Professional Documents
Culture Documents
CHANGAMOTO ZA WALIMU
MAWASILIANO: Katibu, Ofisi ya Rais, Tume ya Utumishi wa Walimu, Mtaa wa Mtendeni S.L.P 353, DODOMA
Simu: +255 (26) 2322402-4 Barua Pepe: secretary@tsc.go.tz Tovuti: www.tsc.go.tz
S
erikali imejipanga kumaliza kero na Simbachawene (UTUMISHI) kwa nyakati tofauti
malalamiko mbalimbali yanayowakabili wameelekeza watendaji wa Tume ya Utumishi
walimu kwa kuhakikisha kila mwalimu wa Walimu na Maafisa Utumishi wa Halmashauri
anapatiwa haki yake kwa mujibu wa kukusanya taarifa za walimu wote ambao
Sheria, Kanuni na Taratibu za kiutumishi. hawajapandishwa vyeo kwa muda mrefu ili
Miongoni mwa kero kubwa ambazo Serikali waweze kushughulikiwa, kuingiza madai ya
imejipanga kuzimaliza ni kucheleweshwa walimu ya mishahara kwenye Mfumo wa
kupandishwa vyeo, kupandishwa madaraja bila Watumishi (HCMIS) na pamoja na kufuatilia madai
kuzingatia utaratibu kitu kinachosababisha yote ya likizo na uhamisho ili yalipwe.
kutofautiana kwa vyeo kwa walimu wa kundi Ili kufikia azma hiyo, ni lazima watendaji
rika moja (walioanza kazi pamoja na wenye waliopewa dhamana ya kushughulikia masuala
sifa sawa) na kujirudia kwa madaraja (mwalimu hayo kufanya kazi hiyo kwa umaniki na uadilifu ili
kupandishwa cheo katika daraja lile lile alilonalo). kuhakikisha kila mwalimu mwenye changamoto
Malalamiko mengine ni walimu wanaopanda taarifa zake zinafika sehemu husika ili hatua
vyeo pamoja kuidhinishiwa barua za kupanda ziendelee kuchukuliwa.
vyeo kwa tarehe tofauti kwa sababu za kimfumo, Hivyo, ni wito wetu kwa watendaji wa TSC
kucheleweshwa kubadilishiwa cheo baada na Maafisa Utumishi wa Halmashauri kufanya
ya kujiendeleza kielimu pamoja na madai ya kazi hiyo kwa weledi ili kila mwalimu mwenye
malimbikizo ya mishahara, likizo na uhamisho. changamoto aweze kufikiwa na mwisho wa
Serikali kupitia Mawaziri wake, Mhe. Angellah zoezi hilo malalamiko yote ya walimu yawe
Jasmine Kairuki (TAMISEMI) na Mhe. George yamemalizika.
Mwenyekiti KATUNI
BODI YA UHARIRI
Paulina M. Nkwama
Wajumbe
Richard L. Odongo
Revocatus P. Misonge
Mectildis F. Kapinga
Lameck S. Mbeya
Zachary A. Dida
Fatuma I. Muya
Mhariri Mkuu
Gerard J. Chami
Mhariri
Adili J. Mhina
Msanifu Kurasa
Lucas G. Ogunde
Wasiliana nasi kwa Simu: +255 782 366 622 & +255 735-255238 Barua Pepe: secretary@tsc.go.tz
Au fika Ofisi ya Mawasiliano, Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC), Mtaa wa Mtendeni, S.L.P 353, DODOMA.
Tume ya Utumishi wa Walimu Tanzania tumeyautumishiwawalimutanzania
TANGAZO 3
JARIDA
JARIDA LA
LA TUME
TUME YA
YA UTUMISHI
UTUMISHI WA
WA WALIMU TANZANIA (TSC)
WALIMU TANZANIA (TSC) AGOSTI
MEI 2023
2023
HABARI 4
WAZIRI KAIRUKI ATOA MAAGIZO ‘‘Moja ya njia za kutatua
changamoto hizo ni kuwapa
KUMALIZA CHANGAMOTO ZA WALIMU TSC dirisha la kuingia kwenye
Na Mwandishi wetu – Dodoma. utendaji wenu wa kazi ikiwemo mfumo wa HCMIS ili wafanye
W
kutumia lugha za staha kwa utekelezaji wa maagizo ya kutatua
aziri wa Nchi Ofisi walimu pale wanapoleta changamoto za walimu ikiwa ni
ya Rais Tawala changamoto zao,” alisema. pamoja na kuunda kikosi kazi cha
za Mikoa na Kwa upande wake, Naibu kuwasikiliza.
Serikali za Mitaa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Amezitaja changamoto hizo
( Ta m i s e m i ) , TAMISEMI, Dk Charles Msonde ni upandishaji wa madaraja,
Angellah Kairuki amewaagiza alisema katika kutafuta namna kupishana kwa muda wa
maofisa utumishi na Makatibu bora ya kushughulikia na kupandishwa madaraja bila
Wasaidizi wa Tume ya Utumishi kuyapatia ufumbuzi wa kudumu utaratibu na mfumo wa
wa Walimu (TSC), kuhakikisha malalamiko na kero zote za kubadilishwa vyeo/cheo.
wanafuatilia walimu ambao Walimu, mnamo tarehe 21 Juni, Naye Katibu Mtendaji wa
hawajapandishwa vyeo kwa muda 2023 viongozi wa Ofisi ya Rais TSC, Mwl. Paulina Nkwama
mrefu ili waweze kushughulikiwa. TAMISEMI, Ofisi ya Rais UTUMISHI ameishukuru Serikali kwa
Pia, ameagiza kuhakikishwa na Tume ya Utumishi wa Walimu kuendelea kuiwezesha Tume
kuwa madai ya malimbikizo walifanya kikao cha pamoja hiyo kutekeleza majukumu
ya mishahara ya Walimu wote ambacho kilitafuta ufumbuzi yake ya kuwahudumia walimu
yanaingizwa kwenye Mfumo wa wa namna bora ya kutatua ikiwemo ununuzi wa magari 16
Watumishi (HCMIS) na orodha changamtoto za walimu. na kompyuta 159.
iwasilishwe OR-TAMISEMI ikiwa ni
pamoja na kufuatiliwa madai ya
Walimu ya likizo na uhamisho ili
wapate stahiki zao kwa wakati.
