You are on page 1of 16

Tutembee kwenye Website www.annuurpapers.co.tz au mpaper.co.

tz tunapatikana pia katika simgazeti

ISSN 0856 - 3861 Na. 1403 RABIUL THAAN 1441 , IJUMAA, DESEMBA 13-19, 2019 BEI TShs 1000/=, Kshs 80/=

Mufti apiga marufuku ‘Muziki Moto’


Atoa onya kwa Madrasa kuutumia
Awataka Waislamu kuondoa Munkar Sheikh atoa nasaha
kwa wanamuziki
Maisha matamu, lakini mafupi sana

Nasib Abdul

MUFTI Sheikh Abubakar Zubeir

Mh. Zungu atoa nasaha


kwa vijana Dar
Na Bint Ally Ahmed
kwa kueneza
umoja, mshikano
na upendo katika
jamii.
Hayo yamesemwa
WANAFUNZI wa Kiislamu walioko na Mbunge wa Ilala
katika Vyuo na Shule za Sekondari
nchini wametakiwa kutumia elimu zao Inaendelea Uk. 3 Ali Kiba.
2 RABIUL THAAN 1441, IJUMAA DESEMBA 13-19, 2019 Mafundisho ya Qur'an
Ujumbe/Habari AN-NUUR

Ujumbe wa Ijumaa Ethiopia kuzindua


satelaiti yake
Na Bakari Mwakangwale

MAMLAKA ya utafiti Solomon Belay, amesema


wa anga za mbali nchini kuwa satelaiti hiyo
Ethiopia imetangaza itatumiwa katika miradi ya
kuzindua satelaiti yake ya kilimo nchini humo.
kwanza Desemba 17 Satalaiti hiyo ETRSS-1
Mkurugenzi wa Shirika itarushwa nchini China na

Chozi la kumkhofu Allah (s.w)


la Utafiti wa masuala kuongozwa na kundi la
ya anga za mbali nchini wataalamu waliopo mjini
Ethiopia, Dkt. Solomon Addis Ababa.
Belay, amewafahamisha Ethiopia inaingia katika
Lina fadhila ya kuepushwa na moto wanahabari katika
mahojiano aliyoyafanya
orodha ya mataifa machache
barani Afrika, Kusini mwa

M
kuwa, Ethiopia inajiandaa jangwa la Sahara lenye
TUME (s.a.w) anasema anayelia kwa kuzindua satelaiti yake ya kumiliki Satelaiti.
kumkhofu Allah (s.w) hatoingia motoni. kwanza ifikapo Desemba Mataifa barani Afrika
Hii ina maana kuwa mtu aliye kutokana 17. lenye kumiliki satelaiti ni
na kuhofu zile adhabu alizozitaja Katika mahojiano yake Ghana, Nigeria, Afrika
Mwenyezi Mungu kulingana na makatazo yake. hayo na kituo cha habari Kusini, Kenya na Rwanda.
Hii inathibitishwa katika Hadithi iliyopokelewa cha Ethiopia ENA, Dkt. trt.net.tr
kutoka kwa Abuu Hurayrah kwamba Mtume (s a w)
amesema:
“Hatoingia motoni mtu anayelia kwa sababu
ya kumkhofu Allah mpaka maziwa yarudi katika
chuchu. Wala haliwezi kujumuika vumbi katika njia
ya Allah na moshi wa Jahannam. (At-Tirmdihiy na
amesema: Hadiyth Hasan Swahiyh)”
Hii ina maana kwamba inatupasa kuwa na
mazingatio katika usomaji au usikilizaji wa Qur’an,
kwani ni jambo muhimu sana badala ya kusoma
kibubusa au kulazimika kusikiliza Qur’an kwa
kuvutiwa na sauti ya msomaji kwa uhodari wake wa
kughani.
Waislamu wengi tupo katika kundi la kupenda
kusikiliza Qur’an kwa kupenda sauti ya msomaji na si
kwa mazingatio. Ndio maana utasikia wakishangilia Satalaiti aina ya ETRSS-1
na kutia maneno ‘Masha Allah……’ hata pale ambapo

Wanyamapori wameua watu 96 Tanzania


Allah anaelezea adhabu Siku ya Kiama au sehemu
ambayo Allah anakemea jambo Fulani, badala ya
kutafakari au kusikitika sisi tunashangilia tu.

W
Chozi la kumkhofu Allah (s.w) kupitia mafundisho
ama kujua aina ya adhabu zinazoainishwa katika Qur ATU zaidi ya kutoka Julai mwaka 2017 hadi
96 wameuawa Julai mwaka 2018.
an lina fadhila kubwa ya kuepushwa na moto. Mifano na wengine 90 Alitaja ndovu au tembo, Simba,
anayopiga Mtume (s a w) ni ya aina ya pekee yenye wamejeruhiwa na Faru na Mamba kuwa ni aina ya
mazingatio makubwa, sawa na mifano anayopiga wanyamapori waliovamia wanyamapori ambao wamekuwa
Allah katika Qur’an kama anavyosema: mashamba na maeneo ya chanzo kikuu cha mauaji
makazi nchini Tanzania hayo, huku akiongeza kuwa
“Na kwa yakini tumewapigia watu mifano ya kila tangu Julai mwaka 2018 hadi kutoka mwaka 2018 hadi 2019,
aina katika hii Qur’an ili wapate kukumbuka.” Qura Julai mwaka 2019. wanyama hao wameharibu hekta
39: 27. Hayo yamedokezwa na 13.644 za mazao mashambani,
Pia Allah (s.w), katika Qur an Al-Israa (17: 89) Katibu Mkuu wa Wizara ya ikilinganishwa na hekta 637 za
anasema: Maliasili na Utalii Tanzania, mwaka 2017 hadi 2018.
“Na kwa yakini tumesarifu namna kwa namna hii Prof. Adolf Mkenda, ambaye Kwa upande wake,
aliongeza kuwa idadi ya watu Mkurugenzi wa Wanyamapori
Qur’ an kwa watu, kwa kila mfano, lakini watu wengi waliouawa na kujeruhiwa na nchini, Meurus Msuha,
wamekataa kabisa (haki; hawakukubali) isipokuwa wanyamapori imeongezeka alisema kuwa wamekutana na
kukufuru tu.” ikilinganishwa na miaka wadau mbalimbali wakiwemo
Aya hizo na nyingine zenye mlengo huo iliyopita. wahifadhi, ili kukabiliana na
Alisema hayo katika changamoto ya muingiliano wa
zinaonyesha umuhimu wa Muislamu kufahamu mkutano uliofanyika Mwanza wanyamapori kwenye makazi ya
kauli za Allah katika Qur’an, na anapoisoma awe ni hivi karibuni kujadili njia watu.
mwenye kuzingatia na kupata mafunzo pamoja na bora za kudhibiti migongano Pato la utalii nchini
mawaidha, zaidi imzidishie iymaan hata atokwe na kati ya binadamu na huchangia takribani asilimia
wanyamapori, huku akisema 17.6 ya pato la taifa na watalii
machozi hasa pale anapopitia maeneo yanayobainisha wanyamapori waliwaua watu wengi hutembelea mbuga za
adhabu za Allah (s.w) aingiwe na khofu kwazo. 39 na kuwajeruhi wengine 37 wanyamapori.
3 RABIUL THAAN 1441, IJUMAA DESEMBA 13-19, 2019 Habari AN-NUUR

Mufti apiga marufuku ‘Muziki Moto’ umeibuka kwa kasi na


Na Bakari Mwakangwale Madrasa mbalimbali za Jijini Hali hiyo imemuibua Mufti

M
Dar es Salaam. kutumika na baadhi ya Abubakar Zubeir na kutoa
UFTI Sheikh Onyo hilo limetolewa Madrasa Jijini Dar es Salaam, onyo kali sambamba na
Abubakar Zubeir kufuatia kuibuka kwa hali ni mtindo mpya wa upigaji kupiga marufuku mwenendo
ameonya na hiyo huku Madrasa zikitumika Dufu na uimbaji Kaswida huo wa ‘Muziki Moto’ huku
kupiga marufuku katika sherehe za harusi huku watoto wa Madrasa, akisema mwenendo wake
upigwaji Dufu na uchezaji ambapo mtindo na uchezaji Wanawake na Wanaume waki upo nje na tamaduni ya Dufu
wake maarufu kama ‘Mziki wake umechupa mipaka na changanyika pamoja wakikata ambazo zinakubalika katika
Moto’ ambao umeibuka kwa kukiuka maadili ya Uislamu. viuno, kubiduka juu na Uislamu na Waislamu.
kasi na kutumiwa katika ‘Mziki Moto’ ambao kugalagala chini.

Sheikh atoa nasaha kwa wanamuziki


“Nachukua fursa hii kutoa
onyo na kupiga marufuku
upigwaji wa Dufu na uimbaji
wa Kaswida unaojulikana
kama ‘Mziki Moto’ nchini
kote, ambazo zinatoka nje
Na Bakari Mwakangwale ya kuchangia kuenea kwa tukufu ya Uislamu ninayo
ya maadili na utamaduni wa
maovu akitekeleza agizo la haki ya kuwafikishia nasaha.”
Qur an (Surat Adh-Dhariyat Kiislamu na kuchafua sura
WASANII, hasa wa muziki, Sheikh Imran amesema, kwa nzuri ya Uislamu na maadili
wametanabahiwa kurejea 55) pale Allah aliposema kuwa wana imani kuwa kuna yake.”
kwa Mola wao kabla “Na kumbusha, Hakika malipo baada ya kufa, basi Ninawataka wanaofanya
hawajafikwa na “Kikata ukumbusho utawafaa kila mmoja hana budi kufanya hivyo kwa jina la Uislamu
Utamu.” Waumini.” kuacha mara moja kwani
“Nimependa niwafikishie maamuzi magumu ya kurejea
Wito huo umetolewa Uislamu ni Dini ya Akh’laq
na Sheikh Khatibu Imran, nasaha hizi (wanamuziki) na kwa Allah (s.w) kwani kila
vijana wengine wa Kiislamu madhambi yatendwayo katika na maadili mema na mafunzo
akisema ameamua kutoa sahihi yanayotokana na Qur’an
nasaha kwa wasanii ambo wanaojihusisha na masuala ya matamasha na mijumuiko
miziki, mimi kama Muislamu mbalimbali, nao wana sehemu na mafunzo ya Mtume wetu
ni vijana wa Kiislamu
kutokana na mienendo yao na Mlinganizi katika Dini yao Amesema Sheikh Imran. (s.a.w).”Amesema Mufti
Zubeir.

