Professional Documents
Culture Documents
/ Na
Sala Kwa Yesu Kristu
kwa ajili hiyo nikajitia katika hatari bure,/
SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU II sikujilinda tena,/ nikampa shetani nafasi ya
Sala za Katoliki / Leave a Comment kunishambulia kwa hila zake zote./ Unihurumie ee
Yesu, Mungu wangu mpenzi,/ upo hapa katika Yesu wangu./
Altare mbele yangu;/ na mimi napiga magoti mbele
yako.// Waniangalia sana,/ siyo kwa kunipeleleza,/ Sasa nafahamu jinsi nilivyokuwa mjinga
lakini kwa sababu wapenda kuniona hivi karibu na kwelikweli./ Ndiyo maana nakuabudu kwa moyo
wewe,/ wafurahiwa nikija kukuabudu./ wangu wote./ Najiweka mikononi mwako/ ufanye
Wayasikiliza maneno yangu yote/ yenye kutoka nami vile unavyotaka./ Wewe utanitunza;/ Wewe
mdomoni mwangu,/ na zaidi wapokea maneno utanilinda vema;/ Wewe utaniongoza nijue namna
yangu yanayotoka moyoni./ Nataka kuzungumza na ya kuepa hatari zote,/ na jinsi ya kufukuza kila
wewe peke yako,/ na kusahau mambo mengine kishawishi./ Chukua moyo wangu kabisa,/ kwa
yote/ na watu wengine walioko kanisani pamoja sababu ni mali yako kamili;/ Wewe ndiwe
nami./
uliyeniumba,/ ndiwe uliyenipeleka katika Ukristo,/
nawe ndiwe utakayenihukumu siku ya mbele./
Yesu wangu,/ nakushukuru/ kwa sababu umekubali Ndivyo ninavyojitolea kwako./ Ndivyo
kutupa Sakramenti hii kuu kabisa,/ ukitaka kukaa ninavyokuabudu,/ wala sijui njia nyingine ya
pamoja na sisi,/ na hata ukakubali kuwa chakula kukusifu zaidi./
chetu/ chenye nguvu ya ajabu./ Mfalme wangu
Yesu,/ Sultani wangu Mkuu,/ naamini kabisa Yesu wangu mpenzi,/ naomba upokee kwa uzuri
kwamba upo katika Altare/ na kwamba umejificha heshima hiyo yangu./ Angalia: naitolea pamoja na
chini ya umbo la mkate./ Ulipokuwapo bado hapa heshima yote/ unayopewa daima na watakatifu
duniani mbele za watu,/ ulikuwa hujifichi kama wako/ na malaika wako./ Nikipiga magoti hapa
sasa;/ lakini hata siku zile/ watu hawakuweza mbele yako sasa,/ siko peke yangu,/ nakuabudu
kukuona vile ulivyo./ Hawakuweza kuutambua pamoja na Mama yako Bikira Maria,/ ambaye sala
Umungu wako,/ ikalazimu kukuamini tu sawa
zake zinakupendeza kabisa./ Sala zangu naweka
kama sisi./ Wakainama kichwa wakisema,/ “Bwana
pamoja na sala zake yeye,/ uzipokee zote pamoja,/
wangu na Mungu wangu”./ Na mimi kadhalika
zikupendeze zote sawa./ Ee Mama Maria!/
naungama/ U Bwana wangu na Mungu wangu/ na
Nifundishe maneno ya kumsifu Mwanao Yesu
Mkombozi wangu/ na salama yangu yote./ U Yesu vizuri./ Nipeleke kwa Yesu tumwabudu pamoja./
wangu tu,/ siwezi kusema zaidi./ Nakuabudu ee Nifunike na utakatifu wako/ kusudi Yesu asiangalie
Yesu./ Najua sana, mimi ni mdogo kabisa,/ sina tena umaskini wangu/ na makosa yangu,/ aniponye
maana hata kidogo./ Mimi ni dhaifu na maskini katika huruma yake./
mno./ Lakini Wewe katika hruuma yako kubwa/
waniita nije kwako./ Wewe huuangalii umaskini
wangu,/ bali wanivuta katika mapendo yako./ Sasa najisikia vizuri, Yesu wangu./ Sasa nina moyo
wa kuweza kuendelea vema/ katika njia njema./
Sasa ninatumaini kwamba/ nitakaa mkristo
Nasikia maneno yako usemayo:/ “Njooni kwangu mwema,/ nitakuwa mtumishi wako mwaminifu./
ninyi nyote mnaoelemewa na mizigo/ nami Nasikia amani kubwa sana moyoni mwangu,/ kwa
nitawasaidia”./ Kwa ajili ya maneno hayo/ nakuja kuwa nimo mikononi mwako./ Baada ya dakika
kwako bila hofu./ Najua kwamba wanipenda,/
