Professional Documents
Culture Documents
Zidane akijiandaa
kuelekea Man Utd
SPOTI 21 - 24
A NATION MEDIA GROUP PUBLICATION
Haji asema washukiwa wa mauaji ya Sharon watakabiliwa licha ya vyeo vyao, wanasiasa waandaa maandamano Migori
DPP TAYARI
NA WAANDISHI WETU
MKURUGENZI wa Mashtaka ya Umma
(DPP), Noordin Haji jana alisema yuko tayari
kumkamata Gavana wa Migori, Okoth Obado
iwapo uchunguzi unaoendelea utamhusisha
na mauaji ya mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha
Rongo, Sharon Otieno.
Bw Haji alisema kuwa, sheria haitaacha
ENDELEA Uk 2
Wiper yasuta
wanaodai
madeni ya
kisiasa 2022
COLLINS OMULO NA STEPHEN MUTHINI
KIONGOZI wa chama cha Wiper, Kalonzo Musyoka,
amesema kwamba hana deni la kisiasa na yeyote na
hakuna kiongozi anayepaswa kutarajia kulipwa deni
kama hilo.
Bw Musyoka alisema wale wanaotaka kulipwa madeni
ya kisiasa 2022 wanajidanganya kwa sababu katika siasa
hakuna madeni ya kulipwa.
“Katika siasa, hakuna deni. Unapata unachogombea
au unaambulia patupu,” alisema Bw Musyoka akiongea
katika hafla ya kuadhimisha mwaka wa tatu wa kifo cha
baba ya gavana wa Nairobi, Mike Sonko iliyoandaliwa
Kaunti ya Machakos Jumamosi.
Wafuasi wake wamekuwa wakimtaka kiongozi wa
chama cha ODM Raila Odinga kumuunga mkono Bw VIJANA jijini Nairobi wakining’inia kwa njia hatari kwenye matatu jana. Vijana hao, wanawake kwa wanaume, walikuwa wamekodisha magari kadhaa
Musyoka kugombea urais 2022 kwa sababu alimuunga kwa kile walichosema ni ziara ya kwenda Meru. Moja ya matatu hizo iligonga gari la polisi.
Picture Kanyiri Wahito
ENDELEA Uk 2
kisiasa 2022
na mwanahabari Barack Oduor Nation Mjomba wa marehemu, ambaye haku- akasema. aliwaomba wanasiasa kutolizungumzia
Media Group wamekuwa wakiishi kwa taka kutajwa kwa sababu za kiusalama, Hata hivyo, alisema kwamba hatatishi- suala hilo ili kuwapa wachunguzi nafasi
hofu kutokana na vitisho sawa na hivyo. alisema jana kwamba baadhi ya marafiki ka hata kidogo, ila ataendelea kushinikiza ya kubaini kilichofanyika.
Familia ya Bi Otieno pia imekuwa na jamaa zao, wamekuwa wakiwaomba haki kwa mpwawe, aliyekuwa akisomea Alieleza kuwa kutiwa chumvi kwa tukio
ikipokea vitisho, hata inapoomboleza kifo “kulegeza kamba katika kufuatilia kiini masuala ya uwekaji rekodi za matibabu. hilo kulipelekea kifo cha shangaziye Sha- KUTOKA Uk 1
cha mwana wao. cha kifo cha Sharon.” Kufikia kifo chake, Sharon alikuwa na ron, Deborah Ogweno, ambaye alizimia na wakimtaka Rais Uhuru Kenyatta
Vitisho hivyo vinatoka kwa watu wan- Alisema kuwa anaamini kuwa huenda mimba ya miezi saba. kufariki mnamo Ijumaa. Alikuwa na umri kumuunga mkono Bw Ruto kwenye
aowapigia simu kwa namba zilizofichika. jamaa hao wana uhusiano na wale ambao Mnamo Ijumaa, msemaji wa familia wa miaka 44. uchaguzi mkuu wa 2022 wakisema
Bw Ruto amemuuga Rais katika
uchaguzi wa 2013 na 2017.
Hata hivyo, Bw Musyoka alisema
DPP asema uchunguzi utatoa mwongozo UREMBO: Washindi watuzwa nchi inafaa kusonga mbele pasipo
Haji - Nitashtaki
kufungwa na masuala kama mad-
eni ya kisiasa akisema wanaodai
kwamba wanapaswa kulipwa mad-
eni hayo hawafai kuwa viongozi.
Alisema chama cha Wiper
kinamuunga Rais Kenyatta ku-
tekeleza Ajenda Nne Kuu za Mae-
Mke wa mshukiwa aliyefia seli hajulikani aliko Wanafunzi 144 walala nje kufuatia moto
kwamba wanafunzi hawakuhusika
NA BENSON MATHEKA Mwai aliko. Na WAIKWA MAINA kwa vyovyote vile,” akasema Bw
Mke wa David Mwai, mshukiwa mkuu wa Bw Wambugu alisema wanakubali polisi MALI ya thamani ya maelfu ya Huka.
jaribio la kumuua aliyekuwa waziri wa fedha wafanye uchunguzi wao lakini akasema wana- pesa iliharibiwa Jumamosi baada ya Mwalimu Mkuu wa shule hiyo
wa serikali ya Garissa, Idris Mukhtar, hajulika- faa kuwaeleza aliko. Grace Wanjiru aliiambia Taifa Leo
moto mkubwa kuzuka katika bweni
ni alipo tangu mumewe alipokamatwa na kufa Polisi walisema Mwai, aliyekamatwa kwa kwamba hakuna mtu yeyote aliyeje-
kushukiwa kumpiga risasi Idris Mukhtar eneo ya Shule ya Upili ya Wasichana ya
akiwa seli za polisi. Karima, Kaunti ya Nyandarua. ruhiwa kwenye tukio hilo.
Familia ya Mwai inasema haijamuona mke la Kileleshwa jijini Nairobi alijinyonga akiwa
seli za kituo cha polisi cha Parklands. Mkasa huo uliwalazimu wanafunzi Hata hivyo, hakuna chochote
wake tangu mumewe alipokamatwa na polisi kilichookolewa kutoka bweni hilo li-
kwa kushukiwa kumfyatulia risasi Mukhtar. Bw Wambugu alisema ikiwa mke wa Mwai 144 wa Kidato cha Nne kulala nje.
Mwai alizikwa Ijumaa eneo la Nakuru na hatapatikana, watoto wao wenye umri wa Mkuu wa Polisi katika eneo la itwalo ‘Menengai’ ambalo hutumiwa
mkewe hakuhudhuria mazishi hayo huku ikid- miaka mitatu na mmoja watabaki mayatima Engineer, Huka Mohammed alisema na wanafunzi wa kidato cha nne.
aiwa huenda pia alikamatwa na polisi. wakiwa na umri mdogo. moto huo ulianza mwendo wa saa
Watu wa familia ya Mwai wanasisitiza Polisi walisema Mwai alijitia kitanzi na tatu unusu usiku, wakati wanafunzi
ripoti ya uchunguzi wa maiti yake ulithibiti-
21603
kuwa hawajui mkewe aliko wakidai alikamat- walipokuwa wangali wanaendelea
wa pamoja na mumewe mnamo Agosti 30. sha kwamba alijinyonga japo familia yake in-
ashuku aliuawa. na masomo yao madarasani.
Mwai alizikwa katika kijiji la Ngamini “Tunashuku moto huo ulisa-
kwenye sherehe fupi iliyochukua muda wa Gavana wa Garissa Ali Korane alihojiwa
kuhusiana na jaribio la kuua Mukhtar na babishwa na hitilafu za umeme.
chini ya saa mbili na kuhudhuriwa na watu
wasiozidi 200. akaachiliwa huru. Bw Mukhtar amelazwa ka- Wanafunzi walikuwa wangali Ukitaka kuwasiliana nasi
Kituo cha polisi cha Parklands tika hospitali moja jijini Nairobi akiwa na risa- masomoni wakati ulipoanza. Uchun- kuhusu taarifa yoyote, tumia
ambako David Mwai alikufa. Mjomba wa Mwai, James Wambugu ali-
nukuliwa akisema kwamba hawajui mke wa si iliyokwama kichwani. guzi wetu wa mwanzo umebainisha anwani iliyo hapa juu.
Picha/Jeff Angote
TAIFA LEO | Jumatatu, Septemba 10, 2018 3
Maandalizi ya
mitihani ya taifa
tayari - Waziri Na OUMA WANZALA ka mitihani kwa kukosa kuandaliwa vyema.
MAANDALIZI ya mitihani ya kitaifa ya mwaka “Wizara imejitolea kuhakikisha kiwango cha
huu yamekamilika, Waziri wa Elimu Amina Mo- juu cha kusimamia mitihani,” alieleza Waziri
hamed ametangaza. Mohamed. Aliwataka wazazi na walimu kuanza
“Tumeweza kupata makontena mengine 40 na kuwashauri wanafunzi wakiwa wadogo ili kuzuia
kuyapeleka katika baadhi ya maeneo ili yawe kar- visa vya ukosefu wa nidhamu shuleni.
ibu na vituo. Wale walio na jukumu la kusimamia “Mwaka huu, tulishuhudia visa vya ukosefu wa
mitihani wanapaswa kuwa waangalifu ili kuhakik- nidhamu katika shule zetu. Vitendo kama hivyo
isha kuna matokeo mema,” alisema Bi Mohamed. vya ghasia vinafaa kukomeshwa. Kama wizara,
Imeibuka kuwa mkutano utakaoshirikisha Wiz- tutahakikisha watakaohusika watakabiliwa kishe-
ara za Elimu, Usalama wa Ndani na Wizara ya ria. Bodi za kusimamia shule, vyama vya wazazi na
Tekinolojia utafanyika Septemba 17 ili kuweka mi- mabaraza ya wanafunzi zinafaa kuruhusiwa ku-
kakati ya kusimamia mitihani itakayoanza Oktoba. tekeleza majukumu yao na wanafunzi kuonyeshwa
Bi Mohamed alisema ni lazima mitihani ilindwe mbinu za kuwasilisha malalamiko yao ili yatatuli-
kwa vyovyote vile. we,” alisema Waziri Mohammed.
