You are on page 1of 1

S.L.

P 25680,
DAR ES SALAAM.

10 . 05. 2022.
MENEJA NHIF,
MKOA WA ILALA,
SLP 7195,
DAR ES SALAAM.

YAH: OMBI LA ASHA HAMADI MWENYE KADI NAMBA 40340047748


KUFANYIWA DIALYSIS KWA MUDA WA WIKI TATU KUANZIA TAREHE 10 – 05 –
2022 MPAKA 30 – 05 -2022.

Rejea Somo hapo juu.

Mtajwa hapo juu ni mama yangu Mzazi ambaye anachangamoto za za figo, kutakiwa kupata
huduma ya Dialysis mara tatu (03) kwa wiki. Huduma hiyo anaipata katika Hospital ya Cardinal
Rugambwa – Ukonga DSM.

Muhusika anatumia majina maawili ; ASHA AHAMADI NTAHONDI na BERA AHAMADI


NTAHONDI ambapo Asha Ahmadi Ntahondi limetumika kwenye Kadi ya NHIF (BIMA) na
Bera Ahamadi Ntahondi limetumika kwenye Kitambulisho cha Utaifa (NIDA). Kupishana huko
kwa majina kunapelekea Mgonjwa kukosa huduma ya kusaini kwa kidole (finger print) kila
wakati anapomaliza kupata huduma ya Dialysis.

Kutokana na changamoto hiyo, Naomba Mgonjwa aendelee kupata huduma ya Dialysis kwa
muda wa wiki tatu kuanzia Tarehe 10 – 05 – 2022 Mpaka 30 – 05 -2022 ili kutoa muda wa
kuweza kufanya marekebisho ya majina katika kadi ya NHIF yenye namba 40340047748 bila
kuathiri matibabu ya mgonjwa.

Niambatanisha barua hii na ya kopi ya hati ya kiapo, kopi ya kadi ya NHIF na Kitambulisho cha
Uraia.

Akutakia utekelezaji mwema wa majukumu yako.


Asante.

…………………….
Bur-han Juma Swalehe
Check Na: 10926633

You might also like