You are on page 1of 8

F1:ilikuwa mweza wa 5….eeeh(kuitika)….ambapo tulienda.…(kelele za makaratasi)….

sana sana tulikaa


na…nafikili ulikuwa safari….eeeeh(kukubali)….tulikaa na viongozi hapa,
wataalamu…..eeeeh(kuitika)….(mazungumzo ya watu mbali mbali kwa mbali yakiendelea)….mbali mbali
ile technical team…..eeeh(kuitika)…..ya counsel….mmmmh(kukubali)….. baadae tukaenda vijijini
tukaongea na vikundi.....mmmh(kushangaa)…..lakini sasa tumeona nafasi ya kuongea na mmoja mmoja
yani mtu yeye uzoefu wake….mmmh(kuitika)…. badala ya kuongea kiujumla
ujumla…mmmhmmmh(kukubali)….kwahiyo ndio…ndio maana tukasema tukawa tunaomba hiyo
kutusaidia ili ku…tupate hizo connections…eeeeh(kushangaa)….tuweze kwenda huko
kijijini…mmmh(kuitika)…. kwahiyo ni follow up…mmmh(kuitika)….tuliyofanya ya
kwanza….eeeeh(kuitika)…. lakini nafikili kutakuwepo nyingine tena tuna entend labda kutakuwa na
survery…..mmmh(kushanga)…..mwakani lakini wakati tume…baada ya kumaliza hii phase hii…

P:aaaakh….(kukubali)….

F1:mmmh(kukubali)…

P:sawa kabisa

F1:yaah

P:ni…nii….ofcourse niliipata ile meseji

F1:ndio…alafu nikakutumia na ile request….eeeeh(kukubali)…ya ile…eee…kuna maswali machache


ambayo tume….kuna data ambazo tunatafuta….

P:eeeh(kukubali)…

F1:eeeeeh(kuitika)…kwahiyo yaah

P:na hilo kwenye simu mimi na wewe angalau tuliongea

F1:uliongea na nanili….Restusi

P:nikasema

F1:ndio

P:(kelele za makaratasi)….ila kwa kweli mmenirudisha shule

F1:eeeeeh(kushangaa)…

Wote:kicheko

P:ile

F:eeeeh(kuitika)…

P:ile juzi ofcourse muda iliofika niliipata nikaisoma soma nikaipitia

F1:ndio ndio

P:aaaah(kukubali)….nikasema hii inajibika tu


F1:eeeh(kukubali)…nashukuru

P:nimekuja kukaa chini sasa

F2:uanze kujibu

P:aaaaaah(kukubali)…

F1:eeeeeh(kuitika)…..

Wote:kicheko

F1:lakini pia kusema inajibika ni kitu kizuri…unajua sasa nyingine…mmmh(kuitika)… ni ile tu kama vile
unavyosema hili swali naweza kulijibu lakini sasa ni aje….. mimi naweza kuamini……nashukuru kweli
yaani

P:nilijitahidi juzi…(okay)…na jana muda mwingi zaidi niliifanya

F1:nashukuru

P:naaa….ofcourse nilitegemea kwamba jana mnge…mngefika …(okay)…..yaani matarajia yangu


makubwa sana labda jana mngefika ofisini na kuichukua hiyo…..aaaaaaaah(kushanga)….nikawa naifanyia
kazi kwa nguvu

F1:sawa sawa

(Kicheko)

P:sasa nilivyoona kyima mpaka jioni ......aaaa nikasema anyway

F1:sawa sawa lakini kwa sababu tulifika late….mmmmh(kuitika)…tukasema sasa tuanze


kumta…kutafuta…mmmh(kukubali)…..na hiki…mmmh(kuitika)…..tukasema tuache tu kwa sababu ilikuwa
leo tuwepo hapa….eeeh(kukubali)…..tena leo tunafanya tena kazi….eeeh(kukubali)….labda kesho
asubuhi kama tutamaliza leo…mmmh(kuitika)….asubuhi kesho ndio tunarudi Morogoro

P:aaaaakh(kukubali)…

F1:eeeeh(kukubali)…

P:okay

F1:yaaah

P:sawa kabisa sawa kijijini nilishatoa taarifa iwapo kuna changamoto kidogo….eeeeeh(kuitika)…..lakini
naimani mazingira…….hatuwezi kushindwa ila sasa