Kairuki ametoa maagizo
hayo tarehe 5 Julai, 2023 wakati
akifungua kikao kazi cha Maafisa
wa Tume ya Utumishi wa Waalimu
(TSC) cha Kuwajengea Uwezo
kuhusu Mfumo wa taarifa za
Watumishi (HCMIS) katika ukumbi
wa PSSF jijini Dodoma.
Vilevile, Waziri Kairuki
amewaelekeza watendaji hao
kufanya kazi kwa kushirikiana
na kuacha mivutano wakati
wa kutoa huduma ili walimu
wasipate usumbufu wakati wa
kuhudumiwa.
Kiongozi huyo pia aliwasihi
watendaji hao kuwa na lugha
nzuri na kuacha tabia ya Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
kuwanyanyasa walimu jambo (OR – TAMISEMI) anayeshughulikia elimu, Dkt. Charles Msonde akitoa
ambalo linapunguza morali ya neno la kumkaribusha Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mhe.
kufundisha wanafunzi. Angellah Jasmine Kairuki ili afungue mafunzo ya Mfumo wa Usimamizi
“Naomba muende mkawe wa Taarifa za Watumishi ujulikanao kama Human Capital Management
na mawasiliano mazuri katika Information System (HCMIS) tarehe 05 Julai, 2023 jijini Dodoma.
Katibu wa TSC, Mwl. Paulina Nkwama akitoa neno la utangulizi wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya Mfumo wa
Usimamizi wa Taarifa za Watumishi ujulikanao kama Human Capital Management Information System (ICMIS)
yaliyowahusisha watumishi wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) ngazi ya Wilaya na Maafisa Utumishi kutoka
Halmashauri zote nchini tarehe 05 Julai, 2023 jijini Dodoma.
Washiriki wa mafunzo ya Mfumo wa Usimamizi wa Taarifa zaWatumishi ujulikanao kama Human Capital Management
Information System (HCMIS) yaliyowahusisha watumishi wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) ngazi ya Wilaya na
Maafisa Utumishi kutoka Halmashauri zote nchini tarehe 05 Julai, 2023 jijini Dodoma wakiwa kwenye mafunzo.
Mshiriki wa mafunzo ya Mfumo mpya wa Taarifa za Kiutumishi na Mishahara (HCMIS), Omary Mkuwili akitoa
neno la shukrani kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI, Angellah Kairuki wakati wa kufungua mafunzo ya
HCMIS tarehe 05 Julai, 2023 jijini Dodoma.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR – TAMISEMI), Mhe. Angellah Jasmine
Kairuki (katikati waliokaa) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya washiriki wa mafunzo ya Mfumo wa
Usimamizi wa Taarifa zaWatumishi yaliyowahusisha watumishi wa TSC ngazi ya wilaya na Maafisa Utumishi kutoka
Halmashauri zote nchini tarehe 05 Julai, 2023 jijini Dodoma. Pichani, wa pili kutoka kulia ni Naibu Katibu Mkuu
Ofisi ya Rais TAMISEMI anayeshughulikia elimu, Dkt. Charles Msonde na wa pili kutoka kushoto ni Katibu wa TSC,
Mwl. Paulina Nkwama.
NANENANE 2023
W
aziri wa Nchi Ofisi
ya Rais Tawala
za Mikoa na
Serikali za Mitaa
(OR – TAMISEMI),
Mhe. Angellah Jasmine Kairuki
ameongoza ujumbe wa
wataalamu wa masuala ya elimu
kufanya ziara nchini Singapore
kwa ajili ya kupata uzoefu wa
namna masuala ya utumishi wa
walimu yanavyosimamiwa katika
nchi hiyo.
Ziara hiyo iliyofadhiliwa na
Mradi wa BOOST ilifanyika Julai
24 – 28, 2023 ambapo ilijikita Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
kuangalia namna Tume ya (OR – TAMISEMI), Mhe. Angellah Jasmine Kairuki (kushoto)
Utumishi wa Walimu (TSC) nchini akiwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Elimu wa Singapore, Mhe. Dr.
inavyoweza kufanya maboresho Mohamad Maliki Bin Osman.
kwenye utendaji wake katika
kushughulikia haki na wajibu Rasilimali Watu hufanya tathmini Waziri na ujumbe wake
wa mwalimu kwenye utumishi ya utendaji kazi wa kila mwalimu walitembelea Wizara ya Mambo
wake kwa kujifunza namna nchi ambapo tathmini hiyo inatumika ya Nje na Elimu, Taasisi ya Elimu,
nyingine zinavyotekeleza jukumu kama kigezo cha mwalimu Chuo cha Walimu cha Singapore,
hilo. kupandishwa cheo. Shule ya Msingi Noorthshore na
Sababu nyingine ya kujifunza “Walimu wote wameajiriwa na Shule ya Sekondari Yusof Ishack.