Mh. Zungu atoa nasaha kwa vijana Dar Alisema, Uislamu ni mfumo
kamili wa maisha na kila
jambo lake lina makusudio
Inatoka Uk. 1 nchi na ndio watendaji wakuu, msemo wao wanasema ‘vipi ya kujenga jamii bora yenye
sisi kama Masheikh na viongozi kivuli kitanyooka wakati mti maadili mema na si kuchafua
Jijini Dar es Salaam, Mh. Mussa wa dini tukiacha wajibu wetu umepinda?’.”
Azan Zungu, Jumapili ya kuwaongoza kiimani nyinyi “Hii maana yake ni kwamba jamii.
wiki iliyopita akiongea katika wasomi, nchi itayumba na vipi uchumi wa nchi utasimama, Mufti Zubeir amewataka
kongamano la wanafunzi wa itakuwa na wataalamu wasio Waalimu wa Madrasa
Kiislamu waliopo Vyuoni vipi Taifa litaweza kupiga hatua,
na khofu ya Mungu tutakuwa vipi tunaweza kufanikiwa zaidi kufundisha misingi mizuri
na Sekondari, lililofanyika tumepata hasara na umma ya maadili ili kuwajenga
Chadibwa Kigamboni Jijini Dar ikiwa kuna mmomonyoko
utaharibika.” Amesema Sheikh wa maadili katika Taifa hilo.” vijana wa Kiislamu wawe
es Salaam.
Katika Kongamano hilo,
Hadhwaramy. Amesema Sheikh Kishk. wema, wachamungu na
Sheikh Hadhwaramy watakaokuwa viongozi bora
lililoandaliwa kwa Ushirikiano amesema, Qur`aan imemjali Sheikh Kishki amewataka
wa Taasisi ya Bi. Aisha Sururu, Waislamu kuwekeza kwa katika jamii.
kijana na kumzungumzia katika Mufti Zubeir amesema,
Mh. Zungu, alisema wanafunzi kitabu hicho huku akirejea Vijana kwani, vijana wa leo
hao wana wajibu wa kutumia ndio wasimamizi wakuu wa ameshatoa maagizo kwa
Surat Kahf, kwamba Vijana
maarifa na elimu waipatayo wametajwa hivyo akasema familia na wazazi wa kesho Masheikh wote nchini kwa
katika masomo yao kwa maslahi Uislam umempa kijana nafasi hivyo akawataka wakithirishe ngazi ya Mkoa, Wilaya, mpaka
ya familia zao, jamii na hatimae ya juu na kwamba ukifanikiwa Kata pamoja na Maimamu
kujenga Taifa, lenye umoja, makongamano kama hayo kwani
kuwa na vijana wema, Taifa akasema vijana wakiwa katika wote, kukemea vikali Munkar
mshikamano na upendo. litakuwa limefanikiwa kwa kiasi huo kwani hilo ni jambo
“Hivi sasa maadili mstari na maadili yatasimama na
kikubwa na ukifeli kwa vijana, hatimae maendeleo na ustawi wa linalotakiwa kusimamiwa na
yameporomoka, suala la maadili
kwa vijana limekuwa ni tatizo
Taifa limefeli pia. jamii utakuwa mzuri. kila mmoja aliye kiongozi wa
Kwa maana hiyo Sheikh dini.
kubwa, hivyo tusipofanya Hadhwaramy akaitaka Serikali Naye Mwenyekiti wa Taasisi
juhudi za makusudi kusimamia ya Aisha Foundation, Bi. Aisha Mufti Zubeir amewataka
kuliangalia kundi la vijana viongozi hao kuchukua hatua
maadili kwa vijana wetu baadae kwa kuwasimamia na kufuata Sururu, amewataka wazazi
tutakuwa na jamii isiyofaa kuishi kuhakikisha wanasimama imara kwa kuzingatia Hadithi ya
maadili kwa kufanya hivyo
katika dunia hii kwa kukosa Taiafa halitotumia nguvu nyingi na malezi ya vijana wao hasa Mtume (s.a.w) inayosema
maadili, yaani wataishi maisha kwa kuwalinda wasiingie katika waliopo vyuoni kwani huko anayeona jambo baya aliondoe
yasiyo ya utu,” Amesema Mh. maswala ya uhalifu. kwa mkono wake au alikemee
Zungu. kuna mambo ambayo yapo nje na kama hawezi hayo mawili,
Naye Sheikh Nurdin Kishiki, ya maadili na hukutana na watu
Kwa upande wake Sheikh akiongea katika Kongamano achukie moyoni na hatua hiyo
wa Wilaya ya Kigamboni na hilo amesema, kwa ujumla wenye tabia mbalimbali. ni katika imani iliyo dhaifu
Mwenyekiti wa Kamati ya kumekuwa na mmomonyoko Bi. Sururu, aliahidi kuwa zaidi.
Amani Wilayani humo, Sheikh wa maadili, na kuporomoka kwa “Hii ni Hadithi maarufu, iko
Abdallah Iddi Hadhwaramy, pamoja na vijana bega kwa wazi inafahamika, itumieni
maadili katika jamii ni sawa na
alisema kuwa vijana hao kuanguka kwa Taifa zima kwa
bega kuhakikisha maadili kuondoa Munkar, kama huu
wanapata elimu ya mazingira ujumla. yanashika nafasi yake kwa wa ‘Mziki Moto’ na mengine
huko Vyuoni na Sekondari, “Mara nyingi mmomonyoko wasomi hao lakini pia akaahidi mengi yatakayojitokeza,
pamoja na hayo ipo haja ya wa maadili unatokana na vijana tusiyafumbie macho tusimame
kuwalea kiimani zaidi kazi kuwaunganisha wanafunzi wa
wetu, hasa vijana walioko Vyuoni tukemee tuielekeze jamii
ambayo inapaswa kufanywa na na Sekondari mbalimbali, hakuna nchi nzima na kuendelea kuwapa katika njia iliyokuwa sahihi
Masheikh ili waje kuwa viongozi pahala penye mafanikio ila ni elimu sahihi ya makuzi na na hayo ndiyo mafunzo sahihi
bora wa jamii.
“Wao ndio tunawatarajia kuja
pale panapokuwa na maadili maadili mema kwa mujibu ya Uislamu.” Amesema Mufti
yaliyonyooka, Warabu wana wa mafundisho ya Uislamu. Zubeir.
kushika uchumi na kuongoza
4 RABIUL THAAN 1441, IJUMAA DESEMBA 13-19, 2019 Tahariri AN-NUUR

AN-NUUR
S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786 China yasema Waislamu wana uhuru kamili wa kuabudu
C
Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.
www.annuurpapers.co.tz E-mail: annuurpapers@yahoo.co.uk HINA imetoa milioni moja wa kabila hadi mwisho wa mwaka
Ofisi zetu zipo: Manzese Tip Top
Usangi House, barabara ya Morogoro, D'Salaam taarifa la Uyghur nchini China, 2016, kumejiri matukio
kupinga wanashikiliwa na vikosi ya kigaidi katika mji wa

Wazazi wasimamieni
madai vya usalama katika Xinjiang na kusababisha
kambi maalumu bila watu wasio na hatia
kuwa imewaweka hatia au kufunguliwa kupoteza maisha na
Waislamu wa mkoa mashtaka. mali kuharibiwa,”
wa Xinjiang katika

vyema watoto wenu


Kwa mujibu wa ripoti alisema Geng Shugan,
kambi maalumu ya hivi karibuni ya Msemaji wa Wizara
kwa lengo la wataalamu wa haki za ya Mambo ya Nje ya
kuwabadilisha itikadi binadamu katika Umoja China katika taarifa

kipindi hiki cha likizo


zao. wa Mataifa, Waislamu iliyosambazwa na
Kupitia taarifa takribani milioni moja wizara hiyo.
iliyotolewa hivi wa jamii ya Uighur Aidha ameongeza
karibuni, Wizara wanashikiliwa katika kuwa: “Kuna watu
kambi za kuwafunza milioni 200 nchini

M
WEZI wa sita na ule wa Desemba, kwa ya Mambo ya Nje Usoshalisti wa Kichina China ambao
kawaida huwa ndio miezi ya likizo kwa ya China imesema kwa kisingizio cha wanafuata dini
wanafunzi katika shule zetu za Msingi na hakuna ukiukwaji kukabiliana na ugaidi. mbalimbali na
sekondari nchini. wa haki za binadamu Wizara ya Mambo miongoni mwao kuna
Kama tunavyofahamu, wanafunzi wa shule za msingi au ukandamizaji wa ya China imetoa taarifa Waislamu zaidi ya
na sekondari ni rika la watu wenye umri mdogo, ambao kikabila na kidini ndefu na kusema madai milioni 20 na kuna
bado wanalokuwa kimwili na kiakilui pia. Kwa mantiki katika mkoa wa hayo hayana msingi
Msikiti mmoja kwa
hii, huo ndio umri ambao vijana wetu hupupia mambo Xinjiang na kwamba, na yanalenga kuharibi
bila kupima faida na hasara zake katika maisha yao. oparesheni za usalama taswira ya nchi hiyo. kila Waislamu 530
Wengi tunaona unapowadia wakati shule kufungwa, katika mkoa huo Aidha taarifa hiyo mkoani Xinjiang.”
wanafunzi wengi hufurahia kipindi hiki. Bila shaka zinalenga kukabiliana imesema sera za sasa Amebaini zaidi
wanaona kama wanatoka katika kile wanachokiona
na ‘utumiaji mabavu za utawala katika mkoa kwa kusema: “Kuna
kama ni adhabu ya kusoma na kusimamiwa na walimu wa Xinjiang zitaendelea Misikiti 24,400 mkoani
wao, na sasa watakuwa huru kupumzisha akili zao na na ugaidi’. kutekelezwa.
kufanya mambo mengine wakiwa majumbani mwao. Jibu hilo la Beijing Xinjiang na kwa
linafuatia uvujaji Hata hivyo, taarifa msingi huo ni wastani
Hata hivyo, tunalazimika kuwakumba wanafunzi ya Wizara ya Mambo
hawa na wazazi wao pia, kwamba walimu wamesaidia mkubwa wa nyaraka wa Msikiti mmoja kwa
kulea wakiwa shuleni, wamewafunza mengi ya za siri za serikali ya China haikutaja kila Waislamu 530.”
kitaaluma na kitabia. ya China, ambazo uwepo wa kambi hizo Taarifa hiyo
Lakini katika kipindi hiki cha likizo, ni zamu ya zilichapishwa na za kuwashikilia watu imebaini kuwa,
wazazi kuhakikisha kwamba watoto wao wanabaki Ubia wa Kimataifa kwa nguvu, na ambazo Kamishna Mkuu wa
katika maadili mema na kutotumia likizo zao kufanya wakuu wa China Haki za Binadamu
wa Waandishi Habari wamekuwa wakisisitiza
au kujiingiza katika mambo ya kijinga yenye kuharibu Wapelelezi (ICIJ). katika Umoja wa
mustakabali wao wa baadae. kuwa ni kambi za
Mazoea yanaonyesha kuwa wanafunzi wanaotumia Nyaraka hizo za mafunzo ya kazi za Mataifa amealikwa
muda wao mwingi kujisomea wakati wa likizo na siri zilibaini kuwa utaalamu. kutembelea mkoa wa
kuwasaidia wazazi wao katika majukumu ya nyumbani Waislamu zaidi ya “Tokea mwaka 1990 Xinjiang. (IQNA).
ya kifamilia, hufanya vizuri katika mitihani yao, tofauti
na wanaocheza na kuzurura mitaani.
Lakini tunaamini wapo ambao hutumia muda wa
likizo au kipindi cha kusubiri kujiunga kidato cha Bismillahir Rahmanir Rahiym
kwanza, kwenda kwenye starehe badala ya kujiandaa na Tanzania Islamic Centre
masomo.
Wapo wanafunzi ambao huwaaga wazazi wao Sheikhat Hissa Islamic Seminary
nyumbani kwamba wanakwenda kujifunza masomo ya P. O. Box 90042, Tel: +255222170681,+255713372077
ziada, badala yake wanakwenda ufukweni kucheza au E-mail:sheikhathissa@yahoo.com
kuogelea, wanakwenda kujifunza muziki, wanakwenda KINONDONI - DAR ES SALAAM
kwa marafiki zao kufanya mambo ya kishenzi, wengine
wanajiingiza katika mapenzi nk.
Tunawashauri wazazi kuwa makini na watoto wao
kipinid hiki, wawasimamie na kuwafuatilia kwa karibu. NAFASI ZA MASOMO:
Wazazi watumie likizo hii kuwa karibu na watoto wao na Tunapenda kuwaarifu wazazi, walezi na Waislamu wote kwa
kuwapa nasaha za maisha, wawafunze kazi za nyumbani
kama kupika, kufua ngu, kupiga deki, kunyoosha nguo, ujumla kwamba shule inazo nafasi za masomo kwa madarasa
kuosha vyombo, kupalilia bustani nk. ya Awali/Nursery na Darasa la I hadi la Sita (VI).
Si ufahari kazi hizi akaachiwa Yaya, kwa kuwa
kaajiriwa kwa ajili ya kazi hizo ili watoto wastarehe! Fomu za maombi zinapatikana Shuleni kwa Shs 15,000/=
Tufahamu kwamba watoto hawa baada ya muda, nao Shule ipo Magomeni Mapipa, Makutano ya barabara ya
watapaswa kujitegemea na kuanza maisha yao nje ya Morogoro na Kawawa ulipo Msikiti wa Kichangani
‘nyumbani’ na watapaswa kuwa wajuvi wa kazi hizi
ili kupambana na uvivu wa kijinga na ili maisha yao Ofisi za shule zipo wazi kuanzia saa 1:30 asubuhi hadi saa
yaendelee. 8:30 mchana.
Watumie likizo kuwashawishi watoto wao kujifunza
elimu ya dini zao, watumie likizo kwenda madrasa Gharama zetu ni nafuu sana.
kuongeza elimu ya dini ambayo ndio msingi wa Shule inafanya vizuri kitaaluma ambapo mwaka 2017, 2018
ustaarabu wa maisha hapa duniani na maisha baada
ya kuondoka hapa duniani. Elimu ambayo huwajenga na 2019 wanafunzi wote wa darasa la saba walifanya vizuri
kimaadilina kujengea hali ya kuwa na hofu ya Mwenyezi katika mitihani yao ya Taifa.
Mungu. Mlete mwanao apate “Taaluma na malezi” bora
Si vibaya pia watoto wakatumia fursa hii ya likizo
kuwatembelea ndugu na jamaa zao na kufahamiana Kwa maelezo zaidi piga simu Namba 0713372077 na
zaidi katika familia. 0764156958.
Tutoe tu angalizo kwamba, wakati tunapambana
kutafuta fedha kwa ajili ya kulipa karo kwa watoto wetu Wabillah Tawfiq
Januari 2020, tusisahau na wajibu wetu wa kuwasimamia Mwalimu Mkuu
na kuwaongoza katika njia sahihi kabla ya likizo
kwisha na kurejea masomoni. “Mtoto umleavyo ndivyo
5 RABIUL THAAN 1441, IJUMAA DESEMBA 13-19, 2019 Habari za Kimataifa AN-NUUR

