Telephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: ikulumawasiliano@yahoo.com press@ikulu.o.!" Fax: 255-22-2113425 #$E%&'E(T)% *++&,E, T-E %T.TE -*/%E, #.*. 0*1 9122, '.$ E% %.3..4. Tan"ania. TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Rais Kikwete akusuia kus!ika "!aki te#a Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa anakusudia kurejea darasani kushika tena chaki kwa kuwa mhadhiri kwenye Chuo cha Taifa cha Ulinzi (a!ional 'e5ence ,ollee 6(',7 cha !ar "s #alaam$ Rais Kikwete amelieleza hilo mchana wa leo, %jumaa, Juni &', &'(), wakati ali*otoa Mhadhara 63ec!ure7 kuhusu Usalama wa Taifa 6The %ecuri!y o5 !he (a!ion7 m+ele ya wanafunzi wa Chuo hicho kilichoko Kunduchi, !ar "s salaam$ Rais Kikwete amewaam+ia wanafunzi wa kozi ya *ili ya Chuo hicho kutoka nchini na nchi za jirani za Uganda, Kenya na Rwanda, 8(a9isikia mwenye raha sana kuwe"a kuru:i :arasani ku!oa mha:hara huu. Tukio hili linanikum;usha en"i "anu ka!ika ,huo cha <i9eshi cha 4on:uli 6T4.7. (i ma!ara9io yanu pia kuwa ni!awe"a kuru:i kuwa mha:hiri ka!ika ,huo hiki ;aa:a ya kukamilisha ka"i yanu ya sasa.= Rais Kikwete am+aye alizungumza kwa kiasi cha saa m+ili, alianza mhadhara wake +aada ya ku*ata maelezo kuhusu maendeleo ya Chuo hicho na +aadaye akaji+u maswali ya wanafunzi am+ao walimwuuliza kuhusu mam+o m+ali m+ali yanayohusiana na usalama wa nchi$ -!C kilianzishwa rasmi #e*tem+a &, mwaka &'(& na Chuo hicho kilizinduliwa Rais na Rais Kikwete #e*tem+a (', mwaka huo huo, &'(& wakati ali*otem+elea Chuo hicho kwa mara ya kwanza kufuatia juhudi ku+wa za uongozi wake kuhakikisha kuwa chuo cha namna hiyo na cha aina yake kinaanzishwa nchini$ Rais *ia alifungua kozi ya kwanza ya Chuo hicho$ Kundi la wanafunzi wa kwanza kwenye Chuo hicho lilimaliza mafunzo yake Julai &., mwaka &'(. na sasa chuo hicho kinaendesha kozi ya *ili yenye wanafunzi .'$ Chuo hicho tayari kime*ata usajili kamili wa -"CTA am+ako kina uwezo wa kutoa shahada ya uzamili katika masomo ya Strategic Studies$ I$et%&ewa #a' Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, %KU/U DAR ES SALAAM