Professional Documents
Culture Documents
04.27.2023 WTC Juma La Urejeshaji
04.27.2023 WTC Juma La Urejeshaji
KIGOMA
of Seventh-day Adventists TANZANIA
SECRETARIAT ' +255 766 822 172
' +255 782 822 172
azzarachel@gmail.com
Mchungaji wa Mtaa
Mzee wa Kanisa
Karani wa Kanisa
Nakusalimu katika jina la Bwana wetu Yesu Kristo. Jina la Mungu lipewe sifa.
Kwa barua hii unaombwa tangu sasa umkumbuke kila aliyerudi nyuma na kuliacha
Kanisa. Kisha umwombee. Ndipo umtembelee na kumwalika arejee katika uhusiano
na Mungu wake kwa njia kumwabudu Mungu kila Juma kwa njia ya mafundisho na
upatanisho katika mahusiano.
Tunakusudia kwamba Juma la Urejeshaji limalizike kwa kishindo kwa njia ya ubatizo
kwa wale walioliacha Kanisa. Kama maandalizi ya Juma hili, watakaokuwa tayari
kumrudia Mungu kwa njia ya ubatizo watiwe moyo na wapewe huduma hii ya
kumrejea Mungu.
Mungu akubariki,