Marekani, Israel na Uingereza zauhujumu Uislamu


U Ni kupitia mitandao ya kijamii Mjomba
CHUNGUZI
uliofanywa
na gazeti la
Guardian la
Uingereza umebaini
wa Bashar
kuwa, makundi yenye
misimamo mikali
al Assad
yanayofadhiliwa na
kuungwa mkono na
kuhukumiwa
Marekani, Israel na
Uingereza yanadhibiti
Ufaransa

R
mitandao ya kijamii
ambayo zinaitumia kwa IFAT Assad,
ajili ya kueneza chuki mjomba wa Rais
wa Syria , Bashar al
na uhasama dhidi ya Assad, kuhukumiwa
Waislamu. nchini Ufaransa kwa
Uchunguzi huo wa makosa ya utakatishaji
gazeti la Guardian fedha.
umesema kuwa, Rifat Assad (82) ambaye
mitandao ya kijamii ya inayotafautiana na siasa kama Meya wa London alikuwa ni makamu wa
za ikulu ya Rais wa Sadiq Khan, Wabunge Rais wa Syria wa zamani,
Facebook na Twitter anashitakiwa kwa kutumia
inazuia na kufunga Marekani, White House. Waislamu wa Congress ya
Ripoti hiyo imesema fedha za taifa la Syria katika
kurasa zinazoandika Marekani Ilhan Omar na njia zisizo sahihi na kuhodhi
habari za kuwaunga makundi yenye misimamo Rashida Tlaib na vilevile biashara ya makazi.
mkono Wapalestina au mikali ya mrengo wa kiongozi wa chama cha Mamlaka za Ufaransa
kupinga jinai na uhalifu kulia, ambayo mengi Labour Uingereza, Jeremy zilianzisha uchunguzi
unaofanywa na Israel. yanafanya harakati katika kuhusiana na shirika la
Ripoti ya gazeti hilo Corbyn.
nchi za Marekani na makazi linalomilikiwa na
la Uingereza imesema Uingereza, yamekuwa Gazeti la Guardian
Rifat Assad mnamo mwaka
kuwa: Kurasa za mitandao yakisambaza jumbe limesisitiza kuwa 2014 .
hiyo zinazowaunga zinazochochea chuki na limewajulisha Mara baada ya matokeo
mkono wanamapambano uadui dhidi ya Waislamu Wakurugenzi wa Mtandao ya uchunguzi kupatikana,
wa Lebanon dhidi ya na wahamiaji wa Kiislamu wa kijamii wa Facebook mamlaka nchini Ufaransa
Israel pia zinafungwa na katika nchi za Ulaya. kuhusu njama na mtandao zimeamua kumfungulia
kuzuiwa. Wanachama wa mashitaka mjomba huyo wa
huo wa siri unaoeneza Assad, ambaye ameyakana
Hivi karibuni pia makundi hayo pia chuki dhidi ya Waislamu,
Facebook ilifunga kurasa mashitaka hayo. Hata
wanasambaza habari na lakini hawajachukua hatua hivyo kutokana na sababu
za watumiaji wake ripoti zinazochafua sura za kiafya mjomba huyo
ambazo zinatoa mitazamo ya wanasiasa Waislamu yoyote. Parstoday.
wa Assad hatahudhuria

Mugabe ameacha dola milioni kumi na mali nyingine


mahakamani.
Mara baada ya mapinduzi
ya mwaka 1980, Rifat Assad,

R
alitupwa uhamishoni na
OBERT Mugabe, Moja ya mali hizo zilizotajwa kwa muda mrefu amekuwa
Rais wa zamani wa za hayati Mugabe ni nyumba akiishi Ulaya.trt.net.tr
Zimbabwe ambaye yake ya kifakhari maarufu kwa
aliaga dunia mwezi jina la "Blue Roof" iliyopo Harare
Septemba mwaka huu, ambako alikuwa akiishi.
ameacha kiasi cha dola Gazeti la Herard limeandika
milioni kumi na baadhi ya kuwa, orodha hiyo iliyotajwa
mali huko Harare, mji mkuu ya mali za Mugabe, hata hivyo
wa nchi hiyo. Hata hivyo haijumuishi mashamba kadhaa
hajaacha tamko lolote kuhusu ambayo yanatajwa kuwa mali
warithi wa mali hizo. yake au biashara ya maziwa
Hayo yameelezwa na ambayo alikuwa akiifanya na
gazeti la serikali la nchi hiyo mkewe Grace au mali nyingine
la Herald. Wazimbabwe kwa zilizoko nje ya Zimbabwe.
miaka kadhaa walikuwa Wakati huo huo Terrence
wakiteta kuhusu kiwango cha HAYATI Robert Mugabe, Hussein, Wakili wa Mugabe
utajiri wa Robert Mugabe, Rais wa zamani wa ameiomba mahakama kuzisajili
huku wengi wakikadiria Zimbabwe. mali za rais huyo wa zamani wa
kwamba Mugabe na familia Zimbabwe, akisema kuwa yeye
yake wamejilimbikizia utajiri akitaka kuandikisha mali za baba
na familia ya Mugabe hawajapata
mkubwa katika muda wote yake. Mali hizo zinajumuisha
waraka wowote ulioachwa
aliokaa madarakani kwa miaka fedha taslim dola milioni kumi
na kiongozi huyo mwasisi wa
37. zilizopo kwenye benki moja
Zimbabwe.
Binti wa Mugabe nchini humo, nyumba nne
Sheria za Zimbabwe zinaeleza
anayefahamika kwa jina la zilizopo Harare, magari kumi,
kuwa mali za mtu anayefariki
Bona Chikowore, mwezi shamba moja, nyumba yake moja
dunia bila ya kuacha wasia Rifat Assad mjomba wa Rais wa
Oktoba aliiandikia barua iliyopo kijijini na bustani ya miti.
wowote hugawiwa mke na watoto Syria
Mahakama Kuu ya Zimbabwe wake.
6 RABIUL THAAN 1441, IJUMAA DESEMBA 13-19, 2019
Habari AN-NUUR

Bangladesh inawanyima elimu watoto wa Kirohingya


S
HIRIKA la kutetea
haki za binadamu
la Human Rights
Watch (HRW)
limesema serikali ya
Bangladesh imewanyima
haki ya kupata elimu
watoto laki nne Waislamu
Warohingya, wanaoishi
kama wakimbizi nchini
humo.
Shirika hilo lenye makao
makuu yake mjini New
York, limesema hayo katika
ripoti yake ya kurasa 81
iliyotolewa Jumanne wiki
iliyopita, yenye anwani
inayosema: Je, sisi sio
Wanadamu?
"Bangladesh imetangaza
wazi kuwa inataka kuupatia
ufumbuzi mgogoro
wa Rohingya, lakini
kuwanyima watoto haki ya
elimu kunawaumiza watoto
hao na kitendo hicho Waislamu wakimbizi wa Rohingya wanaopitia mazito Bangladesh.

Mabadiliko ya tabia nchi yatishia bara la Afrika


kinawazidishia majanga
na machungu wakimbizi
Warohingya." Amesema Bill

A
Van Esveld, Mkurugenzi wa
Haki za Watoto wa Human
Rights Watch. THARI milioni 7 katika mataifa wanakabiliana na hali
Kwa mujibu wa ripoti zinazotokana saba wamelazimika mbaya sana ya kukosa
hiyo, serikali ya Dhaka na mabadiliko kuyahama makazi yao chakula, taarifa hiyo
mbali na kukataa watoto ya tabia nchi kutokana na mabadilko pia ilionya kwamba hali
hao wapewe elimu rasmi, zimeonekana kuliathiri itaendelea kuwa mbaya
pia imeyakataza mashirika ya tabia nchi.
ya kiraia kutumia mtaala zaidi bara la Afrika. Taarifa hiyo pia zaidi.
Shirika lisilokuwa Save the Children,
usio rasmi wa Bangladesh, ilieleza kwamba zaidi ilitoa wito kwa viongozi
kuwapa elimu watoto la kiserikali “Save the ya watu milioni 33
hao wanaoshi kambini Children”, limesema walioshiriki warsha ya
ikisisitiza kuwa, wakimbizi kwamba kutokana na
katika mataifa ya Sudan mabadiliko ya tabia nchi
hao wataondoka nchini na mabadiliko ya tabia nchi Kusini, Zimbabwe, kuchukua hatua kubwa
kurejea makwao ndani ya
duniani, watu zaidi ya Sudan, Somali, Zambiya, zaidi katika kukabiliana na
miaka miwili. Ethiopia, Malawi, Kenya, changamoto za mabadiliko
Mnamo 25 Novemba milioni 33 Mashariki
na Kusini mwa Afrika Msumbiji na Madascar ya tabia nchi.trt.ne.tr.
2018, Bangladesh na
Myanmar zilitiliana saini hawana usalama wa
mapatano ya kuwawezesha chakula.
wakimbizi Waislamu Shirika hilo limetoa
Warohingya kurejea
katika makao yao mkoani taarifa ya maandishi
Rakhine, lakini utawala isemayo kwamba, majanga
wa Myanmar umeweka ya asili yameonyesha
vizingiti katika utekelezwaji kuongezeka katika nchini
wa mapatano hayo. kama Msumbiji, Somalia,
Itakumbukwa kuwa Kenya, Sudan, Malawi,
tarehe 25 Agosti 2017
jeshi la Myanmar kwa Ethiopia na Zimbabwe.
kushirikiana na Mabudha kwa mwaka huu pekee
wenye misimamo ya zaidi ya watu 1,200
kigaidi, lilianzisha mauaji wamepoteza maisha
makali dhidi ya Waislamu kutokana na mafuriko,
wa Rohingya katika mkoa maporomoko ya ardhi,
wa Rakhine, Magharibi
mwa nchi ambapo vimbunga n.k.
zaidi ya Waislamu 6000 Taarifa hiyo pia ilieleza
waliuawa na wengine 8000 kwamba joto Kusini mwa
kujeruhiwa. Afrika limeongezeka
Aidha karibi Waislamu mara mbili ikilinganishwa
milioni moja wa jamii hiyo na wastani wa joto la
walikimbilia nchi jirani
ya Bangladesh ili kuokoa dunia. Kuanzia mwezi
maisha yao.parstoday. Juni 2019 zaidi ya watu HALI ya ukame.
7 RABIUL THAAN 1441, IJUMAA DESEMBA 13-19, 2019 KALAM YA BEN AN-NUUR

Namba 19 katika Qur’an

W
Na Ben Rijal
ASOMI
mara
nyingi
wanapokutana na
nambari hupenda
kuja na uchambuzi,
katika maandiko
mbalimbali wa
taalamu hupenda
kujenga hoja
kwa nambari
kwa nambari Rahim’’ katika harufu inaanza bila ya kalima anajua kosoma
huja na kielelezo za kiarabu ambazo ‘’Bismi LlahiRahman na kuandika isha
kilochokuwa wazi. ndio tunasoma Qur’an Rahim ’’ ila katika kunajitokeza kitu
Husema wataalamu kwa harufu hizo Sura ya 27 Suuratun kama hichi kwenye
maelezo yangu mbali na tafsiri kwa Naml inajitokeza namba 19 hapa ndio
hayatokuwa lugha mbalimbali. mara 2 inapoanza kusema kuwa Allah
ni maelezo tu Walipohesabu harufu Sura na katika aya ya ndio mwenye Qur’an,
(Qualitative) ila ngapi zinapatikana 30 isemayo ‘’ Imetoka
maelezo yangu yaje kamtuma malaika
katika kalima ‘’Bismi kwa Sulaiman nayo Jibril kumteremshia
kufahamika na kuwa Lah Rahman Rahim’’ ni: Kwa jina la
na hoja zilizokamila jawabu ikaja ni 19, Mwenyezi Mungu, Mtume Muhammad
nitafwatanisha na wakazama zaidi Mwingi wa rehema, SAW sio kazi ya
hesabu (Quantitative). kutaka kuona juu Mwenye kurehemu’’ mwanadamu, kazi
Wasomi wetu ya 19, wakahesabu (Suuratun Naml ya mwanadamu
wanapofanya Sura ziliomo 27:30) kupatikana mara nyingi huwa na
tafiti juu ya jambo kwenye Qur’an kuwemo ndani kasoro, saa nyengine
lolote lile hunogea ni 114 ili tuweze ya sura inaifanya kasoro huweza
pale nambari kupata jawabu ya kupatikane ile zikaonekana mara
zikateremshwa. 114 ni kuchukua 19 Sur azote 114 kwa
Kwenye Surat Al- mmoja na mara
ukazidisha 6 inakuwa kuzidisha 19*6=114.
Muddaththir kuna 19*6=114. 19 tukiichunguza nyengine huchjukua
neno 19 limetajwa Aya zote ina mengi tusite muda mrefu kasoro
aya inasema: ‘’ Juu zikihesabiwa kwenye kujitokeza.
yake wapo kumi hapo kwa wiki hii
na tisa.’’ (Surat Qur’an ni 6346 na tuone wiki ijayo Wiki ijayo
Al-Muddaththir ukiizidisha 19 na juu ya nambari nitaendelea
74:30) hii namba 19 334 jawabu inakuwa zinavyojitokeza kuangalia hesabu
ikawashughulisha 19*334=6,436. katika Qur’an. na sayansi ya leo na
hao wajuzi wa Kalima ‘’Bismi Lahi’’ Msomaji unaweza Qur’an imesimama
hesabati wakaanza inajitokeza mara ukauliza hii inaleta vipi. Fwatana na mie
kuangalia 19 ilivyo 114 katika Qur’an hoja gani? Kwa kweli mguu kwa mguu
katika Qur’an. kila inapoanza sura wataalamu hutaka kuyaona yaliomo
Wakaanza na Kalima isipokuwa katika Sura kuonyesha ikiwa kwenye Qur’an na
‘’Bismi Lah Rahman ya 9 Suuratut Tawba Mtume SAW hakuwa maajabu yake.
8 RABIUL THAAN 1441, IJUMAA DESEMBA 13-19, 2019 KALAM YA BEN AN-NUUR

