Professional Documents
Culture Documents
17/02/2019
umasikini kwa mwananchi mmoja mmoja na kwa jamii na taifa kiujumla. Kuanzia miaka ya
mwanzoni mwa karne hii ya 21, jitihada za dhati zilipangwa na kuanza kufanyika kama vile
mipango ya kitaifa iliyojitokeza katika kipindi cha utekelezaji wa sera hizi. Kutokana na Dira
hadi 2024/25, Serikali ililenga kujenga jamii iliyoelimika na yenye kupenda kujielimisha.
Pamoja na azma hiyo, Tanzania iliridhia Itifaki ya SADC (1997) kuhusu elimu na mafunzo
iliyozitaka nchi wanachama kuwa na elimu msingi ya lazima kwa kipindi kisichopungua
miaka tisa (9); Itifaki ya Dakar (2000) kuhusu Elimu kwa wote; Makubaliano ya Perth
Kwa mujibu wa itifaki ya makubaliano ya Dakar, mwaka 2000 (WEF 2000), yaliwekwa
malengo kadhaa kwa wanachana wake na moja ya malengo hayo ni utoaji wa elimu bure na
wanachama wa umoja wa mataifa mwaka 2000 kule Marekani; elimu ni moja ya vipaumbele
vya malengo hayo. Na hapa ninaainisha malengo matatu tu likiwamo hili la elimu ambayo
ndio msingi wa ujumbe wangu; kuondoa umaskini na njaa, kufikia Elimu ya msingi kwa
1
wote, kuhakikisha mazingira endelevu kwa wananchi wake ili kuwajengea uwezo wa kufanya
Katika hili, nchi wanachama zilitakiwa kutoa taarifa kwa Umoja wa Mataifa, na Tanzania ni
miongoni mwa nchi wanachama walioendelea kutoa taarifa na hiyo ilianza mwaka 2001 na
Baada ya miaka 15, Taifa la Tanzania lilipitia nusu awamu na awamu moja ya utawala wa
maraisi wawili na kufikia mafanikio makubwa kama vile kuimarika kwa mahusiano
(kidiplomasia) na mataifa mengine hasa katika awamu ya nne. Hili lilienda sambamba na
changamoto mbali mbali katika jitihada za kukuza na kuendelea kiuchumi kwa njia ya
nishati ya umeme ya uhakika hasa kwa maeneo ya vijijini na pia kuzidiwa nguvu katika
Wakati huo (2015) Tanzania iliingia katika mchakato wa uchaguzi mkuu wa Raisi, Wabunge
kuingia madarakani utawala mpya wa serikali ya awamu ya tano. Utawala ambao uliingia na
kauli mbiu ya “Hapa kazi tu.” Hasa ikilenga kutekeleza ilani ya chama tawala huku Raisi,
ndugu John Pombe Magufuli akiongoza jitihada za kutaka kurudisha heshima ya chama na
kuweka sawa mwelekeo wa nchi katika kujijenga kiuchumi. Hiyo ilionekana kuzaa matunda
mara baada ya muda mfupi kuonekana kuimarika nidhamu ya kazi kwa watumishi wa umma,
kuimarika kwa utawala bora na uwajibikaji na kufanikiwa kwa kiasi kikubwa katika
na mataifa makubwa baada ya ripoti iliyotolewa hivi karibuni katika kikao cha viongozi wa
2
nchi wanachama wa mataifa ya Afrika kilichofanyika mwezi huu wa februari 2019 huko
Addis Ababa, Ethiopia. huku Waziri mkuu, ndugu Kasim Majaliwa akimwakilisha Raisi.
Katika taarifa hiyo, Tanzania ilitajwa kuwa miongoni mwa mataifa machache ambayo
chama (kulingana na ilani yake) kwa wananchi wakati wa kampeni za uchaguzi mwaka 2015
ambayo ni kuleta elimu bila malipo ili huduma hii ya utoaji elimu iwafikie watanzania wote
Utekelezaji wa ilani ya chama mwaka 2015 kuhusu sera hii ya elimu bure ulianza mapema
mwanzoni mwa mwaka 2016. Katika kufanikisha hilo, msisitizo na usimamizi makini
ulionekana katika kuhakikisha watoto wote waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza
wale waliokuwa wameshafikisha umri wa kuanza shule. Hatua hiyo iliyoambatana na uhaba
wa vyumba vya madarasa na madawati ambao pia jitihada zimefanyika na zinaendelea ili
kuhakikisha watoto wanahudhuria shule na kupata haki yao ya msingi ya elimu bila malipo.
