundi
atakusaidia katika kazi yote. Maafisa na watu Maombi ya Daudi
wote watatii kila agizo lako” 10Daudi akamhimidi BWANA mbele ya
kwa sababu Hekalu hili la fahari si kwa ajili ya utukufu na enzi na uzuri,
mwanadamu bali ni kwa ajili ya BWANA. 2Kwa kwa kuwa kila kilichoko mbinguni na duniani
uwezo wangu wote nimetoa kwa ajili ya Hekalu ni chako Wewe.
la Mungu wangu, dhahabu kwa kazi za Ee BWANA, ufalme ni wako,
dhahabu, fedha kwa ajili ya fedha, shaba kwa umetukuzwa kuwa mkuu juu ya yote.
kazi za shaba, chuma kwa kazi za chuma na 12Utajiri na heshima vyatoka kwako,
miti kwa kazi za miti, vivyo hivyo vito vya Wewe ndiwe utawalaye vitu vyote.
Shohamu kwa ajili ya kutia kwenye vijalizo, Mikononi mwako kuna nguvu na uweza
almasi, mawe ya rangi mbalimbali, aina zote za kuinua na kuwapa wote nguvu,
mawe ya thamani, marimari, yote haya kwa 13Sasa, Mungu wetu, tunakushukuru
wingi mno. 3Zaidi ya hayo, kwa kujitolea kwangu na kulisifu jina lako tukufu.
kwa ajili ya hekalu la Mungu wangu sasa
ninatoa hazina zangu mwenyewe za dhahabu 14“Lakini
mimi ni nani, nao watu wangu ni
na fedha kwa ajili ya hakalu la Mungu wangu, nani, hata tuweze kukutolea kwa ukarimu
kwa uwezo na zaidi ya uwezo wangu nimetoa namna hii? Vitu vyote vyatoka kwako, nasi
kwa ajili ya hekalu hili takatifu: 4talanta 3,000 a za tumekutolea tu vile vitokavyo mkononi mwako.
dhahabu (dhahabu ya Ofiri) na talanta 7,000 b za 15Sisi ni wageni na wapitaji machoni pako, kama
fedha safi iliyosafishwa, kwa ajili ya kufunika walivyokuwa baba zetu wote. Siku zetu duniani
kuta za hekalu, 5kwa kazi ya dhahabu na kazi ya ni kama kivuli, bila tumaini. 16Ee BWANA Mungu
fedha na kwa kazi yote itakayofanywa na wetu, kwa wingi wote huu ambao tumekutolea
mafundi. Basi, ni nani anayependa kujitoa kwa kwa kujenga hekalu kwa ajili ya Jina lako
BWANA leo? Takatifu, vimetoka mkononi mwako, navyo vyote
6Ndipo viongozi wa jamaa, maafisa wa ni mali yako. 17Ninajua, Mungu wangu, kwamba
kabila za Israeli, majemadari wa maelfu na Wewe huujaribu moyo na unapendezwa na
majemadari wa mamia, pamoja na maafisa unyoofu. Vitu hivi vyote nimetoa kwa hiari na
waliokuwa wasimamizi wa kazi za mfalme kwa moyo
wakatoa kwa hiari yao.
33
1 MAMBO YA NYAKATI
mnyofu. Nami sasa nimeona kwa furaha jinsi 30pamoja na habari zote za utawala wake,
watu wako walioko hapa kwa hiari yao nguvu zake na matukio yaliyompata yeye, Israeli
walivyokutolea Wewe. 18Ee BWANA, Mungu wa na falme za nchi nyingine zote.
baba zetu Abrahamu, Isaki na Israeli, weka
shauku hii ndani ya mioyo ya watu wako daima
na uifanye mioyo yao iwe na uaminifu kwako.
19Nawe umpe mwanangu Solomoni kujitolea
34
2MAMBO YA NYAKATI
Utangulizi
2Mambo ya Nyakati kinaendelea kuzungumza historia ya ukoo wa kifalme wa Daudi. Sura 1-9 kinaelezea
kujengwa kwa hekalu wakati wa utawala wa Mfalme Solomoni. Sura ya 10-36 kinaelezea historia ya ufalme wa
kusini wa Yuda mpaka kufikia kuharibiwa kwa Yerusalemu na watu kupelekwa uhamishoni Babeli.
Kitabu hiki, kama 1Mambo ya Nyakati, kinazungumzia jinsi ambavyo uhusiano wa watu na Mungu ni jambo
muhimu kuliko vitu vyote. Mwandishi anaelezea kwa kifupi tawala za wafalme waovu lakini tawala za wafalme
wema amezieleza kwa kirefu.
Mwanzoni 1 na 2Mambo ya Nyakati vilikuwa kitabu kimoja, kikionyesha umuhimu wa hekalu na uamsho wa
kiroho katika Yuda. 2Mambo ya Nyakati kinaenda sambamba na 1 na 2Wafalme na kinatoa ufafanuzi wake.
Ufalme wa kaskazini, yaani Israeli, haukutajwa kabisa katika historia hii.
Wahusika Wakuu
Solomoni, Malkia wa Sheba, Rehoboamu, Asa, Yehoshafati, Yehoramu, Yoashi, Uzia (Azaria), Ahazi,
Hezekia, Manase na Yosia.
Mahali
Yerusalemu.
Wazo Kuu
Kitabu kinaelezea kwa kina habari za ujenzi wa hekalu.Kitabu hiki kama kile cha kwanza kinaonyesha wajibu
wa Mungu katika historia ya watu Wake na mwingiliano kati ya maisha ya kiroho na ya kisiasa. Wafalme
wanapimwa na jinsi walivyokuwa waaminifu kwa Mungu.
Mwandishi
Hakuna habari zilizo wazi kuhusu mwandishi wa kitabu hiki, ila Ezra, kulingana na utamaduni wa Kiyahudi.
Tarehe
1279 – 461 K.K.
Mgawanyo
• Utawala wa Solomoni (1:1-9:31)
• Wafalme wa Yuda (10:1-36:14)
• Kuharibiwa kwa Yerusalemu (36:15-23)
1
2MAMBO YA NYAKATI
Solomoni Aomba Hekima navyo na hakuna ye yote baada yako
Solomoni mwana wa Daudi alijiimarisha atakayekuwa navyo”.
1 kwenye milango yote! Katika ufalme wake, 13Ndipo Solomoni akaenda mpaka
kwa kuwa BWANA Mungu wake alikuwa pamoja Yerusalemu kutoka mahali pa juu pa kuabudia
naye, naye akamfanya mkuu mno. huko Gibeoni, kutoka mbele ya Hema la Mkutano.
2Ndipo Solomoni akasema na Israeli wote, Naye akatawala juu ya Israeli.
majemadari wa maelfu na majemadari wa 14Solomoni akakusanya magari ya vita na
mamia, waamuzi na viongozi wote katika Israeli, farasi, alikuwa na magari ya vita 1,400 na farasi
pamoja na wakuu wa jamaa. 3Naye Solomoni na 12,000, ambayo aliyaweka katika miji ya magari
kusanyiko lote wakakwea mpaka mahali pa juu ya vita na pia pamoja naye huko Yerusalemu.
pa kuabudia huko Gibeoni, kwa kuwa huko 15Mfalme akaongeza fedha na dhahabu zikawa
ndiko hema la Mungu la Mkutano lilipokuwa, kitu cha kawaida kama vile mawe huko
ambalo Mose mtumishi wa BWANA alikuwa Yerusalemu, nayo mierezi ikawa mingi kama
amelitengeneza huko jangwani. 4Basi Daudi miti ya mikuyu chini ya vilima. 16Farasi wa
alikuwa amelipandisha sanduku la Mungu Solomoni waliletwa kutoka Misri na kutoka Kue a ,
kutoka Kiriathi–Yearimu mpaka mahali wafanya biashara wa kifalme waliwanunua
alipokuwa amepatengeneza kwa ajili yake, kwa kutoka Kue. 17Walileta magari ya vita kutoka
sababu alikuwa amesimamisha hema kwa ajili Misri kwa bei ya shekeli 600 b za fedha kwa kila
ya hilo sanduku huko Yerusalemu. 5Lakini ile moja, na kwa kila farasi shekeli 150 c . Pia
madhabahu ya shaba ambayo Bazaleli mwana wakawapeleka ili kuwauzia wafalme wote wa
wa Uri, mwana wa Huri, alikuwa ametengeneza Wahiti na wa Waaramu.
ilikuwa huko Gibeoni mbele ya maskani ya
BWANA Mungu, hivyo Solomoni na kusanyiko Maandalizi Ya Kujenga Hekalu
walimtafuta Mungu huko. 6Solomoni akapanda
huko ilikokuwa madhabahu ya shaba mbele za 2 Solomoni akatoa amri kujenga hekalu kwa
ajili ya Jina la BWANA na jumba la kifalme
BWANA katika Hema la Mkutano na kutoa kwa ajili yake mwenyewe. 2Akaandika watu
dhabihu 1,000 za sadaka za kuteketezwa juu 70,000 kuwa wachukuzi na watu 80,000 kuwa
yake. wachonga mawe vilimani na watu 3,600 kuwa
7Usiku ule Mungu akamtokea Solomoni na wasimamizi wao. 3Solomoni akapeleka ujumbe
kumwambia, “Omba lo lote unalotaka mimi huu kwa Mfalme Hiramu wa Tiro:
nitakupa.’’
8Solomoni akamjibu Mungu “Unitumie magogo ya mierezi kama
“Umemwonyesha baba yangu Daudi fadhili ulivyomfanyia baba yangu Daudi wakati
nyingi nawe umeniweka niwe mfalme mahali ulipompelekea mierezi ya kujenga jumba lake
pake. 9Sasa, BWANA Mungu, ahadi yako kwa la kifalme la kuishi. 4Sasa ninakaribia kujenga
baba yangu Daudi na ithibitike, kwa kuwa hekalu kwa ajili ya Jina la BWANA Mungu
umenifanya mimi mfalme juu ya watu ambao ni wangu na kuliweka wakfu kwake kwa ajili ya
wengi kama mavumbi ya dunia. 10Nakuomba kufukizia uvumba wenye harufu nzuri mbele
unipe mimi hekima na maarifa, ili niweze zake, mahali pa kuweka mikate ya wonyesho
kuongoza watu hawa, kwa kuwa ni nani kwa kufuata utaratibu na kwa ajili ya mahali
awezaye kutawala hawa watu wako walio wengi pa kutolea sadaka za kuteketezwa kila siku
hivi? asubuhi na jioni, siku za Sabato na Mwezi
11Mungu akamwambia Solomoni, “Kwa Mwandamo pia katika sikukuu zilizoamuriwa
kuwa jambo hili ndilo shauku ya moyo wako na za BWANA Mungu wetu. Hili ni agizo la
hukuomba mali, utajiri au heshima wala kifo kwa kudumu kwa ajili ya Waisreli.’’
ajili ya adui zako, nawe kwa kuwa hukuomba 5Hekalu nitakalolijenga litakuwa kubwa,
maisha marefu bali umeomba hekima na kwa sababu Mungu wetu ni mkuu kuliko
maarifa ili kuongoza watu wangu ambao miungu mingine yote. 6Lakini ni nani awezaye
nimekufanya uwe mfalme juu yao, 12kwa hiyo kumjengea hekalu, maadam mbingu, hata
utapewa hekima na maarifa. Tena nitakupa pia
mali, utajiri na heshima ambayo hakuna mfalme
a16 “Kue” hapa ina maana ya Kilikia.
ye yote aliyekuwepo kabla yako amewahi kuwa b17 Shekeli 600 za fedha ni sawa na kilo 7.
c17 Shekeli 150 za fedha ni sawa na kilo 1.7.
2
2MAMBO YA NYAKATI
mbingu zilizo juu sana, hazimtoshi? Mimi ni mchoro wo wote wa kazi anayopewa.
nani basi hata nijenge hekalu kwa ajili yake, Atafanya kazi na mafundi wako na wale wa
isipokuwa liwe tu kama mahali pa kutolea BWANA wangu, Daudi baba yako.
dhabihu za kuteketezwa mbele zake? 15“Sasa basi BWANA wangu na
7Hivyo basi unipelekee mtu mwenye awapelekee watumishi wake ngano, shayiri,
ustadi wa kufanya kazi ya kutengeneza mafuta ya zeituni na mvinyo kama alivyoahidi,
dhahabu na fedha, shaba na chuma, nyuzi 16nasi tutakata magogo yote yale unayohitaji
atajenga hekalu kwa ajili ya BWANA na na kufunikwa kwa dhahabu safi na kuupamba kwa
jumba la kifalme kwa ajili yake mwenyewe. miti ya mitende na kuifanyizia kwa minyororo.
13Mimi nitamtuma kwako Huramu-Abi, 6Alilipamba hekalu kwa mawe ya thamani. Hiyo
mtu mwenye ustadi mwingi, 14ambaye dhahabu aliyotumia ilikuwa dhahabu ya Parvaimu.
mama yake alitoka Dani na babaye alitoka 7Akaufunika boriti za dari, miimo na vizingiti vya
Tiro. Yeye ni stadi wa kutengeneza vitu, milango, kuta na milango ya hekalu kwa dhahabu,
kufanya kazi zote za dhahabu, fedha, naye akatia nakshi ya makerubi kwenye kuta.
shaba, chuma, mawe na mbao pamoja na
kufuma. Ni stadi katika kutia rangi ya
zambarau, buluu, nyekundu na nguo za a1 “Arauna’’ ndiyo “Ornani’’ kwa Kiebrania.
b3 Dhiraa sitini ni sawa na mita 27.
kitani safi. Yeye ana ujuzi katika aina zote c3 Dhiraa ishirini ni sawa na mita 9.
za kutia nakshi na anaweza kufuatiliza d4 Dhiraa mia na ishirini ni sawa na mita 54. (2Nyakati 3:4 Kimo
cha dhiraa 120 inaonekana ni makosa ya kunakili katika baadhi ya
nakala za kale. Hii ingefanya hekalu hilo kuwa na kimo cha
a10 “Kori 20,000 za ngano/shayiri ni sawa na tani za metriki mita 54 ambazo ni mita 40.5 zaidi. 1Waf. 6:2 inataja dhiraa
20,000. 30 ambazo ni sawa na mita 13.50 ambazo zingetosha kabisa
b10 Bathi 20,000 za mvinyo/mafuta ni sawa na lita 400,000. kufanya ghorofa tatu zilizoelezwa kwenye 1Waf. 6:8.)
3
2MAMBO YA NYAKATI
8Akajenga Patakatifu pa Patakatifu, urefu na kila dhiraa moja d . Hayo mafahali waliyasubu
upana wake ulikuwa dhiraa ishirini, sawasawa katika safu mbili yakiwa ya kitu kimoja na hiyo
na upana wa hekalu. Alifunika ndani kwa talanta Bahari.
120 e za dhahabu safi. 9Misumari ya dhahabu 4Bahari hiyo ilikaa juu ya mafahali kumi na
ilikuwa na uzito wa shekeli 50 f . Alivifunika pia wawili, mafahali watatu walielekeza nyuso zao
vyumba vya juu kwa dhahabu. kaskazini, watatu magharibi, watatu kusini na
10Katika sehemu ya Patakatifu pa Patakatifu watatu mashariki. Bahari hiyo ilikaa juu ya hao
akafanyiza jozi moja ya makerubi ya kuchongwa mafahali, nazo sehemu zao za nyuma zilielekea
na kuyafunika kwa dhahabu. 11Urefu wa katikati. 5Unene wake ulikuwa nyanda nne e ,
mabawa ya hao makerubi ulikuwa jumla ya ambao ulikuwa kama ukingo wa kikombe, kama
dhiraa 20. Bawa moja la kerubi wa kwanza ua la yungiyungi lililochanua. Bahari hii iliweza
lilikuwa na urefu wa dhiraa 50, nalo liligusa kuchukua kiasi cha bathi 3,000 f .
ukuta wa hekalu, bawa lake lingine, lilikuwa pia 6Kisha akatengeneza masinia kumi kwa ajili
na urefu wa dhiraa 5 g , ambalo liligusa bawa la ya kuoshea, naye akayaweka matano upande wa
kerubi lingine. 12Vivyo hivyo bawa moja la kerubi kusini na matano upande wa kaskazini. Ndani
wa pili lilikuwa na urefu wa dhiraa 5 na liligusa yake ndimo vilimooshewa vifaa vya kutumika
ukuta mwingine wa pili wa hekalu na bawa lake katika sadaka za kuteketezwa, lakini ile Bahari
lingine, lilikuwa pia na urefu wa dhiraa tano nalo ilikuwa ni kwa ajili ya makuhani kunawia.
liligusa bawa la kerubi wa kwanza. 13Mabawa ya 7Akatengeneza vinara vya taa kumi vya
makerubi hawa yalitanda dhiraa 20. Walisimama dhahabu kama ilivyoainishwa kwao na kuviweka
kwa miguu yao, nyuso zao zikielekea ukumbi hekaluni, vinara vitano upande wa kusini na vitano
mkubwa. upande wa kaskazini.
14Akatengeneza pazia la nyuzi za buluu, 8Akatengeneza meza kumi na kuziweka
zambarau na nyekundu na za kitani safi na hekaluni, tano upande wa kusini na tano upande
kutarizi makerubi juu yake. wa kaskazini. Pia akatengeneza mabakuli mia
15Mbele ya hekalu Solomoni akatengeneza moja ya dhahabu ya kunyunyizia.
nguzo mbili, ambazo kwa pamoja zilikuwa na 9Akatengeneza ukumbi wa makuhani na
dhiraa thelathini na tano kwenda juu kwake na ukumbi mwingine mkubwa na milango yake, naye
urefu wa kila moja ilikuwa na taji juu yake yenye akaifunika hiyo milango kwa shaba. 10Akaweka ile
dhiraa tano. 16Akatengeneza minyororo Bahari upande wa kusini, kwenye pembe ya kusini
iliyosokotwa na kuiweka juu ya zile nguzo. Pia mashariki ya nyumba.
akatengeneza makomamanga 100 na 11Pia akatengeneza masufuria, masepetu na
yenye umbo la mviringo, ya dhiraa 10 kutoka mbili (safu mbili za makomamanga kwa kila
ukingo hadi ukingo na kina chake kilikuwa dhiraa wavu yakipamba hizo nyavu mbili zilizowekwa
5. Kamba ya urefu wa dhiraa 30 c ingeweza juu ya zile nguzo),
kuizunguka. 3Chini ya huo ukingo, kulikuwa na 14akatengeneza vishikio pamoja na masinia yake,
mafahali kuizunguka, yaani mafahali kumi katika 15akatengeneza hiyo bahari na hao mafahali kumi
hekalu la BWANA vilikuwa vya shaba la BWANA mpaka mahali pake ndani ya mahali
iliyosuguliwa. 17Mfalme aliagiza wavisubu vitu Patakatifu pa hekalu, yaani mahali Patakatifu pa
hivi kwenye kalibu za udongo wa mfinyanzi Patakatifu na kuliweka chini ya mabawa ya wale
katika uwanda wa Yordani kati ya Sukothi na makerubi. 8Makerubi walitanda mabawa yao juu
Seredatha g . 18Vitu hivi vyote Mfalme Solomoni ya mahali pa sanduku la agano na kufunika
alivyotengeneza vilikuwa vingi sana kwamba sanduku na mipiko yake ya kubebea. 9Mipiko hiyo
uzito wa shaba haukuweza kuonyeshwa. ilikuwa mirefu sana kiasi kwamba ncha zake,
19Solomoni pia akatengeneza samani zote zilijitokeza kutoka kwenye sanduku, zingeweza
zilizokuwa ndani ya hekalu la Mungu: kuonekana ukiwa ndani mbele ya mahali
Patakatifu. Lakini siyo ukiwa nje ya mahali
madhabahu ya dhahabu, patakatifu, nayo ipo mpaka leo. 10Ndani ya
meza za mikate ya wonyesho, sanduku hapakuwepo kitu kingine cho chote
20vinara vya taa vya dhahabu safi pamoja na taa isipokuwa zile mbao mbili ambazo Mose alikuwa
zake ili ziwake mbele ya mahali pa ndani pa ameziweka ndani yake huko Horebu, mahali
mahali Patakatifu kama ilivyoelekezwa, BWANA alipofanya agano na Waisraeli baada ya
21maua ya dhahabu yaliyofanyizwa, taa na kutoka Misri.
makoleo (vilikuwa vya dhahabu bora 11Basi makuhani wakaondoka hapo mahali
Solomoni akaviingiza ndani vile vitu ambavyo katika sauti linganifu, ikawa kama vile ni sauti
Daudi baba yake alikuwa ameviweka wakfu, moja, wakimsifu na kumshukuru BWANA nao
yaani, fedha, dhahabu na vyombo vingine vyote walipoinua sauti zao pamoja na tarumbeta na
na kuviweka katika hazina za hekalu la Mungu. matoazi na vyombo vingine vya uimbaji,
wakamsifu BWANA wakisema:
Sanduku La Agano Laletwa Hekaluni
2Kisha mfalme Solomoni akawaita huko “Kwa kuwa Yeye ni mwema,
Yerusalemu wazee wa Israeli, viongozi wote wa kwa maana upendo wake usiokoma
makabila na wakuu wa jamaa za Waisraeli, ili hudumu milele.’’
kulipandisha sanduku la agano la BWANA
kutoka Sayuni, Mji wa Daudi. 3Nao watu wote Ndipo hekalu la BWANA likajazwa na wingu,
wa Israeli wakaja pamoja kwa mfalme wakati wa 14nao makuhani hawakuweza kusimama kufanya
sikukuu katika mwezi wa saba. huduma yao kwa sababu ya wingu, kwa maana
4Wazee wote wa Israeli walipokuwa utukufu wa BWANA ulilijaza hekalu la Mungu.
wamefika, Walawi wakaliinua sanduku la agano,
5nao wakalipandisha sanduku na Hema la Kuweka Hekalu Wakfu
Mkutano pamoja na vyombo vyote vitakatifu
vilivyokuwa ndani yake. Makuhani, ambao 6 Kisha Solomoni akasema “ BWANA Mungu
alisema ya kwamba angalikaa katika wingu
walikuwa ni Walawi walivibeba vitu hivyo, 6naye jeusi. 2Nimejenga hekalu nzuri kwa ajili yako,
mahali pako pa kukaa milele.”
g17 Seredatha au Serethani. 3Wakati kusanyiko lote la Israeli likiwa
5
2MAMBO YA NYAKATI
limesimama huko, Mfalme Solomoni akageuka mbele zangu kwenye kiti cha ufalme cha
na kuwabariki. 4Kisha akasema: Israeli, kama wanao wakiangalia yote
wayafanyayo kuenenda mbele zangu kama
‘‘Ahimidiwe BWANA ,Mungu wa Israeli, vile ulivyofanya.’ 15Sasa, Ee Mungu wa
ambaye kwa mkono wake mwenyewe Israeli, acha neno lako lile ulilomwahidi
ametimiza lile alilomwahidi baba yangu mtumishi wako Daudi baba yangu litokee
Daudi kwa kinywa chake mwenyewe. Kwa sawasawa.
kuwa alisema, 5‘Tangu siku niliyowatoa watu 16“Lakini kweli, je, Mungu atafanya
wangu Israeli kutoka Misri, sikuchagua mji makao duniani? Mbingu, hata mbingu zilizo
katika kabila lo lote la Israeli hekalu lijengwe juu sana, haziwezi kukutosha Wewe.
kwa ajili ya Jina langu ili lipate kuwako huko, Sembuse hekalu hili nililojenga! 17Hata hivyo
bali nimemchagua Daudi kuwatawala watu sikiliza dua ya mtumishi wako na maombi
wangu Israeli.’ 6‘‘IIikuwa moyoni mwa Daudi yake kwa huruma, Ee BWANA Mungu
baba yangu kujenga hekalu kwa ajili ya Jina wangu. Sikia kilio na dua ambayo mtumishi
la BWANA , Mungu wa Israeli. wako anaomba mbele zako siku hii ya leo.
7Lakini BWANA akamwambia Daudi 18Macho yako na yafumbuke kuelekea
baba yangu, ‘Kwa sababu ilikuwa moyoni hekalu hili usiku na mchana, mahali hapa
mwako kujenga hekalu kwa ajili ya Jina ambapo ulisema, ‘Jina langu litakuwako
langu, ulifanya vema kuwa na jambo hili humo,’ ili kwamba upate kusikia maombi
moyoni mwako. 8Hata hivyo, sio wewe ambayo mtumishi wako ataomba kuelekea
utakayenijengea hekalu, bali mwanao, mahali hapa. 19Usikie maombi ya mtumishi
ambaye ni nyama yako na damu yako wako na ya watu wako Israeli wakati
mwenyewe, ndiye atakayejenga hekalu kwa wanapoomba kuelekea mahali hapa. Sikia
ajili ya Jina langu.’ 9‘‘BWANA Mungu kutoka mbinguni, mahali pa makao yako na
ametimiza ahadi aliyoiweka: Nimeingia usikiapo, samehe. 20“Mtu anapomkosea
mahali pa Daudi baba yangu na sasa jirani yake na akatakiwa kuapa, akija na
ninakikalia kiti cha ufalme cha Israeli, kama kuapa mbele ya madhabahu yako ndani ya
vile BWANA alivyoahidi, nami hekalu hili, 21basi, sikia kutoka mbinguni na
nimejenga hekalu kwa ajili ya Jina la ukatende. Hukumu kati ya watumishi wako,
BWANA Mungu, Mungu wa Israeli. ukimhukumu yule mwenye hatia na kuleta
10Nimetenga nafasi humo kwa ajili ya juu ya kichwa chake yale aliyoyatenda.
sanduku la agano, ambamo ndani yake Umtangazie asiye na hatia kwamba hana
kuna agano la BWANA lile alilofanya hatia, hivyo ukathibitishe kutokuwa na hatia
na baba zetu wakati alipowatoa Misri.’’ kwake.
22“Wakati watu wako Israeli
Maombi Ya Solomoni Ya Kuweka Wakfu watakapokuwa wameshindwa na adui kwa
11Kisha Solomoni akasimama mbele ya sababu ya dhambi walizofanya dhidi yako,
madhabahu ya BWANA machoni pa kusanyiko watakapokugeukia na kulikiri jina lako,
lote la Israeli, akakunjua mikono yake kuelekea wakiomba na kufanya dua kwako katika
mbinguni 12na kusema: hekalu hili, 23basi usikie kutoka mbinguni,
ukasamehe dhambi ya watu wako Israeli na
“Ee BWANA, Mungu wa Israeli, hakuna kuwarudisha katika nchi uliyowapa baba
Mungu kama wewe mbinguni juu wala zao.
duniani chini, Wewe unayetunza agano lako 24“Wakati mbingu zitakapokuwa
la upendo pamoja na watumishi wanaodumu zimefungwa kusiwe na mvua kwa sababu
katika njia yako kwa moyo wote. watu wako wametenda dhambi dhidi yako,
13Umetimiza ahadi yako kwa mtumishi wako watakapoomba kuelekea mahali hapa na
Daudi baba yangu, kwa kinywa chako kulikiri jina lako nao wakageuka kutoka
uliahidi na kwa mkono wako umetimiza, katika dhambi zao kwa sababu
kama ilivyo leo. 14Sasa BWANA, Mungu wa umewaadhibu, 25basi usikie kutoka mbinguni
Israeli, mtimizie mtumishi wako Daudi baba na usamehe dhambi ya watumishi wako,
yangu ahadi zako ulizomwahidi uliposema, watu wako Israeli. Wafundishe njia sahihi ya
‘Kamwe hutakosa kuwa na mtu atakayeketi kuishi na ukanyeshe mvua juu ya nchi
6
2MAMBO YA NYAKATI
uliyowapa watu wako kuwa urithi. mji uliouchagua na hekalu nililolijenga kwa
26“Wakati njaa au tauni vikija juu ya nchi, ajili ya Jina lako, 38basi kutoka mbinguni,
au koga au kawa, nzige au panzi, au wakati mahali pa makao yako, usikie dua yao na
adui atakapowazingira katika mji wao wo maombi yao na ukawatetee haki yao.
wote, maafa ya namna yo yote au ugonjwa 39Uwasamehe watu wako, waliotenda
wo wote unaoweza kuwajia, 27wakati dua au dhambi dhidi yako, uwasamehe makosa
maombi yatakapofanywa na mmojawapo wa yote waliyoyatenda dhidi yako, ukawafanye
watu wako Israeli, kila mmoja akijua juu ya wale waliowashinda kuwaonea huruma.
taabu ya moyo wake mwenyewe, 40“Sasa, Mungu wangu, macho yako na
akainyoosha mikono yake kuelekea hekalu yafumbuke na masikio yako yasikie maombi
hili, 28basi usikie kutoka mbinguni, katika yaombwayo mahali hapa.
makao yako. Usamehe na utende, umpe kila
mtu kulingana na matendo yake, kwa kuwa 41Sasa inuka, Ee BWANA Mungu na
unaujua moyo wake (kwa kuwa ni wewe uje mahali pako pa kupumzika.
peke yako ujuaye mioyo ya watu wote), 29ili Wewe na sanduku la nguvu zako.
wakuogope kwa wakati wote watakaoishi Makuhani wako, Ee BWANA Mungu
katika nchi uliyowapa baba zetu. na wavikwe wokovu,
30“Kwa habari ya mgeni ambaye si watakatifu wako na wafurahi katika
miongoni mwa watu wako Israeli, lakini wema wako.
amekuja kutoka nchi ya mbali kwa sababu 42Ee BWANA Mungu, usimkatae
vitani dhidi ya adui zao, po pote utukufu wa BWANA ukiwa juu ya hekalu,
utakapowapeleka, wakati watakapoomba wakapiga magoti sakafuni wakisujudu nyuso zao
kwa BWANA kuelekea mji ambao mpaka chini, nao wakamwabudu na kumshukuru
umeuchagua, na hekalu nililolijenga kwa ajili BWANA wakisema,
ya Jina lako, 34basi usikie dua na maombi
yao kutoka mbinguni, ukawatetee haki yao. “Kwa kuwa Yeye ni mwema,
35“Watakapotenda dhambi dhidi yako, kwa upendo wake unadumu milele”.
kuwa hakuna mtu ye yote ambaye hatendi
dhambi, nawe ukachukizwa nao na 4Ndipo mfalme na watu wote wakatoa dhabihu
kuwakabidhi kwa adui, ambaye mbele za BWANA Mungu. 5Naye mfalme
atawachukua utumwani katika nchi yake Solomoni akatoa dhabihu ya ng’ombe 22,000
mwenyewe, mbali au karibu 36na kama pamoja na kondoo na mbuzi 120,000. Hivyo
watabadilika mioyo yao katika nchi ndivyo mfalme na watu wote walivyoweka wakfu
wanakoshikiliwa mateka, nao wakatubu na hekalu la Mungu. 6Makuhani wakasimama
kukulilia katika nchi ya wale waliowashinda kwenye nafasi zao, vivyo hivyo Walawi wakiwa na
na kusema, ‘Tumetenda dhambi, tumefanya vyombo vya uimbaji vya BWANA ambavyo
makosa, tumetenda kwa uovu,’ 37kama Mfalme Daudi alikuwa ametengeneza kwa ajili ya
wakikugeukia kwa moyo wao wote na nafsi kumsifu BWANA navyo vilitumika wakati
zao katika nchi ya adui zao ambao aliposhukuru, akisema, “Upendo wake wadumu
waliwachukua mateka, wakakuomba milele.” Mkabala na Walawi, makuhani walipiga
kuelekea nchi uliyowapa baba zao, kuelekea tarumbeta zao, nao Waisraeli wote walikuwa
7
2MAMBO YA NYAKATI
wamesimama. 17“Kwa habari yako wewe, kama ukienenda
7Solomoni akaweka wakfu sehemu ya mbele zangu kama Daudi baba yako
katikati ya ua uliokuwa mbele ya hekalu la alivyoenenda na kufanya yote nikuamuruyo,
BWANA na huko ndiko akatolea sadaka za nawe ukizishika amri zangu na sheria zangu,
kuteketezwa na mafuta ya sadaka za amani, 18Nitakifanya imara kiti chako cha enzi kama
kwa sababu madhabahu ya shaba aliyokuwa nilivyoagana na Daudi baba yako wakati
ametengeneza haikutosha kuweka sadaka hizo niliposema, ‘Hutakosa kamwe mtu wa
zote za kuteketezwa, sadaka za nafaka na za kutawala juu ya Israeli’.
mafuta. 19Lakini kama ukigeuka na kuyaacha
8Kwa hiyo Mfalme Solomoni akaadhimisha maagizo na amri nilizowapa na kwenda
sikukuu wakati ule kwa muda wa siku saba, kuitumikia miungu mingine na kuiabudu,
akiwa pamoja na Israeli wote, kusanyiko kubwa 20ndipo nitakapoing’oa Israeli kutoka nchi
sana, watu kutoka Lebo-Hamathi hadi Wadi ya yangu niliyowapa, nami nitalikataa hekalu hili
Misri. 9Katika siku ya nane walifanya kusanyiko, nililolitakasa kwa ajili ya Jina langu.
kwa kuwa walikuwa wanaadhimisha kuwekwa Nitalifanya kitu cha kudharauliwa na kitu cha
wakfu kwa madhabahu kwa muda wa siku saba kudhihakiwa miongoni mwa mataifa yote.
na sikukuu kwa muda wa siku nyingine saba 21Ingawa hekalu hili sasa ni la fahari sana,
zaidi. 10Katika siku ya ishirini na tatu ya mwezi wale wote watakaopita watashangaa na
wa saba Solomoni akawaaga watu waende kusema, ‘Kwa nini BWANA amefanya kitu
nyumbani mwao, wakishangilia na kufurahi kama hiki katika nchi hii na kwa hekalu hili?’
mioyoni mwao, kwa wema mwingi BWANA 22“Watu watajibu, ni kwa sababu
Mungu aliomtendea Daudi na Solomoni na kwa wamemwacha BWANA, Mungu wa baba zao,
ajili ya watu wake Israeli. ambaye aliwatoa Misri, nao wamekumbatia
miungu mingine, wakaiabudu na kuitumikia,
BWANA Mungu Amtokea Solomoni hiyo ndiyo sababu alileta haya maafa yote juu
11Solomoni alipokuwa amemaliza kujenga yao.”
hekalu la BWANA na jumba la kifalme, naye
akiwa amefanikiwa kutenda yale yote aliyokuwa Shughuli Nyingine Za Solomoni
nayo moyoni mwake kufanya katika hekalu la
BWANA na katika jumba lake mwenyewe la 8 Ikawa mwisho wa miaka ishirini, ambayo
katika hiyo Solomoni alilijenga hekalu la
kifalme, 12 BWANA Mungu akamtokea Solomoni BWANA na jumba lake mwenyewe la kifalme,
usiku na kumwambia: 2Solomoni akajenga tena vijiji vile ambavyo
dhambi yao na nitaiponya nchi yao. 15Sasa Waamori, Waperizi, Wahivi na Wayebusi (haya
macho yangu yatafumbuka na masikio mataifa hayakuwa Waisraeli), 8yaani, hii ni
yangu yatasikiliza kwa makini maombi kwamba, wazao wao waliobakia katika nchi,
yaombwayo mahali hapa. 16 Kwa maana ambao Waisraeli hawakuwa wamewaangamiza,
sasa nimechagua na kutakasa hekalu hili ili Mfalme Solomoni akawalazimisha kufanya kazi
kwamba Jina langu lipate kuwa huko milele. kama ilivyo mpaka leo. 9Lakini Solomoni
Macho yangu na moyo wangu utakuwepo hakuwafanya Waisraeli watumwa kwa ajili ya kazi
huko daima. yake, bali walikuwa wapiganaji, majemadari,
8
2MAMBO YA NYAKATI
maafisa wake, majemadari wa magari yake ya kuzungumza naye kuhusu yote ambayo alikuwa
vita na waendesha magari ya vita. 10Pia nayo moyoni mwake. 2Solomoni akamjibu
walikuwa maafisa wakuu wa Mfalme Solomoni, maswali yake yote, hakukuwa na jambo lo lote
yaani, maafisa wakaguzi 250 waliosimamia lililokuwa gumu kwa mfalme asiweze
watu. kumwelezea. 3Malkia wa Sheba alipoona
11Solomoni akampandisha mke wake binti hekima yote ya Solomoni na jumba la kifalme
wa Farao kutoka Mji wa Daudi mpaka kwenye alilokuwa amejenga, 4chakula kilichokuwa
jumba la kifalme alilokuwa amemjengea, kwa mezani pake, jinsi maafisa wake walivyokaa,
kuwa alisema, “Mke wangu hataishi katika wahudumu katika majoho yao, wanyweshaji
jumba la kifalme la Daudi mfalme wa Israeli, kwa wake na sadaka za kuteketezwa alizotoa katika
sababu mahali ambapo sanduku la BWANA hekalu la BWANA alipatwa na mshangao.
limefika ni patakatifu.” 5Akamwambia mfalme, “Taarifa niliyosikia
12Mfalme Solomoni akamtolea BWANA kwenye nchi yangu mwenyewe kuhusu
dhabihu za kuteketezwa juu ya madhabahu ya mafanikio na hekima yako ni kweli. 6Lakini
BWANA ambayo alikuwa ameijenga mbele ya sikuamini mambo haya mpaka nilipokuja na
ukumbi, 13kulingana na mahitaji ya kila siku kwa kuona kwa macho yangu mwenyewe. Naam,
ajili ya sadaka zilizoamriwa na Mose kwa ajili ya sikuambiwa hata nusu yake, katika hekima na
Sabato, Mwezi Mwandamo na sikukuu nyingine mali umezidi sana ile taarifa niliyoisikia. 7Heri
tatu za mwaka, yaani, Sikukuu ya Mikate watu wako! Heri hawa maafisa wako
Isiyotiwa Chachu, Sikukuu ya Majuma na wasimamao mbele yako daima na kusikia
Sikukuu ya Vibanda. 14Kwa kushika maagizo hekima yako! 8Ahimidiwe BWANA Mungu wako,
ya Daudi baba yake, aliweka migawanyo ya ambaye amependezwa sana nawe na kukuweka
makuhani kwa ajili ya kazi zao, nao Walawi juu ya kiti cha ufalme cha Israeli. Kwa sababu ya
kuongoza kusifu na kusaidia makuhani upendo wa BWANA wa milele kwa ajili ya Israeli,
kufuatana na mahitaji ya kila siku. Pia akaweka amekufanya mfalme, ili kudumisha haki na
mabawabu katika migawanyo kwa ajili ya uadilifu.”
malango mbalimbali, kwa sababu hili ndilo Daudi 9Naye akampa mfalme talanta mia moja na
mtu wa Mungu alilokuwa ameagiza. 15Nao ishirini a za dhahabu, kiasi kikubwa cha vikolezi
hawakuziacha amri za mfalme alizoamuru na mawe ya thamani. Haikuwahi kamwe kutokea
makuhani au Walawi katika jambo lo lote, ikiwa tena vikolezi vingi hivyo kuletwa kama vile
ni pamoja na zile za hazina. malkia wa Sheba alivyompa Mfalme Solomoni.
16Kazi yote ya Mfalme Solomoni ilifanyika 10(Meli za Hiramu zilileta dhahabu kutoka
kuanzia siku msingi wa hekalu la BWANA Ofiri, tena kutoka huko zilileta shehena kubwa
ulipowekwa mpaka kukamilika kwake. Kwa hiyo ya miti ya msandali na mawe ya thamani.
hekalu la BWANA likamalizika kujengwa. 11Mfalme akatumia miti ya msandali kuwa nguzo
17Ndipo Solomoni akaenda Esio-Geberi na kwa ajili ya hekalu la BWANA na kwa jumba la
Elathi katika pwani ya Edomu. 18Naye Hiramu kifalme, pia kwa kutengeneza vinubi na zeze
alimpelekea meli zilizoongozwa na maafisa kwa ajili ya waimbaji. Kiasi hicho kingi cha miti
wake mwenyewe, watu ambao walikuwa na ya msandali hakijawahi kuingizwa nchini tangu
ujuzi wa baharini. Hawa watu pamoja na wale siku ile.)
wa Solomoni wakasafiri kwa njia ya bahari 12Mfalme Solomoni akampa malkia wa
mpaka Ofiri, wakaleta kutoka huko talanta 450 Sheba kila kitu alichohitaji na kukiomba, zaidi ya
za dhahabu ambayo walimkabidhi Mfalme vile mfalme alivyokuwa amempa kwa ukarimu
Solomoni. wake wa kifalme. Kisha malkia akaondoka
akarudi pamoja na wafuasi wake kwenye nchi
Malkia Wa Sheba Amtembelea Solomoni yake mwenyewe.
Malkia wa Sheba aliposikia habari za
9 umaarufu wa Solomoni na uhusiano wake Fahari Ya Solomoni
13Uzito wa dhahabu ambayo Solomoni
na jina la BWANA malkia alikuja kumjaribu kwa
maswali magumu. Alipofika Yerusalemu pamoja alipokea kwa mwaka ulikuwa talanta mia sita
na msafara mkubwa sana, pamoja na ngamia sitini na sita b , 14pasipo kuweka mapato kutoka
waliobeba vikolezi, kiasi kikubwa cha dhahabu
na vito vya thamani, alikuja kwa Solomoni na a9 Talanta 120 za dhahabu ni kama tani 4.5
b13 Talanta 66 za dhahabu ni kama tani 25.
9
2MAMBO YA NYAKATI
wafanyibiashara, wachuuzi na kutoka kwa 27Mfalme akafanya fedha kitu cha kawaida kama
wafalme wote wa Arabuni na watawala wa nchi. mawe huko Yerusalemu na mierezi mingi kama
15Mfalme Solomoni akatengeneza ngao miti ya mikuyu iliyoko chini ya vilima. 28Farasi wa
kubwa mia mbili kwa dhahabu iliyofuliwa, kila Solomoni waliletwa kutoka Misri na kutoka nchi
ngao ilikuwa ya dhahabu yenye uzito wa shekeli nyingine zote.
mia sita c . 16Akatengeneza pia ngao ndogo mia
tatu za dhahabu iliyofuliwa, kila ngao ikiwa ya Kifo Cha Solomoni
uzito wa mane tatu d za dhahabu. Mfalme 29Kwa habari ya matukio mengine ya utawala
akaziweka katika jumba la kifalme la msitu wa wa Solomoni, kuanzia mwanzo hadi mwisho, je,
Lebanoni. hayakuandikwa katika kumbukumbu za nabii
17Kisha mfalme akatengeneza kiti kikubwa Nathani, katika unabii wa Ahiya Mshiloni na katika
cha kifalme kwa kutumia pembe za ndovu na maono ya Ido mwonaji kuhusu Yeroboamu
kukifunika kwa dhahabu safi. 18Kiti hicho mwana wa Nabati?. 30Solomoni akatawala huko
kilikuwa na ngazi sita na egemeo la nyuma Yerusalemu juu ya Israeli yote kwa miaka
lilikuwa la mviringo kwa juu. Juu pande zote za arobaini. 31Kisha Solomoni akalala pamoja na
kiti kulikuwa na mahali pa kuwekea mikono, baba zake, naye akazikwa katika mji wa Daudi
sanamu ya simba akisimama kila upande wake baba yake. Naye Rehoboamu mwanawe akaingia
mahali pa kuwekea mikono. 19Simba kumi na mahali pake kama mfalme.
wawili walisimama kwenye ngazi sita, wawili
kwenye kila ngazi, yaani, mmoja upande huu na Israeli Wanamwasi Rehoboamu
mwingine upande huu. Hakuna kitu kama hicho
kilichokuwa kimefanyika kwenye ufalme 10 Rehoboamu akaenda Shekemu, kwa
kuwa Waisraeli wote walikuwa
mwingine wo wote. 20Vikombe vyote vya mfalme wamekwenda huko kumfanya yeye kuwa
Solomoni vya kunywea vilikuwa vya dhahabu na mfalme. 2Yeroboamu mwana wa Nebati
vyombo vyote vya nyumbani katika jumba la aliposikia hili (alikuwa bado yuko Misri alikokuwa
kifalme la msitu wa Lebanoni vilikuwa vya amekimbilia awe mbali na Mfalme Solomoni),
dhahabu safi. Hakukuwa na kitu akarudi kutoka Misri. 3Kwa hiyo wakatuma watu
kilichotengenezwa kwa fedha, kwa sababu kumwita Yeroboamu, yeye na kusanyiko lote la
fedha ilionekana ya thamani ndogo wakati wa Israeli wakamwendea Rehoboamu na
Solomoni. 21Mfalme alikuwa na meli nyingi za kumwambia, “Baba yako aliweka nira nzito juu
4
biashara baharini zilizokuwa zikiandamana na yetu, lakini sasa ufanye nyepesi kazi za kikatili
meli za Hiramu. Mara moja kila miaka mitatu na nira nzito aliyoweka juu yetu, nasi
zilirudi, zikiwa zimebeba dhahabu, fedha, pembe tutakutumikia.’’
za ndovu na nyani wadogo na wakubwa. 5Rehoboamu akajibu, ‘Nendeni kwa muda
22Mfalme Solomoni alikuwa mkuu zaidi kwa wa siku tatu na kisha mnirudie.’ Basi watu
utajiri na hekima kuliko wafalme wote wa dunia. wakaenda zao.
23Dunia yote ikatafuta kukutana na Solomoni 6Kisha mfalme Rehoboamu akataka shauri
kusikia hekima ambayo Mungu alikuwa kwa wazee ambao walimtumikia Solomoni baba
ameweka yake wakati wa uhai wake akawauliza,
katika moyo wake. 24Mwaka baada ya mwaka, “Mnanishauri nini katika kuwajibu watu hawa?”
kila mmoja ambaye alikuja, alileta zawadi, 7Wakajibu, “Kama leo utakuwa mtumishi wa
vyombo vya fedha na dhahabu, majoho, silaha watu hawa na kuwahudumia na kuwapa jibu
na vikolezi, farasi na nyumbu. linaloridhisha, watakuwa watumishi wako
25Solomoni alikuwa na mabanda elfu nne daima.”
kwa ajili ya farasi na magari ya vita, farasi 8Lakini Rehoboamu akakataa shauri
12,000 ambao aliwaweka katika miji ya magari alilopewa na wazee na akataka ushauri kwa
ya vita na katika Yerusalemu pamoja naye. vijana wanaume rika lake waliokuwa
26Solomoni akatawala juu ya wafalme wote wakimtumikia. 9Akawauliza, “Ninyi ushauri wenu
kuanzia Mto Eufrati mpaka kwenye nchi ya ni nini? Tutawajibuje watu hawa wanaoniambia,
Wafilisti na kuendelea hadi mpaka wa Misri. ‘Ifanye nyepesi nira baba yako aliyoweka juu
yetu?’ ”
10Wale vijana wa rika lake wakamjibu,
c15 Shekeli 600 za dhahabu ni kama kilo 3.5.
d16 “Mane tatu’’ za dhahabu ni kama kilo 1.7. “Waambie watu hawa waliokuambia, ‘Baba yako
10
2MAMBO YA NYAKATI
aliweka nira nzito juu yetu, lakini ifanye nira yetu yote ya Yuda, ya Benyamini na watu wengine
nyepesi, kuwa, ‘Kidole changu kidogo ni kinene wote, 4‘Hili ndilo asemalo BWANA Mungu:
kuliko kiuno cha baba yangu. 11Baba yangu Usipande kupigana dhidi ya ndugu zako,
aliweka nira nzito juu yenu, mimi nitaifanya hata Waisraeli. Nendeni nyumbani, kila mmoja wenu,
iwe nzito zaidi. Baba yangu aliwachapa kwa kwa kuwa hili limetoka kwangu.’ ” Kwa hiyo
mijeledi, mimi nitawachapa kwa nge.’ ’’ wakalitii neno la BWANA na kurudi nyumbani,
12Siku tatu baadaye, Yeroboamu na watu kama BWANA alivyokuwa ameagiza.
wote wakamrudia Rehoboamu, kama mfalme
alivyokuwa amesema, “Rudini kwangu baada ya Yeroboamu Ajengea Yuda Ngome
siku tatu.’’ 13Mfalme akawajibu watu kwa ukatili. 5Rehoboamu akaishi Yerusalemu akajenga miji
Akikataa shauri alilopewa na wazee, 14akafuata yenye ngome katika Yuda: 6Akajenga Bethlehemu,
shauri la vijana wa rika lake na kusema, “Baba Etamu, Tekoa, 7Bethe-Suri, Soko, Adulamu, 8Gathi,
yangu alifanya nira yenu kuwa nzito, mimi Maresha, Zifu, 9Adoraimu, Lakishi, Azeka, 10Sora,
nitaifanya kuwa nzito zaidi. Baba yangu Aiyaloni na Hebroni. Hii ndiyo iliyokuwa miji
aliwachapa kwa mijeledi, mimi nitawachapa kwa iliyojengewa ngome katika Yuda na Benyamini.
nge.’’ 15Kwa hiyo mfalme hakuwasikiliza watu, Akaimarisha ulinzi wake na kuweka majemadari
kwa kuwa jambo hili lilitoka kwa BWANA ili ndani yake, pamoja na mahitaji ya vyakula, mafuta
kutimiza neno ambalo BWANA alikuwa ya zeituni na mvinyo. 12Akaweka ngao na mikuki
amenena kwa Yeroboamu mwana wa Nebati katika miji na kuifanya iwe imara sana. Kwa hiyo
kupitia Ahiya Mshiloni. Yuda na Benyamini ikawa yake.
16Israeli wote walipoona kuwa mfalme 13Makuhani na Walawi kutoka sehemu zote za
amekataa kuwasikiliza, wakamjibu mfalme: Israeli wakawa upande wake. 14Pia Walawi
wakaacha maeneo yao ya malisho na mali zao,
“Tuna fungu gani kwa Daudi? wakaja Yuda na Yerusalemu kwa sababu
Sisi hatuna urithi kwa mwana wa Yese. Yeroboamu na wanawe walikuwa wamewakataa
Nendeni kwenye mahema yenu, Ee Israeli, wasiwe makuhani wa BWANA Mungu. 15Naye
angalia nyumba yako mwenyewe, akawa amechagua makuhani wake mwenyewe
Ee Daudi!” kwa ajili ya mahali pa juu pa kuabudia sanamu za
mbuzi na za ndama ambazo alikuwa
Hivyo Waisraeli wakaenda kwenye mahema yao. ametengeneza. 16Wale waliotoka katika kila kabila
17Lakini kwa habari ya Waisraeli waliokuwa la Israeli ambao walielekeza mioyo yao kumtafuta
wakiishi katika miji ya Yuda, Rehoboamu BWANA, Mungu wa Israeli, wakawafuata Walawi
akaendelea kuwatawala bado. huko Yerusalemu kumtolea BWANA dhabihu,
18Mfalme Rehoboamu akamtuma Mungu wa baba zao. 17Wakaimarisha ufalme wa
Adoniramu aliyekuwa msimamizi wa wale
a Yuda na kumwunga mkono Rehoboamu mwana
waliofanya kazi ngumu kwa kulazimishwa, lakini wa Solomoni miaka mitatu, wakienenda katika njia
Israeli yote wakampiga kwa mawe hadi akafa. za Daudi na Solomoni katika wakati huu.
Hata hivyo, Mfalme Rehoboamu, akafanikiwa
kuingia kwenye gari lake na kutorokea Jamaa Ya Rehoboamu
Yerusalemu. 19Hivyo Israeli ameasi dhidi ya 18Rehoboamu alimwoa Mahalati ambaye
nyumba ya Daudi hadi leo. alikuwa binti Yerimothi mwana wa Daudi, mamaye
alikuwa Abihaili binti Eliabu mwana wa Yese.
Yuda Na Benyamini Zajengwa Ngome 19Mahalati alimzalia Rehoboamu wana: Yeushi,
wa Solomoni mfalme wa Yuda, nayo nyumba Maaka, kuwa mkuu wa wana wa mfalme miongoni
mwa ndugu zake ili amfanye mfalme. 23Akatenda
a18 Adoniramu ndiye Hadoramu kwa Kiebrania.
11
2MAMBO YA NYAKATI
kwa busara, akiwasambaza baadhi ya wanawe 12Kwa sababu Rehoboamu alijinyenyekeza,
katika wilaya zote za Yuda na Benyamini, hasira ya BWANA ikageukia mbali naye,
pamoja na miji yote yenye ngome. Akawapa hakuangamizwa kabisa. Kukawa na hali nzuri
mahitaji tele na kuwaoza wake wengi. katika Yuda.
13Mfalme Rehoboamu akajiweka imara katika
ya Walibya, Wasukii na Wakushi a yaliyokuja Rehoboamu, tangu mwanzo mpaka mwisho, je,
pamoja naye kutoka Misri, 4akateka miji yenye hayakuandikwa katika kumbukumbu za nabii
ngome ya Yuda akaendelea mpaka Shemaia na mwonaji Ido zinazohusiana na
Yerusalemu. vizazi? Kulikuwako na vita mara kwa mara kati
5Ndipo nabii Shemaia akaja kwa ya Rehoboamu na Yeroboamu. 16Rehoboamu
Rehoboamu na kwa viongozi wa Yuda akalala pamoja na baba zake akazikwa katika
waliokuwa wamekusanyika huko Yerusalemu Mji wa Daudi. Naye Abiya mwanawe akaingia
kwa ajili ya hofu ya Shishaki naye akawaambia, mahali pake kama mfalme.
“Hivi ndiyo asemavyo BWANA ‘Ninyi mmeniacha
mimi, kwa hiyo, mimi nami sasa ninawaacha Abiya Mfalme Wa Yuda
ninyi mkononi mwa Shishaki.’
6Viongozi wa Israeli na mfalme 13 Katika mwaka wa kumi na nane wa
kutawala kwake mfalme Yeroboamu,
wakajinyenyekeza na kusema “BWANA Mungu Abiya akawa mfalme wa Yuda, 2naye akatawala
ni mwenye haki.’’ huko Yerusalemu miaka mitatu. Mama yake
7BWANA Mungu alipoona kwamba aliitwaa Maaka, binti Urieli wa Gibeoni.
wamejinyenyekeza, neno hili la BWANA likamjia Basi kulikuwa na vita kati ya Abiya na
Shemaia: “Maadam wamejinyenyekeza, Yeroboamu. 3Abiya aliingia vitani na jeshi la watu
sitawaangamiza bali hivi karibuni nitawapatia 400,000 wenye uwezo wa kupigana, naye
wokovu. Ghadhabu yangu haitamwagwa juu ya Yeroboamu akapanga jeshi dhidi ya Abiya akiwa
Yerusalemu kwa kupitia Shishaki. 8Hata hivyo, na jeshi la watu 800,000 wenye uwezo.
watamtumikia Shishaki ili wapate kujifunza 4Abiya akasimama juu ya Mlima Semaraimu,
tofauti kati ya kunitumikia mimi na kuwatumikia katika nchi ya vilima ya Efraimu, naye akasema,
wafalme wa nchi nyingine.’’ “Yeroboamu na Israeli yote, nisikilizeni mimi!
9Shishaki mfalme wa Misri alipoishambulia 5Hamfahamu kwamba BWANA, Mungu wa Israeli,
Yerusalemu, alichukua hazina za hekalu la alimpa Daudi na wazao wake ufalme juu ya Israeli
BWANA na hazina za jumba la kifalme. milele kwa agano la chumvi? 6Hata hivyo
Akachukua kila kitu, pamoja na zile ngao za Yeroboamu mwana wa Nebati afisa wa Solomoni
dhahabu ambazo Solomoni alikuwa mwana wa Daudi, aliasi dhidi ya BWANA wake.
amezitengeneza. Hivyo Mfalme Yehoboamu 7Baadhi ya watu wasiofaa kitu wabaya kabisa
naye wakiwa wamebeba hizo ngao na baadaye wa BWANA ambao uko mikononi mwa wazao wa
walizirudisha kwenye chumba cha ulinzi. Daudi. Kweli ninyi ni jeshi kubwa nanyi mnazo
ndama za dhahabu Yeroboamu alizozitengeneza
kuwa miungu yenu. 9Lakini je, hamkuwafukuza
a3 Wakushi hapa ina maana watu kutoka sehemu ya Nile ya Juu.
12
2MAMBO YA NYAKATI
makuhani wa BWANA wana wa Aroni na yameandikwa katika kitabu cha maelezo cha nabii
Walawi na kujifanyia makuhani wenu wenyewe Ido.
kama yafanyavyo mataifa ya nchi nyingine? Ye
yote anayekuja kujiweka wakfu akiwa na Asa Atawala
ndama mume na kondoo waume saba aweza
kuwa kuhani wa kile ambacho ni miungu 14 Hivyo Abiya akalala na baba zake naye
akazikwa katika Mji wa Daudi. Asa
kwenu. mwanawe akaingia mahali pake kama mfalme
10“Kwa habari yetu sisi BWANA ndiye na katika siku zake, nchi ikawa na amani kwa
Mungu wetu, wala hatujamwacha. 11Makuhani miaka kumi.
wanaomtumikia BWANA ni wana wa Aroni nao 2Asa akatenda yaliyo mema na haki
Walawi wakiwasaidia kila asubuhi na jioni machoni pa BWANA Mungu wake. 3Akaziondoa
kutoa sadaka za kuteketezwa na kufukiza madhabahu za kigeni na mahali pa juu pa
uvumba wa harufu nzuri kwa BWANA Mungu. kuabudia miungu, akayavunja yale mawe ya
Huweka mikate kwa taratibu za kiibada juu ya kuabudiwa na kuzikatakata nguzo za Maashera.
meza safi na kuwasha taa kwenye kinara cha 4Akawaamuru Yuda kumtafuta Mungu, Mungu
dhahabu kila jioni. Tunazishika kanuni za wa baba zao, na kutii sheria zake na amri zake.
BWANA Mungu wetu. Lakini ninyi 5Akaondoa mahali pa juu pa kuabudia miungu
kuzunguka nyuma ya Yuda ili kwamba wakati na tuizungushie kuta, pamoja na minara, malango
akiwa mbele ya Yuda jeshi liwavizie kwa nyuma. na makomeo. Nchi bado ni yetu, kwa sababu
14wakageuka na kuona kwamba tumemtafuta BWANA Mungu wetu, tulimtafuta
wanashambuliwa pande zote mbele na nyuma. naye ametupa raha kila upande.’’ Hivyo
Ndipo wakamlilia BWANA Mungu. Makuhani wakajenga na wakafanikiwa.
wakapiga tarumbeta zao, 15nao watu wa Yuda 8Asa alikuwa na jeshi la watu 300,000 kutoka
wakapaza sauti ya kilio cha vita. Katika kupiga Yuda, wenye ngao kubwa na mikuki na jeshi la
kelele za vita, Mungu akawafukuza Yeroboamu watu 280,000 kutoka Benyamini, wenye ngao
na Israeli yote mbele ya Mfalme Abiya na Yuda. ndogo na pinde. Watu hawa wote walikuwa
16Waisraeli wakakimbia mbele ya Yuda, naye wapiganaji mashujaa.
Mungu akawatia Israeli mikononi mwao. 17Abiya 9Zera Mkushi akatoka kupigana dhidi yao
na watu wake wakawachinja kwa machinjo akiwa na jeshi la watu maelfu ya maelfu na magari
makuu, hata wakawepo majeruhi 500,000 ya vita 300, nao wakaja mpaka Maresha. 10Asa
miongoni mwa watu wenye uwezo wa Israeli. akatoka kumkabili, nao wakapanga vita katika
18Watu wa Israeli walitiishwa katika tukio lile, Bonde la Sefatha karibu na Maresha.
nao watu wa Yuda 11Kisha Asa akamlilia BWANA Mungu wake
wakawa washindi kwa sababu walimtegemea na kusema, “Ee, BWANA hakuna ye yote aliye
BWANA Mungu wa baba zao. kama wewe wa kuwasadia wasio na nguvu dhidi
19Abiya akamfuatia Yeroboamu na kuteka ya wenye nguvu. Utusaidie, Ee, BWANA Mungu
miji ya Betheli, Yeshana na Efroni kutoka kwake, wetu kwa kuwa tunakutumainia Wewe, nasi kwa
pamoja na vijiji vinavyoizunguka miji hiyo. jina lako tumekuja dhidi ya jeshi hili kubwa. Ee
20Yeroboamu hakupata nguvu tena wakati wa BWANA, Wewe ndiwe Mungu wetu, usiwaache
utawala wa Abiya. Naye BWANA akampiga wanadamu wakushinde Wewe.”
Yeroboamu akafa. 12 BWANA Mungu akawapiga Wakushi mbele
21Lakini Abiya akapata nguvu. Alioa ya Asa na Yuda. Wakushi wakakimbia 13naye Asa
wanawake kumi na wanne na alikuwa na wana na jeshi lake wakawafuatia mpaka Gerari. Idadi
ishirini na wawili na binti kumi na sita. kubwa ya Wakushi ilianguka hata wasiweze
22Matukio mengine ya utawala wa Abiya, kuinuka tena, wakapondwa-pondwa mbele za
pamoja na mambo aliyofanya na aliyosema, BWANA na majeshi yake. 14Watu wa Yuda
13
2MAMBO YA NYAKATI
wakachukua nyara nyingi sana, wakaangamiza hawangemtafuta BWANA, Mungu wa Israeli,
vijiji vyote vinavyoizunguka Gerari, kwa kuwa wangelazimika kuuawa, akiwa mdogo au
hofu ya BWANA ilikuwa imewaangukia. mkubwa, mwanaume au mwanamke.
Wakateka nyara vijiji hivi vyote, kwani 14Wakamwapia BWANA kwa sauti kuu, kwa
kulikuwapo nyara nyingi huko. 15Pia kupiga kelele, tarumbeta na kwa mabaragumu.
wakashambulia kambi za wachunga makundi ya 15Yuda wote wakafurahia kile kiapo kwa sababu
wanyama wakachukua na kuyaswaga makundi walikuwa wameapa kwa moyo wao wote.
ya kondoo, mbuzi na ngamia. Kisha wakarudi Wakamtafuta Mungu kwa bidii, naye akaonekana
Yerusalemu. kwao. Kwa hiyo BWANA akawastarehesha pande
zote.
Asa Afanya Matengenezo 16Mfalme Asa akamwondolea Maaka mama
Roho ya BWANA ikamjia Azaria mwana yake wadhifa wake asiwe mama malkia kwa
15 wa Obedi. 2Akatoka ili kumlaki Asa na sababu alikuwa ametengenezea kichakani nguzo
kumwambia, “Nisikilizeni, Asa na Yuda wote na ya chukizo ya Ashera. Asa akaikata ile nguzo
Benyamini. BWANA yu pamoja nanyi mkiwa akaiangusha, akaivunja na kuiteketeza kwa moto
pamoja naye. Kama mkimtafuta, ataonekana katika bonde la Kidroni. 17Ingawa hakuondoa
kwenu, lakini kama mkimwacha yeye, naye mahali pa juu pa kuabudia miungu katika Israeli,
atawaacha ninyi. 3Kwa muda mrefu Israeli Asa aliuweka moyo wake wote kwa BWANA
walikuwa hawana Mungu wa kweli, walikuwa kikamilifu siku zote za maisha yake. 18Akaleta
hawana kuhani wa kuwafundisha na wala katika hekalu la Mungu fedha, dhahabu na vile
hawakuwa na sheria. 4Lakini katika taabu yao vyombo ambavyo yeye na baba yake walikuwa
walimrudia BWANA, Mungu wa Israeli na wameviweka wakfu.
kumtafuta, naye akaonekana kwao. 5Katika siku 19Hapakuwepo na vita tena mpaka mwaka wa
hizo hapakuwa na amani kwa ye yote thelathini na tano wa utawala wake Asa.
aliyesafiri,kutoka wala kuingia, kwa kuwa wakazi
wote wa nchi walikuwa katika machafuko Miaka Ya Mwisho Ya Mfalme Asa
makubwa. 6Taifa moja lilipigana na taifa lingine
na mji mmoja ukapigana na mji mwingine, kwa 16 Katika mwaka wa thelathini na sita wa
kutawala kwa Asa, Mfalme Baasha wa
sababu Mungu alikuwa anawahangaisha kwa Israeli akaishambulia Yuda na kuujengea ngome
taabu za kila aina. 7Lakini kwa habari yenu ninyi, mji wa Rama kumzuia ye yote asitoke wala
iweni hodari wala msikate tamaa, kwa kuwa kuingia katika nchi ya Mfalme Asa wa Yuda.
mtapata thawabu kwa kazi yenu.’’ 2Ndipo Asa akachukua fedha na dhahabu
8Asa aliposikia maneno haya na unabii wa kutoka katika hazina ya hekalu la BWANA na
Azaria mwana wa Obedi nabii, akajipa moyo. kutoka katika jumba lake mwenyewe la kifalme na
Akaziondoa sanamu zilizokuwa machukizo kumpelekea Ben-Hadadi mfalme wa Aramu,
kutoka nchi yote ya Yuda na Benyamini na ambaye alikuwa anatawala huko Dameski.
kutoka miji aliyoiteka katika vilima vya Efraimu. 3Akasema, “Pawepo na makubaliano kati yangu
Akakarabati madhabahu ya BWANA iliyokuwa na wewe, kama yalivyokuwako kati ya baba yangu
mbele ya ukumbi wa hekalu la BWANA Mungu. na baba yako. Tazama, ninakupelekea fedha na
9Kisha akakutanisha Yuda wote, Benyamini dhahabu. Basi vunja makubaliano yako na mfalme
na watu kutoka Efraimu, watu wa Manase na Baasha wa Israeli ili aweze kujiondoa huku
Simeoni waliokuwa wanaishi miongoni mwao, kwangu.”
kwa maana idadi kubwa walikuwa wamemjia 4Ben-Hadadi akakubaliana na Mfalme Asa na
kutoka Israeli walipoona kwamba BWANA kutuma majemadari wa majeshi yake dhidi ya miji
Mungu wake alikuwa pamoja naye. ya Israeli. Wakashinda Iyoni, Dani, Abeli Maimu
10Basi wakakusanyika huko Yerusalemu na miji yote ya hazina ya Naftali. 5Baasha
mwezi wa tatu katika mwaka wa kumi na tano aliposikia jambo hili, akasimamisha kujenga Rama
wa kutawala kwake Asa. 11Wakati huo na kuacha kazi yake. 6Ndipo Mfalme Asa
walimtolea BWANA dhabihu za ngombe 700, akawaleta watu wote wa Yuda, nao wakachukua
kondoo na mbuzi 7,000 kutoka katika zile nyara mawe na miti ambayo Baasha alikuwa anavitumia
walizoteka. 12Wakafanya agano kumtafuta huko Rama. Kwa vitu hivyo akajenga Geba na
BWANA Mungu wa baba zao, kwa moyo wao Mizpo.
wote na kwa roho yao yote. 13Wale wote ambao 7Ikawa wakati huo mwonaji Hanani akamjia
14
2MAMBO YA NYAKATI
Mfalme Asa wa Yuda na kumwambia: “Kwa heshima. 6Moyo wake ukawa hodari katika njia za
sababu ulimtegemea mfalme wa Aramu nawe BWANA na zaidi ya yote, akaondoa mahali pa juu
hukumtegemea BWANA Mungu wako, jeshi la pa kuabudia miungu na nguzo za Maashera katika
mfalme wa Aramu limeponyoka mkononi Yuda.
mwako. 8Je, hukumbuki lililotendeka kwa 7Katika mwaka wa tatu wa kutawala kwake
Wakushi na Walibya, hawakuwa jeshi lenye akatuma maafisa wake ambao ni: Ben-Haili,
nguvu na magari mengi ya vita na wapanda Obadia, Zekaria, Nethaneli na Mikaya ili
farasi? Hata hivyo, ulipomtegemea BWANA kufundisha katika miji ya Yuda. 8Pamoja nao
Yeye aliwatia mkononi mwako. 9Kwa kuwa walikuwepo Walawi fulani nao ni: Shemaia,
macho ya BWANA hukimbia-kimbia duniani kote Nethania, Zebadia, Asaheli, Shemiramothi,
ili kujionyesha mwenye nguvu kwa ajili ya wale Yehonathani, Adonia, Tobia, Tob-Adonia, pamoja
ambao mioyo yao inamtegemea kwa ukamilifu. nao walikuwapo makuhani Elishama na
Umefanya jambo la upumbavu na kuanzia sasa Yehoramu. 9Wakafundisha Yuda yote, wakiwa
na kuendelea utakuwa na vita.” wamechukua Kitabu cha Torati ya BWANA
10Asa akamkasirikia mwonaji kwa sababu ya wakazunguka miji yote ya Yuda na kufundisha
jambo hili. Alikuwa ameghadhibika sana hata watu.
akamweka gerezani. Wakati huo huo Asa 10Hofu ya BWANA ikawa juu ya falme zote za
akaanza kuwatesa na kuwaonea baadhi ya watu nchi zilizozunguka Yuda, hivyo hawakufanya vita
kwa ukatili. na Yehoshafati. 11Baadhi ya Wafilisti wakamletea
11Matukio ya utawala wa Asa, kuanzia Yehoshafati zawadi na fedha kama ushuru, nao
mwanzo mpaka mwisho, yameandikwa katika Waarabu wakamletea mifugo: Kondoo waume
kitabu cha wafalme wa Yuda na Isareli. 12Katika 7,700 na mbuzi 7,700.
mwaka wa thelathini na tisa wa utawala wake, 12Yehoshafati akaendelea kupata nguvu zaidi
Asa alipatwa na ugonjwa kwenye miguu yake. na zaidi, akajenga ngome na miji ya hazina katika
Ingawa ugonjwa wake ulimzidia sana, hata Yuda 13na akawa na wingi mkubwa wa vitu katika
katika kuugua kwake hakutafuta msaada kutoka miji ya Yuda. Pia aliweka askari wa vita wenye
kwa BWANA bali kwa matabibu tu. 13Ndipo uzoefu huko Yerusalemu. 14Wakaandikishwa
katika mwaka wa arobaini na moja wa kutawala katika jamaa zao kama ifuatavyo:
kwake Asa, akafa na kulala na baba zake. 14Nao
wakamzika katika kaburi lile alilokuwa Kutoka Yuda, majemadari wa vikosi vya
amelichonga kwa ajili yake mwenyewe katika Mji elfu:
wa Daudi. Wakamzika kwa jeneza lililowekwa Jemadari Adna akiwa na askari wa vita
vikolezo na mchanganyiko wa manukato ya aina 300,000,
mbali mbali yaliyotengenezwa kwa mwuuza 15aliyefuata ni jemadari Yehonathani akiwa
marashi, nao wakawasha moto mkubwa kwa na askari 280,000 walio tayari kwa vita,
heshima yake. 16aliyefuata ni Amasia mwana wa Zikri,
katika Yuda na katika miji ya Efraimu ile ambayo 180,000 wenye silaha za vita.
baba yake Asa alikuwa ameiteka.
3 BWANA Mungu alikuwa na Yehoshafati 19Hawa ndio watu waliomtumikia mfalme huko
kwa sababu katika miaka yake ya mwanzoni Yerusalemu, mbali na hawa mfalme aliweka
alienenda katika njia za Daudi baba yake. askari katika miji yenye ngome katika Yuda yote.
Hakutafuta Mabaali 4bali alimtafuta Mungu wa
baba yake na kuzifuata amri zake badala ya Mikaya Atoa Unabii DhidiYa Ahabu
kufuata desturi za watu wa Israeli. 5Bwama
Mungu akauimarisha ufalme chini ya uongozi 18 Basi, Yehoshafati alikuwa na mali nyingi
sana na heshima.Naye akafanya urafiki
wake, nao Yuda wote wakamletea Yehoshafati na Ahabu kwa mwanaye kumwoa binti wa
zawadi, hivyo akawa na utajiri mwingi na Ahabu. 2Baada ya miaka kadhaa akashuka
15
2MAMBO YA NYAKATI
kumtembelea Ahabu huko Samaria. Ahabu 12Mjumbe aliyekuwa amekwenda kumwita
akachinja ng’ombe na kondoo wengi kwa ajili Mikaya akamwambia, “Tazama, manabii wote
yake na watu aliokuwa amefuatana nao. Kisha kama mtu mmoja wanatabiri ushindi kwa
Ahabu akamshawishi Yehoshafati kukwea mfalme. Neno lako na likubaliane na lao, nawe
pamoja naye ili kuishambulia Ramothi-Gileadi. unene mema kuhusu mfalme.’’
3Ahabu mfalme wa Israeli akamwuliza 13Lakini Mikaya akasema, “Hakika kama
Yehoshafati mfalme wa Yuda, ”Je, utakwenda BWANA aishivyo, nitamwambia kile tu BWANA
pamoja nami kupigana dhidi ya Ramothi- atakachoniambia.”
Gileadi?” 14Alipofika, mfalme akamwuliza, “Mikaya, je,
Israeli, “Kwanza tafuta shauri la BWANA nitakuapisha ili usiniambie kitu cho chote ila
Mungu.’’ kweli tu kwa jina la BWANA Mungu?’’
5Kwa hiyo mfalme wa Israeli akawaleta 16Kisha Mikaya akajibu, “Niliona Israeli yote
pamoja manabii wanaume wapatao mia nne, imetawanyika vilimani kama kondoo wasio na
akawauliza, “Je, niende vitani dhidi ya Ramothi- mchungaji, na BWANA akasema, ‘Watu hawa
Gileadi, au niache?’’ hawana BWANA. Mwache kila mmoja aende
Wakajibu, “Naam, nenda kwa kuwa BWANA nyumbani kwa amani.’ ”
ataiweka Ramothi-Gileadi mkononi mwa 17Mfalme wa Israeli akamwambia
mfalme.’’ Yehoshafati, “Sikukuambia kwamba huwa
6Lakini Yehoshafati akauliza, “Je, hayuko hatabiri jambo lo lote jema kunihusu bali mabaya
nabii wa BWANA hapa ambaye tunaweza tu?’’
kumwuliza?’’ 18Mikaya akaendelea, “Kwa hiyo lisikie neno
7Mfalme wa Israeli akamjibu Yehoshafati, la BWANA Mungu: Nilimwona BWANA ameketi
“Bado yupo mtu mmoja ambaye kupitia yeye juu ya kiti chake cha enzi pamoja na jeshi lote la
twaweza kumwuliza shauri la BWANA, lakini mbinguni wamesimama kumzunguka kulia
namchukia kwa sababu huwa hatabiri jambo lo kwake na kushoto kwake. 19Naye BWANA
lote jema kunihusu mimi, lakini kila mara akasema, “Ni nani atakayemshawishi Ahabu ili
hunitabiria mabaya tu. Yeye ni Mikaya mwana aishambulie Ramoth-Gileadi na kukiendea kifo
wa Imla.’’ chake huko?”
Yehoshafati akajibu, “Mfalme hapaswi “Mmoja akapendekeza hili na mwingine lile.
kusema hivyo.’’ 20Mwishoni, roho akajitokeza, akasimama mbele
8Kwa hiyo mfalme wa Israeli akamwita za BWANA na kusema, ‘Nitamshawishi.’
mmoja wa maafisa wake na kusema, “Mlete BWANA Mungu akauliza, ‘Kwa njia gani?’
Mikaya mwana wa Imla mara moja.’’ 21Akasema, “ ‘Nitakwenda na kuwa roho ya
9Wakiwa wamevalia majoho yao ya kifalme, uongo katika vinywa vya manabii wake wote.’
mfalme wa Israeli na Yehoshafati mfalme wa BWANA Mungu akasema, “Utafanikiwa
Yuda walikuwa wameketi juu ya viti vyao vya katika kumshawishi, nenda ukafanye hivyo.’’
kifalme katika sakafu ya kupuria, kwenye ingilio 22“Kwa hiyo sasa BWANA ameweka roho ya
la lango la Samaria, pamoja na manabii wote kudanganya ndani ya vinywa vya hawa manabii
wakiwa wakitabiri mbele yao. 10Wakati huu wako wote. BWANA ameamuru maafa kwa ajili
Zedekia mwana wa Kenaana alikuwa yako.’’
ametengeneza pembe za chuma na 23Kisha Zedekia mwana wa Kenaana
akatangaza, “Hivi ndivyo BWANA asemavyo, akatoka na kumpiga Mikaya kofi usoni. Akauliza,
‘Kwa hizi pembe utawapiga na kuwarudisha “Huyo Roho kutoka kwa BWANA alipita njia
Waaramu nyuma mpaka wameangamizwa.’’ gani, alipotoka kwangu ili kusema nawe?’’
11Manabii wengine wote walikuwa wanatabiri 24Mikaya akajibu, “Utagundua siku hiyo
kitu hicho hicho wakisema, “Ishambulie utakapokwenda kujificha kwenye chumba cha
Ramothi-Gileadi na uwe mshindi. Kwa kuwa ndani.’’
BWANA ataiweka mkononi mwa mfalme.’’ 25Kisha mfalme wa Israeli akaagiza,
16
2MAMBO YA NYAKATI
“Mchukueni na mkamrudishe kwa Amoni kumtafuta BWANA Mungu.
mtawala wa mji na kwa Yoashi mwana wa
mfalme. 26Mkaseme, ‘Hivi ndivyo asemavyo Yehoshafati Aweka Waamuzi
mfalme: Mwekeni mtu huyu gerezani na asipewe 4Yehoshafati aliishi huko Yerusalemu, naye
cho chote ila mkate na maji mpaka nitakaporudi akatoka akaenda tena miongoni mwa watu,
salama.’ ’’ kuanzia Beer-Sheba hadi nchi ya vilima ya
27Mikaya akasema, “Kama utarudi salama, Efraimu na kuwageuza watu wakamrudia
basi BWANA hajanena kupitia kwangu.’’ Kisha BWANA, Mungu wa baba zao. 5Akawaweka
akaongeza kusema, “Zingatieni maneno yangu, waamuzi katika nchi, kwenye miji yote ya Yuda
enyi watu wote!’’ yenye maboma. 6Akawaambia, “Angalieni kwa
makini yale mtendayo, kwa kuwa hamkuhukumu
Ahabu Anauawa Huko Ramothi-Gileadi kwa ajili ya mwanadamu bali kwa ajili ya BWANA
28Basi mfalme wa Israeli na Yehoshafati ambaye yu pamoja nanyi kila mtoapo hukumu.
mfalme wa Yuda wakaenda Ramothi-Gileadi. 7Basi sasa hofu ya BWANA na iwe juu yenu.
29Mfalme wa Israeli akamwambia Yehoshafati, Hukumuni kwa uangalifu, kwa kuwa BWANA wetu
“Nitaingia vitani nikiwa nimejibadilisha, lakini hakuna jambo lisilo la haki wala upendeleo wala
wewe uvae majoho yako ya kifalme.” Kwa hiyo rushwa”.
mfalme wa Israeli akajibadilisha na kwenda 8Pia huko Yerusalemu, Yehoshafati akaweka
mkubwa, isipokuwa mfalme wa Israeli.” 31Wakati uaminifu na kwa moyo wote katika kicho cha
wale majemadari wa magari ya vita BWANA Mungu. 10Katika kila shauri ifikayo mbele
walipomwona Yehoshafati wakafikiri, “Hakika yenu kutoka kwa ndugu zenu wale waishio katika
huyu ndiye mfalme wa Israeli.” Kwa hiyo miji, ikiwa ni ya umwagaji wa damu au mambo
wakageuka ili wamshambulie, lakini Yehoshafati mengine yahusuyo sheria, amri, hukumu au
alipiga kelele, 32wale majemadari wakaona maagizo, inawapasa ninyi kuwaonya kwamba
kwamba hakuwa mfalme wa Israeli nao wasitende dhambi dhidi ya BWANA la sivyo
wakaacha kumfuatilia. ghadhabu yake itakuja juu yenu na ndugu zenu.
33Lakini mtu fulani akavuta upinde pasipo Tendeni hivyo, nanyi hamtatenda dhambi.
lengo na kumpiga mfalme wa Israeli katikati ya 11 “Amaria kuhani mkuu atakuwa juu yenu
kiungio cha mavazi yake ya chuma, mfalme katika jambo lo lote linalomhusu BWANA naye
akamwambia mwendesha gari lake, “Geuza gari Zebadia mwana wa Ishmaeli, kiongozi wa kabila
na uniondoe mimi katika mapigano, la Yuda, atakuwa juu yenu kuhusiana na jambo
nimejeruhiwa.’’ 34Vita vikaendelea mchana lo lote la mfalme, nao Walawi watatumika kama
kutwa naye mfalme Ahabu akategemezwa ndani maafisa mbele yenu. Tendeni kwa ujasiri, naye
ya gari kuelekea Waaramu. Damu kutoka BWANA atakuwa pamoja na wale watendao
kwenye jeraha lake ikachuruzika ndani ya gari vema.”
na jioni yake akafa.
Ikawa baada ya jambo hili, Wamoabu na
Mwonaji Yehu Amkemea Yehoshafati 20 Waamoni, pamoja na baadhi ya
jambo hili, ghadhabu ya BWANA iko juu yako. BWANA akatangaza kufunga kwa Yuda wote,
3Hata hivyo, kuna mema yaliyoonekana kwako, 4Watu wa Yuda wakakusanyika pamoja ili
17
2MAMBO YA NYAKATI
kutafuta msaada kutoka kwa BWANA wakaja nanyi mtawakuta mwisho wa bonde, kabla ya
kutoka kila mji wa Yuda ili kuja kumtafuta Jangwa la Yerueli. 17Hamtahitaji kupigana vita
BWANA Mungu. hivi. Kaeni kwenye nafasi zenu, simameni imara
5Yehoshafati akasimama katika kusanyiko la na mkaone wokovu BWANA atakaowapatia,
Yuda na Yerusalemu katika hekalu la BWANA Enyi Yuda na Yerusalemu. Msiogope, wala
Mung, mbele ya ua mpya, 6akasema, msifadhaike. Kesho tokeni mwende
mkawakabili, naye BWANA atakuwa pamoja
“Ee BWANA, Mungu wa baba zetu, Wewe nanyi.”
si ndiye uliye Mungu mbinguni? Wewe 18Yehoshafati akainama na kusujudu uso
watawala juu ya falme zote za wake hadi chini, nao watu wote wa Yuda na
mataifa? Uweza na Nguvu viko mkononi Yerusalemu wakaanguka chini ili kuabudu mbele
mwako, wala hakuna ye yote awezaye za BWANA Mungu. 19Ndipo baadhi ya Walawi
kushindana nawe. 7Je si Wewe, Ee kutoka kwa Wakohathi na kwa wana wa Kora
Mungu wetu, uliyewafukuza wenyeji wa wakasimama na kumsifu BWANA, Mungu wa
nchi hii mbele ya watu wako Israeli, Israeli, kwa sauti kuu sana.
ukawapa wazao wa Abrahamu, rafiki yako, 20Asubuhi na mapema wakaondoka
hata milele? 8Wameishi ndani yake na humo kuelekea Jangwa la Tekoa. Walipoanza safari
wamekujengea mahali Patakatifu kwa ajili ya Yehoshafati akasimama akasema, “Nisikilizeni,
jina lako, wakisema: 9’Kama maafa yakitujia, Enyi Yuda, nanyi watu wa Yerusalemu!
ikiwa ni upanga, hukumu, tauni, au njaa, Mwaminini BWANA Mungu wenu hivyo
tutasimama mbele zako, mbele ya hekalu mtathibitika, wasadikini manabii wake nanyi
hili ambalo limeitwa kwa jina lako na mtafanikiwa. 21Alipomaliza kushauriana na watu,
kukulilia katika shida yetu, nawe Yehoshafati akawaweka watu wa kumwimbia
utatusikiana kutuokoa. BWANA na kumsifu katika uzuri wa utakatifu
10Lakini sasa hawa watu wa kutoka wake walipokuwa wametangulia mbele ya jeshi,
Amoni, Moabu na Mlima Seiri, ambao wakisema:
hukuwaruhusu Israeli waivamie nchi yao
wakati walipotoka Misri, hivyo wakageukia “Mshukuruni BWANA
mbali nao na hawakuwaangamiza. kwa kuwa upendo wake wadumu
11Tazama jinsi wanavyotulipa kwa kuja milele.”
kututupa nje ya milki uliyotupa sisi kama
urithi. 12Ee Mungu wetu, je, Wewe 22Walipoanza kuimba na kusifu, BWANA
hutawahukumu? Kwa kuwa sisi hatuna akaweka waviziao dhidhi ya watu wa Amoni,
uwezo wa kukabiliana na jeshi hili kubwa Moabu na wale wa Mlima Seiri waliokuwa
linalokuja kutushambulia. Sisi hatujui wamekuja kuishambulia Yuda, nao
lakufanya, bali macho yetu yanakutazama wakashindwa. 23Watu wa Amoni na Moabu
Wewe”, wakawainukia watu wa Mlima Seiri ili kuwaua na
kuwaangamiza kabisa. Baada ya kumaliza
13Watu wa Yuda pamoja na wake zao, kuwachinja watu wa Seiri, wakasaidia
watoto wao na wadogo wao wakasimama mbele kuangamizana wao kwa wao.
za BWANA Mungu. 24Yuda walipofika katika mnara wa ulinzi wa
14Ndipo Roho wa BWANA akaja juu ya mtu jangwani, wakaliangalia lile jeshi kubwa,
mmoja jina lake Yahazieli mwana wa Zekaria, wakaona ni maiti tupu zimetapakaa ardhini, wala
mwana wa Benaia, Mwana wa Yeieli, mwana wa hakuna ye yote aliyenusurika. 25Hivyo
Matania, Mlawi mzao wa Asafu alipokuwa Yehoshafati na watu wake wakaenda kujitwalia
amesimama katika kusanyiko, nyara kutoka kwao, nao wakakuta humo wingi
15akasema: “Sikilizeni, enyi Yuda wote nanyi wa mifugo, mali, nguo na vitu vya thamani,
nyote mkaao Yerusalemu, nawe mfalme ambavyo vilikuwa vingi zaidi ya vile walivyoweza
Yehoshafati! Hili ndilo BWANA asemalo kwenu, kuchukua. Wakakusanya nyara kwa siku tatu
‘Msiogope wala msifadhaike kwa sababu ya kwa sababu zilikuwa nyingi mno. 26Siku ya nne
jeshi hili kubwa. Kwa maana vita hivi si vyenu, wakakusanyika katika Bonde la Beraka b kwa
bali ni vya Mungu. 16Kesho shukeni kukabiliana
nao. Wanakwea kwa kupandia Genge la Sisi, b26 Bonde la Beraka maana yake “Bonde la Baraka.’’
18
2MAMBO YA NYAKATI
maana huko walimbariki BWANA Mungu. Ndiyo Yehoshafati mfalme wa Israeli a . 3Baba yao
sababu linaitwa Bonde la Beraka mpaka leo. alikuwa amewapa zawadi nyingi za fedha na
27Kisha watu wote wa Yuda na Yerusalemu, dhahabu na vitu vya thamani, pamoja na miji
wakiongozwa na Yehoshafati, wakarudi yenye ngome huko Yuda, bali ufalme akampa
Yerusalemu wakiwa na furaha kwa kuwa Yehoramu kwa sababu alikuwa mwanawe
BWANA alikuwa amewasababisha wafurahi juu mzaliwa wa kwanza.
ya adui zao. 28Wakaingia Yerusalemu na 4Baada ya Yehoramu kujiimarisha katika
kwenda hekaluni mwa BWANA wakiwa na ufalme wa baba yake, akawaua kwa upanga
vinubi, zeze na tarumbeta. ndugu zake wote pamoja na baadhi ya wakuu
29Hofu ya Mungu ikazipata falme zote za wa Israeli. 5Yehoramu alikuwa na umri wa miaka
nchi waliposikia jinsi BWANA alivyokuwa thelathini na miwili alipokuwa mfalme, akatawala
amepigana dhidi ya adui za Israeli. 30Ufalme wa huko Yerusalemu kwa miaka minane.
Yehoshafati ukawa na amani, kwa kuwa Mungu 6Akaiendea njia ya wafalme wa Israeli, kama
wake alikuwa amemstarehesha pande zote. ilivyokuwa imefanya nyumba ya Ahabu, kwa
sababu alioa binti wa Ahabu. Akatenda maovu
Mwisho Wa Utawala Wa Yehoshafati machoni pa BWANA Mungu. 7Hata hivyo, kwa
31Hivyo Yehoshafati akatawala Yuda. sababu ya agano ambalo BWANA alikuwa
Alikuwa na umri wa miaka thelathini na mitano amefanya na Daudi, BWANA hakuwa radhi
alipoanza kutawala, akatawala katika kuangamiza nyumba ya Daudi, Mungu alikuwa
Yerusalemu kwa miaka ishirini na mitano. Mama ameahidi kumpa Daudi taa, yeye na wazao
yake aliitwa Azuba binti Shilhi. 32Akaiendea njia wake milele.
ya Asa baba yake wala hakuiacha, akifanya 8Wakati wa Yehoramu, Edomu iliasi dhidi ya
yaliyo mema machoni pa BWANA Mungu. Yuda na kujiwekea mfalme wao wenyewe.
33Lakini hata hivyo mahali pa juu pa kuabudia 9Hivyo Yehoramu akaenda huko pamoja na
miungu hapakuondolewa, nao watu wakawa maafisa wake na magari yake yote ya vita.
bado hawajaelekeza mioyo yao kwa , Mungu wa Waedomu wakamzunguka yeye na majemadari
baba zao. wake wa magari yake yote ya vita, lakini
34Matukio mengine ya utawala wa akaondoka akapenya usiku na kuwashambulia
Yehoshafati, kuanzia mwanzo hadi mwisho, Waedomu. 10Hadi leo Edomu imeasi Yuda.
yameandikwa katika kitabu cha tarehe cha Yehu Libna nao wakaasi wakati huo huo kwa
mwana wa Hanani, ambazo zimeandikwa katika sababu Yehoramu alikuwa amemwacha
kitabu cha wafalme wa Israeli. BWANA, Mungu wa baba zake. 11Alikuwa pia
35Hatimaye Yehoshafati mfalme wa Yuda ametengeneza mahali pa juu pa kuabudia
akafanya urafiki na Ahazia mfalme wa Israeli miungu katika vilima vya Yuda na akawa
ambaye alifanya maovu sana. 36Akaungana amewasababisha watu wa Yerusalemu kufanya
naye kutengeneza meli nyingi za kwenda uzinzi na akawa amewapotosha watu wa Yuda.
Tarshishi, nazo zilitengenezwa huko Esion- 12Yehoramu akapokea barua kutoka kwa
19
2MAMBO YA NYAKATI
15Wewe mwenyewe utaugua sana kwa aliyokuwa ameyapata huko Ramoth, kwenye vita
ugonjwa wa tumbo kwa muda mrefu, hadi vyake na Hazaeli mfalme wa Aramu.
ugonjwa utakaposababisha matumbo yako Ndipo Ahazia mwana wa Yehoramu mfalme
kutoka nje.” wa Yuda, akashuka kwenda Yezreeli
kumtazama Yoramu mwana wa Ahabu kwa
16 BWANA Mungu akaamsha chuki ya sababu alikuwa amejeruhiwa.
Wafilisti na ya Waarabu walioishi karibu na 7Mungu alikuwa ameamuru kwamba
Wakushi dhidi ya Yehoramu. 17Wakaishambulia kuanguka kwa Ahazia kungetokea
Yuda, wakaivamia na kuchukua mali zote atakapokwenda kumwona Yoramu. Ahazia
zilizopatikana katika jumba la mfalme pamoja na alipowasili, wakatoka pamoja na Yoramu ili
wanawe na wake zake. Hakubakiziwa mwana ye kwenda kukutana na Yehu mwana wa Nimshi,
yote isipokuwa Ahazia aliyekuwa mdogo wa ambaye BWANA alikuwa amemtia mafuta
wote. kuangamiza nyumba ya Ahabu. 8Yehu
18Baada ya mambo haya yote, BWANA alipokuwa anatekeleza hukumu juu ya nyumba
akampiga Yehoramu kwa ugonjwa usioponyeka ya Ahabu, akawakuta wakuu wa Yuda na wana
wa matumbo. 19Ikawa baada ya muda, mwisho wa jamaa ya Ahazia, waliokuwa wanamhudumia
wa mwaka wa pili, matumbo yake yakatoka nje Ahazia na akawaua. 9Ndipo akaenda kumsaka
kwa sababu ya ugonjwa, naye akafa katika Ahazia, nao watu wake wakamkamata
maumivu makali sana. Watu wake alipokuwa amejificha huko Samaria. Akaletwa
hawakuwasha moto kwa heshima yake, kama kwa Yehu na akauawa. Wakamzika kwani
walivyokuwa wamewafanyia baba zake. walisema, “Alikuwa mwana wa Yehoshafati,
20Yehoramu alikuwa na umri wa miaka ambaye alimtafuta BWANA kwa moyo wake
thelathini na miwili alipokuwa mfalme, naye wote.” Hivyo hapakuwa na mtu mwenye uwezo
akatawala huko Yerusalemu miaka minane. katika nyumba ya Ahazia aliyeweza kushika
Akafa, bila kusikitikiwa na mtu ye yote, naye ufalme.
akazikwa katika Mji wa Daudi, lakini si katika 10Athalia mamaye Ahazia alipoona kuwa
23
3Ahazia naye akaziendea njia za nyumba ya Katika mwaka wa saba Yehoyada
Ahabu kwa sababu mama yake alikuwa mshauri akaonyesha nguvu zake. Akafanya
wake katika kutenda maovu. 4Akafanya yaliyo agano na majemadari wa vikosi vya mamia:
maovu machoni pa BWANA kama walivyokuwa Azaria mwana wa Yehoramu, Ishimaeli mwana
wamefanya nyumba ya Ahabu, kwa kuwa baada wa Yehohanani, Azaria mwana wa Obedi,
ya kufa kwa baba yake walikuwa washauri Maaseya mwana wa Adaia na Elishafati mwana
wake, kwa uangamivu wake. 5Pia akafuata wa Zikri. 2Wakazunguka katika Yuda yote na
shauri lao alipokwenda pamoja na Yoramu kukusanya Walawi na viongozi wa jamaa za
mwana wa Ahabu mfalme wa Israeli kupigana Israeli kutoka katika miji yote. Walipofika
na Hazaeli mfalme wa Aramu huko Ramoth- Yerusalemu, 3kusanyiko lote likafanya agano na
Gileadi. Waaramu wakamjeruhi Yoramu, 6hivyo mfalme kwenye hekalu la Mungu.
akarudi Yezreeli ili apate kuuguza majeraha Yehoyada akawaambia, “Mwana wa mfalme
20
2MAMBO YA NYAKATI
atatawala, kama BWANA alivyoahidi kuhusu ya safu na mkamwue kwa upanga ye yote
wazao wa Daudi. 4Basi hili ndilo liwapasalo anayemfuata.” Kwa kuwa kuhani alikuwa
kufanya: theluthi ya makuhani wenu na Walawi amesema, “Msimwulie ndani ya hekalu la
ambao watakuwa kwenye zamu siku ya Sabato BWANA.” 15Kwa hiyo wakamkamata alipofika
watalinda milangoni, 5theluthi watalinda jumba la kwenye ingilio la Lango la Farasi katika viwanja
kifalme, theluthi nyingine italinda lango la Msingi, vya jumba la kifalme wakamwulia hapo.
nao watu wengine wote itawapasa wawe ndani 16Kisha Yehoyada akafanya agano kwamba
ya nyua za hekalu la BWANA. 6Hakuna ruhusa yeye na watu wote pamoja na mfalme watakuwa
mtu ye yote kuingia hekaluni mwa BWANA watu wa BWANA. 17Kisha watu wote wakaenda
isipokuwa makuhani na Walawi walio kwenye kwenye hekalu la Baali na kulibomoa.
zamu, wao wanaweza kuingia kwa sababu ni Wakavunjavunja madhabahu pamoja na
watakatifu, lakini watu wengine wote itawapasa sanamu na kumwua Matani kuhani wa Baali
kuangalia kile kilichoamriwa na BWANA. mbele ya hizo madhabahu.
7Walawi watajipanga kumzunguka mfalme, kila 18Kisha kuhani Yehoyada akaweka uangalizi
mtu akiwa na silaha zake mkononi. Ye yote wa hekalu la BWANA mikononi mwa makuhani,
aingiaye hekaluni lazima auawe. Kaeni karibu na waliokuwa Walawi, ambao Mfalme Daudi
mfalme po pote aendapo.” alikuwa amewagawa ili wahudumu hekaluni kwa
8Walawi na watu wote wa Yuda wakafanya ajili ya kutoa sadaka za kuteketezwa za BWANA
vile vile kama kuhani Yehoyada alivyoagiza. Kila kama ilivyoandikwa katika Sheria ya Mose, kwa
mmoja akachukua watu wake, wale waliokuwa kushangilia na kuimba kama Daudi alivyokuwa
wakienda kwenye zamu siku ya Sabato na wale ameagiza. 19Pia akawaweka mabawabu kwenye
waliokuwa wakitoka kwenye zamu, kwa sababu malango ya hekalu la BWANA ili kwamba kwa
kuhani Yehoyada alikuwa hakuruhusu kikosi cho vyo vyote asije akaingia mtu ye yote aliye najisi.
chote kiondoke. 9Kisha akawapa majemadari wa 20Akawachukua majemadari wa mamia,
vikosi vya mamia mikuki na ngao kubwa na watu waheshimiwa, viongozi wa watu pamoja na
ndogo zilizokuwa mali ya Mfalme Daudi na watu wote wa nchi na kumteremsha mfalme
ambazo zilikuwa ndani ya hekalu la Mungu. kutoka hekaluni mwa BWANA. Wakaingia
10Akawapanga walinzi kumzunguka mfalme, kila kwenye jumba la kifalme kwa kupitia Lango la
mmoja akiwa na silaha yake mkononi. Wakakaa Juu na kumkalisha mfalme kwenye kiti cha enzi
kwenye mduara kuanzia upande wa kusini hadi cha ufalme, 21nao watu wote wa nchi
upande wa kaskazini wa hekalu wakiizunguka wakafurahi. Mji ukatulia kwa sababu Athalia
madhabahu yote. alikuwa ameuawa kwa upanga.
11Yehoyada na wanawe wakamtoa nje
majemedari wa vikosi vya mia, waliokuwa kuhani mkuu na kumwambia, “Kwa nini
viongozi wa jeshi na kuwaambia: “Mtoeni nje kati hukuwaambia Walawi walete kutoka Yuda na
21
2MAMBO YA NYAKATI
Yerusalemu kodi iliyowekwa na Mose mtumishi ,Mungu wa baba zao, wakaabudu nguzo za
wa BWANA pamoja na kusanyiko la Israeli kwa maashera na sanamu. Kwa sababu ya kosa lao,
ajili ya Hema ya Ushuhuda?” hasira ya Mungu ikaja juu ya Yuda na
7Kwa kuwa wana wa yule mwanamke Yerusalemu. 19Ingawa BWANA aliwatuma
mwovu Athalia, walikuwa wamevunja na kuingia manabii wawarudishe watu kwake na ingawa
katika hekalu la Mungu, nao wakawa waliwaonya, hawakuwasikiliza.
wamevitumia hata vile vitu vilivyowekwa wakfu 20Ndipo Roho wa BWANA akaja juu ya
Israeli huko jangwani. 10Maafisa wote na watu kwa amri ya mfalme wakampiga kwa mawe
wote wakaleta michango yao kwa furaha, mpaka akafa katika ukumbi wa hekalu la
wakaweka kwenye kasha mpaka likajaa. 11Ikawa BWANA. 22Mfalme Yoashi hakukumbuka wema
kila wakati kasha lilipoletwa ndani na Walawi aliotendewa na Yehoyada baba yake Zekaria ila
kwa maafisa wa mfalme na kuona kwamba kuna alimwua mwanawe, ambaye alisema wakati
kiasi kikubwa cha fedha, mwandishi wa mfalme akiwa amelala akingojea kufa, “ BWANA na
na afisa wa kuhani mkuu walikuwa wanakuja na alione hili na alipize kisasi.”
kumimina, kisha kulirudisha mahali pake. 23Mwishoni mwa ule mwaka, jeshi la
Walifanya hivi mara kwa mara, nao Waaramu likaja dhidi ya Yoashi, likavamia Yuda
wakakusanya fedha nyingi sana. 12Mfalme na na Yerusalemu na kuwaua viongozi wote wa
Yehoyada wakawapa wale watu waliofanya kazi watu. Wakapeleka nyara zao zote kwa mfalme
iliyotakiwa katika hekalu la BWANA. Wakawaajiri wao huko Dameski. 24Ingawa jeshi la Waaramu
waashi na maseremala ili kutengeneza hekalu la lilikuwa limekuja na watu wachache tu, alilitia
BWANA pia wafanya kazi za chuma na shaba ili mikononi mwao jeshi kubwa zaidi ya lao. Kwa
kukarabati hekalu la BWANA . sababu Yuda walikuwa wamemwacha BWANA,
13Watu walioshughulika na kazi walikuwa Mungu wa baba zao, hukumu ilitekelezwa juu ya
wenye bidii, nayo kazi ya kukarabati ikaendelea Yoashi. 25Waaramu walipoondoka, walimwacha
vizuri mikononi mwao. Wakalitengeneza upya Yoashi akiwa amejeruhiwa sana. Maafisa wake
hekalu la BWANA likarudi katika hali yake ya wakafanya hila juu yake kwa sababu alikuwa
awali na kuliimarisha. 14Walipokamilisha kazi ya amemwua mwana wa Yehoyada kuhani, nao
kukarabati, walileta fedha zilizobaki wakampa wakamwulia kitandani mwake. Hivyo akafa na
mfalme Yehoyada na kwa hizo wakatengeneza wakamzika katika Mji wa Daudi, lakini si katika
vyombo kwa ajili ya hekalu la BWANA : vyombo makaburi ya Wafalme.
kwa ajili ya huduma na kwa ajili ya sadaka ya 26Wale waliofanya hila mbaya juu yake
kuteketezwa, pia mabakuli na vitu vingine vya walikuwa Zabadi, mwana wa mwanamke
dhahabu na fedha. Wakati wote Yehoyada Mwamoni aliyeitwa, Yehozabadi, mwana wa
alipokuwa hai, sadaka za kuteketezwa zilitolewa mwanamke Mmoabu, aliyeitwa Shimrithi. 27Kwa
wakati wote katika hekalu la BWANA. habari za wanawe, unabii mwingi kumhusu na
15Basi Yehoyada alikuwa mzee aliyeshiba kumbukumbu za kutengenezwa upya kwa
siku wakati alipokufa, naye alikufa akiwa na umri hekalu la Mungu, zimeandikwa katika kitabu cha
wa miaka mia moja na thelathini. 16Wakamzika kumbukumbu za wafalme. Amazia mwanawe
pamoja na wafalme katika Mji wa Daudi, kwa akaingia mahali pake.
sababu ya mema aliyokuwa ametenda katika
Israeli kwa ajili ya Mungu na hekalu lake. Amazia Mfalme Wa Yuda
Uovu Wa Yoashi
17Baada ya kifo cha Yehoyada, wakuu wa
25 Amazia alikuwa na umri wa miaka
ishirini na mitano alipokuwa mfalme,
naye akatawala huko Yerusalemu kwa miaka
Yuda walikuja kumpa mfalme heshima, naye ishirini na tisa. Mama yake aliitwa Yehoadani
akawasikiliza. 18Wakaacha hekalu la BWANA kutoka Yerusalemu. 2akatenda yaliyo mema
22
2MAMBO YA NYAKATI
machoni pa BWANA lakini si kwa moyo wake 14Amazia aliporudi kutoka kuwachinja
wote. 3Baada ya ufalme wote kuimarika katika Waedomu, alileta pia kutoka huko miungu ya
milki yake, aliwaua maafisa waliomwua mfalme watu wa Seiri. Akaisimamisha kama miungu
baba yake. 4Hata hivyo hakuwaua watoto wao, yake mwenyewe, akaisujudia na kuiteketezea
lakini akafanya sawasawa na yaliyoandikwa dhabihu. 15Hasira ya BWANA ikawaka dhidi ya
kwenye Sheria, katika kitabu cha Mose, mahali Amazia, naye akamtuma nabii kwake, ambaye
BWANA alipoamuru: “Baba hawatauawa kwa alisema: “Kwa nini unauliza kwa miungu ya
ajili ya watoto wao, wala watoto hawatauawa hawa watu, ambayo haikuweza kuwaokoa watu
kwa ajili ya baba zao, kila mmoja atakufa kwa wake wenyewe kutoka mkononi mwako?”
ajili ya dhambi zake mwenyewe.” 16Wakati alipokuwa angali anazungumza,
5Amazia akawaita watu wa Yuda pamoja mfalme akamwambia, “Je wewe tumekuchagua
akawaweka chini ya majemadari wa maelfu na kuwa mshauri wa mfalme? Nyamaza, ya nini
majemadari wa mamia kufuatana na jamaa zao uuawe?”
katika Yuda yote na Benyamini. Kisha Hivyo nabii akanyamaza lakini akasema,
akawahesabu wale wenye umri wa miaka ishirini “Najua kuwa Mungu ameazimia kukuangamiza
au zaidi na akakuta kwamba walikuwa wanaume kwa sababu umefanya jambo hili na hukusikiliza
300,000 watu walio tayari kwa utumishi wa jeshi, shauri langu.”
walio na uwezo wa kutumia mkuki na ngao. 17Baada ya Amazia mfalme wa Yuda
6Akawaajiri pia watu 100,000 wapiganaji kutoka kushauriana na washauri wake akatuma ujumbe
Israeli kwa talanta 100 za fedha a . kwa Yehoashi, mwana wa Yehoahazi mwana wa
7Lakini mtu wa Mungu akamjia na Yehu, mfalme wa Israeli kusema: “Njoo
kumwambia, “Ee mfalme, haya majeshi kutoka tukabiliane uso kwa uso.’’
Israeli kamwe usiyaruhusu yaende pamoja na 18Lakini Yehoashi mfalme wa Israeli
wewe kwa kuwa BWANA hayuko pamoja na akamjibu Amazia mfalme wa Yuda, "Mbaruti
Israeli, wala hayupo pamoja na ye yote wa watu uliokuwa huko Lebanoni ulituma ujumbe kwa
wa Efraimu. 8Hata kama ukienda na kupigana mwerezi uliokuwa huko Lebanoni kusema, ‘Mtoe
kwa ujasiri katika vita, Mungu atakufanya binti yako aolewe na mwanangu’. Kisha mnyama
ukimbie mbele ya adui, kwa kuwa wa mwituni aliyekuwa huko Lebanoni akaja na
Mungu anao uwezo wa kusaidia au wa kuukanyaga ule Mbaruti. 19Wewe unasema
kuangusha. moyoni mwako kwamba umemshinda Edomu,
9Amazia akamwuliza yule mtu wa Mungu, nawe sasa unajigamba na kujivuna. Lakini kaa
“Lakini itakuwaje kwa zile talanta mia za fedha nyumbani kwako! Kwa nini utafute matatizo na
nilizolipa kwa ajili ya haya majeshi ya Israeli?” kusababisha anguko lako mwenyewe na la Yuda
Yule mtu wa Mungu akajibu, “ BWANA pia?
aweza kukupa zaidi sana ya hizo.” 20Hata hivyo, Amazia hakutaka kusikia, kwa
10Hivyo Amazia akayaondoa yale majeshi kuwa Mungu alifanya hivyo ili awatie mikononi
yaliyokuwa yamekuja kutoka Efraimu na mwa Yehoashi, kwa sababu waliitafuta miungu
kuyarudisha nyumbani. Waliwakasirisha sana ya Edomu. 21Hivyo Yehoashi mfalme wa Israeli
Yuda, nao wakarudi nyumbani wakiwa na hasira akakwea kuwashambulia. Yeye na Amazia
kali. mfalme wa Yuda wakakabiliana uso kwa uso
11Kisha Amazia akajitia nguvu na kuliongoza huko Beth-Shemeshi katika Yuda. 22Yuda
jeshi lake kwenye Bonde la Chumvi, ambapo akashindwa na Israeli na kila mtu akakimbilia
aliua watu 10,000 wa Seiri. 12Jeshi la Yuda pia nyumbani kwake. 23Yehoashi mfalme wa Israeli
likawateka watu elfu kumi wakiwa hai, akamteka Amazia mfalme wa Yuda, mwana wa
likawapandisha juu ya jabali na kuwatupa chini Yoashi, mwana wa Ahazia, huko Beth-
kwa nguvu hata wote wakavunjika vipande Shemeshi. Kisha Yehoashi akamleta
vipande. Yerusalemu na akaubomoa ukuta wa
13Wakati huo yale majeshi ambayo Amazia Yerusalemu kuanzia lango la Efraimu hadi
aliyarudisha na hakuwaruhusu kushiriki katika Lango la Pembeni, sehemu yenye urefu dhiraa
vita, walivamia miji ya Yuda kuanzia Samaria 400 b , 24akachukua dhahabu yote, fedha na
hata Beth-Horoni. Wakawaua watu 3,000 na vyombo vyote vilivyopatikana katika hekalu la
kuchukua kiasi kikubwa sana cha mateka. Mungu, ambavyo vilikuwa chini ya uangalizi wa
a6 Talanta mia moja za fedha ni sawa na tani 3.75 pia mst. 9. b23 Dhiraa 400 ni kama mita 180.
23
2MAMBO YA NYAKATI
Obed-Edomu, pamoja na hazina za jumba la zenye rutuba, kwa kuwa aliupenda udongo.
mfalme na mateka, kisha akarudi Samaria. 11Zaidi ya hayo, Uzia alikuwa na jeshi
25Amazia mwana wa Yoashi mfalme wa lililofunzwa vizuri, lililokuwa tayari kwenda vitani
Yuda aliishi miaka kumi na mitano baada ya kifo kwa vikosi kufuatana na idadi yao kama
cha Yehoashi mwana wa Yehoazi mfalme wa walivyokusanywa na Yeileli mwandishi na
Israeli. 26Kwa habari ya matukio mengine katika Maaseya msimamizi chini ya maelekezo ya
utawala wa Amazia, kuanzia mwanzo hadi Hanania, mmojawapo wa maafisa wa kifalme.
mwisho, je, hayakuandikwa katika kitabu cha 12Idadi yote ya viongozi wa jamaa
wafalme wa Yuda na wa Israeli? 27Kuanzia waliowaongoza hawa wapiganaji walikuwa
wakati ule Amazia alipogeuka na kuacha 2,600. 13Chini ya uongozi wao kulikuwa na jeshi
kumfuata BWANA walifanya shauri baya dhidi la askari 307,500 watu waliofundishwa kwa ajili
yake huko Yerusalemu naye akakimbilia Lakishi, ya vita, jeshi lenye nguvu la kumsaidia mfalme
lakini wakatuma watu wamfuatilie huko Lakishi dhidi ya adui zake. 14Uzia akalipatia jeshi lote
nao wakamwulia huko. 28Akarudishwa kwa ngao, mikuki, chapeo, deraya, pinde na mawe
farasi nao wakamzika pamoja na baba zake ya kombeo. 15Huko Yerusalemu watu wenye
katika Mji wa Yuda. utaalamu mkubwa wakatengeneza mitambo
iliyotumika katika minara na kwenye pembe za
Uzia Mfalme Wa Yuda ulinzi ili kurusha mishale na kuvurumisha mawe
Elathi kuirudisha kwa Yuda baada ya Amazia majivuno yake yakamsababishia kuanguka.
kulala pamoja na baba zake. Alikosa uaminifu kwa BWANA Mungu wake,
3Uzia alikuwa na umri wa miaka kumi na sita naye akaingia hekaluni mwa BWANA ili afukize
alipokuwa mfalme, naye akatawala huko uvumba kwenye madhabahu ya kufukizia
Yerusalamu kwa miaka hamsini na miwili. Mama uvumba. 17Azaria kuhani akiwa pamoja na
yake aliitwa Yekolia wa Yerusalemu. 4Akafanya makuhani wengine themanini wa BWANA wenye
yaliyo mema machoni pa BWANA ujasiri wakamfuata huko ndani. 18Wakamkabili
sawasawa na Amazia baba yake alivyokuwa na kumwambia, “Siyo sawa kwako, Uzia,
amefanya. 5Akamtafuta Mungu katika siku za kumfukizia BWANA uvumba. Hiyo ni kazi ya
Zekaria, aliyemwelekeza kumcha Mungu. makuhani, wazao wa Aroni, ambao wamewekwa
Wakati wote alipomtafuta BWANA wakfu ili kufukiza uvumba. Ondoka mahali
alimfanikisha. patakatifu, kwa kuwa umekosa uaminifu nawe
6Alipigana vita dhidi ya Wafilisti na kubomoa hutaheshimiwa na BWANA.
kuta za Gathi, Yabne na Ashdodi. Kisha 19Uzia, ambaye alikuwa na chetezo mkononi
akajenga upya miji karibu na Ashdodi na mahali mwake tayari kufukiza uvumba, akakasirika.
pengine katikati ya Wafilisti. 7Mungu akamsaidia Alipokuwa anawaghadhibikia makuhani mbele
dhidi ya Wafilisti na dhidi ya Waarabu walioishi ya madhabahu ya kufukizia uvumba katika
Gur-Baali na dhidi ya Wameuni. 8Waamoni hekalu la BWANA ukoma ukamtokea penye
wakamletea Uzia ushuru, umaarufu wake kipaji chake cha uso. 20Azaria kuhani mkuu
ukaenea hadi kwenye mpaka wa Misri, kwa pamoja na makuhani wengine wote
sababu alikuwa amekuwa na nguvu sana. walipomtazama wakaona kwamba alikuwa na
9Uzia akajenga minara huko Yerusalemu ukoma penye kipaji chake cha uso
katika Lango la Pembeni, katika Lango la wakaharakisha kumtoa nje. Naam, hata yeye
Bondeni na katika pembe, mahali kuta mwenyewe alikuwa anatamania kuondoka kwa
zikutanapo, kisha akaijengea ngome. sababu BWANA alikuwa amempiga.
10Akajenga pia minara jangwani na kuchimba 21Mfalme Uzia alikuwa na ukoma mpaka
visima vingi vya maji, kwa sababu alikuwa na siku ya kufa kwake. Akatengwa katika nyumba
mifugo mingi chini ya vilimani na kwenye nchi ya pekee akiwa mwenye ukoma, naye akawa
tambarare. Alikuwa na watu wanaofanya kazi ametengwa kutoka hekalu la BWANA . Yothamu
katika mashamba yake na kwenye mashamba mwanawe akawa msimamizi wa jumba la
yake ya mizabibu huko vilimani na katika ardhi kifalme, pia akawaongoza watu wa nchi.
24
2MAMBO YA NYAKATI
22Matukio mengine ya utawala wa Uzia, kuteketezwa katika bonde la Hinomu na
kuanzia mwanzo mpaka mwisho, yameandikwa kuwatoa wanawe kafara kwa kuwateketeza kwa
na nabii Isaya mwana wa Amozi. 23Uzia akalala moto, akifuata njia za machukizo za yale mataifa
na baba zake na akazikwa karibu nao katika BWANA aliyoyafukuza humo mbele ya
shamba la kuzikia lililokuwa mali ya wafalme, Waisraeli. 4Akatoa sadaka na kufukiza uvumba
kwa kuwa watu walisema, “Alikuwa na ukoma” katika mahali pa juu pa kuabudia miungu, juu ya
Yothamu mwanawe akaingia mahali pake kama vilima, na chini ya kila mti wenye majani mabichi
mfalme. uliotanda.
5Kwa hiyo BWANA Mungu wake akamtia
za ngano na kori 10,000 za shayiri. Waamoni aliyeitwa Odedi, akaondoka ili kukutana na jeshi
wakamletea kiasi hicho hicho mwaka wa pili na liliporejea Samaria. Akawaambia, “Kwa kuwa
wa tatu. BWANA, Mungu wa baba zenu, aliwakasirikia
6Yothamu akaendelea kuwa na nguvu kwa Yuda, aliwatia mkononi mwenu. Lakini
sababu alienda kwa ukamilifu mbele za BWANA mmewachinja kwa hasira ambayo imefika hadi
Mungu wake. mbinguni. 10Nanyi sasa mnakusudia kuwafanya
7Matukio mengine ya utawala wa Yothamu, wanaume na wanawake wa Yuda na
pamoja na vita vyake vyote na vitu vingine Yerusalemu watumwa wenu. Lakini ninyi je,
alivyofanya, vimeandikwa katika kitabu cha hamna pia hatia ya dhambi mliyotenda dhidi ya
wafalme wa Israeli na Yuda. 8Alikuwa na umri BWANA Mungu wenu? 11Basi nisikilizeni!
wa miaka ishirini na mitano alipokuwa mfalme, Mkawarudishe mateka mliowachukua kutoka
naye akatawala huko Yerusalemu miaka kumi kwa ndugu zenu, kwa kuwa hasira kali ya
na sita. 9Yothamu akalala na baba zake na BWANA iko juu yenu.”
akazikwa katika Mji wa Daudi. Naye Ahazi 12Ndipo baadhi ya viongozi katika Efraimu,
mwanawe akaingia mahali pake kama mfalme. yaani, Azaria mwana wa Yehohanani, Berekia
mwana wa Meshilemothi, Yehizkia mwana wa
Ahazi Mfalme Wa Yuda Shalumu na Amasa mwana wa Hadlai,
Ahazi alikuwa na umri wa miaka ishirini wakakubaliana na huyo nabii, hivyo
28 na mitano alipoanza kutawala, wakawapinga wale waliokuwa wanawasili kutoka
akatawala huko Yerusalemu miaka kumi na sita. vitani. 13Wakamwambia, “Hamna ruhusa
Tofauti na Daudi baba yake, hakufanya yaliyo kuwaleta hao wafungwa hapa, ama sivyo
mema machoni pa BWANA. 2Akaziendea njia za tutakuwa na hatia mbele za BWANA. Je,
wafalme wa Israeli na pia akasubu sanamu kwa mnataka kuongezea dhambi yetu na hatia yetu?
ajili ya kuabudu Mabaali. 3Akatoa sadaka za Kwa sababu hatia yetu tayari ni kubwa, nayo
hasira yake kali iko juu ya Israeli.
14Hivyo wale askari wakawaacha wale
a5 Talanta mia moja za fedha ni sawa na tani 3.75.
b5 Kori 10,000 za ngano/shayiri ni sawa na tani 2.2 (za metiriki.)
25
2MAMBO YA NYAKATI
mateka pamoja na nyara mbele ya maafisa na hawakumleta kwenye makaburi ya wafalme wa
kusanyiko lote. 15Kisha watu waliotajwa kwa Israeli. Naye Hezekia nwanawe akaingia mahali
majina wakawachukua wale mateka na kutoka pake kama mfalme.
katika zile nyara wakawavika wale wafungwa
wote waliokuwa uchi. Wakawapatia nguo na Hezekia Mfalme Wa Yuda
viatu, chakula na cha kunywa, wakawapa
matibabu, wote waliokuwa dhaifu miongoni 29 Hezekia alikuwa na umri wa miaka
ishirini na mitano alipoanza kutawala,
mwao wakawapandisha juu ya punda, akatawala huko Yerusalemu kwa miaka ishirini
wakawaleta ndugu zao mpaka Yeriko, ndio mji na tisa. Mama yake aliitwa Abiya binti Zekaria.
wa mitende, kisha wakarudi Samaria. 2Akafanya yaliyo mema machoni pa BWANA
wajumbe kwa mfalme wa Ashuru kuomba kwanza wa kutawala kwake alifungua milango
msaada. 17Waedomu walikuwa wamekuja tena ya hekalu la BWANA na kuikarabati.
na kuwashambulia Yuda na kuchukua mateka. 4Akawaingiza makuhani na Walawi ndani na
18Pia Wafilisti walikuwa wameshambulia miji kuwakutanisha katika uwanja upande wa
iliyokuwa chini ya vilima na katika miji ya mashariki 5na kusema: “Nisikilizeni mimi enyi
Negebu ya Yuda. Nao wakawa wametwaa Beth- Walawi! Jitakaseni nafsi zenu sasa, mkaitakase
Shemeshi, Aiyaloni, Gederothi, Soko pamoja na na nyumba ya BWANA, Mungu wa baba zenu.
vijiji vyake, Timna pamoja na vijiji vyake, Gimzo Ondoeni uchafu wote kutoka katika mahali
pia pamoja na vijiji vyake na kuishi humo. 19 patakatifu. 6Baba zetu hawakuwa waaminifu,
BWANA aliishusha Yuda kwa sababu ya Ahazi walifanya maovu machoni pa BWANA Mungu
mfalme wa Israeli, kwa kuwa alikuwa wetu na wakamwacha Yeye. Wakageuza nyuso
ameongeza uovu katika Yuda na kumkosea zao mbali na maskani ya BWANA wakamgeuzia
BWANA mno. 20Hivyo Tiglath-Pileseri mfalme visogo vyao. 7Pia walifunga milango ya ukumbi
wa Ashuru akaja kumtesa badala ya kumsaidia. wa hekalu na kuzima taa zake. Hawakufukiza
21Ahazi akachukua baadhi ya vitu kutoka hekalu uvumba wala kutoa sadaka yo yote ya
la BWANA jumba la kifalme na kutoka kwa kuteketezwa katika mahali patakatifu kwa
wakuu wake na kumpa mfalme wa Ashuru kama Mungu wa Israeli. 8Kwa hiyo, hasira ya BWANA
ushuru, lakini hilo halikumsaidia. ikashuka juu ya Yuda na Yerusalemu naye
22Katika wakati wake wa mateso mfalme amewafanya kitu cha kutisha cha kushangaza
Ahazi akazidi kukosa uaminifu kwa BWANA. na kitu cha kufanyia mzaha kama mnavyoona
23Akatoa kafara kwa miungu ya Dameski, kwa macho yenu wenyewe. 9Hii ndiyo sababu
ambao walikuwa wamemshinda, kwa kuwa baba zetu wameanguka kwa upanga na ndiyo
aliwaza, “Kwa kuwa miungu ya mfalme wa sababu wana wetu na binti zetu, pia wake zetu
Aramu imewasaidia wao, nitaitolea dhabihu ili wamekuwa mateka. 10Sasa ninadhamiria
inisaidie na mimi.’’ Lakini haya ndiyo yaliyokuwa moyoni mwangu kuweka agano na BWANA,
maangamizi yake na Israeli wote. Mungu wa Israeli, ili hasira yake kali igeuziwe
24Ahazi akakusanya pamoja vyombo vya mbali nasi. 11Wanangu basi msipuuze jambo hili
nyumba ya Mungu na kuvivunja vipande sasa, kwa kuwa BWANA amewachagua ninyi
vipande. Akafunga milango ya hekalu la BWANA msimame mbele zake na kumtumikia, mkawe
na kusimamisha madhabahu katika kila njia watumishi wake na mkamfukizie uvumba.
panda ya barabara za Yerusalemu. 25Katika kila
mji wa Yuda akajenga mahali pa juu pa 12NdipoWalawi wafuatao wakaanza kazi:
kuabudia miungu ili kutolea miungu mingine kutoka kwa Wakoathi, Mahathi mwana
kafara za kuteketezwa na kuchochea hasira ya wa Amasai na Yoeli mwana wa
BWANA, Mungu wa baba zake. Azaria,
26Matukio mengine ya utawala wake na njia kutoka kwa Wamerari,
zake nyingine zote, tangu mwanzo hadi mwisho, Kishi mwana wa Abdi na Azaria
zimeandikwa katika kitabu cha wafalme wa mwana wa Yehaleleli,
Yuda na Israeli. 27Ahazi akalala na baba zake na kutoka kwa Wagershoni,
akazikwa katika Mji wa Yerusalemu lakini Yoa mwana wa Zima na Edeni
26
2MAMBO YA NYAKATI
mwana wa Yoa, waliokuwa kwa ajili ya sadaka ya dhambi
13kutoka kwa wana wa Elisafani, wakaletwa mbele ya mfalme na kusanyiko nao
Shimri na Yeieli, wakaweka mikono yao juu hao mabeberu.
kutoka kwa wana wa Asafu, 24Ndipo makuhani wakawachinja hao mabeberu
hekalu la BWANA, kama vile mfalme alivyokuwa BWANA wakiwa na matoazi, vinubi na zeze
ameagiza, kwa kufuata neno la BWANA. kama ilivyoagizwa na Daudi na Gadi mwonaji wa
16Makuhani wakaingia patakatifu pa hekalu la mfalme pamoja na nabii Nathani kwani hili
BWANA ili kupatakasa. Wakatoa nje penye ua lilikuwa limeamuriwa na BWANA kupitia manabii
wa hekalu la Mungu kila kitu kichafu walichokuta wake. 26Hivyo Walawi wakasimama tayari
kwenye hekalu la BWANA. Walawi wakiwa na ala za uimbaji za Daudi na makuhani
wakavichukua na kuvipeleka nje katika Bonde la walikuwa na tarumbeta zao.
Kidroni. 17Walianza kazi ya utakaso siku ya 27Hezekia akaamuru amri ya kutoa sadaka
meza ya kupanga mikate iliyowekwa wakfu, kila mtu aliyekuwapo pamoja naye wakapiga
pamoja na vyombo vyake vyote. 19Tumeviandaa magoti na kuabudu. 30Mfalme Hezekia na
na kuvitakasa vyombo vyote vile ambavyo maafisa wake wakawaamuru Walawi kumsifu
mfalme Ahazi, kwa kukosa uaminifu kwake, BWANA kwa maneno ya Daudi na ya Asafu
aliviondoa wakati alipokuwa mfalme. Sasa viko mwonaji. Hivyo wakaimba sifa kwa furaha nao
mbele ya madhabahu ya BWANA ” wakainamisha vichwa vyao na kuabudu.
31Kisha Hezekia akasema, “Sasa
Kuabudu Hekaluni Kwarudishwa mmejiweka wakfu kwa BWANA njooni mlete
20Ndipo Mfalme Hezekia akainuka asubuhi dhabihu na sadaka za shukrani hekaluni mwa
na mapema, akakusanya pamoja maafisa wa mji BWANA. ” Hivyo kusanyiko likaleta dhabihu na
wakakwea hekaluni mwa BWANA. 21Wakaleta sadaka za shukrani, nao wote waliokuwa na
mafahali saba, kondoo waume saba, wana- mioyo ya hiari wakaleta sadaka za kuteketezwa.
kondoo waume saba na Mabeberu saba kuwa 32Idadi ya sadaka za kuteketezwa zilizoletwa
sadaka ya dhambi kwa ajili ya ufalme, kwa ajili na kusanyiko zilikuwa mafahali sabini, kondoo
ya mahali patakatifu na kwa ajili ya Yuda. waume 100 na wana-kondoo waume 200, wote
Mfalme akawaamuru makuhani, wazao wa hawa walikuwa kwa ajili ya sadaka ya
Aroni, kuvitoa vitu hivi sadaka katika madhabahu kuteketezwa kwa BWANA. 33Wanyama
ya BWANA.22Hivyo wakachinja wale mafahali na waliowekwa wakfu kwa sadaka ya kuteketezwa
makuhani wakachukua ile damu na kuinyunyiza walikuwa mafahali 600, pamoja na kondoo na
kwenye madhabahu, halafu wakawachinja wale mbuzi 3,000. 34Lakini makuhani walikuwa
kondoo waume saba na kunyunyiza hiyo damu wachache sana kuweza kuchuna wale wanyama
yao kwenye madhabahu, kisha wakawachinja wote wa kuteketezwa, kwa hiyo ndugu zao
wale wana-kondoo waume na kunyunyiza damu Walawi wakawasaidia mpaka kazi ile ikakamilika
yao kwenye madhabahu. 23Wale mabeberu na mpaka makuhani wengine walipowekwa
27
2MAMBO YA NYAKATI
wakfu, kwa kuwa Walawi walikuwa wenye bidii na watoto wenu watakapoonewa huruma na
kujiweka wakfu kuliko makuhani. 35Kulikuwa na wale waliowateka na kuwaachia warudi katika
sadaka nyingi za kuteketezwa, pamoja na nchi hii, kwa kuwa BWANA Mungu wenu ni
mafuta ya wanyama ya sadaka za amani, na mwenye neema na huruma. Hatageuzia uso
sadaka za kinywaji ambazo ziliambatana na wake mbali nanyi kama ninyi mkimrudia Yeye.”
sadaka za kuteketezwa.
Kwa hiyo huduma ya hekalu ya BWANA 10Matarishi wakaenda mji hadi mji katika
ikarudishwa kwa upya. 36Hezekia pamoja na Efraimu na Manase, wakafika mpaka Zabuloni,
watu wote wakafurahi kwa sababu ya lile Mungu lakini watu wakawadharau na kuwadhihaki.
alilolifanya kwa ajili ya watu wake, kwa sababu 11Lakini, baadhi ya watu wa Asheri, Manase na
Hezekia Aadhimisha Pasaka Mungu ulikuwa juu ya watu kuwapa umoja katika
Hezekia akatuma ujumbe kuwaita kutenda yale ambayo mfalme na maafisa wake
30 Israeli wote na Yuda, pia akaandika waliwaamuru, kulingana na neno la BWANA .
barua kwa Efraimu na Manase, kuwakaribisha ili 13Basi umati mkubwa wa watu ukakusanyika
waje hekaluni mwa BWANA huko Yerusalemu huko Yerusalemu kuadhimisha sikukuu ya
kuadhimisha Pasaka kwa BWANA, Mungu wa Mikate Isiyotiwa Chachu katika mwezi wa pili.
Israeli. 2Mfalme na maafisa wake pamoja na 14Wakajitia kazini kuyaondoa yale madhabahu
kusanyiko lote katika Yerusalemu waliamua yaliyokuwa huko Yerusalemu, wakaziondoa pia
kuadhimisha Pasaka katika mwezi wa pili. zile madhabahu za kufukizia uvumba kwa
3Hawakuwa wameweza kuadhimisha kwa wakati miungu na kuzitupa katika Bonde la Kidroni.
wake wa kawaida kwa sababu makuhani 15Kisha wakamchinja mwana kondoo wa
hawakuwa wamejitakasa idadi ya kutosha na Pasaka katika siku ya kumi na nne ya mwezi wa
watu wakawa hawajakusanyika huko pili. Makuhani na Walawi waliona aibu,
Yerusalemu. 4Mpango huu ukaonekana wafaa wakajitakasa na kuleta sadaka za kuteketezwa
kwa mfalme na kusanyiko lote. 5Wakaamua katika hekalu la BWANA. 16Kisha wakachukua
kupeleka tangazo Israeli kote, kuanzia Beer- nafasi zao za kawaida kama ilivyoelezwa katika
Sheba hadi Dani, wakiwaita watu waje Sheria ya Mose mtu wa Mungu. Makuhani
Yerusalemu kuadhimisha Pasaka ya BWANA, wakanyunyiza ile damu waliyokabidhiwa na
Mungu wa Israeli. Ilikuwa haijaadhimishwa na Walawi. 17Kwa kuwa wengi waliokuwa katika lile
idadi kubwa ya watu kufuatana na yale kusanyiko walikuwa hawajajitakasa, iliwapasa
yaliyoandikwa katika sheria. Walawi wachinje wana-kondoo wengine wa
6Kwa amri ya mfalme, Matarishi wakapita Pasaka kwa ajili ya wale watu ambao hawakuwa
Israeli na Yuda kote wakiwa na barua kutoka safi, kwa kufuata taratibu za ibada ili kuwatakasa
kwa mfalme na kutoka kwa maafisa wake kwa BWANA. 18Ingawa watu wengi miongoni
ikisema: mwa wale waliotoka Efraimu, Manase, Isakari na
Zabuloni walikuwa hawajajitakasa, hata hivyo
“Watu wa Israeli, mrudieni BWANA walikula Pasaka kinyume na ilivyoandikwa.
,Mungu wa Abrahamu, Isaki na Israeli, ili Lakini Hezekia akawaombea, akisema, “
naye awarudie ninyi mliosalia, mlionusurika BWANA, ambaye ni mwema na amsamehe kila
kutoka mkononi mwa wafalme wa Ashuru. mmoja 19ambaye anauelekeza moyo wake
7Msiwe kama baba zenu na ndugu zenu, kumtafuta Mungu, BWANA, Mungu wa baba
ambao hawakuwa waaminifu kwa BWANA zake, hata kama yeye si safi kulingana na sheria
Mungu wa baba zao, hivyo akawafanya kitu za mahali patakatifu.” 20Naye BWANA akamsikia
cha kushangaza kama mnavyoona. 8Msiwe Hezekia akawaponya watu.
na shingo ngumu, kama baba zenu 21Waisraeli waliokuwa Yerusalemu
walivyokuwa, nyenyekeeni kwa BWANA wakaadhimisha Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa
Mungu. Njooni mahali patakatifu, Chachu kwa muda wa siku saba wakiwa na ala
alipopatakasa milele. Mtumikieni BWANA za uimbaji za kumsifu BWANA . 22Hezekia
Mungu wenu, ili hasira yake kali igeuziwe akazungumza kuwatia moyo Walawi wote,
mbali nanyi. 9Kama mkimrudia BWANA ambao walionyesha ustadi katika kumtumikia
ndipo wale ndugu zenu waliotekwa pamoja BWANA. Hivyo watu wakala chakula cha
28
2MAMBO YA NYAKATI
sikukuu kwa siku saba, wakitoa dhabihu za na vyote vilivyotoka mashambani. Wakaleta
amani na kumshukuru BWANA, Mungu wa baba kiasi kikubwa cha fungu la kumi la kila kitu.
zao. 6Watu wa Israeli na Yuda walioishi katika miji ya
23Kisha kusanyiko lote likakubali kuendelea Yuda wakaleta pia fungu la kumi la makundi yao
na sikukuu kwa siku saba zaidi, kwa hiyo kwa ya ng’ombe na makundi ya kondoo na mbuzi pia
siku saba nyingine wakaendelea kuadhimisha na fungu la kumi la vitu vitakatifu vilivyowekwa
kwa furaha. 24Hezekia, mfalme wa Yuda akatoa wakfu kwa ajili ya BWANA wao na kuvikusanya
mafahali 1,000, kondoo na mbuzi 7,000 kwa ajili katika malundo. 7Wakaanza kufanya haya katika
ya kusanyiko, nao maafisa wakatoa mafahali mwezi wa tatu na kumaliza katika mwezi wa
1,000 pamoja na kondoo na mbuzi 10,000. Idadi saba. 8Wakati Hezekia na maafisa wake
kubwa ya Makuhani wakajiweka wakfu. walipokuja na kuona yale malundo, wakamsifu
25Kusanyiko lote la Yuda, pamoja makuhani na BWANA na kuwabariki watu wake Israeli.
Walawi na lile kusanyiko lote lililotoka Israeli, 9Hezekia akawauliza makuhani na Walawi
pamoja na wale wageni waliotoka Israeli na wale kuhusu yale malundo, 10naye Azaria aliyekuwa
walioishi katika Yuda wakafurahi. 26Kulikuwa na kuhani mkuu, kutoka jamaa ya Sadoki, akajibu,
furaha kubwa katika Yerusalemu, kwa sababu “Tangu watu walipoanza kuleta sadaka zao
tangu siku za mfalme Solomoni mwana wa katika hekalu la BWANA tumekuwa na chakula
Daudi mfalme wa Israeli halijakuwapo jambo cha kutosha na vingi vya kuweka akiba kwa
kama hili katika Yerusalemu. 27Ndipo makuhani sababu BWANA amewabariki watu wake, hivyo
na Walawi wakasimama wakawabariki watu, tumekuwa na kiasi kingi kilichobaki.”
naye Mungu akawasikia, kwa sababu maombi
yao yalifika mbinguni, makao yake matakatifu. Kutambuliwa Kwa Makuhani Na Walawi
11Hezekia akatoa agizo la kutengeneza
Sehemu Za Ibada Za Kipagani Zatolewa vyumba vya ghala katika hekalu la BWANA nalo
kila mahali katika Yuda na Benyamini na katika Yozabadi, Elieli, Ismakia, Mahathi na Benaia
Efraimu na Manase. Baada ya kuviharibu hivi walikuwa waangalizi chini ya Konania na Shimei
vyote, Waisraeli wakarudi katika miji yao ndugu yake, waliokuwa wamewekwa na Mfalme
wenyewe na kwenye milki zao. Hezekia na Azaria, afisa msimamizi wa hekalu la
2Hezekia akawapanga makuhani na Walawi Mungu.
katika migawanyo, kila mgawanyo, kulingana na 14Kore mwana wa Imna Mlawi, bawabu wa
wajibu wao kama ni makuhani au Walawi, ili Lango la Mashariki, alikuwa msimamizi wa
kutoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za sadaka za hiari zilizotolewa kwa Mungu,
amani, kuhudumu, kushukuru na kuimba sifa akiyagawanya hayo matoleo yaliyotolewa kwa
katika malango ya makao ya BWANA . 3Mfalme BWANA na pia zile sadaka zilizowekwa wakfu.
akatoa matoleo kutoka katika mali zake 15Edeni, Miniamini, Yeshua, Shemaia, Amaria
mwenyewe kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa na Shekania walimsaidia kwa uaminifu katika
za asubuhi na za jioni na sadaka za miji ya makuhani, wakiwagawia makuhani
kuteketezwa kwa siku za Sabato, kwa Sikukuu wenzao kufuatana na migawanyo yao, wazee
za Mwezi Mwandamo na kwa ajili ya sikukuu kwa vijana sawasawa.
zilizoamriwa kama ilivyoandikwa katika Sheria 16Zaidi ya hao wakawagawia wanaume
ya BWANA. 4Akawaagiza watu wanaoishi wenye umri wa miaka mitatu au zaidi ambao
Yerusalemu watoe sehemu iliyo haki ya majina yao yalikuwa kwenye orodha ya vizazi,
makuhani na Walawi ili waweze kujitoa kikamilifu wale wote ambao wangeingia katika hekalu la
kutimiza wajibu wao katika Sheria ya BWANA. BWANA ili kufanya kazi zao mbalimbali za kila
5Mara tu baada ya kutolewa tangazo hilo, siku kulingana na wajibu katika mgawanyo wao.
Waisraeli wakatoa kwa ukarimu malimbuko ya 17Kuandikishwa kwa makuhani kulikuwa kwa
nafaka zao, divai mpya, mafuta na asali pamoja kufuata chimbuko la nyumba za baba zao na
29
2MAMBO YA NYAKATI
Walawi kuanzia umri wa miaka ishirini au zaidi na maneno, Hezekia mfalme wa Yuda
ilikuwa kufuatana na ofisi zao, kwa migawanyo aliyoawaambia.
yao. 18Makuhani waliandikishwa pamoja na 9Hatimaye Senakeribu mfalme wa Ashuru
watoto wao wadogo, wake zao, watoto wao wa na majeshi yake yote walipokuwa
kiume na wa kike, jamii yote iliandikishwa kwa wameuzunguka Lakishi, akatuma maafisa wake
kufuata orodha ya vizazi vyao. Kwa kuwa kwenda Yerusalemu wakiwa na ujumbe huu kwa
walikuwa waaminifu katika kujitakasa. Hezekia mfalme wa Yuda na kwa watu wote wa
19Kuhusu makuhani, wazao wa Aroni Yuda waliokuwako kusema:
walioishi kwenye mashamba yaliyozunguka miji
yao au katika miji mingine yo yote, watu 10“Hili ndilo Senakaribu Mfalme wa
walitajwa majina ili kumgawia kila mwanaume Ashuru asemalo: ‘Je, mmetumainia nini,
miongoni mwao na kwa wote ambao walikuwa kwamba mnaendelea kukaa hali
katika orodha ya vizazi vya Walawi. mmezungukwa na jeshi katika
20Hivi ndivyo Hezekia alivyofanya katika Yerusalemu?” 11Hezekia asemapo, ‘BWANA
Yuda yote, akifanya lile lililo jema sawa na la Mungu wetu atatuokoa kutokana na mkono
uaminifu mbele za BWANA Mungu wake. wa mfalme wa Ashuru, anawapotosha ninyi,
21Naye katika kila kitu alichofanya katika akiwaacha mfe kwa njaa” 12Je, si Hezekia
huduma kwenye hekalu la Mungu na katika utii mwenyewe aliyeondoa mahali pa juu pa
kwa sheria na amri, alimtafuta Mungu wake na kuabudia miungu pamoja na madhabahu
kufanya kazi kwa moyo wake wote. Naye hivyo zake, akiwaambia Yuda wa Yerusalemu,
akafanikiwa. ‘Hamna budi kuabudu mbele ya madhabahu
moja na kuteketeza dhabihu juu yake?’
Senakeribu Aitishia Yerusalemu 13“Je, hamjui kile ambacho mimi na
30
2MAMBO YA NYAKATI
mji. 19Wakanena juu ya Mungu wa walipotumwa na watawala wa Babeli kumwuliza
Yerusalemu kama vile walivyonena juu ya juu ya ishara ambayo ilitokea katika nchi, Mungu
miungu ya mataifa mingine ya dunia alimwacha ili kumjaribu na kujua kila kitu
ambayo ni kazi ya mikono ya wanadamu. kilichokuwa moyoni mwake.
20Mfalme Hezekia na nabii Isaya mwana wa 32Matukio mengine ya utawala wa Hezekia
Amozi wakalia katika maombi huko mbinguni na matendo yake ya kujitoa kwa moyo
kuhusu jambo hili. 21Naye BWANA akamtuma yameandikwa katika maono ya nabii Isaya
malaika ambaye aliangamiza wanaume wote mwana wa Amozi kwenye kitabu cha wafalme
wenye kupigana na viongozi na maafisa katika wa Yuda na Israeli. 33Hezekia akalala na baba
kambi ya mfalme wa Ashuru. Kwa hiyo akarudi zake na akazikwa kwenye kilima mahali yalipo
kwenye nchi yake mwenyewe kwa aibu. Na makaburi ya wazao wa Daudi. Yuda wote na
alipokwenda katika hekalu la mungu wake, watu wa Yerusalemu wakamheshimu alipokufa.
baadhi ya watoto wake walimkata na kumuua Naye Manase mwanawe akaingia mahali pake
kwa upanga. kama mfalme.
22Hivyo BWANA akamwokoa Hezekia na
31
2MAMBO YA NYAKATI
BWANA aliwaangamiza mbele ya Waisraeli. Amoni Mfalme Wa Yuda
10 BWANA akasema na Manase pamoja na 21Amoni alikuwa na umri wa miaka ishirini
watu wake, lakini hawakumjali. 11Hivyo BWANA na miwili, alipoanza kutawala, naye akatawala
akaleta juu yao majemadari wa jeshi la mfalme huko Yerusalemu kwa miaka miwili. 22Akafanya
wa Ashuru, ambao walimchukua Manase maovu machoni pa BWANA kama alivyokuwa
kwenda kifungoni, wakaweka ndoana katika pua amefanya Manase baba yake. Amoni akaabudu
yake, wakamfunga kwa pingu za shaba na na kutoa dhabihu kwa sanamu zote alizokuwa
kumpeleka Babeli. 12Katika dhiki yake akamsihi ametengeneza Manase. 23Lakini tofauti na
BWANA Mungu wake na kujinyenyekeza sana Manase baba yake, hakujinyenyekeza mbele za
mbele za Mungu wa baba zake. 13Naye BWANA badala yake Amoni aliongeza makosa
alipomwomba BWANA akaguswa na kule kusihi zaidi na zaidi.
kwake na akasikiliza kilio chake, kwa hiyo 24Maafisa wa Amoni wakafanya shauri
akamrudisha Yerusalemu na kwenye ufalme pamoja wakamwua katika jumba lake la kifalme.
wake. Ndipo Manase akatambua kwamba 25Kisha watu wa nchi wakawaua wale wote
mji. 16Kisha akarudisha madhabahu ya BWANA alipokuwa angali bado mdogo, alianza kumtafuta
na kutolea juu yake dhabihu za sadaka za amani Mungu wa Daudi baba yake. Katika mwaka
pamoja na sadaka za shukrani, naye wake wa kumi na mbili alianza kusafisha mahali
akawaamuru Yuda wamtumikie BWANA, Mungu pa juu pa kuabudia miungu pa Yuda na
wa Israeli. 17Lakini hata hivyo watu wakaendelea Yerusalemu, akiondoa nguzo za Ashera,
kutoa dhabihu mahali pa juu pa kuabudia sanamu za kuchonga na vinyago vya kusubu.
miungu, lakini wakimtolea BWANA Mungu wao 4Mbele ya macho yake, wakazibomoa
peke yake. madhabahu za Mabaali, wakazivunja
18Matukio mengine ya utawala wa Manase, madhabahu za kufukizia uvumba zilizokuwa
maombi yake kwa Mungu wake na maneno zimesimama juu yake, wakazivunja nguzo za
aliyoambiwa na waonaji walionena naye kwa Ashera, sanamu na vinyago. Hivi alivivunja
jina la BWANA, Mungu wa Israeli, yameandikwa vipande vipande na kuvisambaza juu ya
katika kitabu cha kumbukumbu cha wafalme wa makaburi ya waliokuwa wamevitolea kafara.
Israeli. 19Maombi yake, pamoja na jinsi Mungu 5Akachoma mifupa ya makuhani wao juu ya
alivyoguswa na kusihi kwake, pia dhambi zake madhabahu zao na kwa njia hiyo akaitakasa
zote na kukosa kwake uaminifu pamoja na Yuda na Yerusalemu. 6Katika miji ya Manase,
sehemu alizojenga mahali pa juu pa kuabudia Efraimu na Simeoni, hadi Naftali na kwenye
miungu, kule kusimamisha nguzo za Ashera na magofu yanayoizunguka, 7akavunja madhabahu
sanamu kabla ya kujinyenyekeza kwake, yote na nguzo za Ashera na kuziponda ponda
yameandikwa katika kumbukumbu za waonaji. sanamu hadi zikawa unga na kukata vipande
20Manase akalala pamoja na baba zake vipande madhabahu zote za kufukizia uvumba
akazikwa katika jumba lake la kifalme. Naye katika Israeli yote. Kisha akarudi Yerusalemu.
Amoni mwanawe akaingia mahali pake kama 8Katika mwaka wa kumi na nane wa utawala
32
2MAMBO YA NYAKATI
mwana wa Yoahazi, mwandishi ili kukarabati mkamwulize BWANA kwa ajili yangu na kwa ajili
hekalu la BWANA Mungu wake. ya mabaki walioko Israeli na Yuda kuhusu haya
9Wakamwendea Hilkia kuhani mkuu na yaliyoandikwa katika kitabu hiki ambacho
kumpa fedha ambazo zilikuwa zimeletwa ndani kimeonekana hekaluni. Hasira ya BWANA ni
ya hekalu la BWANA ambazo Walawi waliokuwa kubwa mno ambayo imemwagwa juu yetu kwa
mabawabu walikuwa wamezikusanya kutoka sababu baba zetu hawakulishika neno la
kwa watu wa Manase, Efraimu na mabaki wote BWANA wala hawakutenda sawasawa na yale
wa Israeli kutoka kwa watu wote wa Yuda na yote yaliyoandikwa katika Kitabu hiki.’’
Benyamini na wakazi wa Yerusalemu. 10Kisha 22Hilkia pamoja na wale wote mfalme
wakazikabidhi hizo fedha kwa watu waliowekwa aliokuwa amewatuma pamoja naye wakaenda
ili kusimamia kazi ya kuzungumza na nabii mke aitwaye Hulda,
hekalu la BWANA. Hawa watu waliwalipa aliyekuwa mke wa Shalumu mwana wa
wafanyakazi waliokarabati na kutengeneza Tokhathi, mwana wa Hasra mtunzaji wa kabati
hekalu lipate kurudi katika hali yake. la mavazi. Huyo nabii mke aliishi Yerusalemu,
11Wakawapa pia mafundi seremala na waashi katika mtaa wa pili.
fedha ili kununua mawe yaliyochongwa, mbao 23Akawaambia, “Hili ndilo BWANA, Mungu
kwa ajili ya kufungia na boriti kwa ajili ya wa Israeli asemalo mwambieni mtu huyo
majengo ambayo wafalme wa Yuda walikuwa aliyewatuma kwangu, 24’Hili ndilo BWANA
wameyaacha yakawa magofu. asemalo: Nitaleta maafa juu ya mahali hapa na
12Watu wakafanya kazi kwa uaminifu. watu wake, laana zote zilizoandikwa ndani ya
Waliokuwa wamewekwa juu yao ili kuwaelekeza hicho kitabu ambazo zimesomwa mbele ya
ni Yahathi na Obadia, Walawi wa uzao wa mfalme wa Yuda. 25Kwa sababu wameniacha
Merari, Zekaria na Meshulamu, waliotoka mimi na kufukiza uvumba kwa miungu mingine ili
kwenye uzao wa Kohathi. Walawi wote waichochee hasira yangu kwa kazi yote ya
waliokuwa na ufundi wa kupiga ala za uimbaji, mikono yao, hivyo hasira yangu itamwagwa juu
13wakawa wasimamizi wa vibarua na ya mahali hapa, wala haitatulizwa. 26Mwambieni
kuwaongoza wale waliofanya kila aina ya kazi. mfalme wa Yuda, aliyewatuma kumwuliza
Baadhi ya Walawi walikuwa, waandishi, maafisa BWANA Hili ndilo BWANA, Mungu wa Israeli,
na mabawabu. asemalo kuhusu maneno uliyoyasikia: 27Kwa
sababu moyo wako ulikuwa mwepesi kusikia,
Kitabu Cha Sheria Chapatikana. nawe ukajinyenyekeza mbele za Mungu wakati
14Wakati walipokuwa wakizitoa nje zile uliposikia kile alichokisema dhidi ya mahali hapa
fedha zilizokuwa zimetolewa kwenye hekalu la na watu wake na kwa sababu ulijinyenyekeza
BWANA kuhani Hilkia akakipata kile Kitabu cha mbele zangu ukararua mavazi yako na kulia
Sheria ya BWANA kilichokua kimetolewa kwa mbele zangu, nimekusikia, asema BWANA.
mkono wa Mose. 15Hilkia akamwambia Shafani 28Basi nitakukusanya kwa baba zako, nawe
mwandishi, “nimekiona Kitabu cha Sheria ndani utazikwa kwa amani. Macho yako hayataona
ya hekalu la BWANA.’’ Akampatia Shafani kile maafa yote nitakayoleta juu ya mahali hapa na
Kitabu. juu ya wote wanaoishi hapa.”
16Ndipo Shafani akakipeleka kile Kitabu kwa Kwa hiyo wakampelekea mfalme jibu lake.
mfalme na kumwambia, “Maafisa wako 29Ndipo mfalme akawaita pamoja wazee
33
2MAMBO YA NYAKATI
yaliyoandikwa katika kitabu hiki. viongozi wa Walawi, nao pia wakawapa Walawi
32Ndipo akamtaka kila mmoja katika wana-kondoo na wana-mbuzi 5,000 na mafahali
Yerusalemu na Benyamini kuweka ahadi zao 500, kwa ajili ya sadaka za Pasaka.
wenyewe kwa hilo agano, watu wa Yerusalemu 10Huduma ilipomalizika kuandaliwa makuhani
wakafanya hivyo kwa kufuata agano la BWANA wakasimama mahali pao na Walawi katika
,Mungu wa baba zao. migawanyo yao kama mfalme alivyokuwa
33Yosia akaondoa machukizo yote ya ameamuru. 11Wana kondoo wa Pasaka
sanamu kutoka katika nchi yote iliyokuwa mali wakachinjwa, nao makuhani wakanyunyiza ile
ya Waisraeli na akawataka wale wote damu waliyokabidhiwa, wakati Walawi wakiwa
waliokuweko katika Israeli wamtumikie BWANA wanawachuna ngozi wale wanyama. 12Wakatenga
Mungu wao. Kwa muda wote alioishi, sadaka za kuteketezwa ili waweze kugawia ili
hawakushindwa kumfuata BWANA, Mungu wa migawanyo kwa kufuata jamaa za baba zao ili
baba zao. watoe sadaka kwa BWANA kama ilivyoandikwa
katika kitabu cha Mose. Wakafanya vivyo hivyo
Mfalme Yosia Anaadhimisha Pasaka kwa wale mafahali. 13Wakawaoka wale wanyama
Yosia akaadhimisha Pasaka kwa wa Pasaka kwenye moto kama ilivyoamuriwa,
35 BWANA katika Yerusalemu, mwana wakachemsha zile sadaka takatifu kwenye
kondoo wa Pasaka akachinjwa siku ya kumi na vyungu, masufuria makubwa na vikaango na
nne ya mwezi wa kwanza. 2Akawaweka kuwagawia watu wote upesi upesi. 14Hatimaye
makuhani kwenye wajibu wao na kuwatia moyo wakafanya maandalizi kwa ajili yao wenyewe na
katika utumishi wa hekalu la BWANA. kwa ajili ya makuhani, kwa sababu wale
3Akawaambia Walawi, waliowafundisha makuhani, yaani, wazao wa Aroni, walikuwa
Waisraeli wote na ambao walikuwa wamejiweka wanatoa sadaka za kuteketezwa pamoja na zile
wakfu kwa ajili ya kazi ya BWANA “Liwekeni hilo sehemu zilizonona mpaka usiku. Hivyo Walawi
Sanduku takatifu katika hekalu lile alilojenga wakafanya maandalizi kwa ajili yao wenyewe na
Solomoni mwana wa Daudi mfalme wa Israeli. kwa ajili ya makuhani wa uzao wa Aroni.
Halipaswi kubebwa huko na huko mabegani 15Waimbaji, wazao wa Asafu, walikuwa katika
mwenu. Sasa mtumikieni BWANA Mungu wenu nafasi zao, kama ilivyoagizwa na mfalme Daudi,
na watu wake Israeli. 4Jiandaeni kwa kufuata Asafu, Hemani na Yeduthuni mwonaji wa Mfalme.
jamaa zenu katika migawanyo yenu, kufuatana Mabawabu katika kila lango hawakuhitaji kuacha
na maelezo yaliyoandikwa na Daudi mfalme wa nafasi zao kwa sababu Walawi wenzao walifanya
Israeli na mwanawe Solomoni. maandalizi kwa ajili yao.
5“Simameni mahali patakatifu kwa kufuata 16Kwa hiyo wakati ule huduma yote ya
migawanyo ya jamaa za baba zenu kulingana na BWANA ilifanyika katika kuadhimisha Pasaka,
koo zenu na pawepo Walawi kwa ajili ya kila kutoa sadaka za kuteketezwa juu ya madhabahu
mgawanyo wa nyumba ya baba zenu. 6Chinjeni ya BWANA kama alivyoamuru Mfalme Yosia.
mwana-kondoo wa Pasaka, jitakaseni, nanyi 17Waisraeli waliokuwepo wakaadhimisha Pasaka
kwa niaba ya koo zenu fanyeni maandalizi, wakati huo na Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa
mkitenda sawasawa na neno la BWANA kwa Chachu kwa siku saba. 18Kulikuwa hakujafanyika
mkono wa Mose.” Pasaka kama hii katika Israeli tangu siku za nabii
7Ndipo Yosia akawapa watu wote wana Samweli wala hakukuwa na mfalme ye yote wa
mbuzi waliokuwepo jumla ya kondoo wapatao Israeli ambaye kamwe alishaadhimisha Pasaka
30,000 kwa ajili ya sadaka ya Pasaka, pia na kama ile aliyofanya Mfalme Yosia, akiwa na
ng’ombe 10,000, vyote hivi kutoka katika mali makuhani, Walawi na watu wote wa Yuda na watu
binafsi ya mfalme. wa Israeli waliokuwepo huko, pamoja na watu wa
8Pia maafisa wake, wakatoa kwa hiari yao Yerusalemu. 19Pasaka iliadhimishwa katika
wakawapa watu, makuhani na Walawi. Hilkia, mwaka wa kumi na nane wa utawala wa mfalme
Zekaria na Yehieli, waliokuwa maafisa wakuu Yosia.
wa hekalu la Mungu, wakawapa makuhani
sadaka za Pasaka wana-kondoo na wana-mbuzi Kifo Cha Yosia
2,600 na mafahali 300. 9Konania na nduguze 20Baada ya yote haya, Yosia alipomaliza
34
2MAMBO YA NYAKATI
katika mto Eufrati, naye Yosia akatoka kwenda Yehoyakimu. Lakini Neko akamchukua
kupigana naye. 21Lakini Neko akamtumia Yehoahazi, Nduguye Eliakimu akampeleka
wajumbe kusema, “Kuna ugomvi gani kati yangu Misri.
mimi na wewe, Ee Mfalme wa Yuda? Si wewe
ninayekushambulia wakati huu, bali ile nyumba Yehoyakimu Mfalme Wa Yuda
ambayo nina vita nayo, Mungu ameniambia 5Yehoyakimu alikuwa na umri wa miaka
niharakishe, kwa hivyo acha kumpinga Mungu, ishirini na mitano alipoanza kutawala, naye
ambaye yuko pamoja nami, la sivyo akatawala huko Yerusalemu kwa miaka kumi na
atakuangamiza.” mmoja. Akafanya maovu machoni pa BWANA
22Lakini hata hivyo, Yosia hakukubali Mungu wake. 6Nebukadneza mfalme wa Babeli
kumwacha, bali alijibadilisha ili kupigana naye akamshambulia na kumfunga kwa pingu za
vita. Hakusikiliza yale Neko aliyokuwa shaba akampeleka Babeli. 7Nebukadneza
amemwambia kwa agizo la Mungu bali akachukua pia vyombo kutoka katika hekalu la
alikwenda kupigana naye katika tambarare ya BWANA na kuviweka katika hekalu lake c huko
Megido. Babeli.
23Wapiga upinde wakampiga Mfalme Yosia, 8Matukio mengine ya utawala wa
naye akawaambia maafisa wake, “Niondoeni, Yehoyakimu, machukizo aliyoyafanya na yote
nimejeruhiwa vibaya sana.” 24Kwa hiyo yaliyoonekana dhidi yake, yameandikwa katika
wakamshusha kutoka kwenye gari lake la farasi, kitabu cha wafalme wa Israeli na Yuda.
wakamweka kwenye gari lingine alilokuwa nalo Yehoyakimu mwanawe akaingia mahali pake
na kumleta Yerusalemu, ambako alifia. kama mfalme.
Akazikwa katika makaburi ya baba zake, nayo 9Yehoyakimu alikuwa na miaka kumi na
katika maombolezo hadi leo. Haya yakafanywa akatuma watu wakamleta Babeli, pamoja na
desturi katika Israeli nayo yameandikwa katika vyombo vya thamani kutoka katika hekalu la
Maombolezo. BWANA naye akamfanya Sedekia, ndugu yake
26Matukio mengine ya utawala wa Yosia na Yehoyakimu kuwa mfalme wa Yuda na
matendo yake mema, kulingana na yale Yerusalemu.
yaliyoandikwa katika sheria ya BWANA
27matukio yote, kuanzia mwanzo hadi mwisho, Mfalme Sedekia Wa Yuda
yameandikwa katika kitabu cha wafalme wa 11Sedekia alikuwa na umri wa miaka ishirini
35
2MAMBO YA NYAKATI
15BWANA, Mungu wa baba zao, akawapelekea
neno kupitia wajumbe wake tena
na tena, kwa sababu alikuwa unawahurumia
watu wake pamoja na mahali pa maskani yake.
16Lakini waliwadhihaki wajumbe wa BWANA
23Hili
ndilo Koreshi mfalme wa Uajemi
asemalo:
“ BWANA, Mungu wa mbinguni,
amenipa falme zote za duniani na
ameniweka mimi kumjengea hekalu huko
Yerusalemu katika Yuda. Ye yote aliye
miongoni mwenu katika watu wake wote,
BWANA Mungu wake na awe pamoja naye!
Huyo mtu na apande.”
36
EZRA
Utangulizi
Kitabu cha Ezra kinaelezea juu ya kurudi kwa Wayahudi kutoka uhamishoni Babeli. Kinaanzia 539 K.K. na
agizo alilotoa Koreshi, mfalme wa Uajemi linalotajwa katika milango miwili ya mwisho ya Mambo ya Nyakati,
ambalo liliwaruhusu watu kurudi Yerusalemu chini ya uongozi wa Zerubabeli. Watu kwa hamu na juhudi kubwa
walianza kujenga hekalu na wakaanza kutoa dhabihu. Lakini kwa miaka kumi na minane walicheleweshwa na
adui zao kutoka kaskazini. Hatimaye mnamo 521 K.K. agizo kutoka kwa Dario mfalme wa Uajemi liliwapa nafasi
ya kumalizia ujenzi huo. Walikamilisha kazi hiyo na kuweka hekalu wakfu mnamo 516 K.K.
Katika mwaka 458 K.K. Ezra, kuhani, aliwasili Yerusalemu akiwa na kundi jingine la watu waliokuwa
wamesalia uhamishoni huko Babeli. Aliwafundisha watu Sheria, yaani, Torati na akarekebisha maisha yao ya
kiroho ili mataifa yaliyowazunguka waweze kuona kwamba hili ni taifa lililochaguliwa na Mungu.
Wahusika wakuu
Koresh, Zerubabeli, Hagai, Zekaria, Dario, Artashasta, Ezra.
Wazo Kuu
Kitabu cha Ezra, Nehemia na Esta kilikuwa kitabu kimoja katika Biblia ya Kiebrania. Hivi ndivyo vitabu
vinavyoelezea historia baada ya kutekwa na kupelekwa uhamishoni huko Babeli. Vitabu vya unabii baada ya
kutekwa ni Hagai, Zekaria na Malaki. Inafaa kitabu cha Hagai na Zekaria kisomwe pamoja na kitabu cha Ezra
kwa sababu vilitabiri wakati wa ujenzi.
Mwandishi
Kuna uwezekano mkubwa kwamba Ezra ndiye aliyeandika kitabu hiki chenye jina lake.Katika sura ya 7-10
Ezra anajitaja mwenyewe mara kwa mara. Ile tabia ya Ezra, shauku yake ya kidini na ya kisiasa kwa ajili ya watu
wake, hali yake ya kujitoa kwa Mungu na kule kutaka kuwarudisha Wayahudi katika ufunuo wa Mose na historia
yao ya baadaye, nafasi yake kama mwandishi, haya yote yanaashiria kumpa sifa zote za uandishi kwake. Hivyo
inakubalika pia kwamba yeye ndiye aliyeandika vitabu vya Mambo ya Nyakati, Ezra na Nehemia, ambavyo
baadaye vilikubaliwa kuwa sehemu ya maandiko matakatifu ya Kiyahudi.
Mahali
Babeli na Yerusalemu.
Tarehe
539 K.K- 458 K.K.
Mgawanyo
• Kikundi cha kwanza kinatoka uhamishoni Babeli na kurudi Yuda. (1:1-2:70)
• Kujengwa kwa hekalu. (3:1-6:22)
• Kurudi kwa kikundi cha pili pamoja na Ezra na huduma yake. (7:1-10:44)
1
EZRA
Koreshi Asaidia Watu Kurudi Kutoka 11Kwa ujumla, kulikuweko na vyombo 5,400
Uhamishoni vya dhahabu na vya fedha. Sheshbaza alivileta
Katika mwaka wa kwanza wa Koreshi hivi vyote wakati watu walipotoka uhamishoni
1 mfalme wa Uajemi, ili kutimiza neno la Babeli kwenda Yerusalemu.
BWANA lililosemwa na Yeremia, BWANA
aliusukuma moyo wa Koreshi mfalme wa Uajemi Orodha Ya Watu Waliorudi Kutoka
kutangaza katika himaya yake yote na kuliweka Uhamishoni
katika maandishi: Hawa ndio watu wa jimbo, waliotoka
2Hili
2 uhamishoni ambao Nebukadneza mfalme
ndilo asemalo Koreshi mfalme wa wa Babeli alikuwa amewachukua mateka hadi
Uajemi: Babeli, (walirejea Yerusalemu na Yuda, kila
“BWANA, Mungu wa mbingu amenipa falme mmoja kwenye mji wake, 2wakiwa wamefuatana
zote za dunia na ameniagiza kumjengea na Zerubabeli, Yeshua, Nehemia, Seraya,
hekalu huko Yerusalemu katika Yuda. 3Ye Reelaya, Mordekai, Bilshani, Mispari, Bigwai,
yote wa watu wake miongoni mwenu, Rehumu na Baana):
Mungu wake na awe pamoja naye, apande
kwenda Yerusalemu katika Yuda na kujenga Orodha ya watu wa Israeli ilikuwa:
hekalu la BWANA, Mungu wa Israeli, Mungu
aliyeko huko Yerusalemu. 4Nao watu wa 3Wazao wa Paroshi 2,172
mahali po pote Wayahudi walionusurika 4wa Shefatia 372
wanapoishi sasa wampe fedha na dhahabu, 5wa Ara 775
pamoja na vifaa na mifugo, pia sadaka za 6wa Pahath – Moabu (wa jamaa ya
na Beerothi 743
masinia ya dhahabu yalikuwa 30 26wa Rama na Geba 621
masinia ya fedha yalikuwa 1,000 27wa Mikmashi 122
vyetezo vya fedha vilikuwa 29 28wa Betheli na Ai 223
10mabakuli ya dhahabu yalikuwa 30 29wa Nebo 52
mabakuli ya fedha yanayofanana 30wa Magbishi 156
yalikuwa 410 31wengine wa Elamu wa pili 1,254
vifaa vingine vilikuwa 1,000 32wa Harimu 320
33wa Lodi, Hadidi na Ono 725
34wa Yeriko 345
a7 “hekalu la mungu wake’’ hapa ina maana “nyumba ya miungu
yake.
2
EZRA
35wa Senaa 3,630 lakini hawakuweza kuonyesha ya kuwa jamaa
zao zilitokana na uzao wa Israeli:
36Makuhani:
60Wazao wa
wazao wa Yedaya Delaya, Tobia na Nekoda 652
(wa jamaa ya Yeshua) 973
37wa Imeri 1,052 61Kutoka miongoni mwa makuhani:
38wa Pashuri 1,247
39wa Harimu 1,017 Wazao wa
Habaya, Hakosi, Barzilai (ambaye alikuwa
40Walawi: ameoa binti wa Barzilai Mgileadi akaitwa
kwa jina hilo.)
wazao wa Yeshua na Kadmieli 62Hawa walitafuta orodha ya jamaa zao,
a43 “Wanethini” hapa maana yake “Watumishi wa Hekalu,’’ pia d69 ‘‘Mane’’ ni kipimo cha uzito, mane 5,000 ni sawa na kilo
mstari wa 58 2,400 za fedha.
3
EZRA
walikusanyika huko Yerusalemu kama mtu sifa na za shukrani kwa BWANA hivi:
mmoja. 2Yeshua mwana wa Yosadaki na
makuhani wenzake, Zerubabeli mwana wa ‘‘Yeye ni mwema,
Shealtieli pamoja na wenzake walianza kujenga upendo wake kwa Israeli wadumu
madhabahu ya Mungu wa Israeli ili kumtolea milele.’’
dhabihu za sadaka za kuteketezwa kwa moto
juu yake, kulingana na ilivyoandikwa katika Watu wote wakapaza sauti kubwa za sifa kwa
sheria ya Mose mtu wa Mungu. 3Ingawa BWANA, kwa sababu msingi wa nyumba ya
waliwaogopa watu waliowazunguka, walijenga BWANA ulikuwa umewekwa. 12Lakini wengi wa
madhabahu juu ya ule msingi wake, wakamtolea makuhani wazee, Walawi na viongozi wa jamaa
BWANA dhabihu za sadaka za kuteketezwa kwa ambao walikuwa wameona hekalu la mwanzoni,
moto juu yake za asubuhi na za jioni. 4Kisha walilia kwa sauti wakati walipoona msingi wa
kulingana na kile kilichoandikwa, hekalu hili ukiwekwa, huku wengine wengi
wakaiadhimisha Sikukuu ya Vibanda wakitoa wakipiga kelele kwa furaha. 13Hakuna mtu
idadi ya sadaka za kuteketezwa kama ambaye angeweza kutofautisha sauti hizo za
ilivyohitajika kila siku kama ilivyoagizwa. 5Baada furaha na za kilio, kwa sababu watu walipiga
ya hayo, walitoa sadaka za kuteketezwa za kelele sana. Nayo hiyo sauti ikasikika mbali.
kawaida, sadaka za Mwandamo wa Mwezi na
dhabihu zote za sikukuu takatifu za BWANA Upinzani Kuhusu Ujenzi Mpya
zilizoamuriwa, pamoja na zile sadaka za hiari
zilizotolewa kwa BWANA. 6Ingawa bado msingi 4 Adui za Yuda na Benyamini waliposikia
kwamba watu waliorudi kutoka uhamishoni
wa hekalu la BWANA ulikuwa haujawekwa, watu wanajenga hekalu kwa ajili ya BWANA wa
walianza kutoa sadaka za kuteketezwa kwa Israeli, 2walimjia Zerubabeli na viongozi wa
BWANA kwa moto tangu siku ya kwanza ya jamaa, nao wakasema, ‘‘Turuhusuni tuwasaidie
mwezi wa saba. kujenga, kwa sababu sisi tunamtafuta Mungu
wenu kama ninyi na tumekuwa tukimtolea
Kujenga Upya Hekalu dhabihu tangu wakati wa Esar-hadoni mfalme
7Kisha watu waliwapa mafundi wa uashi na wa Ashuru, aliyetuleta hapa.’’
useremala fedha, wakawapa watu wa Sidoni na 3Lakini Zerubabeli, Yeshua na viongozi
Tiro vyakula, vinywaji na mafuta ili waweze wengine wa jamaa ya Israeli wakajibu, ‘‘Ninyi
kuleta magogo ya mierezi kwa njia ya bahari hamna sehemu nasi katika kujenga hekalu la
kutoka Lebanoni hadi Yafa, kama alivyoagiza Mungu wetu. Sisi peke yetu tutajenga hekalu
Koreshi mfalme wa Uajemi. kwa ajili ya BWANA, Mungu wa Israeli, kama
8Katika mwezi wa pili wa mwaka wa pili mfalme Koreshi, mfalme wa Uajemi
baada ya Waisraeli kufika kwenye nyumba ya alivyotuagiza.’’
Mungu huko Yerusalemu, Zerubabeli mwana wa 4Ndipo watu waliowazunguka wakajipanga
walianza kazi, wakiteua Walawi wenye umri nao wakaipinga mipango yao wakati wote wa
kuanzia miaka ishirini au zaidi kusimamia ujenzi utawala wa Koreshi mfalme wa Uajemi hadi
wa nyumba ya BWANA. 9Yeshua na wanawe wakati wa utawala wa Dario mfalme wa Uajemi.
pamoja na ndugu zake, Kadmieli na wanawe
(wazao wa Hodavia), wana wa Henadadi na Upinzani Mwingine Chini Ya Ahasuero Na
wana wao na ndugu zao, Walawi wote Artashasta
walijiunga pamoja kusimamia wale waliofanya 6Mnamo mwanzo wa utawala wa Ahasuero,
kazi katika nyumba ya Mungu. hao adui waliandika mashtaka dhidi ya watu wa
10Wajenzi walipoweka msingi wa hekalu la Yuda na Yerusalemu.
BWANA, makuhani wakiwa wamevalia mavazi 7Pia katika siku za utawala wa Artashasta
4
EZRA
Kiaramu. Samaria na penginepo ng’ambo ya mto
8Rehumu afisa msimamizi na mwandishi Eufrati:
Shimshai waliandika barua ifuatayo kwa mfalme
Artashasta dhidi ya watu wa Yerusalemu kama Salaam.
ifuatavyo:
18Barua mliyotutumia imesomwa na
9Rehumu afisa msimamizi na mwandishi kutafsiriwa mbele yangu. 19Nilitoa amri na
Shimshai, pamoja na wenzao, mahakimu na uchunguzi ukafanyika na imegundulika
maafisa walio juu ya watu kuanzia Tripoli, kwamba mji huu una historia ndefu ya maasi
Uajemi, Ereki na Babeli, Waelami wa dhidi ya wafalme na pamekuwa mahali pa
Shushani, 10watu wengine ambao maasi na uchochezi. 20Yerusalemu umepata
mheshimiwa Asur-bani-pali aliwahamisha na kuwa na wafalme wenye nguvu wakitawala
kuwakalisha katika mji wa Samaria na nchi yote iliyo ng’ambo ya Eufrati, wakitoza
mahali pengine ng’ambo ya Eufrati. kodi, ada na ushuru huko. 21Kwa hiyo toeni
amri kwa watu hawa wasimamishe ujenzi, ili
11(Hii ndiyo nakala ya barua kwamba mji huu usiendelee kujengwa hadi
waliyompelekea.) nitakapoagiza. 22Mwe waangalifu msipuuze
jambo hili. Kwa nini kuruhusu tishio hili
Kwa Mfalme Artashasta, kuendelea na kusababisha hasara kwa
ufalme?
Kutoka kwa watumishi wako watu wa
ng’ambo ya Eufrati: 23Mara waliposomewa nakala ya barua ya
mfalme Artashasta, Rehumu na Shimshai
12Yapasa Mfalme ajue kuwa Wayahudi aliyekuwa mwandishi na wenzao, walikwenda
waliopanda kuja kwetu kutoka kwenu, mara moja kwa Wayahudi huko Yerusalemu na
wamekwenda Yerusalemu nao wanaujenga kuwalazimisha kwa nguvu kusimamisha ujenzi.
upya ule mji wa uasi na wa uovu.
Wanajenga upya kuta na kukarabati misingi 24Hivyo
kazi ya ujenzi wa nyumba ya Mungu
yake. huko Yerusalemu ikasimamishwa kabisa hadi
13Zaidi ya hayo, mfalme yampasa ajue mwaka wa pili wa utawala wa Dario mfalme wa
kwamba kama mji huu ukijengwa na kuta Uajemi.
zake zikafanywa upya, hakutakuwa na
ulipaji wa kodi wala ada au ushuru, hivyo Barua Ya Tatenai Kwa Dario
hazina ya kifalme itaathirika. 14Sisi sasa kwa
kuwa tunawajibika kwa jumba la kifalme na 5 Ndipo nabii Hagai na nabii Zekaria mzao
wa Ido, wakawatolea unabii Wayahudi
kwamba siyo sawasawa kwetu kuona waliokuwa Yuda na Yerusalemu kwa jina la
mfalme akidharauliwa, basi tunatuma Mungu wa Israeli, aliyekuwa pamoja nao. 2Ndipo
ujumbe huu kumtaarifu mfalme, 15ili kwamba Zerubabeli mwana wa Shealtieli na Yeshua
ufanyike uchunguzi kwenye kumbukumbu mwana wa Yosadaki walianza kujenga tena
ya maandishi ya waliokutangulia. Katika nyumba ya Mungu huko Yerusalemu. Nao
kumbukumbu hizi utagundua kwamba mji manabii wa Mungu walikuwa pamoja nao,
huu ni wa maasi, unaowataabisha wafalme wakiwasaidia.
na majimbo, ni mahali pa maasi tangu 3Wakati ule Tatenai mtawala wa ng’ambo ya
zamani. Ndiyo maana mji huu uliharibiwa. mto Eufrati na Shethar-Bozenai na wenzao
16Tunamjulisha mfalme kwamba kama mji waliwaendea, wakawauliza, ‘‘Ni nani aliyewapa
huu ukijengwa na kuta zake zikifanywa ruhusa ya kujenga tena hekalu hili na kurudishia
upya, hutabakiwa na cho chote ng’ambo ya upya kama lilivyokuwa?’’ 4Pia waliwauliza, ‘‘Je,
mto Eufrati. majina ya watu wanaofanya ujenzi huu ni
nani ?’’ 5Lakini jicho la Mungu wao lilikuwa
17Mfalme alirudisha jibu hili: likiwaangalia wazee wa Wayahudi, nao
hawakuzuiliwa kujenga mpaka taarifa
Kwa Rehumu, afisa msimamizi, mwandishi ikaandikwa kwa Dario na majibu yake
Shimshai na wenzenu wote wanaoishi katika kupokelewa.
5
EZRA
6Hii
ni nakala ya barua ile Tatenai, mtawala hekalu huko Yerusalemu. Nawe uijenge upya
wa ng’ambo ya mto Eufrati na Shethar-Bozenai nyumba ya Mungu mahali pake.’
na wenzao maafisa wa ng’ambo ya mto Eufrati 16Hivyo huyu Sheshbaza alikuja na kuweka
lilivyokuwa?’’ 10Pia tuliwauliza majina yao, ili huko Ekbatana katika jimbo la Umedi, haya
tukuandikie kukujulisha majina ya viongozi ndiyo yaliyokuwa yameandikwa humo:
wao.
11Hili ndilo jibu walilotupa: Kumbukumbu:
Mungu kwa shangwe. 17Kwa ajili ya kuwekwa wa mwaka wa saba wa kutawala Mfalme
wakfu nyumba hii ya Mungu walitoa mafahali Artashasta. 9Ezra alianza safari yake kutoka
mia moja, kondoo waume mia mbili, wana Babeli tangu siku ya kwanza ya mwezi wa
kondoo mia nne, sadaka kwa ajili ya dhambi ya
a7 “Wanethini” hapa maana yake “Watumishi wa Hekalu.’’
7
EZRA
kwanza, naye akawasili Yerusalemu siku ya kingine cho chote kinachohitajika kwa ajili ya
kwanza ya mwezi wa tano, kwa maana mkono hekalu la Mungu wenu ambacho unatakiwa
wa neema wa Mungu wake ulikuwa juu yake. kukitoa, waweza kukitoa kutoka hazina ya
10Kwa maana Ezra alikuwa amejitoa kwa moyo mfalme.
wote kujifunza na kushika sheria ya BWANA na 21Mimi, Mfalme Artashasta, sasa naagiza
kuwafundisha watu wa Israeli amri na sheria watunza hazina wote wa ng’ambo ya Eufrati
zake. kutoa kwa bidii cho chote kwa Ezra kuhani na
mwalimu wa Sheria ya Mungu wa mbinguni
Barua Ya Ezra Kutoka Kwa Mfalme atakachohitaji kwenu, 22talanta 100 b za fedha,
Artashasta ngano kori 100 c , divai bathi 100 d , mafuta ya
11Hii ni nakala ya barua ambayo Mfalme zeituni bathi100 na chumvi kiasi cho chote.
Artashasta alikuwa amempa Ezra aliyekuwa 23Cho chote ambacho Mungu wa mbinguni
kuhani na mwalimu, mtu aliyeelimika katika ameagiza, kifanyike kwa ukamilifu kwa ajili ya
mambo yahusuyo maagizo na amri za BWANA hekalu la Mungu wa mbinguni. Kwa nini pawepo
kwa Israeli. ghadhabu dhidi ya utawala wa mfalme na
wanawe? 24Pia ninyi fahamuni kuwa hamna
12Artashasta, mfalme wa wafalme, mamlaka ya kuwatoza kodi, ushuru au ada
makuhani, Walawi, waimbaji, mabawabu,
Kwa Ezra kuhani, mwalimu wa Sheria ya watumishi wa hekaluni au wafanyakazi wengine
Mungu wa mbinguni: kwenye nyumba ya Mungu.