UWANJA WA VIJANA-JIONGEZEE MAARIFA


Tafsiri za Qur’an kwa Kiswahili kupitia mtandao, Jawabu CHEMSHA BONGO : 113
Tarjuma ya Sheikh Ali Muhsin Barwany: iium.edu.
my/deed/quran/swahili/ na somaquran.com 1. Taja aya na sura ifwatayo : "Na mwanaadamu
huomba shari kama vile aombavyo kheri, kwani
mwanaadamu ni mwenye pupa.’’
Jawabu: Sura Al Israai 17:11
2. Taja aya na sura ifwatayo : “Na je! Imekufikia
hadithi ya Musa?’’
Jawabu: Surat Taha 20:9
3. Taja aya na sura ifwatayo : "Na hapana shaka
wataibeba mizigo yao na mizigo mingine pamoja na
mizigo yao. Na kwa yakini wataulizwa Siku ya Kiyama juu
ya waliyo kuwa wakiyazua.’’
Jawabu: Suurat AL An’ANkabut 29:13
4. Taja aya na sura ifwatayo : "Nao husema: Tutapo
kwisha potea chini ya ardhi, ni kweli tutarudishwa katika
umbo jipya? Bali wao wanakanusha kwamba watakutana
na Mola wao Mlezi.’’
JEE UNAJUA? Jawabu: Surat As-Sajdah 32:10
5. Taja aya na sura ifwatayo : "Na hatukuziumba
1. Jee wajua kuwa Mtume Adam (AS) na Mtume Issa mbingu na ardhi na viliomo ndani yao bure. Hiyo ni
(AS) kuja kwao duniani ni kwa miujiza na katika Qur’an, dhana ya walio kufuru. Ole wao walio kufuru kwa Moto
idadi ya kutajwa kwao ni mara 25 kwa kila mmoja wao : utao wapata.’’
http://www.masjidtucson.org/quran/miracle/adam_jesus_
occurrences.html Jawabu: Surat S’aad 38:27
2. Tawala za nchi ya Roma katika majenzi yake 6. Taja jina la Sahaba maarufu alio hajiri hijra mbili na
yaliokuwa na haiba ,ndio iliokuwa kichocheo duniani baadhi ya Waislamu humtaja katika khutba zao za Ijumaa.
kuwa na majengo mazuri ya kila aiana : https:// Jawabu: Syd Othman bin Affan
beebreeders.com/how-roman-architecture-influenced- 7. Kweli Uislamu ni dini ya kale? Ndio, Sio.
modern-architecture Jawabu: Ndio
3. Msikiti ujulikanao kwa jina la Djenné, uliopo nchini 8. Uislamu umesimamishwa kwa njia ya upanga?
Mali uliojengwa katika karne ya 13 ni mmoja wa Sanaa Ndio, Sio.
iliokamilika na yenye kuvutia, jengo zima limejengwa Jawabu : Sio
kwa matufali ya udongo: https://www.creativebloq.com/ 9. Uislamu una Katiba yake? Ndio, Sio.
architecture/famous-buildings-around-world-10121105 Jawabu: Sio
4. Kubat Sahra (Dome of the rock) Msikiti uliojengwa 10. Kalenda ya Hijriyah imeanza rasmi mwaka wa 570,
katika karne ya 7 na Khalifa Abd al-Malik ibn Marwāni,
uliopo Jerusalem nchini Israel ni mmoja katika majengo 622, 632.
yenye haiba kihistoria duniani: https://www.thetravel.com/ Jawabu: 622
grab-the-camera-20-of-the-most-beautiful-buildings-in-the-
world/ CHEMSHA BONGO : 114
5. Mnara Eiffel Tower uliopo nchini Ufaransa ni Mnara
maarufu duniani, ambao watalii wengi hufika kwenda 1. Taja aya na sura ifwatayo : "Na hakika bila
kuutembelea mnara huu ulijengwa katika mwaka wa 1889 : ya shaka wapo walinzi juu yenu,’’
http://social.lifedaily.com/story/the-worlds-most-beautiful- 2. Taja aya na sura ifwatayo : "Na wanapo
buildings-ranked/ somewa Qur'ani hawasujudu?’’
6. Daraja ijulikanayo Seri Wawasan iliopo katika mji 3. Taja aya na sura ifwatayo : "Hakika
wa Putrajaya nchini Malaysia, mmoja ya daraja ziliojengwa tumemuumba mtu katika taabu.’’
kwa ufundi mkubwa na yenye kupendeza machoni:
https://www.architecturaldigest.com/gallery/most- 4. Taja aya na sura ifwatayo : "Hakika wacha
beautiful-bridges-in-the-world Mungu watakuwa na Bustani za neema kwa Mola
7. Daraja ijulikanayo kwa jina la Dragon iliopo katika wao Mlezi.’’
mji wa Da Nang nchini Vietnam, daraja hii imejengwa kwa 5. Taja aya na sura ifwatayo : "Na itakapo
umbo la dragon ni moja ya kivutio kikubwa duniani katika kwisha Sala, tawanyikeni katika nchi mtafute
ya madaraja yaliojengwa na kuwa na mvuto wa hali ya juu: fadhila za Mwenyezi Mungu, na mkumbukeni
https://www.loveexploring.com/gallerylist/65671/29-of-the- Mwenyezi Mungu kwa wingi ili mpate
worlds-most-beautiful-bridges kufanikiwa.’’
8. Unapotembelea nchi ya Hungary fika uione daraja 6. Alipofariki Mtume Muhammad (SAW)
itwayo Liberty. Uzuri wa daraja hii na ufundi uliotumika Sahaba gani ulikuwa umri wake miaka 13 na
unashindwa kusema kweli mwanadamu ameijenga daraja alikuwa kahifadhi hadithi 1,600, taja jina la Sahaba
hii: https://www.mydomaine.com/most-beautiful-bridges-
in-the-world huyo.
9. Mnara Abraj Al-Bait umejengwa nchini Saudi Arabia 7. Akiitwa Abu Masakin, vile vile akiitwa Dhul
ukiwa ni hoteli ipo nji ya Al Qaba. Unapokuwa Makka Janahain, taja jina la Sahaba huyo maarufu.
inakuwa ni sehemu ya kukuongoza kuelekea Msikiti AL 8. Taja jina la Sahaba alipigana vita vya Badr
Haram kwani unaonekana maeneo mengi na ni jengo lenye na Uhud na akamuoa mtoto wa Abu Sufyan na
haiba ya hali ya juu.: https://www.architecturaldigest.com/
gallery/most-beautiful-skyscrapers-world kuuawa katika vita vya Uhud.
10. BURJ KHALIFA ni mnara unaonekana nchini 9. Sahaba gani alipigana vita vyote
DUBAI, UAE ni jengo lilokuwa na urefu wa mita 828 alivyopigana Mtume Muammad (SAW)
na ndio Sanaa maarufu ya kimambo leo hivi duniani. isipokuwa vita vya Badr.
Utapofika Dubai bila ya kuiona Burj Khalifa, itakuwa 10. Sahaba gani wakfu wake bado unaendelea
hujafika Dubai: https://www.beautifullife.info/urban- na kutumika mpaka katika zama zetu hizi?
design/15-beautiful-towers-world/
9 RABIUL THAAN 1441, IJUMAA DESEMBA 13-19, 2019 Jicho Langu na Jamii AN-NUUR

Yanasikitisha, yanakirihisha na yanaudhi

Na Ben Rijal
UTAPOSOMA kichwa
cha maneno cha makala
ya wiki hii utajiuliza ndio
yepi yenye kusikitisha
yakakirihisha na
yakaudhi? Kwa kweli utashtuka kwa kujiuliza na vipando navyo "Hakuna hata siku
katika ulimwengu wetu haya na yale. vimeongezeka, unatarajia mmoja ukaona kuna
huu, ni mengi yaliomo "Unapofika katika taa kuwe na nidhamu ya hali darasa linalotolewa
kwenye kichwa cha za kuongozea barabarani, ya juu katika kuupangilia kwa wenye vyombo
anuwani ya makala haya, hapo utayakuta mambo mji na kujua kuna haja vya moto na waendao
ila tu nitayawacha yalio useme upo kwenye ya kuegeshwa magari kwa miguu, matokeo
mengi, nitaligusia mmoja mbuga ya wanyama, kila pembezoni mwa barabara yake unakuta askari wa
tu, nalo ni balaa iliopo mmoja kati ya wanyama sehemu ambazo hazina barabarani kutegea na
kwa madereva visiwani ajifanyia atakavyo. Taa mashaka, ningewaomba kukamata abiria na huku
Zanzibar. za kuongezea barabarani wapangaji wa miji wafike wafanyakazi wa Manispaa
Balaa hii kwa kweli zimewekwa ili kuweka kisiwa cha Mauritius, wao kutia mavyuma
imezagaa Afrika ya nidhamu na kupunguza wataona vipi mji wao ulio magari kwa kusema
Mashariki nzima, aidha ajali kwa kiasi kikubwa. mdogo walivyouratibu na yameegeshwa kwenye
nathubutu kusema bara la Visiwani Zanzibar na kuuweka kwenye mizani. maeneo ya kutoegesha
Afrika lote hali ndio hii hii nyingi ya nchi za Afrika Huku kwetu umeegesha magari. Katika miaka ya
ila kuna kuzidiyana. huwa ni kinyume, gari katika maeneo yalio 60 tulipokuwa skuli za
Huko nyuma niliwahi inapowashwa taa sio ya kuegesha lakini msingi walikuja askari
kuandika makala nyekundu yenye kuashiria eneo lipo salama, utakuja wa usalama barabarani
isemayo ‘Kikiri kakara kusimama, utakuta alio kukuta umeekewa chuma kutufunza namna
barabarani Zanzibar’ leo nyuma yako anakuja kwa lilokuwa na sura ya mwiba ya kuvuka barabara.
nitakayoyaeleza kwa kiasi kasi nakukupita mbele, kwenye gurudumu, likiwa Nidhamu unapokuwa
fulani yatawiyana na useme taa nyekundu limefungwa kwa kufuli na barabarani, ukiendesha
makala ya ‘Kikiri kakara’. imekuwa kijani kwake. Uje watu wa Manispaa, utoe baskeli, wajibu wako
Nitaanza na nukuu kwenye sehemu ambazo shillingi alfu kumi ikiwa barabarani na vipi wenye
kutoka kwenye ‘Kikiri hakuna taa za kuongozea, faini na kama gari lako magari wanavyotakiwa
kakara barabarani lakini inakujiri usimame, likichukuliwa na watu wayafanye, leo kuna
Zanzibar’, dondoo ambazo hili ndilo utasema jambo wa Manispaa, utatozwa runinga (TV) na kila aina
nitazifwatanisha na la kawaida, atatoka mtu shillingi laki mmoja. ya vyombo vya habari,
takwimu zilizotolewa na nyuma yako mkiwa Tena hayo yanafanywa husikii wala huoni
Mtakwimu Mkuu juu ya mumesimamisha gari pasi kuwa na ustaarabu taaluma hii kutolewa.’’
patashika nguo chanika zenu, akuzingeni kisha huku unasikia matusi Hizo ni katika dondoo
barabarani visiwani. apite kwa kasi huyoo. kutoka kwa wahusika ya makala yangu ambayo
Kutoka dondoo za Mtu huyo hujenga imani useme umetenda tendo la ilikuwa ni refu sasa,
makala ya ‘Kikiri kakara’: kuwa mlio mbele yake sio uhalifu.’’ tuzisikilize takwimu
“Siku hizi unapoendesha madereva mahiri, huu mie Tafshani kubwa ya zilizotolewa katika
gari visiwani unakuwa huita ujinga, upumbavu kutiliwa machuma katika gazeti la kizungu likiwa
upo mashakani, na ubahalula ulitopea na gari, aidha kubebwa gari ni gazeti jipya limeanza
unapoendesha chombo umeshamiri sana katika yako juu juu kwa kuwa kutoka kama mwezi hapa
cha magurdumu mawili barabara za visiwani.’’ umeegesha eti katika visiwani, likiwa ni gazeti
vivyo hivyo, ukenda kwa Hoja hii huwa kila mara maeneo yasiotakiwa la serikali.
miguu mashaka ndipo ninaitoa ninapoelezea hali wakati maeneo hayo Katika mmoja ya
yanapozidi.’’ Hayo ndio ilivyo katika barabara za ni matupu, kama makala yake inaelezea
yaliopo wala hayajajificha, visiwani. yataratibiwa wahusika kwa kichwa cha maneno
ukiwa mwenyeji utakuwa "Idadi ya watu wataendelea kukusanya "Ajali za barabarani
unapambana nayo kila imeongezeka, aidha fedha bila ya kiwewe.
kukicha, ukiwa mgeni Inaendelea Uk. 11
10 RABIUL THAAN 1441, IJUMAA DESEMBA 13-19, 2019 Habari AN-NUUR