F1:sawa tutachukua muda

P:mnaweza kukaa muda muda kwa sababu …..eeeeh(kukubali)…kule leo kijiji cha Mutikilwa asilimia
kubwa sana wanafanya kazi kwenye msitu….mmmmmh(kushangaa)….na leo ni siku ya kupata chochote

Wote:kicheko
P:kumbe……mtendaji nili communicate nae kuanzia jana ile ile….eeeeh(kukubali)….meseji nime…nime
simplfy…eeeh(kuitika)….kutumia lugha ambayo yeye ataielewa….(ndio)….nimemrushia watu
tunaowahitaji ata asubuhi nimempigia simu….(ndio)….nikamwambia by saa 6 ndio watakuwa wamefika
hapo…..

F1:okay….sawa sawa

P:mmmmmh…(kukubali)

F1:sawa kabisa

P:tutafanikiwa japo ki…ki…kiugumu kidogo kinaweza kikatuchukua muda kwa sababu unajua …..

F1:eeeeh(kukubali)….haina shida …kwa kweli unajua kitu kuna sehemu tulienda Kifanya napo tukakuta
moto usiku kabla….mmmh(kushangaa)….sasa siku inayofata tunaenda kwahiyo hata mwenyekiti nae
huku anahangaika na moto na nini…mmmh(kukubali)…kwahiyo incidence hizi zinatokea kwakweli sisi
tutajifiti kwenye problem iliyopo

P:ila….ila tutafanikiwa tu…

F1:eeeh(kukubali)…..nashukuru

P:sasa hizo nanili…hizo information hizo

F1:ndio ndio

P:samahani sijui mara ya kwanza…(ndio)…ambayo hiyo siku sikuwepo….(ndio)…mlikuja kwa….kwa…yani


kwa….kuna barua iliandikwa halimashauri

F1:yaah…(kukubali)…tulishaa….nanii…kabisa kwa sababu mara ya kwanza nilivyofika


…eeeh(kuitika)….wakati nimefika nili…nilileta barua kwa sababu tuliandikiwa barua
mkoani….mmmh(kuitika)….ikaenda district council…mmmmh(kukubali)….tulienda mpaka kwa
nanii…kwaa….DED, ma DED wote wameandikiwa….mmmh(kukubali)….wakakipowa na nanilii kule
na….halmashauri…mmmh(kukubali)…wakati ule nimefika….mmmh(kukubali)…ofcourse nilielekezwa
nanii…wewee hukuwepo…mmmh(kukubali)…wala Nuhu hakuwepo…eeeeh(kukubali)….lakini nikaacha
barua….mmmh(kukubali)….na ndio maana baada ya na nilii ile tukawa tuna….ule mkutano wa Iringa
….eeeeh(kukubali)…..Iringa ule ndio ulikuwa unafatia kwahiyo kulikuwa na barua zote tulizopata ambazo
na….unfortunately sasa siwezi inabidi nikatafuta Mororgoro lakini niliandikiwa barua

P:mli…mlionana nae mkurugenzi?

F1:eeeh(kukubali)….tulionana

P:mlionana

F1:eeeeeeh(kukubali)….tena…actual tulionana nae mara 2 hii…kama leo mara ya 3 kwa sababu wakati
ule tulikija mara ya kwanza na yeye baada ya mkutano wa Septemba,…(ndio)….tulikuja
tukamuona….eeeh(kukubali)…alafu mwaka jana tulipokuja kuongea na hawa wataalamu tulimuona pia
P:aaaah(kukubali)….basi haina shida na leo hayupo yupo Dodoma

F1:nafikili huyu….

