Professional Documents
Culture Documents
Dar es Salaam
Machi, 2015
SOKO LA HISA LA DAR ES SALAAM
YALIYOMO
KURASA
1.
DIRA
2.
AZMA 4
3. UTANGULIZI
4.
KATIKA UCHUMI
5.
6.
7.
WANACHAMA
8.
9.
10.
11
11.
14
12.
MFUMO WA MNADA
17
13.
17
14.
USIMAMIZI WA SOKO
17
15.
17
16.
17
17.
17
18.
19
18.
22
1.0 DIRA
Kuwa soko endelevu la mitaji ambalo ni injini ya kukuza uchumi wa Tanzania.
2.0 AZMA
Kutoa huduma bora ya soko la mtaji lenye kuwezesha maendeleleo ya uchumi wa nchi na
kuwezesha wananchi kiuchumi.
3.0 UTANGULIZI
Ili kuyaelewa masoko ya mitaji na majukumu yake kwenye uchumi, ni muhimu kuelewa nafasi
ya masoko haya kwenye mfumo mzima wa fedha katika uchumi; muundo wa masoko ya mitaji,
mfumo wa kisheria na namna masoko haya yanavyofanya kazi. Inakubalika kuwa hakuna
uchumi wa kisasa ambao ukajengeka bila ya kuwa na mfumo imara wa fedha. Mfumo imara wa
fedha kwenye uchumi unaweza kufananishwa na mafuta ya kulainisha injini katika gari. Kama
ambavyo injini ya gari huweza kulainishwa na mafuta ili ifanye kazi vizuri, vivyo hivyo mfumo wa
fedha huwezesha uchumi kufanya kazi kwa kukutanisha pande mbili, zile zenye mitaji ya ziada
inayotafuta sehemu za kuwekeza na zenye kuhitaji mitaji hiyo. Pande hizi mbili hukutana kupitia
masoko ya fedha, mitaji huwekezwa na kutoa faida kwa pande husika na hivyo kuwezesha
ufanisi wa matumizi ya mitaji.
4.0
Taarifa hutolewa kwa ngazi mbili, wakati hisa zinatolewa kwa mara ya kwanza
ambapo kampuni inatakiwa kutimiza masharti maalum na wakati ikishaorodheshwa
hutakiwa kufuata masharti ya kudumu ya kutoa taarifa zote muhimu wakati wote
inapokuwa bado imeorodheshwa. Soko la Hisa linakuwa kama kituo cha taarifa kwa
makampuni na wawekezaji.
(iv) Kuwezesha ubinafsishaji na umiliki mpana wa hisa za makampuni
yanayobinafishwa
Soko la Hisa limewezesha ushirikishwaji wa wananchi wengi zaidi katika umiliki
wa yaliyokuwa mashirika ya umma ambayo hisa zake zimeuzwa na Serikali kwa
wananchi kupitia Soko la Hisa.
(v) Huwezesha upatikanaji wa mitaji
Soko la Hisa huwezesha makampuni kuuza hisa na hivyo kuyawezesha kupata mitaji
kwa gharama nafuu. Uzoefu umeonyesha kuwa wawekezaji walio wengi wako tayari
kulipia hisa bei kubwa na kukubali riba ndogo kwa hatifungani pindi makampuni
husika yanapokuwa yamekidhi masharti ya kuingia Soko la Hisa, kuliko hisa na
hatifungani za makampuni mengine ambayo hayafahamiki ama kuorodheshwa
kwenye Soko, ambayo wawekezaji hulipia bei ndogo na wakopeshaji hudai riba
kubwa kutokana na hatari au hasara ya uwekezaji kuwa kubwa kwenye makampuni
hayo.
(vi) Huwezesha kujenga utajiri
Masoko ya mitaji yanatoa faida halisi kubwa kwa wawekezaji kwa sababu hisa kwa
ujumla hufunika mfumuko wa bei na zimeweza kufanya hivyo kwa muda mrefu.
