Professional Documents
Culture Documents
Mhe. Rais Magufuli pia ametoa wito kwa wanachama wa CCM na wananchi
wengine kutoa ushirikiano kwa kutoa taarifa zote zinazohusu mali za chama kwa
kamati hiyo, na watakaoitwa kuhojiwa waitikie wito huo.
Akizungumza kwa niaba ya kamati hiyo, Dkt. Bashiru Ally amesema kamati
imeanza kazi rasmi na ametoa wito kwa wanachama, wananchi na wote
wanaozitumia mali za chama kutoa ushirikiano watakapoitwa kuhojiwa.
Gerson Msigwa
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, IKULU
Dar es Salaam
28 Desemba, 2017