F3:hata mei hakuwepo

F1:mei

F3:tukimkosa eeee

F1:mei tulimuona….aaah(kukataa)…mei tulimuona….mmmmh(kushangaa)…..mei tulimuona kwa sababu


mei….mmmh(kuitika)….aaaaah…(kukataa) mei tulimosa alikua…

F3:active

F1:alikuwa active eee….baada ya kumaliza mkutano wa Iringa alitukarisha tukaongea nae tukamueleza

P:mnajua maana yake ni nini….eee(kushangaaa)…karibu wakati nimefanya kazi alafu baadae machale
yakanicheza…

F1:mmmmh(kukubali)…ndio

P:eeeeh…(kukubali)…..yani kuna information ambazo ni so critical

F1:ndio…okay….sawa sawa

P:yaani nilivyoona

F1:sawa

P:kuzitoa information hizi bila

F1:sawa…tulisha na nii…

F3:bila go ahead

P:eeeeh(kukubali)

Wote:kicheko

F1:tulisha nanii…tulisha….kweli tulishaonana nae na aka…akatuahidi ushirikiano

P:Na hata tukitafuta dokomenti….(sawa)… kwenye nanii….(exactly)….zitapatikana kwenye mafaili

F1:Sawa sawa utai…utaipata eeh(kukubali)…yaah hiyo nai….

P:ila mi nina…ongea for defence

F1:eeeeeh(kukubali)….

Mwingiliano wa mazungumzo kila mtu anaonekana kukubaliana na mwenyeji wao

F3:tena uko sahihi kabisa


F1:uko sahihi kabisa kwamba ni muhimu kupata hiyo na nii….clearance…..

F4:tuna ielewa hiyo actual kwa kila mahali…mmmh(kukubali)….unapokwenda …(mtu


kakohoa)….tunapotumia ile formal kabisa yaani mfumo kwa sababu tunaelewa hiyo huwezi uka…uka

F1:ukaenda ukaanza shughuli bila kibali sio…..yaaah

P:sasa sijui mna….mnashauri vipi….namna gani tunaweza kushare hii ila labda tuelekezane
vizuri…….aaaah(kukubali)….yani kuna mengine nime….ila ningependa sana tu….hata kama nimejibu
tufanye kama kudisikasi kidogo

F1:eeeeeh(kukubali)….sawa

P:vyovyote mtakavyoona inafaa kuliko nika….kwenye nanilii…na mengine nimejitahidi kujibu lakini
baadae mkagundua mengine labda nimeenda chaka kidogo

Wote:kicheko

F1:hata kama kuna swali unaweza ukatuuliza….labda unaona kwamba (mtu kakohoa)…labda halijawa…

P:na labda….

F1:na mengine zaidi ni uzoefu wa kwako ndio tunautegemea …..kwa sababu kuna vitu kama vya …..vya
takwimu….eeeeh(kukubali)…..zile ni…..unajua inategemea nyinyi mmezi organize namna gani…..lakini
mwisho wa siku…kama tulivyosema lengo lilikuwa….ni..ile…ile scale…..mmmmh(kuitikia)….scale ile nayo
inatokana na data zilizopo….mmmmh(kukubali)….na speed ofcourse unaweza ukaangalia kwa miaka
labda kuna kipindi ilikuwa kasi….mmmh(kukubali)….iliongezeka zaidi…..mmmh(kuitika)…. Na…labda
kama kuna swali ambalo halijawa…..mmmh(kuitika)….(muungurumo wa mashime)…..halijawa wazi
unaweza kuuliza na wenzangu nipo hapa maanake tulijiandaa…(kicheko)….tulijiandaa wote na unajua
mara nyingi wanasema pia unachoandika leo…..mmmmh(kukubali)…..kinaishi yani…kipo dynamic
ulipoandika labda ulikuwa unafikilia kitu….eeeeh(kukubali)…lakini kama kuna lolote unaweza kutuuliza

(kelele za vitu vikigongwa na makaratasi na mazungumzo ya chini chini)

P:haina neno…..nataka nitoe hapa…(sawa)…listi kama kopi 2 hapa ili…(sawa sawa)…ili at least niwapatie
ili iwe rahisi….

