You are on page 1of 1

Kwa Wafanyakazi wote,

Tunapenda kuwataarifu kwamba, Katibu Mkuu Utumishi amewahamisha


Wafanyakazi wafuatao kutoka NSSF kwenda ofisi nyingine za Serikali kama
ifuatavyo:

Na. Jina Nafasi aliyokuwa nayo NSSF Ofisi aliyohamia


1 Grace James Busilili Senior Benefit Officer I Makumbusho ya Taifa
Tanzania
2 Amina Ramadhani Kaumo Senior Compliance Officer II Bodi ya Maziwa Tanzania
(TDB)
3 Winfrida Wilson Zagwi Principal Benefit Officer I Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi
(NAOT)
4 Lugano Sophen Senior Security Officer II Wakala wa Usajili wa
Mwampeta Biashara na Leseni (BRELA)
5 Ally Athumani Mtambua Principal Benefit Officer I Mamlaka ya Vitambulisho vya
Taifa (NIDA)
6 Victoria Thedot Kasapila Principal Records Assistant Mamlaka ya Vitambulisho vya
Taifa (NIDA)

Kutokana na uhamisho huo, Watumishi hao hawatakiwi kuhusika na majukumu ya


Mfuko tangu walipopewa barua hizo za uhamisho mwezi Novemba, 2022.

Imetolewa na: Kurugenzi ya Rasilimaliwatu na Utawala

You might also like