Mazungumzo kati ya Marekani na Talibani yaanza


M
AZUNGUMZO
kati ya Marekani
na wanamgambo
wa kundi la Taliban
yaliokuwa yamesitishwa
kwa muda wa miezi
mitatu, yameanza upya
mjini Doha nchini Qatar.
Kulingana na taarifa
iliitolewa na shirika la
habari la Qatar QNA, ili
kuhakikisha utulivu na
amani nchini Afghanistani,
mazungumzo kati
yaTaliban na Marekani
yameanza kwa mara
nyingine.
Qatar imepongezwa
kwa juhudi zake ambazo
zina lengo la amani nchini
Afghanistan. Hakuna
taarifa ilitolewa kuhusu UJUMBE wa Talaban.

WHO: Malaria tishio


muda uliotumiwa kwa
mazungumzo hayo.
Mazungumzo hayo
yamefanyika kati ya
Marekani na Taliban Yaua mtoto mmoja kila dakika mbili

S
ma yalikuwa yakilenga
kuondoa wanajeshi wa HIRIKA la Afya kuwa, kasi ya kupambana huu, kwani unaua mtoto
Duniani (WHO) na ugonjwa huu imepungua mmoja katika kila dakika
Marekani waliopo nchini limesema ugonjwa kwa kiasi cha kutisha, licha mbili."Alisema Pedro
Afghanistani. wa malaria bado ni ya maradhi hayo kuua watu Alonso, mtaalamu wa
Mnamo Septamba mosi, tishio kubwa linalowaathiri zaidi ya 400,000 kila mwaka malaria wa WHO.
askari mmoja wa Marekani mamilioni ya watu kila duniani hususan barani Kwa mujibu wa takwimu
aliuawa na wanamgomzo mwaka duniani kote, Afrika. za Shirika la Afya Duniani,
wa Taliban, jambo ambalo hususan katika nchi za "Kuna haja kwa nchi wanawake milioni 11
lilisababisha Rais wa Afrika. wadhamini na serikali wajawazito katika nchi za
chini ya jangwa la Sahara
Marekani Doanld Trump, WHO imetadharisha katika nchi zilizoathiriwa barani Afrika, walikumbwa
kusitisha mazungumzo na katika ripoti yake ya na malaria kuongeza kasi na malaria mwaka jana, na
Taliban.trt.net.tr Jumatano wiki iliyopita ya kukabiliana na ugonjwa kusababisha watoto 900,000

Rais Ujerumani atembelea Msikiti


wazaliwe wakiwa na uzani
wa chini kupita kiasi na
hivyo kuweka maisha ya

R
watoto hao hatarini.
AIS Frank-Walter ndicho kinachotakikana Steinmeier, watu kadhaa Ripoti hiyo imeeleza
Steinmeier wa Ujerumani. waliandamana wakitoa kuwa, theluthi moja ya
Ujerumani wiki “Kuhusiana na nukta hii, wito wa kuwepo hali ya watoto wadogo katika nchi
iliyopita ametembelea kile kinachojiri hapa ndicho kustahmiliana zaidi na za chini ya jangwa la Sahara
Msikiti katika mji wa tunachotaka; watu wa dini maelewano baina ya watu barani Afrika hadi kufikia
Penzberg na kutoa wito wa mbalimbali wanaishi pamoja wa dini na tamaduni
kuwepo hali ya kuheshimiana na wanaheshimiana. Hivi mwaka jana 2018, walikuwa
mbalimbali. hawalali kwenye vyandarua
baina ya wafuasi wa dini ndivyo watu wa Penzberg Hata hivyo watu
mbalimbali. wanavyoishi.” Alisema Rais vilivyotibiwa.
wanaounga mkono kikundi Hii ni katika hali ambayo,
Steinmeier amesema Frank-Walter Steinmeier akitoa cha mrengo wa kulia
kuheshimiana wafuasi wa dini wito kwa watu wote Ujerumani Septemba mwaka huu,
chenye misimamo mikali wataalamu wa masuala
mbalimbali ni muhimu hasa kuheshimiana. ya kibaguzi, PEGIDA, nao
katika kipindi hiki ‘wakati Rais huyo wa Ujerumani waliandamana siku hiyo ya afya walisema kuwa
tunashuhudia ongezeko la ameipongeza jamii wa japo idadi yao ilikuwa ugonjwa wa malaria
mgawanyiko katika jamii Kiislamu huko Penzberg na ndogo. unaweza kutokomezwa
yetu, ambapo pia kuna chuki pia wakazi wengine wa mji kabisa duniani hadi kufikia
huo kwa kuikumbatia jamii ya Katika miaka ya hivi
kubwa.’ karibuni, Ujerumani mwaka 2050, siku chache
Akizungumza wakati Kiislamu.
Steinmeier alisema mji wa imeshuhudia ongezeko la baada ya Shirika la Afya
alipomtembelea Imamu wa chuki dhidi ya Uislamu Duniani kuchapisha ripoti
Msikiti wa eneo hilo, Sheikh Penzberg unaweza kuwa
mfano wa kuigwa kwa jamii kutokana na propaganda za yake iliyosema kuwa,
Binyamin Idriz, alisema kile vyama vya mrengo wa kulia haiwezekani kutokomeza
kinachojiri huko Penzberg nyingi, hasa katika miji
mikubwa. vyenye chuki kama vile kabisa ugonjwa wa malaria
na hasa katika Msikiti huo, PEGIDA. (IQNA).
Wakati wa safari ya hivi karibuni. Parstoday.
11 RABIUL THAAN 1441, IJUMAA DESEMBA 13-19, 2019 KALAM YA BEN AN-NUUR

Yanasikitisha, yanakirihisha na yanaudhi


Inatoka Uk. 9

zachukua roho za watu


145’’. Hicho kilikuwa
ni kichwa cha maneno
halafu kuna ufupisho upande mmoja (one way).
wa taarifa ulioandikwa Usimame kwenye
kitaalamu kabisa kama sehemu ya kuashiriwa
ifwatavyo : "Idadi ya usimame ambayo haina
ajali zilizotokea visiwani taa za kuongezea, atakuja
kutoka mwezi wa Januari mtu kutoka nyuma yako
hadi Oktoba 2018 ni ajali baada ya kufwata mstari
268 na kutoka Januari na kukuzinga, kisha
hadi Oktoba 2019 ni ajali achomoke mabio kujifanya
255. Watu waliojeruhiwa ana haraka, basi awe alio
kutoka Januari hadi mbele ni mwanamke au
Oktoba 2018 ni watu 408 ana alama ya ‘‘L’’ kuwa ni
na kutoka Januari hadi mwanafunzi hapo mambo
Oktoba 2019 ni watu 255 yatazidi.
walijeruhiwa. Waliofariki Wenye kuendesha
kutokana na ajali za vyombo vya magurudumu
barabarani kutoka mwezi mawili hawa, nao wana
wa Januari hadi Oktoba amabao wameshawashiwa kuja kukutwaza wewe kila aina ya adha ikiwa
2018 ni watu 164 na kutoka taa nyekundu wao uliokuwa umefwata kutofwata sheria, kupasua
mwezi wa Januari hadi wataendelea kupita badala sheria, atakupigia honi bomba za vyombo vyao na
Oktoba 2019 waathirika ya kusimama, utajiuliza umpishe na njia zetu kutoa kelele zisokuwa na
waliofariki kutokana haya ndio yepi. Hapo nyingi ni nyembamba. kifani, utajiuliza kweli upo
na ajali za barabarani ni tena kunatokea vurugu Safari mmoja nikiwa barabarani unakwenda na
watu 145’’ Mjenga hoja kwani walioambiwa katika eneo linaloitwa safari zako au upo kwenye
akamalizia na kutupa simameni wataendelea kwa Haji Tumbo, nimo mji wenye kufwata sheria
takwimu zifwatazo, "kwa na walioambiwa nendeni kwenye sheria, kijana za msituni mwenye nguvu
wastani hufariki watu watakwama pale taa anakuja kutoka upande nje mpishe?
12 kutoakana na ajali za ya kijani itapowaka ya sheria, ilikuwa usiku, Waendesha baskeli
barabarani na majeruhi 20 kuwambia waupande ananiwashia taa nimpishe. hutakiwa wawe na
kwa kila mwezi’’ mwengine piteni, hapo Nikaona huyu kijana hana taa kinapoingia kiza,
Nilipoyasoma hayo tena pataingia kipirtinga uungwana kwahio langu nathubutu kusema
maelezo na hizo takwimu na kikiri kakara ya kikweli lilokuwa rahisi ni kuzima asilimia zaidi ya 90
zilivyomwagwa na kweli, unajiuliza hawa gari moto na kuona wanaendesha baskeli
kumfanya msomaji watu kweli walipewa atafanya nini, kwani huwa wana taa.
mbumbumbu kama leseni na kufahamu hatoweza kupita kutokana Nilipotembelea nchi ya
mie kuweza kuelewa utaratibu wa usalama na hio sehemu kuwa Uganda nilivutiwa sana na
lilokusudiwa, jambo barabarani au wengi wao ndogo, akashuka kwenye waendesha baskeli, mmoja
lilokuja katika akili yangu ni wale mtu wangu huyo gari kuja kunikabili, "mzee kanambia eti usiite baskeli
ni neno ‘msiba’ na msiba mpeni leseni. rudi nyuma nipite’’, hapo inaitwa Punda chuma,
huleta majonzi, haujakuwa Waandeshao pikipiki nikauchukua msemo wa siwezi kulitumia neno hilo
msiba ukawa na furaha. hawa wanaoitwa boda wazee usemao ‘’adabu hata likiidhinishwa.
Kila siku ya Muumba boda hawa ni adhaa na safih, skout’’ adabu ya Kilichonivutia kwa
huwa napata taabu baa, wanakaribia kuwa mfidhuli kaa kimya. wenye baskeli nchini
kuelekea kazini kwa majini watu. Hawajali Akarudi kwenye gari Uganda kila upande wa
kulazimika niendeshe sheria za barabarani, yake na kupiga honi kwa usukani utakuta una taa
gari, hupata maudhi ya pakusimama hawasimami, fujo kabisa, wakaazi wa za pembeni (side mirror),
kila sura nikawa sijui kisha wamekuwa ni wenye sehemu hio wakamjia juu, kisha nyuma ya baskeli
suluhisho nitalipataje au jeuri, nathubutu kusema akajikuta hana la kufanya, utakuta kimurikaji
wapi? asilimia 90 hawajui ikabidi arudi kinyume (reflector), hii huwa ni
Tumeekewa taa za sheria za barabarani. nyume masafa ya kama alama ambayo ina rangi
barabarani zirahisishe Kama watasimamishwa mita 50 sawa na masafa ya inapopiga taa baskeli
kupishana na kuwe na nakupelekwa nusu ya kiwanja cha mpira mng’aro huonyesha kuwa
nidhamu katika barabara panapofanywa mtihani wa na huku anatoa maneno ya kuna chombo mbele yako
zetu na kuepusha ajali, kupasishwa mtu kupewa kifidhuli. ukiwa ni dereva.
nathubutu kunena leseni, watafeli wote na Angefwata sheria Waendesha baskeli
kuwekewa hizo taa za kama kuna watakaofuzu angefika alipotaka kufika wa nchi hio utaamini
barabarani zimejaali watu haitozidi asilimia 5. kwa muda mchache kabisa kuwa kabla ya kuanza
kupandwa na kichaa na Mambo huzidi kwenye bila ya maudhi, njia hio kuendesha baskeli,
kuwa mapunguwani. njia inayotumika ni ya kwa wenye vyombo vya wamepata mafunzo
Taa ya kijani inawaka upande mmoja (one way), magurdumu wawili ndio maalumu ya usalama
kukuashiria sasa unaweza utakuta mtu anatokea wasiojali kabisa, imekuwa barabarani na kupewa
kuendelea na safari upande ambao hatakiwi kama njia ya desturi (two
yako, upande mwengine kuendesha chombo na ways) kumbe ni njia ya Inaendelea Uk. 13
12

 
 

9.
8.
7.
6.
5.
4.
3.
2.
1.