chache/ nitaondoka tena kanisani,/ nitarudi
najua wataka kunisaidia na kuniponya,/ najua kuwa
nyumbani kwangu,/ lakini hatutaachana,/ hapana./
wataka kunitakasa./
Mapendo yetu yatatuunganisha pamoja daima./
Wewe utanikumbuka nikiwa kazini,/ nikilala
Nahitaji sana msaada wako, hakika./ Unaniona usingizi,/ nikienda njiani,/ kila mahali nilipo,/
katika mwendo wangu wa kila siku,/ Jinsi Wewe utaniona,/ utafuatana na mimi./ Kadhalika
ninavyohangaika na vishawishi mara nyingi;/ jinsi nitakukumbuka tu./ Nitafanya bidii nisikuache
nilivyo na lazima ya kushindana kila siku/ nikitaka kabisa./ Amina.
kukaa mwema na safi katika utumishi wako./
Naungama mbele yako Wewe Mkombozi wangu,/
kwamba sikukaa imara siku zote vile WhatsAppTwitterLinkedInEmail
nilivyopaswa./ Naungama kwamba nimeshindwa ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU
mara nyingine/ na kwa hivi naomba toba./ Lakini
kwa nini nimeshindwa mara nyingine?/ Kwa nini Sala za Katoliki / Leave a Comment
nikakosa?/ Ni kwa sababu nalikuwa nimekwenda Tumia tasbihi ya kawaida yenye chembe ndogo
mbali nawe;/ nalianza kujitegemea mwenyewe./ 53.
Katika majivuno yangu nikajisifu mwenyewe,/
Kwenye Msalaba Sali:
Ee Damu na Maji, yaliyotoka moyoni mwa
“Ee Yesu tupe moyo wako kama amana ya upendo Yesu kama chemchemi ya Huruma kwetu.
wako na kimbilio letu, ili tupate pumziko salama Nakutumainia.
wakati wa maisha yetu na faraja tamu saa ya kufa
kwetu”. (Mara tatu)
Baba Yetu ……..
Salamu Maria ……. (mara tatu)
Nasadiki ………..
WhatsAppTwitterLinkedInEmail
Sala ya Saa Tisa WhatsAppTwitterLinkedInEmail
SALA ZA KUMWABUDU YESU KATIKA
Sala za Katoliki / 1 Comment
EKARISTI TAKATIFU
Sala za Katoliki / Leave a Comment
SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU
KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU
Sala ya saa tisa
Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na Mungu wangu/
ambaye ninasadiki kuwa upo hapa/ katika
Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho
Sakramenti Takatifu ya Altare;/ pokea kitendo hiki
Mtakatifu. A mina
cha kukuangukia kifudi fudi/ kama ishara ya tamaa
niliyonayo ya kukuabudu Wewe/ bila kuchoka/ na
Yesu, ulikufa, lakini chanzo cha uhai kilitoka kwa kukushukuru kwa mapendo yako makubwa/ yasiyo
ajili ya watu, na bahari ya huruma ilifunguka kwa na kipimo/ ambayo Moyo wako Mtakatifu sana/
ajili ya ulimwengu mzima. Ee chemchemi ya Uhai, unawaka katika Sakramenti Takatifu hii./ Siwezi
huruma ya Mungu isiyo na mwisho, ikafunika kukushukuru vizuri zaidi/ kuliko kama ningetolea
ulimwengu mzima na ukajimwaga mwenyewe juu kwako/ matendo yangu yote ya kukuabudu/
yetu. unyenyekevu wangu/ uvumilivu na mapendo/
ambayo huu Moyo Mwabudiwa ulifanya,/ bado
unafanya/ na utaendelea kufanya katika uzima wa
milele mbinguni./ Ninaahidi kupitia Moyo huu,/
nitakupenda,/ nitakutukuza,/ na nitakuabudu kama
nitakavyoweza./ Ninajiunganisha na hii Sadaka
Takatifu/ ambayo unatoa kwa Baba Mungu/ na
ninatolea kwako utu wangu./ Ninakuomba
kuangamiza ndani yangu/ dhambi zote pamoja na ulimkazia Mama yako mstahivu/ Macho yako ya
majeraha yake/ na usikubali kunitenga nawe hisani na mapendo/ na unyenyekevu,/ ndiye Mama
milele./ Amina. yako asiyekosa hata mara moja/ wala kukubali
dhambi yeyote./ Ulimweka katika ulinzi
mwaminifu/ wa Mfuasi wako ili kumtuliza./
(Na Mt. Margareta Maria Alakoki)
