Professional Documents
Culture Documents
3 Yohana
3 Yohana
Utangulizi
Waraka wa tatu wa Yohana anaandikiwa Gayo, ambaye yawezekana alikuwa na wajibu wa kichungaji au
inawezekana alikuwa kiongozi muhimu katika kanisa. Anaelekezwa kuwasaidia na kuwahudumia wale wanaokuja
kama wajumbe wa Mungu. Pia anapewa onyo kuhusu Deotrefe, juu ya tabia yake ya kukosa ushirikiano. Yohana
anaeleza tarajio lake la kuja na kushughulikia tatizo hili yeye mwenyewe.
Wazo Kuu
Wajibu wa binafsi kuhusu watumishi wa kweli na wa uongo.
Tarehe
Waraka huu uliandikwa 90 B.K.
Mahali
Efeso.
Mgawanyiko
• Salamu (1:1- 4)
• Kutiwa moyo kwa Gayo (1: 5 – 8)
• Kukemewa kwa Deotrefe (1: 9 – 10)
• Kusifiwa kwa Demetrio (1: 11 – 12)
• Hitimisho (1:13 – 15)
1
3Yohana
Wasalimu hao rafiki zetu walioko huko, kila
Salamu mmoja kwa jina lake.
1Mzee,
Deotrefe Na Demetrio
9Nililiandikia kanisa, lakini Deotrefe yeye
Salamu Za Mwisho
12Kila mtu ameshuhudia mema kuhusu
2
3Yohana