25Nawe Ezra, kufuatana na hekima ya
vyombo vyote ulivyokabidhiwa kwa ajili ya b22 “ talanta mia moja za fedha“ ni sawa na kilo 3,400
ibada katika hekalu la Mungu wako. 20Kitu c22 “ kori mia moja za ngano”, ni sawa na kilo 10,000
d22 “ bathi mia moja za divai” ni sawa na lita 2,000
8
EZRA
2wa wazao wa Finehasi, Gershoni, wa wa neema wa Mungu wetu ulikuwa juu yetu,
wazao wa Ithamari, walituletea Sherebia, mtu mwenye uwezo kutoka
Danieli, wazao wa Mahli mwana wa Lawi, mwana wa
aliyekuwa wa wazao wa Daudi, Hatushi Israeli, na wana wa Sherebia pamoja na ndugu
3aliyekuwa wa wazao wa Shekania, wa zao wanaume kumi na wanane. 19Naye
Hashabia, pamoja na Yeshaya kutoka wazao wa
wazao wa Paroshi, Zekaria, na watu 150 Merari na ndugu zake na wapwa wake
walioandikishwa pamoja naye, wanaume ishirini. 20Vile vile walileta Wanethini
4wa wazao wa Pahath-Moabu, Eliehoenai 220 kikundi ambacho Daudi na maafisa
mwana wa Zerahia na wanaume 200 walikuwa wamekiweka kusaidia Walawi. Wote
pamoja naye, walikuwa wameorodheshwa kwa majina.
5wa wazao wa Zatu, Shekania mwana wa 21Kando ya mto Ahava, hapo nilitangaza
waweze kutuletea wahudumu kwa ajili ya wa kwanza tulianza safari kutoka mto wa Ahava
nyumba ya Mungu wetu. 18Kwa sababu mkono
b26 “talanta 650 za fedha’’ hii ni kama tani 25.
a17 “Wanethini” hapa maana yake, watumishi wa Hekalu, pia c26 “talanta 100 za vifaa vya fedha’’ hii ni kama tani 3.75.
mstari wa 20 d27 “darkoni 1,000’’ hii ni sawa na kilo 8.5.
9
EZRA
kwenda Yerusalemu. Mkono wa Mungu wetu wangu. 6Nami nikaomba:
ulikuwa juu yetu, naye njiani alitulinda dhidi ya
adui na wanyang’anyi. 32Kwa hiyo tuliwasili “Ee Mungu wangu, natahayari na kuona
Yerusalemu ambapo tulipumzika kwa siku tatu. aibu kukuinulia uso wangu Mungu wangu,
33Katika siku ya nne, ndani ya nyumba ya kwa sababu dhambi zetu zimejikusanya
Mungu wetu, tulipima fedha, dhahabu na hata kupita juu ya vichwa vyetu na hatia
vyombo vilivyowekwa wakfu, tukakabidhi yetu imefika mbinguni. 7Tokea siku za babu
mikononi mwa kuhani Meremothi mwana wa zetu mpaka sasa, hatia yetu imekuwa
Uria. Eliazari mwana wa Finehasi alikuwa kubwa. Kwa sababu ya dhambi zetu, sisi na
pamoja naye, vivyo hivyo walikuwako Walawi wafalme wetu na makuhani wetu
wawili, Yozabadi mwana wa Yeshua na Noadia tumekabiliwa na vita, utumwa, kutekwa na
mwana wa Binui. 34Kila kitu kilihesabiwa kwa kudhiliwa katika mikono ya wafalme wa
idadi na uzito, nao uzito wote uliandikwa wakati kigeni, kama ilivyo leo.
ule. 8“Lakini sasa, kwa muda mfupi, BWANA
35Kisha mateka waliokuwa wamerudi kutoka Mungu wetu amekuwa na neema kwa
uhamishoni wakatoa sadaka za kuteketezwa kutuachia mabaki na kutupa mahali imara
kwa moto kwa Mungu wa Israeli: mafahali kumi katika mahali pake patakatifu, hivyo Mungu
na mawili kwa ajili ya Israeli wote, kondoo wetu atupa mwanga machoni petu na
waume tisini na sita, wana kondoo sabini na unafuu katika utumwa wetu. Ingawa tu 9
saba na mbuzi waume kumi na wawili kuwa watumwa, Mungu wetu hajatuacha katika
sadaka ya dhambi. Hii yote ilikuwa sadaka ya kufungwa kwetu. Ametuonyesha huruma
kuteketezwa kwa moto kwa BWANA. 36Pia mbele ya wafalme wa Uajemi: Ametujalia
walikabidhi manaibu wa kifalme na watawala wa maisha mapya kwa kujenga upya nyumba
ng’ambo ya Eufrati maagizo ya mfalme, ambao ya Mungu wetu na kukarabati magofu yake,
baadaye walitoa msaada kwa watu na kwa naye ametupa ukuta wa ulinzi katika Yuda
nyumba ya Mungu. na Yerusalemu.
10“Lakini sasa, Ee Mungu wetu,
Maombi Ya Ezra Kuhusu Mwingiliano Wa tunaweza kusema nini baada ya hili? Kwa
Kuoana maana tumedharau maagizo 11uliyoyatoa
Baada ya mambo haya kutendeka, kupitia watumishi wako manabii uliposema:
9 viongozi walinijia na kusema, “Watu wa ‘Nchi mnayoingia kumiliki ni nchi
Israeli, wakiwemo makuhani na Walawi, iliyochafuliwa na uovu wa watu wake. Kwa
hawakujitenga na majirani zao katika kufanya matendo yao ya machukizo wameijaza nchi
machukizo, kama yale ya Wakanaani, Wahiti, kwa unajisi wao kutoka mwisho mmoja hadi
Waperizi, Wayebusi, Waamoni, Wamoabu, mwingine. 12Kwa hiyo, msiwaoze binti zenu
Wamisri na Waamori. 2Wamewaoa baadhi ya kwa wana wao wala binti zao kwa wana
binti zao kuwa wake zao na wake za wana wao, wenu. Msitafute mkataba wa urafiki nao kwa
nao wamechanganya taifa takatifu na watu wakati wo wote, ili mkafanikiwe na kula
waliowazunguka. Nao viongozi na maafisa mema ya nchi na kuwaachia watoto
wamekuwa mstari wa mbele katika njia hii wenu nchi hiyo kama urithi wao wa milele.’
potovu.’’ 13“Yale yaliyotutokea ni matokeo ya
3Niliposikia jambo hili nilirarua koti langu na matendo yetu mabaya, pia hatia yetu
joho langu, nikazing’oa nywele za kichwa kubwa, hata hivyo,Wewe Mungu wetu,
changu na ndevu zangu na kuketi nikishangaa. umetuadhibu kidogo kuliko dhambi zetu
4Kisha kila mmoja aliyetetemeshwa na maneno zilivyostahili na umetupa mabaki kama haya.
ya Mungu wa Israeli alikusanyika kunizunguka 14Je, tutavunja maagizo yako tena na
kwa sababu ya upotovu huu wa waliorudi kutoka kuoana na watu ambao hufanya mambo ya
uhamishoni. Nami niliketi pale nikishangaa machukizo? Je, hutakuwa na hasira ya
mpaka wakati wa dhabihu ya jioni. kutosha juu yetu na kutuangamiza, bila
5Ndipo wakati wa kutoa dhabihu ya jioni kutuachia mabaki wala atakayenusurika?
niliinuka kutoka katika kujidhili kwangu nikiwa na 15Ee BWANA, Mungu wa Israeli, Wewe
koti na joho langu lililoraruka, nikapiga magoti ni mwenye haki! Leo hii tumeachwa kama
mikono yangu ikiwa imeinuliwa kwa BWANA mabaki. Tupo hapa mbele zako na hatia
10
EZRA
yetu, ingawa katika hali hii hakuna hata Jitengeni na mataifa wanaowazunguka na wake
mmoja wetu anayeweza kusimama mbele zenu wa kigeni.’’
zako.’’ 12Kusanyiko lote likajibu kwa sauti kubwa:
agano mbele za Mungu wetu kuwafukuza hawa mwana wa Tikwa peke yao, wakiungwa mkono
wanawake wote pamoja na watoto wao, na Meshulamu na Shabethai Mlawi,ndio
kulingana na maonyo ya bwana wangu pamoja waliopinga jambo hili.
na wale ambao wanaogopa amri za Mungu 16Basi watu wa uhamishoni walifanya kama
wetu. Hili na lifanyike sawasawa na hii Sheria. ilivyokuwa imependekezwa. Kuhani Ezra
4Inuka, suala hili lipo mikononi mwako. Sisi akachagua wanaume waliokuwa viongozi wa
tutaungana nawe, uwe na ujasiri ukatende hili.’’ jamaa, mmoja kutoka kila mgawanyo wa jamaa,
5Basi Ezra akainuka na kuwaapisha nao wote walichaguliwa kwa majina. Katika siku
makuhani viongozi, Walawi na Israeli yote ya kwanza ya mwezi wa kumi waliketi
kufanya lile lililokuwa limependekezwa. Nao kuchunguza mashauri hayo, 17katika siku ya
wakaapa. 6Ndipo Ezra akaondoka hapo mbele kwanza ya mwezi wa kwanza walimaliza
ya nyumba ya Mungu akaenda kwenye chumba kushughulikia wanaume wote ambao walikuwa
cha Yehohanani mwana wa Eliashibu. Wakati wameoa wanawake wa kigeni.
alipokuwa hapo, hakula chakula wala hakunywa
maji, kwa sababu aliendelea kuomboleza Wenye Hatia Ya Kuoa.
kuhusu kukosa uaminifu kwa watu wa 18Miongoni mwa wazao wa makuhani,
uhamishoni. wafuatao walikuwa wameoa wanawake wa
7Ndipo lilipotolewa tangazo Yuda yote na kigeni:
Yerusalemu kwa watu wote waliokuwa Kutoka wazao wa Yeshua mwana wa
uhamishoni kukusanyika Yerusalemu. 8Ye yote Yozadaki na ndugu zake:
ambaye hangejitokeza kwa muda wa siku tatu Maaseya, Eliezeri, Yaribu na Gedalia. 19(Wote
angepoteza mali yake yote, kulingana na uamuzi walitoa nadhiri kwa kuandika kwa mikono
wa maafisa na wazee, naye mtu huyo yao kuwafukuza wake zao, kwa hatia yao, kila
angefukuzwa kutoka kusanyiko la watu mmoja akatoa kondoo dume kutoka kundini
waliokuwa uhamishoni. kama sadaka ya hatia.)
20Kutoka wazao wa Imeri:
9Ndani ya muda wa siku tatu, watu wote wa Hanani na Zebadia.
Yuda na Benyamini walikuwa wamekusanyika 21Kutoka wazao wa Harimu:
huko Yerusalemu. Kwenye siku ya ishirini ya Maaseya, Eliya, Shemaya, Yehieli na Uzia.
mwezi wa tisa, watu wote walikuwa wameketi 22Kutoka wazao wa Pashuri:
11
EZRA
24Kutoka waimbaji:
Eliashibu.
Kutoka mabawabu:
Shalumu, Telemu na Uri.
12
EZRA
13
NEHEMIA
Utangulizi
Kitabu cha Nehemia kimepewa jina la mhusika wake mkuu. Kitabu hiki ni sehemu ya kitabu cha Ezra katika
andiko la Kiebrania. Kinaendeleza historia ya Wayahudi waliorudi kutoka uhamishoni Babeli. Nehemia aliacha
kazi yake ya mnyweshaji wa Mfalme Artashasta wa Uajemi, akaja kuwa mtawala wa Yerusalemu. Nehemia
alikwenda Yerusalemu mnamo 445 K.K. karibu miaka 100 baada ya kurudi kwa kikundi cha kwanza cha
waliokuwa uhamishoni. Nehemia aliwekwa na Koreshi kuwa mtawala. Nehemia na Ezra ndio waliowaongoza
watu kujenga upya kuta za Yerusalemu. Kuna uwezekano mkubwa sana kwamba nabii Malaki alikuwa katika
huduma kipindi hiki.
Mwandishi
Kuna uwezekano mkubwa kwamba Nehemia au Ezra au huenda wote wawili ndio walioandika kitabu hiki,
kwani mwanzoni Ezra na Nehemia vilikuwa kitabu kimoja.Hatimaye viligawanywa na kujulikana kama kitabu cha
Kwanza cha Ezra na kitabu cha Pili cha Ezra. Katika karne ya 4 B.K. Yerome alikiita kitabu hicho cha pili
“Kitabu cha Nehemia’’. Sura zote 1- 7 na 12:27–43 zimeandikwa na mtu anayejitaja mwenyewe, ambapo 8:1 –
10:30 na 12:44-13:3 ni mtu anayetoa habari za mtu mwingine.Hii ndiyo sababu inaonekana kwamba kuna
uwezekano kuwa Nehemia na Ezra wanaweza kuwa ndio waandishi. Kuna uwezekano mkubwa kwamba Ezra
ndiye aliyekuwa mhariri.
Mahali
Yerusalemu.
Jambo Muhimu
Kitabu kinaonyesha kukamilika kwa unabii wa Zekaria na Danieli kuhusu kujenga upya kuta za Yerusalemu.
Wahusika Wakuu
Nehemia, Ezra, Tobia na Sanbalati.
Tarehe
Mnamo mwaka 538 K.K. Zerubabeli aliongoza kundi la kwanza kutoka uhamishoni Babeli. 458 K.K. Ezra
aliliongoza kundi la pili. Baadaye 445 K.K. Nehemia alirudi na kundi jingine la watu ili kuja kuzijenga tena kuta za
mji wa Yerusalemu zilizokuwa zimebomolewa na malango yake kuchomwa moto.
Mgawanyo
• Nehemia anazijenga kuta (1:1-7:3).
• Mabadiliko chini ya Ezra (7:4-10:39).
• Mipango ya Nehemia (11:1-13:31).
1
NEHEMIA
Maombi Ya Nehemia Artashasta Amtuma Nehemia Yerusalemu
1
Maneno ya Nehemia mwana wa Hakalia:
2 Katika mwezi wa Nisani mwaka wa ishirini
wa kutawala mfalme Artashasta, wakati
Katika mwezi wa Kisleu katika mwaka wa divai ilipoletwa kwa ajili yake, nilichukua divai na
ishirini, wakati nikiwa katika ngome ya Shushani, kumpa mfalme. Sikuwahi kuonekana mwenye
2Hanani, mmoja wa ndugu zangu, alikuja kutoka huzuni mbele zake kabla ya hapo, 2basi mfalme
Yuda akiwa na watu wengine, nami nikawauliza akaniuliza, “Kwa nini uso wako unaonekana una
kuhusu mabaki ya Wayahudi waliopona kwenda huzuni wakati wewe si mgonjwa? Hili linaweza
uhamishoni na pia kuhusu Yerusalemu. kuwa si kitu kingine bali ni huzuni ya moyoni.’’
3Waliniambia, “Wale waliopona kwenda Niliogopa sana, 3lakini nikamwambia
uhamishoni nao wamerudi kwenye jimbo lile mfalme, “Mfalme na aishi milele! Kwa nini uso
wapo katika taabu kubwa na aibu. Ukuta wa wangu usiwe na huzuni wakati mji walipozikwa
Yerusalemu umebomoka, na malango yake baba zangu umebaki magofu, na malango yake
yamechomwa moto.’’ yameteketezwa kwa moto?’’
4Niliposikia mambo haya, niliketi na kulia. 4Mfalme akaniambia, “Je, haja yako ni nini?’’
Kwa siku kadhaa niliomboleza na kufunga na Kisha nikaomba kwa Mungu wa mbinguni,
kuomba mbele za Mungu wa Mbinguni. 5Kisha 5nikamjibu mfalme, “Kama ikimpendeza mfalme
hulishika agano lake la upendo na wale ameketi karibu naye, akaniuliza, “Safari yako
wampendao na kutii amri zake, itachukua muda gani, nawe utarudi lini?’’
6masikio yako na yawe masikivu na Ilimpendeza mfalme kunituma kwa hiyo
macho yako yafunguke kusikia maombi ya nikapanga muda.
mtumishi wako anayoomba mbele yako 7Pia nikamwambia, “Kama ikimpendeza
mchana na usiku kwa ajili ya watumishi mfalme, naomba nipewe barua kwa watawala
wako, watu wa Israeli. Ninaungama dhambi walio Ng’ambo ya Eufrati, ili wanipe ulinzi mpaka
za Waisraeli, pamoja nami na nyumba ya nifike Yuda. 8Naomba nipewe barua nipeleke
baba yangu, tulizotenda dhidi yako. kwa Asafu, mtunzaji wa msitu wa mfalme, ili
7Tumetenda kwa uovu sana mbele zako. anipe miti ya kutengeneza boriti kwa ajili ya
Hatukutii amri, maagizo na sheria ulizompa malango ya ngome ya hekalu, kwa ajili ya ukuta
Mose mtumishi wako. wa mji na makao yangu nitakapoishi.’’ Kwa kuwa
8“Kumbuka agizo ulilompa Mose mkono wenye neema wa Mungu wangu ulikuwa
mtumishi wako, ukisema, ‘Kama mkikosa juu yangu, mfalme akanijalia ombi langu. 9Basi
uaminifu, nitawatawanya miongoni mwa nilikwenda kwa watawala wa Ng’ambo ya Eufrati
mataifa, 9lakini mkinirudia na kutii amri na kuwapa barua za mfalme. Pia mfalme
zangu, ndipo hata kama watu wenu walio alikuwa ametuma maafisa wa jeshi na askari
uhamishoni wako mbali sana katika miisho wapanda farasi pamoja nami.
ya dunia, nitawakusanya kutoka huko na 10Sanbalati Mhoroni na Tobia afisa
kuwaleta mahali ambapo nimepachagua Mwamoni waliposikia juu ya jambo hili,
kama makao kwa ajili ya Jina langu.’ waliudhika sana kwamba amekuja mtu kuinua
10“Wao ni watumishi wako na watu ustawi wa Waisraeli.
wako, uliowakomboa kwa nguvu zako kuu
na mkono wako wenye nguvu. 11Ee Bwana, Nehemia Akagua Kuta Za Yerusalemu
tega sikio lako na usikie maombi ya huyu 11Nilikwenda Yerusalemu, baada ya kukaa
mtumishi wako na maombi ya watumishi huko siku tatu 12nikaondoka wakati wa usiku
wako wanaofurahia kuliheshimu Jina lako. pamoja na watu wachache. Sikuwa
Umpe leo mtumishi wako mafanikio kwa nimemwambia ye yote kile ambacho Mungu
kumpa kibali mbele ya mtu huyu.’’ wangu alikuwa ameweka moyoni mwangu
kufanya kwa ajili ya Yerusalemu. Hapakuwepo
Nilikuwa mnyweshaji wa mfalme. na mnyama ye yote pamoja nami isipokuwa yule
niliyekuwa nimempanda.
2
NEHEMIA
13Usiku nikatoka nje kupitia Lango la Meshulamu mwana wa Berekia, mwana wa
Bondeni, kuelekea Kisima cha Joka na Lango la Meshezabeli, alifanya ukarabati na aliyemfuatia
Samadi, nikikagua kuta za Yerusalemu, ni Zadoki mwana wa Baana. 5Sehemu iliyofuata
zilizokuwa zimebomolewa na malango yake, ilikarabatiwa na watu kutoka Tekoa, lakini wakuu
yaliyokuwa yameteketezwa kwa moto. 14Kisha wao walikataa kufanya kazi chini ya wasimamizi
nikaelekea mpaka Lango la Chemchemi na wao.
Bwawa la Mfalme, lakini hapakuwepo nafasi ya
kutosha kwa ajili ya mnyama wangu kupita, 6Lango la Yeshana lilikarabatiwa na Yoyada
15kwa hiyo nikapandia bondeni usiku, nikikagua mwana wa Pasea na Meshulamu mwana wa
ukuta. Mwishoni, nikarudi na kuingia tena kupitia Besodeya. Wakaziweka boriti zake, milango,
Lango la Bondeni. 16Maafisa hawakujua makomeo na nondo. 7Karibu nao ukarabati
nilikokwenda wala nilichokuwa nikifanya, kwa ulifanywa na watu kutoka Gibenoni na Mispa,
sababu mpaka sasa nilikuwa bado sijasema lo Melati ya Gibeoni na Yadoni ya Meronothi,
lote kwa Wayahudi wala makuhani wala wakuu sehemu hizi zilikuwa chini ya mamlaka ya
wala maofisa wala mtu ye yote ambaye mtawala wa Ng’ambo ya Eufrati. 8Uzieli mwana
angefanya kazi. wa Harhaya, mmoja wa masonara, walikarabati
17Ndipo nilipowaambia, “Mnaona taabu sehemu iliyofuata na Hanania mmoja wa
tuliyo nayo: Yerusalemu imebaki magofu na watengenezaji marashi, alikarabati sehemu
malango yake yameteketezwa kwa moto. Njoni iliyofuata. Walitengeneza Yerusalemu mpaka
na tujenge tena ukuta wa Yerusalemu, nasi kufikia Ukuta Mpana. 9Refaya mwana wa Huri,
hatutakuwa tena kwenye hii aibu.’’ 18Pia mtawala wa nusu ya wilaya ya Yerusalemu,
niliwaambia kuhusu mkono wenye neema wa alikarabati sehemu iliyofuata. 10Kupakana na hii,
Mungu wangu juu yangu na kile mfalme Yedaya mwana wa Harumafu alikarabati
alichoniambia. sehemu iliyokuwa mkabala na nyumba yake,
Wakajibu, “Haya na tuanze kujenga tena.’’ naye Hatushi mwana wa Hashabnea alifanya
Kwa hiyo walianza kazi hii njema. ukarabati sehemu iliyofuata. 11Malkiya mwana
19Lakini Sanbalati Mhoroni, Tobia afisa wa Harimu na Hashubu mwana wa Pahathi-
Mwamoni na Geshemu Mwarabu waliposikia juu Moabu walikarabati sehemu nyingine na Mnara
ya hili, walitudhihaki na kutucheka. Wakauliza, wa Tanuru. 12Shalumu mwana wa Haloheshi,
“Ni nini hiki mnachokifanya? Je, mnaasi dhidi ya mtawala wa nusu ya wilaya ya Yerusalemu,
mfalme?’’ alikarabati sehemu iliyofuata akisaidiana na binti
20Niliwajibu kwa kusema, ‘‘Mungu wa zake.
mbinguni atatufanikisha. Sisi watumishi wake
tutaanza kujenga tena, lakini kwenu ninyi, 13Lango la Bondeni lilikarabatiwa na Hanuni
hamna sehemu wala dai lo lote wala na wakazi wa Zanoa. Walilijenga kwa upya na
kumbukumbu la haki katika Yerusalemu.’’ kuweka milango yake na makomeo na nondo
mahali pake. Pia walikarabati ukuta wenye urefu
Wajenzi Wa Ukuta wa mita mia nne na hamsini hadi Lango la
Eliashibu kuhani mkuu na makuhani Samadi.
3 wenzake walikwenda kufanya kazi na
kulijenga tena Lango la Kondoo. Waliliweka 14Lango la Samadi lilikarabatiwa na Malkiya
wakfu na kuweka milango mahali pake, mwana wa Rekabu, mtawala wa wilaya ya Beth-
walijenga hadi kufikia Mnara wa Mia moja, Hakeremu. Alijenga kwa upya na kuweka
ambao waliuweka wakfu mpaka Mnara wa milango yake makomeo na nondo.
Hananeli. 2Watu wa Yeriko walijenga sehemu
zilizopakana nao, Zahuri mwana wa Ineri 15Lango la Chemchemi lilikarabatiwa na
aliendelea kujenga karibu nao. Shalumu mwana wa Kolhoze, mtawala wa
wilaya ya Mispa. Alilijenga kwa upya, akaliezeka
3Lango la Samaki lilijengwa na wana wa na kuweka milango yake, makomeo yake na
Hasena. Waliweka boriti zake na kuweka nondo mahali pake. Pia alikarabati ukuta wa
milango yake na makomeo na nondo. Bwawa la Siloamu karibu na Bustani ya Mfalme
4Meremothi mwana wa Uria, mwana wa Hakosi, hadi kwenye ngazi zinazoshuka kutoka Mji wa
alikarabati sehemu iliyofatia. Aliyemfuata ni Daudi. 16Sehemu iliyofuata, Nehemia mwana wa
3
NEHEMIA
Azbuki, mtawala wa nusu ya wilaya ya Beth- alikarabati sehemu nyingine. Baada yao,
Zuri, alikarabati kufikia mkabala na makaburi ya Meshulamu mwana wa Berekia alikarabati
Daudi, mpaka kwenye bwawa lililotengenezwa sehemu iliyo mkabala na nyumba zake za
na kufikia Nyumba ya Mashujaa. kuishi. 31Baada yake, Malkiya, mmoja wa
17Baada yake, ukarabati ulifanywa na masonara, alifanya ukarabati mpaka kwenye
Walawi chini ya uongozi wa Rehumu mwana wa nyumba za Wanethini a na wafanya biashara,
Bani. Aliyefuatia ni Hashabia, mtawala wa nusu mkabala na Lango la Ukaguzi, hadi kufikia
ya wilaya ya Keila, aliendeleza ukarabati katika chumba kilicho juu ya pembe, 32kati ya chumba
sehemu inayohusu wilaya yake. 18Baada yake, juu ya pembe na Lango la Kondoo, masonara na
ukarabati ulifanywa na ndugu zao chini ya wafanya biashara walifanya ukarabati.
usimamizi wa Binui, mwana wa Henadadi,
mtawala wa nusu ya wilaya ya Keila. 19Baada Upinzani Wakati Wa Ujenzi
yake, Ezeri mwana wa Yeshua, mtawala wa
Mispa, alikarabati sehemu nyingine, kuanzia ile 4 Sanbalati aliposikia kwamba tulikuwa
tunajenga tena ukuta, alikasirika na akawa
sehemu inayotazamana na mwinuko wa na uchungu sana. Aliwadhihaki Wayahudi,
kuelekea kwenye ghala la kuhifadhia silaha, 2mbele ya rafiki zake na jeshi la Samaria,
mpaka kwenye pembe ya ukuta. 20Baada yake, alisema, “Wayahudi hao wanyonge wanafanya
Baruki mwana wa Zabai alikarabati kwa bidii nini? Je, wataweza kuurudishia ukuta wao? Je,
sehemu nyingine kutoka ile pembe mpaka watatoa dhabihu? Je, wataweza kumaliza
kwenye lango la nyumba ya Eliashibu kuhani kuujenga kwa siku moja? Je, wataweza kufufua
mkuu. 21Baada yake, Meremothi mwana wa mawe kutoka katika malundo ya vifusi
Uria, mwana wa Hakosi, alikarabati sehemu yaliyoteketea hivyo?’’
nyingine, kutoka lango la nyumba ya Eliashibu 3Tobia Mwamoni, aliyekuwa karibu naye
mpaka kwenye pembe ya ukuta. 25Naye Palali, mbele zako, kwa kuwa wamewatukana wajenzi
mwana wa Uzai alijenga sehemu iliyo mkabala mbele ya macho yao.
na pembe ya ukuta mpaka kwenye mnara wa
juu ambao unajitokeza kutoka kwenye jumba la 6Basi tuliujenga upya ukuta mpaka wote
mfalme kando ya ua wa walinzi. Baada yake, ukafikia nusu ya kimo chake, kwa kuwa watu
Pedaya mwana wa Paroshi, 26na watumishi wa walifanya kazi kwa moyo wote.
hekalu waishio juu ya kilima cha Ofeli 7Lakini wakati Sanbalati, Tobia, Waarabu,
walikarabati hadi kufikia mkabala na Lango la Waamoni na watu wa Ashdodi waliposikia kuwa
Maji kuelekea mashariki na ule mnara ukarabati wa kuta za Yerusalemu ulikuwa
uliojitokeza. 27Baada yao, watu wa Tekoa umeendelea na ya kuwa nafasi zilikuwa
walikarabati sehemu nyingine, kutoka mnara zinazibwa, walikasirika sana. 8Wote walifanya
mkubwa utokezao hadi ukuta wa Ofeli. shauri pamoja kuja kupigana dhidi ya
Yerusalemu na kuchochea machafuko dhidi
28Juu ya Lango la Farasi, makuhani yake. 9Lakini tulimwomba Mungu wetu na
walifanya ukarabati, kila mmoja mbele ya kuweka ulinzi mchana na usiku kupambana na
nyumba yake. 29Baada yao, Sadoki mwana wa tishio hili.
Imeri alifanya ukarabati mkabala na nyumba 10Wakati ule ule, watu wa Yuda walisema,
yake. Baada yake, Shemaya mwana wa “Nguvu za wafanya kazi zinapungua, nacho
Shekania, mlinzi wa Lango la Mashariki, alifanya kifusi ni kingi mno kiasi kwamba hatuwezi
ukarabati. 30Baada yake, Hanania mwana wa kuujenga upya ukuta.’’
Shelemia, na Hanuni, mwana wa sita wa Salafu,
a31 Wanethini hapa ina maana ya “Watumishi wa hekalu.’’
4
NEHEMIA
11Pia adui zetu walisema, “Kabla hawajajua wetu na binti zetu tu wengi, ili tuweze kula na
au kutuona, tutakuwa pale pale katikati yao na kuishi, ni lazima tupate nafaka.’’
tutawaua na kuikomesha hiyo kazi.’’ 3Wengine walikuwa wakisema, “Tunaweka
12Kisha Wayahudi ambao waliishi karibu nao rehani mashamba yetu, mashamba ya mizabibu
walikuja zaidi ya mara kumi na kutuambia, ‘‘Po na nyumba zetu ili tupate nafaka wakati wa
pote mtakapoelekea, watatushambulia.’’ njaa.’’
13Kwa hiyo niliweka baadhi ya watu nyuma 4Bado kukawa na wengine waliokuwa
ya sehemu za chini za ukuta kwenye sehemu wakisema, “Ilitubidi tukope fedha ili kulipa kodi
zilizo wazi, niliwaweka kufuatana na jamaa zao, ya mfalme kwa ajili ya mashamba yetu na
wakiwa na panga zao, mikuki na pinde zao. mashamba yetu ya mizabibu. 5Ingawa sisi ni
14Baada ya kuona hali ilivyo, nilisimama na mwili na damu moja kama watu wa nchi yetu na
kuwaambia wakuu, maafisa na wengine wote, ijapo wana wetu ni wema kama wana wao, bado
“Msiwaogope. Mkumbukeni Bwana, ambaye ni inatupasa kuwatoa wana na binti zetu kwenye
mkuu mwenye kuogofya, piganeni kwa ajili ya utumwa. Baadhi ya binti zetu wameshakuwa
ndugu zenu, wana na binti zenu, wake zenu na watumwa tayari, lakini hatuna nguvu, kwa
nyumba zenu.’’ sababu mashamba yetu na mashamba yetu ya
15Adui zetu waliposikia kwamba mizabibu ni mali ya wengine.’’
tumetambua hila yao na kwamba Mungu 6Niliposikia kilio chao na malalamiko haya,
amevuruga shauri lao, wote tulirudi kwenye nilikasirika sana. 7Nikayatafakari katika akili
ukuta, kila mmoja kwenye kazi yake. yangu, nikiwalaumu wakuu na maafisa.
16Kuanzia siku ile na kuendelea, nusu ya Nikawaambia, “Mnawaonea ndugu zenu kwa
watu wangu walifanya kazi ya ujenzi, na nusu kuwatoza riba!’’ Basi nikaita pamoja mkutano
nyingine wakashika mikuki, ngao, pinde na kinga mkubwa ili kuwashughulikia 8na kusema: “Kwa
ya kifuani. Maofisa walijipanga nyuma ya watu kulingana na uwezo wetu, tumewakomboa
wote wa Yuda 17waliokuwa wakijenga ukuta. ndugu zetu Wayahudi waliokuwa wameuzwa
Wale waliobeba vifaa vya ujenzi walifanya kazi kwa Mataifa. Sasa mnawauza ndugu zenu, ili
yao kwa mkono mmoja na kushika silaha kwa wauzwe tena kwetu!’’ Walinyamaza kimya, kwa
mkono mwingine, 18kila mjenzi alijifunga upanga sababu hawakupata cho chote cha kusema.
wake upande mmoja akiwa anafanya kazi. 9Basi nikaendelea kusema, “Mnachokifanya
Lakini mtu wa kupiga baragumu alikaa pamoja si sawa. Je, haikuwapasa kutembea katika hofu
nami. ya Mungu wetu ili tuepukane na shutuma za
19Kisha niliwaambia wakuu, maafisa na watu adui zetu Mataifa? 10Mimi na ndugu zangu na
wengine wote, “Kazi hii ni kubwa, na imeenea watu wangu tunawakopesha watu fedha na
sehemu kubwa, nasi tumetawanyika kila mmoja nafaka. Lakini jambo hili la kutoza riba likome!
yuko mbali na mwenzake juu ya ukuta. 20Po 11Warudishieni mara moja mashamba yao,
pote mtakaposikia sauti ya baragumu, jiungeni mashamba yao ya mizabibu, mashamba yao ya
nasi huko. Mungu wetu atatupigania!’’ mizeituni na nyumba zao, pia riba yao
21Basi tuliendelea na kazi nusu ya watu mnayowatoza na sehemu ya fungu la mia la
wakishikilia mikuki, kuanzia maawio hadi nyota fedha, nafaka, divai mpya na mafuta.’’
zilipoonekana. 22Wakati huo pia niliwaambia 12Wakasema, “Tutawarudishia na hatutataka
watu, “Kila mtu na msaidizi wake wakae ndani kitu cho chote zaidi kutoka kwao. Tutafanya
ya Yerusalemu wakati wa usiku, ili waweze kama ulivyosema.’’
kutumika kama walinzi wakati wa usiku na Kisha nikawaita makuhani na kuwafanya
kufanya kazi wakati wa mchana.’’ 23Mimi wala wakuu na maafisa kuapa kufanya kile
ndugu zangu wala watu wangu wala walinzi walichoahidi. 13Pia nilikung'uta makunjo ya vazi
waliokuwa pamoja nami hatukuvua nguo zetu. langu na kusema, “Kila mtu ambaye hatatimiza
Kila mmoja alikuwa na silaha yake, hata ahadi hii, Mungu na amkung'ute hivi kutoka
alipokwenda kuchota maji. katika nyumba yake na katika mali zake. Basi
mtu wa jinsi hiyo na akung'utiwe nje na aachwe
Nehemia Anawasaidia Maskini bila kitu!’’
Wakati huu watu na wake zao wakalia kilio Katika hili mkutano wote ukasema, “Amen’’
5 kikuu dhidi ya ndugu zao Wayahudi.
2Baadhi yao walikuwa wakisema, “Sisi na wana
wakamtukuza BWANA . Nao watu wakafanya
kama walivyokuwa wameahidi.
5
NEHEMIA
14Zaidi ya hayo, kutoka mwaka wa ishirini kweli, kuwa wewe na Wayahudi mnafanya
wa mfalme Artashasta, wakati nilipoteuliwa kuwa hila ya kuasi, ndiyo sababu mnajenga ukuta.
mtawala wao katika nchi ya Yuda, mpaka Zaidi ya yote, kwa kufuatana na taarifa hizi
mwaka wake wa thelathini na mbili yaani miaka karibu utakuwa mfalme wao 7na hata
kumi na miwili, mimi wala ndugu zangu hatukula umewateua manabii wafanye tangazo hili
chakula ambacho kwa kawaida hupewa kukuhusu wewe huko Yerusalemu: ‘Yuko
watawala. 15Lakini watawala wa mwanzoni, wale mfalme katika Yuda!’ Sasa taarifa hii
walionitangulia, waliwalemea watu na kuchukua itarudishwa kwa mfalme, basi njoo, tufanye
kutoka kwao shekeli arobaini za fedha a pamoja shauri pamoja.’’
na chakula na mvinyo. Wasaidizi wao pia
walipata nafasi ya kufaidi watu. Lakini kwa 8Nilimpelekea jibu hili: “Hakuna jambo kama
kumheshimu Mungu sikufanya hivyo. 16Badala hilo unalosema linalofanyika, unalitunga tu
yake, nilijitoa kwa bidii katika kazi kwenye ukuta kwenye kichwa chako.’’
huu. Watu wangu wote walikutanika pale kwa 9Wote walikuwa wakijaribu kutuogopesha,
ajili ya kazi, hatukujipatia shamba lo lote. wakifikiri kuwa, “Mikono ya watu italegea kiasi
17Juu ya hayo, Wayahudi mia moja na kwamba hawataweza kufanya kazi, nayo
hamsini na maafisa walikula mezani pangu, haitakamilika.’’
pamoja na wale waliotujia kutoka mataifa jirani. Lakini niliomba, “Sasa itie mikono yangu
18Kila siku niliandaliwa maksai mmoja, kondoo nguvu.’’
sita wazuri na kuku na mvinyo wa kila aina kwa 10Siku moja nilikwenda nyumbani kwa
wingi kila baada ya siku kumi. Licha ya mambo Shemaya mwana wa Delaya, mwana wa
haya yote, sikudai chakula kilichokuwa fungu la Mehetabeli, ambaye alikuwa amefungwa ndani
mtawala, kwa sababu madai yalikuwa mazito ya nyumba yake. Akasema, “Na tukutane katika
sana kwa watu hawa. nyumba ya Mungu, ndani ya hekalu, na tufunge
19Unikumbuke kwa fadhili, Ee Mungu milango ya hekalu, kwa sababu watu wanakuja
wangu, kwa yote niliyofanya kwa ajili ya watu kukuua, usiku wanakuja kukuua.’’
hawa. 11Lakini nilisema, “Je, mtu kama mimi
huu: “Njoo, tukutane katika mojawapo ya vijiji 14Ee Mungu wangu, wakumbuke Tobia na
katika nchi tambarare ya Ono.’’ Sanbalati kwa sababu ya yale waliyotenda, pia
Lakini walikuwa wakikusudia kunidhuru, kumbuka nabii mke Noadia na manabii wengine
3kwa hiyo niliwatuma wajumbe kwao na majibu
ambao wamekuwa wakijaribu kunitisha.
haya: “Kazi ninayoifanya ni kubwa sana siwezi
kuja. Kwa nini niiache kazi isimame nije Kukamilika Kwa Ukuta
kwenu?’’ 4Mara nne walinitumia ujumbe wa 15Basi ukuta ulikamilika siku ya ishirini na
namna iyo hiyo na kila mara niliwapa jibu lile lile. tano mwezi wa Eluli, kwa siku hamsini na mbili.
5Basi, mara ya tano, Sanbalati alimtuma 16Adui zetu wote waliposikia kuhusu hili, mataifa
msaidizi wake kwangu akiwa na ujumbe wa aina yote waliotuzunguka waliogopa na kupoteza
ile ile, na alikuwa amechukuwa barua ujasiri, kwa sababu walitambua kuwa kazi hii
isiyofungwa mkononi mwake, 6iliyokuwa imefanyika kwa msaada wa Mungu wetu.
imeandikwa: 17Pia, katika siku hizo wakuu wa Yuda
6
NEHEMIA
Yeho-hanani aliyekuwa amemwoa binti wa 18wazao wa Adonikamu 667
Meshulamu mwana wa Berekia. 19Zaidi ya hayo 19wazao wa Bigwai 2,067
walikuwa wakiniarifu jinsi Tobia alivyo mtu 20wazao wa Adini 655
mwema, nao walimwambia kila kitu nilichosema. 21wazao wa Ateri (kupitia
8
60Wanethini wote na Ilipotimia miezi saba nao Waisraeli wakiwa
wazao wa watumishi wa Solomoni tayari wanaishi katika miji yao:
walikuwa 392 Ndipo watu wote wakakusanyika kama mtu
mmoja kwenye uwanja mbele ya Lango la Maji.
61Wafuatao
ni watu waliorudi kutoka miji Wakamwambia Ezra mwandishi alete kitabu cha
ya Tel-mela, Tel-Harsha, Kerubu, Adoni na sheria ya Mose, ambacho BWANA aliamuru
Imeri, lakini hawakuweza kuthibitisha kwa ajili ya Israeli.
kwamba jamii zao walitokana na Israeli: 2Basi katika siku ya kwanza ya mwezi wa
Jamini, Akubu, Shabethai, Hodai, Maaseya, hadi ya mwisho, Ezra alisoma kutoka kwenye
Kelita, Azaria, Yozabadi, Hanani na Pelaya. kile Kitabu cha Sheria ya Mungu.
8Walisoma kutoka kile Kitabu cha Sheria ya Wakaadhimisha sikukuu ile kwa siku saba na
Mungu, wakiifafanua na kuwapa maelezo ili katika siku ya nane, kwa kufuatana na maagizo,
watu waweze kufahamu kile kilichokuwa kulikuwa na kusanyiko kubwa takatifu.
kikisomwa.
9Kisha Nehemia Tirshatha, kuhani Ezra na Waisraeli Waungama Dhambi Zao
waandishi, pamoja na Walawi waliokuwa
wakiwafundisha watu wakawaambia wote, “Siku 9 Katika siku ya ishirini na nne ya mwezi ule
ule, Waisraeli walikusanyika pamoja,
hii ni takatifu kwa BWANA Mungu wenu. wakifunga na kuvaa nguo za gunia na kujipaka
Msiomboleze wala msilie.’’ Kwa kuwa watu wote mavumbi vichwani mwao. 2Wale wa uzao wa
walikuwa wakilia walipokuwa wakisikiliza Israeli walijitenga na wageni wote. Wakasimama
maneno ya ile Sheria. mahali pao na kuungama dhambi zao na uovu
10Nehemia akasema, “Nendeni mkafurahie wa baba zao. 3Wakasimama pale walipokuwa,
chakula kizuri na vinywaji vitamu, na mpeleke wakasoma kutoka kwenye kile Kitabu cha Sheria
sehemu kwa wale ambao hawana cho chote cha ya BWANA Mungu wao kwa muda wa robo
kula. Siku hii ni takatifu kwa BWANA. siku, wakatumia robo nyingine kwa kuungama
Msihuzunike, kwa kuwa furaha ya BWANA ni na kumwabudu BWANA Mungu wao. 4Walawi
nguvu zenu.’’ wafuatao walikuwa wamesimama kwenye ngazi:
11Walawi wakawatuliza watu wote Yeshua, Bani, Kadmieli, Shebania, Buni,
wakisema, “Iweni watulivu, kwa kuwa hii ni siku Sherebia, Bani na Kenani. Hawa walimlilia
takatifu. Msihuzunike.’’ BWANA Mungu wao kwa sauti kubwa. 5Nao
12Kisha watu wote wakaondoka kwenda kula Walawi Yeshua, Kadmeli, Bani, Hashabnea,
na kunywa na kuwapelekea watu sehemu ya Sherebia, Hodia, Shebania na Pethahia
chakula na wakaadhimisha kwa furaha kubwa, wakasema: “Simameni mumsifu BWANA
kwa sababu sasa wamefahamu maneno yale Mungu wenu, yeye ambaye ni Mungu tangu
waliyokuwa wameelezwa. milele hata milele.’’
13Katika siku ya pili ya mwezi, wakuu wa
mbari zote, pamoja na makuhani na Walawi, “Libarikiwe jina lake tukufu, litukuzwe
wakakusanyika wakimzunguka Ezra mwandishi juu ya baraka zote na sifa. 6Wewe peke
wapate kusikiliza kwa makini maneno ya Sheria. yako ndiwe BWANA . Uliumba mbingu, hata
14Wakakuta imeandikwa katika ile Sheria, mbingu za mbingu, nalo jeshi lote la angani,
ambayo BWANA aliiamuru kupitia kwa Mose dunia na vyote vilivyo ndani yake, bahari na
kwamba Waisraeli wanapaswa kukaa katika vyote vilivyomo ndani yake. Hutoa uhai kwa
vibanda wakati wa siku kuu ya mwezi wa saba kila kitu nalo jeshi la mbinguni linakuabudu
15na kwamba wanapaswa kutangaza neno hili wewe.
na kulieneza katika miji yao na katika 7“Wewe ni BWANA Mungu
Yerusalemu wakisema: “Enendeni katika nchi ya uliyemchagua Abramu na kumtoa kutoka Uri
mlima na kuleta matawi kutoka miti ya mizeituni, ya Wakaldayo, nawe ukamwita Abrahamu.
mizeituni mwitu, mihadasi, mitende na miti ya 8Uliona kuwa moyo wake ni mwaminifu
kivuli, ili kutengeneza vibanda,’’ kama kwako, nawe ukafanya agano naye kuwapa
ilivyoandikwa. wazao wake nchi ya Wakanaani, Wahiti,
16Basi watu wakaenda na kuleta matawi nao Waamori, Waperizi, Wayebusi na
wakajijengea vibanda juu ya paa za nyumba Wagrigashi. Umetimiza ahadi yako kwa
zao, katika nyua zao, katika nyua za nyumba ya sababu wewe ni mwenye haki.
Mungu na katika uwanja karibu na Lango la Maji 9“Uliona mateso ya baba zetu huko
na uwanja wa Lango la Efraimu. 17Jamii yote ya Misri, ukasikia kilio chao huko bahari ya
watu waliorudi kutoka uhamishoni wakajenga Shamu. 10Ulituma ishara za miujiza na
vibanda na kuishi ndani yake. Tangu wakati wa maajabu dhidi ya Farao, dhidi ya maafisa
Yoshua mwana wa Nuni mpaka siku ile, wake wote na watu wote wa nchi yake, kwa
9
NEHEMIA
kuwa ulifahamu jinsi Wamisri Bashani. 23Ukawafanya wana wao kuwa
walivyowafanyia ufidhuli. Ukajifanyia jina wengi kama nyota za angani, nawe
linalodumu hadi leo. 11Ukagawa bahari ukawaleta katika nchi ambayo uliwaambia
mbele yao, ili waweze kupita ndani yake baba zao kuingia na kuimiliki. 24Wana wao
penye nchi kavu, lakini uliwatupa Wamisri wakaingia na kuimiliki nchi. Ukawatiisha
waliowafuatilia katika vilindi, kama jiwe Wakanaani mbele yao, walioishi katika nchi,
kwenye maji mengi. 12Mchana uliwaongoza ukawatia Wakanaani mikononi mwao,
kwa nguzo ya wingu na usiku kwa nguzo ya pamoja na wafalme wao na watu wa nchi,
moto kuwamulikia njia iliyowapasa wawafanyie kama wapendavyo. 25Wakateka
kuiendea. miji yenye ngome na nchi yenye rutuba,
13“Ulishuka katika Mlima Sinai, ukanena wakamiliki nyumba zilizojazwa na vitu vizuri
nao kutoka mbinguni. Ukawapa masharti vya kila aina, visima vilivyochimbwa tayari,
nasheria zile ambazo ni za kweli na haki, pia mashamba ya mizabibu, mashamba ya
amri na maagizo mazuri. 14Ukawafahamisha mizeituni na miti yenye matunda kwa wingi.
Sabato yako takatifu na ukawapa amri, Wakala wakashiba nao wakanawiri sana,
maagizo na sheria kupitia mtumishi wako wakajifurahisha katika wema wako mwingi.
Mose. 15Katika njaa yao uliwapa mkate 26“Lakini hawakukutii nao wakaasi dhidi
kutoka mbinguni na katika kiu yao uliwatolea yako, wakatupa sheria zako nyuma yao.
maji kutoka kwenye mwamba. Ukawaambia Wakawaua manabii wako, waliowaonya ili
waingie na kuimiliki nchi ambayo ulikuwa wakurudie, wakafanya makufuru makubwa.
umeapa kwa mkono ulioinuliwa kuwapa. 27Hivyo ukawatia mikononi mwa adui zao,
16“Lakini wao, baba zetu, wakawa na ambao waliwatesa. Lakini walipoteswa
kiburi na shingo ngumu, nao hawakutii wakakulilia wewe. Kutoka mbinguni
maagizo yako. 17Wakakataa kusikiliza na uliwasikia, nawe kwa huruma zako kuu
kushindwa kukumbuka miujiza uliyoifanya ukawapa waokozi, waliowaokoa kutoka
miongoni mwao. Wakawa na shingo ngumu mkononi mwa adui zao.
na katika uasi wao wakamchagua kiongozi 28“Lakini mara walipokuwa na raha,
ili warudi kwenye utumwa wao. Lakini wakafanya maovu tena machoni pako.
weweni Mungu mwenye kusamehe, Kisha ukawaacha mikononi mwa adui zao
mwenye neema na mwingi wa huruma, nao wakawatawala. Walipokulilia tena,
si mwepesi wa hasira, ni mwingi wa ukasikia kutoka mbinguni na kwa huruma
upendo. Kwa hiyohukuwaacha, 18hata zako ukawaokoa kila mara.
wakati walipojitengenezea sanamu ya 29“Ukawaonya warudi katika sheria
jangwani, hawakukosa cho chote, nguo zao mkuu, mwenye nguvu na Mungu wa
hazikuchakaa wala miguu yao haikuvimba. kuogofya, mwenye kushika agano lake la
22“Ukawapa falme na mataifa, upendo, usiache taabu hizi zote zionekane
ukiwagawia hata mipaka ya mbali. ni kitu kidogo mbele za macho yako, taabu
Wakaimiliki nchi ya Sihoni mfalme wa hizi zilizotupata, juu ya wafalme wetu na
Heshboni na nchi ya Ogu mfalme wa viongozi, juu ya makuhani wetu na manabii,
10
NEHEMIA
juu ya baba zetu na watu wako wote, tangu Bani,
siku za wafalme wa Ashuru hadi leo. 15Buni, Azgadi, Bebai,
33Katika hayo yote yaliyotupata, umekuwa 16Adoniya, Bigwai, Adini,
mwenye haki, umetenda kwa uaminifu, 17Ateri, Hezekia, Azuri,
Paroshi, Pahathi-Moabu, Elamu, Zatu, a28 Wanethini hapa ina maana ya “Watumishi wa hekalu.’’
b32 Shekeli hapa ni kipimo sawa na 1/8 ya onzi (kama gramu 4.)
11
NEHEMIA
Mungu wetu kwa nyakati maalum kila watu wengine kutoka Yuda na Benyamini
mwaka mchango wa kuni za kukokea moto waliishi Yerusalemu):
katika madhabahu ya BWANA Mungu
wetu, kama ilivyoandikwa katika Sheria. Kutoka wazao wa Yuda:
35“Pia tunachukua wajibu wa kuleta
waliojitolea kuishi Yerusalemu. walikuwa watu 128. Afisa wao mkuu alikuwa
3Hawa ndio viongozi wa majimbo waliokuja Zabdieli mwana wa Hagedolimu.
kuishi Yerusalemu (baadhi ya Waisraeli,
makuhani, Walawi, Wanethini a , na wazao wa 15Kutoka Walawi:
watumishi wa Solomoni waliendelea kuishi
katika miji ya Yuda, kila mmoja katika milki yake Shemaya mwana wa Hashubu, mwana
mwenyewe katika miji mbalimbali, 4ambapo wa Azrikamu, mwana wa Hashabia, mwana
wa Buni, 16Shabethai na Yozabadi,
walikuwa viongozi wawili wa Walawi, ambao
a3 Wanethini hapa ina maana ya “Watumishi wa hekalu.’’ walisimamia kazi za nje za nyumba ya
12
NEHEMIA
Mungu, 17Matania
mwana wa Mika, mwana Makuhani Na Walawi
wa Zabdi, mwana wa Asafu, kiongozi Hawa wafuatao walikuwa makuhani na
aliyeongoza kutoa shukrani na maombi, 12 Walawi ambao walirudi na Zerubabeli
Bakbukia aliyekuwa msaidizi wake kati ya mwana wa Shealtieli pamoja na Yeshua:
wenzake, na Abda mwana wa Shamua, Seraya, Yeremia, Ezra,
mwana wa Galali, mwana wa Yeduthuni. 2Amaria, Maluki, Hatushi,
18Jumla ya Walawi waliokaa katika mji 3Shekania, Rehumu, Meremothi,
Obadia, Meshulamu, Talmoni na Akubu. yalichukua nafasi zao katika nyumba ya Mungu,
26Walihudumu siku za Yoakimu mwana wa nami pia, pamoja na nusu ya maafisa, 41pamoja
Yeshua, mwana wa Yozadaki, na katika siku za na makuhani wafuatao: Eliakimu, Maaseya,
mtawala Nehemia na wa Ezra kuhani na Miniamini, Mikaya, Elioenai, Zekaria na Hanania
mwandishi. wakiwa na tarumbeta zao, 42pia Maaseya,
Shemaya, Eleazari, Uzi, Yehohanani, Malkiya,
Kuwekwa Wakfu Kwa Ukuta Wa Yerusalemu Elamu na Ezeri. Makundi haya yaliimba chini ya
27Wakati wa kuwekwa wakfu ukuta wa uongozi wa Yezrahia. 43Siku hiyo watu walitoa
Yerusalemu, Walawi walitafutwa huko dhabihu nyingi, walishangilia kwa sababu Mungu
walikokuwa wakiishi, nao wakaletwa aliwapa furaha kuu. Wanawake na watoto
Yerusalemu kuadhimisha kwa shangwe huko walishangilia pia. Sauti ya kushangilia huko
kuweka wakfu kwa nyimbo za shukrani na kwa Yerusalemu iliweza kusikika mbali sana.
uimbaji kwa kutumia matoazi, vinubi na zeze. 44Wakati huo watu walichaguliwa kuwa
28Pia waimbaji walikusanywa pamoja kutoka wasimamizi wa vyumba vya ghala kwa ajili ya
maeneo yanayozunguka Yerusalemu, kutoka matoleo, malimbuko na zaka. Kutoka kwenye
vijiji vya Wanetofathi, 29kutoka Beth-gilgali, yale mashamba yaliyozunguka miji walipaswa
kutoka eneo la Geba na Azmawethi, kwa kuwa walete kwenye ghala mafungu kama sheria
waimbaji walikuwa wamejijengea vijiji kuzunguka ilivyoamuru kwa ajili ya makuhani na Walawi,
Yerusalemu. 30Wakati makuhani na Walawi kwa kuwa Yuda alifurahishwa na huduma ya
walipokuwa wamekwisha kujitakasa kwa makuhani na Walawi. 45Walifanya ibada ya
kufuatana na desturi, waliwatakasa watu, Mungu wao na ibada ya utakaso, waimbaji na
malango na ukuta. walinzi wa lango walifanya hivyo pia, kufuatana
31Niliwaagiza viongozi wa Yuda wapande na amri za Daudi na Solomoni mwanawe. 46Kwa
juu ya ukuta. Pia niliagiza makundi mawili muda mrefu uliopita, katika siku za Daudi na
makubwa ya waimbaji waimbe nyimbo za Asafu, walikuwepo viongozi wa waimbaji na wa
kumshukuru Mungu. Moja ipande juu ya ukuta nyimbo za sifa na za kumshukuru Mungu. 47Kwa
upande wa kuume, kuelekea Lango la Kinyesi. hiyo katika siku za Zerubabeli na za Nehemia,
32Hoshaya na nusu ya viongozi wa Yuda Israeli wote walitoa mafungu kila siku kwa ajili ya
wakawafuata, 33pamoja na Azaria, Ezra, waimbaji na mabawabu. Pia walitenga fungu
Meshulamu, 34Yuda, Benyamini, Shemaya, kwa ajili ya Walawi wengine, nao Walawi
Yeremia, 35pamoja na baadhi ya makuhani walitenga fungu kwa ajili ya wazao wa Aroni.
wenye tarumbeta, pia walikuwa na Zekaria
mwana wa Yonathani, mwana wa Shemaya, Nehemia Afanya Matengenezo Ya Mwisho
mwana wa Matania, mwana wa Mikaya, mwana
wa Zakuri, mwana wa Asafu, 36pamoja na 13 Katika siku hiyo kitabu cha Mose
kilisomwa kwa sauti kuu na watu wote
wenzao, Shemaya, Azareli, Milalai, Gilalai, Maai, wakasikia. Humo ilionekana imeandikwa
Nethaneli, Yuda na Hanani wakiwa na vyombo kwamba hakuna Mwamori wala Mmoabu
vya uimbaji, kama ilivyoagizwa na Daudi mtu wa atakayeruhusiwa katika kusanyiko la watu wa
Mungu. Mwandishi Ezra aliongoza Mungu, 2kwa sababu hawakuwalaki Waisraeli
maandamano. 37Kwenye Lango la Chemchemi kwa chakula na maji, badala yake walimwajiri
waliendelea moja kwa moja mpaka kwenye Balaamu kuwalaani (lakini hata hivyo Mungu
ngazi za Mji wa Daudi kwenye mwinuko wa wetu aligeuza laana kuwa baraka). 3Watu
ukuta na kupitia juu ya nyumba ya Daudi mpaka waliposikia sheria hii, waliwatenga watu wote
kwenye Lango la Maji upande wa mashariki. wasio Waisraeli waliokuwa wa uzao wa kigeni.
14
NEHEMIA
4Kabla ya hili, kuhani Eliashibu alikuwa Yerusalemu walileta samaki na aina nyingi za
amewekwa kuwa msimamizi wa vyumba vya bidhaa na kuziuza Yerusalemu siku ya Sabato
ghala ya nyumba ya Mungu wetu. Naye alikuwa kwa watu wa Yuda. 17Niliwakemea wakuu wa
na uhusiano wa karibu na Tobia, 5naye alikuwa Yuda na kuwaambia, “Ni uovu gani huu
amempa Tobia chumba kikubwa ambacho mnaofanya kuinajisi siku ya Sabato? 18Je, baba
mwanzo kilikuwa kikitumika kuweka sadaka za zenu hawakufanya mambo ya jinsi hii hata
nafaka, uvumba na vyombo vya hekalu, pamoja kumsababisha Mungu wetu kuleta maafa haya
na zaka za nafaka, divai mpya na mafuta yote juu yetu na juu ya mji huu? Sasa bado
waliyoagizwa Waisraeli kwa ajili ya Walawi, mnazidi kuchochea ghadhabu yake dhidi ya
waimbaji na mabawabu wa Lango, pamoja na Israeli kwa kuinajisi Sabato.”
matoleo kwa makuhani. 19Wakati vivuli vya jioni vilipoangukia juu ya
6Lakini wakati haya yote yalipokuwa malango ya Yerusalemu kabla ya Sabato,
yakitendeka, sikuwa Yerusalemu, kwa kuwa niliamuru milango ifungwe na isifunguliwe
katika mwaka wa thelathini na mbili wa kutawala mpaka Sabato iishe. Nikawaweka baadhi ya
Artashasta mfalme wa Babeli nilikuwa nimerudi watu wangu mwenyewe kwenye malango ili
kwa mfalme. Baadaye nilimwomba ruhusa, kwamba pasiwepo mzigo utakaoingizwa ndani
7nirudi Yerusalemu. Hapo niligundua jambo la siku ya Sabato. 20Mara moja au mbili wachuuzi
uovu alilofanya Eliashibu kwa kumpa Tobia na wauzaji wa bidhaa za aina zote walilala usiku
chumba katika nyua za nyumba ya Mungu. nje ya mji wa Yerusalemu. 21Lakini niliwaonya
8Nilikasirika sana na nilivitupa nje vyombo vyote na kuwaambia, “Kwa nini mnalala karibu na
vya Tobia. 9Nilitoa amri kutakasa vyumba, kisha ukuta? Kama mkifanya hivi tena, nitawaadhibu.’’
nilivirudisha vifaa vya nyumba ya Mungu, Kuanzia wakati ule hawakuja tena siku ya
pamoja na sadaka za nafaka na uvumba. Sabato. 22Kisha niliwaamuru Walawi kujitakasa
10Pia niligundua kuwa mafungu na kwenda kulinda malango ili kutunza Sabato
yaliyopangwa kupewa Walawi hawakuwa iwe takatifu.
wamepewa, pia Walawi wote na waimbaji
waliowajibika kwa huduma walikuwa wamerudi Ee Mungu wangu, unikumbuke kwa ajili ya
katika mashamba yao. 11Basi niliwakemea hili pia, nawe unionyeshe wema wako
maafisa na kuwauliza, “Kwa nini nyumba ya sawasawa na upendo wako mkuu.
Mungu imepuuziwa?’’ Kisha niliwaita pamoja na
kuwaweka kwenye nafasi zao. 23Zaidi ya yote, niliona watu wa Yuda
12Yuda wote walileta zaka za nafaka, divai waliokuwa wameoa wanawake kutoka Ashdodi,
mpya na mafuta kwenye ghala. 13Nikamweka Amoni na Moabu. 24Nusu ya watoto wao
kuhani Shelemia, mwandishi Sadoki na Mlawi walizungumza lugha ya Kiashidodi au lugha ya
aliyeitwa Pedaya kuwa wasimamizi wa ghala na watu wengine, hawakuweza kuzungumza
kumfanya Hanani mwana wa Zakuri, mwana wa Kiyahudi. 25Niliwakemea na kuwalaani.
Matania, kuwa msaidizi wao, kwa sababu watu Niliwapiga baadhi ya watu na kung’oa nywele
hawa walionekana kuwa waaminifu. Walipewa zao. Niliwaapisha kwa jina la Mungu na kusema:
wajibu wa kugawa mahitaji kwa ndugu zao. “Msiwaoze binti zenu kwa wana wao, wala binti
zao wasiolewe na wana wenu wala ninyi
14Ee Mungu wangu, unikumbuke kwa hili, wenyewe. 26Je, Solomoni hakutenda dhambi
wala usifute kile nilichokifanya kwa uaminifu kwa kwa sababu ya wanawake wa namna hiyo?
ajili ya nyumba ya Mungu wangu na kwa ajili ya Miongoni mwa mataifa mengi hapakuwepo
huduma yake. mfalme kama yeye. Alipendwa na Mungu wake.
Naye Mungu alimweka kuwa mfalme juu ya
15Siku hizo nikaona watu katika Yuda Israeli yote, hata hivyo wanawake wa mataifa
wakikanyaga mashinikizo ya mvinyo siku ya mengine walimfanya hata yeye atende dhambi.
Sabato na kuleta nafaka wakiwapakia punda, 27Je, tulazimike sasa kusikia kwamba ninyi pia
pamoja na divai, zabibu, tini na aina nyingine za mmefanya uovu huu mkubwa na kutokuwa
mizigo. Nao walikuwa wakileta haya yote waaminifu kwa Mungu wetu kwa kuoa
Yerusalemu siku ya Sabato. Kwa hiyo wanawake wa kigeni?’’
niliwaonya dhidi ya kuuza vyakula siku hiyo. 28Mmoja wa wana wa Yoyada mwana wa
16Watu kutoka Tiro waliokuwa wakiishi Eliashibu kuhani mkuu alikuwa mkwewe
15
NEHEMIA
Sanbalati Mhoroni. Nami nilimfukuza mbele
yangu.
16
ESTA
Utangulizi
Kitabu hiki kinachukua jina la mhusika wake mkuu, Esta.Jina hili limetokana na neno la Kiajemi ambalo
maana yake ni “nyota.” Jina la Esta la Kiebrania ni” Hadassah,” (‘hadas kwa Kiebrania) ambalo maana yake ni
“Mhadasi a , yaani, aina ya miti iliyokuwa inastawi milimani karibu na Yerusalemu, ambayo ilikuwa inatumika
kujengea vibanda wakati wa Sikukuu ya Vibanda”.Kitabu hiki kinaelezea kisa cha msichana mzuri wa Kiyahudi
ambaye mfalme Ahasuero wa kwanza alimchagua awe malkia wake. Wakati Hamani alipopanga hila ya
kuwaangamiza Wayahudi wote, Mordekai ambaye alikuwa binamu yake Malkia Esta, alimshawishi ajaribu
kuwaokoa watu wake (Wayahudi). Kwa kuhatirisha maisha yake, alimsihi mfalme awaokoe Wayahudi.
Matukio yaliyowapata Wayahudi yanayoelezewa kwenye kitabu hiki yalitukia huko Shushani, uliokuwa mji
mkuu wa Uajemi wakati wa Ahusuero, aliyetawala Uajemi kuanzia 486-465K.K. Ingawa mwandishi hajulikani,
anatoa habari kuhusu hali halisi, jumba la kifalme, desturi na historia ya Kiajemi. Maneno ya Kiajemi pia
yanajitokeza katika kitabu hiki, lakini hakuna hata alama ya ushawishi wa lugha ya Kiyunani au wazo
linaloonekana humo.
Ingawa jina la Mungu halikutajwa katika kitabu hiki, maongozi ya Mungu kwa watu Wake ambao ana agano
nao, yanaonekana wazi kila mahali waziwazi. Kule kuokolewa kwa Wayahudi kwa ajabu wakati wa Ahusuero,
baadaye kuliadhimishwa kila mwaka kama Sikukuu ya Puri, wakati ambapo kitabu cha Esta husomwa
hadharani.Sikukuu hii ina madhumuni ya kueleza kimsingi historia iliyotolewa katika kitabu cha Esta (3;7; 9:24,
28-32).
Wazo Kuu
Mungu anawaokoa Wayahudi katika maangamizi yaliyokuwa yamepangwa na Hamani Mwagagi adui
yao.Mungu anageuza mabaya yaliyokusudiwa dhidi ya Wayahudi yawapate adui zao, akianzia na Hamani
mwenyewe kutundikwa kwenye mti aliokusudia kumtundika Mordekai na hatimaye watu katika utawala wote wa
Ahusuero baada ya Esta na watu wake kumwomba Mungu.
Mwandishi
Ingawa mwandishi hajulikani kwa wazi, inawezekana akawa Mordekai (9:29). Wengine wamefikiria ni Ezra
au Nehemia kwa sababu ya mtindo wa kuandika.Lakini uwezekano mkubwa anaweza akawa Ezra.
Mahali
Katika jumba la kifalme huko Shushani, mji mkuu wa Uajemi. Ingawaje Kitabu cha Esta kinafuata kitabu cha
Nehemia katika Biblia, matukio yake ni ya miaka thelathini kabla ya yale ya Kitabu cha Nehemia.
Mambo Muhimu
Esta ni mojawapo ya vitabu viwili vyenye majina ya wanawake katika Biblia. Kingine ni Ruthi.
Wahusika Wakuu
Esta, Mordekai, Mfalme Ahasuero na Hamani.
Mgawanyo
• Esta anafanywa malkia. (1:1-2:23)
• Hila ya Hamani kuwaangamiza Wayahudi. (3:1-5:14)
• Ushindi wa Wayahudi. (6:1-10:3)
1
ESTA
Malkia Vashti Aondolewa 13Kwa kuwa ilikuwa desturi ya mfalme
zilipopita, ndipo mfalme alifanya karamu kwa na wakuu, “Malkia Vashti si amemkosea mfalme
muda wa siku saba, tu bali pia amewakosea wakuu wote na watu wa
katika bustani ya ndani katika jumba la kifalme, himaya yote ya Mfalme Ahasuero. 17Kwa maana
kwa ajili watu wote kuanzia mdogo hadi tendo hili la malkia litajulikana kwa wanawake
mkubwa, ambao walikuwa katika ngome ya mji wote, kwa hiyo watawadharau waume zao na
wa Shushani. 6Bustani ilikuwa na mapazia ya kusema, ‘Mfalme Ahasuero aliagiza Malkia
kitani nyeupe na buluu, yaliyofungiwa kamba za Vashti aletwe mbele yake, lakini alikataa.’ 18Leo
kitani nyeupe na kitambaa cha zambarau hii wanawake wa wakuu wa Uajemi na Umedi
kwenye pete za fedha juu ya nguzo za marmari. ambao wamesikia juu ya tabia ya malkia
Kulikuwepo viti vya dhahabu na fedha watawatendea wakuu wote wa mfalme vivyo
vilivyokuwa vimewekwa kwenye ile sakafu hivyo. Hapatakuwapo na mwisho wa dharau na
iliyotengenezwa kwa mawe ya rangi, marmari, magomvi.
lulumizi na mawe mengine ya thamani. 7Vyombo 19Kwa hiyo, kama itampendeza mfalme,
vya dhahabu vilitumika kwa watu kunywea atoe amri ya kifalme na iandikwe katika sheria
mvinyo, kila kimoja tofauti na kingine, naye ya Uajemi na Umedi, ambayo haitakaa ibadilike,
mfalme akatoa mvinyo kwa wingi kwa kadiri ya kwamba Vashti kamwe asije tena mbele ya
ukarimu wake. 8Kwa amri ya mfalme kila mgeni Mfalme Ahasuero. Pia mfalme na atoe hiyo
aliruhusiwa kunywa alichotaka, kwa kuwa nafasi yake ya kifalme kwa mwanamke
mfalme alitoa maagizo kwa watumishi wote wa mwingine aliye bora kuliko yeye. 20Kisha wakati
kuhudumu mvinyo kumhudumia kila mtu kwa mbiu hii ya mfalme itakapotangazwa katika
jinsi alivyotaka. himaya yake iliyo kubwa sana, wanawake wote
9Malkia Vashti wakati huo huo naye pia watawaheshimu waume zao, kuanzia mdogo
akawafanyia wanawake karamu katika jumba la hadi mkubwa.’’
kifalme la Mfalme Ahasuero. 21Mfalme na wakuu wake walipendezwa na
10Siku ya saba, wakati mfalme Ahasuero shauri hili, mfalme akafanya kama Memukani
alipokuwa amesisimka roho yake kwa mvinyo, alivyopendekeza. 22Alipeleka barua katika
aliamuru matowashi saba ambao walikuwa sehemu yote ya ufalme wake, kwa kila jimbo
wakimhudumia, yaani, Mehumani, Biztha, kwa maandishi yake mwenyewe na kwa kila
Harbona, Bigtha, Abagtha, Zethari na Karkasi, watu katika lugha yao wenyewe, akitangaza kwa
11kumleta Malkia Vashti mbele ya mfalme akiwa msemo wa kila watu kwamba kila mtu atakuwa
amevaa taji lake la kifalme, ili aonyeshe uzuri mtawala wa nyumba yake mwenyewe.
wake kwa watu na wakuu, kwa kuwa alikuwa ni
mzuri wa kupendeza. 12Lakini wakati watumishi Esta Afanywa Malkia
walipotoa amri ya mfalme, Malkia Vashti alikataa
kuja. Ndipo mfalme alighadhabika na hasira 2 Baadaye, wakati hasira ya Mfalme
Ahasuero ilipokuwa imetulia,
ikawaka. alimkumbuka Vashti na kile alichokuwa
amekifanya, naye alilokuwa ameamuru juu yake.
a1 “Kushi’’ hapa ina maana Ethiopia 2Kisha watumishi waliomhudumia mfalme
2
ESTA
walipendekeza, “Na ufanyike utafiti kwa ajili ya miezi sita ya kujipaka manukato na vipodozi.
wanawali mabikira wazuri wa sura kwa ajili ya 13Basi hivi ndivyo ambavyo Esta angeingia kwa
mfalme. 3Mfalme na ateue maafisa katika kila mfalme: Kila kitu alichohitaji aliruhusiwa
jimbo la himaya yake kuwaleta hao wanawali kuchukua kutoka nyumba ya wanawake na
wote wazuri wa sura katika nyumba ya masuria na kwenda navyo katika jumba la
wanawake na masuria katika ngome ya mji wa mfalme. 14Jioni angekwenda pale na asubuhi
Shushani. Kisha wawekwe chini ya utunzaji wa kurudi sehemu nyingine ya nyumba ya
Hegai, towashi wa mfalme, ambaye ndiye wanawake na masuria katika utunzaji wa
kiongozi wa wanawake, na wapewe matunzo Shaashgazi, towashi wa mfalme ambaye
yote ya urembo. 4Kisha yule ambaye alikuwa mkuu wa masuria. Hangeweza kurudi
atampendeza mfalme na awe malkia badala ya kwa mfalme mpaka apendezwe naye na kuagiza
Vashti.’’ Shauri hili likampendeza mfalme, naye aitwe kwa jina lake.
akalifuata. 15Wakati zamu ya Esta ilipofika kwenda kwa
5Basi katika mji wa ngome ya Shushani mfalme, (msichana ambaye Mordekai alikuwa
palikuwa na Myahudi wa kabila ya Benyamini, amemlea, naye ni binti wa Abihaili mjomba
jina lake Mordekai mwana wa Yairi, mwana wa wake) Esta hakutaka vitu zaidi ya vile ambavyo
Shimei, mwana wa Kishi, 6ambao walichukuliwa Hegai towashi wa mfalme aliyekuwa mkuu wa
uhamishoni kutoka Yerusalemu na mfalme nyumba ya wanawake na masuria alivyokuwa
Nebukadneza wa Babeli, wakiwa miongoni mwa ameshauri. Naye Esta alipata kibali kwa kila mtu
waliochukuliwa mateka pamoja na mfalme aliyemwona. 16Alipelekwa kwa Mfalme Ahasuero
Yekonia wa Yuda. 7Mordekai alikuwa na binamu katika makao ya kifalme katika mwezi wa kumi,
yake msichana aliyeitwa Hadasa, ambaye mwezi wa Tebethi, katika mwaka wake wa saba
alimlea kwa kuwa hakuwa na baba wala mama. wa kutawala.
Msichana huyu, ambaye pia alijulikana kwa jina 17Basi ikawa mfalme alivutiwa na Esta zaidi
la Esta, alikuwa na umbo na sura ya kupendeza, kuliko wanawake wengine wote, naye akapata
naye Mordekai alimtunza kama binti yake upendeleo na kibali kuliko mabikira wengine.
mwenyewe baada ya baba yake na mama yake Kisha akamvika taji la kifalme kichwani mwake
kufariki. na kumfanya malkia badala ya Vashti. 18Mfalme
8Wakati agizo na amri ya mfalme akafanya karamu kubwa, karamu ya Esta, kwa
lilipotangazwa, wanawali wengi waliletwa wakuu wake wote na maafisa. Mfalme
kwenye ngome ya mji wa Shushani na kuwekwa alitangaza mapumziko katika majimbo yake yote
chini ya uangalizi wa Hegai. Pia Esta alipelekwa na kugawa zawadi kwa ukarimu wa kifalme.
katika jumba la mfalme na akakabidhiwa Hegai,
ambaye alikuwa mkuu wa nyumba ya wanawake Mordekai Afunua Hila
na masuria. 9Msichana huyu alimpendeza na 19Wakati mabikira walipokusanyika mara ya
kupata upendeleo mbele zake. Mara moja pili, Mordekai alikuwa akiketi katika lango la
akaanza kumpa matunzo ya uzuri na chakula mfalme. 20Lakini Esta alikuwa ameficha siri ya
cha pekee. Alimpa Esta vijakazi saba kabila lake na uraia wake kama Mordekai
waliochaguliwa kutoka jumba la kifalme ya alivyokuwa amemwambia, kwa maana
mfalme na kumhamishia yeye pamoja na aliendelea kufuata maelekezo ya Mordekai
vijakazi wake katika sehemu bora zaidi katika kama alivyokuwa akifanya alipokuwa akimlea.
nyumba ya wanawake na masuria. 21Wakati Mordekai alipokuwa akiketi kwenye
10Esta alikuwa hajadhihirisha uraia wala lango la mfalme, Bigthana na Tereshi maafisa
kabila lake, kwa sababu Mordekai alikuwa wawili wa mfalme waliokuwa walinzi wa lango,
amemkataza. 11Kila siku Mordekai alitembea walikasirika na kupanga njama ya kumua
karibu na ua la nyumba ya wanawake na Mfalme Ahasuero. 22Lakini Mordekai aligundua
masuria kuona jinsi Esta anavyoendelea na juu ya hila hii na kumwambia Malkia Esta,
kuona yaliyokuwa yakitendeka kwake. ambaye baadaye alimwarifu mfalme huku
12Kabla zamu ya msichana haijafika ya akimsifu Mordekai. 23Kisha wakati taarifa hiyo
kwenda kwa Mfalme Ahasuero, alikuwa atimize ilipochunguzwa na kuonekana kuwa kweli,
miezi kumi na miwili ya matunzo ya urembo maafisa hao wawili waliangikwa juu ya miti ya
kama ilivyokuwa imepangwa.Kwa miezi sita kunyongea. Haya yote yaliandikwa katika kitabu
walikuwa wajipake mafuta ya manemane na cha kumbukumbu mbele ya mfalme.
3
ESTA
12Kisha siku ya kumi na tatu ya mwezi wa
Hila Ya Hamani Kuwangamiza Wayahudi kwanza waandishi wa mfalme waliitwa.
hiyo walimweleza Hamani kuona kama tabia ya kama sheria katika kila jimbo na kufahamishwa
Mordekai itaweza kuvumiliwa, kwa maana kwa watu wa kila taifa ili waweze kuwa tayari
alikuwa amewaambia kuwa yeye ni Myahudi. kwa siku ile.
5Wakati Hamani alipoona kuwa Mordekai 15Kwa kuharakishwa na amri ya mfalme,
hampigii magoti wala kumpa heshima matarishi walikwenda na andiko lilitolewa katika
alighadhibika. 6Hata hivyo baada ya kujulishwa mji wa ngome ya Shushani. Mfalme na Hamani
watu wa Mordekai ni akina nani, alibadili wazo la waliketi na kunywa, lakini mji wa Shushani
kumua Mordekai peke yake. Badala yake ulifadhaika.
Hamani alitafuta njia ya kuwaangamiza watu
wote wa Mordekai,yaani, Wayahudi, walio katika Mordekai Amshawishi Esta Kusaidia
ufalme wote wa Ahasuero.
7Katika mwaka wa kumi na mbili wa 4 Wakati Mordekai alipojua yote yaliyokwisha
kufanyika, alirarua mavazi yake na kuvaa
kutawala Mfalme Ahasuero, katika mwezi wa nguo za magunia na kujipaka majivu, akaenda
kwanza uitwao Nisani, walipiga Puri (yaani kura) mjini, akiomboleza kwa sauti na kwa uchungu.
mbele ya Hamani kuchagua siku na mwezi. Kura 2Alikwenda akasimama nje ya lango la mfalme,
ikaangukia kwenye mwezi wa kumi na mbili, kwa sababu hakuna ye yote aliyeruhusiwa
yaani Adari. kuingia akiwa amevaa nguo za magunia. 3Katika
8Kisha Hamani alimwambia Mfalme kila jimbo ambapo amri na agizo la mfalme
Ahasuero, “Wako watu fulani wameenea na lilifika, kulikuwa na maombolezo makuu
kutawanyika miongoni mwa watu katika majimbo miongoni mwa Wayahudi pamoja na kufunga,
yote ya ufalme wako, ambao desturi zao ni kulia na kuomboleza. Watu wengi wakalala juu
tofauti na zile za watu wengine wote, nao hawatii ya nguo za magunia na majivu.
sheria za mfalme. Haifai mfalme kuwavumilia 4Wakati wajakazi wa Esta na matowashi
“Baki na fedha yako na uwatendee hao watu Mordekai kwenye uwanja ulio wazi wa mji mbele
utakavyo.” ya lango la mfalme. 7Mordekai akamwambia kila
kitu ambacho kimempata, pamoja na hesabu
kamili ya fedha Hamani alizoahidi kulipa katika
a9… “Talanta10,000’’ za fedha ni kama tani 345. hazina ya kifalme kwa ajili ya maangamizi ya
4
ESTA
Wayahudi. 8Alimpa nakala ya andiko la amri kwa nusu ya ufalme, utapewa.’’
ajili ya maangamizi yao, lililokuwa 4Esta alijibu, “Kama itampendeza mfalme,
limechapishwa huko Shushani, kumwonyesha mfalme pamoja na Hamani, na waje leo katika
Esta na kumwelezea. Mordekai akamwambia karamu ambayo nimeiandaa kwa ajili yake.’’
towashi amshawishi Esta kwenda mbele ya 5Mfalme akasema, “Mleteni Hamani mara
mfalme kuomba rehema na kumsihi kwa ajili ya moja, ili tupate kufanya lile Esta analoomba.’’
watu wake. Kwa hiyo mfalme na Hamani walihudhuria
9Hathaki akarudi kwa Esta na kumwarifu lile karamu aliyoiandaa Esta. 6Walipokuwa
Mordekai alilosema. 10Kisha Esta akamwamuru wakinywa mvinyo mfalme akamwuliza Esta tena,
amweleze Mordekai, 11“Maafisa wote wa mfalme “Sasa haja yako ni nini? Utapewa. Ombi lako ni
na watu wa majimbo ya kifalme wanajua kuwa nini? Hata nusu ya ufalme, utapewa.’’
mwanaume au mwanamke ye yote ambaye 7Esta akajibu, “Haja yangu na ombi langu ni
ataingia kumwona mfalme katika ua wa ndani hili: 8Kama mfalme ameona vema, nami
bila kuitwa, mfalme ana sheria moja tu: nimepata kibali kwake na kama ikimpendeza
Atauawa. Njia pekee kinyume na hili ni mfalme mfalme kunipa ombi langu na kunitimizia haja
kumnyoshea fimbo ya dhahabu ili aishi. yangu, mfalme na Hamani waje kwangu kesho
Lakini siku thelathini zimepita tangu nilipoitwa katika karamu nitakayowaandalia. Kisha nitajibu
kwenda kwa mfalme.’’ swali la mfalme.’’
12Wakati maneno ya Esta yalipotaarifiwa
kwa Mordekai, 13Mordekai alirudisha jibu hili: Ghadhabu Ya Hamani Dhidi Ya Mordekai
“Usifikiri kwamba kwa sababu uko katika 9Hamani alitoka siku hiyo kwa furaha na
Siku ya tatu Esta alivaa mavazi yake ya wakamwambia, “Tengeneza mahali pa kuangika
5 kifalme, naye akasimama katika ua wa watu kimo chake dhiraa hamsini a , kisha kesho
ndani wa jumba la mfalme, mbele ya ukumbi wa asubuhi mwombe mfalme Mordekai aangikwe
mfalme. Naye mfalme alikuwa akiketi katika kiti juu yake. Ndipo uende na mfalme kwenye
chake cha kifalme katika ukumbi, akielekea karamu kwa furaha.’’ Shauri hili lilimpendeza
langoni. 2Alipomwona Malkia Esta amesimama Hamani, naye akajenga mahali pa kuangika
uani alipendezwa naye, akamnyoshea fimbo ya watu.
utawala ya dhahabu ile iliyokuwa mkononi
mwake. Kwa hiyo Esta alikaribia na aligusa ncha
ya fimbo ya mfalme. Mordekai Anapewa Heshima
6
3Kisha mfalme aliuliza, “Malkia Esta,
ni nini? Ombi lako ni nini? Hata kama ni a14 Dhiraa hamsini ni sawa na mita 22.5.
5
ESTA
Usiku ule mfalme hakupata usingizi, hivyo akiwa amejaa huzuni, 13naye akamweleza
akaagiza aletewe kitabu cha kumbukumbu za Zereshi mkewe pamoja na rafiki zake wote kila
matukio ya utawala wake, asomewe. 2Kitabu kitu ambacho kimempata.
hicho kilikutwa na kumbukumbu kwamba Washauri wake na Zereshi mkewe
Mordekai alikuwa amefichua jinsi Bigthana na wakamwambia, “Kwa kuwa Mordekai, ambaye
Tereshi, waliokuwa maofisa wawili wa mfalme, mbele yake umeaanza kuanguka ni wa asili ya
walinzi wawili wa lango, ambavyo walikuwa Kiyahudi, huwezi kushindana naye, kwa hakika
wamepanga hila ya kumwua Mfalme Ahasuero. utaanguka!’’ 14Walipokuwa bado wakizungumza
3Mfalme akauliza, “Je, ni heshima na naye, matowashi wa mfalme wakaja na
shukrani gani Mordekai amepokea kwa ajili ya kumharakisha Hamani aende katika karamu
jambo hili?’’ aliyoiandaa Esta.
Watumishi wake wakajibu, “Hakuna lo lote
alilofanyiwa.’’ Hamani Aangikwa
7
4Mfalme akasema, “Ni nani yuko uani? Basi mfalme na Hamani walikwenda kula
Wakati uo huo Hamani alikuwa ameingia ua wa chakula pamoja na Malkia Esta,
nje wa jumba la mfalme kusema na mfalme 2walipokuwa wakinywa mvinyo katika siku ya
kuhusu kumwangika Mordekai katika mahali pa pili, mfalme akauliza tena, ‘‘Malkia Esta, ni nini
kuangikia watu alipokuwa amepajenga kwa ajili haja yako? Utapewa. Ombi lako ni nini? Hata
yake. nusu ya ufalme, utapewa.’’
5Watumishi wake wakamjibu, “Hamani 3Kisha Malkia Esta akajibu, ‘‘Kama nimepata
ameshalivaa na farasi ambaye mfalme ‘‘Ni nani huyu? Yuko wapi mtu huyu aliyethubutu
alishampanda, ambaye amevikwa taji ya kifalme kufanya jambo kama hili?’’
kichwani mwake. 9Kisha joho na farasi 6Esta akasema, ‘‘Mtesi na adui ni huyu
kama vile ulivyopendekeza kwa Mordekai jumba la kifalme na kuja kwenye ukumbi wa
Myahudi, akaaye langoni mwa mfalme. karamu, Hamani alikuwa akijitupa juu ya kiti
Usipuuze kufanya kitu cho chote ulichoshauri.’’ mahali Esta alipokuwa akiegemea.
11Hivyo Hamani alichukua joho na farasi. Mfalme akasema kwa nguvu, ‘‘Je,
Akamvika Mordekai, na kumpandisha juu ya atamuudhi malkia hata huku nyumbani akiwa
farasi akamtembeza katika barabara za mji pamoja nami!’’
akitangaza mbele yake, “Hivi ndivyo Mara neno lilipotoka kinywani mwa mfalme,
anavyofanyiwa mtu ambaye mfalme anapenda walifunika uso wa Hamani. 9Kisha Harbona
kumheshimu!’’ mmoja wa matowashi wanaomtumikia mfalme,
12Baadaye Mordekai akarudi kwenye lango akazungumza ili kumsaidia mfalme, ‘‘Mahali pa
la mfalme. Lakini Hamani alikimbia nyumbani, kuangika watu penye urefu wa mita ishirini na
6
ESTA
mbili pako nyumbani mwa Hamani. Alikuwa na kwa lugha ya kila mtu pia kwa Wayahudi kwa
amepatengeneza kwa ajili ya Mordekai.’’ maandishi yao wenyewe na lugha yao.
Mfalme akasema, ‘‘Mwangikeni juu yake!’’ 10Mordekai aliandika nyaraka kwa jina la Mfalme
10Kwa hiyo walimtundika Hamani mahali Ahasuero, akazitia muhuri kwa pete ya mfalme
alipokuwa ameandaa kwa ajili ya Mordekai. na kuzipeleka kwa njia ya matarishi, ambao
Kisha ghadhabu ya mfalme ikatulia. waliendesha farasi waendao kasi waliozalishwa
maalum kwa ajili ya mfalme.
Amri Ya Mfalme Kuhusu Wayahudi 11Waraka wa mfalme uliwaruhusu Wayahudi
akipendezwa nami, basi iandikwe amri ya akiwa amevaa mavazi ya kifalme ya buluu na
kuzitangua barua zile Hamani mwana wa nyeupe, taji kubwa la dhahabu na joho la
Hamedatha, Mwagagi, alizotunga na kuandika zambarau la kitani safi. Na mji wa Shushani
kuangamiza Wayahudi katika majimbo yote ya ukaadhimishwa kwa furaha. 16Kwa maana kwa
mfalme. 6Kwa maana nitawezaje kuvumilia Wayahudi ulikuwa wakati wa raha na furaha,
kuona maafa yakiwapata watu wangu? shangwe na heshima. 17 Katika kila jimbo na
Nitawezaje kuvumilia kuona maangamizi ya katika kila jiji, popote waraka wa mfalme
jamaa yangu?” ulipofika, kulikuwepo furaha na shangwe
7Mfalme Ahasuero alimjibu Malkia Esta na miongoni mwa Wayahudi, pamoja na karamu na
Mordekai Myahudi, kusema, “Kwa sababu kushangilia. Na watu wengi wa mataifa mengine
Hamani aliwashambulia Wayahudi, nimetoa wakajifanya Wayahudi kwa sababu ya kuwahofu
shamba la Hamani kwa Esta, naye ameangikwa. Wayahudi.
8Basi andika amri nyingine kwa jina la mfalme
7
ESTA
wa mfalme waliwasaidia Wayahudi, kwa sababu na karamu, siku ambayo hupeana zawadi.
walimhofu Mordekai. 4Mordekai alikuwa mtu 20Mordekai aliandika matukio haya, naye
mashuhuri katika jumba la mfalme; sifa zake akapeleka barua kwa Wayahudi wote walioko
zilienea katika majimbo yote naye alipata uwezo katika majimbo ya Mfalme Ahasuero, majimbo
zaidi na zaidi. yaliyo mbali na karibu, 21aliwataka kila mwaka
5Wayahudi waliawaangusha adui zao wote washerehekee siku ya kumi na nne na ya kumi
kwa upanga wakiwaua na kuwaangamiza, nao na tano ya mwezi wa Adari 22kama wakati
walifanya kile walichotaka kwa wale ambao Wayahudi walipata nafuu kutoka adui
waliowachukia. 6Katika ngome ya Shushani zao, na kama mwezi ambao huzuni yao
Wayahudi waliua na kuangamiza wanaume 500. iligeuzwa kuwa furaha na kuomboleza kwao
7Pia waliwaua Parshendatha, Dalfoni, Aspatha, kuwa siku ya kusherehekea. Aliwaandikia
8Poratha, Adalia, Ardatha, 9Parmashta, Arisai, kushika siku hizo kama siku za karamu na za
Aridai na Waizatha, 10wana kumi wa Hamani furaha na kupeana zawadi za vyakula wao kwa
mwana wa Amedatha, adui wa Wayahudi. Lakini wao na zawadi kwa maskini.
hawakuchukua nyara. 23Hivyo Wayahudi walikubali kuendeleza
11Hesabu ya waliouawa katika ngome ya sherehe walizokuwa wamezianza, wakifanya lile
Shushani, mfalme aliarifiwa siku iyo hiyo. Mordekai alilokuwa amewaandikia. 24Kwa
12Mfalme akamwambia Malkia Esta, “Wayahudi maana Hamani mwana wa Hamedatha,
wamewaua wanaume 500 na wana kumi wa Mwagagi, adui wa Wayahudi wote, alikuwa
Hamani ndani ya ngome ya Shushani. amepanga hila dhidi ya Wayahudi,
Wamefanyaje katika majimbo mengine ya kuwaangamiza na alikuwa amepiga puri (yaani
mfalme yaliyobaki? Je, sasa haja yako ni nini? kura) kwa ajili ya maangamizi na uharibifu wao.
Nayo pia utapewa. Nalo ombi lako ni nini? Nalo 25Lakini wakati shauri hilo baya lilipoarifiwa kwa
pamoja siku ya kumi na nne ya mwezi wa Adari, kwamba wao na wazao wao na wote ambao
nao wakawaua wanaume 300 huko Shushani, walijiunga nao wangefanya bila kuacha kushika
lakini hawakuchukua nyara zao. siku hizi mbili kila mwaka, kwa njia
16Wakati ule ule, Wayahudi wengine ilivyoelekezwa na kwa wakati wake. 28Siku hizi
waliokuwa kwenye majimbo ya mfalme, zinapasa zikumbukwe na kuomboleza. 32Amri ya
wakakusanyika kujilinda nao wakapata nafuu Esta ilithibitisha taratibu hizi kuhusu Purimu,
kutokana na adui zao. Waliua adui zao wapatao nayo ikaandikwa katika kumbukumbu.
75,000 lakini hawakugusa nyara zao. 17Hili
lilitendeka siku ya kumi na tatu ya mwezi wa
Adari na siku ya kumi na nne walipumzika na Ukuu Wa Mordekai
kuifanya siku ya karamu na furaha.
10 Mfalme Ahasuero alitoza ushuru katika
ufalme wake wote hadi kwenye
Kusheherekea Purimu miambao yake ya mbali. 2Matendo yake yote ya
18Wayahudi huko Shushani, hata hivyo, nguvu na uwezo, pamoja na habari zote za
walikuwa wamekusanyika siku ya kumi na nne, utukufu wa Mordekai ambavyo mfalme alikuwa
pia siku ya kumi na tano walipumzika na amemkuza, je, hayakuandikwa katika kitabu cha
kuifanya siku ya karamu na furaha. kumbukumbu cha wafalme wa Umedi na
19Ndiyo sababu Wayahudi wanaokaa vijijini Uajemi? 3Mordekai Myahudi alikuwa wa pili kwa
na katika miji midogo, huadhimisha siku ya kumi cheo kutoka Mfalme Ahasuero, naye alikuwa
na nne ya mwezi wa Adari kama siku ya furaha
8
ESTA
bora kabisa miongoni mwa Wayahudi,
alipandishwa katika heshima ya juu na ndugu
zake Wayahudi kwa sababu aliwatendea mema
watu wake na alizungumza kwa ajili ya ustawi
wa Wayahudi wote.
9
AYUBU
Utangulizi
Kitabu cha Ayubu kimepewa jina la aliye mhusika mkuu, mtu mwenye haki mbele za Mungu na aliyekuwa
tajiri sana. Ayubu maana yake “Yule anayemrudia Mungu daima.”Hata baada ya kuondokewa na vitu vyote
alivyokuwa navyo na kuteseka kwa majipu hatari, Ayubu bado alikiri kwamba anampenda Mungu.
Kitabu kinauliza sababu za kuteseka, hasa kuteseka kwa watu ambao wanampenda Mungu nao ni wema.
Marafiki wa Ayubu walisisitiza kwamba alikuwa anateseka kwa sababu alikuwa ametenda dhambi na ya kwamba
hiyo ilikukwa ni adhabu yake. Ayubu alijitetea kwa kusisitiza kwamba hajafanya uovu ambao ungemstahilisha
hiyo adhabu na ya kwamba yeye anamwamini Mungu.
Ndipo Mungu alipozungumza na kuonyesha uweza wake mkubwa. Mwisho wa yote Ayubu alikubali kwamba
Mungu ni Mkuu na wa ajabu kwetu kiasi kwamba hatuwezi kumuelewa.
Wazo Kuu
Kumtumaini Mungu wakati wote na katika hali zote. Majaribu, mateso na mambo mabaya yanayompata mcha
Mungu si lazima yawe matokeo ya dhambi au mabaya aliyotenda. Watu wana mitazamo tofauti nyakati za
majaribu, hasa wengi huona ni mapatilizo kwa ajili ya dhambi. Wakati mwingine Shetani huushambulia uadilifu
wa mtu ili amkufuru Mungu, ila kwa kuwa Mungu yu pamoja na wale wamchao, huwaokoa na mabaya yote.
Shetani alimshtaki Ayubu kwamba hamchi Mungu bure bali ni kwa sababu Yeye Mungu alikuwa amemzunguka
pande zote. Mungu ametuwekea ugo pande zote. Hivyo Shetani hawezi kutushambulia bila Mungu kujua, bali
wakati mwingine Mungu hutoa ruhusa ili kumthibitishia adui juu ya uelekevu na uadilifu wa mtu. Kwa hiyo kazi ya
majaribu yale ambayo Mungu anayaruhusu ni:(1) Kututhibitisha katika imani (2) Kuonyesha uweza na uaminifu
wa Mungu, (3) Kudhihirisha kushindwa kwa Shetani, (4) Baraka zinazoandamana na ushindi baada ya majaribu.
Ayubu alisimama katika uaminifu na uadilifu wake mpaka mwisho bila kutishwa na yale yaliyompata yote wala
maneno ya rafiki zake, akashinda na kubarikiwa maradufu.
Jambo Muhimu
Ayubu ni kitabu cha kwanza chenye ushairi katika Biblia ya Kiebrania. Wengine wanaamini kwamba hiki
kilikuwa kitabu cha kwanza kabisa kuandikwa katika Biblia. Kitabu hiki kinatupatia mwanga jinsi Shetani
anavyofanya kazi. Ezekieli 14:14,20 na Yakobo 5:11 vinamtaja Ayubu kama mtu wa historia. Kitabu hiki kinatoa
habari za mateso ya Ayubu, hoja zilizotolwa kati ya Ayubuna rafiki zake kuhusu sababu za kuteseka kwake na
utatuzi wa tatizo lenyewe.
Mwandishi
Haijulikani kwa dhahiri ni nani aliyeandika kitabu hiki, huenda ikawa ni Ayubu. Wengine wamesema ni Mose,
Solomoni au Elihu.
Mahali.
Nchi ya Usi, inawezekana ilikuwa kaskazini mashariki mwa Palestina, karibu na Jangwa katikati ya Dameski
na Mto Eufrati.
Wahusika Wakuu.
Ayubu, Elifazi Mtemani, Bildadi Mshuhi, Sofari Mnaamathi, Elihu wa kabila la Buzi
Tarehe
Tarehe ya kuandikwa kwa kitabu hiki haijulikani kwa uhakika ila kianadhaniwa kuwa kitabu cha zamani sana,
huenda kuliko vingine vyote katika Biblia.
Mwanadamu atatoa vyote alivyo navyo kwa ajili wingu na likae juu yake
ya uhai wake. 5Lakini nyoosha mkono wako na weusi na uifunike nuru yake.
kuipiga nyama yake na mifupa yake, naye kwa 6Usiku ule na ushikwe na giza kuu,
juu ya vichwa vyao. 13Kisha wakaketi chini waliozijaza nyumba zao kwa fedha.
kwenye udongo pamoja na Ayubu kwa siku 16Au kwanini sikufichwa ardhini kama mtoto
3 Baada ya jambo hili, Ayubu akafumbua 18Wafungwa nao hufurahia utulivu wao,
kinywa chake na kuilaani siku ya kuzaliwa hawasikii tena sauti ya kukemea ya kiongozi
kwake. wa watumwa.
a10 “Mwanamke mpumbavu “hapa ina maana “mwanamke a8 Lewiathani mnyama mkubwa wa kutisha akaaye baharini
aliyepungukiwa kimaadili.’’ anayetajwa kwenye mashairi.
3
AYUBU
19Wadogo na wakubwa wamo humo 8Kwa jinsi ambavyo mimi nimechunguza, wale
na mtumwa ameachiwa huru kutoka kwa walimao ubaya
BWANA wake. na kupanda uovu, huvuna yayo hayo.
9Kwa pumzi ya Mungu huangamizwa,
20‘‘Mbona nuru inawaangazia wale walio taabuni kwa mshindo wa hasira zake huangamia.
na hao wenye uchungu kupewa uhai? 10Simba anaweza kunguruma na kukoroma,
21Kwa nini wale wanaotamani kufa hilo haliji, bado meno ya simba mkubwa huvunjika.
wale watafutao kufa zaidi ya kutafuta hazina 11Simba anaweza kuangamia kwa kukosa
iliyofichwa, mawindo,
22ambao hujawa na furaha nao wanasimba wa simba jike hutawanyika.
na shangwe wafikapo kaburini?
23Kwa nini uhai hupewa mtu ambaye njia yake 12“Neno lililetwa kwangu kwa siri,
imefichika, masikio yangu yakasikia mnong'ono wake.
ambaye Mungu amemzungushia boma? 13Katikati ya ndoto za kutia wasiwasi wakati wa
24Kwa maana kulia kwangu kwa uchungu usiku,
kwanijia badala ya chakula, hapo usingizi mzito uwapatapo wanadamu,
mlio wangu wa kusononeka unamwagika 14hofu na kutetemeka kulinishika
Ndipo Elifazi Mtemani akajibu: kama Yeye huwalaumu malaika zake kwa
4
2‘‘Kama
kukosea,
mtu akithubutu kuzungumza nawe, 19ni mara ngapi zaidi wale waishio katika
4
AYUBU
hushindwa mahakamani bila mtetezi. 22Utayacheka maangamizo na njaa,
5Wenye njaa huyala mavuno yake, wala hutakuwa na sababu ya kuwaogopa
wakiyatoa hata katikati ya miiba, wanyama wakali wa mwituni.
nao wenye kiu huitamani sana mali yake. 23Kwa kuwa utakuwa na agano na mawe ya
6Kwa maana taabu haioti kutoka kwenye mashamba,
udongo, nao wanyama wa mwitu watakuwa na
wala udhia hauchipui kutoka ardhini. amani nawe.
7Lakini mwanadamu huzaliwa ili kutaabika, 24Utajua ya kwamba hema lako li salama,
kwa hakika kama cheche ya moto irukayo utahesabu mali zako wala hutakuta cho
kuelekea juu. chote kilichopungua.
25Utajua ya kuwa watoto wako watakuwa wengi,
8“Lakini ingekuwa ni mimi, ningemlalamikia nao wazao wako wengi kama majani ya
Mungu, nchi.
ningeliweka shauri langu mbele zake. 26Utaingia kaburini ukiwa na umri wa uzee
9Yeye hutenda maajabu yasiyoweza mtimilifu,
kutambuliwa, kama masuke ya ngano yakusanywapo kwa
miujiza isiyoweza kuhesabika. wakati wake.
10Yeye huipa nchi mvua,
kwa hiyo usidharau marudi yake Mungu au ng'ombe dume hulia akiwa na chakula?
Mwenye Nguvu a . 6Je, chakula kisicho na ladha huliwa bila chumvi,
18Kwa kuwa hutia jeraha, lakini pia huyafunga, au upo utamu katika ute mweupe wa yai?
huumiza, lakini mikono yake pia huponya. 7Ninakataa kuvigusa
19Kutoka katika majanga sita Yeye atakuokoa, vyakula vya aina hii hunichukiza.
Naam, hata katika saba hakuna dhara
litakalokupata wewe. 8‘‘Laiti
ningepata haja yangu,
20Wakati wa njaa atakukomboa wewe na kifo, kwamba Mungu angenijalia hilo nililotarajia,
naye katika vita atakukomboa na pigo la 9kwamba Mungu angekuwa radhi kuniponda,
7
14‘‘Mtu anayekata tamaa angetazamia moyo wa ‘‘Je, mwanadamu hana kazi ngumu
kujitoa wa rafiki zake, duniani?
hata kama akiacha uchaji wa Mungu Siku zake si kama zile za mtu aliyeajiriwa?
Mwenye Nguvu. 2Kama mtumwa anavyovionea shauku vivuli vya
15Lakini ndugu zangu sio wa kutegemewa jioni,
ni kama vijito vya msimu, au mtu aliyeajiriwa anavyoungejea
ni kama vijito ambavyo hufurika mshahara wake,
16wakati vimefunikwa barafu iyeyukayo 3ndivyo nilivyogawiwa miezi ya ubatili,
walichotarajia. pumzi,
21Sasa nanyi mmethibitika kwamba hamna macho yangu kamwe hayataona tena raha.
msaada wo wote, 8Lile jicho linaloniona sasa halitaniona tena,
wanaomsahau Mungu,
17‘‘Mwanadamu ni kitu gani hata umjali kiasi hiki, vivyo hivyo mategemeo ya
kwamba unamtia sana maanani, wasiomjali Mungu huangamia.
18kwamba unamwangalia kila asubuhi 14Lile analolitumainia huvunjika upesi,
2‘‘Hata
na kutoka udongoni mimea mingine
huota.
lini wewe utasema mambo kama haya?
Maneno yako ni ya kujigamba nayo ni kama 20Hakika Mungu hamkatai mtu asiye na hatia
upepo mkuu. wala kuitia nguvu mikono ya mtenda
3Je, Mungu hupotosha hukumu? mabaya.
Je, Mungu Mwenye Nguvu hupotosha kile 21Bado atakijaza kinywa chako na kicheko
nazo siku zetu duniani ni kama kivuli tu. na kuipindua kwa hasira yake.
10Je, hawatakufindisha na kukueleza? 6Aitikisa dunia kutoka mahali pake
7
AYUBU
na kuzifanya nguzo zake zitetemeke. waovu,
7Husema na jua nalo likaacha kuangaza, yeye huwafunga macho mahakimu wake.
naye huizima mianga ya nyota. Kama si Yeye, basi ni nani?
8Yeye peke yake huzitandaza mbingu
bali angenifunika kabisa na huzuni kuu. ili utisho wake usiendelee kunitia hofu.
19Kama ni suala la nguvu, yeye ni mwenye 35Ndipo ningenena naye, bila kumwogopa,
10
20Hata kama sikuwa na hatia, kinywa changu ‘‘Nayachukia haya maisha yangu,
kingenihukumu, kwa hiyo nitatoa malalamiko yangu kwa
kama sikuwa na kosa, wazi bila kujizuia,
kingenitangaza kuwa mwenye hatia. nami nitanena kutokana na uchungu wa
moyo wangu.
21‘‘Ingawa mimi sina kosa, 2Nitamwambia Mungu: usinihukumu,
haileti tofauti katika nafsi yangu, bali niambie una mashtaka gani dhidi yangu.
nauchukia uhai wangu. 3Je, inakupendeza wewe kunionea,
22Hayo yote ni sawa, ndiyo sababu nasema, kuikataa kwa dharau kazi ya mikono yako,
‘Yeye huwaangamiza wasio na makosa huku wewe ukifurahia mipango ya waovu?
pamoja na waovu.’ 4Je, wewe una macho ya kimwili?
23Wakati pigo liletapo kifo cha ghafula, Je, wewe huona kama mwanadamu
yeye hudhihaki kule kukata tamaa kwa yule aonavyo?
asiye na kosa. 5Je, siku zako ni kama zile za mwanadamu
24Wakati nchi inapoangukia mikononi mwa
a30 Au theluji.
8
AYUBU
au miaka yako ni kama ile ya mtu, yenye uvuli wa giza na machafuko,
6ili
kwamba utafute makosa yangu mahali ambapo hata nuru ni giza.’’
na kuichunguza dhambi yangu,
7ingawa wajua kuwa mimi sina hatia Sofari Anasema: Hatia ya Ayubu Inastahili
na hakuna awezaye kunitoa mkononi Adhabu
mwako?
11 Ndipo Sofari Mnaamathi akajibu:
8“Mikono yako ndiyo iliyoniumba na kunifanya. 2‘‘Je,maneno haya yote yapite bila kujibiwa?
Je, sasa utageuka na kuniangamiza? Je, huyu mnenaji athibitishwe kuwa na haki?
9Kumbuka kuwa ulinifinyanga kama udongo wa 3Je, maneno yako ya upuuzi yawafanye watu
au ningekuwa nimechukuliwa moja kwa 13“Hata sasa ukiutoa moyo wako kwake
moja na kumwinulia mikono yako,
kutoka tumboni kwenda kaburini! 14ukiiondolea mbali ile dhambi iliyo mkononi
20Je, siku zangu chache si zimekaribia kwisha? mwako
Niachie ili niweze kupata muda mfupi wa wala usiuruhusu uovu ukae hemani mwako,
kufurahi 15ndipo utainua uso wako bila aibu,
21kabla sijaenda mahali ambapo hakuna kurudi utasimama imara bila hofu.
tena, 16Hakika utaisahau taabu yako,
9
AYUBU
17Maisha yako yatang’aa kuliko adhuhuri, 14Kileanachokibomoa hakiwezi kujengeka tena,
nalo giza litakuwa kama alfajiri. mtu aliyefungiwa naye hawezi kufunguliwa.
18Utakuwa salama, kwa kuwa lipo tumaini, 15Akizuia maji, huwa pana ukame,
kwamba mkono wa BWANA ndio ninyi ni matabibu wasiofaa kitu, ninyi nyote!
uliofanya hili? 5Laiti wote mngenyamaza kimya!
10Mkononi mwake uko uhai wa kila kiumbe Kwa kuwa kwenu hilo lingekuwa hekima.
na pumzi ya wanadamu wote. 6Sikieni sasa hoja yangu,
11Je, sikio haliyajaribu maneno mkasikilize kusihi kwangu.
kama vile ulimi uonjavyo chakula? 7Je, mtazungumza kwa uovu kwa niaba ya
12Je, hekima haipatikani katikati ya wazee? Mungu?
Je, maisha marefu hayaleti ufahamu? Je, mtazungumza kwa udanganyifu kwa
niaba yake?
13“Hekima na nguvu ni vya Mungu, 8Mtamwonyesha upendeleo?
10
AYUBU
9Je, ingekuwa vema Mungu akiwahoji ninyi? 28‘‘Hivyomwanadamu huangamia kama kitu
Je, mngeweza kumdanganya kama kilichooza,
ambavyo mngeweza kuwadanganya mfano wa vazi lililoliwa na nondo.
wanadamu?
10Hakika atawakemea
wake,
20‘‘Ee Mungu, unijalie tu mimi haya mambo hutoa pumzi ya mwisho, naye hayuko tena?
mawili, 11Kama vile maji yatowekavyo katika bahari,
kufikichika Mungu
na kama vile mwamba uondolewavyo na kumimina maneno ya namna hiyo kutoka
mahali pake, kinywani mwako?
19kama maji yamalizavyo mawe
na maji ya ghafula yachukuavyo udongo, 14“Mwanadamu ni kitu gani, hata aweze kuwa
ndivyo unavyoharibu tegemeo la safi,
mwanadamu. au yeye aliyezaliwa na mwanamke,
20Humshinda mara moja kwa daima, hata aweze kuwa mwadilifu?
naye hutoweka, waibadilisha sura yake na 15Kama Mungu hawaamini katika watakatifu
kumwondoa. wake,
21Kama wanawe wakipewa heshima, yeye kama hata mbingu zenyewe si safi machoni
hafahamu, pake,
kama wakidharauliwa yeye haoni. 16sembuse mwanadamu ambaye ni mwovu na
22Yeye hasikii kingine isipokuwa maumivu ya mpotovu,
mwili wake mwenyewe, ambaye hunywa uovu kama anywavyo maji!
naye huomboleza kwa ajili yake mwenyewe.
17“Nisikilizemimi nami nitakueleza,
Elifazi Anaongea: Ayubu Anadhoofisha Imani acha nikuambie yale niliyoyaona,
Unafahamu kitu gani tusichokifahamu sisi? 27“Ingawa uso wake umefunikwa na mafuta kwa
unene
10Wale wenye mvi na wazee wako upande wetu, na kiuno chake kimevimba kwa
watu ambao hata ni wazee kuliko baba kunenepa,
yako. 28wataishi katika miji ya magofu
11Je, faraja za Mungu hazikutoshi, na katika nyumba ambazo haziishi
12
AYUBU
mwanadamu ye yote, 9Mungu amenishambulia na kunirarua katika
nyumba zinazokuwa vifusi. hasira yake na kunisagia meno yake,
29Hatatajirika tena nao utajiri wake hautadumu, adui yangu hunikazia macho yake makali.
wala mali zake hazitakuwa nyingi juu ya 10Watu wamenifumbulia vinywa vyao
nchi. kunidhihaki,
30Hatatoka gizani, hunipiga shavuni mwangu na kunidharau,
mwali wa moto utanyausha machipukizi nao huungana pamoja dhidi yangu.
yake, 11Mungu amenigeuzia kwa watu wabaya
Mna nini hata mwendelee kushindana kwa macho yangu yamwagapo machozi kwa
maneno? Mungu,
4Mimi pia ningeweza kuzungumza kama ninyi,
13
AYUBU
Ni nani mwingine atakayeweka dhamana Au ni lazima miamba iondolewe mahali
kwa ajili yangu? pake?
4Umezifunga akili zao zisipate ufahamu,
mtu ambaye watu humtemea mate usoni. naye anatangatanga kwenye matundu ya
7Macho yangu yamefifia kwa ajili ya majonzi, wavu.
umbile langu lote ni kama kivuli. 9Tanzi litamkamata kwenye kisigino,
8Watu wanyofu wanatishwa na hili, mtego utamshikilia kwa nguvu.
watu wasio na hatia wanasimama dhidi ya 10Kitanzi kimefichwa ardhini kwa ajili yake,
nao wale wenye mikono safi wataendelea na adui zake humwandama kila hatua.
kupata nguvu. 12Janga linamwonea shauku,
10“Lakini ninyi njoni, ninyi nyote, jaribuni tena! maafa yako tayari kwa ajili yake aangukapo.
Sitampata mtu mwenye hekima miongoni 13Nayo yatakula sehemu ya ngozi yake,
Ni nani awezaye kuona tarajio langu? naye amefukuzwa mbali atoke duniani.
16Je, litashuka chini hadi kwenye milango ya 19Hana mtoto wala mzao miongoni mwa watu
mauti b ? wake,
Je, tutashuka pamoja mavumbini? wala aliyenusurika mahali alipoishi.
20Watu wa magharibi watashangaa yaliyompata,
a13 “Kaburi” hapa ina maana ya “kuzimu,’’ Kiebrania “Sheol.” bila aibu mnanishambulia.
b16 “Mauti” hapa ina maana ya “kuzimu.”
14
AYUBU
4Kama ni kweli nimepotoka,
kosa langu ninabaki kuhusika nalo 23‘‘Laitimaneno yangu yangewekwa kwenye
mwenyewe. kumbukumbu,
5Kama kweli mngejitukuza wenyewe juu yangu laiti kwamba yangeandikwa kwenye kitabu,
na kwa kutumia unyonge wangu dhidi 24kwamba yangechorwa kwenye risasi kwa kifaa
naye amekokota wavu wake kunizunguka. naye kwamba mwishoni atasimama juu ya
nchi.
7“Ingawa ninalia, ‘Nimetendewa mabaya!’ Sipati 26Nami baada ya ngozi yangu kuharibiwa,
13“Amewatenga ndugu zangu mbali nami, Sofari Anasema: Uovu Hupokea Malipo ya
wale wanijuao wamefarikishwa nami kabisa. Haki
14Watu wa jamaa yangu wamekwenda mbali, Ndipo Sofari Mnaamathi akajibu na
rafiki zangu wamenisahau.
15Wageni wangu na watumishi wangu wa kike
20 kusema:
mwenyewe. heshima,
17Pumzi ya kinywa changu ni kinyaa kwa mke nao ufahamu wangu unanisukuma kujibu.
wangu,
nimekuwa kitu cha kuchukiza mno kwa 4‘‘Hakika unajua jinsi ilivyokuwa tangu zamani,
ndugu zangu mwenyewe. tangu zamani mwanadamu alipowekwa
18Hata watoto wadogo hunidhihaki, duniani,
ninapojitokeza, hunifanyia mzaha. 5furaha na macheko ya mtu mwovu
19Rafiki zangu wa moyoni wote wananichukia ni ya muda mfupi,
kabisa, furaha ya wasiomcha Mungu
wale niwapendao wamekuwa kinyume nami. hudumu kwa kitambo tu.
20Mimi nimebaki mifupa na ngozi tu, 6Ingawa kujikweza kwake hufikia mbinguni
nayo mikono yake itarudisha mali yote mali za nyumbani mwake zitachukuliwa
aliyonyang’anya watu. na maji yaendayo kasi katika siku ya
11Nguvu za ujana zilizoijaza mifupa yake, ghadhabu ya Mungu.
zitalala naye mavumbini. 29Hili ndilo fungu Mungu alilowagawia waovu,
21
14hata hivyo chakula chake kitakuwa kichungu Ndipo Ayubu akajibu:
tumboni mwake,
nacho kitakuwa sumu kali ya nyoka ndani 2“Yasikilizenimaneno yangu kwa makini,
yake. hii na iwe faraja mnayonipa mimi.
15Atatema mali alizozimeza, 3Nivumilieni ninapozungumza,
ncha ing'aayo kutoka katika ini lake. Hatuna hamu ya kufahamu njia zako.
Vitisho vitakuja juu yake, 15Mungu Mwenye Nguvu ni nani hata
26giza nene linavizia hazina zake. tumtumikie?
Moto usiopepewa na mtu utamteketeza
a13 “Kaburini” hapa ina maana “Kuzimu,” Kiebrania “Sheol.”
16
AYUBU
Tutapata faida gani kumwomba? Ni nani ampatilizaye kwa yale aliyoyatenda?
16Lakinikufanikiwa kwao hakupo mikononi 32Hupelekwa kaburini,
mwao wenyewe, nao ulinzi ukawekwa kwenye kaburi lake.
hivyo najitenga mbali na shauri la waovu. 33Udongo ulio bondeni ni mtamu kwake,
adhabu ya mtu kwa ajili ya wanawe.’ Elifazi Anasema: Uovu wa Ayubu ni Mkubwa
Mungu na amlipe mtu mwenyewe, ili apate
kulijua! 22 Ndipo Elifazi Mtemani akajibu:
20Macho yake mwenyewe na yaone maangamizi 2‘‘Je,mwanadamu aweza kuwa wa faida kwa
yake, Mungu?
yeye na ainywe ghadhabu ya Mungu Je, hata mtu mwenye hekima aweza
Mwenye Nguvu. kujifaidia mwenyewe?
21Kwani anajali nini kuhusu jamaa anayoiacha 3Je, Mungu Mwenye Nguvu angefurahia nini
nayo mifupa yake ikiwa imejaa mafuta ndani umewavua watu nguo zao, ukawaacha uchi.
yake. 7Hukumpa maji aliyechoka,
25Mtu mwingine hufa katika uchungu wa nafsi, nawe ulimnyima chakula mwenye njaa,
kamwe akiwa hajafurahia jambo lo lote zuri. 8ingawa ulikuwa mtu mwenye uwezo ukimiliki
26Hao wote hulala mavumbini, nchi,
nao mabuu huwafunika wote. mtu uliyeheshimiwa, ukiishi ndani yake.
9Umewafukuza wajane mikono mitupu
27‘‘Ninayajua kikamilifu yale mnayoyafikiri, na kuzivunja nguvu za yatima.
mipango ambayo kwayo mngenitendea 10Ndiyo sababu mitego imekuzunguka pande
mabaya. zote,
28Mwasema, ‘Iko wapi sasa nyumba ya huyo hatari ya ghafula inakutia hofu,
mtu mkuu, 11ndiyo sababu ni giza sana huwezi kuona,
hema ambazo watu waovu walikaa ziko na ndiyo sababu mafuriko ya maji
wapi?’ yamekufunika.
29Je, hamkuwahi kuwauliza hao wanaosafiri?
kwamba huokolewa kutoka katika siku ya Je, Yeye huhukumu katika giza kama hilo?
ghadhabu? 14Mawingu mazito ni pazia lake, hivyo hatuoni
31Ni nani hulaumu matendo yake mbele ya uso sisi
wake? atembeapo juu ya anga la dunia.
17
AYUBU
15Je,utaifuata njia ya zamani, kulia kwangu kwa uchungu.
ambayo watu waovu waliikanyaga? 3Laitiningefahamu mahali pa kumwona,
16Waliondolewa kabla ya wakati wao, laiti ningeweza kwenda mahali akaapo!
misingi yao ikachukuliwa na mafuriko. 4Ningeliweka shauri langu mbele zake
17Walimwambia Mungu, ‘Tuache sisi! huyo na kukijaza kinywa changu na hoja.
Mungu Mwenye Nguvu 5Ningejua kwamba angenijibu nini
na maneno yake uyaweke moyoni mwako. akiisha kunijaribu, nitatoka kama dhahabu.
23Kama ukimrudia Mungu Mwenye Nguvu, 11Nyayo zangu zimefuata hatua zake kwa
nao mwanga utaangazia njia zako. Mungu Mwenye Nguvu amenitia hofu.
29Watu watakaposhushwa, nawe ukasema, 17Hata hivyo sikunyamazishwa na giza,
18
AYUBU
na kuwafanya maskini wote wa nchi ndivyo kuzimu kuwanyakuavyo wale
kulazimika kujificha. waliotenda dhambi.
5Kama punda mwitu jangwani, 20Tumbo lililowazaa huwasahau,
19
AYUBU
Nayo ni roho ya nani iliyosema kutoka 6Nitadumisha haki yangu wala sitaiacha,
kinywani mwako? dhamiri yangu haitanisuta muda wote
5‘‘Wafu wako katika maumivu makuu, ninaoishi.
wale walio chini ya maji na wale waishio
ndani yake. 7‘‘Watesi wangu wawe kama waovu,
6Mauti a iko wazi mbele za Mungu, nao adui zangu wawe kama wasio haki!
uharibifu haukufunikwa. 8Kwa maana mtu asiyemcha Mungu analo
7Hutandaza anga la kaskazini mahali patupu, tegemeo gani anapokatiliwa mbali,
naye huining’iniza dunia mahali pasipo na Mungu anapouondoa uhai wake?
kitu. 9Je, Mungu husikiliza kilio chake,
8Huyafungia maji kwenye mawingu yake, shida zimjiapo?
hata hivyo mawingu hayapasuki kwa uzito 10Je, anaweza kumfurahia Mungu Mwenye
wake. Nguvu?
9Huufunika uso wa mwezi mpevu, Je, atamwita Mungu nyakati zote?
akitandaza mawingu juu yake.
10Amechora mstari wa upeo juu ya uso wa maji, 11‘‘Nitawafundisha juu ya uweza wa Mungu,
ameweka mpaka wa nuru na giza. njia za Mungu Mwenye Nguvu sitazificha.
11Nguzo za mbingu nazo zatetemeka, 12Ninyi nyote mmeona hili wenyewe.
yangu, mwisho,
nayo pumzi ya Mungu ikiwa puani mwangu, afunguapo macho yake, yote yametoweka.
4midomo yangu haitanena uovu, 20Vitisho humjia kama mafuriko,
20
AYUBU
vito vya dhahabu.
Mapumziko: Imani Inakopatikana 18Marijani na yaspi hazistahili kutajwa,
katika giza jeusi sana. hata imesitiriwa hata kwa ndege wa angani.
4Huchimba shimo jembamba mbali na makao ya 22Uharibifu na Mauti husema,
29
10Hutoboa shimo refu la kupenya chini kwa chini Ayubu akaendelea na hoja yake
kwenye miamba, akasema:
macho yake huona hazina zake zote za
thamani. 2“Tazama jinsi ninavyoitamani miezi iliyopita,
11Hutafuta vyanzo vya mito zile siku ambazo Mungu alikuwa akinilinda,
na kuvileta vitu vilivyofichika katika nuru. 3wakati taa yake iliponiangazia juu ya kichwa
changu
12‘‘Lakini hekima inaweza kupatikana wapi? na kwa mwanga wake Mungu nikapita
Ufahamu unakaa wapi? katikati ya giza!
13Mwanadamu hatambui thamani yake, 4Ah! Katika siku zile nilizokuwa katika ustawi
21
AYUBU
na kuketi katika kiwanja, yake,
8vijana waliniona wakakaa kando, nikawa kama yeye anayewafariji
nao wazee walioketi wakasimama, waombolezaji.
9wakuu wakaacha kuzungumza
yao. vilivyokauka,
kwenye majabali na mahandaki.
18“Nikafikiri,
‘Nitafia katika nyumba yangu 7Kwenye vichaka walilia kama punda
niliishi kama mfalme katikati ya majeshi heshima yangu imetoweshwa kama kwa
22
AYUBU
upepo, kwa Mungu juu,
salama yangu imetoweka kama wingu. nao urithi wake nini kutoka kwa Mungu
Mwenye Nguvu Aliye juu!
16“Sasa maisha yangu yamefikia mwisho, 3Je, si uharibifu kwa watu waovu,
kali. mwanamke,
23Ninajua utanileta mpaka kifoni, au kama nimevizia mlangoni mwa jirani
mahali ambapo wenye uhai wote yangu,
wamewekewa. 10basi mke wangu na asage nafaka ya
mwanaume mwingine,
24“Hakika hakuna ye yote amshambuliaye nao wanaume wengine walale naye.
mhitaji, 11Kwa kuwa hilo lingekuwa aibu,
jua , yangu,
ninasimama katika kusanyiko nikiomba si ndiye aliyewaumba?
msaada. Je, si Yeye huyo mmoja aliyetuumba sote
29Nimekuwa ndugu wa mbweha, ndani ya mama zetu?
rafiki wa mabundi.
30Ngozi yangu imekuwa nyeusi nayo 16‘‘Ikiwa nimewanyima maskini haja zao,
inachunuka, au kuyaacha macho ya wajane yadhoofike,
mifupa yangu inaungua kwa homa. 17kama nimekula chakula changu mwenyewe,
31Kinubi changu kimegeuka kuwa maombolezo, bila kuwashirikisha yatima,
nayo filimbi yangu imekuwa sauti ya kilio. 18lakini tangu ujana wangu nimemlea yatima
23
AYUBU
nami tangu kuzaliwa kwangu nikanyamaza kimya nisitoke nje ya mlango,
nimewaongoza wajane,
19kama nilimwona ye yote akiteseka kwa kukosa 35‘‘Laiti
kama angekuwapo mtu wa kunisikia!
nguo, Tazama sasa ninaweka sahihi kwenye
au mtu mhitaji asiye na mavazi, utetezi wangu,
20wala ambaye moyo wake haukunibariki Mungu Mwenye Nguvu na anijibu,
kwa kumpatia joto kwa mavazi ya manyoya mshitaki wangu na aweke mashtaka yake
ya kondoo zangu kwenye maandishi.
21na kama nimeinua mkono wangu dhidi ya 36Hakika ningeyavaa begani mwangu,
nami kwa kuuogopa utukufu wake sikuweza au kuvunja mioyo ya wapangaji wake,
kufanya mambo kama hayo. 40basi miiba na iote badala ya ngano
kwa maana mlango wangu ulikuwa wazi “Mimi ni mdogo kwa umri,
kwa msafiri, ninyi ni wazee,
33kama nimeifunika dhambi yangu kama ndiyo sababu niliogopa,
wanadamu wengine wafanyavyo, sikuthubutu kuwaambia kile ninachojua.
kwa kuficha hatia yangu moyoni mwangu, 7Nilifikiri, ‘Yafaa umri useme,
34kwa sababu ya kuogopa umati wa watu na nao wingi wa miaka ungefundisha hekima.’
hivyo kuwa na hofu ya kudharauliwa na 8Lakini ni Roho iliyoko ndani ya mwanadamu,
24
AYUBU
impayo yeye ufahamu. wangu.
9Sio wazee peke yao walio na hekima, 3Maneno yangu yanatoka katika moyo mnyofu,
wala sio wenye umri mkubwa peke yao midomo yangu hunena kwa uaminifu yale
wanaofahamu lililo sawa. niyajuayo.
4Roho wa Mungu ameniumba,
10“Hivyo nasema: Nisikilizeni mimi, pumzi ya Mungu Mwenye Nguvu hunipa
mimi nami nitawaambia lile ninalojua. uhai.
11Nilingojea mlipokuwa mnaongea, 5Unijibu basi, kama unaweza,
kama kiriba kipya cha divai kilicho tayari katika ndoto, katika maono ya usiku,
kupasuka. wakati usingizi mzito uwaangukiapo
20Ni lazima niseme ili niweze kutulia, wanadamu wasinziapo vitandani mwao,
ni lazima nifumbue midomo yangu nipate 16anaweza akasemea masikioni mwao
Mwumba wangu angeniondolea mbali kwa uhai wake usiangamizwe kwa upanga.
upesi. 19Mtu anaweza kutiwa adabu kwa maumivu
kitandani mwake,
Elihu Anamkemea Ayubu kwa dhiki za mfululizo katika mifupa yake,
‘‘Lakini Ayubu, sasa, sikiliza maneno 20kiasi kwamba maisha yake yenyewe
25
AYUBU
nayo mifupa yake ambayo mwanzoni ilikuwa nasi tujifunze pamoja yaliyo mema.
imefichika, sasa inatokeza nje.
22Nafsi yake inakaribia kaburi, 5‘‘Ayubu anasema, ‘Mimi sina hatia,
nao uhai wake karibu na wale wajumbe wa lakini Mungu ameninyima haki yangu.
kifo. 6Ingawa niko sawa,
ninaonekana mwongo,
23“Kama bado kuna malaika upande wake kama nami ingawa sina kosa,
mtetezi, mmoja miongoni mwa elfu, kidonda changu hakiponi.’
wa kumwambia mwanadamu lililo jema 7Ni mtu gani aliye kama Ayubu,
26
AYUBU
anaona kila hatua yao. Wewe unasema, ‘Nina haki mbele za
22Hakuna mahali penye giza nene, wala uvuli Mungu.’
mkubwa, 3Bado unamwuliza, ‘Ni faida gani nimepata
na kuwaweka wengine mahali pao. yaangalie mawingu yaliyo juu sana juu yako.
25Kwa sababu huyaangalia matendo yao yote, 6Je, ukitenda dhambi, inamdhuruje Mungu?
Ikiwa ni taifa au mtu mmoja kwake ni sawa, ‘Yuko wapi Mungu Mwumba wangu,
30ili, kumzuia mtu mwovu kutawala, yeye anifanyaye niimbe usiku,
au wale ambao huwategea watu mitego. 11yeye atufundishaye sisi zaidi kuliko wanyama
wa dunia,
31‘‘Kama mwanadamu akimwambia Mungu, na kutufanya wenye hekima kuliko ndege
‘Nimekosa lakini sitatenda dhambi tena. wa angani?’
32‘Nifundishe nisichoweza kuona, 12Yeye hajibu wakati watu waliapo
kama nimekukosea, sitafanya hivyo tena.’ kwa sababu ya kiburi cha watu waovu.
33Je, basi, Mungu atakulipa kwa masharti yako, 13Naam, Mungu hasikilizi maombi yao ya ubatili,
36
Elihu akaendelea na kusema:
Elihu Analaumu Mtu kujiona Mwenyewe
kuwa mwenye Haki 2“Nivumilie kidogo zaidi nami nitakuonyesha
35
2‘‘Je,
Ndipo Elihu akasema: kwamba yako mengi zaidi ya kusemwa kwa
ajili ya Mungu.
unadhani hili ni haki? 3Ninayapata maarifa yangu kutoka mbali,
27
AYUBU
nami nitamhesabia haki Mwumba wangu. 19Je, utajiri wako hata nguvu zako nyingi
4Uwe na hakika kwamba vinaweza kukusaidia usiingie kwenye dhiki?
maneno yangu si ya uongo, 20Usiutamani usiku uje,
Yeye aliyemkamilifu katika maarifa ili uwaburute watu mbali na nyumba zao.
yuko pamoja na wewe. 21Jihadhari usigeukie uovu,
huwaketisha penye viti vya enzi pamoja na ambazo watu wamezisifu katika wimbo.
wafalme 25Wanadamu wote wameliona,
37
15Bali wao wanaoteseka huwaokoa katika “Kwa hili moyo wangu unatetemeka,
mateso yao nao unaruka kutoka mahali pake.
na kuzungumza nao katika dhiki zao. 2Sikiliza! Sikiliza ngurumo ya sauti yake,
hadi kwenye meza yako ya faraja iliyojaa Mungu hunguruma kwa sauti yake ya fahari.
vyakula vizuri. Wakati sauti yake ingurumapo tena,
17Lakini sasa umelemewa na hukumu kwa ajili huuachilia umeme wake wa radi.
ya uovu, 5Sauti ya Mungu hunguruma kwa jinsi ya ajabu,
38
9Dhoruba hutoka katika chumba chake, Kisha BWANA akamjibu Ayubu kutoka
baridi hutoka katika upepo uendao kasi. katika upepo wa kisulisuli. Akasema:
10Pumzi ya Mungu hutoa barafu,
eneo kubwa la maji huganda. 2“Nani huyu atiaye mashauri yangu giza
11Huyasheheneza mawingu kwa maji, kwa maneno yasiyo na maarifa?
naye husambaza umeme wake wa radi 3Jikaze kama mwanaume,
anga, si zaidi,
zilizo ngumu kama kioo cha shaba ya hapa ndipo mawimbi yako yenye kiburi
kuyeyushwa? yatakapokomea?
Mungu huja katika utukufu wa kutisha. nao mkono wao ulioinuliwa huvunjwa.
23Mungu Mwenye Nguvu hatuwezi kumfikia na
29
AYUBU
Au kutembea mahali pa ndani pa vilindi? Je, hutoa taarifa kwako kukuambia, ‘Sisi
17Umewahi kuonyeshwa malango ya mauti? tuko hapa?’
Umewahi kuiona milango ya uvuli wa mauti? 36Ni nani aliyeujalia moyo hekima
18Je, wewe unafahamu ukubwa wa dunia? au kuzipa akili ufahamu?
Niambie kama unajua haya yote. 37Nani mwenye hekima ya kuyahesabu
mawingu?
19‘‘Njia
ya kufika kwenye makao ya nuru ni ipi? Ni nani awezaye kuinamisha magudulia ya
Nayo masikani mwa giza ni wapi? mbinguni
20Je, unaweza kuvirudisha kwenye makao 38wakati mavumbi yawapo magumu
39
24Ipi ni njia iendayo mahali umeme wa radi ‘‘Je! wajua ni wakati gani mbuzi wa
unapotawanyiwa, mlimani wanapozaa?
au mahali upepo wa mashariki Je, watambua ni wakati gani kulungu jike
unaposambaziwa juu ya dunia? azaapo mtoto wake?
25Ni nani aliyepasua mifereji kwa ajili ya maji 2Je, waweza kuhesabu miezi hadi wazaapo?
duniani? kamba?
Je, atalima mabonde nyuma yako?
34‘‘Waweza kuiinua sauti yako mpaka mawinguni 11Je, utamtumainia kwa ajili ya nguvu zake
zake? nyumbani
30
AYUBU
40
kutoka shambani na kuikusanya kwenye BWANA akamwambia Ayubu:
sakafu yako ya kupuria?
2“Je, mwenye kushindana na Mungu Mwenye
13“Mbuni hupigapiga mabawa yake kwa furaha, Nguvu aweza kumsahihisha?
lakini hayawezi kulinganishwa na mabawa Mwenye kumlaumu Mungu na ajibu.’’
na manyoya ya korongo.
14Huyataga mayai yake juu ya ardhi 3Ndipo Ayubu akamjibu BWANA:
na kuyaacha yapate joto mchangani,
15bila kujali kuwa mguu waweza kuyaponda, 4‘‘Mimi
sistahili kabisa, ninawezaje kukujibu
kwamba baadhi ya wanyama wa porini Wewe?
wanaweza kuyakanyaga. Nauweka mkono wangu juu ya kinywa
16Yeye huyafanyia makinda yake ukatili changu.
kama vile si yake, 5Nimesema mara moja, lakini sina jibu,
hajali kwamba taabu yake inaweza ikawa naam, nimesema mara mbili, lakini
bure. sitasema zaidi.’’
17kwa kuwa Mungu hakumjalia hekima,
usiku, vyake,
majabali yenye ncha kali ndiyo ngome yake. uwezo alionao kwenye misuli ya tumbo lake!
29Kutoka huko hutafuta chakula chake, 17Mkia wake hutikisika kama mwerezi,
macho yake hukiona kutoka mbali. mishipa ya mapaja yake imesukwa pamoja.
30 Makinda yake hujilisha damu, 18Mifupa yake ni bomba za shaba,
pale palipo na machinjo, ndipo yeye alipo. maungo yake ni kama fito za chuma.
19Yeye ni wa kwanza miongoni mwa kazi za
31
AYUBU
Mungu, yangu.
lakini Mwumba anaweza kumsogelea kwa
upanga wake. 12‘‘Sitashindwa kunena juu ya maungo yake,
20Vilima humletea yeye mazao yake, nguvu zake na umbo lake zuri.
nao wanyama wote wa porini kucheza 13Ni nani awezaye kumvua vazi lake la nje?
yeye yu salama, ingawa Yordani ingefurika wala hakuna hewa iwezayo kupita kati yake.
hadi kwenye kinywa chake. 17Yameunganishwa imara kila moja na jingine,
24Je, mtu ye yote anaweza kumkamata yeye yameng’ang’aniana pamoja wala hayawezi
akiwa macho, kutenganishwa.
au kumnasa kwa mtego na kutoboa pua 18Akipiga chafya mwanga humetameta,
mwake,
au kufunga ulimi wake kwa kamba? cheche za moto huruka nje.
2Waweza kupitisha kamba puani mwake 20Moshi hufuka kutoka puani mwake,
au kutoboa taya lake kwa kulabu? kama kutoka kwenye chungu kinachotokota
3Je, ataendelea kukuomba umhurumie? kwa moto wa manyasi.
Atasema nawe maneno ya upole? 21Pumzi yake huwasha makaa ya mawe,
4Je, atafanya agano nawe ili umtwae nayo miali ya moto huruka kutoka kinywani
awe mtumishi wako maisha? mwake.
5Je, utamfuga na kumfanya rafiki kama ndege, 22Nguvu hukaa katika shingo yake,
kwa vyuma vyenye ncha kali? wenye nguvu hurudi nyuma mbele yake
Au kichwa chake kwa mkuki wa kuvulia anapokwenda kwa kishindo.
samaki? 26Upanga unaomfikia haumdhuru,
8Kama ukiweka mkono wako juu yake, wala mkuki au mshale wala fumo.
utavikumbuka hivyo vita na kamwe 27Chuma hukiona kama unyasi
32
AYUBU
31Huvisukasuka vilindi kama sufuria kubwa alivyowaambia, naye BWANA akayakubali
ichemkayo maombi ya Ayubu.
na kukoroga bahari kama chungu cha 10Baada ya Ayubu kuwaombea rafiki zake,
mtu angedhani vilindi vilikuwa na mvi. mtu aliyemfahamu kabla wakaja wakala pamoja
33Hakuna cho chote duniani kinacholingana naye katika nyumba yake. Wakamfariji na
naye, kumtuliza moyo juu ya taabu yote BWANA
kiumbe kisicho na woga. aliyoileta juu yake, nao kila mmoja akampa
34Yeye huwatazama chini wale wote wenye kipande cha fedha na pete ya dhahabu.
kujivuna, 12BWANA akaibariki sehemu ya mwisho ya
yeye ni mfalme juu ya wale wote wenye maisha ya Ayubu kuliko ya kwanza. Alikuwa na
kiburi.” kondoo 14,000, ngamia 6,000, jozi za mafahali
1,000 na punda wa kike 1,000. 13Tena alikuwa
SEHEMU YA TANO: MWISHO – AYUBU na wana saba na binti watatu. 14Binti wa kwanza
ANAJIBU aliitwa Yemima, wa pili Kesia na wa tatu Keren-
Ayubu akamjibu BWANA: Hapuku. 15Hapakuwepo mahali po pote katika
42
2“Ninajua
nchi ile yote palipopatikana wanawake wazuri
yakuwa unaweza kufanya mambo kama binti za Ayubu, naye baba yao akawapa
yote, urithi pamoja na ndugu zao.
wala hakuna mpango wako unaoweza 16Baada ya hili Ayubu akaishi miaka mia na
33
AYUBU
34
ZABURI
Utangulizi
Jina la kitabu hiki kwa Kiebrania ni Sepher tehillim, maana yake “Nyimbo Za Sifa.” Jina la Kiyunani “Psalmoi, maana
yake ni “nyimbo zinazoandamana na ala za uimbaji za nyuzi,” ndiyo kiini cha kitabu hiki kiitwacho Zaburi.Kila moja ya sura
zote 150 za kitabu hiki ni ya peke yake tena iliyokamilika, isipokuwa chache tu.
Pamoja na wandishi wengi walioandika kwa muda mrefu, ambao ndio wanaochangia mkusanyiko huu, Zaburi zinaleta
hisia, misisimko, hali na mivuto mikubwa ya tofauti. Kwa kuwa Zaburi zinatokana na uzoefu wa kibinafsi kutoka katika asili
pana namna hiyo, bado zimekuwa na mvuto mkubwa kwa ulimwengu wote kwa maelfu ya miaka tangu ziandikwe.
Mara kwa mara zaburi zimeainishwa kwa kufuata namna fulani. Baadhi ya mapendekezo ya aina zenyewe na mifano
yake ambayo inaweza kuwa msaada mkubwa katika kujifunza zaidi ni kama ifuatavyo:
1. Kawaida ya ibada na sala 120 - 130 6. Kusifu 95, 100, 146 – 150
2. Masiya 2, 16, 22, 25, 69, 110 7. Kufuta mpangilio wa alfabeti 25, 111-
3. Toba 6, 32, 51 112,119
4. Binafsi 23, 27, 37 8. Maombi ya mwenye haki 17, 20 40, 55
5. Historia 78, 105- 106
Daudi, ambaye ndiye aliyeandika nyingi ya hizi zaburi, alikuwa na dhamira ya dhati ya kudumisha kuabudu na nyingi
ya hizo zimeanza na kawaida ya ibada na maombi (1Nyakati 15 – 16).
Kwa hiyo Zaburi ni mashairi au nyimbo za sifa, kuabudu, shukrani na toba. Pia zinaonyesha hisia mbalimbali. Kwa vile
zaburi zimeandikwa na watu wengi, katika nyakati mbalimbali na zinaonyesha hisia mbalimbali imetokea kwamba watu
wengi duniani wanazipenda na kuzifurahia.Ushairi wa Kiebrania mara kwa mara unatumia mistari miwili miwili. Mstari wa pili
ukirudia wazo la mstari wa kwanza au kinyume chake. Kuna uwezekano mkubwa kwamba makusanyo ya awali yalifanywa
na Daudi.Nyongeza nyingine na mpangilio inawezekana ulifanywa na Solomoni, Yehoshafati, Hezekia, Yosia na wengine.
Wazo Kuu
Kama kusanyiko la Zaburi 150, Kitabu cha Zaburi kimegusa mada mbalimbali kwa upana, zikiwa ni pamoja na ufunuo wa
Mungu, uumbaji, mwanadamu, wokovu, dhambi na uovu, haki na uadilifu, kuabudu na kusifu, maombi na hukumu. Kitabu
hiki kinamwangalia Mungu katika mitazamo mbalimbali kama: Muumbaji, mchungaji, mkombozi, mponyaji, mtawala,
mtegemezaji, ngome, mwamba, ngao, askari, mhukumu,mlipiza kisasi,nk.
Mhusika Mkuu
Daudi
Mahali
Palestina na Babeli.
Kwa sehemu kubwa, haikuwa ni kusudi la zaburi kuelezea habari za kihistoria. Hata hivyo zinaenda sambamba na matukio
ya kihistoria, kama vile Daudi alivyomkimbia Sauli na Absalomu, dhambi yake na Bethsheba, uhamishoni huko Babeli nk..
Mwandishi
Miongoni mwa zaburi 150, inafikiriwa kwamba jumla ya 100 zimeandikwa na waandishi wafuatao:
Daudi – 73, Asafu – 12, Wana wa Kora – 10, Mose – 1, Hemani – 1, Ethani – 1, Solomoni – 2. Ukiondoa Mose, Daudi na
Solomoni, waandishi wengine wote waliotajwa walikuwa makuhani au Walawi wenye vipaji vya uimbaji na majukumu katika
ibada takatifu wakati wa utawala wa Mfalme Daudi. Zaburi nyingine 50 hazijulikani ni nani mwandishi.
Tarehe
Kimeandikwa kuanzia 1,500 hadi 450 K.K.
Mgawanyo
• Kitabu I 1-41
• Kitabu II 42-72
• Kitabu III 73-89
• Kitabu IV 90-106
• Kitabu V 107-150
1
ZABURI
KITABU CHA KWANZA na kuwavunjavunja kama chombo cha
Furaha Ya Kweli mfinyanzi.’’
Heri mtu yule ambaye haendi 10Kwa hiyo, ninyi wafalme, iweni na hekima,
3 Huzuni Ya Waovu
Ee BWANA, tazama walivyo wengi
adui zangu!
4Sivyowalivyo waovu! Ni wengi kiasi gani wanaoinuka dhidi
Wao ni kama makapi yapeperushwayo na yangu!
2Wengi wanasema juu yangu,
upepo.
5Kwa hiyo waovu hawatastahimili hukumu, “Mungu hatamwokoa.’’
3Lakini wewe, Ee BWANA, ni ngao pande
wala wenye dhambi katika kusanyiko la
wenye haki. zote,
umeniwekea utukufu na kuinua kichwa
6Kwa maana BWANA huziangalia njia za changu.
4Ninamlilia BWANA kwa sauti kuu,
mwenye haki,
bali njia ya mwovu itapotea. naye ananijibu kutoka katika Mlima wake
mtakatifu.
5Ninajilaza na kupata usingizi,
Mfalme Aliyechaguliwa Na Mungu
Kwa nini mataifa wanashauriana kufanya naamka tena, kwa maana BWANA
2 mabaya, hunilinda.
6Sitaogopa makumi elfu ya adui,
na mataifa kula njama bure?
2Wafalme wa dunia wanajipanga wanaonizunguka pande zote.
7Ee BWANA, Amka,
na watawala wanajikusanya pamoja dhidi ya
BWANA uniokoe, Ee Mungu wangu!
na dhidi ya Mpakwa Mafuta wake. Wapige adui zangu wote kwenye taya,
3Wanasema, ‘‘Tuvunje minyororo yao vunja meno ya waovu.
8Kwa BWANA hupatikana wokovu.
na kuvitupilia mbali vifungo vyao.’’
4Yeye atawalaye mbinguni hucheka, Baraka yako na iwe juu ya watu wako.
Bwana huwadharau.
5Kisha huwakemea katika hasira yake Sala Ya Jioni Ya Kuomba Msaada.
na kuwaogopesha katika ghadhabu yake, (Kwa Mwimbishaji: Na Ala Za Nyuzi Za Muziki.
akisema, Zaburi Ya Daudi.)
Unijibu nikuitapo, Ee Mungu wangu
6“Nimemweka Mfalme wangu
10Ngaoyangu, ni Mungu Aliye Juu Sana, tazama jinsi lilivyo tukufu jina lako duniani
aokoaye wanyofu wa moyo. mwote!
11Mungu ni mwamuzi mwenye haki,
Mungu aghadhabikaye kila siku. Shukrani Kwa Mungu Kwa Ajili Ya Haki Yake
(Kwa Mwimbishaji Mtindo Wa Muth-Labeni a .
12Kama hakutuhurumia, Zaburi Ya Daudi).
Ee BWANA,
atanoa upanga wake,
atainama na kufyatua upinde wake. 9 nitakutukuza kwa moyo wangu wote,
13Ameandaa silaha kali, nitayasimulia matendo yako yote ya ajabu.
2Nitafurahi na kushangilia katika wewe,
ameweka tayari mishale yake ya moto.
14Yeye aliye na mimba ya ubaya na nitaliimbia sifa jina lako Ewe Uliye Juu Sana.
3Adui zangu wamerudi nyuma,
achukuaye mimba ya ghasia huzaa uongo.
15Yeye achimbaye shimo na kulifukua wamejikwaa na kuangamia mbele zako.
4Kwa maana umetetea haki yangu
hutumbukia katika shimo alilochimba
mwenyewe. na msimamo wangu,
16Ghasia azianzishazo humrudia mwenyewe, umeketi kwenye kiti chako cha enzi,
ukatili wake humrudia kichwani. ukihukumu kwa haki.
5Umekemea mataifa na kuwaangamiza waovu,
17Nitamshukuru BWANA kwa ajili ya haki
kuhukumu. Mungu,
8Mungu atahukumu ulimwengu kwa haki, katika mawazo yake yote hakuna nafasi
atatawala mataifa kwa haki. ya Mungu.
9 BWANA ni kimbilio la watu 5Njia zake daima hufanikiwa,
wewe, kitakachonitikisa,
kwa maana wewe BWANA, daima nitakuwa na furaha, kamwe
hujawaacha kamwe wakutafutao. sitakuwa na shida.’’
11Mwimbieni BWANA sifa, ametawazwa 7Kinywa chake kimejaa laana, uongo na vitisho,
5
ZABURI
2Hebu tazama, waovu wanakunja pinde zao, 2Nitapambana na mawazo yangu mpaka lini
huweka mishale kwenye uzi wake, na kila siku kuwa na majonzi moyoni
wakiwa gizani ili kuwapiga wanyofu wa mwangu?
moyo. Adui zangu watanishinda mpaka lini?
3Wakati misingi inapoharibiwa, 3Nitazame unijibu, Ee BWANA, wangu.
mwenye haki anaweza kufanya nini?’’ Uyatie nuru macho yangu ama sivyo
4 BWANA yuko ndani ya hekalu lake takatifu, nitalala usingizi wa mauti,
BWANA yuko kwenye kiti chake cha 4adui yangu atasema, ‘‘nimemshinda,’’
ya hila na kila ulimi uliojaa majivuno wale ambao huwala watu wangu kama
4ule unaosema, ‘‘Kwa ndimi zetu tutashinda, watu walavyo mkate,
midomo ni mali yetu, bwana wetu ni nani?’’ ambao hawamwiti BWANA .
5‘‘Kwa sababu ya uonevu wa wanyonge 5Hapo ndipo, wameingiwa na hofu nyingi,
na kulia kwa uchungu kwa wahitaji, maana Mungu yupo pamoja na wenye haki.
nitainuka sasa,’’ asema BWANA . 6Ninyi watenda mabaya mnakwamisha
wakati ambapo yule aliye mbaya sana ndiye Kitu Mungu Anachotaka
anayeheshimiwa miongoni mwa watu. (Zaburi Ya Daudi)
Ee Mungu, uniweke salama, kwa unitegee sikio lako na usikie ombi langu.
16 maana kwako nimekimbilia.
2Nilimwambia BWANA “Wewe ndiwe
7Uonyeshe ajabu ya upendo wako mkuu,
ndio walio wa fahari ambao ninapendezwa unifiche chini ya kivuli cha mbawa zako
nao. 9kutokana na waovu wanaonishambulia,
4Huzuni itaongezeka kwa wale wanaokimbilia kutokana na adui wauaji wanaonizunguka.
miungu mingine. 10Wamefunga mioyo yao migumu,
7
ZABURI
Wimbo Wa Daudi Wa Ushindi (2Sam 22:1-15) akanishika,
(Kwa Mwimbishaji: Zaburi Ya Daudi Mtumishi Wa akanitoa kutoka katika maji mengi.
Mungu Aliyomwimbia Mungu Wakati Mungu 17Aliniokoa kutoka adui yangu mwenye nguvu
Alipomwokoa Mkononi Mwa Sauli Na Adui nyingi,
Wengine). kutoka adui zangu, waliokuwa na nguvu
Nakupenda wewe, Ee BWANA,
18 nguvu yangu.
2 BWANA ni mwamba wangu, ngome
nyingi kuliko mimi.
18Walinishambulia siku ya taabu yangu,
8
ZABURI
huniwezesha kusimama mahali palipo juu. usiku baada ya usiku zinatangaza
34Huifundisha mikono yangu kupigana vita, maarifa.
mikono yangu inaweza kupinda upinde
wa shaba. 3Hakuna msemo wala lugha,
35Hunipa ngao yako ya ushindi, ambapo sauti zao hazisikiki.
mkono wako wa kuume hunitegemeza, 4Sauti yao imeenea duniani pote,
9
ZABURI
Maombi Kwa Ajili Ya Ushindi(Kwa Aliye Juu Sana hatatikiswa.
Mwimbishaji: Zaburi Ya Daudi 8Mkono wako utawakamata adui zako wote,
BWANA na akupe haja zako zote. zako, tutaimba na kusifu nguvu zako.
21 Ee BWANA,
nguvu zako.
mfalme huzifurahia
10
ZABURI
kwa maana shida iko karibu wale wamtafutao BWANA
na hakuna wa kunisaidia. watamsifu,
mioyo yenu na iishi milele!
12Mafahali wengi wamenizunguka, 27Miisho yote ya dunia itakumbuka na
11
ZABURI
Ni nani awezaye kusimama patakatifu kwa hiyo huwafundisha wenye dhambi
pake? njia zake.
4Ni yule mwenye mikono safi na moyo mweupe, 9Huwaongoza wanyenyekevu katika haki,
yule ambaye hakuinulia sanamu nafsi yake naye huwafundisha njia yake.
au kuapa kwa kitu cha uongo. 10Njia zote za BWANA ni fadhili na aminifu
5Huyo atapokea baraka kutoka kwa BWANA kwa wale wanaoshika agano na
na hukumu ya haki kutoka kwa shuhuda zake.
Mungu mwokozi wake. 11Ee BWANA, kwa ajili ya Jina lako,
6Hiki ndicho kizazi cha wale wamtafutao, unisamehe uovu wangu, ijapokuwa ni
wale wautafutao uso wako, Ee Mungu wa mwingi.
Yakobo. 12Ni nani basi, mtu yule anayemcha BWANA?
viinueni juu enyi milango ya kale, 16Niangalie na unihurumie, kwa maana mimi
ili mfalme wa utukufu apate kuingia. ni mpweke na mwenye kuteseka.
10Ni nani huyu, huyu mfalme wa utukufu? 17Shida za moyo wangu zimeongezeka,
12
ZABURI
6Ee BWANA, ninanawa mikono yangu 8Moyo wangu unasema kuhusu wewe,
kuonyesha kuwa sina hatia ‘‘Utafute uso wake!’’
na kukaribia madhabahu yako, Uso wako, BWANA ‘‘Nitautafuta.’’
7nikitangaza kwa sauti sifa yako
katika maskani yake nitatoa dhabihu na yale ambayo mikono yake imetenda,
kwa kelele za shangwe, atawabomoa na kamwe hatawajenga tena.
nitamwimbia BWANA na kumsifu.
7Ee BWANA, uisikie sauti yangu nikuitapo, 6 BWANA asifiwe,
unihurumie na unijibu. kwa maana amesikia kilio changu
13
ZABURI
nikimwomba anihurumie. nilikuita unisaidie na wewe umeniponya.
7 BWANA ni nguvu yangu na ngao yangu, 3Ee BWANA, umenitoa kuzimuni,
moyo wangu umemtumaini yeye, nami umeniokoa nisishuke kwenye shimo la
nimesaidiwa. mauti.
Moyo wangu unaruka kwa furaha
nami nitamshukuru kwa wimbo. 4Mwimbieni BWANA enyi watakatifu wake,
lisifuni jina lake takatifu,
8BWANA ni nguvu ya watu wake, kwa kumbukumbu la utakatifu wake.
ngome ya wokovu kwa mpakwa mafuta 5Kwa maana hasira yake ni ya muda mfupi,
sanamu batili,
a6 Sirioni ni Mlima Hermoni.
14
ZABURI
mimi ninamtumaini BWANA . 21Atukuzwe BWANA
7Nitafurahia na kushangilia upendo wako, kwa kuwa amenionyesha upendo wake
kwa kuwa uliona mateso yangu na ulijua wa ajabu nilipokuwa katika mji uliozingirwa.
maumivu ya nafsi yangu. 22Kwa haraka yangu nilisema,
8Hukunikabidhi kwa adui yangu bali umeiweka “Nimekatiliwa mbali na macho yako!”
miguu yangu mahali penye nafasi. Hata hivyo ulisikia kilio changu
9Ee BWANA unihurumie, kwa kuwa niko ukanihurumia nilipokuita unisaidie.
kwenye shida,
macho yangu yanafifia kwa huzuni, 23Mpendeni BWANA ninyi watakatifu
nafsi yangu na mwili wangu kwa sikitiko. wake wote!
10Maisha yangu yamedhoofika kwa majonzi, BWANA huwahifadhi waaminifu,
naam, miaka yangu kwa kulia kwa lakini wenye kiburi huwalipiza kikamilifu.
maumivu makali, 24Mwe hodari na mjipe moyo,
nguvu zangu zinaisha kwa ajili ya mateso, ninyi nyote mnaomtumaini BWANA .
na mifupa yangu inachakaa.
11Kwa sababu ya adui zangu wote, Ungamo Na Msamaha
nimedharauliwa kabisa na jirani zangu, (Utenzi: Zaburi Ya Daudi. Funzo)
hata rafiki zangu wananiogopa, 32 Heri mtu yule ambaye amesamehewa
wale wanionao barabarani hunikimbia. makosa yake,
12Nimesahaulika miongoni mwao kama mtu ambaye dhambi zake zimefunikwa.
aliyekufa, 2Heri mtu yule ambaye BWANA
uniokoe kwa ajili ya upendo wako 6Kwa hiyo kila mtu mtauwa na akuombe
usiokoma. maadam unapatikana,
17Usiniache niaibike, Ee BWANA, hakika maji makuu yatakapofurika
kwa maana nimekulilia wewe, hayatamfikia yeye.
bali waovu waaibishwe 7Wewe ndiwe mahali pangu pa kujificha,
15
ZABURI
4Maana
34 sifa zake zitakuwa midomoni
neno la BWANA ni haki na mwangu siku zote.
kweli, ni mwaminifu kwa yote atendayo. 2Nafsi yangu itajisifu katika BWANA
5Hupenda uadilifu na haki, walioonewa wasikie na wafurahi.
dunia imejaa upendo wake usiokoma. 3Mtukuzeni BWANA pamoja nami,
jeshi lao la angani kwa pumzi ya kinywa akaniokoa kwenye hofu zangu zote.
chake. 5Wale wamtazamao hutiwa nuru,
7Ameyakusanya maji ya bahari kama kwenye nyuso zao hazifunikwi na aibu kamwe.
mtungi, 6Maskini huyu alimwita BWANA akamsikia,
vilindi vya bahari ameviweka katika ghala. akamwokoa katika taabu zake zote.
8Dunia yote na imwogope BWANA 7Malaika wa BWANA hufanya kituo
ambaye huangalia kila kitu wanachokitenda. na kutamani kuziona siku nyingi njema,
16Hakuna mfalme aokokaye kwa ukubwa wa 13auzuie ulimi wake na mabaya
wale wamchao, kwa wale ambao tumaini 15Macho ya BWANA yako kwa wenye
lao ni katika upendo wake usio na kikomo, haki na masikio yake yako makini kusikia
19ili awaokoe na mauti kilio chao,
na kuwahifadhi wakati wa njaa. 16uso wa Bwana uko kinyume na watenda
16
ZABURI
mabaya, 11Mashahidi wakatili wanainuka,
kufuta kumbukumbu lao duniani. wananiuliza kwa mambo nisiyoyajua.
12Wananilipa baya kwa jema
17Wenye haki hulia, naye BWANA huwasikia, na kuiacha nafsi yangu ukiwa.
huwaokoa katika taabu zao zote. 13Lakini walipokuwa wagonjwa, nilivaa nguo
18 BWANA yu karibu nao waliovunjika moyo ya gunia na nikajinyenyekesha kwa
na huwaokoa waliopondeka roho. kufunga.
19Mwenye haki ana mateso mengi, Maombi yangu yaliponirudia bila kujibiwa,
lakini BWANA humwokoa nayo yote, 14niliendelea kuomboleza
20huhifadhi mifupa yake yote, kama vile wao ni rafiki au ndugu.
hata mmoja hautavunjika. Niliinamisha kichwa chini kwa huzuni
21Ubaya utamwua mwovu, kama vile ninayemwombolezea mama
adui wa mwenye haki watahukumiwa. yangu.
22 BWANA huwakomboa watumishi wake, 15Lakini nilipojikwaa, walikusanyika kwa
35
Ee BWANA, pingana na wale wamedhihaki, wamenisagia meno.
wanaopingana nami, 17Ee BWANA, utatazama mpaka lini?
wavu walionifichia na uwatege wenyewe, 22Ee BWANA, umeona hili, usiwe kimya.
na waanguke katika shimo hilo, Usiwe mbali nami, Ee BWANA.
kwa maangamizo yao. 23Amka, inuka unitetee!
9Ndipo nafsi yangu itashangilia katika Unipiganie Mungu wangu na Bwana wangu.
BWANA na kuufurahia wokovu wake. 24Nihukumu kwa haki yako, Ee BWANA
10Nitapaza sauti yangu nikisema, Mungu wangu, sawasawa na haki
‘‘Ni nani aliye kama wewe, Ee BWANA? yako, usiwaache wakusimange.
25Usiwaache wafikiri, “Ahaa, hili ndilo
Zaburi Ya Daudi Mtumishi Wa Mungu). ukae katika nchi ukafurahie malisho salama.
Kuna neno moyoni mwangu kuhusu 4Jifurahishe katika BWANA
Wewe huwapa kunywa kutoka katika mto kwa sababu anajua siku yao inakuja.
wa furaha zako. 14Waovu huchomoa upanga
9Kuwa pamoja nawe ni kijito cha uzima, na kupinda upinde,
katika nuru yako twaona nuru. ili wawaangushe maskini na wahitaji,
kuwachinja wale ambao njia zao ni
10Ongeza upendo wako kwa wale wanaokujua nyofu.
wewe, 15Lakini panga zao zitachoma mioyo yao
18
ZABURI
lakini BWANA humtegemeza mwenye haki. na uishike njia yake.
Naye atakutukuza uirithi nchi, waovu
18 BWANA anazifahamu siku za wanyofu, watakapokatiliwa mbali,
na urithi wao utadumu milele. utaliona hilo.
19Siku za maafa hawatanyauka,
siku za njaa watafurahia kuwa na wingi 35Nimemwona mtu mwovu na mkatili akistawi
wa vitu. kama mwerezi wa Lebanoni,
20Lakini waovu wataangamia: 36lakini alitoweka mara na hakuonekana,
nao ulimi wake huzungumza lililo haki. hakuna afya mwilini mwangu.
31Sheria ya BWANA wake imo moyoni mwake, 8Nimedhoofika na kupondwa kabisa,
19
ZABURI
hata macho yangu yametiwa giza. yanavyopita upesi.
11Rafiki
na wenzangu wananikwepa kwa 5Umefanya maisha yangu mafupi kama pumzi,
sababu ya majeraha yangu, muda wangu wa kuishi ni kama hauna
majirani zangu wanakaa mbali nami. thamani kwako.
12Wale wanaotafuta uhai wangu wanatega Maisha ya kila mwanadamu ni kama pumzi.
mitego yao, 6Hakika kila binadamu ni kama njozi aendapo
ambaye kinywa chake hakiwezi kutoa jibu. usinifanye kuwa dhihaka ya wapumbavu.
15Ee BWANA, ninakungojea wewe, 9Nilinyamaza kimya, sikufumbua kinywa changu,
Ee Bwana Mungu wangu, utajibu. kwa sababu wewe ndiwe uliyetenda hili.
16Kwa kuwa nilisema, “Usiwaache wafurahie 10Niondolee mjeledi wako,
wala wasijitukuze juu yangu mguu wangu nimeshindwa kwa mapigo ya mkono wako.
unapoteleza.’’ 11Unakemea na kuadhibu wanadamu kwa ajili ya
dhambi zao,
17Kwa maana ninakaribia kuanguka, unaharibu utajiri wao kama nondo
na maumivu yangu yananiandama siku zote. aharibuvyo,
18Naungama uovu wangu, kila mwanadamu ni kama pumzi tu.
ninataabishwa na dhambi yangu. 12“Ee BWANA, usikie maombi yangu,
19Wengi ni wale ambao ni adui zangu hodari, usikie kilio changu unisaidie,
wale wanaonichukia bila sababu ni wengi. usiwe kiziwi kwa kulia kwangu.
20Wanaolipa maovu kwa wema wangu Kwani mimi ninaishi na wewe kama mgeni,
hunisingizia ninapofuata lililo jema. kama walivyokuwa baba zangu wote,
13Tazama mbali nami, ili niweze kufurahi tena
21Ee BWANA, usiniache, kabla sijaondoka na nisiwepo tena.’’
usiwe mbali nami, Ee Mungu wangu.
22Ee Bwana Mwokozi wangu, Wimbo Wa Sifa
uje upesi kunisaidia. (Kwa Mwimbishaji: Zaburi Ya Daudi).
wakati wote waovu wanapokuwa karibu wimbo wa sifa kwa Mungu wetu.
nami.’’ Wengi wataona na kuogopa na kuweka
2Lakini niliponyamaza kimya na kutulia, tumaini lao kwa BWANA .
hata pasipo kusema lo lote jema,
uchungu wangu uliongezeka. 4Herimtu yule amfanyae BWANA kuwa
3Moyo wangu ulipata moto ndani yangu, tumaini lake,
nilipotafakari, moto uliwaka, wasiowategemea wenye kiburi,
ndipo nikasema kwa ulimi wangu: wale wenye kugeukia miungu ya uongo.
4“Ee BWANA, nijulishe mwisho wa maisha 5Ee BWANA wangu,
20
ZABURI
hakuna awezaye kukuhesabia, Heri mtu yule anayemjali maskini,
kama ningesema na kuyaelezea, 41 BWANA atamwokoa wakati
yangekuwa mengi mno kuyaelezea. wa shida.
2 BWANA atamlinda na kuyahifadhi maisha
6Dhabihu na sadaka hukuvitaka, yake,
lakini umefungua masikio yangu, atambariki katika nchi
sadaka za kuteketezwa na sadaka za na hatamwacha katika tamaa ya adui zake.
dhambi hukuzihitaji. 3 BWANA atamtegemeza awapo mgonjwa
7Ndipo niliposema, ‘‘Mimi hapa, nimekuja, kitandani,
imeandikwa kuhusu mimi katika gombo. atamwinua kutoka kitandani mwake.
8Ee Mungu wangu, natamani kufanya mapenzi
mchana na usiku,
Maombi Ya Mtu Mgonjwa huku watu wakiniambia mchana kutwa,
(Kwa Mwimbishaji: Zaburi Ya Daudi)
21
ZABURI
“Yuko wapi Mungu wako?’’ Kwa nini umenikataa?
4Vitu hivi ninavikumbuka Kwa nini niendelee kuomboleza,
ninapoimimina nafsi yangu: nikiwa nimeonewa na adui?
Jinsi nilivyokuwa nikienda na umati wa watu, 3Tuma hima nuru yako na kweli yako
11Ee nafsi yangu kwa nini unasononeka? 4Wewe ni mfalme wangu na Mungu wangu,
Kwa nini unafadhaika hivyo ndani yangu? unayeamuru ushindi kwa Yakobo.
Weka tumaini lako kwa Mungu, 5Kwa uwezo wako tunawasukuma nyuma
22
ZABURI
nao watesi wetu wametuteka nyara.
11Umetuacha
45 Moyo wangu umesisimuliwa na jambo
jema
tutafunwe kama kondoo ninapomsimulia mfalme mabeti yangu,
na umetutawanya katika mataifa. ulimi wangu ni kalamu ya mwandishi stadi.
12Umewauza watu wako kwa fedha kidogo,
wala hukupata faida yo yote kwa mauzo 2Wewe ni bora kuliko watu wengine wote
yao. na midomo yako imepakwa neema,
13Umetufanya lawama kwa jirani zetu, kwa kuwa Mungu amekubariki milele.
dharau na dhihaka kwa wale 3Jifunge upanga wako pajani mwako, Ee
23
ZABURI
na wanaletwa kwako. Aliye Juu Sana,
15Wanaingizwa ndani kwa shangwe na furaha, Mfalme mkuu juu ya dunia yote.
na kuingia katika jumba la mfalme. 3Ametiisha mataifa chini yetu
16Wana wenu watachukua nafasi za baba na mataifa chini ya miguu yetu.
zenu, mtawafanya wana wa kifalme katika 4Alituchagulia urithi wetu kwa ajili yetu
46 msaada utakaoonekana tele wakati Mungu ameketi juu ya kiti chake cha enzi
wa mateso. kitakatifu.
2Kwa hiyo hatutaogopa, hata kama 9Wakuu wa mataifa wanakusanyika
ninyi, dhambi
kwa maana ulimwengu ni wangu, na kufanya yaliyo mabaya machoni pako,
pamoja na vyote vilivyomo ndani yake. ili uthibitike kuwa mkweli unenapo
13Je, mimi hula nyama ya mafahali na kuwa na haki utoapo hukumu.
au kunywa damu ya mbuzi? 5Hakika mimi nilizaliwa mwenye dhambi,
14Toa sadaka za shukrani kwa Mungu, mwenye dhambi tangu nilipotungwa
timiza nadhiri zako kwake Yeye Aliye Juu mimba kwa mama yangu.
Sana
15na uniiite siku ya taabu 6Hakika Wewe wapendezwa na kweli itokayo
nami nitakuokoa nawe utanitukuza. moyoni,
ndani sana ya moyo wangu wanifundisha
16Lakinikwake mtu mwovu, Mungu asema: hekima.
“Una haki gani kunena sheria zangu 7Unioshe kwa hisopo, nami nitakuwa safi,
na kuuongoza ulimi wako kwa hila. 10Ee Mungu, uniumbie moyo safi,
20Wanena daima dhidi ya ndugu yako uifanye upya roho ya uthabiti ndani yangu.
na kumsingizia mwana wa mama yako. 11Usinitupe kutoka mbele zako
21Mambo haya unayafanya nami nimekaa wala kuniondolea Roho wako Mtakatifu.
kimya, 12Unirudishie tena furaha ya wokovu wako
ukafikiri Mimi nami ni kama wewe. unipe roho ya utii, ili initegemeze.
Lakini nitakukemea
na kuweka mashtaka mbele yako. 13Ndipo nitakapowafundisha wakosaji njia zako,
na wenye dhambi watakugeukia wewe.
22“Yatafakarini
haya, ninyi mnaomsahau Mungu, 14Ee Mungu, Mungu uniokoaye,
26
ZABURI
Ee Mungu, hutaudharau. Mpumbavu anasema moyoni mwake,
18Kwa wema wa radhi yako uifanye Sayuni 53 “Hakuna Mungu.’’
isitawi, Wameharibika, na njia zao ni za uovu
ukazijenge upya kuta za Yerusalemu. kabisa,
19Hapo ndipo kutakapokuwa na dhabihu za haki, hakuna hata mmoja atendaye mema.
sadaka nzima za kuteketezwa za
kukupendeza sana, 2Mungu huwachungulia wanadamu chini
pia mafahali watatolewa madhabahuni kutoka mbinguni aone kama wako wenye
mwako. akili,
wo wote wanaomtafuta Mungu.
Hukumu Ya Mungu Na Neema
(Kwa Mwimbishaji: Utenzi Wa Daudi Baada 3Kila mmoja amegeukia mbali,
Ya Doegi, Mwedomu, Kumwendea Sauli Na wameoza wote pamoja,
Kumjulisha Kuwa Daudi Amekwenda hakuna hata mmoja atendaye mema,
Nyumbani Kwa Abimeleki.) naam! hata mmoja.
Ewe jitu, mbona unajivunia ubaya?
52 Kwa nini unaringa mchana kutwa, 4Je, watendao mabaya kamwe hawatajifunza,
wewe ambaye ni fedheha mbele wale ambao huwala watu wangu kama
za Mungu? watu walavyo mkate
2Ulimi wako hupanga mashauri mabaya ya na ambao hawamwiti Mungu?
maangamizi,
ni kama wembe mkali, ninyi mfanyao hila. 5Hapo watatetemeka kwa hofu kuu,
3Unapenda mabaya kuliko mema, ambapo hakuna cha kutetemesha.
uongo kuliko kusema kweli. Mungu alitawanya mifupa ya wale
4Unapenda kila neno lenye kudhuru, waliokushambulia,
ewe ulimi wenye hila! Umewaaibisha, kwa sababu Mungu
5Hakika Mungu atakushusha chini kwa amewadharau.
maangamizi ya milele:
atakunyakua na kukuondoa kwa nguvu 6Laiti wokovu wa Israeli ungalikuja kutoka
kutoka katika hema yako, Sayuni!
atakung’oa kutoka nchi ya walio hai. Wakati Mungu arejeshapo wafungwa wa
6Wenye haki wataona na kuogopa, watu wake,
watakapomcheka, wakisema, Yakobo na ashangilie, Israeli na afurahi.
7“Huyu ni yule mtu ambaye
hakumfanya Mungu kuwa ngome yake, Kuomba Ulinzi Wa Mungu Kutokana Na Adui
bali alitumainia wingi wa utajiri wake (Kwa Mwimbishaji Na Ala Za Nyuzi Wa
na akawa hodari kwa kuwaangamiza Uimbaji Utenzi Wa Daudi Wakati Mtu Mmoja
wengine!” Wa Zifu Alipomwendea Sauli Na Kumjulisha
Kuwa Daudi Amejificha Kwao.)
8Lakini mimi ni kama mti wa mzeituni Ee Mungu uniokoe kwa jina lako,
unaostawi katika nyumba ya Mungu, 54 unitetee kwa uwezo wako.
nautegemea upendo wa Mungu 2Ee Mungu, sikia maombi yangu,
nitatumaini jina lako, kwa kuwa jina lako ni 3Wageni jeuri wananishambulia,
jema. na watu wakatili wanatafuta maisha yangu
Nitakusifu mbele ya watakatifu wako. watu wasiomjali Mungu.
27
ZABURI
na kunitukana kwa hasira zao. hata hivyo vita vimo moyoni mwake,
maneno yake mororo kuliko mafuta,
4Moyo wangu umejaa uchungu, hata hivyo ni upanga mkali ulifutwa.
hofu ya kifo imenishambulia.
5Woga na kutetemeka vimenizunguka, 22Mtwike BWANA fadhaa zako,
hofu kuu imenigharikisha. naye atakutegemeza,
6Nilisema, “Laiti ningekuwa na mbawa za njiwa! hatamwacha kamwe mwenye haki wake
Ningeruka niende mbali kupumzika. aanguke.
7Ningalitorokea mbali sana 23Lakini Wewe, Ee Mungu, utawashusha waovu
ningevumilia, kutwa,
kama mtu mwovu angejiinua dhidi yangu, wengi wananishambulia kwa kiburi chao.
ningejificha asinione.
13Kumbe ni wewe, mwenzangu, 3Wakati ninapoogopa,
mshiriki na rafiki yangu wa karibu, nitakutumaini wewe.
14ambaye wakati fulani tulifurahia ushirika mzuri 4Katika Mungu, ambaye neno lake ninalisifu,
28
ZABURI
kufa atanitenda nini? watu ambao meno yao ni mikuki na mishale,
ambao ndimi zao ni panga kali.
5Mchana kutwa wanayageuza maneno yangu,
siku zote wanapanga shauri la kunidhuru. 5Ee Mungu, utukuzwe, juu mbinguni,
6Wanapatana kunifanyia ubaya na kujificha, utukufu wako na uenee duniani kote.
wanatazama hatua zangu,
wakiwa na shauku ya kuutoa uhai wangu. 6Waliitegea miguu yangu nyavu,
7Kwa vyo vyote wasiepuke, nikainamishwa chini na dhiki.
Ee Mungu katika hasira yako yaangushe Wamechimba shimo katika njia yangu,
mataifa. lakini wametumbukia humo wao
8Andika maombolezo yangu, wenyewe.
orodhesha machozi yangu katika gombo
lako, 7EeMungu, moyo wangu uko imara,
je, haya hayapo katika kumbukumbu zako? naam moyo wangu uko imara,
nitaimba na kupiga vinanda.
9Ndipo adui zangu hugeuzwa nyuma 8Amka, nafsi yangu!
29
ZABURI
wavutapo pinde zao, mishale yao na iwe Mungu wangu unipendaye.
butu.
8Kama konokono ayeyukavyo akitembea, 10Mungu atanitangulia,
kama mtoto aliyezaliwa akiwa mfu, na naye atanifanya niwatazame kwa furaha
asilione jua. wale wanaonisingizia.
11Ee BWANA, ngao yetu, usiwaue,
9Kabla vyungu vyenu havijapata moto wa kuni sivyo watu wangu watasahau.
za miiba, Katika uwezo wako wafanye watangetange
zikiwa mbichi au kavu waovu watakuwa na uwashushe chini.
wamefagiliwa mbali. 12Kwa ajili ya dhambi za vinywa vyao,
10Wenye haki watafurahi waonapo kwa ajili ya maneno ya midomo yao,
wakilipizwa kisasi, wakati wakichovya nyayo waache wanaswe katika kiburi chao.
zao katika damu ya waovu. Kwa ajili ya laana na uongo wanaotamka,
11Ndipo wanadamu watasema, 13wateketeze katika ghadhabu,
“Hakika utulivu wa wenye haki bado una wateketeze hadi wasiwepo tena.
thawabu, Ndipo itakapofahamika katika miisho ya
hakika kuna Mungu ahukumuye dunia.’’ dunia
kwamba Mungu anatawala juu ya
Kuomba Ulinzi Wa Mungu Yakobo.
(Kwa Mwimbishaji: Mtindo Wa Usiharibu.
Utenzi Wa Daudi Wakati Sauli Alipotuma 14Hurudi jioni,
Wapelelezi Wamwue.) wakibweka kama mbwa,
Ee Mungu, uniokoe na adui zangu, wakiuzunguka zunguka mji.
59 unilinde kutokana na hao 15Wanatangatanga wakitafuta chakula
hutema upanga kutoka katika midomo yao, uiponye na kutengeneza mavunjiko yake
nao husema, “Ni nani atakayetusikia?’’ kwa maana inatetemeka.
8Lakini Wewe, BWANA, uwacheke, 3Umewaonyesha watu wako nyakati za
30
ZABURI
4Kwa wale wanaokucha Wewe, umewainulia amuru upendo wako na uaminifu wako
bendera, vimlinde.
ili iweze kutwekwa dhidi ya upinde.
8Ndipo daima nitaliimbia sifa jina lako
5Tuokoe na utusaidie kwa mkono wako wa na kuzitimiza nadhiri zangu siku baada ya
kuume, siku.
ili wale uwapendao waweze kuokolewa.
6Mungu amenena kutoka mahali patakatifu Uhakika Katika Ulinzi Wa Mungu
pake: (Kwa Mwimbishaji: Mtindo Wa Yuduthuni.
“Kwa furaha kuu nitaigawa Shekemu Zaburi Ya Daudi)
na kupima Bonde la Sukothi. Kwa Mungu peke yake nafsi yangu
7Gileadi ni yangu na Manase ni yangu, 62 inapata pumziko,
Efrahimu ni kofia yangu ya chuma wokovu wangu watoka kwake.
na Yuda ni fimbo yangu ya utawala. 2Yeye peke yake ndiye mwamba wangu
8Moabu sinia langu la kunawia, na wokovu wangu,
juu ya Edomu natupa kiatu changu, yeye ni ngome yangu, sitatikisika kamwe.
nami nitashangilia kwa kushindwa kwa
Wafilisti. 3Mtamshambulia mtu hata lini?
Je, ninyi nyote mtamtupa chini,
9Ninani atakayenipeleka kwenye mji wenye ukuta huu ulioinama na uzio huu
maboma? unaotikisika?
Ni nani atakayeniongoza mpaka Edomu? 4Walikusudia kikamilifu kumwangusha
10Ee Mungu, si Wewe, Wewe uliyetukataa sisi toka mahali pake pa fahari,
na hutoki tena na majeshi yetu? wanafurahia uongo.
11Tupe msaada dhidi ya adui, Kwa vinywa vyao hubariki,
kwa maana msaada wa mwanadamu lakini ndani ya mioyo yao hulaani.
haufai.
12Mungu akiwa pamoja nasi tutajipatia ushindi, 5Ee nafsi yangu, upumzike, kwa Mungu peke
naye atawakanyaga chini adui zetu. yake,
tumaini langu latoka kwake.
Kuomba Ulinzi 6Yeye peke yake ndiye mwamba na wokovu
uniongoze kwenye mwamba ule ulio juu mmiminieni Yeye mioyo yenu,
kuliko mimi. kwa kuwa Mungu ni kimbilio letu.
3Kwa kuwa umekuwa kimbilio langu,
31
ZABURI
upendo. na kuelekeza maneno yao kama mishale
Hakika utampa kila mtu thawabu kwa kadiri ya kufisha.
ya alivyotenda. 4Hutupa mishale kutoka kwenye
nao watakuwa chakula cha mbweha. kwako wewe watu wote watakuja.
3Tulipokuwa tumefunikwa kabisa na dhambi,
11Balimfalme atafurahi katika Mungu, wewe ulisamehe makosa yetu.
wale wote waapao kwa jina la Mungu 4Heri wale uliowachagua
32
ZABURI
8Wale wanaoishi mbali sana wanaogopa ukatusafisha kama fedha.
maajabu yako, 11Umetuingiza kwenye nyavu
kule asubuhi ipambazukiapo na kule jioni na umetubebesha mizigo mizito migongoni
inakofifilia umeziita nyimbo za furaha. mwetu.
