Ninajiunga upya na jumuiya ya MT.FRANSISCO XAVERY kwa kukubaliana na haya
yafuatayo:
a) Nitahudhuria bila kukosa jumuiya
b) Nitatoa ushirikiano kwa viongozi c) Nitatoa zaka na michango yote inayotakiwa kwenye jumuiya d) Nitatoa ushauri unaotakiwa ili kuweka uhai katika jumuiya e) Nitakuwa mtiifu na mwenye nidhamu katika jumuiya na kwa Yesu kristo f) Nitahakikisha kutokuwa chanzo na kikwazo katika jumuiya kwa i. Kukwamisha michango ii. Maneno yanayobomoa jumuiya iii. Vikundi visivyokuwa na maana
Kwakukubaliana na haya naahidi kuwa mwanajumuiya mwema na kujenga na kuweka