Professional Documents
Culture Documents
Saratani Ya Damu 1
Saratani Ya Damu 1
IJUE LEUKEMIA:
JE LEUKEMIA NI NINI?
Watu wanaokuwa kwenye mazingira yenye kiwango cha juu cha mionzi na kemikali yenye
sumu ya ki- Hydrokaboni ya Benzini wanao uwezekano mkubwa wa kupata aina tofauti za
Leukemia kama ilivyo kwa wavutaji sigara na aina za tumbaku, watu ambao wamewahi kupata
tiba ya kemikali katika kutibu maradhi mbalimbali na watu waliorithi magonjwa mbalimbali
ikiwemo yanayo athili mfumo wa damu.
❇️ AINA ZA LEUKEMIA
▪️Au jinsi gani kwa haraka saratani inavyo inavyokua na kuleta athali ( acute leukemias)
▪️Au jinsi gani saratani hukua taratibu na athali zake kuonekana baada ya muda mrefu
kupita ( Chronic Leukemias). Hata hivyo dalili za saratani hizi hutofautiana kulingana na aina
ya saratani husika.
Mara baada ya kuufahamu vizuri aina ya ugonjwa wako, utatakiwa kushirikiana na watoa
huduma wako wote wanaokuhudumia, ili kufikia muafaka kuhusu stahiki ya huduma na
matibabu yako ili kufikia matokeo CHANYA.🖍️(rekebisha toka change to Chanya)
▪️kumbuka kuandika maswali au dukuduku lako ili umwulize Daktari wakati wa kliniki yako, na
aidha andika majibu kwa ufasaha kuepuka kusahau
▪️ongea na Daktari kuhusu jinsi gani unavyojisikia na kila dalili unayoona au kuhisi
▪️ongea na uliza kuhusu maudhi au madhara yatokanayo na matibabu na ni aina gani ambayo
utatakiwa kutoa taarifa kwa watoa huduma wako mara moja.
▪️Uliza ni jinsi gani utaweza kutuliza au kuondoa maudhi na madhara yatokanayo na matibabu
▪️Uliza kuhusu taarifa mpya zilizopo zinazohusu majaribio mbalimbali ya tiba ya Leukemia
▪️Uliza maswali kwa weredi na kuhakiki umeelewa vizuri ulichoelekezwa na watoa huduma
wako
▪️Pata taarifa sahihi kwa kutumia lugha nyepesi kwako ya mawasiliano na ikiwezekana pata
hata michoro kama ni muhimu na lazima katika kurahisisha uelewa wako
▪️Kama kuna gharama zitokanazo na matibabu omba ushauri toka kwa watoa huduma yako
jinsi ya kupunguza gharama hizo
▪️Ni muhimu sana kutumia dawa zako kama maelekezo yalivyo, lakini ni muhimu kuwaeleza
watoa huduma wako kama imetokea kuwa uliruka au hukutumia dawa kama ilivyopangwa, pia
wafahamishe kama kuna aina yoyote ya maudhi madogo madogo ya dawa yaliyosababisha
ukashindwa kutumia dawa zako kwa mpango
▪️Angalia kama watoa huduma wako hawashirikiani nawe katika kutatua changamoto
mbalimbali za matibu unazopitia, fikiria kuomba mbadala wa watoa huduma wengine watakao
kusaidia.
ASANTE SANA
MICHUBUKO
UCHOVU
Uchovu ni dalili ya kawaida anayoiona mtu kabla ya
kigundulika ugonjwa
Udhaifu au uchovu ambao unachukua muda mrefu zaidi ya
majuma 2 na/au kupungua uzito
Kuchoka kupita kiasimfululizo, kupumua kwa shida wakati
au baada ya kufanya kazi hata wakati mwingine ukiwa
umelala usiku
Kupungua uwezo wa kufikiri na kuchanganyikiwa kwa
urahisi
KUTOKWA NA DAMU
Kutokwa damu kusiko kawaida kwenye sehemu zisizo
tegemewa
Kutokwa na damu nyingi
Vipele vidogo vidogo , alama nyekundu kwenye ngozi
zijulikanazo kama PETECHIAE