Professional Documents
Culture Documents
FILEMONI
FILEMONI
Utangulizi
Waraka huu mfupi uliandikwa na Paulo kutoka Rumi nao umeainishwa na ule wa Waefeso, Wakolosai na
Wafilipi kama mojawapo ya nyaraka zake za gerezani. Ameandikiwa Filemoni, kwa Afia mwanamke mkristo, (
huenda alikuwa mkewe Filemoni ), kwa Arkipo (Kol.4:17) na kwa kanisa lililokuwa likikusanyika nyumbani kwa
Filemoni.
Bila shaka Onesmo alikuwa ametoroka kutoka kwa Filemoni huko Kolosai kwenda Rumi, ambako aliongoka
na kushirikiana na Paulo. Kama mtumwa, alikuwa mali ya Filemoni kisheria. Zaidi ya hayo inawezekana Onesmo
alikuwa anadaiwa vitu fulani fulani na Filemoni.
Kwa barua hii Paulo anamtuma Onesmo kwa Filemoni, akisisitiza kwamba mwenendo wa kikristo ungepaswa
utawale katika uhusiano wao. Paulo anaomba msamaha kwa ajili ya Onesmo, akiomba akubaliwe kama ndugu
mkristo. Ombi hilo limeandikwa kwa maarifa na waraka huu umepangwa kwa namna ambayo ungejenga
kusikilizana, kushawishi nia na kuamsha hisia.
Mwandishi
Mwandishi waraka huu ni Mtume Paulo.
Tarehe
Huu ni mojawapo wa waraka wa gerezani
Mgawanyo
• Salamu (1:1- 3)
• Kuhusika kwa Paulo na upendo (1:4 – 7)
• Paulo kumwombea Onesmo (1:8 – 22)
• Kuagana (1:23 – 25)
1
Filemoni
Salamu nipate faida kwako katika Bwana, uuburudisha
1Paulo, mfungwa wa Kristo Yesu, pamoja moyo wangu katika Kristo. 21Nikiwa na hakika
na Timotheo ndugu yetu, ya utii wako, nakuandikia, nikijua kwamba
utafanya hata zaidi ya yale nisemayo.
Kwa Filemoni rafiki yetu mpendwa na 22Jambo moja zaidi: Niandalie chumba cha
mtenda kazi mwenzetu, 2kwa dada yetu wageni, kwa kuwa nataraji kurudishwa kwenu
mpendwa Afia, kwa Arkipo askari mwenzetu na kama jibu la maombi yenu.
kwa kanisa lile likutanalo nyumbani mwako:
Salamu Za Mwisho Na Dua Ya Kuwatakia
3Neema iwe nanyi na amani itokayo kwa Heri
Mungu Baba yetu na Bwana Yesu Kristo. 23Epafra, aliye mfungwa mwenzangu katika