masuala ya usimamizi wa Wizara ya Elimu nchini Singapore Wataalamu walioambatana
walimu katika nchi zingine ni baada ya kumaliza elimu ya na Waziri Kairuki katika ziara
kuhakikisha kada ya ualimu ualimu, kupata mafunzo ya hiyo ni Naibu Katibu Mkuu
nchini inakwenda sambamba miezi sita ya kada ya ualimu na anayeshughulikia elimu OR –
na mabadiliko mbalimbali kufuzu kwa usaili. Pia, Baada ya TAMISEMI, Dkt. Charles Msonde,
yanayotokea ulimwenguni ili miaka mitatu mwalimu anaweza Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais
kuwezesha wanafunzi kupata kuhama na kufanya kazi katika UTUMISHI, Exavier Daudi, Katibu
elimu inayoendana na maendeleo taasisi nyingine na kuendelea wa TSC, Mwl. Paulina Nkwama
ya sayansi na teknolojia. kutambuliwa na Chuo cha na Mkurugenzi wa Idara ya Ajira
“Mwalimu nchini Tanzania Ualimu cha Singapore (Singapore Maadili na Maendeleo ya Walimu
anatakiwa kuwa sehemu ya Teachers’ Academy),” ilieleza TSC, Mwl. Fatuma Muya.
mageuzi ya kimataifa, na sehemu ya taarifa hiyo. Wajumbe wengine
mojawapo ya marekebisho ya Jambo jingine katika usimamizi walioambatana na Waziri Kairuki
kimkakati yanayopendekezwa wa walimu nchini Singapore ni Mratibu wa Mradi wa BOOST
mara kwa mara, ni kuhakikisha ni kuwa Mwalimu ambaye TSC, Mwl. Asha Lubuva, Afisa
walimu wanapangwa na ametiwa hatiani kwa kosa lolote kutoka OR – TAMISEMI, Julius
kusimamiwa ipasavyo,” ilieleza na kufukuzwa utumishi hawezi Nyalus, Afisa kutoka Wizara ya
sehemu ya taarifa ya ziara hiyo. kuajiriwa tena katika Utumishi wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa
Taarifa hiyo iliendelea kufafanua Umma. Pia, kiwango cha elimu Kimataifa, Suleiman Magomba
kuwa miongoni mwa masuala ya kwa Walimu wa ngazi zote, ikiwa pamoja, Mwalimu Mwandamizi
elimu yanavyosimamiwa nchini ni pamoja na elimu ya awali, kutoka Wizara ya Elimu Sayansi
Singapore ni kuwa elimu ya msingi na sekondari ni kuanzia na Teknolojia, Josephat Luoga
msingi na Sekondari inatolewa shahada ya kwanza. pamoja na Afisa kutoka Ubalozi
katika shule za serikali pekee. Kila Wakiwa nchini Singapore, wa Tanzania New Delhi, Fanuel
mwaka Idara ya Usimamizi wa Mathias.
T
imu ya wataalamu wa
elimu imefanya ziara
nchini Kenya kwa lengo
la kujifunza namna nchi
hiyo inavyosimamia
walimu ili kufanya Tume ya
Utumishi wa Walimu (TSC)
kuongeza ufanisi katika kutoa
huduma kwa walimu.
Ziara hiyo iliyofanyika Julai 25
– 29, 2023 iliongozwa na Naibu
Katibu Mkuu kutoka Wizara ya
Elimu, Sayansi na Teknolojia, Dkt.
Franklin Ndyetabula Rwezimula
ambapo wataalamu hao
walitembelea – Tume ya Utumishi
wa Walimu ya Kenya na Wizara Mkuu wa msafara wa timu ya wataalamu wa masuala ya elimu kutoka
ya Utumishi wa Umma, Jinsia na Tanzania waliofanya ziara nchini Kenya tarehe 25 – 29, 2023 ambaye pia ni
Ushirikiano (Idara ya Serikali ya Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Dkt. Franklin
Utumishi wa Umma). Ndyetabula Rwezimula (kushoto) akikabidhi zawadi kwa mwenyeji wake
Wataalamu walioshiriki katika nchini Kenya.
ziara hiyo iliyofadhiliwa na Mradi
wa BOOST ni Mkurugenzi wa TSC walikuwepo Mkurugenzi Maendeleo ya Walimu, Mectildis
Sera na Mipango kutoka Ofisi ya wa Kitengo cha Huduma za Kapinga na Mkuu wa Kitengo cha
Rais Tawala za Mikoa na Serikali Sheria, Wakili Richard Odongo, Mipango Ufuatiliaji na Tathmini,
za Mitaa, John Cheyo, kutoka Mkurugenzi Msaidizi wa Ajira na Evodia Pangani na kutoka Wizara
Mkuu wa Kitengo cha Mipango Ufuatiliaji na Tathmini Mkurugenzi wa Kitengo cha Sheria kutoka TSC, Wakili
kutoka TSC, Evodia Pangani (kushoto) akikabidhi Richard Odongo (kushoto) akipokea zawadi kutoka kwa
zawadi kwa mwenyeji wake wakati wa ziara ya timu ya mwenyeji wake wakati wa ziara ya timu ya wataalamu
wataalamu wa elimu nchini Kenya iliyofanyika tarehe 25 wa elimu nchini Kenya iliyofanyika tarehe 25 – 29 Julai,
– 29 Julai, 2023. 2023.
Picha ya pamoja kati ya timu ya wataalamu wa masuala ya elimu kutoka Tanzania waliofanya ziara nchini Kenya
pamoja na wataalamu wa masuala ya usimamizi wa elimu wa Kenya.
