You are on page 1of 16

Tutembee kwenye Website www.annuurpapers.co.tz au mpaper.co.

tz tunapatikana pia katika simgazeti

ISSN 0856 - 3861 Na. 1406 JAMAADAL UULA 1441 , IJUMAA, JANUARI 10-16 -2020 BEI TShs 1000/=, Kshs

Salamu toka Gerezani Segerea


Mahabusu waomba kukumbukwa kwa Dua
Wanahitaji Misahafu, Dawa, taulo za kike Iran yasema askari
80 wa Kimarekani
wameangamizwa
Trump: Hakuna aliyeuliwa
wala kujeruhiwa

MAJENEZA ya askari wa Marekani.

Tujizatiti katika
elimu ya ufundi
WAZIRI wa Mambo ya Ndani, Mhe. Kangi Lugola. Na Bakari Mwakangwale

Muislamu ni upi W
AKATI Taifa likielekea katika Uchumi
wa Kati na Viwanda, mikakati ya
makusudi inahitajika ikiwa ni kujenga
vyuo vya elimu ya Ufundi Stadi na

wajibu wako 2020


kubadili mtazamo wa kielimu kwa jamii na vijana.
Hayo yamebainishwa na Ustadhi Mohamed Wage,
akitoa maoni yake kwa kuzingatia wakati huu ambao
Tanzania inaelekea kuwa Taifa la Uchumi wa Kati
na Viwanda, na kupelekea wadau mbalimbali kutoa
maoni yao ya nini kifanyike ili kuweza kufikia lengo
hilo kwa mafanikio.
Ustadhi Wage ambaye ni Mkurugenzi wa Elimu
Jihesabu nafsi yako kati ya mema na maovu wa Shule ya Chamazi Islamic ya Jijini Dar es Salaam,
alisema Mafunzo ya Ufundi Stadi ndiyo silaha
Mwaka ukiondoka, umauti unakusogelea muhimu kuelekea katika Tanzania ya Viwanda, lakini
Inaendelea Uk. 3
2 JAMAADAL UULA 1441, IJUMAA JANUARI 10-16, 2020 Mafundisho ya Qur'an
Ujumbe/Habari AN-NUUR

Ujumbe wa Ijumaa Muislamu ni upi wajibu wako 2020


Na Bakari Mwakangwale
Na Bakari Mwakangwale “Hakika sisi
twafurahi kwa siku
WAISLAMU tulizozimaliza hali kila
wametakiwa siku inayopita ajali yetu
kujitathimini na yatusogelea (Mauti
kujiuliza ni upi yetu), unapofurahia
wajibu wao kila kumalizika kwa mwaka
wanapojaaliwa kuingia na kuingia mwaka mpya
mwaka mpya, kwani maana yake unafurahia
miaka inavyosogea, siku yako ya kufa
ndivyo umauti inavyosogea.” Amesema

Kutekeleza ahadi
unavyosogea pia. Ustadhi Juma.
Nasaha hizo Alisema, Muislamu
zimetolewa na anatakiwa kila siku
Ustadhi Amran
Haifai kujitia katika deni bila haja muhimu Juma, akiwahutubia
na kila anapojaaliwa

M
kuingia mwaka mpya
IONGONI mwa malengo ya msingi ya Waislamu katika ibada ajihesabu mwenyewe
Uislamu ni kujenga jamii yenye watu wema ya swala ya Ijumaa ya nafsi yake katika jumla
wanao saidiana katika wema na uchamungu wiki iliyopita, katika ya mwaka mzima
na wanausiana katika haki na subra na Msikiti wa Qadiria
wanaozingatia ahadi zao. (Masjid Qadiria) uliopo uliopita baina ya mema
Kwa ufupi, tuangalie eneo hilo la ahadi. Ni kwamba Mbezi mwisho Jijini na maovu.
katika mambo yanayoamrishwa na Uislamu ni kutimiza Akifafanua alisema,
ahadi na kuhifadhi makubaliano. Ni sawa, ikiwa ahadi Dar es Salaam.
hiyo ni baina ya mja na Mola wake au baina ya mja na Ustadhi Juma alisema ikiwa utabaini kuwa
ndugu yake. wakati mwaka mpya mema ni mengi kuliko
Allah (s.w) Mtukufu anasema, Na timizeni ahadi kwa umeingia ni vizuri maovu, ni wajibu wako
hakika ahadi itaulizwa (siku ya kiyama). Hii ni amri ya kukaa na kujiuliza kumshukuru Allah (s.w)
Allah (s.w) inayohimiza suala zima la kutimiza ahadi zetu na umuombe ziada
na yoyote atakaye kwenda kinyume na amri hii akawa ni upi wajibu wako
hatimizi ahadi zake basi huingia katika kundi la wanafiki. katika mwaka huu katika mema ama ikiwa
Hii ni kwa mujibu wa Hadithi maarufu ya Mtume wa 2020, na kuacha maovu ni mengi kuliko
(s.a.w), pale aliposema, ‘Alama za mnafiki ni tatu, tabia ya kujifakharisha mema basi inabidi
anapozungumza husema uongo, akitoa ahadi hatimizi na kujuta kwani siku za
akiaminiwa hufanya khiana. kutokana na umri
Hii ina maana kuwa Uislamu unatuusia kuyaheshimu mkubwa. kufa zimesogea huku
na kuyatekeleza makubaliano yanayofanyika baina Kikubwa na ukiwa na maovu mengi
yetu hivyo ni wajibu kwa Muislamu kuheshimu kila muhimu si umri, lakini kuliko mema.
makubaliano anayoyafanya na mwenziwe na kuitekeleza umeufanyia nini umri “Kwa ufupi badala
kila ahadi anayoitoa. ya kusheherea kula
Kwa upande mwingine, Allah (s.w) daima huwa anamsaidia huo kwa manufaa ya
mja wake anapokusudia kutimiza ahadi yake au kufanya dunia na Akhera yako. na kunywa, tutafakari
wema wowote. Alisema, cha juu ya nafsi zetu kwa
Katika kutimiza ahadi vile vile ni kulipa madeni katika mwaka uliopita yepi
wakati wake, na Allah (s.w) anamsahilishia anaekusudia kulipa kusikitisha ni pale
madeni yake na pia anaukubali udhuru wa yule anaetaka unapowaona Waislamu tumetanguliza kwa ajili
kulipa madeni yake lakini hana uwezo wa kuyalipa. Na katika nao kujumuika katika ya Akhera.” Amesema
hali zote haipe ndezi mtu kujitia katika madeni bila ya udhuru hufurahiya kwa kupiga Ust. Juma.
au haja muhimu.
Amesema, Mtume (s.a.w), atakaekopa mali za watu ngoma na hata kufanya Ust. Juma, amesema
na akataka kuzilipa Allah (s.w) atamsaidia kuzilipa na sherehe kwa kupika katika Qur an Al-
atakaechukua mali za watu na akataka kuziharibu Allah (s.w) vyakula kutokana Hashr, Ayah 18. Allah
atamharibu.” na furaha ya kuingia
Hakika mwenye kutekeleza ahadi zake na kuhifadhi (s.w) anasema, ‘Enyi
makubaliano anayoyafanya na wenzake hupata heshima na mwaka mpya. mlio amini! Mcheni
sifa ya uaminifu katika jamii yake. Naye huwa anaitekeleza “Hayo yote si Mwenyezi Mungu
amri ya Allah (sw) isemayo: ‘Na saidianeni katika wema na wajibu kwetu wala na kila nafsi iangalie
uchamungu, wala msisaidiane katika dhambi na uadui.’ si mafundisho ya
Ama yule asiyetekeleza ahadi zake hupata sifa za uongo na
Dini yetu ya Uislamu inayoyatanguliza
unafiki katika jamii yake. Naye huwa ndio sababu ya kujenga kwa ajili ya kesho. Na
chuki na uadui baina ya watu. pindi unapoingia
Mcheni Allah (s.w) kuweni wakweli katika maneno yenu na mwaka mpya, kwanza mcheni Mwenyezi
waaminifu katika matendo yenu na timizeni ahadi zenu kwa
Allah (s.w) na kwa viumbe wake, kwani hayo ni katika sifa za
tufahamu kwamba siku Mungu. Hakika
umma huu ambao ndio umma bora uliotolewa kwa watu. inapoondoka kadhalika Mwenyezi Mungu
Na ikumbukeni kauli ya Mtume (saw) isemayo, “Hana imani umri wetu unapungua anazo habari ya mnayo
asiekuwa na amana, na hana dini asiekuwa na ahadi.” na kukisogelea kifo.” yatenda.’
3 JAMAADAL UULA 1441, IJUMAA JANUARI 10-16, 2020 Habari AN-NUUR

Salamu toka Gerezani Segerea


Na Bakari Mwanakangwale mara kwa mara huku
wakiomba wapelekewe
ZIARA iliyofanywa mahitaji muhimu ya
na baadhi ya Wanafunzi kibinadamu ili waweze
wa Vyuo Vikuu nchini kuendesha maisha yao
kuwatembelea Waislamu pamoja na ibada.
waliopo magerezani, “Hali za ndugu zetu
imebaini uhitaji wa vitu Mahabusu haziko vizuri
mbalimbali muhimu sana wanahitaji zaidi
zikiwemo dawa na vitabu msaada wetu ili wafarijike
vya Dini. na kuona ndugu zao
wanawakumbuka,
Aidha, imebaini tukumbuke kuwa tuna
pia uwepo mahabusu Masheikh na Maustadhi
wa kike wakiwa na wetu huko kwa upande
watoto wadogo, ambao wao wanatusisitiza
wanahitaji msaada wa kwenda kuwajulia hali na
nguo (za watoto), nguo za kubwa zaidi tusiwasahau
stara, pempasi pamoja na kwa Dua muda wote.”
taulo za kike. Amesema Ustadhi Qudra.
Ziara hiyo iliyoongozwa WAZIRI wa Mambo ya Ndani, Lugola (kulia) akiwa Ustadhi Qudra alisema
na Ustadhi Qudra Sama, na Naibu wake. kwa aliye tayari kutoa
iliyafikia magereza mawili Panadol, lakini pia Dawa aina mbalimbali, kama msaada wa vitu hivyo
ambayo ni Segerea Jijini za Meno na Miswaki, Misahafu na juzuu zenye wawasialiane kwa
Dar es Salaam pamoja Sabuni za Unga na za tafsiri, vitabu vya Dua namba +255785949076,
gereza la Mkuza Kibaha mche. mbalimbali na vitabu vya +255715580807,
Mkoani Pwani, huku Ustadhi Qudra kujisomea vya Kiswahili. +255752249858.
akiwa katika mchakato Matarajio ni kwamba
alisema Waislamu hao Ust. Qudra alisema ifikapo Januari 26, 2020,
wa kupata vibali kuweza zaidi ya salam kutoka
kutembelea magereza ya waliopo magerezani pia kufanya ziara tena
Ukonga na Keko. wameonyesha hamu kwao pia wameomba kwa ajili ya kupeleka
“Allah (s.w) alitujaalia kubwa ya kupatiwa wasisahauliwe kwa Dua vifaa vitakavyokuwa
kutembelea baadhi ya vitabu vya Dini vya lakini pia kuwatembelea vimepatikana.