Faida itokanayo na uwekezaji kwenye hisa imekuwa kubwa kuliko mfumuko wa
bei na kumpatia mwekezaji faida inayoweza kufidia kupungua thamani ya fedha,
ikilingwanishwa na amana za mabenki ambazo riba yake ni ndogo kuliko mfumuko
wa bei. Na pia kwa kuwekeza kwenye hisa mitaji hukua baada ya muda tofauti na
kuweka fedha kwenye amana za mabenki.
(vii) Kuchangia kukuza utamaduni wa uwekaji akiba
Soko la Hisa lilipoanzishwa miaka tisa iliyopita, sio Watanzania wengi waliokuwa
wanajua kuhusu masoko ya hisa. Kwa sasa, wengi wameshaelewa na wana shiriki
kwenye masoko hayo. Ushiriki wao umewezeshwa na Soko la Hisa kutoa maelezo
na elimu kwa umma kuhusu masoko ya mitaji. Lengo la Soko la Hisa ni kuendelea
kutoa elimu kwa umma ili Watanzania wengi zaidi washiriki kwenye masoko ya hisa
na umiliki wa hisa kama njia mojawapo ya kujiwekea akiba.
7.0
Wanachama wa Soko la Hisa la Dar es Salaam wamegawanyika kwenye mafungu makuu mawili:
Madalali; na
Wanachama washiriki.
Madalali:
Hawa ni wanachama walioruhusiwa kushiriki kwenye minada ya Soko la Hisa inayofanyika kila
siku za Jumatatu hadi Ijumaa. Madalali wanashiriki kwenye Soko la Hisa kwa kuuza na kununua
hisa kwa niaba ya wateja wao au kwa ajili yao wenyewe.
Wanachama washiriki:
Hawa siyo madalali, lakini wana maslahi na kukua kwa masoko ya mitaji hapa Tanzania.
Wanachama hawa ni pamoja na kampuni zilizoorodheshwa katika Soko, zenye wasifu wa
kuorodheshwa, wawekezaji wakubwa, Taasisi za kitaaluma na pia mtu mmoja mmoja. (Maelezo
zaidi yanapatikana kwenye Kitabu cha Kanuni cha Soko la Hisa).
8.0 MUUNDO WA UONGOZI WA SOKO
Soko la Hisa ni kampuni iliyoandikishwa mwaka 1996 chini ya Sheria ya Makampuni 2002
(Cap 212) kama kampuni iliyo na dhima ya udhamini bila ya kuwa na mtaji. Uongozi wa Soko
umejengwa kwenye nguzo kuu tatu.
Nguzo ya kwanza ni Mkutano Mkuu wa wanachama ambao hukutanisha wanachama wote.
Nguzo ya pili ni Baraza la Soko (the Council) ambalo huteuliwa kwa mujibu wa Katiba ya
Kampuni. Majukumu yote ya uongozi yamekabidhiwa kwa Baraza la Soko. (Maelezo zaidi yapo
kwenye Kitabu cha kanuni).
Nguzo ya tatu ni Uongozi wa Soko (Management), chini ya Mtendaji Mkuu. Uongozi wa Soko
umeundwa na Mtendaji Mkuu na Mameneja ama Wakuu wa Vitengo. Uongozi unawajibika kwa
Baraza la Soko.
9.0 KANUNI KORODHESHA HISA NA DHAMANA
Katika kuorodhesha hisa na dhamana, Soko la Hisa limegawanyika katika sehemu kuu mbili:
Soko Kuu
Soko la kukuza Ujasiriamali
NAMBA KIGEZO
SOKO KUU
SOKO LA KUKUZA
UJASIRIAMALI
1.
Historia ya
Angalau miaka mitatu.
bishara
2.
Historia ya
kupata faida
Hakuna.
3.
Mtaji wa
Angalau 1 bilioni TZS
kampuni
uliokwisha
kulipiwa
4.
Kusajiliwa
5.
Mali halisi ya
kudumu
6.