W
ninaomba tuanze na hawa
hao kuwafikia walimu. kwanza tuhakikishe matatizo yao
aziri wa Nchi Ofisi ya “Ninaelewa hali yenu
Rais Menejimenti ya yote ya kiutumishi tumeyamaliza.
ilivyo huko wilayani, ninajua Tutawateua Makatibu Wasaidizi
Utumishi wa Umma changamoto mnazopitia katika
na Utawala Bora ili hivyo viti vyenu mvikalie
kuwafikia walimu. Kuna maeneo sawasawa, tunajua hiki kimekuwa
(OR - UTUMISHI), yetu huko ambayo kuyafikia
Mhe. George Simbachawene kilio cha muda mrefu lakini
inabidi uwe na gazi nzuri kweli sasa tunakwenda kukimaliza.
ameahidi kutatua changamoto kweli, sasa msipokuwa na magari
mbalimbali zinazoikabili Tume Lakini kabla ya kuwateua lazima
mtawafikiaje walimu. Agenda tujiridhishe na kila mmoja wenu
ya Utumishi wa Walimu (TSC) ili hii ninaibeba na nitazungumza
kuongeza ufanishi katika kutoa maana kuna wengine ni wala
na Waziri wa TAMISEMI twende rushwa, wanyanyasaji kwa walimu
huduma kwa walimu. tukamwombe Rais magari 139,
Waziri Simbachawene alitoa na wengine wana tabia ambazo
ninaamini atatupatia,” alisema kiongozi hapaswi kuwa nazo, hao
ahadi hiyo tarehe 6 Julai, 2023 jijini Waziri huyo.
Dodoma wakati akifunga mafunzo hatutawateua,” alisema Waziri
Waziri huyo ameeleza kwamba Simbachawene.
ya Mfumo mpya wa Taarifa za
Kiutumishi na Mishahara (HCMIS) magari hayo yakipatikana sio Kwa upande wake Katibu
yaliyowahusisha watumishi wa kwamba yatawasaidia maafisa wa wa TSC, Mwl. Paulina Nkwama
TSC ngazi ya wilaya na Maafisa TSC peke yao bali pia yatawasaidia kuwa anamshukuru Rais Samia
Utumishi kutoka halmashauri maafisa utumishi kuwafikia Suluhu Hassan kwa kuendelea
zote Tanzania Bara. watumishi ndani ya hamlasahauri kuiwezesha Tume hiyo kwa
Miongoni mwa changamoto zao ambapo wengi wao ni walimu. rasilimali mbalimbali ili iweze
zinazoikabili Tume hiyo ni “Magari haya myatumie Pamoja kutoa huduma bora kwa walimu.
kukosekana kwa vyombo vya na Maafisa utumishi maana nao Mhe.Rais Kwa kuendelea
usafiri (magari) katika ofisi zote hawana magari. Ninyi na Maafisa kuiwezesha tume ya Utumishi
za wilaya, kutokuteuliwa kwa Utumishi ni lazima muende wa walimu kwa kuiongezea
Makatibu wasaidizi wa wilaya, Pamoja na maafisa utumishi rasilimali watu na rasilimali fedha
upungufu wa vitendea kazi vya kutatua changamoto za walimu. na vitu na mafanikio ni pamoja na
ofisi na upungufu wa vyumba vya Kazi yenu mnatakiwa muende kuiwezesha tume Kwa kuiongezea
ofisi. kwenye shule msikilize matatizo bajeti kutoka shilingi bilion14.8
Akizungumzia suala la vyombo ya wamumu sio mwalimu anakuja hadi bilioni 17.2.
vya usafiri, Waziri Simbachawene kuwafwata ofisini,” Aidha ameongeza kuwa
aliahidi watumishi hao Kuhusu vitendea kazi, Waziri wamefanikiwa kuongezewa
atazungumza na Rais Samia huyo alisema atahakikisha kila watumishi kutoka 482 hadi 574
Suluhu Hassan kumuomba ofosi inapata kompyuta mpakato hili limeenda sambamba na
magari 139 kwa ajili ya ofisi zote za ili anapokwenda kwa walimu kuiwezesha tume vitendeakazi.
Baadhi ya washiriki wa mafunzo ya Mfumo mpya wa Taarifa za Kiutumishi na Mishahara (HCMIS) yaliyofanyika
tarehe 4 – 6 Julai, 2023 jijini Dodoma wakiwa katika makundi kwa ajili ya kujifunza mfumo huo.
Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Juma Mkomi (kushoto)
akizungumza jambo na Mkurugenzi wa Idara ya Ajira Maadili na Maendeleo ya Walimu wa TSC, Mwl. Fatuma
Muya wakati wa kufunga mafunzo ya Mfumo mpya wa Taarifa za Kiutumishi na Mishahara (HCMIS) tarehe 6
Julai, 2023 jijini Dodoma.
Mshiriki wa mafunzo ya
Mfumo mpya wa Taarifa
za Kiutumishi na
Mishahara (HCMIS),
Simon Simbujile akitoa
neno la shukrani kwa
Waziri wa Nchi (Ofisi
ya Rais) Menejimenti
ya Utumishi wa Umma,
George Simbachawene
wakati wa kufunga
mafunzo hayo tarehe
6 Julai, 2023 jijini
Dodoma.
Waziri wa Nchi (Ofisi ya Rais) Menejimenti ya Utumishi wa Umma (OR – UTUMISHI), George Simbachawene
(katikati) akiimba wimbo wa Taifa wakati wa kufunga mafunzo ya Mfumo mpya wa Taarifa za Kiutumishi na
Mishahara (HCMIS) tarehe 6 Julai, 2023 jijini Dodoma.Wa Pili kutoka kulia ni Katibu Mkuu OR – UTUMISHI
Juma Mkomi na wa pili kutoka kushoto ni Katibu wa TSC, Mwl. Paulina Nkwama.
Washiriki wa mafunzo ya Mfumo mpya wa Taarifa za Kiutumishi na Mishahara (HCMIS) yaliyofanyika tarehe 4 – 6
Julai, 2023 jijini Dodoma wakisikiliza hotuba ya Waziri wa Nchi (Ofisi ya Rais) Menejimenti ya Utumishi wa Umma,
George Simbachawene wakati wa kufunga mafunzo hayo.