Kwa hatua hiyo, hapo kama taifa limefanikiwa kwa serikali kuonyesha jitihada hizo za
utekelezaji wa ahadi hiyo na kumjali mwananchi hasa wa tabaka la chini ili kumjengea
mazingira na vigezo vya kumtoa katika wimbi la ujinga na umasikini wa kipato na ikiwa na
dhamiri njema ya kulitoa hapa taifa lilipo na kulipeleka katika uchumi wa kati na wa
viwanda. Pia hii ni kwa mujibu wa makusudi ya serikali (dira ya taifa) ya kuleta mapinduzi
ya kiuchumi ili kuibadili Tazania kuwa nchi ya uchumi wa kati ifikapo 2025.
Fursa ya elimu bila malipo (kwa usawa) imeendelea kutolewa kwa watoto wote kujiunga na
shule na kupatiwa malezi kimwili, kiakili, kimaadili na kiroho kwa shule ya msingi na mpaka
3
kidato cha nne tangu mwaka 2016 na sasa huu ni mwaka wa nne toka kuanza kutekelezwa
elimu bure sasa wameshafika kidato cha nne mwaka huu (2019). Mazinigira na takwimu
(kwa baadhi ya maeneo) zinaonyesha kuwa kundi hili ni kubwa sana ikilinganishwa na miaka
mingine iliyopita, huku ikionyesha idadi ndogo kabisa ya walioacha masomo (drop out)
ambayo pia ni mafanikio katika kudhibiti watoto kukatisha masomo (katika awamu hii ya
tano) kutokana na sababu mbali mbali kama vile mimba, ndoa, ajira za watoto n:k. Hivyo
kuna uwezekano wa kuanza kuwa na ongezeko kubwa la ghafla la wahitimu wa kidato cha
nne mwaka huu (2019) kuliko miaka iliyopita. Hayo pia ni mafanikio kwa sababu tumeanza
kupatia ufumbuzi changamoto ya mfumo wa elimu na mafunzo ambao hapo nyuma ulikuwa
hayo kuakisi aina ya matokeo yajayo ya 2019/2020 na kutupa picha ya jinsi ambavyo
au kushindwa kabisa. Na hapo ndipo panahitaji uvumilivu, umakini na usikivu wa hali ya juu
katika kuyatafutia ufumbuzi matatizo ya kijamii na kitaifa katika sekta nyeti kama hii ya
elimu. Kwa sababu swala hili halitakiwi kuwekwa katika mkondo wa kisiasa wala ushawishi
matokeo hayo yajayo. Bali ni swala linalogusa gharama kwa pande zote mbili; serikali na
nguvu kazi iliyopo. Endapo jukumu litaachiwa upande mmoja tu litafutie ufumbuzi,
tutaanza kuunda tume ili kuchunguza chanzo na sababu baada ya matokeo hayo yajayo ya
4
Kwa upande mwingine, watanzania tuna utamaduni wa kusubiri tukio litokee ndio
tunachukua hatua kulitatua, ingawa mazingira na hali ilianza kuonekana hapo kabla. Kwa
mfano idadi ya madarasa kwa kidato cha tano na sita na madawati inaweza kutokidhi hitaji
kwa sababu ya wingi wa wanafunzi watakaochaguliwa kujiunga kidato cha tano. Sasa upo
(wenye sifa) wasikose masomo ya kidato cha tano kuanzia mwezi wa saba, 2020. Lakini hilo
Sasa, ninarudi tena kwenye hoja yangu, kulingana na aina ya wanafunzi wanaopokelewa
(miaka hii) wa kidato cha kwanza kwa shule nyingi za kawaida za sekondari serikalini
kutoka shule ya msingi; Ni matarajio kwamba idadi ya wasiojiweza na wasio na sifa mitaani
itaongezeka ghafla kwa mwaka ujao 2019/2020, maana hao tunawajua na pia tunao huko
tunaowasafirisha katika chombo hiki cha elimu ili wafikie hatua ya kuwa nguvu kazi ya taifa
kujenga upande Fulani na kuacha upande mwingine au kufumbia macho changamoto zilizopo
Lakini, tatizo kama hilo si la mtu fulani pekee, wala kiongozi fulani pekee, wala taasisi fulani
