You are on page 1of 69

Gundua

biashara
yako

5
Mada ya
Alama ya Chapisho
Februari 2022
Programu ya ‘Maendeleo ya Kazi: namna ya kuwaongoza vijana kwenye mafunzo ya ufundi na
ajira au ajira binafsi?’ linaweza kuwa huru kutumika, kwa vile chanzo kimetajwa.
Ilianzishwa na: Wil Bom, VSO, mradi wa Vijana na Ajira, Zanzibar, Tanzania
Kwa ushirikiano na: Walimu na wakufunzi wasaidizi wa makundi manne ya Mafunzo ya
Ufundi (Amali), Unguja na Pemba; Sophie Oonk wa Randstad Uholanzi ambaye aliendeleza Maendeleo ya Kazi
mada ya 5 ‘Gundua biashara yako’; Kitty den Boogert, rafiki na mwenzangu wa zamani,
ambaye aliangalia toleo la mwisho. Namna ya kuwaongoza vijana
Kwa kuzingatia: Warsha (ya mafunzo) ya maendeleo ya kazi, iliyotolewa wakati wa
maonesho ya Zanzi Job ya mwaka 2015 na 2016. kwenye mafunzo ya ufundi na
ajira au ajira binafsi?
Utangulizi wa VSO-ICS juu ya uajiri na ujuzi wa maendeleo ya kazi katika mwaka 2015 na
warsha (za mafunzo) zilizotolewa na Watu wenye Kujitolea wa Huduma za Wananchi, Kimataifa.
Mwongozo wa mafunzo, Elimu ya Ujasiriamali na Mafunzo ya EET, Kuboresha Uwezeshaji wa
Kiujasiriamali, Moduli ya 1 na 2, VETA, 2014 – 2008.
Maendeleo ya programu kwa mwongozo wa kazi katika mafunzo ya ufundi na CINOP,
Uholanzi. www.cinop.nl Mada ya 5 Gundua biashara yako
Loopbaanmagazijn (Hifadhi ya kazi), ilianzishwa na Claudine Hogenboom, mradi wa i chako
kipaj
Mwongozo wa Kazi kwa mafunzo ya ufundi, Uholanzi. http://www.expertisepuntlob.nl/ gun
dua
hu su uwezo
mp
ang
ok
ri ku az
aku iw
taf
Het lespakket netwerken (Mtandao wa Mtaala), ilianzishwa na La Red B.V., Uholanzi. Naweza
ud
hi
bi
ak

o
ti

na
http://lared.nl/ kufanya Ni kwa

ku
wa
zi

om
ka

ka

ba
nini?

wa

zi
Tafsiri ya Kiswahili: Abdalla Baruan, Dar es Salaam, abbybaruan@gmail.com namna gani

kaz
ako

i
jira
naweza

gu w
Abraham Mtongole, Dodoma, abmtongole@gmail.com Wapi

wa a
kufanya?

gundua ulimwen

utafutaji
Yahya Abdu, Pemba, Tafsiri ya kiswahili na uhakiki wa toleo la mwisho, yahyarashid@live.com naweza Maswali
kufunya kuhusu
Wapi

binafsi
Ubunifu: Katie Wolgemuth, VSO Dar es Salaam na wanafunzi wa GLU, Grafisch Lyceum Utrecht

aa yyaakkoo
kazi yangu naweza

a ajira
Ilichapishwa na: VSO Tanzania, S.L.P 6297, Dar es Salaam Tanzania Nani

aasshhaarr
kufanya?

a ji w
anaweza

aa bbii
kunisaidia?

fut
Eneo: Ploti na. 997 Msasani, Barabara ya Chole, Dar es Salaam Tanzania

ndduu
uta

gguun
Ninataka

gu
Simu: (+255) 222600072 au (+255) 222600087

m
nini?

nd
nd

ta
ua
ao
an

m
t
da
ow asa
Barua pepe: vsotanzania@vsoint.org ak
o
tafakuri ku
ham
husu
ako
ku y
shau
Tovuti: www.vso.nl/cbet na www.vsointernational.org/cbet gundua

2 3
Yaliyomo

Kitabu hiki ‘Gundua biashara yako’ ina vifaa kwa ajili ya mada ya 5 ya programu kwenye
Maendeleo ya Kazi. Kwanza, unakuta utangulizi wa jumla kwenye programu na namna ya
kuandaa mafunzo. Hii inafuatiwa na maelezo mahsusi ya jumla ya mazoezi ya mada ya 5,
maelekezo tofauti kwa kila zoezi na karatasi za mazoezi.

Utangulizi wa jumla Maendeleo ya Kazi: namna ya kuwaongoza vijana


kwenye mafunzo ya ufundi naa jira au ajira binafsi? 6 - 11

Mada ya 5 na maelezo ya jumla ya mazoezi ‘Gundua biashara yako’ 12 - 17

Mada ya 5: mazoezi 5.1 - 5.24 18 - 71

Karatasi za mazoezi 72 - 133

Vichwa vya vitabu vyote sita vya programu ya Maendeleo ya Kazi: namna ya kuwaongoza
vijana kwenye mafunzo ya ufundi na ajira au ajira binafsi? ni:

1 Gundua kipaji chako


2 Gundua shauku yako
3 Gundua ulimwengu wako wa kazi
4 Gundua mtandao wako
5 Gundua biashara yako
6 Mpango kazi wako na kuomba kazi

Uwasilishaji wa pawapointi na karatasi za mazoezi zinaweza kupakuliwa kutoka


www.vso.nl/cbet na www.vsointernational.org/cbet

4 5
Maendeleo ya Kazi: Namna ya
Utangulizi wa jumla kuwaongoza vijana kwenye mafunzo ya
ufundi na ajira au ajira binafsi?

Mradi wa VNA na programu ya ‘Ulimwengu Wangu wa Kazi’


Vijana na Ajira (VNA), mradi wa Vijana na Ajira ni moja ya miradi ya VSO, Volunteer
Services Oversee (Huduma za Kujitolea, Ng’ambo) kwa ushirikiano na RGZ,
(Revolutionary Government of Zanzibar/Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar). Moja ya
vipengele vya mradi wa VNA ni programu ya ‘Ulimwengu Wangu wa Kazi’ (UWwK).

Programu ya UWwK hutaka kuimarisha nafasi ya kijamii na kiuchumi ya vijana ndani


ya Zanzibar kwa kuendeleza ustadi mbalimbali wanaouhitaji kwa ajili ya ajira, ajira
binafsi au ujasiriamali. Kwa kusudio hilo, viunganishi madhubuti zaidi baina ya sekta
binafsi na mafunzo ya ufundi ni muhimu. Mamlaka ya Mafunzo ya Ufundi (Amali)
(MMA), NACTE (Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi), Vituo vyote vya Mafunzo ya
Ufundi (Amali) na Taasisi za Zanzibar zinahusishwa kama washirika katika programu
hii ya UWwk. Wana majukumu makubwa katika kuwawezesha vijana pamoja na
ujuzi muhimu kuingia katika soko la ajira.

Programu ya UWwK imezalisha sanduku la zana kwa masomo mawili ya msingi:


Mafunzo na Elimu ya Kuzingatia Umahiri na Maendeleo ya Kazi. Unaweza kupata
sanduku zima la zana kwenye mtandao:
www.vso.nl/cbet na www.vsointernational.org/cbet

Maendeleo ya Kazi
Programu ya ‘Maendeleo ya Kazi: namna ya kuwaongoza vijana kwenye mafunzo
ya ufundi na ajira au ajira binafsi?’ ikiwemo uchaguzi mpana wa mazoezi ya
darasani ambayo husaidia wanafunzi, watafutaji wa kazi na wabunifu wa kazi kupata
kuonekana zaidi katika mazingira ya kazi. Kwa kufanya kazi, wote, wale wa ndani
ya darasa na nje katika mazingira halisi, vijana hupata habari za hapo kwa hapo
kuhusu ulimwengu wa kazi, hufanya kwa vitendo ujuzi tofauti wanaouhitaji kwa ajili
ya maendeleo yao ya kazi na hubadilishana uzoefu kwa kila mmoja kati yao. Vipindi
vitabuniwa na kutolewa na VMA (Vituo vya Mafunzo ya Amali), Taasisi za Ufundi,
Skuli za Sekondari na mashirika mengine ya kiserikali na yasio ya kiserikali, kawaida ni
kwa mchango wa wafanya biashara wa ndani (wenyeji). Waajiri na kiongozi (meneja)
wa rasilimali watu anaweza kuwa msaada kwa kuwezesha safari za kimasomo, kwa
kuwa mkufunzi mgeni wa ndani ya madarasa au kwa kutoa mafunzo ya viwandani.

6 7
Programu ya Maendeleo ya Kazi: namna ya kuwaongoza vijana kwenye Mahiri sita za kazi na dira ya kazi
mafunzo ya ufundi na ajira au ajira binafsi? Programu ‘Maendeleo ya Kazi: namna ya kuwaongoza vijana kwenye mafunzo ya
Programu ya Maendeleo ya Kazi huwawezesha walimu wa skuli za sekondari, ufundi na ajira au ajira binafsi?’ imeundwa karibu na mahiri sita ambazo ni muhimu
wakufunzi wa taasisi za mafunzo ya ufundi, kampuni, taasisi zisizo za kirerikali, wizara wakati unapotaka kuendeleza kazi yako:
ya Kazi, Ajira, Wazee, Vijana, Wanawake na Watoto na Wizara ya Elimu na Mafunzo
ya Ufundi (Amali) kuchagua mazoezi ambayo yanafaa kwa mahitaji na kiwango cha
makundi yao ya vijana. 1 Gundua kipaji chako: tafakuri kuhusu uwezo, kupitia umahiri wako mwenyewe
kwa heshma ya kazi yako;
Programu hailengi kwa vijana kufanyia kazi kwa kujitegemea, bila mwongozo
2 Gundua shauku yako: tafakuri kuhusu hamasa, kupitia matakwa na maadili yako
wowote. Bila shaka, washiriki hupata kazi au kazi fulani ya kufanya mmoja mmoja,
lakini kwa jumla, hii ni programu ambayo inahitaji mwingiliano, ushirikiano katika mwenyewe kwa heshima ya kazi yako;
makundi na mrejesho. Haiwezi kufuatwa bila mwongozo. Hakikisha unatoa daftari
3 Gundua ulimwengu wako wa kazi: utafutaji wa ajira, mwelekeo kuhusu maadili
ambalo washiriki wanaweza kuandika na kuhifadhi matokeo na maendeleo yao.
na umahiri wako kulinganisha na kinachohitajika katika hali ya kazi za kitaaluma;
Kwenye gamba la daftari, unaweza kuweka mwelekeo wa kazi au washiriki wanaweza
kubuni ukurasa wao wa mbele. Walimu na wakufunzi wanahitaji kujiandaa vizuri, 4 Gundua mtandao wako: mtandao, kufanya na kudumisha mawasiliano ambayo
na inapendekezwa kwamba mwanzo watafakari maendeleo yao wenyewe ya kazi. ni muhimu kwa kazi yako;
Kwa njia hii, walimu na wakufunzi pia ni mfano wa kuigwa katika kuendesha kazi yao
wenyewe kiundani. 5 Gundua biashara yako: utafutaji wa ajira binafsi, mwelekeo juu ya matarajio na
i chako
kipaj
gun
dua
su uwezo
mp
ang umahiri wako kuanza biashara au kuendeleza kazi kama mjasiriamali;
hu ok
ri ku az
aku iw
taf ud ak
Naweza hi
bi 6 Mpango kazi wako na kuomba kazi: udhibiti wa kazi, mipango inayohusiana na
o

ti
na

kufanya Ni kwa
ku

kazi na ufafanuzi binafsi wa nafasi kwa mchakato wako wa kujifunza na kazi.


wa
zi

om
ka

ka

ba

nini?
wa

zi

namna gani
kaz
ako

i
jira

naweza
gu w

Wapi
wa a

kufanya?
gundua ulimwen

Kila umahiri wa kazi umeshikamanishwa sambamba na swala la kazi na jumla ya


utafutaji

naweza Maswali mahiri sita zinawakilishwa kama usukani wa uendeshaji wa kazi. Unahitaji kuendesha
kufunya kuhusu
Wapi
binafsi

kazi yangu hatua zako za kazi muda wote kutafuta mwelekeo sahihi. Katika maelezo ya kina
ara yako

naweza
a ajira

Nani kufanya? ya kila moja ya mahiri sita za kazi, unaweza kupata ufafanuzi zaidi kuhusu umahiri
biash
a ji w

anaweza
unaouhitaji kufanya kwa vitendo, kuendeleza kazi.
kunisaidia?
dua
fut
uta

gun

Ninataka
gu

nini?
nd

nd
ta
ua

ao
an
m
t

da
ow asa
am
ak
o husu h
tafakuri ku ko
a
ku y
shau
gundua

8 9
Namna ya kutumia programu kwenye Maendeleo ya Kazi? Muundo sawa katika mazoezi yote
Kila umahiri wa kazi unaweza kufunzwa kwa kufanya mazoezi kadhaa. Mazoezi Mazoezi yote yanaelezwa kwa kina zaidi, kufuata muundo huo huo. Hii itakusaidia
hutofautiana katika maudhui na katika mbinu pia. Hii ni nzuri, kwa kuwa kuna njia kuandaa na kuwezesha mazoezi uliyoyachagua. Muundo ni:
zaidi ya moja ya kujifunza umahiri wa kazi.
Lengo: Ni lipi madhumuni ya zoezi? Matokeo gani yatakuwa yanatarajiwa. Kuangalia
Mwanzoni mwa kila mada mpya, utakuta maelezo ya jumla ya mazoezi yote ambayo ufahamu, tabia, ujuzi na vitendo?
ni ya mada maalum. Katika maelezo hayo ya jumla, kawaida unakuta: jina cha zoezi,
lengo na muhtasari wa mbinu chochezi ambazo zinaweza kutumika katika zoezi hili. Maandalizi: Kama mwalimu/mkufunzi, nini cha kufanya katika maendeleo ya kazi
Kwa njia hii, unaweza kuangalia kwa haraka mazoezi yote na hii itakusaidia kufanya kwa ajili ya kutoa zoezi kwa namna ya kuzingatia mchakato? Jinsi ya kuandaa darasa
uchaguzi unaokufaa na kundi lako. Uchaguzi mzuri ni ule unaohusiana na maswala kuwapa washiriki wako eneo wanalohitaji ili kufanya mazoezi? Baadhi ya mazoezi
ya maendeleo ya kazi ambao wanafunzi/watafutaji wa kazi na wabunifu wa kazi yanahitaji eneo zaidi au mpangilio tofauti wa viti/meza.
wanao.
Maelezo: Kama mwalimu/mkufunzi, nini unaweza kuwaambia wanafunzi/watafutaji
Baada ya kuchunguza maelezo ya jumla, unaweza kuvuta mazoezi uliyochangua. wa kazi wako na wabunifu wa kazi kama ni utangulizi kwenye zoezi?
Yote kati yao yana muundo sawa. Kwa njia hii, unaweza kuona kwa urahisi namna ya
kuandaa na kutoa zoezi kwa njia inayofaa. Utendaji: Ni nini wanafunzi/watafutaji wa kazi na watoaji wa kazi watalazimika
kufanya au kuonesha katika zoezi hilo? Hapa, unaweza kupata mlolongo wa hatua
Kwa kufanya uteuzi wako mwenyewe, walimu na wakufunzi wanaweza kubuni ambazo washiriki huchukua ili kukamilisha zoezi.
programu ya mafunzo. Unachagua mazoezi yale ambayo yanafaa kwa mtaala, ratiba
ya vipindi vya kozi na kiwango cha wanafunzi/watafutaji wa kazi na wabunifu wa Tafakuri: Mwaswali gani unauliza mwishoni mwa zoezi (au baada ya hatua mahsusi
kazi. Uchaguzi unaofanya pia hutegemea na maswali ambayo wanafunzi/watafutaji wakati wa zoezi)?
wa kazi na wabunifu wa kazi wanayo kuhusu kazi yao.
Dondoo: Vitu ambavyo unahitaji kuwa na uelewa navyo wakati wa zoezi.
Walimu na wakufunzi wanaweza pia kuchagua yale mazoezi wanayopenda
kusomeshea. Baadhi ya mazoezi na mbinu zitakufaa zaidi kuliko nyengine. Vidokezo Uchunguzi wa kina: Nini kinaweza kufanywa zaidi kulipa zoezi (kwenda) kina zaidi
vinavyotolewa mwishoni mwa maelekezo, ni mapendekezo ili kuwezesha zoezi au kuliunganisha na zoezi jengine?
liwe vizuri iwezekanavyo, lakini jisikie huru kulifanya kwa njia tofauti unazodhani
zitakufaa au vizuri zaidi kwa kundi lako. Karatasi za mazoezi: Misaada ya kujifunza, malighafi na vifaa ambavyo vinaweza
kutumika na wanafunzi/watafutaji wa kazi na wabunifu wa kazi.
Bila shaka, unaweza kuongeza mazoezi yako mwenyewe kwenye programu hii.
Kwa njia hii, sanduku la zana litakua na kwa kubadilishana mazoezi na wengine,
mwongozo wa kazi utatolewa kwa njia nzuri zaidi kwa vijana wa Zanzibar na
Tanzania.

10 11
Mada ya 5 Maelezo ya jumla ya mazoezi
‘Gundua biashara yako’

Gundua biashara yako Mazoezi: Lengo la zoezi Mbinu shirikishi


Katika mada ya 5 utakuta mazoezi 24 kuhusu umahiri wa kazi ‘Gundua biashara ‘Gundua
yako’: utafutaji wa ajira binafsi. biashara yako’
5.1 Vijana wachunguze Vijana wafikirie kama wanalo jicho la ‘tatu’. Waeleze wangeliweka
Gundua biashara yako iamaanisha: chunguza kama ungependa kuanza biashara Jicho langu la ‘tatu’ ni wapi wangehitaji wapi jicho hilo la ziada kwenye mwili wao. Wajadiliane katika vikundi
yako mwenyewe na kuendeleza kazi yako kama mjasiriamaliau mfanya biashara. kuwa na uelewa ni kwanini imechaguliwa sehemu hiyo, kwa sababu gani wanahitaji
mwingine wa ziada kuwa na hisia hii ya ziada.
Wanafunzi/watafutaji wa kazi na wabunifu wa kazi hujifunza maana ya jinsi ya na kwanini.
kuishi kiujasiriamali, namna ya kuendeleza maono (malengo ya muda mrefu) juu 5.2 Vijana wafanye Kama utangulizi wa mada ya ujasiriamali, vijana wanaweza kufanya
ya kampuni ya kibiashara wanayotaka kuanzisha na namna ya kujenga ujuzi ili Kufikiri katika hali ubunifu wakifikiria moja kati ya njia tatu za kuwatia hamasa: ‘Kuunganisha nukta’
ya tofauti! katika hali ya tofauti (5.2.1) ‘Kuvuka mto’ (5.2.2) na ‘Kofia nyeusi na nyeupe’ (5.2.3).
kutengeneza maono hayo imara. Hujifunza kuweka ujasiriamali katika matendo/ na kuendeleza ujuzi Katika ‘Kuziunganisha nukta’ waunganishe nukta tisa kwa kuchora
mwenendo. wa kutatua matatizo mistari michache iliyonyooka kadri inavyowezekana. Baada ya
kama utangulizi wa hapo wajadiliane katika vikundi ni mistari mingapi iliyonyooka
mada ya ujasiriamali. wameichora. Katika ‘Kuvuka mto’ vijana wanatakiwa kutafuta mkakati
Katika maelezo ya jumla ya mada ya 5 unaweza ‘kufikiria kwa upana zaidi’, kutumia wa kuwavusha, mwanamke, samba, mbuzi na mbogamboga.
Wajadiliane mkakati wao katika vikundi na wauwasilishe kwenye
ubunifu na kufanya ujuzi wa kutatua matatizo; kuwa na uelewa wa yupi mjasiriamali, kundi zima. Katika ‘Kofia nyeupe na nyeusi’ vijana wajadiliane katika
vipaji gani unavyohitaji kwa ajili ya hio (biashara) na kutafakari juu ya ujuzi wako vikundi ni nani kati ya wanawake wanne waliovaa kofia zenye rangi
tofauti tofauti atakuwa wa kwanza kuongea. Wawasilishe suluhu zao
mwenyewe wa ujasiriamali; kuchunguza fursa za biashara katika mazingira na kwa makundi mengine.
mtandao wako; kujifunza mapatano, uuzaji (kutafuta soko), uhasibu, mipango na 5.3 Vijana waunde Kila mshiriki achemshe bongo kwanza kuhusu sifa za ‘mjasiriamali’ na
kutengeneza mpango wa biashara. Mjasiriamali ni maana ya kuziandika kwenye kadi. Katika vikundi waziweke kadi zao pamoja
nani? ‘mjasiriamali’. zikiwa kwenye karatasi moja kubwa, watengeneze maana moja na
kuiwasilisha katika kundi zima. Baada ya kushirikishana, kundi zima
Nambari ambayo zoezi hilo linaendana na idadi ya maelezo ya kina ya zoezi hilo liafikiane kuunda maana moja.
na ya karatasi za zoezi. Karatasi za zoezi zinaweza kunakiliwa kwa urahisi kwa ajili 5.4 Vijana wachemshe Vijana wajadiliane katika vikundi ni jinsi gani sehemu tofauti za mwili
Taswira ya bongo katika hali ya zinaonesha sifa ya mjasiriamali. Wachore umbo la mjasiriamali na
ya vijana wako. Hakikisha unatoa daftari ambapo washiriki wanaweza kuandika mjasiriamali ubunifu kuhusu sifa waoneshe kwa kila sehemu ya mwili ni sifa gani inayohusiana nayo.
matokeo yao na wanaweza kuhifadhi matokea na maendeleo yao. Kwenye gamba za mjasiriamali.
la daftari, unaweza kuweka dira ya kazi au washiriki wanaweza kubuni ukurasa wao 5.5 Vijana waeleze sifa za Kwanza, vijana wachemshe bongo katika vikundi kuhusu sifa za
wenyewe wa mbele. Mjasiriamali mjasiriamali. mjasiriamali na wayaweke mawazo yao yote kwenye karatasi. Pili,
aliyefanikiwa ni wayalinganishe majibu yao na baadhi ya nadharia za ujasiriamali.
yupi? Baada ya hapo, katika makundi madogo madogo vijana waiboreshe
orodha yao ya sifa katika maneno yao wenyewe. Mwisho waandae
orodha ya sifa iliyoshirikishwa na kundi zima.