W
baada ya kukosa nyingine kwa kuvifanya kuwa bora Zaidi.
aziri wa Elimu, wanafunzi wanaojiunga na vyuo Akitoa taarifa ya mafunzo
Sayansi na hapa nchini. hayo, Mkurugenzi wa mafunzo ya
Teknolojia, Profesa Alisema Serikali inaendelea na walimu nchini, Huruma Mageni
Adolf Mkenda mchakato wa kuchambua maoni amesema jumla ya Maofisa Elimu
amewatoa hofu ya wadau ambayo yatapitiwa na Kata 2,384 nchini watapewa
walimu ambao tayari wako kamati ya Makatibu Wakuu kabla mafunzo hayo katika vituo viwili
kwenye ajira kuhusu mfumo ya kuwasilishwa kwenye Baraza kimoja kikiwa Mwanza na kingine
mpya wa ajira unaohusisha la Mawaziri ambalo litamshauri Iringa.
wahusika kufanya mitihani kwa Rais kuyaridhia na kuwa toleo la Ametaja kituo cha Mwanza
kuwa hautawagusa wao. 2203 la Sera ya Elimu na mafunzo kinajumuisha maofisa hao
Akizungumza tarehe 4 Julai, ya 2023. 1,175 kutoka mikoa ya Simiyu,
2023 wakati akifungua mafunzo Alisema kupitia sera Shinyanga, Arusha, Manyara,
endelevu ya walimu kazini hiyo, walimu waliopo kazini
Singida, Tabora na Dodoma.
(Mewaka) kwa Maofisa Elimu wataendelezwa kupitia kozi
“Baada ya mafunzo haya
Kata jijini Mwanza, Profesa na mafunzo ya mara kwa mara
Mkenda alisema mfumo huo huku wenye nia ya kujiendeleza kukamilika jumla ya walimu
wa mitihani ya kupima uwezo, wakiwezeshwa kutimiza 45,979 na viongozi wa Elimu
ubora, weledi na ubunifu katika malengo yao, dhumuni kuu ikiwa 3,412 katika Mamlaka za Serikali
ufundishaji utawahusisha ni kufanya fani ya ualimu kuwa za Mitaa pamoja na Maofisa Elimu
walimu wanaoingia katika ajira bora zaidi. Kata 2,730 kutoka halmashauri
mpya na siyo walioko kazini. “Tutawalinda na tutawekeza 184 watakuwa wamejengewa
Waziri Mkenda alitoa ufafanuzi kwa walimu waliopo kazini... ajira uwezo wa kusimamia na
huo kuondoa mkanganyiko na zao zitalindwa,” alisisitiza Profesa kuendesha Mewaka katika shule
hofu miongoni mwa walimu Mkenda. na vituo vya walimu,” amesema.
walioko kazini kuhusu mfumo Akizungunzia uimarishaji Nao Maofisa Elimu Kata
huo ambao ni miongoni mwa wa mafunzo na maendeleo waliohudhuria mafunzo hayo
mapendekezo ya wadau kwenye ya kitaaluma, Waziri Mkenda waliishukuru Serikali kwa kutoa
sera ya elimu unaolenga kurejesha aliwaagiza Maofisa Elimu Kata vishikwambi kwa walimu nchini
hadhi ya taaluma ya ualimu na kusimamia vituo vya walimu na wakisema vitawarahisishia
kuondoa mtazamo wa sasa kuwa kutoa mrejesho wa mara kwa utendaji kazi.
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo
endelevu ya walimu kazini (Mewaka) kwa Maofisa Elimu Kata kutoka mikoa saba jijini Mwanza.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na TEknolojia Prof. James Mdoe, akizungumza wakati wa Mafunzo
kwa Maafisa Elimu Kata yanayotolewa na Wizara hiyo jijini Mwanza.
T
karibuni kuhusu Sheria, Kanuni Wilaya ya Nyasa ambapo Ofisi
ume ya Utumishi wa na Taratibu mbalimbali za ya Mkurugenzi Mtendaji wa
Walimu (TSC) Wilaya kiutumishi ili waweze kutekeleza
ya Nyasa imeendesha majukumu yao kwa ufanisi. Halmashauri hiyo, Mthibiti Ubora
Kikao kazi cha Kikao kazi hicho kilifanyika wa Shule na Chama cha Walimu
kuwajengea uwezo mwishoni mwa Mwezi Julai, 2023 walishiriki.
W
alisema anapokea malalamiko kama hamuwezi kuwahudumia
aziri wa Nchi Ofisi mengi kutoka kwa walimu. watumishi wenzenu muondoke.”
ya Rais Tawala za Alisema baadhi ya walimu “Labda wengine wana
Miko na Serikali pia humtumia ujumbe wa simu madai ya likizo ama uhamisho
za Mitaa(OR Rais, Samia Suluhu Hassan na
wanaenda kwa kamisheni za
– TAMISEMI), kumuandikia barua kulalamikia
Angellah Kairuki, amewataka kadhia hiyo. asilimia kwamba unadai milioni
watendaji wanaoomba fedha “Kuna viongozi wanageuka kadhaa ili uweze kupata ni
walimu ili washughulikie madai kuwa miungu watu, lazima utoe hela, jamani hivi vitu
yao kuacha tabia hiyo mara moja wananyanyasa watumishi, haviwezekani ndugu zangu ni
kwani ni kunyume na maadili wengine kuwatolea lugha lazima vifike mwisho,” alisema.
ya utumishi wa umma na pia zisizo na staha, kuwatukana na Aliongeza kuwa, wapo walimu
inasababisha mwalimu kukosa kuwatisha. Yaani mtu anadai wa ajira mpya ambao walioripoti
haki yake. haki yake halafu anawekewa kazini Juni mwaka huu lakini hadi
Alisema wapo baadhi ya mazingira ya kutoa rushwa. kufikia mwezi Julai walikuwa
watendaji ambao hutoa sharti Vitendo kama hivi havikubaliki, hawajalipwa stahiki zao, aliamuru
la kupewa sehemu ya fedha atakayebainika tutaendelea
maofisa utumishi kuhakikisha
atakazopata mwalimu husika ili kuchukua hatua,” alisema Kairuki.
ayashughulikie madai hayo. Kairuki aliwataka watendaji wanawalipa kwa wakati.