F1:sawa sawa….nashukuru

P:na…nitapenda lakini…sijui kama….by saa 5 ningependa tuwepo pale…..(sawa


sawa)….eeeh(kukubali)…maana kule niliwaambia saa 6

F1: unajua tukiwepo wepo pale inakuwa ni kitu kizuri

Kelele za mashine,vitu kama vinasogezwa…kelele za makaratasi yakishikwa shikwa na sauti ya zipu


ikifungwa
Mazungumzo mbalimbali yakiendelea na vicheko vikitawala baina ya washiriki waliopo kwenye zoezi hili
na mwenyeji wao

P:nimejitahidi kueleza hapa kwa mfano idadi yao na nafasi zao….mmmh(kukubali)….nafasi zao
nimesema tupo wa 5…(okay)….wanaume 4 na mwanamke 1….(sawa sawa)….hapo tumesema mmoja ni
mkuu wa idara….(sawa sawa)…..ambaye ndio mimi sasa…(sawa sawa)…..1 ni afisa misitu nimekosea
nimeandika kabsa mitu,afisa misitu wa wilaya…(ndio ndio)….na 1 yupo Sekondegi, (Tanzania Forest
Development Trust….mmmh(kuitika)….. na 1 ni afisa misitu na mwingine ni msaidizi
misitu…..(okay)….nimeamua ku…collaborate hivi…(sawa sawa)….sijajua nyinyi data mnazitumiaje
mnaweza mkasema daaah wapo 5 wengi sana….mmmh(kushangaa)….sasa mimi sifanyi kazi ya kitaaluma
mimi nipo kwenye kazi za ki…administration….

F1:utawala……

F(female):mmmh(kukubali)…

P:hapa tayari mimi sipo….mmmh(kukubali)….umeona eee…na mwingine yuko


Sekondegi…eee(kukubali)…yupo huko miaka mingapi sijui alichukua miaka 2 sasa hivi kaongeza
tena….mmmh(kukubali)…..tayari….alafu idadi yao ya kazi nyingine hakuna yani sisi wote tupo wilayani
hapa kwenye tarafa hakuna mtu hata mmoja….(sawa sawa )….ndio maana nikasema hakuna…sasa hizo
taarifa nyingine hizo….(ndio ndio)….hapa nilipo nipo….niliandika baadae nikahisi nimeenda chaka ndio
hapo kwenye hiyo table…(mtu kakohoa)…mkaandika hapa taarifa kuhusu watoa huduma za ubwana
misitu…..mmmh(kuitika)…nikasema mtoa huduma…hii halmashauri mliniandikia nyinyi wenyewe
kwenye…….

F1:eeeeeh(kukubali)….maana tulijua hii….tuliweka hivyo ili…eeeeh(kuitika)…..mtu apate picha kwamba


sasa hii ni halmashauri

P:sasa hapa mbinu zinazotumika kumfikia mkulima au wapanda miti?....

F1:ndio….

P:eneo la huduma je ni wilaya nzima au baadhi ya kata?....

F1:ndio

P:miradi inayoendelea na inahusu nini?

F1:ndio…mmmh(kukubali)…..

P:mradi ulianza lini na unaisha lini?

F1:ndio

P:chanzo cha fedha kinachotumika kuendeshea mradi?

F:sawa sawa

P:sasa mlivyoandika halmashauri hapa….mmmh(kukubali)….ndio nikaiacha mpaka mwisho


F:okay

P:lakini baadae ….eeeh(kuitika)…nikaandika mradi wa bota ya mto Kihansi…(ndio)….nikaandaka


Tau…Tau la Mashariki…(ndio)….Mfuko wa misitu Tanzania…. Mmmh(kuitika)…..TASAF,Green
sources,Mufindi Development trust...mmmh(kuitika)…..sasa baadae ilivyoenda
hapa….eeeeh(kuitika)…nikahisi….nikahisi kwamba kwa sababu hii ndio miradi 3 niliyoitaji ya
kwanza….eeeh(kukubali)…..hii ya mto Kihansi…(ndio)…Tau la Mashariki na TFF,….(ndio)….hiyo ndio
nikahisi mlikuwa mna maanisha labda kwa sababu sisi ndio tunaotekeleza