26
11.

28.
27.
25.
24.
23.
22.
21.
18.
17.
16.
15.
14.
13.
12.
10.

Na.
Na.
1.

Lindi

Mara
Geita

Iringa

Tanga
Katavi

Mbeya

Tabora
Rukwa
Pemba
Arusha

Kagera

Mtwara

Singida
Kigoma
bure.
RABIUL THAAN 1441, IJUMAA DESEMBA 13-19, 2019

Ruvuma
Dodoma

Chalinze,
Manyara

Morogoro

Mkuranga)
Bagamoyo)

Shinyanga
Mkoa

Kilimanjaro

(Kibaha Mji,

Mkoa
(Rufiji, Kibiti,
19. Kibaha Vijijini,
Ilala/Kisarawe

Mwanza/Simiyu

20. Pwani ya Kusini


kwa Waratibu

Pwani Kaskazini

Ubungo/Kinondoni
WARATIBU
Pata fomu na nunua

19
Idd Nassor
wa Elimu

Ally Lesso
3. Gharama za EKP ni:

Omar Rajabu

Omar Mugeta

Bilal A. Kiseku

Kisiwa cha Mafia Ibrahim Idrissa


Ally O. Chauka

Mbaraka Stima
JinaJina

Maulid Y. Maulid

Mbaraka Sharifu

Jina
(Zuberi A. Omari)

Ramadhan Chale
Sadam R. Urassa

Ahmad R. Katoba

Ramadhani Ismail
Yahya S. Mtinangi

Mussa Hussein
Khalifa Yazidi Issa

Kizami K. Wasaga
WA ELIMU
KIAMBATISHO

Abdulsabur I. Ismail

Sudi R. Kabogota
Riko H. Mohamed
Suleiman Y. Bulyo
Shamim Kempanju

Ibrahim K. Kunema
Rajabu Ally Ngalongela
H
nafuu kabisa kwa kusoma

la Mratibu
M isto

Temeke/Kigamboni Khamis B. Nyangema


MAKALA

ha tum ria
H ku pa e(s ya

Mohamed Ridhwani Moh’d


ku isto te na .a ku
ke sh .w sh
ku tu ria K lez a ) us
E pe fun y
hakuna walimu, jiunge na EKP.

ku uso wa ka alia hw

wa Mikoa
ki lim wa za a k ka mu ma
la u u na kab nza a Q
M nd am kuw sh m nun we au
K ui iy ri a us ais i ze k kil isa ku ur-
kw uso sl o ha na sh uta a ku sh an
am F ya Mt hw Hi Mu w us 9
u a m ya sh a m fut isl a E hiw 6:1
(s juzi nza a a u ara ku um a Q
t m i ni e
kil ria ja a e am lim a
a l
an dh so e ( u
hu .w) w ili u gu i y ma s.a r-a ku aso juz
fik mo uu a k u u u wa - 5,
sik liz m imu ta nd h in
ia u o j a
pa zi a k ku ku
H tik kif ut m ta za a k . H .w n 9
m w iv ) a 6: kil kwa a s y , h ziw a kum u ng iy y
u o kw tuk
ju ii n an ua os ue fut a an yo lia 1 ele D it up ek Mo ef za Fa a um
a tw ha ze a
s
za z , n - at a la an m ra ku b
ku zuu i ju
m 7 u z ua a j e Mf hic ara a ya i A
ka ll w yw a dh pe u
za i w sh
M a in hap za 5,
uw z u di ka uu ha lim
l i t i y m u tu a a ku in ulu ho sa m
. n a ah ak a y
M fu ka a ja k m yo na sh a
e t 1. luz la aa ua (s.w e n kuw Mt a a a a n
n

Simu
fu ez a m ya um kw m a
k

Simu
lu es a S a k k u (s pas sh ush uku 2. Le o W rifa
at dil ) a k a
1. lu ha
so ab
a
am ila anu um me
f
.a w ak iw m
.
hu u ya ifu zik um Fa e anz ri y kut
2 Le zo
m mo ya an kip ni jua an w a a a bu 3. Ng ng u W U na ifu pa rad
(s a a uf
.a in ku un
3 . N ng hu ja kw m i y en n yw ) h ku k w s 4. Qu uzo o la wa az isl
im am a
am tw tia hi .w a s za
u ad te ab ah ha
k i 5. Fa r-a z M m a ) h yo om

0782 103676
0621 001753
0714 707021
0782 872542
0712 627515
0715 704380
0764 357560
0765 748056
0714 522122
0783 488444
0678 334533
0767 345367
0719 394764
0744 336940
0758 889025
0755 756107
0654 367157
0672 860634
0757 552489
0765 489443
na a a i

0713 992395
0785 252360
0785 186230
0654 723418
0768 948629
0717 194355
0713 523577
0787 137477
4. . Qu guz o l
o a w a ge a s Mo a
kw le h la k as an a k uju ya k
a ja Da arif sa ele sa y kw na 6. Ja mil n n a U aish om un u k ad pas a. kuw
. J Fam r-an za Ma m m ra a el ch eri wa uw sa zw ku a ao ati i y ati zi w i s wa Hi a
as ii y ik a a a . 7. His mii ia y a S isla a y o ku ka a ka wa an
z as vy
a wa k
am il kw k
i n U is

WA MIKOAwafuatao
om ku sa a U at m al ke na Ku to ya a k un mu a M at su m a. o,
is ii y a y a S isla ha
to a a u m ya o
fik la
ia W is
l a
ik ai izo na Far
a s a
hu ria Ki iis na
i
ish ya sla am h l wan ik a d f
ia luu eli ila kut a ili
o
ka kip sh
hu ria K kii nn u M
is ya iis sla ah w
ka
tik ki atu mu
le
ja ha ziw ku dh
m a K m u ad ju
zu kum o li z t i e
ka ng ju a
la m a ii. ya eka mp i y Ui uh u am u w e
ha
K m
an le W ka
a k a a sla ui u 7 u j l u
U uh u u ad ju hi z tik ila Al tia m sha we a am e y
is a zu la u
ch im a
nakala ya juzuu yako  
la isu m u s ik h
ni: ze juz ii. cha a
m h u o. a mf ka Ui sh uu
u a
ya
7
un ul u, tik sla a

H
ka Ui ao uli a mu m 7 za
ni
: ku zo Ja ja

is
tik sla
m na
Da Ma
a m su wa
ii

to
Ja u di ja
a m

ri
m
ra ar
ii

a
ii
Kiislamu kwa Posta (EKP).

sa ifa

ya
H

K
la ya

uh
IS W U

ui
sh
Ju at is

a
TO
(T z u la

U
ol u

is
eo u

la
RI W mu
la
Juzuu Saba (7)

m
az

u
Pi 6
UI Y li) im
S A a
LA KU
za

M H
U U
IS
H
A

Is
la
m
ic
P
ro
p
a
g
a
ti
o
n
C
e
Neema yakujia hadi mlangoni

n
Elimu ya

(i) Kujiunga kwa kujaza fomu. (ii) Kununua Juzuu 7 kwa bei nafuu (iii) Kusoma
Juzuu na kufanya mitihani ya kila Juzuu (iv) Kufanya mtihani wa kuhitimu
2. Kwa wanafunzi wa Sekondari, hakuna tena sababu ya kuhofia kujiandikisha
Sasa unaweza kupata elimu sahihi ya Uislamu kwa wepesi na kwa gharama

kufanya Mtihani wa Taifa wa Dini ya Kiislamu Kidato cha Nne. Hata kama

baada ya kufaulu mitihani ya Juzuu 7. (v) Kupata cheti cha kuhitimu (EKP)

ISLAMIC PROPAGATION CENTRE P.O. Box 55105, Dar es Salaam, Tel: 0784267762, 0755260087 website:www.ipc.or.tz
AN-NUUR

ELIMU YA KIISLAMU KWA POSTA

tr
e
Ujue Uislamu wako kwa njia nyepesi kabisa
13 RABIUL THAAN 1441, IJUMAA DESEMBA 13-19, 2019 KALAM YA BEN AN-NUUR

Yanasikitisha, yanakirihisha na yanaudhi


Inatoka Uk. 11
leseni, waendesha baskeli
Uganda wana nidhamu ya
hali ya juu useme wa nchi
ya Uholanzi au Denmark.
Nchi mbili hizo zina wakaazi
wengi wenye kuendesha
baskeli wakiwa na nidhamu
ya hali ya juu, nayasema
haya sio naropokwa ila
nilibahatika kuyashuhudia
kwa macho yangu
nilipokuwa mtalii katika
nchi hizo.
Waendesha vyombo
vya magurdumu mawili
hutakiwa wavae kofia za
kujikinga na ajali (helmet).
Utakuta mtu anayo kofia
lakini kaifungasha kwenye
chombo chake, hakuivaa ila
ataivaa atapomuona askari
wa usalama barabarani.
Wengine ikifika usiku
pale askari wa usalama
barabarani hawaonekani,
ndipo na yeye huiacha
nyumbani hio kofia ya kinga.
Utajiuliza huyu mtu kaelewa
dhana nzima ya kuvaa kofia
ya kujikinga?
Jengine ambalo silifahamu
liliopo hapa visiwani, dereva
kamuona dereva mwenzie yanakirihisha na yana udhi? ni pahala muwafaka, tulikoharibikiwa ni
kishafanya kosa, hakutakiwa Moja ambalo kama mtu akitaka kujua pale kutokana kuwa tunaenda
atoke yeye, katoka basi litatumika ni kuzitumia nidhamu inapokuwa arijojo mbele hatuangalii nyuma
huyu alio kwenye sheria kamera zilizofungwa katika barabarani. mafanikio na khasara
baada ya kupunguza maeneo mengi tu ya mji Safari mmoja nilikuwa tulizozipata.’’
mwendo kutizama nini wa Unguja. Kutumike namuuliza mmoja aliokaribu Tunahitajia kuangalia
anafanya mwenzake, yeye kuangaliwe kila chombo na mie ambaye ameishi mafanikio ya wazee wetu
atazidisha kasi ya uendeshaji kinachovunja nidhamu, Marekani kwa miongo waliopita, walioyaweza
na huku anapiga honi na ikifika mwisho wa wiki minne hivi sasa, kwanini kuyapata na wakati huo
haitoshia hapo, na matusi waitwe waliovunja nidhamu anapotembelea nyumbani walikuwepo wasomi
anayaporomosha useme na vyombo vyao viziuliwe hataki kuendesha gari? wachache wakati sasa
kala haluli, yupo msalani kwa wiki na iwe hakuna Alinipa jawabu ya mkato
msamaha wa aina yoyote ‘’sitaki kuhatarisha maisha wasomi wamejaa kama pishi
anaviwachi vitu, madereva ya mchele, lakini mambo
wa hapa visiwani matusi ule. Isije ikawa ‘huyo mtoto yangu na ya wengine’’.
ndio kamusi yao. wetu mwachie’ tukifanya Wapo wengi wanapokuja yapo msege mnege.
Vioja vyengine aendeshae hivyo itakuwa ni kutwanga nyumbani hushindwa Kunahitajika sana sana
gari au chombo cha maji kwenye kinu. kuendesha gari kwakuwa kujitathmini na kutafuta njia
magurdumu mawili Yule ambaye alioitwa nidhamu haipo na wao mjarabu za kutuwezesha
kuwa anasema na simu akakaataa wito alioitwa, wanatoka kwenye maeneo
atapokamatwa chombo nidhamu inazingatiwa. kuzipunguza ajali barabarani
ya mkononi, hio haitoshi na mpaka kuziondoa
utamkuta mtu anachati chake kilazwe Polisi Nilipotembelea Mexico
na huku anaendesha kwa mwezi mzima. ambapo nilikuwepo mji na hakuna litaloweza
chombo cha moto, kweli hio Tukijaribu fimbo hio mkuu Mexico City na kutufikisha huko bila ya
inaingia akilini? Ukijiuliza kuwachapa wavunjao Cancun mji wa utalii, kuwa na nidhamu. Nidhamu
kitu gani cha umuhimu sheria itapoonekana nidhamu nilioikuta kwa ni kitu muhimu sana pale
kinachompelekea dereva imeleta tija, hapo tena waendeshaji vyombo vya
kutakuwa ni muhimu moto na wanaotembea nidhamu ikitoweka na
kuhatarisha maisha yake na kila kitu kitakuwa kimo
ya wengine? kuandaliwa kanuni katika barabarani, nilikuwa
Kukiorodheshwa nchi sheria mama ya vyombo naomba nirudi nyumbani kwenye vurugu, kila
duniani ambazo nidhamu ya vya mawasiliano. Lazima nije kumwambia mstahiki penye kufwatwa nidhamu
barabarani haipo, basi hapa kuandaliwe sheria kali ya Meya wa Mji afanye safari utakuta kuna mafanikio
visiwani itashika nambari za kuzima vitendo vilivyo sio yeye na watu wa mipango na maendeleo na kinyume
juu na ikiwa zitachukuliwa stahiki barabarani, ambavyo miji na wapangaji miji na
mwishowe husababisha ajali vijiji, siku zangu 10 nilizokaa chake huwa vurugu.
nchi za visiwa, basi namba Kwa kweli yanasikitisha,
10 za mwanzo Zanzibar kedekede. hapo sijashuhudia ajali.
itakuwemo tu, na iwe Kwanini kisiwa kidogo Walikuwa watu wawili yanakirihisha na yanaudhi
kumetumiwa aina yoyote ile hichi chenye watu milioni wanajadiliana mmoja yaliopo kwenye barabara
ya vigezo kupata wavunjao 1.3 kiwe na vurugu, tena wao akasema, ‘’Twende zetu, wana visiwani jifunzeni
nidhamu barabarani vurugu la kwelikweli mbele na turudi nyuma’’ kwa wenzenu ili mupunguze
visiwani hawatoki, hawatoki. barabarani. Kwenye aliokuwa akimsikiliza ajali barabarani na muwape
Najiuliza mbinu gani visiwa watafiti hupendelea akasema ‘’Tushakwenda utulivu walio barabarani.
itumike kuweza kuyaweka kufanya majaribio, kwani mbele huku nyuma
huwa ni rahisi kuweza tunakuja kutafuta nini’’. Fwatana na mie uone
sawa haya ambayo Jicho Langu na Jamii wiki
yamekuwa yanatendeka kupata matokeo. Hapa Aliotoa hoja akamwambia
yakiwa yanasikitisha, visiwani nitasema ‘’huku kuharibikiwa ijayo litaangalia wapi?
14 RABIUL THAAN 1441, IJUMAA DESEMBA 13-19, 2019 Makala AN-NUUR