ya elimu pekee. Ni ugonjwa wa kitaifa unaomhusa kila mtanzania wa kiwango cha chini, kati
na juu kiuchumi. Lakini kwa kuwa sio katika kila changamoto ya taifa itahitaji wananchi
wote wahusike moja kwa moja katika kutatua changamoto hizo ila tunao wawakilishi (wenye
sifa) pia wenye mamlaka ya maamuzi (pasipo siasa) na utekelezaji wa moja kwa moja
unahitajika. Ikumbukwe kuwa “Elimu ni uwekezaji mkubwa, na ili kupunguza tatizo lijalo
5
(kuepusha aibu) ni muhimu kukumbuka kuwa uwekezaji mkubwa zaidi kifedha na rasilimali
watu (nguvu kazi hasa sayansi) unahitajika, hapo.“ Ni kushughulika na maeneo yote
Ni ukweli usiopingika kwamba taifa lina mzigo mkubwa wa majukumu yanayohitaji fedha
hasa katika kutekeleza miradi mbalimbali na mikubwa inayoendelea na ijayo - hapo tunaunga
mkono. Lakini ni swala la kipaumbele pia. Eneo la elimu ya msingi na sekondari sio la
kugusa juu juu. Siku zote, misingi ikiharibika, tujue kwamba huko juu na huko mbeleni
wote (walioshindwa) na wakakosa mwelekeo kwa sababu hatujaandaa mazingira (kama taifa
na sio wazazi na walezi pekee) ya kuwafanya wawe na faida kwa jamii, ni sawa na kuzalisha
kwa makusudi kitu au kifaa hatari usichokijua na kukiacha au kukitupa na baadae bila kujua
Endapo kutakuwa na ongezeko kubwa la walioshidwa kidato cha nne, pasipo kuwepo
wa kiuchumi wa dunia ya sasa, hapo tunaandaa taifa lenye watu wasiozalisha na waharibifu
(vibaka, madawa ya kulevya, wezi, waporaji na majangiri). Taifa lenye watu wengi
waliosoma na wenye ujuzi katika maeneo tofauti tofauti litaendelea haraka kuliko kuwa na
wazurulaji wengi, ambao ni ‘wacheza pooltable asubuhi, walewa viroba siku nzima, wapiga
Kama mtanzania-mzalendo, ninadiriki kuandika hivi kwa sababu mimi sio mwanasiasa, niko
upande wa utendaji zaidi na hapo haihitaji siasa endapo tunataka kuliweka taifa liendelee
kuwa salama. Ni hatari sana endapo taifa halitachukua hatua zenye tija katika kuzuia
ongezeko la watu wasiozalisha kitu katika jamii. Kwa sababu mtoto anatakiwa angalau kwa
jitihada zote zilizowekwa (kwa miaka minne shuleni) basi apate alama ambazo itakuwa rahisi
6
kumuwezesha aidha kuendelea na masomo, kuendelea na masomo ya ufundi stadi au kujenga
mazingira ya mtoto huyo aondoke shulani akiwa na ujuzi katika eneo fulani ili akienda
mitaani basi ikawe rahisi kuwezeshwa. Na hilo ndilo eneo lililo nje ya mkondo wa taaluma
hasa kwa kuzingatia vipawa na karama walizonazo wanafunzi mashuleni. Ikumbukwe kuwa
moja ya mahitaji ya taifa ili liendelee linahitaji kuwa na rasilimali watu (nguvu kazi
Na hapa ndipo tunaelewa msisitizo wa kufanya kazi unaotolewa mara kadhaa na Raisi, ndugu
John pombe magufuli akisema “mimi nataka watu wafanye kazi.” Ikimaanisha kwamba
tukifanya kazi kwa bidii, hatutasubiri wakati wote misaada toka nje ili tufanye au tupate
maendeleo, hatutaomba chakula cha msaada toka nje, kama ni chakula basi tutazalisha kwa
wingi na kubakiwa na ziada (excess) ambacho kitatoka nje (kwa utaratibu sahihi) ili tupate
fedha za kigeni. Kwa mantiki hiyo, inatukumbusha kuwa rasilimali watu nyingine
kuwamwaga hao wataalamu katika maeneo husika. Lakini kama hawakuiva, basi wanatupwa