12 13
5.6 Vijana watapata Kwanza, vijana wajibu maswali kuhusu sifa za mjasiriamali kwa 5.12 Vijana watambue Vijana wafanye kazi mmoja mmoja katika tukio la kunusurika
Je, mimi ni uelewa kuhusu kukatisha mstari katika chaguo linaloendana na sifa zao wenyewe. Mchezo wa vipengele vya jangwani na kupanga vitu ambavyo ni muhimu. Kisha katika vikundi
mjasiriamali zaidi tofauti iliyopo kati Wachore mstari kati kati ya majibu yote ili kuangalia ni sifa zipi kunusurika mapatano na wapange vitu tena. Watapata mpangilio mzuri kwa hoja na wafanyie
au mwajiriwa? ya mjasiriamali wanazo na zipi wanazikosa. Katika makundi madogo madogo, jangwani kuvifanyia kazi kazi tofauti zao binafsi na za timu baada ya hili, washiriki watafakari
na mwajiriwa. vijana washirikishe majibu yao na wajadili ni zifa zipi zinaendana wenyewe vipi matendo yao kama mtu mmoja mmoja na kama timu. Watafakari
Watagundua zaidi na tabia za kiujasiriamali na zipi katika tabia za mwajiriwa. wanaweza kufanya ujuzi wao wa majadiliano na kama wanatambua ujuzi huu katika
ni sifa zao zipi Katika orodha mpya, sifa zilizotolewa zipangwe katika safu mbili; kama kundi au watu maisha ya kila siku.
zinashabihiana na safu ya mjasiriamali na safu ya mwajiriwa. Katika vikundi, wajadili binafsi.
sifa za mjasiriamali uanishaji huo katika makundi mawili na watafakari ni kwa kiwango
au mwajiriwa. gani wanazo sifa bora za mjasiriamali. Kama kazi ya nyumbani 5.13 Vijana wajifunze Kundi litagawanywa katika jozi. Kila jozi ipate shilingi 1000. Kisha
washirikishe orodha zao kwa wanafamilia wao au marafiki na Maafikiano kuhusu kufanya maafikiano wajadiliane kwa dakika kumi kuhusu ubora na huduma wanayoweza
kuwataka wawape mrejesho. ubora kuhusu ubora kwa kutoa kwa pesa hizo. Kwa kulitafakari zoezi hili watakuwa na uelewa
kutumia fedha halisi. wa ujuzi unaohitajika kwa ajili ya kujadiliana kwa njia bora. Huduma
5.7 Vijana wachunguze Vijana wajaze mpango wa maelezo na kukusanya nukta kwa kila jibu. inatakiwa kutolewa na kutathminiwa. Fedha italipwa baadaye.
Je, nina ari ya kama wana Kwa kuzingatia alama, waoanishe roho ya kiujasiriamali waliyonayo
kiujasiriamali? muonekano na ujuzi na kile ambacho hii inamaanisha kwa ajili ya kuangalia kuhusu 5.14 Vijana watengeneze Katika makundi madogo madogo washiriki wafanye kazi pamoja
wa kuwa mjasiriamali ujasiriamali, watafari juu ya ari yao ‘binafsi ya kiujasiriamali’ na ina Mkoba kwa ajili ya mkoba na kuuza katika kubuni na kutengeneza mkoba kisha kila kikundi kiuze mkoba
aliefanikiwa. maana gani katika utafiti wao na katika ujasiriamali. kuuza kwa muuza duka wake kwa muuza duka. Watafakari juu ya maandalizi kwa ajili ya
wa kufikirika. kuuza mkoba na ushirikiano wao na mapatano.
5.8 Vijana watafakari Vijana watafakari uwezo wao wa kiujasiriamali kwa kujaza mpango. Wajifunze namna
Ubora wangu! Uwezo wao Binafsi Wakishirikishana majibu yao katika jozi na wafikiri ni jinsi gani ya kushirikiana na
wa Kiujasiriamali wanaweza kuboresha uwezo huo. Kama kazi ya nyumbani, vijana kuafikiana.
(UBK). wakawaulize wanafamilia wao na/au marafiki zao maoni kuhusu
uwezo wao na wawasilishe maboresho yao kwenye vikundi au kwa 5.15 Vijana wajifunze Vijana wafanye igizo katika vikundi. Wafanye majukumu matatu kwa
mkufunzi. Lile ni jaketi zuri la kupatana. Wafanye mzunguko: mnunuzi, mfanyabiashara na mtazamaji. Baada ya kila
ngozi mazoezi kuhusu igizo watathmini mchakato wao wa mapatano na watafakari ujuzi
5.9 Vijana waandae Kwanza, mmojammoja, vijana waandae orodha ya maswali kwa ajili jinsi pande zote walioutumia. Upi ni mzuri na upi unatakiwa kuboreshwa?
Wajasiriamali wa mahojiano ambayo ya kuwauliza wajasiriamali kwenye familia zao au majirani. Katika zinavyotakiwa
karibu yangu! watayafanya na vikundi, washiriki washirikishane orodha zao ili wapate orodha kufanya ili kuyafikia
wajasiriamali kwenye iliyohakikiwa. Kisha watafanya mahojiano na kuandika matokeo mafanikio.
familia zao au ya mahojiano katika ripoti fupi ambayo itajadiliwa na kutafakariwa
majirani. darasani. 5.16 Vijana waunde Vijana wachemshe bongo kuhusu dhana ‘masoko’ kwa kuandika
Haya ni masoko maana ya ‘masoko’. mawazo yao kwenye robo ya karatasi ya A4. Wakae katika mduara
5.10 Vijana wachunguze Zoezi la ujengaji taswira lililosimamiwa. Vijana wakae katika mduara na wawape majirani zao karatasi zenye mawazo yao. Waandike wazo
Biashara ya ndoto biashara ya ndoto wakiwa wamefumba macho au wakiwa wameangalia sehemu moja jipya kwenye karatasi mpya na watumie mawazo ya jirazi zao kwa
zangu zao. ya ukutani au sakafuni na waisikilize matini. Baada ya ujengaji taswira tafakuri na hamasa. Wapitie karatasi mara kadhaa hadi chemsha
vijana wachore kile walichokiona kichwani mwao. bongo itakapomalizika. Mawazo yote yawekwe kwenye karatasi.
Katika vikundi waunde maana ya ‘masoko’. Baada ya kuwasilisha na
5.11 Vijana wafanye Kwa kuzingatia nadharia kuhusu mambo yanayosababisha kufanikiwa kujadiliana maana katika kundi zima waunde maana moja shirikishi.
Biashara yangu ya mahojianao na kundi na kuanguka, vijana waaandae orodha ya maswali wanayotaka
kipaombele dogo la biashara ya kuwauliza wawakilishi wa biashara ya kipaombele chao. Kisha 5.17 Vijana wafikirie Katika vikundi washiriki waamue ni bidhaa au huduma gani wanataka
kipaombele chao. watakuwa na mahojiano. Wataandika matokeo ya mahojiano yao Kuuza bidhaa au bidhaa au huduma kuilenga. Watoe jibu kwa maswali kama: ni wapi unanunua na kuuza
Lengo la mahojiano katika ripoti fupi ambayo itajadiliwa katika kipindi kitakachofuata. huduma yangu wanayotaka kuuza bidhaa zako, ni ipi bei ya bidhaa na ni matangazo gani unafanya ili
ni kugundua na wazitafakari kwa kuitangaza bidhaa yako? Baada ya hapo wajifunze kuhusu P nne za
umadhubuti na kutumia P nne za masoko (bidhaa, sehemu, bei na matangazo) na wazihusishe P nne
udhaifu wa kampuni. masoko. hizi kwenye majibu yake.

14 15
5.18 Vijana watapata Kwanza vijana wajadiliane na kundi zima maana ya bidhaa, mahali, 5.24 Vijana wafanye Kwa msaada wa baadhi ya maswali, kupitia vikundi, vijana waandae
Kuzibadilisha P muono zaidi kwenye bei na matangazo. Kisha, katika vikundi watumie moja kati ya P nne Tangaza biashara mazoezi kwa onesho la biashara yao. Wakiwa darasani, wawasilishe biashara zao
P nne za masoko na katika hali nne tofauti. Watumie P kwa ajili ya kuboresha masoko yako kuonesha biashara kwa makundi mengine na kwa wajasiriamali walioalikwa. Vijana
kwanini ni muhimu na biashara kwa ujumla. Wawasilishe matokeo yao na watafakari yao kwa wajasiriamali wapate mrejesho thabiti na watafakari dondoo za kuweza kuboresha.
katika kuuza bidhaa kwanini P nne ni muhimu. halisi na kupata
nyingi au kutoa mrejesho kutoka
huduma kwa wateja. kwao.
5.19 Vijana wajifunze Katika vikundi vijana watengeneze mpango wa biashara kwenye
Mchezo wa namna ya kuunda mabango katika hali ya ubunifu na watumie majibu waliyotoa
biashara mpango wa biashara kabla kwenye maswali tofauti kuhusu namna ya kuanza biashara.
katika njia ya ubunifu Wayawasilishe mabango yao kwenye kundi zima na wapokee
na watajifunza kati na kutoa mrejesho thabiti kati yao. Mwisho, watafakari na
yao kwa kutoa na washirikishane kipengele kimoja bora zaidi katika kuboresha mpango
kupokea mrejesho. wao wa biashara.
5.20 Vijana wawe na Vijana wachemshe bongo kuhusu dhana ya usimamizi wa muda.
Nipo nje ya uelewa wa ukweli Watafakari nini na kwanini ya usimamizi wa muda na vipi wanaweza
muda….! kwamba, usimamizi kushughulika na muda katika maisha yao ya kila siku. Baada ya hapo,
wa muda ni sehemu katika vikundi vijana wachague bidhaa na kuchora mpango wa muda
muhimu katika wa kila hatua ya mchakato wa biashara. Vijana wawasilishe mipango
mpango mzuri wa yao kwa wengine na watafakari walichojifunza.
biashara.
5.21 Vijana wawe na Vijana watafakari wakiwa katika jozi kuhusu ‘usimamizi wa fedha'
Hii ni bei yangu uelewa kuhusiana na nini, kwanini na vipi wanashughulika na fedha katika maisha ya
maalumu! na ukweli kwamba kila siku. Baada ya hapo wapige hesabu katika makundi gharama ya
biashara inahitaji jumla ya gauni na kufikiri bei ya kuliuza ili waweze kuishi kutokana
kutengeneza faida na biashara. Vijana washirikishane bei yao ya kuuzia na makundi
na hivyo wanatakiwa mengine huku wakitoa na kupokea mrejesho.
kuweka bei nzuri ya
kuuzia bidhaa zao.
5.22 Vijana waandae ziara Vijana wafanye mahojiano. Kwanza waandike maswali kwenye kadi
Ziara kuelekea kuelekea katika kituo na kuziweka kwenye bakuli. Halafu, mmoja baada ya mwingine
Kituo cha Uzalishaji cha uzalishaji na achukue swali moja moja kutoka kwenye kasha na waangalie kama
kufanya mahojiano ili mmoja wapo tayari analijua jibu. Kama hapana, wayapange maswali
kupata taarifa nyingi yote ubaoni. Katika vikundi, wachague maswali tofauti ambayo
kadiri iwezekanavyo watauliza (wakifika sehemu ya kwanza) katika kituo cha uzalishaji.
kuhusiana na hatua Baada ya ziara washiriki watafakari majibu na kutoa hitimisho kuhusu
halisi za uzalishaji na namna ya kuanza biashara.
gharama.
5.23 Vijana wapate Katika vikundi, vijana wafanye mahesabu ya kuanza biashara tofauti
Piga mahesabu!! uelewa kuhusiana na ili kugundua kama zinaleta faida au la. Washirikishane majibu yao
ukweli kwamba ni na kama kuna umuhimu waweke bei mpya ya kuuzia ili kuifanya
muhimu kujua kama biashara ilete faida zaidi.
biashara inaleta faida
au la.

16 17
5.1 Jicho langu la ‘tatu’ kiambatisho 5.1

Lengo Tafakuri
Vijana wachunguze ni wapi wangehitaji kuwa na uelewa mwingine wa ziada na kwanini. Uchaguzi wa jicho la ziada ni chaguo huru na hivyo hapana bora kuliko jibu jingine. Je,
washiriki wameliweka wapi jicho la ziada? Je, makundi mbalimbali yamechagua sehemu
inayofanana? Kulikuwa na tofauti kubwa? Je, kwanini wamechagua sehemu hiyo? Je, sehemu
Maandalizi zilizochaguliwa zina uhusiano na hisia zinazohitajiwa na mjasiriamali? Kama ni hivyo, waache
Andaa chumba katika hali ambayo vijana wanaweza kufanya kazi wenyewe. Hakikisha kila
waeleze uhusiano huo. Kama hapana, ni upi umuhimu wa chaguo walilolifanya?
mmoja ana karatasi ya (A4), kalamu ya wino mzito au karatasi ya zoezi 5.1 ‘Jicho langu la tatu’.
Andaa karatasi yenye mchoro mkubwa katika sehemu ya mbele na ya nyuma zikimwakilisha
mjasiriamali. Dondoo
Waambie vijana kuwa wanaweza kuchagua jicho jingine walitakalo na kwamba wanaweza
Maelezo kuliweka popote, hapana jibu sahihi au lisilo sahihi. Hakikisha vijana hawachekani chaguzi
‘Kwa hisia zetu tunauchunguza ulimwengu wetu, tunaweza kuhisi, kuona, kusikia, kunusa zao kidharau. Liandae hili zoezi kwa kulifanya wewe mwenyewe ukiwa nyumbani, ili uweze
harufu ya vitu vinavyotuzunguka. Fikiri kama umepewa upendeleo wa kuwa na jicho la tatu, kuonesha uchaguzi wako wa jicho la tatu. Ni vyema kuwa katika sehemu ya kundi na
hisia ya ziada imeongezwa mwilini mwako. Unaweza kuchagua kuliongeza jicho hili katika kushiriki katika majadiliano. Zoezi hili linaweza kutumika kutoa hamasa na utangulizi katika
sehemu yoyote ya mwili uitakayo. Eleza ni wapi ungeliweka jicho hilo na kwanini.’ mada ya ujasiriamali. Ujasiriamali unahusu kuwa mbunifu na kufikiri katika hali ya tofauti,
kuwa wa kipekee au kuwa na biashara ya kipekee.
Utendaji
1 Litenge kundi lako katika vikundi vya watu wanne.
2 Kwanza, washiriki wafanye kazi wakiwa mmoja mmoja na uwaambie wachore umbo
kwenye kipande cha karatasi ya (A4), nyuma na mbele pia wanaweza wakaitumia karatasi
ya zoezi 5.1 ‘Jicho langu la tatu’.
3 Waache waoneshe jicho lao la tatu kwenye mchoro wao. Wanaweza kuweka jicho lao la
tatu sehemu yoyote ya nyuma au ya mbele.
4 Waambie washiriki washirikishe jicho lao la tatu katika vikundi na uwaambie waeleze ni
kwanini wamelichagua jicho hilo la tatu. Waache wachague jicho moja la tatu na uwaulize
ni kwanini wanafikiri kuwa jicho hili la ziada ni muhimu kwa mjasiriamali.
5 Tundika kwenye ukuta nakala tupu ya karatasi au mchoro mkubwa ambao
umeutengeneza wewe mwenyewe. Mwache mwakilishi wa vikundi, mmoja baada ya
mwingine, waende mbele ya darasa na uwaambie waoneshe sehemu ambayo wanataka
kuweka jicho la tatu. Waeleze na wafafanue na kujadiliana na kundi zima kuhusu
machaguo waliyoyafanya.

18 19
5.2 Kufikiri katika hali ya
tofauti!

Lengo
Vijana wafanye ubunifu wakifikiria katika hali ya tofauti na kuendeleza ujuzi wa kutatua
matatizo kama utangulizi wa mada ya ujasiriamali.

Maandalizi
Zoezi hil limejumuisha vitia hamasa vitatu: 5.2.1 ‘Kuunganisha nukta’ 5.2.2 ‘Kuvuka mto’ na
5.2.3 ‘Kofia nyeusi na nyeupe’. Unaweza kuchagua kihamasishaji kipi ungependa kutumia
au unaweza kutumia vyote katika masomo tofauti. Vitia hamasa hivi vitatu ndio utangulizi
wa ujasiriamali, kwa sababu vinajumuisha vipengele tofauti vya ujuzi wa kiujasiriamali kama
kutatua matatizo, ubunifu na kufikiri katika hali ya tofauti.

20 21
5.2.1 Kuunganisha nukta! kiambatisho 5.2.1

Maandalizi
Andaa chumba katika hali ambayo vijana watakuwa na kiti na meza na wanaweza kufanya kazi
wao wenyewe. Wape vipande vya karatasi (A4) au karatasi ya zoezi 5.2.1 ‘Kuunganisha nukta’.
Kama hutaki kuchapisha zoezi hili, zichore nukta tisa ubaoni.

Maelezo
‘Mbele yako ni mchoro wenye nukta tisa. Kazi inayotakiwa ni kuziunganisha nukta zote kwa
mistari michache sana kadri iwezekanavyo. Unaweza ukaipita kila nukta kwenye mchoro kwa
mstari mmoja ulionyooka na unaweza ukaipita kila nukta mara moja. Matokeo lazima yawe ni
mstari mnyoofu unaoendelea.’

Utendaji
1 Wape vijana vipande vya karatasi na umwache kla mmoja binafsi achore nukta tisa kama
inavyoonekana katika karatasi ya zoezi 5.2.1 ‘Kuunganisha nukta’.
2 Waache vijana waziunganishe nukta zote kwa mistari michache iliyonyooka kadri
itakavyowezekana. Wanaweza wakajaribu mara nyingi kadri watakavyotaka.
3 Waache vjana washirikishane na kuilinganisha michoro yao na wengine kwenye kundi
zima, kwa kuyaonesha majibu yao kwenye karatasi. Je, wameichora mistari minyoofu tu
iliyoungana na je imepita katika kila nukta mara moja?
4 Waulize wamefanya nini kutafuta suluhisho.

Tafakuri
Je, vijana wameichora mistari mingapi iliyonyooka? Watu wengi wanaweza wakafanya zoezi
hili kwa mistari mitano na hii inakidhi vigezo vyote. Vipi kuhusu wale ambao wameifanya kazi
hii kwa kutumia mistari minyoofu minne tu? Kipi kinatakiwa ili kulitatua tatizo hili? Unajifunza
nini kutokana na zoezi hili? Hili zoezi linawaeleza nini kuhusu kutatua tatizo?

Dondoo
Agiza vijana wafanye kazi wenyewe katika hali ambayo hawawezi kujadiliana na wengine
namna ya kutatua tatizo, wasione kitu ambacho wenzao wanachora. Waache wafanye
kazi katika hali ya ukimya. Unaweza kupata jibu la zoezi hili kwenye ukurasa unaofuata.
Usilioneshe kwa vijana.

22 23
5.2.2 Kuvuka mto kiambatisho 5.2.2

Maandalizi Mara ya kwanza mwanamke anavuka mto akiwa na mbuzi. Kisha anarudi peke yake,
Liandae darasa katika hali ambayo vijana wanaweza kufanya kazi wakiwa katika makundi akimuacha mbuzi upande wa pili. Mara ya pili anavuka mto akiwa na simba. Anarudi na
madogo madogo. Hakikisha kila kundi linapata seti ya picha ya karatasi ya zoezi namba 5 na mbuzi, akimuacha simba upande wa pili. Mara ya tatu anavuka mto, anachukua mboga za
karatasi ya zoezi 5.2.2 ‘Kuvuka mto’. Zikate picha kadhaa na hifadhi seti hizo katika bahasha. majani na kumuacha mbuzi upande wa pili wa mto. Mwisho, anavuka mto na mbuzi. Wakati
huu yeye, mbuzi na mboga za majani wako upande wa pili wa mto.
Maelezo
‘Mwanamke ana simba, mbuzi na mbogamboga. Anahitaji kuvuka mto, lakini anaweza
kubeba kitu kimoja tu. Kila kimoja kinatakiwa kuvushwa kupelekwa upande mwingne wa
mto. Akiwaacha simba na mbuzi peke yao, simba atamla mbuzi. Akimwacha mbuzi na
mbogamboga peke yao, mbuzi atakula mbogamboga. Atawezaje kufanikisha kuvusha vitu hivi
bila kupoteza kimoja wapo kati ya hivyo’.

Utendaji
1 Ligawe kundi kwenye makundi madogo yenye watu wanne hadi watano na kuwagawia
picha.
2 Kundi lipewe dakika 10 hadi 15 kutatua tatizo hili.
3 Makundi yawasilishe mikakati yao kwenye makundi mengine: kila mwanakundi awe
na moja ya picha mkononi mwake na kwa pamoja waoneshe namna mwanamke
anavyoweza kuvibeba vitu vyote kuvuka mto bila kukipoteza kimoja wapo.

Tafakuri
Waulize vijana wamewezaje kupata suluhisho. Nini kimekuwa msaada? Je, wamewahi kutatua
tatizo kwa kufikiri katika hali tofauti. Je, wana mfano wa hili katika maisha yao wenyewe? Je,
uzoefu huu unaweza kuwafaidisha vipi katika kazi zao au biashara?

Dondoo
Sisitiza kwamba ni muhimu kufikiri kwa sauti na kujadiliana chaguzi mbali mbali. Usishiriki
kwenye majadiliano, ila kuwa mwezeshaji. Unaweza kupata jibu la zoezi hili kwenye
ukurasa unaofuata. Usilioneshe kwa vijana. Tunza seti katika bahasha na hakikisha
unazirudisha baada ya zoezi, ili uweze kuzitumia tena.

24 25
5.2.3 Kofia nyeusi na nyeupe kiambatisho 5.2.3

Maandalizi Ni wazi kwamba mwanamke aliye upande wa kushoto wa ukuta (A) hawezi kujua, kwa sababu
Andaa meza na viti katika hali ambayo vijana wanaweza kufanya kazi katika makundi ya hawezi kuona kofia yoyote. Kwa sababu hiyo, mwanamke (B), ambaye ni mwanamke wa
watu wanne. Chapisha karatasi ya zoezi 5.2.3 ‘Kofia nyeusi na nyeupe’, moja kwa kila kikundi. kwanza upande wa kulia wa ukuta,hawezi kuongea pia, chaguo pekee lililobaki ni mwanamke
Unaweza kuzikusanya baadaye na kuzitumia tena katika kundi jingine. (C) mwenye kofia nyeusi au mwanamke (D) mwenye kofia nyeupe, waliopo upande wa kulia
wa ukuta, wanaweza kutambua. Hivyo, mwanamke mwenye kofia nyeupe (D) hawezi kujua
kwa sababu anaweza kuona kofia nyeupe na nyeusi, kwa hiyo hawezi kusema ipi kati ya
Maelezo rangi hizo anayo. Hapa tunabaki na mwanamke mwenye kofia nyeusi (C). Anaweza kuona
‘Hii hapa ni picha ya wanawake wanne waliovaa kofia. Wawili wakiwa na kofia nyeusi na kofia nyeupe tu hivyo wakati huo anachanganyikiwa, ingawa naweza kujua kuwa ana kofia
wawili wana kofia nyeupe. Wamefukiwa kwenye mchanga hadi kwenye shingo zao na nyeupe, pia mwanamke aliye nyuma yake (D) angekuwa ameona kofia mbili na angekuwa
hawawezi kugeuka. Mstatili mweusi uwe ukuta mgumu. Hawawezi kuona kupitia ukutani. amesema kwanza kwamba yeye binafsi ana kofia nyeusi. Kwa kuwa mwanamke (D) hajasema
Wanawake wanaweza kuongea mara moja tu kutambua rangi halisi ya kofia zao. Kuna inamaanisha kwamba mwanamke wa pili kutoka kulia (C) atakuwa amevaa kofia nyeusi
mwanamke mmoja tu anaeweza kuitambua rangi ya kofia yake. Ni mwanamke gani huyu na na hivyo yeye ndiye anaeongea kwanza na anajua rangi ya kofia yake. Wanawake wengine
hivyo anaongea akiwa wa kwanza?’ hawawezi kubaini.

Utendaji
1 Onesha mchoro wa wanawake wanne katika kundi zima. Tumia mchoro kwenye karatasi
ya zoezi 5.2.3 ‘Kofia nyeusi na nyeupe’.
2 Waache vijana wajadili suluhu zao katika vikundi.
3 Muache muhusika mmoja kutoka katika kila kundi awasilishe suluhisho zao.

Tafakuri
Zoezi hili linawaeleza nini vijana? Vijana wajadiliane kuhusu kile walichopendelea zaidi katika
zoezi.

Dondoo
Zunguka katika vikundi uangalie iwapo wanahitaji msaada kama zoezi linaweza kuwa
gumu. Unaweza kupata jibu la zoezi hili kwenye ukurasa unaofuata. Usilioneshe kwa vijana.

Tafakari kwenye vitia hamasa 5.2.1, 5.2.2, 5.2.3.


Waache vijana wajadili kile walichopenda zaidi kuhusu zoezi. Je, ni fumbo lenyewe au
uwasilishaji wa suluhu kwa wengine? Wanajisikiaje kusaidiana au kuonesha ujuzi wao?
Mazoezi haya yanawaeleza nini? Wamejifunza nini kutokana na vihamasishaji hivi? Je,
wameweza kutatua matatizo kwa kufikiria kwa namna tofauti? Acha watoe mifano. Je, uzoefu
huu unaweza je kuwa na umuhimu gani katika maisha?

26 27
5.3 Mjasiriamali ni nani?

Lengo Tafakuri
Vijana waunde maana ya ‘mjasiriamali’. Washiriki wanafikiri nini kuhusu zoezi? Je, wanapenda kuunda maana kwa njia hii? Je,
wanafikiri nini kuhusu maana waliyoichagua? Je, wanajifunza nini kutokana na kufanya kazi
pamoja?
Maandalizi
Panga meza katika hali ambayo vijana wanaweza kufanya kazi katika makundi ya watu watatu
au wanne. Hakikisha kuna karatasi za kutosha za chati mgeuzo tandika vipande vya karatasi Dondoo
za A4 na kalamu yenye wino mzito kwenye kila meza. Unapozitundika karatasi ukutani acha
Wahamasishe vijana waandike kadri iwezekanavyo na hakikisha hawajibishani kuhusiana
ukuta mmoja ukiwa mtupu na uchukue gundi.
na kile kinachoandikwa wakati wa kuchemsha bongo. Katika hatua hii, inahusisha zaidi
wingi na si ubora. Ni vizuri kupata maneno mengi kadri ya wanavyoweza kufikiri ili kuunda
Maelezo maana halisi mwishoni. Usisite kulipa kila kundi mabango/vipande vya karatasi nyingi za A4
‘Mjasiriamali ni dhana pana na changamani. Tunahitaji kupata uelewa mzuri wa nini kwenye meza. Chukua muda kujadiliana nao maana tofauti tofauti: unatakiwa kuwahusisha
kinamtengeneza mjasiriamali, kabla ya kuendeleza ujuzi wa lazima wa kuwa mjasiriamali washiriki wote ili kutafuta mfanano. Uliza maswali kama: nini kinafanana? Katika karatasi
aliyefanikiwa. Kwa miaka mingi kumekuwa na maana nyingi zilizotolewa kwa neno ipi unaona maana sawa? Kitu gani kingine kinafanana? Ni vipengele vya namna gani hivyo.
mjasiriamali. Tujadiliane unafikiri mjasiriamali ni nani.’ Kwa kupigia mstari maneno au tungo kwa rangi moja, fanya mfanano uonekane zaidi.

