Pale elimu inapokuwa ujinga ulioboreshwa; mlundikano wa vyeti
hutukuzwa na jamii huangamia
Denis Mpagaze Kiongozi Aniceth Mihambo Ngelela, katika kitabu chake kiitwacho, Mwalimu Nyerere: Falsafa na Uhai wa Taifa, uk 38 anasema, Elimu lazima izae matunda katika jamii ndipo iitwe elimu, iwapo haiwezi kuibadilisha jamii na kuitatulia changamoto zake, basi ni ujinga uliobo!eshwa" #abda niongezee tu kwamba kiwango cha juu kabisa cha ujinga ni majungu na si$o maendeleo" %ata &anza 'tone ameimba sana tu kwamba, elimu $a mjinga ni majungu" (wa nini nasema hi)i* +akati sehemu n$ingine duniani wasomi wakitumia muda wao mwingi ku,an$a kazi za kita-ti zinazoendana na elimu zao, kwa .anzania tumekuwa tukishindana kukusan$a mi)$eti tukidhani si,a" /nakuta kijana kasoma )izu!i kabisa shahada $ake $a elimu, sasa badala $a kwenda kuitumikia jamii, utamsikia kashaenda kuchukua shahada $a udhamili 0Mastes 1eg!ee2 tena $a kitu to,auti na alichokisoma kwen$e ile shahada $a kwanza" 3aani mtu hu$ohu$o anataka awe mwalimu, dakta!i, mwanauchumi na mjasiliamali, haiwezekani" /taskia maneno $a kuji,a!iji, kwamba katika dunia hii inabidi ujuwe mambo mengi" %akuna lolote zaidi $a ubabaishaji na wizi mtupu" %ata 4lato 4lato amewahi kusema, mo!e plenti,ul and bette! 5ualit$ o, goods a!e mo!e easil$ p!oduced i, each pe!son does one thing ,o! which he is natu!all$ suited, does it at the !ight time, and is !eleased ,!om ha)ing to do an$ o, the othe!s" .unapoteza muda mwingi kukusan$a )$eti amba)$o )inatutaka tuka,an$e kazi mao-sini, kazi ambazo haziwezi kutatua matatizo $etu $a kila siku zaidi $a kuliibia .ai,a" #eo hii kumkabidhi nchi msomi mwen$e lundo la )$eti pasipo ujuzi ni sawa na kumpa -si bucha" Ndi$o hawa wasomii wa mi)$eti kwa kuungana na matai,a mbalimbali wanain$on$a na kui-lisi nchi kwa kuleta wawekezaji uchwa!a" Ndi$o hawa wasomi mawakili wanaosaidia wizi na uchotwaji wa mali za watanzania" Ni wasomi wa )$eti ndi$o wameshindwa kusimamia ukweli na kupotosha jamii kwa uwoga wao wa kupoteza kiba!ua" %aiwezekani p!o,esa mzima ashindwe kuona tatizo na kuishia kuunga mkono hoja kwa asilimia zote" %aiwezekani" /najua msomi wa )$eti anashangaza sana" 3aani ha$uko hu!u kabisa, na tunaowengi kwelikweli" +anatia hu!uma kwa sababu m,umo huu huandaa wasomi mbumbu" %i)i ka!ibuni limeibuka wimbi la wasomi )ijana wakijihusisha na siasa katika )$ama )$ao kwa kushangilia kila jambo ambalo )iongozi wao wanatenda au kulisema hata kama ni la ho)$o na halina tija" /kiwauliza kwanini* /taskia6 Mkuu tunaandaliwa kushika na,asi za ubunge na udiwani hi)$o kupinga pinga kwingi kunaweza kukukosesha na,asi" #eo ukitaka kutukanwa na hawa )ijana wasomi hebu ja!ibu ukosoe mwenendo wa chama 7ani, utajuta kuzaliwa" Ni umbumbu" Mungu aliumba ubongo uweze kuhoja na si )ingine)$o" 8ijana hawa hawana mawazo bina,si ila wanamisimamo na mitazamo $a )$ama na )iongozi wao" (wao ni ma!u,uku kupinga chama alichopo hata kama kinabo!onga" (wao ukweli hautegemei uhalisia ila unategemea kiongozi kasema nini" 3aani tume!udi kuleeee, kwen$e, zidumu -k!a za mwen$ekiti wa chama na za wengine zidumae" %uu ni upuuzi" 8ijana kosoeni )iongozi wenu kila wanapokosea" (ukosoa ni sehemu $a kubo!esha utendaji" /siogope kukosoa eti kwa kuogopa utakuwa labeled Msaliti" 9amii inawategemea maisha $anawezekana tu hata bila kubebwa na wanasiasa" (ijana msomi kutumiwa kama ka!ani ni ujinga" /kiona wewe ni msomi na bado unategemea kubebwa na wanasiasa uchwa!a, basi ujue wewe ni msomi wa )$eti na huna mchango wowote chan$a katika jamii $ako" 9ohn :" (enned$, !ais wa 3; wa Ma!ekani, aliwahi kusemaLet us think of education as the means of developing our greatest abilities because in each of us there is a private hope and dream which ful!lled can be translated into bene!t for everyone and greater strength for our nation"# .utumie elimu kupambana na ujinga si$o