12Uliwaruhusu watu watukalie vichwani,
9Waitunza nchi na kuinyweshea, tulipita kwenye moto na kwenye maji,
waitajirisha kwa wingi. lakini ulituleta kwenye nchi iliyojaa utajiri.
vijito vya Mungu vimejaa maji
ili kuwapa watu nafaka, 13Nitakuja hekaluni mwako na sadaka za
kwa maana Wewe umeviamuru. kuteketezwa na kukutimizia nadhiri zangu,
10Umeilowesha mifereji yake 14nadhiri ambazo midomo yangu iliahidi
66 dunia yote!
2Imbeni utukufu wa jina lake,
ambaye hakulikataa ombi langu
wala kunizuilia upendo wake!
mpeni sifa zake kwa utukufu!
3Mwambieni Mungu, “Jinsi gani yalivyo ya Wimbo Wa Kushukuru
kutisha matendo yako! (Kwa Mwimbishaji: Na Ala Za Nyuzi Za
Uwezo wako ni mkuu mno kiasi kwamba Muziki. Zaburi. Wimbo.)
adui wananyenyekea mbele zako. Mungu uturehemu na kutubariki
4Dunia yote inakusujudia, 67 na kutuangazia nuru za uso wako,
wanakuimbia wewe sifa, 2ili njia zako zijulikane duniani,
33
ZABURI
Mungu na ainuke, watesi wake na ataishi milele?
68 watawanyike, 17Magari ya Mungu ni makumi ya maelfu,
adui zake na wakimbie mbele zake. na maelfu ya maelfu,
2Kama vile moshi upeperushwavyo na upepo, Bwana amekuja kutoka Sinai
vile vile uwapeperushe mbali, kuja katika patakatifu pake.
kama vile nta iyeyukavyo kwenye moto, 18Ulipopanda juu, uliteka mateka,
jina lake ni BWANA, furahini mbele zake. BWANA Mwenyezi hutuokoa na kifo.
5Baba wa yatima, mtetezi wa wajane,
ni Mungu katika makao yake matakatifu. 21Hakika Mungu ataponda vichwa vya adui
6Mungu huwaweka wapweke katika jamaa, zake,
huwaongoza wafungwa wakiimba, vichwa vya hao waendao katika njia za
bali waasi huishi katika nchi kame. dhambi.
22Bwana alisema, “Nitawarudisha kutoka
7Ee Mungu, ulipowatangulia watu wako, Bashani,
ulipopita nyikani, nitawarudisha kutoka vilindi vya bahari,
8dunia ilitikisika, 23ili uweze kuchovya miguu yako katika damu
kwa nini mnakazia macho kwa wivu, kundi la mafahali katikati ya ndama za
katika mlima Mungu anaochagua kutawala, mataifa.
ambako BWANA mwenyewe Wakiwa wamenyenyekea na walete minara
34
ZABURI
ya madini ya fedha. 8Nimekuwa mgeni kwa kaka zangu,
Tawanya mataifa yapendayo vita. mgeni kwa wana wa mama yangu
31Wajumbe watakuja kutoka Misri, mwenyewe,
Kushi a ajisalimisha kwa Mungu. 9kwa kuwa wivu wa nyumba yako unanila,
yeye angurumaye kwa sauti kuu. nilikuwa kitu cha kudharauliwa na watu.
34Tangazeni uwezo wa Mungu, 12Wale wanaoketi mlangoni wananisimanga,
29Mimi
71 Wewe,
niko katika maumivu na taabu, usiniache nikaaibika kamwe.
Ee Mungu, wokovu wako na unihifadhi. 2Kwa haki yako uniponye na kuniokoa,
na wala hadharau watu wake waliotekwa. 5Ee BWANA, Mwenyezi, kwa kuwa
umekuwa tumaini langu,
34Mbingu na dunia na vimsifu, tegemeo langu tangu ujana wangu.
bahari na vyote viendavyo ndani yake, 6Tangu kuzaliwa nimekutegemea wewe,
35kwa maana Mungu ataiokoa Sayuni ulinitoa tumboni mwa mama yangu.
na kuijenga tena miji ya Yuda. Nitakusifu wewe daima.
Kisha watu watafanya makao yao humo 7Nimeonekana kama kioja kwa wengi,
na wale wote walipendao jina lake wataishi nikitangaza utukufu wako mchana kutwa.
humo.
9Usinitupewakati wa uzee,
Kuomba Msaada wala usiniache nguvu zangu zinapopungua.
(Zab 40 :13-17) 10Kwa maana adui zangu wananisengenya,
warudi nyuma kwa sababu ya aibu yao. 14Lakinimimi, nitatumaini siku zote,
4Lakini wote wakutafutao nitakusifu zaidi na zaidi.
na washangilie na kukufurahia, 15Kinywa changu kitasimulia haki yako,
36
ZABURI
makuu, kama manyunyu yanyeshayo ardhi.
nitatangaza haki yako, 7Katika siku zake wenye haki watastawi,
yako peke yako. mafanikio yatakuwepo mpaka mwezi
17Ee Mungu, umenifundisha tangu ujana wangu, utakapokoma.
hadi leo ninatangaza matendo yako ya
ajabu. 8Atatawala kutoka bahari hadi bahari
18Ee Mungu, usiniache, na kutoka Mto a mpaka miisho ya dunia.
hata niwapo mzee wa mvi, 9Makabila ya jangwani watamsujudia,
mpaka nitangaze uwezo wako kwa kizazi na adui zake watalamba mavumbi.
kijacho, 10Wafalme wa Tarshishi na wa pwani za mbali
utanihuisha tena, kutoka vilindi vya dunia na kuwaokoa wahitaji kutoka mauti.
utaniinua tena. 14Atawaokoa kutoka uonevu na ukatili,
21Utaongeza heshima yangu kwani damu yao ni ya thamani machoni
na kunifariji tena. pake.
watu wako walioonewa kwa haki. ulimwengu wote ujae utukufu wake.
3Milima italeta mafanikio kwa watu, Amen na Amen.
vilima tunda la haki.
4Atawatetea walioonewa miongoni mwa watu 20Huu ndio mwisho wa maombi ya Daudi mwana
na atawaokoa watoto wa wahitaji, wa Yese.
ataponda mdhalimu.
shamba lililofyekwa,
a8 Mto hapa ina maana mto Eufrati.
37
ZABURI
KITABU CHA TATU
(Zaburi 73 – 89) 18Hakika unawaweka mahali pa utelezi,
Haki Ya Mungu (Zaburi Ya Asafu) unawaangusha chini kwa uharibifu.
nazo ndimi zao humiliki duniani. 27Wale walio mbali nawe wataangamia,
10Kwa hiyo watu wao huwageukia unawaangamiza wote wasio waaminifu
na kunywa maji tele b . kwako.
28Lakini kwangu mimi, ni vema kuwa karibu na
11Wanasema, “Mungu awezaje kujua? Mungu.
Je, Yeye Aliye Juu Sana anayo maarifa?’’ Nimemfanya BWANA Mwenyezi
kimbilio langu,
12Hivi ndivyo walivyo waovu, nami nitayasimulia matendo yako yote.
sikuzote hawajali, wanaongezeka katika
utajiri. Maombi Kwa Ajili Ya Taifa Kuokolewa
(Utenzi Wa Asafu)
13Hakika nimeuweka moyo wangu safi bure, Ee Mungu, mbona umetukataa milele?
ni bure nimenawa mikono yangu nisiwe na 74 Mbona hasira yako inawaka na
hatia. kutoka moshi juu ya kondoo wa malisho
14Mchana kutwa nimetaabika, yako?
nimeadhibiwa kila asubuhi. 2Kumbuka watu uliowanunua zamani,
nasi,
wanaweka bendera zao kama alama.
a4 hawana taabu hapa kwenye tafsiri nyingine zinasema, 5Walifanya kama watu wanaotumia mashoka
“hawana maumivu katika kufa kwao /miili yao ina afya.
b10 na kunywa maji tele hapa ina maana ya “kupokea yote kukata kichaka chote cha miti.
wasemayo.’’
38
ZABURI
6Walivunjavunja milango yote iliyonakishiwa aibu,
kwa mashoka na vishoka vyao. maskini na wahitaji na walisifu jina lako.
7Waliteketeza kabisa mahali patakatifu, 22Inuka, Ee Mungu, ujitetee,
10Ee
75 tunakushukuru Wewe,
Mungu, mtesi atakudhihaki mpaka lini? kwa kuwa jina lako li karibu,
Je, adui watalitukana jina lako milele? watu husimulia matendo yako ya ajabu.
11Kwa nini unazuia mkono wako,
inapotetemeka,
12Lakini Wewe, Ee Mungu, ni mimi ninayezishikilia nguzo zake imara.
ni mfalme wangu tangu zamani, 4Kwa wale wenye majivuno ninasema,
40
ZABURI
uweza wake, na maajabu aliyoyafanya. 22kwa kuwa hawakumwamini Mungu,
5Aliagiza amri kwa Yakobo na wala kuutumainia ukombozi wake.
akaweka sheria katika Israeli, 23Hata hivyo alitoa amri kwa anga zilizo juu
nao pia kwa wakati wao wapate kuwaeleza aliwatumia chakula chote ambacho
watoto wao. wangeliweza kula.
7Ndipo wangeweka tumaini lao kwa Mungu, 26Aliachia upepo wa mashariki kutoka kwenye
ambao roho zao hazikuwa na uaminifu ndege warukao kama mchanga wa pwani.
kwake, 28Aliwafanya washuke ndani ya kambi yao,
na walikataa kuishi kwa sheria yake. hata kilipokuwa kingali bado vinywani
11Walisahau aliyokuwa ameyatenda, mwao,
maajabu aliyokuwa amewaonyesha. 31hasira ya Mungu iliwaka juu yao,
12Alitenda miujiza machoni mwa baba zao, akawaua wale waliokuwa na nguvu zaidi
huko Soani, katika nchi ya Misri. miongoni mwao,
13Aliigawanya bahari akawaongoza wakapita, akiwaangusha vijana wa Israeli.
alifanya maji yasimame imara kama ukuta.
14Aliwaongoza kwa wingu mchana 32Licha ya haya yote, waliendelea kutenda
na kwa nuru kutoka kwenye moto usiku dhambi,
kucha. licha ya maajabu yake, hawakuamini.
15Alipasua miamba jangwani 33Kwa hiyo akamaliza siku zao katika ubatili
‘‘Je, Mungu aweza kuandaa meza wakisema uongo kwa ndimi zao,
jangwani? 37mioyo yao haikuwa thabiti kwake,
20Alipopiga mwamba maji yalitoka kwa nguvu, wala hawakuwa waaminifu katika agano
vijito vikatiririka maji mengi. lake.
Lakini je, aweza kutupa chakula pia? 38Hata hivyo alikuwa na huruma,
41
ZABURI
40Mara ngapi walimwasi jangwani juu pa kuabudia miungu,
na kumhuzunisha nyikani! walichochea wivu wake kwa sanamu zao.
41Walimjaribu Mungu mara kwa mara, 59Wakati Mungu alipowasikia, alikasirika sana,
na kuasi dhidi ya Yeye Aliye Juu Sana, chakula cha ndege wa angani
wala hawakuzishika sheria zake. na nyama ya watakatifu wako kwa wanyama
57Kama baba zao, hawakuwa thabiti wala wa nchi.
waaminifu, 3Wamemwaga damu kama maji kuzunguka
42
ZABURI
cha dharau na mzaha kwa wale moshi
wanaotuzunguka. dhidi ya maombi ya watu wako?
5Umewalisha kwa mkate wa machozi,
5Hata lini, Ee BWANA, je, umewafanya wanywe machozi bakuli tele.
Wewe utakasirika milele? 6Tumekuwa chanzo cha ugomvi kwa jirani zetu,
Wivu wako utawaka kama moto hadi lini? na adui zetu wanatudhihaki.
6Mwaga ghadhabu yako kwa mataifa
kwa ajili ya utukufu wa jina lako, matawi yake yakafunika mierezi mikubwa.
tuokoe na kutusamehe dhambi zetu 11Matawi yake yalienea mpaka Baharini a ,
toka kizazi hadi kizazi tutasimulia sifa zako. mkono wako wa kuume,
mwana wa mtu uliyemlea kwa ajili yako
Maombi Kwa Ajili Ya Kuponywa Kwa Taifa mwenyewe.
(Kwa Mwimbishaji: Mtindo Wa Yungiyungi. 18Ndipo hatutakuacha tena,
nilikujibu katika mawingu yenye ngurumo, Maombi Kwa Ajili Ya Kushindwa Kwa Adui
nilikujaribu katika maji ya Meriba. Wa Israeli
(Zaburi Ya Asafu. Wimbo.)
83
8“Enyi watu wangu sikieni, nami nitawaonya, Ee Mungu, usinyamaze kimya,
laiti kama mngenisikiliza, Ee Israeli! usinyamaze, Ee Mungu usitulie.
9Hamtakuwa na mungu mgeni miongoni mwenu, 2Tazama watesi wako wanafanya fujo,
Mungu Mtawala Mwenye Enzi Yote na wakawa kama takataka juu ya nchi.
(Zaburi Ya Asafu) 11Wafanye wakuu wao kama Orebu na Zebu,
mahali karibu na madhabahu yako, Utaendeleza hasira yako kwa vizazi vyote?
Ee BWANA, Mwenye Nguvu, 6Je, hutatuhuisha tena,
chema,
a6 Bonde la Baka maana yake ni “Bonde la Vilio.”
b6 Mvua za vuli hulijaza kwa “madimbwi” maana yake ni “Baraka.” a1 Kumrejeshea Yakobo baraka zake maana yake “Ulirudisha
mateka wa Yakobo.”
45
ZABURI
nchi yetu itazaa mavuno yake. huruma na neema,
13Haki itatangulia mbele yake si mwepesi wa hasira, ni mwingi wa upendo
na kutengeneza njia kwa ajili ya hatua zake. na uaminifu.
Ee mji wa Mungu:
5Ee BWANA, Wewe ni mwema na mwenye 4“Nitaweka kumbukumbu ya Rahabu a na Babeli
11Ee
88 nimelia mbele zako usiku na
BWANA, nifundishe njia yako, mchana.
nami nitakwenda katika kweli yako, 2Maombi yangu na yafike mbele zako,
14Ee Mungu, wenye majivuno wananishambulia, b16 Mwokoe mwana wa mjakazi wako, hapa ina maana “mwokoe
kundi la watu wakatili linatafuta uhai wangu, mwanao mwaminifu.”
watu wasiokuheshimu Wewe.
15Lakini Wewe, Ee BWANA, ni Mungu wa a4 Rahabu hapa ina maana ya jina la ushairi la Misri.
b4 Kushi hapa ina maana ya: Eneo la Nile ya Juu.
c4 “Huyu alizaliwa Sayuni,” maana yake Mungu atawaorodhesha
a13 Vilindi vya kaburi hapa maana yake, “Kuzimu.” katika orodha yake ya kifalme kama wenyeji wa Mji wake.
46
ZABURI
kama waliochinjwa walalao kaburini, 3Ulisema, “Nimefanya agano na mteule wangu,
ambao huwakumbuki tena, nimemwapia mtumishi wangu Daudi.
ambao wamekatiliwa mbali na uangalizi 4‘Nitaimarisha uzao wako milele
giza limekuwa ndilo rafiki yangu wa karibu 14Haki na hukumu ndio msingi wa kiti chako cha
kuliko wote. enzi,
upendo na uaminifu vinakutangulia.
Wimbo Wakati Wa Taabu Ya Kitaifa 15Heri ni wale ambao wamejifunza kukusifu kwa
kwa jina langu pembe yake itatukuzwa. umemfunika kwa vazi la aibu.
25Nitauweka mkono wake juu ya bahari,
mkono wake wa kuume juu ya mito. 46Hata lini, Ee BWANA, ? Utajificha milele?
26Naye ataniita kwa sauti, ‘Wewe ni Baba yangu, Ghadhabu yako itawaka kama moto hata
Mungu wangu, Mwamba na Mwokozi lini?
wangu.’ 47Kumbuka jinsi maisha yangu yanavyopita
27Nitamteua pia awe mzaliwa wangu wa haraka.
kwanza, Ni ubatili kiasi gani umemwumba
aliyetukuka kuliko wafalme wote wa dunia. mwanadamu!
28Nitadumisha upendo wangu kwake milele, 48Ni mtu gani awezaye kuishi na asione kifo,
c18 Ngao yetu hapa ina maana ya “Ee Mwenyezi.” d48 Kaburi hapa maana yake ni: “Kuzimu.”
48
ZABURI
BWANA, wewe umekuwa makao
90 yetu katika vizazi vyote.
2Kabla ya kuzaliwa milima
Mungu Mlinzi Wetu
Yeye akaaye mahali pa salama pake
au hujaumba dunia na ulimwengu, 91 Yeye Aliye Juu sana,
wewe ni Mungu tangu milele hata milele. atadumu katika uvuli wake Mungu
Mwenye Nguvu zote.
3Huwarudisha watu mavumbini, 2Nitasema kuhusu BWANA, “'Yeye ndiye
nao ni kama majani machanga ya asubuhi, chini ya mbawa zake utapata kimbilio,
6ingawa asubuhi yanachipua, uaminifu wake utakuwa ngao na kinga yako.
ifikapo jioni huwa yamenyauka na kukauka. 5Hutaogopa vitisho vya usiku,
ikiwa tuna nguvu ni miaka themanini, 9Kama ukimfanya Aliye Juu kuwa makao yako,
lakini yote ni ya shida na taabu, hata BWANA ambaye ni kimbilio
nayo yapita haraka, nasi twatoweka. langu,
10basi hakuna madhara yatakayokupata wewe,
11Ni nani ajuaye nguvu za hasira yako? wala maafa hayataikaribia hema yako.
Kwa maana ghadhabu yako ni kubwa 11Kwa kuwa atawaagiza malaika zake
ili tujipatie moyo wa hekima. ili usijikwae mguu wako kwenye jiwe.
13Utawakanyaga simba na nyoka wakali,
13Ee BWANA, uwe na huruma! simba mkubwa na nyoka utawaponda kwa
Utakawia hata lini? miguu.
Wahurumie watumishi wako.
14Asubuhi tushibishe upendo wako usiokoma, 14BWANA asema, “Kwa kuwa
ili tuweze kuimba kwa shangwe ananipenda nitamwokoa,
na kufurahi siku zetu zote. nitamlinda kwa kuwa amelikubali jina
15Utufurahishe kulingana na siku ulizotuadhibu, langu.’’
kulingana na miaka tuliyotaabika. 15Ataniita, nami nitamjibu,
16Matendo yako na yaonekane kwa watumishi nitakuwa pamoja naye katika taabu,
wako, nitamwokoa na kumheshimu.
utukufu wako kwa watoto wao. 16Kwa siku nyingi nitamshibisha
49
ZABURI
Ni vema kumshukuru BWANA Dunia imewekwa imara,
92 na kuliimbia jina lako, Ee Uliye Juu haitaondoshwa.
sana, 2Kiti chako cha enzi kimekuwa thabiti tangu
2kutangaza upendo wako asubuhi, zamani,
uaminifu wako wakati wa usiku, wewe umekuwapo tangu milele.
3kwa zeze yenye nyuzi kumi
Ni nani atakayenikinga dhidi ya watenda nikasema, “Hawa ni taifa ambalo mioyo yao
maovu? imepotoka,
17Kama BWANA asingalinisaidia, nao hawajazifahamu njia zangu.’’
upesi ningalikuwa naishi katika ukimya wa 11Kwa hiyo nikaapa katika hasira yangu,
a8 Meriba maana yake hapa ni: Kugombana. b8 Masa maana yake hapa ni: Kujaribiwa.
51
ZABURI
kwa maana anakuja, Miisho yote ya dunia imeuona wokovu wa
anakuja kuhukumu dunia. Mungu wetu.
Atahukumu dunia kwa haki
na mataifa katika kweli yake. 4Mpigieni kelele za shangwe,
dunia yote ipaze sauti kwa nyimbo za
Mungu Mtawala Mkuu shangwe na vinanda,
BWANA anatawala, nchi na ifurahi, 5mwimbieni BWANA kwa kinubi,
8Sayuni
99 mataifa na yatetemeke,
husikia na kushangilia, anaketi kwenye kiti cha enzi katikati ya
vijiji vya Yuda vinafurahi makerubi,
kwa sababu ya hukumu zako, Ee BWANA. dunia na itikisike.
9Kwa kuwa wewe, Ee BWANA, ndiwe 2 BWANA ni mkuu katika Sayuni,
52
ZABURI
9Mtukuzeni BWANA wetu yeye asemaye kwa uongo hatasimama
na mwabudu kwenye mlima wake mbele yangu.
mtakatifu,
kwa maana BWANA wetu ni mtakatifu. 8Kilaasubuhi nitawanyamazisha,
waovu wote katika nchi,
Wimbo Wa Kumsifu Mungu nitamkatilia mbali kila mtenda mabaya
(Zaburi Ya Shukrani) kutoka katika mji wa BWANA .
Upendo wake wadumu milele, 3Kwa kuwa siku zangu zinatoweka kama moshi,
uaminifu wake unaendelea katika vizazi mifupa yangu inaungua kama kaa la moto.
vyote. 4Moyo wangu umefifia na kunyauka kama jani,
5Kilaamsingiziaye jirani yake kwa siri, 12Lakini wewe, Ee BWANA, unaketi katika
huyo nitamnyamazisha, kiti chako cha enzi milele,
mwenye macho ya dharau na moyo wa sifa zako za ukuu zaendelea vizazi
kiburi sitamvumilia. vyote.
13Utainuka na kuihurumia Sayuni,
6Macho yangu yatawaelekea waaminifu katika kwa maana ni wakati wa kumuonyesha
nchi, wema,
ili waweze kuishi pamoja nami, wakati uliokubalika umewadia.
yeye ambaye moyo wake hauna lawama 14Kwa maana mawe yake ni ya thamani kwa
53
ZABURI
wafalme wote wa dunia ili ujana wako uhuishwe kama wa tai.
watauheshimu utukufu wako.
16Kwa maana BWANA ataijenga tena Sayuni 6 BWANA hutenda haki,
na kutokea katika utukufu wake. naye huwapa hukumu ya haki wote
17Ataitikia maombi ya mtu mkiwa, wanaoonewa.
wala hatadharau hoja yao
7Alimjulisha Mose njia zake,
18Hili na liandikwe kwa ajili ya kizazi kijacho, matendo yake kwa wana wa Israeli:
ili taifa litakaloumbwa baadaye waweze 8 ni mwenye huruma na rehema,
54
ZABURI
kazini kwake,
4Hufanya pepo kuwa wajumbe a wake, katika kazi yake mpaka jioni.
miali ya moto watumishi wake.
24Ee BWANA, jinsi gani zilivyo nyingi kazi
5Ameiweka dunia kwenye misingi yake, zako!
hawezi kamwe kuondoshwa. Kwa hekima ulizifanya zote,
6Uliifunika kwa kilindi kama kwa vazi, dunia imejaa viumbe vyako.
maji yalisimama juu ya milima. 25Pale iko bahari, kubwa na yenye nafasi tele,
7Lakini kwa kukemea kwako maji yalikimbia, imejaa viumbe visivyo na idadi,
kwa sauti ya radi yako yalikimbia, vitu vyenye uhai vikubwa na vidogo.
8yakapanda milima, yakatelemka mabondeni, 26Huko meli huenda na kurudi,
a4 Wajumbe wake hapa ina maana ya “Malaika.” b26 Lewiathani maana yake ni: “Msifuni BWANA .”
55
ZABURI
Ee nafsi yangu umhimidi BWANA. mtawala wa watu alimwachia huru.
Msifuni BWANA c . 21Alimfanyamkuu wa nyumba yake,
mtawala juu ya vyote alivyokuwa navyo,
Mungu Na Watu Wake 22kuwaelekeza wakuu wa mfalme apendavyo
kwa Israeli kama agano la milele: ambao waliingia hadi kwenye vyumba vya
11“Wewe nitakupa nchi ya Kanaani kulala vya watawala wao.
kama sehemu utakayoirithi.’’
31Alisema, yakaja makundi ya mainzi,
12Walipokuwa wachache kwa idadi, na viroboto katika nchi yao yote.
wachache sana na wageni ndani yake, 32Alibadilisha mvua yao ikawa mvua ya mawe,
13walitangatanga kutoka taifa moja hadi jingine, yenye umeme wa radi katika nchi yao yote,
kutoka ufalme mmoja hadi mwingine. 33akaharibu mizabibu yao na miti ya tini
14Hakuruhusu mtu ye yote awaonee, na akaangamiza miti ya nchi yao.
kwa ajili yao aliwakemea wafalme, 34Alisema, nzige wakaja,
15akisema, “Msiwaguse masihi wangu, tunutu wasio na idadi,
msiwadhuru manabii wangu.’’ 35wakala kila kitu cha kijani kibichi katika nchi
yao,
16Akaiitanjaa juu ya nchi wakala mazao ya ardhi yao.
na kuharibu chakula chao chote, 36Akawaua wazaliwa wote wa kwanza katika
17naye akatuma mtu mbele yao, nchi yao,
Yosefu, aliyeuzwa kama mtumwa. kisha matunda ya kwanza ya ujana wao
18Walichubua miguu yake kwa minyororo, wote.
shingo yake ilifungwa kwa chuma,
19mpaka yale aliyotangulia kusema yalipotimia, 37Akawatoa Israeli katika nchi wakiwa na fedha
mpaka neno la BWANA lilipomjaribu na dhahabu nyingi,
na kumthibitisha. wala hakuna hata mmoja kutoka katika
20Mfalme alituma akamfungua, kabila zao aliyejikwaa.
38Misri ilifurahi walipoondoka,
c35 Kwa Kiebrania ni “Hallelu Yah” maana yake ni: “Msifuni kwa sababu hofu ya Israeli ilikuwa
BWANA .”
56
ZABURI
imewaangukia. 11Majiyaliwafunika adui zao,
39Alitandaza wingu kama kifuniko hakunusurika hata mmoja.
na moto kuwamulikia usiku. 12Ndipo walipoamini ahadi zake,
40Waliomba, naye akawaletea kware, nao wakaimba sifa zake.
akawashibisha kwa mkate wa mbinguni.
41Alipasua mwamba, maji yakabubujika, 13Lakini mara walisahau aliyowatendea,
yakatiririka jangwani kama mto. wala hawakungojea shauri lake.
14Jangwani walitawaliwa na tamaa zao,
42Kwa maana alikumbuka ahadi yake takatifu, walimjaribu Mungu nyikani.
aliyompa Abrahamu mtumishi wake. 15Kwa hiyo aliwapa kile walichoomba,
43Aliwatoa watu wake kwa furaha, lakini akatuma juu yao ugonjwa wa
wateule wake kwa kelele za shangwe, kudhoofisha.
44akawapa nchi za mataifa,
wakawa warithi wa vitu ambavyo wengine 16Kambini waliwaonea wivu Mose na Aroni,
walikuwa wamevitaabikia, ambaye alikuwa amewekwa wakfu
45alifanya haya ili wayashike mausia yake kwa BWANA .
na kuzitii sheria zake. 17Ardhi ilifunguka ikawameza Dathani,
bali waliasi kando ya bahari, bahari ya mwa mataifa na kuwatawanya katika nchi
Shamu. zote.
8Hata hivyo aliwaokoa kwa ajili ya jina lake,
ili apate kudhihirisha uweza wake mkuu. 28Walijifunga nira na Baali huko Peori
9Alikemea bahari ya Shamu, nayo ikakauka, wakala dhabihu zilizotolewa kwa miungu
akawaongoza katika vilindi vyake kama vile isiyo na uhai,
jangwani. 29walimchokoza BWANA, wakamkasirisha
10Aliwaokoa kutoka mkononi mwa adui, kwa matendo yao maovu,
kutoka mkononi mwa adui aliwakomboa. tauni ikazuka kati yao.
57
ZABURI
30Lakini Finehasi alisimama akaingilia kati, tangu milele na hata milele.
tauni ikazuiliwa. Watu wote na waseme, “Amen!’’
31Hili likahesabiwa kwake haki,
yao,
47Ee BWANA, wetu, utuokoe, naye akawaokoa kutoka kwenye taabu yao.
utukusanye tena kutoka kwa mataifa, 14Akawatoa katika giza na huzuni kuu
58
ZABURI
kwa wanadamu, kwa sababu ya uovu wa wale walioishi
16kwa kuwa yeye huvunja malango ya shaba humo.
na kukata mapingo ya chuma. 35Aligeuza jangwa likawa madimbwi ya maji,
wakapata mateso kwa sababu ya uovu wao. nao wakajenga mji wakaishi humo.
18Wakachukia kabisa vyakula vyote, 37Walilima mashamba na kupanda mizabibu,
yao, sana,
naye akawaokoa kutoka kwenye taabu yao. wala hakuruhusu mifugo yao kupungua.
20Akalituma neno lake na kuwaponya,
matendo yake ya ajabu katika kilindi. 43Ye yote aliye na hekima, ayasikie mambo
25Kwa maana alisema na kuamsha tufani haya
iliyoinua mawimbi juu. na atafakari upendo mkuu wa BWANA.
26Yakainuka juu mbinguni
matendo yake ya ajabu kwa wanadamu. utukufu wako na uwe duniani pote.
32Na wamtukuze Yeye katika kusanyiko la watu,
59
ZABURI
8Gileadini yangu, Manase ni yangu, wala wa kuwahurumia yatima wake.
Efraimu ni kofia yangu ya chuma, 13Uzao wake na ukatiliwe mbali,
Yuda ni fimbo yangu ya utawala. majina yao yafutike katika kizazi kifuatacho.
9Moabu ni sinia langu la kunawia, 14Maovu ya baba zake na yakumbukwe
kuokoa maisha yake kutoka kwa wale hulikumbuka agano lake milele.
wanaomhukumu. 6Amewaonyesha watu wake uwezo wa kazi
zake,
BWANA Na Mfalme Wake Mteule akiwapa nchi za mataifa mengine.
(Zaburi Ya Daudi) 7Kazi za mikono yake ni za uaminifu na haki,
kwa hiyo atainua kichwa chake juu. na mwenye kukopesha bila riba,
anayefanya mambo yake kwa haki.
Sifa Za BWANA 6Hakika hatatikisika kamwe,
Yeye ambaye ameketi juu kwenye kiti cha miguu, lakini haziwezi kutembea,
enzi, wala koo zao haziwezi kutoa sauti.
6ambaye huinama atazame chini aone 8Wale wanaozitengeneza watafanana nazo,
62
ZABURI
nitamwita siku zote za maisha yangu. Sifa Za BWANA
Msifuni BWANA, mataifa yote,
3Kamba za mauti zilinizunguka, 117 mtukuzeni yeye, enyi mataifa
maumivu makuu ya kuzimu yalinipata, yote.
nikalemewa na taabu na huzuni. 2Kwa kuwa upendo wake kwetu ni mkuu,
4Ndipo nikaliitia jina la BWANA : uaminifu wa BWANA unadumu milele.
‘‘Ee BWANA, niokoe!’’
Msifuni BWANA .
5 BWANA ni mwenye neema na haki,
Mungu wetu ni mwingi wa huruma. Shukrani Kwa Ajili Ya Ushindi
6 BWANA huwalinda wanyenyekevu, Mshukuruni BWANA, kwa kuwa
nilipokuwa katika shida kubwa, aliniokoa. 118 ni mwema,
upendo wake wadumu milele.
7Ee nafsi yangu, tulia tena,
kwa kuwa BWANA amekuwa mwema 2Israeli
na aseme sasa:
kwako. “Upendo Wake wadumu milele.’’
3Nyumba ya Aroni na iseme sasa:
8Kwako wewe, Ee BWANA, “Upendo Wake wadumu milele.’’
umeniokoa nafsi yangu na mauti, 4Wote wamchao BWANA na waseme sasa:
msaidizi wangu.
12Nimrudishie BWANA nini Nitawatazama adui zangu kwa furaha
kwa wema wake wote alionitendea? wakiwa wameshindwa.
13Nitakiinua kikombe cha wokovu
umeniweka huru toka minyororo yangu. lakini kwa jina la BWANA naliwakatilia
mbali.
17Nitakutolea dhabihu ya kukushukuru 12Walinizunguka kama kundi la nyuki,
64
ZABURI
nami nitatafakari maajabu yako. ambazo ninazipenda,
28Nafsi yangu imechakazwa kwa huzuni, nami ninatafakari juu ya maagizo yako.
uniimarishe sawasawa na neno lako.
29Niepushe na njia za udanganyifu, Matumaini Katika Sheria Ya BWANA
kwa neema nifundishe amri zako. 49Kumbuka neno lako kwa mtumishi wako,
30Nimechagua njia ya ukweli, kwa sababu umenipa tumaini.
nimekaza moyo wangu katika sheria zako. 50Faraja yangu katika mateso yangu ni hii:
31Ninang’ang’ania sheria zako, Ee BWANA, Ahadi yako inahifadhi maisha yangu.
usiniache niaibishwe. 51Wenye majivuno wamenisimanga bila
32Ninakimbilia katika njia ya maagizo yako, kuchoka,
kwa kuwa umeuweka moyo wangu huru. hata hivyo sitaiacha sheria yako.
52Ee BWANA, ninazikumbuka
zako, waovu,
nami nitazishika mpaka mwisho. ambao wameacha sheria yako.
34Nipe ufahamu, nami nitaishika sheria yako 54Maagizo yako ni kiini cha nyimbo zangu
wokovu wako sawasawa na ahadi yako, kwa sababu ya sheria zako za haki.
42ndipo nitakapomjibu anayenidhihaki, 63Mimi ni rafiki kwa wale wote wakuchao,
kwa kuwa ninalitumainia neno lako. kwa wote wanaofuata mausia yako.
43Usilinyakue neno la kweli kutoka kinywani 64Ee BWANA, dunia imejaa upendo wako,
kwa kuwa nimejifunza mausia yako. kwa kuwa ninaamini amri zako.
46Nitasema sheria zako mbele za wafalme 67Kabla sijapata shida nilipotea njia,
65
ZABURI
uongo, wako,
nitafuata mausia yako kwa moyo wangu nami nitatii sheria za kinywa chako.
wote.
70Mioyo yao ni katili na migumu, Imani Katika Sheria Ya BWANA
bali mimi napendezwa na sheria yako. 89Ee BWANA, neno lako ni la milele,
71Ilikuwa vyema mimi kupata shida linasimama imara mbinguni.
ili nipate kujifunza amri zako. 90Uaminifu wako unaendelea kwa vizazi vyote,
72Sheria inayotoka kinywani mwako ina thamani umeiumba dunia nayo inadumu.
kubwa kwangu kuliko maelfu ya vipande vya 91Sheria zako zinadumu hadi leo,
sawasawa na ahadi yako kwa mtumishi lakini amri zako hazina mpaka.
wako.
77Huruma yako na inijie ili nipate kuishi, Kuipenda Sheria Ya BWANA
kwa kuwa naifurahia sheria yako. 97Ah! Tazama, sheria yako naipenda mno ajabu.
78Wenye majivuno na waaibishwe Ninaitafakari mchana kutwa.
kwa kunikosea mimi bila sababu, 98Amri zako zimenipa hekima zaidi kuliko adui
lakini nimeweka tumaini langu katika neno kwa kuwa umenifundisha wewe mwenyewe.
lako. 103Jinsi gani maneno yako yalivyo matamu
82Macho yangu yamefifia, nikingoja ahadi yako, kwangu,
ninasema, ‘‘Utanifajiri lini?’’ matamu kuliko asali katika kinywa changu!
83Ingawa nimekuwa kama kiriba kwenye moshi, 104Ninapata ufahamu kutoka mausia yako,
bado sijasahau maagizo yako. kwa hiyo ninachukia kila njia ya upotovu.
84Mtumishi wako itampasa angoje mpaka lini?
unisaidie, kwa sababu watu wananishtaki kwamba nitafuata sheria zako za haki.
bila sababu. 107Nimeteseka sana,
87Walikaribia kabisa katika uso wa nchi, uhifadhi maisha yangu, Ee BWANA,
lakini sijaacha mausia yako. sawasawa na neno lako.
88Yahifadhi maisha yangu sawasawa na upendo 108Ee BWANA, pokea sifa za hiari
66
ZABURI
za kinywa changu, 129Sheria zako ni za ajabu,
nifundishe sheria zako. hivyo ninazitii.
109Ingawa maisha yangu yako hatarini siku zote, 130Kuingia kwa maneno yako kunaleta nuru,
naam, zaidi ya dhahabu safi, ili niweze kutafakari juu ya ahadi zako.
128kwa sababu naona amri zako zote ni adili, 149Usikie sauti yangu sawasawa na upendo
67
ZABURI
150Wale wanaopanga mipango miovu wako nipe ufahamu sawasawa na neno lako.
karibu nami, 170Maombi yangu na yafike mbele zako,
lakini wako mbali na sheria yako. niokoe sawasawa na ahadi yako.
151Ee BWANA, hata hivyo Wewe u karibu, 171Midomo yangu na ibubujike sifa,
68
ZABURI
Mungu Mlinzi Wa Watu Wake
7 BWANA atakukinga na madhara yote, (Wimbo Wa Kwenda Juu, Wa Daudi)
atayalinda maisha yako, Kama BWANA asingalikuwa
8 BWANA atakulinda unapoingia na
unapotoka,
124 upande wetu,
Israeli na aseme sasa,
tangu sasa na hata milele. 2kama BWANA asingalikuwa upande wetu,
69
ZABURI
ndimi zetu zilijaa nyimbo za shangwe. siku zote za maisha yako,
Ndipo iliposemwa miongoni mwa mataifa, na uone mafanikio ya Yerusalemu,
“ BWANA amewatendea mambo 6nawe ujaliwe kuishi uone watoto wa
kwa maana yeye huwapa usingizi “Baraka ya BWANA iwe juu yako,
wapenzi wake. tunakubariki katika jina la BWANA .’’
70
ZABURI
na kwake kuna ukombozi kamili. hatakitangua:
8Yeye mwenyewe ataikomboa Israeli ‘‘Mmoja wa wazao wako mwenyewe
kutoka dhambi zake zote. nitamweka katika kiti chako cha enzi,
12kama wanao watashika agano langu
kama mtoto aliyeachishwa kunyonya ndivyo nitashibisha maskini wake kwa chakula.
ilivyo nafsi ndani yangu. 16Nitawavika makuhani wake wokovu,
na mumsifu BWANA .
11 BWANA alimwapia Daudi kiapo,
kiapo cha uhakika ambacho
b17 Pembe maana yake ni mwenye nguvu, mfalme.
a6 Yaar maana yake ni Kiriath-Yearimu. c17 Masiya yaani mpakwa mafuta.
71
ZABURI
3Naye BWANA, Muumba wa mbingu na dunia, 16Zina vinywa, lakini haziwezi kusema,
awabariki kutoka Sayuni. macho, lakini haziwezi kuona,
17zina masikio, lakini haziwezi kusikia,
Wimbo Wa Sifa Kwa Mungu wala hakuna pumzi katika vinywa vyao.
Msifuni BWANA. 18Wale wanaozitengeneza watafanana nazo,
5Ninajua
136 ni mwema.
ya kuwa BWANA ni mkuu, Upendo wake wadumu milele.
kwamba Bwana wetu ni mkuu zaidi kuliko 2Mshukuruni Mungu wa miungu.
72
ZABURI
16Kwake yeye aliyewaongoza watu wake katika ana furaha yeye ambaye atakulipiza wewe
jangwa, kwa yale uliyotutenda sisi,
Upendo wake wadumu milele. 9yeye ambaye atawakamata watoto wako
17Ambaye aliwapiga wafalme wenye nguvu, wachanga na kuwaponda juu ya miamba.
Upendo wake wadumu milele.
18Naye aliwaua wafalme wenye nguvu, Maombi Ya Shukrani
Upendo wake wadumu milele. (Zaburi Ya Daudi)
19Sihoni mfalme wa Waamori, Nitakusifu Wewe, Ee BWANA,
Upendo wake wadumu milele.
20Ogu mfalme wa Bashani,
138 kwa moyo wangu wote,
mbele ya miungu, nitaimba sifa zako.
Upendo wake wadumu milele. 2Nitasujudu nikielekea hekalu lako takatifu,
21Akatoa nchi yao kuwa urithi, nami nitalisifu jina lako
Upendo wake wadumu milele. kwa ajili ya upendo wako na uaminifu,
22Urithi kwa Israeli mtumishi wake, kwa kuwa umelikuza jina lako na neno lako
Upendo wake wadumu milele. juu ya vitu vyote.
3Nilipoita, ulinijibu,
23Aliyetukumbuka katika unyonge wetu, ulinifanya jasiri na mwenye moyo hodari.
Upendo wake wadumu milele.
24Alituweka huru toka adui zetu, 4Wafalme wote wa dunia,
Upendo wake wadumu milele. na wakusifu Wewe Ee BWANA,
25Ambaye humpa chakula kila kiumbe. wakati wanaposikia
Upendo wake wadumu milele. maneno ya kinywa chako.
26Mshukuruni Mungu wa mbinguni, 5Wao na waimbe kuhusu njia za BWANA,
73
ZABURI
7Niende wapi nijiepushe na Roho yako? 23Ee Mungu, nichunguze, uujue moyo wangu,
Niende wapi niukimbie uso wako? nijaribu na ujue mawazo yangu.
8Kama nikienda juu mbinguni, Wewe uko huko, 24Uone kama kuna njia iletayo machukizo ndani
11Kama
140 kwa watu waovu,
nikisema, “Hakika giza litanificha nilinde na watu wenye jeuri,
na nuru inayonizunguka iwe usiku,’’ 2ambao hupanga mipango mibaya mioyoni
12hata giza halitakuwa giza kwako, mwao
usiku utang'aa kama mchana, na kuchochea vita siku zote.
kwa kuwa giza ni kama nuru kwako.’’ 3Wao hufanya ndimi zao kali kama za nyoka,
maneno yangu yalikuwa kweli. kwa kuwa hakuna mtu anayeishi mwenye
7Watasema, “Kama mtu anavyolima na kuvunja haki mbele zako.
ardhi,
ndivyo mifupa yetu imetawanywa 3Aduihunifukuza, hunipondaponda chini,
kwenye mlango wa kaburi.’’ hunifanya niishi gizani kama wale waliokufa
zamani.
8Lakininimekaza macho yangu kwako, 4Kwa hiyo roho yangu inazimia ndani yangu,
pindi mimi napita salama. nafsi yangu inakuonea kiu kama ardhi kame.
75
ZABURI
kwa kuwa kwako nainua nafsi yangu. uongo,
9Ee BWANA, uniokoe na adui zangu, mikono yao ya kuume ni midanganyifu.
kwa kuwa nimejificha kwako.
10Nifundishe kufanya mapenzi yako, 12Kisha wana wetu wakati wa ujana wao
kwa maana Wewe ndiwe Mungu wangu, watakuwa kama mimea iliyotunzwa
Roho wako mwema na vizuri,
aniongoze katika nchi tambarare. binti zetu watakuwa kama nguzo
zilizoviringwa kuremba jumba la kifalme.
11Ee BWANA, kwa ajili ya jina lako, hifadhi 13Ghala zetu zitajazwa aina zote za mahitaji.
kingine,
5Ee BWANA, pasua mbingu zako, ushuke, watasimulia matendo yako makuu.
gusa milima ili itoe moshi. 5Watasema juu ya utukufu wa fahari ya ukuu
6Peleka umeme wa radi na utawanye adui, wako,
lenga mishale yako uwashinde. nami nitatafakari juu ya kazi zako za ajabu.
7Nyoosha mkono wako kutoka juu, 6Watasimulia uwezo wa kazi zako za kutisha,
76
ZABURI
12ili
watu wote wajue matendo yako makuu yao,
na utukufu wa fahari ya ufalme wako. BWANA huwapenda wenye haki.
13Ufalme wako ni ufalme wa milele, 9 BWANA huwalinda wageni
nawe huwapa chakula chao wakati wake. Kumsifu Mungu Mwenye Nguvu Zote
16Waufumbua mkono wako, Msifuni BWANA. .
watosheleza haja ya kila kitu kilicho hai.
17 BWANA ni mwenye haki katika njia zake zote
147
Tazama jinsi ilivyo vyema kumwimbia
na mwenye upendo kwa vyote alivyovifanya. Mungu wetu sifa,
18 BWANA yu karibu na wote wamwitao, jinsi inavyopendeza na kustahili kumsifu
wote wamwitao kwa uaminifu. Yeye!
19Huwatimizia wamchao matakwa yao,
siku iyo hiyo mipango yao yote hukoma. na makinda ya kunguru yanapolia.
77
ZABURI
na kukushibisha kwa ngano safi kabisa. 14Amewainulia watu wake pembe a ,
sifa ya watakatifu wake wote,
15Hutuma amri yake duniani, ya Israeli, watu walio karibu na moyo wake.
neno lake hukimbia kasi.
16Anatandaza theluji kama sufu Msifuni BWANA.
na kutawanya umande kama majivu.
17Huvurumisha mvua yake ya mawe kama Wimbo Wa Kumsifu Mungu
changarawe. Msifuni BWANA.
Ni nani awezaye kustahimili ukali wa baridi 149
yake? Mwimbieni BWANA wimbo mpya,
18Hutuma neno lake na kuviyeyusha, sifa zake katika kusanyiko la watakatifu.
huvumisha upepo wake, maji hutiririka. 2Israeli na washangilie katika Muumba wao,
watu wake,
Msifuni BWANA. anawavika wanyenyekevu taji ya wokovu.
5Watakatifu na washangilie katika heshima hii
Mwito Kwa Ulimwengu Kumsifu Mungu na waimbe kwa shangwe vitandani mwao.
Msifuni BWANA.
148 6Sifa za Mungu na ziwe vinywani mwao
Msifuni BWANA kutoka mbinguni, na upanga ukatao kuwili mikononi mwao,
msifuni juu vileleni. 7ili walipize mataifa kisasi
2Msifuni, malaika wake wote, na adhabu juu ya mataifa,
msifuni Yeye, jeshi lake lote la mbinguni. 8wawafunge wafalme wao kwa minyororo,
3Msifuni Yeye, jua na mwezi, wakuu wao kwa pingu za chuma,
msifuni Yeye, enyi nyota zote zing’aazo. 9ili kuwafanyia hukumu iliyoandikwa dhidi yao.
4Msifuni Yeye, enyi mbingu zilizo juu sana Huu ndio utukufu wa watakatifu wake wote.
na ninyi maji juu ya anga.
5Vilisifu jina la BWANA Msifuni BWANA .
kwa maana aliamuru navyo vikaumbwa.
6Aliviweka mahali pake milele na milele, Msifuni BWANA
alitoa amri ambayo haibadiliki milele. Msifuni BWANA .
7Mtukuzeni
150
BWANA kutoka duniani, Msifuni Mungu katika patakatifu pake,
ninyi viumbe vikubwa vya baharini msifuni katika mbingu zake kuu.
na vilindi vyote vya bahari, 2Msifuni kwa matendo yake makuu,
8umeme wa radi na mvua za mawe, theluji na msifuni kwa kadiri ya wingi wa ukuu wake.
mawingu, 3Msifuni kwa mvumo wa tarumbeta,
miti ya matunda na mierezi yote, msifuni kwa kinanda cha nyuzi na filimbi,
10wanyama wa mwituni na mifugo yote 5Msifuni kwa matoazi yaliayo,
ninyi wakuu na watawala wote wa dunia, 6Kila chenye pumzi na kimsifu BWANA.
12wanaume vijana na wanawali,
79
MITHALI
Utangulizi
Neno la Kiebrania ‘‘mashal’’ ambalo ndilo lililotafsiriwa ‘‘ mithali’’ lina maana nyingine zaidi,yaani, ‘‘mapokeo,’’
‘‘mafumbo,’’au ‘‘semi za hekima.’’
Hivyo Mithali ni mkusanyiko wa semi nyingi za hekima na mambo kuhusu maisha ya busara na haki ya kila
siku. Kitabu hiki kinatoa mafundisho yenye mafumbo ambayo yalikuwa ya kawaida katika eneo la Mashariki ya
Kati ya zamani, hekima yake ni ya kipekee kwa sababu imeelezwa katika mtazamo wa Mungu na vigezo Vyake
vya haki kwa ajili ya watu Wake wa agano.
Kama vile Daudi alivyo chimbuko la Zaburi katika Israeli ndivyo Solomoni alivyo chimbuko la hekima katika
Israeli (1 :1 ; 10 :1 ;25 :1). Solomoni aliandika mithali 3,000 na nyimbo 1,005 wakati wa maisha yake.Waandishi
wengine ambao wametajwa kwa majina katika Mithali ni Aguri mwana wa Yake (30:1–33) na Mfalme Lemueli
(31:1–9), wengine wametajwa kuwa wenye hekima katika (22 :17 na 24 :23 ingawa majina yao hayakutajwa.
Kitabu hiki kinazungumzia mithali za hekima, kuwafundisha watu jinsi ya kuishi maisha yanayompendeza
Mungu. Sura nne za kwanza zinazungumzia umuhimu wa hekima. Kinachofuata ni mkusanyo wa mistari miwili
miwili mifupi yenye mithali zenye nguvu kuhusu masuala mbalimbali yakiwemo: ndoa, upendo, uvivu, maonyo
kuhusu ulevi na uasherati.
Mahali
Yerusalemu
Wazo Kuu
Maisha ya uadilifu yanayofaa kimwili na kiroho. Kusudi kuu la kitabu hiki limeelezwa wazi wazi katika 1 :2-7 :
Kumpatia msomaji hekima, busara na maarifa ya Kimungu katika maisha, (1) ili kuwapa wajinga werevu (11:4),
(2) Kuwapa vijana maarifa na tahadhari ( 1 :4) na (3) kumwongezea elimu mwenye hekima (1 :5-6) waweze
kuishi maisha ya uadilifu. Kitabu kinaanza kwa kueleza wazi kwamba, “Kumcha BWANA ndiyo chanzo cha
maarifa.’’ ( 1:7).
Mwandishi
Sehemu kubwa ya kitabu hiki imeandikwa na Solomoni.Inawezekana sura 1-24 ziliandikwa na Solomoni
mwenyewe. Sura ya 25-29 ni mithali za Solomoni zilizoongezwa katika ile sehemu ya kwanza ya kitabu na
Hezekia kama 730 K.K. Sura hizi mbili za mwisho haijulikani ni lini ziliingizwa humo.Aguri na Lemueli na wenye
hekima wengine walichangia sehemu ya mwishoni.
Tarehe
Mithali zilizungumzwa na Mfalme Solomoni kama miaka 1,000 K.K.Hezekia ndiye aliyeingiza mithali nyingine za
Solomoni ili kuziunganisha na hiyo sehemu ya kwwnza mnamo 730 K.K. Lakini sura mbili za mwisho haijulikani
ziliingizwa lini.
Mgawanyo
• Maelezo juu ya hekima na upumbavu. (1:1-9 :18)
• Mithali za Solomoni. (10:1-22:16)
• Mithali za wengine wenye hekima. (22:17-24:34)
• Mithali nyingine za Solomoni. (25:1-29:27)
• Mithali za Aguri na Lemueli. (30:1-31:31)
1
MITHALI
Utangulizi: Kusudi Na Kiini hujivizia tu wenyewe!
Mithali za Solomoni mwana wa Daudi, 19Huu ndio mwisho wa wote ambao wanajipatia
1 mfalme wa Israeli: mali kwa hila,
huuondoa uhai wa wale wenye mali.
2Kwa kupata hekima na nidhamu,
kwa kufahamu maneno ya busara, Onyo Dhidi Ya Kukataa Hekima
3kwa kujipatia nidhamu na busara, 20Hekima huita kwa sauti kuu barabarani,
kufanya lililo sawa, haki na bila kupendelea, hupaza sauti yake kwenye viwanja vikubwa,
21Kwenye makutano ya barabara za mji zenye
4huwapa busara wajinga, makelele mengi hupaza sauti,
maarifa na akili kwa vijana, kwenye malango ya mji hutoa hotuba yake:
5wenye hekima na wasikilize nao waongeze
2
18Wanaume hawa huvizia kumwaga damu yao Mwanangu, kama utayakubali maneno
wenyewe, yangu na kuyaweka akiba maagizo yangu
ndani mwako,
a12 Kaburi maana yake hapa ni “Kuzimu.’’ 2kutega sikio lako kwenye hekima
2
MITHALI
na kuweka moyo wako katika ufahamu, Faida Nyingine Za Hekima
3na kama ukiita busara Mwanangu, usisahau mafundisho yangu,
na kuita kwa sauti ufahamu,
4na kama utaitafuta kama fedha
3 bali yatunze maagizo yangu moyoni
mwako,
na kuitafuta sana kama hazina iliyofichwa, 2kwa kuwa yatakuongezea miaka mingi ya
5ndipo utakapoelewa kumcha BWANA maisha yako
na kupata maarifa ya Mungu. na kukuletea mafanikio.
6Kwa maana BWANA hutoa hekima,
na mapito yake kwenye roho za waliokufa. na mapato yake ni bora kuliko ya dhahabu
19Hakuna ye yote aendaye kwake akarudi, safi.
au kufikia mapito ya uzima. 15Hekima ana thamani kuliko marijani,
wanaomkumbatia,
3
MITHALI
wale wamshikao watabarikiwa. 2Ninawapa mafundisho ya maana,
kwa hiyo msiyaache mafundisho yangu.
19Kwa hekima BWANA aliiweka misingi ya 3Nilipokuwa mvulana katika nyumba ya baba
dunia, yangu,
kwa ufahamu aliziweka mbingu mahali pake, ningali mchanga na mtoto pekee kwa mama
20kwa maarifa yake vilindi viligawanywa, yangu,
nayo mawingu yanadondosha umande. 4baba alinifundisha akisema, “Yashike maneno
ukimbiapo, hutajikwaa.
29Usifanye hila ya kumdhuru jirani yako, 13Mkamate sana elimu, usimwache aende zake,
4
MITHALI
22kwa sababu ni uzima kwa wale wanaoyapata 14Nimefika ukingoni mwa maangamizi kabisa
na afya kwa mwili wote wa mwanadamu. katikati ya kusanyiko lote.’’
23Zaidi ya yote, linda moyo wako, kuliko yote
7Sasa
njia zake zimepotoka, lakini hana habari.
6 Mwanangu, kama umekuwa mdhamini wa
jirani yako,
basi wanangu, nisikilizeni, ikiwa umeshika mikono kwa kuweka ahadi
msiache ninalowaambia. kwa ajili ya mwingine,
8Njia zenu ziwe mbali naye, 2kama umetegwa na ulichosema,
msiende karibu na mlango wa nyumba yake, umenaswa kwa maneno ya kinywa chako,
9usije ukatoa nguvu zako nzuri kwa wengine 3basi fanya hivi mwanangu, ili ujiweke huru,
na miaka yako kwa aliye mkatili, kwa kuwa umeanguka mikononi mwa jirani
10wageni wasije wakasherehekea utajiri wako yako:
na jitihada yako ikatajirisha nyumba ya Nenda ukajinyenyekeshe kwake,
mwanaume mwingine. msihi jirani yako!
11Mwishoni mwa maisha yako utalia kwa 4Usiruhusu usingizi machoni pako,
5
MITHALI
wala mwangalizi, au mtawala, asipate chakula
8lakini
hujiwekea akiba wakati wa kiangazi na mwanamke mzinzi huwinda maisha yako
na hukusanya chakula chake wakati wa hasa.
mavuno. 27Je, mtu aweza kuchotea moto kwenye paja
lake
9Ewe mvivu, utalala hata lini? bila nguo zake kuungua?
utaamka lini kutoka katika usingizi wako? 28Je, mtu aweza kutembea juu ya makaa ya
10Bado kulala kidogo, kusinzia kidogo, moto yanayowaka
bado kukunja mikono upate usingizi! bila miguu yake kuungua?
11Hivyo umaskini wako huja kama mnyang’anyi 29Ndivyo alivyo mtu alalaye na mke wa
miguu ile iliyo myepesi kukimbilia uovu, atakataa malipo hata ikiwa kubwa kiasi gani.
19shahidi wa uongo ambaye humwaga uongo
yakaze kuizunguka shingo yako. yaandike katika kibao cha moyo wako.
22Wakati utembeapo, yatakuongoza, 4Mwambie hekima, “Wewe ni dada yangu,’’
6
MITHALI
akitembea kuelekea kwenye nyumba ya
mwanamke Wito Wa Hekima
8
9wakati wa machweo, jua likipungua nuru, Je, hekima haiti?
giza la usiku lilipokuwa likiingia. Je, ufahamu haupazi sauti?
2Juu ya miinuko karibu na njia,
10Ndipo akatoka mwanamke kukutana naye penye njia panda, ndipo asimamapo,
akiwa amevaa kama malaya akiwa na nia ya 3kando ya malango yaelekeayo mjini,
kumbusu kusema,
na kwa uso usio na haya akamwambia: ninafungua midomo yangu kusema lililo
sawa.
14“Nina sadaka za amani nyumbani, 7Kinywa changu husema lililo kweli,
leo nimetimiza nadhiri zangu. kwa maana midomo yangu huchukia uovu.
15Kwa hiyo nimetoka nje kukulaki, 8Maneno yote ya kinywa changu ni haki,
kwa kitani za rangi kutoka Misri. hayana kasoro kwa wale wenye maarifa.
17Nimetia manukato kitanda changu 10Chagua mafundisho yangu badala ya fedha,
kama kulungu aingiaye kwenye kitanzi, na watawala hutunga sheria zilizo za haki,
23mpaka mshale umchome ini lake, 16kwa msaada wangu wakuu hutawala,
kama ndege anayenaswa kwenye mtego, na wenye vyeo wote watawalao dunia.
bila kujua itamgharimu maisha yake. 17Nawapenda wale wanipendao,
7
MITHALI
kabla ya matendo yake ya zamani, tembeeni katika njia ya ufahamu.
23Niliteuliwa tangu milele,
tangu mwanzoni, kabla ya dunia kuumbwa. 7“Ye yote anayemkosoa mwenye mzaha
24Wakati hazijakuwapo bahari, nilikwishazaliwa, hukaribisha matukano,
wakati hazijakuwapo chemchemi zilizojaa ye yote anayekemea mtu mwovu hupatwa
maji, na matusi.
25kabla milima haijawekwa mahali pake, 8Usimkemee mwenye mzaha la sivyo
akisubiri siku zote milangoni mwangu, waendao moja kwa moja kwenye njia yao,
akingoja kwenye vizingiti vya mlango 16Anawaambia wale wasio na maamuzi,
mwenyewe, humo,
na wote wanichukiao mimi hupenda mauti.’’ kwamba wageni wake huyo mwanamke
wako katika vilindi vya kuzimu.
Makaribisho Ya Hekima Na Ya Upumbavu
“Wote ambao ni wajinga na waje hapa!” 3BWANA hawaachi waadilifu kukaa njaa,
5“Njoni, mle chakula changu lakini hupinga tamaa ya mwovu.
pia mnywe divai niliyoichanganya.
6Acheni njia zenu za ujinga nanyi mtaishi, 4Mikono mivivu hufanya mtu maskini
8
MITHALI
lakini mikono yenye bidii huleta utajiri. mpumbavu.
5Yeye akusanyaye mazao wakati wa kiangazi ni 19Wakati maneno ni mengi, dhambi haikosekani,
mwana mwenye hekima, lakini yeye ambaye huzuia ulimi wake ni
lakini yeye alalaye wakati wa mavuno ni mwenye busara.
mwana mwenye kuaibisha.
6Baraka huwa taji kichwani mwa mwenye haki, 20Ulimiwa mwenye haki ni fedha iliyo bora,
lakini jeuri hufunika kinywa cha mwovu. bali moyo wa mwovu una thamani ndogo.
7Kumbukumbu ya mwenye haki itakuwa baraka, 21Midomo ya mwenye haki hulisha wengi,
lakini jina la mwovu litaoza. lakini wapumbavu hufa kwa kukosa
ufahamu.
8Mwenye hekima moyoni hupokea maagizo,
lakini mpumbavu apayukaye huangamia. 22Baraka ya BWANA hutajirisha,
wala haichanganyi huzuni.
9Mtu mwadilifu hutembea salama,
lakini mtu aendaye katika njia zilizopotoka 23Mpumbavu hufurahia tabia mbaya,
atagundulika. lakini mtu mwenye ufahamu hupendezwa na
hekima.
10Yeye akonyezaye kwa nia mbaya husababisha
huzuni, 24Kile anachoogopa mwovu ndicho
naye mpumbavu apayukaye huangamia. kitakachompata,
kile anachoonea shauku mwenye haki
11Kinywa cha mwenye haki ni chemchemi ya atapewa.
uzima,
lakini jeuri hufunika kinywa cha mwovu. 25Tufani inapopita, waovu hutoweka,
lakini wenye haki husimama imara milele.
12Chuki huchochea faraka,
lakini upendo husitiri mabaya yote. 26Kama siki ilivyo kwa meno na moshi kwa
macho,
13Hekima hupatikana katika midomo ya wenye ndivyo alivyo mvivu kwa wale waliomtuma.
kupambanua,
lakini fimbo ni kwa ajili ya mgongo wake 27Kumcha BWANA huongeza urefu wa
asiye na ufahamu. maisha,
lakini miaka ya mwovu inafupishwa.
14Wenye hekima huhifadhi maarifa,
bali kinywa cha mpumbavu hualika 28Tarajiola mwenye haki ni furaha,
maangamizi. bali matumaini ya mwovu huwa si kitu.
15Maliya tajiri ni mji wao wenye ngome, 29Njiaya BWANA ni kimbilio kwa wenye
bali ufukara ni maangamizi ya maskini. haki,
lakini ni maangamizi ya wale watendao
16Ujirawa wenye haki huwaletea uzima, mabaya.
lakini mapato ya waovu huwaletea adhabu.
30Kamwe wenye haki hawataondolewa,
17Anayekubali maonyo yuko katika njia ya bali waovu hawatasalia katika nchi.
uzima,
lakini ye yote anayepuuza masahihisho 31Kinywa cha mwenye haki hutoa hekima,
hupotosha wengine. bali ulimi wa upotovu utakatwa.
18Yeye afichaye chuki yake ana midomo ya 32Midomo ya wenye haki inajua kile kinachofaa,
uongo, bali kinywa cha mwovu hujua kile
na ye yote anayeeneza uchonganishi ni kilichopotoka tu.
9
MITHALI
14Pasipo ushauri wa hekima taifa huanguka,
11 BWANA huchukia sana mizani za
udanganyifu,
bali washauri wengi hufanya ushindi uwe wa
hakika
bali vipimo sahihi ni furaha yake.
15Yeye amdhaminiye mgeni hakika atateseka,
2Kiburi kinapokuja, ndipo huja aibu, bali ye yote akataaye kuunga mkono
bali unyenyekevu huja na hekima. dhamana ni salama.
10
MITHALI
aliye radhi kuuza. huna chakula.
27Yeye atafutaye mema hupata ukarimu, 10Mtu mwenye haki hujali mahitaji ya mnyama
bali ubaya huja kwake yeye autafutaye. wake,
bali matendo ya huruma ya mwovu ni ukatili.
28Ye yote ategemeaye utajiri wake ataanguka,
bali mwenye haki atastawi kama jani bichi. 11Yeye alimaye ardhi yake atakuwa na chakula
tele,
29Yeye aletaye taabu kwa jamaa yake atarithi tu bali yeye afuataye mambo ya upuuzi hana
upepo, akili.
naye mpumbavu atakuwa mtumishi wa
wenye hekima. 12Waovu hutamani mateka ya watu wabaya,
bali shina la mwenye haki hustawi.
30Tunda la mwenye haki ni mti wa uzima,
naye mwenye hekima huvuta roho za watu. 13Mtu mwovu hunaswa kwa mazungumzo yake
ya dhambi,
31Kama wenye haki watapokea ujira wao bali mwenye haki huepuka taabu.
duniani,
si zaidi sana wasiomcha Mungu na wenye 14Kutokana na tunda la midomo yake mtu
dhambi! hujazwa na mambo mema,
hakika kama ilivyo kazi ya mikono yake
12 Ye yote apendaye maonyo hupenda
maarifa,
humtuza.
11
MITHALI
23Mtu mwenye busara hujihifadhia maarifa yeye bali hekima hupatikana kwa wale
mwenyewe, wanaozingatia shauri.
bali moyo wa wapumbavu hububujika
upumbavu. 11Fedha isiyo ya halali hupungua,
bali yeye akusanyaye fedha kidogo kidogo
24Mikono yenye bidii itatawala, huongezeka.
bali uvivu huishia katika kazi za utumwa.
12Kilichotarajiwa kikikawia kuja moyo huugua,
25Moyo wa wasiwasi humlemea mtu, bali tumaini lililotimizwa ni mti wa uzima.
bali neno la huruma humfurahisha.
13Yeye anayedharau mafundisho atayalipia,
26Mtu mwenye haki ni mwangalifu katika urafiki, bali yeye anayeheshimu agizo hupewa tuzo.
bali njia ya waovu huwapotosha.
14Mafundisho ya mwenye busara ni chemchemi
27Mtu mvivu haoki mawindo yake, ya uzima,
bali mtu mwenye bidii ana mali za thamani. yamgeuzayo mtu kutoka mitego ya mauti.
2Kutoka katika tunda la midomo yake mtu 17Mjumbe mwovu huanguka kwenye taabu,
hufurahia mambo mema, bali mjumbe mwaminifu huleta uponyaji.
bali wasio waaminifu wanatamani sana jeuri.
18Yeye anayedharau maonyo hupata umaskini
3Yeye alindaye midomo yake hulinda nafsi yake, na aibu,
bali yeye asemaye kwa haraka ataangamia. bali yeye anayekubali maonyo huheshimiwa.
4Mvivu hutamani sana na hapati kitu, 19Tarajio lililotimizwa ni tamu kwa nafsi,
bali nafsi ya mwenye bidii hutoshelezwa bali wapumbavu huchukia sana kuacha
kikamilifu. ubaya.
12
MITHALI
kumrudi. bali mwishoni huelekea mautini.
25Mwenye haki hula mpaka akaridhisha moyo 13Hatakatika kicheko moyo waweza kuuma,
wake, nayo furaha yaweza kuishia katika majonzi.
bali tumbo la mwovu hubakia na njaa.
14Wasio na imani watapatilizwa kikamilifu kwa
13
MITHALI
26Yeye amchaye BWANA ana ngome bali ye yote akubaliye maonyo huonyesha
salama, busara.
na kwa watoto wake itakuwa kimbilio.
6Nyumba ya mwenye haki ina hazina kubwa,
27Kumcha BWANA ni chemchemi ya bali mapato ya waovu huwaletea taabu.
uzima,
ikimwepusha mtu na mitego ya mauti. 7Midomo ya mwenye hekima hueneza maarifa,
bali sivyo ilivyo mioyo ya wapumbavu.
28Wingi wa watu ni utukufu wa mfalme,
bali pasipo watu mkuu huangamia. 8BWANA huchukia sana dhabihu za
waovu,
29Mtu mwenye subira ana ufahamu mwingi, bali maombi ya wanyofu humfurahisha
bali anayekasirika haraka huonyesha Mungu.
upumbavu.
9BWANA huchukia sana njia ya waovu,
30Moyo wenye amani huupa mwili uzima, bali huwapenda wale wafuatao haki.
bali wivu huozesha mifupa.
10Adhabu kali humngoja yeye aachaye njia,
31Yeye amwoneaye maskini huonyesha dharau yeye achukiaye maonyo atakufa.
kwa Muumba wao,
bali ye yote anayemhurumia mhitaji 11Mauti na Uharibifu a viko wazi mbele za
humheshimu Mungu. BWANA,
je, si zaidi sana mioyo ya watu!
32Waovu huangamizwa na dhambi zao,
bali wacha Mungu wana kimbilio 12Mwenye mzaha huchukia maonyo,
wanapokufa. hatataka shauri kwa mwenye hekima.
33Hekima hukaa katika moyo wa mwenye 13Moyo wenye furaha hufanya uso uchangamke,
ufahamu bali maumivu ya moyoni huponda roho.
bali haipatikani miongoni mwa wapumbavu.
14Moyo wa mwenye ufahamu hutafuta maarifa,
34Hakihuinua taifa, bali kinywa cha mpumbavu hujilisha
bali dhambi ni aibu kwa watu wote. upumbavu.
2Ulimiwa mwenye hekima husifu maarifa, 17Afadhali chakula cha mboga mahali palipo na
bali kinywa cha mpumbavu hufoka upendo
upumbavu. kuliko nyama ya ndama iliyonona pamoja na
chuki,
3Macho ya BWANA yako kila mahali,
yakiwaangalia waovu na wema. 18Mtu mwepesi wa hasira huchochea ugomvi,
bali mtu mvumilivu hutuliza ugomvi.
4Ulimiuletao uponyaji ni mti wa uzima,
bali ulimi udanganyao huponda roho. 19Njia ya mvivu imezibwa na miiba,
5Mpumbavu hubeza maonyo ya baba yake, a11 Uharibifu hapa maana yake ni “Kuzimu.’’
14
MITHALI
bali njia ya mwenye haki ni barabara kuu. hekima,
nao unyenyekevu huja kabla ya heshima.
20Mwana mwenye hekima huleta furaha kwa
baba yake, Mipango ya moyoni ni ya mwanadamu,
bali mtu mpumbavu humdharau mama yake. 16 bali jibu la ulimi hutoka kwa BWANA.
21Upumbavu humfurahisha mtu ambaye hana 2Njiazote za mtu huonekana safi machoni pake
akili, mwenyewe,
bali mtu mwenye ufahamu hushika njia bali makusudi hupimwa na BWANA.
iliyonyooka.
3MkabidhiBWANA lo lote ufanyalo,
22Mipango hushindwa kufanikiwa kwa ajili ya nayo mipango yako itafanikiwa.
kukosa ushauri,
bali kukiwa na washauri wengi hufanikiwa. 4BWANA hufanya kila kitu kwa kusudi lake
mwenyewe,
23Mtuhupata furaha katika kutoa jibu linalofaa, hata waovu kwa siku ya msiba.
ni zuri namna gani neno lililotoka kwa wakati
wake. 5BWANA huwachukia sana wote wenye
kiburi cha moyoni.
24Mapito
ya uzima huelekea juu kwa ajili ya Uwe na hakika kwa hili: “Hawataepuka
wenye hekima kuadhibiwa.”
kumwepusha asiende chini kaburini.
6Kwa upendo na uaminifu uovu huondolewa,
25BWANA hubomoa nyumba ya mtu kwa kumcha BWANA mtu hujiepusha
mwenye kiburi, na ubaya.
bali huilinda mipaka ya mjane isiguswe.
7Njiaza mtu zinapompendeza BWANA,
26BWANA huchukia sana mawazo ya huwafanya hata adui zake waishi naye kwa
mwovu, amani.
bali mawazo ya wale walio safi
humfurahisha Yeye. 8Afadhali kitu kidogo pamoja na haki
kuliko mapato mengi pamoja na udhalimu.
27Mtumwenye tamaa huletea jamaa yake taabu,
bali yeye achukiaye rushwa ataishi. 9Moyo wa mtu huifikiri njia yake,
bali BWANA huelekeza hatua zake.
28Moyo wa mwenye haki hupima majibu yake,
bali kinywa cha mwovu hufoka ubaya. 10Midomo ya mfalme huzungumza kwa hekima
ya kiungu,
29BWANA yuko mbali na waovu, wala kinywa chake hakipotoshi haki.
bali husikia maombi ya wenye haki.
11Vipimo
na mizani za halali hutoka kwa
30Mtazamo wa tabasamu huleta furaha moyoni, BWANA,
nazo habari njema huipa mifupa afya. mawe yote ya kupimia yaliyo katika mfuko
ameyafanya yeye.
31Yeyeasikilizaye maonyo yatoayo uzima
atakuwa miongoni mwa wenye hekima. 12Wafalmehuchukia sana kutenda maovu,
kwa maana kiti cha kifalme hufanywa imara
32Yeye anayedharau maonyo hujidharau kwa njia ya haki.
mwenyewe,
bali ye yote anayekubali maonyo hupata 13Wafalme hufurahia midomo ya uaminifu,
ufahamu. humthamini mtu asemaye kweli.
15
MITHALI
bali mtu mwenye hekima ataituliza. 28Mtu mpotovu huchochea ugomvi,
nayo maongezi ya upuuzi hutenganisha
15Uso wa mfalme ung'aapo, ina maanisha uhai, marafiki wa karibu.
upendeleo wake ni kama wingu la mvua
wakati wa vuli. 29Mtu mkali humvuta jirani yake
na kumwongoza katika mapito yale mabaya.
16Ni bora kiasi gani kupata hekima kuliko
dhahabu, 30Yeye akonyezaye kwa jicho lake
kuchagua ufahamu kuliko fedha! anapanga upotovu, naye akazaye midomo
yake amenuia mabaya.
17Njia kuu ya wanyofu huepa ubaya,
yeye aichungaye njia yake, huuchunga uhai 31Mvi ni taji ya utukufu,
wake. hupatikana kwa maisha ya uadilifu.
21Wenye hekima moyoni huitwa wenye ufahamu 2Mtumishi mwenye hekima atatawala juu ya
na maneno ya kupendeza huchochea mwana aaibishaye,
mafundisho. naye atashirikiana katika urithi kama mmoja
wa hao.
22Ufahamu ni chemchemi ya uzima kwa wale
walio nao, 3Kalibu ni kwa fedha na tanuru kwa dhahabu,
bali upumbavu huleta adhabu kwa bali BWANA huujaribu moyo.
wapumbavu.
4Mtu mwovu husikiliza midomo mibaya,
23Moyo wa mtu mwenye hekima huongoza mwongo husikiliza kwa makini ulimi wa
kinywa chake, madhara.
na midomo yake huchochea mafundisho.
5Yeye anaye mdhihaki maskini huonyesha
24Maneno ya kupendeza ni kama sega la asali, dharau kwa Muumba wake,
ni matamu kwa nafsi na uponyaji kwenye ye yote afurahiaye maafa hataepuka
mifupa. kuadhibiwa.
25Iko njia ionekanayo kuwa sawa kwa mtu, 6Wana wa wana ni taji la wazee,
bali mwisho wake huongoza mautini. nao wazazi ni fahari ya watoto wao.
16
MITHALI
ko kote kigeukiapo, hufanikiwa. 21Kuwa na mwana mpumbavu huleta huzuni,
hakuna furaha kwa baba wa mpumbavu.
9Yeye anayesamehe kosa hudumisha upendo,
22Moyo wenye furaha ni dawa nzuri,
bali ye yote arudiaye jambo hutenganisha
marafiki wa karibu. bali roho iliyonyong’onyea hukausha mifupa.
19Ndugu aliyechukizwa ni mgumu kuridhika 8Yeye apataye hekima huipenda nafsi yake
kuliko mji uliozungushiwa ngome, mwenyewe,
nayo mabishano ni kama malango yeye ahifadhiye ufahamu husitawi.
ya ngome yenye makomeo.
9Shahidi wa uongo hataacha kuadhibiwa,
20Tumbo la mtu litajaa kutokana na tunda la naye amwagaye uongo ataangamia.
kinywa chake,
atashibishwa mavuno yanayotokana na 10Haistahili mpumbavu kuishi katika anasa,
midomo yake. itakuwa vibaya kiasi gani kwa mtumwa
kuwatawala wakuu.
21Mautina uzima viko katika uwezo wa ulimi,
nao waupendao watakula matunda yake. 11Hekima ya mtu humpa uvumilivu,
18
MITHALI
ni kwa utukufu wake kusamehe makosa. kinywa chake!
12Ghadhabu ya mfalme ni kama ngurumo ya 25Mpige mwenye mzaha, naye mjinga atajifunza
simba, busara,
bali wema wake ni kama umande juu ya mkemee mwenye ufahamu naye atapata
majani. maarifa.
14Nyumba na mali hurithiwa kutoka kwa wazazi, 27Mwanangu, ukiacha kusikiliza mafundisho,
bali mke mwenye busara hutoka kwa utatangatanga mbali na maneno ya maarifa.
BWANA.
28Shahidi mla rushwa hudhihaki hukumu
15Uvivuhuleta usingizi mzito, na kinywa cha mtu mwovu humeza ubaya
naye mtu mzembe huona njaa. kwa upesi.
16Yeye ambaye hutii mafundisho huulinda uhai 29Adhabu zimeandaliwa kwa ajili ya wenye
wake, dhihaka
bali yeye anayezidharau njia zake atakufa. na mapigo kwa ajili ya migongo ya
wapumbavu.
17Yeye amhurumiaye maskini humkopesha
BWANA,
naye atamtuza kwa aliyotenda. 20 Mvinyo ni mdhihaki na kileo ni mgomvi,
ye yote apotoshwaye navyo hana
hekima.
18Mrudimwanao, wakati bado liko tumaini,
wala nafsi yako isifadhaike kwa kulia kwake. 2Ghadhabu ya mfalme ni kama ngurumo ya
simba,
19Mtu mwenye kukasirika haraka ni lazima yeye amkasirishaye hupoteza uhai wake.
atapata adhabu yake,
kama utamwokoa, itakubidi kufanya hivyo 3Ni kwa heshima ya mtu kuepa ugomvi,
tena. bali kila mpumbavu ni mwepesi kugombana.
20Sikiliza
mashauri na ukubali mafundisho, 4Mvivu halimi kwa majira,
nawe mwishoni utakuwa na hekima. kwa hiyo wakati wa mavuno hutazama lakini
hapati cho chote.
21Kuna mipango mingi ndani ya moyo wa mtu,
lakini kusudi la BWANA ndilo 5Makusudi ya moyo wa mwanadamu ni maji
litakalosimama. yenye kina,
lakini mtu mwenye ufahamu huyachota.
22Lilemtu alionealo shauku ni upendo usio na
mwisho, 6Watu wengi hujidai kuwa na upendo usiokoma,
afadhali kuwa maskini kuliko kuwa mwongo. bali mtu mwaminifu ni nani awezaye
kumpata?
23Kumcha BWANA huongoza kwenye
uzima, 7Mtu mwenye haki huishi maisha yasiyo na
kisha mtu hupumzika akiwa ameridhika, bila lawama,
kuguswa na shida. wamebarikiwa watoto wake baada yake.
24Mtu mvivu huuzamisha mkono wake kwenye 8Wakati mfalme aketipo katika kiti chake cha
sahani, enzi kuhukumu,
lakini hawezi hata kuurudisha kwenye hupepeta ubaya wote kwa macho yake.
19
MITHALI
kupimia ya udanganyifu,
9Ni nani awezaye kusema, “Nimeuweka moyo nazo mizani zisizo halali hazimpendezi.
wangu safi,
mimi ni safi na sina dhambi?” 24Hatua za mtu huongozwa na BWANA,
anawezaje basi mtu ye yote kuelewa njia
10Mawe ya kupimia yaliyo tofauti na vipimo yake mwenyewe?
tofauti,
BWANA huchukia vyote viwili. 25Ni mtego kwa mtu kuweka wakfu kitu kwa
haraka
11Hata mtoto hujulikana kwa matendo yake, na baada ya kitambo kidogo kufikiria tena
kama tabia yake ni safi na adili. nadhiri zake.
22Usiseme, “Nitakulipiza kwa ajili ya kosa hili!’’ 6Mali iliyopatikana kwa ulimi wa uongo
Mngojee BWANA, naye atakuokoa. ni mvuke upitao upesi na mtego wa kufisha.
20
MITHALI
kwa kuwa wanakataa kufanya yaliyo sawa. 22Mtu mwenye hekima huushambulia mji wa
wenye nguvu,
8Njia ya mwenye hatia ni ya upotovu, na kuangusha ngome wanazozitegemea.
bali tabia ya mtu asiye na hatia ni nyofu.
23Yeye alindaye kinywa chake na ulimi wake
9Ni afadhali kuishi pembeni mwa paa la nyumba hujilinda na maafa.
kuliko kuishi nyumba moja na mke mgomvi.
24Mtu mwenye kiburi na majivuno “Mdhihaki’’
10Mtu mwovu hutamani sana ubaya, ndilo jina lake,
jirani yake hapati huruma kutoka kwake. hutenda mambo kwa kiburi kilichozidi.
11Wakati mwenye mzaha ameadhibiwa, mjinga 25Kutamani sana kwa mvivu kutakuwa kifo
hupata hekima, chake,
wakati mtu mwenye hekima afundishwapo, kwa sababu mikono yake haitaki kufanya
hupata maarifa. kazi.
16Mtu anayepotea kutoka katika mapito ya 31Farasi huandaliwa kwa ajili ya siku ya vita,
ufahamu, bali ushindi huwa kwa BWANA.
hupumzika katika kundi la waliokufa.
17Mtu apendaye anasa atakuwa maskini, 22 Heri kuchagua jina jema kuliko utajiri
mwingi,
ye yote apendaye mvinyo na mafuta kamwe kuheshimiwa ni bora kuliko fedha au
hatakuwa tajiri. dhahabu.
19Ni afadhali kuishi jangwani 3Mtu mwenye busara huona hatari na kukimbia
kuliko kuishi na mke mgomvi na mkorofi. bali mjinga huendelea mbele kama kipofu na
kuteswa nayo.
20Katika nyumba ya mwenye hekima
kuna akiba ya vyakula vizuri na mafuta, 4Unyenyekevu na kumcha BWANA
lakini mtu mpumbavu hutafuna vyote alivyo huleta utajiri, heshima na uzima.
navyo.
5Katika mapito ya waovu kuna miiba na mitego,
21Yeye afuatiaye haki na upendo bali yeye ailindaye nafsi yake hukaa mbali
hupata uzima, mafanikio na heshima. nayo.
21
MITHALI
6Mfundishe mtoto njia impasayo kuiendea, ili uweze kutoa majibu sahihi kwake yeye
naye hataiacha hata akiwa mzee. aliyekutuma?
7Matajiri
huwatawala maskini 22Usiwadhulumu maskini kwa hila kwa sababu ni
naye akopaye ni mtumwa wa akopeshaye. maskini,
wala kumdhulumu mhitaji mahakamani,
8Yeye aupandaye uovu huvuna taabu, 23kwa sababu BWANA atalichukua shauri
9Mtu mkarimu yeye mwenyewe atabarikiwa 24Usifanye urafiki na mtu mwenye hasira ya
kwa kuwa hushiriki chakula chake na haraka,
maskini. usishirikiane na yule aliye mwepesi
kukasirika,
10Mfukuzemwenye dhihaka, nayo mashindano 25la sivyo utajifunza njia zake
13Mvivu husema, ‘‘Kuna simba nje!’’ 29Je, unamwona mtu stadi katika kazi yake?
au, ‘‘Nitauawa huko njiani!’’ Atahudumu mbele ya wafalme,
Hatahudumu mbele ya watu duni.
14Kinywa cha mwanamke mzinzi ni shimo refu,
yeye aliye chini ya ghadhabu ya BWANA
atatumbukia ndani yake. 23 Uketipo kula chakula na mtawala,
angalia vema kile a kilicho mbele yako,
2na utie kisu kooni mwako
15Ujinga umefungwa ndani ya moyo wa mtoto, kama ukiwa mlafi.
bali fimbo ya adhabu itaufukuzia mbali naye. 3Usitamani vyakula vyake vitamu
22
MITHALI
yako ya kumsifu.
26Mwanangu, nipe moyo wako,
9Usizungumze na mpumbavu, macho yako na yafuate njia zangu,
kwa maana atadhihaki hekima ya maneno 27kwa maana malaya ni shimo refu
atalichukua shauri lao dhidi yako. 29Ni nani mwenye ole? Ni nani mwenye huzuni?
Ni nani mwenye ugomvi? Ni nani mwenye
12Elekeza moyo wako kwenye mafundisho malalamiko?
na masikio yako kwenye maneno ya Ni nani aliye na majeraha yasiyo na
maarifa. sababu?
Ni nani mwenye macho mekundu?
13Usimnyime mtoto adhabu, 30Ni hao wakaao sana kwenye mvinyo,
kwa maana ukimwadhibu kwa fimbo, hao waendao kuonja mabakuli ya mvinyo
hatakufa. uliochanganywa.
14Mwadhibu kwa fimbo 31Usiukodolee macho mvinyo wakati ukiwa
bali kila mara uwe na bidii katika kumcha alalaye juu ya kamba ya merikebu.
BWANA. 35Utasema, “Wamenipiga lakini sikuumia!
18Hakika kuna tumaini la baadaye kwa ajili yako, wamenichapa, lakini sisikii!
nalo taraja lako halitakatiliwa mbali. Nitaamka lini ili nikanywe tena?’’
19Sikiliza, mwanangu na uwe na hekima,
naye aliye na mwana mwenye hekima 5Mtu mwenye hekima ana uwezo mkubwa,
humfurahia. naye mtu mwenye maarifa huongeza nguvu,
25Baba yako na mama yako na wafurahi, 6kwa kufanya vita unahitaji maongozi
b14 “Mauti,’’ hapa ina maana ya “kuzimu.’’ katika kusanyiko langoni hana lo lote la
23
MITHALI
kusema. naye ni nani ajuaye maafa wawezayo
kuleta?
8Yeye apangaye mabaya
atajulikana kama mtu wa hila. Misemo Zaidi ya Wenye Hekima
9Mipango ya mpumbavu ni dhambi, 23Hii pia ni misemo ya wenye hekima:
huna hatia,’’
11Okoa wale wanaoongozwa kwenye kifo, Watu watamlaani na mataifa yatamkana.
wazuie wote wanaojikokota kuelekea 25Bali itakuwa vema kwa wale watakaowatia
24
MITHALI
kukutosha,
3Kama mbingu zilivyo juu na nchi ilivyo chini, ukila zaidi, utatapika.
ndivyo ambavyo mioyo ya wafalme 17Ingiza mguu wako nyumbani kwa jirani yako
8Kileulichokiona kwa macho yako 21Kama adui yako ana njaa, mpe chakula ale,
usiharakishe kukipeleka mahakamani, kama ana kiu, mpe maji anywe.
maana utafanya nini mwishoni kama jirani 22Kwa kufanya hivi, unampalia makaa ya moto
25
MITHALI
3Mjeledikwa farasi, lijamu kwa punda, 16Mvivu ni mwenye hekima machoni pake
nayo fimbo kwa migongo ya wapumbavu! mwenyewe,
kuliko watu saba wajibuo kwa busara.
4Usimjibumpumbavu sawasawa na upumbavu
wake, 17Kama yeye amkamataye mbwa masikio,
ama wewe mwenyewe utakuwa kama yeye. ndivyo alivyo mtu apitaye njiani na kujiingiza
kwenye ugomvi usiomhusu.
5Mjibumpumbavu sawasawa na upumbavu
wake, 18Kama mtu mwendawazimu
ama atakuwa mwenye hekima machoni atupaye vijinga vya moto au mishale ya
pake mwenyewe. kufisha,
19ndivyo alivyo mtu amdanganyaye jirani yake
6Kama vile ilivyo kujikata miguu au kujitafutia na kusema,
shida, ‘‘Nilikuwa nikifanya mzaha tu!’’
ndivyo ilivyo kutuma ujumbe kwa mkono wa
mpumbavu. 20Bilakuni moto huzimika,
pasipo uchongezi ugomvi humalizika.
7Kama miguu ya kiwete inavyoning'inia 21Kama makaa juu ya makaa yanayowaka
ndivyo ilivyo mithali katika kivywa cha na kama kuni kwenye moto,
mpumbavu. ndivyo alivyo mtu mgomvi kwa kuchochea
ugomvi.
8Kama kufunga jiwe kwenye kombeo,
ndivyo ilivyo kumpa mpumbavu heshima. 22Maneno ya mchongezi ni kama chakula
kitamu,
9Kama mwiba kwenye mkono wa mlevi huingia sehemu za ndani sana za mtu.
ndivyo ilivyo mithali kinywani mwa
mpumbavu. 23Kama rangi ing'aayo iliyopakwa kwenye
vyombo vya udongo
10Kama mpiga upinde ambaye hujeruhi ovyo, ndivyo ilivyo midomo laini pamoja na moyo
ndivyo alivyo yeye aajiriye mpumbavu au ye mbaya.
yote apitaye njiani.
24Mtu mwenye nia ya kudhuru wengine hujificha
11Kama mbwa ayarudiavyo matapishi yake, kwa maneno ya midomo yak,
ndivyo mpumbavu arudiavyo upumbavu lakini moyoni mwake huficha udanganyifu.
wake. 25Ingawa maneno yake huvutia, usimwamini,
26
MITHALI
unaowaumiza, 12Mtu mwenye busara huona hatari na kujificha,
nacho kinywa cha kujipendekeza hutenda bali mjinga huendelea mbele na kuteswa
uharibifu. nayo.
27 Usijisifu kwa ajili ya kesho, 13Chukua vazi la yule awekaye dhamana kwa
kwa kuwa hujui ni nini kitakachozaliwa ajili ya mgeni,
kwa siku moja. ishikilie iwe dhamana kama anafanya kwa
ajili ya mwanamke malaya.
2Mwache mwingine akusifu,
wala si kinywa chako mwenyewe, 14Kama mtu akimbariki jirani yake kwa sauti kuu
mtu mwingine afanye hivyo asubuhi na mapema,
na si midomo yako mwenyewe. itahesabiwa kama ni laana.
27
MITHALI
wako wa kike.
14Amebarikiwa mtu ambaye siku zote humcha
28 Mtu mwovu hukimbia ingawa hakuna ye
yote anayemfukuza,
BWANA,
bali yeye afanyaye moyo wake mgumu
bali wenye haki ni wajasiri kama simba. huangukia kwenye taabu.
2Wakati nchi inapoasi, ina viongozi wengi, 15Kama simba angurumaye au dubu
bali mwenye ufahamu na maarifa ashambuliaye,
hudumisha utaratibu. ndivyo alivyo mtu mwovu atawalaye
wanyonge.
3Maskini amwoneaye yeye aliye maskini zaidi
ni kama mvua ya dhoruba isiyosaza mazao. 16Mtawala dhalimu hana akili,
bali yeye achukiaye mapato ya udhalimu
4Wale waiachao sheria huwasifu waovu, atafurahia maisha marefu.
bali wale waishikao sheria huwapinga.
17Mtumwenye kusumbuliwa na hatia ya kuua
5Watu wabaya hawaelewi haki, atakuwa mtoro mpaka kufa,
bali wale wamtafutao BWANA mtu ye yote na asimsaidie.
wanaielewa kikamilifu.
18Yeye ambaye mwenendo wake hauna lawama
6Afadhali maskini ambaye mwenendo wake hulindwa salama,
hauna lawama bali yeye ambaye njia zake ni potovu
kuliko tajiri ambaye njia zake ni potovu. ataanguka ghafula.
7Yeye ashikaye sheria ni mwana mwenye 19Yeye alimaye shamba lake atakuwa na
hekima, chakula tele,
bali rafiki wa walafi humwaibisha baba yake. bali afuataye mambo ya upuzi atakuwa na
umaskini wa kumtosha.
8Yeye aongezaye utajiri wake kwa riba kubwa
mno 20Mtu mwaminifu atabarikiwa sana,
hukusanya kwa ajili ya mwingine, ambaye bali yeye atamaniye kupata utajiri kwa
atamhurumia maskini. haraka hataacha kuadhibiwa.
28
MITHALI
atafanikiwa. mwadilifu
na hutafuta kumwua mtu mnyofu.
26Yeye ajitumainiaye mwenyewe ni mpumbavu,
bali yeye atembeaye katika hekima 11Mpumbavu huonyesha hasira yake yote,
hulindwa salama. bali mwenye hekima hujizuia.
4Kwa haki mfalme huipa nchi uthabiti, 18Mahali pasipo na maono, watu huangamia,
bali mfalme aliye na tamaa ya rushwa bali ana heri mtu yule aishikaye sheria.
huiangamiza.
19Mtumishi hawezi kuonywa kwa maneno
5Ye yote amsifuye jirani yake isivyostahili, matupu,
anautandaza wavu kuitega miguu yake. ajapoelewa, hataitikia.
7Mwenye haki hujali haki kwa ajili ya maskini, 21Kama mtu akimdekeza mtumishi wake tangu
bali mwovu hajishughulishi na hilo. ujanani,
atamletea sikitiko mwishoni.
8Wenye mzaha huuchochea mji,
bali watu wenye hekima hugeuzia mbali 22Mtu mwenye hasira huchochea ugomvi
hasira. naye mtu mwenye hasira ya haraka hutenda
dhambi nyingi.
9Kama mwenye hekima akienda mahakamani
na mpumbavu, 23Kiburi cha mtu humshusha,
mpumbavu hukasirika na kudhihaki, wala bali mtu mwenye roho ya unyenyekevu
hakuna amani. hupata heshima.
10Watu wamwagao damu humchukia mtu 24Anayekubaliana na mwizi ni adui wa nafsi yake
29
MITHALI
mwenyewe, na wala hawawabariki mama zao,
huapishwa lakini hathubutu kushuhudia. 12wale ambao ni safi machoni pao wenyewe
kumbe hawakuoshwa uchafu wao,
25Kuwaogopa watu huwa ni mtego, 13wale ambao daima macho yao ni ya kiburi,
Ni nani ameshafungia maji kwenye nguo yake? mwendo wa nyoka juu ya mwamba,
Ni nani ameimarisha miisho yote ya dunia? mwendo wa meli katika maji makuu ya
Jina lake ni nani na mwanaye anaitwa nani? bahari,
Niambie kama unajua! nao mwendo wa mtu pamoja na
msichana.
5‘‘Kila
neno la Mungu ni kamilifu,
yeye ni ngao kwa wale wanaomkimbilia. 20“Huu ndio mwendo wa mwanamke mzinzi,
6Usiongeze kwenye maneno yake, hula akapangusa kinywa chake na kusema,
ama atakukemea na kukuthibitisha kuwa “Sikufanya cho chote kibaya.’’
mwongo.
21‘‘Kwamambo matatu nchi hutetemeka,
7“Ninakuomba vitu viwili, Ee BWANA, naam, kwa mambo manne haiwezi
usininyime kabla sijafa: kuvumilia.
8Uutenge mbali nami udanganyifu na uongo, 22Mtumwa awapo mfalme,
na pia kule kufinya pua hutoa damu, mikono yake ina nguvu kwa ajili ya kazi
kadhalika kuchochea hasira hutokeza zake.
ugomvi.’’ 18Huona kwamba biashara yake ina faida,
wafalme. chake,
yeye huvaa kitani safi na urujuani.
4“EeLemueli, haifai wafalme, 23Mume wake anaheshimiwa kwenye lango la
a2 Mwana wa nadhiri zangu hapa maana yake ‘‘Uliye jibu la b21 “Za joto’’ hapa ni kama nyekundu, kwenye Kiebrania na
maombi yangu.’’ Kiyunani.
31
MITHALI
mwake.
27Huangalia mambo ya nyumbani mwake
wala hali chakula cha uvivu.
28Watoto wake huamka na kumwita mbarikiwa
nzuri,
lakini wewe umewapita wote.’’
30Kupendeza ni udanganyifu, uzuri unapita
upesi,
bali mwanamke anayemcha BWANA
atasifiwa.
31Mpe thawabu anayostahili,
32
MHUBIRI
Utangulizi
Neno la Kiyunani ‘‘ecclesiastes’’ limetafsiriwa kutoka kwenye neno la Kiebrania ‘‘Qoheleth’’ ambalo lina
maana ya ‘‘Mhubiri’’au yeye ahutubiaye kusanyiko. Maadam mwandishi anajitaja mwenyewe mara nyingi kama
ndiye ‘‘ mhubiri,’’ jina hili ‘‘Mhubiri’’ linaonekana kuwa ndilo jina linalofaa kukitambulisha kitabu hiki.
Neno‘‘mwalimu’’ lililotumika katika tafsiri ya Agano la Kale ya Kiyunani ‘‘Septuagint’’ndilo linalofanana na hili.
Kitabu cha Mhubiri kinachunguza umaana wa kuishi. Kwa bidii kubwa na hata kwa kushiriki, anafanya
uchunguzi katika kuthubutu hata kujitia katika mafanikio ya kitambo kidogo na kule kushindwa kwa
mwanadamu.mara kwa mara anarudia usemi ‘‘chini ya jua’’na ‘‘yote ni ubatili,’’ yaani, (‘‘utupu, bure, udanganyifu,
tena upuzi’’) akiyaweka katika mtazamo wa kibinadamu.
Mwandishi anapoangalia katika shughuli za wanadamu, anamwona mwanadamu katika wazimu wa
kukimbizana na jambo moja kisha anakimbizana na jingine. Hatimaye, imani inamfundisha kwamba Mungu
ameamuru mambo yote kulingana na kusudi lake na kwamba wajibu wa mwanadamu ni kukubaliana na hayo,
pamoja na viwango vyake mwenyewe vyenye ukomo, kuwa ndiyo majaliwa ya Mungu. Hivyo, mwanadamu
yampasa kuwa mvumilivu na kufurahia maisha kama vile Mungu ayatoavyo. Hekima, elimu, maarifa, anasa,
furaha, mamlaka, uwezo, utajiri, ushawishi, dini na kadhalika, vitu vyote hivi vina thamani na umuhimu kwa wakati
na mahali muafaka katika maisha ya binadamu. Lakini vitu hivi vina thamani ya kudumu pale tu ambapo Mungu
anakuwa ndiye anayetawala maisha ya mtu. Kwa hiyo kumcha, kumheshimu na kumtumikia Mungu kwa moyo ni
muhimu ili kuyafanya maisha yawe na maana. Pasipo Mungu, ‘‘Mwalimu’’ anasema, ‘‘kila kitu ni ubatili.’’
Wazo
Kusudi la kitabu hiki ni kuchunguza maisha kwa ujumla wake na kufundisha kwamba upembuzi wa mwisho
unaonyesha kuwa maisha hayana maana, yaani, ni ubatili bila kumheshimu na kumcha Mungu kikamilifu.
Mwandishi
Inakubalika kwamba mwandishi wa kitabu hiki ni Solomoni ingawa hajitaji katika kitabu hiki kama alivyojitaja
katika Mithali (1 :1 ; 10 :1 ; 25 :1) na Wimbo Ulio Bora (1 :1), hata hivyo aya kadhaa zinaashiria kuwa ndiye
aliyeandika kitabu hiki. Mwandishi anaandika katika mtazamo wa mchunguzi wa kifilosofia. Ndani ya kitabu hiki
huyu mwandishi anajitaja mwenyewe kuwa mwana wa Daudi aliyetawala Yerusalemu juu ya taifa la Israeli
(1 :1,12).Njia zake,uelekevu katika hekima yake isiyoweza kulinganishwa, utajiri wake mkubwa, kujifurahisha
katika wingi wa mali na utajiri, shughuli nyingi za ujenzi, vyote hivi vinaonyesha kwamba Solomoni ndiye
mwandishi, ingawa hakutaja jina lake kwa wazi ndani ya kitabu. Mwelekeo wa mapokeo ya Kiyahudi na wasomi
Wakristo unashikilia kuwa Solomoni ndiye mwandishi wa kitabu hiki. Ingawa wasomi wa hivi karibuni wameibua
hoja nyingi, mpaka sasa hakuna uthibitisho ambao umeletwa unaoonyesha vinginevyo kwa ukamilifu.
Kusudi
Solomoni alikuwa anayaangalia maisha yake ya nyuma ambayo kwa sehemu kubwa aliishi mbali na Mungu.
.
Mahali
Yerusalemu
Tarehe
Kama mwaka 935 K.K.
Mgawanyo
• Maisha ni ubatili kabisa (1 :1-11)
• Kikomo cha hekima (1:12-2:26)
• Wakati kwa kila jambo (3:1-22)
• Maudhi na kutosheka (6:1-8:17)
• Maisha ni lazima yatawaliwe na hekima (9:1-1020)
• Hekima ya kweli – kumcha Mungu 911:1-12:14)
MHUBIRI
Kila Kitu Ni Ubatili Mtupu na kuongezeka katika hekima kuliko ye yote
Maneno ya Mhubiri, mwana wa aliyewahi kutawala Yerusalemu kabla yangu.
1 Daudi,mfalme huko Yerusalemu: Nimekuwa na uzoefu mkubwa wa hekima na
maarifa.’’ 17Ndipo nilipojitahidi kufahamu
2“Ubatili
mtupu! Ubatili mtupu!’’ kutofautisha hekima, wazimu na upumbavu,
Mhubiri anasema. lakini nikatambua hata hili nalo ni kukimbiza
“Ubatili mtupu! upepo.
Kila kitu ni ubatili.’’
18Kwa kuwa hekima nyingi huleta huzuni
3Mwanadamu anafaidi nini kutokana na kazi kubwa,
yake yote anayotaabikia chini ya jua? maarifa yanapoongezeka, masikitiko
4Vizazi huja na vizazi hupita, yanaongezeka.
lakini dunia inadumu milele.
5Jua huchomoza na jua huzama, Anasa Ni Ubatili
nalo huarakisha kurudi maawioni.
6Upepo huvuma kuelekea kusini 2 Nikafikiri moyoni mwangu, “Njoo sasa,
nitakujaribu kwa anasa nione ni lipi lililo
na kugeukia kaskazini, jema.’’ Lakini hilo nalo likaonekana ni ubatili.
hurudia mzunguko uo huo, 2Nikasema, “kicheko,’’ nacho ni upumbavu.
hakuna kilicho kipya chini ya jua. kunyweshea hii miti iliyokuwa inastawi vizuri.
10Kuna kitu chochote ambacho mtu anaweza 7Nikanunua watumwa wa kiume na wa kike na
2
MHUBIRI
upepo, kazi yake ni maumivu na masikitiko, hata usiku
hapakuwa na faida yo yote chini ya jua. akili yake haipati mapumziko. Hili nalo pia ni
ubatili.
Hekima Na Upumbavu Ni Ubatili 24Hakuna kitu bora anachoweza kufanya
12Kisha nikageuza mawazo yangu kufikiria mtu zaidi ya kula na kunywa na kuridhika katika
hekima, kazi yake. Hili nalo pia, ninaona, latokana na
wazimu na upumbavu. mkono wa Mungu, 25kwa sababu pasipo yeye, ni
Ni nini zaidi mtu anayetawala nani awezaye kula na kufurahi? 26Kwa yule mtu
baada ya mfalme anachoweza kufanya anayempendeza Mungu, Mungu humpa hekima,
ambacho hakijafanywa? maarifa na furaha, bali kwa mwenye dhambi
13Nikaona kuwa hekima ni bora kuliko Mungu humpa kazi ya kukusanya na kuhifadhi
upumbavu, utajiri ili Mungu ampe yule anayempenda. Hili
kama vile nuru ilivyo bora kuliko giza. nalo pia ni ubatili, ni kukimbiza upepo.
14Mtu mwenye hekima ana macho katika kichwa
kazi yake kwa hekima, maarifa na ustadi, kisha wanadamu kuliko kuwa na furaha na kutenda
analazimika kuacha vyote alivyo navyo kwa mtu mema wakati wanapoishi. 13Tena ni karama ya
mwingine ambaye hajavifanyia kazi. Hili nalo pia Mungu kila mtu apate kula na kunywa na
ni ubatili tena ni balaa kubwa. 22Mtu atapata nini kujiburudisha kwa mema katika kazi yake yote.
kwa taabu yote na kuhangaika kwa bidii katika 14Ninajua kwamba kila kitu anachokifanya
kazi anayotaabikia chini ya jua? 23Siku zake zote Mungu kitadumu milele, hakuna kinachoweza
3
MHUBIRI
kuongezwa au kupunguzwa. Mungu hufanya 3Lakini
aliye bora kuliko hao wawili
hivyo ili watu wamheshimu. ni yule ambaye hajazaliwa bado,
ambaye hajaona ubaya
15Cho chote kilichopo kilishakuwapo, ule unaofanyika chini ya jua.
kitakachokuwapo kimekwishakuwapo kabla,
naye Mungu huyaita yale yaliyopita yarudi 4Tena nikaona kuwa kazi zote na mafanikio
tena. yote huchipuka kutokana na wivu wa mtu kwa
jirani yake. Hili nalo ni ubatili, ni kukimbiza
16Pia nikaona kitu kingine tena chini ya jua: upepo.
4
MHUBIRI
aliyepokea ufalme. 16Hapakuwa na kikomo cha isipokuwa ni kushibisha macho yake?
watu wote aliowatawala. Lakini wale waliokuja 12Usingizi wa kibarua ni mtamu, awe amekula
baadaye hawakufurahia kazi ya yule aliyepokea kidogo au kingi,
ufalme. Hili nalo pia ni ubatili, ni kukimbiza lakini wingi wa mali humnyima tajiri
upepo. usingizi.
Simama Katika Kicho Cha Mungu 13Nimeshaona uovu mzito chini ya jua:
Linda hatua zako uendapo katika nyumba Utajiri uliolimbikizwa kwa kujinyima
5 ya Mungu. Karibia usikilize kuliko kutoa na kuleta madhara kwa mwenye mali,
dhabihu ya wapumbavu, ambao hawajui kuwa 14au utajiri uliopotea kwa bahati mbaya,
chako kukuingiza dhambini. Tena usijitetee pamoja na fadhaa kubwa, mateso na hasira.
mbele ya huyo mjumbe wa hekaluni, ukisema,
“Niliweka nadhiri kwa makosa.’’ Kwa nini Mungu 18Ndipo nikatambua kwamba ni vema na
akasirike kwa ajili ya yale unayosema na sahihi kwa mtu kula na kunywa na kutosheka
kuiharibu kazi ya mikono yako? 7Kuota ndoto katika kazi yake ngumu chini ya jua katika siku
kwingi na maneno mengi ni ubatili. Kwa hiyo chache za maisha yake Mungu alizompa, kwa
simama katika kicho cha Mungu. maana hili ndilo fungu lake. 19Zaidi ya yote,
Mungu anapompa mtu ye yote utajiri na milki,
Utajiri Ni Ubatili humwezesha kuvifurahia, kukubali fungu lake na
8Kama ukiona maskini wanaonewa katika kuwa na furaha katika kazi yake, hii ni karama
nchi, hukumu na haki vikipotoshwa, ya Mungu. 20Mara chache mtu huzifikiri siku za
usishangazwe na mambo hayo, kwa maana maisha yake, kwa sababu Mungu humfanya
afisa mmoja anaangaliwa na aliye juu yake zaidi ashikwe na furaha ya moyoni.
na juu ya hao wawili kuna wengine walio juu
zaidi yao. 9Mafanikio ya nchi ni kwa ajili ya wote,
hata mfalme mwenyewe hufaidi kutoka 6 Nimeona ubaya mwingine chini ya jua,
nao unalemea sana wanadamu: 2Mungu
mashambani. humpa mwanadamu utajiri, mali na heshima,
10Ye yote apendaye fedha kamwe hatosheki na hivyo hakukosa cho chote moyo wake
fedha, unachokitamani. Lakini Mungu hamwezeshi
ye yote apendaye utajiri kamwe hatosheki kuvifurahia, badala yake mgeni ndiye
na kipato chake. anayevifurahia. Hili ni ubatili, ni ubaya
Hili nalo pia ni ubatili. unaosikitisha.
3Mtu anaweza kuwa na watoto mia moja
11Maliikiongezeka, ndivyo walaji naye akaishi miaka mingi, lakini haijalishi kuwa
wanavyoongezeka. ataishi kirefu namna gani, kama hawezi
Hii nayo inamfaidia nini mwenye mali kufurahia mali yake na kwamba hapati mazishi
5
MHUBIRI
ya heshima, ninasema afadhali mtoto nyumba ya anasa.
aliyezaliwa akiwa amekufa kuliko yeye. 5Afadhali kusikia karipio la mtu mwenye
4Kuzaliwa kwake hakuna maana, huondokea hekima,
gizani na gizani jina lake hufunikwa. 5Ingawa kuliko kusikiliza wimbo wa wapumbavu.
hakuwahi kuliona jua wala kujua kitu cho chote, 6Kama ilivyo kuvunjika kwa miiba chini ya
jinsi ya kujistahi mbele ya watu kwa kuwa hasira hukaa kifuani mwa
wengine? wapumbavu.
9Ni afadhali kile ambacho jicho linakiona 10Usisema, ‘‘Kwa nini siku za kale zilikuwa bora
10Lolotelililopo limekwisha kupewa jina, 11Hekima, kama ulivyo urithi, ni kitu chema
naye mwanadamu alivyo na huwafaidia wale walionao jua.
ameshajulikana, 12Hekima ni ulinzi
6
MHUBIRI
17Usiwe mwovu kupita kiasi, lakini mwanadamu ametafuta mambo mengi”.
wala usiwe mpumbavu,
kwa nini kufa kabla ya wakati wako?
18Ni vema kushika hilo moja 8 Ni nani aliye kama mtu mwenye hekima?
Ni nani ajuaye maelezo ya mambo?
na wala usiache hilo jingine likupite. Hekima hung'arisha uso wa mtu
Mtu amchaye Mungu ataepuka huko na kubadili ugumu wa uso wake.
kupita kiasi kwa hayo yote mawili.
Mtii Mfalme
19Hekima humfanya yeye aliye nayo kuwa na 2Nawaambia, ‘‘Tii maagizo ya mfalme, kwa
21Usitie maanani kila neno linalosemwa na watu, 5Yeyote anayetii agizo lake hatadhurika,
la sivyo, waweza kumsikia mtumishi wako moyo wa hekima utajua wakati muafaka na
akikulaani, jinsi ya kutenda.
22kwa kuwa unafahamu moyoni mwako 6Kwa maana kuna wakati muafaka na utaratibu
“Nimeamua kuwa na hekima’’ 7Kwa vile hakuna mtu ajuaye siku zijazo,
lakini hii ilikuwa nje ya uwezo wangu. ni nani awezaye kumwambia linalokuja?
24Vyo vyote hekima ilivyo, 8Hakuna mwanadamu awezaye kushikilia roho
“Nimegundua kitu kimoja baada ya kingine, haitekelezwi upesi, mioyo ya watu hujaa
28Nilipokuwa katika kusudi la mambo ningali mipango ya kutenda maovu. 12Ingawa mtu
natafiti lakini sipati, mwovu hufanya maovu mia moja na akaendelea
nilimpata mwanaume mmoja mnyofu kuishi maisha marefu, najua kwamba itakuwa
miongoni mwa elfu, bora zaidi kwa watu wanaomwogopa Mungu,
lakini hakuna mwanamke mmoja wamchao Mungu. 13Lakini kwa sababu waovu
mnyofu miongoni mwao. hawamwogopi Mungu, hawatafanikiwa, maisha
29Hili ndilo peke yake nililolipata: yao hayatarefuka kama kivuli.
Mungu amemwumba mwanadamu mnyofu, 14Kuna kitu kingine ambacho ni ubatili
7
MHUBIRI
kinachotokea duniani: Watu waadilifu kupata
yale yanayowastahili waovu, nao waovu kupata 7Nenda, kula chakula chako kwa furaha,
yale yanayowastahili waadilifu. Hili nalo pia, unywe divai yako kwa moyo wa shangwe, kwa
nasema ni ubatili. 15Kwa hiyo mimi ninasifu maana sasa Mungu anakubali unachofanya.
kufurahia maisha, kwa sababu hakuna kitu bora 8Daima uvae nguo nyeupe na daima upake
zaidi kwa mwanadamu chini ya jua kuliko kula, kichwa chako mafuta. 9Furahia maisha na mke
kunywa na kufurahi. Kisha furaha itafuatana wako, umpendaye, siku zote za maisha ya
naye kazini mwake siku zote za maisha yake ubatili uliyopewa na Mungu chini ya jua, siku
ambazo amepewa na Mungu chini ya jua. zote za ubatili. Kwa maana hili ndilo fungu lako
16Nilipotafakari akilini mwangu ili nijue katika maisha na katika kazi yako ya taabu chini
hekima na kuangalia kazi ya mwanadamu ya jua. 10Lo lote mkono wako upatalo kufanya,
duniani jinsi ambavyo macho yake hayapati fanya kwa nguvu zako zote, kwa kuwa huko
usingizi mchana wala usiku, 17kisha nikaona kuzimu, unakokwenda, hakuna kufanya kazi
yale yote ambayo Mungu ameyafanya. Hakuna wala mipango wala maarifa wala hekima.
awezaye kuelewa yale yanayotendeka chini ya
jua. Licha ya juhudi zake zote za kutafuta, mtu 11Nimeona kitu kingine tena chini ya jua:
hawezi kugundua maana yake. Hata ingawa mtu
mwenye hekima anadai kuwa anafahamu, kwa Si wenye mbio washindao mashindano
hakika hawezi kulitambua. au wenye nguvu washindao vita,
wala si wenye hekima wapatao chakula
Hatima Ya Wote au wenye akili nyingi wapatao mali
Kwa hiyo niliyatafakari yote haya nikafikia wala wenye elimu wapatao upendeleo,
9 uamuzi kwamba waadilifu na wenye lakini wakati wa bahati huwapata wote.
hekima na yale wanayoyafanya yako mikononi
mwa Mungu, lakini hakuna mtu ajuaye kama 12Zaidiya hayo, hakuna mwanadamu ajuaye
anangojewa na upendo au chuki. 2Wote wanayo wakati saa yake itakapokuja:
hatima inayofanana, mwadilifu na mwovu,
mwema na mbaya, aliye safi na aliye najisi, wale Kama vile samaki wavuliwavyo katika wavu
wanaotoa dhabihu na wale wasiotoa. mkatili,
au ndege wanaswavyo kwenye mtego,
Kama ilivyo kwa mtu mwema, vivyo hivyo wanadamu hunaswa na nyakati
ndivyo ilivyo kwa mtu mwenye dhambi, mbaya zinazowaangukia bila kutazamia.
kama ilivyo kwa wale wanaoapa
ndivyo ilivyo kwa wale wasioapa. Hekima Ni Bora Kuliko Upumbavu
13Pia niliona chini ya jua mfano huu wa
3Huu ni ubaya ulio katika kila kitu hekima ambao ulinivutia sana: 14Palikuwa na mji
kinachotendeka chini ya jua: Mwisho mdogo uliokuwa na watu wachache ndani yake.
unaofanana huwapata wote. Zaidi ya hayo, Mfalme mwenye nguvu akainuka dhidi yake,
mioyo ya watu, imejaa ubaya na kuna wazimu akauzunguka akaweka jeshi kubwa dhidi yake.
mioyoni mwao wangali hai, hatimaye huungana 15Katika mji huo kulikuwapo mtu mmoja maskini
na waliokufa. 4Ye yote aliye miongoni mwa walio lakini mwenye hekima, naye akauokoa ule mji
hai analo tumaini, hata mbwa hai ni bora kuliko kwa hekima yake. Lakini hakuna
simba aliyekufa! aliyemkumbuka yule maskini. 16Kwa hiyo,
nikasema, “Hekima ni bora kuliko nguvu.’’ Lakini
5Kwa maana walio hai wanajua kwamba hekima ya maskini imedharauliwa, wala hakuna
watakufa, anayesikiliza maneno yake.
lakini wafu hawajui cho chote,
hawana tuzo zaidi, 17Maneno ya utulivu ya mwenye hekima
hata kumbukumbu yao imesahaulika. husikiwa
6Upendo wao, chuki yao kuliko makelele ya mtawala wa
na wivu wao vimetoweka tangu kitambo, wapumbavu.
kamwe hawatakuwa tena na sehemu katika 18Hekima ni bora kuliko silaha za vita,
8
MHUBIRI
mema mengi. litakalotokea baada yake?
10
Kama vile mainzi waliokufa huacha 15Kazi ya mpumbavu humchosha mwenyewe,
harufu mbaya kwenye manukato, hajui njia iendayo mjini.
ndivyo upumbavu kidogo huzidi nguvu 16Ole wako, Ee nchi ambayo mfalme wako
11Kama
nyoka akiuma kabla ya kufanyiwa 3Kama mawingu yamejaa maji,
uaguzi, hunyesha mvua juu ya nchi.
mwaguzi hatahitajika tena. Kama mti ukianguka kuelekea kusini au
kuelekea kaskazini,
12Maneno yatokayo kinywani mwa mtu mwenye mahali ulipoangukia, hapo ndipo
hekima yana neema, utakapolala.
bali mpumbavu huangamizwa na midomo 4Ye yote atazamaye upepo hatapanda,
9
MHUBIRI
Muumba wa vitu vyote. na hatari zitakazokuwepo barabarani,
wakati mlozi utakapochanua maua
6Panda mbegu yako asubuhi, na panzi kujikokota
nako jioni usiruhusu mikono yako ilegee, nawe usiwe na shauku ya kitu cho
kwa maana hujui ni ipi itakayofanikiwa, chote.
kwamba ni hii au ni ile, Ndipo mwanadamu aiendea nyumba yake
au kwamba zote zitafanikiwa sawa. ya milele
nao waombolezaji wakizunguka
Mkumbuke Muumba Wako Ukiwa Bado barabarani.
Kijana
7Nuru ni tamu, 6Mkumbuke yeye, kabla haijakatika kamba ya
tena inafurahisha macho kuona jua. fedha,
8Hata kama mtu ataishi miaka mingi kiasi gani, au bakuli la dhahabu halijavunjika,
na aifurahie yote. kabla mtungi kuvunjika kwenye chemchemi,
Lakini na akumbuke siku za giza, au gurudumu kuvunjika kisimani,
kwa maana zitakuwa nyingi. 7nayo mavumbi kurudi ardhini yalikotoka,
lakini ujue kwamba kwa ajili ya haya yote aliwagawia watu maarifa pia. Alitafakari na
Mungu atakuleta hukumuni. kutafiti na akaweka katika utaratibu mithali
10Kwa hiyo basi, ondoa wasiwasi moyoni nyingi. 10Mhubiri alitafiti ili kupata maneno sahihi
mwako na kila alichoandika kilikuwa sawa na kweli.
na utupilie mbali masumbufu ya mwili 11Maneno ya wenye hekima ni kama
itakapofungwa
na sauti ya kusaga kufifia,
wakati watu wataamshwa kwa sauti ya
ndege,
lakini nyimbo zao zote zikififia,
5wakati watu watakapoogopa kilichoinuka juu
10
WIMBO ULIO BORA
Utangulizi
Jina la kitabu hiki kuitwa, “Wimbo wa Nyimbo,” yaani, “wimbo mzuri kupita zote,” ni tafsiri ya moja kwa moa
kutoka kwenye Kiebrania “Shir hash-shirim” na ya Kiyunani “asma asmaton.” Ile nyongeza “asher li-Shelomoth,”
ambayo imetafsiriwa “Wimbo wa Solomoni”,ndilo chimbuko la jina linalotumika kwa kawaida katika Kiiengereza
“Wimbo wa Solomoni.”, ambapo kwenye Kiswahili kitabu hiki kimepewa jina “Wimbo Ulio Bora” ambalo
limeendana kabisa na lile la Kiebrania. Baada ya mstari wa kufungua tu, Solomoni ametajwa mara sita katika
(1:1,5; 3:7,9,11; 8:11,12 ).Kwa asili Kanisa la Kikristo linamtambua Solomoni kuwa ndiye mwandishi. Lile jina la
kitabu la Kiebrania lililoko hapo juu, ndiyo njia ya kawaida ya kuuelezea uandishi wa mtu katika maandiko ya
kumbukumbu nyingi katika historia ya kawaida na jeografia zinakubaliana na maneno ya kipindi cha Solomoni.
Wazo Kuu
Watu wengine wanafananishia Wimbo Ulio Bora na upendo wa Kristo kwa kanisa lake. Lakini vinavyokubalika
zaidi ni kwamba Wimbo Ulio Bora ni mkusanyo wa mashairi kati ya wawili wapendanao. Picha nzuri ya upendo
wa mume na mke katika ndoa.
Wahusika Wakuu
Mfalme Solomoni, Mwanamke Mshulami na marafiki.
Mwandishi
Solomoni.
Mahali
Israeli – bustani ya mwanamke Mshulami na jumba la Kifalme.
Tarehe
Kama 960 K.K.
Mgawanyo
• Bibi arusi na Bwana arusi. (1:1-2:7)
• Sifa za mpenzi wake. (2:8-3:5)
• Kumsifu bibi arusi. (3:6-5:1)
• Upendo wenye msukosuko. (5:2-7:9)
• Urafiki ambao haujavunjika. (7:10-8:14)
1
WIMBO ULIO BORA
Wimbo ulio Bora wa Solomoni. vyenye kupambwa kwa fedha.
1
Shairi La Kwanza Mpendwa
12Wakati mfalme alipokuwa mezani pake,
Mpendwa Mpendwa
Tazama ni jinsi gani ilivyo haki wakupende! 16Tazama jinsi ulivyo mzuri, mpenzi wangu!
5Mimi ni mweusi, lakini napendeza, O, tazama ni jinsi gani unavyopendeza!
Enyi binti za Yerusalemu, Na kitanda chetu ni cha majani mabichi
weusi kama mahema ya Kedari, mazuri.
kama mapazia ya hema la Solomoni.
6Usinikazie macho kwa sababu mimi ni mweusi, Mpenzi
kwa sababu nimefanywa mweusi na jua. 17Nguzo za nyumba yetu ni mierezi,
Wana wa mama yangu walinikasirikia na mapao yetu ni miberoshi.
na kunifanya niwe mtunza mashamba
ya mizabibu, Mpedwa
shamba mwenyewe langu la mizabibu Mimi ni ua la waridi la Sharoni,
nimeliacha.
7Niambie, wewe ambaye ninakupenda,
2 yungiyungi ya bondeni.
Mpenzi karamu,
9Mpenzi wangu, ninakufananisha na bendera ya huyu mwanaume juu yangu
na farasi jike aliyefungwa katika mojawapo ni upendo.
ya magari ya vita ya Farao. 5Nitie nguvu kwa zabibu kavu,
10Mashavu yako yanapendeza yakiwa na vipuli, niburudishe kwa matofaa,
shingo yako ikiwa na mikufu ya vito. kwa maana ninazimia kwa mapenzi.
11Tutakufanyia vipuli vya dhahabu, 6Mkono wa kushoto uko chini ya kichwa changu,
2
WIMBO ULIO BORA
na mkono wake wa kuume
unanikumbatia.
7Binti za Yerusalemu, ninawaagiza 3 Usiku kucha kwenye kitanda changu
nilimtafuta yule moyo wangu
kwa paa na kwa ayala wa shambani: umpendaye,
Msichochee wala kuamsha mapenzi nilimtafuta huyo mwanaume lakini
hata yatakapotaka yenyewe. sikumpata.
2Sasa nitaondoka na kuzunguka mjini,
8Sikiliza!Mpenzi wangu! kupitia katika barabara zake na
Tazama! Huyu hapa anakuja, viwanjani,
akirukaruka juu milimani nitamtafuta yule moyo wangu umpendaye.
akizunguka juu ya vilima. Kwa hiyo nilimtafuta lakini sikumpata
9Mpenzi wangu ni kama paa au swala kijana. huyo mwanaume.
Tazama! Anasimama nyuma ya ukuta 3Walinzi walinikuta
3
WIMBO ULIO BORA
arusi yake, 11Midomo yako inadondosha utamu
siku ambayo moyo wake ulishangilia. kama sega la asali, bibi arusi wangu,
maziwa na asali viko chini ya ulimi wako.
Mpenzi Harufu nzuri ya mavazi yako ni kama ile ya
4
WIMBO ULIO BORA
Nimenawa miguu yangu, iliyopambwa kwa Krisolitho.
Je, ni lazima niichafue tena? Mwili wake ni kama pembe ya ndovu
4Mpenzi wangu aliweka mkono wake iliyong’arishwa
kwenye tundu la komeo, iliyopambwa na yakuti samawi.
moyo wangu ulianza kugonga kwa ajili 15Miguu yake ni nguzo za marimari
Mpendwa yananigharikisha.
10Mpenzi wangu anang’aa tena mwekundu kwa Nywele zako ni kama kundi la mbuzi
afya, wanaotelemka kutoka Gileadi.
wakuvutia miongoni mwa wanaume kumi 6Meno yako ni kama kundi la kondoo
5
WIMBO ULIO BORA
Wanawali walimwona na kumwita Nywele zako ni kama zulia nene la
mbarikiwa, kutundika ukutani,
malkia na masuria walimsifu. mfalme ametekwa na mashungi yake.
6Tazama jinsi ulivyo mzuri na unavyopendeza,
Miguu yako yenye madaha ni kama vito vya kwenye milango yetu kuna matunda
thamani, mazuri,
kazi ya mikono ya fundi stadi. mapya na ya zamani,
2Kitovu chako ni kama bilauri ya mviringo ambayo nimekuhifadhia wewe, mpenzi
ambayo kamwe haikosi divai wangu.
iliyochanganywa.
Kiuno chako ni kichuguu cha ngano
kilichozungukwa kwa yungiyungi. 8 Laiti ungelikuwa kwangu kama ndugu wa
kiume,
3Matiti yako ni kama wana paa wawili, ambaye aliyanyonya matiti ya mama
mapacha wa swala. yangu!
4Shingo yako ni kama mnara wa pembe ya Kisha, kama ningekukuta huko nje,
ndovu. ningelikubusu,
Macho yako ni vidimbwi vya Heshboni wala hakuna mtu ye yote
karibu na lango la Beth-rabi. angelinidharau.
Pua yako ni kama mnara wa Lebanoni 2Ningelikuongoza na kukuleta katika nyumba ya
6
WIMBO ULIO BORA
na mkono wake wa kuume unanikumbatia. Solomoni,
4Bintiza Yerusalemu, ninawaagiza: na mia mbili ni kwa ajili ya wale wanaotunza
msichochee wala kuamsha mapenzi matunda yake.
hadi yatakapotaka yenyewe.
Mpenzi
Marafiki 13Wewe ukaaye bustanini
5Ni nani huyu anayekuja kutoka nyikani pamoja na marafiki mliohudhuria,
akimwegemea mpenzi wake? unisikizishe na mimi sauti yako!
Mpendwa Mpendwa
Nilikuamsha chini ya mtofaa, 14Njoo, mpenzi wangu,
Marafiki
8Tunaye dada mdogo,
matiti yake hayajakua bado.
Tutafanya nini kwa ajili ya dada yetu
wakati atakapokuja kuposwa?
9Kama yeye ni ukuta,
Mpendwa
10Mimi ni ukuta,
matiti yangu ni kama minara.
Ndivyo ambavyo nimekuwa machoni pake
kama yule anayeleta utoshelevu.
11Solomoni alikuwa na shamba la mizabibu huko
Baal-hamoni,
alikodisha shamba lake la mizabibu kwa
wapangaji.
Kila mmoja angeleta kwa ajili ya matunda
yake Shekeli elfu moja a za fedha.
12Lakini shamba langu la mizabibu ambalo ni
7
ISAYA
Utangulizi
Nabii Isaya alianza huduma yake katika Yuda wakati wa utawala wa Mfalme Uzia. Isaya alimwona BWANA alipokufa
Mfalme Uzia (kama mwaka 740 K.K). Aliendelea na huduma yake ya unabii huko Yerusalemu wakati wa utawala wa Yothamu,
Ahazi na Hezekia wafalme wa Yuda. Kufuatana na mapokeo Isaya alikuwa akitabiri wakati mmoja na Amosi, Hosea na
Mika.Kufuatana na mapokeo hayo Isaya aliuawa (kwa kupasuliwa katikati, yaani, vipande viwili) , katika mwaka 680 K.K. chini ya
utawala wa Manase,aliyekuwa mwana mwovu wa Mfalme Hezekia, aliyetawala tangu 696 – 642 K.K.
Maendeleo ya kitaifa na kimataifa wakati wa uhai wa Isaya yalitoa msingi muhimu wa kuuelewa ujumbe wake. Isaya
alipokuwa mtu mzima ufalme wa Yuda uliibuka kuwa utawala wenye nguvu katika Palestina ukipambana na kuendelea kupanuka
kwa nguvu za dola ya Ashuru, wakati ufalme wa kaskazini, yaani, Israeli nguvu zake zilididimia kutokana na mapigano ya ndani
na mapinduzi mbalimbali. Baada ya kifo cha Uzia,Waashuru waliishinda Dameski mnamo mwaka 732 K.K.na Samaria mnamo
722 K.K.na kuzifanya Shamu (Syria) na Israeli kuwa majimbo ya Ashuru.
Wakati huo huo Ahazi mfalme wa Yuda alipuuza maonyo ya Isaya naye akaanzisha ibada ya sanamu katika hekalu la
Yerusalemu. Katika miongo kadhaa iliyofuata wafalme wa Ashuru walileta majeshi yao kuelekea kusini na wakatishia kuondoa
utawala wa ukoo wa Daudi huko Yuda katika mwaka 701K.K. (Isa.36-39). Hezekia na mji wa Yerusalemu waliokolewa
kimwujiza, ingawa kufuatana na kumbukumbu za Waashuru, miji arobaini na sita yenye maboma kusini mwa Palestina iliacha
vita, ikajitolea kwa masharti kwa Senakeribu mfalme wa Ashuru, nao watu wapatao 200,000 wakapelekwa uhamishoni.
Mara kwa mara Isaya aliwaonya watu wake kwamba Yerusalemu na Yuda watahukumiwa kwa sababu ya uovu wao
uliokuwa ukiendelea. Katika sura ya 39 alitabiri juu ya kwenda uhamishoni Babeli. Kwa nyongeza katika ujumbe huu wa
maangamizi yaliyokuwa yanakaribia, Isaya aliwahakikishia wale watu ambao watamtumaini Mungu kwamba hatimaye ufalme
ungesimamishwa tena.
Kutokana na mtazamo wa Isaya kuangamizwa kwa Yerusalemu kulikuwa lazima, maadam alitabiri uhamisho wa Babeli
ulioko kwenye sura ya 39.
Isaya alitoa faraja na ahadi zifuatazo kutoka kwa Mungu :
(I) Waliokuwa uhamishoni Babeli wangeruhusiwa kurudi Yerusalemu chini ya utawala wa Dario mfalme wa Uajemi.
(ii) Ingawa Israeli amekosea kama mtumishi wa Mungu, Mtumishi Mwenye haki anaahidiwa, Yeye ambaye kwa kuteseka
ataleta wokovu na haki kwa wengi,akifanya upatanisho kwa ajili ya dhambi zao (Isa. 53). Mwaliko wa kuupokea wokovu
huu unatolewa kwa ulimwengu wote katika sura ya 55, hivyo nyumba ya sala imefunguliwa kwa watu wote (56 :1- 8).
(iii) Mungu atasimamisha ufalme mpya wenye haki.Hivyo ufalme utarudishwa kwa wale wanaomcha Mungu. Hii ni kusema
kwamba wenye haki watashiriki baraka za milele katika mbingu mpya na nchi mpya.
Mwandishi
Isaya mwana wa Amozi. Wasomi wa kisasa wanaziangalia sura ya 40- 56 kama zilizoandikwa na mtu mwingine
asiyejulikana kama kwenye mwaka 550 K.K. au baadaye, kwa msingi kwamba unabii wa sura 44 na 45 unasema kwamba
mfalme Dario wa Uajemi angekuwa ndiye atakayewaruhusu Wayahudi kurudi kutoka uhamishoni. Wale wote waliokubali ule
unabii kama sehemu ya msingi ya ujumbe wa nabii aliopewa na Mungu hawakuona sababu yo yote yenye nguvu ya kukana
uandishi wa kihistoria wa Isaya. Zile hoja za mfumo wa uandishi na kitheolojia za kukiwekea kitabu hiki tarehe za karne ya tano
hazina nguvu.
Mahali
Yerusalemu
Tarehe
700 – 680 K.K.
Wahusika Wakuu
Isaya, Wanawe wawili Shear-Yashub na Maher-Shalal-Hash-Baz.
Mahali
Isaya anazungumza na kuandika akiwa Yerusalemu zaidi.
Wazo Kuu
Kuufanya ujumbe wa Mungu uwe wazi kwa Israeli,ili kuwaonya kuhusu hukumu ikiwa wataendelea kudumu katika dhambi
na kudhihirisha jinsi Mungu atakavyoshughulika nao katika kukamilisha kuwarejeza upya chini ya Masiya wao milele (9:6-7;
11:10-12;66: 22-24)
Mwandishi
Nabii Isaya mwana wa Amozi.
Mgawanyo • Maonyo na Sayuni yatengenezwa. (28:1-35:10)
• Hukumu na matumaini ya matengenezo. (1:1- :13) • Mfalme Hezekia awazuia Ashuru. (36:1-39:8)
• Matumaini kwa Ashuru au Mungu. (7:1-12:6) • Ahadi za ukombozi wa Mungu. (40:1-56:8)
• Unabii kuhusu mataifa. (13:1-23:18) • Ufalme wa mwisho unasimamishwa. (56:9-66:24)
• Hukumu ya Israeli na Ukombozi. (24:1-27:13)
1
ISAYA
Tafuteni haki,
7Nchi yenu imefanywa ukiwa, watieni moyo walioonewa.
miji yenu imeteketezwa kwa moto, Teteeni shauri la yatima,
nchi yenu imeachwa tupu na wageni hapo wateteeni wajane.
hapo mbele ya macho yenu,
imeharibiwa kama vile imepinduliwa na 18‘‘Njoni basi na tuhojiane,’’
wageni. asema BWANA.
8Binti Sayuni ameachwa kama kipenu ‘‘Ingawa dhambi zenu ni kama rangi
katika shamba la mizabibu, nyekundu
kama kibanda katika shamba la matikiti zitakuwa nyeupe kama theluji,
maji, ingawa ni nyekundu sana kama damu,
kama mji uliohusuriwa. zitakuwa nyeupe kama sufu.
9Kama BWANA, Mungu Mwenye Nguvu 19Kama mkikubali na kutii,
2
ISAYA
21Tazama jinsi ambavyo mji uliokuwa mwaminifu Mlima Wa BWANA
umekuwa kahaba!
Mwanzoni ulikuwa umejaa unyofu, 2 Hili ndilo aliloliona Isaya mwana wa Amozi
kuhusu Yuda na Yerusalemu:
haki ilikuwa inakaa ndani yake,
lakini sasa ni wauaji! 2Katika siku za mwisho
22Fedha yenu imekuwa takataka,
wataangamizwa,
nao wanaomwacha BWANA Siku Ya BWANA
wataangamia. 6Umewatelekeza watu wako,
29“Mtaaibika kwa sababu ya hiyo mialoni nyumba ya Yakobo.
mliyoipenda Wamejaa ushirikina utokao Mashariki,
mkaifanya mahali pa kuabudia sanamu, wanapiga ramli kama Wafilisti na
mtafadhaika kwa sababu ya bustani wanashikana mikono na wapagani.
mlizozichagua. 7Nchi yao imejaa fedha na dhahabu,
30Mtakuwa kama mwaloni wenye majani hakuna mwisho wa hazina zao.
yanayonyauka, Nchi yao imejaa farasi,
kama bustani isiyokuwa na maji. hakuna mwisho wa magari yao.
31Mtu mwenye nguvu atatoweka kama majani 8Nchi yao imejaa sanamu,
binadamu atanyenyekezwa,
usiwasamehe.
3
ISAYA
10Ingieni
kwenye miamba, Hukumu Juu Ya Yerusalemu Na Yuda.
jificheni ardhini
kutokana na utisho wa BWANA 3 Tazama sasa, Bwana,
BWANA Mwenye Nguvu,
na utukufu wa enzi yake! yu karibu kuwaondolea Yerusalemu na
11Macho ya mtu mwenye majivuno Yuda
yatanyenyekezwa upatikanaji wa mahitaji na misaada,
na kiburi cha wanadamu kitashushwa, upatikanaji wote wa chakula na maji,
BWANA peke yake ndiye 2shujaa na mtu wa vita,
4
ISAYA
25Wanaume wako watauawa kwa upanga,
12Vijanawanawatesa watu wangu, mashujaa wako watauawa vitani.
wanawake wanawatawala. 26 Malango ya Sayuni yataomboleza na kulia,
13BWANA
wanawapoteza njia.
4 Katika siku ile wanawake saba
watamshika mwanaume mmoja
anachukua nafasi yake wakisema, “Tutakula chakula chetu
mahakamani, wenyewe
anasimama kuhukumu watu. na kuvaa nguo zetu wenyewe,
14BWANA anaingia katika hukumu ila wewe uturuhusu tu tuitwe kwa jina lako.
dhidi ya wazee na viongozi wa watu Utuondolee aibu yetu!”
wake:
‘‘Ninyi ndio mlioharibu shamba langu la Tawi La BWANA
mizabibu, 2Katika siku ile Tawi la BWANA litakuwa zuri
mali zilizonyang'anywa kutoka kwa na lenye utukufu, nalo tunda la nchi litakuwa
maskini zimo nyumbani mwenu. fahari na utukufu wa wale Waisraeli
15Mnamaanisha nini kuwaponda watu wangu watakaosalia. 3Wale watakaoachwa Sayuni,
na kuzisaga nyuso za maskini?’’ watakaobaki Yerusalemu, wataitwa watakatifu,
Asema Bwana, BWANA Mwenye wale wote ambao wameorodheshwa miongoni
Nguvu. mwa walio hai huko Yerusalemu. 4Bwana
atausafisha uchafu wa wanawake wa Sayuni,
16BWANA asema, atatakasa madoa ya damu kutoka Yerusalemu
“Wanawake wa Sayuni wana kiburi, kwa Roho ya hukumu na Roho ya moto. 5Kisha
wanatembea na shingo ndefu, BWANA ataumba juu ya Mlima wote wa Sayuni
wakikonyeza kwa macho yao, na juu ya wale wote wanaokusanyika hapo,
wakitembea kwa hatua fupi fupi za madaha, wingu la moshi wakati wa mchana na kung’aa
wakiwa na mapambo yanayotoa mlio kwa miali ya moto wakati wa usiku, juu ya huo
kwenye vifundo vya miguu yao. utukufu wote kutatanda kifuniko cha ulinzi.
17Kwa hiyo Bwana ataleta pele 6Itakuwa sitara na kivuli kutokana na joto la
18Katika siku ile Bwana atawanyang'anya 5 Nitaimba kwa ajili ya mmoja nimpendaye
wimbo kuhusu shamba lake la mizabibu :
uzuri wao: bangili, tepe za kichwani, mikufu mpendwa wangu alikuwa na shamba la
yenye alama za mwezi mwandamo, 19vipuli, mizabibu
vikuku, shela, 20vilemba, mikufu ya kwenye kwenye kilima chenye rutuba.
vifundo vya miguu, mshipi, chupa za manukato 2Alililima na kuondoa mawe na
na hirizi, 21pete zenye muhuri, pete za puani, akaliotesha mizabibu bora sana.
22majoho mazuri, mitandio, mavazi, kifuko cha Akajenga mnara wa ulinzi ndani yake na
kutilia fedha, 23vioo, mavazi ya kitani, taji na kutengeneza shinikizo la kukamulia
shali. divai pia.
Kisha akatazamia kupata mazao ya zabibu
24Badalaya harufu ya manukato kutakuwa na nzuri,
uvundo, lakini lilizaa matunda mabaya tu.
badala ya mishipi, kamba,
badala ya nywele zilizotengenezwa vizuri, 3‘‘Sasa enyi wakazi wa Yerusalemu na watu wa
upara, Yuda,
badala ya mavazi mazuri, nguo za hukumuni kati yangu na shamba langu la
magunia, mizabibu.
badala ya uzuri, aibu. 4Nini zaidi ambacho kingeweza kufanyika kwa
5
ISAYA
ajili ya shamba langu la wale wakawiao sana mpaka usiku,
mizabibu mpaka wamewaka kwa mvinyo.
kuliko yale niliyofanya? 12Wana vinubi na zeze kwenye karamu zao,
wenyewe,
Ole Na Hukumu wanakondoo na wageni watajilisha katika
8Ole wenu mnaoongeza nyumba baada ya magofu ya matajiri.
nyumba
na kuunganisha mashamba baada ya 18Olewao wanaovuta dhambi kwa kamba za
mashamba udanganyifu
wala hakuna nafasi iliyobaki na uovu kama kwa kamba za mkokoteni,
nanyi mnaishi peke yenu katika nchi. 19kwa wale wanaosema, “Mungu na afanye
haraka,
9BWANA Mwenye Nguvu amesema aharakishe kazi yake ili tupate kuiona.
nikisikia: Huo na ukamilike,
mpango wa Aliye Mtakatifu wa Israeli na
“Hakika nyumba kubwa zitakuwa ukiwa, udhihirike
nayo majumba ya fahari yatabaki bila ili tupate kuujua.’’
kukaliwa.
10Shamba la mizabibu la eka kumi litatoa 20Olewao wanaoita ubaya ni wema
bathi a moja ya divai, na wema ni ubaya,
homeri b ya mbegu zilizopandwa wawekao giza badala ya nuru
zitatoa efa c moja tu ya nafaka.’’ na nuru badala ya giza,
wawekao uchungu badala ya utamu
11Ole wao wale waamkao asubuhi na mapema na utamu badala ya uchungu.
wakikimbilia kunywa vileo,
a10 “Bathi” ni kipimo cha ujazo, bathi moja ni lita 22. d14 “Kaburi” hapa ina maana ya “kuzimu”, yaani “Sheol” kwa
b10 “homeri” ni kipimo cha ujazo, homeri moja ni lita 220. Kiebrania.
c10 “efa” ni kipimo cha ujazo, efa moja ni lita 22.
6
ISAYA
21Olewao walio na hekima machoni pao wanakoroma wanapokamata mawindo yao
wenyewe na kuondoka nayo pasipo ye yote wa
na kujiona wenye akili machoni pao kuokoa.
wenyewe. 30Katika siku ile watanguruma juu yake
6
Katika mwaka ule mfalme Uzia alipokufa,
24Kwa hiyo, kama ndimi za moto zirambavyo nilimwona Bwana ameketi katika kiti cha
nyasi enzi, kilicho juu na kilichotukuzwa sana, nalo
na kama vile majani makavu pindo la joho lake likajaza hekalu. 2Juu yake
yazamavyo katika miali ya walikuwepo maserafi, kila mmoja alikuwa na
moto, mabawa sita: Kwa mabawa mawili walifunika
ndivyo mizizi yao itakavyooza nyuso zao, kwa menngine mawili walifunika
na maua yao yatakavyopeperushwa miguu yao na kwa mawili walikuwa wakiruka.
kama mavumbi, 3Nao walikuwa wakiitana kila mmoja na
7
ISAYA
Ama sivyo wanaweza kuona kwa macho kumtawadha mwana wa Tabeeli awe mfalme juu
yao, yake.” 7Lakini BWANA Mwenyezi asema hivi:
wakasikia kwa masikio yao,
wakatambua kwa mioyo yao, ‘ “Jambo hili halitatendeka,
nao wakageuka na kuponywa.” halitatokea,
8kwa kuwa kichwa cha Aramu ni Dameski
11Ndiponikasema, “Hadi lini, Ee Bwana?” na kichwa cha Dameski ni Resini peke
Naye akanijibu: yake.
Katika muda wa miaka sitini na mitano
“Hadi miji iwe imeachwa magofu Efraimu atakuwa ameharibiwa kiasi
na bila wakazi, kwamba hataweza tena kuwa
hadi nyumba zitakapobaki bila watu, taifa.
na mashamba yatakapoharibiwa na 9Kichwa cha Efraimu ni Samaria
utulie na usiogope. Usife moyo kwa ajili ya watu mainzi kutoka kwenye vijito vya mbali vya Misri
hawa wawili walio kama visiki vya kuni vifukavyo na nyuki kutoka nchi ya Ashuru. 19Wote
moshi, kwa ajili ya hasira kali ya Resini na watakuja na kukaa kwenye mabonde yenye
Aramu na ya mwana wa Remalia. 5Aramu, mitelemko na kwenye nyufa za miamba, kwenye
Efraimu na mwana wa Remalia wamepanga vichaka vyote vyenye miiba na kwenye mashimo
shauri baya ili wakuangamize, wakisema, yote ya maji. 20Katika siku ile Bwana atatumia
6‘‘Tuishambulie Yuda, naam na tuirarue vipande wembe ulioajiriwa kutoka ng’ambo ya Mto d
vipande na kuigawanya miongoni mwetu na yaani mfalme wa Ashuru, kunyoa nywele za
kichwa chako, malaika ya miguu yako na
kuziondoa ndevu zako pia. 21Katika siku ile, mtu
a1 ‘‘Aramu’’ yaani ndiyo ‘‘Shamu.’’
b3 ‘‘Shear-Yashubu’’ maana yake ‘‘mabaki yatarudi.’’ c14 “Imanueli” maana yake “Mungu pamoja nasi.’’
d20 “Mto” hapa ina maana “Eufrati.’’
8
ISAYA
atahifadhi hai ndama mmoja na kondoo wawili. na mkavunjwevunjwe!
22Kwa ajili ya wingi wa maziwa watakayotoa, Sikilizeni, enyi nyote nchi za mbali.
atapata jibini ya kula. Wote watakaobakia katika Jiandaeni kwa vita, nanyi
nchi watakula jibini na asali. 23Katika siku ile, kila mkavunjwevunjwe!
mahali palipokuwa na mizabibu elfu moja yenye Jiandaeni kwa vita, nanyi
thamani ya shekeli elfu moja e za fedha, mkavunjwevunjwe!
patakuwa na michongoma na miiba tu. 24Watu 10Wekeni mikakati yenu, lakini itashindwa,
watakwenda huko wakiwa na upinde na mshale, fanyeni mipango yenu, lakini haitafanikiwa,
kwa maana nchi itafunikwa na michongoma na kwa maana Mungu yu pamoja nasi.
miiba. 25Kuhusu vilima vyote vilivyokuwa
vikilimwa kwa jembe, hamtakwenda huko tena Mwogope Mungu
kwa ajili ya hofu ya michongoma na miiba, 11BWANA alisema nami mkono wake wenye
patakuwa mahali ambapo ng’ombe wataachiwa nguvu ukiwa juu yangu, akinionya nisifuate njia
huru na kondoo kukimbia kimbia. za taifa hili. Akasema:
Yatafurika juu ya mifereji yake yote, kutia muhuri sheria miongoni mwa
yatamwagikia juu ya kingo zake zote wanafunzi wangu.
8na kufika hadi Yuda, 17Nitamngojea BWANA,
ukizunguka kwa kasi juu yake, ambaye ameificha nyumba ya Yakobo uso
yakipita kutoka upande huu mpaka upande wake.
mwingine yakifika hadi shingoni, Nitaliweka tumaini langu kwake.
mabawa yake yaliyokunjuliwa yatafunika
upana wa nchi yako, 18Nipo hapa pamoja na watoto ambao
Ee Imanueli!’’ BWANA amenipa. Sisi ni ishara na mfano wake
katika Israeli, kutoka kwa BWANA Mwenye
9Inueni kilio cha vita, enyi mataifa Nguvu, anayeishi juu ya Mlima Sayuni.
19Wakati watu wanapowaambia kutafuta
e23 “Shekeli elfu moja’’ ni sawa na kilo 11.5 za fedha. ushauri kwa waaguzi na wenye kuongea na
mizimu, ambao hunong’ona na kunung’unika, je
a1 “Maher-Shalal-hash-bazi’’ maana yake “Haraka kuteka
nyara, upesi kwenye hizo nyara. watu wasingeuliza kwa Mungu wao? Kwa nini
b7 “Mto’’ hapa ina maana ya “Eufrati.’’ watake shauri kwa wafu kwa ajili ya walio hai?
9
ISAYA
20Kwa sheria na kwa ushuhuda! Kama tangu wakati huo na hata milele.
hawatasema sawasawa na neno hili, hawana Wivu wa BWANA Mwenye Nguvu
mwanga wa mapambazuko. 21Wakiwa na dhiki utatimiza haya.
na njaa, watazunguka katika nchi yote,
watakapotaabika kwa njaa, watapatwa na hasira Hasira Ya BWANA Dhidi Ya Israeli
kali, wakiwa wanatazama juu, watamlaani 8Bwana ametuma ujumbe dhidi ya Yakobo,
mfalme wao na Mungu wao. 22Kisha utamwangukia Israeli.
wataangalia duniani na kuona dhiki na giza, hofu 9Watu wote watajua hili,
Hata hivyo, hapatakuwepo huzuni zaidi lakini tutajenga tena kwa mawe
9 kwa wale waliokuwa katika dhiki. Wakati yaliyochongwa,
uliopita aliidhili nchi ya Zabuloni na nchi ya mitini imeangushwa,
Naftali, lakini katika siku zijazo ataiheshimu lakini tutapanda mierezi badala yake.”
Galilaya ya Mataifa, karibu na njia ya bahari, 11“Lakini BWANA amemtia nguvu adui wa
Atatawala katika kiti cha enzi cha Daudi huteketeza michongoma na miiba,
na juu ya ufalme wake, akiuthibitisha na huwasha moto vichaka vya msituni,
kuutegemeza kwa haki na kwa hujiviringisha kuelekea juu kama nguzo
adili, ya moshi.
10
ISAYA
19Kwa hasira ya BWANA Mwenye Nguvu 8Maana asema, ‘Je, wafalme wote
nchi itachomwa kwa moto si majemadari wangu?
na watu watakuwa kuni za kuchochea moto, 9Je, Kalno hakutenda kama Karkemishi?
ya barabarani. Nguvu,
7Lakini hili silo analokusudia, atatuma ugonjwa wa kudhoofisha kwa
hili silo alilonalo akilini, askari wake walio hodari,
kusudi lake ni kuangamiza, katika fahari yake moto utawaka
kuyakomesha mataifa mengi. kama mwali wa moto.
11
ISAYA
mabegani mwenu,
17Nuru ya Israeli itakuwa moto, nira yao itaharibiwa kutoka shingoni
Aliye Mtakatifu wao atakuwa mwali wa mwenu,
moto, nira itavunjwa
katika siku moja utaunguza na kuteketeza kwa sababu ya kutiwa mafuta.
miiba na michongoma yake. 28Wanaingia Ayathi,
18Fahari ya misitu yake na mashamba yenye wanapita katikati ya Migroni,
rutuba wanahifadhi mahitaji huko Makmashi.
utateketeza kabisa, 29Wanavuka kivukoni, nao wanasema,
kama vile mtu mgonjwa adhoofikavyo. “Tutapiga kambi huko Geba usiku
19Nayo miti inayobaki katika misitu yake itakuwa kucha.”
michache sana Rama inatetemeka,
kwamba hata mtoto mdogo angeweza Gibea ya Sauli inakimbia.
kuihesabu. 30Piga kelele, Ee Binti wa Galimu!
Sikiliza, Ee Laisha!
Mabaki ya Israeli Maskini Anathothi!
20Katika siku ile mabaki ya Israeli, 31Madmena inakimbia,
ilivyofanya.
25Bado kitambo kidogo sana hasira yangu dhidi Hatahukumu kwa yale ayaonayo kwa
yenu itakoma macho yake,
na ghadhabu yangu itaelekezwa kwenye wala kuamua kwa yale ayasikiayo kwa
maangamizi yao.” masikio yake,
4bali kwa adili atahukumu wahitaji,
26BWANA Mwenye Nguvu atawachapa kwa haki ataamua wanyenyekevu wa
kwa mjeledi, dunia.
kama alivyowapiga Wamidiani katika Ataipiga dunia kwa fimbo ya kinywa chake,
mwamba wa Orebu, kwa pumzi ya midomo yake atawaua
naye atainua fimbo yake juu ya maji, waovu.
kama alivyofanya huko Misri. 5Haki itakuwa mkanda wake
27Katika siku hiyo mzigo wao utainuliwa kutoka na uaminifu mshipi kiunoni mwake.
12
ISAYA
16Itakuwepo njia kuu kwa mabaki ya watu wake
6Mbwa mwitu ataishi pamoja na mwana kondoo, wale waliosalia kutoka Ashuru,
chui atalala pamoja na mbuzi, kama ilivyokuwa kwa Israeli
ndama, mwana simba na ng’ombe walipopanda kutoka Misri.
aliyenona wa mwaka mmoja watalisha
pamoja, Nyimbo Za Sifa
naye mtoto mdogo atawaongoza. Katika siku ile utasema:
7Ng’ombe na dubu watalisha pamoja, 12
watoto wao watalala pamoja “Nitakusifu wewe, Ee BWANA.
na simba atakula majani makavu kama Ingawa ulinikasirikia,
maksai, hasira yako imegeukia mbali nawe
8mtoto mchanga atacheza karibu na shimo la umenifariji.
nyoka mwenye sumu kali, 2Hakika Mungu ni wokovu wangu,
10Katika siku hiyo, shina la Yese litasimama 4Katika siku hiyo mtasema:
kama bendera kwa ajili ya mataifa, mataifa
yatamkusanyikia na mahali pake pa kupumzika “Mshukuruni BWANA, mliitie jina lake,
patatukuka. 11Katika siku hiyo Bwana atanyosha julisheni miongoni mwa mataifa yale
mkono wake mara ya pili kurudisha mabaki ya aliyoyafanya,
watu wake waliosalia kutoka Ashuru, Misri, tangazeni kuwa jina lake limetukuka.
Pathrosi, Kushi, Elamu, Babeli, Hamathi na 5Mwimbieni BWANA, kwa kuwa ametenda
13
ISAYA
5Wanakujakutoka nchi za mbali sana, wote watakaokamatwa watauawa kwa
kutoka miisho ya mbingu, upanga.
BWANA na silaha za ghadhabu yake, 16Watoto wao wachanga watatupwa chini kwa
14
dhahabu ya Ofiri. BWANA atamhurumia Yakobo,
13Kwa hiyo nitazifanya mbingu zitetemeke, kwa mara nyingine tena atamchagua
nayo dunia itatikisika kutoka mahali Israeli
pake na kuwakalisha katika nchi yao
katika ghadhabu ya BWANA Mwenye wenyewe.
Nguvu, Wageni wataungana nao
katika siku ya hasira yake iwakayo. na kujiunga na nyumba ya Yakobo.
2Mataifa watawachukua
14Kama swala awindwaye, na kuwaleta mahali pao wenyewe.
kama kondoo wasio na mchungaji, Nayo nyumba ya Israeli itamiliki mataifa
kila mmoja atarudi kwa watu wake kama watumishi wa kiume na watumishi
mwenyewe, wa kike katika nchi ya BWANA.
kila mmoja atakimbilia nchi yake ya Watawafanya watekaji wao kuwa mateka
kuzaliwa.
15Ye yote atakayetekwa atapasuliwa tumbo, a19 ‘‘Wababeli’’ yaani ‘‘Wakaldayo.’’
14
ISAYA
na kutawala juu ya wale waliowaonea. nitaketi nimetawazwa juu ya mlima wa
kusanyiko,
3Katika siku BWANA atakapokuondolea kwenye vimo vya juu sana vya mlima
mateso, udhia na utumwa wa kikatili, Mtakatifu.
4utaichukua dhihaka hii dhidi ya mfalme wa 14Nitapaa juu kupita mawingu,
Tazama jinsi mtesi alivyofikia mwisho! hadi kwenye vina vya shimo.
Tazama jinsi ghadhabu yake kali
ilivyokoma! 16Wale wanaokuona wanakukazia macho,
5BWANA amevunja fimbo ya mwovu, wanatafakari hatima yako:
fimbo ya utawala ya watawala, “Je, huyu ndiye yule aliyetikisa dunia
6ambayo kwa hasira waliyapiga mataifa na kufanya falme zitetemeke,
kwa mapigo yasiyo na kikomo, 17yule aliyeifanya dunia kuwa jangwa,
nao kwa ghadhabu kali waliwatiisha mataifa aliyeipindua miji yake na ambaye
kwa jeuri pasipo huruma. hakuwaachia
7Nchi zote ziko kwenye mapumziko na kwenye mateka wake waende nyumbani?”
amani,
wanabubujika kwa kuimba. 18Wafalme wote wa mataifa wamelala kwa
8Hata misonobari na mierezi ya Lebanoni heshima kila mmoja katika kaburi lake
inashangilia mbele yako na kusema, mwenyewe.
‘‘Basi kwa sababu umeangushwa chini 19Lakini wewe umetupwa nje ya kaburi lako
nitakiinua kiti changu cha enzi a15 “Kaburi” hapa maana yake ni “Kuzimu,’’ yaani “Sheol” kwa
juu ya nyota za Mungu, Kiebrania.
15
ISAYA
na nitaifagia kwa ufagio wa maangamizi,” watapata kimbilio.”
asema BWANA Mwenye Nguvu.
Unabii Dhidi Ya Moabu
Unabii Dhidi Ya Ashuru
24BWANA Mwenye Nguvu ameapa, 15 Neno kuhusu Moabu:
nao mzigo wake utaondolewa kutoka juu ya mapaa na kwenye viwanja wote
mabegani mwao.” wanaomboleza,
hulala kifudifudi kwa kulia.
26Huu ndio mpango uliokusudiwa kwa ajili ya 4Heshiboni na Eleale wanalia,
uzao wake utakuwa joka lirukalo, lenye wamezichukua na kuvuka Bonde la Mierebi.
sumu kali. 8Mwangwi wa kilio chao umefika hadi mpakani
30Maskini kuliko maskini wote watapata malisho, mwa Moabu,
nao wahitaji watalala salama. kilio chao cha huzuni kimefika hadi Eglaimu,
Lakini mzizi wako nitauangamiza kwa njaa, maombolezo yao hadi Beer-elimu.
nayo njaa itawaua walionusurika. 9Maji ya Dimoni yamejaa damu,
16
32Ni jibu gani litakalotolewa Pelekeni wanakondoo kama ushuru kwa
kwa wajumbe wa taifa hilo? mtawala wa nchi,
“BWANA ameifanya imara Sayuni, Kutoka Sela, kupitia jangwani, hadi mlima
nako ndani yake watu wake walioonewa wa Binti Sayuni.
16
ISAYA
2Kama ndege wanaopapatika katika
waliofukuzwa kutoka kwenye kiota mashamba ya matunda,
chao, hakuna ye yote aimbaye wala apazaye sauti
ndivyo walivyo wanawake wa Moabu katika mashamba ya mizabibu,
kwenye vivuko vya Arnoni. hakuna ye yote akanyagaye zabibu
shinikizoni,
3“Tupeni
shauri, kwa kuwa nimekomesha makelele.
toeni uamuzi. 11Moyo wangu unaomboleza kwa ajili ya Moabu
17
ISAYA
Mungu wa Israeli. Unabii Dhidi Ya Kushi
Ole wa nchi ya mvumo wa mabawa,
7Katika
siku ile watu watamwangalia Mwumba 18 kwenye mito ya Kushi,
wao 2iwapelekayo wajumbe wake kwa njia ya bahari
na kuelekeza macho yao kwa huyo Aliye kwa mashua za mafunjo a juu ya maji.
Mtakatifu wa Israeli.
8Hawataziangalia tena madhabahu, Nendeni, wajumbe wepesi,
kazi za mikono yao, kwa taifa la watu warefu wenye ngozi
nao hawatathamini nguzo za Ashera a nyororo,
na madhabahu za kufukizia uvumba kwa taifa linaloogopwa mbali na karibu,
zilizofanywa kwa mikono yao. taifa gomvi lenye lugha ngeni,
ambalo nchi yao imegawanywa kwa
9Katika
siku ile miji yao iliyo imara, ambayo mito.
waliihama kwa sababu ya Waisraeli, itakuwa 3Enyi mataifa yote ya ulimwengu,
iliyochafuka! wa mlimani
Lo! Makelele ya mataifa na wanyama pori,
wanavuma kama ngurumo za maji ndege watajilisha juu yake wakati wote wa
mengi! kiangazi,
13Ingawa mataifa yanavuma kama ngurumo za nao wanyama pori wakati wote wa
maji yanayofanya mawimbi, masika.
wakati anapoyakemea yanakimbia
mbali, 7Wakati
huo matoleo yataletwa kwa BWANA
yanafukuzwa mbele ya upepo kama makapi Mwenye Nguvu
juu ya milima,
kama jani livingirishwapo na dhoruba. kutoka kwa taifa la watu warefu wenye
14Wakati wa jioni, hofu ya ghafla! ngozi nyororo,
Kabla ya asubuhi, wametoweka! kutoka kwa taifa linaloogopwa mbali na
Hili ndilo fungu la wale wanaotupora, karibu,
fungu la wale wanaotunyang’anya mali taifa gomvi lenye lugha ngeni,
zetu. ambalo nchi yao imegawanywa kwa
mito,
18
ISAYA
matoleo yataletwa katika Mlima Sayuni, mahali wanatoa shauri la kijinga.
pa Jina la BWANA Mwenye Nguvu. Unawezaje kumwambia Farao,
“Mimi ni mmojawapo wa watu wenye
Unabii Kuhusu Misri hekima,
Tazama, BWANA amepanda juu ya 12Wako wapi sasa watu wako wenye hekima?
wingu Wao wakuonyeshe na kukufahamisha
liendalo kwa haraka naye anakuja Misri. ni nini BWANA Mwenye Nguvu
Sanamu za Misri zinatetemeka mbele yake, amepanga dhidi ya Misri.
nayo mioyo ya Wamisri inayeyuka ndani 13Maafisa wa Soani wamekuwa wapumbavu,
watatafuta shauri kwa sanamu na kwa roho cha kichwa au cha mkia, cha tawi la mtende
za waliokufa, au unyasi.
kwa wapiga ramli na kwa wale
waongeao na mizimu. 16Katika siku ile Wamisri watakuwa kama
4Nitawatia Wamisri mikononi mwa bwana mkatili wanawake. Watatetemeka kwa hofu mbele ya
na mfalme mkali atatawala juu yao.” mkono wa BWANA Mwenye Nguvu anaoinua
Asema Bwana, BWANA, Mwenye dhidi yao. 17Nayo nchi ya Yuda itawatia hofu
Nguvu. Wamisri, kila mmoja atakayetajiwa Yuda
ataingiwa na hofu, kwa sababu ya kile ambacho
5Maji ya mito yatakauka, BWANA Mwenye Nguvu anapanga dhidi yao.
chini ya mto kutakauka kwa jua. 18Katika siku hiyo miji mitano ya Misri
6Mifereji itanuka, itazungumza lugha ya Kanaani na kuapa kumtii
vijito vya Misri vitapungua na kukauka. BWANA Mwenye Nguvu. Mji mmojawapo
Mafunjo na nyasi vitanyauka, utaitwa Mji wa Uharibifu.
7pia mimea iliyoko kandokando ya mto Nile, 19Katika siku hiyo patakuwepo madhabahu
jeshi!
Nitakomesha huzuni zote Mtu fulani ananiita kutoka Seiri,
alizosababisha. “Mlinzi, ni muda gani uliobaki
kupambazuke?
3Katika hili mwili wangu umeteswa na maumivu, Mlinzi, usiku utaisha lini?”
maumivu makali ya ghafula 12Mlinzi akajibu,
20
ISAYA
Kama ungeliuliza, basi uliza, 6Elamu analichukua podo,
bado na urudi tena.” pamoja na waendesha magari ya vita
na farasi,
Unabii Dhidi Ya Arabia Kiri anaifungua ngao.
13Neno kuhusu Arabia: 7Mabonde yako yaliyo mazuri sana yamejaa
magari ya vita,
Enyi misafara ya Wadedani, nao wapanda farasi wamewekwa kwenye
Mnaopiga kambi katika vichaka vya Arabia, malango ya mji,
14Leteni maji kwa wenye kiu, 8ulinzi wa Yuda umeondolewa.
muda wa mwaka mmoja, kama vile mtumishi nanyi mkabomoa nyumba ili kuimarisha
aliyefungwa na mkataba angeihesabu, majivuno ukuta.
yote ya Kedari yatafikia mwisho. 17Wanaume 11Mlijenga birika la maji katikati ya kuta mbili
21
ISAYA
17‘‘Jihadhari,BWANA yu karibu Bahari,
kukukamata kwa uthabiti kwa kuwa bahari imesema,
na kukutupa mbali kwa nguvu, Ewe mtu ‘‘Sijapata kuwa na uchungu wa kuzaa
mwenye nguvu. wala kuzaa,
18Atakufingirisha uwe kama mpira wala sijapata kulea wana wala kutunza
na kukutupa katika nchi kubwa. mabinti.’’
Huko ndiko utakakofia 5Habari ifikapo Misri,
na huko ndiko magari yako ya vita ya watakuwa katika maumivu makuu kwa
fahari yatabakia, ajili ya taarifa kutoka Tiro.
wewe unayeifedhehesha nyumba ya
bwana wako! 6Vukeni mpaka Tarshishi,
19Nitakuondoa kutoka katika kazi yako ombolezeni, enyi watu wa kisiwani.
nawe utaondoshwa kutoka katika nafasi 7Je, huu ndio mji wenu unaofanya karamu za
kama kigingi kilicho mahali palipo imara, naye aliyepanga jambo hili,
atakuwa kiti cha enzi cha heshima kwa ajili ya ili kukishusha kiburi cha utukufu wote
nyumba ya baba yake. 24Utukufu wote wa jamaa na kuwanyenyekesha wale wote ambao ni
yake utakuwa juu yake: Watoto wa jamaa hiyo mashuhuri duniani.
na machipukizi yake, vyombo vyake vyote 10Ee Binti Tarshishi,
vidogo, tangu bakuli hadi magudulia yote. pita katika nchi yako kama vile mto Nile
25BWANA Mwenye Nguvu asema, “Katika kwa kuwa huna tena bandari.
siku ile, kigingi kilichogongomewa mahali imara
kitaachia njia, kitakatwa, nacho kitaanguka na 11BWANA amenyoosha mkono wake juu
mzigo ulioning’inia juu yake utaanguka chini.’’ ya bahari
BWANA amesema. na kuzifanya falme zake zitetemeke.
Ametoa amri kuhusu Kanaani
Unabii Kuhusu Tiro kwamba ngome zake ziangamizwe.
Neno kuhusu Tiro: 12Alisema, ‘‘Usizidi kufurahi,
mwisho wa miaka hiyo sabini, itakuwa kwa Tiro mlango wa kila nyumba umefungwa.
kama ilivyo katika wimbo wa kahaba: 11Barabarani wanalilia kupata mvinyo,
piga kinubi vizuri, imba nyimbo nyingi, lango lake limepigwapigwa na kuvunjwa
ili kwamba upate kukumbukwa.’’ vipande vipande.
13Ndivyo itakavyokuwa duniani
17Mwishoni mwa miaka sabini, BWANA na miongoni mwa mataifa,
atashughulika na Tiro. Atarudia ajira yake ya kama vile wakati mzeituni upigwavyo,
ukahaba naye atafanya biashara yake na falme au kama vile wakati masazo yabakiavyo
zote juu ya uso wa dunia. 18Lakini faida na baada ya zabibu kuvunwa.
mapato yake yatawekwa wakfu kwa ajili ya
BWANA, hayatahifadhiwa kwa ajili yake 14Wanainua sauti zao, wanapiga kelele kwa
binafsi. Faida zake zitakwenda kwa wale furaha,
wakaao mbele za BWANA kwa ajili ya chakula kutoka magharibi wanasifu kwa ukelele
tele na mavazi mazuri. utukufu wa BWANA.
15Kwa hiyo upande wa mashariki mpeni BWANA
atatumbukia shimoni,
4Dunia inakauka na kunyauka, ye yote apandaye kutoka shimoni,
dunia inanyong’onyea na kunyauka, atanaswa kwenye mtego.
waliotukuzwa wa dunia wananyong’onyea.
5Dunia imetiwa unajisi na watu wake, Malango ya gharika ya mbinguni
wameacha kutii sheria, yamefunguliwa,
wamevunja amri na kuvunja agano la milele. misingi ya dunia inatikisika.
6Kwa hiyo laana inaiteketeza dunia, 19Dunia imepasuka,
23
ISAYA
na ikianguka kamwe haitainuka tena. 8yeye
atameza mauti milele katika kushinda.
BWANA Mwenyezi atafuta machozi
21Katikasiku ile BWANA ataadhibu katika nyuso zote,
nguvu zilizoko mbinguni juu ataondoa aibu ya watu wake duniani
na wafalme walioko duniani chini. kote.
22Watakusanywa pamoja BWANA amesema hili.
kama wafungwa waliofungwa gerezani,
watafungiwa gerezani 9Katika siku ile watasema,
na kujiliwa baada ya siku nyingi.
23Mwezi utatiwa haya, jua litaaibishwa “Hakika huyu ndiye Mungu wetu,
kwa maana BWANA Mwenye tulimtumaini naye akatuokoa.
Nguvu atawala Huyu ndiye BWANA, tuliyetumainia
juu ya Mlima Sayuni na katika kwake,
Yerusalemu, sisi na tumshangilie na kufurahia katika
tena mbele ya wazee wake kwa wokovu wake.’’
utukufu.
10Mkono wa BWANA utatulia juu ya mlima
Msifuni BWANA huu,
Ee BWANA, wewe ni Mungu bali Moabu atakanyagwa chini yake
25 wangu, kama majani makavu yakanyagwavyo chini
nitakutukuza na kulisifu jina lako, kwenye mbolea.
kwa maana katika ukamilifu wa uaminifu 11Ingawa watakunjua mikono yao katikati yake,
nyama nzuri sana na divai zilizo bora huushusha chini mji wenye kiburi,
sana. huushusha hadi ardhini na kuutupa chini
7Juu ya mlima huu ataharibu mavumbini.
sitara ile ihifadhiyo mataifa yote, 6Miguu hukanyaga chini,
24
ISAYA
hatua za hao maskini. anavyogaagaa na kulia kwa ajili ya maumivu
yake,
7Mapito ya wenye haki yamenyooka, ndivyo tulivyokuwa mbele zako, Ee BWANA.
Ewe uliye mwenye haki, waisawazisha njia
ya mtu myofu. 18Tulikuwana mimba, tuligaagaa kwa maumivu,
8Naam, BWANA tukienenda katika sheria lakini tulizaa upepo.
zako, Hatukuleta wokovu duniani,
twakungojea wewe, hatujazaa watu katika ulimwengu huu.
kulikumbuka jina lako na sifa zako
ndiyo shauku ya mioyo yetu. 19Lakiniwafu wenu wataishi,
9Nafsi yangu yakutamani wakati wa usiku, miili yao itafufuka.
wakati wa asubuhi roho yangu Ninyi mnaokaa katika mavumbi,
yakuonea shauku. amkeni mkapige kelele kwa furaha.
Wakati hukumu zako zinapokuja juu ya Umande wenu ni kama umande wa asubuhi,
dunia, dunia itawazaa wafu wake.
watu wa ulimwengu hujifunza haki.
10Ingawa neema yaonyeshwa kwa waovu, 20Nendeni, watu wangu, ingieni vyumbani
hawajifunzi haki, mwenu
hata katika nchi ya unyofu huendelea na mfunge milango nyuma yenu,
kutenda mabaya jificheni kwa kitambo kidogo
wala hawaoni utukufu wa BWANA. mpaka ghadhabu yake ipite.
21Tazama, BWANA anakuja kutoka katika
11Ee
BWANA, mkono wako umeinuliwa makao yake
juu, ili kuwaadhibu watu wa dunia kwa ajili
lakini hawauoni. ya dhambi zao.
Wao na waone wivu wako kwa ajili ya watu Dunia itadhihirisha umwagaji damu juu
wako na waaibishwe, yake,
moto uliowekwa akiba kwa ajili ya adui wala haitaendelea kuwaficha watu wake
zako na uwateketeze. waliouawa.
12BWANA, unaamuru amani kwa ajili yetu, Wokovu Kwa Ajili Ya Israeli
27
yale yote tuliyoweza kuyakamilisha Katika siku ile,
ni wewe uliyetenda kwa ajili yetu.
13Ee BWANA, Mungu wetu, mabwana BWANA ataadhibu kwa upanga
wengine zaidi ya wewe wametutawala, wake,
lakini jina lako peke yako ndilo upanga wake mkali, mkubwa na wenye
tunaloliheshimu. nguvu,
14Wao sasa wamekufa, wala hawako tena hai, Lewiathani yule nyoka apitaye mbio kwa
roho za waliokufa hazitarudi tena. mwendo laini,
Uliwaadhibu na kuwaangamiza, Lewiathani yule nyoka mwenye
umefuta kumbukumbu lao lote. kupindapinda,
15Umeliongeza hilo taifa, Ee BWANA, atamwua joka mkubwa sana wa baharini
umeliongeza hilo taifa.
Umejipatia utukufu kwa ajili yako 2Katika siku ile,
mwenyewe,
umepanua mipaka yote ya nchi. “Imbeni kuhusu shamba la mzabibu lililozaa:
3Mimi, BWANA, ninalitunza,
16BWANA, walikujia katika taabu yao, ninalinyweshea maji mfulilizo.
wewe ulipowarudi, Ninalichunga mchana na usiku
waliweza kunong’ona maombi kwa shida ili mtu ye yote asije akalidhuru.
sana. 4Mimi sijakasirika.
17Kama mwanamke aliye na mimba aliyekaribia Hata kama pangekuwepo michongoma na
kuzaa miiba inayonikabili!
25
ISAYA
Ningepambana dhidi yake katika vita, Ole Wa Efrahimu
ningeliichoma moto yote. Ole wa lile taji la maua,
5Au niwaache waje kwangu kwa ajili ya kimbilio, 28 kiburi cha walevi wa Efraimu,
wao na wafanye amani nami, kwa ua linalosinyaa, uzuri wa utukufu
naam, wafanye amani nami.” wake,
uliowekwa kwenye kichwa cha bonde lenye
6Katika siku zijazo Yakobo atatia mizizi, rutuba,
Israeli atatoa chipukizi na kuchanua maua, kwa ule mji, kiburi cha wale
naye atajaza ulimwengu wote kwa matunda. walioshushwa na mvinyo!
2Tazama, Bwana anaye mmoja aliye na uwezo
7Je, BWANA amempiga na nguvu.
kama alivyowapiga wale waliompiga? Kama dhoruba ya mvua ya mawe na
Je, yeye ameuawa upepo uharibuo,
kama wale waliouawa ambao walimwua kama mvua inyeshayo kwa nguvu na
yeye? mafuriko yashukayo,
8Kwa vita na kwa kumfukuza unapingana naye, atakiangusha chini kwa nguvu.
kwa mshindo wake mkali anamfukuza, 3Lile taji la maua, kiburi cha walevi wa Efrahimu,
matiririko ya mto wa Eufrati hadi kijito cha Misri, wala hakuna sehemu hata ndogo isiyokuwa
nanyi,Ee Waisraeli mtakusanywa pamoja mmoja na uchafu.
mmoja. 13Katika siku ile tarumbeta kubwa italia.
Wale waliokuwa wakiangamia katika nchi ya 9Yeye anajaribu kumfundisha nani?
Ashuru, nao wale waliokuwa uhamishoni katika Yeye anamwelezea nani ujumbe wake?
nchi ya Misri watakuja na kumwabudu BWANA Je, ni kwa watoto walioachishwa kunyonya,
katika mlima mtakatifu huko Yerusalemu. Je, ni wale ambao ndipo tu wametolewa
matitini?
10Kwa maana ni: Amri juu ya amri, amri juu ya
26
ISAYA
amri, litawachukua, asubuhi baada ya
kanuni juu ya kanuni, kanuni juu ya kanuni, asubuhi,
hapa kidogo, kule kidogo.’’ wakati wa mchana na wakati wa usiku,
litawakumba tangu mwanzo hadi
11Basi, vema kabisa, kwa midomo migeni na mwisho.’’
kwa lugha ngeni,
Mungu atasema na watu hawa, Kuuelewa ujumbe huu utaleta hofu tupu.
12wale ambao aliwaambia, 20Kitanda ni kifupi mno kujinyosha juu yake,
“Hapa ni mahali pa kupumzika, nguo ya kujifunikia ni nyembamba mno mtu
waliochoka na wapumzike.’’ asiweze kujifunikia.
“Hapa ni mahali pa mapumziko,’’ 21BWANA atainuka kama alivyofanya
na miungu ya uongo kuwa mahali petu je, hasii mbegu za bizari na kutawanya
pa kujificha.’’ jira?
Je, hapandi ngano katika sehemu yake,
16Kwa hiyo hivi ndivyo BWANA Mwenyezi shayiri katika eneo lake
asemavyo: na nafaka nyingine katika shamba lake?
26Mungu wake humwelekeza
“Tazama, ninaweka jiwe katika Sayuni, jiwe na kumfundisha njia iliyo sahihi.
lililojaribiwa,
jiwe la pembe la thamani kwa ajili ya 27Ilikihutwangwa kwa nyundo kubwa!
msingi thabiti, wala gurudumu la gari halivingirishwi juu
yeye atumainiye kamwe hatatiwa hofu. ya jira,
iliki hutwangwa kwa mtwangio na jira kwa
17Nitaifanya haki kuwa kamba ya kupimia fimbo.
na uadilifu kuwa timazi, mvua ya mawe 28Nafaka lazima isagwe kutengeneza mkate,
itafagia kimbilio lenu, huo uongo, kwa hiyo mtu haendelei kuipura daima.
nayo maji yatafurikia mahali penu pa Ingawa huendesha magurudumu ya gari
kujificha. lake la kupuria juu yake,
18Agano lenu na kifo litabatilishwa, farasi wake hawasagi.
patano lenu na kuzimu halitasimama. 29Haya yote pia hutoka kwa BWANA
27
ISAYA
10BWANA amewaleteeni juu yenu usingizi
Ole Wa Mji Wa Daudi mzito:
Ole wako wewe Arieli, Ameziba macho yenu (ninyi manabii),
29 Arieli mji Daudi alimokaa! amefunika vichwa vyenu (ninyi waonaji).
Ongezeni mwaka kwa mwaka
na mzunguko wa siku kuu zenu 11Kwa maana kwenu ninyi, maono haya yote
uendelee. si kitu ila maneno yaliyotiwa lakiri katika kitabu.
2Hata hivyo nitauzunguka Arieli kwa jeshi, Kama mkimpa mtu ye yote awezaye kusoma
atalia na kuomboleza, kitabu hiki, nanyi mkamwambia, “Tafadhali,
atakuwa kwangu kama mahali pa kuwashia kisome,’’ yeye atajibu, “Mimi siwezi, kwa kuwa
moto madhabahuni. kimetiwa lakiri.’’ 12Au kama mkimpa mtu ye yote
3Nitapiga kambi pande zote dhidi yako, kitabu hiki asiyeweza kusoma na kumwambia,
nitakuzunguka kwa minara “Tafadhali kisome,’’ atajibu, “Mimi sijui kusoma.’’
na kupanga mazingira yangu dhidi yako.
4Utakaposhushwa, utanena kutoka ardhini, 13Bwana anasema:
utamumunya maneno yako kutoka
mavumbini. “Watu hawa hunikaribia kwa vinywa vyao
Sauti yako itatoka katika nchi kama vile ya na kuniheshimu kwa midomo yao,
mzimu, lakini mioyo yao iko mbali nami.
utanong'ona maneno yako toka Huniabudu bure, mafundisho yao ni sheria
mavumbini. tu walizofundishwa na wanadamu.