Utendaji
1 Ligawe kundi katika makundi ya watu watatu au wanne. Waache washiriki wachemshe
bongo kila mmoja, kuhusu wanafikiria nini kinaingia katika dhana ya ujasiriamali.
Waandike wakiwa kimya mawazo yao yote kuhusu ‘mjasiriamali’ kwenye mabango yao/
vipande vya karatasi ya A4. Hakikisha wanaandika mawazo yao kwa neno moja kwa
herufi kubwa na kutumia kalamu yenye wino mzito. Wanaweza kuandika maneno mengi
kadri wanavyofikiri. Kwa kila wazo, wanatakiwa kutumia mabango/vipande vya karatasi ya
A4 vipya. Hakikisha wanaweza kupata mabango au vipande vya karatasi ya A4 vipya mara
wanapohitaji kuandika maneno mengine.
2 Kwa kila kikundi tundika karatasi kubwa tupu ukutani. Kila kikundi kipe nambari na
nambari hizi ziendane na karatasi za ukutani. Waache vijana washikize mabango/ vipande
vya karatasi zao za A4 kwenye karatasi kubwa inayoendana na nambari yao ya kundi.
3 Liache kila kundi liunde maana ya neno mjasiriamali kwa kutumia maneno
yanayoonekana katika karatasi yao pia wanaweza kuzunguka darasani kuangalia kile
kilichoandikwa katika karatasi za wengine. Kila kikundi kiandike maana yao kwenye
karatasi mpya na kuiwasilisha kwenye makundi mengine.
4 Zijadili maana tofauti katika kundi zima, na uangalie mfanano, pigia mstari maneno au
tungo zote zenye kufanana. Kwa kuunganisha vipengele tofauti vya maana zilizoelezwa
vizuri, amueni kwa pamoja ni maana ipi ambayo itatakiwa itumike.
5 Andika maana ya mwisho mliyoichagua kwenye karatasi tofauti na uwaache washiriki
waandike maana hiyo kwenye madaftari.

28 29
5.4 Taswira ya mjasiriamali karatasi ya zoezi 5.4

Lengo Dondoo
Vijana wachemshe bongo katika hali ya ubunifu kuhusu sifa za mjasiriamali.
Watie moyo vijana kujadili kwa uhuru maana ya sehemu za mwili katika zoezi. Hakuna
majibu sahihi au yasiyo sahihi. Hakikisha kila mshiriki anahusika. Liandae zoezi hili
Maandalizi nyumbani kwa kuzijaza sehemu za mwili wewe mwenyewe. Hii inaweza kukusaidia kuwa
Ondoa viti na meza zote katika darasa. Hakikisha una nafasi ya kutosha kuweka karatasi kubwa na uelewa mzuri zaidi wa majibu ya vijana. Pia unaweza kutumia picha kwenye ukurasa
nne mpaka sita za (A3) kwenye sakafu, ili vijana waweze kukaa wakizizunguka. Hakikisha kila huu, kama mfano tu. Usiwape vijana, waache wafikirie wenyewe kuhusu maana kadhaa
kundi linapata picha inayoonekana kwenye karatasi ya zoezi 5.4 ‘Taswira ya mjasiriamali’ na ambazo sehemu ya mwili inaweza kuwa nayo. Zoezi hili linaweza kutumika kama utangulizi
hakikisha kuna kalamu zenye wino mzito za kutosha. Kama huna nakala za karatasi za kutosha kwenye sifa za mjasiriamali, ambazo zitajadiliwa vizuri na kwa kina kwenye zoezi la 5.5
waache vijana wachore umbo wenyewe. ‘Mjasiriamali aliyefanikiwa ni yupi?’

Maelezo
‘Mwili unatoa taarifa ya sifa anazotakiwa kuwa nazo mjasiriamali. Kila sehemu ya mwili
inaashiria sifa tofauti ambazo ni muhimu kwa mjasiriamali. Katika zoezi hili, utagundua ni
sehemu zipi za mwili ambazo mjasiriamali hutumia na kwa dhumuni gani. Unatakiwa kuzitaja Ubongo: Kwa ajili ya
sehemu nyingi kadri inavyowezekana na kuandika mawazo yako pembeni yake.’ uundaj wa fikra za
Macho: Kwa ajili ya
maono, upangaji kibunifu na ugunduzi
Utendaji wa malengo na Masikio: Kwa ajili ya
1 Gawa kundi katika makundi ya watu wanne mpaka sita. utafutaji wa fursa kupokea ushauri na kusikia
2 Waoneshe washiriki michoro kwenye sakafu au waache wachore michoro inayofanana mabadiliko na fursa
Pua: Kwa ajili ya
kwenye karatasi zao na kulielezea zoezi. Shingo: Kwa ajili ya
kunusa usumbufu kushupalia na
3 Waelekeze vijana wachemshe bongo katika vikundi vyao maana ya sehemu mbalimbali na matatizo
zinazoonekana katika picha. Vijana wajadili kwanini wanafikiri kila sehemu ya mwili kuwa na uthubutu
inaweza kuhusiana na sifa za mjasiriamali na kwanini? Waache waandike sifa ya kila Mdomo: Mawasiliano Moyo: Shauku,
sehemu ya mwili kwenye michoro. thabiti na kujitoa, ustahimilivu
4 Tundika michoro ya vikundi kwenye ubao au iache sakafuni. Waache vijana wazunguke kuuza mawazo na kujikubali
kuiangalia michoro mbalimbali. Uti wa mgongo:
5 Acha washiriki waweke alama kwa kutumia kalamu ya rangi yenye wino mzito kwenye Mikono: Kusaidia Kujiamini na kuwa
majibu yanayowashangaza au yale ambayo yatawashangaza au wanadhani ni mazuri. wanakikundi na msimamo
Jadiliana na kundi zima kuhusu ni sehemu zipi za mwili wanafikiri zinahusiana sana na sifa Vidole: Kuhesabu fursa Viganja: Kwa ajili
za mjasiriamali.. za kujifunzia ya kubadili gia
inapotakiwa,
badili mkakati
Tafakuri Miguu: Kwa ajili ya uruka
Magoti: Kupiga
Waulize vijana kama wamelifurahia zoezi? Kipi kiliwafurahisha? Wamejifunza nini? Ilikuwaje vizuizi na vikwazo, magoti wakati
katika kufanya zoezi hili? Wamependa nini kuhusu mchango wao? Wamefikiri nini kuhusu pale yanapotokea wa matatizo
mchango wa wengine? Wameona majibu yoyote ya kibunifu kutoka kwa wanakundi wenzao. matatizo katika biashara
Miguu: Kupiga
teke inapobidi

30 31
5.5 Mjasiriamali aliyefanikiwa
ni yupi? karatasi ya zoezi 5.5

Lengo Tafakuri
Vijana waeleze sifa za mjasiriamali. Waulize vijana ilikuwaje kufikiri kuhusu sifa za mjasiriamali? Je, sifa za vikundi zilitofatiana na
zile za kwenye karatasi? Ni kwa njia ipi? Waulize ilikuwaje kutengeza nadharia zao wenyewe
na kuichunguza pamoja na nadharia rasmi? Je, ilikuwaje katika kuitengeneza orodha ya
Maandalizi mwisho ya sifa kwa maneno yao wenyewe?
Zipange meza katika hali ambayo vijana wanaweza kufanya kazi katika makundi ya watu
watatu au wanne. Kama mwezeshaji liandae zoezi hili ili uweze kuwasaidia vijana pale
watakapokwama au watakapokuwa na maswali. Hakikisha una karatasi za kutosha katika Dondoo
karatasi za kutundikia na toa kalamu za kutosha zenye wino mzito. Chapisha karatasi ya zoezi
Wahamasishe vijana kuandika sifa nyingi kwenye karatasi kadri iwezekanavyo. Hakutakuwa
5.5 ‘Mjasiriamali aliyefanikiwa ni yupi?’
na majibu yasiyo sahihi. Hakikisha kila mshiriki anazielewa sifa kama zinavyooonekana
kwenye karatasi. Hivyo, andaa nadharia yako mwenyewe nyumbani kwa kuhakikisha
Maelezo unazielewa sifa na hakikisha kwamba unaweza kujibu maswali ya vijana.
‘Mjasiriamali ni mtu anayeanza au kufanya biashara na kubeba jukumu la mwisho. Anatoa
bidhaa au huduma kwa malipo kwa mtu binafsi au biashara. Kuna sifa binafsi mbalimbali
ambazo wajasiriamali wanatakiwa kuwa nazo. Si kila mjasiriamali atakuwa na sifa zote,
lakini nyingi ya sifa hizi zimejificha ndani yetu na tunaweza tusigundue kama tunazo. Pia
sifa zinaweza kuendelezwa kwa kujifunza na kutenda. Vijana walio na sifa hizi za kutosha
wanaweza wakapata ajira haraka na wana uwezekano mkubwa wa kufanikiwa katika shughuli
zao walizochaguliwa. Kuziendeleza sifa za mjasiriamali kutawanufaisha vijana wenyewe,
familia zao, jamaa zao, jamii na uchumi. Katika somo hili, utajua sifa ambazo mjasiriamali
anatakiwa kuwa nazo.’

Utendaji
1 Ligawe kundi katika makundi ya watu watatu au wanne na uwaache wachemshe bongo
kuhusu sifa wanazodhani mjasiriamali anapaswa kuwa nazo, waambie wayaweke majibu
yao katika karatasi.
2 Acha vikundi vilinganishe majibu ya chemsha bongo yao na nadharia kama
zinavyoonekana kwenye karatasi ya zoezi 5.5 ‘Mjasiriamali aliyefanikiwa ni yupi?’. Waache
wajadili utofauti.
3 Agiza vikundi vitengeneze orodha mpya ya sifa watakazoona ni muhimu. Waache
wazieleze sifa hizo kwa maneno yao wenyewe. Orodha hiyo mpya inaweza ikaandikwa
katika karatasi mpya.
4 Tengeneza orodha ya sifa shirikishi za makundi. Agiza kundi moja kutaja sifa, na kisha
viulize vikundi vingine kama vimeandika sifa hiyo hiyo. Ziandike sifa ambazo zina
mfanano kutoka katika makundi mbalimbali kwenya karatasi. Kama kuna utofauti kwenye
maana ya sifa, lijadili hili katika kundi mpaka yapatikane makubaliano. Kisha agiza kikundi
kingine kitaje sifa na tena agiza vikundi vingine kama vimetoa sifa inayofanana. Sifa sawa
ziandikwe katikati ya karatasi ya katikati. Hii irudiwe mpaka sifa zote kutoka kwenye
vikundi ziwe zimejadiliwa.

32 33
5.6 Je, mimi ni mjasiriamali zaidi
au mwajiriwa? karatasi ya zoezi 5.6

Lengo 6 Washiriki wapeleke nyumbani majibu yao ya kwenye karatasi ya zoezi 5.6.1 na 5.6.2
Vijana watapata uelewa kuhusu tofauti iliyopo kati ya mjasiriamali na mwajiriwa. Watagundua na uwaambie wajadili majibu na wanafamilia au marafiki zao. Waagize waandike
ni sifa zao zipi zinashabihiana na sifa za mjasiriamali au mwajiriwa. mrejesho walioupata kutoka katika familia au marafiki. Pia, waambie watoe hitimisho lao.
Wanaweza wakatumia karatasi kulifanya hili.
7 Katika kipindi kitakachofuata, washiriki watafakari hitimisho lao binafsi baada ya kupokea
Maandalizi mrejesho wote. Au, kama kuna fursa, washiriki wanaweza kujadiliana mahitimisho yao
Panga meza katika hali ambayo washiriki wanaweza kufanya kazi wenyewe na katika makundi katika kipindi cha kufupisha wakiwa pamoja na mwezeshaji.
madogo ya watu wanne. Hakikisha kuna kalamu za kutosha na nakala za karatasi ya zoezi
namba 5.6.1 ‘Je, mimi ni mjasiriamali zaidi au mwajiriwa?’ na karatasi ya zoezi 5.6.2 ‘Sifa zangu
kama mjasiriamali au mwajiriwa’. Tafakuri
Waache vijana watathmini zoezi linawaeleza nini kuhusu wao wenyewe? Je, orodha tofauti
na majibu vinawaambia nini? Je, alama za vyema na za ‘X’ kwenye sifa zao zinawaeleza nini
Maelezo wao wenyewe? Je, wamejifunza nini kutokana na kazi yao ya nyumbani? Wameweza kuweka
‘Watu wanaweza kuwa na sifa nyingi tofauti. Kuna baadhi ya sifa ambazo ni maalumu kwa mahitimisho ya namna gani kuhusu shughuli zao kama waajiriwa au wajasiriamali?
wajasiriamali. Sifa hizo za mjasiriamali zinaweza kuwa tofauti na zile za mwajiriwa. Wakati wa
zoezi hili, utajifunza kuhusu sifa zako mwenyewe na utagundua ni kwa kiasi gani zinafanana
zaidi na sifa za mjasiriamali au mwajiriwa.’ Dondoo
Kama mwezeshaji, unaweza ukafanya hili kwanza ukiwa nyumbani ili uweze kuwasaidia
Utendaji vijana katika maswali yao.
1 Waache vijana wenyewe binafsi waweke alama za ‘X’ kwenye majibu ya kwenye karatasi
ya zoezi 5.6.1 ‘Je mimi ni mjasiriamali zaidi au mwajiriwa’ na kisha wachore mistari kati ya
majibu yao.
2 Wagawanye vijana katika vikundi na uwaache washirikishane majibu yao na yana maana
gani kwao. Waulize ni majibu gani yanawahusu zaidi wajasiriamali na yapi yanawahusu
sana waajiriwa. Wanaweza kuandika mawazo yao kwenye karatasi ya zoezi 5.6.1.
3 Waambie washiriki wasome sifa kama zinavyoonekana katika karatasi ya zoezi 5.6.2 ‘Sifa
zangu kama mjasiriamali au mwajiriwa’.
4 Waache waweke alama ya ‘X’ kwenye safu mbili za kwanza zenye sifa ambazo wanaamini
kwamba mjasiriamali na/au mwajiriwa anazo. Sisitiza uwezekano wa kwamba
mjasiriamali wakati mwingine anaweza akawa na sifa zinazofanana na za mwajiriwa.
Matokeo yake ni kwamba baadhi ya sifa zinaweza kuwekwa katika safu mbili.
5 Ligawe kundi katika makundi ya watu wanne. Waache washiriki walinganishe orodha zao
ndani ya vikundi vyao. Waache wafikirie kuhusu sifa tofauti na wabadilishane mawazo ni
kwa namna gani wanafikiri wao wenyewe wana sifa nyingi za mjasiriamali au mwajiriwa.
Wanaweza kuweka alama ya ‘X’ kwenye karatasi ya zoezi 5.6.2 kwenye safu ya tatu.

34 35
5.7 Je, nina ari ya
kiujasiriamali? karatasi ya zoezi 5.7

Lengo Tafakuri
Vijana wachunguze kama wana muonekano na ujuzi wa kuwa mjasiriamali aliefanikiwa. Waulize washiriki ni jinsi gani wanajisikia kuhusiana na zoezi. Wanafikiria nini kuhusu kuweka
alama za vyema kwenye maelezo ya kwenye karatasi ya zoezi? Je, zoezi hili linawaeleza nini
washiriki kuhusu wao wenyewe? Je, ni hitimisho gani wanataka kulifanya kwa ajili ya kazi yao?
Maandalizi Je, ni mrejesho gani wamepokea waliposhirikishana majibu yao na marafiki zao au familia
Kila mshiriki anatakiwa kuwa na kiti na meza yake ili aweze kufanya kazi yake yeye mwenyewe.
zao?
Hakikisha una nakala za kutosha za karatasi ya zoezi 5.7 ‘Je, nina ari ya kiujasiriamali?’.

Dondoo
Maelezo
‘Kuwa mjasiriamali mwenye mafanikio kunahitaji uwekezaji binafsi katika fedha, muda Vijana washirkishane maelezo kama hawakuelewa kabisa kilichoandikwa. Wanaweza
na nguvu. Si kila mtu ameumbwa na vigezo sahihi kuwa mjasiriamali mwenye mafanikio. kusaidiana kama wataona ugumu katika kutoa majibu. Kumbuka kwamba hili zoezi ni
Muonekano wa kweli, sifa na ujuzi ndivyo vitu vya muhimu kwa kumiliki na kuendesha nyenzo kwa ajili ya washiriki kugundua kama wao ni wajasiriamali makini. Ni namna ya
biashara ndogondogo. Wajasiriamali wengi wenye mafanikio huwa na sifa fulani zenye kujifanyia tathmini binafsi, au jambo ambalo linaweza kurekebishwa. Wajasiriamali wengi
kufanana. Maswali yafuatayo yatakusaidia kutathmini kama muonekano wako na ujuzi wako wana mapungufu au pengo katika sehemu moja au zaidi. La kufanya ni kugundua hili
unaendana na ule wa mjasiriamali mwenye mafanikio.’ mwanzoni ili uwe na fursa ya aidha kuboresha ujuzi huo au kushirikiana na watu wengine
ambao wana sifa usizokuwa nazo.
Utendaji
1 Waache washiriki wajaze wenyewe kwenye mpango katika karatasi ya zoezi 5.7 ‘Je, nina
ari ya kiujasiriamali?’. Hii ni kwa ajili ya kuchunguza ari yao ya kiujasiriamali. Waambie
wasome maelezo kwa umakini na uwaalike kuweka alama ya vyema kwenye safu ambayo
inawafaa zaidi.
2 Waache wahesabu namba za alama za vyema kwenye kila safu na kuziandika nambari
kwenye sehemu ya chini ya karatasi.
3 Waagize wazidishe jumla ya namba za alama za vyema katika safu fulani kwa nambari
zinazoendana zilizotajwa mwishoni mwa kila safu kwenye karatasi. Hivyo, zidisha jumla
ya alama za vyema kwenye jibu ‘ndiyo’ kwa 4, jumla ya alama za vyema kwenye jibu
‘inawezekana’ kwa 2 na jumla ya alama za vyema kwenye jibu ‘hapana’ kwa 0.
4 Washiriki watajua jumla ya alama zao kwa kuzijumlisha alama za safu tatu. Waache
wajifunze ni kwa njia gani alama zao zinaakisi ari zao za kiujasiriamali.
5 Waache wajadili kuhusu alama walizopata na jirani zao na waache wabadilishane majibu
yao katika maelezo. Ni kwanini wameweka alama ya vyema kwenye safu maalumu? Je,
kila maelezo yanawaeleza nini wao binafsi? Wanaweza kuandika tafakuri zao mwishoni
mwa karatasi ya zoezi 5.7 ‘Je, nina ari ya kiujasiriamali?’
6 Waache washiriki wachukue majibu yao nyumbani kwenye karatasi ya zoezi 5.7 na
washirikishe wanafamilia au marafiki alama zao na acha waandike mrejesho waliopata
kwa marafiki na wanafamilia zao katika madaftari yao. Wanaweza kutumia sehemu
ya tafakuri ya kwenye karatasi ya zoezi kwa ajili ya hili au wanaweza kuandika kwenye
madaftari yao.

36 37
5.8 Ubora wangu! karatasi ya zoezi 5.8

Lengo Tafakuri
Vijana watafakari Uwezo wao Binafsi wa Kiujasiriamali (UBK). Waulize washiriki jinsi walivyoliona zoezi. Wamefikiria nini walipokuwa wakijibu maswali
kwenye karatasi ya zoezi. Wamejifunza nini kutoka kwa ndugu au marafiki zao walipowataka
kuwapa mrejesho? Je, majibu yao ni tofauti na jinsi walivyo kuwa wanajifikiria wao wenyewe?
Maandalizi Je, watazifanyia kazi sifa zao za kiujasiriamali baada ya kufanya zoezi hili? Kivipi?
Panga meza katika hali ambayo vijana wanaweza kufanya kazi wenyewe, lakini pia wanaweza
kufanya kazi katika vikundi. Unahitajika kuwa na karatasi nyingi katika ubao wa karatasi za
kutundika, kalamu zenye wino mzito na machapisho ya karatasi ya zoezi 5.8 ‘Ubora wangu’. Dondoo
Washiriki wanaweza pia kuwasilisha mawazo yao kuhusu mipango yao kwa ajili ya
Maelezo maboresho kwa mwezeshaji pekee. Kama ni hivyo hakikisha unapanga mikutano binafsi ya
‘Utafiti uliofanyika kuhusu tofauti kati ya wajasiriamali waliofanikiwa na wasiofanikiwa, kufupisha pamoja na kundi lako kwa mpango wako wa maendeleo ya kazi.
uliofanyika katika mazingira sawa, ulionesha kuwa wajasiriamali wenye mafanikio wana
Uwezo Binafsi wa Kijasiriamali (UBK). Tuone uwezo huo na tuangalie ni uwezo upi ambao
Uchunguzi wa kina
tayari unao na ni uwezo upi unahitaji kuuboresha.’
Unaweza kulirudia zoezi hili baada ya muda. Unaweza tena kutumia mpango ule ule na
kuwaacha vijana kujibu maswali yaleyale. Kwa njia hii, wanaweza wakaona kama kuna
Utendaji utofauti wowote katika majibu yao. Au unaweza kutumia mpango wa zoezi hili uliokamilika
1 Wapatie karatasi ya zoezi 5.8 ‘Ubora Wangu’ na waache vijana watafakari sifa zao binafsi na kuangalia maoni yao kwa ajili ya kufanya maboresho. Nenda ndani zaidi katika mawazo
za kiujasiriamali kwa kujibu maswali yaliyoorodheshwa kwenye hojaji. Waache walifanye yao na mapendekezo yao kwa ajili ya maboresho. Je, wameboresha baadhi ya sifa za
hili wao wenyewe. Waambie wawe wahalisia kwa sababu zoezi linakuwa na athari pale kiujasiriamali? Kama imekuwa ndivyo, ni zipi na wamefanya nini kuziboresha sifa hizo. Kama
ambapo vijana wanakuwa wakweli kuhusu mambo yao. hapana, kipi hakikuwa sawa, au wanaweza kufanya nini cha kuboresha kwa namna yoyote ile?
2 Waache washiriki wahesabu ni maswali mangapi yamejibiwa kwa ,  au .
3 Ligawe kundi katika vikundi vya watu wawili ili kushirikisha majibu na sifa.
4 Waambie washiriki wachague sifa moja waliyoiwekea alama  ili kuiangaza. Waambie
wafikiri namna wanavyoweza kuitumia na kuiboresha sifa hii. Waache washirikishane
mawazo yao katika vikundi vya watu wawili na waandike mawazo yao kwenye karatasi.
5 Waache wafanye vivyo hivyo kwa majibu mengine yaliyowekewa  na .
6 Kama kazi ya nyumbani, vijana wawaulize ndugu zao au marafiki zao juu ya nini
wanakifikiria kuhusu sifa zao. Waambie waandike maelezo mafupi ya majadiliano haya
mwishoni mwa karatasi ya zoezi 5.8 ‘Ubora wangu!’ na walinganishe maoni ya ndugu zao
au marafiki zao na majibu waliyoyatoa wao wenyewe.