“Tunafaa kuhakikisha kuwa hakuna wizi wa mi- Alisema hayo alipoongoza sherehe za 52 za kua-
tihani. Walimu, wazazi na wadau wote katika sekta dhimisha siku ya kusoma ulimwenguni zilizoan-
hii wanafaa kuwahakikishia watoto wetu ambao ni daliwa katika Kaunti ya Wajir Jumamosi.
watahiniwa kwamba bidii huzaa matunda mema. Kulingana na Bi Mohammed, vituo vya elimu
Hivyo basi, ni jukumu la walimu kukamilisha mtaa- ya watu wazima vinapaswa kutumiwa kuwafunza
la kwa wakati ili wanafunzi wawe na ujasiri wan- wazazi maarifa ya ulezi na kuwaelekeza watoto
apojiandaa kwa mitihani,” alisema. wao kuwa na mienendo mizuri ili wakue wakiwa
Alisema watahiniwa hujaribu kudanganya kati- watu wakutegemewa.
“Ni kwa kuzingatia haya ambapo mtaala mpya
unashirikisha mzazi katika elimu. Ninahimiza wa-
zazi wote na walimu kutekeleza majukumu yao ya
kukuza wanafunzi na wasiwaachie walimu maju-
kumu yao,” alisema.
Bi Taifa
Siku ya kusoma ulimwenguni huleta pamoja
wadau katika elimu kujadili mchango wao kati- LA ZIADA?
ka elimu na athari zake kwa ustawi wa kijamii na Anayetupambia
uchumi. ukurasa huu leo ni
“Kenya imepiga hatua kubwa katika juhudi zake Sasha Wanjiru, 21.
za kukabiliana na kutojua kusoma hasa kupitia
mfumo wa elimu ya msingi na shule za upili za
Yeye ni mwanafunzi
mchana kutwa bila malipo. na mwanamitindo
Mipango mingine ya kukabiliana na hali hii ni chipukizi. Uraibu wake ni
kupitia katiba inayosema kwamba kila mtu ana kusakata densi, kusafiri,
haki ya kupata elimu na kwamba kila mtoto ana kuogelea na kutazama
haki ya kupata elimu ya msingi bila malipo,” al-
ieleza Bi Mohamed. Alisema maeneo kame nchini
filamu.
Waziri wa Elimu Amina Mohammed akiwa mbele ya
kamati ya bunge hapo awali. Picha/Maktaba yako nyuma katika kupigana na kutojua kusoma. Picha/Anthony Omuya
Jamii hiyo imesema iko tayari kutoa habari zitakazosaidia kuwatambua waliovamia msitu huo KISII
Ufisadi ndio
eneo la Baringo
wadai kutelekezwa
kali kupitia tume ya ardhi, kufanya hima akiwa Kigali, Rwanda
kuona ya kwamba walionyakua ardhi UFISADI unachangia kwa kiasi kikubwa ku- Blair alisema ukosefu wa sera na uadilifu ni pigo
ya serikali wanachukuliwa hatua kali wepo kwa baa la njaa nchini Kenya pamoja na kwa uzalishaji wa chakula.
na ardhi hiyo kutwaliwa bila kuwalipa mataifa mengineyo ya Afrika. “Inasikitisha kwamba mamilioni ya watu ba- Na OSCAR KAKAI
wanyakuzi fedha zozote. Kulingana na wataalamu na viongozi wa rani Afrika wanaendelea kukosa chakula ilhali MAAFISA wa usalama wanaofanya kazi katika maeneo ya mpa-
mashirika mbalimbali ya kimataifa, ufisadi un- ardhi imejaa rutuba,” akasema Bw Blair ambaye ka wa kaunti za Pokot magharibi, Elgeyo Marakwet, Turkana na
KWALE asababisha njaa barani Afrika sawa na mabadi- pia ni mwenyekiti wa taasisi ya Tony Blair Insti- Baringo wanalalamikia hali ngumu ya maisha wakidai wametele-
liko ya hali ya hewa na viwavi vinavyoharibu tute for Global Change. kezwa na serikali licha ya kufanya kazi katika maeneo hatari.
mazao. Naye Rais wa Wakfu wa Rockefeller, Rajiv Maafisa hao wa kupambana na visa vya wizi wa mifugo, GSU,
Mvurya amuomba Wataalamu hao wanaamini kuwa siasa
mbovu na ufujaji wa fedha za umma vitazuia
Shah alisema ufisadi huenda ukatatiza ndoto
ya Afrika kuwa na chakula cha kutosha kufikia
polisi na askari wa akiba wanasema kuwa wanapitia changamo-
to nyingi hata baada ya serikali kudai kuimarisha hali ya kazi ya
Uhuru ahairishe bara la Afrika kuwa na chakula cha kutosheleza
raia wake kufikia 2030.
2030.
“Ni kweli kwamba ufisadi umekita mizizi
walinda usalama nchini.
Maafisa hao walielezea Taifa Leo kuhusu ugumu wa maisha
Akizungumza katika kongamano kuhusu kil- katika sekta ya kilimo na unahitaji viongozi wanaokumbana nao kazini huku wakidai kuwa wanaishi katika
ushuru wa mafuta imo la 2018 lililokamilika wikendi jijini Kigali,
Rwanda, aliyekuwa naibu waziri wa mashauri
wakakamavu kukabiliana na janga hilo,” akase-
ma Dkt Shah.
hali duni na hata mara nyingi wanakosa chakula na maji safi ya
kunywa.
SIAGO CECE na FADHILI FREDRICK ya kigani wa Amerika Jendayi Frazer alisema Rais wa Shirika la Kimataifa la Ufadhili wa “Serikali imetusahau. Tunang’ang’ana na majangili lakini haku-
GAVANA wa Kwale Salim Mvurya am- ufisadi katika sekta ya kilimo na uchoyo wa Ustawi wa Kilimo (IFAD) Gilbert Houngbo alise- na anayetujali,” alisema afisa mmoja wa GSU ambaye hakutaka
emhimiza Rais Uhuru Kenyatta kuweka wanasiasa vimeathiri pakubwa uzalishaji wa ma ni kiasi kidogo mno cha fedha zinazokusany- jina lake lijulikane.
chakula cha kutosha barani Afrika. wa na serikali kutoka kwa wahisani zinawafikia Maafisa hao waliozungumza kwa njia ya siri wanadai kuwa
sahihi mswada wa kuahirisha utozaji wa Dkt Frazer, ambaye pia ni mkurugenzi wa wakulima wa mashamba madogo, ambao hu- wamevunjwa moyo na jinsi serikali imeshindwa kuwapa huduma
ushuru wa VAT kwa bidhaa za mafuta. shirika lisilo la kiserikali linalosaidia wakuli- zalisha asilimia 80 ya chakula kinachotumiwa nzuri licha ya wao kuishi katika maeneo hatari na mara kadhaa ku-
Alisema ongezeko la bei ya mafuta ya ma wa mashamba madogo kupata masoko ya barani Afrika. vamiwa na majangili .
petroli limewaathiri sana wananchi wa bidhaa zao, Africa Exchange Holdings, alisema Ripoti ya mwaka huu kuhusu Hali ya Kilimo “Hapa maisha ni kuvumilia sababu tumetelekezwa,” alisema af-
kawaida. uwazi unahitajika katika sekta ya kilimo ili ku- Barani Afrika inaonyesha kuwa maafisa serika- isa huyo.
“Tumeshuhudia kuhangaika kwa wezesha bara la Afrika kujikomboa kutokana na lini hupenda kuwekeza katika miradi mikubwa Maafisa hao wanasema kuwa hali ya usalama eneo hilo ni tete na
wananchi kutokana na ongezeko la bei makali ya njaa. ili kupata mgao wao wa ufisadi na kutelekeza hawana uwezo wa kukabiliana na mashambulizi kutokana na idadi
ya mafuta. Namwomba Rais Uhuru Ken- “Kiongozi anachaguliwa leo na kesho anaan- wakulima wadogo. ndogo ya maafisa wa usalama .
yatta aingilie kati,” alisema Bw Mvurya. za kukusanya fedha atakazotumia katika uch- Nchini Kenya, ufisadi umekithiri katika kila “Tunaishi kwa neema ya mungu sababu mashambulizi ni kila
guzi ujao. Miradi michache wanayotekeleza hatua ya uzalishaji katika sekta ya kilimo. siku,” walisema.
Alisema kuwa kuongezeka kwa bei ya inalenga kuleta kura na wala si kuwainua watu Walisema hata marupurupu yao ya kufanya kazi katika maeneo
mafuta kutachangia gharama ya maisha kiuchumi. Bila kuwepo na uadilifu katika sekta hatari hawajapata kwa miezi kadhaa.
kupanda na wananchi. ya kilimo njaa itaendelea kuwa donda ndugu ba- Ili kutolea maoni habari hii, nenda kwa Baadhi ya maafisa wanadai kuwa hawajapewa likizo kwa muda
Gavana huyo aliihimiza serikali rani Afrika,” akasema Dkt Frazer. taifaleo.nation.co.ke mrefu.
kutafuta njia nyingine ya kupata mapato Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Uingereza Tony
badala ya kuwaumiza walipaji ushur.
Akizungumza wikendi katika eneo
la Mvindeni, Ukunda alipoandamana NAIROBI
na Katibu Mkuu wa Shirika la Msalaba UBUNIFU: Wanafunzi wacheza uwanja uliofurika maji
Mwekundu, Bw Abbas Gullet ,gavana
huyo alisema idadi kubwa ya Wakenya
ni masikini wasiohitaji kutozwa ushuru
Kibaki amsifu marehemu Godia
zaidi. kama mwanamageuzi, mtaalamu
Na BENSON MATHEKA
Rais Mstaafu Mwai Kibaki amemtaja aliyekuwa Katibu wa Wizara
ya Elimu marehemu Prof George Godia kama mtaalamu na mwanam-
ageuzi.
Prof Godia alikufa Jumamosi baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Kwenye rambirambi zake, Bw Kibaki alisema marehemu Godia
atakumbukwa kama mtaalamu shupavu aliyehudumu katika sekta
tofauti kwa kujitolea.
“Utaalamu wake umeacha kumbukumbu isiyoweza kufutika.
Ninaomba Mungu aipe familia yake amani na faraja,” alisema Mzee
Kibaki kwenye taarifa.
Kibaki alimteua Godia kuwa katibu wa wizara ya elimu katika serika-
li yake 2014.
Naibu Rais William Ruto alisema marehemu Godia atakumbukwa
kama msomi na mwanadiplomasia mtajika.