Tujizatiti katika elimu ya ufundi


magereza Dar es Saaalm
na Kibaha Pwani, kwa
lengo la kuwajulia hali
ndugu zetu Waislamu na
Mahabusu kwa ujumla Inatoka Uk. 1 na kuwaelimishwa kwamba wa mafunzo haya aweze kufika
inawezekana kuendelea na Chuo Kikuu (Elimu ya juu).”
walioko huko, kwa kweli akayataja maeneo mawili ya masomo ya juu kupitia mafunzo Amefafanua Bw. Wage.
mahitaji ni makubwa kufanyiwa kazi ili kuweza kufikia hayo mbali na mfumo uliozeleka
Alisema, mbali na Finland
sasa.
hususani dawa, mavazi lengo hilo. Lakini pia alisema ipo haja nchi nyingine kama Ujerumani,
na vitabu vya dini.” Aliyataja maeneo hayo kuwa ya kuwekeza pesa za kutosha Austria, Uswisi na nyingine
kwanza ni kujenga Vyuo vya katika eneo hilo la mafunzo ya
Amesema Ustadhi Qudra. elimu ya mafunzo ya Ufundi Ufundi badala ya kutegemea
pengo la wataalamu limezibwa
Alisema, katika gereza Stadi, lakini pia kuwe na kutokana na kuwekeza katika
pesa za wahisani jambo ambalo
mikakati ya kubadili mtazamo mafunzo ya Elimu ya Ufundi kwa
la Segerea, kwa upande wa jamii na mfumo wa elimu
litasaidia kuwepo na ushindani
vijana wao.
na mafunzo mengine hasa ya
wa wanawake kuna hitajio kuhusu mafunzo ya ufundi. elimu ya Sekondari. Kwa upande mwingine,
la nguo za watoto kuanzia Wage alisema ni vyema Pia ni lazima tutengeneze
kujifunza kwa mataifa mengine Bw. Wage, alisema nchi nyingi
Miezi miwili hadi miaka mazingira rafiki ya kujifunza zinazoendelea hasa za Afrika
yaliyofanikiwa kubadilika na kufundishia vijana wetu,
mitatu pamoja na pempasi mtazamo wa jamii hasa kwa kumekuwa na mtazamo hasi wa
kuwahusisha waajiri, Sekta jamii juu ya elimu ya mafunzo
vijana na kuifanya Elimu ya
ambavyo vinahitajika kwa mafunzo ya Ufundi kuwavutia
binafsi katika kupanga na
ya ufundi, na kuwafanya vijana
uundaji wa mitaala, mafunzo na
wingi na haraka zaidi. vijana wengi. hata uwekezaji kwa ujumla. wengi kutovutiwa na kujiunga na
Lakini pia akasema, Akasema moja kati ya sababu Akitolea mfano wa Taifa la Elimu ya Mafunzo ya Ufundi.
kubwa ya ukosefu wa ajira Finland, alisema hivi sasa zaidi “Mafunzo ya Elimu ya Ufundi
mahabusu hao wa kike katika nchi nyingi zinazoendelea ya asilimia hamsini ya vijana wa kwa nchi hizi hayajapewa
wanaomba msaada wa ikiwemo Tanzania ni kuwepo nchi hiyo wanaomba kujiunga na kipaumbele na yanatazamwa
kwa tofauti kati ya elimu
nguo husasani Hijabu itolewayo na Taasisi za Elimu na
mafunzo ya Ufundi kila mwaka kuwa ni chaguo la pili baada ya
huku ushindani wa kupata
kwa maana ya nguo zenye hitajio halisi la soko la ajira. ukiwa ni mkubwa kulinganisha vijana kukosa fursa ya kuendelea
stara zitakazo wawezesha “Mafunzo ya Elimu ya Ufundi na mafunzo ya elimu nyingine na elimu ya juu (njia mbadala
yaliyo boreshwa yatatoa nguvu nchini humo. ya kuendelea na Elimu ya Chuo
kufanya ibada pamoja na kazi muhimu kufanikisha “Mafanikio ya Finland, yana Kikuu).
taulo za kike. Tanzania ya Viwanda, sababu za nje na za ndani moja Moja kati ya tafiti iliyowahi
ikumbukwe kuwa Viwanda
Msaada mwingine vitahitaji wata alamu ambao
ni kubadili sera yao ya elimu,
kufanywa kuhusu mafunzo ya
Mwaka 2000 mabadiliko ya
wanaohitaji ni pamoja na ni zao la mafunzo ya Elimu ya sheria yalifanyika nchini Finland Elimu ya Ufundi Barani Afrika
Dawa hususani za kutibu Ufundi.” Amesema Bw. Wage. na kufanya mafunzo ya Ufundi inao nyesha kuwa mafunzo haya
Akifafanua zaidi Bw. Wage, yapelekee muhitimu kufika elimu yanavutia chini ya asilimia tano
Malaria, U.T.I, Matumbo alisema zifanyike semina maalum ya juu kwa maana nyingine ya vijana katika Elimu hiyo.”
na zile za maumivu kama za kubadili fikra na mtazamo wa mitaala iliboreshwa ili muhitimu Amesema Bw. Wage.
vijana kuhusu Elimu ya Ufundi
4 JAMAADAL UULA 1441, IJUMAA JANUARI 10-16, 2020 Tahariri AN-NUUR

Marekani na washirika wake. Kaskazini, Palestine, Somalia,


AN-NUUR Hata pale wanapojaribu kuleta Jamhuri ya Afrika ya Kati, Mali,
S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786 hila za kuleta suluhu za migogoro, kote duniani migogoro inaendelea,
Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM. mara nyingi haizingatii haki dhidi inasababisha madhila na kukatili
www.annuurpapers.co.tz E-mail: annuurpapers@yahoo.co.uk ya wale wasiokuwa na nguvu za
Ofisi zetu zipo: Manzese Tip Top
kiuchumi. Hawa mara kadhaa maisha ya watu. Dunia yetu iko
Usangi House, barabara ya Morogoro, D'Salaam katika zahma kubwa. Sio tena
huonekana kuwa na makosa,

Bila Marekani kutulia


wakiishia kupigwa vijembe, kejeli, suala la fikra moja au la kikundi,
ugaidi, vita, mauaji ya halaiki nk. lakini bado hatujafikia fikra za
Tunaona hata jitihada za kutatua pamoja. Uwiano wa mamlaka
mizozo kati ya nchi ya kibeberu hautabiriki.

dunia haitasalimika
na nchi zinazoendelea au nchi za Kuongezeka kwa mabeberu
uchumi wa wastani na zile maskini, kuingilia mataifa mengine na
zinategemea zaidi daraja la jamii wakati huo huo, uhusiano baina
husika. ya mataifa yenye nguvu hivi sasa
Kwa kweli hivi sasa tunashuhudia dunia ikiwa Tunavyofahamu ili vita umesambaratika kuliko wakati
katika kiwango kikubwa cha kuvurugika amani kutokea, lazima kuwe na viashiria mwingine wowote na huku
na usalama wake. ambavyo vitaashiria sababu
ya ugomvi ulivyo. Migogoro si kukishuhudia athari za Baraza
Migogoro ya kiuchumi, kisiasa na kiimani la Usalama ambalo mara kwa
imesheheni kila kona, huku jumuia za kimataifa jambo linalosababishwa na jambo
zikionekana kuelemewa katika kuleta suluhu ya la kawaida, lakini mara nyingi mara linakoseshwa nguvu katika
hali hiyo. huhusiana na masuala ya nguvu za kutatua mizozo hii, kumeongeza
Jitihada za kuitatua zimezidiwa na hila za nchi kiuchumi na kisiasa. tatizo zaidi duniani. Na
za kibeberu, ambazo zinaonekana kufaidika kwa Kutuliza migogoro ni hatua Hata pale Baraza linapojaribu
namna moja au nyingine na kuwepo migogoro inayokwenda sambamba na misingi kuchukua hatua, uingiliwaji
hiyo na nchi hizi zinaonekana kuwa na nguvu ya haki na sheria, wala sio mabavu toka nchi za kibeberu unafanya
zaidi kuliko jumuia hizo. na nguvu ya kiuchumi kama utekelezaji wa maazimio kuwa
Hatua za utatuzi hazifaulu zaidi ya kugharimu ilivyo katika maeneo mengi yenye mgumu zaidi. Tutizame vikwazo
tu pesa huku nchi za Ukanda wa Mashariki ya migogoro kwa sasa. vya silaha vya Libya, hakuna mtu
Kati zikiathirika zaidi na migogoro hiyo. Tumeshuhudia Jumuia za anayeheshimu na hatuwezi hata
Syria hakukaliki. Yemen mauaji kila kimataifa, dunia ikijikita na
watu ambao wameshindwa kujaribu kuficha, na mivutano
uchao. Ugaidi na ukoloni wa Israel dhidi ya ndani au ya kikanda inazidi
ya Palestina umekuwa donda ndugu, huku kukimbia ghasia Syria, ripoti
wanaoitwa wasuluhishi wakiuma na kupuliza mpya iliyochapishwa na kituo kusambaa.
katika kutatua mzozo huo. Wakifanya hiyo, cha kuangalia wakimbizi wa Tunaamini kuzuia ni bora zaidi
Wapalestina wanazidi kuuliwa, kutekwa, ndani IDCMC imebainisha tishio na muhimu hivi sasa kuliko wakati
kuteswa na kufungwa katika magereza ya Israel linalowakabili mamilioni ya watu mwingine wowote. Ni lazima
kila uchao. Jambo la msingi linalosababisha duniani ambao wanajikuta katikati UN sasa ibadilike na ishughulikie
kugharimu maisha yao, usalama na amani yao ni ya hali ya kwa wakimbizi wa ndani mizizi ya mzozo wa Iran na
kudai haki yao ya kujitawala na kumiliki ardhi kutokana na vita. mingine iliyopo. Hili litawezekana
yao. Watu zaidi ya milioni 3.5 kwa misingi ya ushirikiano
Libya imesambaratishwa. Haitawaliki. walitawanywa mwaka 2011 wa haki na kuheshimu sheria
Mabeberu wamegawana makundi ya kuyaunga kutokana na vita na majanga
yatokanayo na hali ya hewa. Idadi kimataifa.
mkono na kuendelea kuuana na kufanya Ikishindwa sasa, tunaamini
uharibifu bila kujulikana hatima yake. hiyo ni ongezeko la asilimia 20
Iraq bado haijatulia tangu ilipogeuzwa ikilinganishwa na mwaka 2010. baada ya hili la Marekani na Iran
kambi ya vita na mataifa ya kibeberu. Serikali Ripoti hiyo iliyoandikwa na litaongeza mivutano au kulipuka
ilivurugwa huku fitna ya hitilafu za kidhehebu IDCMC na Baraza la wakimbizi kwa vita vipya.
ikiwa ndio silaha kubwa ya kuwahujumu la Norway inasema machafuko ya Zaidi ya hapo, tunaweza
wananchi wa Iraq na kuendelea kuhasimiana Afrika ya Kaskazini na Mashariki kushuhudia pia hatari ya
wao kwa wao hadi leo. ya Kati yamewatawanya watu mgawanyiko wa kiuchumi,
Afghanistani hakujapoa. Imekuwa ni uwanja 830,000 mwaka 2011 ambayo kiteknolojia na kijiografia. Hili la
wa kimkakati wa vita wa nchi za kibeberu kwa ilikuwa ni mara sita zaidi ya wale Iran na Marekani si la kushabikia,
maslahi yao, huku wanaoendelea kuathirika waliotawanywa na katika eneo hilo bali tuombe papatikane suluhu
zaidi wakiwa ni watu wa Afghanistan. mwaka mmoja kabla ya hapo.
Idadi ya waliotawanywa maana likishindikana, athari zake
Iran ambayo kwa muda mrefu imejizatiti zinaweza kuikumba dunia nzima.
kuimarisha mazingira ya kujilinda dhidi ya Afghanistan imeongezeka mara
hila hizi za kibeberu, ndio pekee ambayo mbili, huku Somalia athari za Lakini pia tunapaswa
imepambana sana na hila hizi za kibeberu ukame, njaa na vita imesababisha kuangalia katika ngazi ya kitaifa
kutokana na kujiimarisha kwake kiulinzi, maelfu kufungasha virago. mgawanyiko wa kijamii na tofauti
kiimani na kiuchumi. Hata hivyo mabeberu Katibu Mkuu wa UN Antonio zilizopo.
wanazidi kuiandama wakiitazama kuwa ndio Guterres alitoa wito wa juhudi Lakini pia wengine tunapaswa
kikwazo kikubwa cha kutimiza mipango yake zaidi kuwasaidia wakimbizi wa kujifunza kulingana na hali ilivyo
Mashariki ya Kati. ndani na kuzuia vyanzo vote sasa. Katika nchi nyingi hasa za
Tumeshuhudia mara kwa mara ikiadhibiwa vinavyosababisha uvunjifu wa Kiafrika, tunashuhudia ongezeko
kwa kuwekewa vikwazo vya kiuchumi, amani duniani na kwamba, hatua la kutoaminiana baina ya raia
ikisumbuliwa juu ya mradi wake wa nyuklia hiyo ndio dawa mujarabu ya na taasisi za kisiasa na viongozi.
ya nishati ya umeme nk. Sasa yametengenezwa kulinda na kudumisha amani ya Jamii zinayumbishwa na kukosa
mazingira ya vita baada ya kuuliwa makamanda dunia kuliko kukabili machafuko kujua wanachohitaji. Watu
wake muhimu hivi karibuni. wakati yameshatokea. wanataabika sana na wanataka
Tunaona sasa dunia ikiwa katika wasiwasi Antonio Guterres alitoa wito kusikilizwa, wana kiu ya kupata
mkubwa wa kuibuka vita Mashariki ya Kati, huo mjini Paris Ufaransa, wakati haki na maslahi yanayotokana na
si kwa Iran na Marekani tu, bali historia wa ufunguzi wa kongamano la rasilimali za nchi zao. Wanadai
inaonyesha kuwa vita Mashariki ya Kati kimataifa la Paris kwa ajili ya kuwa na mfumo wa kijamii na
imekuwa ya ushirika kwa pande zote. Kwamba amani. Yeye alisema inaonekana kiuchumi ambao unafanyakazi
watakuwepo washirika wa Marekani na kuwa hali ya migogoro mikubwa kwa maslahi ya wote.
washirika wa Iran katika mzozo huu. ya karne zilizopita ikilinganishwa Wanataka haki zao za binadamu
Katika mazingira yaliyopo sasa ya wasiwasi na hali ya sasa, inaonekana kuwa
na mashaka kufuatia mgogoro huu, tusishangae na uhuru wa msingi vitekelezwe
sasa kuna hali ya amani zaidi. na kuzingatiwa kwa wote. Kwa
dunia ikatumbukia katika migogoro na vita vya Hata hivyo alibainisha ukweli
kisiasa na kiuchumi iwapo haitapatikana suluhu kwamba bado tuko mbali kuwa kutimizwa hayo, kutaleta ugumu
ya mzozo huu. Badala ya kufanyika juhudi za na ile tunayoiita amani ya kweli, kwa mabeberu kupenyeza hila
dhati za kunusuru hali mbaya ya migogoro hali halisi ni ya sintofahamu na na kuvuruga nchi zetu kwa
iliyopo, tunashangazwa kuzidi mizozo. changamoto kubwa. maslahi yao. Hapo hata kiwango
Tumeshuhudia maeneo yote yenye vurugu, Ukiangalia Sahel, Libya, Syria, cha migogoro katika nchi zetu
mizozo na vita, nyuma yake kuna mkono wa Yemen, Afghanistan, Korea kitapungua.
5 JAMAADAL UULA 1441, IJUMAA JANUARI 10-16, 2020 Habari za Kimataifa AN-NUUR

