-------------------------- mba, mba, mba, mba, mba, mba, mba, mba mba, mba, mba, mba, mba, mba, mba, mba
Bwana wa mabwana apewe sifa, Bwana wa mabwana apewe sifa
Bwana wa mbinguni apewe sifa,Bwana wa mbinguni apewe sifa Yeye ni mfalme apewe sifa, Yeye ni mfalme apewe sifa Yesu mwokozi apewe sifa, Yesu mwokozi apewe sifa,
Atupenda, atujali, abariki,yeye ni mwema
Mwamba wetu, kimbilio, mfariji yeye ni mungu
Aliteseka kwa ajili yetu, Aliteseka kwa ajili yetu
Akatufia msalabani, Akatufia msalabani Ili tupate wokovu kwake, Ili tupate wokovu kwake Tuwe na ushindi kwa jina lake, Tuwe na ushindi kwa jina lake
Tumsifu, tumwabudu, tumwiue, yeye ni mwema
Jehovah Jireh, Jehovah shammah, Jehovah rafa, yeye ni Mungu
Bwana wa mabwana apewe sifa, Bwana wa mabwana apewe sifa
Bwana wa mbinguni apewe sifa,Bwana wa mbinguni apewe sifa Yeye ni mfalme apewe sifa, Yeye ni mfalme apewe sifa Yesu mwokozi apewe sifa, Yesu mwokozi apewe sifa,
Atupenda, atujali, abariki,yeye ni mwema
Mwamba wetu, kimbilio, mfariji yeye ni mungu Tumsifu, tumwabudu, tumwinue, yeye ni Bwana Jehovah Jireh, Jehovah shammah, Jehovah rafa, yeye ni Mungu
Atupenda, atujali, abariki,yeye ni mwema
Mwamba wetu, kimbilio, mfariji yeye ni mungu Tumsifu, tumwabudu, tumwinue, yeye ni Bwana Jehovah Jireh, Jehovah shammah, Jehovah rafa, yeye ni Mungu