Professional Documents
Culture Documents
[Mikoa ya Kilimanjaro, Manyara na Arusha]: Hali ya mawingu kiasi, mvua katika maeneo
[Mikoa ya Singida na Dodoma]: machache na vipindi vya jua.
ANGALIZO
VIPINDI VYA MVUA KUBWA VINATARAJIWA KATIKA BAADHI YA MAENEO YA MIKOA YA MTWARA, LINDI, NJOMBE, IRINGA, MOROGORO (KUSINI),
MBEYA, SONGWE NA RUKWA.
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:
Kiwango cha juu Kiwango cha chini Mawio Machweo
MJI
cha joto cha joto (Saa) (Saa)
ARUSHA 29°C 15°C 12:39 12:44
D'SALAAM 30°C 22°C 12:28 12:33
DODOMA 31°C 18°C 12:42 12:47
KIGOMA 24°C 17°C 01:06 01:11
MBEYA 27°C 17°C 12:51 12:56
IRINGA 25°C 16°C 12:42 12:47
NJOMBE 20°C 12°C 12:42 12:47
MWANZA 26°C 18°C 12:53 12:58
TABORA 27°C 17°C 12:54 12:59
TANGA 33°C 24°C 12:29 12:34
ZANZIBAR 34°C 25°C 12:28 12:33
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kwa kasi ya Km 20 kwa saa; kutoka Kusini-Mashariki kwa Pwani
ya Kaskazini na Kutoka Kusini kwa Pwani ya Kusini.
Matazamio kwa siku ya Jumapili tarehe 31/03/2019: Mvua inatarajiwa kunyesha katika maeneo mengi
ya nchi.