You are on page 1of 60

ُ‫اُؼَوَِثُٖـخ‬

ٍ‫ثَِْ ٌٍَْ ٍَ ِوَِغ‬

KIARABU
CHAPU-CHAPU 2

ABU-TAYYIB KHALFAN TIWANY

HAKI ZA KUCHAPISHA ZIMEHIFADHIWA

1435 H - 2014
‫ُٓوَ ‪ٚ‬ل َٓخُ أٌُزَبةِ‬

‫ت رَىِؤَ ّْ ُِٔغُيِ ِء اَْوٖ ٍِ وَاَُّنٌِٔ عَب َء َرإُْٔ ُِ ُل ُ‪ ٚ‬كٍِٔ ٌََِّْ احلٔىَاهِ‪ ،‬وَ َ‪ٛ‬نَا اجلُيِءُ عَب َء َرإُْٔ ُِ ُل ُ‪ٚ‬‬
‫‪َٛ‬نَا اٌُُزَُ‪ُ ٚ‬‬
‫كٍِٔ ٌَّْ َِ اُوٍَٖبئَِٔ‪ ،‬ػَِْوْ ِٓٔ٘هَب َُهَب ‪َٝ‬بثِ ْغ ُٔوٍََبئٔ ََ اعِزَٔٔبػُٖٔخٕ‪ ،‬وَؤَهِثَغْ ٖٓٔٔب رَجَوًَّ َُهَب ٌَْٗ َه ٌخ‬
‫ذ ثِوٍَِبَُ ٕخ كٍِٔ َٓؾَب ٔك َِ االِٕ ٔ‪ٞ‬الَؽُٔ‪َٖ ُِٚ‬‬
‫َ َخ ػََْوَح ‪ ٍَ ٔٛ‬كٔ ٍِ اُىَاهٔ ِغ َََُُِ ِ‬
‫ُٔوٍََبئٔ ََ هٍَُِٖٔٔخٕ‪ .‬وَاخلَبٓٔ َ‬
‫حل ْل َِخٔ‪ ،‬وَافِزَزََِٔ٘ب ثَِ٘ب ٔك َِ ٕخ‬
‫ؤٌََُٖ٘هَب َُهَب ُٕىِ َه ٌح ًَُٖىِ َه ٔح اُوٍَٖبئَِٔ‪ ،‬بِٖٗهَب ثِ‪َٞ‬ب َه ُخ كَػِ َى ٕح ُٔؾُ‪ُٚ‬ىِهِ ا َ‬
‫ً ؽَزًٖ َوْىَي َػًَِ‬
‫ي َرإْ‪ َُ ُِٔٛ‬اُلٖاهِ ِ‬
‫ط كٔ ٍِ ًٔزَبَث ٔخ أِ ِػالََٗبدٔ‪ ،‬اُـَبَخُ ٓٔ ِٖ مَُٔ َ‬
‫٘ اَُٖ٘ٔبمٔ ِ‬
‫رََزؼََِّ ُن ثَِجؼِ ِ‬
‫ادلَُْبهَ ًَ ٔخ كٍِٔ عَُِٔٔغِ َٓغَبالَدٔ احلََُب ٔح كُوِ َٕ اٍِزٔضَْ٘بءٍ‪.‬‬

‫ظ اََُِِّبَٕ ؽَزًٖ َِ٘ َ‪َ ِٔٞ‬ن َزٌَََِّ ُْ كُوِ َٕ َرإَْرَإحٕ‪ ،‬وَ َال َكإْ َكَإحٕ‪،‬‬
‫ظ ؤََّٕ اجلُيِ َء اَْوٖ ٍَ ًَب َٕ َُؼَبُٔ ُ‬
‫بِمًا ُٗالَؽٔ ُ‬
‫وَ َال َر َِؼِضٍُْ‪ ،‬وَ َال رَوَكٗكٕ‪ ،‬وَ َال رَىَهُّقٕ‪َُ ،‬ؼَج‪ُ ٚ‬و ػَٖٔب ََْبءُ‪َُُِ ،‬ىِ ُى ادلَُزؼَِِّ ُْ اُ ٌَالَ َّ َُِّٔٔ٘ب وَ َّٔٔب ًال كُوِ َٕ‬
‫ف وَ َال وَعٍََ‪.‬‬
‫فَىِ ٕ‬

‫ظ اَُُلَ ؽَزًٖ رَِ٘ َ‪َ ِٔٞ‬ن ًَبرَٔج ًخ ؿََُ َو فَب‪َٔٝ‬ئخٕ‪،‬‬


‫َؤٖٓب ‪َٛ‬نَا اجلُيِ ُء َكةِٖٗ ُ‪َُ ٚ‬ؼَبُٔظُ ُِْٓ ٌٔ َِ َخ اُٖزؼِجُِِوِ‪ ،‬كَهُ َى بِمًا َُؼَبُٔ ُ‬
‫َ َِ َخ‪ (( :‬اُؼَوَثُِٖ ُخ‬
‫َِْ ِ‬
‫ذ كٍِٔ اجلُيِ ِء اَْوٍِٖ‪ :‬ؤَٗ‪ ٍِ ٚ‬ؤُ ِئٓٔ ُٖ بََِِٔبّٗب ؤََّٕ َٓ ِٖ هَوََؤ ‪ٔ َٛ‬ن ٔ‪ ٙ‬اُ ‪ٚ‬‬
‫رَنًََّوِ عَُ‪ٚ‬لّا ؤَٗ‪ُ ٍِ ٚ‬هِْ ُ‬
‫ت اُ َؼ َوثُِٖ َخ ِث َ‪ٞ‬الَ َه ٕخ َػًَِ‬
‫ثٌٍََِْْ ٍَوَِِغٍ )) ًَب ٔٓ َِخً‪ ،‬وَاٍِزَىِػَجَهَب اٍِزٔ ُِؼَبثّب ٍََُِ٘ َ‪ُ ِٔٞ‬ن َزٌَََِّ ُْ وٌََْزُ ُ‬
‫ة ؤَِٗلَُِهِِْ‪ ،‬وَثٌَُِِّ ٍُهُىَُِخٕ‪ ،‬وَكٔ ٍِ كَزِ َو ٕح وَعُِِ َيحٕ‪.‬‬
‫‪َٝ‬وَِِ َو ٔخ اُؼَوَ ِ‬

‫وَاُىَاهٔ ُغ هَ ِل َإْثًَ ‪ٔ َٛ‬ن ٔ‪ ٙ‬اُلٖػِىَي‪ ،‬وَ َال َوَْجُِهَب ‪َٝ‬وِ َك َخ ػٍَُِٖ‪ ،‬ؤٌََُِٖ٘٘ ٍِ ؤُمًَِّوُ َى َؤٗ‪ ٍِ ٚ‬ؤٍَِزَهِ ٔلفُ ٔٓ ِٖ‬
‫ً ثِبُلٖهَ َع ٔخ اُْوًَُِ‪،‬‬
‫ف كٔئَبدٕ ُٓؼََُٖ٘خً ٓٔ َٖ اُٖ٘ب ِ‬
‫َبكخً‪ًََٔ ،‬ب ؤٍَِزَهِلٔ ُ‬
‫ً ً َّ‬
‫َ َِ ٔخ اُٖ٘ب َ‬
‫َِْ ِ‬
‫ٔفالَ ٍِ ‪ٔ َٛ‬ن ٔ‪ ٙ‬اُ ‪ٚ‬‬
‫ة ػَِْوِ ٍُِِٔ٘ َٖ َرؼَُِّّٔب َوَر ِؼُِِّٔٔب))‪،‬‬
‫ٕؾَب ُ‬
‫ؤَ َال وَ‪ ِْ ُٛ‬اَُّنَِٔ َٖ ػِٔ٘لَ‪َ ُِْٛ‬ف ِْلُٖٔ ٌخ ‪ََُٚٝ‬ج ٌخ ُِٔ ٖـ ٔخ اُؼَوَثُِٖ ٔخ ‪(( :‬ؤَ ِ‬
‫َْٖٗهُ ِْ ػِٔ٘لَ‪َٓ ُِْٛ‬قِيُوٌِٕ َال ََُِزَهَب ُٕ ِث‪ ،ٔٚ‬وَهَُِٕٔ ْل َُؼَِجُإ ِث‪َ ٔٚ‬ؽؤ ُِ َوخً‪ ،‬وَمَفُِٔ َو ٌح ُ‪ ِْ ٛ‬كٔ ٍِ اُىَاهٔ ِغ‬
‫‪ٙ‬ؾ‪ ٍِ ٚ‬كٔ ٍِ‬
‫ْؼُوُوِا‪َٛ .‬اُالَ ِء ‪ ُْ ُٛ‬اُِّنَِٔ َٖ ؤُعَب‪ٔٛ‬لُ ٓٔ ِٖ ؤَ ِع ِٔ ِهِْ‪ ،‬وَؤُ َ‬
‫َٓؾَُِىِكُوِ َٕ َػَُِِهَب َّؼَوُوِا ؤَ ِّ َُ ِْ َ ِ‬
‫ٌ كٍِٔ َٓؾَِِّهَب وَالَ ُٓجَبَُ َـ َخ كُِٔهَب‪.‬‬
‫ٌ وَاُٖ٘لٌُِِٔ‪ .‬بِمًا كَػِىَا ِ‬
‫ٍَجِ ُِِٔهِ ِْ ثِبُـَبُٔ ٍِ وَاُوٖفُِِٔٔ‪ ،‬وَاُٖ٘لْ ِ‬
‫ظ ٌُٔٔزَبةِ اهللِ‪ََُْ ،‬بهِ ُى كٍِٔ ََُٓبَث َو ٔخ اُوُوِآ ٕٔ ‪-‬وَ َال ِثلِ َػ َخ‬
‫ت ٔػِْ ٍْ ‪ُٛ‬ىَ ؽَبكٔ ٌ‬
‫ي رََٖىٖ ِه ‪َٝ‬بُٔ َ‬
‫هلل َػَُِِ َ‬
‫ثِب ِ‬
‫ق‬
‫ؾ ُ‪ ٚ‬ثِبَِخٔ‪َ ،‬وَزَىَهَّ ِ‬
‫َٕ ا ُدلقِزَجِ َو كَبَر َ‬
‫‪َِٔٞ َِ٘ ٜ‬نُ ْ َّ‬
‫ي ‪ -‬وَ َال َ ْل َو‪ َٖ ٔٓ ُٚ‬اُوُوِإٓٔ َُِّئًب‪َ ،‬كوَ ْ‬
‫كٔ ٍِ مَُٔ َ‬
‫ذ‬
‫ي َُوَبَٓ ٔ‬
‫ٌ بِالَّ‪ .‬وََُ ِى هُِٔ ََ َُ ُ‪ ٚ‬ؿَُِ ُو مَُٔ َ‬
‫ػِٔ٘ َلَٓب َََِٔ ِغ ًَِٔ َٔخَ‪(( :‬ؽَِِجُيَ)) َْٖٗ ُ‪ُُ ٚ‬وَِّ٘هَب َر ِْؤُِّ٘ب َُُِ َ‬
‫ة َوَٓب َثؼُلَ!!‬
‫َ ٔ‪ ٚ‬وََُ ِْ َر ْوؼُلُ‪ ،‬وََْفَ َن‪َٓ ُٙ‬ب هَوُ َ‬
‫اُلَُِٗٗب كٔ ٍِ َٗلْ ِ‬

‫ي اُ ٌَ ِوَِِْ‪َ ،‬وَروَجٖ َْ‬


‫اَُِّهُ ْٖ ؤَػٔ٘‪ ٍِ ٚ‬كٔ ٍِ ػَىِِٗهِِْ‪ ،‬وٍََه‪ََُ٘ َْ ٚ‬ب اُ‪َّٞ‬وَِِ َن كٔ ٍِ كَهِ ِْ ُ َـ ٕخ ‪ ٍَ ٔٛ‬وِػَب ٌء ٌَُٔزَبثِ َ‬
‫هلل َػًَِ ٍَُ‪ٚ‬لَٔٗب َوَٗجُِ‪َ٘ٚ‬ب‬
‫ٓٔ٘‪َٛ ٍِ ٚ‬نَا اُؼََََٔ‪ ،‬وَاِٗ َلؼِِ٘ ٍِ ِث ٔ‪َ ٚ‬ىَِّ َال َ ِ٘لَغُ َٓبٌٍ‪ ،‬وَ َال ثَُ٘ىَِٕ‪ ،‬وًَََِّٕ ا ُ‬
‫هلل َػَِ ُِ ٔ‪ ٚ‬وٍََََِّْ‪ .‬آَُِٖٓٔ‪.‬‬
‫ُٓؾَٖٔ ٕل ًََِّٕ ا ُ‬

‫ت فَِْلَبُٕ ثِ ُٖ ٍُ ََُِِٔب َٕ اُ‪ِّٞ‬ىَاٍِٗٗ‬


‫اُ‪ِ ُٚٞ‬‬
‫وَ ًََزجَ‪ ُٚ‬ؤَثُ ِى َّ‬

‫ؽُو‪َ ٚ‬ه كٍِٔ ‪ِ َّ ِٖ ٔٓ 11‬ؼجَبٕ ‪ٛ 1435‬ـ ادلُىَاكٔن ‪َُ 10‬ىُُُِى ‪2014‬‬


UTANGULIZI

Kijitabu hichi ni pacha wa ‘Kiitabu cha Kwanza’ ambacho


kimetungwa katika mtindo wa mazungumzo, na hichi
kimetungwa katika mtindo wa barua, kumi kati ya hizo zina
muelekeo wa barua za kijamii, nne zina harufu ya barua za
kiidara zaidi, na ya kumi na tano kwa hakika si barua katika
mahafali ya watu wa istilahi, hata hivyo ina sura ya barua kwani
ni kadi ya mualiko wa kuhudhuria hafla (shughuli), na mwisho
nimemalizia kwa nyongeza ya namna ya kuandika matangazo,
lengo ni kumfanya mwanafunzi aweze kushiriki katika kila
nyanja za maisha pasi na kuacha pahala.

Tutaona kuwa juzuu ya kwanza ilikuwa ikitibu ulimi ili uweze


kufyatuka kwa kuzungumza pasi na kigugumizi, kibubusi,
kusuasua, kutaraddad wala kusimasimama, unazungumza
unachokitaka. Mwanafunzi anayaramba maneno kulia na
kushoto pasi na khofu wala kuogopa.

Juzuu hii ya pili inatibu tatizo la kujieleza, kwa maana inatibu


tatizo la mkono ili uweze kuandika pasi na kukosea. Kumbuka
vizuri kuwa nilisema katika juzuu ya kwanza kuwa: Mimi nna
imani kuwa atakaesoma mtiririko huu wa vitabu vinavyoitwa:
KIARABU CHAPUCHAPU vyote, na kuvifahamu, ataweza
kuzungumza na kuandika kiarabu kwa ufasaha kama warabu
wenyewe na kwa wepesi kabisa na kwa muda mfupi.

Ukweli wa mambo unaweza ukakataa madai haya, na


usiyakubali katakata, lakini kumbuka kuwa mimi katika
mtiririko huu wa utunzi nimewalenga watu wote wanaojifunza
kiarabu, lakini niliowalenga zaidi ni wale watu wa MIAKA
KUMI-KUMI YA KUSOMA NA KUKISOMESHA KIARABU
wala hawakijui!! Ni kwa sababu watu hao wana hazina kubwa
isiyobezeka, na akiba ya kuheshimika kwa kweli, bali kwa
uhakika wao ni wana marisau ya kuonewa choyo hasaa ikiwa
wanajua au hawajui. Hao ndio walionipelekea mimi kufanya
jihadi kwa ajili yao, na kujitolea muhanga kufanikisha lengo
hili.kwa thamani kubwa na ndogo, na nafsi na mali. Kwa hivyo
bado madai yangu yako palepale pahala pake wala
hayakukuzwa hata kidogo.

Jamani kweli ni halali hii, hebu tazama huyu mwanafunzi


ambaye kahifadhi KITABU CHA ALLAH na anashiriki katika
mashindani ya Qur-ani – wala hilo si bidaa – hafahamu
chochote katika Qur-ani zaidi ya kuwa Mtahiniji kamuanzia
aya yeye akaendelea na husimama pale anaposikia neno
(HASBUK) yaani INAKUTOSHELEZA, kwa sababu
kafundishwa neon hilo kisawasawa hakuna jengine. Na laiti
ataambiwa jengine basi dunia itamkulia katika nafsi yake na
yatamfika yakumfika asijue la kufanya.

Yaa Rabb! Naomba unisaidie katika kuwasaidia watu hao, na


utusahilishie njia ya kuifahamu lugha ambayo ni chombo
kilichobeba KITABU CHAKO, na unikubalie amali yangu hii
inifae siku ambayo haimfalii mtu mali yake, wala watoto wake.
Rehma na amani ziwe juu ya Bwana wetu na Mtume wetu
(s.a.w.w), AMEEN.

ABU-TAYYIB Khalfan Tiwany.


ُِِْٔ‫ثَِِِْ اهللِ اُ ٖوؽَِِٖٔ اُ ٖوؽ‬

ُّ ‫س التَّ ْم ِه ْي ِد‬
)1( ‫ي‬ ُ ‫الد َّْر‬
.‫َبٖٓخٌ ِٖٔٓ وٍََبئَِٔ اُزٖىَإَُِ هَلَِّٔٔب وَؽَلَِٔضًب‬ٛ ٌ‫ٍَبَُخُ ؤٍََُِِخ‬ٚ‫اُو‬

Barua ni njia muhimu miongoni mwa njia za


mawasiliano kwa zamani na kwa sasa pia.

،َ‫ اُىَ َههَخ‬:ً‫وَ ؤَهِثَؼَخَ ؤََُِّبءَ ؤٍََبٍُٖٔخ‬ٚ


ٔ ِ‫ِبمَا ؤَ َهكَِٗب ؤَْٕ ٌَْٗزُتَ هٍَِبَُخً َٓب كَالَ ثُلٖ ؤَْٕ ُٗؾ‬
.َ‫َّىَاثِغ‬ُٞ‫ وَا‬،َ‫َاُظوِف‬
َّ ‫ و‬،َََِْ‫وَاُو‬
Tukitaka kuandika barua fulani basi ni lazima
tuhudhurishe vitu vinne vya msingi: Karatasi,
Kalamu, Bahasha na Stempu.

.ٔ‫ٍَبَُخ‬ٚ‫ُٕ كٔ ُِهَب َؤكٌَْبهَ اُو‬ٚ‫ اُىَ َههَخُ ُٗلَو‬


KARATASI tunaandika ndani yake madhumuni ya
barua.
.ٔ‫ٍَبَُخ‬ٚ‫ٔ َؤكٌَْبهَ اُو‬ِٚ‫ُٕ ث‬ٚ‫ اُوََُِْ ُٗلَو‬
KALAMU ni ya kuandikia madhumuni ya barua.

