S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO. TAREHE 07/05/2014.
[Mikoa ya Dar es salaam, Morogoro, Pwani na Tanga]: [Visiwa vya Unguja na Pemba]:
Hali ya Mawingu, Mvua katika baadhi ya maeneo na vipindi vifupi vya jua
[Mikoa ya Lindi na Mtwara]:
Hali ya Mawingu, Mvua katika maeneo machache na vipindi vifupi vya jua
[Mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na Manyara]: [Mikoa ya Iringa, Mbeya na Njombe]:
Hali ya Mawingu Kiasi, Mvua katika maeneo machache na vipindi vya jua
[Mikoa ya Kigoma, Kagera na Mwanza] [Mikoa ya Shinyanga na Mara]: Hali ya Mawingu Kiasi, mvua na ngurumo katika maeneo machache na vipindi vya jua
[Mikoa ya Dodoma na Singida]:
Hali ya Mawingu Kiasi, Mvua nyepesi katika maeneo machache na vipindi vya jua
[Mikoa ya Tabora, Rukwa na Ruvuma]:
Hali ya Mawingu kiasi na vipindi vya jua. ANGALIZO: 1. VIPINDI VYA MVUA KUBWA VINATARAJIWA KATIKA MAENEO YA MWAMBAO WA PWANI YA KASKAZINI. 2. UPEPO MKALI UNAOFIKIA KM 40 KWA SAA NA MAWIMBI MAKUBWA YANAOFIKIA META 2 UNATARAJIWA KATIKA PWANI YOTE.
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI Kiwango cha juu cha joto Kiwango cha chini cha joto Mawio (Saa) Machweo (Saa) ARUSHA 23C 17C 12:32 12:30 D'SALAAM 30C 24C 12:25 12:15 DODOMA 28C 17C 12:38 12:30 KIGOMA 31C 21C 01:01 12:55 MBEYA 23C 11C 12:50 12:36 MWANZA 29C 17C 12:45 12:45 TABORA 30C 18C 12:49 12:43 TANGA 29C 23C 12:24 12:18 ZANZIBAR 29C 23C 12:25 12:15
Upepo wa Pwani:Unatarajiwa kuvuma kutoka Kusini;kwa kasi ya km 40 kwa saa kwa Pwani yote.
Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi makubwa.
Matazamio kwa siku ya Ijumaa: 09/05/2014: Mabadiliko kidogo