You are on page 1of 3

S/MSINGI KIGOGO,

S.L.P 25,

KIBONDO.

2, JULAI, 2020.

AFISA ELIMU MSINGI,

HALMASHSURI YA WILAYA YA KIBONDO,

S.L.P 43,

KIBONDO.

K.K

AFISA ELIMU KATA,

KATA YA ITABA,

S.L.P 25,

KIBONDO.

YAH: UTAMBULISHO WA NDUGU PROSPER SAMSON MFURUTA.

Shufu mada tajwa hapo juu.

Ofisi ya mwalimu mkuu shule ya msingi Kigogo inamtambulisha ndugu mwenye jina
tajwa hapo juu alikuwa ni mwanafunzi wa shule hii na alihitimu darasa la saba (Elimu
ya Msingi) mnamo mwaka 2008.

Utambulisho huo umetolewa baada ya mtajwa hapo juu kutopata cheti chake mpaka sasa
baada ya kuhitimu.

Aidha namba yake ya usajili ni 2535, hivyo ninaomba apatiwe huduma anazostahili
kupitia utambulisho huu.

Wako katika ujenzi wa Taifa

Philemon H. Mtango

M/MKUU
SHULE YA MSINGI KIGOGO
TAARIFA YA MRADI WA IGA

UTANGULIZI

Kutokana na changamoto zilizojitokeza katika mfumo wa FFARS mwishoni


mwa msimu wa mwaka wa fedha uliopita shule ilishindwa kutumia fedha hizo
kwa kuwa zilikuwa zimeshawekwa kwenye account ya shule Kiasi kilichokuwa
kwenye account ni Tsh 1,500,000/=. Fedha hizi zimefanikiwa kutoka mwezi june
2020.

Changamoto.
Kwa kuwa mradi wa shule ulikuwa ni ununuzi wa karanga za maganda ya
kulimbikiza zoezi hilo limeshindikana kwa sasa kutokana na bei ya karanga za
maganda kuwa Tsh 11,000/= badala ya Tsh 7000 au 6000 katika msimu wa
mavuno.

Mapendekezo
Kamati ya shule inaendelea kufikilia ifanye mradi gani kabla ya msimu
mwingine wa ununuzi wa karanga za maganda, baada ya hapo nitaitarifu ofisi ya
elimu msingi ili fedha isikae bila kuzalisha.

PHILEMON H. MTANGO HERMAN HOFI

MWL MKUU M.E.K


MAPATO, MATUMIZI NA SALIO

MAPATO MATUMINZI SALIO


1,547,000/= 0 1,547,000/=

A. MAFANIKIO, FAIDA, CHANGAMOTO.


i. Mafanikio
Shule ya msingi kigogo imefanikiwa kununua karanga za maganda debe
170@1Tsh 7000 kwa muda mwafaka na kuuza karanga zilizomenywa debe
1
55 4.
ii. Faida.
Karanga za maganda zilikuwa debe 170 baada ya kuzimenya zilipatikana
3 3
debe 55 4 ambapo debe 37 4 ziliuzwa kwa Tsh 28,000/= ikapatikana Tsh
3
1,036,000/= na 4 ikauzwa kwa Tsh 25,000/= jumla 1,061,000/= debe 18
ziliuzwa kwa Tsh 27,000/= sawa na Tsh 486,000/= jumla ya pesa baada ni
Tsh 47,000/=.

iii. Changamoto.
Kutokutabirika kwa soko la karanga kumepelekea kuuza kwa bei ya chini
tofauti na ilivyokuwa imepangwa na zisipo uzwa msimu huu wa kupanda
karanga zitaporomoka bei zaidi.

B.

You might also like