Onyo hilo alilitoa tarehe 05 hao kutimiza wajibu wao kwa Naye Katibu wa TSC, Paulina
Julai, 2023 jijini Dodoma wakati kuzingatia sheria, kanuni na Mkwama aliishukuru Serikali
akifungua mkutano wa maofisa taratibu na waache tabia ya kwa kuahidi kutoa vitendea kazi
utumishi wa halmashauri na kuwanyanyasa walimu. “Hakuna ikiwemo magari 16 na kompyuta
watumishi wa Tume ya Utumishi mtu aliyewalazimisha kufanya 159 kwa watendaji wa Tume hiyo.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR – TAMISEMI), Mhe. Angellah
Jasmine Kairuki (kulia) akiteta jambo na Katibu wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC), Mwl. Paulina
Nkwama wakati wa kufungua mafunzo ya Mfumo wa Usimamizi wa Taarifa za Watumishi yaliyowahusisha
watumishi wa TSC ngazi ya wilaya na Maafisa Utumishi kutoka Halmashauri zote nchini tarehe 05 Julai,
2023 jijini Dodoma.
OFISI YA RAIS
MKATABA WA HUDUMA
KWA MTEJA
JUNI, 2023
JARIDA LA TUME YA UTUMISHI WA WALIMU TANZANIA (TSC) AGOSTI
MEI 20232023
TANGAZO
HUDUMA KWA WATEJA 22
1.0 DIRA, DHIMA NA MAADILI YETU
1.1 Dira
1.2 Dhima
i. Uadilifu
ii. Haki
iii. Usiri
iv. Uwajibikaji
v. Uzingatiaji wa Sheria
vi. Ushirikiano
1
JARIDA LA TUME YA UTUMISHI WA WALIMU TANZANIA (TSC) AGOSTI
MEI 20232023
TANGAZO
HUDUMA KWA WATEJA 23
2.0 MADHUMUNI YA MKATABA
Madhumuni ya Mkataba huu ni kuufahamisha Umma kuhusu huduma na viwango vya
huduma zinazotolewa na Tume. Pia, utasaidia kujenga imani na kuboresha mahusiano kati
ya Tume na wateja wake kwa kuzingatia ubora na viwango vya huduma vinavyotarajiwa
kutoka kwetu, na kuhakikisha kwamba haki za Wateja zinapewa kipaumbele katika huduma
zetu. Aidha, Mkataba huu unalenga kumuwezesha mteja kutoa mrejesho wa malalamiko,
maoni au mapendekezo kutokana na huduma tunazozitoa.
i. Usajili wa Walimu;
ii. Kuthibitisha Walimu Kazini;
iii. Upandishwaji vyeo Walimu;
iv. Maadili na Nidhamu ya Walimu;
v. Vibali vya kustaafu Walimu;
vi. Taarifa mbalimbali za Tume;
vii. Takwimu mbalimbali kuhusu Walimu;
viii. Elimu na Ushauri wa Kitaalamu; na
ix. Huduma Nyinginezo.
i. Tutatoa taarifa za Mirathi kwa Walimu waliofariki kabla ya Julai 1, 2004 ndani
ya siku 14 za kazi baada ya kupokea maombi;
ii. Tutatoa taarifa za Mafao ya kustaafu kwa Walimu waliostaafu kabla ya Julai
1, 2004 ndani ya siku 14 za kazi baada ya kupokea maombi;
iii. Tutatoa taarifa Utekelezaji wa Malalamiko ya walimu ndani ya siku 14 za kazi
baada ya kupokelewa;
iv. Tutatoa taarifa ya Utekelezaji wa Mpango na Bajeti ndani ya siku 15 baada
ya kila robo mwaka;
v. Tutatoa taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya Tume ndani ya siku 15 baada
ya kukamilika kwa robo mwaka;
vi. Tutatoa taarifa Manunuzi ndani ya siku 15 baada ya kukamilika kwa robo
mwaka; na
vii. Tutatoa taarifa za kiutumishi ndani ya siku siku 15 baada ya kukamilika kwa
robo mwaka.
Ili kuweza kuwasiliana nasi unaweza kutumia anuani zilizopo katika Mkataba huu
kwa anuani zifuatazo:-
Makao Makuu
Ofisi ya Rais,
Tume ya Utumishi wa Walimu,
S. L. P 353,
Mtaa wa Mtendeni,
Jengo la LAPF zamani; Ghorofa ya 2 & 3,
41105 DODOMA – TANZANIA.
Simu: +255-262-322-462-4
Barua-pepe: secretary@tsc.go.tz
Tovuti: www.tsc.go.tz
5
W
wote wamepata mishahara ya wa Halmashauri hiyo, Lutengano
alimu wilayani vyeo vipya. Mwalwiba aliwapongeza walimu
B u k o m b e Pongezi hizo zilitolewa tarehe kwa kazi nzuri wanayofanya
wameipongeza 3 Julai, 2023 wakati wa kikao ya kufundisha wanafunzi kitu
Tume ya Utumishi cha TSC na walimu wa Shule za kinachosaidia Wilaya hiyo
wa Walimu (TSC) Msingi Azimio na Ushirombo kuendelea kupiga hatua katika
wilayani hapo kwa kupandisha chapo kiliwahusisha watendaji maendeleo ya elimu.
