Professional Documents
Culture Documents
Maana Na Chanzo Cha Ushia
Maana Na Chanzo Cha Ushia
CHA USHIA
Kimeandikwa na:
Sayyid Saeed Akhtar Rizvi
Kimetafsiriwa na:
Dr. Muhammad S. Kanju
MAANA YA SHIA
1
Huyu ni katika Shia wake na yule ni katika adui zake,
yule ambae alikuwa Shia wake alimuomba msaada juu
ya yule adui yake.1
2
wanamfuata Imam Ali (a.s.) na kizazi chake Maasumin,
na kupuuza madai ya watu wengine ya Uimamu. Kama
itakavyoelezwa baadae, ni Mtume (s.a.w.w.) mwenyewe
aliyewapa jina hili wafuasi wa Ali (a.s.).
3
Ali (a.s.) alisema “wakati Aya ‘na uwaonye jamaa zako
wa karibu’5 iliposhushwa kwa Mtume wa Allah (s.a.w.w.)
aliniita mimi na akaniamrisha kutayarisha sa‘ moja (kiasi
cha kilo 3) cha chakula na niwakaribishe ukoo wa Abdu’l
Muttalib ili apate kuzungumza nao. Walikuwa karibu
watu arubaini, miongoni mwao walikuwepo ami zake
Abu Talib, Hamza, Abbas na Abu Lahab. Kisha Mtume
wa Allah (s.a.w.w.) akatoa khutba isemayo:-
‘Enyi watoto wa Abdu’l Muttalib! Simjui mtu yeyote
katika bara-Arabu yote ambaye amewaletea watu wake
kitu kilicho bora zaidi kuliko kile nilichokuleteeni mimi.
Nimekuleteeni mema ya hii Dunia na Akhera. Na Allah
(s.w.t.) ameniamrisha nikuiteni ninyi kwayo. Ni nani basi
miongoni mwenu atakayenisaidia katika jambo hili, kwa
masharti kwamba atakuwa ndugu yangu, wasii wangu na
Khalifa wangu miongoni mwenu?’”
5 Qur’ani 26:214
4
ameamrisha yeye kumsikiliza mtoto wake na kumtii.”6
6 At-Tabari, Muhammad bin Jarir, Tarikh, Juzuu 3 (Laden: E.J.Brill,
1882-1885) uk.1171-1173. Ni kitu cha kushangaza kwamba katika
Tarikh ya at-Tabari toleo la Misri (Kairo) 1939 (ambao inadaiwa kuwa
imechekiwa na kile cha toleo la Laden) yale maneno muhimu “wasiyyi
wa Khalifati” (Wasii na Khalifa wangu) yamebadilishwa kuwa “kadha
wa kadha.” Masikitiko yalioje kuona ulimwengu wa usomi kutoa
mhanga uaminifu wake kwa ajili ya siasa. Ni lazima itajwe hapa kwamba
hadithi hii pamoja na maneno yale imesimuliwa na wanachuoni wa
Kisunni thelathini, au zaidi, Wanahistoria, Muhaddithina na Mufassirina
wa Qur’ani. Imam Ahmad bin Hanbal ameisimulia hadithi hii
katika Musnad yake (Juzuu ya 1. uk.111) pamoja na sanad hii ifuatayo
(1) Aswad bin Amir kutoka kwa (2) Sharik, kutoka kwa (3) al-A‘mash
kutoka kwa (4) al-Minhal, kutoka kwa (5) Ibad bin Abdullah al-Asadi,
kutoka kwa (6) Ali. Sasa (1), (3) na (5) ni miongoni mwa wasimuliaji
wa hadithi wa al-Bukhari na Muslim, ambapo (2) ni miongoni mwa
wasimuliaji wa hadithi wa Muslim na (4) ni miongoni mwa wale wa
al-Bukhari.
Vile vile Ahmad bin Shu’ayb an-Nasa’i ambaye kitabu chake cha
Sunan ni kimoja miongoni mwa vitabu sita sahihi vya rejea vya hadithi
za Masunni, amesimulia hadithi hii kutoka kwa Ibn Abbas katika kitabu
chake al-Khasa’is uk. 6.
5
Hii ilikuwa ni wakati wa mwanzo kabisa.
7
Viwili vyenye thamani’ na ‘Mawla’ ni hadithi mutawatir,9
kwa sababu idadi kubwa ya masahaba wa Mtume wamez-
isimulia kiasi kwamba Muhammad bin Jarir ameziandika
hadithi hizi mbili kwa nyororo (asnad) tofauti sabini na
tano za Wasimuliaji.”10
8
ASILI YA JINA
9
At-Tabarani anasema kwamba, Mtume (s.a.w.w.)
alimuambia Ali: “Ewe Ali! Hakika utakuja mbele ya
Allah, wewe na Shia wako hali ya kuwa mmeridhika
(na Allah) na hali ya kuwa mnaridhia kwa Allah.”13
10
Madai kama haya hayastahili kujibiwa. Lakini baada
ya kuona mukhtasari wa tafsiri ya Kiarabu ya Tuhfah
umechapishwa hivi karibuni huko Misri, na nukuu
hapa maoni ya mwanachuoni mwingine wa Kisunni,
Ubaydullah Amritsari, ambaye baada ya kunukuu madai
hayo hapo juu katika kitabu chake Arjahu’l-matalib,
Amristsari anasema: “Kusema kwamba hapo mwanzo
Sunni walikuwa wakijulikana kama Shia ni madai
yaliyotupu, kwa sababu hakuna uthibitisho unaoweza
kupatikana. Ingelikuwa masunni walikuwa wakiitwa
Shia, basi angalau baadhi ya viongozi wa Kisunni
wangelijulikana kwa jina hili kabla ya kuja
kwa Zaydiyyah (120 A.H.). Aidha, kama Sunni
wangelijulikana kwa jina hili, Zaidiyyah na Ismailiyyah,
wasingeweza kulivumilia jina hili kuwa lao (kwa sababu
ya uadui uliokuwepo) na wangejichagulia jina lingine.”16
MASHIA WA KWANZA
11
(alikufa 205 A.H.): “Katika siku za uhai wa Mtume
(s.a.w.w.) neno Shia lilikuwa linatajwa kwa kuwaashiria
watu wanne: Salman al-Farsi, Abu Dharr Ghaffar
(Kadhaa), Miqdad bin Aswad al-Kindi, na Ammar bin
Yasir.”17
12
ISBN: 9987 620 25 6