Professional Documents
Culture Documents
Education Certificate
Education Certificate
OFISI YA RAIS
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Katibu Mkuu,
Wizara ya Maliasili na Utalii, Kamishna wa Uhifadhi, Mamlaka ya Usimamizi wa
Wanyamapori Tanzania (TAWA), Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Musoma
na Wakurugenzi Watendaji wa Halmashauri za Wilaya ya Igunga, Kasulu, Njombe,
Kilwa, Magu na Mbozi anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa
na uwezo wa kujaza nafasi kumi (10) kama zilivyoainishwa katika tangazo hili.
1
viii. Kukusanya na kutunza vielelezo vya ushahidi na kutoa ushahidi Mahakamani;
ix. Kukagua wanyamapori kwenye mashamba na mazizi ya wanyamapori na
kukusanya takwimu zao;
x. Kusimamia taratibu za kusafirisha wanyamapori hai na nyara nje na ndani ya
Nchi;
xi. Kudhibiti wanyamapori waharibifu;
xii. Kudhibiti moto kwenye hifadhi; na
xiii. Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa zinazoendana na taaluma yake.
1.0.4 MSHAHARA
Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGS B
2.0.4 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS C.
3
3.0.3 SIFA ZA MWOMBAJI
Kuajiriwa wenye Shahada ya kwanza ya Sayansi ya Mifugo (Animal Science)
kutoka Chuo Kikuu kinachotambuliwa na Serikali au sifa inayolingana nayo.
3.0.4 MSHAHARA
Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali TGS D.
4.0.4 MSHAHARA
5
5.0.3 SIFA ZA WAOMBAJI
5.0.4 MSHAHARA
6
viii. Waombaji waliostaafishwa katika Utumishi wa Umma hawaruhusiwi kuomba
isipokuwa kama wanakibali cha Katibu Mkuu Kiongozi.
ix. Waombaji kazi ambao tayari ni waajiriwa katika nafasi za kuingilia walioko
katika Utumishi wa umma wasiombe na wanatakiwa kuzingatia maelekezo
yaliyo katika Waraka Na CAC. 45/257/01/D/140 wa tarehe 30 Novemba,
2010.
x. Uwasilishaji wa taarifa na sifa za kugushi wahusika watachukuliwa hatua za
kisheria.
xi. Mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni tarehe 04, Marchi, 2021.
Muhimu, kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa
pamoja na vyeti vya elimu. anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa;
KATIBU
OFISI YA RAIS
SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA
S.L.P. 2320 DODOMA.
i. Maombi yote yatumwe kwenye mfumo wa kielektroniki wa Ajira (Recruitment
Portal) kupitia anuani ifuatayo;
http://portal.ajira.go.tz/
(Anuani hii pia inapatikana kwenye tovuti ya Sektretarieti ya Ajira kwa kuingia
sehemu iliyoandikwa ‘Recruitment Portal’)
Limetolewa na;
KATIBU
SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA