You are on page 1of 24

Mourinho motoni

Zidane akijiandaa
kuelekea Man Utd
SPOTI 21 - 24
A NATION MEDIA GROUP PUBLICATION

Mke wa mshukiwa aliyekufa seli SHINDANO LA UANDISHI


hajulikani aliko - Familia UK 2 WA INSHA UK 9
Jumatatu, Septemba 10, 2018 KSh30 TSh500 RFr300 taifaleo.nation.co.ke No. 19975

Haji asema washukiwa wa mauaji ya Sharon watakabiliwa licha ya vyeo vyao, wanasiasa waandaa maandamano Migori

DPP TAYARI
NA WAANDISHI WETU
MKURUGENZI wa Mashtaka ya Umma
(DPP), Noordin Haji jana alisema yuko tayari
kumkamata Gavana wa Migori, Okoth Obado
iwapo uchunguzi unaoendelea utamhusisha
na mauaji ya mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha
Rongo, Sharon Otieno.
Bw Haji alisema kuwa, sheria haitaacha

ENDELEA Uk 2

KUNASA OBADO USALAMA BARABARANI: Vijana wahatarisha maisha yao


Marehemu Sharon Otieno

Wiper yasuta
wanaodai
madeni ya
kisiasa 2022
COLLINS OMULO NA STEPHEN MUTHINI
KIONGOZI wa chama cha Wiper, Kalonzo Musyoka,
amesema kwamba hana deni la kisiasa na yeyote na
hakuna kiongozi anayepaswa kutarajia kulipwa deni
kama hilo.
Bw Musyoka alisema wale wanaotaka kulipwa madeni
ya kisiasa 2022 wanajidanganya kwa sababu katika siasa
hakuna madeni ya kulipwa.
“Katika siasa, hakuna deni. Unapata unachogombea
au unaambulia patupu,” alisema Bw Musyoka akiongea
katika hafla ya kuadhimisha mwaka wa tatu wa kifo cha
baba ya gavana wa Nairobi, Mike Sonko iliyoandaliwa
Kaunti ya Machakos Jumamosi.
Wafuasi wake wamekuwa wakimtaka kiongozi wa
chama cha ODM Raila Odinga kumuunga mkono Bw VIJANA jijini Nairobi wakining’inia kwa njia hatari kwenye matatu jana. Vijana hao, wanawake kwa wanaume, walikuwa wamekodisha magari kadhaa
Musyoka kugombea urais 2022 kwa sababu alimuunga kwa kile walichosema ni ziara ya kwenda Meru. Moja ya matatu hizo iligonga gari la polisi.
Picture Kanyiri Wahito
ENDELEA Uk 2

ELIMU: MAANDALIZI YA MITIHANI YA KITAIFA YAKAMILIKA UK 3


2 Jumatatu, Septemba 10, 2018 | TAIFA LEO

Wandani wa Sharon wapokea vitisho Wiper yasuta


NA RUTH MBULA
WATU ambao walikutana na Sharon
Wale ambao wamepokea vitisho hivyo
washaandikisha taarifa kwa polisi.
Wachunguzi wanafuatilia watu ambao
walihusika katika mauaji ya binti yao.
“Baadhi ya marafiki wetu, jamaa na hata
waombolezaji wamekuwa wakituomba
hiyo Joshua Okong’o aliwatahadharisha
wanasiasa na vyombo vya habari dhidi ya
kueneza uongo kuhusu kifo chake.
wanaojadili
madeni ya
Otieno kabla ya kukumbana na mauti yake
wamekuwa wakipokea vitisho kutoka kwa wanatekeleza vitisho hivyo wakilenga kutozungumzia sana suala la Sharon. Akizungumza na wanahabari nyum-
watu wasiojulikana. kubaini asili yao na ikiwa ndio walihusika Ijapokuwa wanajifanya wanaomboleza bani kwa marehemu, katika kijiji cha
Vile vile, wale ambao walitangamana katika mauaji ya Sharon. nasi, nadhani kuna njama wanapanga,” Magare, Kaunti ya Homa Bay, Bw Okong’o

kisiasa 2022
na mwanahabari Barack Oduor Nation Mjomba wa marehemu, ambaye haku- akasema. aliwaomba wanasiasa kutolizungumzia
Media Group wamekuwa wakiishi kwa taka kutajwa kwa sababu za kiusalama, Hata hivyo, alisema kwamba hatatishi- suala hilo ili kuwapa wachunguzi nafasi
hofu kutokana na vitisho sawa na hivyo. alisema jana kwamba baadhi ya marafiki ka hata kidogo, ila ataendelea kushinikiza ya kubaini kilichofanyika.
Familia ya Bi Otieno pia imekuwa na jamaa zao, wamekuwa wakiwaomba haki kwa mpwawe, aliyekuwa akisomea Alieleza kuwa kutiwa chumvi kwa tukio
ikipokea vitisho, hata inapoomboleza kifo “kulegeza kamba katika kufuatilia kiini masuala ya uwekaji rekodi za matibabu. hilo kulipelekea kifo cha shangaziye Sha- KUTOKA Uk 1
cha mwana wao. cha kifo cha Sharon.” Kufikia kifo chake, Sharon alikuwa na ron, Deborah Ogweno, ambaye alizimia na wakimtaka Rais Uhuru Kenyatta
Vitisho hivyo vinatoka kwa watu wan- Alisema kuwa anaamini kuwa huenda mimba ya miezi saba. kufariki mnamo Ijumaa. Alikuwa na umri kumuunga mkono Bw Ruto kwenye
aowapigia simu kwa namba zilizofichika. jamaa hao wana uhusiano na wale ambao Mnamo Ijumaa, msemaji wa familia wa miaka 44. uchaguzi mkuu wa 2022 wakisema
Bw Ruto amemuuga Rais katika
uchaguzi wa 2013 na 2017.
Hata hivyo, Bw Musyoka alisema
DPP asema uchunguzi utatoa mwongozo UREMBO: Washindi watuzwa nchi inafaa kusonga mbele pasipo

Haji - Nitashtaki
kufungwa na masuala kama mad-
eni ya kisiasa akisema wanaodai
kwamba wanapaswa kulipwa mad-
eni hayo hawafai kuwa viongozi.
Alisema chama cha Wiper
kinamuunga Rais Kenyatta ku-
tekeleza Ajenda Nne Kuu za Mae-

bila kujali cheo


ndeleo akisema mwanachama wa
chama hicho Bi Rose Museo, am-
baye ni mwakilishi wa wanawake
Kaunti ya Makueni, aliteuliwa kati-
ka kamati ya Upatanishi iliyoteuli-
wa na Rais.

KUTOKA Uk 1 pekee anayezuiliwa kuhusiana na kifo cha Aonya ODM


Sharon. Bw Musyoka amekuwa akisisi-
mtu yeyote nje hata awe ni wa ngazi ya juu Maswali yameulizwa kuhusu sababu tiza kuwa yeye na chama chake cha
vipi iwapo uchunguzi utapendekeza ash- ya afisa huyo, ambaye Taifa Leo imegun- Wiper wataunga mkono juhudi za
takiwa kwa mauaji hayo ya kinyama wiki dua kuwa ni afisa wa ujasusi wa jeshi, serikali zinazolenga kuwanufaisha
iliyopita. kumtembelea Bw Oyamo. Wakenya.
“Kitu kimoja ambacho ninataka kuwa- “Hata kama mshukiwa ana haki ya ku- Hii ni licha ya kuwa hajatangaza
hakikishia ni kuwa hakuna yeyote ambaye tembelewa akiwa jela kulingana na sher- rasmi kushirikiana na Jubilee kama
ataachwa. iwapo wewe ni gavana ama la, ia, maswali ambayo tunatataka yajibiwe alivyofanya kiongozi wa ODM Raila
ni lazima utakabiliwa na sheria. Uchungu- baada ya uchunguzi huu ni iwapo ziara ya Odinga.
zi bado unaendelea lakini wakati mwafaka afisa huyo ilifanyika kisheria,” alisema Bw Wakati huo huo, Bw Musyoka
ukiwadia na tukiona haja ya kukamatwa Haji ambaye alikuwa ameandamana na alionya kuwa yuko tayari kujitenga
kwa gavana huyo, basi atakamatwa tu,” mkurugenzi mkuu wa shirika la Haki Afri- na ODM iwapo uchaguzi mdogo wa
alisema Bw Haji alipoulizwa iwapo Bw ca, Hussein Khalid. kiti cha Embakasi Kusini utafanyi-
Obado atakamatwa. Jana, afisa huyo aliyetambuliwa kama ka.
Akizungumza kwa mara ya kwanza Lukas Ouko alisisitza kuwa anafanya kazi Alimtaka aliyekuwa mbunge wa
tangu uchunguzi wa mauaji ya Bi Otieno, na kitengo cha ujasusi cha jeshi la wana- eneo hilo Irshad Sumra na mbunge
ambaye alitekwa nyara akiwa na mwana- maji na alitumwa rasmi kumtembelea Bw wa sasa Julius Mawathe kusikili-
habari wa shirika la Nation Media Barrack Oyamo. zana ili kuepuka uchaguzi mdogo
Oduor ulipoanza, Bw Haji alisema kuwa “Mimi ni raia mwema na sikuenda Mig- iwapo Mahakama ya Juu itakubalia-
afisi yake inafuatilia suala hilo kwa makini ori kwa maslahi yangu ya kibinafsi,” afisa na na Mahakama ya Rufaa.
ili kuhakikisha kuwa sheria inafuatwa. huyo aliambia Taifa Leo. Sumra aliwasilisha rufaa na
“Kile tu ambacho ningetaka kuomba Alisema anahudumu katika kambi la uchaguzi wa Mawathe ukabatil-
umma ni tupeane muda mwafaka kwa wanajeshi wa majini iliyoko Mtongwe ishwa. Mawathe aliwasilisha kesi
maafisa wetu wa uchunguzi wamalize mjini Mombasa, na aliwapa maafisa wa katika Mahakama ya Juu na uamuzi
kazi yao. Maafisa wetu wanasaidiana na polisi wa Homa Bay barua rasmi kutoka unasubiriwa.
maafisa wa uchunguzi ipasavyo,” alisema kwa jeshi ya kumruhusu kumuona Oyamo. “Ninamheshimu sana ndugu
Bw Haji wakati wa kikao na wanahabari Hata hivyo, msemaji wa jeshi la Kenya yangu Sumra, lakini kwa sababu
katika afisi za shirika la kutetetea haki za Kanali Paul Njuguna alisema jeshi hai- atagombea kwa tiketi ya ODM, tut-
binadamu la Haki Africa jijini Mombasa. kumtuma afisa yeyote kumuona Oyamo ashirikiana na Jubilee kumuunga
Wakati huo huo, Bw Haji alisema kuwa ambaye aliacha kazi ya jeshi. Mawathe. Itakuwa hivyo na nitaon-
uchunguzi utafanywa kubaini jinsi afi- Malkia wa Taji la Urembo la Miss World Kenya, Finali Galaiya (kulia) na Mfalme gea na Jubilee kufanikisha hayo.
sa anayesemakana kutoka kitengo cha wa tuzo hiyo Robert Budi baada ya kutuzwa Jumamosi usiku. Wawili hao sasa Kwa hivyo, ninataka wewe Sumra
ujasusi cha jeshi alivyoingia katika seli Ili kutolea maoni habari hii, nenda kwa watawakilisha Kenya kwenye shindano la taji la dunia. Picha/Francis Nderitu ujiandae,” alisema Bw Musyoka.
na kumuona msaidizi wa Bw Obado, Bw taifaleo.nation.co.ke
Michael Oyamo, ambaye ndiye mshukiwa

Mke wa mshukiwa aliyefia seli hajulikani aliko Wanafunzi 144 walala nje kufuatia moto
kwamba wanafunzi hawakuhusika
NA BENSON MATHEKA Mwai aliko. Na WAIKWA MAINA kwa vyovyote vile,” akasema Bw
Mke wa David Mwai, mshukiwa mkuu wa Bw Wambugu alisema wanakubali polisi MALI ya thamani ya maelfu ya Huka.
jaribio la kumuua aliyekuwa waziri wa fedha wafanye uchunguzi wao lakini akasema wana- pesa iliharibiwa Jumamosi baada ya Mwalimu Mkuu wa shule hiyo
wa serikali ya Garissa, Idris Mukhtar, hajulika- faa kuwaeleza aliko. Grace Wanjiru aliiambia Taifa Leo
moto mkubwa kuzuka katika bweni
ni alipo tangu mumewe alipokamatwa na kufa Polisi walisema Mwai, aliyekamatwa kwa kwamba hakuna mtu yeyote aliyeje-
kushukiwa kumpiga risasi Idris Mukhtar eneo ya Shule ya Upili ya Wasichana ya
akiwa seli za polisi. Karima, Kaunti ya Nyandarua. ruhiwa kwenye tukio hilo.
Familia ya Mwai inasema haijamuona mke la Kileleshwa jijini Nairobi alijinyonga akiwa
seli za kituo cha polisi cha Parklands. Mkasa huo uliwalazimu wanafunzi Hata hivyo, hakuna chochote
wake tangu mumewe alipokamatwa na polisi kilichookolewa kutoka bweni hilo li-
kwa kushukiwa kumfyatulia risasi Mukhtar. Bw Wambugu alisema ikiwa mke wa Mwai 144 wa Kidato cha Nne kulala nje.
Mwai alizikwa Ijumaa eneo la Nakuru na hatapatikana, watoto wao wenye umri wa Mkuu wa Polisi katika eneo la itwalo ‘Menengai’ ambalo hutumiwa
mkewe hakuhudhuria mazishi hayo huku ikid- miaka mitatu na mmoja watabaki mayatima Engineer, Huka Mohammed alisema na wanafunzi wa kidato cha nne.
aiwa huenda pia alikamatwa na polisi. wakiwa na umri mdogo. moto huo ulianza mwendo wa saa
Watu wa familia ya Mwai wanasisitiza Polisi walisema Mwai alijitia kitanzi na tatu unusu usiku, wakati wanafunzi
ripoti ya uchunguzi wa maiti yake ulithibiti-

21603
kuwa hawajui mkewe aliko wakidai alikamat- walipokuwa wangali wanaendelea
wa pamoja na mumewe mnamo Agosti 30. sha kwamba alijinyonga japo familia yake in-
ashuku aliuawa. na masomo yao madarasani.
Mwai alizikwa katika kijiji la Ngamini “Tunashuku moto huo ulisa-
kwenye sherehe fupi iliyochukua muda wa Gavana wa Garissa Ali Korane alihojiwa
kuhusiana na jaribio la kuua Mukhtar na babishwa na hitilafu za umeme.
chini ya saa mbili na kuhudhuriwa na watu
wasiozidi 200. akaachiliwa huru. Bw Mukhtar amelazwa ka- Wanafunzi walikuwa wangali Ukitaka kuwasiliana nasi
Kituo cha polisi cha Parklands tika hospitali moja jijini Nairobi akiwa na risa- masomoni wakati ulipoanza. Uchun- kuhusu taarifa yoyote, tumia
ambako David Mwai alikufa. Mjomba wa Mwai, James Wambugu ali-
nukuliwa akisema kwamba hawajui mke wa si iliyokwama kichwani. guzi wetu wa mwanzo umebainisha anwani iliyo hapa juu.
Picha/Jeff Angote
TAIFA LEO | Jumatatu, Septemba 10, 2018 3

Amina atangaza mikakati ya usimamizi imekamilika

Maandalizi ya
mitihani ya taifa
tayari - Waziri Na OUMA WANZALA ka mitihani kwa kukosa kuandaliwa vyema.
MAANDALIZI ya mitihani ya kitaifa ya mwaka “Wizara imejitolea kuhakikisha kiwango cha
huu yamekamilika, Waziri wa Elimu Amina Mo- juu cha kusimamia mitihani,” alieleza Waziri
hamed ametangaza. Mohamed. Aliwataka wazazi na walimu kuanza
“Tumeweza kupata makontena mengine 40 na kuwashauri wanafunzi wakiwa wadogo ili kuzuia
kuyapeleka katika baadhi ya maeneo ili yawe kar- visa vya ukosefu wa nidhamu shuleni.
ibu na vituo. Wale walio na jukumu la kusimamia “Mwaka huu, tulishuhudia visa vya ukosefu wa
mitihani wanapaswa kuwa waangalifu ili kuhakik- nidhamu katika shule zetu. Vitendo kama hivyo
isha kuna matokeo mema,” alisema Bi Mohamed. vya ghasia vinafaa kukomeshwa. Kama wizara,
Imeibuka kuwa mkutano utakaoshirikisha Wiz- tutahakikisha watakaohusika watakabiliwa kishe-
ara za Elimu, Usalama wa Ndani na Wizara ya ria. Bodi za kusimamia shule, vyama vya wazazi na
Tekinolojia utafanyika Septemba 17 ili kuweka mi- mabaraza ya wanafunzi zinafaa kuruhusiwa ku-
kakati ya kusimamia mitihani itakayoanza Oktoba. tekeleza majukumu yao na wanafunzi kuonyeshwa
Bi Mohamed alisema ni lazima mitihani ilindwe mbinu za kuwasilisha malalamiko yao ili yatatuli-
kwa vyovyote vile. we,” alisema Waziri Mohammed.
“Tunafaa kuhakikisha kuwa hakuna wizi wa mi- Alisema hayo alipoongoza sherehe za 52 za kua-
tihani. Walimu, wazazi na wadau wote katika sekta dhimisha siku ya kusoma ulimwenguni zilizoan-
hii wanafaa kuwahakikishia watoto wetu ambao ni daliwa katika Kaunti ya Wajir Jumamosi.
watahiniwa kwamba bidii huzaa matunda mema. Kulingana na Bi Mohammed, vituo vya elimu
Hivyo basi, ni jukumu la walimu kukamilisha mtaa- ya watu wazima vinapaswa kutumiwa kuwafunza
la kwa wakati ili wanafunzi wawe na ujasiri wan- wazazi maarifa ya ulezi na kuwaelekeza watoto
apojiandaa kwa mitihani,” alisema. wao kuwa na mienendo mizuri ili wakue wakiwa
Alisema watahiniwa hujaribu kudanganya kati- watu wakutegemewa.
“Ni kwa kuzingatia haya ambapo mtaala mpya
unashirikisha mzazi katika elimu. Ninahimiza wa-
zazi wote na walimu kutekeleza majukumu yao ya
kukuza wanafunzi na wasiwaachie walimu maju-
kumu yao,” alisema.
Bi Taifa
Siku ya kusoma ulimwenguni huleta pamoja
wadau katika elimu kujadili mchango wao kati- LA ZIADA?
ka elimu na athari zake kwa ustawi wa kijamii na Anayetupambia
uchumi. ukurasa huu leo ni
“Kenya imepiga hatua kubwa katika juhudi zake Sasha Wanjiru, 21.
za kukabiliana na kutojua kusoma hasa kupitia
mfumo wa elimu ya msingi na shule za upili za
Yeye ni mwanafunzi
mchana kutwa bila malipo. na mwanamitindo
Mipango mingine ya kukabiliana na hali hii ni chipukizi. Uraibu wake ni
kupitia katiba inayosema kwamba kila mtu ana kusakata densi, kusafiri,
haki ya kupata elimu na kwamba kila mtoto ana kuogelea na kutazama
haki ya kupata elimu ya msingi bila malipo,” al-
ieleza Bi Mohamed. Alisema maeneo kame nchini
filamu.
Waziri wa Elimu Amina Mohammed akiwa mbele ya
kamati ya bunge hapo awali. Picha/Maktaba yako nyuma katika kupigana na kutojua kusoma. Picha/Anthony Omuya

TAITA TAVETA BARINGO

Wakazi wapanga kushinikiza Majangili waiba mbuzi 100 na


serikali iwagawie mapato ya Tsavo kumjeruhi vibaya mchungaji
VIONGOZI wa Kaunti ya Taita Taveta wanapanga kuanza kushuruti- HALI ya wasiwasi imekumba kijiji cha Tuluk, Kaunti Ndogo ya
sha serikali iigawie kaunti hiyo mapato ya mbuga ya Tsavo. Baringo Kaskazini baada ya wezi waliobeba silaha kuvamia kijiji
Wawakilishi wa bunge la kaunti hiyo wanapanga kukutana na Gava- hicho na kuiba zaidi ya mbuzi 100 na kumteka mchungaji mmoja.
na Granton Samboja Jumatatu ili kuandaa waraka utakaowasilishwa Wezi hao wanatuhumiwa kutoka katika jamii jirani.
na viongozi wa eneo hilo kwa Rais Uhuru Kenyatta na Seneti. Tukio hilo lilifanyika baada ya zaidi ya wezi 10 waliobeba silaha
Katika mkutano huo, suala la kubadilisha mbuga ya Tsavo kuwa kali kuvamia kijiji hicho na kumteka mchungaji huyo, aliyetambuli-
eneo la uhifadhi litajadiliwa. wa kama Elijah Aengwo.
Akiongea na Taifa Leo, Diwani wa Kaloleni, Bw Ahmed Omar alisema Kulingana na Richard Chepchomei, ambaye ni mkazi, wezi hao
kuwa serikali imekuwa ikinyanyasa kaunti hiyo kwa kutowalipa map- walikuwa wamebeba bunduki aina ya AK47 na nishale.
ato ya mbuga hiyo. Bw Omar alisema kuwa kubadilishwa kwa mbuga “Wezi walielekeza mifugo hao katika eneo la Tlelon, katika
hiyo ili isimamiwe na serikali ya kaunti kutawezesha wenyeji kunu- Kaunti Ndogo ya Tiaty. Walimpiga mchungaji ambaye walikuwa
faika kupitia mapato yanayotokana na watalii. wamemteka nyara ambapo walimwacha kwa majeraha mabaya
Alisema watashirikisha wananchi, seneta na wabunge wa eneo hilo kichwani,” akasema Bw Chepchomei.
ili kutoa maoni yao kuhusu suala hilo. Aliiambia Taifa Leo kwamba mchungaji huyo, ambaye pia ni polisi
“Tutafanya hayo yote mwezi huu wa Septemba. Kufikia Oktoba wa akiba, alipatikana na wapitanjia na kukimbizwa katika hospitali
tutawasilisha pendekezo hili kwa Rais Kenyatta na vilevile Seneti,” ya Kaunti Ndogo ya Marigat, anakopokea matibabu.
akasema. Na Florah Koech
Na Lucy Mkanyika
Jumatatu, Septemba 10, 2018 | TAIFA LEO
4
HABARI ZA KAUNTI

Wakuu wahimizwa waepuke


walaghai wanaodai kuwa TSC
NA CHARLES WANYORO EMBU hula huu. Wanawatishia walimu kwamba
TUME ya Kuajiri Walimu (TSC), watawahamisha au kunyimwa pesa za
Kaunti ya Embu imeelezea hofu kuhusu kuzistawisha shule zao ikiwa hawata-
kuongezeka kwa watu wanaowahadaa hawatawapa pesa hizo. wahonga. Wanadai kuwa wafanyakazi
walimu wakuu pesa kwa dai la kuwapatia Akiwahutubia walimu kwenye hafla wa TSC, na kuwa wanalenga kuwasaidia
alama nzuri kuhusiana na utendaji kazi ya kushereheka kustaafu kwa aliyekuwa walimu wakuu. Hao ni walaghai,” aliwata-
wao. mkurugenzi wa tume katika kaunti hiyo, hadharisha.
Kaimu Mkurugenzi wa TSC, Aner- Bi Jane Onyango, mkurugenzi huyo alise- Mkurugenzi wa Elimu katika kaun-
iko Maloba alisema kuwa watu hao pia ma kuwa walaghai hao wameongezeka ti hiyo, Bi Margaret Mwirigi aliwata-
hadharisha walimu dhidi ya kupeana Kamishna wa Tume ya Kuajiri Walimu (TSC), Bi Saadia Abdi (kushoto) akimsikiza katibu
wanawapigia simu wakuu hao na kuwat- sana muhula huu. Alieleza kuwa tayari wa Chama cha Walimu Wakuu wa Shule za Msingi (KEPSHA), Bw David Mavuta (kulia)
ishia kwamba watahamishwa au kunyim- walimu wakuu wawili wamelaghaiwa. nambari zao za siri na stakabadhi zao zao
za mishahara kwa yeyote. na mwenyekiti wake Bw Shem Ndolo akitazama wakiwa kwa kongamano katika ukumbi
wa fedha za kuendesha shule zao ikiwa “Walaghai hao wameongezeka sana mu- Sheikh Zayed, mnamo Agosti 15, 2018. Picha/ Maktaba

Jamii hiyo imesema iko tayari kutoa habari zitakazosaidia kuwatambua waliovamia msitu huo KISII

Ogiek waapa kuunga mkono Walimu


wataka KNEC
iwajibikie
uhifadhi wa msitu wa Mau mitihani,
FRANCIS MUREITHI na JOHN NJOROGE
WAKAZI zaidi ya 5,000 wa jamii ya
Ogiek wanaoishi mashariki mwa msitu wa
NAKURU

Bw Towett alidai kuwa ikiwa serikali


iache vitisho
Mau, wameapa kuunga mkono juhudi za
serikali za kuwafurusha wakulima walio- itaendelea kutumia nguvu kuwafurusha Na JADSON GICHANA
vamia msitu huo. wale waliovamia msitu wa Mau hasa kati-
ka eneo la Narok Kusini basi huenda mpan- BARAZA la Mitihani ya Kitaifa
Katika mkutano uliofanyika eneo la Nchini (KNEC) limehimizwa kureke-
Mariashoni kando na msitu huo katika go huu ukaleta uhasama zaidi miongoni
mwa jamii hizi mbili ambazo zimekuwa bisha upande wake kwanza kabla ya
kaunti ya Nakuru mnamo Jumamosi, jamii kutishia walimu kuhusu kuibwa kwa
hiyo iliazimia kushirikiana na serikali ku- zikizozana kwa muda mrefu.
Wakati huo huo, Bw Towett alisema mitihani ya kitaifa.
hifadhi msitu huo kwa kutoa habari zitaka- Katibu wa chama cha walimu wa
zosaidia kuwatambua waliouvamia. kuwa serikali haijatoa makataa rasmi ya
kuwafurusha wote waliovamia msitu wa sekondari (Kuppet) katika Kaunti ya
Hata hivyo mwenyekiti wa baraza la wa- Kisii, Bw Omari Otungu na Katibu wa
zee wa jamii ya Ogiek, Bw Joseph Towet Mau katika eneo la Mashariki.
“Sisi kama jamii ya Ogiek tunaomba chama cha walimu cha kitaifa (Knut )
alisema jamii hiyo haipendezwi na jinsi tawi la Gucha, Bi Lucy Machuki wal-
serikali inawafurusha wale waliovamia serikali itoe mikakati kabambe ya jinsi ya
kuwafurusha wale wote walivamia msitu isema kuwa wasimamizi wa baraza
msitu wa Mau kwa kutumia nguvu kupita hilo ndiyo wahusika wa karatasi hizo
kiasi. wa Mau na jinsi watakavyopewa makao
mapya badala ya kutoa makataa kupitia za mitihani na wala sio watakaoisi-
“Jamii ya Ogiek inaunga mkono kuhifa- mamia.
dhiwa kwa msitu wa Mau lakini njia inay- kwa machifu kuwatisha wakazi wa Mari-
ashoni na Nessuit,” akasema Bw Towett. “Tunawaambia KNEC kuweka
otumiwa kuwafurusha waliovamia msitu nyumba yao vizuri kabla ya kuwat-
huo inakiuka sheria na haki za kibinadamu Alidai kuwa kwa zaidi ya miaka mitano
serikali imepuuza jamii ya Ogiek kila mara ishia walimu ambao watasimamia
na inachangia kuongezeka kwa hali ya ta- mtihani huo mwaka huu,” alisema
haruki miongoni mwa wakazi wanaoishi wanapotafuta suluhisho la msitu wa Mau.
“Jamii ya Ogiek sasa inataka serikali ku- Bw Otungu.
kando na msitu huo,”akasema Bw Towett. Aliongeza, “Baraza la Mtihani ndi-
Aidha Bw Towet alitoa mwito kwa seri- wapa makao ya kudumu na kufutilia mba-
li stakabadhi zote za ardhi zilizitolewa lo lenye kuhusika na karatasi hizo za
kali kutafuta ardhi mbadala na kuwapa mitihani na hivyo kama kutakuwa na
makazi waliotimuliwa katika msitu huu. kwa wanasiasa na watu wenye ushawishi
mkubwa serikalini kwa njia isiyo halali” wizi wowote baraza hilo ndilo lita-
“Jamii ya Ogiek inayoishi katika eneo la laumiwa,” aliongeza.
Narok Kusini imeathiriwa pakubwa na vita akasema Bw Towett.
Bi Machuki alisema kuwa walimu
vya kikabila baina ya jamii ya Wamaasai na walisimamia mtihani wa mwaka
Wakipsigis wanaozozana kuhusu umilikaji Wakazi wa eneo la Kipchoge, katika msitu wa Maasai Mau wakitafakari baada ya serikali jana akiongeza kuwa hakutakuwa na
wa ardhi katika msitu wa Mau na nyum- Ili kutolea maoni habari hii, nenda kwa kuamua kuwafurusha wanaoishi ndani ya msitu bila idhini. yeyote ambaye atalegeza msimamo
ba zao zimechomwa na mali ya maelfu ya
pesa kuangamia,” akasema Bw Towett.
taifaleo.nation.co.ke Picha/Maktaba wake wa maadili.
“Baraza hilo linastahili kukoma
kuwalaumu walimu kuhusu wizi wa
mitihani.Wale ambao wanasimamia
baraza hilo wanapaswa kuelewa
kuwa hakuna mwalimu yuko tayari

Kamati itashinikiza serikali itoe fedha zaidi za ujenzi wa bandari


LAMU
kuharibu kazi yake,”alisema Bi Ma-
chuki.
Wawili hao walikuwa wakizun-
Na KALUME KAZUNGU bandari hiyo vinatarajiwa kukamilika fedha za ziada za kuharakisha mradi gumza katika Shule ya Upili ya St-
KAMATI ya Bunge la Kitaifa kuhusu kufikia katikati ya 2020. unaoendelea wa LAPSSET,” akasema Johns Nyamagwa, kwenye mkutano
Uchukuzi na Miundomsingi itaish- jiwa kukamilika kufikia Disemba mwaka Mnamo Julai mwaka huu, serikali il- Bw Pkosing. uliohudhuriwa na meneja na wasi-
inikiza serikali itenge fedha zaidi za huu. itangaza kwamba ingetoa Sh8.9 bilioni Aliutaja mradi huo kuwa wa manufaa mamizi wa mitihani kutoka Kaunti
kukamilisha mradi wa LAPSSET ambao ili kugharamia ujenzi unaoendelea wa kwa kaunti ya Lamu na pia Kenya. Ndogo ya Sameta.
Akizungumza katika eneo la Kililana, LAPSSET katika mwaka wa fedha wa “Tuko na bomba la mafuta kutoka Bw Otungu pia alitaka Knec ku-
unajumuisha ujenzi wa Bandari Mpya ya Mwenyekiti wa Kamati hiyo ambaye pia
Lamu (LAPSSET). 2018/2019. Lokichar, kaskazini mwa Turkana hadi walipa pia wasaidizi wa wakuu wa
ni Mbunge wa Pokot Mashariki, Bw Da- “Tunahitaji fedha zaidi ambazo zita- Lamu. Ikiwa tutaharakisha kujengwa na shule.
Mradi huo uliokadiriwa kugharimu vid Pkosing, alisema licha ya ujenzi wa
serikali ya kitaifa Sh 2.5 trilioni unajeng- bandari ya Lamu kuendelea vyema kwa harakisha ujenzi wa viegesho vitatu vya kukamilishwa kwa LAPSSET, ikiwemo “Sio vizuri Knec kuwalipa mame-
wa katika eneo la Kililana. kwanza hasa ikiwa viegesho hivyo vina- mradi mkubwa wa bomba la mafuta, neja ambao ni walimu wakuu na ku-
sasa, kuna haja ya fedha zaidi kuteng- lengwa kuwa tayari kufikia 2020. Kama tutapunguzia mwananchi gharama ya waacha nje wasaidizi wao kwenda
Kufikia sasa ujenzi wa viegesho vitatu wa ili kuharakisha zaidi kukamilika kwa
vya kwanza vya bandari hiyo unaende- ujenzi huo. kamati, tutaandika barua kwa wahusi- ushuru wa mafuta kama ule wa hivi nyumbani mikono mitupu,” alisema
lea huku kiegesho cha kwanza kikitara- ka, ikiwemo waziri wa fedha ili kutenga punde ya asilimia 16,” aliongeza. Katibu huyo.Pia alitaka Sh500 wana-
Viegesho vitatu vya kwanza vya
TAIFA LEO | Jumatatu, Septemba 10, 2018 5
HABARI ZA KAUNTI
KIAMBU
Viongozi walaumiwa kwa kukosa maono ya ustawi BARINGO

NLC motoni kuhusu POLISI katika

Ufisadi ndio
eneo la Baringo

ardhi ya polisi Thika wakiwinda ma-


jangili ambao
huhangaisha
Na LAWRENCE ONGARO wakazi mara
KAMATI ya usalama mjini Thika, imei- kwa mara.
taka tume ya ardhi nchini (NLC) irejeshe Picha/Maktaba
kwa serikali ardhi ya polisi inayodai
ilinyakuliwa katika eneo la Makongeni
mjini Thika.
Kamati hiyo ikiongozwa na Mwenyeki-
ti wao Bw Paul Njomo inailaumu NLC
kwa unyakuzi huo.
kiini cha njaa
Afrika - Kikao
"Inasikitisha kuona kwamba watu
wachache wanaweza kunyakua ekari
11 za ardhi iliyotengewa idara ya polisi
kujenga nyumba za maafisa," alisema
Bw Njomo.

Polisi maeneo hatari


Alisema idara ya polisi ilipata kipande
cha ardhi cha ekari nne pekee .
Kamati hiyo ya usalama inataka seri- KIGALI, Rwanda
Na LEONARD ONYANGO

wadai kutelekezwa
kali kupitia tume ya ardhi, kufanya hima akiwa Kigali, Rwanda
kuona ya kwamba walionyakua ardhi UFISADI unachangia kwa kiasi kikubwa ku- Blair alisema ukosefu wa sera na uadilifu ni pigo
ya serikali wanachukuliwa hatua kali wepo kwa baa la njaa nchini Kenya pamoja na kwa uzalishaji wa chakula.
na ardhi hiyo kutwaliwa bila kuwalipa mataifa mengineyo ya Afrika. “Inasikitisha kwamba mamilioni ya watu ba- Na OSCAR KAKAI
wanyakuzi fedha zozote. Kulingana na wataalamu na viongozi wa rani Afrika wanaendelea kukosa chakula ilhali MAAFISA wa usalama wanaofanya kazi katika maeneo ya mpa-
mashirika mbalimbali ya kimataifa, ufisadi un- ardhi imejaa rutuba,” akasema Bw Blair ambaye ka wa kaunti za Pokot magharibi, Elgeyo Marakwet, Turkana na
KWALE asababisha njaa barani Afrika sawa na mabadi- pia ni mwenyekiti wa taasisi ya Tony Blair Insti- Baringo wanalalamikia hali ngumu ya maisha wakidai wametele-
liko ya hali ya hewa na viwavi vinavyoharibu tute for Global Change. kezwa na serikali licha ya kufanya kazi katika maeneo hatari.
mazao. Naye Rais wa Wakfu wa Rockefeller, Rajiv Maafisa hao wa kupambana na visa vya wizi wa mifugo, GSU,
Mvurya amuomba Wataalamu hao wanaamini kuwa siasa
mbovu na ufujaji wa fedha za umma vitazuia
Shah alisema ufisadi huenda ukatatiza ndoto
ya Afrika kuwa na chakula cha kutosha kufikia
polisi na askari wa akiba wanasema kuwa wanapitia changamo-
to nyingi hata baada ya serikali kudai kuimarisha hali ya kazi ya
Uhuru ahairishe bara la Afrika kuwa na chakula cha kutosheleza
raia wake kufikia 2030.
2030.
“Ni kweli kwamba ufisadi umekita mizizi
walinda usalama nchini.
Maafisa hao walielezea Taifa Leo kuhusu ugumu wa maisha
Akizungumza katika kongamano kuhusu kil- katika sekta ya kilimo na unahitaji viongozi wanaokumbana nao kazini huku wakidai kuwa wanaishi katika
ushuru wa mafuta imo la 2018 lililokamilika wikendi jijini Kigali,
Rwanda, aliyekuwa naibu waziri wa mashauri
wakakamavu kukabiliana na janga hilo,” akase-
ma Dkt Shah.
hali duni na hata mara nyingi wanakosa chakula na maji safi ya
kunywa.
SIAGO CECE na FADHILI FREDRICK ya kigani wa Amerika Jendayi Frazer alisema Rais wa Shirika la Kimataifa la Ufadhili wa “Serikali imetusahau. Tunang’ang’ana na majangili lakini haku-
GAVANA wa Kwale Salim Mvurya am- ufisadi katika sekta ya kilimo na uchoyo wa Ustawi wa Kilimo (IFAD) Gilbert Houngbo alise- na anayetujali,” alisema afisa mmoja wa GSU ambaye hakutaka
emhimiza Rais Uhuru Kenyatta kuweka wanasiasa vimeathiri pakubwa uzalishaji wa ma ni kiasi kidogo mno cha fedha zinazokusany- jina lake lijulikane.
chakula cha kutosha barani Afrika. wa na serikali kutoka kwa wahisani zinawafikia Maafisa hao waliozungumza kwa njia ya siri wanadai kuwa
sahihi mswada wa kuahirisha utozaji wa Dkt Frazer, ambaye pia ni mkurugenzi wa wakulima wa mashamba madogo, ambao hu- wamevunjwa moyo na jinsi serikali imeshindwa kuwapa huduma
ushuru wa VAT kwa bidhaa za mafuta. shirika lisilo la kiserikali linalosaidia wakuli- zalisha asilimia 80 ya chakula kinachotumiwa nzuri licha ya wao kuishi katika maeneo hatari na mara kadhaa ku-
Alisema ongezeko la bei ya mafuta ya ma wa mashamba madogo kupata masoko ya barani Afrika. vamiwa na majangili .
petroli limewaathiri sana wananchi wa bidhaa zao, Africa Exchange Holdings, alisema Ripoti ya mwaka huu kuhusu Hali ya Kilimo “Hapa maisha ni kuvumilia sababu tumetelekezwa,” alisema af-
kawaida. uwazi unahitajika katika sekta ya kilimo ili ku- Barani Afrika inaonyesha kuwa maafisa serika- isa huyo.
“Tumeshuhudia kuhangaika kwa wezesha bara la Afrika kujikomboa kutokana na lini hupenda kuwekeza katika miradi mikubwa Maafisa hao wanasema kuwa hali ya usalama eneo hilo ni tete na
wananchi kutokana na ongezeko la bei makali ya njaa. ili kupata mgao wao wa ufisadi na kutelekeza hawana uwezo wa kukabiliana na mashambulizi kutokana na idadi
ya mafuta. Namwomba Rais Uhuru Ken- “Kiongozi anachaguliwa leo na kesho anaan- wakulima wadogo. ndogo ya maafisa wa usalama .
yatta aingilie kati,” alisema Bw Mvurya. za kukusanya fedha atakazotumia katika uch- Nchini Kenya, ufisadi umekithiri katika kila “Tunaishi kwa neema ya mungu sababu mashambulizi ni kila
guzi ujao. Miradi michache wanayotekeleza hatua ya uzalishaji katika sekta ya kilimo. siku,” walisema.
Alisema kuwa kuongezeka kwa bei ya inalenga kuleta kura na wala si kuwainua watu Walisema hata marupurupu yao ya kufanya kazi katika maeneo
mafuta kutachangia gharama ya maisha kiuchumi. Bila kuwepo na uadilifu katika sekta hatari hawajapata kwa miezi kadhaa.
kupanda na wananchi. ya kilimo njaa itaendelea kuwa donda ndugu ba- Ili kutolea maoni habari hii, nenda kwa Baadhi ya maafisa wanadai kuwa hawajapewa likizo kwa muda
Gavana huyo aliihimiza serikali rani Afrika,” akasema Dkt Frazer. taifaleo.nation.co.ke mrefu.
kutafuta njia nyingine ya kupata mapato Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Uingereza Tony
badala ya kuwaumiza walipaji ushur.
Akizungumza wikendi katika eneo
la Mvindeni, Ukunda alipoandamana NAIROBI
na Katibu Mkuu wa Shirika la Msalaba UBUNIFU: Wanafunzi wacheza uwanja uliofurika maji
Mwekundu, Bw Abbas Gullet ,gavana
huyo alisema idadi kubwa ya Wakenya
ni masikini wasiohitaji kutozwa ushuru
Kibaki amsifu marehemu Godia
zaidi. kama mwanamageuzi, mtaalamu
Na BENSON MATHEKA
Rais Mstaafu Mwai Kibaki amemtaja aliyekuwa Katibu wa Wizara
ya Elimu marehemu Prof George Godia kama mtaalamu na mwanam-
ageuzi.
Prof Godia alikufa Jumamosi baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Kwenye rambirambi zake, Bw Kibaki alisema marehemu Godia
atakumbukwa kama mtaalamu shupavu aliyehudumu katika sekta
tofauti kwa kujitolea.
“Utaalamu wake umeacha kumbukumbu isiyoweza kufutika.
Ninaomba Mungu aipe familia yake amani na faraja,” alisema Mzee
Kibaki kwenye taarifa.
Kibaki alimteua Godia kuwa katibu wa wizara ya elimu katika serika-
li yake 2014.
Naibu Rais William Ruto alisema marehemu Godia atakumbukwa
kama msomi na mwanadiplomasia mtajika.
"Ninafariji familia, marafiki na wasomi kufuatia kifo cha Prof George
Godia. Godia alitetea maslahi ya Kenya kote ulimwenguni,” alisema Bw
Ruto.
Godia alijiunga na wizara ya elimu 2004 kuwa katibu wa elimu na
kupanda cheo kuwa katibu wa wizara.
Wanafunzi wa shule ya msingi ya Sintaan, Kaunti ya Baringo wakicheza kwenye uwanja Spika wa Bunge la Kitaifa, Justin Muturi pia alituma rambirambi
uliofurika maji kufuatia mvua kubwa eneo hilo. Wanafunzi hao walichukua fursa hiyo kubuni
zake kwa familia ya Prof Godia akisema alifanya kazi yake kwa kuji-
Gavana Salim Mvurya wa Kwale. michezo mbalimbali ya kucheza kwenye maji. Picha/CHEBOITE KIGEN
tolea na utaalamu mkubwa.
Picha/Maktaba
6 Jumatatu, Septemba 10, 2018 | TAIFA LEO

KURUNZI YA PWANI
Wxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxdit
Wengi wao hawakusoma kwani waliozwa wangali wachanga

Afueni wanawake
wa jamii ya ufugaji
wakikumbatia
elimu ya ngumbaru Afisa wa
wilaya ya Bura
akimtuza
Bi Shariffa
Bodole cheti Mradi wa choo cha umma unaosimamiwa na madereva na manamba wa matatu
katika sherehe katika eneo la Shanzu, Mombasa. Picha/Charles Ongadi
ya kuhitimu
masomo ya
watu wazima
katika shule za
gumbaru ma-
Madereva na manamba
wachukua hatua ya kipekee
juzi. Bi Bodole
atakuwa anaji-
unga na darasa
la kwanza.

kwa kuanzisha choo mjini


Zaidi ya
wanawake 50
walihitimu.
Picha/Stephen
Oduor
axax axaxaxaxa axaxxaxa axaxxa axaxax aaxxaxa axaxxa axaxxa axaxaxxa axaxxa axaxax axaxaxa axaxxaxa axaxaxxa axaxxaxa
Na CHARLES ONGADI ba tabia sugu ya baadhi ya wenzake ku-
axaasia axaxxaxa axaxxa axaxax aaxxaxa axaxxa axaxxa axaxaxxa axaxxa axaxax axaxaxa axaxxaxa axaxaxxa axaxxaxa axa.
NI mradi wa kwanza wa vyoo vya kosa kuoga kwa kisingizio cha ukosefu
Picha/xxx xggxgxgx Okall umma unaosimamiwa na madereva na wa maji hatimaye umefikia tamati.
manamba wa matatu ambao umeleta “Baadhi ya manamba wenzangu wa-
afueni kwa wakazi wa Pwani. likuwa wakishutumiwa na abiria kwa
Na STEPHEN ODUOR XXXXXXXXSA
hiyo, kwani hata hivyo alikuwa ame- "Nimeanza na nia yangu ni kufika Mradi huu ulioanzishwa mwaka jana kunuka nongo baada ya kukosa kuoga
telekezwa kama mke wa pili, na kila chuo kikuu, nami niwe kielelezo na na serikali ya Kaunti ya Mombasa uko kwa siku kadhaa. Hata baadhi wakajikuta
MASOMO ya mtoto wa kike katika kwenye barabara kuu ya Mombasa-Ma- wakiogeshwa kwa lazima lakini visa na
familia za wafugaji katika Kaunti ya kitu kupewa mke wa nne, hivyo basi mfano wa kutajika katika jamii," al-
hapakuwa na sababu ya kusalia katika ieleza. lindi katika kituo cha biashara cha Shan- lalama hizo hazipo tena tangu kuanzish-
Tana River hayajatiliwa maanani, na zu, Mombasa. wa kwa mradi huu wa vyoo vya umma,”
kuchangia kwa wengi kuozwa wakiwa ndoa ile. Hamisa Dhofar Bile ni mwingine
"Mimi nilisahaulika kitambo sana, anayejizatiti katika kuhakikisha kuwa “Mradi huu umeweza kuwasaidia asema Bw Karisa.
na umri mdogo. wananchi wengi hasa Wafanyibiashara, Mradi huu ulioanzishwa kwa kima cha
Kulingana na tamaduni zao, baada hata watoto niliachiwa na mapenzi gurudumu la masomo linaelekea kilele-
alipatia mke mdogo, nilisalia gogo tu ni. Wasafiri, Manamba na Madereva wan- ksh 1.5 milioni, unasimamiwa na muun-
ya mtoto wa kike kukeketwa, huwa ke- aohudumu katika barabara ya Momba- gano wa makundi matatu ya Manamba
shakuwa mwanamke na hivyo tayari na yeye kunitaliki ilikuwa mbinu ny- Aliolewa akiwa na miaka 13 pindi tu
ingine tu ya kutengeza nafasi ya mke alipomaliza darasa la nane kwa mzee sa-Malindi ambao kwa kipindi kirefu na Madereva wanaojulikana kwa maji-
kuolewa. wametaabika kwa kukosa mahali pa kuji- na ya utani kama Westgate, Eastgate na
Kulingana na idara ya watoto ka- mwengine, " alieleza. wa miaka 56, aliyekuwa na wake wawili
Alirudi kwao na watoto wake sita, na baada ya kutaliki wengine wawili. saidia,” asema Bw Morgan Tauro ambaye Wapambe walio katika steji za Shanzu na
tika kaunti, takriban asilimia 85 ya ni mwenyekiti wa mradi huu. Mtwapa.
wanawake walio katika ndoa katika kila waliporauka kwenda skuli, alianda- "Ni mzee niliyemjua nikiwa mtoto
mana nao moja kwa moja, wote wakiin- na hata nikiwa nabaleghe, kila alipooa Kulingana na Bw Tauro, wanatoza bei Naibu Chifu wa Shanzu Athumani
jamii za wafugaji huolewa wakiwa na nafuu ya kiasi cha ksh 10 pekee kwa mteja Fondo asema kwamba lengo la kuanzi-
kati ya miaka 12 na 24. gia darasani, ila kwake, aliingia darasa tulihudhuria sherehe za harusi na kula
la watu wazima. kweli kweli," anasimulia huku akiche- anayehitaji huduma kwenda haja ndogo, sha mradi huu ilikuwa ni kuwaweka bize
Hivyo basi baadhi ya wanawake ka- kubwa na hata kuoga. Manamba na Madereva wa matatu pindi
tika jamii hizi huwa hawana ujuzi wa Amekuwa akijizatiti darasani, kwani ka.
aliingia akiwa hajui kusoma, kuandika, Bi Bile alishuhudia harusi mbili za Bw Paul Kioko ambaye ni Mwanabod- wanapomaliza kazi.
kusoma wala wa kuandika. aboda Shanzu anaiambia Kurunzi ya “Mara nyingi madereva na manamba
Lakini mambo sasa yameanza wala kuzungumza Kiswahili vizuri, lak- mwanamume huyo na hata baadhi ya
ini sasa anaweza hata kuandika majina watoto wa mzee huyo walisoma pamo- Pwani kwamba kabla ya mradi huu wa walikuwa wakikaa bila la kufanya kila
kubadilika kwani baadhi ya wanawake vyoo kuanzishwa mwaka jana wengi wao baada ya zamu zao na kujipata wakiji-
wameamua kujiunga na elimu ya watu ya wanawe. ja katika shule ya msingi.
"Mimi sikujua hata kuandika jina Vivyo hivyo alishuhudia mwanamme walikuwa wakijisaidia katika kichaka tumbukiza katika matumizi ya miha-
wazima almaarufu ngumbaru. kilicho mkabala na kituo chao. darati na anasa na tuliamua kuanzisha
Fatuma Gafo, mkaazi wa bura ni langu, hata Kiswahili kilikuwa shida huyo akiwataliki wake wake wawili.
sana, ni Kiorma tu nilichoelewa, laki- Kuolewa kwake hapakuwa na fursa “Tulikuwa tukijisadia kichakani hapa mradi huu kuwaweka bize pia kuwaon-
mama wa watoto sita na aliyekuwa mke na kuzua uchafuzi wa mazingira laki- gezea mapato yao,” anaema Bw Fondo.
wa pili wa mumewe aliyemtaliki alipo- ni sasa mambo ni tofauti kwangu, saa ya kuchagua, kuwaza wala kuamua, bali
hizi naandika hata sentensi nzima,” kutii amri ya babake ambaye anaeleza ni tangu mradi huu uanzishwe mam- Bw Taura anakiri kwamba mradi huu
gundua amejiunga kisiri na masomo ya bo yamekuwa bambam kwetu na hata umeweza kubadilisha mienendo ya baa-
gumbaru mwaka uliopita. anaeleza kwa tabasamu. kuwa hangechelewa kuua yeyote aliye-
Bi Gafo sasa ana furaha tele, kwani pinga uamuzi wake. mazingara yapo shwari tu,” afichua Bw dhi yao ambao walikuwa wamejisahau
"Nilianza kuungana na mama fu- Kioko. kimaisha.
lani mjane aliyekuwa anaenda kusoma anahisi amepata uhuru ambao alinyim- "Babangu hakuwa mtu wa kuwaza
wa tangu utotoni. na mwanamke, hata ubishi wa majirani Kwa Peter Thuo anayemiliki hoteli ya Hata hivyo, anasema ukosefu wa ujuzi
masomo ya watu wazima kule mtaani, chakula eneo hilo anasema kwamba wa- wa kutosha miongoni wa wanachama ni
nikaanza kwenda kusoma na hapo Baba yake aliaga miaka mitano ili- ungemtia wazimu kiasi cha kuingilia
yopita, na sasa amebaki na mama yake kati kumcharaza mwanamke; aliogope- teja wake wengi wamepata mahali pa kati ya changamoto zinazokabili mradi
mume wangu alipogundua, akaamua kujisaidia baada ya kupata mlo wao wa huu kwa sasa.
kunitaliki, " asimulia. ambaye anamsaidia na malezi, na hata wa sana, alipotoa amri, wewe ni kutii, "
kumpa motisha katika juhudi zake. asimulia. mchana na usiku. Aidha, Bw Taura anasema kwamba
Mume wake alimshtaki kwa wazee Anaongeza kwamba kabla ya kuan- mchakato wa kuandaa semina ya usi-
kwa kuungana na wanawake wa ‘kutan- Akiwa na umri wa miaka 26 sasa, Bi
Gafo atakuwa anajiunga na darasa la zishwa kwa mradi huu wateja wake wen- mamizi kwa wanachama wake 150 unae-
gatanga’ na wanawake wasio na tabia Ili kutolea maoni habari hii, nenda kwa gi walikuwa wakisumbuka kupata mahali ndelea huku akimwimiza Gavana wa
njema, wala heshima kwa ndoa, na hata kwanza, akiwa na imani ya kusukuma
Ili kutolea maoni habari hii, nenda kwa pa kujisaidia baada ya mlo jambo ambalo Mombasa Hassan Joho kutia mkono kati-
kumsingizia kuwa kahaba. gurudumu hilo la masomo hadi chuo taifaleo.nation.co.ke
Hata hivyo, Bi Gafo aliikubali talaka kikuu, majaliwa. taifaleo.nation.co.ke halipo tena.
Lucky Karisa, 35, ambaye ni manamba
ka kuhakikisha wamepata mafunzo aula
ya kusimamia mradi huu.
katika steji ya Mtwapa, anafichua kwam-
TAIFA LEO | Jumatatu, Septemba 10, 2018 7