َٖٓٔ ٍٚٔ‫ٔ اخلَِْل‬ِٚ‫ وٌََْٗزُتُ ػَُ٘ىِإَ ا ُدلؤٍَِِ كٍِٔ اُىَع‬،َ‫ٍَبَُخ‬ٚ‫ٔ اُو‬ُِٚٔ‫اُظوِفَ َٗؾِلَظُ ك‬
َّ 
.ٔ‫اُظوِف‬
َّ َٖٓٔ ٍٚٔٓ‫ٔ آََْب‬ِٚ‫ٔ كٍِٔ اُىَع‬َُُِِٚ‫ وَػُِ٘ىَإَ ا ُدلوٍََِِ ب‬،ٔ‫اُظوِف‬
َّ

BAHASHA tunahifadhia ndani yake barua, na


tunaandika nyuma yake anuani ya MPELEKAJI, na
anuani ya MPELEKEWAJI usoni mwa bahasha.
ُ‫ وَرَقِزَِٔق‬،َُُِِٔٚ‫ٍَٔ ػٔجَبهَحٌ َػِٖ هَُِٔٔخٔ اُزٖىَُِِِٕٔ بًَُِ ٌََٓبٕٔ ا ُدلوٍَِ َِ ب‬ٛ :ُ‫َّىَاثِغ‬ُٞ‫ ا‬
.ٔ‫اُظوِف‬
َّ ٔ‫َّىَاثِغُ ػَبكَحً كٍِٔ ؤَػًَِِ وَا ِعهَخ‬ُٞ‫ وَرُ ِْيَمُ ا‬،‫ِٖٔٓ كَوَُِخٕ بًَُِ ؤُ ِفوَي‬

STEMPU ni kitu kinachowakilisha malipo ya


kufikisha barua kwa MPELEKEWA, na malipo hayo
yatatafautiana baina nchi na nchi. Stempu
hubandikwa kidesturi juu ya uso wa bahasha.

:ٍَِِٔ‫ًَُِقَ ٌَْٗزُتُ ػُِ٘ىَإَ ا ُدلو‬


Vipi tunaandika anuani ya MUANDISHI (wa barua).

:‫ٌََنَا‬ٛ ٍٚٔ‫ٔ اخلَِْل‬ِٚ‫ٌَُْزَتُ ػُِ٘ىَإُ ا ُدلؤٍَِِ كٍِٔ اُىَع‬


Huandikwa anuani ya MPELEKAJI nyuma ya
bahasha hivi (ifuatavyo):

.ٍَّٔ‫ ٍو َُِٓزَو‬ْٞ ٍَ ًََِ‫ُ اُضُّالَصٍٔٗ ػ‬ٍُِٚٔ‫ ا‬


Jina kwa utatu wake (yaani: Jina la mtu, baba na babu)
katika mstari wa peke yake.
.ٍَّٔ‫وٍ َُِٓزَو‬ْٞ ٍَ ًََِ‫ٔ ػ‬ٙٔ‫ َههُْْ ُِٕ٘لُوِمِ َثوَِِل‬
Namba ya sanduku la posta katika mstari wa peke
yake.
.ٍَّٔ‫وٍ َُِٓزَو‬ْٞ ٍَ ًََِ‫ هَ ِٓيُ اَُجوَِِل ػ‬
Namba maalumu ya posta (code no.) katika mstari wa
peke yake.
.ٍَّٔ‫وٍ َُِٓزَو‬ْٞ ٍَ ًََِ‫ٔ ػ‬ٚٔ‫ وََٓؾََُّ ِبهَبَٓز‬
Mahala anapokaa katika mstari wa peke yake.
.ٍَّٔ‫وٍ َُِٓزَو‬ْٞ ٍَ ًََِ‫ٌََنَا اُلٖوَُِخ ػ‬َٛ‫ و‬
Hali ni hiyohiyo kwa nchi anayokaa katika mstari wa
peke yake.

ٕٔ‫وَِِوَخٔ ٔكٍِ ًٔزَبثَخٔ ػُِ٘ىَا‬ُٞ‫ا‬


َّ ٌِْ‫ٔ ثََ٘ل‬َُُِِٚ‫ كٌَُْزَتُ ػُِ٘ىَإُ ا ُدلوٍََِِ ب‬ٍٚٔٓ‫ٔ آََْب‬ِٚ‫ؤَٖٓب كٍِٔ اُىَع‬
.ٍَِِٔ‫ا ُدلو‬
Ama upande wa mbele wa bahasha huandikwa
anuani ya MUANDIKIWA BARUA kwa namna ileile
ya alivyoandikiwa MPELEKAJI.
ُّ ‫س التَّ ْم ِه ْي ِد‬
)2( ‫ي‬ ُ ‫الد َّْر‬
ِ ِ‫َن َنم ِا ُ ِ ْ َن َن ِا ِ ال َّل َن ا‬
SAMPULI ZA VIPANDE VYA BARUA

‫ اُؼَيَِِي‬/ ٍُِٔ‫ اُـَب‬+ ٍِ‫ َٕلَِٔ ٔو‬/ ٍِ‫ َؤ ٔف‬/ ٌِٔ‫وَأُل‬


Baba yangu/Ndugu yangu/Rafiki yangu + Mpenzi

‫ اُؼَيَِِيَح‬/ ‫ اُـَبَُُٔخ‬+ ٍِ‫ َٕلَِٔؤَز‬/ ٍِ‫ ُؤفِٔز‬/ ٍِ‫وَأُلَٔر‬


Mama yangu/Dada yangu/Shoga yangu + Mpenzi

َٔٙ‫َٕلَِٔ ٔوٍِ اُلَب‬


Rafiki yangu Mbora

:َِٔ‫َٓبدٔ اُ ٖوٍَبئ‬ٚ‫ٔغُ رَقِزَٔٗ ثُِٔوَل‬ٝ‫ٔ ادلَوَب‬ٙٔ‫َن‬ٛ


Vipande hivi vinahusiana na dibaji (utangulizi) za
barua.

.ِ‫ٌْْوِ وَاُزٖوْلَِٔو‬
ٗ ُ‫َُوَلِ رََِوَُِّذُ ِهٍَبََُزٌُُْ اٌَُؤََِِخَ ثِجَبُٔؾِ ا‬
Nimepokea barua yako tukufu kwa wingi wa
shukrani na wingi wa kuithamini.

.ِ‫ٌْْوِ وَاُزٖوْلَِٔو‬
ٗ ُ‫) ثِجَبُٔؾِ ا‬..( َ‫َُوَلِ رََََِِّٔذُ ِهٍَبََُزٌُُْ اٌَُؤََِِخَ ادلُاَ ٖهفَخ‬

.ِ‫ٌْْوِ وَاُزٖوْلَِٔو‬
ٗ ُ‫) ثِجَبُٔؾِ ا‬...( َ‫َُوَلِ اٍِزََِِٔذُ ًٔزَبَثٌُُْ اٌَُوََِِْ ادلُاَ ٖهؿ‬
Nimepokea barua yako tukufu iliyoandikwa tarehe
(...) kwa wingi wa shukrani na wingi wa kuithamini.

.ِٕٔ‫َبُثٌُُْ اٌَُوَُِِْ ثِجَبُٔؾِ ا ًٍََْ وَاحلُي‬ٞٔ‫َُوَلِ وٍَََِِِٕ٘ ف‬


Imenifikia barua yako adhimu kwa masikitiko na
huzuni kubwa.

‫وّا‬ٚ‫وٍَََِِِٕ٘ ًٔزَبُثٌُُْ اٌَُوَِِ ْْ ُٓزََإف‬

ً‫وَح‬ٚ‫وَََِٕزٍِِِ٘ ِهٍَبَُُزٌُُْ اٌَُؤََِِ ُخ ُٓزََإف‬


Imenifikia barua yako adhimu ikiwa imecherewa.

ُِِٔٚ٘ ٔ‫َبُثيَ اٌَُوَُِِْ ٔكٍِ ؽ‬ٞٔ‫وٍَََِِِٕ٘ ف‬


Imenifikia barua yako adhimu kwa wakati.

... ٍِِٖٗ‫ ٍَو‬/ َِ‫ََُوٍِِٗٗ ؿَبَخَ اَُٗوُوِهِ ؤَْٕ ؤُػِِٔ َٔي‬


Inanifurahisha mimi upeo wa furaha kukujuilisha
wewe (mme/mke) / Ilinifurahisha.

... ٍَِِٗ‫ َؤٍِؼَل‬/ َِ‫ََُِؼٔلٍُِِٗ ؿَبَخَ اَُٖؼَبكَحٔ ؤَْٕ ُؤفِجِوَى‬


Inanifurahisha mimi upeo wa furaha kukupa habari
wewe (mme/mke) / Ilinifurahisha.

... ٍَِِ٘‫ ؤَصَِْغ‬/ ‫يَِ ػِّْٔٔب‬َٞ ُِ ٔ‫الطِ ؤَْٕ ُؤؽ‬


َ ْ‫َُضِْٔظُ هَِِْجٍِ ؿَبَخَ أِص‬
Unaburudika moyo wangu kukupasha habari/
Uliburudika ...

َِ‫ٓٔ ِٖ َٓلِػَبحٔ ٍُوُوِهٌِِ ؤَْٕ ُؤكُِٔلَى‬


Kinachopelekea furaha kwangu ni kukujuilisha kuwa
...

:َِٔ‫ُِٔىِٕٔ اُ ٖوٍَبئ‬َِٚٔ‫ٔغُ رَقِزَٔٗ ث‬ٝ‫ٔ ادلَوَب‬ٙٔ‫َن‬ٛ


Vipande hivi vinahusiana na madhumuni ya barua.

.‫اجلَلَِٔوُ ثِبُنًِّْوِ ؤََّٕ ادلَؼِهَلٔ ٍَُـَِِنُ هَوَِِجّب‬


Kinachopaswa kukumbukwa hapa ni kuwa chuo
kitafungwa karibuni tu.

َْٕ‫ٔ ادلَُ٘بٍَجَخٔ ؤ‬ٙٔ‫َن‬ٛ ٍِ‫اجلَلَِٔوُ ثِبُنًِّْوِ ٔك‬


Kinachopasa kukumbukwa katika mnasaba huu ni

َ‫ُِٔ ٔلٍِ بًَُِ مَُٔي‬َٙ‫ ؤ‬/ َ‫ٔقِ بًَُِ مَُٔي‬َٙ‫ؤ‬


Ongezea jengine

.. ٍِٔٔ َِِ‫ ؤَْٕ رَؼ‬/ ََِِْ‫َبكَخٔ بًَُِ مَُٔيَ ؤَوَكٗ ؤَْٕ رَؼ‬ِٙٔ‫ثِب‬
Pamoja na hayo napenda kukujuilisha

:ٔ‫وٍَبَُخ‬ٚ ُ‫ٔغُ رَقِزَٔٗ ثِقَبرَٔٔخٔ ا‬ٝ‫ٔ ادلَوَب‬ٙٔ‫َن‬ٛ


Vimalizio vya barua:
/ ‫ َؤفُِٔوّا‬/ ِّ‫ ٔكٍِ اخلٔزَب‬/ ِ‫ ٔكٍِ فٔزَبِّ أٌُزَبة‬/ ٔ‫َبف‬َٞ‫ ٔكٍِ ِٗهَبَخٔ ادل‬/ ٔ‫هَبَخ‬ُٚ٘‫ٔكٍِ ا‬
.. ‫َؤفُِٔوّا وٌَََُُِ آفَو‬
Mwisho/ Mwisho wa mzunguko/ Mwisho wa barua/
Mwishoni/ Mwisho/ La mwisho na si jengine.

.. ‫ثَِِّؾْ رَؾُٖٔبٔرٍِ احلَبهٖحَ بًَُِ عَُِٔٔغِ َؤ ْكوَاكٔ ا ٍُِْوَحٔ فُُٖىِّٕب‬


Fikisha salamu zangu motomoto kwa watu wote wa
familia hasahasa ...

.. ِ‫ َؤفُٔٗ ثِبُنًِّْو‬،ٔ‫ثَِِّؾْ رَؾُٖٔبٔرٍِ احلَبهٖحَ بًَُِ عَُِٔٔغِ َؤ ْكوَاكٔ اُؼَبئَِٔخ‬


Fikisha salamu zangu motomoto kwa watu wote wa
familia hususan ...

.. ٔ‫ َوعَُِٔٔغِ ادلَؼَبهِف‬،ِ‫ثَِِّؾْ رَؾُٖٔبٔرٍِ احلَبهٖحَ بًَُِ عَُِٔٔغِ ا َْهَب ِهة‬


Fikisha salamu zangu motomoto kwa ndugu na
jamaa wote.

Sahihi / Saini / Mkwaju ْ‫ رَ ِىهُِٔغ‬/ ٌ‫َبء‬ِِٚٓ‫ب‬


ًََِٚٓ‫ ؤ‬/ َ‫وَهَّغ‬
Katia sahihi

Imeandikwa / Imehaririwa ‫َب‬ُٛ‫ رَؾِوَِِو‬/ ُُٙ‫رَْٖ رَؾِوَِِو‬


‫‪1‬‬ ‫اُ ‪ٚ‬وٍَبَُخُ اُْوًَُِ‬

‫ْ ِوكَخُ اُلٖافُِٖٔٔخٔ‪ٍُ ،‬غ‪ِْٚ‬ذُ‪ٍُٔٔ ،‬ؼَ ٍُِٔ‪ُٓ ،‬زَبثَؼَخ اُٖزَِغَُِِِ‪.‬‬


‫ادلُلْوَكَادُ‪ :‬اٍِزُوْجِِْذُ‪ِ ُٓ ،‬‬

‫ثَِِِْ اهللِ اُ ٖوؽَِِٖٔ اُ ٖوؽُِِْٔ‬

‫بًَُِ وَأُلَٔرٍِ اُؼَيَِِيَح‪.‬‬

‫الُّ ػََِ ٌُُِِْ وَ َهؽَِٔخُ اهللِ وَثَوًََبرُ‪.ُٚ‬‬


‫رَؾُٖٔخً ‪َُٚٝ‬جَخً‪ :‬اَُٖ َ‬

‫وَثَؼِلُ‪:‬‬

‫ََُوٍِِٗٗ ؿَبَخَ اَُٗوُوِهِ ؤَْٕ ؤُػِِٔ َٔئ ؤَ‪ ٍِٗٚ‬وََِْٕذُ ٔكٍِ اجلَيَِِوَحٔ اخلَ‪ِٚ‬وَاءِ ػِٔ٘لَ‬
‫اَُٖبػَخٔ اُىَاؽٔلَحٔ ظُهِوّا‪ ،‬وَاٍِزُوْجِِْذُ ٔكٍِ ادلَُِٔ٘بءِ اٍِزٔوْجَبالً ؽَبه٘ا‪ ،‬اٍِزَوْجََِزٍِِِ٘‬
‫ُِْٓ ِوكَخُ اُلٖافُِٖٔٔخٔ‪ ،‬وَػَلَ ْك َٖٓٔ اُ‪َّٞ‬بُٔجَبدٔ‪.‬‬

‫ٔك ٍِ َٕجَبػِ اَُُ ِىِّ اُضَّبٍِِٗ مَ‪َٛ‬جِذُ بًَُِ بِكَاهَحٔ ادلَؼِهَلٔ ُُٔٔزَبثَؼَخٔ اُزَِٖغَُِِِ‪َُ ،‬وَلِ‬
‫ٍُغ‪ِْٚ‬ذُ‪َ ،‬ؤٍُٔؼَ ٍُِٔ ثِبُلٖوَاِّ ٔكٍِ َٗلٌِْ اَُُ ِىِّ‪.‬‬

‫َو ٔكٍِ اُ٘‪ٚ‬هَبَخٔ الَ َََؼٍُِِ٘ بِالَّ ؤَْٕ َؤ ٌُِّوَىٔ ٌُّْوّا عَيَِِالً‪ ،‬ثَِِّ ٔـٍِ رَؾُٖٔبٔرٍِ احلَبهٖحَ بًَُِ‬
‫عَُِٔٔغِ َؤكْوَاكٔ ا ٍُِْوَحٔ‪.‬‬

‫ُٓؾٔجُٖزئ هَاهَُٔخُ ثِِ٘ذُ ٍَؼُِٔلٕ‬

‫بِِٓ‪َٚ‬بءٌ‪:‬‬

‫ؽُو‪ٚ‬هَ ٔكٍِ‬
BARUA NO. 1
MSAMIATI : Nimepokelewa, Msimamizi wa Dahalia,
Nimesajiliwa, Nimeruhusiwa, Kufuatilia usajili.
Bismillah Rrahmaan Rrahiim
Kwa mama mpenzi.
Maamkizi mema: Assalaam ‘Alaikum
Warahmatullaah Wabarakaatuhu.
Baada ya hayo: Inanifurahisha upeo wa kunifurahisha
kukujuilisha wewe kuwa nimefika Pemba saa saba
Adhuhuri, na nimepokewa bandarini mapokezi
motomoto, amenipokea msimamizi wa Dahalia na
baadhi ya wanafunzi (wanawake).
Na asubuhi ya siku ya pili nimekwenda kwa Uongozi
wa Chuo kufuatilia usajili, tayari nimesajiliwa, na
nimeruhusiwa kuanza kuhudhuria siku hiyo-hiyo.
Mwisho sina budi ila nikushukuru shukrani nyingi, na
nifikishie salamu zangu motomoto kwa watu wote wa
familia.

