You are on page 1of 2

19 Oktoba 2019

Mpendwa Juma Rajabu,

RE: KUSITISHA KWA MKATABA WA MUDA MAALUMU (TEMPORARY CONTRACT)

Kichwa habari husika juu

Tunayo nia ya kukutaarifu kuwa kampuni ya ACI Crushing Industries inayo nia ya kupunguza wafanyakazi
kutokana namwenendo wa biashara kutokuwa wa kuridhishia, hivyo kampuni inalazimika kupunguza
operesheni zetu kwa kiasi.

Hivyo tunakutaarifu kuwa kampuni imeamua kusitisha mkataba wako wa kazi, na kwa mujibu wa sharia
kukupa notisi ya mwezi mmoja kutokea siku unayopokea barua hii leo tarehe 19 Oktober 2019.

Siku yako ya mwisho ya kazi itakuwa tarehe 19 Novemba 2019, ambapo malipo yako yatasitishwa
kuanzia siku hiyo.

Tunaomba/ shauri ukabidhi vitendea kazi ulivyopewa kutokana na nafasi yako ya kazi kabla ya siku yako
ya mwisho ya kazi.

Tungependa kukushukuru kwa kuwa nasi kwa kipindi chote ulichokuwa nasi na kukutakia kila la heri
kwenye shughuli zako

Kwa niaba ya kampuni:


ACI TANZANIA LIMITED

Teddy Brown
AFISA RASILIMALI WATU

Mimi,………………………………………………… nakiri kupokea barua hi na kukubaliana na maandiko yote hapo juu.

_________________________________ __________________
SAHIHI YA MFANYAKAZI TAREHE

You might also like