mitihani na mlundikano wa) $eti )isi)$o na tija" Ni aibu kwa ka!ne hii kusinda makanisani na misikitini kuomba m)ua in$eshe wakati tumezungukwa na baha!i, mito na maziwa na mabwawa mengi tu" (wa nini tusitumie elimu badala $a kumsumbua Mungu* <sama &in #aden aliwahi kusema Mungu baada $a kuiumba 1unia, alitu!ithisha kazi hi$o ili tuendelee na uumbaji ndi$o maana akatuumba kwa m,ano wake sasa basi amelaaniwa $e$e asi$emuenzi Mungu kuendeleza uumbaji" %u$u bwana anazungumzia hoja ngumu lakini, inamantiki nzito ndi$o maana waliomuelewa Mungu leo hii wana,an$a maajabu 1uniani kwa ku)umbua )itu mbalimbali" Mkamate sana elimu na wala usimuache aende zake, inathibitisha kazi ali$otuachia Mungu $a kuitawala 1unia hii" %akuwa na maana tuwe na mlundikano wa )$eti kama tuna)$o,an$a sisi" Mungu alimuumba binadamu akiwa na akili za kutosha za kum,an$a atawale mambo $ote $ali$omo 1uniani" 'asa inashangaza pamoja na elimu $etu tunakazana kumuomba Mungu atusaidie badala $a kumuomba atujalie kutumia elimu tuli$ona$o kuweza kujiletea maendeleo" Napenda sana m,umo wa aji!a wa shi!ika la /tangazaji la &&=" %uwezi amini &&= hawahitaji cheti cha aina $o$ote ili wakuajili, unachotakiwa ni kwenda kama uli)$o na kuonsha unaweza ku,an$a nini" #eo hii &&= inapasua mawimbi katika sekta $a haba!i lakini wa,an$akazi wake wengi hawajui hata )$uo )$a undishi wa haba!i )ina,ananaje" 'asa sisi tumeshindwa kutatua matatizo $ana$otusumbua na kuwaachia waganga wa kien$eji" >nahuzunisha" Mganga kutoka 'umbawanga, anaondoa mikosi, na kuleta utaji!i ni matangazo amba$o uta$akuta kila kona $a nchi $etu" Na wateja ni wengi sana, wasomi kwa wasiosoma wamejazana" 3ote ha$a ni kwa sababu tumeta,asi!i elimu kama mlundikano wa )$eti na si utatuzi wa matatizo katika jamii" Mwl N$e!e!e katika kitabu chake, /jamaa ni >mani uk ?@ aliwahi kusema, mambo wana$o,undishwa watoto wa shule za msingi $asipangwe kutokana na mambo ana$o$ataka ku$ajua dakta!i, injinia,mwalimu, mtaalam wa uchumi, au bwana shau!i" +atoto wetu wengi hawata,an$a kazi hizo kamwe" Mzee hapa alikuwa anasisitiza watu wapewe elimu kulingana na uhitaji wa mazingi!a wana$otoka" Ni ngumu kumuelewa" (ulingana na mazingi!a tulika!i!ishwa shai!i len$e kiitikio, (ama mnataka mali, mta$apata shambani" 'asa we endelea kulundika mi)$eti na kupata heshima baa, badala $a kujikita katika kutatua matatizo $ana$oisumbua jamii, utato hesabu" /najua hapo n$uma jamii $etu likuwa na imani kubwa sana kwa msomi kiasi cha kwamba kunawazazi waliuza mashamba na wengine kuingia kwen$e mikopo mikubwa ili kusomesha" Ni bo!a elimu $a mkoloni ili$omuandaa kijana kuikimbia nchi $ake kuliko elimu $etu $a sasa ina$omuandaa kijana kuiibia jamii $ake" >nahuzunisha" /kiangalia o!odha $a ma-sadi, wezi, wala!ushwa na wasaliti wakubwa ni wasomi wen$e mlundikano wa )$eti" 'oma =8 zao" %ebu tuache kuabudu )$eti na tuangalie msomi anaweza kuitumiaje elimu $ake katika kutatua matatizo $ana$otusumbua" Msomi wa )$eti hutumia zaidi mdomo, tumbo, macho, pua, ulimi na sehemu zingine za mwili badala $a akili katika kutatua matatizo $ake" 1i!a $a maendeleo $a .ai,a imetoa jibu ma!idadi kuhusu elimu" >nasema, elimu inapaswa kuchukuliwa kama silaha muhimu katika mkakati wa kubadili -k!a na kujenga tai,a bo!a lilioelimika, lililojizatiti ba!aba!a kwa kuwa na maa!i,a $ana$ohitajika kuweza kukabiliana kwa ushupa)u na we!e)u mkubwa na changamoto za tai,a" (wa hali hi$o,m,umo wa elimu unapaswa kubadilishwa na kubo!eshwa zaidi kwa lengo la kukuza ubuni,u na kutatua matatizo &adala $a kutumia muda mwingi kusoma )itu amba)$o ha)ina uhusiano na maisha $etu $a kila siku hebu tujikite katika uhalisia wa maisha" Mwandishi wa makala hii ni mhadhiri msaidizi na mkuu wa Idara ya mawasiliano na uandishi wa habari Chuo Kikuu Kishiriki cha Mt. Agustino cha Tanzania (SAUT) Songa. Ana!atikana kwa dnis"m!agaz#yahoo.com$ %&'())'*+*