Professional Documents
Culture Documents
2 Yohana
2 Yohana
Utangulizi
Waraka wa pili wa Yohana umeandikwa kwa “Bibi mteule (Siria na watoto wake)”, ambao unaweza kuwa
unamhusu mtu binafsi na jamaa yake, au kuna uwezekano kabisa kwamba unalihusu kanisa. Msisitizo
umewekwa katika umuhimu wa imani kwamba Yesu ni Mwana wa Mungu katika umbo la mwanadamu na
kwamba waamini wanaosoma inawapasa kudumu katika pendo la Mungu na kukataa mafundisho potofu ya
imani.
Yohana pia aliandika kuwaonya ili waweze kutambua walimu wa uongo wanaosafiri huku na huko, wao
wasije wakawaunga mkono na kuwasaidia. Yaani mtu ye yote asije akachangia kwenye kueneza mafundisho ya
uongo badala ya yale ya kweli.
Wazo Kuu
Mwenendo wa waamini na kuwaonya hao waamini dhidi ya wadanganyaji jinsi wanavyodanganya.
Mwandishi
Yohana, yule mwanafunzi mpenzi aliyeegama kifuani mwa Yesu wakati wa chakula cha mwisho na
wanafunzi Wake.
Tarehe
Waraka huu uliandikwa 90 B.K.
Mahali
Efeso.
Mgawanyo
• Salamu (1:1 - 3)
• Ushauri na maonyo (1:4 - 11)
• Hitimisho (1:12 - 13)
1
2Yohana
mlivyosikia tangu mwanzo, kwamba mwenende
Salamu katika upendo.
1Mzee, 7Wadanganyifu wengi, wasiokubali kwamba
nakuomba, si kwamba ninakuandikia amri lakini sitaki kutumia karatasi na wino. Badala
mpya, bali ile tuliyokuwa nayo tangu mwanzo. yake, nataraji kuja kwenu na kuongea nanyi ana
Sisi na tupendane kila mmoja na mwenzake. kwa ana, ili furaha yetu ipate kuwa timilifu.
6Hili ndilo pendo, kwamba tuenende sawasawa
na amri Zake. Hii ndiyo amri Yake kama vile 13Watoto wa dada yako mteule
wanakusalimu. Amen.
2
2Yohana