Israel imeua shahidi Wapalestina 149 mwaka 2019


JESHI la utawala wa
Kizayuni wa Israel
limewaua shahidi
Wapalestina 149 katika
mwaka uliopita wa 2019,
wengi wakiwa katika
Ukanda wa Ghaza.
"Wapalestina
waliouawa na wanajeshi
wa utawala wa Israel
mwaka 2019 ni 149
ambapo 112 ni kutoka
Ukanda wa Gaza na
37 ni kutoka Ukingo
wa Magharibi wa Mto
Jordan."
Amesema Mohammed
Sbeihat, Katibu Mkuu wa
Mjumuiko wa Kiataifa
wa Familia za Mashahidi
wa Palestina.
Aliongeza kuwa
wengi wa waliouawa ni MPALESITNA akiwa kakamatwa na asksri wa Israel
Wapalestina walio na

Mahathir: Huwenda Marekani ikanitungua na droni


umri wa kati ya miaka
20-25 na kwamba, wakuu
wa utawala dhalimu
wa Israel wamekataa
kukabidhi miili 15 kwa WAZIRI Mkuu wa ni kinyume na sharia za karibu na uwanja wa
familia zao. Malaysia, Mahathir kimataifa. ndege wa Baghdad na
"Watoto waliouawa Mohamad ameikosoa Waziri Mkuu Mahathir kumuuwa Luteni Jenerali
ni 33, yaani takribani na kuilaani vikali amezitolea wito nchi za Qassem Soleimani,
asilimia 32 ya idadi ya Marekani kwa kumuuwa Kiislamu kuungana ili Kamanda wa Kikosi
mashahidi, na hili ni Luteni Jenerali Qassem kujilinda zenyewe dhidi ya cha Qods cha Jeshi la
ongezeko la asilimia Soleimani na kwa vitisho vya nchi ajinabi. Walinzi wa Mapinduzi
tano ikilinganishwa na kutekeleza mauaji wakati Amesema ni wakati ya Kiislamu ya Iran
mwaka 2018," alisema wowote. mwafaka sasa kwa nchi
Sbeihat. Akizungumza mbele ya za Kiislamu kuungana (IRGC) na Abu Mahdi
Hali kadhalika waandishi habari Jumanne na kuwa kitu kimoja na al Muhandes, aliyekuwa
imeelezwa kuwa watoto wiki hii, Mahathir kuongeza kwamba, nchi Naibu Mkuu wa
12 Wapalestina waliuawa Muhammad alisema kuwa hizo haziko salama tena. Harakati ya Wapiganaji
na wanajeshi wa utawala shambulio lililofanywa na Alfajiri Ijumaa iliyopita wa Kujitolea wa Iraq
wa Israel. droni za Marekani dhidi ndege isiyo na rubani ya al Hashd al Shaabi) na
"Mwezi uliokuwa na ya Kamanda Soleimani Marekani ilishambulia wenzao wanane.parstoday
umwagikaji mkubwa
zaidi wa damu ulikuwa
Novemba, ambapo
Wapalestina 44
waliuawa," alibainisha
Bw. Sbeihat.
Katibu Mkuu
wa Mjumuiko wa
Kiataifa wa Familia za
Mashahidi wa Palestina
pia amesema kwa
ujumla katika kipindi
cha miaka mitano
iliyopita, Wapalestina
807 waliuawa shahidi
na Israel hii ikiwa ni
wastani wa watu 161
kwa mwaka.
Wapalestina
wanapigania ukombozi
wa ardhi zao ambazo
zinaendelea kukaliwa
kwa mabavu na utawala
bandia wa Israel.
(IQNA). Mahathir Mohamad Waziri Mkuu wa Malaysia
6 JAMAADAL UULA 1441, IJUMAA JANUARI 10-16, 2020
Habari AN-NUUR

Iran yasema askari 80 wa Kimarekani wameangamizwa


Trump: Hakuna aliyeuliwa wala kujeruhiwa

A
FISA mmoja
mwandamizi
wa Jeshi la
Walinzi wa
Mapinduzi ya Kiislamu
SEPAH amesema
kuwa, zaidi ya askari
80 wa jeshi la Marekani
wameangamizwa na
karibu 200 wengine
wamejeruhiwa katika
majibu ya mashambulio
ya Iran dhidi ya kambi
mbili za kijeshi za nchi
hiyo huko Iraq.
Afisa huyo
mwandamizi wa Jeshi la
Walinzi wa Mapinduzi
ya Kiislamu SEPAH,
amesema hayo katika
mahojiano aliyofanyiwa MAJENEZA ya askari wa Marekani.
na shirika la habari
la FARS na kuongeza la Marekani ziliteketezwa kuhusu mashambulizi kifo chake ni ujumbe wa
kuwa, kwa mujibu wa katika shambulio hilo la yaliyoendeshwa na jeshi wazi kwa Iran.
ripoti za kina na za kulipiza kisasi. la Iran usiku wa Jumanne Rais Trump katika
kuaminika, helikopta Ripoti hiyo imeongeza kuamkia Jumatano wiki hotuba yake, alitolea wito
za Marekani zimefanya kuwa, hakuna kombora hii. kwa Ujerumani, Ufaransa
haraka kuondoa majeruhi lililotunguliwa na Kuhusu kuuawa kwa na China kuacha
na wanajeshi wake mfumo wa kujilinda na jenerali wa jeshi la Iran kuiunga mkono Iran na
waliouawa katika kambi makombora wa Marekani mjini Baghdad Qassim kutolea wito muungano
ya kijeshi ya Ain al Asad kwenye eneo hilo na Soleimani, Rais Trump wa kujihami Magharibi
huko al Anbar, Iraq. kwamba, makombora alisema kwamba alikuwa NATO kujishughulisha
Kabla ya hapo duru yote yalilenga shabaha. anastahili kuuawa tangu Mashariki ya Kati.trt.net.
za kuaminika zilisema Aidha Iran imeainisha muda mrefu na kwamba, tr
kuwa, wanajeshi wa maeneo 104 muhimu
Marekani wamewaondoa ya Marekani katika
haraka majeruhi eneo hilo, ambayo
na wanajeshi wao yatashambuliwa mara
waliouawa, ikiwa ni moja iwapo Washington
njama ya kupotosha itafanya uchokozi
walimwengu na mwingine wowote.
kupunguza idadi ya Hata hivyo Rais
hasara walizopata. wa Marekani Donald
Afisa huyo Trump amesema hakuna
mwandamizi wa jeshi la yeyote aliyefariki
SEPAH aliongeza kuwa, katika mashambulizi
kambi ya kijeshi la Ain yalioendeshwa na jeshi la
al Asad ilikuwa ni eneo Iran nchini Iraq.
muhimu la kimkakati Rais Trump aliongeza
kwa jeshi la Marekani kuwa licha ya kukosekana
na kwamba, helikopta aliyefariki, lakini
na ndege nyingi zisizo pia hakuna yeyote
na rubani (droni) za aliyejeruhiwa katika
Marekani zilikuwepo mashambulizi hayo ya
kwenye kambi hiyo. kisasi yaliyoendeshwa
Aliongeza kuwa, na jeshi la Iran dhidi ya
maeneo 20 muhimu ya kambi mbili za jeshi la
kambi hiyo yalipigwa na Marekani nchini Irak.
makombora ya Jeshi la Rais Trump
Walinzi wa Mapinduzi alihutubia wanahabari
na droni nyingi za jeshi mjini Washington Rais wa Marekani Donald Trump.
7 JAMAADAL UULA 1441, IJUMAA JANUARI 10-16, 2020 Habari AN-NUUR

Muungano wa Marekani wahamisha makao yake


Ni kutoka Iraq
hadi Kuwait

M
UUNGANO
wa
Kupambana
na Kundi la
Daesh unaoongozwa na
Marekani nchini Iraq,
umehamisha makao
yake makuu kutoka Iraq
na kuyapeleka Kuwait.
Uhamisho wa
mamako ya muungano
huo umedaiwa kuwa
ni kufuatia mauaji ya
Kamanda wa Kikosi
cha Quds cha Jeshi la
Walinzi wa Mapinduzi ya
Kiislamu, Luteni Jenerali
Qassem Soleimani na
Naibu Kamanda wa KIKOSI cha askari wa marekani kikiondoka nchini Iraq
kikosi cha kujitolea cha al Nujaba ya Iraq, Nasr Abu Mahdi al Muhandes kukabiliana na wanajeshi
wananchi wa Iraq, al al-Shammari, amelaani akisisitiza kuwa, harakati wa Marekani katika
Hashdul Shaabi Abu mauaji ya dhidi ya za wananchi zinajipanga eneo la Asia Magharibi.
Mahdi al Muhandes, Jenerali Soleimani na kuunda muungano wa parstoday.
pamoja na sisitizo la Iran

Marekani waanzisha Jeshi la anga za mbali


la kulipiza kisasi mauaji
hayo yaliyofanywa na
Marekani.
Habari hiyo

Matajiri Nigeria watorosha dola bilioni 400


imetangazwa na shirika MAREKANI imeanzisha
la habari la Iraq la al rasmi kikosi cha sita