"Ninafariji familia, marafiki na wasomi kufuatia kifo cha Prof George
Godia. Godia alitetea maslahi ya Kenya kote ulimwenguni,” alisema Bw
Ruto.
Godia alijiunga na wizara ya elimu 2004 kuwa katibu wa elimu na
kupanda cheo kuwa katibu wa wizara.
Wanafunzi wa shule ya msingi ya Sintaan, Kaunti ya Baringo wakicheza kwenye uwanja Spika wa Bunge la Kitaifa, Justin Muturi pia alituma rambirambi
uliofurika maji kufuatia mvua kubwa eneo hilo. Wanafunzi hao walichukua fursa hiyo kubuni
zake kwa familia ya Prof Godia akisema alifanya kazi yake kwa kuji-
Gavana Salim Mvurya wa Kwale. michezo mbalimbali ya kucheza kwenye maji. Picha/CHEBOITE KIGEN
tolea na utaalamu mkubwa.
Picha/Maktaba
6 Jumatatu, Septemba 10, 2018 | TAIFA LEO
KURUNZI YA PWANI
Wxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxdit
Wengi wao hawakusoma kwani waliozwa wangali wachanga
Afueni wanawake
wa jamii ya ufugaji
wakikumbatia
elimu ya ngumbaru Afisa wa
wilaya ya Bura
akimtuza
Bi Shariffa
Bodole cheti Mradi wa choo cha umma unaosimamiwa na madereva na manamba wa matatu
katika sherehe katika eneo la Shanzu, Mombasa. Picha/Charles Ongadi
ya kuhitimu
masomo ya
watu wazima
katika shule za
gumbaru ma-
Madereva na manamba
wachukua hatua ya kipekee
juzi. Bi Bodole
atakuwa anaji-
unga na darasa
la kwanza.
Hamasisho la NiE
shuleni Ngongoni
Primary, Kitui
Afisa wa usambazaji magazeti wa NMG, Evelyne Kisilu Wanafunzi wa Shule ya Msingi ya Ngongoni, eneo la Mwingi, Wanafunzi wasikiliza hotuba kuhusu mradi wa NIE walipotem-
ahutubia wanafunzi wa Shule ya Msingi ya Ngongoni wakati Kaunti ya Kitui wawasikiliza wafanyakazi wa NMG waliowa- belewa na kikosi cha NMG.
wa hamasisho la NIE shuleni humo. tembelea shuleni mwao.
walimana
kikaoni kwa lazima
jirani wakidai kiwango kilichowekwa kutoa
mchango kilikuwa cha juu zaidi. Inasemekana
kila aliyehudhuria matanga alistahili kutoa
Sh500 na zaidi. Waandalizi wa matanga wal-
BARUA
Barua zote kwa Mhariri lazima ziwe na jina kamili la mwandishi na anwani yake. Zitumwe kwa: Mhariri, Taifa Leo, S.L.P. 49010, GPO
00100, Nairobi au tumia simu kutuma barua yako isiyopungua maneno 100 kwa nambari 21603
au barua pepe taifa@ke.nationmedia.com
Pendekezo la mawaziri
NATION CENTRE KIMATHI STREET NAIROBI
Muafaka usifanye
wanasiasa lipewe uzito
Raila kusahau raia
ANGU aliposalimiana na rais Uhuru Kenyatta mwezi Machi
W
Bw Odinga kwa upande wake alikuwa sauti ya mwananchi na kabla ABUNGE hivi majuzi waliibua mjadala Tofauti na mwanasiasa ambaye ana usta- za umma, kwa mtazamo wangu haijatenda
ya kusalimiana kwa mkono na Rais Kenyatta, alikuwa akifichua kila mpya kuhusu jinsi mawaziri wa taifa di wa kujumuika na mwananchi wa kawaida, lolote kuu linaloweza kusifiwa na raia wa ka-
aina ya kashfa serikalini. Amewahi kuzungumzia wizi wa hali ya juu na hili wanavyopaswa kuchaguliwa. wataalamu hawa wengi ni watu wenye uzoe- waida.
maovu mengine ambayo yangeliididimiza nchi hii. Kwa mtazamo wao, inahitajika mawaziri fu wa kufanya kazi afisini na kubuni miongozo Kama kungekuwa na waziri ambaye ana-
Lakini japokuwa hana ofisi ya serikali wala halipwi mshahara kwa wawe wakiteuliwa kutoka miongoni mwa inayolenga kunufaisha biashara za kibinafsi. fahamu vyema kuhusu umuhimu wa kuweka
wabunge wanaochaguliwa baada ya Uchagu- Kama sote tunavyoelewa, nchi hii hufua- usawa kati ya mahitaji ya taifa na uwezo wa
kushirikiana na serikali, amekuwa kimya wakati ambapo Wakenya ta mtindo wa ubepari katika biashara na ni mwananchi kugharamia mahitaji hayo, hii leo
wanapitia dhiki nyingi za maisha. zi Mkuu.
Wazo hili halikupokewa vyema na nadra kwa mfanyabiashara kuweka mahitaji gharama ya maisha haingekuwa kubwa jinsi
Viongozi aliowaachia jukumu la kuongea katika upinzani kama vile ya mteja wake mbele kuliko mahitaji yanay- ilivyo.
wananchi wengi ambao wanaona kuwa huo
Kalonzo Musyoka, Musalia Mudavadi na Ekuru Aukot hawana tajriba ni mpango mwingine wa ubinafsi na ulafi oweza kumletea faida hata ingawa huwa in- Tumejikuta mahali tulipo kwa sababu ya
na uwezo wa kuzungumzia masuala muhimu ya kitaifa kwa njia inay- wa wanasiasa wanaotaka mamlaka ya ku- adhaniwa kuwa mambo hayo mawili huanda- mawaziri ambao walijali zaidi malengo ya
ovutia hisia au hatua upande wa serikali. wawezesha kujilimbikizia mali. mana sambamba. kufanikisha manifesto ya Jubilee hata kama
Kunyamaza kwa Bw Odinga kunachukuliwa na Wakenya wengi Hata hivyo, hili ni suala linalohitaji ku- Kwa msingi huu, tumeshuhudia hali am- walifahamu vyema kwamba mengi yaliyoku-
kuwa usaliti kwa kiongozi ambaye, mamilioni ya Wakenya wamekuwa tazamwa kwa upana zaidi kwani udhaifu wa bapo baadhi ya mawaziri huchukua hatua wemo kwenye manifesto hiyo yalikuwa tu
na matumaini naye, kiasi cha kuamua kumwita ‘Baba’. kuchagua watu wasio wanasiasa kuwa maw- ambazo ingawa zinaweza kuletea serikali ni vifumba macho vya kampeni ambavyo
wziri u wazi. sifa za kimaendeleo, zinaacha mwananchi wa havingeweza kutekelezwa!
Ni wazi kuwa kati ya masuala tisa yaliyo kwenye muafaka wa Bw kawaida akiwa na matatizo zaidi kuliko ilivy- Walichukua hatua ambazo zinaweza kufa-
Odinga na Rais Uhuru Kenyatta, hakuna kipengee kinachosema kuwa Tangu katiba iliyopo ilipoanza kutekelez-
wa kikamilifu mwaka wa 2013, tumekuwa na okuwa awali. nanishwa na za wafanyabishara mabepari
kinara huyo wa upinzani hataruhusiwa kuongea iwapo ataona maovu Mojawapo ya majukumu ya mawaziri ambao wanataka kupata faida kwa njia yoy-
mawaziri ambao huchaguliwa hasa kutoka
yakiendelezwa dhidi ya wananchi. Na iwapo kuna makubaliano kama kwa sekta ya kibiashara na wengine ambao huwa ni kutoa ushauri kuhusu sera ambazo ote ile bila kujali masaibu ambayo jamii itapi-
hayo - hata kama hayajaandikwa - basi hayana manufaa kwa nchi hii. ni wasomi wa nyanja mbalimbali miongoni serikali inafaa kubuni, pamoja na mwelekeo tia kumletea faida hiyo.
mwa taaluma nyinginezo. unaopaswa kuchukuliwa kufanikisha maazi- Sioni sababu ya kuendelea kutegemea
Matokeo ya utendakazi wao umekuwa ta- mio ya serikali iliyo mamlakani. watu aina hii kusimamia wizara kwani hata
Ni Gazeti la Kampuni ya Nation Media Group mu-chungu kwani si wote ambao wameleta Nitachukua mfano wa Wizara ya Fedha tusipobadilisha katiba, marais watakuwa
Mkurugenzi Mkuu: STEPHEN GITAGAMA afueni kwa wananchi. ambayo bila shaka mtu yeyote aliye makini wakitafuta wanasiasa kusimamia wizara kwa
Mhariri Mkuu: TOM MSHINDI Tatizo lililopo katika kuchagua mawaziri atakubaliana nami kwamba imekuwa ikijito- sababu sote tumeona udhaifu wa kuchagua
Mhariri : PETER NGARE ambao si wanasiasa ni kwamba wengi wao sa gizani kila mara. wataalamu wa sekta tofauti kuwa mawaziri.
hawana ujuzi wa kusulihisha changamoto Wizara hii iliyo na umuhimu mkubwa wa
Difenda wa Ivory Coast, Arthur Boka akidhibiti mpira kwa guu lake la kushoto. Picha/Hisani
Beki mzawa wa Ivory Coast, Arthur Boka (kushoto). Picha/Hisani
Coast na Ulaya
mkataba wa miaka miwili.
Hadi alipoingia katika sajili rasmi ya
Malaga almaarufu ‘Andalusians’, Boka
alikuwa amekiwajibikia kikosi cha Stutt-
gart katika jumla ya michuano 154 na
kukifungia magoli matano kati ya 2006-
14.
Kibarua chake cha kwanza kambini
mwa Malaga ni mechi iliyowakutanisha
NA CHRIS ADUNGO kambini mwa Beveren mwishoni mwa aliongezewa muda wa kuhudumu na Valencia ugenini mnamo Agosti 29.