Hamasisho la NiE
shuleni Ngongoni
Primary, Kitui

Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi ya Ngongoni, eneo la Nguutani, Kaunti


ndogo ya Migwani, Kitui, Bi Patricia Ngui Muthengi (kushoto), Mwenyekiti wa
Muungano wa Walimu na Wazazi (PTA) Francis Ngindi (na kofia), John Muny-
woki (mwanachama wa Bodi ya Usimamizi, BOM aliye pia Mwakilishi wa Wakfu
Wanafunzi wa Shule ya Msingi ya Ngongoni, eneo la Mwingi, Kaunti ya Kitui walipotembelewa na wafanyakazi wa kampuni
wa Munywoki) (pili kulia) na Simon Muthengi Ngindi aliye Mwakilishi wa BOM
ya Nation Media Group (NMG) wakati wa hamasisho la NIE.
(kulia) wakati wa hamasisho la mradi wa Magazeti Shuleni (NIE) humo majuzi.

Afisa wa usambazaji magazeti wa NMG, Evelyne Kisilu Wanafunzi wa Shule ya Msingi ya Ngongoni, eneo la Mwingi, Wanafunzi wasikiliza hotuba kuhusu mradi wa NIE walipotem-
ahutubia wanafunzi wa Shule ya Msingi ya Ngongoni wakati Kaunti ya Kitui wawasikiliza wafanyakazi wa NMG waliowa- belewa na kikosi cha NMG.
wa hamasisho la NIE shuleni humo. tembelea shuleni mwao.

Wanafunzi wa Ngongoni Primary waliobobea katika masomo mbalimbali


waonyesha zawadi walizotuzwa na wafanyakazi wa Taifa Leo wakati wa Wafanyakazi wa NMG, walimu na wasimamizi wa Shule ya Msingi ya Ngongoni, Kaunti ya Kitui wakati wa hamasiho la NIE shuleni
mradi wa NIE shuleni mwao. humo hivi majuzi. Picha zote/Wycliffe Otieno
8 Jumatatu, Septemba 10, 2018 | TAIFA LEO

DONDOO! Za Hapa Na Pale

Wazo Bonzo Buda aduwazwa na dalili


za kislayqueen za bintiye
CHEPTOROR, KERICHO

BUDA wa hapa alimchemkia bintiye


akimlaumu kwa kuonyesha dalili za kuwa
slayqueen. Kulingana na penyenye, kipusa
husoma chuo kikuu na juzi alifika nyumbani
baada ya miezi mitatu. Babake alishanga
kumwona bintiye amebadilika mno.
“Salaalee! Nashangaa kuona vile maisha
yako yamebadilika. Simu yako ni ya thamani
mno ishara kuwa huenda una sponsa tayari
kama hawa vidosho tunaowasikia. Nikigun-
dua ni ukweli utanitambua," mzee alieleza
hofu yake na kutoa onyo. Binti alijitetea kuwa
anashiriki biashara ndogo chuoni na hivyo
kupata hela. Hata hivyo, baba hakuridhika
na akachukua muda mrefu akimwonya dhidi
ya kutamani raha hadi kushiriki ufuska na
mabwenyenye.
Na Nicholas Cheruiyot

Wasusia matanga kwa


MANG’AANI, MACHAKOS kuwekewa masharti
Mababu Polo amtoa mkewe BUMALA MJINI

WAKAZI wa hapa walisusia matanga ya

walimana
kikaoni kwa lazima
jirani wakidai kiwango kilichowekwa kutoa
mchango kilikuwa cha juu zaidi. Inasemekana
kila aliyehudhuria matanga alistahili kutoa
Sh500 na zaidi. Waandalizi wa matanga wal-

mangumi iweka kiwango hicho wakidai walitaka kupata


pesa haraka kusafirisha maiti kutoka mjini.
Baadhi ya wanakijiji walisusia matan-

kwa sababu ga wakisema hawakuwa na pesa hizo. Ni


wachache walioungana na familia kuom-
boleza. Waliosusia matanga walidai kwamba

ya ardhi hawangepata pesa hizo na kulaumu familia


na kamati kwa kuweka masharti kwa wali-
otaka kusaidia kuomboleza nao na kusaidia
SINEMA ya bwerere ilishuhudiwa kuandaa mazishi.
eneo hili wazee wawili waliokula Na Stephen Dik
chumvi nyingi walipochafuana sura
mbele ya baraza la wazee kufuatia
mzozo wa ardhi.
Kulingana na mdaku wetu, wazee
hao walianza kuzozania kipande cha
ardhi miaka kadha iliyopita.
“Hakuna ofisi yoyote ya serikali
ambayo wazee hao hawakupele-
kana. Ni kana kwamba walikuwa
wanaonyeshana ubabe wao,” alisema
Pasta atimua wanakwaya
mpambe wetu. Inasemekana kwam-
ba, korti ikiamua kuwa mmoja wao waliofika bila sare rasmi
ndiye mmiliki halali wa shamba hilo, NA JOHN MUSYOKI
mwenzake alikuwa akirejea kortini KIRITIRI, EMBU NAKURU MJINI
ULISHUHUDIWA kioja sehemu hii mle-
kukata rufaa.
Hii ilifanya mzozo huo uchukue
miaka mingi bila suluhu kupatikana.
K vi alipokita kambi kanisani na kuvuruga
mkutano wa pasta na akina mama akim-
taka mke wake kurejea nyumbani.
rudi nyumbani ukamsubiri," pasta alisema.
Jamaa alipandwa na mori na kuanza kum-
fokea mtumishi wa Mungu mbele ya watu.
PASTA wa kanisa moja mjini hapa ali-
watimua waimbaji waliokataa kuvalia sare
rasmi alivyokuwa amewaagiza. Yasemeka-
Hivi majuzi, mzee mmoja aliamua Jamaa alisema alitaka mkewe aende kumpik-
kupeleka kesi hiyo kwa baraza la ia chamcha na kumlaumu mchungaji kwa kufun- "Eti unasema nirudi nyumbani nikasubiri na mchungaji alitaka kutumia kwaya hiyo
wazee wa ukoo wao na kikao cha za wanawake waache kuheshimu waume wao. mke wangu ubaki ukiwa na yeye. Nitaondoka kutumbuiza wageni waliofika kwa mchango
dharura kikaandaliwa. Twaarifiwa Siku ya kioja inasemekana pasta aliita mku- hapa na mke wangu upende usipende. Ukijaribu kanisani lakini baadhi yao walikaidi amri wal-
tano baada ya ibada na mke wa jamaa huyo ali- kunifukuza utakiona cha mtema kuni," jamaa ipofika bila yunifomu na kujiunga na wenzao.
kwamba, mahasimu hao wa jadi
kuwa kati ya wale waliohudhuria mkutano huo. alijitoma kanisani akiwa amekasirika na kuan- “Kwa nini tunashinda tukisumbuana
walihudhuria kikao hicho. za kuhangaisha watu mkutanoni akimtaka mke
Wakati mtumishi wa Mungu alipokuwa ak- kuhusu kitu kidogo kama hiki, leo hakuna
Hata hivyo, kesi ilipoanza kusikiliz- wake atoke waende nyumbani.
iendeleza mkutano,jamaa alifika kanisani akiwa kuimba kwa wasiovalia yunifomu hadi
wa, mmoja wao alijawa na hamaki na amechapa mtindi kweli kweli na kuita pasta nje. Baadhi ya watu walijaribu kumzima jamaa
akamvurumishia mwenzake konde Jamaa alimtaka pasta amruhusu mke wake huyo lakini aliwazidi maarifa. Baadaye jamaa mtakapojifunza kuniheshimu,” pasta aliteta
akaramba mchanga. aende nyumbani akampikie chakula. Licha ya alifanikiwa kumpata mke wake na wakarejea na kuwatimua waimbaji kadhaa walipojaribu
Mwenzake aliamua na kumka- jamaa kuomba pasta aruhusu mkewe kuondo- nyumbani. kubishana naye.
bili na kwa muda wakabadilishana ka mkutanoni, mchungaji alianza kumfokea na Alimuonya pasta dhidi ya kuwatawala wake Waumini walimshtumu mchungaji kwa
mangumi.Hata hivyo , wawili hao kumtaka arudi alikotoka. za watu kwa kuwapa mafunzo ya kuwafanya kuwaaibisha wanakwaya waliokuwa wameji-
"Bwana wewe, una akili timamu kuja kanisani wasitekeleze majukumu yao. Inasemekana pas- tolea kutangaza injili kwa hali na mali.
walitenganishwa na wazee wenzao
kutaka mke wako aende nyumbani akakupik- ta hakuendeleza mkutano huo baada ya mke wa Na Richard Maosi
na kikao kikaahirishwa hadi mwaka jamaa huyo kuondoka.
ie chakula? Mke yuko mkutanoni na kwa hivyo
ujao.
Na Cornelius Mutisya
TAIFA LEO | Jumatatu, Septemba 10, 2018 9

BARUA
Barua zote kwa Mhariri lazima ziwe na jina kamili la mwandishi na anwani yake. Zitumwe kwa: Mhariri, Taifa Leo, S.L.P. 49010, GPO
00100, Nairobi au tumia simu kutuma barua yako isiyopungua maneno 100 kwa nambari 21603
au barua pepe taifa@ke.nationmedia.com

Sote tupalilie amani


KENYA imekumbwa na changamoto tele
kwa muda mrefu sasa.
Wito wangu kwa kila Mkenya ni kuwa
Ujumbe Mfupi
tujitolee sote kuombea amani, upendo na
usalama.
Kila Mkenya awe ni Mkristo, Mwislamu,
muumini wa dini za kitamaduni, hana budi MAONI: GAVANA wa ambao wanatuhumiwa
kupiga magoti na kuupanda, kuuombea, Nairobi Mike Sonko kufuja ama kunyakua mali
kuupalilia, kuunyuzia, kuulea, kuulisha, anapendekeza kuwa ya umma kwa yovyote vile.
kuuvuna, kuulinda na kuupalilia mti wa am- mabwanyenye walionyakua Msomaji, Voi
ani. Hii itawezekana kwa kuumaliza wivu, ardhi zilizotengewa shule
kinyongo, fitina, majivuno, ubinafsi, kujihisi
kuwa tajiri kuliko wengine na ubaguzi. au hospitali au taasisi za Mike Sonko, hapo
Kupitia njia hii tutaweza kwa jumla kujii- umma Nairobi, watafute umekosea, hawa matapeli
ta taifa moja la Kenya. ardhi mpya na kujenga watapeleka hizo huduma
MWANAMAONI, taasisi hizo kwa gharama mbali na wananchi na hiyo
Kupitia SMS zao wenyewe iwapo ni njia moja ya
hawataki majengo yao kumwongezea mzigo.
Wizi wa mitihani uzimwe yabomolewe. Je, unaunga
mkono pendekezo hili la
Kyanzi, Malili

WANAFUNZI wanapokaribia kufanya mi- Gavana Sonko? Namuunga mkono


Gavana Sonko. Namhimiza
Ajenda za Rais za maendeleo zimo
tihani yao ya kitaifa, sheria mpya zilizobuni-
wa zitasaidia kuzima wizi. Sikubaliani na Bw Sonko. kutolegeza kamba dhidi ya
Visa vya wizi wa mitihani vimekuwa vi- Sioni kama anaeleza wanyakuzi wa mali ya

hatarini ikiwa hatutakomesha ufisadi


kitekelezwa kila mara. Wizi wa mitihani ukweli. Je, yeye atarejesha umma. Lakini anapopigana
umeliathiri taifa pakubwa. mali yoyote na zimwi hili la wizi
Hii imedhihirika pale ambapo watu wal- itakayothibitishwa asijaribu kuweka mipaka,
iosemekana kuwa wamepita mtihani kus-
Ajabu kuthamini siasa kuliko uhai
anamiliki kinyume cha kwani mwizi ni mwizi. Mbali
MPANGO wa Rais Uhuru Kenyatta kutekeleza hindwa katika maeneo ya kazi. Wengine sheria? na taasisi ambazo gavana
ajenda nne kuu za maendeleo ukifanikiwa uta- wanajiita madaktari lakini hata hawajui
vipimo mwafaka vya dawa kwa wanaougua. Shebe, Zipingoni amezitaja kuna wengine
saidia sana kubadilisha maisha ya wananchi na VISA vya wanasiasa kuuawa na wenzao wamenyakua hata
kuinua uchumi wa nchi hii. vimekuwa vikisikika tangu zamani. Kuiba mitihani hushusha hadhi ya wal-
Wanasiasa wengi wamepoteza maisha yao imu na pia wanafunzi hatimaye kuleta Ni kweli wale shehemu zinazostahili
Hatuhitaji misaada ya kigeni kujiendeleza
kwani Kenya ni nchi ambayo imebarikiwa na rasil- bila sababu mwafaka. Cha kushangaza ni kuwa madhara kwa shule. wanaonyakua ardhi za kunjengwa barabara za
mali kochokocho. wanaotekeleza mauaji haya hufanya hivi ndipo HILLARY FLETCHER WANYONYI, serikali kwa manufaa yao umma.
Tatizo ni kwamba waliowekwa mamlakani ku- waweze kuingia uongozini kwa urahisi au wa- Chuo Kikuu cha Egerton wenyewe, sasa wajipange Samuel Plumber Muchiri,
tunza na kugawa rasilmali tulizo nazo wanainajisi zuie upinzani. kwani wakimulikwa kama Karumandi.
na kuipaka tope nchi yetu. Pio Gama Pinto, Tom Mboya, Robert Ouko, vile gavana wa Nairobi
Wanajisi hawa ndio kikwazo kikubwa kwa ajen-
da hizo nne na hakuna mwekezaji atavutiwa na
Josiah Mwangi Kariuki ni miongoni mwa wana-
siasa waliouawa bila kutambua nani aliyekuwa Makamishna wana mzaha asemavyo, watakula huu.
Charo Mzee Mmoja
MJADALA WA LEO:
POLISI wameshtumiwa
uporaji wa aina hii. Ikiwa Wakenya wanaporwa chanzo cha vifo vyao. Mkenya, Embu. vikali kwa kuwaua vijana
Mbali na wanasiasa, wananchi wa kawaida MAKAMISHNA wawili wa zamani wa
hivi sembuse wawekezaji? Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) kiholela, bila kubainisha
Hatuna budi kuisafisha na kuitakasa nyumba pia wamekuwa wakipoteza maisha kwa saba-
bu za kisiaa. Jacob Juma na Chris Msando ni walikuwa wakifanya mzaha na akili za Muafaka kati ya Rais ikiwa ni wahalifu. Hata
yetu. Nyumba iliyo safi huwa inang'aa kote na hu- wananchi walipoamua kurejea afisini hivi
wavutia wageni hata bila kualikwa. miongoni mwa watu waliopoteza maisha kwa Uhuru Kenyatta a Raila hivyo, polisi wamejiteta,
sababu ya siasa. majuzi kwa vile waliacha kazi kitambo. Odinga ulikuwa wa busara kwa kudai kwamba huwa
Wawekezaji watajileta kwa hiari na wala sio Hiwezekani mtu kutangaza hadharani
kwa kushurutishwa. Tukumbuke msemo kuwa ki- Jamani haya maovu yataisha lini? Mbona sana hapa Kenya na mfano wanafanya uchunguzi kabla
umuue mwenzako kwa sababu ya siasa? kwamba amejiuzulu, akae nje kwa karibu
zuri chajiuza, kibaya chajitembeza. miezi mitano kisha ghafla siku moja arudi na mwema kwetu. Mazingira ya kuwaua washukiwa. Je,
MARGARET MINAGE, HILLARY FLETCHER WANYONYI, kutaka kuingia afisini mwake kama kwamba tulivu ya kisiasa yaliyopo unaunga mkono kauli ya
Chuo Kikuu cha Zetech Chuo Kikuu cha Egerton hakuwahi kuondoka hata kwa siku moja. yanapaswa kutumiwa polisi?
Tukumbuke kuwa makamishna hawa kuwakabili wale wote
waliapa kuwa wamejing'atua kutoka ka-
Tukomeshe NATOA wito kwa wananchi
wote, tusiajiri watoto kwenye
za pombe. Badala yake tuwasai-
die kwa kuwapeleka shuleni. Hii
tika tume hiyo ya uchaguzi. Namshauri
Mwenyekiti wa IEBC, Bw Wafula Chebukati
ajira ya watoto vilabu. Wenye hoteli pia tuache ndio njia mwafaka ya kuwasaidia ahakikishe hao makamishna wawili wana-
KUWASILIANA
Tutumie maoni yako kuhusu mjadala huu kwa nambari
kwa hali zote kuajiri watoto kwa kuwabebesha
mitungi ya maji na kuosha chupa
maishani mwao.
EDDY KITHI, Kupitia SMS
chukuliwa hatua za kisheria.
SAMUEL MUCHIRI,
ya simu 21603 au barua pepe taifa@ke.nationmedia.
com na tutachapisha kesho baadhi ya maoni tutakay-
Karumandi
10 Jumatatu, Septemba 10, 2018 | TAIFA LEO

Pendekezo la mawaziri
NATION CENTRE KIMATHI STREET NAIROBI

Muafaka usifanye
wanasiasa lipewe uzito
Raila kusahau raia
ANGU aliposalimiana na rais Uhuru Kenyatta mwezi Machi

T mwaka huu, kiongozi wa chama cha ODM Raila Odinga ameku-


wa kimya kuliko kawaida yake.
Mara kadhaa ambapo amejitokeza, amekuwa akiwahakik-
ishia Wakenya kwamba angali kwenye muungano wa upinzani
(NASA). Kigogo huyo wa siasa za upinzani nchini, amekuwa akitia
kauli hiyo huku ikiwa dhahiri kuwa ameamua kutojishughulisha tena
na kazi ya kuikosoa serikali.
Nchini Uingereza, Kiongozi wa Upinzani, Jeremy Corbyn ni mwak-
ilishi wa Malkia Elizabeth bungeni. Kinyume na Bw Odinga, kiongozi
huyo wa chama cha Labour hulipwa mshahara na serikali. Lakini hayo
hajayamfanya kufumbia macho maovu yanayotekelezwa na serikali
ya Waziri Mkuu.
Bw Corbyn amekuwa bungeni tangu wakati wa Waziri Mkuu David
Cameron na ameyapinga maamuzi mengi mabaya ya serikali. Mo-
jawapo ya mambo hayo ni kuwakinga masikini dhidi ya kutozwa ush-
uru wa juu. Badala yake, ni matajiri waliofaa kulisha ushuru mwingi, Waziri wa Ugatuzi Eugene Wamalwa asema na Gavana wa Kirinyaga Anne Waiguru hotelini Laico Regency, Nairobi mwezi jana. Picha/Maktaba
na waziri wake wa Fedha alibuni sheria ya kuhakikisha wafanyikazi
wanalipwa angalau Pauni 10 kwa saa. Na VALENTINE OBARA kuu zinazokumba wananchi wa kawaida. kuongoza ukusanyaji na utumizi wa fedha

W
Bw Odinga kwa upande wake alikuwa sauti ya mwananchi na kabla ABUNGE hivi majuzi waliibua mjadala Tofauti na mwanasiasa ambaye ana usta- za umma, kwa mtazamo wangu haijatenda
ya kusalimiana kwa mkono na Rais Kenyatta, alikuwa akifichua kila mpya kuhusu jinsi mawaziri wa taifa di wa kujumuika na mwananchi wa kawaida, lolote kuu linaloweza kusifiwa na raia wa ka-
aina ya kashfa serikalini. Amewahi kuzungumzia wizi wa hali ya juu na hili wanavyopaswa kuchaguliwa. wataalamu hawa wengi ni watu wenye uzoe- waida.
maovu mengine ambayo yangeliididimiza nchi hii. Kwa mtazamo wao, inahitajika mawaziri fu wa kufanya kazi afisini na kubuni miongozo Kama kungekuwa na waziri ambaye ana-
Lakini japokuwa hana ofisi ya serikali wala halipwi mshahara kwa wawe wakiteuliwa kutoka miongoni mwa inayolenga kunufaisha biashara za kibinafsi. fahamu vyema kuhusu umuhimu wa kuweka
wabunge wanaochaguliwa baada ya Uchagu- Kama sote tunavyoelewa, nchi hii hufua- usawa kati ya mahitaji ya taifa na uwezo wa
kushirikiana na serikali, amekuwa kimya wakati ambapo Wakenya ta mtindo wa ubepari katika biashara na ni mwananchi kugharamia mahitaji hayo, hii leo
wanapitia dhiki nyingi za maisha. zi Mkuu.
Wazo hili halikupokewa vyema na nadra kwa mfanyabiashara kuweka mahitaji gharama ya maisha haingekuwa kubwa jinsi
Viongozi aliowaachia jukumu la kuongea katika upinzani kama vile ya mteja wake mbele kuliko mahitaji yanay- ilivyo.
wananchi wengi ambao wanaona kuwa huo
Kalonzo Musyoka, Musalia Mudavadi na Ekuru Aukot hawana tajriba ni mpango mwingine wa ubinafsi na ulafi oweza kumletea faida hata ingawa huwa in- Tumejikuta mahali tulipo kwa sababu ya
na uwezo wa kuzungumzia masuala muhimu ya kitaifa kwa njia inay- wa wanasiasa wanaotaka mamlaka ya ku- adhaniwa kuwa mambo hayo mawili huanda- mawaziri ambao walijali zaidi malengo ya
ovutia hisia au hatua upande wa serikali. wawezesha kujilimbikizia mali. mana sambamba. kufanikisha manifesto ya Jubilee hata kama
Kunyamaza kwa Bw Odinga kunachukuliwa na Wakenya wengi Hata hivyo, hili ni suala linalohitaji ku- Kwa msingi huu, tumeshuhudia hali am- walifahamu vyema kwamba mengi yaliyoku-
kuwa usaliti kwa kiongozi ambaye, mamilioni ya Wakenya wamekuwa tazamwa kwa upana zaidi kwani udhaifu wa bapo baadhi ya mawaziri huchukua hatua wemo kwenye manifesto hiyo yalikuwa tu
na matumaini naye, kiasi cha kuamua kumwita ‘Baba’. kuchagua watu wasio wanasiasa kuwa maw- ambazo ingawa zinaweza kuletea serikali ni vifumba macho vya kampeni ambavyo
wziri u wazi. sifa za kimaendeleo, zinaacha mwananchi wa havingeweza kutekelezwa!
Ni wazi kuwa kati ya masuala tisa yaliyo kwenye muafaka wa Bw kawaida akiwa na matatizo zaidi kuliko ilivy- Walichukua hatua ambazo zinaweza kufa-
Odinga na Rais Uhuru Kenyatta, hakuna kipengee kinachosema kuwa Tangu katiba iliyopo ilipoanza kutekelez-
wa kikamilifu mwaka wa 2013, tumekuwa na okuwa awali. nanishwa na za wafanyabishara mabepari
kinara huyo wa upinzani hataruhusiwa kuongea iwapo ataona maovu Mojawapo ya majukumu ya mawaziri ambao wanataka kupata faida kwa njia yoy-
mawaziri ambao huchaguliwa hasa kutoka
yakiendelezwa dhidi ya wananchi. Na iwapo kuna makubaliano kama kwa sekta ya kibiashara na wengine ambao huwa ni kutoa ushauri kuhusu sera ambazo ote ile bila kujali masaibu ambayo jamii itapi-
hayo - hata kama hayajaandikwa - basi hayana manufaa kwa nchi hii. ni wasomi wa nyanja mbalimbali miongoni serikali inafaa kubuni, pamoja na mwelekeo tia kumletea faida hiyo.
mwa taaluma nyinginezo. unaopaswa kuchukuliwa kufanikisha maazi- Sioni sababu ya kuendelea kutegemea
Matokeo ya utendakazi wao umekuwa ta- mio ya serikali iliyo mamlakani. watu aina hii kusimamia wizara kwani hata
Ni Gazeti la Kampuni ya Nation Media Group mu-chungu kwani si wote ambao wameleta Nitachukua mfano wa Wizara ya Fedha tusipobadilisha katiba, marais watakuwa
Mkurugenzi Mkuu: STEPHEN GITAGAMA afueni kwa wananchi. ambayo bila shaka mtu yeyote aliye makini wakitafuta wanasiasa kusimamia wizara kwa
Mhariri Mkuu: TOM MSHINDI Tatizo lililopo katika kuchagua mawaziri atakubaliana nami kwamba imekuwa ikijito- sababu sote tumeona udhaifu wa kuchagua
Mhariri : PETER NGARE ambao si wanasiasa ni kwamba wengi wao sa gizani kila mara. wataalamu wa sekta tofauti kuwa mawaziri.
hawana ujuzi wa kusulihisha changamoto Wizara hii iliyo na umuhimu mkubwa wa

