Professional Documents
Culture Documents
TAARIFA
TAARIFA
Mosi; Ujenzi wa Kituo cha kufua umeme kwa njia ya Gesi asilia cha Kinyerezi
II ambacho kinaendelea kujengwa, kinahusisha ununuzi na usairishwaji wa
mitambo mingi mikubwa kutoka nje ya Tanzania, kwa kutambua hilo
TANESCO imekuwa ikifuata taratibu zote za kisheria katika kufanya
manunuzi hayo ikiwa ni pamoja na kulipia kodi na usairishwaji wake hadi
kufika katika eneo la ujenzi wa mitambo hiyo.
Pili; Hadi kuikia MEI 2017 TANESCO tayari imekwisha pokea mizigo mingi
ikiwa ni pamoja na makontena zaidi ya 400 ambayo yamepokelewa katika
bandari ya Dar es salam tayari yamekwisha ikishwa katika eneo la
Kinyerezi, ili kuendelea na ujenzi. Mradi wa umeme wa Kinyerezi II
utapokea jumla ya makontena 900 na mizigo mingine mikubwa hadi kuikia
mwezi Agosti 2018