Wako akupendae Raaqiya Said


Sahihi
Imeandikwa ....
‫‪2‬‬ ‫اُضَّبَُِٗخُ‬ ‫اُ ‪ٚ‬وٍَبَُخُ‬

‫ادلُلْوَكَادُ‪ََُِ :‬ؼٔلٍُِِٗ‪ ،‬اػِزٔجَبهّا ِٖٓٔ‪ ،‬وَاعَهِذُ‪ ،‬ؤَُٔلْذُ‪َ ،‬ؤؽِجَجِذُ‪ ،‬هَ ُِلَ اَُُِِْٗٔخٔ‪.‬‬

‫ثَِِِْ اهللِ اُ ٖوؽَِِٖٔ اُ ٖوؽُِِْٔ‬

‫بًَُِ وَأُلَٔرٍِ اُـَبَُُٔخ‪:‬‬

‫الُّ ػََِ ٌُُِِْ وَ َهؽَِٔخُ اهللِ وَثَوًََبرُ‪.ُٚ‬‬


‫رَؾُٖٔخً ‪َُٚٝ‬جَخً‪ :‬اَُٖ َ‬

‫وَثَؼِلُ‪:‬‬

‫ََُِؼٔلٍُِِٗ ؿَبَخَ اَُٖؼَبكَحٔ ؤَْٕ ؤًَْزُتَ بَُِ ُِئ ‪َٛ‬نٔ‪ ٔٙ‬اُ ‪ٚ‬وٍَبَُخَ ؤُػِِٔ ُٔئ كُِٔهَب ثِإٍَِِٖٗ٘ ثَلَْؤدُ‬
‫اُل‪ٚ‬هَاٍَخَ اػِزٔجَبهّا ِٖٓٔ ‪/15‬كَجِوَاَِو‪.ّ 2009/‬‬

‫ؽَوًّب َُوَلِ وَاعَهِذُ َُِّئًب َٖٓٔ اُٖٗؼُىِثَخٔ ٔكٍِ ثِلَاَخٔ آَِْوِ‪ ٌٍَُِِٖ٘٘ٔ ،‬إَِ هَلِ ؤَُٔلْذُ‬
‫وَ‪ِٙ‬غَ ادلَؼِهَلٔ‪ ،‬وََؤؽِجَجِذُ اُل‪ٚ‬هَاٍَخَ كُِٔ‪ََ .ٔٚ‬ب َٓبَٓب! ا‪َْٔٝ‬ئٔ‪ ٍِ٘ٚ‬كَإََٗب عَبكٖحٌ ٔكٍِ هَوَاهٌِِ ‪،‬‬
‫وََُِٖ ؤَرَوَاعَغَ ػَِ٘‪ ُٚ‬هَُِلَ اَُُِِْٗٔخٔ‪.‬‬

‫ٔ ِٓٔ٘هُِْ ثِبُنًِّْوِ َؤ ٔفٍِ‬


‫ثَِِّ ٔـٍِ رَؾُٖٔبٔرٍِ احلَبهٖحَ بًَُِ عَُِٔٔغِ َؤكْوَاكٔ اُؼَبئَِٔخٔ‪ ،‬وََؤفُ ٗ‬
‫اُٖٖـُِٔوَ وَائٔالً‪ ،‬وَوَأُلٌِٔ اُـَبٍُِٔ‪.‬‬

‫ُٓؾٔجُٖزئ َّبكَٔخُ ثِِ٘ذُ ىَا‪ٔٛ‬وٍ‪.‬‬

‫رَ ِىهُِٔغُ‪:‬‬

‫ؽُو‪ٚ‬هَ ٔكٍِ‬
BARUA NO. 2
MSAMIATI : Inanifurahisha, Kuanzia, Nimekutana,
Nimezoea, Nimeyapenda, Ukubwa wa kidole.
Bismillah Rrahmaan Rrahiim
Kwa Mama yangu mpenzi,
Maamkizi mema: Assalaam ‘Alaikum
Warahmatullaah Wabarakaatuhu.
Baada ya hayo:
Inanifurahisha upeo wa kunifurahisha kukuandikia
wewe nikikujuilisha kuwa mimi nimeanza masomo
kuanzia 15/Feb/2009.
Kwa hakika niliwajihiana na ugumu kidogo mwanzo
lakini sasa nimeizoea hali ya hapa chuoni na
nimeyapenda masomo. Ewe Mama yangu! Usiwe na
wasiwasi, mimi niko makini kabisa katika maamuzi
yangu, na sitorejea nyuma hata kwa masafa ya kidole
kimoja tu.
Nifikishie salamu zangu motomoto kwa watu wote wa
familia, na namtaja kwa jina hasa ndugu yangu mdogo
Wail, na baba yangu mpenzi.
Akupendaye Shaadiya bint Zahir
Imeandikwa

Sahihi:
‫‪3‬‬ ‫اُضَّبُٔضَخُ‬ ‫اُ ‪ٚ‬وٍَبَُخُ‬

‫ٌْْ ٍَ َُِٓ٘زظٍْٔ‪ ،‬اجلٔلٗ‪.‬‬


‫ادلُلْوَكَادُ‪ :‬الَ رَقُِِ ِى َٖٓٔ اُٖٗؼُىِثَبدٔ‪ ،‬رَزَغَبوَىُ‪ ،‬رَوَِْن‪ ،‬ثِ َ‬

‫ثَِِِْ اهللِ اُ ٖوؽَِِٖٔ اُ ٖوؽُِِْٔ‬

‫بًَُِ اثٍِِِ٘ اُؼَيَِِي‪.‬‬

‫الُّ ػََِ ٌُُِِْ وَ َهؽَِٔخُ اهللِ وَثَوًََبرُ‪.ُٚ‬‬


‫رَؾُٖٔخً ‪َُٚٝ‬جَخً‪ :‬اَُٖ َ‬

‫وَثَؼِلُ‪:‬‬

‫ٍَِ ِهٍَبَُُزيَ ًَضُِٔوّا‪ ،‬وََؤهًَْٖ َٓب ؤَرََٖٔ٘ب‪َُ ُٙ‬يَ ؤَْٕ َُىَكِّ َويَ اهللُ ٔكٍِ‬
‫َُوَلِ ؤَصَِْغَذِ َٗلْ ِ‬
‫كٔهَأٍَزيَ‪.‬‬

‫ْ ٍِءُ‬
‫الَ رَوَِْنِ‪ ،‬اُجِلَاَخُ كَائّٔٔب الَ رَقُِِ ِى َٖٓٔ اُٖٗؼُىِثَبدٔ‪ ،‬ؤٌََُِٖ اجلٔلٗ ‪ُٛ‬ىَ اُ ٖ‬
‫اُ َىؽُِٔلُ اَُّنٌِٔ ٍََُغِؼَ ُِيَ رَزَغَبوَىُ عَُِٔٔغَ اُؼَوَجَبدٔ‪ .‬الَ رَقَقِ‪َ ،‬والَ رَوَِْنِ‪َٗ ،‬ؾُِٖ‬
‫ٍََ٘ؤقُ كَائّٔٔب َٓ َؼيَ ٔكٍِ اَُٖوٖاءِ وَاُ‪ٖٚ‬وٖاءِ‪.‬‬

‫َو ٔكٍِ اخلٔزَبِّ ؤَكِػُىِ َُيَ ثِبُزٖ ِىكُِٔنِ‪َٓ ،‬ب ؤُهَِِلُ‪ ُٙ‬وَؤَ ِهعُىِ ُ‪ِ٘ ٔٓ ٙ‬يَ ؤَْٕ رُوَاعِغَ كُهُ ِو ٍَيَ‬
‫ٌٍَْْ َىٍٍِّٓٔ‪ ...‬وَبًَُِ اُِِّوَبءِ‪.‬‬
‫ٌْْ ٍَ ُِٓ٘زَظٍْٔ‪ ،‬وَثِ َ‬
‫ثِ َ‬

‫ؤَثُىِىَ احلَجُِِت‪.‬‬

‫بِِٓ‪َٚ‬بءٌ‪:‬‬

‫ؽُو‪ٚ‬هَ ٔكٍِ‬
BARUA NO. 3
MSAMIATI : Haikosi ugumu, Unachupa, Una
wasiwasi, Kwa mpangilio, Jitihada.
Bismillah Rrahmaan Rrahiim
Kwa mtoto wangu mpenzi.
Maamkizi mema: Assalaam ‘Alaikum
Warahmatullaah Wabarakaatuhu.
Baada ya hayo:
Barua yako tukufu imeiburudisha nafsi yangu sana, na
kubwa ninalolitamani ni Allah kukuwafikisha wewe
katika masomo yako.
Usikhofu, mwanzo daima haukosi kuwa na ugumu,
lakini jitihada ndio kitu pekee kitakachokufanya
uweze kuchupa vizingiti vyote. Usiwe na khofu, wala
usijitie wasiwasi sisi tutasimama na wewe daima katika
wakati wa dhiki na faraja.

Na mwisho nakutakia tawfiki, na nnachokitaka na


kukitaraji kutoka kwako ni kutalii masomo yako kwa
mpangilio, na siku zote .. Tutaonana.
Baba yako mpenzi,
Imeandikwa
Sahihi:
‫‪4‬‬ ‫اَُّواثِؼَخُ‬ ‫اُ ‪ٚ‬وٍَبَُخُ‬

‫ادلُلْوَكَادُ‪ :‬رٌَََِّٔ٘ذُ‪ ،‬ػًََِ ػُغَبَُخٕ‪َ ،‬ؤفُىُِٗ‪ ،‬ؽَبعَ ٌخ َٓبٍٖخٌ‪ ،‬ػًََِ َو َّئ‪.‬‬

‫ثَِِِْ اهللِ اُ ٖوؽَِِٖٔ اُ ٖوؽُِِْٔ‬

‫بًَُِ وَأُلَٔرٍِ اٌَُؤََِِخ‪.‬‬

‫الُّ ػََِ ٌُُِِْ وَ َهؽَِٔخُ اهللِ وَثَوًََبرُ‪.ُٚ‬‬


‫رَؾُٖٔخً ‪َُٚٝ‬جَخً‪ :‬اَُٖ َ‬

‫وَثَؼِلُ‪َٓ ِٖ ٔٓ :‬لِػَبحٔ ٍَؼَبكَٔرٍِ ؤَ‪ ٍِٗٚ‬رٌَََِّٔ٘ذُ ؤَْٕ ُؤؽَو‪ٚ‬هَ َُئ ػًََِ ػُغَبَُخٕ ثِ‪ِٚ‬ؼَخَ‬
‫َؤٍِ‪ُٞ‬وٍ‪ُ ،‬ؤكُِٔلُىٔ كُِٔهَب ؤََّٕ افِزٔجَبهَادٔ ِٗهَبَخٔ اُلََِِٖ اُل‪ٚ‬هَا ٍٍٔ‪ ٚ‬اُضَّبِٗ ٍِ ِٖٓٔ كٔهَأٍَزٍِ‬
‫اُضَّبَٗىَِٖخٔ اُؼَبٖٓخٔ ػًََِ َو َّئ االثِزٔلَاءِ‪ ،‬ثََْ ٍَزَجِلَؤُ ثِبُزٖؾِلَِٔلٔ اػِزٔجَبهّا ِٖٓٔ‬
‫‪َٗ/1‬ىِكِٔجَو‪ُٔ /‬ـَبَخٔ ‪ /30‬كََِِٔٔجَو‪ َٖٔٓ /‬اََُٖ٘خٔ اجلَبهَِخٔ‪.‬‬

‫د َٓؼِوًََخً ؽَبٍَٔٔخً‪َٓ ،‬ؼِوًََخُ‬


‫وََُوَلِ ػَِِٔٔذٔ ؤَ‪َ ٍِٗٚ‬ؤفُىُِٗ ٔكٍِ ‪َٛ‬نٔ‪ ٔٙ‬االفِزٔجَبهَا ٔ‬
‫احلََُبحٔ‪" ،‬اُٖ٘بعِؼُ كُِٔهَب َٓىُِىِكْ‪ ،‬وَاخلَبٍٔوُ كُِٔهَب َٓلْوُىِكْ" وَؤََٗب ثِبفِزَٖٔبهٍ َّلَِٔلٕ‬
‫ثِؾَبعَ ٕخ َٓبٍٖخٕ بًَُِ كُػَبٔئٌُُْ ادلَُِزَغَبةِ‪ ٌََُُِ ،‬بِالَّ ‪..‬‬

‫ِٖٓٔ عَبِِٗجٍِ ٌََُُِ ‪َُ٘ٛ‬ب َى َٓب َلِػُىِ بًَُِ هََِ ٔوٌُِْ‪.‬‬

‫َٓغَ رََٔ٘‪َُٚ‬بٔرٍِ ٌَُُِْ ثِبُزٖ ِىكُِٔنِ وَاُٖ٘غَبػِ‬

‫قُِٖٔي‪ :‬كَ ِوؽُىِٕ‬


‫ُٓ ِ‬

‫ؽُو‪ٚ‬هَ ٔكٍِ‬
BARUA NO. 4
MSAMIATI : Nimeweza, Kwa haraka, Naingia, Haja
muhimu sana, Imekaribia.
Bismillah Rrahmaan Rrahiim
Kwa Mama yangu mpenzi,
Maamkizi mema: Assalaam ‘Alaikum
Warahmatullaah Wabarakaatuhu.
Baada ya hayo:
Kinachonipelekea kufurahi kuwa nimeweza kuhariri
kwa haraka-haraka mistari michache nikikujuilisha
kuwa mitihani yangu ya muhula wa pili wa masomo
yangu ya kidato cha nne inakaribia kuanza, bali
itaanza rasmi kuanzia 1/Nov mpaka 30/Nov ya mwaka
huu.
Na wewe bila ya shaka unajua kuwa katika mitihani
hii naingia katika vita kufa na kupona, vita vya maisha
yangu, anayefanikiwa katika vita hivi ni kama
KAZALIWA upya, na anayefeli ni kama kwamba
KAPOTEA! Na mimi kwa ufupi sana nna haja kubwa
ya dua zenu zenye kutakabaliwa, hakuna jengine ...
Kwa upande wangu hakuna lolote lile la kukutieni
nyinyi wasiwasi.
Nakutakieni nyinyi mawafikisho na mafanikio.

Wenu Farhoon
Imeandikwa
Sahihi:
‫‪5‬‬ ‫اخلَبََٓٔخُ‬ ‫اُ ‪ٚ‬وٍَبَُخُ‬

‫ادلُلْوَكَادُ‪ :‬ثََِـٍَِِ٘‪ ،‬اُْزَؾَوْذٔ‪ ،‬ا ٍِزَـِوَثِذُ‪ ،‬رُؾَبهِثَُِِٖ‪ ،‬رَؼِزَجِوََِِٖ‪ ،‬ثُ ِاهَحُ اُزٖقَُِّقٔ‪.‬‬

‫ثَِِِْ اهللِ اُ ٖوؽَِِٖٔ اُ ٖوؽُِِْٔ‬

‫بًَُِ َٕلَِٔؤَزٍِ اُـَبَُُٔخ‪.‬‬

‫الُّ ػََِ ٌُُِِْ وَ َهؽَِٔخُ اهللِ وَثَوًََبرُ‪.ُٚ‬‬


‫رَؾُٖٔخً ‪َُٚٝ‬جَخً‪ :‬اَُٖ َ‬

‫وَثَؼِلُ‪:‬‬

‫َُوَلِ ثََِـٍَِِ٘ ؤَٖٗئ هَلٔ اُْزَؾَوْذٔ ثَِٔؼِهَلٔ االٍِزٔوَبَٓخٔ ُِٔجََ٘بدٔ ثِبجلَيَِِوَ ٔح اخلَ‪ِٚ‬وَاءِ! َُوَلٔ‬
‫ذ َٖٓٔ ادلَؼَب‪ٔٛ‬لٔ اُل‪َُِِٖ٘ٚ‬خٔ ؟؟ وَُِٓ٘نُ‬
‫اٍِزَـِوَثِذُ ًَضُِٔوّا !! وَرَََبءَُْذُ هَبئَِٔخً‪ :‬ؤَََِٖ ؤَِٗ ٔ‬
‫ذ ِٖٓٔ هُىٖحٕ‪ ،‬وَرَؼِزَجِوََِِ٘هَب‬
‫َُ َٓب ؤُوِرُِٔ ٔ‬
‫ػ َََٓبءَ وَِثٌ ِّ‬
‫َٓزًَ؟ ؤََُْْ َرٌُىٍِِِٗ رُؾَبهِثَُِِ٘هَب َٕجَب َ‬
‫ثُاِهَحَ اُزٖقَُِّقٔ!!‬

‫وَػًََِ ؤََٖخٔ ؽَبٍٍ ؤُهَِِ ُل ٓٔ ِ٘ئ ؤَْٕ رُلُِٔلٍَِِِٔ٘ ػَِٖ ‪َٝ‬جُِِؼَخٔ اُل‪ٚ‬هَاٍَخٔ ‪َُ٘ٛ‬بىَ! وَ‪ ََْٛ‬ؤَِٗذٔ‬
‫ذ َٓ ٔؼٍِ؟ َُؼٍََِِِّ٘‬
‫هَا‪َُٔٙ‬خٌ ػَِ٘هَب‪ ،‬وَُٓوِرَبؽَخٌ َُهَب ؟ َٕب ِهؽٍُِِِٔ٘ ثِلُوِ َٕ ُٓغَبََِٓخٕ‪ .‬ؤَِٗ ٔ‬
‫ؤَُْزَؾٔنُ ِثئ ٔكٍِ اُْٖهِوِ اُوَب ٔكِّ بِٕٔ اٍِزَ‪َٞ‬ؼِذٔ ؤَْٕ رُوِْ٘ؼٍُِِِٔ٘‪َٛ ،‬نَا ‪َٓ ..‬غَ فَبُِٔٔ‬
‫َٕلَِٔوَُزئ ادلُقَِِٖٔخ‪ /‬ؽَُِِ٘لَخُ‬ ‫رََٔ٘‪َُٚ‬بٔرٍِ‪.‬‬

‫رَ ِىهُِٔغْ‪:‬‬

‫ؽُو‪ٚ‬هَ ٔكٍِ‬
BARUA NO. 5
MSAMIATI: Imenifikia mimi, Umejiunga, Nimestaajabu,
Unapiga vita, Unazingatia kuwa ni, Kitofu cha ujinga.

Bismillah Rrahmaan Rrahiim


Kwa Shoga yangu mpenzi,

Maamkizi mema: Assalaam ‘Alaikum


Warahmatullaah Wabarakaatuhu.
Baada ya hayo:
Imenifikia mimi kuwa wewe umejiunga na chuo cha
Istiqama cha wanawake Pemba! Nimestaajabu sana!
Nimejiuliza huku nikisema: Wewe na vyuo vya dini
wapi na wapi? Tokea lini? Si ulikuwa unavipiga vita
asubuhi na jioni kwa nguvu zote ulizopewa, na
ukivizingatia kuwa ni vitovu vya kutoendelea!!
Itakavyokuwa, nataka unipashe kuhusiana na masomo
yalivyo hapo, na jee wewe umeridhika nayo? Na jee
umefurahika nayo? Niekee wazi pasi na
kupambapamba! Upo? Hwenda nikajiunga na wewe
huko ikiwa utaweza kunikinaisha, Ni hayo tu ...
Nakutakia kila mema.
Shoga yako mwandani : Haniifa
Imeandikwa
Sahihi:
‫‪6‬‬ ‫اَُٖب ٔكٍَخُ‬ ‫اُ ‪ٚ‬وٍَبَُخُ‬

‫ادلُلْوَكَادُ‪ :‬ادلُوَب‪َٝ‬ؼَخُ‪ُ ،‬تٗ ادلَىِ‪ُٙ‬ىِعِ‪ٍُُِ ،‬ىِ ًٍِٔ‪ ،‬رَـَُٖ ِودُ‪َٓ ،‬ظَب‪ٔٛ‬و االِٗؾٔوَافٔ‪.‬‬

‫ثَِِِْ اهللِ اُ ٖوؽَِِٖٔ اُ ٖوؽُِِْٔ‬

‫بًَُِ ىََُِِٓٔٔزٍِ اُؼَيَِِيَح‪.‬‬

‫الُّ ػََِ ٌُُِِْ وَ َهؽَِٔخُ اهللِ وَثَوًََبرُ‪.ُٚ‬‬


‫رَؾُٖٔخً ‪َُٚٝ‬جَخً‪ :‬اَُٖ َ‬

‫وَثَؼِلُ‪:‬‬

‫َُوَلِ رََََِِّٔذُ ِهٍَبََُزئ اٌَُؤََِِخَ‪ ،‬وًََِْ ًُِ٘ذُ ثِهَب ََِٓوُوِهَحً كَ ِوؽَخً!! ٍُجِؾَبَٕ‬
‫اهللِ! َؤفُِٔوّا رَنًََّوِرٍِِٔ٘ ثَؼِلَ ادلُوَب‪َٝ‬ؼَخٔ كَآَذِ ‪َٝ‬ىَِِالً!!‬

‫ع ُٓجَبَّوَ ًح ُٓجِزَؼٔلَحً ػَِٖ َؤٍَبُُِٔتِ اَُِّق‪ ٚ‬وَاُلٖوَهَإٔ‪،‬‬


‫كَػٍُِِِٔ٘ ؤَ ِكفَُُ ٔكٍِ ُت‪ ٚ‬ادلَىِ‪ُٙ‬ىِ ِ‬
‫وٌَََُُِ ‪َٛ‬نَا ِٖٓٔ فُُِ ٔوٍِ‪ ،‬وَػََُِِ‪ُ َُِٖ ٔٚ‬ؤفِ ٔلٍَ ػََِ ُِئ َُِّئًب‪ .‬ثَِٖوَاؽَخٕ اُل‪ٚ‬هَاٍَخُ ‪َُ٘ٛ‬ب‬
‫عََُِِٔٔخٌ ؿَبَخً ٔكٍِ اجلََٔبٍِ‪َ .‬وٍَىِفَ رُؼِغُِجئ ًَضُِٔوّا ‪َ ..‬والَ َّيٖ ٔكٍِ مَُٔيَ‪َُ ،‬وَلِ‬
‫ٍَِ كُوَِٕ وَأٍ‪َٞ‬خٕ‪.‬‬
‫ذ َٓنَامَ اُل‪ٚ‬هَاٍَخٔ ‪َُ٘ٛ‬ب ثَِ٘لْ ِ‬
‫‪َٝ‬ؼِٔٔ ُ‬