Magoha na Amina wasieneze uvumi kuhusu wizi wa mitihani


Na CHARLES WASONGA isha kuwa alama ambazo watahiniwa Waziri wa Elimu Kile ambacho nilitarajia Profesa Ma-
wanapata katika mitihani ya kitaifa zi- Amina Mohamed goha na Bi Amina kuwaambia Waken-
NI ukweli ulio wazi kama mchana wa
naakisi uwezo wao wa kung'amua dhana ahutubia wana- ya, na wadau katika sekta ya elimu, ni
jua kwamba Wakenya wengi wangali
walizofunzwa katika masomo mbalim- habari akiwa hos- kwamba walimu ambao wamekuwa
wanashikilia dhana kuwa ufanisi maso-
bali. pitalini Kenyatta wakiwaitisha wazazi fedha wameka-
moni ndio ufunguo wa maisha bora.
Kwa mfano, mwanafunzi anafaa kupa- mnamo Agosti matwa na kufunguliwa mashtaka.
Na kigezo cha msingi cha kukadiria
ta alama ya ‘A’ ya ukweli sio ya ‘kipum- 5, 2018 baada ya Haitoshi kwa wawili hao kusema
ufanisi huo, kwa sasa, kingali mitihani ya
bavu’, chambilecho mwenyekiti wa kuwatembelea kuwa mipango kama hiyo haitafaulu
kitaifa. Hii ndiyo maana kuanzia shule za
KNEC, Profesa George Magoha. wanafunzi wa St. ilhali hawajawatambua walimu ambao
chekechea hadi vyuo vikuu wanafunzi
Hii ndiyo maana juhudi zinazoendele- Gabriels Academy, wanakusanya hadi Sh10,000 kufanikisha
huhimizwa kutia bidii masomoni kwa
zwa za kuzuia wizi wa mitihani ya kitai- Mwingi waliohusika wizi wa mitihani
kusudi moja tu; kupita mitihani, kupata
fa zinafaa kuungwa mkono na Wakenya katika ajali. Kukamatwa kwa walimu hao
kazi nzuri na hatimaye kuishi maisha
wote wanaothamini bidii na uadilifu. Picha/Maktaba kungewapa Wakenya matumaini, na
bora.
Taasisi hizi za masomo ndizo huzali- Lakini juzi nilivunjwa moyo na ufichu- hakikisho, kwamba uovu huu haitap-
sha wataalamu wenye nguvu za kutenda zi wa Prof Magoha na Waziri wa Elimu enyeza katika mitihani ya KCPE na KCSE.
Amina Mohamed kwamba japo wizara usha matumaini Profesa Magoha na Bi Mohamed
kazi muhimu ya kusukuma gurudumu la kwamba uadil-
maendeleo kijamii na kitaifa. yake imeweka mikakati thabiti ya ku- wakome kutoa madai ambao hawa-
komesha uovu huu, kuna walimu ambao wanawaitisha wazazi hadi Sh10,000 ili ifu wa kiwango jathibitisha kwa kuwakamata wahusika
Ni kwa msingi huu ambapo Wizara cha juu utazingatiwa katika mitihani ya
ya Elimu, Baraza la Kitaifa la Mitihani wanawaitisha wazazi hela ili kufanikisha wawasaidie watahiniwa fulani kupata kwani hii itawavunja moyo wazazi na
wizi wa mitihani ya kitaifa mwaka huu. alama za juu zisizo halali. kitaifa ya kidato cha nne (KCSE) na ya watahiniwa 1.7 milioni watakaofanya
(KNEC), Tume ya Kuajiri Walimu (TSC), darasa la nane (KCPE.
walimu na wazazi wanapaswa kuhakik- Eti walimu fulani watundu bado Ama kwa hakika ufichuzi huu unayey- mitihani hiyo kuanzia mwezi ujao.
Dimb a
TAIFA LEO | Jumatatu, Septemba 10, 2018 11

Difenda wa Ivory Coast, Arthur Boka akidhibiti mpira kwa guu lake la kushoto. Picha/Hisani
Beki mzawa wa Ivory Coast, Arthur Boka (kushoto). Picha/Hisani

Arthur Boka alitisha Ivory


Difenda wa Ivory Coast, Arthur Boka
akidhibiti mpira kwa guu lake la kushoto.

kano wa kutua Uhispania kuvalia jezi za


Malaga CF inayoshiriki Ligi Kuu ya La
Liga. Uhamisho wake ulirasimishwa kwa

Coast na Ulaya
mkataba wa miaka miwili.
Hadi alipoingia katika sajili rasmi ya
Malaga almaarufu ‘Andalusians’, Boka
alikuwa amekiwajibikia kikosi cha Stutt-
gart katika jumla ya michuano 154 na
kukifungia magoli matano kati ya 2006-
14.
Kibarua chake cha kwanza kambini
mwa Malaga ni mechi iliyowakutanisha
NA CHRIS ADUNGO kambini mwa Beveren mwishoni mwa aliongezewa muda wa kuhudumu na Valencia ugenini mnamo Agosti 29.
ETIENNE Arthur Boka, 35, ni beki matata mza- 2004, alikuwa amewasakatia waajiri kambini mwa waajiri wake hao kwa Malaga walipoteza mechi hiyo kwa ma-
wa wa Ivory Coast ambaye kwa sasa hana klabu wake jumla ya michuano 59 na kuwafun- mwaka mwingine mmoja huku akiwa bao 3-0. Ilikuwa hadi Julai 2016 ambapo
tangu aagane na FC Sion ya Uswisi mwishoni mwa gia magoli manne. radhi kurefusha kandarasi Boka alijiunga na Sion, ila akaagana
msimu wa 2016-17. Matokeo bora aliyoyasajili ndani ya yake kwa muda mwingine rasmi na kikosi hicho mwanzoni mwa
Ushawishi wake uwanjani kila alipowajibishwa kikosi hicho yalimfungulia milango ya iwapo angewaridhisha vi- Februari 2017 baada ya kuwasakatia
kwenye safu ya ulinzi akiwa beki wa kushoto, ni ki- heri kambini mwa RC Strasbourg inay- nara wa kikosi hicho. jumla ya michuano mitatu pekee ya
ini cha kupangwa kwake kwenye kikosi cha kwan- oshiriki Ligi Kuu ya Ufaransa (Ligue 1) ka- Ingawa alikuwa akitamba Ligi Kuu ya Scotland.
za cha Ivory Coast kilichoshiriki fainali mbili za tika msimu wa 2004-05. sana kila alipochezesh- Tangu awajibishwe na Ivory
Kombe la Dunia na fainali tano za Kombe la Afrika Japo aliwaridhisha vinara wa waajiri wake, wa aki- Coast kwa mara ya kwanza mna-
(AFCON) kati ya 2006 na 2013. upekee wa ubora wake pekee haukutosha ku- mo 2002, Boka amevalia jezi za
Licha ya ufupi wa kimo chake, Boka alikuwa waepushia Strasbourg shoka lililowatema nje ya miamba hao wa soka ya Afri-
mwepesi wa kuwatoka wapinzani wake na kuwa kampeni za Ligue 1 mwishoni mwa msimu wa ka mara 72. Alikuwa tege-
chanzo cha mashambulizi mengi ya kushtukiza 2005-06. meo kubwa katika fainali
yaliyoelekezwa na Ivory Coast kwenye malango ya Kushushwa daraja kwa Strasbourg kulim- wa beki wa kushoto, Boka za Kombe la Dunia mnamo
wapinzani wao katika mapambano mbalimbali ya chochea kuyoyomea Ujerumani kuvalia jezi alipania kuwa kiungo 2006 ambapo alishiriki
kimataifa. za VfB Stuttgart katika Ligi Kuu ya Bun- mkabaji mnamo 2012-13 mechi zote tatu.
Sawa na wachezaji wengine wazawa wa Ivory desliga. Kusajiliwa kwake na Stuttgart baada ya kikosi chake cha Alipangwa tena katika
Coast ambao wanajivunia mafanikio makubwa ka- kulifanikishwa mwishoni mwa Agosti Stuttgart kuanza kum- kikosi cha kwanza cha
tika ulingo wa kabumbu, Boka alianza kupiga soka 2006 baada ya kuwawajibikia Strasbourg wajibisha pakubwa katika Ivory Coast kwenye
ya kulipwa akivalia jezi za ASEC Abidjan nchini katika jumla ya michuano 66 na kuwafun- nafasi hiyo uwanjani. fainali za Kombe la
Ivory Coast. gia magoli mawili kati ya 2004-06. Ilikuwa hadi Mei 1, 2014 Dunia mnamo 2010
ASEC ni miongoni mwa akademia maarufu zaidi Uwezo wake wa kuchangia magoli kila ambapo aliafikiana na ambapo alichangia
za kabumbu nchini Ivory Coast kutokana na ubora anapotoa krosi safi uwanjani, kuelekeza waajiri wake kuhusu mabao mawili yal-
wa malezi yao katika soka. Kikosi hicho kinajivunia langoni makombora mazito kwa guu la kus- uweze- iyofungwa na timu
kuwafyatua wachezaji mahiri ambao waliwahi hoto, kasi kubwa na wingi wa nguvu zisizoka- hiyo dhidi ya Korea
na bao wanatesa katika majukwaa mbalimbali ya tika kwa urahisi chini ya dakika 90 za mchezo ni Kaskazini.
kandanda. Miongoni mwao ni nyota Emmanuel baadhi ya sifa zilizomfanya kupagazwa jina ‘Rob- Boka alikuwa sehemu
Eboue, Aruna Dindane na kocha msaidizi kambini erto Carlos wa Afrika’. ya kikosi cha Ivory Coast
mwa Celtic ya Scotland, Kolo Toure. Mnamo 2006-07, Boka aliwasaidia VfB Stutt- kilichowakilisha taifa hilo
Boka alijiunga na ASEC akitokea kwenye vicho- gart kunyanyua ubingwa wa taji la Bundesli- kwenye fainali za AFCON mnamo
choro vya jiji la Abidjan na ushawishi wake baada ga. 2006, 2008, 2010, 2012 na 2013. Ush-
ya kufanyiwa majaribio ya majuma manne uliwar- Mnamo Januari 14, 2009, Boka al- awishi wake kikosini uliwasaid-
idhisha zaidi vinara wa akademia hiyo. irefusha mkataba wake na Stuttgart ia Ivory Coast kutinga
Baada ya kukwezwa hadhi kwenye akademia ya kwa kipindi cha miaka minne kili- fainali za AFCON
ASEC, Boka alitua nchini Ubelgiji kuwapigia soka chostahili kukamilika mwishoni mnamo 2006 na
KSK Beveren mnamo 2002. Hadi alipobanduka mwa 2012. Mnamo Mei 30, 2012, 2012.
12 Jumatatu, Septemba 10, 2018 | TAIFA LEO

Makinda hawa wanabeba UDAKU


matumaini ya Uingereza Tiger Woods bado kidume,
chini ya kocha Southgate
NA CHRIS ADUNGO
INGAWA Uingereza iliko-
molewa 2-1 na Uhispania katika
kajinasia kipusa namba 18
mojawapo ya mechi za Nations
League zilizopigwa mwishoni
mwa wiki jana, kuna kundi la
chipukizi ambao kocha Gareth
Southgate anastahili kuwaan-
gazia kwa karibu kadri anavyo- NA CHRIS ADUNGO
pania kuijengea timu yake uth- MWANAGOFU mahiri mzawa
abiti zaidi katika siku za usoni. wa Marekani, Tiger Woods, 42,
Mchuano wa Jumamosi dhidi ya sasa kajinasia penzi la mrembo
Uhispania na kipute cha kirafiki mwingine, Erica Herman, mwa-
kitakachowakutanisha kesho ka mmoja baada ya kutemana na
Uingereza na Uswisi ni majuk- kichuna Laci Kay Somers, aliye-
waa yanayotosha kumpa South- changia kutalikiana kwa mcheza-
gate ufunuo kuhusu uwezo wa ji huyo na mkewe mwigizaji, Lind-
kila chipukizi anayeunga kikosi sey Vonn. Woods ambaye alirejea
chake. uwanjani mwezi jana baada ya ma-
jeraha kumweka nje ya majukwaa
Luke Shaw (Man-United, mbalimbali ya gofu tangu kipindi
mechi nane): Anatazamiwa kirefu, ni miongoni mwa wa-
kuwa kizibo cha Ashley Young chezaji maarufu zaidi duniani.
ambaye katika umri wake wa Alitemana rasmi na mkewe
miaka 33, anaelekea kulemewa mnamo Mei 2015 baada ya
Beki Luke Shaw wa Uingereza
na ushindani katika ngazi za kla- kudumu naye katika ndoa
wakati wa mechi ya UEFA Na-
bu na timu ya taifa. kwa miaka saba (2004-
tions League iliyowakutanisha
Japo Dany Rose wa Totten- 2010) na kujaliwa watoto
na Uhispania uwanjani Wembley
ham Hotspur alitarajiwa ku- wawili wa kiume - Sam
mnamo Septemba 8, 2018.
jaza kwa urahisi pego la Young, Alexis na Charlie Axel.
PICHA/AFP
Southgate ameonekana kuri- Ingawa hakutoa saba-
dhishwa zaidi na makali ya Shaw bu za wazi kuelezea kiini
aliyewajibishwa kwa mara ya jibishwa vilivyo na Man-United cha kumtalikiana kwake
kwanza na Uingereza akiwa na msimu huu, Rashford ni fowadi na Lindsey, mwanagofu
umri wa miaka 18 dhidi ya Den- anayejivunia uwezo mkubwa huyo alisema kuwa kili- Vidosho wa zamani wa Tiger Woods Joslyn (kulia), Holly na Devon.
mark mnamo Machi 2014. uwanjani. Alichezeshwa katika chovuruga uhusiano wao
mchuano mmoja pekee wakati ni makosa yasiyosameheka sugu wa mchezo wa gofu. Ili pigisha Woods miereka ya siri chumbani
Jack Butland (Stoke City, wa Kombe la Dunia - dhidi ya na matatizo ambayo hay- kudhihirisha ukomavu wa na kufurahia ugwiji wake katika mechi hizo
mechi tisa): Alikuwa na ma- Ubelgiji katika hatua ya makun- akuwa ndani ya uwezo penzi lake kwa Erica ambaye za faraghani ni Loredana Ferriolo, Rachel
tumaini ya kuwa kipa nambari di. Kocha Jose Mourinho ha- wao kusuluhisha. ana zaidi ya wafuasi milioni Uchitel, Kalika Moquin, Jamie Jungers, Cori
moja michumani mwa Uingereza jawahi kumpanga katika kikosi Wiki jana, Woods ali- Aliyekuwa mpenzi saba kwenye Instagram. Rist, Joanna Jagoda, Holly Sampson, Jos-
katika fainali za Kombe la Dunia cha kwanza cha Man-United yewahi kushikilia nam- wa Tiger Woods, Erica ni miongoni mwa lyn James, Emma Rotherham, Devon James,
mchini Urusi mwaka huu. Hata tangu atolewe katika kipindi cha bari ya kwanza kwenye mwanamitindo Laci vichuna 18 ambao wame- Raychel Coudriet, Julie Postle, Mindy Law-
hivyo, Southgate aliteua kum- pili kwenye mchuano wa ufun- mchezo wa gofu duniani, Kay Somers. Picha/ wahi kumfungulia Woods ton, Theresa Rogers na Elin Nordegren. Elin
wajibisha mlinda-langi Jordan guzi wa EPL msimu huu dhidi ya alionekana akiponda raha Hisani mizinga yao ya asali tan- ambaye kwa sasa ni bwanyenye na mtaalamu
Pickford wa Everton. Matarajio Leicester City. Kati ya mechi zote na Laci ambaye mbali gu mchezaji huyo ajipe wa fasheni za mavazi mbalimbali alipokezwa
ya Butland, 25, yalikuwa ni maa- ambazo amechezea Uingereza, na kuwa mwanamuziki, umaarufu katika ulingo kima cha Sh10 bilioni ili kurasimisha kutaliki-
rifa yake kuwaniwa na Chelsea amepangwa katika kikosi cha mwanamitindo na mwigi- wa gofu. Vipusa wengine ana kwake na Woods mnamo 2014.
au Liverpool msimu huu. Licha kwanza mara tisa pekee. Hata zaji maarufu, pia ni shabiki ambao wamewahi kum-
ya Stoke City kushushwa daraja hivyo, jeraha linalomtatiza Ra-
msimu jana, Butland ni miongo- heem Sterling kwa sasa linam-
ni mwa makipa bora. weka katika nafasi maridhawa
zaidi ya kudhihirisha utajiri wa
Joe Gomez (Liverpool, mechi kipaji anachojivunia katika umri
nne): Angalikuwa sehemu ya wa miaka 20 pekee.
kikosi cha Uingereza kilichotin-
ga nusu-fainali za Kombe la Ruben Loftus-Cheek (Chel-
Dunia nchini Urusi, isingalikuwa sea, mechi tisa): Katika umri wa
kwa jeraha la mguu alilolipa- miaka 22 pekee, tayari ameanza
ta wakati akikiwajibikia kikosi kuwa tegemeo kubwa kambini
chake kirafiki dhidi ya Uholanzi mwa Chelsea. Alivalia jezi za
mnamo Machi 2018. Uingereza kwa mara ya kwanza
Mchuano wa kwanza kwa katika mechi ya kirafiki dhidi ya
chipukizi huyu mwenye umri wa Ujerumani mnamo Novemba
miaka 21 kuwapigia Uingereza ni 2017.
ule uliowakutanisha na Ujerum- Kuridhisha kwake wakati
ani uwanjani Wembley mnamo akivalia jezi za Crystal Palace
Novemba 2017. kwa mkopo wa mwaka mmoja
Kuumia kwa Dejan Lovren msimu jana kulimpa nafasi kati-
kumemweka kocha Jurgen ka kikosi cha Southgate kwenye
Klopp kwa sasa katika ulazima fainali za Kombe la Dunia nchini
wa kumwajibisha Gomez kwa Urusi mwaka huu. Hata hivyo,
pamoja na Virgil Dijk kwenye kocha Maurizio Sarri ameoneka-
safu ya nyuma ya Liverpool. na kuvutiwa zaidi na makali ya
sajili mpya, Ross Barkley.
Marcus Rashford (Man-Unit-
ed, mechi 26): Ingawa haja- Tiger Woods na mchumba wake wa sasa Erica Tiger Woods na mkewe wa awali, Elin Nordegren. Tiger Woods na mkewe wa zamani Lindsey
Herman. Picha/Hisani Picha/Hisani Vonn. Picha/Hisani
TAIFA LEO | Jumatatu, Septemba 10, 2018 13

MBWEMBWE
UDAKU
Dzeko tajiri wa kipaji, ana maguu
Rami kutafuna baridi ya ya kumvunia fedha haraka upesi
ukapera baada ya demu NYOTA Edin Dzeko, 32, ni nahodha na
fowadi matata wa timu ya taifa ya Bosnia
& Herzegovina ambaye kwa sasa anaval-
ama ya matumizi ya Roma katika kipindi
cha misimu miwili iliyopita hadi kufikia
Sh15.5 bilioni kwa mwaka ni unono wa

wake Pamela kumtema ia jezi za AS Roma nchini Italia. Maari-


fa yake uwanjani yamewahi kumfanya
kutawazwa Mchezaji Bora wa Bosnia
mshahara wa nyota hawa.
Hadi kufikia sasa, Dzeko pia hujipa
mafungu manono ya riziki kutokana na
PAMELA Anderson amemtema nyota Adil Rami am- kwa miaka mitatu mfululizo. Kabla ya matangazo ya kibiashara anayopokezwa
baye kwa sasa anawasakatia Olympique Marseille ya kujiunga na Roma, aliwahi kuwasaka- na mashirika na kampuni tofauti amba-
Ufaransa. Kabla ya kumvisha Pamela pete ya uchumba tia Manchester City ila umaarufu wake zo zimemfanya kuwa balozi wa mauzo
mwishoni mwa Julai 2018, Rami alikuwa amejirinia asali zaidi katika ulingo wa kabumbu ulianza wa bidhaa zao mbalimbali.
mzingani mwa mwanamitindo huyo mkongwe kwa kipin- kujengeka wakati akiwahudumia VfL
di cha mwaka mmoja. Wolfsburg aliowasaidia kutia kapuni ub- MAGARI: Kwa mchezaji maarufu wa
Kwa mujibu wa gazeti la The Sun, ahadi ya ndoa kati ya ingwa wa Ligi Kuu ya Ujerumani (Bunde- haiba yake, Dzeko ana uhakika wa kutia
wawili hao mwishoni mwa mwaka huu ni miongoni mwa sliga) mnamo 2009-10. kapuni kitita kinono cha pesa kutokana
mambo yaliyomchochea Pamela kuanza kuishi pamoja na usogora wake uwanjani. Ingawa an-
mwanasoka huyo jijini Riviera, Ufaransa tangu Julai 2018. UTAJIRI: Kufikia mwishoni mwa amiliki magari mengi ya kifahari, maw-
Japo safari yao ya mapenzi ilianza kwa matao ya juu mwezi jana, majarida ya The Richest na ili anayoyapenda zaidi ni Audi A6 lil-
huku Pamela akipakia mitandaoni picha alizokuwa aki- The Celebrity yalikadiria tham- ilomgharimu Sh12 milioni na Mercedes
pigwa kwa pamoja na dume lake mara kwa mara baada ya ani ya mali ya Dzeko kufikia Benz AMG lenye thamani ya Sh18 milio-
kuponda raha, uhusiano wao ulianza kuingia baridi mwis- kima cha Sh5.5 bilioni. Ki- ni. Mke wa Dzeko huendesha gari aina ya
honi mwa mwezi jana. ini kikubwa cha pato lake ni Ferrari 458 ambalo lilimgharimu kima
Katika mahojiano yake ya wiki jana na The Sun, Pamela mshahara wa yapata Sh72 mil- cha Sh22 milioni mnamo 2015.
alidai kwamba kuanza kwake kutoka kimapenzi na Rami ioni aliokuwa akipokezwa
kulimnyima mwanasoka huyo fursa za kuonana mara kwa na Wolfsburg mwishoni MAKASRI: Dzeko anamiliki
mara na watoto wake ambao kulingana naye, bado wali- mwa kila mwezi kati ya maskani ya kuvu- tia sana jijini
kuwa sehemu muhimu ya maisha yake. 2007 na 2011 kabla ya Roma, Italia anakoishi na familia
"Baada ya kuishi na Rami kwa kipindi fulani, nimehisi Man-City kumdumi- yake akiwa kazini. Pia ana jum-
kuwa asilimia kubwa ya mawazo yake yapo kwa wanawe. sha kwa mshaha- ba la kifahari zaidi mjini Sara-
Uwepo wangu maishani mwake unamhini nafasi ya kuwa ra wa Sh20 jevo, Bosnia (awali ikiitwa
nao, na hilo humuumiza moyo. Nimehiari kukatiza uhu- milioni SFR Yugo- slavia). Kasri
siano wetu wa kimapenzi ili kumpa Rami jukwaa zuri la kwa wiki hilo linakadiriwa kuwa
kufanya maamuzi bora - kukaa na watoto wake pacha." walipo- jivunia la thamani ya Sh600 mil-
Kubanduka kwa Pamela maishani mwa Rami kunatara- huduma zake kati ya 2011 ioni. Ana jengo jingine la
jiwa sasa kuwasha upya mwenge wa mapenzi kati ya beki na 2016. Mbali na ujira haiba kubwa jijini Berlin, Ujeruma-
huyo na mama wa watoto wake, Sidonie Biemont, 28. mnono wa Sh28 milioni ni. Hili ni jumba alilojinunulia mna-
Baridi ya talaka ambayo Rami alipewa na Sidonie mna- ambao kwa sasa anatia mo Desemba 26, 2010.
Yaiza Moreno na mumewe Mariano Diaz. Picha/Hisani mfukoni mwishoni mwa
mo Juni 2017 kulimchochea kusaka mapenzi motomoto
ya kinyanya Pamela - mwigizaji, mwanahabari na mwa- kila juma kambini mwa MAPENZI NA FAMILIA: Dzeko ni
namitindo ambaye pia ni ‘fundi’ mahiri wa ngono nchini Roma, Dzeko hujirinia hela mumewe kichuna Amra Silajdzic
Marekani.
Kwa upande wake, Rami alishikilia kuwa Pamela haku-
wa akitosheka kabisa na huduma alizokuwa akimpa chum-
Majanadume Madrid nyinginezo kutokana na
marupurupu ya kusajili ushindi
na sare katika ngazi ya klabu na
aliyeanza kutoka naye kimapenzi
wakati wakiwa bado wanafunzi
wa shule ya upili. Waliamua kula
bani na kwa wakati fulani katika uhusiano wao, alianza pia
kutoka kimapenzi na Afisa Mkuu Mtendaji wa kampuni ya
habari ya WikiLeaks, Julian Assange.
nzima yanalikeshea timu ya taifa mtawalia.
Malipo hayo yanamweka
nyuma ya Stephan El Shaarawy
yamini na kuihalalisha ndoa yao
kupitia harusi waliyoifunga mna-
mo Machi 31, 2014. Kwa pamoja,