14Kwa hiyo mara nyingine tena nitawashangaza
5Lakiniadui zako wengi watakuwa kama vumbi watu hawa,
laini, kwa ajabu juu ya ajabu,
kundi la wakatili watakuwa kama hekima ya wenye hekima itapotea,
makapi yapeperushwayo. akili ya wenye akili itatoweka.’’
Naam, ghafula kwa mara moja, 15Ole kwa wale wanaokwenda kwenye vilindi
6BWANA Mwenye Nguvu atakuja virefu
na ngurumo, tetemeko la ardhi na kwa kumficha BWANA mipango yao,
sauti kuu, wafanyao kazi zao gizani na kufikiri kuwa,
atakuja na dhoruba, tufani na miali ya moto ‘‘Ni nani anayetuona? Ni nani
iteketezayo. atakayejua?’’
7Kisha makundi ya mataifa yote yale yapiganayo 16Mnapindua mambo juu chini,
28
ISAYA
Mtakatifu wa Israeli. ya simba waume na wake,
20Wakatiliwatatoweka na wenye kudhihaki ya fira na nyoka warukao,
watatokomea, wajumbe huchukua utajiri wao juu ya
nao wote wenye jicho la uovu watakatiliwa migongo ya punda,
mbali, hazina zao juu ya nundu za ngamia,
21wale ambao kwa neno humfanya mtu kuwa kwa lile taifa lisilokuwa na faida,
mwenye hatia, 7kwa hiyo nimemwita kwa Misri, ambaye
wala nyuso zao hazitabadilika sura tena. watoto ambao hawataki kusikiliza
23Wakati watakapoona watoto wao miongoni mafundisho ya BWANA.
mwao, 10Wanawaambia waonaji,
bila kutaka shauri langu, kama ukuta mrefu, wenye ufa na wenye
wanaotafuta msaada wa ulinzi wa Farao, kubenuka,
watafutao kivuli cha Misri kwa ajili ya ambao unaanguka ghafula, kwa mara moja.
kimbilio. 14Utavunjika vipande vipande kama chombo cha
3Lakini ulinzi wa Farao utakuwa kwa aibu yenu, udongo
kivuli cha Misri kitawaletea fedheha. ukipasuka pasipo huruma
4Ingawa wana maafisa katika Soani ambapo katika vipande vyake hakuna
na wajumbe wamewasili katika Hanesi, kipande kitakachopatikana
5kila mmoja ataaibishwa kwa kuchukulia makaa kutoka mekoni
kwa sababu ya taifa lisilowafaa kitu, au kuchotea maji kisimani.’’
ambalo haliwaletei msaada wala faida,
bali aibu tu na fedheha.’’ 15Hilindilo BWANA Mwenyezi, Yeye Aliye
Mtakatifu wa Israeli, asemalo:
6Neno kuhusu wanyama wa Negebu:
‘‘Katika kutubu na kupumzika ndio wokovu
Katika nchi ya taabu na shida, wenu,
29
ISAYA
katika kutulia na kutumaini ndizo nguvu nuru ya siku saba, wakati BWANA
zenu, atakapoyafunga majeraha ya watu wake na
lakini hamkutaka. kuponya vidonda alivyowatia.
16Mlisema, ‘Hapana, tutakimbia kwa farasi.’
kuume au kushoto, masikio yenu yatasikia sauti kwa fimbo yake ya utawala atawapiga.
nyuma yenu, ikisema, “Hii ndiyo njia, ifuateni.’’ 32Kila pigo BWANA atakaloliweka juu yao
22Kisha mtanajisi sanamu zenu zilizofunikwa kwa fimbo yake ya kuadhibu,
kwa fedha na vinyago vyenu vilivyofunikwa kwa litakuwa kwa wimbo wa matari na vinubi,
dhahabu, mtazitupilia mbali kama vitambaa vya anapopigana nao katika vita kwa
wakati wa hedhi na kuziambia, “Haya, toka mapigo ya mkono wake.
hapa!’’ 33Tofethi imeandaliwa toka zamani,
30
ISAYA
na katika nguvu nyingi za wapanda asema BWANA,
farasi, ambaye moto wake uko Sayuni,
lakini hawamwangalii Yeye Aliye nayo tanuru yake iko Yerusalemu.
Mtakatifu wa Israeli,
wala hawatafuti msaada kwa BWANA. Ufalme wa Haki
32
2Hata hivyo yeye pia ana hekima na anaweza Tazama, mfalme atatawala kwa uadilifu
kuleta maafa, na watawala watatawala kwa haki.
wala hayatangui maneno yake. 2Kila mtu atakuwa kama kivuli cha kujificha
hata ingawa kundi lote la wachunga mifugo wala mtu mbaya kabisa kupewa heshima ya
huitwa pamoja dhidi yake, juu.
hatiwi hofu na kelele zao 6Kwa kuwa mpumbavu hunena upumbavu,
31
ISAYA
mnaojisikia salama! 3Kwa ngurumo ya sauti yako, mataifa
Vueni nguo zenu, yanakimbia,
vaeni nguo ya gunia viunoni mwenu. unapoinuka, mataifa hutawanyika.
12Pigeni matiti yenu kwa ajili ya mashamba 4Mateka yako, Ee mataifa, yamevunwa kama
33
ISAYA
10Haitazimishwa usiku na mchana, furaha.
moshi wake utapaa juu milele. Litapewa utukufu wa Lebanoni.
Kutoka kizazi hadi kizazi itakuwa ukiwa, Fahari ya Karmeli na Sharoni,
hakuna mtu ye yote atakayepita huko wataona utukufu wa BWANA,
tena. fahari ya Mungu wetu.
11Bundi wa jangwani na bundi mwenye sauti 3Itieni nguvu mikono iliyo dhaifu,
wana wao wa kifalme wote watatoweka. nao ulimi wa aliye bubu utapaza sauti
13Miiba itaenea katika ngome za ndani, kwa shangwe.
viwawi na michongoma itaota kwenye Maji yatatiririka kwa kasi katika nyika
ngome zake. na vijito katika jangwa.
Itakuwa maskani ya mbweha, 7Mchanga wa moto utakuwa bwawa la maji,
sasa, unaitegemea Misri, fimbo ile ya asemapo, ‘BWANA atatuokoa.’ Je, mungu wa
mwanzi uliopasuka, ambayo huutoboa na taifa lo lote ameshawahi kuokoa nchi yake
kuujeruhi mkono wa mtu akiiegemea! Hivyo kutoka katika mkono wa mfalme wa Ashuru?
ndivyo alivyo Farao mfalme wa Misri kwa 19Wako wapi miungu ya Hamath na ya Arpadi?
basi kurudisha nyuma mmoja wa maafisa wa jumba la kifalme, Shebna katibu na Yoa
wangu wadogo wa bwana wangu, hata mwana wa Asafu, mwandishi wakamwendea
kama unaitegemea Misri kwa ajili ya magari Hezekia, nguo zao zikiwa zimeraruliwa na
ya vita na wapanda farasi? 10Zaidi ya hayo, kumwambia yale Rabshake aliyosema.
je, nimekuja kushambulia na kuangamiza
nchi hii bila BWANA? BWANA mwenyewe Kuokolewa kwa Yerusalemu Kunatabiriwa
aliniambia niingie niishambulie nchi hii na Wakati Mfalme Hezekia aliposikia hili,
kuiangamiza.” 37 alirarua nguo zake na kuvaa nguo ya
gunia, naye akaenda hekaluni mwa BWANA.
11Ndipo Eliakimu, Shebna na Yoa 2Akawatuma Eliakimu msimamizi wa jumba la
ninyi, itawapasa kula mavi yao na kunywa mkojo maneno ya Rabshake a , ambaye bwana wake,
wao wenyewe?” mfalme wa Ashuru, amemtuma kumdhihaki
13Ndipo Rabshake akasimama na kuita kwa Mungu aliye hai, tena kwamba atamkemea kwa
lugha ya Kiebrania, “Sikilizeni maneno ya
mfalme mkuu, mfalme wa Ashuru! 14Hili ndilo a2 “Rabshake” hapa maana yake ni “Amiri wa jeshi” kwa
mfalme asemalo: Msikubali Hezekia Kiebrania.
35
ISAYA
maneno ambayo BWANA, Mungu wako mwake ili kwamba falme zote za dunia zipate
ameyasikia. Kwa hiyo omba kwa ajili ya mabaki kujua ya kwamba wewe peke yako, Ee BWANA,
ambao bado wako hai.” ndiwe Mungu.”
5Watumishi wa Mfalme Hezekia walipomjia
kwa ajili ya yale uliyoyasikia, yale maneno ujumbe kwa Hezekia akisema: “Hili ndilo
ambayo kwayo watumishi wa mfalme wa Ashuru asemalo BWANA, Mungu wa Israeli: Kwa
wamenitukana mimi. 7Sikiliza! Nitatia roho ndani sababu umeniomba kuhusu Senakeribu mfalme
yake ili kwamba atakaposikia taarifa fulani, wa Ashuru, 22hili ndilo neno ambalo BWANA
atarudi katika nchi yake mwenyewe, nami huko amesema dhidi yake:
nitafanya auawe kwa upanga.’ ”
8Rabshake aliposikia kwamba mfalme wa “Bikira binti Sayuni
Ashuru ameondoka Lakishi, alirudi akamkuta anakudharau na kukudhihaki.
mfalme anapigana dhidi ya Libna. Binti Yerusalemu anatikisa
9Basi Senakeribu akapata taarifa kwamba kichwa chake ukimbiapo.
Tirhaka, Mkushi mfalme wa Misri, alikuwa 23Wewe ni nani uliyenitukana na kunikufuru?
anatoka kupigana dhidi yake. Aliposikia jambo Ni dhidi ya nani umeinua sauti yako
hili akatuma wajumbe kwa Hezekia kwa neno na kuinua macho yako kwa kiburi?
hili: 10“Mwambieni Hezekia mfalme wa Yuda: Ni dhidi ya Yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli!
Usikubali Mungu unayemtumainia akudanganye 24Kwa kutumia wajumbe wako
36
ISAYA
kutoka kwako na kuingia kwako nao wakakimbilia nchi ya Ararati. Naye Esar-
na jinsi unavyoghadhabika dhidi yangu. hadoni mwanawe akawa mfalme badala yake.
29Kwa sababu unaghadhabika dhidi yangu
“Mwaka huu utakula kile kiotacho chenyewe ukutani na kumwomba BWANA, 3“Ee BWANA,
na mwaka wa pili utakula kutoka kumbuka, jinsi nilivyotembea mbele zako kwa
machipukizi yake. uaminifu na kujitoa kwa moyo wote nami
Lakini katika mwaka wa tatu panda na nimefanya lile lililo jema machoni pako.” Naye
kuvuna, Hezekia akalia sana sana.
panda shamba la mizabibu na ule 4Ndipo neno la BWANA likamjia Isaya:
ndiyo maana nikapata maumivu makali. neno la BWANA Mwenye Nguvu: 6Hakika wakati
Katika upendo wako ukaniokoa kutoka unakuja ambapo kila kitu katika jumba lako la
katika shimo la uharibifu, kifalme, navyo vyote ambavyo baba zako
umeziweka dhambi zangu zote nyuma waliweka akiba mpaka siku hii, vitachukuliwa
yako. kwenda Babeli. Hakuna cho chote
18Kwa maana kaburi a haliwezi kukusifu, kitakachosalia, asema BWANA. Tena baadhi
7
mauti haiwezi kuimba sifa zako, ya wazao wako, watu wa nyama na damu yako
wale washukao chini shimoni mwenyewe watakaozaliwa kwako,
hawawezi kuutarajia uaminifu wako. watachukuliwa, nao watakuwa matowashi katika
19Walio hai, walio hai, wanakusifu, jumba la kifalme la mfalme wa Babeli.”
kama ninavyofanya leo, 8Hezekia akajibu, “Neno la BWANA
baba huwaambia watoto wao ulilosema ni jema.’’ Kwa kuwa alifikiri,
habari za uaminifu wako. “Patakuwepo amani na salama katika siku za
maisha yangu.”
20BWANA ataniokoa,
nasi tutaimba kwa vyombo vya nyuzi Faraja kwa Watu wa Mungu
siku zote za maisha yetu
katika hekalu la BWANA. 40 Wafarijini, wafarijini watu wangu,
asema Mungu wenu.
2Sema na Yerusalemu kwa upole,
21Isayaalikuwa amesema, “Uandae mkate umtangazie kwamba kazi yake ngumu
wa tini uubandike juu ya jipu, naye atapona.” imekamilika,
22Hezekia alikuwa ameuliza, “Ni ishara ipi kwamba dhambi yake imefanyiwa fidia,
kwamba nitapanda kwenda hekaluni mwa kwamba amepokea kutoka mkononi
BWANA?” mwa BWANA
maradufu kwa ajili ya dhambi zake zote.
38
ISAYA
Mungu wetu. 13Ni nani aliyeyafahamu
4Kila bonde litainuliwa, mawazo ya BWANA,
kila mlima na kilima kitashushwa, au kumfundisha kama mshauri wake?
ardhi yenye mabonde patasawazishwa, 14Ni nani ambaye BWANA ametaka shauri
wanyonyeshao. dunia,
nao watu wakaao ndani yake ni kama
12Ni nani aliyepima maji ya bahari kwenye konzi panzi.
ya mkono wake, Huzitandaza mbingu kama chandalua
au kuzipima mbingu kwa shibiri a yake? na kuzitandaza kama hema la kuishi.
Ni nani aliyeyashika mavumbi ya dunia 23Huwafanya wakuu kuwa si kitu
wake? hutawaona.
Huyakabidhi mataifa mikononi mwake Wale wanaopigana vita dhidi yako
na kutiisha wafalme mbele zake. watakuwa kama vile si kitu kabisa.
Huwafanya kuwa mavumbi kwa upanga 13Kwa maana Mimi ndimi BWANA, Mungu
wake, wako,
40
ISAYA
nikushikaye mkono wako wa kuume ili tupate kujua kuwa ninyi ni miungu.
na kukuambia, Usiwe na hofu, Fanyeni jambo lo lote zuri au baya,
nitakusaidia. ili tupate kutishika na kujazwa na hofu.
14Usiogope, 24Lakini ninyi ni zaidi ya bure kabisa
42
20ili kwamba watu wapate kuona na kujua, “Huyu hapa mtumishi wangu,
wapate kufikiri na kuelewa, ninayemtegemeza,
kwamba mkono wa BWANA mteule wangu,
umetenda hili, ambaye ninapendezwa naye,
kwamba Yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli nitaweka Roho yangu juu yake,
ndiye aliyelifanya. naye ataleta haki kwa mataifa.
2Hatapaza sauti wala kupiga kelele,
21BWANA asema, “Lete shauri lako.” wala hataiinua sauti yake barabarani,
“Toa hoja yako,’’ asema Mfalme wa Yakobo. 3mwanzi uliopondeka hatauvunja
22‘‘Leteni sanamu zenu zituambie na utambi ufukao moshi hatauzima.
ni nini kitakachotokea. Kwa uaminifu ataleta haki,
Tuambieni mambo ya zamani yalikuwa nini, 4hatazimia roho wala kukata tamaa
41
ISAYA
5Hilindilo asemalo Mungu, BWANA, nitafanya mito kuwa visiwa
yeye aliyeziumba mbingu na kuzitanda, na kukausha mabwawa.
aliyeitandaza dunia na vyote vitokavyo 16Nitawaongoza vipofu kwenye njia ambayo
humo, hawajaijua,
awapaye watu wake pumzi kwenye mapito wasiyoyazoea
na uzima kwa wale waendao humo. nitawaongoza,
6“Mimi, BWANA, nimekuita katika haki, nitafanya giza kuwa nuru mbele yao
nitakushika mkono wako, na kufanya mahali palipoparuza kuwa
nitakulinda na kukufanya kuwa agano kwa laini.
ajili ya watu na nuru kwa Mataifa, Haya ndiyo mambo nitakayofanya,
7kuwafungua macho wale wasioona, mimi sitawaacha.
kuwaacha huru kutoka kifungoni 17Lakini wale wanaotumaini sanamu,
Wimbo wa Kumsifu BWANA masikio yenu yako wazi lakini hamsikii cho
10Mwimbieni BWANA wimbo mpya, chote.’’
sifa zake toka miisho ya dunia, 21Ilimpendeza BWANA
na kutangaza sifa zake katika visiwa. au atakayezingatia kwa makini katika wakati
13BWANA ataenda kama mtu mwenye ujao?
nguvu, 24Ni nani aliyemtoa Yakobo kuwa mateka,
42
ISAYA
Mwokozi Pekee wa Israeli 11Mimi, naam mimi, ndimi BWANA,
43
Lakini sasa hili ndilo asemalo BWANA, zaidi yangu hakuna mwokozi.
yeye aliyekuumba, Ee Yakobo, 12Nimedhihirisha, kuokoa na kutangaza Mimi,
Yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli, Mwokozi Mkombozi wako Yeye Aliye Mtakatifu
wako, wa Israeli:
ninaitoa Misri kuwa fidia yako, ‘‘Kwa ajili yenu nitatuma Babeli
Kushi na Seba badala yako. na kuwaleta Wakaldayo wote kama
4Kwa kuwa wewe ni wa thamani na wa wakimbizi,
kuheshimiwa machoni pangu, katika meli walizozionea fahari.
nami kwa kuwa ninakupenda, 15Mimi ndimi BWANA, Yeye Aliye
43
ISAYA
kuteketezwa, BWANA, Siyo Sanamu
wala kuniheshimu kwa dhabihu zako. 6‘‘Hili ndilo asemalo BWANA,
wala sizikumbuki dhambi zako tena. Je, sikutangaza hili na kutabiri tangu
26Tafakari mambo yaliyopita, zamani?
njoo na tuhojiane, Ninyi ni mashahidi wangu. Je, yuko Mungu
leta shauri lako, uweze kupewa haki zaidi yangu mimi?
yako. Hasha, hakuna Mwamba mwingine,
27Baba yako wa kwanza, alitenda dhambi, mimi simjui mwingine.’’
wasemaji wako wameasi dhidi yangu. 9Wote wachongao sanamu ni ubatili,
28Kwa hiyo nitawaaibisha wakuu wa hekalu lako, vitu wanavyovithamini havifai kitu.
nami nitamtoa Yakobo aangamizwe Wale ambao wangesema juu yao ni vipofu,
na Israeli adhihakiwe. ni wajinga, ili wao waaibike.
10Ni nani atengenezaye mungu na kusubu
45
21‘‘EeYakobo, kumbuka mambo haya, “Hili ndilo asemalo BWANA kwa
Ee Israeli, kwa kuwa wewe ni mtumishi mpakwa mafuta wake,
wangu. Koreshi, ambaye nimemshika mkono wake
Nimekuumba wewe, wewe ni mtumishi wa kuume
wangu, kutiisha mataifa mbele yake
Ee Israeli, sitakusahau. na kuwavua wafalme silaha zao,
22Nimeyafuta makosa yako kama wingu, kufungua milango mbele yake
dhambi zako kama ukungu wa asubuhi. ili kwamba malango yasije yakafungwa:
Nirudie mimi, 2Nitakwenda mbele yako na kusawazisha
45
ISAYA
ili upate kujua ya kwamba Mimi ndimi na kumuumba mwanadamu juu yake.
BWANA, Mikono yangu mwenyewe ndiyo iliyozitanda
Mungu wa Israeli, akuitaye kwa jina mbingu,
lako. nikayapanga majeshi yake yote ya
4Kwa ajili ya Yakobo mtumishi wangu, angani.
Israeli niliyemchagua, 13Mimi nitamwinua Koreshi katika haki yangu:
Yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli na kutoka mahali fulani katika nchi ya giza,
Muumba wake: sijawaambia wazao wa Yakobo,
Kuhusu mambo yatakayokuja, ‘Nitafuteni bure.’
Je, unaniuliza habari za watoto wangu, Mimi, BWANA, nasema kweli,
au kunipa amri kuhusu kazi za mikono ninatangaza lile lililo sahihi.
yangu?
12Mimi ndiye niliyeumba dunia 20“Kusanyikeni pamoja mje,
46
ISAYA
enyi wakimbizi kutoka katika mataifa. kwenu.
Wale wabebao sanamu za mti ni watu wasio 4Hata mpaka wakati wa uzee wenu na mvi
na akili, Mimi ndiye, Mimi ndiye
Wale waombao miungu ile isiyoweza nitakayewasaidia ninyi.
kuokoa. Nimewahuluku nami nitawabeba,
21Tangazeni lile litakalokuwapo, lisemeni hilo, nitawasaidia ninyi na kuwaokoa.
wao na wafanye shauri pamoja. 5“Mtanilinganisha na nani au mtanihesabu kuwa
47
ISAYA
keti chini pasipo na kiti cha enzi, Janga litakuangukia wala hutaweza
Ee binti wa Wakaldayo. kulikinga kwa fidia,
Hutaitwa tena mwororo wala wa msiba mkuu usioweza kuutabiri utakujia
kupendeza. ghafula.
2Chukua mawe ya kusagia na usage unga,
48
ISAYA
kinyago changu cha mti na mungu
wangu wa chuma ameyaamuru.’ “Tangu tangazo la kwanza sikusema kwa
6Umesikia mambo haya, yaangalie hayo yote. siri,
Je, hutayakubali? wakati litokeapo, nitakuwako hapo.”
14“Kusanyikeni, ninyi nyote, msikilize: 22“Hakuna amani kwa waovu,” asema BWANA.
Ni ipi miongoni mwa hizo sanamu
ambayo imetabiri vitu hivi? Mtumishi wa BWANA.
Watu wa BWANA waliochaguliwa na
kuungana 49 Nisikilizeni, Enyi visiwa,
sikieni hili, ninyi mataifa mlio mbali:
watatimiza kusudi lake dhidi ya Babeli, Kabla sijazaliwa BWANA aliniita,
mkono wa Mungu utakuwa dhidi ya tangu kuzaliwa kwangu amelitaja jina
Wakaldayo langu.
15Mimi, yaani mimi, nimenena, 2Akafanya kinywa changu kuwa kama upanga
49
ISAYA
Israeli, ambaye katika yeye nitaonyesha
utukufu wangu.” “Watajilisha kando ya barabara
4Lakini nilisema, “Nimetumika bure, na kupata malisho yao juu ya kila kilima
nimetumia nguvu zangu bure bila faida. kilicho kitupu.
Hata hivyo linalonistahili liko mkononi mwa 10Hawataona njaa wala kuona kiu,
kwa maana nimepata heshima machoni wengine kutoka kaskazini, wengine kutoka
pa BWANA, magharibi,
naye Mungu wangu amekuwa nguvu yangu, wengine kutoka nchi ya Sinimu.”
6anasema:
“Je, ni jambo dogo sana wewe kuwa 13Pigeni kelele kwa furaha Enyi mbingu,
mtumishi wangu Furahi, Ee dunia,
ili kurejeza upya makabila ya Yakobo, pazeni sauti kwa kuimba, Enyi milima!
na kuwarudisha wale Waisraeli Kwa maana BWANA anawafariji watu
niliowahifadhi. wake,
Pia nitakufanya uwe nuru kwa ajili ya naye atakuwa na huruma kwa watu
Mataifa, wake walioumizwa.
ili upate kuleta wokovu wangu hata 14Lakini Sayuni alisema, “BWANA
50
ISAYA
mbali sana. Nguvu wa Yakobo.”
20Watoto waliozaliwa wakati wa msiba wako
bado watakuambia, Dhambi ya Israeli na Utii wa Mtumishi
‘Mahali hapa ni finyu sana kwa ajili yetu,
tupe eneo kubwa zaidi la kuishi.’
21Ndipo utasema moyoni mwako,
50 Hili ndilo asemalo BWANA:
‘‘Iko wapi hati ya talaka ya mama yako
ambayo kwayo niliachana naye?
‘Ni nani aliyenizalia hawa? Au nimewauza ninyi kwa nani
Nilikuwa nimefiwa tena ni tasa, miongoni mwa watu wanaonidai?
nilikuwa nimehamishwa na kukataliwa. Kwa ajili ya dhambi zenu mliuzwa,
Ni nani aliyewalea hawa? kwa sababu ya makosa mama yenu
Niliachwa peke yangu, aliachwa.
lakini hawa, wametoka wapi?’ ’’ 2Nilipokuja, kwa nini hakuwepo hata mmoja?
na malkia wao watakuwa mama zenu na kufanya nguo ya gunia kuwa kifuniko
wa kuwalea. chake.’’
Watasujudu mbele yako na nyuso zao
zikigusa ardhi, 4BWANA Mwenyezi amenipa ulimi
watalamba mavumbi yaliyo miguuni uliofundishwa,
mwako. ili kujua neno lile limtegemezalo
Ndipo utajua yakuwa Mimi ndimi BWANA, aliyechoka.
wale wanaonitumaini mimi Huniamsha asubuhi kwa asubuhi,
hawataaibika.” huamsha sikio langu lisikie kama mtu
afundishwaye.
24Je,nyara zaweza kuchukuliwa kutoka kwa 5BWANA Mwenyezi amezibua masikio
Ndipo wanadamu wote watajua ya kuwa Ni nani basi atakayeleta mashitaka dhidi
Mimi, yangu?
BWANA ni Mwokozi wako, Tukabiliane uso kwa uso!
Mkombozi wako, Yeye Aliye Mwenye Mshitaki wangu ni nani?
51
ISAYA
Ni nani aliye mshitaki wangu? mataifa.
9Ni BWANA Mwenyezi ndiye anisaidiaye Visiwa vitanitegemea
mimi. na kungojea kwa matumaini mkono
Ni nani huyo atakayenihukumu? wangu.
Wote watachakaa kama vazi, 6Inueni macho yenu mbinguni,
wengi. watarudi.
3Hakika BWANA ataifariji Sayuni Wataingia Sayuni wakiimba,
naye atayaangalia kwa huruma magofu furaha ya milele itakuwa taji juu ya
yake yote, vichwa vyao.
atayafanya majangwa yake kama Furaha na shangwe zitawapata,
Edeni, huzuni na kulia kwa uchungu
nazo sehemu zake zisizolimika wala kutatoweka.
zisizofaa kukaliwa na watu
kama bustani ya BWANA. 12“Mimi,naam Mimi, ndimi niwafarijie ninyi.
Shangwe na furaha zitakuwako ndani yake, Ninyi ni nani hata kuwaogopa wanadamu
shukrani na sauti za kuimba. wanaokufa,
wana wa wanadamu ambao ni majani tu,
4“Nisikilizeni,
watu wangu, 13kwamba mnamsahau BWANA Muumba
52
ISAYA
Iko wapi basi ghadhabu ya mdhalimu? kutoka katika kikombe hicho,
14Wafungwa waliojikunyata kwa hofu kikombe cha kunywa cha ghadhabu yangu,
watawekwa huru karibuni, kamwe hutakunywa tena.
hawatafia kwenye gereza lao, 23Nitakiweka mikononi mwa watesi wako,
niwaambiaye Sayuni, ‘Ninyi ni watu inuka, uketi kwenye kiti cha enzi,
wangu,’ ’’ Ee Yerusalemu.
Jifungue minyororo iliyo shingoni mwako.
Kikombe cha Ghadhabu ya BWANA Ee Binti Sayuni uliye mateka.
17Amka, amka!
Simama, Ee Yerusalemu, 3Kwa kuwa hili ndilo asemalo BWANA:
wewe uliyekunywa kutoka katika mkono wa
BWANA “Mliuzwa pasipo malipo,
kikombe cha ghadhabu yake, nanyi mtakombolewa bila fedha.’’
wewe uliyekunywa mpaka kufikia machujo
yake 4Kwa maana hili ndilo asemalo BWANA
kikombe kile cha kunywea Mwenyezi:
kiwafanyacho watu kuyumbayumba.
18Kati ya wana wote aliowazaa “Hapo kwanza watu wangu walishuka Misri
hakuwepo hata mmoja wa kuishi,
kumwongoza, hatimaye, Ashuru wakawaonea.
kati ya wana wote aliowalea
hakuwepo hata mmoja wa kumshika 5“Basi sasa nina nini hapa?’’ Asema
mkono. BWANA.
19Majanga haya mawili yamekuja juu yako,
53
ISAYA
wanaotangaza wokovu, na kama mzizi katika nchi kavu.
wauambiao Sayuni, Hakuwa na uzuri wala utukufu wa kutuvuta
‘‘Mungu wako anatawala!’’ kwake,
8Sikiliza! Walinzi wako wanapaza sauti zao, hakuwa na cho chote katika kuonekana
kwa pamoja wanapaza sauti zao kwa kwake cha kutufanya
furaha. tumtamani.
Wakati BWANA atakaporejea Sayuni, 3Alidharauliwa na kukataliwa na wanadamu,
wataliona kwa macho yao wenyewe. mtu wa huzuni nyingi, ajuaye mateso.
9Pazeni sauti ya nyimbo za furaha kwa pamoja, Kama mtu ambaye watu humficha nyuso
enyi magofu ya Yerusalemu, zao
kwa maana BWANA amewafariji watu alidharauliwa, wala hatukumhesabu
wake, kuwa kitu.
ameikomboa Yerusalemu.
10Mkono mtakatifu wa BWANA 4Hakika alichukua udhaifu wetu
umefunuliwa na akajitwika huzuni zetu,
machoni pa mataifa yote, hata hivyo tulifikiri amepigwa na Mungu,
nayo miisho yote ya dunia itaona amepigwa sana naye na kuteswa.
wokovu wa Mungu wetu. 5Lakini alitobolewa kwa ajili ya makosa yetu,
54
ISAYA
nayo mapenzi ya BWANA kana kwamba ulikuwa mke aliyeachwa
yatafanikiwa mkononi mwake. na kuhuzunishwa rohoni,
11Baada ya maumivu ya nafsi yake, kama mke aliyeolewa bado angali kijana
ataona nuru ya uzima na kuridhika, na kukataliwa,’’ asema Mungu wako.
kwa maarifa yake, mtumishi wangu mwenye 7‘‘Kwa kitambo kidogo nilikuacha,
haki atawafanya wengi kuwa wenye lakini kwa huruma nyingi nitakurudisha.
haki, 8Katika ukali wa hasira
55
ISAYA
nawe utauthibitisha kuwa mwongo kila ishukavyo kutoka mbinguni,
ulimi utakaokushtaki. nayo hairudi tena huko
Huu ndio urithi wa watumishi wa BWANA bila kunywesha dunia
na hii ndiyo haki yao itokayo kwangu,’’ na kuichipusha na kuistawisha,
asema BWANA hivyo hutoa mbegu kwa mpanzi na
mkate kwa mlaji,
Mwaliko kwa Wenye Kiu 11ndivyo lilivyo neno langu lile litokalo kinywani
nayo mataifa yale yasiyokujua “Dumisheni haki na mkatende lile lililo sawa
yataharakisha kukujia, kwa maana wokovu wangu u karibu
kwa sababu ya BWANA Mungu na haki yangu itafunuliwa upesi.
wako, 2Amebarikiwa mtu yule atendaye hili,
kumtumikia, 3“Lakini
ninyi, njoni hapa, ninyi wana wa
kulipenda jina la BWANA, wachawi,
na kumwabudu yeye, ninyi wazao wa wazinzi na makahaba!
wote washikao Sabato bila kuinajisi 4Mnamdhihaki nani?
Sadaka zao za kuteketeza na dhabihu zao chini ya kila mti uliotanda matawi,
zitakubalika juu ya madhabahu yangu, mnawatoa kafara watoto wenu kwenye
kwa maana nyumba yangu itaitwa mabonde
nyumba ya sala kwa mataifa yote.’’ na chini ya majabali yenye mianya.
8BWANA Mwanyezi asema,
kwa kuwa roho ya mwadamu ingezimia siku moja tu kwa ajili ya mtu
mbele zangu, kujinyenyekeza?
yaani, pumzi ya mwanadamu Je, ni kwa kuinamisha kichwa chini kama
niliyemwuumba. unyasi
17Nilighadhibika na tamaa yake ya dhambi, Na kwa kujilaza juu ya nguo ya gunia na
nilimwadhibu, nikauficha uso wangu kwa majivu?
hasira, Je, huo ndio mnaouita mfungo,
yeye bado aliendelea katika njia zake za siku iliyokubalika kwa BWANA ?
tamaa.
18Nimeziona njia zake, lakini nitamponya, 6“Je, hii si ndiyo aina ya mfungo niliyoichagua:
nitamwongoza na kumrudishia upya faraja, kufungua minyororo ya udhalimu
19nikiumba sifa katika midomo ya waombolezaji na kufungua kamba za nira,
katika Israeli. kuwaweka huru walioonewa na kuvunja
Amani, amani, kwa wale walio mbali na kila nira?
karibu,’’ 7Je, sio kushirikiana chakula chako na wenye
58
ISAYA
njaa nami nitakufanya upande juu ya miinuko ya
na kuwapatia maskini wasiokuwa na nchi
makao hifadhi, na kusheherekea urithi wa Yakobo baba
unapomwona aliye uchi, umvike yako.’’
wala si kumkimbia mtu wa nyama na Kinywa cha BWANA kimenena.
damu yako mwenyewe?
8Ndipo nuru yako itajitokeza kama Dhambi, Toba na Ukombozi
mapambazuko
na uponyaji wako utatokea upesi, 59 Hakika mkono wa BWANA si mfupi hata
usiweze kuokoa,
ndipo haki yako itakapokutangulia mbele wala sikio lake si zito hata lisiweze kusikia.
yako, 2Lakini maovu yenu yemewatenga ninyi na
kama ukiita Sabato siku ya furaha hakuna haki katika mapito yao.
na siku takatifu ya BWANA ya Wamezigeuza kuwa njia za upotofu,
kuheshimiwa, hakuna ye yote apitaye katika njia hizo
kama utaiheshimu kwa kutoenenda katika atakayeifahamu amani.
njia zako mwenyewe
na kutokufanya yakupendezayo au 9Hivyouadilifu uko mbali nasi,
kusema maneno ya upuuzi, nayo haki haitufikii.
14ndipo utakapojipatia furaha yako katika Tunatazamia nuru kumbe! yote ni giza,
BWANA, tunatazamia mwanga, lakini tunatembea
59
ISAYA
katika giza kuu. BWANA
10Tunapapasa ukuta kama kipofu, na kuanzia maawio ya jua,
tunapapasa katika njia zetu kama watu watauheshimu utukufu wake.
wasio na macho. Wakati adui atakapokuja kama mafuriko,
Adhuhuri tunajikwaa kama wakati wa Roho BWANA
gizagiza, atainua kiwango dhidi yake na
katikati ya wenye nguvu, tuko kama kumfukuza.
wafu.
11Wote tunanguruma kama dubu, 20“Mkombozi atakuja Sayuni,
tunalia kwa uchungu kwa maombolezo kwa wale wa uzao wa Yakobo wanaozitubia
kama hua. dhambi zao,’’
Tunatafuta haki, kumbe hakuna kabisa, asema BWANA.
tunatafuta wokovu, lakini uko mbali.
21‘‘Kwa habari yangu mimi, hili ni agano
12Kwa sababu makosa yetu ni mengi machoni langu nao,’’ asema BWANA. ‘‘Roho wangu,
pako, aliyeko juu yenu na maneno yangu ambayo
na dhambi zetu zinashuhudia dhidi yetu. nimeyaweka katika vinywa vyenu hayataondoka
Makosa yetu yako pamoja nasi daima, kinywani mwenu, wala kutoka vinywani mwa
nasi tunayatambua maovu yetu: watoto wenu, wala kutoka vinywani mwa wazao
13Uasi na udanganyifu dhidi ya BWANA. wao kuanzia sasa na hata milele,’’ asema
kumgeuzia Mungu wetu kisogo, BWANA.
tukichochea udhalimu na maasi,
tukinena uongo ambao mioyo yetu Utukufu wa Sayuni
imewaza.
14Hivyo uadilifu umerudishwa nyuma, 60 “Ondoka, angaza, kwa kuwa nuru yako
imekuja
nayo haki inasimama mbali, na utukufu wa BWANA unaangaza juu
kweli imejikwa njiani, yako.
uaminifu hauwezi kuingia. 2Tazama, giza litaifunika dunia
15Kweli haipatikani po pote, na giza kuu litayafunika mataifa,
na ye yote aepukaye uovu huwa lakini BWANA atakuangazia juu yako
mawindo. na utukufu wake utaonekana juu yako.
BWANA alitazama naye akachukizwa 3Mataifa wataijia nuru yako
60
ISAYA
nami nitalipamba hekalu langu tukufu. 17Badala ya shaba nitakuletea dhahabu
na fedha badala ya chuma.
8“Ninani hawa warukao kama mawingu Badala ya mti nitakuletea shaba,
kama hua kuelekea kwenye viota vyao? na chuma badala ya mawe.
9Hakika visiwa vinanitazama, Nitafanya amani kuwa mtawala wako
merikebu za Tarshishi ndizo zinazotangulia, na haki kuwa mfalme wako.
zikiwaleta wana wenu kutoka mbali, 18Jeuri hazitasikika tena katika nchi yako,
61
14Wana wa wale waliokuonea watakuja Roho wa BWANA Mwenyezi yu juu
wakisujudu mbele yako, yangu,
wote wanaokudharau watasujudu kwenye kwa sababu BWANA amenitia mafuta
miguu yako kuwahubiri maskini habari njema.
nao watakuita Mji wa BWANA, Amenituma kuwaganga waliovunjika moyo,
Sayuni wa Yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli. kuwatangazia mateka uhuru wao
na hao waliofungwa habari za
15“Ingawa umeachwa na kuchukiwa, kufunguliwa kwao,
bila kuwapo na ye yote anayesafiri 2kutangaza mwaka wa BWANA
61
ISAYA
Nao wataitwa mialoni ya haki, ya mataifa yote.
pando la BWANA
kwa ajili ya kuonyesha utukufu wake. Jina Jipya la Sayuni
mtaitwa watumishi wa Mungu wetu. taji ya kifalme mkononi mwa Mungu wako.
Mtakula utajiri wa mataifa, 4Hawatakuita tena Aliyeachwa,
nanyi katika utajiri wao mtajisifu. wala nchi yako kuiita Ukiwa.
7Badala ya aibu yao watu wangu watapokea Bali utaitwa Hefsiba a ,
sehemu maradufu, nayo nchi yako itaitwa Beula b ,
badala ya fedheha watafurahia katika kwa maana BWANA atakufurahia,
urithi wao, nayo nchi yako itaolewa.
hivyo watarithi sehemu maradufu katika nchi 5Kama vile mwanaume kijana aoavyo
yao, mwanamwali,
nayo furaha ya milele itakuwa yao. ndivyo wanao watakavyokuoa wewe,
kama bwana arusi amfurahiavyo bibi arusi
8“Kwamaana Mimi, BWANA, napenda wake,
haki, ndivyo Mungu wako atakavyokufurahia
ninachukia unyang’anyi na uovu. wewe.
Katika uaminifu wangu nitawapa malipo yao 6Nimeweka walinzi juu ya kuta zako, Ee
mwaka wa ukombozi wangu umefika. Kama farasi katika nchi iliyo wazi,
5Nilitazama, lakini hakuwepo ye yote wa wao hawakujikwaa,
kunisaidia, 14kama ng’ombe washukao uwandani
63
ISAYA
kutoka katika kiti chako cha enzi Tutawezaje basi kuokolewa?
kilichoinuliwa juu, kitakatifu na kitukufu. 6Sisi
sote tumekuwa kama mtu aliye najisi,
Uko wapi wivu wako na uweza wako? nayo matendo yetu yote ya uadilifu ni
Umetuzuilia wema wako na huruma kama matambaa machafu,
zako. sisi sote tunasinyaa kama jani
16Lakini wewe ni Baba yetu, na kama upepo maovu yetu
ingawa Abrahamu hatufahamu sisi hutupeperusha.
wala Israeli hatutambui, 7Hakuna ye yote anayeliitia jina lako
65
3Kwa maana ulipofanya mambo ya kutisha “Nilijifunua kwa watu wale ambao
ambayo hatukuyatazamia, hawakuniulizia,
ulishuka nayo milima ikatetemeka mbele nimeonekana kwa watu wale ambao
zako. hawakunitafuta.
4Tangu nyakati za zamani hakuna ye yote Kwa taifa lile ambalo halikuliita jina langu,
aliyesikia, nilisema, ‘Niko hapa, niko hapa.’
hakuna sikio lililosikia, 2Mchana kutwa nimeinyoshea mikono yangu
64
ISAYA
mizimu, 12Nitawaagizamfe kwa upanga,
walao nyama za nguruwe, nanyi nyote mtainama chini ili
nazo sufuria zao zina mchuzi wa nyama na kuchinjwa,
mboga zilizonajisi, kwa kuwa niliwaita lakini hamkuitika,
5wasemao, ‘Kaa mbali, usinikaribie, nilisema lakini hamkusikiliza.
kwa maana mimi ni mtakatifu mno Mlitenda maovu machoni pangu,
kwako!’ nanyi mkachagua mambo yale
Watu wa aina hiyo ni moshi katika pua yanayonichukiza.’’
zangu,
ni moto uwakao mchana kutwa. 13Kwa hiyo hili ndilo asemalo BWANA
6“Tazama, jambo hili hubakia limeandikwa Mwenyezi:
mbele zangu,
sitanyamaza kimya bali nitalipiza kwa ‘‘Watumishi wangu watakula,
ukamilifu, lakini ninyi mtaona njaa,
nitalipiza mapajani mwao, watumishi wangu watakunywa
7dhambi zenu na dhambi za baba zenu,’’ lakini ninyi mtaona kiu,
asema BWANA. watumishi wangu watafurahi,
“Kwa sababu walitoa dhabihu za lakini ninyi mtaona haya.
kuteketezwa juu ya milima 14Watumishi wangu wataimba
Iko wapi nyumba mtakayojenga kwa ajili Ni nani amepata kuona mambo kama
yangu? haya?
Mahali pangu pa kupumzika patakuwa Je, nchi yaweza kuzaliwa kwa siku moja
wapi? au taifa laweza kutokea mara?
2Je, mkono wangu haukufanya vitu hivi vyote, Mara Sayuni alipoona utungu
hivyo vikapata kuwepo?” alizaa watoto wake.
asema BWANA. 9Je, nilete hadi wakati wa kuzaliwa nisizalishe?’’
66
ISAYA
Mungu wako. nitapeleka baadhi ya hao walionusurika kwa
mataifa, hadi Tarshishi, kwa Puti a na Waludi
10‘‘Shangilieni pamoja na Yerusalemu na (wanaojulikana kama wapiga upinde), kwa
mfurahi kwa ajili yake, Tubali na Uyunani, hadi visiwa vya mbali
ninyi nyote mnaompenda, ambavyo havijasikia juu ya sifa zangu au
shangilieni kwa nguvu pamoja naye, kuuona utukufu wangu. Watatangaza utukufu
ninyi nyote mnaoomboleza juu yake. wangu miongoni mwa mataifa. 20Nao
11Kwa kuwa mtanyonya na kutosheka watawaleta ndugu zenu wote, kutoka katika
katika faraja ya matiti yake, mataifa yote, mpaka kwenye mlima wangu
mtakunywa sana, mtakatifu katika Yerusalemu kama sadaka kwa
na kuufurahia wingi wa BWANA, juu ya farasi, katika magari ya vita na
mafuriko ya ustawi wake.” magari makubwa, juu ya nyumbu na ngamia,”
asema BWANA. “Watawaleta, kama Waisraeli
12Kwa kuwa hili ndilo asemalo BWANA: waletavyo sadaka zao za nafaka, katika hekalu
la BWANA, katika vyombo safi kwa kufuata
“Nitamwongezea amani kama mto, desturi za ibada. 21Nami nitachagua baadhi yao
nao utajiri wa mataifa kama kijito pia wawe makuhani na Walawi,” asema
kifurikacho, BWANA.
utanyonya na kuchukuliwa mikononi mwake
na kuchezeshwa magotini pake. 22“Kama vile mbingu mpya na nchi mpya
13Kama mama anavyomfariji mtoto wake, ninazozifanya zitakavyodumu mbele zangu,”
ndivyo nitakavyokufariji wewe, asema BWANA, “ndivyo jina lenu na wazao
nawe utafarijiwa huko Yerusalemu.” wenu watakavyodumu. 23Kutoka Mwezi Mpya
hata Mwezi Mpya mwingine na kutoka Sabato
14Wakati mtakapoona hili, mioyo yenu hadi Sabato nyingine, wanadamu wote watakuja
itashangilia, na kusujudu mbele zangu,” asema BWANA.
nanyi mtastawi kama majani, 24“Nao watatoka nje na kuona maiti za wale
mkono wa BWANA utajulikana kwa walioniasi mimi, funza wao hawatakufa, wala
watumishi wake, moto wao hautazimika, nao watakuwa kitu cha
bali ghadhabu yake kali itaonyeshwa kuchukiza sana kwa wanadamu wote.”
kwa adui zake.
15Tazama, BWANA anakuja na moto,
68
YEREMIA
Utangulizi
Kitabu hiki kimepewa jina la Yeremia aliyekuwa kuhani na nabii. Kitabu hiki kinatoa taarifa kwa kina na mtazamo wa
kidini na hali ya kisiasa katika Yuda kwenye kipindi cha mwisho cha ile miaka arobaini kabla ya kuharibiwa kwa
Yerusalemu. Baruku aliyekuwa katibu mahsusi wa Yeremia, kuna uwezekano mkubwa kwamba aliandika matukio haya
pamoja na jumbe. Mengi yanajulikana kuhusu historia binafsi ya Yeremia kuliko nabii mwingine ye yote katika Agano la
Kale. Yeremia alikuwa mwana wa kuhani aliyezaliwa katika kijiji cha Anathothi (kilomita sita kaskazini-mashariki
mwaYerusalemu) chini ya utawala wa mfalme mwovu Manase. Yeremia, kama Isaya, alikuwa kijana ambaye aliitwa na
Mungu kuonya Yuda juu ya uovu wake.
Kitaifa na kimataifa kipindi cha uhai wa Yeremia kilikuwa kipindi kilichojaa matukio mbalimbali. Kwa miaka ishirini na
moja ya mwanzo ya huduma yake,Yuda wakiwa chini ya utawala wa Yosia, walipata mwamko wa kisiasa na uamsho wa
kiroho wakati dola ya Waashuru ilikuwa inadidimia. Dola hiyo iliondolewa na maangamizi ya Ninawi mnamo mwaka 612
K.K. Yosia ambaye alitawala Yuda tangu 640-609 K.K.alionyesha mfano wa uongozi unaomcha Mungu, naye akaanzisha
matengenezo 633 K.K. Yeremia ambaye alianza huduma yake ya unabii 627 K.K. alipata miaka mizuri ya huduma yake
mpaka Yosia alipouawa mwaka 609 K.K.
Baada ya Yosia, Yeremia alikuwa kwenye hatari kubwa kutoka kwa viongozi wa dini na wa kisiasa ambao
walikasirishwa na ujumbe wake. Muda uliosalia wa kuendelea kuwako kwa huo ufalme, Yeremia alikuwa na wakati
mgumu. Wakati fulani Yeremia aliyekuwa msiri na rafiki wa mfalme (Yosia), aliingia kwenye mateso akifungwa mara kwa
mara na akiachiwa huru. Wababeli wakiwa wamewashinda Wamisri mnamo mwaka 605 K.K. huko Karkemishi katika mto
Eufrati, walisonga mbele kuelekea Yerusalemu na kuchukua mateka kwenda uhamishoni. Mnamo mwaka 597 K.K. walirudi
tena kuja kumchukua Mfalme Yehoyakini na baadhi ya Wayahudi 10,000 kwenda uhamishoni. Ingawa Yeremia alishauri
Wayahudi wajitolee kwa Wababeli, wao waliasi na hivyo mnamo 586 K.K. mji wa Yerusalemu pamoja na hekalu lake
vikaharibiwa. Kwa muda wote huu Yeremia alikabiliwa na mateso lakini Mungu alimwokoa na akaendelea kama mjumbe wa
Mungu. Mungu alimlinda Yeremia ili aweze kuendelea kuwaonya waovu na kuwafariji wale waliomwamini Mungu. Baada ya
Yerusalemu kuharibiwa, Yeremia aliamua kubaki na watu wake, lakini hatimaye akaondoka nao kwenda Misri.
Kwa vile ujumbe wa Yeremia hauna mpangilio kwamba yaliyotokea kwanza ndiyo yaliyoandikwa kwanza, ni vizuri
kusoma historia ya Yuda kwenye kitabu cha Wafalme na Mambo ya Nyakati ili kuuelewa vizuri ujumbe wa Yeremia.
Wazo Kuu
Uovu usiotubiwa husababisha taifa, jamii, au mtu binafsi kuangamia.
Mwandishi
Yeremia.
Mahali
Anathothi, Yerusalemu, Rama, Misri.
Taifa la Yuda lilikuwa linaelekea kwenye uharibifu kwa kasi na hatimaye lilishindwa na Babeli mnamo mwaka 586K.K.
(Angalia 2Wafalme 21-25). Nabii Yeremia na Habakuki walitabiri wakati mmoja, lakini nabii Sefania ndiye aliyewatangulia.
Tarehe
627-580 K.K.
Wahusika
Wafalme wa Yuda kama ilivyotarajiwa mwanzoni, Baruku, Ebedmeleki, Mfalme Nebukadneza, Warekabi.
Mambo Muhimu
Kitabu hiki ni mchanganyiko wa historia, mashairi na habari za maisha ya watu.
Mgawanyo
• Wito wa Yeremia (1:1-9) • Ahadi ya kufanywa upya (30:1-33:26)
• Hali ya dhambi ya Yuda (2:1-6:30) • Ufalme unasambaratika. (34:1-39:18)
• Hekalu, sheria na Agano. (7:1-12:17) • Safari ya kwenda Misri. (40:1-45:5)
• Uhakika wa kutekwa (13:1-18:23) • Ujumbe kuhusu mataifa ya kigeni. (46:1-51:64)
• Yeremia anakumbana na viongozi (19:1-29:32) • Kuanguka kwa Yerusalemu. (52:1-34)
1
YEREMIA
wa utawala wa Yosia mwana wa Amoni mfalme kwa sababu ya uovu wao wa kuniacha
wa Yuda, 3pia wakati wa utawala wa mimi,
Yehoyakimu mwana wa Yosia mfalme wa Yuda, kwa kufukiza uvumba kwa miungu mingine
mpaka mwezi wa tano wa mwaka wa kumi na na kuabudu kile ambacho mikono yao
moja wa kutawala kwake Sedekia mwana wa imekitengeneza.
Yosia mfalme wa Yuda, wakati watu wa
Yerusalemu walipopelekwa kwenda uhamishoni. 17Jiandae! Simama nawe useme cho chote
nitakachokuamuru. Usiwaogope wao la sivyo
Wito wa Yeremia nitakufanya uwaogope wao. 18Leo nimekufanya
4Neno la BWANA lilinijia kusema, mji wenye ngome, nguzo ya chuma na ukuta wa
shaba ili kusimama dhidi ya nchi yote, dhidi ya
5“Kabla sijakuumba ndani ya tumbo la wafalme wa Yuda, maafisa wake, makuhani
mama yako nilikujua, wake na watu wa nchi hiyo. 19Watapigana nawe
kabla hujazaliwa nilikutenga kwa kazi lakini hawatakushinda, kwa kuwa niko pamoja
maalumu, nawe nami nitakuokoa,’’ asema BWANA.
nilikuweka uwe nabii kwa mataifa.’’
Israeli Amwacha Mungu
6Nami nikasema, “Aa, BWANA Mwenyezi, Neno la BWANA lilinijia kusema, 2“Nenda
sijui kusema kwani mimi ni mtoto mdogo tu.’’
7Lakini BWANA akaniambia, “Usiseme,
2 ukahubiri masikioni mwa watu wa
Yerusalemu:
‘mimi ni mtoto mdogo tu. Utakwenda po pote
nitakapokutuma na kunena lo lote ‘‘ ‘Nakumbuka moyo wako wa uchaji katika
nitakalokuagiza. 8Usiwaogope, kwa maana niko ujana wako,
pamoja nawe nikuokoe,” asema BWANA. jinsi ulivyonipenda kama bibi arusi
9Kisha BWANA akaunyoosha mkono wake na kunifuata katika jangwa lile lote,
na kugusa kinywa changu, akaniambia, “Sasa katika nchi isiyopandwa mbegu.
nimeyaweka maneno yangu kinywani mwako. 3Israeli alikuwa mtakatifu kwa BWANA,
10Tazama, leo nimekuweka juu ya mataifa na malimbuko ya kwanza ya mavuno yake,
falme ili kung'oa na kubomoa, ili kuharibu na wote waliowaangamiza walihesabiwa kuwa
kuangamiza, ili kujenga na kupanda.’’ na hatia,
11Neno la BWANA likanijia kusema, “Je, nayo maafa yaliwakumba,’ ’’
Yeremia unaona nini?’’ asema BWANA.
nami nikajibu, “Naona tawi la mti wa mlozi.’’
12BWANA akaniambia, “Umeona vyema kwa 4Sikianeno la BWANA, Ee nyumba ya
maana ninaliangalia neno langu ili kuona Yakobo,
kwamba nimelitimiza.’’ nanyi nyote jamaa za nyumba ya Israeli.
13Neno la BWANA likanijia tena, “Unaona
2
YEREMIA
nchi ya ukame na giza, 18Sasa kwa nini uende Misri kunywa maji kutoka
nchi ambayo hakuna mtu asafiriye ndani katika Shihori?
yake wala hakuna mtu aishie humo?’ Nawe kwa nini kwenda Ashuru kunywa maji
7Niliwaleta katika nchi yenye wingi wa vitu yatokayo katika Mto Eufrati?
mpate kula matunda yake na utajiri wa 19Uovu wako utakuadhibu,
3
YEREMIA
tena wanaliambia jiwe, ‘Wewe ndiwe mikono kichwani,
uliyenizaa.’ kwa kuwa BWANA amewakataa wale
Wamenipa visogo vyao unaowatumainia,
wala hawakunigeuzia nyuso zao, hutasaidiwa na wao.
lakini wakiwa katika taabu, wanasema,
‘Njoo utuokoe!’ Israeli Asiyemwaminifu
28Iko wapi basi ile miungu mliyojitengenezea? “Kama mtu akimpa talaka mkewe, naye
Yenyewe na ije kama inaweza 3 akamwacha na akaolewa na mtu
kuwaokoa wakati mnapokuwa katika mwingine,
taabu! je, huyo mume aweza kumrudia tena?
Kwa maana mna miungu mingi Je, hiyo nchi haitanajisika kabisa?
kama mlivyo na miji, Ee Yuda. Lakini umeishi kama kahaba na wapenzi
29‘‘Kwa nini mnaleta mashitaka dhidi yangu? wengi.
Ninyi nyote mmeniasi,’’ Je, sasa utanirudia tena?’’
asema BWANA. asema BWANA.
30‘‘Ni bure tu nimeadhibu watu wako, 2‘‘Inua macho utazame miinuko iliyo kame na
4
YEREMIA
kuzini na jiwe na mti. 10Pamoja
na hayo yote, na kwamba msingegeuka mkaacha
Yuda umbu lake ambaye si mwaminifu kunifuata.
hakunirudia kwa moyo wake wote, bali kwa 20Lakini kama mwanamke asiye mwaminifu kwa
kwenye vilima
14“Rudini, enyi watu msio waaminifu, kwa na milimani ni udanganyifu,
kuwa mimi ni mume wenu,” asema BWANA. hakika katika BWANA, Mungu wetu,
Nitawachagua ninyi, mmoja kutoka kwenye mji uko wokovu wa Israeli.
na wawili kutoka kwenye ukoo, nami nitawaleta 24Tangu ujana wetu miungu ya aibu imeyala
‘‘ ‘Tazama jinsi nitakavyowatunza kwa utaapa, ‘Kwa hakika kama vile BWANA
furaha kama wana na kuwapa nchi aishivyo,’
nzuri, ndipo mataifa yatakapobarikiwa naye
urithi ulio mzuri kuliko wa taifa jingine na katika yeye watajitukuza.’’
lo lote.’ 3Hili ndilo asemalo BWANA kwa watu wa
5
YEREMIA
“Vunjeni mabonge ya udongo kwenye natangaza hukumu zangu dhidi yao.’’
mashamba yenu yaliyolimwa
na kuachwa bila kupandwa mbegu, 13Tazama! Anakuja kama mawingu,
wala msipande katikati ya miiba. magari yake yanakuja kama upepo wa
4Jitahirini katika BWANA, kisulisuli,
tahirini mioyo yenu, farasi wake ni wenye mbio kuliko tai.
enyi wanaume wa Yuda na watu wa Ole wetu! Tunaangamia !
Yerusalemu, 14Ee Yerusalemu, uusafishe uovu kutoka moyoni
6
YEREMIA
nayo haikuwa na umbo tena ni tupu, tafuteni katika viwanja vyake.
niliziangalia mbingu, Kama mtaweza kumpata hata mtu mmoja tu
mianga ilikuwa imetoweka. atendaye kwa uaminifu na kutafuta
24Niliitazama milima, kweli,
nayo ilikuwa ikitetemeka, nitausamehe mji huu.
vilima vyote vilikuwa vikiyumbayumba. 2Ingawa wanasema, ‘Kwa hakika kama BWANA
25Nilitazama, wala watu hawakuwepo, aishivyo,’
kila ndege wa angani alikuwa ameruka bado wanaapa kwa uongo.”
zake.
26Nilitazama, hata nchi iliyokuwa imestawi vizuri 3Ee BWANA, je, macho yako hayaitazami
imekuwa jangwa, kweli?
miji yake yote ilikuwa magofu Uliwapiga, lakini hawakusikia maumivu,
mbele za BWANA, mbele ya hasira uliwapondaponda lakini walikataa
yake kali. marudi.
Walifanya nyuso zao kuwa ngumu kuliko
27Hivi ndivyo BWANA asemavyo: jiwe
nao walikataa kutubu.
“Nchi yote itaharibiwa, 4Ndipo nikasema, “Hawa ni maskini tu,
tamaa nyingi,
Hakuna Hata Mmoja Aliye Mkamilifu kila mmoja akimlilia mke wa mwanaume
“Pandeni na kushuka katika mitaa ya mwingine.
5 Yerusalemu, 9Je, nisiwaadhibu kwa ajili ya hili?’’
7
YEREMIA
‘‘Je, nisijilipizie kisasi juu ya taifa kama hili? Utawaambia, ‘Kama vile mlivyoniacha mimi na
kutumikia miungu migeni katika nchi yenu
10‘‘Piteni
katika mashamba yake ya mizabibu na wenyewe, ndivyo sasa mtakavyowatumikia
kuyaharibu, wageni katika nchi ambayo si yenu.’
lakini msiangamize kabisa.
Pogoeni matawi yake, 20‘‘Itangazie nyumba ya Yakobo hili
kwa kuwa watu hawa sio wa BWANA. na ulipigie mbiu katika Yuda:
11Nyumba ya Israeli na nyumba ya Yuda 21Sikieni hili, enyi wapumbavu na watu msio
8
YEREMIA
limetokea katika nchi hii: 10Niseme na nani na kumpa onyo?
31Manabii wanatabiri uongo, Ni nani atakayenisikiliza mimi?
makuhani wanatawala kwa mamlaka Masikio yao yameziba a
yao wenyewe, kwa hiyo hawawezi kusikia.
nao watu wangu wanapenda hivyo. Neno la BWANA ni chukizo kwao,
Lakini mtafanya nini mwisho wake? hawalifurahii.
11Lakini nimejaa ghadhabu ya BWANA,
na vivuli vya jioni vinazidi kuwa virefu. kama vile hawakuumia sana.
5Kwa hiyo inukeni, tufanye mashambulizi usiku Husema, ‘Amani, amani,’
na kuharibu ngome zake!’’ wakati hakuna amani.
6Hivi ndivyo asemavyo BWANA Mwenye Nguvu: 15Je, wanaona aibu kwa ajili ya tabia yao
inayochukiza mno?
“Kateni miti Hapana, hawana aibu hata kidogo,
mjenge boma kuzunguka Yerusalemu. hawajui hata kuona haya.
Mji huu ni lazima uadhibiwe, Kwa hiyo wataanguka miongoni mwa hao
umejazwa na uonevu. walioanguka,
7Kama vile kisima kinavyomwaga maji yake, watashushwa nitakapowaadhibu,’’
ndivyo anavyomwaga uovu wake. asema BWANA.
Ukatili na maangamizi yasikika ndani yake,
ugonjwa wake na majeraha yake viko 16Hivi ndivyo asemavyo BWANA:
mbele yangu daima.
8Pokea onyo, Ee Yerusalemu, “Simama kwenye njia panda utazame,
la sivyo nitageukia mbali nawe ulizia mapito ya zamani,
na kuifanya nchi yako kuwa ukiwa ulizia wapi ilipo njia nzuri, uifuate hiyo,
asiweze mtu kuishi ndani yake.’’ nanyi mtapata raha nafsini mwenu.
Lakini ninyi mlisema, ‘Hatutaipita hiyo.’
9Hivi ndivyo asemavyo BWANA Mwenye Nguvu: 17Niliweka walinzi juu yenu na kusema,
21Kwa hiyo hivi ndivyo asemavyo BWANA: Dini za Uongo Hazina Maana
Hili ndilo neno lililomjia Yeremia kutoka
‘‘Nitawawekea vikwazo mbele ya watu 7 kwa BWANA: 2“Simama kwenye lango la
hawa. nyumba ya BWANA na huko upige mbiu ya
Baba na wana wao watajikwaa juu yake, ujumbe huu:
majirani na marafiki wataangamia.’’ “ ‘Sikieni neno la BWANA, enyi watu wote
wa Yuda mliokuja kupitia malango haya ili
22Hivi ndivyo asemavyo BWANA: kumwabudu BWANA. 3Hili ndilo asemalo
BWANA Mwenye Nguvu, Mungu wa Israeli:
“Tazama, jeshi linakuja Tengenezeni njia zenu na matendo yenu, nami
kutoka nchi ya kaskazini, nitawaacha mkae mahali hapa. 4Msitumainie
taifa kubwa linaamshwa maneno ya udanganyifu na kusema, “Hili ni
kutoka miisho ya dunia. hekalu la BWANA, hili ni hekalu la BWANA,
23Wamejifunga pinde na mkuki, hekalu la BWANA!” 5Kama kweli mkibadili njia
ni wakatili na hawana huruma. zenu na matendo yenu mkitendeana haki kila
Wanatoa sauti kama bahari inayonguruma mmoja na mwenzake, 6kama msipomwonea
wanapokuwa wamepanda farasi zao, mgeni, yatima wala mjane na kumwaga damu
wanakuja kama watu walioandaliwa tayari isiyo na hatia mahali hapa, nanyi kama
kwa vita msipofuata miungu mingine kwa madhara yenu
kukushambulia wewe, Ee Binti Sayuni.” wenyewe, 7ndipo nitawaacha mkae mahali hapa,
katika nchi niliyowapa baba zenu milele na
24Tumesikia taarifa zao, milele. 8Lakini tazama, mnatumainia maneno ya
nayo mikono yetu imelegea. udanganyifu yasiyo na maana.
Uchungu umetushika, 9“ ‘Je, mtaiba na kuua, mtazini na kuapa
maumivu kama mwanamke mwenye kwa uongo na kufukiza uvumba kwa Baali na
utungu wa kuzaa. kufuata miungu mingine ambayo hamkuijua,
25Usitoke kwenda mashambani au kutembea 10kisha mje na kusimama mbele yangu katika
kwa maana ghafula mharabu atatujia. huko Shilo, mahali ambapo nilipafanya pa
kwanza kuwa makao ya Jina langu, nanyi
27“Nimekufanya wewe kuwa kitu cha kujaribu mwone lile nililopafanyia kwa ajili ya uovu wa
chuma watu wangu Israeli. 13Mlipokuwa mnafanya yote
na watu wangu kama mawe yenye haya, asema BWANA, nilisema nanyi tena na
madini, tena, lakini hamkusikiliza, niliwaita, lakini
ili upate kuzijua na kuzijaribu njia zao. hamkujibu. 14Kwa hiyo, nililolifanyia Shilo,
28Wote ni waasi sugu, nitalifanya sasa kwa nyumba hii iitwayo kwa Jina
10
YEREMIA
langu, hekalu mnalolitumainia, mahali machoni pangu, asema BWANA. Wameziweka
nilipowapa ninyi na baba zenu. 15Nitawafukuza sanamu zao za machukizo ndani ya nyumba
mbele yangu, kama nilivyowafanyia ndugu zenu, iitwayo kwa Jila langu na wameitia unajisi.
watu wa Efraimu.’ 31Wamejenga mahali pa juu pa kuabudia
16“Kwa hiyo usiombe kwa ajili ya watu hawa sanamu pa Tofethi kwenye bonde la Ben-
wala usifanye dua wala maombi kwa ajili yao, Hinomu ili kuwateketeza wana wao na binti zao
usinisihi kwa ajili yao, kwa sababu sitakusikiliza. kwenye moto, kitu ambacho sikuamuru, wala
17Je, huyaoni hayo wanayoyatenda katika miji ya hakikuingia akilini mwangu. 32Kwa hiyo
Yuda na katika barabara za Yerusalemu? mjihadhari, siku zinakuja, asema BWANA,
18Watoto wanakusanya kuni, baba zao wakati watu watakapokuwa hawapaiti Tofethi au
wanawasha moto na wanawake wanakanda bonde la Ben-Hinomu, lakini watapaita bonde la
unga na kuoka mikate kwa ajili ya Malkia wa Machinjo, kwa sababu watawazika wafu huko
Mbinguni. Wanamimina sadaka za vinywaji kwa Tofethi mpaka pasiwe tena nafasi. 33Ndipo
miungu mingine ili kunikasirisha. 19Lakini je, mizoga ya watu hawa itakuwa chakula cha
mimi ndiye wanayenikasirisha? asema BWANA. ndege wa angani na wanyama wa nchi, wala
Je, hawajiumizi wenyewe kwa aibu yao? hapatakuwepo ye yote wa kuwafukuza.
20Kwa hiyo hivi ndivyo asemavyo BWANA 34Nitazikomesha sauti za shangwe na furaha na
Mwenyezi: Hasira yangu na ghadhabu yangu sauti za bwana arusi na bibi arusi katikati ya miji
itamwagwa mahali hapa, juu ya mwanadamu na ya Yuda na barabara za Yerusalemu, kwa
mnyama, juu ya miti ya shambani na juu ya sababu nchi itakuwa ukiwa.
matunda ya ardhini, nayo itaungua pasipo
kuzimwa.
21‘‘ ‘Hivi ndivyo asemavyo BWANA Mwenye 8 “‘Wakati huo, asema BWANA, mifupa ya
Wafalme na maafisa wa Yuda, mifupa ya
Nguvu, Mungu wa Israeli: Endeleeni, ongezeni makuhani na manabii, nayo mifupa ya watu wa
sadaka zenu za kuteketezwa juu ya dhabihu Yerusalemu itaondolewa kutoka katika makaburi
zenu nyingine, mle nyama hiyo wenyewe! 22Kwa yao. 2Itawekwa wazi juani na kwenye mwezi na
kuwa nilipowaleta baba zenu kutoka Misri na nyota zote za mbingu, ambazo walizipenda na
kusema nao, sikuwapa amri kuhusu sadaka za kuzitumikia na ambazo wamezifuata kutafuta
kuteketezwa na dhabihu tu, 23lakini niliwapa amri ushauri na kuziabudu. Hawatakusanywa pamoja
hii: mtanitii mimi, nami nitakuwa Mungu wenu au kuzikwa, lakini watakuwa kama mavi
nanyi mtakuwa watu wangu. Enendeni katika yaliyotapakaa juu ya ardhi. 3Po pote
njia zote ninazowaamuru ili mpate kufanikiwa. nitakapowafukuzia, mabaki wote wa kizazi hiki
24Lakini hawakusikiliza wala kujali, badala yake, kiovu watatamani kufa kuliko kuishi, asema
walifuata ukaidi wa mioyo yao miovu. Wakarudi BWANA Mwenye Nguvu.’
nyuma badala ya kusonga mbele. 25Tangu
wakati ule baba zenu walipotoka Misri hadi sasa, Dhambi Na Adhabu
siku baada ya siku, tena na tena nimewatumia 4Waambie, ‘Hivi ndivyo asemavyo BWANA:
11
YEREMIA
hua, mbayumbayu na koikoi hufuata tulitegemea wakati wa kupona,
majira yao ya kurudi. lakini kulikuwa hofu tu.
Lakini watu wangu hawajui 16Mkoromo wa farasi za adui
12
YEREMIA
wamekuwa na nguvu katika nchi jangwa ambapo hakuna awezaye kupita?
kwa ajili ya uongo, 13BWANA akasema, ‘‘Ni kwa sababu
hakuna ye yote asemaye kweli. hawakuwajua wala baba zao, nitawafuatia kwa
Wamefundisha ndimi zao kudanganya, upanga mpaka niwe nimewaangamiza kabisa.”
wanajichosha wenyewe katika kutenda
dhambi. 17Hivi ndivyo asemavyo BWANA Mwenye
6Unakaa katikati ya udanganyifu, Nguvu:
katika udanganyifu wao wanakataa
kunitambua mimi,’’ “Fikiri sasa! Waite wanawake waombolezao
asema BWANA. waje,
7Kwa hiyo hili ndilo asemalo BWANA Mwenye waite wale walio na ustadi kuliko wote.
Nguvu: 18Nao waje upesi kutuombolezea
13
YEREMIA
23Hili ndilo asemalo BWANA: katika
mataifa na katika falme zao zote,
“Mwenye hekima asijisifu katika hekima hakuna aliye kama wewe.
yake 8Wote hawana akili tena ni wapumbavu,
14
YEREMIA
enyi mnaoishi katika hali ya kuzingirwa na ‘Nitiini mimi na mfanye kila kitu
jeshi. ninachowaamuru, nanyi mtakuwa watu wangu,
18Kwa kuwa hili ndilo asemalo BWANA: nami nitakuwa Mungu wenu. 5Kisha nitatimiza
“Wakati huu, nitawatupa nje kwa nguvu kiapo nilichowaapia baba zenu, kuwapa nchi
wote waishio katika nchi hii, itiririkayo maziwa na asali,’ nchi ambayo
nitawataabisha mnaimiliki leo.’’
ili waweze kutekwa.” Nikajibu, “Amina, BWANA.’’
6BWANA akaniambia, “Tangaza maneno
19Ole wangu mimi kwa ajili ya kuumia kwangu! haya yote katika miji ya Yuda na katika
Jeraha langu ni kubwa. barabara za Yerusalemu: ‘Sikilizeni maneno ya
Lakini nilisema, agano hili na kuyafuata. 7Tangu wakati ule
“Kweli hii ni adhabu yangu, nami sharti nilipowapandisha baba zenu kutoka Misri mpaka
nistahimili.’’ leo, niliwaonya tena na tena, nikisema “Nitiini
20Hema langu limeangamizwa, mimi.’’ 8Lakini hawakusikiliza wala kujali, badala
kamba zake zote zimekatwa. yake, walifuata ukaidi wa mioyo yao miovu.
Wana wangu wametekwa na hawapo tena, Hivyo nikaleta juu yao laana zote za agano
hakuna hata mmoja aliyebaki kulisimika nililokuwa nimewaamuru wao kulifuata lakini
hema langu wao hawakulishika.’ ’’
au wa kusimamisha kibanda changu. 9Kisha BWANA akaniambia, “Kuna shauri
21Wachungaji hawana akili baya linaloendelea miongoni mwa watu wa Yuda
wala hawamulizi BWANA, na wale wanaoishi katika Yerusalemu.
hivyo hawasitawi 10Wamerudia dhambi za baba zao, waliokataa
na kundi lao lote la kondoo na mbuzi kusikiliza maneno yangu. Wameifuata miungu
limetawanyika. mingine kuitumikia. Nyumba zote mbili za Israeli
22Sikilizeni! Taarifa inakuja, na Yuda zimelivunja agano nililofanya na baba
ghasia kubwa kutoka nchi ya kaskazini! zao. 11Kwa hivyo, hili ndilo asemalo BWANA:
Hii itafanya miji ya Yuda kuwa ukiwa, ‘Nitaleta juu yao maafa ambayo hawawezi
makao ya mbweha. kuyakimbia. Hata kama wakinililia mimi
sitawasikiliza. 12Miji ya Yuda na watu wa
Maombi Ya Yeremia Yerusalemu watakwenda kuililia miungu ambayo
23Ninajua, Ee BWANA, kwamba maisha wameifukizia uvumba, lakini haitawasaidia
ya mwanadamu si yake mwenyewe, kamwe wakati maafa yatakapowapiga. 13Mnayo
hawezi kuziongoza hatua zake mwenyewe. miungu mingi kama miji mliyo nayo, Ee Yuda,
24Unirudi, Ee BWANA, nazo madhabahu mlizozijenga za kufukizia
lakini kwa kipimo cha haki, uvumba huyo mungu wa aibu Baali ni nyingi
si katika hasira yako, usije ukaniangamiza. kama barabara za Yerusalemu.’
25Umwage ghadhabu yako juu ya mataifa 14“Wewe usiwaombee watu hawa wala
yale wasiokujua wewe, kufanya maombezi yo yote au dua kwa ajili yao,
juu ya mataifa yale wasioliitia jina lako. kwa sababu sitawasikiliza watakaponiita wakati
Kwa kuwa wamemwangamiza Yakobo, wa taabu yao.
wamemwangamiza kabisa na kuiharibu 15“Mpenzi wangu anafanya nini hekaluni
15
YEREMIA
atautia moto, unaniona na kuyachunguza mawazo
nayo matawi yake yatavunjika. yangu kukuhusu wewe.
Wakokote kama kondoo wanaokwenda
17BWANA Mwenye Nguvu, aliyekupanda, kuchinjwa!
ametamka maafa kwa ajili yako, kwa sababu Watenge kwa ajili ya siku ya kuchinjwa!
nyumba ya Israeli na nyumba ya Yuda 4Je, nchi itakaa katika hali ya kuomboleza
kwa njaa. 23Hawatasaziwa hata mabaki kwao, kama ndege wa mawindo wa madoadoa
kwa sababu nitaleta maafa kwa watu wa ambaye ndege wengine wawindao
Anathothi katika mwaka wa adhabu yao.’ ’’ humzunguka na kumshambulia?
Nenda ukawakusanye pamoja wanyama
Lalamiko La Yeremia wote wa mwituni,
16
YEREMIA
12Juuya miinuko yote ilivyo kama jangwani nitakavyokiharibu kiburi cha Yuda na kiburi kikuu
mharabu atajaa cha Yerusalemu. 10Watu hawa waovu,
kwa maana upanga wa BWANA wanaokataa kusikiliza maneno yangu, wafuatao
utawala, ukaidi wa mioyo yao na kufuata miungu mingine
kuanzia ncha moja ya nchi hadi kuitumikia na kuiabudu, watakuwa kama
nyingine, mkanda huu ambao haufai kabisa! 11Kwa maana
hakuna hata mmoja atakayekuwa kama vile mkanda ufungwavyo kiunoni mwa
salama. mtu, ndivyo nilivyojifunga nyumba yote ya Israeli
13Watapanda ngano lakini watavuna miiba, na nyumba yote ya Yuda,’ asema BWANA, ‘ili
watajitaabisha lakini hawatafaidi cho wawe watu wangu kwa ajili ya utukufu wangu,
chote sifa na heshima yangu. Lakini hawajasikiliza.’
Kwa hiyo beba aibu ya mavuno yako
kwa sababu ya hasira kali ya BWANA Viriba Vya Mvinyo
Mungu.’’ 12“Waambie: ‘Hili ndilo BWANA, Mungu wa
nitawang'oa kutoka katika nchi zao, nami nitawajaza ulevi wote waishio katika nchi hii,
nitaing'oa nyumba ya Yuda kutoka katikati yao. pamoja na wafalme waketio juu ya kiti cha enzi
15Lakini baada ya kuwang'oa, nitawahurumia cha Daudi, makuhani, manabii na wale wote
tena na kumrudisha kila mmoja wao kwenye waishio Yerusalemu. 14Nitawagonganisha kila
urithi wake mwenyewe na kwenye nchi yake mmoja na mwenzake, baba na wana wao,
mwenyewe. 16Ikiwa watajifunza vyema njia za asema BWANA. Sitawarehemu wala
watu wangu na kuapa kwa jina langu, wakisema, kuwahurumia niache kuwaangamiza.’ ”
‘Hakika kama BWANA aishivyo,’ hata kama
wakati fulani walifundisha watu wangu kuapa Tishio La Kutekwa
kwa Baali, ndipo watakapofanywa imara katikati 15Sikieni na mjali,
17
YEREMIA
wakichukuliwa kabisa waende mbali. mvua katika nchi,
wakulima wana hofu na wanafunika vichwa
20Inua macho yako na uone vyao.
wale wanaokuja kutoka kaskazini. 5Hata kulungu mashambani anamwaacha mtoto
Liko wapi lile kundi ulilokabidhiwa, wake aliyezaliwa wakati huo huo
Kondoo wale uliojivunia? kwa sababu hakuna majani.
21Utasema nini BWANA atakapowaweka 6Punda mwitu wanasimama juu ya miinuko iliyo
Wanarudi na vyombo bila maji, wanatabiri uongo kwa jina langu. Sikuwatuma
wakiwa na hofu na kukata tamaa, wala sikuwaweka wala sikusema nao.
wanafunika vichwa vyao. Wanawatabiria maono ya uongo, maaguzi,
4Ardhi imepasuka nyufa kwa sababu hakuna
18
YEREMIA
maono ya sanamu zisizofaa kitu na Adhabu Isiyoepukika
madanganyo ya mawazo yao wenyewe. 15Kwa
hiyo, hili ndilo BWANA asemalo kuhusu manabii 15 Kisha BWANA akaniambia: ‘‘Hata kama
Mose na Samweli wangesimama mbele
wanaotabiri kwa jina langu: Mimi sikuwatuma, zangu, moyo wangu usingewaendea watu hawa.
lakini wanasema, ‘Hakuna upanga wala njaa Waondoe mbele za macho yangu! Waache
itakayoigusa nchi hii.’ Manabii hao hao watakufa waende! 2Nao kama wakikuuliza, ‘Tuende
kwa upanga na kwa njaa. 16Nao watu hao wapi?’ Waambie, ‘Hili ndilo BWANA asemalo:
wanaowatabiria watatupwa nje katika barabara
za Yerusalemu kwa sababu ya njaa na upanga. “ ‘Wale waliowekwa kwa ajili ya kufa,
Hapatakuwepo ye yote wa kuwazika wao au wakafe,
wake zao, wana wao au binti zao. waliowekwa kwa ajili ya upanga, kwa
Nitawamwagia maafa wanayostahili. upanga,
waliowekwa kwa ajili ya njaa, kwa njaa,
17“Nena nao neno hili: waliowekwa kwa ajili ya kutekwa, watekwe.’
19
YEREMIA
mtu ambaye ulimwengu wote kama ukinena maneno yenye maana,
unashindana na kugombana wala si ya upuuzi,
naye! utakuwa mnenaji wangu.
Sikukopa wala sikukopesha, Watu hawa ndio watakaokugeukia,
lakini kila mmoja ananilaani. wala si wewe utakayewageukia wao.
20Nitakufanya wewe uwe ukuta kwa watu hawa,
11BWANA akasema, ngome ya ukuta wa shaba,
watapigana nawe lakini hawatakushinda,
“Hakika nitakuokoa kwa kusudi jema, kwa maana mimi niko pamoja nawe
hakika nitawafanya adui zako kukuponya na kukuokoa,’’
wakuombe msaada asema BWANA.
nyakati za maafa na nyakati za dhiki. 21“Nitakuokoa kutoka katika mikono ya waovu,
katika nchi yako yote. binti mahali hapa.’’ 3Kwa maana hilo ndilo
14Nitakufanya uwe mtumwa wa adui zako asemalo BWANA kuhusu wana na binti
katika nchi usiyoijua, wazaliwao katika nchi hii na kuhusu wale
kwa kuwa katika hasira yangu moto wanawake ambao ni mama zao na wale
umewashwa wanaume ambao ni baba zao: 4“Watakufa kwa
utakaowaka juu yako daima.’’ magonjwa ya kufisha. Hawataombolezewa wala
kuzikwa lakini watakuwa kama mavi
15Wewe unajua, Ee BWANA, yaliyosambaa juu ya ardhi. Watakufa kwa
unikumbuke na unitunze mimi. upanga na kwa njaa, nazo maiti zao zitakuwa
Lipiza kisasi juu ya watesi wangu. chakula cha ndege wa angani na cha wanyama
Kwa uvumilivu wako usiniondolee mbali, wa nchi.’’
kumbuka jinsi ninavyoshutumiwa. 5Kwa kuwa hili ndilo asemalo BWANA:
16Maneno yako yalipokuja, niliyala, “Usiingie katika nyumba ambayo kuna chakula
yakawa shangwe yangu na furaha ya moyo cha matanga, usiende kuwaombolezea wala
wangu, kuwahurumia, kwa sababu nimeziondoa baraka
kwa kuwa nimeitwa kwa jina lako, Ee zangu, upendo wangu na huruma zangu kutoka
BWANA Mungu, Mungu Mwenye Nguvu. kwa watu hawa,’’ asema BWANA. 6“Wakubwa
17Kamwe sikuketi katika kundi la hao wafanyao na wadogo watakufa katika nchi hii.
karamu za ulevi na ulafi, Hawatazikwa wala kuombolezewa, hakuna
wala kamwe sikujifurahisha pamoja nao, atakayejikatakata au kunyoa nywele za kichwa
Niliketi peke yangu kwa sababu mkono chake kwa ajili yao. 7Hakuna ye yote
wako atakayewapa chakula ili kuwafariji wale
ulikuwa juu yangu na wewe ulikuwa waombolezao kwa ajili ya wale waliokufa, hata
umenijaza hasira. akiwa amefiwa na baba au mama, hakuna ye
18Kwa nini maumivu yangu hayakomi yote atakayewapa kinywaji ili kuwafariji.
na jeraha langu ni la kuhuzunisha wala 8“Usiingie katika nyumba ambayo kuna
20
YEREMIA
haya yote na wakakuuliza, ‘Kwa nini BWANA Ndipo watakapojua
ameamuru maafa makubwa kama haya dhidi kuwa jina langu ndimi BWANA.
yetu? Tumefanya kosa gani? Tumetenda
dhambi gani dhidi ya BWANA, Mungu wetu?’ Dhambi Ya Yuda Na Adhabu Yake
17
11Basi waambie, ‘Ni kwa sababu baba zenu ‘‘Dhambi ya Yuda imechorwa kwa
waliniacha mimi,’ wakafuata miungu mingine kalamu ya chuma,
kuitumikia na kuiabudu. Waliniacha mimi na imeandikwa kwa ncha ya almasi,
hawakuishika sheria yangu asema BWANA. kwenye vibao vya mioyo yao
12Lakini ninyi mmetenda kwa uovu zaidi kuliko na kwenye pembe za madhabahu zao.
baba zenu. Tazama jinsi ambavyo kila mmoja 2Hata watoto wao wanakumbuka madhabahu
21
YEREMIA
Hauna hofu katika mwaka wa ukame Kuiadhimisha Sabato
na hautaacha kuzaa matunda.” 19Hili ndilo BWANA aliloniambia: “Nenda
18
17Usiwe kwangu kitu cha kunitia hofu kuu, Hili ndilo neno lililomjia Yeremia kutoka
Wewe ndiwe kimbilio langu katika siku ya kwa BWANA: 2‘‘Shuka uende mpaka
maafa. kwenye nyumba ya mfinyanzi, nami huko
18Watesi wangu na waaibishwe, nitakupa ujumbe wangu.’’ 3Kwa hiyo nikashuka
lakini nilinde mimi nisiaibike, mpaka kwenye nyumba ya mfinyanzi, nikamkuta
wao na watiwe hofu kuu, akifinyanga kwa gurudumu lake. 4Lakini chombo
lakini unilinde mimi na hofu kuu. alichokuwa akikifinyanga kutokana na udongo
Uwaletee siku ya maafa, kilivunjika mikononi mwake, hivyo mfinyanzi
waangamize kwa maangamizi maradufu akakifanya kuwa chombo kingine, umbo jingine
kama vile ilivyoonekana vema kwake yeye.
22
YEREMIA
5Kisha neno la BWANA likanijia kusema: nitawaonyesha mgongo wangu wala sio
6‘‘Ee nyumba ya Israeli, je, siwezi kuwafanyia uso,
kama huyu mfinyanzi afanyavyo?’’ Asema katika siku ya maafa yao.”
BWANA. ‘‘Kama vile udongo ulivyo katika
mikono ya mfinyanzi, ndivyo mlivyo katika 18Wakasema, “Njoni, tutunge hila dhidi ya
mkono wangu, Ee nyumba ya Israeli. 7Ikiwa Yeremia, kwa kuwa kufundisha sheria kwa
wakati wo wote nikitangaza kuwa taifa au ufalme kuhani hakutapotea, wala shauri litokalo kwa
utang'olewa, utaangushwa na kuangamizwa, mwenye hekima, wala neno la manabii. Hivyo
8ikiwa lile taifa nililolionya litatubia uovu wake, njoni, tumshambulie kwa ndimi zetu na tusijali
ndipo nitakapokuwa na huruma wala sitawapiga cho chote asemacho.’’
kwa maafa niliyokuwa nimekusudia kwa ajili yao.
9Ikiwa wakati mwingine nitatangaza kuwa taifa 19Nisikilize, Ee BWANA,
ama utawala ujengwe na kusimikwa, 10ikiwa sikia wanayosema washitaki wangu!
utafanya maovu mbele zangu na hukunitii, ndipo 20Je, mema yalipwe kwa mabaya?
hiyo geukeni kutoka katika njia zenu mbaya, kila uwaache wauawe kwa makali ya
mmoja wenu, tengenezeni njia zenu na matendo upanga.
yenu.’ 12Lakini wao watajibu, ‘Hakuna faida. Wake zao na wasiwe na watoto na wawe
Tutaendelea na mipango yetu wenyewe, kila wajane,
mmoja wetu atafuata ukaidi wa moyo wake waume wao na wauawe,
mbaya.’ ’’ nao vijana wao waume wachinjwe kwa
upanga vitani.
13Kwa hiyo hili ndilo asemalo BWANA: 22Kilio na kisikike kutoka kwenye nyumba zao
23
YEREMIA
yawashe. 4Kwa kuwa wameniacha na kupafanya
mahali hapa kuwa pa miungu ya kigeni, Yeremia Ateswa Na Pashuri
wameiteketezea sadaka miungu ambayo wao
wala baba zao wala wafalme wa Yuda kamwe 20 Ikawa kuhani Pashuri mwana wa Imeri,
mkuu wa maafisa wa hekalu la
hawakuijua, nao wamelijaza eneo hili kwa damu BWANA, alipomsikia Yeremia akitoa unabii juu
isiyo na hatia. 5Wamejenga mahali pa juu pa ya mambo haya, 2akaamuru Yeremia nabii
kuabudia miungu pa Baali ili kuteketeza wana apigwe na kufungwa katika mkatale katika
wao katika moto kama sadaka kwa Baali, kitu Lango la Juu la Benyamini katika hekalu la
ambacho sikukiamuru wala kukitaja, wala BWANA. 3Siku ya pili Pashuri alipomwachia
hakikuingia akilini mwangu. 6Hivyo jihadharini, kutoka kwenye mkatale, Yeremia akamwambia,
siku zinakuja, asema BWANA, wakati watu “BWANA hakukuita jina lako kuwa Pashuri bali
hawatapaita tena mahali hapa Tofethi ama Magor-Misabibu a . 4Kwa kuwa hili ndilo asemalo
Bonde la Ben Hinomu, bali Bonde la Machinjo. BWANA: ‘Nitakufanya kuwa hofu kuu kwako
7“ ‘Nitaiharibu mipango ya Yuda na wewe mwenyewe na rafiki zako wote, kwa
Yerusalemu mahali hapa. Nitawafanya macho yako mwenyewe utawaona wakianguka
waanguke kwa upanga mbele ya adui zao, kwa upanga wa adui zao. Nitawatia Wayahudi
katika mikono ya wale watafutao uhai wao, nami wote mikononi mwa mfalme wa Babeli, ambaye
nitaitoa mizoga yao kuwa chakula cha ndege wa atawachukuwa na kuwapeleka Babeli ama
angani na wanyama wa nchi. 8Nitauharibu mji awauwe kwa upanga. 5Nitatia utajiri wote wa mji
huu na kuufanya kitu cha kudharauliwa, wote huu kwa adui zao, yaani, mazao yao yote, vitu
wapitao karibu watashangaa na wataudhihaki vyao vyote vya thamani na hazina zote za
kwa ajili ya majeraha yake yote. 9Nitawafanya wafalme wa Yuda. Watavitwaa kwa nyara na
wao kula nyama ya wana wao na binti zao, kila kuvipeleka Babeli. 6Nawe Pashuri pamoja na
mmoja atakula nyama ya mwenzake wakati wa wote waishio katika nyumba yako mtakwenda
dhiki ya kuzungukwa na jeshi lililowekwa juu yao uhamishoni Babeli. Mtafia humo na kuzikwa,
na adui wanaotafuta uhai wao.’ wewe na rafiki zako wote ambao umewatabiria
10“Kisha livunje lile gudulia wakati wale walio uongo.’ ’’
pamoja nawe wanaangalia, 11uwaambie, ‘Hili
ndilo BWANA Mwenye Nguvu asemalo: Malalamiko Ya Yeremia
Nitalivunja taifa hili na mji huu kama gudulia hili 7Ee BWANA, umenidanganya,
la mfinyanzi lilivyovunjwa, nalo haliwezi nami nikadanganyika,
kutengenezeka tena. Watawazika waliokufa wewe una nguvu kuliko mimi,
huko Tofethi hata isiwepo nafasi zaidi. 12Hivi nawe umenishinda.
ndivyo nitakavyopafanya mahali hapa na kwa Ninadharauliwa mchana kutwa,
wale waishio ndani yake, asema BWANA. kila mmoja ananidhihaki.
Nitaufanya mji huu kama Tofethi. 13Nyumba 8Kila ninenapo, ninapiga kelele nikitangaza
niliyosema dhidi yake, kwa sababu wamekuwa “Hofu iko pande zote!
na shingo ngumu na hawakuyasikiliza maneno
yangu.’ ’’
a3 “Magor Misabibu” maana yake “Hofu kuu kila upande.’’
24
YEREMIA
Mshitakini! Twendeni tumshitaki!’’ maajabu kwa ajili yetu kama nyakati zilizopita ili
Rafiki zangu wote Nebukadneza atuondokee.’’
wananisubiri niteleze, wakisema, 3Lakini Yeremia akawajibu, ‘‘Mwambieni
“Labda atadanganyika, kisha tutamshinda Sedekia, 4‘Hili ndilo BWANA, Mungu wa Israeli
na kulipiza kisasi juu yake.’’ asemalo: Ninakaribia kuwageuzia silaha za vita
zilizo mikononi mwenu, ambazo mnatumia
11LakiniBWANA yu pamoja nami kupigana na mfalme wa Babeli na Wakaldayo
kama shujaa mwenye nguvu, ambao wako nje ya ukuta wakiwazunguka kwa
hivyo washitaki wangu watajikwaa na jeshi. Nami nitawakusanya ndani ya mji huu.
kamwe hawatashinda. 5Mimi mwenyewe nitapigana dhidi yenu kwa
Neno lilimjia Yeremia kutoka kwa wewe uishiye juu ya bonde hili
21 BWANA wakati mfalme Sedekia kwenye uwanda wa juu wa miamba,
alipowatuma Pashuri mwana wa Malkiya na asema BWANA,
kuhani Sefania mwana wa Maaseya kwake wewe usemaye, ‘‘Ni nani awezaye kuja
kusema: 2‘‘Tuulizie sasa kwa BWANA kwa kinyume chetu?
sababu Nebukadneza mfalme wa Babeli
anatushambulia. Labda BWANA atatenda
25
YEREMIA
Nani ataingia mahali pa kimbilio letu?’’ wala kuiona tena nchi yake alikozaliwa.
14Nitawaadhibu kama istahilivyo
matendo yenu, 11Kwa kuwa hili ndilo asemalo BWANA kuhusu
nitawasha moto katika misitu yenu Shalumu a mwana wa Yosia, aliyeingia mahali pa
ambao utateketeza kila kitu baba yake kama mfalme wa Yuda, lakini
kinachowazunguka ninyi,’ ’’ ameondoka mahali hapa: “Yeye kamwe hatarudi
asema BWANA. tena. 12Atafia huko mahali walipompeleka kuwa
mateka, hataiona tena nchi hii.”
Hukumu Dhidi Ya Wafalme Waovu
Hili ndilo asemalo BWANA: “Shuka 13“Olewake yeye ajengaye jumba lake la kifalme
22 kwenye jumba la kifalme la mfalme wa kwa njia ya dhuluma,
Yuda na utangaze ujumbe huu huko: 2‘Sikia vyumba vyake vya juu kwa udhalimu,
neno la BWANA, Ee mfalme wa Yuda, wewe akiwatumikisha watu wa nchi yake
uketiye kwenye kiti cha enzi cha Daudi, wewe, pasipo malipo,
maafisa wako na watu wako mnaokuja kwa bila kuwalipa kwa utumushi wao.
kupitia malango haya.” 3Hili ndilo BWANA 14Asemaye, ‘Nitajijengea jumba kubwa la kifalme
asemalo: “Tenda kwa haki na kwa adili. Mwokoe na vyumba vya juu vyenye nafasi
kutoka mkononi mwa mdhalimu yeye aliyetekwa. kubwa.’
Usimtendee mabaya wala ukatili mgeni, yatima Hivyo anaweka ndani yake madirisha
au mjane na usimwage damu isiyo na hatia makubwa,
mahali hapa. 4Kwa kuwa kama ukiwa huweka mbao za mierezi na kuipamba
mwangalifu kushika maagizo haya, ndipo kwa rangi nyekundu.
wafalme watakaokalia kiti cha enzi cha Daudi
watakapoingia kupitia malango ya jumba hili la 15Je, inakufanya kuwa mfalme
kifalme, wakiwa wamepanda magari na farasi kwa kuongeza idadi ya mierezi?
huku wakifuatana na maafisa wao na watu wao. Je, baba yako hakuwa na chakula na
5Lakini kama hukuyatii maagizo haya, asema kinywaji?
BWANA, ninaapa kwa nafsi yangu kwamba Alifanya yaliyo sawa na haki,
jumba hili litakuwa gofu.’ ’’ hivyo yeye akafanikiwa katika yote.
6Kwa kuwa hili ndilo BWANA asemalo 16Aliwatetea maskini na wahitaji,
kuhusu jumba la kifalme la mfalme wa Yuda: hivyo yeye akafanikiwa katika yote,
Je, hiyo si ndiyo maana ya kunifahamu
“Ingawa uko kama Gileadi kwangu, mimi?’’
kama kilele cha Lebanoni, Asema BWANA.
hakika nitakufanya uwe kama jangwa, 17“Lakini macho yako na moyo wako
26
YEREMIA
20“Panda Lebanoni ukapige kelele, mtu ambaye hatafanikiwa maisha yake yote,
sauti yako na isikike huko Bashani, kwa maana hakuna mtoto wake
piga kelele toka Abarimu, atakayefanikiwa,
kwa kuwa wale wote waliojiunga nawe kukaa kwenye kiti cha enzi cha Daudi
wameangamizwa. wala kuendelea kutawala katika Yuda.”
21Nilikuonya wakati ulipojisikia kwamba uko
28
YEREMIA
manabii wanaotikisa ndimi zao wenyewe na BWANA, Mungu wa Israeli asemalo: ‘Kama
kusema, ‘BWANA asema.’ 32Kweli, niko zilivyo hizi tini nzuri, ndivyo ninavyowaona kuwa
kinyume na hao wanaotabiri ndoto za uongo,’’ bora watu wa uhamisho kutoka Yuda,
asema BWANA. Wanazisimulia na kuwapotosha niliowaondoa kutoka mahali hapa kwenda katika
watu wangu kwa uongo wao bila kujali, lakini nchi ya Wakaldayo. 6Macho yangu yatakuwa juu
sikuwatuma wala sikuwaweka. Hawawafaidii yao kwa ajili ya kuwapatia mema, nami
watu hawa hata kidogo,’’ asema BWANA. nitawarudisha tena katika nchi hii. Nitawajenga
wala sitawabomoa, nitawapanda wala
Maneno Ya Uongo Na Manabii Wa Uongo sitawang’oa, 7nitawapa moyo wa kunifahamu
33Watu hawa, au nabii, au kuhani mimi, kwamba mimi ndimi BWANA. Watakuwa
watakapokuuliza, “Mzigo wa BWANA ni nini?” watu wangu, nami nitakuwa Mungu wao, kwa
Wewe utawaambia, “Ninyi ndio mzigo, nami maana watanirudia kwa moyo wao wote.
nitawavua kama vazi, asema BWANA. 34Kwa 8‘‘ ‘Lakini kama zilivyo zile tini dhaifu,
habari ya nabii, kuhani, au wale watu wasemao, ambazo ni mbaya mno zisizofaa kuliwa,’ asema
“Mzigo wa BWANA,’’ nitawaadhibu wao na BWANA, ‘ndivyo nitakavyomtendea Sedekia
nyumba zao. 35Hivyo mtaambiana kila mmoja na mfalme wa Yuda, maafisa wake na mabaki
mwenzake, miongoni mwenu: ‘BWANA amejibu wengine kutoka Yerusalemu, kwamba wamebaki
nini?’ au ‘BWANA amesema nini?’ 36Lakini katika nchi hii au wanaishi Misri. 9Nitawafanya
kamwe msiseme tena, ‘Nina mzigo wa BWANA,’ kuwa chukizo kabisa na kitu cha kulaumiwa
kwa sababu kila neno la mtu binafsi linakuwa katika mataifa yote ya dunia, watakuwa aibu na
mzigo wake mwenyewe na hivyo kupotosha kitu cha kudharauliwa, chombo cha dhihaka na
maneno ya Mungu aliye hai, BWANA Mwenye kulaaniwa, po pote nitakakowafukuzia.
Nguvu, Mungu wetu. 37Hivi ndivyo 10Nitautuma upanga, njaa na tauni dhidi yao
ndilo BWANA asemalo: Ulitumia maneno, ‘Huu Miaka Sabini Ya Kuwa Mateka
ndio mzigo wa BWANA,’ hata ingawa
nilikuambia kuwa kamwe usiseme, ‘Huu ni 25 Neno likamjia Yeremia kuhusu watu
wote wa Yuda katika mwaka wa nne wa
mzigo wa BWANA.’ 39Kwa hiyo, hakika kutawala kwake Yehoiakimu mwana wa Josia
nitakusahau na kukutupa mbali na uso wangu mfalme wa Yuda, ambao ulikuwa mwaka wa
pamoja na mji niliowapa ninyi na baba zenu. kwanza wa utawala wa Nebukadneza mfalme
40Nitaleta juu yako fedheha ya kudumu na aibu wa Babeli. 2Hivyo nabii Yeremia akawaambia
ya kudumu ambayo haitasahaulika.’’ watu wote wa Yuda na wale wote waishio
Yerusalemu: 3Kwa miaka ishirini na mitatu,
Vikapu Viwili Vya Tini kuanzia mwaka wa kumi na tatu wa utawala wa
24 Baada ya Yekonia mwana wa
Yehoyakimu mfalme wa Yuda pamoja
Yosia mwana wa Amoni mfalme wa Yuda
mpaka siku hii ya leo, neno la BWANA limekuwa
na maafisa, mafundi stadi na wahunzi wa Yuda likinijia nami nimesema nanyi mara kwa mara
kuchukuliwa kutoka Yerusalemu kwenda Babeli lakini hamkusikiliza.
na Nebukadneza mfalme wa Babeli kwenda 4Ingawa BWANA amewatuma watumishi
uhamishoni huko Babeli, BWANA akanionyesha wake wote hao manabii kwenu mara kwa mara,
vikapu viwili vya tini vilivyowekwa mbele ya hamkusikiliza wala hamkujali. 5Wakasema,
hekalu la BWANA. 2Kikapu kimoja kilikuwa na ‘‘Geukeni sasa, kila mmoja wenu kutoka katika
tini nzuri sana, kama zile za mavuno ya kwanza, njia yake mbaya na matendo yake maovu ndipo
kikapu cha pili kilikuwa na tini dhaifu sana, mtaweza kukaa katika nchi ambayo BWANA
mbaya mno zisizofaa kuliwa. aliwapa ninyi na baba zenu milele. 6Msiifuate
3Kisha BWANA akaniuliza, “Je, Yeremia miungu mingine ili kuitumikia na kuiabudu,
unaona nini?” msinikasirishe kwa vitu ambavyo
Nikamjibu, ‘‘Ninaona tini zile zilizo nzuri, ni mmevitengeneza kwa mikono yenu.’’
nzuri sana, lakini zilizo dhaifu, ni mbaya mno 7‘‘Lakini ninyi hamkunisikiliza mimi, tena
29
YEREMIA
yenu wenyewe,’’ asema BWANA. 25wafalme wote wa Zimri, Elamu na Umedi,
8Kwa hiyo BWANA Mwenye Nguvu asema 26wafalme wote wa pande za kaskazini, wa
hivi: ‘‘Kwa sababu hamkuyasikiliza maneno karibu na wa mbali mmoja baada ya mwingine,
yangu, 9nitayaita mataifa yote ya kaskazini na yaani, falme zote juu ya uso wa dunia. Baada ya
mtumishi wangu Nebukadneza mfalme wa hao wote, mfalme wa Sheshaki a atakunywa pia.
Babeli,’’ asema BWANA, ‘‘nitawaleta 27“Kisha uwaambie, ‘Hili ndilo BWANA
waishambulie nchi hii na wakazi wake wote na Mwenye Nguvu, Mungu wa Israeli asemalo:
dhidi ya mataifa yote yanayowazunguka. Kunyweni, mlewe na mtapike, angukeni wala
Nitawaangamiza kabisa na kuwafanya kitu cha msiinuke tena kwa sababu ya upanga
kuchukiwa na kudharauliwa na kuwa magofu nitakaotuma miongoni mwenu.’ 28Lakini kama
daima. 10Nitawaondolea sauti ya shangwe na wakikataa kupokea kikombe kutoka mikononi
furaha, sauti ya bibi na BWANA arusi, sauti ya mwako na kunywa, waambie, ‘Hili ndilo asemalo
mawe ya kusagia na mwanga wa taa. 11Nchi hii BWANA Mwenye Nguvu: Ni lazima mywe!
yote itakuwa ukiwa na isiyofaa kitu, nayo mataifa 29Tazama, nimeanza kuleta maafa juu ya mji ulio
haya yatamtumikia mfalme wa Babeli kwa miaka na Jina langu, je, kweli ninyi mtaepuka
sabini.’’ kuadhibiwa? Hamwezi kuepuka kuadhibiwa kwa
12‘‘Lakini miaka sabini itakapotimia, maana nitaleta vita juu ya wote waishio duniani,
nitamwadhibu mfalme wa Babeli na taifa lake na asema BWANA Mwenye Nguvu.’
nchi ya Wakaldayo kwa ajili ya hatia yao,’’ 30“Basi sasa utabiri maneno haya yote dhidi
niliyosema dhidi yake, yote yaliyoandikwa katika ‘‘ ‘BWANA atanguruma kutoka juu,
kitabu hiki na kutabiriwa na Yeremia dhidi ya atatoa sauti ya ngurumo kutoka makao
mataifa yote. 14Wao wenyewe watakuwa yake matakatifu
watumwa wa mataifa mengi na wafalme wakuu, na kunguruma kwa nguvu sana dhidi ya
nitawalipizia sawa sawa na matendo yao na kazi nchi yake.
ya mikono yao.’’ Atapiga kelele kama wao wakanyagao
mizabibu,
Kikombe Cha Ghadhabu Ya Mungu atapiga kelele dhidi ya wote waishio
15Hili ndilo BWANA, Mungu wa Israeli, duniani.
aliloniambia: “Chukua kutoka mkononi mwangu 31Ghasia zitasikika hadi miisho ya dunia,
mmoja akageuka kutoka katika njia yake mbaya. mbele wakaliambia kusanyiko lote la watu,
Kisha nitawahurumia na kuacha kuwaletea 18‘‘Mika wa Moreshethi alitoa unabii katika siku
maafa niliyokuwa ninapanga kwa sababu ya za Hezekia mfalme wa Yuda. Akawaambia watu
maovu waliyofanya. 4Waambie, ‘Hili ndilo wote wa Yuda, ‘Hili ndilo asemalo BWANA
asemalo BWANA: Ikiwa hamtanisikiliza na Mwenye Nguvu:
kuifuata sheria yangu ambayo nimeiweka mbele
yenu, 5nanyi ikiwa hamtayasikiliza maneno ya ‘‘ ‘Mji wa Sioni utalimwa kama shamba,
watumishi wangu manabii, ambao nimewatuma Yerusalemu utakuwa lundo la kifusi cha
kwenu tena na tena (ijapokuwa Changarawe,
hamkuwasikiliza), ndipo nitaifanya nyumba hii
6 kilima cha hekalu kitakuwa kichuguu
kama Shilo na mji huu kuwa kitu cha kulaania kilichoota vichaka.’
cha mataifa yote ya dunia.’ ’’
7Makuhani, manabii na watu wote 19“Je, Hezekia mfalme wa Yuda au mtu
wakamsikia Yeremia akiyasema maneno haya mwingine ye yote katika Yuda alimhukumu Mika
ndani ya nyumba ya BWANA. 8Lakini mara tu kufa? Je, Hezekia hakumcha BWANA na kuhitaji
Yeremia alipomaliza kuwaambia watu kila kitu msaada wake? Je, BWANA hakuwahurumia na
BWANA alichomwamuru kukisema, makuhani, akaacha kuleta maafa aliyokuwa ametamka
manabii na watu wote walimkamata wakisema, dhidi yao? Tunakaribia sana kujiletea
‘‘Ni lazima ufe! 9Kwa nini unatabiri katika jina la maangamizo ya kutisha sisi wenyewe!’’
BWANA kwamba nyumba hii itakuwa kama 20(Wakati huu, Uria mwana wa Shemaya
Shilo na mji huu utakuwa ukiwa na kuachwa kutoka mji wa Kiriath-Yearimu alikuwa mtu
tupu?’’ Nao watu wote wakamkusanyikia na mwingine aliyetoa unabii kwa jina la BWANA,
31
YEREMIA
alitoa unabii juu ya mambo yanayofanana na kutoka kwenye nchi yenu, nitawafukuzia mbali
haya dhidi ya mji huu na nchi hii kama nanyi mtaangamia. 11Lakini ikiwa taifa lo lote
alivyofanya Yeremia. 21Mfalme Yehoiakimu na litainama na kuweka shingo yake katika nira ya
wakuu wake wote na maafisa waliposikia mfalme wa Babeli na kumtumikia, nitaliacha taifa
maneno yake, mfalme alitafuta kumwua. Lakini hilo katika nchi yake yenyewe ili wailime na
Uria alipata habari na kwa kuogopa akakimbilia kuishi humo, asema BWANA.’’ ’
Misri. 22Hata hivyo, mfalme Yehoiakimu, 12Nilitoa ujumbe uo huo kwa Sedekia
alimtuma Elnatha mwana wa Akbori huko Misri, mfalme wa Yuda. Nilisema, “Ingiza shingo yako
pamoja na watu wengine ili kwenda kumkamata katika nira ya mfalme wa Babeli, mtumikie yeye
Uria. 23Wakamrudisha Uria kutoka Misri na na watu wake, nawe utaishi. 13Kwa nini wewe na
kumpeleka kwa mfalme Yehoiakimu, ambaye watu wako mfe kwa upanga, njaa na tauni
alimwuua kwa upanga na mwili wake kutupwa ambayo BWANA ameonya juu ya taifa lo lote
kwenye eneo la makaburi ya watu wasio na ambalo halitamtumikia mfalme wa Babeli?
cheo). 14Msiyasikilize maneno ya manabii
24Zaidi ya hayo, Ahikamu mwana wa wanaowaambia, ‘Hamtamtumikia mfalme wa
Shefani akamuunga mkono Yeremia, kwa hiyo Babeli,’ kwa sababu wanawatabiria uongo.
hakutiwa tena mikononi mwa watu ili auawe. 15‘Sikuwatuma hao,’ asema BWANA.
‘Wanatabiri uongo kwa jina langu. Kwa hiyo,
Yuda Kumtumikia Nebukadneza nitawafukuzia mbali nanyi mtaangamia, ninyi
neno hili lilimjia Yeremia kutoka kwa BWANA: wote hawa, “Hili ndilo asemalo BWANA:
2Hili ndilo BWANA aliloniambia: “Tengeneza nira Msiwasikilize manabii wanaosema, ‘Hivi karibuni
kutokana na kanda za ngozi uitie shingoni sana vyombo vya nyumba ya BWANA
mwako. 3Kisha utume ujumbe kwa wafalme wa vitarudishwa kutoka Babeli.’ Wanawatabiria ninyi
Edomu, Moabu, Amoni, Tiro na Sidoni kupitia uongo. 17Ninyi msiwasikilize. Mtumikieni mfalme
wajumbe ambao wamekuja Yerusalemu kwa wa Babeli nanyi mtaishi. Kwa nini mji huu uwe
Sedekia mfalme wa Yuda. 4Wape ujumbe kwa magofu? 18Kama wao ni manabii na wanalo
ajili ya mabwana zao na uwaambie, ‘Hili ndilo neno la BWANA, basi na wamsihi BWANA
asemalo BWANA Mwenye Nguvu, Mungu wa Mwenye Nguvu kwamba vyombo vilivyobaki
Israeli: “Waambieni hivi mabwana zenu: 5Kwa katika nyumba ya BWANA na katika jumba la
uwezo wangu mkuu na kwa mkono wangu kifalme la mfalme wa Yuda na katika
ulionyooshwa nimeumba dunia na watu wake na Yerusalemu visipelekwe Babeli. 19Kwa maana
wanyama walioko ndani yake, nami humpa ye hili ndilo asemalo BWANA kuhusu zile nguzo, ile
yote inipendezavyo. 6Sasa nitazitia nchi zenu Bahari, vile vishikizo viwezavyo kuhamishika,
zote mkononi mwa mtumishi wangu vinara na vyombo vingine vilivyoachwa katika
Nebukadneza mfalme wa Babeli, nitawafanya mji huu, 20ambavyo Nebukadneza mfalme wa
hata wanyama wa mwituni wamtumikie. 7Mataifa Babeli hakuvichukua wakati alipomchukua
yote yatamtumikia yeye pamoja na mwanawe na Yekonia mwana wa Yehoiakimu mfalme wa
mwana wa mwanawe hadi wakati wa nchi yake Yuda kwenda uhamishoni huko Babeli kutoka
utakapowadia, kisha mataifa mengi na wafalme Yerusalemu, pamoja na wakuu wote wa Yuda
wenye nguvu nyingi watamshinda. na Yerusalemu. 21Naam, hili ndilo BWANA
8‘ “Lakini kama kukiwa na taifa lo lote au Mwenye Nguvu, Mungu wa Israeli asemalo
ufalme ambao hautamtumikia Nebukadneza kuhusu vitu ambavyo vimebaki ndani ya nyumba
mfalme wa Babeli ama kuinamisha shingo yake ya BWANA na ndani ya jumba la kifalme la
chini ya nira yake, nitaliadhibu taifa hilo kwa mfalme wa Yuda na katika Yerusalemu:
upanga, njaa na tauni, asema BWANA, mpaka 22‘Vitachukuliwa kupelekwa Babeli, nako huko
nitakapoliangamiza taifa hilo kwa mkono wake. vitabaki mpaka siku nitakayovijilia,’ asema
9Kwa hiyo msiwasikilize manabiii wenu, waaguzi BWANA, ‘Kisha nitavirudisha na kuvirejesha
wenu, waota ndoto wenu, watabiri na wachawi tena mahali hapa.’ ’’
wanaowaambia ninyi, ‘Hamtamtumikia mfalme
wa Babeli.’ 10Wanawatabiria ninyi uongo
ambako kutawafanya ninyi mhamishwe mbali
32
YEREMIA
Hanania Nabii Wa Uongo wa mwituni.’ ’’
Katika mwezi wa tano wa mwaka ule 15Kisha nabii Yeremia akamwambia nabii
na mimi walitabiri vita, maafa na tauni dhidi ya 4Hili ndilo BWANA Mwenye Nguvu,
nchi nyingi na falme kubwa. 9Lakini nabii Mungu wa Israeli, awaambialo wale wote
atakayetabiri amani atatambuliwa kuwa kweli niliowapeleka kutoka Yerusalemu
ametumwa na BWANA ikiwa unabii wake kwenda uhamishoni Babeli: 5“Jengeni
utatimia.” nyumba na mstarehe, pandeni bustani na
10Kisha nabii Hanania akaiondoa nira mle mazao yake. 6Oeni wake na mzae wana
iliyokuwa shingoni mwa Yeremia na kuivunja, na binti, waozeni wana wenu wake nanyi
11naye akasema mbele ya watu wote, “Hili ndilo watoeni binti zenu waolewe, ili nao pia
asemalo BWANA: ‘Vivi hivi ndivyo wazae wana na binti. Ongezekeni idadi yenu
nitakavyoivunja nira ya Nebukadneza mfalme huko, wala msipungue. 7Pia tafuteni amani
wa Babeli kutoka kwenye shingo za mataifa na mafanikio ya mji ambamo nimewapeleka
katika muda huu wa miaka miwili.’ ’’ Kwa jambo uhamishoni. Mwombeni BWANA kwa ajili ya
hili, nabii Yeremia akaondoka zake. mji kwa sababu ukistawi, ninyi pia mtastawi.”
12Kitambo kidogo baada nabii Hanania 8Naam, hili ndilo BWANA Mwenye Nguvu,
kuivunja nira kutoka katika shingo ya nabii Mungu wa Israeli asemalo: “Msikubali
Yeremia, neno la BWANA likamjia Yeremia: manabii na wabashiri walioko miongoni
13“Nenda ukamwambie Hanania, ‘Hili ndilo mwenu wawadanganye. Msisikilize ndoto
asemalo BWANA: Umevunja nira ya mti, lakini ambazo mmewatia moyo kuota.
badala yake utapata nira ya chuma. 14Hili ndilo 9Wanawatabiria ninyi uongo kwa jina langu.
za mataifa haya yote ili kufanya yamtumikie sabini itakapotimia kwa ajili ya Babeli,
Nebukadneza mfalme wa Babeli, nao nitakuja kwenu na kutimiza ahadi yangu ya
watamtumikia. Nitampa kutawala hata wanyama rehema ya kuwarudisha mahali hapa. 11Kwa
33
YEREMIA
maana ninajua mipango niliyo nayo kwa ajili wamesema uongo, mambo ambayo
yenu,’’ asema BWANA. “Ni mipango ya sikuwaambia kuyafanya, nami ni shahidi wa
kuwafanikisha na wala si ya kuwadhuru, ni jambo hilo,’’ asema BWANA.
mipango ya kuwapa tumaini katika siku
zijazo. 12Kisha mtaniita na mtakuja na Ujumbe Kwa Shemaya
kuniomba, nami nitawasikiliza. 13Mtanitafuta 24Mwambie Shemaya Mnehelami, 25“Hili
na kuniona, mtakaponitafuta kwa moyo ndilo BWANA Mwenye Nguvu, Mungu wa Israeli,
wenu wote. 14Nitaonekana kwenu,” asema asemalo: Ulituma barua kwa jina lako
BWANA, “nami nitawarudisha watu wenu mwenyewe kwa watu wote wa Yerusalemu, kwa
waliotekwa. Nitawakusanya kutoka katika Sefania mwana wa kuhani Maaseya na kwa
mataifa yote na mahali pote nilipokuwa makuhani wengine wote. Ulimwambia Sefania,
nimewafukuzia, nami nitawarudisha mahali 26‘BWANA amekuweka wewe uwe kuhani
ambapo nilikuwa nimewatoa ili wachukuliwe badala ya Yehoiada uwe msimamizi wa nyumba
uhamishoni,” asema BWANA. 15Mnaweza ya BWANA, utamfunga mwendawazimu yeyote
mkasema, “BWANA ameinua manabii kwa anayejifanya nabii kwa mikatale na mnyororo wa
ajili yetu huku Babeli,” 16lakini hili ndilo shingoni. 27Kwa nini basi hukumkemea Yeremia
asemalo BWANA kuhusu mfalme aketiaye wa Anathothi, aliyejifanya kama nabii miongoni
kiti cha enzi cha Daudi na watu wakwenu mwenu? 28Ametutumia ujumbe huu huko Babeli:
wote wanaobaki katika mji huu, yaani nchi Mtakuwako huko muda mrefu. Kwa hiyo jengeni
yenu, watu ambao hawakwenda pamoja nyumba mkakae, pandeni mashamba na mle
nanyi uhamishoni, 17naam, hili ndilo mazao yake.’ ’’
asemalo BWANA Mwenye Nguvu: “Nitatuma 29Kuhani Sefania, hata hivyo, akamsomea
upanga, njaa na tauni dhidi yao nami nabii Yeremia ile barua. 30Ndipo neno la
nitawafanya kuwa kama tini dhaifu zile BWANA likamjia Yeremia: 31“Tuma ujumbe huu
ambazo ni mbaya sana zisizofaa kuliwa. kwa watu wote walio uhamishoni: ‘Hili ndilo
18Nitawafukuza kwa upanga, kwa njaa na BWANA asemalo kuhusu Shemaya Mnehelami:
kwa tauni nami nitawafanya kitu cha Kwa sababu Shemaya amewatabiria ninyi, hata
kuchukiza sana kwa falme zote za dunia na ingawa sikumtuma, naye amewafanya kuamini
kuwa kitu cha laana na cha kuogofya, cha uongo, 32hili ndilo BWANA asemalo: Hakika
dharau na kukemewa, miongoni mwa nitamwadhibu Shemaya Mnehelami pamoja na
mataifa yote nitakakowafukuzia. 19Kwa kuwa uzao wake. Hapatakuwa na ye yote atakayebaki
hawakuyasikiliza maneno yangu,’’ asema miongoni mwa watu hawa, wala hataona mema
BWANA, “maneno ambayo niliwatumia tena nitakayowatendea watu wangu, asema BWANA,
na tena kupitia watumishi wangu manabii. kwa sababu ametangaza uasi dhidi yangu.’ ’’
Wala ninyi watu wa uhamisho hamkusikiliza
pia,’’ asema BWANA. Kurudishwa kwa Israeli
30
20Kwa hiyo, sikieni neno la BWANA, Hili ndilo neno lililomjia Yeremia kutoka
enyi nyote mlio uhamishoni niliowapeleka kwa BWANA: 2“Hili ndilo asemalo
Babeli kutoka Yerusalemu. 21Hili ndilo BWANA, Mungu wa Israeli: ‘Andika katika kitabu
BWANA Mwenye Nguvu, Mungu wa Israeli maneno yote niliyonena na wewe. 3Siku
asemalo kuhusu Ahabu mwana wa Kolaia zinakuja,’ asema BWANA, ‘nitakapowaleta watu
na Sedekia mwana wa Maaseya, wangu Israeli na Yuda kutoka uhamishoni na
wanaowatabiria uongo kwa jina langu: kuwarudisha katika nchi niliyowapa baba zao ili
“Nitawatia mikononi mwa Nebukadneza kuimiliki,’ asema BWANA.’’
mfalme wa Babeli, naye atawaua mbele ya 4Haya ndiyo maneno BWANA aliyoyanena
macho yenu hasa. 22Kwa ajili yao, watu kuhusu Israeli na Yuda: 5“Hili ndilo asemalo
wote wa uhamisho kutoka Yuda walioko BWANA:
Babeli watatumia laani hii: ‘BWANA na
akutendee kama Sedekia na Ahabu, ambao “ ‘Vilio vya woga vinasikika,
mfalme wa Babeli aliwachoma kwa moto.’ hofu kuu wala si amani.
23Kwa kuwa wamefanya mambo maovu 6Ulizeni na mkaone:
kabisa katika Israeli, wamezini na wake za Je, mwanaume aweza kuzaa watoto?
majirani zao, tena kwa jina langu Kwa nini basi ninaona kila mwanaume
34
YEREMIA
mwenye nguvu na dhambi zako ni nyingi sana.
ameweka mikono yake tumboni kama 15Kwa nini unalia kwa ajili ya jeraha lako,
mwanamke aliye na utungu wa yale maumivu yako yasiyoponyeka?
kuzaa, Kwa sababu ya uovu wako mkubwa na
kila uso umegeuka rangi kabisa? dhambi zako nyingi
7Tazama jinsi ile siku itakavyokuwa ya nimekufanyia mambo haya.
kutisha!
Hakutakuwa na nyingine mfano wake. 16“‘Lakini watu wote wakuangamizao
Utakuwa wakati wa dhiki kwa Yakobo, wataangamizwa,
Lakini ataokolewa kutoka katika hiyo. adui zako wote watakwenda
uhamishoni.
8‘‘
‘Katika siku ile,’ asema BWANA Wale wote wakutekao nyara watatekwa
Mwenye Nguvu, nyara,
‘nitaivunja nira kutoka shingoni mwao wote wakufanyao mateka nitawafanya
na kuvipasua vifungo vyao, mateka.
wageni hawatawafanya tena watumwa. 17Lakini nitakurudishia afya yako
9Badala yake, watamtumikia BWANA, na kuyaponya majeraha yako,’
Mungu wao na Daudi mfalme wao, asema BWANA,
nitakayemwinua kwa ajili yao. ‘kwa sababu umeitwa mwenye kutupwa,
Sayuni ambaye hakuna ye yote
10“‘Hivyo usiogope, Ee Yakobo mtumishi anayekujali.’
wangu,
usifadhaike, Ee Israeli,’ 18“Hili ndilo asemalo BWANA:
asema BWANA.
Hakika, nitakuokoa wewe kutoka mahali pa “ ‘Nitarudisha baraka za mahema ya Yakobo
mbali, na kuhurumia maskani yake.
wazao wako kutoka nchi ya uhamisho Mji utajengwa tena juu ya magofu yake,
wao, nalo jumba la kifalme litasimama mahali
Yakobo atakuwa tena na amani na usalama, pake halisi.
wala hakuna atakayemtia hofu. 19Nyimbo za kushukuru zitatoka kwao
11Mimi niko pamoja nawe nami nitakuokoa,’ na sauti ya furaha,
asema BWANA. nitaiongeza idadi yao wala hawatapungua,
‘Ingawa nitayaangamiza kabisa mataifa yote nitawapa heshima na hawatadharauliwa.
ambamo miongoni mwao 20Watoto wao watakuwa kama walivyokuwa siku
nimewatawanya, za zamani,
sitawaangamiza ninyi kabisa. nayo jumuiya yao itaimarishwa mbele
Nitawaadhibu lakini kwa haki. yangu,
Sitawaacha kabisa bila adhabu. nitawaadhibu wale wote wawaoneao.
21Kiongozi wao atakuwa mmoja wao,
12“Hili ndilo asemalo BWANA: mtawala wao atainuka miongoni mwao.
Nitamleta karibu nami naye atanikaribia
‘ “Kidonda chako hakina dawa, mimi,
jeraha lako haliponyeki. kwa maana ni nani yule atakayejitolea
13Hakuna ye yote wa kukutetea shauri lako, kuwa karibu nami?’
hakuna dawa ya kidonda chako, asema BWANA.
wewe hutapona. 22“ ‘Kwa hiyo ninyi mtakuwa watu wangu,
14Wale walioungana nawe wote wamekusahau, nami nitakuwa Mungu wenu.’ ”
hawajali cho chote kukuhusu wewe.
Nimekupiga kama vile ambavyo adui 23Tazama, tufani ya BWANA
angelifanya italipuka kwa ghadhabu,
na kukuadhibu kama vile ambavyo mtu upepo wa kisulisuli uendao kasi
mkatili angelifanya, utashuka juu ya vichwa vya waovu.
kwa sababu hatia yako ni kubwa mno 24Hasira kali ya BWANA haitarudi nyuma
35
YEREMIA
mpaka atakapotimiza makusudi yote ya naye Efraimu ni mwanangu mzaliwa
moyo wake. wangu wa kwanza.
Siku zijazo
mtayaelewa haya. 10“Sikieni neno la BWANA, Enyi mataifa,
litangazeni katika nchi za pwani ya
Kurudi Kwa Watu Wa Uhamishoni Kwa mbali:
Shangwe ‘Yeye aliyewatawanya Israeli atawakusanya
31 “Wakati huo, nitakuwa Mungu wa koo
zote za Israeli nao watakuwa watu
na atalichunga kundi lake la kondoo
kama mchungaji.’
wangu.’’ asema BWANA. 11Kwa kuwa BWANA atamlipia fidia
2Hili ndilo asemalo BWANA: Yakobo
na kuwakomboa kutoka mkononi mwao
“Watu watakaopona upanga watapata walio na nguvu kuliko wao.
upendeleo jangwani, 12Watakuja na kupiga kelele kwa furaha
juu ya vilima vya Efraimu wakisema, nao watu wangu watajazwa kwa ukarimu
‘Njoni na twendeni juu Sayuni, wangu,’’
kwake BWANA, Mungu wetu.’ ’’ asema BWANA.
36
YEREMIA
‘Ulinirudi kama ndama mkaidi, ‘Baba wamekula zabibu chachu,
nami nimekubali kutii. nayo meno ya watoto yakatiwa ganzi.’
Unirudishe, nami nitarudi,
kwa sababu wewe ndiwe BWANA , 30Badala yake, kila mmoja atakufa kwa ajili ya
Mungu wangu. dhambi zake mwenyewe, ye yote alaye zabibu
19Baada ya kupotea, nilitubu, chachu, meno yake mwenyewe yatatiwa ganzi.
baada ya kuelewa, nilijipiga kifua.
Niliaibika na kuona haya 31“Wakati unakuja,” asema BWANA,
kwa sababu niliibeba aibu ya ujana “nitakapofanya agano jipya
wangu.’ na nyumba ya Israeli
20Je, Efraimu si mwanangu mpendwa, na nyumba ya Yuda.
mtoto ninayependezwa naye? 32Halitafanana na agano nililofanya na baba zao
Israeli,
21“Weka alama za barabara, baada ya wakati ule,” asema BWANA.
weka vibao vya kuelekeza. “Nitaweka sheria yangu ndani yao
Zingatia vema njia kuu, na kuiandika katika mioyo yao.
barabara ile unayoipita. Nitakuwa Mungu wao,
Rudi, Ee Bikira Israeli, nao watakuwa watu wangu.
rudi kwenye miji yako. 34Mtu hatamfundisha tena jirani yake,
22Utatangatanga hata lini, au mtu kumfundisha ndugu yake
Ee binti usiye mwaminifu? akisema, ‘Umjue BWANA
BWANA ameumba kitu kipya duniani, Mungu,’
mwanamke atamlinda mwanaume.’’ kwa sababu wote watanijua mimi,
kuanzia aliye mdogo kabisa kwao hata
23Hili ndilo BWANA Mwenye Nguvu, Mungu aliye mkuu sana,’’
wa Israeli asemalo, ‘‘Nitakapowarudisha toka asema BWANA.
nchi ya kutekwa kwenu, watu walio katika nchi “Kwa sababu nitausamehe uovu wao
ya Yuda na miji yake kwa mara nyingine tena na sitazikumbuka dhambi zao tena.’’
watatumia maneno haya: ‘BWANA akubariki, Ee
makao ya haki, Ee mlima mtakatifu.’ 24Watu 35Hili ndilo asemalo BWANA,
wataishi pamoja katika Yuda na miji yake yote,
wakulima na wote wanaohamahama na mifugo yeye aliyeweka jua liwake mchana,
yao. 25Nitawaburudisha waliochoka na yeye anayeamuru mwezi na nyota
kuwatuliza walio na huzuni.’’ kung’ara usiku,
26Kwa jambo hili niliamka na kuangalia yeye aichafuaye bahari
pande zote. Usingizi wangu ulikuwa mtamu ili mawimbi yake yangurume,
kwangu. BWANA Mwenye Nguvu ndilo jina
27‘‘BWANA asema, ‘‘Siku zinakuja, lake.
nitakapoongeza idadi ya watu na kuzidisha 36“Ni pale tu amri hizi zitakapoondoka machoni
37
YEREMIA
kupimika “Nilijua kwamba hili lilikuwa neno la
na misingi ya dunia chini ikaweza BWANA, 9hivyo nikalinunua shamba lile huko
kuchunguzwa Anathothi kutoka kwa binamu yangu Hanameli
ndipo nitakapowakataa wazao wote wa Israeli nami nikampimia shekeli kumi na saba a za
kwa sababu ya yote waliyoyatenda,’’ fedha. 10Nikatia sahihi na kuweka muhuri hati ya
asema BWANA. kumiliki, nikaweka mashahidi na kupima ile
fedha kwenye mizani. 11Nikachukua ile hati ya
38“Siku zinakuja,” asema BWANA, “wakati kununulia, nakala iliyotiwa muhuri yenye
mji huu utakapojengwa kwa upya kwa ajili yangu makubaliano na masharti, pia pamoja na ile
kuanzia mnara wa Hananeli hadi Lango la nakala isiyo na mhuri, 12nami nikampa Baruku
Pembeni. 39Kamba ya kupimia itaanzia hapo mwana wa Neria, mwana wa Maaseya, hati hii
kunyooka mpaka kwenye kilima cha Garebu na mbele ya binamu yangu Hanameli na mbele ya
kisha kugeuka kuelekea Goa. 40Bonde lote mashahidi waliokuwa wameweka sahihi kwenye
watupwapo maiti na majivu pia na matuta yote hati hii na mbele ya Wayahudi wote waliokuwa
kutoka Bonde la Kidroni upande wa mashariki wameketi katika ua wa walinzi.
mpaka kwenye pembe ya Lango la Farasi, 13Mbele yao, nilimpa Baruku maelezo hayo:
itakuwa takatifu kwa BWANA. Kamwe huu mji 14‘Hili ndilo asemalo BWANA Mwenye Nguvu,
hautang’olewa tena wala kubomolewa. Mungu wa Israeli: Chukua hati hizi, nakala zote
zenye mhuri na zisizo na mhuri za hati ya
Yeremia Anunua Shamba. kununulia na uziweke kwenye gudulia la udongo
Yerusalemu, naye nabii Yeremia alikuwa Neria hii hati ya kununulia, nilimwomba BWANA:
amezuiliwa katika ua wa walinzi katika jumba la
kifalme la Yuda. 17“Ee BWANA Mwenyezi, umeumba
3Basi Sedekia mfalme wa Yuda alikuwa mbingu na nchi kwa uwezo wako mkuu na
amemfunga huko akisema, “kwa nini unatabiri kwa mkono ulionyooshwa. Hakuna jambo
hivyo? Wewe unasema, ‘hili ndilo asemalo lililo gumu usiloliweza. 18Huonyesha upendo
BWANA: Ninakaribia kuutia mji huu mkononi kwa maelfu lakini huleta adhabu kwa ajili ya
mwa mfalme wa Babeli, naye atauteka. dhambi za baba mapajani mwa watoto wao
4Sedekia mfalme wa Yuda hataweza kuponyoka baada yao. Ee Mungu mkuu na mwenye
mikononi mwa Wakaldayo lakini kwa hakika uweza ambaye jina lako ni BWANA Mwenye
atatiwa mikononi mwa mfalme wa Babeli, naye Nguvu, 19makusudi yako ni makuu na
atazungumza naye ana kwa ana na kumwona matendo yako ni yenye uwezo. Macho yako
kwa macho yake mwenyewe. 5Atamchukua yanaona njia zote za wanadamu, nawe
Sedekia hadi Babeli, mahali atakapoishi mpaka humlipa kila mmoja kulingana na mwenendo
nitakapomshughulikia, asema BWANA. Kama wake na kama yanayostahili matendo yake.
utapigana dhidi ya Wakaldayo, hutashinda.’ ” 20Ulitenda ishara za miujiza na maajabu
6Yeremia akasema, “Neno la BWANA lilinijia huko Misri na umeyaendeleza mpaka leo,
kusema: 7Hanameli mwana wa Shalumu mwana katika Israeli na miongoni mwa wanadamu
wa ndugu wa baba yako atakuja kwako na wote, nawe umejulikana na kufahamika
kusema, ‘Nunua shamba langu huko Anathothi, hivyo mpaka leo. 21Uliwatoa watu wako
kwa sababu kama jamaa ya karibu ni Israeli kutoka Misri kwa ishara na maajabu,
haki na wajibu wako kulinunua.’ kwa mkono wenye nguvu na ulionyooshwa
8“Kisha, kama BWANA alivyosema, binamu na kwa matisho makuu. 22Uliwapa nchi hii
yangu Hanameli alinijia katika ua wa walinzi na uliyokuwa umeapa kuwapa baba zao, nchi
kusema: ‘Nunua shamba langu lililoko Anathothi ijaayo maziwa na asali. 23Wakaingia
katika nchi ya Benyamini. Kwa kuwa ni haki
yako kulikomboa na kulimiliki, ujinunulie.’
a9 Shekeli kumi na saba za fedha ni sawa na gramu 200
38
YEREMIA
nakuimiliki, lakini hawakukutii wala kuifuata 36Mnasema kuhusu mji huu, ‘Kwa upanga,
sheria yako, hawakufanya kile njaa na tauni mji utatiwa mkononi mwa mfalme
ulichowaamuru kufanya. Hivyo ukaleta wa Babeli,’ lakini hili ndilo BWANA, Mungu wa
maafa haya yote juu yao. Israeli asemalo: 37Hakika nitawakusanya kutoka
24“Tazama jinsi ambavyo katika nchi zote nilizowafukuzia katika hasira
tumezungukwa na jeshi ili kuuteka huu mji. yangu kali na ghadhabu yangu kuu,
Kwa sababu ya upanga, njaa na tauni, mji nitawarudisha mahali hapa na kuwaruhusu
utatiwa mikononi mwa Wakaldayo ambao waishi kwa salama. 38Watakuwa watu wangu,
wanaushambulia. Ulilosema limetokea kama nami nitakuwa Mungu wao. 39Nitawapa moyo
vile unavyoona sasa. 25Ingawa mji utatiwa mmoja na kutenda pamoja, ili kwamba waniche
mikononi mwa Wakaldayo, Wewe, Ee daima kwa mema yao wenyewe na kwa mema
BWANA Mwenyezi, uliniambia, ‘Nunua ya watoto wao baada yao. 40Nitafanya nao
shamba kwa fedha na jambo hilo agano la milele: Kamwe sitaacha kuwatendea
lishuhudiwe.’ ” mema, nami nitawavuvia kunicha mimi, ili
kwamba kamwe wasigeukie mbali nami.
26Ndipo neno la BWANA likamjia Yeremia 41Nitafurahia kuwatendea mema na kwa hakika
kusema: 27“Mimi ndimi BWANA, Mungu wa wote nitawapanda katika nchi hii kwa moyo wangu
wenye mwili, Je, kuna jambo lo lote lililo gumu wote na roho yangu yote.
nisiloliweza? 28Kwa hiyo, hili ndilo asemalo 42“Hili ndilo asemalo BWANA: Kama
BWANA: ‘Ninakaribia kuutia mji huu mikononi nilivyoleta maafa haya makubwa kwa watu
mwa Wakaldayo na mwa Nebukadneza mfalme hawa, ndivyo nitakavyowapa mafanikio
wa Babeli ambaye atauteka. 29Wakaldayo niliyowaahidi. 43Kwa mara nyingine tena
ambao wanaushambulia mji huu watakuja na mashamba yatanunuliwa katika nchi hii ambayo
kuuchoma moto na kuuteketeza, pamoja na mlisema, ‘Imekuwa ukiwa, isiyofaa, isiyo na watu
nyumba ambamo ndani yake watu wala wanyama, kwa sababu imetiwa mkononi
wamenikasirisha kwa kumfukizia Baali uvumba mwa Wakaldayo.’ 44Mashamba yatanunuliwa wa
katika mapaa na kumimina sadaka ya kinywaji fedha na hati zitatiwa sahihi, zitatiwa muhuri na
kwa miungu mingine. kushuhudiwa katika nchi ya Benyamini katika
30“Watu wa Israeli na wa Yuda hawakufanya vijiji vinavyoizunguka Yerusalemu, katika miji ya
kitu kingine cho chote ila uovu mbele zangu Yuda na katika miji ya nchi ya vilima, sehemu ya
tangu ujana wao, naam, watu wa Israeli magharibi katika miji ya tambarare na katika
hawakufanya kitu kingine cho chote ila Negebu, kwa sababu nitarudisha tena b
kunikasirisha kwa kazi ambazo mikono yao mafanikio yao, asema BWANA.”
imetengeneza, asema BWANA. 31Tangu siku
ulipojengwa hadi sasa, mji huu umenikasirisha Ahadi ya Kurudishwa
33
na kunighadhibisha kiasi kwamba ni lazima Wakati Yeremia alipokuwa angali
niuondoe machoni pangu. 32Watu wa Israeli na amefungwa kwenye ua wa walinzi,
wa Yuda wamenikasirisha kwa uovu wote neno la BWANA lilimjia mara ya pili kusema:
waliofanya, wao, wafalme wao na maafisa wao, 2Hili ndilo BWANA asemalo, yeye aliyeumba
makuhani wao na manabii wao, watu wa Yuda dunia, BWANA aliyeifanya na kuithibitisha,
na wakazi wa Yerusalemu. 33Walinigeuzia BWANA ndilo jina lake: 3‘Niite nami nitakuitika
visogo vyao, wala si nyuso zao, ingawa na kukuambia mambo makuu na
niliwafundisha tena na tena, hawakupenda yasiyochunguzika usiyoyajua.’ 4Kwa maana hili
kusikiliza wala kuitikia marudi. 34Waliweka ndilo BWANA, Mungu wa Israeli, asemalo
miungu yao ya kuchukiza sana katika nyumba kuhusu nyumba katika mji huu na majumba ya
iitwayo kwa Jina langu na kuinajisi. 35Wakajenga kifalme ya Yuda yaliyobomolewa yatumiwe dhidi
mahali pa juu pa kuabudia miungu kwa ajili ya ya kule kuzungukwa na jeshi na upanga 5katika
Baali katika bonde la Ben-Hinomu ambapo kupigana na Wakaldayo: ‘Zitajazwa na maiti za
walitoa wana wao na binti zao kafara kwa watu nitakaowachinja katika hasira na ghadhabu
Moleki, ingawa kamwe sikuamuru, wala
halikuingia akilini mwangu, kwamba watafanya
chukizo kama hilo na kumfanya Yuda atende b44 “Nitarudisha tena mafanikio yao” au “nitawarudisha tena
dhambi. kutoka utumwani.”
39
YEREMIA
yangu. Nitauficha uso wangu kwa sababu ya katika nchi.
maovu yake yote. 16Katika siku hizo, Yuda ataokolewa
6“ ‘Hata hivyo, nitauletea afya na uponyaji, na Yerusalemu ataishi salama.
nitawaponya watu wangu na kuwafanya Hili ndilo jina atakaloitwa:
wafurahie amani tele na salama. 7Nitawarudisha BWANA Ndiye Haki Yetu.’
Yuda na Israeli kutoka katika nchi ya kutekwa
kwao na kuwajenga tena kama walivyokuwa 17Kwa maana hili ndilo asemalo BWANA: ‘Daudi
hapo awali. 8Nitawatakasa dhambi zote kamwe hatakosa mtu wa kukalia kiti cha enzi
walizofanya dhidi yangu na nitawasamehe cha nyumba ya Israeli, 18wala hata makuhani,
dhambi zote za uasi dhidi yangu. 9Kisha mji huu ambao ni Walawi, kamwe hawatakosa mtu wa
utaniletea utukufu, furaha, sifa na heshima kusimama mbele zangu daima ili kutoa sadaka
mbele ya mataifa yote ya dunia yatakayosikia za kuteketezwa, ili kuteketeza sadaka ya nafaka
juu ya mambo yote mazuri ninayoufanyia, nao na kutoa dhabihu.’ ’’
watashangaa na kutetemeka kwa ajili ya wingi 19Neno la BWANA likamjia Yeremia
wa mafanikio na amani nitakayoupatia.’ kusema: 20“Hili ndilo asemalo BWANA: ‘Ikiwa
10Hili ndilo asemalo BWANA: ‘Mnasema mtaweza kuvunja agano langu kuhusu mchana
kuhusu mahali hapa kwamba, “Ni mahali na usiku, ili mchana na usiku visiwepo kwa
palipoachwa ukiwa, pasipo na wanadamu wala nyakati zake, 21basi agano langu na Daudi
wanyama.’’ Lakini katika miji ya Yuda na mtumishi wangu na agano langu na Walawi
barabara za Yerusalemu ambazo zimeachwa, ambao ni makuhani wanaohudumu mbele
ambazo hazikaliwi na wanadamu wala zangu, linaweza kuvunjwa na Daudi hatakuwa
wanyama, huko kutasikika kwa mara nyingine tena na mzao wa kutawala katika kiti chake cha
11sauti za shangwe na furaha, sauti za bibi na enzi. 22Nitawafanya wazao wa Daudi mtumishi
BWANA arusi na sauti za wale waletao sadaka wangu na Walawi wanaohudumu mbele zangu
za shukrani katika nyumba ya BWANA, wasioweza kuhesabika kama nyota za angani,
wakisema, tena wasiopimika kama mchanga wa ufuoni
mwa bahari.’ ’’
“Mshukuruni BWANA Mwenye Nguvu, 23Neno la BWANA likamjia Yeremia
kwa maana BWANA ni mwema, kusema: 24“Je, hujasikia kwamba watu hawa
upendo wake wadumu milele.’’ wanasema, ‘BWANA amezikataa zile falme mbili
alizozichagua?’ Kwa hiyo wamewadharau watu
Kwa kuwa nitairudishia nchi baraka kama wangu na hawawaoni tena kama taifa. 25Hili
zilivyokuwa hapo awali,’ asema BWANA. ndilo asemalo BWANA: ‘Kama sijathibitisha
12“Hili ndilo asemalo BWANA Mwenye agano langu na mchana na usiku na kuzisimika
Nguvu: ‘Mahali hapa, ambapo ni ukiwa na sheria za mbingu na nchi, 26basi nitawakataa
pasipo wanadamu wala wanyama, katika miji wazao wa Yakobo na Daudi mtumishi wangu na
yake, patakuwepo tena malisho kwa ajili ya sitachagua mmoja wa wanaye kutawala juu ya
wachungaji kupumzisha makundi yao ya kondoo wazao wa Abrahamu, Isaki na Yakobo. Kwa
na mbuzi. 13Katika miji ya nchi ya vilima, ya maana nitawarudisha kutoka kwenye nchi ya
vilima vya magharibi na ya Negebu, katika nchi kutekwa kwao na kuwaonea huruma.’ ’’
ya Benyamini, katika vijiji vinavyoizunguka
Yerusalemu na katika miji ya Yuda, makundi ya Onyo Kwa Sedekia
kondoo na mbuzi yatapita tena chini ya mkono
wa yeye ayahesabuye,’ asema BWANA.
14“ ‘Siku zinakuja,’ asema BWANA, ‘wakati
34 Wakati Nebukadneza mfalme wa Babeli
na jeshi lake lote pamoja na falme zote
na mataifa katika himaya aliyotawala
nitakapotimiza ahadi yangu ya rehema walipokuwa wakipigana dhidi ya Yerusalemu
niliyoifanya kwa nyumba ya Israeli na kwa pamoja na miji yote inayoizunguka, neno hili
nyumba ya Yuda. lilimjia Yeremia kutoka kwa BWANA: 2“Hili ndilo
asemalo BWANA, Mungu wa Israeli, kusema:
15“ ‘Katika siku hizo na wakati huo Nenda kwa Sedekia, mfalme wa Yuda na
nitalifanya Tawi la haki lichipuke umwambie, ‘Hili ndilo asemalo BWANA:
kutoka ukoo wa Daudi, Ninakaribia kuutia mji huu mikononi mwa
naye atafanya lile lililo haki na sawa mfalme wa Babeli naye atauteketeza kwa moto.
40
YEREMIA
3Hutaweza kuepuka mkono wake bali hakika langu. 16Lakini sasa mmegeuka na kulinajisi jina
utatekwa na kukabidhiwa kwake. Utamwona langu, kila mmoja wenu amemrudisha mtumwa
mfalme wa Babeli kwa macho yako mwenyewe wa kiume na wa kike ambao mlikuwa
naye atazungumza nawe uso kwa uso. Nawe mmewaacha huru waende zao walikotaka.
utakwenda Babeli. Mmewalazimisha kuwa watumwa wenu tena.
4“ ‘Lakini sikia ahadi ya BWANA, Ee Sedekia 17“Kwa hiyo, hili ndilo asemalo BWANA,
mfalme wa Yuda. Hili ndilo asemalo BWANA hamkunitii mimi, hamkutangaza uhuru kwa ajili
kukuhusu: Hutakufa kwa upanga, 5utakufa kwa ya watu wa kwenu. Hivyo sasa, ninawatangazia
amani. Kama vile watu walivyowasha moto wa ninyi ‘uhuru,’ asema BWANA, ‘uhuru’ ili
maziko kwa heshima ya baba zako, wafalme kuanguka kwa upanga, tauni na njaa.
waliokutangulia, ndivyo watu watakavyowasha Nitawafanya muwe chukizo kwa falme zote za
moto kwa heshima yako na kuomboleza, dunia. 18Watu waliovunja agano langu na ambao
wakisema: “Ole, Ee BWANA!” Mimi mwenyewe hawakutunza masharti ya agano walilofanya
ninaweka ahadi hii, asema BWANA.’ ’’ mbele zangu, nitawafanya kama ndama
6Ndipo nabii Yeremia akamwambia Sedekia waliyemkata vipande viwili kisha kutembea kati
mfalme wa Yuda mambo haya yote huko ya vile vipande vya huyo ndama. 19Viongozi wa
Yerusalemu, 7wakati jeshi la mfalme wa Babeli Yuda na Yerusalemu, maafisa wa mahakama,
lilipokuwa likipigana dhidi ya Yerusalemu na miji makuhani na watu wote wa nchi waliopita kati ya
mingine ya Yuda ambayo bado ilikuwa imara vile vipande vya ndama, 20nitawatia mkononi
yaani Lakishi na Azeka. Hii ilikuwa ndiyo miji mwa adui zao wanaotafuta uhai wao. Maiti zao
pekee yenye ngome iliyobaki katika Yuda. zitakuwa chakula cha ndege wa angani na
wanyama wa nchi.
Uhuru Kwa Watumwa 21“Nitamtia Sedekia mfalme wa Yuda na
8Hili ndilo neno lililomjia Yeremia kutoka kwa maafisa wake mikononi mwa adui zao
BWANA baada ya mfalme Sedekia kufanya wanaotafuta uhai wao, kwa jeshi la mfalme wa
agano na watu wote huko Yerusalemu Babeli, lililokuwa limeondoka kwenu. 22Nitatoa
kutangaza uhuru kwa watumwa. 9Kila mmoja amri, asema BWANA, nami nitawarudisha tena
alipaswa kuwaacha huru watumwa wake wa katika mji huu. Watapigana dhidi yake,
Kiebrania wanawake na wanaume, hakuna mtu watautwaa na kuuteketeza kwa moto. Nami
ye yote aliyeruhusiwa kumshikilia Myahudi nitaiangamiza miji ya Yuda hivyo pasiwe na ye
mwenzake kama mtumwa. 10Kwa hiyo maafisa yote atakayeweza kuishi humo.’’
wote na watu walioingia katika agano hili
wakakubali kwamba watawaacha huru watumwa Warekabi Wasifiwa
wao wa kiume na wa kike na hawatawashikilia Hili ndilo neno lililomjia Yeremia kutoka
tena kama watumwa. Wakakubali na 35 kwa BWANA wakati wa utawala wa
wakawaacha huru. 11Lakini baadaye wakabadili Yehoyakimu mwana wa Yosia mfalme wa Yuda:
mawazo yao na kuwarudisha wale watumwa 2“Nenda kwa jamaa ya Warekabi na uwaalike
waliokuwa wamewaacha huru na kuwafanya waje kwenye moja ya vyumba vya pembeni vya
tena watumwa. nyumba ya BWANA na uwape divai wanywe.”
12Ndipo neno la BWANA likamjia Yeremia 3Basi nikaenda kumwita Yaazania mwana
kusema: 13“Hili ndilo asemalo BWANA, Mungu wa Yeremia, mwana wa Habazinia, ndugu zake
wa Israeli: Nilifanya agano na baba zenu na wanawe wote, yaani jamaa nzima ya
nilipowatoa Misri, kutoka nchi ya utumwa. Warekabi. 4Nikawaleta katika nyumba ya
Nikasema, 14‘Kila mwaka wa saba kila mmoja BWANA, ndani ya chumba cha wana wa Hanani
wenu ni lazima amwache huru mtumwa ambaye mwana wa Igdalia mtu wa Mungu. Kilikuwa
ni Mwebrania mwenzenu aliyejiuza mwenyewe karibu na chumba cha maafisa, ambacho
kwenu. Baada ya kukutumikia kwa miaka sita, ni kilikuwa juu ya kile cha Maaseya mwana wa
lazima umwache huru aende zake.’ Hata hivyo Shalumu aliyekuwa bawabu. 5Kisha nikaweka
baba zenu hawakunisikiliza wala kunijali. 15Hivi mabakuli yaliyojaa divai na baadhi ya vikombe
karibuni tu mlitubu na kufanya yaliyo sawa mbele ya watu wa jamaa ya Warekabi na
machoni pangu: Kila mmoja wenu aliwatangazia kuwaambia, “Kunyweni divai.’’
uhuru Waebrania wake. Hata mlifanya agano 6Lakini wao wakajibu, ‘‘Sisi hatunywi divai,
mbele zangu ndani ya nyumba iitwayo kwa Jina kwa sababu baba yetu Yonadabu mwana wa
41
YEREMIA
Rekabu, alitupa agizo hili: ‘Ninyi wala wazao 19Kwa hiyo, hili ndilo BWANA Mwenye Nguvu,
wenu kamwe msinywe divai. 7Pia msijenge Mungu wa Israeli asemalo: ‘Yonadabu mwana
nyumba kamwe, wala kuotesha mbegu au wa Rekabu hatakosa kamwe kumpata mtu wa
kupanda mashamba ya mizabibu, kamwe msiwe kunitumikia mimi.’ ”
na kitu cho chote katika hivi, lakini siku zote
lazima muishi kwenye mahema. Ndipo Yehoyakimu Achoma Kitabu Cha Yeremia
mtakapoishi kwa muda mrefu katika nchi
ambayo ninyi ni wahamaji.’ 8Tumetii kila kitu 36 Katika mwaka wa nne wa Yehoyakimu
mwana wa Yosia mfalme wa Yuda,
ambacho baba yetu Yonadabu, mwana wa neno hili lilimjia nabii Yeremia kutoka kwa
Rekabu, alichotuamuru. Sisi wenyewe wala BWANA kusema: 2“Chukua kitabu na uandike
wake zetu wala wana wetu na binti zetu kamwe ndani yake maneno yote niliyonena nawe
hatujanywa divai 9wala kujenga nyumba za kuhusu Israeli, Yuda na mataifa mengine yote
kuishi au kuwa na mashamba ya mizabibu, tangu nilipoanza kunena nawe wakati wa
mashamba au mazao. 10Tumeishi katika utawala wa Yosia hadi sasa. 3Labda watu wa
mahema na tumetii kikamilifu kila kitu Yuda watakaposikia juu ya kila maafa
alichotuamuru baba yetu Yonadabu. 11Lakini ninayokusudia kuwapiga nayo kila mmoja wao
wakati Nebukadneza mfalme wa Babeli atageuka kutoka katika njia zake mbaya, kisha
alipoivamia nchi hii, tulisema, ‘Njoni, ni lazima nitasamehe uovu wao na dhambi yao.”
twende Yerusalemu ili kukimbia majeshi ya 4Hivyo Yeremia akamwita Baruku mwana
Wakaldayo na ya Washami.’ Kwa hiyo tumeishi wa Neria, naye Yeremia alipokuwa akiyakariri
Yerusalemu.’’ maneno yote aliyoyasema BWANA, Baruku
12Ndipo neno la BWANA likamjia Yeremia akayaandika katika kitabu. 5Kisha Yeremia
kusema: 13“Hili ndilo BWANA Mwenye Nguvu, akamwambia Baruku, “Nimezuiliwa, mimi siwezi
aliye Mungu wa Israeli, asemalo: Nenda kuingia katika hekalu la BWANA. 6Basi wewe
ukawaambie watu wa Yuda na watu wa nenda katika nyumba ya BWANA siku ya
Yerusalemu, ‘Je, hamwezi kujifunza kutoka kwa kufunga na uwasomee watu maneno ya BWANA
wana wa Rekabu na kuyatii maneno yangu?’ kutoka katika kitabu hiki yale uliyoyaandika
asema BWANA. 14‘Yonadabu mwana wa Rekabi kutoka kinywani mwangu. Wasomee watu wote
aliwaagiza wanawe wasinywe divai na agizo hilo wa Yuda waliofika kutoka kwenye miji yao.
wamelishika mpaka leo hawanywi divai kwa 7Labda wataomba dua zao mbele za BWANA,
sababu wanatii amri ya baba yao. Lakini na kila mmoja atageuka kutoka katika njia zake
nimenena nanyi tena na tena, lakini hamkunitii mbaya, kwa sababu hasira na ghadhabu
mimi. 15Tena na tena nimewatuma watumishi zilizotamkwa dhidi ya watu hawa na BWANA ni
wangu wote manabii kwenu. Wakasema, “Kila kubwa.”
mmoja wenu ni lazima ageuke na kuacha njia 8Baruku mwana wa Neria akafanya kila kitu
zake mbaya na kuyatengeneza matendo yake, nabii Yeremia alichomwambia kufanya, katika
msifuate miungu mingine ili kuitumikia. Ndipo hekalu la BWANA alisoma maneno ya BWANA
mtakapoishi katika nchi niliyowapa ninyi na baba kutoka katika kile kitabu. 9Katika mwezi wa tisa
zenu.” Lakini hamkujali wala kunisikiliza. mwaka wa tano wa Yehoyakimu mwana wa
16Wazao wa Yonadabu mwana wa Rekabu Yosia mfalme wa Yuda, wakati wa kufunga
walitimiza amri ambayo baba yao aliwapa, lakini mbele za BWANA ilitangazwa kwa watu wote
watu hawa hawakunitii mimi. walioko Yerusalemu na wale wote waliokuwa
17“Kwa hiyo, hili ndilo BWANA Mwenye wamekuja kutoka miji ya Yuda. 10Kutoka katika
Nguvu, Mungu wa Israeli asemalo: ‘Sikilizeni! chumba cha Gemaria mwana wa Shafani
Nitaleta juu ya Yuda na juu ya kila mmoja mwandishi, kilichokuwa katika ua wa juu kwenye
aishiye Yerusalemu kila aina ya maafa ingilio la Lango Jipya la hekalu, Baruku
niliyotamka dhidi yao. Nilinena nao, lakini akawasomea watu wote waliokuwa katika
hawakusikiliza, niliwaita, lakini hawakujibu.’ ’’ hekalu la BWANA maneno ya Yeremia kutoka
18Kisha Yeremia akaiambia jamaa ya kwenye kile kitabu.
Warekabu, hili ndilo asemalo BWANA Mwenye 11Basi Mikaya mwana wa Gemaria, mwana
Nguvu, Mungu wa Israeli: ‘Mmetii amri ya baba wa Shafani, aliposikia maneno yote ya BWANA
yenu Yonadabu na mmefuata mafundisho yake kutoka kwenye kile kitabu, 12alishuka kwenye
yote na mmefanya kila kitu alichowaamuru.’ chumba cha mwandishi kwenye jumba la
42
YEREMIA
kifalme, mahali walipokuwa wameketi maafisa amewaficha.
wote, yaani: Elishama mwandishi, Delaya 27Baada ya mfalme kuchoma kile kitabu
ambacho alikuwa amesikia Baruku akiwasomea maneno yote yaliyokuwa katika kile kitabu cha
watu kutoka kwenye kile kitabu, 14maafisa wote kwanza, ambacho Yehoyakimu mfalme wa Yuda
wakamtuma Yehudi mwana wa Nethania, amekiteketeza kwa moto. 29Mwambie pia
mwana wa Shelemia, mwana wa Kushi, Yehoyakimu mfalme wa Yuda, hili ndilo asemalo
kumwambia Baruku, “Leta hicho kitabu ambacho BWANA: ‘ukiteketeza kile kitabu ukasema, ‘‘Kwa
umewasomea watu nawe mwenyewe uje.’’ nini uliandika kwenye kitabu kwamba kwa hakika
Ndipo Baruku mwana wa Neria akawaendea mfalme wa Babeli angekuja na kuangamiza nchi
akiwa na hicho kitabu mkononi mwake. hii na kuwakatilia mbali watu na wanyama
15Wakamwambia, “Tafadhali, keti na utusomee kutoka huko? 30Kwa hiyo, hili ndilo asemalo
hicho kitabu.” BWANA kuhusu Yehoyakimu mfalme wa Yuda:
Ndipo Baruku akawasomea kile kitabu. Hapatakuwa na mtu ye yote atakayekalia kiti cha
16Walipoyasikia maneno haya yote, enzi cha Daudi, maiti yake itatupwa nje kwenye
wakatazamana wao kwa wao kwa woga na joto wakati wa mchana na kupigwa na baridi
kumwambia Baruku, “Ni lazima tutoe taarifa ya wakati wa usiku. 31Nitamwadhibu yeye, watoto
maneno haya yote kwa mfalme.’’ 17Kisha wake na watumishi wake kwa ajili ya uovu wao,
wakamwuliza Baruku, “Tuambie, uliandikaje nitaleta juu yao na wote waishio Yerusalemu na
haya yote? Je, yalitoka kinywani mwa Yeremia?” watu wa Yuda kila maafa niliyoyasema dhidi
18Baruku akajibu, “Ndiyo, maneno haya yote yao, kwa sababu hawajasikiliza.’ ’’
yalitoka kinywani mwake, nami nikayaandika 32Kisha Yeremia akachukua kitabu kingine
kwa wino katika hiki kitabu.” na kumpa mwandishi Baruku mwana wa Neria,
19Ndipo wale maafisa wakamwambia naye kama Yeremia alivyosema, Baruku
Baruku, “Wewe na Yeremia nendeni mkajifiche. akaandika juu yake maneno yote ya kile kitabu
Mtu ye yote asijue mahali mlipo.’’ ambacho Yehoyakimu mfalme wa Yuda alikuwa
20Baada ya kuhifadhi kile kitabu ndani ya amekichoma moto na maneno mengine mengi
chumba cha Elishama mwandishi, yanayofanana na hayo yaliongezwa.
wakamwendea mfalme katika ua wa nje na
kumwarifu kila kitu. 21Mfalme akamtuma Yehudi Yeremia Gerezani
akachukue kile kitabu na Yehudi akakileta hicho Sedekia mwana wa Yosia akafanywa
kitabu kutoka kwenye chumba cha Elishama 37 kuwa mfalme wa Yuda na
mwandishi na akakisoma mbele ya mfalme na Nebukadneza mfalme wa Babeli, akatawala
maafisa wakiwa wamesimama kando ya mahali pa Yehoyakini mwana wa Yehoyakimu.
mfalme. 22Ulikuwa mwezi wa tisa na mfalme 2Lakini si Sedekia wala watumishi wake wala
alikuwa ameketi chumba cha wakati wa baridi watu wa nchi waliosikiliza maneno ya BWANA
akiota moto. 23Hata ikawa kila wakati Yehudi aliyonena kupitia kwa nabii Yeremia.
alipomaliza kusoma kurasa tatu au nne za hicho 3Hata hivyo, mfalme Sedekia, akamtuma
kitabu, mfalme alizikata kwa kisu cha mwandishi Yehuka mwana wa Shelemia pamoja na kuhani
na kuzitupia motoni hadi kitabu chote Sefania mwana wa Maaseya kwa nabii Yeremia
kikateketea. 24Mfalme na watumishi wake wote wakiwa na ujumbe huu: ‘‘Tafadhali utuombee
waliosikia yote yaliyosomwa hawakuonyesha kwa BWANA, Mungu wetu.’’
hofu yo yote wala hawakuyararua mavazi yao. 4Wakati huu Yeremia alikuwa huru kuingia
25Hata ingawa Elnathani, Delaya na Gemaria na kutoka katikati ya watu, kwa sababu alikuwa
walimsihi mfalme asikichome kile kitabu lakini hajawekwa gerezani bado. 5Jeshi la Farao
hakuwasikiliza. 26Badala yake, mfalme lilikuwa limetoka Misri, nao Wakaldayo ambao
akamwamuru Yerzameeli, mwana wa mfalme, walikuwa wameuzunguka Yerusalemu kwa
Seraya mwana wa Azrieli na Shelemia mwana majeshi waliposikia taarifa kuhusu jeshi hilo
wa Abdeeli kuwakamata mwandishi Baruku na walijiondoa Yerusalemu.
nabii Yeremia. Lakini BWANA alikuwa 6Ndipo neno la BWANA likamjia nabii
43
YEREMIA
Yeremia kusema: 7‘‘Hilindilo asemalo BWANA, mkate kutoka mitaa ya waokaji kila siku mpaka
Mungu wa Israeli: Mwambie mfalme wa Yuda mikate yote katika mji itakapokwisha. Kwa hiyo
aliyekutuma uniulize mimi, ‘jeshi la Farao Yeremia akabaki katika ua wa walinzi.
lililotoka kuja kukusaidia litarudi katika nchi yake
yenyewe, yaani Misri. 8Kisha Wakaldayo Yeremia Atupwa Kwenye Kisima
watarudi na kushambulia mji huu, watauteka na Shefatia mwana wa Matani, Gedalia
kuuchoma moto.’
9Hili ndilo BWANA asemalo: Msijidanganye
38 mwana wa Pashuri, Yehukali mwana wa
Shelemia na Pashuri mwana wa Malkiya
wenyewe mkifikiri kwamba, ‘Hakika Wakaldayo wakasikia kile Yeremia alichokuwa akiwaambia
hawatatushambulia.’ Hakika watu wote wakati aliposema, 2“Hili ndilo asemalo
hawatawashambulia! 10Hata kama BWANA: ‘Ye yote akaaye ndani ya mji huu
mngelilishinda jeshi lote la Wakaldayo atakufa kwa upanga, njaa au tauni, lakini ye yote
linalowashambulia ninyi na wakawa ni watu atakayejisalimisha kwa Wakaldayo ataishi.
waliojeruhiwa tu waliobaki kwenye mahema yao, Atakayeyatoa maisha yake kama nyara, ataishi.’
wangetoka na kuuchoma mji huu moto.’’ 3Tena hili ndilo asemalo BWANA: ‘Mji huu kwa
11Baada ya jeshi la Wakaldayo kujiondoa hakika utatiwa mikononi mwa jeshi la mfalme wa
kutoka Yerusalemu kwa sababu ya jeshi la Babeli, ambaye atauteka.’ ’’
Farao, 12Yeremia akaanza kuondoka mjini ili 4Ndipo maafisa wakamwambia mfalme, “Mtu
kwenda kwenye nchi ya Benyamini ili akapate huyu imempasa kuuawa. Anawakatisha tamaa
sehemu yake ya milki miongoni mwa watu huko. askari waliobaki katika mji huu, vivyo hivyo na
13Lakini alipofika kwenye Lango la Benyamini, watu wote pia, kwa ajili ya mambo
mkuu wa walinzi, ambaye jina lake lilikuwa Iriya anayowaambia. Mtu huyu hawatafutii mema
mwana wa Shelemia, mwana wa Hanania, watu hawa bali maangamizi yao.’’
akamkamata na kusema, ‘‘Wewe unakwenda 5Mfalme Sedekia akajibu, “Yeye yuko
hakumsikiliza, badala yake, akamkamata kwenye kisima cha Malkiya, mwana wa mfalme,
Yeremia na kumpeleka kwa maafisa. kilichokuwa katika ua wa walinzi.
15Wakamkasirikia Yeremia, wakaruhusu apigwe Wakamtelemsha Yeremia kwa kamba ndani ya
na akafungwa katika nyumba ya Yonathani kisima, hakikuwa na maji ndani yake, ila tope tu,
mwandishi waliyokuwa wameifanya gereza. naye Yeremia akazama ndani ya matope.
16Yeremia akawekwa kwenye chumba 7Lakini Ebed-Meleki, Mkushi, afisa katika
kilichofukuliwa chini kilichojengwa kwa zege jumba la kifalme akasikia kuwa walikuwa
ndani ya gereza chini ya ngome, akakaa huko wamemtia Yeremia ndani ya kisima. Wakati
kwa muda mrefu. 17Kisha mfalme Sedekia mfalme alipokuwa ameketi katika lango la
akatuma aletwe katika jumba la kifalme, mahali Benyamini, 8Ebed-Meleki akatoka nje ya jumba
alipomwuliza kwa siri, ‘‘Je, kuna neno lo lote la kifalme na kumwambia, 9‘Mfalme BWANA
kutoka kwa BWANA?’’ wangu, watu hawa wamefanya uovu kwa yote
Yeremia akajibu, ‘‘Ndiyo, utatiwa mikononi waliomtendea nabii Yeremia. Wamemtupa ndani
mwa mfalme wa Babeli.’’ ya kisima, mahali ambapo atakufa kwa njaa
18Kisha Yeremia akamwambia mfalme wakati ambapo hakuna chakula po pote katika
Sedekia, ‘‘Nimefanya kosa gani dhidi yako na mji.”
maafisa wako au watu hawa, hata ukaniweka 10Kisha mfalme akamwamuru Ebed-Meleki
gerezani? 19Wako wapi manabii wako Mkushi akisema, “Chukua watu thelathini kutoka
waliokutabiria wakisema, ‘Mfalme wa Babeli hapa pamoja nawe, mkamtoe nabii Yeremia
hatakushambulia wewe wala nchi hii?’ 20Lakini huko kwenye kisima kabla hajafa.’’
sasa, BWANA wangu mfalme, tafadhali sikiliza. 11Basi Ebed-Meleki akawachukua watu
Niruhusu nilete maombi yangu mbele yako, pamoja naye wakaenda mpaka kwenye chumba
usinirudishe kwenye nyumba ya Yonathani kilichoko chini ya hazina ndani ya jumba la
mwandishi nisije nikafa huko.’’ kifalme. Akachukua matambaa makukuu pamoja
21Ndipo mfalme Sedekia akatoa maagizo na nguo zilizochakaa kutoka huko na
Yeremia awekwe katika ua wa walinzi na apewe kumshushia Yeremia kwa kamba ndani ya
44
YEREMIA
kisima. 12Ebed-Meleki Mkushi akamwambia kutiwa mikononi mwa Wakaldayo. Wewe
Yeremia, “Weka haya matambaa makukuu na mwenyewe hutaweza kujiokoa mikononi mwao.
hizo nguo zilizochakaa makwapani ili kuzuia Lakini utatekwa na mfalme wa Babeli na mji huu
kamba.’’ Yeremia akafanya hivyo, 13nao utateketezwa kwa moto.’’
wakamvuta juu kwa kamba na kumtoa katika 24Kisha Sedekia akamwambia Yeremia,
kisima. Yeremia akakaa katika ua wa walinzi. “Mtu ye yote na asijue juu ya haya
mazungumzo, la sivyo utakufa. 25Ikiwa maafisa
Sedekia Amhoji Yeremia Tena watasikia kwamba nimezungumza nawe, nao
14Ndipo mfalme Sedekia akatuma wamwitie wakakujia na kusema, ‘Tuambie kile
nabii Yeremia na kutaka wamlete kwake kwenye ulichozungumza na mfalme na kile mfalme
ingilio la tatu kwenye hekalu la BWANA. Mfalme alichokuambia, usitufiche au sivyo tutakuua,’
akamwambia Yeremia, “Ninataka kukuuliza 26basi waambie, ‘Nilikuwa ninamsihi mfalme
jambo fulani, usinifiche kitu cho chote.’’ asinirudishe kwenye nyumba ya Yonathani nisije
15Yeremia akamwambia Sedekia, “Nikikupa nikafia huko.’ ’’
jibu, je, hutaniua? Hata kama nikikupa shauri 27Maafisa wote wakamjia Yeremia na
wewe mwenyewe hutaweza kujiokoa mikononi wa kumi na moja wa Sedekia kutawala, ukuta
mwao.’ ’’ wa mji ulibomolewa. 3Kisha maafisa wote wa
19Mfalme Sedekia akamwambia Yeremia, mfalme wa Babeli wakaja na kuketi katika viti
“Ninawaogopa Wayahudi ambao wamekimbilia kwenye Lango la Kati nao ni: Nergal-Shareza wa
kwa Wakaldayo, kwa kuwa Wakaldayo Samgari, Nebo-Sarsekimu afisa mkuu, Nergal-
wanaweza kunitia mikononi mwao nao Shareza afisa mwenye cheo cha juu na maafisa
wakanitenda vibaya.’’ wengine wote wa mfalme wa Babeli. 4Mfalme
20Yeremia akajibu, ‘‘Hawatakutia mikononi Sedekia wa Yuda na askari wote walipowaona,
mwao,’’ “Mtii BWANA kwa kufanya kile wakakimbia, na kuondoka mjini wakati wa usiku
ninachokuambia. Kisha utafanikiwa na maisha kwa njia ya bustani ya mfalme kupitia lango lililo
yako yatakuwa salama. 21Lakini ukikataa kati ya kuta mbili na kuelekea kwenye bonde la
kujisalimisha, hili ndilo BWANA, alilonifunulia: Yordani.
22“Wanawake wote walioachwa katika jumba la 5Lakini jeshi la Wakaldayo liliwafuatia na
kifalme la mfalme wa Yuda wataletwa mbele ya kumkuta Sedekia kwenye tambarare za Yeriko.
maafisa wa mfalme wa Babeli. Wanawake hao Wakamkamata na kumpeleka kwa
watakuambia: Nebukadneza mfalme wa Babeli huko Ribla
katika nchi ya Hamathi, mahali walipomhukumu.
“ ‘Walikupotosha na kukushinda, 6Huko Ribla, mfalme wa Babeli aliwachinja wana
45
YEREMIA
la kifalme, nyumba za watu na kubomoa kuta za dhambi dhidi ya BWANA na hamkumtii. 4Lakini
Yerusalemu. 9Nebuzaradani kiongozi wa walinzi leo ninakufungua kutoka minyororo iliyo kwenye
wa kifalme akawachukua na kuwapeleka viwiko vya mikono yako. Twende pamoja mpaka
uhamishoni Babeli wale watu pamoja na wale Babeli ikiwa unataka, nami nitakutunza, lakini
waliokuwa wamebaki ndani ya mji, pamoja na kama hutaki basi usije. Tazama, nchi yote iko
wale waliokuwa wamemwendea, na watu mbele yako, nenda ko kote unakotaka.’’ 5Hata
wengine wote. 10Lakini Nebuzaradani, kiongozi hivyo kabla Yeremia hajageuka kuondoka,
wa walinzi aliwabakiza baadhi ya watu maskini Nebuzaradani akaongeza kusema, “Rudi kwa
katika nchi ya Yuda, ambao hawakuwa na kitu, Gedalia mwana wa Ahikamu, mwana wa
naye kwa wakati ule aliwapa mashamba ya Shafani, ambaye mfalme wa Babeli
mizabibu na mashamba mengine. amemchagua awe juu ya miji ya Yuda, ukaishi
11Basi, Nebukadneza mfalme wa Babeli naye miongoni mwa watu, au nenda po pote
alikuwa ametoa maagizo kuhusu Yeremia panapokupendeza.’’
kupitia Nebuzaradani kiongozi wa walinzi wa Kisha huyo kiongozi akampa mahitaji yake
kifalme akisema: 12‘‘Mchukue umtunze, na zawadi na akamwacha aende zake. 6Kwa
usimdhuru, lakini umfanyie cho chote hiyo Yeremia akaenda kwa Gedalia mwana wa
anachotaka.’’ 13Basi Nebuzaradani kiongozi wa Ahikamu huko Mizpa na kuishi naye miongoni
walinzi, Nebu-Shazbani afisa mkuu, Nergal- mwa watu walioachwa katika nchi.
Shareza afisa wa cheo cha juu na maafisa
wengine wote wa mfalme wa Babeli 14wakatuma Gedalia Auawa
watu kumwondoa Yeremia kutoka katika ua wa 7Maafisa wote wa jeshi na watu wao
walinzi. Wakamkabidhi kwa Gedalia mwana wa waliokuwa bado wapo kwenye eneo la wazi
Ahikamu, mwana wa Shafani, ili amrudishe waliposikia kwamba mfalme wa Babeli
nyumbani kwake. Kwa hiyo akabaki miongoni amemweka Gedalia mwana wa Ahikamu kuwa
mwa watu wake mwenyewe. mtawala wa nchi naye amemweka kuwa
15Wakati Yeremia alipokuwa amezuiliwa kiongozi wa wanaume, wanawake na watoto
katika ua wa walinzi, neno la BWANA lilimjia waliokuwa maskini sana katika nchi ambao
kusema: 16‘‘Nenda ukamwambie Ebed-Meleki hawakuchukuliwa kwenda uhamishoni Babeli,
Mkushi, ‘hili ndilo BWANA Mwenye Nguvu, 8wakamjia Gedalia huko Mizpa, ambao ni
47
YEREMIA
mdogo kabisa hadi aliye mkuu sana wakamjia ndilo BWANA Mwenye Nguvu, Mungu wa Israeli
2nabii Yeremia na kumwambia, “Tafadhali sikia asemalo: ‘Kama vile hasira yangu na ghadhabu
maombi yetu na umwombe BWANA Mungu yangu ilivyomwagwa juu ya wale walioishi
wako kwa ajili ya watu hawa wote waliosalia. Yerusalemu, ndivyo ghadhabu yangu
Kwa kuwa kama unavyoona sasa, ingawa itakavyomwagwa juu yenu mtakapokwenda
wakati fulani tulikuwa wengi, sasa ni wachache Misri. Mtakuwa kitu cha kulaania na cha kutisha,
tu waliosalia. 3Omba ili BWANA Mungu wako cha kulaumia na cha kushutumia, nanyi kamwe,
atuambie tuende wapi na tufanye nini.” hamtaona mahali hapa tena.’
4Nabii Yeremia akajibu, “Nimewasikia. Kwa 19Enyi mabaki ya Yuda, BWANA
hakika nitamwomba BWANA Mungu wenu kama amewaambia, ‘Msiende Misri.’ Hakikisheni
mlivyoomba, nitawaambia kila kitu asemacho jambo hili: Ninawaonya leo 20kwamba mmefanya
BWANA wala sitawaficha cho chote.” kosa kubwa mioyoni mwenu mliponituma kwa
5Kisha wakamwambia Yeremia, “BWANA na BWANA Mungu wenu na kusema, ‘Mwombe
awe shahidi wa kweli na mwaminifu juu yetu BWANA Mungu wetu kwa ajili yetu, nawe
kama hatutafanya sawasawa na kila kitu utuambie kila kitu atakachosema nasi tutafanya.’
BWANA Mungu wako atakachokutuma 21Nimewaambieni leo, lakini bado ninyi hamtaki
utuambie. 6Likiwa jema au likiwa baya, tutamtii kumtii BWANA Mungu wenu katika yote
BWANA Mungu wetu, ambaye tunakutuma aliyonituma mimi niwaambie. 22Basi sasa,
kwake, ili mambo yote yawe mema kwetu, kwa hakikisheni jambo hili: ‘‘Mtakufa kwa upanga,
maana tutamtii BWANA Mungu wetu.’’ njaa na tauni mahali ambapo mnataka kwenda
7Baada ya siku kumi, neno la BWANA kuishi.’’
likamjia Yeremia. 8Kwa hiyo akawaita pamoja
Yohanani mwana wa Karea na maafisa wote wa Yeremia alipomaliza kuwaambia watu
jeshi waliokuwa pamoja naye na watu wote
kuanzia mdogo kabisa hadi aliye mkuu sana.
43 maneno yote ya BWANA Mungu wao,
kila kitu BWANA alichokuwa amemtuma
9Akawaambia, “Hili ndilo asemalo BWANA, kuwaambia, 2Azaria mwana wa Hoshaia na
Mungu wa Israeli, ambaye mlinituma kuwasilisha Yohanani mwana wa Karea na watu wote wenye
maombi yenu, asema: 10‘Kama mkikaa katika kiburi wakamwambia Yeremia, ‘‘Wewe unasema
nchi hii, nitawajenga wala sitawabomoa, uongo! BWANA Mungu wetu hajakutuma
nitawapanda wala sitawang'oa, kwani kusema, ‘Kamwe msiende Misri kukaa huko.’
ninahuzunishwa na maafa niliyowapiga nayo. 3Lakini Baruku mwana wa Neria anakuchochea
11Msimwogope mfalme wa Babeli, ambaye sasa wewe dhidi yetu ili ututie mikononi mwa
mnamwogopa. Msimwogope, asema BWANA, Wakaldayo, ili watuue au watuchukue
kwa kuwa niko pamoja nanyi nami nitawaokoa uhamishoni Babeli.’’
na kuwaponya kutoka mikononi mwake. 4Basi Yohanani mwana wa Karea na
12Nitawaonea huruma ili naye awe na huruma maafisa wote wa jeshi na watu wote wakakataa
juu yenu na kuwarudisha ninyi katika nchi yenu.’ kutii amri ya BWANA ya kukaa katika nchi ya
13“Hata hivyo, kama mkisema, ‘Hatutakaa Yuda. 5Badala yake, Yohanani mwana wa Karea
katika nchi hii,’ hivyo mkaacha kumtii BWANA na maafisa wote wa jeshi wakawaongoza
Mungu wenu, 14nanyi kama mkisema, ‘Hapana, mabaki yote ya Yuda waliokuwa wamerudi
tutakwenda kuishi Misri, mahali ambapo kuishi katika nchi ya Yuda kutoka katika mataifa
hatutaona vita au kusikia sauti ya tarumbeta au yote ambayo walikuwa wametawanywa. 6Pia
kuwa na njaa ya chakula,’ 15basi sikieni neno la wakawaongoza wanaume wote, wanawake na
BWANA, Enyi mabaki ya Yuda. Hili ndilo watoto na binti za mfalme ambao Nebuzaradani
BWANA Mwenye Nguvu, Mungu wa Israeli kiongozi wa walinzi wa kifalme alikuwa
asemalo: ‘Ikiwa mmekusudia kwenda Misri na amewaacha pamoja na Gedalia mwana wa
kufanya makazi huko, 16basi ule upanga Ahikamu, mwana wa Shafani na nabii Yeremia
mnaouogopa utawapata huko na njaa na Baruku mwana wa Neria. 7Kwa hiyo
mnayoihofia itawafuata huko Misri, nanyi mtafia wakaingia Misri kwa kutokumtii BWANA na
huko. 17Naam, wote waliokusudia kwenda kuishi wakaenda mpaka Tahpanhesi.