‫د ِٖٓٔ عَلَِٔلٕ ‪ ..‬ثِلَ‪ َِِٚ‬كٔهَأٍَزٍِ ٔكٍِ ادلَؼِهَلٔ‬


‫ؤََٗب َّقُِٖٖٔخً ُؤؽٌٔٗ ًَإٍَِِٖٗ٘ ؤُُ ِل ُ‬
‫ٌٍَْْ ؤَوِ‬
‫اٍِزَ‪َٞ‬ؼِذُ ؤَْٕ ؤَرِوُىَ عَُِٔٔغَ ادلُقَبَُلَبدٔ اُْٖوِػُٖٔخٔ أَُّزٍِ ًُِ٘ذُ آرُِٔهَب ثِ َ‬
‫َُ َٓظَب‪ٔٛ‬وِ االِٗؾٔوَافٔ ‪ ..‬وََؤهْجَِْذُ ػًََِ اهللِ رَبئٔجَخً رَىِثَخً‬
‫آفَوَ‪ ،‬وَؤَْٕ ُؤهَب‪ٔٝ‬غَ ً َّ‬
‫َُٖٗ ِىؽّب‪.‬‬
.. ُ‫ َوالَ َُزََٖىٖه‬،ُ‫ٌٍَْْ الَ ََُٖلٖم‬
َ ِ‫ وَرَـَُٖوَ ٍُُِىِ ًٍِٔ ث‬،ُ‫َٕوَاؽَخً َُوَلِ رَـَُٖ ِود‬
.ٔ‫ ػََُِ٘ ُِئ كٌَََُِِ اخلَجَوُ ًَبدلُؼَبََ٘خ‬ّٚ‫ رَؼَبٍَُِ ُٔزَوٍََِِِ٘ ثُِإ‬،ً‫ وَُٓؾِزََْؾَخ‬،ً‫َ٘خ‬ََٚ‫ذ ُٓزَل‬
ُ ِ‫ؤَِٕجَؾ‬
.ُ‫َئ هَجََِ ؤَْٕ َلُىَِرئ اُوًْٖت‬
َ ْ‫يٌِِ َٗل‬ٚ‫َوعَه‬

.ٍِ‫َُبٔر‬ََٚ٘ٔ‫ؤَ ِهكَغُ بَُِ ٌُُُِْ َؤفََِِٔ رَؾُٖٔبٔرٍِ وَر‬

ٍَُِْٔٔ‫ُٓؾٔجُٖزئ هَاعِؾَخُ ثِِ٘ذُ ر‬

:ٌ‫َبء‬ِِٚٓ‫ب‬

ٍِ‫هَ ٔك‬ٚ‫ؽُو‬

BARUA NO. 6
MSAMIATI : Kunikata pande, Kiini ya maudhui,
Silka zangu, Nimegeuka, Alama za kupotoka.

Bismillah Rrahmaan Rrahiim


Kwa Shoga yangu mpenzi,
Maamkizi mema: Assalaam ‘Alaikum
Warahmatullaah Wabarakaatuhu.

Baada ya hayo:
Nimeipata barua yako tukufu, na nilifurahika nayo
kwa kiasi kikubwa. Subhaanallaah! Mwisho tena
umenikumbuka baada ya kunichama kwa muda
mrefu!!
Hebu niachie niingie katika kiini cha maudhui yetu
moja kwa moja, nikijiweka mbali na mtindo wa
kuzunguka na kupinda-pinda, hiyo mimi si tabia
yangu, na wewe unajua hivyo fika. Kwa hivyo mimi
sitakuficha kitu.
Kwa kweli masomo hapa ni mazuri upeo wa uzuri, na
yatakupendeza tu .. hilo halina shaka. Kwani kwa
hakika nimeionja ladha ya masomo ya hapa binafsi
yangu pasi na kupitia mtu mwengine.
Mimi mwenyewe nahisi kama kwamba nimezaliwa
upya! .. Kwa kusoma kwangu hapa Chuoni nimeweza
kuacha kila aina ya uhalifu wa kisheria ambao
nilikuwa nnaufanya kwa namna moja au nyengine, na
kuyakata mambo yote yaliyo kombo .. Nikamuelekea
Allah kwa kutubia toba ya kweli.
Kusema kweli nimegeuka na silka zangu zimegeuka
kwa namna isiyosadikika wala isiyokuwa na taswira ..
nimeshika dini, na nimekuwa ni mwenye kujiheshimu.
Njoo unione kwa macho yako: KUAMBIWA
SIKUONA. Na jitayarishe kabla hujapitwa na
msafara.
Mwisho nakuletea salamu zangu za ndani na matarajio
yangu.
Akupendaye Raajha bint Tamiim

Imeandikwa
Sahihi:
‫‪7‬‬ ‫اَُٖبثِؼَخُ‬ ‫اُ ‪ٚ‬وٍَبَُخُ‬

‫ادلُلْوَكَادُ‪ :‬رَإَِْٖٓذُ‪ُٓ ،‬ؾِزَىَي اُ ‪ٚ‬وٍَبَُخٔ‪ ،‬اٍِزَٔٔبهَحٌ‪ ،‬هَوَاهْ ؽَبٍْْٔ‪َ ،‬ؤهٔقَ ػًََِ‪.‬‬

‫ثَِِِْ اهللِ اُ ٖوؽَِِٖٔ اُ ٖوؽُِِْٔ‬

‫بًَُِ َٕلَِٔؤَزٍِ اُؼَيَِِيَح‪.‬‬

‫الُّ ػََِ ٌُُِِْ وَ َهؽَِٔخُ اهللِ وَثَوًََبرُ‪.ُٚ‬‬


‫رَؾُٖٔخً ‪َُٚٝ‬جَخً‪ :‬اَُٖ َ‬

‫وَثَؼِلُ‪:‬‬

‫ذ ُٓزَوَك‪ٚ‬كَحً!‬
‫‪ٔ ،ٍِٙ‬كٍِ اُجِلَاَخٔ ًُِ٘ ُ‬
‫َُوَلِ رََِوَُِّذُ ًٔزَبَثئ اٌَُوََِِْ َ ِىَّ اخلٌَُِِٔٔ ادلَب ٔ‬
‫ذ ُٓؾِزَىَي اُ ‪ٚ‬وٍَبَُ ٔخ ِٖٓٔ عَلَِٔلٕ‪ ،‬وَؤَػَ ِلدُ اُٖ٘ظَوَ كُِٔهَب َٓوٖادٕ‬
‫ؤٌََُِٖ ثَؼِلَ ؤَْٕ رَإَِْٖٓ ُ‬
‫وًََوٖادٕ رََْغٖؼِذُ وَارٖقَ ْندُ هَوَاهّا ؽَبٍّٔٔب ٔكٍِ االُْزٔؾَبمِ ثِبدلَؼِهَلٔ‪.‬‬

‫َهعَبٔئٍِ وَؤََٓ ٍِِٔ ؤَْٕ رُ ِؤٍ ٍِِٔ ٍُِٔ اٍِزَٔٔبهَحَ ادلَؼِهَلٔ ًٍَِ َؤهٔقَ ػًََِ ُّوُوِ‪ ٔٛ‬ادلَؼِهَلٔ‪،‬‬
‫وَؤَػِوِفَ هَُِٔٔخَ ُهٍُ ِىِّ اُل‪ٚ‬هَاٍَخٔ‪ .‬ؤَ ِهعُىِىٔ! الَ رَزََإفٖوٌِِ‪.‬‬

‫ي ِٖٓٔ ٍُىََِلَاءِ هَِْجِهَب‪ /‬ؽَُِِ٘لَخُ‬


‫ىََُُِِٓٔزئ وََِٖٓ َؤؽَجٖ ِز ٔ‬

‫رَ ِىهُِٔغْ‪:‬‬

‫ؽُو‪ٚ‬هَ ٔكٍِ‬
BARUA NO.7
MSAMIATI : Nimezingatia, Madhumini ya Barua,
Fomu, Maamuzi madhubuti, Kujua.
Bismillah Rrahmaan Rrahiim
Kwa Shoga yangu mpenzi,
Maamkizi mema: Assalaam ‘Alaikum
Warahmatullaah Wabarakaatuhu.
Baada ya hayo:
Kwa hakika nimeipata barua yako Alkhamisi iliyopita,
mwanzoni nilikuwa nataraddad, lakini baada ya
kutaamuli madhumuni ya barua hii kwa mara
nyengine, na kuiangaza tena na tena nilishajiika na
nikachukua maamuzi madhubuti ya kujiunga na
Chuo.
Matarajio yangu ni kuniletea fomu ya Chuo ili nijue
sharti za Chuo, na kima cha malipo ya masomo.
Nakusihi sana usicherewe.
Shoga yako, na Yule akupendaye kutoka ndani ya
moyo wake: Samiiha.
Imeandikwa
Sahihi:
‫‪8‬‬ ‫اُضَّبَٓٔ٘خُ‬ ‫اُ ‪ٚ‬وٍَبَُخُ‬

‫ادلُلْوَكَادُ‪ :‬اذلَلَفُ اٍََْبٍٍٔٗ‪ِ ،‬ىٌٗ ادلَلِهٍََخٔ‪ ،‬ؽَبعَخٌ ُِٓٔؾٖخٌ‪َُِٓ ،‬زَ ِْيََٓبدْ‪ ،‬ؤَْٕ رَُِج‪.ٍَٚ‬‬

‫ثَِِِْ اهللِ اُ ٖوؽَِِٖٔ اُ ٖوؽُِِْٔ‬

‫بًَُِ وَأُلٌِٔ اُؼَيَِِي‪.‬‬

‫الُّ ػََِ ٌُُِِْ وَ َهؽَِٔخُ اهللِ وَثَوًََبرُ‪.ُٚ‬‬


‫رَؾُٖٔخً ‪َُٚٝ‬جَخً‪ :‬اَُٖ َ‬

‫وَثَؼِلُ‪:‬‬

‫ؤَ ِهعُىِ ؤَْٕ َٖٔ َِيَ ًٔزَبِثٍِ ‪َٛ‬نَا وَؤَِٗذَ َوعُِِٔٔغَ َؤكْوَاكٔ ا ٍُِْوَحٔ ٔكٍِ اُٖ‪ٚ‬ؾٖخٔ‬
‫اٌَُبِٓٔٔخٔ‪ ،‬وَاَُٖؼَبكَحٔ اُزٖبٖٓخٔ‪.‬‬

‫وَأُلٌِٔ اُـَبٍُِٔ‪ ،‬اذلَلَفُ ا ٍََْب ٍٔ ٍٗ ِٖٓٔ ًٔزَبثَخٔ ‪َٛ‬نَا اخلٔ‪َٞ‬بةِ ؤَْٕ ؤُػِِٔ َٔيَ ثِإٍَِِٖٗ٘ ٔكٍِ‬
‫ؽَبعَ ٕخ ُِٓٔؾٖخٕ بًَُِ ثَؼِِ٘ ادلَبٍِ ُْٔٔوَا ِء َُِٓزَِْيََٓبدٔ ادلَؼِهَ ٔل ٓٔضََْ‪ :‬ىٌِ‪ ٚ‬ادلَؼِهَلٔ‪،‬‬
‫ٌٍَْْ‬
‫الِّ‪ ،‬وََؤَُِّبء ُؤفِوَي ََِٗبئُٖٔخٕ‪َ .‬هعَبٔئٍِ ؤَْٕ رَُِ‪ٚ‬جٍَ ‪َِِ َٝ‬جٍِ ‪َٛ‬نَا ثِ َ‬
‫وَاُ ٖلكَبرٔوِ‪ ،‬وَا َْهْ َ‬
‫ٍَوَِِغٍ وَثَِٖلِهٍ َهؽٔتٍ‪.‬‬

‫ثَِِّؾْ رَؾُٖٔبٔرٍِ احلَبهٖحَ بًَُِ عَُِٔٔغِ ا َْهَب ِهةِ‪ ،‬وَبًَُِ عَُِٔٔ ِغ َٓؼَب ِه ٔكٍِ‪ٌُّْ ،‬وّا‪ ،‬وَكُِٓزُِْ‬
‫‪َُٚٝ‬جَُِِٖ‪.‬‬

‫بِِٓ‪َٚ‬بءٌ‪:‬‬ ‫اثَِ٘زُي ػَيَِِيَح‬

‫ؽُو‪ٚ‬هَ ٔكٍِ‬
BARUA NO. 8
MSAMIATI : Lengo la msingi, Sare ya madrasa, Haja
kubwa mno, Vinavyohitajika kwa lazima, Kunifanyia.
Bismillah Rrahmaan Rrahiim
Kwa Baba yangu mpenzi,
Maamkizi mema: Assalaam ‘Alaikum
Warahmatullaah Wabarakaatuhu.
Baada ya hayo:
Nataraji ikufikie barua yangu hii ukiwa wewe na watu
wote wa familia katika afya njema, na furaha
iliyotimilia.
Baba yangu mpenzi! Lengo langu la msingi la
kuandika barua hii ni kukujuilisha kuwa mimi nna
haja kubwa sana ya pesa kidogo ili kununua vitu vya
lazima vinavyohitajika hapa Chuoni, kama vile: Sare,
madaftari, kalamu, na vitu vyengine vya kike.

Ni matarajio yangu kuwa utanitekelezea ombi langu


hili kwa haraka na kwa moyo mkunjufu.
Nifikishie salamu zangu motomoto kwa jamaa wote, na
wote wanaonijua. Shukran na mudumu katika afya
njema.
Mtoto wako Aziza

Imeandikwa
Sahihi:
‫‪9‬‬ ‫اُزٖبٍٔؼَخُ‬ ‫اُ ‪ٚ‬وٍَبَُخُ‬

‫‪ٙ‬غْ اهْزَٖٔبكٌٔ‪.ٙ‬‬
‫ادلُلْوَكَادُ‪َٙ :‬بئٔوَ ٌخ َٓبُُٖٔخٌ‪ٔ ،‬كٍِ اُ َىهْذٔ اُوٖا‪ ،ِٖٔٛ‬ؽَبُُٔ٘ب‪ ،‬ؤُوَكِّوُ‪ ،‬وَ ِ‬

‫ثَِِِْ اهللِ اُ ٖوؽَِِٖٔ اُ ٖوؽُِِْٔ‬

‫بًَُِ اثَِ٘ٔزٍِ اُـَبَُُٔخٔ‪.‬‬

‫الُّ ػََِ ٌُُِِْ وَ َهؽَِٔخُ اهللِ وَثَوًََبرُ‪.ُٚ‬‬


‫رَؾُٖٔخً ‪َُٚٝ‬جَخً‪ :‬اَُٖ َ‬

‫وَثَؼِلُ‪:‬‬

‫ٌْْوِ‬
‫‪/18‬ؤثِوََِِ‪ ّ2010/‬ثِجَبُٔؾِ اُ ٗ‬ ‫َُوَلِ رََِوَُِّذُ فٔ‪َٞ‬بَثئ اٌَُوََِِْ ادلُاَ ٖهؿَ‬
‫ذ ِٖٓٔ فٔالَُٔ‪ ٔٚ‬ؤَٖٗئ ٔك ٍِ ‪َٙ‬بئٔوَ ٕخ َٓبُُٖٔخٕ ؽَبكٖحٕ‪ ،‬وَؤَٖٗئ ثِؾَبعَخٕ‬
‫وَاُزٖوْلَِٔوِ‪ ،‬وَػَِِٔٔ ُ‬
‫ذ ُٓ ٌٍِٖٔٔ‪.‬‬
‫َٓبٍٖخٕ بًَُِ ثَؼِِ٘ ادلَبٍِ ٔكٍِ َؤٍِوَعِ َوهْ ٕ‬

‫وَؤََٗب ؽَؤُِوَخً ٔكٍِ اُ َىهْذٔ اُوٖا‪ ِٖٔٛ‬ؤَُٓوٗ ػًََِ َوهْذٕ اهْزَٖٔبكٌٍّٔ ؽَبكٍّ‪ ،‬ؤَُنَُٔيَ َُِٖ‬
‫َؤٍِزَ‪ُِٔٞ‬غَ ؤَْٕ ؤُوَكِّوَ َُئ عَُِٔٔ َغ َٓب ‪ََِٝ‬جِذٔ‪ٍَ ،‬إُوَكِّوُ َُئ ؽَبُُٔ٘ب ِِٖٗقَ ادلَجَِِؾِ‪،‬‬
‫وَاُ٘‪ِٖٚ‬قُ اُجَب ٔهٍِ ٍََُٖٔ ُِئ بِْٕ َّبءَ اهللُ ػَِٖ ‪َٝ‬وَِِنِ اُجَ ِ٘ئ ادلَوًَِيٌِ‪ٔ ٚ‬كٍِ ؽََٔبِثئ‬
‫ٍٖ‪ ٚ‬ػَٖٔب هَوَِِتٍ‪.‬‬
‫اُْٖقِ ٔ‬

‫رَؾُٖٔبٔرٍِ َُئ ؤَُغَُِٔٔغِ ىَُِٓٔالَٔرئ ‪ ........‬ؤَثُىِىٔ احلَجُِِتُ‪.‬‬

‫رَ ِىهُِٔغْ‪:‬‬

‫ؽُو‪ٚ‬هَ ٔكٍِ‬
BARUA NO. 9
MSAMIATI : Dhiki ya pesa, Kwa wakati huu
tulionao, Kwa sasa hivi, Kukupatia, Hali ya kiuchumi.
Bismillah Rrahmaan Rrahiim
Kwa Mtoto wangu mpenzi,
Maamkizi mema: Assalaam ‘Alaikum
Warahmatullaah Wabarakaatuhu.
Baada ya hayo:
Kwa hakika nimeipokea barua yako iliyoandikwa
tarehe 18/Aprili /2010 kwa wingi wa shukrani na
kuithamini sana. Na nimefahamu kuwa una dhiki ya
pesa kali sana, na una haja kubwa mno ya fedha
kidogo haraka iwezekanavyo.
Mimi kwa hakika katika kipindi hichi napita katika
wakati mgumu sana wa kiuchumi, kwa hivyo sitoweza
kukupatia yote uliyoyataka, nitakupatia kwa sasa nusu
ya pesa, na nusu iliyobakia itakufika kwa njia ya Benki
Kuu kupitia akaunti yako binafsi karibuni tu.

Salamu zangu kwako na kwa wenzako wote.