V
Forat, ambalo limesema cha huduma za kijeshi,
kuwa muungano huo wa ambacho kitakuwa IONGOZI Hayo yamebainika
majeshi ya nchi kadhaa wala rushwa, katika mkutano
ulichukua uamuzi wa ni kikosi cha jeshi la
kuhamisha makao yake anga za mbali “Space makampuni wa 8 wa Umoja wa
kutoka Iraq na kwenda forces”. ya ndani Mataifa unaohusu
Kuwait Jumanne wiki hii. Kikosi hicho na ya nje kwa mapambano dhidi ya
Habari hiyo kimeanzishwa katika pamoja wamekuwa uharamia na rushwa
imetangazwa siku jeshi la Marekani, kwa wakishirikiana uliofanyika Abu
kadhaa tu baada ya kuwa na askari zaidi ya kutorosha mabilioni
Bunge la Iraq kupitisha Dhabi, huko Umoja
muswada unaowataka 16,000. ya dola nchini wa Falme za Kiarabu
wanajeshi wa Marekani Kamanda wa kikosi Nigeria. ambapo dhima ya
kuondoka katika ardhi ya cha jeshi la anga Imefahamika mkutano huo ilikuwa
nchi hiyo baada ya ndege za mbali Jenerali J. kwamba matajiri
za kivita za Marekani nchini Nigeria ukwepaji kodi.
Raymond, alisema Bw. Malam aliashiria
kumuua Luteni Jenerali kwamba kuanzia jioni hutorosha pesa zao
Qassem Soleimani na
sasa askari jeshi 16,000 na na kuzipeleka katika
kwamba viongozi
Naibu Mkuu wa harakati wafanyakazi wa kawaida maeneo yajulikanayo wala rushwa,
ya al Hashdul Shaabi, watahamishiwa katika mashirika ya ndani na
Abu Mahdi al Muhandes. jeshi hilo la anga za mbali. kama “pepo za kodi”. ya kigeni kwa pamoja
Siku moja baada ya Jeshi la Marekani Waziri wa Sheria wa
uamuzi huo wa Bunge limegawanywa katika Nigeria, Abubakar wanashirikiana katika
la Iraq, Waziri Mkuu wa vikosi vikuu 5 ambavyo Malam, katika hotuba kufanya uhalifu huo
muda wa nchi hiyo Adil ni jeshi la ardhini, jeshi yake kwenye mkutano wa kutorosha pesa na
Abdul Mahdi, alikutana la anga, jeshi la baharini, huo alisema kwamba kuzipeleka nje ya nchi.
na balozi wa Marekani jeshi la wanamaji na Hata hivyo katika
mjini Baghdad na kuitaka matajiri nchini Nigeria
Washington kuanza kikosi cha ulinzi wa wametorosha kiasi kulidhibiti suala hilo,
kuondoa majeshi yake Pwani. Kikosi cha cha dola bilioni 400 Bw. Malam alisema
nchini Iraq. ulinzi wa anga za mbali kuzipeleka katika serikali imechukua
Aidha Naibu katibu kinakuwa kikosi cha sita. maeneo yajulikanayo tahadhari za kutosha.
Mkuu wa Harakati ya Trt.net.tr kama “Pepo za kodi.” trt.net.tr
8 JAMAADAL UULA 1441, IJUMAA JANUARI 10-16, 2020 KALAM YA BEN AN-NUUR

UWANJA WA VIJANA-JIONGEZEE MAARIFA


Tafsiri za Qur’an kwa Kiswahili kupitia mtandao, Jawabu CHEMSHA BONGO : 113
Tarjuma ya Sheikh Ali Muhsin Barwany: iium.edu.
my/deed/quran/swahili/ na somaquran.com 1. Taja aya na sura ifwatayo : "Na mwanaadamu
huomba shari kama vile aombavyo kheri, kwani
mwanaadamu ni mwenye pupa.’’
Jawabu: Sura Al Israai 17:11
2. Taja aya na sura ifwatayo : “Na je! Imekufikia
hadithi ya Musa?’’
Jawabu: Surat Taha 20:9
3. Taja aya na sura ifwatayo : "Na hapana shaka
wataibeba mizigo yao na mizigo mingine pamoja na
mizigo yao. Na kwa yakini wataulizwa Siku ya Kiyama juu
ya waliyo kuwa wakiyazua.’’
Jawabu: Suurat AL An’ANkabut 29:13
4. Taja aya na sura ifwatayo : "Nao husema: Tutapo
kwisha potea chini ya ardhi, ni kweli tutarudishwa katika
umbo jipya? Bali wao wanakanusha kwamba watakutana
na Mola wao Mlezi.’’
JEE UNAJUA? Jawabu: Surat As-Sajdah 32:10
5. Taja aya na sura ifwatayo : "Na hatukuziumba
1. Jee wajua kuwa Mtume Adam (AS) na Mtume Issa mbingu na ardhi na viliomo ndani yao bure. Hiyo ni
(AS) kuja kwao duniani ni kwa miujiza na katika Qur’an, dhana ya walio kufuru. Ole wao walio kufuru kwa Moto
idadi ya kutajwa kwao ni mara 25 kwa kila mmoja wao : utao wapata.’’
http://www.masjidtucson.org/quran/miracle/adam_jesus_
occurrences.html Jawabu: Surat S’aad 38:27
2. Tawala za nchi ya Roma katika majenzi yake 6. Taja jina la Sahaba maarufu alio hajiri hijra mbili na
yaliokuwa na haiba ,ndio iliokuwa kichocheo duniani baadhi ya Waislamu humtaja katika khutba zao za Ijumaa.
kuwa na majengo mazuri ya kila aiana : https:// Jawabu: Syd Othman bin Affan
beebreeders.com/how-roman-architecture-influenced- 7. Kweli Uislamu ni dini ya kale? Ndio, Sio.
modern-architecture Jawabu: Ndio
3. Msikiti ujulikanao kwa jina la Djenné, uliopo nchini 8. Uislamu umesimamishwa kwa njia ya upanga?
Mali uliojengwa katika karne ya 13 ni mmoja wa Sanaa Ndio, Sio.
iliokamilika na yenye kuvutia, jengo zima limejengwa Jawabu : Sio
kwa matufali ya udongo: https://www.creativebloq.com/ 9. Uislamu una Katiba yake? Ndio, Sio.
architecture/famous-buildings-around-world-10121105 Jawabu: Sio
4. Kubat Sahra (Dome of the rock) Msikiti uliojengwa 10. Kalenda ya Hijriyah imeanza rasmi mwaka wa 570,
katika karne ya 7 na Khalifa Abd al-Malik ibn Marwāni,
uliopo Jerusalem nchini Israel ni mmoja katika majengo 622, 632.
yenye haiba kihistoria duniani: https://www.thetravel.com/ Jawabu: 622
grab-the-camera-20-of-the-most-beautiful-buildings-in-the-
world/ CHEMSHA BONGO : 114
5. Mnara Eiffel Tower uliopo nchini Ufaransa ni Mnara
maarufu duniani, ambao watalii wengi hufika kwenda 1. Taja aya na sura ifwatayo : "Na hakika bila
kuutembelea mnara huu ulijengwa katika mwaka wa 1889 : ya shaka wapo walinzi juu yenu,’’
http://social.lifedaily.com/story/the-worlds-most-beautiful- 2. Taja aya na sura ifwatayo : "Na wanapo
buildings-ranked/ somewa Qur'ani hawasujudu?’’
6. Daraja ijulikanayo Seri Wawasan iliopo katika mji 3. Taja aya na sura ifwatayo : "Hakika
wa Putrajaya nchini Malaysia, mmoja ya daraja ziliojengwa tumemuumba mtu katika taabu.’’
kwa ufundi mkubwa na yenye kupendeza machoni:
https://www.architecturaldigest.com/gallery/most- 4. Taja aya na sura ifwatayo : "Hakika wacha
beautiful-bridges-in-the-world Mungu watakuwa na Bustani za neema kwa Mola
7. Daraja ijulikanayo kwa jina la Dragon iliopo katika wao Mlezi.’’
mji wa Da Nang nchini Vietnam, daraja hii imejengwa kwa 5. Taja aya na sura ifwatayo : "Na itakapo
umbo la dragon ni moja ya kivutio kikubwa duniani katika kwisha Sala, tawanyikeni katika nchi mtafute
ya madaraja yaliojengwa na kuwa na mvuto wa hali ya juu: fadhila za Mwenyezi Mungu, na mkumbukeni
https://www.loveexploring.com/gallerylist/65671/29-of-the- Mwenyezi Mungu kwa wingi ili mpate
worlds-most-beautiful-bridges kufanikiwa.’’
8. Unapotembelea nchi ya Hungary fika uione daraja 6. Alipofariki Mtume Muhammad (SAW)
itwayo Liberty. Uzuri wa daraja hii na ufundi uliotumika Sahaba gani ulikuwa umri wake miaka 13 na
unashindwa kusema kweli mwanadamu ameijenga daraja alikuwa kahifadhi hadithi 1,600, taja jina la Sahaba
hii: https://www.mydomaine.com/most-beautiful-bridges-
in-the-world huyo.
9. Mnara Abraj Al-Bait umejengwa nchini Saudi Arabia 7. Akiitwa Abu Masakin, vile vile akiitwa Dhul
ukiwa ni hoteli ipo nji ya Al Qaba. Unapokuwa Makka Janahain, taja jina la Sahaba huyo maarufu.
inakuwa ni sehemu ya kukuongoza kuelekea Msikiti AL 8. Taja jina la Sahaba alipigana vita vya Badr
Haram kwani unaonekana maeneo mengi na ni jengo lenye na Uhud na akamuoa mtoto wa Abu Sufyan na
haiba ya hali ya juu.: https://www.architecturaldigest.com/
gallery/most-beautiful-skyscrapers-world kuuawa katika vita vya Uhud.
10. BURJ KHALIFA ni mnara unaonekana nchini 9. Sahaba gani alipigana vita vyote
DUBAI, UAE ni jengo lilokuwa na urefu wa mita 828 alivyopigana Mtume Muammad (SAW)
na ndio Sanaa maarufu ya kimambo leo hivi duniani. isipokuwa vita vya Badr.
Utapofika Dubai bila ya kuiona Burj Khalifa, itakuwa 10. Sahaba gani wakfu wake bado unaendelea
hujafika Dubai: https://www.beautifullife.info/urban- na kutumika mpaka katika zama zetu hizi?
design/15-beautiful-towers-world/
9 JAMAADAL UULA 1441, IJUMAA JANUARI 10-16, 2020 MAKALA AN-NUUR

Ziwa la Mama
Na Juma Kilaghai ya miezi 6) ndivyo

H
anavyozidi kuimarika
IVI sasa kiakili, kimwili na
Mamlaka kisaikolojia. Kutokana
za Afya za na tafiti hizi Shirika la
karibu nchi Afya Duniani (WHO)
zote duniani zimeibuka limekuwa likisisitiza
na miongozo miwili umuhimu wa kina
mipya kuhusu mama kuwanyonyesha
unyonyeshaji wa ziwa watoto wao kwa muda
la mama kwa watoto wa miaka miwili au
wachanga. Muongozo zaidi. Zifuatazo ni
wa kwanza ni ule nukuu za Wataalamu
unaoongeza muda kadhaa wakiunga
wa mtoto mchanga mkono mtizamo huu:
kuweza kuishi kwa “Tumekuwa
ziwa la mama yake tukiona kuwa watoto
pekee bila kuhitaji walioachishwa
msaada wa chakula kunyonya mapema
kingine, kutoka miezi wanaonyesha dalili
mitatu hadi miezi sita. zote za magonjwa
Muongozo wa pili yanayooanishwa na
ni ule unaotoa ruhsa kuacha kunyonya
kwa kina mama mapema: uchokozi,
walioathiriwa na hasira kali, tabia
virusi vya ukimwi, inayoonyesha
na hasa katika nchi kupagawa,
zinazoendelea, ung’ang’anizi kwa
kunyonyesha watoto wanaowahudumia
wao kama kawaida, na uwezo mdogo wa
alimradi tu wazingatie yote mtoto husika colitis’; kujenga mahusiano
maelekezo ya hupungukiwa na 6. Kwa maisha yake ya kina. Unyonyeshaji
wataalamu wa afya. uwezekano wa kupata yote mtoto husika unaonyesha kudhibiti
Kuibuliwa kwa kisukari (cha utotoni hupungukiwa na tabia za kikorofi kwa
miongozo hii ni na ukubwani); uwezekano wa kupata watoto walioanza
matokeo ya tafiti mpya 4. Kwa maisha yake uvimbe mwako kutembea (toddlers) na
za hivi karibuni kabisa yote mtoto husika kwenye sehemu ya kuweka uwiano mzuri
kuhusu nafasi ya hupungukiwa na mwisho ya utumbo katika tabia zao”– Dr
ziwa la mama katika uwezekano wa kupata mwembamba na William Sears, The
siha ya mwanadamu. ugonjwa wa Celiac sehemu ya kwanza ya Discipline Book, 1997.
Kwa mujibu wa tafiti (Celiac disease) – yaani utumbo mpana, hali “…, Siku zote
hizi miongoni mwa uharibifu wa utando inayojulikana zaidi nimekuwa nikitoa
faida zinazopatikana wa ndani kwenye kama Crohn’s disease; changamoto kwa
kwa kumnyonyesha utumbo mwembamba 7. Mama anayehusika mfumo wetu wa
mtoto ziwa la mama kunakotokana na hupungukiwa na kudhibiti uhalifu
yake pekee kwa muda kushambuliwa na uwezekano wa (the criminal justice
usiopungua miezi sita kinga za mwili pale kuvuja damu nyingi system) kunionyesha
ni pamoja na: mhusika anapotumia kupindukia wakati muuaji mmoja,
1. Mtoto husika kiini lishe cha ‘gluten’, anapojifungua kwa mbakaji mmoja, or teja
hupungukiwa na kinachopatikana njia ya kawaida mmoja (drug addict)
uwezekano wa kupata kwenye nafaka, (postpartum katika gereza lolote
maambukizi hatari hususan ngano; hemorrhage); na la America ambaye
kwenye masikio, 5. Kwa maisha yake 8. Mama anayehusika alinyonyeshwa ziwa na
kwenye utumbo, na yote mtoto husika hupungukiwa mama yake kwa miaka
kwenye njia ya hewa; hupungukiwa na uwezekano wa kupata miwili au zaidi, kama
2. Kwa maisha yake uwezekano wa kupata saratani za matiti na ilivyopendekezwa
yote mtoto husika uvimbe mwako mfumo wa uzazi. na Shirika la Afya
hupungukiwa na (inflammation) kwenye Aidha tafiti Duaniani” – Dr James
uwezekano wa kupata utumbo mpana na zinaonyesha Prescott, ‘Touch the
pumu na magonjwa sehemu ya haja kubwa, kuwa kadri mtoto Future’, Spring 1997.
mengine ya mzio hali inayojulikana anavyoongezewa muda “ Katika karne hii,
(allergies); zaidi kama ‘Ulcerative wa kunyonya (zaidi muda unaochukuliwa
3. Kwa maisha yake Inaendelea Uk. 10
10 JAMAADAL UULA 1441, IJUMAA JANUARI 10-16, 2020 Makala AN-NUUR

Inatoka Uk. 9
kuwa ni sawa
kuwaachisha watoto
ziwa umepungua
hadi kufikia miezi
mitatu. Kwa ujumla
jamii imekuwa haijali
mahitaji halisi ya watoto.
Hata hivyo katika
maeneo mbalimbali
ya dunia maamuzi ya
kumuachisha mtoto
ziwa yanaachwa kwa
mtoto mwenyewe. Hii
ndiyo sawa, watoto
wanatakiwa wajiachishe
wenyewe kunyonya.
Kwa wale wanaopewa
fursa hiyo kwa kawaida
hujiachisha wakiwa na
umri wa wastani wa
miaka 4.2. Katika kitabu
chake, Breastfeeding: A
Guide for the Medical

Ziwa la Mama
Profession, Daktari kwa ajili ya mtoto wake.
Ruth A. Lawrence, Na kama wote wawili
M.D. anasema kuwa wakitaka kumwachisha
unyonyeshaji unaolenga ziwa (kabla ya miaka
burudani zaidi kuliko miwili), kwa kuridhiana
lishe ni muhimu kwa na kushauriana, basi si
watoto wenye umri Mambo haya “Na wanawake kosa juu yao. Na kama
unaozidi miaka miwili.” yanaweza kuonekana waliozaa mkitaka kuwapatia
“Kupakatwa na mageni kwa mwananchi wawanyonyeshe watoto wenu mama wa
kunyonyesha ni tabia wa kawaida (asiye watoto wao miaka
zinazojenga mahusiano mtaalamu wa masuala miwili kamili, kwa kunyonyesha (wengine
ya kina katika miaka ya ya unyonyeshaji) na anayetaka kukamilisha wasiokuwa mama
mwanzo ya maisha ya ambaye si mfanya ibada. kunyonyesha; na ni zao), basi haitakuwa
mtoto. Unyonyeshaji Hata hivyo kwa watu wa juu ya baba ya (yake) dhambi juu yenu
wa kilishe na ule wa ibada haya ni mambo chakula chao (hao kama mkitoa (kuwapa
burudani ni muhimu ambayo wamekuwa watoto na mama) na hao wanyonyeshaji)
kwa watoto wa mwaka wakiyafanya kama nguo zao kwa sharia. mlichowaahidi kwa
mmoja, miwili, mitatu, wajibu kwa zaidi ya Wala haikalifishwi nafsi shariah. Na mcheni
na minne” – Peter miaka 1,400. yoyote ila kwa kadri Mwenyezi Mungu na
Ernest Haiman, PhD, Je, kuna ushahidi wowote ya wasaa wake. Mama jueni kwamba Mwenyezi
Berkeley CA, U.S.A., wa hili? asitiwe taabuni kwa ajili Mungu anayaona yote
New Beginnings, Jan/Feb Quran tukufu (2:233) ya mtoto wake, wala mnayoyatenda.”
1994. inaelekeza: (baba) asitiwe taabuni

TUMIA HAIIBA TIMAM TEA KUDHIBITI 3. Kuwa na hisia kali kwa mguso wowote, kiasi
ATHARI ZA UHARIBIFU WA MISHIPA YA kwamba hata kuguswa na nguo uliyovaa unaona ni
FAHAMU tabu.
KUNA WAKATI UNAJISIKIA GANZI, 4. Kukosa mawasiliano mazuri ya viungo vya
MAUMIVU AU HISIA ZA KUUNGUA mwili, hali inayoweza kusababisha kuanguka hovyo.
MIGUUNI, HASA KATIKA MAENEO YA 5. Udhaifu wa misuli na hata kupooza kama
NYAYO? mishipa ya fahamu inayohusika na mwondoko ( motor
Kama hali hiyo inakutokea, uwezekano nerves) imeathirika.
mkubwa ni kwamba una tatizo la uharibifu wa 6. Kushindwa kuzuia mkojo (urinary incontinence);
mishipa ya fahamu, yaani “Neuropathy”. na
Wataalamu wanadai kuwa katika kila watu 7. Kusikia kelele, miluzi au mingurumo kwenye
watatu, mmoja ana tatizo hilo. masikio (tinnitus), `
Dalili za tatizo la uharibifu wa mishipa ya Kama una yoyote miongoni mwa dalili hizi, ni
fahamu ni nyingi sana. Chache miongoni mwa muhimu ukajua kuwa matumaini yapo. Matumizi ya
hizi ni pamoja na: ‘Chai Ya Ajabu’ - Hiiba Timam Tea – kwa muda wa siku
1. Kujitokeza na kuongezeka kwa ganzi 21 itaikarabati upya mishipa yako na kukurejesha katika
na hisia za kuchomwa chomwa kama na hali ya kawaida.
sindano, kwenye maeneo ya nyayo na viganja Kwa taarifa zaidi:
vya mikono; na wakati mwingine kusambaa 1. Piga simu namba: +255754281131/+255655281131;
kwa hisia hizo hadi miguuni na mikononi. 2. Wasiliana kwa whatsapp namba +255655281131;
2. Maumivu makali, wakati mwingine 3. Wasiliana kwa E- mail: jumakillaghai@
yanayofanana na kuchomwachomwa na kitu herbalimpact.org; au
chenye ncha kali, au yanayopwita kama jipu, 4. Tutembelee: Mosque Street No. 1574/144,
au kama maumivu ya kuungua moto. Kitumbini (mkabala na msikiti wa Sunni), Dar es Salaam.
11 JAMAADAL UULA 1441, IJUMAA JANUARI 10-16, 2020 Makala AN-NUUR

Uislam umetufundisha Tuamiliane vipi na Maadui wa Kiislam


mzima. Kueneza amani, katika Njia Iliyo Nyooka baina ya waislamu na wasio
usalama, kuheshimiana, * Na Mwenyezi Mungu waislamu kutoka Ulaya na
kuhurumiana, kubadilishana akunusuru nusura yenye pengineko ambapo mikataba
manufaa, uzoefu na nguvu} [48/1-3]. na biashara zilifanywa baina
tamaduni yote haya ni Siyo maazimio tu, bali ya pande mbili japokuwa
mambo yanayotakiwa misafara ambayo Mtume vita.
kuwa msingi wa ushirikiao (S.A.W.) alikuwa anaituma Uislamu ulisisitiza katika
baina ya watu kwa ajili ya kwa lengo la kujuana na matini nyingi za Qur`ani
kuhudumia ubinadamu. kubadilishana maarifa na na Sunna kuwa hekima ya
Uislamu ulihakikisha mataifa wengine, ambapo kuumbwa kwa wanadamu
maana hii na kuthibitisha kuanzia mwaka wa saba katika jinsia, mataifa na
umuhimu wa kuimarisha baada ya Hijra yake Mtume makabila tofauti tofauti ni
mahusiano ya waislamu na alituma na kupokea misafara kujuana na kutambulikana
ulimwengu kote, kwa kuwa kadha wa kadha na alikubali ili wakamilishana na
dini hii ni dini ya mwisho zawadi za mfalme wa kubadilishana mawazo,
na ujumbe wake ni kwa Uhabashi “Al-Najashiy” na uzoefu na manufaa na
malimwengu yote na Mtume aliwafanyia wajumbe wake kwamba msingi wa
wake ndiye wa mwisho ukarimu mkubwa kwa kupendeleana baina ya watu
aliyetumwa kwa watu wote. waliyoyafanya na waislamu ni uchamungu tu.
Na Sheikh: Said Abdul- Kwa mujibu wa mafunzo waliohamia Uhabashi katika Mwenyezi Mungu
Khaliq Al-Shimy ya sheria ya kiislamu kuhusu Hijra ya kwanza. (S.W.) Alisema: {Enyi
kuwasiliana na kushirikiana Vile vile, Mtume aliku watu! Hakika Sisi

K
na wanadamu wote, Zaydu bin Thabit ajifunza tumekuumbeni kutokana
WA kweli sheria waislamu wakiongozwa na lugha ya mayahudi kwa namwanamume
ya kiislamu Mtume (S.A.W.) walijitahidi lengo la kutambua nia
sana kuwa na uhusiano na mipango yao na kwa na mwanamke. Na
inawatakia tumekujaalieni kuwa ni
waislamu wote mzuri na ulimwengu mzima. kuwasiliana nao ikitokea
walazimika kwa miamala Kwa kuhakikisha lengo dharurua ya hayo. mataifa na makabila ili
mazuri katika hali zao zote hili Mtume (S.A.W.) alifanya Kwa kuangalia historia mjuane. Hakika aliye
na pamoja na watu wote juhudi nyingi na kachukua ya ustaarabu wa kiislamu mtukufu zaidi kati yenu
bila ya kujali tofauti yoyote hatua mbalimbali kwa tunaweza kuelewa namna kwa Mwenyezi Mungu
kidini, kimila, kikabila au ajili ya kufikia lengo hili. dini hiyo ilivyokuwa mfano ni huyo aliyemchamngu
yoyote nyingine. Miongoni mwa juhudi za bora wa kushirikiana na zaidi katika nyinyi. Hakika
Kwa kuwa Uislmau Mtume kusaini mikataba wengine na kubadilishana Mwenyezi Mungu ni
unazingatia sana kueneza ya amani na waliokuwa heshima na huruma na Mwenye kujua, Mwenye
tabia njema na kutangaza maadui wake washirikina manufaa, ambapo waislamu khabari} [49/13].
kuwa ni dini ya msamaha, na mayahudi kwa lengo la walitoa mifano mizuri kwa Kwa hiyo, tunaona
upendo na amani waislamu kuweka misingi ya kuishi hali ya kuishi pamoja na kuwa sheria ya kiislamu
wanapaswa kuwa mabalozi pamoja kwa amani na wengine kwa amani, siyo hii
kushirikiana kuendeleza tu, bali kukamilishana nao imetangaza kuwa watu
wa dini hiyo wakiwajibikia wote wako sawa ambapo
mafundisho yake na tabia Madina na kukamilishana kujenga nchi na kuendeleza
zake ambazo zote zinalenga kupata mafanikio na ustawi. jamii. wametoka chanzo kimoja
kueneza amani, utulivu na Ile mikataba na maazimio Usama bin Munqidh wakaumbwa na Mungu
rehma kwa hiyo, Mtume yalikuwa katiba na ahadi anasimulia kuwa waislamu Mmoja watarejea kwake
(S.A.W.) alipotaka kufupisha ambayo Mtume alitoa kwa walikuwa na harakati ili wafanyiwa hesabu kwa
ujumbe wake alisema: “Kwa wasio waislamu ili wawe na za kukamilishana na mema na maovu.
hakika nimetumwa kwa ajili matumaini kuhusu maisha kusaidiana na wengine Pia, sheria
ya kukamilisha tabia njema” yao katika dola ya kiislamu, bila ya kujali dini wala inawakumbusha waislamu
na alijisifu kwamba: “Hakika ambapo aliwapa amani kabila wala rangi. Dalili kuwa wanatakiwa kuwa
mimi ni rehma iliyotozwa na kukubali masharti yao nyingine iliyo wazi kwamba na uhusiano mzuri na watu
kwa wanadamu na Mola mpaka waislamu walikuwa kuenea kwa Uislamu wote na wasiwadharau
wao”. wanadhani wakati mwingine kumesababishwa sana wengine, bali washirikiane
Kwa namna hii tunaona kuwa baadhi ya mikataba na harakati za waislamu na watu wote kwa ajili ya
vipi Qur`ani Takatifu hiyo inawadhulumu wafanyibiashara waliokuwa kuhakikisha matarajio yao
imesisitiza umuhimu wa waislamu kama ilivyotokea wakizunguka huko na na kupata radhi ya Mola
kushirikiana baina ya wakati wa kuafikiana kwa huko wakilazimika kwa wao Mtukufu.
wanadamu wote waislamu azimio lililoitwa “Suluhu mafundisho na maadili ya Email : eg_islamic39@
na wasio waislamu na ya Al-Hudaybiya” ambayo Uislamu, jambo lililochangia yahoo.com_center
kuzingatia uhusiano na Mwenyezi Mungu Ameliita kwa kiasi kikubwa kueneza Facebook:https://web.
mambo ya pamoja yaliyopo “Ushindi mkubwa” Uislamu na kuwavuta watu facebook.com/Kituo-cha-
baina ya wanadamu kwa Alizungumzia azimio wajiunga nayo.
jumla. hilo kwa kusema: {Hakika Pia, historia inatwambia Kiislamu-cha-kimisri-
Pia, Qur`ani ilisisitiza tumekufungulia Ushindi na kutupa sura nyingine ya Dar-es-Salaam-Tanzania-
kuwa ni muhimu sana wa dhaahiri * Ili Mwenyezi kuelezea hali ya Uislamu 1406373692959170/?ref=br_rs
wanadamu waelewana na Mungu akusamehe makosa kushirikiana na wengine Youtube:https://
kukamilishana kuimarisha yako yaliyotangulia na katika nyanja mbalimbali www.youtube.com/
na kukuza jamii na yajayo, na akutimizie hasa biashara mpaka wakati channel/UCP0QZa3-
nchi mpaka ulimwengu neema zake, na akuongoe wa vita, hali ilivyokuwa OE44HXH5AGzYJ6g
12

 
 
JAMAADAL UULA 1441, IJUMAA JANUARI 10-16, 2020

9.
8.
7.
6.
5.
4.
3.
2.
1.

26
11.

28.
27.
25.
24.
23.
22.
21.
18.
17.
16.
15.
14.
13.
12.
10.

Na.
Na.
1.

Lindi

Mara
Geita

Iringa

Tanga
Katavi

Mbeya

Tabora
Rukwa
Pemba
Arusha

Kagera

Mtwara

Singida
Kigoma
bure.

Ruvuma
Dodoma

Chalinze,
Manyara

Morogoro

Mkuranga)
Bagamoyo)

Shinyanga
Mkoa

Kilimanjaro

(Kibaha Mji,

Mkoa
(Rufiji, Kibiti,
19. Kibaha Vijijini,
Ilala/Kisarawe

Mwanza/Simiyu

20. Pwani ya Kusini


kwa Waratibu

Pwani Kaskazini

Ubungo/Kinondoni
WARATIBU
Pata fomu na nunua

19
Idd Nassor
wa Elimu

Ally Lesso
3. Gharama za EKP ni:

Omar Rajabu

Omar Mugeta

Bilal A. Kiseku

Kisiwa cha Mafia Ibrahim Idrissa


Ally O. Chauka

Mbaraka Stima
JinaJina

Maulid Y. Maulid

Mbaraka Sharifu

Jina
(Zuberi A. Omari)

Ramadhan Chale
Sadam R. Urassa

Ahmad R. Katoba

Ramadhani Ismail
Yahya S. Mtinangi

Mussa Hussein
Khalifa Yazidi Issa

Kizami K. Wasaga
WA ELIMU
KIAMBATISHO

Abdulsabur I. Ismail

Sudi R. Kabogota
Riko H. Mohamed
Suleiman Y. Bulyo
Shamim Kempanju

Ibrahim K. Kunema
Rajabu Ally Ngalongela
H
nafuu kabisa kwa kusoma

la Mratibu
M isto

Temeke/Kigamboni Khamis B. Nyangema


MAKALA

ha tum ria
H ku pa e(s ya

Mohamed Ridhwani Moh’d


ku isto te na .a ku
ke sh .w sh
ku tu ria K lez a ) us
E pe fun y
hakuna walimu, jiunge na EKP.

ku uso wa ka alia hw

wa Mikoa
ki lim wa za a k ka mu ma
la u u na kab nza a Q
M nd am kuw sh m nun we au
K ui iy ri a us ais i ze k kil isa ku ur-
kw uso sl o ha na sh uta a ku sh an
am F ya Mt hw Hi Mu w us 9
u a m ya sh a m fut isl a E hiw 6:1
(s juzi nza a a u ara ku um a Q
t m i ni e
kil ria ja a e am lim a
a l
an dh so e ( u
hu .w) w ili u gu i y ma s.a r-a ku aso juz
fik mo uu a k u u u wa - 5,
sik liz m imu ta nd h in
ia u o j a
pa zi a k ku ku
H tik kif ut m ta za a k . H .w n 9
m w iv ) a 6: kil kwa a s y , h ziw a kum u ng iy y
u o kw tuk
ju ii n an ua os ue fut a an yo lia 1 ele D it up ek Mo ef za Fa a um
a tw ha ze a
s
za z , n - at a la an m ra ku b
ku zuu i ju
m 7 u z ua a j e Mf hic ara a ya i A
ka ll w yw a dh pe u
za i w sh
M a in hap za 5,
uw z u di ka uu ha lim
l i t i y m u tu a a ku in ulu ho sa m
. n a ah ak a y
M fu ka a ja k m yo na sh a
e t 1. luz la aa ua (s.w e n kuw Mt a a a a n
n

Simu
fu ez a m ya um kw m a
k

Simu
lu es a S a k k u (s pas sh ush uku 2. Le o W rifa
at dil ) a k a
1. lu ha
so ab
a
am ila anu um me
f
.a w ak iw m
.
hu u ya ifu zik um Fa e anz ri y kut
2 Le zo
m mo ya an kip ni jua an w a a a bu 3. Ng ng u W U na ifu pa rad
(s a a uf
.a in ku un
3 . N ng hu ja kw m i y en n yw ) h ku k w s 4. Qu uzo o la wa az isl
im am a
am tw tia hi .w a s za
u ad te ab ah ha
k i 5. Fa r-a z M m a ) h yo om

0782 103676
0621 001753
0714 707021
0782 872542
0712 627515
0715 704380
0764 357560
0765 748056
0714 522122
0783 488444
0678 334533
0767 345367
0719 394764
0744 336940
0758 889025
0755 756107
0654 367157
0672 860634
0757 552489
0765 489443
na a a i

0713 992395
0785 252360
0785 186230
0654 723418
0768 948629
0717 194355
0713 523577
0787 137477
4. . Qu guz o l
o a w a ge a s Mo a
kw le h la k as an a k uju ya k
a ja Da arif sa ele sa y kw na 6. Ja mil n n a U aish om un u k ad pas a. kuw
. J Fam r-an za Ma m m ra a el ch eri wa uw sa zw ku a ao ati i y ati zi w i s wa Hi a
as ii y ik a a a . 7. His mii ia y a S isla a y o ku ka a ka wa an
z as vy
a wa k
am il kw k
i n U is

WA MIKOAwafuatao
om ku sa a U at m al ke na Ku to ya a k un mu a M at su m a. o,
is ii y a y a S isla ha
to a a u m ya o
fik la
ia W is
l a
ik ai izo na Far
a s a
hu ria Ki iis na
i
ish ya sla am h l wan ik a d f
ia luu eli ila kut a ili
o
ka kip sh
hu ria K kii nn u M
is ya iis sla ah w
ka
tik ki atu mu
le
ja ha ziw ku dh
m a K m u ad ju
zu kum o li z t i e
ka ng ju a
la m a ii. ya eka mp i y Ui uh u am u w e
ha
K m
an le W ka
a k a a sla ui u 7 u j l u
U uh u u ad ju hi z tik ila Al tia m sha we a am e y
is a zu la u
ch im a
nakala ya juzuu yako  
la isu m u s ik h
ni: ze juz ii. cha a
m h u o. a mf ka Ui sh uu
u a
ya
7
un ul u, tik sla a

H
ka Ui ao uli a mu m 7 za
ni
: ku zo Ja ja

is
tik sla
m na
Da Ma
a m su wa
ii

to
Ja u di ja
a m

ri
m
ra ar
ii

a
ii
Kiislamu kwa Posta (EKP).

sa ifa

ya
H

K
la ya

uh
IS W U

ui
sh
Ju at is

a
TO
(T z u la

U
ol u

is
eo u

la
RI W mu
la
Juzuu Saba (7)

m
az

u
Pi 6
UI Y li) im
S A a
LA KU
za

M H
U U
IS
H
A

Is
la
m
ic
P
ro
p
a
g
a
ti
o
n
C
e
Neema yakujia hadi mlangoni

n
Elimu ya

(i) Kujiunga kwa kujaza fomu. (ii) Kununua Juzuu 7 kwa bei nafuu (iii) Kusoma
Juzuu na kufanya mitihani ya kila Juzuu (iv) Kufanya mtihani wa kuhitimu
2. Kwa wanafunzi wa Sekondari, hakuna tena sababu ya kuhofia kujiandikisha
Sasa unaweza kupata elimu sahihi ya Uislamu kwa wepesi na kwa gharama

kufanya Mtihani wa Taifa wa Dini ya Kiislamu Kidato cha Nne. Hata kama

baada ya kufaulu mitihani ya Juzuu 7. (v) Kupata cheti cha kuhitimu (EKP)

ISLAMIC PROPAGATION CENTRE P.O. Box 55105, Dar es Salaam, Tel: 0784267762, 0755260087 website:www.ipc.or.tz
AN-NUUR

ELIMU YA KIISLAMU KWA POSTA

tr
e
Ujue Uislamu wako kwa njia nyepesi kabisa
13 JAMAADAL UULA 1441, IJUMAA JANUARI 10-16, 2020 Makala AN-NUUR

K Kuwa mwenye kutosheka


UTOSHEKA ni
kuridhika na
neema uliyonayo.
Kutosheka ni
utajiri kuliko utajiri wote
uliopo ulimwenguni. mwa wasimulizi wa hadithi
Abu Hurairah (r.a) hii katika sehemu nyingine
amesimulia kuwa Mtume aliuliza: Ni yupi mwenye
wa Allah amesema, utajiri uwezo ambaye kuomba
si kuwa na mali nyingi ni haram? Akajibu Mtume
lakini utajiri ni kutosheka”. (s.a.w): Yule mwenye uwezo
(Bukhari na Muslim). wa kupata chakula cha
Muislamu anatakiwa awe asubuhi na usiku. Mahali
ni mwenye kutosheka na pengine amesema: Yule
kile alichoruzukiwa na Mola mwenye chakula cha siku
wake. Kila mtu amekadiriwa moja (usiku na mchana).
riziki yake na Allah (s.w). (Abu Daud).
Hakuna mwenye uwezo KUEPUKA HUSUDA
Husuda ni miongoni mwa
wa kumpunguzia au
kumzidishia mtu riziki.
Tawheed - magonjwa makubwa ya
Hili linabainishwa katika moyo. Mtu mwenye husuda
Qur’an katika usia wa Mzee Sekondari-Kidato cha I anadonda la chuki moyoni
Luqman kwa mwanawe: mwake juu ya neema
Ewe mwanangu! Kwa kwa yeyote kwa kadiri kumdhamini mtu mwingine alizoneemeshwa mwingine
hakika jambo lolote iwezekanavyo. ili kuleta suluhu kati ya na Mwenyezi Mungu (s.w).
lijapokuwa na uzito wa Tumekatazwa katika wagomvi wawili huyu Kwa maana nyingine
chembe ya hardali, likawa Qur’an kutamani vitu vya anaruhusiwa kuomba hata anachukia utaratibu wa
ndani ya jabali au mbinguni watu: “Wala msitamani akiwa tajiri. Kwa mnasaba Mwenyezi Mungu (s.w)
au katika ardhi, Mwenyezi vile ambavyo Mwenyezi huu, wadhamini wa Misikiti, aliouweka katika kugawanya
Mungu atalileta (amlipe Mungu amewafadhilisha madrasa, na shughuli neema zake kwa waja
mstahiki); bila shaka baadhi yenu kuliko wengine. mbalimbali za Kiislamu, wake. Hasidi kutokana
Mwenyezi Mungu ni Mjuzi Wanaume wanayo sehemu wanaruhusiwa kuomba na chuki yake dhidi ya
wa mambo yaliyofichikana, (kamili) ya michango ya Waislamu ili mja aliyeneemeshwa na
(na) Mjuzi wa mambo yaliyo vile walivyovichuma; kufanikisha shughuli hizo. Mwenyezi Mungu (s.w),
dhahiri. (31:16). na wanawake nao wanayo (ii) Mtu aliyepata ajali na huwa tayari kwa hali na mali
Pia Allah (s.w) sehemu (kamili) ya vile kuharibikiwa kabisa vitu kumdhuru mja huyo asiye
anatuhakikishia: “Na walivyovichuma;. Na vyote kama vile ajali ya na hatia yoyote.
hakuna mnyama yoyote mwombeni Mwenyezi moto, mafuriko, n.k. Ni kwa msingi huu
katika ardhi ila riziki yake Mungu fadhila zake. Hakika (iii) Mtu ambaye Mwenyezi Mungu (s.w)
iko juu ya Allah...” (11:6). Mwenyezi Mungu ni Mjuzi amepigwa na ufukara na anatufundisha kujikinga
Juu ya moyo wa kutosheka wa kila kitu.” (4:32). amekosa kabisa mahitaji kwake na shari za viumbe
Mtume (s.a.w) anatuwaidhi Kuhusu suala la omba muhimu ya maisha kama vyake, akiwemo hasidi
katika Hadithi ifuatayo: omba Mtume (s.a.w) chakula, malazi na makazi. kama tunavyosoma katika
Imesimuliwa katika ametuusia katika Hadithi Lakini mtu akiwa kama na Suratul-Falaq:
mamlaka ya Abdullah Bin zifuatazo: angalau chakula cha siku Sema: Ninajikinga na
Amr bin al-’As (r.a) kuwa Abu Hurairah (r.a) moja na malazi na akawa na Mola wa Ulimwengu wote.
Mtume wa Allah amesema: ameeleza kuwa Mtume dirham 50 mkononi mwake na shari ya alivyoviumba.
“Yule aliyeingia Uislamu wa Allah amesema: “Yule haruhusiwi kuomba kama na shari ya giza la usiku
na akajaaliwa kupata riziki aombaye ili aongezee mali tunavyofahamishwa katika liingiapo na shari ya wale
inayotosheleza mahitaji yake, haombi lingine ila Hadithi zifuatazo: wanaopulizia mafundoni na
yake muhimu na Mwenyezi moto wa maisha. (Muslim). Abdullah bin Mas’ud (r.a) shari ya hasidi anapohusudu
Mungu akamfanya kuwa Ibn Umar (r.a) ameeleza ameeleza kuwa Mtume wa (113:1-5).
mwenye kutosheka na kila kuwa Mtume wa Mwenyezi Mwenyezi Mungu amesema: Husuda husababishwa na
alichotunukiwa, hakika Mungu amesema: “Kama Anayeomba omba watu na kutotosheka na kutoridhika
amefuzu kikweli”. (Muslim). mmoja wenu ataomba ilhali ana mahitaji muhimu na neema za Mwenyezi
KUEPUKA TAMAA NA bila ya sababu ya msingi, ya maisha, atakuja siku ya Mungu (s.w). Hasidi anataka
KUOMBAOMBA atakutana na Allah na Kiyama na kuomba omba kila neema aliyotunukiwa
Kinyume cha kutosheka uso usiokuwa na nyama”. kwake kama mikwaruzo, mwingine awe nayo yeye au
ni kuwa na tamaa au (Bukhari na Muslim). vidonda au majeraha usoni mwingine abakie bila neema
kutotosheka. Kutotosheka Ibn Umar (r.a) amesimulia mwake. Iliulizwa: Ee Mtume hiyo. Anataka awe juu ya
ni ufakiri wa moyo. Moyo kuwa Mtume wa Allah wa Mwenyezi Mungu! Ni mwingine na aonekane wa
wa kutotosheka huzaa alipokuwa mimbarini akitoa kiasi gani kinachomtosha maana pekee katika jamii.
tabia nyingi mbaya ikiwa khutba juu ya kutoa sadaqa mtu? Akajibu: Dirham 50 au Akihisi kuwa kuna yeyote
ni pamoja na upupiaji mali, na kujizuia na kuomba omba thamani yake ya dhahabu aliyemzidi kwa cheo, utajiri,
husuda, uchoyo, na kuomba alisema: “Mkono wa juu (Abu Daud, Tirmidh, Nasai elimu, watoto,umaarufu,
omba. ni bora kuliko mkono wa na Ibn Majah). hupandwa na moto wa
Muislamu anatakiwa chini. Mkono wa juu ni ule Sahl (r.a) ameeleza kuwa chuki moyoni mwake ambao
ajitahidi kutosheka na unaotoa na wa chini ni ule mtume wa Allah amesema: humsukuma kufanya visa
alichonacho na hata unaoomba”. (Bukhari na Yeyote yule anayeomba na mbalimbali dhidi ya huyo
kama anahisi yuko katika Muslim). ilihali anajitosheleza kwa anayemhisi kuwa amemzidi
dhiki, ajitahidi kujizuilia Kuomba kunaruhusiwa mahitaji muhimu, anaomba au yuko sawa naye.
kunyoosha mkono kwa dharura zifuatazo: moto (Jahannam). Nufali Muislamu anatakiwa
wa kuomba chochote (i) Mtu aliyesimama (r.a) ambaye ni miongoni ajitakase na uovu huu wa
14 JAMAADAL UULA 1441, IJUMAA JANUARI 10-16, 2020 Makala AN-NUUR

Kuwa mwenye kutosheka


Inatoka Uk. 13
husuda kwa kutosheka
na kile alichonacho
akijua kuwa kila neema
aliyopewa mwanaadamu
imekadiriwa na Mwenyezi
Mungu (s.w). Na hapana
yeyote mwenye uwezo wa
kupunguza neema ya mtu
aliyokadiriwa na Mola
wake, hata kwa kiasi cha
chembe ndogo iliyoje na
hakuna yeyote awezaye
kumuongezea mtu neema
kuliko vile alivyokadiriwa
na Mwenyezi Mungu
(s.w).
Pia Muislamu wa kweli
anajitahidi kujiepusha
na husuda ili asije
akaziunguza amali zake
njema alizozitanguliza
na akawa miongoni mwa
watakaohasirika katika
maisha ya akhera.
Abu Hurairah (r.a)
amesimulia kuwa Mtume
wa Allah amesema: (Bukhari na Muslim). kupambana nalo. kinachoshindikana kwa
“Kuweni waangalifu KUMTEGEMEA MWENYEZI Muislamu wa kweli Mwenyezi Mungu.
juu ya husuda, kwani MUNGU (S.W) hapaswi kuwa mwoga Muislamu hana budi
husuda inaunguza amali Muislamu wa kweli wa chochote kwa kufanya jitihada katika
njema za mtu kama moto daima huwa jasiri kwa sababu hapana chochote kufanikisha jambo
unavyounguza kuni. (Abu kumtegemea Mwenyezi kinachoweza kumdhuru, muhimu la maisha kwa
Daud). Mungu katika kila hali. ila awe amekadiria kufuata njia za halali
Husuda au wivu Ana yakini kuwa hapana hivyo Mwenyezi Mungu anazoziridhia Mwenyezi
unaoruhusiwa ni ule lolote litakalomfika, baya (s.w) na hapana mja Mungu (s.w).
unaofanywa kwa ajili au zuri, ila litakuwa awezaye kukwepa ajali Kama jambo hilo
ya kushindana katika linatoka kwa Mwenyezi yake aliyoandikiwa na lina kheri na yeye, basi
kufanya mema. Wivu Mungu (s.w) na ana yakini Mwenyezi Mungu. Mwenyezi Mungu (s.w)
wa namna hii sio ule wa kuwa ulinzi wa maisha Muislamu anatakiwa atalifanikisha. Mzee
kuchukia kuwa kwa nini yake na mahitajio yake awe imara katika Yaquub (a.s) akiwausia
fulani ameneemeshwa, yote ya kimaisha yako kusimamisha dini ya wanawe wasichoke
bali ni ule unaomfanya mikononi mwa Mwenyezi Allah katika kila kipengele kumtafuta Yusuf na
mja ajitahidi zaidi kufanya Mungu (s.w). cha maisha yake, bila ya ndugu yake aliwaambia:
mema kama anavyofanya Mwenyezi Mungu(s.w) kuhofu chochote kwani “Enyi wanangu! Nendeni
au kumzidi mwingine. anatuamrisha tumtegemee yeye daima yuko chini mkamtafute Yusuf na
Mtume (s.a.w) Yeye tu katika aya ya ulinzi na uangalizi wa nduguye, wala msikate
ametufahamisha ni zifuatazo: Na tegemea Mwenyezi Mungu (s.w), tamaa na Rehema ya
husuda ya namna gani kwa Yule aliye na uhai na halitamsibu ila lile Mwenyezi Mungu.
inayoruhusiwa kwa wa milele ambaye alilomuandikia Mwenyezi Hawakati tamaa na
Muislamu katika Hadithi hatakufa...”. (25:58). Mungu (s.w). Rehema ya Mwenyezi
ifuatayo: “... Na kwa Mwenyezi “Sema; halitatusibu ila Mungu isipokuwa watu
Ibn Mas’ud (r.a) Mungu wategemee alilotuandikia Mwenyezi makafiri”. (12:87).
amehadithia kuwa Mtume Waislamu. Na tuna Mungu, yeye ni Mola Pia iwapo baada ya
wa Mwenyezi Mungu nini hudhania kuwa wetu. Basi Waislamu na Muislamu kufanya juhudi
amesema: Hapana husuda mafanikio yote ya maisha wamtegemee Mwenyezi na kutumia uwezo wake
(inayoruhusiwa katika hupatikana kwa uwezo Mungu tu”(9:51). wote, hakupata mafanikio
Uislamu) ila kwa watu wa mwanadamu na Pia Allah(s.w) aliyotarajia, asikate
wawili: “Mtu ambaye kuwa ni mwanadamu ametukataza kuwaogopa tamaa bali aridhike kuwa
Mwenyezi Mungu (s.w) pekee mwenye uwezo wa makafiri: “...Leo makafiri matokeo hayo ndiyo
amempa mali na akampa kujikinga na shari zote wamekata tamaa na dini yenye kheri kwake kwa
uwezo wa kuitumia zinazomkabili. Dhana hii yenu basi msiwaogope, kuzingatia Qur’an:
katika njia ya Mwenyezi humtia mtu katika wasi bali niogopeni “...Lakini huenda
Mungu na mtu ambaye wasi na woga, atakapohisi mimi...”(5:3). mkachukia kitu, nacho
Mwenyezi Mungu kuwa tatizo au dhara KUEPUKANA NA ni kheri kwenu. Na
amempa elimu na hekima, fulani linalomkabili KUKATA TAMAA huenda mkapenda kitu
akawa anafundisha litamshinda nguvu kwa Pia Muislamu hatakiwi nacho ni shari kwenu. Na
wengine pamoja na yeye kuwa hana uwezo au kukata tamaa na Mwenyezi Mugu ndiye
mwenyewe kuingiza elimu msaada wa mwanadamu Rehema za Mwenyezi anayejua, (lakini) nyinyi
hiyo katika vitendo”. wa kumuwezesha Mungu (s.w). Hakuna hamjui”. (2:216).
15 JAMAADAL UULA 1441, IJUMAA JANUARI 10-16, 2020 Makala AN-NUUR

Kukosa elimu ya ndoa janga kwa vijana humlinda kijana asifuatilie


njozi zisizo na mantiki na
dukuduku la ndani.
Muungano wa ndoa
huwawezesha wahusika
kupata mwenza mwema
na mwaminifu ambaye
Na Bint Ally Ahmed ataweza kuwa tayari
kushirikiana katika wakati
HAMU kubwa ya mgumu na wa matatizo.
vijana wengi wanaume Mkataba mtakatifu
na wanawake ambao wa ndoa ni kamba ya
wamefikia umri wa Mungu inayoziunganisha
balekhe ni kuoa au nyoyo, huzibembeleza
kuolewa. zinapokuwa zimefadhaika
“Enyi watu! Mcheni na kuzielekeza njozi zisizo
Mola wenu ambaye na mantiki kwenye lengo
amewaumbeni katika lililo bora. Familia ni kituo
nafsi moja, na ameumba cha mapenzi, wema na
katika nafsi ile mwenziwe, urafiki ambapo ni mahali
na akaeneza kutoka hao pazuri zaidi pa kuishi kwa
wawili wanaume wengi starehe.
na wanawake; na mcheni Mwenyezi Mungu
Mwenyezi Mungu ambaye muweza wa yote ameitaja
kwake mnaombana na neema hii kwenye Qur’an
(kuangalia) jamaa wa Tukufu:
damu; hakika Mwenyezi
Mungu ni Mlinzi juu
yenu”. (Sura 4, Aya 2).
Ukumbi wa Wanawake “Na katika ishara zake
ni kuwa amekuumbieni
wenza kutokana na nafsi
Aya hii inaeleza kuwa zenu ili mpate utulivu
kwa njia ya mke na mume amepotea kwenye maisha kuaminika. Wanaangalia kwao. Naye amejalia
ndio kizazi kinaweza yasiyo na mpango. Mtu maisha ya ndoa kama mapenzi na huruma baina
kuendelea na ujamaa wa anaweza kupata mwenzi mwanzo wa ustawi wa yenu. Hakika katika haya
damu unapatikana. wa maisha ambaye maisha yao. bila shaka zipo ishara kwa
“Ameumba katika anaweza kushirikiana Ndoa ni haja ya watu wanaofikiri.” (Qur’an
nafsi ile mwenziwe. Na naye katika furaha na kimaumbile. Ni vigumu 30:21).
Akaeneza kutoka hao huzuni. kuiepuka, vinginevyo, Mtume (s.a.w) wa
wawili wanaume wengi na Matamanio ya kawaida kuikwepa ni kutayarishia Uislamu alisema:
wanawake”. ya kijinsia yana nguvu mazingira mazuri ya “Mwanaume ambaye
Ndio kusema ya na yenye maana. Kila kuzini. Mwanaume hakuoa hata kama ni tajiri
kwamba kufanya ndoa mtu anatakiwa kuwa ameumbwa kwa ajili ya kwa hakika ni masikini
na kuendeleza kizazi na mwenzi kwa lengo mwanamke, hali kadhalika na mhitaji; na hivyo hivyo
ni amri ya Mwenyezi la kujitosheleza kijinsia mwanamke ameumbwa kwa mwanamke.”
Mungu, na mtu asiyetaka kwenye mazingira yaliyo kwa ajili ya mwanaume. Mtume (s.a.w) akasema:
kabisa kufanya jambo salama na tulivu. Kila Kila mmoja wao anao “Hakuna taasisi katika
hili, amevunja amri ya mtu anapaswa kufaidi mvuto kwa mwenzake Uislamu iliyobuniwa na
Mwenyezi Mungu na raha mustarehe ya kijinsia kama sumaku. Ndoa Mwenyezi Mungu ambayo
makusudio yake. katika namna iliyo na kuanzisha maisha anaipendelea na kuipenda
Ndoa ni haja ya kawaida sahihi na inayostahiki. ya pamoja ni hamu ya zaidi kuliko ndoa.”
kwa kila mwanadamu. Wale wanao jiepusha na kawaida ya mwanadamu Pamoja na kwamba
Inayo manufaa mengi na ndoa mara kwa mara na ya kukubaliana na Mwenyezi Mungu
mazuri, baadhi ya hayo husumbuliwa na maradhi silika zao. mwenye huruma
manufaa mengi na mazuri ya kimwili na kisaikolojia. Ndoa inafikiriwa kuwa amewajaalia wanadamu
yaliyo muhimu ni haya: Maradhi hayo na matatizo mojawapo ya neema neema yenye thamani
Hujenga familia ambayo fulani ya jamii ni matokeo kubwa sana kutoka kwa kubwa kama hii, wao
kwayo mtu anaweza ya moja kwa moja ya Mungu. Kwa kweli ni hawaifurahii, na wakati
kupata usalama na utulivu vijana kujiepusha na ndoa. wapi kwingineko ambako mwingine kwa sababu
wa akili. Mtu ambaye Tufahamu kwamba mtu angeweza kupata ya ujinga na ubinafsi,
hakuoa au kuolewa kuanzisha maisha ya hifadhi bora zaidi kwa huugeuza muungano
hufanana na ndege asiye pamoja ya ndoa, vijana ajili ya ujana kuliko huu wa upendo na ulio
na kiota. Ndoa hutoa wangepata kujitegemea kitengo cha familia yenye barikiwa kuwa jela yenye
huduma ya hifadhi zaidi na pia kupata kuaminika? Ni hamu ya giza au hata Jahanamu
kwa kila mtu anayehisi mwenza mwema na wa kupata familia ambayo iwakayo moto!
AN-NUUR
16 JAMAADAL UULA 1441, IJUMAA JANUARI 10-16, 2020 AN-NUUR
Gazeti la AN-NUUR sasa linapatikana katika
website www.annuurpapers au kwenye
Mitandao kupitia
mpaper.co.tz, Dondosha na simgazeti.com
Usipitwe na habari na Makala za
uchambuzi kila Ijumaa
katika simu yako
16 JUMAADUL UULA 1441, IJUMAA JANUARI 10-16, 2020 ya mkononi au Kompyuta yako.

Sururu Foundation waandaa kongamano la mabinti


Na Bint Ally Ahmed. sawa lakini kama mama

T
anakuwa ameandaliwa
AASISI ya atahakikisha
Aisha Sururu anasimama na mtoto
(Aisha Sururu wake katika malezi na
Foundation) kimaadili hata baba
imeandaa kongamano asipokuwepo.”Amesema
Bi. Sururu.
la maadili kwa Aliongeza akisema,
mabinti walioko Vyuo “tunaiomba serikali
Vikuu na shule za itoe elimu kwa wingi
sekondari nchini. hasa kwa mabinti ili
Mwenyekiti wa wanapomaliza masomo
Taasisi hiyo amesema wasikae wakasubiria
kuwa lengo la kufanya ajira rasmi bali waanze
kujishughulisha na
kongamano hilo hasa biashara ndogo ndogo
kwa mabinti ni kuandaa ili waendelee kujikimu
kizazi chenye maadili kimaisha.
kutoka kwa mama Bi. Sururu amesema
watarajiwa kwa kuwapa kuwa taasisi yake
elimu na kuwafanya inatarajia kuwaunganisha
kuwa wanawake watakao vijana wa vyuoni na
jua majukumu yao pindi shule za Sekondari
watakapo ingia katika nchi nzima ili kutoa
kuzijenga familia zao. elimu hiyo na kuwapa
Bi. Sururu amesema semina mbalimbali
kuwa jamii zetu za kujitambua na
zinaharibika kwa kukosa ujasiriamali hata
malezi bora hasa kutoka watakapo maliza vyuo
kwa kinamama ambao wasiwe mizigo kwa
ndio walezi wakuu wa familia zao.
familia wameshindwa Naye Ukht Fatma
kuwandaa watoto Mdidi amewataka
wao katika malezi ya wanafunzi wakike
kimaadili. na wasichana kuona
“Leo utamkuta thamani ya miili yao na
mtoto wa kike anatoka kutokuionyesha kwa BI Aisha Sururu
nyumbani nguo aliovaa yoyote ila yule atakae katika kongamano hujawahi kufanya jambo
huwezi mtizama mara lililopewa jina la lolote (Yaani jimai)
mbili lakini kama mama jitokeza kwa kufuata “Muslim Queen`s day” hakika mwanaume
ni mtu anaejiheshimu sharia na taratibu za
Kiislamu. lililoandaliwa na Aisha huyo atakuheshimu
atashirikiana na baba Sururu Foundation. atakupenda kidhati na
mtoto kuhakikisha nguo Fatma Mdidi Ukht Fatma amesema milele na atakuthamini
hiyo haivaliwi kwa ameyasema hayo wakati kuwa msichana lakini zaidi atakuamini
mtoto huyo lakini kama akiongea na wanafunzi ukijitunza mpaka siku zote.
mama hayuko vizuri wa kike wa vyuo vikuu utakapofika wakati Ukht Fatma
kimaadili atamvalisha pamoja na shule za amewataka mabinti
nguo isiyo na maadili wako na ukampata
pale baba anapokuwa Sekondari za hapa jijini mwenza mkafunga wavae stara kama
hayupo akirudi Dar es Salaam mwisho ndoa na akakukuta ambavyo ameamrisha
anamkuta mtoto yuko wa wiki iliyopita ukiwa salama yani Mwenyezi Mungu.
Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 Dar es Salaam.

You might also like