W
aziri wa Nchi
(Ofisi ya Rais)
Menejimenti
ya Utumishi wa
Umma, George
Simbachawene amewataka
Maafisa utumishi nchini kufanya
kazi kwa weledi na uadilifu na
kuepukana na vitendo vya rushwa
ambavyo vinarudisha nyuma
juhudi za maendeleo nchini.
Simbachawene alisema
hayo tarehe 6 Julai, 2023 wakati Waziri wa Nchi (Ofisi ya Rais) Menejimenti ya Utumishi wa Umma,
akifunga mafunzo kwa watumishi George Simbachawene akiongea na Watumishi wa TSC na maafisa
wa Tume ya Utumishi wa Walimu utumishi kutoka Halmashauri zote nchini wakati akifunga mafunzo
(TSC) na maofisa utumishi wa ya Mfumo mpya wa Taarifa za Kiutumishi na Mishahara (HCMIS)
halmashauri za Tanzania Bara jijini tarehe 6 Julai, 2023 jijini Dodoma.
hapa.
Akizungumza katika mafunzo baadhi ya maofisa utumishi ndio waharibifu,” alisema
hayo yaliyoandaliwa na TSC wanaotaka kupatiwa rushwa Simbachawene na kuwataka
kufundisha jinsi ya kutumia ndipo wapendekeze watumishi wabadilike na wafanye kazi kwa
mfumo mpya wa Taarifa Shirikishi wengine. weledi.
za Kiutumishi na Mishahara “Hamuanzishi mchakato Hata hivyo, alisema maofisa
(HCMIS), Simbachawene alisema kwa sababu rushwa imewajaa. utumishi wanakabiliwa na
baadhi ya maofisa utumishi Nayasema haya mimi ni mbunge changamoto mbalimbali,
wanapokea rushwa kati ya Sh5 miaka 20, ni Waziri niliyepita ikiwamo ya ukosefu usafiri, wakati
milioni hadi Sh10 milioni ili watoe wizara nyingi, wengine mko nao mwingine huchangisha fedha
ukuu wa vitengo na idara. huko, ni jamaa zetu, ni ndugu kutoka kwa watumishi kwa madai
“Kwa maofisa utumishi huko ya kwenda Ofisi ya Rais UTUMISHI
zetu,” alisema.
kuna changamoto, rushwa ni kushughulikia matatizo ya
Hata hivyo, alisema kuanzia
nyingi,” alisema Simbachawene. watumishi wa halmashauri zao.
Alisema ujio wa mfumo huo sasa, wakibaini kuna mtumishi
Katibu Mkuu (Ofisi ya Rais)
utakuwa na taarifa zote na rahisi mwenye sifa lakini hajaanzishiwa
Menejimenti ya Utumishi
kuwabaini maofisa wanaowateua mchakato au kupandishwa cheo, wa Umma na Utawala Bora,
watendaji baada ya kupokea ofisa utumishi wa halmashauri Juma Mkomi alisema kama
rushwa. husika atachukuliwa hatua. itafanyika tathimini ya watumishi
“Wako watumishi huko Alisema kwa wanaofanya kazi wanaopeleka malalamiko kwenye
wilayani, wanatuambia kabisa, halmashauri mchakato mara zote ofisi yake, wengi ni walimu.
pale kwetu siwezi kuteuliwa hata huanzia huko na kwenda Ofisi ya “Ni imani yetu ujio wa
kama nina sifa, labda mniteue Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mfumo huu utatusaidia kutatua
ninyi moja kwa moja. Sasa sisi Mitaa (OR – TAMISEMI). changamoto za walimu. Si kwa
Wizara ya Utumishi hatuteui tu Simbachawene alisema mfumo tu, bali utashi pia,” alisema
watu, kuna mamlaka za ajira, maofisa hao hawafuati utaratibu Mkomi.
lazima zifanye michakato, lakini huo, badala yake wanaficha Mafunzo hayo yalilenga
haifanyiki kwa sababu ya rushwa,” taarifa za watumishi wenye sifa kuwapatia uelewa watumishi
alisema Simbachawene. kwa makusudi ili wawapandishe wa TSC na kuwawezesha kupata
Pia, alisema kuna changamoto waliowapa rushwa. dirisha la kuingia kwenye mfumo
ya watumishi kukaimishwa “Jamani hii nchi tunaiua huo wa taarifa za watumishi wa
madaraka kwa muda mrefu, wenyewe, huko kwenye mitandao Umma kwa ajili ya kushughulikia
hali inayosababishwa na mnatupiga kweli wakati ninyi changamoto za walimu.
Washiriki wa mafunzo ya Mfumo mpya wa Taarifa za Kiutumishi na Mishahara (HCMIS) yaliyofanyika tarehe 4 – 6
Julai, 2023 jijini Dodoma wakisikiliza hotuba ya Waziri wa Nchi (Ofisi ya Rais) Menejimenti ya Utumishi wa Umma,
George Simbachawene wakati wa kufunga mafunzo hayo.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene (katikati
waliokaa) akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa mafunzo ya Mfumo mpya wa Taarifa za Kiutumishi na Mishahara
(HCMIS) wakati wa kufunga mafunzo hayo tarehe 6 Julai, 2023. Pichani, wa pili kutoka kulia ni Katibu Mkuu Ofisi ya
Rais UTUMISHI, Juma Mkomi na wa pili kutoka kushoto ni Katibu wa TSC, Mwl. Paulina Nkwama.