Baba yako mpenzi.
Imeandikwa
Sahihi:
‫‪10‬‬ ‫اُؼَبّٔوَحُ‬ ‫اُ ‪ٚ‬وٍَبَُخُ‬

‫غٍٗ اُٖٖ ِىدٔ‪ ،‬كَوَلَِٗب‪َُٚٝ ،‬تُ ادلَؼَِْوِ‪.‬‬


‫ادلُلْوَكَادُ‪ :‬ا ًٍََْ‪ ،‬ادلَقِجَو‪ِ َّ ،‬‬

‫ثَِِِْ اهللِ اُ ٖوؽَِِٖٔ اُ ٖوؽُِِْٔ‬

‫َؤ ٔفٍِ اُؼَيَِِيَ‪.‬‬

‫الُّ ػََِ ٌُُِِْ وَ َهؽَِٔخُ اهللِ وَثَوًََبرُ‪.ُٚ‬‬


‫رَؾُٖٔخً ‪َُٚٝ‬جَخً‪ :‬اَُٖ َ‬

‫وَثَؼِلُ‪:‬‬

‫َُوَلِ رََِوَُِّذُ َٗجَإَ َوكَبحٔ ػَ ‪ٔٚ‬يَ َهؽَٔٔ‪ ُٚ‬اهللُ رَؼَبًَُ ثِجَبُٔؾِ ا ًٍََْ وَاحلُئِٕ‪ًَُِ .‬قَ الَ!‬
‫غٍٖ‬
‫وََُوَلِ ًَبَٕ َهعُالً ‪َُٚٝ‬تَ ادلَؼَِْوِ‪ ،‬عَََُِٔٔ ادلَظْهَوِ وَادلَقِجَوِ‪ ،‬وَأٍغَ ادلَؼِ ِوكَخٔ‪ِ َّ ،‬‬
‫اُٖٖ ِىدٔ ثِبُوُوِإٓٔ َ ِج ٌٍِٔ وََُ ِج ٌٍِٔ بِمَا َٓب هَوَؤَ اُوُوِإَٓ ُٔؾَُِِٖ رٔالَوَرٔ‪َُ ،ٔٚ‬وَلِ فََِّقَ‬
‫َٓأصٔوَ فَبُٔلَحً الَ رُ‪ْٞ‬ىَي‪ ،‬وَرََٖبُِِٗقَ َٗبكٔؼَخً الَ رًََُِ٘‪.‬‬

‫رَب اهللِ َُوَلِ كَوَلَِٗب َهعُالً َُىِ وُىَِٕ ثِغَجٍََ َّب‪ٔٛ‬نٍ َُىَىََٗ‪ِ ٕٔ !ُٚ‬لهًب رَوَ َى صَُِْٔخً الَ رََُلٗ‪،‬‬
‫َوكَوَاؿًب الَ َُِْـََُ‪َٓ .‬بمَا ػًَََ ؤَْٕ َٗلْؼَََ؟ هَلٖهَ اهللُ وََٓب َّبءَ كَؼَََ‪َ َُِْ .‬جِنَ بِالَّ ؤَْٕ‬
‫ُؤهَ ‪ٚ‬لَّ ٌَُُِْ ؤَُغَُِٔٔغِ َؤكْوَاكٔ ػَُِْٔوَرٔ‪ ٔٚ‬ادلَ ٌُِ٘ىِثَخٔ َلَ اُزٖؼِيَِخٔ ٍَبئٔالً ادلَىًَُِ ػَيٖ َوعَََّ‬
‫ؤَْٕ َُِْهِ ٌَُِْٔ وَبَِٖب‪ ُِْٛ‬اُٖٖجِوَ وَاَُِْٖىَإَ‪ ،‬وَؤَْٕ َُ ِلفََٔ كَؤُِلََٗب كََُِِؼَ عَٖ٘برٔ‪،ٔٚ‬‬
‫آَُِٖٓٔ‪.‬‬

‫ٖيَ‪َٓ /‬إُْٓىٌِٕ ثُِٖ ػٍٍَِّٔ‬


‫وًََزَجَ ُ‪ُٓ ٚ‬قِِٔ ُ‬

‫رَ ِىهُِٔغُ‪:‬‬
BARUA NO. 10
MSAMIATI : Huzuni, Undani, Ana sauti nzuri,
Tumempoteza, Ana maingiliano mazuri.
Bismillah Rrahmaan Rrahiim
Kwa Ndugu yangu mpenzi,
Maamkizi mema: Assalaam ‘Alaikum
Warahmatullaah Wabarakaatuhu.
Baada ya hayo:
Kwa hakika nimeipokea habari ya kifo cha ami yako
Allah amrehemu kwa masikitiko makubwa sana. Vipi
isiwe hivyo ilhali alikuwa ni mtu aliyekuwa na
utengamano mzuri na watu, ni mzuri nje na ndani, ana
maarifa makubwa, ana sauti nzuri ya kusoma Qur-ani
analia na kuliza watu akisoma Qur-ani kwa uzuri wa
sauti yake.
Kwa hakika ameacha athari zisizokunjika, na utunzi
wa vitabu usiosahaulika.
Naapa kwa jina la Allah tumempoteza mtu laiti
engelipimwa yeye na jabali kubwa basi yeye engelilizidi
kwa uzito. Kwa hakika kaacha ufa usiozibika na pengo
lisilojazika. Lakini tutafanya nini ? Allah kakadiria na
anachotaka hufanya. Hivyo hakuna lililobakia
ispokuwa tutangulize kwenu na kwa wanafamilia wote
waliosibiwa na msiba huu mkono wa taazia
nikimuomba Allah (a.j) akupeni nyinyi na wao subra
na upozo wa moyo, na amuingize maiti wetu katika
pepo yake pana, Ameen. ..... Kaiandika mpenzi
wakoMaamun Ali
Imeandikwa
Sahihi:
‫‪11‬‬ ‫احلَبكَٔخَ ػََْوَحَ‬ ‫اُ ‪ٚ‬وٍَبَُخُ‬

‫ادلُلْوَكَادُ‪ :‬احلَبَٗخُ‪ ،‬اخلَٖٔبهَحُ‪ ،‬ادلُؾَبكَظَخُ‪ ،‬اُجَالَؽُ‪َُ ،‬هَل‪ٚ‬كُ‪َُِٛ ،‬ئَخٌ‪ٍَُُِٞ ،‬بدْ‪َٛ ،‬ىَاكَحٌ‪.‬‬

‫ثَِِِْ اهللِ اُ ٖوؽَِِٖٔ اُ ٖوؽُِِْٔ‬

‫ادلَىِ‪ُٙ‬ىِعُ‪ََِٝ :‬تُ بِىَاَُخٔ احلَبَٗ ٔخ َٖٓٔ ادلَِ٘‪ٔٞ‬وَخٔ‬

‫‪َٙ‬بثِ‪ ٜ‬اُْٗوِ‪َٝ‬خٔ ثَِٔوًَِيِ ادلُؾَبكَظَخٔ ‪ ..................................‬ادلُىَهَّو‬

‫الُّ ػََِ ٌُُِِْ وَ َهؽَِٔخُ اهللِ وَثَوًََبرُ‪.ُٚ‬‬


‫رَؾُٖٔخً ‪َُٚٝ‬جَخً‪ :‬اَُٖ َ‬

‫وَثَؼِلُ‪َٗ :‬ؾُِٖ ؤَ‪َٛ‬بُٔ ٍِ َِٓ٘‪ٔٞ‬وَ ٔخ ُٓآِجًَ الَكُوِ ثِيِِٗغِجَبهَ َُ ِأٍلَُ٘ب ؤَْٕ َٗ ِوكَغَ بًَُِ ٌَْٓزَِجٌُُْ‬
‫اَُٖب ٍِٔٓ ثَالَؿًب ُٓلَبكُ‪ ُٙ‬ؤَٖٗ‪ ُٚ‬رَْٖ اكْزٔزَبػُ اخلَٖٔبهَحٔ ػًََِ َٓ ِلفََِ ادلَِ٘‪ٔٞ‬وَ ٔخ بِ‪َٙ‬بكَخً بًَُِ‬
‫ُوعُىِكٔ ادلَ ِوهَِٔ اَُُِِّ ٍِٔ‪ ٚ‬ثِنَادٔ ا َدلٌَبٕٔ وَ‪َُٔٛ‬ب ثَـَ٘‪ ٚ‬اُٖ٘ظَوِ ػَِٖ اُ‪ٖٚ‬ىِ‪َٙ‬بءِ اَُّنٌِٔ‬
‫َََُج‪ٚ‬جَبِٗ‪ ،ٔٚ‬كَهَُٔب ثِبُلٖ َهعَخٔ اُْوًَُِ َُهَل‪ٚ‬كَإٔ ٍَالََٓخَ ؤَ‪َٛ‬بٍُِٔ ادلَِ٘‪ٔٞ‬وَخٔ ؤَُِِٓ٘٘ب َوفُُِؤُ٘ب‪.‬‬

‫وَػََُِِ‪َٗ ٔٚ‬ؾُِٖ ًَُٔىَا‪ َُِِٖ٘ٔٝ‬ؤَ ٖوالً‪ ،‬وًََهَُِئَ ٔخ ٌَُٓبكَؾَخٔ االِٗؾٔ‪َٞ‬ب‪ ٔٛ‬اخلُُِ ٔوٍ‪ ٚ‬وَاحلٔوَاٍَخٔ‬
‫اُزٖ‪َٞ‬ىُػُٖٔخٔ ثِبدلَِ٘‪ٔٞ‬وَخٔ صَبُِّٗب ُٗ‪َٞ‬بُٔتُ ٍُُِ‪َٞ‬بدٔ اُْٗوِ‪َٝ‬خٔ ؤَْٕ رَزَؾَٖٔ َُ ََِٓاُؤُُِٖزَهَب ٔكٍِ‬
‫‪َٛ‬نَا اجلَبِٗتِ كُوَِٕ ‪َٛ‬ىَاكَحٕ َوالَ رَ ْإعٍَُِِ ٌَُُُٔىَِٕ مَُٔيَ كَ ِهٍّب وَػٔجِوَحً ُّٔفَوََِِٖ‬
‫ٔ َُٓ٘بفٕ ُِْٖٔوَِِؼَخٔ‬
‫ف ٓٔ ِٖ ُٓالَّىٔ احلَبَٗخٔ وَادلَ ِوهَ ِ‬
‫ُٓنًَِّوََِِٖ ٌَُُِْ ؤََّٕ ‪َٛ‬نَا اُزَٖٖوٗ َ‬
‫وَاُوَبُٗىِ ٕٔ َٓؼّب‪ ،‬وََُ ٌِٔٔ ُٖ ُٓوَاعَؼَخُ اُ ٗلٍِزُىِهِ اجلَلَِٔلٔ اُٖٖبكٔهِ ػَبَّ ( ‪َٓ )2012‬بكَح‬
‫ُٓزََٔ٘‪ِ َٓ ِْ ٌَُُ َُِٖٚ‬ىكُىِهَ اُٖ‪ٚ‬ؾٖخٔ‬ ‫(‪ )....‬ثَِ٘ل (‪.)....‬‬

‫ادلََُ٘‪ٚ‬نُ اُؼَبُّ ُِٔهَُِئَخٔ‬


BARUA NO. 11
MSAMIATI : Baa, Baa, Mkoa, Taarifa, Inatishia,
Kamisheni, Mamlaka, Huruma.
SHIRIKISHO LA WANANCHI (SHIWA)
Yah: KUOMBA KUONDOSHWA BAA YA ULEVI
Mhe. Kamanda wa Kituo cha Polisi cha Mkoa

Sisi wakaazi wa eneo la Muembe Ladu, Zanzibar


inatusikitisha sana kukuletea katika Ofisi yako tukufu
taarifa ya kufunguliwa BAA ya ULEVI kwenye
maingilio ya Eneo letu pamoja na kuwepo kwa
UKUMBI WA DISCO pahala hapohapo. Na vitu hivyo
viwili wachilia mbali vinavyosababisha ghasia lakini
kwanza kabisa vinatishia usalama wa wakaazi wa eneo
husika wa nafsi na maadili yao.
Kwa hivyo sisi kama wananchi kwa upande mmoja, na
kama ni MUUNGANO WA KUPAMBANA NA
UPOROMOKAJI WA MAADILI na pia ULINZI WA
HIARI (SUNGUSUNGU) katika ENEO HUSIKA kwa
upande mwengine tunaitaka mamlaka ya Polisi ibebe
jukumu lake kuhusiana na suala hili pasi na huruma
wala kucherewa ili iwe ni somo na mazingatio kwa
wengine.
Tunakumbusha kuwa kitendo cha wamiliki wa BAA
hiyo pamoja na UKUMBI WA DISCO ni kinyume na
Sheria ya Kiislamu na pia ni kinyume na kanuni za
Nchi. Rejea KATIBA YA MWAKA 2012, Ibara no.
(....), kifungu no. (.....).
Tunakutakia wingi wa afya.
Katibu wa Shirikisho.
‫‪12‬‬ ‫اُ ‪ٚ‬وٍَبَُخُ اُضَّبَُِٗخَ ػََْوَحَ‬

‫ادلُلْوَكَادُ‪ٌَُٓ :‬بكَؾَخٌ‪ ،‬رَ ِوفُِْٔٔ‪ ،‬ادلُزَىَه‪ِ ،ُٛٚ‬هعَبٍُ ادلَجَبؽٔشٔ‪ٔ ،‬كٍِ مٖٔٓخٔ اُزٖؾِؤُِنِ‪.‬‬

‫ثَِِِْ اهللِ اُ ٖوؽَِِٖٔ اُ ٖوؽُِِْٔ‬

‫َٓوًَِيُ اُْٗوِ‪َٝ‬خٔ ثِبدلُؾَبكَظَخٔ‬

‫ادلَىِ‪ُٙ‬ىِعُ‪ :‬بِؿْالَمُ احلَبَٗخٔ‬

‫ؽَ‪ِٚ‬وَح هَئٌُِٔ َُغَِ٘ ٔخ ٌَُٓبكَؾَخٔ االِٗؾٔ‪َٞ‬ب‪ ٔٛ‬اخلُُِ ٔوٍ‪ .................... ٚ‬ادلُؾِزَ َوُّ‬

‫رَؾُٖٔخً ‪َُٚٝ‬جَخً‪:‬‬

‫وَثَؼِلُ‪:‬‬

‫هَك٘ا ػًََِ ‪ََِِٝ‬جٌُُْ ادلُىَهَّوِ كَُِٔٔب َقِزَٔٗ ثِبخلَٖٔبهَحٔ أَُّزٍِ ؤُِْٗٔئَذِ ػًََِ َٓ ِلفََِ‬
‫ٓ َٗىَكٗ ِبكَبكََرٌُِْ‬
‫ادلَِ٘‪ٔٞ‬وَخٔ كُوَِٕ رَ ِوفٍُِٔٔ ٍَبثِ ٍن ٓٔ ِٖ عِهَخٕ َهٍُِٖٔٔخٕ مَادٔ االفِزَٖٔب ِ‬
‫ؽ ِٖٓٔ ‪َ َٝ‬و ٔكٌُِْ‪ ،‬وَاػِزٔوَبٍُ ًَُِّ‬
‫ثِإَٖٗ‪ ُٚ‬هَلِ رَْٖ بِؿْالَمُ احلَبَٗخٔ كَىِهَ رَِ َِّوٍِ اُجَالَ ِ‬
‫ادلُزَىَه‪ ،َُِٖٔٝٚ‬وَ‪ ُِْٛ‬ؽَبُُٔ٘ب ٔكٍِ مٖٔٓخٔ اُزٖؾِؤُِنِ هَِٖلَ ِبؽَبَُزٔهِِْ ُِٔوَ‪َٚ‬بءِ‪.‬‬

‫وَػََُِِ‪َ ٔٚ‬كٌُىُِٗىِا ػًََِ ا‪ْٔٔٝ‬ئَْ٘بٕٕ رَبٍّّ‪َ ،‬وٍَزَجِوًَ اُْٗوِ‪َٝ‬خُ َوكُٖٔخً ٔكٍِ رَؾَٔٗ َِ َٓهَبٓ‪ٚ‬هَب‬
‫ٌُْوُ ٌَُُِْ ؽََُِٖ رَؼَبوٌُُِٗ ِْ َٓغَ ِهعَبٍِ ادلَجَبؽٔشٔ‬
‫أَُّزٍِ ؤُُِِٗ‪َٞ‬ذِ ِثٌَب‪ِٔٔٛ‬هَب‪ ،‬وََٗ ِ‬
‫ُٓزَىَائّٔٔب َٓغَ بَُِْٔب ٌُِْٔٓ اٌَُبَِٓٔ ثِوَىَاُِِِٖٗ اُلٖوَُِخٔ‪.‬‬

‫‪َٙ‬بثِ‪ُّ ٜ‬وِ‪َٝ‬خٔ ادلُؾَبكَظَخٔ‬


BARUA NO. 12
MSAMIATI : Kupambana, Leseni, Mfanyaji kosa,
Wapelelezi, Wanafanyiwa upelelezi.
KITUO CHA POLISI CHA MKOA
YAH: UFUNGAJI WA BAA
Mhe. Mwenyekiti wa Kamati ya kupambana na
kuporomoka kwa maadili.
Kujibu maombi yenu matukufu yanayohusu Baa ya
Ulevi ambayo imeanzishwa kwenye lango la mji wenu
pasi na kuwa na ruhusa rasmi inayotoka katika
mamlaka husika tunapenda kukuarifuni kuwa Baa
hiyo tayari imefungwa mara tu baada ya kupokea
taarifa kutoka kwenu, na kuwatia mbaroni wahusika
wote, na kwa sasa wanahojiwa na Polisi kwa lengo la
kuwafikisha Mahakamani.
Kwa taarifa hii napenda mutowe wasiwasi kabisa-
kabisa mkijuwa kuwa Polisi wataendelea kutekeleza
majukumu yao waliobebeshwa mabegani mwao. Pia
tunakushukuruni kwa kuwa na mashirikiano mazuri
na Wapelelezi wetu hayo yakienda sambamba na
uweledi wenu kamili wa kuzifahamu sheria za Nchi.
Kamanda wa Kituo
‫‪13‬‬ ‫اُضَّبُٔضَخَ ػََْوَحَ‬ ‫اُ ‪ٚ‬وٍَبَُخُ‬

‫ادلُلْوَكَادُ‪ :‬رَزََٔضََُّ‪ ،‬اُؼُِٔلُ اُىَ‪َٓ ،ٍَِٗ٘ٝ‬وٍُِىِّْ‪ََُِٓ ،‬زِْلًَ االٍِزٔئَْ٘بفٔ‪ ،‬ؽَغَو اٍََْبًِ‪.‬‬

‫ثَِِِْ اهللِ اُ ٖوؽَِِٖٔ اُ ٖوؽُِِْٔ‬

‫ادلَىِ‪ُٙ‬ىِعُ‪ :‬ادلَ ِوٍُ ِىُّ اُو‪ٚ‬ئَب ٍٔ ٍٗ َٓزًَ ٍََُِْهَلُ اُ٘ٗىِهَ؟؟‬

‫بًَُِ ؽَ‪ِٚ‬وَحٔ اُىَأٍُِ ثِبدلُؾَبكَظَخٔ ‪ ..................................‬ادلُىَهَّو‬