penzi la kipusa Yaiza na Daniele De Rossi ambao ni


wachezaji wanaolipwa msha-
hara mkubwa zaidi katika kikosi
wamejaliwa watoto wawili. Una,
ni mtoto wao wa kike aliyezali-
wa mnamo Februari 2016 kabla ya
cha Roma. Mojawapo ya sababu za mvulana Dani kuzaliwa mwishoni mwa
INGAWA nyota Mariano Diaz, 25, anatarajiwa kuli- kuongezeka kwa kiwango cha ghar- Septemba 2017.
jaza kwa mafanikio pengo la Cristiano Ronaldo kambi-
ni mwa Real Madrid, kidosho Yaiza Moreno ambaye ni
mkewe Diaz, amekiri kwamba huenda ikawa vigumu kwa
mumewe kuyafikia malengo hayo hivi karibuni.
Hii ni baada ya kichuna huyo mwenye umri wa miaka
24 kukiri kunyemelewa mitandaoni na wanaume ambao
kwa mtazamo wake, wana nia ya kuvuruga uhusiano wa
kimapenzi ambao amekuwa nao na mumewe kwa sasa
kwa zaidi ya miaka mitano.
Kulingana na Yaiza, kuna wanaume ambao wamekuwa
wakilihemea pakubwa penzi lake kwa kurusha jumbe za
kumtia kishawishini kuachana na Diaz tangu mwanaso-
ka huyo arejee uwanjani Santiago Bernabeu msimu huu
baada ya kuagana na Olympique Lyon.
Akihojiwa na gazeti la The Sun wiki jana, Yaiza ali-
ungama kwamba wengi wa wanaume wanaomvizia ni
wachezaji na mashabiki wa Real ambao walimfahamu
tangu alipoanza kumtembelea Diaz kambini mwa Real
mnamo 2002.
Madai ya Yaiza yanajiri miezi michache baada ya Re-
bekah Nicholson ambaye ni mkewe Jamie Vardy wa
Leicester City kufichua kuwa imelazimu siku hizi kujifun-
gia nyumbani na kupunguza ziara za mara kwa mara al-
izozizoea hapo awali kwa hofu ya kutongozwa. Wengine
waliofikia maamuzi sawa na hayo ni Izabel ambaye ni
mkewe Mateo Kovacic wa Chelsea na Rita Johal ambaye
Mojawapo ya magari ya kifahari yanayomilikiwa na mchezaji Edin Dzeko. Picha/Hisani
ni mkewe kiungo Riyad Mahrez wa Algeria na Manches-
Adil Rami na aliyekuwa mchumba wake Pamela Anderson. ter City.
Picha/Hisani
PAGESUITE

KIPENGA

Ni mwanzo wa mwisho wa Mourinho MANCHESTER United inayofun- Kwa kawaida, Mourinho hukaa ka- Madifenda wa sasa wa Man-United
zwa na Jose Mourinho bado iko hat- tika timu moja kwa miaka mitatu. Je, si wazuri sana. Eric Bailly na Victor
ua kadhaa nyuma ya timu sita bora atagura Old Trafford kabla ya mwisho Lindelof si bora sana. Naye Marcus
kwenye jedwali la Ligi Kuu ya Uin- wa msimu huu? Rojo ana majeraha ya mara kwa mara
gereza (EPL). Baada ya mechi nne za Kazi hii ndiyo Jose amekuwa licha ya kuwa mchezaji wa wastani tu.
ufunguzi wa msimu huu, Man-United akiimezea mate tangu zamani. Hata Chris Smalling na Phil Jones ni wa-
ni ya 10 kwenye jedwali huku ikiburura iliwahi kudhaniwa kwamba Sir Alex chezaji ambao uwezo wao si mzuri
mkia kwenye timu sita bora. Ferguson alipoondoka, Mourinho mno ila wapo tu. Kasi ya michuano ya
Kufikia sasa, Liverpool, Chelsea na ndiye angepewa mikoba ya kuiongo- Ligi Kuu ya Uingereza inahitaji ma-
Watford zimeshinda mechi zao zote za za Man-United. Ila, baada ya kuipata beki wenye kujituma wala si hawa wa
mwanzo na kuwa na alama 12 kila moja. kazi hiyo, maisha ya hapa Manchester Man-United ambao wametumwa.
Manchester City ina alama 10 baada ya hayajawa mazuri alivyotarajia. Mwan- Hatua ya Ed Woodward kushindwa
kushinda mechi tatu na kutoka sare zo, bado Mourinho hajapata nyum- kuwanunua madifenda wapya imeleta
mara moja, nayo Tottenham ni ya tano ba. Anaishi katika hoteli ya Lowry joto kubwa sana timuni huku Mourinho
JOB MOKAYA kwa alama tisa baada ya kushinda tangu ajiunge na Man-United. Yeye akihisi kutoungwa mkono nao madif-
mechi tatu na kushindwa moja. mwenyewe hataki nyumba jijini Man- enda walioko wakihisi kutothaminiwa.
Arsenal ni ya tisa ikiwa na alama chester. Tusubiri tuone namna mambo ya-
sita baada ya kupoteza mechi mbili na Pili, huu ukiwa mwaka wa tatu, takavyokuwa mwishoni mwa msimu.
kushinda mbili. Aidha, Man-United pia haelekei kupata taji kuu la ligi. Msimu Mourinho hujitia kitanzi mwenyewe
ina alama sita ila inashikilia nafasi ya uliopita, Man-United ilimaliza ya pili. kwenye msimu wa tatu na kila mmo-
10 kwenye jedwali kwa kudunishwa na Msimu huu, bado mambo yanaonekana ja amemwona yeye Mourinho akiwa
mabao. kuwa magumu, kama si mazito. amenunua kamba ya kujinyonga. Je,
Tayari, tetesi zimeanza kuenea Mourinho amejipata katika mzozo Mourinho akiondoka Old Trafford
kwamba Mourihno atapigwa kalamu mkubwa sana na mkurugenzi wa ataenda wapi? Labda timu ya taifa ya
na kuondoka Old Trafford kufuatia masuala ya soka wa Man-United, Ed Ureno au klabu ya Paris-Saint Germain
msururu wa matokeo duni. Aidha, uhu- Woodward. Mzozo wenyewe ulitokana (PSG) ya Ufaransa. Ila ligi ya Ufaransa
siano wake na wachezaji wakuu kama na hatua ya mkurugenzi huyo kudinda almaarufu Ligue 1 haina mhemko kama
vile Paul Pogba na Anthony Martial si kuwanunua madifenda ambao Mourin- ile ya EPL. Timu moja au mbili ndizo zi- Mourinho awapa wachezaji wake maagizo katika mechi dhidi ya
mzuri. ho aliwataka. tatawala na kujivunia ukiritimba. Swansea ugani Old Trafford mnamo Machi 31, 2018. PICHA/ AFP

Baada ya kuizima nyota ya Ghana, Stars Nidhamu, uongozi bora utamsaidia


sasa wapangiwe mechi nyingi za kujifua
HATUA ya Harambee Stars ya kuwabam- wakutanisha Stars na vikosi vya haiba kubwa
Modric kunyanyua taji la Ballon d’Or
ULIMWENGU wa soka wiki il- 1995? Tutaona, nakumbuka
iza Ghana katika mechi ya pili ya zaidi barani Afrika kufu ya iyopita ilishangazwa na hatua ya mwaka huo mshindi aliku-
Kundi F mwishoni mwa wiki jana Senegal, Algeria, Came- Shirikisho la Soka Duniani (FIFA), wa ni George Weah ambaye
iliweka hai matumaini yao ya ku- roon, Nigeria na Ivory Coast. kwa mara ya kwanza ndani ya mia- kwa sasa ni Rais wa Liberia.
fuzu kwa fainali za Kombe la Afri- Itakuwa tija na fahari zaidi ka 12 kumwacha nje mshambuliaji Wakati huo, Weah aliku-
ka (AFCON) kwa mara ya kwanza kushuhudia Stars siku moja wa Argentina na klabu ya Barcelona, wa anacheizea klabu ya
mwaka ujao tangu 2004. ikipepetana kirafiki na vikosi Lionel Messi katika orodha ya wa- Milan kule Italia na ali-
Nawapongeza vinara wa kama vile Misri, Tunisia na chezaji watatu wa mwisho wanaowa- isaidia klabu yake hiyo
Shirikisho la Soka la Kenya (FKF) Morocco ambavyo vilinoges- nia taji la Mchezaji Bora duniani. kupata matokeo mazuri
kwa kukipangia kikosi cha Stars ha fainali za Kombe la Dunia Wachezaji watatu waliotaj- na kumshinda mchezaji
msururu wa mechi za kupimana nchini Urusi mwaka huu. wa katika orodha hiyo ni pamo- mwenzake Paolo Maldini
nguvu kabla ya kibarua hicho dhi- Itaridhisha sana kuwao- ja na Cristiano Ronaldo, Luka raia wa Italia na Mjerum-
di ya Ghana waliopokea kichapo CHRIS ADUNGO na Stars chini ya Migne, Modric na Mohammed Salah. ani Jurgen Klinsmann.
cha 1-0 uwanjani MISC Kasara- wakivaana kirafiki na mataifa Kabla sijaenda mbali sana, nikukum-VICTOR ABUSO Mchezaji wa pili
ni licha ya kikosi cha nyumbani kama vile Ufaransa, Croatia, bushe kuwa Messi aliwahi kushin- mzawa wa Afri-
kukamilisha mechi na wachezaji 10 pekee uwan- Ujerumani, Brazil, Ubelgiji, Ureno, Argentina, da taji hili mara tano kuanzia mwaka 2008, ka ambaye aliwahi kuorodheswa kati ya
jani. Beki Joash Onyango alionyeshwa kadi Uhispania, Uingereza, Italia na timu nyinginezo na kwa kipindi kirefu ameonekana kuwa wachezaji watatu bora ni Samuel Eto’o ku-
nyekundu katika kipindi cha pili. za kufu, laiki na kiwango hicho! mchezaji bora, mwenye kipaji cha kucheza toka Cameroon, ambaye wakati huo alikuwa
Kabla ya Stars kushuka dimbani kuvaana na Hatua kubwa za kiasi hicho zitakuwa ithibati soka. Hili kwa hakika limedhihirika wazi. anachezea klabu ya Barcelona ya Uhispania.
Ghana wikendi iliyopita, vijana hao wa kocha za kukomaa kwa kikosi cha Stars kadri inavyo- Mara ya mwisho kushinda taji hili ilikuwa Baadhi ya wapenzi wa soka na hata wa-
Sebastien Migne walikuwa wamekomolewa na pania kuimarisha kampeni zao za kufuzu kwa ni mwaka 2015, lakini mwaka 2016 na 2017, chezaji akiwemo kiungo wa kati wa Bar-
Swaziland waliowapokeza kichapo cha 1-0 mjini fainali za AFCON 2019 nchini Cameroon.Sina Ronaldo alishinda taji hili la kifahari amba- celona na Croatia, Ivan Rakitic amekuwa
Machakos kabla ya kujinyanyua dhidi ya Equa- shaka kwamba Stars wataimarika hata zaidi lo ndiyo ndoto ya kila mchezaji kulinyanyua. akisema kuwa anaamini kuwa, Modric ndi-
torial Guinea kwa kuwapiga 1-0 kwenye mechi chini ya Migne. Leo, naomba nitoe tathmini kwa Salah ye anayestahili kuwa mshindi wa tuzo hii.
nyingine ya kupimana nguvu. Kabla ya kushuka dimbani kuvaana na Ghana, na Modric ambao kwa mtazamo wan- Nami niungane naye kumuunga mkono, kusisi-
Baadaye, FKF ilifanikisha mipango ya timu Stars wanajivunia historia ya kuwazidi maarifa gu, naona mmoja kati yao yupo kati- tiza kuwa Modric anastahili kutwaa taji hili kwa
ya taifa ya kusafiri jijini Mumbai, India kushiri- wapinzani wao hao mara moja pekee, ushindi wa ka nafasi nzuri sana ya kushinda taji hili. sababu mbalimbali, hasa mchango wake mkub-
ki (kwa mwaliko) kipute cha kuwania ubingwa 3-1 waliousajili katika mechi ya kirafiki iliyowaku- Salah ambaye ni raia wa Misri, alifungia kla- wa wa kuisaidia nchi yake kufuzu kwa Kombe la
wa Hero Intercontinental. Kivumbi hicho kili- tanisha jijini Accra, Ghana mnamo Juni 13, 2003. bu yake ya Liverpool nchini Uingereza ma- Dunia lakini pia kufika katika hatua ya fainali.
chong’oa nanga mnamo Juni 1, 2018, kilishiriki- Vikosi hivyo viwili viliwahi kukutana uso kwa bao 44 msimu jana na kusaidia kumaliza Pamoja na hilo, aliisaidia klabu yake ya
sha pia New Zealand, Chinese Taipei na wenyeji macho kwa mara nyingine mnamo Machi 23, katika nafasi ya pili jedwalini. Pia aliisaid- Real Madrid kushinda taji la tatu mfulu-
India. 2005 ambapo Kenya iliwalazimishia Ghana sare ia Liverpool kufuzu kwa michuano ya Kla- lizo la klabu bingwa barani Ulaya UEFA.
Ingawa ipo haja na ulazima wa kuwaratibia ya 2-2 jijini Nairobi. Kibarua sasa kwa Kenya bu Bingwa barani Ulaya (UEFA) msimu huu. Misimu yote aliyocheza katika klabu yake,
Stars mechi za kirafiki dhidi ya mataifa ya bara ambao kwa pamoja na Ethiopia na Sierra Leo- Nafikiri pia Salah, baada ya muda mrefu, ali- amefunga mabao 13 na kutoa pasi 28 zilizo-
Ulaya, nahisi kwamba tajriba ya kupepetana na ne wamepangwa katika Kundi F, ni kusajili ma- isaidia nchi yake kufuzu kwa Kombe la Dun- saidia kuleta mabao kwa timu yake ka-
Swaziland, Equatorial Guinea, New Zealand, In- tokeo mazuri dhidi ya wapinzani wao hao. ia nchini Urusi na licha ya kutofanya vizuri, tika michuano mbalimbali barani Ulaya.
dia na Chinese Taipei ilikuwa jukwaa mwafaka Kenya imewazidi Ethiopia maarifa mara 14 aliisaidia nchi yake kufika katika fainali ya Nakumbuka tuliona ushupavu wake, alipofun-
kwa vijana wa Migne kujifunza mengi kutoka huku wakisalia wanyonge machoni pa wapinza- mashindano hayo makubwa zaidi ulimwenguni. ga mabao mawili katika michuano ya Kombe la
kwa wapinzani wao hao. ni hao mara 12 na kutoka sare mara tisa. Kenya Je, Afrika itapata fahari kama ilivyokuwa mwaka Dunia dhidi ya Nigeria.
Ingawa sina uhakika, huenda FKF kwa ilibamizwa na Ethiopia 2-0 ugenini mnamo Juni
pamoja na Migne wanawazia kwa sasa ku- 21, 2015 na kulazimishiwa sare tasa jijini Nairobi Abuso ni mtangazaji wa michezo katika Radio France International, Tanzania
TAIFA LEO | Jumatatu, Septemba 10, 2018 15

GUMZO LA SPOTI
BARCELONA, UHISPANIA
Makinda wa Riara wana
Neymar sasa hali halali akitamani
kurudi Camp Nou kuchezea Barca moyo wa chuma, shida si
chochote si lolote kabisa
Gerard Pique adhibiti mpira wakati wa fainali za Kombe la Dunia za 2018.

Barcelona wahofia vituko


vya Pique vitawapaka tope
GUMZO linadai kwamba maafisa wa klabu
ya Barcelona wana wasiwasi kuhusu vituko
vya beki Gerard Pique nje ya uwanja. Pique, 31,
alisamehewa na miamba hao juma lililopi-
ta baada ya kuonywa vikali polisi wa trafiki
walipompata na hatia ya kuendesha gari bila
leseni halali. Ripoti nchini Uhispania zinadai
kwamba mabingwa hao wanahofia kwamba
sifa yao nzuri inachafuliwa na tabia ya Pique na Wachezaji wa Riara FC Under-14 kutoka mtaani Embakasi jijini
wanamtaka arekebishe. Mwezi Januari mwaka Nairobi. PICHA/ IGNATIUS OUNDO
2018, Mhispania huyu aliongeza kandarasi yake
na Barcelona hadi mwaka 2022. Na IGNATIUS OUNDO
apo wanapitia masaibu chungu nzima katika safari ya usakataji

J kabumbu, chipukizi wa klabu ya Riara FC hawajafa moyo; wana-


pambana na hali yao kadri ya uwezo wao ili wafanikishe malen-
go yao katika siku za usoni.
Klabu hii kutoka Embakasi, Nairobi, inashirikisha chipukizi
wenye vipaji tamanifu vya kusakata kandanda ila inao upungufu
Cahill kuvunja ndoa yake na wa vifaa vya kucheza kabumbu na fedha za kujiendeshea shughuli
zao. Ni tatizo ambalo likishughulikiwa kwa muda ufaao, bila sha-
Chelsea asipopata nambari ka hakuna kitakachowazuia makinda hawa kutimiza ndoto yao,
kwani tayari wana maarifa tele katika uwanda wa soka.
FUNUNU zinasema kwamba beki Gary Cahill Kulingana na kocha mkuu Boniface Munyao, timu hii imeleta
anatamani kuhama klabu yake ya Chelsea sura mpya si katika eneo la Embakasi tu, bali jiji zima la Nairobi na
na yuko tayari kufanya hivyo Januari 2019 viunga vyake tangu ibuniwe mnamo 2014.
Licha ya kuundwa kwa dhamira ya kukuza talanta ya soka, klabu
asipoongezwa dakika za kuwa katika kikosi hii pia imewafurahisha wengi kutokana na juhudi zake za kupiga
cha kwanza. Cahill, vita utumiaji wa dawa za kulevya na maovu mengine miongoni
Neymar akishiriki mazoezi ugani Yug Sport jijini Sochi, Urusi
32, amesakatia mwa vijana wachanga katika eneo la Embakasi.
mnamo Juni 29, 2018. PICHA/AFP
Chelsea mechi 282 Aidha, Riara FC inashirikisha chipukizi wasiozidi umri wa mi-
TETESI zinadai kwamba mshambuliaji matata wa Paris tangu ajiunge nayo aka 12, 14 na wachezaji wenye umri wa miaka 17. Kila kitengo ki-
Saint-Germain (PSG), Neymar anatamani sana kuajiriwa mwaka 2012 kutoka nashiriki mechi za kuwania vipute tofauti mashinani. Tangu Riara
tena na Barcelona, lakini miamba hao wa soka ya Uhispania Bolton Wanderers. FC Under-14 ijitose kwenye ulimwengu wa soka miaka minne iliyo-
hawako tayari kumrejesha Mbrazil huyo uwanjani Camp Nou. Ameichezea zaidi pita, timu hii imekuwa ikicheza michuano kibao ya kuwania mataji
Neymar, 26, alifungia Barcelona mabao 105 katika mechi 186 ya mechi 40 katika na ufanisi wa vijana hawa umeivunia mataji si haba.
kati ya mwaka 2013 na 2017 kabla ya kutua PSG mnamo Agos- Mathalani, timu hii ilianza kuonesha kucha zake mnamo 2015,
kila msimu katika pale ilipotandaza gozi la kumezewa mate na hatimaye ikahifadhi
ti mwaka jana. Hata hivyo, inasemekana mshambuliaji huyo misimu miwili ili- taji la Sports Outrich Tournament baada ya kuzaba wapinzani Ga-
bado hajatulia nchini Ufaransa. Gazeti la Mundo Deportivo yopita. Muingereza lactical FC mabao 2-1 katika fainali iliyofanyika katika uwanja wa
sasa linasema kwamba Neymar alionekana kama alijutia ku- huyu hajaonja hata Shule ya Wasichana ya Embakasi.
hamia jijini Paris mara tu alipotua huko na hana raha kuhusu dakika moja chini ya Ufanisi huo wa kipekee uliwafanya Riara FC kujijengea jina na
kuchomoza kwa chipukizi Kylian Mbappe, ambaye amefanya kocha mpya Maur- kuchochea timu pinzani kuanza kuiogopa kwenye uwanja wa ka-
haonekani sana jinsi angependa. Gary Cahill izio Sarri. bumbu. Mbali na mataji mengine mengi ambayo timu hii ilijin-
yakulia hapo awali, vijana wa kocha Munyao kwa mara nyingine
tena waliwaduwaza wapinzani kwa kunyanyua Kombe la Oper-
LONDON, UINGEREZA ation Blessing Tournament, baada ya kufunga Swift Boyz magoli
3-2 katika mechi ya fainali iliyoandaliwa katika uwanja wa Shule

Tajriba ya Terry yahemewa Urusi Liverpool wasema hawamtaki ya Embakasi wiki jana.
Safari yao ya kusaka taji la kipute hicho, ilianza kwa kupokeza
wapinzani Vans Park FC kichapo cha mabao 4-1 kwenye mojawapo
BEKI John Terry amesisitiza
Rabiot hata wakipokezwa bure ya mechi za makundi kabla ya kulemea Cyprus FC kwa kuirindima
mabao 2-1 katika robo-fainali iliyoshuhudia mvutano wa kila aina
kwamba hayuko tayari kustaafu, kutoka kwa vikosi vyote viwili.
huku tetesi zikidai anakaribia ku- LIVERPOOL imepuuz-
“Ufanisi wa chipukizi hawa kwenye baadhi ya michuano tunay-
jiunga na Spartak Moscow nchini ilia mbali ripoti kwamba oishiriki ni ishara tosha kwamba timu hii inalenga kufika mbali
Urusi. Shujaa huyu wa Chelsea inamezea mate kiungo kisoka. Tunachokiomba tu ni ufadhili wa kifedha ambazo zitatu-
hajakuwa na klabu kwa kipindi wa PSG, Adrien Rabiot. saidia kushughulikia mahitaji ya klabu hii. Pia wachezaji wengi
cha miezi minne baada ya kuhama Mchezaji huyu mwenye hawa vifaa vya kushiriki mazoezi. Naamini katika siku chache zija-
Aston Villa mwisho wa msimu umri wa miaka 23 ame- zo timu hii itapata mfadhili,” asema kocha Munyao.
ingia katika mwaka wake Pamoja na hayo, ubora wa chipukizi hawa katika soka unatokana
uliopita aliposhindwa katika azma na jinsi wanavyochapa mazoezi ya kufana kila uchao katika uwanja
yake ya kurejesha klabu hiyo wa mwisho wa kandar-
asi yake uwanjani Parc wa shule ya Embakasi jijini Nairobi. Isitoshe, kupiga mechi nyingi
kwenye Ligi Kuu. Terry alidhaniwa za kupimana nguvu pia kunazidi kuchochea ufanisi wa makinda
atatundika daluga zake baada ya des Princes na majuzi
hawa uwanjani.
kuvunjwa moyo Villa ilipopoteza alikuwa amehusishwa na Riara FC ilifunza chipukizi wa Super Junior FC jinsi ya kutan-
tiketi ya kurejea Ligi Kuu katika uhamisho hadi uwan- daza soka tamu kwa kuwanyeshea vua la mabao 8-3 katika mechi
fainali ya kupandishwa daraja. jani Anfield mwisho wa ya kirafiki iliyocharazwa katika uwanja wa Shule ya Msingi ya Em-
Ripoti zinasema kwamba anadai msimu huu. Kocha Jurgen bakasi.
yuko fomu kama alivyokuwa Klopp anaaminika ku- Aidha, wachezaji kama vile kipa Daniel Kimani pamoja na madif-
penda soka ya Mfaransa enda kufu ya Abdi Aziz na Hamphrey Maranga ni baadhi tu ya
Chelsea na ameapa kuendelea masogora wanaoletea timu hii fahari. Wengine ni pamoja na Felix
kusakata soka akipata ofa nzuri. huyu na hata ripoti kudai kwamba aliwaomba viongozi
John Terry wa Liverpool kuwasiliana naye katika kipindi kirefu cha Ragira, Simon Mumo, Isaiah Morara na Peter Wanyama.
uhamisho kijacho. Hata hivyo, kwa mujibu wa gazeti la
Liverpool Echo, hakuna ukweli katika uvumi huo ulioenea.
Jumatatu, Septemba 10, 2018 | TAIFA LEO
16
HABARI ZA AFRIKA NA DUNIA
JUBA, SUDAN KUSINI
Mauaji yahusishwa na siasa nchini humo KUJITENGA: Wapinga uhuru wa Catalona