jalalani (mitaani), nao wanaanza kutafuta mazingira ya kula bila kufanya kazi. Tayari huo ni
Kwa mujibu wa sera ya Elimu na mafunzo (2014) inabaini jitihada na malengo ya sekta ya
elimu (ambayo mimi ninaita “JIKONI” kwa sababu ndio sekta mama katika kuzalisha, kulea
na kukuza rasilimali watu na kada zote zinatoka hapo). Hivyo sekta ya elimu na mafunzo,
kwa mujibu wa dira ya maendeleo ya taifa 2011/2012 hadi 2024/25, ilitarajiwa na inaendelea
kutarajiwa kuleta maendeleo ya haraka ya rasilimali watu kwa kutayarisha idadi ya kutosha
ya watanzania walioelimika na kupenda kujielimisha zaidi ili kulifanya taifa lipate maendeleo
7
Ninanukuu maelezo ya sera ya elimu, yanasema; ‘kumekuwa na changamoto katika kuinua
hivyo kutoa wahitimu ambao hawana umahiri wa kutosha kuhimili ushindani katika
ulimwengu wa kazi.’
Moja ya mabadiliko katika upepo wa kimaendeleo katika jamii ni msisitizo katika sera ya
viwanda, ambao umetoa fursa kwa wananchi na wawekezaji (ndani na nje) kupatiwa maeneo
(ardhi) kwa masharti nafuu ili kuanzisha na kuendeleza viwanda. Sasa hali hii inaonyesha
mahitaji hayo ya sasa ili kuandaa taifa lenye mtazamo wa kiviwanda toka wakiwa shule ya
msingi na sekondari.
Na badiliko lingine katika jamii ni ongezeko kubwa la watu na uhaba wa ajira (ajira rasmi).
Kwa mfano walimu wa masomo ya sanaa mpaka sasa hawajaingia katika ajira ya serikali
toka mwaka 2015. Lakini vyuo vinaendelea kuzalisha idadi kubwa ya walimu hao wa sanaa
ambao wanaendelea kuingia mitaani na vyeti na taaluma zao wakitegemea ajira mpya
serikalini na sekta binafsi. Na wakati ajira hiyo imesimama, bado kumekuwa na ongezeko la
Hapo pia naweka angalizo. Uandaliwe mfumo wa kuwafanyia usahili walimu wanaohitaji
kuingia ajira ya serikali. Kwa sababu haiwezekani na haiingii akilini kuwa tuna idadi kubwa
sana ya walimu wahitimu wa vyuo vikuu na diploma mitaani lakini bado hakuna utaratibu
wenye manufaa wa kuwachuja ili kuwapata walimu bora na kuwapa ajira. Unajua, hatuhitaji
kuwa na bora walimu, ila walimu bora. Sasa hivi vyuo ni vingi na wengine wameenda
kusomea ualimu na kuingizwa kwenye ajira ya ualimu ili kutafuta riziki tu (watu wa
8
Ushauri wangu kwa Serikali ni kuwa kila halmashauri iwe na kitengo hicho (ikiwezekana
watu wa HR na TSC); usahili ufanyike angalau mara mbili kwa mwaka kwa kila
kufanyiwa usahili na kupeleka majina na taarifa zao TAMISEMI (hiyo inawezekana kama
kweli tunataka kuingia gharama ambayo inamanufaa kwa hatima njema ya elimu yetu. Hili
pia ni katika kuandaa mazingira yenye tija katika kuandaa taifa lijalo la uchumi wa viwanda.
Na kama utatumia kigezo cha GPA tu ili kubaini mwalimu bora basi hapo ndio utapotea
kabisa. Ualimu sio GPA peke yake. Humu mitaani kuna waalimu ni darasa la saba wa
zamani, lakini wanauwezo wa kumsaidia mtoto wa darasa la kwanza kwa usahihi kuliko huyu
kuwa wanawaharibia msingi watoto kwa mfano kwenye kanuni kama za kufundisha
kingereza na hesabu). Lakini ni bora kumchukua huyu wa mitaani na kumpeleka chuo ili
akajue kanuni za ufundishaji na kumjengea uwezo na kumfanya awe mwalimu rasmi. (huo ni
mfano tu).