Misri watakufa kwa upanga, njaa na tauni, 8Huko Tahpanhesi neno la BWANA likamjia
hakuna hata mmoja wao atakayenusurika au Yeremia kusema: 9‘‘Wakati Wayahudi wakiwa
kuokoka maafa nitakayoyaleta juu yao.’ 18Hili wanaona, chukua baadhi ya mawe makubwa na
48
YEREMIA
kuyazika katika udongo wa mfinyanzi katika njia kwa kile ambacho mikono yenu imekitengeneza,
iliyojengwa kwa matofali katika ingilio la jumba la mkaifukizia uvumba miungu mingine huko Misri,
kifalme la Farao huko Tahpanhesi. 10Kisha mahali mlipokuja kuishi? Mtajiangamiza
uwaambie, ‘hili ndilo BWANA Mwenye Nguvu, wenyewe na kujifanya kitu cha kulaania na
Mungu wa Israeli, asemalo: Nitamtuma mtumishi shutumu miongoni mwa mataifa yote duniani.
wangu Nebukadneza mfalme wa Babeli, nami 9Je, mmesahau uovu uliotendwa na baba zenu
nitakiweka kiti chake cha enzi juu ya haya mawe na wafalme na malkia wa Yuda na uovu
niliyoyazika hapa, naye atatandaza chandarua uliofanywa na ninyi na wake zenu katika nchi ya
yake ya kifalme juu yake. 11Atakuja na Yuda na barabara za Yerusalemu? 10Mpaka leo
kuishambulia Misri, akiwaua wale waliokusudiwa hawajajinyenyekeza au kuonyesha heshima,
kuuawa, aweteke mateka wale waliokusudiwa wala hawajafuata sheria yangu na amri
kutekwa na upanga kwa wale waliokusudiwa nilizoweka mbele yenu na baba zenu.
upanga. 12Atachoma moto mahekalu yao ya 11“Kwa hiyo, hili ndilo BWANA Mwenye
miungu ya Misri, atachoma mahekalu yao na Nguvu, Mungu wa Israeli, asemalo: “Mimi
kuteka miungu yao. Kama vile mchungaji nimekusudia kuleta maafa juu yenu na
ajizungushiavyo vazi lake ndivyo kuiangamiza Yuda yote. 12Nitawaondoa mabaki
atakavyojizungushia Misri na kuondoka mahali ya Yuda waliokusudia kwenda Misri kukaa
hapo bila kudhurika. 13Humo ndani ya hekalu la humo. Wote wataangamia huko Misri,
jua a katika Misri atabomoa nguzo za ibada na wataanguka kwa upanga au kufa kwa njaa.
kuteketeza kwa moto mahekalu ya miungu wa Kuanzia aliye mdogo kabisa hadi aliye mkuu
Misri.’ ’’ sana watakufa kwa upanga au njaa. Watakuwa
kitu cha kulaania na cha kutisha, cha laumu na
Maafa Kwa Sababu Ya Ibada Za Sanamu shutumu. 13Nitawaadhibu wale waishio Misri kwa
uovu waliokuwa wameufanya. Walinikasirisha kwamba wake zao walikuwa wakifukiza uvumba
kwa kufukiza uvumba na kwa kuabudu miungu kwa miungu mingine, pamoja na wanawake
mingine ambayo kamwe wao, wala ninyi wala wote waliokuweko, yaani, kusanyiko kubwa na
baba zenu hawakuifahamu. 4Tena na tena, watu wote wanaoishi katika nchi ya Misri, katika
niliwatuma watumishi wangu manabii ambao Pathrosi, wakamwambia Yeremia,
walisema, ‘Msifanye jambo hili la kuchukiza 16“Hatutausikiliza ujumbe uliotuambia katika jina
ambalo nalichukia!’ 5Lakini hawakusikiliza wala la BWANA! 17“Hakika tutafanya kila kitu
hawakujali, hawakugeuka ili kuuacha uovu wao tulichosema tutakifanya: Tutafukiza uvumba kwa
wala hawakuacha kufukiza uvumba kwa miungu Malkia wa Mbinguni na tutammiminia sadaka
mingine. 6Kwa hiyo hasira yangu kali ilimwagika, zetu za kinywaji kama vile sisi na baba zetu,
ikawaka dhidi ya miji ya Yuda na barabara za wafalme wetu na maafisa wetu walivyofanya
Yerusalemu na kuifanya ukiwa na magofu kama katika miji ya Yuda na katika barabara za
ilivyo leo. Yerusalemu. Wakati ule tulikuwa na chakula
7“Sasa hili ndilo BWANA Mungu Mwenye tele, tulikuwa matajiri wala hatukupata dhara lo
Nguvu, Mungu wa Israeli asemalo: Kwa nini lote. 18Lakini tangu tulipoacha kumfukizia
kujiletea maafa makubwa kama haya juu yenu uvumba Malkia wa Mbinguni na kummiminia
kwa kujikatilia mbali mtoke Yuda wanaume na sadaka za kinywaji, hatukupata cho chote na
wanawake, watoto na wanyonyao hata kujiacha tumekuwa tukiangamizwa kwa upanga na njaa.”
bila mabaki? 8Kwa nini kuichochea hasira yangu 19Wanawake wakaongeza kusema, “Wakati
45
20Ndipo Yeremia akawaambia watu wote, Hili ndilo nabii Yeremia alilomwambia
wanaume na wanawake waliokuwa wakimjibu, Baruku mwana wa Neria katika mwaka
21“Je, BWANA hakukumbuka na kufikiri juu ya wa nne wa kutawala kwake Yehoyakimu mwana
uvumba uliofukizwa katika miji ya Yuda na wa Yosia mfalme wa Yuda, baada ya Baruku
barabara za Yerusalemu na ninyi pamoja na kuandika katika kitabu maneno ambayo yalitoka
baba zenu, wafalme wenu, maafisa wenu na kinywani mwa Yeremia wakati ule: 2“Hili ndilo
watu wa nchi? 22BWANA alipokuwa hawezi BWANA, Mungu wa Israeli, akuambialo wewe
kuendelea kuvumilia matendo yenu maovu na Baruku: 3Ulisema, ‘Ole wangu! BWANA
mambo ya machukizo mliyoyafanya, nchi yenu ameongeza huzuni juu ya maumivu yangu,
ilikuwa kitu cha kulaania na kuachwa ukiwa nimechoka kwa kulia kwa uchungu wala sipati
pasipo wakazi, kama ilivyo leo. 23Kwa sababu pumziko.’ ’’
mmefukiza uvumba na kufanya dhambi dhidi ya 4BWANA akasema, “Mwambie hivi: ‘Hili
BWANA na hamkumtii wala kufuata sheria yake ndilo asemalo BWANA: Nitakibomoa kile
au amri zake au maagizo yake, maafa haya nilichokijenga na kung'oa kile nilichokipanda,
yamekuja juu yenu, kama mnavyoona sasa.’’ katika nchi yote. 5Je, utajitafutia mambo
24Kisha Yeremia akawaambia watu wote, makubwa kwa ajili yako mwenyewe? Usiyatafute
pamoja na wanawake, “Sikieni neno la BWANA, hayo. Kwa kuwa nitaleta maangamizi juu ya
enyi watu wote wa Yuda mlioko Misri. 25Hili ndilo watu wote, asema BWANA, lakini po pote
asemalo BWANA Mwenye Nguvu, Mungu wa utakapokwenda nitayaokoa maisha yako.’ ’’
Israeli: Ninyi na wake zenu mmeonyesha kwa
matendo yenu kile mlichoahidi mliposema, Ujumbe Kuhusu Misri
‘Hakika tutatimiza nadhiri tulizoziweka za
kumfukizia uvumba na kummiminia sadaka za 46 Hili ni neno la BWANA lililomjia nabii
Yeremia kuhusu mataifa:
kinywaji Malkia wa Mbinguni.’
“Endeleeni basi, fanyeni yale mliyoahidi! 2Kuhusu Misri:
Timizeni nadhiri zenu! 26Lakini sikieni neno la
BWANA, enyi Wayahudi wote mnaoishi Misri: Huu ni ujumbe dhidi ya jeshi la Farao Neko
‘Ninaapa kwa jina langu lililo kuu,’ asema mfalme wa Misri, lililoshindwa huko Kaskemishi
BWANA, ‘kwamba hakuna hata mmoja atokaye kwenye Mto Eufrati na Nebukadneza mfalme wa
Yuda anayeishi po pote katika Misri ambaye Babeli katika mwaka wa nne wa kutawala kwake
kamwe ataomba tena kwa jina langu au kuapa, Yehoyakimu mwana wa Yosia mfalme wa Yuda:
akisema, ‘‘Hakika kama BWANA Mwenyezi
aishivyo.’’ 27Kwa maana ninawaangalia kwa ajili 3‘‘Wekeni tayari ngao zenu, kubwa na
ya madhara sio kwa mema, Wayahudi walioko ndogo,
Misri wataangamia kwa upanga na njaa mpaka mtoke kwa ajili ya vita!
wote watakapoangamizwa. 28Wale 4Fungieni farasi lijamu,
50
YEREMIA
wanajikwaa na kuanguka. wanaokuzunguka.’
15Kwa nini mashujaa wako e wamesombwa
7“Ninani huyu ajiinuaye kama Mto Nile, na kupelekwa mbali?
kama mito yenye maji yanayofanya Hawawezi kusimama, kwa maana BWANA
mawimbi? atawasukuma awaangushe chini.
8Misri hujiinua kama Mto Nile, 16Watajikwaa mara kwa mara,
Endesheni kwa ukali, Enyi magari ya ‘Farao mfalme wa Misri ni makelele tu,
farasi, amekosa wasaa wake.’
Endeleeni mbele, Enyi mashujaa,
18‘‘Kwahakika kama niishivyo,’’ asema Mfalme,
watu wa Kushi a na Puti b wachukuao
ngao, ambaye jina lake ni BWANA
watu wa Ludi c wavutao upinde. Mwenye Nguvu,
10Lakini ile siku ni ya Bwana, BWANA “mmoja atakuja ambaye ni kama Tabori
Mwenye Nguvu, miongoni mwa milima,
siku ya kulipiza kisasi, kisasi juu ya adui kama Karmeli kando ya bahari.
19Funga mizigo yako kwenda uhamishoni,
zake.
Upanga utakula mpaka utakapotosheka, wewe ukaaye Misri,
mpaka utakapozima kiu yake kwa kwa kuwa Memfisi utaangamizwa
damu. na kuwa magofu pasipo mkazi.
Kwa maana Bwana, BWANA Mwenye
20“Misri ni mtamba mzuri wa ng'ombe,
Nguvu, atatoa dhabihu
kwenye nchi ya kaskazini kando lakini kipanga anakuja dhidi yake kutoka
ya Mto Eufrati. kaskazini.
21Askari wake waliokodiwa katika safu zake
Yataifurikia nchi na vitu vyote vilivyomo kilio cha maangamizi makuu na uharibifu.
ndani yake, 4Moabu utavunjwa,
Kwa hiyo ana ladha ile ile kama aliyokuwa katika Holoni, Yasa na Mefaathi,
nayo, 22katika Diboni, Nebo na Beth-Diblathaimu,
‘‘nitakapotuma watu wamiminao kutoka kwa miji yote ya Moabu, iliyoko mbali na
kwenye magudulia, karibu.
nao watammimina, 25Pembe b ya Moabu imekatwa,
Kemoshi, 26“Mlevye,
54
YEREMIA
Kwa nini basi Moleki amechukua milki ya wakati nitakapomwadhibu.
Gadi? 9Je,kama wachuma zabibu wangekuja kwako,
Kwa nini watu wake wanaishi katika miji wasingebakiza zabibu chache?
yake? Kama wezi wangekuja usiku,
2Lakini siku zinakuja,’’ Je, si wangeiba kiasi ambacho
asema BWANA, wangehitaji tu?
‘‘nitakapopiga kelele ya vita 10Lakini nitamvua Esau nguo abaki uchi,
Hili ndilo asemalo BWANA Mwenye Nguvu: wote wapitao kando yake watashangaa na
kuzomea
‘‘Je, hakuna tena hekima katika Temani? kwa sababu ya majeraha yake yote.
Je, shauri limewapotea wenye busara? 18Kama vile Sodoma na Gomora
55
YEREMIA
19“Kama simba anayepanda kutoka katika utaangamiza ngome za Ben-Hadadi.’’
vichaka vya Yordani
kuja kwenye nchi ya malisho mengi, Ujumbe Kuhusu Kedari Na Hazori
nitamfukuza Edomu kutoka kwenye nchi 28Kuhusu Kedari na falme za Hazori,
wake,’’ Babeli
asema BWANA. muungano wa mataifa makubwa kutoka
39‘‘Lakini nitarudisha mateka wa Elamu nchi ya kaskazini.
katika siku zijazo,’’ Watashika nafasi zao dhidi yake,
asema BWANA. naye kwa kutokea kaskazini atatekwa.
Mishale yao itakuwa kama mishale ya
Ujumbe Kuhusu Babeli mashujaa walio hodari
57
YEREMIA
Kwa kuwa hiki ni kisasi cha BWANA, 24Nimetega mtego kwa ajili yako, Ee Babeli,
mlipizeni kisasi, mtendeeni kama nawe ukakamatwa kabla haujafahamu,
alivyowatendea wengine. ulipatikana na ukakamatwa
16Katilieni mbali mpanzi kutoka Babeli, kwa sababu ulimpinga BWANA.
naye mvunaji pamoja na mundu wake 25BWANA amefungua ghala lake la silaha
58
YEREMIA
nao watu wa Yuda pia. vita
Wote waliowateka wamewashikilia sana, ili kukushambulia, Ee Binti Babeli.
wanakataa kuwaachia waende. 43Mfalme wa Babeli amesikia habari kuwahusu
34Lakini Mkombozi wao ana nguvu, hao,
BWANA Mwenye Nguvu ndilo jina nayo mikono yake imelegea.
lake. Uchungu umemshika,
Atatetea kwa nguvu shauri lao ili kwamba maumivu kama yale ya mwanamke aliye
alete raha katika nchi yao, katika utungu wa kuzaa.
lakini ataleta msukosuko kwa wale waishio 44Kama simba anayepanda kutoka kwenye
59
YEREMIA
Nguvu, nzige,
ingawa nchi yao imejaa uovu nao watapiga kelele za ushindi juu yako.’
mbele zake Yeye Aliye Mtakatifu wa
Israeli. 15“Aliifanya
dunia kwa uweza wake,
ameweka misingi ya ulimwengu kwa hekima
6‘‘Kimbieni kutoka Babeli! yake
Okoeni maisha yenu! na kuzitandaza mbingu kwa ufahamu wake.
Msiangamizwe kwa sababu ya dhambi 16Apigapo radi, maji katika mbingu hunguruma,
amefanya.’ farasi,
kwa wewe navunjavunja gari la vita na
11“Noeni mishale, chukueni ngao! mwendeshaji wake,
BWANA amewaamsha wafalme 22kwa wewe napondaponda mwanaume na
wa Wamedi, mwanamke,
kwa sababu nia yake ni kuangamiza kwa wewe napondaponda mzee na kijana,
Babeli. kwa wewe napondaponda kijana wa kiume
BWANA atalipiza kisasi, na mwanamwali,
kisasi kwa ajili ya hekalu lake. 23kwa wewe nampondaponda mchungaji na
12Twekeni bendera juu ya kuta za Babeli! kundi,
Imarisheni ulinzi, kwa wewe nampondaponda mkulima na
wekeni walinzi, maksai,
andaeni waviziao! kwa wewe nawapondaponda watawala na
BWANA atatimiza kusudi lake, maafisa.
amri yake juu ya watu wa Babeli.
13Wewe uishiye kando ya maji mengi 24“Mbeleya macho yako nitamlipiza Babeli
na uliye na wingi wa hazina, na wote waishio Ukaldayo kwa ajili ya makosa
mwisho wako umekuja, yote waliyofanya katika Sayuni,’’ asema
wakati wako wa kukatiliwa mbali. BWANA.
14BWANA Mwenye Nguvu ameapa kwa
60
YEREMIA
wewe uangamizaye dunia yote,” 34“Nebukadneza mfalme wa Babeli ametula,
asema BWANA. ametufanya tuchangayikiwe,
“Nitanyoosha mkono wangu dhidi yako, ametufanya tuwe gudulia tupu.
nikuvingirishe kutoka kwenye kilele cha Kama nyoka ametumeza na kujaza tumbo
mwamba, lake
na kukufanya mlima ulioteketezwa kwa kwa vyakula vyetu vizuri,
moto. kisha akatutapika.
26Hakuna jiwe litakalochukuliwa kutoka kwako 35Jeuri iliyofanyiwa miili yetu na iwe juu ya
61
YEREMIA
na kumfanya ataapike kile alichokimeza. 55BWANA ataiangamiza Babeli,
Mataifa hayatamiminika tena kwake. atanyamazisha makelele ya kishindo
Nao ukuta wa Babeli utaanguka. chake.
45“Tokeni ndani yake, enyi watu wangu! Mawimbi ya adui yatanguruma kama maji
Okoeni maisha yenu! makuu,
Ikimbieni hasira kali ya BWANA. ngurumo ya sauti zao itavuma.
46Msikate tamaa wala msiogope 56Mharabu atakuja dhidi ya Babeli,
62
YEREMIA
Anguko La Yerusalemu jemadari wa askari walinzi wa mfalme lilivunja
naye akatawala huko Yerusalemu kwa miaka uhamishoni baadhi ya watu maskini sana na
kumi na mmoja. Jina la mama yake aliitwa wale waliobaki katika mji, pamoja na mabaki ya
Hamutali binti Yeremia, kutoka Libna. 2Alifanya watu wa hivi hivi na wale waliokuwa
maovu machoni pa BWANA, kama vile wamemwendea mfalme wa Babeli. 16Lakini
alivyokuwa amefanya Yehoyakimu. 3Ilikuwa ni Nebuzaradani akaacha yale mabaki ya wale
kwa sababu ya hasira ya BWANA kwamba haya watu maskini sana wa nchi ili kufanya kazi
yote yalitokea Yerusalemu na Yuda, naye katika mashamba ya mzabibu na mashamba
mwishoni akawaondoa mbele zake. mengine.
Basi Sedekia aliasi dhidi ya mfalme wa 17Wakaldayo walivunja nguzo za shaba, vile
macho yake, pia akawaua maafisa wote wa wa dhiraa tano e na ilipambwa kwa wavu na
Yuda. 11Kisha akayang'oa macho ya Sedekia, mikomamanga ya shaba kuizunguka kote.
akamfunga kwa pingu za shaba na kumpeleka Nguzo nyingine, pamoja na makomamanga
Babeli alipomweka gerezani mpaka siku ya kifo yake vyote vilifanana na hiyo ya kwanza.
chake. 23Kulikuwa na makomamanga tisini na sita
12Mnamo siku ya kumi ya mwezi wa tano, pembeni, jumla ya makomamanga juu ya wavu
katika mwaka wa kumi na tisa wa kutawala uliokuwa umezunguka yalikuwa mia moja.
kwake Nebukadreza mfalme wa Babeli, 24Waliochukuliwa na jemadari wa askari
Nebuzaradani jemadari wa askari walinzi wa walinzi ni Seraia kuhani mkuu, kuhani Sefania
mfalme, aliyemtumikia mfalme wa Babeli, alikuja aliyefuata kwa cheo na mabawabu watatu.
Yerusalemu. 13Alichoma moto hekalu la 25Miongoni mwa wale watu waliokuwa
mfalme wa Babeli huko Ribla. 27Huko Ribla, Yehoyakini mfalme wa Yuda apelekwe
katika nchi ya Hamathi, mfalme akaamuru wote uhamishoni, mwaka ambao Evil-Merodaki
wanyongwe. alifanyika mfalme wa Babeli, akamwacha huru
Hivyo Yuda alitekwa, akaenda mbali na nchi Yehoyakini mfalme wa Yuda na kumfungua
yake. 28Hii ndiyo hesabu ya watu ambao kutoka gerezani katika siku ya ishirini na tano ya
Nebukadneza aliwachukua kwenda uhamishoni: mwezi wa kumi na mbili. 32Alizungumza naye
kwa upole na kumpa kiti cha heshima kilicho juu
katika mwaka wa saba Wayahudi 3,023, kuliko vya wale wafalme wengine aliokuwa nao
29katika mwaka wa kumi na nane wa kutawala huko Babeli. 33Hivyo Yehoyakini akayavua
kwake Nebukadneza, mavazi yake ya gerezani na siku zote za maisha
watu 832 kutoka Yerusalemu, yake zilizobaki alikula katika meza ya mfalme.
30katika mwaka wa ishirini na tatu, wa kutawala 34Siku kwa siku mfalme wa Babeli alimpa
64
MAOMBOLEZO
Utangulizi
Jina la kitabu hiki maana yake ni “nyimbo za maziko.’’Kitabu hiki ni mfululizo wa vitabu vitano, yaani, kila sura moja ni
kitabu kinachojitosheleza, kikiwa na mada kamili.
(i) Maombolezo ya Kwanza: Uharibifu wa Yerusalemu na nabii akiulilia mbele za Mungu (1:1-22).
(ii) Maombolezo ya Pili: Yeremia anaeleza uharibifu huu kuwa ni ghadhabu ya Mungu kwa watu walioasi na kukataa
kutubu. Adui wa Yuda ndiye aliyekuwa chombo cha Mungu cha kutekeleza hukumu (2:1-22)
(iii) Maombolezo ya Tatu: Kinalisihi taifa kukumbuka kwamba Mungu ni mwingi wa rehema na mwaminifu, tena ni mwema
kwa wale ambao tumaini lao liko Kwake.
(iv) Maombolezo ya Nne : Haya ni marudio ya yale yaliyoko kwenye sura tatu zilizotangulia.
(v) Maombolezo ya Tano: Mwandishi anamwomba Mungu awarejeze watu Wake baada ya Yuda kutubu dhambi yao na
kuhitaji rehema.
Katika andiko la Kiebrania sura nne za kwanza zimepangwa kiushairi ambapo herufi ya kwanza au ya mwisho ya kila
mstari zikipangwa taratibu, zitafanya neno au maneno. Aya zote ishirini na mbili zilizoko katika kila sura hizi, yaani, aya zote
(sitini na sita katika sura ya tatu) zinatumia herufi za alfabeti za Kiebrania.Katika mpangilio huu mwandishi anaonyesha
picha ya lile janga la kutisha lililoipata Yerusalemu na kutambua kuwa hii ilikuwa hukumu ya Mungu mwenye haki. Akijua ya
kwamba Mungu ni mwenye rehema, alimlalamikia Mungu kwa maombi. Maombolezo yanatambua kwamba pigo hili lilikuwa
ni hukumu ya Mungu kwa Yuda kwa uasi wake wa miaka mingi ya watawala na watu wake dhidi Yake. Kwenye
Maombolezo si kwamba Yeremia alitambua tu kuwa Mungu alikuwa sahihi na mwenye haki katika njia Zake zote, bali
kwamba ni mwenye rehema na huruma kwa hao ambao tumaini lao liko Kwake (3:22-23, 32). Hivyo Maombolezo
yamewasaidia watu kuwa na tumaini katikati ya kukata tamaa.
Yeremia aliandika maombolezo haya kuonyesha huzuni yake kubwa na kuchomwa kwa moyo wake juu ya uharibifu wa
kutisha wa Yerusalemu, ukihusisha anguko la kuaibisha la utawala wa ukoo wa Daudi, kuangamizwa kabisa kwa kuta za
mji, hekalu, jumba la kifalme na mji kwa ujumla, kupelekwa mbali sana kwa mateka wengi waliosalia Babeli, Andiko la juu
katika kitabu hiki kwenye Agano la Kale la Kiyunani (“Septuagint” na nakala za kale za maandiko ya Kilatini (“Vulgate”)
linasema, “Yeremia alikaa akiulilia na kuuombolezea Yerusalemu kwa maombolezo haya.” Kwenye kitabu hiki mwandishi
anabubujikwa na huzuni kama mwombolezaji kwenye maziko ya ndugu wa karibu aliyekufa kifo cha kutisha.
Mwandishi
Yeremia. Kutokana na mapokeo kitabu hiki kimehesabiwa kuwa ni cha Yeremia. Hata hivyo wale wanaokataa kuwa
mwandishi si Yeremia, wanapendekeza kwamba mwandishi alikuwa mtu aliyeishi wakati mmoja na Yeremia. Maadam
Yeremia aliishi Yerusalemu na aliwaonya watu wake kwa miaka arobaini juu ya maangamizi yaliyokuwa yanakuja, kisha
akashuhudia hukumu hii mbaya, basi yafaa kuafiki kuwa Yeremia ndiye anayekubalika zaidi kuliko mwingine awaye yote
anayejulikana katika historia kuwa ndiye mwandishi wa kitabu hiki. Yeremia anaonyesha uharibifu mkubwa uliofanyika
katika mji wa Yerusalemu na hekaluni, lakini anatambua yote haya ni hukumu ya Mungu Mwenye Haki. Hali akijua kwamba
Mungu amejaa huruma anamsihi katika maombi ili aonyeshe huruma.
Mahali
Yerusalemu.Yerusalemu ulikuwa umeharibiwa na Babeli na watu wake walikuwa wameuawa, wameteswa na
kuchukuliwa mateka.
Tarehe
585 – 586 K.K.
Wazo
Kuwafundisha watu kwamba kutokumtii Mungu husababisha maangamizi. Mungu huadhibu uovu, lakini ni mwingi wa
rehema watu wakitubu.
Wahusika Wakuu
Yeremia, watu wa Yerusalemu.
Mambo Muhimu
Kitabu hiki kimeandikwa katika mtindo wa nyimbo za zamani za Wayahudi za maziko. Kinayo mashairi matano kulingana na
sura zilizomo.
2Kwa uchungu, hulia sana usiku, 9Uchafu wake umegandamana na nguo zake,
machozi yapo kwenye mashavu yake. hakuwaza juu ya maisha yake ya baadaye.
Miongoni mwa wapenzi wake wote Anguko lake lilikuwa la kushangaza,
hakuna ye yote wa kumfariji. hapakuwepo na ye yote wa kumfariji.
Rafiki zake wote wamemsaliti, “Tazama, Ee BWANA, teso langu,
wamekuwa adui zake. kwa maana adui ameshinda.’’
4Barabara zielekeazo Sayuni zaomboleza, 11Watu wake wote wanalia kwa uchungu
kwa kuwa hakuna ye yote anayekuja watafutapo chakula,
kwenye sikukuu zake zilizoamriwa. wanabadilisha hazina zao kwa chakula
Malango yake yote yamekuwa ukiwa, ili waweze kuendelea kuishi.
makuhani wake wanalia kwa uchungu, “Tazama, Ee BWANA, ufikiri,
wanawali wake wanahuzunika, kwa maana nimedharauliwa.’’
naye yuko katika uchungu wa maumivu
makuu. 12“Je si kitu kwenu, ninyi nyote mpitao kando?
Angalieni kote mwone.
5Aduizake wamekuwa mabwana zake, Je, kuna maumivu kama maumivu yangu
watesi wake wana raha. yale yaliyotiwa juu yangu,
BWANA amemletea huzuni yale BWANA aliyoyaleta juu yangu
kwa sababu ya dhambi zake nyingi. katika siku ya hasira yake kali?
Watoto wake wamekwenda uhamishoni,
mateka mbele ya adui. 13“Kutoka juu alipeleka moto,
akaushusha katika mifupa yangu.
6Fahari yote imeondoka Aliitandia wavu miguu yangu
kutoka kwa Binti Sayuni. na akanirudisha nyuma.
Wakuu wake wako kama ayala Akanifanya mkiwa,
ambaye hapati malisho, na mdhaifu mchana kutwa.
katika udhaifu wamekimbia
mbele ya anaye wasaka. 14“Dhambi zangu zimefungwa kwenye nira,
kwa mikono yake zilifumwa pamoja.
7Katikasiku za mateso yake na kutangatanga Zimefika shingoni mwangu
Yerusalemu hukumbuka hazina zote na Bwana ameziondoa nguvu zangu.
ambazo zilikuwa zake katika siku za kale. Amenitia mikononi mwa wale ambao
Wakati watu wake walipoanguka katika mikono siwezi kushindana nao.
ya adui,
hapakuwepo na ye yote wa kumsaidia 15“Bwanaamewakataa
watesi wake walimtazama wapiganaji wa vita wote walio kati yangu,
na kumcheka katika maangamizi yake. ameagiza jeshi dhidi yangu
2
MAOMBOLEZO
kuwaponda vijana wangu wa kiume.
Katika shinikizo lake la divai Bwana 2 Tazama jinsi Bwana alivyomfunika
Binti Sayuni kwa wingu la hasira yake!
amemkanyaga Bikira Binti Yuda. Ameitupa chini fahari ya Israeli
kutoka mbinguni mpaka duniani,
16“Hii
ndiyo sababu ninalia hakukumbuka kiti chake cha kuwekea miguu
na macho yangu yanafurika machozi. katika siku ya hasira yake.
Hakuna ye yote aliye karibu kunifariji,
hakuna ye yote wa kuhuisha roho yangu. 2Bila huruma Bwana ameyameza
Watoto wangu ni wakiwa makao yote ya Yakobo,
kwa sababu adui ameshinda. katika ghadhabu yake
amebomoa ngome za Binti Yuda.
17Sayuni ananyosha mikono yake, Ameuangusha ufalme wake na wakuu wake
lakini hakuna ye yote wa kumfariji. chini kwa aibu.
BWANA ametoa amri kwa ajili ya Yakobo
kwamba majirani zake wawe adui zake, 3Katikahasira kali amevunja kila
Yerusalemu umekuwa pembe ya Israeli.
kitu najisi miongoni mwao. Ameuondoa mkono wake wa kuume
alipokaribia adui.
18“BWANA ni mwenye haki, Amemteketeza Yakobo kama moto uwakao
hata hivyo niliasi dhidi ya amri yake. ule uteketezao kila kitu kinachouzunguka.
Sikilizeni, enyi mataifa yote,
tazameni maumivu yangu. 4Ameupinda upinde wake kama adui,
Wavulana wangu na wasichana wangu mkono wake wa kuume uko tayari.
wamekwenda uhamishoni. Kama vile adui amewachinja wote waliokuwa
wanapendeza jicho,
19“Niliitawashiriki wangu amemwaga ghadhabu yake kama moto juu ya
lakini walinisaliti. hema la Binti Sayuni.
Makuhani wangu na wazee wangu
waliangamia mjini 5Bwana ni kama adui,
walipokuwa wakitafuta chakula amemmeza Israeli.
ili waweze kuishi. Amemeza majumba yake yote ya kifalme
na kuangamiza ngome zake.
20“Angalia,Ee BWANA, jinsi nilivyo katika dhiki! Ameongeza huzuni na maombolezo
Nina maumivu makali ndani yangu, kwa ajili ya Binti Yuda.
nami ninahangaika moyoni mwangu,
kwa kuwa nimekuwa mwasi sana. 6Ameharibu maskani yake kama bustani,
Huko nje, upanga unaua watu, ameharibu mahali pake pa mkutano.
ndani, kipo kifo tu. BWANA amemfanya Sayuni kusahau
sikukuu zake zilizoamriwa na Sabato zake,
21“Watu wamesikia ninavyolia kwa uchungu, katika hasira yake kali amewakataa kwa dharau
lakini hakuna ye yote wa kunifariji. mfalme na kuhani.
Adui zangu wote wamesikia juu ya dhiki yangu,
wanafurahia lile ulilolitenda. 7Bwana amekataa madhabahu yake
Naomba uilete siku uliyoitangaza na kuacha mahali patakatifu pake.
ili wawe kama mimi. Amemkabidhi adui kuta za majumba yake ya
kifalme,
22“Uovu wao wote na uje mbele zako, wamepiga kelele katika nyumba ya BWANA
uwashughulikie wao kama katika siku ya sikukuu iliyoamuriwa.
kama vile ulivyonishughulikia mimi
kwa sababu ya dhambi zangu zote. 8BWANA alikusudia kuangusha
Kulia kwangu kwa uchungu ni kwingi ukuta uliomzunguka Binti Sayuni.
na moyo wangu umedhoofika.’’ Ameinyoosha kamba ya kupimia
na hakuuzuia mkono wake usiangamize.
3
MAOMBOLEZO
Alifanya maboma na kuta ziomboleze, furaha ya dunia yote?”
vyote vikaharibika pamoja.
16Adui zako wote wanapanua vinywa vyao
9Malango yake yamezama ardhini, dhidi yako,
makomeo yake ameyavunja na kuyaharibu. wanadhihaki na kusaga meno yao
Mfalme wake na wakuu wake wamepelekwa na kusema, “Tumemmeza.
uhamishoni miongoni mwa mataifa, Hii ndiyo siku tuliyoingojea,
sheria haipo tena tumeishi na kuiona.”
na manabii wake hawapati tena maono
kutoka kwa BWANA. 17BWANA amefanya lile alilolipanga,
ametimiza neno lake
10Wazee wa Binti Sayuni aliloliamuru siku za kale.
wanaketi chini kimya, Amekuangusha bila huruma,
wamenyunyiza mavumbi kwenye vichwa vyao amewaacha adui wakusimange,
na kuvaa nguo za gunia. ametukuza pembea ya adui yako.
Wanawali wa Yerusalemu
wamesujudu hadi ardhini. 18Mioyo ya watu inamlilia Bwana.
Ee ukuta wa Binti Sayuni,
11Macho yangu yamedhoofika kwa kulia, machozi yako na yatiririke kama mto
nina maumivu makali ndani, mchana na usiku,
moyo wangu umemiminwa ardhini usijipe nafuu,
kwa sababu watu wangu wameangamizwa, macho yako yasipumzike
kwa sababu watoto na wanyonyao
wanazimia kwenye barabara za mji. 19Inuka,lia usiku,
zamu za usiku zianzapo,
12Wanawaambia mama zao, mimina moyo wako kama maji
“Wapi mkate na divai?” mbele za Bwana.
Wazimiapo kama watu waliojeruhiwa Mwinulie yeye mikono yako
katika barabara za mji, kwa ajili ya maisha ya watoto wako,
maisha yao yadhoofikavyo ambao wanazimia kwa njaa
mikononi mwa mama zao. kwenye kila mwanzo wa barabara.
4
MAOMBOLEZO
adui yangu amewaangamiza. 21Hata hivyo najikumbusha neno hili
na kwa hiyo ninalo tumaini.
4Amefanya ngozi yangu na nyama yangu 24Nimeiambia nafsi yangu, “BWANA ni fungu
kuchakaa langu,
na ameivunja mifupa yangu. kwa hiyo nitamngojea.”
5Amenizingira na kunizunguka
kwa ajili ya mishale yake. kwa kuwa upendo wake usiokoma ni mkuu.
33Kwa maana hapendi kuwaletea mateso
13Alinichoma moyo wangu au huzuni watoto wa wanadamu.
kwa mishale iliyotoka kwenye podo lake.
14Nimekuwa kichekesho kwa watu wangu wote, 34 Kuwaponda chini ya nyayo
wananidhihaki kwa wimbo mchana kutwa. wafungwa wote katika nchi,
15Amenijaza kwa majani machungu 35Kumnyima mtu haki zake
5
MAOMBOLEZO
kwa Mungu mbinguni, na tuseme:
42‘‘Tumetenda dhambi na kuasi 61Ee BWANA, umesikia matukano yao,
nawe hujasamehe. mashauri yao yote mabaya dhidi yangu,
62kile adui zangu wanachonong’ona na
43‘‘Umejifunika mwenyewe kwa hasira na kunung’unikia
kutufuatilia, dhidi yangu mchana kutwa.
umetuchinja bila huruma.
44Unajifunika mwenyewe kwa wingu 63Watazame! Wakiwa wameketi au
ili kwamba pasiwe na ombi litakaloweza wamesimama,
kupenya. wananidhihaki katika nyimbo zao.
45Umetufanya takataka na uchafu
4
48Vijito vya machozi vinatiririka kutoka machoni Jinsi dhahabu ilivyopoteza mng’ao wake
mwangu, dhahabu iliyo safi imekuwa haing’ai!
kwa sababu watu wangu wameangamizwa. Vito vya thamani vimetawanywa
kwenye mwanzo wa kila barabara.
49Macho yangu yatatiririka machozi bila kukoma,
bila kupata nafuu, 2Jinsi
wana wa Sayuni wenye thamani,
50hadi BWANA atazame chini ambao mwanzo uzito wa thamani yao
kutoka mbinguni na kuona. ulikuwa wa dhahabu,
51Lile ninaloliona huniletea huzuni nafsini sasa wanaangaliwa kama vyungu vya udongo,
kwa sababu ya wanawake wote wa mji kazi ya mikono ya mfinyanzi!
wangu.
3Hata mbweha hutoa matiti
52Wale ambao walikuwa adui zangu yao kunyonyesha watoto wao,
bila sababu wameniwinda kama ndege. lakini watu wangu wamekuwa wasio na huruma
53Walijaribu kukomesha maisha yangu ndani ya kama mbuni katika jangwa.
shimo
na kunitupia mawe, 4Kwa sababu ya kiu ulimi wa mtoto mchanga
54maji yalifunika juu ya kichwa changu, umegandamana na kaakaa la kinywa chake,
nami nikafikiri nilikuwa karibu kukatiliwa watoto huomba mkate,
mbali. lakini hakuna ye yote awapaye.
55Nililiitia
jina lako, Ee BWANA, 5Wale waliokula vyakula vya kifahari
kutoka vina vya shimo. ni maskini barabarani.
56Ulisikia ombi langu: “Usikizibie masikio yako Wale waliokuzwa wakivaa nguo za zambarau
kilio changu sasa wanalala kwenye malundo ya majivu.
nikuombapo msaada.”
57Ulikuja karibu nilipokuita, 6Adhabu ya watu wangu
nawe ulisema, “Usiogope.” ni kubwa kuliko ile ya Sodoma,
ambayo ilipinduliwa ghafula
58EeBwana, ulichukua shauri langu, bila kuwepo mkono wa kumsaidia.
ukaukomboa uhai wangu.
59Umeona, Ee BWANA, ubaya niliotendewa. 7Wakuu wao walikuwa wameng’aa kuliko theluji
Tetea shauri langu! na waupe kuliko maziwa,
60Umeona kina cha kisasi chao, miili yao ilikuwa myekundu kuliko marijani,
mashauri yao yote mabaya dhidi yangu. kuonekana kwao kama yakuti samawi.
6
MAOMBOLEZO
17Zaidiya hayo, macho yetu yalichoka,
8Lakinisasa ni weusi kuliko masizi, kwa kutazamia bure msaada,
hawatambulikani barabarani. tuliangalia kutoka minara yetu
Ngozi yao imeshikamana juu ya mifupa yao, kwa taifa lile lisiloweza kutuokoa.
imekuwa mikavu kama fimbo.
18Watuwalitunyemelea katika kila hatua
9Wale waliouawa kwa upanga ni bora kwa hiyo hatukuweza kutembea katika
kuliko wale waliokufa kwa njaa, barabara zetu.
waliteseka kwa njaa, walitokomea Mwisho wetu ulikuwa karibu, siku zetu zilikuwa
kwa ajili ya kukosa chakula kutoka zimetimia,
shambani. kwa maana mwisho wetu ulikuwa umefika.
14Sasa
wanapapasa papasa barabarani 5 Kumbuka, Ee BWANA, yaliyotupata,
tazama, nawe uione aibu yetu.
kama watu ambao ni vipofu. 2Urithi wetu umegeuziwa kwa wageni,
7
MAOMBOLEZO
9Tunapata chakula chetu kwa kuhatarisha
maisha yetu
kwa sababu ya upanga jangwani.
10Ngozi yetu ina joto kama jiko la kuokea,
ya kusagia,
wavulana wanayumbayumba chini ya mizigo
ya kuni.
14Wazee wameondoka toka lango la mji,
ukiwa,
mbweha huzungukazunguka juu yake.
19Wewe, Ee BWANA tawala milele,
tupate kurudi,
zifanye mpya siku zetu kama siku za kale
22labda uwe umetukataa kabisa
8
EZEKIELI
Utangulizi
Kitabu hiki kimepewa jina la nabii Ezekieli ambaye maana ya jina lake ni“Mungu ni mwenye Nguvu.”Alizaliwa
katika jamaa ya kikuhani 623 K.K.Ezekieli alilelewa katika mazingira ya hekalu huko Yerusalemu. Mpangilio wa
kihistoria wa kitabu cha Ezekieli ni Babeli wakati wa miaka ya mwanzo ya watu kupelekwa uhamishoni huko
Babeli (593- 571 K.K). Nebukadneza alichukua mateka wa Kiyahudi kutoka Yerusalemu kwenda Babeli katika
awamu tatu: (1)Mnamo 605 K.K., katika wale waliochukuliwa, walichaguliwa vijana wa Kiyahudi, miongoni mwao
walikuwa Danieli na rafiki zake watatu. (2) Mnamo mwaka 597 K.K. Ezekieli alikuwa mmoja wa wale mateka
10,000 waliopelekwa uhamishoni Babeli. Mungu alimwita katika huduma mnamo mwaka 593 K.K kwa njia ya
ufunuo wa Mungu kuwa nabii. Awamu ya tatu ni ipi?
Katika sehemu ya kwanza ya hudumu yake alitoa ujumbe unaliohusu yale yale ambayo Yeremia alitangaza
kwamba mji wa Yerusalemu na hekalu vingaliharibiwa. Wingi wa dhambi na kuabudu sanamu kulikokuwa
kunaendelea huko Yerusalemu kungelisababisha Mungu kuliacha hekelu na Yerusalemu pia, kukifuatiwa na
hukumu. Babeli kuja kuteka na kuharibu kulikuwa ni uhakikisho.
Baada ya habari kufika Babeli mnamo 586 K. K kwamba Yerusalemu umeangamizwa, Ezekieli alitangaza
ujumbe mpya wa matumaini na kurudishwa kwa Waisraeli. Kama Mchungaji Mkuu, Mungu angewakusanya tena
Waisraeli kutoka miisho ya dunia na kuwaimarisha tena katika nchi yao wenyewe. Mataifa ambayo yangeleta
upinzani kuhusu kurudi kwa Waisraeli wangeshindwa na kuhukumiwa.
Wazo Kuu
Kuwaonya watu juu ya makosa yao na matokeo ya kutokutii. Kuonyesha pia wema wa Mungu kwa watu
Wake na kuweka wazi rehema za Mungu endapo watu watatubu.
Kusudi
(1)Kutangaza hukumu ya Mungu dhidi ya Wayuda na Yerusalemu waliopotoka (sura 1 – 24) na mataifa saba ya
kigeni yaliyowazunguka ( sura 25 – 32), pia wokovu wa watu wa Mungu.
(2)Kuimarisha imani za watu wa Mungu waliobaki kwao na kuhusu kurejeshwa kwa watu Wake wa agano
utukufu Wake wa mwisho wa ufalme Wake (33 -48).Nabii anasisitiza umuhimu wa kila mtu kuwa mwaminifu
mbele za Mungu badala ta kuwatupia lawama kwa ajili ya dhambi iliyosababisha uhamisho (18:1 -32; 33:10 –
20).
Mwandishi
Ezekieli mwana wa Buzi.
Mahali
Yerusalemu, Babeli na Misri.
Ezekieli aliishi wakati mmoja na Yeremia lakini umri wake ulikuwa mdogo zaidi. Yeremia aliwatabiria watu wakiwa
bado wako katika nchi ya Yuda. Ezekieli aliwatabiria waliokuwa Yerusalemu na wale ambao tayari walikuwa
wameshakwenda uhamishoni Babeli baada ya kushindwa kwa Yehoiakimu. Ezekieli alipelekwa uhamishoni huko
Babeli 597 K.K.
Tarehe
Aliandika ujumbe katika miaka ya 593 – 571 K.K. na ukapewa kwa wenzake wengine waliokuwa uhamishoni
Babeli kama mateka.
Wahusika Wakuu
Ezekiel, viongozi wa Israeli, mke wa Ezekieli, Nebukadneza, “Mwana wa Mfalme.’’
Mgawanyo
• Mwito wa Ezekieli. (1:1-3:27)
• Hali ya dhambi ya Yerusalemu na maangamizi. (4:1-24:27)
• Unabii dhidi ya mataifa ya kigeni. (25:1-32:32)
• Umaini ya kurudishwa upya. (33:1-39:29)
• Israeli warudi kwenye nchi yao (40:1-48:35)
1
EZEKIELI
Viumbe Hai Na Utukufu Wa BWANA 15Nilipokuwa nikitazama vile viumbe hai,
1 Katika mwaka wa thelathini, mwezi wa
nne siku ya tano ya mwezi, wakati
niliona gurudumu moja juu ya ardhi kando ya
kila kiumbe kikiwa na nyuso zake nne. 16Hivi
nilipokuwa miongoni mwa hao waliokuwa ndivyo ilivyokuwa kuonekana kwa hayo
uhamishoni kando ya mto Kebari, mbingu magurudumu na muundo wake: yaling’aa kama
zilifunguka nami nikaona maono ya Mungu. zabarajadi, nayo yote manne yalifanana. Kila
2Katika siku ya tano ya mwezi, ilikuwa gurudumu lilikuwa na gurudumu jingine ndani
mwaka wa tano wa kuhamishwa kwa Mfalme yake. 17Yalipokwenda yalielekea upande wo
Yehayakini, 3neno la BWANA lilimjia Ezekieli wote wa pande nne walipoelekea wale viumbe,
kuhani, mwana wa Buzi, kando ya mto Kebari, magurudumu hayakuzunguka wakati viumbe
katika nchi ya Wakaldayo. Huko mkono wa vile vilipokwenda. 18Kingo zake zilikuwa ndefu
BWANA ulikuwa juu yake. kwenda juu na za kutisha, nazo zote nne zilijawa
4Nilitazama, nikaona dhoruba kubwa ikitoka na macho pande zote.
kaskazini, wingu kubwa sana pamoja likiwa na 19Vile viumbe hai vilipokwenda,
umeme wa radi likiwa limezungukwa na mwanga magurudumu yaliyokuwa kando yao yalisogea
mkali. Katikati ya huo moto kulikuwa kama rangi na wakati hivyo viumbe hai vilipoinuka kutoka
ya manjano ya chuma kinapokuwa ndani ya ardhini magurudumu nayo yaliinuka. 20Mahali po
moto. 5Katika ule moto kulikuwa na kitu pote roho alipokwenda wale viumbe nao
kinachofanana na viumbe vinne vyenye uhai. walikwenda, nayo magurudumu yaliinuka
Katika kuonekana kwake vilikuwa na umbo pamoja navyo, kwa sababu roho ya vile viumbe
mfano wa mwanadamu, 6lakini kila kimoja hai alikuwa ndani ya hayo magurudumu.
kilikuwa na nyuso nne na mabawa manne. 21Wakati viumbe vile viliposogea, nayo
7Miguu yao ilikuwa imenyooka, nyayo za miguu magurudumu yalisogea, viumbe viliposimama
yao zilikuwa kama kwato za miguu ya ndama, kimya, nayo pia yalisimama kimya, viumbe
nazo zilimetameta kama shaba iliyosuguliwa. vilipoinuka juu ya nchi magurudumu yaliinuliwa
8Chini ya mabawa yao katika pande zao nne pamoja navyo kwa kuwa roho ya hivyo viumbe
walikuwa na mikono ya mwanadamu. Wote hai ilikuwa ndani ya hayo magurudumu.
wanne walikuwa na nyuso na mabawa, 9nayo 22Juu ya vichwa vya hao viumbe hai
mabawa yao yaligusana. Kila mmoja alikwenda palikuwa na kitu mfano wa eneo lililokuwa wazi,
kuelekea mbele moja kwa moja, hawakugeuka lililokuwa angavu kabisa na lenye kutisha.
walipokuwa wanatembea. 23Chini ya hiyo nafasi mabawa yao yalitanda
10Kuonekana kwa nyuso zao kulikuwa hivi: moja kuelekea jingine, kila mmoja alikuwa na
Kila mmoja wa wale wanne alikuwa na uso wa mabawa mengine mawili yaliyofunika mwili
mwanadamu na kwa upande wa kulia kila wake. 24Viumbe wale waliposogea nilisikia sauti
mmoja alikuwa na uso wa simba, upande wa ya mabawa yao, kama ngurumo ya maji
kushoto alikuwa na uso wa ng’ombe pia kila yaendayo kasi, kama sauti ya Mungu Mwenye
mmoja alikuwa na uso wa tai. 11Hivyo ndivyo Nguvu a , kama makelele ya jeshi. Waliposimama
zilivyokuwa nyuso zao. Mabawa yao kimya walishusha mabawa yao.
yalikunjuliwa kuelekea juu, kila mmoja alikuwa 25Ndipo ikaja sauti toka juu ya ile nafasi ya
na mabawa mawili ambayo kila moja liiigusa wazi iliyokuwa juu ya vichwa vyao, wakati
bawa la mwenzake kila upande na mabawa waliposimama mabawa yao yakiwa
mengine mawili yakifunika mwili wake. 12Kila yameshushwa. 26Juu ya ile nafasi ya wazi
mmoja alikwenda kuelekea mbele moja kwa iliyokuwa juu ya vichwa vyao kulikuwa na kitu
moja. Po pote roho alipotaka kwenda, ndipo mfano wa kiti cha enzi kuonekana kwake chenye
walipokwenda pasipo kugeuka. 13Kuonekana rangi ya yakuti samawi, na juu ya kile kiti cha
kwa vile viumbe hai katikati kulikuwa kama enzi kulikuwa na umbo mfano wa mwanadamu.
makaa ya mawe yanayowaka au kama mienge. 27Nikaona kwamba kutokana na kile nilichoona
Moto ule ulikuwa ukienda mbele na nyuma kama kiuno chake kuelekea juu alionekana
katikati ya vile viumbe, ulikuwa na mwangaza kama chuma inayowaka kana kwamba imejaa
mkali na katikati ya ule moto kulitoka kimulimuli moto na kuanzia kiuno kwenda chini alionekana
kama umeme wa radi. 14Vile viumbe vilipiga
mbio kwenda na kurudi, kama vimulimuli vya a24 Mungu Mwenye Nguvu hapa ina maana ya Shaddai
umeme wa radi. kwa Kiebrania.
2
EZEKIELI
kama moto na mwanga mkali ulimzunguka. mengi yenye maneno ya kutatiza na lugha
28Kama vile kuonekana kwa upinde wa mvua ngumu ambao maneno yao hutayaelewa.
mawinguni siku ya mvua, ndivyo ulivyokuwa ule Hakika ningekutuma kwa watu hao,
mng’ao uliomzunguka. wangekusikiliza. 7Lakini nyumba ya Israeli
Hivi ndivyo ilivyokuwa kuonekana kwa haitakusikiliza kwa kuwa hawako radhi
utukufu wa BWANA. Nilipouona, nikaanguka kunisikiliza mimi, kwa kuwa nyumba yote ya
kifudifudi, nikasikia sauti ya mtu anaongea. Israeli ni wenye vipaji vya nyuso vigumu na
mioyo ya ukaidi. 8Tazama nimefanya uso wako
Wito Wa Ezekieli mgumu dhidi ya nyuso zao na kipaji cha uso
Akaniambia, “Mwanadamu, simama kwa wako kigumu dhidi ya vipaji vya nyuso zao.
2 miguu yako nami nitasema nawe.”
2Alipokuwa akiongea nami, Roho akanijia na
9Kama vile almasi ilivyo ngumu kuliko
gumegume ndivyo nilivyokifanya kipaji cha uso
kunisimamisha wima, nikamsikia akisema nami. wako. Usiwaogope wala usiwahofu, wajapokuwa
3Akaniambia: “Mwanadamu, ninakutuma ni nyumba ya kuasi.’’
kwa Waisraeli, kwa taifa asi ambalo limeniasi 10Naye akaniambia, “Mwanadamu, sikiliza
mimi, wao na baba zao wananikosea mimi hadi kwa makini na uyatie moyoni mwako maneno
leo. 4Watu ambao ninakutuma kwao ni wapotovu yote nitakayosema nawe. Kisha nenda kwa watu
na wakaidi. Waambie, ‘Hivi ndivyo anavyosema wa taifa lako walio uhamishoni, ukaseme nao.
BWANA Mwenyezi.’ 5Kama watasikiliza au Waambie, ‘Hivi ndivyo BWANA Mwenyezi
hawatasikiliza, kwa kuwa wao ni nyumba ya asemavyo,’ kwamba watasikiliza au
kuasi, watajua nabii amekuwa miongoni mwao. hawatasikiliza.’’
6Nawe mwanadamu, usiwaogope wao wala 12Ndipo Roho akaniinua, nikasikia sauti
maneno yao, usiogope, ingawa michongoma na kubwa nyuma yangu ya ngurumo, ikisema,
miiba vinakuzunguka na ‘Utukufu wa BWANA na utukuzwe katika mahali
unaishi katikati ya nge. Usiogope yale pa makao yake! Nikasikia nyuma yangu sauti ya
wasemayo wala usitishwe nao, ingawa wao ni ngurumo. 13Ilikuwa ni sauti ya mabawa ya wale
nyumba ya uasi. 7Wewe lazima uwaambie viumbe hai yakisuguana moja kwa jingine.
maneno yangu, ikiwa wanasikiliza au 14Ndipo Roho aliponiinua na kunipeleka mbali.
hawasikilizi, kwa kuwa wao ni watu waasi. Nikaenda nikiwa na uchungu na hasira moyoni
8Lakini wewe mwanadamu, sikiliza mwangu, nao mkono wa BWANA ukiwa juu
ninalokuambia. Usiwe mwenye kuasi kama hiyo yangu. 15Nikafika kwa wale watu waliokuwa
nyumba ya kuasi. Fungua kinywa chako na ule uhamishoni huko Tel-Abibu karibu na Mto
nikupacho.” Kebari. Nikakaa miongoni mwao kwa muda wa
9Ndipo nikatazama, nami nikaona mkono siku saba, nikiwa nimejawa na mshangao.
ulionyooshwa kunielekea. Nao ulikuwa na
ukurasa wa kitabu, 10ambao aliukunjua mbele Onyo Kwa Israeli
yangu. Pande zote mbili ulikuwa umeandikwa 16Mwishoni mwa hizo siku saba neno la
maneno yangu. 5Hukutumwa kwa taifa lenye na kutenda maovu, nami nikaweka kikwazo
maneno ya kutatiza na lugha ngumu, bali kwa mbele yake mtu huyo atakufa. Kwa kuwa
nyumba ya Israeli. 6Sikukutuma kwa mataifa hukumwonya, atakufa katika dhambi yake.
3
EZEKIELI
Mambo ya haki aliyotenda, hayatakumbukwa, Nimekupangia siku arobaini, siku moja kwa kila
damu yake nitaidai mkononi mwako. 21Lakini mwaka mmoja. 7Geuza uso wako uelekeze
ukimwonya mwenye haki asitende dhambi na kwenye kuzingirwa kwa Yerusalemu na mkono
akaacha kutenda dhambi, hakika ataishi kwa wako ambao haukuvikwa nguo tabiri dhidi yake.
sababu alipokea maonyo na utakuwa umejiokoa 8Nitakufunga kwa kamba ili usiweze kugeuka
Simamisha askari dhidi yake kuuzunguka, mimi nitakatilia mbali upatikanaji wa chakula
uzunguke kwa majeshi, weka kambi dhidi yake katika Yerusalemu. Watu watakula chakula cha
pande zote pamoja na magogo ya kubomolea kupimwa kwa wasiwasi pamoja na maji ya
boma vitani. 3Kisha chukua bamba la chuma, kupimiwa kwa kukata tamaa, 17kwa kuwa
ukalisimamishe liwe kama ukuta wa chuma kati chakula na maji vitakuwa adimu. Watastajabiana
yako na huo mji, nawe uuelekeze uso wako. kila mmoja, nao watadhoofika kwa sababu ya
Huo mji utakuwa katika hali ya kuzingirwa, nawe dhambi yao.
utauzingira. Hii itakuwa ishara kwa nyumba ya
Israeli. Upanga Dhidi Ya Yerusalemu
4“Kisha ulale kwa upande wako wa kushoto
na uweke dhambi za nyumba ya Israeli juu yake. 5 Mwanadamu, sasa chukua upanga mkali
na uutumie kama wembe wa kinyozi ili
Utazibeba dhambi zao kwa idadi ya siku kunyolea nywele za kichwa chako na ndevu
utakazolala kwa huo upande mmoja. zako. Kisha uchukue mizani ya kupimia
5Nimekupangia idadi ya siku kama miaka ya ukazigawanye nywele hizo. 2Wakati siku zako za
dhambi yao. Kwa hiyo kwa siku 390 utabeba kuzingirwa zitakapokwisha, choma theluthi moja
dhambi za nyumba ya Israeli. ya hizo nywele zako kwa moto ndani ya mji.
6“Baada ya kumaliza hili, lala chini tena,
wakati huu ulale chini kwa upande wa kuume, a10 Shekeli ishirini ni sawa na gramu 200.
uchukue dhambi za nyumba ya Yuda. b11 Moja ya sita ya hini ni sawa na 600ml.
4
EZEKIELI
Chukua theluthi nyingine ya hizo nywele uzipige nitakapokupiga kwa adhabu yangu katika hasira
kwa upanga kuuzunguka mji wote na theluthi na ghadhabu yangu kwa kukukemea kwa ukali.
nyingine ya mwisho utaitawanya kwa upepo. Mimi BWANA nimesema. 16Nitakapokupiga kwa
Kwa kuwa nitawafuatia kwa upanga uliofutwa. mishale yangu ya kufisha na yenye kuharibu ya
3Lakini chukua nywele chache uzifungie ndani njaa, nitaipiga ili kukuangamiza. Nitaleta njaa
ya pindo la vazi lako. 4Tena chukua nywele zaidi na zaidi juu yako na kukomesha
nyingine chache uzitupe motoni uziteketeze. upatikanaji wako wa chakula. 17Nitapeleka njaa
Moto utaenea kutoka humo na kufika katika na wanyama wa mwituni dhidi yenu, navyo
nyumba yote ya Israeli. vitawaacha bila watoto. Tauni na umwagaji wa
5Hili ndilo BWANA Mwenyezi asemalo: “Huu damu utapita katikati yenu, nami nitaleta upanga
ndio Yerusalemu ambao nimeuweka katikati ya juu yenu. Mimi BWANA nimenena haya.’’
mataifa ukiwa umezungukwa na nchi pande
zote. 6Lakini katika uovu wake umeasi sheria na Unabii Dhidi Ya Milima Ya Israeli
amri zangu kuliko mataifa na nchi
zinazouzunguka. umeasi sheria zangu wala 6 Neno la BWANA likanijia kusema,
2“Mwanadamu, elekeza uso wako kukabili
haukufuata amri zangu. milima ya Israeli, utabiri dhidi yake 3na useme:
7Kwa hiyo hili ndilo BWANA Mwenyezi ‘Ee milima ya Israeli, sikia neno la BWANA
asemalo: “Ninyi mmekuwa wakaidi kuliko Mwenyezi. Hili ndilo BWANA Mwenyezi
mataifa yanayowazunguka na hamkufuata amri aliambiayo milima na vilima, magenge na
zangu wala kuzishika sheria zangu. Wala mabonde: Ninakaribia kuleta upanga dhidi yenu,
hamkuweza hata kuzifuata kawaida za mataifa nami nitapaharibu mahali penu pote pa juu pa
yanayowazunguka. kuabudia miungu. 4Madhabahu zenu
8Kwa hiyo, hili ndilo BWANA Mwenyezi zitabomolewa na madhabahu zenu za kufukizia
asemalo, “Mimi mwenyewe, niko kinyume chenu uvumba zitavunjwavunjwa, nami nitawachinja
Yerusalemu, nitawapiga kwa adhabu yangu watu wenu mbele ya sanamu zenu. 5Nitazilaza
mbele ya mataifa. 9Kwa ajili ya sanamu zenu maiti za Waisraeli mbele ya sanamu zao, nami
zote za machukizo, nitawafanyia kile ambacho nitatawanya mifupa yenu kuzunguka
kamwe sijawafanyia kabla wala kamwe madhabahu zenu. Po pote mnapoishi, miji hiyo
6
sitawafanyia tena. 10Kwa hiyo katikati yenu baba itafanywa ukiwa na mahali pa juu pa kuabudia
watakula watoto wao na watoto watakula baba miungu patabomolewa, ili madhabahu zenu
zao. Nitawapiga kwa adhabu, nami zifanywe ukiwa na kuharibiwa, sanamu zenu
nitawatawanya watu wenu walionusurika pande zitavunjwavunjwa na kuharibiwa, madhabahu
zote za dunia. 11Kwa hiyo hakika kama niishivyo, zenu za kufukizia uvumba zitabomolewa na kila
asema BWANA Mwenyezi, kwa kuwa mmenajisi mlichokifanya kitakatiliwa mbali. 7Watu wenu
mahali pangu patakatifu kwa sanamu zenu watachinjwa katikati yenu, nanyi mtatambua
mbaya sana na desturi zenu za machukizo, Mimi ndimi BWANA.
mimi mwenyewe nitaondoa fadhili zangu kwenu. 8Lakini nitawabakiza hai baadhi yenu, kwa
12Theluthi ya watu wako watakufa kwa tauni au kuwa baadhi yenu watanusurika kuuawa
kwa njaa humu ndani yako, theluthi nyingine watakapokuwa wametawanyika katika nchi na
itaanguka kwa upanga nje ya kuta zako, nayo mataifa. 9Ndipo katika mataifa ambamo
theluthi nyingine nitaitawanya kwenye pande watakuwa wamechukuliwa mateka, wale ambao
nne kuwafuatia kwa upanga uliofutwa. watanusurika watanikumbuka, jinsi ambavyo
13“Ndipo hasira yangu itakapokoma na nimehuzunishwa na mioyo yao ya uzinzi,
ghadhabu yangu dhidi yao itatulia, nami ambayo imegeukia mbali nami na macho yao
nitakuwa nimelipiza kisasi. Baada ya kuimaliza ambayo yametamani sanamu zao. Watajichukia
ghadhabu yangu juu yao, watajua kuwa mimi wenyewe kwa ajili ya uovu walioutenda na kwa
BWANA nimenena katika wivu wangu. ajili ya desturi zao za kuchukiza. 10Nao watajua
14“Nitakuangamiza na kukufanya kitu cha kuwa Mimi ndimi BWANA, sikuwaonya bure
kudharauliwa miongoni mwa mataifa kuwa nitaleta maafa hayo yote juu yao.
yanayokuzunguka, machoni pa watu wote 11“ ‘Hili ndilo BWANA Mwenyezi asemalo:
wapitao karibu nawe. 15Utakuwa kitu cha “Piga makofi, kanyaga chini kwa mguu na upige
kudharauliwa na cha aibu, cha dhihaka, ovyo na kelele, “Ole!’’ Kwa sababu ya maovu yote na
kitu cha kutisha kwa mataifa yanayokuzunguka, machukizo yote yanayofanywa na nyumba ya
5
EZEKIELI
Israeli, kwa kuwa wataanguka kwa upanga, njaa hakuna utajiri, hakuna chenye thamani. 12Wakati
na tauni. 12Yeye aliye mbali sana atakufa kwa umewadia, siku imefika. Mnunuzi na asifurahi
tauni, naye aliye karibu atauawa kwa upanga, wala mwuzaji asihuzunike, kwa maana
naye yule atakayenusurika na kubaki atakufa ghadhabu iko juu ya kundi lote. 13Mwuzaji
kwa njaa. Hivyo ndivyo nitakavyotimiza hatajipatia tena ardhi aliyoiuza wakati wote
ghadhabu yangu dhidi yao. 13Nao watajua wawili wangali hai, kwa kuwa maono kuhusu
kwamba Mimi ndimi BWANA, wakati maiti za kundi lote hayatatanguka. Kwa sababu ya
watu wao zitakapokuwa zimelala katikati ya dhambi zao, hakuna hata mmoja atakayeokoa
sanamu zao kuzunguka madhabahu zao, juu maisha yake. 14Wajapo piga tarumbeta na
kila kilima kilichoinuka na juu ya vilele vyote vya kuweka kila kitu tayari, hakuna hata mmoja
milima, chini ya kila mti uliotanda na kila atakayekwenda vitani, kwa maana ghadhabu
mwaloni wenye majani, yaani, sehemu yangu iko juu ya kundi lote.
walizofukizia uvumba kwa sanamu zao zote. 15“Nje ni upanga, ndani ni tauni na njaa,
14Nami nitanyoosha mkono wangu dhidi yao na wale walioko shambani watakufa kwa upanga,
kuifanya nchi yao ukiwa, kuanzia jangwani hadi nao wale waliomo mjini njaa na tauni vitawala.
Dibla, kila mahali po pote wanapoishi. Ndipo 16Wale wote watakaopona na kutoroka
watakapojua ya kwamba Mimi ndimi BWANA.’ ‘’ watakuwa milimani, wakiomboleza kama hua wa
mabondeni, kila mmoja kwa sababu ya dhambi
Mwisho Umewadia zake. 17Kila mkono utalegea na kila goti litakuwa
Neno la BWANA likanijia kusema: dhaifu kama maji. 18Watavaa nguo ya gunia na
7 2“Mwanadamu, hili ndilo BWANA kufunikwa na hofu. Nyuso zao zitafunikwa na
Mwenyezi asemalo kwa nchi ya Israeli: ‘Mwisho! aibu na nywele za vichwa vyao zitanyolewa.
Mwisho umekuja juu ya pembe nne za nchi. 19Watatupa fedha yao barabarani, nayo
3Sasa mwisho umekuja juu yenu nami dhahabu yao itakuwa najisi. Fedha yao na
nitamwaga hasira yangu dhidi yenu. dhahabu yao havitaweza kuwaokoa katika siku
Nitawahukumu sawasawa na matendo yenu na hiyo ya ghadhabu ya BWANA. Hawatashibisha
kuwalipiza kwa ajili ya desturi zenu zote za njaa yao au kujaza matumbo yao kwa hiyo
kuchukiza. 4Sitawaonea huruma wala fedha wala dhahabu, kwa sababu imewaponza
sitawarehemu, hakika nitawalipiza kwa ajili ya wajikwae dhambini. 20Walijivunia vito vyao vizuri
matendo yenu na desturi zenu za machukizo na kuvitumia kufanya sanamu za machukizo na
miongoni mwenu. Ndipo mtakapojua kuwa Mimi vinyago vya upotovu. Kwa hiyo nitavifanya vitu
ndimi BWANA. hivyo kuwa najisi kwao. 21Nitavitia vyote
5“Hili ndilo BWANA Mwenyezi asemalo: mikononi mwa wageni kuwa nyara na kuwa vitu
“Maafa! Maafa ambayo hayajasikiwa yanakuja. vilivyotekwa mikononi mwa watu waovu wa
6Mwisho umewadia! Mwisho umewadia! dunia, nao watavinajisi. 22Nitageuza uso wangu
Umejiinua wenyewe dhidi yenu. Umewadia! mbali nao, nao waovu wa dunia watapanajisi
7Maangamizi yamekuja juu yenu, ninyi mnaoishi mahali pangu pa thamani, wanyang’anyi
katika nchi. Wakati umewadia, siku imekaribia, watapaingia na kupanajisi.
kuna hofu kuu ya ghafula, wala si furaha, juu ya 23“Andaa minyororo, kwa sababu nchi
milima. 8Ninakaribia kumwaga ghadhabu yangu imejaa umwagaji wa damu na mji umejaa
juu yenu na kumaliza hasira yangu dhidi yenu, udhalimu. 24Nitaleta taifa ovu kuliko yote ili
nitawahukumu sawasawa na matendo yenu na kumiliki nyumba zao, nitakomesha kiburi cha
kuwalipiza kwa ajili ya desturi zenu zote za wenye nguvu na mahali pao patakatifu patatiwa
machukizo. 9Sitawaonea huruma wala unajisi. 25Hofu ya ghafula itakapokuja,
sitawarehemu, nitawalipiza sawasawa na watatafuta amani, lakini haitakuwepo. 26Maafa
matendo yenu na desturi zenu za machukizo juu ya maafa yatakuja, tetesi ya mabaya juu ya
miongoni mwenu. Ndipo mtajua kuwa Mimi tetesi ya mabaya. Watajitahidi kupata maono
ndimi BWANA ambaye huwapiga kwa mapigo. kutoka kwa nabii, mafundisho ya sheria toka
10“Siku imefika! Imewadia! Maangamizi kwa kuhani yatapotea, vivyo hivyo shauri kutoka
yamezuka ghafula, fimbo imechipua, majivuno kwa wazee. 27Mfalme ataomboleza, mwana wa
yamechanua! 11Jeuri imeinuka kuwa fimbo ya mfalme atavikwa kukata tamaa, nayo mikono ya
kuadhibu uovu, hakuna hata mmoja wa hao watu wa nchi itatetemeka. Nitawashughulikia
watu atakayeachwa, hata mmoja wa kundi lile, sawasawa na matendo yao na kwa kanuni zao
6
EZEKIELI
wenyewe nitawahukumu. Ndipo watajua wanayoyafanya wazee wa nyumba ya Israeli
kwamba Mimi ndimi BWANA.’’ gizani, kila mmoja kwenye sehemu yake
mwenyewe kufanyia ibada za sanamu yake?
Ibada Ya Sanamu Hekaluni Wao husema, ‘BWANA hatuoni, BWANA
mbele yangu, mkono wa BWANA Mwenyezi Kaskazini la nyumba ya BWANA, nami nikaona
ulikuja juu yangu. 2Nikatazama, nikaona umbo wanawake wameketi hapo, wakimwombolezea
mfano wa mwanadamu. Kutokana na kile Tamuzi. 15Akaniambia, “Unaliona hili,
kilichoonekana kuwa kiuno chake kuelekea chini mwanadamu? Utaona vitu ambavyo ni
alifanana na moto. Kuanzia kwenye kiuno machukizo kuliko hili.”
kuelekea juu sura yake kama chuma king’aavyo 16Ndipo akanileta mpaka kwenye ukumbi wa
kikiwa ndani ya moto. 3Akanyoosha kitu ndani wa nyumba ya BWANA, nako huko katika
kilichoonekana kama mkono, akaniinua kwa ingilio la hekalu, kati ya baraza na madhabahu,
kushika nywele za kichwa changu. Roho walikuwapo wanaume wapatao ishirini na
akaniinua juu kati ya nchi na mbingu nikiwa watano. Wakiwa wamelipa kisogo hekalu la
katika maono ya Mungu akanichukua mpaka BWANA na kuelekeza nyuso zao upande wa
Yerusalemu, kwenye ingilio la lango la upande mashariki, wakilisujudia jua huko mashariki.
wa kaskazini ya ukumbi wa ndani, mahali 17Akaniambia, “Je, umeona hili
iliposimama ile sanamu ichocheayo wivu. 4Hapo mwanadamu? Je, ni jambo dogo sana kwa
mbele yangu palikuwa na utukufu wa Mungu wa nyumba ya Yuda kufanya machukizo
Israeli, kama utukufu ule niliouona katika wanayoyafanya hapa? Je, ni lazima pia waijaze
maono kule uwandani. nchi dhuluma na kuendelea siku zote
5Kisha akaniambia, “Mwanadamu, tazama kunikasirisha? Watazame wanavyonibania pua
kuelekea kaskazini.” Hivyo nikatazama na kana kwamba ninanuka! 18Kwa hiyo
kwenye ingilio upande wa kaskazini wa lango la nitashughulika nao kwa hasira, sitawaonea
madhabahu, nikaona sanamu hii ya wivu. huruma wala kuwaachilia. Wajapopiga makelele
6Ndipo akaniambia, “Mwanadamu, je, masikioni mwangu, sitawasikiliza.”
unaona yale wanayofanya, haya mambo ya
machukizo kabisa nyumba ya Isaraeli Waabudu Sanamu Wauawa
wanayotenda hapa, ambayo yatanifanya niende
mbali na mahali pangu patakatifu? Lakini utaona 9 Kisha nikamsikia akiita kwa sauti kubwa
akisema, “Walete wasimamizi wa mji
vitu ambavyo vinachukiza zaidi hata kuliko hivi.” hapa, kila mmoja akiwa na silaha mkononi
7Kisha akanileta mpaka ingilio la ukumbi. mwake.’’ 2Nami nikaona watu sita wakija toka
Nikatazama, nami nikaona tundu ukutani. upande wa lango la juu, linalotazama kaskazini
8Akaniambia, “Mwanadamu, sasa toboa kwenye kila mmoja na silaha za kuangamiza mkononi
ukuta huu.” Ndipo nikatoboa ule ukuta, nikaona mwake. Pamoja nao alikuwepo mtu aliyekuwa
hapo pana mlango. amevaa mavazi ya kitani safi, naye alikuwa na
9Naye akaniambia, “Ingia ndani, ukaone vifaa vya mwandishi akiwa amevishikilia upande
maovu na machukizo wanayofanya humu.” mmoja. Wakaingia ndani ya hekalu
10Hivyo nikaingia ndani na kutazama, nikaona wakasimama pembeni mwa madhabahu ya
kuta zote zimechorwa kila aina ya vitu shaba.
vitambaavyo na ya wanyama wachukizao wa 3Basi utukufu wa Mungu wa Israeli
kila aina na sanamu zote za nyumba ya Israeli. ukaondoka hapo juu ya makerubi, ulikokuwa
11Mbele yao walisimama wazee sabini wa umekaa, ukaenda kwenye kizingiti cha hekalu.
nyumba ya Israeli, naye Yaazania mwana wa Ndipo BWANA akamwita yule mtu aliyevaa
Shafani alikuwa amesimama miongoni mwao. kitani safi aliyekuwa na vifaa vya mwandishi
Kila mmoja alikuwa na chetezo mkononi na akiwa amevishikilia upande wake mmoja,
moshi wa harufu nzuri ya uvumba ulikuwa 4akamwambia, “Pita katika mji wote wa
7
EZEKIELI
kuomboleza kwa sababu ya machukizo yote Mwenyezi wakati anapoongea.
yanayotendeka katika mji huu.’’ 6BWANA alipomwamuru yule mtu aliyevaa
5Nikiwa ninasikia, akawaambia wale nguo za kitani akisema, “Chukua moto toka
wengine, “Mfuateni anapopita katika mji wote katikati ya magurudumu, kutoka katikati ya
mkiua, pasipo huruma wala masikitiko. 6Waueni makerubi,’’yule mtu aliingia ndani akasimama
wazee, vijana wa kiume na wa kike, wanawake pembeni mwa gurudumu. 7Ndipo mmoja wa
na watoto, lakini msimguse mtu ye yote mwenye wale makerubi akanyoosha mkono wake
alama. Anzieni katika mahali pangu patakatifu.’’ kwenye moto uliokuwa katikati yao. Akachukua
Kwa hiyo wakaanza na wale wazee waliokuwa baadhi ya moto na kuutia mikononi mwa yule
mbele ya hekalu. mtu aliyevaa mavazi ya kitani, naye akaupokea
7Ndipo akawaambia, “Linajisini hekalu na akatoka nje. 8(Chini ya mabawa ya makerubi
mkazijaze kumbi zake maiti za wale waliouawa. paliweza kuonekana kitu kilichofanana na
Nendeni!’’ Kwa hiyo wakaenda wakaanza kuua mikono ya mwanadamu.)
watu mjini kote. 8Wakati walipokuwa wanaua 9Nikatazama, nikaona magurudumu manne
watu, mimi nilikuwa nimeachwa peke yangu, pembeni mwa makerubi, moja pembeni mwa
nikaanguka kifudifudi, nikapiga kelele nikisema, kila kerubi. Magurudumu hayo yalimetameta
“Ee Mwenyezi, BWANA! Je, utaangamiza kama jiwe la zabarajadi. 10Kule kuonekana
mabaki yote ya Israeli, katika kumwagwa huku kwake, yote manne yalifanana kila gurudumu
kwa ghadhabu yako juu ya Yerusalemu?’’ lilikuwa kama linazunguka ndani ya lingine.
9BWANA akanijibu, “Dhambi ya nyumba ya 11Yalipozunguka, yalikwenda ko kote katika
Israeli na Yuda imekuwa kubwa mno kupita pande nne walikoelekea wale makerubi.
kiasi, nchi imejaa umwagaji damu na mjini magurudumu hayakugeuka wakati makerubi
kumejaa udhalimu. Kwani wamesema, ‘BWANA yalipokwenda. Makerubi walikwenda upande wo
ameiacha nchi, BWANA hauoni.’ 10Kwa hiyo wote kichwa kilikoelekea pasipo kugeuka
sitawahurumia wala kuwaachilia lakini nitaleta walipokuwa wakienda. 12Miili yao yote, pamoja
juu ya vichwa vyao, yale waliyoyatenda.’’ na migongo yao, mikono na mabawa yao yote
11Ndipo mtu yule aliyekuwa amevaa nguo ya yalikuwa yamejaa macho kabisa kama
kitani safi na vifaa vya mwandishi akiwa yalivyokuwa yale magurudumu yao manne.
amevishikilia upande wake mmoja, akarudi na 13Nikasikia magurudumu yakiitwa, “Magurudumu
kutoa taarifa akisema, “Nimefanya kama ya kisulisuli.’’ 14Kila mmoja wa yale makerubu
ulivyoniagiza.’’ alikuwa na nyuso nne: Uso mmoja ulikuwa kama
vile wa kerubi, uso wa pili ulikuwa wa
Utukufu Unaondoka Hekaluni mwanadamu, uso wa tatu ulikuwa wa simba na
makerubi kulikuwa na kitu kilichofanana na kiti wale viumbe walio hai niliowaona kando ya Mto
cha enzi cha yakuti samawati. 2BWANA Kebari. 16Wakati makerubi walipokwenda,
akamwambia mtu yule aliyekuwa amevaa nguo magurudumu yaliyoko kando yao yalikwenda na
ya kitani, “Ingia katikati ya yale magurudumu wakati makerubi walipotanda mabawa yao
yaliyo chini ya makerubi. Ukaijaze mikono yako wapate kupaa juu kutoka katika ardhi,
makaa ya mawe ya moto kutoka katikati ya magurudumu yale hayakuondoka pembeni
makerubi na uyatawanye juu ya mji.’’ Nilipokuwa mwao. 17Makerubi yaliposimama kimya, nayo
nikiangalia, akaingia ndani. pia yalitulia kimya, nao makerubi yalipoinuka
3Basi wale makerubi walikuwa juu, magurudumu nayo yaliinuka juu pamoja
wamesimama upande wa kusini wa hekalu nao, kwa sababu roho ya vile viumbe hai ilikuwa
wakati yule mtu alipoingia ndani, wingu likaujaza ndani yake.
ule ukumbi wa ndani. 4Kisha utukufu wa 18Kisha utukufu wa Mungu ukaondoka pale
BWANA ukainuka kutoka juu ya wale makerubi kwenye kizingiti cha hekalu na kusimama juu ya
ukaenda kwenye kizingiti cha hekalu. Wingu wale makerubi. 19Nilipokuwa nikitazama,
likajaza hekalu, nao ukumbi ukajawa na mng’ao makerubi yakatanda mabawa yao na kuinuka
wa utukufu wa BWANA. 5Sauti ya mabawa ya kutoka ardhini, nao walipokuwa wakienda yale
wale makerubi ingeweza kusikika mpaka magurudumu yakaenda pamoja nao.
kwenye ukumbi wa nje, kama sauti ya BWANA Wakasimama kwenye ingilio la lango la
8
EZEKIELI
mashariki la nyumba ya BWANA, nao utukufu kifudifudi, nikalia kwa sauti kuu nikasema, “Ee
wa Mungu wa Israeli ukawa juu yao. BWANA Mwenyezi! Je utaangamiza kabisa
20Hawa walikuwa ndio viumbe hai niliokuwa mabaki ya Israeli?’’
nimewaona chini ya Mungu wa Israeli kando ya 14Neno la BWANA likanijia kusema:
Mto Kebari, nami nikatambua ya kuwa hao 15“Mwanadamu, ndugu zako, ndugu zako
wafanyao hila na kutoa mashauri potovu katika vya upotovu na sanamu zote za machukizo.
mji huu. 3Wao husema, ‘Je, hivi karibuni 19Nitawapa moyo mmoja na kuweka roho mpya
hautakuwa wakati wa kujenga nyumba? Mji huu ndani yao, nitaondoa kutoka ndani yao moyo wa
ni chungu cha kupikia, nasi ndio nyama.’ 4Kwa jiwe na kuwapa moyo wa nyama. 20Kisha
hiyo toa unabii dhidi yao, tabiri, Ewe watafuata amri zangu na kuwa waangalifu kutii
mwanadamu.’’ sheria zangu. Watakuwa watu wangu nami
5Kisha Roho wa BWANA akaja juu yangu, nitakuwa Mungu wao. 21Lakini kwa wale ambao
naye akaniambia niseme: “Hili ndilo BWANA mioyo yao imeambatana na vinyago vyao vya
asemalo: Hili ndilo ninyi mnalosema, Ee nyumba upotovu na sanamu zao za machukizo, nitaleta
ya Israeli, lakini ninajua mnalowaza mioyoni juu ya vichwa vyao yale waliyotenda asema
mwenu. 6Mmewaua watu wengi katika mji huu BWANA Mwenyezi.’’
na kujaza barabara zake maiti. 22Ndipo wale makerubi, wenye magurudumu
7Kwa hiyo hili ndilo asemalo BWANA pembeni mwao, wakakunjua mabawa yao, nao
Mwenyezi: maiti ulizozitupa huko ni nyama na utukufu wa Mungu wa Israeli ulikuwa juu yao.
mji huu ni chungu, lakini nitawaondoa mtoke 23Basi utukufu wa BWANA ukapaa juu kutoka
huko. 8Mnaogopa upanga, nao upanga huo ndio katika mji, ukatua juu ya mlima ulio upande wa
nitakaouleta juu yenu, asema BWANA mashariki ya mji. 24Roho akaniinua na kunileta
Mwenyezi. 9Nitawaondoa mtoke katika mji na mpaka kwa watu wa uhamisho huko Ukaldayo
kuwatia mikononi mwa wageni nami nikiwa katika yale maono niliyopewa na Roho
nitawaadhibu. 10Mtaanguka kwa upanga, nami wa Mungu.
nitatimiza hukumu dhidi yenu katika mipaka ya Ndipo maono niliyokuwa nimeyaona
Israeli. Ndipo mtajua kuwa Mimi ndimi BWANA. yakanitoka, 25nami nikawaeleza wale watu wa
11Mji huu hautakuwa chungu kwa ajili yenu, wala uhamisho kila kitu BWANA alichokuwa
hamtakuwa nyama ndani yake. Nitatoa hukumu amenionyesha.
dhidi yenu katika mipaka ya Israeli. 12Nanyi
mtajua ya kuwa Mimi ndimi BWANA, kwa kuwa Kutekwa kwa Yuda Kwaelezwa
hamkufuata amri zangu wala kuzishika sheria
zangu, bali mmefuata mwenendo wa mataifa 12 Neno la BWANA likanijia kusema:
2“Mwanadamu, unaishi miongoni mwa
9
EZEKIELI
3“ ‘Kwa hiyo, mwanadamu, funga mizigo 18“Mwanadamu, tetemeka wakati ulapo chakula
yako kwa kwenda uhamishoni tena wakati wa chako, tetemeka kwa hofu wakati unywapo maji
mchana, wakiwa wanakutazama, toka nje na yako. 19Waambie watu wa nchi: “Hili ndilo
uende mahali pengine kutoka hapo ulipo. Labda BWANA Mwenyezi asemalo kuhusu hao
wataelewa, ingawa wao ni nyumba ya kuasi. wanaoishi Yerusalemu na katika nchi ya Israeli:
4Wakati wa mchana, wakiwa wanakutazama, Watakula chakula chao kwa wasiwasi na
toa nje mizigo yako iliyofungwa kwa ajili ya kunywa maji yao kwa kufadhaika, kwa kuwa
kwenda uhamishoni. Kisha wakati wa jioni, nchi yao itanyang’anywa kila kitu chake kwa
wakiwa wanakutazama toka nje kama wale sababu ya udhalimu wa wote wanaoishi humo.
waendao uhamishoni. 5Wakiwa wanakutazama, 20Miji inayokaliwa na watu itaharibiwa na nchi
toboa ukuta utolee mizigo yako hapo. 6Beba itakuwa ukiwa. Ndipo mtakapojua kwamba Mimi
mizigo hiyo begani mwako wakikuangalia ndimi BWANA.’ ’’
uichukue nje wakati wa giza la jioni. Funika uso 21Neno la BWANA likanijia kusema:
wako ili usione nchi, kwa maana nimekufanya 22“Mwanadamu, ni nini hii mithali mlio nayo
ishara kwa nyumba ya Israeli. katika nchi ya Israeli: ‘Siku zinapita na hakuna
7Basi nikafanya kama nilivyoamuriwa. maono yo yote yanayotimia?’ 23Waambie, ‘Hili
Wakati wa mchana nilitoa vitu vyangu nje ndilo BWANA Mwenyezi asemalo: Nitaikomesha
vilivyofungwa tayari kwa uhamishoni. Kisha mithali hii, nao hawataitumia tena katika Israeli.’
wakati wa jioni nikatoboa ukuta kwa mikono Waambie, ‘Siku zimekaribia wakati kila maono
yangu. Nikachukua mizigo yangu nje wakati wa yatakapotimizwa. 24Kwa maana hapatakuwepo
giza la jioni, nikiwa nimeibeba mabegani tena na maono ya uongo wala ubashiri wa
mwangu huku wakinitazama. udanganyifu miongoni mwa watu wa Israeli.
8Asubuhi neno la BWANA likanijia kusema: 25Lakini Mimi BWANA nitasema neno nitakalo,
9“Mwanadamu, je, nyumba ile ya kuasi ya Israeli nalo litatimizwa bila kuchelewa. Kwa maana
haikukuuliza, ‘Unafanya nini?’ katika siku zako, wewe nyumba ya kuasi,
10Waambie, ‘Hili ndilo BWANA Mwenyezi nitatimiza kila nisemalo, asema BWANA
asemalo: Neno hili linamhusu mkuu aliye katika Mwenyezi.’ ’’
Yerusalemu na nyumba yote ya Israeli ambao 26Neno la BWANA likanijia kusema:
wako huko.’ 11Waambie, ‘Mimi ndiye ishara 27“Mwanadamu, nyumba ya Israeli inasema,
10
EZEKIELI
udanganyifu. Wao husema, “BWANA kwa makusudi ya kuwanasa watu. Je, mtatega
amesema,’’ wakati BWANA hakuwatuma, bado uhai wa watu wangu lakini ninyi mponye wa
wakitarajia maneno yao kutimizwa. 7Je, kwenu? 19Ninyi mmeninajisi miongoni mwa watu
hamjaona maono ya uongo na kusema ubashiri wangu kwa ajili ya konzi chache za shayiri na
wa udanganyifu hapo msemapo, “BWANA chembe za mkate. Kwa kuwaambia uongo watu
asema,’’ lakini Mimi sijasema? wangu, wale ambao husikiliza uongo, mmewaua
8Kwa hiyo hili ndilo BWANA Mwenyezi wale watu ambao wasingekufa na kuwaacha hai
asemalo: kwa sababu ya uongo wa maneno wale ambao wasingeishi.
yenu na kwa madanganyo ya maono yenu, Mimi 20Kwa hiyo hili ndilo BWANA Mwenyezi
ni kinyume na ninyi, asema BWANA Mwenyezi. asemalo: Mimi niko kinyume na hizo hirizi zenu
9Mkono wangu utakuwa dhidi ya manabii ambao za uchawi ambazo kwa hizo mnawatega watu
huona maono ya uongo na kusema ubashiri wa kama ndege, nami nitazirarua kutoka mikononi
udanganyifu. Hawatakuwa katika baraza la watu mwenu, nitawaweka huru watu wale mliowatega
wangu au kuandikwa katika kumbukumbu ya kama ndege. 21Nitazirarua shela zenu na
nyumba ya Israeli wala hawataingia katika nchi kuwaokoa watu wangu kutoka mikononi mwenu,
ya Israeli. Ndipo mtajua kuwa Mimi ndimi nao hawatakuwa tena mawindo ya nguvu zenu.
BWANA Mwenyezi. Ndipo mtakapojua kuwa Mimi ndimi BWANA.
10“ ‘Kwa sababu ni kweli wanapotosha watu 22Kwa sababu mliwavunja moyo wenye haki kwa
wangu, wakisema, “Amani,’’ wakati ambapo uongo wenu, wakati mimi sikuwaletea huzuni na
hakuna amani, pia kwa sababu, wakati ukuta kwa kuwa mliwatia moyo waovu ili wasiziache
dhaifu unapojengwa, wanaufunika kwa kupaka njia zao mbaya na hivyo kuokoa maisha yao,
chokaa, 11kwa hiyo waambie hao wanaoupaka 23kwa hiyo hamtaona tena maono ya uongo
chokaa kwamba ukuta huo utaanguka. Mvua wala kufanya ubashiri. Nitawaokoa watu wangu
kubwa ya mafuriko itanyesha, nami nitaleta kutoka mikononi mwenu. Nanyi ndipo
mvua ya mawe inyeshe kwa nguvu, nao upepo mtakapojua kuwa Mimi ndimi BWANA.’ ’’
wa dhoruba utavuma juu yake. 12Wakati ukuta
utakapoanguka, je, watu hawatawauliza, “Iko Waabudu Sanamu Walaumiwa
wapi chokaa mliyopaka ukuta?’’
13Kwa hiyo hili ndilo BWANA Mwenyezi 14 Baadhi ya wazee wa Israeli walinijia na
kuketi mbele yangu. 2Ndipo neno la
asemalo: Katika ghadhabu yangu nitauachia BWANA likanijia kusema: 3“Mwanadamu, watu
upepo wa dhoruba, pia katika hasira yangu hawa wameweka sanamu katika mioyo yao na
mvua ya mawe na mvua ya mafuriko itanyesha kuweka vitu viovu vya kukwaza mbele ya macho
ikiwa na ghadhabu ya kuangamiza. yao. Je, kweli niwaruhusu waniulize jambo lo
14Nitaubomoa ukuta mlioupaka chokaa na lote? 4Kwa hiyo sema nao uwaambie, ‘Hili ndilo
kuuangusha chini ili msingi wake uachwe wazi. BWANA Mwenyezi asemalo: Wakati Mwiisraeli
Utakapoanguka, mtaangamizwa ndani yake, ye yote anapoweka sanamu moyoni mwake na
nanyi mtajua kuwa Mimi ndimi BWANA. 15Hivyo kuweka kitu kiovu cha kukwaza mbele ya macho
ndivyo nitakavyoitimiza ghadhabu yangu dhidi yake na kisha akaenda kwa nabii, Mimi BWANA
ya huo ukuta na dhidi yao walioupaka chokaa. nitamjibu peke yangu sawasawa na ukubwa wa
Nitawaambia ninyi, “Ukuta umebomoka na vivyo ibada yake ya sanamu. 5Nitafanya jambo hili ili
hivyo wale walioupaka chokaa, 16wale manabii kukamata tena mioyo ya watu wa Israeli, ambao
wa Israeli waliotabiri juu ya Yerusalemu na wote wameniacha kwa ajili ya sanamu zao.
kuona maono ya amani kwa ajili yake wakati 6Kwa hiyo iambie nyumba ya Israeli, ‘Hili
kulipokuwa hakuna amani, asema BWANA ndilo BWANA Mwenyezi asemalo: Tubuni!
Mwenyezi.’’ Geukeni kutoka kwenye sanamu zenu na
17“Sasa, mwanadamu, kaza uso wako dhidi mkatae matendo yenu yote ya machukizo!
ya binti za watu wako wanaotabiri mambo 7Mwiisraeli ye yote au mgeni ye yote
kutoka katika mawazo yao wenyewe. Tabiri anayeishi katika Israeli anapojitenga nami na
dhidi yao 18na useme, “Hili ndilo BWANA kujiwekea sanamu katika moyo wake na kwa
Mwenyezi asemalo: Ole wao wanawake hivyo kuweka kitu kiovu cha kukwaza mbele ya
washonao hirizi za uchawi juu ya viwiko vyao macho yake na kisha akamwendea nabii kuuliza
vyote na kutengeneza shela za urefu wa aina shauri kwangu, mimi BWANA nitamjibu
mbalimbali kwa ajili ya kufunika vichwa vyao mwenyewe. 8Nitaukaza uso wangu dhidi ya mtu
11
EZEKIELI
huyo na kumwadhibisha ili wengine waonywe na 21“ ‘Kwa maana hili ndilo BWANA Mwenyezi
kumfanya kitu cha kudharauliwa na watu. asemalo: Itakuwa vibaya kiasi gani
Nitamkatilia mbali kutoka katika watu wangu. nitakapopeleka dhidi ya Yerusalemu hukumu
Ndipo mtakapojua Mimi ndimi BWANA. zangu nne za kutisha, yaani, upanga, njaa,
9Naye nabii kama atakuwa ameshawishika wanyama pori na tauni, ili kuua watu wake na
kutoa unabii, Mimi BWANA nitakuwa wanyama wao! 22Lakini watakuwepo wenye
nimemshawishi nabii huyo, nami nitaunyoosha kuokoka, wana na binti wataletwa kutoka nje ya
mkono wangu dhidi yake na kumwangamiza nchi hiyo. Watawajia ninyi, nanyi mtakapoona
kutoka miongoni mwa watu wangu Israeli. mwenendo wao na matendo yao, mtafarijika
10Watachukua hatia yao, nabii atakuwa na hatia kuhusu maafa niliyoleta juu ya Yerusalemu, kwa
sawa na yule mtu aliyekuja kuuliza neno kwake. ajili ya yale yote niliyoleta juu yake. 23Mtafarijika
11Ndipo watu wa Israeli hawataniacha tena, wala wakati mtakapoona mwenendo wao na matendo
kujitia unajisi tena kwa dhambi zao zote. Ndipo yao, kwa kuwa mtajua kwamba sikufanya lo lote
watakuwa watu wangu nami nitakuwa Mungu ndani yake bila sababu, asema BWANA
wao, asema BWANA Mwenyezi.’ ’’ Mwenyezi.’’
15
12Neno la BWANA likanijia kusema, Neno la BWANA likanijia kusema:
13“Mwanadamu, kama nchi itanitenda dhambi 2“Mwanadamu, je, ni vipi mti wa
kwa kutokuwa waaminifu nami nikinyoosha mzabibu unaweza kuwa bora zaidi kuliko tawi la
mkono wangu dhidi yake kukatilia mbali mti mwingine wo wote ndani ya msitu? 3Je, mti
upatikanaji wake wa chakula na kuipelekea njaa wake kamwe huchukuliwa na kutengeneza cho
na kuua watu wake na wanyama wao, 14hata chote cha manufaa? Je, watu hutengeneza
kama watu hawa watatu: Noa, Danieli na Yobu vigingi vya kuning’inizia vitu kutokana na huo mti
wangekuwa ndani ya nchi hiyo, ndio hao tu wake? 4Nao baada ya kutiwa motoni kama
wangeweza kujiokoa wenyewe kwa uadilifu nishati na moto ukateketeza ncha zote mbili na
wao, asema BWANA Mwenyezi. kuunguza sehemu ya kati, je, unafaa kwa lo
15“Au kama nikipeleka wanyama pori katika lote? 5Kama haukufaa kitu cho chote ulipokuwa
nchi hiyo yote na kuifanya isiwe na watoto, nayo mzima, je, si zaidi sana sasa ambapo
ikawa ukiwa kwamba hakuna mtu apitaye katika hauwezekani kufanyizwa cho chote cha kufaa
nchi hiyo kwa sababu ya wanyama pori, 16hakika baada ya moto kuuchoma na kuuunguza?
kama niishivyo, asema BWANA Mwenyezi, hata 6“Kwa hiyo hili ndilo BWANA Mwenyezi
kama watu hawa watatu wangekuwa humo asemalo: Kama nilivyoutoa mti wa mzabibu
ndani yake, wasingeweza kuokoa wana wao miongoni mwa miti ya msituni kuwa nishati kwa
wala binti zao. Wao peke yao wangeokolewa, ajili ya moto, hivyo ndivyo nitakavyo watendea
lakini nchi ingekuwa ukiwa. watu waishio Yerusalemu. 7Nitaukaza uso
17“Au kama nikileta upanga dhidi ya nchi wangu dhidi yao. Ingawa watakuwa wameokoka
hiyo na kusema, ‘Upanga na upite katika nchi kwenye moto, bado moto utawateketeza. Nami
yote,’ nami nikiua watu wake na wanyama wao, nitakapoukaza uso wangu dhidi yao, ninyi
18hakika kama niishivyo, asema BWANA mtajua kwamba Mimi ndimi BWANA. 8Nitaifanya
Mwenyezi, hata kama watu hawa watatu nchi kuwa ukiwa kwa sababu wamekuwa si
wangekuwa humo ndani yake, wasingeweza waaminifu, asema BWANA Mwenyezi.’’
kuokoa wana wao wala binti zao. Wao wenyewe
tu wangeokolewa. Yerusalem – Mwanamke Asiye Mwaminifu
16
19“Au kama nikipeleka tauni katika nchi hiyo Neno la BWANA likanijia kusema:
na kumwaga ghadhabu yangu juu yake kwa njia 2“Mwanadamu, ijulishe Yerusalemu
ya kumwaga damu, kuua watu wake na kuhusu mwenendo wake wa machukizo 3na
wanyama wao, 20hakika kama niishivyo, asema useme, “Hili ndilo BWANA Mwenyezi,
BWANA Mwenyezi, hata kama Noa, Danieli na analoliambia Yerusalemu: Wewe asili yako na
Yobu wangekuwa humo ndani yake, kuzaliwa kwako ni katika nchi ya Kanaani, baba
wasingeweza kumwokoa mwana wala binti. yako alikuwa Mwamori, naye mama yako
Wao wangeweza kujiokoa wenyewe tu kwa alikuwa Mhiti. 4Siku uliyozaliwa kitovu chako
uadilifu wao. hakikukatwa, wala hukuogeshwa kwa maji ili
12
EZEKIELI
kukufanya safi, wala hukusuguliwa kwa chumvi ukatoa mbele ya hizo sanamu mafuta yangu na
wala kufunikwa kwa nguo. 5Hakuna ye yote uvumba wangu. 19Pia chakula changu
aliyekuonea huruma au kukusikitikia kiasi cha nilichokupa ili ule: unga laini, mafuta ya zeituni
kukutendea mojawapo ya mambo haya. Badala na asali, ulivitoa mbele yao kuwa uvumba wa
yake, ulipozaliwa ulitupwa nje penye uwanja, harufu nzuri. Hayo ndiyo yaliyotokea, asema
kwa kuwa katika siku uliyozaliwa ulidharauliwa. BWANA Mwenyezi.
6“ ‘Ndipo nilipopita karibu nawe nikakuona 20“ ‘Nawe uliwachukua wanao na binti zako
ukigaagaa kwenye damu yako, nawe ulipokuwa ulionizalia mimi na kuwatoa kafara kuwa chakula
umelala hapo penye hiyo damu nikakuambia, kwa sanamu. Je, ukahaba wako haukukutosha?
“Ishi!” 7Nilikufanya uote kama mmea wa 21Uliwachinja watoto wangu na kuwatoa kafara
shambani. Ukakua na kuongezeka sana, ukawa kwa sanamu. 22Katika matendo yako yote ya
kito cha thamani kuliko vyote. Matiti yako machukizo, pamoja na ukahaba wako
yakatokeza na nywele zako zikaota, wewe hukukumbuka siku za ujana wako, wakati
uliyekuwa uchi na bila kitu cho chote.” ulipokuwa uchi kabisa bila kitu cho chote,
8“‘Baadaye nikapita karibu nawe, ulipokuwa ukigaagaa kwenye damu yako.
nilipokutazama na kukuona kuwa umefikia umri 23 “ ‘Ole, Ole wako! Asema BWANA
wa kupendwa, nililitandaza vazi langu juu yako Mwenyezi. Pamoja na maovu yako yote
na kuufunika uchi wako. Nikakuapia na kuingia mengine, 24Ukajijengea jukwaa na kujifanyia
kwenye agano na wewe, asema BWANA mahali pa fahari pa kujiwekea vitu vya ibada za
Mwenyezi, nawe ukawa wangu. miungu penye kila uwanja. 25Katika kila mwanzo
9“ ‘Nilikuogesha kwa maji, nikakuosha ile wa barabara ulijenga mahali pa fahari pa
damu na kukupaka mafuta. 10Nikakuvika vazi kuwekea vitu vya ibada za miungu na kuaibisha
lililotariziwa na kukuvalisha viatu vya kamba vya uzuri wako,ukiutoa mwili wako kwa kuzidisha
ngozi. Nikakuvika nguo za kitani safi na uzinzi kwa kila apitaye. 26Ulifanya ukahaba wako
kukufunika kwa mavazi ya thamani kubwa. na Wamisri, jirani zako waliojaa tamaa,
11Nikakupamba kwa vito: nikakuvika bangili ukaichochea hasira yangu kwa kuongezeka kwa
mikononi mwako na mkufu shingoni mwako, uzinzi wako. 27Hivyo nilinyoosha mkono wangu
12nikaweka hazama puani mwako, vipuli dhidi yako na kuipunguza nchi yako, nikakutia
masikioni mwako na taji nzuri sana kichwani kwenye ulafi wa adui zako, binti za Wafilisti,
mwako. 13Kwa hiyo ulipambwa kwa dhahabu na walioshtushwa na tabia yako ya uasherati.
fedha, nguo zako zilikuwa za kitani safi, hariri na 28Ulifanya ukahaba na Waashuru pia, kwa kuwa
nguo iliyokuwa imetariziwa. Chakula chako hukuridhika, hata baada ya hayo, ukawa bado
kilikuwa unga laini, asali na mafuta ya zeituni. hukutosheleka. 29Ndipo ukaongeza uzinzi wako
Ukawa mzuri sana ukainuka kuwa malkia. kwa Wakaldayo nchi ya wafanyi biashara, hata
14Umaarufu wako ulifahamika miongoni mwa katika hili hukutosholeka.
mataifa kwa ajili ya uzuri wako, kwani ulikuwa 30“ ‘Tazama jinsi ulivyo na dhamiri dhaifu,
mkamilifu kwa ajili ya utukufu wangu niliokuwa asema BWANA Mwenyezi, unapofanya mambo
nimeuweka juu yako, asema BWANA haya yote, ukifanya kama kahaba asiyekuwa na
Mwenyezi.’’ aibu! 31Unapojenga jukwaa lako kila mwanzo wa
15“ ‘Lakini ulitumainia uzuri wako na kutumia barabara na kufanyiza mahali pa fahari pa
umaarufu wako kuwa kahaba. Ulifanya uzinzi kuwekea vitu vya ibada za miungu kila penye
kwa kila mtu aliyepita, uzuri wako ukawa kwa kiwanja cha wazi, lakini hukuwa kama kahaba,
ajili yake. 16Ulichukua baadhi ya mavazi yako kwa sababu ulidharau malipo.
ukayatumia kupamba mahali pako pa juu pa 32“ ‘Wewe mke mzinzi! Unapenda wageni,
kuabudia miungu, mahali ambapo ulifanyia kuliko mume wako mwenyewe. 33Kila kahaba
ukahaba wako. Mambo ya namna hiyo hupokea malipo, lakini wewe hutoa zawadi kwa
hayastahili kutendeka wala kamwe kutokea. wapenzi wako wote, ukiwahonga ili waje kwako
17Pia ulichukua vito vizuri nilivyokupa, vito kutoka kila mahali kwa ajili ya ukahaba wako.
vilivyotengenezwa kwa dhahabu yangu na fedha 34Kwa hiyo wewe ulikuwa tofauti na wanawake
13
EZEKIELI
35“ ‘Kwa hiyo, wewe kahaba, sikia neno la Mweyezi, dada yako Sodoma pamoja na binti
BWANA! 36Hili ndilo BWANA Mwenyezi zake, kamwe hawakufanya yale ambayo wewe
asemalo: kwa kuwa umemwaga tamaa zako na na binti zako mmefanya.
kuonyesha uchi wako katika uzinzi wako kwa 49“ ‘Sasa hii ilikuwa ndiyo dhambi ya dada
wapenzi wako na kwa sababu ya sanamo zako yako Sodoma: Yeye na binti zake walikuwa na
zako zote za machukizo na kwa sababu uliwapa majivuno, walafi na wazembe, hawakuwasaidia
damu ya watoto wako, 37kwa hiyo maskini na wahitaji. 50Walijivuna na kufanya
nitawakusanya wapenzi wako wote, wale ambao mambo ya machukizo sana mbele zangu. Kwa
ulijifurahisha nao, wale uliowapenda na wale hiyo niliwakatilia mbali nami kama mlivyoona.
uliowachukia pia. Nitawakusanya wote dhidi 51Samaria hakufanya hata nusu ya dhambi
yako kutoka pande zote na nitakuvua nguo ulizofanya. Wewe umefanya mambo mengi sana
mbele yao, nao wataona uchi wako wote. ya kuchukiza kuliko wao, nawe umewafanya
38Nitakuhukumia adhabu wanayopewa dada zako waonekane kama wenye haki kwa
wanawake wafanyao uasherati na hao ajili ya mambo haya yote uliyofanya. 52Chukua
wamwagao damu, nitaleta juu yenu kisasi cha aibu yako, kwa kuwa umefanya uovu wa dada
damu cha ghadhabu yangu na wivu wa hasira zako uwe si kitu, nao waonekane kama wenye
yangu. 39Kisha nitakutia mikononi mwa wapenzi haki. Kwa kuwa dhambi zako zilikuwa mbaya
wako, nao watabomoa majukwaa yako na zaidi kuliko zao, wameonekana wenye haki zaidi
kuharibu mahali pako pa fahari pa kuwekea vitu kuliko wewe. Kwa hiyo basi, chukua aibu yako,
vyako vya ibada ya miungu. Watakuvua nguo kwa kuwa umewafanya dada zako waonekane
zako na kuchukua vito vyako vya thamani na wenye haki.
kukuacha uchi na bila kitu. 40Wataleta kundi la 53“ ‘Lakini nitarudisha baraka za Sodoma na
watu dhidi yako, watakaokupiga kwa mawe na binti zake na za Samaria na binti zake, nami
kukukatakata vipande vipande kwa panga zao. nitarudisha baraka zako pamoja na zao, 54ili
41Watachoma nyumba zako na kutekeleza upate kuchukua aibu yako na kufedheheka kwa
adhabu juu yako machoni pa wanawake wengi. ajili ya yote uliyotenda ambayo yamekuwa faraja
Nitakomesha ukahaba wako, nawe hutawalipa kwao wakijilinganisha na wewe. 55Nao dada
tena wapenzi wako. 42Ndipo ghadhabu yangu zako, Sodoma na binti zake na Samaria na binti
dhidi yako itakapopungua na wivu wa hasira zake, watarudishwa kama vile walivyokuwa
yangu utaondoka kwako. Nitatulia wala mwanzoni, nawe pamoja na binti zako
sitakasirika tena. mtarudishwa kama mlivyokuwa hapo awali.
43“ ‘Kwa sababu hukuzikumbuka siku za 56Hukuweza hata kumtaja dada yako Sodoma
ujana wako, lakini ulinikasirisha kwa mambo kwa sababu ya dharau yako katika siku za kiburi
haya yote, hakika nitaleta juu ya kichwa chako chako, 57kabla uovu wako haujafunuliwa. Hata
yale uliyotenda, asema BWANA Mwenyezi. Je hivyo, sasa unadhihakiwa na binti za Edomu na
hukuongeza uasherati juu ya matendo yako yote jirani zake wote na binti za Wafilisti, wale wote
ya kuchukiza? wanaokuzunguka wanakudharau. 58Utachukua
44“ ‘Kila mtu atumiaye maneno ya mithali hii, matokeo ya uasherati wako na matendo yako ya
atayatumia juu yako: “Alivyo mama, ndivyo kuchukiza, asema BWANA Mwenyezi.
alivyo bintiye.’’ 45Wewe ni binti halisi wa mama 59“ ‘Hili ndilo BWANA Mwenyezi asemalo:
yako, ambaye alimchukia kabisa mume wake na Nitakushughulikia kama unavyostahili, kwa kuwa
watoto wake, tena wewe ni dada halisi wa dada umedharau kiapo changu kwa kuvunja agano.
zako, waliowachukia kabisa waume zao na 60Lakini nitakumbuka agano nililolifanya nawe
watoto wao. Mama yako alikuwa Mhiti na baba wakati wa ujana wako, nami nitaweka nawe
yako alikuwa Mwamori. 46Dada yako mkubwa agano imara la milele. 61Ndipo
alikuwa Samaria, aliyeishi upande wako wa utakapozikumbuka njia zako na kuona aibu
kaskazini na binti zake, pamoja na dada yake, utakapowapokea dada zako, wale walio
naye dada yako mdogo, aliyeishi kusini yako wakubwa wako na wadogo wako. Nitakupa hao
pamoja na binti zake, alikuwa Sodoma. wawe binti zako, lakini si katika msingi wa agano
47Hukuziendea njia zao tu na kuiga matendo yao langu na wewe. 62Hivyo nitalifanya imara agano
ya kuchukiza, bali kwa muda mfupi katika njia langu na wewe, nawe utajua kuwa Mimi ndimi
zako zote uliharibika tabia zaidi kuliko wao. BWANA. 63Basi, nitakapofanya upatanisho kwa
48Hakika kama niishivyo, asema BWANA ajili yako, kwa yale yote uliyoyatenda,
14
EZEKIELI
utakumbuka na kuaibika, nawe kamwe yake kwa kutuma wajumbe wake kwenda Misri
hutafumbua tena kinywa chako kwa sababu ya ili kupatiwa farasi na jeshi kubwa. Je, atashinda?
aibu yako, asema BWANA Mwenyezi.’ ’’ Je, atafanikiwa? Je, mtu afanyaye mambo kama
hayo ataokoka? Je, atavunja mapatano na bado
Tai Wawili Na Mizabibu. aokoke?
17
Neno la BWANA likanijia kusema: 16Hakika kama niishivyo, asema BWANA
2“Mwanadamu, tega kitendawili, Mwenyezi, atafia huko Babeli, katika nchi ya
ukawaambie nyumba ya Israeli fumbo. mfalme aliyemketisha katika kiti cha enzi,
3Waambie hivi, ‘Hili ndilo BWANA Mwenyezi ambaye alidharau kiapo chake na kuvunja
asemalo: Tai mkubwa mwenye mabawa yenye mapatano yake. 17Farao na jeshi lake kubwa, na
nguvu, yaliyojaa manyoya marefu ya rangi wingi wake wa watu hawataweza kusaidia cho
mbalimbali, alikuja Lebanoni. Akatua kwenye chote katika vita, wakati watakapozungukwa na
kilele cha mwerezi, 4akakwanyua ncha yake na jeshi ili kukatilia mbali maisha ya watu wengi.
kuichukua mpaka nchi ya wafanyi biashara, 18Alidharau kiapo kwa kuvunja agano. Kwa
akaipanda huko katika mji wa wachuuzi.’’ sababu aliahidi kwa mkono wake mwenyewe na
5“ ‘Akachukua baadhi ya mbegu za nchi bado akafanya mambo haya yote, hataokoka.
yako na kuziweka katika udongo wenye rutuba. 19“ ‘Kwa hiyo hili ndilo BWANA Mwenyezi
Akazipanda kama mti umeao kando ya maji asemalo: Hakika kama niishivyo, nitaleta juu ya
mengi, 6nazo zikaota na kuwa mzabibu mfupi, kichwa chake kiapo changu, alichokidharau na
unaoeneza matawi yake. Matawi yake agano langu lile alilolivunja. 20Nitautandaza
yakamwelekea huyo tai, mizizi yake ikabaki chini wavu wangu kwa ajili yake, naye atanaswa
ya huo mzabibu. Kwa hiyo ukawa mzabibu na katika mtego wangu. Nitamleta mpaka Babeli na
kutoa matawi na vitawi vyenye majani mengi. kutekeleza hukumu juu yake huko kwa kuwa
7Lakini kulikuwapo na tai mwingine mkubwa, hakuwa mwaminifu kwangu. 21Askari wake wote
mwenye mabawa yenye nguvu yaliyojaa wanaotoroka wataanguka kwa upanga, nao
manyoya. Tazama! Huu mzabibu ukatoa mizizi watakaonusurika watatawanyika katika pande
yake kumwelekea huyo tai kutoka mle kwenye zote za dunia. Ndipo utakapojua kuwa Mimi
shamba lile ulikopandwa na kutanda matawi BWANA nimesema.
yake kumwelekea kwa ajili ya kupata maji.
8Ulikuwa umepandwa katika udongo mzuri Hatimaye Israeli Kutukuzwa
wenye maji mengi ili uweze kutoa matawi, kuzaa 22Hili ndilo BWANA Mwenyezi asemalo:
matunda na uweze kuwa mzabibu mzuri sana. Mimi mwenyewe nitachukua chipukizi kutoka
9Waambie, ‘Hili ndilo BWANA Mwenyezi kwenye kilele cha juu sana cha mwerezi na
asemalo: Je, utastawi? Je, hautang’olewa na kukipanda, nitavunja kitawi kichanga kutoka
kuondolewa matunda yake, ili uweze kunyauka? matawi yake ya juu kabisa na kukipanda juu ya
Majani yake mapya yanayochipua yote mlima mrefu ulioinuka sana. 23Katika vilele vya
yatanyauka. Hautahitaji mkono wenye nguvu au mlima mrefu wa Israeli nitakipanda, kitatoa
watu wengi kuung’oa na mizizi yake. 10Hata matawi na kuzaa matunda na kuwa mwerezi
kama utapandwa pengine, Je, utastawi? Je, mzuri sana. Ndege wa kila aina wataweka viota
hautanyauka kabisa wakati upepo wa mashariki vyao ndani yake, nao watapata makazi katika
utakapoupiga, yaani, hautanyauka kabisa katika kivuli cha matawi yake. 24Miti yote ya kondeni
udongo mzuri ambamo ulikuwa umestawi vizuri? itajua kuwa Mimi BWANA ninaishusha miti
11Ndipo neno la BWANA likanijia kusema: mirefu na kuikuza miti mifupi kuwa miti mirefu.
12“Waambie nyumba hii ya kuasi, ‘Je, mnajua hii Mimi naikausha miti mibichi na kuifanya miti
ina maana gani?’ Waambie: ‘Mfalme wa Babeli mikavu istawi.
alikwenda Yerusalemu na kumchukua mfalme “ ‘Mimi BWANA nimesema, nami nitatenda.’ ’’
na watu maarufu, akarudi nao na kuwaleta
mpaka Babeli. 13Ndipo akamchukua mmoja wa Roho Itendayo Dhambi Itakufa
jamaa ya kifalme na kufanya mapatano naye,
akamfanya aape. Akawachukua pia viongozi wa 18 Neno la BWANA likanijia kusema: 2‘‘Je,
ninyi watu mna maana gani kutumia
nchi, 14ili kuudhoofisha ufalme huo, usiweze mithali hii inayohusu nchi ya Israeli:
kuinuka tena, ila uweze kuendelea tu chini ya
mapatano yake. 15Lakini mfalme aliasi dhidi ‘ “Baba wamekula zabibu zenye chachu,
15
EZEKIELI
nayo meno ya watoto yametiwa ganzi?’ machukizo, hakika atauawa na damu yake
itakuwa juu ya kichwa chake mwenyewe.
3“Hakika kama niishivyo, asema BWANA 14“Lakini ikiwa mwana huyo ana mwana
Mwenyezi, hamtatumia tena mithali hii katika aonaye dhambi hizi zote anazofanya baba yake,
Israeli. 4Kwa kuwa kila roho ni mali yangu, kama naye ingawa anaziona, lakini yeye hafanyi
vile ilivyo roho ya baba, vivyo hivyo roho ya mabaya haya, yaani:
mtoto ni mali yangu. Roho itendayo dhambi
ndiyo itakayokufa. 15“Hakula katika mahali pa kuwekea vitu vya
ibada za miungu kwenye milima,
5“Kama mtu ni mwenye haki wala hainulii macho sanamu za nyumba ya
atendaye yaliyo haki na sawa. Israeli,
6Kama hakula katika mahali pa kuwekea hakumtia unajisi mke wa jirani yake,
vitu vya ibada za miungu kwenye milima 16hakumwonea mtu ye yote
bali hurudisha kilichowekwa rehani hakopeshi kwa riba wala hajipatii faida
kwake, ya ziada,
hanyang’anyi, huzishika amri zangu na kuzifuata sheria
bali huwapa wenye njaa chakula chake zangu.
na huwapa nguo walio uchi,
8hakopeshi kwa riba Hatakufa kwa ajili ya dhambi za baba yake,
wala hajipatii faida ya ziada, hakika ataishi. 18Lakini baba yake atakufa kwa
huuzuia mkono wake usifanye mabaya, ajili ya dhambi yake mwenyewe, kwa sababu
naye huhukumu kwa haki kati ya mtu na alitoza bei isiyo halali kwa nguvu,
mtu, akamnyang’anya ndugu yake na kufanya yaliyo
9huzifuata amri zangu mabaya miongoni mwa watu wake.
na kuzishika sheria zangu kwa uaminifu, 19“Lakini mnauliza, ‘Kwa nini mwana
huyo mtu ni mwenye haki, asiadhibiwe kwa uovu wa baba yake?’ Kwa vile
hakika ataishi, mwana ametenda yaliyo haki na sawa na
asema BWANA Mwenyezi. amekuwa mwangalifu kuzishika amri zangu
zote, hakika ataishi. 20Roho itendayo dhambi
10“Kama ana mwana jeuri, amwagaye damu ndiyo itakayokufa. Mwana hataadhibiwa kwa ajili
au atendaye mojawapo ya mambo haya ya makosa ya baba yake, wala baba
11(ingawa baba yake hakufanya mojawapo ya hataadhibiwa kwa ajili ya makosa ya mwanawe.
hayo): Haki ya mtu mwenye haki itahesabiwa juu yake
na uovu wa mtu mwovu utalipizwa juu yake.
“Hula katika mahali pa kuwekea vitu vya 21“Lakini mtu mwovu akiacha dhambi zake
ibada za miungu kwenye milima, zote alizozitenda na kushika amri zangu zote na
humtia unajisi mke wa jirani yake. kufanya lililo haki na sawa, hakika ataishi,
12huwaonea maskini na wahitaji, hatakufa. 22Hakuna kosa lo lote alilotenda
hunyang’anya, litakalokumbukwa juu yake. Kwa ajili ya mambo
harudishi kile kilichowekwa rehani kwake, ya haki aliyoyatenda, ataishi. 23Je, mimi
huziinulia sanamu macho, ninafurahia kifo cha mtu mwovu? Asema
hufanya mambo ya machukizo, BWANA Mwenyezi. Je, si mimi ninafurahi
13hukopesha kwa riba na kutafuta faida ya wanapogeuka kutoka katika njia zao mbaya na
ziada. kuishi?
24“Lakini kama mtu mwenye haki akiacha
Je, mtu wa namna hii ataishi? Hapana, hataishi! haki yake na kutenda dhambi na kufanya
Kwa sababu amefanya mambo haya yote ya mambo ya machukizo ambayo mtu mwovu
16
EZEKIELI
hufanya, Je, ataishi? Hakuna hata mojawapo ya akamchukua mwanawe mwingine
matendo ya haki aliyotenda litakalokumbukwa. na kumfanya simba mwenye nguvu.
Kwa sababu ya kukosa uaminifu kwake anayo 6Alizungukazunguka miongoni mwa simba,
hatia na kwa sababu ya dhambi alizozitenda, kwa kuwa sasa alikuwa simba mwenye
atakufa. nguvu.
25‘‘Lakini mnasema, ‘Njia ya Bwana si ya Akajifunza kurarua mawindo
haki.’ Sikia, Ee nyumba ya Israeli: Njia yangu naye akala watu.
siyo iliyo ya haki? Je, si njia zenu ndizo ambazo 7Akabomoa ngome zao
17
EZEKIELI
kuwaangamiza huko jangwani. 14Lakini kwa ajili
Israeli Waasi ya jina langu nikafanya kile ambacho kitalifanya
20 Katika mwaka wa saba, mwezi wa tano
siku ya kumi, baadhi ya wazee wa
jina langu lisitiwe unajisi machoni mwa mataifa
ambao mbele yao nilikuwa nimewatoa Waisraeli.
Israeli wakaja ili kutaka ushauri kwa BWANA, 15Tena kwa mkono ulioinuliwa nikawaapia huko
nitawatoa katika nchi ya Misri na kuwaleta katika amri zangu, wala hawakuwa waangalifu kushika
nchi niliyowachagulia, nchi itiririkayo maziwa na sheria zangu, ingawa mtu anayezitii anaishi kwa
asali, nchi nzuri kupita zote. 7Nami hizo, nao wakazinajisi Sabato zangu. Hivyo
nikawaambia, ‘‘Kila mmoja wenu aondolee mbali nikasema ningemwaga ghadhabu yangu juu yao
sanamu za chukizo ambazo mmekazia macho, na kutimiza hasira yangu dhidi yao huko
nanyi msijitie unajisi kwa sanamu za Misri. Mimi jangwani. 22Lakini nikauzuia mkono wangu na
ndimi BWANA, Mungu wenu.’’ kwa ajili ya jina langu nikafanya kile ambacho
8Lakini waliniasi na hawakunisikiliza, kingelifanya jina langu lisitiwe unajisi machoni
hawakuondolea mbali sanamu za machukizo mwa mataifa ambao mbele yao nilikuwa
ambazo walikuwa wamezikazia macho, wala nimewatoa Waisraeli. 23Tena kwa mkono
kuondolea mbali sanamu za Misri. Ndipo ulioinuliwa nikawaapia huko jangwani kwamba
nikasema, nitawamwagia ghadhabu yangu na ningewatawanya miongoni mwa mataifa na
kutimiza hasira yangu dhidi yao huko Misri. kuwatawanya katika nchi mbalimbali, 24kwa
9Lakini kwa ajili ya jina langu nilifanya kile sababu hawakutii sheria zangu lakini walikuwa
ambacho kingelifanya lisitiwe unajisi machoni wamekataa amri zangu na kuzinajisi Sabato
mwa mataifa waliyoishi miongoni mwao na zangu, nayo macho yao yakatamani sanamu za
ambao machoni pao nilikuwa nimejifunua kwa baba zao. 25Pia niliwaacha wafuate amri
Waisraeli kwa kuwatoa katika nchi ya Misri. ambazo hazikuwa nzuri na sheria ambazo mtu
10Kwa hiyo nikawaongoza watoke Misri na hawezi kuishi kwa hizo. 26Nikawaacha
kuwaleta jangwani. 11Nikawapa amri zangu na wanajisiwe kwa matoleo yao, kuwatoa wazaliwa
kuwajulisha sheria zangu, kwa kuwa mtu wao wa kwanza kafara kwa sanamu, yaani, kule
anayezitii ataishi kwa hizo. 12Pia niliwapa Sabato kuwapitisha wazaliwa wao wa kwanza kwenye
zangu kama ishara kati yangu nao, ili wapate moto, nipate kuwajaza na hofu ili wajue kwamba
kujua kuwa Mimi BWANA niliwafanya kuwa Mimi ndimi BWANA.’’
watakatifu. 27Kwa hiyo, mwanadamu, sema na watu wa
13‘‘ ‘Lakini watu wa Israeli waliniasi Mimi Israeli na uwaambie, ‘‘Hili ndilo BWANA
jangwani. Hawakufuata amri zangu, bali Mwenyezi asemalo: ‘Katika hili pia, baba zenu
walikataa sheria zangu, ingawa mtu yule walinikufuru kwa kuniacha mimi: 28Nilipowaleta
anayezitii ataishi kwa hizo, nao walizinajisi katika nchi ile ambayo nilikuwa nimeapa kuwapa
Sabato zangu kabisa. Hivyo nilisema, na kuona kilima cho chote kirefu au mti wo wote
‘‘Ningemwaga ghadhabu yangu juu yao na wenye majani mengi, huko walitoa dhabihu zao,
18
EZEKIELI
wakatoa sadaka ambazo zilichochea hasira dhabihu zenu takatifu zote. 41Nitawakubali ninyi
yangu, wakafukiza uvumba wenye harufu nzuri kama uvumba wenye harufu nzuri wakati
na kumimina sadaka zao za kinywaji. 29Ndipo nitakapowatoa katika mataifa na kuwakusanya
nikawaambia: Ni nini maana yake hapa mahali kutoka katika nchi mlipokuwa mmetawanyika,
pa juu pa kuabudia miungu mnapopaendea?’ nami nitajionyesha kuwa mtakatifu miongoni
(Basi jina la mahali pale panaitwa Bama a hata mwenu na machoni mwa mataifa. 42Ndipo
hivi leo.) mtakapojua kuwa Mimi ndimi BWANA,
nitakapowaleta katika nchi ya Israeli, nchi
Hukumu Na Kurudishwa Upya niliyokuwa nimeapa kwa mkono ulioinuliwa
30Kwa hiyo iambie nyumba ya Israeli: Hili kuwapa baba zenu. 43Hapo ndipo
ndilo BWANA Mwenyezi asemalo: ‘‘Je, nitakapokumbuka mwenendo wenu na matendo
mtajinajisi kama vile baba zenu walivyofanya na yenu yote ambayo kwayo mlijitia unajisi, nanyi
kutamani vinyago vyao vya machukizo? mtajichukia wenyewe kwa ajili ya maovu yote
31Mnapotoa matoleo yenu, yaani, wana wenu mliyokuwa mmetenda. 44Nanyi mtajua kuwa
kafara katika moto, mnaendelea kujinajisi na mimi ndimi BWANA, nitakaposhughulika nanyi
sanamu zenu zote hadi siku hii ya leo. Je, kwa ajili ya jina langu na wala si sawasawa na
niulizwe neno na ninyi, Ee nyumba ya Israeli? njia zenu mbaya na matendo yenu maovu, Ee
Hakika kama niishivyo, asema BWANA nyumba ya Israeli, asema BWANA Mwenyezi.’ ’’
Mwenyezi, mimi sitaulizwa neno na ninyi.
32Lile lililoko mioyoni mwenu kamwe Unabii Dhidi Ya Kusini
halitatokea, mnaposema, “Tunataka tuwe kama 45Neno la BWANA likanijia kusema:
mataifa mengine, kama watu wengine wa dunia, 46Mwanadamu, uelekeze uso wako upande wa
wanaotumikia miti na mawe.’’ 33Hakika kama kusini, hubiri juu ya upande wa kusini na utoe
niishivyo asema BWANA Mwenyezi, nitatawala unabii juu ya msitu wa Negebu. 47Waambie watu
juu yenu kwa mkono wa nguvu na kwa mkono wa Negebu: “Sikieni neno la BWANA. Hili ndilo
ulionyooshwa na kwa ghadhabu iliyomwagwa. BWANA Mwenyezi asemalo: “Ninakaribia
34Nitawatoa toka katika mataifa na kuwakusanya kukutia moto, nao utateketeza miti yako yote,
kutoka katika nchi mlikotawanywa, kwa mkono mibichi na iliyokauka. Miali ya moto haitaweza
wa nguvu na kwa mkono ulionyooshwa na kwa kuzimwa na kila uso kutoka kusini mpaka
ghadhabu iliyomwagwa. 35Nitawaleta katika kaskazini utakaushwa kwa moto huo. 48Kila
jangwa la mataifa na huko nitatekeleza hukumu mmoja ataona kuwa mimi BWANA ndiye
juu yenu uso kwa uso. 36Kama nilivyowahukumu niliyeuwasha huo moto, nao hautazimwa.’ ’’
baba zenu katika jangwa la nchi ya Misri, ndivyo 49Ndipo niliposema, ‘‘Aa, BWANA
nitakavyowahukumu ninyi, asema BWANA Mwenyezi! Wao hunisema, ‘Huyu si
Mwenyezi. 37Nitawafanya mpite chini ya fimbo huzungumza mafumbo tu?’ ’’
yangu, nami nitawaleta katika mkataba wa
agano. 38Nitawaondoa miongoni mwenu wale Babeli Upanga Wa Mungu Wa Hukumu
wanaohalifu na wale wanaoasi dhidi yangu.
21
Neno la BWANA likanijia kusema:
Ingawa nitawatoa katika nchi wanazoishi, 2“Mwanadamu, uelekeze uso wako juu
Israeli, hili ndilo BWANA Mwenyezi asemalo: kinyume nawe. Nitautoa upanga wangu kwenye
“Nendeni mkatumikie sanamu zenu, kila mmoja ala yake na kumkatilia mbali mwenye haki na
wenu! Lakini baadaye hakika mtanisikiliza mimi mwovu. 4Kwa sababu nitamkatilia mbali mwenye
nanyi hamtalinajisi tena jina langu takatifu, kwa haki na mwovu, upanga wangu utakuwa wazi
matoleo yenu na sanamu zenu. 40Kwa kuwa dhidi ya kila mmoja kuanzia kusini mpaka
katika mlima wangu mtakatifu, mlima mrefu wa kaskazini. 5Ndipo watu wote watajua ya kuwa
Israeli, asema BWANA Mwenyezi, hapo katika Mimi BWANA nimeutoa upanga wangu kwenye
nchi nyumba yote ya Israeli itanitumikia mimi, ala yake, nao hautarudi humo tena.’
nami huko nitawakubali. Huko nitataka sadaka 6“Kwa hiyo lia kwa uchungu, mwanadamu!
zenu na matoleo ya malimbuko yenu, pamoja na Lia kwa uchungu mbele yao kwa moyo
uliopondeka na kwa huzuni nyingi. 7Nao
a29 Bama maana yake hapa ni mahali pa juu pa kuabudia miungu.
19
EZEKIELI
watakapokuuliza, ‘Kwa nini unalia kwa 16Ee upanga, kata upande wa kuume,
uchungu?’ Utasema hivi, ‘Kwa sababu ya habari kisha upande wa kushoto,
zinazokuja. Kila moyo utayeyuka na kila mkono mahali po pote makali yako
utalegea, kila roho itazimia na kila goti litalegea yatakapoelekezwa.
kama maji.’ Habari hizo zinakuja! Hakika 17Mimi nami nitapiga makofi,
20
EZEKIELI
umesuguliwa ili kuangamiza za miungu kwenye milima, na kutenda matendo
na unametameta kama umeme wa radi! ya uasherati. 10Ndani yako wako wale
29Wakati wakitoa maono ya uongo kwa ajili wanaovunjia heshima vitanda vya baba zao,
yako, ndani yako wamo wale wanaowatendea
wanapobashiri uongo kwa ajili yako, wanawake jeuri wakiwa katika hedhi, wakati
wanakuweka wewe kwenye shingo za watu wakiwa si safi. 11Ndani yako mtu hufanya
wapotovu, wale walio waovu, mambo ya machukizo na mke wa jirani yake,
wale ambao siku yao imewadia, mwingine kwa aibu kubwa hukutana kimwili na
wakati wa adhabu yao ya mwisho. mke wa mwanawe, mwingine humtenda jeuri
30Urudishe upanga kwenye ala yake! dada yake, binti wa baba yake hasa. 12Ndani
Katika mahali ulipoumbiwa, yako watu hupokea rushwa ili kumwaga damu,
katika nchi ya baba zako, mnapokea riba na faida ya ziada na kupata faida
huko nitakuhukumu. isiyokuwa halali kutoka kwa jirani ili kupata faida
31Nitamwaga ghadhabu yangu juu yako kubwa kupita kiasi. Nawe umenisahau mimi,
na kupuliza moto wa hasira yangu dhidi asema BWANA Mwenyezi.
yako, 13“Hakika nitapiga makofi kwa ajili ya faida
nitakutia mikononi mwa watu wakatili, isiyo halali uliyojipatia na kwa damu uliyoimwaga
watu stadi katika kuangamiza. ndani yako. 14Je, ujasiri wako utadumu au
32Mtakuwa kuni za kuwashia moto, mikono yako itakuwa na nguvu siku hiyo
damu yenu itamwagwa katika nchi nitakapokushughulikia? Mimi BWANA
yenu, nimesema na nitalifanya. 15 Nitakutawanya
wala hamtakumbukwa tena, miongoni mwa mataifa na kukutapanya katika
kwa maana Mimi BWANA nchi mbalimbali nami nitakomesha unajisi wako.
nimesema.’ ’’ 16Ukiisha kunajisika mbele ya mataifa, utajua
damu. 7Ndani yako wamewadharau baba na 24“Mwanadamu, iambie nchi, ‘Wewe ni nchi
mama, ndani yako wamewatendea wageni ambayo haijapata mvua wala manyunyu katika
udhalimu na kuwaonea yatima na wajane. siku ya ghadhabu.’ 25Kuna hila mbaya ya wakuu
8Mmedharau vitu vyangu vitakatifu na kuzinajisi ndani yake kama simba angurumaye akirarua
Sabato zangu. 9Ndani yako wako watu mawindo yake, wanakula watu, wanachukua
wasingiziaji, watu walio tayari kumwaga damu, hazina na vitu vya thamani na kuongeza idadi ya
ndani yako wako wale wanaokula vyakula wajane ndani yake.
vilivyotolewa mahali pa kuwekea vitu vya ibada
21
EZEKIELI
26Makuhani wake wameihalifu sheria yangu na wakawachukua wanawe na binti zake, naye
kunajisi vitu vyangu vitakatifu, hawatofautishi wakamwua kwa upanga. Akawa kitu cha
kati ya vitu vitakatifu na vitu vya kawaida. kudharauliwa miongoni mwa wanawake na
Wanafundisha kuwa hakuna tofauti kati ya vitu adhabu ikatolewa dhidi yake.
vilivyo najisi na visivyo najisi, nao wanafumba 11‘‘ ‘Oholiba dada yake aliliona jambo hili,
macho yao katika kutunza Sabato zangu, hivyo lakini kwa tamaa zake na ukahaba wake,
katikati yao nimetiwa unajisi. 27Maafisa wake akaharibu tabia zake kuliko Ohola dada yake.
walioko ndani yake ni kama mbwa mwitu 12Yeye naye aliwatamani Waashuru, watawala
Mwenyezi asemalo, ‘Wakati BWANA hajasema.’ Akaona wanaume waliochorwa ukutani, picha za
29Watu wa nchi wanatoza kwa nguvu na kufanya Wakaldayo waliovalia nguo nyekundu, 15wakiwa
unyang’anyi, wanawatenda jeuri maskini na na mikanda viunoni mwao na vilemba vichwani
wahitaji na kuwaonea wageni, wakiwanyima mwao, wote walifanana na maafisa wa
haki. Kikaldayo wapandao magari ya vita, wenyeji wa
30Nami nikatafuta mtu miongoni mwao, Ukaldayo. 16Mara tu alipowaona, aliwatamani
ambaye angejenga ukuta na kusimama mbele akatuma wajumbe kwao huko Ukaldayo. 17Ndipo
zangu mahali palipobomoka kwa ajili ya watu wa hao Wakaldayo wakaja kwake, kwenye kitanda
nchi ili nisije nikaiangamiza, lakini sikumwona cha mapenzi, nao katika tamaa zao wakamtia
mtu ye yote. 31Hivyo nitaimwaga ghadhabu unajisi. Baada ya kutiwa unajisi akawaacha kwa
yangu juu yao na kuwateketeza kwa moto wa kuwachukia. 18Alipofanya ukahaba wake
hasira yangu, nikiyaleta juu ya vichwa vyao yale waziwazi na kuonyesha hadharani uchi wake,
yote waliyotenda, asema BWANA Mwenyezi.’’ nilimwacha kwa kuchukia, kama vile nilivyokuwa
nimemwacha dada yake. 19Lakini akazidisha
Ndugu Wawili Makahaba zaidi ukahaba wake alipozikumbuka siku zake
vyao vya ubikira vikakumbatiwa huko na wakati ulipokuwa Misri kifua chako
wakapoteza ubikira wao. 4Mkubwa aliitwa Ohola kilipokumbatiwa na walipokutomasa kwa sababu
na mdogo wake Oholiba. Walikuwa wangu nao ya matiti yako machanga.
wakazaa wavulana na msichana. Ohola ni 22Kwa hiyo, Oholiba, hili ndilo BWANA
22
EZEKIELI
nao watakushughulikia kwa hasira kali. walitoa watoto wao kuwa kafara kwa sanamu
Watakatilia mbali pua yako na masikio yako, na zao, waliingia patakatifu pangu na kupatia
wale watakaosalia miongoni mwako watauawa unajisi. Hilo ndilo walilolifanya katika nyumba
kwa upanga. Watachukua wana wako na binti yangu.
zako na wale watakaosalia miongoni mwenu 40“Walituma hata wajumbe kuwaita watu
watateketezwa kwa moto. 26Watakuvua pia nguo kutoka mbali, nao walipowasili ulioga kwa ajili
zako na kuchukua mapambo yako yao, ukapaka macho yako rangi na ukavaa
yaliyotengenezwa kwa vito na dhahabu. 27Hivyo mapambo yako yaliyotengenezwa kwa vito vya
ndivyo nitakavyokomesha uasherati wako na dhahabu. 41Ukaketi kwenye kiti cha anasa,
ukahaba wako uliouanza huko Misri. kukiwa na meza iliyoandaliwa mbele yake
Hutatazama vitu hivi kwa kuvitamani tena wala ambayo juu yake ulikuwa umeweka uvumba na
kukumbuka Misri tena. mafuta ambayo yalikuwa yangu.
28‘‘Kwa hiyo hili ndilo BWANA Mwenyezi 42“Kelele za umati wa watu wasiojali
asemalo: Ninakaribia kukutia mikononi mwa zilikuwa zimemzunguka, wakaleta watu wengi
wale unaowachukia, kwa wale uliojitenga nao waliokuwa wakifanya makelele na walevi kutoka
kwa kuwachukia. 29Watakushughulikia kwa nyikani, ambao walitia bangili kwenye mikono ya
chuki na kukunyang'anya kila kitu ulichokifanyia yule mwanamke na dada yake na pia taji nzuri
kazi. Watakuacha uchi na mtupu na aibu ya za kupendeza kwenye vichwa vyao. 43Ndipo
ukahaba wako itafunuliwa. Uasherati wako na nikasema kuhusu yule aliyechakazwa na uzinzi,
uzinzi wako 30umekuletea haya yote, kwa ‘Basi wamtumie kama kahaba, kwa kuwa ndivyo
sababu ulitamani mataifa na kujinajisi kwa alivyo.’ 44Nao wakazini naye. Kama vile watu
sanamu zao. 31Umeiendea njia ya dada yako, wazinivyo na kahaba, ndiyo hivyo walivyozini na
hivyo nitakitia kikombe chake mkononi mwako.’ hao wanawake waasherati, Ohola na Oholiba.
45Lakini watu wenye haki, watawahukumia
32“Hili ndilo BWANA Mwenyezi asemalo: adhabu wanawake wafanyao uzinzi na
kumwaga damu, kwa kuwa ni wazinzi na damu
“Utakinywea kikombe cha dada yako, iko mikononi mwao.
kikombe kikubwa na chenye kina kirefu, 46“Hili ndilo BWANA Mwenyezi asemalo,
nitaletea juu yako dharau na dhihaka “Leteni watu wengi wenye makelele dhidi yao na
kwa kuwa kimejaa sana. uwaache wapate hofu na watekwe nyara. 47Hao
33Utalewa ulevi na kujawa huzuni, watu wengi watawapiga kwa mawe na kuwaua
kikombe cha maangamizo na ukiwa, kwa panga zao, watawaua wana wao na binti
kikombe cha dada yako Samaria. zao na kuzichoma nyumba zao.
34Utakinywa chote na kukimaliza, 48Hivyo nitaukomesha uasherati katika nchi,
utakitupa chini kwa nguvu na kukipasua ili wanawake wote wapate onyo nao wasije
vipande vipande kwa meno wakafanya uasherati kama ninyi mlivyofanya.
na kuyararua matiti yako. 49Utapata adhabu kwa ajili ya uasherati wako na
23
EZEKIELI
4Weka vipande vya nyama ndani yake, haikuwezekana kutakaswa kutoka kwenye huo
vipande vyote vizuri, vya paja na vya uchafu wako, hutatakasika tena mpaka
bega. ghadhabu yangu dhidi yako iwe imepungua.
Ijaze hiyo sufuria kwa mifupa hii mizuri,
5Chagua yule aliye bora wa kundi la kondoo, 14‘‘ ‘Mimi BWANA nimesema, wakati
panga kuni chini ya sufuria kwa ajili ya umewadia wa mimi kutenda. Mimi sitazuia, mimi
mifupa, sitaona huruma wala sitapunguza hasira yangu,
chochea mpaka ichemke na uitokose Utahukumiwa sawasawa na mwenendo na
hiyo mifupa ndani yake. matendo yako, asema BWANA Mwenyezi.’’
6Kwa kuwa hili ndilo BWANA Mwenyezi Kifo Cha Mke Wa Ezekieli
asemalo: 15Neno la BWANA likanijia kusema:
16“Mwanadamu, kwa pigo moja nakaribia
“ ‘Ole wa mji umwagao damu, kukuondolea kile kilicho furaha ya macho yako.
ole wa sufuria ambayo sasa ina ukoko Lakini usiomboleze au kulia wala kudondosha
ndani yake, machozi yo yote. 17Lia kwa uchungu kimya
ambayo ukoko wake hautoki. kimya usimwombolezee mtu aliyekufa. Jifunge
Kipakue kipande baada ya kipande, kilemba chako na uvae viatu vyako miguuni
bila kuvipigia kura. mwako, usifunike sehemu ya chini ya uso wako,
wala usile vyakula vya kawaida vya wakati wa
7‘‘
‘Kwa kuwa damu aliyoimwaga ipo katikati matanga.’’
yake, 18Hivyo nikanena na watu asubuhi na jioni
huyo mwanamke aliimwaga juu ya mke wangu akafa. Asubuhi yake nilifanya kama
mwamba ulio wazi, nilivyoamuriwa.
hakuimwaga kwenye ardhi, 19Ndipo watu wakaniuliza, ‘‘Je, jambo hili
nimemwaga damu yake juu ya mwamba lilinijia kusema: 21‘Sema na nyumba ya Israeli.
ulio wazi, ili isifunikwe. Hili ndilo BWANA Mwenyezi asemalo:
Ninakaribia kupatia unajisi mahali pangu
9“Kwa hiyo hili ndilo BWANA Mwenyezi patakatifu, ngome ambayo ndani yake mnaona
asemalo: fahari, furaha ya macho yenu, kitu
mnachokipenda. Wana wenu na binti zenu
“ ‘Ole wa mji umwagao damu! mliowaacha nyuma wataanguka kwa upanga.
Mimi, nami nitalundikia kuni nyingi. 22Nanyi mtafanya kama nilivyofanya.
10Kwa hiyo lundika kuni Hamtafunika sehemu ya chini ya nyuso zenu
na uwashe moto, wala hamtakula vyakula vya kawaida vya
pika hiyo nyama vizuri, waombolezaji. 23Mtajifunga vilemba vichwani
changanya viungo ndani yake mwenu na kuvaa viatu vyenu miguuni mwenu.
na uiache mifupa iungue kwenye moto. Hamtaomboleza au kulia, lakini mtadhoofika kwa
11Kisha teleka sufuria tupu kwenye makaa sababu ya dhambi zenu na kulia kwa uchungu
mpaka kiwe na moto sana na shaba kila mtu na mwenzake. 24Ezekieli atakuwa
yake ing’ae, ishara kwenu, mtafanya kama yeye alivyofanya.
ili uchafu wake upate kuyeyuka Wakati jambo hili litakapotokea, mtajua kuwa
na ukoko wake upate kuungua na Mimi ndimi BWANA Mwenyezi.’
kuondoka. 25“Nawe, mwanadamu, siku ile
nitakapoondoa ngome yao iliyo furaha yao na
12Imezuia juhudi zote, utukufu wao, kitu cha kupendeza macho yao,
ukoko wake mwingi haujaondoka, kile kilicho shauku ya mioyo yao, wana wao na
hata ikiwa ni kwa moto. binti zao vile vile, 26siku hiyo atakayetoroka
atakuja kuwapasha habari. 27Katika siku ile
13‘‘ ‘Sasa uchafu wako ni uasherati wako. kinywa chako kitamfumbukia yeye aliyenusurika,
Kwa sababu nilijaribu kukutakasa lakini nawe utaongea wala hutanyamaza tena. Hivyo
24
EZEKIELI
wewe utakuwa ishara kwao, nao watajua kuwa Nitaufanya ukiwa, kuanzia Temani hadi Dedani
Mimi ndimi BWANA.’’ wataanguka kwa upanga. 14Nitalipiza Edomu
kisasi kwa mkono wa watu wangu Israeli, nao
Unabii Dhidi Ya Amoni watawatendea Edomu sawasawa na hasira
ulisema, “Aha!’’ Juu ya mahali pangu patakatifu ‘Kwa sababu Wafilisti wamewalipiza kisasi kwa
palipotiwa unajisi na juu ya nchi ya Israeli uovu wa mioyo yao na kwa uadui wa siku nyingi
ilipoangamizwa na juu ya watu wa Yuda wakataka kuangamiza Yuda, 16kwa hiyo hili ndilo
walipokwenda uhamishoni, 4kwa hiyo nitawatia BWANA Mwenyezi asemalo: Mimi ninakaribia
mikononi mwa watu wa mashariki mkawe mali kuunyosha mkono wangu dhidi ya Wafilisti, nami
yao. Watapiga kambi zao katikati yenu na nitawakatilia mbali Wakerethi na kuwaangamiza
kufanya makazi miongoni mwenu, watakula wale waliosalia katika pwani. 17Nitalipiza kisasi
matunda yenu na kunywa maziwa yenu. kikubwa juu yao na kuwaadhibu katika
5Nitaufanya mji wa Raba kuwa malisho ya ghadhabu yangu. Ndipo watakapojua kuwa Mimi
ngamia na Amoni kuwa mahali pa kondoo pa ndimi BWANA, nitakapolipiza kisasi juu yao.’ ’’
kupumzikia. Ndipo mtakapojua kuwa Mimi ndimi
BWANA. 6Kwa kuwa hili ndilo BWANA Unabii Dhidi Ya Tiro
Mwenyezi asemalo: Kwa kuwa umepiga makofi
yako na kufanya kishindo kwa miguu, mkifurahia 26 Mwaka wa kumi na moja, siku ya
kwanza ya mwezi, neno la BWANA
kwa mioyo yenu miovu juu ya yale mabaya likanijia kusema: 2“Mwanadamu, kwa sababu
yaliyoipata nchi ya Israeli, 7hivyo nitaunyosha Tiro amesema kuhusu Yerusalemu, ‘Aha! Lango
mkono wangu dhidi yako na kukutoa kuwa nyara la kwenda kwa mataifa limevunjika, nayo
kwa mataifa. Nitakukatilia mbali kutoka kwenye milango yake iko wazi mbele yangu, sasa kwa
mataifa na kukung’oa katika nchi. kuwa amekuwa magofu nitastawi.’ 3Kwa hiyo hili
Nitakuangamiza, nawe utajua ya kuwa Mimi ndilo BWANA Mwenyezi asemalo: Mimi niko
ndimi BWANA.’ ’’ kinyume na wewe, Ee Tiro, nami nitaleta mataifa
mengi dhidi yako, kama bahari inayovurumisha
Unabii Dhidi Ya Moabu mawimbi yake. 4Watavunja kuta za Tiro na
8“Hili ndilo BWANA Mwenyezi asemalo: kuibomoa minara yake, nitakwangua udongo
‘Kwa sababu Moabu na Seiri wamesema, wake na kuufanya mwamba mtupu. 5Itakuwa
“Tazama, nyumba ya Yuda imekuwa kama huko katikati ya bahari patakuwa mahali pa
mataifa mengine yote,’’ 9kwa hiyo nitaiondoa ile kutandaza nyavu za kuvulia samaki, kwa maana
miji iliyo kando ya Moabu, kuanzia miji iliyoko nimenena, asema BWANA Mwenyezi. Atakuwa
mipakani, yaani: Beth-Yeshimothi, Baali-Meoni nyara kwa mataifa, 6nayo makao yake huko bara
na Kiriathaimu, iliyo utukufu wa nchi hiyo. yataangamizwa kwa upanga. Ndipo
10Nitaitia Moabu pamoja na Waamoni mikononi watakapojua kwamba Mimi ndimi BWANA.
mwa watu wa Mashariki kuwa milki yao, ili 7“Kwa maana hili ndilo BWANA Mwenyezi
25
EZEKIELI
zitatikisika kwa mshindo wa farasi wa vita, watakutafuta, lakini kamwe hutaonekana tena,
magari makubwa na magari ya vita wakati asema BWANA Mwenyezi.
aingiapo malango yako kama watu waingiao mji
ambao kuta zake zimebomolewa kote. 11Kwato Maombolezo Kwa Ajili Ya Tiro
za farasi zake zitakanyaga barabara zako zote,
atawaua watu wako kwa upanga na nguzo zako 27 Neno la Bwana likanijia kusema:
2Mwanadamu, fanya maombolezo kwa
zilizo imara zitaanguka chini. 12Watateka utajiri ajili ya Tiro. 3Umwambie Tiro, ulioko kwenye
wako na kuchukua nyara bidhaa zako, lango la bahari, ufanyao biashara na mataifa
watazivunja kuta zako na kuzibomoa nyumba mengi ya pwani, ‘Hili ndilo BWANA Mwenyezi
zako nzuri, watatupa baharini mawe yako, mbao asemalo:
zako na kifusi chako. 13Nitakomesha kelele za
nyimbo zako, na uimbaji wako wa kinubi kamwe ‘‘Ee Tiro, wewe umesema,
hautasikika tena. 14Nitakufanya mwamba mtupu, ‘Mimi ni mkamilifu katika uzuri.’’
nawe utakuwa mahali pa kutandazia nyavu za 4Mipaka yako ilikuwa katika moyo wa bahari,
kuvulia samaki. Kamwe hutajengwa tena, kwa wajenzi wako walikamilisha uzuri wako.
maana Mimi BWANA nimenena, asema BWANA 5Walizifanya mbao zako zote
watu wa kale, nami nitakufanya uishi katika walikuwa juu ya kuta zako pande zote,
pande za chini za nchi kama katika magofu ya watu wa Gamadi
kale, pamoja na wale washukao shimoni, nawe walikuwa kwenye minara yako.
hutarudi au kurejea kwenye makao yako katika Walitundika ngao zao kuzizunguka kuta
nchi ya walio hai. 21Nitakufikisha mwisho wa zako,
kutisha wala hutakuwepo tena. Watu
a5 Seniri ndio Hermoni
26
EZEKIELI
wakaukamilisha uzuri wako. ndizo zinazokusafirishia bidhaa zako.
Umejazwa shehena kubwa
12“‘Tarshishi walifanya biashara nawe kwa katika moyo wa bahari.
sababu ya utajiri wako mkubwa wa bidhaa, 26Wapiga makasia wako wanakupeleka
walibadilisha fedha, chuma, bati na risasi kwa mpaka kwenye maji makavu.
mali zako. Lakini upepo wa mashariki umekuvunja
13“ ‘Uyunani, Tubali na Mesheki, walifanya vipande vipande katika moyo wa bahari.
biashara nawe, walibadilisha watumwa na 27Utajiri wako, bidhaa zako na mali zako,
vyombo vya shaba kwa bidhaa zako. mabaharia wako, manahodha wako,
14“ ‘Watu wa Beth Togarma walibadilisha mafundi wako wa meli,
farasi wa mizigo, farasi wa vita na nyumbu kwa wafanyi biashara wako na askari wako
mali zako. wote
15“ ‘Watu wa Dedani b walifanya biashara na kila mmoja aliyeko melini
nawe, watu wengi wa nchi za pwani walikuwa atazama kwenye moyo wa bahari
wachuuzi wako, walikulipa kwa pembe za ndovu siku ile ya kuvunjika kwa meli yako.
na mpingo. 28Nchi za pwani zitatetemeka
16“ ‘Watu wa Edomu walifanya biashara wakati mabaharia wako watakapopiga
nawe kwa ajili ya wingi wa kazi za mikono yako, kelele.
walibadilishana kwa almasi, vitambaa vya rangi 29Wote wapigao makasia
bidhaa zako na aina zote za vikolezi, vito vya katika vilindi vya maji,
thamani na dhahabu. bidhaa zako na kundi lako lote
23“ ‘Warani, Kane na Edeni na wafanyi vimezama pamoja nawe.
biashara wa Sheba, Ashuru na Kilmadi 35Wote waishio katika nchi za pwani
wanakucheka,
25“ ‘Merikebu za Tarshishi umefikia mwisho wa kutisha
nawe hutakuwepo tena.
b15 Dedani ndio Rhodesi
27
EZEKIELI
ukiwa umejaa hekima na mkamilifu
Unabii Dhidi Ya Mfalme Wa Tiro katika uzuri.
28 Neno la BWANA likanijia kusema:
2“Mwanadamu, mwambie mfalme wa
13Ulikuwa ndani ya Edeni,
bustani ya Mungu,
Tiro, ‘Hili ndilo BWANA Mwenyezi asemalo: kila jiwe la thamani lilikupamba,
akiki nyekundu, yakuti manjano,
“ ‘Kwa sababu moyo wako umejivuna zumaridi, krisolitho, shohamu na yaspi,
na umesema, “Mimi ni Mungu, yakuti samawi, almasi na zabarajadi.
nami ninaketi katika kiti cha enzi cha Mungu Kuwekwa kwa hayo mapambo na
katika moyo wa bahari.’’ kushikizwa kwake kulifanywa kwa
Lakini wewe ni mwanadamu wala si Mungu, dhahabu.
ingawa unafikiri kuwa una hekima kama Siku ile ulipoumbwa yaliandaliwa tayari.
Mungu. 14Ulitiwa mafuta kuwa kerubi mlinzi,
3Je, wewe una hekima kuliko Danieli? kwa kuwa hivyo ndivyo nilivyokusimika.
Je, hakuna siri iliyofichika kwako? Ulikuwa kwenye mlima mtakatifu wa Mungu,
4Kwa hekima yako na ufahamu wako, ulitembea katikati ya mawe ya moto.
umejipatia utajiri, 15Ulikuwa mnyofu katika njia zako
28
EZEKIELI
Mungu, wewe pamoja na samaki wote wa vijito
nitakapotekeleza hukumu zangu vyako.
na kuonyesha utakatifu wangu ndani Utaanguka uwanjani,
yake. nawe hutakusanywa au kuchukuliwa.
23Nitapeleka tauni ndani yake Nitakutoa uwe chakula
na kufanya damu itiririke katika kwa wanyama wa nchi na ndege wa
barabara zake. angani.
Waliochinjwa wataanguka ndani yake,
kwa upanga dhidi yake kila upande. 6Ndipo wale wote waishio Misri watakapojua
Ndipo watakapojua kwamba Mimi ndimi kuwa Mimi ndimi BWANA.
BWANA.
“ ‘Umekuwa fimbo ya tete kwa nyumba ya
24‘‘ ‘Nyumba ya Israeli hawatakuwa tena na Israeli. 7Walipokushika kwa mikono yao,
majirani wenye nia ya kuwadhuru wanaoumiza ulivunjika na kuchana mabega yao,
kama michongoma na miiba mikali. Ndipo walipokuegemea, ulivunjika na migongo yao
watakapojua kwamba Mimi ndimi BWANA ikateguka.
Mwenyezi. 8“Kwa hiyo hili ndilo BWANA Mwenyezi
25‘‘Hili ndilo BWANA Mwenyezi asemalo: asemalo: ‘Nitaleta upanga juu yako na kuua
‘Nitakapoikusanya nyumba ya Israeli kutoka watu wako na wanyama wao. 9Misri itakuwa
katika mataifa ambako wametawanyika, ukiwa na isiyolimwa wala kukaliwa na watu.
nitajionyesha kuwa mtakatifu miongoni mwao Ndipo watakapojua kuwa Mimi ndimi BWANA.
machoni pa mataifa. Ndipo watakapoishi katika ‘‘ ‘Kwa sababu ulisema, ‘‘Mto Nile ni wangu,
nchi yao wenyewe, niliyompa mtumishi wangu mimi niliufanya,’’ 10kwa hiyo mimi ni kinyume
Yakobo. 26Wataishi humo kwa salama na nawe na kinyume na vijito vyako, nami nitaifanya
watajenga nyumba na kupanda mashamba ya nchi ya Misri kuwa magofu na ukiwa isiyolimwa
mizabibu, wataishi kwa salama wala kukaliwa na watu kuanzia Migdoli hadi
nitakapowaadhibu majirani zao wote ambao Aswani, hata kufikia mpakani wa Ethiopia.
waliwafanyia uovu. Ndipo watakapojua kwamba 11Hakuna unyayo wa mtu au mnyama utakaopita
Mimi ndimi BWANA, Mungu wao.’ ’’ ndani yake, wala hakuna ye yote atakayeishi
humo kwa muda wa miaka arobaini. 12Nitaifanya
Unabii Dhidi Ya Misri nchi ya Misri ukiwa, miongoni mwa nchi zilizo
29 Katika mwaka wa kumi, mwezi wa
kumi, siku ya kumi na mbili, neno la
ukiwa, nayo miji yake itabaki ukiwa miaka
arobaini miongoni mwa miji iliyo magofu. Nami
BWANA likanijia kusema: 2‘‘Mwanadamu, nitawatawanya Wamisri miongoni mwa mataifa
elekeza uso wako juu ya Farao mfalme wa Misri na kuwafukuza huko na huko katika nchi
na utabiri dhidi yake na dhidi ya Misri yote. nyingine.
3Nena, nawe useme, ‘‘Hili ndilo BWANA 13‘Lakini hili ndilo BWANA Mwenyezi
29
EZEKIELI
wa kwanza, siku ya kwanza, neno la BWANA nayo miji yao itakuwa magofu
likanijia kusema: 18“Mwanadamu, Nebukadneza miongoni mwa miji iliyo magofu.
mfalme wa Babeli aliongoza jeshi lake kufanya 8Ndipo watakapojua kwamba Mimi ndimi
mataifa yote,
Maombolezo Kwa Ajili Ya Misri litaletwa ili kuangamiza nchi.
30 Neno la BWANA likanijia kusema:
2‘‘Mwanadamu, toa unabii na useme:
Watafuta panga zao dhidi ya Misri
na kuijaza nchi kwa waliouawa.
‘Hili ndilo BWANA Mwenyezi asemalo: 12Nitakausha vijito vya Nile
au kuwekewa kipande cha ubao ili upate nguvu wakaweka viota kwenye vitawi vyake,
za kuweza kuchukua upanga. 22Kwa hiyo hili wanyama wote wa shambani
ndilo BWANA Mwenyezi asemalo: ‘Mimi ni wakazaana chini ya matawi yake,
kinyume na Farao mfalme wa Misri. Nitavunja mataifa makubwa yote
mikono yake yote miwili, ule mkono ulio mzima yaliishi chini ya kivuli chake.
pia na ule uliovunjika na kuufanya upanga 7Ulikuwa na fahari katika uzuri,
‘Katika siku ile mwerezi uliposhushwa chini njia yote hadi milimani,
kaburini nilizifunika chemchemi zenye maji nayo mabonde yatajazwa na nyama yako.
mengi kwa maombolezo: Nilivizuia vijito vyake 7Nitakapokuzimisha, nitafunika mbingu
na wingi wa maji yake nikauzuia. Kwa sababu na kuzitia nyota zake giza,
yake niliivika Lebanoni huzuni, nayo miti yote ya nitalifunika jua kwa wingu,
shambani ikanyauka. 16Niliyafanya mataifa nao mwezi hautatoa nuru yake.
yatetemeke kwa kishindo cha kuanguka kwake 8Mianga yote itoayo nuru angani
vizuri, ilifarijika hapa duniani. 17Wale walioishi nitakapokuangamiza miongoni mwa mataifa,
katika kivuli chake, wale walioungana naye nikikuleta uhamishoni miongoni mwa nchi
miongoni mwa mataifa, nao pia walikuwa ambazo haujapata kuzijua.
wamezikwa pamoja naye, wakiungana na wale 10Nitayafanya mataifa mengi wakustaajabie,
nitautupa wavu wangu juu yako, na kufanya vijito vyake vitiririke kama
32
EZEKIELI
mafuta, washukao shimoni, nao wamewekwa miongoni
asema BWANA Mwenyezi. mwa waliouawa.
15Nitakapoifanya Misri kuwa ukiwa 26“Mesheki na Tabali wako humo, pamoja
na kuiondolea nchi kila kitu kilichomo na makundi yao ya watu wenye jeuri wakiwa
ndani yake, wameyazunguka makaburi yao. Wote
nitakapowapiga wote waishio humo, hawakutahiriwa, wameuawa kwa upanga kwa
ndipo watakapojua kuwa Mimi ndimi sababu walieneza vitisho vyao katika nchi ya
BWANA.’ walio hai. 27Je, hawakulala na mashujaa
wengine wasiotahiriwa waliouawa, ambao
16“Hilindilo ombolezo watakalomwimbia. wameshuka kaburini wakiwa na silaha zao za
Binti za mataifa wataliimba, kwa kuwa Misri na vita, ambao panga zao ziliwekwa chini ya vichwa
kundi lake lote la watu wenye jeuri wataliimba, vyao na uovu wao juu ya mifupa yao? Adhabu
asema BWANA Mwenyezi.’’ kwa ajili ya dhambi zao ilikuwa juu ya mifupa
yao, ingawa vitisho vya mashujaa hawa vilikuwa
17Katika mwaka wa kumi na mbili, mwezi wa vimeenea hadi kwenye nchi ya walio hai.
kwanza, siku ya kumi na tano ya mwezi, neno la 28Wewe pia, Ee Farao, utavunjwa nawe
mataifa yenye nguvu, waende huko pamoja nao na wakuu wake wote, ambao ijapokuwa wana
washukao shimoni. 19Je, ninyi mnamzidi nani nguvu, wamelazwa pamoja na wale waliouawa
kwa uzuri? Shukeni chini! Nanyi mkalazwe kwa upanga. Wamelala pamoja na
pamoja na hao wasio tahiriwa! 20Wataanguka wasiotahiriwa, pamoja na wale washukao
miongoni mwa wale waliouawa kwa upanga. shimoni.
Upanga umefutwa, mwache aburutwe mbali 30“Wakuu wote wa kaskazini na Wasidoni
pamoja na hao watu wake wote wenye jeuri. wote wako huko, wameshuka chini pamoja na
21Kutoka kuzimuni viongozi hodari watanena waliouawa kwa aibu ijapokuwa kuna vitisho
kuhusu Misri pamoja na wale walioungana nao, vilivyosababishwa na nguvu zao. Wamelala bila
‘Wameshuka chini nao wamelala kimya pamoja kutahiriwa pamoja na wale waliouawa kwa
na hao wasiotahiriwa, pamoja na wale upanga na kuchukua aibu yao pamoja na wale
waliouawa kwa upanga.’ washukao chini shimoni.
22“Ashuru yuko huko pamoja na jeshi lake 31“Farao, yeye pamoja na jeshi lake lote,
lote, amezungukwa na makaburi ya watu wake atakapowaona atafarijiwa kwa ajili ya kundi lake
wote waliouawa, wale wote walioanguka kwa lote la watu wenye jeuri, wale waliouawa kwa
upanga. 23Makaburi yao yako kwenye kina cha upanga, asema BWANA Mwenyezi. 32Ingawa
chini cha shimo na jeshi lake limelala nilimfanya Farao aeneze vitisho vyake katika
kulizunguka kaburi lake. Wote waliokuwa nchi ya walio hai, Farao pamoja na makundi
wameeneza hofu kuu katika nchi ya walio hai yake yote ya watu wenye jeuri watalazwa
wameuawa, wameanguka kwa upanga. miongoni mwa wasiotahiriwa, pamoja na wale
24“Elamu yuko huko, pamoja na makundi waliouawa kwa upanga, asema BWANA
yake yote ya watu wenye jeuri wakiwa Mwenyezi.’’
wamelizunguka kaburi lake. Wote wameuawa,
wameanguka kwa upanga. Wote waliokuwa Wajibu Wa Hezekieli Kuwa Mlinzi Kwa Watu
wameeneza hofu katika nchi ya walio hai Wake
walishuka kuzimu bila kutahiriwa. Wanaichukua
aibu yao pamoja na wale washukao shimoni. 33 Neno la BWANA likanijia kusema:
2“Mwanadamu, sema na watu wako
25Kitanda kimetandikwa kwa ajili yake miongoni uwaambie, ‘Nitakapoleta upanga dhidi ya nchi,
mwa waliouawa, pamoja na makundi yake yote nao watu wa nchi wakamchagua mmoja wa
ya watu wenye jeuri yakiwa yamelizunguka watu wao na kumfanya awe mlinzi wao, 3naye
kaburi lake. Wote ni watu wasiotahiriwa, auonapo upanga unakuja dhidi ya nchi na
wameuawa kwa upanga. Kwa sababu vitisho kupiga tarumbeta kuonya watu, 4kama mtu ye
vyao vilienea katika nchi ya walio hai, yote asikiapo sauti ya tarumbeta hakukubali
wameichukua aibu yao pamoja na wale kuonywa, basi upanga ujapo na kuutoa uhai
33
EZEKIELI
wake, damu yake itakuwa juu ya kichwa chake Bwana si sawa.’ Lakini ni njia zao ambazo si
mwenyewe. 5Kwa kuwa alisikia sauti ya sawa. 18Kama mtu mwenye haki akigeuka
tarumbeta lakini hakukubali maonyo, damu yake kutoka katika uadilifu wake na kufanya uovu,
itakuwa juu ya kichwa chake mwenyewe. Kama atakufa kwa ajili ya huo uovu. 19Naye mtu
angekubali maonyo, angelijiokoa mwenyewe. mwovu kama akigeuka kutoka katika uovu wake
6Lakini kama mlinzi akiona upanga unakuja na na kufanya lile lililo haki na sawa, kwa kufanya
asipige tarumbeta kuonya watu na upanga ukija hivyo ataishi. 20Lakini, Ee nyumba ya Israeli,
na kutoa uhai wa mmoja wao, yule mtu unasema, ‘Njia ya Bwana si sawa.’ Lakini
ataondolewa kwa sababu ya dhambi yake, lakini nitamhukumu kila mmoja wenu sawasawa na
damu yake nitaitaka mkononi mwa mlinzi huyo.’ njia zake mwenyewe.’’
7“Mwanadamu, nimekufanya wewe kuwa
kwangu. 8Nimwambiapo mtu mwovu, ‘Ewe mtu wetu, mwezi wa kumi, siku ya tano, mtu
mwovu, hakika utakufa,’ nawe hukusema neno aliyekuwa ametoroka kutoka Yerusalemu
la kumwonya ili atoke katika njia zake, yule mtu akanijia na kusema, “Mji wa Yerusalemu
mwovu atakufa kwa ajili ya dhambi yake, mimi umeanguka!’’ 22Basi jioni kabla mtu huyo hajaja,
nitaitaka damu yake mkononi mwako. 9Lakini mkono wa BWANA, ulikuwa juu yangu, naye
kama utamwonya huyo mtu mwovu aache njia alifungua kinywa changu kabla ya mtu yule
zake mbaya naye hafanyi hivyo, atakufa kwa ajili aliyenijia asubuhi hajafika. Basi kinywa changu
ya dhambi yake, lakini utakuwa umejiokoa kilifunguliwa na sikuweza tena kunyamaza.
mwenyewe. 23Ndipo neno la BWANA likanijia kusema:
10“Mwanadamu, sema na nyumba ya Israeli 24“Mwanadamu, watu wanaoishi katika magofu
uwaambie, ‘Hili ndilo mnalosema: “Makosa yetu hayo katika nchi ya Israeli wanasema hivi,
na dhambi zetu zimetulemea, nasi tunadhoofika ‘Abrahamu alikuwa mtu mmoja tu, hata hivyo
kwa sababu ya hayo. Tutawezaje basi kuishi?’’ akaimiliki nchi. Lakini sisi ni wengi, hakika
11Waambie, ‘Hakika kama mimi niishivyo, asema tumepewa nchi kuwa milki yetu.’ 25Kwa hiyo
BWANA Mwenyezi, sifurahii kifo cha watu waambie, ‘Hili ndilo BWANA Mwenyezi asemalo:
waovu, bali kwamba wageuke kutoka katika njia Kwa kuwa mnakula nyama pamoja na damu na
zao mbaya wapate kuishi. Geukeni! Geukeni kuinulia sanamu zenu macho na kumwaga
kutoka katika njia zenu mbaya! Kwa nini mkafe damu, je, mtaimiliki nchi? 26Mnategemea panga
Ee nyumba ya Israeli?’ zenu, mnafanya mambo ya machukizo na kila
12“Kwa hiyo, mwanadamu, waambie watu mmoja wenu humtia unajisi mke wa jirani yake.
wako, ‘Haki ya mtu mwenye haki haitamwokoa Je, mtaimiliki nchi?’
wakati anapoacha kutii, wala uovu wa mtu 27“Waambie hivi: ‘Hili ndilo BWANA
mwovu hautamsababisha yeye kuanguka Mwenyezi asemalo: Hakika kama niishivyo, wale
anapotubu na kuacha uovu. Mtu mwenye haki, waliobaki katika magofu wataanguka kwa
kama akitenda dhambi, hataishi kwa sababu ya upanga, wale walio nje mashambani nitawatoa
uadilifu wake wa awali. 13Kama nikimwambia wararuliwe na wanyama pori, nao wale walio
mtu mwenye haki kwamba hakika utaishi, lakini katika ngome na kwenye mapango watakufa
akategemea hiyo haki yake na kutenda uovu, kwa tauni. 28Nitaifanya nchi kuwa ukiwa na
hakuna tendo lo lote la haki alilotenda utupu na kiburi cha nguvu zake zitafikia mwisho,
litakalokumbukwa, atakufa kwa ajili ya uovu nayo milima ya Israeli itakuwa ukiwa ili mtu ye
alioutenda. 14Nami kama nikimwambia mtu yote asipite huko. 29Kisha watajua kuwa Mimi
mwovu, ‘Hakika utakufa,’ kisha akageuka kutoka ndimi BWANA, nitakapokuwa nimeifanya nchi
katika dhambi yake na kufanya lile lililo haki na kuwa ukiwa na utupu kwa sababu ya mambo
sawa, 15kama akirudisha kile alichochukuwa yote ya machukizo waliyotenda.’
rehani kwa ajili ya deni, akarudisha alichoiba na 30“Kwa habari yako wewe, mwanadamu,
kufuata amri zile ziletazo uzima, wala hafanyi watu wako wanaongea habari zako wakiwa
uovu, hakika ataishi, hatakufa. 16Hakuna dhambi karibu na kuta na kwenye milango ya nyumba,
yo yote aliyoitenda itakayokumbukwa juu yake. wakiambiana kila mmoja na mwenzake, ‘Njoni
Ametenda lile lililo haki na sawa, hakika ataishi. msikie ujumbe ule utokao kwa BWANA.’ 31Watu
17“Lakini watu wako wanasema, ‘Njia ya wangu wanakujia, kama wafanyavyo, nao
34
EZEKIELI
wanaketi mbele yako kama watu wangu na asemalo: ‘Mimi mwenyewe nitawaulizia kondoo
kusikiliza maneno yako, lakini hawayatendi. Kwa zangu na kuwatafuta. 12Kama vile mchungaji
maana udanganyifu u katika midomo yao, lakini atafutavyo kundi lake lililotawanyika wakati
mioyo yao ina tamaa ya faida isiyo halali. akiwa pamoja nalo, hivyo ndivyo
32Naam, mbele yao umekuwa tu kama yeye nitakavyowatafuta kondoo wangu. Nitawaokoa
aimbaye nyimbo za mapenzi kwa sauti nzuri za kutoka mahali pote walipokuwa wametawanyikia
kuvutia na kupiga vyombo kwa ustadi, kwa kuwa katika siku ya mawingu na giza nene.
wanasikia maneno yako lakini hawayatendi. 13Nitawatoa katika mataifa na kuwakusanya
33“Wakati mambo haya yote yatakapotimia, kutoka nchi mbalimbali, nami nitawaleta katika
kwa kuwa hakika yatatokea, ndipo watakapojua nchi yao wenyewe. Nitawalisha kwenye milima
kwamba nabii amekuwapo miongoni mwao.’’ ya Israeli, katika mabonde na mahali pote
panapokalika katika nchi. 14Nitawachunga
Wachungaji Na Kondoo kwenye malisho mazuri na miinuko ya mlima wa
kuwatafuta wale waliopotea. Badala yake ndilo BWANA Mwenyezi asemalo: ‘Nitahukumu
mmewatawala kwa ukali na kwa ukatili. 5Hivyo kati ya kondoo na kondoo, kati ya kondoo
walitawanyika kwa sababu hapakuwepo waume na mbuzi. 18Je, haiwatoshi ninyi kujilisha
mchungaji, nao walipotawanyika, wakawa kwenye malisho mazuri? Je, ni lazima ninyi
chakula cha wanyama wa mwitu wote. 6Kondoo kuyakanyaga pia malisho yenu yaliyobaki kwa
wangu walitawanyika, wakatangatanga kwenye miguu yenu? Je, haiwatoshi ninyi kunywa maji
milima yote na kwenye kila kilima kirefu. Kondoo safi? Je, ni lazima kuyachafua maji mengine kwa
wangu walitawanyika juu ya uso wa dunia yote miguu yenu? 19Je, ni lazima kundi langu
bila kuwa na ye yote wa kuwaulizia wala wa wajilishe kwa yale mliyoyakanyaga na kunywa
kuwatafuta. maji mliyoyachafua kwa miguu yenu?