Watu 17 wafa katika


Afisa zaidi ajali ya ndege Sudan
Watu 17 walikufa Jumapili ndege
walimokuwa wakisafiria ilipoanguka
Sudan Kusini.

wa polisi Ndege hiyo ilikuwa ikitoka uwanja wa


kimataifa wa ndege wa Juba ikielekea
Yirol ilipohusika kwenye ajali, waziri wa
habari Taban Abel alisema.
"Ndege hiyo ilianguka na kuua watu
17. Ni watu watatu walionusurika,” Taban

auawa UG
aliambia wanahabari kutoka Yirol.
Alisema ndege hiyo ilikuwa imebeba
abiria 22 na wawili hawajulikani waliko.
Mmoja wa manusura, daktari kutoka
Italia anayefanya kazi na shirika lisiloku-
wa la kiserikali alilazwa katika hospitali
AFISA wa polisi wa cheo cha juu aliye- KAMPALA, UGANDA ya Yirol ambako alifanyiwa upasuaji.
simamishwa kazi Muhammad Kirumira Ndege hiyo ilianguka kando ya mto na
aliuawa kwa kupigwa risasi karibu na nasikitishwa na kuuawa kwa Muham-
nyumba yake Bulenga wilayani Wakiso
mtu aliyeshuhudia ajali hiyo alisema mili
mad Kirumira eneo la Bulenga karibu ilipatikana majini.
Jumamosi usiku. na nyumba yake mwendo wa saa tatu
Kirumira alikuwa kamanda wa polisi usiku,” Kayima alisema.
Inasemekana miongoni mwa abiria
wa wilaya ya Buyende kabla ya kushtaki- Aliongeza kuwa mwanamke huyo walikuwa watoto watatu. Kulingana
wa na kusimamishwa kazi kwa madai ya alikufa kutokana na majeraha ya risasi na David Subek, ambaye ni Afisa Mkuu
kutumia mamlaka yake visivyo. kabla ya kufikishwa hospitali ya Rubaga. Mtendaji wa Mamlaka ya Uchukuzi wa
Alipouawa akielekea nyumbani Bu- "Yeye (Kirumira) alikuwa akiendesha Angani Sudan Kusini jijini Juba, idadi
lenga, alikuwa na abiria mwanamke gari lake la kibinafsi. Tunalaani kitendo kamili ya waliokufa haikuwa imejulikana.
katika gari lake ambaye pia aliuawa hiki cha uhalifu na tunaahidi kuwasaka Ajali kadhaa za ndege zimetokea Su-
kwenye kisa hicho cha saa tatu usiku. wahalifu hao bila huruma na kuwaa-
Walioshuhudia walisema kwamba
dan Kusini katika miaka ya hivi punde.
dhibu. Tunaomba roho yake ilale pema Mnamo 2017, abiria wanne walijeruhi-
waliomuua walitoroka kwa pikipiki am- peponi,” aliongeza.
bayo haikuwa na nambari za usajili Mauaji ya kiholela ni ya kawaida nchi-
wa ndege ilipogongana na lori la kuzima
Kirumira na mwanamke huyo wa- ni Uganda hasa kwa watu wanaotofau- moto baada ya kutua. Ajali hiyo ilisaba-
likimbizwa hospitali ya Rubaga jijini tiana au kuchukuliwa kuwa tisho kwa bishwa na hali mbaya ya hali ya hewa.
Kampala wakitokwa na damu kwa win- serikali ya Rais Yoweri Museveni. Mnamo 2015, watu 12 walikufa ndege
gi ambapo ilitangazwa kuwa walikuwa Kirumira si afisa wa polisi pekee ya kubeba mizigo ilipoanguka katika
wamekufa. kuuawa kwa kupigwa risasi katika hali uwanja wa Juba.
Kwenye taarifa ya awali, polisi wal- ya kutatanisha. Mtu mmoja aliyeshu-
isema Kirumira alikuwa na mkewe wal- hudia kuuawa kwake aliambia Shirika KANO, NIGERIA
iposhambuliwa lakini baadaye waka- la Habari la Uganda kwamba waliomuua
badilisha na kusema mwanamke huyo
hakuwa mke wake.
“Tumegundua kwamba mwanam-
afisa huyo walianza kwa kufyatulia risa-
si gurudumu la gari lake.
“Nimehuzunika, ilikuwa wazi Afande
Boko walitimua
ke aliyeuawa pamoja na afisa wetu,
ASP Muhammad Kirumira, sio mkewe.
Kirumira alikuwa akitoka mahali akibe-
ba mwanamke katika gari lake,” alisema.
jeshi na kuteka mji
Mkewe hakuwa naye wakati wa kisa “Watu wawili waliokuwa wakiende-
hicho. sha pikipiki ambazo hazikuwa na
“Tumemtambua mwanamke huyo na nambari za usajili walikaribia gari la
kufahamisha familia yake. Kwa sasa ha- Kirumira na kupiga risasi gurudumu la
tutataja jina lake,” polisi walisema kupi- nyuma kisha wakamfyatulia risasi kabla
tia anwani rasmi ya Twitter. ya kutoroka wakitumia barabara ya Mit-
Kwenye taarifa, waliyothibitisha yana,” aliongeza.
kuuawa kwa Kirumira, polisi waliapa Kirumira aliuwa jinsi watu wengine
kuwasaka wahalifu hao wote na kuwa- mashuhuri walivyouawa Uganda.
tia mbaroni. Msemaji wa polisi Emil- Mnamo Juni, mbunge wa Arua Munic-
ian Kayima alisema Kirumira na abiria WAANDAMANAJI wapinga uhuru wa eneo la Catalan, Uhispania huku wakiunga
ipality Ibrahim Abiriga aliaua kwa njia mkono amani. Wakati uo huo wapinzani wao walikuwa wakifanya maandamano
aliyekuwa kwenye gari lake walikuwa sawa akiwa na ndugu yake wakielekea Mwanajeshi wa Nigeria ashirika doria eneo
wamekufa walipofikishwa hospitalini. katika mji wa Barcelona jana. Picha/AFP
nyumbani Kawanda wilaya ya Wakiso. la General Ao Azazi. Picha/AFP
“Kikosi cha polisi nchini Uganda ki-
MAGAIDI wa Boko Haram, waliteka
na kudhibiti mji mmoja ulio Kaska-
CAIRO, MISRI
Rais wa Madagascar ajiuzulu ili
zini Mashariki mwa Nigeria baada ya
kushambulia kambi ya kijeshi na kuzua
Mwanahabari maswali kuhusu madai kwamba kundi
hilo limedhalilishwa na kusambaratika.

afungwa jela kugombea urais tena Novemba 7 Maafisa wa serikali na wa usalama


walisema mamia ya wanachama wa
mrengo wa kundi hilo linaloungwa na
miaka 5 Misri Rais wa Madagascar Hery Rajaonar-
imampianina, alijiuzulu Ijumaa kulingana
ANTANANARIVO, BUKINI Islamic State waliwashinda nguvu
wanajeshi katika kambi iliyoko Gudum-
Mahakama ya Misri Jumamosi na katiba ya nchi hiyo ili aweze kugombea bali. Raia wanane waliuawa na wengine
ilimfunga jela miaka mitano urais ambao atashindana na kiongozi wa arimampianina za kubadilisha sheria za maelfu wakatorokea miji jirani.
mwanahabari maarufu Mahmoud upinzani na aliyekuwa rais Andry Rajoelina. uchaguzi. Upinzani ulisema hatua hiyo ili-
Rajaonarimampianina alijiuzulu miezi Gudumbali, uko eneo la Guzamala jim-
Abu Zeid, anayefahamika kwa nuiwa kupendelea chama chake.
miwili kabla ya uchaguzi mkuu utakaofany- bo la Borno na ni mji wa kwanza kutekwa
jina Shawkan na ambaye mwaka Mapendekezo hayo yalikataliwa na ma-
ika Novemba 7 katika kisiwa hicho ambacho hakama. Lakini maandamano hayo yal- na Boko Haram katika kipindi cha miaka
huu alishinda tuzo ya kimataifa
kimekumbwa na msukosuko wa kisiasa. ibadilika kuwa ya kumpindua Rajaonar- miwili.
ya Unesco. Shawkan alikamatwa
"Wakati umefika kwangu kujiuzulu kulin- imampianina. Kutekwa kwa mji huo kunajiri baada
Agosti 2013 alipokuwa akifuatilia gana na katiba na leo nimewasilisha ombi
makabiliano kati ya maafisa wa Watu wawili walikufa kwenye maka- ya kundi hilo kushambulia wanajeshi
langu kwa mahakama ya kikatiba,” alisema biliano kati ya wanaharakati na maafisa wa mara kadhaa. Maafisa wa serikali na
usalama na wafuasi wa rais ali- kwenye hotuba fupi kupitia runinga. usalama huku watu zaidi ya 10 wakijeruhi-
yetimuliwa mamlakani Mohamed wanajeshi wamekuwa wakihimiza watu
Mwaka huu, raia waliandamana na kum- wa. waliotoroka makwao kufuatia ghasia
Morsi. Alishtakiwa kwa mauaji shinikizia Rajaonarimampianina kuun- Mwingine atakayegombea urais ni kion-
na kuwa mwanachama wa kundi da serikali ya “makubaliano” ya kuandaa hizo kurudi Guzamala, wakisisitiza eneo
gozi wa upinzani Marc Ravalomanana am- hilo limekuwa salama.
la kigaidi; hukumu yake ikiwa ni uchaguzi. baye alikuwa mtangulizi wa Rajoelina kama Rais wa Madagascar Hery
kunyongwa. Hata hivyo, anaweza Waandamanaji walikita kambi katika rais wa kiraia wa nchi hiyo. Rajaonarimampianina (kulia) Afisa wa serikali eneo la Guzamala
kuachiliwa huru akitumikia huku- Central Square jijini Antananarivo kati ya Rajoelina alimwondoa Ravalomanana ahuhduria hafla ya majuzi. alithibitisha kuwa wanajeshi walitu-
April na Juni kupinga juhudi za Rajaon- uongozini kupitia mapinduzi 2009. Picha/AFP muliwa kutoka mji wa Gudumbali na
mu ya miaka mitano jela.
Boko Haram limetwaa mji huo.
TAIFA LEO | Jumatatu, Septemba 10, 2018
FUMBO & FALAKI 17

FUMBO

KULIA:
Nyota Na Sheikh Khabib
1. Kamilisha: Asiyesikia la KONDOO SIMBA MISHALE
mkuu huona ------. Machi 21 - Aprili 20: Leo ni siku nzuri ya Julai 23 - Agosti 22: Mradi unaoku- Novemba 23 - Desemba 21:
7. Kwa lahaja zingine za mapenzi. Usijinyime raha kama tatiza utaimarika hivi karibuni. Uhusiano wako na wakubwa
Kiswahili, neno hili hutamkwa siku zingine. Aliyekupuuza Hata hivyo itakubidi uwekeze wako unaoyumbayumba
“weye”. ataitikia wito wako. Hata juhudi za ziada. Hii sio siku hautokani na fitina kama
8. Maarifa yanayopatikana hivyo usimpe mpenzi wako nzuri ya kupatana na watu unavyodhani. Hamwelewani
kutokana na kisomo. siri zako za kifedha kwa mliokosana. Usihudhurie kamwe kwa sababu wewe
9. Sawa na kusema “apate wakati huu. Subiri baada ya vikao vya aina hii hadi ukamil- sio mtu wa kunyenyekea.
kuwa”. mwezi mmoja. ishe mipango yako ya kifedha. Itakugharimu nini kuheshimu wakubwa
10. Nenepa. wako upate amani kazini?
11. Shughuli za upelelezi na ufi-
chuzi wa siri za nchi nyingine. NG'OMBE MASHUKE
13. Kuwa na maoni juu ya jam- Aprili 21 - Mei 20: Umekuwa mtu Agosti 23 - Septemba 23: Nyumba MBUZI
bo au mambo fulani. wa kuringa na tabia hii imekunyima unayotaka kuhama haina tatizo Desemba 22 - Januari 20:
14. Upole. mambo mengi.Kumbuka mtu ni watu. kamwe. Acha kujidharau. Umefanya vyema kumtema
17. Mabaki. Washirika wako wa kibiashara Utapata pesa za kuilipia. mchumba wa kando uliyeku-
21. Aina moja ya ugonjwa wa wamekutenga kwa sababu Naona watu wakifurahia wa naye. Naona lengo lake
ngozi ya mwili. ya kujinua kwako. Habari hatua uliyochukua, njama sio mapenzi mbali lilikuwa
22. Sehemu moja ya gari inay- njema ni kwamba nyota yako walizounda uondoke zikifaulu. kupata pesa kutoka kwako.
otumiwa kubadilisha nguvu za inaelekea kung’aa. Batilisha uamuzi wako. Zingatia hali ya familia yako
mwendo wake. uliyoipuuza kwa siku nyingi.
23. Mwongozo.
24. Mdai. 3. Ujamaa. 15. Tawi la mti. MAPACHA MIZANI
25. Ita watu wahudhurie jam- 4. Kifaa kinachotumiwa kuon- 16. Nafasi kati ya mahali Mei 21 - Juni 21: Ulitofautiana na mtu na Septemba 24 - Oktoba 23: NDOO
bo fulani. doa takataka kwenye sakafu. pamoja hadi pengine. akaahidi kukuchukulia hatua. Usiku- Maumivu unayohisi kila as- Januari 21 - Februari 19: Jambo la
5. Sawa na kusema “aliye na”. 18. Aina moja ya madini. tane naye hivi karibuni kwa saba- ubuhi sio ya kawaida. Tafuta kuudhi huenda likatokea asubuhi
CHINI: 6. Mkazi wa asili wa nchi au 19. Hali ya kitu ya kutokuwa na bu angali na hasira. Hii isiwe matibabu kabla hayajakule- na kuathiri shughuli zako siku
1. Chanzo cha mmea. mahali fulani. ugumu. sababu ya kuvunjika moyo, mea. Na kwa sababu umejua ya leo. Kuwa mwangalifu
2. Kuigiza. 12. Pata jeraha. 20. Hofu. utapata mtu wa kukufaa. haya, usiende safari uliyopanga unapochukua hatua yoyote
kwa wakati huu. Shugulikia afya yako ili usitatize biashara yako na
kwanza. hatimaye ujute. Tumia hekima
kufanya maamuzi.
KULIA: 17. Vumilia CHINI: 16. Uvyazi
KAA NGE SAMAKI
FUMBO LA JANA

1. Chapa 21. Mkoa 1. Chatu 18. Mbata


7. Kovu 22. Gea 2. Abudu 19. Laini Juni 22 - Julai 22: Yule mpenzi aliyeku- Oktoba 24 - Novemba 22: Kikao kili- Februari 20 - Machi 20: Jirani yako
8. Ajuza 23. Alika 3. Ajabu 20. Adabu vunja moyo atakutumia ujumbe hivi choandaliwa na watu wenu ni atakufaa sana leo. Ipokee ripoti atakay-
9. Utu 24. Amba 4. Mjukuu karibuni. Ni chaguo lako kujibu ujumbe muhimu sana. Ingawa una okupatia kwa mikono miwili
10. Neno 25. Arifu 5. Mkungu huo au kunyamaza. Na hii isiwe shughuli tele za kikazi, tafuta na umkaribishe nyumbani
11. Utukufu 6. Mvunguni sababu ya kumtema uliye nafasi ufike. Naona maisha ya kwako. Ushirika wako na
13. Ufunuo 12. Tarakimu naye kwa wakati huu. Shikilia watu wenu yakibadilika baada watu wengine utatengemea
14. Uraufu 15. Utagaa ulicho nacho. ya kikao hiki. unavyoandaa moyo wako.
Kumbuka pasipo na wazee hapa
haribiki neno.

SHANGAZI AKUJIBU
Nimemuacha baada ya kugundua amejaza vipusa Wazazi hawataki nioe Huna sababu nzuri ya kuhangaisha moyo

Vipi shangazi? Nimeamuacha mpenzi


kipenzi ninachokifia wako kuhusu mwanamke kama huyo asi-
ye na msimamo. Huenda hata amekuwa
Hujambo shangazi? Mimi nina kipen-
wangu wa miaka saba baada ya kugun- na wapenzi wengine wa pembeni kwani
zi changu cha roho ambacho na-
dua ana wengine wengi ilhali yeye ndiye sielewi jinsi ambavyo aliweza kushawishi-
kipenda sana. Lakini wazazi wangu
amekuwa wangu pekee. Sasa ametuma wa haraka hivyo na rafiki yako hadi kump-
wamenikataza kumuoa. Nifanye nini.
rafiki kwangu aniambie eti nitangaze akulia asali.
Tafadhali niambie ikiwezekana nifanye
msimamo la sivyo atamuoa msichana harusi kesho.
mwingine. Nishauri.
Kupitia SMS
Kupitia SMS Anataka kuramba
Usikubali kabisa kuchezewa akili na
Katika hali ya kawaida, wazazi wako ha- asali yangu changa
wafai kuingilia sana maisha yako hasa Hujambo shangazi. Mimi ni msichana
mwanamume eti kwa sababu unampenda kuhusu unayemchagua kuwa mke wako. mwenye umri wa miaka 15 na mpenzi
ilhali yeye ana tabia sawa yap aka shume. Hata hivyo, kama wana sababu nzuri ya wangu ana miaka 18 na tumekuwa kwa
Anajua unampenda kwa dhati na ndiyo kupinga ndoa hiyo, ni muhimu kuzinga- uhusiano kwa mwaka mmoja. Nampen-
maana anatumia vitisho ili umrudie ae- tia ushauri wao. Kama hawana sababu, da sana naye pia ananipenda. Tatizo ni
ndelee kukuhangaisha kimapenzi. Kama waelezee wazi na ushikilie msimamo wako kuwa anataka kuonja asali nami sitaki,
umeamua kumuacha shikilia msimamo kuwa huyo ndiye chaguo la moyo wako hu- naogopa kwa sababu bado niko shule
wako huo. wezi kupenda mwingine. naye pia ni mwanafunzi. Nitafanya nini
na sitaki tuachane?
Kupitia SMS

Simpendi mpenzi Nilipoenda kazi mbali Mimi kamwe siungi mkono mapenzi ya

nataka ajue hivyo akamuonjesha rafiki watoto kama wewe. Ukweli ni kwamba
katika umri wako huo mdogo hujui wala
Vipi shangazi? Nilikuwa na mpenzi kwa
Kwako shangazi. Mimi nina mpenzi am- huelewi maana ya mapenzi. Wazazi wako
mwaka mmoja na nilipopata kazi mbali
baye simpendi. Nifanye nini ili ajue kuwa
simpendi? Nahofia kumwambia wako.
Kupitia SMS nikaamua kuishughulikia kwanza huku
wakijua unajihusisha na mapenzi badala
ya kuzingatia masomo yako utakiona cha
Kupitia SMS ninamzidi kwa umri Kwanza, tofauti ya umri kati yenu ni ndogo
tukipanga jinsi ya kuendeleza uhusi-
ano wetu. Nilimuomba asubiri nitulie
mtema kuni. Vunjilia mbali uhusiano huo
usome kwanza. Utafurahia zaidi mahaba
Shikamoo shangazi. Nina umri wa mi- kazini kisha nifanye mpango wa kum-
Sielewi kabisa jinsi unavyoweza kuwa na sana na haiwezi kuwa sababu ya kumfan- ukimaliza masomo na kukomaa kiasi cha
aka 27 na nimeolewa na mwanamume leta karibu nami na akakubali. Ajabu ni
mpenzi ambaye humpendi. Kwa nini uli- ya akuache. Kinachotia hofu zaidi ni hali ya kuyaelewa
mwenye umri wa miaka 25. Hajui kuwa kwamba nilipoondoka tu alimlambisha
kubali kuingia katika uhusiano huo kama mume wako kutokujali. Wajibu wa mume
nimemzidi umri na naogopa kumwam- asali mwanamume rafiki yangu. Kitendo
humpendi? Ni heri useme ukweli kuwa kwa mkewe ni kumpenda na kumshughu-
bia ili asiniache. Tatizo ni kuwa mume chake hicho kiliniudhi sana kwa sababu Kama unalo swali lolote unalohitaji
umechoka naye na unataka kumuacha. likia kwa hali na mali. Kama hiyo ndiyo hali
wangu huyo huwa hanijali kamwe. nampenda sana na sikudhani angeweza ushauri, tuma kwa kwa nambari ya
Kama ni hivyo, mkabili umwambie ukweli. ya uhusiano wenu, hiyo kamwe si ndoa. Ta-
Ninapokuwa mgonjwa yeye huenda
fakari sana kisha ufanye uamuzi unaofaa. kunisaliti namna hiyo. Amekuwa akini- simu ya 21603 ukianza na neno
kazini kama kawaida na kuniacha nyum- pigia simu lakini nimempuuza. Nishauri shangazi. Kila ujumbe unagharimu
bani hata bila chakula. Naomba ushauri Kupitia SMS sh10.
Mikiki
18 Jumatatu, Septemba 10, 2018 | TAIFA LEO

HAMASISHO LA NiE NYANJANI


Mchongoano

Shule ya msingi ya St Joan, Nairobi Una miguu mirefu sana eti ukienda
bata viatu vinaanza kutoroka.

Una sura mbaya ukicheka watu hufikiria


unalia na hukuambia pole.

Vile wewe mfupi, ukipigwa picha ya


passport inatokea full.

Watoto wenu wameendelea mpaka


badala ya kulia, huvibrate.

We mchafu mpaka nzi humeza antibi-


otics kabla haijatua kwa ngozi yako.

We mchafu mpaka una mtaro kwa kifua.

We mrefu mpaka ukianza kuvaa


suruali by the time ifike kwa magoti
ime-rust.

We m-ugly mpaka inabidi kipofu anavaa


paperbag kukupigia binja

We ni m-ugly, ulipokuwa mtoto mam-


ako aliku-feed na feya.

Mwalimu wa Kiswahili Bi Martha Ngugi akipokea hundi Wanafunzi wa shule ya msingi ya St Joan wakipekua nakala za We mweusi mpaka ukitupiwa mawe
kutoka kwa Bw Danson Kighambo afisa wa mauzo wa Nation gazeti la Taifa Leo. inarudi kuuliza torch.
Media Group jijini Nairobi.

Tutumie mchongoano wako kwa


nambari ya simu ya 21603 au barua
pepe taifafeatures@ke.nationmedia.
com ukianza na jina ‘mchongoano’.
Tutachapisha kesho baadhi ya maoni
mtakayotutumia.

Chemsha
1. Ni rais wa jamhuri ya
Sudan Kusini
Walimu na wanafunzi waliopokea takrima kutoka kwa wafanyaka- 2. Ni gavana wa kaunti ya
zi wa Nation Media Group walipopigwa picha ya pamoja baada ya Afisa wa mauzo wa Kampuni ya Nation Media Group eneo la Nairobi Bw Mandera
kukamilika kwa hafla ya NiE shuleni St Joan, Nairobi. Danson Kighambo akiwadondolea wanafunzi wa St Joan baadhi ya manu- 3. Mwaka ambao Mwai
faa ya kutumia gazeti la Taifa Leo shuleni. Kibaki alistaafu siasa
4. Mji wa Lokitaung uko
kaunti gani?
5. Ni katibu wa chama cha
Vitendawili na Methali Kanu
6. Chama cha kisiasa kin-
achotumia alama ya Jogoo
VITENDAWILI BUNI Kenya.
METHALI
1.Sultani alipiga mbiu watu waje kufanya kazi
1.Hakuna msiba ................
yake lakini wakashindwa.
2............... isiyo na karaha.
2.Taa ya bure. MAAGIZO
3.Hakuna siri ..............
T
3.Taa ya Mwarabu inapepea. Tengeneza majina
6. Kanu
4.Hakuna zaidi .................
4.Tajiri aniweka mfukoni na maskini anitupa. kutokana na herufi
5. Nick Salat
5.Hamadi kibindoni; ...............
5.Tandika kitanga tule kunazi.

