Professional Documents
Culture Documents
hapa mbele yako ni washiriki wakatoliki, waliohudhuria karakana za mafundisho ya chama cha
wanawake wakatoliki kwa muda wa wiki sita, kama inavyo ratibishwa na afisi ya kichungaji, idara ya
walei. Baada ya kuhojiwa na Baba paroko na kukubarika, nakuomba wapokelewe na kuidhinishwa katika
umoja wa chama cha wanawake wakatoliki.
NIKO TAYARI.
NIKO TAYARI.
NIKO TAYARI.
ASKOFU KASISI - Nanyi Wasimamizi, Je, mko tayari kuwasaidia wanawake hawa kuepuka
na hayo yote na pia kutimiza wajibu wao katika chama na familia zao.
NIKO TAYARI.
ASKOFU KASISI - Kwa kutii ukweli wa Mungu zitakaseni roho zenu na kushuhudia Kristu katika maisha
yenu, na kama watoto wa Mungu wenye utiifu, msikubali kamwe kuzifuata tena tamaa mbaya
mlizozikataa sasa hivi, muutii ukweli wa Mungu, mkizitakasa roho zenu na kushuhudia Mungu wa kweli
baba wa Bwana wetu Yesu Kristu. AMINA.
kwa neno lako, ubariki mishumaa hii+ na vitambaa hizi+ Bibilia hizi+ na chumvi hii+, na kila atakaye
Zitumia kama unavyo amuru, au unavyotaka WEWE, akuomba pamoja na kukushukuru apate afya
mwilini na usalama rohoni; kwako WEWE uliye asili ya Baraka zote. Tunaomba hayo kwa njia ya Kristu
Bwana wetu.
AMINA
Wote -
Tumshukuru Mungu
(wanawake wanawasha
mishumaa)
kuulinda, maneno na matendo yenu yaweze kuwa mwanga kwa wote mnaoishi nao; na pia wale mtakao
kutana nao; ambatana na Bwana Mungu wala usimwache
kamwe, nawe utafanikiwa mwishoni mwa maisha yako; na hivyo mwishoni huko mbinguni ninyi na
watakatifu wote muweze kumlaki Bwana. AMINA.
ASKOFU/ KASISI- ninyi ni chumvi ya ulimwengu; mumeitwa katika chama ili kuponya, kuhifadhi na kutia
ladha maisha ya imani; pamoja na wale wengine wote mtakao kutana nao; kwa Kristu Bwana wetu.
AMINA.
ASKOFU/KASISI- pokeeni vitambaa hivi kama ishara ya usafi wa mioyo yenu na cheo chenu katika chama
na familia. AMINA. vitambaa)
(wanawake wanafunga
ASKOFU KASISI- Je; unaahidi kushirikiana na kuwaheshimu wachungaji wako wa kiroho, viongozi wa
chama na Kanisa? Naahidi.
- Je; unaahidi kumshuhudia Bikira Maria mama wa Mungu na kueneza sifa zake?
Naahidi.
kitambaa hiki.
- Ikiwa nitakosa mara ya tatu, nitasimamishwa kuwa mwana chama kwa muda wa
nitapelekwa kwa kamati kuu ya parokia kwa ushauli zaidi. Ee mama Bikira Maria, na Mtakatifu Monika
(kuchoma yale
SALA-Ee Mwenyezi-Mungu; Mungu wangu, Mimi mtumishi wako nakuomba unisikie na kunitimizia ombi
langu; ninalo omba leo, kwa Kristo Bwana wetu. AMINA.
KIAPO
kitambaa hiki.
- Ikiwa nitakosa mara ya tatu, nitasimamishwa kuwa mwana chama kwa muda wa
nitapelekwa kwa kamati kuu ya parokia kwa ushauli zaidi. Ee mama Bikira Maria, na Mtakatifu Monika
(kuchoma yale
SALA-Ee Mwenyezi-Mungu; Mungu wangu, Mimi mtumishi wako nakuomba unisikie na kunitimizia ombi
langu; ninalo omba leo, kwa Kristo Bwana wetu. AMINA.
kutunza Yale yote mliopewa, tunawaweka ninyi mikononi mwake Baba Mwenyezi; na Mwanawe wa
pekee, na Roho Mtakatifu, ili mfanye jumuiya ya wakristu
ipendezwe nanyi; na Mungu mwenye rehema na neema ayalinde maisha yenu; na watakieni ninyi note
hekima ya Bwana wetu Yesu Kristu. AMINA.
Wote-Tumshukuru Mungu.