Professional Documents
Culture Documents
Ukomo Wa Muda Katika Kuanzisha Shauri La Mirathi Katika Mahakama Za Mwanzo Tanzania
Ukomo Wa Muda Katika Kuanzisha Shauri La Mirathi Katika Mahakama Za Mwanzo Tanzania
Sheria ya Mahakimu sura 11 Marejeo ya mwaka 2018, kifungu Na. 18, 19, 20,
21 vya sheria hii vinaelezea wazi namna gani Shauri la MIRATHI liko chini ya
mamlaka ya Mahakama hii kulingana na Thamani ya Mali husika ya urithi
(within the court's pecuniary jurisdiction).
hivyo basi baada ya kifo cha Marehemu Inabidi taratibu za msingi zifuatwe ili
kupelekea maombi ya uteuzi wa Msimamizi wa MIRATHI ya marehemu
ufanyikie Mahakamani ili kulinda Mali na haki za marehemu sababu muda
katika Mashauri ya madai Sheria ya Ukomo wa Muda (Law of Limitations)
inahusika sana hapa.
Hata hivyo Mahakama Kuu (Mhe. Mruma, J.) katika kesi ya Majuto Juma
Nshahuzi vs Issa Juma Nshahuzi PC Civil Appeal No. 9 of 2014 HC at
Tabora 28 ilitoa mtazamo mpana zaidi juu ya ukomo wa kufungua Mashauri ya
mirathi ambapo Mahakama ilitamka kwa kimombo:-