ETIENNE Arthur Boka, 35, ni beki matata mza- 2004, alikuwa amewasakatia waajiri kambini mwa waajiri wake hao kwa Malaga walipoteza mechi hiyo kwa ma-
wa wa Ivory Coast ambaye kwa sasa hana klabu wake jumla ya michuano 59 na kuwafun- mwaka mwingine mmoja huku akiwa bao 3-0. Ilikuwa hadi Julai 2016 ambapo
tangu aagane na FC Sion ya Uswisi mwishoni mwa gia magoli manne. radhi kurefusha kandarasi Boka alijiunga na Sion, ila akaagana
msimu wa 2016-17. Matokeo bora aliyoyasajili ndani ya yake kwa muda mwingine rasmi na kikosi hicho mwanzoni mwa
Ushawishi wake uwanjani kila alipowajibishwa kikosi hicho yalimfungulia milango ya iwapo angewaridhisha vi- Februari 2017 baada ya kuwasakatia
kwenye safu ya ulinzi akiwa beki wa kushoto, ni ki- heri kambini mwa RC Strasbourg inay- nara wa kikosi hicho. jumla ya michuano mitatu pekee ya
ini cha kupangwa kwake kwenye kikosi cha kwan- oshiriki Ligi Kuu ya Ufaransa (Ligue 1) ka- Ingawa alikuwa akitamba Ligi Kuu ya Scotland.
za cha Ivory Coast kilichoshiriki fainali mbili za tika msimu wa 2004-05. sana kila alipochezesh- Tangu awajibishwe na Ivory
Kombe la Dunia na fainali tano za Kombe la Afrika Japo aliwaridhisha vinara wa waajiri wake, wa aki- Coast kwa mara ya kwanza mna-
(AFCON) kati ya 2006 na 2013. upekee wa ubora wake pekee haukutosha ku- mo 2002, Boka amevalia jezi za
Licha ya ufupi wa kimo chake, Boka alikuwa waepushia Strasbourg shoka lililowatema nje ya miamba hao wa soka ya Afri-
mwepesi wa kuwatoka wapinzani wake na kuwa kampeni za Ligue 1 mwishoni mwa msimu wa ka mara 72. Alikuwa tege-
chanzo cha mashambulizi mengi ya kushtukiza 2005-06. meo kubwa katika fainali
yaliyoelekezwa na Ivory Coast kwenye malango ya Kushushwa daraja kwa Strasbourg kulim- wa beki wa kushoto, Boka za Kombe la Dunia mnamo
wapinzani wao katika mapambano mbalimbali ya chochea kuyoyomea Ujerumani kuvalia jezi alipania kuwa kiungo 2006 ambapo alishiriki
kimataifa. za VfB Stuttgart katika Ligi Kuu ya Bun- mkabaji mnamo 2012-13 mechi zote tatu.
Sawa na wachezaji wengine wazawa wa Ivory desliga. Kusajiliwa kwake na Stuttgart baada ya kikosi chake cha Alipangwa tena katika
Coast ambao wanajivunia mafanikio makubwa ka- kulifanikishwa mwishoni mwa Agosti Stuttgart kuanza kum- kikosi cha kwanza cha
tika ulingo wa kabumbu, Boka alianza kupiga soka 2006 baada ya kuwawajibikia Strasbourg wajibisha pakubwa katika Ivory Coast kwenye
ya kulipwa akivalia jezi za ASEC Abidjan nchini katika jumla ya michuano 66 na kuwafun- nafasi hiyo uwanjani. fainali za Kombe la
Ivory Coast. gia magoli mawili kati ya 2004-06. Ilikuwa hadi Mei 1, 2014 Dunia mnamo 2010
ASEC ni miongoni mwa akademia maarufu zaidi Uwezo wake wa kuchangia magoli kila ambapo aliafikiana na ambapo alichangia
za kabumbu nchini Ivory Coast kutokana na ubora anapotoa krosi safi uwanjani, kuelekeza waajiri wake kuhusu mabao mawili yal-
wa malezi yao katika soka. Kikosi hicho kinajivunia langoni makombora mazito kwa guu la kus- uweze- iyofungwa na timu
kuwafyatua wachezaji mahiri ambao waliwahi hoto, kasi kubwa na wingi wa nguvu zisizoka- hiyo dhidi ya Korea
na bao wanatesa katika majukwaa mbalimbali ya tika kwa urahisi chini ya dakika 90 za mchezo ni Kaskazini.
kandanda. Miongoni mwao ni nyota Emmanuel baadhi ya sifa zilizomfanya kupagazwa jina ‘Rob- Boka alikuwa sehemu
Eboue, Aruna Dindane na kocha msaidizi kambini erto Carlos wa Afrika’. ya kikosi cha Ivory Coast
mwa Celtic ya Scotland, Kolo Toure. Mnamo 2006-07, Boka aliwasaidia VfB Stutt- kilichowakilisha taifa hilo
Boka alijiunga na ASEC akitokea kwenye vicho- gart kunyanyua ubingwa wa taji la Bundesli- kwenye fainali za AFCON mnamo
choro vya jiji la Abidjan na ushawishi wake baada ga. 2006, 2008, 2010, 2012 na 2013. Ush-
ya kufanyiwa majaribio ya majuma manne uliwar- Mnamo Januari 14, 2009, Boka al- awishi wake kikosini uliwasaid-
idhisha zaidi vinara wa akademia hiyo. irefusha mkataba wake na Stuttgart ia Ivory Coast kutinga
Baada ya kukwezwa hadhi kwenye akademia ya kwa kipindi cha miaka minne kili- fainali za AFCON
ASEC, Boka alitua nchini Ubelgiji kuwapigia soka chostahili kukamilika mwishoni mnamo 2006 na
KSK Beveren mnamo 2002. Hadi alipobanduka mwa 2012. Mnamo Mei 30, 2012, 2012.
12 Jumatatu, Septemba 10, 2018 | TAIFA LEO
MBWEMBWE
UDAKU
Dzeko tajiri wa kipaji, ana maguu
Rami kutafuna baridi ya ya kumvunia fedha haraka upesi
ukapera baada ya demu NYOTA Edin Dzeko, 32, ni nahodha na
fowadi matata wa timu ya taifa ya Bosnia
& Herzegovina ambaye kwa sasa anaval-
ama ya matumizi ya Roma katika kipindi
cha misimu miwili iliyopita hadi kufikia
Sh15.5 bilioni kwa mwaka ni unono wa
KIPENGA
Ni mwanzo wa mwisho wa Mourinho MANCHESTER United inayofun- Kwa kawaida, Mourinho hukaa ka- Madifenda wa sasa wa Man-United
zwa na Jose Mourinho bado iko hat- tika timu moja kwa miaka mitatu. Je, si wazuri sana. Eric Bailly na Victor
ua kadhaa nyuma ya timu sita bora atagura Old Trafford kabla ya mwisho Lindelof si bora sana. Naye Marcus
kwenye jedwali la Ligi Kuu ya Uin- wa msimu huu? Rojo ana majeraha ya mara kwa mara
gereza (EPL). Baada ya mechi nne za Kazi hii ndiyo Jose amekuwa licha ya kuwa mchezaji wa wastani tu.
ufunguzi wa msimu huu, Man-United akiimezea mate tangu zamani. Hata Chris Smalling na Phil Jones ni wa-
ni ya 10 kwenye jedwali huku ikiburura iliwahi kudhaniwa kwamba Sir Alex chezaji ambao uwezo wao si mzuri
mkia kwenye timu sita bora. Ferguson alipoondoka, Mourinho mno ila wapo tu. Kasi ya michuano ya
Kufikia sasa, Liverpool, Chelsea na ndiye angepewa mikoba ya kuiongo- Ligi Kuu ya Uingereza inahitaji ma-
Watford zimeshinda mechi zao zote za za Man-United. Ila, baada ya kuipata beki wenye kujituma wala si hawa wa
mwanzo na kuwa na alama 12 kila moja. kazi hiyo, maisha ya hapa Manchester Man-United ambao wametumwa.
Manchester City ina alama 10 baada ya hayajawa mazuri alivyotarajia. Mwan- Hatua ya Ed Woodward kushindwa
kushinda mechi tatu na kutoka sare zo, bado Mourinho hajapata nyum- kuwanunua madifenda wapya imeleta
mara moja, nayo Tottenham ni ya tano ba. Anaishi katika hoteli ya Lowry joto kubwa sana timuni huku Mourinho
JOB MOKAYA kwa alama tisa baada ya kushinda tangu ajiunge na Man-United. Yeye akihisi kutoungwa mkono nao madif-
mechi tatu na kushindwa moja. mwenyewe hataki nyumba jijini Man- enda walioko wakihisi kutothaminiwa.
Arsenal ni ya tisa ikiwa na alama chester. Tusubiri tuone namna mambo ya-
sita baada ya kupoteza mechi mbili na Pili, huu ukiwa mwaka wa tatu, takavyokuwa mwishoni mwa msimu.
kushinda mbili. Aidha, Man-United pia haelekei kupata taji kuu la ligi. Msimu Mourinho hujitia kitanzi mwenyewe
ina alama sita ila inashikilia nafasi ya uliopita, Man-United ilimaliza ya pili. kwenye msimu wa tatu na kila mmo-
10 kwenye jedwali kwa kudunishwa na Msimu huu, bado mambo yanaonekana ja amemwona yeye Mourinho akiwa
mabao. kuwa magumu, kama si mazito. amenunua kamba ya kujinyonga. Je,
Tayari, tetesi zimeanza kuenea Mourinho amejipata katika mzozo Mourinho akiondoka Old Trafford
kwamba Mourihno atapigwa kalamu mkubwa sana na mkurugenzi wa ataenda wapi? Labda timu ya taifa ya
na kuondoka Old Trafford kufuatia masuala ya soka wa Man-United, Ed Ureno au klabu ya Paris-Saint Germain
msururu wa matokeo duni. Aidha, uhu- Woodward. Mzozo wenyewe ulitokana (PSG) ya Ufaransa. Ila ligi ya Ufaransa
siano wake na wachezaji wakuu kama na hatua ya mkurugenzi huyo kudinda almaarufu Ligue 1 haina mhemko kama
vile Paul Pogba na Anthony Martial si kuwanunua madifenda ambao Mourin- ile ya EPL. Timu moja au mbili ndizo zi- Mourinho awapa wachezaji wake maagizo katika mechi dhidi ya
mzuri. ho aliwataka. tatawala na kujivunia ukiritimba. Swansea ugani Old Trafford mnamo Machi 31, 2018. PICHA/ AFP
GUMZO LA SPOTI
BARCELONA, UHISPANIA
Makinda wa Riara wana
Neymar sasa hali halali akitamani
kurudi Camp Nou kuchezea Barca moyo wa chuma, shida si
chochote si lolote kabisa
Gerard Pique adhibiti mpira wakati wa fainali za Kombe la Dunia za 2018.
