You are on page 1of 1

MABADILIKO YA MGAWANYO WA ALAMA ZA INDUSTRIAL

PRACTICAL TRAINING [IPT] KWA WANAFUNZI WA BACHELOR


2018/2019.

Habari ndugu wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Technolojia Mbeya.


Serikali ya wanafunzi (MUSTSO) kupitia Wizara ya Elimu ikishirikiana na Ofisi ya
Mafunzo Viwandani (ILO) inapenda kuwajulisha wanafunzi wote wa Bachelor juu
ya kuwepo kwa mgawanyo mpya wa alama za IPT uliopitishwa katika kikao cha
11 cha SENATE kilichofanyika tarehe 6.05.2018 .
Mchanganuo mpya wa alama utakaotumika katika kusahihisha logbooks na
Assessment Forms za IPT ni kama ufuatao;
 Industrial supervisor - 20%

 Must supervisor - 20%

 Technical Report

 Introduction - 5%

 Technical part – 25%

 Conclusion and recommendation – 5%

 Daily Report – 10%

 Weekly Report – 15%

Kila la kheri katika maandalizi yenu ya UE.

Waziri wa Elimu,
ELIAS MAGANGA.

You might also like