Kwa swala la kuwafanyia walimu usahili, changamoto inakuja katika kudhibiti rushwa na
undugu. Hapo pia inatakiwa kuwekwa mazingira magumu ya kuchukuana kindugu au kwa
rushwa. Lakini kama zitawekwa sheria kali, inawezekana kulitekeleza hilo (na kupunguza
sana kubebana katika ajira) kwa sababu hitaji letu ni kuona kuwa ualimu sio ‘dampo’ la
kupokea kila mtu aliyekosa kwa kwenda. Ualimu ni taaluma na lazima iheshimiwe, na
serikali iwe na uhakika kuwa imeajiri nguvu kazi yenye kutaka kuleta mabadiliko. Hata
ikiwapa motisha, iwe na uhakika kuwa hiyo motisha imeelekezwa katika mkondo wa watu
sahihi wanaostahili.
9
Zipo sababu nyingi za shule binafsi kufanya vizuri kuliko za serikali kwa sasa, lakini sababu
moja wapo ni kuwafanyia walimu usahili ili kubaini uwezo wao kabla ya kuwapa mkataba au
ajira. Kuna usahili wa kuhojiwa kwa mdomo, wa kuandika na pia usahili wa kuingia
darasani. Yote hayo yafanyike. Hujui kwamba kwa sasa unaweza kuajiri walimu ambao
hawajui kuandika barua ya kuomba kazi. (lakini ile aliyopeleka kuomba kazi aliandikiwa na
mtu mwingine).
Ikumbukwe kuwa elimu ndio nyenzo pekee ya kubadili mawazo, fikra na mitazamo ya watu
mwanamchi huyu. Na njia pekee ni kupatiwa elimu kwa njia rasmi na isiyo rasmi ili
Sera yetu ya elimu inayotekelezwa sasa inabaini pia kuwa kuna idadi kubwa ya wataalamu
walioelimika kwa kiwango cha juu wanaohitajika ili Tanzania kufikia kiwango cha nchi
yenye uchumi wa kati huku taarifa zinaonyesha kwamba rasilimali watu ya Tanzania, kwa
kiasi kikubwa ni wafanyakazi wenye ujuzi wa chini ambao ni asilimia 84, wakifuatiwa na
wenye ujuzi wa kati asilimia 13 na wenye ujuzi wa juu asilimia 3. Hata hivyo, kwa nchi za
kipato cha kati ngazi ya chini, ulinganifu unaonyesha kuwa nchi hizo zina wastani wa
wenye ujuzi katika fani mbalimbali ili kufikia mahitaji ya rasilimaliwatu kwa nchi ya kipato
Sasa, ili kuweza kuyafikia malengo haya pasipo shida, ni muhimu kushughulika hasa kwa
kuanzia elimu ya msingi na sekondari (hapo ni swala la mitaala). Ijapokuwa watoto wa shule
kuwaandaa kwa ajili ya kuyakabili mazingira ya kazi yajayo hasa ikizingatiwa kuwa umri
10
wao pia ni mdogo lakini bado tunajukumu kubwa lisilokwepeka la kuanzia msingi na
sekondari kutoa elimu inayoweza kubadili mtazamo na fikra kuwa maisha ya shule
yanatuandaa kwa ajili ya kufanya kazi za uzalishaji mali kwa njia ya kujitegemea (ajira
binafsi). Mwanafunzi ajue kuwa anasoma hata kufikia (kidato cha nne au sita) ili aje
kufanikiwa kuwa fundi cherehani (kushona nguo) na kuwa na kiwanda kidogo cha kuajiri
wengine.
Kazi hata ya kushona viatu na ndala na kubrashi maeneo ya mjini/mitaani inafanywa na idadi
kubwa ya watu ambao hawakupata fursa ya kwenda shule au waliishia darasa la saba la
zamani kidogo. Inaonekana si kazi yenye kufaa kwa wasomi kwa sababu ni matokeo ya
haikuwa rahisi kufanywa na msomi wa chuo kikuu. Bali na wale waliokosa fursa ya elimu.