Tajriba ya Terry yahemewa Urusi Liverpool wasema hawamtaki ya Embakasi wiki jana.
Safari yao ya kusaka taji la kipute hicho, ilianza kwa kupokeza
wapinzani Vans Park FC kichapo cha mabao 4-1 kwenye mojawapo
BEKI John Terry amesisitiza
Rabiot hata wakipokezwa bure ya mechi za makundi kabla ya kulemea Cyprus FC kwa kuirindima
mabao 2-1 katika robo-fainali iliyoshuhudia mvutano wa kila aina
kwamba hayuko tayari kustaafu, kutoka kwa vikosi vyote viwili.
huku tetesi zikidai anakaribia ku- LIVERPOOL imepuuz-
“Ufanisi wa chipukizi hawa kwenye baadhi ya michuano tunay-
jiunga na Spartak Moscow nchini ilia mbali ripoti kwamba oishiriki ni ishara tosha kwamba timu hii inalenga kufika mbali
Urusi. Shujaa huyu wa Chelsea inamezea mate kiungo kisoka. Tunachokiomba tu ni ufadhili wa kifedha ambazo zitatu-
hajakuwa na klabu kwa kipindi wa PSG, Adrien Rabiot. saidia kushughulikia mahitaji ya klabu hii. Pia wachezaji wengi
cha miezi minne baada ya kuhama Mchezaji huyu mwenye hawa vifaa vya kushiriki mazoezi. Naamini katika siku chache zija-
Aston Villa mwisho wa msimu umri wa miaka 23 ame- zo timu hii itapata mfadhili,” asema kocha Munyao.
ingia katika mwaka wake Pamoja na hayo, ubora wa chipukizi hawa katika soka unatokana
uliopita aliposhindwa katika azma na jinsi wanavyochapa mazoezi ya kufana kila uchao katika uwanja
yake ya kurejesha klabu hiyo wa mwisho wa kandar-
asi yake uwanjani Parc wa shule ya Embakasi jijini Nairobi. Isitoshe, kupiga mechi nyingi
kwenye Ligi Kuu. Terry alidhaniwa za kupimana nguvu pia kunazidi kuchochea ufanisi wa makinda
atatundika daluga zake baada ya des Princes na majuzi
hawa uwanjani.
kuvunjwa moyo Villa ilipopoteza alikuwa amehusishwa na Riara FC ilifunza chipukizi wa Super Junior FC jinsi ya kutan-
tiketi ya kurejea Ligi Kuu katika uhamisho hadi uwan- daza soka tamu kwa kuwanyeshea vua la mabao 8-3 katika mechi
fainali ya kupandishwa daraja. jani Anfield mwisho wa ya kirafiki iliyocharazwa katika uwanja wa Shule ya Msingi ya Em-
Ripoti zinasema kwamba anadai msimu huu. Kocha Jurgen bakasi.
yuko fomu kama alivyokuwa Klopp anaaminika ku- Aidha, wachezaji kama vile kipa Daniel Kimani pamoja na madif-
penda soka ya Mfaransa enda kufu ya Abdi Aziz na Hamphrey Maranga ni baadhi tu ya
Chelsea na ameapa kuendelea masogora wanaoletea timu hii fahari. Wengine ni pamoja na Felix
kusakata soka akipata ofa nzuri. huyu na hata ripoti kudai kwamba aliwaomba viongozi
John Terry wa Liverpool kuwasiliana naye katika kipindi kirefu cha Ragira, Simon Mumo, Isaiah Morara na Peter Wanyama.
uhamisho kijacho. Hata hivyo, kwa mujibu wa gazeti la
Liverpool Echo, hakuna ukweli katika uvumi huo ulioenea.
Jumatatu, Septemba 10, 2018 | TAIFA LEO
16
HABARI ZA AFRIKA NA DUNIA
JUBA, SUDAN KUSINI
Mauaji yahusishwa na siasa nchini humo KUJITENGA: Wapinga uhuru wa Catalona
auawa UG
aliambia wanahabari kutoka Yirol.
Alisema ndege hiyo ilikuwa imebeba
abiria 22 na wawili hawajulikani waliko.
Mmoja wa manusura, daktari kutoka
Italia anayefanya kazi na shirika lisiloku-
wa la kiserikali alilazwa katika hospitali
AFISA wa polisi wa cheo cha juu aliye- KAMPALA, UGANDA ya Yirol ambako alifanyiwa upasuaji.
simamishwa kazi Muhammad Kirumira Ndege hiyo ilianguka kando ya mto na
aliuawa kwa kupigwa risasi karibu na nasikitishwa na kuuawa kwa Muham-
nyumba yake Bulenga wilayani Wakiso
mtu aliyeshuhudia ajali hiyo alisema mili
mad Kirumira eneo la Bulenga karibu ilipatikana majini.
Jumamosi usiku. na nyumba yake mwendo wa saa tatu
Kirumira alikuwa kamanda wa polisi usiku,” Kayima alisema.
Inasemekana miongoni mwa abiria
wa wilaya ya Buyende kabla ya kushtaki- Aliongeza kuwa mwanamke huyo walikuwa watoto watatu. Kulingana
wa na kusimamishwa kazi kwa madai ya alikufa kutokana na majeraha ya risasi na David Subek, ambaye ni Afisa Mkuu
kutumia mamlaka yake visivyo. kabla ya kufikishwa hospitali ya Rubaga. Mtendaji wa Mamlaka ya Uchukuzi wa
Alipouawa akielekea nyumbani Bu- "Yeye (Kirumira) alikuwa akiendesha Angani Sudan Kusini jijini Juba, idadi
lenga, alikuwa na abiria mwanamke gari lake la kibinafsi. Tunalaani kitendo kamili ya waliokufa haikuwa imejulikana.
katika gari lake ambaye pia aliuawa hiki cha uhalifu na tunaahidi kuwasaka Ajali kadhaa za ndege zimetokea Su-
kwenye kisa hicho cha saa tatu usiku. wahalifu hao bila huruma na kuwaa-
Walioshuhudia walisema kwamba
dan Kusini katika miaka ya hivi punde.
dhibu. Tunaomba roho yake ilale pema Mnamo 2017, abiria wanne walijeruhi-
waliomuua walitoroka kwa pikipiki am- peponi,” aliongeza.
bayo haikuwa na nambari za usajili Mauaji ya kiholela ni ya kawaida nchi-
wa ndege ilipogongana na lori la kuzima
Kirumira na mwanamke huyo wa- ni Uganda hasa kwa watu wanaotofau- moto baada ya kutua. Ajali hiyo ilisaba-
likimbizwa hospitali ya Rubaga jijini tiana au kuchukuliwa kuwa tisho kwa bishwa na hali mbaya ya hali ya hewa.
Kampala wakitokwa na damu kwa win- serikali ya Rais Yoweri Museveni. Mnamo 2015, watu 12 walikufa ndege
gi ambapo ilitangazwa kuwa walikuwa Kirumira si afisa wa polisi pekee ya kubeba mizigo ilipoanguka katika
wamekufa. kuuawa kwa kupigwa risasi katika hali uwanja wa Juba.
Kwenye taarifa ya awali, polisi wal- ya kutatanisha. Mtu mmoja aliyeshu-
isema Kirumira alikuwa na mkewe wal- hudia kuuawa kwake aliambia Shirika KANO, NIGERIA
iposhambuliwa lakini baadaye waka- la Habari la Uganda kwamba waliomuua
badilisha na kusema mwanamke huyo
hakuwa mke wake.
“Tumegundua kwamba mwanam-
afisa huyo walianza kwa kufyatulia risa-
si gurudumu la gari lake.
“Nimehuzunika, ilikuwa wazi Afande
Boko walitimua
ke aliyeuawa pamoja na afisa wetu,
ASP Muhammad Kirumira, sio mkewe.
Kirumira alikuwa akitoka mahali akibe-
ba mwanamke katika gari lake,” alisema.
jeshi na kuteka mji
Mkewe hakuwa naye wakati wa kisa “Watu wawili waliokuwa wakiende-
hicho. sha pikipiki ambazo hazikuwa na
“Tumemtambua mwanamke huyo na nambari za usajili walikaribia gari la
kufahamisha familia yake. Kwa sasa ha- Kirumira na kupiga risasi gurudumu la
tutataja jina lake,” polisi walisema kupi- nyuma kisha wakamfyatulia risasi kabla
tia anwani rasmi ya Twitter. ya kutoroka wakitumia barabara ya Mit-
Kwenye taarifa, waliyothibitisha yana,” aliongeza.
kuuawa kwa Kirumira, polisi waliapa Kirumira aliuwa jinsi watu wengine
kuwasaka wahalifu hao wote na kuwa- mashuhuri walivyouawa Uganda.
tia mbaroni. Msemaji wa polisi Emil- Mnamo Juni, mbunge wa Arua Munic-
ian Kayima alisema Kirumira na abiria WAANDAMANAJI wapinga uhuru wa eneo la Catalan, Uhispania huku wakiunga
ipality Ibrahim Abiriga aliaua kwa njia mkono amani. Wakati uo huo wapinzani wao walikuwa wakifanya maandamano
aliyekuwa kwenye gari lake walikuwa sawa akiwa na ndugu yake wakielekea Mwanajeshi wa Nigeria ashirika doria eneo
wamekufa walipofikishwa hospitalini. katika mji wa Barcelona jana. Picha/AFP
nyumbani Kawanda wilaya ya Wakiso. la General Ao Azazi. Picha/AFP
“Kikosi cha polisi nchini Uganda ki-
MAGAIDI wa Boko Haram, waliteka
na kudhibiti mji mmoja ulio Kaska-
CAIRO, MISRI
Rais wa Madagascar ajiuzulu ili
zini Mashariki mwa Nigeria baada ya
kushambulia kambi ya kijeshi na kuzua
Mwanahabari maswali kuhusu madai kwamba kundi
hilo limedhalilishwa na kusambaratika.
