Professional Documents
Culture Documents
IQUE KISWAHILI IV.p﹘⥴茈
IQUE KISWAHILI IV.p﹘⥴茈
OFISI YA RAIS
TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
KISWAHILI
MKOA : ___________________________________________________
WILAYA : ___________________________________________________
MAELEKEZO
1|Page
SEHEMU A: IMLA
1. Sikiliza kwa makini sentensi zinazosomwa kisha andika kwa usahihi katika kipengele
cha i hadi v
i) __________________________________________________________________________
ii) __________________________________________________________________________
iii) __________________________________________________________________________
iv)__________________________________________________________________________
v) ___________________________________________________________________________
SEHEMU B: SARUFI
2. Chagua jibu sahihi na uandike herufi yake kwenye nafasi iliyoachwa wazi.
i) Nilimweleza kama anahitaji kuwaona aende ________________ hatokosa kuwaona wachuuzi.
A. uwanjani B. sokoni C. mbugani D. mjini
ii) Selina ni mtoto wa mjukuu wangu, hivyo Selina ni_______________
A. mpwa B. mjukuu C. kitukuu D. babu
iii) _____________ mwalimu wetu wa Kiswahili alifundisha somo lake vizuri
A. kesho B. leo C. jana D. keshokutwa
iv) Neno linalosimama badala ya maneno kabati, meza, kiti na kitanda ni______________
A. samani B. thamani C. miti D. mbao
v) Kaka na dada waligombana jana usiku lakini mama aliwapatanisha. neno lilopigiwa mstari
linamaana sawa na ________________________
A. suluhisha B. suruhisha C. zuluhisho D. zuruhisho
3. i) Nahau ipi inafaa katika maelezo yafuatayo, ‘matokeo ya mtihani wa darasa la nne katika
shule yetu yalikuwa mazuri sana, hivyo yalitufurahisha sote.’ __________________________
A. ona fahari B. Tia moyo C. vaa njuga D. kaa kitako
ii) Kamilisha kitendawili kisemacho Babu kavaa koti la chuma_________________
A. Pikipiki B. kobe C. Konokono D. Popo
iii) Mwenda pole_______________
A. hufika mbali B. hajikwai C. anajikwaa D. hana haraka
iv) Wanafunzi wote walikubaliana na mawazo yote yaliyotolewa na walimu katika baraza la
shule. Nahau ipi inafaa kutumika kuonesha maelezo haya. ____________________
A. kumpa heko B. unga kichwa C. unga mkono D. unga mawazo
v) Methali isemayo Kidole kimoja hakivuji chawa inatufundisha nini?____________________
A. umuhimu wa kugombana B. umuhimu wa kushirikiana C. umuhimu wa kutengana
D.vidole viwili vina nguvu kubwa
2|Page
SEHEMU D: UTUNGAJI
4. Zifuatazo ni sehemu tano muhimu za barua ya kirafiki. Zipange sehemu hizo zilete
mtiririko sahihi kwa kuzipa herufi A, B, C, D na E.
i) tarehe 25/03/2019
ii) Mkuu wa shule, Shule ya msingi Majaliwa, S.L.P 30 Geita
iii) Kwa mama mpendwa
iv)Wako mwanao, Shida matatizo.
v) Matumaini yangu ni wazima wa afya
SEHEMU E: USHAIRI
5. Soma shairi lifuatalo kasha jibu maswali yanayofuata.
Uzembe barabarani, walemaza na kuua,
Madereva firauni, wakimbia kama hua,
Wanakimbilia nini, hilo wenyewe wajua,
Wallahi mwatumaliza, ninyi msio makini.
MASWALI
I) kutokana na shairi, ajali nyingi husababisha? __________________
A. ulemavu B. uzembe C. simu D. uhai
ii) Kichwa cha shairi kinafaa kuwa______________
A. Matumizi ya barabara B. ajali nyumbani C. Uzembe barabarani D. Uzembe wa gari
iii) Shairi lina jumla ya beti ngapi?____________________
A. 3 B. 2 C. 4 D. 1
iv) Katika shairi hili, kuna jumla ya mistari mingapi? _________________
A. 4 B. 12 C. 3 D. 9
v) Shairi hili linatufundisha nini? ________________
A. umakini nyumbani B. Umakini shuleni C. Umakini barabarani D. umakini wa gari
3|Page