You are on page 1of 1

MUKUSANYIKO WA ENEO WA MASHAIDI WA YEHOVA

Stade de la Kenya, Swahili Congo (ZS)


04-06 Aout 2023
19.05.2023
KWA MAKUTANIKO YOTE YENYE KUWA NA LAZIMA YA KUPANGISHWA WAKATI WA
MUKUSANYIKO WA ENEO

Inahusu: Namna tutapangisha Ndugu na Dada wa Kutaniko ya KAWAMA KIMBEMBE

Wazee wapendwa:

Tuko nangojea kwa hamu sana mukusanyiko wetu wa eneo wenye ni karamu ya
kiroho kwenye Yehova atatufundisha. Kuonana na ndugu na dada ni kati ya pendeleo yenye
mikusanyiko kama hii inatutolea. Njo kwa maana tulipenda kuwajulisha mipango fulani yenye
ilikamatwa juu ya kupokea ndugu na dada wa kutaniko lenu wenye watakuwa na lazima ya
kupangishwa. Juu mambo yote ipite kwa utaratibu na heshima (1Kor 14:40), tulipanga
mambo mu njia yenye kufuata:

 Mututumie tafazali liste ya familia za ndugu na dada wenye kuwa na lazima


kupangishwa.
 Ndugu na dada wenye kuwa na lazima ya kupangishwa, wataombwa kuheshimia
mipango yenye ilikamatwa, ni kusema haitakuwa lazima familia fulani ibadilishe
mahali kwenye walitumwa na kuenda mahali pengine.
 Ikiwezekana munaweza kutujulisha hesabu kamili za familia na wingi wa watu wenye
kuwa ndani ya kila familia yenye itapangishwa (na pia hesabu ya ndugu ao dada
waseja).
 Mutakumbusha ndugu na dada wenye kuwa na lazima ya kupangishwa kama itakuwa
jambo la lazima sana kulinda usafi ku jumba la ufalme kwenye watapangishwa
na kuheshimia maagizo yote yenye ilikamatwa (1Kor 14:40).
 Kutaniko lenu litapangishwa ku Jumba la Ufalme la: LSH EST, rue 5 No. 11
C/Kenya, Boulevard Katuba réf. Arrêt Mampala

Ili kusaidia ndugu wenye watafika kupata haraka mahali kwenye kuwa jumba la Ufalme, hapa
chini mutapata majina na namba za ndugu wenye watatolea habari zaidi:

 Ndugu Lushona Victor: 0810573787


 Ndugu Christophe Tshibang: 0832812982

Kama tunapokea liste ya familia za ndugu na dada wenye kuwa na lazima


kupangishwa mbele ya tarehe 15 Mwezi 7, 2023, itawezesha mambo iende muzuri kabisa.
Ndugu wapendwa, mupokee salamu zetu za upendo wa kindugu.

Ndugu zenu wa,

IDARA YA UPANGISHAJI WA MUKUSANYIKO WA ENEO

MUSASA DIEUDONNE JEAN-MARC KASONGO FAZEL KAPEND


LSH KALEBUKA NORD LSH KENYA LSH EST
0810725894 0840380532 0815916293
1Mdieudonne@jwpub.org FazelK@jwpub.org

You might also like