Kuwa mwenye kusamehe


Muislamu anatakiwa ajenge (iv) Kujikinga kwa Allah
tabia ya kuwavumilia wengine. (s.w) na uovu wa shetani.
Awe na tabia ya kujihesabu. Pia Mtume (s.a.w) anatupa
Ajione kuwa naye kama mbinu nyingine za kupambana
binadamu wenzake ni mkosaji na hasira katika Hadithi
na angependa asamehewe zifuatazo:
na wale aliowakosea kwa Atiyyah bin Urwah Ba’id(r.a)
makusudi au kwa bahati ameeleza kuwa Mtume wa
mbaya. Allah amesema: “Hakika
Kitendo cha kuwasamehe hasira zinatoka kwa Shetani, na
wale waliokukosea ni Shetani ameumbwa kutokana
kitendo cha ucha Mungu na moto na hakika moto
chenye malipo makubwa huzimishwa na maji.
mbele ya Allah (s.w) kama Kwa hiyo yoyote miongoni
inavyobainishwa katika aya mwenu atakayepandwa na
zifuatazo: hasira, na atawadhe”. (Abu
“Na yaendeeni upesi upesi Daud).
maghufira ya Mola wenu Abu Dharr (r.a) ameeleza
na Pepo (yake) ambayo kuwa Mtume wa Allah
upana wake (tu) ni (sawa amesema: “Wakati wowote
na) mbingu na ardhi. (Pepo)
iliyowekewa wamchao
Tawheed - mmoja wenu atakapopandwa
na hasira akiwa amesimama, na
Mungu. Ambao hutoa katika
(hali ya) wasaa na katika Sekondari akae chini. Kama (kwa kufanya
hivyo) hasira itamtoka ni
(hali ya) dhiki, na wazuiao vyema; lakini kama haitatoka,
ghadhabu na wanasamehe Ee Mola wangu! Nani, katika kufanya matendo ambayo na alale chini”. (Ahmad,
watu na Mwenyezi Mungu waja wako anayeheshimika hugeuka kuwa majuto Tirmidh).
anawapenda wafanyao ihsani.” (mwenye hadhi) zaidi mbele baadaye. Hasira hasara. Kutokana na Hadithi hizi
(3:133-134). yako? (Allah) alimjibu: Kujizuilia na hasira ni kitendo Mtume (s.a.w) anatuelekeza
“Basi vyote hivi mlivyopewa Yule anayesamehe ambapo cha ucha Mungu chenye tupunguze hasira zetu kwa:
ni starehe ya maisha ya ana nguvu au uwezo (wa malipo makubwa mbele ya (i) Kutia udhu.
dunia tu, lakini kilichoko kutosamehe). (Baihaqi). Allah(s.w). Rejea Qur-an (ii) Kukaa chini iwapo
kwa Mwenyezi Mungu ni Hivyo Allah (s.w) anatuusia: (3:133-134) na (42:36-37). tumesimama.
bora na cha kudumu (milele). “Shikamana na kusamehe na Pia ubora wa kujizuilia (iii) Kulala chini.
Watakistahiki wale walioamini amrisha mema na wapuuze na hasira unadhihirika KUWA MWENYE SUBIRA
na wakawa wanamtegemea majahili” (7:199). katika Hadithi zifuatazo: NA UVUMILIVU
Mola wao.“Na wale Kukataa kusamehe baada Abu Hurairah (r.a) Subira ni kitendo cha kuwa
wanaojiepusha na madhambi ya kuombwa msamaha na amesimulia kuwa mtu mmoja na uvumilivu na utulivu baada
makubwa na mambo mabaya, yule aliyekukosea ni jambo alimuomba Mtume (s.a.w): ya kupatwa na matatizo au
ovu. Allah (s.w) hamsamehi “Niwaidhi’. Mtume akasema: misuko suko mbali mbali
na wale ambao wanapokasirika katika maisha ya kila siku.
husamehe. (42:36 - 37). yule asiyesamehe wanadamu Usighadhibike”. Kisha
wenzake. Ukweli ni kwamba akarudia mara nyingi akisema: Muislamu anatakiwa awe
Mwenye kuwasamehe ni mwenye kusubiri baada
wengine husamehewa makosa wanayotukosea wanaadamu Usighadhibike. (Bukhari). ya kupata shida au matatizo
yake na Allah (s.w). “Na wenzetu hata tuyaone ni Abu Hurairah (r.a) ameeleza kama tunavyoamrishwa katika
wasiape wale wenye mwendo makubwa vipi, ni madogo sana kuwa Mtume wa Allah Qur’an: “Enyi mlioamini!
mzuri (waumini) na wenye ukilinganisha na makosa yetu amesema “Mtu mwenye Jisaidieni (katika mambo yenu)
wasaa (katika maisha yao) kwa Allah (s.w). Inakuwaje nguvu si bingwa wa mieleka kwa kusubiri na kuswali. Bila
miongoni mwenu (wasiape sasa tushindwe kusamehe bali mtu mwenye nguvu ni shaka Allah yupo pamoja na
kujizuia) kuwapa walio jamaa haya makosa madogo madogo yule anayejizuilia na hasira”. wanaosubiri” (2:153).
na maskini na waliohama na wakati huo tunatamani (Bukhari na Muslim). “Enyi mlioamini! Subirini na
katika njia ya Mwenyezi kusamehewa milima na milima Ibn Umar amesimulia kuwa washindeni wengine wote kwa
Mungu; na waachilie mbali, ya makosa yetu? Mtume wa Allah amesema: kusubiri na kuweni imara na
(wapuuze yaliyopita). Je, Hivyo, yule anayetaka “Hapana mja aliyemeza mcheni Allah mpate kufaulu”.
nyinyi hampendi Mwenyezi kusamehewa na Allah kidonge kichungu mbele ya (3:200).
Mungu akusameheni? Na (s.w), basi awe mwepesi wa Allah (s.w) kuliko kidonge Suala la kupatwa na
kuwasamehe wanaadamu cha hasira alichokimeza, huku matatizo, misiba na
Mwenyezi Mungu ni Mwingi misukosuko mbali mbali
wa msamaha (na) mwingi wa wenzake. Kuhusu uovu wa akitaraji radhi ya Allah(s.w)”.
kukataa kuwasamehe wale (Ahmad). ni jambo la kawaida katika
Rehema. (24:22). maisha ya hapa duniani.
Naye Mtume (s.a.w) waliokiri makosa yao na Mbinu za kujizuia na hasira Hatuna budi kufahamu
anatufahamisha ubora wa kuomba msamaha, anasema zimebainishwa katika Qur-an kuwa ulimwengu huu
kusamehe katika Hadithi Mtume (s.a.w): kama ifuatavyo: haukukusudiwa na Mola
zifuatazo: Kama mtu, anakiri makosa “Shikamana na kusamehe Muumba uwe Pepo. Bali
‘Uqbah bin Amir (r.a) yake kwa mwingine na na amrisha mema na wapuuze umekusudiwa uwe uwanja
ameeleza kuwa Mtume wa kutaka msamaha, na yule majahili (wajinga). Na wa kumtahini mwanaadamu.
Allah amesema: “Ee ‘Uqbah! akakataa kutoa msamaha, basi kama wasiwasi wa shetani Hivyo viumbe vyote
Je, nikufahamishe juu ya watu hatanyweshwa maji ya kawthar ukikusumbua basi (sema: vilivyomzingira pamoja na
wema kuliko wote katika (huyo aliyekataa, kusamehe). Audhubillah), jikinge kwa matukio na miondoko yote ya
dunia hii na akhera?” Alijibu KUDHIBITI HASIRA Mwenyezi Mungu. Bila shaka maisha viko pale kama vifaa
Ndio, akasema (Mtume): Kujizuia na hasira ni tabia yeye ndiye asikiaye na ajuaye.” vya kumtahini mwanaadamu.
“Utaendeleza uhusiano njema inayoambatana na (7:199-200). Suala la kutahiniwa
mwema na mtu aliyevunja tabia ya kusamehe. Hasira Kutokana na aya hizi mwanadamu limewekwa
uhusiano kati yako na yeye; humpata mtu anapoudhiwa. tunajifunza kuwa mbinu za bayana katika Qur’an:
utampa yule aliyekunyima; Wakati mwingine huja ghafla kujizuilia na hasira ni hizi Kwa hakika tumemuumba
na utamsamehe yule na kumnyima mtu wakati wa zifuatazo: mtu kutokana na mbegu ya
aliyekudhulumu”. (Baihaqi). kufikiri. Hasira zinaongozwa (i) Kushikamana na uhai iliyochanganyika, ili
Abu Hurairah (r.a) ameeleza na shetani, hivyo humnyima kusamehe. tumfanyie mtihani (kwa amri
kuwa Mtume wa Allah mtu nafasi ya kutumia akili, (ii) Kushikamana na zetu na makatazo yetu) kwa
amesema kuwa Mussa (a.s), hekima na busara. kuamrisha mema. hivyo tukamfanya ni Mwenye
mwana wa Imran, aliuliza: Hivyo humpelekea mtu (iii) Kuwapuuza majahili. kusikia (na) mwenye kuona.
15 RABIUL THAAN 1441, IJUMAA DESEMBA 13-19, 2019 Makala AN-NUUR

Maoni ya wanazuoni juu ya talaka


alikuwa amemteuwa mtu
na kumpa madaraka ya
kupanga mahari na kufunga
ndoa kwa niaba yake lakini
baadaye akakana, basi ni
lazima atoe talaka ili moyo
wake (dhamira) uwe safi,
kwa kuwa Allah amesema;
“Ama kaa na mwanamke kwa
Na Bint Ally Ahmed wema au muache kwa wema”