T
ume ya Utumishi wa Walimu (TSC) Wilaya
ya Ngorongoro imefanya ziara katika shule
ya Sekondari ya wasichana Ngorongoro
(Ngorongoro Girls) kwa lengo la kutoa
elimu juu ya Ufafanuzi wa Kanuni za
Maadili na Utendaji kazi katika Utumishi wa Walimu
pamoja na kushughulikia masuala mbalimbali ya
kiutumishi.
S
erikali imejipanga
kumaliza kero na
malalamiko mbalimbali
yanayowakabili walimu
kwa kuhakikisha kila
mwalimu anapatiwa haki yake
kwa mujibu wa Sheria, Kanuni na
Taratibu za kiutumishi.
Miongoni mwa kero kubwa
ambazo serikali imejipanga
kuzimaliza ni kucheleweshwa
kupandishwa vyeo, kupandishwa
madaraja bila kuzingatia
utaratibu jambo linalosababisha
kutofautiana kwa vyeo kwa
walimu wa kundi rika moja
(walioanza kazi pamoja na wenye
sifa sawa) na kujirudia kwa Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR
madaraja (mwalimu kupandishwa – TAMISEMI) anayeshughulikia elimu, Dkt. Charles Msonde akizungumza
cheo katika daraja lile lile na watumishi wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) wakati wa mafunzo
alilonalo). ya Usimamizi wa Mfumo wa Usiamizi wa Taarifa za Watumishi ujulikanao
Malalamiko mengine ni kwama Human Capital Information Management System (HCIMS) tarehe
walimu wanaopanda vyeo 04 Julai, 2023 katika Ukumbi wa Jeshi la Zimamoto jijini Dodoma.
pamoja kuidhinishiwa barua
za kupanda vyeo kwa tarehe
tofauti kwa sababu za kimfumo,
kucheleweshwa kubadilishiwa
cheo baada ya kujiendeleza
kielimu pamoja na madai ya
malimbikizo ya mishahara, likizo
na uhamisho.
Hayo yamebainishwa na
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais
Tawala za Mikoa na Serikali za
Mitaa anayeshughulikia elimu,
Dkt. Charles Msonde tarehe 4
Julai, 2023 wakati akiongea na
watumishi wa Tume ya Utumishi
wa Walimu (TSC) kwenye
mafunzo ya Usimamizi wa
Mfumo wa Usimamizi wa Taarifa
Katibu wa TSC, Mwl. Paulina Nkwama akitoa neno wakati wa mafunzo za Watumishi ujulikanao kwama
ya Usimamizi wa Mfumo wa Usiamizi wa Taarifa za Watumishi ujulikanao Human Capital Management
kwama Human Capital Management Information System (ICMIS) Information System (UCMIS) jijini
yaliyowahusisha watumishi wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) kutoka Dodoma.
wilaya zote za Tanzania Bara yaliyofanyika tarehe 04 Julai, 2023 katika “Kufuatia malalamiko hayo sisi
Ukumbi wa Jeshi la Zimamoto jijini Dodoma. watendaji tuliopewa dhamana ya
Afisa wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) Wilaya ya Butiama, Bi. Regina Donatus Kinabo akitoa
ufafanuzi wa kanuni za maadili na Utendaji kazi katika Utumishi wa Walimu kwa Wakuu wa shule 21 na
Maafisa Elimu kata 18 katika Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Butiama, tarehe 13 Julai, 2023.
W
Umma huku akisema kiu yake ni Katika zoezi hilo la kusikiliza
aziri wa Nchi, kuona watumishi hao wakifurahia malalamiko ya watumishi,
Ofisi ya Rais kuwa Watumishi wa Wananchi. miongini mwa malalamiko
Menejimenti Waziri Simbachawene ametoa yaliyotewa kwa wingi na
ya Utumishi wa kauli hiyo wakati akizungumza watumishi hao ni kuchelewa
Umma na Utawala na Watumishi wa Umma wa kulipwa malimbikizo yao ya
Bora, Mhe. George Simbachawene Halmashauri ya Wilaya ya mishahara, kupandishwa
amewataka viongozi wa ngazi za Mpwapwa mkoani Dodoma, madaraja, kuchelewa kulipwa
Wilaya na Halmashauri zote nchini ambapo amesema yeye kama fedha za uhamisho pamoja na
kujenga utamaduni wa kusikiliza kiongozi anatambua watumishi kubambikiwa mikopo.
Kikao kazi cha Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) Wilaya ya Kakonko na walimu wa kutoka shule za Kata ya
Rugenge kikiwa kinaendelea.
S
Manyoni mkoani Singida, Naibu Aidha ametembelea kujionea
erikali inatarajia kuwalipa katibu mkuu TAMISEMI Dkt. hali ya ujenzi wa vyumba vya
kumaliza changamoto za Charles Msonde amesema serikali madarasa na mabweni shule hiyo
walimu ikiwa ni pamoja inatambua mchango mkubwa ya Secondari Mwanzi ambapo
na kuwalipa stahiki zao. wa walimu katika kutoa elimu ameipongeza kwa kufikia
Akizungumza na bora nchini hivyo malipo yao hatua nzuri sanjari na kutaka
walimu wakuu,waratibu elimu yatalipwa katika mwaka wa fedha kuongeza nguvukazi kwenye
kata na maafisa elimu waliokuwa 2023/2024 unaoanza. ujenzi wa mabweni kutokana
katika mafunzi ya kuwajengea Dkt. Msonde amewataka na umuhimu wa siku chache
uwezo wa matumizi ya vifaa walimu kujituma katika zijazo watakapoanza kupokea
vilivyoboreshwa kupitia mradi kufundisha huku akiwapa moyo wanafunzi.
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR – TAMISEMI) anayeshughulikia elimu,
Dkt. Charles Msonde.