FUMBO
KULIA:
Nyota Na Sheikh Khabib
1. Kamilisha: Asiyesikia la KONDOO SIMBA MISHALE
mkuu huona ------. Machi 21 - Aprili 20: Leo ni siku nzuri ya Julai 23 - Agosti 22: Mradi unaoku- Novemba 23 - Desemba 21:
7. Kwa lahaja zingine za mapenzi. Usijinyime raha kama tatiza utaimarika hivi karibuni. Uhusiano wako na wakubwa
Kiswahili, neno hili hutamkwa siku zingine. Aliyekupuuza Hata hivyo itakubidi uwekeze wako unaoyumbayumba
“weye”. ataitikia wito wako. Hata juhudi za ziada. Hii sio siku hautokani na fitina kama
8. Maarifa yanayopatikana hivyo usimpe mpenzi wako nzuri ya kupatana na watu unavyodhani. Hamwelewani
kutokana na kisomo. siri zako za kifedha kwa mliokosana. Usihudhurie kamwe kwa sababu wewe
9. Sawa na kusema “apate wakati huu. Subiri baada ya vikao vya aina hii hadi ukamil- sio mtu wa kunyenyekea.
kuwa”. mwezi mmoja. ishe mipango yako ya kifedha. Itakugharimu nini kuheshimu wakubwa
10. Nenepa. wako upate amani kazini?
11. Shughuli za upelelezi na ufi-
chuzi wa siri za nchi nyingine. NG'OMBE MASHUKE
13. Kuwa na maoni juu ya jam- Aprili 21 - Mei 20: Umekuwa mtu Agosti 23 - Septemba 23: Nyumba MBUZI
bo au mambo fulani. wa kuringa na tabia hii imekunyima unayotaka kuhama haina tatizo Desemba 22 - Januari 20:
14. Upole. mambo mengi.Kumbuka mtu ni watu. kamwe. Acha kujidharau. Umefanya vyema kumtema
17. Mabaki. Washirika wako wa kibiashara Utapata pesa za kuilipia. mchumba wa kando uliyeku-
21. Aina moja ya ugonjwa wa wamekutenga kwa sababu Naona watu wakifurahia wa naye. Naona lengo lake
ngozi ya mwili. ya kujinua kwako. Habari hatua uliyochukua, njama sio mapenzi mbali lilikuwa
22. Sehemu moja ya gari inay- njema ni kwamba nyota yako walizounda uondoke zikifaulu. kupata pesa kutoka kwako.
otumiwa kubadilisha nguvu za inaelekea kung’aa. Batilisha uamuzi wako. Zingatia hali ya familia yako
mwendo wake. uliyoipuuza kwa siku nyingi.
23. Mwongozo.
24. Mdai. 3. Ujamaa. 15. Tawi la mti. MAPACHA MIZANI
25. Ita watu wahudhurie jam- 4. Kifaa kinachotumiwa kuon- 16. Nafasi kati ya mahali Mei 21 - Juni 21: Ulitofautiana na mtu na Septemba 24 - Oktoba 23: NDOO
bo fulani. doa takataka kwenye sakafu. pamoja hadi pengine. akaahidi kukuchukulia hatua. Usiku- Maumivu unayohisi kila as- Januari 21 - Februari 19: Jambo la
5. Sawa na kusema “aliye na”. 18. Aina moja ya madini. tane naye hivi karibuni kwa saba- ubuhi sio ya kawaida. Tafuta kuudhi huenda likatokea asubuhi
CHINI: 6. Mkazi wa asili wa nchi au 19. Hali ya kitu ya kutokuwa na bu angali na hasira. Hii isiwe matibabu kabla hayajakule- na kuathiri shughuli zako siku
1. Chanzo cha mmea. mahali fulani. ugumu. sababu ya kuvunjika moyo, mea. Na kwa sababu umejua ya leo. Kuwa mwangalifu
2. Kuigiza. 12. Pata jeraha. 20. Hofu. utapata mtu wa kukufaa. haya, usiende safari uliyopanga unapochukua hatua yoyote
kwa wakati huu. Shugulikia afya yako ili usitatize biashara yako na
kwanza. hatimaye ujute. Tumia hekima
kufanya maamuzi.
KULIA: 17. Vumilia CHINI: 16. Uvyazi
KAA NGE SAMAKI
FUMBO LA JANA
SHANGAZI AKUJIBU
Nimemuacha baada ya kugundua amejaza vipusa Wazazi hawataki nioe Huna sababu nzuri ya kuhangaisha moyo
Simpendi mpenzi Nilipoenda kazi mbali Mimi kamwe siungi mkono mapenzi ya
nataka ajue hivyo akamuonjesha rafiki watoto kama wewe. Ukweli ni kwamba
katika umri wako huo mdogo hujui wala
Vipi shangazi? Nilikuwa na mpenzi kwa
Kwako shangazi. Mimi nina mpenzi am- huelewi maana ya mapenzi. Wazazi wako
mwaka mmoja na nilipopata kazi mbali
baye simpendi. Nifanye nini ili ajue kuwa
simpendi? Nahofia kumwambia wako.
Kupitia SMS nikaamua kuishughulikia kwanza huku
wakijua unajihusisha na mapenzi badala
ya kuzingatia masomo yako utakiona cha
Kupitia SMS ninamzidi kwa umri Kwanza, tofauti ya umri kati yenu ni ndogo
tukipanga jinsi ya kuendeleza uhusi-
ano wetu. Nilimuomba asubiri nitulie
mtema kuni. Vunjilia mbali uhusiano huo
usome kwanza. Utafurahia zaidi mahaba
Shikamoo shangazi. Nina umri wa mi- kazini kisha nifanye mpango wa kum-
Sielewi kabisa jinsi unavyoweza kuwa na sana na haiwezi kuwa sababu ya kumfan- ukimaliza masomo na kukomaa kiasi cha
aka 27 na nimeolewa na mwanamume leta karibu nami na akakubali. Ajabu ni
mpenzi ambaye humpendi. Kwa nini uli- ya akuache. Kinachotia hofu zaidi ni hali ya kuyaelewa
mwenye umri wa miaka 25. Hajui kuwa kwamba nilipoondoka tu alimlambisha
kubali kuingia katika uhusiano huo kama mume wako kutokujali. Wajibu wa mume
nimemzidi umri na naogopa kumwam- asali mwanamume rafiki yangu. Kitendo
humpendi? Ni heri useme ukweli kuwa kwa mkewe ni kumpenda na kumshughu-
bia ili asiniache. Tatizo ni kuwa mume chake hicho kiliniudhi sana kwa sababu Kama unalo swali lolote unalohitaji
umechoka naye na unataka kumuacha. likia kwa hali na mali. Kama hiyo ndiyo hali
wangu huyo huwa hanijali kamwe. nampenda sana na sikudhani angeweza ushauri, tuma kwa kwa nambari ya
Kama ni hivyo, mkabili umwambie ukweli. ya uhusiano wenu, hiyo kamwe si ndoa. Ta-
Ninapokuwa mgonjwa yeye huenda
fakari sana kisha ufanye uamuzi unaofaa. kunisaliti namna hiyo. Amekuwa akini- simu ya 21603 ukianza na neno
kazini kama kawaida na kuniacha nyum- pigia simu lakini nimempuuza. Nishauri shangazi. Kila ujumbe unagharimu
bani hata bila chakula. Naomba ushauri Kupitia SMS sh10.
Mikiki
18 Jumatatu, Septemba 10, 2018 | TAIFA LEO
Shule ya msingi ya St Joan, Nairobi Una miguu mirefu sana eti ukienda
bata viatu vinaanza kutoroka.
Mwalimu wa Kiswahili Bi Martha Ngugi akipokea hundi Wanafunzi wa shule ya msingi ya St Joan wakipekua nakala za We mweusi mpaka ukitupiwa mawe
kutoka kwa Bw Danson Kighambo afisa wa mauzo wa Nation gazeti la Taifa Leo. inarudi kuuliza torch.
Media Group jijini Nairobi.
Chemsha
1. Ni rais wa jamhuri ya
Sudan Kusini
Walimu na wanafunzi waliopokea takrima kutoka kwa wafanyaka- 2. Ni gavana wa kaunti ya
zi wa Nation Media Group walipopigwa picha ya pamoja baada ya Afisa wa mauzo wa Kampuni ya Nation Media Group eneo la Nairobi Bw Mandera
kukamilika kwa hafla ya NiE shuleni St Joan, Nairobi. Danson Kighambo akiwadondolea wanafunzi wa St Joan baadhi ya manu- 3. Mwaka ambao Mwai
faa ya kutumia gazeti la Taifa Leo shuleni. Kibaki alistaafu siasa
4. Mji wa Lokitaung uko
kaunti gani?
5. Ni katibu wa chama cha
Vitendawili na Methali Kanu
6. Chama cha kisiasa kin-
achotumia alama ya Jogoo
VITENDAWILI BUNI Kenya.
METHALI
1.Sultani alipiga mbiu watu waje kufanya kazi
1.Hakuna msiba ................
yake lakini wakashindwa.
2............... isiyo na karaha.
2.Taa ya bure. MAAGIZO
3.Hakuna siri ..............
T
3.Taa ya Mwarabu inapepea. Tengeneza majina
6. Kanu
4.Hakuna zaidi .................
4.Tajiri aniweka mfukoni na maskini anitupa. kutokana na herufi
5. Nick Salat
5.Hamadi kibindoni; ...............
5.Tandika kitanga tule kunazi.
T Z O
4.Turkana
6.Hapana marefu .............. zilizo kwenye mdu-
6.Tangu kuzaliwa kwake sijamwona asimame ara.
3.2013
mwisho wawili. wala kukimbia Tumia herufi anga-
2. Ali Roba
A I
1. Salva Kiir Mayardit
6.yasio na 3.ya watu lau moja mara moja.
MAJIBU ya
Vitendawili
MAJIBU
MAJIBU ya
TUMA MCHANGO WAKO KWENYE SEHEMU YOYOTE YA MIKIKI KUPITIA SMS KWA NAMBARI 6003 AU BARUA PEPE KWA TAIFAFEATURES@NATION.CO.KE UKIANZA NA JINA LA SEHEMU UNAYOCHANGIA
TAIFA LEO | Jumatatu, Septemba 10, 2018 19
Pwani
UDAKU
Mbunge amevalia njuga
Azimio la Ticha ni kukosa suala la kufaa vikosi vya
Likoni kwa hali na mali
Mugubi, wenzake
Ingwe ilipata mabao ya kufuta ma- Mharjudi Delos Santos (Ufilipino) aliwapiku washiri-
chozi kutoka kwa Eugene Mukangula ki wengine 27 kwa kupata pointi 8.9 na kuibuka mshindi.
na Dan Omondi nayo Simba iliona Mfilipino mwenzake Geovane Gella alishinda medali ya
lango kupitia kwa John Bosco (maw- fedha kwa kupata alama 8.6.