38 39
5.9 Wajasiriamali wa karibu
yangu! karatasi ya zoezi 5.9

Lengo Tafakuri
Vijana waandae mahojiano ambayo watayafanya na wajasiriamali kwenye familia zao au Waulize vijana namna ilivyokuwa kuhusu kufikiri maswali kwa ajili ya wajasiriamali. Je, kuna
majirani. maswali hayako kwenye orodha lakini hata hivyo wangehitaji kuyauliza? Waulize kwanini
maswali hayo hayakuwepo kwenye orodha? Baada ya mahojiano, waulize vijana jinsi gani
wamelipenda zoezi. Je, walikuwa na muda mzuri? Wamegundua nini? Je kulikuwa na lolote
Maandalizi la kushangaza, kuna jambo liliwafanya washangae? Je, mahojiano yamebadilisha namna
Zoezi hili ni rahisi kama vijana wamepima mawasiliano yao ya karibu. Hii inaonesha kama
wanavyofikiri kuhusu kuanzisha biashara? Kwa matazamo upi?
wanamfahamu mjasiriamali katika familia zao au mjasiriamali jirani. Ziweke meza na viti
kwenye chumba katika hali ambayo vijana wanaweza wakafanya kazi wakiwa katika kundi la
watu watatu. Chapa karatasi ya zoezi 5.9 'Wajasiriamali wa karibu yangu'. Dondoo
Wahamasishe vijana kuunda maswali ya wazi ambayo hayawezi kujibiwa kirahisi kwa
Maelezo jibu la ‘ndiyo’ au ‘hapana’. Maswali funge muda wote yanaashiria kuuliza maswali mapya.
‘Kuanzisha kampuni ni changamoto inayotupatia fursa ya kujiajiri na kujitengezea kipato Itakapohitajika, waache watoe mifano ya maswali wanayoweza kuuliza, kama: ‘Unamiliki
kizuri. Kuna mengi unahitaji kufikiria unapoanzisha biashara yako mwenyewe. Ili kupata kampuni ya aina gani? Ni jinsi gani ulianzisha kampuni yako? Unahitaji nini kuwa bora na
muono zaidi wa kile kinachohitajika kufanywa, utafanya mahojiano na watu unaofahamu mwenye mafanikio?’
waliowahi kuanzisha biashara zao katika kipindi kilichopita. Unaweza ukajifunza kutokana
na uzoefu wao. Jinsi unavyojiandaa vizuri katika mahojiano haya ndivyo itakavyokupatia
Uchunguzi wa kina
nafasi nzuri ya kupata kile unachohitaji kufahamu. Katika kipindi hiki tunaandaa maswali
Itakuwa vizuri kufanya zoezi hili mara nyingi. Kwa muda, wakati wa mafunzo yao vijana
utakayoweza kuuliza katika kipindi cha mahojiano na wajasiriamali wiki ijayo.’
watapata muono zaidi na zaidi katika kazi zao na malengo yao ya kuanzisha kampuni zao
wenyewe. Baadaye, wanaweza kutafuta taarifa tofauti za kweli kuliko ilivyokuwa awali. Zaidi
Utendaji ya hayo, itakuwa nzuri kutanua mtandao wa makampuni (mdogo, wa kati na mkubwa) na
1 Waambie vijana waandae orodha ya maswali, angalau 6 kwa uchache ambayo wajasiriamali mbalimbali.
wangependa kuwauliza wajasiriamali kwenye familia zao au majirani.
2 Ligawe kundi katika watu watatu watatu. Mahojiano pia hutoa fursa ya kuunganisha kati ya (Vyuo vya Kujifunza Ufundi) vituo vya
3 Washiriki wajadiliane kuhusu orodha ya maswali waliyoandaa kila mmoja katika vikundi mafunzo ya ufundi au taasisi za kiufundi na makampuni. Viwanda vinaweza kutoa faida kwa
na wapate muunganiko wa orodha ya jumla yenye maswali 10. shule na mamlaka kuendeleza mitaala inayoelekeza mahitaji ya soko la ajira. Mtandao mzuri
4 Waambie waandike maswali kwenye karatasi ya zoezi 5.9 'Wajasiriamali wa karibu yangu' na wajasiriamali wengi hutoa fursa ya kuwaleta wahadhiri, washauri mafunzo ya viwandani,
au kwenye madaftari yao na waache wapige picha maswali hayo kwa kutumia simu zao. matembezi ya kampuni na ziara za kimafunzo. Kwa namna hii Elimu Iliyojikita katika Maarifa
Kwa namna hii, wanaweza kuwa na uhakika wa kuwa na maswali mkononi wakati wa kwa Wanafunzi inaweza ikaendelezwa na ikafanyiwa kazi kwa namna hii, elimu iliyojikita
mahojiano. katika Umahiri na mafunzo yanaweza kuendelezwa na kutekelezwa.
5 Fanya makubaliano ya wazi kuhusu wiki watakayokuwa na mahojiano na wajasiriamali.
Je, watakuwa na mahojiano na mtu mwingine au mtu mmoja tu? Je, wanataka kuwahoji
wajasiriamali wangapi?
6 Wape washiriki kazi ya kuandika matokeo ya mahojiano kwenye karatasi ya zoezi 5.9 au
kwenye madaftari yao. Matokeo haya yanaweza kujadiliwa kwenye makundi machache
katika mkutano unaoufuata.

40 41
5.10 Biashara ya ndoto zangu karatasi ya zoezi 5.10

Lengo Tafakuri
Vijana wachunguze biashara ya ndoto zao. Hii inaweza ikafanyika kwenye kundi zima. Ikitokea kundi ni kubwa sana unaweza kuchagua
kuwaacha vijana watafakari katika makundi ya watu wawili wawili au wanne wanne. Shirikisha
hitimisho katika kundi zima. Swali kuu la kujibiwa ni: ‘Wamegundua nini kuhusu biashara ya
Maandalizi ndoto zao?’ Waache vijana waelezane walichokiweka katika karatasi na kina maana gani kwao.
Chapisha karatasi ya zoezi 5.10 ‘Biashara ya ndoto zangu’ kwa ajili yako na kisha jenga taswira
yake nyumbani. Tafadhali angalia dondoo. Weka viti katika mzunguko bila meza. Kwenye
darasa, andaa meza katika hali ambayo vijana wanaweza kuchora kile walichokiona wakati wa Dondoo
ujengaji taswira. Weka karatasi za A3, magazeti, majarida, mikasi, gundi, na penseli za rangi
Liandae zoezi hili kwa kulifanya mwenyewe nyumbani, ili uangalie linakupatia nini.
(zenye rangi tofauti) vyote vikiwa tayari kwenye meza. Hakikisha umetulia na kimya kabla ya
Mwachie mtu mwingine akusomee kwa sauti ujengaji taswira. Labda unataka kuyafanya
kuanza ujengaji taswira.
matini yako yaendane na hali yako mwenyewe, unaweza kuongeza kitu au kutumia
maneno mengine. Wakati wa kujenga taswira maswali mengi yataulizwa. Wapatie vijana
Maelezo muda wa kutosha wa kupata wazo la kipi cha kujengea taswira, hivyo usiharakishe. Wakati
‘Kutafuta biashara ya ndoto zako unatakiwa kuangalia kile kinachoendelea ndani yako. Majibu mwingine unatakiwa kuliuliza swali lile lile mara mbili, lakini kwa maneno mengine au kwa
yapo katika uelewa wako. Humo utapata majibu. Jibu kuhusu biashara ya kipaombele chako kufupisha. Baada ya uvutaji taswira wahamasishe vijana kujielezea wenyewe kwa uhuru
linatoka moja kwa moja moyoni mwako. Ili kuwa mbunifu kamili, hakikisha unaweza kutulia kwa kutumia penseli na magazeti. Sio kuhusu uwezo wao wa kutengeneza taswira, lakini
na kwamba usitake kusumbuliwa na kile unachokisikia au kukifikiri wakati unapojenga taswira lengo ni kuhamisha picha ya ndani kwenda kwenye uso wa dunia. Wape changamoto ya
ya biashara ya ndoto zako. Jipe ruhusa ya kuyaacha mawazo yako yashangae kwa uhuru. kutumia kipande kizima cha karatasi.
Hapana kitu sahihi au kisicho sahihi hapa.’

Utendaji
1 Waambie vijana wakae kwenye viti na miguu yao yote ikiwa sakafuni.
2 Waambie wavute pumzi chache kuingiza ndani na kutoa nje, na waambie wafumbe
macho.
3 Vijana watakaoona ni vigumu kufumba macho kwenye makundi yao wanaweza kuchagua
kuangalia mbele yao katika sehemu ngumu iliyo sakafuni. Waeleze kuwa utawapeleka
kwenye ziara kwa kuwaeleza habari. Wanaweza wakakufuata kwa namna yao na mawazo
yao yoyote au picha itayokuja, ni nzuri.
4 Soma kwa sauti uvutaji taswira wa karatasi ya zoezi 5.10 ‘Biashara ya ndoto zangu’ wakiwa
kimya na kwa utulivu.
5 Baada ya kujinyongoa, vijana wakae kwenye meza zao bila ya kuongea, wakiwa na
karatasi kubwa za A3, magazeti, majarida, na penseli za rangi. Watengeneze mchoro wa
kile walichokiona wakati wa ujengaji taswira kwa muda wa mpaka dakika 15. Wanaweza
kutumia (taswira) picha, maneno, rangi na maumbo (mbalimbali). Wanaweza pia
wakatumia magazeti na majarida kukata picha au maneno na kuyabandika kwenye
karatasi, waachie waweke majina yao juu yake.

42 43
5.11 Biashara yangu ya
kipaombele karatasi ya zoezi 5.11

Lengo Tafakuri
Vijana wafanye mahojiano na kundi dogo la biashara ya kipaombele chao. Lengo la Waulize vijana jinsi ilivyokuwa kuja na maswali wakati wa mahojiano. Je, kuna maswali
mahojiano ni kugundua umadhubuti na udhaifu wa kampuni. ambayo hayakuwa kwenye orodha lakini wangependelea kuuliza? Waulize ni kwanini maswali
hayo hayakujumuishwa kwenye orodha? Waulize vijana walifikiria nini wakati mahojiano
yalipofanyika? Je, walikuwa na wakati mzuri? Waligundua nini? Je, waligundua kuhusu mambo
Maandalizi yanayofanikisha na yanayoangusha? Je, kulikuwa na la kushtusha (kulikuwepo na jambo la
Kwa zoezi hili, ni vizuri kuwaacha vijana kufikiri kwanza kuhusu mifano ya biashara
ghafla lililotokea)? Je, kuna jambo liliwashangaza? Wanafikiria nini kuhusu kuanzisha biashara
wanazozipendelea katika mitandao yao. Unaweza pia kuandaa orodha ya biashara (zikiwa na
yao binafsi.
anwani na taarifa za mawasiliano) kutoka kwenye mtandao wa taasisi yako. Andaa maudhui
ya zoezi hili kwa kuvisoma na kuvitafakari vipengele vyote kwenye karatasi ya zoezi 5.11.1
‘Biashara yangu inayolipa’. Weka meza na viti katika hali ambayo vijana wanaweza wakafanya Dondoo
kazi wakiwa watatu. Chapisha karatasi ya zoezi 5.11.1 ‘Biashara yangu inayolipa’ na 5.11.2
Wahamasishe vijana kuunda maswali wazi ambayo hayawezi kujibiwa na majibu kirahisi
‘Biashara yangu ya kipaombele’.
ya ‘ndiyo’ au ‘hapana’. Majibu hayo hayawapi taarifa nyingi, hivyo wanahitaji kuendelea
kuuliza maswali mapya. Ikibidi, wape baadhi ya maswali kama: Unamiliki biashara ya
Maelezo aina gani? Ni vitu gani vinaenda vizuri? Hatua gani zinahitajika katika kuboresha biashara
‘Biashara kubwa huwa ina kupanda na kushuka. Mambo mbali mbali yanaweza kusababisha yako? Unaweza ukawakaribisha wafanyabiashara wengine kwenye taasisi yako. Katika hali
mafanikio au hasara kwenye biashara ndogo. Kupata muono mkubwa wa mambo ambayo hii washiriki hawahitaji kutembelea makampuni na hivyo wanaweza wakauliza maswali
kampuni inayashughulikia, utawahoji wafanyabiashara ya kipaombele chako. Unaweza kwa aina mbalimbali za biashara na sio kwa aina moja tu. Kwa upande mwingine, pia
kujifunza kutokana na habari zao na kupata uelewa mzuri kuhusu uzuri na udhaifu wao. ni mchakato mzuri wa kujifunza pindi vijana wanapokuwa makini katika kupanga na
Utakavyojiandaa vizuri na mahojiano haya ndivyo itavyokupa nafasi kubwa ya kugundua kutembelea makampuni.
unahitaji nini au nini unataka kufahamu. Ndio maana unaandaa maswali ya kuuliza katika
zoezi hili.’
Uchunguzi wa kina
Itakuwa vizuri kufanya zoezi hili mara mbili. Kwa muda, wakati wa mafunzo yao vijana
Utendaji watapata muono zaidi na zaidi katika kazi zao na malengo yao ya kuanzisha kampuni zao
1 Ligawe kundi katika vikundi vya watu watatu kulingana na mfanano wa vipaombele vyao. wenyewe. Baadaye, wanaweza kutafuta taarifa tofauti za kweli kuliko ilivyokuwa awali. Zaidi
2 Waambie washiriki wasome mambo mbalimbali kama yanavyoonekana kwenye ya hayo, itakuwa nzuri kutanua mtandao wa makampuni (mdogo, wa kati na mkubwa) na
karatasi ya zoezi 5.11.1 ‘Biashara yangu inayolipa’. Waambie mmoja mmoja atengeneze wajasiriamali mbalimbali.
orodha ya maswali 6 ya kuwauliza wawakilishi wa biashara, kwa kujikita katika mambo
yanayofanikisha na kuangusha biashara. Mahojiano pia hutoa fursa ya kuunganisha kati ya (Vyuo vya Kujifunza Ufundi) vituo vya
3 Waambie washiriki wajadili orodha zao za maswali katika vikundi na kutengeneza orodha mafunzo ya ufundi au taasisi za kiufundi na makampuni. Viwanda vinaweza kutoa faida kwa
ya pamoja yenye maswali 10. shule na mamlaka kuendeleza mitaala inayoelekeza mahitaji ya soko la ajira. Mtandao mzuri
4 Waache wayaandike maswali kwenye karatasi ya zoezi 5.11.2 ‘Biashara yangu ya na wajasiriamali wengi hutoa fursa ya kuwaleta wahadhiri, washauri mafunzo ya viwandani,
kiapombele’ na waachie waipige picha orodha hiyo kwa simu zao. Kwa njia hii wana matembezi ya kampuni na ziara za kimafunzo. Kwa namna hii Elimu Iliyojikita katika Maarifa
uhakika wa kuwa na maswali ya kuuliza wakati wa mahojiano. kwa Wanafunzi inaweza ikaendelezwa na ikafanyiwa kazi kwa namna hii, elimu iliyojikita
5 Waache wajadili jinsi ya kuwasiliana na kampuni kwa lengo la kufanya miadi. katika Umahiri na mafunzo yanaweza kuendelezwa na kutekelezwa.
6 Fanya makubaliano ya wazi kuhusu wiki ambayo mahojiano yatafanyika.
7 Wape vijana kazi ya kuandika ufupisho wa mahojiano kwenye karatasi au kwenye
madaftari yao. Matokeo haya yanaweza kujadiliwa na watu wengine watatu katika
mkutano utakaofuata.

44 45
5.12 Mchezo wa kunusurika
jangwani karatasi ya zoezi 5.12

Lengo 5 Liweke kundi lote pamoja tena na upitie majibu katika karatasi ya zoezi 5.12.3 ‘Majibu
Vijana watambue vipengele vya mapatano na kuvifanyia kazi wenyewe vipi wanaweza kufanya ya mchezo wa kunusurika jangwani'. Waulize ni mchakato gani wa kufikiri waliopitia
kama kundi au watu binafsi. ili kuyaelezea matatizo? Maswali yao yalikuwa yapi? Ni kwa utaratibu gani waliyafikia
masuala haya? Wanajisikiaje kuhusu kufanya kazi kama timu, kutatua matatizo katika
mtazamo mmoja? Waachie vijana waandike mawazo yao kwenye karatasi ya zoezi 5.12.4
Maandalizi ‘Tafakuri ya mchezo wa kunusurika jangwani’.
Andaa darasa katika hali ambayo vijana wanaweza kufanya kazi mmoja mmoja au katika 6 Waache vijana wakamilishe karatasi ya alama ya zoezi 5.12.2 ‘Alama za mchezo wa
vikundi. Vijana wanahitaji kalamu na karatasi. Chapisha igizo katika karatasi ya zoezi 5.12.1 kunusurika jangwani’. Kwanza, washiriki waweke nambari za majibu kwenye safu ya
‘Mchezo wa kunusurika jangwani’, karatasi ya alama katika karatasi ya zoezi 5.12.2 ‘Alama za tatu ‘Jibu’. Pili, wazishughulikie tofauti kati ya mpangilio wao binafsi na jibu sahihi. Kwa
mchezo wa kunusurika jangwani’, karatasi ya majibu katika karatasi ya zoezi 5.12.3 ‘Majibu mfano, ikiwa jibu binafsi la kitu 7 nia jibu sahihi ni 1, hivyo tofauti yake ni 6. Kisha,
ya mchezo wa kunusurika jangwani’ na karatasi ya tafakuri kwenye karatasi ya zoezi 5.12.4 wanatakiwa kuweka 6 kwenye safu ya ‘Kosa langu’. Tatu, wanatakiwa kufanya hivyo hivyo
‘Tafakuri ya mchezo wa kunusurika jangwani’. katika mpangilio wa kundi ikiwa alama ya timu ni 1 na jibu sahihi ni 5, hivyo tofauti ni 4
inatakiwa kuwekwa kwenye safu ya ‘Kosa la timu’. Mwisho alama za safu ya ‘Kosa langu’
Maelezo na ‘Kosa la timu' zinatakiwa kujumulishwa. Washiriki na timu zenye alama ndogo kwenye
‘Mapatano ni kitu cha kawaida katika mazingira ya kazi. Tunapatana tunapofanya kazi makosa ndio washindi.
katika biashara kama waajiriwa, lakini pia tunapokuwa tunamiliki biashara zetu. Kwa mfano 7 Tafakari na washiriki kama wamefanya vizuri wao wenyewe binafsi au kama sehemu ya
unapatana kuhusu bei ya malighafi unayotaka kununua. Na pia unapatana unapotaka kuuza timu, na kwanini ilikuwa hivyo. Waulize kama walikuwepo watu kwenye vikundi vyao
bidhaa zako kwa ubora, kiwango na bei nzuri. Leo unafanya mchezo ambao ndani yake waliochukua baadhi ya majukumu. Ni majukumu yapi? Waambie watafakari kuhusu
unaweza kujifunza namna ya kupatana.’ majukumu na mitazamo. Waambie waandike tena mawazo yao kwenye karatasi ya zoezi
5.12.4 ‘Tafakuri ya mchezo wa kunusurika jangwani'.
Utendaji
1 Soma pamoja na kundi lako igizo lililopo katika karatasi ya zoezi 5.12.1 ‘Mchezo wa Tafakuri
kunusurika jangwani’. Fafanua hali pale tu kutakapokuwa na maswali. Wafanye vijana kufikiri kuhusu ujuzi wao wa kupatana walioutumia katika zoezi na uwaachie
2 Mpe kila mshiriki karatasi ya alama kwenye karatasi ya zoezi 5.12.2 ‘Alama za mchezo wa wafanyie kazi kama wamelifurahia. Waache pia wafikiri kuhusu kipi kilienda vizuri na
kunusurika jangwani’. Agiza washiriki waweke vitu vya kuhimili maisha katika mpangilio kipi kilikuwa kigumu katika kupatana. Wamejifunza nini kuhusu ujuzi wao wa kupatana?
wa umuhimu na waviandike katika safu ya 'Mpangilio wangu' kwenye safu ya alama Wanawezaje kutumia uzoefu waliouongeza katika zoezi hili kwenye maisha halisi au kwenye
watafanya hivi mmoja mmoja na hawaruhusiwi kujadili mpangilio wao na mshiriki maeneo yao ya kazi?
mwingine. Wape dakika 10 kufanya hivi.
3 Ligawe kundi katika vikundi na waeleze kwamba wanatakiwa kujenga taswira kuwa ndege Dondoo
yao imepata ajali. Tumia fursa hii kuzijadili baadhi ya sifa za timu nzuri.
4 Toa dakika 20 kwa makundi kufikia makubaliano yanayohusisha kila kitu kwenye orodha Andaa zoezi hili nyumbani ili uelewe vizuri machaguo watakayofanya vijana. Inaweza
na kuandika majibu yao kwenye safu ya ‘Mpangilio wa kundi' kwenye karatasi ya zoezi ikaongeza thamani kuyashirikisha majibu yako kwa vijana. Pia, hakikisha vijana wanafanya
5.12.2 ‘Alama za mchezo wa kunusurika jangwani’. Wapatie maelekezo ya kutobadilisha kazi wenyewe wakati wa kujaza safu ya 'Mpangilio wangu’. Hawatakiwi kujadili chaguo
majibu yao ya kila mmoja. zao na mtu mwingine yeyote katika hatua hii. Watazame washiriki wakati wa kufanya kazi
katika timu na ushirikishe kile ulichokiona katika hatua ya tafakuri. Je, umewaona washiriki
walioishia kuchukua jukumu la kiongozi wa kikundi na uliwaona wengine ambao waliweka
mbele kazi zao na kwa upande mwingine walienda sambamba na kundi?

46 47
5.13 Maafikiano kuhusu ubora

Lengo Kufuatilia mkutano kwenye tarehe iliyopangwa


Vijana wajifunze kufanya maafikiano kuhusu ubora kwa kutumia fedha halisi. 5 Ligawe kundi katika jozi zile zile kama ilivyokuwa katika sehemu ya utendaji. Hakikisha
kama kila kundi limetoa au kupewa huduma.
6 Toa TZS 1,000, - kwa mtu aliyepata huduma.
Maandalizi 7 Waache waliotoa huduma wadai fedha zao. Kisha aliyepokea huduma alipe TZS 1,000, -.
Kwa zoezi hili, utahitaji TZS 1,000, - kwa jozi. Utapataje fedha hizi? Je, una wazo la
8 Waache watathmini kama wanafikiri huduma iliyotolewa ina thamani ya fedha iliyolipwa.
kiujasiriamali? Labda taasisi yako ina kiasi fulani cha fedha kwa ajili ya hili, au washiriki kila
Wameifikiriaje huduma? Je, huduma waliyoitoa imekidhi mahitaji ya mpokeaji? Waache
mmoja atoe TZS 500, -. Zipange meza kwenye chumba katika hali ambayo vijana wanaweza
wajadili kile walichojifunza katika mapatano na kutoa huduma. Ni kipi watakifanya vizuri
kuzungumza kwa wepesi na kuanza majadiliano. TZS 1,000, - zinatakiwa kuwekwa mezani!
zaidi kipindi kingine?
9 Jadili kuhusu uzoefu katika kundi zima na kutafakari walichojifunza kutokana na hilo.
Maelezo
Maafikiano katika biashara huleta matokeo ya kutengeneza pesa. Hivyo ndivyo uchumi
unavyofanya kazi. Jambo hilo hilo linapaswa kutokea wakati wa usaili wa ajira. Utakapokua
Tafakuri
Je, washiriki wamefikiri nini kuhusu mapatano na ubora wa huduma iliyotolewa?
mtu ambaye unaafikiana vizuri kuhusu ubora wako, ni wewe utakaepata ajira na si mwingine
Wamejisikiaje walipokuwa wakishawishiana kulipa fedha kwa ajili ya huduma waliyokuwa
yeyote. Pia, utapokea mshahara unaolingana na ajira yenyewe. Katika zoezi lifuatalo,
wakiitoa? Wanafikiri walikuwa na uwezo gani katika kufanya majadiliano? Ni ‘huduma’ ipi
tutajifunza kuhusiana na ujuzi huu. Ni aina ya mchezo ambao inaweza kukuwezesha upate
ilishinda? Kwanini? Nani atakayepokea fedha? Kwa lipi? Wamejifunza nini kutokana na zoezi
TZS 1,000, -. Itabidi uafikiane kuhusu ubora ulionao na kuhusu huduma ambazo una uwezo
hili? Ilikuwaje kutoa huduma hii?
wa kuzitoa.

