You are on page 1of 1

APEWE SIFA - Wangeci Mbogo

--------------------------
mba, mba, mba, mba, mba, mba, mba, mba
mba, mba, mba, mba, mba, mba, mba, mba

Bwana wa mabwana apewe sifa, Bwana wa mabwana apewe sifa


Bwana wa mbinguni apewe sifa,Bwana wa mbinguni apewe sifa
Yeye ni mfalme apewe sifa, Yeye ni mfalme apewe sifa
Yesu mwokozi apewe sifa, Yesu mwokozi apewe sifa,

Atupenda, atujali, abariki,yeye ni mwema


Mwamba wetu, kimbilio, mfariji yeye ni mungu

Aliteseka kwa ajili yetu, Aliteseka kwa ajili yetu


Akatufia msalabani, Akatufia msalabani
Ili tupate wokovu kwake, Ili tupate wokovu kwake
Tuwe na ushindi kwa jina lake, Tuwe na ushindi kwa jina lake

Tumsifu, tumwabudu, tumwiue, yeye ni mwema


Jehovah Jireh, Jehovah shammah, Jehovah rafa, yeye ni Mungu

Bwana wa mabwana apewe sifa, Bwana wa mabwana apewe sifa


Bwana wa mbinguni apewe sifa,Bwana wa mbinguni apewe sifa
Yeye ni mfalme apewe sifa, Yeye ni mfalme apewe sifa
Yesu mwokozi apewe sifa, Yesu mwokozi apewe sifa,

Atupenda, atujali, abariki,yeye ni mwema


Mwamba wetu, kimbilio, mfariji yeye ni mungu
Tumsifu, tumwabudu, tumwinue, yeye ni Bwana
Jehovah Jireh, Jehovah shammah, Jehovah rafa, yeye ni Mungu

Atupenda, atujali, abariki,yeye ni mwema


Mwamba wetu, kimbilio, mfariji yeye ni mungu
Tumsifu, tumwabudu, tumwinue, yeye ni Bwana
Jehovah Jireh, Jehovah shammah, Jehovah rafa, yeye ni Mungu

Atupenda, atujali, abariki,yeye ni mwema


Mwamba wetu, kimbilio, mfariji yeye ni mungu

You might also like