Ogene Ifenaji (Nigeria) alikuwa mshiriki wa kwanza ba-
ili), Mohamed Ibrahim na Marcel rani Afrika kupata medali alipojiloea shaba kwa kuwa na
Kaheza. Mabingwa hao mara 13 wa alama 8.55. Wakenya Abubakar Mwaisangu, Tom Kabochi,
Kenya waliratibiwa kumenyana na nahodha Elvis Malipe na Junso Jo Juma walimaliza katika
Mtibwa jana usiku. nafasi za sita, saba, tisa na 10, mtawalia.
Na Geoffrey Anene Baadhi ya wale walioshuhudia kuanza kwa mashindano
hayo ni Rais wa Shirikisho la Tong-IL Moo-Do la Dunia Dkt
KAKAMEGA Joon Ho Seuk na Afisa Mkuu wa Kenya Academy of Sports,
Gordon Oluoch.
Sleemaz FC tumaini
tele kutwaa ufalme Chepkoech, Manangoi
MATUMAINI ya Sleemaz FC kut-
waa taji la Ligi ya tawi la Magharibi
la Shirikisho la Soka nchini (FKF)
yaliongezeka baada ya kupepe-
watamba Riadha za
ta Bugembe FC 5-0 Jumamosi.
Sleemaz inayonolewa na nahodha
wa zamani wa Harambee Stars
Mabara nchini Czech
Sylvanus Otema, iliona lango kupitia
kwa Mike Lugalia (mabao matatu)
na Zablon Kutera na Martin Luseno
waliochangia bao moja kila mmoja.
Jitihada za Bugembe kutoka Vihiga
kupata bao ziligonga mwamba.
Na Titus Maero
THIKA
Chipukizi wa Kabati
wavunjwa na JYSA
JYSA FC iliibwaga Kabati Youth
FC 3-1 katika mechi ya kuwania ub-
ingwa wa Ligi ya Aberdare uwanjani
Gachororo, wikendi. Timu ya JYSA
Beatrice Chepkoech (kulia) ampiku Winny Chebet kwenye fainali za mbio za
ilitangulia kupata bao dakika ya 26 1500m wakati wa mchujo wa kufuzu kwa Michezo ya Jumuiya ya Madola
Kiungo Eric Johanna wa Harambee Stars amzidi maarifa Afriyie Aquah wa Ghana katika mechi ya kufuzu kwa
kupitia mkwaju wa Francis Kimani fainali za AFCON 2019 iliyosakatwa ugani MISC Kasarani mnamo Septemba 8, 2018. PICHA/MAKTABA 2018 ugani Kasarani mnamo Februari 17, 2018. PICHA/MAKTABA
kabla ya John Maina kusawazisha
dakika ya 40. Mabao mengine ya NA GEOFFREY ANENE “Naweza kuzungumzia Blackberry, kwa mfano. NA GEOFFREY ANENE
JYSA yalifumwa wavuni kupitia kwa KOCHA Sebastien Migne amewataka wachezaji Nchini Ufaransa siku chache zilizopita wakati Jean-
Kevin (Augustin), ambaye ni mshambuliaji wa Leip- NYOTA Beatrice Chepkoech na Elijah Manangoi walishindia
mchezaji Peter Kamau kunako da- wa soka wa Kenya kuheshimu timu ya taifa wanap- Bara Afrika mataji ya mbio za 3000 kuruka viunzi na maji na mita
kika ya 60 na 72. Nayo 88 Bombers oitwa kuwakilisha nchi katika vibarua vya kimatai- zig, alikataa mwito wa timu ya taifa ya Under-21,
waliomba Fifa imepige marufuku,” Migne alisema. 1500 kwenye Riadha za Mabara (Intercontinental Cup) yaliyoka-
ilisajili ushindi mwembamba wa 1-0 fa. milika mjini Ostrava katika Jamhuri ya Czech, jana. Mshikilizi wa
Habari zinasema kwamba kocha huyo mzawa Mfaransa huyo aliongeza, “(Kipa) Hugo Lloris,
dhidi ya Kenya Tents. ambaye ni bingwa wa dunia na Ufaransa, anachezea rekodi ya dunia ya dakika 8:44.32, Chepkoech aliongoza kutoka
Na Lawrence Ongaro wa Ufaransa kwa sasa anataka Shirikisho la Soka la mwanzo hadi mwisho wa mbio hizi za kuruka viunzi 28 na maji
Kenya (FKF) liandikie barua Shirikisho la Soka Dun- Tottenham, lakini alikuwa jijini Paris kuangaliwa na
daktari wa timu ya taifa kama jeraha lake ni la kweli mara saba akishinda kwa rekodi mpya ya Intercontinetal Cup ya
iani (FIFA) kuhusu wachezaji waliopuuza mwito dakika 9:07.92. Alifuta rekodi ya Mrusi Yuliya Zarudneva ya da-
wake wa kujiunga na timu wakiwemo Victor Mugu- ama la. Niko na imani kubwa na Victor (Wanyama),
NAIROBI lakini kama tunataka kuenda mbali tunastahili kika 9:25.46 iliyowekwa mwaka 2010 nchini Croatia. Manangoi
bi Wanyama (Tottenham Hotspur, Uingereza), Allan aliwabwaga wapinzani wake wa karibu Marcin Lewandowski na
Wanga (Kakamega Homeboyz) na George ‘Black- kurekebisha mambo mengi.”
Jakob Ingebrigtsen kutoka Bara Ulaya kwa kutwaa taji kwa daki-
Warriors, Scorpions berry’ Odhiambo na Bonface Oluoch (Gor Mahia) ili
wachukuliwe hatua jinsi wachezaji kutoka mataifa
Migne hakuficha ghadhabu yake dhidi ya Oluoch,
ambaye hakutoa sababu yoyote ya kukosa kufika ka 3:40.00.
Katika siku ya kwanza hapo Jumamosi, Wakenya Conseslus
kambini.
wawika katika hoki mengine wanavyopigwa marufuku wakikataa kuji-
unga na timu zao za taifa. “Sitaki kuzungumzia Boni (Oluoch), lakini na-
dhani kitendo chake nadhani ni kukosa heshima.”
Kipruto, Winny Chebet na Emmanuel Korir walishindia Afrika
mataji ya mbio za mita 3,000 kuruka majia na viunzi, mita 1500
Akizungumza baada ya vijana wake wa Harambee na mita 800, mtawalia. Edward Zakayo alimaliza wa tano katika
Stars kushangaza miamba Black Stars ya Ghana 1-0 Kenya, ambayo itakabana koo na Ethiopia mwezi
TIMU ya Butali Warriors iliongeza Oktoba katika mechi zake mbili zijazo za Kundi F, mbio za mita 3000 jana. Licha ya Wakenya kung’aa, Afrika ilikod-
masaibu ya Western Jaguars kwa katika mechi ya kufuzu kushiriki Kombe la Afrika olea kumaliza kampeni yake mkiani nyuma ya timu za Americas,
(AFCON) mwaka 2019 uwanjani Kasarani jijini Nai- ililemea Ghana 1-0 kupitia mwiba wa kujidunga ku-
kuipepeta 6-0 kwenye Ligi Kuu toka kwa beki Nicholas Opoku. Bara Ulaya na Asia-Pacific.
robi siku ya Jumamosi, Migne alisema wachezaji Kwingineko, Wakenya walitawala mbio za Birell Prague Grand
ya magongo ya wanaume mjini wote wanaoitwa kikosini wanafaa kufika kambini Ghana ilikuwa imenyoa Ethiopia bila maji 5-0
mjini Kumasi katika mechi yake ya ufunguzi nayo Prix za kilomita 10 katika Jamhuri ya Czech baada ya Rhonex
Kakamega, Jumamosi. Vijana wa ko- na kisha kupewa ruhusa ya kutoshiriki mechi ama la
Kenya ilizabwa 2-1 na Sierra Leone jijini Freetown. Kipruto kuongoza Wakenya kunyakua nafasi sita za kwanza kati-
cha Dennis Owoka walivuna ushindi baada ya kuchunguzwa kiafya. ka kitengo cha wanaume. Kipruto alikosa rekodi ya dunia ya mbio
kupitia mabao ya George Mutira Nahodha na kiungo Wanyama aliomba ku- Timu zote nne sasa zina alama tatu kila mmoja
baada ya Ethiopia kubwaga Sierra Leone 1-0 mjini hizi kwa sekunde mbili pekee alipokata utepe kwa dakika 26:46.
(matatu) nao Frank Wanangwe, toshirikishwa katika mechi dhidi ya Ghana wiki Mkenya Leonard Komon anashikilia rekodi ya dunia ya dakika
chache baada ya kurejea kutoka mkekani baada ya Awassa, jana.
Zack Aura na Barnabas Odhiambo. Penalti ya Getaneh Kebede katika kipindi cha 26:44 aliyoweka mwaka 2010. Wakenya walinyakua nafasi saba
Kwenye Ligi Kuu ya Wanawake, kupata jeraha la goti mwezi Julai. Hata hivyo, Migne za kwanza katika kitengo cha kinadada kupitia kwa Caroline Kip-
alisisitiza wachezaji wanafaa kufika kambini na ku- kwanza ilitosha kuzamisha Sierra Leone, ambayo
Scorpions ya Chuo Kikuu cha itazuru Nairobi mwezi Novemba 2018. kirui, Fancy Chemutai, Diana Kipyokei, Dorcas Tuitoek, Perine
fanyiwa uchunguzi na daktari wa timu ya taifa am- Nenkampi, Rosemary Wanjiru na Loice Chemnung, mtawalia.
Strathmore ilizima USIU-A 1-0. baye anastahili kuwapa ruhusa.
Na John Kimwere
TAIFA LEO | Jumatatu, Septemba 10, 2018
SPOTI 23
Griezmann afichua
CAIRO, MISRI vilivyo na Mohsen.