‫الُّ ػََِ ٌُُِِْ وَ َهؽَِٔخُ اهللِ وَثَوًََبرُ‪.ُٚ‬‬


‫رَؾُٖٔخً ‪َُٚٝ‬جَخً‪ :‬اَُٖ َ‬

‫وَثَؼِلُ‪َٗ :‬ؾُِٖ ٌٍَُّبٕ ادلُؾَبكَظَخٔ َٗ ْإٍَقُ ؿَبَخَ ا ٍََْقٔ وََٗؾُِٖ َٗ ِوكَغُ ِبًَُ َٓوَب ٌُُْٔٓ‬
‫اَُٖبٍٓٔ ٌََّبَزََ٘ب وَرَزََٔضََُّ ٔكٍِ رَؼُِِِٔنِ – بِ ْٕ َٕؼٖ اُزٖؼِجُِِوُ – رَِ٘لُِٔ ٔن َٓ ِوٍُ ِىِّ كَقَبَٓخٔ‬
‫‪ ٍِٚ‬ثَِ٘بءَ‬
‫اُوٖئٌُِِٔ اُٖٖبكٔهِ َ ِىَّ اُؼُِٔلٔ اُىَ‪ََ٘/12 ٍَِٚ٘ٝ‬بَِو‪ ،ّ2010/‬وَاَُّنٌِٔ َوْزَ ٔ‬
‫َُِٓزَِْلًَ االٍِزٔئَْ٘بفٔ ثِبدلُؾَبكَظَخٔ‪.‬‬

‫َوهَ ِل َٓ ٖودِ ٍٔزٖخُ َؤِّهُ ٍو ُِٓ٘ ُن ُٕلُوِهِ ادلَ ِوٍُ ِىِّ ادلُىَهَّوِ وََُِْ َُْٗب‪ٔٛ‬لِ َُِّئًب َغِوٌِِ ٔكٍِ‬
‫ؤَهِِٗ اُىَاهٔغِ ثَؼِلَ ؤَْٕ وَ‪َٙ‬غَ ٍَُٔبكَُرٌُِْ َُِٗبثَخً ػَِٖ كَقَبَٓخٔ اُوٖئٌُِِٔ ؽَغَوَ ا ٍََْبًِ!‬
‫كََٔبمَا َغِوٌِِ فَِْقَ اَُ‪ٚ‬زَبهِ ((اٌَُىَأٌُُِِ))؟‬

‫ي ََِٓق‪َٛ ٚ‬نَا ادلَِْوُوِعِ‪ ،‬وَََِٓؼَ اُـُجَبهِ ػَِ٘‪ ،ُٚ‬وَوَ‪ِٙ‬ؼَ‪ ُٚ‬ػًََِ‬


‫وَػََُِِ‪ِ َٗ ٔٚ‬وعُىِ رَؾِوَِِ َ‬
‫‪َٝ‬بوَُِخٔ اُ٘‪ٚ‬وَبُِ ُٔ ٌٍَِ َِْهَلَ اُ٘ٗىِهَ ػَٖٔب هَوَِِتٍ‪ ،‬وَؤَِٗزُ ُْ َٓؾََُّ صٔوَزَٔ٘ب‪ ،‬وًََُُِّ٘ب ؽَََُٖ‬
‫اُظَّٖ‪ِ ٚ‬ثٌُِْ‪ُٗ ،‬ؼَِِّنُ آَٓبََُ٘ب ِثٌُِْ ٔكٍِ بِِٗغَبػِ ‪َٛ‬نَا ادلَِْوُوِعِ ٔكٍِ اُزٖ ِىهُِٔذٔ ادلَُ٘بٍٔتِ‪.‬‬

‫وَكُِٓزُِْ فُلٖآّب ُٓقَُِِِٖٖٔٔ ُٔهَنَا اُىَ‪ َِٖٝ‬اُـَبٍُِٔ ‪ِٗ ........‬وَبثَخُ ادلُىَا‪ َُِِٖ٘ٔٝ‬اَْ ِوكَُٔبءِ‬
BARUA NO. 13
MSAMIATI : Yapo, Siku-kuu ya Kitaifa, Maamuzi,
Hospitali ya Rufaa, Jiwe la msingi.
SHIRIKISHO LA WANANCHI
Mh. Mkuu wa Mkoa.
Yah: AZIMIO LA RAISI LITAANZA LINI ?

Sisi wakaazi wa Mkoa (....) tunasikitishwa mno


kukuletea malalamiko yetu ambayo yanahusiana na
kusimamishwa – ikiwa ni sawa kusema hivyo –
kutekelezwa kwa AZIMIO LA MH. RAISI lililotolewa
mnamo siku ya sherehe ya Taifa tarehe 12/Jan/2010
ambalo liliamuru kujengwa kwa HOSPITALI YA
RUFAA katika Mkoa wetu.

Ni miezi sita sasa imepita tokea AZIMIO hilo


TUKUFU kutoka, na hakuna chochote
kilichoonekanwa kufanyika katika medani za mradi
baada ya kuwekwa kwa jiwe la msingi uliloliweka
wewe Mheshimiwa kwa niaba ya Mh. Raisi! Nini
kinachoendelea nyuma ya pazia?

Kwa hivyo tunatarajia kutoka kwako kulipekua faili la


mradi huo, na kulifuta vumbi na baadaye kuliweka
katika meza ya mjadala ili mradi huo uweze kuona
mwanga karibuni hivi. Na wewe kwetu ni
mwenyekuaminiwa, na tunakudhania vizuri, bali
tunafunga matarajio yetu kwako katika kuufanikisha
mradi huu katika kipindi muwafaka.

Endelea kuwa ni mtumishi mkweli wa nchi yako


tukufu. Shirikisho la wananchi waaminifu.
‫‪14‬‬ ‫اُوٖاثِؼَخَ ػََْوَحَ‬ ‫اُ ‪ٚ‬وٍَبَُخُ‬

‫الؽُٖٔخٌ‪.‬‬
‫ادلُلْوَكَادُ‪ِٗ :‬وَبثَخٌ‪َّ ،‬ؼِتْ‪ ،‬اَِْثٍٗ‪ ،‬ػَِٖ ًَضَتٍ‪ ،‬رَِْ٘ٗ ػَِٖ‪ ،‬وَ ِػٍْ‪َ َٕ ،‬‬

‫ٌَْٓزَتُ اُىَأٍُِ ثِبدلُؾَبكَظَخٔ‬

‫ع َٓغَ ؽُُِ ِىٍِ َُىُُِْىِ‬


‫ثِقُُٖىِِٓ‪ :‬اِٗ‪ٔٞ‬الَمُ ادلَِْوُوِ ِ‬

‫ِٗوَبثَخ ادلُىَا‪ َُِِٖ٘ٔٝ‬ثِبدلُؾَبكَظَخٔ ‪ ......................................‬ادلُؾِزَوََُِٖٓٔ‬

‫رَؾُٖٔخً ‪َُٚٝ‬جَخً‪:‬‬

‫وَثَؼِلُ‪:‬‬

‫ثِب َِّٔبهَحٔ بًَُِ ِهٍَبَُٔزٌُُْ ادلُىَهَّوَحٔ أَُّزٍِ رَِْ٘ٗ ػَِٖ وَ ِػٍِ َّؼِجَِ٘ب اَِْثٍ‪ ،ٚ‬وَُٓزَبثَؼَزٔ‪ٔٚ‬‬
‫ُٔوَ‪َٚ‬بََب‪ ٔٙ‬ػَِٖ ًَضَتٍ ؤَوَكٗ ؤَْٕ ُؤؽُِٔ َ‪ ٌُُْٞ‬ػِّْٔٔب ثِإََّٕ ادلَ ِوٍُ ِىَّ اُو‪ٚ‬ئَب ٍٍٖٔ َُِْ َُؼََِّنِ ثَزَبرّب‪،‬‬
‫الؽُٖٔخٌ ٔكٍِ رَؼُِِِٔؤ‪ ،ٔٚ‬ؤَوِ بُِْـَبئٔ‪ٍَُٖٔٔ ٔٚ‬ب َوهَلِ رَْٖ رَوُُِِْلُ‪ٔ ُٙ‬كٍِ‬
‫وٌَََُُِ َْؽَ ٕل ٖٓٔ٘ب َٕ َ‬
‫ٌٍَْْ َهٍٍٍِّٔٔ ػًََِ‬
‫اجلَوَِِلَحٔ اُىَ‪َُِٖ٘ٝ‬خٔ َههْْ ا ِٔؽَبَُخٔ ( ‪ ،)255‬وَرَْٖ أِػِالَُٕ ػَِ٘‪ ُٚ‬ثِ َ‬
‫قٍ‪ ٚ‬ؤَصَْ٘بءَ كَؼَبُُٖٔبدٔ اُؼُِٔلٔ اُىَ‪ٍَِٚ٘ٝ‬‬
‫ََُٔبٕٔ ٍَُٔبكَحٔ اُوٖئٌُِِٔ َٗلَِْ‪ٔ ٔٚ‬كٍِ فٔ‪َٞ‬بثِ‪ ٔٚ‬اُزٖإْهَِِ ٔ‬
‫ٓ َٖٓٔ اُ ُىكُىِكٔ ادلَؾَُِِّٖخٔ‪ ،‬وَاُ ُىكُىِكٔ اُلٖؤُُِٖخٔ‪.‬‬
‫ػًََِ َٓ ٍ‬

‫الدٔ‬
‫وَبَِٖٗٔب ‪َٝ‬وَؤَ ‪َٝ‬بهِتْ ػًََِ ادلَِْوُوِعِ ادلَنًُْىِهِ اهْزَ‪ ًَٚ‬بِكِهَاطَ ثَؼِِ٘ اُزٖؼِلَِٔ َ‬
‫اُلَ٘‪ُٖٚ‬خٔ ػََُِِ ٔ‪ٖٔٔٓ ٚ‬ب عَؼََِ‪َ ُٚ‬زََإعَُٖ ََُٔٓٓلٔ ادلَُْبهِ بَُُِِ‪ٔ ٔٚ‬كٍِ فٔ‪َٞ‬بِثٌُِْ‪َ ،‬و‪َٛ‬نَا ٔكٍِ ِٗهَبَخٔ‬
‫ادلَ‪َٞ‬بفٔ َُٖٔبُٔؼِ اُلٖوَُِخٔ ُؽٌُىَِٓخً َوَّؼِجّب‪.‬‬
ٔ‫ٔ ادلُجَبكَهَح‬ٙٔ‫ وََُِٗبثَخً ػَِٖ ٍَُٔبكَحٔ اُوٖئٌُِِٔ ثِهَن‬،ٍَِ
ِ ْ‫ُئٌُِْ ؤََٕبَُخً ػَِٖ َٗل‬َُٚ٘ٛ‫وََؤفُِٔوّا ؤ‬
ٖ‫َبدٔ ادلَؾَُِِّٖخٔ بِ ْٕ َٕؼ‬َُُِٞٗ‫َُِِٖٔ٘ اَْ ِوكَُٔبءِ ٔك ٍِ ََُٓبءََُخٔ ا‬ٝ‫جَ ٔخ ِٖٓٔ هٔجََِ ادلُىَا‬َُُّٚٞ‫ا‬
َْٕ‫َبهٌٍِّ وَاػٔلّا بَِٖبًُِْ ؤ‬َٚ‫َبهٔهَب ثُِإٍُِِ ِىةٍ ؽ‬ِٞ٘ٔ‫اُزٖؼِجُِِوُ ؤَوِ ثِزَؼِجُِِوٍ ؤَكَمٖ ٔكٍِ اٍِز‬
ٔ‫ َٖٓٔ اََُٖ٘خ‬/)ِ‫رَٔٗىِى (َُىُُِْى‬/1 ٍِ‫ َٓغَ ؽُُِ ِى‬ُٚ َ‫اله‬
َ ِٔٞٗ‫ئَب ٍٍٔٗ ا‬ٚ‫َِْهَلَ ادلَ ِوٍُ ِىُّ اُو‬
.ٔ‫اجلَبهَِخ‬

ٔ‫وَأٍُِ ادلُؾَبكَظَخ‬

BARUA NO. 14
MSAMIATI : Shirikisho, Wananchi, Asiyekubali
udhalilifu, Kwa karibu, Inaonesha, Ufahamu,
Mamlaka.
OFISI YA MKUU WA MKOA
Yah: KUANZA KWA MRADI IFIKAPO JULAI
Mhe. Mwenyekiti wa Shirikisho la Wananchi.
Kwa kuashiria kwenye barua yenu tukufu inayoonesha
ufahamu mkubwa wa wananchi wetu mashupavu, na
ufuatiliaji wao wa karibu wa mambo yao napenda
nikujuilisheni kuwa AZIMIO LA MH. RAISI
halijazuiliwa katu, wala hakuna yoyote kati yetu
mwenye mamlaka ya kulizuia au kulifuta, hususan
kwa kuwa tayari limethibitishwa katika Gazeti la
Serikali no. (255), na kutangazwa rasmi kwa ulimi wa
Mh. Raisi mwenyewe katika hotuba yake ya kihistoria
wakati wa shamrashamra za Siku-kuu ya Nchi mbele
ya hadhara ya wageni wa kitaifa na wa kimataifa.
Kubwa lililotokezea katika mradi huo ni jambo fulani
lililopelekea kuingizwa baadhi ya marekebisho ya
kiufundi katika mradi huo na hio ndio sababu
iliyofanya kucherewa kwa mradi huo kwa kipindi
kilichotajwa katika barua yenu. Hata hivyo mwisho wa
siku tutagundua kuwa ucherewaji huo bado ni kwa
maslahi ya nchi katika ngazi ya kiserikali na wananchi
pia.
Mwisho nawapongeza mimi binafsi, na kwa niaba ya
Mh. Raisi kwa hatua hii nzuri kutoka kwa wananchi
waaminifu katika kuziwajibisha mamlaka za serikali –
ikiwa ni sawa kusema hivyo – au kwa ibara sahihi zaidi
labda tuseme: Kuzitaka kutoa tamko lake kwa njia ya
kistaarabu.
Hapohapo nachukua ahadi kwenu kuwa azimio la Mh.
Raisi litaanza rasmi ifikapo tarehe mosi mwezi wa sita
katika mwaka huu tulionao.
Mkuu wa Mkoa
‫‪15‬‬ ‫اخلَبََٓٔخَ ػََْوَحَ‬ ‫اُ ‪ٚ‬وٍَبَُخُ‬

‫ادلُلْوَكَادُ‪ :‬كَقَبَٓخُ اُوٖئٌُِِٔ‪َُ ،‬ؤُُِْ‪ ،‬رَؾُشُّ ػًََِ‪ ،‬اُجِ‪َٞ‬بهَخُ‪ ،‬اُجَوَِِل اٌُْْْزِوُوٍِِٗٓ‪.‬‬

‫ثَِِِْ اهللِ اُ ٖوؽَِِٖٔ اُ ٖوؽُِِْٔ‬

‫حلٌُىُِٖٓٔخُ اُزٖبثِؼَخُ ُِٔوَِٖوِ اُو‪ٚ‬ئَب ٍٍٔ‪ٚ‬‬


‫ادلَِٔ ٌََِخُ ا ُ‬

‫كَػِىَحٌ ٔكٍِ ؽَلَِْ ِبكْ‪َٞ‬بهِ اُٖٖبئِْٔ‬

‫َُُِٖٔ‪ٚ‬لٔ‪/‬ح‪/‬‬ ‫حلٌُىُِٖٓٔخُ اُزٖبثِؼَخُ ُِٔوَِٖوِ اُو‪ٚ‬ئَب ٍٍٔ‪َََُُُ ٚ‬وٗ‪َٛ‬ب رَ ِىعُِِ‪ ُٚ‬اُلٖػِىَحٔ‬


‫ادلَِٔ ٌََِخُ ا ُ‬
‫ُُِِْٖـِ‪ُُِٔٔ/‬ؾِزَ َوِّ ‪...................................................... :‬‬
‫ثِِةَّبهَحٕ ًَؤََِِ ٕخ ِٖٓٔ كَقَبَٓخٔ اُوٖئٌُِِٔ ُٔؾُ‪ُٚ‬ىِهِ‪ٔ ٔٙ‬كٍِ ؽَلَِْخٔ ِبكْ‪َٞ‬بهِ اُٖٖبئِْٔ أَُّزٍِ‬
‫َُؤُُِٔهَب كَقَبَٓزُ‪ ُٚ‬ثِوَِٖوِ‪ ،ٔٙ‬وَمَُٔيَ ٔكٍِ ‪َّ ِٖٔٓ/17‬هِوِ هََٓ‪َٚ‬بَٕ ادلُجَب َهىٔ‪ٛ1433/‬ـ‬
‫ادلُىَاكٔنِ ُٔـ ‪.ّ2013 / /‬‬

‫بَِّٕ ادلَِٔ ٌََِخَ َُزَؾُشُّ ادلَلِػُىٖ ادلُؾِزَ َوَّ ػًََِ اُىُُٕ ِىٍِ بًَُِ اُوَِٖوِ اُو‪ٚ‬ئَب ٍٍٔ‪ ٚ‬ػِٔ٘لَ‬
‫ق َََٓبءً وََٓؼَ‪َٛ ُٚ‬نٔ‪ ٔٙ‬اُجِ‪َٞ‬بهَخٔ‪.‬‬
‫اخلَبََٓٔخٔ وَاُ٘‪ٔ ِٖٚ‬‬
‫ُٓالَؽَظَخٌ‪ٔ :‬ػِ٘لَ اال ِػزٔنَاهِ ؤَوِ اُزٖؼَنُّ ِه كٍِٔ احلُ‪ُٚ‬ىِهِ َُوِعًَ االر‪َٖٚ‬بٍُ ثِبذلَبرٔقٔ اُزٖبٍُِٔ‪:‬‬
‫‪ ،0999777999‬ؤو أِِّؼَبه ػَ ِٖ ‪َٝ‬وَِِنِ اُجَوَِِ ٔل اال ًٍْزُوُوٍِِٗ اُزٖبٍُِٔ‪ :‬هِئَبٍَخ@ََب‪ُٛ‬ىِ‪ًُ.‬ىِِّ‪.‬‬
BARUA NO. 15
MSAMIATI : Mheshimiwa Raisi, Anafanya,
Inashishitiza, Kadi, Barua-Pepe.
Bismillah Rrahmaan Rrahiim
MAMLAKA YA SERIKALI YALIYO CHINI YA
IKULU YA RAISI
MUALIKO KATIKA HAFLA YA FUTARI
MAMLAKA YA SERIKALI YALIYO CHINI YA
IKULU YA RAISI yanafuraha kumualikwa
Bwana/Bibi/Shekhe/Mhe:
..............................................................................................
kwa maelekezo matukufu yanayotoka kwa Mh. Rais
kuhudhuria katika hafla ya futari iliyotayarishwa na
Mh. Raisi katika Ikulu yake ambayo itafanyika tarehe
17 Ramadhani 1433H sawa na ....../......./2013.
Mamlaka husika inamshishitiza Mheshimiwa
Mualikwa kufika katika Ikulu panapo saa 11.30 jioni
akiwa na kadi hii.
TANBIHI: Kwa kutoa udhuru au kushindwa kushiriki
unaombwa upige simu no. 0999777999 au toa habari
kupitia Barua-pepe: Riasa@yahoo.com
‫هَُِْٔ أِػِالََٗبدٔ‬
‫‪KITENGO CHA MATANGAZO‬‬

‫بِػِالٌَٕ ‪َٛ‬بّ‪ٙ‬‬

‫ََُِٔ٘ ُغ َِٓ٘ؼّب ثَبر٘ب أٌُزَبثَخُ ػًََِ عُلِهَإٔ ادلََِغَلٔ‪ ،‬وَاُٖ٘ ِىُّ ٔكٍِ ؽَ َوِّ‬
‫ادلََِغِلٔ‪ ،‬وًََنَا بُِْوَبءُ اُي‪ٚ‬ثَبَُخٔ ٔكٍِ ؤَهِ ِوهَزٔ‪َ .... ٔٚ‬و ٌُّْوّا ػًََِ اُزٖؼَبؤُٕ‪.‬‬

‫َُغَِ٘خُ ادلََِغِلٔ‬
‫‪TANGAZO MUHIMU‬‬

‫‪INAKATAZWA KATAKATA KUCHORA KATIKA‬‬


‫‪KUTA‬‬ ‫‪ZA‬‬ ‫‪MSIKITINI,‬‬ ‫‪KULALA‬‬ ‫‪KATIKA‬‬
‫‪HIMAYA YA MSIKITI NA KADHALIKA KUTUPA‬‬
‫‪TAKA KATIKA KORIDOO ZAKE ... ASANTENI‬‬
‫‪KWA MASHIRIKIANO YENU.‬‬

‫‪KAMATI YA MSIKITI‬‬

‫بِػِالٌَٕ ‪َٛ‬بّ‪ٙ‬‬

‫ٌْْ ٍَ َٕب ِهٍّ اُزٖؾَ ٗلسُ ثِـَُِوِ اُُِّـَخٔ اُؼَوَثُِٖخٔ ٔك ٍِ ُٓؾُِٔ‪ ٜٔ‬ادلَؼِهَلٔ‪،‬‬
‫ََُِٔ٘غُ ثِ َ‬
‫الٍَ اُؼَبِّ‬
‫وَاُوَوَاهُ ٍَبهٌِِ ادلَلْؼُ ِىٍِ ػًََِ َٓلَاهِ ٍَبػَبدٔ اُلٖوَاِّ فٔ َ‬
‫اُل‪ٚ‬هَا ٍٍٔ‪ ٚ‬اجلَبهٌِِ ًَبٓٔالً‪َ ،‬و ٌُّْوّا ػًََِ االُْزٔيَاِّ ثُِٔ ِىعِتِ اُوَوَاهِ‪.‬‬

‫بِكَاهَحُ ادلَؼِهَلٔ‬
TANGAZO MUHIMU

INAKATAZWA VIKALI KUZUNGUMZA KWA


LUGHA ISIYOKUWA YA KIARABU KATIKA
UZIO WA CHUO, AZIMIO HILI LINAFANYA
KAZI MUDA WOTE WA MAHUDHURIO
KATIKA KIPINDI CHA MWAKA HUU WA
MASOMO CHOTE, AHSANTENI KWA
KUSHIKAMANA NA AZIMIO HILO.