Aina ya
Makamuni yote kutoka sekta
kampuni
yoyote yanaruhusiwa
yanayoruhusiwa kuorodheshwa.
kuorodheshwa
7.
Njia ya kutoa
Toleo kwa umma, kudhamini au
hisa kwa umma njia zote mbili.
8.
Shughuli za
Kampuni inatakiwa kuwa na
biashara
mradi maalum
inayoushughulikia na kumilikiwa
na kampuni inayouza hisa kwa
umma.
9.
Umiliki wa
Angalau 25% ya hisa zote
umma
zilizoorodheshwa. Wawekezaji
binafsi hawaruhusiwi kuwa na
zaidi ya 1% ya hisa zote na
taasisi 5% ya hisa zote.
10. Idadi ya
Isipungue 1000 ukiondoa
wanahisa baada wafanyakazi wa kampuni.
ya kutoa hisa
kwa umma na
kuorodheshwa.
11. Kipindi cha
Sio lazima.
kizuizi.
12. Matumizi ya
mtaji
uliopokelewa.
kuanzisha mradi uliokusudiwa,
kampuni itatakiwa kuonyesha ni
wapi itapata mtaji wa ziada na
kiasi kilichopungua.
Endapo matumizi halisi
hayafahamiki kwa kiwango
chochote cha makusanyo,
kampuni itatakiwa kutoa
maelezo ya ujumla ya matumizi
ya mtaji utakaopatikana
utakapowekezwa. Kampuni pia
itatakiwa kutoa maelezo ni kiasi
gani cha chini kitakachokubaliwa
kama mtaji wa kuwekeza kwenye
kampuni endapo toleo halitaleta
mtaji uliotarajiwa.
13. Washauri
Sio lazima.
maalum.
15. Mahesabu ya
kampuni
16. Wakaguzi wa
Wawe wameandikishwa na bodi
hesabu
ya Taifa ya wakaguzi wa hesabu
na kuidhinishwa na Mamlaka ya
Masoko ya Mitaji na Dhamana.
Wawe wameandikishwa na
bodi ya Taifa ya wakaguzi wa
hesabu na kuidhinishwa na
Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na
Dhamana.
17. Uongozi
Angalau miaka miwili kabla ya
usiobadilika
kuorodheshwa.
18. Kamati za
ukaguzi
19.
Mtaji wa
kutosha wa
kufanyia
biashara
20.
Barua ya
Kampuni kuleta barua ya
uthibitisho
uthibitisho kutoka kwa
kutoka kwa
wasimamizi yake wa kisheria.
wasimamizi wa
kisheria
21. Katiba ya
kampuni
22. Wajumbe wa
bodi ya
wakurugenzi
23. Waraka wa
matarajio
kupitishwa na
Mamlaka
24. Kutimiza
masharti ya
utawala bora
26.
Kutoa taarifa
kwenye
magazeti
* (Kanuni zote hizi zinapatikana kwenyue kitabu cha kanuni cha soko la hisa).
10
10.0
11
1.50
0.28
0.02
1.80
Ushuru unaotozwa
1/16%
1/32%
TZS 5,000
Soko kuu
(i)
TZS 1,000
TZS 1,000
TZS 1,000
TZS 1,000
TZS 2,000
TZS 2,000
(iv)
TZS 1,000
TZS 1,000
(v)
TZS 5,000
TZS 5,000
TZS 25,000
TZS 25,000
TZS 1,000
TZS 1,000
(vi)
(vii)
12
Soko la kukuza
ujasiriamali
(i)
TZS 1,000
TZS 1,000
Hifadhi ya Hisa
(ii)
Kutayarisha hati za hifadhi
wakati wa mauzo ya hisa
ya awali
Kiasi
(i)
TZS 300,000
(ii)
TZS 150,000
(iii)
TZS 150,000
Aina ya ada
Kiasi
(i)
Ada ya kiingilio
TZS 2,000,000
(ii)
Ada ya mwaka
TZS 1,000,000
Aina ya ada
(i)
Ada ya kiingilio
TZS 1,000,000
(ii)
Ada ya mwaka
TZS 2,000,000
Kiasi
13
11.0
MAKAMPUNI YALIYOORODHESHWA
(a) Hisa
(i) Kampuni za kitanzania
Jina lakampuni
Tarehe ya
kuorodheshwa
Uzalishaji na usambazaji wa
gesi, vifaa vya kuchomelea
na hospitali.