7“Kwa hiyo, ninyi wachungaji, lisikieni neno 20“Kwa hiyo, hili ndilo BWANA Mwenyezi
la BWANA: 8‘Kwa hakika kama niishivyo, asema awaambialo: ‘Tazama, mimi mwenyewe
BWANA Mwenyezi, kwa sababu kondoo zangu nitahukumu kati ya kondoo wanono na
wamekosa mchungaji na hivyo wametekwa waliokonda. 21Kwa sababu mmewapiga kikumbo
nyara na kuwa chakula cha wanyama wote wa na kuwapiga kwa pembe zenu kondoo wote
mwituni na kwa sababu wachungaji wangu, walio dhaifu mpaka wakawafukuza, 22nitaliokoa
hawakuwatafuta kondoo zangu, bali wachungaji kundi langu na hawatatekwa nyara tena.
wamejitunza wenyewe, nao hawakuwalisha Nitahukumu kati ya kondoo na kondoo.
kondoo zangu, 9kwa hiyo enyi wachungaji, 23Nitaweka juu yao mchungaji mmoja, mtumishi
sikieni neno la BWANA: 10Hili ndilo BWANA wangu Daudi, naye atawachunga, atawachunga
Mwenyezi asemalo: ‘Mimi ni kinyume na na kuwa mchungaji wao. 24Mimi BWANA
wachungaji nami nitawadai kondoo zangu nitakuwa Mungu wao, naye mtumishi wangu
mkononi mwao. Nitawafukuza kutoka kwenye Daudi atakuwa mkuu miongoni mwao. Mimi
kuchunga kundi langu, ili wachungaji BWANA nimenena.
wasiendelee kujitunza wenyewe. Nitaokoa 25“ ‘Nitafanya nao agano la amani na
kondoo zangu kutoka kwenye vinywa vyao, nao kuwaondoa wanyama wa mwitu kutoka katika
kondoo hawatakuwa tena chakula chao. nchi yao ili kondoo wangu waweze kupumzika
11“Kwa kuwa hili ndilo BWANA Mwenyezi nyikani na msituni kwa salama. 26Nitawabariki
35
EZEKIELI
wao pamoja na maeneo yanayozunguka kilima hasira na wivu uliouonyesha katika chuki yako
changu. Nitawanyeshea mvua kwa majira yake, juu yao nami nitafanya nijulikane miongoni
kutakuwepo mvua za baraka. 27Miti ya shambani mwao wakati nitakapokuhukumu. 12Ndipo
itatoa matunda yake na ardhi itatoa mazao yake, utakapojua kuwa Mimi BWANA nimesikia
watu watakaa salama katika nchi yao. Watajua mambo yote ya dharau uliyosema dhidi ya
kuwa Mimi ndimi BWANA, nitakapovunja vifungo milima ya Israeli. Ulisema, “Wamefanyika ukiwa
vya nira zao na kuwaokoa kutoka katika mikono na kutiwa mikononi mwetu tuwararue.’’
ya wale waliowafanya watumwa. 28Hawatatekwa 13Ulijigamba dhidi yangu na kusema maneno
tena nyara na mataifa, wala wanyama pori dhidi yangu bila kujizuia, nami nikayasikia. 14Hili
hawatawala tena. Wataishi kwa salama, wala ndilo BWANA Mwenyezi asemalo: Wakati dunia
hakuna ye yote atakayewatia hofu. 29Nitawapa yote inashangilia nitakufanya ukiwa. 15Kwa
nchi yenye sifa kutokana na mazao yake, sababu ulishangilia wakati urithi wa nyumba ya
hawatapatwa na njaa katika nchi tena wala Israeli ulipofanyika ukiwa, hivyo ndivyo
hawatadharauliwa na mataifa. 30Ndipo nitakavyokutendea. Utakuwa ukiwa, Ee mlima
watakapojua kuwa Mimi, BWANA, Mungu wao, Seiri, wewe na Edomu yote. Kisha ndipo watajua
niko pamoja nao na ya kuwa wao, nyumba ya kuwa Mimi ndimi BWANA.’ ’’
Israeli, ni watu wangu, asema BWANA
Mwenyezi. 31Ninyi ni kondoo wangu, kondoo wa Unabii Kwa Milima Ya Israeli
malisho yangu, ninyi ni watu wangu, nami ni
Mungu wenu, asema BWANA Mwenyezi.’ ’’ 36 “Mwanadamu, itabirie milima ya Israeli
na useme, ‘Ee milima ya Israeli, sikieni
neno la BWANA. 2Hili ndilo BWANA Mwenyezi
Unabii Dhidi Ya Edomu asemalo: Kwa sababu adui wanasema juu yako,
tutazimiliki,’’ Ingawa hata mimi BWANA nilikuwa matawi na matunda kwa ajili ya watu wangu
huko, 11kwa hiyo hakika kama niishivyo, asema Israeli, kwa sababu hivi karibuni watakuja
BWANA, Mwenyezi, nitakutenda kwa kadiri ya nyumbani. 9Mimi ninawajibika nanyi na
36
EZEKIELI
nitawaangalia kwa upendeleo, mtalimwa na mwenyewe kuwa mtakatifu kwa kuwapitia ninyi
kupandwa mbegu, 10nami nitaizidisha idadi ya mbele ya macho yao.
watu kwenu, naam, nyumba yote ya Israeli. Miji 24“ ‘Kwa kuwa nitawaondoa ninyi toka katika
itakaliwa na watu na magofu yatajengwa upya. mataifa, nitawakusanya kutoka katika nchi zote
11Nitaongeza idadi ya watu na wanyama juu na kuwarudisha kwenye nchi yenu wenyewe.
yenu, nao watazaana sana na kuwa wengi mno. 25Nitawanyunyizia maji safi, nanyi mtakuwa
Nitawakalisha watu ndani yenu kama ilivyokuwa safi,nitawatakasa kutoka katika uchafu wenu
wakati uliopita, nami nitawafanya mfanikiwe wote na kutoka katika sanamu zenu zote.
kuliko hapo kwanza. Ndipo mtakapojua kuwa 26Nitawapa moyo mpya na kuweka roho mpya
Mimi ndimi BWANA. 12Nitawafanya watu, watu ndani yenu, nitaondoa ndani yenu moyo wenu
wangu Israeli, kutembea juu yenu. Watawamiliki wa jiwe na kuwapa moyo wa nyama. 27Nami
ninyi, nanyi mtakuwa urithi wao, kamwe nitaweka Roho yangu ndani yenu na kuwafanya
hamtawaondolea tena watoto wao. ninyi mfuate amri zangu na kuwafanya kuwa
13“ ‘Hili ndilo BWANA Mwenyezi asemalo: waangalifu kuzishika sheria zangu. 28Mtaishi
Kwa sababu watu wanakuambia, “Unawala watu katika nchi niliyowapa baba zenu, ninyi mtakuwa
na kuliondolea taifa lako watoto wake,’’ 14kwa watu wangu nami nitakuwa Mungu wenu.
hiyo hutakula tena watu wala kulifanya tena taifa 29Nitawaokoa ninyi kutoka katika unajisi wenu
lako lisiwe na watoto, asema BWANA wote. Nitaiita nafaka na kuiongeza iwe nyingi
Mwenyezi. 15Sitakufanya tena usikie dhihaka za sana nami sitaleta njaa juu yenu. 30Nitaongeza
mataifa, wala kudharauliwa na kabila za watu, matunda ya miti na mazao ya mashamba, ili
wala kulifanya taifa lako lianguke, asema kwamba msipate tena aibu miongoni mwa
BWANA Mwenyezi.’ ’’ mataifa kwa ajili ya njaa. 31Ndipo
16Neno la Mungu likanijia tena kusema: mtakapozikumbuka njia zenu za uovu na
17“Mwanadamu, nyumba ya Israeli walipokuwa matendo yenu maovu, nanyi mtajichukia
wakiishi katika nchi yao wenyewe, waliinajisi wenyewe kwa ajili ya dhambi zote na matendo
kwa mwenendo wao na matendo yao. yenu ya kuchukiza. 32Ninataka ninyi mjue
Mwenendo wao mbele zangu ulikuwa kama kwamba sifanyi hili kwa ajili yenu, asema
mwanamke aliye katika hedhi. 18Hivyo nilimwaga BWANA Mwenyezi. Oneni aibu na mkatahayari
ghadhabu yangu juu yao kwa sababu walikuwa kwa ajili ya mwenendo wenu, Ee nyumba ya
wamemwaga damu katika nchi na kwa sababu Israeli!
walikuwa wameitia nchi unajisi kwa sanamu zao. 33“ ‘Hili ndilo BWANA Mwenyezi asemalo:
19Nikawatawanya miongoni mwa mataifa, nao Siku ile nitakapowasafisha kutoka katika dhambi
wakaenda huko na huko katika nchi mbalimbali, zenu zote, nitarudisha watu waishi katika miji
nikawahukumu sawasawa na mwenendo wao yenu na magofu yatajengwa upya. 34Nchi
na matendo yao. 20Tena po pote walipokwenda iliyokuwa ukiwa italimwa badala ya kukaa ukiwa
miongoni mwa mataifa walilitia unajisi jina langu machoni mwa wale wote wanaopita ndani yake.
takatifu, kwa kuwa watu walisema kuhusu wao, 35Watasema, “Hii nchi iliyokuwa imeachwa
‘Hawa ndio watu wa BWANA, lakini imewapasa ukiwa sasa imekuwa kama bustani ya Edeni, miji
kuondoka katika nchi yake.’ 21Lakini ile iliyokuwa magofu, ukiwa na kuangamizwa,
niliwahurumia kwa ajili ya jina langu takatifu, sasa imejengewa ngome na kukaliwa na watu.’’
ambalo nyumba ya Israeli imelitia unajisi 36Ndipo mataifa yanayowazunguka yaliyobakia
miongoni mwa mataifa huko walikokwenda. watakapojua kuwa Mimi BWANA nimejenga
22“Kwa hiyo iambie nyumba ya Israeli, ‘Hili tena kile kilichoharibiwa na nimepanda tena kile
ndilo BWANA Mwenyezi asemalo: Si kwa ajili kilichokuwa ukiwa. Mimi BWANA nimenena,
yako, Ee nyumba ya Israeli, kwamba ninafanya nami nitalifanya.’
mambo haya, bali ni kwa ajili ya jina langu 37 “Hili ndilo BWANA Mwenyezi asemalo:
takatifu, ambalo mmelitia unajisi miongoni mwa “Mara nyingine tena nitasikia maombi ya
mataifa mliyoyaendea. 23Nitauonyesha utakatifu nyumba ya Israeli na kuwatendea jambo hili:
wa jina langu kuu, ambalo limetiwa unajisi Nitawafanya watu wake kuwa wengi kama
miongoni mwa mataifa, jina ambalo limetiwa kondoo, 38kuwa wengi kama kundi la kondoo
unajisi miongoni mwao. Ndipo mataifa kwa ajili ya dhabihu huko Yerusalemu wakati wa
watakapojua kuwa Mimi ndimi BWANA, asema siku kuu zao za wakati ulioamriwa. Hivyo ndivyo
BWANA Mwenyezi, nitakapojionyesha miji iliyokuwa magofu itajazwa na makundi ya
37
EZEKIELI
watu. Ndipo watakapojua kuwa Mimi ndimi Taifa Moja Chini Ya Mfalme Mmoja
BWANA.’’ 15Neno la BWANA likanijia kusema:
16Mwanadamu, chukua fimbo na uandike juu
Nitatia pumzi ndani yenu, nanyi mtakuwa hai. asemalo: Nitawatoa Waisraeli katika mataifa
Ndipo mtakapojua kuwa Mimi ndimi BWANA.’’ walikokuwa wamekwenda. Nitawakusanya po
7Basi nikatabiri kama nilivyoamriwa. Wakati pote walipo na kuwarudisha katika nchi yao
nilipokuwa ninatabiri, kukawa na sauti, sauti ya wenyewe. 22Nitawafanya kuwa taifa moja katika
kugongana, nayo mifupa ikasogeleana, mfupa nchi, katika milima ya Israeli. Patakuwa na
kwa mfupa mwenziwe. 8Nikatazama, mishipa na mfalme mmoja juu yao wote na kamwe
nyama vikatokea juu ya mifupa na ngozi hawatagawanyika tena kuwa mataifa mawili au
ikaifunika, lakini hapakuwepo pumzi ndani yake. kugawanyika katika falme mbili. 23Hawatajitia
9Ndipo aliponiambia, “Utabirie upepo, tabiri, tena unajisi kwa sanamu zao na vinyago vyao
mwanadamu na uuambie, ‘Hili ndilo BWANA visivyo na maana wala kwa makosa yao yo yote,
Mwenyezi asemalo: ‘Njoo kutoka pande nne, Ee kwa maana nitawaokoa kutoka katika dhambi
pumzi, nawe upulizie pumzi ndani ya hawa zao zote zilizowarudisha nyuma, nami
waliouawa, ili wapate kuishi.’ ’’ 10Hivyo nikatabiri nitawatakasa. Wao watakuwa watu wangu,
kama alivyoniamuru, nayo pumzi ikawaingia, nami nitakuwa Mungu wao.
wakawa hai na wakasimama kwa miguu yao, 24“ ‘Mtumishi wangu Daudi atakuwa mfalme
lote, yaani, farasi wako, wapanda farasi wako wingu lifunikavyo nchi. Siku zijazo, Ee Gogu,
waliojiandaa tayari kwa vita, pamoja na kundi nitakuleta wewe dhidi ya nchi yangu, ili kwamba
kubwa la watu wakiwa na ngao na vigao, wote mataifa wapate kunijua Mimi nitakapojionyesha
wakipunga panga zao. 5Uajemi, Ethiopia a na mtakatifu kwa kukupitia wewe mbele ya macho
Putu watakuwa pamoja nao, wote wakiwa na yao.
ngao na kofia za chuma, 6pia Gomeri pamoja na 17“ ‘Hili ndilo BWANA Mwenyezi asemalo:
vikosi vyake vyote na nyumba ya Beth-Togarma Je, wewe si yule niliyenena juu yako katika siku
kutoka kaskazini ya mbali pamoja na vikosi za zamani kwa kupitia kwa watumishi wangu
vyake vyote, mataifa mengi wakiwa pamoja manabii wa Israeli? Wakati ule walitabiri kwa
nawe. miaka mingi kwamba ningekuleta upigane nao.
7“ ‘Jiandae, uwe tayari, wewe na makundi 18Hili ndilo litakalotokea katika siku ile: Gogu
yako yote ya watu wenye jeuri yaliyokusanyika atakaposhambulia nchi ya Israeli, hasira yangu
pamoja nawe, nawe waamrishe. 8Baada ya siku kali itaamka, asema BWANA Mwenyezi. 19Katika
nyingi utaitwa vitani. Katika miaka ijayo wivu wangu na ghadhabu yangu kali ninasema
utaivamia nchi ile ambayo imepona kutoka kuwa wakati ule patakuwepo tetemeko kuu
katika vita, ambayo watu wake walikusanywa katika nchi ya Israeli. 20Samaki wa baharini,
kutoka katika mataifa mengi ili kuja katika milima ndege wa angani, wanyama wa kondeni, kila
ya Israeli, ambayo kwa muda mrefu ilikuwa kiumbe kitambaacho ardhini, na watu wote walio
imeachwa ukiwa. Wameletwa kutoka katika juu ya uso wa nchi watatetemeka mbele zangu.
mataifa na sasa wote wanaishi katika hali ya Milima itapinduka, majabali yatapasuka na kila
salama. 9Wewe na vikosi vyako vyote na mataifa ukuta utaanguka chini. 21Nitaita upanga vita
mengi yaliyo pamoja nawe mtapanda juu, dhidi ya Gogu juu ya milima yangu yote, asema
mtawazoa kama tufani na kuifunika nchi kama BWANA Mwenyezi. Upanga wa kila mtu
wingu. utakuwa dhidi ya ndugu yake. 22Nitatekeleza
10“ ‘Hili ndilo BWANA Mwenyezi asemalo: hukumu juu yake kwa tauni na kwa umwagaji wa
Katika siku ile mawazo yataingia moyoni mwako damu. Nitanyesha mvua ya mafuriko, mvua ya
nawe utapanga mipango mibaya. 11Utasema, mawe na moto wa kiberiti juu yake na juu ya
“Nitapigana vita na nchi ambayo vijiji vyake vikosi vyake na juu ya mataifa mengi walio
havina maboma, nitawashambulia watu pamoja naye. 23Nami hivyo ndivyo
wanaoishi kwa amani na wasiotarajia vita, wote nitakavyoonyesha ukuu wangu na utakatifu
wanaishi bila maboma na bila malango na wangu, nami nitajijulisha mbele ya macho ya
makomeo. 12Nitateka mateka na kuchukua mataifa mengi. Ndipo watakapojua kuwa Mimi
nyara mali za wale waliorudi kuishi katika ndimi BWANA.’
mahame na wale watu waliokusanywa kutoka
kwa mataifa, ambao sasa wana mifugo na mali Majeshi Ya Gogu Laangamizwa
nyingi, wanaoishi katikati ya nchi.’’ 13Sheba na
Dedani pamoja na wafanya biashara wa 39 “Mwanadamu, tabiri dhidi ya Gogu
useme: ‘Hili ndilo BWANA Mwenyezi
Tarshishi na vijiji vyake vyote watakuambia, “Je, asemalo: Ee Gogu mimi ni kinyume nawe
umekuja kuteka mateka? Je, umekusanya kundi mtawala mkuu wa Roshi, Mesheki na Tubali.
lako la watu wenye jeuri ili kuchukua nyara mali, 2Nitakugeuza kuelekea ulikotoka na kukuburuta.
kwenye milima ya Israeli, wewe pamoja na asemalo: ‘Ita kila aina ya ndege na wanyama
vikosi vyako vyote na yale mataifa yaliyo pamoja wote wa mwituni, waambie: ‘Kusanyikeni mje
nawe. Nitakutoa uwe chakula cha ndege wa pamoja kutoka pande zote kwa ajili ya dhabihu
aina zote walao nyama na cha wanyama wa ninayowaandalia, dhabihu kuu katika milima ya
mwituni. 5Utaanguka katika uwanja, kwa kuwa Israeli. Huko mtakula nyama na kunywa damu.
nimenena, asema BWANA Mwenyezi. 6Nitatuma 18Mtakula nyama za watu mashujaa na kunywa
moto juu ya Magogu na kwa wale wanaoishi kwa damu za wakuu wa dunia kana kwamba ni za
salama huko pwani, nao watajua kwamba Mimi kondoo waume na kondoo wake, mbuzi na
ndimi BWANA. mafahali, wote walionona kutoka Bashani.
7“Nitalifanya jina langu takatifu lijulikane 19Katika dhabihu ninayoandaa kwa ajili yenu,
miongoni mwa watu wangu Israeli. Sitaliacha mtakula mafuta mpaka mkinai na kunywa damu
tena jina langu takatifu litiwe unajisi, nayo mpaka mlewe. 20Kwenye meza yangu
mataifa watajua kuwa Mimi BWANA ndimi niliye watajishibisha kwa farasi na wapanda farasi,
Mtakatifu wa Israeli. 8Hili jambo linakuja! Hakika watu mashujaa na maaskari wa kila aina, asema
litatokea, asema BWANA Mwenyezi. Hii ndiyo BWANA Mwenyezi.
siku ile niliyosema habari zake. 21“Nitauonyesha utukufu wangu miongoni
9“ ‘Ndipo wale wanaoishi katika miji ya mwa mataifa, nayo mataifa yote wataiona
Israeli watakapotoka na kutumia hizo silaha adhabu nitakayotoa na mkono wangu
kuwashia moto na kuziteketeza, yaani, kigao na nitakaouweka juu yao. 22Kuanzia siku ile na
ngao, pinde na mishale, rungu za vita na mikuki. kuendelea nyumba ya Israeli itajua kuwa Mimi
Kwa miaka saba watavitumia kama kuni. ndimi BWANA, Mungu wao. 23Na mataifa
10Hawatahitaji kukusanya kuni kutoka watajua kuwa nyumba ya Israeli walikwenda
mashambani wala kukata kuni kutoka kwenye utumwani kwa ajili ya dhambi yao, kwa sababu
misitu, kwa sababu watatumia silaha kuwa kuni. hawakuwa waaminifu kwangu. Hivyo niliwaficha
Nao watawateka mateka wale waliowateka na uso wangu na kuwatia mikononi mwa adui zao,
kuchukua nyara mali za wale waliochukua mali nao wote wakaanguka kwa upanga.
zao nyara, asema BWANA Mwenyezi. 24Niliwatendea sawasawa na uchafu wao na
11“ ‘Siku ile nitampa Gogu mahali pa kuzikia makosa yao, nami nikawaficha uso wangu.
katika Israeli, katika bonde la wale wasafirio 25“Kwa hiyo hili ndilo BWANA Mwenyezi
upande wa mashariki kuelekea baharini. Jambo asemalo: Sasa nitamrudisha Yakobo kutoka
hili litazuia njia ya wasafiri kwa sababu Gogu na utumwani, nami nitawahurumia watu wote wa
kundi lake la watu wenye jeuri lote watazikwa Israeli, nami nitakuwa na wivu kwa ajili ya jina
huko. Kwa hiyo litaitwa Bonde la Hamon-Gogu a . langu takatifu. 26Wataisahau aibu yao na jinsi
12“ ‘Kwa miezi saba nyumba ya Israeli walivyoonyesha kutokuwa waaminifu kwangu
itakuwa ikiwazika ili kuisafisha nchi. 13Watu wote wakati walipoishi kwa salama katika nchi yao,
wa nchi watawazika, nayo siku nitakayotukuzwa bila kuwa na mtu ye yote wa kuwatia hofu.
itakuwa siku ya kumbukumbu kwa ajili yao, 27Nitakapokuwa nimewarudisha kutoka katika
waliosalia juu ya uso wa nchi. Mwisho wa hiyo BWANA, Mungu wao, ingawa niliwapeleka
miezi saba wataanza upekuzi wao. 15Wakati uhamishoni miongoni mwa mataifa,
wanapopita nchini kote na mmoja wao akaona nitawakusanya tena katika nchi yao wenyewe,
mfupa wa mwanadamu, ataweka alama kando bila kumwacha ye yote nyuma. 29Sitawaficha
yake mpaka wachimba kaburi wawe wameuzika tena uso wangu, kwa maana nitamimina Roho
katika Bonde la Hamon-Gogu. 16(Pia mji uitwao wangu juu ya nyumba ya Israeli, asema BWANA
Mwenyezi.’’
a11 Hamon Gogu maana yake “Kundi la Gogu la watu wenye jeuri.” b16 Hamona maana yake kundi la watu wenye jeuri.
40
EZEKIELI
nyuso za kuta zilizotenganisha kila upande
Eneo La Hekalu Jipya zilikuwa na vipimo vilivyo sawa. 11Kisha akapima
yako na usikie kwa masikio yako nawe uzingatie vya walinzi na nguzo za hivyo vyumba zilikuwa
kitu nitakachokuonyesha, kwa kuwa ndiyo kwenye mzunguko wa hilo lango, vivyo hivyo
sababu umeletwa hapa. Iambie nyumba ya kulikuwa na madirisha yaliyozunguka
Israeli kila kitu utakachoona.’’ kuelekeana na ua na juu ya kila nguzo kulikuwa
na mapambo ya miti ya mitende.
Lango La Mashariki Kuelekea Ukumbi Wa
Nje. Ukumbi Wa Nje
5Nikaona ukuta uliozunguka eneo lote la 17Kisha akanileta katika ukumbi wa nje.
hekalu. Ule ufito wa kupimia uliokuwa mkononi Huko nikaona vyumba vingine pamoja na njia
mwa yule mtu ulikuwa na urefu wa dhiraa ndefu iliyokuwa imejengwa kuzunguka ukumbi wote,
sita a , yaani, dhiraa ndefu ni sawa na dhiraa na kulikuwa na vyumba thelathini vimepangana
nyanda nne, akapima ule ukuta. Ukuta huo kando ya hiyo njia. 18Njia hii iliyojengwa iliambaa
ulikuwa na unene wa dhiraa ndefu sita na kimo na lango, ikiwa na urefu sawa na lango, hii
cha dhiraa ndefu sita. ilikuwa ni njia ya chini. 19Kisha akapima umbali
6Kisha akaenda kwenye lango linaloelekea kutoka ndani ya lango la chini mpaka nje ya
mashariki. Akapanda ngazi zake akapima ukumbi wa ndani, nao ulikuwa dhiraa mia moja h
kizingiti cha lango, nacho kilikuwa na kina cha upande wa mashariki na dhiraa mia moja
huo ufito. 7Vyumba vya kupumzikia vya walinzi upande wa kaskazini.
vilikuwa na urefu wa huo ufito mmoja na upana
wa huo ufito, kuta zilizogawa vyumba hivyo vya Lango La Kaskazini
mapumziko zilikuwa na unene wa dhiraa tano b . 20Kisha akapima urefu na upana wa lango
Nacho kizingiti cha lango lililokuwa karibu na linaloekea kaskazini, kukabili ukumbi wa nje.
ukumbi unaoelekea hekaluni ulikuwa na kina 21Vyumba vyake vilikuwa vitatu kila upande, kuta
membamba pande zote, kama madirisha ya baraza katika kila njia ya ndani ya lango
huko kwingine. Ilikuwa na urefu wa dhiraa ambamo sadaka za kuteketezwa zilioshwa.
hamsini na upana wake dhiraa ishirini na tano. 39Kwenye baraza ya lile lango kulikuwepo meza
26Kulikuwa na ngazi saba za kupandia huko, mbili kila upande, ambako sadaka za
pamoja na baraza yake mkabala nazo, ilikuwa kuteketezwa, sadaka za dhambi na sadaka za
na nakshi ya miti ya mitende kwenye kuta hatia zilichinjiwa. 40Karibu na ukuta wa nje wa
zinazogawanya vyumba kila upande. 27Ukumbi baraza ya lile lango karibu na ngazi kwenye
wa ndani pia ulikuwa na lango linaloelekea ingilio kuelekea kaskazini kulikuwa na meza
kusini, naye akapima kutoka lango hili mpaka mbili, nako upande mwingine wa ngazi
kwenye lango la nje upande wa kusini, ilikuwa kulikuwepo na meza mbili. 41Kwa hiyo kulikuwa
dhiraa mia moja. na meza nne upande mmoja wa lango na
nyingine nne upande mwingine, zote zilikuwa
Malango Ya Kuelekea Ukumbi Wa Ndani meza nane, ambapo dhabihu zilichinjiwa. 42Pia
28Kisha akanileta mpaka ukumbi wa ndani kulikuwa na meza nne za mawe yaliyochongwa
kwa kupitia lango la kusini, naye akapima lango kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa, kila meza
la kusini, ambalo lilikuwa na vipimo sawa na yale ilikuwa na urefu wa dhiraa moja na nusu l , upana
mengine. 29Vyumba vyake, kuta zilizogawanya wake dhiraa moja na nusu na kimo cha dhiraa
vyumba na ukumbi wake zilikuwa na vipimo moja m . Juu ya meza hizo viliwekwa vyombo vya
sawasawa na zile nyingine. Hilo lango na baraza kuchinjia sadaka za kuteketezwa na dhabihu
yake vilikuwa na madirisha pande zote. Navyo nyingine mbalimbali. 43Kulikuwa na kulabu, urefu
vilikuwa na urefu wa dhiraa hamsini na upana wake nyanda nne n , zilikuwa zimeshikizwa
wa dhiraa ishirini na tano. 30(Baraza za malango ukutani pande zote. Meza zilikuwa kwa ajili ya
zilizozunguka ukumbi wa ndani zilikuwa na nyama za sadaka.
upana wa dhiraa ishirini na tano na kina cha
dhiraa tano.) 31Baraza yake ilielekeana na Vyumba Kwa Ajili Ya Makuhani
ukumbi wa nje, miimo yake ilinakshiwa miti ya 44Nje ya lango la ndani, kwenye ukumbi wa
mitende, kulikuwa na ngazi nane za kupandia ndani, kulikuwa na vyumba viwili, kimoja upande
huko. wa lango la kaskazini nacho kilielekea kusini,
32Kisha akanileta mpaka kwenye ukumbi wa kingine upande wa lango la kusini nacho kiliekea
ndani ulioko upande wa mashariki, naye kaskazini. 45Akaniambia, “Chumba
akalipima lango hilo, lilikuwa na vipimo vilivyo kinachoelekea upande wa kusini ni kwa ajili ya
sawasawa na yale mengine. 33Vyumba vyake, makuhani ambao wana usimamizi wa hekaluni,
kuta zake na baraza yake vilikuwa na vipimo 46nacho chumba kinachoelekea upande wa
vilivyo sawa na vile vingine. Lile lango pamoja kaskazini ni kwa ajili ya makuhani wenye
na baraza yake vilikuwa na madirisha pande usimamizi wa madhabahuni. Hawa ni wana wa
zote. Urefu wake ulikuwa dhiraa hamsini na Sadoki, ambao ndio Walawi pekee wanaoweza
upana wake dhiraa ishirini na tano. 34Baraza kumkaribia BWANA ili kuhudumu mbele zake.’’
yake ilielekea ukumbi wa nje, miimo yake
ilinakshiwa miti ya mitende pande zote. Kulikuwa j36 Dhiraa 50 ni sawa na mita 22.5
k36 Dhiraa 25 ni sawa na mita 11.25
na ngazi nane za kupandia huko. l42 Dhiraa 1.5 ni sawa na sentimita 67.5.
35Kisha akanileta mpaka kwenye lango la
m42 Dhiraa 1 ni sawa na sentimita 45.
n43 Nyanda 4 ni sawa na sentimita 8.
42
EZEKIELI
47Ndipoalipopima ukumbi: nao ulikuwa ulijengwa kukwea juu, kwa hiyo vyumba
mraba wa dhiraa mia moja o urefu na upana. vilipanuka kwa kadiri ya kila kimoja
Madhabahu ilikuwa mbele ya hekalu. kilivyokwenda juu. Ngazi za kupandia zilianzia
sakafu ya chini hadi sakafu ya juu kabisa kwa
Hekalu kupitia sakafu ya kati.
48Akanileta mpaka kwenye baraza ya hekalu 8Nikaona pia kuwa hekalu lilikuwa na kitako
naye akaipima miimo ya hiyo baraza, nayo kilichoinuliwa pande zote, huu ulikuwa ndio
ilikuwa na upana wa dhiraa tatu p kila upande. msingi wa vile vyumba vya pembeni ambao
Upana wa ingilio ulikuwa dhiraa kumi na nne q na ulikuwa na urefu wa ule ufito mmoja wa kupimia,
kuta zake zilikuwa na upana wa dhiraa tatu kila yaani, dhiraa ndefu sita e . 9Ukuta wa nje wa
upande. 49Baraza ilikuwa na dhiraa ishirini r vyumba vya pembeni ulikuwa na unene wa
kwenda juu na dhiraa kumi na mbili s kuanzia dhiraa tano f . Eneo la wazi katikati ya vyumba
mbele hadi nyuma. Kulikuwa na ngazi kumi za vya pembeni vya hekalu 10na vyumba vya
kupandia huko, pia kulikuwa na nguzo kwa kila makuhani lilikuwa na upana wa dhiraa ishirini g
upande wa miimo. kuzunguka hekalu pande zote. 11Kulikuwa na
maingilio kwenye vyumba vya pembeni kutokea
41 Kisha yule mtu akanileta katika sehemu
ya nje ya patakatifu naye akaipima
eneo lililo wazi, moja upande wa kaskazini na
lingine upande wa kusini, nao msingi
miimo, upana wake ulikuwa dhiraa sita a kila uliounganisha lile eneo la wazi ulikuwa na upana
upande. 2Ingilio lilikuwa la upana wa dhiraa kumi wa dhiraa tano ukilizunguka lote.
na kuta zilizojitokeza kila upande zilikuwa na 12Jengo lililoelekeana na ua wa hekalu
upana wa dhiraa tano. Pia akapima sehemu ya upande wa magharibi lilikuwa na upana wa
nje ya patakatifu, nayo ilikuwa na urefu wa dhiraa sabini. Ukuta wa jengo hilo ulikuwa na
dhiraa arobaini b na upana wa dhiraa ishirini. unene wa dhiraa tano, kulizunguka lote, urefu
3Kisha akaingia sehemu ya ndani ya ulikuwa wa dhiraa tisini h .
patakatifu na kupima miimo ya ingilio, kila 13Kisha akapima hekalu, lilikuwa na urefu
mmoja ulikuwa na upana wa dhiraa mbili c . wa dhiraa mia moja i na ua wa hekalu na jengo
Ingilio lilikuwa na upana wa dhiraa sita, na kuta pamoja na kuta zake vilikuwa na urefu wa dhiraa
zilizotokeza kila upande zilikuwa na upana wa mia moja pia. 14Upana wa ua wa hekalu upande
dhiraa saba. 4Naye akapima urefu wa ndani ya wa mashariki, pamoja na upande wa mbele wa
patakatifu nao ulikuwa dhiraa ishirini na upana hekalu ulikuwa dhiraa mia moja.
wake ulikuwa dhiraa ishirini hadi mwisho wa 15Kisha akapima urefu wa jengo
sehemu ya nje ya patakatifu. Akaniambia, “Hapa linaloelekeana na ua upande wa nyuma wa
ndipo Patakatifu pa Patakatifu.’’ hekalu, pamoja na vyumba vyake kila upande,
5Kisha akapima ukuta wa hekalu, nao ilikuwa dhiraa mia moja.
ulikuwa na unene wa dhiraa sita, na kila chumba Mahali Patakatifu Pa nje, mahali Patakatifu
cha pembeni kuzunguka hekalu kilikuwa na pa ndani, pamoja na baraza inayoelekeana na
upana wa dhiraa nne d . 6Vyumba vya pembeni ukumbi, 16pamoja na vizingiti, madirisha
vilikuwa na ghorofa tatu, kimoja juu ya kingine, membamba na vyumba vyote vitatu, kila kimoja
kila ghorofa ilikuwa na vyumba thelathini. pamoja na kizingiti vilifunikwa kwa mbao.
Kulikuwa na boriti katika ukuta wote wa hekalu ili Sakafu, ukuta mpaka kwenye madirisha na
kuimarisha vyumba vya pembeni, kwa hiyo boriti madirisha yenyewe vilifunikwa kwa mbao.
hizo hazikushikamanishwa kwenye ukuta wa 17Katika nafasi iliyokuwa juu upande wa nje wa
hekalu. 7Vyumba vya pembeni vilivyozunguka ingilio la mahali pa Patakatifu pa ndani na juu ya
hekalu vilizidi kupanuka kulingana na sakafu kuta zilizozunguka Patakatifu pa ndani na
zilivyokwenda juu. Ujenzi uliozunguka hekalu Patakatifu pa nje kwa nafasi zili sawa
18kulinakshiwa makerubi na miti ya mitende. Miti
o47 Dhiraa 100 ni sawa na mita 45. ya mitende ilikuwa kati ya kerubi na kerubi. Kila
p48 Dhiraa 3 ni sawa na mita 1.35.
q48 Dhiraa 14 ni sawa na mita 6.30.
r49 Dhiraa 20 ni sawa na mita 9.
s49 Dhiraa 12 ni sawa na mita 5.4. e8 Dhiraa 6 ndefu ni sawa na mita 3.18
a1 Dhiraa 6 ni sawa na mita 2.7 f9 Dhiraa 5 ni sawa na mita 2.25
b2 Dhiraa 40 ni sawa na mita 18.0 g10 Dhiraa 20 ni sawa na mita 9.
c3 Dhiraa 2 ni sawa na sentimita 90 h12 Dhiraa 90 ni sawa na mita 40.5
d5 Dhiraa 4 ni sawa na mita 1.8 i13 Dhiraa 100 ni sawa na mita 45
43
EZEKIELI
kerubi alikuwa na nyuso mbili: 19upande
mmoja na nguzo, kama kumbi zilivyokuwa nazo, kwa
uso wa mwanadamu kuelekea mti wa mtende na hiyo eneo la sakafu ya vyumba vya juu lilikuwa
upande mwingine uso wa simba ukielekea mti ni dogo kuliko la sakafu ya chini na ya kati.
mwingine wa mtende. Ilinakshiwa kuzunguka 7Kulikuwa na ukuta wa nje uliokuwa sambamba
hekalu lote. 20Kuanzia sakafu mpaka eneo lililo na vile vyumba na ukumbi wa nje, ulitokeza
juu ya ingilio, palinakshiwa makerubi na miti ya urefu wa dhiraa hamsini. 8Wakati safu ya
mitende pamoja na kwenye ukuta wa nje wa vyumba katika ua wa nje vilikuwa na urefu wa
patakatifu. dhiraa hamsini, vile vyumba vilivyokuwa karibu
21Mahali patakatifu pa nje palikuwa na zaidi na hekalu vilikuwa na urefu wa dhiraa mia
miimo ya mlango uliokuwa mraba na ule moja. 9Vyumba vya chini vilikuwa na ingilio
uliokuwa katika Patakatifu Pa Patakatifu ulikuwa upande wa mashariki unapoingia kutoka ukumbi
unafanana na huo mwingine. 22Kulikuwa na wa nje.
madhabahu ya mbao kimo chake dhiraa tatu na 10Upande wa kusini kufuata urefu wa ukuta
ilikuwa dhiraa mbili mraba pande zote, tako lake wa ukumbi wa nje, unaopakana na ukumbi wa
na pande zake zilikuwa za mbao. Yule mtu hekalu na kuelekeana na ukuta wa nje, kulikuwa
akaniambia, “Hii ni meza ambayo iko mbele za na vyumba 11vyenye ujia unayopita mbele yake.
BWANA.’’ 23Mahali patakatifu pa nje na Hivi vilifanana na vile vyumba vya upande wa
Patakatifu Pa Patakatifu zilikuwa na milango kaskazini, vilikuwa na urefu na upana ulio sawa,
miwili. 24Kila mlango ulikuwa na vipande viwili, mahali pa kutokea na vipimo vyake vilikuwa
vipande viwili vilivyoshikwa na bawaba vyenye sawa. Kama ilivyokuwa milango ya upande wa
kufunguka kwa kila mlango. 25Juu ya hiyo kaskazini, 12ndivyo ilivyokuwa milango ya
milango ya Patakatifu palinakshiwa makerubi na vyumba vya upande wa kusini. Kulikuwa na
miti ya mitende kama yale yaliyonakshiwa ingilio kuanzia mwanzo wa njia ambao ulikuwa
kwenye kuta na kulikuwa na ubao ulioning’inia sambamba na ukuta wa pili uliokuwa upande wa
mbele ya baraza kwa nje. 26Katika kuta za mashariki, ambako ndiko kwa kuingia vyumbani.
pembeni za ukumbi kulikuwa na madirisha 13Kisha akaniambia, “Vyumba vya upande
membamba yaliyonakshiwa miti ya mitende kila wa kaskazini na vya upande wa kusini ambavyo
upande. Vyumba vya pembeni vya hekalu pia vinaelekeana na ukumbi wa hekalu ni vyumba
vilikuwa vimefunikwa kwa mbao. vya makuhani, mahali ambapo wale makuhani
ambao humkaribia BWANA watakula zile
Vyumba Vya Makuhani sadaka takatifu sana. Huko ndiko watakakoweka
ghorofa tatu. 4Mbele ya hivi vyumba kulikuwa na eneo la ndani la hekalu, akanitoa nje kupitia
njia ya ndani yenye upana wa dhiraa kumi c na lango la upande wa mashariki na kupima eneo
urefu wa dhiraa mia moja. Milango yake ilikuwa lote linalozunguka: 16Akapima upande wa
upande wa kaskazini. 5Basi vyumba vya juu mashariki kwa ule ufito wa kupimia, nao ulikuwa
vilikuwa vyembamba zaidi, kwa kuwa ujia dhiraa 500. 17Akapima upande wa kaskazini,
ulichukua nafasi zaidi ndani yake kuliko katika nao ulikuwa dhiraa 500 kwa ufito ule wa
vyumba vya sakafu ya chini na vya katikati ya kupimia. 18Tena akapima upande wa kusini, nao
jengo. 6Vyumba katika ghorofa ya tatu havikuwa ulikuwa dhiraa 500 d kwa ufito ule wa kupimia.
19Kisha akageukia upande wa magharibi na
nchi ikang’aa kwa utukufu wake. 3Maono mpaka kwenye mfereji sehemu ya chini kimo
niliyoyaona yalikuwa kama maono yale chake ni dhiraa mbili na upana wake ni dhiraa
niliyokuwa nimeyaona wakati Mungu alipokuja moja na kuanzia kwenye ukingo mdogo hadi
kuangamiza mji na kama maono niliyokuwa kwenye ukingo mpana kimo chake ni dhiraa nne
nimeyaona kando ya Mto wa Kebari, nami na upana wake ni dhiraa moja. 15Pale
nikaanguka kifudifudi. 4Utukufu wa BWANA pawashwapo moto madhabahuni kimo chake
ukaingia hekaluni kwa kupitia lango linaloelekea kitakuwa dhiraa nne, na pembe nne
upande wa mashariki. 5Kisha Roho akanichukua zinazoelekeza juu kutoka pale pawashwapo
na kunileta katika ule ua wa ndani, nao utukufu moto. 16Pale pawashwapo moto pa madhabahu
wa BWANA ulilijaza hekalu. ni mraba, urefu wake ni dhiraa kumi na mbili d na
6Wakati yule mtu akiwa amesimama kando upana wa dhiraa kumi na mbili. 17Pia sehemu ya
yangu, nilisikia mtu mmoja akisema nami kutoka juu ni mraba, urefu wake dhiraa kumi na nne e na
ndani ya hekalu. 7Akasema, “Mwanadamu, hapa upana wa dhiraa kumi na nne, ikiwa na ukingo
ni mahali pa kiti changu cha enzi na mahali pa wa nusu dhiraa na mfereji kuizunguka
kuweka nyayo za miguu yangu. Hapa ndipo madhabahu. Ngazi za kupandia madhabahuni
nitakapoishi miongoni mwa Waisraeli milele. zitaelekea upande wa mashariki.’’
Kamwe nyumba ya Israeli hawatalinajisi tena 18Kisha akaniambia, “Mwanadamu, hili ndilo
jina langu takatifu, yaani, wao wala wafalme BWANA Mwenyezi asemalo: Haya ndiyo
wao, kwa ukahaba wao na kwa sanamu zao yatakayokuwa masharti ya kutoa dhabihu za
zisizokuwa na uhai za wafalme wao katika kuteketezwa na kunyunyiza damu juu ya
mahali pao pa juu pa kuabudia miungu. madhabahu itakapokuwa imejengwa. 19Utatoa
8Walipoweka kizingiti chao karibu na kizingiti fahali mchanga kuwa sadaka ya dhambi kwa
changu na miimo yao ya milango karibu na makuhani, ambao ni Walawi, wa jamaa ya
miimo yangu, pakiwa na ukuta tu kati yangu na Sadoki, ndio watakaonikaribia kuhudumu mbele
wao, walilinajisi jina langu takatifu kwa matendo zangu, asema BWANA Mwenyezi. 20Itakupasa
yao ya machukizo. Kwa sababu hiyo kuchukua baadhi ya hiyo damu ya mnyama
niliwaangamizi kwa hasira yangu. 9Basi sasa na huyo na kuiweka juu ya hizo pembe nne za
waweke mbali nami ukahaba wao na sanamu za madhabahu na juu ya ncha zake nne za sehemu
wafalme wao zisizo na uhai, nami nitakaa ya juu kuzunguka ukingo wote, ili kuitakasa
miongoni mwao milele. madhabahu na kufanya upatanisho kwa ajili
10“Mwanadamu, waelezee watu wa Israeli yake. 21Itakupasa kumchukua huyo fahali
juu ya hilo hekalu, ili wapate kuona aibu kwa ajili mchanga kwa ajili ya sadaka ya dhambi na
ya dhambi zao. Wao na wapime hicho kielelezo. kumteketeza mahali palipoagizwa katika eneo la
11Wakishaona aibu kwa ajili ya yale yote hekalu nje ya mahali Patakatifu.
waliyotenda, wafahamishe kielelezo cha hilo 22“Siku ya pili yake utamtoa beberu asiye na
hekalu, yaani mpangilio wake, maingilio yake ya dosari kwa ajili ya sadaka ya dhambi, nayo
kutoka na kuingia, Kielelezo chake chote na
masharti yake yote na sheria zake zote. a13 Dhiraa moja ni sawa na sentimita 45.
Yaandike haya mbele yao ili wapate kuwa b13 Nyanda 4 ni sawa na sentimita 8, kwa hiyo dhiraa moja na
nyanda 4 ni sawa na sentimita 53.
waaminifu kwa hicho kielelezo chake na kufuata c13 Shibiri moja ni sawa na sentimita 22.5
masharti yake yote. d16 Dhiraa 12 ni sawa na mita 5.40.
e17 Dhiraa 14 ni sawa na mita 6.30.
45
EZEKIELI
madhabahu itatakaswa kama ilivyotakaswa kwa ya wanyama na damu, nanyi mmevunja agano
yule fahali. 23Utakapokuwa umemaliza kazi ya langu. 8Badala ya kutimiza wajibu wenu
kuitakasa, utamtoa fahali mchanga pamoja na kuhusiana na vitu vyangu vitakatifu, mmeweka
kondoo mume toka kwenye kundi, wote wawe watu wengine kuwa viongozi katika patakatifu
hawana dosari. 24Utawatoa mbele ya BWANA, pangu. 9Hili ndilo BWANA Mwenyezi asemalo:
nao makuhani watanyunyizia chumvi juu yao na Hakuna mgeni asiyetahiriwa moyo na mwilini
kuwatoa kuwa sadaka ya kuteketezwa kwa anayeruhusiwa kuingia patakatifu pangu, wala
BWANA. hata wageni wanaoishi miongoni mwa Waisraeli.
25“Kwa siku saba itakupasa kutoa beberu 10“ ‘Walawi walioniacha wakati Waisraeli
kila siku kwa ajili ya sadaka ya dhambi, pia walipopotoka wakatoka kwangu na
itakupasa kutoa fahali mchanga na kondoo kutangatanga kwa kufuata sanamu zao,
mume kutoka zizini, wote wawe hawana dosari. watachukua adhabu ya dhambi zao.
26Kwa siku saba itawapasa kufanya upatanisho 11Wanaweza wakatumika katika mahali
kwa ajili ya madhabahu na kuitakasa na hivyo patakatifu pangu, wakiwa na uangalizi wa
ndivyo watakavyoiweka wakfu. 27Mwishoni mwa malango ya hekalu, nao watachinja sadaka za
hizi siku saba, kuanzia siku ya nane na kuteketezwa na dhabihu kwa ajili ya watu na
kuendelea, makuhani itawapasa kutoa sadaka kusimama mbele ya watu ili kuwahudumia.
zenu za kuteketezwa na sadaka za amani juu ya 12Lakini kwa sababu waliwatumikia watu mbele
madhabahu. Kisha nitawakubali ninyi, asema ya sanamu zao na kuifanya nyumba ya Israeli
BWANA Mwenyezi.’’ ianguke kwenye dhambi, kwa hiyo nimeapa kwa
mkono ulioinuliwa kwamba ni lazima wachukue
Mkuu, Walawi, Makuhani matokeo ya dhambi yao, asema BWANA
wa Israeli, ameingia kwa kupitia lango hili. 3Yeye wazao wa Sadoki wale ambao walitimiza wajibu
aliye mkuu peke yake ndiye anayeweza kukaa wao kwa uaminifu katika patakatifu pangu wakati
penye njia ya hilo lango na kula chakula mbele Waisraeli walipopotoka, watakaribia ili kutumika
za BWANA. Itampasa aingie kwa njia hiyo ya mbele zangu, itawapasa wasimame mbele
lango la ukumbini na kutokea njia iyo hiyo.’’ zangu ili kutoa dhabihu za mafuta ya wanyama
4Kisha yule mtu akanileta kwa njia ya lango na damu, asema BWANA Mwenyezi. 16Wao
la kaskazini mpaka mbele ya hekalu. peke yao ndio wenye ruhusa ya kuingia mahali
Nikatazama nami nikauona utukufu wa BWANA patakatifu pangu, wao peke yao ndio
ukilijaza hekalu la BWANA, nami nikaanguka watakaokaribia meza yangu ili kuhudumu mbele
kifudifudi. zangu na kufanya utumishi wangu.
5BWANA akaniambia, “Mwanadamu, 17Watakapoingia kwenye malango ya
angalia kwa uangalifu, usikilize kwa bidii na ukumbi wa ndani, watavaa nguo za kitani safi,
uzingatie kila kitu ninachokuambia kuhusu hawaruhusiwi kamwe kuvaa mavazi ya sufu
masharti yote yanayohusu hekalu la BWANA. wakati wanapokuwa wakihudumu kwenye
Uwe mwangalifu kuhusu wale wanaoruhusiwa malango ya ukumbi wa ndani wala ndani ya
hekaluni na wale wasioruhusiwa kuingia mahali hekalu. 18Watavaa vilemba vya kitani safi
patakatifu. 6Iambie nyumba ya kuasi ya Israeli, vichwani mwao na nguo za ndani za kitani safi
“Hili ndilo BWANA Mwenyezi asemalo: Matendo viunoni mwao. Hawatavaa cho chote
yenu ya machukizo yatosha, Ee nyumba ya kitakachowafanya kutoa jasho. 19Watakapotoka
Israeli! 7Zaidi ya matendo yenu yote ya ili kuingia katika ukumbi wa nje mahali watu
machukizo, mmewaleta wageni wasiotahiriwa walipo, watavua nguo walizokuwa wakihudumu
mioyo na miili katika patakatifu pangu, mkilinajisi nazo na wataziacha katika vyumba vitakatifu
hekalu langu, huku mkinitolea chakula, mafuta nao watavaa nguo nyingine, ili kwamba wasije
46
EZEKIELI
wakaambukiza watu utakatifu kwa njia ya la wazi lenye upana wa dhiraa hamsini d . 3Katika
mavazi yao. eneo takatifu, pima sehemu yenye urefu wa
20“ ‘Hawatanyoa nywele za vichwa vyao dhiraa 25,000 na upana wa dhiraa 10,000 e .
wala kuziacha ziwe ndefu, bali watazipunguza. Ndani ya hilo eneo kutakuwa mahali patakatifu,
21Kuhani ye yote asinywe mvinyo aingiapo Patakatifu pa Patakatifu. 4Itakuwa sehemu
katika ukumbi wa ndani. 22Wasioe wanawake takatifu ya nchi kwa ajili ya makuhani, wale
wajane wala walioachika, inawapasa kuoa wanaohudumu ndani ya mahali patakatifu na
wanawake bikira wenye heshima wa Israeli au ambao hukaribia ili kuhudumu mbele za
wajane wa makuhani. 23Watawafundisha watu BWANA. Patakuwa mahali pa nyumba zao
wangu tofauti kati ya vitu vitakatifu na vitu vya pamoja na sehemu kwa ajili ya mahali
kawaida na kuwaonyesha jinsi ya kupambanua patakatifu. 5Eneo la urefu wa dhiraa 25,000 na
kati ya vitu najisi na vitu safi. upana wa dhiraa 10,000 litakuwa la Walawi wale
24“ ‘Katika magombano yo yote, makuhani wanaotumika hekaluni, kama milki yao kwa ajili
watatumika kama mahakimu na kuamua hilo ya miji ya kuishi.
jambo kufuatana na sheria zangu. Watazishika 6“ ‘Utatoa mji kama mali yao wenye upana
sheria zangu na maagizo yangu katika sikukuu wa dhiraa 5,000 f na urefu wa dhiraa 25,000,
zangu zote zilizoamriwa, nao watatakasa Sabato karibu na sehemu takatifu, itakuwa mali ya
zangu. nyumba yote ya Israeli.
25“ ‘Kuhani asijitie unajisi kwa kukaribia 7“ ‘Mkuu anayetawala atakuwa na lile eneo
maiti, lakini, kama mtu aliyekufa alikuwa baba linalopakana na lile eneo lililowekwa wakfu
yake au mama yake, mwana au binti yake, upande huu na upande huu na eneo la mji.
ndugu yake au dada ambaye hajaolewa, basi Eneo la mji litaenea upande wa magharibi
aweza kujitia unajisi kwa hao. 26Baada ya kuanzia upande wa magharibi na upande wa
kujitakasa, atakaa hali hiyo kwa muda wa siku mashariki kuanzia upande wa mashariki,
saba. 27Siku atakapoingia katika ukumbi wa likiendelea kwa urefu kutoka magharibi hadi
ndani wa mahali patakatifu ili kuhudumu, atatoa mpaka wa mashariki sambamba na mojawapo
sadaka ya dhambi kwa ajili yake mwenyewe, ya sehemu za makabila. 8Nchi hii itakuwa milki
asema BWANA Mwenyezi. yake katika Israeli. Nao wakuu wangu
28“ ‘Mimi nitakuwa ndio urithi pekee walio hawataonea tena watu wangu bali watairuhusu
nao makuhani katika Israeli. Msiwape wao milki, nyumba ya Israeli kuimiliki nchi kulingana na
mimi nitakuwa milki yao. 29Wao watakula sadaka makabila yao.
za nafaka, sadaka za dhambi na sadaka za 9“Hili ndilo BWANA Mwenyezi asemalo:
hatia na kila kitu kitakachotolewa kwa BWANA ‘Yatosha, enyi wakuu wa Israeli! Acheni mbali
kitakuwa chao. 30Yote yaliyo bora ya malimbuko ukatili wenu na uonevu wenu mkafanye lile lililo
ya vitu vyote na matoleo yenu maalum vitakuwa haki na sawa. Acheni kuwatoza watu wangu
vya makuhani. Inawapasa kuwapa malimbuko isivyo haki, asema BWANA Mwenyezi.
ya kwanza ya unga wenu ili kwamba baraka 10Tumieni mizani sahihi na vipimo sahihi vya
ipate kuwa katika nyumba zenu. 31Makuhani efa g na bathi h . 11Efa na bathi viwe sawa, bathi
hawaruhusiwi kula cho chote, ikiwa ni ndege au iwe sehemu moja ya kumi ya homeri na efa iwe
mnyama, aliyekutwa akiwa amekufa au sehemu moja ya kumi ya homeri, homeri
aliyeraruliwa na wanyama pori. itakuwa ndicho kiwango cha kukubalika kwa
vyote viwili. 12Shekeli moja itakuwa gera ishirini i .
Mgawanyo Wa Nchi Shekeli ishirini, jumlisha na shekeli ishirini na
ya sita ya efa kutoka kila homeri ya ngano na ambayo huanza katika mwezi wa saba kwenye
moja ya sita ya efa kutoka kila homeri ya shayiri. siku ya kumi na tano, mkuu anayetawala atatoa
14Sehemu ya mafuta iliyoamriwa, yaliyopimwa mahitaji yale yale kwa ajili ya sadaka za dhambi,
kwa bathi, ni sehemu moja ya kumi ya bathi sadaka za kuteketezwa , sadaka za nafaka na
kutoka kila kori moja k (ambayo ina bathi kumi au mafuta.
homeri moja.) 15Pia kondoo mmoja atachukuliwa
kutoka kwenye kila kundi la kondoo mia mbili Sheria Nyingine Mbalimbali
kutoka kwenye malisho yaliyonyeshewa vizuri ya
Israeli. Hivi vitatumika kwa ajili ya sadaka ya 46 “Hili ndilo BWANA Mwenyezi asemalo:
‘Lango la ukumbi wa ndani linaloelekea
nafaka, sadaka ya kuteketezwa na sadaka za upande wa mashariki litakuwa linafungwa kwa
amani ili kufanya upatanisho kwa ajili ya watu, siku sita za juma, ila siku ya Sabato na siku ya
asema BWANA Mwenyezi. 16Watu wote wa nchi Mwezi Mwandamo litafunguliwa. 2Mkuu
wataungana pamoja na mkuu anayetawala anayetawala ataingia kupitia baraza ya njia ya
Israeli ili kutoa hii sadaka maalum. 17Huu lango la ukumbi na kusimama karibu na nguzo
utakuwa ndio wajibu wa mkuu anayetawala ya lango. Makuhani watatoa sadaka za mkuu
kutoa sadaka ya kuteketezwa, sadaka ya nafaka anayetawala za kuteketezwa na sadaka za
na sadaka ya kinywaji kwenye sikukuu, Mwezi amani. Mkuu anayetawala atasujudu kwenye
Mwandamo na Sabato, kwenye sikukuu zote kizingiti cha njia ya lango, kisha atatoka nje,
zilizoamriwa za nyumba ya Israeli. Atatoa lakini lango halitafungwa mpaka jioni. 3Siku za
sadaka za dhambi, sadaka za nafaka, sadaka za Sabato na za Mwezi mwandamo watu wote wa
kuteketezwa na sadaka za amani ili kufanya nchi wataabudu mbele za BWANA penye lile
upatanisho kwa ajili ya nyumba ya Israeli. ingilio la ile njia. 4Sadaka ya kuteketezwa
18“Hili ndilo BWANA Mwenyezi asemalo: aletazo mkuu anayetawala kwa BWANA siku ya
‘Katika mwezi wa kwanza, siku ya kwanza ya Sabato itakuwa ni wana-kondoo sita na kondoo
huo mwezi utamchukua fahali mchanga asiye na mume mmoja, wote wasiwe na dosari. 5Sadaka
dosari na kutakasa mahali patakatifu. 19Kuhani ya nafaka inayotolewa pamoja na huyo kondoo
itampasa achukue sehemu ya hiyo damu ya mume itakuwa efa moja a na sadaka ya nafaka
sadaka ya dhambi na kuipaka kwenye miimo ya inayotolewa na hao wana-kondoo itakuwa kiasi
hekalu, kwenye pembe nne za juu za ukingo wa apendacho mtu pamoja na hini b ya mafuta kwa
hiyo madhabahu na juu ya miimo ya lango la kila efa. 6Siku ya mwezi mwandamo atatoa
ukumbi wa ndani. 20Itakupasa kufanya vivyo fahali mchanga, wana-kondoo sita na kondoo
hivyo katika siku ya saba ya mwezi huo kwa ajili mume, wote wasiwe na dosari. 7Atatoa kuwa
ya mtu ye yote ambaye hutenda dhambi bila sadaka ya nafaka efa moja pamoja na fahali
kukusudia au bila kujua, hivyo utafanya mmoja, efa moja na kondoo mume mmoja na
upatanisho kwa ajili ya hekalu. pamoja na wana-kondoo kama atakavyo kutoa,
21Katika mwezi wa kwanza siku ya kumi na pamoja na hini ya mafuta kwa kila efa. 8Wakati
nne utaadhimisha Pasaka. Sikukuu itaendelea mkuu anayetawala aingiapo, atapitia kwenye
kwa siku saba, wakati huo wa hizo siku saba baraza ya njia ya lango, naye atatoka nje kwa
utakula mikate isiyotiwa chachu. 22Katika siku njia iyo hiyo.
hiyo mkuu anayetawala atatoa fahali kuwa 9“ ‘Wakati watu wa nchi wanapokuja mbele
sadaka ya dhambi kwa ajili yake mwenyewe na za BWANA katika sikukuu zilizoamriwa, ye yote
kwa ajili ya watu wote wa nchi. 23Kila siku wakati aingiaye kwa lango la kaskazini kuabudu atatoka
wa hizo siku saba za sikukuu atatoa mafahali nje kwa lango la kusini na ye yote aingiaye kwa
saba na kondoo waume saba wasio na dosari
kuwa sadaka ya kuteketezwa kwa BWANA na sawa na omeri 10. Omeri moja ni sawa na lita 3, sawa na
1/10 ya Kori. (Eze. 45:11,14.)
beberu kwa ajili ya sadaka ya dhambi. 24Pia m24 Hini ni kipimo cha kupimia vimiminika, chenye ujazo wa 1/6
atatoa sadaka ya nafaka efa moja l kwa kila ya bathi. Bathi moja ni sawa na 1/10 ya homeri. Homeri
moja ni sawa na bathi 10 au efa 10.
a5 Efa ni kipimo cha ujazo cha kupimia vitu vikavu. Efa moja ni
NB. Mina ya kawaida ilikuwa sawa na shekeli 50 sawa na kilo 22.
k14 Kori moja ni sawa na bathi kumi au homeri moja. b5 Hini ni kipimo cha vitu vya majimaji. Hini moja ni sawa na lita
l24 Efa ni kipimo cha ujazo cha kupimia vitu vikavu ambacho ni 4.
48
EZEKIELI
lango la kusini atatoka nje kwa lango la akanionyesha mahali fulani upande wa mwisho
kaskazini. Hakuna mtu ye yote atakayerudi kwa wa magharibi. 20Akaniambia, “Mahali hapa ndipo
kupitia lango lile aliloingilia, lakini kila mmoja makuhani watakapotokosea sadaka ya hatia na
atatoka nje kwa lango linalokabili lile aliloingilia. sadaka ya dhambi na kuoka sadaka ya nafaka,
10Mkuu anayetawala atakuwa miongoni mwao, kuepuka kuzileta katika ukumbi wa nje na
akiingia nao ndani wanapoingia, naye atatoka kushirikisha utakatifu kwa watu.’’
nao nje wanapotoka. 21Baada ya hapo akanileta kwenye ukumbi
11“ ‘Kwenye sikukuu na kwenye sikukuu wa nje na kunizungusha kwenye pembe zake
zilizoamriwa, sadaka ya nafaka itakuwa efa moja nne, nami nikaona katika kila pembe ya huo
pamoja na fahali mmoja, efa moja pamoja na ukumbi kulikuwa na ukumbi mwingine. 22Katika
kondoo mume mmoja, pamoja na idadi ya wana- pembe nne za huo ukumbi wa nje kulikuwa na
kondoo kama mtu apendavyo kutoa, pamoja na kumbi nyingine, zenye urefu wa dhiraa arobaini
hini ya mafuta kwa kila efa. 12Mkuu anayetawala na upana wake dhiraa thelathini, ambapo hizo
anapotoa sadaka ya hiari kwa BWANA, ikiwa ni kumbi kwenye hizo pembe nne zilikuwa na
sadaka ya kuteketezwa au sadaka ya amani, vipimo vilivyo sawa. 23Mzunguko wa ndani wa
lango linaloelekea mashariki litafunguliwa kwa hizo kumbi nne ulikuwa na ukingo wa jiwe,
ajili yake. Atatoa sadaka yake ya kuteketezwa zikiwa na sehemu zilizojengwa kwa ajili ya moto
au sadaka yake ya amani kama afanyavyo kuzunguka chini ya huo ukingo. 24Akaniambia,
katika siku ya Sabato. Kisha atatoka nje, naye “Hizi ndizo sehemu za kupikia ambazo wale
akiisha kutoka nje, lango litafungwa. wanaohudumu kwenye hekalu watatokosea
13“ ‘Kila siku utamtoa mwanakondoo wa dhabihu za watu.’’
mwaka mmoja asiyekuwa na dosari kwa ajili ya
sadaka ya kuteketezwa kwa BWANA, utaitoa Mto Kutoka Hekaluni
kila siku asubuhi. 14Pia kila siku asubuhi pamoja
na hiyo sadaka utatoa sadaka ya nafaka, ikiwa 47 Yule mtu akanirudisha mpaka kwenye
ingilio la hekalu, nami nikaona maji
na sehemu moja ya sita ya efa pamoja na yakitoka chini ya kizingiti cha hekalu yakitiririkia
theluthi moja ya hini c ya mafuta ya kuchanganya upande wa mashariki (kwa maana upande wa
na ule unga. Utoaji wa sadaka hii ya nafaka kwa mbele wa hekalu ulielekea mashariki.) Maji
BWANA ni amri ya daima. 15Kwa hiyo yalikuwa yakitoka chini upande wa kusini wa
mwanakondoo na sadaka ya nafaka na mafuta hekalu, kusini mwa madhabahu. 2Ndipo akanitoa
vitatolewa kila siku asubuhi kwa ajili ya sadaka nje kupitia lango la kaskazini na kunizungusha
ya daima ya kuteketezwa. mpaka kwenye lango la nje linaloelekea
16“Hili ndilo BWANA Mwenyezi asemalo: mashariki, nayo maji yalikuwa yakitiririka kutoka
‘Ikiwa mkuu atawalaye atatoa zawadi kutoka upande wa kusini.
kwenye urithi wake na kumpa mmoja wa 3Mtu yule alipokwenda upande wa mashariki
wanawe, hiyo zawadi itakuwa pia kwa wazao akiwa na kamba ya kupimia mkononi mwake,
wake, itakuwa mali yao kwa urithi. 17Hata hivyo, akapima dhiraa 1,000 a kisha akanipitisha
kama atatoa zawadi kutoka katika urithi wake na kwenye hayo maji ambayo yalifika kwenye
kumpa mmoja wa watumishi wake, mtumishi vifundo vya miguu. 4Akapima dhiraa 1,000
anaweza kuiweka mpaka mwaka wa uhuru, nyingine na kunipitisha kwenye hayo maji
kisha itarudishwa kwa mkuu anayetawala. Urithi ambayo yalifika magotini. Akapima dhiraa
wake ni wa wanawe peke yao, ni mali yao. nyingine 1,000 na kunipitisha kwenye hayo maji
18Mkuu anayetawala hana ruhusa kuchukua ambayo yalifika kiunoni. 5Akapima tena dhiraa
urithi wo wote wa watu na kuwaondoa kwenye 1,000 nyingine, lakini wakati huu yalikuwa mto
mali zao. Mkuu atawalaye atawapa wanawe ambao sikuweza kuvuka, kwa kuwa maji
urithi wao, kutoka kwenye mali zake mwenyewe, yalikuwa na kina kirefu ambacho ni cha
ili kwamba pasiwe na mtu wangu ye yote kuogelea, mto ambao hakuna mtu ye yote
atakayetengwa na urithi wake.’ ’’ ambaye angeweza kuvuka. 6Akaniuliza, “Je,
19Kisha mtu yule akanileta kwa kupitia mwanadamu, unaona hili?’’
kwenye ingilio lililokuwa kando ya lango mpaka Kisha akanirudisha mpaka kwenye ukingo
kwenye vyumba vitakatifu vinavyoelekea wa huo mto. 7Nilipofika pale, nikaona idadi
kaskazini, ambavyo ni vya makuhani, naye kubwa ya miti kila upande wa ule mto.
c14 Theluthi moja ya hini ni sawa na lita 1.3 a3 Dhiraa 1,000 ni sawa na mita 450.
49
EZEKIELI
8Akaniambia, “Haya maji yanatiririka kuelekea 18“Upande wa mashariki mpaka utapita kati
nchi ya mashariki na kushuka mpaka Araba b , ya Haurani na Dameski, kuambaa
ambapo huingia Baharini. Yanapomwagikia Yordani na kati ya Gileadi na nchi ya
kwenye hiyo Bahari c , maji yaliyoko humo Israeli, hadi Bahari ya Mashariki e na
huponywa na kuwa safi. 9Po pote mto huu kufika Tamari. Huu utakuwa ndio mpaka
uendapo kila kiumbe hai kinachoyaparamia hayo wa mashariki.
maji kitaishi, nako kutakuwa na samaki wengi 19“Upande wa kusini utaanzia Tamari hadi
mno, mara maji haya yafikapo huko. Maji hayo kufikia maji ya Meriba Kadeshi, kisha
yatakuwa hai na kila kitu kitakachoishi kule mto utaambaa na kijito cha Misri hadi Bahari
uendako. 10Wavuvi watasimama kando ya Kuu. Huu utakuwa ndio mpaka wa
bahari, kuanzia En-Gedi hadi En-Eglaimu huko kusini.
patakuwa mahali pa kutandaza nyavu za kuvulia 20“Upande wa magharibi, Bahari Kuu itakuwa
samaki. Samaki watakuwa wa aina nyingi, kama ndio mpaka hadi kwenye sehemu
samaki wa Bahari Kuu d . 11Lakini madimbwi mkabala na Lebo Hamathi. Huu
yake na mabwawa yake hayatakuwa na maji utakuwa ndio mpaka wa magharibi.
yanayofaa kunywa, bali yatabakia kuwa maji ya 21“Mtagawanya nchi hii miongoni mwenu
chumvi. 12Miti ya matunda ya kila aina itaota kufuatana na makabila ya Israeli. 22Mtaigawanya
kwenye kingo zote mbili za huu mto. Majani kuwa urithi kwa ajili yenu na kwa ajili ya wageni
yake hayatanyauka wala haitaacha kuwa na wanaoishi miongoni mwenu na ambao wana
matunda katika matawi yake. Kila mwezi watoto. Wao watakuwa kwenu kama wenyeji
kutakuwa na matunda, kwa sababu maji wazawa wa Israeli, pamoja na ninyi watagawiwa
yatokayo patakatifu yanaitiririkia. Matunda yake urithi miongoni mwa makabila ya Israeli. 23Katika
yatakuwa chakula na majani yake yatakuwa kabila lo lote mgeni atakapoishi hapo ndipo
dawa.’’ mtakapompatia urithi wake,” asema BWANA
Mwenyezi.
Mipaka Mipya Ya Nchi
13“Hili ndilo BWANA Mwenyezi asemalo: ‘Hii Mgawanyo Wa Nchi
ndiyo mipaka ambayo kwayo mtagawanya hiyo
nchi kuwa urithi miongoni mwa hayo makabila 48 “Haya ndiyo majina ya makabila na
sehemu zao: Kwenye mpaka wa
kumi na mawili ya Israeli, pamoja na mafungu kaskazini, Dani atakuwa na sehemu moja,
mawili ya Yosefu. 14Mtagawa kwa usawa mpaka huo utafuata barabara ya Hethloni hadi
miongoni mwao. Kwa sababu niliapa kwa mkono Lebo Hamathi, Hasari Enoni hata mpaka wa
ulioinuliwa kuwapa baba zenu, nchi hii itakuwa kaskazini wa Dameski karibu na Hamathi
urithi wenu. utakuwa sehemu ya huo mpaka wake kuanzia
upande wa mashariki hadi upande wa
15“Huu ndio utakuwa mpaka wa hiyo nchi: magharibi.
2“Asheri atakuwa na sehemu moja,
“Upande wa kaskazini utaanzia Bahari Kuu itapakana na nchi ya Dani kuanzia mashariki
kwa njia ya Hethloni kupitia Lebo hadi upande wa magharibi.
Hamathi hadi maingilio ya Sedadi. 3“Naftali atakuwa na sehemu moja,
16Berotha na Sibraimu (ambao uko itapakana na nchi ya Asheri kuanzia mashariki
kwenye mpaka kati ya Dameski na hadi magharibi.
Hamathi,) hadi kufikia Haser-Hatikoni, 4“Manase atakuwa na sehemu moja,
ambao uko katika mpaka wa Haurani. itapakana na nchi ya Naftali kuanzia mashariki
17Hivyo mpaka utaendelea kuanzia hadi magharibi
Baharini hadi Hasari Enoni, ukiambaa 5“Efraimu atakuwa na sehemu moja,
sehemu utakayoitoa ili kuwa toleo maalum. watatoka katika makabila yote ya Israeli. 20Eneo
Itakuwa na upana wa dhiraa 25,000 a na urefu lote la hiyo sehemu litakuwa mraba, yaani,
wake kuanzia mashariki mpaka magharibi dhiraa 25,000 kila upande. Kama toleo maalum
utakuwa ule ule wa sehemu moja ya kabila, mtatenga sehemu takatifu, pamoja na milki ya
mahali patakatifu patakuwa katikati ya eneo hilo. mji.
9“Hiyo sehemu maalum mtakayotoa kwa 21“Eneo linalobaki pande zote za eneo
BWANA itakuwa na urefu wa dhiraa 25,000 na linalofanya sehemu takatifu na milki ya mji
upana wa dhiraa 10,000 b 10Hii itakuwa ni litakuwa mali ya mkuu atawalaye. Eneo hili
sehemu takatifu kwa ajili ya makuhani. Itakuwa litaenea upande wa mashariki kuanzia kwenye
na urefu wa dhiraa 25,000 upande wa kaskazini, dhiraa 25,000 za sehemu takatifu hadi mpaka
upana wa dhiraa 10,000 upande wa magharibi, wa mashariki na kuelekea upande wa magharibi
dhiraa 10,000 upande wa mashariki na urefu wa kuanzia kwenye dhiraa 25,000 hadi mpaka wa
dhiraa 25,000 upande wa kusini. Katikati yake magharibi. Maeneo yote haya mawili
patakuwa mahali patakatifu pa BWANA. 11Hii yanayoenda sambamba na urefu wa shemu za
itakuwa kwa ajili ya makuhani waliowekwa makabila yatakuwa ya mkuu anayetawala, na
wakfu, Wasadoki, ambao walikuwa waaminifu sehemu ile takatifu pamoja na mahali patakatifu
katika kunitumikia nao hawakupotoka kama pa hekalu itakuwa katikati yake. 22Kwa hiyo milki
Walawi walivyofanya wakati Waisraeli ya Walawi na milki ya mji vitakuwa katikati ya
walipopotoka. 12Itakuwa toleo maalum kwao eneo lile ambalo ni mali ya mkuu anayetawala.
kutoka katika sehemu takatifu ya nchi, yaani, Eneo la mkuu anayetawala litakuwa kati ya
sehemu takatifu sana, inayopakana na nch ya mpaka wa Yuda na mpaka wa Benyamini.
Walawi. 23“Kuhusu makabila yaliyobaki: Benyamini
13“Kando ya nchi ya makuhani, Walawi atakuwa na sehemu moja, itakayoanzia upande
watakuwa na mgao wa urefu wa dhiraa 25,000 wa mashariki hadi upande wa magharibi.
na upana wa dhiraa 10,000. Urefu wake 24“Simeoni atakuwa na sehemu moja,
kusini dhiraa 4,500, upande wa mashariki dhiraa kuanzia Tamari hadi maji ya Meriba Kadeshi,
4,500 na upande wa magharibi dhiraa 4,500. kisha kupitia upande wa kijito cha Misri hadi
17Sehemu ya malisho kwa ajili ya mji itakuwa na Bahari Kuu f .
eneo la dhiraa 250 e upande wa kaskazini, 29“Hii ndiyo nchi mtakayogawanya kuwa
dhiraa 250 upande wa kusini, dhiraa 250 upande urithi kwa makabila ya Israeli, nazo zitakuwa
wa mashariki na dhiraa 250 upande wa sehemu zao,” asema BWANA Mwenyezi.
magharibi. 18Eneo linalobaki, linalopakana na
Malango Ya Mji
a8 Dhiraa 25,000 ni sawa na kilomita 11.25. 30“Haya yatakuwa ndiyo malango ya mji ya
b9 Dhiraa 10,000 ni sawa na kilomita 4.5.
c15 Dhiraa 5,000 ni sawa na kilomita 2.25.
kutokea: Kuanzia upande wa kaskazini, ambayo
d16 Dhiraa 4,500 ni sawa na kilomita 2.025
e17 Dhiraa 250 ni sawa na mita 112.5 f28 Bahari Kuu hapa ina maana Bahari ya Mediterania.
51
EZEKIELI
urefu wake ni dhiraa 4,500, utakuwa na malango
matatu, 31malango hayo ya mji yatapewa majina
ya makabila ya Israeli. Malango hayo matatu ya
upande wa kaskazini moja litakuwa lango la
Reubeni, lango la Yuda na lango la Lawi.
32“Upande wa mashariki, wenye urefu wa
Wazo
Kuelezea habari za Wayahudi waliokuwa mateka lakini wenye imani na walioonyesha jinsi Mungu anavyoweza kuokoa
wale wanaomtumaini na kusudio lo lote baya akionyesha uweza Wake kwamba ndiye anayetawala mbingu na nchi na
kwamba falme zote za wanadamu ziko chini Yake.
Mwandishi
Danieli ambaye maana ya jina lake ni “Mungu ni mwamuzi (hakimu) wangu,” ndiye mwandishi.
Mahali
Babeli. Huko alitumikia serikali kwa miaka 60 wakati wa utawala wa Nebukadneza, Belshaza, Dario na Koreshi.
Tarehe
Mnamo mwaka 605- 530 K.K.
Kusudi
Aliandika kitabu hiki wakati Wayahudi walipokuwa utumwani ili kuwatia watu moyo waendelee kumwamini Mungu ambaye
ndiye anayetawala historia yote.
Mambo Muhimu
Maono ya Danieli (sura ya 8-12) yanaonyesha mpango wa Mungu kwa vizazi vyote pamoja na kutabiri wazi wazi kuhusu
Masiya.
Wahusika Wakuu
Danieli, Shadraki, Meshaki, Abednego, Nebukadneza, Belshaza na Dario.
Mgawanyo
• Matukio wakati wa utawala wa mfalme • Maono wakati wa utawala wa Belshaza. (7:1-8:27)
Nebukadneza. (1:1-4:37) • Ndoto ya Danieli na majuma sabini. (9:1-27)
• Maandishi ukutani. (5:1-30) • Mafunuo ya mwisho ya Danieli. (10:1-12:13)
• Danieli katika tundu la simba. (5:31-6:28)
1
DANIELI
Mafunzo Ya Danieli Huko Babeli wanaokula chakula cha kifalme, ukawatendee
Katika mwaka wa tatu wa utawala wa watumishi wako kulingana na unachoona.’’
1 Yehoyakimu mfalme wa Yuda, 14Basi akakubali jambo hili akawajaribu kwa siku
akamtia Yehoyakimu mfalme wa Yuda mkononi kuwa na afya na kunawiri zaidi kuliko ye yote
mwa Nebukadneza pamoja na baadhi ya kati ya wale vijana waliokula chakula cha
vyombo kutoka katika hekalu la Mungu. Hivi kifalme. 16Hivyo mlinzi wao akaondoa chakula
akavichukua hadi kwenye hekalu la mungu wake chao na divai yao waliopangiwa kula na kunywa
huko Shinari naye akaviweka katika nyumba ya akawapa nafaka na mboga za majani badala
hazina ya mungu wake. yake.
3Kisha mfalme akamwagiza Ashpenazi, 17Mungu akawapa hawa vijana waume
mkuu wa maafisa wa jumba lake la kifalme, wanne maarifa na ufahamu wa kila aina ya
kumletea baadhi ya Waisraeli kutoka jamaa ya maandiko na elimu. Naye Danieli aliweza
kifalme na kutoka watu mashuhuri, 4vijana kufahamu maono na aina zote za ndoto.
wanaume wasio na dosari mwilini, wenye sura 18Mwisho wa muda uliowekwa na mfalme
nzuri, wanaoonyesha ujuzi katika kila elimu, kuwaingiza kwake, mkuu wa maafisa akawaleta
wenye ufahamu mzuri, wepesi kuelewa, na mbele ya mfalme Nebukadneza. 19Mfalme
waliofuzu kuhudumu katika jumba la kifalme. akazungumza nao, akaona hakuna aliyekuwa
Alikuwa awafundishe lugha na maandiko ya amelingana na Danieli, Hanania, Mishaeli na
Wakaldayo. 5Mfalme akawaagizia kiasi cha Azaria, hivyo wakaingia katika utumishi wa
chakula na divai ya kila siku kutoka katika meza mfalme. 20Katika kila jambo la hekima na
ya mfalme. Walikuwa wafundishwe kwa miaka ufahamu kuhusu kile mfalme alichowauliza,
mitatu, hatimaye waingie kwenye utumishi wa aliwaona bora mara kumi zaidi kuliko waganga
mfalme. na wasihiri wote katika ufalme wake wote.
6Miongoni mwa hawa vijana baadhi 21Naye Danieli akabaki huko mpaka mwaka
walikuwa kutoka Yuda: Danieli, Hanania, wa kwanza wa kutawala kwake Mfalme Koreshi.
Mishaeli na Azaria. 7Mkuu wa maafisa akawapa
majina mapya, Danieli akamwita Belteshaza, Ndoto Ya Nebukadneza
Hanania akamwita Shadraki, Mishaeli akamwita
Meshaki na Azaria akamwita Abednego. 2 Katika mwaka wa pili wa utawala wake,
Nebukadneza aliota ndoto, akili yake
8Lakini Danieli alikusudia kuwa hatajitia ikasumbuka na hakuweza kulala. 2Hivyo mfalme
unajisi kwa chakula cha kifalme na divai, naye akawaita waganga, wasihiri, wachawi na
akamwomba mkuu wa maafisa ruhusa kwa ajili wanajimu ili wamwambie ndoto yake aliyokuwa
ya kutokujinajisi kwa njia hii. 9Basi Mungu ameota. Walipoingia ndani na kusimama mbele
alikuwa amemfanya huyo mkuu wa maafisa ya mfalme, 3akawaamba, ‘‘Niliota ndoto
kuonyesha upendeleo na huruma kwa Danieli, inayonisumbua nami nataka nijue maana yake.’’
10lakini huyo mkuu wa maafisa akamwambia 4Ndipo wanajimu wakamjibu mfalme kwa
Danieli, “Ninamwogopa bwana wangu mfalme, lugha ya Kiaramu, ‘‘Ee mfalme, uishi milele!
aliyeagizia chakula na kinywaji chenu. Kwa nini Waambie watumishi wako hiyo ndoto, nasi
aone nyuso zenu ni mbaya kuliko za vijana rika tutaifasiri.’’
lenu? Mfalme atakata kichwa changu kwa 5Mfalme akawajibu wanajimu, ‘‘Nimeamua
Azaria, 12“Tafadhali wajaribu watumishi wako mtapokea kwangu zawadi, tuzo na heshima
kwa siku kumi. Usitupe cho chote ila nafaka na kubwa. Basi niambieni ndoto yangu na
mboga za majani a tule na maji ya kunywa. mnifasirie.’’
13Ndipo ulinganishe kuonekana kwetu na vijana 7Wakajibu kwa mara nyingine, ‘‘Mfalme na
aliyeuliza kitu kama hicho kwa mganga au kwa mara moja na kumwambia, “Nimempata mtu
msihiri, wala kwa mnajimu ye yote. miongoni mwa watu wa uhamisho kutoka Yuda
11Anachouliza mfalme ni kigumu mno. Hakuna ambaye anaweza kumwambia mfalme ndoto
ye yote awezaye kumfunulia mfalme isipokuwa yake inamaanisha nini.’’
miungu, nao hawaishi miongoni mwa 26Mfalme akamwuliza Danieli (aliyeitwa pia
kuuawa kwa wenye hekima wote wa Babeli. msihiri, mganga au mwaguzi anayeweza
13Hivyo amri ikatolewa ya kuwaua wenye kumweleza mfalme siri aliyouliza, 28lakini yuko
hekima, nao watu wakatumwa kuwatafuta Mungu mbinguni afunuaye siri. Amemwonyesha
Danieli na rafiki zake ili wawaue. Mfalme Nebukadneza kitakachotokea siku
14Arioko, mkuu wa askari wa walinzi wa zijazo. Ndoto yako na maono yaliyopita akilini
mfalme, alikuwa amekwenda kuwaua watu mwako ulipokuwa umelala kitandani mwako ni
wenye hekima wa Babeli, Danieli akazungumza haya:
naye kwa hekima na busara. 15Akamwuliza huyo 29“Ee mfalme, ulipokuwa umelala kitandani,
afisa wa mfalme, ‘‘Kwa nini mfalme ametoa amri yalikujia mawazo kuhusu mambo yatakayotokea
kali hivyo?’’ Ndipo Arioko akamweleza Danieli baadaye, naye mfunuaji wa siri akakuonyesha ni
jambo hilo. 16Katika jambo hili, Danieli kitu gani kitakachotokea. 30Kwangu mimi, siri hii
akamwendea mfalme akamwomba ampe muda, imefunuliwa kwangu, si kwa sababu nina hekima
ili aweze kumfasiria ile ndoto. kubwa kuliko watu wengine wanaoishi, bali ni ili
17Ndipo Danieli akarudi nyumbani kwake na wewe, Ee mfalme, upate kujua tafsiri na ili
kuwaeleza rafiki zake Hanania, Meshaki na uweze kuelewa kile kilichopita akilini mwako.
Azaria jambo hilo. 18Aliwasihi waombe rehema 31Ee mfalme, ulitazama na mbele yako
kutoka kwa Mungu wa mbingu kuhusu siri hii, ili ilisimama sanamu kubwa, kubwa mno kupita
yeye na rafiki zake wasije wakauawa pamoja na kiasi, sanamu inayong'aa inayotisha kwa
wenye hekima wengine wa Babeli. 19Wakati wa kuonekana kwake. 32Kichwa cha ile sanamu
usiku lile fumbo lilifunuliwa kwa Danieli katika kilikuwa kimetengenezwa kwa dhahabu safi,
maono. Ndipo Danieli akamhimidi Mungu wa kifua chake na mikono yake vilikuwa vya fedha,
mbinguni, tumbo lake na mapaja yake vilikuwa vya shaba,
20na akasema: 33miguu yake ilikuwa ya chuma, kwa sehemu
“Lihimidiwe jina la Mungu milele na milele, nyayo zake zilikuwa chuma na sehemu nyingine
hekima na uweza ni vyake. zilikuwa udongo wa mfinyanzi uliochomwa.
21Yeye hubadili nyakati na majira, 34Ulipokuwa unaangalia, jiwe lilikatwa, lakini si
huwaweka wafalme na kuwaondoa. kwa mikono ya mwanadamu. Lile jiwe liliipiga ile
Huwapa hekima wenye hekima sanamu kwenye nyayo zake za chuma na
na maarifa wenye ufahamu. udongo wa mfinyanzi na kuivunja. 35Ndipo ile
22Hufunua siri na mambo yaliyofichika, chuma, ule udongo wa mfinyanzi, ile shaba, ile
anajua yale yaliyo gizani, fedha na ile dhahabu vikavunjika vipande
nuru hukaa kwake. vipande kwa wakati mmoja na kuwa kama
23Ninakushukuru na kukuhimidi, makapi katika sakafu ya kupuria nafaka wakati
3
DANIELI
wa kiangazi. Upepo ukavipeperusha bila kuacha 46Ndipo Mfalme Nebukadneza akaanguka
hata alama. Lakini lile jiwe lililoipiga ile sanamu kifudifudi mbele ya Danieli kumpa heshima na
likawa mlima mkubwa mno na kuijaza dunia kuagiza kwamba wamtolee Danieli sadaka na
yote. uvumba. 47Mfalme akamwambia Danieli, “Hakika
36Hii ndiyo iliyokuwa ndoto, nasi sasa Mungu wako ni Mungu wa miungu na Bwana wa
tutamfasiria mfalme. 37Ee mfalme, wewe ni wafalme na mfunuaji wa siri zote, kwa maana
mfalme wa wafalme. Mungu wa mbinguni umeweza kufunua siri hii.’’
amekupa wewe utawala, uweza, nguvu na 48Ndipo mfalme akamweka Danieli kwenye
utukufu, 38mikononi mwako amewaweka nafasi ya juu na kumpa zawadi nyingi tele.
wanadamu, wanyama wa kondeni na ndege wa Akamfanya kuwa mtawala wa jimbo lote la
angani. Po pote waishipo amekufanya wewe Babeli na kumweka kuwa mkuu wa wote wenye
kuwa mtawala juu yao wote. Wewe ndiye kile hekima. 49Zaidi ya hayo, kwa ombi la Danieli
kichwa cha dhahabu. mfalme akawateuwa Shadraki, Meshaki na
39“Baada yako, ufalme mwingine utainuka, Abednego kuwa wasimamizi wa jimbo la Babeli,
ulio dhaifu kuliko wako. Baadaye, utafuata huku Danieli akibaki katika ukumbi wa kifalme.
ufalme wa tatu, ule wa shaba, utatawala juu ya
dunia yote. 40Hatimaye, kutakuweko na ufalme Sanamu Ya Dhahabu Na Moto Mkali
wa nne, wenye nguvu kama chuma, kwa maana
chuma huvunja na kupondaponda kila kitu, 3 Mfalme Nebukadneza alitengeneza
sanamu ya dhahabu, yenye kimo cha
kama vile chuma ivunjavyo vitu vipande dhiraa sitini a na upana wake dhiraa sita,
vipande, ndivyo ufalme huo akaisimamisha kwenye tambarare ya Dura
utakavyopondaponda na kuvunjavunja nyingine katika jimbo la nchi ya Babeli. 2Kisha mfalme
zote. 41Kama vile ulivyoona kuwa kwa sehemu akaita maliwali, wasimamizi, watawala,
nyayo na vidole vilikuwa vya udongo wa washauri, watunza hazina, waamuzi, mahakimu
mfinyanzi uliochomwa na kwa sehemu nyingine na maafisa wengine wote wa jimbo kuja
chuma, hivyo huu utakuwa ufalme kuizindua sanamu ambayo mfalme
uliogawanyikagawanyika, hata hivyo kutakuwa Nebukadneza alikuwa ameisimamisha. 3Basi
na baadhi zenye nguvu za chuma ndani yake, maliwali, wasimamizi, watawala, washauri,
kama vile ulivyoona chuma imechanganywa na watunza hazina, waamuzi, mahakimu na
udongo wa mfinyanzi. 42Kama vile vidole vyake maafisa wengine wa jimbo walikusanyika kwa
vya miguu vilikuwa kwa sehemu chuma na ajili ya kuizindua sanamu ile ambayo mfalme
sehemu udongo wa mfinyanzi, hivyo ufalme huo alikuwa ameisimamisha, nao wakasimama
kwa sehemu utakuwa na nguvu na kwa sehemu mbele ya hiyo sanamu.
udhaifu. 43Kama vile ulivyoona chuma kikiwa 4Ndipo mpiga mbiu akatangaza kwa sauti
lililochongwa kutoka mlimani, lakini si kwa baragumu, filimbi, kinubi, zeze, kinubi na aina
mikono ya mwanadamu, lile jiwe ambalo lilivunja zote za ala za uimbaji, watu wa kabila zote,
chuma, shaba, udongo wa mfanyanzi, fedha na mataifa na watu wa kila lugha wakaanguka chini
dhahabu vipande vipande.
“Mungu Mkuu amemwonyesha mfalme kile
kitakachotokea wakati ujao. Ndoto hii ni ya kweli a1 Dhiraa sitini ni sawa na mita 27.
na tafsiri yake ni ya kuaminika.’’ Dhiraa sita ni sawa na mita 2.7.
Dhiraa moja ni sawa na sentimita 45.
4
DANIELI
na kuiabudu ile sanamu ya dhahabu ambayo kutupwa ndani ya tanuru iwakayo moto wakiwa
mfalme Nebukadneza alikuwa ameisimamisha. wamevaa majoho yao, suruali, vilemba na nguo
8Wakati huo baadhi ya Wakaldayo zao nyingine. 22Amri ya mfalme ilikuwa ya
walijitokeza na kuwashtaki Wayahudi. haraka sana na tanuru ilikuwa na moto mkali
9Wakamwambia mfalme Nebukadneza, “Ee kiasi kwamba miali ya moto iliwaua wale askari
mfalme, uishi milele! 10Ee mfalme, umetoa amri waliowachukua Shadraki, Meshaki na
kwamba kila mmoja atakayesikia sauti ya Abednego. 23 Watu hawa watatu, wakiwa
baragumu, filimbi, marimba, zeze, kinubi, zumari wamefungwa kwa uthabiti sana, walianguka
na aina zote za ala za uimbaji lazima aanguke ndani ya tanuru iwakayo moto.
chini na kuiabudu ile sanamu ya dhahabu, 11na 24Ndipo mfalme Nebukadneza akashangaa
kwamba ye yote ambaye hataanguka chini na akainuka kwa haraka na kuwauliza washauri
kuiabudu atatupwa saa iyo hiyo ndani ya tanuru wake, “Je, hawakuwa watu watatu ambao
liwakalo moto. 12Lakini wako baadhi ya tuliwafunga na kuwatupa ndani ya moto?’’
Wayahudi ambao umewaweka juu ya mambo ya Washauri wakajibu, “Hakika, Ee mfalme.’’
jimbo la Babeli: yaani, Shadraki, Meshaki na 25Mfalme akasema, “Tazama! Naona watu
Meshaki na Abednego. Hivyo watu hawa wa ile tanuru iwakayo moto na kupaza sauti,
wakaletwa mbele ya mfalme, 14naye “Shadraki, Meshaki na Abednego, watumishi wa
Nebukadneza akawauliza, “Je, ni kweli kwamba Mungu Aliye Juu Sana, tokeni! Njoni huku!’’
wewe Shadraki, Meshaki na Abednego Ndipo Shadraki, Meshaki na Abednego
hamuitumikii miungu yangu wala kuiabudu wakatoka ndani ya moto. 27Nao maliwali,
sanamu ya dhahabu niliyoisimamisha? 15Basi wasimamizi, watawala na washauri wa kifalme
wakati mtakaposikia sauti ya baragumu, filimbi, wakakusanyika kuwazunguka. Waliona kwamba
marimba, zeze, kinubi, zumari na aina zote za moto haukudhuru miili yao, wala unywele wa
ala za uimbaji, kama mtakuwa tayari kusujudu vichwa vyao haukuungua, majoho yao
na kuiabudu hiyo sanamu niliyoitengeneza, hayakuungua, wala hapakuwepo na harufu ya
vema sana. Lakini kama hamtaiabudu, moto kwenye miili yao.
mtatupwa saa iyo hiyo ndani ya tanuru iwakayo 28Ndipo Nebukadneza akasema, “Ahimidiwe
Abednego na kuwatupa ndani ya tanuru iwakayo Kwa kabila za watu, mataifa na watu wa kila
moto. 21Hivyo watu hawa, walifungwa na lugha, wanaoishi katika ulimwengu wote:
5
DANIELI
na kuyatawanya matunda yake. Wanyama
Amani na mafanikio yawe kwenu! na wakimbie kutoka chini yake na ndege
wakimbie kutoka katika matawi yake.
2Nifuraha yangu kuwaambia kuhusu 15Lakini acheni kisiki chake na mizizi, kikiwa
enzi yake hudumu kutoka kizazi hadi mwanadamu na apewe akili ya mnyama,
kizazi. mpaka nyakati saba zipite juu yake.
17Uamuzi huu umetangazwa na walinzi,
4Mimi, Nebukadneza, nilikuwa hukumu hii imetangazwa na watakatifu, ili
nyumbani katika jumba langu la kifalme, walio hai wajue kuwa Aliye Juu Sana ndiye
nikiwa ninaishi kwa raha na hali ya anayetawala juu ya falme zote za
kufanikiwa . 5Niliota ndoto iliyoniogopesha. wanadamu, naye humpa ye yote amtakaye
Nilipokuwa nimelala kitandani mwangu, na kumtawaza juu yake hata yeye aliye
njozi na maono yaliyopita akilini mwangu mnyonge sana miongoni mwa wanadamu.
vilinitisha. 6Hivyo nikaagiza kwamba watu 18Hii ndiyo niliyopata mimi, mfalme
6
DANIELI
majani ya kondeni, wakati mizizi yake ya tai na kucha zake kama makucha ya
inabaki ardhini.Mwacheni aloweshwe na ndege.
umande wa mbinguni, mwacheni aishi kama
wanyama pori mpaka nyakati saba zipite juu 34Mwisho wa huo wakati, mimi
yake. Nebukadneza, niliinua macho yangu
24“Ee mfalme, hii ndiyo tafsiri, hii ni amri kuelekea mbinguni, nazo fahamu zangu
ya Aliye Juu Sana aliyoitoa dhidi ya bwana zikanirudia. Ndipo nikamsifu Yeye Aliye Juu
wangu mfalme: 25Wewe utafukuzwa mbali Sana, nikamheshimu na kumhimidi Yeye
na wanadamu, nawe utaishi pamoja na aishiye milele.
wanyama pori, utakula manyasi kama
ng'ombe na kuloana kwa umande wa Utawala wake ni utawala wa milele,
mbinguni. Nyakati saba zitapita juu yako, ufalme wake hudumu kizazi na kizazi.
mpaka utakapokubali kuwa Yeye Aliye Juu 35Mataifa yote ya dunia
5
31Maneno yalikuwa bado katika midomo Mfalme Belshaza alifanya karamu kubwa
yake wakati sauti ilipokuja kutoka mbinguni, kwa ajili ya maelfu ya wakuu wake na
ikisema, “Mfalme Nebukadneza, hiki ndicho akanywa mvinyo pamoja nao. 2Wakati Belshaza
kilichoamriwa kwa ajili yako: Mamlaka yako alipokuwa akinywa mvinyo wake, aliamuru
ya kifalme yameondolewa kutoka kwako. viletwe vile vikombe vya dhahabu na fedha
32Utafukuzwa mbali na wanadamu ukaishi ambavyo Nebukadneza baba yake alikuwa
pamoja na wanyama pori, utakula manyasi amevichukua kutoka hekaluni huko Yerusalemu,
kama ng'ombe. Nyakati saba zitapita juu ili mfalme na wakuu wake, wake zake na
yako, mpaka utakapokubali kuwa Yeye Aliye masuria wake waweze kuvinywea. 3Kwa hiyo
Juu Sana ndiye anayetawala juu ya falme wakavileta vile vikombe vya dhahabu ambavyo
za wanadamu, naye humtawaza ye yote vilikuwa vimechukuliwa kutoka katika hekalu la
amtakaye.’’ Mungu huko Yerusalemu, naye mfalme na
33Papo hapo yale yaliyokuwa wakuu wake, wake zake na masuria wake
yamesemwa kuhusu Nebukadneza wakavinywea. 4Walipokuwa wakinywa mvinyo,
yakatimia. Alifukuzwa mbali na wanadamu, wakaisifu miungu ya dhahabu, ya fedha, ya
akala majani kama ng'ombe. Mwili wake shaba, ya chuma, ya miti na ya mawe.
uliloweshwa kwa umande wa mbinguni 5Ghafula vidole vya kitanga cha
mpaka nywele zake zikakua kama manyoya mwanadamu vilitokea na kuandika juu ya ukuta,
7
DANIELI
karibu na kinara cha taa ndani ya jumba la 17Ndipo Danieli akamjibu mfalme, “Waweza
mfalme. Mfalme akatazama kitanga kilivyokuwa kubaki na zawadi zako mwenyewe na kumpa
kikiandika. 6Uso wa mfalme ukageuka rangi mtu mwingine ye yote zawadi zako. Hata hivyo
naye aliogopa sana kiasi kwamba magoti yake nitasoma maandishi kwa ajili ya mfalme na
yaligongana na miguu yake ikalegea. kumwambia maana yake.
7Mfalme akawaita wasihiri, wanajimu na 18Ee mfalme, Mungu Aliye Juu Sana alimpa
waganga waletwe, naye akawaambia hawa baba yako Nebukadneza utawala, ukuu, utukufu
wenye hekima wa Babeli, “Ye yote asomaye na fahari. 19Kwa sababu ya nafasi ya juu
maandishi haya na kuniambia maana yake, aliyompa baba yako, kabila zote za watu,
atavikwa nguo za zambarau na kuvikwa mkufu mataifa na watu wa kila lugha walimhofu na
wa dhahabu shingoni mwake, naye atafanywa kumwogopa. Wale ambao mfalme alitaka
mtawala wa tatu kutoka juu katika ufalme.’’ kuwaua, aliwaua, wale aliotaka kuwaacha hai,
8Ndipo watu wote wa mfalme wenye hekima aliwaacha hai, wale aliotaka kuwapandisha
wakaingia, lakini hawakuweza kusoma yale cheo, aliwapandisha, aliotaka kuwashusha,
maandishi wala kumwambia mfalme maana aliwashusha. 20Lakini moyo wake ulipokuwa na
yake. 9Basi mfalme Belshaza akazidi kujawa na majivuno na kuwa mgumu kwa kiburi,
hofu na uso wake ukageuka rangi zaidi. Wakuu aliondolewa kutoka kwenye kiti chake cha
wake wakapigwa na bumbuazi. utawala cha kifalme na kuvuliwa utukufu wake.
10Malkia a aliposikia sauti za mfalme na 21Akafukuzwa mbali na wanadamu na kupewa
wakuu wake alikuja akaingia katika ukumbi wa akili ya mnyama, akaishi pamoja na punda-
karamu. Akasema, “Ee mfalme, uishi milele. mwitu, akala majani kama ng'ombe, nao mwili
Usishtuke! Usibadilike rangi kiasi hicho! 11Yuko wake ukaloweshwa kwa umande wa mbingu,
mtu katika ufalme wako ambaye ana Roho ya mpaka alipotambua kwamba Mungu Aliye Juu
Miungu Mitakatifu ndani yake. Wakati wa baba Sana ndiye mtawala juu ya falme za wanadamu
yako, mtu huyo alionekana kuwa na ufahamu, na kwamba humtawaza juu yao ye yote
akili na hekima kama ile ya miungu. Mfalme amtakaye.
Nebukadneza baba yako, yaani nasema mfalme 22Lakini wewe mwanae, Ee Belshaza,
baba yako, alimteuwa kuwa mkuu wa waganga, hukujinyenyekeza, ingawa ulifahamu haya yote.
wasihiri, wanajimu na waaguzi. 12Mtu huyu 23Badala yake, umejiinua dhidi ya Bwana wa
Danieli, ambaye mfalme alimwita Beltheshaza, mbingu. Uliletewa vikombe vya hekalu lake,
alionekana kuwa na akili nyepesi, maarifa na nawe na wakuu wako, wake zako na masuria
ufahamu, pia uwezo wa kufasiri ndoto, kueleza wako mlivitumia kwa kunywea mvinyo. Ukaisifu
mafumbo na kutatua matatizo magumu. Mwite miungu ya fedha, ya dhahabu, ya shaba, ya
Danieli, naye atakuambia maana ya haya chuma, ya miti na ya mawe, miungu ambayo
maandishi.’’ haiwezi kuona au kusikia wala kufahamu. Lakini
13Hivyo Danieli akaletwa mbele ya mfalme, hukumheshimu Mungu ambaye anaushikilia
naye mfalme akamwuliza, “Je, wewe ndiwe uhai wako na njia zako zote mkononi mwake.
Danieli, mmoja wa watu wa uhamisho 24Kwa hiyo ameutuma mkono ule ulioandika
zijazo, isipokuwa kwako wewe, Ee mfalme, kuharakisha kwenda kwenye tundu la simba.
atatupwa ndani ya tundu la simba. 8Sasa, Ee 20Wakati alipokaribia lile tundu, alimwita Danieli
mfalme, toa amri na uiandike ili kwamba isiweze kwa sauti ya uchungu, “Danieli, mtumishi wa
kubadilishwa, kwa kulingana na sheria za Mungu aliye hai, je, Mungu wako unayemtumikia
Wamedi na Waajemi, ambazo haziwezi daima, ameweza kukuokoa na simba hawa?’’
kubatilishwa.” 9Hivyo Mfalme Dario akaiweka 21Danieli akajibu, “Ee mfalme, uishi milele!
amri hiyo katika maandishi. 22Mungu wangu alimtuma malaika wake, naye
10Ikawa Danieli alipofahamu kuwa amri ile akafunga vinywa vya hawa simba.
imetangazwa, alikwenda nyumbani kwenye Hawajanidhuru, kwa sababu nilionekana sina
chumba chake cha ghorofani ambako madirisha hatia mbele zake. Wala kamwe sijafanya jambo
yalifunguka kuelekea Yerusalemu. Mara tatu lo lote baya mbele yako, Ee mfalme.’’
kwa siku akapiga magoti na kuomba, 23Mfalme akafurahi mno naye akatoa amri
akimshukuru Mungu wake, kama alivyokuwa Danieli atolewe kwenye lile tundu. Danieli
akifanya mwanzoni. 11Ndipo watu hawa alipotolewa katika lile tundu, hakukutwa na
wakamwendea kama kikundi na kumkuta Danieli jeraha lo lote, kwa sababu alikuwa amemtumaini
anaomba na kumsihi Mungu kwa ajili ya Mungu wake.
msaada. 12Basi wakaenda kwa mfalme na 24Kwa amri ya mfalme wale watu waliokuwa
kusema naye kuhusu amri ya kifalme: “Je, wamemshtaki Danieli kwa uongo waliletwa na
9
DANIELI
kutupwa ndani ya ya lile tundu la simba, pamoja yake. Akaambiwa, ‘Amka, ule nyama mpaka
na wake zao na watoto wao. Nao kabla ushibe!’
hawajafika chini kwenye sakafu ya lile tundu, 6Baada ya huyo, nilitazama, mbele yangu
nao utawala wake kamwe hauna hizo, mbele yangu kulikuwa na pembe nyingine,
mwisho. ambayo ni ndogo, ikajitokeza miongoni mwa zile
27Huponya na kuokoa: kumi, pembe tatu za mwanzoni ziling'olewa ili
hufanya ishara na maajabu kuipa nafasi hiyo ndogo. Pembe hii ilikuwa na
mbinguni na duniani. macho kama ya mwanadamu na mdomo
Amemponya Danieli ulionena kwa majivuno.
kutoka katika nguvu za simba.’’ 9“Nilipokuwa ninaendelea kutazama,
28HivyoDanieli akastawi wakati wa utawala “viti vya enzi vikawekwa na Mzee wa Siku
wa Dario na utawala wa Koreshi Mwajemi. akaketi.
Mavazi yake yalikuwa meupe kama theluji,
Ndoto Ya Danieli Ya Wanyama Wanne nywele za kichwa chake zilikuwa
Katika mwaka wa kwanza wa kutawala nyeupe kama sufu.
7 kwake Belshaza mfalme wa Babeli, Kiti chake cha enzi kilikuwa kinawaka kwa
Danieli aliota ndoto, nayo maono yakapita katika miali ya moto.
akili yake alipokuwa amelala kitandani mwake. nayo magurudumu yake yote yalikuwa
Akayaandika mambo aliyoyaona katika ndoto yanawaka moto.
yake. 10Mto wa moto ulikuwa unatiririka,
2Danieli akasema: “Katika maono yangu ukipita mbele yake.
usiku nilitazama, mbele yangu kulikuwepo na Maelfu elfu wakamhudumia,
upepo kutoka pande nne za mbinguni zikivuruga kumi elfu mara kumi elfu wakasimama
bahari kuu. 3Wanyama wakubwa wanne, kila mbele zake.
mmoja tofauti na mwenzake, wakajitokeza Mahakama ikakaa ili kuhukumu
kutoka baharini. na vitabu vikafunguliwa.
4Mnyama wa kwanza alifanana na simba,
naye alikuwa na mabawa kama ya tai. 11Kisha nikaendelea kutazama kwa sababu
Nikatazama mpaka mabawa yake ya yale maneno ya majivuno yaliyosemwa na ile
yalipong'olewa naye akainuliwa katika nchi pembe. Nikaendelea kuangalia mpaka yule
akasimama kwa miguu miwili kama mnyama alipochinjwa na mwili wake
mwanadamu, naye akapewa moyo wa ukaharibiwa na kutupwa katika ule moto
binadamu. unaowaka. 12(Wanyama wengine walikuwa
5Hapo mbele yangu kulikuwa na mnyama wamevuliwa mamlaka yao, lakini waliruhusiwa
wa pili, ambaye alionekana kama dubu. Upande kuishi kwa muda fulani.)
wake mmoja ulikuwa umeinuka, alikuwa na 13Katika maono yangu ya usiku nilitazama,
mbavu tatu katika kinywa chake kati ya meno mbele yangu nikamwona anayefanana na
10
DANIELI
mwanadamu, akija pamoja na mawingu ya na nusu wakati a .
mbinguni. Akamkaribia huyo Mzee wa Siku na 26‘ “Lakini ndipo mahakama itakapokaa
akaongozwa mbele zake. 14Akapewa mamlaka, kuhukumu, nayo mamlaka yake yataondolewa
utukufu na ufalme wenye nguvu, watu, kabila na kuangamizwa kabisa milele. 27Ndipo ufalme,
zote za mataifa na watu wa kila lugha mamlaka na ukuu wa falme chini ya mbingu yote
wakamwabudu. Utawala wake ni utawala wa utakabidhiwa kwa watakatifu, watu wa Yeye
milele ambao hautapita, nao ufalme wake ni ule Aliye Juu Sana. Ufalme wake utakuwa ufalme
ambao kamwe hautaangamizwa. wa milele, nao watawala wote watamwabudu na
kumtii Yeye.’
Tafsiri Ya Ndoto 28‘‘Huu ndio mwisho wa jambo lile. Mimi
15Mimi, Danieli, nilipata mahangaiko rohoni, Danieli nilitaabika sana katika mawazo yangu,
nayo maono yale yaliyopita ndani ya akili zangu nao uso wangu ukabadilika, lakini nililiweka
yalinisumbua. 16Nikamkaribia mmoja wa wale jambo hilo kuwa siri moyoni mwangu.’’
waliosimama pale na kumwuliza maana halisi ya
haya yote. Maono Ya Danieli Ya Kondoo Mume Na
Basi akaniambia na kunipa tafsiri ya vitu Beberu
hivi: 17‘Hao wanyama wakubwa wanne ni falme
nne zitakazoinuka duniani. 18Lakini watakatifu 8 Katika mwaka wa tatu wa kutawala kwake
mfalme Belshaza, mimi Danieli, nilipata
wa Yeye Aliye Juu Sana watapokea ufalme na maono, baada ya maono ambayo yalikuwa
kuumiliki milele, naam, milele na milele.’ yamenitokea. 2Katika maono yangu mimi
19Kisha nilitaka kufahamu maana ya kweli nilijiona nikiwa ndani ya ngome ya Shushani
ya mnyama yule wa nne, ambaye alikuwa tofauti katika jimbo la Elamu, katika maono nilikuwa
na wale wengine wote tena wa kutisha mwenye kando ya mto Ulai a . 3Nikatazama juu, hapo
meno ya chuma na makucha ya shaba, mnyama mbele yangu kulikuwa na kondoo mume
ambaye alipondaponda na kuangamiza mwenye pembe mbili, akiwa amesimama kando
wahanga wake na kukanyaga cho chote ya mto, pembe zake zilikuwa ndefu. Pembe
kilichosalia. 20Pia mimi nilitaka kujua kuhusu zile moja ilikuwa ndefu kuliko hiyo nyingine lakini
pembe kumi juu ya kichwa chake na pia kuhusu iliendelea kukua baadaye. 4Nikamtazama yule
ile pembe nyingine iliyojitokeza, ambayo mbele kondoo alivyokuwa akishambulia kuelekea
yake zile tatu za mwanzoni zilianguka, ile pembe magharibi, kaskazini na kusini. Hakuna mnyama
ambayo ilionekana kuvutia macho zaidi kuliko ye yote aliyeweza kusimama dhidi yake, wala
zile nyingine na ambayo ilikuwa na macho na hakuna aliyeweza kuokoa kutoka katika nguvu
kinywa kilichonena kwa majivuno. zake. Alifanya kama atakavyo naye akawa
21Nilipoendelea kutazama, pembe hii ilikuwa mkuu.
inapigana vita dhidi ya watakatifu na 5Nilipokuwa ninatafakari hili, ghafula beberu
kuwashinda, 22mpaka huyo Mzee wa Siku mwenye pembe moja kubwa sana katikati ya
alipokuja na kutamka hukumu kwa kuwapa macho yake alikuja kutoka magharibi, akiruka
ushindi watakatifu wa Yeye Aliye Juu Sana, na kasi juu ya dunia yote bila kugusa ardhi. 6Alikuja
wakati ukawadia walipomiliki ufalme. akimwelekea yule kondoo mume mwenye
23Alinipa maelezo haya: ‘Mnyama wa nne ni pembe mbili niliyemwona akisimama kando ya
ufalme wa nne ambao utatokea duniani. mto na kumshambulia kwa hasira nyingi.
Utakuwa tofauti na falme nyingine zote nao 7Nikamwona akimshambulia yule kondoo mume
utaharibu dunia nzima, ukiikanyaga chini na kwa hasira nyingi, akimpiga yule kondoo mume
kuipondaponda. 24Zile pembe kumi ni wafalme na kuvunja pembe zake mbili. Yule kondoo
kumi watakaotokana na ufalme huu. Baada yao mume hakuwa na nguvu za kumzuia yule
mfalme mwingine atainuka, ambaye atakuwa beberu, hivyo akamwangusha yule kondoo
tofauti na wale waliotangulia, naye mume chini na kumkanyaga, wala hakuna
atawaangusha wafalme watatu. 25 Atanena aliyeweza kumwokoa yule kondoo mume kutoka
maneno kinyume cha Aliye Juu Sana na katika nguvu za huyo beberu. 8Yule beberu
kuwaonea watakatifu wake Yeye Aliye Juu
Sana, huku akijaribu kubadili sikukuu zao a25 “Wakati, nyakati mbili na nusu wakati, maana yake, “Mwaka
mmoja, miaka miwili na nusu mwaka,” yaani, miaka mitatu na
takatifu pamoja na sheria. Watakatifu watatiwa nusu.
chini ya mamlaka yake kwa wakati, nyakati mbili a2 “Mto Ulai” ni mfereji wa Euleus ambao unaigawa Shushani na
Elymais. Sasa unaitwa mto Karuni.
11
DANIELI
akawa mkubwa sana lakini kwenye kilele cha macho yake ni mfalme wa kwanza. 22Zile pembe
nguvu zake ile pembe yake ndefu ilivunjika na nne zilizoota badala ya ile pembe iliyovunjika
mahali pake pakaota pembe nne kubwa zinawakilisha falme nne ambazo zitatokea
kuelekea pande nne za dunia. kutoka katika taifa lake lakini hakuna hata
9Kutoka katika mojawapo ya zile pembe nne mmoja utakaokuwa na nguvu kama ule
ambao ulianza ukiwa mdogo ukaongezeka uliovunjika.
nguvu kuelekea kusini na kuelekea mashariki na 23Katika sehemu ya mwisho ya utawala
kuelekea Nchi ya Kupendeza. 10Pembe hiyo wao, wakati waasi watakapokuwa waovu kabisa,
ikaendelea kukua hadi kufikia jeshi la mbinguni, atainuka mfalme mwenye uso mkali na stadi wa
nayo ikalitupa baadhi ya jeshi la vitu vya angani hila. 24Atakuwa na nguvu nyingi, lakini si kwa
hapa chini duniani na kukanyaga juu yake. uwezo wake mwenyewe. Atasababisha uharibifu
11Pembe hiyo ikajikweza ili iwe kama Mkuu wa wa kutisha na atafanikiwa kwa cho chote
hilo jeshi, ikamwondolea dhabihu ya kila siku, anachofanya. Atawaangamiza watu maarufu na
napo mahali pake patakatifu pakashushwa chini. watu watakatifu. 25Atasababisha udanganyifu
12Kwa sababu ya uasi, jeshi la watakatifu na ustawi, naye atajihesabu mwenyewe kuwa bora.
dhabihu za kila siku vikatiwa mikononi mwake. Wakati wajisikiapo kuwa wako salama,
Ikafanikiwa katika kila kitu ilichofanya, nayo atawaangamiza wengi na kushindana na Mkuu
kweli ikatupwa chini. wa wakuu. Lakini ataangamizwa, isipokuwa si
13Kisha nikamsikia mtakatifu mmoja kwa uwezo wa mwanadamu.
akizungumza na mtakatifu mwingine 26“Maono kuhusu jioni na asubuhi ambayo
akamwambia, “Je, itachukuwa muda gani umepewa ni kweli, lakini yatie muhuri maono
maono haya yatimie, yaani maono kuhusu haya, kwa maana yanahusu wakati mrefu ujao’’.
dhabihu ya kila siku, uasi unaosababisha ukiwa 27Mimi Danieli, nilikuwa nimechoka sana na
kutwaliwa kwa mahali patakatifu na jeshi nikalala nikiwa mgonjwa kwa siku kadhaa. Ndipo
litakalokanyagwa chini ya nyayo?” nikaamka nikaenda kwenye shughuli za mfalme.
14Akaniambia, “Itachukuwa usiku 2,300, Nilifadhaishwa na maono, nami sikuweza
ndipo mahali patakatifu patawekwa wakfu kuyaelewa.
tena.’’
Maombi Ya Danieli
Tafsiri Ya Maono
15Mimi Danieli nilipokuwa ninaangalia 9 Katika mwaka wa kwanza wa kutawala
kwake Dario mwana wa Ahasuero,
maono na kujaribu kuelewa, mbele yangu (mzaliwa wa Umedi) ambaye alifanywa mtawala
alisimama mmoja anayefanana na mwanadamu. juu ya ufalme wa Babeli, 2katika mwaka wa
16Kisha nikasikia sauti ya mwanadamu kutoka kwanza wa kutawala kwake, mimi Danieli,
mto Ulai ikiita, “Gabrieli, mwambie mtu huyu nilielewa kutokana na Maandiko, kulingana na
maana ya maono haya.” neno la BWANA alilopewa nabii Yeremia,
17Alipokuwa akikaribia pale mahali kwamba ukiwa wa Yerusalemu ungetimizwa
nilipokuwa nimesimama, niliogopa nikaanguka kwa miaka sabini. 3Kwa hiyo nikamgeukia
kifudifudi, akaniambia, “Mwana wa mwanadamu, BWANA na kumsihi katika maombi na dua,
fahamu kuwa maono haya yanahusu siku za katika kufunga, kuvaa nguo ya gunia na kujipaka
mwisho.” majivu.
18Alipokuwa akinena nami, nilikuwa katika 4Nikamwomba BWANA Mungu wangu na
12
DANIELI
7“Bwana, wewe ni mwenye haki, lakini sababu sisi tuna haki, bali kwa sababu ya
siku hii ya leo tumefunikwa na aibu, rehema zako nyingi. 19Ee Bwana, sikiliza!
wanaume wa Yuda na watu wa Yerusalemu Ee Bwana, samehe! Ee Bwana, sikia na
nayo Israeli yote, wote walio karibu na walio ukatende! Kwa ajili yako, Ee Mungu wangu,
mbali, katika nchi zote ulikotutawanya kwa usikawie, kwa sababu mji wako na watu
sababu ya sisi kukosa uaminifu kwako. 8Ee wako wanaitwa kwa Jina lako.’’
BWANA, sisi na wafalme wetu, wakuuwetu
na baba zetu tumefunikwa na aibu kwa Majuma Sabini
sababu tumefanya dhambi dhidi yako. 20Basi, nilipokuwa nikali nikinena na
9BWANA wetu ni mwenye rehema na kuomba, nikiungama dhambi yangu na dhambi
anayesamehe, hata ingawa tumefanya uasi ya watu wangu Israeli na nikifanya maombi
dhidi yake, 10hatukumtii BWANA Mungu yangu kwa BWANA Mungu wangu kwa ajili ya
wetu wala kuzishika sheria alizotupa kupitia mlima wake mtakatifu, 21wakati nilipokuwa bado
kwa watumishi wake manabii.11Israeli yote katika maombi, Gabrieli, yule mtu niliyekuwa
imekosea sheria yako na kugeuka mbali, nimemwona katika maono hapo awali, alinijia
nao wamekataa kukutii. kwa kasi karibia na wakati wa kutoa dhabihu ya
“Kwa hiyo laana na viapo vya hukumu jioni. 22Akanielimisha na kuniambia, “Danieli,
vilivyoandikwa katika Sheria ya Mose, sasa nimekuja kukupa akili na ufahamu. 23Mara
mtumishi wa Mungu, vimemiminwa juu yetu, ulipoanza kuomba, jibu lilitolewa, ambalo
kwa sababu tumefanya dhambi dhidi yako. nimekuja kukupasha habari, kwa maana wewe
12Umetimiza maneno uliyosema dhidi yetu unapendwa sana. Kwa hiyo, tafakari ujumbe huu
na dhidi ya watawala wetu kwa kuleta maafa na uelewe maono haya:
makubwa juu yetu. Chini ya mbingu yote 24Majuma sabini yameamriwa kwa ajili ya
kamwe hapajatendeka kitu kama kile watu wako na kwa ajili ya mji wako mtakatifu ili
kilichotendeka katika Yerusalemu. 13Kama kumaliza makosa, kukomesha dhambi, kufanya
vile ilivyoandikwa katika sheria ya Mose, upatanisho kwa ajili ya uovu, kuleta haki ya
misiba hii yote imekuja juu yetu, lakini milele, kutia muhuri maono na unabii pia kumtia
hatujaomba fadhili kwa BWANA Mungu mafuta yeye aliye mtakatifu sana.
wetu kwa kugeuka kutoka katika dhambi 25Ujue na kuelewa hili: Tangu kutolewa kwa
zetu na kuwa wasikivu katika kweli yake. amri ya kuutengeneza na kujenga upya
14BWANA hakusita kuleta maafa juu yetu, Yerusalemu mpaka kuja kwa Mpakwa mafuta,
kwa maana BWANA Mungu wetu ni aliye mtawala, kutakuweko majuma saba na
mwenye haki katika kila afanyalo, lakini hata majuma sitini na mawili. Barabara zitajengwa
hivyo hatujamtii. tena pamoja na mahandaki, lakini katika wakati
15“Sasa, Ee Bwana Mungu wetu, wa taabu. 26Baada ya majuma sitini na mawili
ambaye uliwatoa watu wako Misri kwa Mpakwa mafuta atakatiliwa mbali wala
mkono wenye nguvu na ambaye umejifanyia hatabakia na kitu. Watu wa mtawala
jina linalodumu mpaka leo, tumetenda atakayekuja watauharibu mji pamoja na mahali
dhambi, tumefanya mabaya. 16Ee Bwana, patakatifu. Mwisho utakuja kama mafuriko: Vita
wewe kwa kadiri ya matendo yako ya haki, vitaendelea mpaka mwisho, nao ukiwa
ondoa hasira yako na ghadhabu yako juu ya umeamriwa. 27Mtawala huyo atathibitisha agano
Yerusalemu, mji wako, mlima wako na watu wengi kwa juma moja. Katikati ya juma
mtakatifu. Dhambi zetu na maovu ya baba hilo atakomesha dhabihu na sadaka. Mahali pa
zetu yameifanya Yerusalemu na watu wako dhabihu katika hekalu atasimamisha chukizo la
kitu cha kudharauliwa kwa wale wote uharibifu, hadi mwisho ulioamuriwa
wanaotuzunguka. utakapomiminwa juu yake yeye aletaye
17Basi Mungu wetu, sasa sikia maombi uharibifu.
na dua ya mtumishi wako. Ee Bwana, kwa
ajili yako tuangalie kwa huruma kuhusu Maono Ya Danieli Kuhusu Mtu
ukiwa wa mahali pako patakatifu. 18Ee
Mungu, tega sikio na ukasikie, fumbua 10 Katika mwaka wa tatu wa kutawala
kwake Koreshi mfalme wa Uajemi,
macho yako ukaone ukiwa wa mji ule wenye Danieli (ambaye aliitwa Belteshaza) alipewa
Jina lako. Hatukutolei maombi yetu kwa ufunuo. Ujumbe wake ulikuwa kweli nao ulihusu
13
DANIELI
vita vikubwa. Ufahamu wa ujumbe ulimjia katika kama mwanadamu akanigusa midomo yangu,
maono. nami nikafungua kinywa changu, nikaanza
2Wakati huo, mimi Danieli, nikaomboleza kunena. Nikamwambia yule aliyesimama mbele
kwa majuma matatu. 3Sikula chakula kizuri, yangu, “Nimepatwa na huzuni kubwa kwa
nyama wala divai havikugusa midomo yangu, sababu ya maono haya, bwana wangu,
nami sikujipaka mafuta kamwe mpaka majuma nimeishiwa nguvu. 17Bwana wangu, mimi
matatu yalipotimia. mtumishi wako nitawezaje kuzungumza na
4Kwenye siku ya ishirini na nne ya mwezi wewe? Nguvu zangu zimeniishia hata
wa kwanza, nilipokuwa nimesimama kwenye ninashindwa kupumua.’’
ukingo wa mto mkubwa Hidekeli a , 5nikatazama 18Tena yule aliyeonekana kama
juu na mbele yangu alikuwapo mtu aliyevaa mwanadamu akanigusa na kunitia nguvu.
mavazi ya kitani na mshipi wa dhahabu safi 19Akasema, “Ee mtu upendwaye sana,
kutoka Uzafi kiunoni mwake . 6Mwili wake usiogope. Amani iwe kwako! Uwe na nguvu
ulikuwa kama kito cha zabarijadi safi, uso wake sasa, uwe na nguvu.’’
kama umeme wa radi, macho yake kama mwali Alipozungumza nami, nilipata nguvu
wa moto, mikono yake na miguu yake kama nikasema, ‘‘Nena, bwana wangu, kwa kuwa
mng’ao wa shaba iliyosuguliwa sana, nayo sauti umenipa nguvu.
yake kama ya umati mkubwa wa watu. 20Kwa hiyo akasema, ‘‘Je, unajua kwa nini
7Mimi Danieli, nilikuwa ni mimi peke yangu nimekujia? Sasa hivi nitarudi kupigana dhidi ya
niliyeona hayo maono, watu waliokuwa pamoja mkuu wa Uajemi, nami nikienda, mkuu wa
nami hawakuyaona, lakini waligubikwa na hofu Uyunani atakuja, 21lakini kwanza nitakuambia
kuu wakakimbia na kujificha. 8Kwa hiyo kile kilichoandikwa katika Kitabu cha Kweli.
niliachwa peke yangu, nikikodolea macho (Hakuna hata mmoja anayenisaidia dhidi yao
maono hayo makubwa, sikubakiwa na nguvu, isipokuwa Mikaeli, mkuu wako.)
rangi ya uso wangu ikabadilika kama aliyekufa,
nikakosa nguvu. 9Kisha nikamsikia akisema,
nami nilipokuwa nikimsikiliza, nikalala kifudifudi 11 Nami katika mwaka wa kwanza wa
kutawala kwake Dario Mmedi,
nikapatwa na usingizi mzito. nilisimama kumsaidia na kumlinda.
10Mkono ulinigusa, ukaninyanyua, nikapiga
Uajemi. 14Sasa nimekuja kukueleza mambo mmoja wa majemedari wake atakuwa na nguvu
yatakayowatokea watu wako wakati ujao, kwa zaidi kuliko mfalme, naye atatawala ufalme
maana maono hayo yanahusu wakati ambao wake mwenyewe kwa nguvu nyingi. 6Baada ya
haujaja bado.’’ miaka kadha wa kadha, wataungana. Binti wa
15Wakati alipokuwa akinieleza haya, mfalme wa kusini ataolewa kwa mfalme wa
nilisujudu uso wangu ukiwa umeelekea chini kaskazini ili kuimarisha mapatano, lakini huyo
nikawa bubu. 16Ndipo mmoja aliyeonekana binti nguvu zake za ushawishi hazitadumu, vivyo
hivyo na baba yake. Katika siku hizo
a4 “Hedekeli” ndio mto Tigris.
14
DANIELI
atafukuzwa, pamoja na hao wasindikizaji wake lakini jemadari kutoka mahali pengine
wa kifalme, watoto wake na ye yote atakomesha ufidhuli wake na kurudisha ufidhuli
aliyemuunga mkono. wake juu yake. 19Baada ya hili atazigeukia
7“Mmoja kutoka jamaa ya huyo binti ngome za nchi yake mwenyewe lakini atajikwaa
atainuka na kuchukua nafasi yake. Huyo mtu na kuanguka, wala hataonekana tena.
atashambulia majeshi ya mfalme wa kaskazini 20“Atakayetawala baada yake atamtuma
na kuingia katika ngome yake, atapigana dhidi mtoza ushuru ili kudumisha fahari ya kifalme.
yao naye atashinda. 8Naye ataitwaa miungu Hata hivyo, kwa miaka michache ataangamizwa,
yao, vinyago vyao vya chuma na vitu vyao vya lakini si katika hasira wala katika vita.
thamani vya fedha na dhahabu na kuvichukua 21Atakayetawala baada yake atakuwa mtu
hadi Misri kama nyara za vita. Kwa miaka kadha wa kudharauliwa ambaye hajapewa heshima ya
wa kadha atamwacha mfalme wa kaskazini bila kifalme. Atauvamia ufalme wakati watu wake
kumsumbua. 9Kisha mfalme wa kaskazini wanapojiona wako salama, naye atautwaa kwa
atashambulia kwa vita mfalme wa kusini lakini hila. 22Ndipo jeshi kubwa litafagiliwa mbele yake,
atarudi nyuma hadi kwenye nchi yake jeshi pamoja na mkuu wa agano
mwenyewe. 10Hata hivyo, wana wa mfalme wa wataangamizwa. 23Baada ya kufanya mapatano
kaskazini watajiandaa kwa vita na kukusanya naye, atatenda kwa udanganyifu, pamoja na
jeshi kubwa, ambalo litafagia nchi kama watu wachache tu ataingia madarakani.
mafuriko yasiyozuilika na kuendelea na vita hadi 24Wakati majimbo yaliyo tajiri sana yanapojiona
hatabaki na ushindi. 13Kwa maana mfalme wa nguvu zake na ushujaa wake dhidi ya mfalme
kaskazini atakusanya jeshi jingine, kubwa kuliko wa Kusini. Mfalme wa Kusini atafanya vita na
lile la kwanza, na baada ya miaka kadha wa jeshi lenye nguvu sana, lakini hataweza
kadha, atasonga mbele na jeshi kubwa mno kusimama kwa sababu ya mashauri
lililoandaliwa vizuri. yaliyofanywa kwa hila dhidi yake. 26Wale
14Katika nyakati hizo wengi watainuka dhidi wanaokula kutoka kwenye ruzuku za mfalme
ya mfalme wa Kusini. Watu wenye ghasia watajaribu kumwangamiza, jeshi lake litafagiliwa
miongoni mwa watu wako mwenyewe wataasi ili mbali, nao wengi watakufa vitani. 27Wafalme
kutimiza maono, lakini bila mafanikio. 15Ndipo hawa wawili, mioyo yao ikiwa imekusudia
mfalme wa Kaskazini atakuja na kuuzunguka mji mabaya wataketi kwenye meza moja na
kwa majeshi na kuuteka mji uliozungushiwa kudanganyana wao kwa wao, lakini pasipo
boma. Majeshi ya kusini yatakosa nguvu ya faida, kwa sababu bado mwisho utakuja katika
kuyazuia, naam, hata vikosi vyao vya askari wakati ulioamuriwa. 28Mfalme wa Kaskazini
vilivyo bora kuliko vingine, havitakuwa na nguvu atarudi katika nchi yake na utajiri mwingi, lakini
ya kuwakabili. 16Huyo avamiaye nchi kwa vita atakuwa ameukaza moyo wake kinyume na
atafanya apendavyo, hakuna ye yote agano takatifu. Atachukua hatua dhidi ya hilo
atakayeweza kusimama mbele yake. agano na kisha atarudi katika nchi yake.
Atajiimarisha mwenyewe katika Nchi ya 29“Katika wakati ulioamuriwa atavamia tena
kupendeza na atakuwa na uwezo wa kusini, lakini wakati huu matokeo yake yatakuwa
kuiangamiza. 17Naye atafanya mipango kuja na tofauti na yale ya wakati wa kwanza. 30Meli za
nguvu za ufalme wake wote na kufanya nchi za Kitimu zitampinga, naye atavunjika
mapatano ya amani na mfalme wa Kusini. Naye moyo. Ndipo atageuka nyuma na kutoa wazi
atamtoa binti yake aolewe naye ili kufanya hasira yake dhidi ya agano takatifu. Atarudi na
mipango ya kuuangusha ufalme ndani kwa kuonyesha fadhili kwa wale waliachao agano
ndani, lakini mipango haitafanikiwa wala takatifu.
kumsaidia. 18Ndipo atabadili mwelekeo wake 31Majeshi yake yenye silaha yatainuka ili
kuelekea nchi za pwani na ataziteka nyingi, kunajisi ngome ya hekalu na kuondolea mbali
15
DANIELI
sadaka ya kuteketezwa ya kila siku. Ndipo 45Atasimika mahema yake ya kifalme kati ya
watalisimamisha chukizo la uharibifu bahari na mlima mtakatifu wa kupendeza. Hata
lisababishalo ukiwa. 32 Kwa udanganyifu hivyo, atafikia mwisho wake, wala hakuna ye
atapotosha wale walionajisi agano, lakini watu yote atakayemsaidia.
wanaomjua Mungu wao watampinga kwa
uthabiti. Nyakati Za Mwisho
12
33Wale wenye hekima watawafundisha “Katika wakati huo Mikaeli, mtawala
wengi, ingawa kwa kitambo watauawa kwa mkuu ambaye huwalinda watu wako,
upanga au kuchomwa moto, au kukamatwa na atainuka. Kutakuwako wakati wa taabu ambao
kufanywa mateka. 34Watakapoanguka, haujatokea tangu mwanzo wa mataifa hadi
watapokea msaada kidogo, nao wengi ambao si wakati huo. Lakini wakati huo, watu wako, kila
waaminifu wataungana nao. 35Baadhi ya wenye mmoja ambaye jina lake litakutwa limeandikwa
hekima watajikwaa, ili kwamba waweze kwenye kitabu, ataokolewa. 2Watu wengi ambao
kusafishwa, kutakaswa na kufanywa wasio na wamelala kwenye mavumbi wataamka, baadhi
waa mpaka wakati wa mwisho, kwa maana yao kwa uzima wa milele, wengine kwenye aibu
bado litakuja kwa wakati ulioamuriwa. na kudharauliwa milele. 3Wale wenye hekima
watang'aa kama mwanga wa mbingu, nao wale
Mfalme Ajikwezaye Mwenyewe ambao huwaongoza wengi kutenda haki,
36Mfalme atafanya apendavyo. Atajikweza watang'aa kama nyota milele na milele. 4Lakini
na kujitukuza mwenyewe kujihesabu mwenye wewe Danieli, yafunge na kuyatia muhuri
nguvu zaidi juu ya kila mungu naye atasema vitu maneno ya kitabu hiki mpaka wakati wa mwisho.
ambavyo havijasikiwa dhidi ya Mungu wa Wengi watakwenda huku na huko na maarifa
miungu. Atafanikiwa hadi wakati wa ghadhabu yataongezeka.’’
utimie, kwa maana kile kilichokusudiwa lazima 5Ndipo mimi Danieli, nikaangalia, nako
kitokee. 37Hataonyesha heshima kwa miungu ya mbele yangu walisimama wengine wawili,
baba zake au kwa yule aliyetamaniwa na mmoja katika ukingo huu wa mto na mwingine
wanawake, wala hatajali mungu ye yote, bali ukingo wa pili wa mto. 6Mmoja wao akasema na
atajikweza mwenyewe juu yao wote. 38Badala ya yule mtu aliyevaa nguo za kitani, aliyekuwa juu
kuwajali hao miungu, ataheshimu mungu wa ya maji ya mto, “Je, itachukua muda gani kabla
ngome, mungu ambaye hakujulikana na baba mambo haya ya kushangaza hayajatimizwa?’’
zake, atamheshimu kwa dhahabu na fedha, kwa 7Kisha mtu yule aliyevaa nguo za kitani,
vito vya thamani na zawadi za thamani kubwa. aliyekuwa juu ya maji ya mto, akainua mkono
39Atashambulia ngome zenye nguvu mno kwa wake wa kuume na mkono wake wa kushoto
msaada wa mungu wa kigeni naye kuelekea mbinguni, nami nikamsikia akiapa kwa
atawaheshimu sana wale watakaomkubali yeye. jina lake Yeye aishiye milele, akisema, “Itakuwa
Atawafanya watawala juu ya watu wengi na wakati, nyakati mbili na nusu wakati a. Nguvu za
atagawa nchi kwa kulipia. watu watakatifu zitakapokuwa zimevunjwa
40“Katika wakati wa mwisho mfalme wa kabisa, ndipo mambo haya yote
Kusini atapigana naye vita, naye mfalme wa yatakapotimizwa.’’
Kaskazini atamshambulia kwa magari ya vita na 8Nilisikia, lakini sikuelewa. Kwa hiyo
askari wapanda farasi na idadi kubwa ya meli. nikauliza, “Bwana wangu, matokeo ya haya yote
Atavamia nchi nyingi na kukumba nchi hizo yatakuwa nini?’’
kama mafuriko. 41Pia ataivamia Nchi 9Akajibu, “Danieli, enenda zako, kwa
yakupendeza. Nchi nyingi zitapinduliwa, bali sababu maneno haya yamefungwa na kutiwa
Edomu, Moabu na viongozi wa Amoni muhuri mpaka wakati wa mwisho. 10Wengi
wataokolewa kutoka katika mkono wake. watatakaswa na kuondolewa mawaa na kuwa
42Atapanua mamlaka yake juu ya nchi nyingi, safi, lakini waovu wataendelea kuwa waovu.
Misri haitaepuka. 43Atamiliki hazina za dhahabu, Hakuna mmoja wa waovu atakayefahamu, lakini
fedha na utajiri wote wa Misri, pamoja na wale wenye hekima watafahamu.
Walibia na Wakushi kwa kujisalimisha. 44Lakini
taarifa kutoka mashariki na kaskazini
zitamshtua, naye ataondoka kwa ghadhabu a7 “Wakati, nyakati mbili na nusu wakati, maana yake, “Mwaka
nyingi ili kuangamiza na kuharibu kabisa wengi. mmoja, miaka miwili na nusu mwaka,” yaani, miaka mitatu na
nusu.
16
DANIELI
11“Tangu wakati ule wa kukomeshwa
dhabihu ya kila siku na kusimamishwa kwa
chukizo la uharibifu kutakuweko siku 1,290.
12Amebarikiwa mtu yule atakayevumilia hadi
17
HOSEA
Utangulizi
Hosea ambaye maana ya jina lake ni ‘‘wokovu,’’alikuwa mwana wa Beeri (1:1)Hakuna mambo mengi
yanayofahamika kuhusu nabii isipokuwa machacheyasliyo katika wasifu wake kwenye kitabu hiki.. Nabii Hosea
alikuwa mzaliwa wa ufalme wa kaskazini, yaani, Israeli, ambao yeye anauzungumzia pia kama Efraimu. (Majina
mawili ya kwanza ya ufalme wa kaskazini) na kwa Samaria ambao ndio uliokuwa mji mkuu wa ufalme huo).
Yawezekana kwamba alianza huduma yake kabla ya kifo cha mfalme Yeroboamu II ambaye alikufa mwaka 753
K.K. Huduma ya Hosea kwa ufalme wa kaskazini ilikaribiana sana na ile ya Amosi (nabii kutoka Yuda aliyetabiri
kuhusu Israeli). Amosi na Hosea ndio manabii wawli pekee wa Agano la Kale ambao vitabu vyao viliandika
kuhusu ufalme wa kaskazini na uangamivu wake ujao.
Hosea aliitwa na Mungu ili kutabiri juu ya matarajio yaliyoshindikana kabisa ya ufalme wa kaskazini (Israeli)
katika kipindi chake cha mwisho cha zaidi ya miaka 30, kama Yeremia alivyokuwa akifanya kwa ufalme wa kusini
(Yuda).Wakti Hosea alipoanza huduma yake katika miaka ya baadaye ya utawala wa Yeroboamu II, Isareli
ilikuwa inafurahia ustawi wake wa kiuchumi na amani ya kisiasa iliyosababisha kuwepo kwa usalama pande zote.
Mara baada ya kufa kwa Yeroboamu II mwaka 753 K.K., taifa lilianza kuharibika kwa haraka n a hatimaye
kuangamia mnamo mwaka 722 K.K. Katika kipndi cha miaka 15 baada ya kifo chake, wafalme wane waliuawa,
katika kipindi kingine cha miaka 15 Samaria iliteketezwa kwa moto, Waisraeli walipelekwa utumwani Ashuru na
baadaye kutawanywa katika mataifa mbalimbali.
Wazo Kuu
Kiini cha ujumbe wa Hosea ni kuonyesha upendo wa Mungu kwa wenye dhambi, yaani, upendo wa Mngu
kwa Israeli aliyegeuka na kumwacha Mungu. Ujumbe huu wa Hosea ulionekana kwa dhahiri katika maisha ya
ndoa ya huyu nabii. Yale majina aliyowaita watoto wake watatu kwa kufuatana kulionyesha kule kuvunjika kwa
uhusiano wa upendo wa Israeli kwa Mungu.Jina la mzaliwa wake wa kwanza wa kiume ”Yezreeli,”linaonyesha
hukumu ya mfalme anayetawala, yaani Yeroboamu , aliyekuwa wa ukoo wa kifalme wa Yehu (2Wafalme 10:1-
14).Jina la binti yake “Lo-ruhama” ambalo maana yake ni “Asiyehurumiwa,” likitoa ujumbe wa Mungu kwamba
alikuwa anakaribia kuondoa huruma Yake kwa Israeli. “Lo-ami,” jina la mtoto wake wa tatu, linamaanisha “Sio
watu wangu”, likiashiria Mungu kuwakataa Israeli watu Wake.
Kukosa uaminifu kwa Gomeri, mkewe Hosea, kunaonyesha ile hali ya kukengeuka kwa Israeli kutoka kwenye
uhusiano wao wa agano na Mungu.Badala ya kuupokea kwa shukrani neema ya Mungu waliyopewa kwa
kuwapatia baraka za vitu, Waisraeli walitumia mazao yao kutolea sanamu kafara. Dhuluma, rushwa, kuwaonea
wengine, haya yote yanaonyesha udhaifu wa upendo wao kwa Mungu na kati ya wao kwa wao.
Mambo Muhimu
Hosea anaelezea hali ya taifa akitumia hali iliyojitokeza katika maisha ya kila siku: Mungu anafananishwa na
mume, baba, simba, chui, dubu, umande, mvua, nondo, n.k. Israeli inafananishwa na mke aliyekosa uaminifu
kwa mumewe, mtu mgonjwa, mzabibu, zabibu, mzeituni, mwanamke anayejifungua, jiko la kuokea, ukungu wa
asubuhi, makapi, moshi n.k.
Mwandishi
Hosea mwana wa Beeri ("Hosea maana yake ni wokovu").
Mahali
Ufalme wa kaskazini (Israeli), ambao nabii anautaja kama Efraimu. Mji wake mkuu ulikuwa.Samaria.
Tarehe
715-710 K.K.
Wahusika Wakuu
Hosea, Gomeri, watoto wao.
Neno la BWANA lililomjia Hosea mwana kwa maana yeye si mke wangu,
1 wa Beeri wakati wa utawala wa Uzia, nami si mume wake.
Yothamu, Ahazi na Hezekia, wafalme wa Yuda, Aondoe sura ya uzinzi katika uso wake
wakati wa utawala wa Yeroboamu mwana wa na uzinzi kati ya matiti yake.
Yekoashi mfalme wa Israeli: 3Vinginevyo nitamvua nguo zake awe uchi
hutaniita tena mimi ‘bwana wangu.’ bila kuwa na mfalme wala mkuu, bila kuwa na
17Nitaondoa majina ya mabaali dhabihu wala mawe matakatifu, bila kizibao wala
kutoka midomoni mwake, sanamu. 5Baadaye Waisraeli watarudi na
wala hataomba tena kwa majina yao. kumtafuta BWANA Mungu wao na Daudi
18Katika siku ile nitafanya agano kwa ajili yao mfalme wao. Watakuja wakitetemeka kwa
na wanyama wa kondeni na ndege wa BWANA na kwa baraka zake katika siku za
angani mwisho.
na viumbe vile vitambaavyo ardhini.
Upinde, upanga na vita, Shitaka Dhidi Ya Israeli
nitaondolea mbali katika nchi,
ili kwamba wote waweze kukaa salama. 4 Sikieni neno la BWANA,
enyi Waisraeli,
19Nitakuposa uwe wangu milele, kwa sababu BWANA analo shitaka
nitakuposa kwa uadilifu na haki, dhidi yenu ninyi mnaoishi katika nchi:
kwa upendo na huruma. “Hakuna uaminifu, hakuna upendo,
20Nitakuposa kwa uaminifu, hakuna kumjua Mungu katika nchi.
nawe utamkubali BWANA. 2Kuna kulaani tu, uongo na uuaji,
2
HOSEA
kuijali sheria ya Mungu wako mimi nami kama mtamba wa ng’ombe ambaye ni
sitawajali watoto wako. mkaidi.
7Kadiri makuhani walivyoongezeka, Jinsi gani basi BWANA anaweza
ndivyo walivyozidi kutenda dhambi dhidi kuwachunga
yangu, kama wana kondoo katika shamba la
walibadilisha Utukufu wao kwa kitu cha aibu. majani?
8Hujilisha dhambi za watu wangu 17Efraimu amejiunga na sanamu,
4
HOSEA
wakuu wao kwa uongo wao. lakini wanapanga mabaya dhidi yangu.
4Wote ni wazinzi, wanawaka kama tanuru 16Hawamgeukii Yeye Aliye Juu Sana,
ambayo moto wake mwokaji hana haja wako kama upinde wenye kasoro.
ya kuuchochea kuanzia kukanda unga hadi Viongozi wao wataanguka kwa upanga
umekwisha kuumuka. kwa sababu ya maneno yao ya jeuri.
5Katika sikukuu ya mfalme wetu Kwa ajili ya hili watadhihakiwa
wakuu wanawaka kwa mvinyo, katika nchi ya Misri.
naye anawaunga mikono wenye mizaha.
6Mioyo yao ni kama tanuru,
9 Usifurahie, Ee Israeli,
usishangilie kama mataifa mengine.
Lakini walipofika Baali-Peori,
walijiweka wakfu kwa ile sanamu ya
Kwa kuwa hukuwa mwaminifu kwa Mungu aibu
wako, nao wakawa najisi kama kitu kile
umependa ujira wa kahaba kwenye kila walichokipenda.
sakafu ya kupuria nafaka. 11Utukufu wa Efraimu utaruka kama ndege,
2 Sakafu za kupuria nafaka na mashinikizo ya hakuna kuzaa, hakuna kuchukua mimba,
kukamulia divai havitalisha watu, hakuna kutunga mimba.
divai mpya itawapungukia. 12Hata wakilea watoto,
3Hawataishi katika nchi ya BWANA, nitamuua kila mmoja.
Efraimu atarudi Misri na atakula chakula Ole wao
kilicho najisi huko Ashuru. nitakapowapiga kisogo!
4Hawatammiminia BWANA sadaka ya 13Nimemwona Efraimu, kama Tiro,
5Mtafanya nini katika siku ya sikukuu zenu 15“Kwa sababu ya uovu wao wote huko Gilgali,
zilizoamuriwa, niliwachukia huko.
katika siku za sikukuu za BWANA? Kwa sababu ya matendo yao ya dhambi,
6Hata ikiwa wataokoka maangamizi, nitawafukuza katika nyumba yangu.
Misri atawakusanya, Sitawapenda tena,
nayo Memfisi itawazika. viongozi wao wote ni waasi.
Hazina zao za fedha zitasongwa na 16Efraimu ameharibiwa,
6
HOSEA
sanamu, wako,
wale waliokuwa wamefurahia fahari yake, ili kwamba ngome zako zote
kwa sababu itaondolewa kutoka kwao zitaharibiwa,
kwenda uhamishoni. kama Shalmani alivyoharibu Beth-Arbeli
6Itachukuliwa kwenda Ashuru kama katika siku ile ya vita,
ushuru kwa mfalme mkuu. wakati mama pamoja na watoto wao
Efraimu atafedheheshwa, walipotupwa kwa nguvu ardhini.
Israeli ataaibika kwa ajili ya sanamu 15Ndivyo itakavyotokea kwako, Ee Betheli,
8
HOSEA
10
HOSEA
2
YOELI
Utangulizi
Yoeli ambaye maana ya jina lake ni “BWANA ni Mungu” anajitambulisha kama mwana wa Pethueli
(1:1).Kumbukumbu zake nyingi katika kitabu chake hadi Sayuni na huduma yake hekaluni zinaonyesha kwamba
alikuwa nabii aliyetumwa kwa Yuda na Yerusalemu.Kutokana na huduma yake wengi wamemdhania kuwa nabii wa
“kikuhani”, (ling.Yer 28:1, 5) aliyenena neno la kweli la Bwana.
Ingawa Yoeli ni jina lililozoeleka katika Agano la Kale, hakuna kinachofahamika kuhusu huyu nabii zaidi ya yale
yaliyoandikwa katika kitabu hiki , kwamba alikuwa mwana wa Pethueli. Pia nabii Amosi anaashiria angalizo la Yoeli
katika nabii zake.
Tukio la unabii wa Yoeli lilikuwa pigo kubwa la nzige waliokula kila jani bichi mpaka magome ya miti na mizizi.
Akiwaonya watu wamgeukie BWANA kwa njia ya toba, Yoeli anatangaza kwamba, “Siku ya BWANA” inakuja na
italeta hukumu kubwa. Kabla hiyo hukumu haijaja, Mungu atatuma Roho Wake (2:28 32) ili kuleta muendelezo wa
baraka. Petro aligusia kutimizwa kwa sehemu ya unabii huu katika Mdo 2:16 katika siku ya Pentekoste.Katika kitabu
hiki Yoeli anaelezea kwa undani kuhusu kundi la nzige walioshambulia Palestina. Katika tukio hili aliona ishara ya
hukumu ya mwisho na akawaonya watu watubu na kumrudia Mungu.
Wazo Kuu
Toba husababisha Mungu kughairi mabaya aliyokusudia na kuleta baraka. Kusudi kubwa lilikuwa kuwaonya
Yuda juu ya hukumu ya Mungu iliyokuwa mbele yao kwa sababu ya dhambi zao na kuwahimiza wamrudie Mungu
kwa toba ya kweli, kwa kurarua mioyo yao.
Mwandishi
Yoeli mwana wa Pethueli
Mahali
Yerusalemu.Watu wa Yuda walikuwa wamepata mali nyingi na wakawa katika hali ya kuridhika . Walimchukua
Mungu kimizaha, walikuwa wanajipenda wenyewe,washirikina na wenye dhambi. Yoeli aliwaonya kwamba ni dhahiri
maisha kama haya yangeshusha hukumu ya Mungu dhidi yao.
Tarehe
. Tofauti na manabii wengine, Yoeli hatumii tarehe kuanza unabii wake. Kwa sababu hii wasomi wametofautiana
kuhusu wakati wa huduma ya Yoeli na katika tarehe ya kuandikwa kwa kitabu hiki. Maoni yanasema ni kati ya karne
ya tisa mpaka karne ya tano K.K. Yale maoni ya mapokeo yanayosema kitabu cha Yoeli kiliandikwa kama 830 K.K.
yanaonekana kukubalika zaidi, maadamu mataifa na hali zilizotajwa na Yoeli zinaendana zaidi na kipindi hiki.
Wahusika Wakuu
Yoeli, watu wa Yuda.
Mgawanyo
• Kuvamiwa na nzige (1:1-12)
• Wito kutubu (1:12-20)
• Maonyo na baraka za Mungu (2:1-32)
• Hukumu ya Mungu ya mwisho na sheria (3:1-12)
1
YOELI
Neno la BWANA ambalo lilimjia Yoeli yameharibiwa.
1 mwana wa Pethueli. 12Mzabibu umekauka
na mtini umenyauka,
Uvamizi Wa Nzige mkomamanga, mtende na mtofaa,
2Sikilizeni hili, enyi wazee, miti yote ya shambani, imekauka.
sikilizeni, ninyi nyote mnaoishi katika Hakika furaha yote ya mwanadamu
nchi. imeondoka.
Je, jambo kama hili lilishawahi kutokea
katika siku Wito Wa Toba
zenu au katika siku za babu zenu? 13Vaeni nguo ya gunia, Ee makuhani,
3Waelezeni watoto wenu, muomboleze,
na watoto wenu wawaambie watoto wao, pigeni yowe, enyi mnaohudumu
na watoto wao kwa kizazi kitakachofuata. madhabahuni.
4Kilichosazwa na kundi la tunutu Njoni, vaeni nguo ya gunia usiku kucha,
nzige wakubwa wamekula, enyi mnaohudumu mbele za Mungu
kilichosazwa na nzige wakubwa wangu,
parare wamekula, kwa kuwa sadaka za nafaka na sadaka za
kilichosazwa na parare kinywaji zimezuiliwa
madumadu wamekula. kufika katika nyumba ya Mungu wenu.
14Tangazeni saumu takatifu,
5Amkeni, enyi walevi, mlie! liiteni kusanyiko takatifu.
Pigeni yowe enyi wanywaji wote wa Iteni wazee na wote waishio katika nchi
mvinyo, waende katika nyumba ya BWANA
pigeni yowe kwa sababu ya mvinyo mpya, Mungu wenu,
kwa kuwa mmenyang’anywa kutoka wakamlilie BWANA.
midomoni mwenu. 15Lo! Tazama jinsi siku hiyo itakavyokuwa ya
6Taifa limevamia nchi yangu, kutisha!
lenye nguvu tena lisilo na idadi, Kwa kuwa siku ya BWANA iko karibu,
lina meno ya simba, itakuja kama uharibifu kutoka kwa
chonge za simba jike. Mwenyezi a .
7Limeharibu mizabibu yangu
udongo.
8Liakama bikira aliyevaa nguo ya gunia Ghala zimeachwa katika uharibifu,
anayehuzunika kwa ajili ya mume wa ujana ghala za nafaka zimebomolewa,
wake. kwa maana hakuna nafaka.
9Sadaka za nafaka na sadaka za kinywaji 18Jinsi gani ng’ombe wanavyolia!
2
YOELI
mbugani. 11BWANA anatoa mshindo wa ngurumo
mbele ya jeshi lake,
Jeshi La Nzige majeshi yake hayana idadi,
Pigeni tarumbeta katika Sayuni, ni wenye nguvu nyingi wale ambao hutii
2 pigeni mbiu katika mlima wangu mtakatifu. agizo lake.
Wote waishio katika nchi na watetemeke, Siku ya BWANA ni kuu, ni ya kutisha.
kwa kuwa siku ya BWANA inakuja. Ni nani anayeweza kuistahimili?
Iko karibu,
2siku ya giza na huzuni, Rarueni Mioyo Yenu
siku ya mawingu na utusitusi. 12“Hatasasa,’’ asema BWANA,
Kama mapambazuko yasambaavyo toka “Nirudieni kwa mioyo yenu yote,
upande huu wa milima hata upande kwa kufunga, kwa kulia na kuomboleza.’’
mwingine
jeshi kubwa na lenye nguvu linakuja. 13Rarueni mioyo yenu
Jambo kama hili halijakuwapo tangu na siyo mavazi yenu.
zamani wala halitakuwapo tena kamwe. Mrudieni BWANA, Mungu wenu,
kwa maana yeye ndiye mwenye neema
3Mbeleyao moto unateketeza, na mwingi wa huruma,
nyuma yao moto unawaka kwa nguvu. si mwepesi wa hasira, ni mwingi wa upendo,
Mbele yao nchi iko kama bustani ya Edeni, huona huruma hujizuia kupeleka maafa.
nyuma yao jangwa lisilofaa, 14Ni nani ajuaye? Yeye aweza kugeuka na kuwa
3
YOELI
19BWANA atawajibu:
Siku Ya BWANA
“Ninawapelekea nafaka, mvinyo mpya na 28“Hata itakuwa, baada ya hayo,
mafuta, nitamimina Roho yangu juu ya wote
vyakuwatosha ninyi hadi mridhike kabisa, wenye mwili.
kamwe sitawafanya tena Wana wenu, waume kwa wake, watatabiri,
kitu cha kudharauliwa na mataifa. wazee wenu wataota ndoto
na vijana wenu wataona maono.
20Nitafukuza jeshi la kaskazini likae mbali nanyi, 29Hata juu ya watumishi wangu, wanaume kwa
4
YOELI
7“Tazama nitawaamsha kutoka zile sehemu kamwe wageni hawataivamia tena.
mlizowauza, nami nitawalipiza juu ya vichwa
vyenu kile mlichofanya. 8Nitawauza wana wenu 18“Katika siku hiyo milima itadondosha mvinyo
na binti zenu kwa watu wa Yuda, nao mpya
watawauza kwa Washeba, taifa lilo mbali,’’ na vilima vitatiririka maziwa,
BWANA amesema. mabonde yote ya Yuda yatatiririka maji.
Chemchemi itatiririka kutoka kwenye
9Tangazeni hili miongoni mwa mataifa: nyumba ya BWANA
Jiandaeni kwa vita! na kunywesha bonde la Shitimu.
Amsha askari! 19Lakini Misri itakuwa ukiwa,
5
AMOSI
Utangulizi
Jina Amosi maana yake ni ‘‘Mzigo’’ au ‘’Mchukua mzigo,’’ ambalo linaweza likawa kifupi cha Amasia (2Nya17 :16),
ambalo maana yake ‘‘Bwana huchukua mizigo’’. Amosi alikuwa mchunga wanyama (1 :1), pia mtunza mikuyu (7 :14) kutoka
Tekoa, kijiji kilichoko Yuda kama kilomita 9.4 kusini mwa Yerusalemu. Mungu alimwita kuwa nabii katika ufalme wa
kaskazini, yaani, Israeli. Wakati huo falme hizi zilikuwa na utajiri mwingi. Ujumbe wa Amosi unaonyesha kwamba wakati
huo ulikuwa wa mafanikio yasiyo na kifani kiuchumi na ustawi wa kisiasa katika ufalme wa kaskazini wa Israeli kuliko
nyakati nyingine zo zote isipokuwa zile za enzi ya Solomoni.
Amosi anawalaumu watu vikali kwa kuliacha neno la Mungu, kukosekana kwa haki katika jamii, kwa maskini, kuwa wakatili,
kutawaliwa na ubinafsi, kufuata anasa na kuabudu sanamu kubaya sana.Uwajibikaji wa Israeli ni mkubwa kuliko wa mataifa
mengine yanayoizunguka kwa sababu walikuwa wamepewa upendeleo makubwa zaidi. Katika maono matano mfululizo,
Amosi aliona kuwa siku ya maangamizo ilikuwa karibu. Aliwaonya watu kwamba inawapasa kujiandaa kukutana na Mungu.
Kwa wale waliokuwa wanampenda Mungu, Amosi alikuwa na neno la kuwapa matumaini. Siku ilikuwa inakuja ambapo
ufalme wa Daudi ungekomeshwa ghafula lakini wacha Mungu wangeishi salama.
Amosi akiwa ameitwa kuwa msemaji kwa ajili ya Mungu (nabii), alitoa ujumbe huo katika miji ya ufalme wa
kaskazini(Israeli) :Samaria,Betheli,Gigali na miji mingine mingi katika karne ya nane Kabla ya Kristo.Huduma ya Amosi
ilifanyika katika siku za Uzia alipokuwa mfalme wa Yuda na Yeroboamu II alipokuwa mfalme wa Israeli. Wsfalme hawa
walipishana katika miaka 767-753 K.K. Hivyo inawezekana huduma yake ilifanyika 760-755 K.K.
miji
Wazo Kuu
Ujumbe wa Amosi ulionyesha kipindi cha mafanikio ya kiuchumi katika ufalme wa kaskazini wa Israeli ambacho
hakijakuwepo wakati wo wote isipokuwa enzi zile za Mfalme Solomoni. Amosi aliwashutumu watu vikali, hivyo kutangaza
hukumu ya Mungu dhidi ya watu kwa sababu walikuwa wamemwacha Mungu.
Jambo Muhimu
Amosi alitoa unabii katika kipindi cha miaka miwili kabla ya “tetemeko la ardhi .”Wachunguzi wa mambo ya kale
wamegundua ushahidi wa uharibifu mkubwa uliosababishwa na tetemeko hili la ardhi lililotokea wakati huo maeneo
mbalimbali ya Israeli, pamoja na mji wake mkuu, Samaria. Zekaria alilitaja tetemeko hili hili la ardhi (Zek.14:5) zaidi ya
miaka 200 baadaye, akielezea zaidi kwamba tetemeko hilo liliua watu wengi. Amosi anasema aliliona kama uthibitisho wa
ujumbe wake wa kinabii na huduma yake kwa Israeli (linganisha 9:1).
Amosi anatumia mfano wa maneno yanayosisimua kutokana na uzoefu wake wa ukulima na uchungaji wa wanyama: simba
angurumaye (3:8), kipande cha kondoo kilichopokonywa kinywani mwa simba (3:12), ng’ombe walioshiba (4:1), kapu la
matunda (8:1-2).
Mwandishi
Amosi mchunga kondoo na mtunza mikuyu wa Tekoa.
Mahali
Samaria, Betheli, Gigali na miji mingine mingi. Watu matajiri wa Israeli walikuwa wanafurahia amani na mafanikio. Walikuwa
wametosheka na hali ya maisha na kuwaonea maskini kiasi cha kuwauza kama watumwa. Lakini, punde si punde Israeli
ilikuwa ishindwe na Asiria (Ashuru) na hao hao matajiri wangekuwa watumwa.
Kusudi
Kutangaza hukumu ya Mungu dhidi ya ufalme wa kaskazini, yaani, Israeli kwa kuishi katika hali ya kutosheka na
kuridhika, kuabudu sanamu na kuwadhulumu maskiini.
Tarehe
Amosi alikuwa nabii katika karne ya nane kabla ya Kristo. Amosi aliishi wakati mmoja na Isaya na Mika.
Wahusika Wakuu
Amosi, Amazia, Yeroboamu II.
Mgawanyo
• Hukumu kwa majirani wa Israeli. (1:1-2:5) • Maono matano. (7:1-9:10)
• Hukumu kwa Israeli. (2: 6-16) • Matengenezo ya Israeli. (9:11-15)
• Uovu wa Israeli. (3:1-6:14)
1
AMOSI
Maneno ya Amosi, mmoja wa wachunga “Kwa dhambi tatu za Tiro,
1 wanyama wa Tekoa, yale aliyoyaona hata kwa nne, sitaizuia ghadhabu yangu.
kuhusu Israeli miaka miwili kabla ya tetemeko la
ardhi, wakati Uzia alipokuwa mfalme wa Yuda Kwa sababu ameuza jumuiya nzima ya
na Yeroboamu mwana wa Yoashi alipokuwa mateka kwa Edomu
mfalme wa Israeli. na kutokujali mapatano ya undugu,
10Nitatuma moto kwenye kuta za Tiro
2Alisema: ambao utateketeza ngome zake.’’
‘‘BWANA ananguruma toka Sayuni
pia ananguruma kutoka Yerusalemu, 11Hili ndilo BWANA asemalo:
malisho ya wachunga wanyama yanakauka,
kilele cha Karmeli kinanyauka.’’ “Kwa dhambi tatu za Edomu,
hata kwa nne, sitaizuia ghadhabu
Hukumu Juu Ya Majirani Wa Israeli yangu.
3Hili
ndilo asemalo BWANA: Kwa sababu alimfuatia ndugu yake kwa
upanga,
“Kwa dhambi tatu za Dameski, alikataa kuonyesha huruma yo yote,
hata kwa nne, sitaizuia ghadhabu kwa sababu hasira yake kali iliendelea
yangu. kupanda wakati wote na ghadhabu
Kwa sababu aliipura Gileadi kwa vyombo iliwaka bila kuzuiliwa.
vya chuma vyenye meno. 12Nitatuma moto juu ya Temani
4Nitatuma moto juu ya nyumba ya Hazaeli ambao utateketeza maboma ya Bosra.’’
ambao utateketeza ngome za Ben-Hadadi.
5Nitalivunja lango la Dameski, 13Hili ndilo asemalo BWANA:
nitamwangamiza mfalme aliyeko
katika Bonde la Aveni a ‘‘Kwa dhambi tatu za Amoni,
na yeye ambaye anaishika fimbo ya hata kwa nne, sitaizuia ghadhabu
utawala katika Beth-Edeni. yangu.
Watu wote wa Aramu watakwenda Kwa sababu aliwatumbua wanawake
uhamishoni huko Kiri,’’ wajawazito wa Gileadi ili kuongeza
asema BWANA. mipaka yake.
14Nitatuma moto kwenye kuta za Raba
6Hili ndilo asemalo BWANA: ambao utateketeza ngome zake katikati
ya vilio vya vita katika siku ya
“Kwa dhambi tatu za Gaza, mapigano,
hata kwa nne, sitaizuia ghadhabu katikati ya upepo mkali katika siku ya
yangu, dhoruba.
kwa sababu walichukua mateka jumuiya 15Mfalme wake atakwenda uhamishoni,
4
AMOSI
maofisa wake wote pamoja naye,’’ lipondavyo wakati limejazwa nafaka.
4Hili ndilo asemalo BWANA: 14Mkimbiaji hodari hatanusurika,
wenye nguvu wataishiwa nguvu zao
“Kwa dhambi tatu za Yuda, na shujaa hataweza kuokoa maisha yake.
hata kwa nne, sitaizuia ghadhabu 15Mpiga upinde atakimbia,
mmoja kwa hivyo hulinajisi jina langu ardhini ambapo hajategewa chambo?
takatifu. Je! mtego unaweza kufyatuka toka ardhini
8Watu hulala kando ya kila madhabahu wakati ambapo hakuna cho chote cha
juu ya nguo zilizowekwa rehani. kunasa?
Katika nyumba ya mungu wao 6Je! tarumbeta inapopigwa mjini kujulisha
5
AMOSI
wake.’’ nanyi mtatupwa nje kuelekea Harmoni,’’
asema BWANA.
10BWANA asema: 4‘‘Nendeni Betheli mkatende dhambi,
sadaka ya shukrani,
‘‘Adui ataizingira nchi, jisifuni kuhusu sadaka zenu za hiari,
ataangusha chini ngome zenu na jigambeni kwa ajili ya sadaka hizo,
kuteka nyara maboma yenu.’’ Enyi Waisraeli,
12Hili ndilo asemalo BWANA: kwa kuwa hili ndilo mnalopenda kulitenda,’’
asema BWANA Mwenyezi.
‘‘Kama vile mchungaji aokoavyo kinywani
mwa simba vipande viwili tu vya mfupa 6“Niliwapa njaa kwenye kila mji
wa mguu au kipande cha sikio, na ukosefu wa chakula katika kila mji,
hivyo ndivyo Waisraeli watakavyookolewa, hata hivyo bado hamjanirudia mimi,’’
wale wakaao Samaria kwenye kingo za asema BWANA.
vitanda vyao na katika Dameski
kwenye viti vyao vya fahari.’’ 7“Pianiliwazuilia ninyi mvua miezi mitatu
kabla ya kufikia mavuno.
13“Sikia
hili na ushuhudie dhidi ya nyumba Nilinyesha mvua kwenye mji mmoja,
ya Yakobo,’’ asema Bwana, BWANA Mungu lakini niliizuia mvua isinyeshe mji
Mwenyezi. mwingine.
Shamba moja lilipata mvua,
14“Siku nitakapomwadhibu Israeli kwa na lingine halikupata nalo likakauka.
sababu ya dhambi zake,
nitaharibu madhabahu za Betheli, 8Watu walitangatanga mji hata mji kutafuta maji,
pembe za madhabahu zitakatiliwa mbali lakini hawakupata ya kuwatosha kunywa,
na kuanguka chini. hata hivyo hamjanirudia mimi,”
15Nitabomoa nyumba ya wakati wa masika, asema BWANA.
pamoja na nyumba ya wakati wa
kiangazi, 9Mara nyingi nilizipiga bustani zenu na
nyumba zilizonakshiwa kwa pembe za mashamba ya mizabibu,
ndovu na majumba makubwa ya fahari niliyapiga kwa kutu na ukungu.
yatabomolewa,’’ Nzige walitafuna tini zenu na miti ya
asema BWANA. mizeituni,
hata hivyo hamjanirudia mimi,’’
Israeli Hajarudi Kwa Mungu asema BWANA.
Sikilizeni neno hili, ninyi ng'ombe wa
4 Bashani mlioko juu ya Mlima Samaria, 10“Niliwapelekea tauni miongoni mwenu
ninyi wanawake mnaowaonea maskini kama nilivyofanya kule Misri.
na kuwagandamiza wahitaji Niliwaua vijana wenu wa kiume kwa
na kuwaambia wanaume wenu, upanga,
“Tuleteeni vinywaji!’’ niliwachukua farasi wenu.
2BWANA Mwenyezi ameapa kwa Nilijaza pua zenu kwa uvundo wa kambi
utakatifu wake: zenu,
“Hakika wakati utakuja hata hivyo hamjanirudia mimi,’’
mtakapochukuliwa na kulabu, asema BWANA.
na wanaosalia kwa ndoana za samaki.
3Nanyi mtakwenda moja kwa moja kupitia 11“Niliwaangamiza baadhi yenu kama
mahali palipobomolewa kwenye ukuta, nilivyoangamiza Sodoma na Gomora.
6
AMOSI
Mlikuwa kama kijiti kiwakacho ambaye hugeuza giza kuwa asubuhi
kilichopokonywa motoni, na mchana kuwa usiku,
hata hivyo hamjanirudia,’’ ambaye huyaita maji ya bahari
asema BWANA. na kuyamwaga juu ya uso wa nchi,
BWANA ndilo jina lake.
12“Kwa hiyo hili ndilo nitakalowafanyia Israeli 9Yeye hufanya maangamizo kwenye
yote ya mizabibu,
7Ninyiambao mnageuza haki kuwa uchungu kwa kuwa nitapita katikati yenu,’’
na kuiangusha haki chini asema BWANA.
8(yeye ambaye alifanya Kilimia na Orioni,
7
AMOSI
Siku Ya BWANA 4Ninyi mnalala juu ya vitanda vilivyofunikwa
18Ole wenu ninyi mnaoitamani kwa pembe za ndovu na kujinyoosha juu
siku ya BWANA! ya viti vya fahari.
Kwa nini mnaitamani siku ya BWANA? Mnajilisha kwa wana kondoo wazuri na
Siku hiyo itakuwa giza, si nuru. ndama walionenepeshwa.
19Itakuwa kama vile mtu aliyemkimbia simba 5Ninyi mnaopigapiga vinanda ovyo kwa nguvu
na uadilifu uwe kama kijito kisichokauka! moja, wao pia watakufa. 10Kama jamaa ambaye
25“Je, mliniletea dhabihu na sadaka atachoma miili akija ili kuitoa nje ya nyumba, na
mlipokuwa jangwani miaka arobaini, kumwuliza ye yote ambaye bado anajificha
Ee nyumba ya Israeli? humo, “Je,yuko mtu ye yote pamoja nawe?’’
26Mmeyainua madhabahu ya mfalme wenu, Naye akisema, “Hapana,’’ ndipo atakaposema,
Sakuthi mungu wenu mtawala, “Nyamaza kimya! Haturuhusiwi kutaja jina la
Kiuni mungu wenu wa nyota, BWANA.’’
ambao mliwatengeneza wenyewe.
27Kwa sababu hiyo nitawapelekeni 11Kwa kuwa BWANA ameamuru,
uhamishoni mbali kupita Dameski,” naye atabomoa jumba kubwa vipande vipande na
asema BWANA, ambaye jina lake nyumba ndogo vipande vidogo vidogo.
ni Mungu Mwenyezi. 12Je, farasi waweza kukimbia kwenye
miamba mikali?
Ole Kwa Wanaoridhika Je, aweza mtu kulima huko kwa
Ole wenu ninyi mnaostarehe na kuridhika maksai?
6 katika Sayuni na ninyi mnaojisikia salama Lakini mmegeuza haki kuwa sumu na
juu ya mlima Samaria, matunda ya uadilifu kuwa uchungu,
ninyi watu mashuhuri wa taifa 13ninyi mnaoshangilia kushindwa kwa Lodebari
8
AMOSI
Maono Ya Kwanza: Nzige 12Kisha Amazia akamwambia Amosi,
Hili ndilo alilonionyesha BWANA “Nenda zako, ewe mwonaji! Urudi katika nchi ya
7 Mwenyezi katika maono: Alikuwa Yuda. Ujipatie riziki yako huko na kufanya utabiri
anaandaa makundi ya nzige baada ya kuvunwa wako huko. 13Usiendelee kutabiri katika Betheli,
fungu la mfalme na wakati ule tu mimea ya pili kwa sababu hapa ni mahali pa mfalme pa
ilipokuwa ikichipua. 2Wakati nzige walipokuwa kuabudia na hekalu la ufalme huu.’’
wamekula mimea yote ya nchi, nililia kwa sauti 14Amosi akamjibu Amazia, “mimi sikuwa
kuu, “BWANA Mwenyezi, samehe! Je, Yakobo nabii wala mwana wa nabii, lakini nilikuwa
atawezaje kuendelea kuishi? Yeye ni mdogo mchungaji wa kondoo na mtunza mikuyu.
sana!’’ 15Lakini BWANA akanitoa kutoka kuchunga
3Kwa hiyo BWANA akaghairi. Kisha BWANA kondoo na kuniambia, ‘Nenda, ukawatabirie
akasema, watu wangu Israeli.’ 16Sasa basi, sikieni neno la
“Hili halitatokea.’’ BWANA, Nanyi mnasema,
9
AMOSI
Tupunguze vipimo,
kuongeza bei Israeli Kuangamizwa
na kudanganya kwa mizani zisizo sawa. Nilimwona Bwana akiwa amesimama
6Tukiwanunua maskini kwa fedha
na tukiuza hata takataka za ngano pamoja “Piga juu ya nguzo ili vizingiti vitikisike.
na ngano. viangushe juu ya vichwa vya watu
wote,
7BWANA ameapa kwa kiburi cha Yakobo: na wale watakaosalia nitawaua kwa
‘‘Kamwe, sitasahau cho chote ambacho upanga.
wamefanya. Hakuna awaye yote atakayekimbia,
hakuna atakayetoroka.
8‘‘Je, nchi haitatetemeka kwa ajili ya hili, 2Wajapojichimbia chini mpaka kwenye vina vya
nao wote waishio ndani mwake kuzimu, kutoka huko mkono wangu
hawataomboleza? utawatoa.
Nchi yote itainuka kama Nile, Wajapopanda juu hadi kwenye mbingu,
itapanda na kushuka kama mto wa kutoka huko nitawashusha.
Misri. 3Wajapojificha juu ya kilele cha Karmeli,
9‘‘Katika siku ile,’’ asema BWANA Mwenyezi, huko nitawawinda na kuwakamata.
Wajapojificha kutoka kwenye uso
‘‘Nitalifanya jua litue alasiri na kuifanya wangu katika vilindi vya bahari,
dunia huko nako nitaamuru joka kuwauma.
iwe giza wakati wa mchana mwangavu. 4Wajapopelekwa uhamishoni na adui zao,
10Nitageuza sikukuu zenu za kidini kuwa huko nako nitaamuru upanga uwaue.
maombolezo, Nitawakazia macho yangu
na kuimba kwenu kote kuwe kilio. kwa mabaya wala si kwa mazuri.’’
Nitawafanya ninyi nyote mvae nguo ya
gunia na kunyoa nywele zenu. 5Bwana, BWANA Mwenye Nguvu,
Nitaufanya wakati ule uwe kama yeye agusaye dunia nayo ikayeyuka,
kuombolezea mwana wa pekee, na wote wakaao ndani mwake
na mwisho wake kama siku ya wakaomboleza,
uchungu. nchi yote huinuka kama Nile,
11‘‘Siku zinakuja,’’ asema BWANA kisha hushuka kama mto Misri,
Mwenyezi, 6yeye ambaye hujenga jumba lake la kifalme
“Wakati nitakapotuma njaa katika nchi yote, katika mbingu na kuisimika misingi yake
si njaa ya chakula wala kiu ya maji, juu ya dunia,
lakini njaa ya kusikia maneno ya BWANA. yeye aitaye maji ya bahari na kuyamwaga
12Wanaume watayumbayumba kutoka bahari juu ya uso wa nchi,
hadi bahari na kutangatanga kutoka BWANA ndilo jina lake.
kaskazini mpaka mashariki,
wakitafuta neno la BWANA, 7“Je,Waisraeli ninyi si sawa kwangu
lakini hawatalipata. kama Wakushi?’’
Asema BWANA.
13“Katikasiku ile wasichana wazuri na vijana “Je, sikuleta Israeli kutoka Misri,
wanaume wenye nguvu watazimia kwa Wafilisiti toka Kaftori na Washami
sababu ya kiu. kutoka Kiri?
14Wale waapao kwa aibu ya Samaria,
10
AMOSI
9 “Kwa kuwa nitatoa amri,
na nitaipepeta nyumba ya Israeli
miongoni
mwa mataifa yote kama vile nafaka
ipepetwavyo katika ungo
na hakuna hata punje moja nzuri
itakayoanguka chini.
10Watenda dhambi wote miongoni mwa watu
waliohamishwa,
wataijenga tena miji iliyoachwa magofu,
nao wataishi ndani mwake.
Watapanda mizabibu na kunywa divai yake,
watalima bustani na kula matunda yake.
15Nitaipanda Israeli katika nchi yao wenyewe,
11
OBADIA
Utangulizi
Jina Obadia maana yake ni "Mtumishi wa Yehova." Kitu pekee kinachojulikana kuhusu nabii huyu ni haya
yaliyoandikwa katika kitabu hiki chenye unabii wake.Obadia alitoa unabii kuhusu hukumu ya Mungu dhidi ya taifa la
Edomu juu ya kuangamizwa na kukomeshwa kwake lisiwepo tena ulimwenguni. Waedomu ambao walikuwa uzao wa
Esau, walijivunia usalama katika ngome zao zilizokuwa kwenye Mlima Seiri, kusini mwa Bahari ya Chumvi (Bahari
Mfu).Waliwatazama watu wa Yuda walipopatwa na mikasa mikononi mwa wavamizi. Mwanzoni mwa karne ya tisa
Waedomu wenyewe walishiriki zaidi ya mara nne kuiteka nyara Yerusalemu.
Uvamizi wa Waedomu katika siku za Yehoramu mfalme wa Yuda (2Wafalme 8 :20 ; 2Mambo ya Nyakati 21:16–
17) unawezekana ukawa ndio wakati wa unabii wa Obadia. Kufikia wakati wa unabii wa Malaki, kama 430 K.K. huu
unabii wa kufukuzwa Waedomu kutoka Mlima Seiri na Waarabu inawezekana tayari ulishakuwa ni uhalisi. Waedomu
hawakusikika tena baada ya kuharibiwa kwa Yerusalemu mnamo 70 B.K.
Wazo Kuu
Obadia anatangaza hukumu ya Mungu dhidi ya Waedomu na akatabiri kuangamizwa kwao na kufutwa kwa
kumbukumbu lao katika uso wa dunia. Wale wanaopigana na watu walioitwa na Mungu, Yeye hupigana nao na
kufuta kumbukumbu lao duniani wasipotubu. Kihistoria, wakati wote Waedomu walikuwa wanawasumbua Wayahudi.
Kabla ya kuandikwa kitabu hiki, walikuwa wanajiunga na waliokuwa wanashambulia Yuda. Unabii huu ulitoka baada
ya Israeli kugawanyika katika falme mbili, kaskazini (Israeli) na kusini (Yuda). Unabii huu ulikuwa kabla ya Yuda
kushindwa na mfalme Nebukadneza mnamo mwaka 586 K. K.
Dhumuni
Kuonyesha kwamba Mungu anawahukumu wale wanaowadhuru watu wake.
Mwandishi
Obadia.
Mahali
Edomu, Yerusalemu
Tarehe
Kama 840 K.K.
Wahusika Wakuu
Amosi na Waedomu
Mgawanyo
• Maangamizi ya Edomu (1:1-14)
• Edomu katika siku ya Bwana (1:15-21)
1
OBADIA
Maono ya Obadia. na watu wa nchi nyingine walipoingia
1 malango yake
Hili ndilo asemalo BWANA Mwenyezi wakipiga kura kwa ajili ya Yerusalemu,
kuhusu Edomu. ulikuwa kama mmoja wao.
12Usingemdharau ndugu yako
2
OBADIA
Watayakalia mashamba ya Efraimu na
Samaria,
naye Benyamini atamiliki Gileadi.
20Kundi la Waisraeli walioko uhamishoni
3
YONA
Utangulizi
Yona maana yake “hua”.Kitabu hiki kifupi kinachomtaja Yona kuwa mwana wa Amitai(1:1), kinaeleza yale yaliyomtukia
yeye kama mjumbe wa Mungu.Yona alikuwa amepewa agizo na Mungu aende akawaonye watu wa Ninawi juu ya hukumu
iliyokuwa inakuja. Akijaribu kumkimbia Mungu aliamua kuelekea Tarshishi, ambako ni upande wa magharibi, alitelemka
mpaka Yafa, akapanda meli iliyokuwa inaelekea huko. Yona alipotupwa baharini alimezwa na nyangumi a ambaye
alimrudisha mpaka pwani ya mashariki ya Bahari ya Kati (Mediterania). Hatimaye alikwenda Ninawi na akawaonya watu
kuhusu hukumu ya Mungu. Alivunjika moyo kwa ajili ya mafanikio yake mwenyewe watu walipotubu na Mungu akaonyesha
rehema Zake kwa kughairi na kuahirisha siku ya hukumu. Yona akajifunza kitu ambacho hakutarajia, kwamba Mungu
angeweza kusamehe na kubadili alilokusudia watu wakijinyenyekeza, wakatubu, wakaacha njia zao mbaya na kumtafuta
Yeye atasamehe na kuponya nchi husika.. Yamkini hii ilikuwa sababu ya Yona kukasirika Mungu alipowasamehe adui yao.
Inawezekana huyu nabii akawa ndiye yule anayetajwa katika 2Wafalme 14:25 kama Yona mwana wa Amitai. Iwapo
ndiye, basi hii inazungumzia huduma yake ya awali. Kipindi hicho alitabiri kuwa Yeroboamu II (793-753) angepanua mpaka
wa kaskazini wa Israeli kwa kuitia hasara Shamu (Syria), ambayo kwenye utawala wa ufalme wake Hazaeli alikuwa
amepokonya eneo kubwa la Israeli.
Ingawa baadhi ya wasomi wanaotumia akili za kibinadamu wamekihesabu kitabu cha Yona kama kisa cha mambo ya
ajabu au hadithi ya kubuniwa, Haifai kusadiki tu nusu ya uthibitisho wake wa kihistoria, kwa sababu majina na sehemu
zinazotajwa kwenye kitabu ni za kihistoria. Zile nukuu Yesu alizofanya kwenye Yona (Mat.12:39,40; na Lk.11:29,30), yote
haya yanaonyesha msingi wa kihistoria kuhusu matukio yaliyoandikwa kwenye kitabu hiki cha Yona. Yona alimtangulia
Amosi na alihudumu wakati wa Mfalme Yeroboamu II, aliyekuwa mfalme mwenye nguvu kuliko wote katika Israeli (793-753
K.K. - angalia 2Wafalme 14:23-25).
Wazo Kuu
Wingi wa rehema za Mungu watu wanaposikia neno wakaamini na kutubu, anavyosamehe na kufuta hukumu iliyokuwa
inawakabili. Mungu hapendi mtu ye yote aangamie, bali afikilie toba. Watu wa Ninawi waliposikia ujumbe wa Yona juu ya
kuangamizwa kwao, walimsadiki Mungu, mfalme akatangaza kufunga, wakajinyenyekeza tangu mkubwa kabisa hadi
mdogo wa wote pamoja na wanyama, wakavaa nguo za magunia, wakatubu. Mungu akasikia toba yao akasamehe. Toba
ya Ninawi ilikuwa ya muda mfupi kwa sababu baadaye iliharibiwa mnamo mwaka 612 K. K. Ashuru ilikuwa adui mkubwa wa
Israeli na iliishinda Israeli mwaka wa 722 B.C
Mwandishi
Yona mwana wa Amitai.
Kusudi
(1)Wito wa Mungu.(2) Ujumbe wa wokovu ni kwa watu wote. (3)Toba ya kweli. (4)Kuonyesha ukubwa wa neema ya
Mungu. (4)Kukasirishwa kwa Yona
Mambo Muhimu
Hiki kitabu ni tofauti na vitabu vingine vya unabii kwa sababu mkazo uko katika kuelezea habari za nabii na sio unabii wake.
Ni sentensi moja tu inayotoa ufupisho wa ujumbe wake kwa watu wa Ninawi (3:4). Kitabu cha Yona kinatoa maelezo ya
kihistoria inatajwa pia na Yesu kama picha ya kifo na kufufuka kwake (Mathayo 12:38-42)
Mahali
Ninawi.
Tarehe
Kama mwaka 760 K.K.
Wahusika Wakuu
Yona, nahodha wa meli na mabaharia, nyangumi, Mfalme wa Ninawi na Waninawi wote.