UONGOZI WA CHUO

ّٙ‫َب‬ٛ ٌَٕ‫بِػِال‬

،ِ‫ِّ ا َْؽَِٔو‬َٜ‫ؼَبٍِ ػِٔ٘لَ اخل‬ُٚ٘‫َِٔ ادلََُُِِِّٖٖ فَِْغُ ا‬ٙ‫َُ ِوعًَ َٖٓٔ ا َْكَب‬
ٔ‫ؽٔلَبظًب ػًََِ َٗظَبكَخٔ ثُِِئَخ‬ ٍِ‫ؼَب‬ُِٚ٘ٔ ٔ‫ِؼُهَب ٔكٍِ آََْبًِٖٔ ادلُقََٖٖٖخ‬َٙ‫وَو‬
.ُٕٔ‫ َو ٌُّْوّا ػًََِ اُزٖؼَبو‬،ٔ‫ادلََِغِل‬

.ٔ‫اذلَُِئَخُ ادلَؼُِِٖ٘خُ ِثُْاُؤِٕ اُٖ٘ظَبكَخ‬


TANGAZO MUHIMU

WANAOMBWA WATUKUFU WASALIJI KUVUA


VIATU KWENYE MSTARI MWEKUNDU, NA
KUVIWEKA KATIKA SEHEMU MAALUMU
ZILIZOTENGWA KWA VIATU, ILI KUHIFADHI
USAFI KATIKA MAZINGIRA YA MSIKITI,
ASANTENI KWA MASHIRIKIANO

KAMATI INAYOHUSIKA NA MAMBO YA USAFI

ْ‫بِػِالٌَٕ وَبِِٗنَاه‬

ٍِ‫ُىِهِ ٔك ٍِ َٓغَب ٍِ ػََِٔٔهَب ٔك‬ُٚ‫ُِْىِثَخُ احل‬َٞٓ ‫ؿ‬


ٍ ‫ادلَلِػُىٖحُ ؤََُِٓٔ٘خُ ثِِ٘ذُ ٍَِْجُ ِى‬
ٌ‫د َُْٓلٖكَح‬
ْ ‫ َوٍَىِفَ رُزٖقَنُ ِبعِوَاءَا‬،ٍّ‫َب صَالَصَخُ ؤََٖب‬ٛ‫ُىِ ٕٔ ُٓلٖحٕ َؤهَْٖب‬ُٚ‫ؿ‬
.ٔ‫َب ٔكٍِ ؽَبَُخٔ ػَ َلِّ االٍِزٔغَبثَخ‬ٖٛ‫ٔل‬ٙ

ٔ‫ُىِهِ وَاُـَُٔبةِ ثِبُْٖوًَِخ‬ُٚ‫ُِْٓوِفُ احل‬


TANGAZO NA ILANI

BIBI. AMINA SALBUUKH ANATAKIWA KUFIKA


KAZINI KWAKE KATIKA KIPINDI CHA MUDA
KISICHOZIDI SIKU TATU, NA IKIWA
HAKUITIKA MWITO ATACHUKULIWA HATUA
KALI DHIDI YAKE.

MSIMAMIZI WA MAHUDHURIO
ّٙ‫َب‬ٛ ٌَٕ‫بِػِال‬

َََُُِِّٜٔ ّٚ‫َُِِٔخٔ ادلُلْٔزٍِ اُؼَب‬َٚ‫ٔ اُلٖػِىَحٔ بًَُِ ك‬ُِِٚ‫هَبَٓذٔ اَُِّغَِ٘خُ اُضَّوَبكُٖٔخُ ثِزَ ِىع‬
ُ‫ ((اُؼُيُوِثَخ‬:ِ‫َبٍّّ َّـَََ ثَبٍَ ًَضُِٔ ٍو َٖٓٔ اُْٖجَبة‬ٛ ٍ‫ُىِع‬ِٙ‫ٖ ِىءَ ػًََِ َٓى‬ُٚ‫ا‬
.))ً‫َؤٍِجَبثّب َوؽُُِ ِىال‬

،ً‫َوَحُ ٍََزٌُىُِٕ ٔكٍِ هَبػَخٔ ادلَؼِهَلٔ اَُُ ِىَّ ثَؼِ َل َٕالَحٔ اُؼَزََٔ ٔخ ُٓجَبَّوَح‬ٙ‫وَادلُؾَب‬
ِ‫ وَثَبهلل‬،ِ‫ُىِع‬ِٙ‫ُٖخٔ ادلَى‬ََْٚٔٛ ٕ‫ٌْْ ٍَ ٌَُٓضَّق‬
َ ِ‫ُىِهُ ث‬ُٚ‫َُ ِوعًَ َٖٓٔ اجلَُِٔٔغِ احل‬
.ِ‫اُزٖ ِىكُِٔن‬

TANGAZO MUHIMU

KAMATI YA ELIMU IMEMUALIKA MSTAHIKI


MUFTI MKUU APIGE TOCHI JUU YA MAUDHUI
MUHIMU ILIYOSHUGHULISHA SANA VIJANA:
‘UKAPERA SABABU NA MASULUHISHO’

MUHADHARA UTAKUA KATIKA UKUMBI WA


CHUO LEO BAADA YA SALA YA ISHA TU.
MUNATARAJIWA KUHUDHURIA KWA WINGI
KUTOKANA NA UMUHIMU WA MAIDHUI YA
MUHADHARA, WABILLAAH TTAWFIIQ.
ٌ‫ػَـــيَاء‬

َِٕ‫ٔ هَاعِؼُى‬َُُِِٚ‫بِٖٗب هللِ وَبِٖٗب ب‬

ُِٔٔ‫َّوًَِخُ اُؼَبَٕٔٔخٔ َُٔٓؿْنَٔخٔ اُجَؾِوَِٖخٔ ِثٌَبكَّخٔ ػَٔٔبَُزٔهَب رَزَوَ ٖلُّ ثِقَب‬


ٔٚٔ‫ وََٕبكٔمِ ادلُىَاٍَبحٔ بًَُِ ىُِِِٓٔٔهِ ِْ ُٓؾَٖٔلٕ ثِِٖ ػَجِلٔ اجلَجٖبهِ وَػَبئَِٔز‬،ِ‫اُؼَيَاء‬
.ِ‫ُْٔ اُؼَيَِِي‬ٛٔ‫ُ وَأُل‬َُٚ ِ‫ثِ َىكَبحٔ ادلَـِلُىِه‬

َِِٔٚ‫ وَؤَُْهََْ مَو‬،ٔٚٔ‫ُ كََُِِؼَ عَٖ٘بر‬ٌٍََِٚ٘ ‫ وََؤ‬،ٔٚٔ‫رَـَٖٔلَ اهللُ اُلَؤُِلَ ثِىَأٍغِ َهؽَِٔز‬
.َُِٖٔٓ‫ آ‬،َٕ‫اُٖٖجِوَ وَاَُِْٖىَا‬

ٔ‫ُٓلَِٔوُ اُْٖوًَِخ‬
RAMBIRAMBI

KAMPUNI YA JIJI LA VYAKULA VYA BAHARINI


NA WAFANYAKAZI WAKE WOTE
WANATANGULIZA MKONO WA TAAZIA KWA
MFANYAKAZI MWENZAO NA AILA YAKE KWA
KIFO CHA MAREHEMU BABA YAO.

ALLAH AMGUBIKE KWA REHMA ZAKE


NYINGI, NA AMUWEKE KATIKA PEPO YAKE
KUBWA, NA AWAPE WATU WAKE SUBRA NA
UPOZO WA MOYO, AMEEN.

MENEJA WA KAMPUNI
ٌ‫ٌََوَِٖخ‬
ِ َ‫ٔوَخٌ ػ‬َِٞ٘ٓ

َ‫َوَِِ َويَ َٗؾِى‬ٝ ٗ‫ِ ؤََٗذَ إَِ رَُْن‬ِٚ‫َٖٔ! وََؤ ٔفٍِ اَُٖبئٔؼ! اِٗزَج‬ٝ‫َؤ ٔفٍِ ادلُىَا‬
‫ ًََٔب‬،ِ‫ٔوَ ٌخ َٓؾِظُىِهَحُ اُزِٖٖىَِِو‬َِٞ٘ٓ ٍَ ٛٔ َ‫ و‬،ٕ‫ٌََوَِٖخ‬
ِ َ‫ٔوَخٕ ػ‬َِٞ٘ٓ ‫َبهِ ػَجِ َو‬َٞ‫ادل‬
ٍِ‫ٌْْ ٍَ َٕب ِهٍّ هًَُْٖ اََُُٖبهَادٔ ؤَوِ بَِِوَبكُهَب ػًََِ َؤؽَلٔ عَبَِٗج‬
َ ِ‫َُؾِظَوُ ث‬
.ٔ‫ٔؼَخٌ ُِٔ٘ظَبِّ ادلُوَاهَجَخ‬ٙ‫ٔوَخَ ًَُِّهَب فَب‬َِٞ٘‫ ػِّْٔٔب ؤََّٕ ادل‬.ّٚ‫اُْٖبهِعِ اُؼَب‬

ENEO LA KIJESHI

NDUGU MWANANCHI, NDUGU MTALII,


TAMBUA KUA SASA UNAPASUA NJIA
KUELEKEA KIWANJA CHA NDEGE KUPITIA
ENEO LA KIJESHI, NALO HAIRUHUSIWI
KUPIGA PICHA, PIA INAKATAZWA VIKALI
SANA KUEGESHA AU KUSIMAMISHA GARI
PEMBENI MWA BARABARA. ELEWA KUWA
ENEO LOTE LINALINDWA.
ُ‫آَِْضَبٍُ اُؼَوَثُِٖخ‬

CHUKUA MAZURI YA ‫ِ َٓب‬


ِ َُِ‫ وََٖٓٔ اُؼ‬،‫ِ ِو َٓب َٕلَب‬ٖٛ‫ فُ ْن َٖٓٔ اُل‬
ULIMWENGU, NA
KINACHOTOSHA KATIKA .ًَ‫ًَل‬
MAISHA.

NDUGU YAKO WA KWELI NI َ‫ بَِّٕ َؤفَب َى َِٖٓ آٍَبى‬


YULE AKUPAYE POLE

ANANITAFUNA KWA MENO .ٕ‫َإٍُِِٗ ثِظِْٔق‬ََٞ‫ و‬،ًٍِ‫ٔو‬ِٚ‫ َإًٍُُِِِْ٘ ث‬


NA KUNIKWATUA KWA
MIGUU.

MWIZI WA KUKU ٍِ‫ وَؤََٗب َؤهَغُ ٔك‬،َ‫ؿَُِوٌِِ َإًَُُْ اُ ٖلعَبط‬


MWENGINE NA JELA NA
KWENDA MIE. .ِ‫َُبط‬َُٚ‫ا‬

HAKUNA CHA KUKUNA .َ‫ َٓب َؽيٖ عِِْلَ َى ٓٔضَُْ ظُلْوِى‬


NGOZI YAKO KAMA UKUCHA
WAKO.

HWENDA MWENYE-HARAKA ٌ‫ش ٌَُِٓٔش‬


ٕ ُِٔ‫ُهةٖ ؽَض‬
ASIONDOKE.

KUDRA YA ALLAH IKIJA HILA .ُ‫َُِذٔ اُزٖلَاثُِِو‬َٞ‫ بِمَا ؽََِّذٔ ادلَوَبكَِٔوُ ث‬
HUBATILIKA.

KAKUTUKANA .ٖ‫ي َِٖٓ ثََِّ َـيَ اَُٖت‬


َ ‫ ٍَٖج‬
ALIYEKUFIKISHIA MATUSI
ُ‫اَُْْـَــبى‬

KITANDAWILI JAWABU ُ‫اجلَىَاة‬ ُ‫اَُِّـِـي‬


Mimi KIVULI َُِّّ‫اُظ‬ َََِٖ‫ؤََٗب ُٓ ِوٌٍََ كَإ‬
nimetumwa sasa
‫ذ َٓبٍُ ؟‬
َ َِٗ‫ؤ‬
wewe
unakwenda wapi
?

Juu KIJICHO, SHINDANO ُ‫أِثِوَح‬ ،ٌ‫كَىِمَ ػََُُُِ٘خ‬


chini KIJINO
.ٌ‫وَرَؾِذَ ٍََُُِ٘٘خ‬

Ami yangu SHOKA ُّ‫اُوَلٗ ِو‬ ْ‫ٍِٔ هَُِٖٔو‬ٚ َ‫ػ‬


mfupi na ni
ْ‫وَثَُِٖٔو‬
mwenye busara.

Tai saba tokea SIKU SABA ِ‫ٍَجِؼَ ُخ ُٕوُىِ ٍه ِٖٓٔ ؤََٖبُّ ا ٍُِْجُىِع‬
zama za Mtume ZA WIKI
،ٍِ‫ىََِٖٓ اُ ٖوٍُ ِى‬
(s.a.w) na hakuna
aliyezidi. . َ‫َوالَ وََُلَ ىَاك‬

Ami yangu yuko TAA YA ً


ُ ِ‫اُلَبُٗى‬ ِٔٚٗ‫ٍِٔ ٔكٍِ كًَُّب‬ٚ َ‫ػ‬
barazani kwake KANDILI
ٍِ‫وََإًَُُْ ٔك‬
anakula kwa (FANUSI)
utumbo wake. .ِٔٚٗ‫ِٖٓٔوَا‬
Ami yangu ni NJIA ُ‫اُلٖ ِهة‬ ‫َىَِِ ٌَ َٓب‬ٝ ٍِٔٚ َ‫ػ‬
mrefu hafikwi na
ٍَ‫َِْؾَنُ اٌَُ ِؼٌُ ِى‬
mtu.
.)ََِّّ‫(اُظ‬

Kavuuka bahari UPEPO ُ‫َِؼ‬ٚ‫ َوالَ اُو‬،َ‫َغَ اُجَؾِو‬َٞ‫ه‬


wala hakuna hata
َ‫ػَظَْْ ظَهَو‬
mfupa
ulioonekana.

Jiwe Jiwe, KOBE ُ‫ عَوٖ اََُِٗؾِلَبح‬،ْ‫ؽَغَوْ ؽَغَو‬


lakokota jiwe,
َ‫ ال‬،ً‫ؽٔغَبهَح‬
halitagi wala
halizai. .ُ‫ َوالَ رَِٔل‬،ُُِِ٘‫رَج‬

Jioni NYOTA ُِْ‫اُٖ٘غ‬ ،ُُٚ‫ػَُْٖٔخً َّوََِز‬


nimeinunua,
ُُٚ‫َٕجَبؽّب َٓب َُؤُِز‬
Asubuhi
sikuikuta
Ndugu watano, VIDOLE ٔ‫ؤََٕبثِغُ اَُُل‬ ،ْٕ‫فَََِٔخُ ِبفِىَا‬
wanne kati yao ni VYA
ُِْ‫ؤَهِثَؼَ ٌخ ِٓٔ٘ه‬
majirani. MKONO
ْٕ‫عُِِوَا‬
ٍٗ‫ؼِوُ اُؼَوَِث‬ُْٚ‫ا‬

‫ة‬
ِ َ‫ْؼِ َو ػِٔ٘ َل اُ َؼو‬
ٚ ُ‫َٕ ا‬
َّ ‫"اُؼَوَثُِٖ ٔخ ثٌٍََِْْ ٍَوَِِغٍ" ؤ‬ ‫ت‬
ِ ِ‫َُ٘ب ؤُهَِِ ُل ؤَ ْٕ ؤُُِّٔ َو بَِّب َهحً ٍَوَِِ َؼ ًخ ُٔوَبه‬َٛ‫و‬
،َ‫ذ ؤَ ْٕ رََزؼََِّ َْ اُ َؼ َوثُِٖخ‬
َ ِ‫ بِ ٕٔ ؤَؽِجَج‬ٚٔ ُِ َِ‫ َك َؼ‬،ٔ‫ػَبٖٓزٔهِ ِْ وَفَبٕٖزٔهِ ِْ ثَِٔضَبَث ٔخ اذلَىَا ِء َُلَي اٌَُبئَٔ٘بدٔ احلَُٖخ‬
َُ
ِّ ٌِ‫َب ؤََٗب إِ ث‬َٛ‫ و‬،ِ‫ظ ؤَ ِّؼَب ِه اُؼَوَة‬
ٔ ْ‫ي ؤَ ْٕ رٌُْضٔوَ ِٖٓٔ ٔؽل‬
َ َُِِ‫ع َك َؼ‬
ِ ‫وَرََِزَِٔزٔ َغ ثِهَب ؽَ ٖن االٍِزِٔٔزَب‬
.ٍِٚ‫ْؼِ ِو اُؼَوَث‬
ٚ ُ‫ََج َوخً ََُِِٓٔئ ًخ ِثؼُُىِ ٕٔ ا‬ٝ ‫ي‬
َ ََِ‫ ُّ ثَُِ َٖ َل‬ٚ‫اؽِزٔوَا ٍّ ؤُهَل‬

UHONDO: Hapa napenda kuashiria harakaharaka kwa MSOMAJI WA


KIARABU CHAPUCHAPU kuwa MASHAIRI kwa Warabu ni kama hewa
kwa viumbe hai. Kwa hivyo pindi ukipenda kujifunza KIARABU na
kuburudika nacho kikwelikweli basi ni juu yako kuhifadhi mashairi ya
kiarabu. Basi hapa mimi kwa heshima zote natanguliza mbele yako sahani
iliyojaa VINONO vya mashairi ya kiarabu!!