26 Septemba,
63,671,045
2002 saruji
Uzalishaji na usambazaji wa
Uzalishaji na usambazaji wa
saruji
67,827,897
Benki ya Biashara
National Microfinance
Bank Ltd (NMB)
6 Novemba,
2008
500,000,000
Benki ya Biashara
17 Juni, 2009
Usafiri wa anga
Benki ya Biashara
11 Agosti 2014
Mkombozi Bank
14
99,954,467
Benki ya Biashara
(ii)
Makampuni ya nje
Jina lakampuni
Tarehe ya
kuorodheshwa
Idadi ya Hisa
zilizo tolewa
Aina ya biashara
Usafirishaji wa abiria na
mizigo kwa njia ya anga
sehemu mbalimbali duniani
Kampuni mama ya
makampuni kadhaa zenye
kuhusika na Uzalishaji na
uuzaji wa bia nchini Kenya,
Uganda na Mauritius.
Kampuni mama ya
makampuni kadhaa zenye
kuhusika na huduma za
bima nchini Kenya, Uganda
na Tanzania
Kenya Commercial
17 Disemba, 2008 2,970,340,000 Benki ya Biashara
Bank Ltd (KCB)
National Media Group 21 Februari 2011
188,542,286
Kampuni ya utangazaji na
Plc habari
Acacia Mining Plc
7th Disemba, 2011 410,085,499
Kuchimba na kuzalisha
dhahabu
Uchumi Super Market 15 Agosti 2014
364,965,594
(USL)
Maduka ya bidhaa
mbalimbali (supamaketi)
15
DCB
275
5,454,546 1,500,000,150 3,704,094,900
NMB
600
105,000,000 63,000,000,000 224,999,340,000
CRDB
150 125,429,692 18,814,453,800 50,719,410,000
PRECISION 475
58,841,750 27,949,831,250 12,091,030,000
TBL3
2,060
58,985,693 121,510,527,580 297,593,326,800
MAENDELEO
BANK
500
9,066,701
4,000,000, 000
4,533,350,500
SWALA
500
9,600,000 4,800,000,000 6,643,900,000
MKCB
1000 5,000,000 5,000,000,000 3,776,820,000
247
357
270
43
245
5,446
27,303
21,282
7,057
2,081
113
138
76
2528
1867
2618
AINA YA
TAREHE YA RIBA
HATIFUNGANI TOLEO
KUIVA
ALAF LTD.
Kurejeshwa kikamilifu
mwisho wa
hatifungani tarehe
17 Disemba 2015
Wastani wa Faida
wa dhamana za
siku 182 za serikali
za karibuni na
Malipo
zikiongezewa
riba
BANK M
Hatifungani zenye 4 Februari, Riba isiyobadilika
LIMITED
thamani ya TZS
2011
ya 15% kwa
14.5 bilioni zisizo
mwaka inayolipwa
na dhamana na
kuanzia 4
kuiva mwaka 2016
Februari 2012
hadi tarehe ya
kupevuka pamoja
STANDARD
Hatifungani zenye 22 Octoba, Riba isiyobadilika
CHARTERED
thamani ya TZS
2010
ya 11%, Faida
BANK LTD.