NYOTA Mohamed Salah alifunga ma- Ushindi huo mnono wa Misri ulikuwa
mwanzo bora kwa kocha Javier Aguirre
kwamba atastaafu
bao mawili, akachangia mengine mawili
na kupoteza mikwaju miwili ya penalti
katika ushindi wa 6-0 uliosajiliwa na
aliyeteuliwa kujaza pengo la Hector Cu-
per aliyejiuzulu baada ya vijana wake
akitandaza boli USA
Misri dhidi ya Niger katika mchuano wa kuaga mapema kampeni za Kombe la
kufuzu kwa fainali za Kombe la Afrika Dunia. MSHAMBULIAJI matata wa klabu
(AFCON) nchini Cameroon mwakani. Katika mechi nyinginezo, sajili mpya ya Atletico Madrid na timu ya taifa
Salah ambaye kwa pamoja na Sadio wa Liverpool. Xherdan Shaqiri aliwa- ya Ufaransa, Antoine Griezmann, 27,
Mane wa Senegal na Roberto Firmino wa chochea Uswisi kuwapapata Iceland 6-0 amesema kwamba kilele cha fahari
Brazil, ni tegemeo kubwa kambini mwa katika kivumbi cha kuwania ubingwa wa yake katika ulingo wa kusakata soka
Liverpool, alishuhudia penalti yake ya Nations League. ya kulipwa ni kumalizia taaluma
dakika ya kwanza ya mchezo ikipanguli- Kiungo huyo wa zamani wa Stoke City
na Barcelona alifunga bao moja na ku-
yake huko Amerika akichezea kikosi
wa ugani Borg El Arab, Alexandria. cha Major League Soccer (MLS).
Hata hivyo, nyota huyo alijitahidi changia mengine mawili katika ufanisi
uliosajiliwa na kikosi chake katika Kundi Kulingana na nyota huyo ambaye
maradufu na kuchangia bao la kwan-
za la Misri lililopachikwa wavuni mwa A2. kwa sasa ni tegemeo kubwa
wapinzani wao na Marwan Mohsen. Ay- Shaqiri aliwafungia Uswisi bao la tatu kambini mwa kocha Diego Simeone,
man Ashraf alifuma wavuni goli la pili la baada ya ukurasa huo kufunguliwa na nia yake kuu ni kuangika daluga
miamba hao wa soka ya Afrika kabla ya Mohamed Salah (katikati) asherehekea bao lake dhidi ya Niger katika mechi ya kufuzu Steven Zuber na Denis Zakaria. katika ulingo wa soka akivalia jezi
Salah kushuhudia penalti yake nyingine kwa fainali za Kombe la Afrika (AFCON) 2019 mnamo Septemba 8, 2018. PICHA/AFP Haris Seferovic aliyafanya mambo za LA Galaxy au klabu mpya ya
ikiokolewa na kipa wa Niger ila akafuma kuwa 4-0 kabla ya Albian Ajeti na Admir nguli David Beckham, Inter Miami.
wavuni mpira huo uliomrudia. wandalia pasi maridadi nyota Salah Mo- Salah angalivuna mabao matatu kuto- Mehmedi kukizamisha kabisa chombo
cha Iceland. Shaqiri alisajiliwa na Liver-
Tangu mwishoni mwa msimu jana,
Salah ambaye alipania kuendeleza hsen. Bao la sita la mabingwa hao mara kana na mchuano huo iwapo angalitumia Griezmann alikuwa windo kubwa
makali yake ya msimu jana, aliwafungia tano wa AFCON lilipachikwa wavuni na vyema nafasi aliyoipata mwishoni mwa pool kutoka Stoke City mwanzoni mwa
kiungo wa Arsenal, Mohamed Elneny. kipindi cha pili baada ya kushirikiana msimu huu kwa kima cha Sh1.8 bilioni. la Barcelona na Man-United, kiasi
Misri bao la tano pindi baada ya kum-
kwamba ilimjuzu Mkuu wa Atletico,
Miguel Angel Gil Marin kuwaponda
Mechi hiyo ilikuwa wa kwanza kwa kocha Southgate kupoteza nyumbani tangu apokezwe mikoba vinara wa klabu hizo mbili kutokana
na juhudi zao za kumnyemelea
straika wao huyo. Marin alitoa
MIGNE AMKANYA
spoti
TAIFA LEO
NAIROBI
Zarika malkia
wa ndondi
Police ikiliza
Kocha Zinedine Zidane
awapongeza vijana wake
mwishoni mwa mechi ya Klabu
Nakuru
Bingwa Ulaya (UEFA) kati ya Real
Madrid na Liverpool ugani Olym-
GEOFFREY ANENE NA RICHARD
pic jijini Kiev, Ukraine mnamo
MAOSI
Mei 26, 2018. PICHA/AFP MKENYA Fatuma Zarika alisalia
malkia wa ndondi za uzani wa kilo
55.3 (Super Bantam) duniani baa-
da ya kuandikisha ushindi wake
wa saba mfululizo kwa kulima raia
wa Mexico Yamileth Mercado kwa
wingi wa alama jijini Nairobi Jum-
amosi usiku.
Zarika, 34, hakupata ushindi
huu kwa urahisi katika pigano
hilo la raundi 10 kwenye jumba
la mikutano la kimataifa la KICC.
Alitolewa jasho na chipukizi huyu
mwenye umri wa miaka 20 kabla
ya kujinyanyua na kuhifadhi taji
aliloshinda kwa mara ya kwanza
mwaka 2016. Majaji walimpa Zari-
ka ushindi wa alama 94-96, 97-93,
99-91.
Bingwa huyu, ambaye maka-
zi yake ni katika jimbo la Florida
nchini Marekani, sasa anajivunia
rekodi ya ushindi 30, vichapo 12
na sare mbili tangu ajitose katika
masumbwi mwaka 2003.
Pigano hili la kifahari lililoshu-
hudiwa na maelfu ya Wakenya na
wapenzi wa ndondi katika ukumbi
huo pamoja na kwenye runinga,
lilitanguliwa mapambano matatu
yasiyo ya mataji. Nyota Rayton
Okwiri alinyamzisha Mganda Pat-
YU NJIANI
rick Amote kwa njia ya TKO kati-
ka raundi ya pili ya uzani wa kati
naye Fred Nyakesha akalemewa
na Mkenya mwenzake George On-
yango kwa wingi wa pointi katika
uzani wa “light.” Charity Mukami
na Florence Muthoni walitoka sare
katika pambano lingine la uzani
wa kati.
Kwingineko, mashindano ya
ndondi ya maeneo kati ya timu
za Kenya Police na Nakuru Com-
bined yalikuwa ya kusisimua ka-
tika ukumbi wa Nakuru Madison
Square siku ya Jumamosi. Katika
pambano la kwanza, Lemid Thion-
CHRIS ADUNGO NA MASHIRIKA wao wa sasa. na Real Madrid mwishoni mwa hakikishia Mourinho uungwaji go wa Nakuru alimlima Peter
KATIKA hatua inayopania Katika habari iliyoshadidiwa msimu jana, tayari ameanza ku- mkono, Zidane ana asilimia 80 za Kiarie wa Police katika uzani wa
kuashiria kwamba wakati wa ku- pia na gazeti la The Mirror, Zidane waeleza baadhi ya wandani wake kuajiriwa wakati wowote, ila hilo ‘Fly’. Ethan Maina alinusuru Po-
hudumu kwa kocha Jose Mourin- amekuwa akiwasiliana na baadhi kuhusu uwezekano wa kupigiwa litategemea matokeo ya miamba lice alimlabua Emmanuel Otieno
ho uwanjani Old Trafford unazidi ya vinara wa Man-United kisiri simu kutoka Old Trafford ikim- hao wa soka ya Uingereza na jinsi wa Nakuru katika uzani wa ‘Light’.
kukatika, magazeti mengi ya Uin- huku majukumu yake kwa sasa warifu kuhusu kuteuliwa kwake Mourinho atakavyoendeleza ma- Mabondia wengine kutoka idara
gereza yamedai kuwa tayari mku- yakiwa ni kupendekezea usimam- kuwa kocha mkuu wa Man-Unit- husiano yake na kikosi kizima. ya polisi waliotamba katika map-
funzi Zinedine Zidane ameanza izi baadhi ya masogora atakaota- ed. Gazeti la Dailymail linasisitiza igano haya ya raundi ya tatu dhi-
kuandaa orodha ya wachezaji ka waingie katika sajili rasmi ya Hata hivyo, ameonya kwamba kwamba Mourinho hahusiani di ya Nakuru ni Joseph Shigazi
atakaowasajili iwapo atapokezwa kikosi chake katika muhula mfupi huenda hilo likafanyika tu wakati vyema na wachezaji Anthony (Welter), Bonface Mugunde (Mid-
mikoba ya Manchester United. ujao wa uhamisho wa wachezaji. wowote kabla ya Januari iwapo Martial na Paul Pogba ambao dle), George Cosby(Light Heavy),
Kwa mujibu wa gazeti la The Katika orodha yake, Zidane ana hewa katika uwanja wa Old Traf- huenda wakabanduka kambini Humphrey Ochieng’ na Elly Ajowi
Sunday Mirror, Zidane anajiza- majina ya wachezaji Toni Kroos ford kwa sasa itachafuliwa zaidi mwa Man-United wakati wowote (Heavy), mtawalia.
titi kuchukua rasmi mahala pake wa Real, Alcantara wa Bayern na Mourinho kwa kushindwa ku- iwapo kikosi chao hicho hakitari-
Mourinho mnamo Januari 2019 Munich, Edinson Cavani wa PSG tambisha kikosi chake katika min- dhisha katika kampeni za kuwan-
ila huenda wakati wa kufanyika na James Rodriguez ambaye kwa gi ya michuano ijayo. ia ufalme wa Klabu Bingwa Ulaya
kwa mabadiliko hayo ukafupish- sasa anavalia jezi za Bayern kwa Licha ya Naibu Mwenyekiti (UEFA) msimu huu. Man-United
wa hata zaidi kutegemea matokeo mkopo kutoka Real. wa Man-United, Ed Woodward wametiwa katika zizi moja la
yatakayosajiliwa na Man-United Kwa mujibu wa gazeti la The kusisitiza kwamba usimamizi Kundi H na Juventus, Valencia na
kuanzia sasa chini ya mkufunzi Sun, Zidane ambaye aliagana wa klabu hiyo umepania kum- Young Boys kutoka Uswisi.