Na hata yule mtaalamu wa kilimo (wengine maafisa kilimo) wakijifungia ofisini ili kusubiri
wateja wawafuate, na kusubiri vikao ofisini na si kwenda kushida kwenye mapori, nyasi na
matope ili wakatoa elimu kwa wakulima namna ya kufanya kilimo chenye tija. Hiyo yote ni
Lakini ukweli ni kwamba kazi ndogo ndogo kama hiyo ikifanywa na msomi inaweza
kufanywa kwa umaridadi wa kiwango cha juu na kuleta mapinduzi katika sekta ndogo ndogo.
Ni kama vile kumchukua profea wa chuo kikuu aende kufundisha shule ya msingi kwa
watoto wanaotoa kamasi. Inakuwa ngumu kidogo (hata kama ataboreshewa mazingira ya
kazi) na kupatiwa mshahara na marupurupu yale yale anayoyapata kule chuoni. Inatakiwa
awe mzalendo. Ingawa tutasema kuwa kutokana na uhaba wa maprofesa chuo kikuu basi
11
awaachie hao walimu wa cheti, diploma na degree wafanye kazi ya kufundisha shule ya
msigni ambayo ni ya kwango chao. Kwa sababu itakuwa ni matumizi yasiyo sahihi ya
rasilimali watu.
Lakini pia mhandisi, akipewa ekari tano (kwa mfano) ili aziendeleze katika kuzalisha zao
fulani, uwezekano wa kumudu hiyo kazi na kuleta matokeo chanya ni mkubwa kwa sababu
kilimo. Zaidi ya hayo anafursa ya kujisomea na kujua kanuni nyingi zaidi za kilimo na
kubadilika kulingana na mazingira na mahitaji katika kazi yake ya ukulima. Akienda kwenye
vilivyokwisha muda kwa sababu anauwezo wa kisomi (wa kubaini mambo) na kufanya tafiti
kwa wahusika kama TFDA na kujua ukweli wa bidhaa. Msomi ana ujasiri wa kufuatilia na
Sasa, elimu ya uchumi wa viwanda inatakiwa kuingizwa katika mfumo rasmi mashuleni ili
tufanikiwe katika harakati hizo na kubadili mtazamo na fikra kuanzia shule ya msingi na
kwenye vyombo vya habari tu … hivyo kwa wakati huu, wengi wasiosoma ndio wanaelimu
viwanda hapo nyuma. Hii inamaanisha kuwa wakati ujao huyo mwenye vyerehani vitano vya
kushonea nguo ndio atakuja kuajiri hao waliokwenda shule na kuhitimu lakini wakakosa sifa,
kwa sababu hao walioshuleni sasa wanafikra kuwa watasoma ili waje kuajiriwa.
Wazo langu pia ni kufikiri namna ambavyo tunaweza kuunganisha elimu ya sekondari na
vyuo kama VETA au vyuo vilivyosajiliwa na VETA. Mazingira hayo yatumike kama sehemu
12
ya kufanya mazoezi kwa kazi ndogo za ujuzi hasa kwa watoto wa sekondari (natambua ni
vitendo kuliko nadharia endapo tu wataandaliwa mazingira na kujengewa uwezo. Hata kama
mtoto anashida kidogo ya akili lakini ukimpeleka kwenye maeneo ya kushika SPANNER,
uzoefu unaonyesha kuwa anaweza kuendana na mazingira hayo ya ufundi na polepole kupata
ujuzi na baadae kuimudu hiyo na kuifurahia kuliko kushinda kumlazimisha aelewe (kukariri)
Hilo nina uhakika nalo (endapo utekelezaji wake ungekuwa rahisi). Hebu jaribu kumchukua
dereva aliyelewa (mlevi) mpaka kufikia kiwango cha kushikwa mikono kwa sababu hawezi
kutembea mwenyewe. Sasa mchukue (kumbeba) na kumuweka kwenye kiti cha gari yake ili
awashe injini na kuendesha. Atafanikiwa kufuata kanuni zote mpaka kuanza kuendesha gari
Lakini huyo huyo dereva jaribu kumpa maswali yanayohusu taaluma yake ya udereva na
ayajibu kwa kuandika, uhakika ni kuwa atashindwa kuyajibu. Kwa sababu hapo ameingia
Hivyo katika kuandaa wanafunzi katika mabadiliko ya kiuchumi na kijamii, kuna jukumu la
anapaswa kuandaa mazingira ya kujua mtoto wake anapendelea kufanya nini (kazi gani)
katika maisha. Kwa sababu maono ya maisha yajayo pia hayaanzii ukubwani tu, pia utotoni
kutengeneza mazingira ya kumwendeleza huyo mtoto. Ijapokuwa sio watoto wote watakuwa
na wazo hilo lakini ni sehemu ya jukumu la wazazi, walezi na jamii kwa ujumla kuanza
13
mapema kutengeneza au kuandaa kipawa kwa mtoto wake. Na shuleni ndio mahali pa
Mataifa yaliyoendelea yametushinda hapo, kumuandaa mtoto akiwa bado mdogo katika
kumtengenezea njia aje kuwa mtaalamu au fundi mwenye ujuzi utokanao na kipawa katika
eneo Fulani. Na hii ndio siri kubwa ya mafanikio yao katika sekta ya michezo. Kwa mfano
kuogelea. Au kumuandaa mtoto huyo awe mchezaji mpira wa miguu. Mtoto huyo akitimiza
umri wa miaka kumi (10) atakuwa tayari ni mchezaji mwenye kipaji ambacho kilianzia
utotoni pale nyumbani kwa wazazi au walezi. Wakati huku kwetu (mataifa mengi ya afrika),
mtoto wa miaka kumi ndio anaanza kuonekana kwa mbali akiwa shuleni kuwa anawezo wa
kuja kuwa mchezaji mpira mzuri. Na hapo wazazi hawajui na hawana taarifa yoyote juu ya
Sasa hapo ndio tunategemea kwamba taifa kama letu Tanzania tunaweza kushindana na timu
kuwa na kipaji cha kucheza mpira walipoanza kusoma shule, tena sekondari. Inakuwa ngumu
kidogo.
Ikumbukwe kwamba mzazi au mlezi anaouwezo wa kuamua kumuandalia mtoto wake awe
mwana sheria, mkandarasi, dereva, mcheza mpira, mwanariadha akiwa bado shule ya msingi.
Na hapo ndio chimbuko la kupata taifa lisilo teteleka katika nguvu kazi kwenye maeneo ya
uzalishaji. Hii ndio maana kama mzazi ni mwana siasa basi asilimia kubwa atakuwepo motto
wake mwanasiasa. Kama mzazi ni mjasiriamali basi atakuwepo mtoto wa kufuata nyayo hizo
14
za ujasiriamali. Kama mzazi ni mkulima basi hivyo hivyo atakuwepo mtoto mkulima katika
wale.
kumuandaa mtoto katika mazingira ya kutambua (kuibua) vipawa alivyonavyo akiwa angali
katika umri mdogo. Pia hatuna utamaduni wa kujisomea mambo ya msingi (vitabu/hadithi ili
kupanua mawazo), ufukara wa kijamii, kukosa elimu na pia mazingira duni ambayo hayafai
kuandaa watoto wakiwa bado na umri mdogo pale nyumabni (katika jamii). Hayo yote ni
Kwa mpango wa miaka mingi ijayo kwa mfano (kuanzia muongo mmoja hivi), mafanikio
katika kumuandalia mwanafunzi mazingira rafiki pale nyumbani (jamii) na shuleni (mitaala)
wanaokuja kuhitimu kidato cha nne wakiwa hawana mwelekeo wa kufanya kitu (kuzalisha
Hapo sijagusia swala la kipingamizi cha sheria ya ajira kwa watoto chini ya umri wa miaka
kumi na nne (14), na wale wenye umri kati ya kumi na nne mpaka kumi na saba (14-17),
ambapo kundi hili (14-17), ndilo linabeba wahitimu wengi wa kidacho cha nne kwa sasa.
Ingawa (kwa mtazamo wangu) sheria ya kumbada mtoto wa umri huo (14-17), kufanya kazi
nyepesi unatoa fursa moja kwa moja kuingia katika ulimwengu wa kazi endapo ana ujuzi.
15