You are on page 1of 6

NNJE YA MUDA

(OUT OF TIME)

Opening the scene


1. Camera inatuonyesha Juma akirudi
nyumbani jioni akiwa amechoka
nakumkuta mke wake nyumbani
2. Camera inatuonyesha Juma akiwa na
mke wake wakipata chakula nyakati za
usiku huku wakizungumza na
kufarijiana kutokana na maisha yao
kutokuwa mazuri.
3. Camera inatuonyesha juma wakiwa
wamelala usiku
4. Camera inatuonyesha Juma akiwa
ameamka asubuhi na mara anapigiwa
simu na rafiki yake anaambiwa kuwa
ana mzigo wake akauchukue,
anajiandaa kasha kuondoka
5. Camera inatuonyesha Juma akiwa
amefika yupo na rafiki yake John,baada
ya maongezi John anatoa barua na
kumkabidhi Juma kuwa ndo mzigo wake
huo, kwa shukrani kubwa anapokea
kasha anaaga kuondoka.

6. Camera inatuonyesha Juma akiwa


amerudi nyumbani akiwa na furaha ya
kawaida pasipo kutambua barua ina
sema nini,anapokelewa na mke wake
kasha wanaifungua ili kuisoma, kwa
furaha kubwa sana wanakumbatiana
baada ya kutambua kuwa Juma
ameitwa kufanya kazi kwenye kampuni
ya (HQP) High quality product.
7. Camera inatuonyesha tarehe ya
interview imekaribia Juma akijiandaa
kwa ajili ya safari kwa furaha kubwa
mke wake anatabasam mume wake
kupata kazi,baada ya kujiandaa
wanalala.
8. Camera inatuonyesha majira ya alfajili
Juma akiwa ameamka kwa ajili ya
safari, anaoga kujianda,anasindikizwa
na mke wake standi, kwa upenda
wanaagana kasha anaingia kwenye basi
na kuondoka.
9. Camera inaonyesha Juma akiwa
amefika mjini tanga anapokelewa na
vijana waliotumwa kumpokea.
10.
Camera inaonyesha wakiwa
wamefika ofisini baada ya kumpokea
kutoka standi wanampongeza kwa

safari ndefu na kumpa soda, wakati huo


bosi anaingia ofisini na kutaka
mazungumzo nae, wale vijana mmoja
alibaki mlangoni na kusikiliza
mazungumzo hayo mgeni na bosi
kijana karibu sana kesho ndipo
tutakuwa na interview lakini wewe una
sifa zote na utapita kwa hiyo neda
kapumzike kesho saa 4 asubuhi njoo
kwa ajili ya interview
11.
Camera inaonyesha Yule kijana
akienda kwa Yule meneja anayekabiliwa
na mapinduzi (Husen) na kumueleza
alichokisikia, kwa hasira meneja
anapiga simu kwa rafiki yake ambaye ni
mafia na kumuelezea kila kitu pia
kumuomba msaada Yule mgeni
akamatwe ikiwezekana auwawe.
Anaambiwa asiwe na hofu kazi
itafanyika
12.
Camera inaonyesha Juma akiwa
anongea na mke wake kwa simu na
kumpa uhakika wa kazi kwa sababu
amehakikishiwa na mwenye kampuni,
anamuhahidi mke wake kuwa baada ya
kukabidhiwa nafasi kesho atamjulisha.

13.
Camera inaonyesha rafiki yake na
huseni akiagiza vijana wake
wamkamate Yule meneja mtarajiwa
atakapokuwa akienda kwenye
interview wanaitikia wito huo.
14.
Camera inaonyesha Juma akitoka
usingizini kutazama saa anajikuta
amechelewa yupo nje ya muda saa nne
na dakika 10 asubuhi, anakurupuka
kunawa uso na kuvaa nguo haraka
kasha anaondoka kwa haraka
15.
Camera inaonyesha muda si rafiki
zimebaki dakika 5 anakutana na jamaa
ana baiskeli na kuomba lift ili ajaribu
kufika kwa haraka japo yupo nnje na
muda kwa bahati mbaya wanakutana
na watu njian wasio julikana na
kuwasimamisha,wanawakamata na
kuondoka nao mpaka kwa rafiki yake
na Husen (mafia).
16.
Camera inaonyesha kwenye
kampuni Bosi akisubiri watu wa
kuinerview na juma akiwa mmoja wapo
anajaribu kuwatazama kwani mda
ulikuwa umeisha kati ya watu
anaowategemea Juma yupo lakini
anapotoka nnje anashangaa hamuoni

Juma,inabidi amtafute kwa njia ya simu


simu inaita na haipokelewi, anaamua
kuhairisha interview.
17.
Camera inaonyesha kwa Yule
mafia akiwa amemuweka mateka Juma,
tunamuona Huseni akiingia pamoja na
rafiki yake ,wanamkuta chini ya ulinzi
mkali kwenye chumba maalumu.ndipo
Husen anaanza kumuuliza maswali
kuwa yeye ndiye anataka kurithi kiti
kwa razima.
18.
Camera inaonyesha Mke wake na
juma akiwa na nyumbani lakina
akitazama muda umesonga sana na
hajapata ujumbe kutoka kwa mume
wake, akijaribu kupiga simu
haipatikani. Ndipo anaamua kwenda
kwa rafiki wa mume wake lakini majibu
hayapishani na yake hali ya wasiwasi
anaingia mioni mwao,mara simu inaita
kutazama namba ngeni kupokea
anaulizwa wewe ndo mke wake na
juma mumeo yupo chini ya ulinzi simu
inakatwa wanabaki katika hali ya
kutokuelewa
19.
Camera inaonyesha mwenye
kampuni akiwa na hali ya kutokuelewa

kilichomzuia kufika,na simu haipokelewi


anaamua kuripot polisi
20.
Camera inaonyesha kamanda wa
kituo akiita maaskali na kuwaelezea
tukio lilivyo ili kazi ya upelelezi ianze
mara moja kujua alipo.
21.
Camera inaonyesha mke wa juma
akifunga safari pamoja na rafiki wa
mume wake wakienda kumtafuta
wakiwa katika hali ya sintofahamu kwa
simu iliyopigwa kwani hawakujua
kinachoendelea wakiwa safarini mara
sim inaita kupokea natoa masaa 48
uje uchukue mzigo wako la sivyo na
nyonga, husein naongea nipo
chamanzi simu inakatwa.
22.
Camera inaonyesha

You might also like