Mgawanyo
• Yona anamkimbia Mungu. (1:1-17)
• Sala ya Yona na kuokolewa. (2:1-10)
• Yona aenda Ninawi. (3:1-10)
• Yona amkasirikia Mungu kwa sababu ya huruma yake. (4:1-11)
a
Nyangumi ni samaki mkubwa sana. Ona pia 1:17; 2:10
1
YONA
ilivyokupendeza.’’ 15Kisha walimchukua Yona,
Yona Anamkimbia BWANA wakamtupa baharini nayo bahari iliyokuwa
Neno la BWANA lilimjia Yona mwana wa imechafuka ikatulia. 16Katika jambo hili watu
1 Amitai. 2“Nenda katika mji mkubwa wa wakamwogopa BWANA sana, wakamtolea
Ninawi ukahubiri juu yake, kwa sababu uovu BWANA dhabihu na kumwekea nadhiri.
wake umekuja juu mbele zangu.’’ 17Lakini BWANA akamwandaa nyangumi
3Lakini Yona alimkimbia BWANA na kummeza Yona, naye Yona alikuwa ndani ya
kuelekea Tarshishi. Alishuka mpaka Yafa, tumbo la nyangumi kwa siku tatu mchana na
ambapo alikuta meli iliyokuwa imepangwa usiku.
kuelekea bandari ile. Baada ya kulipa nauli,
akapanda melini na kuelekea Tarshishi ili Maombi ya Yona Katika Tumbo la Nyangumi
kumkimbia BWANA. 4Ndipo BWANA akatuma
upepo mkali baharini, nayo dhoruba kali sana 2 Akiwa ndani ya tumbo la nyangumi, Yona
alimwomba BWANA Mungu wake.
ikavuma hata meli ikawa hatarini kuvunjika. 2Akasema :
5Mabaharia wote waliogopa na kila mmoja
akamlilia mungu wake mwenyewe. Nao ‘‘Katika shida yangu nalimwita BWANA,
wakatupa mizigo baharini ili meli ipungue uzito.
Lakini Yona alikuwa ameteremkia chumba naye akanijibu.
cha ndani ya meli, mahali ambapo alilala na Kutoka kina cha kaburi niliomba msaada,
kupatwa na usingizi mzito. 6Nahodha nawe ukasikiliza kilio changu.
akamwendea na kusema, “Wewe unawezaje 3Ulinitupa kwenye kilindi,
kulala? Amka ukamwite mungu wako! Huenda ndani kabisa ya moyo wa bahari,
akatuangalia, tusiangamie.” mikondo ya maji ilinizunguka,
7Kisha mabaharia wakasemezana wao kwa mawimbi yako yote na viwimbi vilipita juu
wao, “Njoni, tupige kura tumtafute anayehusika yangu.
na maafa haya.’’ Wakapiga kura, kura 4Nikasema, ‘Nimefukuziwa mbali na uso wako,
2
YONA
10BasiBWANA akamwamuru yule nyangumi, Hasira ya Yona Kwa Ajili ya Huruma ya
naye akamtapika Yona katika nchi kavu. BWANA.
Akatangaza: “Baada ya siku arobaini Ninawi akamjibu, “Je unayo haki yo yote kukasirika?’’
utaangamizwa.’’ 5Watu wa Ninawi wakamsadiki 5Yona akatoka nje akaketi mahali upande
Mungu, wakatangaza kufunga, nao watu wote wa mashariki wa mji. Hapo akajitengenezea
kuanzia mkubwa sana hadi yule mdogo kabisa, kibanda, akaketi kwenye kivuli chake na
wakavaa nguo ya gunia. kungojea ni nini kitakachotokea katika mji.
6Habari zilipomfikia mfalme wa Ninawi, 6Ndipo BWANA, Mungu akaweka tayari mzabibu
aliondoka kwenye kiti chake cha enzi, akavua na kuufanya uote, kumpatia Yona kivuli
majoho yake ya kifalme, akajifunika nguo ya kilichomfunika kichwa ili kuondoa taabu yake,
gunia kisha akaketi chini mavumbini. 7Ndipo naye Yona akafurahi sana kwa ajili ya ule
akatoa tangazo katika Ninawi yote: mzabibu. 7Lakini kesho yake asubuhi na
mapema Mungu akaamuru buu, autafune
“Kwa amri ya mfalme na wakuu wake: mzabibu huo nao ukanyauka. 8Wakati jua
lilipochomoza, Mungu akautuma upepo wa hari
Msiruhusu mtu ye yote au mnyama, wa mashariki, nalo jua likawaka juu ya kichwa
makundi ya ng’ombe au wanyama wengine cha Yona mpaka akazimia. Akatamani kufa,
wafugwao, kuonja kitu cho chote, naye akasema, “Ni afadhali mimi nife kuliko
msiwaruhusu kula wala kunywa. 8Bali kuishi.’’
wanadamu na wanyama wafunikwe kwa 9Lakini Mungu alimwambia Yona, “Je, unayo
nguo ya gunia. Kila mmoja afanye hima haki kukasirika kuhusu mzabibu huo?’’
kumwomba Mungu. Waziache njia zao Akasema, “Ndiyo ninayo haki. Nimekasirika
mbaya na udhalimu ulio mikononi mwao. 9Ni kiasi cha kufa.’’
nani ajuaye? Huenda Mungu akaghairi kwa 10Lakini BWANA akamwambia, “Wewe
huruma yake akaacha hasira yake kali ili waona vibaya kwa ajili ya mzabibu huu, nawe
tusiangamie.’’ hukuusababisha kuota wala kuutunza. Uliota
usiku mmoja nao ukafa usiku mmoja. 11Lakini
10Mungu alipoona walivyofanya na jinsi Ninawi ina zaidi ya watu mia moja na ishirini elfu
walivyogeuka kutoka katika njia zao mbaya, ambao hawawezi kupambanua kulia au kushoto
akawa na huruma wala hakuleta maangamizi pamoja na ng’ombe wengi. Je, hainipasi kufikiri
juu yao kama alivyokuwa ameonya. juu ya mji ule mkubwa?’’
3
MIKA
Utangulizi
Jina Mika linatokana na neno la Kiebrania “Mi-ka-yah” ambalo maana yake “Ni nani aliye kama Bwana?” Mika
alizaliwa huko Moresheth-Gathi(1:14) kama kilomita 19.2 kusini magharibi ya Yerusalemu, alikuwa mwenyeji wa
ufalme wa kusini (Yuda) wakati wa utawala wa Yothamu (751-736 K.K.), Ahazi (736-716K.K.) na Hezekia (716-
687K.K). Mika aliishi wakati mmoja na Isaya na Hosea. Aliona Waashuru wakiendelea wakati Isreali ikididimia hadi
kufikia kuwa jimbo la Ashuru baada kuanguka kwa Samaria katika mwaka 722-721 K.K. Yuda mara kwa mara ilipata
vitisho kutoka kwa wafalme wa Kiashuru waliofanikiwa.Mika alionya juu ya hukumu ya Mungu dhidi ya falme zote
mbili, yaani, Yuda ambayo mji wake mkuu ulikuwa Yerusalemu na Israeli ambayo mji wake mkuu ulikuwa Samaria.
Amosi alitabiri kuwa miji hiyo itaangamizwa kwa sababu ya watawala wake waovu, manabii wa uongo, makuhani
waovu wafanya biashara wasiokuwa waaminifu na mahakimu wanaopokea rushwa ambao walishindwa kuonyesha
hali ya uchaji na hofu ya Mungu katika wajibu wao. Kutokana na kukosekana kwa haki katika jamii, maskini
walionewa, maisha ya watu hayakuwa ya uadilifu na hivyo kwa kule kukosekana kwa utakatifu katika maisha ya kila
siku, walikuwa wanakabiliwa na uangamivu. Hali halisi ya kisiasa imeelezewa katika 2Wafalme 15-20 na 2Nyakati
26-30.
Kinyume na hayo, ilitolewa ahidi ya kufanywa upya kwa Sayuni na utawala wa amani kwa wale waliomwamini na
kumtumaini Mungu. Alitabiri kwamba Sayuni iliyofanywa upya itakuwa ndiyo kitovu cha utawala wa ulimwengu wote
mahali ambapo amani halisi na haki vitatawala. “Mtawala katika Israeli,” ambaye angezaliwa Bethlehemu,
angesimamisha utawala ambao ungedumu milele.
Wazo Kuu
Kuwaonya watu juu ya dhambi za udhalimu, uroho, uchoyo, ufisadi na ibada za sanamu vitu ambavyo
vingesababisha hukumu iwapo watu wasingetubu na kuacha njia zao mbaya.
Mambo Muhimu
Huu ni mfano mzuri wa ushairi wa Kiebrania. Ziko sehemu tatu, kila moja ikianza na “Sikia’’ au Sikiliza (1:2, 3:1,
6:1) na kufunga na ahadi.
Mwandishi
Mika, mwenyeji wa Moresheti, karibu na Gathi, yapata maili 20 kusini magharibi ya Yerusalemu.
Mahali
Samaria, Yerusalemu na Bethlehemu.
Tarehe
Kama kwaka 740-710 K.K.
Wahusuka Wakuu
Watu wa Samaria na Yerusalemu
Mgawanyo
• Hukumu dhidi ya Samaria na Yerusalemu. (1:1-16)
• Uonevu wa viongozi. (2:1-3:12)
• Marejesho ya kiMungu. (4:1-5:15)
• Hukumu na huruma. (6:1-7:20)
1
MIKA
Neno la BWANA lilimjia Mika Mmorashti hata Yerusalemu kwenyewe.
1 wakati wa utawala wa Yothamu, Ahazi na 10Usiliseme hili huko Gathi,
Hezekia, wafalme wa Yuda, ufunuo aliouona usilie hata kidogo.
kuhusu Samaria na Yerusalemu. Huko Beth-le-Afra ugae-gae mavumbini.
11Piteni mkiwa uchi na wenye aibu,
2Sikia, Ee mataifa, enyi nyote, ninyi mkaao Shafiri.
sikilizeni, Ee dunia na wote mliomo Wale waishio Saanani hawatatoka nje.
ndani yake, Beth-eseli iko katika maombolezo,
ili BWANA Mwenyezi ashuhudie dhidi yenu, kinga yake imeondolewa kwako.
Bwana kutoka hekalu lake takatifu. 12Wale waishio Marothi wanagaa-gaa kwa
2
7Sanamu zake zote zitavunjwa vipande vipande, Ole kwa wale wapangao uovu,
zawadi zake zote za hekalu zitachomwa kwa wale wafanyao shauri la hila vitandani
kwa moto, mwao!
nitaharibu vinyago vyake vyote. Kunapopambazuka wanautimiza
Kwa kuwa alikusanya zawadi zake kwa sababu uko katika uwezo wao
kutokana na ujira wa makahaba, kutekeleza.
nazo zitatumika tena kulipa mishahara 2Wanatamani mashamba na kuyakamata,
2
MIKA
4Siku hiyo watu watawadhihaki, 13Yeye afunguaye njia atawatangulia,
watawafanyia mzaha kwa wimbo huu watapita kwenye lango na kutoka nje.
wa maombolezo: Mfalme wao atawatangulia,
‘Tumeangamizwa kabisa, BWANA atakuwa kiongozi.
mali ya watu wangu imegawanywa.
Ameninyang'anya! Viongozi Na Manabii Wakemewa
Ametoa mashamba yetu kwa wasaliti.’ ’’
3 Kisha nikasema,
tena. maono,
11Ikiwa mwongo na mdanganyifu atakuja na na giza msiweze kubashiri.
kusema, Jua litawachwea manabii hao,
‘nitawatabiria divai na pombe kwa wingi,’ nao mchana utakuwa giza kwao.
angekuwa ndiye nabii anayekubalika na 7Waonaji wataaibika
wa watu. Yakobo,
3
MIKA
enyi watawala wa nyumba ya Israeli, Mungu wetu milele na milele.
mnaodharau haki na kupotosha kila lililo
sawa, Mpango Wa BWANA
10mnaojenga Sayuni kwa kumwaga damu 6“Katika
siku hiyo,’’ asema BWANA,
na Yerusalemu kwa uovu.
11Viongozi wake wanahukumu kwa rushwa, “nitawakusanya walemavu,
makuhani wake wanafundisha kwa nitawakusanya walio uhamishoni
malipo na wale niliowahuzunisha.
na manabii wake wanatabiri kwa fedha. 7Nitawafanya walemavu kuwa mabaki,
4
MIKA
udanganyifu kwa BWANA, katikati ya mataifa mengi,
utajiri wao kwa Bwana wa dunia yote. kama simba miongoni mwa wanyama wa
msituni,
Mtawala Aliyeahidiwa Kutoka Bethlehemu kama mwana simba miongoni
5 Panga majeshi yako, Ee mji wa majeshi,
kwa kuwa kuzingirwa kumepangwa dhidi
mwa makundi ya kondoo,
ambaye anaumiza vibaya na kuwararua
yetu. kila anapopita katikati yao,
Watampiga mtawala wa Israeli shavuni kwa wala hakuna awezaye kuokoa.
fimbo. 9Mkono wako utainuliwa juu kwa ushindi
Nao wataishi kwa usalama, kwa kuwa juu ya mataifa ambayo hayajanitii.’’
wakati huo
ukuu wake utaenea hadi miisho ya dunia. Shauri La BWANA Dhidi Ya Israeli
6
5 Naye atakuwa amani yao. Sikiliza asemalo BWANA:
5
MIKA
Kumbukeni safari yenu kutoka Shitimu hiyo divai.
mpaka Gilgali, 16Mmezishika sheria za Omri
ili mfahamu matendo ya haki ya matendo yote ya nyumba ya Ahabu,
BWANA tena umefuata desturi zao.
Kwa hiyo nitakutoa kwa maangamizi
na watu wako kuwa dhihaka,
6Nimjie BWANA na kitu gani mtachukua dharau za mataifa.’’
na kusujudu mbele za Mungu
aliyetukuka? Taabu Ya Israeli
Je, nije mbele zake na sadaka za
kuteketezwa, 7 Taabu gani hii niliyo nayo!
Nimefanana na yule akusanyaye
nije na ndama za mwaka mmoja? matunda ya kiangazi,
aokotaye masazo baada ya kuvunwa
7Je,BWANA atafurahishwa na kondoo shamba la mizabibu,
dume elfu, hakuna kishada chenye matunda ya kula,
au mito elfu kumi ya mafuta? hakuna hata ile tini ya mwanzoni
Je, nimtoe mzaliwa wangu wa kwanza ninayoitamani.
kwa ajili ya kosa langu, 2Wanaomcha Mungu wameondolewa kutoka
6
MIKA
Ingawa nimeanguka, nitainuka. Wewe huwi na hasira milele,
Japo ninaketi gizani, bali unafurahia kuonyesha rehema.
BWANA atakuwa nuru yangu. 19Utatuhurumia tena,
9Kwa sababu nimetenda dhambi dhidi yake, utazikanyaga dhambi zetu chini ya nyayo
nitabeba ghadhabu ya BWANA, zako na kutupa maovu yetu yote katika
mpaka atakaponitetea shauri langu vilindi vya bahari.
na kuithibitisha haki yangu. 20Utakuwa wa kweli kwa Yakobo,
wake,
kwa sababu ya matunda ya matendo yao.
Sala Na Sifa
14Wachunge watu wako kwa fimbo yako,
kundi la urithi wako,
ambalo linaishi peke yake msituni,
katika nchi ya malisho yenye rutuba.
Waache walishe katika Bashani na Gileadi
kama ilivyokuwa siku za kale.
7
MIKA
8
NAHUMU
Utangulizi
Nahumu ambayejina lake linamaaninisha ’‘ Faraja,’’ alikuwa mwenyeji wa Elkoshi. Uainisho wa mji huo na
mahali ulipokuwa hapajulikani kwa uhakika. Nahumu alitabiri kuhusu Yuda. Huduma yake ilikuwa wakati mmoja
na Sefania, Yeremia na Habakuki.Katika ujumbe wake alizungumzia kuanguka kwa No-amoni, yaani, Thebesi
664 K.K.na kuanguka kwa Ninawi mnamo mwaka 612 K.K.Nahumu anaeleza kwa wazi juu ya uonevu na
udhalimu wa kikatili wa Ashuru jinsi walivyosonga mbele na kushinda taifa moja baada ya jingine.
Ukatili huo usiokuwa na chembe ya huruma usingeweza kuvumilika na Mungu mwenye haki aliye mtakatifu
pasipo kikomo. Katika unabii huu Nahumu anaeleza vizuri kuonyesha kuzingirwa na kuanguka kwa Ninawi kuwa
ndio mwisho wa huu ufalme wenye nguvu wa Waashuru, ambao ndio uliokuwa unakalia sehemu zenye rutuba
kwa zaidi ya karne nzima. Kwa nasaha fupi kwa watu wa Yuda (1:15), Nahumu anawashauri watu wake kuzitii
sikukuu zao za kidini, kwa kuwa kamwe Waashuru wasingeliishambulia tena Yerusalemu.
Wazo Kuu
Nahumu ni kitabu cha unabii dhidi ya Ninawi, mji mkuu wa Ashuru. Kiini cha unabii huu ni mzigo wa
Ninawi (1 :1). Nabii anakazia juu ya ukweli wa kawaida kwamba Yehova ni Mungu mwenye wivu ambaye
mapatilizo Yake kwa hakikika lazima kiwapate adui Zake, lakini Yeye ni ngome kwa wale wanaomtumaini (1 :2-
8).
Mambo Muhimu
Kitabu cha Nahumu ni mfululizo wa maono matatu tofauti kuhusu Ashuru hasa mji wake mkuu Ninawi.
Nahumu aneleza wazi na kwa uthabiti juu ya tabi ya Mungu, yaani, ghadhabu, haki na nguvu Zake, tabia ambazo
zinawafanya waovu wasiepuke hukumu. Nabii anaeleza kukaribia kwa hukumu ya Ninawi na jinsi itakavyokuwa
kwa lugha ya wazi. Anaorodhesha kwa kifupi dhambi za Ninawi na kutamka kwamba Mungu ni mwenye haki
katika hukumu Zake. Anamalizia kwa kuiona hukumu iliyokamilika. Hiki ndicho kitabu cha Agano la Kale
kinachotoa unabii wake waziwazi juu ya ukatili wa Waashuru.
Kusudi
Kutamka hukumu ya Mungu dhidi ya Ashuru na kuwafariji Yuda.
Tarehe
Huduma ya Nahumu ilikuwa mnamo nusu ya pili ya karne ya saba K. K. Alitabiri wakati mmoja na Sefania,
Yeremia na Habakuki.
Mahali
Ninawi. Huu unabii ulitoka baada ya No-amoni (Thebesi) kuanguka mnamo mwaka 663 K. K. (angalia 3:8-10)
Mwandishi
Nahumu Mwelkoshi.
Mgawanyo
• Hasira ya Mungu dhidi ya Ninawi. (1 :1-15)
• Kuanguka kwa Ninawi. (2:1-13)
• Ukiwa kwa Ninawi. (3:1-19)
1
NAHUMU
Neno alilosema Mungu kuhusu Ninawi. Ingawa nimekutesa wewe, Ee Yuda,
1 Kitabu cha maono cha Nahumu sitakutesa tena.
Mwelkoshi. 13Sasa nitavunja nira zao kutoka katika shingo
yako,
Hasira ya Mungu dhidi ya Ninawi nami nitazivunjilia mbali pingu zako.”
2BWANA ni mwenye wivu na Mungu mlipiza
2
NAHUMU
6Malango ya mto yamefunguliwa wazi, Majeruhi wengi,
na jumba la kifalme limeanguka. marundo ya maiti,
7Imeagizwa kwamba mji idadi kubwa ya miili isiyohesabika,
uchukuliwe na upelekwe uhamishoni. watu wanajikwaa juu ya mizoga.
Vijakazi wake wanaomboleza kama hua 4Yote kwa sababu ya wingi wa tamaa ya
3
NAHUMU
wote ni wanawake!
Malango ya nchi yako
yako wazi kwa adui zako,
moto umeteketeza mapingo yake.
14Teka maji kwa ajili ya kuzingirwa kwako,
4
HABAKUKI
Utangulizi
Aliyeandika kitabu hiki anajitambulisha kama Nabii Habakuki(1:1 ; 3: 1). Hakuna maelezo mengine ya ziada
kuhusu maisha ya binafsi au ya familia ya huyu mwandishi yaliyopo po pote katika Maandiko. Alikuwa nabii wa
Yuda na inajulikana kutokana na zaburi yake (sura ya tatu) na kwenye maelekezo kwa mkuu wa waimbaji (3:19)
kwamba alikuwa wa kabila la Lawi, mmoja wa waimbaji wa hekaluni. Habakuki maana yake “Kumbatia”
.Kitabu cha Habakuki kimeandikwa kwa mtindo wa mazungumzo kati ya Mungu na Nabii. Habakuki aliona
kwamba viongozi wa Yuda walikuwa wanawaonea maskini, kwa hiyo aliuliza swali kwamba ni kwa nini Mungu
anawaruhusu watu hawa waovu kustawi. Mungu alipomwambia kwamba Wakaldayo wangekuja kuwaadhibu
Yuda, Habakuki aliumia zaidi. Hakuelewa ni kwa jinsi gani Mungu angeweza kuwatumia Wakaldayo ambao
walikuwa waovu kuliko Wayahudi waovu, ili kutekeleza hukumu dhidi ya watu walikuwa watu waliochaguliwa na
Mungu. Jibu la Mungu lilikuwa kwamba wenye haki wangeishi kwa imani kwa Mungu na kwamba walikuwa na
uhakika kwamba Mungu alikuwa anafanya lililo sahihi. Mungu alimwambia Habakuki kwamba punde si punde
Wakaldayo wangehukumiwa na kwamba hatimaye haki ingeshinda kwa ajili ya watu wa Mungu. Habakuki
anamalizia kitabu kwa zaburi ya sifa.
Wazo Kuu
Mungu anavyotumia waovu kuadhibu watu wake wanapotenda uovu kwa nia ya kuwarudisha ili wamrudie,
lakini hao waovu wakiisha kutimiza kusudi la Mungu, wao huadhibiwa zaidi. Yuda walitenda dhambi ikiwa ni
pamoja na kuabudu sanamu, lakini Mungu anatumia Wakaldayo walio waovu zaidi kuwaadhibu na hatimaye
Mungu anawaadhibu Wakaldayo. Ilimshangaza Habakuki kuona waovu wakistawi huku wakiendelea kutenda
dhambi nyingi wala Mungu hawaadhibu upesi! Habakuki anaelezea imani yake katika mamlaka ya Mungu na
katika uhakika kwamba Mungu ana haki katika njia Zake zote. Ufunuo wa Mungu kwa wenye haki na nia Yake ya
kuiangamiza Babeli iliyokuwa ovu iliamsha wimbo wa sifa wa kinabii na ahadi kuhusuwokovu katika Sayuni (3:1-
19)
Kusudi
Kuonyesha kwamba bado Mungu anaitawala dunia hata kama tunaona kwamba uovu unashamiri na ya
kwamba iko siku Mungu atauhukumu na kuadhibu huo uovu hatimye kuuangamiza kabisa usiwepo tena.
Mwandishi
Habakuki
Mahali
Yuda
Wahusika Wakuu
Habakuki, Wababeli.
Tarehe
Kitabu hiki hakikuwekewa tarehe, lakini bila shaka kilikuwa kipindi cha Wakaldayo. 1.Hekalu bado limesimama
(2 :20) na huduma ya uimbaji inafanyika (3 :19), 2. Kuinuka kwa Wakaldayo kuwa dola inayotisha miongoni mwa
mataifa kunatokea wakati wa kizazi hicho (1 :5,6) na kuchinjwa kwa mataifa na Wakaldayo tayari kulishaanza
(1 :6,7).Wakaldayo walijulikana na Wayahudi muda mrefu kwa kuyashinda mataifa mengine hadi kuongoza
katika dola za ulimwengu wakati wa kuanguka kwa Ninawi 612 K.K. au 606 K.K. na kwa ushindi wao juu ya
Wamisri huko Kerkemishi mwaka 605 K.K.
Mgawanyo
• Swali la Habakuki na jibu la Mungu. (1 :1-11)
• Swali la pili la Habakuki na jibu la Mungu. (1 :12-2 :20)
• Maombi ya Habakuki. (3 :1-19)
1
HABAKUKI
Neno alilopokea nabii Habakuki. watu wenye hatia, ambao nguvu zao
1 ndio mungu wao.”
Lalamiko La Habakuki
2Ee BWANA, hata lini nitakuomba msaada, Lalamiko La Pili La Habakuki
12Ee BWANA, je, wewe sio wa tangu
lakini wewe husikilizi?
Au kukulilia, “Udhalimu!’’ milele?
Lakini hutaki kuokoa? Mungu wangu, Mtakatifu wangu,
3Kwa nini unanifanya nitazame dhuluma? hatutakufa.
Kwa nini unavumilia makosa? Ee BWANA, umewachagua wao ili
Uharibifu na udhalimu viko mbele yangu, watekeleze hukumu,
kuna mabishano na mapambano kwa Ee Mwamba, umewaamuru watuadhibu.
13Macho yako ni safi mno hata yasiweze
wingi.
4Kwa hiyo sheria imepotoshwa, kutazama uovu,
nayo haki haipo kabisa. wala huwezi kuvumilia makosa.
Waovu wanawazunguka wenye haki, kwa nini basi unawavumilia wadanganyifu?
kwa hiyo haki imepotoshwa. Kwa nini unakuwa kimya wakati
waovu wakiwameza wale wenye haki
Jibu La BWANA kuliko wao wenyewe?
5‘‘Yatazame mataifa, uangalie na 14Umewafanya watu kama samaki baharini,
8Ee BWANA, uliikasirikia mito? (Kwa kiongozi wa uimbaji kwa vinanda vyangu
Je ghadhabu yako ilikuwa dhidi ya vijito? vya nyuzi.)
Je ulighadhibikia bahari ulipoendesha farasi
wako na magari yako ya ushindi?
9Uliufunua upinde wako na kuita mishale mingi.
chake
wakati mashujaa wake walipofurika nje kwa
kishindo kututawanya,
wakifurahi kama waliokaribu kutafuna wale
wanyonge waliokuwa mafichoni.
15Ulikanyaga bahari kwa farasi wako,
16Nilisikia
na moyo wangu ukagonga kwa nguvu,
midomo yangu ikatetemeka kwa hofu
niliposikia sauti,
uchakavu ukanyemelea mifupa yangu,
na miguu yangu ikatetemeka.
Hata hivyo nitasubiri kwa uvumilivu siku ya
maafa kuyajilia mataifa yaliyotuvamia.
17Ingawa mtini hauchanui maua na hakuna
Wazo Kuu
Dhambi ambazo Sefania anazitaja juu ya Yuda na Yerusalemu zinaonyesha alizitabiri kabla ya uamsho wa
matengenezo ya Yosia, wakati ambapo dhambi za waliomtangulia kutawala , yaani, Manse na Amoni, zilikuwa
zinaendelea kutendwa katika jamii hiyo. Uamsho huo wa matengenezo haukutokea hadi mwaka wa 12 wa kutawala
kwake Yosia ( 627 K.K.) ndipo mfalme alipotuma jeshi kwenda kulipatiliza taifa kwa ajili ya ibada ya sanamu na
kurejeshwa tena kwa ibada ya kumwabudu Mungu wa kweli, yaani, Yehova. Baadaye Mika naye akaamuru kujengwa
tena kwa hekalu la Solomoni na kulitakasa kipindi nakala ya Sheria ya Bwana ilipogunduliwa (ling.2wafalme 22:1-10).
Kwa hiyo Sefania akatabiri kwamba mataifa yaliyokuwa jirani na Yuda yangeangamizwa pia. Aliwapa watu matumaini
kwamba Mungu angewarudisha watu wake nyumbani.
Dhumuni
Kuwaonya watu wa Yuda waepukane na kutosheka na maisha, waache kuabudu sanamu na wamrudie Mungu wao
(YEHOVA).
Mambo Muhimu
Mfalme Yosia wa Yuda alikuwa anajaribu kurekebisha hali ya uovu iliyosababishwa na tawala za wafalme wawili
(Manase na Amoni) waliomtangulia katika Yuda. Yosia aliweza kupanua himaya yake kwa sababu kwa wakati wake
hakukuwa na taifa jingine ambalo lilikuwa na nguvu.zaidi kwa maana nguvu za Ashuru zilikuwa zinafifia kwa kasi.
Mwandishi
Sefania
Mahali
Yerusalemu
Tarehe
Maelezo ya Sefania kuhusu kudidimia kiroho na kimaadili kwa Yuda inawezekana yaliandikwa mwaka 630 K.K.,
lakini kuna uwezekano kkwamba mahubiri ya kinabii yalimgusa sana mfalme na kusababisha mageuzi ya kiroho
aliyoyafanya. Tarehe hii ya 630K.K. inazidi kuthibitishwa na ukweli kwamba Sefania hakutaja habari za
Babeliiliyokuwa dola inayotambuliwa kimataifa.Babeli iliinuka mnamo mwaka 625 K.K. wakati Napolasa alipotwaa
madaraka. Hata hivyo Sefania anatabiri juu ya kuharibiwa kwa Ashuru, jambo ambalo lilitokea mwaka 612 K.K.,
Ninawi ilipoanguka. Sefania aliishi wakati mmoja na Yeremia lakini wakati huo Yeremia alikuwa mdogo kwa Sefania.
Mgawanyo
• Kutangazwa kwa hukumu ya Mungu. (1:1-2:3)
• Hukumu dhidi ya mataifa. (2:4-15)
• Maisha ya baadaye ya Yerusalemu. (3:1-20)
1
SEFANIA
Neno la BWANA ambalo lilimjia Sefania na mshindo mkubwa kutoka vilimani.
1 mwana wa Kushi, mwana wa Gedalia, 11Ombolezeni, ninyi mnaoishi katika eneo la
mwana wa Amaria, mwana wa Hezekia, wakati wa sokoni,
utawala wa Yosia mwana wa Amoni mfalme wa wafanyabiashara wenu wote wataangamizwa,
Yuda: wote ambao wanafanya biashara ya fedha
wataangamizwa.
Onyo la Maangamizi Yanayokuja
2BWANA asema, 12Wakati huo nitasaka katika mji wa Yerusalemu
‘‘Nitafagia kila kitu kutoka kwenye uso wa kwa taa
dunia.’’ na kuwaadhibu wale ambao wanakaa
3“Nitafagilia mbali watu na wanyama, katika hali ya kuridhika,
nitafagilia mbali ndege wa angani na samaki ambao ni kama divai iliyobaki kwenye
wa baharini. machicha,
Wafanyao waovu wajikwae, ambao hudhani, ‘BWANA hatafanya lo
pamoja na hao waovu, lote, jema au baya.’
13Utajiri wao utatekwa nyara,
nami nitamkatilia mbali mwanadamu atoke
katika dunia,’’ nyumba zao zitabomolewa.
asema BWANA. Watajenga nyumba, lakini hawataishi ndani
yake,
Dhidi ya Yuda watapanda mizabibu lakini
4“Nitaiadhibu Yuda na wote wakaao hawatakunywa divai yake.
Yerusalemu.
Kutoka mahali hapa nitakatilia mbali kila Siku Kubwa Ya BWANA
14‘‘Siku kubwa ya BWANA iko karibu,
mabaki ya Baali,
majina ya wapagani na makuhani waabuduo iko karibu na inakuja haraka.
sanamu, Sikilizeni! Kilio katika siku ya BWANA
5wale ambao husujudu juu ya mapaa kitakuwa kichungu,
kuabudu jeshi la vitu vya angani, hata shujaa atapiga kelele.
15Siku ile ni siku ya ghadhabu,
wale ambao husujudu na kuapa kwa BWANA
siku ya fadhaa na dhiki,
na ambao pia huapa kwa Malkamu, siku ya uharibifu na ukiwa,
6wale ambao wanaacha kumfuata BWANA siku ya giza na utusitusi,
wala hawamtafuti BWANA wala kutaka siku ya mawingu na giza nene,
16siku ya tarumbeta na mlio wa vita
shauri lake.
7Nyamazeni mbele za BWANA Mwenyezi, dhidi ya miji yenye ngome
kwa maana siku ya BWANA iko karibu. na dhidi ya minara mirefu.
17Nitawaletea watu dhiki
BWANA ameandaa dhabihu,
amewaweka wakfu wale aliowaalika. nao watatembea kama wasio na macho,
8Katika siku ya dhabihu ya BWANA kwa sababu wametenda dhambi dhidi ya
nitawaadhibu wakuu na wana wa mfalme BWANA.
na wale wote wanaovaa nguo za kigeni. Damu yao itamwagwa kama vumbi na
9Katika siku hiyo nitaadhibu wote matumbo yao kama taka.
18Fedha yao wala dhahabu yao haitaweza
ambao hukwepa kukanyaga kizingiti,
ambao hujaza hekalu la miungu yao kuwaokoa katika siku hiyo ya ghadhabu
kwa jeuri na udanganyifu. ya BWANA.
Katika moto wa wivu wake
10BWANA asema, dunia yote itateketezwa,
‘‘Katika siku hiyo kilio kitapanda juu kwa maana ataleta mwisho wa wote
kutoka lango la Samaki, wanaoishi katika dunia ghafula.’’
maombolezo kutoka mtaa wa pili,
2
SEFANIA
2 Kusanyikeni pamoja, kusanyikeni pamoja,
enyi taifa lisilo na aibu,
mahali pa magugu na mashimo ya chumvi,
nchi ya ukiwa milele.
2kabla ya wakati ulioamuriwa haujafika Mabaki ya watu wangu watawateka nyara,
na siku ile inayopeperusha kama makapi, mabaki ya taifa langu watarithi nchi yao.’’
kabla hasira kali ya BWANA haijaja juu
yenu, 10Hiki ndicho watarudishiwa kwa ajili ya kiburi
kabla siku ya ghadhabu ya BWANA chao,
haijaja juu yenu. kwa kutukana na kudhihaki watu wa
3Mtafuteni BWANA, BWANA Mwenye Nguvu zote.
enyi nyote wanyenyekevu wa nchi.
Ninyi ambao hufanya lile analoamuru. 11BWANA atakuwa wa kutisha kwao
Tafuteni haki, wakati atakapoangamiza miungu yote ya
tafuteni unyenyekevu, nchi.
labda mtahifadhiwa siku ya hasira ya Mataifa katika kila pwani yatamwabudu,
BWANA. kila moja katika nchi yake lenyewe.
3
9Hakika, kama niishivyo,” Ole wa mji wa wadhalimu,
asema BWANA Mwenye Nguvu zote, waasi na waliotiwa unajisi!
Mungu wa Israeli, 2Hautii mtu yeyote,
kwamba wote waweze kuliitia jina la BWANA wakati huo nitawaleta nyumbani.
na kumtumikia kwa pamoja. Miongoni mwa mataifa yote ya dunia
10Kutoka ng'ambo ya mito ya Kushi wakati nitakapowarudishia mateka yenu
watu wangu wanaoniabudu, watu wangu mbele ya macho yenu hasa,’’
waliotawanyika, asema BWANA.
wataniletea sadaka.
11Siku hiyo hutaaibishwa kwa ajili ya makosa yote
ulionitendea,
kwa sababu nitawaondoa kutoka mji huu
4
SEFANIA
5
HAGAI
Utangulizi
Hagai ni moja ya vitabu vitatu vya kinabii vya Agano la Kale vilivyoandikwa baada ya uhamisho ambavyo ni
Hagai, Zekaria na Malaki. Hagai anatajwa kwa jina mara mbili katika kitabu cha Ezra (Ezr 5:1,6:14) na “mjumbe wa
Bwana” (1: 13). Inawezekana alikuwa mmoja wa wale waliorudi kutoka uhamishoni waliorudi Yerusalemu, walioweza
kulikumbuka hekalu la Solomoni lilivyokuwa kabla halijaharibiwa na majeshi ya Nebukadneza mwaka 586 K.K. (2:3).
Hagai na Zekaria ndio waliowatia moyo wale watu waliorudi kutoka uhamishoni kujenga upya hekalu.
Ilikuwa ni mnamo mwaka 538 K.K., miaka kumi na minane ilikuwa imepita tangu Dario alipopitisha amri kuwaruhusu
Wayahudi kurudi Yerusalemu kutoka uhamishoni. Watu walikuwa bado wanashughulika kujenga nyumba zao, hivyo
ujenzi wa hekalu la Mungu ulikuwa bado haujakamilika.
Kundi la kwanza la Wayahudi lililorudi Yerusalemu liliweka msingi wa hekalu jipya.mnamo mwaka 536
K.K.wakiwa na furaha na matumaini makubwa (Ezr 3:8-10).Hata hivyo Wasamaria na majirani wengine walipinga
ujenzi huo kwa nguvu nyingi na kuwakatisha tamaa wafanya kazi hata ikafanya ujenzi huo usimame mwaka 534
K.K..Watu waliacha ujenzi wa hekalu, wakageukia ujenzi wa nyumba zao wenyewe. Ujumbe wa Hagai ulikuwa
kwamba ni wakati wa kujenga nyumba ya Mungu. Hagai akiwa amefuatana na Zekaria (taz.utangulizi wa kitabu cha
Zekaria), yeye alianza kumhimiza Zerubabeli na watu wote kuanza tena kujenga nyumba ya BWANA. Chini ya
uongozi wa Zerubabeli mtawala na Yoshua kuhani mkuu na kule kuhimiza kwa Nabii Hagai hekalu lilijengwa mnamo
520 K.K. Miaka minane baadaye hekalu lilimalizika kujengwa na kuwekwa wakfu (ling.Ezr 4-6).
Wazo Kuu
Hagai aliwaambia watu kwamba utukufu wa hekalu walilokuwa wanajenga ungekuwa mkubwa kuliko ule wa
hekalu lililotangulia, ingawaje halingekuwa imara kama la kwanza. Hili hekalu lingekuwa bora zaidi kwa sababu
Mungu angelijaza utukufu Wake ndani yake.
Kusudi
Kuwahimiza watu kujenga upya hekalu la BWANA na kuwahamasiaha kuyatengeneza maisha yao upya na
Mungu ili waweze kupata baraka Zake.
Mambo Muhimu
Hekalu la Yerusalemu lilibomolewa mnamo mwaka 586 K.K. Mwaka wa 538 K.K, Mfalme Koreshi wa Uajemi
alitoa amri Wayahudi warudi ili kujenga upya mji wa Yerusalemu na hekalu.Mwaka 536 K.K.walianza kujenga hekalu
lakini ilikuwa vigumu kumalizia kutokana na upinzani waliokutana nao kutoka kwa Wasamaria na mataifa ya jirani.
Kupitia huduma ya Hagai Zekaria na Yoshua, mwaka 520 K.K., walianza kujenga tena hekalu.Miaka minane
baadaye kazi hiyo ya ujenzi wa hekalu ilimalizika.
Mwandishi
Hagai
Mahali
Yerusalemu.
Tarehe
Tarehe ya kuandikwa kwa kitabu kwa hiki ni ya uhakika , yaani, mwaka wa pili wa Mfalme Dario wa Uajemi
(mwaka 520 K.K. (1:1).Mpangilio wa kihistoria ni wa muhimu sana ili kuuelewa ujumbe wa kitabu hiki. Mnamo mwaka
538 K.K., Mfalme Koreshi wa Uajemi alitoa amri ikiwaruhusu Wayahudi waaliokuwa uhamishoni kurudi nchini mwao
ili kuujenga upya Yerusalemu na hekalu katika kutimiza unabii wa Isaya na wa Yeremia (Isa45:1,3; Yer 25:11-12;
29:10-14) na maombezi ya Danieli (Dan 9).
Wahusika Wakuu
Hagai, Zerubabel, Yoshua.
Mgawanyo
• Wito wa kujenga hekalu. (1:1-15)
• Matumaini ya hekalu jipya. (2:1-9)
• Baraka zilizoahidiwa. (2:10-19)
• Ushindi wa mwisho wa Mungu. (2:20-23)
1
HAGAI
Wito wa kuijenga Nyumba ya BWANA Walikuja wakaanza kufanya kazi katika nyumba
Katika mwaka wa pili wa utawala wa ya BWANA Mwenyezi, Mungu wao, 15katika siku
1 mfalme Dario wa Uajemi, katika siku ya ya ishirini na nne mwezi wa sita katika mwaka
kwanza ya mwezi wa sita, neno la BWANA wa pili wa Mfalme Dario.
lilikuja kupitia kwa nabii Hagai kwenda kwa
Zerubabeli mwana wa Shealtieli, mtawala wa Utukufu Ulioahidiwa wa Nyumba Mpya
Yuda na kwa kuhani mkuu Yoshua mwana wa
Yehosadiki:
2Hivi ndivyo asemavyo BWANA Mwenyezi:
2 Katika siku ya ishirini na moja ya mwezi wa
saba, neno la BWANA lilikuja kupitia nabii
Hagai, kusema, 2‘‘Sema na Zerubabeli mwana
“Hawa watu husema, ‘Wakati haujawadia wa wa Shealtieli, mtawala wa Yuda, kuhani mkuu
kujenga nyumba ya BWANA.’ ’’ Yoshua mwana wa Yehosadiki na mabaki ya
3Kisha neno la BWANA likaja kupitia kwa watu. Uwaulize, 3‘Ni nani miongoni mwenu
nabii Hagai: 4“Je, ni wakati wenu ninyi wa kuishi aliyebaki ambaye aliiona hii nyumba katika
katika nyumba zenu zilizojengwa vizuri, wakati utukufu wake wa mwanzo? Sasa inaonekanaje
hii nyumba ikibaki, gofu?’’ kwenu? Je, haionekani kwenu kama si kitu?
5Sasa hili ndilo asemalo BWANA Mwenye 4Lakini sasa uwe imara, Ee Zerubabeli,’ asema
Nguvu: “Zitafakarini vema njia zenu. BWANA. ‘Kuwa imara, Ee Kuhani Mkuu Yoshua
6Mmepanda vingi, lakini mmevuna haba. mwana wa Yehosadiki. Muwe imara, enyi watu
Mnakula wote wa nchi,’ asema BWANA, ‘na mfanye kazi.
lakini hamshibi, mnakunywa, lakini hamtosheki. Kwa kuwa mimi nipo pamoja nanyi,’ asema
Mnavaa nguo, lakini hamsikii joto. Mnapata BWANA Mwenyezi. 5‘Hili ndilo nililoagana nanyi
mishahara, lakini inatoweka kama imewekwa mlipotoka katika nchi ya Misri. Pia Roho yangu
kwenye mfuko uliotoboka toboka.’’ anadumu katikati yenu. Msiogope.’
7Hili ndilo asemalo BWANA Mwenye Nguvu: 6‘‘Hili ndilo asemalo BWANA Mwenyezi,
“Zitafakarini vema njia zenu. 8Pandeni milimani ‘Baada ya muda kidogo kwa mara nyingine
mkalete miti na kujenga nyumba, ili nipate nitazitingisha mbingu na nchi, bahari na nchi
kuifurahia nitukuzwe.’’ 9“Mlitarajia mengi, kavu. 7Nitatikisa mataifa yote, nacho kile
kumbe, yametokea kidogo. Ulichokileta kinachotamaniwa na mataifa yote kitakuja, nami
nyumbani nilikipeperusha. Kwa nini?’’ Asema nitaujaza utukufu katika nyumba hii,’ asema
BWANA Mwenye Nguvu. ‘‘Ni kwa sababu ya BWANA Mwenye Nguvu. 8‘Fedha ni mali yangu
nyumba yangu, inayobaki katika hali ya magofu, na dhahabu ni mali yangu,’ asema BWANA
wakati kila mmoja wenu anajishughulisha na Mwenye Nguvu. 9‘Utukufu wa nyumba hii ya
nyumba yake mwenyewe. 10Kwa hiyo, kwa sasa utakuwa mkubwa kuliko utukufu wa ile
sababu yenu mbingu zimezuia umande wake na nyumba ya mwanzoni,’ asema BWANA Mwenye
ardhi mavuno yake. 11Niliita ukame mashambani Nguvu. ‘Na mahali hapa nitawapa amani,’
na milimani, kwenye nafaka, mvinyo mpya, asema BWANA Mwenye Nguvu.’’
mafuta pamoja na chochote kinachozalishwa na
ardhi, juu ya watu na ng'ombe, pamoja na kazi Baraka kwa watu waliotiwa unajisi.
za mikono yenu.’’ 10Katika siku ya ishirini na nne ya mwezi wa
12Kisha Zerubabeli mwana wa Shealtieli, tisa, katika mwaka wa pili wa kutawala mfalme
Yoshua kuhani mkuu mwana wa Yehosadiki, Dario, neno la BWANA lilikuja kwa nabii Hagai:
pamoja na mabaki yote ya watu wakaitii sauti ya 11Hili ndilo asemalo BWANA Mwenyezi, ‘Ulizeni
BWANA Mungu wao pamoja na ujumbe wa nabii makuhani jinsi sheria inavyosema : 12Kama mtu
Hagai, kwa sababu alikuwa ametumwa na akibeba nyama iliyowekwa wakfu katika pindo la
BWANA Mungu wao. Watu walimwogopa vazi lake, kisha lile pindo likagusa mkate au
BWANA. mchuzi, divai, mafuta au chakula kingine, je, kitu
13Kisha Hagai, mjumbe wa BWANA, hicho kitakuwa kimewekwa wakfu?’
akawapa watu ujumbe huu wa BWANA, ‘‘Mimi Makuhani wakajibu, “La hasha.’’
niko pamoja nanyi,’’ asema BWANA. 14Kwa hiyo 13Kisha Hagai akasema, “Je, kama mtu
BWANA akachochea roho ya Zerubabeli mwana aliyetiwa unajisi kwa kugusa maiti akigusa
wa Shealtieli, mtawala wa Yuda, na roho ya mojawapo ya vitu hivi, kitu hicho kitakuwa
kuhani mkuu Yoshua mwana wa Yehosadiki, kimetiwa unajisi?’’
pamoja na roho ya mabaki yote ya watu. Makuhani wakajibu, “Ndiyo, huwa
2
HAGAI
kimenajisiwa.’’
14Kisha Hagai akasema, “Basi ndivyo Zerubabeli Pete ya Muhuri ya BWANA.
walivyo machoni pangu hawa watu na taifa hili,’’ 20Neno la BWANA likamjia Hagai kwa mara
asema BWANA. ‘Lo lote wafanyalo na cho chote ya pili katika siku ya ishirini na nne ya mwezi
watoacho hapo ni najisi. kusema, 21“Mwambie Zerubabeli mtawala wa
15“ ‘Sasa fikirini kwa uangalifu kuanzia leo Yuda kwamba nitazitikisa mbingu na nchi.
na kuendelea, pia tafakarini jinsi mambo 22Nitapindua viti vya enzi vya kifalme na
yalivyokuwa kabla halijawekwa jiwe moja juu ya kuziharibu kabisa nguvu za falme za kigeni.
lingine katika hekalu la BWANA. 16Wakati mtu Nitapindua magari ya vita pamoja na
alipoendea lundo la nafaka la vipimo ishirini, waendeshaji wake, farasi na wapanda farasi
kulikuwa na vipimo kumi tu. Wakati mtu wataanguka, kila mmoja kwa upanga wa ndugu
alipoendea pipa la mvinyo ili kuchota vipimo yake.
hamsini, kulikuwa na vipimo ishirini tu. 17Kazi 23Katika siku ile, asema BWANA Mwenyezi,
zenu zote za mikono nilizipiga kwa ukame, “Nitakuchukua wewe, mtumishi wangu
ukungu na mvua ya mawe, lakini hata hivyo, Zerubabeli, mwana wa Shealtieli,’ asema
hamkunigeukia mimi,’’ asema BWANA. BWANA. “Nitakufanya kama pete yangu ya
18Kuanzia leo na kuendelea, kuanzia siku hii ya muhuri, kwa kuwa nimekuchagua,” asema
ishirini na nne ya mwezi wa tisa, tafakarini siku BWANA Mwenyezi.
ambayo msingi wa hekalu la BWANA uliwekwa.
Tafakarini. 19Je, bado kuna mbegu iliyobakia
ghalani? Mpaka sasa, hakuna mzabibu au mtini,
mkomamanga wala mzeituni uliozaa tunda.
“ ‘Kuanzia leo na kuendelea nitawabariki.’ ’’
3
ZEKARIA
Utangulizi
Zekaria alianza huduma yake mnamo mwezi wa nane wa mwaka wa pili wa Dario (520 K.K.), miezi miwili
baada ya ujumbe wa kwanza wa Hagai. Maana ya jina Zekaria ni “BWANA amekumbuka.” Haijulikani kwa
uhakika Zekaria aliendelea kufanya huduma hiyo kwa muda gani.Kwa kadiri ionekanavyo alikuwa kijana (2:4)
wakati alipoanza huduma yake. Ido, ambaye ni babu yake (Zek 1:1) alikuwa miongoni mwa wale waliorudi kutoka
uhamishoni mwaka 538 K.K.
Katika ujumbe wake wa kwanza (1:1-6) Zekaria anawaonya watu ambao ndio kwanza tu walikuwa
wameanza kujenga upya hekalu kwamba inawapasa kusikiliza ujumbe wa Mungu kupitia manabii na kudumisha
uhusiano wa muhimu na Mungu, wasije wakaharakisha hukumu ya Mungu. Mfululizo wa maono ya usiku (1:7-
6:8) yanatia moyo wajenzi ule wakati mgumu katika hatua ya kukata tamaa.Ule utaratibu wa ujenzi ulikuwa
umesababisha maafisa wa Kiajemi kufanya uchunguzi na kuandika taarifa ya malalamiko kwa Dario (Ezr 5-6).
Huenda Wayahudi walikuwa wakingojea hukumu ya Dario wakati Zekaria akitoa ujumbe wake uliowekewa msingi
katika haya maono ya usiku. Mtazamo wa jumla wa mfululizo wa maono haya manane yanawahakikishia wajenzi
kwamba Mungu anao mpango wa muda mrefu kwa ajili ya Israeli.
Miaka miwili baadaye, (518 K.K.) suala la kutia katika matendo kutii kufunga liliibuka (7:1-8:23). Zekaria kwa
mara nyingine anaangaliza watu kwamba njia ya kudumisha uhusiano sahihi na Mungu ni utii. Kule kufunga ili tu
kwamba mtu amefunga ni ubatili.Utaratibu wa kushika sheria kamwe hauwezi kutumika kama njia mbadala ya
kuonyesha upendo wa Mungu katika maisha ya kila siku. Sehemu ya mwisho ya ujumbe wa Zekaria (9-14)
haukuonyeshwa tarehe. Uwezekano mkubwa ni kwamba ulitolewa baadaye, huenda mnamo mwaka 480 K.K.
Hapa mkazo uko katika mpango wa maendeleo wa muda mrefu ukionyesha kusimamishwa kwa ufalme wa
mwisho. Mfalme anatambulishwa kama anayekuja kwa tabia ya unyenyekevu akileta wokovu lakini akikataliwa na
watu wake mwenyewe, yaani, Waisraeli, ambao baadaye wanaachwa kwenye hukumu ya mataifa. Mataifa
yatakapokusanyika kwa ajili ya vita dhidi ya Yerusalemu, Waisreli watamtambua Yeye “Yule waliomchoma mkuki”
(Zek.12:10) na wataibuka na ushindi. Ndipo mataifa yote yatakuja Yerusalemu kumwabudu Mfalme, Bwana wa
Majeshi.
Wazo Kuu
Zekaria anaonyesha kwamba Mungu ana mpango wa muda mrefu na Israeli, hivyo anaita mwito wa
utii.Anaonyesha jinsi ambavyo watu wanaweza kufanya mambo “ Si kwa nguvu wala kwa uwezo bali kwa Roho
Yangu ”asema.( 4:6).. Kuwapa watu wa Mungu matumaini kwa kuwajulisha watu mpango wa Mungu wa baadaye
wa ukombozi kupitia kwa Masiya.
.
Mambo Muhimu
Huu ujumbe wa mwanzoni unafuatiliwa na maono ambayo yaliwatia moyo wajenzi ambao Zekaria aliwatia
moyo kwa kuwaambia kwamba Mungu alikuwa na mpango mrefu kwa ajili ya Israeli.
Katika sura ya 7 na 8 Zekaria aliwataka watu wamtii Mungu, hii ikiwa ni njia ya kila mtu kumjali na kumhurumia
mwenzake. Mungu alitaka utii kwao katika kuhusiana naye.
Sura ya 9 mpaka 14 inazungumzia habari za miezi inayokuja, hukumu ya mwisho na kukua kwa muda mrefu
kwa ufalme wa mwisho.
Mwandishi
Zekaria
Mahali
Yerusalemu
Tarehe
520-470 K.K.
Wahusika
Hagai, Zerubabeli, Yoshua na waliorudi kutoka uhamishoni.
.
Mgawanyo
• Wito wa kuwa watiifu. (1:1-6)
• Maono. (1:7-6:15)
• Hukumu dhidi ya maadui wa Israeli. (9:1-8)
1
ZEKARIA
Wito Wa Kumrudia BWANA ndivyo BWANA Mwenye Nguvu asemavyo:
Katika mwezi wa nane wa mwaka wa pili ‘Geukeni, mziache njia zenu mbaya na matendo
1 wa utawala wa mfalme Dario, neno la yenu maovu.’ Lakini hawakunisikiliza wala
BWANA lilimjia nabii Zekaria mwana wa kufuata maelekezo yangu, asema BWANA.
Berekia, mwana wa Iddo, kusema: 5Wako wapi baba zako sasa? Nao manabii, je,
2“BWANA aliwakasirikia sana baba zako wa wanaishi milele? 6Je, maneno yangu na amri
zamani. 3Kwa hiyo waambie watu: Hivi ndivyo zangu nilizowaagiza manabii watumishi wangu,
BWANA Mwenye Nguvu asemavyo: ‘Nirudieni hayakuwapata baba zenu?’’
mimi,’ asema BWANA Mwenye Nguvu, ‘Nami “Kisha walitubu na kusema, ‘BWANA
nitawarudia ninyi,’ asema BWANA Mwenye Mwenye Nguvu ametutenda sawasawa na njia
Nguvu. 4Msiwe kama baba zenu, ambao zetu na matendo yetu yalivyostahili, kama
manabii waliotangulia waliwatangazia: Hivi alivyokusudia kufanya.’ ’’
‘Nitairudia Yerusalemu kwa rehema na huko
Maono Ya Kwanza: nyumba yangu itajengwa tena. Nayo kamba ya
Mtu Katikati Ya Miti Ya Mihadasi kupimia itanyooshwa Yerusalemu,’ asema
7Katika siku ya ishirini na nne ya mwezi wa BWANA Mwenye Nguvu.
kumi na moja,yaani mwezi uitwao Shebati, 17“Endelea kutangaza zaidi kwamba: Hivi
katika mwaka wa pili wa kutawala kwake mfalme ndivyo asemavyo BWANA Mwenye Nguvu: ‘Miji
Dario, neno la BWANA lilimjia nabii Zekaria yangu itafurika tena usitawi na BWANA
mwana wa Berekia mwana wa Iddo. atamfariji tena Sayuni na kumchagua
8Wakati wa usiku nilipata maono, mbele Yerusalemu.’ ’’
yangu alikuwepo mtu akiendesha farasi
mwekundu! Alikuwa amesimama katikati ya miti Maono Ya Pili:
ya mihadasi kwenye bonde. Nyuma yake Pembe Nne Na Mafundi Wanne
walikuwepo farasi wekundu, wa kikahawia na 18Kisha nikatazama juu, na pale mbele
yanayojisikia kuwa yako salama. Nilikuwa nami akaondoka, malaika mwingine akaja
nimewakasirikia Israeli kidogo tu, lakini mataifa kukutana naye 4na kumwambia: “Kimbia,
hayo yaliwazidishia maafa.’ umwambie yule kijana, ‘Yerusalemu utakuwa mji
16‘‘Kwa hiyo, hivi ndivyo asemavyo BWANA: usio na kuta kwa sababu ya wingi wa watu na
2
ZEKARIA
mifugo iliyomo. 5Mimi mwenyewe nitakuwa 6Malaika wa BWANA akamwamuru Yoshua:
ukuta wa moto kuuzunguka,’ asema BWANA, 7“Hivi ndivyo asemavyo BWANA Mwenye
‘nami nitakuwa utukufu wake ndani yake.’ Nguvu: ‘Ikiwa utakwenda katika njia zangu na
6“Njoni! Njoni! Kimbieni mtoke katika nchi ya kushika masharti yangu, basi utaitawala nyumba
kaskazini,’’ asema BWANA, “Kwa kuwa yangu na kuwa na amri juu ya nyua zangu, nami
nimewatawanya kwenye pande nne za mbingu,’’ nitakupa nafasi miongoni mwa hawa
asema BWANA. wasimamao hapa.
7“Njoo, Ee Sayuni! Kimbia, wewe uishiye 8‘‘ ‘Sikiliza, Ee Yoshua kuhani mkuu, pamoja
ndani ya Binti Babeli!’’ 8Kwa kuwa hivi ndivyo na wenzako walioketi mbele yako, ambao ni
asemavyo BWANA Mwenye Nguvu: “Baada ya watu ishara ya mambo yatakayokuja:
yeye kuniheshimu na kunituma mimi dhidi ya Ninakwenda kumleta mtumishi wangu, Tawi.
mataifa yaliyokuteka wewe nyara, kwa kuwa ye 9Tazama, jiwe nililoliweka mbele ya Yoshua!
yote awagusaye ninyi, anaigusa mboni ya jicho Kuna macho saba juu ya jiwe lile moja, nami
lake, 9hakika nitauinua mkono wangu dhidi yao nitachora maandishi juu yake,’ asema BWANA
ili watumwa wao wawateke nyara. Ndipo Mwenye Nguvu, ‘nami nitaiondoa dhambi ya
mtakapojua ya kwamba BWANA Mwenye nchi hii kwa siku moja.
Nguvu amenituma. 10“ ‘Katika siku hiyo kila mmoja wenu
10“Piga kelele na ufurahie, Ee Binti Sayuni, atamwalika jirani yake akae chini ya mzabibu
kwa maana ninakuja, nami nitaishi miongoni wake na mtini wake,’ asema BWANA Mwenye
mwenu,’’ asema BWANA. 11“Mataifa mengi Nguvu.’
yataunganishwa na BWANA siku hiyo, nao
watakuwa watu wangu. Nitaishi miongoni Maono Ya Tano:
mwenu nanyi mtajua kwamba BWANA Mwenye Kinara Cha Taa Cha Dhahabu Na Mizeituni
Nguvu amenituma kwenu. 12BWANA atairithi Miwili
Yuda kama fungu lake katika nchi takatifu na
atachagua tena Yerusalemu. 13Tulieni mbele za 4 Kisha malaika aliyezungumza nami
akarudi na kuniamsha, kama mtu
BWANA, enyi watu wote, kwa sababu ameinuka aamshwavyo kutoka katika usingizi wake.
kutoka makao yake matakatifu.” 2Akaniuliza, “Unaona nini?’’
kichwani mwake.’’ Kwa hiyo wakamvika kilemba ya Zerubabeli iliweka msingi wa hekalu hili,
safi kichwani na kumvika yale mavazi mengine, mikono yake pia italimalizia. Kisha mtajua ya
wakati malaika wa BWANA akiwa amesimama kuwa BWANA Mwenye Nguvu amenituma mimi
karibu. kwenu.
3
ZEKARIA
10‘‘Ninani anayeidharau siku ya mambo 9Kisha nikatazama juu na mbele yangu,
madogo? Watu watashangilia watakapoona walikuwepo wanawake wawili, wakiwa na upepo
timazi mkononi mwa Zerubabeli. katika mabawa yao! Walikuwa na mabawa kama
“(Hizi saba ni macho ya BWANA ambayo ya korongo, nao wakainua kile kikapu na kuruka
huzunguka duniani kote.)’’ nacho kati ya mbingu na nchi.
11Kisha nikamwuliza yule malaika, “Hii 10Nikamwuliza yule malaika aliyekuwa
mizeituni miwili iliyoko upande wa kuume na wa akizungumza nami, ‘‘Wanakipeleka wapi hicho
kushoto wa kinara cha taa ni nini?” kikapu?’’
12Tena nikamwuliza, “Haya matawi mawili 11Akanijibu, ‘‘Wanakipeleka katika nchi ya
ya mizeituni karibu na hiyo mirija miwili ya Babeli na kujenga nyumba kwa ajili yake.
dhahabu inayomimina mafuta ya dhahabu ni Itakapokuwa tayari, kikapu kitawekwa pale
nini?’’ mahali pake.’’
13Akajibu, “Hujui kuwa haya ni nini?’’
6
14Kwa hiyo akasema, “Hawa ni wawili Nikatazama juu tena, nikaona mbele yangu
ambao wamepakwa mafuta ili kumtumikia magari manne ya vita yakija kutoka kati ya
Bwana wa dunia yote.’’ milima miwili, milima ya shaba! 2Gari la kwanza
lilivutwa na farasi wekundu, la pili lilivutwa na
Maono Ya Sita: Gombo Linaloruka farasi weusi, 3la tatu lilivutwa na farasi weupe na
hiyo laana, nayo itaingia katika nyumba ya mwizi wakitoka, walikuwa wakijitahidi kwenda duniani
na nyumba ya huyo aapaye kwa uongo kwa jina kote. Akasema, ‘‘Nenda duniani kote!’’ kwa hiyo
langu. Itabaki katika nyumba yake na kuiharibu, wakaenda duniani kote.
pamoja na mbao zake na mawe yake.’ ’’ 8Kisha akaniita, “Tazama, wale
wanaokwenda kuelekea nchi ya kaskazini
Maono Ya Saba: Mwanamke Ndani Ya Kikapu wamepumzisha Roho yangu katika nchi ya
5Kisha yule malaika aliyekuwa akizungumza kaskazini.’’
nami akanijia na kuniambia, “Tazama juu uone
ni nini kile kinachojitokeza.’’ Taji Kwa Ajili Ya Yoshua.
6Nikamwuliza, “Ni kitu gani?’’ Akanijibu, ‘‘Ni 9Neno la BWANA likanijia kusema:
kikapu cha kupimia.’’ Kisha akaongeza kusema, 10‘‘Chukua fedha na dhahabu kutoka kwa watu
‘‘Huu ni uovu wa watu katika nchi nzima.’’ waliohamishwa yaani Heldai, Tobia na Yedaya
7Kisha kifuniko kilichotengenezwa kwa ambao wamefika kutoka Babeli. Siku iyo hiyo
madini ya risasi kilichokuwa kimefunika kile nenda nyumbani kwa Yosia mwana wa Sefania.
kikapu, kiliinuliwa na ndani ya kile kikapu 11Chukua fedha na dhahabu utengeneze taji,
alikuweko mwanamke ameketi! 8Akasema, ‘‘Huu nawe uiweke kichwani mwa kuhani mkuu
ni uovu,’’ akamsukumia ndani ya kikapu na Yoshua, mwana wa Yehosadiki. 12Umwambie,
kushindilia kifuniko juu ya mdomo wa kikapu. hili ndilo asemalo BWANA Mwenye Nguvu:
‘Huyu ndiye mtu ambaye jina lake ni Tawi, naye
atachipua kutoka mahali pake na kujenga
a2 ‘‘dhiraa ishirini’’ ni sawa na mita 9. hekalu la BWANA. 13Ni yeye atakayejenga
b2 ‘‘dhiraa kumi’’ ni sawa na mita 4.5 hekalu la BWANA, naye atavikwa utukufu na
4
ZEKARIA
ataketi kumiliki katika kiti cha enzi naye atakuwa walikuwa wageni. Nchi ikaachwa ukiwa nyuma
kuhani katika kiti chake cha enzi. Hapo yao kiasi kwamba hakuna aliyeweza kuingia au
patakuwa amani kati ya hao wawili.’ 14Taji kutoka. Hivi ndivyo walivyoifanya ile nchi
itatolewa kwa Heldai, Tobia, Yedaya na Heni iliyokuwa imependeza kuwa ukiwa.’ ’’
mwana wa Sefania kama kumbukumbu ndani ya
hekalu la BWANA. 15Wale walio mbali sana BWANA Anaahidi Kuibariki
watakuja na kusaidia kulijenga hekalu la Yerusalemu
BWANA, nanyi mtajua ya kwamba BWANA
Mwenye Nguvu amenituma kwenu. Hili litatokea 8 Neno la BWANA Mwenye Nguvu likanijia
tena. 2Hili ndilo asemalo BWANA Mwenye
ikiwa mtamtii BWANA, Mungu wenu kwa bidii.’’ Nguvu: “Nina wivu sana kwa ajili ya Sayuni,
ninawaka wivu kwa ajili yake.”
Haki Na Rehema, Sio Kufunga 3Hiii ndilo asemalo BWANA: “Nitarudi
kumsihi BWANA 3kwa kuwauliza makuhani wa “Kwa mara nyingine tena wazee wanaume kwa
nyumba ya BWANA Mwenye Nguvu na manabii, wanawake walioshiba umri wataketi katika
“Je, imempasa kuomboleza na kufunga katika barabara za Yerusalemu, kila mmoja akiwa na
mwezi wa tano, kama ambavyo nimekuwa mkongojo wake mkononi kwa sababu ya umri
nikifanya kwa miaka mingi?” wake. 5Barabara za mji zitajaa wavulana na
4Kisha neno la BWANA Mwenye Nguvu wasichana wanaocheza humo.’’
likanijia kusema: 5“Waulize watu wote wa nchi 6Hili ndilo asemalo BWANA Mwenye Nguvu:
haya sio maneno ya BWANA aliyosema kupitia “Nitawaokoa watu wangu kutoka nchi za
manabii waliotangulia, wakati Yerusalemu mashariki na magharibi. 8Nitawarudisha waje
pamoja na miji inayoizunguka ilipokuwa katika kuishi Yerusalemu, watakuwa watu wangu nami
hali ya utulivu na ya mafanikio, wakati Negebu nitakuwa mwaminifu na wa haki kwao kama
na Shefala zikiwa zimekaliwa na watu?’ ’’ Mungu wao.’’
8Neno la BWANA likamjia tena Zekaria: 9Hili ndilo asemalo BWANA Mwenye Nguvu:
9“Hivi ndivyo asemavyo BWANA Mwenye “Ninyi ambao sasa mnasikia maneno haya
Nguvu: ‘Fanyeni hukumu za haki, onyesheni yanayozungumzwa na manabii ambao
rehema na huruma ninyi kwa ninyi. walikuwepo wakati wa kuwekwa kwa msingi wa
10Msimwonee mjane wala yatima, mgeni wala nyumba ya BWANA Mwenye Nguvu, mikono
maskini. Msiwaziane mabaya mioyoni mwenu yenu na iwe na nguvu ili hekalu liweze
ninyi kwa ninyi.’ kujengwa. 10Kabla ya wakati huo, hapakuwepo
11“Lakini wakakataa kusikiliza, wakanipa na ujira kwa mtu wala mnyama. Hakuna mtu
kisogo kwa ukaidi na kuziba masikio yao. aliyeweza kufanya shughuli yake kwa usalama
12Wakaifanya mioyo yao migumu kama jiwe kwa sababu ya adui yake, kwa kuwa nilikuwa
gumu na hawakuisikiliza sheria au maneno nimemfanya kila mtu adui wa jirani yake.
ambayo BWANA Mwenye Nguvu aliyatuma kwa 11Lakini sasa sitawatendea mabaki ya watu
njia ya Roho wake kupitia manabii waliotangulia. hawa kama nilivyowatenda zamani,’’ asema
Kwa hiyo BWANA Mwenye Nguvu alikasirika BWANA Mwenye Nguvu.
sana. 12“Mbegu itakua vizuri, mzabibu utazaa
13‘Wakati nilipoita, hawakusikiliza, kwa hiyo matunda yake, ardhi itatoa mazao yake, na
walipoita, sikusikiliza,’ asema BWANA Mwenye mbingu zitadondosha umande wake. Vitu hivi
Nguvu. 14‘Niliwatawanya kwa upepo wa kisulisuli vyote nitawapa mabaki ya watu kama urithi wao.
miongoni mwa mataifa yote, mahali ambapo 13Jinsi mlivyokuwa kitu cha laana katikati ya
5
ZEKARIA
mataifa, Ee Yuda na Israeli, ndivyo naye atateketezwa kwa moto.
nitakavyowaokoa, nanyi mtakuwa baraka. 5Ashkeloni ataona hili na kuogopa,
Msiogope, bali iacheni mikono yenu iwe na Gaza atagaagaa kwa maumivu makali,
nguvu.’’ pia Ekroni, kwa sababu matumaini yake
14Hili ndilo asemalo BWANA Mwenye yatanyauka.
Nguvu: “Kama nilivyokuwa nimekusudia kuleta Gaza atampoteza mfalme wake na
maangamizi juu yenu, wakati baba zenu Ashkeloni
waliponikasirisha na sikuonyesha huruma,’’ ataachwa pweke.
asema BWANA Mwenye Nguvu, 15“Hivyo sasa 6Wageni watakalia mji wa Ashdodi,
nimeazimia kufanya mema tena kwa nami nitakatilia mbali kiburi cha Wafilisti.
Yerusalemu na Yuda. Msiogope. 16Haya ndiyo 7Nitaondoa damu vinywani mwao,
mtakayoyafanya: Semeni kweli kila mtu kwa chakula kile walichokatazwa kati ya meno
mwenzake, mtoe hukumu ya kweli na haki yao.
kwenye mahakama zenu, 17usipange mabaya Mabaki yao yatakuwa mali ya Mungu wetu,
dhidi ya jirani yako, msipende kuapa kwa uongo, nao watakuwa viongozi katika Yuda,
nayachukia yote haya,’’ asema BWANA. naye Ekroni atakuwa kama Wayebusi.
18Neno la BWANA Mwenye Nguvu likanijia 8Lakini nitailinda nyumba yangu dhidi ya majeshi
Nguvu: “Mataifa mengi na wakazi wa miji mingi Kuja Kwa Mfalme Wa Sayuni
watakuja, 21na wenyeji wa mji mmoja 9Shangilia sana, Ee Binti Sayuni!
watakwenda kwenye mji mwingine na kusema, Piga kelele, Binti Yerusalemu!
‘Twende mara moja na tukamsihi BWANA, na Tazama, mfalme wako anakuja kwako,
kumtafuta BWANA Mwenye Nguvu. Mimi ni mwenye haki naye ana wokovu,
mwenyewe ninakwenda.’ 22Pia watu wa kabila mpole naye amepanda punda,
nyingi na mataifa yenye nguvu yatakuja mwana punda, mtoto wa punda.
Yerusalemu kumtafuta BWANA Mwenye Nguvu 10Nitaondoa magari ya vita kutoka Efraimu na
6
ZEKARIA
BWANA Atatokea farasi.
14Kisha BWANA atawatokea,
watajaa kama bakuli linalotumika mioyo yao itafurahi kama kwamba ni kwa
kunyunyizia divai.
kwenye pembe za madhabahu. Watoto wao wataona na kushangilia,
16BWANA Mungu wao atawaokoa siku mioyo yao itafurahi katika BWANA.
hiyo kama kundi la watu wake. 8Nitawapa ishara na kuwakusanya ndani.
10
Mwombe BWANA mvua wakati Wao na watoto wao watasalimika
wa vuli, ni BWANA atengenezaye katika hatari nao watarudi.
mawingu ya tufani. 10Nitawarudisha kutoka Misri
7
ZEKARIA
Wachungaji Wawili Wa Kondoo jicho lake la kuume lipofuke kabisa!”
4Hili ndilo asemalo BWANA Mungu wangu:
kwa kuchinjwa, hasa kundi lililoonewa sana. yatakapokusanyika dhidi yake, nitaufanya
Kisha nikachukua fimbo mbili moja nikaiita Yerusalemu kuwa jabali lisilosogezwa kwa
Fadhili na nyingine Umoja, nami nikalilisha mataifa yote. Wote watakaojaribu kulisogeza
kundi. 8Katika mwezi mmoja nikawaondoa watajiumiza wenyewe. 4Katika siku hiyo
wachungaji watatu. nitampiga kila farasi kwa hofu ya ghafula, naye
Kundi la kondoo likanichukia, nami ampandaye kwa uenda wazimu,’’ asema
nikachoshwa nao 9nikasema, “Sitakuwa BWANA. 5Kisha viongozi wa Yuda watasema
mchungaji wenu. Waache wanaokufa wafe na mioyoni mwao, ‘Watu wa Yerusalemu wana
wanaoangamia waangamie. Wale waliobakia nguvu kwa sababu BWANA Mwenye Nguvu ni
kila mmoja na ale nyama ya mwenzake.’’ Mungu wao.’
10Kisha nikachukua fimbo yangu inayoitwa 6“Katika siku hiyo nitawafanya viongozi wa
Fadhili nikaivunja, kutangua agano nililofanya na Yuda kuwa kama kigae cha moto ndani ya lundo
mataifa yote. 11Likatanguka siku hiyo, kwa hiyo la kuni, kama mwenge uwakao kati ya miganda.
waliodhurika katika kundi waliokuwa Watateketeza kulia na kushoto mataifa yote
wakiniangalia wakajua kuwa hilo lilikuwa neno la yanayowazunguka, lakini Yerusalemu utabaki
BWANA. salama mahali pake.
12Nikawaambia, “Mkiona kuwa ni vema, 7“BWANA atayaokoa makao ya Yuda
nipeni ujira wangu, la sivyo, basi msinipe.’’ Kwa kwanza, ili heshima ya nyumba ya Daudi na
hiyo wakanilipa vipande thelathini vya fedha. wakazi wa Yerusalemu isiwe kubwa zaidi kuliko
13Naye BWANA akaniambia, “Mtupie ile ya Yuda. 8Katika siku hiyo, BWANA
mfinyanzi,’’ hiyo bei nzuri waliyonithaminia! Kwa atawakinga wale waishio Yerusalemu, ili
hiyo nikachukua hivyo vipande thelathini vya kwamba aliye dhaifu kupita wote miongoni
fedha na kumtupia huyo mfinyanzi katika mwao awe kama Daudi, nayo nyumba ya Daudi
nyumba ya BWANA. itakuwa kama Mungu, kama Malaika wa
14Kisha nikaivunja fimbo yangu ya pili BWANA akiwatangulia. Katika siku hiyo nitatoka
iitwayo Umoja, kuvunja udugu kati ya Yuda na kuangamiza mataifa yote yatakayoushambulia
Israeli! Yerusalemu.
15Kisha BWANA akaniambia, “Vitwae tena
vifaa vya mchungaji mpumbavu. 16Kwa maana Kumwombolezea Yule Aliyechomwa Mkuki
ninakwenda kumwinua mchungaji juu ya nchi 10“Nami nitamiminia roho ya neema na
ambaye hatamjali aliyepotea, wala kuwatafuta maombi juu ya nyumba ya Daudi na wakazi wa
wale wachanga au kuwaponya waliojeruhiwa, Yerusalemu. Watanitazama mimi, yule
wala kuwalisha wenye afya, lakini atakula waliyemchoma, nao watamwombolezea kama
nyama ya kondoo wanono na kuzirarua kwato mtu anayemwombolezea mwanawe wa pekee
zao. na kusikitika kwa uchungu kama anayemsikitikia
mzaliwa wake wa kwanza wa kiume. 11Katika
17“Olewa mchungaji asiyefaa, siku hiyo kilio kitakuwa kikubwa Yerusalemu,
anayeliacha kundi! kama kilio cha Hadadrimoni katika tambarare ya
Upanga na uupige mkono wake na jicho Megido. 12Nchi itaomboleza, kila ukoo peke
lake la kuume! yake, nao wake zao peke yao. Ukoo wa nyumba
Mkono wake na unyauke kabisa, ya Daudi na wake zao, ukoo wa nyumba ya
8
ZEKARIA
Nathani na wake zao, 13ukoo wa nyumba ya machoni penu.
Lawi na wake zao, ukoo wa Shimei na wake 2Nitayakusanya mataifa yote huko
zao, 14na koo zote zilizobaki na wake zao. Yerusalemu kupigana dhidi yake, mji utatekwa,
nyumba zitapekuliwa na wanawake
Kutakaswa Dhambi watanajisiwa. Nusu ya mji watakwenda
‘Mimi sio nabii. Mimi ni mkulima, ardhi imekuwa theluji. 7Itakuwa siku ya kipekee, isiyo na
kazi yangu tangu ujana wangu.’ 6Ikiwa mtu mchana wala usiku, siku ijulikanayo na BWANA.
atamwuliza, ‘Majeraha haya yaliyo mwilini Jioni inapofika nuru itakuwepo.
mwako ni ya nini?’ Atajibu, ‘Ni majeraha 8Siku hiyo, maji yaliyo hai yatatiririka kutoka
niliyoyapata katika nyumba ya rafiki zangu. Yerusalemu, nusu kwenda kwenye bahari ya
mashariki na nusu kwenda kwenye bahari ya
Mchungaji Apigwa, Kondoo Watawanyika. magharibi, wakati wa kiangazi na wakati wa
7“Amka, Ee upanga, dhidi ya mchungaji masika.
wangu, 9BWANA atakuwa mfalme juu ya dunia yote.
dhidi ya mtu aliye karibu nami!” Katika siku hiyo atakuwepo BWANA mmoja na
asema BWANA Mwenye Nguvu. jina lake litakuwa jina pekee.
“Mpige mchungaji, 10Nchi yote kuanzia Geba, kaskazini mwa
kuadhimisha Sikukuu ya Vibanda. 17Ikiwa taifa lo kitakuwa kitakatifu kwa BWANA Mwenye Nguvu
lote la dunia hawatakwenda Yerusalemu na wote wanaokuja kutoa dhabihu watachukua
kumwabudu Mfalme, BWANA Mwenye Nguvu, baadhi ya vyungu hivyo na kupikia. Katika siku
hawatapata mvua. 18Ikiwa watu wa Misri nao hiyo hatakuwepo tena mfanyibiashara katika
hawatakwenda kushiriki, hawatapata mvua. nyumba ya BWANA Mwenye Nguvu.
BWANA ataleta juu yao tauni ile ambayo
10
MALAKI
Utangulizi
Malaki aliishi katika nusu ya pili ya karne ya tano Kabla ya Kristo, baada ya ujenzi wa hekalu kumalizika.
Malaki ambalo ni neno la Kiebrania ‘‘Malaki’’ kama lilivyo kwenye Kiswahili, maana yake ‘‘Mjumbe wangu.’’. Jina
hili ni kifupi cha ‘‘ Malakia’’ ambalo maana yake ni ‘‘ Mjumbe wa Bwana‘’ (1:1).Jina hili la kitabu limetumika vivyo
hivyo kwenye maandiko ya Kiebrania na Kiyunani likionyesha kwamba hili likuwa jina la nabii ambaye ujumbe
wake umenukuliwa humu. Hakuna habari nyingine zo zote za kibinafsi zinazofahamika za huyu nabii. Maisha ya
kidini ya Wayahudi yalikuwa mabaya : Walikuwa wamekengeuka, wakawa wameoa wanawake wa mataifa
mengine, wakaacha kutoa zaka (fungu la kumi) na dhabihu ambayo na sehemu ya Mungu, hata wakawa
wamemwacha Mungu, hali ambayo ilifanana sana na ile iliyokuwepo wakati wa Nehemia (444-432 K.K.).
Wazo Kuu
Masikitiko makubwa ya Malaki ni uhusiano kati ya Waisraeli na Mungu haukuwa kama ulivyopaswa uwe.
Walimwacha Mungu na kumdharau, wala hawakumheshimu inavyostahili, wakashindwa kufuata yale Mungu
aliyowaagiza. Matokeo yake hukumu ikawa inawangoja, lakini watu wanaomcha Mungu wamehakikishiwa kuwa
wameandikwa kwenye kitabu cha Mungu, nao watafuhia wokovu wa Mungu milele.
Kusudi
Kuwahimiza watu wafanye mabadiliko thabiti ya kimsingi katika maisha yao, kwa kuwakumbusha upendo wa
Mungu (1:1-5) na pia kwamba adhabu yake iko karibu (2:17; 3:13)
Mambo Muhimu
Kitabu hiki kinaonyesha kuwa:(1)Hekalu lilijengwa tena (516/515 K.K.), dhabihu na sikukuu zilirudishwa.
(2)Ufahamu wa jumla wa sheria ulirudishwa tena na Ezra (kama 457-455 K.K. ; tazama Ezra 7 :10, 14, 25-26) na
(3).Kurudi nyuma kimaadili kulikofuatia kulitokea miongoni mwa makuhani na mwa watu pia (kama mwaka
433K.K.). Kutokana na hali hii hali ya kiroho na upuzi Malaki anaouzungumzia kwa karibu vilifanana sana n aile
hali aliyoikuta Nehemia aliporudi kutoka uhamishoni Uajemi (kama 433-425 K.K.) ili kuwa mtawala wa
Yerusalemu (ling. 13 :4-30).
Mwandishi
Malaki
Mahali
Yerusalemu. Malaki, Hagai na Zekaria walikuwa manabii katika Yuda (Ufalme wa kusini) baada ya watu
kurudi kutoka uhamishoni.. Hagai na Zakaria waliwakemea watu kwa kutokumalizia ujenzi wa hekalu. Malaki
alipambana nao kwa sababu walipuuzia hekalu na kutokumjali Mungu.
Tarehe
Yale yaliyomo kwenye kitabu hiki yanaonyesha kwamba huduma ya Malaki ilikuwa kwenye utendaji mnamo
sehemu ya pili ya karne ya tano Kabla ya Kristo. Hekalu lilikuwa tayari limeshajengwa tena upya. Kutokana na
wakati alioishi Malaki na yale yaliyomo kwenye kitabu hiki, inawezekana kiliandikwa 557- 525 K.K.
Wahusika wakuu
Malaki na makuhani
. Mgawanyo
• Upendo wa Mungu kwa Israeli. (1:1-5)
• Israeli yamtukana Mungu. (1:6-2:16)
• Hukumu ya Mungu na ahadi yake. (2:17-4:6)
1
MALAKI
Ujumbe: Neno la BWANA kwa Israeli mahali uvumba na sadaka safi zitaletwa kwa jina
1 kupitia kwa Malaki. langu, kwa sababu jina langu litakuwa kuu
miongoni mwa mataifa,’’ asema BWANA
Yakobo Alipendwa, Esau Alichukiwa Mwenye Nguvu.
2BWANA asema, “Nimewapenda ninyi.’’ 12“Lakini mnalinajisi jina langu kwa kusema
“Lakini ninyi mnauliza, ‘wewe kuhusu meza ya Bwana, ‘Imetiwa unajisi pamoja
umetupendaje?’ na chakula chake. Ni ya kudharauliwa.’ 13Nanyi
BWANA asema, “Je, Esau hakuwa ndugu mnasema, ‘Mzigo gani huu!’ Nanyi mnaidharau
yake Yakobo? Hata hivyo nimempenda Yakobo, kwa kiburi,’’ asema BWANA Mwenye Nguvu.
3lakini nikamchukia Esau, nami nimeifanya “Wakati mnapowaleta wanyama
milima yake kuwa ukiwa na urithi wake mliopokonya kwa nguvu, vilema au walio
nimewapa mbweha wa jangwani.” wagonjwa na kuwatoa kama dhabihu, je,
4Edomu anaweza kusema, “Ingawa niwakubali kutoka mikononi mwenu?’’ asema
tumepondwapondwa, tutajenga upya magofu.’’ BWANA. 14‘‘Amelaaniwa yeye adanganyaye
Lakini hili ndilo BWANA Mwenye Nguvu aliye na mnyama wa kiume anayekubalika
asemalo: “Wanaweza kujenga, lakini nitabomoa. katika kundi lake na kuweka nadhiri ya kumtoa,
Wataitwa Nchi Ovu, watu ambao siku zote wapo lakini akatoa dhabihu ya mnyama aliye na waa
chini ya ghadhabu ya BWANA. 5Mtayaona kwa kwa Bwana. Kwa kuwa mimi ni mfalme mkuu,
macho yenu wenyewe na kusema, ‘BWANA ni nalo jina langu linapaswa kuogopwa miongoni
mkuu, hata nje ya mipaka ya Israeli!’ mwa mataifa,’’ asema BWANA Mwenye Nguvu.
atawakubalia ?’’ Asema BWANA Mwenye wala hakuna uongo wo wote uliopatikana katika
Nguvu. midomo yake. Alitembea nami katika amani na
9‘‘Basi mwombeni Mungu awe na neema unyofu, naye akawageuza wengi kutoka
kwetu. Je! kwa sadaka kama hizo kutoka dhambini.
mikononi mwenu, atawapokea?’’ Asema 7“Kwa maana yapasa midomo ya kuhani
2
MALAKI
kufedheheshwa mbele ya watu wote, kwa mwake. Mjumbe wa agano, ambaye
sababu hamkufuata njia zangu, bali mnamwonea shauku, atakuja,’’ asema BWANA
mmeonyesha upendeleo katika mambo ya Mwenye Nguvu.
sheria.’’ 2Lakini ni nani atakayeweza kustahimili hiyo
tunalinajisi agano la baba zetu kwa kukosa atawatakasa Walawi, naye atawasafisha kama
uaminifu kila mmoja kwa mwenzake? dhahabu na fedha. Kisha BWANA atakuwa na
11Yuda amevunja uaminifu. Jambo la watu watakaoleta sadaka katika haki, 4nazo
kuchukiza limetendeka katika Israeli na katika sadaka za Yuda na Yerusalemu zitakubalika
Yerusalemu: Yuda amenajisi mahali patakatifu kwa BWANA, kama katika siku zilizopita, kama
apendapo BWANA, kwa kuoa binti wa mungu katika miaka ya zamani.
mgeni. 12Kwa maana kwa mtu awaye yote 5“Basi nitakuja karibu nanyi ili kuhukumu.
atendaye jambo hili, BWANA na amkatilie mbali Nami nitakuwa mwepesi kushuhudia dhidi ya
kutoka hema za Yakobo, hata kama huwa wachawi, wazinzi, waapao kwa uongo,
anamletea BWANA Mwenye Nguvu sadaka. wanaopunja vibarua malipo yao, wanaowaonea
13Kitu kingine mnachokifanya: Mnaifurikisha wajane na yatima, nao wanaowanyima wageni
madhabahu ya BWANA kwa machozi. Mnalia na haki, lakini hawaniogopi mimi,’’ asema BWANA
kuugua kwa sababu yeye haziangalii tena Mwenye Nguvu.
sadaka zenu wala hazikubali kwa furaha kutoka
mikononi mwenu. 14Mnauliza, “Kwa nini?” Ni Kumwibia Mungu
kwa sababu BWANA ni shahidi kati yako na mke 6“Mimi BWANA sibadiliki. Kwa hiyo ninyi, Ee
wa ujana wako, kwa sababu umevunja uaminifu uzao wa Yakobo, hamjaangamizwa. 7Tangu
naye, ingawa yeye ni mwenzako, mke wa agano wakati wa baba zenu mmegeukia mbali na amri
lako la ndoa. zangu nanyi hamkuzishika. Nirudieni mimi, nami
15Je, BWANA hakuwafanya wao kuwa nitawarudia ninyi,” asema BWANA Mwenye
mmoja? Katika mwili na katika roho wao ni wa Nguvu.
Mungu. Kwa nini wawe mmoja? Kwa sababu ‘‘Lakini mnauliza, ‘Tutarudi kwa namna
Mungu alikuwa akitafuta mzao mwenye kumcha gani?’
Mungu. Kwa hiyo jihadharini wenyewe katika 8‘‘Je, mwanadamu atamwibia Mungu? Hata
3
MALAKI
yako?’
14‘‘Mmesema, ‘Ni bure kumtumikia Mungu.
Siku ya BWANA
‘‘Hakika siku inakuja, itawaka kama
4 tanuru. Wote wenye kiburi na kila mtenda
mabaya watakuwa mabua makavu na siku ile
inayokuja itawawasha moto,’’ asema BWANA
Mwenye Nguvu. “Hakuna mzizi wala tawi
litakalosalia kwao. 2Bali kwenu ninyi
mnaoliheshimu jina langu, jua la haki
litawazukia, lenye kuponya katika mbawa zake.
Nanyi mtatoka nje na kurukaruka kama ndama
aliyeachiwa kutoka zizini. 3Kisha ninyi
mtawakanyaga waovu nao watakuwa majivu
chini ya nyayo za miguu yenu siku ile
nitakayofanya mambo haya,” asema BWANA
Mwenye Nguvu.
4“Kumbukeni sheria ya mtumishi wangu
4
MATHAYO
Utangulizi
Mathayo alikuwa mtoza ushuru ambaye Bwana Yesu alimwita awe mwanafunzi wake mwanzoni kabisa wa
huduma yake ya hadharani. Kwa hiyo mambo mengi anayoyaelezea aliyashuhudia kwa macho yake mwenyewe.
Anaanza kwa kueleza kwa kirefu kuhusu kuzaliwa kwa Yesu na Bikira Maria, kubatizwa kwake na kujaribiwa
kwake nyikani. Yesu alikuja akihubiri juu ya Ufalme wa Mungu ambao ni wa kila mtu anayetaka kupata uzima wa
milele. Mtu anaingia katika Ufalme huu kwa kutubu dhambi na kumwamini Yesu. Mathayo ameyagawa
mafundisho ya Yesu katika sehemu kubwa tano: Maadili, Kueneza Habari Njema, Mifano, Ushirika na kuja kwa
Ufalme wa Mungu. Sehemu ya Mwisho ya Injili ya Mathayo inaeleza juu ya kufa na kufufuka kwa Yesu, na agizo
alilotoa kwa wote wanaomwamini kueneza Habari Njema ulimwenguni kote.
Wazo Kuu
Shabaha kuu ya Mathayo katika kuandika Injili hii, ilikuwa ni kuonyesha kwamba Bwana Yesu anakamilisha
ahadi aliyoitoa Mungu katika Agano la Kale. Kwa sababu hii, Bwana Yesu anatambulishwa kuwa ni mwana wa
Mfalme Daudi na pia mzao wa Abrahamu (1:1). Kadhalika Mathayo anatumia mifano mingi kutoka katika unabii
uliotolewa na manabii wa Agano la Kale, kueleza maisha ya Bwana Yesu ambaye alikuja kuwa Mwokozi wa
Wayahudi (1:21), wa watu Mataifa mengine (4:13-16) na hatimaye Mwokozi wa ulimwengu wote (28:19). Maadili
yawapasayo watu wanaoingia katika Ufalme wa Mungu yanaelezwa katika Mahubiri ya Mlimani (Sura 5-7),
ambapo wana wa Mungu wanaagizwa kukataa kufuata maadili ya dunia hii na kutafuta kwanza Ufalme wa
Mungu na haki yake, ndipo hayo mengineyo watakapozidishiwa. (6:33).
Mgawanyo
1 Maisha na huduma ya Bwana Yesu (1:1-4:25)
2 Mahubiri ya Mlimani (5:1-7:29)
3 Mafundisho, Mifano na Mazungumzo (8:1-18:35)
4 Safari ya kwenda Yerusalemu na maonyo ya mwisho (19:1-23:39)
5 Unabii kuhusu mambo yajayo (24:1-25:46)
6 Kufa na kufufuka kwa Bwana Yesu (26:1-28:20).
1
MATHAYO
Ukoo Wa Yesu Kristo 16Yakobo akamzaa Yosefu ambaye alikuwa
1 Habari za ukoo wa Yesu Kristo mwana wa
Daudi, mwana wa Abrahamu:
mumewe Maria,
mama yake Yesu, aitwaye Kristo b .
2Abrahamu akamzaa Isaki,
2
13Zerubabeli akamzaa Abiudi, Baada ya Yesu kuzaliwa katika mji wa
Abiudi akamzaa Eliakimu, Bethlehemu huko Uyahudi, wakati wa
Eliakimu akamzaa Azori, utawala wa mfalme Herode, wataalamu wa
14Azori akamzaa Zadoki, mambo ya nyota kutoka Mashariki walifika
Zadoki akamzaa Akimu, Yerusalemu 2wakiuliza, “Yuko wapi huyo
Akimu akamzaa Eliudi, aliyezaliwa mfalme wa Wayahudi? Kwa maana
15Eliudi akamzaa Eliezari, tumeona nyota yake ikitokea mashariki, nasi
Eliezari akamzaa Matani, tumekuja kumwabudu.’’
Matani akamzaa Yakobo,
a8 Yoramu ndiye Yehoramu b16 Kristo maana yake Masiya, yaani, Mpakwa (aliyetiwa)Mafuta
2
MATHAYO
3Mfalme Herode aliposikia jambo hili wataalamu wa nyota wamemshinda kwa akili,
aliingiwa na hofu sana pamoja na watu wote wa alikasirika sana, naye akatoa amri ya kuwaua
Yerusalemu. 4Herode akawaita pamoja watoto wote wa kiume wenye umri wa miaka
makuhani wakuu na waandishi wa watu, miwili kurudi chini katika mji wa Bethlehemu na
akawauliza ni mahali gani ambapo Kristo sehemu zote za jirani, kufuatana na ule muda
angezaliwa. 5Nao wakamwambia, “Katika alioambiwa na wale wataalamu wa nyota.
Uyahudi, kwa maana hivyo ndivyo ilivyoandikwa 17Ndipo lile lililonenwa na nabii Yeremia
na nabii: lilipotimia.
wa nyota kwa siri na kutaka kujua kutoka kwao akamtokea Yosefu katika ndoto huko Misri 20na
uhakika kamili wa wakati ile nyota ilipoonekana. kusema, “Ondoka, mchukue mtoto na mama
8Kisha akawatuma waende Bethlehemu mwende, mrudi katika nchi ya Israeli kwa
akiwaambia, “Nendeni mkamtafute kwa bidii sababu wale waliokuwa wanatafuta uhai wa
huyo mtoto. Nanyi mara mumwonapo, mniletee mtoto wamekufa.
habari ili na mimi niweze kwenda kumwabudu.’’ 21Basi Yosefu, akaondoka akamchukua
9Baada ya kumsikia mfalme, wale mtoto na mama yake wakaenda mpaka nchi ya
wataalamu wa nyota wakaenda zao, nayo ile Israeli. 22Lakini aliposikia kwamba Arkelao
nyota waliyoiona mashariki ikawatangulia, nao alikuwa anatawala huko Uyahudi mahali pa
wakaifuata mpaka iliposimama mahali pale Herode baba yake, aliogopa kwenda huko.
alipokuwa mtoto. 10Walipoiona ile nyota Naye akiisha kuonywa katika ndoto, akaenda
wakajawa na furaha kubwa mno. 11Walipoingia zake sehemu za Galilaya, 23akaenda, akaishi
ndani ya ile nyumba, wakamwona mtoto pamoja katika mji ulioitwa Nazareti, hivyo likawa
na Maria mama yake, wakamsujudu na limetimia lile lililonenwa na manabii, “Ataitwa
kumwabudu yule mtoto Yesu. Ndipo Mnazarayo.”
wakafungua hazina zao, wakamtolea zawadi za
dhahabu, uvumba na manemane. 12Nao Yohana Mbatizaji Atayarisha Njia
wakiisha kuonywa katika ndoto wasirudi kwa
Herode, wakarudi kwenda katika nchi yao kwa 3 Siku hizo Yohana Mbatizaji alikuja akihubiri
katika nyika ya Uyahudi, akisema,
njia nyingine. 2“Tubuni, kwa maana Ufalme wa Mbinguni u
nitakapowaambia, kwa maana Herode anataka kwa singa za ngamia akiwa na mkanda wa
kumtafuta huyu mtoto ili amwue.’’ ngozi kiunoni mwake, chakula chake kilikuwa
14Kisha Yosefu akaondoka, akamchukua nzige na asali ya mwitu. 5Watu walimwendea
mtoto na mama wakati wa usiku, nao wakaenda kutoka Yerusalemu, Uyahudi yote na nchi zote
Misri 15ambako walikaa mpaka Herode za kando kando ya mto Yordani. 6Nao
alipokufa. Hili lilikuwa, ili litimie lile lililonenwa na wakaziungama dhambi zao, akawabatiza katika
Bwana kwa kinywa cha nabii kusema, “Kutoka Mto Yordani.
Misri nilimwita mwanangu” 7Lakini alipowaona Mafarisayo na
16Herode alipong’amua kwamba wale
3
MATHAYO
Masadukayo wengi wakija ili kubatizwa, 6akamwambia, “Kama Wewe ndiye Mwana wa
aliwaambia, ‘‘Ninyi watoto wa nyoka! Ni nani Mungu jitupe chini, kwa kuwa imeandikwa,
aliyewaonya kuikimbia ghadhabu inayokuja?
8Basi zaeni matunda yastahiliyo toba. 9Wala ‘ “Atakuagizia malaika zake,
msijidhanie mnaweza kujiambia, ‘Sisi tunaye nao watakuchukua mikononi mwao
Abrahamu, baba yetu, kwa maana nawaambia ili usije ukajikwaa mguu wako kwenye
kuwa Mungu anaweza kumuinulia Abrahamu jiwe.’ ’’
watoto kutoka katika mawe haya. 10Hata sasa
shoka limekwisha kuwekwa tayari kwenye mizizi 7Yesu akamjibu, “Pia imeandikwa:
ya mti. Kila mti usiozaa matunda mazuri, ‘Usimjaribu Bwana Mungu wako.’ ’’
hukatwa na kutupwa motoni. 8Kwa mara nyingine, ibilisi akamchukua
11“Mimi nawabatiza kwa maji kwa ajili ya Yesu mpaka kwenye kilele cha mlima mrefu na
toba. Lakini nyuma yangu anakuja Yeye aliye na kumwonyesha falme zote za dunia na fahari
uwezo kuliko mimi, ambaye sistahili hata zake, 9kisha akamwambia, “Nitakupa hivi vyote
kuchukua viatu vyake. Yeye atawabatiza kwa a kama ukinisujudia na kuniabudu.’’
Roho Mtakatifu na kwa moto. 12Chombo chake 10Yesu akamwambia, “Ondoka mbele
cha kupuria kiko mkononi mwake, naye yangu, Shetani! Kwa maana imeandikwa,
atasafisha sakafu yake ya kupuria, akiikusanya ‘Utamwabudu Bwana Mungu wako, nawe
ngano yake ghalani na kuyachoma makapi kwa utamtumikia Yeye peke yake.’ ’’
moto usiozimika.” 11Ndipo ibilisi akamwacha, nao malaika
wakaja na kumtumikia.
Yesu Abatizwa
13Kisha Yesu akaja kutoka Galilaya mpaka Yesu Aanza Kuhubiri
mto Yordani ili Yohana ambatize. 14Lakini 12Yesu aliposikia kwamba Yohana Mbatizaji
Yohana akajitahidi kumzuia, akimwambia, “Mimi alikuwa ametiwa gerezani, alirudi Galilaya.
ninahitaji kubatizwa na Wewe, nawe waja 13Akaondoka Nazareti akaenda kuishi
kwangu nikubatize?’’ Kapernaumu ulioko karibu na bahari, katika
15Lakini Yesu akamjibu, “Kubali hivi sasa, mipaka ya nchi ya Zabuloni na ya Naftali, 14ili
kwa maana ndivyo itupasavyo kwa njia hii kutimiza unabii wa nabii Isaya, kama
kuitimiza haki yote.’’ Hivyo Yohana akakubali. alivyosema:
16Naye Yesu alipokwisha kubatizwa, mara
Ibilisi. 2Baada ya kufunga siku arobaini mchana 17Tanguwakati huo, Yesu alianza kuhubiri
na usiku, hatimaye akaona njaa. 3Mjaribu akisema: “Tubuni, kwa maana Ufalme wa
akamjia na kumwambia, “Kama Wewe ndiye Mbinguni umekaribia.’’
Mwana wa Mungu, amuru mawe haya yawe
mikate.’’ Yesu Awaita Wanafunzi Wake wa Kwanza
4Lakini Yesu akajibu, “Imeandikwa, ‘Mtu 18Wakati Yesu alipokuwa anatembea kando
haishi kwa mkate tu, ila kwa kila neno litokalo ya bahari ya Galilaya aliwaona ndugu wawili,
katika kinywa cha Mungu.’ ’’ Simoni aitwaye Petro na Andrea ndugu yake.
5Ndipo ibilisi akamchukua Yesu mpaka mji Walikuwa wakizitupa nyavu zao baharini kwa
mtakatifu wa Yerusalemu na kumweka juu ya maana wao walikuwa wavuvi. 19Yesu
mnara mrefu mwembamba wa hekalu, akawaambia, “Njooni, nifuateni, nami
nitawafanya muwe wavuvi wa watu.’’ Mara
20
a11 “Kwa” hapa ina maana “ndani ya, katika
4
MATHAYO
wakaziacha nyavu zao, wakamfuata. 13‘‘Ninyi ni chumvi ya ulimwengu. Lakini
21Alipoendelea mbele kutoka pale, chumvi ikipoteza ladha yake, yawezaje
akawaona ndugu wengine wawili, Yakobo kurudishiwa ladha yake tena ? Haifai tena kwa
mwana wa Zebedayo na Yohana nduguye, kitu cho chote, ila kutupwa nje ikanyagwe na
wakiwa wamekaa kwenye mashua pamoja na watu.
baba yao Zebedayo wakiziandaa nyavu zao. 14‘‘Ninyi ni nuru ya ulimwengu. Mji
Yesu akawaita. 22Nao mara wakaziacha nyavu uliojengwa kilimani hauwezi kufichika. 15Wala
zao, pamoja na baba yao, wakamfuata. watu hawawashi taa na kuifunika kwa bakuli.
Badala yake, huiweka kwenye kinara chake,
Yesu Ahubiri Na Kuponya Wagonjwa nayo hutoa mwanga kwa kila mtu aliyemo ndani
23Yesu akapita katika Galilaya yote, ya ile nyumba. 16Vivyo hivyo, nuru yenu iangaze
akifundisha katika masinagogi yao, akihubiri mbele ya watu, ili wapate kuona matendo yenu
Habari Njema za Ufalme wa Mungu, akiponya mema wamtukuze Baba yenu aliye mbinguni.
kila ugonjwa na kila aina ya maradhi miongoni
mwa watu.. 24Kwa hiyo sifa zake zikaenea Kutimiza Sheria
sehemu zote za Shamu, nao watu wakamletea 17“Msidhani kwamba nimekuja kuondoa
wote waliokuwa na magonjwa mbalimbali na Torati au Manabii, sikuja kuondoa bali kutimiza.
maumivu, waliopagawa na pepo, wenye kifafa 18Kwa maana,amin, nawaambia, mpaka mbingu
na waliopooza, naye akawaponya. 25Makutano na dunia zitakapopita, hakuna hata herufi moja
makubwa ya watu yakawa yanamjia kutoka ndogo wala nukta itakayopotea kwa namna yo
Galilaya, Dekapoli, Yerusalemu, Uyahudi na yote kutoka kwenye Torati mpaka kila kitu kiwe
kutoka ng'ambo ya Mto Yordani. kimetimia. 19Kwa hiyo, ye yote atakayevunja
mojawapo ya amri ndogo kuliko zote ya amri
Sifa za Aliyebariki hizi, naye akawafundisha wengine kufanya
maana hao Ufalme wa Mbinguni ni wao. madhabahuni, ukakumbuka kuwa ndugu yako
ana kitu dhidi yako, 24iache sadaka yako hapo
11Mna heri ninyi watu watakapowashutumu hapo, mbele ya madhabahu, uende kwanza
na kuwatesa na kunena dhidi yenu mabaya ya
aina zote kwa uongo kwa ajili yangu. 12Furahini
na kushangilia kwa maana thawabu yenu ni
kuu.
a22 ‘Raca’ ni neno la Kiaramu ambalo maana yake ni dharau
Chumvi na Nuru na dhihaka ya hali ya juu.
5
MATHAYO
ukapatane na ndugu yako wa kiume au wa kike, kuchukua shati lako, mwachie achukue na koti
kisha urudi na ukatoe sadaka yako. pia. 41Kama mtu akikulazimisha kwenda
25“Patana na mshtaki wako upesi wakati kilometa moja, nenda naye kilometa mbili.
uwapo njiani pamoja naye kwenda 42Mpe yeye akuombaye, wala usimgeuzie
mahakamani, ili mshtaki wako asije akakutia kisogo yeye atakaye kukukopa.’’
mikononi mwa hakimu, naye hakimu akakutia
mikononi mwa walinzi, nawe ukatupwa Upendo Kwa Adui
gerezani. 26Amin, nakuambia, hutatoka humo 43‘‘Mmesikia kwamba ilinenwa, ‘Mpende
mpaka umelipa hadi senti ya mwisho” jirani yako na umchukie adui yako.’ 44Lakini
mimi ninawaambia : Wapendeni adui zenu na
Kuhusu Uzinzi waombeeni wanaowatesa ninyi, 45ili mpate
27“Mmesikia kwamba ilinenwa, ‘Usizini'. kuwa watoto wa Baba yenu aliye mbinguni. Kwa
28Lakini mimi nawaambia: kwamba ye yote maana Yeye huwaangazia jua lake watu waovu
amtazamaye mwanamke kwa kumtamani, na watu wema, naye huwanyeshea mvua
amekwisha kuzini naye moyoni mwake. 29Jicho wenye haki na wasio haki. 46Kama mkiwapenda
lako la kuume likikufanya utende dhambi, ling'oe wale wanaowapenda tu, mtapata thawabu gani?
ulitupe mbali. Ni afadhali kwako kupoteza Je, hata watoza ushuru hawafanyi hivyo?
kiungo kimoja cha mwili wako kuliko mwili wako 47Nanyi kama mkiwasalimu ndugu zenu tu, je,
mzima utupwe jehanam. 30Kama mkono wako mnafanya nini zaidi ya wengine? Je, hata watu
wa kuume ukikufanya utende dhambi, ukate wasiomjua Mungu, hawafanyi hivyo? 48Kwa hiyo
uutupe mbali. Ni afadhali kwako kupoteza iweni wakamilifu kama Baba yenu wa mbinguni
kiungo kimoja cha mwili wako kuliko mwili wako alivyo mkamilifu.’’
mzima utupwe jehanam.
Kuwapa Wahitaji
Kuhusu Talaka
31‘‘Pia ilinenwa kwamba, ‘Mtu ye yote 6 ‘‘Angalieni msitende wema wenu mbele ya
watu ili wawaone. Kwa maana mkifanya
amwachaye mkewe na ampe hati ya talaka.’ hivyo, hamna thawabu kutoka kwa Baba yenu
32Lakini mimi nawaambia, ye yote amwachaye aliye mbinguni.
mkewe isipokuwa kwa kosa la uasherati, 2‘‘Hivyo mnapowapa wahitaji, msipige
amfanya mkewe kuwa mzinzi. Na ye yote panda mbele yenu kama wafanyavyo wanafiki
amwoaye yule mwanamke aliyeachwa azini.’’ katika masinagogi na mitaani, ili wasifiwe na
watu. Amin, amin nawaambia wao wamekwisha
Kuhusu Kuapa kupokea thawabu yao. 3Lakini ninyi mtoapo
33“Tena mmesikia walivyoambiwa watu wa sadaka, fanyeni kwa siri, hata mkono wako wa
zamani kwamba, ‘Usiape kwa uongo, bali kushoto usijue mkono wako wa kuume
timizeni, nadhiri zile ulizofanya kwa Bwana’ unachofanya, 4ili sadaka yako iwe ni siri. Ndipo
34Lakini mimi nawaambia,’’Msiape kabisa, ama Baba yako wa mbinguni, Yeye aonaye sirini
kwa mbingu, kwa kuwa ni kiti cha enzi cha atakupa thawabu kwa wazi.
Mungu, 35au kwa nchi, kwa kuwa ndipo mahali
pake pa kuwekea miguu, au kwa Yerusalemu, Kuhusu Maombi
kwa kuwa ndio mji wa Mfalme Mkuu. 36Nanyi 5“Nanyi msalipo, msiwe kama wanafiki,
msiape kwa vichwa vyenu kwa kuwa hamwezi maana wao hupenda kusali wakiwa
kuufanya hata unywele mmoja kuwa mweupe wamesimama katika masinagogi na kando ya
au mweusi. 37‘Ndiyo,’ yenu iwe ‘Ndiyo’ na barabara ili waonekane na watu. Amin, amin
‘Hapana’, yenu iwe ‘Hapana.’ Lo lote zaidi ya hili nawaambieni, wao wamekwisha kupata
latoka kwa yule mwovu.’’ thawabu yao. 6Lakini wewe unaposali, ingia
chumbani mwako, funga mlango na umwombe
Kuhusu Kulipiza Kisasi Baba yako aliye sirini. Naye Baba yako aonaye
38“Mmesikia kwamba ilinenwa, ‘Jicho kwa sirini atakupa thawabu yako. 7“Nanyi mnaposali
jicho na jino kwa jino.’ 39Lakini mimi nawaambia, msiseme maneno kama wafanyavyo watu
msishindane na mtu mwovu. Lakini kama mtu wasiomjua Mungu. Kwa maana wao hudhani
akikupiga kwenye shavu la kuume, mgeuzie na kwamba watasikiwa kwa sababu ya wingi wa
la pili pia, 40Kama mtu akitaka kukushtaki na maneno yao. 8Msiwe kama wao, kwa sababu
6
MATHAYO
Baba yenu anajua kile mnachohitaji kabla namna gani ! ”
hamjamwomba.’’
9‘‘Hivi basi, ndivyo iwapasavyo kuomba : Mungu Na Mali
24‘‘Hakuna mtu ye yote awezaye
“Baba yetu uliye mbinguni, kuwatumikia mabwana wawili, kwa kuwa ama
Jina lako litukuzwe. atamchukia huyu na kumpenda yule mwingine,
10Ufalme wako uje. au atashikamana sana na huyu na kumdharau
Mapenzi yako yafanyike hapa duniani huyu mwingine. Ninyi hamwezi kumtumikia
kama huko mbinguni. Mungu na mali a .’’
11Utupatie leo riziki zetu za kila siku.
12Utusamehe deni zetu, Msiwe Na Wasiwasi
kama sisi nasi tulivyokwisha 25‘‘Kwa hiyo nawaambia, msiwe na
kuwasamehe wadeni wetu. wasiwasi kuhusu maisha yenu: mtakula nini au
13 Usitutie majaribuni, mtakunywa nini, au kuhusu miili yenu, mtavaa
bali utuokoe kutoka kwa yule mwovu, nini. Je, maisha si zaidi ya chakula na mwili
kwa kuwa Ufalme ni Wako na nguvu zaidi ya mavazi? 26Waangalieni ndege wa
na utukufu hata milele. Amen.” angani, wao hawapandi wala hawavuni au
kuweka ghalani, lakini Baba yenu wa mbinguni
14Kwa kuwa kama mkiwasamehe watu wengine huwalisha hao. Je, ninyi si wa thamani zaidi
wanapowakosea, Baba yenu wa mbinguni kuliko hao ndege? 27Ni nani miongoni mwenu
atawasamehe pia na ninyi. 15Lakini ambaye kwa kujitaabisha kwake aweza
msipowasamehe watu wengine makosa yao, kujiongezea hata saa moja zaidi katika maisha
wala Baba yenu hatawasamehe ninyi makosa yake au kuongeza dhiraa moja b kwenye kimo
yenu. chake ?
28‘‘Nanyi kwa nini kujitaabisha kwa ajili ya
unawezaje kumwambia ndugu yako, ‘Acha nitoe atakayeingia katika Ufalme wa Mbinguni bali ni
kibanzi kwenye jicho lako wakati kuna boriti yeye afanyaye mapenzi ya Baba yangu aliye
kwenye jicho lako mwenyewe ?’ 5Ewe mnafiki, mbinguni. 22Wengi wataniambia siku ile,
toa kwanza boriti kwenye jicho lako mwenyewe, ‘Bwana, Bwana, hatukutoa unabii kwa jina lako
nawe ndipo utakapoona wazi ili kuondoa kibanzi na kwa jina lako kutoa pepo na kufanya miujiza
kilichoko kwenye jicho la ndugu yako. mingi? 23Ndipo nitakapowaambia wazi,
6‘‘Msiwape mbwa vitu vilivyo vitakatifu, wala `’Sikuwajua kamwe. Ondokeni kwangu, ninyi
msitupie nguruwe lulu zenu. Kama mkifanya watenda maovu!’
hivyo, watazikanyaga kanyaga na kisha
watawageukia na kuwararua vipande vipande. ” Msikiaji Na Mtendaji
24‘‘Kwa hiyo kila mtu ayasikiaye haya
kwa maana lango ni pana na njia ni pana Yesu Amtakasa Mwenye Ukoma
ielekeayo upotevuni, nao ni wengi waingiao kwa
kupitia lango hilo. 14Lakini mlango ni 8 Yesu aliposhuka kutoka mlimani,
makutano makubwa ya watu yakamfuata.
mwembamba na njia ni finyo ielekayo kwenye 2Mtu mmoja mwenye ukoma akaja na kupiga
uzima, nao ni wachache tu waionao.’’ magoti mbele yake akasema, “Bwana, kama
ukitaka, unaweza kunitakasa.’’
Mti na Tunda lake 3Yesu akanyoosha mkono wake akamgusa,
15“Jihadharini na manabii wa uongo, akamwambia, “Nataka, takasika!’’ Mara yule
wanaowajia wakiwa wamevaa mavazi ya mtu akatakasika ukoma wake. 4Kisha Yesu
kondoo, lakini ndani wao ni mbwa mwitu akamwambia, “Hakikisha humwambii mtu ye
wakali.16Mtawatambua kwa matunda yao. Je, yote. Lakini nenda, ukajionyeshe kwa kuhani na
watu huchuma zabibu kwenye miiba au tini utoe sadaka aliyoamuru Mose, iwe ushuhuda
kwenye michongoma? 17Vivyo hivyo, mti kwao kwamba umepona.’’
mwema huzaa matunda mazuri na mti mbaya
huzaa matunda mabaya. 18Mti mwema hauwezi Yesu Amponya Mtumishi Wa Jemadari
kuzaa matunda mabaya wala mti mbaya 5Yesu alipoingia Kapernaumu, jemadari
hauwezi kuzaa matunda mazuri. 19Kila mti mmoja alimjia, kumwomba msaada, 6akisema,
usiozaa matunda mazuri hukatwa na kutupwa “Bwana, mtumishi wangu amelala nyumbani
motoni. 20Hivyo, kwa matunda yao, amepooza, tena ana maumivu makali ya
mtawatambua.’’ kutisha.’’
8
MATHAYO
7Yesu akamwambia, “Nitakuja na 22Lakini
Yesu akamwambia, “Nifuate, nawe
kumponya.’’ waache wafu wazike wafu wao.’’
8Lakini yule jemadari akamwambia, “Bwana,
mimi sistahili Wewe uingie chini ya dari yangu. Yesu Atuliza Dhoruba
lakini sema neno tu, naye mtumishi wangu 23Naye alipoingia kwenye chombo,
atapona. 9Kwa kuwa mimi nami niko chini ya wanafunzi wake wakamfuata. 24Ghafula
mamlaka, nikiwa na askari chini yangu. kukainuka dhoruba kali baharini hata chombo
Nikimwambia huyu ‘Nenda,’ naye huenda, na kikaanza kufunikwa na mawimbi, lakini Yesu
mwingine nikimwambia, ‘Njoo’, huja. Nami alikuwa amelala usingizi. 25Wanafunzi wake
nikimwambia mtumishi wangu, ‘Fanya hivi,’ wakamwendea na kumwamsha, wakisema,
hufanya.’’ “Bwana, tuokoe! Tunazama!’’
10Yesu aliposikia maneno haya, 26Naye Yesu akawaambia, ‘Kwa nini
magharibi nao wataketi karamuni pamoja na mtu wa namna gani huyu? Hata upepo na
Abrahamu, Isaki na Yakobo katika Ufalme wa mawimbi vinamtii!.
Mbinguni. 12Lakini warithi wa ufalme watatupwa
katika giza la nje, ambako kutakuwa na kulia na Wawili Wenye Pepo Waponywa
kusaga meno.’’ 28Walipofika ng'ambo katika nchi ya
13Kisha Yesu akamwambia yule jemadari, Wagerasi, watu wawili waliopagawa na pepo
“Nenda na iwe kwako sawasawa na imani wakitoka makaburini walikutana naye. Watu
yako.” Naye yule mtumishi akapona saa ile ile. hawa walikuwa wakali mno kiasi kwamba
hakuna mtu aliyeweza kupita njia ile.
Yesu Aponya Wengi 29Wakapiga kelele, “Una nini nasi, Mwana wa
14Yesu alipoingia nyumbani kwa Petro, Mungu? Umekuja hapa kututesa kabla ya
alimkuta mama mkwe wake Petro amelala wakati ulioamuriwa?’’
kitandani akiwa ana homa. 15Akamgusa mkono 30Mbali kidogo kutoka pale walipokuwa,
wake na homa ikamtoka, naye akainuka na kulikuwa na kundi kubwa la nguruwe wakilisha.
kuanza kumhudumia. 16Jioni ile, wakamletea 31Wale pepo wakamsihi Yesu, “Ukitutoa humu,
watu wengi waliopagawa na pepo, naye turuhusu tuende kwenye lile kundi la nguruwe.’’
akawatoa wale pepo kwa neno lake, na 32Akawaambia, “Nendeni!’’ Hivyo wakatoka
kuponya wagonjwa wote. 17Haya yalifanyika ili na kuwaingia wale nguruwe, nalo kundi lote
litimie lile lililonenwa kwa kinywa cha nabii Isaya likatelemka mbio gengeni, likaingia bahari na
kwamba: kufa ndani ya maji. 33Wale waliokuwa
wakiwachunga hao nguruwe wakakimbia
“Mwenyewe alitwaa udhaifu wetu wakaingia mjini, wakaeleza yote kuhusu yale
na alichukua magonjwa yetu.’’ yaliyowatokea wale waliokuwa wamepagawa na
pepo. 34Kisha watu wote wa mji huo wakatoka
Gharama ya Kumfuata Yesu kwenda kukutana na Yesu. Nao walipomwona
18Yesu alipoona makutano mengi wakamsihi aondoke kwenye nchi yao.
wamemzunguka, aliwaamuru wanafunzi wake
wavuke mpaka ng'ambo. 19Kisha mwalimu Yesu Amponya Mtu Aliyepooza
mmoja wa sheria akamjia Yesu na kumwambia,
“Mwalimu, mimi nitakufuata po pote uendako.’’
20Naye Yesu akamwambia, “Mbweha wana
9 Yesu akaingia kwenye chombo, akavuka
na kufika katika mji wa kwao. 2Wakati huo
huo wakamletea mtu aliyepooza, akiwa
mashimo, nao ndege wa angani wana viota amelazwa kwenye kitanda. Yesu alipoona imani
vyao, lakini Mwana wa Adamu hana mahali pa yao, alimwambia yule mtu aliyepooza,
kulaza kichwa chake.’’ ‘‘Mwanangu, jipe moyo mkuu, dhambi zako
21Mwanafunzi mwingine akamwambia, zimesamehewa.’’
“Bwana, niruhusu kwanza nikamzike baba 3Kwa ajili ya jambo hili, baadhi ya walimu
yangu.”
9
MATHAYO
wa sheria wakasema mioyoni mwao, ‘‘Huyu mtu Navyo viriba vitaharibika, lakini divai mpya
anakufuru!’’ huwekwa kwenye viriba vipya na hivyo divai na
4Lakini Yesu akiyafahamu mawazo yao, viriba huwa salama.’’
akawaambia, ‘‘Kwa nini mnawaza maovu
mioyoni mwenu? 5Kwa kuwa ni lipi lililo rahisi: Msichana Afufuliwa Na Mwanamke Aponywa
kusema, ‘Dhambi zako zimesamehewa,’ au 18Wakati Yesu akiwa anawaambia mambo
kusema, ‘Simama, utembee?’ 6Lakini, ili mpate haya, mara akaingia kiongozi wa sinagogi
kujua kwamba Mwana wa Adamu anayo akapiga magoti mbele yake, akimwambia, ‘‘Binti
mamlaka duniani kusamehe dhambi,'' Ndipo yangu amekufa sasa hivi, lakini uje uweke
akamwambia yule aliyepooza, “Simama, chukua mkono wako juu yake naye atakuwa hai.’’
kitanda chako na uende nyumbani kwako.’’ 19Yesu akaondoka akafuatana naye, wanafunzi
7Yule mtu akasimama, akaenda nyumbani wake pia wakaandamana naye.
kwake. 8Makutano walipoyaona haya, wakajawa 20Wakati huo huo mwanamke mmoja
Yesu Aulizwa Kuhusu Kufunga vipofu wawili wakamfuata, wakipiga kelele kwa
14Wanafunzi wa Yohana Mbatizaji wakaja nguvu na kusema, “Mwana wa Daudi,
na kumwuliza Yesu, “Imekuwaje kwamba sisi na tuhurumie!’’
Mafarisayo tunafunga, lakini wanafunzi wako 28Alipoingia mle nyumbani wale vipofu
10
MATHAYO
32Walipokuwa wanatoka, mtu mmoja mtakachoingia, tafuteni humo mtu anayestahili,
aliyekuwa amepagawa na pepo na ambaye nanyi kaeni kwake mpaka mtakapoondoka.
hakuweza kuongea aliletwa kwa Yesu. 33Yule 12Mkiingia kwenye nyumba, itakieni amani.
pepo alipotolewa, yule mtu aliyekuwa bubu 13Kama nyumba hiyo inastahili, amani yenu na
akaongea. Ule umati wa watu ukastaajabu na iwe juu yake, la sivyo, amani yenu na iwarudie
kusema, “Jambo kama hili kamwe halijapata ninyi. 14Kama mtu ye yote hatawakaribisha
kuonekana katika Israeli.” ninyi, wala kusikiliza maneno yenu, kungu’uteni
34Lakini Mafarisayo wakasema, “Huyo mavumbi kutoka kwenye miguu yenu
anatoa pepo kwa uwezo wa mkuu wa pepo.’’ mtakapokuwa mnatoka kwenye nyumba hiyo au
mji huo. 15Amin, amin nawaambia, itavumilika
Watenda Kazi Ni Wachache zaidi miji ya Sodoma na Gomora katika hukumu
35Yesu akazunguka katika miji yote na vijiji kuliko mji huo.
vyote, akifundisha katika masinagogi yao ,
akihubiri Habari Njema za Ufalme na kuponya Mateso Yanayokuja
kila ugonjwa na kila aina ya maradhi miongoni 16“Tazama, ninawatuma kama kondoo
mwa watu. 36Alipoona makutano aliwahurumia katikati ya mbwa mwitu. Kwa hiyo mwe werevu
kwa sababu walikuwa wanasumbuka na bila kama nyoka na wapole kama hua.
msaada, kama kondoo wasio na mchungaji. 17“Jihadharini na wanadamu, kwa maana
37Ndipo akawaambia wanafunzi wake, “Mavuno watawapeleka katika mabaraza yao na
ni mengi lakini watenda kazi ni wachache, kuwapiga kwenye masinagogi yao, 18nanyi
38Kwa hiyo mwombeni Bwana wa mavuno, ili mtaburutwa mbele ya watawala na
apeleke watenda kazi katika shamba lake la wafalme kwa ajili Yangu, ili kuwa ushuhuda
mavuno.’’ kwao na mbele ya watu Mataifa. 19Lakini
watakapowapeleka humo, msisumbuke
Yesu Awatuma Wale Kumi Na Wawili kufikirifikiri mtakalosema, kwa maana mtapewa
10 Ndipo Yesu akawaita wanafunzi wake
kumi na wawili, akawapa mamlaka juu
la kusema wakati huo. 20Kwa sababu si ninyi
mtakaokuwa mkinena, bali ni Roho wa Baba
ya pepo wachafu kuwatoa na kuponya kila yenu atakayekuwa akinena kupitia kwenu.
ugonjwa na maradhi ya kila aina. 21“Ndugu atamsaliti ndugu yake ili auawe na
2Haya ndiyo majina ya hao wanafunzi kumi baba atamsaliti mtoto wake, watoto wataasi
na wawili: 3wa kwanza, Simon, aitwaye Petro na dhidi ya wazazi wao na kuwafanya wauawe.
Andrea nduguye, Yakobo mwana wa Zebedayo 22Nanyi mtachukiwa na watu wote kwa ajili ya
na Yohana nduguye, Filipo na Bartholomayo, Jina langu. Lakini yeye atakayevumilia hadi
Tomaso na Mathayo mtoza ushuru, Yakobo mwisho ataokoka. 23Wakiwatesa katika mji
mwana wa Alfayo na Thadayo, 4Simoni mmoja, kimbilieni mji mwingine.Amin, amin
Mkananayo na Yuda Iskariote aliyemsaliti Yesu. nawaambia, hamtamaliza miji yote ya Israeli
kabla Mwana wa Adamu hajaja.
Kutumwa Kwa Wale Kumi Na Wawili 24“Mwanafunzi hawezi kumzidi mwalimu
5Hawa kumi na wawili, Yesu aliwatuma wake wala mtumishi hamzidi bwana wake.
akawaagiza, “Msiende miongoni mwa watu 25Yatosha mwanafunzi kuwa kama mwalimu
Mataifa wala msiingie mji wo wote wa wake na mtumishi kuwa kama bwana wake.
Wasamaria. 6Lakini afadhali mshike njia Ikiwa mkuu wa nyumba ameitwa Beelzebuli a , je,
kuwaendea kondoo wa nyumba ya Israeli si zaidi sana wale wa nyumbani mwake
waliopotea. 7Wakati mnapokwenda, hubirini mwenyewe!
mkisema, ‘Ufalme wa Mbinguni umekaribia.’
8Ponyeni wagonjwa, fufueni wafu, takaseni Anayestahili Kuogopwa
wenye ukoma, toeni pepo wachafu. Mmepata 26“Kwa hiyo msiwaogope hao, kwa maana
bure, toeni bure. 9Msichukue dhahabu, wala hakuna kilichofichika ambacho hakitafunuliwa,
fedha, wala shaba kwenye vifuko vyenu. wala hakuna siri ambayo haitajulikana.
10Msichukue mkoba wa safari, wala kanzu mbili, 27Ninalowaambia gizani, ninyi lisemeni mchana
wala jozi ya pili ya viatu, wala fimbo, kwa maana peupe na lile mnalosikia likinong'onwa,
mtenda kazi anastahili posho yake.
11“Mji wo wote au kijiji cho chote
a25 ‘‘Beelizebubu’’ au kwa Kiyunani Beezebub au Beelzebub
yaani, Beelzebuli maana yake mkuu wa pepo
11
MATHAYO
masikioni mwenu, lihubirini kwenye paa la
nyumba. 28Msiwaogope wale wauao mwili lakini 11 Baada ya Yesu kumaliza kutoa maagizo
kwa wale wanafunzi wake kumi na
hawawezi kuua roho afadhali mwogopeni yeye wawili, aliondoka hapo akaenda kufundisha na
awezaye kuiangamiza roho na mwili katika kuhubiri katika miji yao.
jehanam b . 29Je, shomoro wawili hawauzwi kwa 2Yohana Mbatizaji aliposikia akiwa gerezani
senti mbili tu? Lakini hakuna hata mmoja wao mambo ambayo Kristo a alikuwa akiyafanya,
atakayeanguka pasipo Baba yenu kujua.. 30Hata aliwatuma wanafunzi wake 3ili wakamwulize,
nywele za vichwa vyenu zote zimehesabiwa. “Wewe ndiye yule aliyekuwa aje, au tumngojee
31Hivyo msiogope, kwa maana ninyi ni wa mwingine?’’
thamani kubwa zaidi kuliko shomoro wengi. 4Yesu akajibu, “Rudini mkamwarifu Yohana
32“Kila mtu atakayenikiri mbele ya watu, yale mnayosikia na kuyaona: 5Vipofu wanapata
mimi nami nitamkiri yeye mbele za Baba yangu kuona, viwete wanatembea, wenye ukoma
aliye mbinguni. 33Lakini ye yote atakayenikana wanatakaswa, viziwi wanasikia, wafu
mimi mbele ya watu, mimi nami nitamkana wanafufuliwa na maskini wanahubiriwa habari
mbele ya Baba yangu aliye mbinguni.’’ njema. 6Ana heri mtu yule asiyechukizwa kwa
ajili yangu”
Sikuleta Amani, Bali Upanga 7Wale wanafunzi wa Yohana walipokuwa
34“Msidhani kwamba nimekuja kuleta amani wanaondoka, Yesu akaanza kusema na
duniani. Sikuja kuleta amani bali upanga. makutano kuhusu Yohana Mbatizaji.
35Kwa maana nimekuja kumfitini Akawauliza, “Mlipokwenda kule nyikani,
mtu na babaye, mlikwenda kuona nini? Unyasi ukiyumbishwa na
binti na mamaye, upepo? 8Kama sivyo, mlitoka kwenda kuona nini
mkwe na mama mkwe wake. basi? Mtu aliyevaa mavazi mazuri.? Hasha,
36Nao adui za mtu watakuwa ni wale watu wa wale wanaovaa nguo nzuri wako katika
nyumbani kwake. majumba ya wafalme. 9Basi mlitoka kwenda
kuona nini? Je, ni kumwona nabii? Naam,
37‘‘Yeyote ampendaye baba yake au mama nawaambia, yeye ni zaidi ya nabii. 10Huyo ndiye
yake kuliko anavyonipenda mimi, hastahili kuwa ambaye habari zake zimeandikwa:
wangu. Ye yote ampendaye mwanawe au binti
yake kuliko anavyonipenda Mimi, hastahili kuwa ‘‘ ‘Tazama namtuma mjumbe mbele yako,
wangu. 38Tena ye yote asiyeuchukua msalaba atakayetengeneza njia mbele yako.’
wake na kunifuata, hastahili kuwa Wangu.
39Ayang’ang’aniaye maisha yake atayapoteza, 11Amin, nawaambia, miongoni mwa watu
lakini yeye atakayeyatoa maisha yake kwa ajili waliozaliwa na wanawake, hajatokea mtu aliye
yangu atayaona.” mkuu zaidi ya Yohana Mbatizaji, lakini aliye
mdogo kabisa katika Ufalme wa Mbinguni, ni
Watakaopokea Thawabu mkuu kuliko Yohana. 12Tangu siku za Yohana
40“Mtu ye yote atakayewapokea ninyi Mbatizaji hadi sasa, Ufalme wa Mungu
atakuwa amenipokea mimi na ye yote hupatikana kwa nguvu, nao wenye nguvu
atakayenipokea mimi atakuwa amempokea wauteka. 13Kwa maana manabii wote na Torati
Yeye aliyenituma. 41Mtu ye yote anayempokea vilitabiri mpaka wakati wa Yohana. 14Kama mko
nabii kwa kuwa ni nabii, atapokea thawabu ya tayari kukubali hilo, yeye Yohana ndiye yule
nabii na mtu anayempokea mwenye haki kwa Eliya ambaye manabii walikuwa wamesema
kuwa ni mwenye haki, atapokea thawabu ya angekuja. 15Yeye aliye na sikio na
mwenye haki. 42Kama ye yote akimpa hata asikie.16“Lakini kizazi hiki nikifananishe na nini?’’
kikombe cha maji mmoja wa hawa wadogo kwa Kinafanana na watoto waliokaa sokoni
kuwa ni mwanafunzi wangu, amin, wakiwaita wenzao na kuwaambia,
ninawaambia, hataikosa thawabu yake.’’
17 “ ‘Tuliwapigia filimbi,
Yesu na Yohana Mbatizaji lakini hamkucheza,
tuliwaimbia nyimbo za msiba
b28 Jehanum au Kiyunani’’ ‘‘Gehena’’ maana yake kuzimu,
yaani, motoni a2 Kristo yaani Masiya maana yake Mpakwa (Aliyetiwa) Mafuta.
12
MATHAYO
lakini hamkuomboleza.’ Bwana Wa Sabato
Wakati huo Yesu alipitia kwenye
18Kwa maana Yohana Mbatizaji alikuja hali wala 12 mashamba ya ngano siku ya sabato.
hanywi, nao wanasema, ‘Yeye ana pepo.’ Wanafunzi wake walikuwa na njaa, wakaanza
19Mwana wa Adamu alikuja akila na kunywa, kuvunja masuke ya ngano na kuyala. 2Lakini
nao wanasema, ‘Tazama, mlafi na mlevi, rafiki Mafarisayo walipoona jambo hili,
wa watoza ushuru na wenye dhambi!’ Lakini wakamwambia, “Tazama! Wanafunzi wako
hekima huthibitishwa kwa haki ya matendo wanafanya jambo lisilo halali siku ya Sabato.’’
yake.’’ 3Yesu akawajibu, “Je, hamjasoma
alichofanya Daudi na wenzake walipokuwa na
Ole Wa Miji Isiyotubu njaa? 4Aliingia katika nyumba ya Mungu akala
20Ndipo Yesu akaanza kuilaumu miji mikate iliyowekwa wakfu, yeye na wenzake,
ambamo alifanya miujiza yake mingi kuliko jambo ambalo halikuwa halali kwao kufanya,
kwingine, kwa maana watu wake hawakutubu. isipokuwa makuhani peke yao. 5Au hamjasoma
21 “Ole wako, Korazini! Ole wako Bethsaida! katika Torati kwamba siku ya Sabato makuhani
Kwa maana kama miujiza iliyofanyika kwenu, huvunja sheria ya Sabato Hekaluni lakini
ingelifanyika Tiro na Sidoni, miji hiyo ingekuwa hawahesabiwi kuwa na hatia? 6Nawaambia
imetubu tangu zamani kwa kuvaa magunia na wazi kwamba, Yeye aliye mkuu kuliko Hekalu
kujipaka majivu. 22Lakini nawaambia, itavumilika yupo hapa. 7Kama mngelikuwa mmejua maana
zaidi kwa Tiro na Sidoni katika siku ya hukumu, ya maneno haya, ‘Ninataka rehema, wala si
kuliko kwenu, 23Nawe Kapernaumu,je, dhabihu,’ msingeliwalaumu watu wasio na hatia,
utainuliwa hadi mbinguni? La hasha, 8kwa maana Mwana wa Adamu ndiye Bwana
Sodoma katika siku ile ya hukumu kuliko wewe. katika sinagogi lao, 10huko alikuwepo mtu
aliyepooza mkono. Wakitafuta sababu ya
Hakuna Amjuaye Baba Ila Mwana kumshtaki Yesu, wakamwuliza, “Je, ni halali
25Wakati huo Yesu alisema, “Ninakuhimidi kuponya siku ya
Baba, Bwana wa mbingu na nchi, kwa kuwa Sabato?’’
umewaficha mambo haya wenye hekima na 11Yesu akawaambia, “Ni nani miongoni
wenye elimu, nawe ukawafunulia watoto mwenu, mwenye kondoo wake ambaye huyo
wachanga. 26Naam, Baba, kwa kuwa hivyo kondoo akitumbukia shimoni siku ya Sabato
ndivyo ilivyokupendeza. hatamtoa? 12Mtu ana thamani kubwa kiasi
27“Nimekabidhiwa vitu vyote na Baba yangu: kuliko kondoo. Kwa hiyo ni halali kutenda mema
hakuna mtu amjuaye Mwana ila Baba, wala siku ya Sabato.’’
hakuna amjuaye Baba ila Mwana na ye yote 13Ndipo akamwambia yule mtu, ‘‘Nyoosha
ambaye Mwana anapenda kumdhihirisha Baba mkono wako.’’ Akaunyoosha, nao ukaponywa
kwake.’’ ukawa mzima kama ule mwingine. 14Lakini
Mafarisayo wakatoka nje wakafanya shauri
Yesu Awaita Waliolemewa Na Mizigo baya juu yake jinsi watakavyoweza kumwua
28“Njooni kwangu, ninyi nyote mnaotaabika Yesu.
na kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha.
29Jifungeni nira yangu, mjifunze kutoka kwangu, Mtumishi Aliyechaguliwa Na Mungu
kwa maana mimi ni mpole na mnyenyekevu wa 15Lakini Yesu alipoyatambua mawazo yao,
moyo, nanyi mtapata raha nafsini mwenu. 30Kwa akaondoka mahali hapo. Watu wengi
maana nira yangu ni laini na mzigo wangu ni wakamfuata, naye akawaponya wote,
mwepesi.’’ 16akiwakataza wasiseme yeye ni nani. 17Hii
13
MATHAYO
18‘‘Tazama mtumishi wangu niliyemchagua, Mwana wa Adamu atasamehewa, lakini ye yote
mpendwa wangu, ninayependezwa anenaye neno dhidi ya Roho Mtakatifu
naye. hatasamehewa, iwe katika ulimwengu huu au
Nitaweka Roho yangu juu yake, katika ulimwengu ujao.’
naye atatangaza haki kwa mataifa.
19Hatagombana wala hatapiga kelele, Mti Na Matunda Yake
wala hakuna atakayesikia sauti yake njiani. 33‘‘Ufanye mti kuwa mzuri nayo matunda
20Mwanzi uliopondeka hatauvunja, yake yatakuwa mazuri, au ufanye mti kuwa
utambi unaofuka moshi hatauzima, mbaya na matunda yake yatakuwa mabaya,
mpaka atakapoifanya haki ishinde. kwa maana mti hutambulikana kwa matunda
21“Katika jina lake mataifa wataweka tumaini yake. 34Enyi uzao wa nyoka! Mnawezaje
lao.’’ kunena mambo mema, wakati ninyi ni waovu?
Kwa maana kinywa cha mtu huyanena yale
Yesu Na Beelzebuli yaliyoujaza moyo wake. 35Mtu mwema hutoa
22Kisha wakamletea mtu aliyekuwa yaliyo mema kutoka katika hazina ya mambo
amepagawa na pepo, naye ni kipofu na bubu, mema yaliyohifadhiwa ndani yake, naye mtu
Yesu akamponya, hata akaweza kusema na mwovu hutoa yaliyo maovu kutoka katika hazina
kuona. 23Watu wote wakashangaa na kusema, ya mambo maovu yaliyohifadhiwa ndani yake.
“Je, yawezekana huyu ndiye Mwana wa 36Lakini nawaambia, katika siku ya hukumu
yake wenyewe huangamia. Hali kadhalika kila sheria wakamwambia, “Mwalimu, tunataka
mji au watu wa nyumba moja iliyogawanyika kuona ishara kutoka kwako.’’
dhidi yake yenyewe haiwezi kusimama. 26Kama 39Lakini Yeye akawajibu, ‘‘Kizazi kiovu na
Shetani akimtoa Shetani, atakuwa cha uzinzi kinaomba ishara! Lakini hakitapewa
amegawanyika yeye mwenyewe. Basi ufalme ishara yo yote isipokuwa ile ishara ya nabii
wake utawezaje kusimama? 27Nami kama natoa Yona. 40Kwa maana kama vile Yona alivyokuwa
pepo wachafu kwa nguvu za Beelzebuli b , watu ndani ya tumbo la nyangumi c kwa muda wa
wenu je, wao hutoa pepo wachafu kwa uwezo siku tatu mchana na usiku, vivyo hivyo Mwana
wa nani? Hivyo basi, wao ndio wa Adamu atakuwa katika moyo wa nchi siku
watakaowahukumu. 28Lakini kama Mimi ninatoa tatu, mchana na usiku. 41Siku ya hukumu watu
pepo wachafu kwa Roho wa Mungu, basi wa Ninawi watasimama pamoja na kizazi hiki na
Ufalme wa Mungu umekuja juu yenu. kukihukumu, kwa maana wao walitubu katika
29“Au tena, mtu awezaje kuingia katika kuhubiri kwa Yona na tazama hapa yupo yeye
nyumba ya mtu mwenye nguvu na kuteka nyara aliye mkuu kuliko Yona. 42Malkia wa Kusini
mali zake asipomfunga kwanza yule mwenye atasimama wakati wa hukumu na kukihukumu
nguvu? Akiisha mfunga, ndipo hakika anaweza kizazi hiki, kwa kuwa yeye alikuja kutoka miisho
kuteka nyara mali zake. ya dunia ili kuisikiliza hekima ya Solomoni na
30“Mtu asiyekuwa pamoja nami yu kinyume hapa yupo aliye mkuu kuliko Solomoni.’’
nami na mtu ambaye hakusanyi pamoja nami,
hutawanya. 31Kwa hiyo nawaambia, kila dhambi Mafundisho Kuhusu Pepo Mchafu
na kufuru watu watasamehewa, lakini mtu 43“Pepo mchafu amtokapo mtu, hutanga-
atakayemkufuru Roho Mtakatifu hatasamehewa. tanga katika sehemu zisizo na maji akitafuta
32“Mtu ye yote atakayesema neno dhidi ya mahali pa kupumzika, lakini hapati. 44Ndipo
husema, ‘Nitarudi kwenye ile nyumba yangu
nilikotoka,’ Naye arudipo huikuta ile nyumba
a24 Beelizebuli au Beelizebubu maana yake: mkuu wa pepo
wachafu.
ikiwa tupu, imefagiliwa na kupangwa vizuri.
b27 Beelzebul au Beelizebubu maana yake mkuu wa pepo
wachafu. c40 Nyangumi ni samaki mkubwa sana
14
MATHAYO
45Kisha huenda na kuwaleta pepo wachafu atanyang'anywa. 13Hii ndiyo sababu nasema
wengine saba, wabaya zaidi kuliko yeye, nao nao kwa mifano:
huingia na kuishi humo. Nayo hali ya mwisho ya
mtu yule huwa mbaya zaidi kuliko ile ya kwanza. ‘‘Ingawa wanatazama, hawaoni,
Ndivyo itakavyokuwa kwa kizazi hiki cha uovu.’’ wanasikiliza, lakini hawasikii, wala
hawaelewi.
Mama Na Ndugu Zake Yesu
46Wakati alipokuwa akali anazungumza na 14Kwao unatimia ule unabii wa Isaya aliposema:
makutano, mama Yake na ndugu Zake ‘‘ ‘Hakika mtasikiliza lakini hamtaelewa,
walisimama nje wakitaka kuongea naye. 47Ndipo na pia mtatazama lakini hamtaona.
mtu mmoja akamwambia, “Tazama mama Yako 15Kwa maana mioyo ya watu hawa imekuwa
wamesimama ukingoni mwa bahari. 3Ndipo mpanzi: 19Mtu ye yote anaposikia neno la
akawaambia mambo mengi kwa mifano, Ufalme, naye asilielewe, yule mwovu huja na
akisema: “Mpanzi alitoka kwenda kupanda kunyakua kile kilichopandwa moyoni mwake, hii
mbegu zake. 4Alipokuwa akipanda, baadhi ndiyo ile mbegu iliyopandwa kando ya njia.
zikaanguka kando ya njia, ndege wakaja na 20Ile mbegu iliyopandwa kwenye sehemu yenye
kuzila. 5Nyingine zikaanguka sehemu yenye mawe ni mtu yule ambaye hulisikia neno na
mawe, ambapo hapana udongo mwingi. Zikaota mara hulipokea kwa furaha. 21Lakini kwa kuwa
haraka kwa sababu udongo ulikuwa hauna kina. hana mizizi yenye kina ndani yake, lile neno
6Lakini jua lilipozidi, mimea hiyo ilinyauka na hukaa kwa muda mfupi. Inapotokea dhiki au
kukauka kwa sababu mizizi yake haikuwa na mateso kwa ajili ya hilo neno, yeye mara
kina. 7Mbegu nyingine zilianguka katikati ya huchukizwa. 22Ile mbegu iliyopandwa katika
miiba, miiba hiyo ikakua ikazisonga. 8Mbegu miiba ni yule mtu alisikiaye neno, lakini
nyingine zilianguka kwenye udongo mzuri masumbufu ya dunia na vishawishi vya mali
ambapo zilitoa mazao, nyingine mara mia moja, hulisonga lile neno na kulifanya lisizae matunda.
nyingine mara sitini na nyingine mara thelathini. 23Lakini ile mbegu iliyopandwa kwenye udongo
9Yeye mwenye masikio ya kusikia na asikie.’’ mzuri ni yule mtu ambaye hulisikia neno na
kulielewa. Naye hakika hutoa matunda, akizaa
Sababu Ya Kufundisha Kwa Mifano mara mia, au mara sitini, au mara thelathini ya
10Wanafunzi wake wakamwendea mbegu iliyopandwa.’’
wakamwuliza, “Kwa nini unasema na watu kwa
mifano?’’ 11Akawajibu, “Ninyi mmepewa Mfano Wa Magugu
kuzifahamu siri za Ufalme wa Mbinguni, lakini 24Yesu akawaambia mfano mwingine,
wao sivyo. 12Kwa maana yule aliye na kitu akasema: ‘‘Ufalme wa Mbinguni unaweza
atapewa zaidi, naye atakuwa navyo tele, lakini kufananishwa na mtu aliyepanda mbegu nzuri
yule asiye na kitu, hata kile alichonacho katika shamba lake. 25Lakini wakati kila mtu
15
MATHAYO
alipokuwa amelala, adui yake akaja na kupanda 37Akawaambia, “Aliyepanda mbegu nzuri ni
magugu katikati ya ngano, akaenda zake. Mwana wa Adamu. 38Shamba ni ulimwengu na
26Ngano ilipoota na kutoa masuke, magugu mbegu nzuri ni wana wa Ufalme. Magugu ni
nayo yakatokea. wana wa yule mwovu. 39Yule adui aliyepanda
27“Watumishi wa yule mwenye shamba magugu ni Ibilisi . Mavuno ni mwisho wa dunia,
wakamjia na kumwambia, ‘Bwana, si tulipanda nao wavunaji ni malaika.
mbegu nzuri shambani mwako? Basi, magugu 40‘‘Kama vile magugu yang’olewavyo na
wakati wa mavuno. Wakati huo nitawaambia Ufalme wa Baba yao. Yeye aliye na masikio , na
wavunaji, wayakusanye magugu kwanza, asikie.
wayafunge matita matita ili yachomwe moto,
kisha wakusanye ngano na kuileta ghalani Mfano Wa Hazina Iliyofichwa na Lulu
mwangu.’ ’’ 44‘‘Ufalme wa Mbinguni unafanana na
mwake. 32Ingawa mbegu hiyo ni ndogo kuliko mfanyi biashara aliyekuwa akitafuta lulu safi.
mbegu zote, lakini inapokua ni mmea mkubwa 46Alipoipata lulu moja ya thamani kubwa,
kuliko yote ya bustanini, nao huwa mti mkubwa, alikwenda akauza vyote alivyokuwa navyo
hata ndege wa angani huja na kutengeneza akainunua.
viota katika matawi yake.’’
Mfano Wa Wavu
Mfano Wa Chachu 47“Tena, Ufalme wa Mbinguni ni kama wavu
33Akawaambia mfano mwingine, ‘‘Ufalme wa kuvulia samaki uliotupwa baharini ukavua
wa Mbinguni unafanana na chachu ambayo samaki wa kila aina. 48Ulipojaa, wavuvi
mwanamke aliichukua akaichanganya katika wakavuta pwani, wakaketi na kukusanya samaki
vipimo vitatu vya unga mpaka wote ukaumuka.’’ wazuri kuwaweka kwenye vyombo safi, lakini
wale samaki wabaya wakawatupa. 49Hivi ndivyo
Sababu Ya Yesu Kutumia Mifano itakavyokuwa wakati wa mwisho wa dunia.
34Yesu alinena mambo haya yote kwa Malaika watakuja na kuwatenganisha watu
makutano kwa mifano. Wala pasipo mfano waovu na watu wenye haki. 50Nao watawatupa
hakuwaambia lo lote. 35Hii ilikuwa ili kutimiza lile hao waovu katika tanuru la moto ambako
lililonenwa kwa vinywa vya manabii kusema: kutakuwa na kilio na kusaga meno.
51Yesu akauliza, ‘‘Je, mmeyaelewa haya
16
MATHAYO
akaondoka. 54Alipofika mjini kwao, kupitia nchi kavu, kutoka mijini. 14Yesu alipofika
akawafundisha watu katika sinagogi lao. Nao kando ya bahari aliona makutano makubwa ya
wakastaajabu, wakauliza, ‘‘Mtu huyu amepata watu, akawahurumia na akawaponya wagonjwa
wapi hekima hii na uwezo huu wa kufanya wao.
miujiza?” 55‘‘Huyu si yule mwana wa seremala? 15Ilipofika jioni, wanafunzi wake wakamjia
Mama yake si yeye aitwaye Maria, nao ndugu wakamwambia, “Mahali hapa ni nyikani, na
zake ni Yakobo, Yosefu, Simoni na Yuda? muda sasa umekwisha, waage makutano ili
56Nao dada zake wote hawako hapa pamoja waende zao vijijini wakajinunulie chakula.’’
nasi? Mtu huyu amepata wapi basi mambo haya 16Yesu akawaambia, “Hakuna sababu ya
Yohana Mbatizaji, amefufuka kutoka kwa wafu! wake wakakusanya vipande vilivyosalia,
Hiyo ndiyo sababu nguvu za kutenda miujiza wakajaza vikapu kumi na viwili. 21Idadi ya wale
zinafanya kazi ndani yake.’’ watu waliokula walikuwa wanaume 5,000, bila
3Herode alikuwa amemkamata Yohana kuhesabu wanawake na watoto.
akamfunga na kumweka gerezani kwa sababu
ya Herodia, mke wa Filipo, ndugu yake, 4kwa Yesu Atembea Juu Ya Maji
kuwa Yohana alikuwa amemwambia Herode 22MaraYesu akawaambia wanafunzi wake
kwamba, “Si halali kwako kuwa na huyo waingie kwenye chombo watangulie kwenda
mwanamke.’’ 5Herode alitaka sana kumwua ng'ambo ya pili ya bahari, wakati Yeye
Yohana, lakini akiogopa watu kwa maana anawaaga wale makutano. 23Baada ya
walimtambua kuwa ni nabii. kuwaaga, akaenda zake mlimani peke yake
6Katika siku ya kuadhimisha sikukuu ya kuomba. Jioni ilipofika, Yesu alikuwa huko peke
kuzaliwa kwa Herode, binti wa Herodia alicheza Yake. 24Wakati huo kile chombo kilikuwa
mbele ya watu waliohudhuria akamfurahisha kimeshafika mbali kutoka nchi kavu
sana Herode 7kiasi kwamba aliahidi kwa kiapo kikisukwasukwa na mawimbi kwa sababu upepo
kumpa huyo binti lo lote atakaloomba. 8Yeye ulikuwa wa mbisho.
akiwa amefundishwa na mama yake, huyo binti 25Wakati wa zamu ya nne ya usiku a , Yesu
akasema, “Nipatie kichwa cha Yohana Mbatizaji akawaendea wanafunzi wake akiwa anatembea
kwenye sinia.’’ 9Mfalme akasikitika, lakini kwa juu ya maji. 26Wanafunzi wake walipomwona
ajili ya kile kiapo alichoapa mbele ya wageni, akitembea juu ya maji, waliingiwa na hofu kuu,
akaamuru kwamba apatiwe ombi lake. 10Hivyo wakasema, ‘‘Ni mzimu.’’ Wakapiga yowe kwa
akaagiza Yohana Mbatizaji akatwe kichwa mle kuogopa.
gerezani. 11Kichwa chake kikaletwa kwenye 27Lakini mara Yesu akasema nao,
sinia, akapewa yule binti, naye akampelekea akawaambia, “Jipeni moyo! Ni Mimi, msiogope.’’
mama yake. 12Wanafunzi wa Yohana wakaja na 28Petro akamjibu, ‘‘Bwana, ikiwa ni Wewe,
kuuchukua mwili wake kwenda kuuzika. Kisha niambie nije kwako nikitembea juu ya maji.’’
wakaenda wakamwambia Yesu. 29Yesu akamwambia, “Njoo.’’
yametukia, aliondoka kwa chombo akaenda naye akaanza kuzama, huku akipiga kelele,
mahali pasipo na watu ili awe peke yake. Lakini “Bwana, niokoe!’’
watu walipopata habari, wakamfuata kwa miguu
a25 “Zamu ya nne ya usiku’’ ni kati ya saa 9 na saa 12 alfajiri
17
MATHAYO
31Mara Yesu akanyosha mkono Wake na yangu wa mbinguni hakulipanda, litang'olewa.
kumshika, akamwambia, “Wewe mwenye imani 14Waacheni, wao ni viongozi vipofu,
haba, kwa nini uliona shaka?’’ wanaoongoza vipofu. Kama kipofu
32Nao walipoingia ndani ya chombo, upepo akimwongoza kipofu mwenzake, wote wawili
ukakoma. 33Ndipo wote waliokuwamo ndani ya watatumbukia shimoni.’’
kile chombo wakamwabudu Yesu wakisema, 15Petro akasema, “Tuelezee maana ya huu
wako wanakiuka mapokeo ya wazee waliopita? sehemu za Tiro na Sidoni. 22Mwanamke mmoja
Kwa maana wao hawanawi mikono yao kabla Mkananayo aliyeishi jirani na sehemu hizo akaja
ya kula!’’ kwake, akilia, akasema, “Nihurumie,Ee Bwana,
3Yesu akawajibu, “Mbona ninyi mnavunja Mwana wa Daudi, binti yangu amepagawa na
amri ya Mungu kwa ajili ya mapokeo yenu? pepo na anateseka sana.’’
4Kwa maana Mungu alisema, ‘Waheshimu baba 23Lakini Yesu hakumjibu neno. Hivyo
yako na mama yako’ na ‘Ye yote amtukanaye wanafunzi wake wakamwendea na kumsihi
baba yake au mama yake, na auawe.’ 5Lakini sana, wakisema, “Mwambie aende zake, kwa
ninyi mwafundisha kwamba mtu akimwambia maana anaendelea kutupigia kelele.’’
baba yake au mama yake, ‘Kile ambacho 24Yesu akajibu, “Nimetumwa tu kwa ajili ya
baba yake. 6Basi kwa ajili ya mafundisho yenu magoti mbele ya Yesu, akasema, ‘‘Bwana,
mnavunja amri ya Mungu. 7Ninyi wanafiki! Isaya nisaidie!’’
alikuwa sawa alipotabiri juu yenu kwamba: 26Yesu akajibu, ‘‘Si haki kuchukua chakula
lakini mioyo yao iko mbali nami. lakini hata mbwa hula makombo yanayoanguka
9Kuniabudu kwao ni bure, kutoka kwenye meza za bwana zao.’’
nayo mafundisho yao ni maagizo ya 28Ndipo Yesu akamwambia, “Mwanamke,
Mungu si kile kiingiacho kinywani mwake, bali ni bahari ya Galilaya. Kisha akapanda mlimani,
kile kitokacho kinywani mwake.’’ akaketi huko. 30Umati mkubwa wa watu
12Kisha wanafunzi wake wakamjia na wakamjia, wakiwaleta vilema, vipofu,viwete,
kumwuliza, Je, unajua kwamba Mafarisayo bubu na wengine wengi, wakawaweka miguuni
walichukizwa sana waliposikia yale uliyosema?’’ pake, naye akawaponya.31Hao watu
13Akawajibu, “Kila pando ambalo Baba wakashangaa walipoona bubu wakisema,
18
MATHAYO
vilema wakipona, viwete wakitembea na vipofu mikate. 6Yesu akawaambia, “Jihadharini,
wakiona, wakamtukuza Mungu wa Israeli. jilindeni na chachu ya Mafarisayo na ya
Masadukayo.’’
Yesu Alisha Watu Elfu Nne 7Wakajadiliana wao kwa wao, wakisema,
32Kisha Yesu akawaita wanafunzi wake “Ni kwa sababu hatukuleta mikate.’’
akawaambia, “Ninahurumia huu umati wa watu, 8Yesu, akitambua mazungumzo yao,
kwa sababu sasa wamekuwa pamoja nami kwa akasema, “Enyi wa imani haba! Mbona
muda wa siku tatu na hawana cho chote cha mnajadiliana miongoni mwenu kuhusu kutokuwa
chakula, nami sipendi kuwaaga wakiwa na njaa na mikate? 9Je, bado tu hamwelewi?
wasije wakazimia njiani.” Je,hamkumbuki ile mikate mitano iliyolisha watu
33Wanafunzi wake wakasema, ‘‘Tutapata 5,000 na ni idadi ya vikapu vingapi vya mabaki
wapi mikate ya kutosha kuwalisha umati huu wa mlivyokusanya? 10Au ile mikate saba iliyolisha
watu mkubwa namna hii, nasi tuko nyikani?’’ watu 4,000 na ni idadi ya vikapu vingapi vya
34Yesu akawauliza, “Mnayo mikate mabaki mlivyokusanya? 11Inakuwaje
vikapu saba. 38Idadi ya watu walikuwa wanaume Filipi, akawauliza wanafunzi wake, “Watu
4,000, bila kuhesabu wanawake na watoto. husema Mwana wa Adamu ni nani?”
39Baada ya kuaga ule umati wa watu, Yesu 14Wakamjibu, “Baadhi ya watu husema ni
mnasema, ‘Hali ya hewa itakuwa nzuri, kwa Simoni mwana wa Yona, kwa maana hili
kuwa anga ni nyekundu,’ 3nanyi wakati wa halikufunuliwa kwako na mwanadamu, bali na
asubuhi mnasema, ‘Leo kutakuwa na dhoruba, Baba yangu aliye mbinguni. 18 ‘‘Nami
kwa sababu anga ni nyekundu na mawingu nakuambia, wewe ndiwe Petro na juu ya
yametanda.’ Mnajua jinsi ya kupambanua kule mwamba huu nitalijenga kanisa langu, hata
kuonekana kwa anga, lakini hamwezi malango ya kuzimu hayataweza kulishinda.
kupambanua dalili za nyakati. 4Kizazi cha 19Nitakupa funguo za Ufalme wa Mbinguni na lo
waovu na cha zinaa hutafuta ishara ya majira, lote utakalolifunga duniani litakuwa limefungwa
lakini hakitapewa ishara yo yote isipokuwa Mbinguni, lo lote utakalofungua duniani litakuwa
ishara ya Yona.” Yesu akawaacha, akaenda limefunguliwa mbinguni.’’ 20Kisha akawakataza
zake. wanafunzi wake wasimwambie mtu ye yote
kwamba Yeye ndiye Kristo.
Chachu Ya Mafarisayo Na Masadukayo
5Wanafunzi wake walipofika ng’ambo ya pili Yesu Anatabiri Juu Ya Kifo Chake
ya bahari, walikuwa wamesahau kuchukua
a16 Kristo maana yake Masiya, yaani, Mpakwa
a39 Magadani hapa inamaanisha Magdala. (Aliyetiwa)Mafuta.’’
19
MATHAYO
21Tangu wakati huo Yesu alianza kuwaeleza macho yao, hawakumwona mtu mwingine ye
wanafunzi wake kwamba hana budi kwenda yote isipokuwa Yesu .
Yerusalemu na kupata mateso mengi kwa 9Walipokuwa wakishuka kutoka mlimani,
kumkemea, akisema, “Mungu apishie hayo basi walimu wa sheria wanasema kwamba
mbali! Jambo hili kamwe halitakupata!!’’ lazima Eliya aje kwanza?’’
23Lakini Yesu akageuka na kumwambia 11Yesu akawajibu, ‘‘Ni kweli, Eliya lazima
Petro , “Rudi nyuma yangu, Shetani! Wewe ni aje kwanza naye atatengeneza mambo yote.
kikwazo kwangu. Moyo wako hauwazi yaliyo ya 12Lakini nawaambia, Eliya amekwisha kuja, nao
mtu kuupata ulimwengu wote, lakini mmoja akamjia Yesu na kupiga magoti mbele
akayapoteza maisha yake? Au mtu atatoa nini yake, akasema, 15“Bwana, mhurumie
badala ya maisha yake? 27Kwa maana Mwana mwanangu. Yeye ana kifafa na anateseka sana.
wa Adamu atakuja katika utukufu wa Baba yake Mara kwa mara huanguka kwenye moto au
pamoja na malaika zake, naye ndipo kwenye maji. 16Nilimleta kwa wanafunzi wako
atakapomlipa kila mtu kwa kadiri ya matendo lakini hawakuweza kumponya.’’
yake. 28Nawaambia kweli, baadhi yenu hapa 17Yesu akajibu, “Enyi kizazi kisichoamini na
hawataonja mauti kabla ya kumwona Mwana wa kilichopotoka, nitakaa nanyi hata lini, nami
Adamu akija katika Ufalme wake.’’ nitawavumilia hadi lini? Mleteni kijana hapa
kwangu.’’ 18Yesu akamkemea yule pepo
Yesu Abadilika Sura Mlimani mchafu, akamtoka yule kijana, naye akapona
Siku sita baada ya jambo hili,Yesu saa ile ile
17 akawachukua Petro, Yakobo na 19Kisha wanafunzi wakamwendea Yesu
Yohana ndugu yake Yakobo, na kuwaleta wakati ambapo hakuna watu, wakamwuliza,
mpaka juu ya mlima mrefu mahali pasipo na “Kwa nini sisi hatukuweza kumtoa?”
watu. 2Wakiwa huko, Yesu alibadilika sura 20Akawajibu, ‘‘Kwa sababu ya imani yenu
mbele yao. Uso wake ukang'aa kama jua na ndogo. Ninawaambia kweli, mkiwa na imani
nguo zake zikawa na weupe wa kuumiza kama punje ndogo ya haradali, mtauambia
macho. 3Ghafula wakawatokea mbele yao Mose mlima huu, ‘Ondoka hapa uende pale’ nao
na Eliya, wakizungumza na Yesu. utaondoka. Wala hakutakuwa na jambo
4Ndipo Petro akamwambia Yesu, ‘‘Bwana, lisilowezekana kwenu.’’ 21 ‘‘Lakini hali kama hii
ni vema sisi tukae hapa. Ukitaka, nitafanya haitoki ila kwa kuomba na kufunga.’’
vibanda vitatu: kimoja chako, kingine cha Mose 22Siku moja walipokuwa pamoja huko
20
MATHAYO
wakamjia Petro na kumwuliza, “Je, Mwalimu
wenu halipi kodi ya Hekalu a ?’’ Mfano Wa Kondoo Aliyepotea
25Petro akajibu, “Ndiyo, Yeye hulipa.” Petro 10‘‘Angalia ili usimdharau mmojawapo wa
aliporudi nyumbani, Yesu akawa wa kwanza hawa wadogo, kwa maana nawaambia, malaika
kulizungumzia, akamwuliza, “Unaonaje wao mbinguni daima wanauona uso wa Baba
Simoni?’’ Wafalme wa dunia hupokea ushuru na yangu aliye mbinguni.’’ 11Kwa maana Mwana
kodi kutoka kwa nani? Je, ni kutoka kwa watoto wa Adamu alikuja kuokoa kile kilichopotea.
wao au kutoka kwa watu wengine?” 12“Mwaonaje? Ikiwa mtu anao kondoo mia
26Petro akamjibu, “Kutoka kwa watu moja na mmoja wao akapotea, hatawaacha
wengine.’’ Yesu akamwambia, “Kwa hiyo watoto wale tisini na tisa vilimani na kwenda kumtafuta
wao wamesamehewa. 27Lakini ili tusije huyo mmoja aliyepotea? 13Naye akisha mpata,
tukawaudhi, nenda baharini ukatupe ndoana. amin, nawaambia, hufurahi zaidi kwa ajili ya
Mchukue samaki wa kwanza utakayemvua, huyo kondoo mmoja kuliko wale tisini na tisa
fungua kinywa chake nawe utakuta humo fedha, ambao hawakupotea. 14Vivyo hivyo, Baba yenu
ichukue ukalipe kodi yako na yangu.” wa mbinguni hapendi hata mmojawapo wa
hawa wadogo apotee.’’
Aliye Mkuu Katika Ufalme Wa Mbinguni
Wakati huo, wanafunzi wakamjia Yesu Ndugu Yako Akikukosea
18 na kumwuliza “Je, nani aliye mkuu 15“Kama ndugu yako akikukosea, nenda
kuliko wote katika Ufalme wa Mbinguni?” ukamwonyeshe kosa lake, kati yenu ninyi wawili
2Yesu akamwita mtoto mdogo na peke yenu. Kama akikusikiliza, utakuwa
kumsimamisha katikati yao. 3Naye akasema: umempata tena ndugu yako. 16Lakini kama
‘‘Amin, nawaambia, msipoongoka na kuwa hatakusikiliza, nenda na mtu mwingine mmoja
kama watoto wadogo, kamwe hamtaingia katika au wawili ili kila neno lithibitishwe na ushahidi
Ufalme wa Mbinguni. 4Kwa hiyo mtu yeyote wa mashahidi wawili au watatu. 17Kama
ajinyenyekezaye kama huyu mtoto, ndiye aliye akikataa kuwasikiliza hao, liambie kanisa, naye
mkuu kuliko wote katika Ufalme wa Mbinguni. kama akikataa hata kulisikiliza kanisa, basi
5“Ye yote amkaribishaye mtoto mdogo mtendeeni mtu huyo kama vile ambavyo
kama huyu kwa jina langu, anikaribisha mimi. mngemtendea asiyeamini.
18“Amin, nawaambieni, lo lote
Kujaribiwa Ili Kutenda Dhambi mtakalolifunga duniani litakuwa limefungwa
6Lakini kama mtu ye yote anamsababisha mbinguni na lo lote mtakalolifungua duniani
mmojawapo wa hawa wadogo wanaoniamini litakuwa limefunguliwa mbinguni.
atende dhambi, ingekuwa bora kwake afungiwe 19“Tena nawaambia, ikiwa wawili wenu
jiwe kubwa la kusagia shingoni mwake na watakubaliana duniani kuhusu jambo lo lote
kutoswa katika kilindi cha bahari. watakaloomba, watafanyiwa na Baba yangu
7“Ole wa ulimwengu kwa sababu ya yale aliye mbinguni. 20Kwa kuwa wanapokusanyika
mambo yanayosababisha watu kutenda dhambi! pamoja watu wawili au watatu kwa jina langu,
Mambo hayo lazima yawepo, lakini ole wake mimi niko papo hapo pamoja nao.”
mtu yule ambaye huyasababisha. 8Ikiwa mkono
wako au mguu wako unakusababisha utende Kusamehe
dhambi, ukate na uutupe mbali. Ni afadhali 21Ndipo Petro akamjia Yesu na kumwuliza,
kwako kuingia katika uzima ukiwa huna mkono “Bwana, ndugu yangu anikosee mara ngapi
mmoja au mguu mmoja, kuliko kuwa na mikono nami nimsamehe? Je, hata mara saba?”
miwili au miguu miwili na kutupwa katika moto 22Yesu akamjibu, ‘‘Sikuambii hata mara
wa milele. 9Nalo jicho lako kama saba, bali hata saba mara sabini.’’
linakusababisha utende dhambi ling'oe, ulitupe
mbali. Ni afadhali kwako kuingia katika uzima Mfano Wa Mtumishi Asiyesamehe
ukiwa na jicho moja, kuliko kuwa na macho 23‘‘Kwa hiyo Ufalme wa Mbinguni unaweza
mawili lakini ukatupwa katika moto wa jehanam. kufananishwa na mfalme aliyetaka kufanya
hesabu zake za fedha na watumishi wake.
24Alipoanza kufanya hesabu zake, mtu mmoja
a24 Kodi ya hekalu hapa ilikuwa “didrachmas,’’ yaani drakamu mbili
ambazo ni sawa na nusu shekeli.
21
MATHAYO
aliyekuwa anadaiwa talanta 10,000 a ,
aliletwa 4Akawajibu, “Je, hamkusoma kwamba hapo
kwake. 25Kwa kuwa alikuwa hawezi kulipa deni mwanzo Mwumba aliwaumba mtu mume na mtu
hilo, bwana wake akaamuru kwamba auzwe, mke. 5Naye akasema, ‘Kwa sababu hii mtu
yeye, mkewe, watoto wake na vyote alivyokuwa atamwacha baba yake na mama yake naye
navyo, ili lile deni lipate kulipwa. ataambatana na mkewe na hao wawili
26‘‘Yule mtumishi akampigia magoti, watakuwa mwili mmoja?’ 6Hivyo si wawili tena,
akamsihi yule bwana akisema, `Naomba bali ni mwili mmoja. Kwa hiyo kile
univumilie, nami nitakulipa deni lako lote.’’ alichokiunganisha Mungu, mwanadamu
27Yule bwana wa huyo mtumishi akamwonea asikitenganishe.’’
huruma, akafuta deni lake lote, akamwacha 7Wakamwuliza, “Kwa nini basi Mose
atakavyomfanyia kila mmoja wenu ikiwa Yesu ili aweke mikono yake juu yao na
hatamsamehe kutoka moyoni kila mmoja ndugu awaombee. Lakini wanafunzi wake
yake aliyemkosea.’’ wakawakemea wale waliowaleta.
14Yesu akasema, “Waacheni watoto
Yesu Afundisha Kuhusu Talaka wadogo waje kwangu, wala msiwazuie, kwa
kumjaribu wakamwuliza, “Ni halali mtu “Mwalimu mwema, nifanye jambo gani jema ili
kumwacha mke wake kwa sababu yo yote?’’ nipate uzima wa milele?”
17Yesu akamjibu, “Mbona unaniita mimi
22
MATHAYO
18Yule mtu akamwuliza,’’Amri zipi?’’ ujira wa dinari moja a kwa siku, akawapeleka
Yesu akamjibu, ‘‘Usiue, usizini, usiibe, kwenye shamba lake la mizabibu.
usishuhudie uongo, 19waheshimu baba yako na 3“Mnamo saa tatu akatoka tena, akawakuta
mama yako na umpende jirani yako kama nafsi wengine wamesimama sokoni bila kazi.
yako.’’ 4Akawaambia, ‘Ninyi nanyi nendeni mkafanye
20Yule kijana akasema, ‘‘Hizi zote kazi katika shamba langu la mizabibu, nami
nimezishika. Je, bado nimepungukiwa na nini?’’ nitawalipa cho chote kilicho haki yenu.’ 5Kwa
21Yesu akamwambia, ‘‘Kama ukitaka kuwa hiyo wakaenda.
mkamilifu, nenda, kauze vitu vyote ulivyo navyo ‘‘Akatoka tena mnamo saa sita na pia saa
na hizo fedha uwape maskini, nawe utakuwa na tisa akafanya vivyo hivyo. 6Mnamo saa kumi na
hazina mbinguni. Kisha njoo, unifuate.’’ moja akatoka tena akawakuta wengine bado
22Yule kijana aliposikia hayo, akaenda zake wamesimama bila kazi. Akawauliza, ‘Kwa nini
kwa huzuni, kwa sababu alikuwa na mali nyingi. mmesimama hapa kutwa nzima pasipo kufanya
kazi?’
Hatari Za Utajiri 7Wakamjibu, ‘Ni kwa sababu hakuna ye
23Ndipo Yesu akawaambia wanafunzi wake, yote aliyetuajiri.’
“Amin, amin nawaambia, itakuwa vigumu kwa Akawaambia, ‘Ninyi nanyi nendeni
mtu tajiri kuingia katika Ufalme wa Mbinguni. mkafanye kazi katika shamba langu la
24Tena nawaambia, ni rahisi zaidi kwa ngamia mizabibu.’
kupita kwenye tundu la sindano kuliko mtu tajiri 8“Ilipofika jioni, yule mwenye shamba la
“Kwa mwanadamu jambo hili haliwezekani, na moja, wakaja na kila mmoja wao akapokea
lakini kwa Mungu mambo yote yanawezekana.’’ dinari moja. 10Hivyo wale walioajiriwa kwanza
27Ndipo Petro akamjibu, ‘‘Tazama, sisi walipofika, walidhani watalipwa zaidi. Lakini kila
tumeacha kila kitu na kukufuata, tutapata nini mmoja wao pia alipokea dinari moja.
basi?’’ 11Walipoipokea, wakaanza kulalamika dhidi ya
28Yesu akawaambia, “Amin, amin yule mwenye shamba, 12wakisema,‘Hawa watu
nawaambia , wakati wa kufanywa upya vitu walioajiriwa mwisho wamefanya kazi kwa muda
vyote, wakati mwana wa Adamu atakapoketi wa saa moja tu, nawe umewafanya sawa na sisi
kwenye kiti chake cha utukufu cha enzi, ninyi ambao tumestahimili taabu na joto lote la
mliomfuata pia mtaketi katika viti vya enzi kumi mchana kutwa?’
na viwili, mkiyahukumu makabila kumi na mawili 13“Yule mwenye shamba akamjibu mmoja
ya Israeli. 29Kila mmoja aliyeacha nyumba au wao, ‘Rafiki, sijakudhulumu. Je, hukukubaliana
ndugu zake wa kiume au wa kike au baba au nami kwa ujira wa kawaida wa dinari moja?
mama au watoto au mashamba kwa ajili Yangu, 14Chukua ujira wako na uende. Mimi nimeamua
atapokea mara mia zaidi ya hayo na ataurithi kumlipa huyu mtu aliyeajiriwa mwisho kama
uzima wa milele. 30Lakini wengi walio wa nilivyokupa wewe. 15Je, sina haki yangu kufanya
kwanza watakuwa wa mwisho nao walio wa kile nitakacho na mali yangu mwenyewe ? Au
mwisho watakuwa wa kwanza.’’ unaona wivu kwa kuwa nimekuwa mkarimu?’
16‘‘Vivyo hivyo, wa mwisho watakuwa wa
aliyetoka alfajiri ili kwenda kuajiri vibarua Yerusalemu, aliwachukua kando wale
kufanya kazi katika shamba lake la mizabibu wanafunzi wake kumi na wawili na kuwaambia,
2Baada ya kukubaliana na hao vibarua kuwalipa
23
MATHAYO
18‘‘Tazameni, tunapanda kwenda Yerusalemu, Daudi, uturehemu.’’
naye Mwana wa Adamu atatiwa mikononi mwa 32Yesu akasimama na kuwaita, akawauliza,
watu Mataifa ili wamdhihaki na kumpiga mijeledi 34Yesu akawahurumia na kuwagusa macho
na kumsulibisha msalabani, naye siku ya tatu yao. Mara macho yao yakapata kuona, nao
atafufuka!’’ wakamfuata.
Ombi La Mama Yake Yakobo na Yohana Yesu Anaingia Yerusalemu Kwa Shangwe
21
20Kisha mama yao wana wa Zebedayo Walipokuwa wanakaribia Yerusalemu,
akamjia Yesu pamoja na wanawe, naye akiwa wakafika Bethfage katika Mlima wa
amepiga magoti mbele yake, akamwomba Yesu Mizeituni, ndipo Yesu akawatuma wanafunzi
amfanyie upendeleo. wake wawili, 2akiwaambia, “Ingieni katika kijiji
21Yesu akamwuliza, “Unataka nini?’’ kilichoko mbele yenu, nanyi mtakuta punda
Akajibu, “Tafadhali, wape wanangu hawa, amefungwa na mwanapunda pamoja naye.
mmoja aketi upande wako wa kuume na Wafungueni na mniletee. 3Kama mtu ye yote
mwingine upande wako wa kushoto katika akiwasemesha lo lote, mwambieni, ‘Bwana ana
Ufalme wako.’’ haja nao, naye atawaruhusu mwalete mara.
22Yesu akawaambia, “Ninyi hamjui 4Haya yalitukia ili litimie lile lililonenwa na
Yesu akawaita wote pamoja na kuwaambia, wakatandika mavazi yao juu ya hao punda na
“Mnafahamu kuwa watawala wa watu Yesu akaketi juu yake. 8Umati mkubwa wa watu
wasiomjua Mungu huwatawala kwa nguvu, nao wakatandika nguo zao barabarani na wengine
wenye vyeo huonyesha mamlaka yao. 26Isiwe wakakata matawi kutoka kwenye miti
hivyo kwenu. Badala yake, ye yote anayetaka wakayatandika barabarani. 9Ule umati wa watu
kuwa mkuu miongoni mwenu hana budi kuwa uliomtangulia na ule uliomfuata ukapiga kelele
mtumishi wenu, 27Naye anayetaka kuwa wa ukisema,
kwanza miongoni mwenu ni lazima awe
mtumwa wenu, 28 kama vile ambavyo Mwana “Hosana Mwana wa Daudi!’’
wa Adamu hakuja ili kutumikiwa, bali kutumika “Amebarikiwa Yeye ajaye kwa Jina la
na kuutoa uhai wake uwe fidia kwa ajili ya Bwana!’’
wengi’’ “Hosana juu mbinguni!’’
wa watu ulimfuata. 30Vipofu wawili walikuwa yule nabii kutoka Nazareti katika Galilaya.’’
wameketi kando ya barabara. Waliposikia
kwamba Yesu alikuwa anapita, wakapiga kelele Yesu Atakasa Hekalu
wakisema, “Bwana, Mwana wa Daudi, 12Yesu akaingia katika eneo la hekalu na
24
MATHAYO
“Imeandikwa, ‘Nyumba yangu itaitwa nyumba ya ‘Mbona basi hamkumwamini?’ 26Lakini
sala,’ lakini ninyi mmeifanya kuwa pango la tukisema, ‘Ulitoka kwa wanadamu’,
wanyang'anyi.’’ tunawaogopa hawa watu, maana wote
14Vipofu na vilema wakamwendea kule wanamtambua Yohana kuwa ni nabii.’’
hekaluni, naye akawaponya. 15Lakini viongozi 27Kwa hiyo wakamjibu Yesu, ‘‘Sisi hatujui.’’
kwa huu mtini, bali hata mkiuambia huu mlima, mtu mmoja mwenye shamba ambaye alipanda
‘Ng'oka, ukatupwe baharini,’ nalo litafanyika. mizabibu. Akajenga ukuta kulizunguka,
22Lo lote mtakaloomba katika kusali, mkiamini, akatengeneza shinikizo ndani yake na akajenga
mtapokea. mnara wa ulinzi. Kisha akalikodisha hilo shamba
la mizabibu kwa wakulima fulani, naye
Wahoji Kuhusu Mamlaka Ya Yesu akaondoka akasafiri kwenda nchi nyingine.
