Professional Documents
Culture Documents
BARUA
BARUA
MCHUNGAJI KIONGOZI
KANISA LA TAG………….
S. L. P………………………….
MOROGORO.
Ndugu ,
NI matumaini yangu kuwa mnaendelea vizur i na YESU KRISTO anazidi kuwatunza. Husika na kichwa
cha barua hapo juu.
Idara ya CASFETA mkoa wa Morogoro tunapenda kutoa wito wa kuhudhuria kongamano la pasaka yaani
ester conference litakalo fanyika pale dumila kingvision primary school kuanzia tarehe 06/ 004/ 2023
mpaka tarehe 09/ 04/ 2023. wahusika ni wanafunzi wote wa sekondari na vyuo vya kati na vyuo vikuu.
Kila mwanafunzi wa sekondari atatakiwa kuchangia Tsh. 10000/= na mwanafunzi wa chuo Tsh.
15000/= kama ada ya kongamano kwaajili ya malazi na chakula .
0763646456