Professional Documents
Culture Documents
Kambi Takatifu (Shida)
Kambi Takatifu (Shida)
(shida)
1. Camera inaonyesha tukiwa katika shamba
tunalima kikosi kizima huku walinzi
wametusimamia.
2. Jackson ni kijana ambae anapendwa sana
na mkuu wa kikosi hicho,hivyo
tunaonyeshwa akiwa na mkuu katika
mazingira tofauti anapokuwa kiongozi
huyo.
3. Camera inaonyesha Jackson akiwa na
wafungwa wengine wanalima,KAMANDA
mkuu wa kikosi anakuja kukagua shamba,
anamuona jack, analima kwa bidii
anaingiwa na huruma na kukumbuka
alivyowaua wazazi wake bila jack
kujua,anamchukua katika gari yake na
kuondoka naye mpaka nyumbani.
4. Camera inaonyesha Mkuu akiwa na Jack
nyumbani kwake akiongea nae maneno ya
faraja na kuonyesha zaidi upendo kwake.
5. Camera inaonyesha Jack akiwa anaenda
shambani peke yake, ghafla anaona
walinzi wanavyo mkimbiza mateka 1
aliyejaribu kutoroka kulingana na mateso
wanayo yapata.
16.
Camera inaonyesha wakiwa
wamekusanywa wafungwa wote na walinzi
wakijipanga kuondoka, mkuu wa kambi
anafuatia nyuma taratibu na gari yake.
17.
Camera inaonyesha wakiwa wamepaki
pembeni wanasubiri warudi ili waondoke
lakini Jack anatoka kwenye gari na kuingia
polini kufuatilia kinachofanyika.
18.
Camera inaonyesha wafungwa wakiwa
wanakata kuni mara Yule babu anamuona
Jack na kumwendea ghafla wanatokea
walinzi wakitaka kumpiga lakina Jack
anawazuia,babu anashukuru sana
amesaidiwa.
19.
Camera inaonyesha wakiwa wanatoka
polini na magogo ya kuni, Jack anaingia
kwenye gari na kuondoka
20.
Camera inaonyesha Jack akiwa
amepitiwa na usingizi lakini cha ajabu
anamuota Yule mzee akaimwambia Kija
nimeshakutafuta mara mbili kuna jambo la
msingi nataka nikuambie lakini kumekuwa
na ukuta mkubwa , nakuja mara ya mwisho
nikishindwa basi anatoka usingizini na
kuliwazia jambo hilo.
21.
Camera inaonyesha Jack akienda
kambini,anawaona wafyeka majani, Yule
BAADA YA WIKI 2
24. Jack anataka maongezi na kiongozi wa
kambi, ana muuliza Hivi mzee wazazi
28.
48.
Camera inaonyesha siku ya tatu,Jack
anachukua namba ya simu iliyotumika
kumpigia, anavalia mavazi kazi,na kuaga
kwa dada yake anaingia kwenye gari
anaondoka.
49.
Camera inaonyesha yakiwa yamebaki
masaa 4 anapigiwa simu kuwa mda si
mrefu kazi hatoweza kumuona dada yake
tena,tunaona akishuka kwenye gari na
kuanza kukimbia kuelekea kambini
50.
Camera inaonyesha dada Jack aliyeko
nyumbani amepata ramani ya KAMBI
TAKATIFU anaamua kwenda huko ili atoe
msaada kwa ndugu zake, anaenda mpaka
Jack alipoacha gari analiona na
kulifahamu,anaingia na kuendelea na
safari.
51.
Camera inaonyesha akianza
maagamizi kwa walinzi mmo1 mmo1
anapigana anafanikasha kufika maeneo ya
ndani huku akiendelea kupambana, zikawa
zimebaki dakika 2 anakutana na vikwazo
lakin anapenya anaingia mpaka chumba
MWISHO