23Yesu alipoingia hekaluni, viongozi wa 34“Wakati wa mavuno ulipokaribia, akawatuma
mamlaka gani ninafanya mambo haya. wengi kuliko wale wa kwanza, nao wale
25Ubatizo wa Yohana, ulitoka wapi? Je, ulitoka wapangaji wakawatendea vile vile. 37‘‘Mwisho
mbinguni au kwa wanadamu?’’ wa yote, akamtuma mwanawe kwao, akisema,
Wakaanza kuhojiana wao kwa wao na ‘Watamheshimu mwanangu.’
kusema, ‘‘Tukisema ulitoka mbinguni atatuuliza, 38‘‘Lakini wale wapangaji walipomwona
25
MATHAYO
mwanawe, wakaambiana wao kwa wao, ‘Huyu ‘Karamu ya arusi imeshakuwa tayari, lakini wale
ndiye mrithi. Njoni na tumwue ili tuchukue urithi niliowaalika hawakustahili kuja. 9Kwa hiyo
wake.’ 39Hivyo wakamchukua, wakamtupa nje nendeni katika njia panda mkamwalike
ya shamba la mizabibu, wakamwua. karamuni ye yote mtakayemwona’ 10Wale
40“Kwa hiyo, huyo mwenye shamba, watumishi wakaenda barabarani
atakapokuja atawafanyia nini hao wakulima?’’ wakawakusanya watu wote waliowaona, wema
41Wakamjibu, “Kwa huzuni kuu na wabaya. Ukumbi wa arusi ukajaa wageni.
atawaangamiza kabisa hao wadhalimu na 11“Lakini mfalme alipoingia ndani ili
kulipangisha shamba lake kwa wakulima kuwaona wageni, akamwona mle mtu mmoja
wengine ambao watampatia fungu lake la ambaye hakuwa amevaa vazi la arusi. 12Mfalme
matunda wakati wa mavuno.’’ akamwuliza, ‘Rafiki, uliingiaje humu bila vazi la
42Yesu akawaambia, “Je, hamjasoma katika arusi?’ Yule mtu hakuwa na la kusema.
maandiko kwamba: 13Ndipo mfalme akawaambia watumishi
biashara zake. 6Wengine wao wakawakamata kuwa na watoto, ndugu yake amwoe huyo
wale watumishi wake wakawatenda vibaya na mjane ili ampatie watoto huyo nduguye
kuwaua. 7“Yule mfalme akakasirika sana, aliyekufa. 25Basi palikuwa na ndugu saba
akapeleka jeshi lake likawaangamiza wale miongoni mwetu. Yule wa kwanza akaoa mke,
wauaji na kuuteketeza mji wao kwa moto. naye akafa na kwa kuwa hakuwa na watoto,
8“Kisha akawaambia watumishi wake, akamwachia nduguye yule mjane. 26Ikatokea
26
MATHAYO
vivyo hivyo kwa yule ndugu wa pili na wa tatu, aliyeweza kumjibu Yesu neno. Tena tangu siku
hadi wote saba. 27Hatimaye, yule mwanamke hiyo hakuna aliyethubutu kumwuliza tena
naye akafa. 28Sasa basi, siku ile ya ufufuo, yeye maswali.
atakuwa mke wa nani miongoni mwa wale
ndugu saba, kwa kuwa wote walikuwa Yesu Awashutumu Walimu Wa Sheria Na
wamemwoa huyo mwanamke?” Mafarisayo
23
29Yesu akawajibu, “Mwapotoka kwa sababu Kisha Yesu akauambia ule umati wa
hamjui maandiko wala uweza wa Mungu. watu pamoja na wanafunzi wake:
30Wakati wa ufufuo watu hawataoa wala 2“Walimu wa sheria na Mafarisayo wameketi
kuolewa, bali watakuwa kama malaika wa katika kiti cha Mose, 3hivyo inawapasa kuwatii
Mungu mbinguni. 31Lakini kuhusu ufufuo wa na kufanya kila kitu wanachowaambia. Lakini
wafu, hamjasoma kile Mungu alichowaambia msifuate yale wanayotenda, kwa sababu
kwamba, 32 ‘Mimi ni Mungu wa Abrahamu, hawatendi yale wanayohubiri. 4Wao hufunga
Mungu wa Isaki na Mungu wa Yakobo?’ Yeye si mizigo mikubwa na kuiweka mabegani mwa
Mungu wa wafu bali ni Mungu wa walio hai.’’ watu, lakini wao wenyewe hawako radhi hata
33Ule umati wa watu uliposikia hayo, kuinua kidole ili kuisogeza.
ulishangaa sana kwa mafundisho yake. 5“Wao hufanya mambo yao yote ili
katika Torati iliyo kuu kuliko zote?’’ mnaye Bwana mmoja na ninyi nyote ni ndugu.
37Yesu akamjibu, “‘Mpende Bwana Mungu 9Nanyi msimwite mtu ye yote ‘Baba’ hapa
wako kwa moyo wako wote na kwa roho yako duniani kwa maana mnaye Baba mmoja, naye
yote na kwa akili zako zote.’ 38Hii ndio amri iliyo yuko mbinguni. 10Wala msiitwe ‘mwalimu’ kwa
kuu, tena ni ya kwanza. 39Nayo ya pili ni kama maana mnaye mwalimu mmoja tu, ndiye Kristo.
hiyo, nayo ni hii: ‘Mpende jirani yako kama nafsi 11Yeye aliye mkuu kuliko ninyi nyote miongoni
yako.’ 40Amri hizi mbili ndizo msingi wa Torati na mwenu atakuwa mtumishi wenu. 12Kwa kuwa ye
manabii.’ ’’ yote anayejikweza atashushwa, na ye yote
anayejinyenyekeza atakwezwa.
Swali Kuhusu Mwana wa Daudi 13“Lakini ole wenu, walimu wa sheria na
41Wakati Mafarisayo wakiwa Mafarisayo, wanafiki! Kwa maana mnawafungia
wamekusanyika pamoja, Yesu akawauliza, watu milango ya Ufalme wa Mbinguni. Ninyi
42“Mnaonaje kuhusu Kristo a ? Yeye ni mwana wenyewe hamuingii humo, nao wale wanaotaka
wa nani?” kuingia mnawazuia. 14 “Ole wenu walimu wa
Wakamjibu, “Yeye ni mwana wa Daudi.’’ sheria na Mafarisayo, enyi wanafiki! Mnakula
43Akawaambia, “Inakuwaje basi kwamba katika nyumba za wajane, nanyi kwa kujifanya
Daudi akinena kwa Roho, anamwita Kristo kuwa wema, mnasali sala ndefu. Kwa hiyo
‘Bwana,’ kwa maana asema, adhabu yenu itakuwa kubwa zaidi.’’
15“Ole wenu walimu wa sheria na
44“ ‘Bwana Mungu alimwambia Bwana wangu: Mafarisayo, wanafiki! Ninyi mnasafiri baharini na
keti wewe mkono wangu wa kuume, nchi kavu ili kumfanya mtu mmoja ageuke na
hadi nitakapowaweka adui zako chini ya kuwafuata ninyi, lakini baada ya kumpata,
miguu yako.’ mnamfanya mwana wa jehanamu mara mbili
kuliko ninyi!
45“Kama basi Daudi anamwita yeye ‘Bwana,’ 16“Ole wenu, viongozi vipofu! Ninyi
awezaje kuwa mwanae?’’ 46Hakuna mtu mwasema, ‘Mtu akiapa kwa hekalu, kiapo hicho
si kitu, lakini mtu akiapa kwa dhahabu ya
a42 Kristo maana yake Masiya ,yaani Mpakwa(Aliyetiwa) Mafuta.’’
a7 Rabi maana yake bwana, mwalimu
27
MATHAYO
hekalu, amefungwa kwa kiapo chake.’ 17Ninyi katika masinagogi yenu na wengine
vipofu wapumbavu! Ni kipi kilicho kikuu zaidi, ile mtawafuatia kutoka mji mmoja hadi mji
dhahabu au lile hekalu ambalo ndilo linaloifanya mwingine. 35Hivyo ile damu ya wenye haki wote
hiyo dhahabu kuwa takatifu? 18Pia mnasema, iliyomwagwa hapa duniani, tangu damu ya
‘Mtu akiapa kwa madhabahu, si kitu, lakini mtu Abeli, ambaye alikuwa hana hatia, hadi damu ya
akiapa kwa sadaka iliyo juu ya madhabahu, Zekaria mwana wa Barakia, mliyemwua kati ya
amefungwa kwa kiapo chake?’ 19Ninyi vipofu! Ni Patakatifu na madhabahu, itawajia juu yenu.
kipi kikuu zaidi, ile sadaka, au ile madhabahu 36Amin, nawaambieni, haya yote yatakuja juu ya
kwa hekalu, huapa kwa hilo hekalu na kwa huyo kuwapiga mawe wale waliotumwa kwenu! Mara
akaaye ndani yake. 22Naye aapaye kwa mbingu, ngapi nimetamani kuwakusanya watoto wako,
huapa kwa kiti cha enzi cha Mungu na kwa kama vile kuku akusanyavyo vifaranga vyake
Yeye aketiye juu ya kiti hicho. chini ya mbawa zake, lakini hukutaka! 38Tazama
23“Ole wenu walimu wa sheria na nyumba yako imeachwa tupu na ukiwa. 39Kwa
Mafarisayo, ninyi wanafiki! Kwa maana mnatoa maana nawaambia, hamtaniona tena mpaka
zaka ya mnanaa, bizari na jira, lakini mmeacha siku ile mtakaposema, ‘Amebarikiwa Yeye ajaye
mambo makuu zaidi ya sheria, yaani, haki, kwa Jina la Bwana.”
huruma na uaminifu. Haya imewapasa
kuyafanya bila kusahau hayo mengine. 24Ninyi Kubomolewa Kwa Hekalu Kwatabiriwa
viongozi vipofu, mnachuja kiroboto lakini
mnameza ngamia!
25“Ole
24 Yesu akatoka hekaluni na alipokuwa
akienda zake, wanafunzi wake
wenu, walimu wa sheria na wakamwendea ili kumwonyesha majengo ya
Mafarisayo, ninyi wanafiki! Kwa maana hekalu. 2Ndipo Yesu akawauliza, “Je, mnayaona
mnasafisha nje ya kikombe na kisahani, lakini haya yote? Amin, amin nawaambia, hakuna
ndani mmejaa unyang’anyi na kutokuwa na hata jiwe moja hapa litakalobaki juu ya jingine,
kiasi. 26Enyi Mafarisayo vipofu! Safisheni kila moja litabomolewa.”
kwanza ndani ya kikombe na sahani, ndipo nje
patakuwa safi. Ishara Za Nyakati Za Mwisho
27“Ole wenu, walimu wa sheria na 3Yesu alipokuwa ameketi kwenye Mlima wa
wa wale waliowaua manabii. 32Haya basi, 9“Ndipo mtasalitiwa, ili mteswe na kuuawa,
kijazeni kipimo cha dhambi ya baba zenu! nanyi mtachukiwa na mataifa yote kwa ajili
33“Ninyi nyoka, ninyi uzao wa nyoka wenye yangu. 10Wakati huo, wengi wataacha imani
sumu! Mtaiepukaje hukumu ya jehanam? 34Kwa yao, nao watasalitiana kila mmoja na mwenzake
sababu hii tazama nawapelekea manabii na na kuchukiana. 11Watatokea manabii wengi wa
wenye hekima na walimu. Baadhi yao mtawaua uongo, nao watawadanganya watu wengi.
na kuwasulibisha, wengine mtawapiga mijeledi 12Kwa sababu ya kuongezeka kwa uovu upendo
28
MATHAYO
wa watu wengi utapoa, 13Lakini yule watawakusanya wateule wake kutoka pande
atakayevumilia hadi mwisho ndiye zote nne za dunia, kutoka mwisho mmoja wa
atakayeokoka. 14Injili ya Ufalme itahubiriwa mbingu hadi mwisho mwingine.
ulimwenguni pote, kuwa ushuhuda kwa mataifa 32‘‘Jifunzeni kutokana na mtini. Matawi yake
yote. Ndipo ule mwisho utakapokuja. yanapoanza kuwa laini na kuchipua majani,
15Hivyo mtakapoona lile ‘Chukizo la fahamuni kwamba kiangazi kimekaribia. 33Hata
Uharibifu’ lililonenwa na nabii Danieli hivyo, mwonapo mambo hayo, jueni kwamba yu
limesimama mahali patakatifu, asomaye na karibu malangoni. 34Amin, amin nawaambia,
afahamu, 16Basi wale walioko Uyahudi kizazi hiki hakitapita hadi mambo haya yote
wakimbilie milimani. 17Ye yote aliyeko juu ya yawe yametimia. 35Mbingu na dunia zitapita,
paa la nyumba asishuke ili kuchukua cho chote lakini maneno yangu hayatapita kamwe. ”
kutoka ndani ya nyumba. 18Yeye aliye shambani
na asirudi nyumbani kwenda kuchukua vazi Hakuna Ajuaye Siku Wala Saa
lake. 19Ole wa wenye mimba na wenye watoto 36“Hakuna ajuaye siku wala saa, hata
wachanga siku hizo! 20Ombeni ili kukimbia malaika mbinguni hawajui wala Mwana, ila Baba
kwenu kusiwe wakati wa baridi au siku ya peke yake. 37Kama ilivyokuwa wakati wa Noa,
Sabato. 21Kwa maana wakati huo kutakuwa na ndivyo itakavyokuwa kuja kwake Mwana wa
dhiki kuu ambayo haijapata kuwako tangu Adamu. 38Kwa maana siku zile kabla ya gharika,
mwanzo wa dunia mpaka sasa, wala watu walikuwa wakila na kunywa, wakioa na
haitakuwako tena. 22Kama siku hizo kuolewa, mpaka siku ile Noa alipoingia kwenye
zisingelifupizwa, hakuna hata mtu mmoja safina, 39nao hawakujua lo lote mpaka gharika
ambaye angeliokoka, lakini kwa ajili ya wateule ilipokuja ikawakumba wote. Hivyo ndivyo
siku hizo zitafupizwa. 23Wakati huo kama mtu ye itakavyokuwa atakapokuja Mwana wa Adamu.
yote akiwaambia, ‘Tazama, huyu hapa ni Kristo! 40“Watu wawili watakuwa shambani, mmoja
Au ‘Kristo yuko kule!’ Msisadiki. 24Kwa maana atatwaliwa, mwingine ataachwa. 41Wanawake
watatokea makristo wa uongo na manabii wa wawili watakuwa wanasaga pamoja, mmoja
uongo na kufanya ishara kubwa na miujiza atatwaliwa, mwingine ataachwa.
mingi ili kuwapotosha, hata ikiwezekana wale 42“Kwa hiyo kesheni, kwa maana hamjui ni
wateule hasa. 25Angalieni, nimetangulia siku gani atakapokuja Bwana wenu. 43“Lakini
kuwaambia mapema. fahamuni hili kwamba: Kama mwenye nyumba
26“Kwa hiyo mtu ye yote akiwaambia, ‘Yule angelijua ni wakati gani wa usiku ambao mwivi
kule nyikani,’ msiende huko. Au akisema, ‘Yuko anakuja, angelikesha na asingeliiacha nyumba
kwenye chumba,’ msisadiki. 27Kwa maana kama yake kuvunjwa. 44Kwa hiyo ninyi pia hamna budi
vile umeme utokeavyo mashariki na kuonekana kuwa tayari, kwa sababu Mwana wa Adamu
hata magharibi, ndivyo itakavyokuwa kuja atakuja saa msiyotazamia.”
kwake Mwana wa Adamu. 28Kwa maana po
pote ulipo mzoga, huko ndiko wakusanyikapo Mfano Wa Mtumishi Mwaminifu
tai. 45“Ni nani basi aliye mtumishi mwaminifu na
29
MATHAYO
kumweka katika sehemu moja pamoja na aliyepewa talanta mbili akafanya vivyo hivyo,
wanafiki, mahali ambako kutakuwa ni kulia na akapata nyingine mbili zaidi. 18Lakini yule
kusaga meno.” mtumishi aliyekuwa amepokea talanta
moja,alikwenda akachimba shimo ardhini na
Mfano Wa Wanawali Kumi kuificha ile fedha ya bwana wake.
“Wakati huo, Ufalme wa Mbinguni 19“Baada ya muda mrefu yule bwana wa
akiba kwenye vyombo. 5Bwana arusi alipokawia vizuri sana, mtumishi mwema na mwaminifu!
kuja wale wanawali wote wakasinzia na kulala. Umekuwa mwaminifu kwa vitu vichache,
6“Usiku wa manane pakawa na kelele: nitakuweka kuwa msimamizi wa vitu vingi. Njoo
‘Tazameni, huyu hapa bwana arusi! Tokeni nje ushiriki katika furaha ya bwana wako!”
mkamlaki!’ 22“Yule mwenye talanta mbili naye akaja.
7“Ndipo wale wanawali wote wakaamka na Akasema, `Bwana, uliweka kwenye uangalizi
kuzitengeneza taa zao. 8Wale wapumbavu wangu talanta mbili. Tazama nimepata hapa
wakawaambia wale wenye busara, ‘Tupatieni talanta mbili zaidi.’
mafuta yenu kidogo, taa zetu zinazimika.’ 23Bwana wake akajibu, ‘Umefanya vizuri
9“Lakini wale wenye busara wakawajibu, sana, mtumishi mwema na mwaminifu,
‘Sivyo, hayatutoshi sisi na ninyi pia. Afadhali umekuwa mwaminifu kwa vitu vichache,
mwende kwa wauzao mkajinunulie mafuta yenu. nitakuweka kuwa msimamizi wa vitu vingi. Njoo
10“Nao walipokuwa wakienda kununua ushiriki katika furaha ya bwana wako.’
mafuta, bwana arusi akafika. Wale wanawali 24“Kisha yule mtumishi aliyepokea talanta
waliokuwa tayari, wakaingia ndani pamoja naye moja akaja, akasema, ‘Bwana, nilijua kwamba
kwenye karamu ya arusi na mlango ukafungwa. wewe ni mtu mgumu, unayevuna mahali
11“Baadaye wale wanawali wengine nao usipopanda na kukusanya mahali usipotawanya
wakaja, wakaita, ‘Bwana! Bwana! Tufungulie mbegu. 25Kwa hiyo niliogopa, nikaenda,
mlango!’ nikaificha talanta yako ardhini. Tazama, hii hapa
12“Lakini yeye bwana arusi akawajibu, ile iliyo mali yako.’
‘Amin, amin nawaambia, siwajui ninyi!’ 26“Bwana wake akajibu, ‘Wewe mtumishi
13“Kwa hiyo kesheni, kwa sababu hamjui mwovu na mvivu! Ulijua kwamba ninavuna
siku wala saa.’’ mahali nisipopanda na kukusanya mahali
nisipotawanya mbegu. 27Vema basi, ingekupasa
Mfano wa Watumishi Watatu Walioachiwa kuweka fedha yangu kwa watoa riba, nirudipo,
Talanta nichukue ile iliyo yangu na faida yake?
14“Tena, Ufalme wa Mbinguni ni kama mtu 28‘‘ ‘Basi mnyang'anyeni hiyo talanta
anayetaka kusafiri, akawaita watumishi wake na mkampe yule mwenye talanta kumi.’ 29Kwa
kuweka mali yake kwenye uangalizi wao. maana kila mtu mwenye kitu ataongezewa,
15Mmoja akampa talanta tano a mwingine talanta naye atakuwa navyo tele. Lakini kwa mtu yule
mbili b na mwingine talanta moja c , kila mmoja asiye na kitu, hata kile alicho nacho
alipewa kwa kadiri ya uwezo wake. Kisha yeye atanyang'anywa.30“Nanyi mtupeni huyo
akasafiri. 16“Yule aliyepewa talanta tano mtumishi asiyefaa nje, kwenye giza, mahali
akaenda mara moja akafanya nazo biashara ambako kutakuwa na kilio na kusaga meno.’ ’’
akapata talanta nyingine tano zaidi. 17Yule
Kondoo Na Mbuzi
a15 Talanta tano ilikuwa na mshahara wa kibarua wa miaka 75 31“Mwana wa Adamu atakapokuja katika
b15 Talanta mbili ilikuwa sawa na mshahara wa kibarua wa miaka utukufu wake na malaika wote watakatifu
30
c15 Talanta moja ilikuwa zaidi ya mshahara wa kibarua wa miaka pamoja naye, ndipo atakapoketi juu ya kiti cha
kumi na mitano. enzi cha utukufu wake. 32Mataifa yote
30
MATHAYO
watakusanyika mbele zake, naye atawatenga 3Basi viongozi wa makuhani na wazee wa
kama mchungaji anavyotenga kondoo na mbuzi. watu wakakusanyika katika jumba la utawala la
33Atawaweka kondoo upande wake wa kuume kuhani mkuu, jina lake Kayafa. 4Wakafanya
na mbuzi upande wake wa kushoto. shauri ili kumkamata Yesu kwa siri na kumwua.
34“Ndipo Mfalme atawaambia wale walioko 5Lakini wakasema, “Isiwe wakati wa sikukuu, la
upande wake wa kuume, ‘Njoni, ninyi sivyo kutakuwa na ghasia miongoni mwa watu.”
mliobarikiwa na Baba yangu, urithini Ufalme
ulioandaliwa kwa ajili yenu tangu kuumbwa kwa Yesu Anapakwa Mafuta Huko Bethania
ulimwengu. 35Kwa maana nilikuwa na njaa 6Wakati Yesu akiwa Bethania nyumbani
wakisema, ‘Bwana, ni lini tulikuona una njaa wakakasirika, wakasema, “Kwa nini ubadhirifu
tukakulisha au ukiwa na kiu tukakunywesha? huu wote? 9Manukato haya yangeliuzwa kwa
38Lini tulikuona ukiwa mgeni tukakukaribisha au bei kubwa na fedha hizo wakapewa maskini.’’
ukiwa uchi tukakuvika? 39Tena ni lini tulikuona 10Yesu akijua jambo hili, akawaambia,
ukiwa mgonjwa tukakutunza au ukiwa kifungoni “Mbona mnamsumbua huyu mwanamke? Yeye
tukakutembelea?’ amenitendea jambo zuri sana. 11Maskini
40“Naye Mfalme atawajibu, ‘Amin, amin mtakuwa nao siku zote, lakini mimi hamtakuwa
ninawaambia, kwa jinsi mlimvyotendea nami siku zote. 12Alipomiminia haya manukato
mmojawapo wa hawa ndugu Zangu walio kwenye mwili amefanya hivyo ili kuniandaa kwa
wadogo, mlinitendea Mimi.’ ajili ya maziko yangu. 13Ninawaambia kweli,
41“Kisha atawaambia wale walio upande mahali po pote habari njema itakapohubiriwa
Wake wa kushoto, ‘Ondokeni kwangu, ninyi ulimwenguni mwote, jambo hili alilofanya
mliolaaniwa, nendeni kwenye moto wa milele litatajwa pia, kwa ukumbusho wake.’’
alioandaliwa kwa ajili ya ibilisi na malaika zake.
42Kwa maana nilikuwa na njaa hamkunipa Yuda Akubali Kumsaliti Yesu
chakula, nilikuwa na kiu hamkuninywesha, 14Kisha mmojawapo wa wale kumi na
43nilikuwa mgeni nanyi hamkunikaribisha, wawili, yeye aitwaye Yuda Iskariote, alikwenda
nilikuwa uchi hamkunivika, nilikuwa mgonjwa kwa viongozi wa makuhani 15na kuuliza,
hamkunitunza na nilikuwa gerezani nanyi “Mtanipa nini nikimtia Yesu mikononi mwenu?
hamkuja kunitembelea.’ Wakamlipa vipande thelathini vya fedha.
44“Ndipo wao pia watajibu, ‘Bwana ni lini 16Tangu wakati huo Yuda akawa anatafuta
tulikuona ukiwa na njaa au kiu, au ukiwa mgeni wasaa mzuri wa kumsaliti Yesu.
au uchi , au ukiwa mgonjwa na kifungoni na
hatukukuhudumia?’ Yesu Ala Pasaka Pamoja Na Wanafunzi
45“Naye atawajibu, ‘Amin, amin nawaambia, 17Siku ya kwanza ya Sikukuu ya Mikate
kwa jinsi ambavyo hamkumtendea mmojawapo Isiyotiwa Chachu wanafunzi walimjia Yesu
wa hawa ndugu zangu walio wadogo, wakamwuliza, ‘‘Unataka tuandae wapi kwa ajili
hamkunitendea mimi.’ yako ili kuila Pasaka?’’
46“Ndipo hawa watakapoingia kwenye 18Akajibu, ‘‘Nendeni kwa mtu fulani huko
adhabu ya milele, lakini wale wenye haki mjini mkamwambie, ‘Mwalimu asema hivi: saa
wataingia katika uzima wa milele.’’ yangu imekaribia, nitaiadhimisha Pasaka
pamoja na wanafunzi wangu katika nyumba
Shauri Baya La Kumwua Yesu yako.’ ’’ 19Hivyo wanafunzi wakafanya kama vile
naye Mwana wa Adamu atasalitiwa ili mezani pamoja na wale kumi na wawili. 21Nao
asulibiwe.’’ walipokuwa wakila, Yesu akasema, “Amin, amin
31
MATHAYO
nawaambia, mmoja wenu atanisaliti.’’ wake mpaka kwenye bustani iitwayo
22Wakahuzunika sana, wakaanza Gethsemane, akawaambia, “Kaeni hapa wakati
kumwambia mmoja mmoja, ‘‘Je, ni mimi ninakwenda kule kuomba.’’ 37Akamchukua Petro
Bwana?’’ pamoja na wale wana wawili wa Zebedayo,
23Yesu akawaambia, ‘‘Yule aliyechovya naye akaanza kuhuzunika na kufadhaika.
mkono wake katika bakuli pamoja nami, ndiye 38Kisha Yesu akawaambia, “Moyo wangu
atakayenisaliti. 24Mwana wa Adamu yu aenda umejawa na huzuni kiasi cha kufa. Kaeni hapa
kama alivyoandikiwa. Lakini ole wake mtu yule na mkeshe pamoja nami.’’
amsalitie Mwana wa Adamu. Ingeliwakuwa bora 39Akaenda mbele kidogo, akaanguka
kwake kama asingalizaliwa ! ” kifudifudi akaomba, akisema, “Baba yangu,
25Kisha Yuda, yule aliyemsaliti akasema, kama inawezekana, kikombe hiki na kiniepuke,
‘‘Kweli si mimi, Rabi?’’ lakini si kama nitakavyo mimi bali kama
Yesu akajibu, ‘‘Naam, wewe mwenyewe utakavyo Wewe.’’
umesema.’’ 40Kisha akarudi kwa wanafunzi wake na
ile imwagikayo kwa ajili ya wengi kwa ondoleo la sababu macho yao yalikuwa mazito. 44Hivyo
dhambi. 29Lakini ninawaambia, tangu sasa akawaacha akaenda zake tena mara ya tatu na
sitakunywa tena kutoka katika uzao huu wa kuomba akisema maneno yale yale.
mzabibu, mpaka siku ile nitakapokunywa mpya 45Kisha akarudi kwa wanafunzi wake
pamoja nanyi katika Ufalme wa Baba yangu.’’ akawaambia, ‘‘Bado mmelala na kupumzika?
30Walipokwisha kuimba wimbo, wakatoka Tazameni, saa imefika ambapo Mwana wa
kwenda mlima wa Mizeituni. Adamu hana budi kutiwa mikononi mwa wenye
dhambi. 46Inukeni, twendeni zetu ! Huyu hapa
Yesu Atabiri Petro Kumkana yule anisalitiye! ”
31Kisha Yesu akawaambia, “Usiku wa leo
usiku huu huu, kabla jogoo hajawika, utanikana ulichokuja kufanya hapa.
mara tatu.’’ Kisha wale watu wakasogea mbele,
35Lakini Petro akasema, ‘‘Hata kama itabidi wakamkamata Yesu. 51Ghafula mmoja wa wale
kufa pamoja na Wewe, kamwe sitakukana.’’ waliokuwa na Yesu alipoona hivyo, akaushika
Nao wanafunzi wengine wote wakasema vivyo upanga wake, akauchomoa na kumpiga
hivyo. mtumishi wa Kuhani Mkuu, akamkata sikio.
52Ndipo Yesu akamwambia, “Rudisha
Yesu Anaomba Gethsemane upanga wako mahali pake, kwa maana wote
36Kisha Yesu akaenda pamoja na wanafunzi watumiao upanga watakufa kwa upanga. 53Je,
32
MATHAYO
unadhani siwezi kumwomba Baba yangu naye Petro Amkana Bwana Yesu
mara moja akaniletea zaidi ya majeshi kumi na 69Wakati huu Petro alikuwa amekaa nje
mawili ya malaika? 54Lakini je, maandiko uani. Mtumishi mmoja wa kike akamjia na
yatatimiaje yale yasemayo kwamba ni lazima kumwambia, “Wewe pia ulikuwa pamoja na
itokee hivi?” Yesu wa Galilaya.’’
55Wakati huo Yesu akawaambia ule umati 70Lakini Petro akakana mbele yao wote
Siku kwa siku niliketi hekaluni nikifundisha, mtumishi mwingine wa kike alimwona,
mbona hamkunikamata? 56Lakini haya yote akawaambia watu waliokuwapo, “Huyu mtu
yametukia ili maandiko ya manabii yapate alikuwa pamoja na Yesu Mnazareti.’’
kutimia.” Ndipo wanafunzi wake wote 72Akakana tena kwa kiapo akisema, “Mimi
ushahidi zaidi? Tazama, sasa ninyi mmesikia fedha wakasema, ‘‘Si halali kuchanganya fedha
hayo makufuru. 66 Uamuzi wenu ni nini?” hizi na sadaka kwa sababu hizi ni fedha zenye
Wakajibu, ‘‘Anastahili kufa ” damu.’’ 7Kwa hiyo baada ya kushauriana,
67Kisha wakamtemea mate usoni na waliamua kuvitumia kununulia shamba la
wengine wakampiga ngumi. Wengine walimpiga mfinyanzi, liwe mahali pa kuzikia wageni. 8Hii
makofi 68na kusema, “Tutabirie, wewe Kristo! Ni ndiyo sababu lile shamba likaitwa, ‘Shamba la
nani aliyekupiga?” Damu’ hadi leo. 9Ndipo likatimia lile lililonenwa
na nabii Yeremia kwamba, ‘‘Walichukua vile
33
MATHAYO
vipande thelathini vya fedha, thamani
aliyopangiwa na watu wa Israeli, 10wakanunulia Askari Wamdhihaki Yesu
shamba la mfinyanzi, kama vile Bwana 27Kisha askari wa mtawala wakampeleka
na umati wa watu wakati wa sikukuu. 16Wakati mtu mmoja kutoka Kirene, jina lake Simoni, nao
huo alikuwapo mfungwa mmoja mwenye sifa wakamlazimisha kuubeba ule msalaba.
mbaya, aliyeitwa Baraba. 17Hivyo umati wa watu 33Wakafika mahali paitwapo Golgotha, (ambayo
walipokusanyika, Pilato akawauliza, “Mnataka maana yake ni, Mahali pa Fuvu la Kichwa),
niwafungulie nani, Baraba au Yesu Yeye 34wakampa Yesu divai iliyochanganywa na
aitwaye Kristo?’’ 18Kwa kuwa alitambua Yesu nyongo ili anywe, lakini alipoionja, akakataa
alikuwa amekabidhiwa kwake kwa ajili ya wivu. kuinywa. 35Walipokwisha kumsulibisha
19Pilato akiwa ameketi kwenye kiti cha wakagawana mavazi Yake kwa kuyapigia kura,
hukumu, mkewe akampelekea ujumbe huu: ‘‘ ili litimie lile neno lililonenwa na nabii, ‘Waligawa
Usiwe na jambo lo lote juu ya huyu Mtu asiye na nguo zangu miongoni mwao na vazi langu
hatia, kwa kuwa leo nimeteseka sana katika wakalipigia kura. 36Kisha wakaketi,
ndoto kwa sababu Yake.” wakamchunga. Juu ya kichwa chake, kwenye
37
20Lakini viongozi wa makuhani na wazee msalaba, wakaandika shtaka lake: ‘HUYU NI
wakaushawishi ule umati wa watu kwamba YESU, MFALME WA WAYAHUDI.’
waombe Baraba afunguliwe na Yesu auawe. 38Wanyang'anyi wawili walisulibiwa pamoja
21Mtawala akawauliza tena, “Ni yupi kati ya naye, mmoja kuume Kwake na mwingine
hawa wawili mnayetaka niwafungulie?” kushoto Kwake. 39Watu waliokuwa wakipita
Wakajibu, “Baraba’’ njiani wakamvurumishia matukano huku
22Pilato akawaambia, “Basi nifanye nini na wakatikisa vichwa vyao 40na kusema, “Wewe
huyu Yesu aitwaye Kristo?’’ ambaye utalivunja hekalu na kulijenga kwa siku
Wakajibu wote , “Msulibishe!’’ tatu, jiokoe mwenyewe basi! Kama Wewe ni
23Pilato akauliza, “Kwa nini? Amefanya kosa Mwana wa Mungu, shuka kutoka msalabani.’’
gani?’’ 41Vivyo hivyo, viongozi wa , makuhani,
juu yetu na juu ya watoto wetu!’’ a27Praitoria maana yake makao makuu ya mtawala. Jumba la
26Basi akawafungulia Baraba, na baada ya kifalme lilokuwa linakaliwa na Pontio Pilato huko Yerusalemu,
palipokuwa na kiti cha hukumu
kumchapa Yesu mijeledi, akamtoa ili asulibiwe.
34
MATHAYO
wale wanyang'anyi waliosulibiwa pamoja naye Walinzi Pale Kaburini
wakamtukana vivyo hivyo. 62Kesho yake, yaani siku iliyofuata ile ya
akaiweka kwenye mwanzi akampa Yesu ili Walinzi. Nendeni, liwekeeni ulinzi kadiri
anywe. 49Wengine wakasema, “Mwacheni na mwezavyo”. 66Kwa hiyo wakaenda na walinzi ili
tuone kama Eliya atakuja kumwokoa.’’ kulilinda kaburi kwa uthabiti, wakatia mhuri
50Yesu alipolia tena kwa sauti kuu, akakata kwenye lile jiwe na kuweka ulinzi.
roho.
51Wakati huo huo pazia la hekalu Yesu Afufuka
likachanika vipande viwili, kuanzia juu hadi
chini. Dunia ikatetemeka na miamba ikapasuka. 28 Baada ya Sabato, alfajiri mapema siku
ya kwanza ya juma, Maria Magdalene
52Makaburi yakafunguka na miili ya watakatifu na yule Maria mwingine walikwenda kulitazama
waliokuwa wamekufa ikafufuka. 53Wakatoka kaburi.
makaburini na baada ya Yesu kufufuka waliingia 2Ghafula pakawa na tetemeko kubwa la
kwenye Mji Mtakatifu na kuwatokea watu wengi. ardhi, kwa sababu malaika wa Bwana alishuka
54Basi yule jemadari na wale waliokuwa kutoka mbinguni akaenda penye kaburi
pamoja naye wakimlinda Yesu walipoona lile akalivingirisha lile jiwe na kulikalia. 3Sura ya
tetemeko na yale yote yaliyokuwa yametukia, huyo malaika ilikuwa kama umeme na mavazi
wakaogopa wakasema, “Hakika huyu alikuwa ni yake yalikuwa meupe kama theluji. 4Wale
Mwana wa Mungu!’’ walinzi wa kaburi walimwogopa sana,
55Walikuwako wanawake huko, wakiangalia wakatetemeka hata wakawa kama wafu.
kwa mbali. Hawa walikuwa wamemfuata Yesu 5Yule malaika akawaambia wale wanawake,
tangu Galilaya ili kushughulika na mahitaji yake. “Msiogope.kwa maana ninajua kuwa
56Miongoni mwao walikuwapo Maria Magdalena, mnamtafuta Yesu aliyesulibiwa. Hayupo hapa,
6
Maria mama yake Yakobo na Yosefu na mama kwa kuwa amefufuka, kama vile alivyosema.
yao wana wa Zebedayo. Njoni mpatazame mahali alipokuwa amelazwa.
7Kisha nendeni upesi mkawaambie wanafunzi
Pilato, kumwomba mwili wa Yesu. Pilato kaburini, wakiwa wamejawa na hofu lakini
akaamuru apewe. 59Yosefu akauchukua mwili wenye furaha nyingi, wakaenda mbio ili
wa Yesu, akauviringishia nguo ya kitani safi kuwaeleza wanafunzi Wake habari hizo.
nyeupe 60na kuuzika kwenye kaburi lake 9Ghafula Yesu akakutana nao, akasema,
35
MATHAYO
11Wakati wale wanawake wakiwa njiani
wakienda, baadhi ya wale askari waliokuwa
wakilinda kaburi walienda mjini na kuwaeleza
viongozi wa makuhani kila kitu kilichokuwa
kimetukia. 12Baada ya viongozi wa makuhani
kukutana na wazee na kutunga hila, waliwapa
wale askari kiasi kikubwa cha fedha
13wakiwaambia, “Inawapasa mseme,
‘Wanafunzi Wake walikuja wakati wa usiku na
kumwiba sisi tulipokuwa tumelala.’ 14Kama
habari hizi zikimfikia mtawala, sisi
tutamwondolea mashaka nanyi hamtapata tatizo
lo lote. 15Kwa hiyo wale askari wakazipokea hizo
fedha nao wakafanya kama walivyoelekezwa.
Habari hii imeenea miongoni mwa Wayahudi
mpaka leo.
36
MARKO
Utangulizi:
Marko ambaye aliitwa Yohana Marko alifuatana na Mtume Paulo katika safari zake za kitume.Huyu ndiye
anayetajwa na mababa wa kanisa Papiass, Irenio na Klement wa Aleksandria kuwa mshirika wa karibu sana wa
Mtume Petro.Uhusiano huu wa karibu na Petro umeonyeshwa katika(1Pet..5:13), pale ambapo Petro anamtaja
Marko kama “mwanawe.” Hatimaye aliishi Rumi ambako aliandika kumbukumbu za Mtume Petro. Kwa hiyo Injili ya
Marko inawakilisha maneno ya mtu aliyeshuhudia kwa macho yake mwenyewe juu ya maisha ya Yesu
yanayoelezwa katika Injili hii.
Yohana Marko ni mtoto wa Maria ambaye nyumbani kwao kulikuwa Yerusalemu, ambako kunaonekana kuwa
kituo kikuu cha Ukristo (Mdo. 12: 12). Marko alisafiri na Barnaba ambaye ni mjomba wake mpendwa (Mdo. 4:36 -37 )
kwenda Antiokia ya Syria(Mdo 12:25) ambako walifuatana na Paulo kwenye safari yake ya kwanza ya kitume.Marko
hata hivyo aliwaacha Barnaba na Paulo huko Kipro na kurudi Yerusalemu (Mdo 13:13). Baadaye Barnaba na Marko
walielekea Kipro wakati Paulo akienda Asia.
Miaka kumi baadaye ( 60 B.K) Marko alikuwa pamoja na Paulo huko Rumi (2Tim.4:11; Kol.4:10.)
Shabaha ya Marko ilikuwa ni kukusanya pamoja ujumbe wote wa Injili. Kwa sababu hii, Injili ya Marko inakazia
zaidi matendo ya Yesu kuliko maneno Yake. Pia Injili hii inatumia nafasi kubwa kueleza matukio ya juma la mwisho
la maisha ya Bwana Yesu. Marko anaanza kwa kueleza habari za huduma ya Bwana Yesu hadharani na juu ya
kuhubiri Kwake kuhusu Habari Njema ya Ufalme wa Mungu. Kisha anatoa unabii wazi kuhusu matazamio ya kifo cha
Bwana Yesu (Mk. 8:31;9:31;10:33-34,45). Hatimaye anaeleza jinsi Bwana Yesu alivyosulibiwa msalabani kwa ajili ya
dhambi za ulimwengu, kufufuka Kwake kutoka kwa wafu, kuonekana Kwake na wanafunzi Wake baada ya kufufuka,
maneno na maagizo Yake ya mwisho na kupaa Kwake kwenda mbinguni.
Tarehe
Inawezekana ni katika wakati huu wa uhai wa Petro, au muda mfupi tu baada ya kifo chake (55-65 B.K.), ambao
Marko aliandika Injili hii yenye kuchukua jina lake.
Wazo Kuu
Marko anamdhihirisha Bwana Yesu kuwa ni Mtumishi wa Mungu, Mtu wa vitendo, aliyekuja kutimiza mapenzi ya
Mungu. Marko anaonyesha waziwazi huduma ya Yesu na utendaji Wake wa miujiza, uponyaji Wake, mamlaka Yake
juu ya pepo wachafu na nguvu Zake, Bwana Yesu alithibitishwa kuwa si mtumishi wa kawaida bali kwamba kwa
hakika alikuwa Mwana wa Mungu. Ufufuo wa Yesu ulithibitisha yale yote aliyotenda na sasa tunangojea kurudi
Kwake kwa utukufu, kutoka mbinguni. Marko aliandika Injili hii ili pia kuwatia moyo Wakristo walioishi Rumi wakati wa
mateso.
Mgawanyo
• Yohana Mbatizaji na ubatizo wa Bwana Yesu (1:1-13)
• Huduma ya Yesu Galilaya (1:14-9:50)
• Safari ya kwenda Yerusalemu na kuingia mjini (10:1-11:25[26])
• Matatizo mjini Yerusalemu (11:27-12:44)
• Unabii kuhusu mambo yajayo (13:1 -37)
• Kufa kwa Yesu na kufufuka kwake. (14:1-16:8[9-20]).
1
MARKO
Mahubiri Ya Yohana Mbatizaji na kuiamini Habari Njema.’’
Mwanzo wa Injili ya Yesu Kristo, Mwana wa
1 Mungu. Yesu Awaita Wanafunzi Wanne
16Yesu alipokuwa akitembea kando-kando ya
2Kama ilivyoandikwa katika nabii Isaya, Bahari ya Galilaya alimwona Simoni na Andrea
nduguye wakizitupa nyavu zao baharini, kwa
‘‘Tazama, namtuma mjumbe Wangu mbele kuwa hawa wawili walikuwa wavuvi. 17Yesu
yako, yeye akawaambia, “Njoni nifuateni, nami nitawafanya
atakayeitengeneza njia yako.’’ kuwa wavuvi wa watu.’’ 18Mara wakaacha nyavu
3‘‘Sauti ya mtu aliaye nyikani. zao, wakamfuata Yesu.
‘Itengenezeni njia ya Bwana, yanyosheni 19Alipokwenda mbele kidogo, akamwona
zao. 6Yohana alivaa mavazi yaliyotengenezwa siku ya Sabato, mara Yesu akaingia kwenye
kwa singa za ngamia na mkanda wa ngozi kiunoni sinagogi akaanza kufundisha. 22Watu
mwake. Chakula chake kilikuwa nzige na asali ya wakashangaa sana mafundisho yake, kwa maana
mwitu. 7Naye alihubiri akisema, “Baada yangu aliwafundisha kama Yeye aliye na mamlaka, wala
atakuja Yeye aliye na uwezo kuliko mimi, ambaye si kama walimu wa sheria. 23Wakati huo huo,
sistahili hata kuinama na kulegeza ukanda wa palikuwa na mtu kwenye sinagogi lao aliyekuwa
viatu vyake. 8Mimi nawabatiza kwa maji, lakini amepagawa na pepo mchafu, 24naye alikuwa
Yeye atawabatiza kwa Roho Mtakatifu.’’ akapiga kelele akisema, “Tuna nini nawe, Yesu
wa Nazarethi? Je, umekuja kutuangamiza?
Ubatizo Wa Yesu Nakujua Wewe ni nani, Wewe ndiwe Mtakatifu wa
9Wakati huo Yesu akaja kutoka Nazareti ya Mungu!”
Galilaya, naye akabatizwa na Yohana katika Mto 25Lakini Yesu akamkemea, akamwambia,
Yordani. 10Yesu alipokuwa akitoka ndani ya maji, “Nyamaza kimya! Nawe Umtoke!’’ 26Yule pepo
aliona mbingu zikifunguka na Roho akishuka juu mchafu akamtikisa-tikisa sana huyo mtu kwa
Yake kama huwa. 11Nayo sauti kutoka mbinguni nguvu akipiga kelele kwa sauti kubwa, kasha
ikasema, “Wewe ndiwe Mwanangu, mpendwa akamtoka.
Wangu, ambaye nimependezwa Nawe.’’ 27Watu wote wakashangaa, hata kuulizana
waliopagawa na pepo wachafu. 33Mji wote Yesu kwa ajili ya umati wa watu, walitoboa tundu
ukakusanyika mbele ya nyumba hiyo. 34Yesu kwenye paa mahali pale alipokuwa Yesu,
akawaponya watu wengi waliokuwa na magonjwa wakamshusha yule aliyepooza kwa kitanda.
ya aina mbalimbali. Akawatoa pepo wachafu 5Yesu alipoona imani yao, alimwambia yule
wengi, lakini hakuwaacha hao pepo wachafu aliyepooza, ‘‘Mwanangu, dhambi zako
waseme kwa sababu walimjua kuwa Yeye ni nani. zimesamehewa. ”
6Basi baadhi ya walimu wa sheria waliokuwa
Yesu Aondoka Kapernaumu Na Kwenda wameketi huko wakawaza mioyoni mwao, 7‘‘Kwa
Galilaya nini mtu huyu anasema hivi? Huyu anakufuru! Ni
35Mapema sana alfajiri kulipokuwa bado nani awezaye kusamehe dhambi isipokuwa
kungali giza, Yesu akamka, akaondoka, akaenda Mungu peke Yake?
mahali pa faragha,ili kuomba. 36Simoni na 8Mara moja Yesu akatambua kile
wenzake wakaenda kumtafuta, 37nao walichokuwa wanawaza mioyoni mwao, naye
walipomwona, wakamwambia, “Kila mtu akawaambia, ”Kwa nini mnawaza hivyo mioyoni
anakutafuta!” mwenu? 9Ni jambo gani lililo rahisi, kumwambia
38Yesu akawajibu, “Twendeni mahali pengine huyu aliyepooza, ‘‘Umesamehewa dhambi zako,
kwenye vijiji vya jirani, ili niweze kuhubiri huko au kusema, ‘Inuka, uchukue kitanda chako
nako, kwa sababu hicho ndicho nilichokuja uende?’ 10Lakini ili mpate kujua ya kwamba
kukifanya. 39Kwa hiyo akazunguka Galilaya kote, Mwana wa Adamu anao uwezo duniani wa
akihubiri katika masinagogi yao na kutoa pepo kusamehe dhambi,” Yesu akamwambia yule
wachafu. aliyepooza, 11‘‘Nakuambia, inuka, chukua kitanda
chako uende nyumbani kwako.” 12Yule mtu
Yesu Amtakasa Mwenye Ukoma aliyekuwa amepooza akainuka, akachukua
40Mtu mmoja mwenye ukoma alimjia kitanda chake akatembea machoni pao wote!
akamwomba akipiga magoti akamwambia Yesu, Jambo hili likawashangaza wote, wakamtukuza
“Ukitaka, waweza kunitakasa.” Mungu, wakisema, ‘‘Hatujapata kuona jambo
41Yesu akiwa amejawa na huruma, kama hili kamwe!”
akanyosha mkono Wake akamgusa,
akamwambia, “Nataka takasika!” 42Mara ukoma Yesu Amwita Lawi (Mathayo)
ukamtoka, naye akatakasika. 43Baada ya Yesu 13Yesu akaenda tena kando-kando ya bahari
kumwonya vikali, akamruhusu aende zake ya Galilaya. Umati mkubwa wa watu ukamfuata,
44akimwambia, “Hakikisha humwambii mtu ye yote naye akaanza kuwafundisha. 14Alipokuwa
habari hizi, bali nenda ukajionyeshe kwa kuhani akitembea, akamwona Lawi mwana wa Alfayo
na ukatoe sadaka kwa ajili ya kutakasika kwako ameketi forodhani mahali pa kukusanyia kodi,
kama alivyoamuru Mose kuwa ushuhuda kwao.” akamwambia, ‘‘Nifuate.” Lawi akaondoka,
45Lakini yule mtu akaenda akaanza kutangaza akamfuata Yesu.
habari za kuponywa kwake waziwazi. Kwa hiyo 15Yesu alipokuwa akila chakula nyumbani
Yesu hakuweza tena kuingia katika miji waziwazi mwa Lawi, watoza ushuru wengi pamoja na
isipokuwa alikaa sehemu zisizo na watu. Lakini wenye dhambi walikuwa wakila pamoja naye na
bado watu wakamfuata huko kutoka kila upande. wanafunzi Wake, kwa maana kulikuwa na watu
wengi waliokuwa wakimfuata. 16Baadhi ya walimu
Yesu Amponya Mtu Aliyepooza wa sheria na Mafarisayo walipomwona akila
kwenye viriba vikuukuu. Akifanya hivyo, ile divai umati mkubwa wa watu ukamjia kutoka Uyahudi,
mpya itavipasua hivyo viriba, kwa hiyo divai Yerusalemu, Idumaya, Ng’ambo ya Yordani
itamwagika na viriba vitaharibika. Divai mpya pamoja na wale wa sehemu za karibu na Tiro na
huwekwa kwenye viriba vipya.” Sidoni. 9Kwa sababu ya umati mkubwa wa watu,
aliwaambia wanafunzi Wake waweke tayari
Bwana Wa Sabato mashua ndogo kwa ajili Yake, ili kuwazuia watu
23Siku moja ya Sabato, Yesu pamoja na kumsonga. 10Kwa kuwa alikuwa amewaponya
wanafunzi Wake, walikuwa wakipita katikati ya wagonjwa wengi, wale wenye magonjwa walikuwa
mashamba ya nafaka. Walipokuwa wakipita wanasukamana ili wapate kumgusa. 11Kila mara
wanafunzi Wake wakaanza kuvunja masuke. pepo wachafu walipomwona, walianguka chini
24Mafarisayo wakamwambia, “Tazama, mbona mbele Yake na kupiga kelele wakisema, “Wewe
wanafanya jambo ambalo si halali kufanywa siku ndiwe Mwana wa Mungu.” 12Lakini aliwaonya
ya Sabato?” wasimseme Yeye ni nani.
25Yesu akawajibu, Je, hamjasoma kamwe
alivyofanya Daudi wakati yeye na wenzake Yesu Achagua Mitume Kumi Na Wawili
walipokuwa na njaa na uhitaji wa chakula? 13Yesu akapanda mlimani na kuwaita wale
26Daudi aliingia katika nyumba ya Mungu wakati aliowataka, nao wakamjia. 14Akawachagua kumi
Abiathari akiwa kuhani mkuu, akaila ile mikate ya na wawili ambao pia aliwaita mitume, ili wapate
Wonyesho, ambayo ilikuwa hairuhusiwi mtu ye kuwa pamoja naye na ili apate kuwatuma kwenda
yote kuila isipokuwa makuhani, naye akawapa kuhubiri 15na kuwa na mamlaka ya kutoa pepo
wenzake.” wachafu. 16Hawa ndio wale kumi na wawili
27Kisha Yesu akawaambia, ‘‘Sabato ilifanyika aliowachagua: Simoni (ambaye alimwita Petro),
kwa ajili ya mwanadamu, lakini si mwanadamu 17Yakobo mwana wa Zebedayo na Yohana
kwa ajili ya Sabato. 28Hivyo, Mwana wa Adamu nduguye (ambao aliwaita Boanerge, maana yake
ndiye Bwana wa Sabato.” Wana wa Ngurumo), 18Andrea, Filipo,
Bartholomayo, Mathayo, Thomaso, Yakobo,
Yesu Amponya Mtu Mwenye Mkono Uliopooza mwana wa Alfayo, Thadayo, Simoni Mkananayo
4
MARKO
na 19Yuda Iskariote, ambaye ndiye aliyemsaliti Mfano Wa Mpanzi
Yesu.
4 Yesu akaanza kufundisha tena kando ya
bahari. Umati wa watu uliokuwa
Yesu Na Beelzebuli umemkusanyikia kumzunguka ulikuwa mkubwa
20Ndipo Yesu aliporudi nyumbani, umati wa kiasi kwamba ilimbidi Yesu aingie kwenye
watu ukakusanyika tena, kiasi kwamba Yeye na mashua iliyokuwa baharini na kuketi humo.
wanafunzi Wake hawakuweza kula chakula. 2Akawafundisha mambo mengi kwa mifano, naye
21Ndugu Zake walipopata habari wakaja ili katika mafundisho yake akasema: 3‘‘Sikilizeni!
kumchukua kwa maana watu walikuwa wakisema, Mpanzi alitoka kwenda kupanda mbegu zake.
“Amerukwa na akili.” 4Alipokuwa akipanda, mbegu nyingine zilianguka
22Walimu wa sheria waliotelemka kutoka kando ya njia, ndege wakaja na wakazila.
Yerusalemu walisema, “Amepagawa na 5Nyingine zilianguka kwenye ardhi yenye
Beelzebuli! Kwa kutumia mkuu wa pepo wachafu, mwamba ambako hakukuwa na udongo wa
anatoa pepo wachafu.” kutosha. Zikaota haraka, kwa kuwa udongo
23Basi Yesu akawaita na kuzungumza nao ulikuwa haba. 6Jua lilipozidi, mimea ikanyauka na
kwa mifano akasema: “Shetani awezaje kumtoa kukauka kwa kuwa mizizi yake ilikuwa haina kina.
Shetani? 24Kama ufalme ukigawanyika wenyewe 7Mbegu nyingine zilianguka kwenye miiba, miiba
kwa wenyewe, ufalme huo hauwezi kusimama. hiyo ikakua ikaisonga hiyo mimea hivyo haikutoa
25Nayo nyumba kama ikigawanyika yenyewe kwa mazao. 8Mbegu nyingine zilianguka kwenye
yenyewe, nyumba hiyo haiwezi kusimama. 26Naye udongo mzuri, zikaota vizuri na kukua, zikatoa
Shetani kama akijipinga mwenyewe akiwa mazao, moja thelathini, nyingine sitini na nyingine
amegawanyika, hawezi kusimama bali mwisho mia moja.”
wake umewadia. 27Hakuna mtu ye yote awezaye 9Kisha Yesu akasema, “Mwenye masikio ya
ye yote anayetenda mapenzi ya Mungu huyo udongo wenye miamba, wanapolisikia neno, mara
ndiye ndugu yangu, dada Yangu na mama hulipokea kwa furaha. 17Basi kwa kuwa hawana
Yangu.’’ mizizi, hudumu kwa muda mfupi tu, kisha dhiki au
mateso yanapoinuka kwa ajili ya lile neno, wao
5
MARKO
mara huiacha imani. 18Lakini wengine, kama mifano. Lakini alipokuwa na wanafunzi Wake,
mbegu iliyopandwa kwenye miiba, hulisikia lile aliwafafanulia kila kitu.
neno, 19lakini masumbufu ya maisha haya,
udanganyifu wa mali na tamaa ya mambo Yesu Atuliza Dhoruba
mengine huja na kulisonga lile neno na kulifanya 35Siku hiyo, ilipokaribia jioni, aliwaambia
lisizae. 20Wengine, kama mbegu iliyopandwa wanafunzi Wake, “Tuvuke na twende mpaka
kwenye udongo mzuri, hulisikia lile neno, ng’ambo.’’ 36Wakiuacha ule umati wa watu
wakalipokea na kutoa mazao: Wengine thelathini, nyuma, walimchukua vile vile kama alivyokuwa
wengine sitini na wengine mara mia moja ya ile kwenye mashua. Palikuwa pia na mashua
iliyopandwa.” nyingine nyingi pamoja naye. 37Kukawa na
dhoruba kali, nayo mawimbi yakaipiga ile mashua
Mfano Wa Taa hata ikawa karibu kujaa maji. 38Wanafunzi Wake
21Akawaambia, “Je, taa huwashwa na wakamwamsha, wakamwambia, “Mwalimu, hujali
kufunikwa chini ya kikapu au mvunguni mwa kama tunazama?”
kitanda? Je, haiwashwi na kuwekwa juu ya kinara 39Akaamka, akaukemea ule upepo,
chake? 22Kwa kuwa hakuna kilichofichika akayaambia yale mawimbi, “Uwe kimya! Tulia!”
ambacho hakitafunuliwa, wala hakuna jambo lo Ule upepo ukatulia, kukawa shwari kabisa.
lote la siri ambalo halitaletwa nuruni. 23Mwenye 40Yesu akawaambia wanafunzi Wake, “Kwa
masikio ya kusikia na asikie.” nini mnaogopa hivyo? Je, bado hamna imani?”
24Naye akawaambia, “Iweni waangalifu na 41Nao wakawa wameogopa sana,
yale mnayosikia. Kipimo mnachotumia kuwapimia wakaulizana,‘‘Ni nani huyu ambaye hata upepo na
wengine ndicho kitakachotumiwa kuwapimia ninyi, mawimbi vinamtii?”
hata na zaidi. 25Kwa maana aliye na kitu
ataongezewa na yeye asiye na kitu hata kile Yesu Amponya Mtu Mwenye Pepo
alicho nacho atanyang’anywa.”
5 Wakafika upande wa pili wa bahari
wakaingia katika nchi ya Wagerasi. 2Yesu
Mfano Wa Mbegu Inayoota alipotoka kwenye mashua, mara mtu mmoja
26Pia akawaambia, “Ufalme wa Mungu mwenye pepo mchafu akatoka makaburini
unafanana na mtu apandaye mbegu shambani. akakutana naye. 3Mtu huyu aliishi makaburini,
27Akiisha kuzipanda, usiku hulala na mchana wala hakuna aliyeweza kumzuia hata kwa
huamka, nazo mbegu huota na kukua pasipo kumfunga minyororo, 4kwa kuwa mara kwa mara
yeye kujua inavyokua. 28Udongo huifanya iote alikuwa amefungwa kwa minyororo mikononi na
kuwa mche, halafu suke, kisha nafaka kamili miguuni, akaikata hiyo minyororo na kuzivunja zile
kwenye suke. 29Lakini nafaka inapokuwa pingu miguuni mwake. Hapakuwa na mtu ye yote
imekomaa, mara mkulima huingia shambani na aliyekuwa na nguvu za kumzuia. 5Usiku na
mundu wa kuvunia maana mavuno yamekuwa mchana alikuwa makaburini na milimani, akipiga
tayari.” kelele na kujikatakata kwa mawe.
6Alipomwona Yesu kwa mbali, alimkimbilia
Mfano Wa Mbegu Ya Haradali akapiga magoti mbele Yake. 7Akapiga kelele kwa
30Akawaambia tena, ``Tuufananishe Ufalme nguvu akisema, ”Una nini nami, Yesu Mwana wa
wa Mungu na nini? Au tutumie mfano gani ili Mungu Aliye Juu? Ninakuapisha kwa Mungu,
kuueleza? 31Uko kama punje ya haradali, ambayo usinitese! ” 8Kwa kuwa Yesu alikuwa
ni mbegu ndogo sana kuliko mbegu zote amemwambia,‘‘Mtoke mtu huyu wewe pepo
zinazopandwa ardhini. 32Lakini ikishaota, hukua mchafu!”
ikawa mmea mkubwa kuliko yote katika bustani, 9Yesu akamwuliza, ‘‘Jina lako ni nani?’’
ikawa na matawi makubwa hata ndege wa angani Akamjibu, ‘‘Jina langu ni Legioni a , kwa kuwa
kujenga viota kwenye matawi yake.” tuko wengi. ” 10Akamwomba sana Yesu
33Kwa mifano mingine mingi kama hii Yesu asiwapeleke nje ya nchi ile.
alinena nao neno Lake, kwa kadiri walivyoweza
kulisikiza. 34Hakusema nao neno lo lote pasipo a9 Legioni hapa maana yake ni Jeshi.
6
MARKO
11Kundi kubwa la nguruwe lilikuwa karibu Lake,28maana alisema moyoni mwake, “Kama
likilisha kando ya kilima. 12Wale pepo wakamsihi nikiweza kuligusa vazi Lake tu, nitapona.” 29Mara
Yesu wakisema, ‘‘Tuamuru twende kwenye wale kutoka damu kwake kukakoma, naye akajisikia
nguruwe, turuhusu tuwaingie.” 13Basi Yesu mwilini mwake amepona kabisa.
akawaruhusu, nao wale pepo wakatoka 30Ghafula Yesu akatambua kuwa nguvu
wakawaingia hao nguruwe. Lile kundi lilikuwa na zimemtoka. Akaugeukia ule umati wa watu na
nguruwe wapata 2,000, likatelemkia kasi gengeni kuuliza, “Ni nani aliyenigusa?”
nao wakazama baharini. 31Wanafunzi Wake wakamjibu, “Unaona jinsi
14Wale waliokuwa wakichunga hao nguruwe umati wa watu unavyokusonga, wawezaje kuuliza,
wakakimbilia mjini na vijijini kueleza yaliyotukia. ‘Ni nani aliyenigusa?’ ’’
Watu wakatoka kwenda kuona hayo yaliyokuwa 32Lakini Yesu akaangalia pande zote ili aone
yametukia. 15Walipofika kwa Yesu, wakamwona ni nani aliyemgusa. 33Yule mwanamke, akijua
yule mtu aliyekuwa amepagawa na pepo wachafu kilichomtokea, akaja, akaanguka miguuni pake
Legioni, akiwa ameketi hapo, amevaa nguo na pia akitetemeka kwa hofu, akamweleza ukweli wote.
akiwa na akili zake timamu. Wakaogopa. 16Wale 34Yesu akamwambia, ‘‘Binti, imani yako
walioyaona mambo haya wakawaeleza watu imekuponya. Nenda kwa amani, upone kabisa
wengine yaliyomtokea yule aliyekuwa na pepo ugonjwa wako. ”
wachafu na lile kundi la nguruwe. 17Basi watu
wakaanza kumwomba Yesu aondoke katika nchi Yesu Amfufua Binti Yairo
yao. 35Alipokuwa bado anaongea, watu wakafika
18Yesu alipokuwa anaingia kwenye mashua, kutoka nyumbani kwa Yairo wakamwambia, “Binti
yule mtu aliyekuwa amepagawa na pepo wachafu yako amekufa. Kwa nini kuendelea kumsumbua
akamsihi Yesu waende pamoja. 19Yesu Mwalimu?’’
hakumruhusu, bali alimwambia, ‘‘Nenda nyumbani 36Kwa kusikia hayo waliyosema, Yesu
kwa jamaa yako ukawaeleze mambo makuu akamwambia huyo kiongozi wa sinagogi,
aliyokutendea Bwana na jinsi alivyokuhurumia.” “Usiogope. Amini tu.”
20Yule mtu akaenda zake akaanza kutangaza 37Hakumruhusu mtu mwingine ye yote
katika Dekapoli jinsi Yesu alivyomtendea, nao amfuate isipokuwa Petro, Yakobo na Yohana
watu wote wakastaajabu. nduguye Yakobo. 38Walipofika nyumbani kwa yule
kiongozi wa sinagogi, Yesu akaona ghasia, watu
Mwanamke Aponywa wakilia na kuomboleza kwa sauti kubwa.
21Yesu alipokwisha kuvuka tena na kufika 39Alipokwisha kuingia ndani, akawaambia, “Kwa
ng’ambo, umati mkubwa wa watu ukamzunguka, nini mnafanya ghasia na kulia? Mtoto hajafa bali
Yeye akiwa kando ya bahari. 22Kisha mmoja wa amelala tu.” 40Wale watu wakamcheka kwa
viongozi wa sinagogi aliyeitwa Yairo, akafika pale, dharau.
naye alipomwona Yesu akapiga magoti miguuni Lakini Yeye akawatoa wote nje, akawachukua
pake, 23akamsihi akisema, “Binti yangu mdogo ni baba na mama wa yule mtoto pamoja na wale
mgonjwa mahututi. Tafadhali njoo uweke mikono wanafunzi aliokuwa nao. Wakaingia ndani mpaka
Yako juu yake ili apate kupona na kuishi.” 24Hivyo pale alipokuwa yule mtoto. 41Akamshika mtoto
Yesu akaongozana naye. mkono akamwambia, ‘‘Talitha, Cumi b .” (Maana
Umati mkubwa wa watu ukamfuata, watu yake, ‘‘Msichana ninakuambia amka!”) 42Mara
wakawa wanamsonga. 25Hapo palikuwa na yule msichana akasimama, akaanza kutembea.
mwanamke aliyekuwa amesumbuliwa na tatizo la Alikuwa na umri wa miaka kumi na miwili.
kutokwa damu kwa miaka kumi na miwili. Walipoona haya, wakastaajabu sana. 43Yesu
26Mwanamke huyu alikuwa ameteseka sana kwa akawaagiza kwa ukali wasimweleze mtu ye yote
mikono ya matabibu wengi na kutumia kila kitu jambo hili, naye akawaambia wampe yule
alichokuwa nacho lakini badala ya kupona hali msichana chakula.
yake ilizidi kuwa mbaya. 27Alikuwa amesikia
habari za Yesu naye akaja kwa nyuma yake
b41 ‘Talitha Cumi’ ni lugha ya Kiaramu ambayo maana yake ni
kwenye umati wa watu, akaligusa vazi “Msichana amka!”
7
MARKO
kazi ndani Yake! ”.
Nabii Hana Heshima Kwao 15Wengine wakasema, ‘‘Yeye ni Eliya.”
Yesu akaondoka huko na kwenda mji wa Nao wengine wakasema, ‘‘Yeye ni nabii,
6 kwao, akiwa amefuatana na wanafunzi kama mmojawapo wa wale manabii wa zamani.”
Wake. 2Ilipofika siku ya Sabato, akaanza 16Lakini Herode aliposikia habari hizi,
kufundisha katika sinagogi na wengi waliomsikia akasema, ‘‘Huyo ni Yohana Mbatizaji, niliyemkata
wakashangaa. kichwa, amefufuka!’’
Wakauliza, “Mtu huyu ameyapata wapi 17Kwa kuwa Herode alikuwa ameagiza
mambo haya yote?. Tazama ni hekima ya namna kwamba Yohana Mbatizaji akamatwe, afungwe na
gani hii aliyopewa? Tazama matendo ya miujiza kutiwa gerezani. Alifanya hivi kwa sababu ya
ayafanyayo kwa mikono Yake! 3Huyu si yule Herodia, mke wa Filipo ndugu yake, ambaye
seremala, mtoto wa Maria? Nao ndugu zake si alikuwa amemwoa. 18Yohana alikuwa
Yakobo, Yose, Yuda na Simoni? Dada zake wote amemwambia Herode, “Si halali wewe kumwoa
si tuko nao hapa petu?” Nao wakachukizwa sana mke wa ndugu yako.” 19Kwa hiyo Herodia alikuwa
kwa ajili Yake wakakataa kumwamini. amemwekea Yohana kinyongo akataka kumwua.
4Yesu akawaambia, “Nabii hakosi heshima Lakini hakuweza, 20kwa sababu Herode
isipokuwa katika mji wake mwenyewe na alimwogopa Yohana akijua kwamba ni mtu
miongoni mwa jamaa na ndugu zake.” mwenye haki na mtakatifu, akawa anamlinda.
5Hakufanya miujiza yo yote huko isipokuwa Herode alifadhaika sana alipomsikia Yohana,
kuweka mikono Yake juu ya wagonjwa wachache lakini bado alipenda kumsikiliza.
na kuwaponya. 6Naye akashangazwa sana kwa 21Hatimaye Herodia alipata wasaa aliokuwa
wala mkoba, wala fedha kwenye mikanda yao, chote utakachoomba nitakupa, hata kama ni nusu
9bali wavae viatu, lakini wasivae nguo ya ziada. ya ufalme wangu.”
10Akawaambia, “Mkiingia kwenye nyumba yo yote, 24Yule binti akatoka nje akaenda kumwuliza
kaeni humo hadi mtakapoondoka katika mji huo. mama yake, “Niombe nini?”
11Kama mahali po pote hawatawakaribisha wala Mama yake akajibu, “Omba kichwa cha
kuwasikiliza, mtakapoondoka huko, kung’uteni Yohana Mbatizaji.”
mavumbi yaliyoko miguuni mwenu, ili kuwa 25Yule binti akarudi haraka kwa mfalme
ushuhuda dhidi yao.” akamwambia, “Nataka unipe sasa hivi kichwa cha
12Kwa hiyo wakatoka na kuhubiri kwamba Yohana Mbatizaji kwenye sinia.’’
inawapasa watu watubu, waache dhambi. 26Mfalme akasikitika sana, lakini kwa sababu
13Wakatoa pepo wachafu wengi, wakawapaka alikuwa ameapa mbele ya wageni wake hakutaka
wagonjwa wengi mafuta na kuwaponya. kumkatalia. 27Mara mfalme akatuma askari
mmojawapo wa walinzi wake kukileta kichwa cha
Yohana Mbatizaji Akatwa Kichwa Yohana. Akaenda na kumkata Yohana kichwa
14Mfalme Herode akasikia habari hizi, kwa humo gerezani, 28akakileta kichwa chake kwenye
maana Jina la Yesu lilikuwa limejulikana kila sinia na kumpa yule msichana, naye yule
mahali. Watu wengine walikuwa wakisema, msichana akampa mama yake. 29Wanafunzi wake
‘‘Yohana Mbatizaji amefufuka kutoka kwa wafu walipopata habari hizi, wakaja kuuchukua mwili
ndiyo maana uwezo wa kutenda miujiza unafanya wake, wakauzika kaburini.
8
MARKO
Yesu Atembea Juu Ya Maji
Yesu Awalisha Watu 5,000 45Mara Yesu akawataka wanafunzi Wake
30Wale wanafunzi wa Yesu wakamkusanyikia waingie kwenye mashua watangulie kwenda
na kumpa taarifa ya mambo yote waliyokuwa Bethsaida, wakati Yeye anauaga ule umati wa
wamefanya na kufundisha. 31Basi kwa kuwa watu watu. 46Baada ya kuwaaga wale watu, akaenda
wengi mno walikuwa wakija na kutoka, hata mlimani kuomba.
wakawa hawana nafasi ya kula, Yesu 47Ilipofika jioni, ile mashua ilikuwa imefika
akawaambia wanafunzi Wake, “Twendeni peke katikati ya bahari na Yesu alikuwa peke yake
yetu mahali pa faragha, mpate kupumzika.” katika nchi kavu. 48Akawaona wanafunzi Wake
32Hivyo wakaondoka kwa mashua peke yao wanahangaika na kupiga makasia kwa nguvu,
wakaenda mahali pa faragha pasipo na watu. kwa sababu upepo ulikuwa wa mbisho.Karibu na
33Lakini watu wengi waliowaona wakiondoka, mapambazuko, Yesu akawaendea wanafunzi
wakawatambua, nao wakawatangulia haraka kwa Wake, akitembea juu ya maji. Alikuwa karibu
miguu kutoka katika miji yote nao wakatangulia kuwapita, 49lakini walipomwona akitembea juu ya
kufika. 34Yesu alipofika nchi kavu na kuuona huo maji, wakadhani ni mzimu, wakapiga yowe, 50kwa
umati wa watu, aliwaonea huruma kwa maana sababu wote walipomwona waliogopa.
walikuwa kama kondoo wasiokuwa na mchungaji. Mara Yesu akasema nao, akawaambia,
Kwa hiyo akaanza kuwafundisha mambo mengi. “Jipeni moyo! Ni Mimi, msiogope!” 51Akapanda
35Mchana ulipokuwa umeendelea sana, kwenye mashua yao na ule upepo ukakoma!
wanafunzi Wake wakamwendea, wakamwambia, Wakashangaa kabisa. 52Kwa kuwa walikuwa
“Mahali hapa ni mbali na pasipo na watu, nazo hawajaelewa kuhusu ile mikate, mioyo yao ilikuwa
saa zimekwenda sana. 36Waage watu ili waweze migumu.
kwenda sehemu za mashambani na vijiji vya 53Walipokwisha kuvuka, wakafika Genezareti,
Wakamwambia, “Je, twende tukanunue wagonjwa kwenye mikeka ili kuwapeleka mahali
mikate ya dinari 200 a ili tuwape watu hawa wale?’’ po pote waliposikia kuwa Yesu yupo. 56Kila mahali
38Akawauliza, “Kuna mikate mingapi? Yesu alipokwenda, iwe vijijini, mijini na
Nendeni mkaangalie.’’ mashambani, watu waliwaweka wagonjwa wao
Walipokwisha kuona wakarudi, masokoni, wakamwomba awaruhusu hao
wakamwambia, “Kuna mikate mitano na samaki wagonjwa waguse japo upindo wa vazi Lake. Nao
wawili.’’ wote waliomgusa, waliponywa.
39Kisha Yesu akawaamuru wawaketishe watu
makundi makundi kwenye majani, 40nao wakaketi Kilicho Safi Na Kilicho Najisi
kwenye makundi ya watu mia mia na wengine
hamsini hamsini. 41Yesu akaichukua ile mikate 7 Mafarisayo na baadhi ya walimu wa sheria
waliokuwa wametoka Yerusalemu
mitano na wale samaki wawili akatazama wakakusanyika mbele ya Yesu. 2Wakawaona
mbinguni, akashukuru, kisha akaimega ile mikate, baadhi ya wanafunzi Wake wakila chakula kwa
akawapa wanafunzi Wake ili wawagawie wale mikono iliyo najisi, yaani, bila kunawa kama
watu wote. Pia akawagawia wote wale samaki ilivyotakiwa na sheria ya dini ya Wayahudi. 3Kwa
wawili. 42Watu wote wakala, wakashiba. kuwa Mafarisayo na Wayahudi wote hawali
43Wanafunzi Wake wakakusanya vipande chakula pasipo kunawa kwa kufuata desturi za
vilivyosalia vya mikate na samaki, wakajaza wazee wao. 4Wanapotoka sokoni hawawezi kula
vikapu kumi na viwili. 44Idadi ya wanaume pasipo kunawa. Pia kuna desturi nyingine nyingi
waliokula walikuwa 5,000. wanazofuata kama vile jinsi ya kuosha vikombe,
vyungu na vyombo vya shaba.
yake wanakula kwa mikono najisi?’’ sehemu za Tiro. Akaingia katika nyumba moja,
6Yesu akawajibu, “Nabii Isaya alisema ukweli naye hakutaka mtu ye yote ajue kwamba yuko
alipotabiri juu yenu, ninyi wanafiki, kama humo. Lakini hakuweza kujificha. 25Lakini
ilivyoandikwa: mwanamke mmoja ambaye binti yake mdogo
alikuwa na pepo mchafu, akaja na kumpigia
“ ‘Watu hawa wananiheshimu kwa midomo magoti miguuni pake. 26Basi huyo mwanamke
yao, hakuwa Myahudi, bali wa asili ya Kisirofoinike a .
lakini mioyoni mwao wako mbali nami. Akamsihi Yesu amtoe binti yake huyo pepo
7Huniabudu bure, mchafu.
wakifundisha mapokeo ya wanadamu.’ ’’ 27Yesu akamwambia, “Waache watoto
washibe kwanza, kwa maana si vema kuchukua
8Ninyi mmeziacha amri za Mungu na kushika chakula cha watoto na kuwatupia mbwa.’’
desturi za watu.’’ 28Lakini yule mwanamke akamjibu, “Bwana,
9Naye akawaambia, “Ninyi mnayo njia nzuri ya hata mbwa walio chini ya meza hula makombo ya
kukataa amri za Mungu ili mpate kuzishika desturi chakula cha watoto.’’
zenu! 10Kwa mfano, Mose alisema, ‘Waheshimu 29Ndipo Yesu akamjibu, “Kwa sababu ya jibu
baba yako na mama yako’ na ‘Ye yote lako, endenda zako nyumbani, yule pepo machafu
amtukanaye baba yake au mama yake auawe.’ amemtoka binti yako.”
11Lakini ninyi mwasema mtu akimwambia baba 30Akaenda zake nyumbani akamkuta binti
yake au mama yake kuwa, “Msaada ambao yake amelala kitandani, yule pepo mchafu akiwa
ningekupa ni Korbani,” yaani, umetengwa kama amemtoka.
sadaka kwa Mungu, 12basi hawajibiki tena
kumsaidia baba yake au mama yake. 13Kwa njia Yesu Amponya Mtu Aliyekuwa Kiziwi Na Bubu
hiyo ninyi mnabatilisha neno la Mungu kwa 31Kisha Yesu akaondoka sehemu za Tiro,
taratibu zenu mlizojiwekea. Nanyi mnafanya akapita katikati ya Sidoni, hadi Bahari ya Galilaya
mambo mengi ya jinsi hiyo.” na kuingia eneo la Dekapoli. 32Huko, watu
14Yesu akaita tena ule umati wa watu wakamletea Yesu mtu mmoja kiziwi, ambaye pia
akawaambia, “Nisikilizeni, kila mmoja wenu na alikuwa na kigugumizi, wakamwomba awekee
mwelewe jambo hili. 15Hakuna kitu mkono Wake juu ya huyo mtu na amponye.
kinachomwingia mtu kimtiacho unajisi, lakini kile 33Baada ya Yesu akampeleka yule kiziwi
kimtokacho ndicho kimtiacho unajisi. 16Kama mtu kando mbali na watu, Yesu akatia vidole vyake
ye yote ana masikio ya kusikia na asikie.” masikioni mwa yule mtu. Kisha akatema mate na
17Akiisha kuuacha ule umati wa watu na kuugusa ulimi wa yule mtu. 34Ndipo Yesu
kuingia ndani, wanafunzi Wake wakamwuliza akatazama mbinguni, akavuta hewa ndani kwa
maana ya mfano ule. 18Akawajibu, “Hata nanyi nguvu akamwambia, “Efatha!” yaani, “Funguka!”
hamwelewi? Hamtambui kwamba kitu 35Mara masikio yake yakafunguka na ulimi wake
kimwingiacho mtu hakimtii unajisi? 19Mtu akila kitu ukaachiwa akaanza kuongea sawasawa.
hakiingii moyoni mwake bali tumboni na baadaye 36Yesu akawaamuru wasimwambie mtu ye
hutolewa nje ya mwili wake. (Kwa kusema hivi, yote habari hizi. Lakini kadiri alivyowazuia, ndivyo
Yesu alivihalalisha vyakula vyote kuwa ni safi.”) walivyozidi kutangaza kwa bidii. 37Walistaajabu
20Akaendelea kusema, “Kile kimtokacho mtu mno. Wakasema, “Amefanya mambo yote vizuri
ndicho kimtiacho unajisi. 21Kwa maana kutoka mno! Amewawezesha viziwi wasikie na bubu
ndani ya moyo wa mtu hutoka: Mawazo mabaya, waseme!”
uasherati, 22wizi, uuaji, uzinzi, tamaa mbaya,
uovu, udanganyifu, ufisadi, wivu,matukano, kiburi
na upumbavu. 23Maovu haya yote hutoka ndani ya
a26 “Asili ya Kisirofoinike” ni watu waliokuwa na asili ya Kifoinike
mtu nayo ndiyo yamtiayo mtu unajisi.’’ lakini kutoka Syria ili kuwatofautisha na Wafoinike wa Libya.
10
MARKO
Yesu Alisha Watu 4000 vingapi vilivyojaa vya masazo?’’
Katika siku hizo, umati mkubwa wa watu Wakamjibu, “Kumi na viwili.’’
8 ulikusanyika tena. Kwa kuwa walikuwa 20‘‘Je ? nilipomega ile mikate saba kuwalisha
hawana chakula, Yesu akawaita wanafunzi wake watu 4,000, mlikusanya vikapu vingapi vilivyojaa
akawaambia, 2‘‘Ninauhurumia huu umati wa watu, vya masazo?’’
kwa sababu sasa wamekuwa nami kwa muda wa Wakamjibu, “Saba.’’
siku tatu na hawana chakula. 3Nikiwaaga waende 21Ndipo akawaambia, Akawauliza, ‘‘Je, bado
Yesu. Ili kumtega, wakamwomba awaonyeshe kwenda katika vijiji vya Kaisaria Filipi. Walipokuwa
ishara kutoka mbinguni. 12Akahuzunika moyoni, njiani Yesu akawauliza, “Watu husema mimi ni
akawaambia, “Kwa nini kizazi hiki kinataka nani?’’
ishara? Amin, nawaambieni, hakitapewa ishara yo 28Wakamjibu, ‘‘Baadhi husema wewe ni
yote.’’ 13Kisha akawaacha, akarudi kwenye Yohana Mbatizaji, wengine husema ni Eliya na
mashua, akavuka hadi ng'ambo . wengine husema wewe ni mmojawapo wa
manabii.’’
Chachu Ya Mafarisayo Na Ya Herode 29Akawauliza, ‘‘Je, ninyi, mnasema mimi ni
14Wanafunzi walikuwa wamesahau kuleta nani?’’
mikate ya kutosha. Walikuwa na mkate mmoja tu Petro akajibu, “Wewe ndiye Kristo.’’
kwenye mashua. 15Yesu akawaonya: ‘‘Jihadharini 30Akawaonya wasimwambie mtu ye yote
wakasema, ‘‘Anasema hivi kwa kuwa hatukuleta Yesu Atabiri Juu Ya Kifo Chake
mikate.’’ 31Ndipo akaanza kuwafundisha wanafunzi
17Yesu akifahamu majadiliano yao, wake kuwa Mwana wa Adamu atapata mateso
akawauliza: ‘‘Mbona mnazungumzia kuhusu mengi na kukataliwa na wazee, viongozi wa
kutokuwa na mikate? Bado hamtambui wala makuhani, na walimu wa sheria na kwamba
kuelewa? Je, mbona mioyo yenu ni migumu kiasi atauawa na baada ya siku tatu atafufuka.
hicho? 18Mna macho lakini mnashindwa kuona, 32Aliyasema haya wazi wazi, ndipo Petro
mna masikio lakini mnashindwa kusikia? Je, akamchukua kando akaanza kumkemea.
hamkumbuki? 19Nilipoimega ilemikate mitano
kuwalisha watu elfu tano, mlikusanya vikapu
11
MARKO
33Lakini Yesu alipogeuka na kuwaangalia yake nini.
wanafunzi wake, akamkemea Petro, akasema, 11Wakamwuliza, “Kwa nini walimu wa sheria
“Rudi nyuma yangu Shetani! Wewe huwazi yaliyo husema kwamba ni lazima Eliya aje kwanza?’’
ya Mungu bali ya wanadamu.’’ 12Yesu akawajibu, “Ni kweli, Eliya yuaja
34Ndipo akauita ule umati wa watu pamoja na kwanza, ili kurudisha upya mambo yote. Mbona
wanafunzi wake, akasema, “Mtu ye yote akitaka basi imeandikwa kwamba Mwana wa Adamu ni
kunifuata, ni lazima ajikane mwenyewe, auchukue lazima ateseke sana na kudharauliwa? 13Lakini
msalaba wake, anifuate. 35Kwa maana mtu yeyote ninawaambia, Eliya amekwisha kuja nao
anayetaka kuiokoa nafsi ataipoteza, lakini yeye wakamtendea walivyopenda, kama ilivyoandikwa
ayapotezaye maisha yake kwa ajili yangu na kwa kumhusu yeye.’’
ajili ya Injili ataiokoa. 36Mtu atafaidiwa nini kama
akiupata ulimwengu wote lakini akaipoteza nafsi Kuponywa Kwa Mvulana Mwenye Pepo
yake? 37Au mtu atatoa nini apate tena maisha Mchafu
yake? 38Mtu ye yote anayenionea aibu mimi na 14Walipowafikia wale wanafunzi wengine,
maneno yangu katika kizazi hiki cha uzinzi na cha wakawakuta wamezungukwa na umati mkubwa
dhambi, Mwana wa Adamu, atamwonea aibu wa watu na baadhi ya walimu wa sheria
wakati nitakapokuja katika utukufu wa Baba yake wakibishana nao. 15Mara wale watu walipomwona
pamoja na malaika watakatifu.’’ Yesu, wakastaajabu sana, wakamkimbilia, ili
kumsalimu.
kuyang’arisha. 4Mose na Eliya wakawatokea, imani! Nitakuwa pamoja nanyi mpaka lini?
wakawa wanazungumza na Yesu. Nitachukuliana nanyi mpaka lini? Mleteni huyo
5Petro akamwambia Yesu, ‘‘Mwalimu, ni vizuri mvulana kwangu.”
sisi tukae hapa. Turuhusu tujenge vibanda vitatu : 20Nao wakamleta yule mvulana. Yule pepo
Kimoja chako, kimoja cha Mose na kingine cha mchafu alipomwona Yesu, mara akamtia yule
Eliya.” 6Petro hakujua aseme nini kwa maana mvulana kifafa, akaanguka, akagaagaa chini huku
yeye na wenzake walikuwa wameogopa sana. akitokwa na povu kinywani.
7Ndipo pakatokea wingu, likawafunika, nayo 21Yesu akamwuliza baba yake, “Mwanao
sauti kutoka katika lile wingu ikasema, “Huyu ni amekuwa akitokewa na hali hii tangu lini?’’
Mwanangu, nimpendaye, msikilizeni Yeye.’’ Akamjibu, “Tangu utoto wake. 22Mara kwa
8Mara walipotazama huku na huku, mara huyo pepo mchafu amekuwa akimwangusha
hawakuona tena mtu mwingine ye yote pamoja kwenye moto au kwenye maji ili kumwangamiza.
nao isipokuwa Yesu. Lakini kama unaweza kufanya jambo lo lote,
9Walipokuwa wakishuka kutoka mlimani, Yesu tafadhali tuhurumie utusaidie.’’
akawakataza wasimwambie mtu ye yote mambo 23Yesu akamwambia, “Kama ukiweza
waliyoona, mpaka Mwana wa Adamu kuamini, yote yawezekana kwake yeye aaminiye.’’
atakapofufuka kutoka kwa wafu. 10Wakalihifadhi 24Mara baba yake yule mvulana akapiga
jambo hilo wao wenyewe, lakini wakawa kelele akisema, “Ninaamini. Nisaidie kutokuamini
wanajiuliza ‘‘huku kufufuka kwa wafu’’ maana kwangu!’’ 25Yesu alipoona kwamba umati wa watu
12
MARKO
unakusanyika pamoja mbio, akamkemea yule yote atendaye miujiza kwa Jina Langu ambaye
pepo mchafu, akimwambia, ‘‘Wewe pepo bubu na baada ya kitambo kidogo aweza kunena lo lote
kiziwi, nakuamuru umtoke wala usimwingie tena!” baya dhidi Yangu. 40Kwa maana ye yote asiye
26Yule pepo mchafu akiisha kupiga kelele, kinyume chetu yuko upande wetu. 41Amin, amin
akamtia kifafa kwa nguvu, akamtoka. Yule nawaambia, ye yote awapaye ninyi kikombe cha
mvulana alikuwa kama maiti, hivyo watu wengi maji kwa Jina Langu kwa sababu ni mali ya Kristo,
wakasema, ‘‘Amekufa.’’ 27Lakini Yesu akamshika hakika hataikosa thawabu yake.”
mkono akamwinua, naye akasimama.
28Baada ya Yesu kuingia ndani ya nyumba, Kusababisha Kutenda dhambi
wanafunzi Wake wakamwuliza wakiwa peke yao, 42“Kama mtu ye yote akimsababisha
‘‘Mbona sisi hatukuweza kumtoa huyo pepo mmojawapo wa wadogo hawa wanaoniamini
mchafu?’’ kutenda dhambi, ingekuwa afadhali mtu huyo
29Yesu akawajibu, ‘‘Hali hii haiwezi kutoka afungiwe shingoni mwake jiwe kubwa la kusagia
isipokuwa kwa kuomba na kufunga.’’ na kutoswa baharini. 43Kama mkono wako
ukikusababisha kutenda dhambi, ukate. Ni
Yesu Atabiri Tena Kifo Chake Na Ufufuo afadhali kuingia katika uzima ukiwa na mkono
30Wakaondoka huko, wakapitia Galilaya. Yesu mmoja kuliko kuwa na mikono miwili ukaingia
hakutaka mtu ye yote afahamu mahali walipo jehanam mahali ambako moto hauzimiki.
31kwa maana alikuwa anawafundisha wanafunzi [44Mahali ambako funza wake hawafi wala moto
Wake. Akawaambia, “Mwana wa Adamu wake hauzimiki.] 45Kama mguu wako
atasalitiwa na kutiwa mikononi mwa watu nao ukikusababisha kutenda dhambi, ukate. Ni
watamwua, naye siku tatu baada ya kuuawa afadhali kuingia katika uzima ukiwa kilema kuliko
atafufuka.’’ 32Lakini wao hawakuelewa kile kuwa na miguu miwili ukaingia jehanam mahali
alichokuwa akisema nao waliogopa kumwuliza. ambako moto hauzimiki. [46Mahali ambako funza
wake hawafi wala moto hauzimiki.] 47Nalo jicho
Mabishano Kuhusu Aliye Mkuu Zaidi Wote lako litakusababisha kutenda dhambi, ling’oe. Ni
33Basi wakafika Kapernaumu na baada ya afadhali kuwa chongo ukaingia katika Ufalme wa
kuingia nyumbani akawauliza, “Mlikuwa Mungu kuliko kuwa na macho mawili na ukatupwa
mnabishana nini kule njiani?’’ 34Lakini jehanam. 48Mahali ambako
hawakumjibu, kwa sababu njiani walikuwa
wakibishana kuhusu nani miongoni mwa “ ‘funza wake hawafi,
aliyekuwa mkuu zaidi ya wote. wala moto hauzimiki.’
35Akaketi, akawaita wote kumi na wawili
akawaambia: ‘Kama mtu ye yote akitaka kuwa wa 49Kilammoja atatiwa chumvi kwa moto.
kwanza hana budi kuwa wa mwisho na mtumishi 50“Chumvi ni nzuri, lakini ikipoteza ladha yake
wa wote.’ utaifanyaje ili iweze kukolea tena? Mwe na
36Kisha akamchukua mtoto mdogo chumvi ndani yenu, mkaishi kwa amani, kila
akamsimamisha katikati yao, akamkumbatia, mmoja na mwenzake.”
akawaambia, 37“Mtu ye yote amkaribishaye
mmoja wa hawa watoto wadogo, kwa Jina Langu Mafundisho Kuhusu Talaka
anikaribisha Mimi. Naye ananikaribishaye Mimi,
amkaribisha Baba yangu aliyenituma.” 10 Yesu akaondoka huko akavuka Mto wa
Yordani, akaenda sehemu ya Uyahudi.
Umati mkubwa wa watu ukamjia tena na kama
Ye Yote Asiye Kinyume Nasi Yuko Upande ilivyokuwa desturi Yake akawafundisha.
Wetu 2Baadhi ya Mafarisayo wakaja ili kumjaribu
38Yohana akamwambia, “Mwalimu, kwa kumwuliza, “Je, ni halali mtu kumwacha mke
tumemwona mtu akitoa pepo wachafu kwa Jina wake?”
Lako nasi tukamkataza kwa sababu yeye si 3Yesu akawajibu, “Je, Mose aliwaamuru nini?”
sheria hiyo kwa sababu ya ugumu wa mioyo wanafunzi Wake, “Itakuwa vigumu sana kwa
yenu. 6Lakini tangu mwanzo wa uumbaji, ‘Mungu wenye mali kuingia kwenye Ufalme wa Mungu!’’
aliwaumba mume na mke. 7Kwa sababu hii 24Wanafunzi Wake wakashangazwa sana na
mwanaume atamwacha baba yake na mama yake maneno hayo. Lakini Yesu akawaambia tena,
na kuambatana na mkewe na hao wawili, “Wanangu, tazama jinsi ilivyo vigumu kwa wale
watakuwa mwili mmoja.’ 8Kwa hiyo hawatakuwa wanaotumainia mali kuingia katika Ufalme wa
wawili tena bali mwili mmoja. 9Basi, Mungu. 25Ni rahisi zaidi kwa ngamia kupita
alichokiunganisha Mungu, mwanadamu kwenye tundu la sindano kuliko tajiri a kuingia
asikitenganishe” katika Ufalme wa Mungu.’’
10Walipokuwa tena ndani ya nyumba, 26Wanafunzi Wake wakashangaa mno.
wanafunzi Wake wakamwuliza kuhusu jambo hili. Wakaulizana wao kwa wao, “Ni nani basi
11Akawajibu, “Mtu ye yote anayemwacha mkewe awezaye kuokolewa?’’
na kuoa mke mwingine, azini naye. 12Naye 27Yesu akawatazama, akawaambia, “Kwa
mwanamke anayemwacha mumewe na kuolewa mwanadamu hili haliwezekani, lakini kwa Mungu
na mume mwingine, anazini pia.” sivyo. Yote kwa Mungu yanawezekana.’’
28Petro akaanza kumwambia, “Tazama,
Yesu Anawabariki Watoto Wadogo tumeacha kila kitu na kukufuata Wewe!”
13Watu walikuwa wakimletea Yesu watoto 29Yesu akasema, “Amin, nawaambia, hakuna
wadogo ili awaguse lakini wanafunzi Wake mtu ye yote aliyeacha nyumba, ndugu waume,au
wakawakemea. 14Yesu alipoona yaliyokuwa ndugu wake, mama, baba, watoto au mashamba
yakitukia akachukizwa, akawaambia wanafunzi kwa ajili Yangu na kwa ajili ya Injili, 30ambaye
Wake, “Waacheni watoto wadogo waje kwangu, hatalipwa mara mia katika ulimwengu huu,
wala msiwazuie, kwa maana Ufalme wa Mungu ni nyumba, ndugu waume, ndugu wake, mama,
wa watu kama hawa. 15Amin, amin nawaambia, baba, watoto, mashamba pamoja na mateso
mtu ye yote asiyeukubali Ufalme wa Mungu kama kisha uzima wa milele katika ulimwengu ujao.
mtoto mdogo, hatauingia kamwe.” 16Akawachukua 31Lakini wengi walio wa kwanza watakuwa wa
akaondoka kwa huzuni kwa sababu alikuwa na a24Tajiri hapa ina maana wale wanaotumainia mali
14
MARKO
35Kisha Yakobo na Yohana, wana wa 51Yesu akamwuliza, “Unataka nikufanyie
Zebedayo, wakaja mbele alikokuwa na nini?”
kumwambia, “Mwalimu, tunataka utufanyie lo lote Yule kipofu akajibu, “Mwalimu, nataka kuona.”
tutakalokuomba.” 52Yesu akamwambia, “Nenda zako, imani
36Naye akawaambia, “Je, mwataka niwafanyie yako imekuponya.” Mara akapata kuona,
jambo gani?” akamfuata Yesu njiani.
37Wakamwambia, “Tupe kukaa mmoja
upande Wako wa kuume na mwingine upande Yesu Aingia Yerusalemu Kwa Shangwe
11
wako wa kushoto katika utukufu Wako.” Walipokaribia Yerusalemu, wakafika
38Lakini Yesu akawaambia, “Hamjui Bethfage na Bethania katika Mlima wa
mnaloliomba. Je, mnaweza kukinywea kikombe Mizeituni, Yesu akawatuma wawili wa wanafunzi
ninyweacho Mimi, au kubatizwa ubatizo Wake, 2akiwaambia, “Nendeni kwenye kijiji
nibatizwao Mimi?” kilichoko mbele yenu na mara mwingiapo kijijini,
39Wakajibu, “Tunaweza.” mtakuta mwana punda amefungwa, ambaye
Kisha Yesu akawaambia, “Kikombe hajapandwa na mtu ye yote. Mfungueni,
nikinyweacho mtakinywea na ubatizo nibatizwao mkamlete hapa. 3Kama mtu ye yote akiwauliza,
mtabatizwa, 40lakini kuketi mkono wangu wa ‘Mbona mnamfungua?’ Mwambieni, ‘Bwana
kuume au wa kushoto si juu Yangu mimi kuwapa. anamhitaji na atamrudisha hapa baada ya muda
Nafasi hizi ni kwa ajili ya wale walioandaliwa.” mfupi.’ ”
41Wale wanafunzi wengine kumi waliposikia 4Wakaenda, wakamkuta mwana punda
hayo wakaanza kuwakasirikia Yakobo na Yohana. amefungwa kando ya barabara, karibu na mlango
42Yesu akawaita wanafunzi Wake pamoja wa nyumba. 5Walipokuwa wanamfungua, watu
akawaambia, “Mnafahamu kuwa watawala wa waliokuwa wamesimama karibu wakawauliza,
watu Mataifa huwatawala watu kwa nguvu, nao “Mna maana gani mnapomfungua huyo mwana
wenye vyeo huwaonyesha mamlaka yao. 43Lakini punda?” 6Wakawajibu kama vile Yesu alivyokuwa
sivyo kwenu. Badala yake ye yete anayetaka amewaagiza, nao wale watu wakawaruhusu.
kuwa mkuu miongoni mwenu hana budi kuwa 7Kisha wakamleta huyo mwana punda kwa Yesu
mtumishi wenu 44na ye yote anayetaka kuwa wa na kutandika mavazi yao juu yake, naye
kwanza, hana budi kuwa mtumwa wa wote. 45Kwa akampanda. 8Watu wengi wakatandaza mavazi
kuwa hata Mwana wa Adamu hakuja kutumikiwa, yao barabarani na wengine wakatandaza matawi
bali kutumika na kuutoa uhai Wake kuwa waliyokuwa wamekata mashambani. 9Kisha wale
ukombozi kwa ajili ya wengi.” waliokuwa wametangulia mbele na wale
waliokuwa wakifuata nyuma wakapaza sauti,
Yesu Amponya Kipofu Bartimayo wakisema,
46Kisha wakafika Yeriko. Wakati Yesu na
ule mti, ‘‘Tangu leo mtu ye yote na asile matunda akitembea hekaluni, viongozi wa makuhani,
kutoka kwako tena.’’ Wanafunzi Wake walimsikia walimu wa sheria pamoja na wazee wakamjia.
akisema hayo. 28Wakamwuliza, “Unafanya mambo haya kwa
hekaluni akaanza kuwafukuza wale waliokuwa Nijibuni, nami pia nitawaeleza ni kwa mamlaka
wananunua na kuuza humo ndani. Akapindua gani ninafanya mambo haya. 30Niambieni, ubatizo
meza za wale waliokuwa wakibadilisha fedha na wa Yohana ulitoka mbinguni au kwa wanadamu? ”
viti vya wale waliokuwa wakiuza njiwa, 16Wala 31Wakasemezana wao kwa wao, wakisema,
hakumruhusu mtu ye yote kuchukua bidhaa ‘‘Kama tukisema, ‘ulitoka mbinguni,’ atatuuliza,
kupitia ukumbi wa hekalu. 17Naye alipokuwa ‘Mbona hamkumwamini?’ 32Lakini tukisema,
akiwafundisha, akasema, “Je, haikuandikwa ‘ulitoka kwa wanadamu,’ ’’ waliwaogopa watu kwa
kuwa: sababu kila mtu aliamini kwamba Yohana
Mbatizaji alikuwa kweli nabii.
“ ‘Nyumba Yangu itaitwa nyumba ya sala kwa 33Kwa hiyo wakamjibu Yesu, “Hatujui.’’
mmeyapokea nayo yatakuwa yenu. 25Nanyi kila mmoja wa kumtuma, huyu ni mwanawe
msimamapo kusali, sameheni, mkiwa na neno na mpendwa. Hatimaye akamtuma akisema,
mtu ili na Baba yenu aliye mbinguni awasamehe ‘Watamheshimu mwanangu.’
na ninyi makosa yenu. 26Lakini kama ninyi 7‘‘Lakini wale wapangaji wakasemezana wao
16
MARKO
kwa wao, wakisema, ‘Huyu ndiye mrithi, njoni saba. Yule wa kwanza akaoa na akafa pasipo
tumwue, nao urithi utakuwa wetu.’ 8Hivyo kuwa na mtoto ye yote. 21Wa pili akamwoa yule
wakamkamata, wakamwua na kumtupa nje ya lile mjane, lakini naye akafa bila kuacha mtoto ye
shamba la mizabibu. yote. Ikawa vivyo hivyo kwa yule wa tatu.
9“Mnadhani yule mwenye shamba atafanya 22Hakuna hata mmojawapo wa hao ndugu wote
nini? Atakuja na kuwaua hao wapangaji, kisha saba aliyeacha mtoto. Hatimaye naye yule
atawapa wapangaji wengine hilo shamba la mwanamke akafa. 23Kwa hiyo wakati wa ufufuo,
mizabibu. 10Je, hamjasoma maandiko haya: watakapofufuka wote, huyo atakuwa mke wa nani
maana aliolewa na ndugu wote saba?”
“ ‘Jiwe lile walilolikataa waashi 24Yesu akawajibu, “Je, hampotoki kwa sababu
limekuwa jiwe kuu la pembeni, hamjui maandiko wala uweza wa Mungu? 25Wafu
11Bwana amefanya jambo hili, watakapofufuka, hawataoa wala kuolewa,
nalo ni ajabu machoni petu?’ ” watakuwa kama malaika wa mbinguni. 26Basi
kuhusu ufufuo wa wafu: Je, hamjasoma katika
12Walipotambua
kuwa amesema mfano huu kitabu cha Mose jinsi Mungu alivyosema na Mose
kwa ajili yao wakataka kumkamata, lakini kutoka katika kile kichaka akisema, ‘Mimi, ni
wakaogopa ule umati wa watu. Wakamwacha Mungu wa Abrahamu na Mungu wa Isaki na
wakaondoka, wakaenda zao. Mungu wa Yakobo?’ 27Mungu si Mungu wa wafu,
bali ni Mungu wa walio hai. Kwa hiyo mmekosea
Swali Kuhusu Kulipa Kodi kabisa.”
13Baadaye wakawatuma baadhi ya
Mafarisayo na Maherode ili kuja kumtega Yesu Amri Iliyo Kuu
katika yale anayosema. 14Wakamjia, 28Mwalimu mmoja wa sheria akaja akawasikia
wakamwambia, “Mwalimu, tunajua ya kuwa Wewe wakijadiliana. Akiona kwamba Yesu amewajibu
ni mtu mwadilifu. Wewe huyumbishwi na vema, naye akamwuliza, “Katika amri zote, ni ipi
wanadamu, kwa kuwa hujali kwamba wao ni nani. iliyo kuu?”
Lakini Wewe hulifundisha neno la Mungu 29Yesu akajibu, “Amri iliyo kuu ndiyo hii,
sawasawa na kweli. Je, ni haki kumlipa Kaisari ‘Sikiza Ee Israeli, Bwana Mungu wetu, Bwana
kodi au la? 15Je, tulipe kodi au tusilipe?” ndiye mmoja. 30Mpende Bwana Mungu wako kwa
Lakini Yesu alijua unafiki wao. Akawauliza moyo wako wote, kwa roho yako yote, kwa akili
“Mbona mnajaribu kunitega? Nileteeni hiyo dinari a zako zote na kwa nguvu zako zote.’ 31Ya pili ndiyo
niione.” 16Wakamletea hiyo sarafu. Naye hii: ‘Mpende jirani yako kama nafsi yako.’ Hakuna
akawauliza, “Picha hii ni ya nani na maandishi amri nyingine iliyo kuu kuliko hizi.”
haya ni ya nani?” 32Yule mwalimu wa sheria akamwambia
Keti mkono wangu wa kuume, Nayo ni nini ishara ya wakati hayo yote
hadi nitakapowaweka adui zako yanapokaribia kutimia?’’
chini ya miguu yako.’ ’’ 5Yesu akawaambia: “Jihadharini mtu ye yote
ya hekalu. Matajiri wengi wakaweka kiasi kikubwa baba atamsaliti mwawe. Watoto watawaasi
cha fedha. 42Lakini mjane mmoja maskini akaja na wazazi wao na kusababisha wauawe. 13Watu
kuweka sarafu mbili ndogo za shaba zenye wote watawachukia kwa ajili ya Jina Langu,lakini
thamani ya senti mbili.’’ atakayevumilia hata mwisho ataokoka.
43Yesu akawaita wanafunzi Wake
akawaambia, “Amin, amin nawaambia,, huyu Chukizo La Uharibifu
mjane maskini ametoa zaidi katika hazina kuliko 14“Mtakapoona chukizo la uharibifu
wengine wote. 44Wengine wote wametoa limesimama mahali pasipolipasa (asomaye na
kutokana na ziada ya mali zao, lakini huyu mjane afahamu), basi wale walioko Uyahudi na
kutokana na umaskini wake, ametoa kila kitu wakimbilie milimani. 15Yeye aliyeko juu ya dari ya
alichokuwa nacho, hata kile alichohitaji ili kuishi.” nyumba asishuke au kuingia ndani ili kuchukua
kitu cho chote. 16Aliye shambani asirudi nyumbani
Dalili Za Siku Za Mwisho kuchukua vazi lake. 17Ole wao wenye mimba na
anayesafiri akiiacha nyumba yake na kuwaachia wanafunzi kumi na wawili wa Bwana Yesu,
watumishi wake kuiangalia, kila mtu na kazi yake, akaenda kwa viongozi wa makuhani ili kumsaliti
kisha akamwambia yule bawabu aliye mlangoni Yesu kwao. 11Walifurahi sana kusikia jambo hili na
akeshe. wakaahidi kumpa fedha. Hivyo yeye akawa
35“Basi kesheni kwa sababu hamjui ni lini anatafuta wasaa mzuri wa kumtia Yesu mikononi
mwenye nyumba atakaporudi, iwapo ni jioni, au mwao.
kwamba ni usiku wa manane, au alfajiri awikapo
jogoo, au wakati wa mapambazuko. 36Kama akija a3 Nardo ni aina ya manukato yaliyokuwa yanatengenezwa
ghafula, asije akawakuta mmelala. 37Lile kutokana na mimea yenye mizizi inayotoa harufu nzuri.
b5 Dinari 300 ni sawa na mshahara wa kibarua kwa siku 300.
ninalowaambia ninyi, nawaambia watu wote: Dinari moja ilikuwa sawa na mshahara wa kibarua wa siku moja.
19
MARKO
Yesu Atabiri Kuwa Petro Atamkana
Yesu Ala Pasaka Na Wanafunzi Wake 27Yesu akawaambia, “Ninyi nyote mtaniacha,
12Siku ya kwanza ya Sikukuu ya Mikate kwa maana imeandikwa:
Isiyotiwa Chachu, siku ambayo kwa desturi
kondoo wa Pasaka huchinjwa, wanafunzi wa ‘Nitampiga mchungaji,
Yesu wakamwuliza, “Unataka tuende wapi ili nao kondoo watatawanyika.’
tukuandalie mahali pa kula Pasaka?”
13Basi akawatuma wawili miongoni mwa 28Lakini baada ya kufufuka, nitawatangulia
wanafunzi Wake, akawaambia, “Nendeni mjini, kwenda Galilaya.”
huko mtakutana na mwanamume amebeba 29Petro akasema, “Hata kama wengine wote
wapi chumba changu kwa ajili ya wageni ambamo usiku huu huu, kabla jogoo hajawika mara mbili,
nitakula Pasaka pamoja na wanafunzi Wangu?’ utanikana mara tatu.’’
15Atawaonyesha chumba kikubwa ghorofani, 31Lakini Petro akasisitiza akasema, ‘‘Hata
kilichopambwa tena kilicho tayari. Tuandalieni kama inanipasa kufa pamoja nawe, sitakukana.’’
humo.” Nao wale wanafunzi wengine wote wakasema
16Wale wanafunzi wakaondoka na kwenda vivyo hivyo.
mjini, nao wakakuta kila kitu kama alivyowaambia.
Hivyo wakaandaa chakula cha Pasaka. Yesu Akiomba Bustanini Gethsemane
17Ilipofika jioni, Yesu akaja pamoja na wale 32Wakaenda mahali paitwapo Gethsemane,
wanafunzi wake kumi na wawili. 18Walipokwisha Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Kaeni hapa
kuketi kwenye nafasi zao, wakati wakila Yesu wakati ninakwenda kule kuomba.’’ 33Kisha
akawaambia, ‘‘Amin, nawaambia, mmoja wenu akawachukua pamoja naye Petro, Yakobo na
atanisaliti, yaani, yeye anayekula pamoja nami.’’ Yohana. Naye akaanza kuhuzunika sana na
19Wakaanza kuhuzunika na kumwambia kutaabika. 34Akawaambia, “Moyo wangu umejawa
mmoja baada ya mwingine, “Je, ni mimi Bwana?” na huzuni kiasi cha kufa. Kaeni hapa na mkeshe.”
20Akawajibu, “Ni mmoja miongoni mwenu 35Akaenda mbele kidogo, akajitupa chini
ninyi kumi na wawili, yule anayechovya mkate kifudifudi akaomba akisema, kama ikiwezekana
kwenye bakuli pamoja nami. 21Kwa kuwa Mwana saa hiyo ya mateso imwepuke. 36Akasema, “Aba c ,
wa Adamu yu aenda Zake kama vile Baba, mambo yote yawezekana Kwako.
alivyoandikiwa. Lakini ole wake mtu yule Niondolee kikombe hiki, lakini si kama nitakavyo
amsalitiye Mwana wa Adamu! Ingelikuwa heri Mimi, bali mapenzi Yako yatimizwe.’’
kama asingelizaliwa.” 37Akarudi kwa wanafunzi Wake akawakuta
nawaambia, sitakunywa tena uzao wa mzabibu mmelala na kupumzika? Imetosha! Saa imewadia.
mpaka siku ile nitakapokunywa mpya katika Tazama, Mwana wa Adamu anasalitiwa mikononi
Ufalme wa Mungu.’’
26Walipokwisha kuimba wimbo, wakatoka
akatokea akiwa pamoja na umati wa watu wenye Baraza akamwuliza Yesu, “Je, Wewe huwezi
panga na marungu, waliokuwa wametumwa na kujibu mashtaka haya ambayo watu hawa
viongozi makuhani, walimu wa sheria na wazee. wameleta juu Yako?” 61Lakini Yesu akakaa kimya,
44Basi Yuda, yule msaliti, alikuwa amewapa hakusema neno lo lote.
ishara wale watu kuwa: “Yule nitakayembusu, Kuhani Mkuu akamwuliza tena, “Je, Wewe
ndiye, mkamateni na mchukueni akiwa chini ya ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu Mbarikiwa?”
ulinzi.’’ 45Kwa hiyo Yuda alipofika, akamwendea 62Yesu akajibu, “Mimi ndimi, nanyi mtamwona
Yesu akamwambia, “Rabi’’ d na kumbusu. 46Wale Mwana wa Adamu ameketi mkono wa kuume wa
watu wakamkamata Yesu, wakamweka chini ya Mungu Mwenye Nguvu, akija na mawingu ya
ulinzi. 47Ndipo mmoja wa wale waliokuwa mbinguni.”
wamesimama karibu akachomoa upanga wake na 63Kuhani Mkuu akararua mavazi yake,
kumpiga mtumishi wa Kuhani Mkuu, akamkata akasema, “Tuna haja gani tena ya mashahidi
sikio. zaidi? 64Ninyi mmemsikia hayo makufuru. Uamuzi
48Kisha Yesu akawaambia, “Mmekuja mkiwa wenu ni nini?”
na panga na marungu kana kwamba Mimi ni Wote wakamhukumu kwamba anastahili kifo.
mnyang’anyi ? 49Siku zote nilikuwa pamoja nanyi 65Kisha baadhi ya watu wakaanza kumtemea
ushahidi wa uongo dhidi Yake, wakisema, 58‘‘Sisi Baada ya muda kidogo wale waliokuwa
wamesimama hapo karibu na Petro
wakamwambia, ‘‘Hakika wewe ni mmoja wao, kwa
d45 “Rabi” hapa ni neno la Kiebrenia ambalo maana yake ni daktari, maana wewe pia ni Mgalilaya!’’ 71Petro akaanza
mwalimu, au Bwana.Walikuwa na madaraja matatu: La chini
kabisa “rab” (bwana), la pili “rabbi” (bwana wangu), la juu kabisa kulaani na kuapa, akawaambia, ‘‘Simjui huyu mtu
(mkuu wangu,bwana wangu) mnayemsema habari Zake.’’
e55 Baraza hapa ina maana ya Sanhedrin ambalo lilikuwa ndilo 72Papo hapo jogoo akawika mara ya pili.
baraza la juu kabisa la uatawala la Kiyahudi,lililoundwa na
wazee 70 pamoja na Kuhani Mkuu Ndipo Petro akakumbuka lile neno Yesu alilokuwa
21
MARKO
amemwambia, “Kabla jogoo hajawika mara mbili, ukumbi wa ndani wa jumba la kifalme, ndio
utanikana mara tatu.’’ Akalia sana. Praitoria a , wakakusanya kikosi kizima cha
maaskari. 17Wakamvalisha Yesu joho la
Yesu Mbele Ya Pilato zambarau, wakasokota taji ya miiba, wakamvisha
Asubuhi na mapema, viongozi wa kichwani. 18Wakaanza kumsalimu kwa dhihaka,
15 makuhani, pamoja na wazee, walimu wa “Salamu, Mfalme wa Wayahudi!’’ 19Wakampiga
sheria na Baraza lote, wakafikia uamuzi. kwa fimbo ya mwanzi tena na tena kichwani na
Wakamfunga Yesu, wakamchukua na kumkabidhi kumtemea mate. Wakapiga magoti mbele Yake
kwa Pilato. wakasujudia kwa kumdhihaki. 20Walipokwisha
2Pilato akamwuliza, “Je, Wewe ndiye Mfalme kumdhihaki, wakamvua lile joho la zambarau,
wa Wayahudi?” wakamvika zile nguo Zake mwenyewe. Kisha
Yesu akajibu,” Wewe umesema.” wakamtoa nje ili wakamsulibishe.
3Viongozi wa makuhani wakamshtaki kwa
mambo mengi. 4Pilato akamwuliza tena, “Je, huna Kusulibiwa Kwa Yesu
la kujibu? Tazama ni mashtaka mangapi 21Mtu mmoja kutoka Kirene, jina lake Simoni,
Pilato Amtoa Yesu Ili Akasulibiwe palipoitwa Golgota, (ambayo, maana yake ni
6Ilikuwa desturi wakati wa Sikukuu ya Pasaka Mahali pa Fuvu la Kichwa). 23Nao wakampa divai
kumfungulia mfungwa ye yote ambaye watu ilichanganywa na manemane, lakini hakuiinywa.
wangemtaka. 7Wakati huo, mtu mmoja aitwaye 24Basi wakamsulibisha, nazo nguo Zake
Baraba alikuwa amefungwa gerezani pamoja na wakagawana miongoni mwao kwa kuzipigia kura
waasi wengine waliokuwa wamesababisha mauaji ili kuamua ni nini kila mtu atakachochukua.
wakati wa maasi yaliyotokea dhidi ya Serikali.8Ule 25Ilikuwa yapata saa tatu asubuhi
umati wa watu ukamjia Pilato na kumwomba walipomsulibisha. 26Tangazo likaandikwa la
awafanyie kama ilivyokuwa desturi yake. mashtaka dhidi Yake lenye maneno haya:
9Pilato akawauliza, “Mnataka niwafungulie “MFALME WA WAYAHUDI.” 27Pamoja naye
huyu Mfalme wa Wayahudi?’’ 10Kwa maana yeye walisulibiwa wanyag’anyi wawili mmoja upande
alitambua kuwa viongozi wa makuhani walikuwa Wake wa kuume na mwingine upande wa
wamemtia Yesu mikononi mwake kwa ajili ya kushoto. 28Nayo maandiko yakatimizwa, yale
wivu. 11Lakini viongozi wa makuhani yasemayo, “Alihesabiwa pamoja na watenda
wakauchochea ule uamati wa watu wamwombe dhambi.” 29Watu waliokuwa wakipita karibu
awafungulie Baraba badala Yake. wakamtukana na kutikisa vichwa vyao kwa mzaha
12Pilato akawauliza tena, “Basi mnataka wakisema, “Aha! Wewe ambaye ungelibomoa
nifanye nini na huyu mtu mnayemwita Mfalme wa hekalu na kulijenga kwa siku tatu, 30basi ujiokoe
Wayahudi?’’ mwenyewe na ushuke kutoka msalabani.”
13Wakapiga kelele, “Msulibishe!’’ 31Vivyo hivyo viongozi wa makuhani pamoja
14Akawauliza, “Kwa nini? Amefanya kosa na walimu wa sheria wakamdhihaki miongoni
gani?’’ mwao wakisema, “Yeye aliwaokoa wengine, lakini
Lakini wao wakapiga kelele kwa nguvu zaidi, hawezi kujiokoa mwenyewe! 32Basi huyu Kristo,
wakisema, ‘‘Msulibishe!’’ huyu Mfalme wa Wayahudi, ashuke sasa kutoka
15Pilato akitaka kuuridhisha ule umati wa msalabani, ili tupate kuona na kuamini.” Wale
watu, akawafungulia Baraba, naye baada ya waliosulibiwa pamoja naye pia wakamtukana.
kuamuru Yesu achapwe mijeledi, akamtoa ili
asulibishwe.
Maaskari Wamdhihaki Yesu a16 Praitoria maana yake makao makuu ya mtawala. Jumba la
16Maaskari wakampeleka Yesu hadi kwenye
kifalme lilokuwa linakaliwa na Pontio Pilato huko Yerusalemu,
palipokuwa na kiti cha hukumu
22
MARKO
Kifo Cha Yesu Msalabani
33Ilipofika saa sita, giza lilifunika nchi yote Kufufuka Kwa Yesu
mpaka saa tisa. 34Mnamo saa tisa Yesu akalia
kwa sauti kuu, akasema, ‘‘Eloi, Eloi lama 16 Sabato ilipomalizika, Maria Magdalene,
Maria mama yake Yakobo na Salome
Sabakthani?’’ Maana yake, “Mungu Wangu, walinunua manukato ili wakaupake mwili wa
Mungu Wangu, mbona umeniacha?’’ Yesu. 2Asubuhi na mapema, siku ya kwanza ya
35Baadhi ya watu waliokuwa wamesimama juma, mara tu baada ya kuchomoza jua
karibu waliposikia maneno hayo, wakasema, walikwenda kaburini. 3Njiani wakawa wanaulizana
‘‘Msikieni anamwita Eliya.’’ wao kwa wao, “Ni nani atakayetuvingirishia lile
36Mtu mmoja akaenda mbio, akachovya jiwe kutoka kwenye ingilio la kaburi?’’
sifongo kwenye siki, akaiweka kwenye mwanzi, 4Lakini walipotazama, wakaona lile jiwe,
akampa Yesu ili anywe akisema, “Basi mwacheni, ambalo lilikuwa kubwa sana, limekwisha
hebu tuone kama Eliya atakuja kumshusha kutoka kuvingirishwa kutoka pale penye ingilio la kaburi.
hapo msalabani’’ 5Walipokuwa wakiingia mle kaburini, wakamwona
37Kisha Yesu akatoa sauti kuu, akakata roho. kijana mmoja aliyevaa joho jeupe akiwa ameketi
38Pazia la hekalu likachanika vipande viwili upande wa kuume, nao wakastaajabu.
kuanzia juu hadi chini. 39Basi yule jemadari, 6Yule malaika akawaambia, “Msistaajabu.
Yakobo mdogo na Yose, pia na Salome. 41Hawa kaburini, kwani hofu kuu na mshangao ulikuwa
walifuatana na Yesu na kumhudumia alipokuwa umewapata, nao hawakumwambia mtu ye yote
Galilaya. Pia walikuwapo wanawake wengine neno lo lote.
wengi waliokuwa wamekuja pamoja naye
Yerusalemu. Yesu Anamtokea Maria Magdalene
9Yesu alipofufuka alfajiri na mapema siku ya
habari kutoka kwa yule jemadari kwamba kweli mwa wanafunzi Wake walipokuwa wakienda
amekwisha kufa, Pilato akampa Yosefu ruhusa ya shambani akiwa katika sura nyingine. 13Nao
kuuchukua huo mwili. 46Hivyo Yosefu akanunua wakarudi na kuwaambia wenzao. Lakini
kitambaa cha kitani safi, akaushusha mwili wa hawakuwasadiki wao pia.
Yesu kutoka msalabani, akauviringishia kile
kitambaa cha kitani na akamweka ndani ya kaburi Yesu Awaagiza Wale Wanafunzi Kumi Na
lililochongwa kwenye mwamba. Kisha Mmoja
akalivingirisha jiwe kwenye ingilio la kaburi. 14Baadaye Yesu akawatokea wale wanafunzi
47Maria Magdalene na Maria mamaye Yose Wake kumi na mmoja, walipokuwa wakila
walipaona mahali pale alipolazwa. chakula. Akawakemea kwa kutokuamini kwao na
23
MARKO
kwa ugumu wa mioyo yao kwa sababu
hawakuwasadiki wale waliomwona baada ya
kufufuka.
15Akawaambia, “Enendeni ulimwenguni
mwote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe. 16Ye yote
aaminiye na kubatizwa ataokoka. Lakini ye yote
asiyeamini atahukumiwa. 17“Nazo ishara hizi
zitafuatana na wale waaminio: Kwa Jina Langu
watatoa pepo wachafu, watasema kwa lugha
mpya, 18watashika nyoka kwa mikono yao na hata
wakinywa kitu cho chote cha kuua, hakitawadhuru
kamwe, wataweka mikono yao juu ya wagonjwa,
nao watapona.”
24
LUKA
Utangulizi
Luka alikuwa tabibu aliyefuatana na Mtume Paulo katika safari zake za kitume. Injili hii ndiyo ndefu kuliko
zote. Aliandika kwa msomi mmoja wa Kiyunani aliyeitwa Theofilo (1:3).Utangulizi wa Injili ya Luka na Matendo ya
Mitume zinaunganisha vitabu hivi viwili pamoja .Vyote vinaandikiwa mtu mmoja , yaani, Theofilo, ambaye maana
ya jina lake ni “mpenzi wa Mungu.” Utangulizi wa Matendo unarejea juu ya “mambo yale ya kwanza “kuhusiana
na yale Yesu aliyoanza kufanya na kufundisha.”
Utambulisho wa Luka kama mwandishi unaonekana katika Mdo.16:10 anapotumia neno “tulijiandaa,”
linaloashiria kwamba alikuwa akishirikiana na Paulo katika safari zake za kitume na kuandika habari za shughuli
zake na matukio yote.Lugha na mtindo wa uandishi wa Injili ya Luka na Matendo unaonyesha kuwa yeye ni mtu
mtaalamu mwenye uwezo mkubwa wa kuandika kwa ufasaha, aliye na elimu ya juu, mwenye asili na mtazamo
wa Kiyunani.
Kuna uwezekano mkubwa kwamba Luka alikuwa Mmataifa kutoka Antiokia ya Syria aliyeokoka, ambaye
aliungana na Paulo huko Troa katika safari yake ya pili ya kitume. Wakati Paulo akiwa kifungoni sehemu
mbalimbali, si kwamba Luka alishughulika na kuhubiri tu, bali pia alitumia muda mwingi kujifunza na kuchunguza
kwa undani maisha ya Kristo. Ingawa kuna kazi nyingine nyingi kuhusu Kristo, Luka alitaka kutoa mpangilio na
mtiririko wa matukio kama mwana historia ambaye alikuwa na habari za kina na mwenye uwezo wa kuandika na
kutoa habari za kuaminika alizozipata kwa wale walioona kwa macho yao wenyewe.
Shabaha yake ilikuwa ni kudhihirisha kwamba Yesu alikuwa Mungu na pia mwanadamu aliyeleta mapinduzi
katika historia, “aliyekuja kutafuta na kuokoa kile kilichopotea(19:10).” Kwa sababu hii, Luka alichambua ushahidi
wake kwa uangalifu na kutoa tarehe maalum kwa matukio anayoyaandika. Anaanza kwa kuelezea juu ya
kuzaliwa kwa Yesu na Bikira Maria, akitoa maelezo ya ndani ambayo hayapo katika Injili nyingine. Huduma ya
Yesu inaelezwa, ikifuatiwa na maelezo marefu kuhusu safari ya Yesu kwenda Yerusalemu. Baada ya kifo cha
Yesu, kufufuka kutoka kwa wafu na kupaa Kwake mbinguni, wanafunzi wanabaki wakingoja ahadi ya Baba,
yaani, kujazwa nguvu ya Roho Mtakatifu kutoka mbinguni.
Wazo Kuu
Luka anaeleza asili na kusudi la Injili hii (1:3).Anamdhihirisha Yesu kuwa ni Mungu-Mwanadamu ambaye asili
ya ubinadamu anaotajwa nao unaanzia kwa Adamu kwani Yeye anatajwa kama mwana wa Daudi(3:23-38). Yesu
ndiye mwanadamu aliye kamili kabisa katika historia, naye Luka anamthibitisha kuwa ndiye anayewezesha
mambo yote kuwepo kwa kuwa ana Uungu mmoja na Mungu Baba Yake. Yesu ni mkuu kuliko wanadamu wote
kwa kuwa Yeye alikuwa Mungu-Mwanadamu, yaani, Mungu aliyefanyika mwili, akafanyika mwanadamu
mkamilifu na asiye na damu ya Adamu ya anguko. Mafundisho Yake, matendo Yake, miujiza Yake, hata kifo
Chake na kufufuka Kwake kutoka kwa wafu kulidhihirisha Uungu Wake. Kwa sababu hii inatupasa kumwamini na
kumpokea ili awe Mwokozi na Bwana wetu.
Mwandishi
Luka tabibu. Luka anatajwa hasa na Paulo katika Kol. 4:14 na katika Flm.1:24 wakati Paulo akiwa
amefungwa huko Rumi (ona pia 2Tim.4:11). Mtazamo wa ushahidi wa kitabibu katika 8:43 unamthibitisha Luka
kuwa ndiye yule “tabibu mpenzi” katika Kol.4: 14.
Tarehe
Huenda Injili hii iliandikwa kama 60 B.K.
Mgawanyo
• Kuzaliwa kwa Yesu na ujana wake (1:1-2:52)
• Kubatizwa na kujaribiwa kwa Yesu (3:14-4:13)
• Huduma ya Yesu Galilaya (4:14-9:50)
• Safari ya Yesu kwenda Yerusalemu (9:51-19:27)
• Huduma ya Yesu Yerusalemu (19:28-20:47)
• Unabii kuhusu mambo yajayo (21:1-38)
• Kifo cha Yesu na kufufuka kwake (22:1-24:53)
1
LUKA
Kwa kuwa, watu wengi wamekaa ili nimetumwa kwako ili nikuambie habari hizi
1 kuandika habari za mambo yaliyotukia njema. 20Basi sasa kwa kuwa hujaamini
katikati yetu, 2kama vile yalivyokabidhiwa kwetu maneno yangu ambayo yatatimizwa kwa wakati
na wale ambao walikuwa mashahidi walioona wake, utakuwa bubu hadi siku ile mambo haya
na watumishi wa Bwana, 3mimi nami baada ya yatakapotukia.”
kuchunguza kila kitu kwa uangalifu kuanzia 21Wakati huo watu walikuwa wanamngojea
mwanzo, niliamua kukuandikia habari za Zekaria nje huku wakishangaa kukawia kwake
mambo hayo ewe mtukufu Theofilo, 4ili upate mle hekaluni. Alipotoka akawa hawezi kusema
kujua ule ukweli kuhusu yale uliyofundishwa. nao, wao wakatambua kuwa ameona maono
ndani ya hekalu. Lakini kwa kuwa alikuwa bubu,
Kuzaliwa Kwa Yohana Mbatizaji Kwatabiriwa aliendelea akawaashiria kwa mikono.
5Wakati wa Herode mfalme wa Uyahudi 23Muda wake wa kuhudumu hekaluni
palikuwa na kuhani mmoja jina lake Zekaria, ulipomalizika, akarudi nyumbani kwake.
ambaye aliyekuwa wa ukoo wa kikuhani wa 24Baada ya muda si mrefu Elizabeti mkewe
Abiya. Elizabeti mkewe alikuwa pia mzao wa akapata mimba, naye akajitenga kwa miezi
Aroni. 6Zekaria na Elizabeti mkewe wote mitano.
walikuwa watu wanyofu mbele za Mungu, 25akasema, “Hili ndilo Bwana alilonitendea
kikundi chake, yeye akifanya kazi ya ukuhani mimba, Mungu alimtuma malaika Gabrieli aende
hekaluni mbele za Mungu, 9alichaguliwa kwa Galilaya katika mji wa Nazareti, 27kwa
kura kwa kufuata desturi za ukuhani, kuingia mwanamwali bikira aliyekuwa ameposwa na
hekaluni mwa Bwana ili kufukiza uvumba. 10Nao mtu mmoja jina lake Yosefu wa nyumba ya
wakati wa kufukiza uvumba ulipowadia, wale Daudi. Jina la huyu mwanamwali bikira ni Maria.
wote waliokuwa wamekusanyika ili kuabudu 28Naye malaika akaja kwake akamwambia:
2
LUKA
38Mariaakasema, “Tazama, mimi ni mtumisi
wa Bwana na iwe kwangu kama ulivyosema.” Kuzaliwa Kwa Yohana Mbatizaji
Kisha malaika akaondoka akamwacha. 57Ulipowadia wakati wa Elizabeti kujifungua,
vilima ya Uyahudi. 40Akaingia nyumbani kwa wakataka kumpa yule mtoto jina la Zekaria baba
Zekaria na kumsalimu Elizabeti. 41Naye yake. 60Lakini mama yake akakataa na kusema,
Elizabeti aliposikia salamu ya Maria, mtoto “Hapana! Jina lake ataitwa Yohana.”
aliyekuwa tumboni mwake akaruka. Elizabeti 61Wakamwambia, “Hakuna mtu ye yote
akajazwa na Roho Mtakatifu, 42akapaza sauti katika jamaa yako mwenye jina kama hilo.”
kwa nguvu akasema, “Umebarikiwa wewe 62Basi wakamfanyia Zekaria baba yake
miongoni mwa wanawake, naye mtoto ishara ili kujua kwamba yeye angependa kumpa
utakayemzaa amebarikiwa. 43Lakini ni kwa nini mtoto jina gani. 63Akaomba wampe kibao cha
mimi nimepata upendeleo kiasi hiki, hata mama kuandikia na kwa mshangao wa kila mtu
wa Bwana wangu afike kwangu? 44Mara tu akaandika: “Jina lake ni Yohana.” 64Papo hapo
niliposikia sauti ya salamu yako, mtoto aliyeko kinywa chake kikafunguliwa na ulimi wake
tumboni mwangu aliruka kwa furaha. ukaachiwa, akawa anaongea akimsifu Mungu.
45Amebarikiwa yeye aliye amini kwamba lile 65Majirani wote wakajawa na hofu ya Mungu na
Abrahamu na uzao wake milele.” 76Nawe mtoto wangu, utaitwa nabii wa Aliye
2 Siku zile Kaisari Augusto alitoa amri ng’ombe. 17Walipomwona yule mtoto,
kwamba watu wote waandikishwe katika wakawaeleza yale waliyokuwa wameambiwa
ulimwengu wa Kirumi. 2(Orodha hii ndiyo ya kuhusu huyu mtoto. 18Nao wote waliosikia
kwanza iliyofanyika wakati Krenio alipokuwa habari hizi wakastaajabia yale waliyoambiwa na
mtawala wa Shamu a ). 3Kila mtu alikwenda wale wachungaji wa kondoo. 19Lakini Maria
kuandikishwa katika mji wake alikozaliwa. akayaweka mambo haya yote moyoni mwake
4Hivyo Yosefu akapanda kutoka mji wa na kuyatafakari. 20Wale wachungaji wakarudi,
Nazareti ulioko Galilaya kwenda Uyahudi, huku wakimtukuza Mungu na kumsifu kwa ajili
mpaka Bethlehemu mji wa Daudi, kwa sababu ya mambo yote waliyokuwa wameambiwa na
yeye alikuwa wa ukoo na wa nyumba ya Daudi. kuyaona.
5Alikwenda huko kujiandikisha pamoja na Maria, 21Hata zilipotimia siku nane, ulikuwa ndio
ambaye alikuwa amemposa naye alikuwa mja wakati wa kumtahiri mtoto, akaitwa Yesu, jina
mzito. 6Wakiwa Bethlehemu, wakati wa Maria alilokuwa amepewa na malaika kabla
wa kujifungua ukawa umetimia, 7naye akamzaa hajatungwa mimba.
mwanawe, kifungua mimba. Akamfunika nguo
za kitoto na kumlaza katika hori ya kulia Yesu Apelekwa Hekaluni
ng’ombe, kwa sababu hapakuwa na nafasi 22Ulipotimia wakati wa utakaso wake Maria,
furaha itakayokuwa kwa watu wote. 11Leo katika mmoja jina lake Simeoni, ambaye alikuwa
mji wa Daudi kwa ajili yenu amezaliwa Mwokozi, mwenye haki na mcha Mungu, akitarajia faraja
ndiye Kristo Bwana. 12Hii ndiyo itakayokuwa ya Israeli na Roho Mtakatifu alikuwa juu yake.
ishara kwenu: Mtamkuta mtoto mchanga 26Roho Mtakatifu alikuwa amemfunulia kuwa
amefunikwa nguo za kitoto na kulazwa katika hatakufa kabla hajamwona Kristo b wa Bwana.
hori ya kulia ng’ombe.” 27Simeoni akiwa ameongozwa na Roho
wakastaajabu kwa yale yaliyokuwa yamesemwa Hamkujua kwamba imenipasa kuwa katika
kumhusu huyo mtoto. 34Kisha Simeoni nyumba ya Baba Yangu?”
akawabariki, akamwambia Maria mama yake, 50Lakini wao hawakuelewa maana ya lile
5
LUKA
uliokuwa unakuja ili kubatizwa naye, “Enyi uzao Ukoo Wa Bwana Yesu
wa nyoka! Ni nani aliyewaonya mwikimbie 23Yesu alikuwa na umri wa miaka thelathini
ghadhabu ijayo? 8Zaeni matunda yafananayo alipoanza huduma Yake. Alikuwa akidhaniwa
na toba yenu. Wala msianze kusema mioyoni kuwa mwana wa Yosefu,
mwenu kuwa ninyi ni uzao wa Abrahamu. Kwa
maana nawaambia, Mungu anaweza Yosefu alikuwa mwana wa Eli, 24Eli alikuwa
kumwinulia Abrahamu watoto kutoka katika mwana wa Mathati,
mawe haya. 9Hata sasa shoka limekwisha Mathati alikuwa mwana wa Lawi,
wekwa tayari kwenye shina la kila mti, basi kila Lawi alikuwa mwana Melki,
mti usiozaa matunda mazuri hukatwa na Melki alikuwa mwana wa Yanai,
kutupwa motoni.” Yanai alikuwa mwana wa Yosefu,
10Ule umati wa watu ukamwuliza, 25Yosefu alikuwa mwana wa Matathia,
vyake. Yeye atawabatiza kwa Roho Mtakatifu Yoshua alikuwa mwana wa Eliezeri,
na kwa moto. 17Pepeto lake liko mkononi, tayari Eliezeri alikuwa mwana wa Yorimu,
kusafisha sakafu yake ya kupuria na kuikusanya Yorimu alikuwa mwana wa Mathati,
ngano ghalani, lakini makapi atayateketeza kwa Mathati alikuwa mwana wa Lawi,
moto usiozimika.” 18Basi, kwa maonyo mengine 30Lawi alikuwa mwana wa Simeoni,
mengi Yohana aliwahubiri watu Habari Njema. Simeoni alikuwa mwana wa Yuda,
19Lakini Yohana alipomkemea Mfalme Yuda alikuwa mwana wa Yosefu,
Herode kuhusu uhusiano wake na Herodia mke Yosefu alikuwa mwana wa Yonamu,
wa ndugu yake na maovu mengine aliyokuwa Yonamu alikuwa mwana wa Eliakimu,
amefanya, 20Herode akijumlisha haya yote, Eliakimu alikuwa mwana wa Melea,
akamfunga Yohana gerezani. 31Melea alikuwa mwana ma Mena,
Arfaksadi alikuwa mwana wa Shemu, amejaa nguvu za Roho Mtakatifu, nazo habari
Shemu alikuwa mwana wa Noa, Zake zikaenea katika sehemu zote za nchi za
Noa alikuwa mwana wa Lameki, kandokando. 15Akaanza kufundisha kwenye
37Lameki alikuwa mwana wa Methusela, masinagogi yao na kila mmoja akamsifu.
Methusela alikuwa mwana wa Enoki,
Enoki alikuwa mwana wa Yaredi, Kukataliwa Kwa Yesu
Yaredi alikuwa mwana wa Mahalaleli, 16Yesu akaenda Nazareti, hapo alipolelewa
wa Mungu, amuru jiwe hili liwe mkate.” 20Kisha akakifunga kitabu, akamrudishia
4Yesu akajibu akamwambia, “Imeandikwa: mtumishi na akaketi. Watu wote waliokuwamo
‘Mtu haishi kwa mkate tu, bali kwa kila neno la katika sinagogi wakamkazia macho. 21Ndipo
Mungu.’ ” akaanza kwa kuwaambia, “Leo maandiko haya
5Ibilisi akampeleka hadi juu ya mlima mrefu yametimia mkiwa mnasikia.”
akamwonyesha milki zote za dunia kwa mara 22Wote waliokuwako wakamsifu na
moja. 6Akamwambia, “Nitakupa mamlaka juu ya kuyastaajabia maneno Yake yaliyojaa neema,
milki hizi na fahari zake zote, kwa maana wakaulizana, “Je, huyu si mwana wa Yosefu?”
zimekabidhiwa mikononi mwangu nami 23Yesu akawaambia, “Bila shaka mtatumia
ninaweza kumpa ye yote ninayetaka. 7Hivyo mithali hii, ‘Tabibu, jiponye mwenyewe! Nanyi
ikiwa utanisujudia na kuniabudu, vyote vitakuwa mtasema, ‘Mambo yale tuliyosikia kwamba
vyako.” uliyafanya huko Kapernaumu, yafanye na hapa
8Yesu akamjibu, “Imeandikwa: ‘Mwabudu kwenye mji Wako.’ “
Bwana Mungu wako na umtumikie Yeye peke 24Yesu akasema, Amin, nawaambia,
yake.’ ” hakuna nabii anayekubalika kwenye mji wake
9Kisha Ibilisi akampeleka mpaka mwenyewe. 25Lakini ukweli ni kwamba palikuwa
Yerusalemu, akamweka juu ya mnara mrefu na wajane wengi katika Israeli wakati wa Eliya,
7
LUKA
mbingu zilipofungwa kwa miaka mitatu na miezi watu wengi, nao walipokuwa wakitoka wakapiga
sita pakawa na njaa kuu katika nchi nzima. kelele wakisema: “Wewe ni Mwana wa Mungu!”
26Lakini Eliya hakutumwa hata kwa mmoja wao, Lakini Yesu akawakemea na kuwazuia
bali kwa mjane mmoja wa Sarepta katika nchi wasiseme, kwa maana walimjua kuwa Yeye ni
ya Sidoni. 27Pia palikuwa na wengi wenye Kristo.
ukoma katika Israeli katika siku za nabii Elisha, 42Kesho yake, kulipopambazuka, Yesu
lakini hakuna hata mmoja wao aliyetakaswa, alikwenda mahali pa faragha. Watu wengi
isipokuwa Naamani mtu wa Shamu a .” wakawa wanamtafuta kila mahali, nao
28Watu wote katika sinagogi waliposikia walipomwona wakajaribu kumzuia asiondoke.
maneno haya, wakakasirika sana. 43Lakini Yeye akawaambia, “Imenipasa kuhubiri
29Wakasimama, wakamtoa nje ya mji, Habari Njema za Ufalme wa Mungu katika miji
wakamchukua hadi kwenye kilele cha mlima mingine pia, kwa maana kwa kusudi hili
mahali ambapo mji huo ulikuwa umejemgwa, ili nilitumwa.” 44Naye aliendelea kuhubiri katika
wamtupe chini kutoka kwenye mtelemko mkali. masinagogi ya Uyahudi.
30Lakini Yeye akapita papo hapo katikati ya huo
mchafu akamwangusha chini yule mtu mbele ya kuchosha usiku kucha na hatukuvua cho
yao wote, akatoka pasipo kumdhuru. 36Watu chote. Lakini, kwa neno lako nitazishusha
wote wakashangaa wakaambiana, ‘‘Mafundisho nyavu.”
haya ni ya namna gani? Kwa mamlaka na 6Nao walipozishusha nyavu zao, wakavua
nguvu, anawaamuru pepo wachafu, nao samaki wengi sana, nyavu zao zikajaa zikaanza
wanatoka!” 37Habari Zake zikaanza kuenea kila kukatika. 7Wakawaashiria wavuvi wenzao
mahali katika sehemu ile. kwenye ile mashua nyingine ili waje kuwasaidia.
Wakaja, wakajaza mashua zote mbili samaki
Yesu Awaponya Wengi hata zikaanza kuzama.
38Yesu akatoka kwenye sinagogi akaenda 8Simoni Petro alipoona haya yaliyotukia
nyumbani kwa Simoni. Basi huko alimkuta alianguka miguuni mwa Yesu na kumwambia,
mkwewe Simoni ana homa kali, nao “Bwana, ondoka kwangu, mimi ni mtu mwenye
wakamwomba Yesu amsaidie. 39Hivyo Yesu dhambi!” 9Kwa kuwa yeye na wavuvi wenzake
akamwinamia na kukemea ile homa, nayo walikuwa wameshangazwa sana na wingi wa
ikamwacha. Akaamka saa ile ile akaanza samaki waliokuwa wamepata, 10vivyo hivyo
kuwahudumia. wenzake Simoni, yaani, Yakobo na Yohana,
40Jua lilipokuwa linatua, watu wote wana wa Zebedayo walishangazwa pia.
waliokuwa na wagonjwa wenye maradhi Ndipo Yesu akamwambia Simoni,
mbalimbali wakawaleta kwa Yesu, naye “Usiogope, tangu sasa utakuwa mvuvi wa watu.”
akaweka mikono Yake juu ya kila mgonjwa, 11Hivyo wakasogeza mashua zao mpaka ufuoni
akawaponya. 41Pepo wachafu pia wakawatoka mwa bahari, wakaacha kila kitu na kumfuata
Yesu.
a27 Shamu hapa inamaanisha Syria
8
LUKA
mkeka wako uende nyumbani kwako.” 25Mara
Yesu Amtakasa Mwenye Ukoma yule mtu aliyekuwa amepooza akasimama
12Ikawa siku moja Yesu alipokuwa katika mji mbele yao wote, akachukua mkeka wake
frulani, mtu mmoja mwenye ukoma mwili mzima akaenda zake nyumbani, huku akimtukuza
akamjia. Alipomwona Yesu, alianguka chini Mungu. 26Kila mmoja akashangaa na
mpaka uso wake ukagusa ardhi na kumsihi kumtukuza Mungu. Wakajawa na hofu ya
akisema, “Bwana, ukitaka waweza kunitakasa.” Mungu, wakasema, “Leo tumeona mambo ya
13Yesu akanyosha mkono Wake akamgusa ajabu.”
yule mtu, akamwambia, “Nataka, takasika!”
Naye mara ukoma ukapona. Yesu Amwita Lawi
14Yesu akamwagiza akisema, “Usimwambie 27Baada ya haya Yesu alitoka na kumwona
mtu ye yote, bali nenda ukajionyeshe kwa mtoza ushuru mmoja jina lake Lawi akiwa
kuhani na ukatoe dhabihu alizoagiza Mose ili amekaa forodhani, mahali pake pa kukusanyia
kuwa ushuhuda kwao.” kodi, akamwambia, “Nifuate.” 28Naye Lawi
15Lakini habari zake Yesu zikazidi sana akaacha kila kitu, akaondoka, akamfuata.
kuenea kotekote kuliko wakati mwingine wo 29Kisha Lawi akamfanyia Yesu karamu
wote, makutano makubwa ya watu yalikuwa kubwa nyumbani kwake, nao umati mkubwa wa
yakikusanyika ili kumsikiliza na kuponywa watoza ushuru na watu wengine walikuwa
magonjwa yao. 16Lakini mara kwa mara Yesu wakila pamoja nao. 30Lakini Mafarisayo na
alijitenga nao ili kwenda mahali pa faragha walimu wa sheria ambao walikuwa wa
kuomba. madhehebu yao wakawalalamikia wanafunzi wa
Yesu, wakisema, “Mbona mnakula na kunywa
Yesu Amponya Mwenye Kupooza pamoja na watoza ushuru na wenye dhambi?”
17Siku moja Yesu alipokuwa akifundisha, 31Yesu akawajibu, “Wenye afya hawahitaji
Mafarisayo na walimu wa sheria, waliokuwa tabibu, bali walio wagonjwa. 32Sikuja kuwaita
wametoka kila kijiji cha Galilaya na kutoka wenye haki bali wenye dhambi wapate kutubu.”
Uyahudi na Yerusalemu, walikuwa wameketi
huko. Nao uweza wa Bwana ulikuwa juu Yake Yesu Aulizwa Kuhusu Kufunga
kuponya wagonjwa. 18Wakaja watu 33Wakamwambia Yesu, “Wanafunzi wa
wa watu, wakapanda juu ya paa, wakaondoa wageni wa bwana arusi kufunga wakati akiwa
baadhi ya vigae, wakapata nafasi ya pamoja nao? 35Lakini wakati utafika ambapo
kumtelemsha yule mgonjwa kwa mkeka wake bwana arusi ataondolewa kwao, ndipo
katikati ya ule umati pale pale mbele ya Yesu. watakapofunga.”
20Yesu alipoiona imani yao, akamwambia 36Yesu akawapa mfano huu, akawaambia:
yule mgonjwa, “Rafiki, dhambi zako “Hakuna mtu achanaye kiraka kutoka kwenye
zimesamehewa.” nguo mpya na kukishonea kwenye nguo
21Mafarisayo na wale walimu wa sheria kuukuu. Akifanya hivyo atakuwa amechana
wakaanza kuuliza, “Ni nani mtu huyu nguo mpya na kile kiraka hakitaendana na ile
anayesema maneno ya makufuru? Ni nani nguo kuukuu. 37Hakuna mtu awekaye divai
awezaye kusamehe dhambi isipokuwa Mungu mpya kwenye viriba vikuukuu. Akifanya hivyo,
peke Yake?” hiyo divai mpya itapasua hivyo viriba nayo yote
22Yesu akijua mawazo yao akawauliza, itamwagika. 38Divai mpya lazima iwekwe
“Kwa nini mnawaza haya mioyoni mwenu? 23Je, kwenye viriba vipya. 39Wala hakuna mtu
ni lipi lililo rahisi zaidi, kumwambia huyu, anayependelea divai mpya baada ya kunywa
‘Umesamehewa dhambi zako,’ au kusema, divai ya zamani, husema, ‘Ile ya zamani ni nzuri
‘Simama uende?’ 24Lakini ili mpate kujua ya zaidi.’ ’’
kuwa Mwana wa Adamu anayo mamlaka
duniani ya kusamehe dhambi,” Akamwambia Bwana Wa Sabato
yule aliyepooza, “Nakuambia, Simama, chukua
9
LUKA
Ikawa siku moja ya Sababo Yesu alikuwa penye uwanja tambarare. Hapo palikuwa na
6 akipita katika mashamba ya nafaka, idadi kubwa ya wanafunzi Wake na umati
wanafunzi Wake wakawa wakivunja masuke ya mkubwa wa watu kutoka sehemu zote za
nafaka, wakayafikicha kwa mikono yao na kula Uyahudi, Yerusalemu na kutoka pwani ya Tiro
punje zake. 2Baadhi ya Mafarisayo na Sidoni, 18waliokuwa wamekuja kumsikiliza na
wakawauliza, “Mbona mnafanya mambo kuponywa magonjwa yao. Wale waliokuwa
ambayo ni kinyume na sheria siku ya Sabato?” wakiteswa na pepo wachafu akawaponya.
3Yesu akawajibu, “Je, ninyi hamkusoma 19Watu wote walikuwa wanajitahidi kumgusa
jinsi alivyofanya Daudi wakati yeye na wenzake kwa sababu nguvu zilikuwa zikimtoka na
walipokuwa na njaa? 4Aliingia ndani ya nyumba kuwaponya wote.
ya Mungu, akaichukua ile mikate ya Wonyesho 20Akawatazama wanafunzi wake akasema:
akawaita wanafunzi Wake, naye akachagua wapendeni adui zenu. Watendeeni mema
kumi na wawili, ambao pia aliwaita mitume: wanaowachukia. 28Wabarikini wale
14Simoni aliyemwita Petro, Andrea nduguye, wanaowalaani, waombeeni wale wanao
Yakobo, Yohana, Filipo, Bartholomayo, watendea mabaya. 29Kama mtu akikupiga
15Mathayo, Thomasi. Yakobo mwana wa Alfayo, shavu moja mgeuzie na la pili. Mtu
Simoni aliyeitwa Zelote, 16Yuda mwana wa akikunyang’anya koti lako, usimzuie kuchukua
Yakobo na Yuda Iskariote, ambaye ndiye joho pia. 30Mpe kila akuombaye na kama mtu
aliyemsaliti Yesu. akichukua mali yako usitake akurudishie.
31Watendeeni wengine kama ambavyo
Yesu Aponya Wengi mngetaka wawatendee ninyi.
17Akashuka pamoja nao akasimama mahali 32“Kama mkiwapenda tu wale
10
LUKA
wanaowapenda, mwapata sifa gani? Hata Mjenzi Mwenye Busara Na Mpumbavu
wenye dhambi huwapenda wale wawapendao. 46“Kwa nini mnaniita, ‘Bwana, Bwana,’ nanyi
33Tena mkiwatendea mema wale tu hamfanyi ninayowaambia? 47Nitawaonyesha
wanaowatendea ninyi mema mwapata sifa jinsi alivyo mtu yule anayekuja kwangu na
gani? Hata “wenye dhambi” hufanya vivyo kusikia maneno Yangu na kuyatenda. 48Yeye ni
hivyo. 34Tena mnapowakopesha wale tu kama mtu anayejenga nyumba, akachimba chini
mnaotegemea wawalipe, mwapata sifa gani? sana na kuweka msingi kwenye mwamba.
Hata “wenye dhambi” huwakopesha wenye Mafuriko yalipokuja, maji ya ghafula yakaipiga
dhambi wenzao wakitarajia kulipwa mali yao ile nyumba lakini haikutikisika, kwa sababu
yote. 35Lakini wapendeni adui zenu, watendeeni ilikuwa imejengwa vizuri juu ya mwamba.
mema, wakopesheni bila kutegemea 49Lakini yeye ayasikiaye maneno Yangu na
kurudishiwa mlichokopesha. Ndipo thawabu asiyatende ni kama mtu aliyejenga nyumba juu
yenu itakapokuwa kubwa, nanyi mtakuwa wana ya mchanga bila kuweka msingi. Mafuriko
wa Aliye Juu, kwa sababu Yeye ni mwema kwa yalipoikumba nyumba ile, ikaanguka mara na
watu wasio na shukrani na waovu. 36Iweni na kubomoka kabisa.”
huruma, kama Baba yenu alivyo na huruma.
Yesu Amponya Mtumishi Wa Jemadari
Kuwahukumu Wengine
37“Msihukumu, nanyi hamtahukumiwa. 7 Baada ya Yesu kumaliza kusema haya
yote watu wakiwa wanamsikiliza, akaingia
Msilaumu, nanyi hamtalaumiwa. Sameheni, Kapernaumu. 2Mtumishi wa jemadari mmoja wa
nanyi mtasamehewa. 38Wapeni watu vitu, nanyi Kirumi, ambaye bwana wake alimthamini sana,
mtapewa. Kipimo cha kujaa na kushindiliwa na alikuwa mgonjwa sana karibu ya kufa.
kusukwasukwa hata kumwagika, ndicho watu 3Jemadari huyo aliposikia habari za Yesu,
matunda yake. Kwa maana watu hawachumi tini sana, akaugeukia ule umati wa watu uliokuwa
kwenye miiba wala zabibu kwenye unamfuata, akawaambia, “Sijaona imani kubwa
michongoma. 45Vivyo hivyo mtu mwema hutoa namna hii hata katika Israeli.” 10Nao wale watu
mambo mema kutoka kwenye hazina ya moyo waliokuwa wametumwa kwa Yesu waliporudi
wake, naye mtu mwovu hutoa mambo mabaya nyumbani walimkuta yule mtumishi amepona.
kutoka kwenye hazina ya moyo wake. Kwa
kuwa mtu hunena kwa kinywa chake yale Yesu Amfufua Mwana Wa Mjane
yaliyoujaza moyo wake. 11Baadaye kidogo, Yesu alikwenda katika
11
LUKA
na umati mkubwa wa watu walikwenda pamoja
naye. 12Alipokaribia lango la mji, alikutana na “Tazama, namtuma mjumbe wangu
watu waliokuwa wamebeba maiti wakitoka nje akutangulie, atakayeandaa njia mbele
ya mji. Huyu aliyekufa alikuwa mwana pekee wa yako.”
mwanamke mjane. Umati mkubwa wa watu wa 28Nawaambia, miongoni mwa wale waliozaliwa
mji ule ulikuwa pamoja na huyo mwanamke. na mwanamke hakuna aliye mkuu kuliko
13Bwana Yesu alipomwona yule mjane, moyo Yohana, lakini yeye aliye mdogo kabisa katika
Wake ulimhurumia, akamwambia, “Usilie.” Ufalme wa Mungu ni mkuu kuliko Yohana.”
14Kisha akasogea mbele akaligusa lile (29Watu wote hata watoza ushuru
jeneza na wale waliokuwa wamelibeba waliposikia maneno ya Yesu, walikubali
wakasimama kimya. Akasema, “Kijana, kwamba mpango wa Mungu ni mwema, maana
nakuambia inuka.” 15Yule aliyekuwa amekufa walikuwa wamebatizwa na Yohana. 30Lakini
akaketi akaanza kuongea, naye Yesu Mafarisayo na wataalamu wa sheria walikataa
akamkabidhi kwa mama yake. mpango wa Mungu kwao kwa kutokukubali
16Watu wote wakajawa na hofu ya Mungu, kubatizwa na Yohana.)
nao wakamtukuza Mungu wakisema, “Nabii 31Yesu akawauliza, “Niwafananishe na nini
mkuu ametokea miongoni mwetu, Mungu watu wa kizazi hiki? Wanafanana na nini?
amekuja kuwakomboa watu Wake.” 17Habari 32Wao ni kama watoto waliokaa sokoni
hizi za mambo aliyofanya Yesu zikaenea wakiitana wao kwa wao wakisema:
Uyahudi wote na sehemu zote za jirani.
“ ‘Tuliwapigia filimbi,
Yesu Na Yohana Mbatizaji lakini hamkucheza,
18Wanafunzi wa Yohana Mbatizaji tuliwaimbia nyimbo za maombolezo,
wakamweleza Yohana mambo haya yote. Hivyo lakini hamkulia.’
Yohana akawaita wanafunzi wake wawili 19na
kuwatuma kwa Bwana ili kumwuliza, “Je, Wewe 33Kwa maana Yohana Mbatizaji alikuwa hali
ndiye yule ajaye, au tumtazamie mwingine?’” mkate wala hanywi divai, ninyi mkasema, ‘Ana
20Wale watu walipofika kwa Yesu pepo mchafu,’ 34Mwana wa Adamu alikuja akila
wakamwambia, ‘‘Yohana Mbatizaji ametutuma na kunywa, nanyi mnasema: ‘Mtazameni huyu
tukuulize, ‘Je, Wewe ndiye yule ajaye au mlafi na mlevi, rafiki wa watoza ushuru na
tumtazamie mwingine?’ ’’ wenye dhambi.’ 35Nayo hekima imethibitishwa
21Wakati huo huo, Yesu aliwaponya wengi kuwa kweli na watoto wake wote.”
waliokuwa na magonjwa, maradhi na pepo
wachafu, pia akawafungua vipofu wengi macho Yesu Apakwa Mafuta Na Mwanamke Mwenye
wakaona. 22Hivyo akawajibu wale wajumbe, Dhambi
“Rudini mkamwambie Yohana yote mliyoyaona 36Basi Farisayo mmoja alimwalika Yesu
na kuyasikia. Vipofu wanaona, viwete nyumbani kwake kwa chakula. Hivyo Yesu
wanatembea, wenye ukoma wanatakaswa, akaenda nyumbani mwa yule Farisayo na kukaa
viziwi wanasikia, wafu wanafufuliwa na maskini katika nafasi Yake mezani. 37Naye mwanamke
wahubiriwa Habari Njema. 23Amebarikiwa mtu mmoja kwenye ule mji, ambaye alikuwa
yule asiyechukizwa nami.” mwenye dhambi, alipojua kwamba Yesu alikuwa
24Wanafunzi wa Yohana walipoondoka, akila chakula nyumbani kwa yule Farisayo,
Yesu akaanza kuuambia ule umati wa watu akaleta chupa ya marmar yenye manukato.
kuhusu Yohana: “Mlipokwenda nyikani 38Yule mwanamke akiwa amesimama nyuma ya
mlikwenda kuona nini? Je, ni unyasi miguu ya Yesu alilia. Akailowanisha miguu yake
ukipeperushwa na upepo? 25Kama sivyo, kwa machozi yake, kisha akaifuta kwa nywele
mlikwenda kuona nini basi? Mtu aliyevaa zake akaibusu na kuimiminia manukato.
mavazi ya fahari? La hasha, watu wanaovaa 39Yule Farisayo aliyemwalika Yesu alipoona
12
LUKA
40Yesu akanena akamwambia, “Simoni, mfano huu: 5‘‘Mpanzi alitoka kwenda kusia
nina jambo la kukuambia.” mbegu zake. Alipokuwa akitawanya mbegu,
Simoni akajibu, “Mwalimu Sema.” nyingine zilianguka kando ya njia,
41“Palikuwa na mtu mmoja aliyewakopesha zikakanyagwa-kanyagwa na ndege wa angani
watu wawili fedha: Mmoja alidaiwa dinari 500 a wakazila. 6Mbegu nyingine zilianguka penye
na mwingine dinari hamsini. 42Wote wawili miamba, nazo zilipoota, hiyo mimea ikakauka
walipokuwa hawawezi kulipa, aliyafuta madeni kwa kukosa unyevu. 7Nazo mbegu nyingine
yao wote wawili. Sasa ni yupi kati yao zilianguka kwenye miiba, ile miiba ikakua
atakayempenda yule aliyewasamehe zaidi?” pamoja nazo na kusonga hiyo mimea ikafa.
43Simoni akajibu, “Nadhani ni yule 8Mbegu nyingine zilianguka penye udongo
aliyesamehewa deni kubwa zaidi.” mzuri. Zikaota na kuzaa mara mia zaidi ya
Naye Yesu akamwambia, “Umehukumu mbegu alizopanda.”
kwa sahihi.” Baada ya kusema haya, Yesu akapaza
44Kisha akamgeukia yule mwanamke sauti akasema, “Mwenye masikio ya kusikia na
akamwambia Simoni, “Je, unamwona asikie.”
mwanamke huyu? Niliingia nyumbani mwako, 9Wanafunzi Wake wakamuliza maana ya
hukunipa maji ya kunawa miguu yangu, lakini mfano huu. 10Naye akasema, “Ninyi mmejaliwa
huyu ameninawisha miguu kwa machozi yake kufahamu siri za Ufalme wa Mungu, lakini kwa
na kunifuta kwa nywele zake. 45Hukunisalimu wengine nazungumza kwa mifano,
kwa busu, lakini huyu mwanamke hajaacha
kuibusu miguu yangu tangu nilipoingia. ‘Ili ingawa wanaona, wasione,
46Hukunipaka mafuta kichwani mwangu, lakini Ingawa wanasikia, wasielewe.’ ’’
yeye ameipaka miguu yangu manukato. 47Kwa
hiyo, nakuambia, dhambi zake zilizokuwa nyingi 11“Maana ya mfano huu ni hii: Mbegu ni
zimesamehewa, kwani ameonyesha upendo neno la Mungu. 12Zile zilizoanguka kando ya
mwingi. Lakini yule aliyesamehewa kidogo, njia, ni wale ambao husikia neno na ibilisi huja
hupenda kidogo.” na kuliondoa kutoka mioyoni mwao, ili wasije
48Kisha akamwambia yule mwanamke, wakaamini na kuokoka. 13Zile za kwenye
“Dhambi zako simesamehewa.” mwamba ni wale ambao hulipokea neno kwa
49Lakini wale waliokuwa wameketi pamoja furaha wanapolisikia, lakini hawana mizizi.
naye chakulani wakaanza kusemezana wao Wanaamini kwa kitambo klidogo, lakini wakati
kwa wao, “Huyu ni nani ambaye hata wa kujaribiwa huiacha imani. 14Zile mbegu
anasamehe dhambi?” zilizoanguka kwenye miiba ni mfano wa wale
50Yesu akamwambia yule mwanamke, wanaosikia, lakini wanapoendelea husongwa na
“Imani yako imekuokoa, nenda kwa amani.” masumbufu ya maisha haya, utajiri na anasa,
nao hawakui. 15Lakini zile mbegu kwenye
Mfano Wa Mpanzi udongo mzuri ni mfano wa wale ambao hulisikia
Baada ya haya Yesu alikwenda akawa neno la Mungu na kulishika kwa moyo mnyofu
8 anazunguka katika miji na vijiji akihubiri na wa utii, nao kwa kuvumilia kwingi huzaa
Habari Njema za Ufalme wa Mungu. Wale matunda.
wanafunzi Wake kumi na wawili walikuwa
pamoja naye, 2pia baadhi ya wanawake Mfano Wa Taa
waliokuwa wametolewa pepo wachafu na 16“Hakuna mtu awashaye taa na kuificha
kuponywa magonjwa miongoni mwao alikuwepo ndani ya gudulia au kuiweka mvunguni mwa
Maria Magdalene, aliyetolewa pepo wachafu kitanda. Badala yake, huiweka juu ya kinara, ili
saba, 3Yoana mkewe Kuza, msimamizi wa wale waingiao ndani waone mwanga. 17Kwa
nyumba ya watu wa nyumbani mwa Herode, maana hakuna jambo lo lote lililofichika ambalo
Susana na wengine wengi waliokuwa halitafichuliwa, wala lo lote lililositirika ambalo
wakimhudumia kwa mali zao. halitajulikana na kuwekwa wazi. 18Kwa hiyo,
4Wakati umati mkubwa wa watu ulipokuwa iweni waangalifu mnavyosikia. Kwa maana ye
ukija kwa Yesu kutoka mji hadi mji, akawaambia yote aliye na kitu atazidishiwa na ye yote asiye
nacho, hata kile anachodhani anacho
a41 Dinari 500 ni sawa na mshahara wa kibarua wa siku 500. atanyang’anywa.’’
Kwani mshahara wa kibarua ulikuwa dinari moja kwa siku.
13
LUKA
32Palikuwa na kundi kubwa la nguruwe hapo
Ndugu Za Yesu Na Mama Yake karibu wakilisha kandokando ya kilima. Wale
19Wakati mmoja mama yake Yesu na ndugu
pepo wachafu wakamsihi Yesu awaruhusu
zake walikuja kumwona, lakini hawakuweza wawaingie hao nguruwe, naye akawaruhusu.
kumfikia kwa sababu ya msongamano wa watu. 33Wale pepo wachafu walipomtoka yule mtu,
20Mtu mmoja akamwambia, “Mama Yako na
wakawaingia wale nguruwe, nalo kundi lote
ndugu Zako wako nje wanataka kukuona.” likatelemkia gengeni likatumbukia ziwani na
21Yesu akamjibu, “Mama Yangu na ndugu
kuzama.
Zangu ni wale wote wanaolisikia neno la Mungu 34Wale watu waliokuwa wakichunga lile
na kulitii.” kundi la nguruwe walipoona yaliyotukia,
wakakimbia, wakaeneza habari hizi mjini na
Yesu Atuliza Dhoruba mashambani. 35Nao watu wakatoka kwenda
22Siku moja Yesu alipanda ndani ya mashua
kujionea wenyewe yaliyotukia. Walipofika hapo
pamoja na wanafunzi Wake, akawaambia, alipokuwa Yesu wakamkuta yule mtu aliyetokwa
“Twendeni tuvuke mpaka ng’ambo ya ziwa.” na pepo wachafu amekaa karibu na Yesu,
23Hivyo wakaondoka, akalala usingizi. Dhoruba
akiwa amevaa nguo na mwenye akili timamu!
kali ikatokea mle ziwani, hata mashua ikawa Wakaogopa sana. 36Wale walioona mambo
inajaa maji, nao walikuwa katika hatari kubwa. hayo wakawaeleza wenzao jinsi yule mtu
24Wanafunzi Wake wakamwendea na aliyekuwa amepagawa na pepo wachafu
kumwamsha, wakipiga kelele, wakisema, alivyoponywa. 37Ndipo watu wote wa nchi ile ya
‘‘Bwana, Bwana, tunaangamia!” Wagerasi wakamwomba Yesu aondoke kwao,
Yeye akaamka akaukemea ule upepo na kwa sababu walikuwa wamejawa na hofu. Basi
yale mawimbi, vikakoma, pakawa shwari. akaingia katika mashua akaondoka Zake.
25Akawauliza wanafunzi Wake, “Imani yenu iko
38Yule mtu aliyetokwa na pepo wachafu
wapi?” akamsihi Yesu afuatane naye, lakini Yesu
Kwa woga na mshangao wakaulizana, akamwaga, akamwambia: 39‘‘Rudi nyumbani
“Huyu ni mtu wa namna gani ambaye anaamuru ukawaeleze mambo makuu Mungu
hata upepo na maji navyo vikamtii?” aliyokutendea.” Kwa hiyo yule mtu akaenda,
akatangaza katika mji wote mambo makuu Yesu
Yesu Amponya Mtu Mwenye Pepo Mchafu aliyomtendea.
26Basi wakafika katika nchi ya Wagerasi,
ambayo iko upande wa pili wa ziwa kutoka Msichana Afufuliwa Na Mwanamke Aponywa
Galilaya, 27Yesu aliposhuka katika mashua na 40Basi Yesu aliporudi, umati mkubwa wa
kukanyaga pwani, alikutana na mtu mmoja wa watu ukampokea kwa furaha, kwani walikuwa
mji ule aliyekuwa amepagawa na pepo mchafu, wakimngojea. 41Kisha mtu mmoja jina lake
naye kwa muda mrefu alikuwa havai nguo wala Yairo, kiongozi wa sinagogi, akaja na kuanguka
kuishi nyumbaini, bali makaburini. 28Alipomwona miguuni mwa Yesu, akimwomba afike nyumbani
Yesu alipiga kelele, akajitupa chini mbele Yake kwake, 42kwa kuwa binti yake wa pekee,
na kusema kwa sauti kuu, “Nina nini nawe, mwenye umri wa miaka kumi na miwili, alikuwa
Yesu Mwana wa Mungu Aliye Juu? Nakuomba, anakufa.
usinitese!’’ 29Wakati huo Yesu alikuwa Yesu alipokuwa akienda, umati wa watu
amemwamuru yule pepo mchafu amtoke huyo ukamsonga sana. 43Katika umati huo alikuwepo
mtu. Mara nyingi huyo pepo mchafu alimpagaa mwanamke mmoja aliyekuwa anatokwa damu
na hata alipofungwa kwa minyororo mikono na kwa muda wa miaka kumi na miwili, tena
miguu na kuwekwa chini ya ulinzi alikata hiyo alikuwa amegharimia yote aliyokuwa nayo kwa
minyororo na kupelekwa na huyo pepo mchafu ajili ya matibabu wala hakuna ye yote aliyeweza
kwenda nyikani. kumponya. 44Huyo mwanamke akaja kwa
30Yesu akamwuliza, “Jina lako ni nani?”
nyuma na kugusa upindo wa vazi la Yesu, mara
Akamjibu, “Legioni”, maana yake, “Jeshi,” kutokwa damu kwake kukakoma.
kwa kuwa alikuwa ameingiwa na pepo wachafu 45Yesu akauliza, “Ni nani aliyenigusa?”
wengi mno. 31Wale pepo wachafu wakamsihi
sana asiwaamru kwenda shimoni a .
a31 “Shimoni” hapa ina maana ya ‘shimo lisilo na mwisho,’ yaani, kuzimu hasa makao ya pepo wachafu.
14
LUKA
Watu wote walipokana, Petro akasema, Habari Njema na kuponya wagonjwa kila
“Bwana, huu umati wa watu unakusonga na mahali.
kukusukuma kila upande.” 7Basi Herode mtawala wa Galilaya akasikia
46Lakini Yesu akasema, “Kuna mtu habari za yote yaliyotendeka, naye akafadhaika
aliyenigusa, kwa maana nimetambua kuwa kwa kuwa baadhi ya watu walikuwa wakisema,
nguvu zimenitoka.” “Yohana Mbatizaji amefufuka.” 8Wengine
47Yule mwanamke alipofahamu ya kuwa wakasema, “Eliya ametutokea” na wengine
hawezi kuendelea kujificha, alikuja akitetemeka, wakasema kwamba, “Mmoja wa manabii wa
akaanguka miguuni mwa Yesu, akaeleza mbele kale amefufuka.” 9Herode akasema, “Yohana
ya watu wote kwa nini alimgusa na jinsi nilimkata kichwa. Lakini ni nani basi huyu
alivyoponywa mara. 48Basi Yesu akamwambia, ambaye ninasikia habari Zake kuhusu mambo
“Binti, imani yako imekuponya. Nenda kwa kama haya?”. Akatamani sana kumwona.
amani.”
49Yesu alipokuwa bado anasema, akaja Yesu Awalisha Watu 5,000
mtumishi kutoka nyumbani kwa Yairo, yule 10Wale mitume Wake waliporudi,
kiongozi wa sinagogi, kumwambia, “Binti yako wakamweleza Yesu yote waliyofanya.
amekwisha kufa. Usiendelee kumsumbua Akawachukua akaenda nao faraghani mpaka
Mwalimu.’’ mji mmoja uitwao Bethsaida. 11Lakini umati wa
50Yesu aliposikia jambo hili, akamwambia watu ulipofahamu alikokwenda, wakamfuata.
Yairo, “Usiogope, amini tu, naye binti yako Akawakaribisha na kunena nao kuhusu Ufalme
atapona.” wa Mungu na kuwaponya wale wote waliokuwa
51Walipofika nyumbani kwa Yairo, wanahitaji uponyaji.
hakumruhusu mtu ye yote aingie ndani pamoja 12Ilipokaribia jioni, wale mitume kumi na
naye isipokuwa Petro, Yakobo na Yohana, baba wawili wakamjia Yesu na kumwambia, “Uage
na mama wa yule binti. 52Wakati ule ule watu umati huu wa watu waondoke ili waweze
wote walikuwa wakilia na kuomboleza kwa ajili kwenda kwenye vijiji vya karibu na sehemu za
ya huyo binti. Yesu akawaambia, “Acheni kulia. jirani, ili kupata chakula na mahali pa kulala kwa
Huyu binti hajafa ila amelala.” maana hapa tuko nyikani.”
53Wao wakamcheka kwa dharau, wakijua 13 Yesu akawajibu, “Ninyi wapeni chakula.”
kuwa amekwisha kufa. 54Yesu akamshika yule Wao wakasema, “Hatuna zaidi ya mikate
binti mkono na kuita, “Binti, amka!” 55Roho yake mitano na samaki wawili, labda tuende
ikamrudia, naye akainuka mara. Akaamuru tukanunue chakula cha kuwatosha watu wote
apewe kitu cho chote cha kula. 56Wazazi wake hawa.” 14Kwa kuwa walikuwako wanaume
wakastaajabu sana, lakini Yesu akawakataza wapatao 5,000.
wasimwambie mtu ye yote juu ya yale Yesu akawaambia wanafunzi Wake,
yaliyotukia. “Waketisheni katika makundi ya watu hamsini
hamsini.” 15Wakafanya hivyo, wakawaketisha
Yesu Awatuma Wale Kumi Na Wawili wote. 16Yesu akaichukua ile mikate mitano na
mwingiayo, kaeni humo hadi mtakapoondoka faraghani, nao wanafunzi Wake wakiwa pamoja
katika mji huo. 5Kama watu wasipowakaribisha, naye, akawauliza, “Watu husema mimi ni nani?”
mnapoondoka katika mji wao, kung’uteni 19Wakamjibu, “Wengine husema Wewe ni
mavumbi miguuni mwenu kuwa ushuhuda dhidi Yohana Mbatizaji, wengine husema ni Eliya na
yao.’’ 6Hivyo wale wanafunzi wakaondoka wengine husema, Wewe ni mmoja wa nabii wa
wakaenda kutoka kijiji hadi kijiji, wakihubiri kale aliyefufuka kutoka kwa wafu.”
15
LUKA
20Kisha akawauliza, “Je, ninyi mnasema kwa wakati huo hawakumwambia mtu ye yote
Mimi ni nani?” yale waliyokuwa wameyaona.
Petro akajibu, “Wewe ndiwe Kristo wa
Mungu.” Kuponywa Kwa Kijana Mwenye Pepo Mchafu
21Yesu akawakataza wasimwambie mtu ye 37Kesho yake, waliposhuka kutoka mlimani,
yote jambo hilo. 22Yesu akasema, “Imempasa alikutana na umati mkubwa wa watu. 38Mtu
Mwana wa Adamu kupata mateso mengi na mmoja miongoni mwa ule umati wa watu
kukataliwa na wazee, viongozi wa makuhani na ukapiga kelele, akasema, “Mwalimu, naomba
walimu wa sheria, naye atauawa na siku ya tatu umwangalie mwanangu, ndiye mtoto wangu wa
atafufuka.” pekee. 39Mara kwa mara pepo mchafu
23Kisha akawaambia wote, “Ye yote humpagaa na kumfanya apige kelele, kisha
anayetaka kunifuata ni lazima ajikane humwangusha na kumtia kifafa akatokwa na
mwenyewe, achukue msalaba wake kila siku na povu kinywani. Huyo pepo chafu anamtesa
anifuate. 24Kwa maana ye yote sana na hamwachii ila mara chache.
atakayekuyaponya maisha yake atayapoteza, 40Niliwaomba wanafunzi Wako wamtoe huyo
lakini ye yote atakayepoteza maisha yake kwa pepo mchafu lakini hawakuweza.”
ajili Yangu atayaokoa. 25Je, itamfaidia nini mtu 41Yesu akajibu akawaambia, “Enyi kizazi
Adamu atamwonea aibu mtu huyo atakapokuja pepo mchafu akamwangusha, akamtia kifafa.
katika utukufu Wake na katika utukufu wa Baba Lakini Yesu akamkemea yule pepo mchafu
na wa malaika watakatifu. 27Amin, amin amtoke, akamponya yule mtoto, akamrudisha
nawaambia, wako baadhi ya watu waliosimama kwa baba yake. 43Watu wote wakastaajabia
hapa ambao hawataonja mauti mpaka uweza mkuu wa Mungu.
watakapouona Ufalme wa Mungu.’’ Wakati bado watu wanastaajabia hayo yote
aliyokuwa akiyafanya Yesu, Yeye akawaambia
Bwana Yesu Abadilika Sura wanafunzi Wake: 44“Sikilizeni kwa bidii haya
28Yapata siku nane baada ya Yesu kusema nitakayowaambia sasa: “Mwana wa Adamu
hayo, aliwachukua Petro, Yakobo na Yohana atasalitiwa na kutiwa mikononi mwa watu.”
akaenda nao mlimani kuomba. 29Alipokuwa 45Lakini wao hawakuelewa alimaanisha nini.
akiomba, mwonekano wa sura yake ukabadilika, Maana ya maneno hayo ilifichika kwao, hivyo
mavazi Yake yakameta-meta kama mwanga wa hawakuyaelewa, nao wakaogopa kumwuliza
umeme wa radi. 30Ghafula wakawaona watu maana yake.
wawili, Mose na Eliya wakizungumza naye.
31Walionekana katika utukufu wakizungumza na Ni Nani Atakayekuwa Mkubwa Kuliko Wote
Yesu kuhusu kifo Chake ambacho kingetokea 46Kukazuka mabishano miongoni mwa
wingu ikisema, “Huyu ni Mwanangu mpendwa mtu akitoa pepo wachafu kwa Jina lako
Wangu, msikilizeni Yeye.” 36Baada ya Sauti hiyo tukamzuia, kwa sababu yeye si mmoja wetu.”
kusema, walimkuta Yesu akiwa peke Yake. 50Yesu akasema, “Msimzuie, kwa sababu
Wale wanafunzi wakalihifadhi jambo hili wala ye yote ambaye si kinyume nanyi, yu upande
16
LUKA
wenu.” yake, la sivyo itawarudia. 7Kaeni katika nyumba
hiyo, mkila na kunywa kile watakachowapa, kwa
Yesu Akataliwa Samaria sababu kila mtenda kazi anastahili malipo yake.
51Wakati ulipokaribia wa Yeye kuchukuliwa Msihamehame kutoka nyumba hadi nyumba.
mbinguni, alikaza uso Wake kwenda 8“Mkienda katika mji na watu wake
Yerusalemu. 52Akatuma watu wamtangulie, nao wakawakaribisha, kuleni cho chote kiwekwacho
wakaenda katika kijiji kimoja cha Samaria mbele yenu, 9waponyeni wagonjwa waliomo na
kumwandalia kila kitu, 53lakini watu wa kijiji kile waambieni: ‘Ufalme wa Mungu umekaribia.’
hawakumkaribisha kwa sababu alikuwa 10Lakini mkiingia katika mji, nao
anakwenda Zake Yerusalemu. 54Wanafunzi hawakuwakaribisha, tokeni mwende katika
Wake, yaani, Yakobo na Yohana walipoona barabara zake mkaseme: 11‘Hata mavumbi ya
hayo, wakasema: “Bwana, unataka tuagize mji wenu yaliyoshikamana na miguu yetu,
moto kutoka mbinguni ili uwaangamize?” 55Yesu tunayakung’uta dhidi yenu. Lakini mjue kwamba
akageuka na kuwakemea, 56nao wakaenda kijiji Ufalme wa Mungu umekaribia.’ 12Ninawaambia,
kingine. hukumu ya Mungu katika Sodoma itavumilika
zaidi kuliko ya mji ule.
Gharama Ya Kumfuata Yesu
57Walipokuwa njiani wakienda, mtu mmoja Ole Wa Miji Isiyotubu
akamwambia Yesu, “Nitakufuata ko kote 13“Ole wako Korazini! Ole wake Bethsaida!
Bwana wa mavuno, awapeleke watenda kazi Mtakatifu akasema, “Nakushukuru Baba, Bwana
katika shamba lake. 3Haya, nendeni. wa mbingu na nchi, kwa sababu mambo haya
Ninawatuma kama kondoo katikati ya mbwa umewaficha wenye hekima na wenye akili,
mwitu. 4Msichukue mkoba wala mfuko, wala nawe umewafunulia watoto wadogo. Naam,
viatu na msimsalimu mtu ye yote njiani. Baba, kwa kuwa hayo ndiyo yaliyokuwa
5“Mkiingia katika nyumba yo yote kwanza mapenzi Yako.
semeni, ‘Amani iwe kwenu.’ 6Kama kuna mtu 22“Vitu vyote vimekabidhiwa mikononi
wa amani humo, basi amani yenu itakuwa juu Mwangu na Baba. Wala hakuna amjuaye
17
LUKA
Mwana ila Baba, wala amjuaye Baba ila Mwana 36“Ni yupi basi miongoni mwa hawa watatu,
na ye yote ambaye Mwana apenda kumfunulia.” wewe unadhani ni jirani yake yule mtu
23Basi Yesu akawageukia wanafunzi Wake aliyeangukia mikononi mwa wanyang’anyi?”
akanena nao faraghani, akawaambia, 37Yule mtaalam wa sheria akajibu, “Ni yule
mtafunguliwa mlango. 10Kwa kuwa kila aombaye wengine saba wabaya kuliko yeye mwenyewe,
hupewa, naye kila atafutaye hupata na kila huingia na kukaa humo. Nayo hali ya mwisho ya
abishaye hufunguliwa mlango. yule mtu huwa ni mbaya kuliko ile ya kwanza.’’
11Je, kuna ye yote miongoni mwenu, 27Ikawa Yesu alipokuwa akisema hayo,
ambaye mtoto wake akimwomba samaki, mwanamke mmoja katikati ya ule umati wa watu
atampa nyoka badala ya samaki? 12Au mtoto akapaza sauti akasema, “Limebarikiwa tumbo
akimwomba yai atampa ng’e? 13 Basi ikiwa ninyi lililokuzaa na matiti uliyonyonya!”
mlio waovu, mnajua kuwapa watoto wenu vitu 28Yesu akajibu, “Wamebarikiwa zaidi wale
vizuri, si zaidi sana Baba yenu wa mbinguni wanaolisikia neno la Mungu na kulitii.”
atawapa Roho Mtakatifu wale wamwombao?”