Professional Documents
Culture Documents
Simba Imefikia Uamuzi Wa Kumtema Kocha Msaidizi
Simba Imefikia Uamuzi Wa Kumtema Kocha Msaidizi
Mayanga.
Taarifa za ndani zinaeleza Simba tayari imeanza mazungumzo
na kocha mwingine.
Atakuwa kocha kutoka Burundi na kuna kiongozi alishaanza
kuzungumza naye, kilieleza chanzo cha habari.
Mayanja raia wa Uganda alijiunga na Simba akitokea Coastal
Union ya Tanga na kuwa kocha mkuu wa muda.
Lakini baadaye Simba ilimtwaa Joseph Omog kutoka Cameroon
na Mayanja akawa kocha msaidizi.