F
Mifano hii inaonyesha kuwa
AKIHI mkubwa wa Maimamu waliamini kuwa
zama hizi, Ayatullah Aya hii ilikuwa ni kanuni ya
Sheikh Husein jumla.
Hilli wa Najaf Iraq, Na iwapo mume hatekelezi
amelijadili suala hili katika jukumu lake la unyumba
tashifu (makala) yake wala hamtaki mke wake,
iitwayo ‘Haki za unyumba’. mahakama ya kidini inapaswa
Huu hapa ni mukhtasari wa kumwita na kumtaka atoe
maoni yake: talaka. Akikataa, mahakama
“Ndoa ni mkataba yenyewe inaweza kutangaza
mtakatifu na wakati huo kuwa ndoa imevunjika.
huo ni aina fulani ya Kama ulivyoona, Aya,
ushirika (ubia) kati ya “Ama kaa naye kwa wema au
watu wawili ambao kila muache kwa wema’ ni kanuni
mmoja anawajibika kwa ambayo Uislamu umeitumia
mwenzake, na ambao kuwajibisha haki za mke. Kwa
utekelezaji wa majukumu mujibu wa kanuni hii na amri
hayo huwasababishia furaha. kali iliyomo katika sentensi
Huu sio mwisho. Kwa kweli, msiwarejeshe ili kuwadhuru’,
mafanikio na furaha ya jamii Uislamu hautaki mwanaume
nzima hutegemea mafanikio
ya uhusiano wao.
Haki kuu za mke ni
Ukumbi wa Wanawake yeyote mwovu kuyatumia
madaraka yake vibaya
na kumbana mwanamke
matunzo, unyumba na kuishi asiolewe na mtu mwingine.
naye kwa wema. Ikiwa mume ya jumla. Mume anapaswa Baadhi ya mafakihi, kwa Mbali na hoja hizo, kuna
ataacha kutekeleza majukumu ama kumrejea mke wake na makosa wamezibana Aya hoja nyingine pia ambazo
yake na pia atakataa kumtaliki kutekeleza majukumu yake hizi. Wana maoni kuwa zinaunga mkono mtazamo
mke wake, je mwanamke kikamilifu au kumwacha zinawahusu wale waume kuwa Aya “Ama kaa naye kwa
afanye nini na amwelekee na kukata uhusiano wa tu, wanaotaka kuzibatilisha wema au muache kwa wema’
vipi mume wake? Hapa kuna unyumba. talaka zao katika kipindi kwa mtazamo wa Uislamu ni
njia mbili. Aidha mamlaka ya Kwa mtazamo wa Uislamu, cha eda. Kwa kusema kweli kanuni ya jumla inayohusu
kisheria ya Kiislamu iingilie hakuna njia ya tatu. Maneno mtazamo huu sio sahihi. haki zote za mke. Kwa
kati na kuitangaza ndoa kuwa ‘Msiwang’ang’anie kwa nguvu Mbali na muktadha wa Aya kadri mtu anavyozitazama
imevunjika au mke naye ili muwatese’ yanakataa njia hizi, Baadhi ya Maimamu pande mbalimbali za kanuni
akatae kutekeleza majukumu (suluhisho) ya tatu mbali maoni yao ni hukumu moja hii, ndivyo anavyozidi
yake. na kuwarejea na kukaa nao kwa moja, wamezitumia Aya kuutambua ubora wa
Njia ya kwanza inaungwa kwa wema au kuwaacha hizi katika hali nyingine pia. mafundisho ya Uislamu.
mkono na Aya hizi za Qur’ani. kwa wema. Kwa maana Wapo wanaosema kuwa “Ama Kaa naye kwa wema
“Talaka inaweza kutolewa ya kijumla zaidi, maneno mume anayeapa kuwa au muache kwa wema’
mara mbili; kisha mwanamke haya yanajumlisha hali zote, hamtaki mke wake na kwa Qur’ani Tukufu inasema;
arejeshwe na kukaa naye kwa kumtesa mwanamke kwa kufuatana na kiapo hicho “Vipi mnaweza kunyang’anya
wema au aachiliwe aende makusudi na kupuuzia haki akajitenga naye, ana njia mahari (mliyowapa) na hali
kwa wema (Suratul Baqarah, na maslahi yake kwa kukataa mbili tu za kufanya baada mmeshaingiliana nao, na
2:229). kumtaliki. ya kipindi cha miezi minne wamechukua kwenu ahadi
Kwa maneno mengine, Aya hizi zinaeleza wazi kuisha. Ama avunje kiapo thabiti (ya kuwalipa mahari
haki ya talaka na kutanguliwa wazi suala la kubatilisha chake na kutoa kafara kwa kamili) (Suratul Nisaa, 4:21).
kwake ni mara mbili tu. Baada talaka na zinaweka wazi tabia yake isiyofaa au mara Wafasiri wa Qur’ani,
ya hapo kuna njia mbili tu kuwa, ubatilishaji wa talaka moja amtaliki mkewe, kwani wanakubali kuwa hapa ‘ahadi
zinazobaki, ama kukaa na unapaswa kufanywa kwa nia Mwenyezi Mungu anasema; thabiti’ inazungumziwa Aya,
mke kwa wema au kumwacha njema ya kutaka kuendelea “Ama mrejeshe na kukaa naye “Ama kaa naye kwa wema
kwa wema. kuishi na mwanamke kwa kwa wema au muache kwa au muache kwa wema’. Hii
Katika Suratul Baqarah wema kama mwenzi maishani wema (Suratul Baqara 2:229). ndio ahadi ambayo Maimamu
tena (2:232), Qur’ani inasema: na sio kwa nia ya kumtesa. Katika tukio jingine wengi waliimaanisha
“Mnapokuwa mmewataliki Lakini kwa upana wake, Aya ambapo mtu mmoja alikuwa walipowataka watu kuikubali
wake zenu, na wamemaliza hizi hazizungumzi suala hili amemteuwa mtu mwingine ahadi ya Allah wakati wa
eda zao, ama kaeni tu. Zinaweka kanuni ya jumla kupanga mahari na kufunga ndoa.
(warejeeni) nao kwa wema kutumika katika haki za mke naye ndoa kwa niaba yake, Katika Hija ya mwisho
au waacheni kwa wema. wakati wote na katika hali lakini baadaye alikana Mtume (SAW) alisema;
Msiwashikilie kwa nguvu ili zote. Kama kanuni ya jumla, kuwa hakuagiza hivyo, “Muogopeni Allah juu
muwatese, hamuwarejei wala mume anapaswa kuchagua Imam mmoja alisema kuwa ya wanawake kwani hiyo
hamuwaachi. moja kati ya njia mbili katika mwanamke angejichagulia ni dhamana ya Allah, na
Kutokana na Aya hizi, maisha yake yote ya ndoa. mume mwingine. Mwanaume mmeruhusiwa kustarehe nao
tunaweza kupata kanuni Hakuna njia ya tatu. huyo atakapojua kuwa kwa neno lake.”
AN-NUUR
16 RABIUL THAAN 1441, IJUMAA DESEMBA 13-19, 2019 AN-NUUR
Gazeti la AN-NUUR sasa linapatikana katika
website www.annuurpapers au kwenye
Mitandao kupitia
mpaper.co.tz, Dondosha na simgazeti.com
Usipitwe na habari na Makala za
uchambuzi kila Ijumaa
katika simu yako
16 RABIUL THAAN 1441, IJUMAA DESEMBA 13-19, 2019 ya mkononi au Kompyuta yako.

Taqwa mfano bora wa kulea yatima nchini


Na Bint Ally Ahmed za kijamii, ikiwemo na
kumdhamini yatima anayeishi
nyumbani na familia yake.
MTUME (S.AW) amesema Alisema utaratibu huo ni
sadaka anayoitoa mtu njia rahisi ya kulea watoto
inasababisha kuzima hasira za
Allah siku ya Kiama. Kwamba yatima majumbani na kuomba
yeyote anayetaka safari yake wanajamii kuungana na taasisi
iwe nyepesi, basi lazima hii kuwalea watoto hao.
ajilazimishe kutoa katika uhai Dkt. Salha alisema huduma
wake. zinazotolewa na TAQWA ni
Lakini pia sadaka inakwenda ukaguzi wa afya kwa watoto
sambamba na kuswali swala yatima, kufuatilia maendeleo
zote tano kwa wakati wake na ya kielimu kwa yatima
kusoma Qur’an japo aya chache anayedhaminiwa pamoja
kwa siku, kwani hayo ni na uratibu wa uwekaji wa
miongoni mwa njia za kusaidia kumbukumbu za mtoto.
kupunguza aina za vikwazo Dkt. Salha aliongeza kuwa
vya kufika kwa Allah.
Somo hilo limetolewa na faida anayoipata mtu kumjali
Ukht. Ubaida, mlezi wa taasisi yatima ni kubwa mbele ya
ya Taqwa katika siku ya Allah, hivyo ni muhimu
kukabidhi vifaa vya shule kwa kila moja kwa nafasi yake
watoto yatima, katika hafla kujitahidi kuhakikisha kuwa
iliyofanyika shule ya msingi anamsaidia yatima japo mmoja
Zanaki Jijini Dar es salaam kwa mwaka, na malipo yako
mwishoni mwa wiki iliyopita. utayakuta mbele ya Allah.
“Safari ya kwenda kwa Allah Akielezea namna ya
ina vikwazo vingi sana, lakini kumsaidia yatima, Dkt. Salha
sadaka inapunguza baadhi alisema unaweza kutoa
ya vikwazo hivyo. Unapotaka 55,000/= kwa mwaka, na hapo
maisha ya akhera yawe mepesi,
jitahidi kuswali swala zote utakuwa umempa huduma
tano kwa wakati wake na sio yatima moja kwa mwaka
kuchelewesha muda wa swala, mzima. Alisema mtu anaweza
kufanya hivyo kurahisisha kuchukua idadi anayoweza
vikwazo vya kwenda barzaki. kutokana na uwezo wake, naye
Kujitahidi kusoma Qur`an kila atahesabika kumlea yatima.
siku japo aya chache, hizo ni Taqwa inawahudumia
miongoni mwa njia za kusaidia watoto yatima kwa chakula
kupunguza aina za vikwazo cha kila mwezi katika familia
vya kukufikisha kwa Allah” 113, imetoa sare za shule kwa
Alifafanua Ukht. Ubaida. watoto yatima 113 pamoja na
Katika hafla hiyo, Ukht. TAASISI ya Taqwa katika siku ya kukabidhi vifaa vya
shule kwa watoto yatima, katika hafla iliyofanyika shule mabegi 113. Vifaa hivyo ni
Ubaida pia aliwataka wazazi
kuwalea watoto wanaoachwa ya msingi Zanaki Jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki kwa mwaka mzima.
na wazazi wao, kwa kuwa iliyopita. Aidha Dkt. Salha alisema
wameachwa na wazazi wao kuwa wamefanya ukaguzi wa
watoto yatima kwa mapenzi na maisha yao. afya kwa watoto pamoja na
hali ya kuwa bado wadogo. huruma, kwakuwa watoto hao Taqwa Ophans Trust
Alisema wazazi wao kukaguliwa maendeleo yao
wanahitaji mapenzi ya ziada Tanzania ni Taasisi ya shuleni, ili kujua watoto hao
wameondoka katika mgongo kutoka kwa wale wanaowalea, wanawake wa Kiislamu
wa ardhi hali ya kuwa bado wana changamoto gani na
ili kuwapunguzia machungu iliyosajiliwa kisheria na kuanza kuzitafutia suluhisho.
walitamani kuwalea watoto ya kuondokewa na wazazi rasmi mwaka 2011. Taasisi
wao katika malezi mazuri, Aidha watoto hao
wao. hiyo inajishughulisha na kusikilizwa usomaji wao
lakini Allah amewapa Hata hivyo Ukht. Ubaida kuwahudumia watoto yatima
jukumu hilo la malezi watu Qur`an kwa Tahfidhi wakati
amewapongeza Taqwa Ophans waishio majumbani. wa kuwakagua elimu yao.
wengine hivyo waliopewa Trust Tanzania, kwa kuchukua Mkurugenzi Mkuu wa
jukumu hilo, wahakikishe Kwa masiliano na TAQWA
jukumu la kuwalea watoto Taqwa, Dkt. Salha Mohammed ili kujua namna ya kutoa
wanawalea watoto hao kwa walioachwa na wazazi wao, Kassim, alisema kuwa
kufuata misingi na taratibu mchango wako kwa ajili ya
kwa kuwahudumia na kuwapa Taqwa imekuwa ikifanya yatima, wasiliana nao kwa
zinazompendeza Allah (S.W). mahitaji ya muhimu katika kazi mbalimbali za huduma
Aliwaasa Waislam kuwalea simu 0658 225 998.

Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 Dar es Salaam.

You might also like