6. Yesu anasulibiwa.
2. Yesu anatokwa Jasho la Damu bustanini
Gethsemane.
Tafakari fupi (kimya kidogo). Baba Yetu …. Na watakatifu wako nikutukuze
Salamu Maria …. Baba wa Milele, kupitia mikono Milele na milele.
safi ya Maria na Moyo Mtakatifu wa Yesu, Amina.
ninakutolea Mwanao Msalabani, kupigwa kwake
misumari na kuinuliwa kwake, madonda yake
mikononi na miguuni na mifereji mitatu ya Damu
WhatsAppTwitterLinkedInEmail
yake Takatifu iliyomwagika kutoka katika
Sala ya Saa Tisa
majeraha haya, mateso yake makali sana ya mwili
na roho, kifo chake kitakatifu, ukumbusho usio wa Sala za Katoliki / 1 Comment
kumwaga wa damu wa kifo hiki katika Misa zote
Takatifu ulimwenguni, kwa ajili ya majeraha yote
yanayosababishwa na ukaidi wa nadhiri na kanuni
katika madaraja matakatifu, kwa ajili ya malipizi ya
dhambi zangu zote na za ulimwenguni mzima, kwa
ajili ya wagonjwa na wanaokufa, kwa ajili ya Sala ya saa tisa
mapadre watakatifu na walei, kwa ajili ya nia za
Baba Mtakatifu za kukarabati familia za kikristu,
kwa ajili ya kuimarika kwa imani ya kikristu Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho
ulimwenguni, kwa ajili ya nchi yetu na muungano Mtakatifu. A mina
kati ya mataifa ndani ya Kristu na Kanisa lake, na
kwa ajili ya wokovu wa dunia nzima. Yesu, ulikufa, lakini chanzo cha uhai kilitoka kwa
ajili ya watu, na bahari ya huruma ilifunguka kwa
ajili ya ulimwengu mzima. Ee chemchemi ya Uhai,
7. Yesu anachomwa kwa mkuki moyoni. huruma ya Mungu isiyo na mwisho, ikafunika
ulimwengu mzima na ukajimwaga mwenyewe juu
Tafakari fupi (kimya kidogo). Baba Yetu …. yetu.
Salamu Maria …. Baba wa Milele, ukubali
kupokea, kwa ajili ya mahitaji ya Kanisa Takatifu
na kwa ajili ya malipizi ya dhambi za wanadamu
wote, Damu na Maji Takatifu vilivyomwagika
kutoka jeraha la Moyo Mtakatifu wa Yesu.
Utuhurumie. Damu Takatifu ya Yesu, tone lile la
mwisho lililomwagika kutoka katika Moyo wake
Mtakatifu, unioshe mimi na wengine wote dhambi Ee Damu na Maji, yaliyotoka moyoni mwa
zetu zote! Ee Maji kutoka katika Moyo Mtakatifu Yesu kama chemchemi ya Huruma kwetu.
wa Yesu, unioshe na adhabu zote za dhambi zangu Nakutumainia.
na uizime miale ya moto wa toharani kwa ajili
yangu na kwa ajili ya roho zote zilizomo toharani.
(Mara tatu)
Amina.
WhatsAppTwitterLinkedInEmail WhatsAppTwitterLinkedInEmail
SALA YA MTAKATIFU INYASI ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU