Professional Documents
Culture Documents
Bei Za Reja Reja Za Mafuta Kuanzia Tarehe 6 Oktoba 2021
Bei Za Reja Reja Za Mafuta Kuanzia Tarehe 6 Oktoba 2021
Katika kukabiliana na kupanda kwa bei za mafuta katika soko la dunia, Serikali
imerekebisha tozo mbalimbali kwa taasisi zote zinazotoza tozo kwenye biashara
ya mafuta hapa nchini.
Uamuzi huo ulifikiwa leo, tarehe 5 Oktoba 2021, baada ya Mhe. Samia Suluhu
Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kuitisha kikao cha
kujadiliana namna bora ya kupunguza bei za mafuta hapa nchini na kuhakikisha
kunakuwepo na utangamano wa hifadhi ya mafuta (security of supply), lakini pia
kuwahakikishia wafanyabiashara wa mafuta hapa nchini wanafanya biashara
katika na mazingira mazuri.
Kutokana na hatua hizi bei za mafuta kuanzia kesho Jumatano ya Tarehe 6 Oktoba
2021 zinakuwa kama ifuatavyo:-
BEI ZA JUMLA
Dizeli Mafuta ya Taa
Petroli (TZS/Lita) (TZS/Lita) (TZS/Lita)
DAR ES SALAAM 2,308.90 2,131.57 2,058.93
TANGA 2,348.33 2,115.34
MTWARA 2,324.95 2,149.78