You are on page 1of 2

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Juzi tarehe 18/03/2014 Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba nchini Jaji Jo e!

h "inde #arioba aliwa ili ha kwenye $un%e maalum la Katiba ra imu ya !ili ya Katiba& Toka awa ili he ra imu ile $un%eni' kumekuwa na maombi men%i ana ya kutaka kujua kama m imamo wa ((M juu ya baadhi ya mambo ha a muundo wa Muun%ano bado ni uleule& Kwa ababu ya maombi hayo ((M imeona bora kueleza kwa mara nyin%ine tena m imamo na imani ya ((M juu ya wala zima la Muun%ano na muundo wake& Kim in%i ((M ndio waa i i wa Muun%ano huu wa Tan%anyika na )anzibar& ((M ina ma lahi makubwa na ma!ana na Muun%ano huu kama waa i i !en%ine kuliko taa i i nyin%i ndani na nje ya nchi yetu& $ado ((M inaamini chan%amoto za Muun%ano huu uluhi ho lake io kubadili muundo wa Muun%ano bali ni kuu*anyia mabore ho muundo wa Muun%ano tulionao wa "erikali mbili& +i,yo ba i' ((M bado inaamini muundo bora kwa a a utakaodumi ha Muun%ano wetu ni muundo wa SERIKALI MBILI& Kwa kuwa kazi ya Mhe& #arioba na Tume yake a a imekwi ha ra mi' kui ha kwa kazi yao ni mwanzo wa awamu nyin%ine ya mchakato huu& Mwi ho wa kazi ya Tume io mwi ho wa mjadala juu ya Katiba tuitakayo bali ni mwanzo wa awamu nyin%ine ya mjadala m!ana na mabore ho kama io marekebi ho ya kuondoa ma!un%u*u kwenye ra imu iliyowa ili hwa& Mwanzo wa awamu hii nyin%ine ni *ur a nzuri ya ku!ima kama kweli yaliyomo kwenye ra imu na maelezo ya ziada yaliyotolewa na Jaji #arioba yana aki i maoni ya #atanzania walio wen%i&

((M ina amini awamu mbili zilizobaki kwa kuwa zinahu i ha wawakili hi wa wananchi ku!itia $un%e maalum la Katiba' na hatimaye itawahu i ha wananchi wenyewe moja kwa moja ku!itia kura yao' zitatumika ,izuri kutu!a ni nini ha a matakwa ya #atanzania juu ya Katiba waitakayo na io maoni au matakwa ya wachache& #akati haya yote yakiendelea ((M bado tunaamini Muun%ano huu ni muhimu ukadumi hwa na kuimari hwa& ((M tunaaamini ili Muun%ano huu udumu njia !ekee kwa a a ni ku*anya marekebi ho kwenye Muundo wa "erikali mbili ili ujibu ,izuri zaidi chan%amoto mbalimbali zilizoibuliwa na kukidhi mazin%ira ya a a& Tunawaomba wana ((M na #atanzania kwa ujumla kuwa watuli,u katika ki!indi hiki& -i ,izuri #atanzania tuka,umiliana' tuka hindana kwa hoja tukitan%uliza mbele uzalendo na ma lahi ya kweli ya nchi yetu& K./0M0 (+1M1 (+1 M12.-/0). .metolewa na34

-a!e Mo e -nauye' KATIBU WA HALMASHAURI KUU YA TAIFA ITIKADI NA UENEZI 20/03/2014

You might also like