Dondoo
Utendaji
1 Waache vijana wafikiri kuhusu aina ya huduma wanazoweza kutoa, pia wafikirie kuhusu Mifano ya huduma au ubora ni: ‘Ninaweza kukusaidia kuandaa mipangilio yako ya
huduma ambazo wangependa kupokea. Waache walete machaguo mengi. kifedha’; ‘Unaweza kuazima ramani ya shule yangu kwa ajili ya usimamizi wa mradi’;
2 Ligawe kundi katika jozi. Waambie washiriki wakae kwa kutazamana na weka TZS 1,000, - ‘Nitakutambulisha kwa 'mjasiriamali’. Ingawa vijana huhitaji kujadiliana sifa zao katika
katikati yao. njia ya uhalisia, kwa kweli hapa wanakuwa wanacheza mchezo. Waache watambue kuwa
3 Waambie washiriki wajadiliane ni vitu gani ambavyo wangependa kufanyiana na kila wanafanya hivyo. Wape washiriki TZS 1,000, - baada ya kupeleka huduma na sio wakati
mmoja aamue kama atakuwa tayari kumlipa mwenzake TZS 1,000, - kwa huduma hiyo au baada ya mapatano. Wanatakiwa kulipia huduma halisi. Badala ya fedha inawezekana
atakayopatiwa. Sheria katika zoezi ni: kulipa au kulipwa kwa bidhaa au matunda.
• Kuna muda maalumu wa dakika 10 kwa ajili ya kupatana.
• Mchango katika taasisi za misaada hauruhusiwi; pesa ni kwa ajili ya mmoja kati ya
washiriki wawili.
• Hairuhusiwi kuzigawa fedha kati ya wawili hao.
4 Waache wagundue wenyewe ni kipi hasa mshiriki mwingine anachohitaji na waache
watambue endapo ubora/huduma inaendana na mahitaji hayo. Waulize washiriki
waliokaa katika jozi kama wamekubaliana kuilipia huduma? Kama ndivyo, je wana furaha
na matokeo ya maafikiano? Kama hawajakubaliana, sababu ni nini? Nani atatoa huduma
na ataipata TZS 1,000, -? Waache washiriki wapange tarehe ya kupeleka huduma. Angalia
kama wamefanya makubaliano ya huduma. Panga tarehe ya kufanya tathmini ni vipi
huduma imetolewa. Kwenye tarehe hiyo, ndipo fedha italipwa, hivyo kwa muda huo, jozi
zitarudisha pesa kwa mwalimu.

48 49
5.14 Mkoba kwa ajili ya kuuza

Lengo 5 Ziagize timu ziandae mkakati wa kuwasilisha na kuuza mkoba wao kwa muuza duka
Vijana watengeneze mkoba na kuuza kwa muuza duka wa kufikirika. Wajifunze namna ya na kupatana kuhusu bei. Waache waje na malumbano mazuri kwanini watu wanunue
kushirikiana na kuafikiana. mkoba wao. Waache wafikiri ni nini cha kufanya iwapo muuza duka hatakuwa tayari
kulipa kwa bei inayotakiwa.
6 Kila timu iamue ni wanakikundi wapi wawili wataonesha, kuuza na kupatana na muuza
Maandalizi duka kuhusu begi. Washiriki wengine wataangalia mchakato wa kuuza na kupatana.
Liandae darasa katika hali ambayo vijana wanaweza kufanya kazi katika timu na wana nafasi Waache waandike uangalizi wao.
ya kutosha kutengenezea mkoba. Kila timu ipate sio zaidi ya kurasa tatu za sehemu mbili za 7 Kisha mauzo na mapatano yaanze mbele ya kundi pamoja na wewe, mwalimu ambaye
gazeti na gundi ya karatasi yenye urefu wa sentimita 30. una jukumu la muuza duka.
8 Tathmini mchakato wa kuuza na mapatano. Kwanza lipe muda kila kundi la wauzaji kwa
Maelezo ajili ya kutoa ya moyoni. Ilienda namna gani? Je, waangalizi waliona nini? Je, zoezi lilienda
‘Katika kampuni unahitaji kushirikiana na wenzako au unapokuwa na biashara yako unahitaji kama lilivyopangwa? Vipi kuhusu malumbano? Vipi kuhusu ujuzi wa mapatano? Matokeo
kushirikiana na wafanyakazi, kutakapokuwa na ushirikiano mzuri kazi itafanyika vizuri na kwa halisi ni yapi? Je, waliuza? Kwa bei gani? Mara ngapi? Toa mrejesho wako ukiwa kama
kuridhisha zaidi. Kupata ushirikiano mzuri, ni vizuri kila mshiriki awe na mchango kwa mujibu muuza duka na eleza kwanini ulilumbana hivyo.
wa ubora wake na kwamba kila mmoja ana la kusema na uwajibikaji kutokana na bidhaa 9 Rudia hatua ya 5 na 7 mpaka timu zote zipate nafasi.
inayotengenezwa na mchakato wake. Katika mkutano huu mtashirikiana katika kubuni na 10 Liulize kundi ni timu ipi imepata matokeo mazuri. Watoe hoja zao kwa chaguo lao. Iwapo
kutengeneza mkoba. Itakapofikia katika hatua ya kuuza mkoba kwa muuza duka maridhiano kuna timu mbili zenye hoja sawa ambazo ni nzuri mnaweza kupiga kura kumpata mshindi.
yatafanyika. Kutakuwa na sehemu mbili, muuzaji na mnunuzi watajadiliana kwa kina kuhusu
mpango huu. Wanatakiwa kufikia makubaliano ya bei, ubora wa bidhaa, idadi ya nakala, Tafakuri
tarehe ya makabidhiano n.k. Mchakato wa mapatano wenye kuridhisha ni pale mpango Waulize vijana wanafikiri nini kuhusu zoezi hili. Ilikuwaje katika kufanya malumbano ya hoja
unapoleta faida kwa pande zote mbili. Muuzaji amefurahi kua ameuza nakala kadhaa za ili kumshawishi muuza duka kununua mkoba? Ni hitimisho lipi linaweza kupatikana baada
mikoba na mnunuzi ana furaha kua amepatana kwa bei nzuri. Leo tutafanyia kazi ushirikiano ya kujaribu kufanya mchakato wa kuuza na kupatana mara kadhaa? Ni kipi kinaweza kusaidia
na maridhiano.’ zoezi hili kufanyika bila shida? Kwanini?

Utendaji Dondoo
1 Ligawe kundi katika timu zenye washiriki 4 hadi 7. Elezea zoezi hili kwa ujumla kwenye
timu zote. Waache watumie malighafi zilizo mbele yao. Kila timu inatakiwa kubuni Zielekeze timu kufikiri kuhusu ubora wa mkoba: mvuto, umadhubuti, fasheni, lini na vipi
mkoba kwa ushirikiano. Unaweza kuwa wa umbo, ukubwa au muundo wowote. Mara tu begi linaweza kutumika, n.k. Waache wajadili jinsi gani watapatana na kushawishiana;
mkoba utakapotengenezwa, wanatimu wauuze mkoba wao kwa muuza duka. Inagharimu ni lipi la kufanya au kusema kama muuza duka hayuko tayari kutoa ushirikano? Wape
TZS 1,000, - kutengeneza mkoba mmoja. Hivyo, wanatakiwa kupanga bei ya mkoba. mdokezo kwamba muuza duka angeweza kuuliza maswali kama: Kwanini natakiwa
Wanatakiwa kulionesha begi lao, wafafanue ni kwanini muuza duka anunue mkoba wao kununua mkoba huu? Ni kwanini una mkanda mmoja tu? Begi ni kubwa; je, mnaweza
na wapatane bei ya mkoba. Timu itayotengeneza faida kubwa itakuwa imeshinda kazi. mkatengeneza dogo? Sihitaji begi moja, mnaweza mkatengeneza mabegi 100 ya aina
2 Kwanza ipatie kila timu dakika 10 za kutengeneza mkoba. hii? Maswali haya yatawasaidia vijana kufikiria kwa upana zaidi mahitaji ya muuza
3 Baada ya kumaliza kutengeneza mkoba, waachie washiriki wajadili jinsi gani wamefanya duka, umuhimu wa mikoba yao na nguvu ya hoja zao. Mchakato wakuonesha, kuuza
kazi pamoja kama timu? Lipi lilikuwa jukumu la kila mmoja? Nani alikuwa kiongozi? na kupatana unaweza kufanyika katika kila timu. Katika hali hiyo, kila timu inatakiwa
Ushirikiano ulikuwaje? Nini kibadilishwe kuboresha ushirikiano? Waache vijana walijadili kumchagua mshiriki mmoja kutoka katika kundi jingine kuwa kama muuza duka. Hapo
hili katika timu zao. tathmini ya mazoezi itafanyika, katika timu tofauti, lakini tafakuri ya matokeo itafanyika
4 Waeleze kua wewe mwalimu utachukua jukumu la kuwa muuza duka. Timu zote itabidi kwenye kundi zima.
zifanye mapatano na wewe.

50 51
5.15 Lile ni jaketi zuri la ngozi
karatasi ya zoezi 5.15

Lengo Tafakuri
Vijana wajifunze kupatana. Wafanye mazoezi kuhusu jinsi pande zote zinavyotakiwa kufanya Waulize vijana wanafikiria nini kuhusu zoezi hili. Je, mnunuzi na mfanyabiashara wamefikia
ili kuyafikia mafanikio. makubaliano? Wanajisikiaje? Je, mfanyabiashara na mnunuzi wanayafurahia matokeo? Je,
washiriki waliona tofauti kati ya majukumu ya mzunguko wa kwanza na mzunguko wa tatu?
Wamejifunza nini kutoka katika makundi mengine? Ni ujuzi gani wanahitaji katika kufanya
Maandalizi mapatano? Ni ujuzi gani tayari wanao na ni upi wanauhitaji kuuboresha? Waache waandike
Andaa darasa katika hali ambayo vijana wanaweza kufanya kazi katika makundi ya watu
mahitimisho yao kwenye karatasi au kwenye daftari.
watatu watatu. Itakuwa vizuri kukiwa na chumba kinachoonekana kama soko, ambapo
wanaweza kukuta meza mbalimbali zenye majaketi na nguo nyingine juu yake. Kwenye
karatasi ya zoezi 5.15 ‘Lile ni jaketi zuri la ngozi’ muangalizi anaweza akaandika alichokiona. Dondoo
Chemsha bongo wewe pamoja na waangalizi ni nini na jinsi gani ya kuangalia wakati
Maelezo mnunuzi na mfanyabiashara wanapatana na kushawishiana. Wanatumia hoja za aina gani?
‘Katika mapatano, sehemu mbili au zaidi zinatafuta ili kufikia makubaliano. Katika biashara Je, wana mapendekezo yoyote kwa mnunuzi au mfanyabiashara ili kufikia makubaliano
wajasiriamali hujaribu kuziuza bidhaa zao kwa bei nzuri. Bei nzuri ni ipi? Kuiuza bidhaa kwa mazuri? Unaweza kuchagua kufanya igizo kwanza mbele ya kundi zima na baada ya hapo
bei ya gharama hakuwezekani, kama mjasiriamali pia anahitaji kutengeneza faida. Kukiuza katika vikundi. Kwa njia hii kila mmoja hupata uelewa mzuri wa zoezi na baada ya hapo
kitu kwa bei kubwa kunaweza kusifanye kazi vizuri kwa sababu wateja hawatoinunua bidhaa. wanaweza kujaribu wenyewe.
Hivyo, bei nzuri ni ile inayokubalika kwa pande zote: muuzaji ametengeneza faida kubwa
na mnunuzi hajalipa kiasi kikubwa. Watu wote wana furaha na matokeo ya mapatano. Leo
utajaribu kuliuza jaketi la ngozi kwa mnunuzi kwa bei halisi kwa hivyo mnunuzi ana furaha
kulinunua.’

Utendaji
1 Ligawe kundi katika vikundi vya watu watatu. Waambie vijana kwamba kuna majukumu
matatu tofauti ambayo kila mshiriki anatakiwa kuyafanya kwa mzunguko. Kuna jukumu la
mnunuzi, mfanyabiashara na muangalizi.
2 Tambulisha mazingira, mnunuzi anataka kununua jaketi zuri la ngozi kutoka kwa
mchuuzi wa mitaani katika nchi ya ugenini. Analipenda jaketi kweli; linamfaa vizuri,
limetengenezwa kitaalamu nakimitindo. Lakini mfanyabiashara anataka pesa nyingi sasa
mnunuzi anapatana bei na mfanyabiashara ili kuifikia bei ya kukubalika kwa wote.
3 Waache vijana wasome majukumu tofauti kwenye karatasi ya zoezi 5.15 ‘Lile ni jaketi zuri
la ngozi’ kabla ya kuanza kufanya mapatano.
4 Baada ya kila mzunguko, waambie watathmini majukumu yao na ujuzi husika
wa mapatano. Wajadili wanafikiria nini kuhusu mchakato wa mapatano na kama
wanafurahia matokeo. Muache muangalizi kushirikisha kile alichokiandika kwenye
karatasi.
5 Tathmini zoezi katika kundi zima baada ya mizunguko mitatu, ili katika kila kikundi
washiriki wote wawe wamechukua majukumu tofauti. Anza tafakuri kwa kuwakaribisha
wenza ambao wamefanya mapatano vizuri. Waelekeze wenza waoneshe jinsi
walivyofanya maafikiano mbele ya kundi. Waache vijana wengine wawachunguze na
wacha wabadilishane uchunguzina hitimisho lao.

52 53
5.16 Haya ni masoko

Lengo 7 Jadili maana/maelezo mbalimbali katika kundi zima. Je, kuna mfanano wowote? Pigia
Vijana waunde maana ya masoko. mstari maneno au tungo zinazopatikana katika maana zaidi ya moja? Je, wameona tofauti
kubwa? Ni vipengele vipi muhimu vya masoko vinavyojionesha katika maana?
8 Mwisho, kundi zima liamue maelezo yapi yajumuishwe katika maana. Landike maana
Maandalizi ya mwisho kwenye karatasi ya mpya. Waambie washiriki wanakili maana hii kwenye
Vipange viti katika hali ya mduara, ili washiriki wote waweze kuonana. Hakikisha kuna virobo madaftari yao.
vya karatasi za A4 vya kutosha, kalamu zenye wino mzito, gundi ya karatasi na karatasi kubwa.

Tafakuri
Maelezo Waulize washiriki wanafikiri nini kuhusu zoezi. Wanajisikiaje kuhusu kuchemsha bongo kama
‘Ili kuifanya biashara yako iwe yenye mafanikio ni muhimu kuuza bidhaa au kutoa huduma. njia ya kutafuta maana? Je, wanafikiri nini kuhusu maana shirikishi? Kwa namna gani ina
Hivyo, masoko ni ya muhimu. Tunahitaji kuwa na uelewa wa ziada kuhusu masoko yanahusu tofauti na kuhifadhi maana kutoka kwenye kitabu? Ni njia ipi ya kujifunza ambayo ni msaada
nini. Waache wafikirie maana ya masoko na yana maana gani kwako.’ zaidi? Na kwanini?

Utendaji Dondoo
1 Waache wanakundi wote wakae, kati ya kiti kimoja wapo katika mduara. Mpe kila
mshiriki kirobo cha karatasi cha A4 na kalamu ya wino mzito. Wahamasishe vijana kuandika kila kinachokuja kwenye vichwa vyao. Waambie vijana
2 Agiza kundi lako lichemshebongo kuhusu swali ‘Nini maana ya masoko?’ Waambie wasihoji kuhusu kile kilichoandiwa wakati wa kuchemsha bongo. Jibu maswali yao, lakini
waandike kwenye karatasi maana yoyote kwa maandishi makubwa, neno moja au wazo katisha mjadala katika hatua hii. Lengo la kuchemsha bongo ni kuwahamasisha washiriki
linalokuja kichwani (kwenye karatasi). kufikiri katika njia ya ubunifu bila ya vikwazo au mrejesho. Jaribu kipindi cha chemsha
3 Mara baada ya kila mshiriki kuandika wazo au neno, waache wampe karatasi hiyo mtu bongo ukiwa nyumbani, unda maana ya masoko kabla ya kutafuta maana vitabuni. Hii
aliekaa upande wao wa kulia. Kila mshiriki sasa atakuwa na karatasi mpya ambayo itakusaidia katika kuongoza mjadala pale unapounda na kundi la maana ya pamoja.
imeandikwa wazo la jirani yake.
4 Waache walitumie wazo la jirani yao kama chachu ya kuliandaa wazo jipya. Mpe kila
mshiriki kipande kipya cha karatasi ambacho anaweza kuliandika wazo hilo jipya.
Waambie wakupe karatasi za jirani zao na kumpa karatasi mpya yenye wazo jipya jirani
aliye upande wa kulia.
5 Irudie hatua ya 4 na uendelee mbadilishano wa karatasi kwenye mduara mara kadhaa
mpaka pale ambapo hapana wazo jipya litakalojitokeza tena na idadi kubwa ya karatasi
itakapokuwa imekusanywa. Zichukue karatasi zote na kuzitundika kwenye karatasi kubwa
kwa kutumia gundi ya karatasi.
6 Katika makundi ya watu wawili wawili au watatu, washiriki wazungukie karatasi kubwa
na kuchagua karatasi moja ya kushughulika nayo. Waambie wayajadili mawazo kwenye
karatasi hiyo na kwa pamoja waiunde maana ya masoko. Waache waiandike maana hii
kwenye karatasi hiyo hiyo.

54 55
5.17 Kuuza bidhaa au huduma
yangu! karatasi ya zoezi 5.17

Lengo Tafakuri
Vijana wafikirie bidhaa au huduma wanayotaka kuuza na wazitafakari kwa kutumia P nne za Waulize vijana wamejifunza nini kutokana na zoezi hili. Wamejifunza nini kati yao wakati
masoko. wanawasilisha bidhaa au huduma zao? Vipi kuhusu P nne? Ni kwa namna gani P hizi
zinahusiana na biashara zao?
Maandalizi
Andaa chumba katika hali ambayo vijana wanaweza kufanya kazi katika vikundi vya watu Dondoo
watatu au wanne. Chapisha karatasi ya zoezi 5.17.1 ‘Kuuza bidhaa au huduma yangu’ na
Hakikisha unazifahamu P nne kabla ya kufanya zoezi hili. Unaweza ukayaandaa majibu ya P
karatasi ya zoezi 5.17.2 ‘P nne za masoko'.
nne kwa bidhaa au huduma unayoweza kuitoa mwenyewe. Shirikisha hili na wanakikundi.
Wahamasishe washiriki wakimya na wenye aibu kuwa wawakilishi wa vikundi; waache
Maelezo wawasilishe matokeo ya kazi yao na waache wajibu maswali baadaye.
‘Masoko huathiri bidhaa, huduma yako na hatimae biashara yako. Njia unayoitumia kuuza
bidhaa zako au huduma yako ni ya muhimu sana. Leo utajaribu kutumia misingi ya masoko
kwa bidhaa au huduma ambayo tayari unayo katika mipango yako. Tafuta ni vipengele vipi
vya masoko ambavyo vinaushawishi katika kuuza bidhaa au huduma hizi kwa wateja.’

Utendaji
1 Ligawe kundi katika vikundi vya watu watatu au wanne.
2 Viambie vikundi viamue ni bidhaa au huduma ipi wataishughulikia. Waambie kuwa
ni lazima iwe bidhaa au huduma ambayo wana uzoefu nayo na kila mwanakikundi
anaifahamu vyema. Waambie wachague bidhaa au huduma mbili ambazo wateja
wanataka au wanahitaji kununua. Waache waandike chaguzi zao katika karatasi ya zoezi
5.17.1 'Kuuza bidhaa au huduma yangu' waache wapeane motisha kwa chaguzi zao.
3 Eleza vikundi viandike majibu yao ya maswali yafuatayo kwenye karatasi ya zoezi 5.17.1:
• Ni wapi unauza bidhaa au huduma hizi? Unazinunua wapi bidhaa au huduma hii?
Kwanini hapo?
• Ni zipi bei za huduma au bidhaa hizi? Ni bei ipi ya chini zaidi au ya juu zaidi ambayo
wateja wanahitaji kulipa ili kupata bidhaa au huduma hizi? Toa sababu ni kwanini kuna
tofauti hiyo katika bei.
• Utatangaza vipi bidhaa au huduma hizi? Elezea ni kwanini umeichagua aina hii ya
matangazo.
4 Yaelekeze makundi madogo yasome matini kwenye karatasi ya zoezi 5.17.2 ‘P nne za
masoko’ na kujadili maswali yapi katika karatasi ya zoezi 5.17.1 yanayowakilisha ni P zipi.
5 Agiza kila kikundi kiwasilishe kazi yake. Hakikisha kila kundi linawasilisha moja ya bidhaa
au huduma zao na uwaoneshe jinsi majibu yao yanavyohusiana na P nne za masoko.
Wape washiriki fursa ya kuuliza maswali baada ya uwasilishaji.

56 57
5.18 Kuibadili P karatasi ya zoezi 5.18

Lengo Tafakuri
Vijana watapata muono zaidi kwenye P nne za masoko na kwanini ni muhimu katika kuuza Waulize vijana wamejifunza nini kutokana na zoezi hili. Wamejifunza nini kati yao wakati wa
bidhaa nyingi au kutoa huduma kwa wateja. uwasilishaji wa P zilizobadilishwa kwenye hali mbalimbali?

Maandalizi Dondoo
Hakikisha vijana wanaweza wakafanya kazi katika makundi ya watu watatu wakiwa na viti na
Kabla ya kulifanya hili zoezi na vijana, jaribu kufanya zoezi 5.17 ‘Kuuza bidhaa au huduma
meza zao. Hakikisha kuna nakala za kutosha za karatasi ya zoezi 5.18 ‘Kuibadili P’ au andika
yangu’ mwenyewe. Fahamu jinsi P nne za uuzaji zinavyoathiri uuzaji wa bidhaa zako. Hii
kwenye karatasi kubwa au ubao hali ilivyo.
inakusaidia kuwashajihisha washiriki kutoa mifano yao. Unaweza pia kupanga mkutano
mwingine ambamo vijana watawasilisha maoni yao kwa ajili ya kubadili P moja au zaidi ya
Maelezo bidhaa iliyopo au huduma wanayoifahamu. Kama kazi ya nyumbani, wanaweza wakaenda
‘Ni muhimu na vizuri kufikiria kuhusu njia za kupeleka bidhaa au huduma yako sokoni. Leo kwenye moja ya maduka katika kijiji chao au majirani na kujaribu kuchunguza kama P
tunajifunza maboresho hayo kwamba moja ya P za masoko inavyoweza kusababisha wateja moja wapo inahitaji kufanyiwa uboreshaji. Waache wawasilishe mawazo yao kwaajili
wengi kununua bidhaa.’ ya maboresho na waache wawasilishe haya kwenye makundi mengine katika mikutano
mingine.
Utendaji
1 Zitambulishe P 4 kwa kuuliza na kujibu maswali. Weka P moja kubwa kwenye ubao au
karatasi kubwa na andika ‘roduct’ pembeni yake (Product - bidhaa). Waulize vijana nini
maana yake na pia watoe mifano ya bidhaa na uwaache wachague moja ya kufanyia kazi
kwa undani zaidi.
2 Baada ya hapo andika ‘lace’ mbele ya P kubwa (Place - mahali). Waulize vijana mahali
ambapo wanaweza kununua au kuuza bidhaa na kuiandika hii kwenye ubao au karatasi
kubwa.
3 Andika ‘rice’ mbele ya P kubwa (Price -bei) uwaulize vijana bidhaa hii inagharimu kiasi
gani.
4 Mwisho, andika ‘romotion’ mbele ya P kubwa (Promotion - matangazo) na uwaulize
vijana ni wapi, kivipi au nani watamtaarifu kuhusu hii bidhaa.
5 Shirikishana kidogo kuhusu kwanini bidhaa, mahali, bei na matangazo ni vipengele
muhimu katika kuuza bidhaa kwa wateja.
6 Ligawe kundi katika makundi madogo madogo ya watu watatu na waache wajadili P
nne zilizoorodheshwa hapo juu kwenye karatasi ya zoezi 5.18 ‘Kuibadili P’. Waache
waijadili kwa kila hali ni P ipi ibadiliswe ili kuuza bidhaa nyingi kwa wateja. Wanaweza
wakayaandika majibu yao kwenye karatasi ya zoezi.
7 Acha kundi moja kuwasilisha majibu kwenye sehemu ya 1. Yaulize makundi mengine
kama yana majibu au maoni tofauti kisha, kundi jingine liwasilishe majibu yake sehemu
ya 2 na kuijadili na makundi mengine. Irudie hii mpaka P zote nne ziwe zimejadiliwa.

58 59
5.19 Mchezo wa biashara karatasi ya zoezi 5.19

Lengo Tafakuri
Vijana wajifunze namna ya kuunda mpango wa biashara katika njia ya ubunifu na watajifunza Waulize vijana wanafikiria nini kuhusu kuandaa mipango ya biashara katika njia hii ya
kati yao kwa kutoa na kupokea mrejesho. kibunifu. Je, ni changamoto gani walipambana nazo? Jinsi gani walizitatua? Walijifunza nini
kutokana na zoezi hili? Walijifunza nini kutokana na mrejesho wote uliowasilishwa na vijana
wengine na wa mwezeshaji?
Maandalizi
Labda baadhi ya vijana wanataka kuchora au kuyapaka rangi mawazo yao. Hakikisha
kuna chati mgeuzo (karatasi za kutundikwa) za kutosha, kalamu za wino mzito au rangi Dondoo
(ni za kutosha) na nakala za kutosha za karatasi ya zoezi 5.19 ‘Mchezo wa biashara’. Vijana
Wewe kama mwezeshaji ni vizuri kutoa mrejesho thabiti kwa kuwaeleza washiriki kwanza
wanaweza pia wakaandika maswali kwenye karatasi au ubao.
kipi ni kizuri katika mipango yao ya kibiashara. Baada ya hapo, taja nini kinatakiwa
kuboreshwa? Jiandae kutoa mrejesho huu thabiti. Pia itawawasaidia washiriki kujua
Maelezo namna nzuri ya kutoa mrejesho kwa wengine. Kama zoezi hili ni gumu linaweza kuchukua
‘Unapohitaji kuanzisha biashara yako mwenyewe unatakiwa kuandaa mipango kabla ya mikutano miwili. Katika mkutano wa kwanza unafanya kipindi cha kuchemsha bongo na
kuanza. Leo tunajadili kwanini unafikiri ni muhimu kuandaa mipango hii na utachemsha washiriki watatafsiri mipangilio yao ya biashara katika mabango yao. Katika mkutano wa
bongo kuhusu mipango ya biashara katika makundi.’ pili, tumia uwasilishaji wa mabango, mrejesho na tafakuri.

Utendaji
1 Fanya utangulizi wa mada hii kwa kutumia maswali na majibu na uwaulize vijana ni
kwanini ni muhimu kubuni mpango wa kibiashara.
2 Ligawe kundi katika makundi madogo madogo yenye washiriki 3 mpaka 5 na uagize
vikundi vitengeneze mpango wa kibiashara kwa kuanzia. Wajibu maswali kwenye karatasi
ya zoezi 5.19 ‘Mchezo wa biashara’ inaweza ikasaidia.
3 Yaelekeze makundi madogo kuwasilisha mipango yao ya kibiashara katika hali ya ubunifu
kwa kutengeneza mabango au karatasi. Wanaweza wakafanya kwa njia waitakayo,
wakiamini kwamba inaweza kueleweka kwa wengine na kuyajibu maswali kwenye
karatasi. Wanaweza wakatumia kalamu zenye wino mzito au rangi kama wanataka
kuchora michoro ya mipango yao.
4 Mipango ya kibiashara itapokuwa tayari, kila bango lipe nambari au jina la kikundi na
kuyabandika ubaoni au ukutani kwenye darasa.
5 Kila kundi lizunguke kuangalia mabango ya makundi mengine na waandike mrejesho
wa mabango hayo kwenye madaftari yao. Hakikisha kila kundi linatoa mrejesho kwa kila
bango: wamependa nini na nini kingehitaji kuboreshwa.
6 Agiza kila kundi dogo kuwasilisha mpango wake wa biashara kwa kundi zima na omba
kundi jingine liwape mrejesho. Pia wewe kama mwezeshaji toa mrejesho makini kuhusu
mpango wa kibiashara wa kila kundi.
7 Katika makundi madogo washiriki watafakari mirejesho yote waliyopokea kwenye
mipango yao ya kibiashara na waamue ni kipengele kipi cha mpango wao wa kibiashara
watakiboresha. Katika uwasilishaji mfupi washirikishe nukta hii kwa kundi zima.

60 61
5.20 Nipo nje ya muda…! karatasi ya zoezi 5.20

Lengo Tafakuri
Vijana wawe na uelewa wa ukweli kwamba, usimamizi wa muda ni sehemu muhimu katika Uliza kundi lako linafikiria nini kuhusu zoezi hili. Ilikuwaje kufikiri kuhusu kazi zote zilizohusika
mpango mzuri wa biashara. katika uandaaji wa bidhaa zao? Walikadiria vipi muda uliohitajika kwa kila hatua ya uzalishaji
au kufanya biashara? Wamejifunza nini kutokana na dhana ‘usimamizi wa muda’? Wanahitaji
nini kufanya tofauti wakati watakapokuwa wanafanya usimamizi wa muda wa biashara zao?
Maandalizi Kwanini?
Andaa chumba katika hali ambayo vijana wanaweza wakakaa katika makundi ya watu watatu.
Chapisha karatasi ya zoezi 5.20 ‘Nipo nje ya muda…!’. Na hakikisha kuna karatasi za kutundika
na kalamu za wino mzito. Dondoo
Wewe kama mwezeshaji, andaa bidhaa moja ya kuizalisha au kufanyia biashara na fanya
Maelezo kama kundi lako linavyofanya. Wasilisha mchoro wa mpango wa muda kama mfano
‘Usimamizi mzuri wa muda ni sehemu muhimu katika mipango mizuri ya biashara. Leo kwao. Wakati vikundi vitapotoa mirejesho yao kati yao, zunguka kuwasaidia wanapotaka
tutafikiria kuhusu dhana ya ‘usimamizi wa muda’ na kwanini unafikiri hili linahusiana na kuangalia kitu na wewe.
kuiendesha biashara yako kimanufaa.‘

Utendaji
1 Fanya utangulizi wa dhana ya ‘usimamizi wa muda’ kwenye kundi zima kwa kuandika
neno ‘usimamizi wa muda’ kwenye karatasi kubwa au ubaoni. Waulize washiriki kitu
ambacho kinazuka kichwani mwao wanapofikiria dhana ya ‘usimamizi wa muda’.
Andika kila kitu watakachokisema kwenye karatasi hiyo hiyo au ubao. Waeleze kwamba
wanaweza wakafikiria chochote watakachokitaka na kwamba chemsha bongo inahusu
zaidi katika wingi kuliko ubora.
2 Tafakari na kundi zima kama wanaweza wakaunganisha baadhi ya mawazo waliyoandika.
Kwa pamoja wajaribu kujibu maswali kama: nini maana ya usimamizi wa muda? Kwanini?
Ni ipi faida ya usimamizi wa muda? Inafanyaje kazi? Ni wakati gani unaifanyia kazi wewe
mwenyewe? Ni kwanini unaifanya mwenyewe? Unafikiri nini kuhusu usimamizi wa muda
wako mwenyewe?
3 Wagawe vijana katika makundi ya watu watatu na agiza vikundi vichague bidhaa moja
wanayotaka kutengeneza au kuuza.
4 Waachie vijana wafikiri kuhusu kazi na muda watakao uhitaji kwa kila hatua ya kuzalisha
au kuuza bidhaa iliyochaguliwa. Washiriki waandike majibu yao kwenye karatasi ya
zoezi 5.20 ‘Nipo nje ya muda...!’. waache wachore mpango wao wa biashara kwa ajili
ya uzalishaji kwenye karatasi ya zoezi. Waache wafikiri kama au jinsi hatua za uzalishaji
zinavyoweza kufanyika sambamba.
5 Acha vikundi viwili vikae pamoja na kubadilishana mipango yao ya muda. Hakikisha
kila kikundi kimepokea mpango wa muda wa kundi jingine na agiza watoe mrejesho wa
mpango huo wa muda.
6 Baada ya mrejesho, vikundi viwili vitafakari kile walichojifunza kutoka katika
mirejesho yote. Washiki watafakari kile watakachofanyia mabadiliko wakati mwingine
watakapotakiwa kuandaa mipango ya muda.

62 63
5.21 Hii ni bei yangu maalumu!

Lengo 6 Kila kikundi kionyeshe bei ya kuuza bidhaa kwenye moja ya makundi mengine na
Vijana wawe na uelewa kuhusiana na ukweli kwamba biashara inahitaji kutengeneza faida na waeleze ni kwanini wamekuwa na bei hiyo. Kundi moja linapoelezea kuhusu bei ya
hivyo wanatakiwa kuweka bei nzuri ya kuuzia bidhaa zao. kuuzia, kundi jingine linaweza kutoa maoni yake. Wanafikiria nini kuhusu bei ya kuuzia?
Kipi ni sahihi na kipi si sahihi kuhusu bei hii? Je, kundi linaeleza nini kuhusu maoni
yaliyotolewa?
Maandalizi
Kiandae chumba katika hali ambayo vijana wanaweza kukaa katika makundi ya watu watatu,
na wawe na karatasi za kutosha. Hakikisha kuna karatasi kubwa za kutundika na kalamu za Tafakuri
wino mzito. Waulize vijana wamejifunza nini kutokana na zoezi hili na baina yao. Lipi ni sawa na lipi sio
sawa katika kupanga bei ya kuuzia? Hili zoezi linahusiana vipi na moja ya P nne za masoko?
Maelezo
‘Biashara hugharimu fedha. Hivyo, ni muhimu kujifunza kuhusu 'usimamizi wa fedha'. Leo Dondoo
tutaangazia dhana ya 'usimamizi wa fedha' na kuifanyia mazoezi.’ Wewe kama mwezeshaji fanya mahesabu mwenyewe nyumbani. Kwa njia hii, unaweza
kufahamu namna vijana wanavyotakiwa kufanya mahesabu ya jumla ya bei ya kila gauni.
Utendaji Wajifunze kufikiri kuhusu vifaa vyote vinavyohitajika na gharama za kila kimoja. Labda
1 Ligawe kundi katika vikundi vya watu wawili. Waambie wafikirie dhana ya usimamizi wa unaweza ukamuuliza mshonaji wa nguo kuhusu bei ya vifaa au ukatafuta kwenye mtandao.
fedha. Waambie waandike mawazo yao kwenye daftari au kwenye kipande cha karatasi. Katika njia hii unaweza ukawa na uhalisia kadri iwezekavyo kupiga hesabu ya gharama,
Waache wajaribu kujibu maswali yafuatayo: nini maana ya usimamizi wa fedha? Ni hivyo unaweza kuwasaidia washiriki au unaweza ukatoa taarifa za ziada watakapokuuliza
kwanini kuna usimamizi wa fedha? Ni upi umuhimu wa usimamizi wa fedha? Unafanyaje maswali. Endapo kupiga hesabu ni tatizo kwa baadhi ya washiriki, andaa somo la ziada
kazi? Ni wakati gani unaufanya wewe mwenyewe? Ni kwanini unaufanya wewe linalohusu mahesabu.
mwenyewe? Unafikiri nini kuhusu usimamizi wa fedha zako mwenyewe?
2 Liambie kundi moja lishirikishe mawazo yake na makundi mengine. Waache vijana
wajadili kuhusu mawazo haya. Kisha agiza kundi jingine kushirikishana kama wanalo
wazo tofauti, na tena agiza kundi jingine kujadili kuhusu mawazo yao. Irudie hii mpaka
makundi yote yawe yameshirikishana mawazo yote.
3 Gawa kundi tena, lakini kwa sasa katika makundi ya watu watatu au wanne.
4 Waeleze kwamba watakuwa na warsha ndogo ambayo watatengeneza magauni.
Wazalishe magauni 10 kwa mwezi. Waache wafikiri kuhusu malighafi na vitu vingine
vinavyohitajika kutengeneza gauni moja na wapige hesabu ya gharama ya uzalishaji kwa
kila gauni. Waache wajadili swali hili katika makundi madogo, na waandike hesabu zao
kwenye kipande kikubwa cha karatasi.
5 Waambie vijana kwamba wanatakiwa kulipia vitu vyote isipokuwa malighafi. Kwa mfano:
• TZS 10,000, - kwa mwezi kwa ajili ya usafiri kwenda kuuza magauni
• TZS 2,000, - kwa mwezi kwa ajili ya mashine zao za kushonea
• TZS 1,000, - kwa mwezi kwa ajili ya vifaa vya ofisini
Agiza vijana wapige hesabu ya jumla kwa kila gauni na waambie wajue bei nzuri ya kuuza
gauni hilo. Je, ni ipi itakuwa bei nzuri katika hali ambayo watakuwa pia na uwezo wa
kuyaendesha maisha yao vizuri? Wanahitaji nini kama mshahara kwa ajili ya kuzalisha
gauni moja? Wanaweza wakaiandika hii tena kwenye kipande cha karatasi.

64 65
5.22 Ziara kuelekea Kituo cha
Uzalishaji karatasi ya zoezi 5.22

Lengo 4 Ligawe kundi katika sehemu mbili. Agiza kundi moja kuyaunganisha maswali yote kuhusu
Vijana waandae ziara kuelekea kituo cha uzalishaji na kufanya mahojiano ili kupata taarifa muda/mipango kuwa maswali 5, na agiza kundi jingine kuyaunganisha maswali kuhusu
nyingi kadiri iwezekanavyo kuhusiana na hatua halisi za uzalishaji na gharama. fedha au gharama kuwa maswali 5. Yaunganishe maswali ya makundi mawili na waeleze
washiriki waandike orodha ya maswali 10 kwenye karatasi ya zoezi 5.22 ‘Ziara kuelekea
Kituo cha Uzalishaji’ au kwenye madaftari yao.
Maandalizi 5 Ligawe kundi katika vikundi vya watu wanne au watano na uwaachie wachague mchakato
Weka miadi na kituo cha uzalishaji utakapohitaji hilo na kundi lako la vijana. Waombe wa uzalishaji wanaotaka kuuona. Waulize maswali 10 kwa mfanyakazi mmoja wapo.
wafanyakazi wachache wanaohusika na uzalishaji wa bidhaa. Waulize kuhusu orodha ya 6 Kwenye kituo cha uzalishaji watakuwa katika vikundi vya upendeleo wa onesho la
bidhaa (au itengeneze orodha hiyo mwenyewe kama hawawezi kukupa) ambayo inazalishwa uzalishaji wa bidhaa na watauliza maswali kwa mmoja kati ya waendeshaji. Washiriki
kwenye kituo cha uzalishaji. Andaa usafiri au fahamu namna ya kufika hapo kwa usafiri wanaweza kuandika majibu kwenye karatasi au kwenye madaftari yao.
wa daladala. Tumia bakuli/kasha kukusanya maswali kwa ajili ya maandalizi ya mahojiano, 7 Kwenye kituo cha uzalishaji, baada ya uwasilishaji na mahojiano washiriki washirikishe
karatasi ya kutundika na virobo vya karatasi ya A4. Unaweza kuchapisha karatasi ya zoezi 5.22 majibu waliyoyapata kutoka kwa waendeshaji kwa vikundi vingine, na waandike tafakuri
‘Ziara kuelekea Kituo cha Uzalishaji’ lakini pia unaweza kutumia ubao au karatasi kubwa ya zao kwenye karatasi ya zoezi 5.22 ‘Ziara kuelekea Kituo cha Uzalishaji’ au kwenye
kutundika. Washiriki wanaweza wakatumia madaftari yao. madaftari yao. Je, wamejifunza nini kuhusu kuanzisha biashara zao wenyewe?

Maelezo Tafakuri
'Kuanzisha biashara ni changamoto. Kuna mengi ambayo unapaswa kuyafikiri unapoanzisha Wamefikiria nini kuhusu hili zoezi? Ziara ilikuwaje? Wamejifunza nini kwenye kituo cha
uzalishaji wa bidhaa yako au huduma yako, kwa mfano pakiti ya nyanya au biskuti. Ili kupata uzalishaji? Ziara hii inawaeleza nini washiriki kuhusu kuanzisha biashara zao wenyewe?
muono zaidi katika hatua zote za uzalishaji, tutawahoji baadhi ya wafanyakazi kutoka kwenye
kituo cha uzalishaji kinachozalisha bidhaa tofauti. Tunaweza kujifunza kutokana na uzoefu
wao. Utakavyojiandaa vizuri kwa ajili ya mahojiano haya ndivyo utakavyokuwa na nafasi Dondoo
kubwa ya kupata kile unachohitaji kujua. Ndio maana tuna andaa maswali tunayoweza Kwa Zanzibar kituo cha uzalishaji kipo katika Taasisi ya Sayansi na Teknolojia Karume
kuwauliza wafanyakazi wa kituo cha uzalishaji.’ (KIST) nje kidogo ya mji mkongwe (Stone town). Angalia sehemu ambapo kituo hicho
kinapatikana wilayani au mkoani kwako. Hakikisha kila mshiriki anayaweka maswali
Utendaji kwenye bakuli au kasha; yachanganye maswali vizuri kuhakikisha kuwa yale yote ambayo
1 Waagize vijana waandae maswali wanayohitaji kuuliza kuhusu uzalishaji wa bidhaa ni mazuri yanatoka kwa mhusika yule yule. Itakapokuwa kuna muda wa kutosha, washiriki
fulani. Wape orodha ya bidhaa ambazo zinazalishwa katika kituo cha uzalishajii. Waeleze wanaweza wakauliza maswali mengine kwa muendeshaji.
kwamba wanatakiwa kutengeneza maswali kuhusu, mpangilio: kila hatua ya uzalishaji
huchukua muda gani? Au swali kuhusu fedha: mashine inagharimu kiasi gani? Waeleze
wawe na maswali mengi kadri watakayohitaji kuyauliza.
2 Waache waandike maswali yao kwenye virobo vya karatasi za A4, wavikunje na kuviweka
kwenye kasha au bakuli na kuvichanganya vyote.
3 Chagua mshiriki mmoja wa kuchukua kadi kutoka katika bakuli au kasha. Mwambie
asome swali kwa sauti na uliza kama kuna anayelijua jibu. Kama hapana, liandike swali
hilo kwenye karatasi kubwa. Chagua mshiriki mwingine wa kuchukua kadi nyingine
kutoka kwenye bakuli au kasha. Tena, agiza mshiriki aliandike swali kwenye karatasi
kubwa kama hapana anayelifahamu jibu lake. Kama maswali yanafanana agiza mshiriki
achukue kadi nyingine kwenye bakuli au kasha hadi kutakapokuwa hakuna kadi nyingine
iliyobaki katika kasha au bakuli. Mwisho kutakuwa na orodha ya maswali takribani 20
kwenye karatasi.

66 67
5.23 Piga mahesabu! karatasi ya zoezi 5.23

Lengo Tafakuri
Vijana wapate uelewa kuhusiana na ukweli kwamba ni muhimu kujua kama biashara inaleta Waulize washiriki wamefikiria nini kuhusu mahesabu. Wamejifunza nini kutokana na tafiti
faida au la. kifani hizi kwa ajili ya mipango yao ya kibiashara? Wamejifunza nini baina yao wenyewe?

Maandalizi Dondoo
Andaa darasa katika hali ambayo vijana wanaweza kukaa katika makundi ya watu watatu na
Wewe kama mwezeshaji, fanya mahesabu mwenyewe nyumbani. Kwa njia hii, unaweza
wawe na karatasi kadhaa za kuandika mahesabu yao. Chapisha karatasi ya zoezi 5.23 ‘Piga
ukajua jinsi vijana wanavyotakiwa kufanya mahesabu ya bei tofauti za bidhaa katika
mahesabu’.
tafiti kifani, baadhi ya vijana hawataelewa tafiti kifani tofauti au watapata ugumu katika
kufanya mahesabu. Wakaribishe washiriki wanaojua majibu kuwaeleza wengine ili waweze
Maelezo kujifunza kutoka kwao wenyewe. Labda baadhi ya washiriki wanaweza kuhitaji masomo ya
‘Unapokuwa na biashara, ni muhimu kusimamia fedha zako. Ni muhimu kufahamu kama ziada kwenye mahesabu.
biashara yako ina faida au la. Leo tutashughulikia tafiti kifani tofuati za biashara mbalimbali
ambazo zinaweza kuleta faida au hasara.’

Utendaji
1 Wagawe vijana katika makundi ya watu watatu na waeleze wasome tafiti kifani za
biashara kama inavyoonekana kwenye karatasi ya zoezi 5.23 ‘Piga mahesabu’.
2 Waache vijana wajadiliane na wengine kuona kama biashara hizo zinaleta faida au hasara.
Waulize ni kwanini wanafikiri hivyo? Upi unaweza kuwa upande imara wa biashara
ambao unaweza kuleta faida au upi ni upande dhaifu unaoweza kusababisha hasara?
3 Acha kila kundi liwasilishe moja ya majibu yao kwenye makundi mengine. Kwanza kundi
moja lishirikishane majibu kuhusu utafiti kifani nambari 1. Makundi mengine yasikilize na
kushirikishana na kundi zima kama walikuwa na majibu sawa au hapana. Waache wajadili
kwanini wanayo majibu haya. Kisha kundi jingine lishirikishane majibu yao kwa utafiti
kifani namba 2 na kuendelea.
4 Rudi kwenye vikundi na uwaache vijana wajadili kila utafiti kifani, ni bei ipi ya mauzo
wanaweza kuipigia hesabu kufanya biashara kuwa yenye faida. Wanaweza wakayaandika
majibu yao kwenye karatasi.
5 Acha vikundi vishirikishane bei zao mpya za mauzo kwenye makundi na waagize wajadili
tofauti na mfanano uliojitokeza. Ni kwanini iko hivi? Ni mawazo mengine yapi yaliyopo ili
kuifanya biashara iwe yenye faida?

68 69
5.24 Tangaza biashara yako karatasi ya zoezi 5.24

Lengo Tafakuri
Vijana wafanye mazoezi kwa kuonesha biashara yao kwa wajasiriamali halisi na kupata Tafakuri inahusisha mrejesho wa jumla. Hakikisha wajasiriamali wanajikita katika mrejesho
mrejesho kutoka kwao. thabiti. Wakati vikundi vyote vimefanya kadri ya uwezo kuwasilisha biashara zao, waambie
wajasiriamali watoe maelekezo kuhusu namna ya kuboresha mipango ya biashara. Waelekeze
wajasiriamali kushirikisha uzoefu wao kwa washiriki kuhusu namna ya kuanzisha biashara.
Maandalizi
Chapisha karatasi ya zoezi 5.24 ‘Tangaza biashara yako’ pamoja na maswali au andika maswali
ubaoni. Andaa tukio muhimu na la kufurahisha. Fikiria kuwaalika wajasiriamali tofauti au Dondoo
wafanyabiashara wadogo ambao wanaendana na maonesho tofauti ya biashara. Hakikisha
Hakikisha una kamera au simu kwa ajili ya kuchukua video za matangazo ili vikundi viwe na
chumba kina mazingira mazuri kwa ajili ya onesho: hivyo viti peke yake bila meza. Kama
rekodi ya onesho lao wenyewe. Weka wazi kwamba, onesho ni kwa ajili ya matumizi yao
inawezekana, lete kamera na rekodi matangazo ya biashara. Kwanza, uliza ni kundi lipi
wenyewe halipaswi kusambazwa au kuchapishwa. Simamia muda vizuri; maonesho yasizidi
linataka kuanza na onesho lao.
dakika 5. Weka kengele. Andaa kundi la Whatsapp ili vijana waweze kuhamasishana katika
wiki ya maandalizi kwa kupeana mrejesho. Fuatilia midahalo yao na toa msaada wako pale
Maelezo utakapohitajika.
‘Mwisho wa kozi utawasilisha biashara yako kwenye ulimwengu. Kwa lengo hili tunawaalika
wajasiriamali kupima maonesho yenu. Watawapatia mrejesho chanya. Mna wiki moja kwa ajili
ya kujiandaa. Leo tunaanza na maandalizi.’

Utendaji
1 Wagawe vijana katika makundi ya watu watatu. Wagawie karatasi ya zoezi 5.24 ‘Tangaza
biashara yako’ na maswali ambayo yanaweza kuwahamasisha. Wanaweza pia kuunda
maswali yao au mada zao. Waeleze kuwa tangazo haliwezi kuzidi dakika 5.
2 Acha vikundi viandae tangazo lao kwenye darasa. Waambie wafikiri vipengele vya
kipekee vya mauzo: Kwanini biashara yako ni ya pekee? Kwanini watu wanasubiria bidhaa
yako kuingia sokoni? Kwanini watu wanataka kuinunua bidhaa yako? Ni lipi lengo la
biashara yako? Waeleze kwamba wanatakiwa (kuiboresha) kuionesha biashara yao kwa
wajasiriamali halisi au wafanya biashara wadogo wiki ijayo.
3 Waache wafikiri namna ya kuiwasilisha bishara yao kama kikundi. Waache wagawane
sehemu za tangazo. Waagize wafanye majaribio nyumbani.
4 Eleza kabla ya tukio mpangilio halisi ambao matangazo yatawasilishwa na kwanini
mpangilio huo.
5 Kwenye tukio, anza na onesho moja baada ya jingine. Wape wajasiriamali,
wafanyabiashara wadogo na vikundi vingine muda wa kuandika maoni kuhusu tangazo.
Kuwe na mzunguko mdogo wa maoni yanayotokana na nukuu zilizochukuliwa na
wajasiriamali ndipo onesho jingine lianze.
6 Wakati matangazo yote yatakapokuwa yamekwisha, andaa mzunguko wa mwisho
wa tafakuri ambapo wajasiriamali wanaweza wakawapa taarifa washiriki kuhusu
walichokiona na kuwapa washiriki mrejesho, dondoo na mbinu za kufanyia kazi.