ُ‫َو ٔكٍِ ػَُِِ٘يَ اجلٔــــنْعُ الَ رُجِٖٔو‬ * ‫ٍِ٘ اُوَــنَي‬ٚٔٓ َُِِٖ‫ؤَرُجِٖٔوُ ٔكٍِ اُؼ‬
Ilhali jichoni mwako kuna boriti Unaona dodo katika jicho langu
hulioni.

‫ وََٓب ٍَٔٔؼُىِا ِٖٓٔ َٕبُٔؼٍ َككَُ٘ـىِا‬،ٍَِ٘ٚ‫ػ‬ * ‫َبهُوِا ثِهَب كَ َوؽّـب‬ٝ ً‫بِْٕ َََِٔؼُىِا هَِِجَخ‬
Na wakisikia sifa zangu nzuri Wakisikia tuhma dhidi yangu
huzizika (hapohapo). huruka kwa furaha wakaieneza

ُُِٚٔٛ‫ُىَ عَب‬ٛ َِٖٓ َْ ‫ًَنَاىَ َُؼَبكٌِٔ اُؼِْٔـ‬ * ‫َِِهَب‬َٛ‫ وَػَبكََِذَ اُؼُُِـ ِىَّ وَؤ‬،َ‫عَهِِْذ‬
Hiyondio desturi ya mjinga Umejingikiwa na kuzichukia
kuifanyia uadui elimu. elimu na watu wake

‫وَبِْٕ َوُــىُِىِا فَــبَُقَ اِصَـبهَا‬ * ‫ؽََُِجيَ ؤَْٕ رَزٖجِــــغَ ادلُقِزَبهَا‬


Japo wakisema: Kakhalif huyu Inakutosheleza wewe kumfuata
mapokezi ya wazee. Mtume (s.a.a.w)

ُْ‫ػَــبهْ ػََِ ُِيَ بِمَا كَؼَِْذَ ػَظُِٔــ‬ * ُٚ‫َ ػَِٖ فُُِــنٍ وَرَإْٔرٍَ ٓٔضَِْـ‬َِٚ٘‫الَ ر‬
Ni fedheha pevu juu yako ukifanya Usikataze tabia mbaya halafu
hivyo. wewe mwenyeo ukazifanya

ُّ‫ٔ اُـ ٖل‬ِٚ‫الَ َََُِِْ اُْٖوَفُ اُ ٖوكُِٔ ُغ َٖٓٔ اَْمَي * ؽَزًٖ َُـوَامَ ػًََِ عَــىَاِٗج‬
(Haitoachiwa) mpaka imwagwe Nasabu tukufu haisalimiki na
damu pembezoni mwake. kuudhiwa.

ٌِٔ‫َُوَـلِ َؤٍَِٔؼِذَ َُـىِ َٗبكََِذَ ؽَـُ٘ب * ؤٌََُـِٖ الَ ؽَـــَُبحَ َُِٖٔٔ رُـَ٘بك‬
Lakini hana uhai huyo unayemwita. Ushamfikishia sauti lau
unaemwita yuhai

ِ‫ـَو‬ُٖٚ‫ الَ ُِٖ٘غِِْ ٔكٍِ ا‬،ٔ‫َّوِف‬ُِٞٔ ُ‫ُ * وَاُنَِّٗت‬َٚ‫ٕىِهَر‬


ُ ‫وَاُٖ٘غُِْ رََِزَِٖـٔوُ اَْثَِٖب ُه‬
Na kosa ni la jicho na sio udogo wa Macho hulidogosha umbile la
nyota. nyota

َ‫ُّـَبِّ بِْٕ رََْب رَجِغُِِـال‬ُٞ‫ػِٔ٘ـــلَ ا‬ * َ‫ هَلَِٔـّٔب هُِٔال‬،ِ‫َوفَبُٔلَِٖ رُؼِــوَف‬


(Utatambulika) kwa wajinga ukitaka ‘PINGA UTATAMBULIKA’,
utukufu. zamani ilisemwa

ُْ‫ٔــٍَ ُٓؼَبِٗـلٕ الَ َؼَِِــ‬ٛ‫وََُوَـلِ ػَِِٔٔذُ ؤٍَِِٖٗ٘ الَ َؤٍَِِــُْ * ِٖٓٔ عَب‬
Na (shari) za mjinga, mkaidi Nilijuwa yakini kuwa
asiyejuwa. sitasalimika

َِ‫َبٕٔ َّ ٍِءٌ * بِٕٔ اؽِـــزَبطَ اُٖ٘ـهَبهُ بًَُِ كَُُِٔـ‬ْٛ‫وٌَََُُِ َٖٔـؼٗ ٔكٍِ اَْم‬
Ikiwa mchana pia utahitaji utolewe Hakuna kitakachothibiti tena
dalili. akilini

َْ‫ اُؼَغَــ‬ٚ‫ْجُىِعْ ػًََِ ؽُت‬َٞٓ ‫ىِمُ َإْٔرٍِ هَـلَهّا ػًََِ َٓهِــٍَ * وَادلَ ِو ُء‬ٚ‫اُو‬
Na binaadamu kaumbwa kupenda Rizki huja kwa makadirio
pupa. kidogokidogo

ُٕ‫ُ ؤَىَِٓب‬ٚ‫ ٍَإَرِــ‬،ََْٖٓ‫ُ ى‬ٖٙ‫َلِرَهَب كُ َوٌٍ * َِٖٓ ٍَــو‬ٛ‫ٔـٍَ آُُْىِهُ ًََٔب َّب‬ٛ
Anayefurahishwa na wakati mmoja, Mambo ni kama
hukerwa na nyakati nyingi. unavyoyashuhudia ni kwa zamu

ُ‫ؽ ِٓٔ٘ـيَ ًَـَٔب َوُوِؽُ اُضَّؼَِِت‬


ُ ِ‫َوَفٔ اََُِِّبٕٔ ؽَالَوَحً * وََوُو‬ٝ ِٖٔٓ ‫ي‬
َ ُِ ِٔٞ‫َُؼ‬
Na anakuzungukia (kwa hadaa) Anakupa utamu kwa ncha ya
kama anavyozunguka Mbweha ulimi
(kikizunguka kiwindwa chake)..

ِْ‫ِـَِ ثَُِٔزيَ كَبػَِِــ‬َٛ‫* ًَبَٕ اُ َىكَب ِٖٓٔ ؤ‬ َُٚ‫ِز‬َٙ‫ كَـةِْٕ َؤهْو‬،ََِْٖ‫َٗب ك‬ٚ‫بَِّٕ اُــي‬
Juwa kuwa utalipwa kupitia watu Hakika Zina ni deni,
wa familia yako. ukiikopesha

ِْ‫َنَا َُجُِِجّب كَبكْهَــ‬ٛ ‫* بِْٕ ًُِ٘ذَ ََــب‬ ِٔٙ‫ وََُىِ ثِغِــلَاه‬،ِٔٚ‫َِٖٓ َئِٕ َُيَِٕ ث‬
Ikiwa Eee Weye wee ni mwenye- Atakayezini ataziniwa tu, japo
busara basi yafahamu hayo. kwa ukuta (wa nyumba) yake

َ‫ُ َُُِٔ٘لَؼَــي‬ٚ‫ُـوٗ َٗ ْلََـ‬َٚ ِٖ‫بَِّٕ َؤفَبىَ احلَـنٖ َِٖٓ ًَب َٕ َٓؼَـيَ * وََٓـ‬
Na anayeidhuru nafsi yake kwa Hakika ya ndugu wa kweli ni
kukunufaisha wewe. Yule anayesimama na wewe

َ‫الهٔهِِْ * كََإهٔـِْ ػََُِِهِ ِْ َٓ ْإرَـّٔب وَػَىَِِـــال‬


َ ِ‫وَبِمَا ؤُُِٕٔتَ اُوَـ ِىُّ ٔكٍِ َؤف‬
Basi waekee matanga na kilio Watu wakisibiwa katika tabia na
kikubwa cha maombolezo. silka zao

‫ٌٍَْْ ٍَوَِِغٍ" بِمَا ؤَهَ ِكدَ ؤَْٕ رَؼَِِ َْ َٓلَي َٓب‬


َ ِ‫ ؤََٗهَب اُوَبهِتُ اٌَُوَُِِْ "ُِٔؼَوَثُِٖخٔ ث‬:ٌ‫ُِٔلَخ‬َُٞ
،‫َُٔب عَبءََا َٓ ِلؽّب ُٔوَ ِى ٍّ َٓب‬ٛ‫َُٔب رَغِل‬ٛ ‫ُ اُؼَ َوةُ ٔكٍِ َٗظِْْ اُوَبكَُٔخٔ كَبهْوَؤٔ اُجَُِزَُِِٖ ًََٔب‬َٚ‫ثََِـ‬
.‫ كََُب ػَغَجّب‬.ِ‫وَبِْٕ َػٌََِزَهَُٔب رَؾَ ٖىالَ مَٓ٘ب َُهُ ِْ ٌََٓبَٕ ادلَ ِلػ‬
UHONDO: Mpenzi Msomaji wa KIARABU CHAPU-CHAPU ukitaka
kutambua upeo mkubwa waliofikia Warabu katika fani ya mashairi hebu
soma BETI hizi mbili kama zilivyo. Hizo utazikuta kuwa zinawasifu watu
fulani. Lakini BETI hizo hizo ukizisoma kinyume-nyume hugeuka na kuwa
zinawaponda badala ya kuwasifu !! AJABU HII !!

ُ‫َٕجَوُوِا كََٔب عَيَػُـىِا ثَِٔب ؽُوُِٓـىِا * ُٓـ ٔلؽُىِا كََٔب مُٖٓذِ َُهُـِْ ٍَُٔــو‬
Walisifiwa wala hazikupondwa Walivumilia hawakupatwa na
nyendo zao. mshtuko kwa walichonyimwa

‫َٔٔــْْ وََٓب َٕـُوُوِا‬ٛ ِْ‫ُوُمْ * ًَجُ َودِ َُهُـ‬ٝ ِْ‫ػََٔـوُوِا كََٔب فَوِثَذِ َُهُـ‬
Walikuwa na hima kubwa kwa Waliimarisha kwa hivyo njia zao
hivyo hawakudhalilika. hazikubomoka

‫ٍَُٔـوْ َُهُِْ مُٖٓذِ كَـَٔب ُٓ ٔلؽُـىا * ؽُوُِٓـىِا ثَِٔب عَيَػُـىِا كَـَٔب َٕجَوُوِا‬
Walinyimwa kwa mshtuko Sera zao zilipondwa na
walioupata na kwa hivyo hawakusifiwa
hawakuvumilia

‫ كََٔب ػَـَٔوُوِا‬،ِ‫ُـوُمْ َُهُـِْ فَوِثَذ‬ٝ * ِ‫ٔـَْْٔ َُهُـِْ ًَجُ َود‬ٛ ‫ وََٓب‬،‫َٕـُوُوِا‬


Njia zao zilibomoka wala Walidhalilika, na hakuna hima
hawakuziimarisha. yao iliyokuwa kubwa
ََّٕ‫ٔ اَُِّؾِظَخٔ ؤَْٕ ؤُػِِٔ َٔيَ ؤ‬ٙٔ‫َن‬ٛ ٍِ‫ وَآفٔ ُو َٓب ٔكٍِ عُؼِجَٔزٍِ ؤََٗهَب اُوَبهِتُ اٌَُوَُِِْ ٔك‬:ٌ‫ُِٔلَخ‬َُٞ
ٕ‫ٔ ؤَْٕ َإْٔرٍِ ثِغَُِِٔخ‬ِٚٗ‫ُ ًَبَٕ ثِةِ ٌَِٓب‬َٖٚٗ‫ٔ ثِؾَُِشُ ؤ‬ٚٔ‫ َٓوْلٔهَحٌ فََُبُُٖٔ ٌخ َٓغَ ُـَز‬ُٚ َُ َٕ‫اُؼَوَِثٍٖ ًَب‬
ٍِ‫ ٍَىَاءٌ ثَلَْؤدَ ثِهَب ِٖٓٔ ٍَُِٖٔٔ ؤَ ِو ِٖٓٔ َََبهٍ!! فُنْ ػًََِ ٍَجَُِِِ ادلٔضَب‬،ِ‫رُوْوَؤُ ػًََِ اَُٖىَاء‬
َِْ‫ُِٔؼُىِا ؤَْٕ َإْرُىِا ثِٔٔض‬َٞ‫ ٍٔوِ كَالَ ًَجَب ِثيَ اُلَوًَُ ! وَهَؿَْْ مَُٔيَ َُِْ ََِز‬:ِْٔٛٔ‫هَ ِىٍَ َؤؽَل‬
.‫ٔ ُِيَ ػَِٖ ٍُىِهَحٕ ِثٌََٔبُٔهَب‬ٛ‫اُوُوِإٓٔ آَخً وَاؽٔلَحً َٗب‬
ٍِ‫ِؾُىًَِخً ٔك‬ُٙ‫ٔ هَجََِ ؤَْٕ ٌَُىَِٕ ؤ‬ٚٔ‫َوَفٔ ِهكَبه‬ٝ ِٖٔٓ ‫وََٖٓ ؽَب َوٍَ ًَب َٕ ٌََٓبٕ اَُٗقِوَِٖ ٔخ‬
! َُُِ‫ ((اُ ٔل‬:َٕ‫ُىَ َُؾَب ًٍِٔ اُوُوِآ‬َٛ‫ ًَنَاىَ اَُّنٌِٔ هَبٍَ و‬،ِٔٚٔٓ‫ؤَػُِِٖ فُُٖى‬
!!))ٌََِِ‫َى‬ٝ ّْ‫ُ ِى‬ِٝ‫وََٓب ؤَكِهَا َى َٓب اُلُِٔـَُ ؟ مٌَََِ هَُِٖٔوْ !! َوفُو‬

UHONDO: Mpenzi Msomaji ! Cha mwisho kilichomo kwenye mkwiji


wangu kwa kitambo hichi ni kukujuilisha kuwa MWARABU ana uwezo
usiomithilika katika lugha yake kiasi ambacho anawezo akaleta TUNGO
inayosomeka KISAWASAWA ikiwa utaanza kuisoma tungo hiyo kwa
kuanzia kulia au kushoto, chukua kwa mfano kauli ya mmoja wao
aliposema: ‘’NENDA,WALA FARASI ASIKUANGUSHE’’
Pamoja na hivyo hawakuweza kuleta mfano wa QUR-ANI aya moja tu
wachilia sura nzima !!
Na aliyejaribu basi aligeuka kuwa ni wa kuzomewa na wenzake kabla ya
kuwa ni KICHEKESHO katika macho ya mahasimu zake! Kama Yule
aliyeiigiza QUR-ANI akasema hivi:
TEMBO ! Na nini kitakachokujuilisha kuwa ni TEMBO, MKIA MFUPI, na
MKONGE MREFU !!
‫كَهِ َوٍَخ أٌُزَبةِ‬
‫‪13‬‬ ‫اُىُُٕىٍِ بًَُِ اجلَيَِِوَحٔ اخلَ‪ِٚ‬وَاءِ‪....................................................‬‬
‫اُجَلِ ُء كٔ ٍِ اُل‪ٚ‬هَاٍَخٔ ‪15 ...............................................................‬‬
‫‪17‬‬ ‫اُجِلَاَ ُخ الَ رَقُِِ ِى َٖٓٔ اُٖٗؼُىِثَبدٔ ‪...................................................‬‬
‫‪19‬‬ ‫ادلَؼِوًََخُ احلَبٍَٔٔخُ ‪.................................................................‬‬
‫‪21‬‬ ‫ً اُل‪َُِِٖ٘ٚ‬خٔ ‪.....................................................‬‬
‫ذ ٓٔ َٖ ادلَلَاهِ ِ‬
‫ؤَََِٖ ؤَِٗ ٔ‬
‫‪23‬‬ ‫م اُل‪ٚ‬هَاٍَخٔ ِثَ٘ ْلٍَِِ ‪...................................................‬‬
‫ذ َٓنَا َ‬
‫‪َٝ‬ؼِٔٔ ُ‬
‫‪26‬‬ ‫د هَوَاهّا ؽَبٍّٔٔب ‪...........................................................‬‬
‫ارٖقَنْ ُ‬
‫‪28‬‬ ‫د ادلَؼِهَلٔ ‪...............................................................‬‬
‫َزَِْيََٓب ٔ‬
‫ُٓ ِ‬
‫‪30‬‬ ‫ق ا َدلجَِِؾِ ‪.....................................................................‬‬
‫ِِٖٗ ُ‬
‫‪32‬‬ ‫َٗجَُإ اُىَكَبحٔ‪........................................................................‬‬
‫‪34‬‬ ‫‪ََِٝ‬تُ بِىَاَُخٔ اخلَٖٔبهَحٔ ‪..............................................................‬‬
‫‪36‬‬ ‫بِؿْالَمُ احلَبَٗخٔ ‪....................................................................‬‬
‫‪38‬‬ ‫د ادلَؾ َُِِّٖخٔ ‪.......................................................‬‬
‫ا ٍِٔزِ٘‪َٞ‬بمُ اَُُِٗ‪َٞ‬ب ٔ‬
‫‪40‬‬ ‫ََزِْلًَ اال ٍِٔز ْئَ٘بفٔ ‪........................................‬‬
‫م َِْٓوُوِعِ ِثَ٘ب ِء ُٓ ِ‬
‫اِٗ‪ٔٞ‬الَ ُ‬
‫ثِ‪َٞ‬بهَ ُخ اُلٖػِىَحٔ ‪43 ....................................................................‬‬
‫‪45‬‬ ‫بِػِالَ ٌٕ ػَٖ َِٓ٘ ِغ اُ ٌٔزَبثَ ٔخ كٔ ٍِ عُلِهَا ٕٔ ا َدلَِغِلٔ ‪....... ................................‬‬
‫‪45‬‬ ‫‪ ٜ‬ادلَؼِهَلٔ ‪.............................‬‬
‫ؾُِ ٔ‬
‫بِػِالَ ٌٕ ػَٖ َِٓ٘غِ اُزؾلٗسٔ ثِ َـُِ ِو اُؼَوَِثُٖ ٔخ كٔ ٍِ ُٓ ٔ‬
‫‪46‬‬ ‫َ‪ ٜ‬اَْؽَِٔوِ ‪.........................................‬‬
‫بِػِالَ ٌٕ ػَٖ فَِْغِ اُ٘‪ٚ‬ؼَب ٍِ ٔػِ٘لَ اخل ِّ‬
‫‪47‬‬ ‫بِػِالَ ٌٕ ػَٖ ا ٍِزٔلِػَب ِء اُؼَبَِٓٔخٔ اذلَبهِثَ ٔخ ػَ ِٖ اُؼَََِٔ ‪......................................‬‬
‫‪51‬‬ ‫ؤَ ِٓضَب ٍُ اُؼَوَةِ ‪....................................................................‬‬
‫‪52‬‬ ‫ؤَُْـَب ْى عَ َُِِٔٔخٌ‪........................ .......................................‬‬
‫‪54‬‬ ‫ؤَِّؼَب ُه اُؼَوَةِ‪....................................................................‬‬

You might also like