T Z O
4.Turkana
6.Hapana marefu .............. zilizo kwenye mdu-
6.Tangu kuzaliwa kwake sijamwona asimame ara.
3.2013
mwisho wawili. wala kukimbia Tumia herufi anga-
2. Ali Roba

A I
1. Salva Kiir Mayardit
6.yasio na 3.ya watu lau moja mara moja.
MAJIBU ya

Vitendawili

MAJIBU
MAJIBU ya

mkononi. 2.Hakuna raha 6.Mkufu 3.Kilemba


Methali

5.silaha ni iliyo mwenziwe. 5.Nyota 2.Jua au mwezi


4.mbovu. 1.usio na 4.Makamasi 1. Maji

TUMA MCHANGO WAKO KWENYE SEHEMU YOYOTE YA MIKIKI KUPITIA SMS KWA NAMBARI 6003 AU BARUA PEPE KWA TAIFAFEATURES@NATION.CO.KE UKIANZA NA JINA LA SEHEMU UNAYOCHANGIA
TAIFA LEO | Jumatatu, Septemba 10, 2018 19

ENGLISH Jaribio la KCPE 2018


A.I opened the door before she shouted. Now this group‘s talents and skill need to be nur- who want to become leaders.
KCPE ENGLISH QUESTIONS B. A soon as she shouted I opened the door tured, followed by training so that they may become A. Make vague promises to the Kenyans
C. Immediately I opened the door she shouted D. creative and business- minded. This will be the first B. Make genuine promises to the Kenyans
Choose the best answer from the alternative step in the fighting insecurity without coercion.
She shouted as I opened the door. C. Do not make any promises to the Kenyans
given to fill the blank spaces Rather than do this, politicians- being of a deeply
D. They do what they wish to the youths.
Wakelio, 1 was one of 2 happy beings of selfish nature – have decided instead to focus on
foolish, and indeed very foolish characters 3 take Select the correct preposition to fill the blanks self aggrandizement, enrichment and power.
the world easy, eat white bread or brown, 4 can 20. He was congratulated _______________ So, my questions to the youth are these entire 34. “Age has been a debate that has seen leaders at-
be got with least thought or trouble, and would passing his final examination. leaders relay championing the cause of youth? Or tack each other and exchange bitter words.’’ which of
rather 5 on a shilling 6 work for a dollar. A. For B. With C. Of D. On are they just using the youth to ascend to power the following is the synonym of the underlined word?
If left to himself, he 7 have whistled life away in because they know the number of votes that the A. Set off B. Set upon
perfect contentment; 8 his wife 9 continually 1 y father deals __________ buying of exercise
they are holding. C. St out D. Look forward
singing in his ears about his idleness, his careless- books and text books
Well, politicians should watch out, and stop playing 35. Which group of people needs it’s skilled to be
ness, and the 10 he was bringing 11 his family. A.With B. On C.In D. At
with the intelligence of Kenyans. nurtured and trained so as to be innovative?
Morning, noon and night, her tongue was incessant- 22. Let’s go and have lunch, _____________?
ly going, and everything he said or 12 was sure to Let‘s support candidate whose platform is centred A. Politicians. B. All Kenyans
A. Don’t we B. Doesn’t we on uniting Kenyans, leaders who have embraced and C. Children D. Youth
produce a torrent of household quarrel.
C. Do we D. Shall we refined new progressive ideas that are needed to
Wakelio had but one way of 13 to all lectures of
23. Pass me the salt, please_____________? steer this county into the future.
the kind, and that, by frequent use, had grown into a 36. “This passage is warning youth to be vigilant
habit. He 14 his shoulders, shook his head, cast A. won’t you B. will you 26. People who wish to become future leaders are with…………………………..
up his eyes, but said 15 . C. don’t you D. can’t you. kwon as ……………………
A. politicians who engage violent behaviours
1. A. however B. therefore C. so D. than Complete the twin words below. A. Campaigners B. Aspirants C. Elec-
tion D .Youths B .Politician who priorities empowerment in their
2. A. this B. these C. those D. that 24. All teachers but Mr. Amos___________ present manifestoes
3. A. whose B. whom C. who D. which today. 27. What has been a big issue when it comes to
4. A. whichever B. whoever rallies by leaders who seek election? C. Politicians who claim to give youth leadership yet
A. are B. is C. was D. has been they are in their 50’s
C. whenever D. wherever A. Economic development B. Poverty
5. A. die B. perish C. starve D. hunger 25. Old man was alive and_________________. D .Politicians who are economic development minded
C. Peace D. Age
6. A. or B. and C. but D. than A. awake B. alert C. kicking D. eating
7. A. would B. should C. could D. will 28. In which parts of the speech is the word cast?
Read the passage and answer the questions. 37. Why do many youth engage in burglary and other
8. A. and B. for C. because D. but A. Verb B. Adjective C. Adverb
The campaign season is a period of promises as D. Noun crimes?
9. A. has kept B. kept C. keep D. keeps
aspirant claim they’ll do and that for the people once A. Because they are many in number
10. A. advantages B. benefits 29. What are the three key things that Kenyan
elected leader after another have been promising B. Because they are paid by politicians to do so
C. damage D. profit need?
to create employment for the youth by setting up
11. A. by B. at C. in D. to C. Because politicians do not unite Kenyans
industries and giving loans so that they , the youth , A.. People insecurity and fighting poverty
12. A. done B. did C. does D. do D. Because of unemployment of many youths
can set up their own businesses. B. Unity, economic development and peace.
13. A. replying B. repaying
C. answering D. saying Some have even branded themselves youth leaders C.Poverty eradication employment and peace.
14. A. strangled B. stammered , claiming they are bringing a generational shift from D.Deployments youth empowerment and peace. Read the following passage and answer ques-
C. shrugged D. struggled old , cynical leaders to new, dynamic and honest tions 38 to 50.
15. A. something B. anything young ones, “ out with old , in with the new “, the The wild animals of Kenya are part of our country’s
30. The passage is urging the Kenyans to support
C. everything D. nothing say. Age has been a debate that seen leaders attack wealth. In many countries wildlife has almost disap-
candidate___________________.
each other and exchange bitter words during rallies. peared. Most of the animals have been hunted and
What Kenyans need is peace, unity and economic A. Whose ambition is promise employment killed to make more room for farming. But in Kenya
Choose the correct phrasal verb that can
development, leaders who will fight poverty and B. Whose ambition is to priorities youth empower- many thousands of them survive and continue to live
replace the underlined verb
not sit late in the national Assembly adding more to ment in our National Parks.
16. The pupil worked hard to pass their examination. what they already have. C. Whose platform is on unity Kenyans and steer the Why do we want to keep our wildlife? Why should we
A. Get over B. Get round Ideas should be about Kenya‘s economic develop- county forward not kill all the animals make available more land on
C. Get through D. Get into ment , security – a major challenge at the moment- D. Whose platform is to brand themselves good which to keep cattle, plant and harvest crops? The
17. I had to tolerate all his deeds and Kenyans ; living standard , rather than the titles chief reason is that the animals are beautiful crea-
A. Put up B. Put up with mindless prattle surrounding the presidents’ age
C. Put off D. Put aside. . That should be decided by Kenyans on the day we
cast our ballots. 31. Passage claims that youth engage in criminal ac-
Choose the alternative that means the same tivities due to unemployment. The word underlined
as the one given below. Politicians need to prioritise youth empowerment
in their manifestoes in recognition of the important can be as one word for the others given. Which one
18 However well Joan Singings, nobody praises her. role youth play in wealth creation and sustaining is it?
A. No matter how well she sings , nobody sings with society. A. Burglary B.Mugging
her. With few days remaining to the Elections, we C. Shoplifting D.Felony
B. Joan sings too well to be praised. should beware of politicians claiming to give youth- 32. What are the major challenges at the present
C. Although Joan sings well, nobody praises her. ful leadership yet are already in their 40s and 50s. times
D. Johan doesn’t acre whether she I praised or not They undoubtedly have minimal influence on the A. Employment B.Honest leaders
youth, who make up the highest population in Ken- C. Security D. Economic un-development
19. No sooner had she shouted than I opened the
ya. Unfortunately, many of us are known to engage
door. 33. The campaign season is a period where aspirant
in criminal activities due to unemployment
20 Jumatatu, Septemba 10, 2018 | TAIFA LEO

Jaribio la KCPE 2018 English


tures who enjoy their lives as much as we do. They Many years ago they rode bicycles along the park B) the former visitors to Kenya in the past were D) the use bicycles in patrolling the parks
are part of our environment that we do not want to roads on these patrols, and the work could be hunters 47. The main means of communication in the parks
destroy. The world would be a much poorer place dangerous. But nowadays they often travel in land C) Visitors to Kenya use guns to photograph ani- is the use of________
without them. Rovers or Land Cruisers and the vehicles are fitted mals
with radio sets. If there is an emergency they can A) telephones
Another important reason is that, because animals D) Wild animals should be killed as they destroy our
always radio to the park headquarters for help. B) loud speakers
are rare in so many parts of the world, people in crops.
other countries want to come and see them, just Let us follow a game scout on one of the patrols. He C) telex machines
starts quite soon after dawn, because it is cool at 43. Which one of the following statements is un-
as we do ourselves. Visitors to Kenya in the old days D) radio sets
that time. Many animals are still active and have not true?
used to come with the idea of hunting. Nowadays,
48.What do you think is the importance of park
hunting is forbidden and what people want is to chosen places to settle down for the day. A) tourism is the main source of income in our
maps?
watch the game and photograph it. They bring with 38.In the first paragraph we learn country
them not guns but cameras. A) They help in showing the animals in the park
that___________. B) Farming earns more income than any other
Several hundred thousand visitors come to Kenya industry in Kenya. B) Directing visitors where to go for hunting
A) wild animals are a source of income to our coun-
every year and the money they spend on their holi- try C) People like to see and take pictures of wild game. C) They help in showing the location of each block
days is an important part of the country’s income. where different animals can be found.
B) there are many wild animals in all countries D) Visitors come to our country annually
In fact, tourism has become our second most D) They help visitors to get residential service
important industry. It earns more money for Kenya C) animals in Kenya are kept in forests 44.The warden’s job is to see that
_________________ 49. the use of bicycles in patrolling was abandoned
than any other, except agriculture. D) there are few animals in Kenya
because________
The man in charge of a National Park is called a A) the animals are well fed
39. Why do visitors come to see our animals?
A) bicycles are few in the country
warden. It is his job to see that the visitors to the B) visitors are secure, roads are well maintained
A) to help our country with the money they pay
park come to no harm, that the roads are kept in and there is no disturbance of animals B) games scouts were unable to use them
good repair and that the animals are not unneces- B) to educate us about how we can make them
C) animals are killed to provide meat C) it could be risky
sarily disturbed. There are strict rules of behavior for survive
D) the rules are not followed by the visitors D) animals feared seeing bicycles
visitors to National Park. The warden and his staff C) because we are not interested in seeing them
are expected to see that these are kept. For example, 45. Patrolling of the park is mainly done by_______ 50.Which of the following would be the best title for
D) animals are hardly found in many countries.
no one is allowed to get out of a vehicle and walk this story
A) trained park policeman
40.The word forbidden is bolded in the passage.
inside the park. A.Tourism in Kenya B.National parks
Which word can be used to replace it? B) game wardens
The men who enforce the rules of the parks and C.Animals D. Wildlife in Kenya
A. Permitted B. Dangerous C. Prohibited D. Harm- C) game scouts
who keep watch over the animals are the games COMPOSITION
ful. D) safari guides
scouts. In Nairobi National Park, for example there
41. People who come to see our animals from other This is the beginning of a story. Complete it
are more than a hundred kilometers of roads. They 46.The main advantage of Game Scouts over Game
countries are called__________. making it as interesting as possible.
wind about in the park from the high forest glades Wardens is that______
near Mbagathi Gate down to the grassy plants near A. trackers B. foreigners We were preparing for visiting day. It
A) they are familiar with the animals and it is easy
Athi River. These roads are patrolled every day by the C. game wardens D. tourists was to be the following day. Every-
to note any problems with them
game scouts who get to know many of the animals one…………………………………………………
42. Which of the following statements is true? B) they give orders to the Game wardens
they meet and soon notice when anything is wrong.
A) Hunting wild animals is allowed in Kenya C) they are allowed to kill the animals

Hamasisho la NiE shuleni St Joan, Nairobi

Wanafunzi wa shule ya msingi ya St Joan wakisikiliza mawasilisho kutoka kwa wafa-


nyakazi wa NMG walipozuru shule yao. Wanafunzi wa shule ya msingi ya St Joan wakifurahia nakala za Taifa Leo
baada ya kukamilika kwa hafla ya NiE shuleni kwao.

Mkurugenzi wa shule ya St Joan Bi Margret Magu akipokezwa hundi na afisa wa


mauzo wa Kampuni ya Nation Media Group Bw Danson Kighambo. Wanafunzi wa shule ya msingi ya St Joan wakipekua
nakala za gazeti la Taifa Leo.
TAIFA LEO | Jumatatu, Septemba 10, 2018 21

Pwani
UDAKU
Mbunge amevalia njuga
Azimio la Ticha ni kukosa suala la kufaa vikosi vya
Likoni kwa hali na mali

mpinzani saizi yao kisoka


NA ABDULRAHMAN SHERIFF
NA HAMISI NGOWA
KWA kawaida, viongozi
wengi hususan wanasiasa
hujishughulisha na michezo
wakati wanapokuwa katika
kampeni za kuwania viti mbal-
imbali.
KUUNDWA kwa klabu nyingi za soka katika Hata hivyo, siasa zinapoka-
mtaa mmoja huwa ni sababu ya kuwako kwa milika, wengi hupotea na ku-
wingi wa wachezaji ambao huwa hawapati waacha vijana wakitumbukia
kucheza kukiwa na klabu moja pekee katika kwenye utumizi wa dawa za
mtaa huo. kulevya kwa kukosa mambo ya
Na ni sababu hiyo ndiyo hasa iliyofanya kujishughulisha nayo ikiwemo Mishi Mboko na waziri wa michezo Kaunti ya Mombasa
kuzaliwa rasmi kwa klabu ya Ticha FC iliyoko michezo.
mtaa wa Kadzanzani, eneobunge la Kisauni, Ikiwa ni mwaka mmoja
Kaunti ya Mombasa mnamo mwaka 2013. Kuu inayosimamia michezo
sasa tangu kukamilika kwa katika ofisi ya NG-CDF na kue-
Kulingana na mwanzilishi wa Ticha FC Issa uchaguzi mkuu, kwa vijana na
Mwalimu, aliamua kuianzisha klabu hiyo kwa lezea jinsi wangependa pesa
wanamichezo katika eneo la hizo zitumike.
sababu wachezaji katika mtaa huo walikuwa Likoni, wana kila sababu ya
wengi na walikosa fursa ya kucheza katika kla- Hata hivyo, wiki moja tu
kutabasamu kutokana na jinsi baada ya hafla hiyo ya kipekee,
bu ya Kadzandani FC. Mbunge wao Mishi Mboko al-
"Vijana wengi waliopenda kucheza kandan- Mishi alizama ili kutafuta vipa-
ivyolizamia suala la michezo. ji zaidi kwa kuandaa dimba la
da, walikuwa wakifanya mazoezi lakini ikifika Wiki chache zilizopita,
wakati wa mechi, hawakupata nafasi ya kuwa soka la wahudumu wa bodabo-
mbunge huyo aliweka historia da ambapo jumla ya timu 16 zil-
katika kikosi cha kujitosa uwanjani. Niliona kwa wabunge wote waliohudu-
njia nzuri ya kuwasaidia ni kuwaanzishia timu ishiriki kwenye patashika hizo.
mu eneo hilo kwa kuandaa haf- Ni katika patashika hizo am-
nyingine," akasema Mwalimu. la ya aina yake ya kupeana vifaa
Alisema tangu aianzishe timu hiyo, amei- bapo vipaji adimu viliweza ku-
vya michezo kwa zaidi ya timu jichipuza kutoka kwa wahudu-
fanikisha si haba kwani imewahi kushiriki 42 za soka, wanamichezo wa
mashindano kadhaa ya kuwania vikombe na mu wa bodaboda ambao wengi
Tae-kwon-do, Kung-Fu, pamo- walidhania kwamba mbali na
kushiriki Ligi ya Daraja la Kwanza na Pili ya ja na vikundi vya kutengeneza
FKF Mombasa. uendeshaji pikipiki, hawakuwa
filamu. na jingine kumbe wapi.
"Tuliwahi kushiriki Ligi ya Daraja la Kwan- Vifaa hivyo vikiwemo mipi-
Kikosi cha Ticha FC ambacho kimepania kujiunga na Ligi ya Mombasa. Picha/Abdulrahman sheriff Kwenye patashika hizo
za lakini kwa uzito wa ligi hiyo na ukosefu wa ra, jezi, kamera kati ya vingine,
udhamini, hatukuweza kuhimili ligi hiyo na ambazo fainali yake ilipigwa
nachezea klabu ya Ligi ya FKF Mombasa Dara- Baadhi ya wanasoka wengine katika vikosi vilinunuliwa kupitia asilimia mwishoni mwa wiki iliyopi-
tuliamua kushiriki soka ya Daraja la Pili ambao ja la Kwanza ya Wananyuki FC. vya timu hiyo ya Ticha FC ni Ibrahim Mwend- 15 ya pesa za NG-CDF amba-
ina sahali kwa gharama ya ushiriki," akasema ta kati ya Jamsa FC na Kona
Aliwataja wachezaji hao kuwa ni Said Kas- wa, Ali Omar, Samson Tunje, Ali Hassan, zo ni sawa na Sh15 milioni ya Mbaya FC, zaidi ya zawadi
Mwalimu. sim na Brian Mwingo. "Kuna wengine kadhaa Kombo Tsuma, Shadrack Dume, Alex Ndoro, mgao wa NG-CDF kwa kila ene-
Kwa wakati huu, Mwalimu ambaye ni Kocha zenye thamani ya laki tatu zil-
ambao wamechipuka na nina imani kubwa Sadam Tunje, Patrick Drogba, Bernard Saidi, obunge. itolewa.
na Msimamizi Mkuu wa Ticha FC aliambia watakapoonekana wakishiriki ligi msimu huu, Sande Tunje, Deni Sammy, Salim Fahad, Ab- Kabla ya kutolewa kwa vifaa
Dimba kuwa wana timu za vijana wa umri wa Jamsa walitawazwa ma-
wanaweza kutakikana na klabu nyinginezo ze- dalla Madaraka, Ria Dewa na Rajab Munga. hivyo, kwa mara ya kwanza, bingwa wa makala ya kwanza
miaka chini ya miaka 15, 17 na timu kubwa am- nye uwezo," akasema Mwalimu. Mwalimu anatoa wito kwa viongozi wa wadau wa michezo na sekta ya
bazo vijana wa mtaani wanazichezea. ya michuano hiyo kwa kuinyu-
Wachezaji ambao ana imani wanaweza ku- kisiasa na wafanyabiashara wajitokeze kuz- filamu walipata fursa ya kutoa ka Kona Mbaya mabao 3-1
Anaamini kuwa wamekuwa klabu ya kutoa takikana na klabu kubwa ni pamoja na viungo isaidia timu za mitaani ili vijana wengi wap- mapendekezo yao kwa Bodi
wachezaji wenye vipaji wa kulisakata soka kwenye fainali.
Fredrick Ziro, Halfan Juma, William Walter, ate motisha ya kujiunga na klabu za mitaani
kwani kwa wakati huu, wana wanasoka waw- beki Bilal Bakari na mastraika Abdalla Madar- kucheza na kuinua vipaji vya uchezaji wao.
ili ambao wameanzia timu yake na sasa wa- aka na Omar "Kyalo" Juma.

Usintate yainua vipaji, yakuza maadili


NA HASSAN POJJO ni njia ambapo mifugo walikuwa ka wa 1991 waliweza kupokonywa baada ya kuwalaza mahasimu wao
KLABU ya Usintate inapatikana wanatoka na kuingia wakitoka mal- na timu ya Super Power. wa jadi, Hippo Rangers kwenye
katika wadi ya Ruruma eneobunge ishoni. Mzee Patrick Mwachiro ndi- Mwaka wa 1988, walishinda fainali.
la Rabai, Kaunti ya Kilifi. Klabu hiyo ye aliyekuwa kama mfadhili mkuu Kombe la Mwatovu Shield, hii iki- Kwa sasa klabu hiyo inajivunia
ilianzishwa mnamo 1982. Mwan- wakati huo wa miaka ya 80. wa baada ya kuwalaza Red Stars kuwatoa wachezaji wawili man-
zilishi mkuu wa timu hiyo, Alfred Sinzia anasisitiza kuwa madhu- mwaka huo tena kwenye fainali ya dugu wanaochezea klabu kadhaa
Sinzia alisema kuwa mahali palipo muni makuu ya kuanzishwa kwa Ruruma Cup. nchini. Wa kwanza ni Said Tsuma
uwanja huo kulikuwa na miti mingi timu ni kuleta vijana pamoja na ku- Mwaka wa 1989, waliwanyu- maarufu kama Star anayechezea
pamoja na minazi. waweka mbali na makundi mabaya ka Super Power ugani Kasidi na klabu ya Thika United inayoshiri-
Alipata usaidizi kutoka kwa kama vile wizi na pia kukuza vipaji. kutwaa ubingwa. Timu hiyo ina- ki Ligi Kuu ya KPL na mwaka jana
marafiki zakeKassim Mwambeyu Klabu hiyo imeweza kuwa na ma- jivunia mataji mbalimbali ambayo aliweza kuwa kwenye kikosi cha
(meneja mkuu wa klabu hiyo kwa fanikio mengi si haba tangu ilipoan- imeshinda licha ya kutokuwa na Harambee Stars kilochotwaa ub-
sasa), Magaro Zoka, Tsuma Mwam- za. Kombe la kwanza waliweza kus- mkufunzi mkuu kwani kwenye mi- ingwa wa CECAFA mnamo mwezi
beyu ambao walikuja pamoja na hinda mnamo 1987 likiwa ni kombe aka minne iliyopita, imeweza kube- Desemba.
kuanza zoezi la kufyeka miti hiyo la Kinda Cup ambapo walikitwaa ba kombe mara tatu, la mwisho liki- Kakaye mkubwa anachezea timu
Kikosi cha Usintate FC kikiwa uwanjani Kilifi. Picha/Hassan
ikiwemo miembe. mara mbili mfululizo ugani Mwan- wa ni mwaka jana ambapo ilishinda ya Oserian Fastac ambayo iko kati-
Pojjo
Mahali hapo aidha palikuwa jama dhidi ya Sham ambapo mwa- Ligi ya FKF katika wadi ya Ruruma ka Kaunti ya Nakuru.
Jumatatu, Septemba 10, 2018 | TAIFA LEO
22
SPOTI
Kwa Ufupi Kiungo huyo wa Tottenham alikosa kuunga timu ya taifa
Kenya yajipiga mwereka
Waheshimu Stars,
NAIROBI

Ingwe yakaribishwa katika Tong-IL Moo-Do


Dar kwa kuadhibiwa NA ABDULRAHMAN SHERIFF

Migne sasa aonya


MABINGWA watetezi Kenya walianza vibaya makala ya
sita ya mashindano ya kimataifa ya Mombasa Open Tong-
AFC Leopards ilianza ziara ya IL Moo-Do katika shule ya Aga Khan Academy, Jumamosi.
mechi mbili za kirafiki nchini Tanza- Ilikuwa siku njema kwa Ufilipino iliyochukua uongozi
nia kwa kucharazwa 4-2 na Simba wa mapema baada ya kushinda medali ya dhahabu na fed-
SC katika Uwanja wa Taifa jijini Dar ha katika shindano la wanaume wakubwa la “Individual
es Salaam mnamo Jumamosi usiku. Forms”.

Mugubi, wenzake
Ingwe ilipata mabao ya kufuta ma- Mharjudi Delos Santos (Ufilipino) aliwapiku washiri-
chozi kutoka kwa Eugene Mukangula ki wengine 27 kwa kupata pointi 8.9 na kuibuka mshindi.
na Dan Omondi nayo Simba iliona Mfilipino mwenzake Geovane Gella alishinda medali ya
lango kupitia kwa John Bosco (maw- fedha kwa kupata alama 8.6.
Ogene Ifenaji (Nigeria) alikuwa mshiriki wa kwanza ba-
ili), Mohamed Ibrahim na Marcel rani Afrika kupata medali alipojiloea shaba kwa kuwa na
Kaheza. Mabingwa hao mara 13 wa alama 8.55. Wakenya Abubakar Mwaisangu, Tom Kabochi,
Kenya waliratibiwa kumenyana na nahodha Elvis Malipe na Junso Jo Juma walimaliza katika
Mtibwa jana usiku. nafasi za sita, saba, tisa na 10, mtawalia.
Na Geoffrey Anene Baadhi ya wale walioshuhudia kuanza kwa mashindano
hayo ni Rais wa Shirikisho la Tong-IL Moo-Do la Dunia Dkt
KAKAMEGA Joon Ho Seuk na Afisa Mkuu wa Kenya Academy of Sports,
Gordon Oluoch.