70 71
KIAMBATISHO 5.1 ‘JICHO LANGU LA TATU’ mada ya 5.1

Weka jicho lako la ‘tatu’ sehemu yeyote kwenye mwili wako.

Ninahitaji kuwa na jicho hili la ‘tatu’ sehemu hii ya mwili kwa sababu…………
Mbele Nyuma

72 73
KIAMBATISHO 5.2.1 KUUNGANISHA NUKTA mada ya 5.2.1

Unganisha doti zote kwa mistari michache iliyonyooka kadri iwezekanavyo:


• Pitia kila nukta katika gridi na mistari iliyonyooka

• Kila nukta ipitie mara moja tu

• Mistari yote iliyonyooka lazima iungane

74 75
KIAMBATISHO 5.2.2 KUVUKA MTO mada ya 5.2.2

Hii hapa ni picha ya wanawake wanne waliovaa kofia. Wawili wakiwa na kofia nyeusi
na wawili wana kofia nyeupe. Wamefukiwa kwenye mchanga hadi kwenye shingo
zao na hawawezi kugeuka. Mstatili mweusi uwe ukuta mgumu. Hawawezi kuona
kupitia ukutani. Wanawake wanaweza kuongea mara moja tu kutambua rangi halisi
ya kofia zao. Kuna mwanamke mmoja tu anaeweza kuitambua rangi ya kofia yake. Ni
mwanamke gani huyu na hivyo anaongea akiwa wa kwanza?

76 77
KIAMBATISHO 5.2.3 KOFIA NYEUSI NA NYEUPE mada ya 5.2.1

Mwanamke yupi atakayezungumza kwanza?


• Hawawezi kugeuza vichwa vyao

• Baina ya A na B kuna ukuta

• Mwanamke ataruhusiwa kuzungumza mara tu atakapogundua rangi ya kofia


yake

• Wanawake wanajua kuna kofia mbili nyeusi na mbili nyeupe

78 79
Karatasi
ya zoezi 5.4 TASWIRA YA MJASIRIAMALI mada ya 5.4

Jaza sehemu za mwili ambazo unadhani mjasiriamali hutumia.

Mikono: kusaidia wanakikundi

Ubongo: kwa ajili ya uundaji wa fikra za kibunifu na ugunduzi

Uti wa mgongo: kujiamini na kuwa na msimamo

Sehemu hizi za mwili ni kama mifano tu, pia wanaweza kuashiria ujuzi mwingine.
Hivyo, tengeneza picha yako mwenyewe.

80 81
Karatasi MJASIRIAMALI ALIYEFANIKIWA
ya zoezi 5.5 NI YUPI?

Kuna tofauti baina ya wajasiriamali wenye mafanikio na wajasiriamali wenye 4 Kubadilika na kunyumbulika
mafanikio kidogo. Wajasiriamali waliofanikiwa wana sifa kadhaa ambazo Wajasiriliamali ni wepesi katika miitikio yao kutokana na mahitaji ya wateja.
zimefafanuliwa hapo chini: Wanaweza kukabiliana na mabadiliko ya mahitaji ya soko na hali zisizotarajiwa.
Wajasiriamali hawafanyi yale tu ambayo wanaamini ni bora kuyafanya, ila
1 Uchu kupitia hayo wanafanya biashara yenye manufaa. Mahitaji ya soko hayatabiriki
Neno linaloelezea hitaji muhimu la mjasiriamali ni ‘uchu’. Wajasiriamali wenye na mabadiliko ni kitu cha kawaida. Wajasiriamali waliofanikiwa hukaribisha
uchu huonesha ustahimilivu na motisha katika mambo wanayoyafanya na maoni yote ili kufanya maboresho. Bidhaa zinatakiwa kutosheleza mahitaji
hawakati tamaa mpaka watakapofanikiwa wanachokitaka. Hufanya kazi kwa yanayobadilika ya wateja. Hivyo basi, kufanya biashara sio jambo lisilobadilika.
bidii kuboresha walichokianzisha. Wanakusudia kuwa weledi bora kabisa katika
kada zao.
5 Tambua bidhaa zako na soko lake
Wajasiriamali hufahamu bidhaa zao kutoka pande zote. Wanafahamu pia soko
2 Uthubutu la bidhaa hizo na mabadiliko yake kutokea ndani na nje. Ni muhimu kuwa
Wajasiriamali ni watu wanaothubutu, wako tayari kuchukua hatua kwa makini na mabadiliko ya soko na kuangalia moja kwa moja ni mambo gani
mustakabali usiokuwa na uhakika. Hustahamili shaka na hutumia pesa katika wajasiriamali wengine wanafanya. Kama hufanyi hivi, hata uanzishaji wa bidhaa
vitendo vya uvumbuzi. Hawakurupuki na kutojali. Wana hisia bora kabisa kwa kubwa inaweza kutotokea mpaka mwisho.
mwelekeo mpya, huona fursa mahali ambapo watu wengine wanaona matatizo
tu. Wajasiriamali wazuri huhifadhi akiba ya rasilimali, hupiga mahesabu kwa
kina ni mambo gani ambayo yanaweza kuathiri biashara zao. Wataangalia ama 6 Usimamizi wa fedha
vitendo vyao vinaweza kuwapotezea umaarufu wao, muda na pesa zao. Pia Inachukua muda kupata faida kwenye biashara yako. Mpaka kufikia muda huo,
huwa na mbinu mbadala endapo biashara isipofanikiwa. fedha za mjasiriamali zinakuwa chache na pesa inatakiwa kutumika kwa hekima.
Wajasiriamali waliofanikiwa huamini kuwa wanahitaji usimamizi mzuri wa fedha
na mpango wa kutosheleza gharama za sasa na baadaye. Hata kama biashara
3 Kujiamini, uchapakazi na nidhamu inaingiza faida kubwa, mjasiriamali mwenye mafanikio atakuwa makini sana
Wajasiriamali hufurahia kile wanachofanya. Wanajiamini na kujitoa sana kwenye na mzunguko wa fedha, kwa sababu ndio sehemu muhimu kabisa ya biashara
miradi yao. Mara chache, wanaweza kuonesha usumbufu katika kitovu cha lengo yoyote.
lao na huamini mawazo yao binafsi. Kwa upande mwingine wajasiriamali bora
huonesha nidhamu na kujitoa.

82 83
Karatasi MJASIRIAMALI ALIYEFANIKIWA
ya zoezi 5.5 NI YUPI? mada ya 5.5

7 Kupanga - lakini sio kuzidisha mipango 10 Wajasiriamali hujishuku wao wenyewe - Ila kwa kiasi
Ujasiriamali - hasa mwanzoni - unahusu usimamizi wa biashara wakati ukiwa Unaweza kujiuliza, je, mimi ni mjasiriamali? Kama unaujasiri wa kujiuliza
na rasilimali kidogo (ikijumuisha muda, pesa na mahusiano ya kibinadamu). maswali binafsi na yenye maana - Ninaweza kufanya hivi? Je, ninahitaji kufanya
Ni msimamo/ahadi ya muda mrefu ya kufanikisha malengo yako. Kujitahidi jambo hili? - basi unazo sifa muhimu za kuwa mjasiriamali.
kupanga mwanzo kadri ya uwezo wako, ni kitu ambacho hakika ulitakiwa kuwa
unafanya kila siku. Ingawa, kutaka kupanga kila kitu na kuwa na suluhisho tayari Badala ya kuhofia kama utaifaa taswira halisi ya mjasiriamali, angalia hisia zako.
kwa matatizo yote yanaweza kutokea kunaweza kukuzuia hata kuanza hatua ya Unazionaje hisia zako? Unazionaje sifa zako? Ni mwerevu kiasi gani kuweza
kwanza. Mjasiriamali mwenye mafanikio hubaki na fikra ya kushughulikia na kujua udhaifu na uimara wako? Yajayo/ya mbeleni ni ngumu sana kujua?
mambo yasiyotabirika. Unalifahamu hilo?

8 Uwezo wa kimtandao
Ni namna gani unafanya maombi kwa mtandao wako wakati ukiwa unahitaji
ushauri wao kutafuta suluhisho? Wajasiriamali wenye mafanikio huwafuata
washauri wenye uzoefu na huwafuata watu kutoka kwenye mtandao wao
mpana. Kuwa na ujuzi wa mtandao ni tabia kuu ya mjasiriamali mwenye
mafanikio.

9 Kujiandaa kuachia ngazi


Sio kila jaribio litakuwa na mafanikio. Kiwango cha kushindwa kwa biashara
za kiujasiriamali kipo juu sana. Wakati kama huu, ni muhimu ‘kuachia ngazi’
na kujaribu kitu kingine kipya, badala ya kuendelea kupata hasara. Kuna
wajasiriamali maarufu wengi ambao hawakufanikiwa mara ya kwanza.

84 85
Karatasi JE, MIMI NI MJASIRIAMALI AU
ya zoezi 5.6.1 MWAJIRIWA mada ya 5.6

Weka alama za vyema na chora mistari katikati ya majibu yako:

Maswali Chaguo la 1 Chaguo la 2 Chaguo la 3 Maswali Chaguo la 1 Chaguo la 2 Chaguo la 3


1. Je
 una tabia ya Ninaanzisha mambo Ninasubiri wengine Sianzishi jambo 10. J e, wewe ni Ninapenda kufanya kazi Ninaweza kufanya kazi Sioni umuhimu wa
kuanzisha mambo mimi mwenyewe. waanzishe mambo kisha isipokuwa pale mchapakazi? kwa bidii. Ninaweza kwa muda fulani, kisha kujituma. Ninaamini
yako binafsi? Hakuna anayetakiwa ninajiunga ninapolazimika kuendelea kufanya kazi inakuwa imetosha na kufanya kazi kwa bidii
kuniambia kitu cha kadri inavyowezekana ninahitaji kupumzika hakuwezi kukufikisha
kufanya mahali popote

2. Unajiamini? Huwa ninajiamini katika Wakati mwingine huwa Mara zote huwa 11. J e, unaweza kufanya Maamuzi yangu huwa Endapo ninatakiwa Sipendi kuwa mmoja
jambo ninalofanya ninakuwa na shaka kama ninashukia uwezo wangu maamuzi? sahihi, hata kama kufanya maamuzi haraka, wapo katika kufanya
jambo ninalofanya ni wa kufanya mambo nimefanya maamuzi ya huwa ninajutia maamuzi maamuzi
sahihi haraka niliyoyachukua

3. W
 ewe ni Endapo nimeanzisha Wakati mwingine huwa Endapo nikikutana na 12. J e, watu wanaweza Huwa sisemi mambo Ninajitahidi kuwa Kila mara huwa ninasema
king’ang’anizi? jambo sikati tamaa, hata ninakata tamaa mambo matatizo katika shughuli kuamini nisiyomaanisha muaminifu ila wakati mambo ambayo
kama kuna matatizo yanapokuwa magumu zangu, huwa ninakata unachosema? mwingine ninasema yale simaanishi
mengi katika kazi zaidi tamaa haraka ambayo watu wanahitaji
kusikia
4. U
 na motisha kiasi gani Ninajitahidi kufikia Hata kama mambo Ninakubali kuwa mara
ya kufanikisha mambo viwango vya juu vya yanaenda taratibu, mimi nyingi huwa sifanikiwi 13. U
 naweza kutimiza Endapo nimetoa ahadi Huwa sitimizi ahadi Ninapotoa ahadi
yako? ubora katika kila kitu huwa nimeridhika kwa namna ninavyotaka. ahadi uliyotoa? nitajitahidi kadri ya niliyoitoa kitu ninakuwa nafahamu
ninachofanya Hivyo, sijaribu uwezo wangu kuitimiza ninachojutia sana kuwa sitaweza kuitimiza

5. Unajitegemea? Huwa ninafikiria Ninasikiliza ushauri wa Ninategemea sana 14. A


 fya yako ni nzuri Nina nguvu nyingi na Ninakuwa na nguvu Nina nguvu kidogo kuliko
na kutenda binafsi wengine ila mwishoni, mawazo ya wengine kiasi gani? ninajisikia mwenye afya nyingi kwenye mambo marafiki zangu wengi
hata kama wengine ninafanya jambo ambalo kufanya mambo ambayo ninahitaji
hawajakubali ninaona ni sahihi kuyafanya

6. U
 najisikia vipi kuhusu Ninapenda kuwa na watu Ninapenda kuwa na watu Sipendi kuwa na watu 15. U
 napenda kuanzisha Inanipa changamoto Mara nyingi huwa Huwa ninawaachia watu
watu wengine? na ninawahitaji ila siwahitaji wengi karibu yangu. vitu vipya? ya kuanzisha vitu ninaanzisha vitu vipya, wengine kuanzisha vitu
Napenda kuwa peke vipya kuliko wengine ila huwa ninakata tamaa vipya
yangu wanaodhani haiwezekani kiurahisi kama vitu hivyo
kufanya haviendi vizuri
7. U
 naweza kugawa Ni rahisi kwangu Ninaweza kupata watu wa Ninamuacha mtu
majukumu? kuwaacha watu kufanya kazi zangu kama mwingine aanzishe
wanifanyie kazi nikiendelea kuwaomba kunifanyia mambo yangu
Hii ni tafakuri ya majibu yangu:
8. Unaweza kuwajibika? Ninapenda kuwajibika Mara nyingi huwa Sitaki kabisa kuwajibika.
ninamuacha mtu Ninawaachia wengine
mwingine awajibike wawajibike

9. W
 ewe ni bora Huwa ninapanga kufanya Huwa sifanyi mpango ila Ninayachukulia mambo
kiasi gani katika jambo kila siku na ninapangilia kazi zangu kama yalivyokuja na sijali
upangajiliaji wa nimejipanga vyema pale mambo yanapoenda
mambo? kinyume na matarajio
yangu

86 87
Karatasi SIFA ZANGU KAMA mada ya 5.6

ya zoezi 5.6.2 MJASIRIAMALI AU MWAJIRIWA

Utakuta orodha ya sifa hapo chini.


Sifa Mjasiriamali Mwajiriwa Wewe
Pitia orodha yote na pangilia tabia katika safu tatu:
• Safu moja iwe na tabia zote ambazo unadhani mjasiriamali anazo. 14. Anahitaji kuwa na kazi yenye changamoto

• Safu moja iwe na tabia zote ambazo unadhani mwajiriwa anazo.


15. Anapenda kuwafuata wengine
• Safu moja ikuhusu ‘wewe’ kuweka alama ya vyema au kusahihisha sifa
ambazo unadhani unazo? 16. Ni muanzishaji
Sifa Mjasiriamali Mwajiriwa Wewe
17. Anahitaji kupata maelekezo ya wazi kutoka
1. Anahitaji kuwa na muda maalumu wa kazi kwa mwajiri

2. Anajiona mwenye jukumu la kufanya maamuzi 18. Ni mbunifu

3. Anabadilika kulingana na mazingira 19. Huweka malengo na mipango kwanza

20. Anahitaji kuwa huru


4. Anaweza kujadiliana na watu

21. Anahitaji ulinzi katika maisha yake


5. Anapenda kufanikisha mambo na kuwa na
mafanikio
22. Anapendelea kuwa na majukumu machache

6. Anapenda kufanya maamuzi 23. Anaweza kuwasiliana na watu wengine kwa


urahisi

7. Anajiamini
24. Yuko vizuri katika kufanya maamuzi

8. Ni mvumilivu, hakati tamaa kwa urahisi Hizi ni fikra zangu kuhusu mrejesho nilioupata kutoka katika familia na
marafiki kuhusu sifa zangu kama mjasiriamali:
9. Yuko tayari kushawishi na kuwapa watu
motisha

10. Anapenda kufanya kazi kama sehemu ya


kikundi

11. Ni kiongozi

12. Haogopi kufanya uthubutu kiasi

13. Anafuata maelekezo

88 89
Karatasi JE, NINA ARI YA
ya zoezi 5.7 KIUJASIRIAMALI? mada ya 5.7

Soma maelezo yafuatayo hapo chini na weka alama ya vyema kwenye safu
Tamko Ndio Labda Hapana
inayokufaa.
Ninafurahi sana kutatua mambo.
Tamko Ndio Labda Hapana
Huwa ninaiamini silka yangu.
Kuwa na mafanikio ni muhimu sana kwangu.
Ninapenda kuwa na udhibiti wa mapato yangu na uwezekano wangu
Ninapoweka malengo, huwa ninayafanyia kazi. wa kukua.

Ninajiamini. Ninayaona makosa kama fursa ya kujifunzia.

Sipendi kuelekezwa kitu cha kufanya. Cheki za jumla katika safu (alama namba za cheki katika kila safu)

Ninajitambua. Thamani ya kila cheki (zidisha thamani ya X na namba ya cheki) X4 X2 X0


Nitachukua hatua endapo nitaona wazo linaeleweka.
Alama za jumla ( jumlisha alama yote ya safu tatu)
Ninapenda kuwa kiongozi.

Ninafurahia kujifunza mambo mapya muda wote. • Kama umepata kati ya 100 na 80, unaonesha ari kubwa ya kiujasiramali.
Ninapoweka fikra zangu kwenye jambo fulani, ninafanya bila kuchoka.
• Kama umepata kati ya 80 na 61, una uwezo lakini unahitaji kukuza sehemu ya
ujuzi wako dhaifu kwa kufanya mafunzo au warsha kwa ushirikiano wa karibu
Mimi ni mbunifu/mvumbuzi.
na mtu mwenye ujuzi ambao unahitaji kuendeleza.
Ninajichukulia binafsi kama mtu mwenye msimamo wa kutegemea
mazuri.
• Kama umepata kati ya 60 na 41, katika sehemu hii unaweza kutokuwa
na uthubutu wa kuendesha biashara yako, ila ni kitu ambacho unaweza
Huwa sichoki haraka pale ninapokuwa ninavutiwa na mradi.
kukifanyia kazi. Zingatia chaguzi zako zote za kujiendeleza. Unaweza kuhitaji
Mimi ni mthubutu. kumpata jamaa yako anayeweza kukusaidia katika maeneo ambayo wewe ni
Wengine wananiita kichwa ngumu. dhaifu.
• Kama umepata chini ya 40, ajira binafsi haikufai. Unaweza kufurahia
Ningependa kujipangia muda wangu na taratibu za kazi.
kumfanyia mtu mwingine.
Ninapendelea kuwa na namna yangu ya kufanya mambo.

Ninaziona changamoto za kihisia kama fursa kwa makuzi binafsi. Hii ni tafakuri yangu katika maelezo na alama zangu:
Ninafanya vyema ninapofanya mambo yangu mwenyewe.

Ninayachukulia matatizo kama vikwazo vya kuvuka.

Ninapenda kufanya mambo tofauti na mazoea na ninapenda kuwa


mvumbuzi.

Ninabadilika kuendana na mazingira.

90 91
Karatasi
ya zoezi 5.8 UBORA WANGU mada ya 5.8

1 Katika zoezi hili, utarejea katika Uwezo wako Binafsi wa Kiujasiriamali (UBK). 2 Fikiria na andika namna unavyoweza kuboresha moja kati ya majibu hayo 
Jaza fomu hapo chini na onesha kwa alama kama unazo sifa: kabisa (uso wenye
furaha), zaidi au kiasi (uso usio na sifa zinazobainika) au chache (uso wenye
hasira).

Uwezo wako Binafsi wa Kiujasiriamali (UBK) 2 2 2


3 Fikiria na andika namna unavyotaka kuboresha sifa zako binafsi za kiujasiriamali
Je, una taaluma binafsi nzuri?
kwa kuboresha moja kati ya majibu hayo 
Unaweka mipango kwenye maisha?

Je wewe ni mzuri katika kupanga kimpangilio?

Uko tayari kufanya uthubutu?

Unaweza kutengeneza na kuudumisha mtandao bora?


4 Fikiria na andika namna unavyotaka kuendeleza sifa zako binafsi za kiujasiriamali
Unaweza kushawishi watu wengine ili wafanye jambo ambalo kwa kuendeleza moja kati ya majibu hayo 
unahitaji wao wafanye?

Wewe ni mvumilivu? Ili uweze kufikia malengo yako?

Je, uko vizuri katika kufanya majadiliano?

Je, huwa unathamini kuhusu ubora pale unapozalisha jambo au pale


unapotoa huduma kwa mtu fulani? 5 Huu ni muhtasari mfupi wa ulinganishi baina ya majibu yangu katika sifa zangu
Unajiamini? binafsi za kiujasiriamali na kile familia na rafiki zangu walichosema:

Je, wewe unatia nia ya dhati ya kutimiza mkataba wako?

Je, unajali matumizi ya muda?

92 93
Karatasi WAJASARIAMALI WA KARIBU
ya zoezi 5.9 YANGU! mada ya 5.9

Mahojiano yangu na: Hiki ndicho nilichojifunza kwenye mahojiano:

Tarehe:

Haya ndio yalikuwa maswali yangu:

4 Hili ndilo wazo langu kuhusu kuanzisha biashara:

10

94 95
Karatasi
ya zoezi 5.10 BIASHARA YA NDOTO ZANGU mada ya 5.10

Kaa chini, ukiwa umetulia huku macho yako yamefumbwa. Tulia, vuta pumzi ndefu Sasa, tazama jirani yako. Unafanya kazi peke yako, au kuna watu wengine pamoja na
ndani na nje. Vuta pumzi ndefu tena, vizuri na pumua kutoa pumzi yote moja kwa wewe, labda wafanyakazi wenzako, wateja, marafiki, wanafamilia au wadau? Wao
moja. Ukiwa makini na upumuaji wako, jaribu kuchunguza ni hisia gani unapata ni kina nani? Wanafanya nini? Wana nguvu gani? Wanasemaje kuhusu kufanya kazi
katika mwili wako. Utagundua kuwa tumbo lako linatanuka na kusinyaa katika na wewe? Una manufaa gani kwao?Sasa, jiruhusu kuhusiana na kile kinachokupa
kila pumzi, legeza mwili wako wote, uache mwili wako uwe umeshikiliwa na kiti faraja zaidi na utimilifu unapokuwa kazini au kwenye kampuni yako. Ni kitu gani
tu ambacho umekalia. Utaanza kupata hisia za mchomo kwenye vidole vyako vya unafurahia zaidi katika biashara yako?
mikono na miguu. Ruhusu mchomo huo ufike katika kila mshipa. Acha mchomo huo
ufike mgongoni mwako, shingoni mwako na mpaka utosini mwako. Kisha mchomo
huo utashuka tumboni mwako, miguuni na mapajani na mpaka kwenye unyayo Kubali kudhani kwamba biashara yako ni mafanikio makubwa. Unaingiza pesa
wako. Utajisikia mwenye amani sana na mtulivu. zako kwa urahisi na kwa jitihadi kidogo, kufanya kitu unachokipenda. Unaweza
hata kujenga taswira ya watu ambao wanakulipa kwa furaha tena na tena kutokana
na kazi yako. Ni mafanikio gani na mambo yapi muhimu ya maisha ambayo
Sasa unajisikia mwepesi kabisa, fikiria kwamba wakati huo ni wakati fulani siku umesherehekea? Ni bidhaa au huduma gani mpya ambazo unatoa? Jisikie huru
zijazo. Mwaka mmoja baadaye, miaka miwili, mitano- ni juu yako kuchagua. Hii kutazama tena eneo hili maalumu unapofanyia kazi zako. Kitu gani kingine ambacho
ni fursa yako kupiga taswira ya mafanikio ya biashara yako ya baadaye. Ili kuanza umegundua? Peleka hisia zako mahali hapo, sauti na harufi ya eneo hili. Ni mambo
safari hii, vuta taswira ya maeneo yako ya kazi yalipo. Tazama mahali ambapo gani muhimu ambayo unahitaji kuyakumbuka kwa dhati?
utabadilisha ndoto zako kuwa kweli, pale ambapo utakata kiu yako, pale ambapo
utafanya mabadiliko. Tambua vitu vilivyopo karibu yako. Angalia pembeni na jiulize
hapa panafanana na mazingira yapi? Eneo hili lina ukubwa gani? Hali ya hewa ikoje? Kabla hujawa tayari kurejea katika wakati uliopo, fanya unachotaka kufanya, aga
Ni rangi gani, msokotano, na harufu ya eneo hili? Unapata hamasa gani? Hili eneo eneo hili zuri la kazi, na tambua kuwa unaweza kurudi na kulitembelea tena siku
linakufanya ujisikie vipi? yeyote ukihitaji.Ndani ya muda mchache nitahesabu kwa kurudi nyuma kuanzia
tatu mpaka moja. Nikifikia moja, mtaamka, mkitambua kuwa mnakumbuka kila kitu
ambacho mnahitaji kuunda biashara yako ya siku zijazo ya ndoto zako. Sasa nitaanza
Chukua maelezo… ni vitu gani vipo katika eneo hili? Umezungukwa na nini? Sasa, kuhesabu. Tatu. Rudi sasa hivi. Taratibu amka na kuwa macho. Mbili. Chezesha
nenda mahali maalumu katika eneo hili la kazi. Labda ni meza na kiti, kaunta, mahali chezesha vidole vyako vya mikono na miguu, tembeza mwili wako na usikie joto na
fulani jukwaani au karibu na kiegemezi cha mchoraji, au nafasi ya kukaa kwenye ngozi yako. Kisha moja. Fumbua macho, jisikie umeamka kabisa. Tazama pembeni,
dawati au karibu na kompyuta. Labda ni nje kwenye uwazi, mazingira asilia. Piga rejea tena katika wakati uliopo.
taswira ya mahali palipo popote, ilimradi uweze kupaona kama mahali pako pa
kufanyia kazi. Chukua vitu muhimu vya eneo hili vinakueleza nini kuhusu biashara
yako na jinsi gani unaweza kuiendesha?