F:aaaah…..(kukubali)…..hivyo tulivyosema mnajua…..mnapoongelea huduma za ugani iko…hii iko


sawa…..eeeh(kukubali)…..mawazo ilikuwa ni kwamba mara nyingi tunategemea halmashauri ndio
inatake the read alafu unaweza kuwa na NGO’S, program unaweza kuwa na…. yaani
mmmh(kuitika)….ndani ya halmashauri unakuta kuna vitu wengi wana….wana halmashauri inaweza
kuwa na ina programs zake lakini pia ina coordinate yani hawa wengine si lazima waripoti wanafanya
hizo shughuli kwahiyo ndio ilikuwa maana yangu lakini kama ilivyo mi naiyona ni nanii….. iko sawa… iko
sawa kwa maana tunachoelewa ni kwamba halimashauri ina….ina…inafanya kazi za ugani kwa
kushirikiana na hawa waliopo hapa ndio maana ninavyoelewa through programs

P:okay kumbe…kumbe huu mradi wa Kihansi kama nilivyosema….eeeh(kuitika)…. na Tau Mashariki na


Mfuko wa Misuti Tanzania….hii sisi ndio tunaotekeleza….eeeh(kuitika)…..(wote kwa pamoja)…..hii ndio
wafadhili wetu

F4:kwahiyo ni halimashauri hapa….Tau mashariki na….

P:na hii Tanzania Forest Fund….kuna wanaondika hapa, Tanzania Forest Fund na hii….

F4:ndio ndio na TF….TFF

P:TFF ni Tanzania Forest Fund

F4:sawa sawa

F1:nayo ni halimashauri?

P:eeeh(kukubali)…tunaandikaka proposal wanatuletea hela….

F1 & f4:sawa sawa

F(female):mmmmh(kuelewa)….

P:Tau Mashariki na hawa hawa….hawa hapa Easternant Mountain Conservation Development Fund

F1:sawa sawa

P:hawa ndio wageni niliokuwa nao na wana……..

F1:sawa sawa

F4:sawa
P:…..alafu tena…. tena na huu mradi wa mto Kihansi tena mimi ndio mratibu wa huu mradi

F4:sawa sawa

P:sasa kule chini sasa nikaja kugundua hiyo kuna kipengele cha kusema tuoneshe linkage ndio nikaweka
hii kwamba ina halimashauri ndio nikasema hawa wenzetu wa Green source huwa wanahusisha uongozi
wa halmashauri hususani katika kupendekeza miradi ya kijamii na maeneo yanaoyopandwa miti….pia
halimashauri inashirikishwa katika jitihada za kutatua migogoro ya ardhi hususani mgogoro uliopo katika
kijiji cha Ibete….aaah(kukubali)….migogoro ni ya migogoro gani tutaiona huko chini kule….(sawa
sawa)…..hawa wanatushirikisha halimashauri kwa maana hiyo….(sawa sawa)…..na Town Forest hawa
tunashirikiana nao pia nimeeleza na Mufindi Development Trust hii ni NGO’s lakini pia wanaomba
washauri na wataalamu kutoka halmashauri

F(wote):sawa sawa

F1:actual ni sawa tu ……eeeh(kukubali)…..ni correct…ni corret

P:sawa alafu hiyo taarifa kuhusu program au miradi ya misitu inayohusika kutekelezwa wilayani kwa
miaka iliyopita

F1:eeeeh…..(kukubali)….sawa ndio hii hapa…

P:ndio hii 3 hapo…(sawa)…..kuna mradi wa hima , hifadhi ya mazingira miaka hiyo hapo na wafadhili
8….(sawa sawa)…..na kuna mradi wa PFM..nina imani mnaifahamu au mshawahi kuisikia nah ii…

Mwingiliano wa mazungumzo kuna salamu na makaribishano yakiendelea na kelele za milango na vitu


kama vikiwa vinasogezwa sogezwa

F3:hapa….. hapa kwenye mbinu…aaaa labda ku clarify kidogo

F1:actual ukiangalia……

F3:mafunzo

F1:actual hapo ukiangalia ni….nii yaah unaweza kunani…kwa sababu hapa ilikuwa ni unaweza ukaniuliza
zaidi kwa sababu mafunzo sawa ukuaji miche na nini….unajua mara nyingi haya maswali huwa ni hata
mimi hayajawahigi ni sometimes ukisema

F3:tofauti nilitaka kusema maneno yatakuwa mengi

F1:labda kwa njia ya vikundi eeeeh(kukubali)….ya kw sababu ukiangalia sana kule ukiongea na wale ni
vikundi zaidi

You might also like