Created on Monday, 07 September 2009 05:13 Hits: 3509 Artist: Jua Cali, Prezzo Nonini & Sylvia Song: Vile Ntafanya Verse 1 (Jua Cali) kwa room yangu nimebandika picha zako kwa ukuta nimepewa madawa kadhaa na mganga za kuvuta hukumbuki juzi kwa saloon ukisukwa nywele zako kwa mfuko kila siku nazinusa nguo ukizianika tu hivi kwa kamba mi nayo kwa nyumba bra yako ilipotea hujui ni wapi mi ndio najifunga hata siwezi kukuambia nini yako jana kwa basi nilikuwa nagusa ndio huyo kwa korna yangu nimekunja uso hata konda haezi nisumbua ile usiku kitu yoyote unafurahi kidogo tu mi naskia kujiua ndio nakuambia Valentine's ikifika sitakununulia maua wee ni manzi yangu wee ntakupatia matunda fungua mdomo usiniulize ka ni tamu wee kula fungua mdomo usiniulize ka ni ngumu wee uma si ubaya utanipandisia kutafuta kwa nyuma vile utashiba jo mi itabidi umenikumbuka Jua Cali lazima jo hii jina utaikumbuka Jua Cali Chorus vile ntafanya (nikikupata) vile ntafanya (nikikuwacha) vile ntafanya (nikikutaka) vile ntafanya (nikikuwaza) vile ntafanya (nikikupata) vile ntafanya (nikikuwacha) vile ntafanya (nikikutaka)
vile ntafanya (nikikuwaza)
Verse 2 (Prezzo) nawapenda wo! nawapenda wo wo... te wakitaka wote watapewa mate kama hautaki sema nikuhande mimi na wewe tutafika mpaka penalty chunga goalie wee kamu zima hiyo ___ kupe tamu tamu ___ tayari kuna rungu na ___ tamu onja sio chungu cheki mazee nilivokuwa m___ ___ tu walahi sio sumu after all, it's good for you niamini because it's true mimi na wewe tu hadi juu mbingu cloud number tisa poa 'tafika tu what, what, poa 'tafika tu cloud number tisa poa 'tafika tu Chorus vile ntafanya (nikikupata) vile ntafanya (nikikuwacha) vile ntafanya (nikikutaka) vile ntafanya (nikikuwaza) vile ntafanya (nikikupata) vile ntafanya (nikikuwacha) vile ntafanya (nikikutaka) vile ntafanya (nikikuwaza) Verse 3 (Nonini) awe mnono au mkonda bado anatoa awe mdogo au Wambui bado ntamwoa napenda ule ana Afro au ___
hata ka umeolewa kumbuka operation fagia
hapa hakuna kitu ka hiyo hapa ni operation ___ una watoi walete wote bado ntawa ___ jogoo ametuna rarua kuku na vifaranga hatutaki zile hazina grip tunataka zile zinabamba ka naongea ma___ funika maskio nabamba nanikikuuliza, nataka ku___ na nikikuonyesha utataka hakuna rules kwa hii game hata kwa kichaka nakutana na wee supermarket hapo hapo nataka bora wee ni manzi mpoa, usiwe kiraka na una kifua ndogo na nyi wa mahaga usijali hizi line niliandika nikiwa mashada sheets zangu ata jo ukizichafua hizo jeans na ngotha jo hutachafua ntakuwa nazipeleka wapi White Maua White Rose White Maua Chorus vile ntafanya (nikikupata) vile ntafanya (nikikuwacha) vile ntafanya (nikikutaka) vile ntafanya (nikikuwaza) vile ntafanya (nikikupata) vile ntafanya (nikikuwacha) vile ntafanya (nikikutaka) vile ntafanya (nikikuwaza)