96 97
Karatasi
ya zoezi 5.11.1 BIASHARA YANGU INAYOLIPA

Mambo yapi yataifanya biashara yako kufanikiwa au kutofanikiwa?

Sifa binafsi
Kujitoa
Ili biashara yako ikue na mipango yako ifanikiwe, unatakiwa kujitoa. Kujitoa maana
yake ni kuweka mbele biashara yako. Inamaana kuwa unahitaji kuwa msimamizi wa
muda mrefu, kwamba unatumia muda mrefu kusimamia biashara yako, hivyo una
muda mchache wa kuwa na rafiki zako au matukio ya kijamii. Inamaanisha kuwa
unathubutu kupoteza pesa zako na pia unatakiwa kuhifadhi pesa kwa miradi ya
baadaye.

Motisha
Kwanini umeamua kuanzisha biashara yako? Biashara yako inaweza kufanikiwa
endapo uko makini katika kutambua mawazo yako. Kuwa na motisha kwa sababu
sahihi ndio uimara wako. Kwa mfano, unajiamini katika ujuzi wako, unahitaji
kutumia na kukuza vipaji vyako, unahitaji kutengeneza maisha bora kwa familia yako
na unachangamoto ya maono ya matarajio yako. Ingawa, kama unahitaji kuanzisha
biashara yako kwa sababu hakuna kitu kingine kizuri ambacho ungefanya, hivyo hili
ndilo eneo la kuendeleza.

Kuthubutu
Wewe ndio msimamizi wa biashara yako hivyo utatakiwa kufanya maamuzi muhimu.
Hayawezi kuahirishwa au kupelekwa kwa mtu mwingine. Kuwa na uwezo wa
kuchukua maamuzi magumu - hasa hasa yenye matokeo chanya - ni uimara.

Msaada wa jamii
Kuendesha biashara yako kutachukua muda na nguvu zako nyingi. Ni muhimu
kupata ushirikiano wa kutosha kutoka kwa marafiki, familia na wafanyabiashara
wengine. Kuwa karibu na mtandao wa kijamii wa watu na taasisi ambazo zitakusaidia
kutimiza ndoto zako. Huu utakuwa uimara.

98 99
Karatasi
ya zoezi 5.11.1 BIASHARA YANGU INAYOLIPA mada ya 5.11

Hali ya kifedha Masuala ya mazingira


Upatikanaji wa rasilimali fedha za kuendesha biashara zako ni muhimu. Rasilimali Biashara yako na mazingira
fedha zinaweza kutoka kwenye mtandao wako wa jamii ikiwemo familia na taasisi za Ni muhimu kuwa na uelewa wa utegemezi na athari za biashara yako kwa mazingira.
kifedha. Kama mjasiriamali, unatakiwa kujua masuala ya kimazingira yanayoathiri sekta yako.
Unatakiwa kufikiria namna ambavyo biashara yako itachangia kuhifadhi mazingira
Ujuzi na namna ya kuyaendeleza.
Ufundi stadi
Ufundi stadi ni uwezo wa kivitendo ambao unahitaji ili kuzalisha bidhaa au Masuala ya kijamii
kutoa huduma. Kwa mfano, kama unaendesha kampuni inayojishughulisha na Kujitoa kwa jamii yako
kutengeneza juisi, unahitaji maarifa ya ufundi wa kutengeneza juisi na kuendesha Biashara yako inatakiwa kuwa rafiki kwa jamii. Kama mfanyabiashara, utakuwa na
mitambo. Kama biashara yako inahitaji ustadi ambao huna, hivyo tazama hili kama jukumu kubwa kwa jamii yako. Mjasiriamali ni mwanajamii muhimu sana kwenye
eneo linalohitaji maboresho. jamii yake na anatakiwa kuwa na ari ya kuibua maendeleo ya jamii kwa ujumla.

Ujuzi wa usimamizi wa biashara


Ujuzi wa usimamizi wa biashara ni uwezo wa kuendesha biashara kwa ufanisi. Ujuzi
wa masoko unaweza kuwa ndio ujuzi muhimu kabisa unaohitaji, lakini maeneo
mengine ya usimamizi wa biashara ni muhimu pia kwa mafanikio ya biashara yako,
kwa mfano, mahesabu ya gharama na utunzaji wa kumbukumbu.

Ujuzi wa sekta yako


Kuwa na maarifa ya kitengo chako, mahali maalumu pa biashara yako ni muhimu.
Utakapojua zaidi kuhusu kitengo chako, ndio utapopunguza zaidi ufanyaji wa
makosa yanayoweza kukugharimu.

Stadi za mashauriano
Stadi za mashauriano ni kuwa na uwezo wa kuwasiliana na wengine bila kumuudhi
mtu yeyote. Unapofanya mashauriano, unafikiria juu ya kile kinachokufaidisha na
kile kitachomfaidisha mwenzako. Unahitaji kuwa na uwezo wa kusikiliza maoni na
mitazamo ya watu wengine. Njia bora ya kupata unachohitaji kupitia mashauriano ni
kutafuta namna ambayo pande zote mbili zitapata kile zinachohitaji.

100 101
Karatasi BIASHARA YANGU YA mada ya 5.11

ya zoezi 5.11.2 KIPAOMBELE

Usaili na mfanyabiashara: Majibu na mahitimisho tuliyopata:


Tarehe:
Wasaili:

a. ______________________________________________

c. ______________________________________________

b. ______________________________________________

Maswali tutakayouliza:

10

102 103
Karatasi MCHEZO WA KUNUSURIKA mada ya 5.12

ya zoezi 5.12.1 JANGWANI

Mpangilio wa matukio
Ni takribani saa nne asubuhi, katikati ya mwezi Julai ndio umepata ajali ya ndege
nchini Namibia, kusini mwa Bara la Afrika.

Ndege yenu yenye injini mbili imeungua kabisa na kubaki majivu tu. Hakuna abiria
aliyejeruhiwa, rubani na msaidizi wake wamefariki.

Rubani hakuweza kumjulisha mtu yeyote mahali ndege ilipo kabla ya ajali. Ingawa,
alifahamisha kuwa mlikuwa maili 50 kutoka mgodini, ambapo ndio makazi ya jirani
kabisa yanayofahamika, na inakadiriwa umbali wa maili 65 katika mpangilio wa
safari kama ilivyofafanuliwa kwenye mpango wenu wa usafiri wa anga. Mazingira
ya eneo la ajali ni tambarare, isipokuwa kuna mahali ipo midungushi kakati na
linaonekana kuwa eneo kame.

Taarifa ya hali ya hewa ya mwisho inaonesha kwamba leo halijoto itafikia nyuzi 43
selisiasi, hii inamaana kuwa halijoto katika usawa wa ardhi itakuwa nyuzi 54 selisiasi.

Umevaa nguo nyepesi: shati la mikono mifupi, suruali, soksi na viatu vya kushindia.

Kila mmoja ana leso na kundini mna bunda tatu za sigara na kalamu ya wino.

Kabla ndege yako haijashika moto, kundi lako lingeweza kuokoa vitu vitano
vilivyoorodheshwa kwenye kurasa ya karatasi 5.12.2 ‘Alama za mchezo wa
kunusurika jangwani’.

Jukumu lako ni kupangilia vitu hivi kulingana na umuhimu wake kwa kunusurika
kwako. Ukiweka ‘1’ kwa kitu muhimu zaidi na ‘15’ kwa kitu kisicho na umuhimu
mkubwa.

104 105
Karatasi ALAMA ZA MCHEZO WA mada ya 5.12

ya zoezi 5.12.2 KUNUSURIKA JANGWANI

Hatua ya 1
Mpangilio Mpangilio Kosa Kosa la
Pangilia vitu hivi kulingana na umuhimu wake kwa kunusurika kwako. Ukianza na Kifaa Jibu
wangu wa kundi langu timu
‘1’ kwa kitu muhimu zaidi na ‘15’ kwa kitu cha mwisho kwa umuhimu. Utafanya hivi
peke yako na utatoa mpangilio wake kwenye safu ya 'Mpangilio wangu'. Kurunzi lenye betri 4

Hatua ya 2 Kisu cha kukunja


Jadilianeni kwa pamoja kuhusu matabaka ambayo kundi lako linataka kuyatoa kwa
vitu vile. Ukianza na ‘1’ kwa kitu muhimu zaidi, mpaka ‘15’ kwa kile ambacho si Picha toka angani

muhimu sana kwa ajili ya nusura yako. Weka namba zako kwenye safu ya ‘Mpangilio
Koti (kubwa) la mvua
wa kundi'.
Dira
Hatua ya 3
Kwenye kundi zima, jadilianeni kuhusu viwango sahihi ambavyo vimetolewa kwenye Sanduku la huduma ya
karatasi ya zoezi 5.12.3 ‘Majibu ya kunusurika jangwani’. Unatakiwa kunakili viwango kwanza

hivi kwenye karatasi ya zoezi 5.12.2 ‘Alama za kunusurika jangwani’ kwenye safu ya Bastola yenye risasi 45
tatu ‘Jibu’.
Parachuti ( jeupe na
jeusi)
Hatua ya 4
Chupa la vipande 100
Sasa hivi unatakiwa kufanyia kazi tofauti baina upangaji wako binafsi na upangaji vya chumvi
sahihi. Kwa mfano, endapo utalipatia ‘Kurunzi na betri 4’ daraja la 1, hivyo utajaza 3
Lita 2 za maji kwa kila
kwenye safu ya ‘Kosa langu’ (4-1=3). mmoja
Kitabu kinachoitwa
Hatua ya 5 ‘Wanyama Wa
Jangwani Wanaoliwa’
Utafanya hivyo hivyo pamoja na tofauti baina ya mpangilio wa kundi lako na
Miwani ya jua (kwa kila
mpangilio sahihi, endapo kundi lako litatoa daraja la 3 kwa ‘Kurunzi lenye betri 4’, mmoja)
hivyo utajaza namba 1 kwenye safu ya ‘Kosa la timu’ (4-3=1).
Lita 2 za kileo

Hatua ya 6
Koti (kwa kila mmoja)
Hatimae alama za safu ya ‘Kosa langu’ na ‘Kosa la timu’ zinatakiwa kujumuishwa.
Washiriki na timu yenye alama kidogo kwenye makosa ndio washindi!
Kioo

Alama ..... ..... .....

106 107
Karatasi MAJIBU YA MCHEZO WA mada ya 5.12

ya zoezi 5.12.3 KUNUSURIKA JANGWANI

Hapa utapata majibu ya mpangilio wa vifaa. Uwiano, sababu za mpangilio pia


zimetolewa. Unatakiwa kunakili mpangilio huu kwenye karatasi ya zoezi 5.12.2
‘Alama za mchezo wa kunusurika jangwani’ kwenye safu ya tatu ‘Jibu’.

KIFAA NAFASI MATUMIZI KIFAA NAFASI MATUMIZI

Kurunzi yenye betri 4 4 Muhimu kwa matumizi ya usiku. Kujilinda kutokana na mng’ao
Miwani ya jua (kwa kila mmoja) 9
(mwangaza wa jua).

Kwa ajili ya kukatia kamba, Muhimu kama antiseptiki, lakini


Kisu cha kukunja 6 Lita 2 za kileo 14 kileo husababisha upungufu wa
vyakula, midungushi n.k.
maji mwilini.

Ramani ya ndege ya eneo hilo 12 Kupata picha ya eneo husika. Ulinzi muhimu Jangwani- uvaaji
unasaidia kupunguza kutoka
Koti (kwa kila mmoja) 2 jasho kwa kupunguza athari za
uvukizi na kuongeza muda wa
Koti la mvua ’kubwa’ 7 Kukusanya umande usiku. athari za baridi.

Pale ambapo haina maana tena Kioo 1 Zana ya kupeana ishara.


Dira 11
kusubiri kuokolewa.

Wakati huu hakuna ambaye


Sanduku la huduma ya kwanza 10
yupo salama.

Kwa ajili ya ulinzi. Risasi tatu


Bastola yenye risasi 45 8 zikipigwa ni ishara tambulishi ya
msaada.

Parachuti (jeupe na jeusi) 5 Tumia kama hema.

Chupa la vipande 100 vya chumvi 15 Haina maana jangwani.

Kwa ajili ya kunywa. Mtu


Lita 2 za maji kwa kila mmoja 3 anahitaji sana chupa ya maji kila
siku jangwani.

Chakula sio muhimu kama


Kitabu kinachoitwa ‘Wanyama
13 maji jangwani. Umeng’enyaji
Wa Jangwani Wanaoliwa’
unatumia maji.

108 109
Karatasi TAFAKURI YA MCHEZO WA mada ya 5.12

ya zoezi 5.12.4 KUNUSURIKA JANGWANI

Haya ni mawazo yangu kuhusu namna tulivyofanya kazi pamoja kama kikundi:

Haya ni mawazo yangu kuhusu majukumu yangu wakati wa majadiliano:

Wakati wa mjadala hili nililifanya vizuri na hili ninatakiwa kuliendeleza:

110 111
Karatasi
ya zoezi 5.15 LILE NI JAKETI ZURI LA NGOZI!
mada ya 5.15

Mpangilio wa matukio Uchunguzi wangu kama mtazamaji:


Unajaribu kununua jaketi zuri la ngozi kutoka kwa muuzaji wa barabarani kwenye
nchi ya kigeni. Umelipenda sana jaketi: linakutosha, limetengenezwa vizuri na kwa
mtindo. Ila unadhani muuzaji anahitaji kiasi kikubwa cha pesa kwa ajili ya jaketi hilo.
Je, unaweza kujadiliana gharama inayokubalika kwenu nyote?

Majukumu tofauti

Mnunuzi: Una zaidi ya TZS 75,000, -. Amua ni kiasi gani unataka kulipa na fikiria Kitu nilichojifunza kutokana na majukumu tofauti:
kuhusu mbinu ambayo utatumia kufikia makubaliano. Jaketi kama hilo linagharimu
TZS 40,000, -.

Muuzaji: Umeshauza majaketi saba kwa wageni ndani ya siku chache zilizopita.
Kiwango cha chini kabisa ulichopata ni TZS 30,000, -, na kiwango cha juu
kabisa kilikuwa TZS 80,000, -. Wengi hawakubishana na wewe kuhusu bei. Jaketi
linakugharimu TZS 20,000, -. Unategemea kupata faida nzuri kwa biashara hii.

Mtazamaji: Hitimisha kwa kuandika tafiti zako kwenye karatasi.

112 113
Karatasi KUUZA BIDHAA AU HUDUMA
ya zoezi 5.17.1 YANGU! mada ya 5.17

Bidhaa/huduma mbili ambazo tumechagua kwamba wateja wanahitaji/wanataka Gharama ya bidhaa/huduma ni kiasi gani?
kununua:

2
Je, bei za chini na za juu kabisa ambazo mteja anahitaji kulipia kwa ajili ya
Ni mahali gani tunauza bidhaa/huduma hizi? bidhaa/huduma ni zipi?

Kwanini hapo? Elezea sababu kwanini kuna tofauti hiyo kwenye bei.

Ni mahali gani unanunua bidhaa/huduma hizi? Unatangaza bidhaa/huduma kwa njia gani?

Kwanini hapo? Fafanua kwanini umechagua namna hii ya kutangaza biashara?

114 115
Karatasi
ya zoezi 5.17.2 ‘P’ NNE ZA MASOKO mada ya 5.17

Product-Bidhaa

Bidhaa inatakiwa kuwa/kufanya kazi vyema (ubora mzuri) na inatakiwa kuwa kile
ambacho wateja wanahitaji au wanataka kununua.

Place-Mahali

Bidhaa inatakiwa kupatikana mahali ambapo ni rahisi kwa wateja kuipata.


Hii inaweza kuwa sokoni, au kwenye duka karibu na kona, kwenye kijiji/mji
mwingine au kwenye mtandao.

Price-Bei

Bei inatakiwa kuendana na gharama za uzalishaji, ubora, uhitaji na mtindo wa wakati


uliopo. Bei nafuu haimaanishi ni kifaa cha bei ya chini kabisa inayopatikana. Wateja
huwa wanafuraha kulipia kiasi kikubwa kwa bidhaa au huduma bora kwa mtazamo
wao au ambayo inavutia sana au yenye hadhi.

Promotion-Matangazo

Matangazo na promosheni zote ni shughuli za kuvutia wateja kununua bidhaa au


huduma. Hakikisha taarifa kuhusu biashara zinawafikia wateja husika mahali sahihi.
Kutumia mtandao wako ni muhimu sana kutangaza kibainishi chako.

116 117
Karatasi
ya zoezi 5.18 KUIBADILI P mada ya 5.18

Katika kila hali zifuatazo moja kati ya P inatakiwa kubadilika ili wateja wengi • Unatengeza nyanya za kopo. Ladha yake nzuri na watu wanaipenda. Duka
wanunue bidhaa. Jaribu kutambua ni ipi itabadilika kwenye kila hali. lako liko karibu na kituo cha daladala ambapo watu wengi wanapita.
Umetengeza kipeperushi cha kutangaza nyanya zako. Bei yako iko chini sana
na umegundua haikidhi gharama.

• Unatengeneza mifuko yenye ubora mzuri kwa bei inayokubalika. Umetoa


vipeperushi kwenye maduka mengi. Umeanza kuuza mifuko upande wa
magharibi mwa kisiwa.

• Umetengeneza viti katika mitindo mingi ya ubora tofauti. Bei ni nzuri. Duka
liko kwenye mtaa ambapo watu wengi wanapita. Ingawa, watu hawafahamu
kama duka lako lipo hapo.

• Unatengeneza nguo. Unatoza gharama kubwa. Duka lako linapatikana


katika moja ya maeneo tajiri ya kisiwa. Umetoa vipeperushi vizuri kila mahali
kutangaza mavazi. Malighafi ulizotumia kutengeneza nguo zinapoteza rangi
kwa urahisi na sio imara.

118 119
Karatasi
ya zoezi 5.19 MCHEZO WA BIASHARA

Mpango wa biashara yetu kwa kuanzia: • Tutaitangazaje bidhaa hii?


• Tunaenda kuuza nini?

• Nembo itaonekanaje? Ni njina gani? Itafungashwa vipi?


• Kwanini tunaenda kuuza hiki? (uhitaji ni upi)? Tutauza kwa nani?

120 121
Karatasi
ya zoezi 5.19 MCHEZO WA BIASHARA mada ya 5.19

• Itazalishwaje? • Tutaanzia wapi biashara yetu?

• Tunahitaji pesa kiasi gani?

• Itachukua muda gani kutengeneza bidhaa moja?  Tunaweza kutengeneza


kiasi gani?

• Tutaiwezesha vipi kifedha?

122 123
Karatasi
ya zoezi 5.20 NIPO NJE YA MUDA......! mada ya 5.20

Bidhaa: ______________________________________________________________ Tafakuri na mrejesho juu ya mpango wa wakati:

Shughuli zinazofanyika kuanzia Muda unaotakiwa kwa kila hatua.


maandalizi ya utengenezaji mpaka (acha angalau asilimia 10 ya muda
usambazaji wa bidhaa kwa ajili ya vikwazo visivyotarajiwa)
1.

2.

3.

4.

5.

6.

7.

8.

9.

10.

124 125
Karatasi ZIARA KUELEKEA KITUO CHA
ya zoezi 5.22 UZALISHAJI

Mahojiano yangu na: 3

Tarehe: Jibu: _______________________________________________________________________________

Haya ni maswali yangu na majibu niliyopata:

1 4

Jibu: _______________________________________________________________________________ Jibu: _______________________________________________________________________________

2 5

Jibu: __________________________________________________________________________ Jibu: _______________________________________________________________________________

126 127
Karatasi ZIARA KUELEKEA KITUO CHA
ya zoezi 5.22 UZALISHAJI mada ya 5.22

6 9

Jibu: _______________________________________________________________________________ Jibu: _______________________________________________________________________________

7 10

Jibu: _______________________________________________________________________________ Jibu: _______________________________________________________________________________

Jibu: _______________________________________________________________________________
Hiki ndicho nilichojifunza kwenye matembezi yangu katika kituo cha
uzalishaji kuhusu kuanzisha biashara yangu:

128 129
Karatasi
ya zoezi 5.23 PIGA MAHESABU! mada ya 5.23

Mfano wa 1 Mfano wa 3
Maude ni binti aliyepatiwa TZS 80,000, - na binamu yake. Akaamua kutumia fursa Kampuni ndogo ya kibiashara inayouza bidhaa za mafuta ya Olive ilianza kazi zake
hiyo kuanzisha biashara yake ya kuuza vitambaa. Mwezi Januari, alinunua vitambaa mwezi Januari ikiwa na kiasi cha TZS 100,000, - katika mfuko wake. Gharama ya
vya TZS 70,000, -. Alitumia TZS 10,000, - kwa ajili ya usafiri kwenda makao makuu mauzo ya chupa moja ya mafuta ya Olive ni TZS 5,000, -.
kufuata vifaa. Aliuza vitambaa kwa bei ya TZS 100,000, -.
• Mwezi wa Januari, kampuni ililipa TZS 70,000, - katika mishahara na matumizi
Je, biashara yake inafaida? Alipata faida au hasara kiasi gani? mengine. Ilipokea TZS 130,000, - kutoka kwa wateja 26.

• Mwezi Februari, kampuni ililipa shilingi TZS 130,000, - katika mishahara na


matumizi mengine. Ilipokea TZS 80,000, - kutoka kwa wateja wake 16.

• Mwezi Machi, kampuni ililipa TZS 150,000, - katika mishara na matumizi


Bei zako mpya za mauzo ni zipi? _____________________________________________ mengine, na ilipokea TZS 30,000, - kutoka kwa wateja wake 6.

Mfano wa 2 Je, kampuni hii ndogo inapata faida? Ni faida au hasara kiasi gani wamepata?
Mohammed ni fundi seremala. Anatengeneza meza 4. Ukweli ni upi:

• Gharama ya meza ya kwanza ni TZS 35,000, -

• Gharama ya meza tatu zinazofuata ni TZS 15,000, - Bei zako mpya za mauzo ni zipi? _____________________________________________

• Gharama ya mauzo ya kila meza ni TZS 20,000, -

Biashara yake inafaida? Amepata faida au hasara kiasi gani?

Bei zako mpya za mauzo ni zipi?______________________________________________

130 131
Karatasi
ya zoezi 5.24 TANGAZA BIASHARA YAKO mada ya 5.24

Tangazo lenye mashiko, linaloeleweka kuwasilisha biashara yako.


Tangazo lisizidi dakika 5!

Hapa ni baadhi ya maswali ambayo yatakusaidia kuandaa tangazo lako:

• Ni lipi lengo la biashara yako?

• Mkakati wako ni upi?

• Kwanini biashara yako ni ya kipekee?

• Kwanini biashara yako ni tofauti na biashara nyingine?

• Kwanini watu wanahitaji kununua bidhaa zako?

• Kwanini watu wanaisubiri bidhaa yako?

• Kwanini watu wachague biashara yako?

• Ni zipi faida za biashara yako?

132 133
134 135
136

You might also like