10 bilioni zisizo na
hadi kuiva
dhamana, toleo la
inayolipwa mara
kwanza zitakazoiva
mbili kwa mwaka
mwaka 2015
Kurejeshwa kwa
pamoja tarehe
4 Februari, 2016
Kurejeshwa kwa
awamu 10 tofauti
za kiwango cha
1,000,000,000 kila
moja pamoja na
riba hadi tarehe 21
Octoba 2015
PROMOTION
Hatifungani zenye 8 Novemba, 1. Wastani wa Faida Kurejeshwa kwa
OF RURAL
thamani ya TZS
2015
wa dhamana za
awamu 6 tofauti za
INITIATIVES
14.5 bilioni zisizo
siku 364 za serikali kiwango sawa kila
AND
na dhamana na
za karibuni na
moja kila baada ya
DEVELOPMENT kuiva mwaka 2015
malipo
miezi 6 kuanzia
ENTERPRISES
zikiongezewa riba Novemba 2012
LTD (PRIDE)
kwa 2% juu ya
kiwango kilichopo
2. Riba isiyobadilika
ya 11.75% kwa
mwaka
16
12.0
MFUMO WA MNADA
Mnada unafanyika kwenye mtandao wa kompyuta (ATS). Kupitia mtandao huu madalali
wa Soko wanauziana hisa na hatifungani wakiwa kwenye ofisi zao.
Mfumo huu unategemewa kuwezesha kusaidia huduma kuwafikia Watanzania walio nje
ya Dar es Salaam siku za karibuni.
USIMAMIZI WA SOKO
Mamlaka na Soko la Hisa kwa pamoja husimamia mnada ili kubaini kama kuna
udanganyifu, upotoshaji na ushiriki wenye mgongano wa maslahi. Soko la Hisa
linawajibika na usimamizi wa moja kwa moja ambapo wataalam wa Mamlaka husimamia
kwa kuangalia jinsi mnada unavyoendelea wakiwa ofisini kwao.
15.0
Soko la Hisa linaendesha elimu ya uwekezaji na utunzaji fedha kwa wanafunzi wa vyuo
vya elimu ya juu nchini ambapo wanafunzi hupewa nafasi ya kushiriki kwenye shughuli
za mafunzo wa vitendo kwa kuuza na kunua hisa kwa kipindi cha miezi mitatu.
Majarida yanayotoa maelezo kuhusu Soko la Hisa huchapishwa mara kwa mara na Soko la
Hisa yakilenga kutoa maelezo kuhusu uwekezaji na wakati wa kampuni mpya inapokuwa
imeorodheshwa Sokoni.
17
(ii) Punguzo la kodi ya makampuni kutoka 30% hadi 25% kwa makampuni yote
yaliyoorodheshwa katika soko la hisa na ambayo yametoa angalau 30% ya hisa
zao kwa umma.
(iii) Gharama za kuuza hisa kwa umma zinazokubaliwa na Mamlaka ya mapato
Tanzania (TRA) kama gharama za uendeshaji kwenye ukokotoaji wa faida na
hasara ya kampuni kwa ajili ya kutafuta kodi ya mapato.
(iv) Kodi ya zuio kwenye mapato yatokanayo na vyombo vya uwekezaji wa pamoja
ni kodi ya mwisho. Wawekezaji wa mifuko hii hawalipi kodi tena.
(b) VIVUTIO VYA WAWEKEZAJI
(i) Hakuna kodi ya ongezeko la mtaji, ikilinganishwa na 10% kwa kampuni ambazo
hazijaorodheshwa.
(ii) Hakuna ushuru wa stempu kwenye mauzo ya hisa zilizoorodheshwa,
ikilinganishwa na 6% kwa kampuni zisizoorodheshwa kwenye Soko la Hisa.
(iii) Kodi ya zuio kwenye gawio ni 5% ikilinganishwa na 10% kwa kampuni
zilizoorodheshwa kwenye Soko la Hisa.
(iv) Hakuna kodi za zuio kwa mapato ya riba yatokanayo na jhatifungani
zilizoorodheshwa zenye kuiva baada ya miaka mitatu na zaidi.
(v) Kodi ya zuio kwenye mapato ya mfuko wa uwekezaji imeondolewa.
(vi) Mapato ya wawekezaji kwenye mifuko ya uwekezaji wa pamoja yamesamehewa
kodi.
18
19
20
21
19.0
22