Professional Documents
Culture Documents
Mufindi Mwitikila 3-Male HH
Mufindi Mwitikila 3-Male HH
P:hata huwa wanatoa bure tu lakini tulifoji tukapanda malezi wakati wa…wa….wanakataa malezi
P:aaa…wanasema ina athari kwa mmea wao kwasababu mnapanda…..wewe unapanda malezi na wao
wanapanda mti hapo hapo….mmmh(kushangaa)……. Sasa wanasema kuna madhara kwenye nanilii…yao
F:mahindi tu!....au……mnatatizo gani maana sijajua ….sababu nikiangalia mahindi na malezi ni kama
vinafanana
P:aaaaah(kufikilia)….waligunduaga yameota
F:(kicheko)
P:kwa sababu tulipanda miaka 2 sasa meneja aka…sasa akaja…mmmh(kushangaa)… akatoa taarifa rasmi
kwamba kule hakuruhusiwi kupanda mmea wowote wa aina nyingine ni mhindi
tu…mmmh(kushangaa)…wale ambao wamepanda mahindi…wamepanda malezi mwenzao wamenipa
adhabu ya kupewa warning
F:aaaaakh..(kushangaa)
F:aseee mzee Kule hapa mpo kwenye kata yako hapa …..mko watu wangapi?
P:tuko watu 5
F: wa 5
P:eeeh(kukubali)
F:wa 5
P: eeeh(kukubali)
Kelele za makaratasi
F:binafsi una miaka mingapi mzee Kule?
P:nina miaka 64
F:na mama?
P:ana miaka 57
P:wa…kike 1
F:1
P:mmmmh(kukubali)
P: eeeh(kukubali)….alikuwa anasoma
F: eeeh(kukubali)…….wote au…..mwingine,
F:mmoja wa miaka 15
P: eeeh(kukubali)
P:aaaaa….nina heka 2 tu
F:heka 2
P: eeeh(kukubali)
F:khaaaa….(kushangaa)…
P:mmmmh(kukubali)….
F:aaaakh..(kushangaa)…
P:mmmh(kukubali)….
F:mahindi
F:se…se…inaitwajwe?
P:mlingo
F:aaaah(kukubali)…
P:mlingoti mwekundu
P:aaaa kwa kweli kukomaa kwake sisi hiyo tunategemea nguzo zaidi za
umeme……aaah(kushangaa)…..miaka 7 hivi 10 lakini ya kupasua kwakweli inaweza ikachukua mpaka
miaka 20 hivi….eeeeeh(kushangaa)…ndio uwe mti umekomaa…..lakini hata hiyo hiyo miaka 7
wanapasua …..mmmh(kushangaa)….lakini sehemu kubwa sisi tunang’ang’ania nguzo
P: hiyo mipaini tu
F:unakitalu chako?
P:aaaa nilikuwa nakitalu lakini mwaka huu si…sina kitalu…(Sauti ya mtoto akiimba)….nina kitalu cha hiyo
miti milingoti miyekundu…….mmmmh(kukubali)….sasa kwa sababu pale mlikuwa mnazungumzia mipaini
hiyo mimi sina….
F:aaaa pamoja na..ni miti tu paini na hii milingoti…aaaah(kukubali)….lakini sehemu kubwa inajitokeza
paina ndio wengi wamepanda
F:mmmmh(kukubali)…
F:kweli?
P:kweli
F:mmmh…(kushangaa)…
P:naam
P:Mzee Mkulule
F:mmmh(kuitika)…
P:eee anayo
F:kapanda paina?
P:mmmmh(kukubali….
F:mmmh(kuitika)….
P:mmmmh….(kuitika)…
P:aaaa kuanza kupanda miti mimi nimeanza mwaka efu moja na…na….tisini na tisa
F:ulishavuna eee
P:mmmh(kukubali)
F:na nini kilichikufanya wewe miaka hiyo ukaamua kuwa unapanda miti na usipande vitu vingine?
F:mmmmh(kukubali)
P:eeeeh(kuitika)
F:aaakh(kushangaa)..
P: eeeh(kukubali)
F:kwanini sasa ukalime kule mbali mahindi,naniu… ngano alafu hapa karibu ukapanda miti?
F:aaakh(kushangaa)..
P: eeeh(kukubali)