Sleemaz FC tumaini
tele kutwaa ufalme Chepkoech, Manangoi
MATUMAINI ya Sleemaz FC kut-
waa taji la Ligi ya tawi la Magharibi
la Shirikisho la Soka nchini (FKF)
yaliongezeka baada ya kupepe-
watamba Riadha za
ta Bugembe FC 5-0 Jumamosi.
Sleemaz inayonolewa na nahodha
wa zamani wa Harambee Stars
Mabara nchini Czech
Sylvanus Otema, iliona lango kupitia
kwa Mike Lugalia (mabao matatu)
na Zablon Kutera na Martin Luseno
waliochangia bao moja kila mmoja.
Jitihada za Bugembe kutoka Vihiga
kupata bao ziligonga mwamba.
Na Titus Maero

THIKA

Chipukizi wa Kabati
wavunjwa na JYSA
JYSA FC iliibwaga Kabati Youth
FC 3-1 katika mechi ya kuwania ub-
ingwa wa Ligi ya Aberdare uwanjani
Gachororo, wikendi. Timu ya JYSA
Beatrice Chepkoech (kulia) ampiku Winny Chebet kwenye fainali za mbio za
ilitangulia kupata bao dakika ya 26 1500m wakati wa mchujo wa kufuzu kwa Michezo ya Jumuiya ya Madola
Kiungo Eric Johanna wa Harambee Stars amzidi maarifa Afriyie Aquah wa Ghana katika mechi ya kufuzu kwa
kupitia mkwaju wa Francis Kimani fainali za AFCON 2019 iliyosakatwa ugani MISC Kasarani mnamo Septemba 8, 2018. PICHA/MAKTABA 2018 ugani Kasarani mnamo Februari 17, 2018. PICHA/MAKTABA
kabla ya John Maina kusawazisha
dakika ya 40. Mabao mengine ya NA GEOFFREY ANENE “Naweza kuzungumzia Blackberry, kwa mfano. NA GEOFFREY ANENE
JYSA yalifumwa wavuni kupitia kwa KOCHA Sebastien Migne amewataka wachezaji Nchini Ufaransa siku chache zilizopita wakati Jean-
Kevin (Augustin), ambaye ni mshambuliaji wa Leip- NYOTA Beatrice Chepkoech na Elijah Manangoi walishindia
mchezaji Peter Kamau kunako da- wa soka wa Kenya kuheshimu timu ya taifa wanap- Bara Afrika mataji ya mbio za 3000 kuruka viunzi na maji na mita
kika ya 60 na 72. Nayo 88 Bombers oitwa kuwakilisha nchi katika vibarua vya kimatai- zig, alikataa mwito wa timu ya taifa ya Under-21,
waliomba Fifa imepige marufuku,” Migne alisema. 1500 kwenye Riadha za Mabara (Intercontinental Cup) yaliyoka-
ilisajili ushindi mwembamba wa 1-0 fa. milika mjini Ostrava katika Jamhuri ya Czech, jana. Mshikilizi wa
Habari zinasema kwamba kocha huyo mzawa Mfaransa huyo aliongeza, “(Kipa) Hugo Lloris,
dhidi ya Kenya Tents. ambaye ni bingwa wa dunia na Ufaransa, anachezea rekodi ya dunia ya dakika 8:44.32, Chepkoech aliongoza kutoka
Na Lawrence Ongaro wa Ufaransa kwa sasa anataka Shirikisho la Soka la mwanzo hadi mwisho wa mbio hizi za kuruka viunzi 28 na maji
Kenya (FKF) liandikie barua Shirikisho la Soka Dun- Tottenham, lakini alikuwa jijini Paris kuangaliwa na
daktari wa timu ya taifa kama jeraha lake ni la kweli mara saba akishinda kwa rekodi mpya ya Intercontinetal Cup ya
iani (FIFA) kuhusu wachezaji waliopuuza mwito dakika 9:07.92. Alifuta rekodi ya Mrusi Yuliya Zarudneva ya da-
wake wa kujiunga na timu wakiwemo Victor Mugu- ama la. Niko na imani kubwa na Victor (Wanyama),
NAIROBI lakini kama tunataka kuenda mbali tunastahili kika 9:25.46 iliyowekwa mwaka 2010 nchini Croatia. Manangoi
bi Wanyama (Tottenham Hotspur, Uingereza), Allan aliwabwaga wapinzani wake wa karibu Marcin Lewandowski na
Wanga (Kakamega Homeboyz) na George ‘Black- kurekebisha mambo mengi.”
Jakob Ingebrigtsen kutoka Bara Ulaya kwa kutwaa taji kwa daki-
Warriors, Scorpions berry’ Odhiambo na Bonface Oluoch (Gor Mahia) ili
wachukuliwe hatua jinsi wachezaji kutoka mataifa
Migne hakuficha ghadhabu yake dhidi ya Oluoch,
ambaye hakutoa sababu yoyote ya kukosa kufika ka 3:40.00.
Katika siku ya kwanza hapo Jumamosi, Wakenya Conseslus
kambini.
wawika katika hoki mengine wanavyopigwa marufuku wakikataa kuji-
unga na timu zao za taifa. “Sitaki kuzungumzia Boni (Oluoch), lakini na-
dhani kitendo chake nadhani ni kukosa heshima.”
Kipruto, Winny Chebet na Emmanuel Korir walishindia Afrika
mataji ya mbio za mita 3,000 kuruka majia na viunzi, mita 1500
Akizungumza baada ya vijana wake wa Harambee na mita 800, mtawalia. Edward Zakayo alimaliza wa tano katika
Stars kushangaza miamba Black Stars ya Ghana 1-0 Kenya, ambayo itakabana koo na Ethiopia mwezi
TIMU ya Butali Warriors iliongeza Oktoba katika mechi zake mbili zijazo za Kundi F, mbio za mita 3000 jana. Licha ya Wakenya kung’aa, Afrika ilikod-
masaibu ya Western Jaguars kwa katika mechi ya kufuzu kushiriki Kombe la Afrika olea kumaliza kampeni yake mkiani nyuma ya timu za Americas,
(AFCON) mwaka 2019 uwanjani Kasarani jijini Nai- ililemea Ghana 1-0 kupitia mwiba wa kujidunga ku-
kuipepeta 6-0 kwenye Ligi Kuu toka kwa beki Nicholas Opoku. Bara Ulaya na Asia-Pacific.
robi siku ya Jumamosi, Migne alisema wachezaji Kwingineko, Wakenya walitawala mbio za Birell Prague Grand
ya magongo ya wanaume mjini wote wanaoitwa kikosini wanafaa kufika kambini Ghana ilikuwa imenyoa Ethiopia bila maji 5-0
mjini Kumasi katika mechi yake ya ufunguzi nayo Prix za kilomita 10 katika Jamhuri ya Czech baada ya Rhonex
Kakamega, Jumamosi. Vijana wa ko- na kisha kupewa ruhusa ya kutoshiriki mechi ama la
Kenya ilizabwa 2-1 na Sierra Leone jijini Freetown. Kipruto kuongoza Wakenya kunyakua nafasi sita za kwanza kati-
cha Dennis Owoka walivuna ushindi baada ya kuchunguzwa kiafya. ka kitengo cha wanaume. Kipruto alikosa rekodi ya dunia ya mbio
kupitia mabao ya George Mutira Nahodha na kiungo Wanyama aliomba ku- Timu zote nne sasa zina alama tatu kila mmoja
baada ya Ethiopia kubwaga Sierra Leone 1-0 mjini hizi kwa sekunde mbili pekee alipokata utepe kwa dakika 26:46.
(matatu) nao Frank Wanangwe, toshirikishwa katika mechi dhidi ya Ghana wiki Mkenya Leonard Komon anashikilia rekodi ya dunia ya dakika
chache baada ya kurejea kutoka mkekani baada ya Awassa, jana.
Zack Aura na Barnabas Odhiambo. Penalti ya Getaneh Kebede katika kipindi cha 26:44 aliyoweka mwaka 2010. Wakenya walinyakua nafasi saba
Kwenye Ligi Kuu ya Wanawake, kupata jeraha la goti mwezi Julai. Hata hivyo, Migne za kwanza katika kitengo cha kinadada kupitia kwa Caroline Kip-
alisisitiza wachezaji wanafaa kufika kambini na ku- kwanza ilitosha kuzamisha Sierra Leone, ambayo
Scorpions ya Chuo Kikuu cha itazuru Nairobi mwezi Novemba 2018. kirui, Fancy Chemutai, Diana Kipyokei, Dorcas Tuitoek, Perine
fanyiwa uchunguzi na daktari wa timu ya taifa am- Nenkampi, Rosemary Wanjiru na Loice Chemnung, mtawalia.
Strathmore ilizima USIU-A 1-0. baye anastahili kuwapa ruhusa.
Na John Kimwere
TAIFA LEO | Jumatatu, Septemba 10, 2018
SPOTI 23

Salah achochea Misri kuwaponda Niger MADRID, UHISPANIA

Griezmann afichua
CAIRO, MISRI vilivyo na Mohsen.
NYOTA Mohamed Salah alifunga ma- Ushindi huo mnono wa Misri ulikuwa
mwanzo bora kwa kocha Javier Aguirre
kwamba atastaafu
bao mawili, akachangia mengine mawili
na kupoteza mikwaju miwili ya penalti
katika ushindi wa 6-0 uliosajiliwa na
aliyeteuliwa kujaza pengo la Hector Cu-
per aliyejiuzulu baada ya vijana wake
akitandaza boli USA
Misri dhidi ya Niger katika mchuano wa kuaga mapema kampeni za Kombe la
kufuzu kwa fainali za Kombe la Afrika Dunia. MSHAMBULIAJI matata wa klabu
(AFCON) nchini Cameroon mwakani. Katika mechi nyinginezo, sajili mpya ya Atletico Madrid na timu ya taifa
Salah ambaye kwa pamoja na Sadio wa Liverpool. Xherdan Shaqiri aliwa- ya Ufaransa, Antoine Griezmann, 27,
Mane wa Senegal na Roberto Firmino wa chochea Uswisi kuwapapata Iceland 6-0 amesema kwamba kilele cha fahari
Brazil, ni tegemeo kubwa kambini mwa katika kivumbi cha kuwania ubingwa wa yake katika ulingo wa kusakata soka
Liverpool, alishuhudia penalti yake ya Nations League. ya kulipwa ni kumalizia taaluma
dakika ya kwanza ya mchezo ikipanguli- Kiungo huyo wa zamani wa Stoke City
na Barcelona alifunga bao moja na ku-
yake huko Amerika akichezea kikosi
wa ugani Borg El Arab, Alexandria. cha Major League Soccer (MLS).
Hata hivyo, nyota huyo alijitahidi changia mengine mawili katika ufanisi
uliosajiliwa na kikosi chake katika Kundi Kulingana na nyota huyo ambaye
maradufu na kuchangia bao la kwan-
za la Misri lililopachikwa wavuni mwa A2. kwa sasa ni tegemeo kubwa
wapinzani wao na Marwan Mohsen. Ay- Shaqiri aliwafungia Uswisi bao la tatu kambini mwa kocha Diego Simeone,
man Ashraf alifuma wavuni goli la pili la baada ya ukurasa huo kufunguliwa na nia yake kuu ni kuangika daluga
miamba hao wa soka ya Afrika kabla ya Mohamed Salah (katikati) asherehekea bao lake dhidi ya Niger katika mechi ya kufuzu Steven Zuber na Denis Zakaria. katika ulingo wa soka akivalia jezi
Salah kushuhudia penalti yake nyingine kwa fainali za Kombe la Afrika (AFCON) 2019 mnamo Septemba 8, 2018. PICHA/AFP Haris Seferovic aliyafanya mambo za LA Galaxy au klabu mpya ya
ikiokolewa na kipa wa Niger ila akafuma kuwa 4-0 kabla ya Albian Ajeti na Admir nguli David Beckham, Inter Miami.
wavuni mpira huo uliomrudia. wandalia pasi maridadi nyota Salah Mo- Salah angalivuna mabao matatu kuto- Mehmedi kukizamisha kabisa chombo
cha Iceland. Shaqiri alisajiliwa na Liver-
Tangu mwishoni mwa msimu jana,
Salah ambaye alipania kuendeleza hsen. Bao la sita la mabingwa hao mara kana na mchuano huo iwapo angalitumia Griezmann alikuwa windo kubwa
makali yake ya msimu jana, aliwafungia tano wa AFCON lilipachikwa wavuni na vyema nafasi aliyoipata mwishoni mwa pool kutoka Stoke City mwanzoni mwa
kiungo wa Arsenal, Mohamed Elneny. kipindi cha pili baada ya kushirikiana msimu huu kwa kima cha Sh1.8 bilioni. la Barcelona na Man-United, kiasi
Misri bao la tano pindi baada ya kum-
kwamba ilimjuzu Mkuu wa Atletico,
Miguel Angel Gil Marin kuwaponda
Mechi hiyo ilikuwa wa kwanza kwa kocha Southgate kupoteza nyumbani tangu apokezwe mikoba vinara wa klabu hizo mbili kutokana
na juhudi zao za kumnyemelea
straika wao huyo. Marin alitoa

Uingereza wazidiwa maarifa


shambulio lake hilo baada ya kufi-
chuka kwa habari zilizodai kwamba
miamba wa soka ya Uhispania,
Barcelona walikuwa hawalali kabisa
wakiwazia jinsi ya kumshawishi
Griezmann kutua ugani Camp Nou
kwa kwa kitita cha Sh15 bilioni.

na Uhispania Nations League


LONDON, UINGEREZA
LONDON, UINGEREZA

Maguire atia kidole


UINGEREZA walifungua kampeni zao
za kuwania ubingwa wa Nations League
kwa kichapo cha 2-1 mnamo Jumamosi
kwenye kandarasi
uwanjani Wembley.
Chipukizi Marcus Rashford aliwaweka
mpya ya Leicester
Uingereza kifua mbele kunako dakika ya
11 baada ya kushirikiana vilivyo na beki BEKI mahiri wa Leicester City,
Luke Shaw. Hata hivyo, Uhispania wal- Harry Maguire amezima kwa sasa
iyajibu haraka mapigo ya wenyeji hao tetesi zote zilizokuwa zikimhusisha
kupitia kwa nyota wa Atletico Madrid,
Saul Niguez aliyesawazisha katika daki- na uwezekano wa kuhamia Man-
ka ya 19. chester United baada ya kutia saini
Nyota Rodrigo Moreno alichuma mkataba mpya wa miaka mitano na
nafuu kutokana na utepetevu wa mabeki waajiri wake wa sasa.
wa Uingereza na kwa kupachika wavuni Maguire, 25, alikuwa miongoni
bao la ushindi kunako dakika ya 32. mwa wachezaji tegemeo walio-
Uingereza walikabiliwa na pigo zaidi chochea timu ya taifa ya Uingereza
mwanzoni mwa kipindi cha pili baada ya kutinga nusu-fainali za Kombe la
Shaw kujipata katika ulazima wa kuon- Dunia nchini Urusi mwaka huu.
dolewa uwanjani kwa machela baada ya
kugongana na beki wa Uhispania, Dani Ushawishi wake ndani ya jezi za
Carvajal. Uingereza ni mojawapo ya sababu
Licha ya tukio hilo, Uingereza ambao zilizomchochea kocha Jose Mourin-
kwa sasa wananolewa na kocha Gareth ho kuanza kuyahemea maarifa yake
Southgate walipania kupigana hadi se- kwa nia ya kujivunia huduma zake
kunde ya mwisho na nusura wasawa- ugani Old Trafford.
zishiwe na mfumaji wa Tottenham Hot- Hata hivyo, Leicester ambao wal-
spur, Harry Kane dakika chache kabla itawazwa mabingwa wa EPL mna-
ya kipenga cha kuashiria mwisho wa mo 2015-16, walisisitiza kwamba
kipindi cha pili kupulizwa. Kipa David De
Gea ambaye alifanyishwa kazi ya ziada huduma za beki huyo hazikuwa za
na Rashford anayesakata naye soka ya kunadiwa hivi karibuni. Maguire
kulipwa kambini mwa Manchester Unit- aliwawajibikia Leicester katika mi-
ed alimnyima nyota huyo nafasi tatu za chuano yote ya msimu jana tangu
wazi mwishoni mwa kipindi cha kwanza. Harry Kane wa Uingereza (katikati) awania mpira kutoka kwa beki Marc Bartra wa Uhispania (kulia) mnamo Novemba 13, 2015. PICHA/AFP asajiliwe kutoka Hull City kwa kima
Mwisho wa mchuano huo ulitawaliwa cha Sh2.5 bilioni mnamo Juni 2017.
na wingi wa hisia kali kutoka kwa mash- ya msambamba. wa kwao katika jumla ya michuano 24 ka fainali za Kombe la Dunia. Aidha, Kane Amewajibishwa na Leicester
abiki wa Uingereza waliolalamikia sana Mchuano huo ulikuwa wa kwanza kwa mfululizo. Isitoshe, ulikuwa mchuano wa aliyeibuka mfungaji bora kwenye fainali katika michuano yote minne ya
hatua ya refa mzawa wa Uholanzi, Dan- Uingereza kupoteza ugani Wembley tan- kwanza kwa Southgate kupoteza tangu hizo, alituzwa na Southgate kiatu chake
gu Novemba 2007 walipozidiwa maarifa aaminiwe mikoba ya timu ya taifa ya Uin- cha dhahabu kabla ya kipenga cha kwan- msimu ya ligi hadi kufikia sasa
ny Makkelie kulikataa wazi bao la Danny
Welbeck mwishoni mwa kipindi cha pili. na Croatia katika mechi ya kufuzu kwa gereza waliotinga nusu-fainali za Kombe za kupulizwa. msimu huu, akiwafungia waajiri
Kwa mujibu wa refa huyo, Welbeck fainali za Euro 2008. Machungu zaidi la Dunia nchini Urusi mwaka huu. Kabla ya kuwaongoza vijana wake wake hao bao la ushindi katika
alitikisa nyavu za wa wapinzani wao kwa Uingereza ni kwamba mechi hiyo Mechi ya Jumamosi usiku ilianza kwa kushuka dimbani, Southagate alikuwa matokeo ya 2-1 waliyoyasajili dhidi
baada ya kumchezea visivyo De Gea ali- ilitoa jukwaa mwafaka kwa Uhispania matao ya juu, huku Uingereza wakilenga ameonya kwamba kikosi chake kinahitaji ya Southampton ugenini.
yesalia hoi baada ya kuangushwa ndani kupiga breki rekodi nzuri ya kutoshind- kuendeleza ubabe walioudhihirisha kati- muda zaidi wa kujisuka upya.
24 Jumatatu, Septemba 10, 2018 | TAIFA LEO

MIGNE AMKANYA

spoti
TAIFA LEO
NAIROBI

Zarika malkia
wa ndondi
Police ikiliza
Kocha Zinedine Zidane
awapongeza vijana wake
mwishoni mwa mechi ya Klabu
Nakuru
Bingwa Ulaya (UEFA) kati ya Real
Madrid na Liverpool ugani Olym-
GEOFFREY ANENE NA RICHARD
pic jijini Kiev, Ukraine mnamo
MAOSI
Mei 26, 2018. PICHA/AFP MKENYA Fatuma Zarika alisalia
malkia wa ndondi za uzani wa kilo
55.3 (Super Bantam) duniani baa-
da ya kuandikisha ushindi wake
wa saba mfululizo kwa kulima raia
wa Mexico Yamileth Mercado kwa
wingi wa alama jijini Nairobi Jum-
amosi usiku.
Zarika, 34, hakupata ushindi
huu kwa urahisi katika pigano
hilo la raundi 10 kwenye jumba
la mikutano la kimataifa la KICC.
Alitolewa jasho na chipukizi huyu
mwenye umri wa miaka 20 kabla
ya kujinyanyua na kuhifadhi taji
aliloshinda kwa mara ya kwanza
mwaka 2016. Majaji walimpa Zari-
ka ushindi wa alama 94-96, 97-93,
99-91.
Bingwa huyu, ambaye maka-
zi yake ni katika jimbo la Florida
nchini Marekani, sasa anajivunia
rekodi ya ushindi 30, vichapo 12
na sare mbili tangu ajitose katika
masumbwi mwaka 2003.
Pigano hili la kifahari lililoshu-
hudiwa na maelfu ya Wakenya na
wapenzi wa ndondi katika ukumbi
huo pamoja na kwenye runinga,
lilitanguliwa mapambano matatu
yasiyo ya mataji. Nyota Rayton
Okwiri alinyamzisha Mganda Pat-

YU NJIANI
rick Amote kwa njia ya TKO kati-
ka raundi ya pili ya uzani wa kati
naye Fred Nyakesha akalemewa
na Mkenya mwenzake George On-
yango kwa wingi wa pointi katika
uzani wa “light.” Charity Mukami
na Florence Muthoni walitoka sare
katika pambano lingine la uzani
wa kati.
Kwingineko, mashindano ya
ndondi ya maeneo kati ya timu
za Kenya Police na Nakuru Com-
bined yalikuwa ya kusisimua ka-
tika ukumbi wa Nakuru Madison
Square siku ya Jumamosi. Katika
pambano la kwanza, Lemid Thion-
CHRIS ADUNGO NA MASHIRIKA wao wa sasa. na Real Madrid mwishoni mwa hakikishia Mourinho uungwaji go wa Nakuru alimlima Peter
KATIKA hatua inayopania Katika habari iliyoshadidiwa msimu jana, tayari ameanza ku- mkono, Zidane ana asilimia 80 za Kiarie wa Police katika uzani wa
kuashiria kwamba wakati wa ku- pia na gazeti la The Mirror, Zidane waeleza baadhi ya wandani wake kuajiriwa wakati wowote, ila hilo ‘Fly’. Ethan Maina alinusuru Po-
hudumu kwa kocha Jose Mourin- amekuwa akiwasiliana na baadhi kuhusu uwezekano wa kupigiwa litategemea matokeo ya miamba lice alimlabua Emmanuel Otieno
ho uwanjani Old Trafford unazidi ya vinara wa Man-United kisiri simu kutoka Old Trafford ikim- hao wa soka ya Uingereza na jinsi wa Nakuru katika uzani wa ‘Light’.
kukatika, magazeti mengi ya Uin- huku majukumu yake kwa sasa warifu kuhusu kuteuliwa kwake Mourinho atakavyoendeleza ma- Mabondia wengine kutoka idara
gereza yamedai kuwa tayari mku- yakiwa ni kupendekezea usimam- kuwa kocha mkuu wa Man-Unit- husiano yake na kikosi kizima. ya polisi waliotamba katika map-
funzi Zinedine Zidane ameanza izi baadhi ya masogora atakaota- ed. Gazeti la Dailymail linasisitiza igano haya ya raundi ya tatu dhi-
kuandaa orodha ya wachezaji ka waingie katika sajili rasmi ya Hata hivyo, ameonya kwamba kwamba Mourinho hahusiani di ya Nakuru ni Joseph Shigazi
atakaowasajili iwapo atapokezwa kikosi chake katika muhula mfupi huenda hilo likafanyika tu wakati vyema na wachezaji Anthony (Welter), Bonface Mugunde (Mid-
mikoba ya Manchester United. ujao wa uhamisho wa wachezaji. wowote kabla ya Januari iwapo Martial na Paul Pogba ambao dle), George Cosby(Light Heavy),
Kwa mujibu wa gazeti la The Katika orodha yake, Zidane ana hewa katika uwanja wa Old Traf- huenda wakabanduka kambini Humphrey Ochieng’ na Elly Ajowi
Sunday Mirror, Zidane anajiza- majina ya wachezaji Toni Kroos ford kwa sasa itachafuliwa zaidi mwa Man-United wakati wowote (Heavy), mtawalia.
titi kuchukua rasmi mahala pake wa Real, Alcantara wa Bayern na Mourinho kwa kushindwa ku- iwapo kikosi chao hicho hakitari-
Mourinho mnamo Januari 2019 Munich, Edinson Cavani wa PSG tambisha kikosi chake katika min- dhisha katika kampeni za kuwan-
ila huenda wakati wa kufanyika na James Rodriguez ambaye kwa gi ya michuano ijayo. ia ufalme wa Klabu Bingwa Ulaya
kwa mabadiliko hayo ukafupish- sasa anavalia jezi za Bayern kwa Licha ya Naibu Mwenyekiti (UEFA) msimu huu. Man-United
wa hata zaidi kutegemea matokeo mkopo kutoka Real. wa Man-United, Ed Woodward wametiwa katika zizi moja la
yatakayosajiliwa na Man-United Kwa mujibu wa gazeti la The kusisitiza kwamba usimamizi Kundi H na Juventus, Valencia na
kuanzia sasa chini ya mkufunzi Sun, Zidane ambaye aliagana wa klabu hiyo umepania kum- Young Boys kutoka Uswisi.

You might also like